annuur 1151

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 02-Jun-2018

894 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1151 MUHARRAM 1436, IJUMAA , NOV. 14-20, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Uk. 2

    Masheikh wanadhalilishwa

    kwa Uzanzibari wao?Ahoji Mbunge wa Konde Khatibu HajiMariam Msabaha asema, tunaiita laanaMh. Mathias Chikawe alikoroga zaidiWazanzibar waja juu Bungeni, wazimwa

    Kundecha akumbushausia wa Ustadh Ilunga

    Waislamu watafakari, wapange, watendeSi kulalamika, kuwatupia lawama viongozi

    Ajabu kuwaitaMasheikh ni'mbwa waJahannamu'

    Hii ni itikadi ya Uyahudi Vs ma-goyimTusipokuwa makini na sera za TakfMguu utaota tende na majuto ni mjukuMipango ya Yahudi Oded Yinon inatim

    Kiasi wiki moja iliyopitkulikuwa na mjadalu s i o r a s m i , k u l

    Zanzibar, watu wakijadilhali iliyoibuka hivi sasa y

    baadhi ya makundi ya Salahuwapachika Waislamwenzao ukafiri na kuwatimotoni. Mwalimu mmoja wchuo (madrasa) akaeleza kiskimoja ambapo alikutanna mmoja wa Salafi hana katika mazungumzo yaakasema kuwa masheikh wotwa Zanzibar akiwataja baadhkwa majina (tunayahifadh-wasio kuwa Salaf wa mtizamwake, kwamba ni Kilabu nnari, kwa maana kuwa nmbwa wa motoni.

    soma Uk.

    Mbunge wa Jimbo la Konde

    Zanzibar, Mh. Khatibu Said Haji.

    Waziri wa Mambo ya Ndani Bw.

    Mathias Chikawe.

    Inspekta Jenerali wa Polisi nchini,

    Ernest Mangu.

    Majibu haya yadhihakaNi ishara ya chuki

    mbaya

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    2/16

    2 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    Kundecha akumbusha usia wa Ustadh IlungaNa Bakari Mwakangwale

    WAISLAMU tafakarini,pangeni na kutenda, siokulalamika.

    Hayo yamesemwa na

    Amiri wa Baraza Kuula Jumuiya na Taasisi zaKiislamu (T), Sheikh MussaKundecha, katika nasahazake za mwaka mpya waKiislamu 1436 Hijiria.

    A m e s e m a , m w a k auliopita yalijiri mengikwa Waislamu, lakiniWaislamu wanapaswakuelewa kwamba agizo laMwenyezi Mungu kwaoni kutafakari kwa niniyametokea hayo na kwanini kwa kiwango hicho.

    H a t u w e z i k u t i b umatatizo tuliyonayo kwakunungunika, tutatibumatatizo tuliyonayo kwakutafakari kwa makini nakuyapatia ufumbuzi yaleyanayotukabili, kiwangocha manunguniko kwaWaislamu kimezidi, kilammoja anaona hanaju ku mu la ku up ig an iaUis lamu na kudhanikuwa jukumu hilo ni laviongozi. Alisema AmirKundecha.

    Alitoa funzo kuwaMwenyezi Mungu hawezikubadili hali ya watuwaliyokuwa nayo, mpakawatu hao kwanza waowenyewe, mmoja mmojawatie nia ya kufanya

    mabadiliko katika sababuzilizosababisha wao kuwakatika hali hiyo.

    A m i r K u n d e c h aalionyesha kushangazwana Waislamu ambao marakwa mara wamekuwa natabia ya kuwapigia simuviongozi, wakiwalalamikiamatukio yanayowatokeakuhusu Waislamu auUislamu kabla ya waokushughulikia matatizohayo.

    Sisi viongozi kila sikukazi yetu ni kupokea simu,Muislamu anakwambiakuna mtu kako jo lea

    Qur an hapa. Suala hilonaambiwa mimi Amir waTaifa, Sasa unachotakanini, nikupe fatwa auniruke nije hapo ulipo,alijisemea Sheikh Ilunga,badala ya kushughulika,mtu anapiga simu, haya nimatatizo kwa Waislamu,mwaka huu mpya wa 1,436tubadilike.

    Aidha Sheikh Kundechaaliielezea hali hiyo kwaWaislamu kuwa ni kamaugonjwa.

    K w a m b a m a m b oya Kiislamu ni lazima

    yafanywe na watu fulaniau kusubiri viongoziw a w a a m b i e k u fa n y aja mb o, ha ta ka ma li pondani ya uwezo wao,wamebaki kuwa kazi yao nikutoa taarifa kwa viongozina kulalamika.

    Alisema kule kuzorotakwa mambo ya Kiislamu nidalili tosha kwamba hakunaMuislamu anayetafakarim a m b o y a K i i s l a m uy a t a k w a m u k a v i p i ,isipokuwa anakiria kuwawapo watakayoyafanyana hao si wengine bali niviongozi na yeye hahusiki.

    Imeelezwa kuwa mbaliya kasumba ya kulalamika,pia Waislamu wamekuwana ugonjwa wa kutoavisingizio badala ya kuwawatendaji.

    M a m b o m e n g iyanayotukuta kama jamiiya Kiislamu, katika haliya kawaida tumekuwana tabia ya visingizio,

    tutafakari kwa visingiziotumerekebisha mambomangapi? Alihoji AmirKundecha.

    Alisema mwongozowa Kiislamu (Quran)hauruhusu Muislamukuwa na visingizio, baliunamtaka atafakari halia l i y o n a y o , k w a m b aatatoka vipi katika haliinayomkabili bila ya kuwana visingizio.

    Kwamba Wais lamuw a m e k u w a n amanunguniko mengi nakwa bahati mbaya kila

    wanapotafutia ufumbuj a m b o f u l a n i , h u wwanaongeza manugunikjambo ambalo sio dawa ykuondoa tatizo.

    Mwaka huu wa 143Waislamu wameuanzkwa msiba, pamoja nkwamba hatuichukii hahiyo, lakini Allah (s.wanatutaka tuta fakarwapo wanaotangul imbele ya haki, wenginbado wapo mag erezann a n i w a k u f a n yh a r a k a t i ? , Wa i s l a mtunapaswa tutafakariAlitahadharisha.

    Alisema kwa ujumlm w a k a u l i o p i t a wKiislamu, ulikuwa nwa matatizo ya aina ypeke yake kwa ummw a K i i s l a m u , k w a numekamilika mwaka hukwa sehemu kubwa yviongozi wa Kiislamkuwekwa ndani.

    A l i o n g e z a k u w

    kuwekwa ndani ni jambmoja, kwa nini wako ndanni jambo la pili na kwmakosa gani , al isemkatika hali hiyo inawapasWaislamu kutafakari zaid

    Itafakari propagandinayoelezwa, inaelezwk u w a w a m e f a n yuchochezi, wanasimamugaidi, kwa Muislamunaposema unamwaminAllah (s.w) na kukemedhulma, hilo linatoshkuwa ni kosa na kupewadhabu wanayoitaka waoAlisema Amir Kundecha

    SHEIKH Mussa Kundecha.

    CHUKI ni tatizo baya nalenye madhara makubwakatika jamii yeyote ile.Palipo na chuki hapakosidhulma na palipo nadhulma hapakosi uaduina faraka.

    T u n a a m i n i k a b i s akwamba chuki ikiotamizizi katika akili yamwanadamu, husambaakila mahali na itaendeleakurithishwa kizazi hadikizazi.

    S eh em u k u b w a y achuki huenda hata ikawaimeingizwa katika mfumowote wa maisha katikajamii. Iwe ni katika sektaya kuichumi, kiutawala, aukihuduma nk.

    D h u l m a , u b i n a fs i ,ubaguzi na upendeleo nimatokeo ya kushamirichuki katika jamii.

    Kwa bahati mbaya, imaniza dini ambazo ndio dawaya kumfanya binadamuasikurubie maovu hayaya nafsi, lakini kutokanana utofauti wa dini, dinih izo h izo z imekuwazikitumika kwa utashiwa kibinadamu, kukoleza

    chuki katika jamii.T u n a v y o f a h a m u ,hakuna polisi wala nguvuya kidola popote paleiwezayo kuondoa chukiambayo imesababishaumwagaji mwingi wadamu katika jamii sehemumbalimbali duniani.

    Tizama Serbia, Bosnia,Somalia na kwingineko.

    Hata hivyo, kabla yakutafuta utatuzi, lazimatupate kuelewa kiini chavisa vya chuki.

    W a p o w a n a o s e m akuwa chuki hujitokezakwa sababu ya hofu tu,wengine wanasema kunachuki kwasababu ya dhana

    na kuhisi tu kuchukizwa,kuna chuki ya kuonyeshau w ez o n a c h u k i y akutokuwa na uwezo,kuna ulipizaji kisasi nakuna chuki inayotokanana husuda, kuna chukiya mwonezi na chuki yamwenye kuonewa.

    Ni masikitiko yetu kuonakwamba milipuko ya chukinchini imekuwa ikitokeamara nyingi kwasababutu ya tofauti ya imani zetu.

    T u n a s e m a h i v y okwasababu hatudhanikwamba mtu anawezakufanyiwa kitendo chaliwati, halafu akatokea

    Majibu haya ya dhihakaNi ishara ya chuki mbaya

    mtu ambaye amepewadhamana ya kusimamiahaki za watu, ambayekimamlaka ndiye kimbiliola walalamikaji, akaja namajibu ya kushangaza kamaya Waziri Chikawe.

    Hatudhani kwamba katikasakata hili la kudhalilishwaM a s h e i k h w e t umagerezani, lingetokeakwa mwingine asiyekuwawa sampuli ya kuvaakilemba, mamlaka husika

    zingekaa kimya mpaka sasaau pale watu wanapohoji kujana majibu ya dhihaka kama yaWaziri Mheshimiwa MathiasChikawe.

    Wala hatutarajii kwambawahusika wangetoa kaulihizi za ajabu za kuchunguzatabia ya muadhirika kablaya kushughulika na tukiolenyewe.

    Unaposema unachunguzakwanza tabia ya mtuhumiwaaliyelawitiwa, unachosemani kuwa kama kwa mfanomtuhumiwa aliingia rumandena tabia ya kuvuta bangi, basihalali kupewa bangi na askarimagereza. Au kama alikuwambwia unga, basi polisi na

    askari magereza waendeleekumpatiakokeni.Majibu kama haya,

    s io dhihaka tu , ba l iyanaashiria kutokujali nakutokujali kunakuja kwasababu ya chuki. Ndiomaana Mbunge wa jimbola Konde alihoji Je, ni kwakuwa aliyedhalilishwa niMzanzibar au ni nani?

    Tuseme tu kwamba,tusipochukua hatua zamakusudi kukomeshachuki katika jamii yetu,itaendelea kututafuna.

    Ni ushauri wetu kwambakuna haja na muhimukuchukuliwa hatua zamakusudi kuibadili jamii

    yetu kuondoa nafsi yenyekuchochea chuki na hasajuu ya chuki kutokana namisingi ya kidini.

    Ni kweli kwamba chukihaiwezi kuondolewa bilajitihada zozote, wala jambohili haliwezi kufanywakwa usiku mmoja. Lakinilinaweza kufanywa.

    Misingi ya utu, hekimana uadilifu ndio suluhishola kuondokana na chukikwa watendaji na maasawaliopewa dhamana yakuwahudumia watu. Lakinizaidi ni kuheshimiana nakuvumiliana katika imanizetu.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    3/16

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    4/16

    4 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Habari

    Wahitimu wa darasa la saba katika Shule ya Sirajul Munir (English Medium Prymary School) iliyopBagamoyo, wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufanya mtihani wao wa Taifa. (Picha. NAthumani Shomari).

    SHULE ya Msingi Sirajul Munirya mjini Bagamoyo, imeendeleakufanya vizuri katika mtihani wa

    Taifa wa kumaliza elimu ya msingi.Akizungumza na An nuur,Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo HaruniMchau, alisema katika mtihani huoambao matokeo yake yametangazwana Wizara ya Elimu na Mafunzo yaUfundi hivi karibuni, wanafunzi wote24 waliofanya mtihani katika shulehiyo wamefaulu, ambapo wanafunzi9 kati yao wamepata alama A na 15wamepata alama B.

    Mwl. Mchau, alisema kufuatiamatokeo hayo, shule imefanikiwakushika nafasi ya tatu katika wilayakati ya shule 122 zilizopo WilayaniBagamoyo, huku ikishika nafasi yatatu mkoa kati ya shule 520 zilizopomkoa wa Pwani.

    Mkuu huyo wa shule alisemamatokeo hayo yamepatikana kufuatiashule hiyo kupata wastani wa 190.791na kushika nafasi ya 143 kitaifa katiya shule 15,867 zilizopo nchi nzima.

    Pamoja na mafaniko hayo, Mwl.Mchau alie lezea changamotozinazoikabili shule hiyo katika kuinuakiwango cha taaluma, kuwa ni tatizola bweni la wanafunzi, maktabaya shule pamoja na mashine yakudurufu (photocopy kwa ajili yamitihani ya majaribio inayofanywamara kwa mara shuleni hapo, kwanikwa sasa hulazimika kutembeaumbali mrefu kutafuta huduma hiyo.

    Alisema matokeo hayo ni kutokanana mazingatio kwa wanafunziwake katika kile walichofundishwana walifanya mitihani hiyo kwakujiamini na kutumia uwezo walionao.

    Akielezea kasumba na tabia ya

    kuwapa majibu ya mitihani wanafunzikabla ya mtihani, alisema sualahilo ni baya na halifai na ni mwikoshuleni hapo, hasa ikizingatiwakuwa shule hiyo ni ya Kiislamu, nawanafunzi wanafundishwa kuwawizi na kughushi, hata kama ni katikamitihani ni haramu na ni chukizo kwaMwenyezi Mungu.

    Wakati huohuo mwl. Mchau,amewataka wazazi na walezikufuatilia tabia za watoto wao katikashule wanazosoma, ili kudumishatabia na maadili mema waliyopatashuleni hapo.

    Shule ya msingi na awali ya SirajulMunir iliyopo nje kidogo ya mji waBagamoyo, inamilikiwa na Taasisi yaSirajul Munir Islamic Center (SIMIC),yenye makao makuu yake eneo

    Majani Mapana, Wilayani Bagamoyo.Shule hiyo ina jumla ya wanafunzi

    304 kwa sasa, ambapo tayariimeshatoa wahitimu wa darasa lasaba kwa mara nne tangu kuanzishwakwake mwaka 2011.

