annuur 1154

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 02-Jun-2018

1.036 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1154 SAFAR 1436, IJUMAA , DESEMBA 5-11, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha I - Uk. 13

    Uk. 4

    Yaguju, hupewi nchi, ukitaka pinduaUamsho imesajiliwa, bendera tatizo???Labda hakuna jingine la maana la kufanya

    Vituko vya CCM Zanzibar

    kubeba siasa za Kisonge

    Chonde chonde ManguTujifunze kutoka ATPU

    IGP Ernest Mangu.MKUU wa ATPU

    Kenya, Boniface Mwanik

    Mtuhumiwa ugaidi afarikiNi Imam Thabiti Msikiti Geti la Mbao

    Maiti yakutwa na majeraha ya kutisha

    Alikamatwa Mei, hakuonekana mpaka kifo

    Waandalieni nguvu muziwezazo (Anfal: 60) -Uk. 8

    SHEIKH Msellem Ali Msellem.- Uk. 4

    Kesi Masheikh

    wa Uamsho

    yaahirishwa tena

    Uk. 2

    Uk. 2

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    2/16

    2 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    Chonde chonde MaguTujifunze kutoka ATPUT A A R I F A y a H R Winaonyesha kuwa Polisiwa kupambana na ugaidiK e n y a , w a m e k u w andio magaidi wakubwawanaouwa watu kikatili.Na kwa kufanya hivyo,wanapandikiza zaidikitisho cha ugaidi napengine kuchochea watuwengi zaidi kujiingizakatika vitendo hivyo.

    "Vikosi vya kupambanana ugaidi Kenya, vinauwawatu na wengine kutowekambele ya macho ya maosawa serikali na mbele yaofisi za balozi kubwa nazile za Umoja wa Mataifa.Watuhumiwa hupigwarisasi na kuuliwa hadharani,wengine hutekwa nyarana kuteswa sana kabla yakuuliwa huku wenginewakiwekwa korokoroni

    bila ya kupata msaada wakisheria au kuruhusiwakuonana na ndugu zao.

    Imesema taarifa yaLeslie Leow, MkurugenziMsaidizi wa HRW katikaAf r i k a na k u o ng e z aakisema kuwa:

    "This horrendous conductdoes not protect Kenyans

    from terrorism it simplyundermines the rule of law."

    Akimaanisha kuwanjia hizi za kuuwa nakutesa watu k ikat i l ikunakofanywa na polisi,hakuwezi kuwal indawananchi wa Kenyakutokana na ugaidi, balikuvuruga tu utawala washeria (na hiyo itaongezazaidi ugaidi badala yakupunguza.)

    Yapo matukio mengi

    yaliyotajwa kuthibitishataarifa ya HRW. Mojani lile tukio la kuuliwaHassan Omondi Owitina Shekha Wanjiru. Kwamujibu wa taarifa ya HRW,askari kutoka kitengo chacounterterrorism unit nawale wa General ServiceUnit, jioni ya Mei 18, 2013walivamia na kuzingiranyumba wanayokaa watuhao (Nairobis GithuraiKimbo estate), wakawapigarisasi na kuwauwa.

    Katika tukio jinginekatika eneo la Eastleigh,

    Nairobi , Novemba 13, 2013,Lenox David Swalleh namtu mwingine walivamiwana kupigwa risasi na askariwakati wakitoka msikitiniwakati wa swala ya Subhi.

    Wengine waliotajwakatika ripoti ya HRWkwamba waliuliwa kikatilina polisi ni Sheikh AboudRogo (August 2012); SheikhIbrahim Omar (October

    2013) na Sheikh AbubakarShariff, aka Makaburi,(April 1, 2014).

    Pamoja na Masheikhhao, ipo orodha ndefuya watu wengine ambaowameuliwa kinyama napolisi bila ya kufikishwam a h a k a m a n i n akushitakiwa wana makosagani.

    Haya yote yanakujabaada ya Kenya ikisaidiwana Marekani na Uingerezakuanzisha vitengo na kikosirasmi cha kupambanana ugaidi. Kwa mujibuwa taarifa ya mwaka2013 ya CongressionalResearch Service, serikaliya Marekani ilitoa jumlaya Dola milioni 9 (US$9million) kwa Kenya mwaka2012 kwa ajili ya shughuliza kupambana na ugaidiikihusisha mafunzo kwaATPU.

    Kwa mujibu wa taarifahiyo ya HRW, ATPU hawawanaopewa mafunzon a M a r e k a n i , n d i owanaofanya vitendo hivyovya mauwaji na utesajikama njia moja wapo yakupambana na ugaidi.

    Tunalotakiwa kufahamuhapa ni kuwa kila mwaka

    misaada hii kwa Kenyakutoka nchi za nje, imekuwaikiongezeka na kila mwakaserikali ya Kenya imekuwaikiongeza katika bajeti yakekasma ya kupambana naugaidi ikiwa ni pamoja nakuongeza askari, mafunzona vifaa.

    Tukishayazingatia hayo,tuone pia kuwa hayamauwaji ya juzi ya watu 28na kisha 36 yaliyopelekeaRais Uhuru Kenyattakuwafuta kazi Waziri waMambo ya Ndani, JosephOle Lenku, na Inspekta

    Jenerali wa Polisi DavidKimaiyu, yanakuja lichaya mikakati yote hiyo namisaada yote hiyo kutokaMarekani.

    Ukiyazingatia haya,ndio utaona mantiki yaile kauli ya Prof MichelC ho ssu d o v sk y , pa l ealiposema kuwa:

    Asasi zote hizi za

    kigaidi, iwe ni IS, AlQaeda katika Maghrebya Kiislamu, au Kundi laWapiganaji wa Kiislamula Libya, au Al Shabaab yaSomalia au vikundi vingineambavyo vimesambaaAfrika Kusini ya jangwala Sahara, vikundi vyotehivi vyenye uhusiano na AlQaeda kimsingi ni amanaza kijasusi (intelligenceassets). Siyo mawakalawa Marekani , lak iniwanatumiwa, kudhibitiwana kupewa fedha naMarekani na washirikawake.

    Baada ya kuyasema hayokatika makala yake TheGlobalization of War,

    akaongeza akisema kuwa:Hivi sasa tuko katika

    hali ya kijinga kabisa,lakini ujinga wenyewehaufahamiki na kueleweka,i l a w a k a t i hu o hu ounakubalika kama ukweliusiopindika. Ni kuwakukubali malengo ya vitadhidi ya ugaidi ni kuwaunakwenda kuifuata Al

    Qaeda, huku unajua kuwaAl Qaeda imeundwa naujasusi wa Marekani.

    K a t i k a k u o n y e s h anamna ya kuondokanana ujinga huu na namnay a k u k a b i l i a n a n akinachoitwa kitisho chaugaidi, akashauri kuwanjia ya kwanza na muhimuni:

    Kuvunja mifumo yapropaganda, ambayo hasani vyombo vya habarivikubwa. Lazima tuanikeuwongo. Hilo ni la msingi.Ndiyo hitajio la kwanza.

    Ambalo linasisitizwa

    hapa ni kuwa vita hii dhidiya ugaidi ni utapeli nautapeli wenyewe ni kuwa

    hao wanaoitwa magaidwanafanya kutengenezwkwa namna mbalimbali nhii hufanywa ili kusaidmalengo ya mabeberu.

    Lililothibitika kutokanna uzoefu ni kuwa kadiunavyojizatiti kama nchkupambana katika vita hna kadiri unavyofanyw

    mshirika mtiifu na kupewmisaada ikiwepo fedhna i le ya k ikacherokipolisi na kijeshi, ndivynchi inavyozidi kuzamkatika tope la mauwana machafuko. PakistanYemen, AfghanistanNigeria na sasa Keny

    jirani zetu, ni mifano haiSasa tuna kila sabab

    ya kulitizama upya suahili kwa umakini zaidtusije kufuata nyayo zwaliotangulia.

    Tujue, tukifanya hiyitakuwa sawa na kukimbil

    mashua inayozama wakawal iomo wanatafutnamna ya kujitoa.

    Mtuhumiwa ugaidi afarikiNa Bakari Mwakangwale

    IMAMU AbdulkarimuThabiti, amefariki nakuzikwa Jumanne wikihii.

    Huyu alikuwa ni mmojawa watuhumiwa wa ugaidina anakuwa mtu wa pili

    kufariki baada ya YahyaSensei.

    U s t a d h T h a b i t ialiyekuwa Imamu waMsikiti wa Geti la Mbao,Jijini Arusha, amekwa naumauti Jumatatu wiki hiiikidaiwa kuwa kifo chakekimetokana na majerahaaliyoyapata kufuatia kipigoalichokipata kutoka kwaPolisi.

    Akizungumza na gazetihili kwa njia ya simu kutoka

    Ji ji ni Ar us ha , Us tad hiSuleimani Masatu, alisemaImamu Thabiti, alizikwa

    katika makaburi ya Njiro,Jumanne Desemba 2, 2014.Yule ndugu yetu,

    katika wale watuhumiwaw a u g a i d i , I m a m uAbdulkarimu, aliyekuwaa m e l a z w a a k i u g u akwa muda mrefu sasa,amefariki na leo (Jumanne)tunakwenda kumzika.Alisema Ust. Masatu.

    Masatu, alisema kwamujibu wa ndugu wamarehemu, walielezakuwa walikabidhiwa mwiliwa ndugu yao na Askari

    Magereza wakishirikianana Polisi.

    Masatu amesema, nduguhao wameeleza kuwawakati wa kumwoshana kumkani ndugu yaowalishuhudia majerahamakubwa ya kutisha hukumiguu ikiwa imevunjika.

    H a l i y a m w i l ihaikuwa nzuri, nduguyake anaeleza kwambaalikuwa amevunjwa miguuna alikuwa na majeraham a k u b w a m a p a j a n ihata kupelekea mifupakuonekana, inasikisha sanautendaji wa vyombo vyetuvya usalama. Alisema.

    Akizungumzia kifochake na kukamatwakwa Imamu Thabiti, Ust.Masatu alisema Imamuhuyo alikamatwa Mei, 2014usiku, siku chache kablaya mwezi wa Ramadhani,

    a k i t u h u m i w a k w akujihusisha na masuala yaugaidi.

    Alisema, Imamu Thabitialikuwa ni miongoni mwaWaislamu wa mwanzokukamatwa na Polisi nakupigwa sana na tokawakati huo (Mei, 2014)hakuweza kuonekanatena na ndugu zake walaWaislamu mpaka umautiunamkuta.

    M a s a t u a l i s e m a ,Imamu Thabiti hakuwahikuhudhuria Mahakamani,

    tokea kukamatwa kwakna w a l i po ho j i k wnini mtuhumiwa huyohafikishwi Mahakamanwal ie lezwa kuwa nkutokana na hali mbaya l i y o k u w a n a y o ymajeraha.

    Pamoja na maelez

    hayo, tokea kipindi hichhakuna aliyeruhusiwkwenda kumuona, si ndugzake au waumini wakhata walipojaribu kwendkumtafuta hospitali pihawakupewa maelezni wodi gani aliyolazwhospitalini hapo. AlisemUstadh Masatu.

    Alisema, yeye pia (UsMasatu) ni miongoni mwWaislamu waliomfuatilkwa lengo la kumjulih a l i b i l a m a f a n i k ikupitia utaratibu waw a k u w a t e m b e l e

    wagonjwa hospilini nkuwapa huduma, lakinhawakufanikiwa kumuonImamu Thabiti.

    Tuna utaratibu wkwenda kuwatembelewangonjwa kwa kupitkatika wodi mbalimbalhata hivyo hatukubahatikkumuona hata s ikmoja lakini taarifa huwzinasema kalazwa katikhospitali ya Maunti Merni suala ambalo mamlak

    Inaendelea Uk.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    3/16

    3 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Habari

    S H U L E ya S e k on d a r i yaKiislamu Kondoa, inayomilikiwana Jamaati Aswar Sunnah,imeongoza kitaaluma wilayaniKondoa.

    Hayo yamebainishwa katikamahafali ya pili ya kidatu cha nneshuelni hapo, wakati MwalimuMkuu wa shule hiyo, SalumMwaliko Athumani, alipokuwaakisoma risala mbele ya mgenirasmi.

    Mwalimu Athumani alisemakatika risala yake kuwa shule hiyoilianzishwa mwaka mwaka 2010

    ikiwa na wanafunzi 56, wavulana32 na wasichana 24.

    Alisema shule ilianza kuonyeshauwezo wake katika mtihani wakidato cha pili wa mwaka 2011,ambapo iliweza kushika nafasi yakwanza kiwilaya, kati ya shule 36zilizopo wilayani Kondoa hukuikishika nafasi ya 16 kikanda katiya shule 348.

    Mwalimu Mkuu huyo aliongezakuwa mwaka 2012 katika mtihaniwa kidato cha pili, shule hiyoilikamata nafasi ya kwanzakiwilaya kati ya shule 36 na nafasiya 17 kikanda kati ya shule 349.

    Mwaka 2013 shule ilikuwa yakwanza wilaya kati ya shule 36 naikashika nafasi ya 17 kikanda katiya shule 353.

    Aidha Mwalimu Athumanialiongeza kuwa katika mtihaniwa taifa wa kidato cha nne mwaka2013, shule yake ilifanya mtihanihuo kwa mara ya kwanza nakufanikiwa kushika nafasi yakwanza kiwilaya kati ya shule 35zilizopo wilayani Kondoa, nafasiya sita katika mkoa kati ya shule101 zilizopo mkoani Dodoma kwashule zenye watahiniwa kuanzia35.

    Aidha ilikuwa ni shule ya 165

    kitaifa kati ya shule 3252 kwashule zenye watahiniwa kuanzia35.

    Ilielezwa kuwa nafasi hiyoimetokana na wanafunzi 53waliofanya mtihani wa kidatocha nne mwaka 2013, ambaowawili kati yao walipata daraja lakwanza, daraja la pili wanafunzi26, daraja la tatu wanafunzi 21 nadaraja la nne walikuwa wanafunzi4.

    Kiwango hicho cha ufaulukimewezesha wanafunzi 45kuchaguliwa kujiunga na kidatocha tano.

    Shule ya Jamaat Aswaar Sunnahyaongoza katika taaluma Kondoa

    Na Athumani Shomari-Kondoa

    Waliosimama ni Baadhi ya walimu wa kituo cha Kiislamu cMisri nchini, Markaz Changombe wakiwa pamoja na washindi mashindano ya kuhifadhi Quran yaliyofanyika chuoni hapo kathafa ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kiislamu

    Kwa upande wake, Mkurugenziwa shule hiyo Abubakar iMohamedi Nyenye, alisemawamekia maamuzi ya kuanzishashule itakayosimamiwa naWaislamu wenyewe, ili kuondoadhana kwamba watoto waKiislamu hawana uelewa katikamasomo ya mazingira.

