annuur 1096

12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1096 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA , OKTOBA 25 -31, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Pigo kubwa kwa Kadhi Mkuu Waislamu wamkimbia siku ya Eid  Aswalisha watu 13 na watoto wanne Waziri amtolea hasira kupotosha Baa, pombe, marufuku Z'bar Uk. 3 Unahitaji kichaa mmoja tu kusambarat isha T aifa SEPTEMBA 11, 2011 gazeti la Los Angeles Times lilichapisha maoni ya watu mbalimbali juu ya hali ya Waislamu Marekani miaka 11 baada ya shambulio la kigaidi Washington Septemba 11, 2001. “Being Muslim in America after 9/11”, ndio kilikuwa kichwa cha habari. Katika maoni hayo walijikita zaidi kuandika maoni ya watu mbalimbali Inaendelea Uk.2  MUFT wa BAKW AT A, Sheikh Issa Shaaban Simba. Kumechafuka Hatari ya ‘ugaidi’ iliyohofwa inakuja Kila mzazi ajue kijana wake analala wapi Uk. 11 Uk. 6 Uk. 11

Upload: annurtanzania

Post on 14-Apr-2018

546 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 1/12

ISSN 0856 - 3861 Na. 1096 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA , OKTOBA 25 -31, 2013  BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

www.annuurpapers.co.tz

Pigo kubwa kwa Kadhi MkuuWaislamu wamkimbia siku ya Eid

 Aswalisha watu 13 na watoto wanne

Waziri amtolea hasira kupotosha

Baa, pombe,marufuku Z'bar

Uk. 3

Unahitaji kichaa mmojatu kusambaratisha Taifa

SEPTEMBA 11 , 2011gazeti la Los AngelesTimes lilichapisha maoniya watu mbalimbali juuya hali ya WaislamuMarekani miaka 11 baadaya shambulio la kigaidiWashington Septemba

11, 2001.“Being Muslim in Ameri

after 9/11”, ndio kilikuwkichwa cha habari.

Kat ika maoni haywalijikita zaidi kuandikmaoni ya watu mbalimba

Inaendelea Uk.

 MUFT wa BAKWATA, Sheikh Issa Shaaban Simba

KumechafukaHatari ya ‘ugaidi’ iliyohofwa inakuja

Kila mzazi ajue kijana wake analala wapi

Uk. 11

Uk. 6

Uk. 11

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 2/12

2AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20

AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri

 badala ya kutoa maoni ya bodi ya uharir i ya gazetihilo.

M m o j a w a w a t uwalionukuliwa maoni yaoni Askofu Mkuu DesmondTutu wa Afrika ya Kusini.

Alichosema Tutu kamaalivyonukuliwa awali naThe Washington Post,ni kuwakutokana na madai kuwawaliohusika na Septemba11, ni walioitwa magaidiwa Kiislamu na jambo hilolikapigiwa zumari mpakalikakubalika, Waislamuw a m e k u w a n i j a m i iiliyochukiwa, isiyoaminika,i n a y o b a g u l i w a k a m awakati wa ma-Nazi hukoUjerumani na kwambavikosi maalum vimeundwakupambana na Waislamuk w a m a d a i k u w a n imagaidi.

M a o n i m e n g i n eyaliyochapishwa siku hiyo

yalikuwa ya Jim Wallis(Hungton Post). J im Wa ll is anasema

kuwa siku moja katika TVilitolewa habari ikionyeshakuwa Uislamu ni dini yauuwaji huku Waislamuw a k i o n y es h w a k a m a‘mijitu’ katili na wauwaji.

"That's not true, there is a Muslim boy in my class, andhe is not like that at all."

Ghafla alisema kijanaw a k e a k i i t w a J a c kakimaanisha kuwa hayoyanayosemwa na TV siokweli kwa sababu darasani

kwake anasoma na kijanaMuislamu na ni mtu mzuri.Haoneshi kuwa na tabiahizo.

H a y a a n a y o s e m amtoto Jack Jim Wallis,yanatupeleka katika ilehabari juu ya Fox Newsiliyokuwa na kichwa chahabari:

“What Happens WhenPeople Actually Believe theFox Network.?” (Islamonlie-:23/12/2011 06:27:00 AMGMT)

Kama kipo chombo cha

Unahitaji kichaa mmojatu kusambaratisha Taifahabari katika Marekanikilichojidhihirisha kuwana chuki na Waislamu, basichombo hicho kinatajwakuwa ni Fox Network.

T e l e v i s h e n i h i y oinayomilikiwa na RupertMurdoch, ‘inasika’ kwakutoa habari za uwongoza kuwapaka matope nakuwatukana Waislamupamoja na kuchocheachuki dhidi yao.

Namna yake ni kamainawachochea Wakristona Serikali ya Marekani nawalimwengu kwa ujumla,wawapige vita Waislamu naikiwezekana kuwahilikishakabisa wasiwepo duniani.

A n a c h o s h a n g amwandishi wa maoniyaliyochapishwa katikaIs lamonl ine n i kuwakwa ukat i l i na uovuw a n a o t a n g a z i w aWaislamu, ni jambo la

kushangaza kuwa Wakristow a n a o i s h i j i r a n i n aWaislamu (ikiwa ni pamojana hao wanahabari wa FoxNetwork) wanaweza kulalausingizi buheri wa afya bila kuvamiwa na kupigwamawe na Waislamu hadikufa!

“If one were to believe theselies, it is a wonder they can

 get out of bed in the morningwithout being stoned to deathby a horde of angry Muslims!”

Anashangaa mwandishiakisema kuwa vyomboh i v y o v y a h a b a r i ,

v i m e w a d u m b u k i z aWaislamu na dini yaokatika pakacha la ukatili,uuwaji, na sasa wanakuja namisamiati ya kuwatangaziauadui Waislamu kwambaWakristo wote kwa pamojawapo vitani dhidi yaWaislamu.

Anashangaa akisemakuwa katika kilele chachuki na ujinga, hata RaisObama kwa kuwa na ubiniwa ‘Hussein’, haaminiki.

Inasemwa kuwa Obama‘is a “secret Muslim”

anayewasaidia Waislamuwanaotaka kuisilimishaMarekani.

Mwandishi anasemak i w a n g o c h a c h u k ik i l i c h o f i k i w a n apropaganda inayoendeleakupigwa kuwa Waislamuni magaidi wanaolengakuwaangamiza Wakristo,

ni cha hatari kwa sababuunahitajia kuwa na ‘kichaa’ ,mmoja tu kushika pangaakaingia Kanisani nakuuwa watu kadhaa halafuunasema ni magaidi.

H a p o u n a h a k i k ak w a m b a : K w a n z amadai hayo yataaminikana vyombo vya habarivitayapamba sana.

P i l i , w a t uwalioaminishwa hivyo,w a n a w ez a k u c h u k u asilaha kulipiza kisasi dhidiya Muislamu yeyote.

Hapo sasa ni ua nikuuwe.

Nchi ishavurugika. Lakini j ingine ni kuwa hata ji ns i vy om bo vya do lavilivyoaminishwa, navyohavitahangaika kufanyauchunguzi.

Navyo vitaimba wimbohuo huo wa watuhumiwawa ugadi wa siku nyingi.

Labda hapa tujiulize,kwa hapa kwetu Tanzania,n in i lengo la kupigapropaganda kama hizi?Tunachotaka kuvuna nini?

Tunajiuliza maswalihaya kwa sababu, hayayanayosemwa na ‘Fox’ ya

Marekani, ndio hayo hayoyanayopambwa na baadhiya magazeti yetu.

Kwa hakika magazetimengine (na baadhi yaw a n a s i a s a / v i o n g o z iwa vyombo vya dola)washakuwa kama vipazasauti vya Fox Network.

Rejea gazeti la HOJAl i l i lokuwa l imeripot ikuwa kikosi maalumcha ‘magaidi’ kutokaUnguja kimeingia Dar esSalaam kwa boti maalumya kukodi kwa ajili yakuungana na Waislamu

wa Dar es Salaam kuchomaMakanisa.

Rejea tena ile habarikatika gazeti moja laKikristo lililoripoti kuwa jopo la Mapadiri lilikuwalimekaa na kutoa taarifaya kuwepo kikosi chaWais lamu wal io ingiaM b e y a k w a a j i l i y akuchoma moto Makanisana kuuwa viongozi waKikristo!

Na viongozi hao waMakanisa wakatoa witokwa waumini wao kujihami

kwa mapanga, mishale namikuki kwa madai kuwaSerikali haitekelezi wajibuwake kuwalinda.

Ukisoma taarifa kamahizo ndio hapo unapaswaujiulize: nini lengo lakuchapisha habari zauwongo, tna na uchochezikama hizo?

 Je, nini kinategemewakutokea watu wakiziaminihabari hizo?

Hapana shaka ndio kilealichosema mwandishikatika Islamonline kuwaunahitajia mtu mmoja tukulipua nchi.

Hivi ina maana vyombovya usalama vya nchihii vimekosa utaalamu,weledi na umakini kiasicha kushindwa kuona nakuchukua hatua dhidi yakambi na vyuo vya kigaidivinavyodaiwa kuweponchini?

Kwa nini baadhi yamagazeti yanaendeleakukariri habari hizi?

Lakini swali jingine ni je, Serikali inanufaika ninina uwongo na propagandahizi zinazoitukana hataS er i k a l i y en y ew e n avyombo vya Dola?

Tunauliza haya kwasababu pamoja na uhuruwa vyombo vya habariuliopo, lakini Serikaliina tara t ibu zake zakuhakikisha kuwa uhuruwa habari hauvurugi nchi.

Hii ni hatari. Kwa kuona

hatari hiyo, Waziri mmojakatika Baraza la Mawazirila Uingereza, Bi SayeedaW a r s i , a m e f a n i k i w ak u i s h a w i s h i S er i k a l ikukubal i kuwa kunachuki dhidi ya Waislamuna kwamba jambo hilolisipotafutiwa ufumbuziwa haraka, litaleta balaambeleni.

Awali ilikuwa mwikokwa Serikali ya Uingerezakutoa kauli rasmi kwambakuna ubaguzi na chukidhidi ya Waislamu, kama

inavyoonekana kuwamwiko na jambo lisilofaak u s e m a k u w a k u n a‘udini’ Tanzania na ‘udini’wenyewe ni kubaguliwa nakudhulumiwa Waislamu.

Baada ya Serikali yaUingereza kukubali hojahiyo, kutafanyika mipangoya makusudi kufuta nakurekebisha hali hiyo ikiwani pamoja na kuangaliataarifa za uwongo nauchochezi zinazotolewak a t i k a v y o m b o v y a

habari ambazo huathikwa kiwango kikubwmitizamo ya wananchna hata watendaji katikvyombo vya dola.

