annuur 1150a

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 02-Jun-2018

687 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1150 MUHARRAM 1436, IJUMAA , NOV. 7-13, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Uk. 8

    JAJI Augustino Shangwaanayesimamia kesi ya rufaya kesi ya Sheikh Ponda IssPonda, amesema hukumu yrufaa hiyo itakuwa Novemb20, 2014.

    Warioba anasulubiwa

    kwa kutetea ZanzibarItakuwa ombaomba wa TanganyikaLakini Wazanzibari wenyewe wanajijua?Balozi Seif anasema wamepata kila kitu

    Hukumu kesi

    ya Ponda yaiva

    Inaendelea Uk.

    Afya ya Sheikh Mselemyaimarika, Salim taaban

    Na. Seif Msengakamba

    Msiba mzito kwa WaislamMwalimu Siraji hatunaye

    Ilikuwa avae viatu vya Ilunga-KundechaKigezo chema kwa uchapakazi-Prof. NjoziLakini Kadari ya Allah imepita, tuwaidhike

    JAJI Joseph Sinde Warioba.

    BAADHI ya Waislamu wakiwa wamebeba jeneza la Al-Marhuum Jafari Siraji wakielekea makaburi yaMwinyimkuu Magomeni Jijini Dar Jumanne wiki hii. Picha ndogo juu ni wakati wa uhai wake.

    Rais Kikwete katimizawajibu kama kiongoz

    Yaliyobaki ni yenu Masheikh, Waislam

    Alipowakuta sio atakapo waacha 2015

    Mkiharibikiwa itabidi mjilaumu wenyew

    Uk. 3

    Uk. 3

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    2/16

    2 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    Hukumu kesi ya Ponda yaivaInatoka Uk. 1

    J a j i S h a n g w a ,alitangaza tarehe hiyo

    J u m a t a t u w i k i h i i(Novemba 3-2014) KatikaMahakama Kuu JijiniDar es Salaam, hukuakidai kuwa hapendikuipanga kesi hiyo sikuya Ijumaa kwa kuwa nisiku ya Ibada.

    Sitaki kuipanga rufaahii siku ya Ijumaa kwakuwa ni siku ya ibada

    japokuwa tunataka kesihii iishe haraka, ndiomaana nimeangal iatarehe ambayo siyo sikuya Ijumaa. Alisema JajiShangwa.

    Hata hivyo, kufuatiamaelezo hayo ya JajiShangwa, kuhusu sikuhiyo ya Ijumaa, SheikhPonda, alisimama nakutoa maelezo kwambasiku ya Ijumaa kwadharura inafaa kwakuzingatia muda waibada.

    J a j i S h a n g w a ,alikubaliana na hojahiyo kwa kuzingatiakwamba hukumu hiyoinatakiwa haraka, lakiniakasema kuanzia tarehe12, za mwezi huu nakuendelea anakabiliwa

    na safari Jijini Mwanzakuhudhuria mkutanomkuu wa Majaji.

    Nikirudi Novemba20 ndio itakuwa sikuya hukumu, tarehe zasiku nyingine kuanziaNovemba 12, nitakuwasafarini Mwanza katikamkutano wa Majaji.Alisisitiza Jaji Shangwa.

    Kwa upande wake,Wakili wa Sheikh Ponda,Yahya Njama, alisemaameridhika na maamuzihayo ya Jaji Shangwa, naana matumaini kwamba

    ataiandaa na kusomakama alivyoahidi.Shangwa tunamjua

    kwamba ni Jaji mkweli,tus ubi r i h iy o s ik uM w e n y e z i M u n g uakitujaalia. AlisemaWakili Njama.

    K a t i k a h a t u anyingine, Jeshi la Polisi,liliongeza hali ya ulinzikuliko siku za nyumawakiwatumia mbwawa polisi, huku magariya maji ya kuwasha,y ak i randaranda na

    upekuzi mkali ulitawalakwa kila aliyepita jiraniya Mahakama hiyo.

    Mbwembwe hizi zambwa wa polisi, magariya washawasha za nini?Kwani kinachoogopewanini? Au ni kat ikazile propaganda zakuwatangaza Waislamukuwa watu hatari?

    Alisikika Mzee mmojaakisema mahakamanih a p o h u k u p o l i s iwakimtizama bila kujibu.

    Afya ya Sheikh Mselemyaimarika, Salim taaban

    WAKATI ha l i y aSheikh Mselem Ally,ikizidi kuimarika baadaya kupatiwa matibabu,mtuhumiwa Salim Ally,imeripotiwa kuwa nimgonjwa.

    Kufuatia hali hiyo,Sa l im ames hindwak uhudhur ia k a t ik aMahakama ya Hakim

    Mkazi Kisutu, Jumannewiki hii kusikiliza kesiyake.

    I m e e l e z w aM a h a k a m a n i h a p okuwa, mtuhumiwa huyonamba 14, Salim AllySalimu, ameshindwakufika Mahakamanih a p o k u t o k a n a n akukabiliwa na maradhi.

    Kwa mujibu wa Wakiliwa upande wa utetezi,Bw. Abdalah Juma,alibainisha kwambam t u h u m i w a S a l i m

    Alli Salim, hakufikMahakamani kwa kuwhali yake ni mbaya.

    Hata hivyo alielezk uwa hiy o ni k wmujibu wa maelezo ywatuhumiwa wenzakambao wamemuelezk u w a m t e j a w a ka n a s u m b u l i w a nm a u m i v u m a k a l

    yaliyosababishwa nvitendo alivyofanyiwna Askari Polisi.

    Akasema, Daktaranayemhudumia alielezkuwa mtuhumiwa Salimanatakiwa kufanyiwupasuaji, hata hivyalisema taarifa hizhazijathibitishwa nuongozi wa Magerezana kwamba atazifuatilizaidi.

    Katika hatua nyinginHakimu anayesimamkesi ya watuhumiwa hawanaokabiliwa na ke

    ya Ugaidi Mhe. HelleLiwa, hakuweza kukMahakamani hapo.

    Kutokana na hali hiyokesi hiyo imeahirishwambapo itakuja kutajwt e n a N o v e m b a 1 7mwaka huu.

    Aidha, Wakili Jumaa m e t o a w i t o k wWaislamu kuzidishdua ili Waislamu hawaweze kuwa huru nkuendelea na shughuzao za kumtumikiMwenyezi Mungu.

    SHEIKH Ponda Issa Ponda.

    MAPEMA wiki hii Baraza La Taifa la Mitihani nchini(NECTA) lilitangaza matokeo ya mtihani ya wahitimuwa darasa la saba mwaka 2014 nchini.

    Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu MkuuNECTA Dr. Charles Msonde, yameonyesha kuwa zaidiya nusu ya wanafunzi waliofanya mtihani wa darasa lasaba Septemba mwaka huu, wamefaulu.

    Hata hivyo katika matokeo hayo, wanafunziwalioongoza kwa ufaulu wa juu ni wale waliokuwawakisoma katika shule za binafsi. Tumeona hata shulezilizoongoza kwa ufaulu wa kiwango cha juu ni zile zileza binafsi.

    Shule za msingi za serikali hazikuweza kufua dafukatika ile kumi bora.

    Tatizo tunaloliona hapa ni kwamba, kuna tofautikubwa ya utoaji huduma za mafunzo kati ya hizi shuleza serikali na zile za binafsi.

    Kutokana na kuwepo huduma bora za mafunzokatika shule za binafsi, yaani walimu wenye ari kutokana kulipwa vizuri, walimu kufuatiliwa kwa karibuufundishaji wao, uwepo wa vitabu vya kutosha kwawanafunzi, miundo mbinu sa na ya kisasa(madarasa,meza na viti), chakula na usari wa uhakika, ni baadhiya mambo ya msingi ambayo huwafanya wanafunziwanaosoma katika shule za binafsi kufaulu kwa wingina vizuri zaidi kuliko wale wanaosoma katika shule zajumuia za serikali.

    Kwa msingi huo, ndio maana hata kiwango cha ufaulukati ya shule hizi ni tofauti.

    Hata hivyo kutokana na hali za maisha za watanzaniaambao wengi wao ni makabwela, ni vigumu kwaokusomesha watoto wao katika shule za binafsi ambazoviwango vyao vya ada ni vikubwa sana.

    Ni hakika kwamba, watoto wanaosoma katika shule

    za binafsi ndio wanaofaulu vizuri zaidi na kwa idadikubwa zaidi, kuliko wale wa makabwela wanaosomakatika shule za Kayumba,.

    Shule ambazo ukaguzi wa walimu si makini, walimuhawana ari ya kufundisha, hakuna madarasa ya kutosha,hakuna madawati (sio viti na meza) wala vitabu vyakutosha kwa wanafunzi.

    Tunavyoona, kama hali hii itaachwa ikaendelea kamailivyo, tabaka la maskini na wenye uwezo halitapunguakatika Taifa letu. Hatari zaidi ni kwamba tukiendeleahivi, tutarajie tabaka la wenye uwezo kuendelea kuwandio wenye hati miliki ya nafasi za utawala na uongozidhidi ya tabaka la makabwela, na hatima yake nikutengeneza bomu la vurugu kati ya matabaka haya.

    Ni ushauri wetu kwamba, kuna haja serikali kwamakusudi kabisa, kuondoa kasumba ya kuvulia usadina dhulma zinazofanywa na baadhi ya watendaji wenyemamlaka, dhambi ambayo kwa namna moja au nyingineimekuwa sababu ya kutoboreshwa kwa wakati elimukatika shule za za serikali.

    Tunaamini kuwa kama serikali ingesimamia vizurimatumizi yake na sehemu inayofisidiwa ikatumikakuboresha elimu katika shule zake, zingetoa ushindanimkubwa kwa shule binafsi na hatimaye kufuta tofautiya huduma za elimu na viwango vya ufaulu kati yashule hizo.

    Tuna hakika kama jitihada hizo zingefanyika, hatahizi ada zilizo juu katika shule za binafsi, zingepatachangamoto na kutoendelea kupaa kila mwaka.

    Na hapo usawa kwa watoto wa kitanzaia katika sualazima la elimu bora ungeonekana.

    Tukumbuke, silaha kubwa katika kuondoa umasikinikwa mtoto wa maskini ni kumpa elimu bora na wala sibora elimu kama hali ilivyo.

    Iwapo tutaziba matundu yanayovunja katikapakacha letu la mapato ya serikali, ikawekwa mipangomadhubuti inayotekelezeka katika kuboresha elimu kwashule zetu za serikali na ikasimamiwa barabara, ombwehili miongoni mwa watanzania kielimu litaondoka.

    Tukiziba fuko letu matundu

    makabwela nao watafaulu vizuri

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    3/16

    3 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Habari

    Warioba anasulubiwa kwa kutetea ZanzibarWAKATI Makamo wa Pili waRais wa Zanzibar, Balozi SeifAli Idd akisema kuwa Katibainayopendekezwa imewapaWazanzibari, kile wanachokitaka,Jaji Joseph Warioba, amesemakatiba hiyo itawafanya kuwaombaomba.

    Kwamba hivi sasa watabakikuwa ombaomba wa serikali yamuungano, ambayo ni Tanganyikailiyovaa koti kubwa la muunganohuku Zanzibar kakoti kakekakizidi kubana.

    Akizungumza katika mdahalouliomalizika kwa vurugu mapemawiki hii, Jaji Warioba, alisemakuwa katiba inayopendekezwasasa imefanya Tanganyika ndioiwe muungano, kwa sababuSerikali ya Muungano inakuwahaina kazi Zanzibar.

    Haina mamlaka hata kodogo

    Zanzibar, kama nilivyowahikusema Serikali hii haivuki Bahariinabaki huku huku, lakini Serikalihii ndio imehodhi mamlaka yanchi, kama ikitumia nguvu hiyoBara ndio itafaidi zaidi na kuwana mamlaka. Alisema.

    Akifafanua zaidi alisema, kwakatiba hii inayopendekezwa,Zanzibar itakuwa inaomba tu.Itakuwa omba omba wa Tanzania(Tanganyika) ambayo ndiyoiliyovaa koti la Muungano.

    A k a s e m a k u w a h a t ainavyoelezwa kuwa Zanzibarinaweza kujiunga na Jumuiya zaKimataifa, lakini itakuwa ngumukufanya hivyo kwani Jumuiya zote

    za Kimataifa zinahitaji mamlakakamili, lakini Zanzibar badohaijapewa mamlaka kamili kamainavyodhaniwa.

    Sisi tunaona koti limekuwakubwa zaidi, ama nadhani limebanana bado kuna malalamiko ya Bara,kwamba kwa nini Wazanzibarmambo yao yote wanafanya huku,sisi hatuendi huko lakini wenywewanakuja huku.

    Mambo yao wanaamua kulelakini Wabunge wa Zanzibarwanakuja Dodoma kuamua yanani. Alisema Jaji Warioba.

    Kwa kuzingatia hayo, JajiWarioba amesema kuwa ndiomaana, kwa kuzingatia maoni yawananchi, Tume yake iliyafanyamambo ya Muungano kuwamachache na walipendekezaSerikali tatu, ili kila upande uwena mambo yake na mamlakakamili na Serikali ya Muunganoisaidie pande zote mbili.

    A l i s e m a , K a t i b ainayopendekezwa inaonyeshaZanzibar imepewa madarakazaidi, lakini uwezo wa kifedhaumeondolewa, hivyo akasema kwahilo hana hakika kama Wazanzibarhili watalikubali.

    Akiongea katika Mdahalo huokabla haujavurugwa, alisemapamoja na kuwepo tayari kwaKatiba iliyopendekezwa, lakini

    Na Mwandishi Wetu mpaka sasa wananchi walio wengihawajaiona, hivyo wapo hapo kwalengo la kujielimisha ili kujua niniwanachotakiwa kukipigia kura.

    Ja ji Warioba, ali sema Kat ibahiyo inayopendekezwa badohaijasambazwa kwani hata yeyehajaipata, lakini pamoja na halihiyo wapo watu wanafanyakampeni kwamba wakubali hiliau wakatae hili lakini walengwahawajaiona.

    A l i s e m a , k a t i k a K a t i b ainayopendekezwa kwa kiasikikubwa maoni ya wananchiyaliyotaka kuleta mabadiliko natume ikayaweka katika rasimumengi hayakukubalika katikaBunge Maalum.

