annuur 1152

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1152 MUHARRAM 1436, IJUMAA , NOV. 21-27, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz TUNASAHAU kwamba wapambe wetu tutawawacha hapa hapa duniani. Wanatusaidia tukiwa Zanzibar si shwari tena Kamatakamata yapamba moto Karume akumbukwa kwa ujasiri Shein, Maalim kinawashinda nini? hai tu au tunapoumwa kidogo tu ndio tunawaona wakitutembelea na kuoneshwa katika vyombo vya habari. Wapo watu walitamba na kuwaita wenzi wao majina mabaya mabaya na kuwafanyia dharau, dhihaka na mateso ya hali ya juu, lakini sasa hawasikiki wala hawatajwi katika anga za kiuongozi wala kijamii. (Uk. 6) RAIS wa Zanzibar, Ali Mohamed Shein Sheikh Alhad apewa somo zito Ajifunze kutoka vyama vya korosho, daladala Usheikh wa mkoa ni dhima, na amana kubwa Sio kwa ajili ya kuhudhuria hafla za CCM, Serikali Wala kucheza mechi na Maaskofu Uwanja wa Taifa HIVI sasa misikiti mitatu imepigwa kufuli huku askari wenye silaha nzito wakilinda. Makufuli na askari na bunduki zao, ni kuhakikisha kuwa hakuna Adhana na Ikama inayosikika wala Misikiti mitatu yafungwa Makufuli mazito milangoni Polisi na silaha nzito wanalinda Ni hali tete yahitaji busara kubwa Inaendelea Uk. 2 Sheikh Alhad Mussa Salim. Uk. 2 Hukumu ya Ponda yasogezwa tena mbele ASKARI wa Kenya wakiwa wamezingira Masjid Swafaa Mombasa Kenya baada ya kuufungwa mapema wiki hii.

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 18-Jul-2016

527 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

ISSN 0856 - 3861 Na. 1152 MUHARRAM 1436, IJUMAA , NOV. 21-27, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

TUNASAHAU kwamba wapambe wetu tutawawacha hapa hapa duniani.

Wanatusaidia tukiwa

Zanzibar si shwari tenaKamatakamata yapamba motoKarume akumbukwa kwa ujasiriShein, Maalim kinawashinda nini?

hai tu au tunapoumwa kidogo tu ndio tunawaona w a k i t u t e m b e l e a n a kuoneshwa katika vyombo

vya habari. Wapo watu walitamba

na kuwaita wenzi wao majina mabaya mabaya na kuwafanyia dharau, dhihaka na mateso ya hali ya juu, lakini sasa hawasikiki wala hawatajwi katika anga za kiuongozi wala kijamii.

(Uk. 6)RAIS wa Zanzibar , Al i Mohamed Shein

Sheikh Alhad apewa somo zitoAjifunze kutoka vyama vya korosho, daladalaUsheikh wa mkoa ni dhima, na amana kubwaSio kwa ajili ya kuhudhuria hafla za CCM, SerikaliWala kucheza mechi na Maaskofu Uwanja wa Taifa

HIVI sasa misikit i mitatu imepigwa kufuli huku askari wenye silaha nzito wakilinda.

Makufuli na askari na bunduki zao, ni kuhakikisha kuwa hakuna Adhana na Ikama inayosikika wala

Misikiti mitatu yafungwa

Makufuli mazito milangoniPolisi na silaha nzito wanalindaNi hali tete yahitaji busara kubwa

Inaendelea Uk. 2

Sheikh Alhad Mussa Salim.

Uk. 2

Hukumu ya Ponda yasogezwa tena mbele

ASKARI wa Kenya wakiwa wamezingira Masjid Swafaa Mombasa Kenya baada ya kuufungwa mapema wiki hii.

2 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

Misikiti mitatu yafungwaInatoka Uk. 1

Muislamu anayeingia hapo kwa sawala na itikafu.

Misikiti iliyofungwa ni Masjid Mussa, Sakina na Masjid Swafaa.

Awali Jumatatu alfajiri polisi walivamia Masjid Mussa na Sakina, wakidai kuwa walikuwa na taarifa za ki-intelijensia kuwa kulikuwa na mazoezi ya ugaidi yakiendelea ndani ya Misikiti hiyo na kwamba kulikuwa na shehena ya silaha.

Katika harakati hizo, polisi walidai kukamata lundo la silaha na kuuliwa mtu mmoja waliyedai kuwa alijaribu kuwashambulia polisi kwa bomu.

A i d h a m a m i a y a vijana walikamatwa na hivi sasa wapo rumande, wakisukumiziwa tuhuma zinazohusiana na ugaidi.

Siku mbili baada ya operesheni hiyo, ndipo polisi walipofika Masjid S w a f a a n a k u u p i g a kufuli, wakidai kuwa nao unajihusisha na vitendo vya kigaidi.

Msemo unaotumika ni kuwa unajihusisha na makundi ya msimamo mkali- Islamist militants, wanaodaiwa kuwa na uhusiano na al-Shabab.

Ukipita katika Misikiti hiyo sasa utaona ikiwa imezungushiwa utepe wa police milangoni wenye maneno "Crime Scene".

Milango ya kuingia ‘Nyumba ya Allah’, sasa inaitwa ni ‘Crime Scene”, kwa maana ya eneo la uhalifu.

M a p e m a m w e z i S e p t e m b a , M k u u wa Kitengo cha Upelelezi wa Makosa ya Jinai (Criminal Investigation Department), Bwana Muhoro Ndegwa, alisema kuwa serikali ya Kenya haitasita kuifunga Misikiti yote inayojihusisha na Uislamu wa siasa kali.

Yapo mambo kadhaa ya kuzingatia katika habari hii. Kwanza, turejee katika mazingira ya Tanzania ambapo wakati ule wa kadhia ya Mauwaji ya Mwembechai , vyuma vya kuwekea maturubai vilidaiwa kuwa ni silaha zilizofichwa msikitini.

Pili, katika kadhia ya mabucha ya nguruwe, wapo wahadhiri walikuwa katika muhadhara Temeke, lakini polisi wakadai kuwa waliwaona wakivunja bucha Manzese na kupora m i z a n i y a k u p i m i a n ya m a ya n g u r u w e . Uwongo wa polisi ukawa ushahidi ulioaminiwa na mahakama, wahadhiri wale wakafungwa.

Tuki j a kwa Kenya , madai haya yanakuja huku kukitangulia mambo k a d h a a ye n ye u t a t a . Moja, ni lile shambulio la Hoteli ya Kitalii, Paradise Hoteli, inayomilikiwa na Wayahudi, Kikambala, Mombasa ambapo taarifa zinazozidi kuibuka zinatia wasiwasi kuwa lile lilikuwa shambulio la kupanga na kisha kuwasingizia Waislamu.

Lipo pia lile tukio la madai ya kushambuliwa ndege ya Israel, Arkia Airlines, Boeing 757 ‘Flight 582’ ikiruka kutoka Mombasa kuelekea Tel Aviv. Hiyo ilikuwa tarehe 28 Novemba 2002. Udadisi na uchambuzi nini kilitokea, uliotolewa b a a d a e u l i o n y e s h a kuwa yaliyodaiwa kuwa makombora ya kupiga ndege hiyo yal i fanya k u w e k w a n a n d e g e iliporuka ikaacha njia ya kawaida na kurukia mwelekeo wa kupitia juu ya kichaka zilikokuwa zimefichwa silaha hizo.

Kuna na l i l e tukio l a We s t i g a t e a m b a l o limegubikwa na utata mkubwa, kwamba n i nani walihusika. Ni utata ambao hakuna mtu yeyote mwenye akili t imamu na akili huru atakubali k u w a l i l i f a n y w a n a magaidi kutoka Somalia na kwamba waliweza kufanya shambulio hilo na kutoweka b i la ya kukamatwa au kuuliwa na vyombo vya usalama.

Lakini tukumbuke pia kuwa, kwa mujibu wa baadhi ya vyombo vya habari vya Kenya, kuna wale Masheikh walivamiwa na pol i s i ma jumbani mwao wakauliwa kwa kupigwa risasi kichwani na kifuani, baadae polisi waliofanya mauwaji hayo

(Anti Terror Police Unit-ATPU) wanatangaza kuwa Masheikh hao waliuliwa wakipambana na Polisi wal iotaka kuwazuiya wasifanye shambulio la kigaidi.

U k i y a t i z a m a y o t e hayo, kuna kila sababu ya kuzipokea taarifa hizi za polisi kwa tahadhari kubwa.

Hali halisi inayojitokeza Kenya hivi sasa ni kuwa wamefikishwa mbali sana katika zile harakati za mabeberu za kupandikiza kitisho cha ugaidi. Harakati hizi zina pande mbili. Moja inahusisha makundi mawili ambao ni watu wanaopandikizwa kufanya uhalifu halafu inadaiwa kuwa ni magaidi-Waislamu wenye msimamo mkali. Watu hawa pia hufanya kazi ya kuwapa mafunzo au kunasa vijana ambao wanaweza kufanya vitu vinavyoweza kusemwa kuwa ni ugaidi. Wanaweza kupitia hata kwa mlango wa Jihad. Na kwa Kenya, kinachotumika ni hamasa y a k u p i g a n a J i h a d , Somalia na hivyo kudaiwa kupandikiza ugaidi wa al-Shabab.

Watu hawa wakifanya kazi yao vizuri, wanaweza

hata kufanikiwa kunasa vijana-(entrapment) ambao kwa ujinga tu, wanaweza kutumika kuingiza silaha Msikini wakidai kujiandaa na Jihad. Wakishafanya h i v y o n d i o P o l i s i wanavamia. Mara nyingi waingiza silaha Msikitini na Polisi lao linakuwa moja. Wote wanatumiwa na mabeberu kupandikiza kitisho cha ugaidi.

( I n c r i m i n a l l a w , entrapment is a practice whereby a law enforcement agent induces a person to commit a criminal offense that the person would have otherwise been unlikely to commit.)

Kundi la pili ni viongozi wa serikali na hawa ATPU. Matukio tata kama zile Opera t i on Cyan ide au Operation Northwoods, hayawezi kufanyika bila ya baadhi ya watu muhimu serikalini na katika vyombo vya ulinzi na usalama kufahamu nini kinatokea.

Hawa nao, katika jitihada zao wakijifanya kuwa wanapambana na magaidi, wanakuwa hawana tofauti na wale wanaodaiwa k u w a n i m a g a i d i waliopumbazwa kupitia mkakati wa ‘entrapment’ au kupandikizwa Jihad

bandia. Wote watakuwa wanamtumikia ‘bos i ’ mmoja, na wote watakuwa wanatumiwa na bosi huyo huyo mmoja, lakini kila mmoja kwa namna yake kuangamiza nchi yao kwa manufaa ya mabeberu.

Jambo hili likifahamika katika sura yake halisi, kuna tamaa kama nchi i n a we z a k u s a l i m i k a . Lakini ikiwa ni kila moja kutumika kivyake, iwe kwa kujua au kwa ujinga, ATPU wakidhani kuwa kuna vijana al Shabab, maadui wa Kenya, bila kutizama ile ‘War on Terror Grand Plan’ ya mabebru k w a u j u m l a w a k e , kadiri watakavyofanya operesheni kama hizi za Masjid Sakina na Shuhadaa, n d i v y o wa n a v y o z i d i kukoleza k i t i sho cha ugaidi, na kusawazisha njia kuelekea kwenye machafuko hatari zaidi.

Kenya ni jirani zetu, na wote sisi tunanyemelewa kuingizwa kat ika i le mikakati ya mabeberu kupitia Africom yao. Sasa tukijifunza ni vyema.

Wanasema, Waswahili, mwenzako akinyolewa, wewe tia kichwa chako maji.

ILE hukumu ya kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, imeahirishwa tena na Jaji Augustino Shangwa wa Mahakama Kuu hadi Novemba 27 mwaka huu.

Wakil i wa Sheikh P o n d a , B w . J u m a Nassoro, amesema, Jaji Shangwa ameuomba u p a n d e wa u t e t e z i kuvuta subira baada ya kuahirisha kusoma hukumu ya kesi hiyo j a n a A l h a m i s i k wa maelezo kuwa alikuwa hajamaliza kuandika hukumu hiyo.

W a k i l i N a s s o r o aliwaarifu Waislamu waliohudhuria kusikiliza k e s i h i y o k a t i k a M a h a k a m a K u u ya Tanzania kuwa, mawakili wameridhia maombi ya Jaji ya kuiahirisha hadi Alhamisi ijayo hivyo kuwaomba nao wavute subira.

Hukumu ya Ponda yasogezwa tena mbeleNa Seif Msengakamba

Sheikh Ponda Issa Ponda.

3 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Habari

Marufuku kusomesha muda wa swala, ibada

SERIKALI imevitaka Vyuo Vikuu nchini kuheshimu misingi ya Katiba katika kuabudu kwa kutowalazimisha wanafunzi kuingia Darasani au kufanya mitihani siku za Ibada.

Kwa mujibu wa barua ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, ya Novemba 11, 2014, kwenda kwa Makamu Wakuu wa Vyuo, imesema maamuzi hayo yamezingatia ushauri wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya malalamiko ya wanafunzi.

Barua hiyo imeeleza kuwa Jamuhuri ya Muungano wa

Vyuo viheshimu dini za wanafunzi-WizaraNa Bakari Mwakangwale Tanzania katika masuala ya haki

ya imani za dini yamewekewa ulinzi katika Ibara ya 19 ya Katiba, 1977.

“Ki tendo cha wanafunzi k u l a z i m i s h wa k u h u d h u r i a mihadhara au kufanya mitihani siku za ibada kinyume na imani za dini zao, ni kwenda kinyume na haki za msingi kama ilivyowekwa katika Ibara ya 19 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.” Ilisema sehemu ya Barua hiyo.

B a r u a h i y o a m b a y o p i a imeelekezwa kwa Wakuu wa Vyuo Vikuu Vishiriki, Wakuu wa Vyuo pamoja na Vyuo Vishiriki vya Umma na Binafsi Tanzania

Bara, imesema kwamba, Wizara ilipokea malalamiko ya suala hilo kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini na wanafunzi.

Barua hiyo iliyosainiwa na C.P. Mgimba, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, imesema kuwa malalamiko hayo yamehusu kuingiliwa kwa uhuru wa kuabudu kwa kulazimishwa kuhudhuria mihadhara au kufanya mitihani siku za kuabudu kinyume cha imani zao za dini.

“Kwa kuzingatia ushauri uliotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusiana na suala hili, mmeelekezwa kuheshimu na kufuata misingi na haki ya Kikatiba kama ilivyo fafanuliwa katika Ibara ya 19 ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977.” Imesema barua hiyo.

M B U N G E w a K o n d e , Mheshimiwa Khatibu Said Haji ametoa darsa zito kwa Sheikh Alhad Mussa Salim akimtaka azingatie kuwa Usheikh wa Mkoa ni dhima na amana kubwa anayobeba na hivyo ataulizwa.

Mbunge huyo ametoa darsa hilo akianza na kusema kuwa hadhani kuwa ilikuwa sahihi kwa Sheikh huyo wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwaita wahalifu Masheikh wa Zanzibar na watuhumiwa wengine wanaoshikiliwa kwa tuhuma za ugaidi.

Awali kauli ya Sheikh Alhad i l i k u j a k a m a j a wa b u k wa Mheshimiwa Khatibu ambaye alilishutumu Baraza hilo Bungeni kuwa halitetei Waislamu.

Hiyo ilikuwa siku Mbunge huyo alipohoji ni kwa nini Masheikh wa Zanzibar na watuhumiwa w e n g i n e w a n a o s h i k i l i w a wanateswa na kufanyiwa mambo ya kudhalilishwa, na serikali imepiga kimya bila kuchukua hatua.

Akiongea na baadhi ya vyombo vya habari katika muktadha wa hoja ya Khatibu, Sheikh Alhad alisema kuwa Bakwata sio chombo cha kutetea wahalifu.

