annuur 1061

Upload: mzalendonet

Post on 03-Apr-2018

831 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1061 RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Hakuna kitu kinachowaliza wenye akilizaidi kuliko wasiwasi wa kuokoka naMoto na kupata Pepo! Hijja peke yakendiyo inayoweza kumsafisha muislamuna madhambi yote, akarudi kama sikualiyozaliwa na mama yake, na akapataPepo katika muda wa siku tano. Hivyohakuna matumizi bora ya fedha kulikokwenda Hijja. Wewe ndugu yetuushakwenda mara ngapi?KaribuAhluSunna wal Jamaa. Gharama zote nDola 4,300 tu. Tafadhaliwasiliananasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:0777458075;Pemba: 0776357117.

    4)KUPATA PEPO KWA SIKU TANO!

    Watuhumiwa Kesi ya Sheikh Pondawawakaanga Polisi mahakamani

    Wadai walivamiwa msikitini wakiwa katika ibadaWaikana BAKWATA na kudai hawazijui kazi zake

    Wasema kiongozi wao ni Quran na Sunna za Mtume

    KATIBU Mkuu wa Chamac h a W a n a n c h i , C U FMa a l im Se i f Sha r i f

    Maalim Seif awakumbusha

    Zanzibar OIC

    Mwenyekiti wa Jumuiya wa Jumuiya ya Al-Yousuf SheikAl-Youseif (kushoto) akiwa na Makamu wa Kwanza wRais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, Ofisini kwak

    Migombani.

    Na Mwandishi Maalum,Zbar

    H a m a d , a m e s e mZanzibar imepoteza fursnyingi kwa kutokuwmwanachama wa Jumuiyya Maendeleo ya KiislamDuniani (OIC).

    Maalim Seif SharHamad, ambaye ni Makamwa Kwanza wa Rais w

    Inaendelea Uk.

    Ni usiku wa Itiqaf T.I.C Kichangani keshoWaislamu kukutana kutawakal kwa Allah (s.w)

    Masheikh kujadili kulegalega mahusiano ya kidini

    Ujio wa FBI: Ni MsibaSasa ndio giza limetanda kweli

    Sio alipokufa Mwalimu Nyerere

    KIKOSI Maalum cha kutuliza ghasia (FFU) kikiwa katika eneo la Markaz Chang'ombeJijini Dar es Salaam Oktoba 17, 2012.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    2/16

    2AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Tangazo

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza kozi maalum yamaandalizi kwa wanaorudia kufanya mtihani wa Kidato cha IV, 2013.Programu hii itaanza tarehe 28/02/2013 hadi tarehe 28/08/2013Jumatatu hadi Jumamosi saa 2:00 kamili Asubuhi hadi saa 9:10 Alasir

    Masomo yatakayofundishwa ni:-Elimu ya Dini ya Kiislamu, English Language. Lugha ya Kiarabu. BasicMathematics, History, Geography, Civics, Physics, Chemistry, BiologyBook Keeping, Commerce.

    Fomu za kujiunga zinapatikana shuleni kwa Tshs 10,000/=

    Mlete mwanao apate Elimu bora itakayomwezesha kujiungana Kidato cha Tano.

    Kwa mawasiliano zaidi piga namba:0714 888557/0659 204013Wabillah Tawfiiq

    MKUU WA SHULE

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOLP.O. Box 55105, Tel: 2450069, 0712 974428 Fax: 2450822 D Salaam

    E-mail: [email protected]

    Maandalizi kwa wanaorudia

    Kidato cha IV, 2013

    Kiswahili

    IMETOKA taarifa yaJeshi la Polisi kuwatayar i maafandewetu wanashirikianana makachero waF B I k u w a n a s aw a t u h u m i w a w a

    mauaji ya PadreE v a r i s t M u s h i .P e n g i n e s w a l iambalo Watanzaniawangependa kujuan i h i l i . K a t i k aushirikianao huu,n a n i a n a m t u m akazi mwenzake? Autuulize vingine, huu niushirikiano au askariwetu wanatumwakazi na wageni waoFBI?

    Tunauliza hivi kwasababu tu l iwaonawatu hawa alipokujaBill Clinton hapa.H a w a k u w a a m i n ikabisa wanausalamaw e t u k i a s i c h ak u m d h a l i l i s h aaliyekuwa Rais wetuBenjamin WilliamMkapa kwa kulinusishagari lake kwa mbwa.Au Tumesahau?

    Alipokuja MzeeMzima George W

    Bush wakaweka vijanawao mpaka kwenyedari ya Ikulu yetu! Hivisisi ndio tuliowaombawapande au walipandawenyewe bila hata yakungoja ruhusa yetu?Mtu anakuja nyumbanik w a k o h a l a f uanakupekuwa mpakachumbani kwako.Je, hivi tuliridhiaudhalilishwaji ule? Je,hapa kuna kushirikiana

    Ujio wa FBI: Ni MsibaSasa ndio giza limetanda kweli

    Sio alipokufa Mwalimu Nyererea u w a o k u f a n y awatakavyo?

    Tusisahau kuwa hawandio wale waliosemakwa kujiamini na jeurikuwa Iraq kuna silahaza maangamizi. Lakini

    baada ya walilokusudiakufanikiwa kwa maanakuwa baada ya kuvamianchi ya watu na kuuwamamilioni ya watu nakufanya uharibifu naufusadi wa kutisha,wenyewe hao hao bilaya aibu wakasemakuwa waliongopa,Saddam hakuwa nasilaha za maangamizi.

    Kama alivyosemaRais wetu MheshimiwaJakaya Mrisho Kikwetena kama alivyosemaWaziri wa Mambo ya

    Ndani MheshimiwaEmmanuel Nchimbina p ia baadhi yamakamanda wetu waPolisi, inavyoonekanatunawaamini sanawashirika wetu hawa.Lakini swali ni je, kamawatatuambia Uamshowana kiwanda chasilaha za maangamizikama wal ivyoda i

    kuwa zipo kule Iraqtutaamini maadhaliwamesema wao? Tunaubavu wa kupingawatakayosema kamatutakuwa na wasiwasikuwa wanaongopa ausio sahihi? Baraza laUsalama la Umoja waMataifa na Jumuiya yaKimataifa kwa ujumlailisema Iraq hakunasilaha za maangamizina ikapinga nchi hiyo

    k u v a mi w a , l a k i n iMarekani ikavamiai k a f a n y a u f i s a d iiliokusudia kufanya.

    Je, na sisi tupo tayarikubeba gharama yamatokeo ya ukacherowao kama itakuja katika

    sura ileile ya madai yasilaha za maangamiziIraq?

    Akizungumza katikamahojiano maalumu na

    baadhi ya vyombo vyahabari wiki iliyopita,Kamishna wa PolisiZanzibar, Musa AliMusa al i th ib i t ishakwamba jeshi lakelimekuwa likishirikianana FBI katika upelelezihuo na kwamba idadiy a w a l i o k a ma t w aimeongezeka.

    Ni kweli tumekuwatukishirikiana na FBIkatika upelelezi ilikuhakikisha kuwa,wahusika wa tukiola kuuawa kwa PadriMushi wanakamatwa.H i i i t a s a i d i akupunguza vitendov i n a v y o h u s i s h w an a m a t u k i o y a

    k iga id i yak iwamom a u a j i , a l i s e m aKamishna Musa.

    Labda tuulize, ujuzigani na ufahamu gani wakuwajua Wazanzibari naWatanzania waliokujanao FBI kiasi chakuwezesha kufika tuwanakamatwa watu?Au wamekuja na orodhayao na polisi wetuwanafanya kutumwatukamatie yule na yulena yule?

    Yamewahi kufanyikamauwaji mengi sananchini hapa, yakiwemoya Kamanda wa PolisiMwanza, lakini yoteyalichukuliwa kamamatukio ya kihalifuna vyombo vyetu vyausalama na sheriavikayashughulikia kwaumakini mkubwa. Kitu

    gani kinawafanya polisiwetu wakimbilie kuletamsamiati wa ugaidikatika tukio hili? Je,huu ni wao wenyeweau wameletewa nawashirika wao FBI?

    Sisi tunadhani kuwa

    kabla ya polisi wetukukimbilia kuwa naimani na ujuzi naufanyaji kazi wa FBI,wangefanya kwanzasemina nao wawaombewawafahamishe uzurina kwa kituo kilek izungumkut i chaAnthrax Terror Attackkimeishia wapi?

    T u n a s e m akizungumkuti kwasababu awali wataalamu

    h a o t u l i o w a a g i z akutoka Washington nawenzao katika ukachero

    nchini mwao walisemakuwa k imeta k i l ekilitoka kwa Al Qaidawaliotumwa na SaddamHussein. Walimwenguwakaonyeshwa na

    bahasha zilizoandikwaAllahu Akbar ili kukaziakuwa waliohusika niWaislamu, Al Qaida.Hata hivyo baadaewakawa wanaparurana

    wenyewe kwa wenyewb a a d a y a t a a r i fkuvuja kuwa kimetkile kilitokea katikmaabara zao wenyewetena za kijeshi.

    Katika kitisho kile chkimeta ilielezwa kuw

    watu saba walikufaJe, sisi tumejiandakulipa gharama kiasgani (katika sura ykuuliwa au kuteswWatanzania wasio nhatia) kama mambtutakayofanyiwa ni sawna haya ya AnthraTerror Attacks na yalya silaha za maangamizIraq?

    Kwa hakika kwa mtyeyote mwenye akiyake timamu na has

    akiwa na japo chembya uzalendo na mwenykujali ubinadamu nutu wake, akitafakar

    juu ya ujio huu wa FBhatakosa kuona kuwtumefikwa na msiba.

    Kama tuliambiwkuwa giza limetandalipokufa Mwalim

    Nyerere, zile zilikuwnyimbo na ngonjera tza kuomboleza msibasasa ndio giza limetandkweli.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    3/16

    3AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 201Habari

    Watuhumiwa Kesi ya Sheikh Ponda wawakaanga Polisi mahakamanMASHAHIDI wa upandewa utetezi katika kesiinayomkabili Sheikh PondaIssa Ponda, wamedai askariPolis i waliwavamia nakuwapiga wakiwa katikaibada ya Itiqafu, ndaniya Msikiti wa MarkazChangombe, jijini Dar esSalaam, usiku wa Oktoba16, 2012.

    Mashahidi hao ambao niwashtakiwa katika kesi hiyonamba 145/2012, walitoamadai hayo mbele ya HakimMkazi wa Mahakama yaKisutu, Bi. Victoria Nongwa,walipokuwa wakitoa ushahidiwao mahakamani hapoJumatano wiki hii, na kuelezakuwa wanakana mashtakayote yanayowakabili.

    Mbali na madai hayo,washtakiwa hao ambao kilammoja alipanda kizimbanikutoa utetezi wake, kwaujumla walilikana BAKWATA,wakidai wanaisikia tu lakinihawaitambui pamoja na MuftiSheikh Shaaban Simba.

    Wakiongozwa na Wakiliwao Bw. Juma Nassoro,mashahidi hao walisemakwamba walifika katika Msikitiwa Markaz Changombe kwalengo la kufanya ibada yaItiqafu, yenye fadhila nyingimiongoni mwa ibada zaKiislamu.

    Walidai pamoja na kujiandaa

    na ibada hiyo, hawakuwezakuitekeleza kwani ilipofikamajira ya saa tisa usiku,muda ambao ndio muafakakwa ibada hiyo, walisikiavishindo, geti kuvunjwa nakisha mlango na madirishaya Msikiti kuvunjwa na askarikuingia ndani na viatu vyao nakuanza kuwashambulia.

    Shahidi namba moja Bi.Kulthumu Mfaume, ambayepia ni mshtakiwa namba mbili,akiwa kizimbani aliiambiaMahakama kuwa alisikia kunaibada ya Itiqafu katika ChuoCha Kiislamu Markazi, ndipoalipolazimika kwenda kwaajili ya Ibada hiyo.

    Usiku tulishtuka baadaya kusikia geti likivunjwa namara mlango wa Msikiti naoulibamizwa na kuvunjika, kishaniliona askari wakiingia ndanina mabuti yao, walitupigasana na walikuwa wanaumetupu, kisha walituingizakatika magari yao AlisemaBi. Kulthumu.

    Bi. Kulthumu alisemapamoja na kujitetea kwambawapo katika ibada ya Itiqafu nakuhoji kosa lao ni nini, alidaiaskari hao hawakuwaelewana walizidisha kipigo.

    Akijibu maswali ya Wakili

    Na Bakari Mwakangwale wa Serikali, Bw. TumainiKweka, kwamba alipatajetaarifa za ibada hiyo ya Itiqafu,Bi. Kulthumu alisema akiwanjiani alisikia wakitangazaMsikitini, na kwa kufahamu

    umuhimu wa ibada hiyoalilazimika kwenda.

    A l i p o u l i z wa n i n a n ikiongozi wake, Bi. Kulthumualijibu hana kiongozi bali yeyehuongozwa na Quran naSunna za Mtume Muhammad(s .a .w).

    Kwa upande wake, shahidinamba mbili Bi. ZainabMohammed (50), ambayekatika kesi hiyo ni mstakiwanamba tatu, akitoa ushahidiwake alisema alikamatwa naaskari Polisi akiwa katika Ibadaya Itiqaf ndani ya Msikiti waChuo Cha Kiislamu MarkaziChangombe, na alipata kipigo

    kutoka kwa askari hao.Kuhusu ni wapi alipatataarifa za ibada hiyo, alisemaalipata kupitia kwa muuminimwenzake, ambapo baadaya kufika hapo Markaz,hakufanya shughuli yoyotezaidi ya kufanya ibada ndaniya Msikiti huo.

    Alipoulizwa ni nani mmilikiwa eneo al i lokamatiwa,alisema kwa mujibu wamafundisho ya Uislamu,anafahamu kuwa Misikitiyote ni mali ya Waislamu nakila Muislamu ana haki yakufanya ibada yoyote.

    Shahidi namba tatu Bi.Zaidani Yusuph (66), aliileza

    Mahakama kuwa wakatialipokiwa ndani ya MsikitiniMarkaz Changombe kwa ajiliya ibada ya Itiqaf Oktoba 16mwaka jana, aliona askariwanaume wakiingia upandewa wanawake usiku baada yakuvunja geti na mlango waMsikiti na kuanza kuwapiga.

    Shahidi huyo ambayeni mshatakiwa namba nne,alisema kipigo alichopatakutoka kwa Polisi, alijeruhiwakidole cha mguuni huku askarihao wakimtoa maneno yakejeli.