    Jaji Warioba, alisema miongonimwa hayo n i Muundo waMuungano, ambapo kwa ujumlay a n g ez i n g a t i w a y a n g e l e t amabadiliko makubwa katikaKatiba, lakini hayakukubalika.

    A l i s ema , k a t i k a R a s i muiliyotokana na maoni ya wananchi,Tume ilisema endapo utabidiMuungano wa Serikali mbili,unahitajika ukarabati mkubwa,katika hilo akasema BungeMaalumu, limefanya ukarabati ilahana hakika kama ukarabati huoni wa kutosha na wenye kukidhihaja.

    Zanzibar walikuwa na madaimengi moja ilikuwa kwambaTanganyika imevaa Koti laMuungano, pili walisema mamboya Muungano yamekuwa mengiyanaingilia mamlaka yao, hivyo

    Jaji Joseph Warioba (kushoto) akiwa na Dkt. Salim Ahmed Salim.

    yapunguzwe. Alisema Ja jiWarioba.

    Maoni haya ya Jaji Warioba kwa

    kiasi kikubwa yanawiana na yaleyanayozungumzwa na Makamowa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,ambaye amekuwa akisisitiza kuwakatiba inayotakiwa na Wazanzibarina itakayokuwa na masilahi naZanzibar, ni ile iliyokuwa katikarasimu ya Jaji Warioba.

    Hata hivyo, kwa upande wakeMakamo wa Pili wa Rais BaloziSeif amekuwa akihimiza kura yandio kwa katiba inayopendekezwaakidai kuwa imewapa Wazanzibarikila walichokuwa wakitaka.

    Baadhi ya wananchi waliotoamaoni yao kufuatia vurugu

    zil izoibuka katika mdahaluliokuwa ukihutubiwa na JaWarioba wamesema kuwa, hojza Warioba zimekuwa mwibkwa wanaotetea serikali mbikwa sababu zinaonekana kugushisia za Wazanzibari katika suala muungano.

    J a j i W a r i o b a a n a s e mZanzibar itakuwa ombaomba, nkweli na kwamba bila kuwa nmamlaka kamili, ni kiini machna kujidanganya kuwa utawezkujiunga na jumuiya za kimataifsasa nani Mzanzibari atashindwkuelewa hoja jepesi kama hilndio maana wanamfanyia fuji l i as iendelee kuwazinduna kuwaelimisha wananchiAmesema Mzee Uthman wMagomen akiongea na mwandish

    Msiba mzito kwa Waislam Mwalimu Siraji hatunayeMWALIMU na Mhadhiri, JafariSiraji amefariki.

    Huu ni msiba mwinginemzito kwa Waislamu baada yakuondokewa na Sheikh IlungaHassan Kapungu.

    Siraji aliyekuwa Mhadhiriwa Chuo Kikuu Cha Waislamu,Morogoro, MUM, amerejea kwaMola wake Jumanne ya wiki hiiNovemba 4, 2014, katika Hospitaliya Taifa ya Muhimbili, Jijini Dar esSalaam, na kuzikwa siku hiyo hiyo

    katika makaburi ya Mwinyimkuu,Magomeni, mara baada ya swalaya Al-aswir.

    Ibada na shughili za mazishi namaziko zilifanyika katika Hospitaliya Muhimbili na hatimaye mwiliwake kufikishwa katika Msikitiwa Kichangani (T.I.C) Magomeni,mapema kabla ya swala ya Al-aswir, ambapo Masheikh nawahadhiri mbalimbali walipatafursa ya kutoa mawaidha kufuatiamsiba huo.

    Mwalimu Siraj, ambaye piaalikuwa mhadhiri wa Dini yaKiislamu katika makongamanombalimbali nchini, akipinga

    Na Bakari Mwakangwale na kukemea dhulma dhidi yaWaislamu, amefariki baada yakuugua kwa muda mrefu.

    Mwalimu Siraj baada ya kuuguakwa muda, alipelekwa Indiakwa matibabu na kurejea nchiniakionekana kupata nafuu.

    Hali yake ilibadilika hivikaribuni na kulazimika kwendakupata matibabu katika Hospitaliya Taifa ya Muhimbili, ambapoil ipofika Jumanne wiki hi i ,Mwenyezi Mungu alipitishaKadari yake.

    Makamu Mkuu wa Chuo

    Cha Waislamu Cha Morogoro,Profesa Hamza Mustafa Njozi,a k i o n g ea M s i k i t i n i h a p o ,aliwataka Waislamu kumuombeadua Mwalimu Siraji, amsamehemakosa yake.

    Kikubwa kilichobaki kwetuni kumuombea Mwalimu Siraji,aliyetangulia mbele ya MwenyeziMungu, amsamehe makosa yakena amjaalie makazi mema katikabarzakh na kesho akhera. AlisemaProf. Njozi, aliyeonekana mwenyehuzuni.

    Akimwelezea, Mwalimu Siraji,Prof. Njozi, alisema Marhum,a l ikuwa ni miongoni mwa

    wanafunzi wao wa awali kujiungkatika Chuo Kikuu Cha WaislamMorogoro, ambao waliobahatikkukizindua Chuo hicho na alikuwkiongozi wakati wa uhai wakakiwa Mwanafunzi chuoni hapo

    Al isema, mara baada ykuhitimu masomo yake aliteuliwkuwa mwalimu chuoni.

    Mwalimu Siraj, ni kijanambaye wengi mnamfahamulakini alikuwa ni mmoja ya vijankama nguzo ya Chuo, kwanzkwa uadilifu wake, lakini pili kwutendaji wake wa kazi.

    Alikuwa hana ada ya kukwepkazi , n i mmoja wa v i janwaliokuwa wakifanya kazi nyinsana ndani ya Chuo na nje yChuo.

    Lakini mimi binafsi jambo monimejifunza kutoka kwake, nkiwango chake cha subra, tangwakati anaumwa akiwa nchinIndia na hata alipokuwa hapa JijinDar es Salaam, wakati wote wkujiuguza. Alisema Prof. Njozkwa upole.

    Naye Amir wa Baraza Kuu Jumuiya na Taasisi za Kiislamnchini (T), Alhaj Mussa Kundech

    Inaendelea Uk.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    4/16

    4 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Habari

    Msiba mzito kwa Waislam Mwalimu Siraji hatunayeInatoka Uk. 3alisema msiba huo ni katikamipango ya Mwenyezi Munguna hakuna la kusema mbele yaAllah (s.w) zaidi ya kushukuru.

    Akiwaidhi kuhusu kifo, Amir,Kundecha, alisema kifo si suala lakukosea kanuni za afya, si suala lautu uzima, umasikini au si sualala kuwa mbali na kituo cha afyabali ni mpango wa Allah (s.w)kwamba kila nafsi itaonja mauti.

    Katika mambo ya kawaidayasiyozoeleka ni kifo, ni katikamambo ya kawaida kwa sababu,kifo kipo na hakuna asiyejua, kifokinatokea kila siku, lakini kilakinapotokea humstua kila mtu.Alisema Amir Kundecha.

    Alisema, dhana ya majukumun i k a z i y a k u p o k e z a n a ,na kwa kawaida huwa watuwanaangaliana na kuulizana

    ikiwa fulani ataondoka naniataweza kufanya jukumu alilonalohuyo fulani.

    Alisema, mapema hivi karibuni,baada ya kifo cha Sheikh IlungaKapungu, vichwani mwa watualikumo Jafari Siraji, kwambaangeweza kushika kazi aliyokuwaakiifanya lakini huwa inastuana kusikitisha zaidi pale yalematarajio ya kupokezana kaziyanakatishwa.

    Amir. Kundecha, alisemamwanaadam anapaswa kufahamukuwa kila mmoja ni msafirikatika njia anayoitaka Allah(s.w), kikubwa ni kujitathiminina kujiuliza je, umeufanyia niniUislamu na Waislamu, kabla yaumauti haujakuka.

    Katika nasaha zake kwaWaislamu hivi karibuni (Novemba,2014) akiwa katika Msikiti waMtambani, Ust. Siraji, alifafanuakuhusu sheria ya Ugaidi nchinijinsi inavyowalenga Waislamu.

    Alisema, Sheria hiyo inampakibali asa wa Polisi/ Usalama waTaifa kuuwa, kuharibu mali, kutesana hata kuvunja Katiba na sheriaza nchi, ilimuradi tu akijiteteakuwa alikuwa anamshughulikiamtuhumiwa wa Ugaidi.

    Kwa maana hiyo, MarhumuJafar, al iwa ta ka Waislam ukuchukua tahadhari na kuwamakini katika kuyaendea mambo

    yao.Lakini pia, aliwatanabahishaWaislamu kuelewa kwambah a k u n a j a m b o a m b a l olinaendeshwa kwa propagandana kwa hila na malengo maalumukama suala la Ugaidi.

    Akasema, endapo umma waKiislamu hautakuwa makini,propaganda hiyo itawapukutishaWaislamu na Masheikh kutokanana sheria hiyo ya Ugaidi.

    Kutokana na wasi fu waMwal imu Sira j i , na kamailivyoelezwa na wazungumzajikatika mazishi, ni wazi kuwaalikuwa tarajio na nguvu kazi

    muhimu kwa MUM na Waislamukwa ujumla.

    Hata hivyo, Allah naye kapitishahukumu yake Siraji akiwa badokijana mbichi, mwenye ari na

    nguvu ya kufanya kazi.Hii yatosha kuwa ni mawaidhana uzindushi kuwa mja asipotezehata sekunde moja ya uhai nauzima wake akidhani bado anaomuda mbele wa kufanya mambo.

    Mwalimu Jafari alizaliwa Julai31, 1978 Gonja, Wilaya ya Same-Kilimanjaro.

    Shule ya msingi akasomaUbungo National House na kishakujiunga na Shule ya SekondariAzania zote za jijini Dar es Salaam.

    Alimaliza kidato cha sita katikashule ya Kiislamu, Ubungo IslamicHigh School, kabla ya kujiungana Chuo Kikuu cha WaislamuMorogoro, akiwa mmoja wawanafunzi wa mwanzo wa chuohicho mwaka 2005.

    Ameacha mjane na watotowawili , Sira ji na Shaimaa.Innalillah waina ilaihir rajiuun.

    Wakazi wa Kaunti za Baringo naTurkana nchini Kenya wanakabiliwana wimbi jipya la vurugu, ambazozimegharimu maisha ya makumiya kadhaa ya watu, hali iliyolazimuwanakij i j i wengi kukimbiamajumbani mwao.

    Rais wa Kenya Uhuru KenyattaJumapili iliyopita alitembelea eneohilo lililokuwa na mashambulizimwishoni mwa wiki, ambapomajambazi wanaotumia silahawaliwaua maosa polisi wapatao 17.

    "Nitafanya kila linalowezekanandani ya mamlaka yangu ya kikatibakuhakikisha maisha ya Wakenya namali zao vinalindwa," alisema RaisUhuru.

    Msemaji wa Polisi Kenya, ZipporahMboroki aliiambia Sabahi Jumatatuwiki hii kuwa katika mfululizo wamatukio yaliyoanza Oktoba 21,majambazi yenye silaha yaliwauamaosa polisi 21 na raia watatu, hukuyakijeruhi watu wengine kadhaa nakuharibu mali za watu binafsi na

    polisi,Imeelezwa kuwa katika tukio lakwanza, majambazi yenye silahawalivamia gari la polisi lililokuwalimebeba karatasi za mtihani wacheti cha elimu ya sekondari Kenya,likielekea shule ya sekondari yaKapedo, wakajeruhi osa polisi namwalimu kabla ya kuchoma gari hilo.

    Bw. Mboroki alisema Oktoba 25,washukiwa wa wizi wa ng'ombewalivamia gari la polisi huko Kapedo,Kaunti ya Turkana na kuua watu sita,akiwemo mwalimu na maosa polisiwatatu wa Kitengo cha Huduma zaJumla (GSU).

    Maosa kumi na mmoja wa GSUpia walijeruhiwa katika shambuliohilo na gari la polisi lilichomwa moto.

    Vurugu tupu Baringo na Turkana KenyaNa Bosire Boniface, Garissa Aliongeza kwamba maosa hao

    walikuwa njiani kwenda kuwaongezeanguvu wenzao, ambao walikuwawakishiriki katika mapigano yasilaha na wezi wa ng'ombe katikaeneo la Kiserian la Kaunti ya Baringo.Osa mmoja wa GSU aliuawa hukoKiserian na idadi ya maosa kadhaawalijeruhiwa ambapo wezi hao wa

    ng'ombe walichoma gari la polisi.Bw. Mboroki alisema matukio

    tofauti ya mashambulizi yaliyofanyikakatika Kaunti hizo mbili kwa kipindihicho hicho pia yalisababisha vifo vyadazani za watu na maelfu ya mifugokuibwa.

    Katika hali ya kurejesha utulivu,Inspekta Jenerali wa Polisi DavidKimaiyo, alizindua operesheni yausalama katika eneo hilo, akitumapolisi kufanya msako wa majambazina kukusanya silaha zinazomilikiwakinyume cha sheria.

    "Watumishi zaidi wa usalamawamesambazwa katika eneo hilokatika operesheni inayoendeleaya usalama, kusaka wauaji wamaosa polisi na kukusanya silahazinazomilikiwa kinyume cha sharia.

    "Polisi walifanikiwa kupatabunduki za maofisa zi lizoua nasilaha nyingi haramu ilipofikaIjumaa na operesheni usalamabado inaendelea na watuhumiwawengi wamekamatwa. alisema Bw.Mboroki.

    Aliongeza kuwa katika msakowao walibaini kuwa watu zaidiwanaowaamini wanahusika katikakuchochea vurugu katika eneo nakwamba viongozi wa Kaunti yaBaringo walikuwa ni miongoni mwawaliokamatwa.

    Hata hivyo siku ya Jumamosi,majambazi waliwavamia maosa wapolisi waliopelekwa kuongeza nguvuna kuua 17 kati yao.

