annuur 1160a.pdf

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 02-Jun-2018

583 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na.1160 RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA ,JANUARI 16-22, 2015BEI TShs500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Waliosema "Allahu Akbar" wa chuliwaWafaransa wasitafute mchawi

    Watizame ya Canada, Sheikh Abu HamzaWasikilize vizuri uchambuzi wa France24

    ZANZIBAR ni tatizo.Zanzibar kuna matatizo.Na hapana shaka, penyet a t i z o p a n a t a k i w asuluhisho.

    Lakini swali kubwa ni je,tatizo ni nini? Tatizo letuni lipi?

    W a z i r i M k u uMizengo Pinda kuelekeak u k u s a n y w a k w amaoni ya Katiba Mpya

    Waislam wak ya Mahakam

    Siri zaanza kuvujSuluhisho la kwa tatizo la

    Uislamu, Uarabu ndio tatizo lalisema suluhisho nikuwa na Serikali Mojatu, ambayo itazima hivivijinenoneno.

    Waziri William Lukuviyeye alisema Zanzibarikiachiwa peke yake italetaWaarabu na utawala waKiislamu.

    Je, Uislamu na Uarabundio tatizo la Zanzibar?(Uk. 7)

    Na Bakari Mwakangwale

    JUMUIYA na Taasisi zaKiislamu (T) zimepingamarekebisho ya sheriakatika tamko la sheria yaKiislamu katika Muswadaw a m a r e k e b i s h o y as h e r i a m p a k a p a l eutakapo andaliwa upyakwa kuwashi r ik i sha

    wanazuoni wa Kiislamu.M s i m a m o h u o

    umekuja kufuatia kikaok i l i c h o w a k u t a n i s h awajumbe wa Jumuiyambalimbali za Kiislamuna kuujadili muswadau n a o t a z a m i w akuwasilishwa Bungeni hivikaribuni na kuanishwa

    juu ya must akab al i waMahakama ya Kadhi.

    Akiongea mbele yawaandishi wa habari juuya msimamo wa Jumuiyahizo za Kiislamu, KatikaMsikiti wa Mtambani,Kinondoni Jijini Dar essalaam, Ijumaa ya wikiiliyopita, Kaimu KatibuMkuu wa Jumuiya hizo,

    Inaendelea Uk. 3

    Picha juu baadhi yaaskar i wa Ufaransawaliotawanywa katika jijila Paris baada ya shambuliola kigaidi. Chini sehemu yamamilioni ya Wafaransawalioandamana Jumapilii l i y o p i t a b a a d a y ashambulio la Charl ie Hebdo.

    Toleo Maalum

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    2/16

    2 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARAN-NUUR

    S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.

    www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

    Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri

    AWALI ya yote tungependakutoa pole na kusajilirambirambi zetu kwawananchi wa Ufaransana wote walioondokewana wapenz i wao aukuathirika kwa namnam o j a a u n y i n g i n ekatika lile shambuliola kigaidi la Paris. Pili,tuungane na wapendahaki wote duniani kulanimauwaji hayo ya kikatili,yas iyokuba l ika kwanamna yoyote katikaulimwengu wa kistaarabu.

    Tatu, tuseme kuwatumelipa uzito suala hilikiasi cha kufanya toleole tu h i l i kuwa to leomaalum kwa ajili yake.Hivyo tunawataka radhiwasomaji wetu kwambahabari na makala nyingizitakuwa juu ya shambuliola kigaidi la Charlie Hebdo,Paris.

    Tumefanya hivi kwasababu tano. Kwanza,kama tul ivyotanguliakusema, ni tukio la kikatililinalostahiki kukemewa

    na kila mmoja wetu kwanguvu zote. Pili, ni tukiopekee lililowaunganisha(tunaambiwa) viongozi 40kutoka nchi mbalimbalikatika maandamano yakulani na kuonyesham s h i k a m a n o k a t i k akupambana na ugaidi nakutetea uhuru wa mawazo.Uhuru wa mawazo kwasababu inadaiwa kuwawaliofanya shambulio hilowalikuwa wakilipiza kisasikwa kutukaniwa mtumewao. Tatu, ni tukio ambalolitakuwa na athari kubwakwa Waislamu. Hii nikutokana na propagandailiyoandamana na tukiohilo ambapo inajengwadhana kuwa Waislamu naUislamu ni tatizo la dunialinalohitaji nguvu za kijeshikukabiliana nalo. Nne,ni tukio ambalo limezidikujenga chuki baina yaWaislamu na Wakristo waUfaransa na hata kuvukamipaka ya nchi hiyo. Tano,maadhali imedaiwa kuwakinachotetewa ni uhuru wamawazo, na sisi tunadhanikuwa tutumie uhuru huohuo wa mawazo, kuhojina kufafanua baadhi ya

    mambo.Hivi tunavyoandika

    maoni haya, meli ya kivitaya Ufaransa Charles deGaulle aircraft carrier, iponjiani kuelekea Iraq/Syriakukabiliana na kilichoitwakitisho cha maghaidi waKiislamu wa IS.

    Rais wa nchi h iyoF r a n c o i s H o l l a n d eakiongea ndani ya melihiyo Jumatano juzi alisemakuwa tukio la Islamicextremists walioshambuliaCharlie Hebdo, ni sababutosha ya kupeleka melihiyo ya kivita Iraq. Charlesde Gaulle ina uwezo wakubeba ndege za kivita 25zikiwemo Super Etendardstrike fighter jets, RafaleM multirole fighter jets,Aster missiles pamojana mitambo ya silaha zanyukilia.

    Hapo Jumanne bungela Ufaransa lilipiga kurak u p i t i s h a a z i m i o l akuongeza muda wa jeshila Ufaransa kubaki Iraq.Kabla ya kura kupigwa

    Waziri Mkuu Manuel Vallsaliwaambia wabunge kuwaUfaransa ipo katika vitana magaidi, wanajihadi naWaislamu siasa kali.

    Lakini Ufaransa ikifanyahivyo, tunaambiwa kuwakule Marekani Rais Obamaataliomba Bunge la nchihiyo kutoa idhini jeshi lanchi hiyo kuingia Iraq/Syria. ("Boots On TheGround"? Obama To SeekAuthorization For MilitaryForce Against ISIS-By TylerDurden.)

    Katika mfuatano huuwa matukio, yapo mamboya kuhoji . Inaelezwakuwa mashambulizi yaParis yamefanywa naWaislamu kama kisasikwa waliochora kibonzocha kumtukana Mtume,swali ni je, Waislamuwamenufaika nini nakisasi hicho? La wazi nihicho kinachofanywa naUfaransa, kuunganishan g u v u n a M a r e k a n ikuelekea Iraq. Swali ni je,haraka hii na mfuatanohuu wa Charles de Gaullena "Boots On The Ground",ni wa bahati nasibu tu? Je,ni matukio yasiyowiana

    a m b a y o h a y a k u w ayamepangwa awali?

    Hiv i kar ibuni Raiswa Ufaransa alitoa witok u w a v i k w a z o v y akiuchumi dhidi ya Urusivikomeshwe. Waandishina wachambuzi wengi wasiasa za Ufaransa walisemakuwa huu ulikuwa mfanowa kuigwa kwa nchi za

    Ulaya ambao ulionyeshauhuru wa Ufaransa katikasiasa zake za nje. Hata hivyosasa wanasema kuwa kwatukio hili la Charlie Hebdo,na haraka iliyochukuliwaUfaransa kwenda Iraq,inaonekana kubeba agendaya Marekani zaidi kulikomasilahi ya Wafaransa.Ndio hapo mwandishiPaul Craig Roberts katikamakala yake, The CharlieHebdo Story Simply DoesntWash , anaul iza , h i iHabari ya Charlie Hebdo,haiwezi kuwa ni mfanowa zile Operation Gladio,zilizokuwa z ikifanyikaItalia huku wananchi nahata viongozi wengi waserikali, Rome, wakiwahawajui kinachoendelea?

    Jumat ano wi ki h i i ,vyombo vya habari vyaUfaransa vi l ionyesham i s u r u r u y a w a t uw a k i p a n g a f o l e n ikununua gazeti la CharlieHebdo ambalo lilikuwalimechapisha kibonzokilichodaiwa kuwa nicha Mtume Muhammad.Wachapishaji wa gazeti hilowalisema kuwa walirudiakuweka kibonzo hicho kwasababu lau wangeacha,

    wangekuwa wamewapaushindi magaidi wasiotakauhuru wa mawazo.

    I w e n i u h u r u w amawazo au hoja yoyoteile itakayotolewa, jambola wazi ni kuwa kibonzohicho k imekusudiwakuwatukana na kuwakejeliWaislamu na dini yao.

    Labda tuulize, raiaM f a r a n s a M k r i s t o ,ananufaika nini kutokanana kashfa ya kibonzohicho? Ufaransa kamanchi na kama kuna kitukinaitwa utamaduni waUfaransa, unapungukiwa

    nini kusipochapishwavibonzo vya kutukanaWaislamu?

    Tujaaliye kuwa dini rasmiya Ufaransa (hata kamasio kwa katiba na sheria),ni Ukristo, kuchapishwakwa kibonzo kama hicho,kinaunufaisha vipi Ukristona unapungukiwa niniwasipotukanwa Waislamu?Hivi uhai wa Ukristo nautamaduni wa Ufaransaunategemea kutukanwaUislamu?

    Kibonzo kama cha Jumatano kati ka gaze til a C h a r l i e H e b d o ,

    kinakusudiwa kutukanana kuwakashifu Waislamu.Na hii itajenga chuki bainaya Waislamu na Wakristo.

    Jami i ya Ufa ransa naserikal i ya Ufaransa,inanufaika vipi na chukihii inayojengeka baina yaWaislamu na Wakristo?

    C h u k i h i i y a w e z akuzaa machafuko. Japo

    i n a c h u k u l i w a k u w aWaislamu ni wachacheUfaransa, lakini inapokuwani machafuko na mapiganoya wananchi mitaani, bainaya Waislamu na Wakristo,

    bi la sh ak a at ha ri yakeitakuwa mbaya. Na hiihapana shaka itavukamipaka na kuingia katikanchi nyingine za Ulaya. HiviUfaransa itanufaika vipilau chuki hii inayojengwaitafikia mahali pa kuzaamachafuko mitaani yakiwango hicho?

    Kwa juu juu yawezakuonekana kuwa harakatihizi ni za kuwabamizaWaislamu, lakini kamanchi , hatuoni namnaUfaransa itakavyosalimikaikifikia machafuko yaw a n a n c h i k u u w a n amitaani, yakavuka namipaka kuikumba Ulayanzima.

    Kufuatia shambulio laParis, Rais wa Ufaransaamenukuliwa akisemakuwa Ufaransa haiwezikuwa Ufaransa kamaWayahudi wanaoishikatika nchi hiyo watahamawakihofia kitisho chamagaidi. Hatuoni pia nivipi Ufaransa na Ulaya

    itabaki kuwa Ulaya iwapo bar a hi lo l it aka bil iwana machafuko baina yaWaislamu na Wakristo.

    Uislamu unawahimizaW a i s l a m u k u w awas iwatukanie watuwengine miungu yao. Hii niamri kutoka katika Quran.Kwa hiyo, hatutarajii kuwakuna Muislamu atachorakatuni kutukana kiongoziau mungu wa dini yoyote.

    Uislamu unafundishak u w a w a t u w o t ewameumbwa na Munguna kufanywa makabilana mataifa mbalimbali ili

    wajuane, sio kubaguana nakuchukiana.Mara kadhaa Mzee wetu,

    Rais wetu Mstaafu AlliHassan Mwinyi, aliwahikuwakemea Waislamua k i w a a m b i a k u w awasikashifu na kutukanadini za watu wengine.Lakini hata sasa Masheikhwetu Haamid Jongo naAlhad Mussa, na wengine,wamekuwa wakitoa kaulihizi.

    Nasaha hizo ni sahihikabisa, lakini si sawak u z i t o a k u w a l e n g aWaislamu katika muktadha

    wa sasa Tanzania katika hikikinachodaiwa na wanasiasakuwa kuna kashfa nachuki za kidini , kwasababu hakuna ushahidiu n a o w e z a k u t o l e w akuwa kuna Waislamuwanatukana, kukashifuau kushambulia Wakristo.Kama ilivyo hili suala laugaidi, kunapandikizwamaneno kuwa Waislamuwanatukana na kukashifuau kubagua Wakristo.

    Tunaambiwa kuwaPope Francis, ametoawito akiwataka Masheikhkufanya kazi ya kusa shau c h a f u u l i o i n g i z w akatika Uislamu kufuatiashambulio la Paris. Popeanasema hayo kulinganana kauli za baadhi yaMasheikh na Mamuftikuwa walioshambuliaParis ni Waislamu waliona imani potofu juu yadini. Jaaliya hata kamavijana wale waliouwawandio waliofanya shambuliolile. Hivi akitokea mtu nimchawi na anasema kuwani Muislamu, utasemakuwa kajifunza uchawiule katika Uislamu?

    Wapo watu hivi sasawanatuhumiwa kwa kashfaza Escrow, Rada, EPA namambo kama hayo. Hiviitakuwa sahihi kunasibishakashfa zao na Ukristowao?

    Katika vita ya Iraq, baadhi ya wachungaji, hasawa makanisa ya kilokole,waliunga mkono uvamiziwa Marekani wakidaikuwa ni agizo kutokakatika Biblia. Kutokanamafundisho ya Quran,Muislamu hawezi kutungauwongo kama ule wa Bushna kwenda kuvamia nchina kuuwa mamilioni yawatu wasio na hatia iliapate kupora mafuta yao.

    Wakati ulimwengu usiokuwa wa Kiislamu ukizamakatika chuki, uwongo namauwaji kwa maslahi yakisiasa na kiuchumi, niwakati kwa Waislamukus imama kuchukuanafasi yao kuwanusuruwalimwengu.