    Kwa umri wangu huusikufanya ubishi wowote,

    lakini walinipiga licha yakuwauliza kosa langu ninini, walizidisha kipigo nawalifanya unyama mkubwa.Alisema Bibi huyo.

    Wakili wa Serikali Bw.Tumaini Kweka, alipomuulizani nani kiongozi wake akiwakama Muislamu, Bi. Zaidanalijibu kwa kujiamini kuwakiongozi wake ni Qur an naSunna na hata alipoulizwanani msimamizi wake alisemahana zaidi ya Qur an.

    Wakili Kweka alipomuulizakama anaifahamu BAKWATA,Bi. Zaidani, alisema, Siijui,

    sitaki kuijua wala sitakikuisikia, hata huyo Mufti,simjui.

    Akitoa ushahidi wakembele ya Hakim Bi. VictoriaNongwa, shahidi namba tano,

    Juma (22), alisema ilimlazimukuacha ibada zake majira yasaa tisa usiku mara baada yakusikia vishindo nje, kwanigeti lilivunjwa ukafuatiamlango wa msikiti na kishaaliona askari Polisi wakiingiandani ya msikiti .

    Alisema mara baada yakuingia msikitini walianzak u wa p i g a n a k u a m u ruwafanye wanavyotaka wao.Aliongeza kuwa Walivamiabila kutoa tangazo lolote nakwamba, vurugu zao ndizozilizokuwa ishara kuwa eneohilo kwa muda huo halikuwashwari. Alisema Juma.

    Naye al ipo ulizwa kamaanaifahamu BAKWATA,alisema anaifahamu kuwani Taasisi ya Kiislamu kamazilivyo taasisi zingine za dini.Baada ya kuliizwa kama anamahusiano na chombo hichoalijibu kuwa haimuhusu.

    Tukiwa ndani ya msikitimajira ya saa nane usikukwenda tisa, tulisikia kishindonje, kabla hatujakaa sawatulisikia mlango wa msikitiukibamizwa na mara waliingiaaskari kama wale(akionyeshab a ad h i y a a sk a r i FF Uwaliokuwa mahakamanihapo) na waliingia viatu vyaoMsikitini. Alisema shahidi

    huyo namba tano, Bi. FaridaLukoko (53).

    Bi . Farida ambaye nim s h i t a k i w a n a m b a 7 ,alionyesha Mahakamani hapoalama za majeraha mikononim wa k e , a l i s e m a k u waalipigwa marugu mikononina mgongoni, jambo ambaloalidai kuwa hadi sasabadoanasikia maumivu makalikatika sehemu hizo.

    Alisema kipigo hichokilimfanya asijitambue baadaya kuanguka chini. Baadayealielezwa na wenzake kuwaalinyanyuliwa na askari haokwa kushikwa miguu na

    mikono kisha kurushwa ndaniya gari.

    Shahidi mwingine ambayeni mshitakiwa namba tisaAthumani Salim, alipoulizwakama anaifaham Bakwata,alisema anaisikia tu, lakiniinajishughulisha na nini,hajui.

    Alipoulizwa ni wapi anaptataarifa za kuandama kwamwezi, alisema Waislamuwanafunga na kufungua kwamujibu wa Quran na Sunna,popote unapoandama au kwakukamilika kwa idadi ya sikukatika mwezi huo.

    Naye shahidi namba naneAdama Ramadhani (40),aliulizwa na mwendeshamashtaka wa Serikali Bw.Kweka, kama anafahamukazi za Bakwata, alisema

    a n a c h o j u a k a z i y a k ekubwa ni kuwatangaziaW a i s l a m u m w e z i w aRamadhani unapoandamana pindi unapomalizika na sivinginevyo.

    Kwa ujumla Mashahidiwote walidai Mahakamanih a p o k u w a , h a k u n ashah id i yeyo te upandewa mashtaka aliyewatajak u wa n i wa v a m i z i wakiwanja wanachoshutumiwakuvamia.

    Washatakiwa hao wameanzakutoa utetezi wao Jumatanowiki hii kufuatia HakimuMkazi wa Mahakama ya

    Kisutu, Bi. Victoria Nongwa,Jumatatu wiki hii kusemaSheikh Ponda Issa Ponda nawenzake 49, wanakesi yakujibu.

    W a s h i t a k i w a w o t ewanakabiliwa na makosa

    manne, isipokuwa mshtakiwnamba moja (Sheikh Pondna mshtakiwa namba tan(Ust. Mukadam), ambawanakabiliwa na mashtakmatano.

    Hakim Nongwa alisempa mo ja na Ma wa ki li wupande wa utetezi kutomaelezeo ya kina katikutetezi wao juu ya shauri hilMahakama imeona ni vyemiwape nafasi washitakiwwaweze kupanda kizimbakutoa utetezi wao.

    M a h a k a m a i n a o nw a s h t a k i w a w o tw a l i o k a m a t w a k a t i kkiwanja ki le, n i vyemwapande kizimbani ili watoutetezi wao, waseme sababzilizofanya waingie paleAlisema Hakimu Nongwa.

    Kwa mujibu wa Wakili wupande wa utetezi Bw. JumNassoro, ameileza mahakamhiyo kuwa jumla ya mashahisitini watafika mahakani hapkutoa ushahidi wao upandkwa upande wa utetezi.

    Maalim Seif awakumbusha Zanzibar OICInatoka Uk. 1

    Serikali ya Zanzibar,aliongeza kuwa iwapoZanzibar ingepata fursa yakuwa mwanachama wa OIC,ingekuwa mbali kiuchumi

    kwa vile Jumuiya hiyoimekuwa ikichangia sanamaendeleo ya kiuchumikwa nchi wanachama.

    Maalim Seif alieleza hayokatika viwanja vya JamhuriJimbo la Makunduchi,wakati akihutubia mkutanowa hadhara uliotishwana Chama hicho hivikaribuni.

    Kielezea kusikitishwakwake na kitendo chaZanzibar kukoseshwaUanachama wa Jumuiyahiyo, alisema kitendocha Zanzibar kuzuiwa

    kujiunga na jumuia hiyohuenda ni mpango maalumulioandaliwa wa kuipotezeaZ a n z i b a r u m a a r u f uduniani.

    Zanzibar ndio dolakongwe za id i ka t ikaukanda huu wa Kusini mwaAfrika, lakini tumepotezaumaarufu wetu, alielezakwa masikitiko.

    Alielezea kusikitishwakwake na vitendo vya baadhiya viongozi wa upande wapil i wa Muungano, kwakutoithamini Zanzibar

    na kuipotezea haki zaka m b a z o i n g e p a s wkuzipata.

    Maalim Seif alitoa mfanwa ujio wa Waziri wMambo ya Nje wa Omanambaye alizuru nchin

    siku za hivi karibuni nalipowasili nchini RaMwai Kibaki wa KenyAlisema wageni wothao hakuna aliyepelekwZanzibar na kuelezea kasorhiyo kuwa ni miongoni kwvitendo vinavyoinyimZanzibar fursa.

    Pamoja na yote hayolakini Wawakilishi wZanz ibar wa l i t ak iwwaende wakatoe maonyao mbele ya Wazihuyo wa Oman, lakinkwa masikitiko makubwWaziri wa Mambo ya Nj

    wa Tanzania aliyapuuzmaoni na mapendekezya Wazanzibari. Sijuinakuwaje Waziri wa upandmmoja anaweza kuiamulnchi yenye Rais, alielezna kuhoji.

    Maalim Seif alifahamishkuwa mambo yote hayyanatokana na Zanzibakutokuwa na mamlakk a m i l i n a k w a m b awakati umefika sasa kwWazanzibari kuungan

    Inaendelea Uk.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    4/16

    4AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 20Habari

    Maalim Seif awakumbusha Zanzibar OICInatoka Uk. 3

    ili kuweka mustakbalimwema wa nchi yao.

    A k i e l e z e a k u h u s udemokrasia ya vyama vingi,Maalim Seif aliwatakawananchi kuwa hurukuitumia fursa hiyo kwani

    ni haki yao ya kikatiba.Amesema kila mtu yuko

    huru kujiunga na chamachochote cha siasa na kuwana imani ya dini anayoitakabi la ya kuingiliwa katikamaamuzi hayo.

    Hatua hiyo imekuja baadaya aliyekua kaimu Katibuwa Vijana wa CCM Wilayaya Kusini Bw. Muaze Haji,kujiengua katika chama hichona kujiunga na CUF.

    Akizungumza ka t ikamkutano huo Bw. Muazealisema hakushawishiwa namtu kujiunga na CUF bali

    ameamua baada ya kuonakuwa anachok ip igan iaMaalim Seif kina maslahikwa Wazanzibari wote.

    Kabla ya mkutano huoMaalim Seif alitembeleashamba la kisasa la kilimo chamigomba la Bw. Haji Kinazi,ambapo alieleza kuwa kilimohicho kinaweza kuwakomboawakulima kwa kuongezauzalishaji na kukuza kipatochao.

    Alisema iwapo kilimoh i c h o k i t a e n d e l e z w a ,k i taweza kuwakomboa

    wakulima kwa kuongeza tina kupata maendeleo kwkipindi kifupi.

    Amewataka viongozi wmkoa wa Kusini Ungujkuwaunga mkono wataalamwa kilimo hicho, ili wawezkuwaelimisha wakulim

    wengi zaidi katika enehilo na mikoa mengine yZanzibar.

    Kwa upande wakmkulima wa kilimo hichbw. Haji Kinazi, amesemtayari ameshaona mafanikya kilimo hicho na kwambanakusudia kukiendelezzaidi ili aweze kujikombokiuchumi.

    Alisema tatizo kubwlililokuwa likimkabini uhaba wa maji, lakinhivi sasa wanaimarishmiundombinu ya maji nkuendeleza kilimo hich

    kwa uhakika.Naye mt aalamu w

    kilimo hicho Bw. OmaMohd alisema, mazayatokanayo na kilimo hichcha kisasa ni mazuri nyanaweza kuleta tija kubwkwa wakulima.

    Amesema kupitia utaalamhuo, migomba inawezkustahamili maradhi nukame na kuwawezeshwakulima kupata mazamengi yaliyo bora ambaywanaweza kusafirishwa njya nchi.

    Ni usiku wa Itiqaf T.I.C Kichangani keshoWAISLAMU kutokasehemu mbal imbal inchini, wanatarajiwa

    kufanya ibada maalumya Itiqafu kesho, katikaMsikiti wa KichanganiT.I.C Magomeni, JijiniDar es Salaam, kwaajili ya kutawakali kwaMwenyezi Mungu nakuomba dua maalumkutokana na matatizo yakiimani yanayoendeleanchini.

    Kwa mujibu wa taarifa

    Na Bakari Mwakangwale kutoka kwa Jumuiya naTaasisi za Kiislamu (T),imeeleza kwamba Itiqafuhiyo itaanza msikitini hapomajira ya saa tatu, usikuwa Jumamosi (Kesho)kuamkia siku ya Jumapili.

    Itiqafu hii imeandaliwana Jumuiya na Taasisi zaKiislamu itaanza majiraya saa tatu usiku waMachi 9, mpaka Machi10, Alfajiri. Viongozi nawajumbe kutoka mikoaniwatahudhuria Itiqafu hiyo.Imesema taarifa hiyo.

    Mmoja wa viongozi

    wa Jumuiya na Taasisiz a K i i s l a m u ( T ) ,aliyejitambulisha kwa jinamoja la Abdallah, alisemaitiqafu hiyo itatanguliwa

    na Semina na mkutano waviongozi wa Jumuiya naTaasisi za Kiislamu nchiniutakaofanyika kat ikaHoteli ya Lamada IlalaBoma jijini.

    Semina hiyo itafanyikasiku ya Jumamosi keshoMachi 9, 2013, kuanziamajira ya saa tatu asubuhimpaka saa nane mchana.

    Taarifa hiyo ya Jumuia na

    Taasisi za Kiislam nchini,ilieleza kuwa hivi sasainafahamika kwamba nchiyetu inapita katika kipindikigumu cha mahusiano ya

    kidini.T a a r i f a i m e e l e z a

    kuwa kutokana na haliilivyo, viongozi wa Diniya Kiislam, wameonakuwa wana wajibu wakukutana ili kuelimishanana kujadili hali hiyo, nahatimae kuishauri serikalina Watanzania namna boraya kuimarisha mahusianoya kidini.

    Tayari Jukwaa la WaislaTanzania (Tanzania MuslimForum), limekamilishmaandilizi kwa ajili ySemina na Mkutano w

    Viongozi hao, lengo likiwni kuelimishana na kujadihali ya kulegalega kwmahusiano ya kidini nchinna kutizama ni namna ganhali hiyo itaepukwa.

    M k u t a n o h uutahudhuriwa na Masheikna Viongoz i ku tokJumuiya mbalimbali zKiislam kutoka jijini Daes Salaam na mikoani.

    WAZAZI wa Kiislamuw a m e t a k i w a k u t o akipaumbele kwa watotowao kuihifadhi Quran,i l i iweze kuwajengakatika maadili memana kuwaepusha vitendovibaya.

    Wito huo umetolewa naUstadhi Mbwana Urari, waTaasisi ya Afrika MuslimAgency, wakati akiongeamara baada ya mashindanoya kuhifadhi Quran kwa

    vi j ana wa Ki i s l amu,yaliyofanyika katika Msikitiwa Makukula Buguruni,Jijini Dar es salaam.

    Ustadhi Mbwana, alisemakatika Ulimwengi wa sasawazazi wanawahimizakuwapeleka watoto waokatika Madrasa ambazozinahifadhisha Quran, iliwasije kujiingiza katikamambo yasiyoendana namaadili mema.

    A l i s e m a h i v i s a s amaadili na nidhamu katikajamii yamemomonyokakwa kiasi kubwa, lakini

    njia pekee ya kujenga nakurudisha maadili hayo nikuwafundisha watoto diniyao kupitia katika Madrasazinazo hifadhisha Quran.

    A l i e l e z a k u w amadhumuni makubwa yakuandaa mashindano hayo,ni kuwafanya vijana waKiislamu kukijua kitabuchao kitukufu cha Qurankupitia njia ya kuzihifadhiaya za Quran katika vifuavyao.

    Al i sema kuh i f adh ikitabu cha Mwenyezi

    Kuhifadhisha watoto Quran ni kujenga maadili memaNa Bakari Mwakangwale Mungu kifuani katika umri

    mdogo, ndiyo njia ambayoikitumiwa na wanazuoniwakubwa.

    Hii ni njia ambayoimefundishwa na Mtume(s a w), ikafuatwa naMaswahaba wa Mtume. Nasisi vilevile tunaiendelezanjia hiyo ili kuienzi nakuilinda Qur an, mbalina kuifanya jamii kuishikatika misingi ya maadilimema yenye nidhamuya kumjiua MwenyeziMungu Alisema Ust.