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

    alilaani vurugu na kuapa kuwaadhibwale waliohusika na mashambulio

    "Tutachukua hatua kali dhidi ywale waliowaua maosa wa usalamkatika eneo hili. Hatutamvumilyeyote anayetishia maisha ya maowa polisi au Mkenya mwinginyeyote. Hakuna mtu mwenye haki ykuua, kwa sababu yoyote ile" alisem

    Rais Kenyaa kupitia Twier.Siku ya Jumapili, alitembelea ene

    lililovamiwa akiwa na Waziri wMambo ya Ndani Joseph Ole Lenk

    Rais Kenyatta aliwapa wakamuda wa saa 48 kurejesha silah22 zilizoibiwa kutoka kwa maoswa polisi wakati wa mashambulina kusalimisha silaha zote haramzinazomilikiwa na raia.

    Akizungumzia maagizo yakya awali, Inspekta Jenerali wpolisi alisema vikosi vya usalamvimeruhusiwa kutumia nguvu zkuua na kushughulikia kikamilifwezi wa ng'ombe.

    "Maofisa wetu wa usalamwan a s i lah a n a wan apaswkuzitumia kikatili kwa majambawanaosababisa uharibifu kwa baadya kaunti hizi. Wezi wa ng'ombe nwanyang'anyaji wa barabara kuhawapaswi kuachishwa," Kimaiyaliiambia Sabahi na kuongezkwamba, uhalifu huo umefuatmbinu za al-Shabaab za kuwalengmaosa polisi.

    "Sasa tunashughulikia rasmi ugaiuliojicha. Msaada kutoka serikalinwa kuwapiga risasi wahalifu wenysilaha watakaoonekana".AlisemKimaiyo.

    Seneta wa Kaunti ya BaringGideon Moi, alisema hali hii inatwasiwasi na kukatisha tamaa.

    Alisema raia wake wamekimbmakazi yao kutafuta maeneo yaliysalama na kuacha biashara zao.

    MWALIMU na Mhadhiri, Jafari Siraji

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    5/16

    5 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Habari za Kimataifa

    UMOJA wa Afrika (AU) umekanushmadai kwamba askari wake nchiSomalia waliwabaka akinamama nwasichana, na kulituhumu ShirikaKutetezi Haki za Binadamu (HRWkwa kutokuwa wa kweli na wenydosari katika ripoti yao, iliripoti AFwiki iliyopita.

    AU pia ulilishutumu shirika hikwa kukandamiza juhudi za amanchini Somalia.

    Hata hivyo AU ilisema kwambbado ilikuwa inachunguza maddhidi ya majeshi ya Kikosi chKulinda Amani cha Umoja wa Afrik(AMISOM).

    "AU haina mzaha, na kwkweli imeimarisha msimamo wkutokuvumilia aina yoyote yunyonyaji wa kingono na unyanyaskatika shughuli zake zote za kusaidamani," alisema Mwakilishi Maaluwa Mwenyekiti wa Tume ya Umowa Afrika wa Somalia, Maman SambSidikou katika barua ya kujibu ripoya HRW.

    Alisema kuwa ripoti ya HRWilikuwa haina usawa, ilikuwa ntafsiri potofu na dosari na kwambAMISOM inasisitiza kuwa nwasiwasi kuhusu madai hayo.

    N i u p o t o s a h j i a m b ahaukubaliki katika misheni nbila shaka kudho ofisha juhudi zkushinda uaminifu na heshima ywatu wa Somalia, tutafanya yoyanayowezekana kuhakikisha hainatendeka", alisema Bw. Sidikou.

    Alisema kuwa ripoti ya HRWimewapa risasi wale wanaojaribkuzuia njia ya kuelekea amani nusalama nchini Somalia, na kuongezkuwa inahatarisha juhudi zkuwasaidia wakazi wa ndani katikmapambano dhidi ya al-Shabaab.

    Aliikosoa HRW kwa kukatakushiriki ushahidi wa kina w

    unyanyasaji na kusema sampuli ndogya watu waliohojiwa inaonyeshhitimisho kuwa haiwezi kuwa sauya wengi.

    Aliezea kuwa hitimisho la HRWkama ni la upande mmoja na ambahalikukamilika, hivyo kutoa wikwa kikundi hicho kufanya utati nuchunguzi wa kina zaidi.

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya ANkosazana Dlamini-Zuma, awaaliamrisha ufanyike uchunguzi katikmadai hayo yaubakaji, utakaokamilikNovemba 30. (sabahi)

    Utawala dhalimu wa Kizayuni,kwa mara ya kwanza alfajiriya Ijumaa iliyopita ulifunguamilango ya Msikiti wa al-Aqsa,baada ya kuifunga mwaka 1967.

    Utawala huo pia umewekaulinzi katika maeneo ya jirani namsikiti huo, kutokana na hofuya kuzuka mapambano makalikutoka kwa Wapalestina.

    U t a w a l a h u o u l i fu n g u amilango ya msikiti huo alfajiriya Ijumaa iliyopita kuwaruhusuwatu wenye umri wa miaka 50 nakuendelea waweze kuswali swalaya Asubuhi msikitini hapo.

    Hali ya hatari ilishuhudiwakatika mji wa Quds kabla ya swalaya Ijumaa baada ya Wanaharakatiwa Fath kutangaza siku hiyokuwa ni siku ya hasira dhidi yamahasibu wa Kizayuni.

    Wito huo umetolewa kulaanihatua ya utawala huo kuuvunjiaheshima Msikiti huo, ambao ndiouliokuwa kibla cha kwanza chaWaislamu, kama vile ambavyoWanaharakati wa Kiislamuwa Palestina-HAMAS, naokwa upande wake waliitishamaandamano makubwa kuuteteamsikiti huo.

    Hata hivyo katika sherehe za

    WABUNGE wa Kenya wikiiliyopita walimtaka InspektaJenerali wa Polisi, DavidKimaiyo, kuja mbele yaKamati ya Bunge wiki ijayokueleza uamuzi wake wakuongeza muda wa amri yakutotoka nje katika kaunti yaLamu, gazeti la The Standardla Kenya liliripoti.

    Jopo hilo litatathmini mudawa kutotoka nje na kutoa witowa kuiondoa kama italazimu,kwa mujibu wa tangazo lapamoja lililosomwa na Mbungewa Kibera, Ken Okoth, ambayehuhudumia kwenye mkutano

    wa Bunge kuhusu mageuzi.Watunga sheria walisemawasiwasi wao umesukumwana jitihada zenye hasara zamuda wa kutotoka nje katikauchumi wa Kaunti ya Lamu,ambao unategemea kwa kiasikikubwa utalii na uvuvi.

    "Uchumi wa Lamu una halimbaya sasa kiasi kwamba hatakama muda wa kutotoka njeutaondolewa leo, itatuchukuamiaka miwili kuurudishakatika hali ya kawaida,"

    Wabunge Kenya kumhoji Kimaiyokuhusu amri ya kutotoka nje

    Inspekta Jenerali wa Polisi, David Kimaiyo.

    alisema mtunga sheria waLamu Mashariki Sharrif AliAthman.

    W a k a z i w a L a m uwaliandamana barabarani

    Jumatatu kupinga muda huowa kutotoka nje baada yaKimaiyo kutangaza kuongezwaamri ya kutotoka nje kwa mara

    ya tatu kwa wakazi hao.Kimaiyo alitetea hatua yake

    akisema muda wa kutotokanje ni muhimu kwa ajili yakufanya upelelezi kuhusianana mashambulio makal iyaliyofanyika Julai huko Lamu,ambayo yaliua watu wapatao100. (sabahi)

    Utawala wa Kizayuni wafungua tena Msikiti wa al-Aqsasikukuu ya Eid el Hajj, maelfu yaWapalestina walijitokeza kuswaliswala ya Eid el Adha katika Msikitihuo wa al Aqsa, licha ya askariwa Israel kufunga njia kuelekeakatika msikiti huo.

    Katika sikukuu hiyo, vikosivya polisi wa Israel vilikuwavimetanda sehemu zote zaMashariki mwa Jerusalem nasehemu kadhaa zinazozungukaMsikiti huo ambapo swalailisaliwa saa 1:30 asubuhi kwasaa za huko.

    Tayari wanaharakat i waKiislamu Palestina- Hamas,w a m e s i s i t i z a k w a m b awananchi wa Palestina kamwehawatanyamazia kimya uchokozina jinai za mahasibu wa Kizayuniza kuuvunjia heshima MasjidulAqswa.

    Kiongozi mwandamizi waHamas, Talal Naswar, amesemahayo kwenye maandamano yaWapalestina wa Ukanda wa Gaza,ya kuuhami Msikiti wa al Aqswa nakusisitiza kwamba, adui Mzayunianapasa kuelewa kwamba iwapoataendelea kuuvunjia heshimaMasjidul Aqswa, kibla cha kwanzacha Waislamu, vitongoji vyote vyawalowezi wa Kizayuni kwa mara

    nyingine tena watakabiliana nawanamapambano wa Hamas.

    K i o n g o z i h u y o a l i s emaaliwataka wakazi wa QudsTukufu na maeneo mengine yaUkingo wa Magharibi mwa MtoJordan, kutekeleza operesheni zakujitolea kufa shahidi dhidi yaWazayuni maghasibu, kwa lengola kuulinda Msikiti wa al Aqswa.(iqna.ir)

    Umoja wa Afrika wakanushatuhuma za ubakaji Somalia

    Taasisi ya Kiislamu iliyosajiliwa kisheria, (AlmuhajirinaIslamic Foundation) inaomba msaada wa kifedha kutokakwa Waislamu ili kuweza kumalizia deni la ununuzi waeneo (nyumba yenye Madrasa ya Taasisi). Tayari Taasisimelipa kiasi cha Tsh. 40,000,000/- (Milioni Arobaini)bado Tsh. 80,000,000/-(Milioni Themanini).

    Unaweza kutoa mchango wako kupitia A/cNo. 52 12 01 00 00 38 74 PBZ. Tawi la LUMUMBA

    DSM. Au piga simu Namba:-0658 05 65 92,0665 66 98 65 na 0655 24 12 70.

    TANGAZO

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    6/16

    6 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Makala

    Inaendelea Uk

    KIVULI cha kutisha chawapiganaji wa Kiislamu,ISIS kinaonekana kuwani nguvu isiyozuilika namashine ya vita itayopigamaeneo mengi na kuua watubila hiyana katika mpangowake wa kuunda Dola yaKiislamu nchini Irak na Syria.Katika hali halisi hata hivyo,haiko nje ya uwezo wa nchitofauti kama inavyoonekana.Kwa uhakika, inasimamiwakwa karibu na waanzilishina mashabiki wake, yaani

    Marekani na washirikawake katika eneo hilo - waleambao sasa wanajifanyawameunda umoja kupigananayo! Marekani, Uturuki,Saudia na washirika wenginekatika ukanda huo, hawanania thabiti ya kupambanana ISIS eti ili kuiangamiza.Wanachohitaji ili kuzimamioto yake ya ki-jehanam nikuacha kuongeza mafuta yataa katika moto, yaani, kuachakuwapa fedha, askari wakukodiwa, mafunzo ya kijeshina silaha.

    Z i k o n j i a n y i n g i z a

    kuonyesha kuwa, katika njiazisizo wazi, wafadhili wa ISISwanasimamia opereshenizak e na k uelek eza k i l ewanachokifanya kiendane namatakwa ya kimkakati ya nchihizo. Mojawapo ni kuzingatialengo lake muhimu: kuvunjatawala zilizojaa rushwa nazisizo na uhalali kisheria zaIrak na Syria na kuweka badalaya tawala hizo dola halisi yaKiislamu chini ya utawala wakhalifa mcha Mungu. Licha yalengo lake kama ilivyolielezala kupigana na dola ambazoz imevurug a tas wira y a

    Uislamu, hata hivyo ISIS haihojitawala zenye viwango vya juuzaidi vya rushwa, udikteta nakutokuzingatia sheria katikaukanda huo - kama tawalaza Saudia, Qatar, Kuwait na

    Jordan ambazo zinatoa fedhana silaha kwa operesheni zake.

    Njia nyingine ni kulinganishashambulio la ISIS (mapemamwezi Agosti) dhidi ya wa-Kurdi wa Irak huko Irbil namashambulizi yake ya sasadhidi ya wa-Kurdi wa Syriahuko Kobani. Wakati Irbililiposhambuliwa na ISIS,

    ISIS: Adui mwenye manufaa kwa MarekaniKuzingirwa wa-Kurdi wa Kobani kwabainisha unafki wa ushirika dhidi ya ISIS

    Na Ismael Hossein-zadehOktoba 31, 2014 0 'Mtandao

    wa Kupashana Habari'

    Marekani ilitoa amri ya kutumiauwezo wake wote wa mifumoya jeshi la anga iliyoko karibuna medani ya vita, ikishirikianana wapiganaji wa ki-Kurdikupangua shambulio hilo.

    Tofauti na hapo, wakati mji waki-Kurdi wa Kobani kaskazini

    ya Syria unashambuliwa nawapiganaji wenye silaha borazaidi wa ISIS, na maelfu yawananchi waliozingirwa wakohatarini kuuawa kama mji huoukianguka, majeshi ya 'umoja'huo yanaangalia - kimsingi,yakiwa katika mchezo wa

    jifiche nik uta fute, au labdani danganya toto, na ISIS -wakati wapiganaji wenye silahahaba na walio wachache zaidiwanapigana kiume hadi kukiakifo dhidi ya washambuliajihao. Ni mara moja moja tuambako vikosi vya umoja huo

    vinafanya mashambulizi yaanga ambayo yanaonyeshakuwa kimsingi ni uigizaji tu,.auili iingie kwenye kumbukumbukuwa walifanya mashambulizi.