    Huu si wakati kwaWa i s l a m u k u k u b a l ikusukumizwa ukutani nakuanza kujitetea kuwawao si magaidi. Huu niwakati wa kushika Quranna mafundisho ya Mtumena kuangalia njia borakabisa ya kuwaendeawalimwengu kuwarejeshakatika ubinadamu.

    Alijisemea MwalimuNyerere kuwa ubeparin i unyama. Unyamandio unatawala hivi sasa.Hakuna wa kurejeshaubinadamu ila ni Waislamu.

    L a k i n i Wa i s l a m uhawataweza kufanya kazihii kama wataendeleakuwa watu wa kujihamikila wakati ili wapendezekwa watu wasio kuwa naMwongozo.

    Salamu kwa WafaransaNasaha kwa Waislamu

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    3/16

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    4/16

    4 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakala

    KATIKA mahojiano naShirika la Utangazaji laUingereza (BBC) kufuatiamauaji makubwa katikaofsi za jarida la mizaha laCharlie Hebdo jijini Paris,Ufaransa, mwandishi wa

    jarida la Jewish Chronicle ,D a v i d A a r o n o v i t c haliwashauri wale wasiotakau h u r u w a k u j i e l e z akuhamia Pakistan. Siyoj amb o l a kushangaz akuona Myahudi wa siasa zaKizayuni akitetea usafshajijamii wa kujitolea; kwani,uondoaji wa watu kutokamakazi yao si mojawapok a t i y a y a l e a m b a y oWayahudi wanapenda sanakufanya? Ukipima kwa kilealichokisema Aaronovitch,kuunga mkono uhuru wakujiamulia kimsingi, ninafuraha kutangaza kuwambiu ya uhuru wa kujielezani tokeo mojawapo la haraka

    na muhimu la matukio yakusikitisha jijini Paris.Lakini sijaridhika kuwa

    wale wanaopinga matukiohayo na kujiita Charliewanate tea kwa ukwel iuhuru wa kujieleza kwakila mmoja. Je, wanakubalikuruhusu wahubiri waKiislamu wanaouchunguzauhuru huo? Na vipi kuhusuDieudonne anayepinga diniya (uwepo wa) Mauaji yaHalaiki ya Wayahudi? Nakama Israel inajitambulishakama taifa la Kiyahudi,tunaweza, bila kipingamizi,k u u w e k a U y a h u d ikatika uchunguzi? HiviAaronovitch, ambaye ni mtuwa siasa kali wa Kizayuni namuunga mkono wa mstari wambele wa vita ya Irak, yukoradhi kukubali kuwa Mauajiya Halaiki ya Wayahudi niukurasa katika historia, nasiyo dini? Hiyo ingekuwana badiliko la kimapinduzikwa sababu Aaronovitchamekwenda mbali sanakunyamazisha mjadalawowote wa ubadilishaji wahistoria, Uyahudi au kundilenye nguvu la utetezi waIsrael.

    Uhuru wa kujieleza nanchi za Magharibi: Swali lakwanza ni kama uhuru wakujieleza ni tunu isiyopingikaya nchi za Maghar ib i . J i bu , kwa uhak ika , n indiyo. Uhuru wa kujielezaumesimikwa katika fikraya Uyunani ya kale. Dhanahiyo ilidhihirishwa wazi namzungumzaji mahiri katikakadamnasi wa enzi hizo,Demosthenes, akisema kuwakatika mji wa Athens mtuyuko huru kuisifu katiba yaSparta, wakati mjini Spartani katiba ya Sparta pekeeambayo mtu anaruhusiwakuisifu. Tofauti na Athensambayo inasimama katikamtawanyiko wa mawazo,maadili na juhudi isiyoisha yakutafuta ukweli, Yerusalemuinawakilisha kukandamizwakwa uhuru na kupuuzwa

    Kutemea mate Manabii wsiyo tunu mojawapo ya

    Januari 12, 2015

    Na Gilad A mon

    kwa kra ya maadili na yakila mmoja. Yerusalemuinaongozwa na amri nasheria. Kilicho cha kisheriakinapangua mfumo wamaadili kwa kuweka mipakakatika kuzungumza.

    Kuanga l i a kwa n j i ahiyo kunaweza kutusaidiakuelewa nafasi ya usahihikisiasa ndani ya dhanapana ya uhuru wa kujieleza:kama uhuru ul iza l iwaAthens, ukandamizaji wausahihi umeingizwa kutokaYerusalemu na ndiyo, kwambali, adui mkuwa waAthens, wa uhuru na wanchi za Magharibi. Usahihikisiasa unatakiwa kuelewekakama mwelekeo wa kisiasaambao hauruhusu upinzani

    wa kisiasa. Cha kushangazani kuwa maelezo hayo hayoyanaweza kutumika kuelezeauimla. Hata hivyo, katikahali halisi, usahihi kisiasani kandamizaji zaidi kulikouimla. Wakati uimla nikuondoa nafasi ya mtawaliwan a m a m l a k a , u s a h i h ikisiasa inasukumwa nakujikandamiza mwenyewe.N i n y e n z o h a b i t h iinayoangusha mamlaka.Inakufundisha kufikirikabla ya kuongea, na siyotu kuongea unalo kiri.

    Kama uhuru wa kujielezani tunu ya kitamaduni yaAthens, basi usahihi ndiyo

    mlinzi; ni njia ya kujaribisha tuya kueka mipaka ya uadilifu,maadili na wanachofanyawatu kwa jumla.

    K u t e m e a m i s a l a b a ,kutemea makanisa na kutemekwa jumla: Charlie Hebdo,kama tunavyofahamishwa,lilikuwa si jarida linalosimamakatika uhuru wa kuongea.Lilikuwa ni jarida la siasakali lenye mapenzi kwaUyahudi na kuunga mkonovita vya Uzayuni, na lilikuwalimejikita katika msimamowa kuwatenga watu wa jamii za wachache, na hasaWaislamu, wakati huo huoikinyamazisha upinzani kwanguvu ya Uyahudi na mashineya vita ya Marekani. CharlieHebdo ilijipatia jukumu lauambata wa kitamaduni waIsrael jijini Paris. Angalaukiitikadi, ilikuwa ni mlinziwa Uyahudi nchini Ufaransa.Lakini tofauti na jarida pachala aina hiyo nchini Uingereza,la Paris lilikuwa halina ladhana la siasa kali, kiasi chakujitakia kifo.

    Wanao iunga mkonoCharlie kama Aaronovitchwanaweza kushikilia kwausahihi kabisa kuwa kamauhuru ni tunu ya nchi zaMagharibi, basi kutemea matemitume wa watu wengine piaichukuliwe kuwa ni mchezowa ki-Magharibi. Kwa haliyoyote, uhuru wa kuongeani kuweza kusema chochotekinachokuja akilini.

    Aaronivitch na kina Charlie

    wamekosea katika chembehii. Wakati kuvumilianana kumpenda jirani yakozinajumuishwa katika tunuza Ukristo wa Magharibi,kutemea msalaba, kutemeamakanisa na kutema kwa jumla, siyo maadili halisi yaki-Magharibi. Vinatokana,kwa mara nyingine, naYerusalemu.

    Mwaka 2009, gazeti la Je rusa le m Post li li el ezeak u h u s u m w e l e k e ou n a o o n g e z e k a k w aWayahudi wa siasa kalikutemea majirani zao waKikristo (Tazama: MidomoIliyojaa Chuki, na LarryDerfner, JP, Novemba 26,2009). Israel Shahak piaalizungumzia chuki ya

    Wayahudi kwa Ukristona alama zake, akisemakupuuzia alama za Ukristoni wajibu mmojawapo katikaUyahudi. Kwa mujibuwa Shahak . ku t emeamate msalaba, na hasa ileinayovaliwa shingoni, nakutema mate pale Myahudianapopita nje ya kanisa,imekuwa jambo la lazimakuanzia miaka 200 wakatiwa Kristo kwa Wayahudiwaumini wa dhati.

    Inafurahisha kuona kuwakutema mate kwa Wayahudikumekuwa na athari katikakukua kwa miji barani Ulaya.Haya yanaweza kusomwakatika Kiongozi wa Safarikuona Ulaya ya Kiyahudi.

    Katika daraja la Charles j i j i n i P r a g u e , ms a f i r iataona mkufu mkubwa wamsalaba unaozungukwana maandishi ya jadi yaKiyahudi (kukanusha dhanahiyo), Kadosh KadoshKadosh Adonai Tzyaot,yaani Mtakatifu, Mtakatifu,Mtakatifu ni Bwana waMajeshi . Kwa muj ibuwa wachambuzi tofauti,kipande hiki, ambachokinawadhalilisha Wayahudi,kiliwekwa mwaka 1609 naMyahudi aliyeshitakiwa kwakuchafua msalaba. Jamiiya Kiyahudi ililazimishwakulipa kuandikwa kwamaneno hayo ya Kiyahudikwa herufi za dhahabu.Maelezo mengine ni kuwaMyahudi alitema (mbeleya) msalaba na kwa sababuh i y o a l i k u w a a u a w ekama adhabu. Mtu huyoalipoomba huruma, mfalme,akitaka kuwa na uhusianomzuri na Wayahudi, alisema ja mi i ya Ki yahudi ha in a budi kurekebisha kosa hilo.(Ongalia: Kiongozi wa Safariya Ulaya ya Kiyahudi, uk.497)

    Kwa uhakika, kutemamate siyo tatizo lenyewehapa. Kutema ni ishara tuya hulka ya kupuuza kwaundani kile kilicho kingine.Kwa bahati mbaya, hilolinaweza pia kusemwa kwa ja ri da la Char li e Hebd o.Uk ianga l i a j a r i da h i l okwa haraka, unaona jinsilinavyopuuza na kubeza

    kuwa mwingine, jamii zawachache na Waislamu zaidi.Charlie Hebdo ni kielelezocha u-Yerusalemishaji waul ibera l i wa Ufaransa ,n a i t i k a d i k e r e k e t w amamboleo.

    L i c h a y a k u w akilichozungumzwa mara baada ya mauaji hayo jijiniParis ilikuwa ni dhamiraya wahariri duniani kotekuchapisha tena vikatunivya jarida hilo, ilichukuachini ya saa 36 kwa wahahiriwa nchi za Maghar ib ikubadilisha mawazo yao;kwa hakika takriban wotewaliacha kuchapisha taka hiiya Uzayuni. Wakati baadhiya tahariri zilisema kuwakuzichapisha kungewawekawafanyakazi wao hatarini,inaelekea kuwa hakunaaliyeona kuwa katuni zaHebdo zilikuwa zinafaakuchap i shwa . Na h i l ondilo jibu la Athens kwaYerusalemu. Ni uamuziwetu wa kimaadili ambaounatuzuia kutemea watuwengine na mitume wao. Niuamuzi wa kimaadili ambaounawezesha kuvumiliana

    katika nchi za Magharibitofauti na usahihi wa kisiasaambao unaweka hisia potofuya kuvumiliana kumbe inauauwezo wa kuvumilia.

    Joe Sacco, mu- Athene waGuardian: Mchora katuni JoeSacco wa gazeti laGuardiananaelezea hali hii ya kuamkakimaadi l i kwa undani .Tofauti na u-Yerusalemuwa Aaronovitch, mu-AtheneSacco anamaliza kikatunichake cha baada ya mauaji yaCharlie Hebdo kwa kuombasana uondoaji wa tofauti.Tujaribu kukaa sawa katikaulimwengu wa kila mmojawetu, Sacco anapendekeza.

    Mauaji ya Charlie Hebdoni tahadhari ya kufadhaisha

    kwa sisi sote, Kuchagua katiya Athens na Yerusalemukumechelewa sana. Chaguoni kati ya uwazi mpana waSacco na upweke wa kikabilawa Charlie David HebdoAaronovitch.

    Badala ya kutuhubiriakuhusu tunu za Magharibina uhuru, ni wakati muafakakwa kina Aaronovi tchna kina Charlie kuelewamaana ya kweli ya tunu yamaadili ya Magharibi namisingi yake ya kitamaduni.Uvumilivu wa Kikristounaotokana na uwingi wamiungu Athens ndiyo kiinicha fikra ya ki-Magharibi.Tunu za ki-Magharibi nikupenda kinachopendeza,mji, jamii, maadili, uelewano;ni kukataa ukereketwa naUyahudi-jicho unaloonapande mbili, za Uyahudina nyinginezo. Badala yakutemea mitume wa wengine,inabidi tujifunze kuheshimumiungu ya watu wengine,hata yule wa Wayahudi, nakutazamia kuwa wenginenao watafanya hivyo.

    (Makala hii, SpittingOn Other Peoples ProphetsIs Not A Western Value,imeandikwa na Gi ladAtzmon-January 12, 2015na kufasiriwa Kiswahili naAnil Kija)

    BAADHI ya askari wa Ufaransa waliotawanywakatika jiji la Paris baada ya shambulio la kigaidilililotokea Jumapili iliyopita.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    5/16

    5 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakala

    MAMBO hayako kila sikukama yanavyoonekana.Pa le matuk io kamah a y a y a k i i b u k a ,usichukulie chochotek a m a u n a v y o k i o n ausoni. Usiwe mwepesikuamini. Ujenge shaka.U d a n g a n y i f u m a r anyingi huchukua nafasiya uhalisia. Tutaongeazaidi kuhusu hilo hapachini.

    Ju ma ta no i l iy op it a,watu watatu wenye silahanzito na kuvaa kininjawalishambulia gazetila kila wiki la vikatunina habari za mzaha aukashfa, Charlie Hebdo.Linafahamika kwa kutupiamadongo Uislamu, dininyinginezo na wanasiasa.Tukio hilo lilitokea mchanakweupe . L ikaua 12 .Likajeruhi nane wengine.Taarifa za mitandaohazikushangaza. Vichwavya habari vilipaza sauti"ugaidi."

