annuur 1080

Upload: annurtanzania

Post on 02-Apr-2018

624 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1080 RAMADHAN 1434, IJUMAA , JULAI 19 - 25, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Inawatangazia Waislamu wotekuwa imeanza maandalizi yake

    kwa ajili ya HIJJA 2013 kwa lengo

    la KUONGEZA UFANISI KATIKAIBADA ZA MAHUJAJI WETU kwa

    gharama za Dola 4300. Lengoletu ni kukamilisha mipango yetu

    kabla ya kumaliza mwezi mtukufuwa Ramadhani.Tafadhali wasiliana

    nasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:

    0777458075;Pemba: 0776357117.

    (22) AHLU SUNNA WAL JAMAA

    Wanafunzi watimuliwashule kwa kuswali

    Watakiwa kuchagua elimu au swala

    Sheikh wa Bakwata akoroga zaidi

    Kamati ya maafa Shura ya

    Maimamu yafichua dhulmaNi kwa Waislamu waliofungwa kwa kuandamana

    Wamo ombaomba, wagonjwa wa akili

    MAKAMU wa Kwanzawa Rai s wa Zanzi barMaalim Seif Sharif Hamadameelezea kuridhishwak w a k e n a u w e p o w abidhaa muhimu pamojana matunda katika masokombali mbali ya Zanzibar.

    Amesema bei ya bidhaanyingi inaridhisha tofautina ilivyokuwa Ramadhaniya mwaka jana, lakini tatizokubwa ni hali ngumu yauchumi kwa wananchi.

    Maalim Seif ametoa kaulihiyo wakati wa ziara yakeya kutembelea masoko ya

    bidhaa na matunda katikamanispaa ya Zanzibar.

    Masoko aliyoyatembeleani pamoja na soko laMombasa, Mwanakwerekwena soko kuu la Darajani.

    K a t i k a z i a r a h i y oambayo aliambatana naWaziri wa Biashara Nassor

    Mazrui, Waziri wa Nchina Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi MwinyihajiMakame pamoja na viongoziwa Mkoa na Manispaa,Maalim Seif alijionea halihalisi ilivyo katika masokohayo.

    Miongoni mwa bidhaamuhimu alizozihoj i n ipamoja muhogo, ndizimbichi na mbivu, majimbi,maboga, matunda mbalimbali, nyama na samaki.

    Amesema kwa ujumlaameridhishwa na uwepo wa

    bidhaa hizo kwa wingi, licha

    Maalim Seif aridhishwa na

    hali ya bidhaa katika masoko

    ya bei ya baadhi ya bidhahizo kuwa juu na kupelekew a n a n c h i k u t u m u dkununua.

    Hata hivyo ameelezekusikitishwa kwake n

    bei kubwa ya vitoweo, nkuwataka wachuuzi kufikirnamna ya kuwasaidiwananchi wa kawaida.

    Ameitaka Wizara ya NchOfisi ya Rais kusimamutaratibu ulioweka wkuweko minada katika sok

    MAKAMU wa Kwanza wRais wa Zanzibar Maalim

    Seif Sharif Hamad.

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    2/16

    2AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Makala

    Leo Waislamu wapokatika saumu ya kumitangu kuanza kwa mfungowa mwezi Mtukufu waRamadhani, mwezi watisa 1434. Yaani Julai 10,2013 miladia.

    Hii ina maana kuwaKumi la Rehma linamalizikaleo. Kumi ambalo ambapomja hupata baraka nathawabu kwacha kwa

    kila kheri analolifanya,huku Mwenyezi Munguakiwa kamfunga shetaniminyororo ili asiwezekuwarubuni watu kipindihiki.

    Kwa kifupi saumu zakumi la kwanza, ni faidakubwa kwa mfungaji kwakuwa ndio kumi hasa lakuchuma. Mtu mwenyekutimiza yale yanayotakiwakatika kumi hili la awali,hupata thawabu nyingipamoja na kujifunguliamilango ya kuingia katikakumi la pili.

    Kwa kukamilika saumuya kumi la kwanza leo,ina maana sasa Waislamuwanaingia katika nafasinyingine ya ibada hii yafunga ya Ramadhani,ambayo ni kufunga kumila pili la Maghfira.

    W a n a z u o n i n ah a d i t h i m b a l i m b a l izinatanabahisha kuwa, mtumwenye kufanya ibada nakusoma kitabu kitukufucha Qur-an katika mwezihuu, husamehewa dhambizake zote alizozitendahuko nyuma.

    Kumi hili ndio hasa lawaumini kuleta toba yakweli kusawazisha makosa

    yetu, ili kupata radhi zaAllah na kusamehewamakosa yetu.

    Kimsingi mwezi huuni wa mchumo kwa mja,kwa kuwa kila jambo

    jema analolifanya hulipwathawabu maradufu na kwamwenye kufanya maasi,hakika atakuwa ni mtumwenye kula hasara mbeleya Mwenyezi Mungu naatakabiliwa na adhabukubwa siku ya kiama.

    Mwezi huu ni kama chuocha mafunzo ambapo baadaya kumalizika mafunzo,

    waumini wanapaswawawe wameelimika nakubadilika na kuzaliwau p y a k u t o k a n a n akutakasika na maovu.

    Haitarajiwi kabisa kwaambaye amejinyima kula(amefunga), kufanyaibada, kusoma Quran,kujipamba na tabia njemana m a m bo m e ng i nemazuri, kuanza kufanya

    maasi mara baada yakumalizika kwa mwezihuu.

    Imekuwa desturi kwabaad hi ya Waisla mu ,kuuthamini na kuuonam w e z i m tu k u f u w aRamadhani ndiyo pekeewa kumuabudu MwenyeziMungu na kufanya amalinjema, huku wakiionamiezi mingine kamawamehalalishiwa kufanyamaasi.

    Dhana hii inapaswakuachwa kwa kuwahaitakuwa na maana

    kama muumini aliyepitakatika chuo cha mafunzo(Ramadhani), akalinganaau akazidiwa na yuleasiyepitia katika chuohicho.

    M w e n y e k u r e j e akufanya maasi mara baadaya Ramadhani, atakuwa nisawa na mtu aliyejisafishavizuri na kuvaa nguonyeupe, kisha akajirushakwenye matope.

    Waumini wa dini yaKiislamu, katika kumi hilini wakati wenye thamanikubwa sana. Ni Vyemawakati tukitaraji msamahakwa Allah (sw) tukaanzakwa kupeana misamahasisi wenyewe kwanza kwamakosa na hitilafu zetu.

    Tusameheane kwamakosa yanayoonekanakwa macho yasiyoonekana.Tutare jesha upendo,umoja na mshakamano

    baina yetu sisi Waislamuna hata kwa wasioukuwaWaislamu.

    N i m a l i z i e tu k w akuwatakia RamadhanKareem

    Kamati ya maafa Shura ya

    Maimamu yafichua dhulmaW A I S L A M U n c h i n iwametakiwa kuzidishamisaada kwa Waislamuwanaotumikia kifungojela na familia zao katikaMwezi huu Mtukufu waRamadhani.

    Wito huo umetolewa naKamati ya Maafa ya Shuraya Maimam (T), wakatiwakiongea na An nuur juuya hali za Waislamu waliopomagerezani pamoja na familiazao katikati ya wiki hii.

    Amir wa Kamati hiyo Ust.Buiya, alisema wanatoa witokwa Waislamu kujitolea kwawingi katika mwezi huuwa Ramadhani, ili kuweza

    kuzifari familia za Waislamuhao walipo magerezani.Ust. Buiya alisema mpaka

    sasa wamepokea mchele kiasicha debe nane kutoka kwaWaislamu Jini Mbeya, kwaajili ya kuzisaidia familiaza waliopo magerezani nakwamba michango zaidiinahitajika kwani mahitaji nimakubwa.

    Hata hivyo Amir Buiyaalisema tangu wameanzakushughulikia suala hilola kuwasaidia Waislamuwaliopo gerezani, wamekuwawakikutana na mitihanimbalimbali lakini kubwa nikuwepo dhana kuwa waliopomagerezani walitakia.

    Tunapofika misikitinikuelezea umuhimu wak u w a s a i d i a W a i s l a m ukufuatia kamatakamatwa yaFebruari 15, 2013, wenginewatakueleza kuwa haowalitakia, lakini wajue kuwadhulma wanazofanyiwaWaislamu nchi hi i iposiku na wao yatawakuta.Alisema Ust. Buiya nakutahadharisha.

    Alisema wengi ambaowamehukumiwa kwendaje la , ukiwa sik il iza ki lammoja anakueleza kuwahakuwa katika mpango wakuandamana, ila kwa kuwailidhamiriwa kukamatwaWaislamu siku hiyo, ilibidi

    kukamatwa kila aliyeonekanaana alama ya Uislamu.Amir Buiya, alisema hata

    walipokuwa Mahakamani,kila mmoja litoa maelezoyake kuwa walikuwa katikashughuli zao za kawaida,lakini kutokana na kesi ileilivyopelekwa, ilionekanad h a h i r i i l i k u s u d i w akuwafunga Waislamu.

    Siku hiyo kamatakamatah a i k u c h a g u a w e w e n imuandamaji au la, baliilizingatia alama za Kiislamukwa kila aliyekuwepo mtaanisiku hiyo. Alisema AmirBuiya.

    Aliongeza kuwa kabla ya

    Na Bakari Mwakangwale mwezi wa Ramadhani, kamatiim eweza ku zih u du m iafamilia mbalimbali kwam a l a z i s a m b a m b a n amatibabu kupitia michangoya Waislamu.

    Katibu wa Kamati hiyo Ust.Ally Mbaruku, alisenma kablaya mwezi wa Ramadhaniwalifika Mkurunga katikaKijiji cha Magonja, Sowetona kukabidhi kilo 75 za unga(sembe) pamoja na maharagakilo 15 kwa familia mbili.

    Alisema moja ya familiahiyo ni ya Marehem QasimM o h a m m e d C h o b o n amwenzie Ust. AbdulkarimAhmed, aliyoko katika gerezala Mvuti Dondwe.

    Akiwaelezea marehemuChobo na Abdulkarim, Ust.

    Mbaruku alisema wawilihao ni ushahidi wa kuwah a w a k u h u s i k a k a t i k am a a n d a m a n o , l a k i n iwalijikuwa mikoni mwaPolisi kwani alidai walifikaJini Dar siku ya Ijumaa yaFebruari 15, 2013, ambayondiyo ilikuwa siku ilidaiwaWaislamu wataandamana.

    Ust. Mbaruku alisemawalifika Jijini wakitokeaMkuranga wakiwa katikasafari ya kwenda hospitalini,bila kuwa na taarifa yoyoteya kuwepo maandamano yaWaislamu.

    A l is em a A bdu lkar ima l i k u w a a k i m p e l e k ahospital ini ndugu yake

    Qassim Chobo (Marehem)ambaye alikuwa na matatizoya akili, na kila baada yamuda alitakiwa kupelekwakliniki kwa ajili ya kupatadozi.

    Abdulkarim alikuwamzima, Qassim ndiye alikuwamgonjwa, wakati wanaelekeaM u h i m b i l i ( H o s p i t a l i )walipofika maeneo ya Mnazimoja Dar, ndipo walipokutanana kamatakamata ya askarinao wakasombwa. AlisemaUst. Mbaruku.

    Aliongeza kuwa walikutawanakamatwa kwa kuwammoja alikuwa wamevaakanzu na mwingine alikuwana ndevu, lakini katika

    kujitetea Abdulkarim alitoavyeti na kueleza kuwaalikuwa akimpeleka nduguyake Muhimbili.

    Kwa mujibu wa Ust.Mbaru ku , a l ida i ku waAfande aliyekuwa mkuu waoperesheni eneo lile alikataautetezi wao huku akisema,wanafanya kama walivyoagizwa, kisha walikamatwana kupelekwa kituo cha katicha Polisi (Central Police).

    H ata h iv yo i l ida iwak u w a Q a s s i m C h o b o ,alifariki katika mazingiraya kutatanisha baada yakuchukuliliwa na Polisi,kufuatia Mahakama ya Hakim

    Mkazi Kisutu, kumwachhuru ilipojiridhisha kuwa

    mgonjwa wa akili.Kwa mtazamo huo, Us

    Mbaruk alisema familambazo Kamati ya Shurinazozihudumia wilayanMkuranga ni mbili, yhuyo aliyeko Gerezani na ymarehemu Chobo, ambayameacha mke mmoja nwatoto wanne. Alisema UsMbaruku.

    Lakini pia Ust. Mbarukalimtaja Jabir Kibira, aliyefikJini Dar es Salaam kwa ajya shughuli zake za kibiashaakitokea Jini Mwanza. AkiwKisutu akinunua vitengalijikuta anakamatwa nkujumuishwa katika kadhya maandamano.