    Shule hiyo ya Kiislamu, imewahikupata tunzo ya ngao kutoka Wizaraya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,sambamba kupatiwa cheti chakufanya vizuri (Best PerformingSchools), baada ya kufanya vizurikatika mtihani wa Taifa mwaka jana.

    Katika matokea ya mtihani wadarasa la saba mwaka jana (2013),shule hiyo ilishika nafasi ya tatu katikawilaya na nafasi ya tatu mkoa kwawastani wa 192.5625, na kufanikiwakuwa ya 93 Kitaifa.

    Sirajul Munir yaendelea kungara BagamoyoNa Athumani Shomari, Bagamoyo

    SERIKALI imetakiwa kuhakishakwamba vijana wanaohitimuvyuoni wanapatiwa ajira baadaya kuhitimu mafunzo yao, kwakuzingatia kwamba wengi waowamehitimu katika taaluma yaUalimu.

    Wito huo umeto lewa naProfesa Ibrahim Lipumba, wakatiakiongea na waandishi wa habarikatika mahafali ya Chuo KikuuCha Waislamu Morogoro (MUM),Jumamosi ya wiki iliyopita.

    Alisema jambo hilo halinabu di ku zi ng at iwa kwa ku waTaifa linakabiliwa na upungufuwa walimu, jambo ambaloni changamoto kwa jamii nakwamba, hiyo ni fursa kwa vijanahao kupewa ajira ili waweze kutoa

    taaluma waliyoipata na kuongezaufanisi katika sekta ya elimu.Alisema katika mahafali hayo

    ya saba ya chuo hicho, wengiwaliohitimu ni walimu na kwaujumla, katika shule mbalimbalinchini kuna upungufu wawalimu katika masomo yote,hivyo aliwataja wahitimu kuwani watu muhimu kupewa ajira ilishule ziweze kupata walimu wakutosha.

    Aidha Prof. Lipumba alikitakachuo hicho (MUM) kuwasilianana sekta binafsi ili kuwawezeshavijana wanaohiti chuoni hapokatika fani nyingine kuweza

    Vijana wapatiwe ajira-LipumbaNa Bakari Mwakangwale

    kupata ajira.Changamoto nyingine iliyopo

    kama chuo, ni kuwasiliana nasekta binafsi kuona kwamba vijanawanaomaliza hapa wanawezakupata ajira katika sekta zao, iliyale mambo wanayoyapata hapayaweze kukidhi mahitaji ya ajira.Alisema Prof. Lipumba.

    Alisema sehemu moja ambayoni muhimu kwa wahitihimukuelewa kuwa katika jamii yaWaislamu, wengi bado hawanaelimu ya kutosha ya dini, hivyo

    ni wajibu wao kuweka utaratibambao wataweza kutoa elimya dini huko watakapokuwa, ikuwawezesha vijana wengin

    kuijua dini yao katika ngazi ychini.

    Akizungumzia wahitimkujiingiza katika siasa, alisemjapo si vibaya wasomi kujihusishna siasa, lakini si sahihi kuingmoja kwa moja katika siasukitoka chuo na kwamba watwasiache taaluma zao.

    Kushiriki kwenye siasa nsawa, lakini ni vyema kujikitpia katika taaluma uliyoisomekwa kuifanya kwa weledi katikeneo ambalo wewe unakuwa nutaalamu nalo. Alisisitiza ProLipumba.

    Alisema, vijana wenye umchini ya miaka 35 ni takribanasilimia 80 ya Watanzania wotkwa maana hiyo alisema vijanndio wengi nchini na wao ndiwanaopaswa kushiriki katikkutafuta ufumbuzi wa matatizyanayoikabili jamii ikizingatiwwao ndio waathirika zaidi nmatatizo yaliyopo nchini.

    Alisema, vijna ndani ya Taihili wana kila sababu ya kuwmstari wa mbele kuitafuta hakna kuhakikisha mali asili za nchyao zinatumiwa kwa manufaa ywananchi wote.

    Profesa Ibrahim Lipumba

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    5/16

    5 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Habari za Kimataifa

    Taasisi ya Kiislamu iliyosajiliwa kisheria, (Almuhajirina IslamicFoundation) inaomba msaada wa kifedha kutoka kwa Waislamuili kuweza kumalizia deni la ununuzi wa eneo (nyumba yenyeMadrasa ya Taasisi). Tayari Taasisi imelipa kiasi cha Tsh40,000,000/- (Milioni Arobaini) bado Tsh. 80,000,000/-(MilionThemanini).

    Unaweza kutoa mchango wako kupitia A/cNo. 52 12 01 00 00 38 74 PBZ. Tawi la LUMUMBA DSM. Au

    piga simu Namba:-0658 05 65 92,0665 66 98 65 na 0655 24 12 70.

    TANGAZO

    UPASUAJI uliofanywa wakuwafunga vizazi wanawakezaidi ya 80 nchini India, umetoauhai wa wanawake nane nawengine 50 wanaugua baadaya kufanyiwa upasuaji wakuwafunga vizazi nchini India.

    Wanawake hao wameelezeakuhisi maumivu makali na homapunde baada ya kupewa matibabuhayo ya upasuaji wa kuwafungauzazi, katika kliniki ya kiserikalihuko eneo la katikati mwa IndiaChhaisgarh.

    Taarifa zainaeleza kuwawanawake 30 kati ya wagonjwawalionusurika waliopo hospitali

    hapo, inasemekana kuwa katikahali mahututi.Tayari Idara ya Afya nchi India

    imeamuru uchunguzi ufanyikemara moja.

    Z a i d i y a w a n a w a k e 8 0walishiriki katika upasuaji huo wakuzuia kupata uja uzito Jumamosiya wiki iliyopita katika hospitalihiyo ya kijijini Pendari hukoChaisgarh.

    Baadhi ya wanavijiji wanadaishughuli hizo za upasuajizilifanywa na daktari mmojana msaidizi wake katika mudawa saa sita tu, hivyo wanahojiiwapo ziliendeshwa vyema. Miiliya waliofariki bado inafanyiwa

    Nane wafariki wakifungwa kizazi India50 mahututi

    uchunguzi huku wanaougua

    wakiendelea kupewa matibabukatika hospitali tofauti katikaeneo hilo.

    Waziri wa Afya katika jimbo hiloameiambia BBC kuwa wanafanyawawezalo kuokoa maisha yawanaougua na wameunda jopolitakalochunguza kilichosababishahali hiyo isiyo ya kawaida.

    Serikali ya India imekuwa nautaratibu wa mara kwa marawa kutoa huduma ya jumlakwa wanaohitaji operesheni zakufunga kizazi, kama njia mojaya kujaribu kudhibiti ongezekokubwa la idadi ya watu nchinihumo. (BBC)

    MMOJA wa waathirika wa upasuaji wa kuzuia ujauzito Indiaakiwa mahututi.

    KIONGOZI Mwandamizi wBaraza la Uhusiano wa Kiislamnchini Marekani (CAIR)ameitaka Polisi ya Marekan(FBI) kuacha kufanya ujasusndani ya Misikiti nchini humo

    Akizungumza kwa niaba yWaislamu, Mkurugenzi Mtendawa CAIR huko Minnesota

    Lori Saroya, amesema kuwwafanyakazi wa FBI wamekuwna tabia ya kutembelea na kuingiMisikitini katika miji ya SainPaul, Minneapolis na miji minginkatika jimbo la Minnesota, kwlengo la kuwarubuni baadhi yWaislamu ili wafanye ujasusdhidi ya Waislamu wenzao.

    Saroya al isema kwambwafuasi wa dini ya Kiislamwanaelewa majukumu yao ykidini na kijamii ya kutoa taarifkwenye vyombo vya dola, pindwapoona dalili za kufanyikuhalifu na jinai.

    Alisisitiza kwamba poliswa FBI wanapoingia kwenymaeneo ya ibada hasa Misikitinhusababisha hali ya hofu nwasiwasi kwa waumini wa dinhiyo.

    Aliongeza kuwa, kitendo chkuwarubuni Waislamu ili kufanyujasusi dhidi ya Waislamwenzao, kinakinzana na misingya kidini na kitabia.

    Hayo yanajiri katika halambayo , msemaj i wa FBamekataa kutoa tamko kuhusianna tuhuma hizo zilizotolewdhidi ya Polisi ya Marekani. (iribir)

    FBI iacheujasusi

    misikitiniMarekani

    HASSAN Nasrullah Musa"Guti ", mtuhumiwa wa ugaidialiyeuliwa kwa kupigwarisasi huko Mombasa Kenya,amezikwa mwishoni mwawiki iliyopita. Musa alipigwarisasi na kuuawa wakati akiwakwenye gari na mkewe mjiniMombasa, ambapo mkewealipigwa risasi ya mguu naanaendelea kuuguza majerahaya usoni kutokana na vipandevya vioo.

    Mashuhuda wa tukio hilowalibainisha kwamba Bw.Musa aliuliwa kwa staili ile ilewaliyouliwa Masheikh maarufu

    wa Mombasa, Aboud Rogo nabaadae nduguye Ismail Rogona kufuatia kuuliwa SheikhMakaburi, wote walidaiwana polisi kuwa waliuawana watu wasiojulikana nawakihusishwa na ugaidi.

    Mnamo mwaka huu kunaidadi kubwa ya wahubiri wadini ya Kiislamu walouliwana watu wasojulikana na hadihii leo hakuna aliyekamatwawala kushtakiwa kwa mauwajihayo.

    Ust. Musa alizikwa katikamakaburi ya Waislamu yaKikowani siku ya Jumapili,ambapo baadae yalifanyikamaandamano makubwa yakulaani mauaji hayo.

    Kufuatia maandamanohayo ghasia ziliibuka kwawaombolezaji katika eneola Majengo mjini Mombasa,wakishutumu na kulaanimauaji hayo, ambapo Mhadhirimmoja wa Chuo Kikuu, DavidMunga aliuliwa na watuwengine wapatao watanokujeruhiwa, liliripoti gazeti laDaily Nation la Kenya.

    Majeruhi walilazwa katikaHospitali Kuu ya Pwani kwamatibabu.

    Kwa mujibu wa ripoti ya

    polisi, Musa anaaminika kuwana mafungamano na kikundicha magaidi mjini Mombasana alikuwa anakabiliwa namashitaka ya mauaji kwenyeMahakama ya Mombasa,huku ikidaiwa mawaidha yasiasa kali ndiyo yaliyochocheaghasia hizo, kiliripoti kituo chaCapital FM cha Kenya.

    Hata hivyo viongozi wadini wameendelea kukanushadhana za polisi kwambam a w a i d h a y a o n d i y oyanayochochea ghasia, baliwanasema hali ya usalamaimezorota sana katika jiji hilola pili kwa ukubwa Kenya.

    Mtuhumiwa wa ugaidi aliyeuliwa Kenya azikwaPolisi washukiwa kumuua

    Maandamano yaibuka na kusababisha kifoMkurugenzi Mtendaji wa

    Shirika la Haki za Binadamula Haki Africa, Hussein Khalid,alilielezea tukio hilo kuwani "mauaji ya makusudi" nakutoa wito serikali kuanzishau c h u n g u z i i l i k u w a j u awahusika.

    "Mombasa leo imeshuhudia

    mauaji mengine, tumemuonakijana leo akiuawa kwa risasimchana kweupe kwenyemitaa ya Mombasa. Uko wapiusalama? Iko wapi serikali?Lazima tuseme kwa pamoja." Alisema Mkurugenzi huyo.(sabahi)

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    6/16

    6 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Habari

    SERIKALI ya MapinduziZanzibar, imehimizwakuendelea kudumishaumo ja, mshikamano na

    maelewano yaliyopo, ambayoni matunda ya kufikiwam a r i d h i a n o y a k i s i a s ayaliyozaa Serikali ya Umojawa Kitaifa.

    Wito huo umetolewa naBalozi wa Norway nchini, Bi.Hanne Marie Kaarstad, wakatialipokuwa na mazungumzo naMakamu wa Kwanza wa Raiswa Zanzibar, Mhe. Maalim SeifSharif Hamad, ofisini kwakeMigombani mjini Zanzibar.

    Balozi Kaarstad amesemakutokana na uzoefu wa hali yasiasa siku za nyuma, hivi sasa

    Zanzibar imepiga hatua kubwakatika kudumisha amani,maelewano na utulivu, mamboambayo yemejenga mazingiramazuri kwa Serikali kujikitakwenye maendeleo na kwawananchi kufanya shughuli zao

    bila matatizo.Naye, Makamu wa Kwanza

    wa Rais Zanzibar, Mhe. MaalimSeif Sharif Hamad, amesifuushirikiano uliopo kati yaZanzibar na Norway na kuahidikuwa Serikali ya MapinduziZanzibar itafanya kila jitihada

    kuona ushirikiano huo unazidikuimarika.Maalim Seif alisema Norway

    imetoa mchango wa kipekeekatika kuhakikisha Zanzibarinapata mafanikio makubwakatika nyanja mbalimbali,ikiwemo kudumishwa utulivuwa kisiasa pamoja na kusaidiasekta mbalimbali za kiuchumi,maendeleo na kijamii.

    Alisema mchango wa serikaliya Norway katika kufanikishakukiwa kwa Maridhiano yaKisiasa yaliyozaa Serikali yaUmoja wa Kitaifa Zanzibar ni

    wa kipekee na njia muafakaya kuuenzi ni kuhakikishaZanzibar hairudi tena kwenyesiasa za chuki na uhasama.

    Aidha Maalim Seif, alisemaili maridhiano hayo yawezekudumu, kasoro zinazojitokezaambazo zinaweza kurejeshanyuma taswira na dhamiranjema ya kufikiwa kwake,hazina budi kupatiwa ufumbuzikwa haraka pale zinapojitokeza,ili kuzidi kujengwa hali yaumoja na kuaminiana.

    Maalim Seif alizitaja baadhi

    Norway yaihimiza SMZ kuenzi maridhianoya changamoto zi l izopokuwa ni maridhiano namaelewano hayo kuelewekana kutekelezwa zaidi katikangazi za juu Serikalini, ambapomkazo zaidi unahitajika katikangazi za chini, kama vilekwenye Shehia.

    Alisema ipo haja kwa Serikalina taasisi zote zinazosimamiahaki kutekeleza wajibu huona kila mtu aweze kupatahaki anayostahili, bila kujaliitikadi yake kisiasa, kabila audini yake.

    Aliyataja baadhi ya maeneoyanayolalamikiwa kuwa nibaadhi ya wananchi wenyesifa kunyimwa vitambulishovya ukaazi, kukoseshwa

    haki za kushiriki katikachaguzi mbalimbali pamojana kuwepo malalamikokuwa vikosi vya serikaliya Mapinduzi ya Zanzibar,baadhi ya wakati hutumikavibaya hasa katika masualaya uchaguzi.

