annuur 1081

Upload: mzalendonet

Post on 02-Apr-2018

820 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1081 RAMADHAN 1434, IJUMAA , JULAI 26- AGOSTI 1, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Inawatangazia Waislamu wotekuwa imeanza maandalizi yake

    kwa ajili ya HIJJA 2013 kwa lengo

    la KUONGEZA UFANISI KATIKAIBADA ZA MAHUJAJI WETU kwa

    gharama za Dola 4300. Lengoletu ni kukamilisha mipango yetu

    kabla ya kumaliza mwezi mtukufuwa Ramadhani.Tafadhali wasiliana

    nasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:

    0777458075;Pemba: 0776357117.

    (22) AHLU SUNNA WAL JAMAA

    Ponda awatembelea Farid gerezaniKiza kinapozidi kuwa kinene, alfajiri inaingia Waislamu wanatambua msimamo wenu wkupigania haki, pia wanaamini kukamatw

    kwenu ni ukweli wa methali isemayo kizkinapozidi kuwa kinene, ndivyo kupambazukkunavyo karibia.

    Kisa cha Veer Pratap Singh

    na Masheikh wa UamshoHii ndiyo nchi yangu: Ukweli, Haki itawale

    Waliodaiwa si mapapai hayataoza, wajitizam

    Wanafanya nini kuleta Haki Sawa kwa WoteInaendelea Uk. 2I M E E L E Z W A k u w aw e n ye u f a h a m u w ak u t a f s i r i H i j j a b n iWaislamu na si walimu,a m b a o w a m e k u w aw a k i w a b u g h u d h iwanafunzi wanaovaavazi hilo kwa mujibumaelekezo ya dini yaowanapokuwa shuleni.

    Hayo yamebainishwana mratibu wa IslamicEducation Pannel, wilayaya Kinondoni, Jijini Dares Salaam Ust. RajabuAlly Ngalongela, wakati

    Walimu tatizo sugu hijab mashuleniWaraka wa Serikali wazidi kupuuzwa

    Wazazi watakiwa kusimama kideteNa Bakari Mwakangwale akizungumzia kadhia

    mbalimbali za uvaaji waHijjab kwa wanafunziwa kike katika shule zamsingi.

    Alisema walimu wengiw a m e k u w a w a k i t o amaelekezo kwa wanafunziwa Kiislamu, wakitakawavae Hjab wanazotakawao ambazo zipo nje yasheria na mafundisho yaKiislamu.

    Ust. Ngalongela, alisemaamekuwa akifutilia sualala uvaaji wa vazi hilo kwawafunzi wa Kiislamukatika shule zilizopo Kataya Kawe, na kukutana

    na vikwazo kutoka kwa

    walimu wa shule hizo.Awali Ust. huyo alifika

    Ya Malala, Taliban na Uamsho .Zanzibar ya leo ni yenye kuhuzunishaInatatanisha, hujikanganya yenyewe

    Zanzibar ya leo ni nchi yenye kuhuzunisha; haisikitishi tu, bali inahuzunishaNi nchi yenye kutatanisha, wakati mwingine hujikanganya yenyewe. Nviongozi wake? Naona hata haina haja ya kuwaeleza walivyo. Uk. 7

    RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein (katikati) akiteta na Makamu wake,Maalim Seif Sharif Hamad. Kulia ni Sheikh Farid Hadd. SHEIKH Azzan Khalid

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    2/16

    2AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Makala

    K A T I K A U i s l a m u ,tumeamriwa kufungam w e z i M t u k u f u w aRamadhani, kutekelezanguzo ya nne ya Uislamu.Kuitekeleza nguzo hiyo niwajibu kwa Waislamu kwakuwa lengo lake kubwa nikuwafanya kuwa wachaMungu katika maishayao.

    Funga ni semina ya

    kumwezesha Muislamuk u p a t a m a f u n z o y akutenda mema na kuachamabaya, ili kumfanya mjaawe katika kufuata amriza Allah katika kipindikingine chote cha miezimingine.

    Ni kwa msingi huo, ndiomaana tunashuhudia kwakiasi kikubwa biasharaza kupeleka watu katikamaaswi zimepoa. Baahazi furiki , kumbi zarumba zimelala, misikitiinafurika, stara inaonekanakwa sehemu kubwa yaakina mama.

    Haya ni baadhi tu yamabadiliko tunayoyaonakwa kiwango fulani katikakipindi hiki cha mfungowa Ramadhani.

    Hali hii imezua maswalina dhana kwa Waislamuna Wasiokuwa Waislamu.Wapo wanaodhani kuwakudorora kwa biasharaza vileo na burudani zadansi, ni kipimo toshakwamba Waislamu ndiowahusika wakubwa wastarehe hizo.

    Wa p o w a n a o d h a n ikwamba mwezi mtukufuwa Ramadhani, huwaunaheshimiwa hata na

    wasiokuwa Waislamu.Ndio maana nao wanasitakuendelea na maasi hayaya ulevi na rumba ikiwani ishara ya kuheshimuibada hiyo ya funga kwaWaislamu, japo wao siWaislamu. Na matokeoyake ndio tunaona kipindihiki baa na kumbi zasterehe zimedorora tofautina wakati mwingine.

    Hakika hapa ndipoambapo jamii ya Waislamutunatakiwa kujitathminina kutafakari . Je , n ikweli kwamba wao ndio

    mabingwa wa maasi hayaau uamuzi wa baadhiya wasiokuwa Waislamukusimamisha matendohayo nao wanachangiakupoa kwa maasi hayawakat i wa funga yaRamadhani?

    Tunachukua fursa hiikuwakumbusha waleambao ni Waislamu,ambao walikuwa walevi,

    wazinzi, wacheza rumbaklabu za usiku, ambaowamesitisha matendohayo kipindi hiki, kuletatoba ya kweli na kuzingatiasemina hii Ramadhani, iliwasije rejea tena katikakuzichangamsha baa nastarehe nyingine za kuasina kumcheza shere Allah(sw).

    Hebu tutizame, mtuanayekunywa sana pombe,halafu ukifika mwezimtukufu, Ramadhania n a s i m a m a k u n y w apombe kwa sababu yakufunga mwezi mtukufu,mwezi ukiisha anarudiap o m b e , n i n i h a t i m ayake?

    Kwanza pamoja nakwamba ni kuasi, unywajiwa pombe una madharamakubwa hapa dunianina kesho Akhera. Allahaliyetukuka anasema:

    Enyi mlioamini! Bilaya shaka ulevi, na kamari,na kuabudu masanamu,na kupiga ramli, ni uchafukatika kazi ya Shetwani.Basi jiepusheni navyo ilimpate kufanikiwa. Hakikashetwani anataka kuwekakati yenu uadui na chukikwa ulevi na kamari, na

    akuzuieni kumkumbukaAllah na kuswali. Basi je,mtaacha? (Al-Maaidah 5:90 91).

    Ulevi umeelezwa hapakama uchafu, uchafuunaofanana na kamari,k u a b u d u m a s a n a m una kupiga ramli. Uleviunatia uadui baina yawatu, chuki na unamzuiamtu kutekeleza Ibaadahya kumdhukuru Allaahna kuswali kwa ajili yake.Mlevi mara nyingi huwahaswali na hupuuza mengipamoja na kuji ingiza Inaendelea Uk.

    Waislamu wajitathmini katikaRamadhani na baada yake

    katika madhara makubwasana.

    A m a k u h u s u h i l o ,Mtume wa Allaah (Saw)amesema:

    M w e n y e k u n y w apombe duniani, kishahakuleta toba, atanywimaAkhera (al-Bukhaariy naMuslim).

    Hadithi hii inamaanisha

    kuwa mlevi anayaendeleana ulevi wake, na akakosakuomba maghfira kabla yakufa kwake, hatokuwa nimwenye kuipata Akhera.H i i i n a t u l e t a k a t i k amashariti ya toba.

    Ni hakika kuwa ili tobakukubaliwa ni lazimaM u i s l a m u a t e k e l e z emasharti kadhaa. Ikiwakosa lake linaingiliana nahaki ya Allah aliyetukuka,bas i mwe nye kutubiaa n a t a k i w a a t i m i z emashariti matatu ambayoni kuacha maasi kabisa,

    kujuta kufanya maasi,kuazimia kuwa hatorudiatena maasi hayo.

    Lakini inavyoonekanamlevi ni kama anamchezashere Allah (sw) aliyetukukakwa kuacha mwezi waRamadhan peke yake,akidhani kwamba Allahni wa Ramadhan pekee.Kwa ajili hiyo, hajatimiza

    masharti ya kukubaliwatoba, hivyo kuingia katikakughadhibikiwa na Allahaliyetukuka.

    H i v i s a s a b a ahazijachangamka, ikiishaR a m a d h a n i z i fu r i k a !W a n a o f u r a n i w a l ewasiokuwa Waislamul a k i n i w a k a s i t a k w ak u h i s h i m u i b a d a y aWaislamu, au ni walewale wanaotubu katikaRamadhani na wakarejeakuasi kwa waliyotubiabaada ya Ramadhani?

    Waislamu tujitathmini.

    Ramadhani ni chuo chmafunzo ya ucha MunguHeri yetu kukiyatenda kwvitendo yale tuliojifunzndani tya Ramadhanhata baada ya kwishRamadhani i l i tufuzk a t i k a u c h a M u n guliokusudiwa.

    Tunawatakia RamadhanMubarak.

    JIBU: Si fa zote njemA n a s t a h i k i A l l a aAliyetukuka Mola Mlezi wwalimwengu wote, Swalana salamu zimshukikipenzi chetu MtumM u h a m m a d ( S w a l lAllaahu alayhi wa aalihwa sallam) na Swahabzake (Radhiya Allaahanhum) na watangu wemmpaka Siku ya Mwisho.

    Shukrani zetu za dhakwa swali lako kuhusunywaji wa pombe kwMuislamu anayefungwakati wa Ramadhaan.

    Walimu tatizo sugu hijab mashulenInatoka Uk. 1katika shule ya Kawe B,ambapo kupitia kipindi chadini aliwahoji mabinti kwanini hawavai hijab kamamwanafunzi mwenzaoaliyetajwa kwa jina laNaima Abdulshakur.

    Wanafunzi hao walibukuwa habu zao wanazonyumbani lakini wakivaashuleni hukatazwa nawalimu.

    Alielezwa kuwa Naima,

    anavaa hivyo kwa kuwababa yake alifika shulenihapo kumuombea ndipoaliporuhusiwa.

    Pamoja na ruhusa hiyoalisema, baada ya shulekufunguliwa mwezi huuwa Julai, mwanafunzihuyo alipigwa na mwalimualiyetajwa kwa jina moja laLymo, kwa kosa la kuvaahab ya aina hiyo.

    Ust. Ngalongela, alisemawalipozipata taarifa hizo,aliongozana na Ust. RashidNassor, ambaye ni Imamwa Masjid Ihsan, TangiBovu kwenda kuonana namkuu wa shule hiyo.

    A l i s e m a b a a d a y akumueleza tukio hilo,Mkuu wa shule alipingamadai ya kuadhibiwam w a fu n z i h u y o k w asababu ya kuvaa hab.

    Tulimwacha, katikakipindi cha dini niliwaelezawanafunzi wote wenyehi jab kama za Naimawavae na wal ipofikasiku ya Jumanne, (wikiiliyopita) waliovaa wotewalifukuzwa. AlisemaUst. Ngalongela.

    A l i s e m a b a a d a y akufukuzwa, al ipigiwa

    simu ambapo yeye pamojana viongozi wenzakewalikutana Masjidi Waqswana kuamua kuwapa taarifaWaislamu kwa njia ya simu,wakiwataka wafike katikashule ya Kawe B kunakadhia ya hab.

    Aliongeza kuwa viongoziwa Waislamu wakiwa nawanafunzi waliofukuzwawali ingia ofisini kwamwalimu mkuu na kuhojita t izo l i l i losababishawanafunzi hao kufukuzwakama ni uvaaji wa hab auni kosa jingine.

    U s t . N g a l o n g e l a ,alisema wakiwa katikamazungumzo ofizini, njebaadhi ya walimu walipigasimu Polisi na kueleza kuwaWaislamu wamevamiashule na kuzuia walimukufundisha.

    Alisema baada ya mudawaliona Polisi wamefikashuleni hapo wakiwa katikagari, hata hivyo walikutahali tul ivu tofauti nawalivyofikishiwa taarifa.

    M a a f a n d e w a l ewal ivyofika wal ikuta

    Waislamu nje wametuliawanasubiri tutoke tuwapetaarifa, ndipo walipoingiaofisini na kusema tumesikiahakuna amani hapa walimuwamefungiwa milango.

    Mkuu wa shule alisema,tunaendelea na kikao nawao wakasema basi sisitunaondoka endeleeni.Alisema Ust. Ngalongela,akinukuu maongezi hayo.

    Alieleza kuwa majibu yaswali walilouliza yalikuwakwamba wanafunzi haowalirudishwa kwa kuwawapo nje ya sare za shule,

    kwa kuwa sare walizokuwwamezivaa ni tofauti nwenzao shuleni hapo.

    Alisema Wajumbe wWaislamu walitoa maelezkuhusu usahihi wa vazhilo la hab na kubainishkuwa, zile zinazovaliwna wanafunzi wengi hi jab kwa mujibu wUislamu, bali wanafunzw a n a l a z i m i k a k u v ahivyo kutokana na walimkuzikataa hab stahiki.

    Ust. Ngalongela, alisemw a l i w a e l ez a w a l i mshuleni hapo kuwa sualla hijab, Waislamu wanwaraka wa serikali wkuwaruhusu baada ykudai vazi hilo kuvaliwkwa wanafunzi wa kikwa Kiislamu mashuleni nvyuoni.

    Serikali iliruhusu vahilo livaliwe mashulenna vyuoni, lakini kwkuwa yenyewe haina dinhaikutoa maelekezo ymuundo wa hijab, batunaojua ni sisi Waislamuwalimu mnapaswa kujuhijab inavaliwaje kutok

    kwa Waislamu. AlisemUst. Ngalongela.