Sisi tunaamini kuwtatizo hili lipo pia Tanzanitena kwa kiwango kikubwmno. Na kama ni hatak w a U i n g er ez a , b aitakuwa hatari kubwa zaidkwa Tanzania ambapoWaislamnu na Wakristwanakaribiana kwa wing

T u n a c h o t a k i wkuzingatia hapa ni kuwm c h e z o t u n a o f a n y andio mauti yetu sisi sotMaana kanuni na uzoefunaonyesha kuwa ikitisho cha ugaidi kikolehaishii kwenye habari tuUwongo na propagandikishakolea, lazima sasyatokee matukio ya kwe

na ya kutisha/ya kikatilhalafu unasema ni wamagaidi.

Hapo sasa unafungumlango wa kulipizankisasi. Katika hali kamhiyo, nani atasalimikTanzania? Nani atafaidika

Mwandishi na gazelake anayesema uwongkuwa Chuo cha KiislamUkerewe kinafundishugaidi, atanuifaika vipi?

"That's not true, there a Muslim boy in my clasand he is not like that all."

Kama alivyohamakyule mtoto Jack Jim Wallilabda nasi tujiulize, hivkama kule Al jazeeraU k er ew e k u n g ek u wkunafundishwa ugaidi nkwamba Tanzania kunmagaidi kama baadhya vyombo vya habav i n a v y o w a t i a u j i n gwasomaji wake, hivi nchhii hivi sasa ingekuwinakalika?

Upo ujinga mwinginambapo baadhi ya watu nvyombo vya habari, huonfahari kututangazia kuw‘kumealikwa’ wataalamwa kupambana na ugaidkutoka nje kuja kutusaidi

Swali moja tu wajiulizNi nchi gani iliyopewmsaada wa kupambana nmagaidi na sasa ipo katiksalama?

Kila nchi iliyokaribishwataalamu hao, hivi sasni ua nikuuwe kila konKila uchao, ni milipuko ymabomu na maguruneti.

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 3/12

3AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20Habari

Baa, pombe, marufuku makazi ya watu ZanzibarSERIKALI ya MapinduziZanzibar inafanya mapitio

ya sheria ya vileo ya mwaka1928, ili kuweka utaratibuutakaozuia uanzishwajiwa baa na vilabu vyapombe katika maeneo yamakazi ya watu.

Hayo yameelezwa naWaziri wa Nchi Ofisi yaRais, Tawala za Mikoa naVikosi Maalum, Haji OmarKheir, wakati akijibu swalilililoulizwa katika kikaocha Baraza la Wawakilishi,kufuatia kukithiri biasharaholela ya vileo Zanzibar, jambo ambalo limeonekanakuathiri mila, desturi natamaduni za wazanzibar.

Waziri Kheir alisemak u w a s e r i k a l i k w akuzingatia utamaduni wawatu, sasa utoaji wa leseniza kuendeshea biasharahiyo ya vileo utazingatiwakwa umakini.

Aliongeza kuwa serikaliimeanzisha Mahakamaya Vileo itakayowezeshawananchi kutoa pingamiziz a k u z u i a l es en i z a bi as ha ra hi yo , en da powataona zitaharibu milana utamaduni za visiwanihumo.

Waziri Kheir amesemauanzishwaji wa vilabu vyapombe au baa, unaweza

kusababisha kuporomokakwa maadili na hatimayekuathiri mila na tamadunikwa vijana.

Serikali ya MapinuziZanzibar bado inatumiasheria ya mwaka 1928,iliyotungwa na wakolonikuendeshea b iasharaya vileo inayoonekanakupitwa na wakati.

Katika tukio jingine,Makamu wa Kwanzawa Rais wa Zanzibar,Maalim Seif Sharif Hamad,amewahimiza wananchiwa Zanzibar kuunganak a t i k a k u l i n d a n a

kuhifadhi utamaduni, milana silka za Wazanzibar,i l i kuepusha tabia yaupotoshaji unaofanywakwa makuasudi na baadhiya watu.

Maalim Seif, alitoa witohuo hivi karibuni, wakatiakihutubia katika haflaya Maulid ya kuzaliwakwa Mtume Muhammad(S.A.W), iliyoandaliwa naMadrasat Nur Islamiyakatika kijiji cha Tumbatu J o n g o w e , Wi l a ya yaKaskazini ‘A’ Unguja.

Amesema utamaduni

na mila za Wazanzibarini hazina za kipekeezilizorithiwa miaka mingiiliyopita, lakini baadhiy a w a t u w a m e k u w a

wapotosha kwa malengoyao maalum, jambo ambalolinapaswa kupigwa vita nawananchi.

A m e s e m a h i s t o r i ay a Z a n z i b a r i n amafungamano makubwana Dini ya Kiislamu kwazaidi ya miaka 1,000, haliambayo inathibitishwa nakuwepo maeneo mengi yakihistoria, ukiwemo msikitiwa Kizimkazi, magofuya majengo ya asili hukoMakutano katika kisiwacha Tumbatu pamoja nakuwepo eneo la kihistoriala Mkuu, kisiwani Pemba.

Maalim Seif amesema

malengo ya kuhifadhina kulinda utamadunina mila za Wazanzibaryataweza kukiwa iwapowalimu, Masheikh nawazee watakuwa na tabiaya kuwafunza watoto wao

historia na utamaduni wanchi yao.

Aidha Makamu waKwanza wa Rais ametumiahaa hiyo kuhimiza umoja

na mshikamano miongonimwa Wazanzibari wote,hasa wakat i huu wakutafuta Katiba mpyaya Tanzania, ili kuwezak u l i n d a m a s l a h i n amusatakabala mwema waZanzibar.

A l i s e m a k u w ai w a p o W a z a n z i b a rwatashikamana pamoja,wataweza kutetea nakulinda maslahi ya nchiyao na watu wake, lakiniwakigawanywa na kuwekambele maslahi binafsi badala ya maslahi ya Taifa,watashindwa kuitumiavyema fursa i luiyopo

ya kupata katiba mpyainayokidhi.

K a t i k a r i s a l a h i y oiliyosomwa na Maalim Juma Mak ame, uongo ziwa Madrasat Nur Islamiyau l i a h i d i k u e n d e l e a

K A M P U N I z auchimbaji wa mafuta

zilizopewa mikatabay a k u t a f u t a n akuchimba nishatihiyo na serikali yamuungano, zimeanzak u w a s i l i a n a n aZanzibar baada yasuala hilo kutakiwakuondolewa kwenyeMuungano.

Waziri wa ardhi,Makazi, Maji na Nishati,Ramadhan AbdallaShaaban, amesema

hatua hiyo inatokanan a w a j u m b e w aBaraza la Wawakilishikutaka mafuta na gesikuondolewa kwenyeorodha ya Mambo yaMuungano

Kwa mujibu waMtandao wa ZanzibarIslamic news, WaziriRamadhan AbdallaShaaban, alieleza hayowakati akizungumzak a t ik a sem in a y a

wajumbe wa Barazal a W a wa k i l i s h ikuhusu uwezekanowa Zanzibar kuwepomafuta na gesi.

W a z i r i h u y oamesema kampuniza Rak Gas na Shellzimeanza kuwasilianan a S e r i k a l i y aMapinduzi kufufuamaeneo waliopewa naSerikali ya Muungano

Nayo kampuni ya RakGas kutoka Rass-helmaimetahadharisha juuya ucheleweshaji wa

uchimbaji wa mafutan a g es i Za n z ib a runaweza kukoseshasoko la kuzia nishatihiyo.

Mkuu wa uendeshajiwa kampuni ya Rakgas Joseph Haskelamesema nchi jiraniza Kenya na Ugandaambazo zimo katikahatua ya mwisho yauchimbaji wa mafutazinaweza kuhodhi

NAFASI YA KAZI

MKUU WA SHULE YA MSINGI

 YA KIISLAMU ANAHITAJIKA

Mahala: Dar es Salaam

Sifa:

• Diploma au Degree ya Ualimu

• Uzoefu usiopungua miaka 3 katika Uongozi

• Umri usiopungua miaka 30

• Muadiliifu, Mbunifu na Mchapakazi asiyesubir

usimamizi wa karibu

• Mjuzi wa kutumia KompyutaMshahara: Mzuri kulingana na Elimu na UzoefuMaombi:  Barua, Vyeti na CV yenye wadhaminiwawili (hard or soft copy) vitumwe kwa:

Mkurugenzi,Pamoja Foundation,P.O. Box 70941, Dar es SalaamEmail: [email protected]

Mwisho: Mwisho wa hupokea maombiIjumaa tarehe 08.11.2013 saa 10:30 jioni.

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akitetana Makamu wake wa Kwanza, Maalim Seif Sharif 

 Hamad.

Kampuni za mafuta zaelekea ZanzibarNa Mwandishi Wetu

Na Mwandishi Wetu,Zanzibar

kushirikiana na Serikalipamoja na wananchiwa kiji ji hicho, katika

kuwajenga watoto katikmaadili mema ili wajkuwa wananchi wema wkutegemewa na Taifa.

soko la Zanzibar.Matokeo ya Utafiti

w a m w a k a 1 9 8 2 ,yameonyesha kuwa

k uwepo d a l i l i zmafuta na gesi katikmaeneo ya baharinvisiwani Zanzibar.

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 4/12

4AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20Habari

M A H A K A M A K u uK a n d a y a D a r e sSalaam, imewaachia

h u r u W a i s l a m u 5 2 ,waliohukumiwa kifungocha mwaka mmoja jela,na kusema hawakustahilikupewa adhabu hiyo.

W a i s l a m u h a owamekuwa huru kuanziaOktoba 21, 2013 kufuatiar u f a a w a l i y o i k a t akupinga adhabu hiyow a l i y o h u k u m i w a n aMahakama ya HakamuMkazi Kisutu, Jijini Dares Salaam, Machi 21, 2013.

Akitoa hukumu hiyo JajiSalvatory Bongole, alisemakwa mujibu wa sheriamakosa waliyoyafanya

washatakiwa hao, adhabuyake i l istahil i kulipafaini ya TSh.50,000 aukutumikia kifungo chamiezi mitatu kila mmoja jela.

Kat ika maelezo yahukumu hiyo, ilionyeshakuwa tayari Waislamuhao wamesha malizakutumikia kifungo chao, baada ya Ja ji , Bongole,kufuta baadhi ya makosana kubatilisha adhabu yaawali na kutoa ufafanuziwa adhabu stahiki.

 Jaj i Bo ng ol e, ka ti kah u k u m u y a k e h i y o ,

a l i f a f a n u a k w a m b am a k o s a y a l i y o w a t i ahatia washtakiwa haoni kufanya mkusanyikousio halali, kula njamapamoja na kukaidi amriiliyotolewa na Jeshi laPolisi kufuatia zuio lakufanya maandamano.