    BBC il i fanya kamailivyotazamiwa. "Ugaidiusiopimika," ilisema."Ufaransa ha i jawahikuona ugaidi kama huu."Wahariri wa gazeti la NewYork Times walisema ni"mauaji yaliyosababishwan a c h u k i . " Wa k a i t akilichotokea "ugaidi."

    Wahariri wa gazetila Washington Pos tw a l i s e m a " C h a r l i eH e b d o l i n a s i m a m i auhuru wa kujieleza. Nchiza Magharibi zisifanyepungufu ya hapo."

    Wahar i r i wa Wal lStreet Journal waliandikak i c h w a c h a h a b a r i ""Ugaidi wa Kiislamu

    ji jini Par is ," wak is ema"mauaji ya Jumatano ....ni kikumbushio kuwaujahidina siyo tatizola nchi za mbali, hukoMashariki ya Kati."

    "Kutakuwa na majaribiomengi kama hayo ya kuuawatu wengi, na watawalanchini Marekani na Ulayawanahi ta j i mamlakamapana ili kusimamia nakuhoji wanaotuhumiwakuhusika na njama zaugaidi na kuwazuia."

    "Uislamu wa kutumianguvu siyo matokeo yaumasikini au siasa za njeza nchi za Magharibi hukoMashariki ya Kati."

    " N i c h a n g a m o t odhidi ya ustaarabu waki-Magharibi na kanunizake."

    Wahariri wa Los Angeles

    Mauaji ya Paris: Ugaidi au tukio la kupangwJanuari 9, 2015

    Na Stephen Lendman

    Times waliweka kichwacha habari "Magaidi waParis walilenga uhuruwa kujieleza; lazimatuulinde." Wakawaitawashambuliaji "magaidi."

    Wahariri wa Chicago

    Tr ibune wal iandikakichwa cha habari "UgaidiUfaransa." Wakasematukio hilo ni jaribio la" k u z u i a " u h u r u w akujieleza.

    Wahariri wa Guardian

    la London walielezea"bunduki ....zilizolengauhuru wa kujieleza."

    R a i s F r a n c o i sHollande wa Ufaransaaliita shambulio hilo nihujuma dhidi ya "uhuru

    wa kujieleza..... azma yamsingi ya jamhuri."

    Katika taarifa ya habariinayoangaliwa nchinikote jioni alisema: "Leo

    Jamhuri ya Ufaransa kwapamoja ilikuwa ndiyoimelengwa." AliitangazaAlhamisi kuwa siku yataifa ya maombolezo.

    Obama alimpigia simuHollande kutoka ndegeyake rasmi, Air ForceOne. Msemaji wa Ikulu yaMarekani alisema "alimpapole yeye mwenyewe."

    "Alielezea mshikamano baa da ya shamb uli o lakuogofya la kigaidi jijiniParis."

    " W a m a r e k a n iwanasimama na watuwa Ufaransa katika halimbaya iliyojiri." Aliahidi"raslimali" za Marekanikusaidia kuwafikishawaliofanya hayo mbele yasheria. "Yeyote aliyesaidiakupanga au kuwezeshashambulio hili la kigaidi."

    Kiongozi wa chamacha siasa kali za mrengowa kulia, Marine Le Pen,alisema "taifa liko chini yamashambulizi, utamaduniwetu, njia yetu ya maisha.Ufaransa lazima iingiekatika vita dhidi ya siasakali ya Kiislamu. Wakovitani dhidi ya Ufaransa."

    Mwaka 2006, CharlieHebdo ilichapisha upyakatuni zinazopingwa na

    Waislamu kuhusu MtumeMuhammad. Katuni hizomwanzo zilichapishwa nagazeti la Jyllands Posten laDenmark.

    Hapo Novemba 2, 2011,ofisi za CH zililipuliwak w a m a b o m u y amoto. Mtandao wakeukaingiliwa. Ni baadaya kutoa toleo maaluml i n a l o i t w a " C h a r i aHebdo." (Hebdo ni kifupicha hebdomadaire, yaani

    jar ida la kil a wiki kwaKifaransa).

    Mtume Muhammadaliorodheshwa kama"Mhariri Mkuu." Gandalake la nje lilionyeshakatuni ikimtupia dongo..Ikisema "michapo 100 yamjeledi kama hutakufaukicheka."

    J u m a t a n o , t a a r i f azilisema mtuhumiwammoja, Hamyd Mourad,a l i e n d a k i t u o c h apolici cha Charleville-Mezieres , mai l i 145Kaskazini Mashariki yaParis na kujisalimisha.

    Ji nsi ali vy of ik a ha pohaikuelewa. Alihusika?

    W A T U w e n g iwameichambua videoya kupiga risasi polisikwa uangalifu sana,n a w a m e g u n d u akitu ambacho mimisikukiona, lakini hawajuini kitu gani. Najua. Kitukinaruka kutoka katikabunduki na kuzungukakichwa cha afisa wapolisi.

    Baadhi wamesema niwazi kuwa ni kipande chafuvu la kichwa. Lakini hiyoisingetokea bila kuwepodamu, na kuna kielelezo

    b ora za id i amba ch okikiwekwa pamoja namengine katika tukio hiloinaonyesha wazi kuwawalikuwa wanapiga risasihewa, magarasa.

    Risasi garasa ina kikunjocha karatasi ambako risasiingekuwepo kuwekaungaunga wa kulipuamahali pake. Inapopigwa,kikunjo cha karatasikinatoka na hakina pakwenda, kinabakia karibuna mdomo wa bundukina kuzunguka hapo kwamuda. Kitu hiki kisichocha kawaida ambacho

    Pigo la mwisho kuhusushambulio la kigaidi Paris

    wengi wamekiainishani kikaratasi tu kutokakatika garasa.

    H i k i n d i c h okinachotokea: Mpigap i c h a a l i w e k w a n asimu yake ya mkononi(kwanini utumie kifaazaidi wakati inatakiwaionekane ilitokea tu)mahali panapofaa kupigapicha tukio vyema.

    A sa wa polisi alipewaviziba masikio hivyomlipuko wa mdomo wa

    bunduki haut akuwa nasauti kubwa. Mlenga

    shabaha alihakikishakuwa kikunjo cha karatasihakitampiga afisa wapolisi kichwani.

    " M a g a i d i "wanasimamisha garieneo hilo bila sababu(hawafukuzwi), wanatokana kumpiga risasi afisahuyo wa polisi bi lam p a n g i l i o . H a k u n amantiki katika hili, ila tukupata onyesho.

    A sa huyo anaangukakatika sehemu ya kwanzaya onyesho, na kuthibitisha

    ji ns i ma ga id i wali vy owabaya, "anauawa" akiwa

    amejeruhiwa na amelalachini.

    Ni watu WABAYA tundiyo wanaoua watuwakiwa wamejeruhiwa.Inajenga hisia kali.

    Matatizo: Mpiga pichaalikuwa amesimamavizuri alipata njia yakuona mahali gari lamagaidi liliposimama nakwa a sa wa polisi wakatihuo huo. Haitokei katikaulimwengu halisi.

    Mtu wa kamera alijuajeni wapi kuelekeza kamerayake? Ali juaje kuwaHAPO ndipo magaidiwatakaposimama nakushuka? Angejuaje nigari gani watakalokuwanalo, kwa kuanzia?

    W a o w a k i t o k ailionekana kikamilifu(katika onyesho). Ni vipimtu yeyote awe na kamerayake tayari kuchukuap i c h a k i n a c h o t o k e aw a k a t i h a w a k u w awanaweza kujua kuna

    jambo litatokea?Na inabidi tujikunje

    k u h u s u b u n d u k ihiyo. Tuna moshi ule

    Inaendelea Uk. 12Inaendelea Uk. 12

    MAANDAMANO Paris, Ufaransa.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    6/16

    6 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakala

    OKTOBA 22, 2014 vyombo vyahabari vya Canada viliripoti kuwawatu wawili walikuwa wamevamiajengo la Bunge la nchi hiyo nakuuwa polisi mmoja. Mshambuliajimmoja aliuwawa ndani ya bungehuku ikidaiwa kuwa mtu wa pilialiwahi kutoroka na gari waliyokujanayo na gari hiyo haikuonekanailikoelekea.

    Mshambuliaji aliyeuwawa alitajwa

    kuwa ni Michael Zehaf-Bibeau, raiawa Canada, aliyedaiwa kusilimu sikuza karibuni huku askari aliyeuwawaakitajwa kuwa ni Cpl. Nathan Cirillo,24 (reservist from Hamilton, Ontario) .

    Haraka haraka Waziri Mkuuwa nchi hiyo, Stephen Harper,akakimbilia kusema kuwa haowalikuwa magaidi na kwambaCanada itakuwa imara kupambananao.

    Televisheni za nchi zilionyeshaheka heka iliyokuwa ikiendelea njena ndani ya jengo la bunge, polisina wanajeshi wakikimbia hukuna huko kudhibiti hali ya mambohuku wabunge nao wakitimua mbiokunusru maisha yao, milio ya risasiikisikika ndani ya jengo la bunge.Kwa siku nzima, maeneo jirani na bunge yalifungwa, yakitawaliwa naheka heka za polisi na wanajeshikusaka magaidi.

    Televisheni ya ABC Newsi k i s h e r e h e s h a h a b a r i h i y o ,ilianza kuhoji iwapo magaidi haowalioshambulia bunge la Canadawanatoka ISIS huku ikiambatanishana picha za wapiganaji wa IS naakiweka ramani ya dunia na kuchoramshale kutoka Syria/Iraq hadiCanada.

    Yalitolewa maelezo pia kuwakuna Waislamu wa Canada ambaotayari washajiunga na IS na kwa hiyokitisho cha IS ni kitisho cha Canadapia na Waziri Mkuu Stephen Harperakasema kuwa Canada itahakikishakuwa Jihadists hao hawaingizi itikadiyao ya kishenzi nchini humo.

    Hata hivyo, haikupita muda,watu wenye kuchambua mambowakaibuka na ushahidi kuwalile lilikuwa tukio la kupangwa.Ushahidi wa mwanzo uliotolewa

    ni kutizama picha zilizonaswa nakamera za usalama na nyinginezowakati wa harakati za polisi. Polisiwalionekana kuigiza na sio kuwakatika hali ya taharuki ya kukabilianana mshambuliaji, gaidi hatari.

    Canadian Police Caught StagingFalse Flag. Hii ni moja ya ushahidiuliotolewa ambapo wanaonyeshwapolisi wakifanya usanii huo wakuigiza kukabiliana na gaidi. Polisihao wanaonekana wakikimbia kutokanje ya jengo la bunge hadi lango kuula kuingia ndani, halafu wanasimamana kutizamana na kisha kuanguakicheko.

    Wasanii kama Mzee Majuto,Mzee Chilo, na akina Kibakuli,nikizungumza haya watanielewa.Kuna zile take two, take three. Au hata watizamaji filamu katikazile wanazoita behind the scene.Wacheza j i wana ig i za , kab l ahawajamiliza kipande walichokuwawakicheza, wanajikuta wakianguakicheko. Kwa hiyo inabidi wakirudie.Wanacheka kwa sababu pale wanajuakuwa wanaigiza, lakini wanatakiwawajikaushe, wafanye usanii wao hadimtizamaji wa lamu aone kuwa nikweli. Sasa ina ka mahali wanachekakwa usanii wanaofanya.

    Basi, ndivyo walivyonaswa askarihawa wa Canada wakipambana nagaidi. Wanaonekana wakikimbia,silaha mkononi, hadi lango kuu lakuingia ndani ya jengo la bunge,wanaangua kicheko. Kama ni lamu,inabidi kipande hicho kirudiwe-Mwanzo mwisho. Lakini katikaigizo hili la Polisi Canada nje ya Bunge,Director hakuweza kuzikamatapicha zote na kuondoa kipande hiki(edit).

    Polisi Ufaransa wapiga Tak wapaza sauti Allahu Akbar

    Wafaransa wasitafute mchawi

    Wamejibamiza wenyewe- ErdoganWatizame ya Canada, Sheikh Abu HamzaWasikilize vizuri uchambuzi wa France24

    Na Mwandishi Maalum

    Labda jiulize, katika hali ya hatariya kupambana na gaidi usilolijua linasilaha kali kiasi gani na limeji chakona gani, polisi watasimama katikatiya mapambano na kuangua kicheko?Hilo ndio swali anauliza msimuliajina mchambuzi wa picha hizo za video(tizama katika mtandao utazikuta).

    Picha nyingine zinawaonyeshapolisi wawili nje ya jengo, wanakimbiana kupita katikati ya magari yapolisi , wameshikilia bunduki,gha a nao wanageuka upande wakulia na kucheka. Inavyoonekanawalipogeukia ndipo kulikuwa nakamera, zilizokwisha andaliwakuchukua muvi hiyo. (Tafuta lamukatika hizi Bongo Muvi zetu yenyebehind the scene, mwisho wa lamu,ndio utaelewa vyema kinachoelezwahapa.)

    Ushahidi mwingine unaotolewakuwa lile lilikuwa shambulio lakupanga , n i p i cha za v ideokuonyesha kuwa katika sehemu zoteambapo polisi walipita kumkimbizaanayedaiwa kuwa gaidi, kulikuwatayari kumetegwa kamera. Kilawalikopita, zinaonekana kamerazimetegwa na wala haikuwa kuwani jambo la kawaida kuwa na kameraza video katika jengo hilo katikamaeneno zilikokutwa. (Tazama:Dutchsinse-Parliament ShootingHoax? False flag PRE-STATIONEDCAMERAMEN.)