    A l i m t a j a m u a t h i r i kmwingine kuwa ni BwSalumu Bakari Makamambaye alisema anakabiliwn a m aradh i ya k i f a fIlielezwa kuwa hata baadya kufikishwa kituo cha Polisiku hiyo, alianguka mbele yPolisi hata kabla ya kupelekwMahakamani.

    Alisema Bw. Makame pana ugonjwa wa pumu, lakinzaidi ana matatizo ya akili nmagonjwa yote yapo wazlakini haikutosha kuachiwna mpaka sasa yupo Gerezapamoja na magonjwa hayo.

    Aliongeza kuwa Makame, maarufu maeneo mbalimbaya Ji la Dar es Salaam na kw

    Kariakoo huwa mara nyinmaeneo ya kwa BakharesSiku zote kabla ya kukamatwalikuwa akionekana akiwna kimfuko kwa ajili ykuhifadhia anachopokekutoka kwa wasamalwema sambamba na spikiliyorekodiwa maneno ykuomba msaada yakisemJamani, Waislamu mimi mgonjwa wa kifafa mnisaidmichango, amin, amin.

    Ust. Mbaruku alisemsiku ya kamatakamata, kunafande mmoja wa kike kwsasa ni marehemu baada ykugongwa na gari akiwa JinMbeya kikazi, aliitumia spikhiyo Mahakamani na kuitole

    ushahidi kuwa i l ikuwakiitumia kuhamasishmaandamano.

    Cha kusikitisha zaidhuyu Bw. Makame, alikuwna kimfuko alichokuwanaweka masimbi ya sadaklakini Afande huyo wa kika l i io n yes h a m ah akamakidai kilikuwa na mawkwa ajili ya kuwapiga askakatika maandamano yaoAlibainisha Ust. Mbaruku.

    I l i e l e z w a k u w a B wMakame, alikuwa si mtu wkuendelea kukaa gerezanhadi sasa kwani hata wakakesi yao ilipokuwa ikiendele

    Inaendelea Uk.

    Kumi la pili Ramadhani tusameheane kablaya kutarajia msamaha wa Mwenyezi Mungu

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    3/16

    3AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20Habari

    Wanafunzi watimuliwa shule kwa kuswaliWANAFUNZI AbubakarKibugui na Bakari Mkumba,wapo mashakani kufukuzwakatika shule ya sekondariMbekenyera mkoani Lindi,wakidaiwa kuhamasishamgomo kufuatia kukataliwakuswali na baadae kutakiwakuchagua kati ya swala naelimu.

    Kwa mujibu wa taarifakutoka katika Kiji j i chaM b e k e n y e r a w i l a y a n iRuagwa ilipo shule hiyo,zimeeleza kuwa mkasa huoumewakumba wanafunzi haobaada kutakiwa na mwalimuwao kuchagua moja kati yamambo mawili, swala auelimu kufuatia wenzao wawilikwenda kuswali swala yaAdhuhuri huku wakiwawamezuiwa kufanya hivyo.

    Akithibitisha tukio hilo kwanjia ya simu, Ust. Rashid Faraji,ambaye ni Katibu wa Kamatiya Kuendeleza Uislamu Mkoawa Lindi, alisema sakata hilolimewajumuisha wanafunzi 26wa Kiislamu shuleni hapo.

    Akifafanua Ust. Faraji,alisema pamoja na juhudiza Waislamu na viongozimbalimbali kiji j ini hapokuingilia kati katika kupatasuluhu ya tukio hilo, lakinihakujapatikana suluhu yauhakika baada ya uongoziwa shule kuwasimamishamasomo wanafunzi saba kwamuda wa siku ishirini na mojahuku wanafunzi wenginewawili wakirudishwa kabisanyumbani kusubiri maamuziya bodi ya shule.

    Jumla ya wanafunzi wotewaliohusika katika tukio ni 26,waliorudishwa shuleni ni 17,ambao walitakiwa kuadhibiwaviboko pamoja na kuchimbashimo la futi nne, wanafunzi2 1 w a m e s i m a m i s h w amasomo na wanafunzi wawiliwamerudishwa nyumbanimpaka hapo bodi ya shuleitakapokutana. Alisema Ust.Faraji.

    U s t . F a r a j i , a m b a y eanafuatilia kwa karibu sualahilo , a l isema Mkuu waShule ambaye aliongea nayekatika kikao cha kulitafutiau f u m b u z i s u a l a h i l o ,alimweleza kuwa wanafunzihao wawili walioamriwa

    ku ru di n yu m ban i h adibod i ya shu le itakapo kaa,w a m e p e n d e k e z w akufukuzwa kabisa.

    I m e e l e z w a k w a m b aMkuu wa shule amedaikuwa wanafunzi AbubakariKibungui, anayesoma kidatocha sita na Bakari Mkumba, wakidato cha tatu shuleni hapo,waligoma na kuwahamasishawenzao kuhusu suala hilo laibada kwao.

    Akielezea sakata hilo kwaujumla na kuwatia hatianivana hao wa Kiislamu baadaya kuongea na wanafunzi haoshuleni hapo,

    Akielezea asili ya kadhia

    Na Bakari Mwakangwale iliyowakumba wanafunzi hao,Ust. Faraji, alisema kwambawanafunzi wawili wakiwadarasani, waliomba ruhusaya kwenda kuswali swala yaadhuhuri ambapo mwalimualiwagomea na kuwaeleza

    kuwa wakienda kuswali swalahiyo, wasirudi darasani mpakaatakapomaliza kufundisha.

    U s t . F a r a j i , a l i s e m awanafunzi hao waliondokana baada ya kurudi, mwalimualipeleka kesi hiyo kwawalimu wenzake na kishavijana hao waliadhibiwaviboko vinne kila mmojakwa kosa la kutoka kwendakuswali.

    Alisema kitendo hichokiliwaudhi wanafunzi shulenihapo, na kabla hawajachukuamaamuzi yoyote, siku yapili Julai 10, 2013 mwalimummoja alisimama mstarini(Parade) na kuwatangaziawanafunzi wa Kiislamu kwa

    ujumla shuleni hapo kuwa,wachague moja kati ya elimuau swala.

    Ust. Faraji, aliongeza kuwamwalimu huyo alifafanuakuwa shuleni hapo wamefuataelimu kwa hiyo hawezikushughulishwa na mambomengine, hivyo kuwatakawachague moja kati ya hayomawili.

    Kwa mujibu wa Ust.Faraji, alidai kuwa kaulihiyo iliwachukiza wanafunziwa Kiislamu kwa ujumla,ambapo waliamua kutokambele na kupiga Takbir nakusema hawakubaliani namsimamo huo.

    Abubakari, ambaye nikiongozi wa Jumuiya yaWanafunzi shule hapo,aliwataka wanafunzi waKiislamu kujikusanya katikakiwanja cha shuleni hapo.Alisema Ust. Faraji.

    Alisema wanafunzi haowaliamua kuandika baruakwenda kwa Mkuu waShule, kutoa malalamiko yaokufuatia kauli na maagizoya mwalimu huyo na jinsiwanavyo bughudhiwa kamaWaislamu shuleni hapo.

    Ust. Faraji alisema kuwawanafunzi hao walitoamalalamiko yapatayo kumi nambili na kuyapeleka kwa Mkuuwa Shule na kutaka waonanenaye, lakini walibiwa kuwawalimu walikuwa na kikao nakutakiwa kusubiri.

    Taarifa zinaongeza kuwabaada ya muda, Mkuu washule alitoka na kuwaita,kisha aliwaeleza wafanyesubira mpaka siku inayofuatakwa mazungumzo zaidi juuya kadhia hiyo.

    Ust. Faraji alibainishakwamba siku iliyofuata,wanafunzi hao waliendakwa Mkuu wa shule kufuatamajibu ya barua yao, lakiniwalielezwa kuwa Mkuukao n do ka n a i l ip o f ikamajira ya saa nane mchana,waliitwa.

    Hata hivyo, majibu ya kulewalipokwenda kukutana na

    mwalimu Mkuu, yalikuwasi mengine bali kuwakabidhiwanafunzi hao, wenginewakisimamishwa masomosiku 21, wengine wakatakiwakuondoka shuleni hapo nakusubiri mpaka Bodi ya shule

    itakapokutana na baadhiwalitakiwa kuwaita wazaziwao.

    U s t . f a r a j i , a l i s e m andani ya hizo barua ndikoyalipoorodheshwa makosaya wanafunzi hao, ambayoyalitajwa kuwa ni tuhumadhidi yao kuwa wana utovuwa nidhamu na kuhamasishamigomo shuleni hapo.

    Katika jitihada za kusakasuluhu, baadhi ya viongoziwa Kiislamu walifika kwaSheikh wa wilaya ya RuangwaBakwata ili kujadili namnaya kushughulikia sakata lawanafunzi hao.

    Katika kikao cha kujadilihali hiyo, Sheikh huyo wa

    Bakwata Ruangwa alimtumamwakilishi wake Ust. AmriLing`ombo. Kikao hichoWaislamu walichanganywana fatwa zilizotolewa naSheikh huyo ambaye alisemakwamba swala ya adhuhurihaina ulazima wa kuswaliwasaa saba za mchana balimuda wowote ule unawezaikasaliwa. Hivyo wanafunziwanaweza wakaswali hatajioni baada ya vipindi.

    Na juu ya lalamiko lawalimu kwa wanafunzikuwa adhana zao zinawaleteakelele, Ust. huyo wa Bakwataalisema adhana si lazimaitolewe kwa sauti bali, hatakutolewa kimyakimya, hivyo

    alidai vana hao hawakuwasahihi katika kutoa adhanakwa sauti.

    Licha ya baadhi ya wajumbewa kikao hicho kuto kubalianana fatwa za Sheikhe huyo waBakwata, uongozi wa shuleulizichukua fatwa hizo kamandio rai ya Waislamu wote waRuangwa na Tanzania kwaujumla juu ya suala hilo.

    Waislamu walitoa ufafanuzikuwa Serikali ilivyo ruhusuuhuru wa kuabudu katikaasasi zake, ilitambua wazikuwepo kwa imani ya diniya Kiislamu na Waislamukatika asasi hizo. Hata ilipotoaruhusa ya kufundishwasomo la Dini mashuleni,

    ilitambua wazi kuwa kunamuhtasari uliorasimishwakuifundisha ibada ya swalakwa wanafunzi swala ambayoimewekewa wakati wakemaalum. Hivyo ilibainishwakwamba kuwazuia wanafunzihao kuitekeleza ibada hiyo nikuwavurugia utaratibu waowa kuabudu kinyume naimani yao.

    Kadhia za kinyanyasajina chuki za kiimani kwawanafunzi wa Kiislamumashuleni mkoani Lindi,zimekuwa tatizo kubwakwa muda mrefu, hukuBakwata ambao wamekuwawakihusishwa mara kwa

    mara kutatua mizozo hiyo,wakikoleza zaidi matatizohayo bila kujali taratibu zakidini na hata zile za kiserikalijuu ya uhuru wa imani zawatu katika taasisi za umma.

    Itakumbukwa kuwa kati

    ya tarehe 9-15 Oktoba, 2012iliripotiwa tukio la kuvuliwahijabu Binti wa KiislamuHanifa Chikamtende, katikashule ya sekondari Kineng`eneManispaa Lindi. Binti huyoalikumbwa na adha hiyoya kidhalilishaji hadharani,mbele ya vijana wa kiumekwa kuvuliwa habu yake namwalimu Namanda Lweyoga,ambaye pia ni makamu mkuuwa shule.

    Wakat i u dh al i l i s h a j ihuo ukiendelea, baadhi yawalimu waliopo shulenihapo, akiwemo mwalimuanayehusika na ufundishajiwa somo la Islamic knowledgeshuleni hapo Bwana Hussein

    Katela, walijaribu kuzuiau d h a l i l i s h a j i h u o b i l amafanikio ambapo mwalimuAmanda alifanikiwa kuitwaahijabu ya Binti huyo nahatimaye binti kubaki kichwawazi.

    Wakati taarifa zikiendeleakusambaa juu ya tukio hilo.Mwalimu huyo aliyejiitakuwa ni mpagani, alielezeasababu ya kumvua hijabubinti huyo kwamba haikuwakatika sare za shule. Licha yamwalimu wa somo husikakumuelewesha mwalimuAmanda, utaratibu alioupitiabinti huyo kuomba ruhusa yakuvaa vazi hilo kwa sababumaalum na mwalimu wa

    zamu kumruhusu kuvaa vazihilo.Hata baada ya kuelezwa

    juu wa waraka wa Wizara yaElimu elimu unaotoa haki yahab na kuswali wanafunzimashuleni, bado hakunaaliyejali.