 Jaj i Bongole, akasemaanakubaliana na hojaza Wakili wa upandewa utetezi, MohammedTibanyendela, kwambaHakimu wa Mahakamaya Kisutu, alikosea katikahukumu yake dhidi yawateja wake.

A l i s e m a , H a k i m u

huyo, Fundi Fimbo, waMahakama ya Kisutu,al i fanya makosa kwakuwatia hatiani katikakosa la kula njama nakuwadhibu kwa kosahilo tena ili hali tayarialikuwa amewatia hatianikwa kufanya mikusanyikoisiyo halali.

A k a s e m a , a n a f u t aadhabu ya kosa la kulanjama kwa kuwa halikuwasahihi, adhabu iliyotolewaa m b a y o i l i k u w a n ikutumikia kifungo chamwaka mmoja gerezani.

Waislamu 52, washinda rufaa Mahakama KuuNi wa maandamano ya DPP

Jaji akosoa hukumu ya Kisutu, afuta shitakaAdhabu yao ni jela miezi mitatu au faini

Na Bakari Mwakangwale

Hata hivyo, Jaji Bongole,alibadilisha adhabu yakutumikia kifungo chamwaka mmoja gerezani,katika makosa ya kukaidiamri iliyotolewa na Jeshila Polisi kufuatia zuio lakufanya maandamanona kufanya mkusanyikousio halali, badala yakealisema watakaa miezimitatu gerezani au kulipafaini.

“Nakubaliana na kutiwahatiani kwa washtakiwakatika kosa la pili na latatu, lakini adhabu yakehaikuwa sahihi.

Na ninakubaliana nahoja za Wakili wa utetezi,hivyo natengua adhabu yakifungo cha mwaka mmojana kuwa kifungo cha miezimitatu jela kulingana namakosa yao.” Alisema.

Kufut ia kaul i h iyo Jaji Bongole, akafafanuakwamba toka siku yahukumu kwa warufanihao (Machi 21, 2013), hadisiku ya hukumu (Oktoba21, 2013) tayari inakuwawameshakaa jela zaidi yamiezi mitatu, kwa maanahiyo wameshamal izakifungo chao.

 Ja ji Bongole, al isem akatika hukumu ya awaliwatuhumiwa walipewaadhabu mbili katika kosamoja, ‘kula njama pamojana kuiba.’ Hivyo kosala kula njama linakufan a k u f a n y a a d h a b uwaliyopewa kutokuwasahihi.

Kwa upande mwingine Ja j i Bo ngole, al i semaanakubalina na upandew a u t e t e z i k w a m b a

sheria ya kupunguziwaadhabu washtakiwa haohaikuzingatiwa.

A l i s e m a , k a t i k akipengele hicho adahabuya kifungo haikuzingatiawala kufuata kifungu cha46 cha sheria za Jeshi laPolisi.

Machi 21, Mahakamaya Hakim Makazi Kisutu,iliwahukumu Waislamu52, ambao walidaiwakuandamana wakiitakaS e r i k a l i k u m p a t i adhamana Sheikh PondaIssa Ponda, aliyekuwa

ameshikiliwa gerezanikufuatia kadhia ya Kiwanjacha Markazi, Chang’ombe.

M a h a k a m a h i y o ,iliwatia hatiani Waislamuhao, baada ya kuwaonawanamakosa matatu,ambayo kila moja adhabuyake ilikuwa ni kukaagerezani mwaka mmojakwa pamoja, kabla yakukata rufaa MahakamaKuu Kanda ya Dar es

Sa laam, kupi t ia kwaWakili wao, MohammedT i b a n y e n d e l a , k w ak u w a s i l i s h a s a b a b utisa kupinga huku yaMahakama ya Kisutu.

Baada ya kuhukumiwaMachi 21, 2013 mpakarufaa yao inasikilizwaOktoba 21, 2013, Waislamuhao tayari walikuwawamekaa gerezani kwamiezi nane.

Inatanga Nafasi za Masomo Kidato cha kwanza 2014Shule ni ya Bweni kwa Wavulana na Wasichana.Inaongozwa kwa maadili ya Kiislamu ipo KIGAMBONI- kibada- Km 12kutoka Feri. Ukitokea mbagala (Kongowe) ni Km 15.Shule ina Michepuo ya Sayansi, Biashara na Sanaa.Fomu za Kujiunga na shule Zinapatikana katika vituo vifuatavyo:-

1. Shuleni – Algebra Islamic Seminary2. Ubungo Islamic- 0712- 033 5563. Ofsi za Gazeti la An-nuur Manzese Tip top ( Usangihouse) 0655- 677 6834. Tanga- Almusa Stationary ( Barabara ya 13, Mkabalana kituo cha Daladala za Donge- 0767- 206 136.5. Morogoro- Mum- 0764- 392 987.6. Zanzibar- chuo cha elimu Chukwani- 0778-775 226.Mtihani wa Usaili utafanyika tarehe 09/11/2013 kwenye vituovifuatavyo.

• Shuleni, Algebra Islamic Seminary- Kigamboni.• Tanga.• Zanzibar, Chukwani.• Morogoro MUM

Kwa Maelezo Zaidi Wasiliana Nasi kwa Namba hizi, 0768/0655 176700/ 0716 803 670/ 0784 260 241.Mlete Mwanao Apate Elimu na Malezi Bora.

Mkuu wa Shule

S.4198

Maimam, Walimu wa Madrasa,Walimu wanaofundishamasomo ya Islamic Knowledge na Kiarabu wanaombwakuhudhuria semina maalum ya kuwawezesha kupataelimu ziada ya habari na mawasiliano (TEHAMAitakayowawezesha kujiendeleza katika elimu ya kompyuta

Semina hiyo inatarajiwa kutolewa bila malipo. Mahali nMasjid Baitul Muqadas Ubungo Kibo Jumamosi baada yaswala ya Alasir, chini ya usimamizi wa Sheikh Yahya Suani

Kibaha Maili Moja itafanyika Masjid Muuminina Jumapilbaada ya swala ya Alasir.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia: 0714 4749410782 474941, 0755 754828

Barua pepe: athumanikimisha@gmail .com [email protected]

Tangazo

Wanawake wote wa Kiislamu wamkoa wa Dar es Salaam na maeneoya jirani.

Islamic Forum inawaalika kwenye

semina ya ujasiriamali itakayofanyikasiku ya Jumapili tarehe 27/10/2013katika shule ya Alharamain-Kariakoo

Lengo ni kuwakomboa wanawakekutokana na Lindi la umaskini kwamaelezo zaidi wasiliana kupitia namba0655 787900, 0772 787900 na 0717246092

Semina bila malipo

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 5/12

5AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20Habari za Kimataifa

CAIROFamilia ya Rais waMisri aliyeondolewamadarakani na jeshi la

nchi hiyo, MuhammadM o r s i , i m e s e m akuwa kiongozi huyoamek ataa k u fan yam a z u n g u m z o n aviongozi wa kijeshi wanchi hiyo.

Morsi pia amesemak u w a w a l e w o t ewaliotenda jinai dhidiy a r a i a w a M i s r i ,watakishwa mbele yamkono wa sheria hivikaribuni.

Mtoto wa MuhammadM o r s i , a n a y e i t w aO s a m a , a m e s e m a

kuwa wafuasi wa babay a k e w a n a k a r i b i akupata ushindi dhidiya ki l e a l i choki i ta"mapinduzi ya damu"yaliyotekelezwa na jeshila Misri.

Siku ya Ijumaa mchanaw a f u a s i w a M o r s iwalifanya maandamanokatika miji ya Cairo,Alexandria, Damiettana Suez , waki takakuachiwa huru Raishuyo aliyepinduliwa na

 jeshi na kusisitiza kurejeakwake madarakani.

Mwanzoni mwa wikiiliyopita, ilielezwa kuwahali ya MohammadMorsi kiafya ni mbayakwa muda wa wikimbili.

Habari zilisema kuwa,madaktari walikuwawakienda kumpatiamatibabu Morsi hukohuko kizuizini, hukus e r i k a l i y a m p i t oikikataa kumhamishiah o s p i t a l i n i k w auchunguzi zaidi wakiafya yake.

Hata hivyo mtoto waMorsi, Usama alisisitizakuwa, Morsi ameapakuendelea kupiganiahaki zake za kisheriahadi mwisho wa uhaiwake.

U s a m a a l i i k o s o aserikali ya mpito kwakuendelea kusikilizakesi za viongozi waharakati ya IkhwaanulMuslimin, wakati wakusherehekea sikukuuya Eid na kusisitizakuwa kitendo hichokinakipingana na katiba

Morsi akataa kuzungumza na viongozi wa kijeshi

ya nchi hiyo. Jum ap il i il iy op it a,

Mwendesha Mashtakawa Misri alisema kuwa,Morsi ataendelea kubakikizuizini kwa mudamwezi mmoja zaidi.

Wakati hali ikiwah i v y o , W a n a f u n z ikatika Chuo Kikuucha al-Azhar nchiniMisri, wameendelea na

maandamano yao kwasiku ya tatu mfululizowakilitaka jeshi kujiwekakando na siasa.

W a n a f u n z i h a opia wametaka Dkt.Moham m ed Murs i ,arejeshwe madarakani.

Ser ikal i ya mpitoi m e s e m a k u w am aandam ano hayoyanatishia usalama wa

nchi na imeonya kuwa,huenda ikatumia nguvukuyasimamisha.

W a n a f u n z i w achuo hicho kikongweza i di nchi ni hum owanaandamana sio tumjini Cairo, bali piakatika matawi mengineya chuo hicho katika mijimbalimbali ya Misri.

JARIDA la VeteransT o d a y , l a n c h i n iMarekani limeandikakuwa, Waingerezawanaongoza kwenyemagen d o ya d awaza kulevya nchiniAfghanistan.

Aidha limefahamishakwamba London walahaina azma ya kuondoavikosi vyake nchini

humo katika miaka yahivi karibuni.Mhariri Mkuu wa

 Jar ida hi lo GordonDuff, ameeleza kuwa,lengo la Waingerezakutuma majasusi zaidinchini Afghanistan,ni kusimamia fedhaz i p a t a z o z a i d i y ad o l a b i l i o n i m o j az i n a z o t o k a n a n amagendo ya dawa zakulevya, kuhamishwaheroini kutoka nchinih u m o n a k u s a i d i a

Uingereza kinara wa mihadarati Afghanistanmfumo wa kibenkikatika benki za London.

Du amechua kuwa,Shirika la Ujasusi laMarekani CIA na lilela Uingereza MI6 namashir ika mengineya kijasusi yamekuway a k i j i h u s i s h a n amagendo ya dawa zakulevya katika pembembalimbali dunianitangu wakati wa vita

vya Vietnam.Mharir i huyo wa J ar i da l a Ve te r an sToday amesisitiza kuwa,Waingereza kwa zaidi yamiaka 100 wamekuwawakijishughulisha nauzalishaji wa dawaz a k u l e v y a n c h i n iAfghanistan, hivyoh a w a w e z i k u i a c h a

 biashara hiyo kutokanana kuwaingizia patokubwa.

