annuur 1180.pdf

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 27-Feb-2018

1.314 views

Category:

Documents


3 download

TRANSCRIPT

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1180SHAABAN 1436, IJUMAA , JUNI 5-11, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

    AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUS

    Mtume(saw) ameagiza, Fanyeni haraka kwendkuhiji. Tunahimizwa tuende kuhijji tungali vijanili tupate maisha bora yenye kudhaminiwa na

    Allah. Ni makosa kuakhi risha kwenda kuh ijMasahaba walikuwa wanashindana kwa wingi waHijja. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijjni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuna uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara

    0765462022;0782804480; 0717224437.Zanzibar:0777468018;0777458075;0777845010.

    (12) KIJANA WA KIISLAMU, UMESHAHIJI?

    Wadai bangi, madawa, yamekithirSerikali yatakiwa kuchukua hatua

    Masheikh Uamsho wambana PindaWajiweka kapu moja na Mzee Moyo, WariobWasema Kosa lao sawa la Mansour, OthmaIla wao waliwahi tu kumfunga paka kengel

    Wahitimu Segerea wahojunga unaingiaje gerezan

    Uk.

    JAJI Mstaafu Joseph Warioba (kushoto) akiwa na Waziri Mkuu mstaafu Dkt. SalimAhmed Salim.

    WAZIRI mstaafu wa SMZ, Mzee Nassor Moyo.

    SHEIKH Msellem Ali. SHEIKH Farid Hadd

    MHE. Mansour Himid. MHE. Othman Masoud.

    Uk.

    Takbir zarindima MahakamaniTuhuma za ugaidi:

    Polisi wataka kutembeza virungu

    Hakimu awazuiya kuepusha balaaNi baada ya Sheikh Hussein kuachiwa

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    2/20

    2 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    MWANDISHI wa KifaransaThierry Meyssan katikamakala yake Jihadists inthe Service of Imperialismanasema kuwa hivi sasa nchiza Magharibi hazifanyi tenakuwa ni jambo la siri juuya namna wanavyowatumiaWaislamu wapiganiaJihad, kufikia malengoy a o y a k i b e b e r u .Waliwatumia Libya, kama foot sol d i ers k u mt oamadarakani na hatimayekumuuwa Muammar el-Gaddafi. Wakati huo huokatika vita ya Syria, Israeliliondoa majeshi ya Umojawa Mataifa katika milimaya Golan na kuwabadilishana wapiganaji wa Kiislamuwaliojipa jina al-Nusra ilikuwapa wepesi Al- Nusra,kwa mori wao wa kijihad,wapambane na Bashar al-Assad.

    Thierry Meyssan, anasema,wakati ni rahisi sana kufahamuna kuelewa maslahi ya nchiza NATO katika kuwatumiaWapigana Jihad feki, kwahakika inakuwa ni vigumusana kubainisha ni vipi nakwa jinsi gani wapiganajijihadi wanaweza kumtumikiaUncle Sam kwa jina la Quranina wala wasijitambue kuwawanatumiwa.

    Katika uchambuzi wakeThierry Meyssan, anasemakuwa katika mambo ambayoni ya kujivunia na kwa hakikakuonyesha umahiri wakekatika kutekeleza majukumuyake kwa nchi na watu waMarekani, ni jinsi Pentagon(Makao Makuu ya Jeshi laMarekani) na CIA (ShirikaKuu la Ujasusi Marekani)zinavyofaulu kuwarubunimamilioni ya Waislamu nakuwapeleka kupigana kwamaslahi ya Uncle Sam.

    K at ika ku e leza h i loanasema kuwa ni wazi kuwa

    viongozi wa mujahidinahao watakuwa ni mamluki.Ila linalosikitisha na lakuwaonea huruma, ni haowapiganaji jihadi ambaowatakuwa wanaamini kuwawanapigana na kufa ili kupatanjia ya kuka Paradiso.

    Wamefikishwaje hapo?Imekuwaje wakapumbaakiasi hicho? Hilo ndio swalila msingi anajiuliza ThierryMeyssan.

    The answer is childishlysimple using the rhetoric of the

    Muslim Brotherhood as a start,its possible to evade humanreality and send them to killanyone you like as long as you

    Wapiganaji Jihadi wanaotumikiaubeberu: Hii inakuwaje?

    wave a red fag at them.Katika kujibu swali hilo,

    muuliza swali anasema kuwani jambo la kushangaza piakwamba hata jibu la swali nila kitoto mno. Ila linahitajimtu mwenye kutafakari.Anachosema ni kuwa watuhao huwa wanachezewa akilikitoto sana. Kinachofanyikani kucheza na saikolojia zaokuwa wanachopigania nidini-ukiwa wekea vibwagizomfano Quran ndio Katiba

    yetu, Uislamu ndio ufumbuzina Jihad ndio njia. Ukipatakio n go zi wa ku wajazamaneno hayo, wakamuaminikuwa ni Amri wa Jihad,anasema, unaweza kuwatumawatu hao wakamuuwa mtuyeyote, wakiamini kuwa hiyoni katika kupigania dini.

    Katika kuzidi kulichambuajambo hili, Thierry Meyssan,anasema kuwa tatizo kubwani kuwa watu huwa hawatakikukubali kuwa Mungualiwaumba akawapa akili nawanatakiwa wazitumie akilihizo. Watu wanayachukuliamaisha wanayoita ya ucha-mungu kuwa ni jambo jepesina halihitaji kutumia akili.

    It doesnt really matter ifthe Creator has made us allintelligent, we must, in allcases, apply the Word of Godlike a machine. And when thesituation is not dealt with in theBook, we should just smash it to

    pieces. The result is obviouslycatastrophic.

    Kwamba watu wanadhaniucha-mungu ni kufuata dinina maagizo ya Mungu kamamashine. Hakuna kutumiaakili. Na watu wakikishwahapo, inakuwa ni balaakwa sababu imani ya kidiniinaweza kuwafanya watuwakafanya mambo ya kutishabila kuogopa kwa sababuwanadhani ni njia ya kwendaPeponi. Hilo ndio tatizo la

    msingi.Imeandikwa sana jinsi

    Waislamu walivyotumiwakwa jina la Jihad kupiganana Mrusi , walichopatahakuna. Ikaelezwa sanawalivyotumika kumpigaGadha, kilichopatikana kwaWaislamu wala sio sifuri baliNegative, kwa sababu nchiimeingia katika machafukoyasiyo na dalili ya kukomakwa masiku na miaka yakaribuni. Lakini Waislamu haohao, bado wamo tu. Hivi sasawanapigana Syria na Iraq, bilakujua kuwa wanachofanya nikufanikisha kile kilichoitwa"A Strategy for Israel in the

    Nineteen Eighties". (Tazama:The Zionist Plan for theMiddle East)

    Anasema Thierry Meyssan,kuwa, kwa bahati mbayabaadhi ya Dola za Kiarabu,zimekuwa zikitumika katikakufanikisha mpango huu waKizayuni na kibeberu, wakiwawao wanachotizama nimasilahi yao kama watawala,tena ya muda mfupi bilakutizama athari mbaya zakudumu watakazoziletea nchizao, Mashariki ya Kati na nchiza Kiislamu kwa ujumla.

    Na kwamba kwa sasakinachoitwa Dola ya Kiislamu(IS) ya Abubakr al-Baghdadi,hakuna itakacholeta chenyemanufaa na Uislamu bali nikuutia Uislamu katika himayaya giza. Ni kama alivyosemaWaziri wa Mambo ya Nje waUfaransa Laurent Fabius,mwaka 2012, kuwa, Katika

    medani ya vita, (mujahidina)wanafanya kazi nzuri !(kuufanyia ubeberu)

    Tumeyaeleza haya kwasababu tunaona kuna hajaku bwa kwa Wais lam uk u t a f a k a r i k w a k i n awalikotoka, waliko hivi sasana wanakoelekea. Historiainatuonyesha kuwa Waislamundio walioutoa ulimwenguk a t i k a k i z a , w a k a l e t austaarabu. Ikafika mahali,wakaporwa nafasi hiyo nawatu wengine. Wakawa waoni watu wa kufuata wengine.Imef ika sasa Wais lamuwanatumiwa na kuwa kamakituko.

    Limesemwa jambo hapa,jambo la kutumia akili . Nayote haya ni katika ule msingikuwa jambo la mwanzoni kusoma. Tumekuwat u k i c h a p i s h a m a k a l azinazoandikwa na ndugu

    yetu Hamza Rijal akionyeshnamna watangulizi wetwalivyotoa mchango mkubwkatika taaluma mbalimbazinazotamba ulimwengunhivi sasa, wakati sisi tukibakkuimba kuwa ni za Wazungna wengine kufikia mahakuziita za kikari.

    Yote hii ni kuonyesha kuwmatumizi ya akili katikwakati wetu huu, yamekuw

    madogo mno.Kuna haja ya kujirud

    na kurejea katika Quratuone namna Mola weta l iv yo tu h im iza ju u ykutumia Neema ya akialiyotupa.

    Labda tujiulize, Alla(SWT) anapotuuliza katikQu r an : J e , h am f ik i r iHamtambui? Hamna akilHamzingatii? Anachokusudnini?

    Masheikh Uamsho wambana PindaMASHEIKH wa Uamshowamejiweka katika kapumoja na Mzee HassanNassor Moyo na MansourHimid wakisema kuwakosa lao ni sawa na lawanasiasa hao wakongwe.

    Wamesema, pamojanao pia ni aliyekuwaMwanasheria Mkuu waZanzibar Othman Masoudkwa mantiki kwamba,w o t e y a n a w a k u t a kutokana na msimamo waounaopingana na ule wawatawala ndani ya CCM.

    A i d h a , m a s h e i k hha o w a na o sh i k i l i w akwa tuhuma za ugaidi,

    wameonyesha wasiwasiwao juu ya kutekelezwakwa ahadi ya Waziri Mkuuya kushughulikia sualalao, wakisema yasije kuwayale yale ya Mahakama yaKadhi.

    Katika barua yao yawazi kwa Waziri Mkuu,Masheikh hao wanasemak u w a w a t a e n d e l e akuamini kuwa hawanakesi ya kujibu na kwambamashitaka waliyopachikwani mashi taka bandiayaliyotokana na mamboya kisiasa.

    Sisi tunaimani kuwasi wahalifu, na tuna imanikuwa Tanzania hakunaugaidi, na tunaamini kuwatumebambikiwa kosa kwalengo maalum kutumiamgongo wa Mahakamakutufunga muda watakaokwa (hoja) kuwa kosa laugaidi halina dhamana.

    Imesema sehemu yabarua hiyo ya wazi kwaWaziri Mkuu ambayoimeonyesha kuandikwana a l i y e j i t a m bu l i shakama Kiongozi Mkuu wa

    Ju mu iya ya Ma ima muZanzibar.

    W a m e f a n i k i w akutufunga ndani, huumwaka sasa hakuna kesiwala upelelezi uliokamilikak i l a t u n a p o f i k a

    Na Mwandishi Wetu m a ha k a m a ni w i m bowa DPP ni mmoja tu:Mheshimiwa Hakimu, kesiimeletwa hapa kutajwatu, mahakama yako hainauwezo wa kusikiliza kesihii. Tunaomba kupangiwatarehe nyengine kwakutajwa tenani mwakanenda rudi gerezaniSegerea-Mahakama yaKisutu.

    I m e o n g e z a b a r u ahiyo na kudai kuwawamebambikiwa kesiya ugaidi kutokana namsimamo wao wa wazikudai mamlaka kamili yaZanzibar.

    Barua ikataja watuw e n g i n e a m b a oyamewakuta kwa kuwa

    na msimamo tofauti naule wa CCM wa mfumowa muungano wa serikalimbili.

    Katika kulifafanua hilobarua imesema kuwahata wazee na makadawa chama kama MzeeHassan Nassor Moyo,aliye Muasisi wa ASP namuasisi wa CCM aliyebebakadi namba saba ya CCM,amefukuzwa chama nawajukuu wasioijua hatahiyo historia ya CCM.

    Pamoja na Mzee Moyowakasema kuwa ndiyosababu ya kufukuzwaWaziri Mansour YusufHimid na a l iyekuwa

    Mwanasheria Mkuu waZanzibar, Othman Masoudkwa msimamo wao wakutetea Zanzibar ndani yamuungano.

    Tofauti iliyopo baina yaoUamsho na waheshimiwahao ni kuwa tu waoMasheikh wamepachikwatuhuma nzito za ugaidi.

    Lakini wote yanawakutak w a k u w e k a w a z imsimamo wao juu yamfumo wa muunganouliopo kuwa haufai.

    Kwa upande mwinginebarua ikasema kuwa, hatawaheshimiwa sana hukuBara walioweka msimamo

    wao ulio tofauti na ulunaotakiwa na watawal

    wa CCM wa serikali mbihawakusalimika.

    Kama hilo halitoshMzee Mstaafu Jaji Wariobamekashifiwa bungenina hata kudhalilishwhadharani katika midahana mikutano kwa vile tTume yake ilipendekezMfumo wa Muunganoa m b a o u n a o n y e s hkutotakiwa na CCM.

    Mh. Waziri Mkuu, hawote wamesimamia dai serikali tatu, wamefikwna hayo,je, sisi viongowa dini tuliodai mamlakkamili hata kabla yTume ya Mabadiliko yKatiba kwa maan

    hukosei kusema kuwviongozi wa Uamsho ndiwaliomfunga paka kengelhebu tuj iulize, ikiwWaasisi (wa Mapinduzna CCM) wamefukuzwc h a m a , w a s t a a fwamedhalil ishwa, nwenye vyeo serikalinwamepoteza vyeo vyaohaishangazi serikali yCCM kutubambikia keya ugaidi sisi tuliomfungpaka kengele.

    Hata hivyo, pamojn a k u s e m a h a ywakakumbusha kuwkutoa maoni ni haki ykila raia na kila mwananchna wakasisitiza kuw

    hawataacha wala kurudnyuma.Mh. Waziri Mkuu

    tunapenda serikali ya CCMifahamu kuwa kutoa maonni haki yetu kikatiba nhatutaacha wala hatutorudnyumatunaamini iksiku kwa uwezo wa (AllahMuumba wa mbingu nardhi, ukweli utadhihirikna uongo utajitenga, tenkaribuni Inshaallah.

    Katika barua hiyo kwWaziri Mkuu ya Me23, 2015 Masheikha hawameelezea masikitikyao juu ya kauli ya Wazi

    Inaendelea Uk.

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    3/20

    3 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Habari

    Wahitimu Segerea wahoji unga unaingiaje Gerezan

    SERIKALI imetakiwakudhibiti uingiaji wamadawa ya kulevya katika

    gereza la Segerea Jijini Dares Salaam, ili kunusuruhali ya wafungwa naMahabusu wanaoingiagerezani humo.