    Hata hivyo, MaalimSeif alisifu mchango waNorway kwa Zanzibar katikakusaidia kukuza demokrasia,upatikanaji wa nishati yaumeme vijijini pamoja nakusifu mchango mkubwawa nchi hiyo katika suala

    Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad

    la uhifadhi wa mazingiraZanzibar.

    Ma a l im S e i f a m etoawito kwa Noway kuzidikushirikiana na Zanzibarkatika nyanja za uvuvi wabahari kuu, sekta za elimu

    na afya na kuendeleza elimya uhifadhi na mazingira, ikuilinda Zanzibar na hatainayojitokeza ya eneo lakla ardhi kuliwa na maji ybahari. (Habari kwa hisanya OMKR)

    TANZANIA imetoa witokwa serikali za nje kutoahifadhi za kisiasa kwaw a l e w a l i o s a m e h e w amashtaka yanayohusianana mauaji ya kimbari ya1994 huko Rwanda nawale walioachiliwa baada

    ya kutumikia kifungogerezani, AFP iliripoti.Wito huo umetolewa

    Jumamosi Novemba 8 naMakamu wa Rais Dk. GharibBilal.

    "Kwa unyenyekevuninawaomba wawakilishiwa serikali walio hapakuona namna unavyowezakuchukua jukumu hili lakimataifa kwa kukubalik u w a t a f u t i a m a h a l iwa tu wa l iosa m eh ewana walioachiwa huru,"

    Tanzania yawaombea hifadhi WanyarwandaNa Mwandishi Watu a l i n u k u l i w a a k i s e m a

    Makamu wa Rais GharibBilal.

    Tanzania ni mwenyeji waMahakama ya Kimataifaya Jinai ya Rwanda (ICTR),lakini mahakama hiyoimepangwa kufungwamwishoni mwa mwaka huu.

    Hatima ya watu nane

    waliosamehewa mashtakahuko ICTR, na wenginewatatu waliotumikia vifungona sasa wanaishi kamawafungwa katika nyumbasalama huko Arusha badohalijatatuliwa.

    Wengine 11 wameendeleak u b a k i k a t i k a u l i n z ina inadaiwa wamesemahawawezi kurudi Rwanda.

    I C T R i l i a n z i s h w akusimamia mashtaka yamauaji ya kimbari ya mwaka1994, ambapo watu wapatao

    800,000 waliuawa, wengi wakutoka jamii ya ya Watutsi

    "Moja ya kushindwk w a I C T R a m b a kt u n a w e z a k u j i f u n zkuhusiana na kushindwk w a k e k u w a s a i d iwale waliosamehewa.wakiondoka Tanzania nkwenda kuishi maisha ya

    ya kawaida," alisema msajiwa ICTR Bongani Majola."Ni dhahiri hali ya

    inawakilisha changamotkubwa za haki za binadamambazo zinahusika nmsaada wa jumuiya ykimataifa." Aliongeza.

    W a n y a r a n d wwaliokuwa na tuhumndogo, walihukumiwa nmahakama za Rwanda nmaelfu kadhaa ya mahakamza chini, zinazojulikankama gacaca, zilizowekwa nserikali ya Rwanda. (sabahi

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    7/16

    7 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Makala

    Inaendelea Uk. 1

    MLIPUKO wa kirusi hataricha Ebola Afrika Magharibi,ambacho kimeua zaidi ya

    watu elfu tano mpaka sasa,umeanza kuwa suala lakushughulikiwa katika ngaziya dunia zilipotoka tu taarifaza raia kadhaa wa nchi zaMagharibi kuambukizwaugonjwa huo.

    Hata baada ya hapo, badomwitikio wa jumuiya yakimataifa haujawa wa kutosha,ambapo maasa wa Umoja waMataifa wameripoti kwambamaombi ya dola bi l ionimoja yaliyoletwa kwa ajiliya kupambana na Ebola, niasilimia 25 tu ndiyo iliyotolewa.

    Bwana Stephen Hall, AsaMtendaji Mkuu wa kampunimoja ya madawa anafafanuakwanini:

    " W a w e k e z a j i w e t uhawajahamasika kutoa fedhakwa ajili ya kutengeneza chanjoya Ebola, ambapo mpakasasa, hili limekuwa ni tatizo laulimwengu wa tatu."

    Anaongeza bwana Hall:"Hata sasa ambapo Ebolaimeingia kwenye nchi zingine,wawekeza j i wetu badohawajaonyesha hamasa ya

    kutosha. Wanasukumwa zaidina manufaa ya kiuchumi".Kuacha kufanya utafiti

    wa kutengeneza chanjo yaEbola kutokana na ukosefuwa motisha za kifedha kwazaidi ya miaka 40, ni ushahidimzito kwamba makampuniy a m a d a w a y a m e w e k akipaumbele zaidi kwenye faidakuliko maadili.

    Ebola ni Kirusi hatarisana. Kimepata jina lake hilokutoka mto Ebola uliopoCongo, ambapo ugonjwahuo ulionekana kwa mara

    ya kwanza mwaka 1976."Ugonjwa huu ni miongonimwa magonjwa hatari sanaya kuambukiza ambayoyamewahi kufahamika kwawanadamu na kasi yake yakuua ni ya kutisha" anasemaDk.Graham Fry wa 'TropicalMedical Bureau' mjini Dublin.

    Mpaka sasa hakuna tiba walachanjo iliyothibitishwa kwaajili ya kupambana na Ebola.Hali hii haitokani na upya wakirusi cha Ebola kwa sababukirusi hiki kimekuwepo kwa

    EBOLA - Janga la kuthamini zaidi faida kuliko uhaiSaid Rajab. zaidi ya miongo minne.Tatizo

    ni ukosefu wa fedha za utatiwa kutengeneza chanjo yake.

    Michael Katze, Profesa wa'microbiology' katika Chuo

    K i k u u c h a W a s h i n g t o nnchini Marekani amesema:"Tum ei s om a Ebol a kwatakriban muongo mmoja nawakati wote tumevutiwa naEbola.Imekuwa kama kirusimashuhuri cha virusi vyote"anasema Prof.Kae.

    A n a o n g e z a z a i d i :"Makampuni makubwa yamadawa hayako kwenye

    bi as hara ya hi sani , mpakawapate fedha, bila hivyohawatashughulika kabisa nachanjo ambayo siyo muhimukatika nchi hii"

    Ukizama kwa kina kwenyetasnia ya madawa, utaelewakwanini chanjo ya virusi vyaEbola haijagunduliwa mpakasasa. Makampuni ya madawaduniani yanapaswa kuzingatiakanuni kal i za udhibi t izinazojulikana kama FDA,ambazo haziruhusu kabisadawa zilizoshindwa majaribioya kitaalamu kuingia sokoni.

    Matokeo yake, makampuniy a m a d a w a y a n a l e n g azaidi kufanya utafi t i nakutengeneza dawa ambazo

    zitaweza kulipia gharama zaowalizowekeza,ikiwa ni pamojana kuleta faida nono. Kwahiyo katika muktadha wa sasa,ili kampuni ya dawa iwezekubaki, inahitaji kugunduadawa i takayouzika kwagharama kubwa kila baada yamiaka michache.Yaani,dawaitakayoweza kuingiza mabilioniya dola.

    Sasa magonjwa 'yatima' kamaEbola yanaangukia kwenyekipengele cha bidhaa zenyemasoko madogo, kwa sababumagonjwa hayo yanawaathiri

    tu watu walio kwenye nchimasikini, ambao hawanauwezo wa kulipia matibabuyanayohitaji dawa za gharamakubwa.

    Isitoshe tiba kama hizohuchukua kipindi kifupi tu, niwiki chache siyo miaka mingi,hatua ambayo inamaanishakuna uwezekano mkubwa wakupata hasara kuliko faida.Kwa hiyo hali hiyo imeondoarasilimali fedha kwenye utatiwa kirusi cha Ebola.

    Kwa mujibu wa mchambuziwa Shirika la 'IBIS WorldHealthcare' Sara Turk, mara

    mtu anapotumia dawa za Ebola,hatakuwa na sababu tena yakuendelea kununua dawahizo, hali ambayo inamaanishauwezekano mdogo wa mapatokutoka kwenye dawa za Ebola.

    Kwa hiyo, makampunimakubwa ya dawa hayakotayari kuwekeza kiasi kikubwacha rasilimali zinazohitajikakatika kutengeneza dawa yakutibu Ebola.'Model' hii yakibiashara inajulikana vyemana imeleta utata mkubwakwa kipindi kirefu. Mfano

    magonjwa kama HIV, maelfuya wagonjwa kutoka Afrikawalikataliwa tiba ya vidongekwa sababu tu serikali zaohazikuwa na uwezo wakununua dawa hizo.

    Hivi sasa kuna mzozokuhusu utengenezaj i wadawa mpya aina ya 'antibiotic'ambayo inahitajika sana katikakupambana na aina mpya ya

    bakteria ambao ni sugu kwa'antibiotics' zilizopo.

    Andrzej Rys, Mkurugenziwa Mifumo ya Afya na bidhaawa Umoja wa Ulaya amesema:

    "Jumuiya ya Ulaya inafahamuka kwamba miaka mingi yamafanikio ya kupambana na

    bakteria sasa inatishiwa nakuibuka upya na kuenea kwavimelea vilivyo sugu kwa dawahizi za msingi.Vimelea suguni moja ya changamoto kubwaza afya ulimwenguni, wakatihuo huo kuna upungufu wauwekezaji kwenye sekta yadawa katika kutengenezadawa mpya zenye ufanisi zaidikatika kupambana na bakteria.Matokeo yake ni kwamba

    msingi wa kutengeneza dawmpya za kupambana n

    bakteria haupo tena."

    Bwana Klaus DembowskyMganga Mkuu wa Kampuni yPolythor amefafanua kwambukosefu wa 'antibiot icsmpya ni ukosefu wa mapatyanayoletwa na dawa kamhizo: "Sababu ya makampunmengi kuacha kujikita kwenymaeneo hayo ni ukosefu wfaida kutokana na uwekezaunaofanyika"

    Lakini hakuna kinachowezkufanyika ili kubadili huutegemezi wa dawa kutokmakampuni binafsi chin

    ya m fum o wa Ubeberunaotawala dunia. Mfumhuu unaendeshwa na mfumwa uchumi wa soko huriaNguvu ya soko na bei ndizzinazoendesha uchumi.

    H a t a M k u r u g e n z i wShir ika la Afya Dunian(WHO) Margareth Chan pianashangazwa na mwenendhuu wa m akam p uni ymadawa:

    "Ebola imeibuka takribamiaka 40 iliyopita. Kwaninmpaka leo madaktari wakmikono mitupu, hawan

    chanjo wala tiba?" Anajijibmwenyewe. "Kwa sababEbola umekuwa ni ugonjwaambao kihistoria na kijiograumejikita kwenye mataifmasikini. Sekta inayoendeshwkwa faida haiwekezi miradkwenye masoko ambayhayalipi."

    Ubeberu haukubuniwa iutoe maamuzi kwa kuzingatimaadi l i , i s ipokuwa kwkuzingatia kikamilifu maslah

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    8/16

    8 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Makala

    Kiasi wiki moja iliyopitakulikuwa na mjadala usiorasmi, kule Zanzibar, watu

    wakijadili hali iliyoibuka hivisasa ya baadhi ya makundi yaSalafi huwapachika Waislamuwenzao ukafiri na kuwatiamotoni. Mwalimu mmoja wachuo (madrasa) akaeleza kisakimoja ambapo alikutana nammoja wa Salaf hao na katikamazungumzo yao akasema kuwamasheikh wote wa Zanzibarakiwataja baadhi kwa majina(tunayahifadhi) -wasio kuwaSalaf wa mtizamo wake, kwambani Kilabu n nari, kwa maanakuwa ni mbwa wa motoni.

    Katika mazungumzo hayoikabainishwa kuwa baadhi yaSala hao, wamerejea masiku yahivi karibuni kutoka masomoniYemen na wanapigania kushikauongozi wa Misikiti mbalimbalihuku wakifanya juhudi kubwamitaani kupata wafuasi.

    Watu hawa japo wanaonekana

    k u w a k u n d i m o ja , l a k i n iwamegawika katika makundimawili. Wote wanaunganishwa namtizamo mmoja wa kuharamishamambo mengi ikiwemo elimuya mazingira na kushir ik inyingi ya shughuli za kijamii nakimaendeleo katika jamii. Lakinipia wanaungana katika itikadiya kuwatia Waislamu wenginewote katika ukari na kuwaonaadui namba moja ndio wafuatiemakafiri halisi, Mayahudi nawashirikina. Kwa hiyo wanasemakama ni kuanza kupambana, basiwa kuanza nao ni hawa Waislamuwasio Sala Takri. Ndio palekijana mmoja aliyeacha shule

    akiwa kidato cha tano kule Ungujaanasema kuwa bora mkeweatibiwe na John, au kari yoyote,lakini sio Muislamu asiye Salakama yeye.

    Wakiungana katika hayo,lakini miongoni mwao wapowanaohimiza watu kushikasilaha wakidai kuwa kufanyadawah ya namna yoyote ileni kupoteza muda. Hawa ndiowanahimiza watu kuacha shule,kuacha ajira zao, biashara nashughuli nyingine za kimaisha,wakapige kambi wajifue wajekupambana na makari wakianzana Waislamu wasio kuwa wao.Yaliyojiri hivi karibuni kwa baadhiya vijana kuacha shughuli zao nakujichimbia kule Kilindi, linaletapicha hiyo.

    Lakini wapo wengine ambaowao husema kuwa hakuna hajaya kupambana kwa silaha. Hatakama unaishi katika serikali isiyoya Kiislamu, wewe huna haja yakuibughudhi. Usiiguse serikali/mamlaka hata ikiwa ya kikari. Itiimaadhali haikubughudhi katikakutekeleza usala wako.