G o r d o n D u f famechua zaidi kuwa,zaidi ya dola milioninne zilizotokana na

magendo ya dawa zakulevya, zil i tumikakatika uchaguzi uliopitawa Baraza la Congres laMarekani na kwamba,wanasiasa wengi kutokanchi mbalimbali dunianiw a m e j i t u m b u k i z akwenye biashara yadawa ya kulevya.

K a t i k a g a z e t i l aDaily Mail la Septemba2010, liliwahi kuripoti

kwamba kuna madaiya askari wa Uinegerzawanaorejea nchini humokutoka Afghanistanwanabeba heroin.

K w a m u j i b u w ahabari za gazeti hilo,W i z a r a y a U l i n z iilithibitisha kwambapolisi wa jeshi walikuwawakifanya uchunguzi

 j u u y a t a a r i f a z awanajeshi waliopelekwaAfghanistan kupambanana Taliban, walikuwawakinunua dawa zakulevya huko Afghan nakuzisarisha kwa meli

hadi Uingereza.Madai yenyewe n

kwamba heroin na dawnyingine zimekuwzikisarishwa na mamiya askari wanaorejekila RAF Brize Nortohuko Oxfordshire.

Baadhi ya matajiwakubwa wa kuuzd a w a z a k u l e v yw a l i h u s i s h wkuwatumia baadhi y

askari katika biasharhiyo.Afghanistan huzalish

asilimia 90 ya zao lopium duniani, ambalhutumika kutengenezeheroin.

Z a o l a h e r o ikwa kias i kikubwhulimwa katika jimbla Helmand, ambakn d i k o i l i p o w e k wkambi kuu ya kijeshi yUingereza na vikosi vywashirika wengine hukAfghanistan. (wwwdailymail.co.uk)

Gazeti la New York Timel i m e r i p o t i k w a m bM a r e ka ni i m e a nz i s hmkakati mpya wa kutumvikosi vyake vya kijesh

katika maeneo mbalimbaya bara la Afrika.Kwa mujibu wa ripo

hiyo, hivi sasa inafanywmpango wa kuwahamish ba ra ni Af ri ka ma el fu yaskari wa Kimarekani ambawamerejea nchini kwawakitokea katika vita kwenynchi za Afghanistan na Iraq

Maafisa ya Wizara yUlinzi ya Marekani Pentagowamedai kwamba mpanghuo ni katika mkakati mpywa Marekani wa kutomafunzo kwa vikosi vykukabiliana na uasi na ugaid barani Afrika.

Mwanzoni mwa mweh u u m a k o m a n d o o w

M a r e k a n i w a l i f a n yoperesheni ya kijeshi katiknchi za Libya na Somalia nkudai kwamba, opereshenhiyo ilifanyika kupambanna ugaidi.

Pamoja na hayo, weledwa mambo wanaaminkwamba kwa kuzingathistoria ya Marekani ykuingilia mambo ya ndanya nchi nyingine, karne y21 imepewa jina la Afrikna kwamba, Washingtoinafuatilia malengo maalumya kuweko kwake kijeshkatika bara hilo.

Mkakati mpya wMarekani barani Afrik

WAAANDAMANAJI Misri

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 6/12

6AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20Makala

DURING the firefight,hostages reportedly hadtheir throats slashed fromear to ear and were thrownscreaming from third-oor balconies as the siegecame to a bloody end.

Children as young asve were shot up to vetimes by the terrorists that

carried out the Westgatemall massacre, i t hasemerged.

One girl at the event,1 6 - y e a r - o l d N e h a lVekariya, was shot throughthe eye, according to TheSunday Times.

T h e p a p er r ep o r t sher father’s final phoneconversation with her.

He said: ‘She said “I’mokay, I’m with friends, callMummy fast and tell herI’m okay”.’

When her mother calledher she heard yelling andthen gunshots, then theline went dead. She had been cut dow n at closerange.

The paper also reportsthat witnesses describechildren as young as ve being hit up to ve times by the terrorists , as theyroamed the mall lookingfor victims.

I n t h e g r o u p w a sCaroline Fowler, a womanfrom Washington, D.C. Shewas shaking, and had whatappeared to be bloodstains

on her pants. She had beenwaiting for a taxi at thefront entrance, she told me,when the shooting started.She ran inside, into a tapasrestaurant.

“We hid under the barfor a lile while. Then theshooting was louder andI saw a man and I saw agun,” she said, strugglingto catch her breath. Theysnuck from the bar, andthen “we all hid in thekitchen.

When the shoot ingceased, Maggie ran from

the mall. Outside shewatched as two gunmen,whom she described asyoung and light-skinned,approached a man. “Helay down,” she said. “Andat close range they just shothim.”

(Sources: http://www.d a i l y ma i l . c o . u k /n e w s /art icle-2437201/Kenya-W e s t g a t e - ma l l - a t t a c k -

 Al-Shabaab- t err or i s t s -s h o t - c h i l d r e n - 5 - t i me s .html#ixzz2gTQmCwrc)

Tafsiri na maelezo:

Lete Sababu yakoWhat Daily Mail wrote:

H a b a r i h i i k a m ailivyochukuliwa katikagazeti la Daily Mail laUingereza na kunukuliwana magazeti mengi hapanchini inasema kuwa,katika kilele cha utekaji paleWestgate Mall, Nairobi,

m a g a i d i w a l i w a k a t amakoo (waliwachinja)mateka , wakawakatamasikio, mikono na viungovingine huku wenginewakiwamiminia risasivichwani kwa mlengo wakaribu.

Kudhihirisha ukatiliwao, walimpiga risasi ya jicho (na kufumua kichwachote) msichana wa miaka16, Nehal Vekariya.

Inaelezwa kuwa awaliNehal alimpigia simu babayake na kumwambia kuwayupo salama, lakini baadaealipopiga tena ikawa simuhaipatikani.

“She had been cut downat close range.” Linasemag a z e t i k u w a N e h a lalikuwa keshamalizwakwa kupigwa risasi “atclose range.”

Maana yake hiyo nikumsogezea mtu mtutu jirani kabisa ndio ufyatue.

Gazeti likasema piakuwa kulikuwa na watotowa kiasi miaka mitano(5) waliopigwa risasizaidi ya tano na wengine

kubamizwa ukutani.W a p o p i a

waliovurumishwa nakutupwa chini kutokaghorofa ya tatu.

Sasa sikiliza hoja hizi:“Plenty of pictures, butnot a single one of any

child being shot even once,

let alone ve times. Whata mess that would be.Yet, it would sure createindignation against those‘bloodthirsty Mooslims.’No such pictures wereprovided, because theydon’t exist.”

Hoja ni kwamba pamoja

risasi vichwani, machonna kukatwa makooo nmasikio.

Hakuna pia picha zhao magaidi wakionekankushambulia na kuchinwatu!

K w a m u j i b u w

taarifa za vyombo vyhabari, kumetokea wizmkubwa ambapo askawanatuhumiwa kupormaduka ya watu wakawa zoezi la uokozi nkupambana na magaidi.

Kamera za usalamCCTV, zimeonesha pichza askari wakipora.

Lakini la ajabu kamerhizo hazikukamata hatpicha moja ya gaidi aw a t o t o w a l i o d a i wkukatwa masikio nkufumuliwa vichwa kwrisasi.

Mchambuzi mmoja n a s e m a , “ N o s u cpictures were provided because they don’t exist.

Kwamba hakuna pichkama hizo zilizopatikankwa sababu hazikuwepo

Hakukuwa na watwaliopigwa risasi nkuuliwa na magaidi.

Sasa wewe sema sababyako. Ni kwa nini mpaksasa hatuoneshwi hawatu waliokatwa masikina kupigwa risasi zmachoni!

na kuwa z imeto lewp i c h a n y i n g i s a nzikionesha askari na watmbalimbali wakiokolewla kushangaza ni kuwhakuna hata picha moil iyopatikana ya hawatoto na watu mbalimbawanaodaiwa kupigw

Westgate Mall, jijini Nairobi, Kenya. Picha chini mmoja wa mwanamke akitoka ndani ya jengo na watoto wake salama

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 7/12

7AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20Makala

ILIKUWA kituko chaaina yake pale watu 13

pamoja na Imam waowalipojitokeza kusaliSwala ya Eid el Adh’hasiku ya Jumatano.

W a t u h a o k u m iwanaume na wanawakew a t a t u w a k i w a n awatoto wanne, watatuwakiwa wavulana, ndiowaliosikiliza na kufuatatangazo la Kadhi Mkuuk u w a E i d i l i k u w a Jumatano (iliyopita).

Waislamu wa Kenyawalipuuza tangazo laKadhi Mkuu na hivyokufurika kwa maelfukatika uwanja wa Sir AliMuslim Club, Nairobisiku ya Jumanne kuswali.

Uwanja wa Sir AliMuslim Club, ndio uwanjam k u u w a k u s w a l i aEid Nairobi , ambapowabunge na mawaziriWaislamu walijumuikana Waislamu Jumannena kupuuzilia kwa mbalitangazo la Kadhi Mkuu,Sheikh Ahmad Muhdhar.

Waliopuuza tangazola kuswali Eid Jumatanokama lilivyotolewa naKadhi Mkuu SheikhAhmad Muhdhar, nipamoja na Naibu waKadhi Mkuu, SheikhRashid Ali Omar.

K a t i k a h a l i y akushangaza, hata baadaya kuona kuwa Misikitiyote iliswali Eid Jumannen a m a e l fu k u fu r i k auwanja mkuu wa Sir AliMuslim Club, bado KadhiMkuu na watu wake hao13 walijitokeza kuswali Jumatano katika uwanjahuo huo jambo lilionekanakama kiroja cha aina yake

kwa wapita njia.Akiongea mara baadaya swala Mbunge waGarissa Adan Duale,alisema kuwa lengo lakuwa na Kadhi ni iliawaunganishe Waislamusio kuwagawa na kuwatiaujinga.

A k a s em a , k i t en d ocha kuwataka Waislamuwaswali Eid siku ya Jumatano huku ikijulikanakuwa Arafah ilikuwa J u m a t a t u , n i j a m b olisilokubalika kabisa.

Pigo kubwa kwa Kadhi MkuuNa Mwandishi Wetu

“We respect you, you areour leader but please wedo not want you to divide

 Muslims but unite them. Youare holding brief on behalf of the Muslim community and

 you cannot use this seat todivide the community. Wewill not allow you and wewill not allow anyone in the

 future.”Alisema Duale, kama

alivyonukuliwa na jaridam o ja l a K i i s l a m u l aNairobi, akimkumbushaKadhi Mkuu kwambacheo alichoshika ni amanakubwa kwa Waislamu nakwamba pamoja na kuwaWaislamu wanamheshimukama kiongozi wao, lakini

h a w a t a k u b a l i k u o n aanatumia madaraka hayovibaya kwa kuwagawa.