    Akibu hoja ya walimkuwa wengi wanavahijab na hawafukuzwialisema hao wasiofukuzwwapo nje ya vazi la hana hao wanaowafukuzndio haswa wanaovaa hasahihi katika Uislamu.

    Ust. Ngalongela pialipinga hoja ya walimwaliodai kuwa wanafunhao wapo nje ya sare nwanachafua utaratibu wshule, akisema haiwezekanwafukuzwe kwa hoja hiy

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    3/16

    3AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 201Habari

    Ponda awatembelea Farid gerezaniVIONGOZI wa Jumuiyaya UAMSHO Zanzibar,w a m e s e m a k w a m b a

    p a m oj a n a k u z u i w akwao Gerezani, hawanashaka kuwa ipo siku hakiitasimama na hatimayekupatikana Taifa Uhurula Zanzibari.

    Kauli hiyo wameitoam b el e y a K a t i b u w aJum ui ya na Taa si si zaKiislamu nchini, SheikhPonda Issa Ponda, mudamfupi baada ya kukutanana viongozi hao Ijumaaya wiki iliyopita katikaGereza la Kiinuamiguu,lililopo Mtaa wa KilimaniZanzibar.

    Sheikh Ponda, alifikagerezani hapo akiwa katikamuendelezo wa ziara zakeanazofanya nchini nakuongea na Waislamu,baada ya kumalizika kwakesi yake na kuhukumiwakifungo cha mwaka mmojanje.

    Akiongea na Mwandishiwa habari hizi katika ofisiza Baraza Kuu la Jumuiyana Taasisi za Kiislamu(T), Kinondoni, Jini Dares Salaam, mapema wikihii alisema alifanikiwakuonana na viongozi wa

    UAMSHO na kuongea naokwa muda wa dakika 45.

    Al isema, Masheikhhao waliopo gerezanikwa muda wa miezi tisasasa, wapo imara kiimaniambao walitumia fursahiyo kumpa salamu kwaWazanzibari huku nayeakiwapa salamu kutokakwa Waislamu wa Bara.

    Hawana hofu pamojana kushikiliwa na Dola kwamuda wote huo, kwaniwanachoamini wao kuwawapo katika haki, na uimarawao unakuja kutokana

    na kuijua vizuri historiaya kupigania haki kuwahata Mitume wa MwenyeziMungu, walipotangazahaki, walipata misukosukon a k u p i g w a v i t a n aw a t a w a l a . A l i s e m aShkh. Ponda, akielezeahali za Viongozi hao waUAMSHO.

    Ponda, alisema kuwaMasheikh hao, MselemAli, Azan Khalid, MusaJu ma pamoja nae AmirFarid Had, kwa kwaujumla akiyata fakarimaongezi yao anaona

    Na Bakari Mwakangwale ni wazi kuwa msimamowao ni kutorudi nyumakatika kupigania haki nazaidi alidai walimuambiahawana shaka kuwa iposiku haki itasimama nabatili itaondoka Visiwanihumo.

    Alisema, Masheikh hao,walimtaka awafikishieujumbe Wazanzibar katikamikutano yake kuwawasiache kuzungumziah a k i z a o z a m s i n g iwanazodai kwani kwakufanya h ivyo ndiyokuitendea haki Zanzibar.

    K a t i k a f u r s a h i imliyoipata ya kuwahutubiaWazanzibar na hatimaeWatanganyika, waambienimsimamo wetu bado ni ule

    ule wa kutetea Taifa Uhurula Zanzibari na bila shakapia huo utakuwa ni Uhurukwa Watanganyika pia,alisema Sheikh Ponda,akimnukuu Amir FaridHad.

    Sheikh Ponda alisemaviongozi hao walimuagizakutumia vema fursa yamikutano yake Visiwanihumo na hatimae Barakwa kuinua hamasa zaWaislamu huku wakimtakakuwaelekeza kutumia vemamafunzo na misimamowaliyoitoa juu ya Taifa

    huru la Zanzibar.Darsa zetu bila shakazimejenga imani na akida,vilevile zinatosha kuwasemina za kujitambua.Lakini pia tulenga hamasakubwa na utayari wakutetea haki hadharani.

    K a m a W a i s l a m uhawatakiwi kurudi nyumawasinyamaze hata kidogo,alisema Sheikh Ponda,akidai kuwa huo ni ujumbekutoka kwa Sheikh MselemAli.

    Awali Sheikh Ponda,kwa upande wake aliwapa

    viongozi hao salamu nahisia za Waislamu wa Barakufuatia ziara zake katikamikoa kadhaa ya TanzaniaBara zilizoandaliwa naJu mui ya na Taa sis i zaKiislamu mara baada yakutoka Gerezani.

    Waislamu wa Barawanatambua msimamowenu wa kupigania haki,pia wanaamini kukamatwakwenu ni ukweli wa methaliisemayo kiza kinapozidikuwa kinene ndivyokupambazuka kunavyo

    karibia hivyo wako pamojananyi. Alisema SheikhPonda, akirejea kauli yakembele ya viongozi waUAMSHO Gerezani.

    Katika ziara yake hiyo

    Visiwani humo, SheikhP o n d a , p i a a l i p a t afursa ya kuwahutubiamaelfu ya Wazanzibarkatika mihadhara sitailiyoandaliwa na Jumuiyay a U A M S H O k a t i k amaeneo mbalimbali yaUnguja.

    Akiwahutubia maelfu yawaumini walio hudhuriak a t i k a m u h a d h a r auliofanyika Mkoa wa MjiniMaghribi Masjid SahabaDaraja Bovu, Sheikh Ponda,aliwataka Waislamu waZanzibar kuchukua hadhariya njama zinazopikwa

    kuvunja udugu wao kwalengo la kuwagawa.

    Kwa mujibu wa SheikhPonda, alisema maelfu yaWaislamu waliokutanakatika Msikiti wa harakatimaarufu kwa j ina laMsikiti wa Mbuyuni,

    walisema wanatafakarihatma ya viongozi waowanaoshikiliwa na Dolakwa zaidi ya miezi tisasasa.

    Msimamo kama huoulitolewa tena katikamkusanyiko mkubwauliofanyika siku iliyofuata(Ijumaa iliyopita) maratu baada swala ya Ijumaakatika Msikiti wa kwaMpendae kwa Kificho.

    Kuonesha hisia zenukama hivi bi la shakamnajenga nguvu kubwaya pamoja na wakatiutakapofika watawatoa

    t u v i o n g o z i w e n u .Alisema Sheikh Ponda,

    akiwahutubia waumini wNungwi.

    Aidha Shkh Pondaaliwataka waumini wNungwi kuj i imarishkwa miradi ya maendelek w a k u t u m i a v i z uhazina kubwa ya ardhw a l i y o n a y o a m b a yimekuwa ikivamiwa kwkasi kubwa na wawekezawa mahoteli ya kitaliambao kwa asilimia tisinwanaharibu utamaduni wMzanzibar.

    Sheikh Ponda, alisemJu mu iy a ya UA MS HOi n a t a r a j i a k u f a n ymuhadhara mkubwa sikya Ijumaa (leo) katikMsiki t i wa Mbuyunlengo likiwa ni kufanymajumuisho ya mihadhar

    iliyofanyika akiwa hukwiki iliyopita.

    Inatoka Uk. 2

    Walimu tatizo sugu hijab mashulenwakati walimu wenyewehajui hab ni nini.

    A l i s e m a b a a d a y amjadala wa muda mrefuna kuonekana kama somolimeelewaka, mkuu washule alitaka wanafunzi haowaliofukuzwa kuendeleakuvaa hivyo, lakini akitaka

    wasiongezeke wanafunziwengine.Mkuu wa shule alisema,

    kuwaruhusu wengine sasahivi itakuwa kuwachafuaw a n a f u n z i k w akutofautiana katika sare,hivyo alidai tusubiri mpakamwakani watakapowekasheria ya hab tuliyoitaka.Alisema Ust. Ngalongelaakirejea hoja za mwalimu.

    Hata hivyo hoja hiyoilipingwa na Waislamu namkuu wa shule kulazimikakukubaliana na Waislamukuwa, ndani ya miezimiwili wanafunzi wote wa

    Kiislamu wawe wanavaahab za aina moja.Kufutia matukio hayo,

    Ust. Ngalongela, aliwatakaWaislamu kuelewa kuwakuvaa Hjab ni Sharia yadini yao na kwa upande wamamlaka (Serikali) sheria yanchi yao imeruhusu, hivyoni jukum lao kusimamiaamri hizo katika Dini na ileya Serikali.

    K w a m i a k a z a i d iy a m i t a t u s a s a , U s t .Ngalongela amekuwaakitoa maelekezo sahihiya habu kwa mujibu waUislamu kuwa ni nguo

    (juba) iliyofunika kifua chamwanamke, nguo yenyemikono mirefu mpakakatika viganja na kushukachini ya nyonga (Nusukanzu).

    Alisema awali wazaziwengi walikuwa waogakatika kuwashonea watotowao vazi hilo, wakihofiakubughudhiwa na walimu

    wao ama kufukuzwashule.Hata hivyo baada ya

    m u d a w a z a z i w en g iwalimuelewa kutokanana kuwafahamisha kuwaSerika l i i l i sharuhusuuvaaji wa habu shuleni navyuoni, hivyo ni jukumula Waislamu kutekelezauvaaji wa vazi hilo kwamujibu wa sharia.

    Al isema mwanzonimwa mwaka huu watotokatika Shule ya KaweA walianza kuvaa vazihilo . Mwanafunzi waawali aliyeanza kuvaa

    kwa mujibu wa Uislamualifukuzwa na mwalimualiyetajwa kwa jina moja laTugawane.

    Akifafanua zaidi, alisemabaada ya kufukuzwa bintihuyo, alipigiwa simu nawazazi wa binti huyokufuat ia wazazi haokushindwa kuelewanana walimu. Naye alifikashuleni hapo kuonana namwalimu mkuu wa shulekuzungumzia suala hilo.

    Baada ya kuongea nayekwa kina, Mkuu wa Shulealielewa maana halisi yahijabu na kusema kama

    ni hivyo, basi ameafikiAlisema Ust. Ngalongela

    Mkuu wa Shule hiyambaye alikuwa ni Mkristalitaka kujua nembo yshule itakaa eneo lipi la vahilo, ambapo walikubalinikae ama juu ya juba achini kabisa mwa sha(nusu kanzu).

    Baada ya kuruhusiw

    m w a n a f u n z i h u y owal i j i tokeza wenginwaliovaa kama mwenzahata hivyo wanafunzi hanao walifukuzwa na mkuwa shule msaidizi.

    Ust. Ngalongela, alisemalionana na mwalimu huykisha kumweleza kuwtatizo hilo walishalimalizna Mwalimu Mkuu, lakinmwalimu huyo hakuliafikakidai kuwa hizo sio habzinazotakiwa shuleni.

    Ust. Ngalongela alielezkuwa aliposiki Mkuwa Shule hiyo karudkutoka safari ya msiban

    alirudi na kuonana nayna kumueleza juu ykufukuzwa wanafunzwengine kwa kuvaa hasahihi.

    A l i s e m a b a a d a ykuongea na Mkuu wa Shulalionyesha kushangaa nkuhoji kwa nini jambhilo linakuwa linajirudshuleni kwake.

    U s t . N g a l o n g e l aalimweleza kuwa tatizo nyeye mkuu wa shule, kwanbaada ya kulimaliza tatizo hab kwa mwanafunzi wawali, hakuchukua jukum

    Inaendelea Uk

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    4/16

    4AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 20HABARI/Matangazo

    KongamanoMasjid DAWAEL Ilala SokoniBaraza Kuu la Wanawake wa Kiislamu

    Tanzania linawaalika wanawake wote

    wa Kiislamu katika Kongamano litakalo

    fanyika Inshaallah Masjid DAWAEL Ilala

    Sokoni Jumamosi Tarehe 2707/2013

    Saa 2:30 hadi saa 7:00 Mchana,Mada

    swaumu na Mmomonyoko wa Maadili.

    Tuzingatie Muda.

    Ukipata Taarifa hii Mwaambie na

    mwenzio.

    Amira Mkoa DSM

    Walimu tatizo sugu hijab mashuleniInatoka Uk. 3

    la kuwafahamisha walimuwake juu ya usahihi wavazi hilo kwa wanafunziwa kike wa Kiislamu.

    Katika tukio lingineshuleni hapo, mwanafunzim m o j a a l i p i g w a n amwalimu kisha kutakiwakuvua hijabu yake. Kesiya kupigwa mwanafunzihuyo ilifikishwa Msikitini.

    Tukio lile liliwagusaWaislamu wa Kawe, baadaya kuona linajirudia marakwa mara katika shule hiyohiyo, taarifa zilisambazwana waliamua kwenda shule

    hapo kuhoji kwa nini bintihuyo apigwe kwa ajiliya hijab. Alisema Ust.Ngalongela.

    Alisema siku hiyo akiwaameongozana na mzazi wa

    binti na binti mwenyewe,w a k i e l e k e a s h u l e n ihapo, nyuma walikuwawakifuatwa na kundikubwa la Waislamu.

    U s t . N g a l o n g e l a ,alieleza wakiwa ofisinikwa mkuu wa shule,mwalimu aliyempigam w a n a f u n z i h u y oalitetea kuwa hakumpigakwa sababu ya hab, balialikuwa akimuadhibukwa kosa j ingine nakatika kumuadhibu, ndipoalimtaka asivae kamaalivyokuwa amevaa.

    Katika kikao hicho sualahilo lilimalizwa na msaidizi

    wa Mratibu Elimu Kata yaKawe, baada ya kusikilizakadhia h iyo ambapoWaislamu walitoa warakawa serikali ulioruhusuuvaaji wa habu shuleni

    na vyuoni.Kutokana na warakawal ioutoa Wais lamuni wazi vazi hili vazil imeruhusiwa, h ivyow a t o t o w a r u h u s i w ekuvaliwa bila bughudhampaka hapo patakapokuwa na amri nyingine yaserikali kuzia vazi hilo.Alisema Ust. Ngalongelaakirejea amri ya MratibuElimu Kata.