    The Victim and the Shooterin Canadian Parliament Hoaxare Zionist Jews, ni kichwa chahabari moja ikihoji kuwa ilikuwajealiyedaiwa kuwa gaidi Muislamuakawa Myahudi na polisi aliyedaiwakuuliwa Myahudi pia. Katika habarihiyo inaelezwa kuwa aliyedaiwakuwa mshambuliaji Michael Zehaf-Bibeau, hakuwa Muislamu baliMyahudi aliyejidai kusilimu. Lakinipia hata askari aliyedaiwa kuuliwa,alikuwa Myahudi pia na hakufa, balialijidai kufa. Katika uchambuzi huozinaonyeshwa picha toka askari huyoakiwa kalala chini, anawekwa katikamachela na kuingizwa katika garila wagonjwa, hakuna hata alama ya jeraha au damu, uso unangara.

    Katika moja ya picha mchambuzi

    anaonyesha kuwa kuna ki tukimetuna kifuani mwa askari huyona kinaonyesha kujaa kitu chekundu.M c h a m b u z i a n a s e m a k u w ainavyoelekea huo ulikuwa mfukowa damu bandia, lakini haukupasukana waliokuwa wakiigiza walisahaukuupasua ili ionekane kuwa askariamelowa damu.

    Turudi UfaransaNovemba, 2013 vyombo vya habari

    vya Israel viliripoti kuwa makacherowa Ufaransa walikuwa na mpangowa kufanya shambulio la kigaidiLondon na kumuuwa Sheikh AbuHamza al Masri, kisha wasingiziekuwa waliofanya mauwaji hayo nineo-Nazi, kwa maana watu wenyesiasa za kibaguzi za ki-Nazi za zamaza Adolf Hitler.

    French 'Planned to Assassinate'British Muslim Extremist, ndivyoalivyoandika Ari So er.

    "The plan was to impersonate theBritish Nazi group Combat 18 and thenallow them to take the blame. The Frenchconsidered sending death threats in thestyle of Combat 18 and then killing himwith the same type of weaponry that the group was thought to possess.

    Ilisema habari hiyo ya vyombovya habari vya Israel chini ya kichwacha habari "Gateway To Terror"na kama ilivyonukuliwa katikauchambuzi wa mwandishi Paul Joseph Watson akisema, Intelligenceservices considered assassinating Muslimleader, blaming neo-nazis.

    Katika habari hiyo inaelezwakuwa aliyepanga mpango huo niMkurugenzi wa Idara ya Usalamaya Ufaransa (Frances DirectionGenerale de la Securite Exterieure).

    Ikieleza ni kwa nini Idara yaUkachero ya Ufaransa ilipangamkakati huo dhidi ya Uingereza,Israeli National News inasema:

    The plan to kill the infamous hook-handed hate-preacher Abu Hamzaal Masri, was the result of growing frustration by French security servicesover the inaction of British authoritiesin the face of the growing threat ofIslamist terrorism. Specifically, theFrench suspected Abu Hamza of having

    links to the terrorists responsible for t1995 Paris Metro bombings.

    Kwamba ni kana kwamba Ufaransailikuwa ikitaka kuiadhibu Uingerezakwa kutokushughulikia vya kutoshakilichodaiwa kuwa kitisho cha ugaidiwa Kiislamu (growing threat of Islamiterrorism).

    N i ka t i ka muk tadha huo ,mwandishi Paul Joseph Watsonanasema:

    The fact that the French secret servi planned to assassinate a public guand then lay the blame on someone eis also likely to spark further questiosurrounding the fate of Princess Dianwho died under mysterious circumstancin Paris in 1997.

    It also emphasizes the fact tha far from being a conspiracy theory governments routinely plan to stage fal ag assassinations and terror a acks order to further their political agenda.

    Kwamba, maadhali serikali yaUfaransa iliweza kupanga mpangowa kumuuwa Sheikh Abu Hamzaal Masri, na kisha kusingizia watuwengine, kuna kila sababu pia kuwana wasiwasi na kuhoji matukiokama lile la kifo cha kutatanisha chaPrincess Diana, kule Paris mwaka1997.

    Ni katika muktadha huo huo pia,kituo cha televisheni cha Ufaransa,France 24 TV, kimefanya uchambuziwa picha zilizonaswa za tukio lamauwaji ya Charlie Hebdo na kuibukakikisema: 100% Proof Paris Was FalFlag Brothers Framed and MurderedTazama pia, False Flag Terrorism WEnslave us by Alex Jones.

    Katika uchambuzi wake, France24, wanatizama na kuchambuapicha. Kabla ya tukio wanaonyeshwawatu kadhaa wakiwa juu ya jengo.Mmoja anaonekana akiwa anapigapicha. Gari linalodaiwa kuwa nagaidi, linapo karibia jirani na jengowalipo, watu waliokuwa juu ya jengo wanashuk a haraka harakaakibaki yule mpiga picha. Waki kachini, wanaonekana kuwa ndiowaliodaiwa kuwa magaidi, na piaaskari aliyeuwawa.

    Wachambuzi katika televisheni hiyoya Ufaransa, France 24, wanaonyeshapia kuwa zile zilizodaiwa kuwaAllahu Akbar zikidaiwa kutamkwana gaidi, zil i tamkwa na watuwaliokuwa juu ya jengo ambao kwauchambuzi wao-France24, ni polisi,mmoja akionekana kuvaa fulana yakuzuiya risasi.

    Erdogan apasua jipuNi katika mazingira kama haya,

    Rais wa Uturuki Recep TayyipErdogan, amewataka wananchi waUfaransa wasitafute mchawi, kwanini wao wenyewe waliohusika namauwaji ya Charlie Hebdo.

    The French Are Behind The CharHebdo Massacre, ndivyo baadhi yamagazeti yalivyoripoti yakinukuukauli ya Recep Tayyip Erdogan, wikihii.

    As Muslims we have never sided witerror or massacres: racism, hate speecIslamophobia are behind these massacrThe culprits are clear: French citizeundertook this massacre and Muslimwere blamed for it.

    Alisema Erdogan akimaanishakuwa Waislamu hawahusiani naugaidi, mauwaji wala chuki naubaguzi wa kijinga. Kama, ni mauwajiya Paris, wauwaji ni Wafansa wenyeweila wanawasingizia Waislamu.

    Akaongeza kuwa, mchezo huuwa mauwaji ya kupanga, umekuwaukifanyika duniani kote, halafuwanatupiwa lawama Waislamu.

    Meya wa Jiji la Ankara, MelihGokcek, pamoja na Ali Sahin,ambaye ni Mbunge na Msemaji waChama tawala cha Uturuki, AK,nao wameungana na Rais Erdogan,wakisema kuwa mauwaji hayo ni yakupanga ili kuchochea chuki dhidiya Waislamu na kutafuta sababu yakuwahujumu.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    7/16

    7 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakala

    K O N G A M A N Ol a Wa n n s e e n c h i n iUjerumani lililofanyikamwezi Januari 1942

    l i l i p i t i s h a a z i m i olililokuja kupewa jinala die Endlsung derJ u d e n f r a g e , y a a n isuluhisho la mwishokwa tatizo la Mayahudi,ambalo baadaye lilikujakujulikana kwa kifupishochake cha Endlsung,yaani suluhisho lamwisho.

    S u l u h i s h o h i l i l amwisho ulikuwa mpangowa utawala wa Kinaziwakati wa Vita ya Pilivya Dunia kukiangamizak a b i s a k i z a z i c h aMayahudi kupitia njiambalimbali za mauaji,ikiwemo kuwavutishagesi ya sumu, kuwauwana kuwatesa. Kwa mujibuwa historia ya kimapokeoya Ulaya, thuluthi mbiliya Mayahudi barani humoiliangamia.

    Mauaji hayo yamekuwaa l a m a k u b w a s a n akwenye historia ya kisiasa,kiuchumi na kijamii baraniUlaya na ulimwengumzima wa Magharibi.Yalikuja baadaye kuamuamahusiano na mustakabaliwa kimahusiano kati yamataifa sio ya Ulaya tu, balipia ulimwengu mzima,likiwemo la kuanzishwakwa Dola la Kiyahudi laIsrael.

    Akiandika juu ya namnasuluhisho hilo la mwisholilivyoimaliza thuluthimbili ya Mayahudi, RaulHilberg anasema kwambakatika awamu ya kwanzaya suluhisho la mwishokwenye Shirikisho la

    Ja mh ur i za Ki so vi et i ,wauaji waliwaendea watuwanaotaka kuwauwa,lakini kwenye awamu yakeya pili kote barani Ulaya,ni wale waliouawa ndiowaliokuwa wakiwaendea

    waliotaka kuwauwa. Japokuwa si kila mtuanakubaliana na visa namikasa vilivyomo kwenyemasimulizi ya kimapokeoy a k i l e k i l i c h o k u j akuitwa Holocaust,lakini kwa muktadha wamakala hii ya leo, natakauzingatie mambo matatu:kwanza, hiyo thuluthimbil i ya Mayahudiiliyoangamizwa; pili,ufahamu wa tatizolenyewe la Mayahudi na,tatu, hilo suluhisho lamwisho.

    N a t a k a u z i n g a t i e

    Jibu la mwisho kwa suala la ZanzibaNa Mohammed Ghassani h a y o k w a m i n a j i l i

    ya kulinganisha nad h a n a k a m a h i z ok w e n y e m u k t a d h awa siasa za Tanzaniapanapohusika Zanzibar.

    Ninataka tuihusished h a n a y a t h u l u t h imbi l i ya Mayahudiwalioangamizwa baraniUlaya kupitia mkakatihuo ulioitwa suluhishola mwisho kwa tatizo laMayahudi na dhana yathuluthi mbili ya kuraza Bunge Maalum laKatiba itakavyotumiwakuiangamiza Zanzibark u p i t i a m k a k a t iuliopewa jina la KatibaI l i y o p e n d e k e z w a ,a m b a y o i t a p i g i w akura miezi michacheijayo na ambayo, kwahakika, inasimama kamasuluhisho la mwishokwa tatizo la Zanzibarndani ya Muungano.

    Hoja yangu ni kuwap a n a m f a n a n o w akinyume-mbele kwenyekadhia hizi mbili: KwaUlaya , mpango wasuluhisho la mwishouliiangamiza thuluthimbi l i ya Mayahudiambao kwa ujumla waowalionekana kuwa tatizo;kwa Tanzania, thuluthimbili ndiyo inayotumikakutoa su luhisho lam w i s h o k u i m a l i z aZ a n z i b a r , a m b a y oinaonekana kuwa tatizokwa mustakabali waTanzania.

    N i t a f a f a n u a k w akuanza na vipi Jamhuriy a M u u n g a n o w aTanzania na hapanakusudia sehemu yatabaka linaloitawalahasa nchi kwa maanahalis i ya kuitawala l i n a v y o i c h u k u l i aZ a n z i b a r k u w a n it a t i z o , k a m a v i l eambavyo kuna sehemuya wanasiasa, watungasera na wanamikakatiwenye nguvu barani

    U l a y a , a m b a owalikuwa wakiaminikabisa kwamba jamiiya Mayahudi ilikuwani tatizo kubwa kwamustakabali wa bara hilo.

    Nafasi huenda isitoshe,lakini kuna mifano nakauli kadhaa zilizoanziatangu kabla ya Uhuruwa 1963, Mapinduzina Muungano wa 1964zilizotolewa na watuwa aina hiyo kuoneshas iasa yao kue lekeaZanzibar. Kwa mfano,mmoja wa waasisi waMuungano, Mwalimu

    Julius Nyerere, aliwahikusema hata kabla yaMuungano kwamba kamaangelikuwa na uwezo, basiangelivisukuma visiwavya Zanzibar katikatiya Bahari ya Hindi .Aliwahi pia kumuambiamwakilishi wa MalkiaElizabeth wa Uingerezawakati wa kuelekea uhuruwa Zanzibar wa 1963kwamba asingelivumiliakuwa na jirani Mwarabuna Muislamu kando yamlango wake.

    Kauli mbili za karibunikabisa ni moja ile yaWaziri Mkuu MizengoPinda ambaye kuelekeakukusanywa kwa maoniya Katiba Mpya alisema

    yeye anaamini suluhishoni kuwa na Serikali Mojatu, ambayo itazima hiviv i j inenoneno vyotevya kero za Muungano,n y e n g i n e n a n i i l eWaziri William Lukuviambaye alisema Zanzibarikiachiwa peke yake italetaWaarabu na utawala waKiislamu.

    Hapo katikati, Rais J a k a ya K i k w e t e n amtangulizi wake BenjaminMkapa wamewahi kutoakauli zinazofanana katikakuielezea hali ya Zanzibar,ambayo hapa nitaifupishakwa sentensi yenye sualiwalilolitumia kwa pamojaingawa kwenye maeneona matukio ta fau t i :Inakuwaje Wapemba haohao ambao wanafaidika nafursa za Muungano wawewa mwanzo wanaooneshahisia za kujitenga nawenzao kwenye Jamhuriy a M u u n g a n o w aTanzania?

    Bila ya kusahau yaPhi leomon Sarungi ,ambaye wakat i huoakiwa Waziri wa Ulinzina Jeshi la Kujenga Taifawakati wa utawala wa

    Mkapa, aliwahi kusemakwamba Muungano na

    Je sh i la Wan an ch i waTanzania ni kama watotopacha na kwamba jeshil i s inge l ikuwa tayar ikuwaachia wanaotakakuuvunja Muungano.

    Katika mazingira namatukio tafauti, kauli hizina watunga mikakati nawasimamiaji wa sera za

    Jamhuri ya Muungano waTanzania wanasema kitukimoja: Zanzibar ni tatizo,Zanzibar kuna matatizo.Na hapana shaka, penyet a t i z o p a n a t a k i w asuluhisho.

    Lakini swali kubwa nikama lile ambalo jamiiya Kiyahudi barani Ulayaimekuwa ikijiuliza tanguhapo: Tatizo ni nini?Tatizo letu ni lipi? Mimini Mzanzibari na suali hilinimejiuliza kwa mwakawa 20 huu tangu nilipopataakili ya kufuatilia mambo.Najua kuwa ndani ya jamiiyangu ya Kizanzibarimuna matatizo kama vileambavyo yamo kwenyekila jamii ya binaadamuduniani umasikini ,ukosefu wa usawa, uhalifuna ukosefu wa uwajibikaji,miongoni mwa menginemengi.