    Ilielezwa kuwa mwalimuKatela kwa kufahamu uzitowa suala hilo akishirikiana nawaumini wa jirani ya shule,waladili suala hilo. Uongoziwa shule ukiongozwa namwalimu Mkuu wa shulehiyo Bi. Tumani Nahunda,waliamua kulifikisha jambohilo kwa Diwani wa Kata yaMtanda Bw. Bakari Mpangulena hatimaye kwa viongozi waBakwata wilaya.

    Ilifahamika kuwa katikamjadala huo, ilionekana kuwaBinti aliyekuwa kavaa habuana makosa kwa kuvaa vazilisilo sare ya shule licha yakuomba ruhusa kwa mwalimuwa zamu na kuruhusiwa.Lakini pia hata mwalimualiyemruhusu alituhumiwakuonekana ni mkosaji.

    Mkuu wa shule hiyoBi . T u m ain i N ah u n da ,aliongezea kusema kwambayeye binafsi anashangaatangu afike mwalimu huyo,vijana wanabadilika juu yakuutekeleza uislamu wao,ambapo kwa upande wake

    aliona ni madadiliko mabayaliyoyaita ni ya msimammkali.

    Ajabu ni kwamba katikkusisitiza hilo, Katibu wBakwata Manispaa Lindi BwTwalibu Bakari alichukudhima ya kuzungumzna wanafunzi , ambapwaliwaeleza kuwa wahawakufika kusoma Qur-ashuleni hapo, bali wamekukutafuta elimu Dunia.

    Hivyo aliwataka wachukutahadhari kwani hawawekuchanganya elimu ya Dinna Elimu ya dunia vikawpamoja. Akamalizia kwkuwapa onyo na kuahidkumfuata mwalimu wIslamic Knowledge ikuhakikisha mwalimhuyo hafundishi tena somhilo shuleni hapo.

    Maamuzi ya k ikahicho kilichojadili tukio

    binti huyo kudhalilishwy a l i y o p i t i s h w a nm w a l i m u H u s s e iKatela alihukumiwa nvionggozi hao wa Bakwakwa kupigwa marufukkufundisha tena somhilo hapo shuleni, mpakruhusa maalum itakaptolewa na ofisi kuu yBakwata wilaya, hali ykuwa Bakwata haihusianna ufundishaji wa masomya dini shuleni, jambambalo halikukubalika nmwalimu huyo na wadawengine wa Somohilo.

    Aidha imefahamishw

    kwamba kutokana nba ad hi ya ma tuk io ykiimani katika shule zmsingi na sekondarWanafunzi wanaaminunyanyasaji wanaofanyiwni kwasababu ya imani yaYakiwemo ya kuzuiliwkuswali wawapo shulenhata katika siku rasmza ibada au kuwekewmazingira magumu ykuhudhuria swala hiyo.

    Hata hivyo wakaguzwa shule na viongozwa Elimu wamekuwwakishindwa kusimamsera na maamuzi ya serika

    juu ya maslahi ya kiimanya wanafunzi, ambaykimsingi hayaathiri taalumza wanafunzi hao zaidi ykuwajenga kimaadili.

    Badala yake wakuwengi wa shule na baadhya walimu, wamekuww a k i z i o n g o z a s h u lhizo hasa za serikalkwa misingi ya chuki zkiimani na kibaguzi, hukwakidharau nyaraka, serna maagizo ya mamlakza elimu, jambo amballimekuwa lisababishmizozo mingi ya kiimanmashuleni.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    4/16

    4AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20HABARI

    KongamanoMasjid Nuur - Sinza

    Baraza Kuu la Wanawake wa Kiislamu

    Tanzania linawaalika wanawake wote

    wa Kiislamu katika Kongamano litakalo

    fanyika Inshaallah Masjid Nuur Sinza

    Jumamosi Tarehe 20/07/2013 Saa 2:30

    hadi saa 7:00 Mchana,Mada swaumu na

    Umoja. Tuzingatie Muda.

    Ukipata Taarifa hii Mwaambie na

    mwenzio.

    Amira Mkoa DSM

    Bi. Fatma Mdidi

    MSIKITI wa KipataJini Dar es Salaam hivikaribuni, ulitimiza miakakumi na tatu ya darsa la

    Hadithi za Mtume kupitiakitabu cha Bulughul -Maraami.

    Darsa hilo lililokuwalikiendeshwa na SheikhAbdallah Bawaziri lilikuwalikifanyika msikitini hapokwa muda wa miakakumi na tatu iliyopelekeakutumia miaka 35 ya SheikhBawazir i kufundishakitabu hicho katika misikitimbalimbali hapa nchini.

    Sheikh Bawazir afikisha miaka 35 darsa la HadithNa Mwandishi wetu. Sheikh Bawaziri alisema

    kwake siku hiyo imekuwani siku ya furaha kubwakwa kutimiza umri huowa kufundisha Hadithiza Mtume.

    Leo katika Msikiti huuwa Kipata ni siku yafuraha kubwa kwangukwa kutimiza Miaka 35tangu nianze kufundishaHadithi za Bwana MtumeMuhammad (s.a.w) hapanchini.aAisema SheikhAbdallah Bawaziri.

    Sambamba na kitabuhicho cha BulughulMaraam, Sheikh huyopia katika darasa zakez a m s i k i t i n i h a p oa na f u nd i sha k i ta bu

    Umdatul-Ahkaami naSunan Abi-Daawoud.

    Hitimisho la kitabuhicho liliwahi kufanyikamwishoni mwa mwaka

    jana kati ka ms ik it i wa

    Qiblateeni wa Jini Dar esSalaam.

    S h e i k h B a w a z i r ia l i s e m a k i t a b u c h aBulughul Maraami alianzakukifundisha mwaka 1978

    katika msikiti wa SunnTanga baada ya kupokeidhini kwa mwalimwake Marehemu SheikAbubakari bin Suleima(Mwalimu Jumbe).

    JUMAMOSI ya Julai 6,2013, Msikiti mkongwekatika Wilaya ya Ilala naJini Dar es Salaam, MasjidTaqwa, ulizinduliwarasmi kufuatia ukarabatimkubwa na kuuwekakatika muonekano mpyana wa kisasa.

    Ukarabati wa Msikitihuo ni katika mfululizowa marekebisho ambayoyamekuwa yakifanywana viongozi wake katikavipindi tofauti, kulinganana wakati na ongezeko laWaumini wake.

    Sheikh AbdulrashidMsembule ni Mwenyekitiwa Baraza la Wadhaminiwa Masjidi Taqwa, BungoniIlala, anaelezea historia yaMsikiti huo kuanzia asiliyake na hatua mbalimbaliilizozipitia mpaka kufikiasasa.

    S h e i k h M s e m b u l e

    anaanza kwa kuelezakwamba, asili ya Msikitihuo ni eneo lililokuwalikulikana kama Tinda,katika miaka ya 1930s,sasa maarufu kwa jinala Gerezani, ambapou l i h a m i s h w a t o k ahu k o m pa k a k a t i k aeneo lililokuwa likiitwaMichongomani, ambalokwa sasa ni Mtaa waBungoni na Ngoma, Ilala,

    Jini Dar es Salaam.Msembule anawataja

    w a a s i s i w a M s i k i t ihuo ambao wote kwasasa ni marehem kuwa

    ni Sheikh Yusufu BinSaid, aliyekuwa Imam,Sheikh MwinyimkuuSuleiman Hega, SheikhSaidi Muhaluka, SheikhMwinyi Mshindo, SheikhMwinyihamisi Bakari,

    Wengine ni SheikhYusufu Ibrahim, SheikhM o ha m m e d H a m i s i ,Sheikh Hashim Mwishekh,Sheikh Shaha pamojana Sheikh MohammedNyangunda (Munguawarehem).

    Manamo mwaka 1935,waasisi hao wakiongozwana Marehem Sheikh

    Masjid Taqwa IlalaToka Tinda (Gerezani)1930s, hadi Michongomani (Bungoni) 2013

    Na Bakari Mwakangwale M w i n y i M s h i n d o ,walishauriana kuupanuaMsikiti huo, hatua hiyoni baada ya kupata kibalikutoka kwa Mkuu waWi l a y a , ( w a w a k a t ihuo) ambapo walijengaMsikiti wa miti kwa tope,hapo Michongomani(Bungoni).

    Msikiti huo uliendeleak u p a n u l i w a k a d i r iWaislamu walivyokuwawakiongezeka katika eneohilo, ambapo kwa upandewa Mashariki kati ya Mtaawa Ngoma, Masheikh haowaliasisi Zawiya, Madrasana kujenga Nyumba yaImam (Sheikh Yusuph BinSaid).

    Aidha, kwa upandewa Kusini wa Msikitihuo, anasimulia SheikhM s e m b u l e , k u w akulikuwa na eneo lamakaburi la ambapo,u o ng o z i w a M si k i t iulikubaliana kuyaondoshana kutoruhusu kuendelea

    kuzikana kwa tahadhariya kwamba wakati wakutaka kutanua Msikitihuo isije ikawa tabu,hivyo walidhibiti hali hiyomapema.

    Kwa hiyo makaburiyote yaliondoshwa nakubakishwa kaburi mojatu la Imam Yusuph BinSaid, l i lokuwa ndaniy a e ne o l a M si k i t i ,ambalo nalo pia mwaka2000, likaondoshwa.A n a f a f a n u a S h k hMsembule.

    Yaliyojiri kati ya mwakaI940 hadi 1973.

    M w a n z o n i m w amiaka ya 1940, SheikhMsembule, anawatajamarehem Mzee Azizi Allyna Mzee John Rupia, kuwawaliomba idhini Serikalini,ili watumie sehemu yauwanja wa Msikiti waMichongomani, kwa lengola kuweka lindo la kuni.

    Hata hivyo, Serikaliiliwaelekeza wapelekemaombi yao hayo kwaviongozi wa Msik i t iwa Mchongomani, nao(viongozi) waliwakubaliaombo lao na lindo lakuni likawepo hapo hadi

    mwazoni mwa mwak1962, lindo hilo likafa.

    Hatimae historia inaelezeneo hilo liliombwa tenna Bw. Mwinyi Pembkwa viongozi wa Msikikwa ajili ya matumizi ygereji, naye alikubaliwh a d i m w a k a 1 9 7 3il ipoondoshwa gerehiyo, baada ya mtumiahuyo kuvunja masharialiyopewa na uongozi wMsikiti.

    Baada ya hapo viongow a l i a m u a k u u v u n jMsik i t i huo wa mina kuujenga upya kwkutumia matofali ikiwni pamoja na kuuboreshkwa kuongoza sehemu ykuswalia wanawake.

    Mwaka 1969, ramani zmwanzo za mipango mya Jiji la Dar es Salaamziliandaliwa na eneo lupande wa Masharikmwa Msikiti, likafanywkuwa ni eneo la wazi (opespace), bila ya kushiriiksh

    uongozi wa Msikiti, kwkutwaa eneo halali lMsikiti.Yaliyojitokeza mwaka 197

    hadi mwaka 1980.M w a k a 1 9 7 5

    Halimashauri ya Ji la Daes Salaam, ilenga bustanna kuweka mabembea kwajili ya kucheza watotambapo haikuonyesha tyoyote huku wakisahakuwa eneo hilo lilikuwa nla Msikiti.

    K a d h a l i k a , S h kMsembule, analinganishmaamuzi hayo kuwsawa na uwanja wa sok

    la Ilala, ambapo athay a m a b e m b e a n a phaikuonekana, ambapeneo la uwanja hulikarudi katika asili yakya soko na sasa ndilo enelinalouziwa mitumba.

    Jitihada za kufuatilia eneohilo.

    A w a l i , m w a n z o nm w a m w a k a 2 0 0 1Baraza la Wadhamini Masjidi Taqwa, Bungonlil iwasil isha maombWizara ya Ardhi Nyumbna Maendeleo ya Makaz

    Inaendelea Uk.

    Kamati ya maafa Shura ya Maimamu yafichua dhulmaInatoka Uk. 2

    Kisutu, alikuwa akiangukakifafa mahakamani mbele yaHakimu mara kwa mara.

    Chuki iliyofanyikani kubwa, Waislamuwasiwe na ile dhana yakujua au kudhani kuwaw a l i o f u n g w a w o t ewalikuwa wamejitakia,si kweli, sisi tuliopo njetushukuru hatukufikwa namtihani huo wa kukamatwa

    bila kuandamana. AliasaUst. Mbaruku.