    Baada ya muafakahuo, Mratibu wa Diniya Kiislamu Wilaya yaTemeke aliyetajwa kwajina la Ust. Abubakar,alitoa maelekezo ni hab

    ya aina gani inayotakiwakuvaliwa na mabinti waKiislamu.

    Ust. Ngalongela, alisemabaada ya kuwekana sawana walimu wa shule hiyoya Kawe A, wiki mojabaadae kadhia nyingineilitokea katika shule yaMsingi Tumaini Kawe, kwamwanafunzi kufukuzwakwa kuvaa hab sahihi.

    Alisema iliwalazimukwenda shuleni hapo nawalikutana pia na MratibuEl imu Kata , ambayewalianza kuongea nayebaada ya kuwauliza tatizo

    ni nini.U s t . N g a l o n g e l a ,alipomweleza kadhia hiyona kumfafanulia kuwaWaislamu hawalazimishisheria za Kiislamu shulenihapo kama inavyodaiwa,bali wanachohitaji ni hakiyao ya msingi kwa vanawao hususani katika vazi lahab ambalo hata serikaliimeliruhusu.

    Kwa mujibu wa Ust.Ngalongela, Mratibu Elimuhuyo aliwataka Waislamukuondoka kwa ahadi kuwaatawaeleza walimu wakuuwote kwa kuwa siku hiyo

    alikuwa na kikao nao, ilisuala hilo lisirudie katikashule zao.

    Hata hivyo, baada yakufuatiliwa katika kikaobai na ya ke na wa kuuwa shule, Mratibu huyohakulizungumzia sualahilo kama alivyowaahidiWaislamu.

    Kadhia ya hab haikuishihapo, kwani katika Shule yaMsingi Ukwamani Kawe,mwanafunzi mwinginealifukuzwa.

    Lakini baada ya Ust.Ngalongela kuzungumzan a m k u u w a s h u l e

    na kupewa waraka was er i k a l i u n a o r u h u s uvazi hilo la Hjab, Mkuuhuyo wa shule alimwitamwanafunzi aliyefukuzwa,kisha alimruhusu kuvaahab hiyo lakini akimtakaakimtaka kutowaelezawenzake.

    Ujumbe wa Umoja wa Nchiza Visiwa vidogo katikaBahari ya Hindi umezuruZanzibar kwa ajili yakuifahamisha serikali yaZanzibar juu ya mikakatiya kusimamia mazingiraya nchi za visiwa.

    Ujumbe huo ulioongozwana Ronald Jumeau waSychelees, ulifika ofisi yaMakamu wa Kwanza waRais Migombani, kwa ajiliya kumuelezea mipangoya mkutano mkuu wa

    Umoja Nchi za Visiwa Bahari Hindi watua ZanzibarNi kwa ajili ya mikakati ya pamoja ya mazingira

    Na Mwandishi Wetu umoja huo, uliopangwakufanyika mwakani hukoSamoa.

    Katika mazungumzo

    yao, Makamu wa Kwanzawa Rais wa Zanzibar,Maalim Seif Sharif Hamad,aliuhakikishia ujumbe huokuwa Zanzibar inaungamkono hatua za kupanuaumoja huo, pamoja namipango yake ya kuhifadhimazingira.

    Maalim Seif, alisemakuwa mipango ya kulindamazingira na maliasiliza visiwa vidogo, hainab u d i k u fa n y wa k wa

    mashirikiano miongonimwa nchi husika, kwanimipango hiyo haiwezikufanikiwa iwapo kilanchi itakuwa na mipangoyake peke yake.

    Alisema kwa upandewake Zanzibar kamanchi ya visiwa, inatoaumuhimu wa kipekeekatika kulinda mazingiraya baharini na nchi kavu,ili maliasili chache zilizopoziendelee kulindwa nakuwanufaisha wananchiwake kikamilifu.

    N a y e , B w . R o n a l dJumeau , am baye ndiye

    kiongozi wa u jumbehuo ambaye ni baloziwa Seychelles nchiniMarekani, alisema azmaya umoja huo hivi sasa nikuzidisha mashirikiano nanchi nyengine za visiwa

    vidogo, vikiwemo hatavilivyo nje ya Bahari yaHindi kama vile katikabahari ya Pacific.

    Amesema hatua hiyoitaufanya umoja huo kuwawenye mafanikio zaidi,ambapo pia nchi hizozitaweza kupata uzoefumkubwa wa kulinda nakuhifadhi mazingira, nakuwawezesha wakaaziwake kuzitumia maliasiliz a o k i k a m i l i f u n a

    kuzi wezes ha kuwendelevu.

    L i c h a y a k u wZanzibar inaingia katikum oja huo kup i t iTanzania, imekuw

    ikinufaika na miradmbalimbali ya uhifadhwa mazingira.

    U j u m b e h u o p iumekutana na Waziri wNchi Ofisi ya Makamwa Kwanza wa RaiF a t m a A b d u l h a b iFerej, ambaye ameelezematumaini yake juu yZanzibar inavyowezkunufaika na umojhuo.

    Alisema Zanzibaitaendelea kutoa kilaina ya ushirikiankuhakikisha kuwa nchza visiwa zinafanya kazpamoja na kujifunzmafanikio yaliyofikiwna nchi nyengine, ikufikia malengo ykuwa na maendeleendelevu.

    A m e f a h a m i s hkuwa nchi za visiwi k i w e m o Z a n z i b azimekuwa zikikumbwna changamoto kadhaza kimazingira, ambaphivi sasa baadhi ym a e n e o y a k i l i mZanzibar hayafanyi kazkutokana na kuvamiw

    na maji ya chumvi nkuwafanya wakulima wmaeneo hayo kutokuwna cha kufanya.

    Hata hivyo serikaimekuwa ikichuku

    juhudi kuona kuwc h a n g a m o t o h i zzinapungua.

    KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL

    DAR ES SALAAM

    NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO 2013-2014

    MICHEPUO YOTE YA SAYANSI ,SANAA NA

    BIASHARA IPOPCB,PCM,CBG,PGM,HGL,HGK,HKL,EGM,HE,ECA,KLA

    KWA MAWASILIANO ZAIDI:

    CHUO CHA UALIMU UNUNIONAFASI BADO ZIPO KWA KUSOMEA UALIMU KWA SIFA ZIFUATAO:

    KUJIUNGA NA CHUO PIGA SIMU MOJA KWA MOJA CHUONI

    RAMADHAN KAREEM

    BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM

    STASHAHADA (DIPLOMA)AWE AMAMALIZA KIDATO CHASITANA KUPATA

    KUANZIA PRINCIPLA (E) 1 NASUBS IDIARY(S)-1

    CHETI (GRADE III A)AWEAMAMALIZA KIDATO CHA NNENA

    AMEPATA ALAMAZISIZOZIDI DIVIV-27ALIYERUDIA (RESITING) AWE NAC-4

    CHUO NI CHA BWENI KWA WASICHANA NA WAVULANA ADA NI NAFUU SANA NA INALIPWA KWA

    AWAMU WAHI SASA NAFASI NI CHACHE NA WANANDOA WANAKUBALIWA

    WAHITIMU WOTE WANAAJIRIWA SERIKALINI

    MKUU WA CHUO

    0713 673495

    MSAJILI

    0715 822332

    0756 822332

    0784 822332

    FOMU ZINPATIKANA KWA WARATIBU

    WETU NA OFISI ZOTE ZA

    KUTAYBA SACCOS MIKOANI

    SHULE NI YA BWENI NA KIPEKEE KWAMABINTI WA KIISLAMU KIMAADILI,

    KIMALEZI BORA YA KIISLAM

    TUNENDELEA KUPOKEA WANAFUNZI KWAKIDATO CHA TANO NA WAHAMIAJI KIDATO

    CHA KWANZA NA TATU

    0713465437, 713515054 AU

    0756082772

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    5/16

    5AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 201Habari za Kimataifa/Tangazo

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

    INAPENDA KUWA TAARlFU MAHUJAJI WAKE WOTE NA WAISLAMU KWA JUMLAKUA:-

    IDADI YA MAHUJAJI WAO WA MWAKA HUU 2013 IMEPUNGUZWA KUTOKA MIA TATUMPAKA MIA MOJA NA SABINI TU. KWA HIVYO;-(a) WALE WOTE W ALIOJIANDIKISHA W A WAHl KUMALIZA KULIPIA GHARAMAZAO.(b) W ALIOJIANDIKISHA TU NA HAW AJALIPIA W AJE KULIPIA AU TUT A

    WAONDOSHA KWENYE ORODHA NA KUW APA NAFASI W ALIOKUW ATAYARI.

    (c) KUWASILISHA PASSPORT AU KOPI ZA PASSPORT KWA MUDA HUU.(d) PICHA MBILI PASSPORT SIZE KW A AJILI Y A VISA.2. (a) BEl YETU NI US DOLA 3480 punguzo ni 2%

    (b) UKIWAHI KULIPIA SA SA NA KUMALIZA TARATlBU ZOTE PUNGUZO NI ASILIMIASITA KWA HIVYO

    UT ALIPIA US DOLA 3337 TU NA KABLA Y A TAREHE 25 JULAY 2013.3. KWA MAWASILIANO ZAIDI FIKA OFISINI KWAO;-

    (a) DAR ES SALAAM MTAA W A DOSI NA MKADINI NYUMBA NAMBA 26 MKABALANA SHOW ROOM Y A MAGARI TEL 0713 730444 AU 0785 930444 AU 0773 930444.(b) ZANZIBAR MTAA WA RAHA LEO TEL 0777484982 AU 0777413987 AU WASILIANANA.( c) MAALIM SElF HUMOUD KIJICHI ZANZIBAR TEL 0777417736.(d) ABDALLA SALEH MAZRUI (HOKO) TEL 0715724444 AU 0773 724444 AU 0784724444(e) SHEIKH DAUDI KHAMIS SHEHA PEMBA 0777 679 692(f) SHEIKH ABUBAKARI MAULANA MARKAZ KIWALANI 0784 453 838NA BEl NAFUU KULIKO WOTE NA HUDUMA BORA KULIKO WENGI USISAHAU AHLULDAAWA HAJJ AND TRAVEL AGENCY

    Morsi agoma kula kizuiziniRais wa mpito kufanya marekebisho ya Katiba

    CAIROMuhammad Morsi, Raisaliyengolewa madarakanina jeshi na kuendeleak u s h i k i l i w a k a t i k amahabusu za jeshi hilonchini Misri , ameanzamgomo wa kula.

    Televisheni ya RussiaToday, imemnukuu kiongozimmoja wa kundi la IkhwanulMuslimin, Muhammadal Baltaji, akisema katikamahojiano yaliyofanywa natelevisheni hiyo kuwa, Morsiameanza mgomo wa kulamwishoni mwa wiki.

    Wakati huo huo WaziriMkuu wa serikali ya mpitoya Misri Hazem al Beblawi,ametaka kufikiwa mapatanoya kitaifa ili kuhitimishamigawanyiko miongoni mwa

    raia wa nchi hiyo.W a m i s r i k a d h a a

    wameuliwa katika ghasiaz i l i z o i u b u k a k a t i y awapinzani na wafuasi waMuhammad Morsi.

    A k i z u n g u m z a n atelevisheni ya serikalimapema wiki hii, al Beblawialisema kuwa wakati umefikasasa wa kufikiwa suluhuya kitaifa kwa kuwa Misriimegawanyika. Beblawiamesema, Misri imekuwauwanja wa mapigano namikwaruzano kufuatiakupinduliwa Morsi nakuongeza kuwa, kufikiwasuluhu ya kitaifa ni njia pekeeinayoweza kuiondoa Misri

    katika hali ya sasa.Rais wa muda wa Misri,Adly Mahmoud Mansour,a m e u n d a K a m a t i y aWataalamu wa Sheria, ambaowatapandekeza mabadilikokatika katiba ya sasa, ambayoinasema taifa hilo linapaswakutawaliwa kwa misingi yasheria za Kiislamu.

    Rais Mansour, Jumamosiiliyopita aliteua kamati yawataalamu kumi, ambaowatapendekeza marekebishokat ika kat iba ya s as ailiyoidhinishwa wakati wautawala wa MohammadMorsi, aliyepinduliwa najeshi mwanzoni mwa mwezihuu.

    Katiba ya mpya ya Misri

    iliidhinishwa rasmi Desemba2012 kufuatia wananchikuipitisha kwa kura kwaasilimia 64.

    Miez i s i ta baad a yakuidhinishwa katiba hiyo,jeshi la Misri lil imuo ndoamadarakani Rais Morsin a k u w a t i a m b a r o n iwananchama waandamizi waharakati ya Ikhwanul Misliminpamoja na kumshikilia Morsimwenyewe.

    Wananchi wa Misribaada ya kuuangushautawala wa ki Imlawa Hosni Mubarak,walikuwa wakisisitizakuwepo katiba mpya

    y e n y e m i s i n g i y aKiislamu. Lakini sasa

    baada ya mapinduzi yaJeshi, upinzani ambaosasa uko madarakaniumekuwa ukitaka katibaya kisekula isiyozingatiaUislamu.

    Katika hatua nyingineimeripotiwa kwambamaafisa wa usalama waMisri wamezivamia ofisiza televisheni ya AlAlam ya Iran, inayorushamatangazo yake kwalugha ya Kiarabu jiniCairo.

    Mkuu wa ofisi hiyo

    ya Al Alam Ahmad alSioufi, ametiwa mbaroni.Hata hivyo Maafisa haowa usalama hawakutoasababu za kitendo chaohicho.

    Tangu Dkt. Morsiapinduliwe na jeshi,maafisa usalama nchinihumo wamezifungastesheni kadhaa zatelevisheni ikidaiwakuwa ni katika kilekinachoonekana kuwani kuzima juhudi nasauti za wapinzani wamapinduzi hayo nchinihumo.

    Binti wa Morsi kumchukulia hatuaza kisheria Mkuu wa Majeshi MisriF A M I L I A y a R a i saliyeondolewa madarakaninchini Misri MohamedMorsi, imetangaza uamuziwa kuchukua hatua zakisheria dhidi ya Mkuuwa Majeshi, Jenerali AbdelFaah Al Sisi, kwa kuendeleakumshikilia mateka kiongozihuyo wa Chama cha MuslimBrotherhood.

