يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني n ح - qssea · mtume na kumsifu kwake mbele ya malaika...

120
DAMU ASILIA ZA WANAWAKE ح لينطةءّ جيػيةء اىػ ا العثيمد بن صا م الشيخ(رحمه ا) NA: Sheikh Muhammad Ibn Sâlih Al-‘Uthaymîn (رحمه ا) IMECHAMBULIWA NA: Dr. Saleh S. As-Saleh ( ) MFASIRI: Abu Farida Muhammad Awadh Salim Basawad

Upload: others

Post on 22-Jan-2021

19 views

Category:

Documents


1 download

TRANSCRIPT

Page 1: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

الدةء اىػجيػيح لينطةء الشيخ محمد بن صالح العثيمين

(رحمه الله)

NA:

Sheikh Muhammad Ibn Sâlih Al-‘Uthaymîn

(رحمه الله)

IMECHAMBULIWA NA:

Dr. Saleh S. As-Saleh ( )

MFASIRI:

Abu Farida Muhammad Awadh Salim Basawad

Page 2: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

© HAKI YA UCHAPISHAJI Uchapishaji wa kitabu hiki ni milki ya kiufundi ya “The Qurân and Sunnah Society of East Africa”. Kila kilichomo ndani, kwa ujumla, ni hifadhi ya qssea. Hairuhusiwi kuiga kwa njia yoyote iwayo kutoka kwa wachapishaji asili; hivyo-basi uchapishaji wa kitabu hiki utahitaji ridhaa kutoka kwa muandishi. Iwapo chochote kutoka kwenye kitabu hiki kitatumiwa kama sehemu ya Shirika jengine la kiufundi ama isokuwa hivyo, basi ruhusa kutoka QSSEA itahitajika. Ruhusa inaweza kuombwa kutoka kwa: The Qur‟ân‎‎ and Sunnah Society of East Africa, P. O. Box 85477, Mombasa, Kenya.

ISBN: 978-9966-1824-2-5 Ama kwa Barua Pepe (e-mail)- [email protected] web-site – www.qssea.net Chapa ya Kwanza: Nakala 1000 [2013 / 1434]

JUMUIYA YA QUR’aN NA SUNNAH YA AFRIKA YA

MASHARIKI

Page 3: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

I

YALIYOMO

DIBAJI ............................................................................ I

DIBAJI ............................................................................ I

UTANGULIZI WA MFASIRI ...................................................... I

DIBAJI ........................................................................... 1

UTANGULIZI WA MFASIRI ..................................................... 1

UTANGULIZI .................................................................... 1

SURA MOJA ..................................................................... 4

Kwanza: Jee, kuna muda maalum wa Umri? .............................. 5

PILI: Muda wa Heidh .......................................................... 6

Dalili No. 1: .................................................................... 7

Dalili No. 2: .................................................................... 7

Dalili No. 3: .................................................................... 9

Dalili No. 4: ................................................................... 12

Dalili No. 5: ................................................................... 12

HEIDH YA MWANAMKE MWENYE MIMBA 14 Talaka .......................................................................... 16

Idda............................................................................. 18

Page 4: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

II

SURA TATU .................................................................... 19

Ya Kwanza ..................................................................... 19

Ya Pili .......................................................................... 19

Ya Tatu ........................................................................ 19

Ya Nne ......................................................................... 21

Ya Tano ........................................................................ 22

SURA NNE ...................................................................... 23

Ya Kwanza: Heidh na Swala . ............................................... 23

Mfano wa Kwanza ............................................................ 23

Mfano wa Pili ................................................................. 23

Ya Pili: Heidh na Swaum . .................................................. 27

Ya Tatu: Heidh na Twawaaf Kulizunguka Ka‟ba ......................... 29

Ya Nne: Kuruhusiwa kuwacha Twawaaf ya kuaga (Twawaaf al-Widaa‟a). ...................................................................... 29

Ya Tano: Heidh na Kukaa Msikitini. ....................................... 30

Ya Sita: Heidh na Kujamiiana kimapenzi. ................................ 31

Ya Saba: Heidh na Talaka. .................................................. 32

Ya Nane: Heidh na Eda ya Talaka. ......................................... 36

Ya Tisa: Fuko La Uzazi Lililo Huru ......................................... 38

Page 5: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

III

Ya Kumi: Uwajibu Wa Kujitwahirisha (Ghusl) ........................... 38

SURA TANO .................................................................... 42

ISTIHAADHAH ................................................................. 42

Hali za mwenye Istihaadhah ................................................ 43

Hali Ya Kwanza ............................................................... 43

Hali Ya Pili ..................................................................... 45

Hali Ya Tatu ................................................................... 46

Mwanamke Aliye Katika Hali Inayofanana Na Mustahaadhah. ........ 48

Hukmu za Mustahaadhah. ................................................... 49

Kwanza ......................................................................... 49

Pili .............................................................................. 50

Tatu ............................................................................ 51

SURA SITA ..................................................................... 52

Nifaas .......................................................................... 52

Sheriya Za Nifaas: ............................................................ 54

SURA SABA ..................................................................... 57

masharti mawili .............................................................. 57

La Kwanza ..................................................................... 57

La Pili .......................................................................... 57

Page 6: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

IV

Matumizi Ya Dawa Za Kuamsha Hisiya. ................................... 58

La kwanza ..................................................................... 58

La Pili .......................................................................... 58

SURA NANE .................................................................... 59

Kuzuiya mimba kabisa ....................................................... 59

Kuzuiya mimba kwa muda fulani .......................................... 59

SURA TISA ..................................................................... 61

Kukusudia kukiondoa kilicho ndani ya fuko la uzazi la mama ......... 61

Niya haikuwa ni kuondoa Mzigo ............................................ 63

Wote, mama na mtoto wako hai ........................................... 63

Wote, mama na mwanae wamekufa ...................................... 63

Mama yu hai na haliyakuwa mwanae amekufa .......................... 63

Mama amekufa na mwanae yu hai ......................................... 64

Nukta Ya Hadhari ............................................................. 64

MAONI KATIKA KUMALIZIA 65 KIAMBATISHO .................................................................. 67

MASUALI NA JAWABU 67 Kutumia Vizuizi Vya Heidh .................................................. 67

MASUALI NA JAWABU ........................................................ 67

Page 7: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

V

SUALI LA KWANZA 67 SUALI LA PILI 68 SUALI LA TATU 69 SUALI LA NNE 70

KUTOKWA NA DAMU NA KUFUNGA SWAUM................................ 71

SUALI LA TANO 71 SUALI LA SITA 71 SUALI LA SABA 72 SUALI LA NANE 73

HEIDH NA SWALA. ............................................................ 74

SUALI LA TISA 74 SUALI LA KUMI 76

HEIDH KATIKA HAJJ & „UMRA ............................................... 77

SUALI LA KUMI NA MOJA 77 SUALI LA KUMI NA MBILI 77

HEIDH NA TALAKA ............................................................ 79

SUALI LA KUMI NA TATU 79 Hatima ......................................................................... 83

MASUALI NA JAWABU ZAKE .................................................. 84

MWANAMKE HANAJISIKI KWA AJILI YA HEIDH AU KUTOKWA NA DAMU YA MAZAZI

85 KUTUMIA TEMBE ZENYE KUZUIYA HEIDH 86

KUKATIKA KWA DAMU KATIKA WAKATI WA HEIDH 86

Page 8: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

VI

MATONE YA DAMU BAADA YA KUTEKELEZA GHUSL 87 IKIWA MWANAMKE AMEMALIZA ADA YAKE KABLA YA KUTWA KWA JUA, ATALAZIMIKA

KUSWALI DHUHR NA „ASR 88 MWANAMKE MWENYE HEIDH KUJISAFISHA KUTOKAMANA NA MIKOJO 89

APATA ADA YAKE HALIYAKUWA YUKO MSIKITINI 90 MWANAMKE MWENYE HEIDH ANAWEZA KUSOMA VITABU VYENYE TAFSIRI YA

QUR‟AN 91 YARUHUSIWA KWA MWANAMKE MWENYE HEIDH KUSOMA QUR‟AN NA VITABU VYA

DU‟AA‟ 92 SWALA YA MUSTAHAADHAH 94

IKIWA DAMU YA MZAZI IMESIMAMA KUTOKA, KABLA YA SIKU YA ARUBAINI,

ATALAZIMIKA KUTEKELEZA GHUSL, ASWALI NA AFUNGE 95 HUKMU KUHUSIANA NA KUHARIBIKA KWA MIMBA 96

HUKMU KUHUSIANA NA DAMU ITOKAYO KWA SIKU TANO KABLA YA MAZAZI. 98 MAANA YA NENO “QURU‟ 98

KUFUNGUA (SWAUM) KWA AJILI YA HEIDH NA KUWACHA KUZILIPA SIKU KWA

KUONA HAYA! 99 IKIWA ADA ITAENDELEA ZAIDI YA MUDA WAKE WA KAWAIDA 100

IKIWA MIMBA YA MWANAMKE ITAHARIBIKA KATIKA MWEZI WAKE WA TATU

101 KUINGILIANA KIMAPENZI KABLA YA KUKAMILIKA SIKU ARUBAINI 102

DU‟AA‟ YA MWANAMKE MWENYE HEIDH 102 CHA HUDHURUNGI AU NJANO KITOKACHO BAADA YA KUTWAHIRIKA KIPUUZWE

104 MWANAMKE MWENYE HEIDH ANAWEZA KUTUMIA HINA 105

MWENYE HEIDH NA KUANDIKA QUR‟AN 105

Page 9: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

VII

USIWE NA HARAKA 106 DAMU ITOKAYO MUDA MCHACHE TU KABLA YA ADA YA MMOJA WENU NI DAMU YA

UGONJWA NA MMOJA WENU ASIACHE KUSWALI KUTOKANA NA DAMU HIYO

107

Page 10: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

I

Kila sifa kamilifu zinamstahiki Allâh‎, ziyada ya Rehma zake na

Amani zimwendî Mtume Muhammad (صلى الله عليه وسلم).

Kwa furaha tele nimekipitia kitabu cha Sheikh Muhammad Bin Swaleh

Uthaymîn (رحمه الله) kwa jina „Damu Asilia Za Wanawake‟.

Kitabu hichi chaelezea mambo yaliyo muhimu sana katika Fiqh, Mlango wa Twahara. Kwa kuwa twahara ni sharti la kuswihi swala, basi ni juu ya kila Muislamu autambue vilivyo mlango huu.

Kitabu cha Qur‟ân‎‎, Sunnah na Fiqh, vyote hivi viko katika lugha ya kiarabu, hivyo ikawa uzito kufahamu makusudio yalolengwa humo kwa kila asojua lugha hii, na wakapitwa na ufahamu wa faradhi, Sunnah na mengi katika dini yao. Mwanamke kimaumbile hupitiwa na vipindi vya damu [ambayo ni najisi] mbalimbali kama heidh, nifâs na Istihâdha [ya ugonjwa]. Na si rahisi kuzitofautisha ila kwa ufafanuzi ndipo ikawa haja ya kufasiriwa kwa lugha yetu ya Afrika Mashariki na Kati ili kuwapa elimu watu wa kanda hii.

Na kazi hii ya tafsiri ni muhimu sana, kwani imewapa kina dada na kina mama wepesi wa kujua twahara yao ambayo inapelekea wao kutekeleza ibada zao kikamilifu, na haswa swala ambayo ni nguzo kuu kati ya nguzo tano za Uislamu.

Nataraji kuwa Allâh‎ ataikubali kazi hii ya mtungaji Sheikh Muhammad Swaleh al-Uthaymîn, na pia ndugu zetu walofasiri kitabu hicho: Ndugu Muhammad Awadh Salim Basawad, na Sheikh Athman Bin Na‟man, na atawajazi mema.‟ Âmîn.

DIBAJI

Page 11: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

II

Ndugu yenu

Sheikh Idd Ramadhân

13/4/1433

Page 12: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

I

Himdi zote na kila sifa njema ni zenye kuthubutu kwake Allâh‎ (عز وجل), aliye epukana na kila upungufu na kusifika kwa kila ukamilifu. Twamuomba Amfikilizie Swala zake na Salamu Mtume wetu

Muhammad ibn AbdilLâ‎‎‎h (صلى الله عليه وسلم), na „Âli zake na Maswahaba

wake na kila alowafuata wao kwa wema, hadi mwisho wa ul‎‎imwengu huu.

...amma ba‟d:

Ningelipenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa kila aliyehusika katika kuchangia shughuli hii ya kukifasiri kitabu hiki kidogo kwa uchache wa kurasa zake na kikubwa kwa faida zilizomo ndani yake. Kwa hakika miongoni mwa walionitia moyo katika

kuifanya kazi hii, namuomba Allâh‎ (سبحانه وتعالى) awalipe kheri nyingi, ni

mamangu Bi Aziza Abdulkarim kwa kunisisitiza kuyafasiri makala haya yaliyo na umuhimu mkubwa kwa mujtama‟ wa wanawake wa ki-Islamu na pia mamae watoto wangu, Umm Farida, kwani wakati mwingi wa faragha niloutumia nilipokuwa nikifasiri kitabu hiki, yeye alikuwa akinihimiza na kufurahikia nikamilishe kazi hii muhimu kwa Umma wa ki-Islamu.

Vilevile, mashekhe wangu wawili, Sheikh Idd Ramadhân na Ustadh Athman Bin Na‟man ndiwo waliokuwa katika mstari wa mbele

UTANGULIZI WA MFASIRI

Page 13: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

II

katika kunipa mwelekeo na mfumo thabiti kwenye ta‟luma za ki-ilimu na ufaswaha wa lugha yetu ya kiswahili, nawaombea kila la kheri hapa Duniani na kesho akhera; Âmîn.

Nakamilisha shukrani zangu kwa Allâh‎ (سبحانه وتعالى), awajazi kheri Ndugu

zangu wa “MOMBASA MAIZE-MILLERS” kwa kufadhili uchapishaji wa kitabu hiki. Amma kwa hakika ni jambo la kutia moyo kuona yakwamba shughuli za kuitumikia Dini yetu zinapewa umuhimu

mkubwa. Namuomba Allâh‎ (تبارك وتعالى) awabariki katika biashara zao na

mali zao na awaja‟alie kheri hii iwe kwenye mizani zao za wema katika siku ambayo hayatowafâ watu mali yao wala watoto wao, ila watakaokuja (siku hiyo) na nyoyo zilizosalimika. Âmîn.

Ndugu yenu,

Abu Farida Muhammad Awadh Salim Basawad.

22nd March, 2013

10th Jumada Al-Awwal, 1434

Page 14: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

1

Kwa Jina la Allâh‎, Mwingi wa Rehma na Mwenye kurehemu.

Kila sifa njema ni yenye kumthubutukia Allâh‎, tunamsifu Yeye, tunamuomba msâda wake na msamaha. Tunarudi kwake peke yake katika kutubia, na tunajilinda kwa Allâh‎ kutokamana na shari ya nafsi zetu na kutokamana na vitendo vyetu viovu. Yoyote ambae aliyeongozwa na Allâh‎ hakuna yoyote awezae kumpoteza, na yoyote ambae aliyepotezwa na Allâh‎ hakuna awezae kumuongoza. Nashuhudia yakwamba hapana mola anaestahiki kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allâh‎ Aliye epukana na kila wasaidizi au washirika. Nashuhudia yakwamba Muhammad ni Mtumwa wa kweli na mjumbe

wa Allâh‎ (سبحانه وتعالى), na twamuombea Swala1 ya Allâh‎ zimfikie yeye.

Kwa kawaida hupatikana miongoni mwa wanawake aina tatu za Damu:

1 Swala ya Allâh juu ya Mtume wake, Muhammad, ni kumtaja kwake jina la Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa kumswalia

Mtume. Akasema Allâh ( وتعالى سبحانه ):

“Hapana shaka Allâh yuwamrehemu Mtume wake na Malaika wake wanamuombea maghfira Mtume. Enyi mlioamini! Mswalieni (mtakieni rehma Mtume) na mtakieni Amani kwa wingi.”

[al-Ahzâb 33:56]

UTANGULIZI

Page 15: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

2

HEIDH: Damu ya ada ya kila mwezi.

ISTIHÂDHAH: Damu itokayo kwenye fuko la uzazi baina ya ada za wanawake za kila mwezi.

NIFÂS: Damu ya uzazi.

Maelezo ya mas‟ala haya kulingana na dalili zenye kutokamana na Qur‟ân na Sunnah ni muhimu sana na pia ni zenye manufâ, kwa sababu:

Qur‟ân‎‎ na Sunnah ndizo asili za kipekî zenye kuwakilisha Hukmu na Amri zote za Allâh‎.

Katika kujifungamanisha na kurudia kwenye asili hizi mtu hupata hali ya amani, utulivu na kumakinika na vilevile kupata nafuu kwa kukimu mahitaji ya kutekeleza ibada (katika hali hii; kujitakasa kutokamana na Heidh) yajulikane.

Mafungamano yote mengine ni yenye kukosa thamani ya ubora wa dalili za Qur‟ân‎‎ na Sunnah.

Lenye kufuata katika mafungamano, ni misemo iliyothubutu ya wanavyuoni miongoni mwa Maswahaba (Maswahaba wa Mtume

Muhammad (صلى الله عليه وسلم)) maadamu‎ si yenye kupingana na chochote

katika Qur‟ân‎‎ au Sunnah. Iwapo kutapatikana msemo wowote ulio kinyume na Swahabi yoyote, basi tutawajibika kushikamana na dalili zilizothibitishwa kutoka katika Qur‟ân‎‎ na Sunnah. Haya ni kuafikiana

na maneno ya Allâh‎ (سبحانه وتعالى):

“Na mkikhitilafiana katika jambo lolote, basi lirudisheni kwa

Allâh‎ (Qur‟ân‎‎) na Mtume (Sunnah) ikiwa kweli ni wenye

Page 16: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

3

kumuamini Allâh‎ na Siku ya mwisho. Kufanya hivyo (kufuata Qur‟ân‎‎ na Sunnah) ni matokeo bora”.1

Kwa kuyazingatia yote hayo, barua kwa mukhtasar inayofahamisha hukmu za ki-Islamu kuhusiana na Heidh imewasilishwa kama ifuatavyo.

1 An-Nisaa‟ 4:59

Page 17: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

4

SURA MOJA

Katika lugha ya kiarabu, neno Heidh ni kitu kumwagika au kuturuzika. Kulingana na maana‎ yake ya ki-Sheriya, ni damu inayomtoka mwanamke yenyewe bila ya sababu asilani ya nje, na (hutoka) katika nyakati maalumu. Kwahivyo, ni mturuziko wa damu usiohusiana na maradhi, jaraha, utoaji wa mimba wala mazazi. Tabia ya kutoka au kuturuzika kwake inadhihirika kutafautiana kwake miongoni mwa wanawake kulingana na hali zao kwa ujumla, mazingira na mahali alipo.

Hikma iliyoko inahusiana na ukweli yakwamba wakati wa kiinitete (embryo) kinapokuwa kwenye fuko (la mama) la uzazi huwa hakiwezi kupata virutubishi hata kutoka kwa mtu aliye na rehma za

aina gani. Allâh‎ (سبحانه وتعالى) ambaye ndiye Muumbaji Mkamilifu, aliumba

mfumo wa damu yenye madini fulani inayopeleka virutubishi kwenye kiinitete kupitia katika kitovu. Hiyo ndiyo sababu mwanamke anapohimili mimba, damu yake ya mwezi husimama akawa hapati tena hiyo damu ya mwezi (Heidh). Vilevile wanawake wenye kunyonyesha ni wachache wenye kupata Heidh, haswa kwenye siku za mwanzo za kunyonyesha kwao.

MAANA YA HEIDH

Page 18: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

5

SURA MBILI

KWANZA: Jee, kuna muda maalum wa Umri?

Heidh hutokea baina ya umri wa miaka kumi na mbili na khamsini ingawaje mwanamke hwenda akaipata kabla au baada‎‎‎‎‎‎ ya hapo kulingana na hali yake na mazingira. Ma-„ul‎‎amâ (wanavyuoni) wa ki-Islamu, Rehma za Allâh‎ ziwe juu yao wote, wamekhitilafiana iwapo kuna muda wa umri maalum ambapo heidh hudhihirika na kuhusu umbile la damu apatayo mwanamke kabla ya, au baada‎‎‎‎‎‎ ya muda huu: Jee, damu yake hii ni ya heidh au ni damu isohusiana?

baada‎‎‎‎‎‎ ya kuzitaja rai tafauti kuhusu mas‟ala haya, hatimae Imâm ad-Dârimî1 akamalizia: “kulingana na maoni yangu, wote wamekosea, kwa sababu maregeo ya yote hayo ni kuwepo au kukosekana kwa damu inayotoka bila ya kujali umri, na kwahivyo aina hii ya damu na ichukuliwe kuwa ni damu ya heidh, na Allâh‎ Ndiye Mjuzi zaidi.”2 Aloyasema ad-Dârimî ni msimamo wa sawa na pia hilo

1 Ad-Dârimî: Mmojawapo wa wanavyuoni mashuhuri sana wa Ki-Islamu. Alizaliwa mnamo 181 Hj. Alikuwa ni kigezo aliyetajwa kwa ujasiri wake na Imâm‎‎ Muslim, Abû Dâwûd, , at-Tirmidhî na wengineo. Alisafiri katika sehemu nyingi za ulimwengu na akaandika mipangilio mbalimbali ya ki-Islamu. Alikufa mnamo mwaka wa 255 Hj. 2 Majmoo‟ Sherhul-Muhadh-dhab [vol.1 Uk. 386]

ZAMA ZA HEIDH NA MUDA WAKE

Page 19: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

6

ni chaguo la Sheikh ul‎‎-Islâ‎‎‎‎‎m Ibn Taymiyyah.1 Ilivyo ni kwamba, pindi mwanamke aonapo damu yake ya ada basi huwa ndio ashaingia kwenye Heidh hata kama umri wake hwenda ukawa ni chini ya miaka

tisa au zaidi ya miaka khamsini. Hii ni kwa sababu Allâh‎ (سبحانه وتعالى) na

Mtume wake (صلى الله عليه وسلم) wamefungamanisha hukmu ya heidh

itumike itakapojitokeza heidh yenyewe na kulingana na hukmu hizi hapakutajwa mas‟ala ya umri makhsusi wa kuanza au kumalizika kwa heidh. Kwa hiyo, kubainisha muda wa umri fulani kunahitaji dalili kutoka katika Qur‟ân‎‎ na Sunnah na hilo halipatikani.

PILI: Muda wa Heidh

Kuna ikhtilafu kubwa miongoni mwa ma-„ul‎‎amâ‟ kuhusu muda wa wakati ambamo mwanamke huzingatiwa kuwa katika heidh kwa kauli sita au saba. Amesema Ibn ul-Mundhir, “baadhi‎‎ ya wanavyuoni wanasema hakuna kuweka idadi ya masiku ya heidh ema siku chache au nyingi.” Maoni yangu mimi ni kwamba: “Rai hii ni kama ile ya ad-Dârimî (iliyotangulia) na ndilo chaguo la Sheikh ul‎‎-Islâ‎‎‎‎‎m Ibn Taymiyyah na ndiyo rai ya sawa kwa sababu, imethibitishwa na dalili kutoka katika Qur‟ân‎‎, Sunnah na mazingatio:

1 Ibn Taymiyyah: Mwanachuoni maarufu wa Ki-Islamu aliyezaliwa katika mwaka wa 661 Hj (mwafaka na mwaka wa 1263 CE). Alikuwa na umahiri mkubwa katika kuyafahamu vyema madhehebu mbalimbali ya ki-Islamu alipokuwa na umri mdogo. Alijitolea kikamilifu kuzitetea Sunnah za Mtume

Muhammad ( وسلم عليه الله صلى ) na akasimama kidete kupambana na uzushi

ulioletwa na wanafalsafa na pote la ta‟aluma ya ufasaha („Ilm al-kalâ‎‎‎‎m) waliowahi kumpangia njama za kuwekwa korokoroni mara nyingi. Aliwatetea Waislamu kwa kujitolea nafsi yake katika mapambano yao dhidi ya uvamizi wa ma-Tartar nchini Syria. Alikufa mnamo mwaka wa 728 Hj (mwafaka na mwaka wa 1328 CE) akiwa gerezani mjini Damascus kutokana na fatwaa yake (Hukmu ya kisheriya ya Ki-Islamu) dhidi ya wazushi. Vitabu vyake vinaendelea kuwa ni kumbukumbu kubwa za marejeo kwa Waislamu wenye kutafuta ilimu za Uislamu. Twamuombea Rehma za Allâh ziwe juu yake.

Page 20: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

7

Dalili No. 1:

Maneno yake Allâh‎ (سبحانه وتعالى):

“Na wanakuuliza juu ya wanawake wenye (heidh), sema, huo ni uchafu. Basi jiepusheni na wake zenu wanapokuwa katika

heidh na wala msiwakurubie (musiwaingilie) mpaka watwahirike (imalizike heidh).” [al-Baqarah 2:222]

Ni wazi yakwamba Allâh‎ aliifanya sababu ya kujiepusha

kuingiliana kisheria (kujamiiyana) na mwanamke kuwa ni ukosefu wa kutwahirika katika wakati wa heidh yake na wala sio mwisho wa muda wa wakati maalum: Si mchana mmoja, wala si usiku mmoja, wala si siku tatu na wala si siku kumi na tano. Hii ni dalili yakwamba sababu ya hukmu ya Allâh‎ ya hapo juu ni emma kupatikana kwa heidh (na madhara yake na uchafu) au kukosekana (hali ya kutwahirika). Kwahivyo, wakati itakapopatikana heidh zitathubutu hukmu zake kwake yeye na wakati atakapotwahirika zitaondoka hukmu juu yake.

Dalili No. 2:

Yaliyothibitishwa na Mtume Muhammad (صلى الله عليه وسلم) katika kitabu

swahîh cha hadîth kiitwacho Swahîh Muslim, alipokuwa Mtume ( صلى الله yanayompasa kufanya (رضي الله عنهما)akimueleza mkewe „Âisha (عليه وسلم

aingiapo katika ada yake akiwa amehirimia1 kufanya „Umra1:

1 Maana ya neno kwa neno ya Ihraam ni “kuingia katika hali ya utakatifu”.

Kulingana na Sunnah za Mtume Muhammad ( وسلم عليه الله صلى ) inahusu kuvaa aina

Page 21: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

8

سى» ن لا تػف ثةليخ حتى تػةج ، دي أ

ة حفػو ال :كةىخ "اذػل

ست م النىحس غ ة كن ي ى )رالري (« ـي

“Fanya kila linalompasa mwenye kuhiji, isipokuwa tu usifanye Twawâf (kulizunguka) al-Ka‟bah mpaka utwahirike

(kutokamana na heidh yako)2. Akasema: “Katika siku ya an-Nahr (siku ya kuchinja wanyama – tarehe 10 ya Dhul-Hijjah),

nilitwahirika.”

Vilevile imepokewa katika hadîth nyengine (Swahîh al-Bukhâri)

yakwamba Mtume (صلى الله عليه وسلم) alimwambia (yaani „Âisha):

« ػي ست ـةدسج إل التى كن نزا اجذظسى ، ـإذا غ ة ث ى ااتي لى ث ، ـأ

»

“Subiri mpaka utwahirike, kisha uwende at-Tan‟îm (Sehemu fulani iliyo Makkah) uhirimie (na baada‎‎‎‎‎‎ ya kutekeleza „Umra)

kisha utakutana na sisi mahali kadhaa wa kadhaa ...”3

Kwahivyo, Mtume (صلى الله عليه وسلم) alibainisha waziwazi yakwamba

sababu ya kumkataza „Âisha asitekeleze ahkaa‎m za Hajj ni hali ya kutwahirika kwake na wala si muda maalum wa heidh yake. Hii inaashiria yakwamba hukmu ya ki-Islamu katika mas‟ala haya inafungamana na kupatikana na kukosekana kwa heidh.

fulani ya nguo na kujiepusha na vitendo fulani. Hayo yanatekelezwa katika

sehemu maalum ziliowekwa na Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) zijulikanazo kama

„Mawâqît‟. 1 „Umra: Safari ya ki-Sheriya ya kuelekea Makkah, ambayo anaposafiri mtu hutekeleza Twawaaf kulizunguka al-Ka‟ba na mwendo wa Sa‟ee mara saba baina ya Swafa na Marwa. 2 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 182-3, Hadîth No. 302. 3 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 3, Uk. 9, Hadîth No. 15.