“Huyu mbunge ni mfitinishaji h i v y o n i ve m a Wa i s l a m u kumpuuza kwani hana jipya, haiwezekani mtu afanye makosa halafu usubiri Bakwata ikusaidie haiwezekani.”

Alisema Sheikh Alhad kama alivyonukuliwa na gazeti la Jamb Leo akisisitiza kuwa Bakwata kazi yake si kutetea wahalifu, hivyo kuishutumu ni kutoitendea haki jambo ambalo haliwezi kukubalika.

Kwa vi le mukatadha wa mazungumzo ilikuwa malalamiko ya watuhumiwa kuteswa na hoja

Na Mwandishi Wetu, Zanzibari kwa nini Bakwata haisimami kuwatetea akina Sheikh Mselem na Waislamu wengine wanaolalamika kuteswa na kudhalilishwa, kauli h iyo i l i chukul iwa kwamba anachomaanisha Sheikh Alhad ni kuwahukumu watuhumiwa hao kuwa tayari ni wahalifu wakati hata kesi zao hazijazungumzwa.

M a f u n d i s h o ya U i s l a m u yapo wazi kuwa lau watu wangekubaliwa kwa madai yao tu, basi kuna watu wangedai damu na mali za wengine.

Kwa hiyo, ni juu ya mwenye kuleta tuhuma kutoa ushahidi kuthibitisha madai yake.

Aidha, ili kuepuka kuwaadhibu au kuwatesa na kuwadhuru watu kwa dhulma na bila ya makosa, kanuni ya Uislamu ni kuwa, bora kumwachia mtu kimakosa hali ya kuwa ni mhalifu, kuliko kumwadhibu kimakosa mtu asiye na hatia.

Lakini pia katika sheria na kwa kuzingatia haki za binadamu, mtu atabaki kuwa mtuhumiwa mpaka hapo mahakama itakapothibitisha vinginevyo.

Ni kwa kuyazingatia yote hayo, Mbunge wa Konde Bwana Khatibu akiongea na mwandishi juzi, alisema kuwa haikuwa sahihi kwa Sheikh Alhad kusema kuwa Bakwata si chombo cha kutetea wahalifu huku akijua kuwa akina Sheikh Mselem bado hawajahukumiwa.

“ (She ikh) Alhad n i bora akajitambua kuwa jumuiya yao ni jumuiya isiyokuwa na masilahi yoyote kwa Waislamu wa Tanzania na hilo amelithibitisha kwa kauli yake pale aliposema kuwa Bakwata si chombo cha kutetea wahalifu!”

Alisema Khatibu na kuongeza akihoji na kusema, “Nani mhalifu? Tayari inaonekana anavyofurahia mateso yawapatayo ndugu zetu wale na yeye akiwadidimiza kwa

kuwaita wahalifu ilihali wale wanatuhumiwa tu. Hivi (Sheikh) Alhad Mussa hajui kwamba Masheikh wale na Waislamu kinachowasononesha mbali na kutolewa Zanzibar na kuswekwa magerezani Bara, kubwa zaidi ni ukatili wanaofanyiwa kwa kufanyiwa mambo ya ukhabithi wa Kaumu Lut? Halimuumizi hilo?”

A k i z u n g u m z i a s u a l a hilo Bungeni hivi karibuni, Mheshimiwa Khatib alisema kuwa yapo malalamiko yanatolewa na watuhumiwa kuwa wanateswa na kufanyiwa vi tendo vya unyanyasaji.

“Kiongozi ana wazazi, ana wafuasi, ana watoto wake, ndugu zake, wanakaa katika televisheni na wafuasi wake wanamuona baba yao analalamika hawezi kusimama kwa sababu kafanyiwa ulawiti, hiki ni kitendo kibaya ambacho kinafanyika ndani ya nchi yetu. Hakuna anayesema, hakuna anayejali kwa nini? Kwa sababu wale ni Wazanzibari au kwa sababu wale ni nani (Waislamu)?” Alihoji Mbunge huyo.

Ni kutokana na maswal i hayo, Mbunge huyo anasema inashangaza kuwa hata Bakwata linakaa kimya likifuata mkondo wa serikali wakati lilitakiwa liwe msitari wa mbele katika kutetea Waislamu.

Hata hivyo, Mbunge huyo akiongea na mwandishi anasema, amesikitika zaidi kusikia Sheikh huyo akisema kuwa Bakwata ipo kimya kwa sababu haipo kwa kutetea wahalifu utadhani tayari akina Sheikh Mselem washahukumiwa na kukutwa na hatia.

“Hivi jumuiya au taasisi ya wakulima wa korosho kazi yao si kuwasimamia wakulima wa korosho masilahi yao? Hivi haoni

viongozi wa Daladala Dar es Salaam wanavyotetea masilahi ya wenye daladala? Hivi Bakwata ina masilahi gani na Waislamu wa Tanzania? Je, ni kucheza mpira na mapadiri au maaskofu? Au kuwa kimbelembele katika kila shughuli za CCM na serikali?”

Hata hivyo Sheikh Alhad katika kauli yake kwa baadhi ya vyombo vya habari alisema kuwa si sahihi kumshutumu kuwa hatete i Waislamu akitaja tukio la kupigwa risasi Sheikh Ponda Issa Ponda.

Alisema, Ponda alipopigwa risasi Bakwata ilitoa kauli kulani kitendo hicho.

K w a u p a n d e m w i n g i n e Mheshimiwa Khatib amemtaka Sheikh Alhad na viongozi wote wa Bakwata wazingatie kuwa, wakati wakisakata kabumbu na Maaskofu, watambue kuwa wenzao viongozi wa Kikristo wana mambo ya kujivunia kwa waumini wao na kwa wananchi kwa ujumla.

Wana shule nzuri, vyuo mpaka vyuo vikuu na mtandao wa vituo vya afya, zahanati na hospitali nchi nzima zikiwemo hospitali za kutegemewa za rufaa.

“Wakati jumuiya za kidini nyengine zikiwa zina mafanikio makubwa kwa kujenga shule na vyuo vikuu, mahospitali na miradi kadhaa ya maendeleo, ni kipi cha kujivunia Bakwata ambacho kinaonekana na chenye masilahi na Waislamu wa nchi hii? Je, kugawa kondoo na mbuzi wa sadaka kutoka Makkah ndio malengo ya Baraza Kuu hili la Waislamu? Ni vyema mnapoambiwa ukweli mtafakari na kujiangalia kama waja wa Mwenyezi Mungu na sio kuwaita mafitina watu wanao wakosoa kwa matendo yenu.”

Wakati Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum, aliwataka Waislamu wampuuze Khatibu Said Haji, Mbunge wa Konde, akidai kuwa ni mtu fitina mwenye kufitinisha Bakwata na Waisalamu, upo ujumbe unaosambazwa kupitia s imu za mkononi ambapo wanaojiita Vijana wa Bakwata, wanasema kuwa wanamlaani Mbunge Khatib kwa kuidhalilisha Bakwata na kuif i t inisha na Waislamu.

Hata hivyo, Mbunge huyo anasema kuwa hadhani kuwa kwa kutoa kauli kuwakumbusha Bakwata wajibu wao ni fitna, bali ni namna ya kuwazindua Masheikh wa Bakwata watambue kuwa wamebeba dhima kubwa na wataulizwa mbele ya Allah.

“Ni vyema na itapendeza Sheikh wa Bakwata Mkoa wa Dar es Salaam ajitathmini kwa umakini, je, anatosha nafasi aliyonayo?”

“Arudi kwa Mwenyezi Mungu na ajue duniani ni mapito tu. Amebeba dhima kubwa kwa Allah kujiita Sheikh wa mkoa, je, matendo yake yanaendana na hadhi hiyo?” Amehoji.

Sheikh Alhad apewa somo zito

4 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala/Tangazo

Sifa na masharti ya kujiunga Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo:(i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu(ii) Awe anajua kusoma Qur’an kwa ufasaha.(iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya

Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga.(iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya

Kiswahili kwa ufasaha.(v) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne

na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika shule za Msingi au Sekondari.

• Patakuwa na usaili na mtihani siku ya tarehe 29/11/2014 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo na Kirinjiko na katika vituo mbalimbali vya mitihani kote nchini.

• Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 28/11/2014.• Fomu inalipiwa shilingi 5,000/- tu.

Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 13 wa gazeti hili.

MKURUGENZI

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2015

KWA muda wa takribani mwaka sasa , nimekuwa nikifuatilia Makala za Omari Msangi juu ya mikanganyiko i l iyoko katika jamii ya Kiislamu katika masuala ya jihadi bandia na kukataza w a t o t o k u s o m a e l i m u iliyopewa la elimu ya kikafiri. Leo nami niombe niseme japo kwa uchache kuhusiana na suala la kuwatoa watoto mashuleni.

Kwanza nimpongeze ndugu Omari Msangi kwa subira aliyo nayo katika kutoikatia tamaa mada hii ya kuingiza fikra kubwa kwenye bongo zilizowakilishwa kufikiri kwani amekuwa akitumiwa sms zinazoonyesha kumritadisha.

Katika toleo lililopita la tarehe 31/10/2014 yenye anwani anwani Rais Kikwete ametiza yake kama kiongozi, ilinigusa sana kuona jamii ya Kiislamu i k i e n d e l e a k u k i h u j u m u kizazi kichanga. Tukiwa tunazungumza ulimwengu wa digital, wengine kumbe wameshaihama dunia wako akhera huku wakipumua, hawataki kabisa kuyaona yanayoende lea dunian i . Wanawatoa watoto shule wasijue hata 4-1 wakati huo huo wanataka kuwa masheikh wa kugawa mirath, kugawa zakat nk.

Wiki tatu zilizopita nilikwa nikidarasisha katika msikiti wa Uyole Njia Panda. Mada i l ikuwa ni umuhimu wa elimu katika Uislamu ambapo ni l igusia suala la e l imu inayoitwa ya dunia a.k.a ya kikafiri. Baada ya kukaribisha maswali alijitokeza bwana mmoja aliyejitambulisha kuwa anatoka Dar es Salaam. Akiwa katika taswira ya kujiamini kupindukia, alisema:

“Mimi nakubalina na yote uliyoyaseme isipokuwa jambo moja tu la elimu dunia. Mimi hapa unayeniona nimeshawatoa watoto wangu wote shule baada ya kuona nawaingiza wanangu katika upotofu, sasa wanahifadhi Qur’an na wengine wameshamaliza msahafu. Sheikh nakuwambia, pamoja na kuwatoa wanangu shule, bado napata riziki kama kawaida kwani watoto wangu wawili wakubwa ni madereva. Wamejifunza baada ya kuhifadhi.”

Bwana huyu alionekana akiwa ametengeneza vizuri ndevu zake, amenyoa upara, amevalia kazu safi na juu yake koti la suti za Kizungu. Ukiwangalia shakhsiya na

Washenga wa uharibifuwaingia kuchafua Mbeya

Huu ni msiba mkubwa, tuwe macho

Na Mwalimu J. Mangi , Mbeya

maelezo yake utaona kuwa anapinga alichopingiwa na wengine, sio yeye kwani anaonekana ameneemeka kwa upotofu! Kupendeza kwake inawezekana katumia wembe au mashine za Shaghai, kanzu na koti hali kadhalika. Anakiri kuneemeka na udereva wa wanawe ambao unatokana na elimu ya upotofu!

Nilimuuliza kama udereva unasomeshwa kwenye fiqh (na je hayo magari wanayoendesha yanatengenezwa kwa elimu gani? Je, ni hifdhi ya Qur’an?), swali ambalo lilipuguza ujasiri wake.

Swali la kujiuliza hapa ni kwamba, upotevu/ukafiri unaweza kuwa neema kiasi hiki? Baada ya siku tatu nilimkuta katika Msikiti wa Sai akitoa waadhi. Alikuwa anawapa Waislamu Tawhiid kupitia maumbile mbalimbali ya Allah (SWT) aki j ikita kwenye umbile la mbingu na ardhi . Ni l imhurumia anavyojikanyaga na nikafikiria laiti angeondoa aleji yake kwenye jiografia akasoma mada kama Structure of the Earth au Solar System, angewaacha Waislamu wakimwona Allah (SWT) kila wanapoenda.

Tukiachana na mfano huo , turudi kwenye wimbi hili la kuikataa elimu hii ya mazingira yanayotuzunguka. Elimu hii ni kusoma masomo kama Biology, geography, hist., kilimo, uchumi nk. Katika masomo haya mtu hupata fursa ya kuwa mfanisi kiutendaji Zaidi. Mfano aliyesoma kilimo tunatarajia atalima kwa ufanisi. Hivyo atavuna mavuno mengi Zaidi na matokeo ya mavuno mazuri ni pamoja na kutoa zakati, kupata chakula cha kutosha ambapo ataweza kuwa na nguvu za kuswali, kufanya jihadi, kuwa na macho yenye nguvu kuisoma Qur’an, kwenda hija nk. Inapokuwa kuyasoma ni ukafikri lazima ujiulize maswali mengi ikiwa ni pamoja huyu mtu anafikiri au wengine wamefikiri badala yake?

Ukiangalia vizuri masomo haya utaona yana mchango mkubwa katika kutupa tawhiid.

Mfano ukisikiliza mawaidha ya miongoni mwa wanaopinga elimu hii ya mazingira utaona wakionyesha uwepo wa Allah (s.w) yaani tawhiid kupitia maumbile yake makubwa makubwa , uwepo wa usiku na mchana, kiangazi na masika nk. Rejea inaweza ikawa Qur’an 3:190-191, 67;3 nk. Maumbile haya ya Allah uchunguzi wa kisayansi yamezungumziwa vizuri katika masomo kama vile jiografia. Ufafanuzi huu ungetumiwa na walinganiaji tawhiidi ya kweli ingeingia nyoyoni wa Waislamu. Labda tatizo ni kule kuitwa solar system, rotation of earth au structure of the earth. Kama kuyasoma maumbile haya yaliyotajwa kwenye Qur’an kuwa alama ya kuwepo kwake ni ukafiri, basi huu ni msiba wa karne!

Kat ika miaka ya 2002

nilipata kusikiliza kipindi cha sayansi na afya kutoka VOA, kilichokuwa kikiendeshwa na Elias Magembe, kilichokuwa k u z u n g u m z i a c h o m b o kilichotumwa na Wamarekani. Ukiwataja Wamerekani kama mfano wengine wanaweza kuja na hoja, unatoa mfano wa makafiri kuzungumzia Uislamu japo wanaisoma Qur’an na imewataja akina Firauni. Siku hiyo alikuwa anazungumzia chombo kiitwacho voyage I. mwaka 1977 Wamarekani walituma chombo angani kwa ajili ya kupiga picha kinakopita na kuleta taarifa ardhini. Ilikadiriwa baada ya miaka 25, kitakuwa mbali sana na hakitakuwa na kitakuwa kimepoteza mawasi l iano ardhini lakini kitakuwa na uwezo wa kuendelea kwenda juu na juu na juu. Jaalia kiendelee kuwa na uwezo wa kwenda na kisipate kizuizi cha kwenda juu na juu. Hivi sasa kitakuwa wapi? Allah Akbar.

Utaalamu huu wa anga kama ungekuwa unafanywa na watu wenye akida sahihi, akina Abuu Y, mawaidha yake wakati wa kupandikiza tawhiid kwa Waislamu yangekuwa na ufanisi usio na kifani na akisema Allah Akbar anamaanisha hivo kweli.

5 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Habari za Kimataifa

WATU wanne wamechomwa kisu hadi kufa huko Mombasa siku ya Jumatatu usiku katika mashambulizi yanayoonesha dhahiri kuwa ni kisasi baada ya polisi kuvamia misikiti miwili inayoshutumiwa kuwa na uhusiano na al-Shabaab, polisi walisema siku ya Jumanne (tarehe 18 Novemba).

Kabla ya mkasa huo, siku ya Jumatatu ya tarehe 17 Novemba, Polisi walivamia Masjid Shuhada (uliokuwa ukijulikana kama Masjid Musa) Msikiti Mujahideen (uliokuwa unajulikana kama Msikiti Sakina) siku ya Jumatatu asubuhi huko Mombasa Kenya na kuwatia mbaroni mamia ya Waislamu huku wakidai kukamata silaha kadhaa na vifaa vya mafunzo.