    N i l i w a h i k u a m b i w a n aMuislamu mmoja kutoka Mwanzakuwa baadhi ya hawa SalafiJihadia, walikuwa wakisema katikammoja ya misikiti waliyokuwawakiwaidhi Mwanza kuwa

    Ajabu kuwaita MasheikhNi 'mbwa wa Jahannamu'

    Hii ni itikadi ya Uyahudi Vs ma-goyimTusipokuwa makini na sera za Takfri

    Mguu utaota tende na majuto ni mjukuu

    Mipango ya Yahudi Oded Yinon inatimia

    Na Omar Msangi wakianza Jihad ya kupambanna makafiri, wataanza na walwalio katika taasisi za KiislamuWakazitaja kwa majina baadhi yshule za Kiislamu. Sasa ukisikmaneno kama haya, inakujengewasiwasi na dhana kuwa huendyale yaliyokuwa yakidaiwkuwa kuna watu walimwagiwtindi kali kule Arusha kwa vilhawakubaliani na misimam

    fulani, huenda ikawa ni kweli.Zipo taar i fa z imeto lewkuelezea maafa yaliyokwishkuletwa na Boko Haram kulNigeria katika muda wa miaksita toka ilipoanza mashambuliya silaha. Taarifa zinaonyeshkuwa maelfu ya watu wasio nhatia wameshauliwa, wakiwemWakristo, Waislamu, wanawakna watoto, polisi, wanafunzi nhata wanajeshi. Pamefanyikpia uharibifu mkubwa kutokanna kulipuliwa majengo, vituvya polisi, maduka, shule, vyumagari ya abiria na kuchoma motnyumba/makazi ya watu katikvijiji mbalimbali.

    Leo ukisikia mtu akisemkuwa Boko Haram wanapiganUislamu au ukisikia kuwa kunmtu anasema kuwa Waislamwenzake ni mbwa wa motonilazima uwe na wasiwasi kuwtunao Salafi Takfiri miongonmwetu.

    Nani Salaf Takfri

    Labda tujiulize nani SalaTakfiri na nini itikadi yao nmtizamo wao. Watafiti wengwaliotati kundi hili, wanasem

    SHUKRI Mustafa alizaliwatarehe 1 Juni, 1942, katikakijiji cha Abu Khurus,

    kiasi kilometa 30 kusini mwamji wa Asyut, Misri. Mwaka1965, wakati akisoma katikaChuo cha Kiislamu cha Sayansiya Kilimo, Shukri alikamatwakwa kuhusishwa na harakati zaIkhawan (Muslim Brotherhood.)

    Akiwa jela, Mustafa na kundi lawafungwa wengine, walijitengana wenzao na kuunda kundiwalilolipa jina la Jama'at al-Muslimun (Muslim Society),ambalo ndilo baadae lilikujakujulikana kama Takfir w'al-Hijra. Katika kujitenga kwao,waliwashutumu Ikhwan kuwawanashirikiana na serikali yakikari ya Gamal Abd al-Nasserkupambana na Mayahudi .Msimamo wao ukawa kuwawapambane kwanza na Waislamuwalioitakidi kuwa ni makari kamaNasser, ndio wamgeukie Yahudi.Na alipotoka jela mwaka 1971ndio akaimarisha zaidi msimamohuo na kutafuta wafuasi. Hatahivyo, wengi hawakukubaliananaye, hasa alipokuja na mbinuza kuuwa Waislamu na kutekanyara ili kupata pesa hata ikibidi

    Shukri Mustafa (1942-1978)kuuwa akiitakidi kuwa kuibapesa, na hasa ya kari (wakiwemoWaislamu wasio kuwa katikamtizamo wake) ili itumike kwaJihad, sio mbaya.

    Shukri na kundi lake la Jama'atal-Muslimun, walijitenga na jamiiwaliyodai kuwa ni ya kikafiriwakaenda kuishi mbali na watu,wakidai kuwa wanafanya hivyowajiandae wakipata nguvu ndiowaje kupambana na Waislamuwa Misri waliowaita makafiri.Kufanya hivyo, wanasema nikumuiga Mtume (s.a.w) aliyehamaMakkah kwenda Madina baadae

    ndio akarudi akiwa na nguvu.Ukiacha hilo, waliharamishakaribu kila kitu wakianza naelimu ya mazingira. Walidai kuwahakuna sayansi, sayansi ni Mungutu.

    Kama nilivyosema, hawa awaliwenyewe wakijiita Jama'at al-Muslimin , walikuja kuitwa al-Takr w'al-Hijra. Takr ikitokanana kile kitendo cha kuwatia ukari-kufr (indel) Waislamu wenzaona kuhama miji. Shukri akasemahata kama Misri itavamiwa naMayahudi, utakuwa ni ukafiriwa kumpeleka mtu motoni kamaatasimama pamoja na jeshi laAbdul Nasser kupambana na

    Mayahudi. Bora mtu ukimbiuache Yahudi ateke nchi, ukipatnguvu ndio urudi upigane nYahudi kumtoa ndani ya nchi.

    Pamoja na kupiga marufukkusoma kemia, jiograa, sayanya jamii na ile ya mazingir(natural sciences), Shukri alipigpia marufuku kufuata fatwa zMaimamu wanne-Shai, MaliAbu Hanifa na Hanbal.

    Pamoja na mkakati na mtizamhuo wa kujitenga na jamii, ndiwarudi kupambana na Waislamna makafiri wengine, Shukrhawakuweza kutimiza lengla kuwa na kundi la WaislamSala wa kupambana na jeshi serikali. Kinyume chake wakabakwakipora mali za watu na kutekwatu nyara ili wapewe pesa kwkubadilishana. Walifanya hivkwa fatwah ya Shukri kwambkupora mali ya Muislamu asiySala kama wao au Kari yoyotni halali ilimuradi tu baadhi ypesa hiyo uitumie kwa Jihad.

    Ni katika mwaka wa 197walimteka Waziri katika serikaya Anuwar Saadat wakitarakupewa pesa na serikali, lakinhawakupata. Shukri Mustafakakamatwa na kunyongwtarehe 19 Machi, 1978.

    Inaendelea Uk.

    MAKAMU wa Rais Dkt. Mohamed Gharib Bilal (wa pili kulia) akikaribishwana mdhamini wa jumuiya ya Istiqama Sheikh Suleiman Nassor Msellemkatika hafa ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu 1436 Hijiria katikaukumbi wa Karimjee DSM mwishoni mwa wiki.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    9/16

    9 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Makala

    Ajabu kuwaita Masheikh ni 'mbwa wa Jahannamu'Inatoka Uk. 8imekuwa vigumu kujua lini nanani hasa mwanzilishi wa kundihili, lakini historia ya hivi karibuniinaonyesha kuwa Shukri Mustafa,kutoka Misri, ndiye aliyelipauhai na kuwa kiongozi wakeakitambulika Misri na nje yahapo. Huyu baada ya kutokajela al ikok uw a am efun gw a,alisema kuwa kuishi katikajamii ya kikaf iri ni ukafiri kwahiyo akahama akiishi mbali nawatu huku akitafuta wafuasi wakupigana Jihad akisema kuwa wakwanza kuanza nao ni Waislamu

    wa Misri na serikali ya Misri kablaya kuwageukia Mayahudi.Kundi lake likiitwa al-Takr wa

    al-Hijra (ATWAH), alihalalishavitendo vya mauwaji, uporaji nakuteka nyara kama namna mojawapo ya kukabiliana aliowaitamakari na vibaraka wa makari.Katika utati na uchambuzi wakealiouchapisha kwa anuwaniya Jihad Without Rules: TheEvolution of al-Takr wa al-Hijra(Publication: Terrorism MonitorVolume: 4 Issue: 13, June 29, 2006),mwandishi Hayder Mili anasemakuwa Mustafa:

    was able to justify theft,

    kidnapping, forced marriages andeven the assassination of anyonewho was not part of the group (suchas apostates). Most of these core

    precepts are still loosely followed bycontemporary Takr groups.

    Kwamba Mustafa alihalalishawizi, utekaji nyara, ndoa za lazimamauwaji, kuuwa yoyote asiyekatika kundi lake akidai kuwahao ni makafiri. Lakini zaidianasema kuwa mtizamo huo badounafuatwa na baadhi ya watu(Waislamu) hadi hii leo.

    N a j a r i b u k u y a t i z a m ah a y a a n a y o s em a H a y d er ,na kuyalinganisha na yaleyaliyodaiwa kuhubiriwa naba ad hi ya wa tu ha pa nc hi niyakihalalisha kuuwa na kuporamali. Nayalinganisha pia nayale yanayodaiwa kufanywana Boko Haram kule Nigeriaya kuteka watoto wa shule namadai ya kuwaoza kwa nguvu!Yalinganishe pia na haya madaiya baadhi ya watu wanaodaikuwa wakianza kazi wataanzana hawa walio katika taasisi zaKiislamu ambazo wanadai kuwazenyewe na wanaoziendeshahawana shaksia za Kiislamu!

    Kat ika sehemu nyingine

    mwandishi Hayder anasema:Takr is able to legitimize criminal

    activities, justifying these activitiesthrough the theory of the fay'e (thelicit) by appropriating the goods and

    property of infidels and apostates.Criminal activities like theft anddrug tracking are thus encouragedif one-fth of the proceeds are used tofund the jihad.

    Kwamba ni halali kupora maliya kari (na Muislamu asiye SalaJihadia) ilimuradi tu pesa au malihiyo utatoa sehemu yake kwaajili ya Jihad! Hebu yachambuehaya anayosema ulinganishe na

    yale yaliyokuwa yakisemwa kuleMwanza kuwa ni ujinga kulalanjaa wakati kari ana mali! Na ileya kuhimiza kuwa na silaha bilakujali unaimiliki kwa mujibu washeria au la!

    Ni kutokana na msimamo huo,Shukri alianzisha vikundi vyautekaji na mauwaji. Mwaka 1977alimteka Waziri mmoja katikaserikali ya Misri, aliyekuwa piamiongoni mwa Masheikh wakuaminika, akataka alipwe fedhandio amwachie. Serikali ilipokataakulipa, akamuuwa Waziri huyo.Hapo ndipo serikali ikamkamatana kumuuwa mwaka 1978.

    H a t a h i v y o , p a m o ja nkuuliwa kwake, wafuasi wakwaliendeleza harakati ambapwalisambaa katika nchi za SudanSyria, Yemen, Jordan, Lebanona baadhi ya nchi za AfrikKaskazini. Ipo mifano mingambapo Sala hawa wamehusikkatika kushambulia watu mpakndani ya Misikiti na kuuwa katiknchi za Sudan, Lebanon, MoroccMisri na Uturuki.

    Swali ambalo bado tunatakiwtulijibu ni hili: Hii itikadi nmtizamo wa kuwaona Waislamwaliotamka shahada kuwa n

    mbwa wa motoni wanaostahikkuuliwa inatoka wapi?Mwandishi Jonathan Azazia

    akihitimisha utati wake alioupjina The Takri Gy Golem: ISIJa bhat al Nusra, Thei r Israemasters and the repackaged Zio iwar on Islam, anasema ISIS shouchange its name to IGGSIS: IsraelsGoy Golem in Iraq and Syria.

    Baada ya kuonyesha kwushahidi wa nyaraka mbalimbakwamba ISIS na Jabhat al Nusrzimeanzishwa na zinaendeshwna Mayahudi/mabeberu, anasemkuwa itikadi inayofuatwa n

    RAIS Barack Obama ameanzishamfululizo wa Marekani kupigamabomu nchini Irak dhidi ya kilekinachoitwa jeshi la uasi la Dola yaKiislamu (IS).

    Magaidi hao wa Dola ya Kiislamuwanaonyeshwa kama maadui waMarekani na nchi za Magharibi.Kwa vielelezo vingi, imedhihirishwakuwa Dola ya Kiislamu ni kitukilichoundwa na mashirika ya ujasusiya nchi za Magharibi zikiungwamkono na CIA na Mossad ya Israel,na kuwezeshwa kifedha na Saudiana Qatar.

    Tunachoangalia hapa ni mpango

    wa kijeshi wa kudhamiria ambakoMarekani inaelekeza nguvu zakedhidi ya jeshi la uasi ambalo linapewafedha na Marekani na washirikawake. Kuingia nchini Irak kwa Dolaya Kiislamu kuelekea mwisho wamwezi Juni kulikuwa sehemu yampango wa kijasusi ulioandaliwakwa uangalifu.

    Waasi wa Dola ya Kiislamu,waliokuwa wakiitwa ISIS, walikuwawakipata misaada ya siri kutokaMarekani-NATO - Israel kuendeshavita ya kigaidi dhidi ya serikali yaSyria ya Bashar el Assad. Uhalifu

    Kuvunjwa kulikoandaliwa na kupanguliwa kisiasa kwa Irak:

    Hatua kuelekea kuundwa na Marekani kwa dola ya KiislamuDola ya Kiislamu ya Irak na Shamu: Nyenzo ya mfungamano wa kijeshi wa nchi za Magharibi

    Na Profesa Michel Chossudovsky(Global Research, Agosti 27, 2014)

    RAIS Barack Obama wa Marekani.

    dhidi ya binadamu uliofanywa nchiniIrak unafanana na ule uliofanywanchini Syria. Wafadhili wa IS akiwemoBarack Obama wana damu mikononimwao.

    Kuuawa kwa raia wasio na hatia namagaidi wa Dola ya Kiislamu kunatoakisingizio na uhalali wa kuingiliakijeshi kwa Marekani kwa misingi

    ya kutoa misaada ya kibinadamu.Ili tusisahau, waasi waliofanyauhalifu huo na ambao wanalengwana operesheni ya kijeshi ya Marekaniwanaungwa mkono na Marekani.

    Mashambulizi ya mabomuyaliyoamrishwa na Obama hayanalengo la kuwaondoa magaidi hao, ilakinyume chake. Marekani inalenga

    rais wa kawaida na makundi ywapiganaji wa Irak wanaoping

    utawala ulioko madarakani.Lengo halisi ni kupangua misinya dola ya Irak kama taifa nkuwezesha kuigawa nchi hiyo katikvipande vitatu.

    Kuundwa kwa Dola ya Kiislamkumetangazwa. Dola ya Kiislamu yIrak na Shamu (ISIOS) imebadilishwna kuwa Dola ya Kiislamu (IS). Doya Kiislamu siyo asasi huru ya kisiasNi mradi wa kubuniwa na vyombvya ujasusi vya Marekani.

    Vyombo vya habari vya nchi zMagharibi vimekuwa vikielezemapigano yanayoendelea nchinIrak kama "vita vya wenyewe kwwenyewe" kati ya Dola ya Kiislamya Irak na Shamu dhidi ya majeshya serikali ya Al Maliki.

    Mafarakano hayo yanaelezw

    kuwa ni "vita ya makundi ya kidinkati ya wa-Sunni wenye siasa kali nwa-Shia bila kuangalia "nani yuknyuma ya vikundi hivi." Kilichopdhahiri ni agenda iliyopangwa kwuangalifu na ujasusi wa kijeshi wMarekani.