Page 22: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

9

Dalili No. 3:

Makisio na maelezo kwa ufafanuzi yanayotolewa na baadhi‎‎ ya wanavyuoni kuhusu umri ambao heidh inapoanza na inapomalizika

hayapatikani katika kitabu cha Allâh‎ wala katika Sunnah za Mtume ( صلى .ingawa mas‟ala haya ni ya dharura inayohitaji kubainishwa (الله عليه وسلم

Ikiwa ilikuwa ni wajibu kuyafahamu makisio hayo na kuyatumia katika kumuabudu Allâh‎, basi Allâh‎ na Mtume wake wangeliyabainisha kwa kila mmoja. Hii ni kwa sababu ya umuhimu wa hukmu za ki-Islamu zinazo ongoza katika mas‟ala mengi ya kumuabudu Allâh‎ na ambayo hutegemea juu ya hali ya heidh, kwa mfano, Swala, Swaum, Ndoa,

Talaka, Urathi na mengineo. Kama ijulikanavyo, Allâh‎ (سبحانه وتعالى) na

Mtume wake (صلى الله عليه وسلم) wametueleza yafuatayo:

1 Swala: Idadi zake, nyakati zake, Rukû‟ zake, na Sujûd zake.

2 Zakaa‎t1: Aina ya utajiri na mali zake,; Nisâb2, viwango vyake, na wenye kustahiki.

3 Swaum: (kufunga), Wakati wake inapostahiki na nyakati zake makhsusi katika mchana.

4 Hajj.

5 Adabu za kula chakula, kunywa, kulala, mtu kujamiiyana na mkewe, kukaa‎‎, kuingia na kutoka nyumbani, jinsi ya kukidhi haja (kubwa na ndogo), hata idadi ya vijiwe vya kutumia katika

1 Zakaat: Aina fulani ya sadaka ambayo hukusanywa kulingana na hukmu na kanuni fulani kutoka kwa Waislamu matajiri na kugawiwa Waislamu masikini. Ni mojawapo ya nguzo za Uislamu. 2 Kiwango kinachohitajika cha chini anachomiliki Muislamu ifikapo mwisho wa mwaka (Kalenda ya Ki-Islamu). Kiwango anachostahili kulipa mtu cha Zakaat huzingatiwa kulingana na aina ya utajiri na kiasi kinachomilikiwa. Iwapo ni pesa taslimu, basi inakuwa ni asilimia ishirini na tano (25%) ya pato la mwaka mzima.

Page 23: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

10

istijmar1, na mengi zaidi kwa ufafanuzi kuhusiana na chembe-chembe za aina ya vitendo mpaka matendo makubwa, ambayo

kwayo Allâh‎ (سبحانه وتعالى) ameikamilisha Dini Yake ya Uislamu na

akakamilisha fadhla zake juu ya waumini kama Alivyosema ( سبحانه :(وتعالى

6

“Na tumekuteremshia wewe kitabu (Qur‟ân‎‎) chenye kuweka

wazi kila kitu.”2

“Haikuwa Qur‟ân‎‎ ni uzungumzi unaozuliwa lakini (Qur‟ân‎‎) ni yenye kusadikisha vitabu vilivyotangulia na ni upambanuzi

wa kila kitu.”3

1 Istijmar: mtu anapojisafisha tupu yake kwa mawe yenye kuhesabika kwa

witiri (yasiyopungua matatu). Amesema Mtume (صلى الله عليه وسلم):

س ـييدس» اضذج ذةري ال رواه – « و“Na mwenye kujisafisha tupu yake kwa mawe na afanye hivyo kwa

hesabu ya witiri”. [Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English), V. 1, Uk. 114, Hadîth No. 163]

2 An-Nahl 16:89 3 Yusuf 12:111

Page 24: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

11

Kwa hiyo, kwa vile hayakuthubutu haya makisio katika kitabu cha

Allâh‎ na katika Sunnah za Mtume (صلى الله عليه وسلم) inakuwa ni dhahiri

yakwamba hayazingatiwi. Kwa hakika, mazingatio (kama yalivyothibitishwa hapo awali) huthibitishwa kwa kuwepo au kukosekana heidh. Kuna nukta ya faida muhimu sana inayopatikana kutokana na ithbati iliyopo kutoka katika mas‟ala haya, nayo ni kwamba hukmu za Ki-Islamu haziwezi kuthibitishwa isipokuwa kwa dalili kutoka katika kitabu cha Allâh‎ (Qur‟ân‎‎), na Sunnah za Mtume

au Ijmâ‟1 ijulikanayo, au Qiyâs2 iliyo swahîh. Amesema (صلى الله عليه وسلم)

1 Ijmaa‟: Maafikiano ya rai miongoni mwa Wanavyuoni wa ki-Islamu walio wema na waadilifu kwenye zama zozote. Iwapo jambo fulani halikutajwa moja kwa moja katika Qur‟ân wala Sunnah kuhusu mas‟ala , basi Ijmaa‟ itazingatiwa kuwa ni hukmu yenye kukubalika (Angalia katika Fatâwaa Ibn Taymiyyah V. 19, Uk. 5-8 na 192-202). Ijmaa‟ katika Uislamu inakuwa ni yenye kupasa kutiiwa kutokana na ukweli yakwamba imepokewa kutoka kwa

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) katika riwaya nyingi zilizo Swahîh‎‎‎ yakwamba

Wanavyuoni miongoni mwa Ummah wake hawatoweza kuafikiana juu ya

upotofu au jambo lenye makosa. Allâh ( وتعالى سبحانه ) anawalinda na haya. Kwa

sababu wao ndiwo waliokuwa kizazi kilichokurubiana na Mtume ( عليه الله صلى maswahaba ndiwo waliokuwa wenye kustahiki kufikilia kwenye ,(وسلم

muafaka (Ijmaa‟). 2 Qiyâs‎‎‎: Ulinganifu wa makisio katika hukmu kuhusiana na mas‟ala fulani baada ya kukosekana marejeo yake yaliyo wazi katika Qur‟ân‎‎‎, Sunnah au Ijmaa‟. Ulinganifu umeegemezwa juu ya uzuri wa kufanana wa mas‟ala fulani na mas‟ala mengine ambapo kuna dalili ijulikanayo kutoka katika Qur‟ân‎‎‎, Sunnah na Ijmaa‟. Mfano wa Qiyâs ni uharamu wa Bangi kutokana na

maneno ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

)رواه مطي(« ك مطهس خس وك مطهس حسام » “Kila kinacholevya ni Khamr na kila aina ya Khamr ni Haraam.”

[(Swahîh Muslim, Tafsiri ya Kizungu) V. 3, Uk. 1108, Hadîth No. 4963]. Kwa vile Bangi ina athari za kulevya inaweza kuorodheshwa kama Khamr, na kwa hiyo Haraam. (Angalia katika kitabu cha Abû Ameenah Bilâ‎‎‎‎l Philips kiitwacho

Page 25: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

12

Sheikh ul‎‎-Islâ‎‎‎‎‎m, Ibn Taymiyyah katika mojawapo ya hukmu zake za kimsingi: “...na jina ni kama hilo: Heidh, Allâh‎ amelifungamanisha kutokana nalo hukmu nyingi katika Kitâb na Sunnah na wala hakutupa “makisio” yake yanayofanya muda uwe ni mfupi au mrefu. Vilevile

Mtume (صلى الله عليه وسلم) hakubainisha wakati ambao mwanamke

anapodhaniwa kuwa ni twahara baina ya miongoni mwa heidh zake mbili, hata kama Ummah umeathirika mno na suala hili na unahitaji kulijua. Ki-Lugha, hili neno Heidh halikuwa na tabia ya kutafautisha baina ya “makisio” ya heidh moja au nyengine. Kwahivyo, yoyote mwenye kukisia wakati maalum wa heidh, basi yeye; mume/mke; amechukuwa msimamo usolingana na Kitâb na Sunnah.”

Dalili No. 4:

Mazingatio yenye kumaanisha‎ ulinganifu ulio thabiti na usio na

hitilafu yoyote (kulinganisha kwa makadirio). Kwa vile Allâh‎ (سبحانه وتعالى) ameipa heidh sifa ya madhara, kwa hivyo, pindi inapojitokeza, madhara yatadhihiri na hapatokuwa na tafauti yoyote iwapo itajitokeza katika siku ya pili au siku ya kwanza, siku ya 4 au siku ya 3, siku ya 16 au siku ya 15, siku ya 18 au siku ya 17 kwa sababu heidh ni heidh na madhara ni madhara. Sababu zitapatikana ndani ya masiku mawili yenye kufuatana sawa kwa kila mmoja. Kwahivyo, itaruhusiwa vipi kuhitilafiana katika hukmu baina ya masiku mawili ingawaje sababu zake ni moja? Jee, hayapingani hayo na ulinganifu wa sawa?

Kwani huo si ulinganifu wa sawa kwamba masiku yanatakiwa kuwa sawa katika hukmu kwa kuwa sawa kwa yenye kusababisha?

Dalili No. 5:

“The Evolution Of Fiqh” (1988), Uk. 60, The Tawheed Publications, Riyâdh, Saudi Arabia).

Page 26: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

13

Ikhitafu na kutatizika katika maneno ya wenye kutaja nyakati maalum za heidh zinaashiriya‎ ukosefu wa dalili kwa maneno kama hayo. Rai hizi zilifikiwa kwa njia ya Ijtihâd1 na hutegemea mara nyengine kupata au kukosea na hakuna katika rai hizi lenye kupewa umuhimu wa kwanza kuliko jengine. Na itokeapo ikhtilafu mambo ni lazima yarudishwe kwenye Qur‟ân‎‎ na Sunnah.

Kwahiyo, iwapo itadhihiri waziwazi yakwamba wazo la kukosekana mipaka ya nyakati fupi au ndefu ya heidh ni jambo lenye nguvu na lenye kupewa uzito zaidi kuliko mengine, basi itakubalika yakwamba damu yoyote ya asili inayomtoka mwanamke ionekanapo na mwanamke na ambayo haikusababishwa na kidonda au kitu chochote chengine itahesabiwa moja kwa moja kama damu ya heidh bila ya kuzingatia makisio yoyote ya nyakati au umri pale ilipotoka, isipokuwa kwamba damu itakayotoka kwa kuendelea bila ya kusita au itakayozuiwa kwa kiasi cha muda mchache tu kwa siku moja au mbili kwa kila mwezi. Damu kama hiyo itatambulika na kubainishwa kama damu ya Istihâdhah na yataelezwa baada‎‎‎‎‎‎e mbeleni pamoja na hukmu zenye kuhusika katika mlango wa 5.

Amesema Shaykh ul Islâ‎‎‎‎‎m Ibn Taymiyyah: “Kwa msingi kila kitu chenye kutoka katika uzao ni heidh mpaka dalili iweze kuthibitishwa kuashiria yakwamba ni Istihâdhah.” Pia alisema: “Damu yoyote itokayo ni damu ya heidh isipokuwa iwapo itajulikana kuwa ni aina ya damu itokayo kwenye kidonda au ni damu itokayo kwenye mshipa wa damu.” Licha yakuwa msemo huu ndiwo wenye nguvu zaidi lakini vilevile ndiwo ulio na mkuruba zaidi na ufahamu wenye mazingatio na ni wa rahisi zaidi kutekeleza. Inastahiki kukubalika kuliko rai zote nyengine kwa sababu inakubaliana na kiini na misingi ya ki-Islamu ambayo ni faraja na usahali.

Allâh‎ (سبحانه وتعالى) amesema:

1 Ijtihâd: ni namna ya kuufikia uamuzi uliojengwa juu ya hoja na Wanavyuoni wenye ujuzi mkubwa ili ukubaliane na hali mpya ya mambo yalivyo.

Page 27: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

14

“Na wala hakuwawekea katika Uislamu uzito wowote.”1

Mtume (صلى الله عليه وسلم) amesema:

، ـطرى » حر إلاى ؽيج أ ي يشةدى الدى يس ، وى ي ا إنى الدى دوا وكةرب

« وابشروا

“Kwa hakika Dini hii ni rahisi sana na yoyote atakaejitweka katika dini yake hatoweza kuendelea namna hiyo. Kwahivyo musiwe washupavu, lakini jaribuni kuwa karibu na usawa na pokîni bishara njema yakwamba mutalipwa malipo mema.”2

Na ilikuwa ni katika maumbile yake (صلى الله عليه وسلم) pindi alipokuwa

akikhiyari baina ya mambo mawili, yeye daima alikuwa akichagua lenye sahali au jepesi, isipokuwa iwapo litakuwa ni la makosa.

HEIDH YA MWANAMKE MWENYE MIMBA:

Kwa mara nyingi, heidh husimama katika wakati wa mimba. Imâm

Ahmad3 (رحمه الله) amesema:

1 Al-Hajj 22:78 2 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 34, Hadîth No. 38. 3 Imâm‎‎ Ahmad Ibn Hanbal (164-241 Hj. / 778-855 CE) alikuwa ni mmojawapo wa wenye kuzihifadhi na wapokezi wakubwa wa hadîth ‎‎ katika zama zake. Shughuli yake kubwa ilikuwa ni ukusanyaji, upokezi na ufafanuzi wa hadîth ‎‎. Alipitia msururu wa misukosuko mengi kwa ajili ya msimamo wake dhidi ya matumizi ya fikra za ki-filosofia katika kuzifahamu Qur‟ân‎‎‎ na Hadîth.

Page 28: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

15

ة تػسف اىنى » و ةء ط إجى م ةع غ ثة ق ال «الدى “Wanawake wanaweza kutambua kuwa wamebeba mimba

heidh zao zinaposimama.”

Pindi mwanamke mwenye mimba anapoiona damu yake muda mchache kabla ya kuzaa‎ (siku mbili au tatu) ikiandamana na uchungu wa mazazi, basi itazingatiwa kuwa ni Nifâs. Jee, (hiyo damu) ikitangulia kuonekana kabla ya kuzaa‎ kwake au muda mchache tu kabla ya kuzaa‎ lakini isiandamane na uchungu wa mazazi itazingatiwaje damu hiyo (ni heidh au la?) Hapa kuna ikhtilafu baina ya wanavyuoni kuhusiana na suala hili. Rai ya sawa, hatahivyo, ni kwamba aina hii ya damu ni damu ya heidh. Sababu ya yote hayo inapatikana katika hukmu ya ujumla kwamba “Damu inayomsibu (inayokabiliwa na) mwanamke ni damu ya heidh maadamu‎ hakuna sababu yoyote yenye kubadilisha mazingatio yake kuwa ni heidh. Kwa maana‎ hii, hakuna chochote katika Kitâb cha Allâh‎ (Qur‟ân‎‎) na katika Sunnah kinachoashiria yakwamba haiwezekani kwa mwanamke mwenye mimba kuwa na heidh”. Hii ndiyo madh-hab ya Imâm Mâlik1,

Madhehebu yake yanatoa juhudi kubwa kwa dalili zitokazo katika Qur‟ân‎‎‎ na Sunnah na rai zilizoafikiwa na Maswahaba. 1 Imâm‎‎ Mâlik Ibn Anas Ibn „Âmir‎‎‎ (94-179 Hj. / 716-801 CE) alizaliwa Madinah. Babu yake, „Âmir‎‎‎ alikuwa ni miongoni mwa Maswahaba wakubwa wa Mtume

( وسلم عليه الله صلى ). Alifundisha somo la hadîth ‎‎ mjini Madinah kwa zaidi ya miaka

arubaini (40). Alitunga kitabu kilichokuwa na hadîth ‎‎ za Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

na athari za Maswahaba na wafuasi wao alichokiita al-Muwatta‟. Kitabu hiki kilifasiriwa kwa lugha ya ki-Ingereza. Hatahivyo, Utangulizi ulioandikwa na mpotofu (Sufi) mmoja kutoka England alichafua utakaso wa kitabu hicho. Usufi ni pote la upotofu lisilokuwa na mafungamano yoyote na Uislamu. Wafuasi wa pote hilo wanadai yakwamba “wao wanapokea „wahyi‟ moja kwa moja kutoka kwa Allâh”, na kwamba wao wana uwezo wa kuuendesha Ulimwengu! Na kwamba maana ya Upweke wa Allâh ni kwamba Yeye yumo ndani ya kila kitu. Hapana shaka yoyote yakwamba Allâh yuko juu zaidi Juu ya „Arsh Yake (Kiti Chake), Anaona, Anajua, na Amekimiliki kila kitu, na wala hashirikiani katika “uumbaji Wake” kama wanavyodai Makristo na mapote

Page 29: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

16

Imâm ash-Shâfi‟î1, na chaguo la Sheikh ul Islâ‎‎‎‎‎m Ibn Taymiyyah, kama alivyosema katika Al-Ikhtiyarât, Uk. 30 na wala sio Nifâs. Katika hali hii, hwenda likaulizwa suali iwapo itaweza kuzingatiwa kuwa ni heidh na kwahiyo ipewe hukmu zote. Na akasimulia al-Imâm al-Baihaqî, riwaya kutoka kwa Imâm Ahmad msimamo kama huwo. Kwa jinsi hali ilivyo, hukmu zote zenye muongozo wa heidh ya kawaida zinatumika kwa heidh ya mwanamke mwenye mimba isipokuwa katika hali aina mbili:

a. TALAKA: Inajulikana yakwamba kumpa talaka mwanamke asiyekuwa na mimba ni lazima iwe katika Ada2 yake (yaani: katika

mengine! Sifa zote za Allâh ni za Kipekee na zilizokamilika na hazilingani na zile za viumbe vyake:

“Hakuna kinachofanana nae, naye ni mwenye kusikiya, na mwenye kuona.”

[ash-Shûra 42:11]

1 Imâm ash-‎Shâfi‟î‎‎ (150-204 Hj / 767-820 CE) Muhammad Ibn Idrees ash-‎Shâfi‟î‎‎ alizaliwa Ghazzah na akasafiri kuelekea Madinah katika ujana wake ili akasome kwa Imâm‎‎ Mâlik‎‎‎. Vilevile alisoma akiwa Iraq chini ya Imâm‎‎ Muhammad Ibn al-Hassan, mwanafunzi mashuhuri wa Imâm‎‎ Abû Hanîfah (Tazama maandishi ya chini Nambari 28) Imâm‎‎ ash-Shâfi‟î anashikilia sifa ya kuwa Imâm‎‎ wa kwanza kuweka mipangilio nguzo za misingi ya Fiqh. 2 Ada (muda wa ada ya kila mwezi): Ufafanuzi wa Ada upo kwenye hadîth ‎‎ ifuatayo katika Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 7, Uk. 129, hadîth No. 178:

س خ ث خجر اللى -رضى الله غة -خ ر رضل اللى وه حةاض عل خ د

غيىق امسأ ى

-صل الله غيي وضي ةب رضل اللى ػى

ال س ب ل خ ذلم -صل الله غيي وضي -ـطأ خ

ى » -صل الله غيي وضي - ذلةل رضل اللى ى تيض ، ث س ث ة حتى تػ طه ى ل ة ، ث مسه ـيياجػ مس اللى

ة اىىت أ صى ، ـذيم اىػرى ن ح

مطم بػر وإن شةء غيىق رجو أ

ى إن شةء أ س ، ث ن تػيى تػ

ة أ ق ل

)رواه الذةري(« اىنىطةء

Page 30: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

17

hali yake ya twahara ambayo mumewe hajamuingilia au iwapo imejulikana yakwamba tayari ashabeba mimba) na wala sio akiwa katika heidh yake kwa sababu kulingana na sheriya ya ki-Islamu ni Haramu.

Allâh‎ (سبحانه وتعالى) amesema:

“Munapowaacha‎ wanawake, wawacheni wakiwa katika Ada

zao.”1

Amma talaka ya mwenye mimba, haliyakuwa yuko katika heidh haikhalifiani kwa sababu mwenye kumuwacha mwanamke mwenye mimba atakuwa amemuacha kwa ada yake, sawa endapo atakapokuwa katika heidh au ametwahirika kwa sababu Idda yake inazingatiwa kutokana na mimba yake. Kwahivyo, talaka yake itategemea kukamilika muda wake wa mimba na wala haina uhusiano wowote na heidh yake. Kwahivyo, kwa ajili hiyo haikuharamishwa talaka kwake yeye hata kama ni baada‎‎‎‎‎‎ ya kumuingilia kinyume cha talaka ya mwanamke mwengine (asokuwa na mimba).

Imepokewa kutoka kwa „Abdullâ‎h Ibn „Umar (رضي الله عنهما) yakwamba

alimuacha mkewe haliyakuwa (huyo mkewe) yuko kwenye heidh katika

zama za Mtume ( وسلم عليه الله صلى ). „Umar ( عنه الله رضي ) akamuuliza Mtume

( وسلم عليه الله صلى ). Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akasema: “Muamrishe (mwanayo)

amrudie na akae nae mpaka atwahirike na kisha asubiri mpaka apate heidh yake nyengine kisha asafishike tena, hapo tena, ikiwa atapenda

kukaa nae ataweza kufanya hivyo, na ikiwa ataamua kumpa talaka ataweza kumpa talaka kabla ya kuingiliana nae; na huo ndiwo muda

uliowekwa ambao Allâh amemwekea mwanamke aliyekusudiwa kuachwa.”

1 At-Twalâ‎q 65:1

Page 31: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

18

b. EDA: Eda ya mwanamke mwenye mimba humalizika na mazazi

yake, awe na heidh au Lâ‎‎‎, kutokana na maneno yake Allâh‎ (سبحانه وتعالى):

“Kwa wale wenye mimba (Emma wawe wameachwa au

wamefiliwa na waume zao), muda wao ni mpaka ‎watakapozaa.”1

1 Surah at-Twalâ‎q 65:4

Page 32: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

19

SURA TATU

Kuna aina nyingi za mabadiliko zenye kuathiri hali za heidh: Ya Kwanza: Kuzidi au kupungua, kwa mfano, muda ambao kwa kawaida huchukuwa siku sita huongezeka kwa siku moja zaidi au muda ambao kwa kawaida huchukuwa siku saba hupungua kwa siku moja na kumalizikia katika siku ya sita. Ya Pili: Kutangulia au Kuchelewa, Kwa mfano, mwanamke mwenye kuipata heidh yake “ya kawaida” kila ifikapo mwisho wa mwezi akajiona heidh imemuingilia mwanzoni mwa mwezi au kinyume chake. Wanavyuoni wamekhitilafiana kuhusu hukmu ya kisheriya inayohusiana na hali hizi mbili. Msimamo wa sawa ni kwamba kila mwanamke aonapo damu basi hiyo huwa ni heidh na kila anapotwahirika basi huwa yuko katika hali ya usafi, bila ya kujali iwapo kumetokea nyongeza, upungufu, kutangulia au kuchelewa katika heidh yake. Hii ni kwa sababu kuwajibika kwa hukmu za heidh, kama tulivyotangulia kuzitaja, hutegemea juu ya uhakika wa kupatikana damu ya heidh. Ya Tatu: Kutokwa na chepechepe yenye rangi ya manjano (kama usaha wa manjano) au Kurdah: mithili yake ni baina ya mturuziko wenye rangi ya manjano na nyeusi. Itokeapo hali hiyo wakati wa muda wa heidh au punde tu imalizikapo na kabla ya kuwa katika hali

MABADILIKO KATIKA HALI ZA HEIDH

Page 33: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

20

ya twahara (kutwahirika), basi itazingatiwa kuwa ni heidh na kuwajibika chini ya hukmu za heidh. Ikiwa mituruziko hiyo itatokea baada‎‎‎‎‎‎ ya hali ya twahara, basi hiyo si heidh kutokana na hadîth

iliyopokewa na Abu Dâwûd‎‎ kutoka kwa Umm „Atiyyah (رضي الله عنها) aliposema:

س شيبة» فسة بػر اىػ ىة لا جػر اىهررة والص « ن

“Hatukuzingatia chepechepe ya manjano baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika

kuwa na umuhimu wowote )kuhusiana na heidh(.”1

Nae Imâm al-Bukhâri vilevile akapokea hadîth kama hiyo bila ya maneno “baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika”.

فسة شيبة» ىة لا جػر اىهررة والص « ن

“Hatukuzingatia chepechepe ya manjano kuwa na umuhimu wowote kuhusiana na heidh.”2

Hata hivyo, Imâm al-Bukhâri akaiorodhesha hadîth hii chini ya mlango:

س » فسة بػر اىػ ة دسى اىهررة والصسأ « ثةب ف ال

Mlango: Kumuhusu mwanamke atakaeona majimaji yenye rangi ya manjano baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika.”

Aliiegemeza hadîth hii juu ya hadîth nyengine iliyopokewa na „Âisha kwenye mlango huohuo kwa jina la “Mwanzo na mwisho wa heidh”:

1 Imepokewa na Abû Dâwûd kwa silsila nzuri ya wapokezi. 2 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 194, hadîth ‎‎ No. 323.

Page 34: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

21

رجث فيها امكرسف » وكي نساء يتعث إل عئشث ةالد ، فيث اليضاء، تريد فرة فتقول: لا تعجني حت تريي امقص الص

هر وي اليض « ةذلك امط “Na walikuwa wanawake wakipeleka pamba zikiwa na alama za

mituruziko ya manjano kwa „Âisha(رضي الله عنهما) (kwa kutaka kujua

hukmu zao iwapo wameshatwahirika kutokamana na heidh au Lâ‎‎‎), na „Âisha alikuwa akiwâmbia, “musifanye haraka mpaka

muone Al-Qassatal‟ Baydhâ‟ (mturuziko mweupe kutoka katika kizazi; Pamba hizo zitakuwa nyeupe) kumaanisha‎ kumalizika

kikamilifu kwa heidh.”1 Ya Nne: Kukatika kwa heidh kiasi cha kwamba damu hutoka siku moja na kusimama siku ifuatayo. Kuna hali mbili zinazohusiana na mas‟ala haya:

a. Kukatika huku kwa damu hutokea mara kwa mara. Katika hali hii damu hii huzingatiwa kuwa ni damu ya Istihâdhah na hukmu zote za Istihâdhah zinapasa kuwajibika hapa.

b. Kukatika kwa damu hutokea mara nyengine na hupatikana muda wa kutwahirika. Wanavyuoni wamekhitilafiana hapa kuhusu muda huu wa kutwahirika: Jee, huu kweli ni muda wa twahara, hali ambayo hukmu za heidh haziwajibiki, au ni katika sehemu ya heidh?

Kulingana na madh-hab za Imâm ash-Shâfi‟î, Ibn Taymiyyah, na Imâm Abu Hanîfah, muda huu wa mjumuiko ni katika sehemu ya heidh, kwa sababu Qassah Al-Baydhâ‟ haionekani na iwapo itazingatiwa kuwa ni “Twahara” basi kutakuwa na uzito na taklifu juu ya wanawake. Kwa hakika, hayo ni kinyume cha misingi asili ya ki-Islamu.