    Ushauri huo, umetolewana baadhi ya wafungwana mahabusu walioingi nakutoka katika gereza hilona kushuhudia kukithirikwa uingiaji na utumiaji wamadawa hayo.

    Wakiongea na An nuurkwa masharti ya kutotajwamaj ina yao gazet ini ,wamesema kutokanana hali hiyo, inapelekeamiongoni mwa wafungwa

    na watuhumiwa gerezanihumo kufanya matendomachafu.

    Hata hivyo, An nuur,ilipowasiliana na Mkuuwa Gereza hilo maarufu

    Jijini Dar es Salam, KiyangiAbdal lah, i l i kupataufafanunuzi wa hali hiyo,alisema kwamba yupokatika mkutano.

    W a k i o n g e a k w amasikitiko wafungwa haowahitimu wa Segerea,wamedai kuwa wapowanaoingia gerezani humowakiwa hawatumii kilevichochote wala hawana

    tabia chafu, lakini hujikutawakiingia katika mitihanihiyo kutokana na halingumu wanayokutananayo gerezani humo.

    Imeelezwa kuwa vilevivilivyokithiri gerezanihumo ni unga, bangi,sigara pamoja na ugoro,na kwamba hali hiyomagerezani haitokujakuisha mpaka pale Serikaliitakapoamua kulipa uzitosuala hili.

    Wanaoathirika zaidini vijana na hili wazaziwanatakiwa waelewekwamba, watoto wengiambao wapo gerezani

    wamesha haribika, wenginewanaingia hawafanyim a m bo m a c ha f u a uhawatumii kilevi chochotel a k i n i k u t o k a n a n amakundi ya mle ndani nakukithiri kwa madawahayo, yanamsukuma kijanakuingia katika mambohayo. Alisema mmoja wawafungwa hao aliyemalizamuda wake katika gerezahilo.

    Katika maelezo yao,wamesema kwamba halihiyo inasababishwa namrundikano mkubwa wa

    Na Bakari Mwakangwale mahabusu ambao wengiwao wamo humo kwamakosa ya kubambikiwa,ulevi au ya wizi mdogomdogo.

    Wamedai ukiingia humo

    unashangaa kukuta mtuanatuhumiwa kwa kesiya simu, kesi ya kuku nawengine pesa, penginehai f ik i hata mil ioni ,tuhuma ambazo zinawezakumweka mwaka mzima,akiwa mahabusu sababuunaambiwa upelelezi haujakamilika.

    Sidhani kama watendaji(Polisi) wanakuwa makinina kazi zao, sidhanituhuma kama hizo ndogondogo zinaweza kuchukuazaidi ya muda wa masaa24, katika upelelezi nakubaini tatizo. Amesema

    m f u ng w a m w i ng i nealiyemaliza muda wake.Wakielezea namna gani

    madawa hayo yanavyoingia kutokana na uzoefuwao kwa muda waliokaagerezani humo, wamesema

    bila shaka madawa hayoyanaingizwa na baadhi ya

    Askari magereza walikosauadilifu kwa Taifa lao.

    Walipoulizwa ni kwa niniwanawadhania watumishihao wa Jeshila la Magereza,walisema uwezekano huo

    ni mkubwa kufanywa naMaafande, kutokana naupekuzi mkali unaofanywak w a w a t u h u m i w ana wafungwa kabla yakuingizwa gerezani humo.

    Wameeleza kwambakama kungekuwa nautaratibu wa kuwasachipia askar i Magerezawanaoingia katika zamukama wanavyosachiwawatuhumiwa na wafungwa,hawadhani kama madawahayo yangeingia gerezani.

    Serikali yetu ingetiliamkazo kwa Maaskari wakekatika kudhibiti hali hii

    kwa majaribio ya miezikadhaa tu kwa kuwasachi,badal a ya kuwa kazaniawatuhumiwa peke yao,kisha waangalie kwambauingizaji wa madawahayo unaongezeka auunapungua. Wameshauri.

    Wakielezea ugumu kwa

    wafungwa na mahabusukuingia au kuingizamadawa hayo, wamesemahawajui kama ni utaratibuau ni sheria kuwa kilaanayepelekwa gerezani, ni

    lazima apekuliwe akiwaamevuliwa nguo.

    Wameeleza kuwa wakatimwingine ukifikishwagerezani, katika ukaguziw a o u n a l a z i m i s h w autoe haja kubwa lengoni k u j i r i z i sha k u w amtuhumiwa hana dawaza kulevya, na kamahuna utaletewa chakulaule ili mradi utoe hajawahakikishe huna kitundipo uingie gerezani.

    Aidha, wameeleza kuwakitendo cha kuvuliwanguo, kurushwa kichurauchi wa mnyama na

    kupekuliwa sehemu za hajakubwa, ni suala la kawaidaunapopokelewa Segerea,wakahoji katika hali kamahiyo mtuhumiwa huyuataingizaje vilevi hivyo.

    K w a k w e l i n iudhalilishaji mkubwa namateso makubwa, lakini

    yote hayo wanadai nkuzuia kuingia na vitkama hivyo na vingine vyhatari.

    Sasa cha ajabu ukitokk a t i k a u pe k u z i hu

    ukaingia ndani unakutw a t u w a n a t u m i aunajiuliza haya madawy a n a i n g i a j e h u mgerezani. Wameeleza.

    W a m e s e m a k u wu n a p o k u w a h u mgerezani, ndipo utakappata jibu kuwa madawhayo yanaingiaje, kwm a a n a n y i n g i n e nkwamba miongoni mwhao maaskari walio katikngome ya Segerea, ndiwenye biashara ya madawya kulevya, sigara, ugorna hata bangi.

    Wamedai kuwa kunusiri mkubwa katik

    kufanya biashara hiyokwani hata Maafande hahawajuani kwa sababkila mmoja anafanya kwsiri kubwa, pamoja na hahiyo hawadhani kwambkama Serikali ikiamuitashindwa kumaliza tatizhilo.

    Takbir zarindima MahakamaniNa Bakari Mwakangwale

    K IVUM O ch a T ak b i r ,k i l i r i n d i ma n d an i yaMahakama Kuu MjiniMtwara, baada ya SheikhH u s s e i n M c h o m o l okuachiwa huru.

    Sheikh Mchomolo pamojana Waislamu wengine watano,kwa pamoja walikuwawakituhumiwa kujihusishana ugaidi.

    Takbira hizo ndani yaMahakama ziliwapelekeapolisi waliokuwepo kutakak u w a c h u k u l i a h a t u aWaislamu, hata hivyo Hakimuakaingilia kati.

    Katika kutoa hukumuya kesi hiyo iliyovuta hisiaza wakazi wengi mkoanihumo, hususani Waislamu,Hakimu aliyehukumu kesihiyo alisema Mahakama

    hiyo haijapata ushahidi wakutosha wa kuwatia hatianiwatuhumiwa.

    Kauli hiyo ya hakimu,ndiyo ilisababisha umma waKiislamu uliofurika ndanina nje ya Mahakama hiyo,kuzizima kwa kivumo chaTakbir, Allah Akbar.

    Hata hivyo, kutokana nasheria kutoruhusu kuongeaMahakamani mbele yaHakimu, Polisi alimfuataMuislamu aliyepiga Takbirkwa lengo la kumchukuliah a t u a , l a k i n i H a k i m ualimzuia.

    Taarifa zinasema kuwabaada ya Hakimu kumzuia

    polis i kuchukua hatuaa l iyo ku s u dia dh idi yaMuislamu huyo, alielezakwamba kivumo hichokilitarajiwa kutokea kutokana

    na hali ya kesi hiyo kuwa niya dini.Hivyo aliamuru Muislamu

    h u yo aach we n a walaasibughudhiwe.

    Maneno aliyoyasemahakimu yalinitia ujasirimkubwa na kwa mara yakwanza Waislamu wamepigaTakbir wakiwa Mahakamani,alisema Sheikh Mchomolo.

    Katika hukumu hiyoiliyochukua saa tatu nadakika arobaini kusomwa,Sheikh Mchomolo alionyeshaalimtaka Hakimu amueleze niipi hali ya ugaidi nchini.

    Awali akiongea na An-nuur kwa njia ya simu mudamfupi mara baada ya hukumu

    hiyo, Ust. Mchomolo, alisemaMahakama imeshindwakumtia hatiani kutokana nakukosa ushahidi wa kumtiahatiani.

    Maamuzi ya kesi yanguhapa leo (Alhamisi iliyopita)n i k u w a , M a h a k a m aimeshindwa kunitia hatianikwa s ababu h a iku p ataushahidi wa kutosha kufanyahivyo, kwa hiyo nimeachiwahuru lakini kwa mashartimaalum kwa muda wamwaka mmoja. AlisemaSheikh Mchomolo.

    Alisema katika maelezoyake, Hakim alieleza kuwakutokana na hali ya uvunjifu

    wa amani iliyopo nchini naUlimwenguni hasa kutokananna kuwepo tishio la ugaidi,Mahakama imemuamurukuripoti kwa R.C.O, kwa

    muda wa mwaka mmoja kilaikapo mwisho wa mwezi.Alisema hesabu hiyo

    imeanza Machi 5, 2015, sikualiyopata dhamana baada yakukamatwa na Polisi, lakinipia Mahakama imemtakakuwa raia mwema kwakipindi chote na asijihusishena mambo yanayo ashiriauvunjifu wa amani.

    Pia wamenitaka kuwamtu wa kuhamasisha amani ilinchi iwe salama, lakini kablaya kumaliza hukumu, hakimualinitaka niongee kama ninalolote la kuongea mbele yaMahakama. Alisema Sheikhhuyo.

    Alisema baada ya kupata

    fursa hiyo kutoka kwaHakimu, aliuliza swali akitakakujua ni ipi hali ya ugaidinchini.

    Hakimu alijibu kuwa nikutoa mawaidha makaliyanayoashiria ushawishi kwajamii.

    A l i p o j i b i w a a l i h o j itena, endapo atawaambiaWaislamu kwamba, Waislamuwenzetu wanazidi kushikwana wanateswa sana hukomahabusu, hivyo Serikaliin a f an ya dh u lm a kwaWaislamu, atakuwa amefanyaugaidi?

    Ali j ibiwa na Hakimuk w a m b a , k a m a h i l o

    analosema ni sahihi itakuwsi kufanya ugaidi na kamanafanya hamasa ili watwaichukie Serikali, baitakuwa anafanya ugaidi.

    A l i s em a m ae lezo yHakimu huyo na hukumya kesi yake ni wazi imetopicha halisi na uhalisia wtuhuma za kesi za Waislamkuhusu ugaidi, kwamba hizni tuhuma za kusingiziwa tili kuwatia dosari Waislamna Uislamu.

    S h e i k h M c h o m o l oaliwashukuru Waislamkwa duwa zao, hususanWaislamu wa mkoa wMtwara na miji yake ambawalikuwa wakijitokeza kwwingi kila inaposikilizwkesi yake kwa muda woaliokuwa anakabiliwa na kehiyo.

    Hata hivyo alisema lilimuhimu kwa Waislamu nkutoacha kupinga dhulmdhidi yao na kupigania diyao kwa kuhoa adhabu zduniani, kwani adhabu yAllah (s.w) ni kubwa kulikchochote.

    Sheikh Hussein Mchomolalikamatwa na Polisi Februa2 mwaka 2015 na kukarumande kwa muda wa mwemmoja, kabla ya kukubaliwdhamana ambapo alitokrumande Machi 5, 2015.

    Sheikh huyo ni miongomwa Waislamu waliokumbwna kamata kamata ya Jeshla Polis i , akituhumiwna Serikali ya Jamhuri yMuungano wa Tanzania kuwanajihusisha na masuala ykigaidi nchini.

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    4/20

    4 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Makala

    M A D A h i i y a s h e r i az a K i i s l a m u k u h u s ukumkufurisha mtu, nimuhimu sana wakati huuambao makundi mbalimbali yenye kra zilizokuwatofauti na sheria yameibuka,kiasi kwamba kuna wasiwasikuwa huenda vikundi hivi

    vinavyoibuka kukufurishawatu ama vinaundwa namaadui wa Uislamu auvinasaidiwa na wao. Kwaniakitokea Muislamu kufanyakazi ya kari, basi kar yeyehupumzika.

    Huko Nigeria waliyaachiam a k u n d i y e n y e f i k r apotofu na walifikiria kuwahayawezi kupata wafuasi,matokeo yake vijana kadhaawakajiunga na Boko Haramna kusababisha vifo vyaWaislamu kwa mamia kamasi amelfu. Walianza na krapotofu kuwa elimu ya shuleni haramu, na wanaosomawanakuwa makafiri. Ndiomaana juhudi kubwa ya

    Boko haharamu ni kuwauaWaislamu wenzao badala yakuwalingania makari.

    Fikra hii pia inafatwan a baadh i ya v iku n divinavyojitokeza siku hiziambavyo vina kasoro kubwakatika itikadi zao, na ikiwahawakuelimishwa, wanawezawakageuka kuwa kirusikibaya (virus) kama BokoHaram. Katika baadhi yanchi watu hawa wenye krapotofu hujitenga mwitunikwani wanaamini kuwanchi hizi ni Daru kufru naili awe salama Muislamuahamie mwituni. Huaminikwamba Waislamu wenzaowamekufuru na ni makari

    wanaostahiki kuuwawandiyo maana usishangaeukamkuta mwanafunzi wakike anayesomea udaktarianaacha chuo, kwa kuaminikuwa kusoma elimu ya shuleni ukari na waliosoma elimuhii wamekufuru.

    Watu hawa wanakosakuelewa kuwa hiyo elimu yasayansi ilianzishwa na Salafuwema. Wazungu walikujakuipata baada ya kutekwaSpain. Ndiyo maana mpakaleo kuna athari ya Uislamukwenye sayansi. Algorithimni fani aliyoianzisha Al khawarism. Neno alkali nineon la Kiarabu. Algebra ni AlJabir wote hao ni Maulamaa

    wa Kiislamu waliotokana naSala Wema.Mada hii i taendeleza

    kufafanua kuhusu ukafiri ,kwa sababu makundi mengiyanayoibuka hivi sasa yenyeitikadi kinyume na itikadiza Ahli sunaa, yanafananakatika suala moja tu: Namnawanavyokufurisha wenzao,na kutumia muda mwingikwa ubishi na mijadala isiyona manufaa. Na kuanza kaziya hukumu wala Kiyamabado. Wakamtia ukarini namotoni kila anayewakosoa.

