22.a – boyie

6
Tunafaa kusherehekea tukikumbuka mayatima kama hawa ambao hawana mtu wa kushere- hekea nao… Nimefurahi kuwa hapa na nyinyi, na nimeleta mazawadi kidogo tu ya hawa watoto wetu. Roho yangu inaniuma sana nikikosa kuwa karibu na nyinyi watu wangu! Tujumuike tushere- hekee siku ya leo! Utamchagua nani? 2

Upload: well-told-story

Post on 10-Mar-2016

253 views

Category:

Documents


4 download

DESCRIPTION

Chapta 22– Boyie: Utamchagua nani?

TRANSCRIPT

Page 1: 22.a – Boyie

Tunafaa kusherehekea tukikumbuka mayatima kama hawa ambao hawana mtu wa kushere-

hekea nao…

Nimefurahi kuwa hapa na nyinyi, na nimeleta mazawadi kidogo tu ya hawa

watoto wetu.

Roho yangu inaniuma sana

nikikosa kuwa karibu na nyinyi watu wangu! Tujumuike tushere-hekee siku ya leo!

Utamchagua nani?

2

Page 2: 22.a – Boyie

baadae...

Na hii ni yako…

Kades, hebu tuchape works

hapa watoi wacheki TV Chrissy!

Ala! Huyu mtu anajidai na hapendi watoi? Mbona

kila time ma-leader wanatudanganya?!

Eh, Kijana, mumefanya kazi

mzuri. Mlileta watu wengi kuskia speech

yangu…

3

Page 3: 22.a – Boyie

Shika hii kidogo…nikianza campaign nitawachunga vizuri. Najua nilipotea nikiwa city

lakini nitawalipa mfanye kama last time…

Wazi Mzito! Wewe ndio

unajali vijana.

Huyu msee ametu-enjoy

vibaya! Anachezea mayuts hivi?

Kades! Nimecheki huyo mbunge akilipa Scarface, ati atamlipa akianza campaign?!

Kumbe ni wale wale!

Tutajuaje leader mpoa ni nani? Mtu anatuchekesha kumbe aanajaribu tu kukuingiza box?! Nani atatuongoza kweli?

Nimechoka na ma-leader kutumia mayut!

Tutapata wapi msee wakutuongoza

vipoa?

4

Page 4: 22.a – Boyie

Bibi ya Chief?!

Unafanya nini huku?

Mbona mnashangaa? Nilianzisha hii centre

zamani.

Tulikosa CDF nikaamua tuchange na wamama

wenzangu tuanzishe hii centre. Sitaki kuona

watoto wetu wanazurura mtaani na tuna uwezo!

5

Page 5: 22.a – Boyie

Manze, ume-do something ya

maana sana. Wewe ndio unafaa kua

leader wetu!

Kabisa!

Mimi? Hapaana.

Sijui mambo ya siasa!

Hapana…hata sina pesa!

Wacheni hiyo maneno.

Wasee kama wewe ndio wanajua nini

community ina-need. Wewe ndio uko huku kila siku. Na umetu-save na risto mob sana. Wewe ndio unafaa upewe kura!

6

Page 6: 22.a – Boyie

Unamjua MP wako? MP wako alihonga wasee na dooh

kwa election iliyopita?

Dooh zenu za CDF zimetumika kwa

project za maana?

MP wenu anaishi kwa area yenu?

Huyo MP ameanzisha

projects za mayuts?

Huwa mna-meet mara kadhaa na MP

wenu ku-discuss shida za area yenu?

Huyo MP wenu, amewahi do

volunteer work kwa community yenu?

ZII

ZIINDIO NDIO

ZIINDIO ZIINDIO

NDIO

ZIINDIO

ZII[ wewe kwanza �kahapo down kwa D] NDIO ZII NDIO ZII

NDIO

ZII

Una ofisi ya MP yenye ina-function

mtaani?

LEADER MPOA NI YUPI?anzia hapa

Lini last ulichekiMP wako?

Inafaa mbongeshe huyu msee juu ya performance yake. Ana plan gani ya

ku-improve next time?

B

Kuchagua leader ni responsibility yako. Usipo-vote, usilalamike.

D

Uko poa! Una leader mnoma. Endelea

kum-support alete maendeleo zaidi mtaani.

C

Huyu msee achana nae,MSAHAU – na usim-vote-ie tena!

A

Support huyu msee hata kama hana dooh kwa sababu yeye ni a true leader na constitution inamkubalisha aendelee a-vie for

governor ama senator.

E

ZII

MP wako amewahi bonga akiwa

bunge?2007/8

Anakuanga around

sms3008leadership

TUMA

SM

S KWA 3008 NA VIEWS ZAKO UKIANZA NA NENO LEADERSH

IP

Kuna msee kwa area yenu mwenye anajali masilahi ya community mwenye ungependa asimamie

uongozi next time?

NDIO