    Aidha kamati hiyoya maafa, ilieleza kuwawalaribu kufatilia kupitiParol, ili ikiwezekanawale waliohukumiwakifungo chini ya miaka

    m i t a n o , w a w e z ekuhukumiwa kifungocha nje, ikizingatiwa piakuwa Waislamu wote kwaujumla wao lilikuwa nikosa lao la kwanza, lakini

    jam bo hi lo l ime kuw a

    gumu.Ust. Buiya alisema

    a l i f a n y a j u h u d i z a

    makusudi kwa kufikamahakama ya Kisutu,l a k i n i a l i d a i m a j i bualiyoyapata ni kuwa sualahilo kwa hao Waislamuhaiwezekani.

    Jibu nililolipata mojakwa moja kuwa kwahao ni Waislamu wamaandamano haiwezekanipamoja na kuwa sheriahiyo ipo. Alisema.

    Jumla ya Waislamu 52,walihukumiwa kifungocha mwaka mmoja jela,

    baada kukamatwa Februari15, 2013, katika harakati za

    Jeshi la Polisi kudhibi titishio la Waislamu kufanya

    maandamano siku hiyo.Kwa kila Muislamuambaye yuko tayar ikusaidia kupitia kamatihiyo, awasiliane kwanamba za simu zifuatazo,0763 241 270, 0777 816 040,0784 816 04 na 0713 723 989.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    5/16

    5AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20Habari za Kimataifa/Tangazo

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

    INAPENDA KUWA TAARlFU MAHUJAJI WAKE WOTE NA WAISLAMU KWA JUMLAKUA:-

    IDADI YA MAHUJAJI WAO WA MWAKA HUU 2013 IMEPUNGUZWA KUTOKA MIA TATUMPAKA MIA MOJA NA SABINI TU. KWA HIVYO;-(a) WALE WOTE W ALIOJIANDIKISHA W A WAHl KUMALIZA KULIPIA GHARAMAZAO.(b) W ALIOJIANDIKISHA TU NA HAW AJALIPIA W AJE KULIPIA AU TUT A

    WAONDOSHA KWENYE ORODHA NA KUW APA NAFASI W ALIOKUW ATAYARI.

    (c) KUWASILISHA PASSPORT AU KOPI ZA PASSPORT KWA MUDA HUU.(d) PICHA MBILI PASSPORT SIZE KW A AJILI Y A VISA.2. (a) BEl YETU NI US DOLA 3550 TU.

    (b) UKIWAHI KULIPIA SA SA NA KUMALIZA TARATlBU ZOTE PUNGUZO NI ASILIMIASITA KWA HIVYO

    UT ALIPIA US DOLA 3337 TU NA KABLA Y A TAREHE 25 JULAY 2013.3. KWA MAWASILIANO ZAIDI FIKA OFISINI KWAO;-

    (a) DAR ES SALAAM MTAA W A DOSI NA MKADINI NYUMBA NAMBA 26 MKABALANA SHOW ROOM Y A MAGARI TEL 0713 730444 AU 0785 930444 AU 0773 930444.(b) ZANZIBAR MTAA WA RAHA LEO TEL 0777484982 AU 0777413987 AU WASILIANANA.( c) MAALIM SElF HUMOUD KIJICHI ZANZIBAR TEL 0777417736.(d) ABDALLA SALEH MAZRUI (HOKO) TEL 0715724444 AU 0773 724444 AU 0784724444(e) SHEIKH DAUDI KHAMIS SHEHA PEMBA 0777 679 692(f) SHEIKH ABUBAKARI MAULANA MARKAZ KIWALANI 0784 453 838NA BEl NAFUU KULIKO WOTE NA HUDUMA BORA KULIKO WENGI USISAHAU AHLULDAAWA HAJJ AND TRAVEL AGENCY

    CAIROMAELFU ya wafuasiwa Rais aliyeondolewam a d a r a k a n i n c h i n iM i s r i , M o h a m e dMorsi, wamekabiliana

    na polisi kwenye mijimbalimbali nchini humo,wakishinikiza kiongoziwao aachiwe huru.

    Maandamano hayoyanafanyika kipindi hikiambapo mjumbe waMarekani nchini Misri, BillBurns, yuko nchini humokwa ajili ya mkutano naviongozi wa Serikali yampito kujadili namnaya kumaliza mzozo wakisiasa nchini humo.

    Mara baada ya kuwasili,Burns alitoa wito kwaWaziri Mkuu Hazem al-Beblawi na Mkuu wa

    Majeshi Abdel Faah al-Sisi, kuhakikisha jeshihalihusishi na siasa walakuwakamata viongoziwa vyama vya siasa kwa

    Maandamano yashika kasi Misrishinikizo la kisiasa.

    B u r n s a m e t o aw i t o h u o k u f u a t i akuendelea kushikiliwakwa viongozi wengiwa chama cha MuslimBrotherhood, akiwemoR a i s a l i y e pi nd u l i w amadarakani, MohamedMorsi.

    Marekani inaonekanakutotaka kujihusisha mojakwa moja na mzozo waMisri, ingawa iko mstariwa mbele katika kutakakitafuta suluhu ya kisiasanchini humo.

    U s i k u k u c h aw a a n d a m a n a j iw a m e k a b i l i a n an a p o l i s i , a m b a owalilazimika kutumiamabomu ya machozikuwatawanya wafuasi

    wa Morsi, waliokuwawameyazungunga makaomakuu ya Jeshi.

    Licha ya juhudi ambazozimeendelea kufanywa na

    jeshi la nchi hiyo kutakakuleta maridhiano, chamacha Muslim Brotherhoodkimekataa kujihusisha

    na Serikali ya mpito nkuendelea kumtambuMohamed Morsi kamkiongozi wao. (Reuters)

    Rais aliyeondolewa madarakani Misri, Mohamed Morsi.

    DAMASCUS

    W A A S I 3 5 0wamejisalimisha kwajeshi la Syria na kuwekachini silaha zao.

    Shirika la Habari

    l a S y r i a ( S A N A )limetangaza kuwa waasihao wamejisalimishakwa jeshi la nchi hiyo,katika mkoa wa Homsu l i o ka t i ka t i mwaSyria.

    Waasi hao waliokuwawakifanya vi tendovya kigaidi dhidi yawananchi na askari wanchi hiyo mjini Homs,wamejisalimisha kwapamoja kwa jeshi lataifa la Syria katikavijiji vya Tal Ashour,

    ar-Rabiia, Jadidul-as naat-Tambulah mkoaniHoms.

    Waasi hao wameahidipia kutobeba tena silahaau kufanya kitendochochote kilicho dhidiya usalama wa raia nawa taifa la Syria.

    Wakati huo huo,wapiganaji wanaojiita

    jes hi hur u la Syri a,wametangaza kuhusikakatika mlipuko wa

    bomu uliotokea katika

    Magaidi 350 wajisalimisha kwa jeshi la Syriamji mkuu wa BairutLebanon.

    Bassam ad-Dada ,mmoja wa viongoziwa jeshi hilo amesemawapiganaji wa jeshihilo ndio waliotega

    bomu hilo mjini Beirut,Lebanon.

    G a r i l i l i l o k u w al imebeba maada zamilipuko, l i l i l ipukakatika eneo la maegesho

    ya magari, karibu nofisi za Jumuiya yUshirikiano wa KiislamOIC na kuwajeruhi kwuchache watu 30 nkusababisha uharibifmkubwa wa mali.

    KIGALIAliyekuwa Muftiwa Rwanda, GahutuAbdulkar im w aB a r a z a K u u l aWaislamu nchiniRwanda, (AMUR)ametimuliwa kazikatika nafasi yakehiyo.

    K u f u a t i akutimuliwa kwaMui huyo, Barazalimemteua BwanaKayitare Ibrahimkuwa Mui Mkuu waRwanda kuchukuanafasi ya SheikhGahutu Abdulkarimn a n a i b u w a k eSheikh Nsengiyumva

    Jumatatu.U t e u z i h u o

    ulifanyika katikak o n g a m a n o l adharura ambalolililofanyika mjiniKigali kwa ajili yakulinda umoja waWaislamu nchinihumo.

    Aidha kutimuliwakwa Mufti Gahutuk u m e f u a t i am a l u m b a n omakubwa ambayoy a m e k u w ayakiendelea ndani yaBaraza la Waislamunchini humo bilakupatiwa ufumbuzi.

    K w a u p a n d em w i n g i n eS h e i k h G a h u t ua n a t u h u m i w ak w a k u f u a t amisimamo mikaliya Kiwahabi katikak u w a k u f u r i s h aWaislamu wengine,s u a l a a m b a l ol i n a p i n g a n a n amisingi ya sheriaza dini tukufu yaKiislamu.

    Mufti wa

    Rwanda

    atimuliwa

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    6/16

    6AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20Makala

    JAMII ya watu Weusinchini Marekani imelaanihukumu iliyotolewa najopo la majaji kuhusu kesiya mauaji dhidi ya GeorgeZimmerman, aliyekuwaakikabiliwa na mashitakaya kumuua TrayvonM a r t i n , M m a r e k a n iMweusi mwenye umriwa miaka 17.

    Jopo hilo la majaji limetoauamuzi huo kwambaZimmerman hana hatia

    na kwamba, uchunguziunaonyesha hakuhusika namauaji hayo.

    Wazazi wa Travyonwamesema wanamuachiaMungu hayo yote nak u s i s i t i z a k w a m b a ,ha w a j a r i d h i shw a nauamuzi huo.

    Wamarekani weusiwamesema uamuzi wa

    jopo hilo unairudisha nchikatika zama za ubaguziwa rangi na wameitakamahakama ya juu yaMarekani kuingilia kati

    Maandamano makubwa yaikumba MarekaniWeusi wapinga hukumu ya kibaguzi dhidi yao

    Mwanasheria Mkuu wa serikali aingilia kati

    Adai licha ya hukumu uchunguzi utaendelea

    George Zimmerman.

    suala hilo.Mara baada ya kutolewa

    k w a h u k u m u h i y o ,yalilipuka maandamanonc hi nz i m a a m ba powanaharakati na wananchiwanapinga kuachiwaZimmerman, kwa kilewanachodai anapaswakuwajibishwa kutokana namauaji ya Martin.

    Mfumo mzima ni wakibaguzi na wananchitunasema Zimmerman

    ni muuaji, ni baadhi yamabango yenye jumbeza kulaani uamuzi huoyakiwa yamebebwa nawaandamanaji hao.

    Hukumu ya kumwachiah u r u B w . G e o r g eZimmerman, imeiingizaMarekani katika hisia zakurejeshwa ubaguzi warangi, hasa dhidi ya watuWeusi kufuatia Mzungualiyekuwa akituhumiwakumuua kana mweusi wamiaka 17 Trayvon Martin,huku kijana huyo akiwa

    Trayvon Martin

    hana silaha yeyote.Viongozi wa majij i,

    p o l i s i w a m e k u w awakijaribu kushinikizawatu kutulia kufuatiaG e o r g e Z i m m e r m a n(29), aliyefunguliwa kesiya kumuua TrayvonMartin, Februari mwaka

    jana kuachwa huru namahakama.

    Zimmerman alishauriwakuvaa fulana zisizopenyarisasi awapo nje ya makaziyake, alikuwa akiishi

    maisha ya kujificha kufuatiakupokea ujumbe za vitishokwenye mitandao.

    Habari zinabainishakuwa kesi ya wiki tanoimeligawa Taifa.

    Polisi walishindwakuchukua hatua wikikadhaa hadi pale ummaulipolipuka ukiongozwana waendesha mashitakawakitaka kufunguliwam a shi ta k a d h i d i y aZimmerman, ambayealielezewa mahakamanikuwa ni ofisa wa polisimtarajiwa.

    Alimpiga risasi Martinwakati wa vurugu baadaya kijana huyo mdogok u o ne k a na k u t i l i w amashaka katika eneo lauzio ambalo Zimmermanalikuwa akililinda hukoSanford, Florida.

    Zimmerman alidai kuwaMartin alichomoa bundukiyake baada ya kugunduakuwa amemtilia mashaka

    juu ya tabia yake.Baada ya kusikilizwa kesi

    zaidi ya saa kumi na sita,iliamuliwa na mahakama

    k u w a Z i m m e r m a naliamua kufyatua risasina kumuua kana Martinkama hatua ya kujilinda.

    Wamarekani Weusiw a n a o n a k w a m b am a h a k a m a i l i a m u akuhalalisha kuuliwamtu asiye na silaha.

    Na ilikataa madai yautetezi kwamba kiliokilisikika katika sikuiliyopigwa na ZimmermanNamba 911, ambapoMartin alisikika akililiamaisha yake.

    Kufuatia hukumu hiyo,maelfu ya Wamarekaniwameonyesha hasirazao kwenye mitandao yaTwier.