Taarifa zinaeleza kuwa Polisi walianza operesheni asubuhi, wakiulenga Msikiti Shuhadaa (zamani ukiitwa Msikiti Musa) na Msikiti Mujahideen (zamani ukiitwa msikiti Sakina), ndipo walipowakamata washukiwa 251, kwa mujibu wa kituo cha K24TV cha Kenya.

Misikiti yote miwili katika siku za karibuni imekuwa ikidaiwa kuwa ni maeneo ya kupandikiza siasa kali kwa vijana wa Mombasa, na ilipewa majina mapya baada ya uvamizi wa hivi karibuni wa polisi na mauaji ya viongozi wa Misikiti hiyo.

Kwa mujibu wa maelezo ya polisi yaliyonukuliwa na AFP, wamedai kuwa vijana wenye silaha waliingia mitaani Jumatatu usiku, wakapambana na maafisa wa polisi na kushambulia wakazi wa Kisauni, kuwapiga baadhi na kuwachoma kwa visu wengine.

"Tunachunguza tukio hilo na tumewakamata baadhi ya watuhumiwa," alisema Afisa wa

Misikiti yavamiwaWatu wanne wauwawaMamia ya Waislam wakamatwa

jeshi wa Idara ya Polisi Kisauni, Richard Ngatia.

A l i s e m a k u wa wa t u 2 0 walikmatwa na watafikishwa

mahakamani, Capital FM ya Kenya iliripoti.

" S i s i h a t u j u i n i a y a mashambulizi hayo kwa sababu

waliwashambulia watu kiholela tu," alisema Ngatia kulingana na gazeti la The Standard. Alisema baadhi ya washambuliaji walikuwa bendera nyeusi inayohusishwa na al-Shabaab.

Polisi hao wamedai kuwa wamekamata bunduki, visu, m a b o m u m a n a n e , v i f a a v ya m a f u n z o n a b e n d e r a inayohusishwa na al-Shabaab.

"Tulikuwa na taarifa kwamba kundi hilo limekuwa likipanga mashambulizi na ndio sababu uvamizi huo ulifanyika," alisema Mkuu wa Polisi wa Mombasa, Geoffrey Mayek, kwa mujibu wa shirika la habari la AFP.

Kijana wa miaka 20 alijaribu kurusha bomu kwa maafisa na akapigwa risasi na kuuawa na polisi wakati wa uvamizi kwenye Msikiti wa Shuhadaa.

"Tulipokuwa tukiingia msikitini, kijana mmoja mwenye bomu la kurushwa kwa mkono alijaribu kuwavurumishia maafisa wetu ambao walimpiga risasi haraka," Mayek aliwaambia waandishi wa habari.

Zaidi ya maafisa 500 wa polisi wamepelekwa kwenye operesheni hiyo, kwa mujibu wa gazeti la The Standard la Kenya.

Siku chache kabla ya operesheni hiyo ya polisi katika misikiti hiyo, ulamaa wa Kiislamu mwenye msimamo wa wastani, Salim Bakari Mwangari, kupigwa risasi na kuuawa wakati akitoka kuswali kwenye Msikiti wa Bilal mjini Mombasa.

Mkurugenzi wa shirika la haki za binadamu la Kenya-Haki Afrika, Hussein Khalid, alilaani uvamizi huo akionya kwamba, "nguvu zinaweza tu kuchochea hali ambayo tayari imeshakuwa mbaya." (sabahi).

BALOZI wa Nigeria nchini Marekani imekosoa msaada wa Wa s h i n g t o n k a t i k a vita dhidi ya Boko Haram na kusema kuwa hautoshi n a k wa m b a , M a r e k a n i imeshindwa kutoa taarifa za kutosha za kijasusi na kuwauzia silaha zinazotakiwa katika mapambano dhidi ya kundi hilo la kigaidi.

B A l o z i A d e A d e f u ye , ameitaka Washington itoe msaada zaidi kwa Nigeria na kutupilia mbali madai kwamba, ukiukaji wa haki za binadamu umezuia baadhi ya misaada ya jeshi la Marekani.

A m e s e m a k w a m b a , w a n a n c h i w a N i g e r i a

Nigeria yadai misaada ya Marekani ina walakinihawaridhishwi na msaada unaotolewa na Marekani katika vita dhidi ya Boko Haram na kwamba, hakuna maana ya kupewa msaada ambao haufanikishi lengo hilo.

Hayo yanajiri huku serikali ya Rais Goodluck Jonathan, ikiendelea kukosolewa kwa kushindwa kulitokomeza kundi hilo linaloendelea kufanya mashambulizi dhidi ya raia nchini humo.

Licha ya ukosoaji huo Jonathan, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea tena katika uchaguzi ujao wa Rais nchini Nigeria.(irib). Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan

BAADHI ya Waislamu wakipandishwa kwenye karandinga baada ya polisi kuvamia Msikiti wakisaka Waislamu wanaoitwa wenye msimamo mkali wakiwahusisha na ugaidi, Mombasa Kenya.

6 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala

KATIKA siku za hivi karibuni kumekuwepo msako mkali wa kutafutwa baadhi ya vi jana wanaoonekana kama ni tishio kwa usalama wa nchi, na huchukuliwa na kupelekwa jijini Dar es Salaam kushitakiwa kwa madai kwamba wanahatarisha usalama wa nchi. Vijana hao hufuatwa majumbani mwao na wengine huenda kushikwa wakiwa mabarazani au kutegeshewa sehemu na kukamatwa kisha huchukuliwa na kusafirishwa usiku usiku na kupelekwa Dar es Salaam wakiunganishwa na wale ambao wameshitakiwa awali.

Wengine walioshitakiwa kwa kosa kama hilo, miongoni mwao ni Kiongozi Mkuu wa Taasisi za Kiislamu Zanzibar, Sheikh Msellem Ali Msellem na Katibu wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) Sheikh Abdallah Said na wenzao kadhaa waliomakatwa ambapo wanalalamikia kuteshwa na kudhalilishwa na vyombo vya usalama wakati wakihojiwa. Hata hivyo, licha ya malalamiko yao bado serikali haijataka kuyafanyia kazi malalamiko yao.

Taasisi za kidini zilikwenda kupeleka malalamiko yao serikalini wakaitaka serikali ifuatilie madai yaliyotolewa mahakamani juu ya kuteswa kwa watuhumiwa na kudhalilishwa, wana familia nao wakawasilisha malalamiko yao na hata wiki iliyopita baadhi ya wabunge wakaelezea masikitiko yao juu ya suala hilo, lakini bado watawala wamefumba macho na masikio.

Zanzibar msako huo bado unaendelea na baadhi ya vijana wamekamatwa hivi karibuni na kusafirishwa hadi Dar es Salaam wakiunganisha na wenziwao kwa kesi hiyo ya kigaidi, ingawa wapo pia waliokamatwa na kurejeshwa kwa madai ya kuwa wana watu wao serikalini kama ilivyotokea kwa aliyekamatwa hivi karibuni eneo la Daraja Bovu ambaye alipelekwa Dar es Salaam na baada ya siku chache akarejeshwa Zanzibar baada ya watu wakubwa kuingilia kati suala hilo. Sitaki kulizungumzia hilo sana kwa kuwa vyombo vya ulinzi na serikali wanajua wanachokifanya.

Sidhani kama kuna mtu ambaye ataunga mkono suala la uhalifu au uporaji au vitendo vyovyote ambayo vinahatarisha usalama wa nchi na wananchi wake. Bila ya shaka hatuwezi kukubaliana na hilo lakini watu ambao wanatuhumiwa kufanya makosa washitakiwe kwa mujibu wa sheria na sheria hizo zianzie tokea kwenye kuwakamata watuhumiwa hadi kuwafikisha mahakamani na hukumu.

Kukiuka sheria na kujifanyia kazi kwa utaratibu uliozoeleka au ushabiki wa makundi fulani ndiko kunakosababisha sheria kukiukwa na kukimbilia zaidi kwenye kutumika nguvu badala ya kufuata taratibu za kufikia kwenye haki.

Dunia nzima sasa kuna wimbo unaimbwa wa ugaidi ulinzia kwa wenzetu na sasa umefika nchi zetu

Kamatakamata yapamba motoKarume akumbukwa kwa ujasiriShein, Maalim kinawashinda nini?

Zanzibar si shwari tenaNa Salma Said

RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein.

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif

Sharif Hamadza Kiafrika. Tumeshuhudia Somali, Nigeria na sasa hapo Kenya kila siku watu kadhaa wanauwana wenyewe kwa wenyewe kwa visingizio vya ugaidi.

Hiyo ni sumu mbaya ambayo inatapakaa nchi nyengine na kwa kuwa imeshafika Kenya, basi Tanzania nayo jirani Tanzania nayo wimbo huo umepokewa kwa shangwe na tunashuhudia vitendo vya kihalifu vikiendelea, mara huyu kakamatwa, huku kapigwa huyu kauliwa na kadhalika kisingizio kikubwa ni ugaidi.

Kwa hali hii inavyokwenda, mwisho tutauwana wenyewe kwa wenyewe kwa kuwa nguvu kubwa imekuwa ni kuwakamata watu na kuwaseka ndani badala ya kuchunguzwa kwa umakini tatizo lilipo na kuchukuliwa hatua stahiki.

K i b a y a z a i d i n i k w a m b a wanaolengwa ni vijana wa Kiislamu kama kwamba dini ya Kiislamu ndio yenye kufundisha au yenye kutenda maovu. Mtindo huo wa kuendelea kuwakamata vi jana kis ir is ir i , unajenga chuki miongoni mwa vijana na kuwaamsha hisia na itafika pahala vijana hawatakubali wataamua kupambana kama tunavyoona nchi nyengine wanavyoamua kujitolea.

Kwani hakuna kitu kibaya kama kuingilia imani za dini unapoingilia imani za dini unawasha moto ambao kuzimika kwake ni mauti na janga la taifa.

Baadhi ya wananchi wamepiga kelele wakitaka watuhumiwa waliokamatwa Zanzibar warejeshwe kushitakiwa hapa hapa kwa kuwa Zanzibar ina mahakama zake na sio

sahihi kwenda kushitakiwa Tanzania Bara licha ya kuwa Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Chama Cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) kupitia Rais wake Awadh Ali Said alitoa taarifa kwa waandishi wa habari akisema washitakiwa hao wanapaswa kushi tak iwa walipokamatwa na madai yao kusikilizwa hapa hapa Zanzibar.

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu Zanzibar, Othman Masoud Othman siku chache kabla ya uteuzi wake kutenguliwa na Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohammed Shein na kumchagua Said Hassan Said kuwa Mwanasheria mpya, Othman alisema ni kinyume cha sheria kwa washitakiwa hao kuwatoa Zanzibar na kwenda kuwashitaki Tanzania Zanzibar.

Othman aliahidi kushughulikia suala hi lo kat ika tarat ibu na kisheria kati ya serikali hizo mbili ili watuhumiwa hao wapate kurejeshwa Zanzibar kushitakiwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za kimahakama zilizopo Zanzibar. Hata hivyo suala hilo hatujui litashughulikiwa vipi na mrithi wake.

Kipindi cha utawala wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume kuliwahi kutokea kadhia kama hiyo walikamatwa baadhi ya wafuasi na viongozi wa Chama Cha Wananchi (CUF), wanaodaiwa kutaka kujitenga kwa Kisiwa cha Pemba na kusafirishwa hadi Dar es Salaam kushitakiwa lakini wakati huo Rais hakuwepo nchini.

Lakini Rais Karume aliporudi safari yake alitaka utaratibu ufuatwe wa watuhumiwa wote waliokamatwa

Zanzibar na kupelekwa Tanzania Bara kushitakiwa warejeshwe haraka kama ni kushitakiwa watashitakiwa wakiwa Zanzibar kama ni hukumu ya kufungwa au kunyongwa basi wanyongwe hapa hapa na kesi hiyo kutaka isimamiwe na mahakama zilizopo Zanzibar.

N a h a i k u c h u k u a m u d a , watuhumiwa wote wakarejeshwa Zanzibar na hakuna kesi, hakuna nini wakaachiliwa mbali wafanye shughuli zao za kawaida na hivyo ndio kesi za nchi hii zinavyokwenda.

Suali hapa jee Rais Karume alipataje ujasiri wa kuongea na Rais mwenzake Jakaya Kikwete na kuamuru watuhumiwa wake warejeshwe nchini na ujasiri huo huo aukose Dk Ali Mohammed Shein ambaye sasa yeye ndio mwenye mamlaka yote ya Zanzibar?.

Wakati kesi ya watuhumiwa hao ikiendelea, Mahakama ya Kisutu Dar es Salama, wiki mbili zilizopita Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amemuamuru Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa kusaidiana na vyombo vya ulinzi na usalama kushusha bendera zote za Uamsho. Kwa madai kwamba bendera zinazopaswa kupepea ni zile za vyama vya siasa tu na sio za jumuiya za kidini.

Lakini Balozi Seif amesahau kama kuna bendera za vyama vya mipira na pia bendera za wana Kadiria ambao pia ni watu wa dini nao kwa miaka kadhaa wanazitumia bendera hizo ambapo hutumika na huzipachika bendera hizo kila wanapokwenda kufanya dhikiri zao. Jee na hizo zitaamrishwa zipachuliwe?.

Bila ya shaka kwa kuwa ni amri ya kiongozi mkubwa wa serikali bendera hizo zimeshushwa na sasa Mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kwa asilimia kubwa bendera hizo ndio zilizokuwa zikipepea katika nyumba za watu zimeshashuswa.

Lakini bado kamatakamata inaendelea katika mitaa mbali mbali ya Visiwa vya Zanzibar. Wapo ambao wamekamatwa kwa kudhaniwa tu ni miongoni mwa wanaunga mkono Uamsho, hali ya kuwa sio wenyewe lakini wameshapelekwa Dar es Salaam na wanasubiri kuunganishwa na wenziwao wakituhumiwa kwa ugaidi.

Lakini kuna baadhi ya wazee wa n a s e m a k u n a v i j a n a wa o w a m e t o w e k a n y u m b a n i n a hawaonekani ila taarifa za baadhi ya rafiki zao wanasema kuwa wamechukuliwa na polisi, na wazee walipofuatilia Kituo cha Polisi Madema Zanzibar wameambiwa ni kweli watu hao wapo lakini sababu za kukamatwa kwao wende Jijini Dar es Salaam kufuatilia.

Kukamatwa huku kwa vijana hao hakupo rasmi nasema hivyo kwa sababu polisi inapotaka kumkamata mtu ina sheria zake na hakuna sababu ya kujificha na wala hakuna sababu ya kumvizia njiani au kumkamata saa nane za usiku kama vile jambazi au mhalifu.

Wa t u wa l i o k a m a t wa w o t e wanaishi katika majumba yao na wanatambulika katika mitaa yao na

Inaendelea Uk. 15

7 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala

Novemba 16, 2014 - 'Mtandao wa Kupashana Habari'

SAFARI ya kijasiri ya mpiganaji aliyejeruhiwa vibaya katika vita nchini Irak, Tomas Young, ilifikia tamati yake Jumatatu ya pili ya mwezi wa Novemba 10, karibu miaka 11 tangu aliposhambuliwa akiwa katika gari la kijeshi lisilo na kificho katika uwanja wa vita. Alifariki mjini Seattle akiwa anauguzwa kwa mapenzi makubwa na mkewe Claudia.

T o m a s h a k u o n d o k a kimyakimya, licha ya kupooza kutoka kifuani kwenda chini, maumivu makali muda mwingi, kukaribia kifo na kutegemea w a s a i d i z i t i b a . A l i k u w a mwanaharakati wa amani kupinga vita, akihutubia mikutano ya kitaaluma na kujibu maswali ya mahojiano maombi yalipoletwa, kwa kiasi ambacho hali yake ya kuumiza moyo ilivyokuwa inaruhusu.