    Bw. Nyenye aliongeza kuwa kwamaendeleo mazuri ya kitaalumawanayopata vijana katika shuleya Kondoa Islamic SecondarySchool, ni ukweli usiochika kuwaWaislamu wanaweza kuendeshamambo na kwamba, vijana waKiislamu wana uwezo mzuri wa

    kielimu pale watakapofundishwakwa lengo la kuwapa mafanikio nasio kwa kuwakatisha tamaa kuwahawawezi, na kauli za kejeli kuwaWaislamu hawajasoma.

    K a t i k a m a a f a l i h a y oyaliyofanyika Jumamosi iliyopita,mgeni rasmi alikuwa Mbungewa Jimbo la Kondoa KaskaziniBi. Zabein Muhaji, ambayealiipongeza shule hiyo kwakufanya vizuri kitaaluma katikawilaya ya Kondoa.

    Akihutubia katika mahafalihayo, Bi. Zabein alisema wazaziwana waj ibu wa kufuatil iamaendeleo ya watoto wao wakiwashuleni, ili kujua viwango vyao

    vya elimu kama vinapanda auvinashuka pamoja na kuwatimiziamahitaj i yao ya shule palewanapohitaji, ili kuwajengea ariya kupenda kujisomea.

    Aidha aliwataka wanafunziwaliohitimu kidato cha nnekutambua kuwa, hapo walipokasio mwisho wa masomo nakwamba wanatakiwa kujiwekeamalengo ya kuendelea na masomompaka kukia vyuo vya elimu ya

    juu.K a t i k a m a h a f a l i h a y o ,

    i l i e nd e shw a ha r a m be e y akuchangia ujenzi wa shule hiyoambapo jumla ya shilingi milionimbili na laki moja zilikusanywa,

    huku mgeni rasmi, Mbunge waKondoa Kaskazini Bi. ZabeinMuhaji, alichangia saruji mifuko100.

    Kwa upande wake, Amiri wataasisi ya Jamaati Aswar Sunnahwilaya ya Kondoa, ambao ndiyowamiliki wa shule hiyo SheikhSalum Ahmedi Mlunga, aliwatakaWaislamu nchini kuwa kitu kimojakatika kuupeleka mbele Uislamuna kwamba, kwa kutumia nguvuza pamoja Waislamu wanawezakupiga hatua kubwa katika nyanjambalimbali ikiwemo elimu nakiuchumi.

    Mtuhumiwa ugaidi afarikiInatoka Uk. 2

    husika zilicha na sijui walikuwawanahoa nini hata kuzuia nduguna jamaa zake wasimuone.Alisema.

    Masatu alisema, taarifa zakifo chake zilipatikana juu juu

    Ju ma ta tu wi ki hi i ma ji ra yajioni kwa watu, jambo ambaloliliwafanya waumini kwendahospitalini hapo kuhakikishakama taarifa hizo ni sahihi.

    Cha kushangaza alisema,walipofika hospitalini hapoambapo siku zote walikuwawakipigwa chenga kuonyeshwamgonjwa wao alipo, baada yakujieleza, walipelekwa mochwarina kuonyeshwa mwili wa ImamuThabiti, akiwa amefariki.

    Akieleza zaidi, Ust. Masatu,

    alisema ilikuwa ni ngumu kupatataarifa za Imamu Thabiti, zaidi yakusikia taarifa zisizo sahihi kwanialisema, miezi miwili iliyopitazilienea taarifa kuwa amefarikiwalipofuatilia ilibainika kuwa sikweli bali alikuwa hajitambui.

    Awali alisema, Imam Thabitaliitwa na watu asiowatambua

    baada ya swalat Ishai, kwa lengola kufanya nao mazungumzo, Mei19, 2014, lakini baadae ilibainikakuwa watu wale walikuwa niPolisi, na baada ya hapo hakuwezakurudi wala kuonekana tena.

    Walipomuhitaji, baadaye

    w a l i j i t a m b u l i s h a k u wwalikuwa ni Polisi, walimuitkwa mazungumzo na baada ymazungumzo ya muda hakuwezkurudi, taarifa zilidai kuw

    alipigwa sana jambo lililopelekekulazwa hospitali , taarifzinasema amefariki kutokanna majerha makubwa mwiliniAlisema.

    Akikumbushia taarifa zakza awali, Ust. Masatu, alisemmtuhumiwa huyo ni yulambaye awali ilieleza kuwalipigwa na kupoteza fahamkwa muda mrefu na kulazwkatika hospitali ya Maunt Meru

    Alisema, kutokana na hahiyo, Polisi, walilazimikkwenda kumsomea mashitakyake akiwa kitandani mahutuHospitalini hapo.

    Imamu Thabiti, anakuwni Muislamu wa pili kufarikkatika mazingira ya kutatanishkutokea Jijini Arusha, kifchake kikihusishwa na kipigna mateso kutoka kwa Poliwakati wa kumatwa kwake.

    Hivi karibuni Jeshi la Polislilimuua kwa risasi mtuhumiwmwingine Ustadhi Yahya HassaHela, maarufu kwa jina la YahySensei, aliyetajwa na Jeshi la Polikuwa ni mtuhumiwa muhimu wmasuala ya Ugaidi.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    4/16

    4 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Makala

    MIKUTANO ya CCM ngazit of a u t i i n a e n d e l e a h a p a

    Zanzibar . Maneno mengiyamesemwa na yanaendeleakusemwa kuhusu mustakabaliwa Zanzibar kuhusu katibampya, demokrasia, mapinduzi,muungano n.k. Hata hivyo, yapomambo yanajitokeza katikawasemaji wengi, ambayo kwahakika yanaonyesha kanakwamba zile siasa za chuki,fitna na ubaguzi za Kisonge,z i n a r a s i m i s h w a k u p i t i amajukwaa rasmi ya kisiasa.

    Ukisik i l iza kwa makiniutagundua kuwa yanayosemwayamekusudiwa yafikishe kwawasikilizaji, hasa wapinzani,

    u j u m b e k w a m b a , k a m awapinzani wakitaka nchi,haiwezekani kwa sababu hapani Mapinduzi Daima. Kamamapinduzi huyawezi, na nchihuipati. Pili, kwa maana hiyo,demokrasia imekuwa ni kiinimacho tu. Demokrasia itafanyakazi pale itakapohakikisha kuwaCCM inabaki madarakani, nalile linalotakiwa na CCM ndiohuwa, kinyume cha hivyo, kupigakura hakuna maana yoyote. Napengine ndio maana pamoja namaoni ya wananchi walio wengi

    juu ya aina ya katiba wanayotaka,na aina ya muungano wanaotaka,

    kinacholazimishwa hivi sasa,ni kile kinachotakiwa na CCM.Serikali mbili, bila kujali masilahiya nchi na masilahi ya wengi.

    Maneno haya na ujumbehuu unaosisitizwa hivi sasa, siomambo mageni. Yalisemwa sanahuko nyuma wakati zikianza siasaza vyama vingi, hata wakati fulaninyimbo hii ikaungwa mkono naMarehemu Dr. Omari Ali Jumapale akitumia neno Yaguju. Hatahivyo, haikutarajiwa manenohaya yasemwe wakati huuambapo kuna Serikali ya Umojawa Kitaifa, na katika kipindihiki ambapo ilitarajiwa kuwa

    demokrasia kwa kiwango fulaniimekomaa.

    Zanzibar imekosa hudumamuhimu, hospitali kumeozana siku hizi kumezidi. Elimundio hiyo tena, msege msege,hajulikani anayesoma darasa lakwanza wala la pili. Mtindo sasaukitaka mtoto wako apate elimu

    bora , umpeleke kati ka shulebinafsi. Na ukitaka huduma zaafya zinazokidhi haja, uendehospitali binafsi.

    Leo Zanzibar ipo kwenyen a k a m a . I n a y o s e r i k a l iinayopambana na bendera za

    Vituko vya CCM Zanzibar kubeba siasa za KisongeYaguju, hupewi nchi, ukitaka pindua

    Uamsho imesajiliwa, bendera tatizo???

    Labda hakuna jingine la maana la kufanya

    Na Mwandishi Wetu

    asasi ya UAMSHO Jumuiyaya Uamsho na Mihadhara yaKiislamu ambayo ni taasisiiliyopatiwa usajili kwa Sheria yaUsajili wa Vyama/Mashirika yaHiari Zanzibar.

    Ni hivi: Msaidizi Mkuu waRais wetu Dr. Shein ambaye niMakamo wa Pili wa Rais, BaloziSeif Ali Iddi, ametoa amri kwaMkuu wa Mkoa wa KaskaziniUnguja, asimamie askari waserikali waondoe bendera zote zaUamsho mkoani kwake.

    Kwa hivyo, baada ya amri hii,

    Mkuu wa Mkoa, Juma KassimTindwa, amepita akataka wananchiwote wa mkoani anakoongoza,Kaskazini, waziondoe bendera za

    jumuiya hii ambayo kwa ukwelihasa wanaoifuata ni watu wadini sana wanaoongozwa nawatu wenye upeo mkubwa katikaUislamu.

    Kwa manoni yangu, wananchiwasingetakiwa kujali amri hiyo.Kwanza, sioni kama ni kosakisheria mtu kuchomeka benderaya kitu au chama anachokipenda,cha aina yoyote ile hata kama sichama cha siasa. Pili, sioni kama

    bendera tu inaweza kumkoseshamtu usingizi au amani.

    Kwamba eti bendera ile nyeupe

    yenye maandishi tu ambayo sikwamba yanapinga lolote lile laserikali, imnyime raha Rais, auMakamo wake wa Kwanza, Balozi

    Seif, au mawaziri wa CCM katikserikali ya Dk. Shein, au ikinyimraha Chama Cha Mapinduzi!

    Na kama bendera tu ile y

    Uamsho inaweza kuwa kero kwCCM na viongozi wake hao, kwmpangilio huo au hata akiwa nKatibu Mkuu wao, AbdulrahmaKinana, au Makamo wao wBara, Philip Mangula, au hatMwenyekiti wao, Dk. JakayMrisho Kikwete, basi Watanzanwana shida kubwa na viongowao.

    Viongozi wanaokasir ikiw a n a n c h i k w a s a b a bwamepachika bendera kwenymaeneo yao, zenye Kalimy a S ha ha d a h , Ka l i m a ykumpwekesha Mungu, lazimwawe wamekwama kisiasa

    Hawana la maana la kufanyahivyo wanaona waparamiUAMSHO ili wasikike kuwa wapna wanafanya kazi!

    H i v i m a t a m b a r a n d i yyanayozuia serikali kupambanna umasikini? Hivi matambarndiyo yanayozuiya serikakujua kama inapendwa? Hivmatambara ndiyo yanayoizuiserikali kuhudumia wananchkwa elimu, tiba, maji, na tusemkufikia malengo ya mileniaSiamini hata kidogo.

    Bendera za Uamsho au zilza vikundi vya ngoma na vilabvya mpira, au hata zile za JaSafari, haziwezi kuwa kitu ch

    kuwasumbua viongozi wa serikaisipokuwa kama wamekwamkukiria njia za kuondoa shidza wananchi.

    KESI ya watuhumiwa wa ugaidiinayowakabil i Masheikh waKiislamu na baadhi ya waumini

    wengine wa dini hiyo iliyowasilishwakatika Mahakama Kuu ya Tanzaniachini ya Jaji Twaibu Faudhi, janaDesemba 4 imeendelea kusikilizwakatika mahakama hiyo, lakini safarihii ikiahirishwa hadi Desemba10 baada ya upande wa Jamhurikuleta pingamizi la kusikilizwahoja za utetezi zilizowasilishwamahakamani hapo awali.

    Kesi hiyo ambayo ilitajwa kwaajili ya kusikiliza hoja za upandewa utetezi, iliahirishwa baada yamawakili wa upande wa Jamhurikuleta pingamizi dhidi ya kiapokilichoambatanishwa katika maombiyaliyowasilishwa mahakamani hapona upande wa utetezi.

    U p a n d e w a J a m h u r i

    Bendera ya JUMIKI Zanzibar.

    Kesi Masheikh wa Uamsho yaahirishwa tenaNi baada ya Jamhuri kuweka pingamizi

    Na Seif Msengakamba iliowakilishwa na wakili PeterNjike, uliweka pingamizi la awalimahakamani hapo, ukidai kuwakiapo kilichoambatanishwa katikamaombi ya upande wa utetezi ni

    kibovu na hakifai kurekebishikahivyo mahakama ikitupilie mbali.

    Lakini pia upande wa Jamhuriulisema kuwa Mahakama Kuu hainamamlaka ya kusikiliza maombi hayoya utetezi kwasababu bado yapokatika hatua ya uchunguzi wa awali.

    Hata hivyo wakili wa upande wautetezi Abubakari Salim, alitoa hojazake kwamba, hayo wanayosemaupande wa Jamhuri kwamba kiaponi kibovu sio kweli.

    Alisema, ni mambo madogoambayo yanaweza kurekebishikana kwamba, Mahakama Kuu inayomamlaka ya kusikiliza maombi hayo.

    Kimsingi ni kwamba upande

    wa utetezi ulikuwa umejiandakusikiliza maombi yao, lakinwenzetu wamekuja na pingamizUpande wa utetezi umetoa hojzao kwa hiyo mahakama imepangtarehe nyingine ya kuja kutolemaamuzi hayo mapingamizi ya awaWakisema maombi yetu yana kasor

    nitaleta mengine. Alisema wakihuyo.Kutokana na hoja hizo za pand

    zote mbili, unasubiriwa uamuzi wMahakama Kuu hiyo Desemba 10.

    Baadhi ya hoja zilizowasilishwa nupande wa utetezi mahakamani hapni kutaka kesi ya ugaidi inayowakabMasheikh hao na baadhi ya Waislamifutiliwe mbali kwa kuwa shitaklenyewe halielezi Masheikh hawalifanya ugaidi mahali gani hapnchini na wakati gani.

    Aidha, ilielezwa kuwa hatl i le shitaka wanalotuhumiwnalo la kuwahifadhi nchini watwanaotuhumiwa kushirikiana nakatika ugaidi, hawakutajwa majinyao wala kubainishwa mahali walip

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    5/16

    5 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Habari za Kimataifa

    KUNDI la wanamgambo wa Kikristola Anti Balaka nchini Jamhuri yaAfrika ya Kati, lina mpango wakuanzisha chama kipya cha kisiasa

    nchini humo.Taarifa iliyotolewa na kundila wanamgambo hao wa Kikristoimeeleza kuwa, kundi hilo litawekasilaha chini na kuunda chama chakisiasa katika siku za hivi karibuni.

    Taarifa hiyo imeeleza kuwa,uamuzi wa kuanzishwa chamacha kisiasa umechukuliwa baadaya kufanyika mkutano mkuu waviongozi wa kundi hilo huko Bangui,mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika yaKati.

    Taarifa zimeongeza kuwa, chamahicho cha kisiasa kitajulikana kwa jinala 'Chama cha Umoja na Maendeleoya Jamhuri ya Afrika ya Kati'.