    W akiwa wan af ah am ika nvielelezo tele vipo juu yao, vikundvilivyochipua kutoka Al Qaedvimekuwa vikitumiwa na MarekanNATO katika mifarakano maridhawkama 'nyenzo za kijasusi' tangu en

    Inaendelea Uk. 1

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    10/16

    10 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Makala

    EBOLA - Janga la kuthamini zaidi faida kuliko uhaiInatoka Uk. 7

    ya kiuchumi,kama anavyobainishaDk.John Ashton, Rais wa Kitivo chaAfya ya Umma nchini Uingereza:"Lazima pia tupambane na jangala Makampuni ya Madawa

    kutotaka kuwekeza kwenye utatiwa kutengeneza tiba na chanjo.Wanakataa kwa sababu faidainayopatikana, kwa mtazamowao, ni ndogo sana kuhalalishauwekezaji unaofanyika".

    M w a k a h a d i m w a k a ,M a k a m p u n i y a M a d a w ayanaogelea kwenye faida kubwa.Kuanzia mwaka 2003 mpaka2012,Makampuni makubwa yaMadawa yalitengeneza faidainayokadiriwa kufikia DolaBilioni 711.4. Mwaka 2012 pekee,Kampuni moja tu imetengenezafaida inayokaribia Dola Bilioni85. Kwa mujibu wa Taasisi yaIMS Health, ambayo inaongozaduniani kwa utati wa hudumaza afya, masoko ya dunia kwamadawa yanatarajiwa kuzidiDola Trilioni Moja katikamauzo ikapo mwaka 2014.

    Ungetarajia kwamba kiasicha madawa ya kuokoamaisha kingeongezeka dunianikutokana na ongezeko hilo lafaida, lakini hali haiko hivyo.Dawa chache sana muhimuzimeingizwa sokoni katikamiaka ya hivi karibuni na hizozimetengenezwa kutokana nautati uliodhaminiwa na fedha

    za walipakodi.Kama zilivyo sekta nyinginezote kwenye Ubeberu, uchumiwa soko huria umeruhususekta ya madawa kuwa nanguvu, msuli wa kisiasa naushawishi wa kijamii, na hivyokudhibiti kabisa maamuziya s er i ka l i . Ser i ka l i zaMagharibi hazina kauli kwaMakampuni makubwa ambayoyanamilikiwa na matajiri.

    H i l i j a n g a l a E b o l ahaliko tu kwenye sekta yamadawa, lakini pia serikaliz a M a g h a r i b i , a m b a z ozilianza kuchukua hatua kwa

    mlipuko wa ugonjwa huo,mara tu watu wa Wamagharibiwalipoambukizwa,licha yaugonjwa huo kusambaa tanguDesemba 2013, katika nchi zaAfrika Magharibi, zikiwemoGuinea, Liberia na Sierra Leone.

    B a a d a y e s a n a , n d i p oRai s Barack Obam a waMarekani,alipoanza kuchukuahatua za kudhibiti ugonjwahuo ambao ni tishio kwa dunia,kwa kupeleka wanajeshi 3000katika maeneo maalumu baraniAfrika, ili kutoa msaada wamatibabu na lojistiki. Uingereza

    nayo ikafuata mkumbo wakupeleka wanajeshi, meli nandege katika maeneo ya AfrikaMagharibi yaliyoathiriwa naEbola.

    Kwa hi yo , waathi r i ka

    wa virusi vya Ebola nawale watakaoathirika sikuzijazo, siyo tu ni waathirikawa ugonjwa huo, bali pia niwaathirika wa unyama waUbepari. Mimi siyo shabiki wafalsafa za Mwalimu Nyerere,lakini namuunga mkono sanakatika kauli yake ya "Ubeparini Unyama".Sasa naelewavizuri sana Mwalimu alikuwaanazungumza nini.

    Ubepari ni mfumo wamaisha ambao unaifungamisaada ya kibinadamu namaslahi ya kisiasa au faida zakiuchumi. Hiyo ndiyo sababu

    ugonjwa ambao umejulikanakwa zaidi ya miaka 40, ambapotiba ingeweza kutafutwa,ukapuuzwa kabisa.

    Sasa hapo ndipo utakapoonaubora wa Uislamu.Uislamuunapinga kabisa kutoa misaadaya kibinadamu ili baadayeujipatie manufaa ya kifedha.Uislamu unaibana Dola yaKiislamu kisheria kuwasaidiawale wanaohitaji tiba, maji,chakula, elimu na mahitajimengine muhimu ya kijamii,

    bila ya kujali kama ni Waislamuau siyo Waislamu.

    Sultan Abdul Majid wa Dolaya Kiislamu ya 'Uthmaniyya'alituma meli za misaada yavyakula kwenda Ireland, ambayoilikumbwa na janga kubwa la njaamwaka 1847.

    Historia inaonyesha Dola yaKiislamu iliweka mazingiramazuri ya kuendeleza Sayansina Teknolojia, msukumoukijikita kwenye kuhudumiam as ua l a yanayowahus uwatu kuliko kupata faida zakiuchumi.

    K a t i k a f a n i y a T i b a ,mwanasayansi wa Kiajemia l i y e j u l i k a n a k a m a

    I b n S i n a a u A v i c e n n ak a m a a n a v y o f a h a m i k ak a t i k a u l i m w e n g u w aMagharibi,aliandika kitabuchake mashuhuri "The Canonsof Medicine"(Misingi ya Tiba),ambacho ndiyo kil ikuwakitabu mashuhuri cha kiadakinachofundishwa kwenyevyuo vikuu vya tiba dunianimpaka karne ya 18.

    Katika kitabu hicho, IbnSinna ametambulisha asili yamagonjwa ya kuambukiza,matumizi ya karantini kudhibitikuenea zaidi kwa maambukizi,

    magonjwa yanayotokana nahali ya ubongo kama kifafa,kiharusi na kichaa, ikiwemodalili na matatizo ya kisukari.

    M a e n d e l e o y a T i b ayal iyofikiwa, yal i tokanana Waislamu kuzingatiakikamilifu amri za MwenyeziMungu kama zilivyobainishwandani ya Qur'an na Sunna,ikiwa ni pamoja na Hadith yaMtume inayosema: "Hakunaugonjwa ambao MwenyeziMungu ameuumba, isipokuwa

    am eleta na tiba yake"(SahiBukhary).

    Uwepo wa tiba kwa kilugonjwa na kushughulikimasuala yanayowahusu raiwaliokuwa wakiishi ndani yDola ya Kiislamu, viliwasukumWaislamu kupiga hatua kubwkatika utafiti wa tiba. Hiyndiyo tofauti kati ya Uislamu nUbeberu. Uislamu unathaminuhai wa binadamu kuliko kitkingine chochote.

    TANGAZOS.S.M.F

    SHEIKH SHARIFF MIKIDADI MATONGO

    Ni Yule aliyeanza kutangaza Dini ya Kiislamu toka akiwa mtotokabisa akitokea Mkoani Tabora. Baada ya safari zake za nchimbalimbali Afrika kwa mara nyingine tena atafanya mkutanomkubwa JIJI DAR ES SALAAM.

    Wapi: Katika viwanja vya Jangwani-DSM.Siku: Jumamosi-15/11/2014 hadi 16/11/2014.Muda: Saa 8:00-12:00-Jioni.Sheikh Shari, ataambatana na Wahadhiri mbalimbali akiwemo

    bingwa wa usomaji Qur an, Ust. Rajai Ayoub. Pia itafanyika DUAkwa watu wenye matatizo mbalimbali.

    Nyote mnakaribishwa kuwaidhika.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    11/16

    11AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Makala ya Mtangazaji

    Hatua kuelekea kuundwa na Marekani kwa dola ya KiislamuInatoka Uk. 9za vita vya Urusi nchini Afghanistan.Nchini Syria, kundi la Al Nusrah nawaasi wa ISIS ni askari wa miguu wamfungamano wa kijeshi wa nchi zaMagharibi, ambao unasimamia na

    kudhibiti kusajili na kutoa mafunzokwa makundi ya wapiganaji. Kundilinalotokana na Al Qaeda la Dola yaKiislamu ya Irak (ISI) lilitokea mweziAprili 2013 likiwa na jina tofauti naufupisho mwingine, kwa kawaidalikiwa linaitwa Dola ya Kiislamuya Irak na Syria (ISIS). Kuundwakwa asasi ya kigaidi inayojitanuandani ya Irak na Syria kwa pamojailikuwa sehemu ya ajenda za ujasusiwa kijeshi wa Marekani. Ilikuwainaendana na mahitaji ya kimkakatikatika eneo hilo. Ilifuatana vile vile namwelekeo wa ushindi wa majeshi yaserikali ya Syria dhidi ya uasi nchinihumo unaofadhiliwa na Marekanina kushindwa kwa makundi ya JeshiHuru la Syria (FSA) na makundimengine "ya upinzani" ya kigaidi.

    Uamuzi ulichukuliwa Marekanikupeleka misaada yake (kisiri) kwakundi la kigaidi ambalo lingekuwakinafanya operesheni zake ndaniya Syria na Irak na ambalo linamiundombinu ya kivita katika nchizote mbili. Mradi wa Dola ya ki-Sunni wa Dola ya Kiislamu ya Irak naShamu inaendana na agenda ya mudamrefu ya Marekani ya kuzigawaIrak na Syria katika maeneo matatutofauti: dola ya Kiislamu ya ki-Sunni,dola ya ki-Shia ya Kiarabu na Jamhuriya Kurdistan.

    Wakati serikali kibaraka waMarekani nchini Irak inanunuasilaha za kisasa kutoka Marekaniikiwa ni pamoja na ndege za kivitaza F-16 kutoka kampuni ya Lockheed

    Martin, Dola ya Kiislamu ya Irak

    na Shamu - ambayo inapigana namajeshi ya serikali ya Irak - inaungwamkono kisiri na mashirika ya kijasusiya Magharibi. Lengo ni kuchocheavita vya wenyewe kwa wenyewenchini Irak, ambako pande zote mbilizinadhibitiwa kwa njia fulani naMarekani-NATO.

    Kinachotokea ni kuwapa silahana zana nyingine, pande zote mbili,kuwapa fedha na mifumo ya kisasaya silaha halafu 'kuwaacha wapigane.'

    Marekani-NATO inahusika katikakusajili, kutoa mafunzo na kuwezeshakifedha makundi ya wauaji wa ISISyanayoendesha operesheni zao ndaniya Irak na Syria. ISIS inaendeshashughuli zake kupitia njia za kichozenye uhusiano na mashirika ya

    kijasusi ya nchi za Magharibi. Kwa

    upande mwingine , unaodhihirishwana taarifa kuhusu uasi nchini Syria,vikosi maalum vya nchi za Magharibina askari wa kukodiwa wanajiungaISIS.

    Misaada ya Marekani-NATOkwa ISIS inafanyika kisiri kupitiawashirika wakuu wa Marekani, Qatarna Saudia. Kwa mujibu wa gazeti laDaily Express la Uingereza, makundihayo yalikuwa na fedha na silahazilizotolewa na Qatar na Saudia.

    "Kwa kupitia washirika kamaSaudia na Qatar, nchi za Magharibizimeunga mkono makundi ya waasiambayo baadaye yamegeuka kuwaISIS na makundi mengine yenyeuhusiano na Al Qaeda,: kwa mujibuwa gazeti la Daily Telegraph la

    Uingereza, Juni 12, 2014.Wakati vyombo vya habari vinaki

    kuwa serikali ya Waziri Mkuu Nual-Maliki imezituhumu Saudia nQatar kwa kuiunga mkono ISISinashindwa kusema kuwa nch

    hizo mbili zinafanya hivyo kwushirikiano wa karibu na MarekanChini ya bango la vita vya wenyew

    kwa wenyewe, vita ya chini kwchini ya kupambana na nchi hiyinaendeshwa ambayo inachangkatika kuteketeza nchi hiyo, taasizake, uchumi wake. Opereshenhiyo ya siri ni sehemu ya agendya kijasusi, mpango uliodhamiriwambao nia yake ni kuifanya Irak iwni nchi isiyo na mipaka halisi.

    Wakati huo huo, maoni ya watyanaelekezwa kuamini kuwkinachogomba hapa ni mfarakankati ya wa-Shia na wa-Sunni.

    Ukaliaji kijeshi wa Marekannchini Irak umebadilishwa kuingkatika njia zisizo rasmi za vita. Hahalisi inachwa. Kama kipingami

    kinachouma, nchi inayohujuminaonyeshwa kuwa ndiyo inakukuokoa jahazi la "nchi huru ya Irak

    Vita ya ndani ya "wenyewe kwwenyewe" kati ya wa-Shia na wSunni inachochewa na MarekanNATO kwa kuunga mkono serikaya Al Maliki na pia waasi wa ki-Sunwa ISIS.

    Kuvunjika kwa Irak kwa mpangilwa kidhehebu ni sera ya muda mreya Marekani na washirika wake.

    "Kuunga mkono pande zote mbili"Vita "Dhidi ya Ugaidi" kiini chak

    ni kuunga makundi ya Al Qaeda kamsehemu ya operesheni za kijasushalafu kuja kuiokoa serikali ambazzinalengwa na uasi huo wa kigaid

    Ajabu kuwaita Masheikh ni 'mbwa wa Jahannamu'makundi haya na yale ya Takrikwa ujumla, ni ileile ya Kizayuni.

    Kwa mujibu wa itikadi yaKizayuni, binadamu wateulewa Mungu ni Mayahudi pekee.Wengine ni ma-Goyim. Kamawanyama tu mfano wa mbwa,ngombe-ambao, Yahudi akionahana manufaa nao, ni haki yakekuwauwa, kuchukua mali zao nahata huko Akhera hawana fungukwa Mungu.

    The best of the gentiles: killhimHating your enemy {goyim} ispermied, even commanded.

    Hayo ni baadhi ya mafundishoya Uyahudi yaliyo katika kitabucha Talmud , ambayo yanahimizakumchukia na kumuuwa goyim.(Tazama: Ju da is m Di sc over ed :A St ud y Of Th e An ti- Bi bl ic alReligion Of Racism, Self-Worship,Superstition And Deceit; Chapter Talmudic Interpretation Of Scripture,by Professor Michael A. Homan II,Independent History and Research.)

    Kama Uyahudi ulivyo, kwambawatu waliosalimika ni Mayahudipekee, bali wengine ni ma-goyim,ngombe tu, na hawa Sala Takri

    Inatoka Uk. 9 nao, huwaona Waislamu wasiowao kuwa ni kama najisi yakusashwa kwa kuuliwa.

    The best of the gentiles: killhimHating your enemy {goyim} ispermied, even commanded.

    Y a l i n g a n i s h e h a y a n awanayosema Sala Jihad wetu.Hata hivyo, wakati Uzayuniu n a w a k u s a n y a Wa y a h u d iwote, popote walipo duniani nakuwafanya kundi moja dhidi yama-goyim, Uzayuni ulioingizwakatika Sala umechakachuliwa aukuboreshwa ili kutimiza malengoya Mazayuni. Katika Uzayuni waKisala, Waislamu wanafanywakuwa maadui wao kwa wao wakushikiana panga, bunduki namizinga. Na katika muktadhawa sasa hivi wa ISIS na vita dhidiya ugaidi, Usalafi Takfiri huuunatumika kutekeleza mkakatiuliowekwa na Yahudi Oded Yinonmiaka ya mwanzo ya 1980s.

