annuur 1217

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 23-Feb-2018

1.061 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1217 JAMADUL AWWAL 1437, IJUMAA , FEB. 19-25, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

    Soma Uk.2

    Mwaka wa tatu sasa

    Masheikh wapo rumandeHii ni dhulma - Ally SalehMiaka 130 ya Uislamu Arusha -Uk. 18

    Ni kweli wanafanyiwa dhulmaHakuna sababu ya msingi yakufanyiwa hivyo.

    Hakuna sababu kesi yaokutosikilizwa muda wote huo.

    Imam Hamza huruHakuna aliyelalamika kuumizwa kiimani

    Au Polisi ndio Watu wa Imani nyingine?

    Putin anapokuwa mkombozi wa Waislamu

    CCM Kisonge, ZBC ndiowachochezi wakubwa

    Wanasiasa, Polisiwashindwa kukemea

    KILA siku tunazungumza

    masuala hayo kwa hayolakini mbona hakuna hatuazinazochukuliwa?

    Bao la Kisonge linaandika IkiwaSudan ya Kusini na Kaskazinizimetengana vyereje Unguja naPemba.

    Sasa hebu tuutizame huu ujumbeunatoa sura gani kwa taifa? Hiviviongozi hamulioni hili?

    Soma Uk. 15

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    2/20

    2 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

    Fethullah-Gulen

    Jee Unajua?

    MASUALA1.Sahaba yupi wakati wa Mtume Muhammad (SAW) alishiriki vita vyoakiwa Jamedari? Jawabu : Ali Abi Talib.2.Bunduki yenye jina gani ambayo imeleta mauaji na inaendelea kulemauaji mengi duniani? Jawabu : AK 473.Jina jengine aliokuwa akijulikana mwanafalsafa wa Kiyunani AristotleJawabu : Stagirite4.Al-Hassan ibn Muhammad mvumbuzi aliokuja kukamatwa na kutumwkwa Pope (Papa) Leo X kisha kubatizwa na kuwa muumini wa Kikiristo, jilake la ubatizo akiitwa. Jawabu : Johannes Leo5.Mwanamke wa mwanzo kuwa Waziri Mkuu wa Israel akiitwa. Jawab: Golder Meir6.Mahmoud Abass kiongozi wa Kipalestina anazungumza KiarabKiengereza na lugha ipi nyengine ya kigeni? Jawabu : Kirusi7.Jina la Mmarekeani Mweusi aliovumbua mpango wa magari ya moskuwasiliana na ambao hadi sasa unatumika na kuepusha ajali nyingi kutokni Jawabu : Granvile Woods8.Aliirejesha Jrusalem mikononi mwa Waislamu, ni shujaa yupi? JawabSalahuddin Ayyubi9.Jina la Kiongozi wa Kiislamu kutoka uongozi wa Bani Ummaya alikuwaGavana katika maeneo yote ya Afrika ya Kaskazini. Jawabu : Mussa bin Nusa10.Kimwana wa Kiyahudi aliopata kuolewa na mchezaji wa Kiriketi w

    Pakistan, Imran Khan kimwana ambaye ana asili ya Kiyahudi jina lake nani? Jawabu : Jemimah Khan

    JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 39

    CHEMSHA BONGO: 40Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijay

    MASUALA1.Kabla ya mwezi wa Ramadhani, huwa ni mwezi gani?2.Huu ni mwaka gani wa Kiislamu?3.Mwezi wa Kiislamu una siku ngapi?4.Idadi ya siku katika mwaka wa Kiislamu ni siku ngapi?5.Kuna siku ngapi pungufu baina ya mwezi wa Kiislamu na mwezi wKizungu?6.Msikiti wa mwanzo nchini Marekani ulijengwa katika mji gani?7.Mwaka wa 1964 alisilimu bingwa wa masumbwi Mohammed Ali ilikuwmwezi gani? Aidha mwaka huo huo alisilimu mwana harakati wa kudai haza watu weusi Marekani, ilikuwa mwezi gani?8.Malcolm X aliuwawa mwaka gani?9.Yarrow Mamount baada ya kuachiwa huru kuwa mtumwa alika kuwa mbia (Share holder) wa Bank ya Colombia, Jee unajua aliishi miaka mingap10.Quran ndio imemfanya mtu Mweusi kujivua katika minyororo ya utumwna kujihisi huru, hakuna dini yoyote ile iliowatetea watu huru kuondokanna ubeberu wa watu wa Ulaya na Marekani Maneno haya yalisemwa katikmwaka wa 1889 na ..