    Kwa miezi kadhaa iliyopita,viongozi wa kundi la la Anti Balakawalitangaza uamuzi wa kulibadilishakundi hilo la kijeshi na kuwa lakisiasa. Hatua hiyo imechukuliwakatika hali ambayo, uchaguzi wa Raisna Bunge nchini humo umepangwakufanyika mwakani.

    Jamii ya kimat aifa imesis it izamara kadhaa juu ya kuimarishwamisingi ya kisiasa na kidemokrasiasambamba na kushirikishwa makundimbalimbali katika mchakato wakisiasa nchini humo.

    Itakumbukwa kuwa katikatiya mwezi Oktoba mwaka huu,kulishuhudiwa mapigano makalikati ya wanamgambo wa Kikristo waAnti Balaka dhidi ya wanamgambowa Seleka, ambapo Kundi la AntiBalaka likisaidiwa na majeshi yakigeni, limekuwa likitekeleza mauajimakubwa dhidi ya Waislamu nchinihumo.(www.irib)

    RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya

    Jumanne wiki hii alitangazakumfuta kazi Waziri wa Mamboya Ndani, Joseph Ole Lenku, naInspekta Jenerali wa Polisi DavidiKimao, baada ya kutokea mauajiya kutisha ya Wakenya 36 katikaeneo la Koromei, kwenye akauntiya Mandera, iliyopo mpakani mwaKenya na Somalia.

    Tayari Rais Kenyatta amemteuaMeja Jenerali mstaafu, JosephNkaisery, ambaye pia ni Mbungewa upinzani kuwa Waziri mpya waMambo ya Ndani wa nchi hiyo.

    Bw. Nkaisery kwa sasa anasubirikusailiwa na Kamati ya Bunge nabaadaye kuidhinishwa na Bunge lakitaifa.

    Iwapo ataidhinishwa na Bunge,

    Nkaissery atatakiwa kujiuzulu nafasiyake ya Ubunge kabla ya kuanzarasmi kutumikia nafasi yake yaUwaziri, na hii ni kwa mujibu wakatiba ya Kenya ambayo hairuhusuWaziri kuwa Mbunge au mwakilishi.

    Rais wa Kenya pia alitangazakuwa, Inspekta Mkuu wa Polisi,David Kimaiyo, amekubali kustaafulakini duru za karibu na Ikulu yaNairobi zimechua kwamba, Kimaiyoalichukua uamuzi wa kujienguabaada ya Rais Kenyaa kumshinikizaafanye hivyo.

    Kuondolewa watendaji hao wangazi za juu za kiusalama nchiniKenya, kunafuatia malalamiko yawananchi nchi nzima, kuhusiana

    na jinsi serikali inavyoshughulikiamasuala ya Usalama.Mauaji ya Wakenya 36 mjini

    Mandera yaliyodaiwa kufanywa naal-Shabab kutoka Somalia alfajiri yaJumanne, yameamsha tena mjadalawa iwapo serikali ya Rais Kenyaainaweza kukabiliana na changamotoza kiusalama zinazoikabili nchi hiyoya Afrika Mashariki kwa hivi sasaau la.

    Upinzani mara kadhaa umekuwaukisisitiza kuwa serikali imeshindwakuwalinda Wakenya na mali zao nakwamba, imepoteza dira katika vitadhidi ya ugaidi.

    Serikali kwa upande wakeimekuwa ikisema wapinzaniwanatumia majanga ya kitaifakujiimarisha kisiasa na hata wakatimmoja viongozi wa serikali waliwahikudai kwamba muungano waupinzani wa CORD unashirikianana magaidi wa al-Shabab, ili kuchafuaserikali ya Rais Kenyaa.

    Hata hivyo wachambuzi wengiwanaamini kuwa kudorora kwausalama nchini Kenya, kumetokanana kukosekana ushirikiano miongonimwa taasisi husika. Kwambakasumba ya ukubwa wa kimamlakana madaraka katika vyombo vyakiusalama nchini humo ni jamboj ing ine l inalos em ek ana kuwalimelemaza uwezo wa taasisi hizokutekeleza majukumu yao barabara,

    Waziri Mambo ya Ndani afukuzwa kazi KenyaInspekta Kimaiyo alazimishwa kujiuzulu

    Wakazi Mandera wahama kwa hofu ya kuuliwahivyo kuliacha taifa likiangamia kwa

    machafuko.Kwa mfano, duru za hivi karibuna osi ya David Kimaiyo, zinachuakwamba kumekuweko na tofautikubwa kati ya Inspekta Mkuu huyoaliyejiengua na Manaibu wake wawili.

    Pia Bw. Kimaiyo amekuwa kwenyevuta nikuvute ya muda mrefu naMwenyekiti wa Kamisheni ya Kitaifaya Huduma kwa Polisi Bw. JohnstonKavuludi, huku kila mmoja akitakakuonekana mwenye sauti na mamlakazaidi kumshinda mwezake.

    Wajuzi wa mambo pia wanasemak u k o s e k a n a u w i a n o k a t i k akubadilishana taarifa za kiintelijensiamiongoni mwa vyombo vya usalamaau wakati mwingine kupuuzwataarifa hizo pia kumechangia usalamawa Kenya kuyumba na kutetereka.

    Wakenya wengi wamefurahishwana hatua ya Rais Kenyaa ya kufanyiamabadiliko safu ya uongozi katikasekta ya usalama ya nchi hiyo.

    Mbali na mauaji ya Jumanne yawatu 36 huko Mandera, ambayohabari zimeeleza kuwa yalifanywa nakundi la wanamgambo wa al-Shababdhidi ya wafanyakazi wa machimboya mawe, majuma kadhaa yaliyopitawasari 28 waliuliwa huko Manderabaada ya basi walilokuwa wakisariakutekwa na watu waliodaiwa kuwa niwanamgambo wa al-Shabab.

    Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisinchini Kenya Inspekta Jenerali DavidKimaiyo, alisema kuwa shambuliohilo lilifanywa saa nne tu, baada yawatu watatu waliokuwa na silahakushambulia klabu moja huko Wajir,

    ambapo mtu mmoja alipoteza maishana wengine 13 kujeruhiwa.Imeelezwa kuwa Wakenya

    wanasubiri kwa hamu kubwa kuonatija ya mabadiliko yaliyofanywana Rais Kenyatta kwenye safu yauongozi wa vyombo vya usalamanchini humo, lakini jambo lililowazini kuwa, taifa la Kenya linapitiakipindi kigumu katika masuala yausalama na njia pekee ya kuvukasalama kipindi hicho ni kuwekoushirikiano, sio tu wa vyombo vyausalama lakini pia wa wananchi kwaujumla.

    Mauaji haya yatazidi kuiwekapabaya serikali ya Rais UhuruKenyatta, ambayo inakabiliwa namashinikizo makali kutokana na

    usalama nchini Kenya kuzorota hukumashambulio ya magaidi yakizidikuongezeka kila siku.

    Tayari hivi sasa kuna ripotikuwa raia wa Kaunti ya Manderawanakimbia makazi yao baada yamashambulizi katika makazi yaokukithiri.

    Imeelezwa kuwa kuanzia Jumannewiki hii raia waliondoka majumbanikwao na kuomba hifadhi katikakambi ya kijeshi, wakihofia kuwahuenda yangetokea mashambuliomengine ya al Shaabab.

    Kenya imekuwa ikiandamwana mashambulio ya kigaidi tanguilipotuma majeshi huko Somaliamwishoni mwa mwaka 2011.(irib)

    RAIS Uhuru Kenyata wa Kenya.

    Anti-Balakakuanzishachamacha kisiasaJamhuri ya Kati

    MOMBASAHATIMAYE Waislamu katikmaeneo kadhaa ya jiji la Mombasnchini Kenya wameanza kutekelezibada zao kwa mujibu wa Uislambaada ya Misikiti minne iliyokuwimefungwa na maafisa wa polinc hi ni hum o w i ki i l i opi t akufunguliwa.

    Hatua ya kuifungua Misikiti yMinaa, Sakina, Musa na Swafaimekuja baada ya siku mbili zmazungumzo kati ya viongowakuu wa Kiislamu, wataalam nuongozi wa Kaunti ya Mombasa.

    Maelezo ya mazungumzo hayyalioandaliwa na Gavana wMombasa, Hassan Joho na KaunKamishna Nelson Marwa, yalifanywkuwa siri.

    Hata hivyo kabla ya hatua ykuifungua Misikiti hiyo kufunguliwviongozi wa Kiislamu pamoja nwataalam walilazimika kuajikiongozi wa dini kwa kila Msikina kubuni Kamati maalum ykusimamia Misikiti hiyo ya Kisauna majengo mjini Mombasa.

    ''Hatutaki waone kama serikaina wakandamiza.Tumewapa mudwa kuzungumza na kuamua kuhusKamati za Misikii hiyo na viongozi wdini ambao watakuwa wakisimamibada. Watatupatia majina na Misikhiyo itafunguliwa'', alisema BwMarwa ambaye ndio Mwenyekwa Kamati ya Usalama Kaunti yMombasa.

    Duru ziliarifu kuwa miongonmwa wale walioalikwa katikmazungumzo hayo ni viongowakuu wa Kiislamu, wakiwemwawakilishi kutoka Baraza Kuu Waislamu nchini Kenya SUPKEMBarasa Kuu la Ushauri wa maswaya Kiislamu na Baraza la Maimamna Wahubiri nchini Kenya CIPK.

    Misikiti hiyo ilifungwa wikiliopita na maasa wa usalama baadya polisi kuvamia katika Msikiti wMusa na kuendesha msako ambapwatu zaidi ya 250 walikamatwambao baadaye walishtakiwa kwkudaiwa kuwa wanachama wmakundi ya kigaidi.

    Katika uvamizi huo, maasa wpolisi pia walionyesha baadhi ysilaha na nakala ambazo wanasemzilipatikana katika Msikiti huo.

    M u d a m c h a c h e b a a d a ykukamatwa kwao, magenge yvijana walizua ghasia na kuanzkuwashambulia raia wasio kuwa nhatia katika vituo vitatu vya mabapamoja na makazi katika eneo Kisauni.

    Misikitiiliyofungwa

    yafunguliwaMombasa

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    6/16

    6 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Makala

    SUALA la kuwa kwambaWaislamu wa nchi hii wakonyuma katika elimu, limekuwalikizungumzwa kwa sikunyingi sana. Hoja na vijembevimekuwa vikijaribu kuelezakwa nini Waislamu wako nyumasana katika elimu hiyo na hiyo

    ndiyo sababu kubwa ya kuwawao hawakuweza kupata ajirasana hasa Serekalini na katikamashirika ya Serekali. Hii hasakatika zile nafai za uongozi kamavile makamishina, makatibuwakuu na kadhalika. Hakika sikuhizi hata zile ajira ambazo ndizowalikokuwa wamejaa hawaWaislamu, kama vile uderevaofisini na utarishi, sasa piazimejaa wasiokuwa Waislamu.Nakumbuka kuwa katika shirikamoja wale viongozi walikuwawakisisitiza kwamba derevawa gari yake (staff car driver)awe ni Muislamu. Walikuwana sifa ya uaminifu mkubwa nanidhamu ya hali ya juu, kufuatanawalivyokuwa wakisema viongozihao.

    E l i m u y a M A D R A S Ayakifundisha Uislamu, ndiyoiliwafanya wawe hivyo. Matarishinao walikuwa hivyo hivyo nawalikuwa ni shida kutoa siriza nyumbani na hata za osini.Kuvuja siri za osini siku hizi ni

    jambo la kawaida kabisa.Jee, hivi sasa kuwa hata kazi

    hizo, za udereva osini na utarishi,zimejaa wasiokuwa Waislamuinakuwa pia hakuna Waislamuwaliosoma hata mpaka darasa lasaba ama kidatu ha pili? Kweliinaweza kuwa ni kiasi hichoWaislamu hawaendi shule?

    Haiwezekani kuwa hivyo sasakwa vile Waislamu hivi sasa kwakiasi kikubwa wamepiga hatuandefu sana katika kujenga nakuendesha shule zao wenyewe,za msingi na sekondari. Muislamuangetegemea kuwa zile shutumakwamba Waislamu wao wanajalitu elimu kutoka MADRASA,lingekuwa limekwisha. Shutumaza namna hiyo zingekuwa ni somola historia tu. Lakini sivyo hivyo,

    bado hoja hiyo potofu inatolewakuwa kisingizio cha kuwanyimanafasi hasa za juu Waislamu hukoSerekalini na katika mashirika yaumma.

    Ni hivi karibuni, hakika ni

    juzi tu, nilipokuwa nikijadilianana vijana majirani hapa ambaoni waumini wa Kanisa Katoliki.Wao wakatoa shutuma hizi zaWaislamu kutaka tu kuhudhuriaMADRASA na sio kwenda shule.Hakika haukuwa mjadala bali tukutupiana shutuma zisizokuwa namisingi ya hoja kwani nilichokipatani kuwa waliloambiwa na padrewao, basi ni hilo tu hakunazaidi. Kwa mazungumzo tuniliwahi kuwatajia kwambaYesu alikatazwa kunywa divaiwala kunywa pombe kamavile mbege. Kwanza walikataakuwa si kweli, hawajasikia

    Waislamu na ElimuNa Khalid S. Mtwangi

    padre yeyote aliyefundishahivyo. Nilipowafunulia Bibliana kuwaonyesha Luka 1: 15kwanza walipinga si kwelikwao walijibu kuwa ni Yesutu ndiye aliyekatazwa sio wao.Hawajakubali kabisa kuwa Bibliainakataza kula nyama ya nguruwe(Walawi-Leviticus 11:7) . Juzi tupia walipinga kuwa riba nayoinakatazwa kutokana na maandikomatakatifu Biblia Kumbukumbu23: 19. Inawezekana kabisa kuwatafsiri hapa ikawa potofu au nyu

    na mtaalam wa Biblia kama vilepadre anaweza kuwa na maelezomengine mengi yanayowezakufanya kuwa nguruwe sioharam kama mtu anavyowezakuelewa akisoma tu Biblia.Lakini hawa vijana ndugu zanguninao zungumza nao, hawanahoja yeyote ila tu wanasemahakuna kitu kama hicho Kilaninapowapeleka kwenye Biblia.Lazima ni kiri kuwa mimi siomtaalam wa Biblia na penginehata Quran, lakini hiyo haiwezikuwa sababu ya kunizuia kuisomana kutamka ninavyoielewasentensi ama aya yeyote ile.

    Kama nimekosea atokee mtaalamkunifundisha nielewe kilichosawasawa.