“ E i d u l A d h ’ h ai n a f a n y i k a s i k uinayofuatia kisimamoc h a A r a fa h , i l i k u w amakosa kwa Kadhi Mkuukuwaambia Waislamu waKenya kuswali Eid sikuya Jumatano.” Alisemambunge huyo.

Kwa upande wakeSheikh Rashid Ali Omarambaye ni Naibu KadhiM k u u a l i s em a k u w ahatua ya Kadhi Mkuukuwapotosha Waislamuwa Kenya juu ya siku yaEid wakati ni jambo lipowazi, litajadiliwa katika

vikao husika na kutolewamaamuzi.

S h e i k h R a s h i dA l i O m a r a l i s i s i t i z akuwa watahakikishak u w a u p o t o s h a j i n am k a n g a n y i k o h u ohautokei tena Kenya.

Nako Mombasa Waziriwa Madini Najib Balalaalisema kuwa aibu yakutaka kuwaswalishaWa k en y a t o fa u t i n aWaislamu wote dunianikama alivyokuwa akitakakufanya Kadhi Mkuu,si jambo la kufumbiwamacho.

Akasema, pana haja yakuwa na Mufti mwenyeu f a h a m u a m b a y e

atashughulikia masuakama hilo la Eid na mwezna Kadhi Mkuu abaki nmambo yake ya ndoa n

talaka.K a m a N a i r o b i nmiji mingine ya KenyMombasa nako Waislamw a l i p u u z a k a u l i yKadhi Mkuu wakaswa Jumanne.

Taarifa kutoka Nairobzinafahamisha kuwpamoja na Kadhi Mkukutangaza kuwa Eid n Jumatano, Masheikhviongozi wa Jumuiyna Taasisi mbalimbaikiwemo Majlis Ulamawalikataa kufuata agizl a K a d h i M k u u n

kuwatangazia WaislamEid Jumanne.

Aliyeswalisha Eid hiykatika Uwanja Mkuu wEid alikuwa kiongozmkuu wa Majilis UlamaS h e i k h M u h a m m aOsman.

Wakati hayo yakijiK e n y a , W a i s l a mwalio wengi Tanzaniwalishikamana na kauya Bakwata iliyotangazwna Alhaj Ismail HabiMakusanya, wakaswaEid Jumatano.

Baadhi ya Masheik

w a k i - B a k w a t awaliwaambia wauminkatika mis iki t i yaw a f u n g e A r a f a

 Juma tat u la kin i Eiwaswali Jumatano.

Laki ni wap o p iwalioambiwa wafung

 Jumanne badala y Jumatatu ambayo ndiyilikuwa siku yenyewe yArafah.

K w a u p a n dmwingine, wakati MajlUlamaa wa Kenya nMasheikh kwa ujumlw a k i t o a f a t ’ w a nkuwapa Waislamu wnchi hiyo mwongozo nmsimamo, Masheikh nMaulamaa wa Tanzanihilo bado linaonekankuwa mbali sana.

Kat i ka Mas hei kwaliobahat ika kupewfursa kuongea katikv y o m b o v y a h a b a rwalichofanya ni kutohoja za kushikil ia nkung’ang’ania msimamwa mtu.

WAISLAMU Kenya walioswali Idd siku ya Jumanne wakipuuza agizo la Kadhi Mkuu. Picha chini waliofuata tangazo la Kadhi Mkuu wakaswali Jumatano.

Waislamu wamkimbia siku ya Eid

 Aswalisha watu 13 na watoto wanneWaziri amtolea hasira kupotosha Waislam

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 8/12

8AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20Makala

N I N A m a t u m a i n im a k u b w a k w a m b amfumo wa serikali tatukatika muungano, hukombele, unaweza kuwani suluhisho kubwa lamatatizo ya muungano.Sio moja kwa moja katikampangilio uliopangwa naJaji Warioba na kamatiyake, la hasha.

U k i a n g a l i a r a s i m uya katiba mpya kamailivyotolewa na timu yaWarioba utaona hailetimatumaini makubwakwa Zanzibar kwa sababumambo makubwa namuhimu katika uhuru wanchi bado yamo kwenyeserikali ya muungano.L a k i n i n a t e g e m e ah u k o m b el e m a m b oyatabadilika na uhuruzaidi utapatikana.

Ikiwa kweli kutakua naserikali ya Tanganyika,

ya Zanzibar na ile yaMuungano, na kwambahautafanyika ujanja uleule uliofanyika April1964, ambapo baada tu yamakubaliano ya muunganoNyerere aligeuza kibaona kutangaza kwambakuanzia 26/04/64 mamboy o t e y a T a n g a n y i k ayatakua chini ya serikaliya muungano, na ikiwakila serikali itashughulikiamambo yalioko katikamamlaka yake, sulhuitapatikana.

S a b a b u k u b w a y akuamini hivyo ni kwamba

serikali ya Tanganyika katu

Serikali tatu suluhishomatatizo ya muungano

Na Mwandishi Wetu

haitokubali kuburuzwana serikali ya muunganok a m a i n a v y o fa n y w aserikali ya Zanzibar kwamiaka hamsini sasa .Serikali ya Tanganyikaambayo kwa hivi sasandio serikali ya muunganoitakapoona haina mamlakaya kutekeleza mipangoyake, itakuja juu na ndioitakayokua mstari wambele kudai na kumeguamambo ya muungano

yatoke katika muungano.

S i a m i n i k w a m b aWatanganyika wakitakakuanzisha mradi wamaendeleo katika nchiyao, na kama wakati huokiongozi wa serikali yamuungano ni Mzanzibarina Baraza la Mawaziril i n a Wa z a n z i b a r i ,watakuja Zanzibar kujak u p i g a m a g o t i k w amkurugenzi fulani ilimradi wao ukubaliwe.H i l o h a w a t a k u b a l i .

Na kama kiongozi wa

m u u n g a n o a t a k u aMtanganyika hakunakitakachokwamishwa kwasababu ndio wao kwa wao.

Serikali ya Zanzibar kwamiaka hamsini haijapatakufanikiwa hata maramoja kutoa jambo lamuungano na kulifanyal i s iwe la muungano .Ingawa wamejaribu maranyingi kwa lengo la kutakakuinasua Zanzibar kutokakatika magando ya kaa,lakini juhudi zao zilipigwana chini. Kilichofanyikani kuyafanya mambo

yasiokua ya muunganokuyafanya ya muungano.Tulianza na mambo 11 nasasa yamekua 38.

K a t i k a w a k a t i w aKarume (senior) Barazala Mapinduzi liliandaaorodha ya mambo ambayowalitaka yatolewe katikamambo ya muungano;lakini yalipopelekwaB u n g e n i , M w a l i m uN y e r e r e a l i y a z i m a .L a k i n i k u t o k a n a n akuchachamaa kwa MzeeKarume, baadhi ya mambohayakuweza kuingizwakatika muungano mpaka

alipouwawa ndio yakapata

njia.Katika wakati wa Abou

 Jumbe na yeye ali jaribkwa upande wake kujaribkupambanua mambyepi yawe ya muunganna yepi yasiwe. Na yeyyaliompata yanajuilikanTumeona ya l iomfikMaalim Seif na kundi lakkwa kujaribu kuufafanu

muungano na kutafutmaslahi ya Zanzibar katikmuungano.

K a t i k a k i p i n dkilichofata kuanzia 199hadi hivi sasa hakun juhudi yoyote kubwa yviongozi wa Zanzibakujaribu kutoa jamblolote kutoka kwenymuungano. Sababu kubwni kwamba viongozi wZanzibar katika kipindhicho inaonekana nawaliridhika na majaaliwya Zanzibar au kamhawakuridhika, walikosujasiri wa kusema nkuhoji.

N a a m i n i k a b i skwamba kama kutakuna serikali ya Tanganyikkatika muungano mpyhaitokubali kukabwa kona serikali ya muunganN a k w a s a b a bmabadiliko yote yatakuyanafanyika katika bungla muungano amballitakua na Watanganyik50 na Wanzibari 20, lolotwatakalopeleka bungenl i t a p i t a . W a t a a n zkuumegua muungankidogo kidogo mpakmwisho kila nchi itawezkua na mamlaka yakkamili.

(Kwa hisani ya mtanda

wa Mzalendo net)

 Mwalimu Nyerere Mzee Karume

Kwa nini yakupasa uwe mfano

kwa mtoto wa kike wa Tanzania

Inatoka Uk. 12

k i s h a m s a i d i ekuvikwamua ili awezekusonga mbele.

N i l i p o k u w amsichana, kinara wangualikuwa ni mama yangumzazi aliyenikuza nak u n i f a n y a n i a m i n ik w a m b a n i n a w e z akukia ndoto yoyote ile.

Alikuwa mfano hai wakuvunja dhana potofudhidi ya watoto wa kike

pale alipopata shahadaya juu ya uchumi katikawakati ambapo haikuwakawaida kwa wanawakekat i ka m a j i m bo yamashambani Kusinimwa Marekani kufanya

 jambo hilo.Akilazimika kuingia

darasani katika kipindicha likizo ya kiangazikwa kuwa wakati huochuo kikuu alichokuwaakisoma hakikuruhusuwanawake kuhudhuriamasomo katika muhula

w a m a s o m o w akawaida, mama yangualipambana na ubaguziili kukia ndoto yake.

Nilipokuwa kigorin i l i j i i n g i z a k a t i k ashughuli ambazo kwakawaida zimehodhiwana wanaume -- kutokamichezo hadi taaluma --mama yangu aliniungam k o n o k w a m o y ommoja.

Akinishangilia katikambio zote nilizoshirikina akinipa moyo nakunihimiza nijaribu tenapale niliposhindwa nakuanguka.

Mwandishi mmojawa Kimarekani aitwayeMark Twain alipata

kusema kwamba watuwenye busara, uwezon a u p e o m k u b w ahuwafanya wenginewajione kuwa na waowanaweza kuwa na

 busara, uwezo na upeomkubwa.

Hivi ndivyo mamayangu alivyonifanyia,na ndivyo ninavyomsihik i l a m m o j a w e t uamfanyie mtoto wa kikekatika jamii zetu.

Pale mtoto wa kikeanapoendelea, taifa zimalinaendelea. Wataalamuwengi wanaoheshimikawa masuala ya uchumi(mfano Ripoti ya WorldEconomic Forum kuhusuTofauti za Kij insia)

wamebaini kuwa nchiambazo zina uchumiuliostawi na wenyeushindani ni zile ambazowanaume na wanawakewana fursa sawa katikanyanja mbalimbali za

 jamii ikiwa ni pamojana elimu, afya, ushirikik a t i k a u c h u m i n aushiriki katika siasa.