    D i n i y a o w a o , n ikuwasengenya wenzao,kuwadharau na kuwakejeli.

    Misingi ya Ahli Sunaa katikakumtia mtu kwenye ukafri

    Na Mussa Ame

    Na hilo ni kosa kubwakisheria. Maulamaa waKisalafi wamekuwa mstariwa mbele kupinga watukuitwa makari kiholela bilaya hoja za wazi.

    Ibnu Taymiya anasema,Mimi nimekuwa mbeleku p in ga watu ku i twamakari au wanaki bila yaushahidi wa Hadithi sahihi

    ya Mtume(SAW) yenyekuthibiisha ukafiri huo.(Majmoo fatawa 3/229).

    Imam Naway anasema,ukafiri ni kujitoa kwenyeUislamu na hii hutokeakwa maneno ya kikari auvitendo vya kikafiri vyawazi na kwamba afanyamtu kwa makusudi, bilaya kulazimishwa, kamaakasujudia masanamu au juaau akajiingiza katika uchawiunaohusiana na kuabuduju a au ku abud u vium be .(Rawdha Talibyn-7/283-284).

    Fatwa ya Maulamaa waKisalafi wa Saudi Arabiakuhusiana na ukari wa mtuasiye na elimu na akawaanakejeli dini, na akawaanaabudu makaburi kwakwenda kuomba maitimakaburini. Kamati hii amiriwake alikuwa ni Ibnu Baaz(Allah amrehemu).

    Kuifanyia mzaha nakukejeli dini, kama kuikejeliQurani au sunna, ni ukariikiwa unatokana na mtum wen ye aki l i t im am umtu mzima, italazimikak u a m b i w a k u w a h u uni ukafiri ili atubu, lakinikama ataendelea baada yakuelimishwa, basi atakuwakari, kwa mujibu wa SuratuTawba, (9:65-66)

    Kuabudu makaburi nakuabudu miungu kinyume

    na Allah (SW), ni ukafirim tu an ayef an ya h ayaLazima kwanza aambiwe naaelezewe hukma ya masualahayo, kama akakubali sawa,akikataa atakuwa mshirikinana akifa atakufa katika shirkina ataishi milele motoni

    (Kamati ya kudumu yautati na fatwa mjeledi wapili-Aqida uk 13-14 , pia

    fatwa no 5213 ya 15/1/1404H)Kutokana na fatwa hizoza hao Masalafi, ni dhahirkwamba vijana wetu wanamakosa ya kuufahamumsimamo wa Salafi, nalabda hukosea kuchukuamisimamo ya pahala fulaniwakaileta kwengine bilaya kuchunguza tofauti yamazingira. Mfano mzurini ule msimamo wao wak u w a o n a w a n a o o m b amakaburini huku Tanzaniani sawa na wale wa Saudia.Kule Saudia wameeleweshwan a wakakatazwa s as aanayeshikil ia kuabudukaburi kwa kuliomba huwakafiri. Lakini huku kwetutumezaliwa katika bidaa nakuomba makaburini , sasakinachotakiwa cha kwanza nikuwaelimisha watu hawa (siokuanza kuwatukana wakatiwanafanya kwa kutokujua),kuwaeleza ubaya wa bidaazao, na kuwafahamisha kuwakuabudu makaburi ni shirki,na haya yanahitaji upole nahikma siyo kutukana watutu. Huo si Uislamu.

    Na pia ni makosa kusemakuwa hutaki kuwasemeshawatu wa bidaa, na wakatimwengine hao ni wazee wako.Sasa ndiyo maana vijanahawa hufanya mambo mengibila ya ruhusa ya wazee waoeti kwa sababu wanawaona

    ni makari! Mbona Mtume(SAW) alimlingania ami yakeAbi Talib aliyekuwa kafiri,mpaka anakata roho anampadaawa. Mtu m e ( S A W)alimlingania Abuu Jahli zaidya mara mia tena kwa upolena huruma. Nabii Musa (AS)alimwendea Firauni kwalugha laini kumlingania. Sasakinachohitajika ni daawaienezwe.

    K u n a s eh em u h u komikoani hali inatisha sana.Uislamu haujulikani kabisa.Daawa haijaka. Sasa, tuachemalumbano ya kujadili kamaSaidi Qutub ni kar au laa.

    Sisi hatutaulizwa kuhushao, tutaulizwa kuhusu hawmakari wa sasa wanaokosdaawa. Tutaulizwa kuhusWaislamu waliokosa elimya aqida wakati wetuTutaulizwa kuhusu wazewetu ambao wamezaliwk a t i k a m a z i n g i r a ykutambika, kufanya uchawkuacha sala, kuzini ,kulewna kufanya maasi. Sasa kab

    hatujawahukumu, kuwa nmakari, basi tuwalingankwanza.

    Kuna f ikra ya Salakuhusu kuwatenga nkutowasemesha watu wbidaa. Kuhusu hili unahitakutumia kidogo tu akiyako na kutizama historiKwamba Mtume (SAWaliamrisha kutosemeshwkwa kina Kaab bni Mali(RA) wakati Madina ilikuwdola ya Kiislamu yenykuongozwa na sheria zKiislamu na wale Masahabwalifanya kosa hili baadya kuwa na elimu juu ykosa lenyewe na kuwawekvikwazo kulileta faida y

    kuwarekebisha. Hivi leusipowasemesha Waislamwenzako kwa kufanya kolile lile la Kaab, jee faid ganitapatikana. Kwanza hawaovu ndiyo wengi katikjamii, wanaosali ni wachachtena hii si dola ya Kiislamu nchi tu ya kijahili. Sasa wakakama huo wa kijahili Mtum(SAW) hakumtenga mtwala kumuwekea vikwazAlikuwa akipiga daawDaawa kwanza kuwaadhibwaovu baadaye. Ukipatmamlaka. Kila kitu kinwakati wake. Huwezi kuvunmpunga kabla kuupandukaupalilia .

    Sasa tusome dini n

    tutumie akili zetu. NdivyMtume (SAW) alivyokuwakiwaambia Maswahabalipowapeleka sehemmbalimbali.

    Wabillahi tawiq

    WANAWAKE wa Nigeria walipoandamana kupinga vitendo vya Boko Haram.

    wa Mambo ya NdaniMheshimiwa MathiasChikawe juu ya malalakoyao.

    Wamesema kuwa kauliya Waziri Chikawe kuwamtuhumiwa aliyelalamikak u d h a l i l i s h w a

    achunguzwe isije ikawak a f a n y i w a m a m b oa m ba y o n i m c he z owake aliozoeya ni yakumdhalilisha mlalamikajina isiyotarajiwa kutokakwa kiongozi mstaarabuwa serikali.

    Kwa lugha nyepesitu, barua hiyo imemtakaMheshimiwa Chikawekupima kauli yake kwakujiuliza kama angewezak u t o a k a u l i k a m ahiyo iwapo ingekuwamalalamikaj i ni mtuanayemuhusu.

    Kwa kumalizia baruahiyo imekariri madai ya

    Masheikh hao kwambwanataka walioumizwwachunguzwe afya zao nkupatiwa matibabu.

    Na pili wakashitakiwZanzibar kwa sababu hatkule kuna Mahakama Kuna ndiko inakodaiwa kos

    kufanyika.Sisi Wazanzibari daletu turejeshwe nchinkwetu Zanzibar. Zanzibatuna Mahakama Kukongwe kuliko ya BarTuna Gereza Kuu, TunRais, tuna DPP, tushitakiwMahakama Kuu Zanzibasio Kisutu wala MahakamKuu Tanganyika (TanzanBara) iliyovaa koti lmuungano. Hatuna imannayo.

    Imehitimisha barua hiyya wazi kwa Waziri Mkuambayo gazeti hili imepanakala yake.

    Masheikh Uamsho wambana PindaInatoka Uk. 2

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    5/20

    5 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Makala

    S O M A L I A a m b a y oilijulikana kama Jamhuri yaDemokrasia ya Somalia, ninchi iliyopo katika pwani ya

    Afrika ya Mashariki katikaPembe ya Afrika. Kijiograa,imezungukwa upandewa Kaskazini-Masharikina Ethiopia na Djiboutina upande wa magharibiimepakana na Kenya.Mashariki kuna Ghuba yaAden.

    Somalia ilikuwa koloni laItalia tangu miaka ya 1888hadi mwaka1960 ambao ndiomwaka nchi hiyo ilipopatauhuru. Kuanzia mwaka1888 Italia ilijipatia nchi yaSomalia kupitia mikataba yaulinzi dhidi ya Masultanimbalimbali waliokuwa

    wakitawala maeneo madogokwenye pembe ya Afrika.Ukoloni wa Italia ulianza

    kuwekeana mikataba kuanziamwaka 1889 na Sultani wabandari ya Hobyo na mtawalawa Usultani wa Majerteen.Mwaka 1892 Sultani waZanzibar alikodi bandari yaBanadir iliyokuwa kati yaMogadishu hadi Brava kwaItalia. 1905 Italia ilinunuaeneo hili kutoka Zanzibar nakulitangaza kuwa koloni naMogadishu kuwa mji wakemkuu.

    Baada ya vita kuu yakwanza ya Dunia, Waitaliawalikabidhiwa eneo laKismayu kutoka Uingereza.Walilitawala kwa jina laOltre Giuba (Ngambo yamto Juba) na kuliunganishana Somalia ya Kiitalia Juni30, 1926. Wakati huo huowaliamua kumaliza hadhiya Sultani za Majarteen naHobyo ya kuwa nchi iliyochini ya ulinzi na kuchukuamaeneo ya Masultani haona kuyafanya sehemu kamiliya koloni lake ndani yaSomalia. Uamuzi huu waItalia ulisababisha vita kaliiliyopiganwa kwa kipindi chamiaka miwili, kwa sababuMasultani waliona mikataba

    yao ya ulinzi ilivunjwa,wakapinga jeshi la Italia.

    M w a k a 1 9 3 6 I t a l i aikaiunganisha Somalia naEthiopia na kuifanya kuwakoloni lake ndani ya Afrikaya Mashariki.

    Wakati wa vita kuu yapili ya Dunia, koloni la Italialilivamiwa na Uingerezamwaka1941. Mwaka 1949Somalia ilirudishwa tenamikononi mwa Italia kwaniaba ya Umoja wa Mataifa.

    Mwaka 1960 utawalawa kikoloni ulikwisha naSomalia ikapata uhuru wake.

    Somalia yatimiza miaka 20 ya vita tangu kuangushwa Siad BarreNa Shaaban Rajab

    Somalia ya Kiingereza

    Somalia ya Kiingereza auBritish Somaliland lilikuwani eneo linalokaliwa naUingereza katika Somalia yaKaskazini. Eneo hilo tangumwaka 1961 lilikuwa sehemuya Jamhuri ya Somalia namwaka 1991 likawa Jamhuriya Somaliland, yaani nchi

    isiyotambuliwa na umma wakimataifa lakini yenye tabiazote za nchi huru.

    Uingereza iliingia katikaeneo hili baada ya Misrikuondoka mwaka 1885,ba ad a ya ku sh in dw a najeshi la Mahdi huko Sudan.Uingereza iliingia kwasababu iliona umuhimu wakutawala pande zote mbiliza Bab el Mandeb, ikihoanchi nyingine za Ulaya hasaUfaransa iliyokuwa na kolonilake la kwanza Ubuk (Obok)katika nchi ya Djibouti yasasa tangu 1862. Somalilandilitawaliwa awali kama mkoawa Uhindi wa Kiingereza nabaadae ikawa chini ya Wizaraya Makoloni huko London.

    Hata hivyo Uingerezailikutana na upinzani mkali wawenyeji kuanzia mwaka 1899wakiongozwa na kiongoziwa kidini , MohammedAbdullah Hassan, aliyeitwana Waingereza MullahMajununi. Waingerezawalijibu vita iliyopiganwamiaka 20 iliyoua takribantheluthi moja ya wakazi wotewa eneo.

    Mwisho wake Uingerezailiweza kumaliza upinzanikwa teknolojia mpya ya

    ndege za kijeshi zilizotumiakwa mara ya kwanza katikaAfrika, mabomu na bundukiza mitambo kutoka angani.Wakati wa vita kuu ya pili yaDunia, eneo likatwaliwa tenana Italia tangu Agosti 1940lakini likachukuliwa tena naUingereza Machi 1941.

    Somalia ilipata uhuruwake i l ipof ika 26 Juni1960. Julai Mosi ikawa ni

    muungano wa Somalia (YaKiingereza na Kiitalia). Hatahivyo baada ya kuporomokakwa serikali ya Jamhuriya Somalia, eneo la awalila Somalia ya Kiingerezalikatangaza uhuru wake Mei1991 na kujiita Jamhuri yaSomaliland.

    K w a s a s a , n c h i y aSomalia haina mamlakaya serikali ya umoja wakitaifa, imegawanyika katiya makundi ya wapiganajiwa madhehebu ya Kiislamu,wan a jes h i wa s er ika l iwakisaidiwa na vikosivya Umoja wa Afrika nawanamgambo wa koo na

    wababe wa vita.Tarehe 26 Januari 1991

    Dikteta Mohamed Siad Barrealiyeitawala Somalia kwazaidi ya miaka 20 alilazimikaku ach ia m adaraka n akukimbia nchi baada yakuvurumushwa na mbabewa kivita, Mohammed FarahAidid. Kuanguka kwa dolaya Somalia kulikolezwa zaidibaa da ya kumal izika vitabaridi.

    Katika enzi za vita baridi,Mohammed Siad Barrealikuwa kipenzi cha kambiya kijamaa ya nchi za Ulaya

    Mashariki, lakini baadayealigeuka na kuwa kipenzicha nchi za Magharibi. Lakinibaadae nchi za Maghari biziliiona Somalia kwambakuanguka siasa za magharibi

    nchini humo na katika ukandawa pembe ya Afrika, kwanchi hiyo kubadili mwelekeona kuegemea zaidi ujamaa.

    Mis aada ya n ch i zamagharibi ambayo ilikuwamuhimu katika kuimarishanguvu ya dola ya Somaliai l iko m a. K u to kan a n akukosa nguvu za kuimarishamfumo wa siasa za nchi,Rais wake wakati huo SiadBarre alishindwa kuiendeshanchi na jeshi lake. Katikamiaka ya 1980, utawala waSiad Barre ulipata upinzanimkubwa hivyo kusababishakungolewa madarakanidikteta huyo wa kijeshimwaka 1991.