    Wazazi wa Martin Tracyna Sybrina, wanaoishiM i a m i , h a w a k u w amahakamani kusikilizahukumu hiyo.

    Wakili wa utetezi MarkO M a r a , a l i ba i n i shakwamba Zimmermann a m k e w e S h e l l i ewamelazimika kuishikwa mashaka kwa sababuya hisia kali zilizokuwazimezunguka kesi hiyo.

    Alisema hawakuwahata wakienda kazinikwa sababu ya kuogopakushambuliwa.

    Bw. OMara aliongeza,Ingawa ana furahasana kufuatia uamuziwa mahakama nadhanikuwa Bw. Zimmermanalikuwa na bahati ya ajabukurejesha maisha yake.

    Yeye na mkewe lazimawachukue tahadhar ina k u l i nd a u sa l a m awao kwasababu kunawaliosema katika mtandaowa Twier na kwingineko

    kuwa watalipiza kisasi.Polisi nao wamebainishakwamba mamlaka za mjiwa Sanford na maeneomengine ya Marekaniyamechukua tahadharidhidi ya uwezekano wakuzuka maandamanomakubwa na machafukokutoka kwa raia.

    Wa k a t i ha l i i k i w ahivyo, Mwanasher iaMkuu wa Serikali yaMarekani, Eric Holder,amesema uchunguzi dhidiya mauaji ya TrayvoneMartin utaendelea licha

    y a m a ha k a m a m j i nFlorida kumkuta GeorgZimmerman hana hatia.

    Holder amesema kuwkifo cha Martin kilikuwkinaepukika na kwambZimmerman, licha ya kuwalihami lakini angewezkutoa nafasi ya kuishi kwkana huyo kwa kumjeruhna risasi maeneo menginya mwili.

    Ofisi ya MwendeshMashitaka wa Serikailifungua kesi dhidi yZimmerman mwaka janlakini baadae ilijitoa nkumwachia mwendesh

    mashitaka wa Floridaendelee na kesi hiyambayo juma hili ndiimetolewa uamuzi.

    W a k a t i w a k e sikiendelea, Zimmermaal iendelea kusis i t izkuwa hakuwa na jinwakati alipovamiwa nkana huyo na kwambalijihami kwa kumpigrisasi ambayo ilikatishuhai wake.

    Baadhi ya wanasherpia wamehoji mfumwa sheria za Marekanambazo mara nying

    zimekuwa zikiwaachihuru watuhumiwa wmauaji kwasababu ykuruhusu mtu kujihamkwa silaha yoyote na hatikiwezekana kuua.

    Hatua ya mwanasherwa serikali kutangazkuingilia kati sakata hilkumeelezwa kuwa nmuhimu kuchukuliwhivi sasa, kwa kuwinawezesha kufungua keya kuua bila kukusudna hatimaye kumkuta nhatia Zimmerman, ambaysasa yuko huru. (Reuter

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    7/16

    7AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20Habari/Tangazo

    Masjid Taqwa IlalaInatoka Uk. 4

    kuomba wapimiwe kiwanjacha Msikiti ili wapate hatina kumiliki eneo kihalali.

    F e br u a r i 2 3 , 2 0 0 1 ,u o ng o z i w a M si k i t iu l i m w a nd i k i a ba r u aMkurugenzi wa Manispaaya Ilala, na kumtaka afanyeutafiti ili apate historia ya

    ukweli kuhusu eneo hilo,na atumie vikao vyake vyakisheria na kisha waishauriWizara husika kwa hatuazaidi.

    S e p t e m b a , m w a k a2002, Manispaa ya Ilalailiiandikia Wizara ya Ardhina kuishauri kuwa Msikitiwa Bungoni (Masj idTaqwa), wapimiwe kiwanjacha ukubwa wa eneo lamraba mita 26 kwa mita40 tu.

    H a b a r i h i z ozilivyopatikana Msikitinihapo, zilileta mtafarukumkubwa sana miongonimwa viongozi, Waumuni naWaislamu kwa ujumla kwakuona kama wanaonewakwa kunyanganywa eneoambalo wanaasili nalokwa muda mrefu, kishawapewe kipande kidogocha ardhi, hali ambayokama si busara za viongoziwa Msikiti huo, ingeleta

    uvunjifu wa amani nakukosekana utulivu kwaWaislamu wa eneo hili.

    N d i po , a l i y e k u w aMbunge wa Ilala wakatihuo, Mh. Idd Simba,na Meya wa Manispaa

    hiyo, Mh. Abuu Jumaa,walifika Msikitini hapo,na kuingilia kati kishakusaidia kuwatul izaWaislamu wa eneo hili.

    Ji ti ha da za viongoziwa Masjidi Taqwa, Ilalakatika kufuatilia haki ilikupatiwa eneo stahili laMsikiti ziliendelea kwakuonana na viongozihuiska mbalimbali.

    M a c h i 8 , 2 0 1 0 ,aliyekuwa Waziri waArdhi wakati huo, Mh.

    John Chil igati, aliwasil iMasjidi Taqwa, Bungoni,akiongozana na timu yamaafisa kadhaa kutokaWizarani na Manispaa ya

    Ilala, kuhusiana na kadhiaya upimwaji wa kiwanjaMsikitini hapo.

    S h k h M s e m b u l e ,anasema kwamba Mh.C hi l i g a t i , ba a d a y akusikiliza kwa makini,maelezo ya historia yaMasjidi Taqwa, aliamuakwenda kulitembelea eneowalilokuwa wakiliomba,

    na kujionea hali halisi dhidiya madai ya Waislamu.

    Mnamo mwezi Machi,17, 2010, Wizara ya Ardhi,i l i m u a n d i k i a b a r u aMkurugenzi wa Manispaaya I la la , ik imweleza

    kwamba, Waziri ameridhiakuongezwa kwa eneola Msikiti kwa kufanyamarekebisho katika eneola Msikiti, kwenye mchorowa mpango mi.

    Oktoba 21, 2010, MasjidiTaqwa, ilipokea baruakutoka kwa Kamishna waArdhi, ilioutaka Msikitikulipa kiasi cha pesa kwamujibu wa sheria, ambapouongozi ulilipa pesa hizona kuwasilisha Wizarani.

    Hatimaye kwa fadhilaza Mwenyezi Mungu,anasema Sheikh Msembule,Novemba 2, 2010, hati milikiya kiwanja cha Msikitikwa ajili ya matumizi ya

    Masjidi Taqwa, Bungoni,ilipatikana.Baada ya kupatikana

    kwa hati hiyo juhudiza harakati za ujenziziliendelea kwa kupatahati ya ujenzi ambayoilitolewa Septemba, 2011,na mamlaka husika.

    K w a s a s a M a s j i d iTaqwa, anaeleza kwamba

    imekamilisha awamuya kwanza ya ujenzi waMsikiti wa kisasa, baada yaule wa awali kubomolewa,safari ya kufika hapo nikufuatia safari ndefu yenyezaidi ya miaka 70.

    Leo tunajivunia ubunifuna juhudi za Wazee wetuza kulinda na kulisimamiaeneo la Msikiti hadi kufikiaviongozi waliopo sasa.

    Ujenzi wa Msikiti mpya nagharama zake.

    Kiongozi huyo waMasjidi Taqwa, anaelezakwamba, u jenzi huoulianza Machi 3, 2011,ukisimamiwa na kamatiya ujenzi ikiongozwa naImam wa Msikiti huo,Sheikh Abdulwakat.

    Alibainisha kuwa ujenziwa Msikiti huo mpakakufikia hapo umegharimufedha za Kitanzania kiasicha shilingi Bilioni mojaMilioni Miatatu na elfutisini na tano tu.

    Uongozi wa Msikitihuo unabainisha kuwakukamilika kwa awamuhi y o y a k w a nz a y aujenzi ndio kuanza kwamaandalizi ya ujenzi waawamu ya pili ya Msikitihuo ambapo malengoni kufikia ghorofa tano

    kulingana na msingi wjengo lenyewe.

    Ama kuhusu enel i n g i n e l a M s i k ililobaki litaendelezwkwa kujengwa shule ySekondari na kituo chafya, kwa kuwa historiipo wazi, kuwa eneo hila Michongomani, ambalndio Bungoni ya sasasili yake ni uwanja wMsikiti.

    Anabainisha SheikMsembule, kuwa Misikini Taasisi ya ki jamtoka wakati wa MtumMuhammad (s w aikitumika kama kituo chelimu, sehemu ya malezi ykiroho na maadili pamona harakati mbalimbali zkiuchumi na maendeleo

    Ni mataraj io yetkwamba Msikiti huutadumisha amani nupendo, kwa jamii yotinayotuzunguka bila ykujali tofauti za kiimanhitilafu za kimadhebna nyinginezo. AlisemSheikh Msembule.

    Msikiti huo, ulizinduliwna Waziri wa Nchi Ofiya Rais Zanzibar nMwenyekiti wa Baraza Mapinduzi, Mh. MwinyHajj Makame, kwa niabya Rais wa Zanzibar DAlly Mohammed Sheinaliyetarajiwa kuzinduMsikiti huo.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    8/16

    8AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20Makala

    Na Khalid S Mtwangi

    MWANDISHI mmoja,M c h u n g a j i R a m s e yNgweleja, ameandikamakala iliyotoka katikagazeti la NYAKATI la tareheJuly 7, 2013 akisisitizaamani kati ya Wakristona Waislam. Ameandikamengi ya busara kamayanayostahili kuhubiriwana Mchungaji. Anasema

    .tuanze na kwanza nahisia ya Ubinadamu wetu,katika fikra ya AKILI ZAKAWAIDA za kibinadamutu kuhusu Amani yaTaifa letu na ile hali yaKUVUMILIANA kwaqsababu isiyo ya kidin, kwasababu kila binadam anayoimani yake.

    H a y a n i o , m a n e n oya busara sana ambyon i t e g e m e o k u w aan ayah ubir i takr ibankila siku kwa wauminiwake walio Wakristo wanchini humu Tanzania.Yeye anakubali dhamanahiyo kwani anaendelea

    kuandika kuwa niviongozi wa dini pekee ndiowenye dhamana kubwakwa habari ya kuelimishawaumini wao ili kujiepushana matendo yeyote yenyekuhatarisha Amani katikanchi na ile hali ya kutowekaKUVUMILIANA (mkazowote ni wa Mchungaji).Haya ndio mawazo naushauri wa MchungajiRamsey Ngeleje ambaye

    bahati mbaya haulikani niwa kanisa gani katika yalemakanisa mengi ya kisasa.

    S i o u c h o c h e z ikuwakumbusha wasomajikuwa katika siku hizi za

    karibuni ni wafuasi wahizi dini mpya ambaowamekuwa ndio chanzo chakuvuruga amani sehemunyingi humu nchini pale

    jambo la udini linapozuka.Kweli kuna Makanisamakongwe kama vile KanisaKatoliki ambalo limekuwana sauti na uwezo mkubwasana katika kuitawalaTnzania tangu nchi hii ipateuhuru wake. Nguvu hiyoni kubwa kiasi kwambaWaislam na makanisamegine wamekuwa kamawashindikizaji tu katikamamabo mengi kama vile

    Maaskofu na siri zao nzitoya utawala nchini humu.Wao wanakiri hivyo katika

    baadhi ya maandiko yao.Bila shaka wasomaji

    w a t a k u m b u k a u l e

    mkasa wa MuadhamaPolycarp Cardinal Pengoalipomsulubu Rais wanchi hii hadharani kabisa.Masikini Rais wa nchihakuwa na la kusemawala la kufanya na kiburihicho kilikubalika na kilamtu. Pia Muadhama huyuamekiri hadharani kuwa napassport mbili, yaani ni raiawa nchi mbili ya Vatican naTanzania. Haifahamiki kamahatua gani imechukuliwana wanaohusika. Huo niuwezo mkubwa ambaoh a i j a f a h a m i k a k a m ahaya makanisa mapyayaliyochini ya mwamvuliwa Pentecoste nao wanayo.

    Lakini inafahamika fujokubwa waliyoizua nchinihumu. Ni mategemeo kuwamahubiri haya ya mtumishiwa Mungu MchungajiR a m s e y N g w e l e j ayatawafikia hawa WaKristowenye msimamo mkali nawasiotaka kusikia kuwakuna Uislam humu duniani.Hayo yote yanatokea,bilashaka wakidhaminiwa nawafuasi wa MchungajiPat Robertson wa hukoMarekani. Wanaogopaukweli mtupu uliomo katikaQuran?