    Mtoto wa kike wa Morsialiyefahamika kwa jina laShaimaa Mohamed Morsi,

    ndiye aliyetangaza mpangohuo wa kuchukua hatua zakisheria dhidi Jenerali Al Sisi,ambaye ndiye aliyetangazakwamba Morsi anashikiliwana Jeshi.

    Shaimaa ameweka wazikwamba watachukua hatuahizo za kisheria kwa kuangaliasheria za ndani ya nchi hiyona hata zile za kimataifa,huku akimtaja mara kadhaaJenerali Al Sisi kuwa ndiyealiyeongoza mapinduzi yakijeshi ya kumwaga damuna kumuondoa baba yakemadarakani.

    Binti huyo wa alisemakile kinachofanywa na Jeshini utekeji nyara, hivyo wao

    watachukua sheria dhidi yahatua hiyo.Shaimaa amewaeleza

    waandishi wa habari JijiniCairo kuwa, wamelitakaJeshi kumuachia Morsi, lakinilimeendelea kumshikilia kwamadai ya sababu za usalamana kiafya, jambo ambalolimeendelea kuwaacha bilamajibu.

    Familia ya Dk. Morsiimeshasema kuwa haifahamusehemu alipo baba yao kwasababu jeshi halawapa taarifazozote na kwamba, ndiyomaana wameona ni wakatimuafaka sasa wa kuchukuahatua za kisheria.

    M a t a i f a k a d h a a y aM a g h a r i b i h u s u s a nUjerumani pamoja na Umojawa Ulaya EU, yalishatoa witowa kuachiwa kwa Morsi,lakini jeshi limeendeleak u m s h i k i l i a , h u k ulikipambana na maelfu yawaandamanaji wanamuungamkono kiongozi huyo.

    Mawaziri wa Mambo yaKigeni wa Umoja wa Ulayawametoa wito wa kuachiliwa

    huru wafungwa wote wakisiasa, akiwemo MuhammadMorsi, Rais aliyeenguliwamadarakani nchini Misri.

    Waziri wa Mambo ya Nchiza Nje wa Ujerumani GuidoWesterwelle, amesema kuwavyama na makundi yote yakisiasa ikiwemo Harakatiya Ikhwaanul Muslimiin,yanapaswa kuwa na nafasikwenye serikali ijayo yaMisri.

    Dk. Morsi anashikiliwna Jeshi nchini Misri tang

    kufanyika kwa mapinduyaliyomuondoa madarakaJulai 3 mwaka huu, ambapnafasi yake ilichukuliwa nKiongozi wa Mpito Bw. AdMahmud Mansour.

    J e s h i n c h i n i M i slilishatangaza hapo awakuwa, haliwezi kumuachDk. Morsi kwa sasa kwmadai ya kuwepo sababu zkiusalama na kiafya.

    W a f u a s i w a kwam een d elea kuf an ymaandamano nchi nzimk u s h i n i k i z a k u a c h i wh u r u n a k u r e j e s h wmadarakani kwa kuwalichaguliwa na wananchkidemokrasia.(www.irib.ir

    DKT. Mohamed Morsi

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    6/16

    6AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 20Makala

    Kisa cha Veer Pratap Singh

    na Masheikh wa UamshoHii ndiyo nchi yangu: Ukweli, Haki itawaleWaliodaiwa si mapapai hayataoza, wajitizame

    Wanafanya nini kuleta Haki Sawa kwa Wote

    VEER Zaara ni sinema yaKihindi ya mwaka 2004iliyotolewa na kampuniya filamu Yash Raj Films.Nadhani ilipewa jina hilikwa sababu ya majina yawashiriki wake wakuuambao ni Veer PratapSingh na Zaara HayatKhan. Katika sinema hiikinaelezwa kisa cha mtummoja Mhindi kutokaIndia aliyekamatwa nakufungwa jela Pakistankwa miaka 22 akidaiwakuwa ni jasusi.

    Sinema inapofungukaanaonekana mfungwammoja yupo katika seroya pekee kajawa na huzunitele upweke ukimuelemea.Inavyoonekana ilikuwamajira ya baridi kwa sababuanatetemeka kwa baridi nakanyikunyata na blanketi.Taratibu ananyanyuka na

    kukiendea kiriba cha majikilichokuwa kimewekwakwa mbali karibu na langola chuma. Anapokichukuana kutaka kunywa majianasita anaposikia sautiya Athana. Allahu Akbar,Allahu Akbaru (Mungumkubwa Mungu mkubwa).Hii inakua kama isharakwake kuwa katikatiya tabu ile, bado yupoMungu wa kumlilia nakumtegemea. Kilichofuatiani kuonekana wakili kanabinti ambaye anajipa moyona kujiambia kwambalazima amsimamie Veer

    Pratap Singh mpaka apatehaki yake. Hata hivyo,hii ikiwa kesi yake yamwanzo toka kumalizakosi yake ya sheria, Wakiliwa Serikali, mkongwe,Zakir Ahmed ambayeha jawahi kushindwahata katika kesi moja,anambeza akimwambiahataambulia chochotew a t a k a p o p a m b a n amahakamani.

    Veer P r a t a p S i n g hndio j ina lake halisi ,l a k i n i k a t i k a k e s iushahidi uliowasilishwamahakamani ulidai kuwayeye ni Rajesh Rathore.

    Rajesh Rathore ambayealidaiwa kuwa ni kacherowa India na a l i ingiaPakistan kwa aji l i yakufanya ujasusi. Upandewa mashitaka ukawasilishavielelezo na ushahidi,kimoja wapo kikiwa nihati ya kiapo aliyosainiRajesh Rathore ikidaiwakuwa anakiri kuwa hilondio jina lake na kweli yeyeni jasusi kutoka India. Kwaushahidi huo Veer PratapSingh (Rajesh Rathore)akahukumiwa kifungo chamaisha.

    Baada ya kukaa jela kwa

    Na Omar Msangi

    BAADHI ya viongozi wa UAMSHO wakiwa katika picha ya pamoja.

    miaka 22 alitokea bintimmoja akiitwa SaamiyaMansoor Ali Siddiqueakataka kuifufua kesi yake.Katika utaratibu wa kisheriaikabidi kuwasiliana namfungwa jela kutakaamweleze kisa na mkasa.Toka alivyokamatwa najinsi kesi ilivyoendeshwam p a k a a k a f u n g w a .H a t a h i v y o i l i k u w akazi sana kumshawishiVeer kuzungumza. Kwamiaka yote 22 aliyokaandani aligoma kabisakuzungumza au kueleza

    lolote kuhusu kesi hiyo.S a a m i y a S i d d i q u ealifanya kazi kubwa sanakumfanya mfungwa yulealiyekaa jela kwa miaka22 akubali kuzungumza.Na hapo ndio mwanzo wautamu wa filamu.

    Veer Pratap Singh,anatamka jina hili wakiliSaamiya baada ya kutoangonjera ndefu kujielezayeye ni nani na kwanini yupo pale. TaratibuVeer ananyanyua usowake kutoka katika haliya kujikunyata kamaanashtuka ni nani huyu

    anataja jina lake kwasababu kwa miaka 22aliyokaa jela, hakuna mtualiyewahi kulitaja. Kilaaliyekuja alimtaja kwaji na la Ra je sh Ra th or elakini na yeye mwenyeweakajipa jina la mfungwan a m b a 7 8 6 n a m b aambayo katika baadhi yamadhhebi zinafahamikakuwa zinawakilisha jinala Mungu.

    Kwa muda wa miaka 22umekaa kimya. MwenyeziM u n g u k a n i t u m akukuokoa.

    A n a s e m a S a a m i y aSiddique na kutamkatena jina la Veer PratapSingh. Hapo Veer kamaanayezinduka kutokau s i n g i z i n i a n a a n z akutiririka na visa kwamtindo wa flash back.

    Veer P r a t a p S i n g halikuwa mwanajeshi narubani wa jeshi la anga laIndia na alikuwa kamandakiongozi katika kikosi chauokozi wakati wa majanga.Katika tukio moja basililipata ajali likaporomokakatika mlima. Ndani yagari hiyo alikuwepo Zaara

    Hayat Khan, msichanamrembo sana kutokaPakistan. Zaara alikuwaametumwa na bibi yakekwenda kutupa majivufulani katika mto mmojaIndia unaosadikiwa kuwana Baraka. Wakiwa nahelkopta, Veer alikuwaakishuka na kamba maalumna kuwanasua majeruhiwaliokwama katika mlimana kuwapandisha katikahelkopta kuwapelekahospi ta l i . Mmoja wawatu hao alikuwa ZaaraH a y a t K h a n . Z a a r aalikuwa hakuumia nawakati akimpandishakatika helkopta wakawawanatizamana na kuletahisia za mapenzi.

    Baadae anaonyeshwaV e e r P r a t a p S i n g hakimsindikiza Zaarak w e n d a k u m w a n g amajivu al iyopewa nabibi yake katika mto waBaraka. Baada ya zoezihilo, kutokana na jinsiwalivyopendana, Veeranaamua kumsindikizaZ a a r a m p a k a k w a oLahore, Pakistan. Wakiwakatika kituo cha gari

    moshi, anatokea kijanm t a n a s h a t i a m b a ybaada ya salamu, Zaaranamwambia Veer kuwyule ni mchumba wakna anamtaka radhi kwkutomwambia na mapemkuwa ana mchumbaHuyu ni Raza Shirazkijana ambaye familiyake ina nafasi kubw

    katika serikali ya PakistanKatumwa kumfuatiliZaara kuhakikisha kuwanarejea salama baadya zoezi alilotumwa nnyanya yake. Baada ysalamu na kubadilishanmaneno mawili matatuZaara na mchumba wakwanaondoka na kumwachVeer kasimama asijue kufanya.

    Mengi yalipita hapkati lakini mwishowinaonyeshwa kuwa Veealiamua kumfuata ZaarLahore na ha l i h iyikamchanganya san

    Zaara maana alikuwa hajuaolewe na Raza au atorokna Veer. Ila mwishowVeer aliamua kukubaukweli.

    Najua wewe ni wmwingine, lakini hatutakapokuwa kwa mumejua ya kwamba yupo mtIndia ambaye yupo tayakutoa maisha yake kwajili yako. Nakupendsana nitatoa uhai wangkukulinda na kwa ajili yfuraha yako. Veer alitomaneno hayo kat ikkuagana na Zaara, lakinakayasema pia mbele yRazi jambo lililomfanyRazi kukasirika na kuamukumkomoa.

    H i l i n i t u s i aunanisifia, Razi alisemakimkabili Veer PrataS i n g h n a k u j i a p i zmoyoni kwamba ataonKwa kutumia nafayake serikalini, aliamukumkomoa Veer kwk u m b a m b i k i z i a k embaya.

    Wakati Veer yupo ndanya basi anarejea kwao Indialistukia wanaingia askawawili wakamkamata nkumsusha. InapofungukVeer yupo rumande yu

    mchumba wa Zaara, RaShirazi, amesimama nmakaratasi akimlazimishVeer ayasaini.

    N a w e z a k u f a n ymaisha ya Zaara kuwPepo au Jahannam, lakinyote utaamua wewe. Amunasaini kukubali kilki l ichoandikwa hapZaara asalimike au katajahannam imkabili Zaarh a p a h a p a d u n i a nUchaguzi ni wako.

    Alisema Razi akaichkaratasi na kalamu ju

    Inaendelea Uk.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    7/16

    7AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 201Habari/Tangazo

    Kisa cha Veer Pratap Singhna Masheikh wa Uamsho

    Inatoka Uk. 6

    ya kimeza na kumwachaVeer kuamua anayoa auanasuka.

    Ni makaratasi hayo,ambapo inadaiwa kuwaVeer Pratap Singh niRajesh Rathore na kwambayeye ni kachero aliyeingiaPakistan kufanya ujasusi.

    Sinema inamwonyeshaVeer akikumbuka ahadiyake mbele ya Zaara (flashback) kwamba hata kamaataolewa na mtu mwingine,ikitokea ikalazimu yeyekutoa uhai wake kwa ajiliyake, atafanya hivyo. Veerakaona kuwa ni lazimaa t i m i z e a h a d i y a k e .Akasaini kiapo kile chamahakama na ukawa ndioushahidi uliomtia hatiani.

    Lakini wakati Veerakishushwa katika garina kupelekwa polisi, garilile alilokuwa akisafiriambeleni linapata ajali

    mbaya na abiria wotekufariki. Kwa hiyo kuleIndia, wakajua kuwa Veerkafa. Huku nyuma Zaaranaye akajuwa kuwa Veerkafa.

    S i n e m a n i n d e f u ,lakini baada ya Saamiyakufanikiwa kumshawishiV e e r k u z u n g u m z a ,i n a o n e k a n a w a p omahakamani. Mwisho wayote anapatikana Zaarana kuja mahakamanikutoa ushahidi kuwayule si Rajesh Rathore,ba li Veer Pr atap Sing hna inabainika wazi kuwa

    hati zi l izowasil ishwamahakamani ilikuwa zakughushi. Lakini hatakabla ya Zaara kufikamahakamani, askari mmojaaliyekuwepo wakati kesihiyo inabuniwa, alishikwana imani na kusemakweli kuwa Baniani wawatu hakuwa na hatia nakwamba hilo jina la RajeshRathore, sio lake.

    Kwa uchungu mkubwana uso wa huruma, jajialiyekuwa akisikiliza kesiile alimtaka radhi Veerkwa niaba ya Serikali nawatu wa Pakistan. Lakinihiyo inakuja baada ya VeerPratap Singh kukaa jelakwa miaka 22.

    Aliyekuwa wakili waSerikali ya Pakistan katikakesi hii, Zakir Ahmed,ambaye anasifika kwakutokushindwa hatakesi moja (hii ilikuwaya kwanza), baada yakumalizika kesi alikwendana kumshika mkonoSaamiya na kumpongeza.