    Mbwana.Aidha aliwasihi vijana

    wa Kiislamu wanapaswak u t a m b u k w a m b a ,kuhifadhi na kuisomaQuran ni kwa manufaayao hapa duniani na keshoakhera.

    Kutokana na sababuhiyo, aliwataka wanafunzihao waelewa kwamba,wanapohimizwa kusoma,basi waichukue rai hiyokwa kwa uzito kwanielimu pekee ndiyo itakayowajengea maisha mazurihapa duniani na kesho

    akhera.Akizungumzia hatua ya

    Taasisi ya Afrika MuslimuAgency kugawa vitabubure kwa Waislamu, Ust.Mbwana alisema lengoni kurahisisha kutoamafundisho ya Kiislamu,ili jamii iweze kuujuaUislamu wao kwa urahisi.

    Tunagawa v i t abuv y e n y e m a f u n z o y aUislamu bure, ikiwa nikatika muendelezo uleule wa kutaka Waislamuw a y a j u e m a f u n z o

    mbalimbali ya dini yaobu re bi la ya gh ara mayoyote ile. Alisisitiza Ust.Mbwana.

    Katika kilele hicho chamashindano ya Quran,Waislamu waliweza kupatavitabu mbalimbali vyenyemafundisho ya Uislamukama vile Mwanamkekatika Twahara, staraya mwanamke (Hijabu),ambavyo viligaiwa naTaasisi hiyo.

    Mashindano hayo ni

    mfululizo wa kazi za kilasiku za Kiislamu ambazohufanywa na Taasisi yaAfrika Muslim Agency.

    Naye Ustadhi ShaabanHijja wa Masjid Makukula,Buguruni Jijini Dar essalaam, katika hotuba yakeya swala ya Ijumaa Msikitinihapo, alisisitiza suala la

    Waislamu kuipigania dini

    yao kwa hali na mali.

    Al isema Mwenyezi

    Mungu alishafahamisha

    kuwa biashara ambayo

    i t a w a o k o a w a t u n aadhabu yenye kuumiza ni

    kumuamini Allah (s.w)

    na Mtume wake, kisha

    kupigania jihadi dini ya

    Mungu.A k i f a f a n u a z a i d i ,

    Ustadhi Hijja alisemajihadi ina mapana yake nakwamba, haina maana tuya kuitetea dini kwa silaha,ba li ha ta kuhi fa dh ishawatoto Quran na kuwapaelimu kwa ujumla nayo nijihadi.

    A l i s e m a , s u a l a l akuhifadhisha watoto Quran, huchukuliwa kama ni

    jambo dogo, lakini katikUislamu ni jambo kubwna lina uzito wake.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    5/16

    5AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 201Habari za Kimataifa

    Mholanzi aliyekuwa anauchukia Uislamu asilimuUkurusa wa twitter waMholanzi a l iyes i l imuArnoud van Doorn, ambayeni mwanasiasa maarufuwa Uholanzi aliyekuwamstari wa mbele kwa chuki

    dhidi ya Uislamu, sasaamesilimu.

    Kwa mujibu wa Shirikala Habari la IQNA, Arnoudvan Doorn, ambaye alikuwakatika chama kimoja naGeert Wilders, Mholanzianayeendesha harakati za

    chuki dhidi ya Uislamu,sasa amesilimu baada yakuutambua Uislamu kamanjia ya haki maishani.

    Tovuti ya islamic-events.be imechapisha taswira yaakaunti ya ukurusa wa kijamii

    wa twitter wa van Door, chiniya anuani ya mwanzo mpyaambapo pia shahada mbilizimeandikwa kwa lugha yaKiarabu.

    Awali ilikuwa vigumukwa Waislamu wengi Ulayakukubali kuwa mwanasiasa

    huyo aliyekuwa na chuki kalidhidi ya Uislamu amesilimu.Lakini von Doorn mwenyewe

    amethibitisha ukweli wahabari za kusilimu kwake.

    Amesema kukubali kwake

    Uislamu ni suala binafna hivyo kwa sasa hatakkulijadili zaidi.

    Sudan yaituhumu Ugandakuwa ni tishio kwa amani

    KHARTOUMSerikali ya Sudan

    imesema kuwa, Ugandani tishio kwa amani nauthabiti wa nchi hiyo.

    Abubakar Al-SiddiqMuhammad Al-Amin,Msemaji wa Wizaraya Mambo ya Kigeniwa Sudan ameituhumuserikali ya Kampalakwamba, imekuwa tishiokwa amani na uthabitiwa nchi hiyo.

    Abubakar Al-SiddiqMuhammad Al-Amin,amesisitiza kwambasiasa ambazo Ugandainazifuata pamoja nauchochezi wa Kampalani tishio kwa amani nauthabiti wa Sudan naeneo lote la Ukanda waMaziwa Makuu.

    Msemaji huyo waWizara ya Mambo yaKig e n i a me o n g e z akuwa, hatua ya serikaliya Uganda ya kuwapatiahifadhi viongozi nawapiganaji wa makundiyenye silaha, inahatarishausalama na amani waeneo hilo.

    Ameongeza kuwaserikali ya Khartoumikishirikiana na asasi zaeneo hilo la Afrika naza kimataifa, itaendeleana juhudi zake zakufichua hatari za siasa

    za Uganda.Aidha Bw. Abubakar

    Al-Siddiq amesemamwezi Julai mwaka huu,Mawaziri wa Mambo yaNje wa Nchi za Ukandawa Maziwa Makuuwatakutana katika kikaochao nchini Angola,kwa lengo la kujadilimashtaka ya Sudan dhidiya Uganda, kuhusianana suala la Kampalak u wa p a t i a h i fa d h iwapiganaji wa makundiya waasi.

    RAIS Omary El-Bashir wa Sudan

    OIC kuanzisha mfukokulinda matukufu ya KiislamuJumuiya ya Ushirikiano

    wa Nchi za Kiislamu(OIC), imetangaza kuwaimeamua kuanzishamfuko wa fedha kwa ajili

    ya kutetea na kulinda

    dini ya Kiislamu na

    matukufu yake.M k u r u g e n z i w a

    Kitengo cha Mawasilianocha OIC yenye makaoyake huko Jeddah SaudiArabia, Essam al Shant,amesema kuwa Jumuiyahiyo inafanya juhudi za

    kuanzisha mfuko wa fedha

    kwa ajili ya kulinda nakuitetea dini ya Kiislamu,shaksiya na matukufu yadini hiyo kwa kuungwamkono na wanachamawake , p i a na sek ta

    binafsi.

    OIC imesema kuwak u f u a t i a p e n d e k e z olililotolewa na Kuwaitla kuasisi mfuko huowa fedha, Jumuiya hiyosasa inajiandaa kuundatimu ya ufuatiliaji, kwaajili ya kuainisha fedhazinazohitajika kuanzishamfuko huo.

    Mkurugenzi wa Kitengocha Mawasiliano chaJumuiya hiyo, amesemakuwa mfuko huo ambaom a k a o y a k e m a k u uyatakuwa nchini Kuwait,

    ni mfuko wa wakfu nakwamba utakuwa ukiteteana kuilinda dini ya Kiislamuna matukufu yake pamojana shakhsia wa Kiislamu.(IRIB)

    Somalia yadai iko tayarikuzungumza na al ShababMOGADISHURais Hassan Sheikh

    Mahmoud wa Somaliaa m e t a n g a z a k u w ayuko tayari kufanyamazungumzo na kundila wanamgambo wa alShabab la nchini humo.

    Hata hivyo akizungumzana vyombo vya habarimjini Doha Qatar, RaisHassan Sheikh alisemam a z u n g u m z o h a y oh a y a t a w a s h i r i k i s h aw a n a m g a m b oambao wanasakwa nataasisi za kimataifa auwanaokabiliwa na tuhuma

    za kutenda jinai za kivita.A i d h a R a i s h u y o

    amesema kuwa, amefanyamazungumzo na Amirwa Qatar juu ya masualayanayohusu mahusiano yapande mbili, na kimataifa.

    K u n d i l awanamgambo wa a lShabab linalotuhumiwakufungamana na mtandaowa al Qaeda, linadhibitibaadhi ya maeneo katikatina kusini mwa Somalia,na mara kadhaa limekuwalikipambana na vikosivya serikali na vile vyakulinda amani vya Umojawa Afrika AMISOM.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    6/16

    6AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 20Makala

    SHAMBA LA EKARI 14 LINAUZWA

    KWA HARAKA

    LIPO CHAMAZI-DOVYA DAR ESSALAAM

    BEI NI MAELEWANO

    KWA MAWASILIANO:

    PIGA SIMU: 0759 450425

    0784 4632070754 479783

    WAHI MAPEMA BAHATI NI YAKO

    TANGAZO! TANGAZO! TANGAZO!

    SHAMBA LINAUZWA

    K W A w a l e w e n g iwaliokuwa washabiki wasinema miaka ya 1960, sina

    shaka wanamkumbukasana muigizaji mmoja waKiingereza anaejulikanakwa j ina la kisani ikama James Bond, 007.James Bond ni kacherowa kufikirika katikahadithi na maandiko yaawali ya mwandishi IanFlemming.

    K a c h e r o h u y uamechorwa kuwa ni ngaona nguzo ya ufumbuzi wasiri zenye utata mkubwana kuhatarisha usalama wanchi ikiwemo Uingereza.Kwa jinsi alivyo na uwezo

    mkubwa wa kuitambuakazi yake na kuifanyavilivyo, James Bond,hupambana na makundiya watu wabaya wenyenia ya kuvuruga amani nausalama wa watu duniani.

    Kabla sijaporoja sana nakuacha njia niliyokususdia,naomba niwatambulishekuwa makala hii inakujak w a k u m n a s i b i s h amuhusika James Bond, nahali ya hujuma na fitinailiyoelekezwa katika visiwavya Zanzibar na wananchiwake, hasa mara tu baada

    ya muamko mkubwawa wananchi kudai hakizao za kimsingi katikaMuungano.

    Muda mfupi uliopita,

    Zanzibar imtafute James BondNa Mwandishi Maalum t u m e p a t a h a b a r i y a

    kuuwawa kwa r isasikwa Padiri Paroko yaMkunazini Bwana EvaristoMushi, aliyeuwawa na

    watu wasiojulikana hukoMtoni Betrasi majira yaasubuhi ya Jumapili tarehe17 Februari, 2013. Kitendocha mauwaji haya ni chakinyama na hatuna budikukilaani kwa Nguvu zote,bila kujali imani, rangi,kabila wala dini.

    Ni kitendo cha kukilaanikwa sababu si kitendo chakiungwana kwa upandemmoja na kwa upandewa Pili, ni matokeo yatendo hil i , hasa hapaZanzibar, tena kipindi hikicha machafuko ya fitina

    za kiudini mseto sanjarina siasa, basi yatatufikamakubwa, kwa kutokeajambo hili lilofanywa namaharamia wasiojulikanakwa sasa.

    Yatatufika makubwakwa sababu yaelekeakuna mpango maalumulioandaliwa, na hatujuini akina nani, wanaolengakutugombanisha na kututianakama kutoka kwa mataifayenye nguvu, na tenayaliyokuwa hayana Imanina mataifa ya Kiislamuyote duniani. Zanzibar

    ni moja kati ya mataifaambayo baada ya Somalia,na bara Arabu kubomolewana Mayahudi na manasara,ndio iliyobaki na kuna kila

    dalili kuwa zamu yetu yakuhujumiwa imefika.

    Labda sasa, niwarudishetena nyuma kidogo kwenyek i c h w a c h a h a b a r i .Nilisema tunahitaji JamesBond, na hili nisielewekekwamba nimemsahauMola, hapana, namtumiaJames Bond kisanii zaidiili kutoa ujumbe wangu

    niliokusudia. Nje ya haponabaki na imani kamilikuwa ni Mungu pekeeatakaetuokoa na hujumahizi. Nafikiri kwa hilinimefahamika, kwa walewaumini .

    Muundo wa fitina nahujuma tuliyopangiwaZanzibar unafanana naile hujuma iliyopangwana kikundi kimoja chamaharamia waliojifichakatika Pango la Volcano(Crater ) kule Japan,katika filamu ya JamesBond ya mwaka 1967,

    inayoitwa You only livetwice, ambapo muhusikamkuu James Bond (SeanConnery) ana tumwakufuatilia kadhia hio.

    Filamu inaanza kwasatalaiti moja ya Marekaniiliyokwenda katika sayariya Venus, kumezwa nasatalaiti nyengine iliyokuwana nembo ya Urusi (USSR).Tukio hili lilizua mtafarukumkubwa ambapo Marekaniwalimshutumu Mrusi kwahujuma hii. Mrusi alikataakata kata kuhusika na

    WANANACHI wa Zanzibar wakiwa katika moja ya mikutano yao ya hadharailiyowahi kufanyika visiwani humo. [Picha kutoka Maktaba yetu]

    hujuma hii lakini Marekaniilionya kuwa iwapo tukiokama lile litatokea tena,basi kutazuka vita kuu yatatu ya dunia.

    Kadhia hii kwa vilei l i k u w a i k i p a n g w ana kikundi cha waasiwaliojificha milimanikwenye pango la mlimawa volcano, watu waasiwasioitakia mema dunia,na watu wasio na hatia,lilikuwa jaribio la hujumagumu kubainika. Kwa halihii uwezekano wa kutokeavita ulikuwa mkubwakwani chanzo cha tatizokilikuwa hakijajulikanahasa.

    Kwa baha t i nzur i ,Serikali ya Uingerezaikamnasihi Mmarekanikuwa haioneshei kwambaUrusi wal ihusika naikaahidi kufatilia. Kamak a w a i d a , U i n g e r e z ailimtuma James Bond

    (Sean Connery) kwendaJapan kufuatilia ukweli.Hali ilikwa ngumu lakinikwa ujasiri mkubwa Bond,aliweza kuibaini njama nafitina iliyokuwa imepangwakuwagombanisha Marekanina Urusi na kuipatiaufumbuzi sekunde chachekabla ya satalaiti ya pilikuliwa tena na satalaiti yaadui. James Bond akaokadunia na maafa makubwa.

    Sasa kwanini tunamhitajiaje na huku? Naam, kwamuda mrefu sana kuna

    dalili nyingi na majaribimengi ya kuiharibia jinZanzibar kwa kupitivisingizo vya Uislamwenye msimamo mkalKisa na sababu, Wazanzibwamedai nchi yao. Hichndicho kilichowachongeTumeona kuanzia kutekwkwa Ustadh Farid, Mungakatuokoa na maafaAkamwagiwa tindikaSoraga, Mungu akasimamnasi. Kapigwa Risasi PadrMkenda, tukaponea chupchupu.