    Mwandishi Stephen J. Sniegoskiameandika makala akihoji nikwanini Israel imekaa kimya tokaISIS ianze harakati zake za vitana mauwaji Syria na Iraq. Katikakujibu swali hilo baada ya kufanya

    utati anasema:What the Islamic State is causing

    in the Middle East is perfectly aunedwith the view of the Israeli Right as best articulated by Oded Yinon in1982 which sought to have Israels

    Middle East enemies fragmented andghting among themselves in order toweaken the external threat to Israel.

    Gazeti la Israel Ha'are tarehe6/2/1982) liliarifu juu ya kilekilichoitwa:. A Strategy for Israelin the Nineteen Eighties.

    Mkakati huo uliobuniwa naOded Yinon, unazungumzianamna ya kuzidhoofisha nchiza Kiarabu na kuibakisha Israelikiwa mtemi pekee mwenyekutamba Mashariki ya Kati.Gazeti hilo Ha'aretz, likasemakuwa mkakati huo utajumuishakuzisambaratisha nchi za Syria naIraq katika vinchi vidogo vidogoShi'ite state, Sunni statena nchi ya Wakurdi. Mkakatinini? Kuwapiganisha Mashia naMasuni na Masuni kwa Masuniili wauwane na kudhoofika.Ndio kile anachosema YahudiOded Yinon kuwa wapigane nakuuwana wenyewe kwa wenyewe

    (wakiamini kuwa wanapiganJihad kusimamisha Khilafah).

    Si jambo la kudhani hivsasa, bali lililo na ushahidi wkutosha kuwa Abu Baghdad, nYahudi Shimon Elliot na kwambkikosi chake ISIS na sasa IslamState, kimeundwa na Mayahudwakishirikiana na mabeberu wNATO kwa lengo la kutekelezule mkakati wa Oded YinonJapo hakuna ushahidi wa mokwa moja kuwa Shukri Musta

    naye alikuwa Yahudi au alitumwkazi na Mazayuni, lakini sera nmwelekeo wa al-Baghdadi ni uule wa Shukri. Kinachojitokezhapa ni kuwa inavyoonekanbaada ya kuweka- A Strategy foIsrael in the Nineteen EightieMayahudi walifanya kazi kubwkuwaandaa akina Abu Baghdadna wapiganaji wengine kutokmakundi ya Kisala na Waislamwengine. Na kazi kubwa ikawkuwaaminisha kuwa wanapiganJihad.

    Laiti Israel na mabeberw a n g e p a n g a k u t e k e l e z

    Inaendelea Uk. 1

    Inaendelea Uk. 1

    WAPIGANAJI wa ISIS.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    12/16

    12 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 20112 Barua/Mashair

    SHUKRANI zote anastahkiMwenyezi Mungu, Molamlezi wa ulimwengu nakwake tunaomba msaada narehema na amani zikutanekwa Imamu wa Mitumena Manabii Bwana wetuMuhamad na jumaa zake na

    sahaba zake na wale wenyekumfuata kwa wema hadisiku ya mwisho.

    Ama baada ya utangulizihuu mfupi. Pamoja nakuan d am a m wezi wamfungo nne, kwa kila mwakahusimama watu wema nawacha Mungu, ambaohuchukua mazingatio nahufafanua maana na hutengamasomo na huweka upyaharakati kwa kupandambegu za matumaini nakuhimiza kuzifanyia kazina huwaangazia njia nahuwapelekea kuyaendea yalealiyoyaamrisha MwenyeziMungu kwa haraka nahuwarahisishia matatizo ya

    dunia na ugumu wa maisha.Kwa yakini uhamaji waMtume toka Makka kwendaMadina ndani yake kunamasomo na mazingatio tele.

    Wakati ambao ni uhai.Na huenda somo la

    kwanza tunalojifunza katikakuhama ni kujua thamani yawakati, kwani wakati ndiouhai na kuutumia katikatwaa ni njia ya kufaulukuliko kukubwa kutokanana uhai uliopita, ikiwa kwautamu au uchungu au kwakheri au shari au kwa wemaau ubaya hatujui. Hayoyatakuwa yanatutetea aukutushitaki hivyo basi niwajibu tuwe kwa MwenyeziMungu watu tulio na woga

    kwake. Amesema MwenyeziMun gu, wale am baowanamuogopa Mola wao haliya kuwa hawamuoni na waojuu ya kiama wanakiogopa.Ambiyai (49).

    Kwa hakika kwisha kwamwaka katika umri wetukunatusogeza kukutanan a Mwen yezi Mun guhatua kwa hatua na walahatujui miaka mingapiimebaki katika umri wetu.Anasema Imamu Hassani al-Biswiriyi Mungu amrehemu,hakika ewe binadamu nimasiku yaliyokusanyika,itakapoondoka siku yakobasi imeondoka baadhi yako.

    Y am p as a b in ad am u

    Kuhama Mtume (s.a.w.) ni somo na mazingatio

    Na Sheikh AbdusalamiMohamed Abdusalami

    atumie vizuri siku yake yaleo kwa kumtii mwenyeziMungu Mtukufu, amesemaMtume (s.a.w), yapatiemanufaa mambo matanokabla ya mambo matanoUhai wako kabla ya umauti

    wako, afya yako kabla yaugonjwa wako, wakati wabure kabla ya kubanwa nashughuli (bize) ujana wakokabla ya uzee wako, utajiriwako kabla ya umasikini(kufilisika). ameipokea al-Hakim.

    Thamani ya kujitolea kwaajili ya daawa ya MwenyeziMungu Mtukufu.

    M i o n g o n i m w amasomo muhimu ambayoametufundisha Mtume(s .a .w) ni utukufu wakujitolea, ambao husimamakwa ajili ya kulingania.Kuacha nyumba na mjikwa aj i l i ya kuf ikishaujumbe na kutekeleza amriya Mwenyezi Mungu naakautazama mji wake akiwaanaondoka Mtume (s.a.w)akausemesha kwa kaulihii, Namuapia MwenyeziMungu hakika mji wa Makkani ardhi ninayoipenda sanana laiti kama kukosa kunitoawatu wako nisingetoka.Ameisahihisha al-Baniwalimfuatisha Maswahabajuu ya njia hii ya kujitolea.

    Hebu tumtazame huyuSayidina Ally (r.a), hakusitakulala katika kitanda chaMtume (s.a.w) usiku wakuhama, akawa ni wamwanzo kujitolea katikaUislamu. Na huyu niBwana Suhaibu, mtu waRum analinganisha katiya mali yake na kuhamakwake kwenda Madina,

    akawaachia mali zakewashirikina na akahamaalipomuona Mtume (s.a.w)akasema:- Amepata faidababa Yahya kwa alichouzan a Mwen yezi Mun guanasema, na miongonimwa watu wapo wanaouzanafasi zao kwa kutaka radhiza Mwenyezi Mungu naMwenyezi Mungu ni mpolekwa watu (207) Al-Bakarat.

    Miongoni mwa masomo nafaida kutoka katika Hijra.

    Vyanzo vya tabia nzuriambavyo havigawanyikiimethibitika katika Hijra(kuhama), kwamba vyanzo natabia nzuri hazingawanyikina kushikamana, nazo nilazima kwa watu wenye

    imani pamoja na matatizoyote kwani Mtume (s.a.w)a l i k u w a n i m w e n y ep up a kwa kuteke lezaamana za watu kwa walewaliomuamini, naye ndiyealiyesema tekeleza amanakwa aliyekuamini na walausimfanyie hiyana yuleanayekufanyia hiyana.Ameipokea Abuu Daudi naTirmidhi.

    Alimuacha Ally nyumayake pale Makka ili arudisheamana za watu kwa wenyewena hili ni jambo la ajabu sana,kwani wao walihalalishadamu yake na wakatakakumuua, pamoja na yote

    hayo hawakuamini vitvyao vya thamani au visivyna thamani is ipokuwwakaweke kwa Mtum(s.a.w) na wao wakamuim k w e l i m u a m i n i f uakahifadhi amana zao nkuwarudishia zikiwa kambila mapungufu, na hii daraja la juu zaidi katikkutekeleza amana.

    Amesema MwenyezMungu Mtukufu hakikM w e n y e z i M u n ganakuamrisheni mtekelezamana kwa wenyewe nmnapohukumu kati ya watmuhukumu kwa usawa (5An-Nisaai.

    Mshikamano wa jamna ushirikiano ni dalili ynguvu zake. Miongoni mwsomo kubwa tunalopatf a id a kat ika Hi j ra nmshikamano na umojh a w a k u y u m b a y u m bkatika msimamo kwa kitchochote na haya ndiyaliyoyazingatia Mtum(s.a.w) pale alipoka Madinkwani aliwaunganisha kaya Muhajirina na Answana wala hawakuwanyimAnswaru juu ya kuwapM u h a j i r i n a k w a k i tchochote hadi wakastahikusifiwa na MwenyezMungu katika mambo yakwa kauli yake MwenyeMungu Mtukufu, Nwale waliofanya maskanyaani Madina, imani zakabla yao wanawapendwale waliohamia kwao nwala hawajali chochotkwa kile walichokitoa nwanawatanguliza wa

    kuliko nafsi zao, hata kamwana mahitaji nayo nyeyote mwenye kujilinda nubahili wa nafsi zao hao ndwaliofaulu.

    A k a w a w a p a t a n i s hMtume (s.a.w) kati yA u s i n a H a z a r a t i nkuyamaliza yale waliyo naymiongoni mwa ugomvi nkuwaunganisha baina yana kuwaita (Answari), kishakafunga ahadi mbalimbana mataifa ya Kiyahudambao walikuwa wakiishkaribu na Waislamu katikmji wa Madina na kwa hivybasi, ikawa jamii ya Madinimeungana kwa mataifyote. Kwa hakika masom

    na mazingatio kutoka katikHijra (kuhama) kwa Mtum(s.a.w) ni mapana katiknyanja nyingi kwa haphapatoshi, kwani ilikuwni nusra na ukombozi kwUislamu na Waislamu.

    Amesema MwenyezMungu Mtukufu, ikiwh a m k u m n u s u r u y e ya m e s h a n u s u r i w a nMwenyezi Mungu, palalipomtoa kwa wale ambawaliokufuru, wakiwa wawkatika pango pale aliposemkumwambia mwenziwu s i h u z u n i k e h a k i kmwenyezi Mungu yuppamoja na sisi (40) Tauba

    Abtadi kumsifu, Khaliku na Mshaji,Kwa wake uadilifu, wa hayati uumbaji,Kadhalika na kwa ufu, uso na ubaguaji,Allah mlaze peponi, Othman wa Mjinga.

    Mauti hayaarifu, katika wake ujaji,Pweke yunouarifu, ujiowe Muumbaji,Baghtata hukhatafu, roho zetu waumbwaji,Allah mlaze peponi, Othman wa Mjinga.

    Sote kwa huo wasifu, kutuka twataraji,Pasi kujali dhaifu, na mwenye nguvu kwa taji,Tujiadidi kwa ufu, kwa wa Ilahi uchaji,Allah mlaze peponi, Othman wa Mjinga.

    Barzakhi tutatufu, baada ya ushwaji,Malaika watukufu, ndanimwe watatuhoji,Faridi na si sufufu, kwa wa kwetu utendaji,Allah mlaze peponi, Othman wa Mjinga.

    Thuma sote tutakifu, kwa kupulizwa buruji,Mahashari ashirafu, mbele ya Wahidi JAJI,Kwa mizani mukawafu, tutalipwa afuwaji,

    Allah mlaze peponi, Othman wa Mjinga.

    Tushike ya uongofu, njia iso aawaji,Ya Qur-an tukufu, na Sunna za muonyaji,Kwa matendo matukufu, yaso na ubanangaji,Allah mlaze peponi, Othman wa Mjinga.

    Kaditama kualifu, wawa na wasomaji,Si nudhumu ya mkufu, wala si ya wajiwaji,Ya taazia ya ufu, na ya dua uombaji,Muepushe na nirani, na mruzuku jinani.

    ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

    UKIMYA HUU WA DOLA, MHH!

    (SWADAKTA, MBUNGE WA KONDE!)Bilhaki hukukenga, kongole nakupongeza,Kwa kujitoa muhanga, dhulma kuiangaza,Kwenye vya Bunge viunga, kwa ya sijini mayaza,SWADAKTA hukukenga, KHATIB SAID HAJI.

    Mashekhe wetu wahanga, wanosota magereza,

    Ni tumbi yanowasonga, pamwe na kuwatatiza,Ashakum ulilonga, liwati kwa kudokeza,SWADAKTA hukukenga, KHATIB SAID HAJI.

    KWELI haukuitenga, kwa PUYA kuhanikiza,Kama wasaka faranga, na vyeo kuendekeza,Waridhiao vimbwanga, hata vya kuwamaliza,SWADAKTA hukukenga, KHATIB SAID HAJI.

    Na dubwasha la manyanga, nalo ukatudokeza,Dhimaye kuu kuunga, mkono yanotukwaza,Ndio mana 'watunyonga', kimya limejituliza !,SWADAKTA hukukenga, KHATIB SAID HAJI.

    KWELI tupu ulolonga, na kuntu uloeleza,Mwenye dhamana mganga, ya janga kulimaliza,Kinywa naye amefunga, lengole nini nawaza,SWADAKTA hukukenga, KHATIB SAID HAJI.Anyamaziaje janga, UTU lenye kuutweza,Yu nani wa kuliganga, kucha kutwa ninawaza,Bado kichwa chaniwanga, kwalo DOLA kunyamaza,SWADAKTA nakuunga, MBUNGE kwa ulolonga,

    ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

    BURIANI SHEKHE OTHMAN MJINGA

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    13/16

    13 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201MAKALA

    Masjid Kadiria Mwasiti uliopo kijiji cha Kibuta wilayaniKisarawe mkoani Pwani wanaomba msaada wa kuchimbiwakisima katika Msikiti huo.

    Gharama za uchimbaji wa kisima hicho ni shilingi milionitano mpaka sasa zimepatikana milioni moja hivyo basi badomilioni nne (4).

    Shime Waislamu kutoa ni moyo, unaombwa kuchangiachochote ulichojaaliwa na Muumba wako kwa ajili yakuweka akiba ya Akhera yako.