    Sasa kwanini wa-Kurdi waKobani watendewe tofauti nawale wa Irbil? Naona majibu

    ya Ajamu Baraka kwa swali hiliyanaingia akilini:" S a b a b u k w a n i n i w a -

    Kurdi wa Kobani watatolewakafara inatokana na kuwasiyo wa-Kurdi wanaofaa.Masoud Barzani na wa-Kurdimabwanyenye wa chamacha kidemokrasia cha Kurdi(KDP) ndiy o 'wa-Kurdiwazuri' na ndiyo mkusanyikomuhimu zaidi wa wa-Kurdinchini Irak. .Kushika kwaokwa takriban asilimia 45 yamafuta yanayopatikana nchinihumo na biashara kubwa

    wanayoifanya na makampunya mafuta ya Marekani nIsrael tangu wakombolew

    kufuatia uvamizi wa Marekannchni Irak (na kwa upandfulani tangu vita ya Kuwaya mwaka 1991) kunawafanykuwa amana muhimu kwMarekani. Hiyo pia ndiykra ya Uturuki ambako lichya ukandamizaji wa kihistorwa wa-Kurdi nchini humoserikali hiyo inafanya biasharkemkem na wa-Kurdi wa Irak

    Wakati Marekani, Uturuki nwashirika wao katika eneo hilhawaioni KDP kama tishio kwmipango yao ya kimkakati kweneo hilo (angalau kwa sasawana hisia hiyo inapokia kw'wa-Kurdi wabaya' katika enelinalojitawala la Syria Kaskazinlikiongozwa na kundi la ulinzwa wananchi wa ki-Kurd(YPG). Tofauti na KDP ambahaina uhusiano wa karibu nchama cha wafanyakazi chwa-Kurdi (PKK) nchini Uturukili kutokuwakwaza viongozwa Uturuki, Marekani nwashirika wake katika ukandhuo, YPG inafurahishwa nkuungwa mkono na PKK katikmapambano yake dhidi ya ISI

    Hitaji muhimu zaidi lUturuki nchini Syria siyo hasmapambano na ISIS ila dhidi ywa-Kurdi wa Syria, pamoja nRais wa Syria, Bashir el Assadkwa sababu utawala wa Uturukwenye chuki ya kina dhidi ywa-Kurdi unachelea kuwutawala wa Assad uliopoteznguvu unaweza kushindwkuwaondolea mbali wa-Kurdwanaojitawala wenyewe hukKobani na maeneo menginya ki-Kurdi yanayozungukmji huo. Utawala wa Uturukunahoa kuwa wa-Kurdi wKobani wakifaulu kuwazuiwapiganaji wa ISIS, kufaulkwao na mazoea ya kujitawal

    wenyewe katika eneo la Kobanwanaweza kuwa mfano wkuigwa kwa wa-Kurdi takribamilioni 15 nchini UturukWakuu wa Uturuki pia wanwasiwasi kuwa kufaulu kwwa-Kurdi wa Syria kutavurugmipango yao ya muda mrefya kuunganisha au kukamateneo lenye mafuta la ki-Kurdkaskazini ya Syria - na ndiymaana wanang'ang'ania uwepwa eneo lililodhibitiwa aambako ndege (za kivitahaziruhusiwi kuruka katik

    WAPIGANAJI wa ISIS.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    7/16

    7 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Makala

    Inatoka Uk6

    ISIS: Adui mwenye manufaa kwa Marekanieneo hilo.

    Hi i inasaidia kuelezeakwanini utawala wa Uturukiunasisitiza kuwa kupinduliwa

    k wa utawala wa As s adkuwekewe kipaumbele zaidiya mapambano dhidi yaISIS. Inaelezea pia kwaniniinatumia nguvu nyingi kuzuiawapiganaji wa kujitolea waki-Kurdi kuvuka mpaka waSyria ili kusaidia wapiganajiwaliozingirwa huko Kobanidhidi ya mashambulizi yakikatili ya ISIS - ambayo nikuisaidia ISIS dhidi ya wa-Kurdi. Kutokufanya loloteau kufanya kidogo sana kwaMarekani mbele ya hatariinayozuilika ya maelfu yawa-Kurdi wa Syria kuuawa,

    k u n a k o w a f a n y a w a w ewashirika wa mauaji hayotarajiwa, kunaweza kuelezewana kubalishana kete na utawalawa Uturuki kwa kubadilishanana ushiriki wa Uturuki katikakuendeleza maslahi yake yakibeberu katika ukanda huo.

    Mwelekeo wa Marekanikwa ISIS ungeweza kuelewekavizuri ukitazamwa katikamuktadha wa malengo yakeya jumla katika eneo hilo -na nje ya hapo. Lengo hilila jumla, linaloshirikisha nakuimarishwa na dola tegemezikwa Marekani, ni kudhoosha

    na kuondoa kabisa 'mhimili

    wa mapambano' wa nchi zaIran, Syria na makundi yaHezbollah, Hamas na kwauduni zaidi, makundi yawa-Shia nchini Irak, Yemen,Bahrain na Saudia. Kufanikiwakwa lengo hili kungewezeshalengo jingine pana zaidi, lakudhoofisha ushawishi waRussia na washirika wake katikaeneo hilo, na kwa mwendelezohuo, katika maeneo mengineduniani. Russia ni mshirikam u h i m u w a B a r a z a l aUshirikiano la Shanghai,linalojumuisha China, Russia,Kazakhstan, Kyrgyzstan,

    Tajikistan, na Uzbekistan -

    pamoja na mfungamano waBRICS - Brazil, Russia, India,China na Afrika Kusini.

    Kuingilia ili kukia malengohaya, Marekani na washirikawake wanahitaji visingiziona, au maadui - hata kamainahitajika kuunda au kutengezamaadui kama hao. Bila ISIS,kuanzisha tena operesheniza ki jeshi nchini Irak nakueneza operesheni hizo nchiniSyria kungekuwa vigumukuhalalisha kwa wananchi waMarekani. Mwaka mmoja hiviuliopita, juhudi za utawala waObama za kuishambulia Syria

    zilikwamishwa na upinzani

    kutoka kwa watu wa Marekanna kwa njia hiyo, Bunge lMarekani. Kuzuka kwa ISImara moja kukabadilishupinzani huo ukawa ni kuung

    mkono.Ukiangalia kwa mwanghuo, ISIS inaweza kuonekankuwa kimsingi ni nyenznyingine iliyotengenezwmahsusi kwa ajili ya siasza Marekani nchi za njeambayo ni pamoja na 'ugaidwa kimataifa,' mashambuliya 9/11 dhidi ya Kituo chBiashara cha Kimataifa, silahza maangamizi, teknolojia ynuklia nchini Iran, Al Qaeda nmakundi mengine ya Uislamwa siasa kali - yote yakiwyameundwa, au ni kuirudikinyume, sera kibeberu z

    Marekani nchi za nje.

    (Ismael Hossein-zadehni pro fesa mstaafu wuchumi katika Chuo Kikucha Drake. Ni mtungaji wkitabu 'Kuvuka Maelezo yKawaida ya Mkasa wa FedhDuniani,' (Routledge 2014Kiini cha Ubabe wa Kijeshi wMarekani Duniani (PalgraveMacmillan, 2007), na 'Mfumwa Urusi wa Maendeleo yUchumi: Mfano wa Misrwakati wa Nasser' (Praege1989). Pia ni mchangiaji katik'Kukata tamaa: Barack Obam

    na siasa za ndoto.')

    WAFALME wa Rumi na wa ki-Giriki, walishirikiana sana naviongozi wa dini ya kiyahudikatika mambo mengi, yakubuni mifumo ya kuitawaladunia ndani ya kivuli chadini. Hali hiyo ilipelekeamambo mengi ya Kigiriki

    yalitiwa katika maandikona kuaminishwa kuwa niufunuo, kumbe ni sheria zamila na tamaduni za falme zanchi hizo. Na ndiyo maanaunakuta kuwa maandikoy a kwanza y a U kris toyaliandikwa kwa lugha yaKigiriki badala ya Kihibru-kiIbrania-ki Yahudi. Tusidhanikuwa kuandikwa maandishiya kwanza ya Biblia kwalugha ya Kiyunani (Kigiriki),kuwa ni kwa kubahatisha.

    Wakati tunamwona KaisariConsitantino, mwaka 325

    Watu wote wanatakiwa kuwa makafriNa Khatibu J Mziray akishughulikia Injili, kuwa

    Upweke wa Mwenyezi Mungukama ulivyofundishwa naNabii Musa na Isa (Yesu) A.S.,ufutwe, huko nyuma mwakawa 198, K.K. (kabla ya kuzaliwaYesu), mfalme Antioko Epifani,alihakikisha mafundisho yaNabii Musa (Torati) hayafatwitena na wana wa Israeli. Biblia

    inatueleza hivi: A n t i o k o E p i f a n i

    anateka nyara Hekaluni naanawadhulumu Wayahudiwachaji wa Torati. AkaingiliaMis r i na j es hi k ubwaakaiendea Israeli akafikaYerusalemu na jeshi kubwa.Ak aing ia k a t ik a hek a luk w a j e u r i , a k a c h u k u amadhabahu ya dhahabu,Akawadanganya kwa manenoya amani wakamwamini.Lakini aliuangukia mji kwaghaa akaupiga pigo kubwa,akawaharibu watu wengi wa

    Israeli. Aliuteka mji akauchomamoto, akazibomoa kuta zakepande zote. (1. Makabayo1:14-31. )

    Neno Amani tunalolisikiakatika kila taifa hapa duniani,tusidhani ni ile Amani yenyemaana ya Assalaam, iliyokuwana maana ya, Amaani, Salaama,na Kusalimika, katika Uislamu;

    la, hiyo ni amani kwa mtazamowa mfumo, tangu enzi zamfalme Antioko Epifani, miaka198 kabla ya kuzaliwa Yesu.

    M s o m a j i k u m b u k akuwa wal ibadi l isha ki lak i t u k i n a c h o w e z e k a n akubadilishwa. Ndiyo maanah a t a m i a k a w a l i k u w awanahesabu kinyumenyume,kwa kuanzia 2000, kurudi hadimoja, ndiyo maana unaonainaandikwa 198 K K. Sera hizondizo hizi tunazoshuhudiazimetutia shemere vichwani;tunayakufuru matarakimu,

    hata wale walio na PhDhaziwasaidii kitu. Ili mtaonekane kuwa ameelimika, nlazima ajidanganye mwenyewakitaka kujua majira (ni sangapi), moja (1:00) ibadilikeiwe saba, na saba )7:00) iwmoja. Lakini ukimpa shilingmoja ukimwambia kuwa nsaba, atakuona u- mwehu.

    Ndiyo haya yanayoitwamwaka mpya, wasomi nwafuasi wa sera za ma-Antiokowanakesha usiku hadi saa sitna dakika moja, wakisubirmwandamo wa mwezi wkwanza, ambapo kila mwaka nlazima uandame saa hizo hizolakini wakati huo ukiangali

    juu mbinguni, utaukuta mweasilia una umri wa siku kumna tano, lakini wasomi hawmacho yao hayana hata ziltongotongo za aibu ya kunad

    Inaendelea Uk.

    Rais wa Syria, Dkt. Bashir el Assad (katikati)

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    8/16

    8 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Makala

    TUKIWA katika seminam o j a y a w a l i m u w ashule moja ya KiislamuDodoma, mwalimu mmojaalijenga hoja akiwateteaw a l e w a n a o h a r a m i s h aelimu isipokuwa tu ilewanayoita wenyewe ya dini.

    Katika hoja yake alidaik u w a w a n a o t u h u m i w akuharamisha watoto kusomashule, wanasingiziwa tukwani wao wanachosema nikuwa yapo baadhi ya mamboni faradhi kifaya. Kwa maanakuwa kama watu wachachewakiwa nayo, haiwajibikiijamii nzima kwamba nayoiwe nayo. Akasimama katikafatwa aliyosema kuwaimetolewa na aliyekuwa muftiwa Saudia Arabia SheikhAbdul Aziz bin Abdullah binBaz akisema kuwa kama kijijikwa mfano kitakuwa hakina

    dakitari, basi watu wa kijijikile wote watapata madhambikama watu watateseka kwamaradhi bila ya kuwa natabibu na wauguzi. Lakinikama akitokea kuwepo tabibummoja na anatosheleza, basisi lazima wote kusomea faniya udakitari.

    Kwa bahari nzuri aliyejibuswali hili naye alikuwa mwelediwa jambo hili na anawajuavizuri Salafi wanaokatazawatu kusoma. Alisema kuwahayo ni aina ya majibu ambayowatu hao wanatoa kutegemeana mtu wanayeongea naye.Kama ni wale watu wakiwango cha chini cha elimu,

    basi hoja zao ni moja kwamoja kuwa kusoma elimu hiziwenyewe wanazoita kuwa nielimu za sekula au za dunia, nikupoteza muda. Wakikutanana watu wanaofahamu mambovizuri, ndio huja na hoja hizoza ujunja ujanja. Lakini nendakatika vyuo vyao kama kilepale Buguruni. Kuna watotowameacha elimu ya msingiwapo pale. Kuna watotowashapitisha umri wa kuanzadarasa la kwanza wapo pale

    hawajui a, e, i, o u. Mkiriemtoto huyu katika zama hizi zasayansi na tekinolojia, zama zadigitali na smati foni 5, ataishikatika ulimwengu huu kamakiumbe gani. Atakuwa anaishiulimwengu wa peke yake nakuwa kiroja kwa wenzake.Dhulma iliyoje!!!

    Lakini wapo pia watuwameacha kuendelea na shulewakiwa sekondari au vyuovikuu, wapo katika madarisina markazi zao, wanasomahiyo wanayoitakidi kuwandiyo elimu pekee.

    Rais Kikwete katimizawajibu kama kiongozi

    Yaliyobaki ni yenu Masheikh, WaislamAlipowakuta sio atakapo waacha 2015

    Mkiharibikiwa itabidi mjilaumu wenyewe

    Na Omar Msangi

    RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.

    Lakini ukirudi hata katika ilefatwa ya Ibn Baz, hoja hapa sioshule au elimu gani isomwe,ya dini au elimu ya mazingira.Unapozungumzia udakitariunazunguzia utaalamu nafani. Ni kama hivi, kilimo ni

    jambo la muhimu il i watu

    waweze kupata chakula, lakiniwatu wote hawawezi kuwawakulima. Wapo wafugaji.Wapo mafundi mchundo n.k.Hoja ya fatwa ile ni kuwawatu wote hawawezi kuwamabawana shamba, walimu,masheikh na kama hivyo.Lakini hiyo haiondoi amri yaIqra kwa kila mtu.

    Mara tu baada tu ya Adamkuumbwa, ili aweze kutekelezacheo chake cha Ukhalifah na iliaweze kuishi katika dunia hii,Quran inasema:

    Waallama aadama l asmaa

    a kullahaaSasa labda tuulize, hii Waa

    llama aadama l asmaa akullahaa, ilikuwa elimu gani?