    H a y a n i m o j a ymajaribio machache tyanayaonasibishwa nUisilamu ili kuichafuZanzibar na kuondoa amaniliyopo, inayofanywa nkikundi maalum chenynia mbaya ya kuhujumUislamu na ustawi wZ a n z i b a r . T u m e o nmatukio ya maandamanna fujo za kutiwa mot

    m a k a n i s a , m a s k a nkuuliwa polisi Bububuzote hizo ni fitna na hujumchini ya mwavuli mmojambao ni James Bond tangeweza kuufichuwa kwsasa, ukitoa Muumba.

    Kwa upande mwenginlikuepukalo lina heri nawna likufikalo lina hepi a, wa ka ti an au wa wpadre Mush i, viongozkadhaa wa Uamsho wakRumande kwa miezi, nhata harakati zao zimekufSasa kisingizio kitatolew

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    7/16

    7AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 201Makala

    VITABU VIPYA VYA MIHADHARA,

    MASWALI NA MAJIBU BAINA

    YA WAHADHIRI WA KIISLAMU

    NA WACHUNGAJI, PAMOJA NA

    MAWAIDHA YA SHEIKH NURDIN

    KISHKI. VINAPATIKANA MSIKITI

    WA MTORO (DUKANI KWA SAIMU)

    KARIAKOO.

    PIA VINAPATIKA KATIKA MADUKA

    YOTE YA VITABU VYA DINI JIJINI

    DAR ES SALAAM, KWA JUMLA NA

    REJAREJA. PATA NAKALA YAKO

    SASA.

    0713 47 10 90, 0685 47 10 90,

    0773 19 46 6.

    TANGAZO

    M W A N A F A L S A F A(Philosopher) wa Urusi Mr.Lev Tostov aliwahi kusema

    hivi Serikali yoyote ileduniani inafanana sanana raia inayowatawala,haiwezekani raia wawe waaina moja, na serikali iweya aina nyingine. Hayoni maneno yaliyowahikutolewa na mwandishim a a r u f u w a v i t a b un a m wa n a fa l s a fa waKirusi ambaye kazi zakezinaheshimika dunianikote.

    Urusi ni nchi ambayomuda mwingi ni wakati wabaridi, kipindi cha baridi nimiezi tisa na miezi ya jotoni miezi mitatu tu katikamwaka mzima. Kulinganana hali ya hewa ya nchi hiyona pia ukizingatia siasa zakikomunist ambazo kamanilivyowahi kusema hapoawali kwamba ni siasa zamatabaka kati ya watawalana watawaliwa; siasa zakudhibitiana kwamba usifikiriwala usifanye kama utakavyo,bali ufikiri na kufanya kamaambavyo serikali inavyotaka;ili kutimiza lengo lake lakuwadhibiti raia wa Urusina kufanya yale waliokuwawa m e k u s u d i a s e r i k a l iikitumia kitengo chake chausalama wa taifa wa nchihiyo (KGB) iliweza kuweka

    mikakati ya kuwadhibitiwananchi kwa kuwafanyawawe walevi muda wote, nawashindwe kufuatilia matukiombalimbali yal iyokuwayanaendelea katika nchi yao.Serikali ilijenga viwandavingi vya kutengeneza pombekali ya vodka na kujengavibanda kila mita mia mojavya kununulia vodka hizokwa kutumbukiza sent itano na kupata glasi mojaya vodka! Kulingana hulkahii kila mtu akawa mlevina mwisho Urusi ikabakiakuwa taifa la walevi na hukuwakomunist wakiendelea

    kulifisadi taifa hilo.Wanafunzi wa kigeniwaliokuwa wanasoma Urusienzi hizo walikuwa walevina baadaye kuanzisha timuza kunywa pombe; hivyokukawa na ligi ya kuchuanani nchi gani inakunywavodka kuliko nchi nyingine!Kwenye mashindano ya ligihii waliokuwa wanachukuwakikombe mara kwa marawalikuwa ni Zambia, Ugandana Zimbabwe. NilipofikaUrusi kwa mara ya kwanzan i l i fua twa na wenyej iniliowakuta huko na swali

    Usipokunywa vodka utaishia kushabikia mpira!Na Dr. Noordin Jella

    la kwanza kuulizwa ni kamaninakunywa pombe ausinywi; wakiwa na maanakama nakunywa nijiunge natimu yao ya kunywa vodka!Na niliposema sinywi nikawanimewavunja moyo kwa vilewamekosa mchezaji mpya.Na ndiyo maana wanafunziwengi toka Urusi miaka yanyuma walikuwa wakirudinyumbani ni walevi wakupindukia.

    Watanzania siyo walevi wavodka kama vile wenzetu wakule Urusi hii pia inachangiwana hali ya hewa. Tanzania ninchi ya joto kali, na vodkani pombe ambayo ukiinywalaz ima mwi l i unawakamoto, lakini pamoja nakwamba sisi siyo waleviwa vodka ila sisi tumeingiakatika ulevi mwingine wa

    kushabikia mpira! Ushabikiwa mpira umekuwa kamaugonjwa wa kuambukizaambao umesambaa kwakila Mtanzania haijalishianaishi mjini au kijijini;ushabiki wa mpira umekuwaugonjwa ambao umesambaampaka kwenye damu zetu(footbal l maniac). Kilakona ukipita ni matangazoya kuonyesha mechi zampira wa ligi za Ulaya, naserikali imetutengenezea kitukinachoitwa digitali hivyowatu wote wamesahau kilakitu isipokuwa mpira wa ligi

    ya Ulaya ndiyo taswira yataifa sasa hivi. Watu wa rikatofauti wote kwa pamoja fikrazao zote zipo kwenye ligi yaUlaya. Afadhali hata basitungelikuwa tunashabikialigi ya kwetu hapa nyumbaniili tuweze kukuza kiwangocha mpira cha nchi yetukwa kuchangia na kununuab i d h a a m b a l i m b a l izinazotengenezwa na vilabuvyetu hapa nyumban i !Lakini cha kushangaza sisitunashabikia vipaji vya nchizingine na watu wenginewamedi r ik i ha ta ku toamichango yao kwa vilabuvya huko Ulaya wakati timuzetu hapa zinadoda!

    Kama ambavyo nimesemakwamba tatizo hili la ushabikiwa mpira kwa vilabu vyaUlaya si kwa watu wazima

    tu basi, hapana, hata watotowadogo wamepumbazwasana na ligi ya Ulaya; na kwakuthibitisha maneno yanguhaya nadhani mnakumbukahata kwenye matokeo yamtihani ya kidato cha nnewanafunzi wengi wamechorapicha za wachezaji wa mpirawa ligi ya Ulaya kama vileMessi na mengineyo!

    Warusi wao walikuwawajanja pamoja na kwambawaliwaruhusu watu wotewanywe vodka ili wawezek u fa n y a wa l i v y o t a k a ,lakini walikuwa makini

    sana kutokuwaruhusu watuwote wenye akili na vipajimbali mbali kunywa vodka,walikuwa hawaruhusiwikabisa labda kama ni kwenyesherehe tu basi na pia siyokwa kiwango cha kulewa.Walioruhusiwa kunywa

    mpaka kujikojolea ni wawatu wa kawaida wasiokuwna umuhimu sana katikkufikiri juu ya hali ya uchumna maendeleo ya nchi kwujumla.

    Sasa sijui sisi serikali yeinafikiria nini kuhusu ushabihuu wa mpira wa ligi yUlaya ambao sasa umegeukkuwa siyo starehe tu, bali pumekuwa ni sehemu ya maishya Watanzania na sehemu yelimu muhimu kwa vijanwetu wanaosoma shule zmsingi na sekondari! Watowengi wanashinda kwenyvibanda vinavyoonyeshligi za mpira wa Ulayhata wakati mwingine wmasomo, na jioni badala ykujisomea pia wapo mbele yruninga wanaangalia mpir

    Najua serikali inakusudia nikuhusu hili, lakini imekusudvibaya kwa vile hata kamimeamua kutudhibiti siwazazi ambao ni watetewa taifa la leo, lakini nkwanini isione kwamba haki kukidhibiti pia kizacha kesho! Warusi nao pwalikuwa wakomunist lakisiyo kila mtu aliruhusiwkunywa vodka, hapanSasa s i s i mbona wottumefunguliwa TV tuangalligi ya mpira ya Ulaywakati twiga na dhahabvinayoyomaa!!!??? Ndiymaana nasema usipokunywvodka utaishia kushabikmpira.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    8/16

    8AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 20TANGAZO

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    9/16

    9AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 201Makala

    MUHESHIMIWA RaisMstaafu, Al Haj MzeeAli Hassan Mwinyi,amependekeza Masheikhna Maaskofu wakutanewazungumze kuhusuk u l e k u s u g u w a n akul iko j i to keza h iv ikarbuni.

    Hakika ndugu Wakristo

    wamezua makubwa hivikar ibuni na lawamazimelengwa kwa Waislam.M k r i s t o a l i k o j o l e aQurani, Waislam walitoataarifa Polisi kwa kuwakitendo hicho ni jinaikwa sher ia za nchi .Lakini huko Polisi, kwasababu wanazozifahamuwenyewe, ambazo si kazikubwa kutanabahi ni zipi,wao walijicheleweshakuchukua hatua za kisheriazinazotakikana.

    Kwa ujinga wao Waislamwakapoteza subra nakuchukua sheria mikononi

    mwao na matokeo yakeyakawa vurugu tupu,Waislam wakilaumiwakwa mkasa huo. Kiongoziwa Polisi angetegemewakusema ukweli wa mamboya l ivyokuwa, l ak in iyeye alitangaza tu, kuwaamechoka na wafanyafujo. Hakuwataja haowafanya fujo ni kina nanilakini mtu yeyote yulemwenye akili ya kufikiri,haingekuwa kazi kubwakutambua kuwa hao niWaislam.

    Imekuwa ni ajabu kubwasana humu nchini kuzukarabsha kati ya Waislam naWakristo kwa sababu yakuchinja wanyama, ambaonyama zao zinauzwa katikamabucha. Mimi sasa nimzee na maisha yanguyote nimeyamalizia nchinihumu; haikutokea hatasiku moja Wakristo wazueugomvi kwa sababu yakuchinja.

    Rafiki yangu Mchagakanieleza kuwa huko kwaokila siku wamependeleaMuis l am awach in j i engombe ama mbuziwa chakula. Kwa milazao, wao hawawezi kula

    Na Khalid S Mtwangi

    Masheikh na Maaskofu kukutananyama iliyochinjwa namwanamume ambayeh a k u t a h i r i w a . K w ahiyo hata kwa Mchagamwenzao mwanamume,hawawezi kuwa na uhakikakabisa kuwa huyo bwanakatahiriwa.

    Kwa zaidi ya asilimiatisini na tisa mwanamumemtu mzima Muislamatakuwa katahiriwa. Hivyowako tayari kula nyamailiyochinjwa na Muislamkwa sababu wana uhakikakuwa imechinjwa kihalalina mtu mwenye tohara.

    Inatambul ika kuwawaliozua balaa la kuchinjani baadhi ya wafuasi wamadh-hebi hizi za Pentecostwanaofadhiliwa sana naBorn Again wa Marekani.Watu hawa ndio mwanzo

    wa mauwaji makubwayaliyokuwa yakitekelezwana viongozi kama vile Bw.George H Bush, aliyekuwaR a i s w a M a r e k a n i ,aliyeapa kueneza Vita VyaMsalaba. Pia itambulikek u w a h a w a B o r nAgain (hakika wanaitwaFUNDAMETALISTS)hawataki kabisa kusikiak u w a k u n a U i s l a mna Ukatoliki dunianik ias i kwamba , Papawanamtuhumu kuwaanaeneza ush i r ik ina(wanamwita purveyoro f s u p e r s t i t i o n ) .

    Tazama website za kinaP a t R o b e r t s o n a m amarehemu Jerry Falwell.H a y a w a l i y o z u w ahawa wanaotaka wawewanachinja, wamezuasokomoko huko Geitampaka yakatokea maafakwa Mchungaji kauawa.

    H a l a f u y a m e t o k e amauaji ya Fr. EvaristMushi, huko Zanzibar.Inasikitisha sana kuwa bilakuwepo ushahidi wowote,lawama za mauwaji hayowametwikwa Waislamkama waumini wa Uislam.Maana yake sio kamaaliyetenda kitendo hicho ni

    muhalifu ambaye ana jinala Kiislam, la. Inaelekeakuwa aliyeuwa ni Muislamna aliyefanya uhalifuhuo ameutekeleza kwasababu ya Uislam wake.Shutuma hizo hazikutokakwa Wakristo tu balibaadhi ya Masheikh naowalijitosa kwa hoja na ayaza Qurani kumlaani huyoMuislam ambaye mpakasasa hajajulikana.

    Maaskofu na Wakristow o t e k w a u j u m l aw a m e f a r i j i k a s a n a !Masheikh wamewafariji

    MZEE Ali Hassan Mwinyi MAALIM Ally Bassaleh ASKOFU Alex Malasusa

    Wakristo na kuwahuzunishawafuasi wao Waislam.K u f u a t a n a n a

    matokeo haya machacheyaliyoorodheshwa, nirahisi kufikia maamuzikuwa kweli kumetokeam s u g u w a n o k a t i y aWakristo na Waislam. Halikama hiyo hakika inawezakuwa hatari sana kwa nchihii. Isipokuwa ikumbukwekuwa WaTanzania, na hasaWaTanzania Waislam niwastahmilivu sana na kwakawaida huheshimu sanasheria na viongozi.

    M a f u n z o y a o y a

    MADRASA yanawafanyawawe na heshima kwa walioviongozi wenye madaraka.Hi i n i kwel i kab i saingawa kunaweza kutokeawasomaji wasikubalianena hoja hiyo. Waislamwamekuwa wakiitwa kuwani docile (wanyongesana). Kweli hali hiyoimeanza kubadilika lakinihayo ni kwa sababu kilakitu kina mwisho wake.Wanaelewa kuwa hukonyuma wametumiwasana kwa maslahi binafsina kusimika Ukristo.Wanamkumbuka kwa dhatiAl Marhum Sheikh Mzee

    Takdir, mpiganaji shupavuwa uhuru.