    Januari 1991 alipinduliwana kutolewa Mogadishuna vikosi vya uasi vyaUnited Somali Congress(USC) ambavyo vilikuwavikiongozwa na FarahAideed aliyekuwa akipatamsaada zaidi kutoka kwajamii ya Hawiye, ambao niukoo mkubwa na uliokuwaunalimiliki eneo la kati Kusinimwa Somalia. Tangu wakatihuo Somalia imetumbukiakatika janga la vita vyawenyewe kwa wenyewe,huku ikikosa serikali imarahadi sasa.

    Kuanguka kwa dolaya Somalia kulitokana namsururu wa sababu. Kunasababu za ndani kwa ndanina zile za nje. Yaani sababuza wakoloni na mataifajirani na wasomali wenyewendani ya nchi. Miongo yavurugu iliendelea kutawalanchini Somalia. Vita vyawenyewe kwa wenyewe vyakumiliki dola vikatamalaki.Mogadishu ilikuwa kamauwanja wa uhalifu mtupuwa kuwania madaraka,ambayo makundi mbalimbaliya kisiasa, kikoo na kidiniwalipigana kwa ajili ya

    ukuu katika nchi jambolililoendeleza umwagajidamu. Kwa muda mrefunchi, haitawaliki, hakunak i n a c h o f a n y i k a , t a i f alimeandamwa na mikosi yakila aina, njaa, uhalifu, vitank.

    Tangu wakati huo hadisasa, nchi imekosa serikaliim ara , wap igan a j i wamadhehebu ya Kiislamuwanataka kuydhibiti dolakwa kuwa muda mwingiserikali dhaifu na kibarakaa m b a y o i m e s h i n d w akusimamia ustawi wa nchi.Lakini pia wapo wababe

    wa koo kubwa za Kisomalambao nao wanataka kudhidola.

    Kuna wakati vilikuwepvita baina ya dola ya Somalna dola za jirani na zaidvikiwa ni vita vya Ogadevya mwaka 1977 hadi 197kati ya Somalia na EthiopiKulikuwa na mzozo wndani kati ya mamlaka kuna tawala za kifalme na jamzilizokuwa za mfumo wmaisha ya kifugaji, yote hayyalisababisha kuvurugikkwa mamlaka ya nchKuna wakati kiliundwchama cha Somali NationMovement (SNM) mwak1982 ambacho kilitokana nukoo wa Isaaq. Wapiganawa SNM walikuja kuzua vikamili vya wenyewe kwwenyewe mwaka 1988 pawaliposhambulia ngome zserikali za Burco na HargeisAmbapo Serikali ili j ibmashambulizi hayo kw

    kutoa kipigo kwa ukoo wIsaaq na kuua watu 50,000 nkusababisha wengine 650,00kukimbilia nchi jirani zEthiopia na Djibouti.

    Kuna wakati wapiganawa Kiislamu waliunganishnguvu zao na kuunda Umowa Mahakama za Kiislamchini Sheikh Sharif Ahmaambaye baadae alikuja kuwRais wa serikali ya mpitSomalia na kufanikiwku io n do a m adarakanserikali dhaifu waliyoionkuwa ni serikali kibaraka.

    Somalia ikapata mwelekmpya. Lakini hilo nalhalikukubaliwa na nchi zMagharibi listawi. Fitn

    ikapenyezwa na Marekanna Ethiopia ikatumikkuondoa madaraka Umowa Mahakama za Kiislamuliokuwa umeanza kulenuru Somalia.

    Yakawepo makundi ywapiganaji wa Kiislamna Wapiganaj i wa kokubwa hama Hawiye nwote wanadhibiti baadhya maeneo ya nchi hiyohuku kukiwa kuna chochokilichopatikana.

    Hata serikali ya mpitinayoungwa mkono nUmoja wa Afrika hainnguvu za kutosha.

    Nchi hiyo ya pemb

    ya Afrika imekuwa kamhaina mwenyewe, wapwalioigeuza kuwa ngome ymaharamia, wapo wanaotakkuitawala kulingana na ukowenye nguvu zaidi.

    H a k u n a u t a w a lm adh u bu t i wa s h er iahakuna mamlaka yenynguvu kusimamia watwote, kila upande unafanyupendavyo. Kwa miaksasa ni ghasia, rushwaunyanganyi na vifo.

    Nchi imekuwa ya maishya vita na mauaji kila upandMaisha ya uzima ni ykubahatisha.

    SIAD Barre

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    6/20

    6 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Makala

    KUNA usemi na usemi huuni wa Kichina ambao tafsiriyake ni:

    N y a y o i l i y o n y o k a ,h a i k i o g o p i k i a t ukilichopindika. Maanaya usemi huu ni kwambam t u m w e n y e m a a d i l iy a l i y o n y o k a , h a o g o p iumbeya au udaku. Yaani,

    huwa haogopi kusengenywaau kutiwa hewani, kamawasemavyo mitaani. Madhalianachofanya au anachosemamtu huyo ni cha haki nacha kweli, kisicho ila walawaa, madhali ameongoka naamenyoka, hapaswi kuwa nahofu ya kutiwa midomoni.

    K w a b a h a t i m b a y a ,baad hi yetu wenye uchuya ku wap iga daru bin iwanasiasa, hususan walewenye madaraka, hatukosi wakuwatia hewani kila uchao.Wanajitakia wenyewe. Hayohusababishwa na hulka yaokwani tabia moja waliyo nayowanasiasa, wa mirengo narangi mbalimbali za kisiasa,ni ya kuupindapinda ukweli.Hufanya hivyo wakijuwa

    kwamba wanadanganya nakwamba wanaowadanganyaw a n a j u w a k w a m b awanadanganywa. Lakinih a w a w e z i k u j i z u i awasidanganye.

    Inawezekana kwambawanapodanganya, nafsizao huisuta midomo yao.Hatujui. Tujuacho ni kwambawamezoea kudanganyan a k w a o k u d a n g a n y akumekuwa kama mchezo.Kama kucheza bao chini yamwembe.

    Mtu huwa na mengi yakuj iuliza anaposimamaWaziri Mkuu bungeni kamaalivyosimama Waziri Mkuu,Mheshimiwa Mizengo Pindawiki iliyopita na kusema,akiwa na macho makavuna bila ya kuyapepesa,kwamba hayajui yaliyowakamashekhe 24 wa Jumuiya yaUamsho na Mihadhara yaKiislamu, kwa ufupi Uamsho,waliokamatwa Zanzibar nakupeleka kufungwa gerezaniBara kwa tuhuma za ugaidi.

    M a h a b u s u h a owanashitakiwa kwa makosamanne ya ugaidi na kesi yaoiko katika Mahakama yaKisutu jijini Dar es Salaam.Washitakiwa wamekuwawakilalamika na kudaikwamba mashitaka hayoni ya bandia na kwambak i l i c h o w a c h o n g e a n imsimamo wao wa kuupingamfumo wa Muungano uliopo,halikadhalika kupiganiaZ a n z i b a r i r e j e s h e w em am laka yake kam i l i .

    Wamekuwa wakidai kwambahuo msimamo wao ndioulioikera serikali na kuifanyaiwabambikie mashitaka yaugaidi.

    Katika nyakati tofauti,walipofikishwa mbele yaMah akam a, m ah abu s uhao walie leza, bi la yakubania, unyama wanaodaik w a m b a w a l i f a n y i w awakiwa gerezani. Shutumah izo z im een ea n ch in i ,zinazungumzwa mitaani,barazani na zimetajwakwenye vyombo vya habari.

    Inawezekanaje kwambaWaziri Mkuu awe peke yakeasiye na fununu yoyote yashutuma hizo? Itakuwajemtu mwenye wadhifa wakuongoza serikali, kama

    La UAMSHO na alichosema PindaNa Mwandishi Wetu

    MHE. Muhammed Sanya. MHE. Mizengo Pinda. MHE. Mariam Msabah

    alionao yeye, asijulishwepale vyombo vinavyomsaidia

    k u s i m a m i a s h e r i avinapotuhumiwa kuwavimepotoka?

    Na hata kama hajapashwahabari na wasaidizi wake,huwa hasomi magazetin a k u f u a t i l i a m a m b ok w e n y e v y o m b o v y ahabari? Hana asa maalumanayeshughulika na habarina anayemjuza yanayojirinchini kila siku? Haingiiakilini kwamba Waziri Mkuumsomi kama yeye hanautaratibu huo.

    Walipofikishwa awaliMahakamani washitakiwah a o w a l i d a i k w a m b aw a l i p o k u w a g e r e z a n iwalipigwa, waliteswa naba ad hi ya o wali in gi li wak i m w i l i k i n y u m e n amaumbile . Kwa ufupi,walilawitiwa. Huu ni unyamausio kifani, ni unyama wenyekulivunjia heshima taifa laTanzania, serikali yake naviongozi wake.

    Huo ndio unyama ambaoWaziri Mkuu anatwambiakwamba hana habari naoilihali uliripotiwa kwa kinana waandishi wa habariwaliokuwapo mahakamaniw a k a t i s h u t u m a h i z ozilipokuwa zikitolewa.

    Kwa vile hizo ni shutumanzito ambazo baadayezimekuwa zikizungumzwamitaani, barazani na kwenyevyombo vya habari, unakuwana haki ya kujiuliza, WaziriMkuu huyu anaishi nchigani? Anaongoza serikaliipi?Anawatumikia wananchi

    wepi?W a l a h u t o l a u m i w aukikiria kuwa labda yeye nimiongoni mwa wale wenyemasikio yaliyozibwa kwavizibo maalum ili yasisikieyasemwayo.

    A u p en gin e an ah is ikwamba hana ubavu wakuwakosoa wanaotuhumiwakukiuka haki za binadamu?Labda ana uungwana wakutoweza kufanya hivyokwani si yeye aliyewahikuwaruhusu polisi wawatieadabu waandamanaji kwakuwapiga? Alijisema wakatihuo, wapigwe tu!

    Hatujasahau yaliyojiriBungeni wakati mmojapale Waziri Mkuu Pinda

    alipokuwa akimjibu Mbungewa Kilwa Kaskazini, Murtaza

    Mangungu, aliyelilaumujes hi la Pol isi kwa ngu vulinazotumia linapopambanana wananchi wanapokuwawanaandamana.

    Pinda alimjibu Mangungukwa kusema: Ukifanya fujoumeambiwa usifanye hikiukaamua wewe kukaidiutapigwa tu maana hakunanamna nyingine maana wotelazima tukubaliane nchi hiitunaiendesha kwa misingiya kisheria sasa kama weweumekaidi hutaki unaonakwamba ni imara zaidi, wewendio jeuri zaidi watakupiga tuna mimi nasema muwapigetu, kwa sababu hakunanamna nyingine maanatumechoka sasa.

    H a p o W a z i r i M k u uPinda amekiri mwenyewekwamba amewashajiishapolisi watumie nguvu badalaya sheria kupambana nawaandamanaj i aki juwavyema kwamba wananchihao hawakuhalifu sheriana kwamba wamekuwawakitumia haki walizopewana Katiba ya nchi.

    S a s a i k i w a P i n d aa m e w a a m r i s h a p o l i s iw a w a p i g e w a n a n c h iwenye kutumia haki zaoza kikatiba za kukusanyikana kuandamana, atawezajekuwakemea polis i haohao wakiwatesa mahabusiwanaotuhumiwa kwa ugaidi?

    Ndio maana Mei 21 kwenyekikao cha maswali ya papokwa papo Bungeni alijifanyakama mtu al iye j ibanza

    nyuma ya miti na asiyeonawala kusikia yaliyo bayanamitaani.

    Kwenye kikao hichoMbunge wa Mji Mkongwe,Muhammad Sanya, alimtakaWaziri Mkuu aunde TumeMaalum ya Uchunguziitayochunguza tuhumaza ukatili na unyamazilizotolewa na viongoziwa Uamsho walio gerezaniTanzania Bara.

    Sanya al i tumia nenounyanyasaji lenye maanaya kutesa, kudhalilisha aukuonea. Na ikiwa tuhuma zaSheikh Farid Hadi Ahmed,mmoja wa mahabusu hao,zina ukweli, basi hivyo ndivyowalivyofanyiwa wengi

    wao gerezani huko Bara:waliteswa, walidhalilishwa

    na walionewa.Vitendo vyote hivyoni vyenye kukiuka hakiza binadamu, ni vyenyek w e n d a k i n y u m e n amaadili ya utawala borana ni sababu za kutoshazinazoweza kuwafikishawenye kuvitenda mbele yaMahakama ya Kimataifa yaJinai mjini Hague, Uholanzi.

    Alichopaswa kukifanyaMheshimiwa Waziri MkuuPinda na mawaziri wakewa Sheria na wa Mamboya Ndani mara tu baadaya kuibuka shutuma hizoMahakamani, ni kuunda jopomaalum la kuzichunguza auwalau kutoa taarifa rasmiya kiserikali kuzikanushakama ni shutuma zisizo namashiko. Iwapo shutumahizo zina ukweli, hata ikiwani nusu ya chembe ya ukweli,bas i il iku wa waj ibu wakekuwachukulia hatua zifaazowenye kuhusika. Katika halihiyo mawaziri wa sheriana wa mambo ya ndaniwangewajibika kujiuzulupamoja na maosa wa ngaziza juu wa magereza.

    Waliotambulika kuwa ndiowaliotesa wangefikishwaMahakamani wakashitakiwan a k u p e w a a d h a b uinayostahiki, watapopatikanana hatia. Mheshimiwa WaziriMkuu Pinda hakuchukuwahatua zozote alizostahiliachukuwe. Badala yakealikimbilia msituni kujibanzanyuma ya miti akijidaikwamba hakuwa akijuwa

    Sanya akisema nini.Alisema alikuwa hajui

    Sanya anawazungumzakina nani, seuze kujuwaiwapo wamo gerezani, walahakujuwa wamekamatwakwa kosa gani licha yakwamba walishafikishwakabla mahakamani zaidi yamara moja.

    Lenye kutisha zaidi nikwamba hawa ni watuwanaoshitakiwa kwa makosaya ugaidi, si kosa moja, nimakosa manne na WaziriMkuu anasema hana habarinao. Tena katika kesi yakwanza ya aina yake nchini.Wala hakuwa akijuwa jinsimahabusi hao walivyoteswa.Na ikiwa hujui kitu ndio

    h u ju i . U n aku wa h u ndhambi. Huna lawama wahulaumiki. Ikiwa Pindametumia mantiki hiyo, baametumia mantiki finyiliyopindika.

    Ukweli wa mambo nkwamba hatuwezi kumtolawamani, kwani ni muhakabis a ya ku wa h a juyaliyowaka hao mashekhwa Uamsho.