    Na tuzingatie kuwa hii ndiyoelimu ambayo ilifanya Malaikawakaambiwa wampe heshmaAdam kwa elimu hiyo. Baadae

    kabisa ndio Quran inatoataarifa ya kuletwa mwongozokama ilivyokuja katika aya ya38 na 39 ya Suratu Baqara.

    Kwa hiyo hapo ni wazikuna mambo mawili. Ile elimuya mazingira, na pili hii yamwongozo. Na yote mawilindiyo yanayomkamilishamwanadamu na kukamilishaukhalifah wake. Ndio maanawanachuoni wa kweli waKiislamu, wanasisitiza juu yakitu wanachokiita integrationof knowledge. Iqra BismirRabbik a , l az ima ibebe

    elimu zote. Na ndio maanunakuta kuwa ukirejea katikhistoria, takriban taalumzote na fani zote za elimna utaalamu, ziliasisiwa nkuendelezwa na Waislamndio zikapelekwa Ulaya, wakahuo tunaowadhania kuwa ndiwenye elimu za kemia na sikiwakiwa kizani totoro. Lakin

    ajabu ya mambo, wakati wathawa wakiharamisha elimya mazingira, wanarikodmawaidha, mihadhara na darszao za kusambaza kra potofkwa Waislamu kupitia CD nDVD. Hizi CD zinatokana nelimu gani?

    Wiki iliyopita, nilipewzawadi ya kofia na maji yzamzam kutoka kwa rafikyangu aliyetoka kufanyibada ya Hija mwaka huuNi l ipo i tazama i l e k of ii m e a n d i k w a m a d e iChina. Ni kofia nzuri, siheti wala kapelo. Ni kofia

    vazi la Waislamu. Lakini hatukitizama kanzu, misuli, vikovilemba, utakuta vingi nmade in China, Hong kongThailand, India na kidogIndonesia na Pakistan. Kwhiyo kwa msimu kama huu wHija uliopita, China wanafany

    biashara kubwa sana ya kuuzkanzu na kofia na mavazmengine ya Kiislamu.

    Kwa watu wenye akilwatafikiria kuwa kwaninw a s i p a t e t a a l u m a yk uteng eneza k of ia h izkatika nchi za Waislamu nkujaza soko ili pesa hii yWaislamu irudi mikononi mwWaislamu wenyewe kufanymambo mengine ya maanya maendeleo. Lakini ajabya mambo, ndio kwanzwanaibuka watu wanawaambvijana waliofaulu vizuri kwendkidato cha kwanza/cha tano achuo kikuu, waache kusomkemia, zikia na masomo kamhayo kwa sababu eti elimu hiyni ya kikari. Lakini anayesemhayo, anasema huku hukmwenyewe kavaa kanzu fupkaputura (suruali fupi) nkilemba kilichotengenezw

    kwa elimu hizo anazodai kuwni za kikari.Sasa kama huu si ujinga n

    kuchanganyikiwa tuiteje!Uislamu haujaja ili kuwatiwatu ujinga wa kiwango hiki

    Kijana mmoja alinitumiujumbe wa maneno kupitisimu ya mkononi kiasi wiktatu zilizopita akisema kuw J ihad imethibi t i k a t ikUislamu/Quran. Akatajmsururu wa tafsiri za Quraza wafasiri mbalimbali pamona vitabu vya Hadithi. Mwish

    Inaendelea Uk.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    9/16

    9 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Makala

    Rais Kikwete katimizawajibu kama kiongozi

    Inatoka Uk. 8wa ujumbe wake akasema,Tupo tayari kwa mdahalo/mnakasha. Ni sisi Vijana waSala MSAUD.

    Ujumbe kama huu, sualahapa haliwi unamjibu vipi.Lakini mtu unajiuliza, kamahuyu anajinadi kuwa nimwanafunzi wa Chuo Kikuu,lakini kachanganyikiwa kiasihiki, unamsaidiaje? Au waleambao hawakubahatika kukachuo kikuu wa mrengo huo,wameharibikiwa kiasi gani?

    Mwenyewe akitaja msusuruhuo wa wafasiri, anadhanianatoa darsa. Nani Muislamumwenye alimu tu ya kawaidaambaye hajui tafsri za IbnKathir, Sabun na wengine. Nanani kasema kuwa mada hapa nikuthibiti au kutokuthibiti Jihad!Suala ni je, wanayofanya BokoHaram na hawa wanaokimbiashule na vyuo kwenda Kilindi

    kujifua, ni sahihi na inasiadiakatika kusimamisha Uislamu?Je , mauwaji yanayofanyikaSyria na Iraq hivi sasa ambaporoho za Waislamu zinateketea,ni Jihad ya kusimamishaUislamu?

    Toka wakati wa ukoloni,W a i s l a m u w a m e k u w awakilalamika kudhulumiwafursa za kusoma. Kadiriwalivyojitahidi kuielimishaser ikal i kwamba hi l i nitat izo ambalo l inahita j ikuchukuliwa hatua hataikibidi kufanya kitu kinaitwa

    positive discrimination,haikuwezekana. Lakini kwarehema za Mwenyezi Mungu,tatizo hili linaelekea kupatiwaufumbuzi kwa njia nyepesikabisa na ambayo walahaitaleta mzozo kwa waliozoeakuzoza. Upanuzi wa elimuuliofanywa katika elimu yasekondari, maarufu shule zakata, hivi sasa unamhakikishiakila mwanafunzi anayemaliza

    elimu ya msingi kwamba anafursa ya kwenda sekondari.Kwa wale waliowahi kufikaChuo Kikuu cha Dodomaambapo kutoka kampasi aukoleji moja hadi nyingine,ni mpaka utumie usafiri wandani ya chuo, na kulinganana program za Chuo hichokitakapokamilika, ukijumlishana vyuo vikuu vingine,vilivyopo na vinavyoendelea

    kuanzishwa, tari yake ni kuwsi muda mrefu pia kwambkila atakayemaliza sekondaratakuwa na fursa ya kwendChuo Kikuu. Pamoja na kuwkuna suala la gharama hapolakini kwanza fursa ziwepo.

    Sasa wakati kwa Rehma zMwenyezi Mungu, Rais JakayMrisho Kikwete akitekelezyale aliyoona ni muhimkuwafanyia Watanzaniaikiwa ni pamoja na ujenzi w

    barabara nchi nzima na hikubwa na muhimu kabisa lelimu, imekuwa ni kama namnya kuondoa tatizo sugu lmalalamiko ya Waislamu kuwwalibaguliwa na kuachwnyuma katika elimu, ndikunaibuka kuchanganyikiwhuku na uj inga huu wkuharamisha elimu.

    K a m a a l i v y o j i s e mMheshimiwa Rais Kikwetealipowakuta Watanzania sipatakapowaacha akiondokmadarak ani . Lak ini p i

    alipowakuta Waswahili wPwani, Mikoa ya Kusini, nWaislamu kwa ujumla, kam

    jamii, katika eneo hili la elimusipo atakapowaacha.

    Kama ni lawama sasa itabakkwa Waislamu wenyewe kwkukosa umakini na kuruhus

    baadhi yao kupumbazwa nnjama za maadui wa Uislamambazo zinawakisha mahawanashindwa hata kuwa nufahamu mmoja katika Amri yMsingi na ya Mwanzo kabisSoma, Soma kwa Jina la Molwako aliyeumba.

    Watu wote wanatakiwa kuwa makafriInatoka Uk. 7

    kuwa mwezi umeandama, naasubuhi yake ni siku kuu, kwadunia nzima, wakiamini kuwawanasherehekea mwezi wakwanza, unaoitwa January,k umbe wanas herehek eamungu mtu, wa Warumi.

    Nini Januari: Mfalme huyoaliyejifanya mungu mtu,alisema, kuwa, yeye jina lakelitakuwa ndilo la mwezi wa

    kwanza, na mwezi huo utakuwana siku 31, ili raiya wa himayayake wafanye kazi siku moja

    bila malipo, ili serikali yakeiongezeke kipato kisicholipiwaujira; na watumishi wasijihisikuwa wanadhulumiwa, kwakuwa mwezi haujaisha maanahaujakia siku 31. Shemere hizo,ndizo hizi tunazoendeshewanazo hadi sasa, za kukeshahadi saa sita usiku tukisubirikuandama kwa mwezi waJanus.

    S h e m e r e h i z o , n d i z ohizi, tunazoendelea kutiwa

    vichwani, kuwa kuna Barazala Usalama, la Mataifa yote;lakini kinyume chake ni layale mataifa yenye kuletamaangamizi; ambayo kwaohayo ndiyo wanayaita usalama,kwa kuwa hizo ndizo sera zao.

    Wakawachukua wanawakena watoto utumwani nak u w a k a m a t a n g o m b e .Wakauzungusha mji wa Daudiukuta mkubwa,wakachukua

    nyara zote za YerusalemuWalimwaga damu isiyo nahatia. (1.Wamakabayo 1:32-37.)

    Uroho wa mali uliokithiri,kiasi kwamba, watu wakionam a l i h a w a j a l i r o h o z awatu; hekaluni walianza namadhabahu ya dhahabu, na kilachenye thamani walikichukua,majumbani walichukuwawanawak e , watoto nakuwafanya watumwa; sasaukisikia wanatetea haki za kinamama na watoto, utadhanini mke na mtoto wako na

    wangu, kumbe sivyo, waondio watu tu. Na hayo ndiyotunayoshuhudia wakati huukimataifa.

    M f a l m e A n t i o k oakaziandikia milki zake zote,kwamba wote wawe taifa moja,kila mtu aache sheria zake zaasili. Watu wote wa mataifawakaikubali amri ya mfalme,hata wengi katika Israeliwakaifuata ibada yake, wakitoa

    dhabihu kwa miungu ya uongona kutia unajisi SabatoTena wajenge madhabahu namahekalu na viwanja vitakatifuvya miungu ya uongo, nakutoa dhabihu za nguruwe,na wanyama wachafu; waachewana wao bila kutahiriwa,na kujitia nafsi zao unajisikwa uchafu na ukafiri wakila namna; kusudi waisahausheria na kuzibadili kawaidazao. Naye asiyelitii neno lamfalme atakufa. (atauawa)(1.Makabayo 1:38-50.)

    Aya hizo hapo juu zimebeba

    m a m b o m e n g i s a a n ayanayouhangaisha ulimwenghuu, na walimwengu, nvilimwengu. Nitajaribu kuelezkile nijuacho.

    Dunia itawaliwe na mtawalmmoja, atakayetiiwa bila hiyaratakayemiliki rasilimali zdunia nzima, atakayezitumiatakavyo. Huu utanda wazuwekezaji, ubinafisishaji, nmoja ya sera za kuelekea huk

    2. Watu wawe na dini mojya huyo mtawala wa duniandiyo haya ya kuwa, serikahaina dini, lakini ina dua yaina moja kwa watu wa imanza dini zote; dua hii ni ya imanya mungu wa dini gani? Au nhuyo mungu wa kina AntiokEpifani wa leo!

    3 . K a n u n i n a s h e r izinazotawala dunia kwsasa, zimewafanya wauminwa dini (kanuni) za Mungkupuuzwa kama si kufutwandiyo maana siku za vikao vynchi mbalimbali asili mia 99.9

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    10/16

    10 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Makala

    ILE Filamu ya Brick Back OurGirls, iliyoanzia Washingtonna kusambaa dunia nzimakama moto nyikani wakati wakiangazi, inaendelea. Na kilainapotoka episode moja kwendanyingine, ndivyo inavyozidikunoga. Hivi sasa tunaambiwa

    kuwa kiongozi wa Boko HaramAbubakar Shekau, ametangazakuwa wale wasichana wa shule279 waliotekwa, sasa wotewameozeshwa kwa nguvu baadaya kusilimishwa kwa nguvu pia.

    "If you knew the state yourdaughters are in today, it mightlead some of you ... to die fromgrief."

    Anasikika akisema Shekaukat ika mkanda wa v ideoaliotengeneza na kuutumakatika mtandao. Katika manenohayo kama yalivyonukuliwana waandishi mbalimbali wavyombo vya habari, Shekau

    anatoa salamu kwa wazazi wawatoto waliotekwa akiwaambiakuwa kama walikuwa wanatarajiakuwapata watoto wao, basiwakate tamaa kabisa. Na kwambalau wageliwaona au japo kujuatu hali waliyo nayo wasichanahao, bila shaka wangaliangukana kufa.

    "The issue of the girls is longforgoen because I have long agomarried them o."

    Anaongeza Shekau kwakutamba akimaanisha kuwasuala la mabinti hao lisahaulikekabisa kwa sababu alishawaoza.Hivi sasa ni wake za watu yeye

    akiwa Walii wao.Haruna Umar na Michelle Faul

    katika taarifa yao iliyoripotiwa naShirika la Habari la AP mwishonimwa wiki iliyopita wanasemakuwa katika mkanda wa videowakati akitoa taarifa hiyo,Abubakar Shekau anaonekanaakiwa kazungukwa na walinziwenye silaha na pembeni yaokukiwa na magari ya kijeshi nasilaha nzito zikiwemo zile zakudungulia ndege za kivita (anti-aircraft guns).

    Swali jepesi kwa mtu yeyotemwenye kutumia akili anawezakujiuliza ni hili: watu hawa walioanza kama kikundi cha Salafimfano wa wale akina Abu Fulanina wafuasi wao Mwanza naArusha, wamepata wapi silahahizi nzito?

    Katika hao watakaojiulizaswali hili, hapatakosekanaambao wata ibuka na j ibujepesi na kujikuta wakiangukiakatika propaganda inayopigwa,kwamba eti wanazipata kwakuteka silaha za wanajeshi napolisi wa Nigeria.

    "You people should understandthat we only obey Allah, we treadthe path of the Prophet. We hope

    Tamthilia ya Boko Haraminaendelea kunoga Nigeria

    Na Omar Msangi

    ANAYEDAIWA kuwa Kamanda wa Boro Haram., Bw. Shekau.

    to die on this path ... Our goal isthe garden of eternal bliss. BokoHaram is interested only in "bale,hiing, striking and killing withthe gun, which we look forwardto like a tasty meal."