    Alieleza mengi, lakinimakubwa mawili: Mojani jinsi wanasiasa na watuwenye madaraka Serikaliniwanavyoweza kusababisha

    SHEIKH Farid Hadd

    matatizo makubwa kwawatu wasio na hatia kwalengo la kutoshelezamatashi yao binafsi hukuwakisingizia kuwa ni kwamasilahi ya taifa. Akatoamfano wa vita vilivyowahikutokea huko nyumabaina ya India na Pakistan,

    1947, 1965 na 1999 lakiniukitizama hakuna sababuyoyote ya msingi. Tatizolabda ni ubaguzi tu wakuwatizama watu kwaUislamu wao (Pakistan)

    na Uhindi wao (India),ukubwa na udogo wao;vyeo serikalini na ulofa

    wao wa mitaani.Mwisho kabisa Wakili

    Zakir Ahmed alimwambiaSaamiya Siddique manenoyafuatayo:

    Saamiya, Thank you forteaching me the value of truthand justice.

    Akimaanisha, ahsante

    s a n a S a a m i y a k wkunifundisha thamani yukweli na haki.

    Akavua gwanda lakna tai yake ya kiuwakina kusema huo ulikuwndio mwisho wake wkufanya kazi ya uwakilWaki l i Zakir Ahmeanasema kuwa, ali jusheria ndio kila kitu n

    kwamba umadhubuwa nchi unapimwa kwmfumo wake wa sher(Judiciary System). Lakinwatu watizame na upandmwingine: UbinadamuHaki na Ukweli.

    L e o n i m w e z i 1Ramadhani ik iwa ntakribani miezi 10, mwakkasoro miezi miwili, tangSheikh Farid na Masheikwenzake wa Uamshwakamatwe, kufunguliwk e s i n a k u z u i l i wdhamana zao. Wapo ndanutadhani wanatumikikifungo. Afadhali Banianyule Veer Pratap Singalishahukumiwa japo kwdhulma!

    Ya w e z e k a n a i psheria inayowafanywenye mamlaka wawna hoja ya kisheria kuwMasheikh hao wanastahikisheria kuendelea kukandani. Lakini pamojna kuwepo sheria hiyoswali ni je, hizo tuhumau kosa linalodaiwa kuwhalistahiki mtu kupewdhamana limethibiti?

    Lilipotokea shambulila bomu katika KanisKatoliki lililouwa wat

    watatu kule ArushaWaziri Mkuu MheshimiwMizengo Kayanza Pind

    Ya Malala, Taliban na Uamsho ..JULAI 12 dunia ilishuhudiajinsi Malala Yusufzai,msichana kutoka Pakistanmwenye umri wa miaka 16,alivyotolewa ukumbi nakupokelewa New York naBan Ki Moon, Katibu Mkuuwa Umoja wa Mataifa.

    Isitoshe, tarehe hiyo

    ambayo ndiyo siku yake yakuzaliwa ilitangazwa rasmina Ban Ki Moon kuwa sasaitakuwa ikijulikana kuwani Siku ya Malala. Lengoni kuwapatia elimu watotowote duniani.

    Malala Yusufzai Sikuh i y o m s i c h a n a h u y oalipewa fursa adhimu yakuhutubu kwenye mkutanowa kwanza wa Baraza laVana la Umoja wa Mataifakwenye makao makuu yaUmoja huo, New York.Alitoa hotuba ya kusisimuakatika mazingira yaliyo

    na tofauti kubwa na yaleya kwao nyumbani mjiniMingora kwenye eneo laBonde la Swat.

    Huko kw ao Mala laalikuwa akiishi pamojana wazazi wake, nduguzew a w i l i w a k i u m e n akuku wawili aliokuwa

    akiwafuga.Malala alipata umaarufu

    kwa sababu moja: alipigwarisasi Oktoba 9 mwaka janana Mataliban wa Pakistanwaliodhamiria kumuua.

    Kilichomchongea niukakam av u w ake w akushikilia kwenda skuli.

    Je ng in e li li lo mc ho ng ean i h a r a k a t i z a k e z akuwashajiisha wasichanawenzake wende skulihuko kwao katika tarafaya Swat.

    Yote hayo yanahitajiujasiri mkubwa kwa sababu

    wasichana kwenda skulikatika eneo la Bonde laSwat si jambo la mchezo.Vuguvugu la Taliban lenyekushamiri katika eneo hilohalitaki msichana yoyoteende skuli.

    Vuguvugu hilo linaitwaTehrik-i-Taliban Pakistan

    na linaongozwa na JamshedMehsud ambaye pia anaitwaH a k i m u l l a h M e h s u d .Kwa mujibu wa fasiri yaoya Uislamu Matalibanwa Pakistan wanaaminikwamba wasichana waKiislamu kwenda skuli nikufuru.

    Shambulio la kutakakum uua Mala la n i lakinyama na lazima tulilaani.Liliwashtua wengi dunianihata pakafanywa jitihadamahsusi za kumkimbizaMalala Uingereza kwamatibabu na hatimaye

    kumpandisha kwenyj ukwa a la Umo j a wMataifa.

    Simlaumu Malala kwutukufu alioupata. Lakinninaulaumu ulimwengkwa kimya chake pale watowengine wanapouliwtakriban kila siku kama

    Afghanistan basi Iraq; kamsi Iraq basi Syria au Pakistaau Somalia.

    Nchini Afghanistan nPakistan mara kwa mawatoto huuliwa ama nwanajeshi wa Kimarekaau wa NATO au huuliwa nvile vyombo vya Kimarekavirukavyo angani bila yrubani.

    Mara zote hizo huambiwk w a m b a w a t o t o h awaliuliwa kwa makosaHuko Syria, Iraq, Somalia nPakistan wakati mwingin

    Inaendelea Uk.

    Inaendelea Uk.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    8/16

    8AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 20Makala

    Ya Malala, Taliban na Uamsho ..Inatoka Uk. 7

    Kisa cha Veer Pratap Singh na Masheikh wa UamshoInatoka Uk. 7

    a l i t a n g a z a B u n g e n ikuwa wamekamatwaWaarabu wanne. Alitoakauli hiyo kwa tahadharisana akiisherehesha kwakusema kuwa Waarabuhao walikamatwa katika

    utaratibu tu wa kawaidakwamba l inapotokeatukio kama lile ni lazimamipaka ifungwe. Kwahiyo wageni wanaovukampaka watakamatwa ilikuhojiwa kujiridhishakuwa hawahusiki.

    Baada ya kauli hiyo yaSerikali, An nuur iliandikaikihoji: Je, Namangawalipita Waarabu pekee?

    Hoja yenyewe ni kuwakama ulikuwa utaratibuwa kawaida tu wa kufungampaka na kukamatwakila mgeni anayepita,basi wangekamatwa pia

    Waganda, Wazambia,Waingereza, Wamarekanina tunajua mji wa Arushana mpaka wa Namangaulivyo na harakati nyingiza wageni wanaosafiri katiya Nairobi na Arusha.

    Mwandishi yeye katikafikira zake ameandikakutahadharisha kuwa hiiya kukamata Waarabupekee inaweza kujengad h a n a k u w a h a w awamelengwa kwa sababuya Uarabu (Uislamu) wao.Na wasiwasi huo unapatanguvu ukizingatia kuwatoka mwanzo wa tukio

    zilishaanza propagandakatika vyombo vya habarik w a m b a m u h u s i k aalikuwa kavaa kanzu.

    Lakini kwa upandemwingine, wenye mamlakanao wanaweza wakaja juu.Wakaleta madai kuwahuo ni uchochezi. Gazeti

    linalenga kutahadharishakwamba habari italeta utatana dhana mbaya, wenyemamlaka wakaishikiabango kuwa ni habari yauchochezi na wakatumiasheria zilizopo kuchukuahatua. Swali ni je, habariilikuwa ikichochea auikitoa tahadhari?

    Bila ya kuingilia uhuruwa mahakama, ndio hapanasema, pamoja na kuwepos h er i a i n a y o w a w ek arumande Masheikh haona kuzuilia dhamana zao,kuna haja ya kutizamaupande wa pili: Truth andJustice. Ukweli na Haki.

    Wapo watu waliwahik u k a a n d a n i m i e z ikadhaa au miaka kwamashitaka ya kisiasa kuleZanzibar. Inasemekanakuwa watu waliokuwakaribu na Rais wakati uleDkt. Komandoo SalminAmur walimwendea nakumwomba awaachiewatu wale.

    Wacha wakae, kwanini mapapai kwambayataoza, inasemekanahayo ndiyo yalikuwamajibu ya komandoo.

    Mazungumzo yakaisha.Watu wale wakati u

    waliodaiwa sio mapapai nwakiona kuwa walikuwwakidhulumiwa, kwambsheria ilitumika vibaydhidi yao, hivi sasa wapmadarakani katika nafambalimbali . Swali n

    je , ku na ju hudi yoyotwanayofanya kuhakikishkuwa haki kwa wotu k w e l i n a u a d i l i funakuwepo?

    K u t o k a n a nushahidi uliowasilishwmahakamani, Veer PrataSingh alikaa jela miaka 2ndio inakuja kujulikankuwa ushahidi ulikuwwa uwongo. Nani atalipdhulma hii? Japo Jaaliomba radhi kwa niabya Serikali ya Pakistan kwsababu ilikuwa Jamhundiyo iliyomshitaki Vee

    samahani hii italipa matesya miaka 22 jela? Miaka 2mke amekosa mapenzi ymume, watoto wamekosmalezi na huduma ybaba, huenda wamekuwc h o k o r a a , m i t a a nsamahani itasaidia nini?

    Ni kwa kuzingatia yohayo, Wakili Zakir Ahmealimshukuru SaamiySiddique akimwambia h s a n t e s a n a k wkunionyesha upande wpili: Ubinadamu, Ukwena Haki.

    watoto huuliwa na makundiya watu wenye itikadi zakidini zilizo sawa na zile zaMataliban wa Pakistan.

    Kwa hakika miongonim w a w enye kufanyaunyama Syria ni Matalibanwa Pakistan wale walewaliotaka kumuua Malala.

    Juzi tu walitangaza kuwamamia ya wapiganaji waowamekwishapiga kambiSyria na wanashirikiana nakundi la Jabhat al-Nusradhidi ya serikali ya Bashar.

    Makundi hayo mawilipamoja na lile la al-Qaedakatika Iraq na mingineoyenye itikadi kama zaoyako chini ya mwavuli waSyrian Islamic Front (SIF).

    Huko Syria Matalibanna wenzao wamekuwaw a k i w a u a w a t o t o ,wanawake pamoja na wazee.Lakini wakuu wa dunia hiiwamekaa kimya kwa vilewauaji hao wanampingaBashar.

    Kuna kimya kinginekinachonishangaza. Nachoni cha wanaharakati waKizanzibari waliozibam idom o yao kuhusumadhila yanayowakutawale waliokuwa wakiwaita M a s h e k h e w e t u w aUamsho.

    Tangu mashekhe hao 10waanze kukamatwa Oktoba16, 2012 mpaka leo kesi yaohaijatajwa mahakamani.Hadi sasa wamesomewat u m a s h i t a k a d h i d iyao, mashitaka ambayoyanahusika na vurugu

    zilizotokea Zanzibar Meimwaka jana.

    W a s h i t a k i w a h a owalifikishwa mara yam w isho m ahakam ani

    Ju la i 3 mwak a hu u nawalitarajiwa kupandishwatena mahakamani Julai 18.

    Washitakiwa wenyeweni Farid Hadi Ahmed,Msellem Ali Msellem,Mussa Juma Issa, AzanKhalid Hamdani, Suleiman

    Juma Suleiman, Khamis AliSuleiman, Hassan BakariSuleiman, Ghalib AhmadaOmar, Abdalla Said Ali naFikirini Majaliwa Fikirini.

    M a s h i t a k ay a n a y o w a k a b i l i n ik u c h o c h e a v u r u g u ,kuharibu mali za ummana za watu binafsi zenyethamani ya shilingi milioni500 , kufanya v ur ugukatika eneo la Magogonina kuhatarisha usalama wataifa la Zanzibar.

    Wanash i takiw a p iakuhusu kadhia ya FaridHadi Ahmed aliyetowekaOktoba 16, 2012.

    Shekhe huyo aliibukasiku nne baadaye akidaikwamba alitekwa nyarana watu waliovaa barkoa

    waliojitambulisha kuwa nipolisi. Serikali imelikanushadai hilo.

    M a s h e k h e h a owamefungiwa kwenye

    gereza la Kiinua Miguuwakiwa chini ya ulinzimkali. Kama wiki mbili zamwanzo baada ya kutiwanguvuni wakidhalilishwakwa kunyimwa hata nafasiya kubadili nguo au yakuonana na familia zao.

    Tena kila mtuhumiwaalikuwa akiwekwa katikachumba cha peke yake.Tunavyosikia ni kwambasiku hizi wameondoshewamadhila hayo ingawa

    bado mazingira yao si yakuridhisha.

    Cha kushangaza n ikwamba hatusikii sautizozote zenye kuwatetea.Labda kwa sababu wao nimashekhe na si wanasiasa.L a b d a w a n g e k u w awanasiasa tungewaonawanaharakati, kwa mfano,wakiwasiliana na jumuiyaza kimataifa za haki za

    binadamu na kuzizinduakuhusu janga lililowafikamashekhe hao.

    Labda madevu ya haomashekhe yanawatia hofuwanaharakati, wanacheleawasije wakashutumiwak u w a w a n a w a t e t e amagaidi maana siku hizikwa wakubwa wa dunia hiimadevu, Uislamu na utetezi

    wa haki ni mchanganyikowa hatari.

    Na si kwa hao wakubwatu, bali hata kwa baadhiya taasisi, magazeti, nawanasiasa wa TanzaniaBara ambao bila ya ushahidiwowote wameihusishaUamsho na vitendo vyakigaidi.