    1.Mtume Noah (AS) alilingania watu wake kwa karne tisa alibarikiwa kuisumri mrefu unaokisiwa kuka miaka alfu. Katika nyakati zetu za sasa malioishi umri mrefu alikuwa Bibi wa Kifaransa kwa jina Jeane Calment alioiskuanzia mwaka wa 1875 hadi 1997; akikisha umri wa miaka 122 na siku 1: hps://en.wikipedia.org/wiki/List_of_the_veried_oldest_people2.Mtu aliokadiriwa kuwa mrefu kwa nyakati zetu ni Sultan Kosen wUturuki aliokuwa na urefu wa Centimete 251 sawa na Futi 8 na inchi habari zake zilinukuliwa na buku la Guiness Book of Record : hp://wwguinnessworldrecords.com/world-records/tallest-man-living3.Mji wa Okinawa nchini Japan ni mji ambao wapo watu wanaoishi wakiwna umri mkubwa, katika mwaka wa 2002 ilisajaliwa kuwepo watu 34 wakiwkatika kila laki mmoja wamekisha umri wa miaka 100 : hp://healthowstuworks.com/wellness/aging/aging-process/life-expectancy.htm4.Nchi inayoongoza kuwa na watu wenye umri mkubwa duniani ni Japikifwatiwa na Utaliano, Ufaransa kisha Ujerumani : hps://agenda.weforuorg/wp-content/uploads/2015/07/Ageing1.jpg5.Nchi ya Afrika ya Kusini ni nchi ambayo ina watu wenye asili ya Kizunkwa wingi wakao watu milioni 4 laki sita na mbili ikiwa sawa na asilimia 8ya watu wote wa nchi hio: hp://www.africaranking.com/african-countriewith-highest-white-population/5/6.Viongozi wa Kiafrika wengi wao kwasasa wana elimu ya juu kushindhata viongozi wa Ulaya, kiongozi anayeongoza ni Dr. Thomas Boni Yaya wBenin akiwa na Phd ya Uchumi (Economics), Mfalme wa Mohammed wawa Morocco akiwa na Phd ya Sheria (Law), kifwatiwa na Alassan Ouara wIvory Coast mwenye Phd ya Uchumi (Economics), Dr. Peter Muthairika Phkatika mambo ya Sheria (Jurdicial Science), Dr. Ameenah Gurib Phd katisomo la Organic Chemistry hii ni kutokana na dondoo za mwaka wa 201hp://www.africaranking.com/the-13-most-educated-african-presidents/7.Nchi kumi zenye utajiri mkubwa wa maliasili Afrika Botswana ikiongoikifwatiwa na Congo DRC, Afrika ya Kusini, Tanzania, Namibia, MsumbZambia, Guinea, Niger, Ghana : hp://ainsider.com/67750/africas-minerrich-countries/8.Maziwa yalio marefu na kubwa Afrika la mwanzo ni Ziwa Victorlikifwatiwa na Tanganyika, ziwa Nyasa, iwa Albert na ziwa Chad : hptraveltips.usatoday.com/5-major-lakes-africa-108254.html

    An nisaa: 114

    MWEZI MWANDAMOLeo ni Tarehe 10 Jamada al-Oola Rabi-a-Thani

    (Mfungo 8) mwaka 1437 AH, sawa na tarehe19 Februari, 2016. Tumebakisha siku 20 kukiaMfungo 9.