Siku hii ya Kimataifaya Mtoto wa Ki keinatupa sisi sote fursaya kujadili masualahaya muhimu na njiaz i t a k a z o t u w e z e s h ak u f a n y a k a z i k w ap a m o j a k u o n d o avikwazo vinavyowezakuwakwamisha watotona vijana wetu wa kike

na wa kiume wasikiupeo wa uwezo wao.

Pamoja na kujengufahamu huu, kwa marnyingine tena napendkutoa wi to kwennyote kuchukua hatumahsusi katika jamzenu.

Chagua mtoto mmojwa kike wa Kitanzanikatika jamii yako na uwmwalimu wake, msaadwake na kiongozi wak

K w a k u m s a d imtoto huyu wa kike wKitanzania kukabiliann a k u z i s h i n dchangam oto ka t i kmaisha yake, utakuwu n a s u k u m a m b e lgurudumu la maendeleya taifa lako na ya dunia

Nawe pia utakuwkinara.

(Virginia M. Blaseni Kaimu Balozi wM a r e k a n i k a t i k

 Jamhuri ya Muunganwa Tanzania.)

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 9/12

9AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20Makala/Tangazo

UONGOZI WA SHULE ZA SEMINARI ZA KIISLAMU – ASSALAF ISLAMICSEMINARIES – ARUSHA (KISONGO TANZANIA)

UNAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA KWANZA, DARASA LA KWANZA NA CHEKECHEA KWA MWAKA 2014

SHULE NI YA MCHANGANYIKO (WAVULANA NA WASICHANA) NA NI YA BWENIKWA WANAFUNZI WA SEKONDARI TU.

MASOMO YANAYO FUNDISHWA:SHULE YA SEKONDARI:QURAN, MASOMO YA DINI KWA KIWANGO CHA

MUTAWASITWA,(KWA LUGHA YA KIARABU) NA MASOMO YOTE YA SEKONDARIKWA MUJIBU WA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDISTADI

SHULE YA MSINGI: MASOMO YA DINI KWA KIWANGO CHA IPTIDAIYA (KWALUGHA YA KIARABU) NA MASOMO YOTE YA SHULE YA MSINGI KWA LUGHA YAKINGEREZA.

MAHALI SHULE ILIPO: SHULE IPO KISONGO, KILOMITA 14 KUTOKA JIJI LA ARUSHA, MITA 400 KUTOKA MJI WA KISONGO – UPANDE WA KUSHOTO MWABARABARA IENDAYO MONDULI

PIA KUNA MASOMO MAALUMU KWA AJILI YA PRE FORM ONE,YANAYOENDESHWASHULENI KUANZIA TAREHE 01/OCTOBA/2013

FOMU ZA KUJIUNGA NA SHULE ZINAPATIKANA SHULENI KISONGO, NA KATIKAOFISI ZA MSIKITI WA QIBLATYN

KWA MAWASILIANO ZAIDI, WASILIANA NA 0754878615, 0754848689 AU 0767440500

UONGOZI WA SHULE

1 . K w a n z aunapokaa kiasi cham a s a a n a n e b i l akula chochote, mwiliunaanza kuunguzamafuta uliyohifadhimwilini kwa ajili yakukupatia nishati ya

kuendesha shughulizinazoendelea katikaseli za mwili wako.Hali hii haijitokezip a l e u n a p o k u w aumekula kwa sababuchakula ulichokulandicho kinachokuwachanzo cha nishatiunayohitaji. Mbayazaidi ni kwamba iwapoumekula ukashiba, nahususan kama chakulaulichokula ni chaasili ya wanga, kunauwezekana wa kupatanishati ya ziada. Hiihuhifadhiwa mwilinikwa matumizi ya baadaye ikiwa katikamuundo wa mafuta!Hii ina maana kuwa j i t i h a d a z a k o z a

FAIDA TATU ZA KUFUNGA kupunguza unenesiku zote zitakwamakama hukuzingatiak a n u n i h i i .

2. Unapokuwa nanjaa, mwili huzalishahomoni (hormone)inayoitwa GHRELIN.Homoni hii ndiyoi n a y o k u f a n y aujisikie njaa. Tafitiz a h i v i k a r i b u n ikabisa zimegunduak u w a u b o n g owako hutengenezaseli mpya tu palemwili unapokuwa

umesheni GHRELIN.K w a m a n e n om e n g i n e , m u d awote unapokuwa nashibe ubongo wakohautengenezi sel impya kuchukua nafasiya zile zinazokufa!

3. Homoni ya ukua( H u m a n G r o w tHormone) ambayo nmuhimu sana katikukarabati wa misuya mwili na kuchocheujenzi wa misul

h u z a l i s h w a k wwingi sana pale mtanapokuwa amefungaB a a d h i y a t a f i tzinaonyesha kuwuzalishaji wa homonhii huongezeka hadk uf ik ia k ia s i c h1 ,3 0 0 % pa le m tanapokuwa amefungaKwa kawaida homonhii huzalishwa usikm t u a n a p o k u wusingiz ini , kwanmuda huo ndio ambam wil i un a utum ikufanikisha masualya kujikarabati.

(Kwa hisani yUkurasa wa HerbaI m p a c t k a t i kFacebook.)Kufunga kunaweza kumsaidia mtu huyu

MNANO tarehe 1, Januari1990 Governor wa Jimbola California kule nchini

Marekani alipitisha sheriandogo (pro 65) chini ya sheriaya mwaka 1986 iliyojulikanakama ‘Safe Drinking Water& Toxic Enforcement Act’,au kwa Kiswahili ‘Sheriaya Maji Saf ya Kunywa naUsimamizi wa sumu’ (tafsirisiyo rasmi).

Kwa mujibu wa sheria hiindogo, ulikuwa ni wajibu wakisheria kwa watengenezachips za viazi kutoa onyokwa walaji pale ambapo bi dh aa za o zi ng ebai ni kak u m s a b a b i s h i a m l a j ikuingiza mwilini zaidi ya0.2 micro grams za kemikaliya Acrylamide kwa siku.

Acrylamide ni kemikali

ambayo imegundulika kuwainajitengenezwa kwa wingipale wanga unapopikwakwa joto la juu. Kemikalihii inatuhumiwa kuwamiongoni mwa vichocheo(carcinogenic) vikubwa vyasaratani.

Utati uliofanywa kwenyesampuli mbalimbali za chipsza viazi ulibaini kuwa chipshizo zilikuwa na viwangovikubwa mno vya Acrylamideukilinganisha na viwangosalama vilivyopendekezwa.

Kwa mfano baadhi yasampuli zilionyesha kuwakiwango cha Acrylamideki l ikuwa n i m ara 910zaidi ya kiwango salama

JE, WAWEZA KUKAA MBALI NA CHIPS ZA VIAZI?kilichopendekezwa cha 0.2micrograms kwa siku.

Aidha utafiti mwingine

ulioendeshwa na jopo lawatafiti wa Kipoland chiniya Marek Naruszewicz nakuchapishwa na Jarida laAmerican Journal of ClinicalNutrition mnamo mweziMachi 2009, ulionyesha kuwawatu wote walioshiriki utatihuo ambapo kila mmojaalipewa kiasi cha micrograms 157 za Acrylamidekwa siku kwa muda wa wiki4, walikuwa wameathirikakat ika v ias h ir ia v yo tevya ongezeko la hatariya ugonjwa wa moyo.Viashiria hivi ni pamoja nauharibifu wa lehemu nyepesi(oxidized LDL), ongezeko laviashiria vya uvimbe mwako

(inammatory markers) nakupungua kwa vipingavioksidishaji (antioxidants).Kwa maana ya tafiti hizi basi, mlaji mzuri wa chipssiyo tu kuwa anaongezauwezekano wa kupatasaratani, lakini pia anaongezasana uwezekano wa kujileteam a g o n j w a y a m o y o .

WAKINA DADA MPO?Mungu akipenda wiki ijayotutaelezea madhara ya ziadaya Chips. CIAO!

Kwa hisani ya Ukurasawa Herbal Impact katikaFacebook

 ASSALAF ISLAMIC SEMINARIESENGLISH MEDIUM PRE/PRIMARY & SECONDARY SCHOOL

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 10/12

10AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 20SHAIRI/Barua

NDUGU mhariri kwamara nyingine tenanaomba nafasi katikagazeti letu tukufu namashuhuri nchinigazeti la An-nuur,n a m i n i c h a n g i ekuhusu njama hiiya UGAIDI, hii nikufuatia mkasa wawestgate shoppingMail Nairobi.

S i n a b u d ikuungana na walew o t e w a l i o t u m arambi rambi kutokanan a m s i b a h u umkubwa uliowapandugu zetu wa Kenyahata hivyo hatuna b u d i k u t a f a k a r ikwa kukuna vichwahasa i l i tumbainimbaya wetu halisina hivyo kuchukuatahadhari madhubutikumshinda.

Ndugu mhariri ,kama viongozi waAfrika wasomi (?)na hata wachambuziwa mambo kitaifan a k i m a t a i f aw a t a y a a n g a l i amatukio haya kwa ji ch o la ma be beru /

 Afrika ipo njiani kutawaliwa

upya kupitia zimwi la ugaidi?wakoloni mamboleo na vyombo vyahabari tumekwisha.

Hii ina maanahawaangalii historiyetu na kujifunzakwayo! Viongozi nawasomi(?) wajiulizemaswali machcheyafuatayo kat ikak u p a t a m a j i b uya matatizo hayaya usala, vita naumasikini Afrika;

Nani walioleta biashara ya utumwana faida yake iliendawapi? Nani walioletau k i l o n i n a fa i d ayake i l ienda kwamataifa yapi? Naniwanaendesha ukolonimambo leo kupitia benki ya Dunia, IMFna sasa haya ma-Africom?

Nani waliowanaakin ache GUEVANA,w a l t e r R o d n e y ,Patrice Lumumba, nakupinduliwa KwameNkurumah?

M a j i b u s a h i h iyakipatikana, bilas h a k a t u t a a n z akuelewa kuwa Al-

s h a a b , a l - k a i d a , book haram huendawameundwa kwak a z i m a a l u m .Tuelewe kuwa jambola kuuwa kwa watakamali wa dunia ndiyo jadi yao.

M a j i b uu t a k a y o p a t ahayatakuonyeshakuwa Al-shaabab auAl- kaiad wamehusikakwa namna yoyotekwa majanga hayoyaliyoikumba Afrikaau hata dunia.

W a k u b w ahawaishi bila kuwa na“imaginary enemy”viongozi wasipokuwamakini watamalizaw a z a l e n d o w a ow a c h a c h e k w ak u l a g h a i w a n amabeberu.