Nilisikia habari za Tomas wakati mama yake Cathy Smith, alipopiga simu kutoka Hospitali ya Jeshi ya Walter Reed mwaka 2004 , ambako mwanae alikuwa anatibiwa. Alisema Tomas alikuwa anapenda kusoma na alikuwa anataka nimtembelee. Nilimwita mwendesha midahalo ya televisheni Phil Donahue nikamwomba twende pamoja kumpelekea Tomas kasha lenye vitabu zaidi ya thelathini. Tulisikia kuwa alijiunga na jeshi siku mbili baada ya mashambulio ya 9/11 kwa sababu alikuwa anataka kusaidia kuwafikisha mbele ya sheria waliohusika na mashambulio hayo na pia kuweka fedha za akiba kusoma chuo kikuu. Badala yake akapelekwa Irak ambayo haikuwa na uhusiano na 9/11 au hatari yoyote ile kwa usalama wa taifa la Marekani. Kwa maelezo yake, "Tulitumiwa. Tulisalitiwa. Na tumetelekezwa."

Phil alisononeshwa na habari hiyo kiasi cha kuwa karibu na Tomas na familia yake na kumsaidia kuifikisha habari hiyo kila mahali. Akiwa na Ellen Spiro, Phil Donadue alitayarisha sinema pembuzi ya televisheni kutokana na maelezo ya Tomas iitwayo 'Mwili wa Vita' mwaka 2007. Onyesho hilo la televisheni lilibainisha mateso yaliyomfika Tomas Young, ambaye alifaulu kusafiri kwenye vituo kadhaa ambako picha za seinema hiyo zilikuwa zikipigwa kuwaunga mkono askari "wanaozungumza kupinga vita hii."

M o j a y a v i o n j o v y a kukumbukwa vya 'Mwili wa Vita' kinamwonyesha George W. Bush akifanya mzaha na kuangalia huku na kule kama kuna silaha za maangamizi

Barua ya mwisho ya Tomas Young kwa Bush, CheneyNa Ralph Nader

(ulaghai wa kutisha ulioleta vita) huku akizungumza na waandishi wa redio na televisheni katika tafrija mwaka 2004.

Tukio jingine linalokumbukwa lenye chachu ya ubinadamu, i l ikuwa ni mdahalo binafsi

kati ya Seneta Robert Byrd (Democrat, West |Virginia) na Tomas wakati mkanda wa mazungumzo ya Tomas na Seneta Byrd akisoma orodha ya ma-Seneta waliopiga kura kupinga uvamizi wa Irak ukiwa unachezwa kwa sauti nyororo kuendana na mazungumzo. Seneta Byrd aliwaita ma-Seneta hao ni 'watakaokumbukwa milele 23.'

Baada ya kupokea s imu aliyokuwa anaihofia kwa miaka kumi, Phil aliniambia kuwa mwili na akili ya Tomas "vilipokea kila pigo" lakini alipambana kuishi kwa zaidi ya muongo mmoja. Phil alijitolea kwa ajili ya muongo huo wa kishujaa wa kuishi, akimsaidia katika njia hiyo kupata tiba bora zaidi na msaada wa matumizi ya viungo, akimpa moyo kuendelea kujitahidi, huku akiwezesha sauti ya Tomas Young na nafasi yake katika historia iliyohifadhiwa. Urafiki huu ulioanzia katika mazingira magumu kama hayo wenyewe ni kitabu tosha.

Ilikuwa ni katika kumbukumbu ya miaka 10 ya kuanza kwa Vita vya Irak, akiwa anakaribia kufa na anaangaliwa katika chumba maalum, Tomas Young alipeleka 'Barua ya Mwisho' kwa George W. Bush na Dick Cheney. Hapa ni baadhi ya maneno yanayopenya kutoka barua hiyo, ambayo kwa hali yoyote ile, wahalifu wawili hao wa vita na wasaidizi wao wanaolipwa kwa fedha za walipa kodi hawakukiri hata kuiona.

"Naandika barua hii kwa niaba ya waume na wake ambao wamepoteza wenza wao, kwa niaba ya watoto ambao wamepoteza mzazi, kwa niaba ya kina baba na kina mama ambao wamepoteza wana na mabinti na kwa niaba ya wale wanaowaangalia maelfu ya wapiganaji wa zamani wenzangu a m b a o wa n a m a j e r a h a ya ubongo. …Naandika barua hii kwa niaba ya wa-Iraki takriban milioni moja waliokufa na kwa niaba ya wa-Irak wasiohesabika waliojeruhiwa. Naandika barua hii kwa niaba yetu sisi sote - maafa ya kibinadamu ambayo vita vyako vimeacha nyuma, wale watakaopitia maisha yao katika maumivu yasiyokwisha na majonzi.

Naandika barua hii, barua yangu ya mwisho, kwenu, Bw. Bush na Bw. Cheney. Naandika siyo kwa vile nadhani mnaelewa matokeo mazito ya kibinadamu na kimaadili ya uwongo wenu, udanganyifu na tamaa ya utajiri na mamlaka. Naandika barua hii kwa sababu nataka kueleza wazi kuwa mimi, na mamia ya maelfu ya wapiganaji wenzangu wa zamani, pamoja na mamilioni ya wananchi wenzangu, pamoja na mamia ya mamilioni wengine katika Irak na Mashariki ya Kati,

To: George W. Bush and Dick CheneyFrom: Tomas YoungI write this letter on the 10th anniversary of the Iraq War on behalf of my fellow Iraq War veterans. I write this letter on behalf of the 4,488 soldiers and Marines who died in Iraq. I write this letter on behalf of the hundreds of thousands of veterans who have been wounded and on behalf of those whose wounds, physical and psychological, have destroyed their lives. I am one of those gravely wounded. I was paralyzed in an insurgent ambush in 2004 in Sadr City. My life is coming to an end. I am living under hospice care.

I write this letter on behalf of husbands and wives who have lost spouses, on behalf of children who have lost a parent, on behalf of the fathers and mothers who have lost sons and daughters and on behalf of those who care for the many thousands of my fellow veterans who have brain injuries. I write this letter on behalf of those veterans whose trauma and self-revulsion for what they have witnessed, endured and done in Iraq have led to suicide and on behalf of the active-duty soldiers and Marines who commit, on average, a suicide a day. I write this letter on behalf of the some 1 million Iraqi dead and on behalf of the countless Iraqi wounded. I write this letter on behalf of us all—the human detritus your war has left behind, those who will spend their lives in unending pain and grief.

You may evade justice but in our eyes you are each guilty of egregious war crimes, of plunder and, finally, of murder, including the murder of thousands of young Americans—my fellow veterans—whose future you

The Last LetterA Message to George W. Bush and Dick Cheney From a Dying Veteran

stole.I write this letter, my last letter,

to you, Mr. Bush and Mr. Cheney. I write not because I think you grasp the terrible human and moral consequences of your lies, manipulation and thirst for wealth and power. I write this letter because, before my own death, I want to make it clear that I, and hundreds of thousands of my fellow veterans, along with millions of my fellow citizens, along with hundreds of millions more in Iraq and the Middle East, know fully who you are and what you have done. You may evade justice but in our eyes you are each guilty of egregious war crimes, of plunder and, finally, of murder, including the murder of thousands of young Americans—my fellow veterans—whose future you stole.

Your positions of authority, your millions of dollars of personal wealth, your public relations consultants, your privilege and your power cannot mask the hollowness of your character. You sent us to fight and die in Iraq after you, Mr. Cheney, dodged the draft in Vietnam, and you, Mr. Bush, went AWOL from your National Guard unit. Your cowardice and selfishness were established decades ago. You were not willing to risk yourselves for our nation but you sent hundreds of thousands of young men and women to be sacrificed in a senseless war with no more thought than it takes to put out the garbage.

I joined the Army two days after the 9/11 attacks. I joined the Army because our country had been attacked. I wanted to strike back at those who had killed some 3,000 of my fellow citizens. I did not join the Army to go to Iraq, a country that had

Inaendelea Uk. 12Inaendelea Uk. 12

TOMAS Young akisaidiwa na mkewe.

8 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala

MARA baada ya tukio la kuuliwa Padri Evarist Mushi wa Parokia ya Minara Miwili ya Kanisa Katoliki mjini Zanzibar, kulisambazwa vipeperushi vikiwahimiza Wakristo kulipiza kisasi. Baada ya kutolewa maelezo marefu

KIASI wiki moja iliyopita mtu mmoja alinipigia simu a k i n i a m b i a k u wa a l i t a k a kukutana na mimi. Hata hivyo akasema, kwa vile alikuwa njiani akitokea Kampala, atanipigia atakapofika mwisho wa safari yake. Hakuwahi kunipigia, ila nikawa napokea ujumbe wa maneno kupitia simu ya mkononi. Zilikuwa meseji nyingi kiasi zikifuatana moja baada ya nyingine. Kutokana na wingi wake, sitaweza kuzinukuu zote, ila ningependa kunukuu mbili tu ambazo zilinifikia siku ya Jumamosi iliyopita baina ya saa moja na saa tatu asubuhi. Ya kwanza inasema:

“Ewe jaahili murakkab! Ewe khinziir wa Kishia! Ewe mchumia t u m b o u n a e j i p e n d e k e z a kwa ser ika l i ! Unasema IS wanapewa msaada na USA-Israel. Tumeshuhudia Mashia wakiungana na USA kuwapiga IS, mbona umeufyata hujatoa makala kuhusu hilo? Na Alhamdulillah haukupita muda hata wa miezi mwili wakafarakana! Unafiki wenu ukawa hadharani! Eti taifa la Kiislamu mnaungana na USA kuwapiga ndugu Islam? Ungekuwa si khinziir ingetosha aibu hiyo na usingerudia tena kuwafanyia wajinga “kadabra kadabra” kupinga Jihad! Lakini ndio hivyo, khinziir ni khinziir tu.” (0683 270 987)

Kabla si jamaliza kusoma ujumbe huo, mara ikaingia meseji nyingine. Yenyewe inasema:

“Mlipoona (Mashia) Jeshi la Allah SW linakaribia kuondoa utawala wa kinaafiq! Utawala wa watu wanaowakufurisha M a s wa h a b a K i r a a m i n wa Mtume s .a .w ka t ika I raq , mkaona bora muungane na USA kuwapondaponda sasa nyie na USA mna dini gani? Maana yake inaonekana mnafanana mpaka mkakubaliana kumpiga adui yenu IS! Allahu Akbar! Ungekuwa si khinziir hili jambo limekuvua nguo kabisa lakini wapi bwana. Lini khinziir atakuwa bora? Dawa yako inaiva…subiri, subiri, subiri.” (0683 270 987)

Kama nilivyosema, meseji zilikuwa nyingi, lakini hizi mbili zatosha kuwakilisha nyingine.

“Syria ‘Hero Boy’ Video”, ni mkanda wa video ambao ulisambaa na kugonga vichwa vya habari vya magazeti na televisheni vya Marekani na Ulaya, juu ya vita inayoendelea Syria. Mkanda huo wa dakika chache ambao unapatikana katika YouTube hadi sasa, uliamsha hasira za walimwengu na kuona kuwa kwa hakika itakuwa ni sahihi kabisa kwa Rais Bashar al Assad kupigwa na kung’olewa madarakani kwa sababu kazidi ukati l i . Risasi zinasikikika zikirindia, huku wanaofyatua risasi hawaonekani ila zinasikika sauti zao wakipaza sauti kwa Kiarabu, mara kadhaa wakisema

Volikano ya Jihad yaelekea Makkah

Hii sio vita ya ma-Shia Vs ma-SunniWala Waislamu dhidi ya WakristoWanaonufaika ni Israel, USA, NATO

Na Omar Msangi

Allahu Akbar, hasa wanapofyatua risasi. Mara anaonekana mtu mmoja akitoka anakimbia mbio huku kainama akikwepa risasi.

Wanaopiga risasi wanapiga takbira huku wakifyatua risasi mfululizo, lakini anafanikiwa kuingia katika nyumba moja bila

kupatwa na risasi.Mkanda, unaendelea walenga

shabaha (snipers) wanasikika wa k i o n g e a K i a r a b u , m a r a anaonekana mtoto wa kiume kiasi miaka kumi anatokea kwenye gofu moja anakimbia. Takbira zinasikika na milio ya risasi inasikika akishambuliwa mtoto huyo. Inaonekana risasi inampata anaanguka chini. Wapiga risasi, wanapaza sauti ya Takbiir Allahu Akbar!

Picha inamuonyesha mtoto akigaragara pale chini, halafu t a r a t i b u a n a n ya n y u k a n a kukimbia. Mbele anaonekana mtoto mwingine mdogo wa kike kiasi miaka baina ya sita na kumi. Kumbe alikuwa akitaka kumuokoa yule mtoto msichana. Huku risasi zikimuandama akakimbia akiwa kainama kukwepa risasi, anamfikia yule mtoto wa kike aliyekuwa amejikunyata nyuma ya gari bovu akijikinga asipatwe na risasi. Anamshika mtoto wa kike na kukimbia naye huku risasi zinawaandama. Wanafanikiwa kuingia na kujificha katika jumba moja bovu.

Mtoto Shujaa wa Syria. Melezo yanayotolea ni kuwa waliokuwa wakipiga risasi , tena huku wakitaja jila la Mwenyezi Mungu na kupiga takbira, ni askari wa Syria. Ikadaiwa kuwa hao ni askari wadunguaji (snipers) wa Bashar Assad ambao hujificha katika majengo na kuuwa wananchi wasio na hatia. Na katika video hii ikaelezwa kuwa kwa hakika Bashar kazidi unyama, ukatili na uuwaji maana askari wake wanawalenga shabaha hata watoto wadogo. Ushahidi ni mkanda huo wa video uliosambazwa dunia nzima kupitia mtandao.

Mara tu baada ya kutoka mkanda huo, vyombo vya habari vikaingia kazini.

“What kind of monster purposely targets children? Liliandika gazeti la International Business Times. Na kukoleza kwa kichwa kidogo cha habari kilichosema:

The incident certainly is not the first time that Pro-Assad gunmen have targeted children in the nearly four years of the bloody civil war in Syria.

Nunda gani hili linalouwa mpaka watoto wadogo? Ndivyo lilivyosema gazeti hilo lakini likiongeza kuwa, hiyo si mara ya kwanza kwa utawala wa Bashar Assad kuuwa watoto wadogo wasio na hatia.

Kwa upande wake gazeti la Daily Telegraph (London), baada ya kutoa maelezo marefu ya kuhimiza kupigwa Bashar kwa sababu ya ukatili wake, likamalizia kwa kusema kuwa “the experts have “confirmed the authenticity” of the video.

K w a m b a , w a t a a l a m u wamethibitisha kuwa video hiyo ni ya kweli.

Baada ya vyombo vya habari kufanya kazi yake vizuri, Wizara ya Ulinzi ya Marekani (US State

Tuliambiwa tutafute elimu mpaka Chinabasi tujifunze kutoka kwa Tomas Young

kidogo, kipeperushi kilidai kuwa Wakristo wamechoka na hawawezi kuendelea kuvumilia wakiona viongozi wao wakiuliwa na makanisa yao kuchomwa moto.

Hata hivyo, viongozi wa baadhi ya Makanisa walijitokeza na kuwaambia waumini wao kuwa waepukane na propaganda hizo chafu kwa sababu hali halisi haionyeshi kuwa jamii yetu (ya Waislamu na Wakristo) ina uadui

wa kiwango hicho cha Waislamu kushika silaha kuuwa viongozi wa Kikristo.

Kiimani Uislamu unasimama katika kanuni kuwa hakuna

Inaendelea Uk. 9Inaendelea Uk. 10

TOMAS Young akipanda kitandani.

MKANDA wa video katika You Tube ukimuonyesha mtoto mdogo akikimbia huku risasi zikirindima. Filamu namna hii ni sehemu ya propaganda mbaya dhidi ya utawala wa Rais Bashar al Asaad wa Syria.