    Juu ya yote hayo, kunasababu halali za kuwatetea.Sababu kubwa ni kaziwalioifanya ya kuwaamshaW a z a n z i b a r i w e n z a owautambue utaifa waona waachane na chuki nauhasama uliokuwepo baina

    yao kwa muda mrefu.Jengine jema walilolifanya

    ni kuwahimiza vijana waKizanzibari warudi kwenyemaadili ya Kiislamu badalaya kujihusisha na vitendovinavyoleta madhara katika

    jamii kama vile vya kubugiamihadarati na uasherati.

    P e n g i n e k u n awanaharakati wenye kujuta,wenye kuona kwambawalipoteza nguvu zaowalipokuwa wakiwaungamkono hao mashekhe. Walewaliokuwa na majazbawaliokuwa wakiota kwamba

    siku moja nchi yao itaamkaghafla ionekane na suranyingine, sasa itawabidiwaote ndoto nyingine.

    S i n a d h a m i r a y a

    kuingilia kesi inayowakabiliwashitakiwa hao. Hiyo nikazi ya mahakama na yamawakili.

    D h a m i r i y a n g u n ik u k i z u n g u m z i a h i k ikimya kilichotanda kamawingu juu ya kesi hii.Na zaidi nataka kugusiah a k i w a n a y o n y i m w awashitakiwa ya kuachiwak w a d h a m a n a h u k ukesi ikiwa inaendelea.Kucheleweshwa kusikilizwakwa kesi hiyo ni adha kubwakwa washitakiwa.

    I n a v y o o n y e s h a n ikama serikali imeamua

    kuwatia adabu ingawahawakupatikana na hatia.Ikiwa dhana hiyo ni

    sahihi, basi serikali itakuwaimeamua hivyo kwa sababu

    za kisiasa. Serikali inazidik u j i f a r a g u a i k i a m i n ikwamba kuwatia adabuviongozi wenye muelekeowa Kiislamu hakutowakera

    wakubwa wa dunia hii.Labda serikali inaamini

    kwamba balozi za Marekanina Uingereza zitayafumbiamacho wanayotendewamashekhe hao kwa sababuzimekwishatiwa sumuya Uamsho kusingiziwaugaidi.

    Ndio maana kesi hiyoikawa inaakhirishwa nakuakhirishwa kwa lengola kuwaweka ndani tumashekhe hao. Mara yamwisho Jaji wa MahakamaKuu ya Zanzibar alisemawanasubiri waletewe daarila kesi kutoka Mahakama ya

    Rufaa, Dar es Salaam.S i j u i W a z a n z i b a r i

    wenzangu wanapofuturuna aila zao katika mwezih u u m t u k u f u k a m a

    wanawafikiria wananchwenzao walio gerezani.

    Nualo ni kwamba ingawuamuzi ni wa mahakamwengi wenye kuifuatilia kehii wanaamini washitakiwhao wanaendelea kuwekwndani kwa sababu hivyndivyo watakavyo viongowa juu wa serikali y

    Zanzibar.M a r a m b i l i t a thivi Rais Ali MohameS h e i n m w e n y e wa m e s e m a h a d h a r a nkuwa atawashughulikwanaochochea fujo. Wakam w i n g i n e h u w a t a jUamsho.

    Zanz ibar ya leo nnchi yenye kuhuzunishh a i s i k i t i s h i t u , b ainahuzunisha. Ni nchyenye kutatanisha, wakamwingine hujikanganyyenyewe. Na viongozi wakeNaona hata haina haja y

    kuwaeleza walivyo...(Makala imetolewa kw

    hisani ya Ahmed RajaMtand ao wa Kija miMzalendo net)

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    9/16

    9AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 201Makala

    T U A N G A L I Emfano mwingine wakimapinduzi kutokakwenye Sunna ya Mtumewa Mwenyezi Mungu.Watawala wa Qurayshiwalimuomba baba yakemdogo Mtume amuombe

    Muhammad (saw) kwaniaba yao, aachane kabisana harakati zake. Babayake mdogo alimkabiliMtume kwa mapendekezohaya:

    Kama unataka wadhifaau hadhi, wakuu waMaqurayshi wako tayarikukupa wadhifa wowoteunaotaka;

    Kama unataka kuwamkuu wa Makka yote hii,wakuu wa Maqurayshiwako tayari kukupaukubwa huo;

    Kama umeshikwa namapepo wabaya, basi

    wakuu wa Maqurayshiwako tayari kukupamganga bora kabisaaliyekuwepo.

    Mapendekezo mawiliya kwanza yanaonekanakuwa mazuri. Baadhiya Waislamu wa leo, w a n a o k w e n d a n awakati, wangekimbiliam a p e n d e k e z o h a y o ,wakidhani ni fursa yakusimamisha Uislamu kwakutumia njia iliyowekwa namakafiri. Kwanini Mtumewa Mwenyezi Mungualikataa mapendekezoyote hayo? Katika halina mazingira hayo, nini

    lilikuwa jibu la Mtume waMwenyezi Mungu kwaWaislamu wa zama zote?

    Kwa haki ya MwenyeziMungu, Ewe baba yangum d o g o , h a t a k a m awangeliweka jua kwenyemkono wangu wa kuliana mwezi kwenye mkonowangu wa kushoto, iliniache harakati hizi ,sitoacha mpaka MwenyeziMungu anipe ushindi aunife nikifanya kazi hii.

    Kauli hii ya kitumendiyo iliyopaswa kuwamaelezo mafupi ya kinga yakimapinduzi ya Waislamu,

    dhidi ya mbinu zote chafuza makafiri, kuwaingizaW a i s l a m u k w e n y emfumo wao, ili kuwatoakwenye malengo mapanaya Kiislamu. Msimamohuo wa kimapinduziw a M t u m e , n d i y ouliowakomboa Waislamuwa awali kutoka kwenyeaina zote za woga:

    Wala hawakuwa wenyekumdhuru yoyote kwahayo ila kwa idhini yaMwenyezi Mungu Qur(2:102)

    Na kama MwenyeziM u n g u a k i p e n d a

    Uislamu na Mapinduzi - 2Na Said Rajab.

    kunidhuru, uombeziwako hautanifaa kitu,wala hawataniokoa!Qur(36:23)

    Sema: Halitatusibu ila

    alilotuandikia MwenyeziMungu Qur (9:51)Aya nyingi ndani ya

    Quran zinazungumziaj insi ya kuwa kom boaWaislamu kutokana nautumwa wa kifikra nakuwategemea viumbebadala ya MwenyeziMungu:

    . . b i l a s h a k a w a l em n a o w a a b u d umkamuacha MwenyeziM u n g u , w a ohawakumilikiini riziki,takeni riziki kwa MwenyeziMungu, na Muabudunina Mshukuruni. Kwakemtarudishwa Qur(29:17)

    S e m a : N i n a n ianayekuruzukuni kutokambinguni na ardhini?W a a m b i e : M we n y e z iMungu Qur(34:24)

    H a k i k a h i y o n d i y oriziki yetu (tutakayowapa),isiyomalizika (isiyotindika)Qur(38:54)

    Na mwisho, msukumow a k i m a p i n d u z i w aQuran unakabiliana piana kifo. Muislamu haogopikufa. Lakini hiyo hainamaana kwamba Waislamuwanapenda kuua auk u u l i w a . M u i s l a m uanakabiliana na kifo iwapo

    kifo hicho kitakuwa nikitendo cha ibada auuchamungu. Baadhi yaWaislamu wanaotumiwana Taghut wanaogopasana kifo. Wanaziogopahata Aya za Quran kuhusuchangamoto ya kifo:

    B i l a s h a k a s i s itunahuisha na kufisha,na marejeo ni kwetuQur(50:43)

    N a s i s i n d i y otunaohuisha na tunaofisha;na sisi ndiyo warithi (wayote hayo wakati ambaohapana kitakachokuwakihai) Qur(15:23)

    N a y e n d i y ealiyekuhuisheni kishaa t a k u f i s h e n i , k i s h aatakufufueniQur (22:66)

    Na kwamba Yeye ndiyeanayeleta ya kufurahisha nakuhuzunisha. Na kwambaYeye ndiye Afishaye nakuhuisha Qur(53:43:44).

    Sisi tumekuwekeenimauti, basi hatutashindwa( k u k u f u e n i w a l a ) Qur(56:60)

    N i m t a z a m o w akimapinduzi tu uliyo ndaniya kitabu cha MwenyeziMungu, ndiyo unaowezakuondoa vipengele vyote

    vya woga wa ki j ingakwa Waislamu. Baadaya Waislamu kujawa nahamasa hii ya kimapinduzi,ndipo watakapowezakukabiliana vilivyo naTaghut. Waislamu waa w a l i w a l i p o k u w atayari wameshajengwakwenye msingi huo wakimapinduzi, Aya zifuatazoza Quran zilishuka:

    B a s i w a a n d a l i en inguvu mziwezazo (silaha)na mafarasi waliofungwatayari tayari, ili kwazomuogopeshe maaduiwa Mwenyezi Munguna maadui zenu.. Qur(8:60).

    Kwa yakini MwenyeziMungu anawapenda walewanaopigana katika njiayake safu safu, kama

    kwamba wao ni jengo mojalililokamatana barabaraQur(61:4).

    Na nyote piganeni namakafiri kama wao wotewanavyopigana nanyi..Qur(9:36)

    Na piganeni katikanjia ya Mwenyezi Munguna wale wanaokupigeniw a l a m s i p i n d u k i em i p a k a (m k a w a p i g awasiokupigeni) Qur(2:190).

    N a p i g a n en i n a ompaka kusiwe na mateso(wao kuwatesa waislamubure), na dini iwe kwa ajili

    ya Mwenyezi Mungu tuQur(2:193). E w e M t u m e ( w a

    M w e n y e z i M u n g u )

    wahimize walioaminiwaende vitani Qur(8:65).

    E n y i m l i o a m i n i !Mkutanapo vitani na walewaliokufuru msiwageuzie

    migongo (mkakimb ia)Qur(8:15).Aya hizo na nyingine

    nyingi ndani ya Quranz i n a t o s h a k u o n d o ataswira potofu ya MtumeMuhammad (saw), ambayoWaislamu poa (moderates)wa leo wanataka kuenga.Mtume wa MwenyeziM u n g u a l i k u w a n imwanamapinduzi hasa waKiislamu. Amekamilikaidara zote.

    Mtume ambaye ndiyekiigizo cha Waislamuwote, alishiriki vita 27i k i w e m o m i s a f a r a .Aliagiza kuangamizwa

    kwa watu 400 wa kabila laBani Quraida, waliotakakuwahujumu Waislamubaada ya makubalia no,akiwemo kafiri mmojaa l i y e i t w a U b a y b i nKhalaf.

    Agizo la Mtume waMwenyezi Mungu kwam a k a m a n d a w a k e ,wakati wa ukombozi waMakka (Fathu Makka),lilikuwa wasimuue mtuyeyote, isipokuwa kamamtu huyo alikuwa na niaya kuwaua Waislamu.Lakini pamoja na hayo,kuna baadhi ya watuMtume aliagiza wauawe,hata kama wangekutwawamejisalimisha ndani ya

    Kaaba. Miongoni mwaoalikuwa Abdulla bin SaadAbdulla bin Khattal nwaimbaji wake wawiwa kike, ambao marnyingi waliimba nyimbza kumkashifu Mtume:

    W a m a l i z e n i h a tmkiwaona wamejifichk w en y e K a a b a Nagizo la kimapinduz

    kutoka kwa Mtume wMwenyezi Mungu, amballimebaki mpaka leo kammafundisho kwa Waislamwote duniani.

    S er a z o t e h i z o nvitendo vya kimapinduzvilivyofanywa na kipenzchetu, Mtume Muhamma( s a w ) , n d i y o l e o h ivinapingwa na jumuiyya kimataifa, zikiwemtaasisi zinazoitwa zk u p i g a n i a h a k i zbinadamu. Hata mawazya baadhi ya Waislamuyanaweza kuhoji taswirya kimapinduzi ya Mtum

    wa Mwenyezi Mungukama ilivyo ndani yQuran:

    Muhammad ni Mtumwa Mwenyezi MunguNa walio pamoja naye nwenye nyoyo thabiti mbelya makafiri na wenykuhurumiana wao kwwao Qur(48:29).

    Kwa kifupi suala ndiyhilo. Haiba ya kimapinduzya Mtume wa MwenyezMungu imetoweka. Ujasiwake kimapambano haupkwenye akili na nyoyza mamilioni ya walwanaodai kumfuata. Hap

    kuna kazi kubwa sanya kukarabati haiba ykimapinduzi ya kiongozwetu mkuu na mwalimu

    Jipatie vitabu vyenye mafunzo ya Funga ya Ramadhani, vilivyoandaliwa na SheikNurdin Kishki kama vile:- Hadithi 30 kuhusu Funga ya Ramadhan. Hukumu za Fungaya Ramadhan. Ipi Idadi sahihi ya Swala ya Tarawehe. Vingine ni Ndoa Talaka naEda. Pamoja na Uislamu si Dini ya Ugaidi.

    Kwa mahitaji ya jumla na reja reja, fika dukani kwa Saimu Gwao, Msikiti wa Mtoroau Ibn Hazim MediaCentre.

    Simu:-0713 471 090, 0715 825 672, 0773 194 646.

    RAMADHAN KARIM

    VINAPATIKANA MSIKITI WA MTORO

    KATIKA DUKA LA SAIMU GWAO NAIBN HAZM MEDIA CENTRE

    Mawasiliano: 0713 471090

    FUNGA NA HUKMU ZAKE

    SWAUMU YA RAMADHAN

    SHEIKH NURDIN KISHKI

    Funga na Hukmu zake, Watu 10 Walioruhusiwa kula Mchana wa

    Ramadhani, Mambo 10 yasiyoharibu funga Maswali na majibu

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    10/16

    10AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 20Mashairi/Habari

    Nabtadi kuangaza, Sunnah hii kwa kaumu,Si sawia kuibeza, kwani ni Sunnah adhimu,Si nyingine nadokeza, Tarawehe ya msimu,Sunnah hii ya msimu, kwanini twaipuuza.

    Si sunnah twajisemeza, kupunguza umuhimu,Kathiri twaipuuza, kwa ghururi ya rajimu,Ya kwake twayatukuza, japo ya kyendawazimu,Sunnah hii ya msimu, kwanini twaipuuza.