    M a b a d i l i k o h a y okwanza yamedhihirikak a t i k a m i h a d h a r awaliyokuwa wakiihubiriakatika miaka ya tisini. Hiiiliwaudhi sana Wakristona ajabu ni kwamba, walewasomi ndio waliokuwawakiudhika zaidi, kulikoWakristo wa kawaidaambao walipendelea sanakuendesha mijadala kwahoja, wakishindana na hawawahadhiri wa Kiislam.Lakini kukasirika kule

    ilidhihirisha kiasi Waislamwalivyokuwa wakionewakila siku kuwa wao nidocile.

    Lakini ikumbukwehuko nyuma kulikuwana mihadhara mingi yawahubiri Wakristo wengiwalikuja nchini humu nawaliyokuwa wakiita kwamfano September crusadena kadhalika. Mihadharahii ya Wakristo nayowahadhiri wake walikuwawakijaribu kuuchambuaUis l am wakipo toshamafundisho ya dini hiyoya kweli ya Allah. Waislamhawakulalamika kusemakuwa Uislam ulikuwaukikashfiwa. Bado hatahivyo wale waliosomamaandishi kama vile kitabuWANA WA IBRAHIMwalifahamu kiasi ganisi tu, Uislam ulikuwaukikashfiwa bali hata Rasul-ul-Llah Muhammad (SAW)alikuwa akidharauliwa.Na kwa hakika Wakristowengi hawamkubali walakumuamini Muhammad(sw).

    I m e a n d i k w a k u w aUislam hauwezi kuwani dini ya kweli kwasababu Warabu, akiwemo

    Mtume Mhammad (SAW)walitokana na kizazi chaIsmail (AS), na huyu Ismailalizaliwa na mtumwa nawala huyo Ismail (AS)hakubarikiwa. Kwa hiyowanasema Uislam hauwezikuwa ni dini ya kweli.Soma kitabu hicho WANAWA IBRAHIM ama DINIMBALI MBALI NAUTUME WETU. Vyotehivi vimeandikwa naKanisa Katoliki.

    Yote haya yakitoka,Waislam hawakulalamikaKASHFA hata siku moja.

    Wakristo walipolalamiktu, eti dini yao inakashifiwSerikali nzima ilikuja juu

    Sasa hivi kweli Ukristumesimama kwenye msindhaifu ambao hauwezkabisa kustahimili upekuwenye mantiki? CardinManning wa Westminsta l i w a h i k u n u k u l i wakisema kuwa Dogmsupersedes history (yaanamri inaweza kuwa borna juu ya matukio yhistoria). Huyu CardinManning sio kiongozi wkawaida tu, yeye alikuwmsaidizi wa karibu san

    wa Papa Paul VI, aliyetomafundisho kuwa Paphakosei (Infallibility of thPope) anapokuwa katikkiti cha enzi.

    Kweli kutokana na hayyote, uko ule mkwaruzankat i ya Wakr isto nWaislam nchini humuHata wale maadui wkivita vya kuuana, haskuna siku lazima wakac h i n i k u z u n g u m z iuhasama wao. Wamarekawanazungumza na TalibaKuna shida moja lakinambayo ni lazima ikubalikna upande wa WakristoWaislam wana historya kuvumiliana sana nwenzao Wakristo; historya nchi hii ni wazi kabiskwa hilo. Ubaya ni kuwhawa ndugu Wakristo, haswale walio na madarakmakubwa na madogohawakubali kabisa kuwWaislam wanadhulumiwbaadhi ya haki zao.

    Ushahidi umetolewa kwmfano, maandiko ya DSivalon katika kitabu chakKANISA KATOLIKLI NSIASA YA TANZANI

    Inandelea Uk. 1

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    10/16

    10AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 20Makala

    Wiki chache zilizopitak u m e k u w e k o n aongezeko la ardhi yaPalestina kuvamiwakat ika m aeneo ya

    Ukingo wa Magharibin a h a s a k a t i k aJerusalem Mashariki(al Quds).

    Kumekuweko p iana migomo ya njaai n a y o e n d e s h w a n awafungwa wa Kipalestinakatika jela za Israel.Wafungwa hawa wakisiasa ni pamoja naSamer Issawi, aliyegomakula kwa muda unaozidisiku 220.

    Wa k a t i h u o h u o

    mfungwa wa miaka 30,Arafat Jaradat, ameuawakwa kuteswa na maofisawa Israel. Jambo hililimepelekea Wapalestinawengi kupandwa nahasira na kuandamanakote.

    Kutokana na vitendovya namna hii, swalilimekuwa likiulizwaiwapo Wapales t inawanahitaji kuanzishaIntifada (mapambano)y a t a t u d h i d i y awavamizi wa Kiisraeli.

    W e n g i w a m e k u w aw a k i z u n g u m z i auwezekano wa Intifadampya dhidi ya Israelinayoikalia kimabavuardhi ya Palestina.

    W a a n d a m a n a j iwanaopinga utesajiwa raia wa Palestinawamejenga mahema nakukaa katika maeneoyanayotishiwa kuvamiwana Israel. Haya ni maeneoya Babeshams, Kanaankatika Hebron, Beit

    Safafa na Al Karmahiliyo kaskazini mwaJenin.

    W a k a t i h u o h u o ,wafungwa Wakipalestinaw a l i o g o m a k u l akatika jela za Israelw a m e w a h a m a s i s h aw a n a n c h i w e n g ikujitokeza na kuonyeshamshikamano wao katikasehemu zote za Ukingowa Magharibi na Gaza.Lengo ni kudhihirishaazma ya Wapalestina

    Je, tunahitaji Intifada ya tatu Palestina?

    MMOJA wa kijana wa Kipalestina aliyejeruhiwa na majeshi ya Israel.

    kupigania ukombozi nauhuru wa nchi yao.

    Pamoja na upinzanihuu mkali unaoonyeshwan a W a p a l e s t i n adhidi ya Israel, waoh a w a z u n g u m z i ikuanzishwa kwa Intifadaya tatu. Hata hivyoupinzani wa Wapalestina

    ni dhidi ya uvamiziwa ardhi yao na Israelpamoja na udhalilishwajin a u k a n d a m i z w a j iunaofanywa na Israel.

    K i l a I s r a e li n a v y o z i d i s h au k a n d a miz a j i h u o ,ndivyo na Wapalestinanao wanavyoongezaupinzani wao dhidi yawavamizi.

    Ni kweli upinzani huuwa Wapalestina wanaodaihaki yao ya kitaifa,

    unaweza ukachukuataswira tofauti. Lakinik i l i c h o d h a h i r i n ik u w a W a p a l e s t i n ahawatatumia nguvu.Rais Mahmoud Abbas,anasisitiza upinzanibila ya kutumia nguvu,akisema yeye hayukotayari kuburuzwa katikaumwagaji wa damu,jambo ambacho Israelwanataka lifanyike.

    Kwa upande wa pili,watawala wa Israeli

    na vyombo vyao vyahabari wanawachocheaWapalestina waelekeekwenye Intifada mpya.Wanaelewa kuwa waondio wenye nguvuna silaha za kisasazinazoweza kuwauaWapalestina kwa urahisi.Kwa k u wa c h o c h e a

    Wapalestina waingieu w a n j a n i , I s r a e lwatakuwa na kisingiziocha kutumia silaha zaoza maangamizi, pamojana kufanya majaribio yasilaha zao mpya, kamawal ivyofanya hukoLebanon na Gaza.

    W a p a l e s t i n awanaotumia nguvuwatasingiziwa kuwa nimagaidi na Waisraeliwatapata kis ingiziocha kuwashambulia

    kwa madai ya kilewanachopenda kukiitaulinzi wa Israel.

    Wakati huohuo, Israelinaendesha propagandazao kwa kudai kuwah a wa we z i k u fa n y amazungumzo ya amanina Wapalestina.

    Kwa maneno mengine,harakati za ukombozi waPalestina zitatoa mwanyakwa Israel kuzidishaukandamizaji wake dhidiya wananchi wa Palestina,

    huku wakidai kuwa Israelimezungukwa na maaduiwanaotishia usalamawake. Watazungumziak i l e w a n a c h o k i i t amihimili ya uovuinayoundwa na Iran,Syria, Hezbollah naHamas.

    W a n a c h o h i t a j i

    Wapalestina kwa kwelisi Intifada nyinginedhidi ya udhalimu waIsrael, bali ni ukombozina Uhuru wa ardhi yaoiliyovamiwa na Israel.Kwa bahati mbaya lengohili haliwezi likafikiwakwa kutupa mawe mbeleya majeshi ya Israelyenye silaha nzito na zamauaji.

    Intifada mpya yaWapalestina ni pamojan a m a a n d a m a n o

    yanayofanyika kila sikuna kila wiki, dhidi yaIsrael katika maeneokama Bilin , Nilinna Maasara,Hebron,K a f r Q a d d o u m n aJenin. Migomo ya njaai n a y o e n d e s h w a n amashujaa wa Kipalestinawalio katika magerezaya Israel. Jitihada hizihazitazaa matunda yaharaka ya kuikomboaPalestina.

    Kitakachofanyika ni

    kuufanya ulimwengu e l e w e h a l i yWapalestina na jinswanavyodhalilishwna Israel. Lakini yot

    h a y a h a y a t a t o s hkuifanya Israel ijitok a t i k a m a e n e o yPalestina iliyoyavamiInawezekana ulimwengmzima ukaunga mkonharakati ya Wapalestindhidi ya Israel yenymajeshi na silaha nzitoLakini hii itachukua mudmrefu na ni mchakatmrefu utakaochukumiaka mingi.

    Kwa upande mwenginharakati za Wapalestinbila ya kutumia nguvzinaweza zikawaaibishmarafiki wa Israel katiknchi za magharibi, hasM a r e k a n i a m b a yinaisaidia Israel bila ykutumia mantiki walkufikiri . Mwishowwatatanabahi umuhimwa kuilazimisha Israeiachane na uvamizi wPalestina na badala yakitafute njia itakayoletamani na utulivu w

    kudumu katika masharikya kati .

    K w a v y o v y o t eWapalestina hawahitaIn t i fada mpya baw a n a h i t a j i u e l e wmzuri kuhusu madayao ya ukombozi, kishwaieleweshe MarekanNjia hii ni muhimu haskwa vile hivi karibuntutakuwa na ziara yRais Obama nchini Israena katika maeneo y

    Palestina yaliyovamiwna Israel.Makala na Kituo ch

    Habari cha Palestin(Tanzania)

    Palestine InformatioCentre (Tanzania)

    Contact us: P.O Bo20307, 612 UN Roa Upanga West, Dar eSalaam Tel: 21528132150643 Fax: 215325Email: [email protected] : www.patz.org

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    11/16

    11AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 201Makala

    MTOTO anayo hakikupata malez i borakutoka kwa wazazi

    wake wawi l i , yaanibaba na mama yatakayomuwezesha kuwa mtumwema katika jamiibaadae.

    Wazazi wanahusika namalezi ya mtoto tanguakiwa tumboni kwa mamahadi kufikia umri wa mtumzima wa kujitegemea.

    M a l e z i y a m t o t oyamegawanyika katikasehemu kuu mbili, maleziya kimwili na malezi yakiroho.

    Malezi ya kimwili niyale yote yanayohusikakatika makuzi ya mtoto,

    yaani awe na afya, alevizuri, alale vizuri, avaevizuri na akue vizuri akiwana afya njema. Malezi hayahuanza mara tu mimbainapotunga.

    Baba anawajibu wakumtunza mkewe barabarakwa kumpatia vyakulamaalum, ili mama namtoto wake tumboni wawena afya nzuri. Pamoja nahuduma nyingine, babaana wajibu wa kumpamkewe upendo na faraja,hasa katika kipindi chaujauzito hadi kujifungua.

    Ni jukumu la mama nababa kufuata masharti yakulea mimba wanayopewana daktari na hata baadaya kuzaliwa mtoto.

    Ni juku mu la babana mama kutoa maleziya kiroho (kimaadilina kumjua MwenyeziMungu) kwa watoto waoau familia.

    Pamoja na kuhakikishakuwa mtoto analelewavizuri kimwili, lakini ilimtoto amudu maisha yakebila taabu hapo baadaena kuwa mtu mwema, nilazima alelewe kimaadilina kiimani na wazaziwake.

    Yeyote mwenye kujual e n g o l a k u u m b w amwanadamu, hawezik u a c h a k u z i n g a t i amaadili kwa mwanaye.Mtoto aliyelelewa vyemak i m a a d i l i , a t a w e z akuwatendea wema wazaziwake, jirani zake na jamiiinayomzunguka kwaujumla.

    U i s l a m u h u w aunamtazama mwanadamukama Khalifa wa Allah(s.w), yaani ni msimamiziwa sheria za Allah ili ziwezekufuatwa kikamilifu na

    Uke wenza katika malezi ya watotoNa Pendo Masasa kurahisisha maisha.

    Haya yote anayapatam w a n a d a m u i w a p oa l i p o k u w a m t o t o ,alipata wazazi wazuri

    waliyohakikisha mtotowao anapata malezi yoteya kimwili na kiroho kwausahihi.

    M t o t o a n a p o a n z akuongea na kuelewakile anachokieleza naanachoelezwa, basi mkazowa mafunzo ya kimaadilina dini huanzia hapo.Hilo lifanyike wakati huokwa kuwa mtoto kwakipindi hiki, ana uwezomkubwa sana wa kuelewaanachofund i shwa nakunasa.

    Akiwa mtu mzima bilakufanyika jitihada hizi

    muhimu za kimalezi, niwazi kuwa mzazi hawezit ena kumwambia aukumfunza jambo akatii.Hali hii inapotokea, kundila watu ubishi, wenye kibrina watovu wa nidhamuhujengeka.

    Hata hivyo kumekuwana tatizo la ufahamumdogo sana katika maleziya watoto wanaopatikanakatika ndoa ya mke zaidiya mmoja.

    K u k o s e k a n a k w aufahamu wa kimalezikatika ndoa hizi pamoja nakutozingatiwa mafunzo yaQuran na sunna za Mtume(saw), imeshuhudiwamizozo na uhasamamkubwa ya kifamilia katikafamilia za aina hii.

    K a t i k a e n e o h i l i ,wazazi wengi wamekuwaw a k i p o t o k a a m b a p ohutupilia mbali maleziya watoto na kuangaliamaslahi yao binafsi. Mkemmoja anaingia tamaaya kutaka wanawe kuwazaidi ya watoto wa mkemwenzie.

    Wakati mwingine mkemmoja anatamani familiayake kuwa na hali nzuri zaidikuliko ya mke mwenzie.

    Hali hii imesababishaakina baba kukabwa nakuletewa kila aina yamaneno ya uzandiki, ili tuakubaliane na matakwa yamke mwenye nia ya namnahii ndani ya familia ya ukewenza.