    Tu n a l o p i a t a t i z o

    ambalo linakuzwa zaidikuliko uhalisia wake la ubaguzi wa kikabilana asili za wakaazi wavisiwa vya Zanzibar.Lakini je, matatizo yetuya ndani ndio sababu yakuundiwa mkakati wasuluhisho la kudumu lakuimaliza Zanzibar kupitiathuluthi mbili ya kuraza Wazanzibari wenzetu,kama kweli thuluthi hiyombili ilipatikana?

    Nirejee tena. Historiarasmi ya Magharibiinatuambia kuwa thuluthim b i l i y a M a y a h u d i

    iliangamizwa kupitia kilekilichoitwa suluhishola mwisho kwa tatizo laMayahudi. Zanzibarn z i m a s a s a i n a t a k ak u a n g a m i z w a k w akutumia thuluthi mbiliiliyoambiwa imepatikanakwenye Bunge Maalumk u p i t i s h a K a t i b aIliyopendekezwa, ambayohapa ndio huo mpango wasuluhisho la mwisho latatizo la Zanzibar.

    Kuna utata mkubwasana juu ya ikiwa kwelit h u l u t h i h i z o m b i l izilipatikana kweli kutokakura za wajumbe waZanzibar kwenye bungehilo maalum. Ushahidiuliotolewa na wahusikakadhaa ulitilia shaka

    k u b w a u h a l a l i w akura, na sasa ni jambol a k u s h a n g a z a s a n akwamba wafuatiliaji wamambo nchini Tanzaniahawajalichimba jambo hilikwa undani na limewachwakama lilivyo, huku taifal i k i s e m a l i n a e l e k e akwenye kura ya maoniya katiba mpya, bila yakuweka sawa mazagazagay a l i y o h u s i s h w a n akupatikana kwa hiyothuluthi mbili.

    M w a n d i s h i w amakala hii alizungumzakwa undani na mmojawa wajumbe wa BungeMaalum kutoka Zanzibar

    ambaye a l imuelezeak w a k i n a n a m n ai l ivyopatikana hiyothuluthi mbili. Si hadithiya kutia moyo kwenyeujengaji wa muhimiliwa taifa na mkataba wakutawaliana baina yawatawala na wataliwa,yaani katiba.

    Na ni hadithi mbayaz a i d i p a n a p o h u s i k akuungalia mustakabaliwa Zanzibar ndani yah i k i a m b a c h o w o t ewaliokipitisha wanaaminikuwa ni suluhisho lamwisho kwa tatizo laZanzibar.

    HAYATI Mwalimu JuliusKambarage Nyerere.

    Mh. Benjamin Wil liam Mkapa.

    Rais Jakaya MrishoKikwete.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    8/16

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    9/16

    9 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakalaNa Omar Msangi

    ALIWAHI kujisemea MarehemuMzee Ali Nabwa kwamba wasohaya wana mji wao. Wakatihuo alikuwa akizungumziaunafki uliojaa kwa baadhi yawanasiasa kiasi cha kukosa hayawala kuona vibaya kupingajambo ambalo jana alikuwaakilipigania kwa jino na ukucha,

    wengine wanasema kwa udina uvumba. Sasa ndio haya yaParis. Kujidai kupinga ugaidi,mauwaji, wakati ndio wauwajina magaidi wakubwa.

    Jumapili wiki hii ilishuhudiamaandamano ambayo yanatajwakuwa hayajawahi kutokeaUfaransa. Katika jiji la Paris,viongozi 40 kutoka mataifambalimbali duniani waliunganana waandamanaji kiasi milioni 1.5 (1,500,000) katika maandamanoya kulani yaliyodaiwa mauwajiya kigaidi ya Charlie Hebdo.Miongoni mwa waliokuwemokatika maandamano hayo ni Raiswa Ufaransa Franois Hollande,Waziri Mkuu Manuel Valls,Waziri Mkuu wa Uingereza DavidCameron na Benjamin Netanyahu,Waziri Mkuu wa Israeli. Viongoziwengine ni Chancellor AngelaMerkel (Ujerumani), Waziri Mkuuwa Hispania Mariano Rajoy, Raiswa Mamlaka ya WapalestinaMahmoud Abbas, Waziri Mkuuwa Uturuki Ahmet Davutoglu,Mfalme Abdullah II na MalikiaRania wa Jordan pamoja na Waziriwa Mambo ya Nje wa UrusiSergey Lavrov.

    Kwa Ufaransa yote inakisiwakuwa zaidi ya watu milioni 3.7(3,700,000) waliandamana sikuhiyo.

    K w e l i , n i m a a n d a m a n omakubwa (lakini) ya kuonyeshauna ki wa Viongozi wa Ulaya,anaandika Michael S. Rozeff.Katika uchambuzi wake juuya maandamano hayo alioupakichwa cha habari Truly MassiveDisplay of Hypocrisy by WesternLeaders , Mi ch ae l S. Ro ze ffanasema kuwa wakati viongozihawa wa Ulaya wakisimamakulani magaidi waliodai kuwani wa Al-qaida na IS, ni viongozihawa hawa ambao wamekuwawakiwapa mafunzo na silahamagaidi wanaofanya mauwaji yakutisha hivi sasa Syria. Ni viongozihawa hawa wanaosimamana Netanyahu kumuunga

    mkono akichija Wapalestina.Lakini ni viongozi hawa hawawaliowasaidia magaidi kuivurugana kuisambaratisha Libya.

    N o a m C h o m s k y n a y eakizungumiza mauwaji yaCharlie Hebdo na maandamanoyaliyofuatia, alizungumzia una kihuo huo na kusema kuwa kamani kulani ugaidi, basi ulaniwehata ukifanywa na Marekani naIsrael. Katika uchambuzi wakealimnukuu kiongozi wa Chamacha Labor cha Israel anayetarajiwakugombea nafasi ya Waziri Mkuukatika uchaguzi mkuu ujao, IsaacHerzog, akisema kuwa:

    Terrorism is terrorism. Theres

    Waso haya wana mj

    no two ways about it. All the nations

    that seek peace and freedom [face] an

    enormous challenge.Hata hivyo Chomsky anasema

    kuwa maneno haya ya IsaacHerzog, ni unafiki mtupu kwasababu Israel inapofanya mauwajiGaza au kwa Wapalestina kwa

    ujumla wasio na hatia, haichukulii

    kuwa ni ugaidi. Wala hizo nchi

    za Ulaya, hazioni kuwa kuuliwaWapalestina na Waislamu ni

    ugaidi.Akigusia mauwaji, unyama na

    ushenzi uliofanywa na majeshiya Marekani kule Fallujah,

    November 2004, anasema kuwaaskari wa Marekani walitekampaka hospitali kuu ya mji huowakawa wanauwa wagonjwa,madaktari na wauguzi. Kishaanahoji, ni ugaidi gani uliozi huowa kuvamia hospitali na kuuwawagonjwa? Lakini hawakusikikaviongozi wa Ulaya wakilani. Sanasana walikuwa wakiunga mokonougaidi na ushenzi huo.

    Unafiki katika maandamanoya Paris yaliyomjumuisha WaziriMkuu wa Israel, umebainishwapia na Rais wa Uturuki RecepTayyip Erdogan al iyesemakuwa anashangaa kumuonaWa z i r i M k u u w a I s r a e l ,Benjamin Netanyahu akishirikimaandamano Paris kulani ugaidiwakati serikali yake inaendeshaugaidi wa kidola (state terrorismdhidi ya Wapalestina. Erdoganamesema kuwa Netanyahu hanahaya kwa sababu ilikuwa aonevibaya kuhudhuria maandamanoya kulani ugaidi Paris wakati ndiokwanza juzi kachinja takribanWapalestina 2,200 Gaza.

    K w a u p a n d e m w i n g i n eimeelezwa kuwa wakati viongozihao wa kidunia wakikusanyikana kuandamana Paris kupingamauwaji ya watu 12 yaliyodaiwakufanywa na magaidi wa Al-Qaida, taarifa ya Umoja wa Mataifa(UN) inaeleza kuwa Wapiganajiw a K i k r i s t o w a n a k a r i b i akuwaangamiza Waislamu waliowachache katika nchi ya Afrikaya Kati (Central Africa Republic-CAR).

    UN: Muslims ethnically cleansein CAR- UN report says Christiamilitias engaged in ethnic cleansing

    Muslims in ongoing Central AfricaRepublic civil war.

    I n a s e m a t a a r i f a y a U Nya hivi karibuni huku taarifazaidi zikisema kuwa jeshi laUfaransa lililopo CAR, ni kamalinawasaidia wauwaji wa Kikristokufanikisha azma yao. Awaliwalifanya kazi ya kuwapokonyasilaha Waislamu, sasa makundiya Kikristo wakiwemo wale rasmianti-balaka, wanachinja Waislamuhuku wanajeshi wa Ufaransa nawengine wa UN wakitizama.

    Re ections From Paris: Who Marching Anywhere to Honor ThoKilled in Baga?

    N i s w a l i a n a l o u l i z amwandishi John V. Whitbeckakielezea kiwango cha unafikikilichooneshwa na viongoziwaliokutana Paris kuandamanakulani mauwaji. Mwandishihuyo anasema kuwa siku ileile yalipofanyika mauwaji yaCharlie Hebdo, vyombo vyahabari viliripoti kuwa zaidi yawatu 2,000 wameuliwa na BokoHaram katika mji wa Baga,Nigeria. Wengi wa waliouliwawalikuwa ni watoto, wanawake,wagonjwa na vikongwe ambaohawakuweza kukimbia BokoHaram walipovamia mji huo.Hakuna hata kiongozi mmojak a t i k a w a l i o k u t a n a P a r i skuandamana aliyefunua mdomo

    Inaendelea Uk. 11

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    10/16

    10 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakala

    Inatoka Uk. 8

    Akikujieni fasiki na saratani ya Kiislamkuwa magaidi wawili ndugu,Cherif na Said Kouachi wakiwana bunduki aina ya automaticrifles, wakiwa wamefunikanyuso zao, waliuwa watu kumina polisi wawili huku wakipasasauti wakisema Allahu Akbar.

    Jumatatu wiki hii nilikuwaMoshi mjini. Nilipopita jiranina Kanisa la Kilutheri, KKKT,karibu kabisa na kituo cha basi,nikakuta baadhi ya barabarazimefungwa na kuna ulinziwa Polisi. Kutizama nikakutakuwa katika kanisa hilokulikuwa kukiendelea shereheza kusimikwa Askofu mpyawa Dayosisi ya Kaskazini, Dr.Fredrick Shoo.

    K w a m t u a m b a y e n imtaalamu wa kusomea elimuya jinai (criminology) akisikiakuwa kuna gaidi kavamiamahali kama pale na kufanyashambulio akiwa kavaa kanzuna kibandiko, lazima atakuwana maswali mengi ya kujiuliza.Il ivyo, muhalifu atatakaaji che, afanye uhalifu bila yakufahamika. Kwa hiyo kama nihadhara ya Kiislamu, ataingiaakiwa katika namna ambayohutaweza kuwa na wasiwasinaye. Kama shabaha ni mkutanowa CCM, atakuwa kamamwana-CCM. Haiwezi kuwamuhalifu wa CUF, a ke katikamkutano wa CCM au moja yaofisi zake, ashambulie hukuakipayuka Haki!!! Au akiwakutoka CHADEMA aje amevaamagwanda ya akina Slaa naMbowe huku akionyesha alamaya 'CHADEMA V'. Akifanyahivyo, katumwa. Litakuwashambulio la kupanga ilikukichafua chama hicho.

    Sasa unaposikia kuwa mtukashambulia o si za jarida laCharlie Hebdo huku anapayukaAllahu Akbar, lazima uwe namaswali mengi ya kujiuliza.

    Three well armed terroristsstormed the place with machine

    guns ablaze whil e sc re amingAllahu Akbar.

    Ndivyo tunavyofahamishwana vyombo vya habari kuwaw a s h a m b u l i a j i w a t a t uwalioshambulia o si za jaridala Charlie Hebdo walikuwawakisema Allahu Akbar. Nawakaonyeshwa katika pichawakiwa wamefunika nyusozao.

    Unaweza kuja na hoja kuwawashambuliaji hao labdawalikuwa ni mujahidinakindakindaki. Hawaogopi nawalitaka wajulikane. Kama ni

    hivyo, kwa nini wa che nyusozao? Si wangepaza sauti zaTakbira huku wanaonekana?

    Labda watuhumiwa haowangekuwa hai, moja yamaswali ambayo tungewaulizani hili: kama wao walitakawafahamike kuwa wanaofanyashambulio lile ni wao Waislamu,hawaogopi, kwa nini wali chanyuso zao?

    Waislamu wanajiteteahoja ya msingi imeachwa

    Kufuatia shambulio hili,Uislamu na Waislamu sasawanaonekana ni tatizo lakidunia linalohitaji nguvu yapamoja kupambana nalo. Kwa

    bahati mbaya, hata baadhi yataasisi na viongozi wa Kiislamu,wameacha kuhoji maswali yamsingi wamekimbilia kujiteteana kujisajili kuwa wao siokatika Waislamu wabaya.Wao sio magaidi. Na hili ndilolililopelekea Masheikh wa AlAzhar kutoa kauli, MahmoudAbbas na Mfalme wa Jordankuhudhuria maandamano.

    Viongozi wa Kishia Lebanon

    na Iran, nao wameangukiakatika kosa hilo hilo. Gazetil a L o s A n g e l e s Ti m e s ,limemnukuu Mufti Mkuuwa Sunni katika Lebanon,Abdul-Latif Derian, akiwalaniWais lamu s iasa kal i namagaidi akidai kuwa Uislamuunakataza ubaguzi na kwambawanaofanya vitendo kamamauwaji ya Paris wamepotokakiimani.