    Hiyo ni kauli ya AbubakarShekau kama anavyosikikaakisema katika video yake.Kwamba wao Boko Haram,

    wanamtii Mungu peke yake nahawafuati ila Sunna ya Mtume(s.a.w). Kisha anaongeza akisemakuwa wao katika suna yao (sunaya book haram) ni ya vita, kutekanyara, na kuuwa kwa bunduki.Na kwamba suna h iyo yakuteka, kushambulia na kuuwa,wanaipenda kama wanavyopendachakula kitamu chenye ladhanzuri inayomvutia na kumtiahamu mlaji.

    Yupo kijana mmoja aliwahikusema katika semina moja kuleMwanza kuwa yeye sasa hivihasomi gazeti la An nuur badalayake pesa aliyokuwa akinunulia

    An nuur ananunulia magazeti yamichezo (Dimba, Mwanaspoti/pengine na hata yale ya Shigongo)maana kwa kuwapinga akinaAbubakar Shekau, basi An nuurlimekuwa la kikari.

    Kwa mimi niliyekuwa katikasemina ile na niliyerushiwakombora lile, ilikuwa vigumusana kumuelewa kijana yule,kulinganisha An nuur na Dimba.Lakini wakati naandika makala hiibaada ya kusikiliza kauli ya Shekauambapo kwa upande mmojaanasema yeye ni Mujahidinaasiyemtii yoyote ila Allah, lakini

    wakati huo huo, anazungumziakuteka mabinti na kuwaozakwa nguvu! Bali hujigamba piakwamba sera yake ni utekaji nauuwaji. Hii inanipa picha halisiya hatari inayotukabili umma waKiislamu kutokana na propagandailiyokwishapigwa na upotofuunaoendelea kusambazwakukoroga bongo za vijana wa

    Kiislamu na kuwapumbaza kamawaliovutishwa bangi. Na hapawakati mwingine, naamini yalemaneno ya Karl Marx.

    Ni kweli dini ikitumiwa vibayainakuwa kama bangi ya kuharibubongo za wa tu. Wanawe zakufanya uharamia wa kutishaau kuwa kondoo wanaobururwakupelekea machinjioni au hatakujipeleka wenyewe, wakiwahamnazo kabisa au wakionakuwa ni haki yao kutolewa kafara.Ni yale yale ya kina KibwetereUganda.

    Kwa mujibu wa taarifa zavyombo mbalimbali vya habari

    vya Nigeria, mapema mwezi Meimwaka huu 2014, Boko Haramwalivamia mji wa GamborouNgala katika Jimbo la Borno nakuuwa watu wapatao 300.

    S h e k a u a n a z u n g u m z i akushambulia na kuuwa watu.Kumtii Allah na kufuata Sunnahya Mtume (s.a.w), inahusiana vipina haya anayotangaza kufanya naanayofanya kila uchao?

    Jina halis i la Boko Haram niJamaatu Ahlis Sunna Liddaawatiwal-Jihad. Ukil i tafsiri kwaKiingereza linakuwa -PeopleCommitted to the Propagation

    of the Prophets Teachings anJihad, kwa maana ya watu wkutangaza Sunna na JihadWaandishi wengi waliotafiti nkuandika juu ya Boko Haramwanasema kuwa hawa ni ainya wale kundi la Sala-Takriambao hushambulia Waislamna Wakristo wasiokubaliannao wakidai kuwa wote ha

    ni makafi r i . Kwa Nigeriawamedaiwa kushambulia misikinyumba za Waislamu na misikiya wasio Sala Takr kama waHushambulia vituo vya polismakanisa, masoko, maduka nvijiji wakiuwa na kuteka. Ukisommafundisho ya hawa Sala Takrunaweza kuelewa juu ya matukiyaliyowahi kutokea nchini ywatu kurushiwa mabomu akumwagiwa tindi kali.

    Mwandishi Kurt Nimmo katikmakala yake Is Boko Haram AIntelligence Asset? Terror Aacin Nigeria Opens Door to Africom(Global Research, May 10, 2014

    anasema kuwa muda mfupkabla ya shambulio la GamboroNgala, ilikuwa imeariwa kuwRais Barack Obama alikuwametangaza kuwa Marekanitatuma wanajeshi na makacherk w en d a N i g er i a k u s a i d iharakati za kuokoa wanafunz270 waliokuwa wametekwa nBoko Haram, tangu Aprili 142014. Gazeti la Los Angeles Timelikaarifu kuwa vikosi hivyo vyMarekani, havitafanya harakaza kijeshi ndani ya Nigeriaba li ku sa id ia sh ug hu li za kintelijensia na ukachero. Obamkatika taarifa hiyo akanukuliw

    akisema kuwa tukio la kutekwwasichana 270, litaunganishjumuiya ya kimataifa kuingilikati kuwashughulikia magaidhao wa BH ambao walikuwwameshatangazwa na Marekankuwa ni kundi la kigaidi tokOktoba 2013.

    Lakini kabla ya hapo, 2012 tayaRais Obama alikuwa ashatoagizo (War Powers Resolution) kupeleka askari zaidi wa Marekankatika Nigeria. Hiyo ilitanguliwna kauli ya Kamanda mpya wU. S. Africa Command (AfricomGen. David M. Rodriguezaliyesema kuwa Boko Haram n

    tishio kwa Nigeria, CameroonNiger, Mali na Chad. Rodrigueakaongeza kuwa Marekani inwajibu na mamlaka (authorityya kukabiliana na kitisho cha aQaeda (na magaidi kama haokatika Afrika.

    Mwaka 2012, gazeti la NigeriaTribune, liliwahi kuripoti kuwulishafanyika utati wa kutosha nikagundulika kuwa Boko Haraminapata pesa kupitia mtandaambao unatokea Uingereza nSaudi Arabia. Gazeti hilo likatataasisi moja inayojulikana kwjina la Al-Muntada Trust Fund

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    11/16

    11AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Makala ya Mtangazaji

    JERUSALEM (Ma'an) -- Israeliforces continued to imposerestrictions on Palestinianaccess to the Al-Aqsa Mosquecompound on Monday, closing

    the majority of entry gates anddenying entry to men under 40.

    Director of Al-Aqsa Mosque,Sheikh Omar al-Kiswani, toldMa'an that the Hatta Gate,Lions Gate, Council Gate andChain Gate were open, with theremaining gates closed.

    Palestinian men under 40 weredenied entry while women werepermied to enter but forced toleave their identity cards withIsraeli forces.

    "What does it mean to openal-Aqsa gates at 11 a.m.? Whatdoes it mean to allow Muslimworshipers into the mosque onlyafter 10 a.m.?" Sheikh Kiswani

    said."This means dividing themosque in time," he added.

    Aqsa restrictions continue for Palestinian worshipers

    Israeli forces pictured in the Aqsa compound

    Witnesses told Ma'an thaJewish Home MK Shuli Mualemtoured the Aqsa compound oMonday with the son of faright activist Yehuda Glick, wh

    was shot last Wednesday by suspected Palestinian gunman.

    Following the attack, Israeforces raided the home of suspeMuataz Ibrahim Hijazi and shohim over 20 times.

    His family says he could havbeen arrested during the raid anwas deliberately shot multipltimes and left to bleed to death.

    A lawyer for the AddameePalestinian prisoners' rights groucalled the incident an "extrajudicial" killing.

    Israeli forces completely sealeoff the Al-Aqsa compound fothe rst time in years followinthe shooting of Glick, leadin

    President Mahmoud Abbas tlabel the move a "declaration owar."

    NABLUS (WAFA) Israeli forcdemolished early Monday three olhouses in Khirbet al-Tawil villagto the south of Nablus, said a locactivist.

    Ghassan Daghlas, who monitoselement activities in northern WeBank, said that bulldozers escorteby Israeli military vehicles raided th

    village and demolished three centurold houses.Hamza Dayriyya, member o

    the committee against settlemenin Aqraba village, said that forcebul ldoz ed the main road leadinto the village and public utilitieinfrastructure and prevented locafrom accessing the village, declarinit a closed military zone.

    Khirbet al-Tawil, with most of iland conscated by the encroacheselement expansion, was demolisheeight times before. The locale is undconstant aacks by Israeli selers anthe Israeli army, including houdemolitions, seizure of land for thbenet of i llegal selements, as weas destruction of property.

    Ashrawi: British Government MustTake Action for its Historical InjusticeRAMALLAH (WAFA) - PLOExecutive Commiee member,Hanan Ashrawi stressed that,the British government bearsthe human, legal, political, andmoral responsibility to undo itsserious mistakes of the past byrecognizing the State of Palestine

    and supporting current andfuture Palestinian multilateralinitiatives of resorting to allvenues of international judicialaccountability for Israel and theprotection for Palestine.

    Ninety-seven years ago, theBritish government committeda grave historical injustice atthe expense of the Palestiniansby signing over their homelandto the Jewish people with theBalfour Declaration, stated apress release issued by PLOExecutive Commiee Departmentof Culture and Information.

    She stressed that decades havepassed and the people of Palestinecontinue to be denied their basichuman rights to justice and self-

    determination.The people of Palestine canno longer aord to wait as Israelsucceeds with its extreme andescalating policies to JudiazeJe ru sa le m an d to et hn ic al lycleanse it of its indigenousMuslim and Christian Palestinianresidents, among other violationsof international law, she added.

    With Israels most recentactions of closing Al-AqsaMosque and preventing Muslimworshippers from accessingAl-Haram Al-Sharif, Israel isundertaking a supreme anddangerous provocation andinciting sectarian warfare inthe region and beyond, said

    Ashrawi.Palestine is disappearin

    before our very own eyes; unleBritain, the European Unionthe United Nations, and othemembers of the internationacommunity act immediately thold Israel accountable, Israel wi

    succeed in establishing GreateIsrael and in destroying thchances for a Palestinian statonce and for all, concluded threlease.

    Female Prisoners Face HarshImprisonment Conditions in Israeli JailR A M A L L A H ( W A F A ) Commiee for Prisoners Aairssaid on Monday that 17 femalePalestinian prisoners, held inthe Israeli jail of Hasharon,are currently facing harshimprisonment conditions,including medical negligenceand denial of family visits.

    Hanan al-Khateeb, an aorneywith the Committee, said thatfemale prisoners have been

    deprived of adequate blanketsto protect them from the coldwinter and are deprived of neededmedical care.

    The Israeli prison administrationprohibits prisoners from bringingblankets and warm winter clothesfrom outside, but allows them tobuy blankets from the prisonscanteen; the blankets sold there arevery expensive, very bad in quality

    and do not provide them with thenecessary warmth.

    Al-Khateeb added that prisonersare subjected to deliberate medicalhealthcare, noting that manyof them have been deprived offamily visits for months now.

    Around 1500 Palestinianprisoners in Israeli jails suer fromillnesses, of whom 80 prisonerssuffer from serious healthproblems and do not receive thenecessary treatment. Types ofillnesses of prisoners range frommalignant diseases, paralysis, anddisabilities, in addition to cases ofmental illnesses and neurologicaldisorders.

    To be noted, Palestinianprisoners detained in other Israelijails suer from similar conditionsand maltreatment.

    Israeli Forces Demolish ThreOld Houses in Nablus Village

    Israeli soldiers, settlers defle Aqsa mosqueOCCUPIED JERUSALEM

    -- Right-wing Knesset memberShuli Mualem and groups of

    Israeli settlers and soldiersdesecrated Monday the AqsaMosque under tight policeprotection.

    Those Israeli break-ins at theAqsa Mosque took place whilethe Israeli police continued torestrict the entry of Muslim totheir holy site.

    Meanwhile, Israeli policetroops stormed the grey-domedAqsa Mosque and searched itsinterior as scores of Palestiniansalong with the guards and

    servants of the Aqsa Mosquedeployed themselves in its

    bu il di ng s an d plat ea us to

    protect the holy shrine.In an earlier incident, Knessetdeputy speaker Moshe Feiglinescorted by police guards onSunday morning defiled theAqsa Mosque and performedrituals on the plateau of theDome of the Rock.

    Contact us: P.O Box 20307,612 UN Road Upanga West,Dar es Salaam Tel: 2152813,2150643 Fax: 2153257 Email:[email protected]: www.pal-.org

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    12/16

    12 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 20112 Barua/Mashair

    Jumatatu Novemba 3,2014Shikamoo mzee wanguWarioba na pole sana kwamasaibu yaliyokukuta

    jana.Mimi mjukuu wakopasi na shaka ukiangaliak w en y e d i a r y y a k outanikumbuka kwaniniliwahi kukutupia swalimoja pale Chuo Kikuu

    Mzumbe siku ya tarehe16 mwezi Novemba 2011.

    Tangu hapo hatujapatakuonana tena ingawajenimekuwa nikifati l iaharakati zako zote tanguhapo.

    Kwanini nimekuwanikifatilia? Jibu ni moja tu,kwa namna ulivyonijibusiku ile, sikutia shakauelewa wako mkubwasambamba na uzalendowako usio na doa kwataifa hili.

    Ulizidi kunifurahisha

    Barua kwako Mzee Joseph Sinde Wariobaz a i d i k w a n a m n aulivyoratibu mchakatowa kukusanya maoni yarasimu ya Katiba Mpyana uandaaji wa rasimu

    yenyewe.N a j u a w a p oba ad hi ya w ak ub wa h a w a f u r a h i s h w i n anamna unavyotetea kileunachoamini, lakini nichema kwa vizazi vijavyovya Tanzania, Munguakubariki sana.

    Vitimbi ulivyofanyiwana maneno ya kejel iuliyojibiwa yanaonyeshakuwa hayajakuvunjamoyo hata kidogo, kwanijana nilikuona ukiongeakwa uso uliojaa bashasha,huku ukidhihirisha kuwaungali na ari ile ile yakupigania Katiba yawananchi.

    S i taki kukuchoshak w a ma n en o men g imzee wangu, lakini nina

    uhakika Mungu yukupande wako katikhili. Tuliotega sikio nkukusikil iza tunajuunaongea ukweli mtup

    na MSEMA KWELI NMPENZI WA MUNGU.