A n g a l i ayanayoyoendeleaKenya- wamekwamawasipokuwa makiniitakuwa kama Iraq auAfganistan Enzi zetukulikuwa na somo lahistory paper iii. Hiini miaka 80 mwalimuwetu Form iv & vi

alipenda kuliita somhili “ identicatioo f t h e e n e m ykumtambua aduKama serikali ililifuti l i m r u d i s h e nuchukue wanafunwengi wa kulisomNi muhimu sana haswakati huu wa papya rasilimali zetu nza Afrika. Mabeberwatatuonyesha aduyetu halisi?

W a k o l o nmamboleo kwenyutajiri wa dunia yleo na kesho. H

habari ya Al-shaababuislamu ni ghilba kwwatawala na wakristili kuwarahisishiagenda yao ya kuporrasilimali zetu nmwisho kutatawarasmi kama zamanW a k i s h a w e kmakambi yao hapaafricom) hatutawatotena \mungu ibarikAfrika, Mungu ibariTanzania.

M o h a m eMohamed

Dar es salaam

Unguja kuenzi KiarabuInatoka Uk. 12

Kifaransa, Komputa,Mziki yawe ya Hiarikwa Mwanafunzik u y a s o m a l a k i n ip i a y a s i s a i d i eu f a u l u w o w o t ekatika viwango vyaMadaraja ya Ufaulu.

" W a r a k au l i p e n d e k e z aM a s o m o h a y o

y a k i w e m o D i n ina Kiarabu kuwaOptional na walayasisaidie chochotekatika kupandishaau kushusha Divisiony a M t a h i n i w a . "Alifafanua Mzee.

A i d h ailipendekezwa kuwaUtaratibu huo mpyauanzwe kufanyiwakazi kwa Wanafunziwatakaoingia Kidatocha Kwanza mwakaniili ifikapo mwaka

2017 wanafunzi haowautumie kat ikakidato cha nne.

H a t a h i v y oNaibu Katibu Mkuuh u y o a l i s e m akuwa Watendajiw a Z a n z i b a rw a l i u p i n g au t a r a t i b u h u okwa vile haukidhim a t a k w a y a

Zanzibar."Watendaji wetuWaliupinga Warakahuo kwani hautufaina unatofautianas a n a n a S i s ikulingana na hojaz e t u t u l i z o t o a ,lakini pia walikubalik u u r u d i s h a i l iusiweze kufanyiwakaz i " , a l i s em aNaibu Katibu Mkuuhuyo.

A l i s e m a k w aZanzibar, Wizara

ya Elimu inatoaM c h e p u o w aMasomo ya Lughakatika Skuli tofautiikiwemo Sekondariya Kiponda hivyoitakuwa vigumukufuata utaratibuhuo.

Kuhusu Somol a D i n i M z e eam es em a Som o

hilo kwa Zanzibarni muhimu sana nani miongoni mwam a s o m o y e n y eWalimu Wazuri wangazi za Stashahadah a d i U d a k t a r i -P H D a m b a p oufundishwaji wakehuanz i a daras al a kwanz a h a d iChuo Kikuu hivyokubadili utaratibuisingewezekana.

A i d h aa m e f a h a m i s h akuwa katika dunia

ya sasa Somo kamKomputa ni muhimsana hivyo kulifanyhalina ulazima nkujirudisha nyumkimaendeleo.

Amesema licha ymahusiano mazuyaliyopo baina yWizara kwa upandw a Z a n z i b a r nBara, lakini Wa

hawakushirikishwkatika Uanzishwawa Waraka huo.

K a t i k a h a l i ykuliweka sawa jambhilo, Mawaziri wWi z a r a h i z o A Juma Shamhuna nMwenzake wa BarShukuru Kawambwwanatarajia kukutankulijadili jambo hilo

 ( K w a h i s a n

y a F a k i M j a k aHABARI MAELEZZANZIBAR.)

Ni salamuye Wadudi, niwapeni ikhiwaniHaikuwa makusudi, toweka yangu hewaniLisilokuwa na budi, hutendwa japo huzuniNimerudi nimerudi, poleni kwa ‘kunimisi’

Sasa tena haidhuru, nimetoka kifungoniNimesha achiwa huru, towa mkono shavuniUzisikilize duru, zilizoshiba kanuniNimerudi nimerudi, poleni kwa ‘kunimisi’

Ni machache niyaseme, yawe tulizo moyoniWanawake kwa waume, wa bara na visiwaniHaya wote shime shime, kwa nguvu shangilieniNimerudi nimerudi, poleni kwa ‘kunimisi’

Kaditama tamatini, nimeka kituoni

Tazama vina vya ndani, utazame kwa makiniSifa yangu tabaini, ukianzia kwa chiniNimerudi nimerudi, poleni kwa "kunimisi"

Sauti ya Mkutubi(MUM)-Morogoro0714 341216

NIMERUDI!

Nina ghamu mtimani, kadhalika na makiwaKwa viongozi wa dini, kikatili kuuawaSi baidi ni jirani, ni hapo Kenya tambuwaKuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini?

Bilhaki kwa yakini, kuiridhia si sawaSio yetu tukidhani, kadhia hii si sawaTutafakari kiini, kwa pamoja sawasawaKuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini?

Kila mara hadharani, 'mekuwa wakiuawaMithili ya hayawani, kwa risasi 'fyatuliwaMifano nikikupeni, simanzi mtaingiwaKuuwawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini?

Awali nambaini, Kadimu alouawaSamir mwana wa Khani, Kwa Allah mrehemewaKosale huyu ni nini, la kinyama kuuawaKuuawa kwa Masheikh,tujifunzacho ni nini?

Na Aboud dhukuruni, naye alivyouawaRogo ni wake ubini, kwa Allah mrehemewa

Kosale naye ni nini, la kinyama kuuawaKuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini?

Wiki jana si zamani, wengine wameuawa'Kitoka msikitini, njani wakahujumiwaKosalo nao ni nini, la kinyama kuuawaKuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini?

Ibrahimu yu ndani, mwa hao walouawaYu Sheikhe na si haini, kwa Allah mrehemewaKosale hasa ni nini, la kinyama kuuawaKuuawa kwa Masheikh, tujifunzacho ni nini?

Twakuomba Rahmani, Masheikh walouawaWaweke pema peponi, kwa ya kwako majaliwaNimeka ukingoni, wa nudhumu ya makiwaNi nini tujifunzacho, kwa Masheikh kuuawa?

ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

Mauaji ya Masheikh !

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 11/12

11 AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201Habari

KumechafukaHIZI ni zama mbaya, kilamzazi ajue mtoto wakeanalala wapi na kushindawapi.

Kama ilivyotangazwak a t i k a v y o m b o v y ah a b a r i j a n a k u n aw a t u w a m ek a m a t w awakituhumiwa kufanyamazoezi ya kijeshi hukowilayani Kilindi.

Habari za awali zakipolisi zinasema kuwawatu hao wamekuwawakifanya mazoezi kwazaidi ya mwezi mmoja.

Na kwamba katikat u k i o l a j u z i u s i k ukamanda mmoja wa Polisialijeruhiwa kwa risasina sasa anaendelea namatibabu.

Bado ni mapema mnokusema lolote juu ya tukiohilo. Hata hivyo kwa sasatungependa tusisitize yaletuliyokwisha kusema kwamuda mrefu na kuendeleakuyakariri mara kwa mara.

Tumekuwa tukisisitizatena na tena kuwa hivisasa kuna jitihada kubwaza kupandikiza kitisho chaugaidi, lakini na wakati huohuo kuwapachika uhalifuna ugaidi Waislamu.

B a a d a y a k u w az i m e p i g w a s a n ap r o p a g a n d atulichowanasihi Waislamuni kuchukua tahadhari.

W a w e m a k i n iw a s i j e w a k a j i k u t awanatumbukizwa katikam t eg o w a k a k o s a p akutokea.

Katika muktadha huotukasema, kuna kila sababuya kuwa macho na watuwanaojitia wanaharakatina kuja na agenda za ‘AlShabaab’ kwa sababuhao wanaweza kuwani watu wanaotumiwakukamilisha agenda zawatu wengine ama kwakujua, kwa maana kuwawanalipwa, au kwa ujingatu.

Katika moja ya matoleoyetu yaliyopita tukasemawazi kuwa, iwapo atakujiamtu anakwambia ‘ameiva’anataka kwenda kupiganaS o m a l i a , m w a m b i eakalime.

Na umwepuke kwasababu ama huyo n i‘ w a k a l a ’ a n a y e t a k akukutosa katika hatari, auni mjinga sana.

N a k w a v y o v y o t eitakavyo kuwa awe nimkinga au anatumiwakama mamluki, badoatakuwa ni mtu hatari.Kwa hiyo ni mtu wa kuwambali naye.

Tumekuwa tuki toataarifa na tahadhari hiikwa uzito mkubwa bilakuchoka kwa sababutunajua hatari ya jambo

On a sunny afternoon inOctober 2012, 68-year-oldMamana Bibi was killed ina drone strike

that appears to have beenaimed directly at her. Hergrandchildren recounted inpainful detail to

Amnesty Internationalthe moment when MamanaBibi, who was gatheringvegetables in the family

fields in Ghundi Kalavillage, northwest Pakistan,was blasted into pieces beforetheir eyes. Nearly

a year later, Mamana Bibi’sfamily has yet to receive anyacknowledgment that it wasthe US that killed her, letalone justice or compensationfor her death.

Earlier, on 6 July 2012, 18male laborers, including atleast one boy, were killed ina series of US

drone strikes in the remotevillage of Zowi Sidgi. Missilesrst struck a tent in whichsome men had

gathered for an eveningmeal after a hard day’s work,and then struck those whocame to help the

injured from the firststrike. Witnesses described amacabre scene of body partsand blood, panic

and terror, as US dronescontinued to hover overhead.

T h e us e o f p i lo t les saircraft1, commonly referredto as drones, for surveillanceand so-called

targeted killings by theUSA has fast become oneof the most controversialhuman rights issues in

the world. In no place isthis more apparent than inPakistan.

The circumstances ofcivilian deaths from dronestrikes in northwest Pakistanare disputed. The

hili.Taarifa ya hivi karibuni

ya Amnesty International( O c t o b e r 2 0 1 3 ) ,inazungumzia mauwajiya kutisha yanayofanywakatika nchi ya Pakistankatika ile vita inayoitwaya ugaidi ikiongoza naMarekani.

Mamia kwa maelfu yawatu wasio hatia, wengiwakiwa wanawake nawatoto, wameuliwa katikamashambulizi ya droneyanayodaiwa kulengamagaidi.

Katika taarifa hiyo naza mashirika mengine yakimataifa ya kutetea hakiza binadamu, inaelezwakuwa kinachofanyikak a t i k a v i t a h i y o n i

ukiukwaji mkubwa wahaki za binadamu na kwahakika hiyo ni sawa nauhalifu wa kivita.