    Vita hivi vya kunyimwa hakikwa sababu ati hakuna Waislamuwaliosoma na kufuzu kiasi chakuweza kushika nyadhifa zamadaraka ya juu, bado vipona Waislamu wanatakikanakujifunga vibwebwe wasimameimara

    Hebu turudi kwenye mada yetuya elimu. Sasa hawa vijana waowamesikia tu waumini wenzaohasa viongozi wakijitetea kuwahawa Waislamu hawamo katika

    vyeo wa sababu wao wanashikiliatu kwenda madrasa na sio shuleni.Hoja hizi zimekuja hivi karibunina haiwezi kuwa ni ajabu kuwakuna mmoja wao kasoma makalaza Ustadh Omari Msangi katikagazeti hili akizungumzia jamaazetu Salafiya. Hawatokuwana nia ya kutafuta ukwelikuwa Ustadh Omari Msangialikuwa akiwakosoa hawaSalafiya kwamba mafundishoyao yanaweza kuwapotoshaWaislamu adui atashikilia tu

    kwamba kuna Waislamu ambaohawataki kusoma. WasiokuwaWaislamu kama hawa vijana jiranizangu watakuwa wamepata silahaya kumtandika Khalid tu. Lakinilililo muhimu kwa viongozi waWaislamu ni kutanabahi kuwamawazo haya potofu yamezagaamiongono mwa wasiokuwaWaislamu kiasi kwamba yanawezakuwa ndio silaha ya kuendeleakuwakandamiza Waislamu.

    Ukweli ni kwamba hata hukonyuma Waislamu walikuwawakiijali sana ile elimu kiasikwamba hata kwenye shule zamisheni walikuwemo vijana wa

    Kiislamu. Walishindwa kuendeleakwa sababu kwa shinikizo kubwala kuwataka waritad na wabatizwe.Kila siku natoa mfano Al MarhumMzee Shaabani Mtoka, babayangu mimi. Aliingia kusoma paleCentral School, Ujiji mwaka 1922akiwa mzee wa miaka takribankumi na mbili hivi. Walikuwemopia vijana wengi wa Ujiji kamayeye waliojiunga nae katika shuleile ya watawa wa White Sisters.Ujiji kama inavyojulikana ulikuwani mji wa Waislamu, hivyo vijanahawa walipata shinikizo kubwala kuritad na wabatizwe. Al

    Marhum Mzee Shabani Mtokalikuwa wa mwisho kukimbiakiwa kamaliza darasa la tattu. Akiwa kijana mwenye adabna heshima kubwa kwa viongoMzee Shabani alijidai kuwa yuMother Superior au MamMary Mkubwa, kama alivyokuwakiitwa, alitokea kumpenda sankijana Shabani na ndio sabab

    ya kuwa wa mwisho kukiimbshule ile ya Kanisa Katoliki. Bishaka wasomaji wanafahamkwamba hadi leo wale vijanwa Kiislamu wanaosoma shulhizi za Katoliki, wanalazimihwkuhudhuria sala na misa zakanisani. Hawa ni kawaida yakwamba hawaheshimu dinzingine hata kidogo.

    Vita hivi vya kunyimwa hakkwa sababu ati hakuna Waislamwaliosoma na kufuzu kiasi chkuweza kushika nyadhifa zmadaraka ya juu, bado vipna Waislamu wanatakikankujifunga vibwebwe wasimamimara. Silaha ya kwanza ingekuwvitumiwe vyombo vya habari vyWaislamu, wao washike jukumla kutangaza orodha na idadi yWaislamu tu waliomaliza elimyao ya juu (Vyuo Vikuu) mwakule, yaani baada ya matokeo ymitihani kutolewa ama mar

    baada ya mahafali ya kutunukiwshahada zao. Hii iwe kwa kilChuo Kikuu, Hatua hiyo piichukuliwe kwa kidatu cha sita ncha nne kwa shule zote za Tanzannzima. Hivyo itakuewemo katikmaandishi kuonyesha sasa nWaislamu wangapi wamefuzhivyo idadi za ajira zinapokuwchini sana (repeat: chini sanaya hapo itakuwa halali kabisa ykuanza kuuliza maswali na bishaka hawa vijana jirani zanglabda wataweza kuona haykushutumu tena kuwa vijana wKiislamu wao wanajali tu kwendMadrasa na sio shuleni. Huu uwongo ambao umetumiwa kwmuda mrefu sana kuwanyimWaislamu haki zao za ajira kwmfano serekalini. Kwa nyongeztu naambiwa na vyanzo vykuaminika kabisa kuwa ilMuslimu University of Morogorina zaa matunda matamu sankiasi kwamba yanapoka sokon

    hugombaniwa.Mwisho ni kuwasihi haw

    al ikhwan Salafin elimu yeyotile hata ya sayansi gani haiwezkuwa haram wakati ndiyo kwmfano imewezesha Waislamwengi kutimiza ibada ya HAUsari umekuwa rahisi, aljebrna physics vimewezesha hayna naambiwa na masheikh kuwscience hizo zina maelezo yakkatika Kuran. Tumuombe UstadOmari Msangi apuuze hivyvitisho SMs (ujumbe) anazopakutoka kwa watu ambao si vingin

    bali ni maadui wa Uislamu.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    7/16

    7 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Makala

    M I O N G O N I m w a w a t uwaliojijengea heshima kubwakwa jamii ya Wazanzibar kwajitihada zake za kuvitetea visiwavya Zanzibar katika sualazima la muungano, HamadiRashid mbunge wa Wawi nimiongoni mwa watu hao. Pamojana kwamba masuala ya kudaimamlaka kamili ya visiwa vyaZanzibar yameanza kutolewa nawatu wengi huko nyuma, mfanoRais mstaafu wa Zanzibar nduguAboud Jumbe nakadhalika,lakini pia katika miaka yahivi karibuni, miongoni mwawatu walioamsha zaidi hisia zaWanzazibar kuamka na kuanzakutetea tena nchi yao iliomezwa,Hamadi Rashid anaingia.

    Ni Hamadi Rashid hapo mwaka2009 katika kipindi cha maswaliya papo kwa hapo kwa WaziriMkuu ndani ya Bunge la Jamhuri

    ya Muungano wa Tanzaniaalimuuliza swali mheshimiwaMizengo Pinda, Waziri Mkuu,kuwa Zanzibar ni nchi ama si nchi.

    Waziri Mkuu Pinda alijibukwamba Zanzibar si nchi, naalisisitiza Zanzibar si nchi. Majibuya Waziri Mkuu yalizusha haliya sintofahamu hapa visiwani,wananchi walihamaki kwa hasira,

    baadhi waliandamana kwani kauliya Pinda ilichukuliwa kama nidhihaka kubwa kwa Zanzibar nchiambayo ilikuwa huru (sovereign)kabla ya kuupoteza mara baadaya kufunga ndoa na Tanganyikahapo mwaka 1964.

    Tangu kutolewa kwa kauliya Waziri Mkuu Pinda hapavisiwani kukawa wimbo Zanzibar

    ni nchi ama si nchi, manungunikoyakajaa vifuani mwa Wazanzibarwengi, wakawatazama wenzaowa Tanganyika kama wakolonidhidi ya Zanzibar, mihadharaikaandaliwa kila viunga vyaZanzibar ili kutafuta nchi hiyokupata haki zake ndani yamuungano.

    Lakini Hamadi Rashid katikakipindi chote cha mchakato wakutafuta katiba mpya alionekanakuacha ajenda yake ya kuiteteaZanzibar, aliungana na wapambewa katiba pendekezwa ambayokiukweli haijazingatia maslahi yavisiwa hivyo, akaimwagia sifa telehususani katika masuala mazimaya Zanzibar, hakuonekana kabisakuitilia shaka.

    Inawezekana Hamadi Rashidkuamua kuungana na wateteziwa kat iba pendekezwa nikujaribu kujitofautisha na walewanayoipinga katiba hiyo ambaomiongoni mwao wapo mahasimuwake wa Chama Cha Wananchi(CUF) wanaokutikana katikaUmoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA) ambapo mwenyekitiwa CUF Profesa Lipumba yumo.

    Inafahamika Hamadi Rashidialiingia kwenye mgogoro naviongozi wa juu wa chama chakecha wananchi (CUF) ambapo haliilikuwa mbaya hadi ikafikiwahatua ya kuvuliwa uanachamawake ndani ya chama hicho ilaakafungua kesi kupinga uamuzi

    Hamad Rashid aige kwa Kafulila, ZittoNa Mwanaisha Maulid, Zanzibar.

    huo.I f a h a m i k e y a l i o m k u t a

    Hamadi Rashid hayana tofautina yaliowakuta David KafulilaMbunge wa Kigoma Kusini naZio Kabwe mbunge wa Kigomakaskazini, wote hawa wawilinao waliingia katika mgogoro navyama vyao, Kafulila na NCCR-Mageuzi, Zio Kabwe na Chamacha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).

    Kama ilivyokuwa kwa HamadRashid, nae Kafulila alivuliwauanachama wake na chamachake akafungua kesi kupingauamuzi huo, kwa upande wa Zioyeye aliwahi mapema kufunguakesi pale alipoona uongozi wachama chake unataka kuujadiliuanachama wake ili wamvue.

    Lakini jambo kubwa na lakufurahisha sana, ni katika sualala kashfa ya uchotwaji wa fedhakatika akaunti ya Tegeta Escrowambapo vyama vya NCCR naChadema waliamua kuwekakwanza tofauti zao pembeni nakuamua kwa sauti moja kuteteamaslahi ya nchi kwa kuhakikishawale waliosadi fedha wanapataadhabu stahiki.

    Pamoja na kwamba DavidKafulila ndie alieibua wizi huo

    ambapo kwa sasa tunamtazamakama shujaa katika kadhia hiyo,yeye na Mwenyekiti wake JamesMbatia ambae nae ni mbungea l i m u u ng a m k o no k a t i k akuwashughulikia wakwapuajiwa fedha za Escrow. Mbatiahakumsusia Kafulila kwambakijana kwanza si mwenzetu,alitaka kunyakua kiti changu.

    Si Mbowe, si Tundu Lisu,si Halima Mdee nakadhilika,aliyemnunia na Zitto Kabwekisa wana mgogoro naye ,

    b a l i wa l i u n g a n a p a m o j akuhakikisha maslahi ya ummayanalindwa ipasavyo ikiwemo

    kuwashughulikia mafisadihuku ikifahamika Zitto kamaMwenyekiti wa Kamati yaMahesabu ya Mashirika ya Uma(PAC) ndie aliongoza mapambanoya kuandaa mapendekezo yakuwatia kitanzi wakwapuaji.

    Hilo ndio somo ambalo HamadiRashid hana budi kujifunza,maslahi ya nchi na wananchikwanza, tama binafis baadae.Haijalishi mmetofautiana vipi,maana si vema mtu akigombanana Sheikh wake basi Sheikh huyoakipinga ushoga kwaba Quranhaikubaliani nao, basi mtu yule

    kwa sababu ana mgogoro naSheikh anaamua kumpingaSheikh wake, wakati jambo nikuitetea dini ya Muumba wake.

    Katika hali ya kushangazana iliowastaajabisha wengi waZanzibar ni uamuzi wake wakuiunga katiba inayopendekezwana kuuhubiria umma siku yakukabidhiwa kwa katiba hiyopale uwanja wa Jamhuri mkoaniDodoma eti maslahi ya Zanzibaryamezingatiwa na kero zamuda mrefu zilizomo ndani yamuungano zimeshughulikiwa.

    Haikuingia ak i l ini mwaWazanzibar wengi kuamini kamakweli Hamadi Rashid alisemahayo kwa dhamira ya dhati kuwa

    katiba pendekezwa ni suluhishoya Kero za muungano. Wengiwaliamini amefanya hivyokama kuwakomoa UKAWA nakuonesha yeye hawaungi mkonokwani kuikubali katiba hiyoingeonekana ameungana nao,hususani kuna mahasimu wakewa CUF.

    Haikuingilia akilini hata kwawananchi wa kawaida tu washamba na mjini, wenye ufahamukidogo wa kisiasa na mambo yakatiba, wanaona kabisa jinsi katibahiyo pendekezwa inavyozidikuinyonga Zanzibar. Imeendeleakukiuka makubaliano yaliomokwenye hati za muungano, Raiswa Zanzibar amenyimwa haki ya

    kuwa makamu wa Rais wa Jamhuya Muungano wa Tanzania tofauna ilivyokuwa huko awali.

    Hamadi Rashid anafahamkuwa katiba pendekezwa badimeleta mgogoro wa kikatib

    kwani mabadiliko ya 10 ya katibya Zanzibar yanatamka Zanzibani nchi inayounda Jamhurya Muungano ya Muunganwa Tanzania huku Katibinayopendekezwa inatamkkuwa Jamhuri ya Muungano wTanzania ni nchi yenye mamlakkamili ambayo imetokana nMuungano wa nchi mbili z

    Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuya Watu wa Zanzibar ambazkabla ya Hati ya Makubaliano yMuungano ya tarehe 22 April1964 zilikuwa nchi huru.

    Katiba ya Zanzibar katikIbara ya 26 inatamka kwambRais wa Zanzibar ni Mkuwa nchi ya Zanzibar, jamb

    ambalo ni kinyume na Katibinayopendekezwa katika Ibara y80 (2) ikisema; Rais wa Jamhuya Muungano atakuwa Mkuwa Nchi, Kiongozi wa Serikali y

    Jamhuri ya Muungano na AmiJeshi Mkuu.

    K a t i b a p e n d e k e z wimeendeleza mfumo wa serikambili jambo ambalo wengi wZanzibar hawautaki mfumo hukwani unatazamwa kama kikwazkwa Zanzibar kufahamika katik

    jumuia za ki ma ta if a na ha tkuinyima fursa ya kujiunga katik

    jumuia hizo, eti mpaka ipewruhusa na Tanganyika, fedheha

    Hamadi Rashid anaelewa vem

    ili katiba pendekezwa iendanna katiba ya Zanzibar , kamitapita kwenye kura ya maonhapo mwakani, basi ni lazimkatiba ya Zanzibar ibadilishwsuali la kujiuliza wa Zanzibawatakubali kirahisi, labda kwnjia ya mabavu.

    Watanzania bara walio wenghawajaikubali katiba pendekezwseuze wa Zanzibar, Hamadi Rashianapaswa kujifunza kwa wenzetwa Tanzania bara, ifahamke kuwlinapokuja suala la maslahi yumma, kwa vyovyote vile hatkama umegombana na uongowa chama chako, ni vema kuwektofauti pembeni kutetea nchUbinafsi wa unaweka pembeni.

    Nimsihi kaka yangu HamaRashid kuwa Zanzibar badinamuhitaji katika kupiganiuhuru wake kamili, inahitahaki, usawa kama ilivyo kwTanganyika iliojicha katika kanzya Jamhuri ya Muungano wTanzania. Afahamu kuwa kuiteteZanzibar, atakuwa anafanykwa maslahi ya Wazanzibar naUkawa. Idumu Zanzibar!