    Nini tutamueleza, Hakimu wa mahakimu ,Hilo ka tuuliza, siku ile ya hukumu,Yu nani wa kumjuza, amama atakadamu,Sunnah hii ya msimu, kwanini twaipuuza.

    Twadunisha yenye izza, twaadhimisha ya ghamu,Yatotunyima mwangaza, kwa la kaburi dhwalamu,Akhera nako ni kiza, na mzomzo nadamu,Sunnah hii ya msimu, kwanini twaipuuza.

    Yalo laghwu twatukuza, ya kheri hatuna hamu,Karata kutwa twacheza, pasipo kukosa hamu,

    Na nikahi twachombeza, bayana kwa maharimu,Sunnah hii ya msimu, kwanini twaipuuza.

    Kwa pool twajitokeza, lilosheheni haramu,Kamari linoikuza, kwa kufilisi kaumu,Allah alotukataza, twapokezana kwa zamu,

    Sunnah hii ya msimu, kwanini twaipuuza.

    Kucheza bao twaweza, mchana kutwa twadumuWasaa twaupoteza, kwenye dhumna kukumu,Na runinga zatumeza, kama joka la mdimu,

    Sunnah hii ya msimu, kwanini twaipuuza.

    Thamaniya metimiza, risala yangu metimu,Kwa Mola kujisogeza, si kwa faradhi kutimu,Bali kujinyenyekeza, kwa sunnah kujilazimu,Sunnah hii ya msimu, si vyema kuipuuza.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    Tarawehe, si sunnah tu !

    Ulimi tunu adhimu, ya Manani kwa insani,Ulimi tangu kadimu, kwa uneni namba wani,Ulimi mwema mwalimu, na muovu kwa waneni,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.Ulimi johari njema, tukufu yenye thamani,Ulimi kwa watu wema, u lulu na Marani,

    Ulimi kwa taadhima, kwa kweli wakuthamini,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.

    Ulimi wainajisi, waovu yako thamani,Ulimi wanakutusi, kwa kukupa sui nduni,Ulimi u ibilisi, eti mkubwa shetani,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.

    Ulimi u sura mbili, kwa ya insafu mizani,Ulimi anokujali, kwa kheri wamuauni,Ulimi asokujali, kwa shari haumukhini,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.

    Ulimi sasa kwanini, tuutie lawamani,Ulimi mimi sioni, ulaumiwe kwanini,Ulimi kosale nini, nuzeni ikhiwani,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.

    Ulimi wa Ramadhani, wafungaji uchungeni,

    Ulimi kwa Qur-ani, kusoma utumieni,Ulimi za Adinani, kwao hadithi someni,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.

    Ulimi utumieni, kumdhukuru Manani,Ulimi uzuieni, kuwasengenya insani,Ulimi ukalifuni, mema unene jamani,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.

    Ulimi nanezo beti, zimefika ukingoni,Ulimi kwa khairati, nifanye mwenzo mwandani,Ulimi kwa shururati, uwe adui mubini,Ndimi zetu tuchungeni, wafungaji Ramadhani.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    Swaumu na ndimi zetu

    M O H A M M E D A lAhdal kutoka nchiniK e n y a , a m e i b u k amshinda wa kwanzak a t i k a f a i n a l i y ashindano la kusomana kuhifadhi Quranlililofanyika MasjidI dr i s s a , Ka r i a koojijini Dar es SalaamJumamosi iliyopita.

    Kufuatia ushindihuo, mgeni rasmi katikamashandano hayo,Mbunge wa jimbo laIlala Bw. Mussa Azzan(Zungu), alimkabidhimshindi zawadi yakeambayo ni fedha taslimshilingi milioni moja.

    B w . A l A h d a lalishindia kiasi hichocha fedha ambazon d i z o z i l i z o k u w azawadi ya mshindiwa kwanza, baada yakuwazidi wenzakewanne alioingia naohatua ya fainali.

    Mshindi wa pil ikatika mashindano hayoalikuwa ni Zubeir Bakarkutoka Dar, ambayea l iweka k ib in d o n i

    kitita cha shilingi lakisaba huku nafasi yatatu ikichukuliwa naAbdallah MohammedSaleh wa Dar pia,ambaye alipata zawadiya shilingi laki tanon a n a f a s i y a n n eilichukuliwa na HussenYahya kutoka Kondoam k o a n i D o d o m a ,aliyezawadiwa kititacha shilingi laki tatu.

    N a f a s i y a t a n oilikwenda kwa YahyaHussen wa Dar ambayealipata laki tatu pia.

    Katika hatua ya awaliya mashindano hayo,

    Mkenya ashinda kuhifadhi Quran DarNa Shaban Rajab mahafidhi 39 kutokam iko a m bal im bal iwashiriki , ambapowalichujwa na kuibakiawatano, ambao ndio

    walioingia hatua yaf a in a l i J um am o s ina Bw. MohammedAl Ahdal kuibukamshindi.

    Mashindano hayyameandaliwa na taasiya Khidmatul QuraIslamic Foundation yjini Dar es Salaam.

    * M A K A M U w aKwanza wa Rais waZanzibar MaalimSeif Sharif Hamad,a m e w a h i m i z aW a i s l a m uk u sh i r i k i a n a n akusaidiana kwa dhatiili kudumisha umojamiongoni mwao.

    A l i f a f a n u akwamba umoja namshikamano ndionguzo ya kuzidishamapenzi miongonimwa Waislamu, hivyokutaka utamadunihuo uendelezwe kwamaslahi wananchi na

    taifa kwa ujumla.Maalim Seif alitoa

    kauli hiyo alipokuwaa k i t o a s h u k r a n ik w a M a s h e i k hn a w a n a n c h iw a l i o j u m u i k anaye katika futaria l i y o i a n d a anyumbani kwakeMbweni kwa ajiliya viongozi hao wadini.

    A l i w a s h u k u r uM a s h e i k h k w akujitokeza kwa wingi

    Maalim Seif afuturu na Masheikh ZbarAzuru wagonjwa, wafiwa

    Na Mwandishi Wetu katika futari hiyo nakwamba, kitendohicho ni ishara yamapenzi waliyonayoviongozi wa dini

    kwa viongozi waowa kitaifa.

    W a k a t i h u ohuo, Maalim Seifamehitimisha ziarayake ya kutembeleawagonjwa na wafiwak w a u p a n d e w aUnguja, baada yakufanya ziara katikam k o a w a M j i n iMagharibi.

    Awal i a l i fanyaziara katika wilaya zaKusini na Kati Unguja,yakiwemo maeneo ya

    Kizimkazi Mkunguni,Kijini Makunduchi,Jambiani na Ndani.

    Makamu huyo waRais pia alitembeleamaeneo ya wilaya zaMjini na Magharibin a k u o n a n a n awagonjwa kat ikamaeneo ya Mbweni,Tomondo, Magogonina Mji Mkongwe.

    Akiongozana naviongozi mbalimbaliwakiwemo Waziri wa

    Nchi, Ofisi ya Makamwa Kwanza wa RaiFatma AbdulhabiFerej na Naibu Wazi

    wa Elimu Zahra AHamad, Maalim Sealianza ziara yakmapema asubuhk a t i k a m i t a a wMbweni matrektKiembe samaki nMwanakwerekwkabla ya kusitishziara hiyo kwa ajiy a k u h u d h u r imazishi ya wanajeshwawili wa Zanzibawal io far iki hukDarfur nchini Sudan

    H a t a h i v yalihitimisha ziarhiyo kwa kutembeleJimbo la Mji Mkongwambako alikwendkuwajuilia hali nkuwafari mzee SalimMzee wa Darajani nmzee Ali Yussuf wMkunazini.

    Maalim Seif pianatarajiwa kufanyziara akma hiyo katikmikoa ya Pemba hivkaribuni, ndani ymwezi huu mtukufwa Ramadhani.

    MSIKITI uliojengwa na Taasisi ya Africa Islamic Relief of Kuwait katika Shule ya Sekondari yaKiislamu ya Aljebra Kigamboni Dar es Salaam, umekabidhiwa shuleni hapo na Mkurugenzi wa

    Taasisi hiyo Sami Mohamed hivi karibuni.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    11/16

    11AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 201Makala/Habari

    Msaada unahitajikaAL-MADRASATIL FADHAKIL iliyopo Kata yaKIBAMBA kwa kushirikiana na uongozi waMadrasa pamoja na USTADH WA MADRASAwameandaa mashindano ya kuhifadhi QUR'ANJUZUU Tatu (3) na HADITHI ZA MTUME (S.A.W.).Kwa wanafunzi wa Madrasa Kata ya Mbezi naKibamba. Ynayotarajiwa kufanyika Ramadhaniya (11) mpaka Ramadhani ya (14). Kwa ajili yakuitukuza na kupata fadhira zaidi za Qur'an na sifazaidi za Mtume Muhammad (S.A.W.) wanaombaWaislamu wote Watanzania wenye uwezo. Nawale wote waliojaaliwa na Allah (s.w.) wawasaidieili kufanikisha kupata zawadi za kuwapa motishavijana wote watakaoshiriki ambao ni zaidi ya (80)na wanawaomba kuhudhuria kwa watakaojaaliwana Allah (s.w.).

    Kwa mawasiliano:

    0757 375993 MWENYEKITI

    0171 649313 USTADH

    Kamati ya Maafa ya Shuraya Maimamu Tanzania

    Inawaomba Waislamu kuchangia kamatiili iweze kusaidia Familia za Waislamu 52walioko Jela.

    Tuma Mchango wako kwa Amiri BuiyaS. Buiya 0763 241270 M.pesa na 0655241270 Tigo pesaKatibu Ally Mbaruku 0777 816040 EzyPesa au 0784 816040 Airtel Money

    Kwa mawasiliano zaidi pia unawezaukapiga simu kwa Namba hizo hapo juu.Unapotoa katika kheri, hakika umejiwekeaakiba isiyoharibika.

    D a k u n i c h a k u l akinacholiwa usiku wamanane kwa ajili yakujiandaa kufunga sikuinayofuata. Kula daku nijambo lililokokotezwasana na Uislamu kamatunavyojifunza katikaQuraa na Hadithi zaM t u m e M u h a m m a d( r e h m a n a a m a n zmfke): .....Na kulenina kunyweni mpakaubainike kwenu weupewa Alfajir katika weusiwa usiku..... (Quran:2:187).

    M t u m e M u h a m a d(rehma na aman zmfke)amesisitiza sana kuladaku. Tuone hadithi mojaifuatayo: Kuleni daku,kwani ipo baraka katikakula daku. Na tofauti ya

    fadhila ya funga zetu sisi naAhlul Kitabu (Wayahudina Wakristo) ni huko kuladaku.

    Mlo bora wa daku

    Vy a k u l a v i n a w ez ak u g a w a n y w a k a t i k amakundi makuu mawilikwa kigezo cha mudawake wa kukaa tumboni.Kundi la kwanza n ivyakula vinavyo chukuamuda mfupi, saa 2 mpaka4 kusagwa. Mfano wavyakula hivyo ni vile

    laini kama ndizi, viazi namatunda. Kama tulionakatika makala zilizopita,vyakula laini ni vizuri

    UMUHIMU WA MLO WA DAKUNa: Mujahid Mwinyimvua

    kutumika kama futari.Kundi la pili la vyakula

    ni vyakula vinavyokaatumboni kwa muda mrefu(kiasi cha saa 6 mapa 8 auzaidi).

    Vyakula hivyo ni kamavile nafaka na mbegu ngano, shahiri, mtama,m a h i n d i , m c h e l e n amaharage. Inashauriwana wataalamu wa vyakulawa kiislamu kuwa vyakulakama hivi viliwe kamadaku au usiku sana kwaw a l e w a n a o s h i n d w akuamka na kula daku.

    Vyakula hivi vitawapanguvu ya kuhimili mikikimikiki ya saumu mchanana pia wataweza kumudumajukumu mengine yakazi za mchana. Kwa hiyo,

    vyakula hivi ndio vizurizaidi kuliwa kama daku.Katika funga nia kubwa

    ya Mwenyezi Mungu nikupima utii wetu kwake,sio kutukomoa. Ndiomaana funga ya Kiislamuinahimiza kula daku karibuna alfajiri na kutufurumara tu jua linapo zama.

    Maana yake hizo nitakriban saa 14 (kati yasaa 24 za siku nzima) (paleambapo mchana so mrefu)zinatosha kupima utiiwetu kwa Mola. Hii maanayake ni kuwa Uislamu

    unazingatia namna Allahalivyo uumba mwili .Swaumu ya muda fulani

    ni tiba katika mwili, lakiniukizidisha muda sanabila mwili kuupa chakula,utakidhuru kiwiliwili hasaubongo.

    Madai ya baadhi ya watu

    Baadhi ya wasiokuwawaislamu wanabeza nakudai kuwa sisi tunakulaa l f a j i r , h a l a f u n d i otunafunga. Wajaribu nawao kufunga japo kwasaa 12 tu wataona ugumuwa swaumu, hasa kwaasiefunga kwa imaniy a k u m k u b a l i M o l aMuumba.

    T u n a k u m b u k aMwalimu Julius K. Nyererealivyofunga na waislamuenzi za kudai uhuru, kabla

    ya jua kuzama alisemakichwa kinamuuma naapewe asproo. Masheikhwakamhamasisha asubirimpaka muda wa kufuturuulipofika.

    H i i n d i o s w a u m uhaina mchezo kwa mtuanaependa dunia tu. Kwahakika kula na kufanyajimai ndio furaha kubwakatika maisha ya kidunia,na wengi wanamuasi Molakwa hayo mawili, yaanitumbo na utupu.

    Makundi ya vyakula

    W a t u w a n a o f u n g awanatakiwa kuchagua nakula vyakula kutoka katikamakundi mbalimbali kwa

    kila mlo wa futari na daku.Makundi hayo ya vyakulani:

    Nafaka, vyakula aina yamizizi na ndizi za kupika

    Kundi hili la vyakula

    linajumuisha nafaka kamamahindi, mchele, mtama,ulezi na ngano; ndizi zakupika na vile vya ainaya mizizi kama magimbi,mihogo na viazi.