1 Ibid, V. 1, Uk. 190, Mlango: Mwanzo na mwisho wa muda wa Heidh”.

Page 35: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

22

Kwa upande mwengine, rai iliyo mashuhuri ya madh-hab ya ki-Hanbali ni kwamba damu itokayo ni heidh na kutakasika ndiyo “twahara” isipokuwa ikiwa nyakati za heidh na twahara kwa pamoja zitapita “muda mrefu zaidi wa heidh” ambao kulingana na madh-hab hii ni siku kumi na tano. Damu hutoka kupita “kiwango cha juu” huzingatiwa kuwa ni Istihâdhah.” Muandishi wa Al-Mughnî (kitabu kikubwa cha maregeo kilichokusanya Fiqh ya madh-hab ya ki-Hanbali) amesema:

ة يرل » ن دسى سا، إلاى أ م غ ي كوى

م أ زا لا يسن الػةع الدى ذػل

ح اليظةء و دسى اىلصىة، أ ف آدس عدد ن يسن الػةغ

سو أ ، « غيي

)المؾني(

“Iwapo damu itasimama kwa muda usiozidi siku moja, hali hiyo haitozingatiwa kuwa ni “Twahara” isipokuwa kama ataona

ushahidi wa wazi, kwa mfano, damu ikisimama mwishoni mwa ada yake au akaiona Qassah Al-Baydhâ‟”1

Muandishi huyu akasema: “Maneno hayo ya katika Mughnî ni msimamo wa kati na kati baina ya rai mbili zilizotangulia, na Allâh‎ Ndiye Mjuzi zaidi wa hayo.”

Ya Tano: Ukavu ndani ya damu: Mwanamke akiona anatokwa na chepechepe iliyorowama. Yakitokea hayo wakati akiwa kwenye heidh au kuhusiana nayo, kabla ya “Twahara”, basi hiyo itakuwa ni heidh. Na iwapo itatokea baada‎‎‎‎‎‎ ya twahara, basi hiyo haitokuwa heidh.

1 Al-Mughnî V. 1, Uk. 355

Page 36: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

23

SURA NNE

Kuna hukmu nyingi zenye kuhusiana na heidh. Inatosheleza kutaja zile zenye kuhitajika zaidi.

Ya Kwanza: Heidh na Swala .

Aina zote za Swala, za wâjib au Sunnah zimeharamishwa kwa wanawake wakiwa kwenye ada zao. Haimpasi mwanamke kuswali isipokuwa iwapo ataweza kupata rakâ‟a‎‎ kwa ukamilifu ndani ya wakati ulioamrishwa wa swala. Kwa ufafanuzi wa hayo utafakari mfano ufuatao:

Mfano wa Kwanza: Imemjia mwanamke ada yake mapema baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwa kwa jua. Hatahivyo, alikuwa yuko twahara kwa muda wa wakati unaomtosha yeye kupata rakâ‟a‎‎ moja kutoka kwenye swala ya Maghrib. Siku atakapo twahirika tu, atalazimika kuilipa swala yake ya Maghrib.

Mfano wa Pili: Ada ya mwanamke ilisimama kabla ya kucha kwa jua akiwa ndani ya wakati unamtosheleza yeye kuipata rakâ‟a‎‎ moja ya swala ya Al-Fajr (Asubuhi). Mara tu atakapojitakasa au kujitwahirisha, basi itampasa yeye ailipe hiyo swala ya Al-Fajr.

HUKMU KUHUSIANA NA HEIDH

Page 37: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

24

Katika mifano yote hiyo miwili, iwapo wakati haumtoshelezi yeye kupata rakâ‟a‎‎ moja, basi hatolazimika kuswali kwa sababu, amesema

Mtume (صلى الله عليه وسلم):

لاة « درك الصىلاة ذلر أ الصى درك ركػح

أ ذفق غيي «

"Atakaepata rakâ‟a‎‎ moja katika swala (katika wakati wake wa

kisheriya), basi huyo ameipata swala. " 1

Mas‟ala: Tuseme mwanamke aweza kupata rakâ‟a‎‎ moja ya swala ya „Asr katika wakati wake wa kisheriya. Jee, atawajibika yeye kuswali swala ya Adhuhuri (Dhuhr) pamoja na swala ya „Asr? Au iwapo mwanamke aweza kupata rakâ‟a‎‎ moja ya swala ya „Ishâ‟ katika wakati wake wa kisheriya, Jee atawajibika yeye kuswali swala ya Maghrib pamoja na „Ishâ‟?

Kuna ikhtilafu miongoni mwa wanavyuoni kuhusu mas‟ala haya. Hatahivyo, msimamo wa sawa ni kwamba atatekeleza lile aliloweza kupata katika swala makhsusi, yaani: Swala ya „Asr na „Ishâ‟ peke

yake. Hii imetokamana na hadîth ya bwana Mtume (صلى الله عليه وسلم):

درك امعص »ىس فقد أ ن تغرب الش

درك ركعث وي امعص قتل أ

» وي أ

عليهمتفق “Yoyote ambae atakaepata rakâ‟a‎‎ moja katika swala ya „Asr

kabla ya kuzama kwa jua, basi huyo ameipata „Asr (Imeafikiwa)”2.

Mtume (صلى الله عليه وسلم) hakusema “basi yeye mke/mume ameipata swala

ya Dhuhr na „Asr!”. Hakutaja yakuwa ni lazima kuswali Swalâ‎t‎ adh-

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 322, hadîth ‎‎ No. 554. 2 Swahîh‎‎‎ Muslim (ki-Ingereza: Imefasiriwa na „Abdul Hamîd Siddiq na kuchapishwa na Dar Al-Arabi; Beirût Lebanon) V. 1, Uk. 298, Hadîth # 1266.

Page 38: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

25

Dhuhr. Huu ndio msimamo wa madh-hab za Imâm Mâlik na Imâm Abu Hanîfah1.

Mas‟ala: Wakati wakiwa katika ada zao za mwezi, haikukatazwa kuleta Dhikr (Takbîr, Tasbîh, Tahmîd)2, kutamka BismilLâ‎‎‎h kabla ya kufanya jambo lolote (kula, kunywa, n.k) kusoma hadîth, kuzungumza kuhusiana na Uislamu, Kumuomba Allâh‎ (Du‟ah), na kusikiliza Qur‟ân‎‎

isomwapo. Imethubutu kutoka kwa „Âisha (رضي الله عنهما) yakwamba

Mtume (صلى الله عليه وسلم):

اىلسآن حجسي فكن حذىهئ » ى حلسأ ة حةاض ، ث

« وأ

Alikuwa akilala juu ya paja langu na huku akisoma Qur‟ân‎‎, haliyakuwa mimi nilikuwa katika ada yangu (heidh).3

Vilevile Umm-„Atiyyah alipokea yakwamba alimsikiya Mtume ( صلى الله عليه :akisema (وسلم

ادق وذوات » رور،يسج اىػ رور ال ادق ذوات ال و اىػيىض،أ وال

ة ي ودغ رن ال ين،وىيش ؤ ال يىض ال (متفق عليه) «صلى ويػتل ال

1 Abû ‎Hanîfah‎ an-Nu‟mân Ibn Thâbit Ibn Zouta (80-150 Hj / 700-770 CE), mmojawapo wa ma-Faqîh wa Ki-Islamu. Alizaliwa mjini Kûfah na akafarki Baghdâd. Alimuona Swahaba Anas Ibn Mâlik‎‎‎ alipokuja Kûfah. Alikuwa ni

Mwanachuoni mcha Mungu aliyezipa hadîth ‎‎ za Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) heshima

kubwa kiasi cha kwamba alikuwa hasimulii hadîth ‎‎ yoyote mpaka kwanza aihifadhi kwa moyo. Alizingatia na kuzithamini hadîth ‎‎ kuliko maneno yake mwenyewe. Hakuwalinganiya watu wamfuate yeye ki-Upofu. 2 Kusema Allâhu Akbar, SubhânAllâh, AlhamdulilLâ‎h. 3 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 179, hadîth ‎‎ No. 296

Page 39: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

26

“Watoke wanawali, na watawa au wanawali watawa na wenye heidh washuhudie kheri na Du‟â‟ za Waumini, lakini wenye

heidh hawaswali, bali wajitenga kando.”1

Mas‟ala: Usomaji wa Qur‟ân‎‎ kwa mwanamke, emma kwa kuitazama au kwa moyo, bila ya kupepesa ulimi wake inaruhusiwa. Wanavyuoni wengi wanaonelea yakwamba hilo halikukatazwa kwake kuisoma kwa kuitamka. Imâm al-Bukhâri, Ibn Jarîr at-Tabarî na Ibn al-Mundhîr, Imâm Mâlik na Imâm ash-Shâfi‟î (mojawapo ya maneno yake ya awali) rai yao ni kwamba inaruhusiwa kwake kuisoma Ayah (kifungu cha maneno ya Qur‟ân‎‎). Shaykh ul‎‎-Islâ‎‎‎‎‎m Ibn Taymiyyah, amesema: “Kimsingi, hakuna Sunnah yenye kumzuiya asisome Qur‟ân‎‎. „Hadîth‟ yakwamba:

ب شيئا وي امقرآن » «لا تقرأ الائض، ولا الج

“Haifai kwa mwanamke mwenye heidh au mwenye Janaba2 kusoma chochote katika Qur‟ân‎‎.”

Hii ni hadîth dha‟îf kama ilivyoafikiwa na wanavyuoni wa „ilmu wa

hadîth. Kwa hakika wanawake katika zama za Mtume (صلى الله عليه وسلم)

walikuwa wakipata ada zao za kila mwezi. Lau kama wangelikuwa wameharamishiwa usomaji wa Qur‟ân‎‎ (kama ilivyo katika swala),

basi Mtume (صلى الله عليه وسلم) angeliwadhihirishia Ummah wake na wake

zake wangeliyajua hayo na wangeliyasambaza mafunzo hayo kwa

1 Hadîth iliyoafikiwa. Katika Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 192, Hadîth No. 321. 2 Janaba: ni ile hali ambayo Mwanamume (au Mwanamke) anapotokwa na majimaji kwenye tupu yake yaliyosababishwa na tendo la mapenzi au katika wakati wa kuingiliana au kwenye ndoto, na kadhaalika. Katika hali hii, Muislamu haruhusiwi kuswali au kufanya aina nyengine za Ibaada, mpaka yeye (Mke/Mume) atekeleze Ghusl (josho la mwili mzima) au atekeleze Tayammum iwapo atakuwa hawezi kutumia maji kutokana na dharura yoyote.

Page 40: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

27

watu. Kwa vile hakukuwa na yoyote aliyesimulia makatazo yatokayo

kwa Mtume ( لمصلى الله عليه وس ) kuhusu mas‟ala haya, basi haiwezekani

kuharamishwa haswa ikiwa yajulikana yakwamba Mtume (صلى الله عليه وسلم)

hakuharamisha jambo hilo katika wakati ambao heidh ilikuwepo. Kulingana na hali ilivyo, usomaji kwa kutamka kwa ulimi si Haram (makatazo ya kisheriya)1. Muandishi amesema, “baada‎‎‎‎‎‎ ya kujua ikhtilafu miongoni mwa wanavyuoni kuhusu mas‟ala haya, basi ni jambo la sawa kwa wanawake wenye heidh wasiisome Qur‟ân‎‎ kwa ndimi zao isipokuwa ikiwa ni dharura k.m, (kwa mfano), akiwa ni mwalimu au ikiwa anajitayarisha kwa mitihani.”

Ya Pili: Heidh na Swaum .

Ni haram kwa mwanamke mwenye heidh kutekeleza aina zote za swaum: swaum za faradhi au za Sunnah. Hatahivyo, ni wâjib kuzilipa

swaum za faradhi kama ilivyofafanuliwa na „Âisha( عنهما الله رضي ):

لاة » م ولا ؤمس ثلظةء الصى ؤمس ثلظةء الصى ة ذلم ذ « كن يصيب

(عليه متفق)

“Tuliyapitia hayo (huo muda wa ada), na tukaamrishwa‎ kulipa (yaani; kufidia) hizo swaum, lakini hatukuamrishwa kuzilipa

swala” (Imeafikiwa).2

Iwapo itamtokea mwanamke ada yake ya mwezi haliyakuwa amefunga, basi funga yake haitofaa‎ hata kama damu yake imeanza kutoka muda mchache kabla ya kutwa kwa jua. Ikiwa siku hiyo ni mojawapo ya masiku ya kuwajibika kufunga, basi itamlazimu kuilipa siku hiyo pindi atakapotwahirika. Ikiwa katika siku yake ya kufunga alikuwa akijisikiya kama kwamba amekurubia kupata ada yake, lakini

1 Ibn Taymiyyah katika Fatâwa V. 26, Uk. 191 2 Maandiko haya yamenukuliwa kutoka katika Swahîh‎‎‎ Muslim, V. 1, Uk, 191.

Page 41: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

28

ukweli ni kwamba haikumjia damu yake mpaka baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwa kwa jua, basi funga yake itakuwa imekamilika na haikukataliwa kulingana na rai iliyo sawa kuhusiana na mas‟ala hayo. Hii ni kwa sababu hakuna hukmu kuhusu damu ikiwa ndani ya mwili wa mwanamke, na pia

alipoulizwa Mtume (صلى الله عليه وسلم): “Jee, itamlazimu mwanamke kuoga

baada‎‎‎‎‎‎ ya kuota ndoto (ya kimapenzi)?” akajibu, :

ت الىاء » «نعه. إذا رأ

“Naam‎, ikiwa ataona chepechepe.”1

Kwahiyo, Mtume (صلى الله عليه وسلم) akashurutisha hukmu juu ya kuonekana

kwa chepechepe na wala hakuishurutisha juu ya kumwagika kwake (kutoka ndani hadi nje). Vilevile kuhusu mas‟ala ya heidh, utendakazi wa hukmu yake ni pindi itakapo-onekana (kudhihiri) chepechepe.

Mas‟ala: Ikiwa ada ya mwanamke itaendelea mpaka baada‎‎‎‎‎‎ ya kupambazuka (Fajr), basi hakuna swaum itakayokubaliwa kutoka kwake katika siku hiyo hata kama atatwahirika muda mchache baada‎‎‎‎‎‎ ya kupambazuka.

Mas‟ala: Ikiwa atatwahirika kabla ya Fajr na akafunga, basi kufunga kwake ni sawa hata kama alichelewa kuoga josho la twahara mpaka ulipoingia wakati wa Fajr. Hii ni sawa na hali ya mtu aliyekuwa kwenye Janaba. Iwapo yeye (mume/mke) alinuiliya kufunga na akawa hakuoga mpaka baada‎‎‎‎‎‎ ya Fajr, basi swaum yake (mume/mke) itakuwa

ni sawa. Hii ni kulingana na hadîth ya „Âisha( عنهما الله رضي ) aliyesema:

Alikuwa Mtume (صلى الله عليه وسلم) akiamka akiwa katika hali ya Janaba

(baada‎‎‎‎‎‎ ya kujamiiana na wake zake) na akifunga katika mwezi wa Ramadhân.”2

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 171-2, hadîth ‎‎ No. 280 2 Imepokewa kutoka kwa „AAisha ( عنهما الله رضي ), mkewe Mtume ( وسلم عليه الله صلى ),

kuwa amesema:

Page 42: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

29

Ya Tatu: Heidh na Twawâf (Kulizunguka Ka‟ba) .

Ni harâm kwa Hâ‟idh (mwanamke aliye katika ada yake ya mwezi) kutekeleza Twawâf (iliyo wâjib au isiyo wâjib) kwa sababu ya maneno

ya Mtume (صلى الله عليه وسلم) kumwambia „Âisha( عنهما الله رضي ) alipopata ada

yake ya mwezi katika siku za Hajj:

ن لا »ةج ، دي أ

ة حفػو ال سى ـةذػل «تػف ثةليخ حتى تػ

“Fanya kila afanyalo mwenye kuhiji, isipokuwa wewe usitekeleze Twawâf ya kulizunguka Ka‟ba mpaka utwahirike.

(kutokamana na heidh yako).”1

Si haramu kwake yeye kutekeleza kanuni nyengine za Hajj. Kwahivyo, mwanamke anapofanya twawâf haliyakuwa yuko twahara na akapata ada yake punde tu baada‎‎‎‎‎‎ ya kukamilisha twawâf au wakati anapofanya Sa‟i baina ya Swafâ na Marwâ, basi hapo hapana ubaya.

Ya Nne: Kuruhusiwa kuwacha Twawâf ya kuaga (Twawâf al-Widâ‟a).

Iwapo mwanamke amekamilisha kanuni za Hajj na „Umrah, mara akapata heidh yake kabla hajasafiri kurudi kwao (nchi au mji), na ikiwa hii inaendelea katika wakati wa kusafiri kwake, basi anaweza

ذيؾتطو )وسلم عليه الله صلى(كر كن رضل اللى دي حي ت ج اىفجس ف رمظةن و يررك

م )رواه مطي( ويص“Alfajiri ilimuingilia Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) katika mwezi wa Ramadhân

akiwa kwenye hali ya Janaba isiyotokamana na ndoto ya kimapenzi (lakini imetokamana na kuingiliana) na akajitwahirisha kisha

akatekeleza Swaum.” [Swahîh‎‎‎ Muslim, V. 2, Uk. 539]

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 182-3, Hadîth No. 302.

Page 43: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

30

kuondoka bila ya kutekeleza Twawâf al-Widâ‟a (Twawâf ya Kuaga).

Hii ni kulingana na hadîth iliyopokewa na Ibn „Abbâs ( عنهما الله رضي )

isemayo:

« ر ن يسن آدس خمس النىةس أ

ةاض ثةليخ أ

ال ؿ غ دفى ى

«، إلاى أ

“Watu waliamrishwa kutekeleza “Twawâf al-Wadâ‟ (ya kuaga) kama kitu cha mwisho kabla ya kuondoka (Makkah) isipokuwa

wanawake wenye heidh ambao walioruhusiwa.”1

Mas‟ala: Ni makuruhu kwa mwanamke mwenye heidh kuomba Du‟a (Kumuomba Allâh‎) katika mlango wa Al-Masjid al-Harâm (Msikiti

mtukufu), kwa sababu haya si mafunzo ya Mtume (صلى الله عليه وسلم).

Kinyume cha hayo ni yale yaliyopokewa kutoka kwa Mtume ( صلى الله عليه) alipomuamrisha mkewe Swafiyyah (وسلم عنهما الله رضي ) aondoke baada‎‎‎‎‎‎ ya

kupata ada yake (ya damu) alipomaliza Twawâf Al-Ifâdhah (Twawâf ya Wâjib). Hatahivyo, ikiwa mwanamke amepata heidh yake kabla ya kutekeleza Twawâf Al-Ifâdha , au ile ya „Umra, basi itampasa kuzitekeleza Twawâf hizo baada‎‎‎‎‎‎ akisha kutwahirika.

Ya Tano: Heidh na Kukaa‎‎ Msikitini.

Haifai kwa mwanamke mwenye heidh kukaa‎‎ msikitini (hata katika

sehemu ya kuswali „Idd) kutokamana na hadîth ya Umm „Atiyyah ( رضيعنهما الله ) alipomsikiya Mtume (صلى الله عليه وسلم) akisema:

رن » يىض، وىيش رور وال ادق ذوات ال و اىػرور، أ ادق وذوات ال يسج اىػ

ي صلى ال يىض ال ين، ويػتل ال ؤ ة ال « ودغ

1 Hadîth iliyoafikiwa. Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 2, Uk. 469, Hadîth No. 810.

Page 44: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

31

“Watoke wanawali, na watawa au wanawali watawa na wenye heidh washuhudie kheri na Du‟â‟ za Waumini, lakini wenye heidh

hawaswali, bali wajitenga kando.”1

Ya Sita: Heidh na Kujamiiana kimapenzi.

Haifai kwa mwanamume kujamiiana na mkewe awapo yuko katika ada (heidh) yake ya mwezi, na haijuzu kwa mwanamke kumtafutia

mumewe mbinu za kuliwezesha hilo. Amesema Allâh‎ (سبحانه وتعالى):

“Na wanakuuliza juu ya heidh; waambie‎ huo ni uchafu. Basi

jitengeni na wanawake wakati wa heidh (zao). Wala msiwakaribie mpaka watwahirike. [al-Baqarah 2:222]

Heidh hapa imekusudiwa muda wa kuingia mwezini na sehemu ya

tupu ya mwanamke ni pale mahali palipoharamishwa. Mtume ( صلى الله عليه :amesema (وسلم

ء إلاى النىكح » ا كى ش ػ رواه مسلم« اص“Fanya kila kitu isipokuwa kuingiliana.”2

Imepatikana Ijmâ‟ juu ya Waislamu wote katika kuharamisha kujamiiana na mwanamke aliye kwenye heidh. Haifai kwa yoyote

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 190, Mlango 21: Mwanzo na mwisho wa muda wa Heidh”. 2 Swahîh‎‎‎ Muslim (English) V. 1, Uk. 175, Hadîth No. 592

Page 45: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

32

mwenye kumuamini Allâh‎ na kuiamini siku ya malipo kufanya kitendo hicho. Yoyote atakaefanya kitendo hicho, basi amemu‟asi Allâh‎ na Mtume wake na akaandama‎ njia isiyokuwa njia ya Waumini.1 Imepokewa yakwamba Imâm ash-Shâfi‟î alisema, “Yoyote mwenye kufanya kitendo kama hicho basi amefanya madhambi makubwa”. Wanavyuoni wengine wa madh-hab hiyo wamesema: “Yoyote ambae atakaeona yakuwa ni halali kujamiiana na mwanamke mwenye heidh basi hukmu ya Ukafiri wake (kuikataa‎ Imani) inapasa kutangazwa”.

Ili kuvunja nguvu za ashiki ya kimapenzi, inaruhusiwa (na kila Sifa njema ni zenye kumstahiki Allâh‎) kumbusu, kumkumbatia na kumpapasa mwanamke mwenye heidh katika sehemu zake zisizokuwa za siri. Ni muhimu, hata hivyo, yakwamba mume haruhusiwi kukurubia sehemu zilizoko baina ya kitovu na magoti bila ya

kujifunika kwa tandiko kama anavyoeleza „Âisha( عنهما الله رضي ):

ة حةاض »ن وأ دىشر ، ذيجةش

مسن ـأ

(رواه البخاري) « كن يأ

“Alikuwa akiniamrisha mimi nivae Izâ‎r (nguo ivaliwayo chini ya kiuno) na alikuwa akinipapasa (wakati nikiwa kwenye heidh).”2

Ya Saba: Heidh na Talaka.

1 Allâh ( تعالىو سبحانه ) Anatuonya kwa kusema:

“Na yoyote atakaemu‟asi Mtume baada ya kubainishiwa uongofu, akaandama njia isiyokuwa ya Waumini, tutamuelekeza kule

anakoelekea, na mwisho wake ni Jahannam, ni mbaya iliyoje mashukio hayo.” [an-Nisâ‟ 4:115]

2 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 180, Hadîth No. 298.

Page 46: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

33

Ni harâm kumpa talaka (kumuacha) mkeo akiwa katika heidh.

Amesema Allâh‎ (سبحانه وتعالى):

“Munapowaacha‎ wanawake, Waacheni‎ katika Eda zao.”

[Surah al-Baqarah 65:1]

Kwa maana‎ yakwamba, pale munapowaacha‎ inatakikana wawe katika hali ambayo itakayoruhusu kutambulika kwa Eda zao zitakazofuata. Ni Sharuti wanawake emma wawe wametwahirika (kutokamana na heidh na kabla ya kuingiliwa na mume) au awe ana mimba (na muda wake wa Eda ni mpaka atakapo zaa‎). Iwapo, kwa mfano aliwachwa haliyakuwa yuko kwenye heidh, basi heidh yake haitohesabiwa kama sehemu ya Eda yake ya ki-Sheriya (tazama maandishi‎ ya chini uk. 15) na kwahivyo atakosea katika kutambua uswahîh wa Eda yake. Pia ikiwa atawachwa haliyakuwa ametwahirika kisha akaingiliana na mumewe, basi hatokuwa na uhakika kuhusu Eda yake (au huwenda ikawa hana mimba). Kutokana na ukosefu wa uhakika kuhusu aina ya Eda yake, imekatazwa kwa mume kumuacha mkewe mpaka hali yake (kutwahirika au kuwa na mimba) idhihirike.

Vilevile imethubutu yakwamba Mtume (صلى الله عليه وسلم) alikasirika

sana aliposikia yakwamba Ibn „Umar ( عنهما الله رضي ) alimuacha mkewe

alipokuwa yuko kwenye ada yake ya mwezi. Alimwambia „Umar Ibn

al-Khattwâb ‎‎ ( عنه الله رضي ), amuamrishe mwanae (Ibn „Umar) “amrudie”

(tazama maandishi‎ ya chini uk. 15). Kwahivyo, ikiwa mtu atamuacha mkewe akiwa kwenye heidh basi atakuwa amefanya dhambi na hana budi kutubia kwa unyenyekevu kwa Allâh‎, autengue uamuzi wake, na amuache akae mpaka atakapotwahirika, na amsubirie mpaka apate heidh yake itakayofuata, kisha baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika tena atakuwa na khiyari kukaa‎‎ nae au kumuacha kabla ya kumuingilia.

Page 47: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

34

Kuna mas‟ala aina tatu yenye kuruhusu kumpa talaka mwanamke akiwa kwenye heidh, nayo ni:

La Kwanza: Talaka ilitolewa muda mchache tu kabla ya kukaa‎‎ nae faragha ya kimapenzi au kabla ya kutekeleza hasa tendo la kujamiiana nae, kwa sababu chini ya hali hizi, huwa yeye halazimiki

na Eda na talaka yake haina pingamizi na maneno yake Allâh‎ ( سبحانه :(وتعالى

“Waacheni‎ katika Eda zao”. [Surah al-Baqara 65:1]

La Pili: Ikiwa heidh itatokea wakati wa mimba, kwa sababu kama ilivyofafanuliwa hapo awali, Eda yake haina uhusiano wowote na Heidh yake, lakini inahusiana na mimba yake.

La tatu: ikiwa talaka ilitolewa kwa maridhiano ya kujikomboa kwa kitu fulani (Al-Khul‟). Kwa mfano, ikiwa kuna ugomvi mkubwa usokwisha na kutoheshimiana baina ya mume na mkewe, basi mume anaweza kukubali kitu kama kikombozi chake cha talaka ya mkewe.

Dalili inatokamana na hadîth iliyosimuliwa na Ibn „Abbâs ( عنهما الله رضي )

ambayo mkewe Thâbit Ibn Qays Ibn Shamass ( عنه الله رضي ) alikuja kwa

Mtume (صلى الله عليه وسلم) akamwambia:

، وىهنى ف ديق ولا دي خذت غيية أ كيص زةثخ ب ية رضل اللى

كسه اىسفس ف ال أ » -صل الله غيي وضي -ضلام . ذلةل رضل اللى

حريلذ غيي ي دسدى « . أ . كةل رضل اللى صل الله غيي -كةىخ جػ

ة تػييلح » -وضي ريلح وغيىل (رواه البخاري« )ارجو ال

Page 48: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

35

“Ewe Mjumbe wa Allâh‎! Mimi simlaumu Thâbit kwa kasoro katika tabia yake wala dini yake, lakini mimi kama Muislamu,

sipendi kuwa katika tabia isiyokuwa ya ki-Islamu (iwapo

nitaendelea kuwa nae)”. Juu ya hayo Mtume (صلى الله عليه وسلم)

akamwambia: “Utamrudishia mumeo shamba lake alilokupa (kama Mahr1)?”

Akasema: “Ndio.” Kisha Mtume (صلى الله عليه وسلم) akamwambia

Thâbit: “Ewe Thâbit! Chukuwa shamba lako, na umuache talaka moja.”2

Mtume (صلى الله عليه وسلم) hakuuliza iwapo mkewe Thâbit alikuwa kwenye

heidh au Laa. Chini ya hali kama hizi za mahitaji ya kikweli, mke anaweza kuomba talaka yake bila ya kujali kuhusu hali ya ada yake ya mwezi. “Kumpa talaka mwanamke wakati akiwa kwenye heidh huwenda kukamdhuru mwanamke kwa sababu kutarefusha Eda yake. Na kwa upande mwengine, madhara yanayopatikana kutokana na mateso na ugomvi mkubwa ni makubwa zaidi kuliko pigo la madhara yaliyotokamana na urefushaji wa Eda, na kwahivyo ni muhimu zaidi kuiondoa dhiki hiyo kwa njia ya kutaka talaka. Hii ndiyo sababu kwa

nini Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) hakuuliza kuhusu hali ya heidh ya mkewe

Thâbit Ibn Qays.”3

Mas‟ala: Kuithibitisha ndoa na mwanamke aliye kwenye heidh inaruhusiwa kwa sababu hakuna dalili inayoashiriya kinyume chake. Hatahivyo, mume na atahadharishwe yakwamba iwapo hatoweza kujizuiya na uchu wake, basi na asikae faragha na mkewe mpaka atwahirike kutokamana na heidh yake.

