annuur 1092

Upload: mzalendonet

Post on 14-Apr-2018

618 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1092DHULQADAH 1434, IJUMAA , SEPT. 27 - OKT. 3, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

    Kenya wachuktahadhari kubw

    Wachunguze kwa kituo, kuTanzania tusiparamie habaMwenzako akinyolewa, ki

    Vyombo vya habari vinaitisha Tanzania

    Sio Al Qaida wala Al ShababKwa nini? Kwa masilahi ya nani? Ukumbusho

    Dr. Shein akumbushwa ahaMbatia, Mbowe wasema, YNi Fitna tu inayowahujumu

    Walioshambulia Kenya niMujahidina au al Shabab?

    Uchochezi wote huu kwa lengo gani?Kasema kweli Waziri wetu NchimbiTuwe makini, watu wengine nuksi

    Picha kulia/kushoto, moja ya harakati za kuokoamateka katika shambulio la kigaidi Nairobi, Kenya.

    Kesi ya ImamHamza yaanzakusikilizwa

    Uk. 12

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    2/16

    2 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,AN-NUUR

    S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.

    www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

    Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Makala/Tangazo

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum yamaandalizi ya kujiunga na kidato cha kwanza 2014.Program hii itaanza tarehe 16/09/2013 hadi tarehe 16/12/2013. Jumatatuhadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir.Masomo yatakayofundishwa ni:-

    Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, basicMathematics na Computer.

    ADA: Ni Tshs 60,000/= (Elfu sitini) tu. Inalipwa yote kabla ya kuanza programu.Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa ada.

    Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomweze kujiunga na kidato chakwanza.

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0714 888 557/0712 974428

    Wabllah tawfqMKUU WA SHULE

    Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam

    E-mail:[email protected]

    MAANDALIZI YA KUJIUNGA KIDATO CHA

    (PRE- FORM ONE ORIENTATION COURS

    Serikali yatakiwa kuchSERIKALI imetakiwakuacha kuwasakamaM a s h e i k h h u k uikiwaacha Wachungajiwakiingia na kufanyawatakavyo nch in i ,jambo ambalo ni hatarikwa mustakabali waTaifa.

    Wito huo umetolewana viongozi wa diniy a K i i s l a m u k w anyakati tofauti katikatiya wiki hii, kufuatiamalalamiko ya Wakristodhidi ya Wachungajiwao kutoka nchi za njewanaoj ishughul ishana mambo ambayo nikinyume na sheria za

    nchi ikiwemo biasharaharamu ya dawa zakulevya.

    A k i z u n g u m z i asua la h i lo , Maa l imAlly Baswaleh, aliitakaSerikali iwe makini juuya madai ya wauminidhidi ya Wachungaji( W a h u b i r i ) w a owanaotoka nchi za nje nakuingia katika Makanisakwa kigezo cha kuhubiri.

    Maa l im Bassa leh ,a l i s e m a a m e s o m akatika gazeti la HabariLeo, la Septemba 22,

    2013, ambalo limeelezakwamba hata viongoziwahusika katika idaraza Serikali zinazohusikana masuala ya Mamboya Ndani ya nchi naUhamia j i wameki r ikupokea malalamiko yaWakristo hao.

    Wa m e n u k u l i w awakilalamika kwambak u n a b a a d h i y aWachunga j i ambaowanatoka nje ya nchikisha wanasababishamigogoro ndani yaM a k a n i s a . Z a i d iW a c h u n g a j i h a oku toka n je ya nch ihujishughulisha piana biashara ya dawaza kulevya. AlisemaMaalim Basaleh.

    Mbaya zaidi Maalim,alisema kwa mujibuw a m a l a l a m i k o y aWa k r i s t o h a o n ikwamba, Wachungajihao wanapata vibalivya kuwepo nchinina kujishughulisha nashuhughuli za kihubiripengine mpaka miakamiwili jambo ambalo nihatari kwa maslahi yaTaifa.

    Alisema, wachungajih a o w a K i k r i s t owanapoingia nchiniwamelalamikiwa kuwa

    h u p e w a v i b a l i n amamlaka husika, akadiahal i n i tofaut i kwaupande wa Masheikhkutoka nchi za Kiarabu.

    Kuna Masheikh wetukutoka nchi za Pakistani,India, Arabuni hufikahumu nchini kwa minajilihiyo hiyo ya kuhubiridini, lakini wanapoingiahupata misukosuko sanakutoka katika idara hizoza Serikalini tofauti na haoWahubiri wa Kikristo.Alisema Maalim Bassaleh.

    Alisema, kitendo hiki chakuwasakama Waislamuwaliopo ndani ya nchi auhata wale wanaoingia kwalengo la kuja kufundishadini, na kuwanasibisha namasuala ya kigaidi yana

    lengo la kuwapaka matopeku liko uhalisia wake.A l i t o l e a m f a n o

    tukio la mlipuko wa bomu Kan isani kat ikamji wa Arusha, hivik a r i b u n i k w a m b a baada ya vyombo vyausalama kuwakamatar a i a w a K i a r a b ukabla ya uchunguziwakanasibishwa naugaidi.

    Kwa mujibu wa gazetihi lo la Habar i Leo,limemnukuu msemaji waIdara ya Uhamiaji nchini,

    Na Bakari Mwakangwale

    TUNACHUKUA fursahii kuwapa pole jiranizetu Kenya kwa mkasamzito uliowapata wakushambuliwa katikaduka kubwa (ShoppingMall) la Westgate mapemawiki hii.

    Aidha tunawapa polewale wote waliopotezandugu zao katika tukio hilona kuwatakia kila la kheriwote waliojeruhiwa katikamkasa huo na MwenyeziM u n g u a w a w e z e s h ewapone haraka na kurejeakatika hali ya afya njema.

    W a k a t i K e n y aikikumbwa na tukio hilila utekaji na mauaji yawatu wasio na hat ia ,mataifa mengine yana chakujifunza kupitia mkasahuu, hususan hapa kwetuTanzania.

    K w a m u d a m r e f uvyombo vyetu vya usalamavimekuwa vikifanya mzahana matukio ya kigaidi kwakuhusisha vitendo vyauhalifu uchwara na ugaidi,huku uhalifu wenyeweukichagizwa na kukuzwana porojo za baadhi yavyombo vya habari.

    Wa k a t i m w i n g i n evyombo vyetu vya habarihuzusha tuhuma za kigaidinchini kwa sababu tu yachuki za kiimani au kwalengo la kuuza nakalanyingi.

    Ni jambo lililo wazik u w a m a r a n y i n g ihabari za ugaidi nchinihuwa zinaripotiwa kwakunasibisha na Uislamu au

    jamii ya Waislamu.Lugha ugaidi, Al Qaeda,

    Mujahidina, Siasa kali,Al Shabaab n.k. imekuwaikitumiwa na baadhi yavyombo vya habari navyombo vya dola kamas i l a h a m u h i m u y akuituhumu na kuichafua

    jami i ya Waislamu hapanchini, hata kwa matukioyasiyofanana kabisa navitendo halisi vya kigaidi.

    Mfano mzuri ni uzushiu l iofanywa dhid i yaChuo cha Kiislamu chaAljaazira kule visiwaniU k e r e w e M w a n z a ,ambapo zilizushwa na

    Poleni wana KenyaWatanzania bado wanafanya mzaha

    kutengenezwa habarikatika gazei moja la kilasiku kwamba chuo hichocha Kiislamu, kinatoamafunzo ya Ugaidi.

    A i d h a g a z e t i h i l oliliongeza kuwa nyakatiza usiku huwa wanaingiawageni wasiofahamikachuoni hapo kwa mitumwiwakiingiza silaha!

    Mizaha ya mana hiii m e k u w a i k i f a n y w amara nyingi na vyombovya habari nchini, nahaishangazi kuona vyombovyetu vya dola, navyo

    bila hata kuhoji kwa kinawachocheza wa habari hiziza kizushi na kuthibitishahabari zao, navyo huingiakatika mkumbo huo huowa propaganda na wakatimwingine kuwaingizaw a s i o k u w a n a h a t i amatatani.

    Pengine hi i mizahaya uga id i imeki th i r ihapa kwetu kwa kuwahatujaonja hasa ladha halisiya ugaidi unaozungumzwaduniani zaidi ya kusikia tukwa wenzetu.

    Tu k i o l a We s t g a t eni funzo murua kwayeyote mwenye akili naanayejifunza.

    K a m a t u t a k u w at u m e j i f u n z a k u p i t i aWestga te , ha tudhanikwamba mchezo huutuliouzoea wa kuzua habariza kupika juu ugaidi hapanchini, utaendelea.

    Na kama bado wapowenye agenda zao kupitialugha za ugaidi, Al Qaeda,Al Shaabab hapa nchini,hatuwezi kusema, wanahiari ya kuendelea naagenda zao (maana sikio lakufa huwa halisikii dawa).

    Hatuwezi kusema hivyokwa sababu kila mchuma

    janga hula na wakwao . Janga likija litatuangamizasote. Kwa hiyo, tutaendeleakufichua na kuzisemeapropaganda za namna hiiili kuinusuru nchi yetu na

    balaa la kup and ikiziwakitisho bandia cha ugaidi.

    Hatma ya kitisho bandia,ni kuletewa ugaidi halisi.

    Kamwe hatutachokakutekeleza wajibu huu waku chua propaganda hizichafu.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    3/16

    3 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Habari

    Vyombo vya habari vinaitisha TTAARIFA zi l izo tawalabaadhi ya vyombo vyahabari jana, zilikuwa zile zakitisho cha A-Qaida na AlShabab. Kwamba Tanzaniainakabiliwa na kitisho chaAl Qaida.

    A l - Q a i d a y a t i s h aTa n z a n i a : Wa t a n z a n i awapewa mafunzo ya ugaidinje. Ndivyo lilivyoripotigazeti la Mtanzania.Hofu Afrika Mashariki:Mtandao wa kigaidi wazidik u j i t a n u a , k u t a w a n y asumu.

    Lilidai gazeti la Rai nakuongeza kuwa Uhusianowa Uamsho na MombasaRepublican unatia shaka.

    Wakati wananchi waAfrika Mashariki wakijawana hofu ya mashambulioyanayopangwa kufanywana vikundi vya ugaidi vyaAl Qaida na Al Shabab,imebainika kuna Watanzaniawaliopewa mafunzo yaugaidi wanaojiandaa kufanyamaovu. Limesema gazeti laMtanzania jana.

    P e n g i n e k a b l a y akuchambua habari hizotuseme yafuatayo. Aprili 5,1986 watu watatu waliuliwana wengine 230 kujeruhiwavibaya katika shambulio la bomu li li lofanyika ka ti kaukumbi wa s tarehe , LaBelle discothque Berlin,Ujerumani Magharibi.

    Haraka haraka ililaumiwaLibya na Ra i s Rona ldReagan akaamuru Tripolina Benghazi ipigwe kamanamna ya kulipiza kisasi.Katika shambulio hilo, watu30 waliuliwa wakiwemo wafamilia ya Muammar Gadha .

    M a s a a m a w i l i m a r a baada ya shambaul io hilo,Rais Ronald Reagan katikahotuba yake kwa taifa kupitiatelevisheni alisema kuwaaliamuru shambulio hilo kwasababu alikuwa na ushahidiwa uhakika ("direct, preciseand irrefutable" proof),kwamba Libya ilihusika na bomu lililolipuliwa La Bellediscothque.

    Hata hivyo, mwaka 1998televisheni moja ya Ujerumani,Zweites Deutsches Fernsehen(ZDF te levis ion) , i l i toadocumentary, iliyo chua nanihasa alihusika na tukio hilolililofanywa kisingizio chakuipiga Libya. Documentaryhiyo iliyorushwa hewani natelevisheni (German publictelevision) Agosti 25, 1998,ilifichua mambo ambayo,h a i k u w a h i k u f i k i r i k a ,n a w a k a t i m w i n g i n ekuwa vigumu kuaminikakama sio kwa ushahidim a d h u b u t i u l i o t o l e w a

    katika documentary hiyo(msomaji anaweza kuirejeaau kusoma yaliyoripotiwakatika jarida, Frontal ,. kuonakilichokuwepo).

    Lakini la muhimu zaidikwetu ni kuwa documentaryhiyo il i tolewa wiki tatumara baada ya shambulio lakigaidi Tanzania na Kenyatukio ambalo, lilikuwa mojaya visingizio vya Rais BillClinton kuipiga Afghanistanna Sudan. Ilidaiwa katikashabulio lile kuwa wakatiAfghanistan ilikuwa ikitoamafunzo kwa maga id iwalioshambulia balozi zaMarekani Dar es Salaam naNairobi, Sudan ilikuwa nakiwanda cha silaha za sumu.