9 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala

Inaendelea Uk. 10

Volikano ya Jihad yaelekea Makkah

Inatoka Uk. 8Department) na wangine walio katika agenda ya kufanikisha vita ya Syria/Iraq, wakachukua habari hizo kwamba ni sababa ya kuzidisha harakati zao za kuingilia kati na kuwapa silaha wapiganaji wa Syria, wakiwemo wale wa Jabhat Islamia ili wamng’oe Bashar al Assad.

Hata hivyo, haukupita muda hivi sasa imefahamika kuwa video ile ilikuwa ya kughushi. Ilikuwa ni usanii, tena hakufanyika Syria bali ‘location’ ilikuwa Malta. Aliyetengeneza filamu hiyo ni mtengeneza filamu aitwaye Lars Klevberg akifadhiliwa kufanya kazi hiyo na kampuni ya Norway iitwayo Norweigan Film Institute (NFI) kwa pamoja na Audio and Visual Fund from Arts Council Norway, na kwamba Lars Klevberg alilipwa kiasi cha dola $30,000 kufanya kazi hiyo.

Kat ika mkanda wa as i l i wa propaganda hiyo ambao nao sasa unapatikana katika mtandao, wanaonekana watu watatu, mmoja akiwa mwongoza filamu (Director), Lars Klevberg. Wale watoto wawili nao wapo. Msichana kavaa sketi nyeupe na shati nyekundu. Wanaonekana wakirukaruka, mbele yao kuna gari bovu ambapo chini yake kuna watu wamelala kama maiti. Mtu mmoja anawashika wale watoto na kuwaonyesha namna ya kusimama, kisha ‘Director’ (Mwongoza Filamu) anasikika akisema “stand by”. Anaposema action, yule binti anakimbia na kujificha katika lile gari bovu na mchezo unaendelea. Anaonekana akikimbia akiwa kainama kama anavyoonekana katika video kwamba anakwepa risasi. Hapo sauti za Kiarabu na takbiir hazisikii. Inavyoonekana zimekuja kutiwa baadae.

BBC ni moja ya mashirika ya utangazaji yaliyotoa habari juu ya video hii feki na kuonyesha jinsi uwongo huo ulivyoibua hasira za walimwengu.

"We shot it in Malta in May this year on a set that was used for other famous movies like Troy and Gladiator. The little boy and girl are professional actors from Malta. The voices in the background are Syrian refugees living in Malta." (Tazama: BBC Trending: Syrian 'hero boy' video faked by Norwegian director)

Hayo ni maelezo ya mtengeneza filamu Lars Klevberg, akiongea na BBC akithibitisha kuwa walipiga filamu hiyo Malta na wala sio tukio lililotokea Syria. Lars Klevberg, anasema kuwa watoto waliotumika ni ‘akina Kanumba wadogo na Lulu’ kwa maana kuwa watoto wacheza filamu mahiri wa Malta na kwamba sauti za Kiarabu zimetumika za wakimbizi kutoka Syria wanaoishi Malta.

Mwandishi mmoja anasema kuwa wakati watu wakiongopewa hivi sasa juu ya agenda ya Marekani na NATO kuwapiga ISIS, wazingatie pia kuwa ni

“US Doesn't Want to Stop ISIL - Only Exploit them for Other Means: US Airstrikes Against ISIL not Meant to Destroy ISIL.”

Huu ni uchambuzi uliotolewa mapema wiki hii na mwandishi SteveMC. Katika uchambuzi

Askari 18 wachinjwa

h a wa h a wa M a r e k a n i n a NATO, walioanzisha vita Syria kwa kumchafua Bashar Assad, lakini ni hao hao pia waliowapa mafunzo ISIS na kuwalundikia

silaha jambo wanaloendelea nalo hadi sasa kama alivyosema Rais wa Argentina, Cristina Elisabet Fernández de Kirchner mbele ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa

(UN). Kwa anayetaka kujua ukweli,

jambo hil i l imeandikwa na kuelezwa sana, na kujadiliwa katika midahalo na mihadhara mbalimbali ya kitaaluma.

Ugaidi wa kupanga

Mnamo Septemba 19, 2005 walikamatwa makachero wawili wa Uingereza kutoka kikosi cha Special Air Service (SAS) wakiwa wamejifananisha na Waarabu wakivaa wigi za nywele za Kiarabu, lakini pia wakivaa sare za kikosi cha wapiganaji wa Kishia kilichojulikana kwa jina la Mehdi Army likiongozwa na Moqtada al-Sadr. Makachero hao wakijifanya kuwa ni magaidi wa kujitoa muhanga kwa kujilipua (suicide bombers) waliingia Basra na kuuwa polisi waliotaka kuwazuiya walipokuwa wanataka kufanya shambulio la kulipua gari. Walikuwa wanaendesha gari lililojazwa milipuko ambayo ilikuwa itumike kulipua shabaha za Wasuni, kisha ingetangazwa kuwa hao ni Shia, magaidi wa kujitoa muhanga wamelipua ama msikiti wa Sunni au mahali p o p o t e p a t a k a p o a n g a n i z a Wasuni. Hata hivyo makachero hao walikamatwa kabla ya kuleta madhara. Serikali ya Uingereza iliingilia kati ikitaka serikali ya mpito iliyowekwa baada ya kung’olewa Saddam, iwaachilie makachero hao, lakini serikali ikakataa. Ilichofanya serikali ya Uingereza ni kutuma kikosi chake cha wanajeshi waliokuwa bado Iraq, wakabomoa kituo cha polisi na magereza ya Basra wakawatoa makachero hao.

Kama alivyoeleza Christopher Bollyn katika makala yake “BALKANIZATION’ OF IRAQ IS PART OF NEO-CON PLAN: Bloody Strategy to Partition Iraq Exposed by Capture Of British Spies in Basra”, kinachoonekana leo kuwa ni mashambulizi ya kigaidi-Mashia wakiuwana na Masuni katika Iraq (na Syria), ni jambo la kupandikizwa na mabeberu ili ipatikane sababu ya kuigawa nchi hiyo.

Japo Saddam alishutumiwa kwa ukatili, lakini hapakuwa na chuki za kuuwana baina ya Shia na Sunni. Ilikuwa ni baada ya kung’olewa Saddam fitna na farka hii ilipandikizwa. Na kama inavyojieleza katika tukio hili la kukamatwa makachero wa Uingereza wakijifanya kuwa wao ni wapiganaji kutoka kikosi cha Muqtada Sadri, ilikuwa magaidi wa kupandikizwa wanauwa Mashia kisha wanavumisha kuwa wal iofanya hivyo ni Sunni. Tena wanauwa Sunni wanasema waliofanya mauwaji ni Shia. Mashambulizi kama hayo ndiyo yanaitwa “false flag terror bombings”. Hali hiyo ndio ikazaa mapambano ya Shia/Sunni kulipizana kisasi katika Iraq.

Ili iwe nini? Katika vita ya

inapigwa na Marekani (kafiri). Na kweli toka mashambulizi hayo yaanze, inaelezwa kuwa IS wanazidi kupata wapiganaji halikadhalika kupata mashabiki katika nchi mbalimbali duniani. Kwa vile ni mradi wa kibeberu

huo anasema kuwa yanayoitwa mashambulizi ya Marekani dhidi ya IS, yana malengo mengine kabisa na wala sio kuwaangamzia IS.

Anasema, lengo la kwanza ni kujenga mazingira ya Waislamu wengi zaidi kujitokeza kujiunga na IS, wakiona kuwa Dola ya Kiislamu

wa kimataifa, inavyoonekana ni kuwa zipo taratibu pia hata za kuwafanyia wepesi watu kutoka nchi za Kiarabu, Ulaya na Asia kusafiri hadi kufika kuungana na IS. Kinacholengwa katika mkakati huu ni kuwa IS haifi au

Inaendelea Uk. 14

SEHEMU ya washiriki wa filamu hizo katika picha ya pamoja.

BAADHI ya askari wa jeshi la Marekani nchini Iraq.

10 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala

Volikano ya Jihad yaelekea Makkah

Inatoka Uk. 9Iraq na Iran, Septemba 1980 hadi Agosti 1988, Iraki ilikuwa ikisaidiwa na Marekani, ikapewa mpaka silaha za sumu kuwapiga Iran. Marekani haikuwa ikitoa msaada huo kwa Saddam kwa vile ilikuwa ikiwapenda Sunni na kuwachukia Shia. Agenda ya Marekani ilikuwa kutaka Iraki ambayo wakati huo ilikuwa kibaraka wake idhibiti eneo la Shatt-el-Arab River-ambalo ni la kistrategia za kiuchumi na udhibiti usafirishaji mafuta Mashariki ya Kati. Hilo ni eneo lenye mgogoro wa mpaka kati ya Iran na Iraq, lakini wa kubuniwa na mabeberu. Pamoja na kuwa kiini cha vita ni Iraq kuchochewa ichukue eneo hilo kutoka kwa Iran, lakini Marekani ikataka pia kutumia vita hiyo kuzidhoofisha nchi zote mbili. Kuwapiganisha wawili hao, wauwane wenyewe kwa wenyewe na kujidhoofisha. Haya ndiyo aliyosema Henry Kissinger. Kwa maana kuwa japo walikuwa wakimsaidia Saddam, lakini hawakutaka yoyote ashinde ila wapigane muda mrefu wauwane na kudhoofishana. Na ndio maana vita hiyo ilichukua muda mrefu sana.

A g e n d a h i y o n d i y o inayoendelea hadi hivi sasa. Sunni na Shia wanaendelea kupigana Iraq na Syria, lakini hatimaye hakuna atakayeshinda. Hakuna Dola ya Kiislamu itakayosimama Iraq wala Syria kwa kupitia mpango na vita hii kwa sababu walioubuni wanakolenga ni kwingine. Kinacholengwa na kuwapiganisha Sunni na Washia, wauwane wenyewe kwa wenyewe, wadhoofishane, lakini hatimaye lipatikane lile linalotakiwa ambalo ni kuzigawa nchi hizo katika vinchi vidogo dhaifu na kuweka mazingira ya kupora mali kwenda Ulaya (NATO) na Marekani kama mabeberu wapendavyo.

Mpango huu uliojulikana kama The Iraq “Salvador Option”, uliitwa hivyo kwa sababu awali ulianza kutumika katika nchi ya El-Salvador na nchi za Amerika ya Kusini ambapo vikundi vya kigaidi vilipandikizwa na kufadhiliwa na mabeberu kupambana na wananchi wazalendo waliokuwa wakipinga siasa za kibeberu. Mamia ya maelfu ya wananchi waliuliwa na wote hawa kwa nchi hizo wakiwa wote ni Wakristo. Katika El-Salvador mabeberu walikuwa hawa hawa Wakristo, vikundi vya kigaidi vilikuwa vya Wakristo, wananchi waliouliwa walikuwa Wakristo na vikosi vya serikali vilivyokabiliana na magaidi, vilikuwa vya Wakristo pia. Kwa maana kuwa wote walikuwa wafuasi wa Ukristo, sio kwamba walifanya hayo kwa jina la Ukirsto. Kwa hiyo inapokuja Iraq na Syria, suala hapa sio Ushia au Usuni na linapokuja huku kwetu kama ilivyotokea

Nakumati, Nairobi, waliouliwa ni Waislamu na Wakristo.

Abu Baghdadi sio JihadKama ilivyochambuliwa na

kuelezwa na watafiti wengi,

mabomu yaliyokuwa yakilipuliwa Iraq na kuuwa mamia kwa maelfu ya raia wasio kuwa na hatia, ni matukio ya kupangwa (false terror attacks) yaliyokuwa

yamelenga kuwachonganisha Washia na Sunni. Na baada ya hatua hiyo ya awali kufanikiwa, sasa ni vita ambayo nayo pia imechochewa na hao hao ambapo waliwaanda akina Abu Bakr Al-Baghdadi Al-Husseini Al-Qurashi na ISIS wakijifanya ni Mujahideen. Na imefanywa hivyo ili kupata wapiganaji wa Kiislamu wa kufanya kazi ya Mayahudi ya kuigawa na kusambaratisha I raq, kama wal ivyotumika Mujahideena katika vita ya Afghanistan na Urusi.

Kinachotakiwa ni kuigawa Iraq katika nchi dhaifu ‘Shia Arab’, ‘Sunni Arab’ na kipande kingine kiende kwa Wakurdi ambao mpaka hivi sasa wakati vita inaendelea washajiundia serikali yao.

Mpango huu ulibuniwa na Yahud Oded Yinon mwaka

1982. Oded Yinon alisema kuwa kwa usalama wa baadae wa Israel, ni lazima nchi za Misri, Syria, Iraq, Saudi Arabia na Gulf States, zidhoofishwe kwa kugawa katika vinchi vidogo vidogo.

“The dissolution of Syria and Iraq later on into ethnically or religiously unique areas such as in Lebanon, is Israel’s primary target on the Eastern front in the long run, while the dissolution of the military power of those states serves as the primary short-term target Iraq, rich in oil …Its dissolution is even more important for us than that of Syria. Every kind of inter-Arab confrontation will assist us in the short run and will shorten the way to the more important aim of breaking up Iraq into denominations as in Syria and in Lebanon.”

Hayo ndiyo aliyosema Yinon katika ule mpango aliouita “A Strategy for Israel in the 1980s” k a m a u l i v y o f a s i r i wa k wa Kiingereza baada ya kuandikwa kwa ki- Hebrew, katika jarida l ina lo ju l ikana kwa j ina la Kivunim (“Directions”), ambalo huchapishwa na Department of Publicity of the World Zionist Organization in Jerusalem.

Huu ndio ukweli ambao, sio jambo la kudhani bali kutokana na ushahidi madhubuti kama ulivyo ushahidi madhubuti kuonyesha kuwa ISIS na sasa IS ni watoto wa Mossad, CIA na wenzao wa NATO katika kufanikisha mpango wa kuisambaratisha Iraq na Syria.

Kama ambavyo wanatumika IS kufanikisha “Strategy for Israel”, ndivyo hivyo hivyo ambavyo wanapandikizwa watu sehemu mbalimbali duniani kufanya ‘false flag terror attacks” kuzua balaa kama lile la Boko Haram Nigeria ili kufanikisha mipango ya mabeberu. Wanapandikiza ugaidi kisha wanatujia kama wasamaria wema wa kutuletea makachero na vikosi maalum vya jeshi na Anti Terror Police Unit wa kupambana na ugaidi.

Marekani haipigani na IS, bali inawatumia kama kisingizio cha kurejea Iraq na pia kuingia Syria huku ikikoleza kitisho cha

Tuliambiwa tutafute elimu mpaka Chinabasi tujifunze kutoka kwa Tomas YoungInatoka Uk. 8kulazimishana katika dini na kwamba walioamua kukufuru wakawa makafiri wabaki na ukafiri wao na Waislamu nao na Dini yao. Aidha, kwa upande mwingine Uislamu unatoa mwongozo kuwa Waislamu wasiwatukanie miungu yao wasio kuwa Waislamu. Bila shaka ni kwa kuzingatia misingi, maelekezo na kanuni hizo za Uislamu, halikadhalika kwa kuzingatia historia ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla, kwamba hakuna uhasama wa kidini wa kiwango hicho, ndio Maaskofu wa Kanisa Katoliki wakatoa kauli kuwa hawadhani kuwa ilikuwa sahihi kuwahusisha Waislamu na mauwaji yale na hivyo kuwaasa waumini wao wasinase katika mtego wa propaganda na fitna hiyo iliyokuwa ikipandikizwa.

Mwenyezi Mungu ndiye mjuzi wa yote, lakini isingekuwa kwa busara za Maaskofu wale, huenda hali ingekuwa nyingine kabisa hivi sasa katika nchi hii.

Kule Iraki mauwaji baina ya Washia na Sunni yanaendelea. Inawezekana wapo Sunni au Shia wanaolipua bomu kuwalenga watu wa upande mwingine wakiamini kuwa wanalipa kisasi kutokana na pengine shambulio lililotangulia kwa wao kupigwa na upande mwingine. Lakini kama inavyodhihirishwa na lile tukio

la kukamatwa makachero wa Uingereza waliojifanya kuwa ni wapiganaji wa kikosi cha Muqtada Sadri, Mehdi Army (Mahdi Militia au Jaish al-Mahdi), na kama inavyoelezwa katika ule mpango wa ‘Salvador Option’, chuki, fitna na mauwaji baina ya Washia na Sunni yamefanya kupandikizwa. Laiti wakati ule wananchi wa Iraki wangelielewa fitna hiyo na kumuelewa anayeipandikiza, h u e n d a w a n g e u n g a n a kumwandama-adui yao wote, badala ya kutangaziana uadui wao kwa wao.