    Mwisho hivi majuzi tu M11, Farid aliyaeleza Mahakamkwa ufasaha na uwaznamna walivyotendewMiongoni mwa aliyoyasemni kwamba tukiwaachwao 24 walioshitakiwa kwkesi moja kwa jumla kunWazanzibari wasiopungu50 walio katika magereza yBara wakishutumiwa kwmakosa ya ugaidi.

    Farid alieleza jinsi wenwao walivyochukuliwm aju m ban i m wao s anane za usiku, wenginwalivyovunjiwa milangyao na kusarishwa kutokZ a n z i b a r k u p e l e k wTanganyika, hatua ambayalisema, ni ya udhalilishakwa vile Zanzibar in

    Mahakama yake Kuu yenyhadhi sawa kama MahakamKuu yaliyo Bara.

    Aidha, Farid alisimuln a m n a w a l i v y o k u wwakih o j iwa kis h en zkikatili walipoka Bara.

    Alitoa mfano wa jinalivyokuwa akisai l iwmshItakiwa mwenzakSheikh Msellem bin Alaliyemuelezea kuwa nmtu mwenye kuheshimikkiongozi wa Jumuiya yTaasisi ya Kiislamu na mfasiwa Quran Tukufu. Alisemkwamba Msellem alihojiwakiwa uchi kama mnyama

    A l i o n g e z a k w a m btakriban wote walihojiwnamna hiyo. Kwa mujibwa Farid, Msellem baaday

    alihojiwa akiwa ametundikwhuku akifungwa pingu haakiwa uchi.

    Farid na mwenzake SaluAli walimueleza Hakimkwamba wenzao wannwamegoma kula chakula nhali zao ni mbaya na ndimaana hata hawakudirikkuka Mahakamani. Kati ywaliohudhuria walikuwepwaliokuwa wakichechemekwa sababu ya kuteswwalidai kina Farid.

    Kiongozi huyo wa Uamshaliongeza kudai kwamba keyao ni ya kisiasa kwa sababalisema, walitiwa nguvunkwa vile wamekuwa wakidZanzibar irejeshwe heshimyake na kwamba pawepusawa baina ya Zanzibar nTanganyika.

    Farid, aliyesema: hatuwezi kudhulumiwhaki yetu tukakaa kimyaA l i m w a m b i a H a k i mkwamba yeye na wenzakwan ah i ta j i J a j i Mku uMwanasheria Mkuu wSerikali ya Mapinduzi yZanzibar, MwanasheriMkuu wa Serikali ya Jamhuya Muungano wa Tanzanna Waziri wa Katiba wZanzibar, waende gerezankuonana nao.

    Ni ajabu kuona kwambyote hayo yakijiri, WaziMkuu anasema kwambyeye hajui chochote kuhuskadhia hiyo.

    (Makala hii ni kwa hisanya Zanzibar Daima)

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    7/20

    7 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Makala

    Profesa Ibrahim Noor Shari

    Propaganda za udini shuleni Tanzania-5

    Hii ni picha iliyochorwa karibuni na wenye siasa kaliza udini Tanzania yenye udanganyifu usioingia akilini.

    MUDA waliokuwa baadhiya Wazanzibari na Waarabuwamenunua watumwa

    ulikuwa ni mdogo sanaukilinganisha na ulewalioutumia Wazungu. NaZanzibar yenyewe ni nchindogo sana tukilinganishana nchi zilioko Amerika. SirJohn Gray anatuelezea kwaKiingereza kuwa:

    Tafsiri: [] Ama mwishonimwa 1821 au mwanzonimwa 1822 yeye [Sayyid Said]aliwapelekea barua maosawake Afrika kupiga maru-fuku kuwauzia watumwadola yoyoyote ya Kikristo.

    Kwanini Sayyid Saidakapiga marufuku kuuzwawatumwa 'nchi za Kikristo?Moja katika sababu ni namnaya ukhabithi waliokuwa

    wakifanyiwa watumwawa Kiafrika na WazunguWakristo. Hata Bwana akizaana mtumwa wake, basi siajabu akipungukiwa napesa kumwuza mwanawealiyemzaa pamoja na suriyawake. Angalia kisa cha Kezekatika kitabu cha Alex Hailey"Roots."

    Sasa iwapo kuanzia 1822/3Sayyid Said bin Sultan alipigamarufuku, katika mamlakazake (mulimokuwa wakiishiWaswahili na Waarabu)kuuziwa watumwa Wakristowakati ambao Wafaransana Waportugizi wametiafora katika kununua naku s af i r i s h a watu m wak u t o k a M s u m b i j i n asehemu za Afrika Kusinina Magharibi (kuwapelekakatika nchi zilioko Amerika)na Waswahili na Waarabuh a w a k u w a w a k i e n d aBara ndani kuwakamatawatumwa, sasa waliokuwawakifanya hili ni nani? Jawabuliko wazi kabisa, makabilaya Kiafrika yaliyokuwana nguvu. Kwa hivyowalioshtadi na kuikakaniabi as ha ra hi yo wali ku waWazungu wakifuatiwa naWaafrika, wala sio Waarabuwala Waswahili. Waislamuwengi wametenda mengik u o n d o s h a b i a s h a r aya utumwa. Ukweli huu

    ku kh u s u a l iyo yaten daSayyid Said bin Sultan kwamfano hausomeshwi kabisakatika shule za Tanzania.

    Badala yake yanayooneshwavitabuni na kusomeshwani maovu matupu kukhusuWaislamu. Anayesifiwa niMwingereza peke yake.

    Tumeonesha waziwazikuwa usomeshaji wa historiaTanzania umejaa propagandaza udini dhidi ya Uislamu,na Waswahili na Waarabuwanatumiwa tu katikapropaganda hizo. Hili likowazi kabisa kuwa miongonimwa wale waliopewa jukumula kuandika vitabu vyahistoria vinavyofundishwam a s h u l e n i T a n z a n i ahawakuitendea haki iledhamana waliopewa nawameonesha unafiki nachuki zao za wazi kabisadhidi ya Uislamu, Waislamu,Waarabu na Waswahili, nawameonesha waziwazimapenzi yao juu ya siasa kaliza udini ambazo ukiziangaliautaona hata hazilingani namafunzo ya Yesu.

    Ili kuhakikisha uongohuu na tna hii inatapakaana kuganda katika bongoza wanafunzi, basi kilasehemu ilipotajwa utumwana kuoneshwa picha utaonapicha hiyo ni ya Mwarabuau ya Mwafrika Mwislamuili kuonesha taswira ya kuwawatendaji wa uovu huo siwengine bali ni Waislamu.Ingawa waandishi wa vitabukama hicho cha Historia chaForm Two, Perazia Kaloly, naFelix Kiruthu wamesisitizakatika jalada la mwishola kitabu hicho umuhimuwake wa kuweka michoroili kuonesha uhalisia thabitiwa kitendo au tokeo lile,wameandika yafuatayo:

    I l u s t r a t i o n s a n dphotographs t hroughoutthe book to depict authenticsituations.

    Tafsiri: Michoro na pichakatika kitabu chote nikuonesha uhalisia thabiti wamatokeo.

    Inasikitisha kuona baadhiya picha zilizomo vitabuniama zimeghushiwa au zileza matokeo yaliyobuniwa

    a m b a y o k w a h a k i k ahayakutokea kabisa AfrikaMashariki, na hata Afrikakwingineko, bali zimeingizwakwa makusudi kwa lengo lakupotosha ukweli na hapanashaka zitakuja kuleta chukina mifarakano katika jamii,kama si leo, basi karibuni.Waandishi hao wa vitabuhivyo vya shule vya historiawamesahau kuwa tunaishikatika ulimwengu ambaoumepevuka kimtandaowa khabari, na ni rakhisim t u k u g u n d u a k i l alililoghushiwa. Nitanakilipicha nyingine ziliomovitabuni na mukhtasari wa

    maelezo yake ili ufanyemilingano na tathmini nauwe hakimu wa kuzihukumupicha zenyewe, na piauwahukumu waandishi wa

    vitabu hivyo vya historia,khalafu ufanye uamuzi amauwe pamoja na upotofu huona uwaachilie watoto wetuwaendelee kupotoshwana kujazwa chuki dhidiya ndugu zao Watanzaniawenzao na binadamu wenzaowasiokuwa Watanzania,na patakapoanza patashika na nguo kuchanika,n a h aya yam es h aan zaTanzania, tufahamu tu kuwahapatakuwa na mshindiila kuenea vifo na khasarakubwa kwa nchi nzima.Nakariri, hakuna atakaeibukakuwa mshindi, nchi yoteitakhasirika ila pasimamehaki na kukemewa batili

    na kuondoshwa dhulma zapropaganda ili kuondoshamfarakano katika jamii.

    Soko za Kuuza na KununuaWatumwa Afrika Mashariki

    Picha mbili zinazofuatazinakhusu soko za watumwaAfrika Mashariki. Ya kwanzanitakayoizungumzia ni ileinayotokana na maelezo yasoko la watumwa Zanzibariliochorwa katika miakahiyo kama jinsi soko hilol i l i v y o s h u h u d i w a n aStanley. Picha na khabarizake zaidi utazipata katikakitabu kinachoitwa Journeythrough Africa. Picha ya

    pili Tafsiri ya manenoyaliyoandikwa chini ya pichainasema:

    Mateka wepya wa TIPOwakipelekwa utumwani

    Yameshuhudiwa na Stanley.K am a tu l iv yo e lezea

    kabla, Tipu Tip aliwahimara moja tu kuwakamatawanyonge bara na kuwauzahukohuko bara. Kwa ajiliya tokeo hili moja, wenyesiasa kali za udini wanamtajaTipu Tip kama ndiye yeyealiyekuwa mkamataji namfanya biashara mkubwakabisa wa watumwa. Piatumeeleza kabla kuwa TipuTip hakuwa mkamatajimkuu wa watumwa walahajawahi kufanya misafaraya watumwa na kuwapelekapwani. Kama kweli alikuwana watumwa, kwaniniasiwatumie watumwa hao

    kumchukulia bidhaa zakebara badala ya kuwaa ji riwapagazi na kuwalipamapesa? Stanley pia aliajiriwapagazi kupitia kwa TipuTip. Jee, na Stanley piaalikuwa mfanya biasharamkuu wa watumwa?

    tutakayoi-zungumzia piainaonesha soko la utumwaZanzibar ambayo imechorwakatika kitabu cha Darasala Tano, ukarasa wa 42 namchoraji Cloudy Chatanda,katika kitabu kilichoandikwana Denis H.S. Mangwela.Iangalie hii picha ya kwanzakwa makini:

    Picha hii inatupa hali

    inayoingia akilini ya sokla watumwa lilivyokuwa ninaelezea mengi kama vikuwatambulisha wanunuz

    wauzaj i , wapagazi , nwatazamaji ambayo ni haya kawaida inayoonekankatika kila soko, iliyobakwewe mwangaliaji uiangalpicha hiyo vizuri, na umwekkila aliechorwa hapo sehemanayostahiki kwani tokeo hililitokea na kushuhudiwa nmtu ambaye anaaminiwa nwengi. Mimi tafsiri yangya mchoro huo ni kuwwatumwa ni Waafrikamadalali ni Wazungu aMuhindi, wanunuzi nW a z u n g u , w a m i l i kwapagazi na wasafirishani Waafrika, watazamani Waarabu na Waswahiwanunuzi wa pembe ztembo na bidhaa nyingine Waarabu na Waswahili. Hindivyo picha inavyosemLakini, hapana shaka yoyokuwa na baadhi ya Waarabna Waswahili pia walishirikatika ununuzi wa watumwingawa picha hii haioneshhilo, na sababu yake nwazi kabisa, nayo ni kuwwaliokuwa wanawahitajwatumwa kwa wingi sana nWazungu katika makolonyao na si Waswahili nWaarabu.

    S a s a s o m a m a n e nyafuatayo ya al iekuwMuakilishi wa Ubalozi wKiingereza Zanzibar uyawekkatika picha hio na uhukumkama yalivyo-nukuliwa nR.Coupland:

    Tafriri: Wakati Hammertoalipopandisha benderya Uingereza Zanzibam w a k a 1 8 4 1 , a l i k u tjuml a ya Wahindi raia wKiingereza kisiwani au katikmiji ya mwambao ndanya utawala wa Said katikAfrika Mashariki ilikuwtayari ni kubwa; alihisabidadi yake mwaka 184kuwa karibu ya Mabaniyakhamsu mia na WahindWaislamu baina ya sita nsaba miya. Khalafu mapemakagundua biashara karibzote za Afrika Masharikzilikuwa katika mikono yaSehemu kubwa ya biasha

    ya utumwa, pembe za ndovna sandarusi, aliandikmwaka 1841, [biashara hizzinafanywa na wenyeji wIndia, Waarabu wanafanymachache au hawatendchochote katika hayo. Nmwaka 1844 [kaandikaAlimradi Waarabu wakiwezkununua watumwa kwa brahisi kuwalimia mashambyao ya karafuu, ambayhuwapatia faida kubwni machache unayowezkutegemea kutoka kwao.

    Yaani, Warabu walikuwh a w a k u j i s h u g h u l i s hna kukamata wanyong

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    8/20

    8 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Makala

    UCHAGUZI Mkuu wa Urais,Wabunge na Madiwaniumekaribia sana. KwaWaislamu, mazingira yauchaguzi Mkuu wa mwakahuu, ingawa yanaonekanakuwa tofauti na chaguzizilizopita, lakini kimsingihakuna tofauti yoyote.Waislamu kama jamii,hawajawahi kunufaikana ushiriki wao katikasiasa za nchi hii. Nguvuzao za kisiasa zimekuwazikitumika tu kuuwekan a k u u p al i l i a mfu moambao umewakandamizan a u n a e n d e l e akuwakandamiza. Tangu enziza mapambano ya uhuru,

    Waislamu, kama raia wa nchihii, wamekuwa mstari wambele kupigania heshima naustawi wa taifa hili. Ingawawametoa mchango mkubwasana katika mapambanoya kumngoa mkoloni,lakini mchango wao huoumefichwa kwa makusudina kumekuwa na jitihadakubwa za kupoteza historiahii adhimu ya Waislamu.

    Kwa kipindi kirefu sana,Waislamu wamekuwa namadai yao ya msingi. Nakama ilivyo ada, Serikaliya nchi hii, katika awamuz a k e z o t e , i m e k u w aikip u u za m adai h ayo .Waislamu wamelalamika,

    wamefanya makongamano,wamekaa Itikafu, wamelia,wameandamana, wamejaribukutumia kura zao, lakini badoSerikali imekuwa kiziwi kwamadai ya Waislamu. Imekiamahali Waislamu tunajiuliza,nini itakuwa hatma yetu nakizazi chetu hapa Tanzania?