    Na Omar Msangi

    P a m o j a n a m a e n g iy a l i y o f i c h u l i w a ,kuchambuliwa na kuelezwana Jarida, Frontal, muhimu nikuwa huenda waliotuhumiwa

    na ku kishwa mahakamaniwalikuwa watu wasio husika,lakini waliotumika tu ku chaukweli na kwamba wahusikahasa ni watu wanaozitumikiataasisi kubwa kubwa zakikachero za nchi fulani.

    Lakini p ia inaelezwakuwa, maadhali Reaganalisema kuwa alikuwa naushahidi madhubuti, wakatihaukuwepo, inatiwa wasiwasipia kuwa hata kinachoitwa nimagaidi waliopo Afghanistanwaliodaiwa kushambulia aukutoa mafunzo kwa watuwal ioshambul ia Dar naNairobi, inaweza kufuatamkondo huo huo wa kutafutamtu wa kumbebesha lawama.

    K a m a a n a v y o a r i f uripota kutoka Ujerumaniakichambua taarifa ya Frontalni kuwa alisubiri sana kwahamu kuona kuwa vyombovikubwa vya habari kamaCBS, NBC, ABC, CNN aumagazeti yao, yatagusiahabari hiyo muhimu yaZweites Deutsches Fernsehen(ZDF television), lakini vyotevilipiga kimya!

    Katika lile shambulio lakimeta, magazeti yalipigasana zumari yakidai kuwawahusika ni Al-Qaida. Gazetila The Guardian likaripotilikidai kunukuu taarifa zawanasayansi wa Kimarekaniwakisema kuwa kimetahicho kimetoka Iraq. Jaridala Wall St. Journal, nalolikatoa tahariri ndefu likisemakuwa wanaoishambul iaMarekani kwa kimeta ni Al-Qaida na kwamba kimetahicho kimetoka Iraq. Hiyoikafuatiwa na maelezo yammoja wa wabunge namwanasiasa mashuhur iwa Marekani, John McCainakizungumza katika kipindicha televisheni (Late Showwith David Let terman)akisisitiza madai ya kuitiahatiani Al Qaida na Iraq.

    (Tazama: Jump up to: "ANation Challenged: The Inquiry;Experts See F.B.I. MisstepsHampering Anthrax Inquiry".The New York Times. October9, 2001. Retrieved 4 October2011.Jump up "FBI was told toblame Anthrax scare on Al Qaedaby White House o cials". NewYork Daily News. 2 August 2008.

    Retrieved 26 December 2012. Jump up ^ "Iraq 'behind USanthrax outbreaks'", David Roseand Ed Vulliamy, The Guardian,October 14, 2001 (4) Jump up ^

    "The Anthrax Source". The WallStreet Journal. October 15, 2001.Retrieved 10 October 2011.Jumpup ^ One Month After 9/11, McC ain Said Anthrax 'MayHave Come From Iraq,' WarnedIraq Is 'The Second Phase'",thinkprogress.org, August 1,2008. (6) Jump up "Bentonite".CBS News. August 2, 2008.Retrieved 29 March 2011.Jumpup ^ "Mylroie: Evidence ShowsSaddam Is Behind Anthrax Attacks" , Jar ret Wol lstein , )Newsmax.com, November 9,2001)

    Hizo zikawa ndio habarimashuhuri katika vyombovya habari ambazo zilidakwapia na huku kwetu. Sasa rejeakatika taarifa ya FBI kuhusianana uchunguzi waliokujakufanya (FBI: Famous Cases& Criminals, Amerithrax orAnthrax Investigation.) uoneukweli ulivyokuwa.

    M w a n d i s h i Wa s e e mShehzad akiandika kuhoji, ninani Al Qaida anasema kuwakinachoshangaza ni kuwahawa wanaoitwa Al Qaida, baadhi yao ndio waliotumiwana Marekani katika kumngoamadarakani kiongozi waLibya Muammar Gadha nasasa wanatumika tena Syria.

    Akinukuu taarifa ya taasisimashuhuri ya Kimarekani,ambayo ni moja ya taasisimuhimu zinazofanya kazikama think-tank, The Councilon Foreign Relations, anasemakuwa isingekuwa kuingiana kutumia al-Qaeda katikauasi Syria, waasi (The Syrianrebels) wanaotaka kumngoaBashar al-Asad, yaani, FreeSyrian Army (FSA) would be im measur ab ly weak ertoday without al-Qaeda intheir ranks.

    Ufupi wa maneno, Councilon Foreign Relations (y aMarekani) inasema kuwawaasi wa Syria wanahitajimsaada wa Al Qaida. FSAneeds al-Qaeda now.

    Na ndio maana unaonakuwa Al Qaida hao wanapewakila msaada na Marekani ili tukutimiza lengo la kumngoaBashar al-Asad.

    Ni katika mazingira nahali kama hiyo, mwandishiWaseem Shehzad anahoji,Need one say more about the

    close links between the US anal-Qaeda?

    Kwamba kunahitajikakusemwa nini zaidi kuonyeshauhusiano uliokuwepo kati ya

    Al Qaida na Marekani?Desemba 2008 mwandishiGregory F. Fegel aliandikamakala akihoji, nani Al Qaida(What is Al Qaeda?).

    Fege l anasema hawawanoitwa Al Qaida leo, niwapiganaji na Mujahidinaambao wal ip igana vi taAfghanistan kuingoa Urusi yawakati huo, USSR, ilipovamianchi hiyo. Kulingana na siasaza wakati ule za mataifamakubwa mawili duniani(super powers) yaliyokuwayakishindana na kukamiana,Marekani ilisimama upandewa mujahidina kuwasaidiakumpiga Mrusi, ikiwa nipampoja na kutoa mafunzo,silaha na fedha. Nchi za SaudiArabia na Pakistan zilitumikasana katika zoezi hili.

    Hata hivyo kwa upandemwingine, Marekani ilikuwana tatizo moja, kuwa hawawatu wanaopewa mafunzo nakupigana Jihad ya kumpigaMrusi, wanaweza kuwa hatarihapo baadae kwa masilahi yaMarekani. Kwa hiyo ikawa nilazima kuweka kumbukumbuza kuwafuatilia watu hawa(data-base). Al-Qaida ni nenola Kiarabu lenye maana, The base. Kwa hiyo lil itoholewakutoka ile data-base yawapiganaji waliotumiwakumpiga Mrusi. Na hao ndiowanaodaiwa kuwa Al Qaidaambao hivi leo wanaonekanawakitumiwa kule Libya,Syria na hata kuhusika katikamatukio yanayoitwa yakigaidi, iwe kwa mmoja waokuhusika kupiga au kupigwana watu wengine, halafuikadaiwa kuwa ni Al-Qaida.

    Ni katika mazingira kamahaya mwandishi anasemakuwa, Al Qaeda is nothing morethan a bogey man, an invented ghost to frighten children andthe ignorant. Al Qaeda is theinvisible and nonexistent enemythat the US government hasmanufactured to provide anexcuse for its never-ending 'Waron Terrorism', which is in realitya war of US aggression for USdomination of the world and itsresources.

    Huko nyuma vyombo vyahabari viliwahi kusambazahabari za kutisha kuwagaidi Fazul a l iyedaiwa

    k u s h a m b u l i a N a i r o b iameingia Tanzania tayarikwa kufanya mashambulizi.Watu wakatakiwa kuepukamaeneo yenye mikusanyikomikubwa ya watu kamasokoni Kariakoo. Polisi naowakatamba wakisema kuwawamemzingira gaidi huyohatari kwa kusiriba mipaka,hana mahali pa kutokea.Mpaka leo polisi wala vyombovya habari havijatufahamisha,hadisi ya Fazul imeishiawapi. Aliwezaje kupenyana kuondoka nchini bilakukamatwa?

    Ni katika kipindi hichohicho baadhi ya magazetiyaliripoti juu ya magaidiwanaohusiana na Fazul,wenye asili ya Kiburushiwalivyoingia nchini kuwindawanyama katika mbuga zetukwa ajili ya kuwapelekeakitoweo magaidi wa Al Qaidawaliopo mafunzoni katikamapango ya Kandahar.Hakuna hata mtu mmojaaliyekamatwa kuhusiana nahabari hizo za kuwatishawananchi, wala haikuelezwaimekuwaje magaidi haow a l i w e z a k u w a k w e p amao sa wa uhamiaji, polisi,wana-usalama na askari wawanyama pori, wakawindana kuondoka na kitoweo bilaya kukamatwa!

    L e o t e n a m a g a z e tyanatuambia kuwa Al-Qaidayaitisha Tanzania na kwamba Wa t a n z a n i a w a p e w amafunzo ya ugaidi nje.

    Na Mkuu wa InterpolTawi la Tanzania, KamishnaMsaidizi wa Polisi (ACP),Gustav Babile akanukuliwaakisema kuwa Polisi inajuakuwa wapo Watanzaniawanaopewa dozi ya ugaidi nakwamba Polisi wapo machokukabiliana nao.

    G a z e t i l a M t a n z a n iambalo limeipigia ngomasana habari hii ya kitisho

    cha Al Qaida Tanzania,ndio hilo hilo ambalo hivikaribuni liliandika habarindefu kuhusu Chuo chakutoa mafunzo kwa magaidikilichopo katika moja yavisiwa vya Ziwa Victoria kuleMwanza.

    Katika kutoa picha jinsiwakufunzi wa ugaidi katikachuo hicho walivyo kuwawatu hatari, Mtanzania lilitoamichoro kuonyesha jinsimagaidi hao walivyochaguamahali pa kuweka chuochao mahal i ambapo s irahisi ku kwa na watu (hataPolisi/Usalama wa Taifa)akisahau kuwa Chuo hichokimesajiliwa na baadhi ya

    watumishi wa Serikali hu kahapo mara kwa mara kwashuguli za kio si.

    Labda kabla ya kuendelezak i t i sho h ik i k ipya chaugadi, gazeti la Mtanzanialingetufahamisha kwanza kilechuo cha magaidi, AljazeeraIslamic Centre, kinaendeleajena ile kesi iliyofunguliwa nawahusika wa Chuo hichoime kia wapi.

    Gazeti la Mtanzania katikatoleo lake la 13 Februari2 0 1 3 n a 2 0 F e b r u a r i2013, lilichapisha habarilikidai kuwa chuo hichokinafadhiliwa na magaidiwa Al Shabab na kwamba

    Inaendelea Uk. 4

    MAJERUHI akiokolewa kutoka duka la Westgate, Nairobi, Kenya.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    4/16

    4 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Makala

    Inatoka Uk. 3kilikuwa kikitoa mafunzo ya

    kigaidi huku wakufunzi waugaidi wakiingia KisiwaniUkerewe kwa mitumbwina kuingiza makontena yasilaha.

    K w a u p a n d emwingine, kabla Polisih a w a j a t u f a h a m i s h awalivyojipanga kukabilianana kitisho hiki kipya cha Al-Qaida kama kilivyoripotiwan a M t a n z a n i a , l a b d a ,w a n g e t u f a h a m i s h awamechukua hatua gani dhidiya kile chuo kilichodaiwakutoa mafunzo kwa magaidikule Ukerewe? Silaha ngapiwamekamata na wamewatiambaroni wakufunzi nawanachuo wangapi wa

    Vyombo vya habari vinaitisha TanzaniaAlisema:

    according to several of thereports, bin Laden was associated

    with the CIA-backed mujahedin guerr ill as du rin g their waragainst the Soviet militaryoccupation of Afghanistan inthe 1980s. Among these were theCIA-trained terrorists who laterwere convicted in the bombing of the World Trade Center in NewYork City.

    The attitude of Americano cials to the investigations byKenyan and Tanzanian police isalso curious. After Tanzaniano cials arrested several dozen people in Dar es-Salaam, theState Department beli led theaction as little more than aroundup of "the usual suspects."The announcement by Kenyan

    President Daniel arap Moithat an unspeci ed number of suspects had been arrested inNairobi was also dismissed asunlikely to represent an advancein the investigation.

    Kutokana na uchambuzihuo, yawezekana kuwa nikweli kuna watu wamepewamafunzo ya ki-Al Qaidakama polisi wanavyodai. Nainawezekana pia wakawepovijana ambao wanawezakuwa wanafanya darsanchini hapa wakichambuaitikadi na mbinu za ki-AlQaida na Al Shabab.