    (Mwandishi wa makala hni msomaji wa gazeti hili npia mwanafunzi katika ShulKuu ya Uandishi wa Habari nMawasiliano ya Umma (SJMC) yChuo Kikuu cha Dar es SalaamSimu: 0654 656 800)

    MBUNGE David Kafulila. MBUNGE Zito Kabwe.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    8/16

    8 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Makala

    Al Anfal, ambayo ni sura ya 8Juzuu ya 10, katika aya ya 60inasema:

    Basi waandalieni (wawekeenitayari) nguvu mziwezazo (silaha),na mafarasi yaliyofungwa tayaritayari (mipakani), ili kwazonguvu (hizo) muwaogopeshemaadui wa Mwenyezi Munguna maadui zenu (mnaowajua)na pia (maadui zenu) wenginemsiokuwa wao, msiowajuanyinyi (lakini) Mwenyezi Munguanawajua. (8:60)

    Wiki iliyopita wakati Khatibyupo katika mimbar anatoak hu tba , m a bo m u m a ta tuyalilipuka katika msikiti mkuuwa Kano na kuuwa kwa uchachewatu 120 na mamia wenginekujeruhiwa vibaya. Inaelezwa

    kuwa mabomu mawili yalilipukandani ya msikiti kwa kufuatanana la tatu likalipuka jirani kabisana msikiti huo. Mara tu baada yakulipuka bomu la kwanza na watukuwa katika taharuki, magaidi waBoko Haram walianza kufyatuarisasi wakiuwa watu ovyo.

    Taarifa zaidi zinafahamishakuwa Amir wa Kano, SanusiLamido Sanusi (MuhammadSanusi II), alikuwepo akihudhuriaswala ya Ijumaa. Kano, ni mjimkuu wa Jimbo la Kano ambaloni miongoni mwa majimbokatika Nigeria yanayoongozwana Shariah na kiongozi mkuuhujulikana kama Sultan, chini

    yake akifuatiwa na Amir (Emir)."Nimewaelekeza wauminiwasafishe msikiti uliotapakaadamu na swala ziendelee kamakawaida. Hatutakubali kutishwana kuacha kuabudu, jamboambalo linaonekana kuwa ndiolengo la washambuliaji. AlisemaAmir Sanusi.

    Hali ni ya utata kidogo Nigeria,kwa sababu wakati inadaiwakuwa Boko Haram wanafanyaugaidi i l i kufikia lengo lakusimamisha Dola ya Kiislamu,wakati huo huo hulipua Misikitina taasisi za Kiislamu na kuuwawatu kama walivyofanya wikiiliyopita katika Msikiti wa Kano.Inaelezwa kuwa toka waanzekampeni hizi za mauwaji mwaka2009, Boko Haram washauwawatu zaidi ya 13,000.

    Msikiti wa Kano ulijengwamiaka ya 1490s ukiwa ni sehemuya Ikulu ya utawala wa Kiislamuwakati huo, ukaboreshwa zaidimiaka ya 1940s.

    Kufuatia tukio hilo la kigaidi,viongozi wa Kiislamu wametoawito kwa waumini wa Kiislamukutafuta namna ya kujihami nakuleta amani katika nchi yaokwa sababu serikali imeshindwakabisa kumaliza tatizo la BokoHaram. Kwa upande wake Raiswa Nigeria Goodluck Jonathan,

    Waandalieni nguvu kubwa muziwezazoIla hili la al-Shabab, Boko Haram

    Sio kwa silaha na Vikosi Maalum

    NASOC, ACOTA haijasaidia Nigeria

    Na Omar Msangi

    ameapa akisema kuwa serikaliyake itafanya kila liwezekanalokuhakikisha kuwa anawakomesha

    Boko Haram.Kauli hiyo ya Rais Jonathan

    ilifuatiwa na ile ya Katibu Mkuu

    wa Umoja wa Mataifa (UN) BaKi-moon, kupitia kwa mwakilishwake wa Afrika MagharibMohamed Ibn Chambas, akisemkuwa analaani shambulio hilo umwagaji damu katika msikina akaitaka serikali ya Nigerkuzidisha hatua za kiusalama ikulinda raia. Wakati huo huo, Rawa Ufaransa Francois Hollandakapaza sauti akisema kuwkitendo hicho cha Boko Haram, ncha kishenzi na kisichovumilika

    Hata hivyo, kaul i kamhiyo ya Rais Jonathan, nwengine waliotoa kauli kamhiyo, imekuwa kama wimbuliozoeleka kwamba kila likitokeshambulio, Rais na wakuu wvyombo vya dola watatoa kaunzito lakini mashambulizndio yanaongezeka kila uchaoInakuwa kana kwamba kauli zandio zinachochea na kuongez

    nguvu za Boko Haram. Shambulhilo la msikiti Kano, lilifuatiwa n

    jingine siku iliyofuatia Jumamoambapo Boko Haram wakiwkatika msafara wa watu 3wakipanda pikipiki waliingikatika mji wa Shani wakirushmabomu na kupiga risasi ovyambapo waliuwa watu kadhaKatika tukio hilo, walishambulpia kituo cha polisi na majengmengine ya serikali. Ikaarifiwkuwa kesho yake ambayo ilikuw

    Jumapili, Boko Haram walivamkijiji kimoja cha wavuvi katik

    Jimbo la Borno na kuuwa kwuchache watu 25.

    Hiyo ndiyo hali. Kila serika

    inapotoa kauli za vitisho vykupambana na Boko Haramna kuwatuliza wananchi kuwvyombo vya dola vinachukuhatua, mambo ndio yanazidkuwa mabaya. Na hii ikumbukwkuwa inaandamana na bajekubwa ya serikali katika masuaya usalama, na rasmi kwkupambana na Boko Haramlakini pia msaada mkubwa wkipesa, silaha na mafunzo kutokMarekani na nchi za NATO.

    Kwa mujibu wa taarifa yWizara ya Fedha ya Nigerianchi hiyo mwaka huu imepangkutumia Naira bilioni 968 (N96

    billion) kwa ajil i ya kupambanna Boko Haram. Kiasi hicho chfedha ni sawa na robo ya bajenzima ya serikali kwa mwakhuu 2014.

    Kwa upande mwingineNigeria ikisaidiwa na Marekanimeundiwa k i tu k inai twNigerian Army Special OperationCommand (NASOC) ndanya kitengo cha kupambanna ugaidi-Counter-Terrorisma nd C o u nte r - I nsu r g e nc yKuundwa kwa kitengo hichchini ya uangalizi wa Marekaninaelezwa kuwa kwanza itasaidMarekani kupeleka haraka silahzinazohitajika kupambana n

    NADHANI dunia hivi sasa ikokatika njia panda ya mustakabalimgumu zaidi katika historia yakarne za hivi karibuni. Marekani nawashirika wake wanaoweza kujitoawa Uingereza wameanzisha mkakatiwa kivita ambao unahatarisha haliya baadaye ya binadamu. Hii siyokuongeza chumvi na siyo lazimaiwe inaonekana katika vyombo vyahabari vikubwa, kwa sababu vitakatika vyombo vya habari vikubwainaonekana kuwa inafanywa ilikutoa msaada wa kibinadamu, kuwani operesheni ya kujenga amani nakupinga ugaidi.

    Ni hakika, tukiangalia matukio

    ya hivi karibuni, hasa katikakujengeka kwa mifumo ya kivitaUlaya Mashariki, hasa kuwekwa kwamajeshi ya NATO mbele ya malangoya Russia. Vita vya wenyewe kwawenyewe vinaendelea Ukraine.Wakati huo huo vita vinaendeleaMashariki ya Kati, hasa kuchochewavita kunakotokea hivi sasa nchiniSyria na Irak, na hali kwamba eneolote hilo sasa limekuwa mpaka uliowazi kukiwa na uwezekano wa vitaya kikanda, ambayo ingeenea kutokaAfrika ya Kaskazini na Mashariki yaBahari ya Kati hadi Asia ya Kati naAsia ya Kusini, labda ikiingiza nchinyingine katika vita na kuunganishamedani za vita zilizopo hivi sasa. Tuna

    Kutandawazisha vitaNa Prof Michel Chossudovsky vita Irak, tuna vita Syria, tuna vitisho

    vinavyoelekezwa dhidi ya Iran,tuna hali katika Palestina ambayo nisehemu ya kinachotokea. Tuna vitaambayo haijatangazwa ya Marekanidhidi ya Pakistan kwa mashambulioya droni eneo la Kaskazini Magharibiya Pakistan, na wakati huo huoMarekani imesambaza majeshi yakekatika maeneo takriban yote duniani,yakiwa na mifumo ya majeshi kamiliya ukanda.

    Kamandi maalum za jeshi laMarekani zinazoshika maeneo hayo,katika bara la Asia ni sehemu ya ajendaya kijeshi ambayo kimsingi inalengakuitisha China. Kuna mkakati wauimarishaji mifumo ya kijeshi katikaeneo la bahari karibu na Chinahivi sasa. Marekani na washirikawake wanajenga miundombinu yakijeshi iliyobuniwa na Marekani.Nazungumzia zaidi ile ya visiwa vyaGuangzhou ambavyo viko mkabalala jiji la Shanghai, ambako Marekaniinaendelea na ujenzi wa kituo chakijeshi.

    Kisheria na hadi hivi karibunivisiwa hivyo ni sehemu ya Korea.Eneo la kijeshi la Korea ya Kusini lakinikatika hali halisi ni kituo cha kijeshicha Marekani kwani Marekani inamkataba wa ushirikiano wa kijeshi naKorea. Na hivyo tunaona mwenendokuelekea kile kinachoweza kuitwani vita kutandawazishwa, ambako

    Inaendelea Uk. 9 Inaendelea Uk.

    Iran ikirusha moja ya ndege zake za kivita zinazoruka bila rubani(drone).

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    9/16

    9 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Makala

    Inatoka Uk. 8

    Waandalieni nguvu kubwa muziwezazomagaidi wa Boko Haram, lakinipia Nigeria itaweza kukabilianana magaidi hao kwa haraka zaidina kwa ufanisi mkubwa.

    Ikaelezwa kuwa Through USAfrica Command (AFRICOM),US Special Operations Command,Africa (SOCAFRICA), and theOce of Security Cooperation inthe US Embassy in Abuja, serikaliya Marekani itatoa mafunzo navifaa vya kijeshi na kikachero.

    Labda hapa niseme mamboyafuatayo: Moja ni kuwa, kablaya NASC, tayari kulikuwa naAfrica Contingency OperationsT r a i n i n g a n d A s s i s t a n c e(ACOTA), na baba yao US AfricaCommand (AFRICOM), wotehawa wakisadia kupambanana ugaidi. Lakini hapakuwa nadalili ya kupungua vitendo vyakigaidi vya Boko Haram, zaidi ya

    kuongezeka na Boko Haram haokupata silaha kali zaidi na nyingi,

    bila kujulikana zinatoka wapi.P i l i , t u k i o l a k u t e k w a

    wasichana 270 ambao mpakaleo hawajapatikana, limetokeawakati tayari Nigerian ArmySpecial Operations Command(NASOC) ipo. Haya ya kulipuliwamsikiti Kano na kuuliwa watu120 na mauwaji mengine kamahayo, yanakuja wakati i le

    bajeti ya Naira bil ioni 968 ipona hii Nigerian Army SpecialOperations Command (NASOC),ipo inafanya kazi chini ya USAfrica Command (AFRICOM),US Special Operations Command,

    Africa (SOCAFRICA), and theOce of Security Cooperation (USEmbassy in Abuja.)

    Hivi yaweza kuingia akilinikuwa jeshi zima la Nigeria,na serikali nzima ya Nigeriaikisaidiwa na miamba hawa waAFRICOM na SOCAFRICA,linaweza kushindwa nguvuna Abubakari Shekau na BokoHaram yake? Shekau ambayehana kiwanda cha silaha, hana

    bajeti kama ya serikali na hawezikuagiza silaha kutoka nje! Kwahakika ni usanii na kiroja kamakile cha mtoto wa shule ya msingikuweza kupenya ngome ya ulinzikatika ubalozi wa Marekani

    kwenda kufanya ugaidi. Ni kirojakama tukiambiwa akina AbuDawd wetu, wamekuwa na jeshila kupambana na vikosi vyaAfande IGP Ernest Mangu pamojana JWTZ!

    Lakini lipo jambo moja hapainapasa tulitizame kwa makinina pengine kujiuliza maswali yamsingi. Taarifa zinafahamishak u w a j a po M a r e k a ni i nauhusiano mkubwa wa kijeshina Nigeria, lakini bado ilikuwahaijaridhika. Ilitaka kuuboreshazaidi na kwamba kwa kuwa naNigerian Army Special OperationsCommand (NASOC), jeshi laMarekani litakuwa na uhusiano

    wa moja kwa moja na jeshi laNigeria kwa namna Marekaniinavyotaka. Na kwa mpangohuu, vitaundwa vikosi vikiwachini ya udhibiti wao japo kwalugha ya kidiplomasia wenyewewanasema kuwa to establishNASOC provides opportunitiesto strengthen the Army-to-Armyrelationship.

    Wataalamu katika eneo hiliwanaweza kueleza nini hatari nafaida ya uhusiano wa namna hii

    baina ya nchi kubwa na yenyenguvu kijeshi na nchi dhaifu kamaNigeria. Hivi jeshi lenu linapokuwana uhusiano wa namna hii, badolitabaki kuwa la wananchi na tiifukwa nchi likitizama masilahi yanchi! Hivi haiwezi kuwa vikosihivi vinavyoundwa vyawezakuwa vinapokea maelekezo kwawanaowafadhili na kuwapamafunzo kwa masilahi ya

    anayemlipa mpiga zumaribadala ya kutizama lip i lenyemasilahi na nchi?

    Awali katika makala hayanimeanza na funzo kutokakatika Quran kwamba ukitaka

    kupambana na adui, ni lazimaujiandae vilivyo. Wakati aya hiiinashuka, mazingira ya kijeshi

    wakati ule yalitawaliwa na farapamoja na ngamia wa kivita, zaidni mapanga, majambia, mikukpinde na mishale yake.

    Sasa leo wakati Urusi imetotoleo jipya la ndege ya kivitStealth Jet Fighter aka SupeWeapon, wewe huwezi kudkwamba utatangaza vita (Jihadna Urusi kwa kutegemea AK-4za kununua au kupewa na karAkikataa kukuuzia, unatafutjambia au!

    Hata hivyo, tukija katika hvita juu ya ugaidi, bado ushahid

    unaonyesha kuwa haitamalizwkwa silaha wala jeshi kubwkwa sababu sio vita halisi. Kamwalivyosema wachambuzi nwataalamu mbalimbali, huu nmkakati wa mabeberu wa namnya kuendeleza agenda zao.