    Naye Hasan Nasrallah,kiongozi wa Shia- Hezbollah,anasema kuwa ile kwambakuna watu walichora katuni

    katika Ufaransa kumtukanaM t u m e , h a k u h a l a l i s h imauwaji ya Charlie Hebdo.Akaongeza kusema kuwa Wa i s l a m u w a l i o f a n y amauwaji hayo ni wabayakuliko hata wale waliochorakatuni ya kumtukana MtumeMuhammad (s.a.w).

    Islam does not approve ofkilling innocent people, whetherin Paris, or in Syria, Iraq, Yemen,Pakistan and Afghanistan.

    Hiyo ni kauli ya Rais waIran kama alivyonukuliwa naShirika la Habari la nchi hiyo,Islamic Republic News Agency,akimaanisha kuwa Uislamuhauruhusu mauwaji ya watuwasio na hatia iwe ni Paris,Syria, Iraq, Yemen, Pakistan naAfghanistan.

    Swali la msingi ni je, nanikafanya mauwaji yale? Hao Al-Qaida wanaodaiwa kuhusika,ndio kweli waliofanya mauwajihayo? Nini ushahidi wakuthibitisha hayo?

    Maadhali watuhumiwawameshaul iwa hatuwezi

    kuwauliza kuwa ni kweli ni waona je, ni kweli wao ni Al-Qaidakutoka Yemen/Syria. Kwa sasatunabakia na njia mbili zakupima taarifa hizi. Moja nikutizama hoja na uchambuziwa watu wengine zaidi yataarifa hizi rasmi tunazopewa.Pili, ni kuzitizama kwa jichopevu na la udadisi hizo hizotaarifa rasmi.

    Kwa mfano watu wanahojikuwa lile tukio la kupigwarisasi polisi l inaonekanakurekodiwa vizuri na kameraza video. Inavyoonekana ni

    kuwa wapiga picha walikuwawamejiandaa na kukaa mahaliambapo wangepata picha nzurikabisa.

    The camera man was s pe rfec tly posi ti oned he go t perfectly clear line of sight to whethe terrorists car stopped AND tthe police o cer at the same timNot probable in the real world.

    How did the camera man knowhere to point the camera?

    How did he know THAT

    where the terrorists would stoand get out?How did he even know wh

    car they had to begin with?Haya ni baadhi ya maswali

    baadhi ya wachambuzi wamambo wanauliza. Kwambahapakuwa na namna yoyotekwa mpiga picha kujua kwambagari ya gaidi itasimama pale nagaidi atatoka kumpiga risasipolisi. Kwa hiyo kamera yakeikawa inachukua picha yavideo toka gari linakuja hukuakimwonyesha kwa uzurikabisa polisi akiwa mbalimpaka anapigwa risasi.

    Swali ni je, walijuaje kuwamahali hapo kutakuwa natukio kama hilo wakajipangamapema?

    Kwa wanaojua Kiingereza,hebu someni hii:

    All video initially posted wshot from rooftops. FOR A SCENTHAT LASTED LESS THAN A MINUTE. How did anyone get uto the roof that fast to get video this, times several people shooti from di erent places? The roof towere just regular roof tops with nreason for anyone to be up ther

    Inaendelea Uk. 11

    RAIS wa Ufaransa (wanne kutoka kulia) akiwa na viongozi mbalimbali duniani katika maandamanoParis, Ufaransa kulaani mauaji ya Charlie Hebdo.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    11/16

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    12/16

    12 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUAR12 MAKALA

    Inaendelea Uk. 14 Inaendelea Uk. 14

    Mauaji ya Paris: Ugaidi au tukio la kupangwInatoka Uk. 5Ni sehemu ya mpangowa udanganyifu? Polisiwaliwataja watuhumiwawengine wawili, Said naCherif Kouachi, wakaziwa Paris.Upelelezi wa j inaiu n a c h u k u a m u d a .Watuhumiwa huwa kwakawaida hawajipelekipolisi. Na hasa siyo mudamfupi kabla ya tukio.Majuma kadhaa huwayanapita kabla polisihawajafungua mashitakayoyote. Kwa kawaida ni

    baada ya kuwak amat awatu kadhaa.

    K w a m u j i b u w aReuters, mpashaji mmojawa polisi alisema mmojaw a w a s h a m b u l i a j i ohao "alitambuliwa kwa

    kitambulisho chake,.ambacho (a l ik iacha)katika gari la kutorokea."Tutazungumzia hilo kwaziada punde.

    Cherif Kouachi aliwahikufungwa kwa miezi 18. Nikwa kuhusika na "kikundicha magaidi" mwaka 2005.Akidaiwa kuhusika katikakusajili raia wa Ufaransakupigana na Wamarekaninchini Irak. "Alikamatwakabla (inavyosemekana)ya kuondoka kwenda Irakkujiunga na wapiganaji,"Reuters lilisema.

    "Mtu wa tatu (HamidyMourad) hakuonekanakatika mkanda wowotewa video. Haikuwa wazikama alikuwa moja kwamoja au kwa njia yoyotena shambulio."

    H a k u n a a l i y e d a ik u h u s i k a , R e u t e r sl i l i s e m a . L i l i m t a j a"shuhuda aliyeongea nagazeti la kila siku la 20Minutes akisema mmojaw a w a l i o s h a m b u l i aa l ip iga ke le le kablahajaingia kwenye garilake" "Waambie watu wahabari ni Al Qaeda nchiniYemen!"

    S h i r i k a l a h a b a r il a U f a r a n s a , A F Pli l isema j i j i la Parislilikuwa "limejifungiandani." Lilieleza askariwaliosambazwa katikavituo vya treni, polisiwenye si laha nje yamajengo ya vyombo vyahabari, ulinzi mkali sanakatika ma-supermarket."

    "Serikali iliinua kiwangocha tahadhari kufikiangazi ya juu zaidi baadaya shambulio. Ilisambazamamia ya polisi katikamaeneo tofauti ya jiji."Baadhi ya taarifa zilisema

    ni maelfu.Katika kitabu chake cha

    mwaka 1997 kinachoitwa

    "Ubao mkuu wa chess:Umuhimu wa Marekanina mikakati duniani,"

    msaidizi wa zamani wautawala wa Carter kwamasuala ya usalama wa

    taifa, Zbigniew Brzezinskialisema:

    " J i n s i M a r e k a n iinavyozidi kuwa jamii yatamaduni tofauti, inawezakuwa vigumu kufikia

    uelewano katika uelekeowa siasa za nje, ila katikamazingira ya hatari kubwahal i s i inayoonekana

    bayana kutoka nje."Ile ambayo 9/11 iliunda.

    Nyingine zinajadiliwachini. Zimewezeshwa nadola.

    Marekani, Uingereza,I s r a e l , U f a r a n s a n aw a s h i r i k a w e n g i n ewahuni kuhusika.

    Maofisa wa Marekaniwaliwataja washambuliajiwa 9/11 takriban papohapo baada ya tukio.

    FBI ilisema uwongoikidai Mohamed Attaaliacha mzigo wenye'ushahidi wa kutosha'kuhusu kuhusika kwaAl Qaeda mashambulizihayo. Hati za kusafiriazilizodaiwa kuonekanakatika ndege ya UnitedAirlines 93 ilipoangukiazilikuwa feki. Waliodaiwakuteka nyara, hawakuwak a t i k a n d e g e h i z ozilizoruka.

    Makala mojawapoiliyotangulia iliita maelezorasmi ya tukio holi ,mama wa uwongo wotemkubwa. Nani aliyewahikusikia watekelezaji washambulio kuacha nyumanyaraka zinazowagusa?Kujitambulisha wenyewek u h u s u u g a i d i a umashambulio mengine.

    Hata hivyo, watawalawa Ufaransa walidaimshambuliaji mmojaaliacha kitambulishochake kat ika gari lakutorokea lilioachwa.Ni wazi kuna mchezomaalum. Ni kuhoji usahihiwa kile kinachoelezwarasmi.

    Bendera potofu (falseag) ni jadi ya Marekani.

    9/11 ni Kielelezo A

    Ndicho kilicho wazi zadi.Ugaidi unaowezeshwana dola ukitanuka wazi.Ukadaiwa kufanywa nawatu wasio na hatia. Vitavya himaya vilifuata dhidiya Afghanistan, Irak.Maeneo ya Pakistan. Libya.Syria. Irak tena. Palestinena Lebanon (mwaka2006) ikishirikiana naIsrael. Pamoja na vitavingine vya kuchochewa,n d a n i y a M a r e k a n idhid i ya Wais lamu,Wa m a r e k a n We u s i .

    Pigo la mwisho kuhusu shambuInatoka Uk. 5ule mweupe ambaou n a s a b a b i s h w a n amagarasa, kikunjo chakaratasi kutoka katikagarasa, hakuna damukutoka a sa wa polisi hatakidogo, ila majibu mafupiya a sa wa polisi wakatirisasi ilipopigwa (ndichounachoweza kutazamiakama jibu kutoka kwa mtualiyevaa viziba masikioambaye kwa muujizaalikuwa anajua kila kitukitatokea kabla ya wakatihuo.

    Mikanganyiko: Watu 10walisemekana wamekufana wengine kujeruhiwa.Hata hivyo katika tukio,magari ya wagonjwa sizaidi ya mawili wakatik i l a k i t u k i l i k u w ak i m e k w i s h a w a k a t i

    ambapo yangehitajiwazaidi ya 10 kwa tukiokama hilo.

    I n a o n e k a n a k a n akwamba walivurumisharisasi holela kutokana namoja ya magari ya polisililivyoonekana kwa ajiliya 'zoezi' hili, lakini pichahazionyeshi vizuri kamamashimo ya risasi ni stikatu za kupachika. Katikamoja ya picha hizo mao sawa polisi wanacheka nakutaniana kando ya garilililopigwa risasi ambakoinasemekana mtu mmoja

    alikufa.Isitoshe, muonekano

    katika mtaandao wa vioovya magari vilivyopigwarisasi una nyufa iliyoeneakatika kioo chote. Katikatukio hilo la Ufaransa,

    uharibifu wote unaishiapale mashimo yalipo.Inawezekana?

    W a t u w o t ewaliokuwepo katika tukiohilo walikuwa na unyoajiwa nywele unaotumiwana vikosi vya jeshi laUfaransa vyenye askarimamluki kutoka nje. Hiyosi kawaida kwa maderevawa magari ya wagonjwa,kwa mfano.

    Sikuona picha zenyedamu kokote pale, hatadamu ya kupakaziwa,hata kutoka kwa a sa wapolisi ambaye alipigwarisasi kutoka bunduki AK-47 (fupi, magazine ya risasinyingi inayotumika sanavitani) na kulala katikanjia ya miguu kando ya

    barabara kwa sekunde 10kabla ya 'kupigwa risasi'kwa mara nyingine tena,na bado hakuna damu.Itashangaza sana kamani halisi.

    Nimeona sasa hivi videomuhimu inayoonyeshawazi ofisa wa polisiakipigwa risasi kichwanina AK 47 kwa karibu.

    Mata t izo : Ubongohaukumwagika, damu

    haikusambaa, moshimweupe unatokea mdomowa bunduki kutawanyikakatika wingu jeupe (kamamagarasa yanavyofanya)hakuna mwili uliotikisikakwa msukumo wa risasi.

    I l ikuwaje barabarah i y o k i m u u j i z ahaikuwa na magari?Tukio l inaonyeshwakana kwamba ni igizo.Ni kana kwamba eneohilo lilizuiliwa kablaya "shambulio" kwazoezi, hivyo "magaidi"w a l i s i m a m i s h a g a r ikatikati ya barabara kwaniwalijua kuwa hapatakuwana magari.

    Video i l iyowekwakatika mtandao mwanzoniilipigwa picha kutokamapaa ya nyumba. KWAONYESHO AMBALOLILIDUMU CHINI YADAKIKA MOJA. Nivipi mtu yeyote afikekatika paa la nyumbakwa haraka hivyo kupatavideo ya tukio, wakatiwatu wakipiga risasikutoka mahali tofauti?M a p a a y a n y u m b ayalikuwa ya kawaida bilakuwepo sababu ya mtuyeyote kuwepo hapo. Siyokwamba ilikuwa ni paa lamatangazo ya biashara auchochote.

    K w a n i n i w a t u

    SEHEMU ya mamilioni ya Wafaransa walioandamana Jumapili iliyopita baada yashambulio la Charlie Hebdo.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    13/16

    13 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakala

    Hii ni Vita ya MsalabaInatoka Uk. 8wasiovaa Kiislamu.

    Huh i t a j i ku f ikaL o n d o n a uBirmingham kufanyautafiti kujua kuwataarifa hizi ni urongom t u p u . L a k i n iz ina t angazwa navyombo vya habarivinavyoheshimika nakutegemewa.

    Kama ilivyokuwaz i l e h a b a r i z aMsema Kweli, mtoataarifa kama hizi nawanaozitangaza nakuzichapisha, wanajuakuwa wanachosema niurongo mtupu. Lakiniw a n a c h o k u s u d i ani kujenga chukina kuamsha hasiraza kisasi kuhujumuWaislamu.

    Europe Is UnderSiege , ni kichwacha haba r i kamail ivyoandikwa na Je rey Goldberg (TheAtlantic). Ukisemanchi ipo under siege,u n a c h o m a a n i s h ani kuwa nchi hiyoi m e z i n g i r w a n amaadui. Watu hawanapa kukimbilia.

    Ak i tumia tuk iola Charlie Hebdo,mwandishi anasemakuwa Ulaya haijakuwakatika kitisho kibayat o k a k u m a l i z i k aVita Kuu ya Pili yaDunia kama sasainapokabi l iwa nakitisho cha Uislamu.Anasema kitisho hichokinadhihirishwa naThe massacre at theo ces of Charlie.