    Tarehe 6 June tunategemea kuangalia mwezikwa Ramadhan na Tarehe 7 June 2016 tukijaaliwatutaanza Ramadhan Rasmi. Kutokea hii leoIjumaa ya tarehe 19 Februari 2016 hadi kukakuanza mfungo wa Ramadhani tunebakisha siku107.

    G J K F U N A J K M J G J S

    O U H A S A L E H U A R O T

    L M A D M A A M T S R A H A

    D A L H A M K I T S U N A G

    A S I I N F E M I A S V N I

    M H D L V E Y A B N A I N R

    E A W S F L F K T U L L E I

    I R A T R U E H R S E E S T

    R K B U T N K A F A M W L E

    K I R U S I R N V I Y O E W

    A S L A A G D A U R U O O A

    F A D D A D A A K 4 7 D Y R

    A L I A B I T A L I B S 5 9

    D J U N E A A D T 10 E 365 128 S

    E M A Y N U P E F A D 357 65 H

    T U S J G R R C B 30 W 354 S A

    R Y Z S L O I E S 2 A 29 na 31 H A

    O L B F A O L M K G R 20 na 30 A B

    I S A C N M O B G 25 D 10 na 30 43 A

    T V T D D O C E V 45 B 31 55 N

    M Y U H U S K R D 50 L 30 80 S

    I E T N K A A C 1965 Y 29 na 30 33 H

    F E B R U A R I E 1969 D 1437 42 A

    F T Y B W S R N C H E R U B

    B R O N S D F E V G N S N N

    HAPANA kherikatika mingi yaminongono yaoisipokuwa yuleambaye ameamrishakutoa sadaka aukufanya wema aukusuluhisha kati yawatu na atakayefanyahivyo kwa kutakaradhi za MwenyeziMungu punde hivi,tutampa malipomakubwa. [An-Nisaa114]

    Yanapatikana katikaaya hii tukufu mafunzona maelekezo mengiyenye kufungamanana huduma za kidinileo hii kwani katikazama, kama zamaambazo tunaishi ndaniyake, na katika zamaza mwisho katikahistoria yetu ya karibu,wakati unapokuwawito kwenye Uislamuna kuukisha ujumbewake wenye kuwapoza

    binadamu ni jambogumu kwa sababuya baadhi ya sababuambazo ni hasi. Kwahakika wito huuutafanyika kwa siri nakwa kunongona maana

    juu ya msingi wa Naafanye upole.

    Na inataja aya tukufuhapo juu kwamba

    kuna malipo makubwakwa mtu ambayeanafanya jambo hilo.

    Na kama ambavyoni jambo ambaloliko wazi, kwambaMwenyezi Mungumtukufu anayawekamalipo, kwa sura yakuachiliwa na pasi nakuweka mpaka wowoteili aamshe shaukuzetu na hisia zetu naanaliongeza hilo, kamalilivyokuja katikahadithi takatifu kuhusuSwaumu Swaumu niyangu na mimi ndiyenitayeilipa.

    Hisia mbaya namazoea maovu, nakra zenye kupondoka,nyeusi na hila zenyekusukwa dhidi yawaumini na njama namambo ya chini kwachini yanayopikwakwa ajili yao, hayo nimambo meusi. Chanzochake na chimbukolake ni shari. Haupenyikwenye mambo hayomwangaza wowotewa kheri hata kwawale walio nyuma

    yake katika watuwaovu, kwa sababuwao hawakufaidika namafundisho hayo.

    Ama hisia za kwelizenye Ikhlasi kamavile kuamrisha kutoasadaka na kuenezakheri na uzuri na wemana kusuluhisha katiya watu, hizo ni hisiatofauti (ni hisia nzuri,

    bora zenye kutakikanamtu kuwa nazo nakudumu nazo). Na mtumwenye kuyafanya

    mambo haya na haliya kuwa yeye anatakakwa kufanya hukoradhi za Mwenyezi

    Mungu mtukufu nadhati yake, hapanamfano katika mfano wa

    haya mazingira ambayosiyo mazuri, na yasiyokuwa ya kawaida naambayo yanataka usirikatika matendo yakheri. Kwa hakika mtuhuyo atalipwa malipomakubwa sana, naatapokea ujira mkubwa.Kwanza kwa kutendakwake na pili kwakuangalia mazingirayasiyofaa.