    Wanasema kuwa katika vityoyote ile, majeruhi wa mwanzni ukweli. Leo serikali ya NigeriKenya, Uganda, Tanzania n.kikitangaza kuwa inakaza bukwa kuongeza bajeti, askari nvifaa au kwa kushirikiana nnchi washirika kupambana nmagaidi, ili kuwalinda wananchna kuleta amani na utulivu, kwusoefu huu wa Nigeria, kw

    hakika itakuwa ni kujidanganyiwapo wananchi watakuwna imani na kauli kama hizWananchi na watu wasio na hatiwatanusurika kutokana na balahili la ugaidi, uwe ni kwa jina IS, Boko Haram au al-Shabab, kwkumnusuru yule majeruhi nambmoja wa vita. Ukweli. Ukweusemwe kama alivyosema RobeFinlayson "Robin" Cook na kamwalivyosema Professor MicheChossudovsky, Rais wa ArgentinCristina Elisabet Fernndez dKirchner na wengineo, kwambAl Qaida na wenzao ni magaid

    Kutandawazisha vitaInatoka Uk. 8

    kwanza Marekani inatumia washirikasiyo katika NATO pekee lakiniwanaoenea nje ya NATO, kufanyavita au kutisha nchi kadhaa. Lakinikatika wakati uliopo wanaitishaRussia, China, Korea ya Kaskazinina Iran, na ni wazi wanaendesha vitanchini Irak na Syria.

    Hivi ni vita vya utekaji wa nchitofauti, na havina uhusiano nakuwafuata waasi wa Dola ya Kiislamu(IS). Na kwa yakini uhalalishaji wavita hii kuwa ni mipaka haina maanakwani imeelezwa na kudhihirishwakatika vielelezo tofauti kuwa ISIL,Dola ya Kiislamu (IS), ni asasiiliyoundwa na mashirika ya kijasusiya Marekani. Ilisaidiwa kifedha naMarekani na washirika wake Qatarna Saudia wakati vita hiyo ilipoanzaMachi 2011, kupambana na majeshiya serikali ya Rais Bashar el Assadnchini Syria. ISIL imehusishwa na

    kila aina ya ukiukwaji wa haki zabinadamu, wakati waliobuni mkakatiwa ISIL ni Marekani yenyewe.

    Na tukiangalia historia ya AlQaeda na vikundi vyenye uhusianowa karibu na Al Qaeda tunaonabila mabaki yoyote ya shaka kuwataasisi za kijasusi za Marekani pamojana wenzao wa M16 ya Uingereza,Mossad ya Israel na ISI ya Pakistan,idara ya ujasusi ya Saudia, kuwamakundi hayo katika eneo lote laMashariki ya Kati, nchi za AfrikaKusini ya Sahara, nchi za Asia yaKusini Mashariki, ikiwa ni pamojana Indonesia, zinaitwa katika lughaya kijasusi ni 'amana' za kijasusi

    (intelligence assets) zinazowezakutumika wakati wowote. Ni vyombovya ujasusi wa Marekani na piani askari wa miguu (foot soldiers)wa mfumo wa ulinzi wa nchi zaMagharibi. Vinatumika kuhujumu

    na kuyumbisha nchi huru, kuletatafrani kama ilivyo Syria kuanziaMachi 2011. Vilihusika na vitendovya kigaidi dhidi ya nchi huru, na hivikaribuni Marekani na washirika wakewanadai ISIL ni asasi huru hivyolazima tupambane nayo.

    Wanasema inahatarisha usalamawa Marekani na nchi nyingine zaumoja wa kujihami wa nchi zaMagharibi, hivyo NATO lazimaikubali kipindi hiki kipya cha vita yakimataifa dhidi ya ugaidi na hivyokuifuata ISIL (IS), huku ikifahamufika kuwa ISIL iliundwa awali nawashirika hao wa Magharibi. Nasi hivyo tu, wana washauri wakijeshi kutoka Magharibi na kunavikosi maalum vya Magharibivinavyojumuika nao. Na kwa azmayote ya kutaka kuwafuata si kingineila ni mpango wa kuziteketeza Irak naSyria, hasa kuvunja miundombinu yauchumi, uchumi wa mafuta, vinu vyakusasha mafuta, hivyo kuteketezanchi kwa kuuharibu uchumi wake.Pia unaharibu taasisi zake za utawala,hivyo kinachotokea sasa kinadhariakimeelekezwa dhidi ya IS, lakinimatokeo yake ni kuharibiwa vinuvya kusafisha mafuta, viwandana taasisi nyinginezo za Syria,makazi ya watu kuishi, mauaji yawatu wengi wasio na hatia, piayanaendelea. Hivyo hatuangalii tu

    Inaendelea Uk. 1Inaendelea Uk. 10

    Ndege ya kivita inayotumia rubani.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    10/16

    10 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Makala

    Inatoka Uk. 9

    Waandalieni nguvu kubwa muziwezazowa kutengenezwa na mabeberukwa masilahi ya mabeberu.

    Ukweli huu ukishasemwa,hapana shaka hata nj ia za

    kupambana na janga hi l izitabadilika. Tutafahamu kuwakumbe hata hawa wanaoibukahuku kwetu wakihimza vitendovinavyoweza kuitwa kuwa nivya kigaidi, ni mamluki tu(mercenaries) wanaotumiwatu . Kwa hiyo kupambananao tu haitasaidia sana kamahatutahangaika kuwapatawaliopewa tenda na udalali wakuwanasa vijana wa kutumiwaiwe ni kwa jina la Jihad auvinginevyo.

    Lakini pia tutarejea katikazile ripoti kama ile ya HumanRights Watch (HRW) ambayoinazungumzia zile program zaDubious Entrapment. Kwa hiyo

    tutajuwa kuwa vijana hawa maranyingi wanakuwa entrapped.Tuwatafute wanaofanya kazi hiyoya entrapment.

    Taarifa ya Global TerrorismIndex, ya mwaka huu 2014,inayochapishwa kila mwakana taasisi ijulikanayo kwa jinala Institute for Economics andPeace, iliyotolewa wiki iliyopitainasema kuwa matukio ya ugaidiyameongezeka mara 13 tokaSeptemba, 2001 ambapo ndioserikali ya Marekani ilitangazarasmi kuanza kwa vita hiyoambayo awali Rais Bush alisemani Crusade (Vita ya Msalaba).

    Kwa mujibu wa taarifa hiyo, vita

    dhidi ya ugaidi inayoongozwa nakufadhiliwa na Marekani katikamataifa ya Iraq, Afghanistan,Pakistan, Yemen na katika nchiza Afrika, ishatumia zaidi ya dolatirilioni 4 nukta 4 ($4.4 trillion).Hata hivyo, pamoja na gharamahizo, ndio kwanza watu wanazidikuuliwa na roho kuungamizwana wanaodaiwa kuwa ni magaidi.

    The invasions, the drone strikesin Pakistan, Yemen, and Africa, thewhole lumbering apparatus of theglobal war on terrorism have notkilled the terrorist beast. They have

    fed it, and the beast has grown verylarge. 3,361 people were killed byterrorism in 2000; 17,958 were killed

    by it last year.A n a s e m a m w a n d h i s h iGwynne Dyer katika makala yakeWhat's The Purpose of "Global"Terrorism?, akichambua taarifaya Global Terrorism Indexambayo inasema kuwa mwaka

    jana 2013 watu 17,958 waliuliwakutokana na vitendo vya kigaidiikilinganishwa na 3,361 mwaka2000.

    Global Terrorism Indexinaeleza zaidi kuwa zaidi yaasilimia 80 ya watu hao 17,958waliouliwa katika matukio yaugaidi ni Waislamu na kwamba,wengi wameuliwa na makundi yaIslamic State (ISIS), Boko Haram,

    Taliban, al-Qaeda na al-Shabab.Yupo yule mwanaharakati

    kutoka Sinza kwa wajanja (DSM)aliingia Mbeya na kutamba kuwayeye amewatoa vijana wake shulena sasa ni madereva wanaendeshamagari. Anayasema hayo wakatiyeye mwenyewe kaingia Mbeyaama kwa basi au Reli ya Tazara,na siku hizi kuna na Fastjet.Lakini hajiulizi, hayo magariwanayoendesha vijana wake,wakijiandaa kujiunga na IS,yametengenezwa kwa kutumiaelimu gani!

    Ukiwasikiliza wanaharakatihawa na wale Akhiy wengine,mafanatiki wa Abu Baghdadi,i l ikuwa ikinipa shida sanaunapomsikia Muislamu akisemakuwa pamoja na mauwaji yotena vitendo vya jinai dhidi ya

    binadamu vinavyofanywa naBoko Haram na IS, bado ataibuka

    Muislamu na kusema kuwa hayoyanayofanyika ni Jihad. Lakiniile taarifa ya HRW kwamba maranyingi mabeberu hawa huwanasana kuwatumia vijana maadhurana hamnazo, nimepata kutanzuakitendawili hiki. HRW inasema:

    Some of the people targeted suerfrom menta l il lne ss or financialproblems. It said they were giventhe motive and the means to commitcrimes they might never have everconsidered.

    Ni kweli, hawezi kuwa mtu naakili yake timamu na akawa japona elimu kidogo ya Dini na ile yakujitambua tu yeye mwenyewe,akawa fanatiki wa AbubakarShekau.

    Sasa nadhani ni vyema hatavyombo vyetu vya dola katika

    ji ti ha da za o za ku pam ban ana ugaidi, basi viepukane nakufuata mkondo wa propaganda

    na uwongo unaotawala katikvita hii, isije nao wakaonekankuwa ni katika wale fanatikiwa viranja wa vita dhidi yugaidi, japo wao sasa watakuwwanaonekana kutumiwa kisherilakini matokeo yatakuwa yalyale. Nao watakuwa wana- sufrom mental illness or nanciproblems na hivyo rahiskutumiwa kuendeleza ugaidkama ambavyo unaendelezwNigeria.

    Vi jana maadhura BokHaram wanatumika kuuwa nkupandikiza machafuko katiknchi, lakini vyombo vya dola navymaadhura vinatumika katikSpecial Operations Comman(NASOC), au ATPU kule Kenykutekeleza mipango ambayhaiondoi tatizo ila kuizamishzaidi Nigeria/Kenya katika topla machafuko na mauwaji.

    Kutandawazisha vitaInatoka Uk, 9kile kinachoitwa 'operesheni dhidiya ugaidi' au kusaidia watu maeneohayo. Tunachoona ni vita ya kutekanchi hizo na nyuma ya utekaji huokuna maslahi makubwa ya kiuchumi.

    Katika sekta ya mafuta, miingilianoya jeshi na sekta ya viwanda,makampuni makubwa ya kufumalugha na mifumo ya mawasiliano yakompyuta na pia vyombo vikubwavya habari vinahusika. Hivyo inabidi

    tuelewe kuwa vita hii itashindatu kama inafuatana na upotoshajimkubwa wa habari katika vyombohodhi vya habari. Ni pale habariza redio, magazeti na televishenizina kazi moja tu ya kuunga mkonouwongo na taarifa za kutunga. Ila kunachembe nyingine, kuwa tumeonakwamba kuifuata IS ni sehemu yakra pana inayoungwa mkono nchinyingi ambayo Marekani imejaribukuijenga iungwe mkono kupitiamikutano tofauti, huko Geneva nakupitia Baraza la Usalama la Umojawa Mataifa, kwa nia ya kuungwamkono na washirika wake. Katikahali ya kujipinga na kustajaabisha,mabaraza ya Bunge nchini Marekani,

    Uingereza na Ufaransa wamekubalikuwa nchi hizo zitaingia katika vitahiyo mpya, dhidi ya maadui waustaarabu wa Magharibi. Wanafanyahivyo katika njia ambayo si mpyaila ina upana tofauti na mwanzo,kuwa hakuna hata mbunge mmojaaliyepinga katika nchi zote tatu, ilawako waliotoa tahadhari za kinakuhusu mkakati huu mpya wa kijeshi.

    K w a m a n e n o m e n g i n e n ikukubaliana wote kwa pamoja;uwongo umegeuka kuwa ukweli.Siyo vita dhidi ya IS ni vita dhidi yaSyria na Irak, na Iran - na kwa maanahiyo ni njia ya kwenda Teherankupitia Damascus na Baghdad. Nazaidi ni vita ya kuteka nchi hizo, na

    katika macho ya watoa maoni nchiza Magharibi, waanzishi wa vitahivi wanachotaka ni kijisababu nauhalalishaji. Na wanajenga sababuna uhalalishaji kwa kuionyesha ISkuwa ni adui wa nchi za Magharibina wanataka kuiteketeza. Kamawalikuwa wanataka kuiteketezaIS wangeweza kufanya hivyo kwakulipua mlolongo wa magari yaToyota katika jangwa kati ya Syria naIrak. Ni eneo la wazi na unachohitaji

    ni kupiga tu mabomu. Ingekuwa nioperesheni ya dakika 20 kwa kutumiandege angani, n.k. Lakini tatizo lotelimesukwa; ilikuwa inafahamikakuwa kitu hiki kitakuwa ndiyo aduimkuu kama Al Qaeda na Osamawalivyokuwa adui namba moja baadaya 9-11.

    Hivyo kuna fikra inayojengekakatika mwendelezo wa vita vyakimataifa dhidi ya ugaidi. Kufuatiamashambulio ya mwaka 2001hapo Septemba 11. Afghanistanilinyooshewa kidole kama nchi'iliyoishambulia' Marekani. Taarifahazikusema hivyo kinagaubagalakin i k i l i ch o to kea n i ku waAfghanistan iliinuliwa bango kamanchi inayofadhili ugaidi, na hivyomapema mwezi Oktoba 2001 uvamizina ukaliaji wa Afghanistan ulianzakwa misingi kuwa ni tishio kwaMarekani.

    Fikra hiyo inaanzia nyuma wakatiwa vita ya Urusi na Afghanistan,ambako Marekani ilishiriki katikakuwasaidia mujahidin, mujahidinwa Al Qaeda wakipigana kuiondoaserikali ya kiraia (isiyo ya kikuhani,kidini). Ilikuwa ni serikali ya kiraia,ya kawaida, na Afghanistan ilikuwani nchi isiyo ya kidini, ikiwa na taasisizisizo za kidini, na hatimaye ikawana ushirikiano wa karibu na Urusi.Nia ya kuwa na eneo la ushawishi naudhibiti wa Marekani katika eneo hilo

    ilikuwapo, na punde ikaanza harakaya kubadili nchi za Mashariki ya Kana Asia ya Kati kutoka nchi za kiraiza dola za kawaida, kuwa nchi zKiislamu au za kihalifa, yote hii ikiwni sehemu ya ajenda ya kijasusi yMarekani.