    Hapa ndipo baba asiyemakini, anajikuta akianzakuzoea kidogo kidogokujali zaidi familia ya mkemmoja ili kumridhisha,huku akisahau somo lauadilifu kwa wake wenginetofauti na somo la Quranna hadithi za Mtume

    zinavyoelekeza.Atahangaika kukidhi

    matakwa ya kichoyo nakutizama tu malezi yakimwili kwa mke huyu na

    wanawe, kuliko yale yakimaadili.Hali kama hii inapotokea,

    mara nyingi athari inakuwazaidi kwa watoto. Kwanzahuachwa wakikosa msingimzuri wa malezi stahiki, nanafasi hiyo huchukuliwana nafsi ya uadui katikafamilia.

    Mke humchukia mkemwenzie, motto humchukiandugu yake kwa mamamwingine. Tena wakewengine wanathubutukuwaambia watoto wao bilawoga kwamba wasimpendemama mkubwa au mdogona wanawe kwa sababu simama yao, wala watoto waosio ndugu zao kwasababu

    hawajazaliwa pamoja.

    Inafika mahali mtotoanashirikishwa katikamvutano wa uhasama

    kati mke mmoja dhidi yamwingine.Kwa vi tendo kama

    hivyo mtoto anajengekakatika hali hiyo mpakaukubwa wake. Kuwafanyiachuki ndugu zake na mamayao mkubwa au mdogo.Chuki, uadui na tabia chafuzinaingia ndani ya familiaya ndugu wa baba mmoja.

    Wakati mwingine mkemmoja anaambukizawanawe chuki kwa mkemwenzie na wanawe.W a k a t i m w i n g i n eatazua visa vya kutakamume kumwacha mkemwenzie au kuondokewaneema ya ndoa. Watotowatafundishwa uongo

    wowote kumwambia babilimradi mke mwenzaonekane mbaya na hatkuachika.

    Tabia hiyo inajengek

    kwa mtoto kidogo kidogKuwa muongo na kuharibmahusiano ya famililinakuwa jambo la kawaidkwake hadi ukubwani.

    M a d h a r a m e n g i nanayoweza kuyapa tmtoto ni kule kuhisi kuwbaba anampendelae mammwingine. Japokuwa kwebaba anaweza kuwa nudhaifu wa kibinadamubas i mke asiwe tenkichocheo. Badala ykukaa na mzazi mwenzakkuzungumzia upungufhuo na kujadili namnya kuuondoa kwa siri nkuyamaliza, ndio kwanzanauchochea maafa katik

    Inaendelea Uk. 12

    Shukurani zo te n i zaM we n y e z i M u n g u n aRehema na Amani zimfikieyule aliyeletwa kuwa niRehema kwa viumbe wote,Bwana wetu Muhamad naJamaa zake na sahaba zakewote.

    Ama baada ya utangulizihuu, kwa hakika huruma namapenzi ni alama za Uislamu.Kwa hakika umekuja Uislamuili kupandikiza kanuni zaudugu na kusaidiana watu

    na ili waeneze huruma namapenzi kwa viumbe vyote.Ametuonyesha Allah (sw)

    katika Surat Al Imrami, juuya neema hii inayojulishautukufu wa jambo hili lakueneza udugu na huruma,mapenzi na kusogeleanana kuwa karibu badala yakukimbiana na kunyanyapaana na kuchukiana.

    Amesema MwenyeziM u n g u M t u k u fu , Nashikamaneni katika kambaya Mwenyezi Mungu nyotena wala msifarikiane, nazikumbukeni neema za

    Huruma na mapenzi ni alama za Uislamu

    Dk. Emad Rabie AhmadMohamed

    Mwenyezi Mungu kwenupa le ml ip okuwa ma ad ui ,na akaziunganisha nyoyozenu na mkawa ndugu,Hadi mwisho wa aya hiiamebainisha Mtume (S.A.W)mapenzi ya Muislamu kwanduguye.

    Muislamu ni ukamilifuwa imani. Amesema Mtume(S.A.W), haamini mmoja

    wenu hadi apendelee kwanduguye lile analolipendayeye. Na amesema tenaMtume (S.A.W), ogopayaliyokatazwa utakuwamcha Mungu, na ridhia kwaalivyokupa Mwenyezi Munguutakuwa tajiri katika watu.

    Na Mfanyie mema jiraniyako utakuwa mwenye imanina pendelea kwa nduguyo lileunalolipenda wewe utakuwamuislamu. Hebu tusikieneno la mshairi akifafanuasifa za ndugu wa kweli palealiposema.

    Hakika ya ndugu yakowa kweli ni yule anayekuwa

    nawe, na yule aliye kwa mudaatakukimbia na hatakusanyikana yanayojulisha juu yaumuhimu wa mapenzi katiya Waislamu na nduguye.

    Kwamba Mtume (S.A.W)amekataza ugomvi na chukina kununiana Waislamuna kutokuzungumza zaidiya s iku ta tu , akasemaMtume (S.A.W) Haifaikwa Muislam kumnuniaMuislamu mwenzie zaidi yasiku tatu, na mbora wao niyule anayemuanza mwenziekwa salamu. Unahimizasana Uislamu juu ya kueneza

    mapenzi na huruma kati yWaislamu, kwamba Muislamanapompenda Muislammwenzie basi amwambkuwa ninakupenda kwajili ya Mungu. Alikumtu mmoja kwa Mtum(S.A.W), anasema ewMtume (Mimi ninampendFulani, Mtume akasem

    nenda ukamwambaie juya mapenzi na hurumhiyo iwe ni kwa ajiya Mwenyezi MungMtukufu.

    Kwa sahihi ya manenya Mtume (S .A.Wamesema mambo mataatakayekuwa nayo, baamepata utamu wa imanAwe anawapenda MwenyeMungu na Mtume wakkuliko vi tu vingine nampende mtu isipokuwa kwajili ya mwenyezi Munghadi mwisho wa hadithi htukufu.

    Kama isipokuwa muumina awachukue waharibina mafisadi na waovu nyote hayo ni kwa ajili yMwenyezi Mungu.

    Na katika hadithi yenymaana hii, yeyote Mwenykupenda kwa ajili ya MwenyeMungu na akachukia kwajili ya Mwenyezi Mungna akatoa mali kwa ajiya Mwenyezi Mungu nakazuia mali kwa ajiya Mwenyezi Mungukwa hakika amekamilikimani.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    12/16

    12AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 201Mashairi/Barua

    VIWANJA VILIVYOPIMWAKONGOWE KIBAHA TOWNSHIP

    REGISTERED PLAN No. 70995 BLOCK H

    PLOT HATUA ENEO MRABA GHARAMA TSH

    H1 50 x 29 1341 Sqm 4,023,000/=

    H2 32 x 32 1136 Sqm 3408000/=

    H3 50 x 30 1470 Sqm 4410000/=

    H4 37 x 30 1115 Sqm 3345000/=H5 50 X 45 2259 Sqm 6750000/=

    H6 33 x 37 1566 Sqm 4695000/=

    H7 60 x 45 2423 Sqm 7269000/=

    H8 50 x 40 1984 Sqm 5952000/=

    H9 67 x 50 3564 Sqm 10692000/=

    H10 70 x 45 2842 Sqm 8526000/=

    H11 90 x 50 3780 Sqm 11340000/=

    Vipo Barabara ya Kongowe-Soga Kilomita mojtoka barabara ya Morogoro.

    Simu No.0755 090 754/0715 090 754.

    Mtimani nina ghamu, kwa kifungo cha Imani,Kunena yanilazimu, kwa uchungu ikhiwani,Kwa idhaatu adhimu, leo kuwa kifungoni,Kuifungia Imani, katu sio suluhisho.

    Suluhisho muadhamu, la mazonge ya nchini,Ni haki kustakimu, sawa kwa kila insani,Si kwa Imani kudumu, miezi sita kifungoni,Kuifungia Imani, katu sio suluhisho.

    Haki ni jambo adimu, kwa baadhi ya insani,Si leo tangu kadimu, kwa hapa petu nchini,Tangu enzi za Mwalimu, si za juzi za Imani,Kuifungia imani, katu sio suluhisho.

    Haki chungu kwa dhalimu, si leo tangu zamani,I tamu kwa madhulumu, bila kujali Imani,Dhuluma ndiyo jarimu, na si Redio Imani,Kuifungia Imani, katu sio suluhisho.

    Haki daima dawamu, huwa ni yenye kuwini,Tangu enzi za Adamu, baba wa wote insani,Haki ni yenye kukumu, hata pasipo Imani,Kuifungia Imani, katu sio suluhisho.

    Kalamu ya madhulumu, i karibu ukingoni,Vyovyote itavyokumu, dhuluma haitawini,Tatizo ni udhalimu, na si Redio Imani,Kuifungia Imani, katu sio suluhisho.

    Allah alimu-hakimu, kwa Kifungo cha Imani,Wamjua muhujumu, wa Redio yetu Imani,Twakwomba umuhukumu, akhera na duniani,Haki ndiyo suluhisho, si kuifunga Imani.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    Kifungo si suluhisho!

    Uke wenza katika malezi ya watotoInatoka Uk. 11

    familia kwa kuwaelezawanawe udhaifu huo.

    Kitendo cha mamakumwambia mwanaweudhaifu huo, fahamu fikakuwa mtoto atapunguzampenzi kwa baba yake nakwa mama yake mkubwaau mdogo na kwa nduguzake wanaotokana namama mwing ine nahatimaye kwa familianzima kwa ujumla. Hataatakapokuwa mtu mzima,hatamjali baba yake walamama mdogo au mkubwana wanawe pia, jamboambalo ni kosa kubwa kwamtoto kutowatendea wemawazazi wake.

    J a m i i i t a b a k i akumlaumu kuwa hajalimzazi au wazazi wake,kumbe wazazi wenyewendiyo chanzo cha matatizoyote.

    Wake wenza wakiishikatika udugu, watoto naowatajifunza mengi mazurikimaadili. Kwanza wataonaji ns i fa mi li a ya baba nawake zake wanavyopendana,watajiona kama wamezaliwatumbo moja. Watasaidianakwa hal i mali k idugu,watajenga upendo wa kweli

    wao kwa wao na kwa wazaziwao hadi wanakuwa watuwazima. Kwa familia ya ukewenza wanaopendana namnahii, ni vigumu mtu baki kujuautofauti wa mama na watotohao bila kuambiwa.

    H a t a p a l e w a z a z iwatapokwenda katika maishaya barazak , watakuwawameacha familia katikamstari ulionyooka. Piakatika familia ya uke wenzailiyolelewa kimaadili hadiukubwani, itakuwa vigumukutokea mizozo ya familiainayoegemea katika misingi

    ya tofauti za uzao wa wazaziwa kike.

    Mtoto akifunzwa tabianjema bila kujenga hisia zautofauti ndani ya familiaya uke wenza, akawa naheshima na kuwatii wazaziwake hata kama sio wakumzaa, akawaheshimu nakuwatii wake za baba yake,

    nao wake wenza wakaonakuwa watoto wao wote niwa familia moja, ya babammoja, watafaulu na kuwafamilia ya mfano bora wakuigwa katika jamii.

    Amesema Mtume (s.a.w),wakirimuni watoto wenu namuwafunze tabia njema. Nivyema tukaishi na familiazetu kwa furaha, upendo,kuaminiana na masikilizanoili kuleta picha halisi yamaisha mazuri ya Kiislamu.

    Tuishi na familia zetu hukutukifahamu kuwa kila mmojawetu ni mchunga na kila

    Masheikh na Maaskofu kukutanaInatoka Uk. 10

    BARA 1953 HADI 1985.Haielekei kama kunaviongozi wa Serikali,wanasiasa na watendaji(c i v i l se rvan ts ) kamawamesoma klijitabu hiki.

    H a l a f u a l i y e a n d i k akitabu DEVELOPMENTAND F R E L IGION INTANZANIA, kilichoandikwana Jan P van Bergen, ambayekatoa siri zinazohusu mawazoya Hayati Mwalimu Nyererekuhusu Uislam na Waislam,kuwa yeye ni Mkatoliki nani Rais wa nchi hii mwenyemadaraka makubwa sana.

    Afi sa wa E l imu waMunispaa ya Morogoroanapowaandikia walimu washule za msingi kuwa anatakamajina ya wanafunzi waKikatoliki waliomo darasa

    la saba, maana yake nini.Hata pale wadau wenginewalipolalamikia kitendohicho kwa maandishi, siWizara ya Elimu wala Ofisiya Waziri Mkuu walioonakwamba hawa waliolalamikawanastahili kupewa heshimaya kupelekewa majibu. Ikomifano mingi ya dharau yanamna hiyo dhidi ya Waislamkutoka Serikalini.

    Huko nyuma ghadhabuza Waislam kutokana nadharau na dhuluma kamahizo zilikuwa zikielekezwakwa serikali na sio kwaWakristo ama Makanisa.

    Wakati wa kadhia yaMwembeChai hakunahata kanisa moja katiya yale yaliyo karibu na

    msikiti huo, yaliguswa naWaislam.

    G h a d h a b u z o t ez i l i e l e k e z e w a k w awatendaji wakiwemo Polisiwal iowap iga r i sas i nakuwaua wasiokuwa na silahayeyote. Baadae imeonekanakuwa ni hawa watendajiserikalini walio Wakristondio wanafanya dharau kwaWaislam na ndio kwa mfano,wanaochagua wanaoendeleaForm I ama Form V, naambao wanahakikisha kuwaWaislam wanaopewa nafasihizo ni wachache.

    Baada ya MwembeChai,askari Muislam aliyetoamaoni kuwa kitendo kilehakikuwa sahihi alimwagaunga wakivunde na ikabidiakaufuate nyumbani kwaoKatonyanga (Ujiji).

    Sasa iwe kweli Maaskofu

    na Masheikh wakutanewa n a we z a j e k u b o m o aukuta huu uliojengwa nawatumishi serikali walioWakristo, hasa ikikumbukwakuwa kwa muda mrefu hawaviongozi wa dini ya Kikristowamekuwa wakiwafundishawafuasi wao kuwa Uislamsi dini. Mtume Muhammad(SAW) ni Mtume bandia(false Prophet). Waislam niwatu wajinga hawakusomana wako dhalili.

    Ikiwa kama Maaskofuhawatakubali kuwafundishawaumini wao heshimana adabu kwa Waislam,

    hata pakiwa na mikutanomingapi, huo msuguwanohautakwisha na penginemakubwa zaidi yatazuka.