    Kwa wale wanaofuatiliamambo sawasawa, utaonatangu wakati wa mapambanoya kudai uhuru, mfumo wakisiasa uliowekwa nchiniT an zan ia u n awaen gu aWaislamu. Mfumo hauwatakiWaislamu, bali unatakamajina yao tu! Ili Waislamuwanufaike na mfumo wakisiasa uliopo, basi lazimawashiriki s iasa bi la yaUislamu! Lakini wenzaowa upande wa pili, mfumounawabeba, wanashiriki siasawakiwa na dini yao. Huo ndiyomtego uliowekwa kwenyeuwanja wa siasa Tanzania.Waislamu wanatakiwa waweWatanzania (wazalendo) zaidikuliko walivyo Waislamu!

    B a a d a y a M s w a a d awa Mahakama ya Kadhikukwama Bungeni, kutokanana nguvu ya Wakristo, kunabaadhi ya watu wameshaanzakuwachagiza Waislamu,kutumia kura yao vyemawakati wa uchaguzi Mkuuwa Oktoba mwaka huu.Nimeona nizungumze kidogo

    Uchaguzi Mkuu Oktoba, ujumbe kwa Waislamu!Tushiriki siasa kwa kuchunga mipaka ya Uislamu

    Na Said Rajab

    kuhusu ushiriki wa Waislamukatika siasa, ili watu wabayawasije kuwachuuza kamawanavyofanya kila wakati.Tuwe tunawaambia ukweliWaislamu kuhusu mfumowa kisiasa wa Tanzania natuache kujipa matumainihewa. Kweli kabisa, mfumowa kisiasa wa Tanzaniaumewaangusha Waislamukwa kipindi kirefu mno.Kuwanganganiza Waislamuwashiriki siasa zilizojengwajuu ya mfumo huo, bila yakutafuta majawabu halisiya kwanini umeshindwakuwasaidia tangu awali,ni kusaidia tu jitihada za

    kuwatosa Waislamu. Lamsingi zaidi kwa Waislamuhivi sasa ni kutafakari kwakina, vipi wataendeleakubaki na dini yao katikamazingira haya magumu.Kwa kuzingatia muktadhahuo, nitaangazia nukta nnemuhimu ambazo nahisizinahitaji ufafanuzi mzuri,ili Waislamu waweze kutoatafsiri sahihi ya mamboyanayotokea hapa nchini,hususan yale yanayowahusuwao na dini yao.

    Kwanza kabisa, ni vyemaWaislamu wakafahamu kuwakipaumbele chao cha msingini kutekeleza Uislamu,

    maadili yake na mwenendowake. Waislamu nchiniTanzania lazima waendeleekutekeleza Uislamu na kuwamabalozi wazuri wa Dinihii ya Mwenyezi Mungu.Yaani waufahamu Uislamu,wautekeleze, waufundishe,walee watoto wao kwamisingi yake na muhimuzaidi, waulinganie Uislamukatika jamii pana zaidi. Hiini pamoja na kuunga mkonoUmma wetu popote ulipoduniani na kutafuta ufumbuziwa madhila yanayoukabili.Wakati hili linaonekana kuwagumu katika mazingira yasasa, lakini kimsingi, ndilo

    linaloleta radhi za MwenyeziMungu, kwa kusimamiaujumbe wake. MwenyeziMungu anasema:

    Na ni nani asemaye kaulibo ra za id i ku li ko ai ta ye(viumbe) kwa MwenyeziMungu, na (Mwenyewe)akafanya vitendo vizuri nahusema (kwa maneno yakena vitendo vyake): Hakikamimi ni miongoni mwaWaislamu, (kwa hivyo nikopamoja nao kwa kila jambo)Qur (41:33).

    Ajenda yetu siyo kuupaliliamfumo uliopo au kuingizwa(assimilated) kwenye mfumohuo unaopingana na dini

    yetu. Waislamu wakikubalihilo na kuliona ni jambo la

    kawaida, watakuwa sawana jamii nyingine za kidinizi l izogeuzwa kuwa zakisekula. Huwezi kuingizwakwenye mfumo huu, halafuukabaki na Uislamu wakokamili. Haiwezekani kamwe!Pale jamii za Kiislamu dunianizilipokubali kuingizwakwenye mifumo, maadili nataratibu zisizo za Kiislamu,zikajikuta zimeachana kabisana Uislamu, hususan katikamaeneo yake muhimu yakisiasa, kijamii na kiuchumi,na hatimaye zikawa hazinatofauti sana na jamii zaK i m a g h a r i b i . L e o h i ijami i nyin gi za Ki is lamuzinakabiliana na matatizo

    yale yale yaliyopo kwenyeUlimwengu wa Magharibi- maadili mabovu ya vijana,familia kusambaratika,majanga ya ngono holelana vurugu nyingine zakijamii. Hayo ni matokeo yakwenda kinyume na mfumowa maisha ulioelekezwa naMwenyezi Mungu:

    Na atakayejiepusha namawaidha yangu (hayo), basikwa yakini atapata maishayenye dhiki, na siku ya KiamaTutamfufua hali ya kuwakipofu Qur(20:124)

    Hata hivyo, haiwezekanikutekeleza Uislamu kwaWaislamu kujitenga najamii. Lazima tuingi liane

    na jamii pana zaidi, ilituweze kuwasilisha naku f a f an u a u ju m be waKiislamu. Kwa hiyo, wakatitunakataa assimilation,lazima pia tukatae kujitenga.Tunapaswa kushirikiana nawengine kwa misingi yaKiislamu, ndani na nje yajamii yetu. Tukishiriki kichwakichwa kwenye mfumo wakisiasa uliopo, haitatukishakwenye dhamira hii. Tenaitatutoa kabisa kwenye lengokuu la Uislamu na kutufanyatukumbatie, mila, desturi,maadili, tamaduni na taratibuza kisekula, ambazo kimsingizinapingana na dini yetu.Tutaitwa tu Waislamu, lakini

    bila ya Uislamu.Pili, ni vyema Waislamuwakafahamu pia kwambamfumo huu wa kisiasaunaifanya jamii kuwa yakisekula. Lengo hasa lakuwashawishi Waislamukushiriki siasa za kisekulani kuhakikisha kwambaWaislamu wanaunga mkonona kukumbatia mfumohuu wa kisiasa usio waKiislamu. Matokeo ya hili,kama tulivyoona, kadriWaislamu wanavyozidikujiingiza kwenye mchakatohuu wa kisekula, ndivyowan av yo zidi ku i f an yamitazamo yao kuwa ya

    kisekula zaidi, na hatimaykuunga mkono kwa uwakabisa misimamo isiyya Kiislamu. Utashangak u m u o n a M u i s l a manatafuta hoja na mashikya Kiislamu, ili kuhalalishjambo ambalo msingi wakni ukafiri! Kwa kuwa yeyameshatumbukia kwenymtego, hawezi kujinasusasa anataka na wenzakwatumbukie! Tumeshuhudkwa miaka mingi wabungWaislamu wakiupa kisogUislamu na kuunga mkonmisimamo isiyo ya KiislamKweli kabisa, kuunga mkonvyama vya siasa kwenymfumo wa kisekula, aidhkwa kujiunga, kufanykampeni au kuvipigia kurbila ya uangalivu wa kutoshni sawa na kuidhinisha serza maangamizi dhidi y

    Uislamu!T atu , Wais lam u p i

    wanapaswa kuelewa kuwmchakato wa kisekula wkisiasa huwa hauna tija sankwa wananchi wanyongwalio wengi. Watu wenwa kawaida katika nchi zkisekula wanazidi kujiengukutoka kwenye siasa. Idaya wapiga kura inazidkupungua. Hoja yao ni rahitu: kupiga kura hakuna maan- hakuleti mabadiliko yoyokatika maisha yao. Hii hiskwamba kupiga kura hakunmaana inasukumwa zaidi nukweli kuwa kwenye nchza kisekula, zinazoongozwna Ubeberu, mfumo w

    utawala unatumikia vigogwachache, siyo wananchwa kawaida. Wananchhutumika tu kuhalalishmfumo wa kidhalimu.

    Uhusiano wa matajirw a t u m a s h u h u r i nw a n a s i a s a , n d i v yvinavyoamua sheria na seza nchi. Kinachofanyikkupitia uchaguzi ni kuingiztu udikteta madarakankwa njia ya kura (electedictatorship). Utawala ni wvigogo, unawekwa na vigogkwa ajili ya vigogo! Kurya mtu wa kawaida hainmaana yoyote. Nitashangasana nikisikia, bado kunWaislamu hapa nchin

    wanaoamini kwamba kuryao ina thamani! Wanaamikura yao inaweza kuletmabadiliko ya kuwanufaishwao na dini yao, ndani ymfumo wa kisiasa unaopingUislamu! Kuamini kwambWaislamu waki j ipangvizuri, wanaweza kuingizwabunge wengi zaidi, walmarafiki wa Uislamu nkutapatapa tu - ni kuendelezhoja ile ile potofu ambaykwa miaka nenda miakrudi, haikuwahi kuwasaidWaislamu hata kidogo! Miyninavyofahamu, kama watwamechoshwa na mfum

    Inaendelea Uk. 1

    MHE. Edward Lowassa (kushoto) alipokuwa katika harambeeya kuchangia Msikiti wa Patandi, Arusha hivi karibuni.

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    9/20

    9 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Makala

    Namsikitikia sana Waziri Mkuu PindaNa Mwadini Ali

    NAYATAFAKARI majibu yakiongozi mtendaji mkuu wa serikali

    alipoulizwa swali bungeni akitakiwakutoa msimamo wa serikali kuhusukadhia ya masheikh na maulamaa waJumuiya ya Uamsho na Mihadhara yaKiislamu (JUMIKI) wanaolalamikakudhalilishwa ndani ya magerezakiasi cha kutishia kuanzisha mgomowa kula.

    Swali lililoulizwa kwa zaidiya sekunde 240, muulizaji akitoamaelezo ya kina na kwa ufasaha,linajibiwa kwa chini ya sekunde 150,mjibuji akitoa kauli tata, zisizotoamwelekeo wa kutegemewa kuletautatuzi wa malalamiko.

    Mara nyingi imetokea nikamsikiakwa mashikio yangu Waziri MkuuMizengo Kayanza Peter Pindaakitoa maelezo yanayozua utata nakusababisha mjadala mkali, lakini

    sikufikiria kuwa kiongozi huyuatafikia hatua ya kutoa matamshiyanayomvua uadil i fu namnanilivyomshuhudia hivi karibuni. Nakwa sababu nimekuwa nikimfuatiliakauli zake na kuzipima, mantikininayoipata binafsi na hapo haponikitafakari kile alichokusudiakukielewesha au kudhamiria,mantiki hiyo ndiyo anayotakaigande sawasawa akilini mwawale wanaomsikiliza wakati huoanapozungumza, na umma kwaujumla wake. Sasa nafika hatuakujiuliza maswali ambayo sipatimajibu.

    Waziri Mkuu Pinda, yule ambayealipoteuliwa tu kushika wadhifa huoFebruari 2008 aliliambia bunge kuwayu mtoto wa mkulima, akimaanisha

    anatoka kwenye familia masikini,naona amebadilika sana. Akiwaaliyeanza vizuri na kwa umakiniutaratibu wa kuulizwa maswaliya papo kwa papo bungeni nakuyajibu kwa ufasaha, katika kipindicha karibuni, Waziri Mkuu Pindaamekuwa kiongozi tofauti kabisa navile alivyojitokeza na kujionesha sikuhizo za mwanzo za uteuzi wake.

    Waziri Mkuu Pinda amekuwamjanja badala ya Mtu makini. Mtatabadala ya kiongozi mnyoosha mambohasa anapoulizwa jambo lililojaautata, kila anapozungumza. Kiongoziasiyetabirika hata pale unapotarajiaajibu kwa ufasaha na umakiniakitumia maneno machache kuhusukile alichoulizwa.

    Pengine Waziri Mkuu Pinda ni

    kweli kama wasemavyo baadhi yaninaokutana nao tukamuongelea,amekuwa ni muoga kiuongozi. Nalabda amekuwa hivyo kwa sababuamejifunza katika miaka yake sabaya wadhifa anaoshika, ukitakakuishi na mfumo wa uongozi waserikali inayoongozwa na ChamaCha Mapinduzi (CCM), basi naweuwe muoga, usiyeaminika na mtudhaifu usiyetabirika. Hapo ndipoWaziri Mkuu Pinda huyu tunayemjuaalipojikisha. Nami namuona amekahapo hasa. Ndivyo watu hata wakawaida, achilia mbali wale wenyeweledi katika kuyatafakari mamboyanavyokwenda ndani ya jamhuriyao, wanavyomtathmini.

    Watu hawa wa kawaida, ambao

    mtu ungetarajia ndio mheshimiwaangewashinda nyoyo zao katikakumuamini na kumtetea anapojikwaa,wanamuona Pinda amekengeukahata ile taswira ya kuwa ni mtumakini, muadilifu na asiye namakuu, aliyoijenga pale mwanzonialipoteuliwa. Siku wananchi hao haowaliokuwa wamejenga imani naye,wanamtizama kivingine kabisa.

    Siku hizi tunazoenda na pengineinachochewa na mwelekeo wauchaguzi mkuu wa Oktoba, WaziriMkuu Pinda amekuwa kiongoziasiyeeleweka. Ni kama vile amesahauju kumu la Uwaziri Mkuu. Walahaoni vibaya tena kukwepa swalila mbunge. Amekosa hata huruma,kama vile alisahau alivolia bungenikuhusu mauaji ya watu wenyeualbino.

    Shida inakuja zaidi anapoulizwabu ng en i na mb un ge wa ka mb irasmi ya upinzani, siku hizi ikiwaimekolezwa mvuto na UKAWA Umoja wa Katiba ya Wananchi usonianaonesha, siwezi kusema jeuri,lakini labda kutokujali, na akianzakujibu huanza kwa kejeli.

    Ndivyo alivyosomeka alipoulizwana Mbunge wa Mji Mkongwe,Muhammed Ibrahim Sanya wikiiliyopita. Aliulizwa kama serikaliinaweza kuunda Tume ndogoitakayoshirikisha pia wabungekutoka Zanzibar na Tanganyika,kuchunguza malalamiko ya kuhusukinachoelezwa kama kesi ya tuhumaza ugaidi inayowakabili viongoziwa Uamsho, pamoja na vijana waowanaosaidia harakati za kuelimishaWaislam juu ya haki zao zikiwemo zakujihusisha na mambo yenye maslahina nchi yao.