1 Mahr: Mahari. 2 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 7, Uk. 150, hadîth ‎‎ No. 197 3 Dondoo kutoka katika al‎-Mughnî, V. 7, Ta-mîm, Uk. 52.

Page 49: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

36

Ya Nane: Heidh na Eda ya Talaka.

Iwapo mume amemuacha mkewe baada‎‎‎‎‎‎ ya kumuingilia kwa mara ya kwanza au baada‎‎‎‎‎‎ ya kuwa nae faragha, basi itampasa akae Eda kwa muda wa mihula mitatu (ikiwa atakuwa ni mwanamke mwenye heidh na wala sio mwenye mimba). Hii ni kulingana na maneno ya Allâh‎

:(سبحانه وتعالى)

“Na wanawake walioachwa na wangoje (wasiolewe) mpaka

twahara tatu zishe.” [Al-Baqarah 2:228]

Ikiwa atakuwa ana mimba basi Eda yake ni mpaka atakapozaa‎ (kwa muda wowote wa mimba utakaokuwa, mrefu au mfupi), kwa sababu

amesema Allâh‎ (سبحانه وتعالى):

“Na wanawake wenye mimba eda zao ni mpaka ‎watakapozaa.”

[at-‎Talâ‎‎‎‎q 65:4]

Hatahivyo, ikiwa mwanamke ni miongoni mwa wale wasopata heidh kama msichana mdogo ambae hajafika umri wa kupata heidh au ambae ashapita umri wa ada ya kila mwezi au alifanyiwa upasuaji na kutolewa fuko la uzazi, na kadhaalika; basi Eda yake ni miezi mitatu

kutokana na maneno ya Allâh‎ (سبحانه وتعالى):

Page 50: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

37

“Na wale waliokoma na kutoka heidh miongoni mwa wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka (katika muda wao wa eda), basi muda wa eda yao ni miezi mitatu, na (pia ndiyo

eda kwa wale) ambao hawajapata heidh bado.” [At-‎Talâ‎‎‎‎q 65:4]

[Isipokuwa iwapo ni mas‟ala ya kifo (Tizama katika al-Baqarah 2:234)]

Mas‟ala: Tuseme mwanamke alikuwa ni miongoni mwa wale wenye kupata ada zao za kila mwezi, lakini kutokana na dharura ijulikanayo (ugonjwa au kunyonyesha) heidh yake ikasimama. Hukmu yake ni kwamba atakuwa amezuilika kwa muda wa kusubiri usokuwa na kikomo hata kama itakuwa ni muda mrefu. Chini ya hali kama hiyo, itambidi asubiri mpaka damu yake imrudie. Kisha muda wake wa kusubiri utahesabiwa kulingana na masiku itakapobakia damu yake, bila ya jambo lolote jengine. Hatahivyo, ikiwa mwanamke atapata matibabu au atamaliza kunyonyesha, yaani sababu ya kusimama kwa damu itakuwa hakuna, itambidi asubiri kwa mwaka mzima (Eda yake) kuanzia ile tarehe ambayo ametwahirika. Huu ndio msimamo unaokubalika kwa hukmu za ki-fiqh. Mas‟ala haya yamefafanuliwa zaidi yakwamba ikiwa sababu ya kukatika kwa damu imeondoshwa, na ikawa damu bado haionekani, basi atakuwa ni kama wale ambao damu zao za heidh zimekatika kutokana na sababu zisizojulikana. Na lau itakuwa hivyo, atasubiri kwa muda wa mwaka mmoja mzima ... yaani, miezi tisa kama muda wa mimba ambao ni wa kutahadhari kwa vile huo ndio muda mkamilifu wa mimba na miezi mitatu ambayo ni miezi ya kusubiri.

Mas‟ala: Tuseme Talaka imetolewa baada‎‎‎‎‎‎ ya kuithibitisha ndoa, lakini kabla ya kukaa‎‎ katika faragha na mke na kuingiliana nae, basi hali

kama hiyo haihitaji kukaliwa Eda na yule mke. Amesema Allâh‎ ( سبحانه :(وتعالى

Page 51: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

38

“Enyi mlioamini! Munapowaowa wanawake waumini, kisha mukawapa talaka kabla hamujaingiliana nao, hawana Eda

[muda wa kisheriya wa talaka (Qur‟ân‎‎ 65:4)] ya kuwahesabia juu yenu. Basi wapeni zawadi, na muwawache huru kwa

wema.”[at-Twalâq 33:49]

Ya Tisa: Fuko La Uzazi Lililo Huru

Fuko la uzazi lisilokuwa na mimba lina uhusiano na hali ya heidh ya mwanamke na pia (lina uhusiano) na matumizi ya baadhi‎‎ ya Sheriya za ki-Islamu. Kwa mfano, iwapo mwanamke alifiliwa na mumewe na haliyakuwa ni mja mzito, kisha akaolewa na mume mwengine muda mfupi baada‎‎‎‎‎‎e, hapo kutakuwa kumeingia mas‟ala ya urathi baina yao. Kujua iwapo mwanamke anayo mimba au hana mimba, kunathibitisha hali ya ugawanyaji wa urathi. Huyu mume aliyemuowa hatoruhusiwa kuingiliana nae mpaka baada‎‎‎‎‎‎ ya:

a). Kupata damu ya heidh, kuashiriya yakwamba fuko lake la uzazi halina mimba na kwahiyo hakuna mas‟ala ya urathi.

b). Mimba yake wakati alipokufa mwenye kurithiwa imethibitishwa waziwazi.

Katika hali hii, ugawanyaji wa urathi ni lazima umzingatie yule mzaliwa mpya.

Ya Kumi: Uwajibu Wa Kujitwahirisha (Ghusl)

Ni wâjib juu ya mwanamke mwenye heidh aoge pindi amalizapo heidh

yake. Hii ni kulingana na maneno ya Mtume (صلى الله عليه وسلم)

alipomwambia Fâtimah (bintiye Abî Hubaish):

Page 52: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

39

دثست ـةؽتطل وصلى »لاة ، وإذا أ يظح ـرع الصى رجيخ ال

« ـإذا أ

(رواه البخاري)“Ukipata ada yako ya mwezi, wacha kuswali, na ikiwa

imekwisha, jitwahirishe kwa kuoga na utekeleze swala.”1

La kufanya kwa uchache katika kuoga (kujitwahirisha), ni kueneza maji juu ya kiwiliwili chote ikiwemo ngozi ya kichwa na nywele zake.

Njia bora ya kuoga ni ile iliyofundishwa na Mtume (صلى الله عليه وسلم) wakati

Asmaa‎‟ , bintiye Shakl alipouliziya kuhusu “Ghusl” na Mtume ( صلى الله عليه :akamwambia (وسلم

ى دصت عل » ر ث اىػ س ذذحط ى ة ذذػ ة وضررت ةء ى دز إحرازدأ

ض دىك شريرا حتى تجيؼ شبن رأ ة ذذرىه ض

ة رأ ى دصت غيي ة ث

هح طى دز ـسصح مى دأ ةء. ث ة أي كػػح كةش ـية مطم ال س ث ى «. ذذػ

ة ذلةل س ث ى ةء وكيؿ تػ ضة » ذلةىخ أ ث سي ى تػ ذلةىخ «. ضجحةن اللى

ة تف ذلم جىم )عئشح نأ زس الدى

(رواه مسلمدتجىػين أ

“Kila mmoja wenu na atumie maji (yaliyochanganywa na majani ya) mti wa Mkunazi na ajisafishe nayo kwa kujisugua,

kisha na ajimwagie maji juu ya kichwa chake na ajisugue mpaka aguse mizizi ya nywele zake. Kisha na ajimwagie maji

juu yake. baada‎‎‎‎‎‎ ya hapo achukuwe kipande cha pamba kilichonyunyiziwa misk na akitumie kujisafisha nacho.” Asmaa‎

akasema, “Atajisafisha nacho vipi?” kufikia hapo, Mtume ( صلى الله)akamaka, “SubhânAllâh‎! Atajisafisha nacho.” „Âisha (عليه وسلم رضي

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English), V. 1, Uk. 196, Hadîth No. 327

Page 53: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

40

عنهما الله ) akasema (kwa sauti ya chini) yakwamba atajisafisha

kwenye alama za damu.”1

Mwanamke mwenye heidh hawajibiki kuzifungua nywele zake anapokuwa tayari kutekeleza Ghusl (kuoga), isipokuwa ikiwa nywele zake zimekazwa mno kiasi cha kwamba zitazuiya maji yasipenye na

kufika chini ya nywele. Umm Salamah ( عنهما الله رضي ) alimuuliza Mtume

Mimi ni mwanamke mwenye nywele zilizosukwa kwa“ :(صلى الله عليه وسلم)

mkazo juu ya kichwa changu; Jee, nizifungue nikitaka kuoga, kutokana na kujamiiana (au kwa ajili ya heidh kama ilivyo kwenye

riwaya moja)?”. Mtume (صلى الله عليه وسلم) akasema:

ةء » ى دفيظين غييم ال ضم زلاث حسيةت ثن تث عل رأ

ة يسفيم أ لا إجى

سي (مسنه رواه« )ذذػ“Laa‎‎‎, itatosha kwako kunyunyiza (kueneza) maji mara 3 juu ya kichwa chako, kisha uwende kujimwagia maji kwa wingi juu ya kiwiliwili chako chote ambapo utakuwa umetwahirika kama ipasavyo.”2

Mas‟ala: Ikiwa mwanamke mwenye heidh atatwahirika akiwa ndani ya muda wa kisheriya unaompasa kutekeleza swala, basi atawajibika kuoga haraka iwezekanavyo ili aweze kutekeleza swala yake katika wakati unaofaa‎. Ikiwa alikuwa kwenye safari na hapakuwa na uwezekano wa kupata maji au huwenda akadhurika (kwa ajili ya sababu fulani: maradhi au vyenginevyo) kwa kuyatumia maji yaliyoko,

1 Swahîh‎‎‎ Muslim (English), V. 1, Uk. 188, Hadîth No. 649. 2 Swahîh‎‎‎ Muslim (English), V. 1, Uk. 187, Hadîth No. 643

Page 54: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

41

basi anaweza kutekeleza Tayammum1 mpaka zile sababu zinazomzuiya kutumia maji ziondolewe. Hapo itambidi kuoga.

Mas‟ala: Kuna baadhi‎‎ ya wanawake ambao hutwahirika wakati wa kuwajibika kuswali lakini wao huakhirisha kuoga wakidai yakwamba hawawezi kumaliza kujisafisha wakiwa ndani ya wakati inapowapasa kuswali! Hii ni sababu tu wanayotafuta, kwa sababu anaweza kutekeleza vitendo vya kuwajibika katika Ghusl vinavyomfanya awe ametwahirika na akaweza kutekeleza swala yake kwa wakati wake. Kisha anaweza kutekeleza Ghusl kwa ukamilifu atakapokuwa na wasaa‎.

1 Tayammum: Ni kuweka au kupiga viganja viwili vya mikono kwa upole juu ya ardhi iliyo safi na kisha kupangusa kwa kiganja cha kila mkono juu ya mgongo wa viganja chengine, Uvuvie vumbi katika viganja hivyo na kisha upanguse uso wako. Jambo hili hutekelezwa iwapo maji yamekosekana au utumiaji wa maji hayo utaleta madhara.

Page 55: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

42

SURA TANO

ISTIHÂDHAH ni kutoka kwa damu katika tupu ya mwanamke kiasi cha kwamba isisimame au inaweza kusimama lakini kwa muda mchache (siku au siku mbili katika kila mwezi).

1. Damu Isiyosimama: „Âisha( عنهما الله رضي ) amesimulia yakwamba

Fâtimah Bint Abî Hubaish alimwambia Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

س » غ إنى لا أ (البخاري رواه) « ية رضل اللى

“Ewe mjumbe wa Allâh‎! Mimi sitwahiriki.” (yaani; damu yanitoka mfululizo)

Na katika riwaya moja: “Napata heidh (baina ya ada zangu) wala sitwahiriki.” 1

2. Damu inayosimama kwa wakati wa muda mchache: Humnah Bint

Jahsh alimjia Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akamwambia:

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English), V. 1, Uk. 196, Hadîth No. 327

ISTIHAADHAH NA HUKMU ZAKE

Page 56: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

43

ضذحةض حيظح نسية شريرة إنى أ ية رضل اللى

داود والتـسـزي وصحح ولو غ الةم أحمر دصحيح و غ الذةري رواه أحمر وأث)

(تطي“Ewe Mjumbe wa Allâh! Mimi hupata damu ya Istihâdhah kwa

wingi tena hutoka kwa nguvu.”1

HALI ZA MWENYE ISTIHÂDHAH:

Kuna hali aina tatu za mwenye Istihâdhah:

Hali Ya Kwanza: Ikiwa mwanamke ana ada yake ya kila mwezi ya heidh yenye kujulikana kabla ya kuingia kwenye Istihâdhah. Mwanamke kama huyo na arudie katika muda wa heidh yake iliyopita yenye kujulikana na ashikamane na muda huu. Hatimae hukmu za heidh zitawajibika kwake. Ama kuhusu masiku ya ziyada yatazingatiwa kuwa Istihâdhah ambayo yatachukuwa hukmu za Istihâdhah ifikapo zamu yake. Mfano wa hali kama hiyo ni:

Mwanamke aliyekuwa na mazoeya ya kupata ada yake kwa siku sita kuanzia kila mwanzo wa mwezi. Hatahivyo, mara ikatokea yakwamba damu ya Istihâdhah ikamsibu na akaanza‎ kuipata kwa mfululizo. Hukmu ni kwamba mwanamke kama huyo ataanza‎ kuhesabu ada yake ya mwezi kuwa ni siku sita tu kuanzia mwanzo wa mwezi. Masiku ya ziyada yatazingatiwa kuwa Istihâdhah ambayo ifikapo zamu yake yatachukuwa hukmu za Istihâdhah.

1 Imesimuliwa na Ahmad, Abû Dâwûd, na at-Tirmidhî‎‎‎ aliyesema yakuwa ni Swahîh‎‎‎ (Hadîth iliyo sawa). Vilevile imepokewa yakwamba Imâm‎‎ Ahmad anaizingatia hadîth ‎‎ hii kuwa ni Swahîh‎‎‎ na kwamba Imâm‎‎ al-Bukhârî amenukuliwa kusema yakwamba ni hadîth ‎‎ nzuri.

Page 57: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

44

Ukweli umedhihirishwa kwenda sambamba na âthâr ya „Âisha ( الله رضي) yakwamba Fâtimah Bint Abu Hubaish (عنهما عنهما الله رضي ) alisema:

لاة ذلةل رضل ية ر دع الصىـأ

س ، أ غ

ضذحةض ـلا أ

ة أ

إنى امسأ ضل اللى

رجيخ » )صلى الله عليه وسلم( -اللىة ذلم غسق ، وىيص بيض ، ـإذا أ لا ، إجى

دثست ـ لاة ، وإذا أ ى صلى حيظذم ـرع الصى م ث م الدى «ةؽطل خ

)رواه الذةري( “Ewe Mjumbe wa Allâh‎! Mimi natokwa na damu ya Istihâdhah

kwa nguvu na matokeo yake ni kwamba sitwahiriki, Jee,

niwache kuswali?” Mtume (صلى الله عليه وسلم) Akamjibu: “Laa‎‎‎, kwa

sababu hiyo ni damu itokayo kwenye mshipa („Irq), lakini usiswali kwa muda wa masiku yatakayokuwa sawa na yale

ambayo ulikuwa ukipata ada yako ya kila mwezi, kisha tekeleza Ghusl (kaoge) na uswali.”1

Kuna riwaya nyengine katika Swahîh Muslim yakwamba Mtume ( الله صلى عليه موسل ) alimwambia Umm Habîbah Bint Jahsh ( عنهما الله رضي ) aliyekuwa

akitokwa na damu ya kuendelea:

ى اؽتطل وصلى » ة كخ تبطم حيظذم ث هث كرر )رواه مطي( «ا“Kaa‎ kwa muda ulio sawa na ada yako ya mwezi; kisha baada‎‎‎‎‎‎e

jitwahirishe, na uswali.”2

Wala usijali kuhusu damu ya ziyada.

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 194, Hadîth No. 322 2 Swahîh‎‎‎ Muslim (English), V. 1, Uk. 189, Hadîth No. 654

Page 58: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

45

Hali Ya Pili: Mwanamke anapokosa ada ya kila mwezi ya heidh kabla hajaingia kwenye Istihâdhah kwa maana‎ yakwamba damu ya Istihâdhah imekuwa ikiendelea kumtoka mfululizo tangu mara ya kwanza alipoiona damu hiyo ikimtoka. Mwanamke huyu mwenye hali kama hii atakuwa kwenye nafasi ya kutumia njia ya kupambanua (kutafautisha), yaani; muda wa ada yake ya mwezi utatambulika kwa damu kuwa ya rangi nyeusi au nzito au ya harufu fulani ambayo zote hizo zitakuwa na hukmu moja yenye kutumika kwa damu ya heidh. Damu itakayothubutu kutambulika kuwa kinyume chake itabainika kuwa ni damu ya Istihâdhah iliyo na hukmu zake.

Kama mfano wa hayo. Mwanamke ambae kwa mara ya kwanza ameiona damu iliyokuwa ikiendelea kumsibu kuwa ni ya rangi nyeusi kwa muda wa siku kumi na siku zilizobaki za mwezi kuwa ni ya rangi nyekundu. Au aliiona damu kuwa ni nzito kwa muda wa siku kumi na ikawa nyembamba kwa siku zilizobaki za mwezi; au ilikuwa ikitoa harufu ya heidh kwa siku kumi za kwanza na siku zilizobaki za mwezi kutokuwa na harufu. Hapo, ada yake ya mwezi itaweza kuzingatiwa pindi damu itakapokuwa ni nyeusi katika mfano wa kwanza, na pindi damu itakapokuwa ni nzito katika mfano wa pili, na ile damu itakayokuwa na harufu katika mfano wa tatu. Hali zitakapokuwa ni kinyume cha hivyo zitazingatiwa kuwa ni Istihâdhah.

Uamuzi huu umeamuliwa kulingana na hadîth ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

alipomwambia Fâtimah Bint Abu Hubaish ( عنهما الله رضي ):

« إ مطك غد حػسف ـإذا كن ذلم ـأ ض

دم أ يظح ـإى ذا كن دم ال

غسق ة ئ وصلى ـإجى طى لاة ـإذا كن الآدس ذذ (إث داود واىنطةئي)رواه «الصى“Damu ya heidh inatambulika kuwa nyeusi, kwahivyo iwapo

itakuwa ni hivyo, usiendelee‎ kuswali. Lakini iwapo damu

Page 59: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

46

ilikuwa ni ya aina nyengine tafauti, basi katawadhe na uswali kwa vile ilikuwa ni damu itokayo kwenye mshipa („Irq).”1

Hali Ya Tatu: Ikiwa mwanamke hakuthubutu kuwa na ada ya kila mwezi ya heidh wala hako katika hali ya kuweza kutambua muda wa ada yake ya heidh kisawasawa kwa jinsi damu yake ya Istihâdhah inavyotoka mfululizo tangu alipoanza kuiona damu. Damu inatoka kwa kuendelea ikiwa na sifa zilezile au inatoka kwa sifa za kutatanisha zinazosababisha ugumu katika kupambanua baina ya damu ya heidh kutokamana na ile damu ya Istihâdhah. Katika hali hii, wanawake wanaopata huu urefushaji na mtiririko ambao hawakuutegemea na wazingatie muda wa heidh yao kuwa ni muda unaokabiliwa na wanawake wengi: siku 6-7 za kutiririkwa na heidh kila mwezi, kuanzia wakati atakapo kuiona damu yenye kumwagika. Mbali na muda huu, damu itokayo na izingatiwe kuwa ni Istihâdhâh.

Mfano wa hali hii, ni mwanamke aliyeona damu yake kwa mara ya kwanza katika siku ya tano ya mwezi na ikaendelea kutoka nae akawa hawezi kutambua tafauti yoyote katika rangi, harufu wala uzito wa damu. Muda wake wa heidh utakuwa ni siku sita au saba kuanzia siku ya tano ya kila mwezi. Hii ni kulingana na hadîth ya

Hamnah Bint Jahsh ( عنهما الله رضي ) yakwamba alisema:

« ة كر !ية رضل اللى ة دسى ذي ضذحةض حيظح نجية شريرة ذإنى أ

جػخ لم )أصؿ لم اضذػةل( يةم. ـلةل/ أ لاة والصى ػذن الصى

اىلػ، دظػي عل اىهسضؿ )و م. كةىخ/ ت الدى يز اىفسج( ـإى

1 Imepokewa na Abû Dâwûd na an-Nasâ‟î, Ibn Hibbân na al-Hâkim wamesema yakuwa ni Swahîh‎‎‎. Mtungaji amesema: “Hata kama kuna maoni ya ukosoaji kuhusiana na silsila ya wapokezi na ufafanuzi wa hadîth ‎‎ hii, imekuwa ni marejeo yenye kubainisha waziwazi kwa baadhi ya Wanavyuoni wa ki-Islamu na ni marejeo yaliyo bora zaidi kuliko kurejea kwenye muda wa kawaida unaopatikana na wanawake wengi (siku sita au saba).”

Page 60: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

47

ذلم كث ة /كةل – وـي –أ زاإجى يػةن ركظةت الشى ركظح

اللى و ضجػح ف غييىةم أ

يخ دػةل ذذحيىض ضذىح أ

ى اؽتطل حتى إذا رأ ث

ىم ست أ ليح واضتليكر غ ي و زلازة وغشر

أ ي ربػة وغشر

ـصلى أ خ

ة وصم يىةم « وأ

(الــرير رواه أحـــر وأث داود واىترزي وصحح، وغ الذةري أ حطح)“Ewe Mjumbe wa Allâh‎! Mimi nina damu ya Istihâdhah ambayo

ni kubwa sana tena yenye nguvu mpaka ikawa ni yenye

kunizuiya kuswali na kufunga.” Akasema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

„Nakuusiya utumie Al-Kursuf kwa sababu inanyonya na kuondoa damu.‟ Akasema Hamnah, „Hiyo damu ni nyingi zaidi ya hayo

niliyoyasema,‟ Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akamjibu: „Hilo ni pigo la

shaytwân‎, kwahivyo mwishoe ada yako itakuwa ni siku sita au saba ambazo zitakuwa katika „Ilmu ya Allâh‎. baada‎‎‎‎‎‎ ya

kumalizika siku hizo, nenda ukajitwahirishe. Utakapo ona yakwamba sasa umetwahirika, anza kuswali kwa masiku 23 au

24 (usiku na mchana) na ufunge masiku kama hayo.‟”1

Maneno yake Mtume ( وسلم عليه الله صلى ): “Ada yako itakuwa ni siku

sita au saba” haikumaanisha‎ kumpa Hamnah Bint Jahsh chaguo, bali ni kwake yeye achunguze na aone ni nani (miongoni mwa wanawake wengine) anaemkurubia yeye kwa umri, maumbile ya kimwili, idadi ya watoto, na kadhaalika. Mwanamke atakaeshabihiyana na hali yake anakuwa na muda wa siku sita za heidh, kisha na auzingatie muda huu kuwa ni marejeo yake. Hivyo ndivyo itakavyokuwa iwapo muda wa heidh utakuwa ni siku saba.

1 Imepokewa na Ahmad, Abû Dâwûd, na at-Tirmidhî‎‎‎. Wote wameisahihisha. Imâm‎‎ al-Bukhârî akaipa daraja ya Hasan.

Page 61: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

48

Mwanamke Aliye Katika Hali Inayofanana Na Mustahâdhah.

Kuna uwezekano yakwamba tukio fulani (k.m Upasuaji) linaweza kusababisha damu kutoka kwa kupitia kwenye tupu ya mwanamke. Kuna aina mbili za hali hii:

1. Haiwezekani kwake kupata heidh baada‎‎‎‎‎‎ ya upasuaji. k.m (kwa mfano) kuondolewa fuko la uzazi au hali ya kulizuiya. Chini ya hali hii, hukmu ya Istihâdhah haiwezi kutumika. Ikiwa mwanamke ataona damu, basi hukmu zinazodhibiti chepechepe ya manjano zitatumika. Kuanzia hapo, asijiepushe na kuswali wala kufunga. Si harâm kwa mumewe kuingiliana nae kimapenzi na wala si wâjib juu yake kuoga. Lakini, ni lazima aoge, ajisafishe, na atawadhe katika wakati wa kuanzia swala ya faradhi na anapoazimia kuswali swala ya nawâfil.

2. Hakuna yakini yakwamba heidh yake itasimama baada‎‎‎‎‎‎ ya kufanyiwa upasuaji. Inawezekana kwake kupata heidh. Katika hali hii, hukmu zinazompasa Mustahâdhah (mwanamke anaepitia Istihâdhah) pia zitampasa juu ya hali hii kulingana

na hadîth ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), alipomwambia Fâtimah

Bint Abî Hubaish:

لاة » يظح ـةدسك الصى رجيخ اليظح ، ـإذا أ ة ذلم غسق وىيص ثةل « إجى

(رواه الذةري)“Hakika damu hiyo inatoka kwenye mshipa („Irq), kwahivyo

ikiwa heidh ya kikweli ikianza, wacha kuswali na itakapomalizika (ada yako) jisafishe damu kutoka mwilini

mwako (oga mwili mzima) na uswali.”1

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 183, Hadîth No. 303

Page 62: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

49

Maneno yake Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) aliposema, “ikiwa heidh

ya kikweli ikianza”, inâshiriya yakwamba hukmu ya mwanamke Mustahâdhah zitakuwa ni wâjib juu ya mwanamke ambae, ikiwezekana, huwenda akawa na heidh (iliyo na mwanzo na mwisho). Hatahivyo, mwanamke asiyeweza kuingia mwezini, basi damu yake ni damu itokayo kwenye mshipa.

Hukmu za Mustahâdhah:

Kutokana na hayo ya juu yaliyowahi kutokea, sisi tushatangulia kujua ni lini damu itakapokuwa ni ya heidh na ni lini itakapokuwa ni ya istihâdhah.

Kwahiyo, pindi itakapothubutu kuwa ni damu ya heidh, itachukuwa hukmu za heidh, na pindi itakapothubutu kuwa ni damu ya istihâdhah, itachukuwa hukmu za istihâdhah kama inavyowajibika.

Nukta muhimu kuhusiana na hukmu za heidh tayari zishatajwa. Hatahivyo, kuhusu hukmu za istihâdhah, ni kama hukmu za kujitwahirisha. Hapana tafauti baina ya mwanamke atokwae na damu (Mustahâdhah) na mwanamke aliye twahara, isipokuwa kwa yafuatayo:

Kwanza: Ni wâjib juu ya mwanamke mwenye kutokwa na damu kutawadha na kuswali kila inapofika wakati wa kuswali katika swala tano za faradhi, kila siku, hata kama hakukidhi haja ndogo (ya kukojoa) au hata (haja kubwa ya choo). Hii ni dalili kutoka katika

hadîth ya Mtume (صلى الله عليه وسلم) alipomwambia Fâtimah Bint Abu

Hubaish ( عنهما الله رضي ):

ئ ىكى صلاة » طى ى د )رواه الذةري( «ث

Page 63: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

50

“Kisha tawadha kwa kila swala ya faradhi.”1

Kwa maana‎ yakwamba (mwanamke huyo) na asitawadhe kwa ajili ya kuswali isipokuwa ufikapo wakati wa swala uliowekwa na wala asifanye hivyo kabla ya kuingia wakati.