    Kama ni kweli wapo, b a s i h a o ya we z e k a n awakawa sawa na wale akinaMahmoud Abu Jaber,Yasser Chroid na Musbah

    ugaidi?. Kama hawajafanyahivyo, kwa nini hawajakemeaau kuchukua hatua dhidiya waliotoa taarifa hizo? Je,kunyamazia taarifa kamahizo, Watanzania waelewevipi? Kwamba polisi nao niwashirika katika propagandaza kupandikiza kitisho chaugaidi nchini? Hii ni kwafaida ya nani?

    Agosti 13, 1998, mwandishiMcLaughlin aliandika makalaaliyoipa jina Questionsmount in Kenya, Tanzania bombings. Ndani ya makalahiyo alieleza mambo mengi juu ya tukio la kinyama nala kigaidi la ulipuaji baloziza Marekani Dar es Salaamna Nairobi. Hata hivyo yapomambo alihoji yanayohitajiakili kutafakari kwa kina.

    Eter waliohusishwa katikatukio la La Belle discothqueBombing. Na hao hapana

    shaka watakuwa katika wale,ama waliokwisha andaliwaau wanaoandaliwa, kwakujua au kutokujua, nakuingizwa katika databaseza wenyewe wenye vita yaoya ugadi duniani.

    Na kwa maana hiyo,kupambana nao wala haisaidiikitu. Kukubali kuwepo watuhao na kupambana nao nikutekeleza tu mkakati wampango wenyewe mkubwaambo ni kuziingiza nchimbalimbali duniani katikamachafuko na kurahisishauingiliaji wa kijeshi nakikachero, na hivyo, nchihizo kutiwa katika makuchana kudhibitiwa na mabeberu.

    Ukumbusho ni DawaW A K AT I z o e z i l auandikishaji wa Daftari laKudumu la Wapigakuralikikumbwa na baadhiya mazonge, Viongozi waChama cha Wananchi (CUF),wameibuka na kukumbushaahadi ya Rais wa Zanzibar,Dokta Ali Mohamed Shein.Ahadi hiyo ni ile ambayoRaisi huyo wa Awamu yaSaba ya Uongozi wa Serikaliya Zanzibar, aliitoa maratu alipotangazwa na Tumeya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) kuwa mshindi wa Kiticha Urais, kupitia UchaguziMkuu wa mwaka 2010.

    Ahadi hiyo aliitoa kwau m m a w a w a n a n c h i ,Mabalozi wa Nchi za Kigeni,Waangalizi na Wafuatiliajiwa Uchaguzi wa Kitaifana Kimataifa, Viongozi wakisiasa ambao ni pamoja nampinzani wake mkuu wawakati huo, na sasa Makamuwa Kwanza wa Rais wa

    Zanzibar, Maalim Seif SharifHamad.M o j a k w a m o j a p i a

    akinakiliwa na vyombovya habari, Rais DoktaShein aliahidi kurekebishakasoro zote ndani ya Tumeya Uchaguzi ya Zanzibar(ZEC) inayoratibu harakatiza chaguzi, ambazo marakadhaa zimezua sintofahamuhapa nchini.

    Matara j io kwa ahadihiyo ya Rais ni pamoja nakuirekebisha kama siyokuivunja kabisa Sekretariatiya ZEC ambayo wapinzaniwanaichukulia kuwa mwibamchungu na pia hawanaimani nayo.

    M b e l e y a v y o m b ovya habari, na pia katikaMiku tano ya Hadha railiyofanyika Viwanja vyaKibandamaiti, Mjini Ungujahivi karibuni, Viongozi waCUF, walisema hawajaonaMhe Rais akitekeleza ahadiyake, na hivyo wanakosaimani na mwelekeo wamaandalizi ya UchaguziMkuu wa mwaka 2015,

    Na Waandishi wetu,Zanzibar

    ambayo ni pamoja hatua yahivi karibuni iliyokamilishwakatika takriban Wilaya zote10 za Unguja na Pemba, yaaniuendelezaji wa Daftari laKudumu la Wapigakura.

    Tu n a m u o m b a R a i satekeleze ahadi yake aliyoitoapale Bwawani hii ni muhimun a t u n a m k u m b u s h a Muungwana ni kitendona ukumbusho ni dawa,a l i s e m a n a k u k a r i r iusemi huo mashuhuri waWaswahili, Mkurugenzi waOganaizesheni wa CUF, Bw.Omar Ali Shehe.

    U k u m b u s h o h u oulikaririwa pia na NaibuKat ibu Mkuu wa CUF,Zanzibar, Maalim HamadMassoud Hamad, akihutubiaMkutano wa hadhara hivikaribuni, katika Viwanja vyaDemokrasia Kibandamaiti,Mjini hapa.

    Pamoja na ukumbushohuo, Ujumbe wa Viongozihao wak iamba tana naMaafisa wa CUF, pamojana Mkurugenzi wa Haki zaBinaadamu, Habari, Uenezi,na Mahusiano na Ummawa CUF, Bw. Salim Bimani,waliamua kwenda katikaO si za ZEC, Maisara Mjinihapa, kuonana uso kwa usona Watendaji wa Tume hiyo,ili kuwakilisha kilio chao.

    Miongoni mwa shakawaliyonayo Viongozi waCUF, pamoja na baadhi yawananchi ni kuwepo pia kwawatu wanaothibitika kuwani mamluki (wasiostahikikuandikishwa kwa sababu

    mbali mbali za kisheria)ndani ya Daftari la Kudumula Wapigakura la Zanzibar.

    Chama cha CUF kimewahikuyasoma hadharani majinaya mamluki hao ambao idadiyao inafikia mia kadhaa,huku wakishinikiza uhakikiwa wazi na wa haki wadaftari hilo.

    Tulipouambia Uongoziwa ZEC umejibu kuwa

    uhak ik i wa da f t a r i n i jambo dogo kabisa la maramoja linalowezekana sasatunawangojea, alisemaNaibu Katibu Mkuu wa CUF,Zanzibar.

    Pamoja na hitilafu hizo,CUF wamelalamikia uzorotajiwa zoezi hilo la uandikishajiambapo had i l i na f ik i aukingoni kwa awamu yakaribuni, nia Asilimia 21 tuya matarajio.

    N a s e m a k a m aMwenyekiti wa Kamati yaUkaguzi wa Mali za Serikali,huu ni u sadi na ubadhirifuwa fedha za wananchi naufujaji wa fedha za wafadhili,alisema Mkurugenzi huyoambaye pia ni Mjumbe waBaraza la Wawakilishi laZanzibar Jimbo la ChakeChake, Pemba.

    Aidha CUF wamehojihatua za kukataliwa kwamamia ya wananchi wenyesifa za kuwa wapigakurahuku watu wasiokuwa na sifawakiendelea kupeta ndaniya Daftari hilo.

    A h a d i y a C U F n ikuendelea kupaza sautikwa umma na kuhakikishakwamba uchaguzi mkuu ujaoInshaallah unakuwa huru nawa haki kwa hali na mali.

    Wakati huo huo, ViongoziWakuu wa Vyama vyaUpinzani wamesema hakunasababu ya kuwabania nakuwaadhibu Wazanzibarikwa hoja yao ya kudaimamlaka kamili ya Zanzibar.

    Kauli ya Viongozi haoilikuja kupitia mkutano

    m a a l u m w a h a d h a r a , Jumatano ya wiki hii, katikaViwanja vya Demokrasia,Kibandamaiti mjini Unguja,uliohudhuriwa na maelfu yawananchi kutoka kila pembeya Zanzibar.

    Viongozi hao ambaowalihutubia kwa zamu mbeleya halaiki ya umati mkubwawa watu waliojitokeza katikahadhara hiyo, ni pamoja

    na James Mbatia (NCCR-Mageuzi), Profesa IbrahimL i p u m b a ( C h a m a c h aWananchi, CUF), na FreemanMbowe (CHADEMA).

    Kwa kauli moja, hukuwakishangiliwa kwa shangwekubwa ikiongozwa na wimbomaarufu wa twataka nchiye tu s a sa t umechoka ,Viongozi hao walisemaMabadiliko ya Katiba yaMuungano yamekuja i l ikuwapa fursa wananchiwaamue mfumo wautakaowa utawala wa nchi wala sivinginevyo.

    Hapa ndugu zangu lengohalikuwa kuonyesha ubabena ukiritimba wa kisiasawa chama, bali maamuziya wananchi juu ya katibawaitakayo, alisema ProfesaL i p u m b a a m b a y e n iMwenyekiti wa CUF, Taifa.

    Kwa msisitizo kila mmojawa Viongozi hao alipopanda jukwaani alilani kwa nguvuzote, walichodai kuwa nikitendo cha buruza-buruzaya Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniampaka hatua ya kuupitishakwa ghilba Mswada waKisheria wa hivi karibuni,mjini Dodoma.

    Tunasema mswada ule ni batilihaukupata ridhaa yawananchi kupitia Wabungewao h ivyo n i ha ramuhaukubaliki, alisema Bw. Ja mes Mbat ia ambaye niMwenyekiti wa Taifa waNCCR-Mageuzi.

    K w a u p a n d e w a k eKiongozi wa Kambi Rasmi

    ya Upinzani katika Bungela Jamhuri ya Muunganowa Tanzania, ambaye pia niMwenyekiti wa CHADEMA,Taifa, Bw. Freeman Mbowe,a l isema ukir i t imba waChama cha Mapinduzi(CCM), kuyateka Mabadilikoya Katiba, ni kudhihirishaukosefu wa nia njema yakuuongoza umma.

    Hilo pamoja na uhuni

    wao wa h iv i ka r ibun iunatudhihirishia wananchin a m n a w a t u h a w awalivyokosa azma njemahata ya hiyo Katiba Mpyayenyewe tunayoitarajiaingeliweza kuleta nafuu nakuepusha migogoro ya marakwa mara hata dhidi ya huoMuungano wenyewe.Mnaonaje waheshimiwa,

    a l i sema na kuhoj i Bw.Mbowe.Kwa pamoja Viongozi

    hao walisikika wakiishiana kibwagizo kuwa yotehayo yanakuja kuidhoo shaZanzibar na kutaka kuirukaile haja isiyoweza kuepukikay a k i d e m o k r a s i a k w aWazanzibar na Wengi waWatanzania wapenda hakiwa kuipatia Dola ya Zanzibarmamlaka yake kamili.

    Kama hiyo hai toshi ,Wakuu hao wa harakati zaSiasa Nchini, kila mmojakwa upande wake waligusiahujuma zinazotekelezwamfululizo katika kipindicha hivi karibuni Zanzibar,

    kwamba huenda ni kwaazma ya kuwatoa wananchiwa Visiwa vya Unguja naPemba, kutoka katika mstariwa mshikamano wa kudaimamlaka kamili ya Nchi yaoiliyo lizwa na Muunganowa sasa tangu asili na zama.

    Aidha katika hali iliyoibuahisia za aina yake za umatiuliofurika hapo, ni paleViongozi hao walipohojikwanini hadi sasa Masheikhna Viongozi wa Jumuiyaza Kiislamu wanaendeleakushikiliwa na kuteseka jela,pasi na mantiki wala kosalolote la msingi walilotendakinyume na sheria, isipokuwani f i tna tu i l iyoundwakuwatisha na kuwadhoo shawananchi kwa ujumla.

    Hivi ni uhalifu gani kwamwananchi yeyote akiwaSheikh au Padre kudai hakina muundo wa muunganoautakao kama tulivyoonana yakawasibu Masheikhhawa, walihoji Viongozihao.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    5/16

    5 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Habari za Kimataifa/ Tangazo

    Kashfa za uzinifu, u sadi Kanisa KatoliNa Sudi Jafar Shaban

    Suala la kufichuliwaufisadi wa fedha hukoVatican, ubakaji, ndoaza jinsia moja katikaKanisa Katoliki, ni kadhiazilitawala sana vichwa vyahabari katika miaka yahivi karibuni.

    Kiongozi wa KanisaKatoliki duniani, PapaFranc is wa Kwanza ,a m e o n y a k u w ai k i w a K a n i s a h i l oh a l i t a p i g w a m s a s a ,

    bas i ku na uw ez ek an olikasambaratika kabisa.