    Katika siku hii ya Alkhamis,Mei 21, kama kawaida, ukumbi wabunge ulikuwa kimya wakati MamaSpika Anne Makinda alipomuita

    Waziri Mkuu, Mheshimiwa Pindakukaa kizimbani ili ajibu maswali yawabunge. Haikuwa rahisi kujua kilealichokiazimia mheshimiwa Sanya,mbunge anayesika kwa hoja nzitoanapokamata kipaza sauti. Alianzakutoa maelezo marefu na alipogusahoja yenyewe ikaonekana alipolenga.

    Mheshimiwa Sanya alisemamasheikh wa Uamsho kutokaZanzibar, wanaokabiliwa na kesi yaugaidi wamelalamika na vyombo vyahabari vikaripoti malalamiko yao,kunyanyaswa na kudhalilishwa nakunyimwa haki ya kupata matibabuya kiwango.

    Wamefanyiwa vitendo vibaya,visivyo vya kibinaadamu ambavyo,yeye alijizuia kuvieleza bayana,akisema si utamaduni wa bungekusikia vitendo hivyo vikitajwaukumbini.

    Mbunge Sanya ambaye kitaalumani mwalimu, alisema haaminikama serikali imeamrisha madhilawaliyokutishwa masheikh hao, nakwa hivyo ingefaa serikali ikaanzishauchunguzi na kutoa tamko rasmibungeni.

    Kwa jumla, alisema angependakumsikia Waziri Mkuu akitoa tamkolililoshiba ili kuondoa hali ya hewaisiyofaa nyoyoni mwa masheikhwenyewe, ndugu na familia zao,ambao wakati kesi yao inaendeleaMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,Dar es Salaam, ni haki yao haki zaona usalama wao kuzingatiwa nakulindwa.

    Wazir i Mku u P in da kam avile ameshushwa tu ghafla palebu ngeni ku to ka ku siko ju li kana ,alisema haelewi hasa alichokusudiakukiwasilisha mbunge. Swali halikowazi kiasi cha kutojua vya kumjibu.

    Hofu yangu ni kwamba huyuWaziri Mkuu wa Jamhuri ya zaidiya watu 45 milioni anajishusha, kwa

    kiasi cha kutisha. Haiyumkinikkiongozi wa hadhi aliyo, asijumasuala makubwa yanayohuswananchi anaowaongoza kama hla masheikh.

    Eti hajui kwamba kuna masheikkutoka Zanzibar wanashitakiwa keya ugaidi. Hajui masheikh wapata20 wanakishwa mahakamani kibaa da ya wiki mbi li waki fuatilkesi iliyofunguliwa zaidi ya mwaksasa. Hajui kesi yao inaendelekwa hatua ipi wala hajui kammasheikh hao wako rumande au vipHajui. Anahitaji aulize watu aliosemwenzangu wamueleze suala hilikoje.

    Nini maana ya kauli hii? Nkwamba akawaulize wenzake, ambatuseme ni watumishi wa serikalwasaidizi wake kikazi, kwamba hikuna masheikh wangapi, majina yanani na nani, mitaa yao na familzao ni zipi!

    Akawaulize wasaidizi wake ha

    kwamba masheikh hao walikamatwlini, maana hajui kama wengi wawalifuatwa majumbani mwao usikwa manane; aulize walikamatwna nani; kama wanatoka Zanzibawalifikaje Dar es Salaam; kamDar, ni osa gani aliamuru walawanapolala.

    Awaulize wasaidizi wake kwawale masheikh wa Uamsho na sinshaka itabidi pia Pinda awaulizwasaidizi wake hii Uamsho ni kitgani na madhumuni yake hasa nnini wanalalamika nini na ninmahakamani. Inasikitisha WaziMkuu hana khabari kamwe kuwmasheikh hao, wametangaza kuanzmgomo wa kula ikapo Juni mosi.

    Masheikh hawa kesi yao haiendjuzi tu wakili wa serikali aliielezm ah kam a u p e le lez i wa keshaujakamilika na kesi Jumatatwiki hii iliitwa kwa ajili ya kutajwAliomba hakimu apange siknyingine ya kuja kuitaja kesi.

    M a s h e i k h w a m e k u wwakilalamika kuwa walipigwa nhawajapata tiba nzuri, kiasi chbaadhi yao kuoza maeneo waliyopamajeraha. Wamelalamika baadhi yakudhalilishwa kimaumbile. WaziMkuu anasema kuna utaratibu wmahabusu kupatiwa tiba kule ndan

    Sasa kwa haya, ndiyo maannikasema huyu Waziri Mkuu Pindameka pabaya. Huyu ndiye WaziMkuu aliyepo begani kwa Rais JakayKikwete. Tena, cha kushangaza zaid

    huyu mwanasiasa, mwanasherhuyu, aliyeishi Ikulu kama mtumiskwa miaka mingi, anataka kugombeurais. Urais upi jamani?

    Inahitaji kipawa kweli kwkiongozi wa hadhi yake kusubimwaka mzima kujua kama kadhya masheikh wa Zanzibar ndiyo ivijana wanaita khabari ya mjinkwa Wazanzibari, hasa wapendmabadiliko. Hajui na anataka kuulizwenzake.

    Kipimo cha uwezo wa mtu katikkuongoza ni staili yake ya uongozBali kwa hulka anayoionesha WazMkuu Pinda bungeni, tena wakaakijibu maswali ya wabunge wenzakwawakilishi wa wananchi, wenhatupati picha!

    RAIS Jakaya Kikwete (kulia) akiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kushoto).Katikati ni Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal.

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    10/20

    10 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201Makala

    Ijuwe hakika ya Msikiti wa AlaqsaNa Hamzah Z. Rijaal

    QUBBA au kama kwaKizungu ijulikanalokwa jina la Dome ofthe rock, ilijengwamwaka wa 687 C.E naKiongozi wa KiislamuAbd al-Malik ikiwa nikama miaka 50 baada yakufa kwa Bwana MtumeMuhammad S.A.W. Jabalihilo ni sehemu muhimukwani hapo ndipo BwanaM t u m e M u h a m m a dS.A.W alipoanzia safari yaMiraji kama inavyoelezwakwenye Sura ya 17:1.Sehemu hii ina umuhimumkubwa kwani ni alama

    ya kuunganisha umoja wawanadamu kutokana nababa wa Mitume MtumeIbrahim (A.S). kwa kifupisehemu hii ni muhimukwa Waislam, Wakiristona Mayahudi.

    Qubba ni moja katikasanaa kubwa ya kifundia m b a y o W a i s l a m uw a l i f a n i k i w a k a t i k aujenzi huo wa msikiti, naalikuwa Sayyidna UmarBin Khatab aliyelijengamwanzo msikiti huo kwambao ikiwa kama alama yakuunganisha waumini na

    alipokuja kiongozi Abd al-Malik ndio yeye aliyewezakulijenga jengo hili lenyekivutio kikubwa.

    Kizungu Mkuti Cha Baytil

    Muqadas

    K u t o e l e w a k w aWaislamu walio wengini upi Msikiti ujulikanaokama Kubati Sakhrana upi Msikiti wa AlAqsa, kunaleta mashakamakubwa na kutowaushindi kwa maadui waWaislamu. Kutoelewa hukukunatokana na juhudi nzitona za makusudi ambazozinafanywa na Mayahudikupotosha ukweli ili lengokuu walilolikusudia lakutaka kuuvunja Msikitiwa Alaqsa ufanikiwe nakujenga hekalu ambaloeti wao wanasema kuwapahali palipo msikiti waQubati Sakhra ndipoalipoweka Msikiti MtumeSuleyman (A.S).

    K w a k w e l i k a m anilivyotangulia hapo mbele

    kusema kuwa Msikiti waQubati Sakhra ni mojaya kazi nzito ya ufundi wahali ya juu iliyofanywana Waislamu, na Msikitih u o u n a o n e k a n amnara wake wa rangiya dhahabu yenyekupendeza kabisa. SasaWayahudi mbinu zaokubwa ni kuufanyaMsikiti huo uwe ndioMsikiti wa Alaqsa naufahamike hivyo kwadunia nzima, ikiwa miena wewe vile vile tujuwehivyo.

    M t e g o h u oumetuangukia na utaonahata post card nyingizenye kutengenezwa naWaislamu hutoa pichaya msikiti wa Qubat

    Sakhr a bada l a yaMsikiti wa Al Aqsa.

    K a t i k a k i p i n d iambacho Kiongozi waki-Palestina Yasir Arafatamezungukwa na kablaya kupewa uhuru wakewaku ondoka hu koRamallah, televisionnyingi duniani ikiwapamoja na za nchi zaKiislamu zimekuwazikionyesha Msikitiwa Qubat Sakhrana kutoonyesha Qiblacha mwanzo ambachoWaislamu katika zamaza Mtume MuhammadS.A.W wal ipokuwawakielekea nacho niMsikiti wa Al Aqsa. Huuni upotoshaji na kunahaja kwa kila Muislamu

    kuuelewa ukweli nabaada ya kuufahamuukweli akamfahamishamwenzake na kujuwahakika ni upi Msikiti waAl Aqsa na umuhimuwake.

    Wachache ndio wenyekuelewa juu ya uhakikawa Msikiti wa Al Aqsa naukweli ulivyo. Waislamuw a m e p o t e z w a n awamepotea na mara tuMayahudi watapotakakuitekeleza azma yao iliyoovu ya kuubomoa msikitiwa Al Aqsa, Waislamuwataona kuwa Msikiti waAl Aqsa upo na nini tenacha kupiga kelele?

    Hivi karibuni Wayahudiwenye misimamo mikaliwalikuwa na azma ya

    kutaka kuuharibu nkuubomoa Msikiti wAlaqsa lakini juhudi hiz

    ziliweza kugundulikanna mapema na vijanshupavu wa Kiislamwaliojitolea kupambanna udhalimu na uharamwa Mayahudi wenye siaskali na kuweza kufanikiwkuizima dhana nzima yusadi huo.

    J a m b o a m b a llakusikitisha habari hya kutaka kuvunjwkwa msikiti wa Al Aqshaijaelezwa na vyombvya habari vya Magharibambavyo ndio watohabari wakuu na wenypropaganda duniani kot

    La kushukuriwa ni kuwsio haba Waislamu nawameingia na kufanykazi katika Tekenolojiya habari InformatioTechnology na moja ymashirika ya Kiislaml i l o k u w a m sta r i wmbele kuzieleza habahizi ni InternationaIslamic News AgencyTutahitajika tufanye kakubwa ya kuelimishana nkuamshana juu ya khatailiyopo duniani kote katikkuupiga vita vya dhahina vya nadharia Uislam

    ili uwe dhaifu kama ulivyhivi sasa Ukoministi. Lkuwazindua maaduhao ni kuwaambia kuw

    ji ta ha da za o ni kubwlakini Allah ameahidkuwa ataulinda Uislamu nndio maana juhudi nyingzifanyazwo kuuangamizUislamu unashindikanna hautafanikiwa nmatokeo yake kila kukichkunaonekana Uislamkuweza kupata nguvu.

    K u t o k a t o k e o lS e p t e m b e r 1 1 nkuangushwa kwa serekaya Taliban! takwimz i l i z o k u w a b a dhazijathibitishwa lakini nzenye kuaminika ni kuwzaidi ya watu nusu milionduniani kote wamesilimna hili ni tokeo kubwa kwwatu wengi kuukubaUislamu kwa mara motangu zama za BwanM t u m e M u h a m m aS.A.W.

    Ewe Mola tufungulyalio ya haki na haktuijuwe na batil tuielewna tuiepuke AMIN

    PICHA juu Msikiti wa Al Aqsa uliopo Jerusalem. Qubba (Dome of the Rock)

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    11/20

    11 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 20111AN-NUU

    Makala

    Mafundisho ya Quran

    Fethullah-Gulen

    WANAFIKI wametajwakatika Quran kwambawao: Hali ya kuwawanayumba kati ya hilohawahusiki na hawa nahawahusiki na hawa.[A-Nisaa 143].

    Maana wanayumba katiya waumini na kati yamakari. Mara utawaonahuku na mara utawaonahuko wanasumbuwana na

    kunyimwa mwangaza wamacho yao na mwangazawa hisia zao na kuelewakwao. Kisha kwa hakikawao kwa sababu ya kuwakwao wanadhani kwambamaisha yamethibitikakatika maisha haya yadunia, tunawaona wamokatika joto la kubobea juuya ladha za hii dunia.

    Kwa hiyo, kuamini nakukufuru kuko sawasawambele zao. Mahali popotea m b a p o s t a r e h e n amaisha laini yenye rahayanapatikana, wanafikiwatakwenda kwenyemaisha hayo. Wakatiwanapoona kwambam a s l a h a y a o y a m okatika kwenda Msikitini,wanakwenda msikitini (Ila)

    Na pindi wanaposimamakwenda kwenye swala,wanasimama hali ya kuwawavivu wanawaonyeshawatu. [A-Nisaa 143].

    Maana ni kwamba waowanayadumisha maisha

    yao kwa namna yoyote.Hivyo katika Uislamuwanazichukua sehemuzao nyuma ya mjumbewa Mwenyezi Mungu

    WAARABU walitokanana Nabii Ismail naWayahudi walitokana naNabii Is-haq. Kwa hiyoWaarabu ni mabinamuwa Wayahudi. IsikizeBiblia inavyotuambia juuya ndugu hawa-Waarabuna Wayahudi:

    Yale maji, ambayoIbrahimu alimuachiaHajiri (Hagar) na mwanawao Ishmaeli yakaishakatika kiriba, akamlazakijana (Ishmaeli) chiniya kijiti kimoja. (Hajiri)A k a e n d a a k a k a aakimkabili (Ishmael) mbalinaye kadiri ya mtupo wamshale, maana (Hajiri)alisema, Nisimwone kijana(lshmaeli) akifa (kwa kiu),naye akakaa akimkabili,akapaza sauti yake, akalia.Mungu akasikia sauti yakijana (Ishmaeli). Malaikawa Mungu akamwita

    Hajiri kutoka mbinguni,akamwambia una niniHajiri? Usiogope, maanaMungu amesikia sauti yakijana (Ishmaeli) hukoaliko (Ewe Hajiri, hebu)Ondoka ukamwinue kijana(Ishmaeli), ukamshikemikononi mwako, Kwakuwa nitamfanya kuwataifa kubwa (la Waarabu).Mungu akamfumbuamacho, naye akaonakisima cha maji (Zamzam)akaenda akakijaza kiribam a j i , a k a m ny w e shakijana. Mungu akawapamoja na huyo kijana

    (S.A.W.) isipokuwa kwamacho yaliyo mapofu,

    yasiyoona na kwa nyoyozenye kiza na kwa fikraisiyokuwa na imani,ukweli na ikhlasi. Maanakurudi kwao utupu kuliko

    kukubwa sana na ubaywa bahati yao yanajengekhayo katika kutokuwa nikhlasi na ni kama hivyQuran tukufu inatumkatika kuwaelezea mifanya hawa kwamba wa H a w a r u d i m a a nhawarejei kwenye hakna kwenye hakika. N

    h a w a r e j e i k w e n ytabia ya maumbile yaoyaliyosalimika.