    Unaweza kuchangia kupitia Akaunti ya benki na nambaza simu kwa tigo pesa:

    0656 092 436 au A/c No 001340085740001 Amana BankWabillah Tawq

    Msaada

    Ustadhat Mwasiti (kulia) akiwa na wanafunzi

    M J I w a B a y t u lMuqqadas ni mojakati ya miji muhimuya kihistoria dunianih u s u s a n k a t i k au l i m w e n g u w aKiislamu kutokanana kuwa kwake nautambulisho wa kidini.Baadhi ya nukuu zahistoria zinaoneshakwamba, mji huuu l i a s i s i w a z a i d iya miaka elfu nneiliyopita.

    Mitume na Manabiiwengi wa MwenyeziMungu walizaliwa aukuishi katika mji huo

    mtukufu. Ni kwa sababuhii ndio maana mjihuu ukazingatiwa nakuwavutia wafuasi wadini tatu za mbinguniyaani Uyahudi, Ukristona Uislamu.

    Wakati Nabii IbrahimAS alipohajiri kutokaMisri hadi Palestina,aliishi katika Mji waQuds. Kwa amri yaMwenyezi Mungu,Nabi i Ibrahi m ASaliujenga upya mji huona kukarabati eneo laketakatifu yaani Msikiti

    QUDS- Kibla cha kwanza cha Waislamu kilichosahauliwa -1Na Salum Bendera wa al Aqswa ili wafuasi

    wa Tauhidi wawezekumuabudu MwenyeziMungu hapo.

    Mji wa Quds pia ni

    mtakatifu kutokana nakuwa Nabii Mussa ASaliona nuru ya MwenyeziMungu na kuzungumzaNaye aki wa hap o .Katika zama zake,Nabii Mussa AS aliamuakuihamisha kaumu yaBani Israel kutoka Misrihadi Palestina kutokanadhulma na ukandamizajiwa Firauni, lakini kwasababu ya kaumu hiikukataa kutii amri,M w e n y e z i M u n g ualiwaacha watapetape

    ja ng wani kwa mu daw a m i a k a 4 0 n ahakuwaruhusu kuingiaPalestina. Hali hiiiliendelea hadi mwishowa umri wa Nabi iMussa AS. Inaaminikakuwa Nabii Mussa ASalizikwa karibu na mjiwa Quds. Baadhi yaMitume wa MwenyeziMungu ambao majinayao yako katika QuraniTukufu, wamezikwakatika ardhi ya Palestina.Mitume hao ni pamojana Nabii Ibrahim AS,

    Nabii Yusuf AS, NabiiYaaqub AS, Nabii IshaqAS, Nabii Daud AS,Nabii Sulaiman AS naNabii Zakaria AS.

    Baada ya Nabii DaudAS kupewa Utume naMwenyez i Mungu,aliamua kuupanua mjiwa Quds na kulijengaupya eneo la ibada la mjihuo ambalo kwa mujibuwa riwaya za kihistorialilikuwa limeharibiwana kukarabatiwa marakadhaa.

    Kat i ya m atuki om engi ne ya l i yo j i r ikatika ardhi za Palestinana hivyo kuongezaumuhimu na utukufuwake miongoni mwawafuasi wa dini zaTauhidi ni kuzaliwahapo Nabii Issa AS.Nabii Issa AS alikuwam beba bendera yaamani, utakasifu naucha Mungu. Nabii IssaAS alizaliwa katika kijijicha Baitul Lahm karibuna mji wa Quds. NabiiIssa AS alianza kuhubirikatika mji wa huo waBaitul Muqaddas nahapo ndipo alipopaa nakuelekea mbinguni. Namwisho kabisa Masjidul

    Aqswa katika mji waQuds ndiyo sehemuambayo Mtume waMwisho Muhammadal Mustafa SAW alipaakuelekea katika mbingukatika tukio maarufu laMiiraj.

    Palestina na Mji waBaitul Muqaddas nimuhimu kwa Waislamukutokana na kuwepomaeneo matakati fuhapo. Mwenyezi MunguSWT katika ki tabuChake cha mwisho yaaniQur'ani, ameutaja mji

    huo kuwa ardhi yenyeBaraka na takatifu.Mas j i d a l -Aqs wa

    ni eneo la tatu kwautukufu miongoni mwaWaislamu baada yaMasjidul Haram hukoMakka na MasjidunNabii huko Madina.

    Mas j i d a l -Aqs wandicho kibla cha kwanzacha Waislamu. Kwamiaka kadhaa Waislamuwalisali kuelekea Masjida l - A q s w a . K a t i k amwaka wa pili wa Hijria,

    Mwenyezi Mungu alitoaamri kwa Waislamukubadilisha kibla chaokutoka Masjid al-Aqswamjini Quds na kuelekea

    Masjid al-Haram katikamji wa Makka. Aya za 142hadi 150 katika SuratulBaqara zimezungumzakuhusu tukio hili. Katikasehemu moja ya aya ya150 Mwenyezi Munguanamkhutubu MtumeSAW na Waumini kwakusema: "Na popotewendako elekeza usowako kwenye MsikitiMtakatifu. Na popotemlipo elekezeni nyusozenu upande huo..."

    Umuhimu wa piliwa Masjid al-Aqswam i o n g o n i m w aWaislamu unatokanan a k u w a M t u m eM u h a m m a d S A Walipaa kutoka hapo nakuelekea mbingunikatika tukio la Miiraji.Miira j i ya MtumeSAW ilianzia Masjid al-Haram mjini Makkahhadi Masjid al-Aqswa.Katika safari hiyo mji waQuds ulipewa umuhimumaalumu na MwenyeziMungu la sivyo Miirajiya Mtume wa Uislamu

    SAW ingeanzia hukohuko Makka na kwendamoja kwa moja mbinguni

    bila ya kupitia BaytulMuqaddas uliko msikitiwa al-Aqswa.

    Kuanza safar i yakimiujiza ya Mtume waMwisho SAW kutokaMasjid al-Haram hadiMasjid al-Aqswa ni sualalinalobainisha waziuhakika usiopingikakuwa misikiti hii miwilii ko p am oja ka t i kautakatifu.

    Aya ya kwanza ya

    Suratul Israa ya Qur'aniTukufu imeashiria safarihii ya kimiujiza kamaifuatavyo:

    S U B H A N A ,A m e t a k a s i k aaliyemchukua mja Wakeusiku mmoja kutokaMsikiti Mtukufu mpakaMs i ki t i wa Mbal i ,ambao tumevibarikivilivyouzunguka, ilitumuonyeshe baadhi yaIshara Zetu. Hakika Yeye(Mwenyezi Mungu)ni Mwenye kusikia na

    Mwenye kuona.Mmoja wa wafasir

    wa Qur'ani katikkuba i ni s ha nam nMsikiti wa al-Aqsw

    na maeneo ya pembenm w a k e y a l i v y o j a

    baraka anaandika: "Ibarya 'baarakna haulahuyaani tumevibarikvilivyouzunguka inmaana kwamba, mbana kuwa Mas j i duAqsa uko katika enetakatifu, maeneo ypambizoni mwake nayni yenye baraka. Hni kwa sababu eneo lpambizoni mwa BaituMuqaddas ni la kijankibichi na lenye rutublikiwa limejaa miti iliy

    na matunda mengi na mayanayotiririka na hivykuzidisha umaridadi weneo hilo. Aidha aya hiyyumkini imeashiria barakza kimaanawi za enehilo. Hii ni kwa sababkatika historia yake, ardhya Quds imekuwa kitucha Mitume wakubwwa Mwenyezi Mungu nkitovu cha Tawhidi nucha Mungu."

    Sayyed Qutb, mfasiwa Qur'ani kutoka Misanaandika hivi: Israa nMiiraj inaziunganisha din

    zote za Tawhidi kutokzama za Manbii Ibrahim nIsmail AS hadi Mtume wMwisho SAW. Inaonekankuwa Mtume MuhammaSAW katika safari yaky a u s i k u a l i t a n g a zkwamba ujumbe wakunajumuisha risala zMitume waliotangulia nutaendeleza risala hizo.

    Kat ika h is tor ia yUislamu tunasoma kuwMtume SAW katika tukila Miiraj aliswali katikmaeneo mbalimbali kamvile Mlima Sinai sehem

    ambayo Mwenyezi Mungalizungumza na NabMusa AS na vile vile BaituLahm sehemu aliyozaliwNabii Issa AS. Baadya hapo aliingia katikMasjidul Aqswa n

    baada ya kusali katikmihrabu ya Mitumwatukufu, alipaa nkuelekea mbinguni. Hndio sababu MasjiduAqsa ukawa msikitw e n y e u m u h i m umkubwa sana kwWaislamu wote.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    14/16

    14 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201Makala/Tangazo

    Na Rashid Abdallah,MUM

    MSHUKURU Mungus a n a i k i w a w e w eunapata sehemu nzuriya kulala hadi asubuhibila ya kubughudhiwana mtu yeyote. Ndani

    ya umasikini wako,lakini unatafuta rizikikwa amani hadi jioniunaporudi nyumbanijapo unakumbana na halingumu katika utafutajiwako wa riziki kwakutegemeana na kaziunayoifanya.

    Ni la kushukuru mnokama unatoka nyumbanikwako hadi sokoni nau n a k u t a n a n a w a t uunaowajua na usio wajua,kisha munasalimiana kwafuraha. Hadi unarudina kapu lako nyumbanihujasikia bomu walakuvamiwa kwa marungu

    na kupigwa pengine kwasababu ya koa yako.

    Usiombe ukawa myongekisha kukawepo mbabeasiye na huruma ukawachini yake, umeumia nautatamani dunia igeukeili Kusini kuwe Kaskazinina Kaskazini-Kusini upatekukimbia. MshukuruMungu ukiwa bado upokwenye amani japo ndogoinayokuwezesha kufanyashughuli zako za kila siku.

    Shirika la habari laThe Associated PressJumamosi ya October 25,mwaka huu, linasema

    kuwa idadi ya Waislamuwa jamii ya Rohingywanaokimbia Mnyanmarimefikia 100,000 tangumwaka 2012.

    U s i d h a n i k u w aw a n a k i m b i a k w ak u w a w a m e p e n d akuondoka katika ardhihiyo. Hawaondoki nakukimbia kwa makundim a k u b w a m a k u b w akwa sababu wanafurahiakuhama huko. Lakinikuna Mabudha wababewalio juu ya Rohingywachache na wanyonge

    Rohingy jamii ndogoinayoteseka Myanmarndio wanaosababisha

    Waislamu hao kuyahamamakaazi yao.Miaka miwili tangu

    Mabudha waanze ukatilidhidi ya jamii hiyo ndogoya watu, kumekuwepo navitendo vya kila siku vyamauaji, ubaguzi, uharibifuna ubabe usio na mipakadhidi ya Rohingy.

    Mnyanmar nchi yenyeMabudha wanaofikiamilioni 50 na Jamii yaRohingy milioni 1 .3 .Kutokana na mashambuliziy a M a b u d h a d h i d iya Rohingy, mamia yawatu kutoka jamii hiyo

    wameuwawa na wengine140,000 kuishi katika kambiza wakimbizi, ambakowanaishi bila ya kupatahuduma za kutosha zaafya, elimu n.k.

    Serikali ya nchi hiyoinawataja Rohingy kuwani wahamiaji haramuk u t o k a B a n g l a d es h ,wakati mwengine Serekalihuchukua sababu hiyokuwakamata na kuwapiga.

    Hii ndio ile ile kanuniya kumpa mbwa jina bayaili ukimuua usionekaneni mkosa. Siamini kuwawao ni wahamiaji haramukwani wapo muda mrefusana na hadi kufikiamilioni 1.3 inatoa tafsirikuwa wameishi hapomuda mrefu sana. Hatamtu kuwa mhamia j iharamu bado haitoi hakiya kumuua na kmharibiamakaazi yake.

    Nadhani dini ndioinabeba sehemu kubwa yadhulma wanazofanyiwa.Uislamu wao ndio chachuna chanzo cha wao kuuliwa,kupigwa na kuharibiwam a l i z a o y a k i w em omaduka na nyumba. Naserekali ya nchi hiyo nawanasiasa wasiojua utu na

    ubinaadamu, hushirikianana makundi ya Mabudhaili kutekeleza unyamawao.

    Wiki tatu zilizopitaserekali ya Mnyanmarimeanzisha mpango ulio-uwita Rakhine ActionPlan . Lengo lake n ikuwalazimisha Rohingykuondoka nchini humo.Ni zaidi ya Rohingymilioni moja watafukuzwanchini humo kutokanana mpango huo mpyaunaosimamiwa na serekaliya Minyanmar.

    T a a r i f a z i n a s e m a

    kuwa Waislamu hao waMyanmar pia wanawezak u f u n g w a j e l a k w amuda usiojulikana kwamujibu wa mpango huowa kibaguzi , ambaounawataka wakubal ikupangwa tena kimakabilana kuandikishwa kuwa niWabengali au kufungwajela.

    J a p o m a k u n d i y akutetea haki za binadamuy a m e i t a k a j a m i i y akimata i fa i i sh in ikizeserikali ya Myanmarkufuta mpango huo nakuutaja kuwa hauna

    maana yoyote zaidi yakuthibitisha kuendeleaubaguzi. Lakini hakunajamii ambayo imechukuahatua yoyote.

    Katibu Mkuu wa UNamekuwa mwepesi wakuzungumza lakini nimvivu wa kutenda kwaajili ya kutatua matatizo.Ni miaka 66 sasa Rohingywako katika dhulma lakinihadi hi leo tatizo hilohalijapatiwa tiba.

    Tangu mwaka 1948ambapo nchi hiyo ndipoilipopata uhuru, basiWaislamu wa jamii yaRohingy wameendelakuuwawa, kudhalilishwa,kupigwa na kuharibiwamali zao na mabudhawenye misimamo mikaliwakishirikiana na serekaliyao ambayo inawaungamkono Mabudha hao dhidiya unyama wanaoufanyak w a W a i s l a m u w aRohingy.

    H a k u n a j a m i i y aK i m a t a i f a i t a k a y owasaidia, wao kazi yaokubwa ni kuvamia nchiza wengine na kuuwatu. Unadhani kubwa lamaadui Marekani anawezakuwasaidia Rohingy hasa

    akijua kuwa ni Waislamu.Yapo mataifa ya Kiarabuambayo yangekuwa nimsaada mkubwa kwamatatizo ya Waislamulakini mataifa wenyewe nimahatuti.