    Kwa mujibu wa kiongozihuyo, i l i kupunguzamatatizo yanayolikumbaKanisa, lazima iwekwemikakati madhubuti ya

    kukabiliana na muundowa urasimu uliojikitakatika Kanisa hilo.

    P a p a F r a n c i s w aKwanza amesisitiza kuwa,ameazimia kulikarabatiKanisa ambalo kwa mujibuwake, linakabiliwa namatatizo chungu nzimalikiwemo suala la ndoaza watu wa jinsia moja namengine mengi.

    Aidha kiongozi huyoamewataka pia Makasisi

    wa Kanisa hilo kutumiamuda mwingi kat ikakutatua matatizo ya watuwa kawaida. Katika hotubayake, Papa Francis alionyakuwa, Kanisa Katolikilitaharibiwa mithili yanyumba ya makaratasi,i s i p o k u w a t u k a m alitaweza kuyafanyia kazimaamrisho na makatazoya Injili na kupunguzaurasimu uliokita mizizikatika Kanisa hilo.

    Awali Papa Francis waKwanza, sambamba nakukiri kuwepo ufisadina kufungwa kijanjandoa za watu wa jinsiamoja huko Vatican, lakinip ia amekosoa v ika l imwenendo huo.

    Kiongozi huyo alikiri

    kuwepo udhaifu mkubwasana katika kukabilianana vitendo hivyo vichafuna kufafanua kuwa, katikamiongo ya hivi karibuni,Vat ican imekumbwana mgogoro mkubwawa utumiaji mbaya wafedha, maadili maovuna hasa unyanyasaji wakijinsia dhidi ya watotowanaofundishwa katikashule zilizo chini ya Kanisahilo, kwenye nchi tofauti

    duniani hususan Ulaya naMarekani.

    Kiongozi huyo amesemakuwa, hata ndani yaVatican kwenyewe, kunamtandao wa ufisadi namakundi yenye nguvuya watu wa ndoa za jinsiamoja . Ameki r i kuwaameshindwa kukabilianavilivyo na vitendo hivyona kuibebesha jukumuhilo kamati ya Makadinaliwatiifu kwa Kanisa.

    Kukiri kwa Papa juuya kuwepo mtandaohuo ndani ya Vatican,kunaash i r ia kuwepoufisadi mkubwa mnokatika kituo hicho kikuuna muhimu cha Wakristoduniani.

    Katika miaka ya hivi

    karibuni, zimekuwepotuhuma nyingi za kimaadilina ubadhirifu wa fedhadhidi ya Kanisa Katoliki nakwamba hadi sasa, mafailiyanayohusiana na ubakajina kunajisiwa watotowadogo kulikofanywana viongozi wa KanisaKatoliki yameshalitiahasara kubwa Kanisa hilokatika nchi za Magharibi,hususan Marekani huku

    baadhi ya Maaskofu

    nchini humo wakilazimikakustaafu kutokana nakashfa hizo.

    Mwishoni mwa mwaka2012 kiongozi wa zamaniwa Kanisa Katoliki, PapaBenedict wa 16, alielezeauwepo wa viongozi wenyekutenda ufisadi katika

    Kanisa hilo. Sambambana kuashir ia kuwepoMakasisi watenda dhambikatika Kanisa hilo, PapaBenedict wa 16 aliwatakaWakatoliki duniani kuachadhambi na kushikamanana misingi ya dini hiyo.(Irib.ir)

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Franciswa Kwanza.

    Waislamu Ufaransa waandamana kudai MsikitiWAISLAMU nchini Ufaransawamefanya maandamanoy a k u p i n g a h a t u a y akubatilishwa ruhusa ujenziwa Msikiti katika mji waShell nchini humo.

    Maandamano ya Waislamuwa mji huo, yamejiri baadaya kuenea habari zinazodaikufutwa kibali cha ujenziwa msikiti na kuwalazimukufanya maandamano mbele

    ya ofisi ya Baraza la Mjikutaka kufanyika uchunguzikuhusiana na madai hayo.

    Wajumbe wa Ba razahi lo la mj i wal iokuwawamekutana katika ofisi

    hiyo kwa ajili ya kuchunguzakadhia mbalimbali za mjihuo , wa l ikab i l i ana namaandamano ya Waislamuwaliokuwa wamekusanyikambele za o si.

    Katika kujaribu kutulizahali ya mambo, wajumbehao waliwataka wajumbeWaislamu katika barazahilo la mji, kuwasilishamapendekezo yao katikakikao kijacho.

    Katika kikao hicho, Meyawa mji wa Shell alitangazakuahirishwa mjadala wa

    kupatiwa Waislamu ardhikwa ajili ya ujenzi wa msikitihadi miezi miwili ijayo nakwamba, Baraza la Mji halinalengo la kufuta kikamilifukibali cha ujenzi wa vituo vyaibada vya Waislamu.

    Kat ika miezi ya h ivkaribuni, Waislamu nchiniU f a r a n s a w a m e k u w awakikabiliwa na wimbi laubaguzi wa serikali dhidiyao, hususan kuzuia vazi lastara la hijab katika asasi zaelimu za umma.

    WAISLAMU nchini Ufaransa wamefanya maandamano nchini Ufarasa.

    Waislam wa mtaa wa Mongo, Kata yaKarakata Uwanja wa Ndege jijini Dar essalaam, wanaomba msaada wa kununuliwaeneo la kujenga Madrasa.Kwa juhudi za Waislamu wa eneo hilo,wamepata eneo ambalo linauzwa shilingimilioni saba. (7,000,000).M p a k a s a s a w a u m i n i w e n y e w ewamechangishana na kupatikana shilingimilioni mbili (2,000,000/= bado shilingi milionitano (5,000,000). Unaweza kutoa chochoteulichojaaliwa na Allah (sw) kwa nambazifuatazo 0659-626 372.

    Msimamizi wa Madrasa Ust. Jafari.

    Msaada

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    6/16

    6 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Makala

    HUWEZI kutuzuiya. Tunakimeta (anthrax). Unakufasasa. Je, unaogopa? Iflie kwambali Amerika. IangamieIsrael. Allahu Akbar (Munguni Mkubwa).

    Huo ndio ujumbe uliokuwakatika barua ambazo zililetakizaazaa Marekani ambachokilijulikana kama Anthraxterror a acks.

    Ilikuwa mara tu baadaya shambulio la kigaidiS e p t e m b a 1 1 , 2 0 0 1 ,Marekani i l ikumbwa namkasa mwingine ambapo b a r u a z i l i z o s a d i k i wakuwa na v ime lea vyakimeta, zil i tumwa kwawatu mbalimbali kupitia ba rua. Kati ka tukio hi lo ,watu watano waliuliwa nawengine 17 kuambukizwana kuwahi kutibiwa. Maratu baada ya tukio hilo, Ikuluya Marekani ilidai kuwahilo lilikuwa shambuliola al Qaida na kwamba alQaida hao ni washirika waSaddam Hussein. Badala yakuacha vyombo vya usalamana ukachero kufanya kaziyake, ilikuwa kana kwambaal iyekuwa Mkurugenziwa FBI, Robert Muelleranalaumiwa kwa kutokuwahikutoa taarifa na ushahidi waharaka kuthibitisha kuwaOsama Bin Laden anahusika.

    Vyombo vya haba r ikwa upande wao vikawavinatoa habari vikilaumumoja kwa moja al Qaida naSaddam Hussein kuwa ndiowaliofanya shambulio hilo nakujenga hoja kuwa Saddamana silaha za maangamizi.

    Katika kukoleza habarihizo kuwa wahusika ni

    al Qaida na kwa upandemwingine, ni Waarabu/Waislamu, magazeti yaMarekani yakachapichauliodaiwa kuwa ujumbeuliokuwa ndani ya baruazilizokuwa na kimeta hicho.Ujumbe ulikuwa wa namnambili. Mmoja ulisema:09-11-01THIS IS NEXTTAKE PENACILIN NOWDEATH TO AMERICADEATH TO ISRAELALLAH IS GREAT

    Ujumbe unaonyesha kuwawaliotuma barua ni watuwanaoichukia Marekanina Israel. Ukiunganisha naneno: Allahu Akbar, inakuwa

    wepes i kuamin i kuwawaliotuma ni Waislamu.Ujumbe wa pili ambao

    ulitumwa kwa MasenetaDaschle na Leahy ulifananana huo ila kwa tofauti ndogotu. Ulisema:

    09-11-01YOU CAN NOT STOP

    US.WE HAVE THIS

    ANTHRAX.YOU DIE NOW.ARE YOU AFRAID?DEATH TO AMERICA.DEATH TO ISRAEL.ALLAH IS GREAT.

    Kenya wachukuetahadhari kubwa

    Wachunguze kwa kituo, kuhoji sanaTanzania tusiparamie habari, tujifunzeMwenzako akinyolewa, kichwa chako

    Na Omar Msangi H a p a n a s h a k a k i l aaliyesoma ujumbe huo,h a i k u w a t a b u k w a k ekuamini kuwa wahusikani a l Qaida (Waarabu/Waislamu), nazo taarifa zamagazeti, televisheni nakauli za wanasiasa, zikawazinasherehesha tu.

    H a t a h i v y o , t a a r i f az inazopa t ikana ka t i kau k u r a s a w a F Bk a t i k a m t a n d a o , p a l ewanapozungumzia kesi/uhalifu, uliowapa tabu sanakatika historia ya ufanyaji kazizao; hii ya ugaidi wa kimeta(Amerithrax Investigation),ni namba moja.

    Katika uchunguzi waFBI (Amerithrax or AnthraxInvestigation), waligunduakuwa kimeta kilichodaiwakimetoka kwa al Qaida/Osama Bin Laden, kilitokeandani ya Marekani kwenyewena mtuhumiwa namba mojaakawa Dr. Bruce Ivins.

    (Tazama: FBI, FamouC a s e s & C r i m i n a l sAmerithrax or AnthraxInvestigation.)

    Dr. Bruce Edwards Ivins,aliyezaliwa Aprili 22, 1946alikuwa mta ti na kiongozikatika maabara za kijeshiMarekani (microbiologivaccinologist, senior biodeferesearcher at the United Stat Army Medica l Resea rcInstitute of Infectious Diseas(USAMRIID) in Fort Detrick Maryland.)

    Mara tu baada ya habarikuwa ndiye aliyehusika nashambulio la kimeta na FBI

    kuanza uchunguzi, ilidaiwakuwa Dr. Ivins alijiuwa sikuya Jumanne Julai 29, 2008kwa kubugia sumu kaliiliyotajwa kwa jina la Tylenol.Hapo ikawa ndio mwishowa juhudi za FBI kumpatamshambuliaji wa shambulio

    Inaendelea Uk. 7Baadhi ya majeruhi wa tukio la shambulio lililotokea eneo la Maduka la

    Westgate nchini Kenya hivi karibuni.

    HABARI zilizochapishwana baadhi ya vyombo vyahabari vya kimataifa juziz i m e f a h a m i s h a k u w araia wa Kenya wa kabilala Kisomali, wapo katikawasiwasi mkubwa wakihofak u s h a m b u l i w a k a m anamna ya ulipizaji kisasi.Wasiwasi huo umewakumbapia Waislamu, hasa walewanaoishi maeneo yenyeWakristo wengi.

    Wasiwasi huu unakujakutokana na propagandak u b w a n a h a b a r i z ak i c h o c h e z i a m b a z ozimekuwa zikichapishwakatika magazeti toka mwanzowa tukio la kuvamiwa nakutekwa watu ndani ya jengola kibiashara Nairobi.

    Wakati ikidaiwa kuwa

    Walioshambulia Kenya ni Muhuenda waliohusika katikashambulio hilo ni kundi laal Shabab kama namna yakulipiza kisasi kutokanana askari wa Kenya kuwavitani ndani ya Somalia; ba ad hi yan vy ombo vyahabari vimegeuza tukio hilokuwa ni mapambano yakidini, walengwa wakiwa niWakristo. Pamoja na kuwamchezo huo ulianzishwana magazeti ya Kenya,inavyoonekana ni kuwaumepata wachezaji mahirikwa hapa Tanzania kulikohata Kenya kwenyewe.

    Gazeti la HABARILEOla Jumatano likiendeleakuripoti juu ya tukio hilo,katika moja ya vifungu vyahabari yake iliyobebwa nakichwa cha habari, Simulizi

    za kutisha Westgate Nairobi,liliarifu kuwa washambuliajina wauwaji hao walikuwaMujahidina.