    Kutokana na msingi huutunaona katika sifa zaambazo zimekuja katiksurat Al-Munafikiqoukwamba wao Hawaju(hawafahamu) isipokuwhaziji katika haki yaoSifa zilizo katika mifany a ( h a w e l e w i ) a(hawafikiri) kwa sababsifa hizi zinafungamana nkutokuamini.

    (Imenukuliwa kutokKi tabu: Miyangaza yQuran katika mbingya hisia, cha Muhamma

    F e t h u l l a h G u l l ekilichotafsiriwa kwKiswahili na SheikS u l e i m a n A m r aKilemile)

    Nabii aliyekuwa akingojewaZisemavyo Taurati na Zaburi

    (Ishmaeli), naye akakua,akakaa katika jangwa,

    akawa mpiga upinde.(Ishmael) Akakaa katikajangwa la Parani, mamayake (Hajiri = HaJara =Hagar) akamtwalia mkekatika nchi ya Misri.(Mwanzo 21: 15-21)

    Na kama tujuavyo,kisima cha Zamzam piakiko katika eneo lile laParani (yaani kule Makka),kama ilivyosema Quran:

    Mola wetu Mlezi!Hakika mimi nimewaweka

    baadhi ya dhuriya zangu(Hajara na Ismaili) katika

    bonde (hili la Makka) lisilokuwa na mimea, kwenye

    Nyumba yako Takatifu(ya Al- Kaaba), ewe Molawetu Mlezi, ili washikeswala. Basi zijaalie nyojoza watu zielekee kwao,na waruzuku matunda,ili wapate kushukuru.(Surar Ibrahim, 14:37)

    Ni kwa sababu ya tabiriza dhahiri kama hizihata ndani ya Taurati (yawatu wa Kitabu, yaaniMayahudi na Wakristo),ndiyo Mayahudi walimjuana kumtazamia kuja Nabiiwa Mwisho, na wakajuakwamba atatokea kuleParani, yaani Makka. l

    Aya ya Kumbukumbula Torati (Deuteronomy)-

    isemayo: N a y e ( M u s a )alikuja kutoka Sinai.Akawaondokea kutokaSeiri kuja kwao; Aliangazakutoka kilima cha Parani,na alikuja na watakatifue l f u k u m i . K u t o k akatika mkono wake wa

    kuume il ikuja sheriamotomoto kwa ajili yao.(Kumbukumbu la Torati33:2)

    Kwa muji wa Makala ya

    Kiarabu iliyopigwa chapaji j ini Londo n mn amomwaka 1944, imeandikakama hivi:

    Deuteronomy 33:2 Hecame with myriads of holyones, in his right hand wasan axe of fire with twoedges.

    Ambayo maana yakkwa Kiswahili ni kama hifuatavyo:

    Alikuja na watakatifwengi (maswahaba); nkatika mkono wake wkuume akiwa na shok(Jambia) lenye ncha mbili(Kumbukumbu la Tora

    33:2)Aya hii inaongea ju

    ya Nabii aliyetabiriwa m b a e a t a k u w a nMaswahaba wengi ambani watakatifu sana, nataruhusiwa, ataamriwkupigana na maadui zakwakimchokoza.

    Waislamu wa Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Mkuranga, Kitongoji cha Mlamleni , Kijiji cha Kimbangulilewanaomba kujengewa Msikiti.Ndugu zetu wanafanya Ibada ya Swala katika hali ngumukama inavyoonekana katika picha.

    Ukiwa Umeguswa na hili tunaomba MCHANGO WAKOWA VIFAA VYA UJENZI.VIFAA VYA AWALI

    MCHANGO WA UJENZI WA MSIKITI1.Cement, 2.Tofali, 3.mchanga, 4.Vifaa vyKuchimbia Majembe, Panga , chepe N.kMaazimio yetu tuanze Ujenzi pale tututakapo pata uwezo wa kulifanya hili.Tunawakaribisha mtembelee eneo hil

    wale ambao Mtakuwa Na Muda wkufanya hivyo.Michango yenu tunaomba muwasilishkwa Namba ya Simu.0715800772( Tigo Pesa ) GHALIBMONERO.+255689604780 +255689604780 AIRTELMONEY .Kwa wale waliopo Nje ya TanzaniaWESTERN UNION : GHALIB NASSORMONEROWaliopo KENYA tafadhali wasiliana Wasilisha kwa ALI BAJIY NASOR no0725113783 M-PESA.Taarifa zaidi kuhusu Michango ya Msikihuu Tafadhali Tutembelee : faceboo: Kijana wa Kiislam Dsm or WhatssaNumber : +255689604780 +255689604780A u P i g a S i m u : + 2 5 5 7 1 5 8 0 0 7 7+255715800772

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    12/20

    12 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 20112 Tangazo/MASHAIRI

    Naanza kuwasalimu, Bara na Zanjibariya,SALAMU ALAYKUMU, wa biladi na kariya,Walaykumu salamu, mjibu natarajiya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Kwa jaha na taadhimu, baada yayo tahiya,Namhimidi QAYYUMU, KHALIQUL-BASHARIYA,Thuma swala na salamu, kwake khairu bariya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Fitna tangu kadimu, si jambo zuri ni baya,Lahilikisha kaumu, japo kadiri ya woya,Kwa wa kwake uhujumu, afadhali ya manaya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    BAQARA yatulazimu, sura ya pili kuuya,Yuatujuza ALIMU, ndani kwa thineni aya,Kuzidhukuru muhimu, kwa huba na si kwa maya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Moja tisa moja dumu, bukurata wa ashiya,Mbili moja saba kumu, kuidurusu sawiya,Swadaqallahul-adhimu, kwazo tna i mbaya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Kitatangewe rajimu, shetani mwanahizaya,Yu jini na binadamu, ALLAH ashatuambiya,Soma upate 'fahamu, SURATUN-NASI Makiyya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Mafatani mlizamu, wa tna kutapaya,Kwa ndimizo masmumu, hueneza zao puya,Lengolo kutukasimu, tubaki kuwayawaya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Kawimu tusitakimu, kupembua zao chuya,Kwalo tusipojihimu, kweli tutawayawaya,Na mwisho kujilaumu, kwa kutokia ghaya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Akitujia dhalimu, nayo yoyote hekaya,Kuichungua muhimu, kwa ya HUJURATI aya,Si kuja kujilaumu, mwisho kwa ujahiliya,Khatma yao fedheha, duniani na akhera.

    Kaditamati nudhumu, ya indhari si ghinaya,Fitnani kwa kudumu, duniani ni udhiya,Kadhalika jahanamu, khatma yake hawiya,Naweka chini kalamu, yenye wino wa hidaya.

    ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

    Waislamu wote nchini mnaalikwa kuhudhuriaTamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Ilongo Mbeya litakalofanyika kuanzia tarehe 05, 12

    Juni, 2015.

    Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwawingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangiefedha na vifaa vya ujenzi.

    Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanyabiashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa

    duniani na malipo ya Pepo Quran (61:10-13)

    Usafri / Gharama:

    Kutokana na Miundombinu ya barabara kwasasa kila mkoa utaratibu safari ya Mbeya kupitiaMaamir wa Mikoa

    Kwa kupitia Dar es Salaam nauli ni Tshs. 70,000/-

    kwenda na kurudi Dar. Kuripoti Dar es Salam nitarehe 04/06/2015 (0689665045/0713 992395).

    Kipindi hiki Mkoa wa Mbeya una baridi, hivyowanatamasha waje na nguo za kuzuia baridi.

    Wabillah TawfiqAMIR TAIFA

    TAMASHA LA KITAIFAILONGO MBEYA05 12 JUNI , 2015

    KHATMA YA MAFATANI

    Ni ada kwa kila mwaka, si Bara si Visiwani, 'Vunjajungu' kunadika, karibu na Ramadhani,Bilhaki yanishika, shaka kwalo mtimani,Ebu tuiepukeni, ghilba ya 'vunjajungu'.

    Dhahiria hunadika, kwa nderemo pasi soni,Kasiye hasa hushika, mwezi huu wa Shabani,Kwa ilani kurushika, yalo jungu mavyomboni,Ebu tuiepukeni, ghilba ya 'vunjajungu'.

    Chombezole husikika, kwa lahani redioni,Kadhalika hupambika, kwa suwari runingani,Mwishowe huandikika, kwa hati magazetini,Ebu tuiepukeni, ghilba ya 'vunjajungu'.

    Jungulo kwa uhakika, ni husuni ya shetani,Ndanimwe hujumuika, watovu kwa RAHMANI,Kinyume hutambulika, watiifu wa shetani,Ebu tuiepukeni, ghilba ya 'vunjajungu'.

    Rajimu husururika, kwa insi kuwazaini,Wapate kughururika, na kudakhili junguni,Kwa jungu kusharika, lengo la funga shakani,Ebu tuiepukeni, ghilba ya 'vunjajungu'.

    Si geni latambulika, BAQARA kadurusuni,Muhali kwalo kuka, kwa wafunga Ramadhani,Jungu wasoliepuka, kwa ndanimwe kusakini,Ebu tuiepukeni, ghilba ya 'vunjajungu'.

    Mayaza kukithirika, ya jungu adhimu nduni,Kucha kutwa hunadika, hata kuchwapo jioni,Funga kutangulizika, kwa maasi lengo nini?Ebu tuiepukeni, ghilba ya 'vunjajungu'.

    Kituo leo naweka, kidogo si cha mwishoni,Kwani bado sijaka, mwisho enyi ikhiwani,Kwa kathiri kumulika, wiki kesho karibuni,Shime tujitanibuni, na baa la 'vunjajungu'.

    ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

    GHURURI YA 'VUNJAJUNGU'

  • 7/25/2019 ANNUUR 1180.pdf

    13/20

    13 AN-NUU

    SHAABAN1436, IJUMAA JUNI 5-11, 201MAKALA

    Propaganda za udini shuleni Tanzania-5Inatoka Uk. 7wal io ku wa Bara walak u w a s a f i r i s h a k u t o k aBara ndani mpaka pwani

    wala kuwa madalali wabiashara ya watumwa. Waowalichokifanya ni kununuawatumwa walioletwa naWaafrika kutoka Bara kwaajili ya kulima mashambaya mikarafuu, na kuelezeaukweli ni Waarabu wachachewaliomiliki mashambahayo. Wengi wao, kamat u l i v y o o n e s h a k a b l a ,walikuwa watu wa kawaidawaliokuwa wakipigana namaisha na hadi kufanya kazingumu pia.

    Picha hii ya pili inaoneshakuwa muuzaji, wamiliki nawanunuzi wa watumwa niWaarabu Waislamu:

    Tukiweka upande kuwa

    hayo mavazi waliyovishwahao Waarabu pichani si yawale waliokuweko AfrikaMashariki , yaani s i yaWayemen na Waomani.Inasikitisha kuona jinsivile propaganda za udinina chuki za waandishi namchoraji zilivyowapelekeahata kuwafanya kuwa vipofuwasione ukweli na haki. Sokogani la utumwa katika AfrikaMashariki lililokuwa linaWaarabu peke yao ambaoni wamiliki, madalali na

    wanunuzi wa watumwa?Wanataka kumdanganyanani leo kuwa Waafrika nawengineo hawakuwemo?

    Wanataka kumdanganyanani isipokuwa masikiniwatoto wadogo wa shule,k u w a w a n u n u z i w awatumwa wakati ilipokuwaikifanywa biashara hiyowalikuwa Waarabu pekeyao? Ukweli ni kuwa biasharahiyo iliwagusa wachachekutokana na makabila karibuyote yaliyokuwa yakiishiZanzibar na Pwani yaAfrika Mashariki, wakatiule wakiwemo Wazungu,Wahindi, Waarabu, Waafrika,Washirazi na kadhalika.Jonathon Glassman ametu-elezea:

    Tafsiri: Zaidi ya hivyo,vyovyote vi le utumwa

    katika Zanzibar ulivyokuwaukionekana wakati wowoteu le , ku l iku wa h aku n achochote kile kinachoufanyaku wa n i wa K iarabu ,wamiliki wengi wa Watumwawalikuwa Waafrika.

    Akaongeza:Tafsiri: Kwa maneno

    mengine, kinyume na historiaza kigozi za Utumwa waKiarabu ambao ulilengakhasa kuondosha utumwa,wengi wa wamiliki wawatumwa walikuwa hawana

    kabisa asili ya Mashariki yaKati.

    Yaani, walikuwa hawanaasili ya Kiarabu, na kra hizozenye lengo la kuwalaumuWaarabu na Waswahili pekeyao ziliingizwa wakati wasiasa za kimishinari kutakakuwapaka uchafu Waarabuna Waswahili kwa lengola ku u tweza U is lam u .Kaandika pia Edward A.Alpers:

    Tafsiri: Katika nusu yamwanzo ya karne ya kumina tisa Afrika Masharikiiliongezeka harakati zab i a s h a r a ya u t u m wa .Katika mwambao wotehaja ya kumiliki watumwailizidi kuongezeka, kwakuwa Waarabu, Wabrazili,Wafaransa, wafanya biasharaya utumwa wa Kispaniolakutoka Kuba na Wamerekaniwal ip o igu n du a A f r ikaMashariki wakati ambaoulianzishwa harakati zaKiingereza za kuzuia utumwakatika Afrika Magharibi.

    I an ga l ie ten a p ich ailiyotangulia iliyochorwana mtu aliyejitosa katikapropaganda kali za udiniikisha ilinganishe na manenoy a l i y o z u n g u m z w a n awana-historia wa kweli waKizungu na pia uilinganishena picha iliyochorwa kwa

    mujibu wa maelezo yaStanley. Jiulize: Kwa ninimchoraji hakuwaoneshawauzaji na wanunuzi waKiafrika na wanunuzi wamakabila mengine? Kwaniniw a k a m a t a j i / w a m i l i k i ,madalali na wanunuzi wotewawe ni Waarabu tu pekeyao?

    N i m u h a l i k a t i k asoko la nchi ambalo linamchanganyiko wa makabilambalimbali sokoni paleupate watu wa aina moja tu,hapo juu tunaona watumwani Waafrika, muuzaji niMwarabu, dalali ni Mwarabu,na wanunuzi ni Waarabuhii haiingi akilini. Lakinikuchora yanayoingia akilinisi shabaha ya wenye lengo