Kule Libya, kuna baadhi ya Waislamu walipigana wakiwa katika kikosi cha The Libyan Islamic Fighting Group (LIFG) wakijulikana pia kwa jina la Al-Jama’a al-Islamiyyah al-Muqatilah bi-Libya pamoja na makundi mengine yaliyoitwa ya Jihad chini ya Abd al-Muhsin Al-Libi (Abu Yahya al-Libi au Abu Laith al-Libi) yakipigana kumtoa Gadhafi wakiamini kuwa wanamtoa Gadhafi ili wasimamishe Dola ya Kiislamu-Khilafah, na wakapata msaada mkubwa kutoka Marekani na NATO. Gadhafi ametoka, leo Libya imekuwa Congo DRC ya Afrika Kaskazini.

N i wa p i g a n a j i h a o h a o tena, hivi sasa wakikusanywa chini ya jina ISIS, IS, Al Nusra,

Inaendelea Uk. 11Inaendelea Uk. 11

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry (kushoto) akiwa na Mfalme Abdullah wa Saudi Arabia.

11 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala

Volikano ya Jihad yaelekea Makkah

Inatoka Uk. 10IS kwa Washia na Wakurdi ili kufanikisha mpango wa kuigawa Iraq na Syria. Kama ni kupiga itawapiga kimpango, lakini zaidi ikishambulia viwanda, visima vya mafuta vya Syria na kuharibu miundo mbinu ya Syria. Kama ni kuwaangamiza, itawaangamiza IS i takaporidhika kwamba wamemaliza kazi waliyotumwa kama al ivyomalizwa Jonas S a v i m b i n a J o h n G a r a n g walipoonekana kuwa hawana faida tena. Na ndivyo ilivyokuwa kwa Mujahidina wa Afghanistan walioonekana wa maana na kukaribishwa Ikulu ya Marekani, White House, wakati wa Rais Ronald Reagan.

Nimalizie kwa kusema kuwa hivi karibuni Abu Baghdadi ametangaza kuwa Jihad yake sasa ataielekeza Saudi Arabia kwa sababu nchi hiyo ya kifalme imeungana na Marekani katika kuwapiga IS. La kusisitiza katika mchezo huu ni kuwa toka awali Saudi Arabia na Qatar zimekuwa zikitumika kama njia ya kupitishia pesa na silaha kwenda kwa wapiganaji wa ISIS na al-Nusra Front au Jabhat al-Nusra. Lakini wakati Marekani na NATO wakiwasaidia mujahidina wa Jabhat al-Nusra, kupitia Saudi Arabia ili kupambana na Bashar

Assad, Marekani ina agenda nyingine na Iran na Urusi. Ili kuzitia kitanzi Iran na Urusi

zinazoonekana kuiunga mkono Syria, sasa Washington inataka kutumia kitanzi cha uchumi

kuzisonga roho Iran na Urusi. ISIS wanaitishia Saudi Arabi. Mfalme jasho linamtoka, anaitaka Marekani ikabiliane na IS na iizuiye isiingine Saudi Arabia kwa Mlinzi wa Makkah na Madinah.

Hali hii ndiyo iliyopeleka kutiwa saini makubaliano yaliyoitwa ya kijinga (kwa Saudi Arabia) baina yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry na Mfalme Abdullah ibn Abdilazīz. Chini ya makubaliano hayo, Saudi Arabia imetakiwa kuzalisha mafuta mengi na kuyauza kwa bei nafuu katika soko ili kukwamisha Iran na Urusi kuuza mafuta yao. Lakini Mrusi naye si mwepesi, ameingia makubaliano na China (tazama: China – Russia Sidestep Neocons-By Michael Hudson)

Mwisho wa yote atakayeumia katika matumizi haya ya silaha ya mafuta ni Saudia Arabia na sisi tunaodhani kuwa dunia ipo katika vita ya Mashia na Sunni.

Kama alivyosema Mohammed El Baradei katika kitabu chake: -“The age of deception: Nuclear D i p l o m a c y i n T r e a c h e r o u s Times”, tunaishi katika zama za udanganyifu na ulaghai mwingi.

Tuchuke tahadhari tusi je tukajiangamiza kwa mikono yetu wenyewe.

Tuliambiwa tutafute elimu mpaka Chinabasi tujifunze kutoka kwa Tomas Young

Inatoka Uk. 10

wakiamini kuwa wanapigana Jihad kumng’oa Bashar Assad-Shia ili wasimamishe Khilafah ya Kisuni. Wameingia pia Iraq wakila kiapo cha kumtambua Yahud “Shimon Elliott” aka Abu Bakr al-Baghdadi kuwa ndiye Khalifah wa Waislamu.

Tomas Young, n i k i j ana aliyejiunga na jeshi la Marekani siku mbili baada ya shambulio la Septemba 11, 2001. Kwa hamasa na uzalendo wa kiwango cha hali ya juu, Tomas Young, aliamini kuwa akiwa ndani ya jeshi ataweza kutoa mchango wake kupambana na magaidi waliofanya shambulio la Septemba 11 na kusababisha vifo vya watu takriban 4000 wasio na hatia.

Hata hivyo, Young anasema kuwa alijikuta akipelekwa Iraq kupigana na kuuwa watu ambao hawakuwa wakihusika kabisa na shambulio la Septemba 11, wala hawakuwa kitisho kwa namna yoyote ile kwa taifa la Marekani. Lakini uwongo ukatungwa, wakaongopewa kuwa wana silaha za maangamizi. Wakavamiwa ambapo matokeo yake ni kuuliwa mamilioni ya watu wasio na hatia huku yeye mwenyewe akijeruhiwa na kupooza mwili.

Kabla hajafariki, Tomas Young, alimwandikia barua George W Bush na Dick Cheney, akiweka hadharani uovu wao huku mwenyewe akijuta kwa jinsi alivyodanganywa akapelekwa Iraq kuuwa watu wasio na hatia kumbe kilichokuwa kikitafutwa

ni masilahi ya makampuni ya kibeberu yanayotaka kuhodhi mafuta na gesi mahali popote yalipo duniani.

Ifuatayo ni sehemu ya barua ya Young kwa Bush, muda mfupi kabla hajakata roho.

“Naandika barua hii kwa

niaba ya waume na wake ambao wamepoteza wenza wao, kwa niaba ya watoto ambao wamepoteza mzazi, kwa niaba ya kina baba na kina mama ambao wamepoteza wana na mabinti na kwa niaba ya wale wanaowaangalia maelfu ya wapiganaji wa zamani wenzangu

ambao wana majeraha ya ubongo.Naandika barua hii kwa niaba

ya wa-Iraki takriban milioni moja waliokufa na kwa niaba ya wa-Irak wasiohesabika waliojeruhiwa. Naandika barua hii kwa niaba yetu sisi sote - maafa ya kibinadamu ambayo vita vyako vimeacha nyuma, wale watakaopitia maisha yao katika maumivu yasiyokwisha na majonzi.

Naandika barua hii, barua yangu ya mwisho, kwenu, Bw. Bush na Bw. Cheney. Naandika siyo kwa vile nadhani mnaelewa matokeo mazito ya kibinadamu na kimaadili ya uwongo wenu, udanganyifu na tamaa ya utajiri na mamlaka. Naandika barua hii kwa sababu nataka kueleza wazi kuwa mimi, na mamia ya maelfu ya wapiganaji wenzangu wa zamani, pamoja na mamilioni ya wananchi wenzangu, pamoja na mamia ya mamilioni wengine katika Irak na Mashariki ya Kati, tunajua kwa kina ninyi ni kina nani na ni kitu gani mlichokifanya. Mnaweza kuukwepa mkondo wa sheria, lakini katika macho yetu nyote wawili mna hatia ya uhalifu mkubwa wa kivita, ya uporaji nchi, na mwishowe, mauaji, ikiwa ni pamoja na mauaji ya maelfu ya vijana wa Marekani -wapiganaji wa zamani wenzangu - ambao matarajio yao ya baadaye mliyaiba.

Nafasi zenu za madaraka, mamilioni yenu ya dola za utajiri binafsi , washauri wenu wa kutoa haiba njema kwa watu, kupendelewa kwenu kijamii na

Inaendelea Uk. 14TOMAS Young akiwa na mkewe.

WAPIGANAJI wa ISIS wakijiandaa kuwachinja mateka ambao ni askari wa Serikali ya Rais Bashar al Assad wa Syria.

12 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 201412 Barua/Mashair

Ndugu Mhariri, Naomba nichukue fursa hii kufikisha huu ujumbe, huenda ndugu zetu wa Bakwata wakapata fikra hata wakafanya toba kabla ya umauti.

Mimi ni mdau mkubwa wa kupitia kurasa za gazeti la An-nuur kila Ijumaa, lakini ajabu niliyoiona baada ya kupitia gazeti hili toleo la 1,146 Ijumaa iliyopita Uk. 1 na 3, nikaona picha ya Sheikh wetu Juma Poli yenye kichwa cha habari kinachosomeka, “Utatu hatar i kwa Wais lamu” Bakwata, Maaskofu, Serikali.

B inafs i s ikus tushwa sana kwa habari hiyo, ila iliniongezea mashaka zaidi juu ya Bakwata labda kwa vile iliasisiswa na Mwalimu Nyerere, ambaye alikuwa ni Mkatoliki na mseminari safi.

Nijuavyo mimi mseminari safi, tena Mkatoliki, hawezi kuwatakia kheri Waislamu

Hivi kweli BAKWATA ni katika sisi?na Uislam tangu enzi.

Kwani yeye (Nyerere) ndiye aliyeivunja jumuiya ya Waislamu (East African Muslim Walfare Society) iliyokuwa yenye nguvu A f r i k a M a s h a r i k i n a akaunda Bakwata mungu kwa Waislam wa Tanzania.

Pia ni yeye (Nyerere) aliyeondoa Mahakama ya Kadhi, leo tunaonekana kama kiroja na kuchezwa shere na wenzake tunapodai irejeshwe.

Bakwata imeshuhudiwa ikiuza mali/viwanja vya Waislam na hata waqfu mbalimbali za Waislamu wa Tanzania, pia tunashuhudia usaliti wa Bakwata hata kwenye masuala nyet i ya Mahakama ya Kadhi, kujiunga na Jumuia ya

kiuchumi ya Kiislamu ya OIC.

Na hata kusababisha leo baadhi ya Masheikh wetu wapo rumande, sababu ni Bakwata. Na hapo ndipo inapodhihiri kuwa yale madai ya Waislamu kuwa Bakwata si ya Waislamu.

Maana hata sisi waumini wa Masjid Rahma Temboni Kimara tunaamini hilo k wa n i wa m e s h i n d wa kushughulikia hata suala la usimamizi wa uchaguzi, badala yake wanakuza mgogogro kila kukicha.

W a k i d a i w a b a r u a ya k u t h i b i t i s h a k u wa wameshindwa kumaliza m g o g o r o i l i t w e n d e m a h a k a m a n i h a wa t o i . Ndiyo maana Waislamu wa Temboni leo wanaamini

uchaguzi haufanyiki Masjid Rahma zaidi ya miaka kumi na tisa tangu Msikiti upate usajili Rita mwaka 1995, kwa sababu ya tuhuma za shiriki kwa viongozi wa Masjid Rahma na rushwa Bakwata.

V i o n g o z i w a l i o p o wanang’ang’ania vitendo vya shirki na mbeleko ya Bakwata , hat imaye M s i k i t i u n a o n e k a n a kama umehamwa. Kwa kuthibitisha hilo Waislamu wanaweza kuja Msikiti wa Temboni halafu watizame mandhari ya Msikiti huo kuanzia msalani hadi Msikiti wenyewe.

Sababu ya yote haya ni Bakwata kwani pamoja na viongozi wa Msikiti kuvunja katiba, lakini wanawakingia kifua na kuwapa kiburi na

hata baadhi ya viongozi kudai kwamba, “madhali wao wapo, basi hakuna suala la uchaguzi msikitini hapo”.

We n g i n e h u s i m a m a na kuwatishia waumini wanaohoji uhalal i wao kiuongozi kukamatwa.

K w a h i y o “ U t a t u ” unaoelezwa na Mashekh zetu akina Ponda, Farid nk. si uongo, Bakwata ni janga kwa Waislamu na Uislamu Tanzania. Tuliona mifano dhahiri kwenye mchakato wa sensa, Baraza la Mitihani, Mahakama ya Kadhi kwao ni usaliti tu. Ila nawausia na nawakumbusha kuwa kuna kufa, kuzikwa na maisha baada ya kufa. Wao wahangaike na laghawi za dunia na kuwatesa Waislamu, lakini hatima yake watafika tamati. Na tamati ya kibri chao ajuae ni Allah (sw).

Sultan Omar- Kimara Temboni

Barua ya mwisho ya Tomas Young kwa Bush, CheneyInatoka Uk. 7tunajua kwa kina ninyi ni kina nani na ni kitu gani mlichokifanya. Mnaweza kuukwepa mkondo wa sharia, lakini katika macho yetu nyote wawili mna hatia ya uhalifu mkubwa wa kivita, ya uporaji nchi, na mwishowe, mauaji, ikiwa ni pamoja na mauaji ya maelfu ya vijana wa Marekani -wapiganaji wa zamani wenzangu - ambao matarajio yao ya baadaye mliyaiba.

N a f a s i z e n u z a madaraka, mamilioni yenu ya dola za utajiri binafsi, washauri wenu wa kutoa haiba njema kwa watu, kupendelewa kwenu kijamii na mamlaka yenu haviwezi kuficha upogo wa hulka zenu kimaadili. Mlitupeleka kupigana na kufa Irak baada ya wewe, Bw. Cheney, kukwepa kwenda vitani Vietnam, na wewe Bw. Bush kukimbia kutoka kikosi cha ulinzi wa mipaka. Woga wako na ubinafsi vilidhihirishwa miongo kadhaa iliyopita. Ul ipe leka mamia ya maelfu ya vijana, waume kwa wake kuto lewa mhanga katika vita isiyo na sababu bila kutafakari zaidi ya jinsi inavyotakiwa kuonyesha lundo la taka.

Nil i j iunga na jeshi s iku mbi l i baada ya mashambulio ya 9/11. Nilitaka kurudisha mapigo kwa wale waliowaua wananchi wenzangu 3,000. Sikujiunga na jeshi kwenda Irak, nchi ambayo haikuwa inaleta hatari

kwa majirani zake, acha kabisa kwa Marekani. Sikujiunga na Jeshi eti "kuwakomboa" wa-Iraki au kuvunja mitambo hewa ya silaha za maangamizi au kupandika kile unachoita kwa mzaha 'demokrasia' p a l e B a g h d a d n a Mashariki ya Kati. Na kwa

hali yoyote, sikujiunga na Jeshi ili kufanya vita ya kuzuia vita isitokee. Vita ya kuzuia vita ni ukiukaji wa sheria za kimataifa. Na kama askari nchini Irak nilikuwa, sasa nafahamu hilo, nikisaidia upumbavu wenu na uhalifu wenu. Vita ya

Irak ndiyo kosa kubwa zaidi la sera za nje katika historia ya Marekani. Nisingeandika barua hii kama ningejeruhiwa nikipigana Afghanistan dhidi ya makundi ya k i j e s h i ya l i y o f a n ya mashambulio ya 9/11. Tulitumiwa. Tulisalitiwa.

Na tumetelekezwa. Wewe, Bw. Bush, unajifanya kuwa Mkr is to sana . Lakini kusema uwongo siyo dhambi? Hivi kuua siyo dhambi? Hivi wizi na kupania jambo kwa ubinafsi siyo dhambi?