    Kuna idadi isiyohesabikaya miili iliyotapakaa ndaniya duka na Mujahidinaw a n a d h i b i t i e n e o l a oWestgate.

    N a m a h a l i p e n g i n eHABARILEO l ikasema: M a t e k a a m b a owanashikiliwa na Mujahidinandani ya duka wako hai,wamechanganyikiwa sanalakini wako halimatekawote wamevishwa mabomuyanayoweza kulipuliwa kwarimoti.

    Kabla ya kueleza kuwawatu hawa ni Mujahidina,H A B A R I L E O l i l i s e m akuwa, wauwaj i hao

    wal i s ik ika wak iamuruWaislamu kuondoka, kablaya kuwaul iza maswal ikibabe, kuona kama matekahao wanaweza kukaririvifungu vya Korani na kutaja ji na la Mama wa MtumeMuhammad.

    M a h a l i p e n g i n eHABARILEO l ina semakuwa, magaidi hao wali chasura zao kwa skafu zenyemaandishi ya Korani.

    H a b a r i k a m a h i z iz inahamisha mgogorokuwa ni kati ya al Shababna Kenya iliyopeleka jeshiKenya na kuwa mgogorok a t i y a Wa i s l a m u n aWakristo, na kwa maanahiyo, hautakuwa wa Kenya

    Inaendelea Uk. 8

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    7/16

    7 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Makala

    Kenya wachukue tahadhari

    Inatoka Uk. 6la kigaidi la kimeta (anthraxterror a ack).

    Baada ya kuyasemahayo, napenda niunganena wananchi wa Kenyakulaani kwa nguvu zoteki tendo cha kikat i l i nakigaidi kilichofanywa chakuwashambulia watu wasiona hat ia na kuwauwa.Ka t ika shambu l io h i l oinadaiwa kuwa watu zaidiya 60 waliuliwa na wengikujeruhiwa. Taarifa zinasemakuwa washambuliaji haowalivamia jengo maarufu,Westgate, jijini Nairobi,linalomilikiwa na mwekezajikutoka Israel ambalo linamaduka, migahawa, casinona harakati mbalimbali zakibiashara na kiofisi. Eneohilo linaelezwa kuwa nimaarufu kwa watu wa kipatocha juu.

    W a k a t i t u n a l a a n ishambulio hili la kikatili,tunamwomba MwenyeziMungu awalaze mahalipema, wale waliodhulumiwau h a i w a o n a k u w a p atawfiiq ya kupona harakawale waliojeruhiwa. Kwaupande mwingine, ni imaniyetu kwamba Serikali yaKenya itafanya kila jitihadakuhakikisha kuwa wahusikawanapatikana na hatuastahiki kuchukuliwa.

    Hata hivyo, katika kufanyauchunguzi huu, umakinina uanga l i fu mkubwaunatakiwa kwa sababu katikamatukio kama haya, inawezakuwa sababu ya kuleta maafamakubwa zaidi katika nchi.

    Maafa yenyewe ni yale yakuwagawa wananchi nakujenga chuki miongonimwao jambo ambalo lawezakuleta ulipizaji wa kisasi nakuzua balaa zaidi.

    Ka t ika shambu l io l akimeta, taarifa za awali napropaganda za vyombo vyahabarii na hata wanasiasa,zilidai kuwa wahusika ni alQaida na Saddam Hussein.Hata hivyo, uchunguzi waFBI ukagundua kuwa kimetahicho kilitoka katika maabaraza ndan i ya Marekan ikwenyewe na wahusika niwatu wazito katika taasisinyeti za Kimarekani.

    K a t i k a k u k o l e z apropaganda ya kuwapachikauhalifu huo al Qaida, vyombovya habari vilichapishahabari zikidai kuwa ujumbeulio katika barua ulikuwaukizungumzia chuki dhidiya Marekani/Israel, hukuukis indikizwa na nenoAllahu Akbar. Bila shakawaandishi, kuna ujumbewalikuwa wakitaka ku kisha bi la ya kusema moja kwamoja.

    Hali kama hiyo inajitokezakatika tukio hili la Kenya.Ukitizama vyombo vya

    habari, unachojifunza nikuwa, kabla hata uchunguzihaujafanyika, wanatakakuwaaminisha watu kuwawaliohusika ni Waislamu nawalilenga kuwauwa Wakristowa Kenya. Nitafafanua.

    Gazeti la Sunday NationSeptember 22, 2013 katikahabari yake inayoongoza,katika aya ya pili ya habarihiyo linasema:

    Only those who identi edthemselves as Muslims and wereable to recite Muslim prayers,were spared.

    Likimaanisha kuwa walewaliojitambulisha kuwa niWaislamu na wakaweza

    kutamka sala ya Kiislamu,waliachwa. Hawakuuliwa namagaidi hayo.

    Who were able to recite M u s l im p r a ye r s . M t uunajiuliza, ni ipi hiyo Muslimprayers?

    M w a n d i s h i a n a t a k awasomaji wake kuaminikuwa, kabla ya kushambulia,wauwaji walifanya kwanzaz o e z i l a k u w a t a m b u aWai s l amu . L ikawekwagwar ide l a u t ambuz i ,Waislamu wakajitambulisha.Lakini ili kuwa na uhakikakwamba ni Muislamu kweli,unatakiwa kusema Muslimprayers!

    M a r a t u b a a d a y am a e l e z o h a y o k u w aWa i s l a m u w a l i w e k w akando, mwandishi anasema:Children were among those shotin cold blood by the a ackers.

    Akiwa na maana kuwa,washambuliaji hawakuwa nahuruma hata kidogo kwa vilewaliwapiga risasi hata watotowadogo.

    Katika habari hiyo hiyo,mwandishi Lucas Barasaanasema kuwa mshambuliajia l i kuwa ak iu l i za nan iMuislamu, huku akisemaAllahu Akbar! (They chanted

    Allahu Akbar, as they enteredthe building.)

    Mwandishi hakuishiahapo. Katika sehemu tofautitofauti SUNDAY NATIONlikaandika:

    Some of the witnessesclaimed that the hooded menasked them to read a messagein Arabic. Those who could notread the message were allegedlykilled on the spot.

    Kwamba eti mashuhudawa tukio waliona magaidihao, wakiwaamuru watukusoma ujumbe wa Kiarabu.Wal ioshindwa kusomaKiarabu, ndio waliuliwa hapohapo.

    Inavyoonekana magaidihawa hawakuwa na wogandio maana walichukuamuda mre fu , ku fanyagwaride la utambulishokuwa jua Wai s l amu naWakristo. Hata hivyo, wakatihuo huo gazeti linasemakuwa walificha nyuso zaowasitambulike na kwambawalikuwa wakirusha risasiovyo bila mpango.

    Hebu soma tena kaulihizi za Sunday Nation: anybody who is Christian willbe executed.

    People who were coming from inside were ordered to speakSomali and those who failed wereshot.

    They were armed with AK47 . They walked throughthe parking lot chanting Allahu Akbar. They shot peopleindiscriminately but Muslimswere allowed to leave.

    Labda tusimame hapatujiulize swali, mtu anayepigawatu risasi indiscriminately ,r i s a s i i n a c h a g u a v i p iMuislamu na kumuacha?

    L i k i e n d e l e a g a z e t ilinasema, They were tellingthe Muslims to leave but onlythose in full dress or buibui wereallowed to go. Non-Muslims

    were shot. The three had with AK47 and Grenades. They werespeaking Swahili.

    Kwamba washambuliajiwal ikuwa wakiwaachiaWa i s l a m u k u o n d o k a ,waliovaa hijabu kamili au bu ib ui . Was io Wai sl amuwalipigwa risasi.

    To f a u t i n a s e h e m unyingine iliposemwa kuwawalikuwa wakiwatambuaWaislamu kwa kuwaambiak u s o m a u j u m b e w aKiarabu au Kisomali, hapagaze t i l i na sema kuwawashambuliaji walikuwawakizungumza Kiswahili!

    Kwa bahati mbaya sana

    baadhi ya mag azet i yaTanzania, yameiga mtindohuu huu wa kujenga chuki,uhasama na uchochezi wakulipiza kisasi baina yaWaislamu na Wakristo.

    Sehemu moja katika gazetila THE CITIZEN la Jumatatu,Septemba 23, 2013 katikahabari yake iliyopewa kichwacha habari Israel steps inas Nairobi death toll hits 59, inasema:

    They spoke something thatseemed like Arabic or like Somali.I saw people being executed afterbeing asked to say something.

    Something that seemed like Arabic, ni kitu gani?

    Maneno kama haya ni yaleyale ya Nation yanayodai kuwawatu walitakiwa kusali salaya Kiislamu, walioshindwandio wakauliwa.

    Nalo gazeti la NIPASHEl a J u m a t a t u l i k i r i p o t ihabari hizo likasema kuwa:Walioshuhudia walisemawavamizi hao walizungumzaki tu kama Kiarabu auKisomali.

    Kitu kama Kiarabu auKisomali, ni kitu gani? Hivikatika hali ya mtafarukuya risasi kupigwa ovyokutoka katika silaha nzito

    AK-47, na sio moja, nyingimtu anaweza kuwa na akilipamoja na muda wa kuanzakusikiliza na kutambuakitu kama Kiarabu auKisomali, kikizungumzwaau anakimbia kusalimisharoho yake?

    Katika mkanganyiko kamahuu, ndio hapo ninaposemakuwa kuna haja kwa Serikaliya Kenya, vyombo vyake vyausalama na wananchi kwaujumla kuchukua hadharikubwa. Taarifa kama hiziza gazeti la Nation, sio tuzinasema kuwa wahusika niWaislamu, lakini linachocheachuki, uhasama na ulipizajikisasi.

    Swali ni je, kwa ninpawe na mkazo huu kuwaWaislamu waliachiwa ilaWakristo wakapigwa risasi?

    Haya maneno kuwawatu walitakiwa kusaliswala ya Kiislamu nak u s o m a u j u m b e w aKiarabu, walioshindwawakauliwa, yanalenganini?

    Katika tukio la kimeta,ili kujenga hoja kuwawahusika ni Waislamu,maneno Allahu Akbar,yalitumika. Na mara mojaRais Bush na Makamowake Cheney, wakata kutafutwe ushahidi harakakuihusisha al Qaida. Hatahivyo, wakati huo vyombovya kikachero vya Marekanivilikuwa vikiamini kuwavimelea vya kimeta kamavile visingeweza kuzalishwamapangoni a l ikoj i f ichaOsama Bin Laden, ba l i

    ilihitajika maabara ya kisasaambayo Al Qaeda hawana.(Tazama: A Natio

    Challenged: The InquirExperts See F.B.I. MissteHampering Anthrax InquiryThe New York TimeOctober 9, 2001. Retriev4 October 2011. (2) Jump u^ FBI was told to blame

    Anthrax scare on Al Qaedby White House officialsNew York Daily News.

    August 2008. Retrieved 2December 2012.)

    Katika uchunguzi wake,FBI ikaibua mambo mazitokiasi cha kuliweka tukiola kimeta kuwa ni katikauhalifu tata na mgumuuliowapa changamotokubwa makachero haokatika historia ya kuwepokwake.

    Katika shambulio hilila kikatili la Kenya, napoharaka haraka tunaambiwakuwa wahusika walikuwawakitamka Allahu Akbarna kufanya gwar ide lautambulisho ili kuwatengaWaislamu kando na Wakristo.

    Wasiwasi ni kuwa isijeikawa ni yale yale ya anthraxterror a acks na al Qaida.Sura ya wazi inayojitokeza

    BAADHI ya majeruhi wa tukio la shambulio lililotokea eneo la Maduka la Westgatenchini Kenya hivi karibuni.

    Inaendelea Uk. 10

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    8/16

    8 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Makala/ Tangazo

    Imetengenezwa kwa vitu vya asili kama parachichina mwarobaini

    Ogea na kupaka povu lake katika sehemu iliyoathirika.Sabuni hii ina povu laini na zuri ambalo huwezakuhimili hata maji ya chumvi.

    Huondoa chunusi, harara, mabaka ya usoni, mapunye,fangasi na muwasho mwilini, huondoa mabaka mwiliniyanayosababishwa na unene, huondoa mipasukomidogo midogo katika nyayo, hufanya ngozi kungaa,kuwa laini na nyororo. Pia ni nzuri kwa watoto wadogona wanaosumbuliwa na magonjwa sugu ya ngozi.