    Ndiyo,kunawezekanakuanzisha taasisi zawananchi mbalimbaliambazo lengo lakeni kupata radhi zaMwenyezi Mungu,kutokana nakuyahakikisha hayamambo matatu kwamashauriano, katikataasisi hizo kwa sababukila masuala mamojakatika haya masualamatatu yana vipeovya kijamii ambavyoni muhimu sana.Na katika mfano wamasuala haya ambayoyanafungamana na

    kanuni za jamii nahaki zake, kwa hakikani katika hekimakukimbilia kwenyehekima ya mashaurianoambayo ametuusiakwayo Mtume (s.a.w.)katika mambo yote.

    Na kinyume chahivi kwa hakikani juu ya wauminikuchukua tahadhari namkusanyiko wowoteambao lengo lake nikunongonezana kwamambo yanayoeneamitaani kuhusu hili

    au lile au kusimamakwa kuunda jumuiyaza siri na kujitahidikuzuia kuundwa kwamikusanyiko hiyo ikiwakutawezekana.

    (Imenukuliwakutoka Kitabu:Miyangaza ya Qurankatika mbingu yahisia, cha MuhammadFethullah Gullenkilichotafsiriwa kwaKiswahili na SheikhSuleiman AmranKilemile)

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    3/20

    3 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Habari

    Masheikh wapo rumande hii ni dhulma - Ally SalehMASHEIKH na Waislamu

    waliopo katika Gereza laSegerea, Jijini Dar es Salaam,wamezidi kupaza sauti kwaviongozi na jamaa wanaowatembelea gerezani hapo, juuya dhulma zinazowakabili.

    Safari hii kilio chamwenendo wa jinsi kadhia yaoinavyopelekwa na vyombo vyaDola, imetua kwa Mbunge wa

    Jimbo la Malindi, Zanzibar, Mh.Ally Saleh.

    Akiongea na An nuur,mapema wiki hii Mh. Saleh,alisema amewatembeleaMasheikh Farid Had na MselemAlly pamoja na Waislamuwengine waliopo katika gereza la

    Segerea na kusikia kilio chao.Nilikwenda kuwaona wikiiliyopita, walinambia mengi,lakini ni kweli wanafanyiwadhulma na hakuna sababu yamsingi ya kufanyiwa hivyo nawala hakuna sababu pia ya kesiyao kutosikilizwa muda wotehuo. Amesema Mh. Ally Saleh.

    Alisema, ni wakati waSerikali kufanya shauri kuhusukadhia hiyo, watuhumiwa haowatendewe haki kwa mujibuwa Sheria ili ijulikane kamawana makosa wahukumiwekwa mujibu wa sheria na kamahawana basi waachiwe kwamujibu wa sheria pia.

    Ally Saleh ambaye piakitaaluma ni mwanasheria,amesema, suala hilo mpakasasa halijaanza kusikilizwa nawanaendelea kusota gerezani,na kwamba bila mtu kwendaMahakamani haiwezi kujulikanakama ana makosa au hanamakosa.

    Sasa wao (Masheikh naWaislamu hao) wanashangaa nakuhoji kwa nini hilo halifanywina huu ni mwaka wa tatu sasaunakwenda. Kwa hiyo kamaSerikali ina ushahidi, basiilifanye jambo hili liende kwamujibu wa sheria hakuna sababuya kulichelewesha. AmesemaMh. Saleh.

    Mh. Saleh amesema sheriainasema mtu hawezi kuwa namakosa mpaka awe ametiwahatihani na kwamba kilamtu ana haki ya kufanyiwakesi, lakini pia kuna haki yamashitaka na tuhuma zotekufanywa kwa haraka.