Pili: Atakapokutawadha, kwanza na aoshe alama za damu kisha na ajifunge kwa kipande cha kitambara (kilichowekewa chini yake, pamba) kuzunguka pande zote za utupu wake ili iweze kuikinga

damu. Hii na ifuatwe katika kuitikia mwito wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

kwa Hamnah Bint Jahsh ( عنهما الله رضي ):

م، ت الدى يز جػخ لم اىهسضؿ ـإى ذلم، كةل/ )أ كث

أ كةىخ/ ـإ

ذلم. كةل/ كث أ بة. كةىخ/ زى ز م(ـةتى الرير ...ذذيجى

“Ningependekeza (ujifunge na) Al-Kursuf (pamba) kwa sababu huondoa (hufyonza) damu.” Akasema (Hamnah): “Kwa hakika ni

nyingi zaidi ya hivyo.” Akamjibu ( وسلم عليه الله صلى ): “Chukuwa

kipande cha kitambara.” Akaongezea: “Inatoka kwa wingi zaidi

ya hivyo pia.” Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) akamwambia: “Basi

Talaj‟jamî”. 2

Yaani; ajifunge kibobwe kuzunguka kiuno chake kitakachozuiya lile pamba madhubuti kwenye nafsi (tupu) yake. Hakuna chochote chenye

kumtoka kitakachomdhuru kwa sababu Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

alimwambia Fâtimah Bint Abu Hubaish ( عنهما الله رضي ):

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 149, Hadîth No. 228 2 Imepokewa na Imâm‎‎ Ahmad, Ibn Maajah, at-Tirmidhî‎‎‎ na Abû Dâwûd.

Page 64: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

51

ى صلى وإن رػس » ئ ىكى صلاة ث طى ى اؽتطل ود يىةم ميظم ثلاة أ اجذنب الصى

صي م عل ال )رواه أحمر واث ةج(« الدى“Jiepushe na kuswali wakati wa heidh, kisha jitwahirishe na

utawadhe kwa kila kipindi cha swala, kisha uswali „hata kama damu itakuturuzika na itone juu ya mkeka.”1

Tatu: Kuingiliana Kimapenzi: Wanavyuoni wa ki-Islamu wamekhitilafiana kuhusu kuruhusiwa kwake. Rai iliyo sawa ni kwamba inaruhusiwa kwa sababu wanawake wengi (kumi au zaidi) walipata

damu ya Istihâdhah wakati wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ). Allâh‎ ( وتعالى سبحانه )

na Mtume wake hawakuwakataza mume na mke kutekeleza tendo la

kuingiliana kimapenzi. Kwa hakika, maneno ya Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

“Jiepusheni na wanawake wakati wakiwa kwenye heidh.”

[at-Baqarah 2:222]

Ni dalili yakwamba ni wajib kujiepusha na kitendo cha kuingiliana kimapenzi peke yake na wanawake wakiwa kwenye ada zao za mwezi tu. Na kwa vile wanaruhusiwa kuswali halitakuwa wakiwa kwenye Istihâdhah, basi haitakikani kuwe na uzito wowote kujamiiyana kimapenzi. Kukataza tendo la kujamiiyana kwa kutegemea Qiyâs na hali ya heidh ni makosa, kwa sababu hali hizo mbili si sawasawa. Kwahiyo, Makisio hubatilishwa kupatikanapo tafauti za aina hiyo.

1 Imepokewa na Ahmad na Ibn Maajah.

Page 65: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

52

SURA SITA

Nifâs: Ni damu inayomtoka mwanamke mja mzito kutokana na mazazi. Huwenda ikatokea wakati wa mazazi, baada‎‎‎‎‎‎ ya mazazi, au kabla ya mazazi (kwa siku mbili au tatu ikiungana na kubana kwa misuli). Amesema Sheikh ul Islâ‎‎‎‎‎m Ibn Taymiyyah:

)وا تراه حين تشرع في امطنق فهو فاس وله يقيده ةيووين أو ثلاثث ، ومراده طنق يعقت ولادة وإلا فنيس ةفاس(

“Damu inayo onekana wakati mwanamke akianza kubanika misuli yake ni Nifâs na haitokoma kwa siku mbili au tatu. Kubanwa huku kwa misuli hufuatwa na mazazi au kinyume

chake, damu hiyo iliyotoka si Nifâs.”

Wanavyuoni wamekhitilafiana iwapo kuna kikomo juu ya muda wake. Amesema Sheikh ul Islâ‎‎‎‎‎m Ibn Taymiyyah: “Nifâs haina kikomo juu ya muda wake mrefu au mfupi. Tuchukulie kwa mfano mwanamke ameona mturuziko wa damu kwa zaidi ya siku arubaini, sitini au sabiini kisha mara damu hiyo ikasimama. Aina hii ya kutokwa na damu inaitwa Nifâs. Tuseme, hata hivyo, yakwamba damu hiyo imeendelea‎‎ kutoka, kisha kiwango cha masiku arubaini kikawekwa kuwa ni damu ya Nifâs kwa sababu muda huu ndiwo muda unaokabiliwa kwa kawaida na wanawake wengi”.

NIFAAS NA HUKMU ZAKE

Page 66: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

53

Muandishi huyu amesema: “Kutokana na hayo yaliyo hapo juu, ikiwa damu itaendelea kumtoka mwanamke zaidi ya masiku arubaini na ikiwa kutapatikana alama zenye kuashiriya yakwamba damu hiyo itasimama kutoka (kutokamana na mimba zilizotangulia na alama nyengine), basi itambidi asubiri mpaka mturuziko wa damu usimame. Iwapo mwanamke hakupata dalili hizo, basi atajisafisha (kwa kuoga), baada‎‎‎‎‎‎ ya kukamilika siku arubaini akiuzingatia muda huo kuwa ni wa marejeo kwa wanawake wengi. Kwa upande mwengine, iwapo akimaliza masiku arubaini, mara akapata ada yake ya kawaida ya kila mwezi, hapo atasubiri mpaka imalizike. Iwapo damu itaendelea baada‎‎‎‎‎‎ ya ada yake ya kawaida kumalizika, basi yeye atakuwa ni „Mustahâdhah‟ na atafuata hukmu za Istihâdhah.‟”

Ikiwa damu ya Nifâs itasimama kabla ya marejeo-ya-muda ya siku arubaini na akasafishika, basi ataoga, aswali, afunge na anaweza kujamiiyana na mumewe. Kusimama kwa mturuziko wa damu kwa uchache wa siku moja hakumruhusu (mwanamke) kusafishika.1

Nifâs haithibitishwi mpaka mwanamke azae kiumbe aliyekamilika. Ikiwa mwili mdogo umezaliwa lakini ukawa hauonyeshi umbile linaloendelea kukuwa la mwana-adamu, basi damu husika inayotoka hapo si Nifâs na huzingatiwa kuwa ni damu ya „Irq (damu itokayo kwenye mshipa). Muda mchache kwa umbile la mwana-adamu kuweza kukuwa ni siku thamanini kuanzia siku ya kutungika mimba na kwa mara nyingi ni siku tisiini. Al-Mujid Ibn Taymiyyah2 amesema: “Ikiwa ataona damu inayoungana na kubanwa kwa misuli kabla ya siku thamanini au tisiini, asijali chochote (yaani; na aendelî kuswali na kufunga), lakini lau ataona damu baada‎‎‎‎‎‎ ya muda huu, basi atajiepusha na kuswali na kufunga. Hatahivyo, iwapo, ataubwaga mzigo wake (atazaa‎), na mzaliwa mpya akawa ana umbile

1 Al-Mughnî. 2 Al-Mujid Ibn Taymiyyah: Ni babu yake Ibn Taymiyyah aliye maarufu. Alikuwa ni mwanachuoni ahishimikae sana.

Page 67: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

54

linaloendelea kukuwa la mwana-adamu, basi damu yake itokayo (kabla ya siku thamanini au tisiini) na izingatiwe kuwa ni Nifâs na asawazishe siku zake kwa kuswali na kufunga. Ikiwa kwa upande mwengine mzaliwa mpya haonyeshi umbile linaloendelea kukuwa la mwana-adamu, basi damu yake itokayo iendelî kutozingatiwa kuwa ni Nifâs, na wala hatokuwa na haja ya kulipa swala zake na swaum.”

SHERIYA ZA NIFÂS:

Sheriya za Nifâs ni sawa na sheriya zinazohukumu heidh, isipokuwa katika mas‟ala yafuatayo:

1. Eda haihusiani na Nifâs, lakini, kwa usahihi zaidi, inahusiana na hukmu za Talaka. Kwa mfano: ikiwa talaka ilitolewa kabla ya mazazi, basi Eda itakwisha baada‎‎‎‎‎‎ ya kuzaa‎ na wala haihusiani na muda wa Nifâs. Iwapo Eda ilitolewa baada‎‎‎‎‎‎ ya mazazi, (mzazi) atasubiri irudi heidh yake na kama ilivyo ahesabu Eda yake kama ilivyoelezwa hapo awali.

2. Muda wa ÎLâ‎‎‎‟: ÎLâ‎‎‎‟ ni, mume akiapa kutomuingilia mkewe milele (au kwa zaidi ya miezi minne). Lau mkewe atahitaji kujamiiana nae, muda wa miezi minne kuanzia siku aliyoapa kiapo chake, utadhibitiwa. Muda huu ukamilikapo, atâmrishwa (na hakimu ya Ki-Islamu), ema atekeleze kitendo cha kumuingilia mkewe au maombi ya kutenganishwa yatatekelezwa na mkewe. Nifâs haitohesabiwa kuwa dhidi ya muda wa ÎLâ‎‎‎‟. Nyongeza ya muda ulio sawa na muda unaohitajika kwa twahara ya mke kutokamana na Nifâs utaongezwa kwenye muda wa ÎLâ‎‎‎‟. Hii ni kinyume cha heidh, ambapo muda wake unahesabiwa dhidi ya muda wa ÎLâ‎‎‎‟.

3. Kubaleghe: Ni dhahiri yakwamba Nifâs inahusiana na mimba. Mwanamke hawezi kupata mimba kabla ya kupata aina fulani ya shahawa za kijinsia (sexual secretions) kutoka mwilini mwake. Heidh (na wala si Nifâs) ni ishara yakwamba umetimia umri wa kubaleghe.

4. Jee kama mturuziko wa damu ya Nifâs umesimama kabla ya muda wa siku arubaini na kisha ikarudi tena katika siku ya arubaini?

Page 68: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

55

Kinyume cha damu ya heidh1, hali hii ya kurudi tena inazingatiwa kuwa na “Shaka” kulingana na misemo mashuhuri ya Wanavyuoni wa ki-Hanâbila. Yeye (huyu mwanamke), kulingana na mtizamo wao ni lazima aswali na afunge kwa wakati wake. Kila alichoharamishiwa mwenye heidh, vilevile kimeharamishwa kwake, isipokuwa vitendo vilivyo wâjib. Itamlazimu alipe yote yale yatakayomlazimu mwenye heidh kulipa. Hatahivyo, muandishi huyu yuko juu ya rai yakwamba: “Iwapo damu itamrudia akiwa ndani ya muda ambao hwenda ukawa ni muda wa Nifâs, basi damu yake ni damu ya Nifâs. Lau si hivyo, basi itakuwa ni damu ya heidh, isipokuwa iwapo itaendelea kumtoka ndio hapo itakapokuwa ni damu ya Istihâdhah. Rai hii imekurubiana na ile iliyonukuliwa katika Al-Mughnî (V. 1, Uk. 349) ambapo imetajwa yakwamba Imâm Mâlik alisema: “Ikiwa ataiona damu siku mbili au tatu baada‎‎‎‎‎‎ ya kusimama kutoka kwake, basi hiyo itakuwa ni damu ya Nifâs, au kinyume chake itakuwa ni damu ya heidh.” Hili pia ndilo chaguo la Ibn Taymiyyah.

Kwa uhakika, hakuwezi kuwa na “shaka” kuhusu damu. Hatahivyo, ni suala lenye kuhusiana ambamo rai za watu huwenda zikatafautiana kulingana na ilimu zao na ufahamu wao. Kitabu cha

Allâh‎ na Sunnah za Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) ndizo asili za ubainifu wa

kila jambo. Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ) hakuwajibisha kwa mtu afunge mara mbili

na kufanya Twawâf mara mbili isipokuwa ikiwa kuna jambo lililofanywa kwa makosa wakati wa utekelezaji wa vitendo hivyo kwa mara ya kwanza na kwamba haiwezi kurekebishika bila ya kulipa. Hatahivyo, katika hali ya mtu anapofanya kitendo fulani kadiri ya

1 Ikiwa damu ya heidh imesimama kisha ikarudi tena, basi hapana shaka yakwamba hiyo ni damu ya heidh. Kwa mfano, mwanamke amepata damu yake ya kawaida ya kila mwezi kwa siku nane. Anasema yakwamba damu inasimama katika siku ya nne kwa siku mbili, kisha ikarudi tena kutoka katika siku ya saba na nane. Damu hii iliyorudi tena hapana shaka yakwamba ni damu ya heidh.

Page 69: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

56

uwezo wake (mke au mume), basi huwa mtu yule hakalifishwi

kutokana na majukumu yoyote kama alivyosema Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

“Allâh‎ haikalifishi nafsi yoyote ila yaliyo sawa na uweza

wake.” [Al-Baqarah 2:286]

“Mcheni Allâh‎ kadiri ya uwezo wenu.” [at-Taghâbun 64:16]

5. Jee kuingiliana na mwanamke aliyetwahirika kabla ya siku arubaini za marejeo-ya-muda wa Nifâs? Katika hali ya mwenye heidh, inaruhusiwa kuingiliana nae iwapo atasafishika kabla ya muda wake “wa kawaida” wa ada yake. Katika hali ya Nifâs na kulingana na rai maarufu‎‎ ya madh-hab ya Hanbalî, kuingiliana ni makuruhu. Hatahivyo, rai ya sawa ni kwamba si makuruhu na huu ndiwo msimamo wa wanavyuoni wengi wa ki-Islamu, kwa sababu kufanya jambo kuwa ni makuruhu kunahitaji ushahidi utakaosaidia kutoka katika sheriya ya Uislamu. Katika hali hii, hakuna ushahidi isipokuwa yale yaliyopokewa kutoka kwa Imâm Ahmad: “Mkewe „Uthmân, mtoto wa Abî Al-„Âss alimjia kabla ya kumalizika kwa muda wa siku arubaini na akamwambia: „Niwache!‟”. Hii hailazimu kwamba alichukizwa aliyoyafanya kwa sababu yawezekana yakwamba alikuwa akijichunga akihofia kutokuwa na hakika kwamba alikuwa ashatwahirika (kutokamana na Nifâs) au kwamba huwenda kutokwa na damu kukaa‎‎nzishwa upya baada‎‎‎‎‎‎ ya kuingiliana nae au kwa sababu nyengine na Allâh‎ Ndiye Mjuzi Zaidi.

Page 70: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

57

SURA SABA

Matumizi ya vyenye kuzuiya heidh yanaruhusiwa chini ya masharti mawili:

La Kwanza: Yasipatikane madhara kwa mwanamke. Kwa sababu

amesema Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

“Na wala musijiangamize nafsi zenu.” [al-Baqarah 2:195]

“Wala musijiuwe nafsi zenu. Hakika Allâh‎ daima kwenu ni

Mwenye Huruma.” [an-Nisâ‟ 4:29] La Pili: Ikiwa matumizi yake yatamuathiri mume kwa njia moja au nyengine, hapo itabidi kwanza kabisa aombwe idhini. Kwa mfano: “Ikiwa mwanamke anaendelea na Eda yake na mume akawa analazimika kumpa matumizi, basi hatoruhusiwa kurefusha Eda yake

KUTUMIA VIZUIZI VYA HEIDH NA MADAWA YA

KUAMSHA HISIYA

Page 71: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

58

(kwa kutumia vizuizi vya heidh) ili ajipatie matumizi ya ziyada kutoka kwa mume. Atawajibika kumuomba ruhusa. Vilevile haifai kutumia vizuizi kama hivyo bila ya ruhusa ya mume ikiwa inajulikana yakwamba vizuizi vitamzuiya kupata mimba. Ni bora kutotumia vizuizi hivi isipokuwa chini ya masharuti hayo ya hapo juu, na lau kutakuwa kwahitajika kutumiwa vitu hivyo kikweli, kwa sababu kuyâcha mambo yaendelî kwa kawaida zake ni bora kwa uzani wa ki-Afya na usalama wa wanawake.

MATUMIZI YA DAWA ZA KUAMSHA HISIYA.

Inaruhusiwa chini ya masharti mawili:

La kwanza: Ni lazima matumizi mabaya yasipatikane zinapotumiwa. Kwa mfano, (mwanamke) kujiepusha na baadhi‎‎ ya mambo ya kuwajibika ya „Ibâda‎‎‎‎‎‎‎‎h, kama kutumia dawa za kuamsha hisiya muda mfupi kabla ya mwezi wa Ramadhân ili apate kuruhusiwa asifunge au asiswali.

La Pili: Matumizi ya madawa ya kuamsha hisiya ni lazima yaruhusiwe na mume, kwa sababu kuwepo heidh kutamzuiya yeye (mume) asipate kustarehe kikamilifu na mkewe. Pia, kama atakuwa amepewa talaka, basi atatupilia mbali kwa haraka haki za mumewe za kumrudisha kwake kwa sababu itaharakisha kumalizika kwa Eda yake. Hii inatumika katika hali ambapo talaka iliyothibitishwa ni ya aina fulani iitwayo „Talaka ya kuregelea‟ ambayo mume ana haki kumrudia mkewe kabla ya mwisho wa Eda yake.

Page 72: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

59

SURA NANE

Kwanza: Kuzuiya mimba kabisa. Hii hairuhusiwi kwa sababu:

a. Itapunguza idadi ya Waislamu na hili ni kinyume cha malengo ya Sheriya inayokusudia kuzidisha idadi ya Waislamu.

b. Mwanamke hawezi kudhamini dhidi ya vifo vya watoto alonao na kwahiyo huwenda akafa bila ya kuzaa‎ hata mtoto mmoja.

Pili: Kuzuiya mimba kwa muda fulani. Hii inatumika iwapo mwanamke aliwahi kupata mimba nyingi na jambo hilo likawa linânza kumdhoofisha afya yake. Iwapo atataka kupanga mazazi yake ili ashike mimba kila baada‎‎‎‎‎‎ ya miaka miwili, basi baada‎‎‎‎‎‎ ya kuruhusiwa na mumewe, ataruhusiwa kutumia dawa za kukinga mimba maadamu‎ matumizi yake hayatomdhuru afya yake. Maswahaba walikuwa

wakitumia mbinu za al-uzla1 na wala hawakukatazwa (na Mtume ( صلى

جةثس 1 ر النىبى (عنه الله رضي)خ ىة جػشل عل خ وسلم عليه الله صلى -كةل ن

Imepokewa kutoka kwa Jaabir (عنه الله رضي) kuwa amesema: “Tulikuwa

tukitekeleza Al-„Uzla (tukichomoa na kumwaga nje) wakati wa zama

za Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

KUTUMIA DAWA ZA KUZUIYA MIMBA

Page 73: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

60

وسلم عليه الله )). Njia hii inahusu kujamiiyana kuliko kwa kawaida baina ya

mke na mume, isipokuwa katika wakati wa kumwaga maji ya uzazi, mume huchomoa na kumwaga nje ya tupu ya mke.

Page 74: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

61

SURA TISA

Kwanza: Kukusudia kukiondoa kilicho ndani ya fuko la uzazi la mama. Ikiwa jambo hili lilipangwa baada‎‎‎‎‎‎ ya kiwiliwili kutiwa roho1, basi hapana shaka yakwamba ni haramu kwa sababu hicho ni kitendo cha

1 Imepokewa kutoka kwa „Abdullâ‎h Ibn Mas‟ûd ( عنهما الله رضي ) amesema:

“Amesema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) ambae ni Mkweli aliyeswadikishwa:

« أ ع ف بػ ي حرز

ى يسن إنى أ سو ذلم ، ث ى يسن غيلح ة ، ث ربػين ي

أ ى

ميك إل ى حجػر اللى سو ذلم ، ث )رواه الذةري(« مظؾح “Kila mmoja wenu amekusanywa ndani ya fuko la uzazi la mamake

kwa siku arubaini (katika hali ya mbegu), kisha akageuka kuwa pande la damu kwa muda kama huo (kwa siku arubaini), kisha akageuka

kuwa pande la nyama kwa muda kama huo (wa siku arubaini) kisha Allâh akamtumiliza Malaika (mwenye kumtia roho) ...”

[Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English), V. 8, Uk. 387, Hadîth No. 593] Katika matamshi ya Imâm‎‎ Muslim, muna ndani yake maneno yasemayo:

وح » الس فخ ذي يم ذي ى يسضو ال )رواه مطي(« ث

“... kisha Allâh akamtumiliza Malaika, mwenye kumtia roho.”

KUTUMIA NJIA ZA UHARIBIFU

Page 75: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

62

mauaji ya roho iliyokuwa hai1. Hii ni kulingana na Kitabu cha Allâh‎, Sunnah na Ijmâ‟. Ikiwa kuharibu mimba kulifanywa kabla ya kutiwa roho, basi baadhi‎‎ ya Wanavyuoni wakaliruhusu hilo na baadhi‎‎ nyengine hawakuliruhusu.

baadhi‎‎ nyengine ya Wanavyuoni wamesema kuwa inaruhusiwa maadamu‎ si „Alaqah (pande la damu) yaani; maadamu‎ muda wa

1 Mtungaji ( الله رحمه ) amezungumzia kuhusu kitendo hiki katika vitabu

vyengine. Katika kitabu hiki cha Al-Fatâwa an-Nisâ‟iyyah (Fatwa zinazohusiana na wanawake), alisema katika ukurasa wa 54-55: “Hiki ni

kitendo cha Haraam na kinakwenda kinyume na aliyoyakusudia Mtume ( الله صلىوسلم يهعل ) kwa Ummah huu (kuzaana na kuongezeka). Ni mojawapo ya sababu

ambazo zinazoweza kuwadhoofisha Waislamu na kuwadhalilisha kwa sababu, iwapo Waislamu wataongezeka idadi yao watakuwa na nguvu na hiyo ndiyo sababu Allâh alizungumzia khabari za wana wa Isra‟eel:

“Na tukawasaidia nyinyi kwa utajiri na watoto na tukawafanya kuwa wengi katika utenda kazi.” [al-Isrâ‟ 17:6]

Allâh ( وتعالى سبحانه ), kwa kupitia kwenye ulimi wa Mtume Shu‟aib ( السلام عليه ),

aliwakumbusha watu wa Shu‟aib kwa kuwaambia:

“… na kumbukeni pindi mulipokuwa, lakini ni wachache nae akawaongeza.” [al-A‟raaf, 7:86]

Vilevile inajulikana yakwamba Taifa lolote lenye idadi kubwa ya watu linaweza kujitosheleza na huogopewa na maadui zake. Kwahivyo, hairuhusiwi kukatiza uwezo wa mazazi isipokuwa ikiwepo haja kubwa ya kufanya hivyo, kwa mfano ikiwa mimba inaweza kumuuwa mwanamke au ikiwa maradhi ya hatari yamedhuru fuko la uzazi na iwapo maambukizi huwenda yakaenea kwenye sehemu nyengine ya mwili na kuangamiza maisha ya mwanamke huyo.”

Page 76: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

63

mimba haujafika siku arubaini. Kuna na wengine pia wanasema inaruhusiwa maadamu‎ mzigo huo (mimba) haujakuwa na umbile la mwana-adamu. Hatahivyo, ni bora kuwa na hadhari na kujiepusha na kuiharibu mimba hiyo isipokuwa itapatikana haja ya dharura, kwa mfano, mama ni mgonjwa na ameshindwa kuendelea na mimba, hapo itaruhusiwa kuharibu maadamu‎ mimba hiyo haijakuwa na umbile la mwana-adamu, na Allâh‎ ndie Mjuzi zaidi wa hayo.

Pili: Niya haikuwa ni kuondoa Mzigo. Uharibifu wa mimba unapofanywa mwishoni mwa muda wa mimba na karibuni na mazazi, basi hii inaruhusiwa maadamu‎ mama hatodhuriwa wala mzaliwa wake mpya. Pia maadamu‎ hakuna haja ya matayarisho ya upasuaji. Itokeapo haja ya kufanywa upasuaji, basi mambo manne huwenda yakatokea:

a. Wote, mama na mtoto wako hai: Upasuaji katika hali hii unaruhusiwa, ikiwa kuna haja ya dharura, kwa mfano, matatizo wakati wa mazazi. Hii ni kwa sababu mwili ni dhamana na haufai kusababishiwa uwezekano wa hatari isipokuwa iwapo kutapatikana faida nyingi.

b. Wote, mama na mwanae wamekufa: Hairuhusiwi kufanya upasuaji kwa sababu hakuna faida yenye kuhusika.

c. Mama yu hai na haliyakuwa mwanae amekufa: Inaruhusiwa kumuondoa kwa njia ya upasuaji mzigo uliokufa (isipokuwa iwapo kunahofiwa huwenda mama akapata maafa‎‎). Ni wazi, na Allâh‎ anajua zaidi, yakwamba mzigo ulokufa hauwezi kutolewa bila ya upasuaji. Kuwepo kwake ndani ya tumbo la mama huwenda kukamkomesha mazazi ya siku za usoni na hiyo hali yenyewe ni uzito mkubwa juu yake. Zaidi ni kwamba, hali hii huwenda ikamfanya mwanamke kuwa ni kama Ayyem (mjane) ikiwa alikuwa katika hali ya Eda baada‎‎‎‎‎‎ ya kupewa talaka na mumewe aliyetangulia.

Page 77: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

64

d. Mama amekufa na mwanae yu hai: Ikiwa itatarajiwa kwamba mtoto hatoishi, basi hairuhusiwi kumtoa mzigo wake. Hatahivyo, ikiwa itatarajiwa kuwa huwenda mtoto akaishi na kwamba baadhi‎‎ ya sehemu yake ishajitokeza, hapo itaruhusiwa kukamilisha mazazi kwa njia ya upasuaji. Kwa upande mwengine, iwapo hajajitokeza kabisa, basi kulingana na baadhi‎‎ ya wataalamu‎‎ wa Fiqh, kutolewa kwa mtoto kwa njia ya upasuaji kunazingatiwa kuwa ni kitendo cha “Ukataji wa viungo”. Msimamo wa sawa, hatahivyo, ni kwamba tumbo la mama linaweza kufunguliwa kwa njia ya upasuaji ili kuruhusu kutolewa kwa mzigo, hususan ikiwa hakuna njia nyengine na kwa kutokana na maendeleo ya mipango ya upasuaji, ambapo tumbo linaweza kufunguliwa na kushonwa tena. Vilevile, kwa sababu ya usalama wa aliye hai ni bora kuliko wa yule aliyekufa na kwamba ni wâjib kumuokoa yule ambae hana makosa yoyote (hana madhambi yoyote). Mzaliwa mpya hana madhambi yoyote na Allâh‎ ndiye Mjuzi zaidi.

Nukta Ya Hadhari:

Katika mas‟ala yote ambapo inaporuhusiwa kuharibu mimba, inahitajika kupata idhini kutoka kwa baba. Kuhusiana na mas‟ala

haya, Daktoor Sheikh Saleh As-Saleh ( الله رحمه ) alimuuliza Sheikh

Muhammad Ibn Sâlih Al-„Uthaymîn, katika siku ya Ijumaa‎‎, tarehe 17 Muharram, 1413 Hj (sawa na 17th July, 1992) yakwamba: “Tuseme kulikuwa na haja ya dharura kutoka kwa mwanamke mwenye mimba kuharibu mimba hiyo lakini haikuwezekana kupata idhini ya baba, Jee, ataweza kuendelea kuiharibu mimba hiyo? Jawabu la Sheikh ni kwamba: “Katika hali hii mahitaji yanabatilisha shuruti za idhini.”