    H a t a M a n a b iw a l i p i n g w a nkudhihakiwa vivyo hivylakini leo tunawasomna kuwaheshimu kammashujaa wa imani, nukweli kuwa Katiblazima iwe mwafaka wkitaifa na siyo mpasukwa kitaifa, wanaokupingwanalijua hili?

    Wasalam,Ni mimi mjukuu wak

    mtiifu,Nova Kambota.0 7 1 2 - 5 4 4 2 3 7

    novakambota@gmaicom

    http://novakambotwordpress.com

    Nabtadi kwa JALIYA, himdi kuzipeleka,Thuma swala kwa nabiya, Muhammad msika,

    Na aalize jamiya, na swahaba waongoka,Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    Salamu kuwatumiya, kwa hati nalazimika,Bara na Zanjibariya, zipate kudurusika,Mintarafu HIJIRIYA, jadidi ulotuka,Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    Moja nne HIJIRIYA, tatu sita wetu mwaka,ILAHI katujaliya, ndanimwe kujumuika,Vizuri kuutumiya, kwalo tunawajibika,Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    Nionalo awwaliya, kipaumbele kuweka,Sidhani kama sawiya, kwa pupa yote kutaka,kwalo ninachocheleya, ni mambo kubanangika,Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    Aula kuyaendeya, kwa mipango nadhwika,Si kuyakurupukiya, hovyo kwa kujadhibika,Nunge tutaambuliya, kwa kokote kutoka,

    Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    Thani la kuzingatiya, mikakati kuiweka,Mbinu pamoja na njiya, yayo kutekelezeka,Ndipo kazini ingiya, kwa juhudi 'chakarika',Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    Ni karibu akhiriya, thalitha la kukumbuka,Tathmini awwaliya, wasatwiya kadhalika,Fanya na ya akhiriya, kwa kaziyo kuboreka,Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    Amaliyo fwatiliya, pasipo kutamauka,Bukrata wa ashiya, usichoke juhudika,Kwa ya ILAHI mashiya, tijaye itaoneka,Tujiratibu, tutende, na mwisho tutathmini.

    ABUU NYAMKOMOGI - MWANZA.

    SALAMU ZA MWAKA MPYA (1436.H)

    Kalamu i mkononi, taarifa kukupeni,Si wengine ikhiwani, wa Bara na Visiwani,Japokuwa ya huzuni, qadari ipokeeni,Siraji katanguliya, nasi kesho tu nyumaye.

    Jafari mwanazuoni, Siraji wake ubini,Mhadhiri tambueni, wa 'MuM' Moro chuoni,Nyote ninakujuzeni, hatunaye duniani,Siraji katanguliya, nasi kesho tu nyumaye.

    Stashahada chuoni, Ubungo 'aliiwini',Shahadaye namba 'wani', kapata 'MuM' chuoni,Na shahadaye ya thani, UDSM 'Mlimani',Siraji katanguliya, nasi kesho tu nyumaye.

    Nabtadi kubaini, wasifuwe maishani,Yu alikuwa makini, alimu mwenye uoni,Shababu mshika dini, mteteziwe mwandani,Siraji katanguliya, nasi kesho tu nyumaye.

    Hakuweka yake dini, kando kwa kuona soni,Kwa utendi na uneni, dini aliithamini,Si chuoni,si nyumbani, kadhalika mitaani,Siraji katanguliya, nasi kesho tu nyumaye.

    Siyaneni kwa kubuni, mwalimu wangu chuoni,Kadhalika maskani, pamoja tumesakini,Ruwazaye mitaani, mashahidi ikhiwani,Siraji katanguliya, nasi kesho tu nyumaye.

    Uteteziwe wa dini, sahali kuubaini,MWANGAZA wa redioni, vipindivye rejeeni,Kwavyo mtakibaini, ninenacho shairini,Siraji katanguliya, nasi kesho tu nyumaye.

    DUA tumuombeeni, Jafari kwa RAHMANI,Aepushwe na nirani, alazwe pema peponi,Kalamu naweka chini, ya makiwa na huzuni,MWALIMU katakadamu, NASI kesho tu nyumaye.

    ABUU NYAMKOMOGI-NWANZA.(Mwanafunzi wa Jafari Siraji).

    INNAA LILLAAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIIUUNA(HATUNAYE, MWALIMU SIRAJI)

    Tamthilia ya Boko Haraminaendelea kunoga NigeriaInatoka Uk. 10

    kwamba ndiko pesazinakopitia kuwafikiaBK wa Nigeria. Lakinikabla ya hapo, mwaka2005, Center for SecurityPolicy ilikuwa imetoataarifa iliyodai kuwa:

    Al-Muntada has,been particularly activein promoting Wahhabi-s t y l e I s l a m i s m i nNigeria Al-Muntadapays for Nigerian clericsto be brainwashed inSaudi universities andimposed on NigerianMuslims through itswell-funded network ofmosques and schools.

    Lak ini p ia k amaa n a v y o s e m a K u r tN i m m o a k i n u k u unyaraka na vyanzombalimbali, hawa BHhupata pia misaadakutoka NATO, na hasazilaha zao. Hebu somanukuu ifuatayo:

    During an interviewconducted by Al-Jazeerawith Abu Mousab AbdelWadoud, the AQIMleader states that Algeria-

    ba se d org ani za ti on shave provided arms

    to Nig er ia s Bok oHaram movement todefend Muslims in

    Nigeria and stop theadvance of a minority ofCrusaders. It remainshighly documentedthat members of Al-Qaeda (AQIM) andthe Libyan IslamicFighting Group (LIFG)who fought among theLibyan rebels directlyreceived arms andlogistical support fromNATO bloc countriesduring the Libyanconict in 2011, (Soma:CIA Covert Ops inNigeria: Fertile Ground

    for US Spons oredBalkanization-by NileBowie, April 11, 2012)

    Kwa hiyo, kutokaNATO, silaha zinapitaAQIM na LIFG) hadikuwafikia BH. Kilekinachodaiwa kuwawanateka silaha zapolisi na wanajeshi waNigeria, ni danganyatoto.

    Hebu wakirie akinaAbu Fulani wetu, etiwakie hatua ya kuwana AK-47 za kutosha,

    vifaru na anti-aircraguns, halafu uambiwkuwa eti walizipata kw

    kuteka za JWTZ!!!U t a f i t i z a i d

    unaony es ha k uwmtandao wa Masheikhwa al-Muntada, ni sawna ule wa Madrasa zPakistan zilizoanzishwwakati wa CIAs covewar against the SovieUnion in Afghanistank ama mk ak at i wkutekeleza programiliyoibuliwa na utafiuliofanyika katika ChuKikuu cha Nebraskna kuwekewa mtaalw a k u w a s o m e s h

    Waislamu na kuwapigpropaganda.

    Hapa lazima tuwe nwasiwasi kuwa huendmtaala huo huo ndiunaotumika kuwaandaakina Abu Fulanwa kwetu huku nkuwakuta kuwa mwakmmoja tu baada ykupotea walipotangazkusilimu, wanaibukwakiwa muft i nm a k a m a n d a wkuhimiza Jihad za kSala Takr (ISIS).

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    13/16

    13 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201MAKALA

    Masjid Kadiria Mwasiti uliopo kijiji cha Kibuta wilayaniKisarawe mkoani Pwani wanaomba msaada wa kuchimbiwakisima katika Msikiti huo.

    Gharama za uchimbaji wa kisima hicho ni shilingi milionitano mpaka sasa zimepatikana milioni moja hivyo basi badomilioni nne (4).

    Shime Waislamu kutoa ni moyo, unaombwa kuchangiachochote ulichojaaliwa na Muumba wako kwa ajili yakuweka akiba ya Akhera yako.

    Unaweza kuchangia kupitia Akaunti ya benki na nambaza simu kwa tigo pesa:

    0656 092 436 au A/c No 001340085740001 Amana BankWabillah Tawq

    Msaada

    Ustadhat Mwasiti (kulia) akiwa na wanafunzi

    QUBBA au kama kwaKizungu ijulikanalo

    kwa jina la "Dome ofthe rock", ilijengwamwaka wa 687 C.E naKiongozi wa KiislamuAbd al-Malik ikiwa nikama miaka 50 baadaya kufa kwa BwanaMtume MuhammadS.A.W. Jabali hilo nisehemu muhimu kwanihapo ndipo BwanaMtume MuhammadS . A . W a l i p o a n z i asafari ya Miraji kamainavyoelezwa kwenyeSura ya 17:1. Sehemu hiiina umuhimu mkubwa

    kwani ni alama yakuunganisha umoja wawanadamu kutokanana baba wa MitumeMtume Ibrahim (A.S).Kwa kifupi sehemuhii ni muhimu kwaWaislamu, Wakristo naMayahudi.

    Qubba ni moja katikasanaa kubwa ya kifundiambay o Wais lamuwalifanikiwa katikaujenzi huo wa msikiti, naalikuwa Sayyidna UmarBin Khatab aliyelijengamwanzo msikiti huo

    IJUWE HAKIKA YA MSIKITI WA AL-AQSANa Hamzah Z. wa Rijaal kwa mbao ikiwa kama

    alama ya kuunganishawaumini na alipokujakiongozi Abd al- Malik

    ndio yeye aliyewezakulijenga jengo hili lenyekivutio kikubwa.

    K u t o e l e w a k w aWaislamu walio wengini upi Msikiti ujulikanaokama "Kubati Sakhra"na upi Msiki t i waA l A q s a k u n a l e t amashaka makubwa nakutowa ushindi kwamaadui wa Waislamu.K u t o e l e w a h u k ukunatokana na juhudinzito na za makusudiambazo zinafanywa naMayahudi kupotosha

    ukweli ili lengo kuuwal i lo l ik us udia l akutaka kuuvunja Msikitiwa Alaqsa ufanikiwe nakujenga hekalu ambaloeti wao wanasema kuwapahali palipo msikitiwa "Qubati Sakhra"ndipo alipoweka MsikitiMtume Suleyman (A.S).

    Kwa kwel i kamanilivyotangulia hapombele kusema kuwaMsikiti wa "QubatiSakhra ni moja ya kazinzito ya ufundi wa haliya juuu iliyofanywa na

    Waislamu, na Msikitih u o u n a o n e k a n amnara wake wa rangiya dhahabu yenyekupendeza kabisa, sasaWayahudi mbinu zaokubwa ni kuufanyaMsikiti huo uwe ndioMsikiti wa Alaqsa naufahamike hivyo kwadunia nzima, ikiwa miena wewe vile vile tujuwehivyo.

    M t e g o h u oumetuangukia na utaonahata post card" nyingizenye kutengenezwa na

    Waislamu hutoa pichaya msikiti wa "QubatSak hra" bada la y aMsikiti wa Al Aqsa.

    K a t i k a k i p i n d iambacho Kiongozi waki-Palestina Yasir Arafatamezungukwa na kablaya kupewa uhuru wakewa kuondoka hukoRamallah, televisionnyingi duniani ikiwapamoja na za nchi zaKiislamu zimekuwazikionyesha Msikitiwa "Qubat Sakhra"

    na kutoonyesha Qiblacha mwanzo ambachoWaislamu katika zamaza Mtume MuhammadS.A.W wal ipokuwawakielekea nacho niMsikiti wa Al Aqsa. Huuni upotoshaji na kunahaja kwa kila Muislamukuuelewa ukweli na

    baada ya kuufahamuukweli akamfahamishamwenzake na kujuwahakika ni upi Msikiti waAl Aqsa na umuhimuwake.

    Wachache ndio wenye

    kuelewa juu ya uhakikawa Msikiti wa Al Aqsa naukweli ulivyo. Waislamuw a m e p o t e z w a n awamepotea na mara tuMayahudi watapotakakuitekeleza azma yaoiliyo ovu ya kuubomoamsikiti wa Al AqsaWais lamu wataonakuwa Msikiti wa AlAqsa upo na nini tenacha kupiga kelele?

    H i v i k a r i b u n iW a y a h u d i w e n y em i s i m a m o m i k a l i

    walikuwa na azma ykutaka kuuharibu nkuubomoa Msikiti wAlaqsa lakini juhudi hiz

    ziliweza kugundulikanna mapema na vijanshupavu wa Kiislamwaliojitolea kupambann a u d h a l i m u nuharamia wa Mayahudwenye siasa kali na kuwezkufanikiwa kuizima dhannzima ya usadi huo.

    J a m b o a m b a l o lkusikitisha habari hya kutaka kuvunjwkwa msikiti wa Al Aqshaijaelezwa na vyombvya habari vya magharibambavyo ndio watohabari wakuu na wenypropaganda duniani kot

    la kushukuriwa ni kuwsio haba Waislamu nawameingia na kufanykazi katika Tekenolojiya habari "InformatioTechnology" na moja ymashirika ya Kiislaml i l o k u w a m s t a r i wmbele kuzieleza habahizi ni "InternationaIslamic News Agencytutahitajika tufanye kakubwa ya kuelimishana nkuamshana juu ya khatailiyopo duniani kote katikkuupiga vita vya dhahina vya nadharia Uislamili uwe dhaifu kama ulivy

    hivi sasa Ukoministi. Lkuwazindua maaduhao ni kuwaambia kuwji ta ha da za o ni ku bwlakini "Allah" ameahidkuwa ataulinda Uislamu nndio maana juhudi nyingzifanyazwo kuuangamizUislamu unashindikanna hautafanikiwa nmatokeo yake kila kukichkunaonekana Uislamkuweza kupata nguvu.

    K u t o k a t o k el a S e p t e m b a 1 1 nk u a n g u s h w a k ws er i k a l i y a T a l i b a nTakwimu zil izokuw

    ba do ha zi ja th ib it is hwlakini zenye kuaminikni kuwa, zaidi ya watnusu milioni duniankote wamesilimu na hini tokeo kubwa kwwatu wengi kuukubaUislamu kwa mara mojtangu zama za BwanMtume MuhammaS.A.W.

    "Ewe Mola tufunguliyalio ya haki na haktuijuwe na batil tuielewna tuiepuke" AMIN(mawaidha.infor).

    WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    14/16

    14 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201Habari

    MWANDISHI JessicaBest wa gazeti la Mirrowalikuja na habari yenyeanuani: Teacher admitssleeping with pupilafter naked sele is sent

    around school.Nao Polisi wakasema

    kuwa Ashley Elizabeth24 Mwalimu wa somola Biology amekir ikuwa na uhusianow a K i m a p e n z i n amwanafunzi wa miaka17 huko Marekani.