    Sasa inapatikana katika maduka mbalimbali jijila Dar es Salaam. Kariakoo-maduka ya vipodoziya Mchikichini na Sabasaba, maduka ya dawa zaasili Mkunguni, Msikiti wa Idrisa na Mtoro, KiomboiKisiriri phamarcy Buguruni n.k. Kwa watu wa mikoaniwatakaohitaji watatumiwa.

    Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba: 0717098892/0756 392 440/0719 541 012/0774 065652 aufka katika ofsi zetu zilizopo Tabata-shule.

    SABUNI YA ASI AZA

    Walioshambulia Kenya ni Mujahidina Inatoka Uk. 6pekee kwani hata Mkristowa Tanzania akisikia kuwakuna Mujahidina aliyevaakofia iliyoandikiwa Koraniameuwa kinyama Wakristow a K e n y a , a t a s h i k w ana hasira na kuwachukiaWaislamu wanaomzunguka.

    Swali hapa ni je, waliofanyashambulio na kuuwa watu

    ni Mujahidina au watuwanaodhaniwa kuwa ni alShabab?

    Je, ni kweli kuwa kabla yakufanya mauwaji ya kinyama,Mujahidina (al Shabab) hao,walifanya kwanza gwaridela utambulisho kuwatambuawalio Waislamu ili wasiuliwe?

    Je, ni kweli kwamba kablaya mauwaji kulikuwa naquiz, ama test (mtihani)i l i yokuwa na maswa l imawili: Kwanza kusomaaya ya Quran na pili kutaja ji na la Mama wa Mt umeMuhammad?

    Mwand i sh i anawezakudai kuwa hiyo ni kwamujibu wa mashuhudawa tukio au habari katikamtandao, lakini mwandishi/Mhariri wa HABARILEOatakumbuka kuwa Jumataoya tarehe 19 Mei, 2010 gazetilake li l ichapisha habari juu ya mtoto wa shule yamsingi aliyevamia ubaloziwa Marekani akiwa nakigeleni cha mafuta ya taaakitaka kulipua ubalozi huo.Kwa mujibu wa taarifa zaHABARILEO mtoto huyoalivamia ubalozi huo usikukupitia lango (gate) namba3 akafanikiwa kukwepakamera na mitambo ya ulinzipamoja na FFU na askarilukuki wanaolinda ubalozihuo ki la kona. Baadaeikaari wa kuwa mtoto huyoalijifunza mbinu hizo zakikomandoo kupitia kandaza mawaidha za baadhi yaMasheikh wa Msikiti waMtambani.

    Japo HABARILEO lilidaikuwa taarifa hizo ni kwamujibu wa chanzo cha habarindani ya ubalozi wa Marekani,lakini baadae Wamarekaniwenyewe walikanusha baadaya kudhihiri usanii na kirojakilichopo katika habari hizo.

    Habari nyingine ambazoz i m e p a m b w a s a n a n amagazet i mengi nchinikatikati ya wiki ni zilezinazodai kuwa kacherommoja wa kikosi maalumcha anga cha Uingereza (SAS)aliibuka shujaa. Ikapambwakuwa askari huyo ambayealikuwa akipata kahawakatika moja ya migahawai l i y o p o k a t i k a j e n g olililovamiwa, alifanya kazikubwa ya uokozi akidaiwakuokoa zaidi ya watu 100.

    Mwanajeshi huyo sikuhiyo alikuwa akipata kahawakatika moja ya migahawa yaWestgate wakati magaidiwalipovamia. Shujaa huyoanadaiwa kurudi dukanihumo mara 12, kuokoawatu licha ya mashambuliziya bunduki yaliyokuwayakiendelea.

    L i k i e n d e l a k u m s i f u

    HABARILEO likasema kuwashuhuda mmoja alisema:Alichokifanya (askar ihuyo wa Uingereza) ni chakishujaa. Alikuwa akinywakahawa na marafiki zakewakati tukio hilo linatokea.Alirudi ndani mara 12 nakuokoa watu 100. Fikiriakurudi ndani huku ukijuakilichokuwa kikiendeleahumo.

    Gazeti la Mwananchi la Jumatano li kiar ifu hab arihizo lilisema kuwa Askariwa Kikosi Maalum chaAnga (SAS) cha Uingereza,ameonekana shujaa katikatukio la uvamizi lililotokeakatika jengo la madukala Westgatebaada yakufanikiwa kuokoa watu 100waliokuwa ndani ya jengo.

    Likasema, wakati anafanyakitendo hicho cha kishujaa,askari wengine (wa Kenya?)walikuwa wakimshangaakwa ujasiri wake.

    G a z e t i l i n a s e m akuwa shuhuda mmojaaliyeshuhudia askari huyoakifanya kitendo hichoc h a k i s h u j a a a l i s e m a :Alichokifanya (askar ihuyo wa Uingereza) ni chakishujaa. Alikuwa akinywakahawa na marafiki zakewakati tukio hilo linatokea.Alirudi ndani mara 12 nakuokoa watu 100.

    T u n a a m b i w a k u w am a g a i d i w a l i k u w aw a k i s h a m b u l i a o v y o(indiscriminately). Katikahali ya mtafaruku Kamahiyo, ambapo kila mmojahuk imb iza roho yake ,shuhuda gani huyo alikaamahali kazi yake ikawakumtizama askari huyoakiingia na kutoka hadi mara12? Yeye hakimbii! Kasimamahuku risasi zinarindima. Kaziyake kumtizama askari huyowa SAS akiingia na kutoka namateka! Akahesabu mpakaakaona ka kisha safari 12 nakaokoa watu 100? Baada yahapo! Ndio naye akakimbiakuokoa maisha yake aualibaki kumpongeza SAS!Shuhuda gani huyo?

    Pengine mchezo huuungenoga kama tungeambiwakuwa SAS huyo alivaa kanzuna baraghashia maana kwataarifa za magazeti hayahaya, aliyevaa kanzu na kujuakusema Kiarabu hauwawi!Taarifa zinasema kuwaSAS huyo alikuwa akinywakahawa kabla ya shambuliokutokea na hakuwa amevaamavazi ya kijeshi. Nanihuyo alikuwa akimfuatilia,kumpiga picha na kutambuakuwa ni askari wa SAS halafu baada ya shambulio akawaanamfuatilia anavyofanyakazi ya uokozi?

    Shambulipo limetokeaNairobi, sio London, askarihuyo alikuwa anafanya niniNairobi? Magazeti yanasemakuwa kikosi hicho kipo Kenyana katika Afrika ya Masharikikwa ujumla kwa lengo la

    kupambana na Waislamuwenye msimamo mkali.

    Je, hii kupigia tarumbetak u w a w a s h a m b u l i a j iwalikuwa wakiwalengaWakristo na kuwaachiahuru Waislamu, ni katikakuhala l i sha uwepo waaskari hao? Kusema kuwaaskari wa Kenya walikuwawamesimama wakimshangaaaskari huyu wa Uingerezaakifanya ukomandoo bilakuogopa risasi za wauwajindani ya jengo, je ni katikakujenga hoja kuwa AfrikaM a s h a r i k i h a t u j i w e z ikujilinda ila tupate msaadawa Uingereza, Marekani naIsrael?

    Kama yale tuliyoambiwani kweli, kuwa washambuliajiwalikuwa wakiuwa watukikatili bila mpango, na zaidiwakilenga wanaoonekanakuwa sio Waislamu, basii t ab id i t ue l ezwe , n in iuhusiano wa washambuliajihao na SAS huyu hata awe naujasiri wa kuingia ndani mara12 bila kuogopa huku askariwa Kenya wakimshangaa.

    Mapema wiki hii Waziriw a M a m b o y a N d a n iMhesh imiwa Emanue lNchimbi alinukuliwa navyombo vya habari akiwatakaWatanzania kuwa makinikatika masuala yanayohusuusalama wa nchi. Alisema:

    Watanzania lazima tuwemakini hasa nyakati hiziambazo usalama wa duniaupo shakani.

    Waziri Nchimbi alisemakuwa Serikali kwa upandewake imekuwa ikijitahidikuweka nchi katika hali yausalama ikiwa ni pamojana kuendesha operesheniza kuwasaka wahamiajiharamu.

    Ni kweli kama alivyosemaWaziri Nchimbi, usalama wadunia hivi sasa upo shakani.Ukirejea yaliyojiri Septemba11, uvamizi Iraq, Afghanistan,Libya, Misri, Somalia namgogoro unaoendelea Syriana haya ya Somalia; utaonakuwa si shwari tena.

    Libya ya Gadhafi haipo,i m e s a m b a r a t i s h w a n amajeshi ya NATO. Sasamajeshi hayo yanapiga kwatayakitaka kuingia tena Syria baada ya kupat ikana watundani ya Syria wa kuanzishachokochoko wakaungwamkono na wap igana j iwanaodaiwa kwa upandemwingine kuwa ni magaidi.Magaidi hayo kwa vile hivisasa wanatumika kumngoamtu asiyetakiwa na Marekani,wanaonekana watu muhimusana wanapewa kila msaada.

    Sasa katika hali kama hii,kama hatutakuwa makini,tukawa watu wa kushabikiahabari za kuchochea chuki,uhasama na visasi kati yaWaislamu na Wakristo, tujuetumeumia.

    P r o f e s a M a h m o o dMamdani ameandika makalayake akifanya tathmini ya

    ugaidi uliofanyika Nairobina waliodaiwa kuwa ni alShabab. Katika maelezo yake ba ad a ya ku la ni ;uga id ina mauwaji hayo anarejeahistoria ya mgogoro waSomalia ulioibua al Shabab.Anasema kuwa baada yaMarekani kukimbia nchi hiyona kile kilichoitwa kikosicha Umoja wa Mataifa,Wasomali wenyewe chiniya Umoja wa Mahakama zaKiislamu (Union of IslamicCourts), walifanikiwa kuletaamani katika nchi yao. Hatahivyo anasema, Marekaniha ikupenda ha l i h iyo .Anasema, Marekani haikujalikuwa, Shariah au Sheriaza Kiislamu, ndio jambopekee linalowaunganishaWasomali wote na ndilolililoweza kuwaleta pamojawale waliokuwa wababewa kivita na wazee wa Koombalimbali.

    Blind to its local resonance,the US saw the Union ofIslamic Courts as nothing but an Al Qaeda conspiracy,a threat to internationalpeace. In the years thatfollowed, it put togetherand backed a coalition ofwarlords, aptly titled Alliancefor the Restoration of Peaceand Counter-Terror ism(ARPCT).

    Kwamba Marekani iliipatafsiri potofu Serikali yaMahakama ya Kiislamukwamba ni ugaidi wa ALQaida na ili kupambana nayo,ikawakusanya na kuwapamisaada wababe wa kivita(magaidi) ili wapambanena serikali hiyo. Magaidi

    hao wakapewa jina zuri laAlliance for the Restoration ofPeace and Counter-Terrorism(ARPCT).

    Hata hivyo, kutokana nanguvu za Serikali na kutokanana Serikali kuungwa mkonona Wasomali takriban wotempaka wal ioko nje yanchi, wababe hao wa kivitahawakuweza kufurukuta.Walishindwa. Hapo ndipokupitia Ethiopia, mkakatiukawa kuivamia Somaliakijeshi.

    When th i s a l l i ancewas defeated following aseries of skirmishes withthe Islamic Courts Union,the US looked for anotherproxy. The second phase ofindirect US involvement inSomalia began as Ethiopianforces moved into Somaliaand easily toppled the Unionof Islamic Courts with fullUS political and military backing.

    Anasema Prof. Mamdaniakimaanisha kuwa mkakatiwa kutumia wababe wa kivitaulipofeli, likatumika jeshi

    la Ethiopia. Kilichofuatiani kuangushwa Serikali yaMahakama za Kiislamu na badae kuibuka al Shabab.

    Katika ushauri na maoniyake Prof. Mamdani anasemakuwa historia hiyo ni lazimaiz ingat iwe na kwambaisifikiriwe tu ufumbuziwa kijeshi-kutuma jeshi laEthiopia, Kenya, Uganda,B u r u n d i n a w e n g i n e .Kama Wasomali waliwahikukaa wenyewe wakapataufumbuzi, basi kuna hajaya kutizama ufumbuzi wakisiasa utakaoleta suluhuya kudumu Somalia kamaRais Museveni wa Uganda

    Inaendelea Uk. 10

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    9/16

    9 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Makala

    M A K U B A L I A N Oyaliyofikiwa mjiniOslo baina ya Israel nachama cha ukombozicha Palestina (PLO)hivi majuzi yametimizamiaka ishirini, lakinihakuna mafan ik ioyaliyopatikana katikamaeneo ya Mashariki

    ya Kati.W a p a l e s t i n awanaendelea kudaiUhuru wa taifa laowakati Israel ikiendeleakukalia kimabavu nakijeshi ardhi ya Palestina.Hakuna kilichobadilikatangu makubal ianohayo ya t iwe sa in i .Wapalestina wanendeleakugandamizwa wakatiardhi yao ikivamiwa nakukaliwa na wakoloniwa Israel.