Sasa la kujua ni kuwaPakistan imekishwa hapo baada ya ‘kupandikiziwa’kitisho cha ugaidi nakikakubalika kuwa kipo.

Baada ya hapo ikawainapewa ushir ik ianokatika kupambana namagaidi ikiwa ni pamoja

na kutakiwa kuacha huruanga yake kwa Marekaniiwe inaingia na kupigawatuhumiwa wa ugaidiinavyotaka.

Matokeo yake ndio

hayo watu wasio na hatiawanauliwa ovyo.N i k u t o k a n a n a

hal i h iyo , tumekuwatukitahadharisha kuwa,watu wasione faharikushabikia mambo haya.

Tukasema kama kwelikuna watu wanatuhumiwakwa uhalifu au kwa hichokinachoitwa ugaidi, basiwakamatwe kesi zifikem a h a k a m a n i s h e r i a

ichukue mkondo wakkul iko kuendelea tkupiga propaganda.

Tulisema, hatari ypropaganda ni kuwunaweza ukawafanywatu wakaamini jamblisilokuwepo.

N a m w a n y a h uunaweza kutumiwa nwatu wabaya kufanytukio baya ikasingiziwkuwa ni ‘wale magaidi’.

Muhimu hapa ni kuwni wajibu wetu kamwananchi kuhakikishkuwa hatuitumbukizi nchyetu ilikokishwa Pakistana Yemen.

Na kwa sababu imekuwwazi kuwa wanaotakiwugaidi kwa nguvu nWaislamu, ndio maanmuda wote tumekuwtukitoa tahadhari kwWaislamu.

Tahadhari yenyewni kuwa wawe makinwasitumbukizwe katikagenda wasizozijua kwujinga.

Kwa wengine naowasil ichukulie jambkama hili kishabiki.

Bali iwe katika surmwelekeo na mtizamo wkuinusuru nchi.

Zikija drone hapa ayakija yale ya WestgatH a l l , h a y a c h a g uMuislamu au Mkristo.

Ni matarajio yetu kuwvyombo vya dola na Serikkwa ujumla, italichukul jambo hili kwa uzito numakini mkubwa kwnia ya kuinusuru nchi nsio kuitosa na kuisajikuwa ina kitisho halisi chugaidi.

US DRONE STRIKES IN PAKISTAN

“WILL I BE NEXT?”USA, which refuses torelease detailed informationabout individual strikes,claims that its drone

operations are based onreliable intelligence, areextremely accurate, and thatthe vast majority

of people killed in suchstrikes are members of armedgroups such as the Talibanand al-Qa’ida.

Critics claim that drones tr ikes are m uch les sdiscriminating, have resultedin hundreds of civilian

deaths, some of which mayamount to extrajudicialexecutions or war crimes,and foster animosity thatincreases recruitment into thevery groups the USA seeks toeliminate.

According to NGO andPakistan government sourcesthe USA has launched some330 to 374

drone strikes in Pakistan between 2004 and September2013. Amnesty Internationalis not in a

position to endorse thesefigures, but according tothese sources, between 400and 900 civilians

have been killed in theseaacks and at least 600 peopleseriously injured.

Because the US governmentrefuses to provide even basicinformation on particularstrikes,

including the reasons forcarrying them out, AmnestyInternational is unable toreach rm

conclusions about thecontext in which the USdrone attacks on MamanaBibi and on the 18

laborers took place, andtherefore their status underinternational law. However, ba se d on its rev iew ofincidents over the last two

years, Amnesty Internationalis seriously concerned thatthese and other strikeshave resulted in unlawfulkillings that may constituteextrajudicial executions orwar crimes.

Mamana Bibi’s son Rafiqul Rehman (left) and hischildren Safdar (back),Nabeela, Zubair and Asma.They have yet to receive anyacknowledgement

that a US drone strikekilled her, let alone justice orcompensation for her death.

(US drone strikes inPakistan

Index: ASA 33/013/2013Amnesty InternationalOctober 2013)

Inatangaza nafasi za Masomo kwa wanafunwote wanaohitaji kujiunga na Pre- Form OnBoarding and Day. Masomo yameanza Tareh30/09/2013, Shule ipo Wilaya ya BagamoyMkoa wa Pwani-km 7 kutoka njia Panda yChalinze Tanga, Kuelekea Morogoro.

 Nafasi za Kidato cha Kwanza mwaka 201Pia tuna nafasi za kuhamia kwa Kidato chana 3.

Usaili Kidato cha Kwanza utafanyika Tareh16/11/2013, kwa awamu ya kwanza. Awamya pili usaili utafanyika Tarehe 30/11/2013 nawamu ya Tatu Tarehe 20/12/2013.

Kwa maelezo zaidi piga simu hizi:-

0762-270 378/ 0659 303 203/ 0784- 323 20 Au E-mail: chalislacentre@ yahoo.com

MKUU WA SHULE

Chalinze Islamic Seminary

Pre-Form One

7/27/2019 ANNUUR 1096

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1096 12/12

12AN-NUU

DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25-31, 2012MAKALA 

 

 AN-NUUR12 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 25 - 31, 2013

SomaGazeti la AN-NNUR

kila Ijumaa

W I Z A R A y a E l i m una Mafunzo ya AmaliZ a n z i b a r i m e s e m aM a s o m o y a D i n i ,Kiarabu na Masomomengine hajafutwa nayataendelea kusomeshwana kufanyiwa Mitihanikatika ngazi zote kama

ilivyokuwa hapo awali.Aidha imesema Wizarah i y o h a i j a k u b a l i a n a

PAMOJA na jamiimbalimbali dunianik o t e , M a r e k a n iin a fah ari k u b wakuadhimisha tarehe 11Oktoba kama Siku yaKimataifa ya Mtoto waKike.

Siku hii ilianzishwaili kutambua haki za

watoto wa kike nakuimarisha dhamirana jitihada za kimataifaz a k u t o k o m e z aunyanyasaji, ubaguzina ukatili wa kijinsia naubaguzi wa kiuchumiunaowaathiri zaidiwatoto wa kike.

Ushahidi unaonyeshakuwa nchi yoyote,ikiwemo Tanzania naMarekani inaweza tukuendelea kiuchumi,kijamii na kisiasa paleambapo wasichanawanashiriki kikamilifukatika nyanja zote zamaisha ya jamii napale wanapolindwad h i d i y a u b a g u z ina vitendo vinginevyovyote vinavyowezakuwaathiri mathalan,ndoa za utotoni na zakulazimishwa na ukatiliwa kijinsia.

S i ku hi i i na tup afursa ya kipekee yakutafakari jinsi ganitunaweza kufanyakazipamoja ili kuhakikisha

Unguja kuenzi KiarabuBara yaenda kivyake Islamic

na Waraka wa Elimukutoka Tanzania Barawa kuyafanya Masomohayo kuwa ya hiari nahivyo yasichangie asilimiayoyote katika ufaulu waMtahiniwa.

Naibu katibu Mkuuwa Wizara ya Elimu

Zanzibar Abdallah Mzeeameyasema hayo wiki hiialipokuwa akizungumza

na Waandishi wa habarikwa lengo la kukanushaTaarifa zilizotolewa na baadhi ya Vyombo vyahabari zilizodai kuwaWizara hiyo imeondoaMtaala wa Masomo yaDini na Kiarabu kwenyeMitihani ya Taifa.

Amefahamisha kuwaWatendaji kutoka Wizaraya Elimu Tanzania Bara

walikutana na Wenzaokutoka Zanzibar kwalengo la kujadili Warakawa E l imu wal iokujanao uliokuwa unatakakufanyike mambo mapya.

Mzee amebainishakuwa katika Waraka huoWenzao kutoka Barawalipendekeza kuwaMasomo ya Dini yaKiislam, Dini ya Kikristo,

L u g h a y a K i a r a b u ,

Kwa nini yakupasa uwe mfanokwa mtoto wa kike wa Tanzania

Na Kaimu Balozi VirginiaM. Blaser

kuwa vijana wetu wote- wa kike na wa kiume- wana fursa sawaya kuchangia katika

 jamii yao na kujengamustakabali mwemakwa wao wenyewe,

familia zao na mataifayao.

Rais Barak Obama naWaziri wa Mambo ya Nje

 John Kerry wamelifanyasuala la kuinua hadhiy a w a n a w a k e n a

watoto wa kike kuwa jam bo la kipaumbelela kidiplomasia laMarekani.

Kwa kushirikiana naSerikali ya Tanzania,wabia wengine wakimatai fa na asas imbalimbali zisizo zakiserikali, Watu waMarekani wamekuwawakisaidia j i tihadam b a l i m b a l i z aulinzi, maendeleo nauwezeshaji wa watotowa kike wa Tanzaniaili waweze kuchangiak i k a m i l i f u k a t i k amaendeleo ya nchi yaona dunia kwa ujumla.

Hata hivyo, leo hiininapenda kutoa witokwa Watanzania wote,wake kwa waume, iweni baba au mama, kakaau dada, kiongozi auhata raki.

Ninamwomba kilammoja wenu achaguemtoto mmoja wa kikek a t i k a j a m i i y a k ea takayem s a i di a i l iaweze kukia upeo wauwezo wake.

W a s i l i a n a n am t o t o h u y o w akike, ongea nae nazifahamu changamotozinazomkabili katikamaisha yake ya sikuhadi siku.

Shirikiana naye katikakutambua vikwazovinavyomkwamisha

BEIRUTVyombo vya usalam

vya Lebanon vimegunduna kuzima njama ya kutakkumuua Katibu Mkuu wchama cha Hizbullah chLebanon, Sayyid HassaNasrullah, katika siku yEid Adh'ha.

Vyombo vya Usalamvya Lebanon vimeripokuwa njama hiyo ya kutakkumuua Sayyid Nasrulla

siku ya Eid katika enel a A d h a h i y a m j i nBeirut, imegunduliwa nkuzimwa kwa juhudi zwananchi na vyombo vyusalama.

Ripoti zinasema kuwgari moja lililokuwa nmabomu l i l iegeshwkatika makutano ya njia yal Marija na al Maamurambako Katibu Mkuwa Hizbullah HassaNasrullah alitazamiwkuhutubia.

D u r u z a u s a l a mz i n a s e m a m a b o myaliyokuwa yametegwkwenye gari hilo yalikuwna kilo zisizopungua mmoja na kwamba, iwapyangelipuka yangeharibmaeneo yote ya karibu nlilipokuwa limeegeshwa

Miezi kadhaa iliyopiten eo l a D h a h i y a lk u s i n i m w a B e i r ul i l i s h a m b u l i w a k wmilipuko miwili ya kigaidambayo ilisababisha vivya makumi ya watu. (iriir)

Njamakumuua

kiongozi waHizbullah

yazimwa

VIRGINIA M. Blaser ni Kaimu Balozi wa Marekanikatika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Inaendelea Uk. 10

Inaendelea Uk. 8