    A n a s e m a ,waliofanya mauwajihayo ni Jihadistsw a n a o w a c h u k i aWayahudi na Wakristo

    na ambao Allah waona Muhammad haohawawezi kujihamimpaka wapiganiwe nahawa Jihadists.

    We in the Westbelieve that blasphemyis a r ight and nota c r ime anasema Jef f r ey Goldbe rg ,akimaanisha kuwak a t i k a U l a y a ,kukashifu (Uislamu)sio kosa la jinai balihaki na uhuru. Na

    akaongeza kuwahawa J ihad i s t s ,w a k i m a l i z a n ana Wayahud i naw a c h o r a k a t u n i ,watawageukia watuwengine wa Ulaya.Yote haya ukitizaman i kuchochea nakupandikiza chukidhidi ya Waislamu, nakwa upande mwinginek u w a u n g a n i s h aWa k r i s t o k a t i k aCrusade.

    Waswahili wanam s e m o w a o ,m a r e h e m u h a n ahaki . Ukishakufakama ilikuwa ajali, b a s i y a t a s e m w am e n g i k w a m b am a r e h e m u n d i oaliingia barabaranikizembe. Katika tukiola Paris, watuhumiwawashauliwa, sasa lolotelinasemwa na hatunanamna ya kuwahojiw a t u h u m i w a .M i o n g o n i m w ayanayosemwa ni kuwawatuhumiwa walipatamafunzo ya kigaidikutoka Yemeni.

    Al-Qaeda in Yementhreatens France withnew attacks, ni mojaya vichwa vya habariw i k i h i i v i k i d a ikuwa shambulio laUfaransa lilipangwana kuratibiwa kutokaYemen na kikundicha Al-Qaeda in theArabian Peninsula(AQAP) na kwambaAQAP hao wanatishiakufanya mashambulizizaidi Ufaransa. Habarihiyo imepambwa napicha inayoonyeshaw a t u w a k i v a l i aK i i s l a m u , l a k i n iwakiwa wamefunikanyuso zao wakishikilia bendera kama zile zaAl-Shabaab na IS.

    Maelezo chini yapicha hiyo yanadaik u w a a l - Q a i d ah a o w a l i k u w aama wakitoka amaw a k i e n d a k a t i k amahali walikokuwawakifanya mkutano

    w a k u p a n g amashambuizi ya Paris!

    Habari nyinginekama zilivyoripotiwana Shirika la AFPkutokea Washingtoni k a s e m w a k u w aw a l i o s h a m b u l i aC h a r l i e H e b d owaliwahi kusomakatika shule za Yemen,na kisha kuhudhuriamafunzo ya kigaidikatika kambi za Al-Qaida ndani ya nchih i y o ( A l - Q a e d atraining camps).

    "Baadhi ya vijanawa Ufaransa hawanaadabu. Wanamkoseaa d a b u M u n g una Mtume wake.Vijana kutoka katikakundi letu (AQAP)wamewaendea nakuwafunza adabu.

    A F P i n a d a ikuwa hiyo ni kauliiliyotolewa na Al-Qaida kule Yemenkuthibitisha kuwawao ndio walihusikakupanga na kuratibushambulio hilo.

    Taarifa ya Shirika laHabari la AssociatedPres s (AP) nayoinadai kuwa uongoziwa Al-Qaida, Yemenumesema umeongozashambulio hilo nawal i fanya vyemak a t i k a k u c h a g u ashabaha hiyo.

    Britain's MI5 chiefwarns al Qaeda in Syria planning mass attackson West. MI5 warnsal Qaeda planning Paris-style a ack on U.K.

    Hivyo ni moja yavichwa vya habarivikimnukuu Mkuuwa Idara ya Ukacheroy a U i n g e r e z a ,MI5, akidai kuwamagaidi wanapangakushambulia Ulayana kusababisha maafamakubwa zaidi ya yaleya Paris. Katika taarifayake kachero huyoAndrew Parker, yeyeanadai kuwa magaidiwaliohusika ni Al-Qaida wa Syria.

    Chakushangaza nikuwa kachero And rewParker anadai kuwa japowameweza kugunduakuwa kuna mpango wa

    kufanya mashambulizizaidi ya kigaidi, lakinihawawezi kuyazuiya.Unaweza kuuliza hapa,wamejuaje habari hizina kwa nini washindwekuzuiya mashambulizihayo baada ya kujuakuwa yanakuja.

    Baadhi ya vyombo vyahabari viliambatanishahabari hiyo na pichai k i o n y e s h a w a t uwaliofunika nyuso zaowakishikilia benderayenye maneno ya kalmaya Shabada na manenomengine ya Kiarabu.

    Bosi wa M15 akisemah a y o , C B S N e w swakakoleza kitishowakidai kuwa taarifa zakikachero zinaonyeshakuwa Al-Qaida na ISISwanashindana, naniatakuwa wa mwanzokuipa kichapo Marekani b aad a ya h ik i ch aUfaransa. Walisema:Security Expert: ISIS, AlQaeda In A Race To SeeWho Can A ack New YorkCity First.

    H a b a r izinazosambazwa hivisasa z inadai kuwaHayat Boumeddieneanayedaiwa kuwa mkewa gaidi mtuhumiwaA m e d y C o u l i b a l y,ametoroka Ufaransana sasa amefanikiwak u i n g i a S y r i a .Inadaiwa kuwa AmedyCoulibaly, alihusikakuvamia na kutekaduka (supermarkets u p e r m a r k e t ) l aM y a h u d i , a m b a p oaliuliwa na polisi. Kwa

    nini idaiwe kuwa Hayatkakimbilia Syria?Mara baada ya taarifa

    za Hayat Boumeddienekuwa kaingia Syria,zilisambazwa taarifak a t i k a m i t a n d a oakionyeshwa AmedyCoulibaly kavaa kanzuna kilemba, pembenikuna bunduki hukukukiwa na bendera yaIS. Katika taarifa hiyoinadaiwa kuwa Amedyalikiri katika uhai wakekuwa yeye ni mfuasi

    wa Khalifah Abu Bakral-Baghdadi.

    Mwandishi JustinRaimondo ameandikam a k a l a a l i y o i p akichwa cha habar i M a a n d a m a n o y aWa n a f i k i ( M a r c hof the Hypocr i tes) .Katika makala hiyo

    anaonyesha jinsi tukiola Paris linavyotumikakuhalalisha nchi zaUlaya kuingia kijeshiSyria kumaliza kazi yakumngoa Bashar Assadna kuisambaratisha nchihiyo kama walivyofanyaLibya.

    J us t in R a i m o n d oananukuu maelezokatika gazeti la NewYork Times, yakionyeshamaswali na majibuya kughushi ikidaiwakuwa ni Amed alikuwaakihojiwa na kukiri kuwayeye aliyeshambuliaduka la Myahudi nawale walioshabuliaCharlie Hebdo, ni kitukimoja na wote ni wakundi la Abu Baghdadkatika Syria (IS).

    M w a n d i s h ianaunganisha maelezohayo na kauli za JohnMcCain akihimiza kuwaSyria kunatakiwa no-

    y zone, ili ipatikanesababu ya Marekani naNATO kuingiza ndegeza kijeshi kummalizaB a s h a r. Kis ingizokwa sasa kitakuwakwamba ugaidi waISIS umeingia mpakaParis na kwamba hunanamna ya kuwamalizaIS ukamwacha Bashar.Na alishasema RaisB a r a c k O b a m a ,kwamba ni lazimaamalizwe kwanzaBashar kabla ya IS.Hivi sasa IS ndio

    kisingizio cha kuingiaSyria.Kwa hiyo ukitizama

    suala hili la Paris, amailikuwa limepangwaili ipatikane sababuya kuhimiza NATOkuingia Syria kufanyavurugu ilizofanyaLibya au hata kamahaikuwa imepangwa,lakini sasa ni kamaimepatikana fursainatumika.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    14/16

    14 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARMakala

    Mauaji ya Paris: Ugaidi au tukio la kupangwInatoka Uk. 12Wahamiaji wa MarekaniKusini. Wanaharakatiwa mazingira na haki zawanyama. Wafanyakaziwa kawaida wa Marekani.

    Mwezi Apri l 2013,ushahid i u l ionyeshakuhusika kwa dola katikauga id i wa mi l ipuko

    ji jini Bost on . Tame rianna Dzhokhar Tsarnaevwalipachikwa kama waturahisi wa kulaumiwa.Hakuna kati ya nduguhao wawili aliyehusikana lolote lililotokea. Nchiza Ulaya zina misalabayao wenyewe ya kubeba.Z i k i s h i r i k i a n a n aMarekani kutawala dunia.Kuhitaji uhalalishaji wavita ya himaya. Kuendeshamisako dhidi ya uhuru wamtu binafsi ndani ya nchi.Ni njia gani bora zaidi ya

    kuinua hofu. Mashambulioya kupandikizwa yakigaidi (bendera potofu,inayoonekana ni ya aduikumbe ni ya wahusikatofauti) zinafanya kazi hiyovizuri zaidi. Zikikukwa napropaganda za vyombovya habari.

    Mwezi Machi 2004,ul ipuaji wa mabomukatika kituo cha trenicha Madrid ulitokea sikutatu kabla ya uchaguzimkuu wa Hispania. AlQaeda ililaumiwa. Bilaushahidi wa kuhakikishia.Woga ulijengeka. Kutoarai za mashambuliziya kufuatilia dhidi yawalengwa maalum nchiza Magharibi, pamoja naasasi lengwa za Marekani.

    Mnamo Julai 7, 2005,kilichoitwa ulipuaji wachini ya ardhi jijini Londonulishambulia mifumo yausa rishaji ya jiji. Wakatiwa msongomano majiraya asubuhi kwa ajili yakusababisha uharibifumkubwa zaidi na vifo.Muda huo huo, zoezi lakupambana na ugaidililifanyika. Likionyeshas h a m b u l i o h a l i s ilinavyofanyika. Wakatihuo, shirika la habarila AP lilisema ubaloziwa Israel jijini London

    uliyaonya makao makuuya jeshi la polisi nchiniU i n g e r e z a m a p e m akuhusu uwezekano washambulio hilo. Redio ya

    jeshi la Israel ilitangaza. "Makao makuu ya

    jeshi la polis i Uingerezayalikuwa na tahadhari zakijasusi za mashambuliohayo muda mfupi kablahayajatokea."

    H a k u n a h a t u ailiyochukuliwa. AliyekuwaWaziri wa Fedha wa Israelwakati huo, Netanyahu,alielekezwa kutohudhuriamkutano wa kiuchumi

    ji jini London. Al ikuwaa m e o r o d h e s h w akuzungumza. Maofisawengine walionywa. siyoraia. Watu 52 walikufa.Zaidi ya 700 walijeruhiwa.

    Mashambulio hayay e n y e m p a n g i l i ounaofanana yanaletashaka. Maswali muhimuyanabaki hayajajibiwa.Nani anafaidi? Nanianapoteza?

    Asubuhi ya 9/11, shirikala ujasusi la MarekaniCIA lilifanya operesheniy a k u t o a m i s a a d ainayohitajiika endapondege imeshambuliamajengo. Lilifanyika katika

    eneo lake la Chantilly, o siya uendeshaji ya Virginia.Liliigiza ndege moja ndogoikigonga moja ya majengoyake. Mwezi Oktoba 2000,makao makuu ya jeshila Marekani yaliigizandege ya kibiashara yaabiria ikigonga moja yamajengo yake. Majaribiokabla ya 9/11 yalitanguliakilichotokea kwa uhalisi.

    Hapo Juni 30, 2007. gariaina ya Jeep Cherokeeyenye makopo ya propaneilipoteza njia na kugonga

    milango ya vioo ya uwanjawa ndege wa kimataifa waGlasgow. Ni watuhumiwawale wale waliolaumiwa.Magaidi wa Kiislamu.

    M w e z i M e i 2 0 1 3 ,washambuliaji wawiliwalimwua askari waUingereza Lee Rigby.Mchana kweupe jijiniLondon. Waliodaiwakufanya shambulio hilowalibaki katika eneo hilo.Hadi polisi walipofikad a k i k a 2 0 b a a d a y e .Kwanin i iwe h ivyo ,haikuelezwa. Wauaji huwahawabaki mahali pa tukioili wakamatwe.

    Washambuliaji wotewawili walipigwa risasi nakukamatwa. Wakalazwa

    hospitali kwa matibabu.Mmoja alidaiwa kusema"lazima tupigane kamawanavyopigana nasi .

    J icho kwa j icho, ji no

    kwa jino." Kituo cha ITVcha Uingereza kilirushamkanda uliohaririwa.I l i d a i w a s h u h u d am w a n a m k e a l i p i g ahizo picha. Akiwepohapo muda unaofaa.A k i o n y e s h a k i j a n amweusi akiwa na damuzinamtoka mikononi.Akisema "tunaapa kwaAllah hatutaacha kupiganananyi." "Sababu pekeetunahitaji kufanya hivini kuwa sisi Waislamutunakufa kila siku."

    Ta a r i f a z i l i s e m akilichotokea ni tukio lakwanza lenye mkono waAl Qaeda la ndani ya nchitangu mashambulizi ya

    Julai 7, 2005 (yanayoitwaya 7/7)

    H a p o J a n u a r i 1 0 ,2010, siku moja kabla ya

    tetemeko kubwa la ardhinchini Haiti, kamandiya kusini (ya bahari yaAtlantiki) ya makao makuuya Jeshi la Marekani iliigizamazingira ya kimbungakupiga kisiwa hicho.Ikijiandaa kwa mipangoiliyosukwa kwa uangalifukutekelezwa. Ikiwa nipamoja na kukikalia,kukidhibiti na kukipora.

    N a i b u m k u u w akamandi hiyo, Jenerali P.K.Keen alikuwa Haiti wakatitetemeko lilipopiga sikuinayofuata. Akiwa tayarikuanzisha mwelekeow a M a r e k a n i . H a i t iimebakia koloni. Ikiporwakwa faida. Watu wakewakinyonywa. Wakiwahawana sauti kuhusumasuala yanayogusamaisha yao. Yakishikiliwana mkono wa chuma waMarekani.