    Amani iko mikononi mwhawa watendaji wa serekawalio Wakristo; ni wawaache dhulma, dharau nkibri, na watende haki kwwote. Waislam hawatakupendeleo wowote wanatak

    haki yao tu.Kumbuka Askofu Mku

    mstaafu Elinaza Sandormara nyingi alikuwa akisemkuwa panapokuwa hakunhaki, hapawezi kuwa namani. Ni yeye tu aliyk i o n g o z i wa K i k r i s tanayeyaona hayo? Hakunwengine wa madh-hebzingine kama vile Katoliwanatambua hayo? Kutokanna maelezo ya MuhashaPolycarp Cardinal Pengidadi kubwa zaidi ya waliomkatika CIVIL SERVICni waumini wa Kanis

    Katoliki. Hivi Kanisa hihalifundishi kutoa hakkwa wote bila upendeleoHivi wale waliomo katikCATHOLIC OLD BOYASSOCIATION (COBAhawaipend i nch i yTanzania kuweza kulegezkamba angalau kidogo kwusalama wa Tanzania?

    Mwisho ikubalike kuwWaislam hawaukashifUkristo. Hili lilipelekwmpaka Mahakama yRufaa na Mahakimw a k a h u k u m u k u wWaislam wanapohubikufuatana na mafundish

    ya dini yao, hiyo sikashfa kwa Ukristo waWakristo. Kwanini ukwehuu haukubaliwi?

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    13/16

    13AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 201MAKALA

    Na a m ha k i hupe wi i l ahuchukuliwa rights arenever given are taken, nimaneno yasiyosahaulika yampigania haki za waamerikaweusi na Uislamu kwa ujumlaMalcom X.

    Huo ndio ukweli ulio wazikwa wapigania haki woteduniani. Imepita sasa miakakumi na tano toka yalipotokeamauaji ya Mwembechai, hakunaanayejali dhulma iliyofanyika yakukatisha maisha ya Waislamuwanne kwa makusudi nakuwaachia vilema wengine. Hililitabaki historia ya maandishina huzuni kwa kizazi cha leo

    na kesho.Kila unapoibana haki na

    yenyewe hujidhihirisha nahatimaye huonekana pia mwishowa siku hushinda. Serikali yaawamu ya tatu iliwadhibiti nakuwakandamiza Waislamu.Viongozi wa Kanisa Katolikiwaliichochea na kuishinikizaserikali ya Mkapa idhibitimihadhara ya Wais lamuiliyokuwa kero yao kwa kipindichote cha Rais Mwinyi. Kamawafanyavyo sasa hivi.

    Mwaka mmoja kabla yamauaji ya Mwembechai, AskofuElinaza Sendoro, alikaririwa nagazeti la Mtanzania, 21 Februari,1997 akisema Mihadhara yadini itazua vita.

    Pia gazeti la Majira, 10Aprili, 1997 lilimkariri AskofuBasil Sambano, akilalamikiamihadhara ya kidini na katikatahariri yake ya tarehe 2 April,1997 Majira liliandika Ushauriwa Askofu Pengo kuhusumihadhara uzingatiwe. Kaulihiyo aliyoizungumzia mhaririilitolewa na kufanyiwa kazimwaka mmoja baadaye katikamauaji ya Mwembechai, kaulihiyo ilisema: Hakuna sababu yakuhofia kuudhi mtu au kikundifulani cha watu. Tunasemakatika hilo ni vizuri kutumiambinu za kumwua nyani.

    Kauli hiyo imebeba msemowa Kiswahili usemao Ukitakakumuua nyani usimtazame

    usoni. Kauli hii ilikuwa ikiiagizaserikal i kuwashughulikiaWaislamu bila kuwaangalia waowana hadhi gani katika jamii, auwana haki gani katika jamii.

    W a i s l a m u w a l i k u w awakiendesha mhadhara wadini kwenye uwanja uliopomsikitini Mwembechai, Dares Salaam kwa siku kadhaa

    bil a tat izo lolote mwa nzo nimwa mwezi Februari, 1998.Mhadhara huo ulihudhuriwana watu wa dini mbalimbali.Hapakuwa na tukio lolote lile lauvunjifu wa amani, badala yakeyalisikika malalamiko ya Padriwa Parokia ya Mburahati, PadriCamillius Lwambano, tena kwa

    Aliyekuwa askari polisi afichua makubwa

    Yanapotokea leo tusisahau Mwembechai

    Na Suleiman Ramadhani jazba yaliyorushwa hewani naRadio Tumaini inayomilikiwana kuendeshwa na KanisaKatoliki. Kuwa amesikia Yesuakitukanwa katika mhadharawa Mwembechai na akaitakaserikali iseme kama imeshindwakutekeleza ahadi yake yakuishughulikia mihadhara.

    Bila uchunguzi haraka harakaserikali kupitia mkuu wa mkoawa Dar es salaam wa wakatihuo, Bwana Yusuph Makamba,akaahidi kuchukua hatua zaharaka juu ya mhadhara huo naakawaomba samahani Wakristowote nchini walioathiriwa namihadhara hiyo.

    Jumanne,10 Februari,1998,Mkuu wa Polisi wa Mkoa

    wa Dar es Salaam, KamandaAlfred Gewe, naye akasisitizakuwa serikali itachukua hatuakali dhidi ya wahadhiri waKiislamu wanaohubiri kwakutumia Biblia. Usiku uliofuatawalianza kukamatwa Maimamuwa Msikiti wa Mtambani, Kibona Mwenge kwa kuviziwamajumbani mwao usiku usikukaribu na alfajiri.

    Tarehe 11, Februari, 1998kikosi cha askari polisi wenyesilaha waliizingira shule yaKiislamu ya Ubungo, wakidaikumtafuta Bw. Shabani Magezi,aliyekuwa miongoni mwa wahadhiri wa ulinganisho wa dinikwa kutumia Biblia na Quran.Walijibiwa kuwa Magezi hakuwamuajiriwa wala mwanafunzi waUbungo Islamic High School.

    Alhamisi saa 9 alasiri 12Februari,1998 askari kumi nambili wenye silaha wakavamiaMsikiti wa Mwembechai nakumkamata Magezi, baadaya saa moja toka kukamatwakwa Magezi, wakaja askariwa kutuliza ghasia FFU nakuzingira msikiti ili mtu asitoke.Ilipofika saa 2 usiku askari wengizaidi wenye silaha waliongezwana kuzunguka eneo lote laMwembechai na wapita njiawalianza kukamatwa.

    Ilipotimu saa 7:00 usikuTANESCO wakakata umeme naaskari wakaanza kutupa mabomuya machozi ndani ya msikiti,kisha wakaingia na kuanzakuwapiga waumini, kuwajeruhi,kuwaburuta na kuwatupia ndaniya makarandinga watu kiasi chamia tatu hivi. Swali la msingihapa la kujiuliza, Kwaniniserikali iliwaamuru polisikuvamia msikiti na kwapigakisha kuwakamata Waislamuwaliokuwa katika nyumba yaibada, tena kwa kuwakatiaumeme? Nini hasa kosa lao?

    Ili kujisafisha, Waziri wamambo ya Ndani wakati huo AliAmeir na Kamanda Alferd Gewewalitoa kauli kuwa ilibidi polisiwavamie msikiti ule kwa kuwaulituhumiwa kuficha wahalifu.

    Siku iliyofuata Ijumaa, 13Februari, 1998 eneo lote la

    Mwembechai lilizungukwa naaskari polisi. Pamoja na hivyoWaislamu walimiminika kwendakuswali na kupata taarifa yayaliyotokea usiku uliopita kwandugu zao waliokamatwa.Baada ya swala ya Ijumaa,walielezwa waelekee kituo chaMagomeni kuwawekea wenzaodhamana. Walipotoka kuanzasafari kwenda kituo cha polisiMagomeni, wakavamiwa naaskari polisi, Waislamu wakekwa waume, watoto kwavikongwe, walipigwa virungu,mateke, wakaburuzwa nakutupwa kwenye malori nakupelekwa mahabusu.

    Ilikuwa ni kama jeshi lakivita limevamia wapiganaji

    katika uwanja wa mapambano,kumbe masikini ni Waislamuwakitoka kat ika swala yaIjumaa. Mapambano yakapambamoto baina ya Waislamu, wasioWaislamu wakitumia mawekupambana na askari hao, hukuvikosi vya askari vikiongezekakadri muda unavyokwenda.

    Amri zilitolewa kuwalengashabaha walokusudiwa kwakauli zi l izosikikika PigaYule, Piga shaba, yule

    piga shaba (rejea mkandawa mauaji ya mwembechai waITV).

    Silaha za moto zikarindima,Waislamu wanne (4) wakauawa

    p a l e p a l e n a m a i t i z a ozikaburuzwa na kutupiwa ndaniya gari la Polisi kama mizoga.Mamia ya Waislamu wakiwemowanawake zaidi ya mia mbiliwalijeruhiwa na kuwekwamahabusu.

    Baada tu ya mauaji yaMwembechai, mkutano mkuu wachama tawala, CCM, mwenyekitiwake akiwa Benjamini Mkapa,ambaye pia alikuwa Rais wanchi, uliipongeza serikali kwahatua iliyochukua Mwembechai.Pia kiongozi Mkuu wa kanisaKatoliki, Polycarp KadinaliPengo, aliunga mkono mauajiyale ya Waislamu akidai kuwa,askari wale walikuwa na hakiya kuwapiga risasi za moto kwakuwa nao walikuwa wakiwatupiamawe.

    Ak a j a r i b u k u h a l a l i s h akwa kurejea kisa cha NabiiDaud kuwa jiwe nalo linauakama Daud (a.s) alivyomuuamfalme Jalut kwa jiwe. An-nuurya wiki ile ilimuuliza swaliKadinali Pengo, katika tukiola Mwembechai nani alikuwaDaud na nani Jalut?

    Mtoto Chuki Athumani,aliyekuwa akipita njia kutokeashuleni akapigwa risasi nakuachwa siku kadhaa bilamatibabu hospitali ya taifaMuhimbili. Hadi leo Chukini kilema wa maisha, hawezikutembea ila kwa msaada wa

    bai ske li ya migu u mita tu nahakuna kiongozi wa serikalianayejali au hata kukumbuka.

    Miongoni mwa watu walioteswana kufa muda mfupi baada yakutoka Gerezani ni Imamu wamsikiti wa Mtambani SheikhAbdallah Chata.

    Akitoa maelezo Bungeniwakati huo, Waziri wa mamboya ndani Ali Ameir, akaliambiaBunge kuwa MwanafunziChuki alikuwa na karatasi zauchochezi. Serikali haikuelezakama alipigwa risasi kabla au

    baada ya kukutwa na karatasihizo za uchochezi, pia kamakakutwa na karatasi zinazodaiwaza uchochezi adhabu yake nikupigwa risasi. Na hata hizokaratasi zenyewe hazijaoneshwahadi leo hii 2013.

    Tukio l a Mwembechai

    liliwakasirisha sana Waislamu.Waislamu waliiomba serikaliiunde Tume huru kuchunguzam a u a j i y a W a i s l a m uMwembechai, Serikali ilikataa.Mwanasheria mmoja kwa

    ji na ma ar uf u, Ab uu Azi zialimwandikia MwanasheriaMkuu wa serikali kumuombaaishauri serikali juu ya kuundwakwa Tume huru ya uchunguzi

    juu ya mauaji ya Mwembechai.Ombi lake pia lilipuuzwa. Baadhiya wabunge akaliomba Bungeliunde Tume ya uchunguzi.Ombi hilo lilikataliwa kwa hojakuwa hakukuwa na pesa.

    Hatimaye Halmashauri Kuuya Waislamu walimwandikiaRais kumwomba, pamoja na

    mambo mengine, serikali iundTume huru ya uchunguzi. Katikmajibu yake alisema:

    Kuhusu suala la Mwembech

    mimi nilifikiri tulishaelewanhaitasaidia sana kuunda tumya uchunguzi, maana tunajukilichotokea. Na tunajua kuwzile fujo, ambazo hatimayzilihitaji nguvu kubwa za dokuzizima, hazikuwa na uhusianna mambo ya dini kabisa. Ndmaana miongoni mwa wawaliokamatwa walikuwapwatu ambao wala si WaislamBado haja na hoja ya kuundTume sijaiona.

    Ikumbukwe kati ya Februana Aprili,1998 hapa nchikulikuwa na kesi iliyosisimukidogo, juu ya Mbwa aliyeitwkwa jina la immigrationBwana Anatory Kachele Chizmwenye mbwa huyo alishitakiw

    yeye na mbwa wake katikmahakama ya mwanzo na BwanStanley Anyitike, mfanyakawa uhamiaji huko Sumbawangkwa kosa la kumuita mbwwake jina la immigrationAkitoa hukumu Hakimu wmahakama hiyo Bwana OnesmZunda, alimhukumu BwanChizu kwenda jela miezi sita nmbwa wake kuuliwa. Papo hapmaaafisa wa uhamiaji wakamuumbwa yule kwa rungu.

    Kesi na hukumu ile vilizumjadala ndani na nje ya nckufikia Jaji Mkuu wakati huFrancis Nyalali, alisema hukumile ni kiroja, kinyume cha sher

    Inaendelea Uk. 14

  • 7/29/2019 ANNUUR 1061.

    14/16

    14AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 8 - 14, 20Makala

    Yanapotokea leo tusisahau MwembechaiInatoka Uk. 13

    na kinyume na haki. Pasinakuombwa, Idara ya mahakamailiona umuhimu wa kuchunguzwakuuliwa kwa mbwa. Uchunguziukaanza kufanyika mara moja.Kwa Waislamu pamoja nakuombwa, serikali haikuonaumuhimu wa uchunguzi wamauaji ya Mwembechai. Na

    pia ikakataa kufanya uchunguziwa Muislamu Mohamed Omari(50), aliyefia mikononi mwa

    po li si 18 Me i, 19 98 . Mb waakawa anathamani kwa serikalikuliko Muislamu!!

    Mauaji ya Waislamu nimiongoni mwa vielelezo vyakuonesha dhulma, ubaguzi nakunyimwa haki kwa Waislamuhapa nchini. Hadi leo waliouaMwembechai na waliompigarisasi mwanafunzi Chuki ,hakuna aliyewagusa kiserikaliingawa wengine waliofanyamatukio hayo, inasemekana

    walishatangulia akhera kusubirihukumu isiyo na upendeleokesho kiyama mbele ya Allah(swt).