Siku yangu ya kuifikia hatma yangu inakaribia. Yenu itakuja. Natumaini mtafikishwa mahakamani. Lakini natumaini zaidi, kwa ajili yenu, kuwa m n a f i k i a u j a s i r i wa kimaadili na kukabiliana na mlichokifanya kwangu na kwa wengi, wengi wengine ambao walistahili kuishi. Natumaini kuwa kabla muda wenu katika dunia haujaisha, kama ambavyo wangu sasa unaisha, mnapata nguvu ya kimaadili na kusimama mbele ya wananchi wa Marekani na dunia, na hasa watu wa Irak, na kuomba msamaha."

Katika mtiririko wa historia ya masuala ya kijeshi, ujasiri wa kimaadili ni haba zaidi kuliko ujasiri wa mwili, sababu mojawapo ikiwa ni taabu zinazowafikia wanaohoji na wale wanaozungumza ukweli kwa mamlaka k u h u s u m a p u n g u f u katika jamii yetu. Tomas Young alikuwa na ujasiri wa kimaadili na kimwili. Mfano wake uigwe na askari vijana baadaye a m b a o wa t a a m r i wa na wanasiasa wenye mapungufu mengi kuingia katika kujitoa mhanga kwa ajili ya matakwa ya viongozi kinyume cha sheria, na tamaa zao.

The Last LetterA Message to George W. Bush and Dick Cheney From a Dying VeteranInatoka Uk. 7no part in the September 2001 attacks and did not pose a threat to its neighbors, much less to the United States. I did not join the Army to “liberate” Iraqis or to shut down mythical weapons-of-mass-destruction facilities or to implant what you cynically called “democracy” in Baghdad and the Middle East. I did not join the Army to rebuild Iraq, which at the time you told us could be paid for by Iraq’s oil revenues. Instead, this war has cost the United States over $3 trillion. I especially did not join the Army to carry out pre-emptive war. Pre-emptive war is illegal under international law. And as a soldier in Iraq I was, I now know, abetting your idiocy and your crimes. The Iraq War is the largest strategic blunder in U.S. history. It obliterated the balance of power in the Middle East. It installed a corrupt and brutal pro-Iranian government in Baghdad, one cemented in

power through the use of torture, death squads and terror. And it has left Iran as the dominant force in the region. On every level—moral, strategic, military and economic—Iraq was a failure. And it was you, Mr. Bush and Mr. Cheney, who started this war. It is you who should pay the consequences.

I would not be writing this letter if I had been w o u n d e d f i g h t i n g i n Afghanistan against those forces that carried out the attacks of 9/11. Had I been wounded there I would still be miserable because of my physical deterioration and imminent death, but I would at least have the comfort of knowing that my injuries were a consequence of my own decision to defend the country I love. I would not have to lie in my bed, my body filled with painkillers, my life ebbing away, and deal with the fact that hundreds of thousands of human beings, including children, including myself,

were sacrificed by you for little more than the greed of oil companies, for your alliance with the oil sheiks in Saudi Arabia, and your insane visions of empire.

I have, like many other disabled veterans, suffered from the inadequate and often inept care provided by the Veterans Administration. I have, like many other disabled veterans, come to realize that our mental and physical wounds are of no interest to you, perhaps of no interest to any politician. We were used. We were betrayed. And we have been abandoned. You, Mr. Bush, make much pretense of being a Christian. But isn’t lying a sin? Isn’t murder a sin? Aren’t theft and selfish ambition sins? I am not a Christian. But I believe in the Christian ideal. I believe that what you do to the least of your brothers you finally do to yourself, to your own soul.

My day of reckoning is upon me. Yours will come. I hope you will be put on trial. But mostly I hope, for your sakes, that you find the moral courage to face what you have done to me and to many, many others who deserved to live. I hope that before your time on earth ends, as mine is now ending, you will find the strength of character to stand before the American public and the world, and in particular the Iraqi people, and beg for forgiveness.

13 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014TANGAZO

Bismillahir Rahmanir Rahiim

ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA – 2015

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Kwanza kwa shule zifuatazo:• Mkuzo Islamic High School - Bweni tu - SONGEA• Kirinjiko Islamic Sec. School - Bweni tu – SAME - KILIMANJARO• Nyasaka Islamic Sec.School - Bweni tu - MWANZA• Ubungo Islamic High School - Kutwa tu – DAR ES SALAAM

1. Shule hizi ni za Kiislamu, zenye lengo la kuwapa watoto elimu bora na kuwalea kwa malezi mazuri ya Kiislamu.

2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo:Elimu ya Dini ya Kiislamu, Usomaji Qur’an na mafunzo yake, Hadithi za Mtume(s.a.w), Lugha ya Kiarabu, Kiswahili, English, Basic Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography,

History, Civics, Book – keeping na Commerce.

3. Patakuwa na mtihani tarehe 29/11/2014 saa 2:00 asubuhi katika vituo mbali mbali kote nchini. Muombaji anaweza kufanyia mtihani katika kituo chochote.

4. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 28/11/2014.

5. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

6. Pia, fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa atakayepata fomu kupitia tovuti (download) atatakiwa kulipia wakati wa kurejesha siku ya mtihani.

• Arusha -OfisiyaIslamicEducationPanel,JamboPlastic,Ghorofaya2mkabalana msikiti Mkuu Bondeni : 0763 282 371/ 0783552414.

• Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha : 0654 723 418. - Same Juhudi Studio mkabala na Bank ya NMB Same: 0757 013344.

- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 - Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. - Ugweno – Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

• Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani : 0715 894111/0789 410914.- Uongofu Bookshop: 0784 982525

- Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007. - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533.

• Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.-OfisiyaIslamicEducationPanel–MtaawaRufijimkabalanaMsikitiAl-Amin0785086770.

• Musoma-OfisiyaIslamicEdPanel-MtaawaKarume,NyumbaNa.05:0784721015/0765024623• Kagera -Bukoba:AlhudaCaféKwamzeeKinobekaribunaofisizaTRA.:0684701175.• Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426

-KahamaofisiyaAN–NUURKaribunamsikitiwaIbadhi:0753993930.

• Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0712974428/0712033556.-OfisiyaIslamicEd.Panel–Temeke-MsikitiwaNurulYakin:0655144474.

• Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.• Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718 661992.• Singida -OfisiyaIslamicEducation.Panel–karibunaNurusnackHotel:0786425838/0784928039.• Manyara -OfisiyaIslamicEd.Panel–MasjidRahma:0784491196

• Kigoma - Msikiti wa Mugera – Mwandiga: 0714 717727. - Kibondo – Islamic Nursery School: 0784 442860. - Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

• Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.

• Mtwara - Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.

• Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772. - Mkuzo Islamic High School : 0717348375.

• Mbeya -OfisizaIslamicEducationPanelUhindini–0785425319.

• - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319. .

• Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA: 0717082 073.

• Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566.

• Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122.

• Pemba -Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

• Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074. • Mafia -OfisiyaUst.YusufuAllyjiraninamsikitimkuu:0773580703.• Handeni-NassoroMafiga:0782105735/0657093983

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

1

14 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014Makala

Tuliambiwa tutafute elimu mpaka Chinabasi tujifunze kutoka kwa Tomas Young

Inatoka Uk. 11mamlaka yenu haviwezi kuficha upogo wa hulka zenu kimaadili. Mlitupeleka kupigana na kufa Irak baada ya wewe, Bw. Cheney, kukwepa kwenda vitani Vietnam, na wewe Bw. Bush kukimbia kutoka kikosi cha ulinzi wa mipaka. Woga wako na ubinafsi vilidhihirishwa miongo kadhaa iliyopita. Ulipeleka mamia ya maelfu ya vijana, waume kwa wake kutolewa mhanga katika vita isiyo na sababu bila kutafakari zaidi ya j insi inavyotakiwa kuonyesha lundo la taka.

Nilijiunga na jeshi siku mbili baada ya mashambulio ya 9/11. Nilitaka kurudisha mapigo kwa wale waliowaua wananchi wenzangu 3,000. Sikujiunga na jeshi kwenda Irak, nchi ambayo haikuwa inaleta hatari kwa majirani zake, acha kabisa kwa Marekani. Sikujiunga na Jeshi eti "kuwakomboa" wa-Iraki au kuvunja mitambo hewa ya silaha za maangamizi au kupandika ki le unachoita kwa mzaha 'demokrasia' pale Baghdad na Mashariki ya Kati. Na kwa hali yoyote, sikujiunga na Jeshi ili kufanya vita ya kuzuia vita isitokee. Vita ya kuzuia vita ni ukiukaji wa sheria za kimataifa. Na kama askari nchini Irak nilikuwa, sasa nafahamu hilo, nikisaidia

upumbavu wenu na uhalifu wenu. Vita ya Irak ndiyo kosa kubwa zaidi la sera za nje katika historia ya Marekani. Nisingeandika barua hii kama ningejeruhiwa nikipigana

Afghanistan dhidi ya makundi ya kijeshi yaliyofanya mashambulio ya 9/11. Tulitumiwa. Tulisalitiwa. Na tumetelekezwa. Wewe, Bw. Bush, unajifanya kuwa Mkristo

sana. Lakini kusema uwongo siyo dhambi? Hivi kuua siyo dhambi? Hivi wizi na kupania jambo kwa ubinafsi siyo dhambi?

S i k u ya n g u ya k u i f i k i a hatma yangu inakaribia. Yenu itakuja. Natumaini mtafikishwa mahakamani. Lakini natumaini zaidi, kwa ajili yenu, kuwa mnafikia ujasiri wa kimaadili na kukabiliana na mlichokifanya kwangu na kwa wengi, wengi wengine ambao walistahili kuishi. Natumaini kuwa kabla muda wenu katika dunia haujaisha, kama ambavyo wangu sasa unaisha, mnapata nguvu ya kimaadili na kusimama mbele ya wananchi wa Marekani na dunia, na hasa watu wa Irak, na kuomba msamaha."

Leo wapo watu wanaodhani kuwa kinachoendelea Syria na Iraq ni Jihad na hivyo wanapigana, wanauwa na kuuliwa. Wanauliwa pia raia wa kawaida wasio mstari wa mbele katika vita na hawa ndio wengi mahali popote penye vita.

Katika vita hii ya IS dhidi ya Syria/Iraq, wapo pia wanaoitakidi kuwa ni mapambano baina ya Shia na Suni, na hata wakipewa mifano ya wale makachero wa Uingereza waliokuwa wakipandikiza fitna hii, wanaweza pia wasielewe, hasa kwa vile jambo hili limechukua ushabiki sana kuliko kuangalia hakika ya jambo lenyewe na hata Uislamu wenyewe unasemaje.

K a m a a l i v y o s e m a y u l e mwandishi wa BBC, kwamba kufichuliwa ile video ya ‘Syria hero boy’ kuwa ilikuwa usanii uliochezwa Malta ili kukoleza propaganda ya kumchafua Bashar Assad, kulikuja wakati propaganda ya awali ishazoa fikra za watu wengi na hatua kubwa zishachukuliwa katika vita hiyo.

Kama tulivyokuwa tukisisitiza mara kwa mara, hoja yetu ya msingi hapa sio kuzungumzia Jihad wala kumtetea Bashar au yeyote katika Iraq au Syria. Hoja ya msingi ni kama anavyosema Tomas, tusipokuwa makini tutakuwa watu wa kutumiwa kwa masilahi ya mabeberu. Na katika kutumiwa huko, tutajiangamiza wenyewe na kumwaga damu ya maelfu kwa mamilioni ya watu wasio na hatia.

Maadhali Mungu ametupa akili, kwa nini hatuzitumii akili zetu kujua hakika ya mambo?

Kama ambavyo mujahidina wa Afghanistan walisaidiwa kwa silaha na hata wakakaribishwa Ikulu ya White House, Reagan akiwasifu na kuwalinganisha na ‘Founding Fathers” wa Marekani, lakini baadae wakapigwa katika ile Carpeting Bombing. Leo si jambo la kushangaza kuwa Washington inatangaza kuwapiga ISIS/IS ambao ilishiriki kuwaunda na kuwajenga na kuwaimarisha kwa silaha, mafunzo na pesa.

"Tulitumiwa. Tulisalitiwa. Na tumetelekezwa." Ni kauli ya Tomas Young kabla hajakata roho. Je, hatuwezi kujifunza chochote kutoka kwake?

Askari 18 wachinjwaInatoka Uk. 11kukosa wapiganaji na mashabiki mpaka lengo lililokusudiwa la kuzisambaratisha Iraq na Syria litimie.

Lakini hata katika zile nchi ambazo inakuwa vigumu kwa mashabiki wa IS kusafiri kwenda Syria au Iraq kuungana na IS, kinachotarajiwa ni kuwa kwa ushabiki huo, nao watafaya kazi ya kuweka mazingira ambayo yatafanikisha kusimika kitisho cha ugaidi katika nchi zao na hivyo kufanikisha pia lengo lingine la mabebru katika vita dhidi ya ugaidi.

Ukweli mwingine ambao ni muhimu kufahamika katika mashambulizi haya ni kuwa inacholenga Marekani ni miundo mbinu, viwanda vya Syiria pamoja na vinu vya kusafishia mafuta. Lakini wakati huo huo hawashambulia vinu vya mafuta katika maeneo yanayoshikiliwa na IS Kwa sababu mbili. Moja ni kwa sababu mafuta hayo wanauziwa wao. Pili, kupitia mauzo ya mafuta hayo ndio IS wanapata pesa za kuendesha harakati zao.

Kwa mujibu wa taarifa ya mwezi Septemba ya Balozi wa Umoja wa Ulaya (European Union) katika Iraq, Balozi Jana Hybaskova, akitoa ushahidi katika Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la EU (European Parliament Foreign Affairs Committee), nchi kadhaa

za Ulaya hivi sasa zinanunua mafuta kutoka kwa IS na kwamba mafuta hayo wanauziwa kwa bei ‘chee’, chini ya nusu ya bei halisi katika soko. Wakati bei katika soko pipa la mafuta yasiyosafishwa linauzwa kwa dola 100 kwenda juu, IS wanawauzia nchi za Ulaya kwa dola 25, ‘pungufu unaongea!’

Lakini ukiacha faida hiyo ya kiuchumi ambayo nchi za Marekani na Ulaya zinapata hivi sasa kupitia IS, kutokana na harakati za kuharibu vinu na mitambo ya kusaf ishia mafuta vya serikali ya Syria, vita itakapomalizika ni makampuni ya Marekani na Uingereza na wenzao wa NATO watakaopewa tenda za kutengeneza upya mitambo hiyo kama ambavyo inafanyika Libya na Iraq hivi sasa baada ya vita.

Wiki i l iyopita IS walitoa mkanda wa video ambapo, pamoja na khutba ya kiongozi wao Abu Baghdadi, matukio mawili makubwa yanaonyeshwa. Moja ni kula kiapo kwa makundi ya Jihad kutoka nchi za Libya, Algeria, Yemen na Saudi Arabia, yakitangaza kujiunga na IS na kumkubali Abu Baghdadi kuwa ndiye Amiri wa Waislamu duniani hivi sasa. Hiyo maana yake ni kutangaza kuwa IS sasa ni ya kimataifa. Ni Khilafah isiyo na mipaka ya kijiografia iliyopo hivi sasa.

Tukio la pili, ni la kuchinjwa askari 18 wa Bashar waliokamatwa.

Wanaonyeshwa wapiganaji wa IS kutoka mataifa mbalimbali, kila mmoja kamshikilia askari mmoja wa Bashar. Kisha wanawaongoza kuelekea sehemu ya machinjio. Wanapokaribia kufika, kuna boksi limewekwa limejaa visu vinavyofanana. Kila mpiganaji wa IS akipita anachukua kisu.

Wa n a p o f i k a s e h e m u ya kuchinjia, wanasimama kwa muda kusubiri amri ya kiongozi ambaye anaanza maelezo yake kwa kutoka onyo kwa Rais Barack Obama. Anasema, ‘leo ni siku ya kuchinja askari wa Bashar’ kesho itakuwa zamu ya askari wa Marekani.