Page 78: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

65

Nimemaliza niliyoyakusudia kuhusu somo hili muhimu. Nimewekelea misingi peke yake. Kwa ukweli, yale wanayopambana nayo wanawake ni bahari isiyokuwa na ufuo. Mwenye mtazamo mzuri anaweza kuyarejesha mas‟ala yenye ufafanuzi kwenye misingi na kufikia katika kiwango kinachostahiki. Muache Mufti (Mwanachuoni Muislamu anaetoa hukmu za ki-Islamu) ajue yakwamba yeye ni chombo chenye kufikiliza hukmu za Allâh‎ na Mjumbe wake na kwamba ana jukumu kuandama Kitabu cha Allâh‎ na Sunnah, na anatakiwa azingatie kila kitu chenye kwenda kinyume na Kitabu cha Allâh‎ na Sunnah kuwa ni cha makosa na wala kisitekelezwe au kufuatwa hata kama huwenda ikawa kimesemwa na Mujtahid (Mwanachuoni anaefanya Ijtihâd) awezae kusamehewa kwa ijtihâd yake. Mwenye kujua yakwamba Ijtihâd katika mas‟ala fulani ilikuwa ni ya makosa, basi na asiikubali.

Ni wâjib yakwamba Mufti aitakase niya yake kwa ajili ya Allâh‎, akitaraji msâda wa Allâh‎ na usaidizi wake uwe thabiti na kuongozwa katika mambo ya sawa. Ni lazima azingatie, afanye utafiti na achunguze yaliyo katika Kitabu cha Allâh‎ na katika Sunnah za Mtume

( وسلم عليه الله صلى ) na atafute ufafanuzi unaotolewa na Wanavyuoni wa ki-

Islamu na aufahamu vyema.

Mara nyingi hutokea matukio fulani na mwenye kutafuta waliyoyasema wanavyuoni hawaoni hukmu zitakazo tosheleza moyo wake au mtu asione chochote kilichosemwa. Ikiwa mtu atarudi kwenye Kitabu cha Allâh‎ na Sunnah, yategemea niya yake, ilimu, na

MAONI KATIKA KUMALIZIA

Page 79: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

66

ufahamu, yeye (mke/mume) anauwezo wa kufikilia katika dalili iliyo wazi na ya sawa.

Ni jambo la lazima yakwamba Mufti hatakikani kuwa mwepesi katika kutoa fatwâ (hukmu ya kisheriya). Mtu anapohitaji ufahamu na utafiti wa kisawasawa, basi Mufti na asiwe na haraka kwa sababu huwenda akatoa hukmu ya makosa kisha akaanza‎ kujuta baada‎‎‎‎‎‎e. Watu wanapojua yakwamba Mufti fulani huwa na tahadhari na mazingatio kuhusu ulalamishi alioletewa, watu watamuamini na wauzingatie uamuzi wake au vyenginevyo iwapo ataharakisha na kukimbilia kutoa fatwa zake, huwenda wasiwe na imani na uamuzi wake na kwahiyo, atakuwa amejinyima mwenyewe na wengineo kutokamana na faida za ilimu yake.

Namuomba Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ), Atuongoze na ndugu zetu

Waislamu katika njia Yake ya sawa, na Atupe ul‎‎inzi wake na Atuepushe na kufanya maovu, Yeye ndiye Mtoaji aliye Mkarimu zaidi.

Swala na Salâ‎‎‎‎‎m za Allâh‎ zimfikie Mtume wetu Muhammad, Ahli yake na Maswahaba zake. Kila Sifa njema ni zenye kumthubutukia Allâh‎, Ambae kwa Rehma Zake, matendo mema hutimizika.

Imekamilishwa kwa kalamu ya yule ambae ni fakiri mbele ya Allâh‎, Muhammad Ibn Sâlih‎‎ Al-„Uthaymîn katika siku ya Ijumaa‎‎, tarehe 14th ya Sha‟bân, mwaka wa 1392 Hj.

Page 80: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

67

Yafuatayo ni masuali yanayohusiana na somo la kitabu hiki, na yakajibiwa na muandishi, Sheikh Muhammad Ibn Sâlih‎‎ Al-„Uthaymîn

( الله رحمه )

Kutumia Vizuizi Vya Heidh:

Q1: Ni nini hukmu inayohusiana na matumizi ya tembe za kuzuiya heidh katika mwezi wa Ramadhân?

Maadamu‎ hakuna madhara katika matumizi yake na maadamu‎ mume ataruhusu jambo hilo, basi inaruhusiwa kutumia tembe hizo. Hatahivyo, nimekuja kugundua yakwamba hatua hii inaweza kumdhuru mwanamke, hususan kama inajulikana yakwamba kutokwa na damu kwa njia ya heidh ni mpango wa kawaida. Kuzuia mfumo huu wa njia asilia huwenda kukazuia madhara fulani kwa mwanamke. Vilevile matumizi ya tembe hizi kunaweza kuathiri udhibiti wa huo mzunguko wa ada ya kila mwezi kisha jambo hilo humtia kwenye shaka na babaiko kuhusu kuswali kwake na iwapo ana uwezo wa kujamiiana na mumewe au Lâ‎‎‎. Kwa sababu hii na sababu nyengine

MASUALI NA JAWABU

KIAMBATISHO

Page 81: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

68

zenye kuhusiana, mimi siwezi kusema yakwamba matumizi ya tembe hizi ni haramu, lakini mimi binafsi sipendi wala sihimizi. Mimi nasema yakwamba mwanamke na ayakubali yale ambayo Allâh‎ alomuamrisha

na awe na mazingatio juu ya jawabu ya Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kwa

mkewe „Âisha alipopata ada yake ya mwezi baada‎‎‎‎‎‎ ya kuhirimia kwa

„Umra. Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alimuuliza „Âisha:

« ىػيىم فطخ »

“Labda huwenda ikawa umepata ada yako?”

„Âisha akamjibu, “Naam‎.” Kisha Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) nae

akamwambia:

ةت آدم » عل ب اللى ء نذج (رواه الذةري) « ـإنى ذلم ش“Kwa hakika hilo ni jambo ambalo Allâh‎ alilowândikia mabinti

wote wa Âdam.”1

Mwanamke anatakiwa awe na subira akitarajia malipo mema kutoka kwa Allâh‎. Iwapo hatoweza kutekeleza Swala na kufunga kwa ajili ya heidh yake, mlango utabaki wazi kwake kuzikumbuka na kuzitamka Sifa za Allâh‎, kutoa sadaka na kuwafanyia watu mema na vitendo kama hivyo ni mambo makubwa ya „Ibâda‎‎‎‎‎‎‎‎.

Q2: Miezi miwili baada‎‎‎‎‎‎ ya kuolewa, mwanamke alianza kuona vitone vya damu baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika na heidh. Jee, ataruhusiwa kuswali na kufunga, au afanyeje?

Matatizo mengi yenye kukabiliwa na heidh na mambo ya ndoa ni bahari isiyokuwa na ufuo. baadhi‎‎ ya yenye kusababisha yanahusu haya

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 182, Hadîth No. 302

Page 82: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

69

matumizi ya tembe za kuzuiya heidh na tembe za kuzuiya mimba. Zamani watu walikuwa hawapati matatizo haya mengi tuliyonayo siku hizi. Hii inasikitisha.

Hukmu ya kawaida ya kukumbukwa ni kwamba kila mwanamke aliye kwenye heidh anapoona ishara zinazodhihirika za Twahara, basi huyo huwa ametwahirika. Maana‎ yake ni “chepechepe nyeupe” yajulikanayo na wanawake. Chochote kinachotoka baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika, kuanzia chepechepe za manjano, chepechepe zilizorowa, au vitone, huwa si heidh na kwahivyo havimzuii mwanamke kuswali, kufunga wala hata kujamiiyana na mumewe. Umm „Atiyyah alisema: “Hatukuzingatia mituruziko yenye rangi ya manjano kuwa na umuhimu wowote.” (Al-Bukhâri) na Abu Dâwûd‎‎ akaongezea “baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika”1 (kumaanisha‎ chepechepe itokayo baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika hayakuzingatiwa kuwa ni heidh).

Neno la kuwatahadharisha ni kwamba wanawake wasikimbilie mpaka wawe na uhakika yakwamba wako kwenye hali ya kutwahirika, kwa sababu baadhi‎‎ ya wanawake pindi wanapokuwa wamekauka, hukimbilia kuoga kabla ya kuhakikisha yakwamba wameona alama ya kutwahirika. Hii ndiyo sababu ya wake wa Maswahaba walikuwa

wakipeleka vibinda vyao vya pamba kwa „Âisha( عنهما الله رضي ), nae

alikuwa akiwâmbia, “musifanye haraka mpaka uone mturuziko mweupe (Al-Qassah Al-Baydhâ‟)”.

Q3: Jee kuhusu chepechepe iliyorowa (unyevu)? Ni Twahara au ni Najisi?

Lijulikanalo, kulingana na Wanavyuoni wa Ki-Islamu, ni kwamba kila kitokacho kutoka katika tupu (ya mbele au ya nyuma) ya mwanamume au mwanamke ni najisi isipokuwa madhii ambayo ni safi. Kulingana na hali ilivyo, kitokacho kwa mwanamke ni najisi na kinashurutisha kutawadha. Haya ndiyo niliyoweza kuyapata kuhusu

1 Msururu mzuri wa wasimulizi

Page 83: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

70

mas‟ala haya na baada‎‎‎‎‎‎ ya kujadiliana na baadhi‎‎ ya wanavyuoni wengine. Ingawaje bado mimi natatizika na msimamo huo kwa sababu baadhi‎‎ ya wanawake bado wanaendelea kuwa na aina hii ya mturuziko.

Suluhisho, kwa ulinganifu na mtazamo wa mwenye kutokwa na mkojo mfululizo, ni kwao kutawadha kila ufikapo wakati wa swala. Kisha nikazungumza na baadhi‎‎ ya matabibu na nikasema kama ipasavyo, “ikiwa mturuziko huu ni mturuziko utokao kwenye bofu la mkojo basi suluhisho ni hilo nililotangulia kulieleza hapo juu, na ikiwa mturuziko huwo unatoka mahali ambapo mzaliwa mpya alipotoka (fuko la uzazi), basi itambidi mtu pia atawadhe lakini chenye kutoka (au kuturuzika) ni twahara na kwahivyo si lazima kuosha nguo zilizoingiwa na mituruziko kama hiyo.”

Q4: Jee mwanamke aliye kwenye hali ya Nifâs, atahitajika kusubiri kwa muda wa siku arubaini kabla ya kuweza kuswali au kufunga. Au anaweza kufanya vitendo hivi vya „Ibâda‎‎‎‎‎‎‎‎ pindi damu yake itakaposimama na akajisafisha?

Mwanamke aliye kwenye hali ya Nifâs hana muda maalum. Maadamu‎ ataona damu ya Nifâs, itambidi ajiepushe na Swala, Kufunga, au kuingiliana na mumewe. Ikiwa atatwahirika kabla ya muda huo wa siku arubaini (hata katika siku ya 10 au 15), basi ataweza kutekeleza vitendo hivyo vyote vya „Ibâda‎‎‎‎‎‎‎‎ vilivyotajwa hapo juu na ujumlishe kuingiliana na mumewe pia. Nifâs ni hali inayohusiana na kiwiliwili. Matumizi ya Sheriya za Nifâs yanahusiana na kuwepo au kukosekana kwa damu ya Nifâs. Hatahivyo, katika hali ambayo kutokwa na damu huendelea kwa zaidi ya siku sitini, basi mwanamke ataingia katika hali ya Istihâdhah. baada‎‎‎‎‎‎ ya muda wa siku arubaini, ataanza‎ kuhesabu siku zake za kawaida za heidh na kujiepusha na swala, kufunga na kuingiliana na mumewe, kisha ajitwahirishe kwa kuoga na kuswali akizingatia hali yake kuwa katika Istihâdhah. (Angalia kwenye mlango wa Istihâdhah na Nifâs).

Page 84: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

71

Kutokwa Na Damu Na Kufunga Swaum:

Q5: Mwanamke afanyeje ikiwa hazilipi siku ambazo hakufunga katika mwezi wa Ramadhân kwa ajili ya kupata Heidh yake?

Ni jambo la kusikitisha kwa hali kama hii kutokea miongoni mwa wanawake waumini. Emma hii ni kutokana na ujinga au uvivu na sababu zote hizo ni za makosa! Kwa sababu tiba ya ujinga ni kuwauliza wale wenye kujua na tiba ya uvivu ni uchaji wa Allâh‎ na adhabu Yake. Kwahivyo mwanamke ambae, pengine huwenda ikawa ndiye aliyefanya hivyo na atubie kwa unyenyekevu kwa Allâh‎ na amuombe msamaha Wake. Vilevile na ajitahidi kujua idadi ya siku alizozikosa na azilipe. Namuomba Allâh‎ akubali toba za wanawake kama hao.

Q6 Istihâdhah : Mwanamke amefika umri wa miaka sitini na tano. Hakuwahi kuzaa‎ kwa miaka kumi na tisa iliyopita. Kwa miaka mitatu iliyopita alikuwa akitokwa na damu mfululizo. Na afanyeje ili afunge, na wanawake kama yeye wafanyeje (kuhusu kuswali na kufunga)?

Aina hii ya mwanamke na ajiepushe na kufunga na kuswali wakati wa ada yake ya kawaida ya heidh. Ikiwa, kwa mfano alikuwa na mazoea ya ada yake ya heidh katika siku sita za mwanzo wa kila mwezi, basi huyu na ajiepushe na kuswali na kufunga katika siku sita za mwanzo wa kila mwezi. Hilo likishafanywa, aoge, aswali na afunge. Ama kuhusu kuswali kwake ataswali vipi, ataosha tupu yake kisawasawa na ajifunge kibindo (kwenye hiyo tupu yake), kisha atawadhe. Atafanya hivyo ufikapo wakati wa swala ya faradhi. Pia anaweza kufanya kama hivyo kwa swala za nawâfil katika wakati usokuwa wa swala za faradhi. Kutokana na uzito huo unaowakabili wanawake kama hao, inaruhusiwa kwake kuchanganya (wala sio kufupisha) swala ya adhuhuri na swala ya al-„Asr (na aswali ema katika wakati wa Dhuhr au katika wakati wa „Asr) na Maghrib na „Ishâ‟ (na aswali ema katika wakati wa Maghrib au katika wakati wa „Ishâ‟). Kwa mpangilio wa aina hii, anaweza kupanga kuswali mara tatu (ukiwemo wakati mmoja wa swala ya al-Fajr) badala ya mara tano kwa siku. Anaweza

Page 85: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

72

kutekeleza swala za Nawâfil kwa kutegemea wudhoo‟ wake wa swala yoyote ya kujumuishwa.

Q7:Mwanamke alivunja swaum yake katika mwezi wa Ramadhân kwa siku saba alipokuwa katika hali ya Nifâs. Hakuzilipa siku hizo kwa sababu alidai yakwamba alikuwa mgonjwa. Katika mwezi mwengine ulofuata wa Ramadhân, hakufunga kwa siku nyengine saba kwa sababu alikuwa akinyonyesha. Jee, afanyeje?

Ikiwa kwa hakika alikuwa ni mgonjwa, na hakuweza kuzilipa hizo siku saba za mwanzo, basi anasamehewa hata kama Ramadhân iliyofuata ilipita. Ikiwa hakuwa mgonjwa ki-hakika, bali alikuwa mvivu, basi atakuwa amefanya madhambi, na itambidi atubie kwa unyenyekevu

kwa Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ). „Âisha( عنهما الله رضي ) hakuweza kulipa baadhi‎‎ ya

siku za kufunga (katika mwezi fulani wa Ramadhân) mpaka ikafika Sha‟bân; yaani Mwezi unaotangulia kufunga kwa Ramadhân ifuatayo:

Imepokewa kutoka kwa Abî Salamah kuwa amesema: “Nilimsikiya

„Âisha( عنهما الله رضي ) akisema:

كض »ن أ

ضذػيع أ

ة أ رمظةن ، ذ م ى الصى إلاى ف كن يسن عل

(رواه الذةري) « شػجةن “Nilikuwa mara nyengine nikikosa kufunga baadhi‎‎ ya siku za Ramadhân, lakini nikawa siwezi kuzilipa isipokuwa ifikapo

mwezi wa Sha‟bân.”1

Kwahivyo, ikiwa mwanamke ana sababu ya kikweli, basi anaweza kulipa siku alizokosa katika mwaka (au hata miaka miwili) ijayo.

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 3, Uk. 98, Hadîth No. 171

Page 86: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

73

Q8: Mwanamke mjamzito alipoteza mtoto (aliyekuwa tumboni ambae bado hajazaliwa) katika ajali baada‎‎‎‎‎‎ ya kumwagika damu nyingi sana. Mimba yake ilikuwa bado ni changa. Jee, ataruhusiwa asifunge au na aendelî kufunga? Na Jee, atakuwa anafanya madhambi ikiwa alifunguwa swaum yake?

Mimi nasema kama alivyosema Imâm Ahmad, mwanamke mwenye mimba huwa hana heidh. Wanawake hutambua yakwamba wao wana mimba pindi ada zao za kila mwezi za heidh zinaposimama. Heidh,

kama baadhi‎‎ ya wanavyuoni wanavyosema, imeumbwa na Allâh‎ ( سبحانه kama njia ya kuwasilisha virutubishi katika kiinitete. Mimba (وتعالى

itokeapo, heidh hupotea. Hatahivyo, baadhi‎‎ ya wanawake huwenda wakawa wanapata heidh baada‎‎‎‎‎‎ ya kupata mimba. Hii huzingatiwa kuwa ni heidh ya kikweli kwa sababu ile heidh yake ya asili haikuathiriwa na mimba na kwahiyo, hukmu zote zenye kuwajibika kwenye heidh zitaendelea kuwajibika.

Aina nyengine ya kutokwa na damu ni ya ki-ajali, kutokana na kuinua kitu kizito, kuanguka au mfano wa hayo. Hii si damu ya heidh, lakini ni damu itokayo kwenye mshipa na kwahiyo haimzuii mwanamke mja mzito na kufunga wala kuswali. Hali yake ni kama hali ya mwanamke aliye twahara.

Katika hali ya ajali ya mazazi na mzaliwa anaonyesha waziwazi umbile la mwana-adamu, basi damu hiyo itokayo kabla ya mazazi inazingatiwa na wanavyuoni wa ki-Islamu walio wasomi kuwa ni Nifâs. Kwahiyo wanawake na wajiepushe na kufunga na kuswali na mumewe asijamiiane nae mpaka atwahirike (Twâhirah). Ikiwa mzaliwa haonyeshi umbile la kibinadamu, basi kumwagika damu kwake si damu ya Nifâs, lakini ni damu “chafu” na hilo halimzuii yeye na kuswali wala kufunga, n.k; Wanavyuoni wasomi wa ki-Islamu wanasema yakwamba kwa uchache, muda wa kuumbika mwana-adamu ndani ya tumbo la mamake ni siku thamanini na moja,

Page 87: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

74

kulingana na hadîth ya Ibn Mas‟ood, ambapo Mtume (صلى الله عليه وسلم)

alisema:

ى يسن غيلح » ة ، ث ربػين ي أ ى

أ ف بػ ع ديل ي حرز إنى أ

ميك ، ذيؤمس ى حجػر اللى سو ذلم ، ث ى يسن مظؾح سو ذلم ، ثو ضػير

وشق أ جي

وأ ورزك ي ةت ، ويلةل ل انذت خ ربع ك

« ثأ

(رواه الذةري) “Kila mmoja wenu amekusanywa ndani ya fuko la uzazi la mamake kwa siku arubaini (katika hali ya mbegu), kisha

akageuka kuwa pande la damu kwa muda kama huo (kwa siku arubaini), kisha akageuka kuwa pande la nyama kwa muda kama

huo (wa siku arubaini) kisha Allâh‎ akamtumiliza Malaika (mwenye kumtia roho) na Akamuamrisha aandike‎‎ mambo manne, yaani; rizki yake, umri wake, na iwapo atakuwa ni miongoni mwa waovu au wema (katika siku ya Qiyâmah)”1

Haiwezekani kwa kiumbe kukamilika umbile la ki-binadamu kabla ya muda huu wa siku 81, na kwa mara nyingi, muda huu ni siku tisiini kama ilivyosemwa na baadhi‎‎ ya wanavyuoni wa ki-Islamu.

Heidh Na Swala:

Q9: Ni nini hukmu kuhusu mwanamke mwenye kupata heidh muda mchache baada‎‎‎‎‎‎ ya kuingia wakati wa swala, na pia ni nini hukmu yake ikiwa atatwahirika kabla ya kutoka kwa wakati wa swala ya faradhi?

Ikiwa mwanamke atapata heidh yake katika wakati wa swala ya faradhi na akawa hajatekeleza swala hiyo haliyakuwa alikuwa yuko

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English), V. 8, Uk. 387, Hadîth No. 593

Page 88: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

75

twahara, basi atawajibika kuilipa swala hii kulingana na maneno ya

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

لا » الصى درك ركػح أ لاة درك الصى

ذفق غيي « ة ذلر أ

“Atakaepata rakâ‟a‎‎ moja katika swala (katika wakati wake wa kisheriya), basi huyo ameipata swala.”1

Kwahivyo ikiwa ataweza kupata rakâ‟a‎‎ moja, kisha mara akapata heidh yake kabla ya kuitekeleza swala yenyewe kihakika, basi ni lazima ailipe swala hii pindi atakapo kutwahirika. Kwa upande mwengine, ikiwa atatwahirika kabla ya mwisho wa wakati wa kisheriya wa swala fulani, basi itamlazimu ailipe swala hii baada‎‎‎‎‎‎ ya kujitwahirisha (josho kamili) yaani; ikiwa heidh yake itasimama na akawa ana wakati wenye kumtosheleza kutekeleza rakâ‟a‎‎ moja tu kabla ya kucha kwa jua, basi itamlazimu kuilipa swala ya al-Fajr pindi atakapo kutwahirika. Pia ikiwa heidh yake itasimama na kukawa kuna wakati wa kuweza kutekeleza rakâ‟a‎‎ moja kabla ya usiku wa kati na kati (mid-Night), basi itamlazimu ailipe swala ya „Ishâ‟ pindi ajitwahirishapo. Lakini ikiwa damu yake itasimama baada‎‎‎‎‎‎ ya usiku wa kati na kati, basi haitomlazimu kuilipa swala ya „Ishâ‟, lakini itamlazimu kuswali swala ya al-Fajr kwa wakati wake. Amesema Allâh‎

( وتعالى سبحانه ):

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 322, hadîth ‎‎ No. 554.

Page 89: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

76

“Mwishapo kuswali kuweni mnamkumbuka Allâh‎ (vile-vile) msimamapo na mkaa‎po na (mlalapo) ubavu. Na mtakapopata amani (mkawa katika salama, hapana vita), basi simamisheni

swala (kama desturi). Kwa hakika swala kwa Waislamu ni faradhi iliyowekewa nyakati makhsusi.” [an-Nisâ‟ 4:103]

Swala hizi ni swala maalum zenye nyakati maalum za kuzitekeleza na hairuhusiwi kwa mtu kuzitekeleza kabla au baada‎‎‎‎‎‎ ya nyakati hizo ziliowekwa.

Q 10: Hebu tuchukulie kuwa mwanamke alitwahirika kutoka katika heidh yake kabla ya swala ya al-Fajr, lakini akaoga baada‎‎‎‎‎‎ ya kuanza kwa wakati wa swala, na akafunga siku hiyo. Jee, kufunga kwake ni sawa?

Ikiwa mwanamke atatwahirika katika mwezi wa Ramadhân dakika moja kabla ya kuanza kwa wakati uliowekwa kisheriya wa Al-Fajr, basi itamlazimu kufunga siku hiyo na swaum yake itakuwa sawa na haimlazimu yeye kuilipa swaum kwa sababu alifunga haliyakuwa alikuwa twahara hata kama hakuoga mpaka baada‎‎‎‎‎‎ ya kupanda kwa al-Fajr. Suala hili limefanana na mtu (mwanamume) anapopata janaba kutokana na ndoto, anaweza kula Suhoor yake (Daku) – chakula kiliwacho kabla ya Fajr, afunge na aoge baada‎‎‎‎‎‎ ya Fajr.

Ningelipenda kuwatahadharisha wanawake wenye kudhania yakwamba wanapopata heidh zao baada‎‎‎‎‎‎ ya kufungua swaum zao na kabla ya swala ya „Ishâ‟ kuwa kufunga kwao si sawa. Ufahamu huu ni wa KI-MAKOSA. Kufunga kwao kulikuwa ni sawa na kumekamilika, hata kama wamepata heidh zao za kawaida kwa muda wa dakika moja BAADA‎‎‎‎‎‎ ya kutwa kwa jua (Maghrib).

Page 90: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

77

Heidh katika hajj & „Umra:

Q 11: Mwanamke alipata ada yake ya mwezi alipokuwa akitekeleza Hajj. Hakumwambia mtu yoyote kutokana na kuona haya kwake. Akaingia kwenye Masjid ul Harâm, akaswali, akafanya Twawâf na Sa‟i. Sasa afanyeje, akijua yakwamba heidh yake ilimjia baada‎‎‎‎‎‎ ya Nifâs yake?

Hakuna mwanamke mwenye heidh anaeruhusiwa kuswali nyumbani kwake, Makkah, au mahali pengine kutokana na maneno ya Mtume

( وسلم عليه الله صلى ):

« دص دصوى ول ىيص إذا حةطخ ل (رواه الذةري) « أ

“Sikweli yakwamba mwanamke haswali na wala hafungi akiwa katika heidh?”1

Wanavyuoni wote wa ki-Islamu walikuwa juu ya Ijmâ‟ moja kwamba mwanamke hafai kuswali wala kufunga akiwa kwenye heidh. Mwanamke huyu na atubie kwa Allâh‎ na amuombe msamaha kwa aliyoyafanya. Ama kuhusu Twawâf yake, alifanya makosa na ni lazima alipe Twawâf yake na mumewe hafai kuingiliana nae mpaka airudie Twawâf yake. Ikiwa jambo hilo lilifanywa na mwanamke ambae hajaolewa, basi hairuhusiwi kwa mwanamke huyu kuolewa mpaka ailipe Twawâf hiyo na Allâh‎ Ndiye Mjuzi zaidi. Ama kuhusu kuswihi kwa Sa‟i yake, rai yenye nguvu ni kwamba imeswihi kwa sababu inaruhusiwa, kulingana na rai hii, kutekeleza Sa‟i kabla ya Twawâf.

Q 12: Mwanamke alivuka Mîqât1 haliyakuwa alikuwa kwenye heidh. Hakuhirimia na alikaa‎ Makkah mpaka alipotwahirika na akahirimia hapo. Jee, inaruhusiwa kufanya hivyo, na lau hairuhusiwi, nifanyeje?