    Ki l ichofanyika nik u w a u l i m w e n g uumezidi kulaani ukolonihuu na kuunga mkonoharakati za Wapalestina.Israel nayo inajifanyakuwa eti inakabiliwana tishio la usalama nauhai wake. Eti usalamawao uko hatarini wakatiIsrael imerundika silahaza maangamizi na nzitokushinda nchi zote zaKiarabu, wakati Israelni nchi pekee yake yenyesilaha za nyuklia katika

    Mashariki ya Kati.Kwa muda wa miakaishirini Israel imekuwaikitumia kila mbinuili kuzuia uundwajiwa taifa la Palestina.I m e k u w a i k i v a m i aardhi ya Palestina nakupanua makazi yakeharamu. Wakati huohuo imekuwa ikifanyambinu za kuzuia juhudiza Palestina kujiunga nakutambuliwa kama taifakamili katika Umoja wa

    Kituo cha Habari cha Palestina (Tanzania)

    MIAKA ISHIRINI YA OSLOMataifa na asasi zake

    Ni dhah i r i kuwambinu za Israel zauvamizi wa ardhi yaPalestina unaungwam k o n o k i k a m i l i f una Marekani. Siyo tuM a r e k a n i i n a u n g amkono utawala dhalimuwa Israel bali pia na

    ugandamizaji na utesajiwa Wapales t ina . Siajabu kwa hiyo Israelimekuwa na kiburi chakupuuza makubalianoya Oslo yaliyoridhiwana kutiwa saini

    M a t o k e o y a k eI s r a e l w a m e k u w awakiona kuwa ardhiya Palestina siyo tenaardhi iliyovamiwa nakukaliwa kijeshi bali eti niardhi inayogombaniwana pande mbili . Nan d i o m a a n a h a t awakati wanapofanyam a z u n g u m z o y a a m a n i h u w awanaendelea kupanuamakazi yao haramu

    K a m a h a y o y o t ehayatoshi, basi Israelsasa inataka itambuliwek a m a t a i f a l aWayahudi

    Waka t i huohuo wanaendelea kudaikuwa taifa la Palestinalitakaloundwa lisiwe namajeshi yake ya ulinzi,

    l isiwe na ulinzi wamipaka katika bonde la Jordan, lisiwe linalindavyanzo vyake vya majina anga yake.

    Tukizingatia madaihaya ya Israel na vitendov y a k e , n i d h a h i r ikuwa hawana nia yakuiachi l ia ardhi yaPalestina. Mbinu yaoni kuwapa Wapalestinautawala bandia usiona mash iko . Yaan iutawala wenye uwezo

    wa kuwadhibiti raiawao tu, bila ya kuwa namipaka inayotambulika,katika ardhi iliyojaavikwazo vya kijeshivinavyoendeshwa naIsrael

    P i a t u k i z i n g a t i amadhi la na matesoyanayofanywa na Israel

    dhidi ya Wapalestina,tunaona kuwa lengola Israel n i kuzuiauwezekano wa Palestinakuiburuza Israel katikamahakama za kimataifaili kujibu mashitaka ya jinai na uharamia dhidiya mwanadamu

    Israel inaota ndotok u w a w a t a w a l awake wataponyokakutoka mahakama zakimataifa, inategemeak u w a Wa p a l e s t i n awatawasamehe.

    Wakati yote hayayakitokea, Waisraelih u p e n d a s a n akuwalaumu Wajerumanina Wazungu kutokanana mauaji ya Wayahudiyal iyofanyika hukoUlaya zaidi ya miakasabini iliyopita. Kunam r a d i m k u b w auliobuniwa kueneza nakuendeleza propagandah i z i z a m a u a j i y aWayahudi (Holocaust)y a l i y o f a n y w a n a

    kikundi cha Nazi hukoUjerumani. Lengo nikudumisha lawama kwaWakristo na Wazungukwa ujumla

    M i a k a i s h i r i n i ba ad a ya ku sai niw amakubaliano ya Oslo,wachambuzi wa kisiasawanatofautiana kuhusum u s t a k a b a l w a k e .Kitu kisichokatalika nikwamba kuna tofautikubwa baina ya Israely e n y e m a g u v u y a

    kijeshi na Wapalestinawalio dhaifu. Hivyo,makubaliano ya aina hiihayawezi kuwa imarana ya haki.

    H a t a h i v y o , n ilazima tukubali kuwam a k u b a l i a n o h a y aangalao yameondoazile fikra za mshindi

    na mshindwa, mawazoya vita baina ya pandembili. Kwa mara yakwanza hakuna upandeambao unaweza kudaik u w a u m e s h i n d a .Badala yake yamekujamawazo ya maridhiano,makubaliano na amani baina ya pande mbili

    Hata hivyo, ni jambola kusikitisha mawazohaya hayajaendelezwakwa muda mrefu na badala yake yametawalamawazo ya utumiajiwa nguvu na ubabe,m a w a z o y a i m a n ikali za kidini. Ndipotunaona baada ya mudamfupi wa matumaini,mazungumzo ya amaniyamedidimia baada yakuuawa kwa kiongoziwake mmoja, BwanaYi hak Rabin aliyekuwawaziri mkuu wa Israel

    Takriban miaka kumi baada ya hapo akauawakiongozi mwengine wamazungumzo ya Oslo,

    Bw Yassir Arafat mkuuwa PLO. Inasemekanaa l i l i shwa sumu yaPo lon ium na wa tuwale wale wasiopendam a z u n g u m z o yaamani yaendelee katikaMashariki ya Kati.

    Inasikitisha kuwamawazo haya hayayanaendelea leo katikas ia sa za I s rae l . N iwatu wa aina hii ndiowanaosukuma Israelk u e l e k e a k w e n y e

    m s i m a m o m k a l i ,uvamizi na ukandamizajiwa Wapalestina. Watuhawa ndio walioletamasikitiko na kuzikan y u s o z a f u r a h amiongoni mwa watotowa Palestina na Israel

    K w a h i y ohaistaajabishi kuonakuwa haya mazungumzo

    yanayoendelea hivi sasahayana uwezekano wakufanikiwa. Ni kwasababu mazungumzohaya yanatumiwa naIsrael kama mwanyawa kupanua makazi yaoharamu na kucheleweshau w a n a c h a m a w aPalestina katika Umojawa Mataifa na asasi zake

    N d i o m a a n akatika vikao vinanevi l ivyofanyika hivikaribuni kilichofanyikani kuzungumzia ajendatu, bila ya kuelekea

    k w e n y e m a m b omuhimu na ya kimsingiBaada ya miaka 20

    ya Oslo na mpango waamani, sasa Wapalestinawana hakika kuwaMarekani peke yakeh a i n a u w e z o w akuhuisha na kusimamiamazungumzo ya amani.Kama kuna mabadiliko basi ni lazima yaanzieIsrael kwenyewe kwakubadili msimamo wao

    Lakini mabadilikohaya ni kama ndoto.I n a h i t a j i m u u j i z a ,sawa na muujiza uleuliomfanya Nabii Issakutembea juu ya majikatika Bahari ya Galileo

    _____________________________________

    Wasiliana nasi: P.OBox 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar esSalaam Tel: 21528132150643 Fax: 215325Email: [email protected]: www.pal-tz.org

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    10/16

    10 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,Makala/Matangazo

    Bismillahir Rahmanir Rahiim

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU

    KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2014

    Sifa na masharti ya kujiungaMuombaji atimize sifa na masharti yafuatayo :

    (i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu(ii) Awe anajua kusoma Quran kwa ufasaha.(iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga.(iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha.(v) Awe amehitimu angalau darasa la saba na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika

    shule za Msingi au Sekondari.

    Maelekezo muhimu(i) Patakuwa na usaili na mtihani siku ya tarehe 30/11/2013 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha

    Ubungo na Kirinjiko na katika vituo mbalimbali vya mitihani kote nchini.(ii) Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 29/11/2013 .(iii) Fomu italipiwa shilingi 5,000/- tu .

    Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 11

    MKURUGENZI

    Walioshambulia KenyaInatoka Uk. 8

    alivyofanya baada yakutoka msituni na NRA(M) yake.

    K w a k u z i n g a t i amaoni hayo ya Profesa

    Mamdani, tutizame,ni nchi gani iliyopataamani kwa kupewausaidizi wa kijeshikatika kinachodaiwakupambana na ugaidi?Afghan i s t an , I r aq ,Yemen, Libya, kotehuko ni balaa tupu.Hivi leo Iraq, watuw a n a u w a n a k w akiwango cha kutisha.Kabla hawajavamiwa naMarekani kwa kisingizioc h a k u w a k o m b o akutokana na udikitetawa Saddam, hapakuwana mauwaji ya aina hii.

    Japo kwa upande waSerikali Waziri Nchimbi

    anasema kuwa Serikaliinajitahidi kupambanana wahamiaji haramu,lakini kwa upandemwingine hatari yawahamiaj i haramui n a w e z a k u w andogo kuliko walet u n a o w a k a r i b i s h aau wakati mwinginew a n a o j i k a r i b i s h awenyewe na wakawawageni na washirika waSerikali.

    Serikali ya Yemenilikaribisha wageni,wakidai wageni haokuwa wana i sa id i a

    Serikali ya nchi hiyokupambana na ugaidi.Ili kitisho cha ugaidikikolee, wageni haowakawa wanauwa watuovyo, halafu serikaliinadai kuwa ndiyo

    iliyouwa ikipambanana magaidi! Na hayoyalikuwa makubalianorasmi kati ya wagenih a o v i r a n j a w akupambana na ugaidina aliyekuwa Rais waYemen Ali Saleh.

    Yemeni ikoje leo! Kilauchao droni zinauwawatu wasio na hatia.Pakistani nako ni hivyohivyo. Droni zinauwa,h u k u Wa p a k i s t a nn a o w a k i u w a n aw e n y e w e k w awenyewe katika kisasik i l i chopand ik i zwa ba in a ya Ma sh ia naWasuni.

    S a s a w a k a t itukiwataka wananchiwatekeleze wajibu waowasikaribishe wagenikiholela wasio raia,lakini tuwe makinipia na hawa SASwanaojidai kutusaidiakupambana na magaidi.

    Usalama wa nchiy e t u h a u t a l e t w ana wagen i , ha sahawa waliojitangazakuwa mabingwa wakupambana na ugaididuniani. Hawa kilawalipoingia, imekuwa balaa tupu.

    Kenya wachukue tahadhari kubwaInatoka Uk. 7

    ni kuwa taarifa zavyombo vya habarizinalenga kuitishahasira za kisasi baadaya kujenga chuki nauhasama miongonim w a Wa k r i s t o .K a m a h u o n d i outakuwa mpangowenyewe, ndio hapoinabidi Wakenyakuwa makini sana.Linaweza kuibukashambulio jingine,safari hii likaelekezwaMsikit ini au kwa

    Waislamu. Taarifak a m a h i z i z aNation, zikageuzwa.Ikaambiwa kuwail ikuwa Wakristow a k i a c h i w a i l aWaislamu huuliwa.Na kama ni Msikitini,taarifa zikasambazwakuwa washambuliajiw a l i s e m a k u w awanalipiza kisasi.Ikifika hapo, Kenyawajue wameumia.W a t a k u w awamefikishwa kwaWashia na Wasuni wa

    Iraq/Pakistan.Matarajio yangu ni

    kuwa wananchi waKenya na viongoziw a o , w a t a i s o m apicha hii na kujuanjia sahihi ya kupitaili kuepusha balaa.