    Ili haki ya mtu ijulikane kamaana makosa atiwe hatiani kishaahukumiwe, kwa hiyo kamaKatiba yetu inasema hivyo, basimimi nasema hata wao kamawana makosa wanayotuhumiwana ni makubwa, lakini hawanahatia mpaka hapo watakapotiwahatihani na mahakama. Alieleza

    Na Bakari Mwakangwale Mh. Saleh.Alisema, kwa hali ilivyo sasa

    Masheikh na Waislamu hao nikama vile wananinginia, wana

    makosa au hawana hivyo halihiyo inakuwa si mwenendomzuri na haileti picha nzuri kwaTanzania.

    Kwa upande mwinginewatuhumiwa hao wa ugaidi,wamekuwa wakilalamikiamwenendo wa uendeshajimashitaka Mahakamani

    Imam Hamza huruNa Bakari Mwakangwale

    kuonekana wazi kuendeshakesi kwa kuegemea upande waSerikali.

    Wamenukuliwa wakidai

    kuwa Mahakama inashindwakutambua nafasi yake, kwaniinatoa maagizo kwa Polisi, lakiniwanadharau na hakuna hatuaza kisheria zinazochukuliwa naMahakama.

    Masheikh hao ambaomara nyingi huongea kwaniaba ya Waislamu wenye

    tuhuma za ugaidi gerezanihumo, wamekuwa wakielezakwa nyakati tofauti mambombalimbali waliyofanyiwa na

    Polisi na yanayo endelea humogerezani.

    Wamekuwa wakidai kuwahaki za binadamu Segerea nisawa na msamiati uliopoteakatika kamuzi ya Jeshi laMagereza, kwani wamedai kwamahabusu ni jambo la kawaidakupigwa marugu.

    HATIMAE Mahakama yaWilaya ya Nyamagana, JijiniMwanza, imemwachia huruImam Hamza Omar.

    Mahakama hiyoimejiridhisha kuwa ImamHamza hana hatia katika kesiya uchochezi aliyoshitakiwana Serikali.

    Hukumu hiyo iliyosomwana Hakimu Mama Kalegea,Februari 15, 2016, majiraya saa nane mchana,ilihudhuriwa na mamiaya Waislamu, ambaowalilazimika kula na kuswaliswala ya Adhuhuri katikaviwanja vya Mahakama hiyo,kufuatia muda wa hukumukusogezwa mbele.

    Waumini hao wakiongozanana Imamu Hamza,walika mapema asubuhiMahakamani hapo na ilipokamajira ya saa tatu, kupitiakwa Wakili wake, ImamuHamza alitakiwa kuondokana kutakiwa kurejea saa nanemuda uliopangwa kusomwakwa hukumu yake.

    Kufuatia taarifa hiyo,Waislam hao waliokaMahakamani hapowalikubaliana kutoondoka

    eneo hilo la Mahakamani,wakisubiri muda huo wahukumu utakapo wadia.

    Kwa hakika wengi waowalinywea chai Mahakamanina Swala ya Adhuhuriwaliswalia hapo wakiwa nashauku ya kutaka kujua hatmaya kesi yangu iliyochukuazaidi ya miaka minne.

    Alisema Imam Hamza,akiongea na An nuur, kwa njiaya simu kutoka Jijini Mwanza.

    Alisema, kwa mara yakwanza tofauti na sikuzote katika kesi hiyo tokea

    kuanza kwake, ambapoWaislamu hawakuruhusiwakuingia katika chumba chaMahakama, lakini katikahukumu hiyo Waislamuwaliruhusiwa kuingia.

    Imamu Hamza amesema,ameshinda kesi hiyoya uchochezi baada yaMahakama kupitia kwaHakimu Mama Kalegea,kujiridhisha kuwa tuhumaza uchochezi alizotuhumiwa(na Serikali), hazikuwa naushahidi wa kumtia hatiani.