    K i n a c h o f u a t am a s h a m b u l i z i y a

    Jumatano j i j ini Pa ri s ba do haki jaonekana .Labda washirika wa CIAwanapanga kitu kamahicho Marekani. Labdani hatua nyingine yakuondoa uhuru moja kwamoja. Kupanua vita yaNATO inayoongozwa naMarekani dhidi ya Uislamu.Kulenga binadamu kwa

    ju ml a. Kuka bi li an a naRussia. Kuchelea vita yanuklia. Wendawazimuwanaosimamia shughuli zanchi Marekani wanafanyakila kitu kinawezekana.

    (Makala hi i ParisKillings: Terrorism or False Flag? imeandikwana Stephen Lendman(January 9th, 2015) nakufasiriwa Kiswahili naAnil Kija)

    Pigo la mwisho kuhusu shambuInatoka Uk. 12walikuwa juu hapo, kwakuanzia, wali kiriaje ninikinaendelea na kuwa nasimu zao za mkononitayari kabisa kupiga pichaya video kutoka pembenzuri kuanzia mwanzohadi mwisho?

    J I B U : Wa l i k we n d ahuko kabla ya wakati,wakachukua nafasi, nakupiga picha za zoeziwali lokuwa wanajualitatokea. Ndiyo maelezopekee yanayoingia akilini.

    H a t a w a n g e k u w awatengeneza mapaa,wasingetambua kuwakuna kitu kinatokea nawakawa na kamera zasimu za mkononi watukadhaa kati yao wakapigpicha sa za video chini yasekunde 15 kupata tukiohili lililochukua chini ya

    dakika moja.Mielekeo ya kamera

    i l i y o t a y a r i s h w a n ampangi l io wa mudau l i o t u m i k a p e k e eunapigilia msumari kuwahuu ni udanganyifu,Kutumia muda kwanjia hiyo na kuchukuanafasi kufanya hivyo nikitu ambacho kwa hakikahakiwezekani.

    Hata roboti wa DATAmaalum za sinema kamaStar Trek (kufuatilia kituanga za juu) isingewezak u f i k a k a t i k a p a a .kugundua wapi pa kupigiapicha nzuri sana na kupatatukio hilo vyema kiasihicho.

    Dereva wa gari la"kutorokea" al ikuwas h u l e n i w a k a t i w a" t u k i o " Wa n a f u n z iwenzake wasimama naye.

    Wanafunzi wa darasa mojana mtuhumiwa mwenyeumri wa miaka 18 katikaupigaji riasi jijini Paris,ambao ulitokea jana yakemchana katika ofisi za

    jarida la Charlie Hebdow a m e s i s i t i z a k u w a

    alikuwa darasani wakatiwa tukio hilo ambakowatu 12 waliuawa.

    H a m y d M o u r a daliripotiwa kujisalimishapolisi kunako saa tanousiku baada ya kuona

    jina lake limetajwa katikahabari na marafiki zaken a w a n a o m f a h a m uwanasema hakuwa karibuna tukio, wakidai alikuwadarasani siku hiyo.

    ( I m e n u k u l i w akutafsiriwa na kuhaririwakutoka 2015 First False-Flag: TERROR HOAX INFRANCE.)

    KIKOSI cha uokoaji nchini Ufaransa.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    15/16

    15 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARHabari

    Askofu aliyetetea Waislamu

    Inatoka Uk. 16

    jeuri.Ak i f a fanua a l i s ema ,

    Stephane Charbonnier,alipoulizwa mwaka 2012, nikwa nini anamtukana Mtumewa Waislamu, alijibu kwa jeuri kuwa Muhammad hana

    hadhi wala utukufu wowotena kumtukana hakuna ubayawowote.

    Wakati huo huo , mchorakatuni wa magazine CharlieHebdo, ambaye hakuwao sini wakati wa shambulioamesema kuwa katunizisizotakiwa na Waislamulazima ziendelee kuchorwakwani kuacha itakuwa sawana kuwapa ushindi magaidi.

    Mchora ka tuni huyoBernard 'Willem' Holtrop,

    Danganya toto ya Samantha sasa yahamiwamepewa Samantha wao. Badalaya kuchambua utata unaogubikatukio la Paris ili kujua ukweli,sasa wanashughul i swa nahabari za Hayat Boumeddiene.Wanaambiwa kuwa mwanamkehuyo ndiye mbaya wao na kwasasa vyombo vya habari vinasemakuwa anasakwa kwa udi nauvumba.

    Binti huyu wa miaka 26anadaiwa kuwa ameolewa naAmedy Coulibaly, aliyepigwarisasi na kuuliwa na polisi katikalile shambulio katika duka laMyahudi (Jewish supermarket)Paris. Polisi wanasema kuwa,wawili hao ni hatari na muda wotewanatembea na silaha kali.

    P o l i s i w a n a s e m a k u w amsichana huyo inawezekana nimshirika wa Coulibaly katikaugaidi na kwamba Ufaransa

    haiwezi kuwa salama kama bintihuyo hajakamatwa au kuuliwa.Taarifa za kipolisi sasa zinadaikuwa Hayat Boumeddiene,ametorokea Syria.

    Picha za awali zi l ikuwaz i k i m u o n y e s h a H a y a tBoumeddiene, akiwa kichwawazi, akionekana msichana wakawaida tu. Hivi sasa baadhi yataarifa zake zinaambatanishwana mwanamke aliyevaa nikabuakishikilia bunduki.

    Lakini ili kuwashugulishazaidi Wafaransa na walimwengu,wasielekee kwenye kutafutaukweli, kila kukicha panaibukataarifa za kujichanganya. Marawatasema Al-Qaida wa Yemenwamekiri kuhusika, mara IS waSyria na hadithi kama hizo. Taarifaza juzi Jumatano zilidai kuwaAl-Qaeda wa Yemen wamekirikuhusika ili kulipiza kisasi chakutukanwa Mtume.

    "We, Al-Qaeda in the ArabianPeninsula, claim responsibilityfor this operation as vengeancefor the messenger of Allah. Theleadership of (AQAP) was theparty that chose the target andplo ed and nanced the plan...It was following orders by ourgeneral chief Ayman al-Zawahiri.The heroes were chosen and theyanswered the call".

    Anadaiwa kusema hayokiongozi mmoja wa Al-Qaidaaliyetajwa kwa jina la Nasseral-Ansi akimaanisha kuwashambulio la Paris lilipangwakutokana na amri kutoka kwaAyman al-Zawahiri, na vijanawaliotekeleza ni mashujaawalioteuliwa na wakakubalikutekeleza agizo hilo ili kuwatiaadabu watu wanaomchezeaMtume wa Mungu.

    Baada ya kupigiwa sana debehabari hizo, misururu ya watuilionekana katika miji ya Ufaransawatu wakinunua gazeti la CharlieHebdo ambalo limechapishatena kibonzo kilichodaiwa ni cha

    Mtume.Inaelezwa kuwa gazeti hilo

    lilichapa na kuuza nakala milionitatu (3,000,000) tofauti na kawaidayake ya nakala 60,000. Inabidi

    kuingia tena kiwandani kuchapanakala nyingine maana badolinahitajika.

    Wengi wa waliohojiwa wakiwakatika foleni za kununua gazeti

    hilo walisema kuwa wananunuaili kuwa mchango wao katikakupambana na magaidi.

    (Habari zimekusanywa kutokamashirika mbalimbali ya habari)

    Inatoka Uk. 16 anasema kuwa ili kutowapaushindi Islamists ni lazimakatuni ziendelee kuchorwana jarida la Charlie Hebdoliendelee kuzichapisha (NewYork Daily News.).

    Wakati huo huo, cnsnews,wamerusha kipindi ambapo J. Ma Barber anasema kuwaakisikia neno the prophetof Islam, inamjia picha yamtu anayenajisi watoto,anawachinja Wakristo naWayahudi, mfanyabiasharaya utumwa na mtu aliyeokotamaneno ka t ika B ib l i aakatengeneza Quran yake.

    Akimalizia maelezo yakeakatoa alichoita tofauti yaUislamu na Ukristo akisema:

    This is the di erence betweenChristianity and Islam. Theyare as day and night. One loves

    its enemies. The other murdethem. One frees women anchildren. The other binds themOne welcomes conversion. Tother compels it. One su e persecution. The other in icit. One is truth. The other a liOne o ers eternal salvation. Thother, damnation. Islam is th poison. Christ is the cure.

    Matusi kama haya ya kilasiku katika vyombo vyahabari vya Marekani naUlaya, ndiyo yaliyopelekeaAskofu Bill Donohue kusemakuwa Waislamu wana hakiya kukasirika.

    Na kama ni kulani mauwajiya Paris, basi watu wakemeepia na kulani uchokozi huukutoka kwa Wakristo dhidiya Waislamu.

    Amedy Coulibaly Hayat Boumeddiene.

  • 8/10/2019 ANNUUR 1160a.pdf

    16/16

    16 AN-NUURABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUAR16 MAKALA

    AN-NUUR16

    RABIUL AWWAL 1436, IJUMAA JANUARI 16-22, 2015

    Soma gazeti la AN-NUUR

    kila Ijumaa

    Kenya na kutokomea.Viongozi wa Kenya,wakaimba mzaha huo navyombo vya habari kamakawaida yao vikadaka nakutekeleza kazi ya vipazasauti.

    British Woman 'InvolvedIn Westgate Shopping Mall A ack', Says Kenyan Foreign Mi ni s te r , yal ir ipotimagazeti ya Uingerezana kisha kudakwa na yaKenya na Tanzania. Katikahabari hiyo ilielezwakuwa Waziri wa Mamboya Nje wa Kenya, AminaMohamed, amesema kuwakulikuwa na mwanamkeMzungu katika magaidi.

    Japo yeye hakutaja jina,magazeti ya Uingerezay a k a s h e r e h e s h a n a

    Danganya toto ya Samantha sasa yahami

    KUFUATIA mauwajiya jarida la CharlieHebdo, Askofu BillDonohue amesema,Waislamu wana haki

    kukasirika kwa sababuke je l i , ma tus i napropaganda juu yaozimezidi.

    Ha ta h ivyo , B i l lDonohue ambaye ni Raiswa taasisi ya Kikatoliki,C a t h o l i c L e a g u e ,Marekani, amesemakuwa, si sahihi kuuwakwa sababu ya katuni,lakini wanaotukanaWaislamu wakisingiziauhuru wa mawazo naowakemewe.

    A s k o f u Wi l l i a mA n t h o n y " B i l l "Donohue, ameyasemahayo akizingatia kuwaimedaiwa kuwa sababu

    Lewthwaite, the "WhiteWidow". Wimbo ukawaSamantha. Hakuna hataaliyejiuliza, mwanamkehuyo anayedaiwa kuwaAl-Qaidah na mfadhiliwa Al-Shabaab, aliingiajeKenya, wakati inadaiwakuwa kwa muda mrefuanasakwa na Interpol.Akapanga shambulio laWestgate, akalisimamia,na akaweza kuondoka

    b i la ku ta mb ul i ka nakukamatwa?

    Wa a n d i s h i w e n g iwataf i t i wamejar ibukutafuta ni nani huyuSamantha Lewthwaite,"White Widow" na anakaawapi kwa sasa, imekuwakitendawili.

    Hivi sasa Ufaransa nao

    Askofu aliyetetea Waislamu Asema wana haki kukasirikaPropaganda, matusi yamezidi

    Na Mwandishi Wetu

    Bill Donohue, Rais wa taasisi ya Kikatoliki, CatholicLeague, Marekani.

    KATIKA makala JichoPevu iliyoandaliwa naMohammedi Ali , nakurushwa na kituo chatelevisheni cha KTN,inaelezwa kuwa katikakilele cha mzaha wa

    shambulio la kigaidi,We s t g a t e , Wa k e n y awaliachwa na danganyatoto ya Samantha LouiseL e w t h w a i t e ( W h i t eWidow), wakihangaikanayo badala ya kujiulizamaswali ya msingi.

    K a t i k a m z a h a n adanganya to to h iyo ,Wakenya waliambiwakuwa mwanamke huyo waKizungu ndiye alipangana kuratibu shambuliola Westgate na baada yakulisimamia likafanikiwa,

    ya kufanyika mauwajiy a k i g a i d i k a t i k achumba cha habari cha

    jarida la Charlie Hebdo Jumatano iliyopita, nikatika kulipiza kisasikwa vile jarida hilolimekuwa likitoa katuniza kumtukana MtumeMuhammad (s.a.w).

    Catholic League nitaasisi inayotetea hakiza Wakatoliki katikaMarekani.

    Kuuwa kwa sababuya kutukanwa, hatai n g e k u w a m a t u s imabaya kiasi gani, ni

    jamb o la ku laan iwa.Ndio maana yaliyotokeaParis hayakubaliki.Lakini tusiwavumilie

    pia waliosababishahasira hizi za waliofanyas h a m b u l i o h i l i . Alisema Askofu Bill nakunukuliwa na vyombo

    vya habari.A l i w a l a u m u

    waandhishi wa gazetilililoshambuliwa kuwaw a n a k i u k a u h u r uwao kwa kuandika nakuchapisha vitu ambavyoni uwongo na hata matusikwa wengine.

    KinachowaunganishaWa i s l a m u k a t i k ahasira ni hii hali yakutukanwa Mtume wao.Wanapinga kutukanwakwa makusudi, kwamuda mrefu sasa waowanatukanwa tu, na kwahili mimi nakubalianan a o . W a n a h a k ikukasirika. Alisema.

    Akimaliza nasaha zakealisema kuwa mchapishaji

    wa gazeti hilo, StephaneCharbonnier, alijitakiakifo kwa kushiki l iakuwatusi Waislamu kwa

    Inaendelea Uk. 15