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 182, hadîth ‎‎ No. 301

Page 91: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

78

Hii hairuhusiwi. Mwanamke anatakikaniwa ahirimie akiwa kwenye Mîqât, na asivuke hapo, hata kama atakuwa kwenye heidh. Kuhirimia kwake inajuzu. Dalili inapatikana katika kisa cha Asmaa‎ Bint Umaiss

( عنهما الله رضي ) (mkewe Abu Bakr). Alizaa‎ akiwa njiani kuelekea Hajj na

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alikuwa katika Mîqât ya Dhul Hulaifah2

akikusudia kutekeleza Hajj yake ya mwisho. Akatumana kwa Mtume

( وسلم عليه الله صلى ) kuhusu yanayompasa kufanya hapo. Mtume ( عليه الله صلى :akamwambia (وسلم

حسم » ب وأ (رواه مطي) «اؽتطل واضتسفسى ثس

“Oga, wastathfirî3, kisha uhirimie.”4

Damu ya heidh ni kama damu ya Nifâs, kwa maana‎ yakwamba mwanamke anatakiwa aishughulikie vilevile kuhusu kujisafisha kwake na kujitayarisha kwa Ihrâm. Mwanamke mwenye heidh, awapo amevâ Ihrâm, haruhusiwi kuingia Masjid ul‎‎-Harâm na haruhusiwi kufanya

Twawâf mpaka atwahirike. Hiyo ndiyo sababu Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

alimwambia „Âisha ( عنهما الله رضي ) alipopata heidh yake alipokuwa

akifanya „Umra:

سى » ن لا تػف ثةليخ حتى تػةج ، دي أ

ة حفػو ال « اذػل

1 Kutoka katika wingi (Mawâqît‎‎‎): Baadhi ya mipaka ambayo iliyotajwa na

Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kuwa ni sehemu watakazoazimia wafikapo hapo na

kuvaa Ihraam zao wakielekea Makkah kwa minajil ya kutekeleza Hajj au „Umra. 2 Dhul Hulaifah: Mahali fulani umbali wa maili Sita kutoka Madina kuelekea Makkah. 3 Istathfiree: Kujifunga (kuvaa) imara ubindo katika sehemu ya tupu (ya mwanamke). 4 Swahîh‎‎‎ Muslim (English) V. 2, Uk. 598-599, Hadîth No. 2762 & 2763.

Page 92: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

79

(رواه الذةري)“Fanya kila wayafanyayo mahujaji isipokuwa wewe usitekeleze

Twawâf kulizunguka Al-Ka‟bah mpaka uwe umetwahirika.”1

Pia katika Swahîh al-Bukhâri, „Âisha( عنهما الله رضي ) alisema yakwamba

alipotwahirika kutokamana na heidh yake alitekeleza Twawâf na Sa‟i.2 Hii inâshiriya yakwamba ikiwa mwanamke atapata heidh yake wakati wa Ihrâm au kabla ya Twawâf, basi hafai kutekeleza Twawâf au Sa‟i mpaka atwahirike na baada‎‎‎‎‎‎ ya kuoga. Ikiwa atapata heidh yake baada‎‎‎‎‎‎ ya Twawâf, anaweza kutekeleza Sa‟i, na anaweza kung‟oa sehemu kutoka katika nywele zake, na kumaliza haki zote za „Umra. Hivyo ndivyo ilivyo, kwa sababu kujitwahirisha kutokamana na heidh si katika shuruti za Sa‟i.

Heidh Na Talaka:

Q 13: Tafadhali hebu tufafanulie shuruti za at-‎Talâ‎‎‎‎q ar-Raj‟î. Jee mwanamke aliyeachwa atakaa‎ wapi Eda yake, kwenye nyumba ya mumewe au kwenye nyumba ya jamii yake?

Mwanamke aliyeachwa ni lazima akae Eda yake kwenye nyumba ya mumewe na ni haramu kwa mumewe kumfukuza atoke nyumbani.

Amesema Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

1 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 182-3, Hadîth No. 302. 2 Swahîh‎‎‎ al-Bukhârî (Arabic-English) V. 1, Uk. 188-9, Hadîth No. 314 na 316, mtawalia.

Page 93: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

80

“Na musiwafukuze kutoka katika majumba (ya waume) zao, wala wao (wenyewe) wasiondoke isipokuwa iwapo wao

wenyewe watakiri makosa yao ya uzinifu. Na hiyo ni mipaka iliyowekwa na Allâh‎. Na yoyote atakae kengeuka mipaka ya Allâh‎, basi kwa hakika atakuwa amejidhulumu nafsi yake.”

[at-‎Talâ‎‎‎‎q 65:1]

Yanayofanywa na baadhi‎‎ ya watu wenye kuwafukuza wake zao waliowapa talaka kwenda kwenye nyumba za wazazi wao ni mambo ya makosa na yanakwenda kinyume na amri za Allâh‎, ambae, hapohapo kwenye aya hiyohiyo, amebainisha hikma ya kumuweka mke katika nyumba ya mumewe kwa kusema:

“Wewe (yule ambae aliyemuacha mkewe) hujui, huwenda pengine Allâh‎ ataleta baada‎‎‎‎‎‎e mambo mapya yapite (yaani; akurudishie ikiwa hiyo ilikuwa ni talaka ya kwanza au ya

pili).” [at-‎Talâ‎‎‎‎q 65:1]

Kwahivyo, Waislamu wasiishie kwenye mila zao na kuanza kukandamizana dhidi ya sheriya na mipaka iliyowekwa na Allâh‎.

Akiwa katika nyumba ya mumewe, anaruhusiwa kujipamba na kuwasiliana na mumewe na anaweza kufanya kila jambo linaloruhusiwa isipokuwa yanyopelekea kwenye kuingiliana na mumewe. Mume atakuwa na haki ya kumrudia kwa kutamka “Sasa mimi nakurudia” au anaweza kufanya hivyo kwa kutekeleza kitendo chenyewe cha kumuingilia kwa niya ya kutaka kumrudia.

Amma kuhusu Eda ya mwanamke aliyeachwa, nukta fulani ni lazima zibainishwe:

Page 94: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

81

1) Ikiwa aliwachwa kabla ya kuingiliwa na kabla ya kukaa‎‎ nae katika faragha yoyote, basi hakutokuwa na Eda kwake. Muda uleule anapomuacha, anaweza kuolewa ikiwa atapendelea hivyo. Na iwapo, kwa upande mwengine, alikuwa nae katika faragha, au alitekeleza kitendo cha kuingiliana nae, basi kutakuwepo na Eda kwake. Eda yake itahusiana na masharuti mengine kama ifuatavyo:

a). Ikiwa atakuwa na mimba, basi Eda yake ni mpaka atakapozaa‎, bila ya kujali urefu wa muda wa mimba yake. Kwa mfano, anaweza kumpa talaka asubuhi na anaweza kuzaa‎ kabla ya mchana. Kwahiyo, (muda wa) Eda yake utakuwa umekwisha. Anaweza kumpa talaka katika mwezi wa Muharram, na akazaa‎ katika mwezi wa Dhul Hijjah. Eda yake ni miezi kumi na mbili. Hii ni kwa

sababu Allâh‎ (وتعالى سبحانه ) ameibainisha yakwamba Eda ya

mwanamke mwenye mimba ni:

“Na kwa wale wenye mimba (ema wakiwa wamewachwa au

waume zao wamekufa), Eda zao ni mpaka ‎watakapozaa.” [at-Twalâ‎‎‎‎‎q, 65:4]

b). Ikiwa hakuwa na mimba, lakini anaweza kupata heidh, basi Eda yake ni Mihula Mitatu Ya Heidh Kamili baada‎‎‎‎‎‎ ya kuwachwa, yaani; anaingia mwezini kisha anatwahirika (muhula mmoja), akaingia tena mwezini na kutwahirika tena (muhula wa pili), na hatimae anaingia tena mwezini kwa mara ya tatu na kutwahirika (muhula wa tatu). Eda haitotegemea muda utakaokuwepo baina ya kila muhula. Ikiwa, kwa mfano, atawachwa haliyakuwa alikuwa akinyonyesha, na hakupata heidh mpaka baada‎‎‎‎‎‎ ya miaka miwili, basi atakuwa bado yuko kwenye Eda, mpaka apate mihula miwili mengine ya heidh. Bila ya kujali kuhusu muda utakaokuwepo

Page 95: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

82

baina ya mihula mitatu (mifupi au mirefu) Eda itabakia kuwa ni

Mihula Mitatu Kamili, kama alivyosema Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

“Na wanawake walioachwa watasubiri (kuhusiana na kuolewa

kwao) kwa mihula mitatu.” [al-Baqarah 2:228] c). Ikiwa hana heidh, ema ni mdogo hajafika umri wa kuwa na heidh

au ni mkongwe ashapindukia umri wa heidh, basi Eda yake

itakuwa ni miezi mitatu kama alivyosema Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

“Na wale waliokoma na kutoka heidh miongoni mwa

wanawake wenu, ikiwa mnayo shaka (katika muda wao wa eda), basi muda wa eda yao ni miezi mitatu (isipokuwa katika hali ya kifo), na (pia ndiyo eda kwa wale) ambao hawajapata

heidh bado.” [at-Twalâ‎‎‎‎‎q 65:4].

d). Iwapo, kwa sababu zinazojulikana, heidh ya mwanamke aliyekuwa akiendelea kupata imesimama, na wala heidh yake hiyo isimrudie tena (kwa mfano, ameondolewa fuko lake la uzao), basi eda yake ni kama ile ya mwanamke ambaye aliyepitisha umri wa ada ya kila mwezi; yaani: miezi mitatu.

e). Iwapo, kwa sababu zinazojulikana, alikosa kupata heidh yake, basi ni lazima asubiri mpaka ile sababu iondoke na heidh yake irudi (kama ilivyokuwa). Eda yake itakuwa ni mihula mitatu kamili.

Page 96: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

83

f). Iwapo, kwa sababu zisizoeleweka, alikosa kupata heidh yake, basi kulingana na wanavyuoni wa Ki-Islamu, atalazimika kukaa‎‎ Eda ya mwaka mzima: Miezi tisa ya kufidia muda wa kuhimili mimba na Eda ya miezi mitatu.

Hatimae mwanamke ambaye ndoa yake ilimalizika kwa Khul‟ (kumuacha mke baada‎‎‎‎‎‎ ya kulipa kikombozi cha halali kwa mumewe) au kwa njia nyengine, basi eda yake itakuwa ni muhula mmoja.

Kwa Uwezo wake Allâh‎, chapa ya pili ya kitabu hiki “DAMU ASILIA ZA WANAWAKE” ilikamilika katika mchana wa siku ya Ijumaa‎‎ 21st Rajab, 1415 Hj, inayoafikiana na 23rd December, 1994, katika mji wa Buraydah,

Mamlaka Ya Saudi Arabia

Page 97: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

84

Hukmu za ki-sheriya Katika Mlango huu zilizotolewa na Mufti Mkuu wa Saudi Arabia, Sheikh Ibn Bâz, Sheikh Ibn Jibrîn, Sheikh Ibn Uthaymîn na wengineo.

BAADHI YA MASUALI NA

JAWABU KUHUSIANA NA

HALI ZA HEIDH NA MAZAZI

Page 98: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

85

MWANAMKE HANAJISIKI KWA AJILI YA HEIDH AU KUTOKWA NA DAMU YA MAZAZI

SUALI: Mke wangu amejifungua (amezaa‎) na mmojawapo wa marafiki zangu akanizuiya nisiingie hapo nyumbani kwangu, kwa madai yakwamba ati hairuhusiwi kwa mtu kula chakula chochote kilichotayarishwa na mwanamke atokwae na damu ya mazazi. Huzingatiwa hali ya mwanamke huyu kuwa amenajisika kimwili na kimaumbile. Natumai utanisaidia katika mas‟ala haya. Kulingana na nijuavyo mimi, wanawake wenye kutokwa na damu ya mazazi hawaruhusiwi kuswali, kufunga au kusoma Qur‟ân?

JAWABU: Mwanamke hanajisiki kwa ajili ya heidh wala kutokwa na damu ya mazazi. Hakatazwi mtu kula nae wala kugusana nae kimwili, maadamu‎ sehemu yake ya tupu itaepukwa. Hatahivyo, ni makuruhu kugusana na sehemu za baina ya kitovu na magoti peke yake. Hii ime-egemezwa juu ya aliyoyapokea Muslim kutoka kwa Anas

( هـعن الله رضي ): Miongoni mwa Mayahudi, pindi mwanamke akiwa katika

heidh, huwa hawali chakula na yeye. Akasema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ):

ء إلاى النىكح » ا كى ش ػ «اص

“Fanyeni nao kila kitu (mupendavyo, kama kawaida yenu), isipokuwa musijamiiane nao.”

Al-Bukhâri na Muslim pia walinukuu kutoka kwa „Âishah ( الله رضي) aliyesema yakwamba Mtume (عنهما وسلم عليه الله صلى ) alikuwa akimwambia

ajifunge kitambara cha kiuno na kisha alikuwa akiamiliana nae kimwili haliyakuwa yuko katika heidh. Hakuna athari yoyote juu ya kula nae au kula chakula alichokitayarisha, kutokamana na

Page 99: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

86

kuharamishwa kwa swala, kufunga na kusoma Qur‟ân1 akiwa kwenye heidh na kupata damu ya mazazi.

Kamati ya Wanavyuoni.

KUTUMIA TEMBE ZENYE KUZUIYA HEIDH:

SUALI: Kuna tembe zenye kuzuiya heidh au kuichelewesha kutokea. Jee, mwanamke anaruhusiwa kutumia tembe kama hizo katika wakati wa Hijjah kwa kuchelea heidh yake isimjie?

JAWABU: Na‟am, inaruhusiwa kwa mwanamke kutumia tembe zenye kuzuiya heidh katika wakati wa Hijjah kwa kuichelea heidh yake isimjie. Lakini jambo hilo ni baada‎‎‎‎‎‎ ya kumtaka shauri Daktari atakae kumuhakikishia yakwamba afya yake haitoathirika. Vilevile, anaweza kufanya kama hivyo katika mwezi wa Ramadhân ikiwa atapendelea kufunga na watu.2

Kamati ya Wanavyuoni:

KUKATIKA KWA DAMU KATIKA WAKATI WA HEIDH:

1 Haikuharamishwa kwa mwanamke mwenye heidh au mwanamke mwenye damu ya uzazi kusoma hata kwa moyo bila ya kuigusa Qur‟ân. 2 Hakuna haja ya wanawake kufikiya upeo huo. Huwenda hali hii ikazingatiwa kuwa ni aina fulani ya kupindukia mipaka. Hakuna uhakikisho wa kweli kuhusiana na athari za ki-afya za tembe kama hizo, kama tembe za upangaji wa mimba. Zaidi ya hayo, heidh ni jambo la asilia ambalo Allâh Amelija‟alia kwa wanawake na haina haja ya kulikwepa hilo. Kwa hiyo, ni lazima lizingatiwe kuwa ni jambo bora kwa wanawake kujiepusha na tembe kama hizo kwani hawawezi kuwa na uhakika kuhusiana na madhara yake. Allâh ndiye Mjuzi zaidi.

Page 100: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

87

SUALI: Mara nyengine hunitokea, katika wakati wa heidh yangu, yakwamba hupata damu kwa siku nne kisha mara husimama kutoka kwa siku tatu. Kisha katika siku ya saba, damu hunirudia, lakini haiwi ya nguvu kama ile iliyotangulia. Kisha hugeuka na kuwa rangi ya hudhurungi au kahawia (Brown) mpaka katika siku ya kumi na mbili. Natumai utaniongoza juu ya jambo la sawa katika suala hili.

JAWABU: Masiku ulioyoyataja, siku ya nne na siku ya sita, ni masiku ya heidh. Hufai kuswali wala kufunga katika masiku hayo. Haifai kwa mumeo kukuingilia katika siku hizo. Itakupasa ujitwahirishe (utekeleze Ghusl) baada‎‎‎‎‎‎ ya siku nne kisha uswali na mumeo ataruhusiwa kuingiliana na wewe wakati huo baina ya siku nne na siku sita. Pia hakuna uharamu juu ya kufunga kwako. Ikiwa hayo yatatokea katika mwezi wa Ramadhân, utawajibika kufunga. Na utakapotwahirika baada‎‎‎‎‎‎ ya hizo siku sita, itakulazimu utekeleze Ghusl, uswali na ufunge kama ilivyo katika wakati wowote wa kutwahirika. Hii ni kwa sababu ada ya kila mwezi inaweza kuongezeka na kupungua. Mara nyengine masiku yake hushikana pamoja na mara nyengine huwa mbalimbali.1 Twamuomba Allâh‎ atuongoze sote katika yenye kumridhisha Yeye. Twamuomba atupe sisi, wewe na Waislamu wote ufahamu na msimamo kwenye Dini.

Sheikh Ibn Bâz.

MATONE YA DAMU BAADA‎‎‎‎‎‎ YA KUTEKELEZA GHUSL:

SUALI: Nimegundua yakwamba mara nyengine baada‎‎‎‎‎‎ ya kutekeleza Ghusl kutokana na ada yangu ya mwezi, baada‎‎‎‎‎‎ ya kumaliza ada yangu

1 Katika kulijibu suali hili, Sheikh amejibu kulingana na msingi wa rai ya ki-Hanbali. Kuna baadhi ya rai nyengine, zenye kueleza yakwamba muda wote huwo utakuwa ni wa heidh, na huwenda zikawa uzito mkubwa. Allâh ni Mjuzi Zaidi.

Page 101: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

88

ya kiwango cha muda wa kawaida, siku tano, nilitokwa na kiwango kidogo sana cha vitone vya damu. Na hii hutokea punde tu baada‎‎‎‎‎‎ ya kutekeleza Ghusl. Kisha baada‎‎‎‎‎‎e, hakuna chochote kitokacho. Sasa sijui nifanyeje. Nifuate siku zangu tano za kawaida bila ya kujali yatokeayo baada‎‎‎‎‎‎ ya hayo na niendelî kuswali na kufunga? Au niizingatie siku hiyo pia kuwa ni sehemu ya ada yangu nisiswali wala nisifunge katika wakati huo? Ukumbuke yakwamba mambo hayo hayanitokei kila mara isipokuwa hutokea katika kila ada mbili, tatu, au kama hivyo. Natumai utanifaidisha kuhusiana na suala hili.

JAWABU: Ikiwa kinachokutoka baada‎‎‎‎‎‎ ya kujitwahirisha ni emma manjano au hudhurungi, haifai kuzingatiwa (kuwa ni heidh) na hukmu yake ni sawa na hukmu ya mikojo.1

Hatahivyo, ikiwa inaonyesha wazi kuwa ni damu, itazingatiwa kuwa ni katika sehemu ya heidh na utalazimika kurudia tena Ghusl

kutokana na yaliyothubutu kutoka kwa Umm „Atiyyah ( عنها الله رضي ):

Mmojawapo wa Maswahaba wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ), aliyesema

baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika kutokana na heidh:

فسة شيبة » ىة لا جػر اىهررة والص « ن

“Hatukuzingatia chepechepe ya manjano na hudhurungi kuwa na umuhimu wowote2.”

Sheikh Ibn Bâz.

IKIWA MWANAMKE AMEMALIZA ADA YAKE KABLA YA KUTWA KWA JUA, ATALAZIMIKA KUSWALI DHUHR NA „ASR?

1 Kwa maana yakwamba, ni lazima isafishwe kutoka kwenye nguo na atalazimika kutawadha kutokana na uchafu aina hiyo. 2 Imepokewa na Bukhârî. Kwa maana ya kwamba; “Hatukuizingatia hali hiyo kuwa ni Heidh.”

Page 102: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

89

SUALI: Mwanamke mwenye heidh akitwahirika kabla ya kuchomoza kwa jua, atawajibika kuswali Maghrib na „Ishâ‟? Vilevile, iwapo atatwahirika kabla ya kutwa, atawajibika kuswali Dhuhr na „Asr?

JAWABU: Ikiwa mwanamke mwenye heidh au mwenye damu ya mazazi akitwahirika kabla ya kutwa kwa jua, atalazimika kuswali swala za Dhuhr na „Asr kulingana na rai yenye nguvu zaidi miongoni mwa wanavyuoni. Vilevile, hiyo ndiyo hali itakavyokuwa akitwahirika kabla ya Alfajiri. Katika hali hiyo, atalazimika kuswali Maghrib na „Ishâ‟. Hii imepokewa na „Abdur-Rahmân Ibn „Auf na „Abdullâ‎‎‎‎‎h Ibn

„Abbâs ( عنهم الله رضي ). Hii ndiyo rai ya Wanavyuoni wengi. Vilevile ikiwa

mwanamke mwenye heidh au mwenye damu ya mazazi akitwahirika kabla ya kuchomoza kwa jua, atawajibika kuswali Fajr. Na uwongofu ni kutoka kwa Allâh‎.

Sheikh Ibn Bâz

MWANAMKE MWENYE HEIDH KUJISAFISHA KUTOKAMANA NA MIKOJO:

SUALI: Ninapokuwa kwenye Heidh, sijisafishi kwa maji kutokamana na mikojo kwa sababu nahofia yakwamba huwenda maji yakanidhuru. Ni nini hukmu kuhusu jambo hilo?

JAWABU: Inatosheleza, badala ya maji kujisafisha kwa karatasi ya shashi (tissue paper) au kitu chochote kigumu kilicho safi kiwezacho kuondoa uchafu ulioko kama vile jiwe, kipande cha mbao au kidutu mfano wake. Kujisafisha huku kutekelezwe kwa mara tatu au zaidi, mpaka uchafu huwo uondoke. Hukmu hii si yako peke yako wala yoyote aliye katika hali kama yako. Hatahivyo, ni kwa Waislamu wote wanaume na wanawake. Hii imetegemezwa juu ya yale yaliyothubutu

kutoka kwa „Âisha( عنهما الله رضي ) yakwamba Mtume ( وسلم عليه الله صلى )

amesema:

Page 103: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

90

ة تشئ » حجةر ـإجى إل اىؾةاع ـييطذػت ثسلازح أ حرز

ت أ إذا ذ

«خ“Anapokwenda mmoja wenu kukidhi haja, na ajisafishe kwa

mawe matatu na hiyo itamtosheleza.”

Hadîth hii imepokewa na Ahmad, an-Nasâ‟î na Abu Dâwûd‎‎, na pia Dâraqutnî‟ aliyesema kuwa silsila yake ya upokezi ni Swahîh

Hasan. Vilevile, imepokewa na Salmân al-Fârisî ( عنه الله رضي ) yakwamba

aliambiwa, “Mtume wenu anawafundisha kila kitu, hata jinsi ya kuingia chooni.” Akasema Salmân, “Naam‎! Ametukataza kuelekea Qibla tukiwa twakidhi haja kubwa au ndogo, tunapojisafisha tupu zetu tusitumie mkono wa kulia, tusijisafishe kwa idadi ya mawe isiyozidi mawe matatu na tusijisafishe kwa kutumia choo kikavu cha Ngamia au mfupa.” Hii imepokewa na Muslim, Abu Dâwûd‎‎ na at-Tirmidhî.

Sheikh Ibn Bâz

APATA ADA YAKE HALIYAKUWA YUKO MSIKITINI:

SUALI: Mwanamke alijikuta damu inamtoka alipokuwa ndani ya

msikiti wa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ). Alikaa‎ hapo msikitini kwa muda

mchache mpaka mumewe alipomaliza kuswali, kisha akaondoka nae. Jee, alichofanya ni madhambi?

JAWABU: Iwapo alishindwa kuondoka msikitini peke yake, basi hapana madhara katika aliyoyafanya. Hatahivyo, ikiwa alikuwa na uwezo wa kuondoka peke yake, ni wajibu aondoke haraka iwezekanavyo. Hii ni kwa sababu mwanamke mwenye heidh, mwenye damu ya mazazi na mtu mwenye janaba hawaruhusiwi kukaa‎‎

msikitini. Hii imetegemezwa juu ya maneno Yake Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

Page 104: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

91

“Wala wanapokuwa na janaba isipokuwa wanaposafiri

barabarani.”1 [an-Nisâ‟ 3:43]

Pia imepokewa kutoka kwa Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) yakwamba

alisema:

ت » طجر لةاض ولا ج حو ال « إنى لا أ

“Simruhusu mwanamke mwenye heidh au mtu mwenye Janaba kuingia msikitini.”2

Sheikh Ibn Bâz

MWANAMKE MWENYE HEIDH ANAWEZA KUSOMA VITABU VYENYE TAFSIRI YA QUR‟AN?

SUALI: Nilisoma baadhi‎‎ ya vitabu vya Tafsîr (Tafsiri ya Qur‟ân‎‎) nikiwa sikutwahirika, kama vile katika wakati wa ada yangu ya mwezi. Jee, kuna madhara yoyote katika jambo hilo? Nimepata madhambi kwa kufanya hivyo? Tafadhali naomba unipe hukmu, Allâh‎ akujazi khari.

1 Kumbuka yakwamba aya hii inawahusu wenye Janaba peke yao. Ni wazi yakwamba tafauti iliyoko baina ya mwanamke mwenye heidh na mtu mwenye Janaba ni kubwa sana. Kwahiyo, mtu hawezi kufanya Qiyâs‎‎‎ baina ya mambo hayo mawili. Zaidi ya hayo, vilevile kuna ikhtilafu ya maoni kuhusu iwapo aya hii inamuhusu mtu yoyote atakaekuwa na Janaba au wasafiri peke yao watakaokuwa na Janaba. 2 Hii ni Hadîth DHA‟EEF Iliyopokewa na Abû Dâwûd na Ibnu Khuzaymah.

Page 105: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

92

JAWABU: Hapana madhara yoyote iwapo mwanamke mwenye heidh au mwenye damu ya mazazi atasoma vitabu vya tafsiri wala katika kusoma kwake Qur‟ân‎‎ pasi na kuugusa Mswahafu wenyewe kulingana na rai iliyo na nguvu zaidi miongoni mwa wanavyuoni. Amma kuhusu mtu mwenye Janaba, hafai kuisoma Qur‟ân‎‎ kivyovyote mpaka atekeleze Ghusl. Hatahivyo, anaweza kusoma vitabu vya tafsiri, hadîth na mfano wake bila ya kusoma yaliyomo ndani yake ya aya za Qur‟ân‎‎. Hii imetegemezwa juu ya hadîth isemayo yakwamba

hakuna kilichomuepusha Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) na kuisoma Qur‟ân‎‎

isipokuwa akiwa na Janaba. Katika matamshi mengine ya hadîth,

amesema Mtume ( وسلم يهعل الله صلى ), kama ilivyopokewa na Imâm Ahmad

kwa isnad nzuri:

ت ـلا ولا آيح » ة ال ى « ـأ

“Amma kwa mwenye Janaba, hafai (kusoma), hata aya moja.”

Sheikh Ibn Bâz

YARUHUSIWA KWA MWANAMKE MWENYE HEIDH KUSOMA QUR‟AN NA VITABU VYA DU‟Â‟?

SUALI: Inaruhusiwa kwa mwanamke mwenye heidh kusoma kitabu cha du‟â‟ katika siku ya „Arafah, tukielewa yakwamba kitabu chenyewe kina aya za Qur‟ân‎‎? JAWABU: Hapana madhara kwa mwanamke mwenye heidh au mwenye damu ya mazazi kusoma vitabu vya du‟â‟ vilivyoandikwa kuhusiana na nguzo za Hajj. Kwa hakika, hapana makosa katika kuisoma kwake Qur‟ân‎‎ kulingana na rai iliyo sawa. Hakuna nass iliyo wazi na swahîh yenye kumkataza mwanamke mwenye heidh au mwenye damu ya mazazi kusoma Qur‟ân‎‎. Kilichopokewa kinahusiana na mtu mwenye Janaba peke yake, yakwamba huyo hafai kusoma

Page 106: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

93

Qur‟ân‎‎ akiwa kwenye Janaba. Ushahidi huwo umetokana na hadîth ya

„Ali ( عنه الله رضي ). Amma kuhusu mwanamke mwenye heidh au mwenye

damu ya mazazi, kuna hadîth ya Ibn „Umar ( عنهما الله رضي ) isemayo:

ب شيئا وي امقرآن » «لا تقرأ الائض، ولا الج“haifai kwa mwanamke mwenye heidh au mtu mwenye Janaba

kusoma chochote kutoka katika Qur‟ân‎‎.” Hatahivyo, Hadîth hii ni dha‟îf. Kwa sababu imepokewa kutoka

katika riwaya za Isma‟îl Ibn „Ayyâsh kutoka kwa watu wa Hijâz nae ni dhaifu anapopokea kutoka kwao. Hatahivyo, anaweza kusoma kwa moyo pasi na kuigusa Qur‟ân‎‎. Amma kuhusu mtu mwenye janaba, mke/mume haruhusiwi kusoma hata kwa moyo au kuugusa mswahafu wenyewe mpaka (mke/mume) atekeleze Ghusl. tafauti baina ya hao wawili ni kwamba muda wa wakati wa mwenye janaba ni mfupi sana kwa vile anaweza kutekeleza Ghusl kwa haraka baada‎‎‎‎‎‎ ya kufanya kitendo na mwendani wake. Muda wa wakati si mrefu kwa vile yeye ndiye aliye na uwezo wa kumiliki muda wake kwani anaweza kutekeleza Ghusl wakati wowote akijisikiya. Hata kama hawezi kupata maji, anaweza kutekeleza tayammum ili aswali au asome Qur‟ân‎‎. Hatahivyo, mwanamke mwenye heidh au mwenye damu ya mazazi hawezi kumiliki muda wake, uwezo wa kumiliki hayo uko juu ya Mkono wa Allâh‎. Heidh na damu ya mazazi huchukuwa masiku. Kwahivyo, wao wanaruhusiwa kusoma Qur‟ân‎‎ ili wasisahau waliyoyahifadhi vilevile wasikose thawabu za kuisoma. Pia wapate kujifunza hukmu za Shari‟ah kutoka katika kitabu cha Allâh‎. Kwahivyo, anaruhusiwa tena sana kusoma vitabu vya du‟â‟ vyenye mchanganyiko wa Aya na hadîth. Hii ndiyo rai ya sawa na maoni ya sawa ya wanavyuoni. Twamuomba Allâh‎ Awarehemu juu ya nukta hii.