    Hawa wamo Tanzaniakwa nguvu sana, wala

    hakuna haja ya kwendambali kuwapata. Katikagazeti hilo l i l i lota jwamwanzoni la NYAKATI latarehe Julai 7, 2013 kunamakala katika ukurasa watano (5) ambao mwandishiameleta uchochezi waudini wa hali ya juu kabisa

    bi la ku ja li il e AM AN Inchini ambayo anahubiriM c h u n g a j i R a m s e yNgeleja katika makalayake katika gazeti hilohilo.Anawatwika mzigo mzitoviongozi wa kinachoitwa

    JUKWAA LA WAKRISTOTANZANIATANZANIACHRISTIAN FORUM kuwa

    wao huko nyuma walifikiamaamuzi mazito sanaambayo yalitakiwa itapofikatarehe moja mwezi Julaiyaanze kutekelezwa. Sasaimefika tarehe saba mwezihuo hawa viongozi wakowapi? Hakika maazimioambayo yalikuwa yaanzekutekelezwa mwamzonimwa mwezi huu ni mazitosana na bila shaka yanawezakuleta mtafaruki hataufarakano mkubwa kati yawananchi wa dini tofautihasa kati ya Waislam naWaKristo.

    Katika kikao chao kimoja

    Maaskofu kutoka makanisawashiriki walikubalianakuchukua hatua nyingikudhihirisha hasira yaodh idi ya Sereka l i n aumma (hasa Waislam)kwa jumla. Iliamuliwekuwa kuanzia tarehe ileWakrito waanze kuchinjawenyewe wanyama wakitoeo makanisani. Kwasababu ambazo ni vigumukuzielewa pia iliamuliwa W a k r i s t o w a o n d o eakaunti zao kutoka bankiya NBC (National Bank ofCommerce). Wanadai kuwa

    banki hiyo ina udini. (Kwelihayo?). Pia ati iliamuliwakuwa Wakristo warejeshekadi za CCM Inajulikanakuwa huwa ni sifa kubwapale viongozi wa kisiasawanaalikwa na kuhudhuriahadhara za kidini. Sasa

    hawa jamaa waliamua kuwawakome kuwaalika viongozihao katika shughuli zakikanisa. CCM inasusiwakwa sababu ati chama hichotawala kinawasuta Wakristokuwa wao wanakishabikiaCHama cha DEmokrasia naMAendeleo (CHADEMA).Kuhusu kuchinja gazetihilo lina mnukuu AskofuDavid Batenzi aliyetangazakuwa la kuchinja tunatakaWakristo wachinje wenyewekuanzia Jumatatu tarehe1/7/2013. Kuhusu Benki yaNBC tunataka Wakristotuwaeleze athari ya kuwa naakaunti ya Kiislam (Islamic

    Banking). Wasomaji nim e n g i M W A N D I S H Iwa Makala ile kaandikakuchochea chuki kati yawananchi wa nchi hiihasa kati ya Waislam naWakristo.

    H e b u k w a n z awasomaji wajiulize hilila kuisusia CCM, chamatawala. Kimefanya ninikikubwa na ambacho nicha kuzusha kuwafanyawastahili kususiwa? Kilamtu anayeweza kusoma nakuchambua makala amanyaraka anafaamu kuwazile kauli za Maaskofuwakati wa uchaguzi mkuu

    uliopita hakika ulaa Ukristomtupu. Hasa ile ilani mbayoil ikuwa inawasukumawaumini, ikinukuu Biblia,wafuate mafundisho yaYesu katika uchaguzi ule;Mwandishi Wetu hawezikuwadanganya wasomajikuwa hayo hayakuwayanalengwa kwa Wakristowaipigie kura CHADEMAiliyokuwa na mgombeaurais ambaye ni padre waKanisa Katoliki. Pamoja nahuyo Mgombea Urais akiwaamevunja sharia nyingizinazohusu uhusiano kati yamwanamke na mwanaume

    (yaani kutenda dhambi) badomaaskofu walimsamehekuwa hayo ni yake lakiniwaumini wampigie kuratu. Sasa ikiwa ni kweli(hakuna ushahidi) kuwaCCM ilishutumu KuwaKanisa linawapendeleaCHADEMA huo ulikuwani ukweli mtupu. Sasa huyuMwandishi Wetu anatakaCCM iadhibiwe kwa kusemaukweli!!! Imekwenda wapiile AMRI inayowaamrishawaumini UMSISHUDIE

    JIRANI YAKO UONGO.Ni jambo la kusikitisha

    sana kuwa yale makanisamakubwa kama vile Katoliki,KKKT n a CMS kamasisi wazee tulivyokuwatukilifahamu Kanisa laAnglican linavyoitwa sasa,yamekuwa kimya kabisakuhusu hil i sakata la

    kuchinja. Ni wazi kabisakadhia hii ya kuchinja niuzushi wa haya makanisayanayozuka sasa ambayoviongozi wake wanaokwakama mikate kwa saachache na wakaiva kuwaAskofu. Akipata vijisentikutoka kwa wale walokolewa Marekani amabao niwabaguzi wakubwa wa rangi

    basi anapita vini kuenezafujo. Lakini hebu tujiulize.Huyu wao wanayemwitaYesu alikuwa ni mtoto waMama Maria Mtakatifualiye mzaa kwa miujiza yaMwenyezi Mungu. Hatahivyo familia yake walikuwawanaasili ya Uyahudi (jews).Hakika baadhi ya wasomiwa Biblia wandai kuwaaliyokuwa akifundisha Yesuyalikuwa ni katika dhebula Kiyahudi. Sasa kamatutakubaliana kuwa Yesualiyehai ni Muyahudi halafuakute nyama ya mbuziiliyochinjwa na Muislamna hapo hapo pana nyamaya mbuzi iliyochinjwa naMkristo, ataamua ale ipi?

    K u m b u k a k u w aWayahudi wanasherianzito sana kuhusu kipihalali kula (kosha) na kipiharam. Kwanza hilo jinala dini UKRISTO litakuwageni kwake kwa sababualipokuwa hai akipita

    kuhubiri Mungu Mmoja(AMRI YA KWANZA NAYA PILI) hakukuwapo naUkristo!! Uislam umeanzatangu wakati wa NabiiAdam AS na kupitia kwaMitume kama vile Nuhu,Yunus, Ibrahim, Musa,Daud, Issa na mpakakumfikia Muhammad SAW.Makanisa yanayojulikanatangu zamani hebu achenikunyamaza kimya kuhusu

    jambo hil i. Mkitoa kauliya kukemea haitakuwaushindi wa Waislam pekeyao, nchi nzima itafaidika.Zaidi ni kuwa UKWELIndio utakuwa mshindi.

    La mwisho Hawa TanzanChristian Forum wanatakkuisusia CCM kwa sababChama Hicho Tawala akinawashutumu kuwWakristo wanaipendeleCHADEMA. Wakumbukkuwa kwa miaka yote yuhuru ni TANU/CCM ndwamekuwa wanatawalI l e M e m o r a n d u m oUnderstanding aliyotsahaihi MuheshimiwEdward Lowasa mwak1992 imewapa upendelemkubwa sana makanisnchini humu. Mamilionya pesa za walala howakiwemo Waislam wentu (Wafanya biasharwakubwa wakubwa) ndhaya makanisa hupewa butu kuendesha shughuli zazikiwa za kutoa elimu ndawa. Madaktari takribawote walioko hospitali z

    mission hulipwa na Serekainayoendeshwa na CCMNi sera ya CCM kuyaleMakanisa na sio kuwaleWaislam.

    Saa ni sawa kabiskuwauliza hawa TanzanChristian Forum kampamoja na kuisusia CCM

    basi pia wan apo rudishkadi za CCM hapo hapwarudishe yale mapesa yoambayo Serekali ya CCMwamekuwa wakiwajazw a o k w a k u e n d e s hshughuli zao? Baada ykuzirudhi fedha hizo bawakatae kupokea tenmpaka hapo patakapkuja serekali ya cham

    wanchokitaka wao ambachwatakuwa wamechukukadi zake kwa wingi baadya kurudisha zile za CCM

    K u h u s u k u i s u s iNational Bank of Commercati kwa sababu ya IslamBan kin g . Kun a ban knyingi sana duniani kamvile Kenya na Uingerezambazo zimeruhusu mfumhuo wa Islamic Bankinambao hakika unatekelezsh aria za Mwen yeezMungu. Ndugu yangMwandishi wetu atazamBiblia yake Kumbukumb23:19 USIMKOPESHNDUGU Y AKO KWRIBA; RIBA YA FEDHA

    RIBA YA VYAKULA, RIBYA KITU CHOCHOTK I K O P E S H W A C HKWA RIBA. Hii TanzanC h r i s t i a n F o r u m i nwalaani NBC kwa kufuamafundisho ya Bibliambayo tunaambiwa kuwni neno la Mungu? Labdni kwa kuacha makusudneno hili la Mungu ndiyale mabenki ya Vatican kisiku yanaingia katika kashza kifedha!!!!

    M c h u n g a j i R a m s eNgeleja, ukowapi uiokownchi hii na balaa la ujingna ulafi wa madolari?

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    9/16

    9AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20Makala

    NA kila wakati hamasa yakimapinduzi ya Waislamuinapopanda juu, basin g u v u z a k u p i n g aUislamu nazo zinakujan a m b i n u m p ya z akuwasambaratisha. Mojaya mbinu zinazotumika

    siku hizi ni hii formulaya kugawana madaraka(power sharing). Mbinuh i i s i yo m p ya h a t akidogo! Jambo jipya nikwa Waislamu kuhamakutoka kwenye sera yaMtume.

    Ufalme wa Maqurayshikule Uarabuni ulimpaofa Mtume wa MwenyeziMungu kutawala nakutekeleza Uislamu kwakipindi cha mwaka mmojaau miwili, kisha na waowatekeleze mfumo nataratibu zao kwa mwakammoja au miwili. Yaani

    wabadilishane utawala.Baadhi ya Waislamuwa leo wangekimbilia nakushangilia fursa kamahiyo. Hoja yao ingekuwahivi:

    Uislamu ndiyo Itikadibora zaidi kuliko mifumona Itikadi zote duniani.Watu wanahitaji sanaUislamu, lakini hawaujuiUi s l a m u w a o . T e nawengine ni Waislamu,kinachokosekana kwenyemaisha yao ni utekelezajiwa sheria za Kiislamutu. Sasa tukipewa fursaya kuwafikishia watusifa njema za Uislamu,

    basi lazima tu inyakue,kwa sababu wakionja tuladha nzuri ya Uislamu,h a w a t a k u b a l i k i t ukingine

    Hoja hiyo inawezak u o n e k a n a y e n y emantiki sana. Lakini nipotofu na wala si hojaya Kiislamu. Kwanza,inakubali nia njema yaTaghut, na inafikiri Taghutataheshimu ahadi yake.Kwa hiyo, kuna kiasi fulanicha kumtegemea Taghutk a t i k a k u s i m a m i shaUislamu.

    Dhana nyingine potofu

    ni kufikiri kwamba Uislamuuna uwezo wa kushindakwa kuwahubiria tu watuwaliokusanywa, kuhusuuzuri na ubora wa Uislamu( s t a g e a p p e a r a n c e ) .Lakini, Mwenyezi Mungumwenye nguvu na mjuziwa kila kitu, alibu ofa hiiya Taghut kwa sera yakemadhubuti na ya kudumukutoka mbingu saba:

    Sema: Enyi makafiri.Siabudu mnachoabudu.Wala nyinyi hamuabuduninayemuabudu. Walasitaabudu mnachoabudu.Wala nyinyi hamtaabudu

    Uislamu na Mapinduzi - 3Na Said Rajab.

    ninayemuabudu. Ninyi

    mna dini yenu nami ninadini yangu Qur(109:1-6)Harakati za Muhammad

    (s.a.w) kumuondoa Taghutkatika mazingira halisituliyomo lazima zifufuliwe.Kwa hakika, hakuna mtuyeyote katika historiaya binadamu, aliyewezakumsambaratisha Taghutk w a k i p i n d i k i f u p izaidi, kama alivyofanyam w a n a m a p i n d u z ihuyu wa ajabu, MtumeMuhammad (saw).

    Tukiangal ia miakaishirini na mitatu yaukombozi na mapinduzi

    y a l i y o o n g o z w a n aM u h a m m a d ( s a w ) ,k w a k w e l i h a t u n a

    j i n s i i s i p o k u w a n ik u k i r i t u k w a m b amwanamapinduzi huyualiongozwa na Wahyikutoka juu. Akiwa pekeyake, bila ya msaadawowote kutoka mamlakaza kisekula wakati ule,a l iweza kusababishamabadiliko makubwa(radical change) katikashu g hu l i z a k i r o ho ,kamii, kiuchumi, keshi,kisiasa na kiutamaduni za

    binadamu.