    N a m a a d h a l iimeelezwa kuwa FBInao wapo wanasaidiakatika uchunguzi,

    bila shaka Wakenyawatajifunza mengik u t o k a k w a okutokana na zi lep r o p a g a n d a z aGeorge W Bush nam w e n z a k e D i c kC h e n e y, k a t i k a a n t h r a x t e r r o ra ack s na yaliyokujak u j i r i b a a d a y avijana wa RobertMuel le r kufanyakazi na kumuibuaDr. Bruce EdwardsIv ins wa Uni tedStates Army MedicalResearch Institute ofInfectious Diseases(USAMRIID), FortDetrick, Maryland.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    11/16

    11 AN-NUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OTangazoBismillahir Rahmanir Rahiim

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA 2014

    Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Kwanza kwa shule zifuatazo: Mkuzo Islamic High School - Bweni tu - SONGEA Kirinjiko Islamic Sec. School - Bweni tu SAME - KILIMANJARO Nyasaka Islamic Sec.School - Bweni tu - MWANZA Ubungo Islamic High School - Kutwa na Bweni DAR ES SALAAM1. Shule hizi ni za Kiislamu, zenye lengo la kuwapa watoto elimu bora na kuwalea kwa malezi mazuri ya Kiislamu.

    2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo:Usomaji Quran na mafunzo yake, Elimu ya Dini ya Kiislamu ,Lugha ya Kiarabu, Kiswahili, English, Basic Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, GeographyCivics, Book Keeping , Commerce na computer.

    3. Patakuwa na mtihani tarehe 30/11/2013 saa 2:00 asubuhi katika vituo mbali mbali kote nchini. Muombaji anaweza kufanyia mtihani katika kituo chochote.4. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 29/11/20135. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

    Pia, fomu zinapatikana kwenye Tovuti:www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa atakayepata fomu kupitia tovuti (download) atatakiwa kulipia wakati wa kurejesha siku ya mti

    Arusha - O si ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763

    Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

    Tanga - Twalut Islamic Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914 - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/

    - Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533

    Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685- O si ya Islamic Education Panel Mtaa wa Ru ji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770

    Musoma - O si ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623 Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na o si za TRA. - 0688 479 667

    Shinyanga - Masele com: O si za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426- Kahama o si ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930

    Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556- O si ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474

    Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

    Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086

    Singida - O si ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039

    Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575- O si ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902

    Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224- Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860- Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802

    Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663

    Mtwara - Amana Islamic S.S 0786 729 973

    Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113- Mkuzo Islamic High School. 0716 791113

    Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209

    - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209

    Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073

    Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566

    Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122

    Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331

    Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074- Ma a - O si ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!MKURUGENZI

    WABILLAH TAWFIIQ

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    12/16

    12 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,12 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

    P.O. BOX 80059, TEL: 022-2860694, 0754/ 0655-462777, 0754-377897_____________________DAR ES SALAAM (TZ)_______________________

    QURAN, TAALUMA , MAADILI.

    USAILI KWA NAFASI ZA MASOMO 2014 SHULE YA MSINGI DARASA LA 1 HADI LA 7, SHULE YA SEKONDARI KIDATO CHA 1 HADI CHA 4

    UTAFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 5, OCTOBA 2013 SAA MBILI ASUBUHI SHULENI KIGAMBONI AMANI GOMVU DAR ES SALAAM.

    FOMU ZINAPATIKANA KWA TSHS 10,000/= KATIKA SEHEMU ZIFUATAZO:1. OFISI ZA WAKUU WA SHULE.2. KATIKA DUKA LA B.G.S. MTAA WA GOGO KARIAKOO DAR ES SALAAM.3. DUKANI KWA SHARIFU KIGAMBONI (FERI)4. MWANZA SIMU NO. 0653 349 777 AU 0754 030 614

    UTAKUWEPO USAFIRI KUTOKA ILALA D.A.S. - NURSERY (MALAPA) KWENDA AMANI GOMVU NA KURUDI KWA TSHS 15,000/-. FIKA SAA KUMI NA MBILI ASUBUHI SIKU HIYO YA TAR. 5 OCTOBA.

    SHULE ZA DAARUL ARQAM NI MAARUFU KWA:KUONGOZA KITAALUMA KATIKA MITIHANI,KUHIFADHISHA QURAN NA MAADILI MEMA YA KIISLAM,LISHE NA MALEZI BORA KWA WATOTO,UMAHIRI KATIKA LUGHA ZA KIINGEREZA NA KIARABU, NA HUDUMANYINGINEZO NYINGI.

    KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA SHULE KWA:TOVUTI YA SHULE: WWW.das.ac.tz AUMwl. MKUU PRIMARY, 0654 204 781 AU 0773 204 798Mwl. HASHIM SAIBOKO (H / MASTER) 0659 190 208 AU 0653 19 00 79

    DAARUL ARQAM SCHOOL

    Tunawatakia kila la khermahujaji wetu katika

    kutimiza ibada ya Hijja

    kufanya kosa la mauaji.Upande wa mashitaka

    ukiongozwa na mwendeshamashi taka wa ser ikal i ,B i F i e l e g e t e , u l i e l e z amahakamani hapo kuwatayari una mashahidi watatuambao wote ni askari polisi,akiwamo A sa Upelelezi wawilaya ya Nyamagana.

    H a t a h i v y o I m a mHamza, alikana makosaa n a y o t u h u m i w a n a y ona kuieleza mahakamahiyo kuwa madai kuwaCD inayodaiwa kuwa niya uchochezi, si yake nakwamba, yeye hana kamerawala hana taa luma yakurekodi na kuhariri CD.

    A l i s e m a s h u g h u l izake ni kutoa mawaidha

    Kesi ya Imam Hamza yaanza kusikilizwNa Bakari Mwakangwale (kuhadhiri) mahali popote,hivyo mtu yoyote hata waoPolisi, anaweza kurekodi nakutengeneza CD zao kupitiamawaidha yake.

    Katika maelezo yake,aliwataka Polisi kumtafutamwenye CD hiyo.

    Hata upande wa mashitakaulipoeleza mahakamni hapokuwa mshitakiwa anamjuaaliyeiandaa, Imam Hamzaalijibu kuwa wakaulizwekule walipoipata CD hiyo.

    H a t a h i v y o k a t i k ahali ya kushangaza nakutia shaka, wakati kesiya Imam Hamza ikianzakusililizwa Mahakamanihapo, imesemekana kwambaMchungaji Mpemba, ambayenaye Polisi wa ndani yanchi na wale wa kimataifa(Interpol), walitangazakumta fu t a , Mchunga j ihuyo hivi sasa anasikikaakiendesha vipidi katikaRadio yake ya Kwaneema,iliyopo Jijini Mwanza.

    Ilielezwa kwamba amriya Polisi i l ikuwa ni ya

    kutafutwa Imam Hamzana Mchungaji Mpemba waRadio Kwa Neema Mwanza.

    Kamanda wa Po l i s iwa Mkoa wa Mwanzaalinukuliwa na vyombovya habari akisema kuwa,wanamtafuta Bw. Mpembakwa udi na uvumba kwakusaidiana na polisi wakimataifa.

    Tangazo hilo liliambatanana ahadi ya zawadi ya pesakiasi cha shilingi milioni 2kwa yoyote atakayempataMchungaji Mpemba.

    Hata hivyo imeelezwa

    k w a m b a b a a d a y akufunguliwa kufungiwaRadio Kwa Neema tanguOktoba 26, 2013, watuwalitaraji kwamba hatosikikakwa sababu anatafutwana polisi, lakini amekuwaakiendesha vipindi katikaRadio yake kama kawaidana hakuna t aa r i f a zakukamatwa .

    Wa k a t i M c h u n g a j i

    KESI inayomkabili ImamHamza Shabani, imeanzak u s i k i l i z w a k a t i k amahakama ya mkoa waMwanza juzi Jumatano,a m b a p o a m e s o m e w am a s h i t a k a m a w i l imahakamani hapo.

    S h i t a k a l a k w a n z alinalomkabili Imam Hamzani la uchochezi, kuhamasishakutenda kosa, ikidaiwakuwa ni maneno yaliyomondani ya CD anayohusishwanayo yanayosema kwamba,tunakoelekea ni pazuri,tutakuja kuchinjana naMakafiri, kauli ambayoimedaiwa kuwa inawezakuhamasisha jamii nyingine

    Mpemba akivinjari mitaaniakiwa huru bila wasiwasiwowote bila kukamatwana vyombo vya dola walakufunguliwa kesi yeyotehadi sasa, Imam Hamzaalikamatwa Februari, 26,2013 na kuwekwa rumandehadi Juni 2013.

    Mchungaji Mpemba kwakutumia radio yake ya KwaNeema ya jijini Mwanza,a l i t uhumiwa ku tumiaradio hiyo kuchochea nakuhamasisha Wakris tokudai haki ya kuchinja nakuitaka serikali kuanzishamachinjio rasmi ya Wakristonchini, jambo ambalo lilizuatafrani kubwa huko mkoaniGeita, ambapo mtu mmojaalipoteza maisha na makumiya raia wengine kujeruhiwana wengine wakikamatwana kuswekwa rumande napolisi.

    Kesi inayomkabili ImamHamza imeahirishwa hadiOktoba, 24, 2013.

    UONGOZI wa shule yamsingi ya Al-Qadiriyya,Temeke Jijini Dar es Salaam,umewaomba wadau waelimu kuisaidia shule hiyoili iweze kutimiza malengoyake ya kuielimisha jamiiya Kiislamu.

    Wito huo umetolewa nauongozi wa shule hiyo kwaWaislamu pamoja na wazaziwa wanafunzi wanaomalizadarasa la saba mwaka huu,katika mahafali ya kuwaagawanafunzi hao mwishonimwa wiki iliyopita shulenihapo.

    Uongozi huo umebainishakwamba tayari umefanikiwakupata eneo la kutoshala kuweza kujenga shuleya msingi na sekondari,lakini tatizo limekuwa niuwezo mdogo wa kujengahivyo kuhitaji nguvu yaziada kutoka kwa Waislamunchini.

    Mwenyekiti wa Bodiya Shule ya Al-qadiriyya,alisema kuwa, shule hiyoi n a o n g o z w a z a i d i n amatendo kuliko manenona ndio maana imekuwa namwenendo mzuri kitaaluma.

    Alisema Al-Qadiriyya,il ikuwa na malengo yamuda mfupi na malengoya muda mrefu, ambapokatika malengo ya mudamrefu walidhamiria kuwana shule ya msingi pamojana sekondari.

    Mwenyekiti huyo ambayepia ni mlezi wa shule hiyo,alisema kwamba miongonim w a m a l e n g o h a y o ,wanatarajia kuwaendelezavijana wa Kiislamu shulenihapo, pindi wanapomalizaelimu ya msingi, badala yakuwaachia kwenda katikashule zingine ambazo si zaKiislamu.

    Kuna mashaka katikakuwalea watoto katika

    Al-Qadiriyya kuongeza shuleNa Mwandishi Wetu misingi ya Kiislamu baada

    ya miaka saba, huendaw a n a p o k w e n d a h u k owakaharibika kimaadilikutokana na mazingirawanayoku tana nayo . Alisema mlezi huyo.

    Aliongeza kuwa wakatiwa kutegemea wafadhilikwa sasa haupo, hivyo niwao wenyewe wanatakiwakujitahidi kujipanga nakukusanya kidogo walichonacho, ili kuweza kufanikishamalengo yao.Aliwataka wazazi waKiislamu na Waislamu kwaujumla, kutozinyanyapaashule zilizopo Misikitini,kama il ivyo shule hiyokwani wasomi wengi wazamani walipatia taalumazao Misikitini.

    Akiwasihi wanafunzi wadarasa la saba wanaohitimuelimu yao ya msingi mwakahuu shuleni hapo, alisemawanafunzi hao wasidhanikwamba elimu ina mwisho bali watie nia ya kupendakusoma zaidi kwani elimuhaina mwisho.

    Tunataka mkajiendelezepasi ya kubagua elimu, kwanitunataraji miongoni mwenukupatikana wanataaluma wafani mbalimbali wa kuwezakuusaidia Uislamu na jamiikwa ujumla. Alisema.

    Shule ya Al-qadiriyyailianzishwa mwaka 2000,ikiwa na jumla ya wanafunzi210.

    Hivi sasa kuna wanafunziwapatao 321, wavulana 155na wasichana 166, ambapomwaka 2004, shule ilipatausajil i wake namba DS03/7/015.

    Kwa mujibu wa uongoziwa shule hiyo, mwenendowa ufaulu kwa wanafunziwanaomaliza shuleni haponi mzuri na wa kuridhishakutokana na ongezeko laufaulu mwaka hadi mwaka.

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    13/16

    13 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    14/16

    14 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    15/16

    15 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,

  • 7/28/2019 ANNUUR 1092

    16/16

    16 AN-NUUDHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3,