    Kupitia mtandao waRedio Swahili Tehranunaeleza kuwa, Gazetil a M i y a n m a r T i m eslimeripoti kuwa, misaadaya kibinadamu hasa yakitiba ilizuiwa kuwakiaW a i s l a m u m k o a n iRakhine huko Myanmarb a a d a y a M a b u d h a

    wenye misimamo mikali

    kushambulia taasisi zamisaada ya kibinadamumkoani humo. Idadikubwa ya Wais lamuwaliukimbia mkoa huokutokana na ukatili naunyanyasaji mkubwawa Mabudha wenyemisimamo ya kufurutuada.

    M a b u d h a w e n y em i s i m a m o m i k a l iw a m ek u w a w a k a t i l imno, wanataka Rohingywafe njaa. Wanazuia nakushambulia misaadaa m b a y o h u e n d aikawasaidia kwa kiasi

    kikubwa. Mtu kapewanguvu kuzitumia vizurianashindwa, jee Mungua n g e k u k o s e s h a s iungelalamika kakuonea.Ndio binaadamu!

    Ukiwa unapata wakatiwa kupumzika bila ya kero

    yoyote mbali ya kelele z

    watoto wako nyumbanba si un ap as wa ku in umikono kumshukurMungu na kuwaombewale ambao bado wakkatika dhiki na matatizo yusiku na mchana. Ukipatwakati wa kuyakiria amkuyaona baadhi ya maishwanayoishi binaadamb a s i n d i p o u t a k a pgundua kuwa kuna watwako katika dhiki tangkuzaliwa kwao hadi sasa

    Hawana uhakika wkukaa na kuzungumzkisha kikao chao kikamalizkwa amani bila ya kusik

    mripuko wowote, ukiwumeripukoa chini ymiguu yao ama pembenyao kama si mtaa wa pikutoka walipo. Hayndio maisha ya baadhyetu, yanasikitisha kupitkiwango.

    Uongozi wa Msikiti wa Answar SunnaKinondoni ulio chini ya taasisi ya Jamaat

    Ansawr Sunna una yo furaha kuwatangaziaWaislamu kuwa ndugu zao wa Miskiti waAnswari Sunna Kinondoni wameazimia kuwapawepo na muhadhara japo mmoja kila mwezikatika msikiti wao. Lengo kuu ni kuwafkishiaWaislamu mafundisho ya dini yao kwamnasaba wa wakati na mazingira na kuwatiahima katika kuyatekeleza mafundisho hayo.

    Kwa mnasaba huo basi mnaarifiwa kuwamada ya mwezi huuwa Muharram Kwaninimaswahaba wa Mtume waliteua kuwa Hijraya Mtume iwe ndiyo msingi wa Kalenda yaKiislamu Na muwasilishaji wa mada hiyoni Sheikh Twaha Sulayman Bane, Muhadhirkatika chuo cha Al_Haramayn na kiongozikatika Hayaa al Ulamaa ya Tanzania.

    Muhadhara huo utakuwa tarehe 16 Novemba2014 siku ya jumapili kuanzia saa 10:30 Alasiri

    Mnaombwa kufka kwa wakati

    Wa billahi Tawfq

    Abdallah SalimImam Mkuu

    Masjid Answar Sunna Kinondoni

    TANGAZO LA MUHADHARA WA MWEZI WAMUHARRAM MWAKA 1436/2014 - 2015MSIKITINI ANSWAR SUNNA KINONDONI

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    15/16

    15 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 201HABARI

    Hatua kuelekea kuundwa na Marekani kwa dola ya KiislamuInatoka Uk. 11Shughuli hiyo inafanywa chini yabango la kupambana na ugaidi .Inatoa kisingizio cha kuingilia kati.ISIS ni mradi wa dola ya Kiislamu

    ya kuunda utawala wa Kiislamu waki-Sunni. Siyo mradi wa watu wadhehebu la Sunni nchini Irak ambaokwa jumla wanapendelea mifumohuria ya serikali. Mradi wa kuundwakwa dola ya Kiislamu ni sehemu yaagenda ya kijasusi ya Marekani.

    Ili kujibu mwendo kasi wa waasiwa ISIS, Marekani inatazamiakutumia upigaji mabomu kutokaangani pamoja na mashambulio yandege zisizo na rubani kuisaidiaserikali ya Irak kama sehemu yaoperesheni ya kupambana na ugaidi.Yote hii ni kwa mkakati wenye nianjema: kupambana na magaidi, bilakukiri hata hivyo kuwa magaidi hawani 'askari wa miguu' wa ushirika wakijeshi wa nchi za Magharibi. Bilakuhitaji kuainisha, matukio haya

    yanachangia siyo tu kuivuruga Irak,lakini hata kudhoofisha harakatiza wanaopambana na serikali yaIrak, ambayo ni moja ya malengo yaMarekani-NATO.

    Dola ya Kiislamu inaungwa mkonokwa siri na CIA ikishirikiana naSaudia, Qatar na vyombo vya kijasusivya Uturuki. Israel pia inahusikakatika kupeleka misaada kwamakundi ya Al Qaeda nchini Syria(kutokea milima ya Golan) pamoja navikundi vya kujitenga vya wa-Kurdinchini Syria na Irak. Kwa upana zaidi,"Vita ya Kimataifa dhidi ya Ugaidi"inaundwa na mantiki endelevu naya kiharamia: pande zote mbili, yaanimagaidi na serikali - wanaungwamkono na wahusika wale wale wakijeshi na kijasusi, yaani Marekani-

    NATO.Wakati mpangilio huu unaelezeahali ilivyo hivi sasa nchini Irak, mfumowa 'kusaidia pande zote mbili' kwadhamira ya kuchochea mifarakani yakidhehebu umetekelezwa mara nyingikatika nchi tofauti. Uasi unaoendanana Al Qaeda (na kuungwa mkonona mashirika ya kijasusi ya nchi zaMagharibi) umeshika usukani katikanchi kadhaa ikiwamo Yemen, Libya,Nigeria, Somalia, Mali, Jamhuriya Afrika ya Kati, Pakistan. Lengokimalizio ni kuhujumu nchi huru nakuzifanya ziwe za wazi (kwa ajili yawanaoitwa wawekezaji kutoka nje).

    Kisingizio cha kuingilia ili kutoamisaada ya kibinadamu (kwa mfanonchini Mali, Nigeria au Jamhuriya Afrika ya Kati) kinategemeakuwepo kwa makundi ya kigaidi

    ya wapiganaji. Hata hivyo makundihayo yasingekuwepo bila misaada yasiri ya Marekani-NATO.

    HitimishoHapakuwa na waasi wa Al Qaeda

    kabla ya uvamizi wa Irak mwaka2003. Isitoshe, Al Qaeda haikuweponchini Syria kabla ya kuanza kwa uasiunaosaidiwa na Marekani-NATO-Israel mwezi Machi 2011. ISIS siyoasasi huru. Ni kitu kilichoundwa namashirika ya kijasusi ya Marekani. Nikifaa cha kijasusi, cha kufanyia vitaambayo siyo ile ya kawaida.

    Lengo kamili la mgogoro huuunaoendelea ulioandaliwa naMarekani-NATO kupinga majeshiya serikali ya Al Maliki kwa uasi waISIS, ni kuteketeza na kuiyumbishaIrak kama taifa halisi. Ni sehemuya operesheni ya kijasusi, mkakatiwa kubadilisha nchi kuwa maeneo/Kuvunjika kwa Irak kwa misingi yakidhehebu ni sera ya muda mrefu yaMarekani na washirika wake.

    ISIS ni mradi wa kuunda dola yaKiislamu ya ki-Sunni. Siyo mpangowa watu wa dhehebu la Sunni nchiniIrak ambao kihistoria wamekuwawakiunga mkono mfumo huria waserikali. Mradi wa dola ya Kiislamuumeandaliwa na Marekani. Kusongambele kwa majeshi ya ISIS kuna niaya kuwezesha kuungwa mkono nasehemu kubwa ya wa-Sunni dhidi yaserikali ya Al Maliki.

    Kuwa kuiunga mkono kisirisiriDola ya Kiislamu ya Irak na Shamu,Marekani inasimamia kuangukakwa utawala wa vibaraka wakenchini Irak. Suala hapa siyo 'kubadili

    serikali' au hata kumbadilisha tuWaziri Mkuu Nuri al-Maliki.

    Kugawanywa kwa Irak katikamaeneo ya kidhehebu ni lengo ambalolimekuwa likifanyiwa kazi na jeshi laMarekani kwa zaidi ya miaka 10.

    Kinachotazamiwa na Marekanini kuvunjiliwa mbali kabisa kwautawala wa Irak na taasisi za serikalikuu, kukia mchakato wa kuigawana kuifuta Irak kama nchi. Mchakatowa kuigawa Irak kimadhehebukutakuwa bila shaka na atharikwa Syria. ambako kwa sehemukubwa magaidi wanaofadhiliwa naMarekani-NATO wameshashindwa.

    Kuyumbishwa na kugawanyikakisiasa kwa Syria kunatazamiwa vilevile: Nia halisi ya Marekani siyo tenalengo finyu la "kubadili utawala"nchini Syria. Kinachodhamiriwa nikuvunjwa kwa Irak na Syria kwamisingi ya kidhehebu na kikabila.

    Kuundwa kwa dola ya Kiislamuinaweza kuwa hatua ya kwanzakuelekea katika mgogoro mkubwazaidi eneo la Mashariki ya Kati,ukichukulia kuwa Iran inaiungamkono serikali ya Al-Maliki, hivyonia ya Marekani inaweza pia kuwani kutaka Iran iingilie. Kugawanyikakunakopendekezwa kwa Irak na Irankunachukua mfano wa iliyokuwaYugoslavia ambayo iligawanywakuwa 'nchi huru saba' (Serbia, Croatia.Bosnia-Herzegovina. Macedonia,Slovenia, Montenegro, Kosovo).

    Kwa mujibnu wa Mahdi DariusNazemroaya, kugawanywa kwa Irakkuwa nchi tatu tofauti ni sehemu yamchakato mpana zaidi wa kuandikaupya ramani ya Mashariki ya Kati.

    Ipo ramani iliyotayarishwana Luteni-Kanali Ralph Peters.Ilichapishwa katika Jarida la Jeshi la

    Marekani mwezi Juni 2006. Peterni kanali mstaafu na mhadhiri wChuo cha Taifa cha Vita nchinMarekani. Licha ya kuwa ramanhiyo haionyeshi maoni rasmi ymakao makuu ya Jeshi la Marekanimekuwa ikitumika katika programza mafunzo katika Chuo cha Ulincha NATO kwa maosa wa ngazi zjuu. (Angalia 'Mpango wa KuwekUpya Mipaka Mashariki ya KatMradi wa Mashariki ya Kati Mpya w

    Mahdi Darius Nazremroaya, GlobResearch, Novemba 2006).

    (Makala hii imefasiriwa kwKiswahili na Anil Kija kutokmakala The Engineered Destructioand Political Fragmentation oIraq. Towards the Creation of US Sponsored Islamist Caliphat*The Islamic State of Iraq and aSham: An instrument of the WesterMilitary Alliance iliyoandikwa nProf Michel Chossudovsky (GlobResearch, August 27, 2014))

    Ajabu kuwaita Masheikh ni 'mbwa wa Jahannamu'Inatoka Uk. 11mkakati huu kwa kuzivamiaSyria na Iraq, pangekuwa naugumu kwa sababu kwanzah i y o i n g e w a u n g a n i s h aW a i s l a m u n a W a a r a b ukuwalani na kupambananao hata kwa kuzomea tu.Kwa hiyo wangeshindwa

    japo katika uwanja wa habarina propaganda. Lakini piaingekuwa vigumu kuungwamkono na inayoitwa Jumuiya ya

    kimataifa. Lakini kwa kuwapataakina Abu Baghdadi na AbuDawood, kazi inafanyika

    bila ya Israel wala Marekanikulaumiwa. Ni Waislamuwanauwana wenyewe kwawenyewe kufanikisha mpangowa Mazayuni na mabeberu.

    Lakini tujue pia kuwa hawaTakfiri wanapotumwa huku,lengo ni lile lile. Kuchocheamachafuko na kumalizanawenyewe kwa wenyewe nakutoa fursa kwa mabeberu kuja

    kutukalia. Kama alivyosemaAlex Jones katika uchambuziwake Obama's CIA Runs BokoHaram, kwamba mabeberuwanapandikiza kit isho chaugaidi, kisha wanakuja kamawasamaria wema wanakuambiawanakuletea makachero nawanajeshi kupambana na magaidiwanaokusumbua.

    Bila shaka tunakumbukalilivyotokea tukio la kuuliwaPadiri Zanzibar na lile shambuliola bomu katika kanisa la Mtakatifu

    Jo se ph Mf an ya ka zi , Ar us haHarakaharaka tuliambiwa kuwFBI wanakuja kutusaidia kufanyuchunguzi. Kule Kenya ilipodaiwkuwa al Shabab wameingiN a k u m a t i , h a r a k a h a r a ktuliambiwa kuwa makacherwa Mossad na wale wa kutokUingereza walikuwa wa mwanzkuka.

    Tukiyatizama yote hayatuna kila sababu ya kuchukutahadhari, la sivyo mguu utaottende na majuto ni mjukuu.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1151

    16/16

    16 AN-NUU

    MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 20116 MAKALA

    AN-NUUR16 MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 14-20, 2014

    Soma

    gazeti la

    AN-NUUR kila Ijumaa

    MAKAMU wa Rais Dk.Mohammed Gharib Bilal,a m e s e m a a m e f a r i j i kakusikia kuwa Jumuiyaya Kiislamu ya IstiqaamaTanzania, tawi la Dar esSalaam ina mpango wakujenga shule ya Kimataifahuko Kigamboni.

    Dk. Bilal, alionyeshafaraja yake hiyo katika haa

    ya kuupokea mwaka mpyawa Kiislamu 1436 Hijriya,iliyofanyika mwishoni mwawiki iliyopita katika ukumbiwa Karimjee jijini Dar esSalaam, ambako alikuwamgeni rasmi.

    A l i s e m a k u w aamefurahishwa na namnaJumuiya hiyo ilivyofanikiwakutimiza malengo yake kwakutekeleza kwa vitendoujumbe wao wa mwakajana 1435 Hijriya, ambapouliwekwa mkakati wakujipanga, kuhamasisha nakuboresha elimu nchini.

    Mwaka jana katika haa

    kama hii iliyotukusanya hapa,mliwasilisha ujumbe jinsiJumuiya yenu ilivyojipangakuboresha elimu nchini,leo mmedhihirisha yaleyaliyokuwa katika ujumbewenu, nimefarijika sana kwanamna mlivyotekeleza nakusimamia mkakati mzimawa elimu, alisema Dk. Bilal.

    Aliongeza kuwa anaaminivi jana wanaoandaliwasasa watapatiwa elimubo ra na sa hi hi na walewaliochukuliwa kwa aj