Kisha kila IS anamchinja mtu wake. Mwisho wa video inaonyeshwa kuwa kila kichwa kilichokatwa kimewekwa juu ya mwili uliolazwa kifudi fudi. (Ni rahisi kupata video hiyo kutoka katika mtandao: (Gruesome Islamic State Video Announces Death of Peter Kassig: The video also graphically shows brutal footage of a group of Syrian soldiers being beheaded by the group.)

Video hii ni ndefu kidogo ikianza na kueleza habazi za Jihad toka wakati wa Usama Bin Laden mpaka kuingia ISIS na Abu Baghdadi kutangaza IS. Inaeleza pia ni kwa nini IS wameamua kupambana na Mashia, wakiwemo wale wa Iraq na askari wa Bashar

Inaendelea Uk. 15

TOMAS Young.

15 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014 MAKALA/HABARI

Askari 18 wachinjwaInatoka Uk. 14Assad. Kisha ndio linakuja tukio la kuchinja askari.

Zipo namna mbili za kuzipokea habari hizi. Moja ni kujaaliya kuwa video ile ni ya kweli na imetengenezwa kutokana na matukio halisi, likiwemo hili la kuchinja na yale mauwaji yanayodaiwa kufanywa na Shia dhidi ya Sunni.

Ukijaaliya hivyo, unatakiwa ujiulze swali moja tu: Haya ya kufolenisha watu na kuwachinja hadharani na kisha kutundika vichwa vyao au kuvichezea kama mpra, inaruhusiwa katika Uislamu?

‘Staili’ hii ya kutangaziana ukafiri baina ya Shia na Suni na kisha kuanza kuchinjana, itasaidia kwa namna yoyote kusimamisha Uislamu?

Kupiga picha watu wakichinjwa na kisha kuzisambaza watu watizame, kunasaidia kwa namna yoyote kuwavuta watu katika Uislamu au kutawakimbiza?

Kihabari/propaganda, video kama hii, inabomoa au kujenga Uislamu?

Katika Iraq na Syria kuna Shia na Sunni takribani, nusu kwa nusu au hata ikiwa, kundi moja likawa kubwa zaidi. Mtindo wa

kutangaziana uadui wa kuchinjana hauwezi kuleta amani katika nchi hiyo, labda kundi moja lifanikiwe kuwachinja watu wote wa kundi jingine na kuwamaliza. Je, hilo linawezekana?

Mfano wake ni kama useme kuwa kwa nchi kama Tanzania Wakristo wawamalize Waislamu au Wais lamu wawamal ize Wakristo kwa kuwauwa. Njia pekee halisi na sahihi ni kuishi kwa

kujenga mazingira ya kuvumiliana na kustahmiliana katika tofauti za imani (lakum diinu waliyadiin) huku kila kundi likiwa huru kuhubiri na kufundisha imani yake kwa waumini wake na wasio waumini wake kwa ‘hikma na mawaidha mazuri’.

Namna ya pili ni kuchukulia kuwa habari hiyo ni ya mafasiki. Ni ya kughushi. Ukijaaliya hivyo, lazima ukubali kuwa ISIS na

sasa IS ni ‘jinamizi’ linalotumiwa kuupaka Uislamu matope na kupata kisingizio na sababu ya vita na kuuliwa Waislamu katika Sham na Iraq. Kwa maana hiyo, haiwezi kuwa Jihad ya kweli. Ni kama ambavyo zimesambazwa video nyingi za uwongo kutangaza uovu wa Bashar, ikiwemo ile ya ‘Syria Hero Boy’ ili kuhalalisha ‘Jihad’ ya IS na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Bashar.

Labda niseme jambo moja hapa. Video zote hizi zinasambazwa kupitia mitandao na ndani yake yumo Abu Baghdadi akihubiri. Haijawahi kutoka hata kauli moja ikikanusha kuwa kanda hizo sio za IS. Kinyume chake zinazidi kutoka nyingine Abu BaghdadI mwenyewe akishadidia kuwa yeye na IS ndio kiboko ya makafiri.

K wa h i y o u t a o n a k u wa kihabari na kipropaganda, taarifa zinazotolewa za IS na zile za uovu wa Bashar, zote zinatengenezwa na makafiri ili kupata kisingizio cha kuangamzia nchi za Waislamu. Wao hawaangalii Sunni-Shia. Kwao nyie Waislamu. Kwao nyie ardhi zenu zina mali na wanazitaka mali hizo. Mkipigana Shia Vs Sunni nchi ikadhoofika wakapata kuingia kwa urahisi, ndio furaha yao.

Maalim Seif ahimiza wananchi kusema ‘Hapana’ kwa KatibaInatoka Uk. 16

kutosha, jambo ambalo vyama vya upinzani vimeona kuunganisha nguvu kwa pamoja ili kuwanusuru Watanzania.

“Sasa wakati wa kujikomboa ni huu, kwa hivyo sisi vyama vinne vya upinzani tumekaa na kufikiri njia muafaka ya kuweza kuwasaidia Watanzania na kuja na mkakati maalumu ambao kupitia kwenu tunaweza kuiondoa CCM madarakani”. Alisema Maalim Seif.

Alisema, badala ya kuzigawa kura zao (wapinzani) sasa wameamua kuziweka katika kapu moja kwani alidai, uzoefu unaonyesha kuwa katika maeneo mengi, pale CCM inaposimama n a w a p i n z a n i k u r a z a o zinagawanyika zaidi ya mara tano na kuipa faida CCM.

“Ukijumlisha kura za wapinzani katika vyama hivyo japo vitatu tu, unakuta imezidi kura za mshindi wa mgombea wa CCM, ni wazi kuwa wao wanatushinda kwa sababu kura zetu tunazigawa”. Alisema Maalim Seif.

Alisema, mpango na mkakati huo unaanza kati uchaguzi wa ngazi ya Serikali za Mitaa, huku akiwahamasisha wananchi kwenda kujindakisha kwa wingi kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura.

“ Tu s h a a m b i wa k wa m b a uchaguzi ni Desemba 14, 2014, lakini uandikishaji unaanza Novemba 23, 2014, ni muda wa wiki moja tu basi.

H u w e z i u k a p i g a k u r a ya k u i o n d o a C C M , k a m a hukujiandikisha, kwa hiyo ombi langu kwa Watanzania wote i f ikapo Novemba 23, mpaka 30, mfike kwenye vituo mkajiandikishe”. Alisema Maalim Seif.

Alisema, endapo Watanzania wataweza kuiondoa CCM katika Serikali za Mitaa na kuweza kupata Madiwani ni kwamba wanajihakikishia kutengeneza Serikali ya mtaa adilifu, na kuweza kunusuru upotevu wa fedha kupitia kodi zao katika Halimashauri.

Alisema, endapo zikipatikana Halimashauri zilizo adilifu, zitakuwa kazi yao ni kuwatumikia wananchi kupitia fedha zao kwa maslahi yao na sio kwa maslahi ya watu wachache.

A k a s e m a , c h a g u z i h i z o za serikali za Mitaa ni kipimo kwamba endapo watafanya vizuri hakuna shaka pia watafanya vizuri katika chaguzi za Wabunge na Rais na kama ikiwa tofauti basi watajipanga kurekebisha makosa.

Zanzibar si shwari tenaInatoka Uk. 6hawana historia ya uhalifu sasa la kujiuliza iweje kamatakamata hiyo ifanyike hivyo wakati naamini jeshi la polisi lingeweza kutumia utaratibu wa kisheria na kuwaita watuhumiwa na wakenda kituoni kama ambavyo walivyofanya huko nyuma?

Vijana nao wakiwemo Masheikh wanaoheshimika waliokamatwa na kusekwa gerezani wanalalaimikia k u t e s w a n a k u d h a l i l i s h w a wakati wa mahojiano kati yao na vyombo vya usalama suali ambalo tunapaswa kuulizwa jee kulikuwa na ulazima gani wa kuwatendea hayo wakati hao ni watuhumiwa tu kosa lao halijathibitika na hata kama wamethibitika kufanya kosa wanaloshitakiwa, jee adhabu yao ni kudhalilishwa na kuingiliwa kinyume na maumbile au kupigwa?.

Wenye kupaswa kuthibitisha kosa ni mahakama kwa mujibu wa sheria na tunasubiri na kufuatilia kwa karibu sana kadhia hiyo, lakini hilo la kesi tuliwache kwa kuwa tusiingilie mwenendeo wa kesi zilizopo mahakamani.

Suali muhimu hapa ni vipi viongozi wakae kimya juu ya madhila na manyanyaso wanaofanyiwa binaadamu wenzao ambao ni Waislamu wenzao huku dini yao imetamka wazi kwamba Waislamu ni

sawa na kiwiliwili kimoja. Chukulia mfano mdogo tu jinsi unapoumwa na jino mwili mzima unapata habari. Jee madhila waliofanyiwa masheikh yamewagusaje viongozi na watu wengine wa kawaida?.

Viongozi wenye mamlaka serikalini ambapo mamlaka zote za nchi zipo chini yenu mmeshajitayarisha na masuali ambayo mtakwenda kujibu mbele ya Allah kwa hicho ambacho mnakisimamia?.

Jee mnafahamu kwamba kuna siku kila mmoja ataulizwa juu ya alichokitenda na alichokichunga wakati akiwa ulimwenguni na jee wale wenye kujifanya wanasimamia haki na wanatenda mambo ambayo wana hakika kuwa ni mabaya kwa wenzao, wamelizingatia hilo la kwenda kujibu siku ya siku ambayo kila mmoja hatokuwa na msaidizi wala mtu wa kumuokoa?

Nadhani tunasahau kwamba v i o n g o z i n a wa p a m b e we t u tutawawacha hapa hapa ulimwenguni na wanatusaidia tukiwa hai tu au tunapoumwa kidogo tu ndio tunawaona wakitutembelea na kuoneshwa katika vyombo vya habari. Lakini tunasahau kwamba wapo watu ambao walitamba na kuwaita wenziwao majina mabaya mabaya na kuwafanyia dharau, dhihaka na mateso ya hali ya juu, lakini sasa hawasikiki wala hawatajwi katika anga za kiuongozi wala kijamii.

WAPIGANAJI wa ISIS wakiwa na mateka wao.

16 AN-NUURMUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR16 MUHARRAM 1436, IJUMAA NOVEMBA 21-27, 2014

Soma gazeti la

AN-NUUR kila Ijumaa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali M o h a m e d S h e i n , amewaeleza viongozi wa mashina na maskani wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwa chama hicho kinathamini sana mchango wao katika kuimarisha chama hicho huku akisisitiza kuwa mashina na maskani ndio nguzo ya ushindi wa CCM.

Rais Shein ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, alitoa kauli hiyo katika mkutano wake na viongozi wa mashina na wa maskani wa chama hicho wilaya ya Mjini, uliofanyika katika ukumbi wa Salama hoteli ya Bwawani visiwani humo.

Alisisitiza kwamba maskani ndio nguzo ya ushindi wa chama cha Mapinduzi na ndio maana wengine wamekuwa wakizipinga na hata kushiriki kuzihujumu.

H i v y o a l i s i s i t i z a umuhimu wa kuhakikisha k u wa m a s k a n i h i z o zinakuwa kitovu cha upendo na mshikamano m i o n g o n i m w a wanachama na wapenzi wa chama hicho, i l i kuimarisha nguvu za CCM na kukihakikishia ushindi chama hicho katika changuzi zijazo.

Katika mkutano huo, Dk. Shein a l iwataka viongozi hao kuthamini wajibu wao wa kuyatetea Mapinduzi ya mwaka 1964 pamoja na Muungano, kwa kuwa hizo ni matokeo ya nguvu za viongozi na wazazi wao.

“Lazima tukiri wakati wote kuwa CCM ndio mlinzi wa Mapinduzi n a M u u n g a n o . Tus ibaba ishwe wala kuhadaika na chochote wala tusijaribu kuzembea katika hili,” alisisitiza Dk. Shein.

A l i wa h a k i k i s h i wa v i o n g o z i h a o k u wa pamoja na changamoto nyingi zinazokikabili chama h icho , lak in i kinajidhatiti kuwapatia viongozi hao nyenzo ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

Hata hivyo inaaminika kuwa sehemu kubwa ya maskani hizo zimekuwa chimbuko la kuchochea chuki na faraka miongoni

Maskani sawa lakinizisichochee uhasama

Na Mwandishi Wetu

mwa Wazanzibar.M a s k a n i h i z o zimedaiwa kuwa mara

kwa mara z imekuwa zikitoa ujumbe hadharani wa faraka na chuki bila

wahusika kuchukuliwa hatua zozote japo karipio, jambo ambalo linaonekana kama limepata baraka za baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho na serikali kwa ujumla.

A i d h a R a i s S h e i n a l i t u m i a f u r s a h i y o k u wa s h u t u m u wa l e aliodai wanamzushia kuwa hatagombea nafasi ya Urais katika uchaguzi Mkuu ujao 2015.

“ K w a n i n i w a t u we n g i n e wa n i s e m e e wakati mimi mwenyewe nipo.

“Msivamie mambo, h a y o m n a y o p i t a mkiyasema hayawasadii kitu, kama hamyajui mimi mwenyewe nipo niulizeni lakini sio kusema yasiyostahiki” Dk. Shein alieleza.

Hata hivyo hali hiyo si kwa Zanzibar pekee, hata bara kuna tetesi kwamba Rais huyo wa Zanzibar anatajwa kuwa miongoni mwa watu wanaotazamiwa kuingia katika kinyang’anyiro cha kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

W A T A N Z A N I A w a m e t a k i w a k u w a m a k i n i n a K a t i b a inayopendekezwa kwa madai kuwa ipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu wachache.

Wito huo umetolewa na Kat ibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia wananchi katika viwanja vya Mwembe yanga, Temeke, Ji j ini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita.

Alisema, hal i hiyo i n a t h i b i t i s h w a n a jinsi Bunge la Katiba lilivyoondoa maoni ya wananchi wal io taka

Maalim Seif ahimiza wananchikusema ‘Hapana’ kwa KatibaNa Bakari Mwakangwale Watanzania kutokuwa na

akaunti nje ya nchi, huku Kamati ya Andrew Change, ikipitisha mapendekezo ya kuondoa maoni hayo.

Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar, alisema ili kuhakikisha malengo yao yanatimia, Serikali imekuwa tayari kutumia Shilingi Bilioni Mbili na Nusu, kwa ajili ya kampeni kuhakikisha Katiba hiyo inapita kwa hila.

“Watanzania kuweni makini katika maamuzi juu ya Katiba iliyopendekezwa, kiundani inalinda maslahi ya wakubwa na ukitaka kubain i h i lo angal ia jambo moja tu, kwamba katika rasimu ya Tume ya Warioba, ( Joseph)

iliyotokana na maoni yenu, ilipiga marufuku kwa Mtanzania yoyote kuwa na akaunti nje ya nchi.

Waheshimiwa hawa, wameona kifungu kile kwao ni balaa na salama yao wakaona ni kukifuta kabisa na kujiachia uhuru ule ule wa kufanya ufisadi na kuweka fedha nje ya nchi”. Alisema Maalim Seif.

K a t i b u h u y o w a CUF, Taifa, alionyesha kushangaa kwa Serikali kutenga k ias i h i cho cha pesa kwa ajili ya kuipigania Katiba hiyo, al iyoi i ta kuwa ni ya kifisadi ipite ili hali katika hospital i mbalimbali nchini hakuna huduma

bora na kusababisha wananchi kuteseka.

Maalim, Seif, ambaye kabla ya kuwahutubia wananchi alifanya ziara na matembezi katika mitaa mbalimbali katika Wilaya ya Temeke, alisema mbali ya huduma kuwa duni, lakini barabara za mitaa Jijini Dar es Salaam hazitamaniki na kuzifananisha na uso wa ubao wa kuchezea mchezo wa bao.

Kutokana na hali hiyo, Maalim Seif , alisema Ta n z a n i a i n a h i t a j i mabadiliko, na wakati huo sasa ni huu, kwani akasema, Watanzania w a m e s h a t e s e k a n a kuumizwa k ias i cha

Inaendelea Uk. 15