    Mwenyezi Mungu awalipewalokufa kwa ajili ya dini yao,na awape faraja wale wotewaliopata madhara kwa kuonewana awalipe malipo mema dunianina kesho Akhera. Amin

    Pamoja na mauaji na mjerahawaliyoyapata Waislamu wakatiwa zoezi hi lo maalum laMwembechai, wapo waliopatamadhara ya kufukuzwa kazikwasababu tu ya Uislamuwao na masikitiko yao juu yamauaji yale ya Mwembechai.Hapa tumuangalie mmojawapoambaye alifukuzwa kazi ndani ya

    jeshi la polisi kama alivyojielezam w e n y e w e S e p t e m b a ,2 0 0 0 k a t i k a m a h o j i a n ona mwanahistoria maarufu,Mohamed Said wakiwa Dar esSalaam.

    Zahaki Rashid, anaelezeakilichomkuta akiwa Sajenti waPolisi katika sakata la mauajiya Msikiti wa Mwembechaitarehe 13 Februari 1998.Anasema siku ile alikuwakitengo cha Mawasiliano pale

    polisi (Communication Controlunit) kituo cha polisi cha kati.Japokuwa, kilichomtokea yeyeakafukuzwa kazi mwaka ule,kinaweza kueleweka vizuri kamautapata taarifa ya kilichomtokeamiaka kumi iliyopita akiwa

    mwanafunzi Tabora Boys kidatocha sita.

    Alisoma shule ya sekondariya wavulana Tabora kwa miakasita mfululizo. Alifanya mtihaniwake wa kidato cha sita mwaka1990, lakini kwa kipindi chotealichokuwa hapo, alikuwa nikiongozi wa wanafunzi waKiislamu. Baadaye akawa KatibuMkuu wa Jumuiya ya wanafunziwa Kiislamu mkoa wa Tabora.Moja ya kazi alizozifanya nikuhamasisha wanafunzi waKiislamu kusoma na kufanyamitihani ya maarifa ya Uislamu.Wanafunzi wote waliojisajilisomo hilo walifaulu kwa kiwangocha daraja la kwanza kidato cha

    nne. Walifanya vizuri katikamaarifa ya Uislamu na masomomengine pia. Matokeo hayo yaZahaki na wenzake yaliwapamoyo wanafunzi wengine waKiislamu kujisajili kwa ajili ya

    somo hilo.Matokeo yao ya mtihaniwa mwaka 1990 kidato chasita, kiasi fulani yalimshituakila mmoja. Walifaulu vizurimasomo yote lakini somo laIslamic Knowledge walifeli.Mfano Zahaki alifaulu vizurimasomo ya Fizikia, Kemia naBaiyolojia. Wote waliofanyamaarifa ya Uislamu katikashule yao mwaka huo walifelisomo hilo. Wanafunzi waKiislamu wengi walichukiasomo la maarifa ya Kiislamuna kujiondoa katika usajili wakulifanyia mtihani.

    Zahaki alikatishwa tamaana kushangazwa juu ya kufelikwake somo hilo. WalipofuatiliaBaraza la Mitihani Dar esSalaam akiwa na wenzake Ayubu

    Masenza, Ali Kalisi kujua tatizo,wakaambiwa walifanya mtihanimmoja tu kati ya mitatu ya somohilo waliyotakiwa kufanya.Zahaki anasema walifanyayote mitatu na si mmoja kamawalivyoelezwa lakini vitabuvya kujibia vya mitihani miwilihavikuonekana.

    Haya pia yalithibitishwa namsimamizi wa usahihishajiwa somo hilo kwa mwaka uleBwana Burhani Mtengwa, kuwawalipewa na kusahihisha vitabuvya majibu ya mtihani mmojatu (we received and markedonly one paper) kutoka shule yawavulana Tabora.

    Uchunguzi wa wanafunziulionesha kuwa hujuma hiiilifanywa na Mkuu wa shule yaowa wakati huo Bwana Alexander

    Ndek i, ambaye alik uja kuwa

    Kamishina wa Elimu, na lengoilikuwa kuwakatisha tamaawanafunzi wasisome somohilo.

    Anakumbuka Mkuu yulewa shule alitumia kipindikimoja cha Baraza la Shule laWanafunzi, kutilia msisitizoumuhimu wa kutotumia majinaambayo hayaelezei wewe nidini gani. Alisema majinakama Kitanga Wanja auMaziku Masanja yalikuwayakiwachanganya. Hakikishauna jina linalokutambulishawazi wewe ni dini gani ili tuwezekukusaidia haraka unapokuwana shida.

    Anasema Zahaki wakatiule hakulipa umuhimu jambolile hadi 1998, alipojua jinalake lilivyomgharimu kwa

    utambulisho wake wa kidini.Na ilikuwa 1998, bila kutarajia,kufeli kwake kwa IslamicKnowledge kukamrudi katikaofisi ya Kamanda wa Polisi wamkoa Alfred Gewe.

    Akizidi kusimulia mkasa huoanasema; Nilipojiunga na jeshi laPolisi 1992 haikunichukua mudamrefu kugundua kuwa katikamtazamo wa askari wenzanguWakristo, waliunganisha mojakwa moja kati ya uhalifu na dinilinapokuja suala linalomhusuMuislamu. Mkristo akifanyauhalifu, hata liwe kosa kubwavipi, hatahusishwa na yeyoteisipokuwa yeye mwenyewe.Wakati Muislamu akifanyauhalifu hata kama ni dogokiasi gani itahusishwa na jamii

    nzima ya Kiislamu. AskariWakristo watakuja kwangu nakulalamika,Ustaadh, unaonawatu wako wanavyofanyawaliniita Ustaadh kwa kuwanilikuwa nachunga sala nanilijitahidi kuishi Kiislamu.

    Ni mauaji yaliyofanywa naPolisi Msikiti wa Mwembechai,ndiyo yaliyogeuza maishayangu. Siku ile nilikuwa zamu yamchana na kujikuta katika wakatimgumu, nilikuwa nikipokeamawasiliano yote ofisini juu yakinachoendelea Mwembechai.Kamanda wa operesheni alikuwaBwana Kombe. Nilichokisikiakwa maofisa wa Polisi WakristoMwembe chai ki l ini t isha,walisema kwa uwazi HawaWaislamu wamezidi sana, lazimaleo tukawakomeshe. Ndiyo

    bwan a! wana tukera sana sisiWakristo, leo watatukoma. Kilataarifa ya kifo cha Muislamukilipokelewa kwa shangwe nafuraha. Iliniuma sana kuonakuwa hata sheria hazifuatwi ilani chuki za kidini zilizowekwa

    mbele.Anaeleza Sajenti Zahaki kuwa;baada ya tukio la Mwembechaini l ipokuwa nikikutana nawaumini wiki mbili baadayezilikuwa ni ngumu kwangu,kwani walikuwa wakiniulizaNdugu zetu mbona mnatuuwa?Tumekukoseeni nini, mbonamnatuua?

    Tukio lililobadili historiaya maisha yangu, na ambalolilipelekea kufukuzwa katika

    jes hi la polis i, lil ito kea saa2.00 asubuhi ya Jumapili tarehe1, Machi 1998. Nilikuwa nautamaduni wa muda mrefukuwaruhusu askari Wakristowalio chini yangu, ambaowote walikuwa Wakristo,kwenda Kanisani Jumapili.Walipoondoka siku ile, nilianzakusoma nakala ya gazeti la An-

    Nuur ambalo liliendelea kuripotihabari za Mwembechai.

    Ni li po ma li za ku li so ma ,niliinua kichwa juu na kutazamakalenda iliyokuwa ukutaniambayo bado ilisomeka mweziFebruari, na siku hyo ilikuwasiku ya kwanza ya mweziMachi. Niliishusha ile kalendamezani na kuizungushia duaratarehe 13 ya Februari kwa peninyekundu. Nikachora mishalemingi kuelekea tarehe ile nakuanza kuandika maoni yangu,niliandika, hii ni siku Waislamuwalipouawa Mwembechai; nisiku Waislamu walipoteswaMwembechai; ni siku Waislamuwanawake walipoharasiwaMwembechai; ni siku msikiti

    wa Mwembechai uliponajisiwa,nakadhalika. Nikaandika polisiwalivyotakiwa kufanya kwamujibu wa sheria za polisi, katibaya nchi na nikamnukuu AbrahamLincon. Pol isi wali takiwawawakamate watuhumiwa nakuwakabidhi mahakamani nasi kuwaadhibu. Niliandika kwahisia za ndani.

    Niliiacha ile karatasi mezanimwangu, nilirudi nyumbani hukumaneno Ndugu zetu mbonamnatuua? likijirudia kichwanimwangu huku nikijiuliza siku yahukumu nitajibu nini mimi?

    Msabato, Staff SergentRichard Ogutu, aliichukuaile kalenda na kuipeleka kwauongozi. Tarehe 3 Machi, 1998

    nikaitwa kwa RPC Alfred Gewe,pamoja naye, alikuwepo Mkuuwa Operesheni ya MwembechaiMr. Kombe na Afisa Usalamawa Mkoa (RSO), Saidi Mwema(IGP kwa sasa), Staff officer,Buka Kibona na SSP Sammari.

    Nil iho jiwa na Alf red Gewe.Mahojiano yetu yalikuwa kamaifuatavyo;

    AG: W e we n i Za h a k iRashid?

    ZR: NdiyoAG: Ni mtu wa Kigoma?ZR: NdiyoAG: Nimeona katika taarifa

    zako kuwa umesoma Uislamu.Je, unaujua Uislamu vizuri?

    ZR: Ndiyo, Mie sio mjingawa dini yangu. NaufahamuUislamu vizuri.

    AG: Unaujua Uislamu vizuriwakati ulipata F ya IslamicKnowledge?

    Z R : N i l i b a k i k i m y a .(nikimkumbuka headmasteraliyenisababishia kupata F na

    inajirudia tena kukumbushwailiniuma sana)

    AG: Uko upande gani katikasakata la Mwembechai?

    ZR: Nijibu kama Ofisa waPolisi au kama Muislamu?

    AG: Kwanini unaniulizaswali hilo?

    ZR: Kwasababu ulianzakunihoji juu ya ufahamu wangudhidi ya Uislamu. Najua wewe niRPC na mimi ni Ofisa wa Polisi.Swali lako linanichanganya.

    Ndio maana nakuuliza nikujibukama Ofisa wa Polisi au kamaMuislamu?

    AG: Je, umeandika chochotekile juu ya tatizo la Mwembechaikatika gazeti, karatasi au sehemuyeyote ile?

    ZR: (Sikutaka kupoteza mudanikajibu wazi). Ndiyo, Tarehe1 March,1998 niliandika tukiohilo katika karatasi ya kalenda.

    AG: Kalenda yenyewe ndiyohii?

    ZR: Ndiyo yenyewe.A G : T u t a c h u n g u z a ,

    tukigundua hauko pamoja nasi,tutakuruhusu ukapige magotikwenye makapeti msikiti waMwembechai.

    Ni ka fu ku zw a ka zi ra smikatika jeshi la polisi tarehe1 Agosti, 1998. Uamuzi uleuliwasilishwa kwangu tarehe 1Juni 1999 na kamanda wa Polisiwa wilaya kituo cha Oysterbay( OCD) , Bwa n a M a g o s i ,alinisomea kwa niaba ya RPC,

    Alfred Gewe kama ifuatavyo:1. Mtuhumiwa ni mfuasimtiifu wa imani ya Kiislamu.

    2. Kwahiyo tunaamini,akiendelea kubaki katika jeshila polisi, hawezi kutimiza imaniyake vizuri. Ni vizuri akawa njeya jeshi, hivyo aweze kufuatadini yake bila kikwazo.

    3. Hatujui ni kwa kiwangogani jeshi la polisi limeathirikana kuwepo kwake katika kitengocha uzuiaji wa makosa ya jinaikipindi cha utumishi wake.

    4. Al i c h o k i f a n y a n iuhaini.

    5. K w a h i v y onimependekeza kwa IGP, kuwaafukuzwe. Anaweza kukata

    rufaa kama hatoridhishwa nmaamuzi.

    H a y o n d i o m a a m uyaliyochukuliwa na AlfreGewe kama RPC kumfukuzAfisa wa Polisi kwa kuwa t

    anafuata dini yake ya Kiislamvizuri. Zahaki anaeleza kuwwakati wa kupambana nuhalifu, askari wa jeshi letu

    polisi ambao ni Wakristo wazuhuchukuliwa kama rasilimali nwale Waislamu wanaofuata diyao vizuri huonekana ni wahatari.

    Kuwa Muislamu mzuri kigezo kikubwa cha kutokuwna sifa ndani ya jeshi

    polis i. Wais lamu kwa kadwatakavyoifuata dini yao vizuhawatakiwi kuajiriwa na jesla Polisi. Ndio maana hadi lehii askari Waislamu ni waogna hawataki kujulikana kamwanaufuata Uislamu wawengine hata kufanya ibada

    ngumu kwao ili kuwaridhishwenzao kuwa wako pamoja.Haya ni mambo ya kusikitish

    s a n a , w a k a t i W a k r i s twakionekana wa thamakwa uumini wao mzuri wKikristo, Waislamu wamekuwwakibaguliwa na kuonekana watu hatari kwa kufuata Uislamwao, na hawafai kulitumikia jesla polisi. Huyo huenda ni mmotu kati ya wengi wanaofukuzwkazi au kuhamishwa vituambao taarifa zao hazijawekwhadharani.

    Leo ni miaka kumi na tano (1sasa toka mauaji ya Mwembchai yatokee na madhara yakyapo hadi leo. Uimara nujasiri wa imani kwa Waislam

    u m e o n g e z e k a m a r a d u fWaislamu hawajaacha kudai hapale wanapodhulumiwa. Hakukiongozi wa serikali anaywasikiliza wanapodai kuonewna kudhulumiwa. Wanapoamukuandamana kuonesha hiszao huandamwa kwa virungmateke na mabomu ya machona hatimaye kukamatwa nkujazwa mahabusu bila matatizau dhulma wanayoilalamikkuondolewa.

    Mpaka sasa kuna kesi zaiya ishirini dhidi ya Waislamhumu nchini zikihusisha serikana Waislamu, ikiwemo ile ySheikh Ponda Issa Ponda nwaumini wengine arobaini ntisa.

    Nd ug u za ng u wan an chna viongozi wapenda haki nkupenda kuiona haki inatendeksio wakati wakukata tamakuipigania haki. Kwani hai n a e n d a n a n a M we n y emungu na dhulma inaendana nsheitwan. Haki itasimama tu sikmoja na wale wote walioipiganhaki watakumbukwa daimduniani na kesho akhera watapamalipo mema pamoja na wemwaliotangulia.

    Wanataka kuizima Nuru yMwenyezi Mungu kwa vinywvyao, na Mwenyezi Munganakataa ila aitimize Nuru yakijapo kuwa makafiri watachukiQuran 9:32.

  • 7/