    Uislamu wa kisiasa siyo tunda jamii za Mashariki ya Kati, unatokanna a jenda i l iyoandaliwa kwuangalifu kijasusi ambayo inarudhadi wakati wa vita ya Urusi nchinAfghanistan na hata kabla ya hapIna kiini cha kuunda dola ya Kiislamna hii ni 'mabadiliko ya utawalaTunajuaje hivyo, kwa sababu vitabvya kufundishia vinavyotumik

    katika shule za Kurani na miongozya kutoa mafunzo ambayo inatumikkuwapiga msasa mujahidina hukPakistan na Afghanistan ilichapishwhuko Marekani na kupigwa chapa nChuo Kikuu cha Nebraska. Tunajukuwa asasi zote hizi za kigaidi, iwni IS, Al Qaeda katika Maghreb yKiislamu, au Kundi la Wapiganaji wKiislamu la Libya, au Al Shabaab ySomalia au vikundi vingine ambavyvimesambaa Afrika Kusini ya jangwla Sahara, vikundi vyote hivi vyenyuhusiano na Al Qaeda kimsingi namana za kijasusi. Siyo mawakawa Marekani, lakini wanatumiwkudhibitiwa na kupewa fedha nMarekani na washirika wake. Ntuko katika hali ambako kitambkidogo Saudia na Qatar zilikuwzinatoa fedha kwa kundi la Dola yKiislamu walipokuwa wanapiganna serikali ya Bashar el Assad, na saswanaambiwa waende kupigana na

    Hivyo tuko katika hali ya kijingkabisa lakini ujinga wenyewhaufahamiki na kueleweka, ila wakahuo huo unakubalika kama ukweusiopindika. Ni kuwa kukubamalengo ya vita dhidi ya ugaidni kuwa unakwenda kuifuata AQaeda, huku unajua kuwa Al Qaedimeundwa na ujasusi wa Marekani

    Sasa kama tukiweka uelewa hu

    Inaendelea Uk. 1

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    11/16

    11AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201Makala

    Kuchakatua ni kutoa kitu katikahali moja, na kukipeleka katikahali nyingine kwa malengofulani. Kwa Kiingereza wanaita

    'processing' . Kwa mfano,ukichukua mahindi yaliyokokwenye gunzi ukayapukuchua,hiyo ni hatua ya kwanza katikakuyachakatua. Baada ya hatuahiyo, ukiyakaboa mahindihayo, hiyo ni hatua pili yakuyachakatua. Ukiyachukuahayo mahindi uliyokoboaukayaloweka kwenye majikwa muda, kisha ukayatoa nakuyaanika, hiyo ni hatua ya tatuya kuyachakatua. Ukiyachukuahayo mahindi uliyoanikana kuyasaga unga baada yakukauka, hiyo ni hatua ya nne yakuyachakatua. Ukichukua ungaulioupata ukasonga ugali auukapika uji, hiyo ni hatua ya tanoya kuyachakatua. Ukila ugali huokuna hatua nyingine kadhaa zauchakatuaji zitaendelea mwilinimwako; lakini mwisho wa yoteni kwamba itapatikana sukariaina ya GLUCOSE. Sukari hiiitafyonzwa mwilini kwa ajili yakufkishwa kwenye seli zako zamwili, ili kutengeneza nishati.

    Kwa kawaida malengo yauchakatuaji wa chakula nikukiongezea chakula hichomuda wa kukaa bila kuharibika,kuondosha vijidudu vya maradhi,kukipa sura inayopendeza zaidimachoni kwa ajili ya kuvutia

    biashara , au kukiongezealadha zaidi wakati wa kukila.

    Kwa bahati mbaya chakulakinachopitishwa katika mlolongowa hatua za uchakatuaji, huishiakuwa chakula kibaya kabisakiafya.

    Hebu tuendelee na mfano wetuhuu wa mahindi. Katika hatua yapili ya uchakatuaji wa mahindi,yaani hatua ya ukoboaji, viini lishemuhimu sana vinaondolewa. Hivini pamoja na viini vinavyoipambegu ya hindi UHAI UHAIambao unadhihirishwa na kuotakwake pale tunapoipanda. Viinihivi tunapaswa kuvila kwaniUHAI huo wa mbegu huwatunauhamishia kwenye miili yetu,na unatusaidia sana kuimarisha

    UHAI wetu.V i i n i l i s h e v i n g i n evinavyopotea katika hatua hii nimafuta. Kwa kawaida unga wadona (uliopatikana kwa kusagamahindi bila kuyakoboa) haunamuda mrefu wa matumizi kablaya kuharibika, ukilinganisha naule wa sembe (unga unaotokanana mahindi yaliyokobolewa).Sababu ni kuwa unga wa donauna mafuta na unapokutana nahewa ya oksijeni mafuta hayohuingiliana kikemia na hewa hiyokatika mchakato unaojulikanakama oxidation-yaani utiaji wakudumu wa gesi ya oksijeni

    Kuchakatua chakula ni hatari kwa afya yakoNa Juma Kilaghai

    kwenye kitu, hali inayoyafanya yabadilike na kuwa katika hali kamaya kuoza hivi. Mafuta haya yaliyobadilika yana ladha ya uchungu, nandio uchungu tunaouonja kwenye ugali wa dona uliopikwa kwa ungauliokaa sana.

    Mafuta yanayopotea kwa kuchakatua nafaka, yana umuhimu wakipekee katika kulinda afya zetu. Mafuta haya ni maligha muhimukatika kujenga utando wa nje wa seli za mwili, na kutokana na mapenziyake makubwa kwa gesi ya oksijeni, yanazisaidia seli za mwili kupatagesi ya oksijeni ya kutosha. Hatua hii ni muhimu mno katika kuifanyaseli ifanye kazi kwa weledi na kuepuka kutumbukia katika janga lakugeuka na kuwa seli isiyotumia oksijeni, ambayo kimsingi ni seli yasaratani!

    Aidha mafuta haya ni muhimu sana kama viyeyushio (solvent)muhimu vya baadhi ya vitamini muhimu kwa maisha ikiwa ni pamojana vitamini A, D, E na K. Hii ina maana kuwa kama lishe yako hainamafuta ya kutosha, utapata upungufu mkubwa wa vitamini hizi naafya yako itatetereka sana kwa sababu ya umuhimu wa hizo vitamini.Kutokana na umuhimu, mathalani wa vitamini D, Mungu amemuwekeakila mwanadamu mtambo wa kuitengeneza chini ya ngozi yake; na kitu

    pekee kinachohitajika ili kazi ya kuitengeneza ifanyike ni mwanga wakutosha wa jua! Kimsingi sababu kubwa ya wanaadamu kutofautianarangi za ngozi kutokana na maeneo wanayoishi ni hii.

    Huko kwa Wazungu jua ni la shida hivyo wamepewa ngozi nyeupeili mwanga kidogo wa jua unaopatikana uweze kupenya na kaziya kuzalisha vitamini D iweze kufanyika. Huku Afrika jua ni kalisana tumepewa ngozi nyeusi ili kusaidia kuchuja kiasi cha mwangakitakachopenya ndani ya ngozi kisije kuleta madhara. Kwa kawaidawatu Weusi wanaoishi nchi za Uzunguni hupata upungufu wa vitaminiD na wanalazimika kupata nyongeza kupitia kwenye chakula au kwanjia ya sindano/vidonge. Na kwa kawaida watu Weupe wanaoishiAfrika huunguzwa na jua (sun burned) na hulazimika kukanda ngozizao na mafuta maalum (sun screen) ya kuchuja kiasi cha mionzikinachoka kwenye ngozi zao. Ukiondoa ongezeko la hatari ya sarataniya ngozi linalowakabili, pia miali mikali ya jua inaweza kuharibu nakuua vitamini ya folate iliyoko pia chini ya ngozi na kuwasababishiaupungufu ambao unaweza kuathiri uzalishwaji wa chembechembe zadamu.

    Viini lishe muhimu vingine vinavyopotea kutokana na kuchakatua

    ni madini, nyuzi lishe (bers), na vimengenyo. Madini na vimengenyoni muhimu sana kama vichocheo muhimu vya michakato mbalimbaliya kikemia (chemical reactions) inayoendelea mwilini. Aidha, baadhiya madini hutoa ulinzi dhidi ya tindikali ambayo huzalishwa mwilinimuda wote kutokana na chakula, kitendo chenyewe cha kuwa hai,pamoja na shughuli tunazofanya. Kutokamilika au kutofanyika kwa

    baadhi ya michakato ya kikemia mwilini na kukosekana kwa ulinziwa kutosha dhidi ya tindikali kutokana na upungufu wa madini fulanifulani, ni moja ya sababu kuu za maradhi mengi ya kimfumo. Kupitiamfano wa hilo jedwali hapo chini hebu tafakari kiasi cha madinikinachopotea kwa kitendo tu cha kukoboa nafaka, na madhara yakekiafya.

    Madini Sembe Sukari Nyeupe Wali Mweupe MadharaChromium 98% 95% 92% KisukariZinc 78% 88% 54% UneneManganese 86% 89% 75% Ukhanithi

    Nyuzi lishe ni muhimsana katika kutusaidikujisikia shibe na hivykutupunguzia kiwango chwanga mtupu unaoingimwilini mwetu. Aidhnyuzi hizi pia husaidisana kupunguza kasi yufyonzwaji wa sukar(glucose) kutoka katikutumbo na kuiingizkatika mfumo wa damuHii ni moja ya sababu kuzinazomfanya mgonjw

    wa kisukari anufaiksana na vyakula ghafukilinganisha na vilvilivyochakatuliwa.

    Faida nyingine ya nyuzhizi ni kusaidia sankurahisisha mchakato wkutoa uchafu tumbonK w a n z a n y u z i h i zzinashikilia kiasi kikubwcha maji ambayo husaidisana kulainisha njia ya hajkupita. Pili husaidia sankuboresha na kuimarishmwondoko wa misuli yndani ya utumbo mkubw( b o w e l m o v e m e n t )u n a o s a b a b i s h a h a ji tembee kwa wepeskuelekea katika tundula kutokea nje. Kamuchafu (mabaki ya chakulkilichochakatuliwa nmwili na kuondolewvirutubisho) hautolewn j e y a m w i l i k a minavyotakiwa, basi tutarajiathari mbaya ikiwa npamoja na maradhi kadhwa kadhaa. (Itaendelea)

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    12/16

    12 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 20112 Makala

    Kutandawazisha vitaInatoka Uk. 10katika upana wa ushirikiwa Marekani katika vitatofauti tangu Vita Kuu yapili, kwanza tulikuwa nakipindi cha vita ya itikadi (au

    vita baridi, ya propaganda,uhasama) ambako kulikuwana vita kadhaa hasa vilevya Korea vilivyoanzamwaka 1950, halafu vita vyaVietnam, na pia kulikuwa namatukio kadhaa ya uingiliajikijeshi kwa mfano kuleIndonesia ambako serikalihuru iliondolewa, ile yaSukarno na kukia vitendovya kiharamia, mauaji yahalaiki na watu wengi wengiwasio na hatia.

    R e k o d i y a h a k i z abinada mu ya serika li yaMarekani tangu kumalizikakwa vita vikuu vya pili

    inadhihirishwa na mlolongowa vita, uingiliaji kijeshi,mapinduzi ya kijeshi, kupigamabomu ya kuteketezakila kilichopo wakati wavita Korea ya Kaskazini,ambako kiasi cha robo yawatu waliuawa, kwa mujibuwa watunza kumbnkumbuwa jeshi la Marekani.Jenerali Caris Lamer alisematumeua kiasi cha asilimiaishirini ya jumla ya watuKorea ya Kaskazini wakatiwa kupigwa 'mabomu yazulia' kama yalivyoitwa.Alikiri hivyo lakini baadhiya vianzio kuna hisia kuwaidadi ya waliokufa ilikuwa

    kubwa zaidi. Ilikuwa hivyopia nchini Indonesia, ambakokwa vianzio tofauti kiasi chaWakomunisti milioni mojana familia zao waliuawa.Vianzio rasmi vya serikali yaMarekani vilidai kuwa kiasicha watu laki mbili waliuawawakati huo na kama kawaidawanawalaumu waliouawakwa kile kilichowakia.

    Halafu kuna uingiliajiwa kijeshi ikiwa ni pamojana Cambodia na Vietnamam bav yo v i l iku wa n imedani ya vita. WakatiCambodia ikiwa imewekwachini ya upigaji mabomu

    mithili ya zulia, Vietnamilishambuliwa kwa kutumiasilaha za kemikali. Yote hii niutangulizi kwa vita vya sasa,mauaji yanayofanyika sasa.Na ni sehemu ya ajenda yakijeshi ambayo nia yake nikuunda udhibiti kisiasa wadunia nzima, ambayo katikadunia ya leo inashindana namataifa makubwa mawiliyenye nguvu kubwa zanuklia, yaani Shirikishola Russia na Jamhuri yaWatu wa China. Hivyo tukokatika makutano ya njiahatarishi kwani Marekani

    nayo imebadilisha mifumoya mabomu yake ya nuklia.

    M k a k a t i m p y a w amatumizi ya silaha zanuklia umeainishwa na

    kile kinachoitwa silahambinu za nuklia ambazoni mabomu madogo yanuklia yanayoonekanakuwa hayana madharamakubwa kwa wanaoishikaribu na eneo la kufanyiamajaribio, chini ya ardhi. Nakwa kubadilisha ujumlishajiwa mabomu ya nukliakuyaweka kama silahaya kusaidia watu ambakowameruhusu makamandakatika vita inayoendeleakutumia silaha za nukliakama mojawapo ya nyenzokatika kisanduku cha vifaa.Ni wakati ambapo vizuizivilivyokuwepo wakati wavita baridi sasa havipo.

    Halafu tuna mifumomingine kwa sababu tukokatika mandhari ya vitaisiyo ya nchi kwa nchi.Kuna matumizi ya silahaza madawa na viumbehaiambazo bila shaka ni sehemuya nyenzo zilizopo. Halafuna matumizi ya silaha zanguvu za uvutano zenyeuwezo wa kubadilisha haliya hewa. Katika msukunowa vita isiyo ya nchi kwanchi kuna hujuma nakuyumbisha mifumo yanchi. Siyo lazima kuivamianchi na vifaru na magari yaderaya; unaweza kuihujumu

    kwa njia nyingine, kamahujuma ya uchumi, fedha,kufungulia makundi yakigaidi kama ilivyo nchiniSyria na Libya halafu maeneoya ndege kutoruhusiwakuruka, n.k.

    Ambacho tunapaswatuelewe na dunia lazimaielewe ni kuwa sasa tukokatika zama za vita ya dunianzima. Ulimwengu mzimaumesukiwa mifumo yakijeshi chini ya mifumo yauendeshaji vita ya kikandana vita hii katika hali halisiya dhana hiyo, inahatarishadunia.

    N i k w a n j i a g a n itutabadilisha wimbi hili,

    hilo ndiyo swali muhimu.Ni kwa njia gani tutageuzawim bi h i l i , n i laz im akwanza kuvunja mifumo yapropaganda, ambayo hasa nivyombo vya habari vikubwa.Lazima tuanike uwongo.Hilo ni la msingi. Ndiyohitaji la kwanza ambalohata hivyo halihakikishikuwa tutaelekea katikaamani, ila kuhoji uhalaliwa wale wanaopendekezavita hivi, hasa rais waMarekani Barack Obama,Waziri Mkuu wa UingerezaDavid Cameron, na rais waUfaransa Francois Hollande.

    Watu wote hawa ni waongna hivyo lazima tufichuuwongo wanaosema.