    Alikuwa ni mwanamageuzi dhidi ya dhanapotofu kuhusu Munguna alisafisha fikra na rohoza binadamu dhidi yataswira na mawazo potofukuhusu Mungu, na badalayake akapandikiza Tawhid(upweke) wa MwenyeziMungu.

    Yake yeye, ilikuwa nivita isiyo na suluhu dhidiya ubaguzi katika sura zakezote, hususan ubaguzi warangi na utaifa.

    M a p i n d u z i h a y ayaliyoongozwa na Mtume,yalisimamia msingi wa

    kujenga familia moja yabinadamu, hivyo kutupiliambali mawazo mafupi yakutukuza ukabila na utaifa.Taqwa ndiyo iliyokuwam ba d a l a w a v i g e z ovingine vyote vya imaniza kububusa (dogma).Kuna thamani, haki nasheria ya kimapinduzikatika misingi ifuatayo yaQuran:

    Enyi watu! Kwa hakikatumekuumbeni (nyote)kwa yule mwanaume(mmoja Adam) na yulem w a n a m k e ( m m o j aHawa). Na tumekufanyenimatai fa na makabi la(mbalimbali) ili mjuane

    (siyo mkejeliane). Hakikaa h e s h i m i w a y e s a n amiongoni mwenu mbeleya Mwenyezi Mungu niyule amchaye Mungu zaidikatika nyinyi Qur(49:13)

    Enyi watu! McheniM o l a w e nu a m ba y eamekuumbeni katika nafsi(asli) moja. Na akamuumbamkewe katika nafsi ile ile.Na akaeneza wanaumewengi na wanawakekutoka katika wawili haoQur(4:1)

    Na Mtume wa MwenyeziMungu amesema:

    Si miongoni mwetu

    anayeishi, kupigania nakufia Utaifa (Ahmad)I l i k u w a n a b a d o

    ni mapinduzi dhidi yaubaguzi wa kijamii nakitabaka. Katika kipindikile , wakati hisia zautukufu wa Maqurayshizilipokuwa katika kilelechake, ambapo katika sikuza Hja, Maqurayshi haowalikuwa wakisimamaMuzdalifa,kisha kuelekeaHa kutokea pale, wakatimahujaji wengine wote,walisimama Arafat nakuelekea kutokea pale.

    M a e l e k e z o y a

    kimapinduzi yalifunuliwakwa Muhammad (saw),ambaye alikuwa ni raia waQurayshi na akasimamapamoja na wale wasiokuwaMaqurayshi pale Arafat,na kwa kutumia Quranakawaambia Maqurayshi:

    Kisha miminikenik u t o k a m a h a l iwamiminikapo watuwote..Qur(2:199).

    H i i i l i k u w a n imethodolojia na kipimoambacho kimewafanyawatu wote kuwa sawa.Kibri na majivuno yaMaqurayshi

    havikutaka kukubalia u k u o n a b i n t i w a

    Ki q u r a y sh i a u d a d aakiolewa na Mwarabu wakabila lingine la kawaida.Lakini, Mtume ambayeanatoka kwenye daraja

    bora kabisa la Maqurayshi,amemuoza binamu yake,Zainab bint Jahash, kwamtu wa kawaida kabisakamii Zaid.

    L a k i n i l e o , t u n a omabinti na madada waKiqurayshi katika jamiiyetu, ambao hawawezikuolewa na Waislamuwengine wa kawaida,labda iwe kwa ajili yakulenga maslahi fulani.

    Hakuna wanazuoni walaMaulamaa wanaowezakuthubutu kukemea

    ubaguzi huo, ingawawanasema wanamfuataMtume.

    Zifuatazo ni sababu halisikwanini wanaharakatiwa kweli wa Kiislamu,hawakubaliani na tawalaza kidikteta katika nchi zaWaislamu:

    K i s h a t u m e k u w aju u ya Shar ia ya am riyetu, basi ifuate, walausifuate matamanio yawale wasiojua (kitu)Qur(45:18).

    H a k i ktumekuteremshia Kitab(hik i ) , hal i ya kuwkimeshikamana na haki l i upate kuhukum

    baina ya wa tu kama l i v y o k u f a h a m i s hMwenyezi Mungu Qu(4:105).

    Na kwa wasiohukumk w a ( k u f u a t a ) y a l

    aliyoteremsha MwenyezMungu basi hao ndiymafasiki Qur (5:47).

    N a w a h u k u mba i na ya o k wa ya la l i y o y a t e r e m s hMwenyezi Mungu, walusifuate matamanio yaoNawe jihadhari nao waskukugeuza na baadhi yyale aliyokuteremshiM w e n y e z i M u n g uQur(5:49),

    Je? Wao wanatakhukumu za kijahili? Nnani aliye mwema zaidkatika hukumu kulikMwenyezi Mungu. .Qur(5:50).

    K a t i k a m a d a h inimejaribu sana kuonyeshmshikamano uliopo kaya Uislamu na MapinduzNadhani sasa iko wazkabisa kwamba Uislamhauwezi kutenganishwna Mapinduzi, kwa maanya mabadiliko makubwkatika jamii. Wale wotwaliotekeleza dhana ykimapinduzi ya Mitume,

    w a w e M a u l a m aw a p i g a n a j iw a k a n d a m i z w a j iw a n a h a r a k a t i wMapinduzi ya Kiislamna wengineo, basi wakupande wa Mitume wMwenyezi Mungu: Wakupande wa Shuaib (asdhidi ya unyonyaji wkifedha, kibiashara nukiritimba wa fedha; Wakupande wa Muss (as) dhidya ufisadi wa kisiasa nkibri cha nguvu; Wakupande wa Lut (as) dhidya mmomonyoko na uozwa kimaadili.

    Hayo ndiyo matatizsugu tuliyonayo katikzama zetu za leo, nkama viongozi wa taasiza Kiislamu, JumuiyaV y a m a na H a r a k a twanataka kufuata mrengsahihi wa mapinduzi yki jamii , basi wafuatmtazamo wa kimapinduzulioanishwa ndani yQuran, kutekelezwa nMtume wa MwenyezMungu na kuhifadhiwna Mujahidina:

    Na anayemtegemeMwenyezi Mungu, Yeyhumtoshea Qur(65:3)

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    10/16

    10AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20Makala

    MAANDALIZI ya ibada yaHja kwa sasa yanaendeleakwa kila Muislamu ambae

    amejaliwa kwa mwaka huuili kukamilisha moja yanguzo tano za Uislamu,nchini Saud Arabia katikaJi la Makkah.

    Pamoja na Wais lamukua katika pilikapilika zamaandalizi hayo lakini piabaadhi ya Taasis i amb azozinazoratibu safari hizonazo pia tayari zipo katikam aan dal iz i ya ku an zakuandikisha mahujaji nazengine tayari zinakaribiak u f u n g a m i l a n g o y auandikishaji.

    Mwandishi wa makalahii alitembelea katika ofisi

    za Al-Jazira InternationalHajj Trust,Magomeni mikumiMsikiti wa Mwinyi MkuuJjini Dar es Salaam,ili kutakakujua maandalizi kwa mwakahuu yakoje.

    Alifanya mahojiano naM w n y e k i t i w a t a a s i s ihiyo Alhaji Amir Sifullahamesema kwa upande waAl-jazira wao wameshanzakuandikisha mahujaji ambao

    Al-Jazira yapunguza gharama za Hijja, 1434Na Ramadhani Kangale watakaotumia taasisi hiyo

    pia amesema anawombawale wote ambao wametiania wajitokeze haraka ilikukamilisha taratibu za safarihiyo.

    Amesema kwamba ibadaya Hja ni amri kwa mwenyezim u n gu h iv yo kwaki lamuislamu ambae anauwezoanatakiwa kufanya jitihadaza kutia nia ili akatekelzeibada hiyo.

    Mwenyekiti huyo amesemakwambakwa vile Hij janinguzo muhimu basi Al-jazira imeamua kupunguzagharama za usafiri kutokahapa nchini mpaka Makkahkwa Dolla za ki Marekani4200 tu.

    A m es em a ku p u n gzakwa gh aram a h izo n ikumuwezesha kila muislamuaweze kumudu safari hiyo iliakakamilishe ibada yake.

    Akizungumzia swala lamalipo kwa Hujaji ambaetayari anataka kusaf ir ikupitia Al- jazira AmirSeifullah amesema waowameandaa taratibu zamalipo kwa kwenda Benkiya NMB,kulipia gharama zasafari,nakuzitaja namba zaakunti tsh20410001982.

    Pia amesema kwa waleambao wapo mikoani Al-jazira

    ina matawi tanzania yotebara na visiwanikwa yeyoteanaetaka kusafiri na Al-jaziramilango ipo wazi Tanzaniayote tuna wawakilishi wetunatumeamua kufanya hivyo

    ili kuwaondolea usumbufuwale wa mikoaniamesema.

    Ameongeza pia katika Al-jazira kuna kitengo ambachokinashuhurika na wale ambaohawata weza kwenda kuhiau kusafiri hivyo kwakularihilo imeamuwa kuwahijiawale wote wenye matatizoambao hawawezi kusafiri.

    Kuna waislamu ambaowanataka kuwatekelezeajamaazao ibada hiyo lakiniwanaofanyiwa hivyo awanauwezo wa kusafiri basi sisikuna kitengo maalum chawatu hao watahiwaalitajawatu wadizaini hiyo nimgonjwa ambae ugonjwawake umethibitishwa na

    Daktar kwamba hawezikusafiri,kikongwe asie jiwezana wale waliyo tanguliambele ya haki na gharamazake Dolla 1500.

    Amesema kua swalala kumuhijia mtu halinatatizo kwani hata masahabawaliwahia wazee wao waliyokufa na wale vikongwe hivyoamesema waislamu wengiwanakufa na kuacha mali

    nyingi kuliko hata gharamaza Hij ja hivyo sivibayakumfanyia ibada hiyo mzaziambae ametangulia mbeleya haki.

    Aidha amesema uislamu

    ni kusaidiana hivyo kwakilamwenye uwezo sivibayakumfadhiri mwangine katikaibada hiyo.

    P ia am es em a kat ikakumfanikishia kili muislamuanafanya ibada ya hja Al-jaz ira imeanzish a akaunt iijulikanayo kwajina la oneshilingi ambayo ita mwezeshamuislami yeyote kuwekezakidogokidogo ili na yeyeakakamilishe ibada hiyokiwango chake kikifikia.

    Akinikuu baadhi ya aya zaQur an tukufu(3:97)hasara zakuto hi zina tuenea waislamuwote na kusema kwambamunezi munguamesemawwenye kukufuru kwa

    kutokwenda Hja baada yakupata uwezo basi Mwenyezimungu hana aja na viumbehaoamesema.

    Kwa hiyo kwa kulionahilo ndomaana tumeamuakufungua akaunti hiyo ili kilamwaslamu mwenyenia yaibada hiyo na yeye akapateibada hiyo.

    Pia amesema kabla safari

    kuanza watawandalia seminmahujaji wote ili kuwapuwelewa wa ibada na mambmengine muhimu wafikaphuko wao kama Al- jazirwanauzowefu wamudmrefu nasafari hizo hivylazima wapatiwe elimu juya shughuli nzima ya huko

    Amesema viongozi wAl-jazira wamewaandalm a d a k t a r i b i n g wwamagonjwa mbalimbaambao wataambatana nakatika safari amewatav i o n g o z i h a o k u wMwenyekiti ni SeifullaAmir Rajabu Macho, AmAbas lulu, wengine ni AmThabiti Ibrahim pamoja nSheikhe Masoud Khamisi.

    Amesema mahujaji wowatakao safari na Al-jaziwatapata fulsa ya kutembelev iv u t io v ya k ih is to rvilivyopo Makka na Madinpia amwewasisitizi waislamk u j i t o k e z a m a p e mkujiandikisha amesema kwupande wa Dar es Salaamofisi zao zilizopo Mtaa wMahiwa na Living stonkaribu na Msikiti wa Mtorzipo wazi siku zote.

    Mwandishi wa makahii anapatikana kwa simnamba 0712183898.

    Ndugu wasomaji wamakala haya tukiwakatika wiki ya kwanzaya mfungo wa mwezi

    mtukufu wa Ramadhanikwa mwaka huu waKiislamu 1434 Hijiria(2013), leo tutazungumziafutari bora kwa aliefungamwezi wa Ramadhani.

    Maana ya kufuturuNeno kufuturu katika

    makala haya tunalitazamakatika maana mbi l i .Kwanza ni k i le k i tumfungaji anachokitumiak u f u n g u a s a u m u .Inavyotakiwa na Uislamuiwe mara tu baada ya juakuzama.