    Vyakula hivi huupamwili nishati (nguvu) vilevile vitamini, madini naprotini kiasi kidogo.

    Vyakula jami i yam i k u n d e , v i l e v y akokwa na vyenye asili yawanyama

    Vy a k u l a v i l i v y o k okatika kundi hili ni pamojana maharage, mbaazi,karanga, korosho, nyama,

    samaki, mayai na maziwaambavyo vyote ni chanzokikubwa cha protini. Pia,vyakula hivyo ni chanzocha vitamini na madini.

    MatundaMatunda ni chanzo

    kizuri cha vitamini C,vitamini za aina nyinginena baadhi ya madini.Kundi hili linajumuishamatunda kama matikiti,zabibu, mapapai, maembe,m a c h u n g w a , l i m a u ,ndimu, machenza, nanasi,pamoja na matunda porikama ubuyu, mabungo naukwaju.

    Mboga mbogaKundi hili linajumuishamatembele, kisamvu,m a j a n i y a m a b o g a ,

    mchicha, bamia, karotmaboga, nyanya pamona mboga nyingine za asikama mlenda, mchungfigiri na mnavu. Mbogmboga zote ni chanzkizuri cha vitamini nmadini.

    Zaidi ya hayo, mbogmboga hasa za majanni chanzo kizuri san

    cha nyuzi nyuzi za lishIngawa Quran imebainishkuwa Mwenyezi Mungkatuumbia mboga mbogkwa manufaa yetu, lakinWaislamu wengi hawanhabari kabisa na ulaji wvyakula hivyo hasa wakawanapo kula futari.

    Mafuta na sukariMafuta ni pamoja n

    samli, siagi, mafuta ynazi, majarini, mafuta yalizeti, ufuta, mahindna mawese. Inashauriwkuwa watu watumie zaidmafuta yanayotokanna mimea badala ywanyama.

    Sukari ni pamoja nasali na ile inayotokanna miwa. Vyote hivyvina kiwango kikubwna nishati iliyomakinik(concentrated).

    Maji ya kunywaWakat mwng wa usk

    wa Ramadhani ni muhimsana mfungaj kunywmaji ili kupunguza hataya mwili kukaa mudmrefu bila maji ya kutoshmchana wa mfungo. Mana juisi huondoa sumkutoka katika mwili.

    K w a m t u m z i m

    anatakiwa anywe glanane za maji (kama litmoja na nusu). Wakawa mfungo tujitahidi iangalau tusiwe chini yglasi nne kwa usiku wot

    P i a , w a f u n g awakumbke tulivyosemhuko nyuma kuwa sivizuri mtu kunywa kwwingi chai au kahawa asoda ya coca cola/pepwakati wa kula mlo wdaku. Hii ni kwa sababchai au kahawa au sod(ya coka cola na pepcola) hutengeneza mkojmwingi, hivyo maji n

    madini yatapotea kwa njya mkojo kunapo kucha.Vilivile, milo yote waka

    wa Ramadhani isiwe nchumvi nyingi au sukanyingi kwa sababu mchanutakuwa na kiu sana nutapoteza maji kwa njia ymkojo. Ni visuri kunywtangawizi au mchai chau maji ya moto kama mthawezi kula daku bila chau kahawa nyingi. Kahawau chai au soda (kina cokukinywa kabla ya usikwa manane hakuna shidsana.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    12/16

    12MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 2013

    Waliohifadhi Quran wapewe elimu ya juuNa Bakari MwakangwaleWAISLAMU wametakiwakuwaendeleza kitaalumavijana wanaohifadhi Quran, ili waje kuwa viongozibora katika jamii.

    H a y o y a m e s e m w ana Ust. Hussein Ismail,akiwahutubia Waislamu nawazazi katika mashindano yakusoma na kuhifadhi Qur an,yaliyofanyika katika viwanjavya Masjid Islamic Yombo,Jini Dar es Salaam, mwishonimwa wiki iliyopita.

    Ust. Ismail, alisema hivisasa kumekuwa na muamkomkubwa kwa Waislamu nawazazi kwa kuhifadhishawatoto kuisoma na kuihifadhiQur an, ukilinganisha nakipindi cha nyuma.

    Alisema, jambo hilo nila kheri kwa Waislamu naTaifa kwa ujumla kwanijamii inapokuwa na wasomiwengi wanayoua Qur an nawakaitafsri kwa matendo,husadia kujenga jamii iliyona maadili.

    Lakini hayo hayawezikufikiwa ikiwa vipaji vyawatoto hawa vikaachwahivi hivi, hawa Mahafidhitunawatazama vipi? Niju ku mu la Wai sl am u nawazazi kuwaendelezakielimu kwani kiongozibora ni yule anaye mjua nakumuogopa Mungu wake.Alisema Ust. Ismail.

    Ust. Ismaili, alisema hivisasa kila kituo cha Madrasakuna juhudi zinafanyikaza kuhifadhisha watotoQur an, hivyo ni vyemakusoma vipaji vya watotohao ili waweze kuendelezwakitaaluma zaidi.

    Ust. Ismail, aliwaasa wazaziwa watoto hao na Waislamukwa ujumla kutobwetekana kuridhika kwa kiwangowalichofikia watoto waokatika kuhifadhi tu, bali

    wajue kuwa bado wanadhimapia katika kuwapa elimu zotekwani alidai katika Uislamuhakuna elimu ya Dini naelimu Dunia.

    Mtoto asizame katikaQur an pekee, zote ni elimuza Mwenyezi Mungu hakunaelimu ya dunia na elimuakhera yote hayo yanaendas a m b a m b a n i m a k o s ak u t e n g a n i s h a e l i m u . Alisema ust. Ismail.

    A l i s e m a , h i v i s a s akunachangamoto nyingizinawakabili Waislamukuto n a n a kus h in d wakuwaanda vijana ambaokatika utendaji wao wakawa

    wanazingatia maadili yadini yao.

    K w a u p a n d e w a k e ,mgeni rasmi katika haflahiyo ambaye ni Mkurugenzimsaidizi wa Chuo ChaMarkaz i Ch an g o m be ,D o k t o u r S w a l a h u d e nMaftaha, alisema mboramiongoni mwa watu ni yulealiyeisoma Qur an kishaakaifundisha.

    A l i w a t a k a w a l i m uw a n a o f u n d i s h a n akuhifadhisha Qur an, kutoamafunzo pia kwa watotohao kuisoma, kuihifadhi

    kisha kuizingatia ili wawezekufikia lengo.Kila anayeifundisha Qur

    an atilie mkazo pia kwakuzingatiwa ile maana yake,maana yale ni maamrishokutoka kwa MwenyeziMungu kisha yafanyiwekazi, ikiwa hilo litazingatiwatunaweza kufika mbali.Alisema Doktour Maaha.

    Aidha, Mkurugenzi huyowa Markazi Changmbe,a l iwataka wal im u waMadrasa, kufundisha nakuhimiza ibada ya swala kwavijana wanaowasomeshaQur an, kwani alidai haifaikwa anayeisoma Qur an,(hafidhi) kisha asiwe mwenyekusimamisha swala.

    Jumla ya Madrasa nanezilishiriki katika mashindanoh a y o y a l i y o a n d a l i w ana umoja wa Madrasazinazohifadhisha Qur an,Yombo.

    Umoja huo ulianzishwamwaka 2011, umesemampaka sasa wamepatamafanikio kadhaa ikiwa nikupata ongezeko kubwa lavana wanaohifadhi Qur ankatika Madrasa hizo.

    M a f a n i k i o m e n g i n eyametajwa kuwa ni umojah uo kuto a wan af un zi(Mahafidhi) wanao kwendakus h ir ik i m as h in d an ombalimbali yakiwemo ya

    Afrika Mashariki.Umoja huo umesema,mbali ya mafanikio hayolakini pia wamekutana nachangamoto mbalimbaliikiwemo upungufu waMisahafu, Juzuu na vitabumbalimbali.

    Pia tuna uhaba wa maeneoya kufundishia ikiwemotatizo sugu la mishahara kwawalimu wanaohifadhisha nakufundisha Qur an.

    T u n a o m b a w a d a umbalimbali kutuunga mkonokatika kuondoa changamotohizo kwa lengo la kustawishaUislamu na vana wetu kwaujumla. Ulisema uongozihuo.

    FARIDA Jumaa (8), akisoma Qur an katika mashindano yakuhifadhi Qur an, yaliyofanyika Yombo, Jini Dar es Salaammwishoni mwa wiki iliyopita.

    TUME ya Mabadilikoya Katiba imeshauriwa

    k u z i p a u w e z o w akumiliki Bank Kuu nchiwashirika wa Muunganowa Tanzania ili kuzifanyak u w a n a u h u r u w amatumizi ya kibenkiambayo yatawawezeshakukua kwa uchumi waokwa haraka.

    Ushauri huo umetolewana baadhi ya wajumbewa Baraza la Kat ibalililoandaliwa na Jumuiyaya Vana Elimu na MaadiliZ a n z i b a r ( Z A Y E M )wakati wakadili rasimuiliyotolewa na Tume yaMabadiliko ya KatibaTanzania.

    Walisema kuwa ni vyemaTume ikaona kuwapo kwaumuhimu mkubwa wakuziachia nchi washirikakwa Muungano, ziwezekuwa na Bank Kuu badalaya jukumu hilo kupewaSerikali ya Muunganopekee yake.

    Mwalimu Aleiy ambayeni mjumbe wa baraza hiloalisema kuwa tume kuipaumilikiwa Bank KuuSerikali ya Muungano sijam bo la bus ara , kwania l i f a h a m i s h a k u w akufanya hivyo ni sawana kuzinyima uhuru nchi

    washirika katika masualaya kifedha.Alisema kuwa uamuzi

    huo wa tume kwa kiasifulani unaweza kuletaucheleweshaji wa uchumik w a n c h i w a s h i r i k akutokana na kubanwana Serikali ya Muunganokatika masuala yao yak i u c h u m i a m b a y oyanategemea fedha.

    Aidha Wajumbe haow a k i c h a n g i a r a s i m uhiyo walipendekeza kwatume ya mabadiliko yakatiba kuzipa uwezo

    Vijana Zanzibar watakaBenki, Polisi Katiba Mpya

    Na Haji Mtumwa,Zanzibar

    Bismillah Rahmanir Rahim

    UMOJA WA WANAFUNZI WA KIISLAM WALIOSOMA NCHIN I SUDANI(INTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA)

    TAREHE 2-8-2 013 sawa na mwezi 24 Ra madhani baada ya swala ya ijumaa.Sote tuwasili hapo

    Tafadhari mjulishe na mwingine asikose

    INA WAALIKA WASOMI WOTE

    WALIOSOMA NCHINI SUDAN

    KUHUDHURIA MKUTANO MUHIMU

    MAALUMU NA FUTARI YA PAMOJA

    MKUTANO UTAFANYIKA KATIKAUKUMBI WA ITIQAMA- MSIKITI WA ILALA

    KARIBU NA MACHINGA COMPLEX

    0713508555, 0769 757676,

    0715455137

    UWAWASU

    n c h i w a s h i r i k a k i lmmoja atumie fedhyake katika nchi yao ikuondosha msongano wmaingiliaona ya kifedha

    Walisema kuwa hatu

    hiyo itaziwezesha nchwashirika wa Muungankujitegemea katika kukuzuchumi wao kwa kuwna fedha yake badala ykuwapo kwa fedha ypamoja kwa nchi zote.

    Tunaamini wazi kuwkila nchi mshirika wMuungano wa Tanzanakatumia fedha yakkatika nchi yake kwkiasi fulani itasaidia sankatika kutafautisha nchna nchi badala ya kuwapkwa fedha ya pamojawalisema wajumbe hao.

    M a s o u d S a l eakiwasil isha kazi zvikundi alisema kuwni vyema kwa Tume ymabadiliko ya katikikaliondoa suala la Polikuwa la Muungano nbadala yak e suala hilkuwa la nchi washirika.

    Alisema kuwa kazkubwa ya Jeshi la Polini kulinda raia na mazao, hivyo ni vyema tumikaona kuwa i l i nchwashirika kuwa nguvk a t i k a u t a w a l a w ahakuna budi suala hilwakapewa wao badala ykuwapo kwa Serikali yMuungano.

    K w a k u w a J e s hla Polisi l inakwendsambamba na mahitay a w a n a n c h i h i v ytunashauri kwa tumsuala hilo wakaachiwnchi washir ika hasukaangali kila mmojatakuwa na katiba ya nchyake, alisema Masoud.

    Alifahamisha kuwpindi suala hilo likaachiwSerikali ya Muunganinawezekana l ikatohuduma kinyume nmalengo yao, kutokanna kila nchi watakuwa n

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    13/16

    Safari ya Hijja Dola 4450

    tu. 1434/2013Taasisi ya Khidmat Islamiya inawatanganzia Waislamu

    wote Safari ya Hijja kwa Gharama ya Dola 4450 tu.unaweza kulipa kwa awamu

    (Kuhijiwa) ni Dola 1450 tu.Kuondoka ni 5/10/2013 kurudi 27/10/ 2013

    Piga Simu 0784 786680, 0713 986 671, 0774 786 680E-Mail) [email protected] , Tovuti

    (Website) www.khidmatislamiya.com

    Markazi Ummu Suhail ni kituo cha kuhifadhisha Qur aankwa Mabinti wa Kiislamu. Kituo ni cha bweni kipo mkoaniKilimanjaro wilaya ya hai.Umri: kuanzia miaka 13 na kuendelea.Kituo kitafunguliwa 9/08/2013 Inshaalah. Fomu za

    kujiunga zinapatikana msikiti wa Riadha, wahi nafasi nichacheKwa mawasiliano zaidi tupigie simu namba 0754 029 518Mlete mwanao apate elimu yenye manufaa.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    14/16

    14AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 20

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    15/16

    15AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 201

  • 7/27/2019 ANNUUR 1081

    16/16

    16AN-NUU

    RAMADHAN 1434, IJUMAA JULAI 26 - AGOSTI 1, 20