Sheikh Ibn Bâz

Page 107: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

94

SWALA YA MUSTAHÂDHAH1

SUALI: Mwanamke aliyetimia miaka hamsini na mbili ametokwa na damu ya nguvu kwa siku tatu na kisha akatokwa na damu ya wepesi kwa muda uliobaki katika mwezi. Jee, itazingatiwa damu hiyo (iliyotoka kwa nguvu) kuwa ni heidh, tukijua yakwamba hakuwa na matarajio ya kupata damu hiyo, kama vile mara moja katika kila miezi miwili au mitatu? Jee, anafâ kuswali swala za faradhi damu inapomtoka? Vilevile, ataswali swala za nawâfil, kama vile swala za Sunnah na Swalâ‎‎‎‎‎t-ul-Witr?

JAWABU: Mwanamke kama huyo na aizingatie damu aliyonayo kuwa ni damu iliyomjia kutokana na ugonjwa. Uamuzi huu umetokana na umri wake na kwa sababu inatokea bila ya mpangilio maalum. Inajulikana kutokana na ujuzi na kutoka kwa yaliyopokewa kutoka kwa „Âisha yakwamba mwanamke afikapo umri wa miaka hamsini, ada yake ya kila mwezi na uwezekano wa kuhimili mimba humalizika au damu humjilia kwa njia za kiajabu, isiyoeleweka. Njia hii isiyoeleweka ndiyo dalili yakwamba damu hiyo si heidh. Kwahivyo, na aswali na afunge na azingatie huo mfululizo wa damu imtokayo kuwa ni Istihâdhah ambayo isiyomzuiya kuswali na kufunga au kumzuiya mumewe kujamiiana nae, kulingana na rai iliyo na nguvu zaidi

1 Mustahâdhah ni mwanamke mwenye Istihâdhah. Na Istihâdhah ni emma kutokwa na damu kwa wingi (wanaiita hali hii kwa ki-Ingereza MENORRHAGIA) au kutokwa na damu katika siku zisizokuwa ni za ada ya kawaida (wanaiita hali hii kwa ki-Ingereza METRORRHAGIA). Mahospitali mengi na vituo vya matibabu nchini Amerika wana nyaraka zenye kueleza yanayowapasa wanawake kufanya wakiwa katika hali hizi. Katika baadhi ya hali, hususan ikiwa muda wa kutokwa na damu hiyo huwa mrefu, huwenda ikawa ni dalili ya mishikili mengine.

Page 108: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

95

miongoni mwa wanavyuoni. Hatahivyo, atalazimika kutawadha kwa kila swala na ajilinde na damu kwa kutumia surwale maalum, padi au

kitu chochote mfano wake. Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) alimwambia

mwanamke mwenye Istihâdhah:

ئ ىكى » ط «صلاة د“Tawadha kwa kila swala.”1

Sheikh Ibn Bâz

IKIWA DAMU YA MZAZI IMESIMAMA KUTOKA, KABLA YA SIKU YA ARUBAINI, ATALAZIMIKA KUTEKELEZA GHUSL, ASWALI NA AFUNGE?

SUALI: Mwanamke anapotwahirika kutokamana na damu ya mazazi kabla ya kufika siku ya arubaini, atafunga na kuswali au Lâ‎‎‎? Na ikiwa ada yake ya kila mwezi itamjia baada‎‎‎‎‎‎ ya hapo, atafungua swaum yake? Akitwahirika tena, atafunga na kuswali au Lâ‎‎‎?

JAWABU: Iwapo mwanamke mwenye damu ya mazazi atatwahirika kabla ya siku ya arubaini (yaani, damu ikisimama kabla ya hapo), itamlazimu kutekeleza Ghusl, aswali na afunge mwezi wa Ramadhân na atakuwa ni halali kwa mumewe (kuingiliana nae). Na ikiwa damu itamrudia tena kabla ya siku ya arubaini, atalazimika kuwacha kuswali na kufunga na mumewe hatoruhusiwa kuingiliana nae kulingana na rai yenye nguvu zaidi katika rai mbili miongoni mwa wanavyuoni. Atarudi tena kuwa kama mwenye damu ya mazazi mpaka itakaposimama damu au mpaka akamilishe siku arubaini. Ikiwa atatwahirika tena kabla ya siku ya arubaini au katika siku ya arubaini, atalazimika kutekeleza Ghusl, aswali, na afunge na anaweza

1 Bukhârî

Page 109: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

96

kuingiliana na mumewe. Ikiwa damu itaendelea baada‎‎‎‎‎‎ ya siku ya arubaini, hii itazingatiwa kuwa ni damu inayotokana na ugonjwa na hatowacha kuswali au kufunga kwa ajili hiyo. Kwa hakika, ni lazima aswali na afunge na atakuwa halali kwa mumewe, kama Mustahâdhah. Ni lazima ajitwahirishe na ajisafishe kutokamana na damu kwa kutumia pamba au kitu mfano wake (kama surwale maalum

au padi). Atatawadha kwa kila swala kwa sababu Mtume ( عليه الله صلى alimuamrisha Mustahâdhah afanye hivyo. Lakini, ikiwa ada yake (وسلم

ya mwezi ikimjia, atawacha kuswali na kufunga na atakuwa ni haramu kwa mumewe mpaka atwahirike kutokana na heidh yake.

Sheikh Ibn Bâz

HUKMU KUHUSIANA NA KUHARIBIKA KWA MIMBA

SUALI: baadhi‎‎ ya wanawake hupata msiba wa kuharibikiwa na mimba zao. Mara nyengine kiumbe kilichoanza kuumbika (kijusi) ndani ya tumbo lake hupatikana wakiwa wamekamilika na mara nyengine huwa hawajakamilika. Ningelipendelea utubainishie kuhusu hukmu ya swala katika hali zote mbili.

JAWABU: Ikiwa mwanamke akiharibikiwa na mimba na kijusi kikaonekana kuwa na umbo lilokamilika, kama vile kichwa, mikono, miguu na halkadhaalika, basi damu yake itakuwa ni damu ya mazazi. Atafuata hukmu ya damu ya mazazi. Hatoswali, hatofunga na wala mumewe hatoruhusiwa kuingiliana nae mpaka damu yake ikome kutoka au mpaka akamilishe siku arubaini. Ikiwa damu itakoma kabla ya siku ya arubaini, atawajibika kutekeleza josho la Ghusl, aswali, afunge mwezi wa Ramadhân na mumewe ataruhusiwa kuingiliana nae.

Page 110: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

97

Hakuna uchache wa muda wa wakati katika damu ya mazazi. Damu inaweza kukoma kutoka baada‎‎‎‎‎‎ ya siku kumi, kuzidi au kupungua, kisha ni lazima atekeleze josho la Ghusl na atawajibika na sheriya zote za mtu alotwahirika. Iwapo ataona damu yoyote baada‎‎‎‎‎‎ ya siku ya arubaini, itazingatiwa kuwa ni damu ya ugonjwa. Atafunga na kuswali na damu hiyo na itaruhusiwa kwa mumewe kuingiliana nae. Ni lazima atawadhe kila ifikapo wakati wa swala, kama

Mustahâdhah, kama alivyosema Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) kumwambia

Fâtimah bint Abu Hubaish ( عنهما الله رضي ):

ئ » طى كخ كى صلاة ود «ل“Tawadha katika wakati wa kila swala.”

Ikiwa damu inayomtoka baada‎‎‎‎‎‎ ya siku arubaini itapatana na

wakati wa ada yake ya mwezi, basi itachukuwa hukmu ya heidh. Ni haramu kwake kuswali au kufunga mpaka atwahirike. Na ni haramu kwa mumewe kuingiliana nae.

Juu ya yote hayo, ikiwa atakachokizaa‎ mwanamke hakilingani na umbile la mwanadamu, kama kwa mfano ikiwa ni pande nono la nyama au pande la damu, basi atafuata hukmu ya Istihâdhah na wala si hukumu ya damu ya mazazi. Ataswali, afunge mwezi wa Ramadhân, na ataruhusiwa kuingiliana na mumewe. Atatawadha kila ufikapo wakati wa swala huku akijihifadhi na damu inayomtoka kwa surwale maalum au kitu chenye kufanana nayo, kama Mustahâdhah, mpaka damu isimame. Pia anaweza kuunganisha swala ya Dhuhr na „Asr pamoja na swala ya Maghrib na „Ishâ‟ pamoja. Vilevile, anaweza kutekeleza josho la Ghusl kwa swala za kuunganisha na josho la Ghusl nyengine kwa swala ya Fajr kutokana na hadîth iliyothubutu ya

Hamnah Bint Jahsh ( عنهما الله رضي ). Hii ni kwa sababu atazingatiwa kuwa

ni kama Mustahâdhah kulingana na Wanavyuoni.

Sheikh Ibn Bâz.

Page 111: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

98

HUKMU KUHUSIANA NA DAMU ITOKAYO KWA SIKU TANO KABLA YA MAZAZI:

SUALI: Mwanamke alipata damu akiwa na mimba, kwa siku tano kabla ya mazazi, katika mwezi wa Ramadhân. Jee, damu hiyo itazingatiwa kuwa ni heidh au Istihâdhah na ni yapi yanayompasa yeye?

JAWABU: Iwapo mas‟ala ni kama hayo, pamoja na kuiona damu kwake siku tano kabla ya mazazi, na wala hakuwa na alama zozote kuonyesha yakwamba uchungu wa mazazi umekurubia, kama vile njia ya uzao kufunguka, katika hali hiyo, damu hiyo si ya heidh wala si ya mazazi. Hiyo ni damu isiyokuwa ya kawaida. Kwahivyo, haimpasi kuwacha vitendo vya Ibada lakini ni lazima afunge na aswali. Ikiwa pamoja na damu hiyo ataona alama zenye kuashiria uchungu wa mazazi, kama vile njia ya uzao kufunguka, basi itazingatiwa kuwa ni damu ya mazazi na atajiepusha, kutokana na damu hiyo, na kuswali na kufunga. Kisha atakapotwahirika baada‎‎‎‎‎‎ ya kuzaa‎, atalazimika kuzilipa swaum zake na wala sio swala.

Kamati Simamizi ya Wanavyuoni.

MAANA‎ YA NENO “QURÛ‟:

SUALI: Allâh‎ ( وتعالى هسبحان ) amesema katika Qur‟ân‎‎:

“Na (wanawake walioachwa) na wasubiri kwa „Qurû‟ tatu.”1

1 Al-Baqarah (2:228)

Page 112: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

99

Hapa hili neno “Quru” lina maana‎ gani?

JAWABU: Kwa mujibu wa msamiati, neno Quru‟ linaweza kumaanisha‎ wakati wa kutwahirika na vilevile linaweza kumaanisha‎ heidh yenyewe. Hatahivyo, maana‎ ya sawa katika aya hiyo ni heidh

kwani Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ) Ametumia hivyo kwa mara nyingi na hiyo ndiyo

rai ya Maswahaba wengi.

Sheikh Ibn Jibrîn

KUFUNGUA (SWAUM) KWA AJILI YA HEIDH NA KUWACHA KUZILIPA SIKU KWA KUONA HAYA!

SUALI: Katika ujana wangu, nilipokuwa na miaka kumi na tatu, nilifunga mwezi wa Ramadhân na nikawacha siku nne kwa sababu ya ada yangu ya mwezi. Hatahivyo, kutokana na kuona haya kwangu, sikumwambia yoyote kuhusu hayo. Sasa, imepita miaka minane tangu tukio hilo, nifanyeje?

JAWABU: Umefanya makosa kwa kuwacha kuzilipa siku hizo muda

wote huwo. Heidh ni jambo lililoshurutishwa na Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ) kwa

wanawake na hakuna cha kuona haya katika mas‟ala ya dini. Itakulazimu kuzilipa hizo siku nne kwa haraka kisha, pamoja na kwamba uzilipe, vilevile itakulazimu utekeleze kafara kwa kumlisha maskini kwa kila siku. Pia ni lazima utoe Sa‟ (pishi) mbili za chakula kilichozoeleka mjini umpe mtu au watu maskini.1

1 Sheikh amesema Sa‟ mbili kwa sababu mtu anatakiwa atoe nusu Sa‟ kwa kila siku moja na jumla ya siku ni nne.

Page 113: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

100

Sheikh Ibn Jibrîn

IKIWA ADA ITAENDELEA ZAIDI YA MUDA WAKE WA KAWAIDA:

SUALI: Ikiwa mwanamke kwa kawaida yake amezoea kuwa na ada kwa siku nane au saba lakini kwa mara moja au mbili zilichukuwa muda mrefu, ni nini hukmu kuhusiana na hayo?

JAWABU: Ikiwa mwanamke huyo kwa kawaida yake hupata ada kwa siku sita au saba kisha huchukuwa muda mrefu, zikawa nane, tisa, kumi au siku kumi na moja, basi atabakia hivyo bila ya kuswali mpaka

atwahirike. Hii ni kwa sababu Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) hakuweka muda

maalum wa heidh. Amesema Allâh‎ ( وتعالى سبحانه ):

“Na wanakuuliza juu ya heidh; Sema: hiyo ni Adhâ (kitu chenye

madhara kwa mume atakapoingiliana na mkewe akiwa kwenye ada yake) ...”1

Maadamu‎ damu hiyo inaendelea kutoka, mwanamke atabaki katika hali yake ya heidh mpaka atakapotwahirika (damu itakapokoma kutoka) na atekeleze Ghusl kisha aswali. Ikiwa katika mwezi utakaofuata, damu itatoka kwa muda mfupi, atatekeleza josho la Ghusl damu itakapokoma kutoka hata kama si kwa muda mrefu kama ilivyotoka kwenye muda uliopita. Nukta muhimu ni kwamba maadamu‎ mwanamke yuko katika ada yake ya mwezi, atabakia katika

1 Al-Baqarah (2:222)

Page 114: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

101

hali hiyo madamu damu yamtoka na wala haruhusiwi kuswali, bila ya kuzingatia iwapo muda ni uleule, mrefu au mfupi kuliko ada yake iliyotangulia. Damu itakapokoma kutoka, ataswali.

Sheikh Ibn „Uthaymîn

IKIWA MIMBA YA MWANAMKE ITAHARIBIKA KATIKA MWEZI WAKE WA TATU:

SUALI: Mwaka uliopita, mimba yangu iliharibika katika mwezi wa tatu. Nikawacha kuswali mpaka damu ilipokoma kutoka. Nikaa‎mbiwa yakwamba ingelikuwa bora kama ningeliswali. Sasa nifanyeje kwani sijui idadi ya siku ambazo sikuswali?

JAWABU: Lililo maarufu‎‎ na lenye kukubalika miongoni mwa Wanavyuoni ni kwamba ikiwa mimba itaharibika katika mwezi wa tatu, huwa haswali. Hii ni kwa sababu mimba ya mwanamke inapoharibika, kiumbe kilichomo ndani ya fuko la uzazi huwa ana alama za wazi za mwanadamu. Kwahivyo, ile damu inayotoka huzingatiwa kuwa ni ya mazazi na mwanamke huwa haswali. Wanavyuoni wanasema yakwamba yule kiumbe huchukuwa umbile la mwanadamu baada‎‎‎‎‎‎ ya siku thamanini-na-moja, ambazo hazijafika miezi mitatu. Ikiwa una hakika yakwamba mimba yako imeharibika baada‎‎‎‎‎‎ ya miezi mitatu, basi damu ambayo iliyokutoka ni damu ya mazazi. Hatahivyo, ikiwa ilikuwa haijafika siku thamanini, basi damu iliyokutoka ni damu isiyo ya kawaida na usingeliwacha swala kutokana na damu hiyo. Sasa muulizaji ni lazima ângalie ikiwa kuharibika huko kwa mimba ni kabla ya siku thamanini, na katika hali zote hizo ni lazima alipe swala alizozikosa. Ikiwa hajui amekosa siku ngapi, itamlazimu akisie mas‟ala haya na alipe zile siku anazoamini yakwamba amezikosa.

Sheikh Ibn „Uthaymîn

Page 115: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

102

KUINGILIANA KIMAPENZI KABLA YA KUKAMILIKA SIKU ARUBAINI:

SUALI: Jee, inaruhusiwa kwa mwanamume kumuingilia mkewe baada‎‎‎‎‎‎ ya kuzaa‎ kabla ya kukamilika muda wa siku arubaini? Ikiwa amemuingilia baada‎‎‎‎‎‎ ya siku thalathini au thalathini na tano na alikuwa ametwahirika (hakuwa akitokwa na damu) lakini hajakamilisha siku arubaini, atakuwa na madhambi?

JAWABU: Haruhusiwi kumuingilia mkewe katika wakati wa kutokwa na damu ya mazazi. Hii ni katika wakati ambao damu inapotoka baada‎‎‎‎‎‎ ya kuzaa‎. Ikiwa damu itakoma kutoka kabla ya siku arubaini, ni makuruhu kumuingilia. Hatahivyo, inaruhusiwa na wala hakuna

madhambi ( الله إنشاء ) juu yake kwa sharuti yakwamba mwanamke

ametakasika kikamilifu na damu, na anahitajika kuswali, kufunga na kadhaalika.

Sheikh Ibn Jibrîn

DU‟Â‟ YA MWANAMKE MWENYE HEIDH:

SUALI: Jee, Allâh‎ Anakubali Du‟â‟ na kuomba maghfira (msamaha) kutoka kwa mwanamke mwenye heidh?

JAWABU: Na‟am, ndio anaruhusiwa, tena imekokotezwa, kwa mwanamke mwenye heidh kuomba Du‟â‟, kuomba maghfira kutoka kwa Allâh‎, kumtaja Allâh‎ na kumnyenyekea Allâh‎, haswa katika nyakati tukufu. Zinapotekelezwa shuruti za Du‟â‟, basi hujibiwa kwa mwanamke mwenye heidh kama zinavyojibiwa Du‟â‟ za wasiokuwa kwenye heidh.

Sheikh Ibn Jibrîn

Page 116: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

103

SWALA YA MWANAMKE MWENYE HEIDH:

SWALI: Nilipokuwa nikiswali damu yangu ilinijia. Nifanyeje? Nitawajibika kuilipa swala ya katika wakati wa ada yangu?

JAWABU: Ikiwa ada yako ilikujia baada‎‎‎‎‎‎ ya kuingia wakati wa swala, kwa mfano, ukipata ada yako kwa nusu sâ baada‎‎‎‎‎‎ ya sâ sita mchana, basi itakulazimu kuilipa swala hiyo baada‎‎‎‎‎‎ ya damu yako kukoma kutoka, kwani wakati wake ulipoanza wewe ulikuwa uko katika hali ya twahara. Hii ime-egemezwa juu ya maneno ya Allâh‎

( وتعالى سبحانه ):

“Hakika swala kwa waumini ni katika nyakati maalum.”1

Usilipe swala ulizokosa ulipokuwa katika heidh. Hii imetokana

na hadîth ndefu ambayo Mtume ( وسلم عليه الله صلى ) amesema:

« دص دصوى ول ىيص إذا حةطخ ل «أ

“Si ukiwa na hali ya heidh, huswali wala hufungi?”

Kuna muafaka wa wanavyuoni yakwamba swala zilizokosekana katika wakati wa heidh hazirudiwi. Hatahivyo, ikiwa mwanamke atatwahirika (damu ikikoma kutoka) na akawa na muda wa kumtosha wa kuswali raka‟ah moja au ziada katika swala, basi itamlazimu aswali swala ya wakati huo ambao alipotwahirika. Hii imetegemezwa

juu ya hadîth ya Mtume ( سلمو عليه الله صلى ):

1 An-Nisaa‟ (4:103)

Page 117: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

104

درك اىػص »ص ذلر أ ن تؾسب الشى

اىػص رجو أ درك ركػح

أ »

“Mwenye kupata raka‟ah moja ya swala ya „Asr kabla ya kutwa kwa jua ameipata swala ya „Asr.”1

Ikiwa mwanamke akitwahirika katika wakati wa „Asr au kabla ya kuchomoza kwa jua na kukawa na wakati wa kutosha kabla ya kutwa kwa jua au kuchomoza kwa jua kuweza kuswali raka‟ah moja, basi ataswali „Asr katika hali ya kwanza na Fajr katika hali ya pili.

Sheikh Ibn „Uthaymîn

CHA HUDHURUNGI AU NJANO KITOKACHO BAADA‎‎‎‎‎‎ YA KUTWAHIRIKA KIPUUZWE:

SUALI: Ada yangu ya mwezi kwa kawaida huchukuwa siku sita na mara nyengine huchukuwa siku saba. Mimi hutekeleza josho la Ghusl baada‎‎‎‎‎‎ ya kuhakikisha yakwamba nishatwahirika. Hubaki katika hali kama hiyo kwa siku nzima. Kisha nikaona tone la rangi ya hudhurungi na sijui hukmu inayohusiana nayo. Nimetatizika iwapo niswali au nisiswali na iwapo nifunge au nisifunge. Pia nimetatizika kuhusu „amali nyengine. Nifanyeje katika hali kama hii? Namuomba Allâh‎ akujazi kheri.

JAWABU: Maadamu‎ waujua wakati wa ada yako na muda wake, na ukaupitia wakati huo kisha ukaswali na ukafunga, basi iwapo utaona matone ya rangi ya njano au hudhurungi baada‎‎‎‎‎‎ ya kutwahirika, matone hayo hayakuepushi na swala wala vitendo vya Ibada. Hali ya kutwahirika ina alama ya wazi ijulikanayo na wanawake, ijulikanayo

1 Al-Bukhârî na Muslim.

Page 118: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

105

kama chepechepe nyeupe. Mwanamke aonapo hayo, hiyo ni alama ionyeshayo kumalizika kwa ada yake na hali yake ya kutwahirika imeanza. Kwa hiyo, atalazimika kutekeleza josho la Ghusl baada‎‎‎‎‎‎e na atekeleze Ibada zake za kawaida kama vile swala, swaum, kuisoma Qur‟ân‎‎ na kadhaalika.

Sheikh Ibn „Uthaymîn

MWANAMKE MWENYE HEIDH ANAWEZA KUTUMIA HINA:

SUALI: Nimesikiya yakwamba mtu hafai kutia hina katika nywele zake wala katika mikono yake akiwa katika heidh.

JAWABU: Inafâ kwa mwanamke mwenye heidh kupaka hina katika nywele zake na mikono yake. Hakuna madhambi wala madhara yoyote kufanya hivyo. Wenye kusema yakwamba ni haramu au ni makruhu hawana ushahidi wa kuwasaidia katika hayo. Inapomalizika ada yake, mwanamke anawajibika kutekeleza josho la Ghusl na ajisafishe na kuondoa awezacho katika hina aloipaka. Hatahivyo, hapana madhara kuwacha ambacho ni vigumu kukiondosha katika mwili wake.

Sheikh Ibn Jibrîn

MWENYE HEIDH NA KUANDIKA QUR‟AN:

SUALI: Jee, yaruhusiwa kwa mwanamke mwenye heidh kuisoma Qur‟ân‎‎, kuitumia katika kuitolea mfano au kuitumia kwa kutolea dalili fulani? Na yaruhusiwa kwake kuandika Aya za Qur‟ân‎‎ au Hadîth?

JAWABU: Hapana madhara kwa mwanamke mwenye heidh kusoma vitabu ambavyo huwenda vikawa na Aya za Qur‟ân‎‎ au Aya

Page 119: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

106

zilizofasiriwa. Hapana madhara katika kuziandika kwake kama sehemu ya makala au mfano wake. Vilevile, anaruhusiwa kuzinukuu kama aina ya dalili za hukmu au kuzisoma kama aina ya du‟â‟. Hichi hakiitwi “kisomo” cha Qur‟ân‎‎. Na pia, anaweza kubeba vitabu vya “Tafsiri” na vitabu mfano wake iwapo atahitaji kufanya hivyo.

Sheikh Ibn Jibrîn

USIWE NA HARAKA:

SUALI: Ada yangu ya mwezi hubadilika-badilika baina ya siku saba hadi siku nane. Mara nyengine katika siku ya saba huwa sioni damu yoyote wala alama yoyote ya kutwahirika. Ni nini hukmu ya kuwa katika hali kama hiyo kuhusiana na swala, kufunga na kuingiliana na mume?

JAWABU: Usiwe na haraka mpaka uone chepechepe nyeupe iliyosafika iliyo maarufu‎‎ kwa wanawake kama alama ya kutwahirika. Damu ikikoma kutoka sio kutwahirika. Kutwahirika ni pindi ionekanapo alama yakwamba heidh imemalizika na muda umemalizika.

Sheikh Ibn Jibrîn

Page 120: يػيجػىا ءةٌلدا ءةطني N ح - QSSEA · Mtume na kumsifu kwake mbele ya Malaika katika sehemu iliyo juu zaidi Mbinguni. Malaika pamoja na waumini wote wameamrishwa

DAMU ASILIA ZA WANAWAKE

107

DAMU ITOKAYO MUDA MCHACHE TU KABLA YA ADA YA MMOJA WENU NI DAMU YA UGONJWA NA MMOJA WENU ASIACHE KUSWALI KUTOKANA NA DAMU HIYO:

SUALI: Siku tatu au nne kabla ya ada yangu ya mwezi haijanifikia, mimi hupata vijitone vya rangi ya hudhurungi. Sijui hukmu inayohusiana na hali hiyo. Ni najisi au si najisi? Mimi huwa katika hali ngumu ya kufazaika, Jee, naruhusiwa kuswali na kufunga?

JAWABU: Iwapo mwanamke anajua ada yake ya mwezi kwa kuhesabu, au kwa rangi, au kwa makadirio ya nyakati, atawacha kuswali ada yake inapomjilia kisha atekeleze Ghusl na aswali baada‎‎‎‎‎‎e. Damu imtokayo muda mfupi tu baada‎‎‎‎‎‎ ya ada yake huzingatiwa kuwa ni damu ya ugonjwa au ni damu isiyo ya kawaida, na hiyo haimfanyi mmoja wenu kuwacha kuswali wala kufunga. Hatahivyo, itamlazimu aisafishe damu hiyo na ajiweke msafi kwa kila swala na atawadhe katika kila swala. Kisha na aswali hata kama damu itakuwa yaendelea kumtoka. Atazingatiwa kuwa kama Mustahâdhah. Ikiwa aliwacha kuswali kutokana na damu hiyo, basi atasalimika iwapo atazilipa swala hizo na wala hatokuwa na uzito Insha-Allâh‎.

Sheikh Ibn Jibrîn