    Maana ya pili ni ulemlo mtu anaokula baadaya kufungua. Kwa Sunna

    ya Mtume Muhammad(Rehma na Amani zaM w e n y e z i M u n g uz i m f i k i e ) , m f u n g a j ianatakiwa afungue kwatende au maji, halafuaswali magharibi na baadaya hapo aendelee kula.

    Turejee hadithi ifuatayoili kuthibitisha hoja yetuya hapo juu:

    Anas (r.a) ameelezakuwa Mtume (Rehmana Amani za MwenyeziMungu zimfikie) alikuwaakifungua kwa tendembichi zilizokomaa kablaya kuswali (Magharibi),kama hizi hazi kuwepo

    Mlo bora wa futari kwa afya yakoNa Mujahid Mwinyimvua

    alifungua kwa tendezilizowiva na kukauka(mbivu), na kama hizihazikuwepo alikunywamafunda machache ya maji(Tirmidh na Abu Daud).

    Faida za tendeHabari ya tende ni

    k u b w a , l a k i n i k w amakala ya leo itoshe tukwa kutazama virutubisho(nutrients) vilivyomo ndaniya tende na faida ya tendekama chakula na dawaili waislamu wanufaikekiafya. Pia yakini yao juuya usahihi wa dini yaouongezeke zaidi na wawena stadi za kulinganiakama hii ya sayansi yachakula.

    Tuanze na faida za tendekama chakula. Tende ni

    chakula na ni tunda lenyedhamani kubwa sanakwa binada mu. Tendeina asilimia 60 mpaka 70ya sukari aina ya glucosena fructose. Mtu akilatende aina hii ya sukariinanyonywa na utumbona kuunguzwa na selina hatimae inatoa nguvukwa haraka. Kwa mfungajisaumu nguvu hii humpafuraha na akil i yakeinatuama kwa haraka.

    Tende pia ina vitaminiaina ya C kiasi cha gramu3, na kiasi kidogo chavitamini B-complex. Tendezikiwa hazawiva sana na

    mbichi ndio zina vitamininyingi zaidi. Aina hii ndiyoaliyokuwa anaitumia sanaMtume wetu (Rehma naAmani za MwenyeziMungu zimfikie). Vitaminimbali mbali huwezeshamwili kuwa na kinga yakupambana na maradhi.

    Vi levi l i , tende inaasilimia 15 au zaidi yamaji, inategemea ilivyoandaliwa. Maji yana kazikubwa sana mwilini. Baadhiya kazi hizo ni kupozamwili na kuwezesha kazimbali mbali zinazotakamazingira ya umajimajikufanyika kwa ufanisi.

    Tende ina protini kiasicha asilimia 2.5 na madiniasilimia 2.1 (Calcium,Phosphorus, Chuma).

    Protini ni muhimu kwaukuaji na ukarabati wamwili na viungo vilivyond a ni y a k e . M a d i n iyanasaidia kulinda mwilina kazi nyingine.

    Tende inakiasi kidogocha mafuta (0.4%) ilikukidhi haja ya mwili nahaina aina mbaya ya mafutainayoitwa cholesterol.Mafuta yana kazi nyingimwilini, zikiwemo kutoanguvu na kutengenezavitu fulani.

    Cholesterol pia inakazimuhimu katika mwili,kinacho takiwa mafuta

    hayo yasiwe mengi. Yakiwamengi yana sababishamaradhi kama vile yamoyo, kiharusi (stroke)na presha. Zaidi ya neemahizo alizoumba Allah,tende ina nyuzi nyuzi zakilishe (dietary fibres) kiasicha asilimia 3.9.

    N y u z i n y u z i h i z izinafaida kubwa katikamwili wa mwanadamu.Kwanza zinanyonya sumukutoka tumboni na kuitoanje pamoja kwa njia yakinyesi. Pili, zinasaidiamtu kupata choo kikubwamara kwa mara hivyoananusurika na tatizo lakukosa choo na ugonjwawa kansa ya utumbo.

    Tende kama dawaT e n d e i n a s a i d i a

    kuondoa tatizo la tumbokuuma. Hii ni kwa sababutende inazuia vidudu vyamaradhi kukua ndani yautumbo na pia inasaidiakukua kwa bacteria wazurindani ya utumbo.

    Hata hivyo, ifahamikekuwa mtu akinywa majimachafu, yasiyochemshwaau kuwekwa dawa za kuuavidudu asitegemee kuwatende itamsaidia. Tendehaitaweza kufanya kazihiyo, kwasababu umeipa

    mzigo mkubwa. Mtu huylazima aende hospitaharaka.

    Tende ikitiwa katika mausiku kucha (saa 12) nisuguwe ndani ya maji hay

    halafu kunywa ni sababya Mwenyezi Mungkukunusuru na maradhya moyo. Wakati huo huunachunga miko kamvile huli nyama nyekund(ngombe, mbuzi, kondon.k) kwa wingi. Pia, husana vyakula vya wangna unafanya mazowezi ikuunguza mafuta yaziadyaliyoko mwilini. Watwanahimizwa kula nyamnyeupe kama vile samakna kuku wa kienyeji.

    Gazeti la Daily Timela Uingereza la tareh12.10.2005 liliripoti kuw

    s a m a k i w a n a s a i d ikurudisha akili za wazea m b a o w a n a p o t e zk u m b u k u m b uH a l i k a d h a l i k ainafahamika kuwa samakna ndizi ni mlo bora kwkujenga akili za watoto.

    V i l e v i l i , t e n dinaimarisha nguvu zkiume na hivyo kuletmaelewano ndani yfamilia. Tende kiasi chkiganja kimoja ukizilowekndani ya maziwa (fresh) ymbuzi kwa usiku mmo(overnight) na halafzisage tende humo hum

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    11/16

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    12/16

    KITUO CHA KUHIFADHQUR' AAN

    12 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 RAMADHAN1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 2013

    Markazi Ummu Suhail ni kituo cha kuhifadhisha Qur aakwa Mabinti wa Kiislamu. Kituo ni cha bweni kipo mkoanKilimanjaro wilaya ya hai.Umri: kuanzia miaka 13 na kuendelea.Kituo kitafunguliwa 9/08/2013 Inshaalah. Fomu z

    kujiunga zinapatikana msikiti wa Riadha, wahi nafasi nchacheKwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba 0754 029 51

    Mlete mwanao apate elimu yenye manufaa.

    W A S H I R I K I w a t a n owameingia katika fainaliya mashindano ya Quranya na yof a nyi ka ka t i ka

    msikiti wa Idrisa, Kariakoojini Dar es Salaam.

    W a s h i r i k i w a n n ewalifika hatua ya fainalibaada ya kushi riki hatuaya awali ya mashindanohayo yaliyofanyika Jumapiliiliyopita Katika Msikiti waIdrissa Kariakoo jini Dar esSalaam.

    A k i z u n g u m z a n amwandishi, mapema wikihii, Mwenyekiti wa KhidmatQuran Islamic FoundationSheikh Ally Mohammed,alisema katika hatua hiyoya awali ya mashindano,washiriki 39 kutoka mikoayote nchini walishiriki nammoja kutoka nchi jirani ya

    Kenya.Alisema, washiriki haowalichujwa hadi kubakiawashiriki wanne kutokaTanzania na mmoja kutokaKenya.

    WAISLAMU kutokamikoa mbalimbalinchini wamejitokezakwa wingi katika

    tamasha la ujenzi washule ya sekondari yaKiislamu ya ShengeJuu, Pemba.

    Katika tamasha hiloambalo lilianza June26 na kumalizika Julai2, kazi mbalimbaliz i l i f a n y i k a n ak u k a m i l i k a k w amafanikio makubwa.

    Baadhi ya kaziambazo z i l ikuwak a t i k a t a r i b a y autekelezaji zilikuwani kusafisha mazingira

    na miundombinuya shule, kufyekaeneo lote la shule,kutengeneza barabarana kuchimba mashimoya kupanda miti.

    K a z i n y i n g i n ezilikuwa kuchimbamitaro ya kupitishiamabomba ya majis a f i , k u c h i m b amisingi ya nyumbat a t u z a w a l i m u ,mabwalo mawili yawanafunzi, maabaramoja, maktaba, stoo,

    Tamasha Pemba lafanaNa Mwandishi Wetu vyoo vya madarasa,

    kuchimba mashimoya vyoo vinne nakurekebisha viwili.

    W a s h i r i k iwaliojitokeza katikat a m a s h a h i l o ,walifanya pia kazi yakujaza vifusi katikajengo la utawa la,nyumba za walimu nabweni la wavulana.

    K a t i k a h a l iiliyotajwa kama niya kuvunja rekodi yamatamasha ya ainahii , walihudhuriawashiriki 751 kutokamikoa 23 kila mmojaakiwa amekuja kwanauli yake.

    Kat ika tamashah i lo , h ud um a z a

    chakula na afya kwakipindi chote chatamasha ziliandaliwan a wa n a t a m a sh aw e n y e w e k w ak u s h i r i k i a n awanaki, hali ambayoilisababisha washirikik u t o k a m i k o ambalimbali kujuanana kufahamiana.

    Wakati huo huow a n a t a m a s h a n awenyeji wao walitumiafursa ya kukutanak w a o p a m o j a

    kufanya harambee yakuchangisha fedhakwa ajili ya ujenzi washule hiyo.

    J u m l a y ashilingi 3,500,000/

    z i l i k u s a n y w a n ashilingi 5,295,000/=zikiwa ni ahadi, hivyokufanya jumla yafedha zilizopatikanak a t ik a h a ra m beehiyo kufikia shilingi12,051,000/.

    Pamoja na kwambatamasha la Shenge Juulilikuwa mahususi kwaajili ya ujenzi wa shulehiyo, lakini washirikiwalitumia fursa hiyokujitolea kuchangiadamu salama.

    Jumla ya washiriki

    220, wanaume 150na akina mama 70wali j i to lea lakinikutokana na uhaba wavifaa vya kuhifadhiadamu, walitolewawashiriki 15 tu.

    Kufuatia uhaba huo,maofisa wa damusalama waliwaelezaw a n a t a m a s h ak w a m b a v i f a azaidi kwa ajili yakuhifadhia damu ndiovimeagizwa kutokaUnguja.

    Fainali mashindano ya Quran

    kesho Masjid IdrissaNa Shaban Rajab Waliobahatika kuing

    katika fainali hiyo ya kusomna kuhifadhi Quran nZubeir Bakar, AbdallaMo h am m ed n a Y ah yHussein kutoka Dar, Husse

    Yahya kutoka Dodoma nAdnan Mohammed Al Ahdkutoka Kenya.

    Katika hatua ya fainaJumamosi ijayo, washindwatazawadiwa fedha tasliambapo mshindi wa kwanzatazawadiwa shilingi miliomoja, mshindi wa piataondoka na laki saba nmshindi wa tatu atapashilingi laki tano.

    Wengine ni mshindi wwanne ambaye atakumbatkiasi cha shilingi laki tatna mshindi wa tano atapashilingi laki mbili.

    Washiriki watano katikile kumi bora watazawadiwkifuta jasho cha shilingi la

    mbili kila mmoja.Mgeni wa heshma katikfainali hiyo ya kuhifadhQuran anatarajiwa kuwMbunge wa jimbo la Ilajini Dar Bw. Musa Azzan

    Kamati ya Maafa ya Shuraya Maimamu Tanzania

    Inawaomba Waislamu kuchangia kamatili iweze kusaidia Familia za Waislamu 52walioko Jela.

    Tuma Mchango wako kwa Amiri BuiyaS. Buiya 0763 241270 M.pesa na 0655241270 Tigo pesaKatibu Ally Mbaruku 0777 816040 EzyPesa au 0784 816040 Airtel Money

    Kwa mawasiliano zaidi pia unawezaukapiga simu kwa Namba hizo hapo juu.Unapotoa katika kheri, hakika umejiwekeaakiba isiyoharibika.

    BAADHI ya wanatamasha la Shenge juu, Pemba wakichangia damu salamakatika tamasha hilo.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    13/16

    Safari ya Hijja Dola 4450

    tu. 1434/2013Taasisi ya Khidmat Islamiya inawatanganzia Waislamu

    wote Safari ya Hijja kwa Gharama ya Dola 4450 tu.unaweza kulipa kwa awamu

    (Kuhijiwa) ni Dola 1450 tu.Kuondoka ni 5/10/2013 kurudi 27/10/ 2013

    Piga Simu 0784 786680, 0713 986 671, 0774 786 680E-Mail) [email protected] , Tovuti

    (Website) www.khidmatislamiya.com

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    14/16

    14AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    15/16

    15AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20

  • 7/27/2019 ANNUUR 1080

    16/16

    16AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 19 - 25, 20