    Matatizo kama hayaya Waalimu wa kikekutembea na wanafuziwao ambao wanawazaayana sababu nyingilakini moja wapo nivile kukataa kufuataaliyotuelekeza Mungu.M u n g u k a k u u m b awewe kwahiyo yeyendio anajua wewe kipikitakusaidia na kipikitakuangamiza.

    Hakuna atakaye pingakuwa wanawake niwengi duniani kulikowanaume, sasa nchi amadini inapoweka sheriaza kuwa Mwanaumemmoja aoe mwanamkemmoja tu, swali lakuwauliza ni kuwa hawawanawake wenginewaende wapi, waolewe

    na nani? Lipo sualala tabia ya mtu kuwakuna baadhi ya watuhata wawe na waumewangapi basi watatokatu nje ya ndoa zao. Lakinikama kuna ongezeko laWaalimu wa kike nchiniMarekani kutemebeana wanafunzi basi mojamiongoni mwa hizosababu uzikiriazo basini hii hali ya kukosawaume, imo.

    Mwandishi Jessicaanasema kuwa Shule

    Na Rashid Abdallah,MUM

    Hapa ndio kuna umuhimu wa ndoa

    Megan Mahney na mbwa wake.

    za Marekani zimekuwazikikabiliwa na idadi yakashfa ya ngono katikamiezi ya hivi karibuni.Nitakupa orodha ya

    idadi ya kesi hizo ambazoni za hivi karibuni nazote zimetekelezwa naWaalimu wa kike dhidiya wanafunzi wao waKiume.

    Mwal imu mm ojawa shule ya Arkansaskwa jina Mary ImaniMcCormick alikamatwamwezi uliopita kwatuhuma za kuwa nauhusiano wa Kimapenzina mwanafunzi wam i a k a 1 3 . M a m ahuyo anashutumiwakuwa na uhusiano watakribani miezi mitatuna mwanafunzi huyo,tangu pale walipokutanakatika mtandao waKijamii.

    Kesi nyengine nikatika mwezi wa Agostimwaka huu. Mwalimummoja wa Shule yaUtah, Bibi Br ianneAltice alishitakiwa kwakufanya ngono na kijanamdogo wakati akiwa nakesi nyengine ya kulalana mwanafunzi. Yaani

    bado anakabil iwa na

    kesi mahakamani yakulala na mwanafunzibasi kashitakiwa tenakwa kuwa na uhusianomwengine.

    Nyengine ni kuwa,mwanzoni mwa mwezihuu Waalimu wawiliwa kike wa shule yaLouisiana ambao niM w a l i m u S h e l l e yDufresne na RachelRespess walituhumiwak ufany a ng ono nammoja wa wanafunziwao ambaye alikuwana umri mdogo. Na

    baadhi ya matukio yaohayo na mwanafunzihuyo yamepatikana kwakamera.

    Na hii ya mwisho,mtandao wa New YorkPost unatueleza kuwaaliyekuwa Mwalimuwa mazoezi kat ikaCatholic High School,Megan Mahoney, 24amekamatwa Jumatatukwa kosa la kuwa namtiririko wa kufanyangono na mwanafunziwa miaka 16 kati ya

    Oct. 31, 2013, na Jan. 9,akituhumiwa kufanyanae ngono takribanimara mbili kwa wiki.

    Wiki tatu zilizopitan i l i s i k i l i z a h a b a r ii l i y o m u h u s uMwanamk e mmojakatika nchi za Magharibialiyeishi na na kifaafulani katika sehemu

    yake ya siri kwa mudawa miaka kumi. Kifaahichi alikitumia kufanyiastarehe lakini kwa bahatimbaya alikuwa amelewan a k i s h a k u s a h a uk uk i toa . Kimek u jakugundulikana juzi

    baada ya kuwa anahisimaumivu sehemu zasiri na alipokwenda

    Hospitali kikatolewkifaa hicho ambachhakikuwa kikubwa san

    K u m e k u wn a o n g e z e k o l

    maduka ya vifaa hivambavyo wanawakwanavitumia kama nnjia ya kujitoshelezematamanio yao, haskatika nchi za WazunguHii inatoa tafsiri ile ilkuwa ndoa ya mkmmoja inawanyimhaki za kupata waumwanawake wengine.

    Tunashudia makanisy a n a v y o k i n z a nn a m a u m b i l e y

    binaadamu, mwisho wwake ni kuwa baadhi yviongozi wa Makanis

    makubwa duniani ikiwni pamoja na Verticaw a n a s h u t u m i wkuwa-ingilia kinyumna maumbile watotwadogo wa kiume. Hizndio zile zile sheriambazo zinamnyimhaki binaadamu nkumsababisha kutuminjia nyengine mbadalili kukidhi haja zakenjia ambazo zinakuwsi salama kwake.

    Madrasa Hijjatul Wadaa. Iliyopo Nangurukuru, Kilwa. Inaombamsaada wa ujenzi wa Jengo la Madrasa. Kwa sasa madrasa hiyo yenyewatoto wa Kiislamu 75, inaendeshwa nje ya nyumba ya Muislamu nakushindwa kuendelea na masomo katika kipindi cha mvua au cha juakali. Msaada unaohitajika ni pesa au vifaa vya ujenzi. Toa kwa ajiliya Allah (sw).

    Ka maelezo zaidi piga namba:- 0682 40 65 75.

    Waislamu wa Kata ya Mzenga, Wilayani

    Kisarawe, wanatoa wito kwa Taasisi zaKiislamu na Waislamu kujitokeza kwao iliwawauzie eneo/Ardhi yenye heka 200, kwaajili ya maendeleo ya Uislamu na Waislamu.Ardhi inafaa kwa Kilimo na ujenzi wa Shule.Ardhi ipo Km 35, Kutoka Mlandizi, Barabaraya Morogoro (Highway).

    Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa namaba:-0787/0767 40 81 10 au 0714 111 669.

    Msaada wa ujenzi wa Madrasa

    Kiwanja kinauzwa

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    15/16

    15 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 201HABARI

    Katiba inayopendekezwa inaitoa roho Zanzibar-SeifInatoka Uk. 16

    kutoka Serikali ya Jamuhuriya Muungano wa Taznania.

    Al i fahamis ha k wambak ero ny ing i z i l i zok uwa

    zikilalamikiwa na upandewa upinzani ambazo sasawanaendeleza kampeni yak u z i p i n g a z i m e p a t i w aufumbuzi wa kina ndani yaKatiba iliyopendekezwa.

    Balozi Seif ameyasema haokatika haa fupi ya kukabidhivitendea kazi kwa Viongoziwa Chama cha Mapinduzi wa

    Jimbo la Mkwajuni iliyofanyikakatika uwanja wa Kituo chaUalimu Mkwajuni Mkoa waKaskazini Unguja.

    Maelezo hayo yanakinzanana ile kauli ya Katibu Mkuuwa Chama cha Wananchi CUF,

    Maalim Seif Sharif Hamadaliyotoa kwa wasomi wa vyuovikuu na taasisi za Elimu ya

    Juu Zanzibar kuunga mkonoharakati za kupinga Katibaya Jamhuri ya Muunganoinayopendekezwa akisemakuwa Katiba hiyo haiwakilishimaoni y a l iy oto lewa nawananchi Tanzania , nahaiinufaishi Zanzibar ndaniya Muungano.

    Akitoa wito huo MaalimSeif ametoa wito huo kwenyeKongamano lililojumuishawawakilishi kutoka vyuo vikuuna taasisi za elimu ya Juu 13

    zilizopo Zanzibar, lililojadilinafasi ya Wasomi katika kuletaMabadiliko na MaendeleoZanzibar, alisema, mabadilikokatika nchi yoyote huletwana vijana wakiongozwa nawasomi.

    Na kwa namna hiyo hataZanzibar ambayo asilimia 65ya wananchi wake ni wenyeumri chini ya miaka 35, itawezakuleta mabadiliko makubwa,iwapo vi jana wataalumawatachangamka na kuongozaharakati za kuleta maendeleoya nchi yao.

    A k i z u n g u m z a k a t i k akongamano hilo ambapo vijana380 wa taasisi hizo walijiunga nachama cha CUF na kukabidhiwakadi zao hapo hapo, alisema

    jambo kubwa lililopo mbele yaWazanzibari na Watanzaniawote kwa sasa ni kuipingaKatiba inayopendekezwa nakuingoa CCM mwaka 2015.

    Vijana wasomi nyinyindio wenye maamuzi kwanchi yenu, mkiamua mnatakakitu gani ndicho kitakachokuwa, tushirikiane kupigakampeni ya Hapana kwaKatiba inayopendekezwa

    yenye maslahi CCM na sio yawananchi, amehimiza MaalimSeif.

    Katibu Mkuu huyo wa CUF,ambaye pia ni Makamu wa

    Kwanza wa Rais wa Zanzibaramesema amepata moyo nakufarajika sana kuona vijanawa Zanzibar wana ari kubwa yakutetea nchi yao, kuliko ilivyokwa wazee na kila siku zinavyokwenda, kasi ya vijana kudaiMamlaka ya Zanzibar inazidikuimarika.

    Maal im Sei f ames emahistoria inaonesha harakatiz i n a z o s i m a m i w a n akuongozwa na vijana mara zotehupata mafanikio makubwana ndio maana hata Baba waTaifa, Mwalimu Julius Nyererealiongoza vyema TANU hadi

    kuleta Uhuru wakati huoambapo alikuwa ni kijanashababi.

    Alieleza kuwa mbali naMwalimu, hata Waziri MkuuMstaafu Dk. Salim AhmedSalim alipewa Ubalozi nchiniMisri na marehemu MzeeKarum akiwa na umri wa miaka22 na alifanya kazi zake kwaufanisi mkubwa, mbali na yeye(Maalim Seif) pamoja na vijanawengine ndani ya CCM ambaowaliweza kukitikisa chamahicho na kuleta mabadilikomakubwa wakiwa vijana.

    Amesema katika kipindi

    hichi cha kuelekea kwenyekura ya maoni, pamoja nauchaguzi mkuu wa mwakani,vijana hao hawatakiwi kulalana wanahitajika kuunganana wote wanaoendes hakampeni ya Hapana, kamavile UKAWA dhidi ya Katibainayopendekezwa.

    Kama kwel i mnatakaM a m l a k a k a m i l i y aZanzibar, tambueni Katibainayopendekezwa inaitoa rohoZanzibar na kwa kweli ni koti laMuungano linalozidi kuibanaZanzibar, tuungane pamojakupiga kampeni ya Hapana ili

    isipite, amesema.Katika risala yao iliyosomwa

    na mwanafunzi , HafidhAli Hafidh, wanafunzi haowalisema walifarajika sana

    baada ya Rais Jakaya Kikwetekuanzisha mchakato wamabadiliko ya Katiba, lakini

    ba ad ay e wame fa dh ai sh wasana na yaliyotokea kwenyeBunge la Katiba kwa kupitishaKatiba ambayo ni kinyume nawaliyoyataka wananchi waTanzania Bara na Zanzibar.

    Tulipatwa na wasi mkubwabaada ya kuona baadhi ya

    w e n z e t u w a Z a n z i b a rwaliokubali Serikali tatuZanzibar, walipoka Dodomawamebadilika na kufuata Seraya chama chao, wamesema.

    Wamesema kwamba kitendowalichokifanya wana CCMhao ni uhalifu mkubwa na

    ni ubaguzi mkubwa ambaohawakubaliani nao na Katibawanayoipendekeza haifai nawao watakuwa mstari wambele kuendesha kampeni yaHapana.

    Hadh amesema kwa Katibainayopendekezwa hatma yaZanzibar imewekwa katikaKuti Kavu na sasa inadhihirikawazi wapo baadhi ya watuwanataka Zanzibar ifutikekabisa katika ramani ya Dunia,

    jambo amb alo Wazanzibariwazalendo hawatalikubali.

    Wenzetu hawa wamezoweavya kunyonga kamwe vya

    kuchinja hawaviwezi, tutaiteteaZanzibar kwa vyovyoteitakavyo kuwa, tutapita kilakona kuhamasisha vijanawaikatae Katiba hiyo inayojalimas lahi y a wachache ,wamesema katika risala hiyo.

    Miongoni mwa wageniwaliokaribishwa kuzungumzakatika Kongamano hilo niMshauri wa Mikakati KatibuMkuu wa CUF, MansourY u s s u f H i m i d a m b a y eamesema Wazanzibari hawakotayari kuona Zanzibar yaoikitupwa katika debe la taka, na

    sasa umeka wakati wananchwawachague viongozi wenyuzalendo, wasio tetereka nambao si madadali wa Zanziba

    Naye mjumbe wa Kamati yMaridhiano Zanzibar, Isma

    Jussa Ladu amesema wimbla mabadiliko linaloikumb

    Zanzibar na Tanzania nzimhakuna wa kulizuia na walwatu wasipite kuwadanganywananchi.

    J u s a a m b a y e p i a nMwakilishi wa CUF wa jimbla Mji Mkongwe, amesemWazanzibari walio wengwalidhani viongozi wa CCMwatakubali kuleta mabadilikkwa njia za kistaarabu baadya wananchi kutoa maoni yana kuratibiwa na Tume yMbadiliko ya Katiba, lakinni kinyume chake kwa vilwameyapiga teke maoni hayo

    Amesema Wazanzibar

    hawawezi kukubali kuporwheshima na hadhi ya nchyao ambayo kwa miakmingi nyuma imekuwepohadi kufikia hatua ya kuwni Himaya (Empire), lakinhes hima hiy o imek uwikifutwa kidogo kidogo hadsasa kuelekea kuwa Zanzibani kama vile Manispaa tu.

    (Habari kwa hisani yKhamis Haji, OMKR nOthman Khamis Ame, Osya Makamu wa Pili wa Raiwa Zanzibar)

    MAALIM Seif Sharif Hamad.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1150A

    16/16

    16 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 20116 MAKALA

    AN-NUUR16 MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 7-13, 2014

    Soma

    gazeti la

    AN-NUUR kila Ijumaa

    I M E E L E Z W A k u w as u lu h is h o p e k e e lakuinusuru