    Hivyo, sio mwishowtuweze kusema "mheshimiwrais si unaweza kuach

    kuipiga mabomu Irak." Siykwa sababu kwa kufanyhivyo tunakubali uhalawake. Kwa maneno menginwatu hawa ni wahalifu wkivita na uhalali wao lazimuhojiwe.

    Waanzilishi wa vita hipamoja na vianzio vyakkiuchumi, taasisi kubwza fedha, mwingiliano wviwanda na jeshi, hasmakapunmi makubwa ykutengeneza silaha, yaya mifumo ya mawasilianya ko m p yu ta am bayyanahusika katika viwandvya madawa na kilimotekn o lo j ia ch a m begzilizoboreshwa vinasab

    H a w a n d i y o h a wwanaogawa madarakkwa kushiriki nyuma ypazia na lazima hatimaytuelewe mantiki hii. Na ptunahitaji kuhoji harakazilizopo za kupinga vitambazo kwa sehemu kubwzimetekwa na kuhusishwku dh am in iwa k i f edhna Rockefeller au ForFoundation na wengineWatasema 'tunapinga vitlakini tunaunga mkonkampeni dhidi ya ugaidhivyo tunaunga mkonoperesheni za kupambanna ugaidi, lakini tunapingvita.'

    Tunadhani Marekan

    inahitaji kuwa taifa la amakwani suala la msingi nkuwa operesheni dhidi yugaidi ni sehemu ya ajendhiyo ya kijeshi. Huwezku s em a m im i s ip en dkumfuata bin Laden au Doya Kiislamu halafu wakahuo huo useme napinga vitVita ya kimataifa dhidi yugaidi ni sehemu ya vianzvya kiitikadi vya mkakati wmifumo ya kivita kimataifNa ni wazi kuwa msingi wakni ulaghai, ikiwa inatokanna kile tunachoweza kuiuchimbaji wa kiitikadi kamilivyokuwa katika utawawa kimwinyi Hispania nUfaransa ambako waliokuwwanahoj i imani rasmwalikuwa wananyooshewkidole na kufuatwa.

    Tunazo chembe za hdhana kuwa 'hawa nwatu waovu, tunaufuatuovu huu' na kadhalikna tunatumia hii kamk i s i n g i z i o c h a k u umamilioni ya watu wasio nhatia. Na huu ndiyo uritwa kihistoria wa Marekan

    (Imetafsiriwa kwa Kiswahna Anil Kija kutoka makaThe Globalization of War- PrMichel Chossudovsky )

    Chai ya kujenga, kukarabatina kuimarisha mifumo yamwili (General Body Tonic)

    HUSAIDIA Kudhibiti maumivu

    ya viungo; Kudhibiti uchovu

    na kuondoa hali ya kujisikiahoma mara kwa mara; Kudhibiti mfuro wa

    seli (inammation); Kuimarisha kinga za

    mwili; Kusawazisha kiwango

    cha lehemu (cholestrol)mwilini kuwa cha kawaida;

    Kudhibiti kasi yakuzeeka;

    Kuboresha usagaji wachakula tumboni;

    Kuboresh a siha yamfumo wa damu na utendajiwa ini;

    HAIIBA TIMAMU TEA

    Kusasha ngozi na kuhifadhi mnyumbuko wake; Kupeleka virutubisho muhimu kwenye ngozi; Kuimarisha siha ya macho; Kuzuia kuongezeka kwa seli za saratani; Kuzuia seli za kawaida za mwili kubadilika na kuwa

    seli za saratani; Kuuchochea mwili wako kuangamiza seli za saratani

    kabla hazijasambaa mwilini; Kuzuia uundwaji wa mishipa ya ziada ya damu kwa

    ajili ya kukisha virutubisho vya ziada katika seli za mwilizenye saratani;

    Hupunguza shinikizo la damu; Kupunguza uwezekano wa kupata shambulizi la

    moyo (heart aack); Kupunguza uwezekano wa mishipa ya fahamu

    kupoteza utando wa nje unaokinga sehemu ya ndani na kwahivyo kuifanya ifanye kazi kwa ufanisi (multiple sclerosis);

    Kuongeza uzalishaji wa nyongo; Kuzuia uharibifu wa lehemu nyepesi mwilini

    kutokana na mwingiliano na oxygen; Kupunguza madhara ya kisukari cha ukubwani; Kupunguza dalili za ugonjwa wa kupoteza

    kumbukumbu (Alzheimers disease); Kuharakisha kupona kwa majeraha; Kupunguza madhara ya baridi ya yabisi; Kupunguza kasi ya ongezeko la virusi vya ukimwi; Kukinga dhidi ya uharibifu wa ini;

    Kukinga dhidi ya sumu na makovu kwenye mapafu; Kukinga dhidi ya ugonjwa wa ngozi kuchuja rangi,yaani, vitiligo; na

    Kusafisha kinywa dhidi ya bakteria wasiotumiaoksijeni (anaerobic bakteria)

    VILIVYOMO KWENYE DAWAHaaiba Timamu Tea ni mchanganyiko wa mimea kadhaa

    inayotumiwa kama chakula ambayo utati wa kina umebainikuwa na virutubisho vifuatavyo:

    1. Amino Acids (Vijenzi vya protini) Arginine; Histidine; Isoleucine; Leucine; Lysine; Methionine; Phenylalanine; Threonine; Tryptophan; na Valine.2. Vitamini na Madini Carotine (Vitamin A); Thiamin (Vitamin B1);

    Riboavin (Vitamin B2); Niacine (Vitamin B3); Vitamin C; Calcium; Copper; Iron;

    na Piperine4. Viua vijidudu Cinnamaldehyde.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1154

    13/16

    13 AN-NUU

    SAFAR 1436, IJUMAA DESEMBA 5-11, 201TANGAZO

    Bismillahir Rahmanir Rahiim

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

    WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA, MWAKA 20151: Kirinjiko Islamic Secondary School A: WASICHANA

    Na. JINA KAMILI1 LEILA JUMA PANGA2 HUSNA RASHID MKUBWA3 KHADIJA HAROUN MSANGI4 REHEMA BENEDICTO MASUKILA5 MGENI ADAM JUMA6 KINANZO MRIWA TSOKYO7 RAHMA HAMZA ALLY8 FADHILA OMARY UPETE9 HAMIDA MCHARO KIMATI10 HAMIDA ABBAS ABDALLAH11 SHARON ADAM LAVO12 KHADIJA ABDULLAH KULAVA13 MARYAM SALUM MCHOCHOMY14 ZANIA SHAFII AZIDIKHERI15 SALAMA MOHAMED KISSIWA16 SHUKURU YUSUPHU ILEMBO17 KHADIJA RAMADHANI OMAR18 KHADIJA RAMADHANI OMAR19 HAJRA RAMADHANI YUSUPH20 NAJMA NASSOR ABDALLAH21 ZUHURA RAMADHAN LAWOGA

    22 SOPHIA AMINI IDDY23 SWABRINA HAFIDHI MUSA24 FAZDA DAUDI MSANGI25 ZUHURA OMARI JUMA26 NASRA MOHAMMED HASSAN27 HALIMA ALIAMIN NGOMA28 LUBNA ABDILLAHI HAMAD29 SABRINA SALIM MRUMA30 YUSRA ABBAS RAMADHAN31 ASYA JUMA KHAMIS32 RAHIMA MAULID RAMADHANI33 MARYAM ABDUL-AZIZ MKINDI34 SAFINA DAUDI JUMA35 SHUFAA HAMISI MSANGI36 MAIMUNA SULEIYAM MWENDA37 FATMA ISSAH LUNYUNGU38 ASMA SADICK KENGWA39 RAHMA SAIDI MOHAMED40 RAYHANAH RAMADHANI HASSAN41 SOPHIA SEPHU KISILWA42 HAJRATH CHUMA KHALFANI43 MUNIRA SHEIN KIZEGA

    44 SAMIRA HUSSEIN SALUM45 HAWA MIRAJI HOSENI46 ZAINAB RAMADHANI MPOSO47 BATULI ASHRAF MSAGATI48 HADIJA HAMOUD MNANI49 HALIMA MOHAMED HAMISI50 THERESIA ELISAMIA MMANYI51 UMULKHAIR OMARY KILAVO52 WARDA SELEMANI BILALI53 NEMA MUSTAPHA SHEKIDELE54 FATUMA JUMA SIMKOKO55 NURU ALLY MTEGETA56 RAHMA HAMISI MPANDA57 AMINA HABIBU NASSORO58 HIJRA HASHIR KILEMILE59 KHADIJA YUSUPH MMBAGA60 SAFINA FARAJI MSANGI61 SALMA IDDY MFINANGA62 KHADIJA JUMA MBANGA63 UMMY HASSAN ALLY64 MARIAMU ALI SAIDI65 NEEMA NURDIN MMBAGA66 HINDU ALLY MIULA

    67 NAJMA YAKUOB KIRUNGI68 KHADIJA WAZIRI MWENGERE69 YUSRA MALIK GOGOLA70 REHEMA JAMES MPUNDUHI71 BALKIS HASSANALI MWASHA72 ASHA ABDUL SHAME73 NASRA SHAIBU NGATOLUWA74 AZIZA ABDULHAMIDU MSEMO75 ASHURA IDDY ABDALLAH76 HALIMA IDDI ALLY77 FATMA SEIF MSANGI78 BIADI YAHAYA OMARY79 FARJAT ALLY JUMA80 HIDAYA HATIBU MZULWA81 HADIJA YASSIN RAJABU82 SAFINA BUGUMBA KIJIGA83 ASHUAG ALLY RASHID84 NASRA OMARI MSANGI85 RAHMA IBRAHIM FURUFURU86 HALIMA SAIDI ALLY87 KHAYRAT IDDY ALLY

    88 ASHA HALFANI DAUDI

    89 RUKIA JUMA RAMADHANI90 HAZINA ABEID SHEIZA91 SHARIFA HERRY MDEE92 FADHILA ADINANI LEMA93 JULKEY MAHENABDALLAH94 JULKEY MAHSEN ABDALLAH95 RABIA ATHUMAN96 SABRINA MOHAMED MUYA97 SHADYA SHETUM DOKODOKO98 MARIAM SALIM MNARA99 RAYA SALUM ABUBAKAR MSANGI100 SHEMSA RASHID HAMAD101 MARYAM JUMA ATHUMANI102 HIDAYA OMARY MOHHAMED103 RAUZA ABUBAKARY KIMARO104 KHADIJA ZARIBU BAKARI105 MUSARAT MOHAMED SALEH106 SWABRA YAHYA MADENGE107 SABRINA TINDWA MTOPA108 ZAINA HASSAN RASHID109 MUNKAT JOSEPH KADEGE110 AZIZA SHABANI SAIDI111 FATUMA OMARI ALLY112 MWANAIZA JUMA SHABANI113 UMMY HILALI KHAMA114 AISHA SAIDI IDDY115 SAMIRA HASSAN MWALUGULU116 MARYAM RAMADHANI UGAMA117 LATIFA SAID MTANDA118 AMINA OMARY NGAGA119 NASRA IMANI PANTESA120 AISHA HARUNI MBALAMO121 MARIAMU SELEMANI WAZIRI122 AISHA HAMZA RUZEGEA123 SOFIA RASHIDI SEFU124 NASMA RASHID MSUYA125 AISHA YUSUPH HASSAN126 MWANAIDI YAMUNGU SHABANI127 RAHMA OMARY AMANZI128 KAWTHAR SHAFII NAMAHALA129 HAJRA ADINANI TABIMO130 KHADIJA BAKARY HAMAD131 AISHA HAMISI LANGA132 LUTFIYA OMARY ALGHALAWI133 SALMA MACHANO MUSSA

    134 TAUSI MUHARAM SAKULO135 HUSNATH NASSOR RAMADHAN136 NASRA JUMA MNAPE137 MUNAA MURATA KILAHAMA138 AMINA TARIQ BARAJAH139 CHAUSIKU IBRAHIMU ATHUMANI140 MARIAMU AMINI MRISHA141 ZUHURA OMARY MHINA142 MWAJABU ALLY KUZILO143 RAFIKIEL KIONDO KARATA144 YUSRA TUANI EMILY145 PILLY HASSANI MADUNDA146 FAIDHA MOHAMED SHABANI147 BATULI SHEHE KHOJA148 FATUMA ATHUMAN ALLY149 AMINA ABDUL MKOBA150 SALAFAT SHABAN KIBWANA151 AISHA ALLY HUSSEIN152 ASIA HAMIDU HAMISI153 HADIJA SALIM MNGOJA154 SHAMSA KIONDO MAHANYU155 RAMLA RAMADHANI RASHIDY

    156 AMINA MHINA157 FADHILA OMARI WAZIRI158 SAIMA RASHID SALEHE159 HAMISA SWALEHE RASHIDI160 AMINA SWALEHE RASHIDI

    B: WAVULANA1 SALIM HUSSEIN JUMBE2 SELEMANI MOHAMMED ATHUMANI3 SALIM NURU SALIM4 SAMIR KARIM MOHAMED5 KIVAKU MRIWA TSOKYO6 ALLY MALIKI MASAMBAJI7 ABDULFATAH MBARAKA HAMAD8 RAMADHAN RAMADHAN KIONE9 SALUM OMAR PWACHA10 IDRISA MASUDI IDDI11 UMBILA MOSSES MSUYA12 KOMBO HAMIS KAYAMBA13 SELEMAN MWICHANDE ABDALLAH14 KHALFAN AMAN BURA

    15 YUSUPH LUKONGA SALULA16 AMOUR IS-HAQ SAID17 NASSOR OMAR NASSOR

    18 ISMAIL IBADA SWALEHE19 WAZIRI ALLY ADINANI20 NURDINI BAKARI KISUMA21 SULEYMAN SALIM MSELLEM22 SADICK YAHYA ISSA23 KHALIFA FADHILI BASHIRU24 ANWARY ABDUL-AZIZ MTALY25 IBRAHIMU KAPWILE MMBAGA26 HUSSEIN HASSAN KIZUNGU27 MUSSA MAULID OMARI28 ABDULRAHMANI MBWANA29 NABIL RAMADHANI ALLY30 MATOLA ALLY LULUTE31 YAHYA ALI SAIDI32 ALATUDIN YAHYA ISSA33 MUHSIN SALUM ABDI34 ANWAR JUMA MWASE35 BEST BONIPHACE BILISHANGA36 AKRAM HAMAD MOHAMED37 KALUME JUMA ULEDI38 ISSA SULEIMAN ISSA39 SHAMSI MOHAMMED MTORO40 AHMED HAJI USI41 IDRISA MBAROUK SAID42 SELEMANI ATHUMAN OMARY43 YUSUPH ALLY SAID44 HAMZA NURU SUYA45 MUHAMMEDI ISSA MSESE46 SALIMU ABDILLAH MKOCHI47 AMIRI MUSTAFA RAMADHANI48 HUSSEIN TWALIB RAMADHAN49 ABDULMAJID ABDILLAH