    Jeshi la Polisi lilimkamataImam Hamza kishakufunguliwa mashitaka naSerikali, akidaiwa kuwa,

    Desemba 13, 2012, kiongozihuyo wa Waislamu JijiniMwanza, alitoa maneno yauchochezi.

    Akielezea kesi hiyo, alisemaHakim alirejea mtiririkowa hukumu ya kesi hiyoakisema kwamba matukioya mashitaka yanayomkabiliImam Hamza, yalitokea katikaMsikiti wa Thaqib, uliopoWilaya ya Nyamagana, JijiniMwanza.

    Kwamba, mnano Desemba13, 2012, (Imamu) Hamzaanadaiwa kufanya makosa yakutoa maneno ya uchochezi,

    ambayo yanaonekanakumuingiza katika makosamatatu.

    Hata hivyo, HakimuKalegea, alisema kuanziaDesemba 13, 2012,(inapodaiwa kutenda kosahilo) amekuja kukishwaMahakamani Februari27, 2013, kwa maana hiyoinaonyesha kuwa kipindichote hicho maneno yanayodaiwa kuwa ni ya uchochezialiyoyatoa hayakuibua tukiololote baya.

    Katika nukta hiyo, Hakimu

    Kalegea, alitoa ufafanuzikuwa Serikali, ilichotakiwakufanya ni kumkamatapalepale katika tukio ambaloinatuhumiwa kufanyika,lakini amekuja kukamatwa

    baada ya muda mrefu kupita,hivyo ikaonekana ushahidiwake hauna nguvu.

    Alisema, ikiwa tendolimefanyika Desemba 13,2012, na kumkamata Februari27,2013, hapa katikati mudawote walikuwa wanasubirinini, akahoji (Hakimu) lakinikati ya muda huo kunatukio gani limetokea baadaya maneno yake hayo yauchochezi? Alihoji Hakimu.

    Kwa hiyo shitaka lakwanza likawa limeondoshwama limefutwa kwa mtindohuo. Amesema ImamuHamza.

    Imamu Hamza, alisemaHakimu akarudi katikashitaka la pili, ambalo lilikuwlinadai kuumiza imani ya dinnyingine.

    Akasema, Hakimu alielezakuwa, kwa mujibu washeria, inabidi apatikane mtualiyeathirika (aliyeumia) ndioaliyepaswa kushitaki.

    Hakimu akafafanua kuwa,katika kipengele cha tuhuma

    hiyo, hapakuonekana mtuyeyote aliyejitokeza kuwaameumizwa kiimani nakushitaki akidai maneno hayoyamemuathiri.

    Ama katika shitaka la tatu,ambalo lilikuwa likisomekakuwa Hamza, amehamasishaau kaamrisha kutenda kosala mauaji, Mahakama ilitoamaelezo na kuhoji kuwa,tangu Desemba 13, 2012, hadkukia Februari 26, 2013,je, kuna tukio lolote ambalo

    baada ya waumini kumsikiliz

    Inaendelea Uk.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    4/20

    4 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Tahariri/Habari

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    KADIRI sikuzinavyosonga mbele,Watanzania wengiwanakata tamaa yakushiriki katika chaguzihususan uchaguzi mkuunchini. Wengi wanaonahakuna umuhimu wakupiga kura.

    Yanayotokea Zanzibarni sehemu ya sababu(gisu) zinazowafanyaWatanzania kukata tamaana kuchoka kushirikikupiga kura.

    Tumeshuhudia natunaendelea kushuhudia

    mivutano isiyokuwa namaana katika kuchaguaMameya, hususan katikamajimbo na miji ambayoina Madiwani wengiwa vyama vya upinzaniwalioshinda uchaguzi.

    Tumeshuhudia hatakatika chaguzi za miakaya nyuma na huuuliofanyika Oktoba 25mwaka jana, hasa katikamaeneo ambayo yalikuwana dalili za wagombeawa vyama vya upinzanikushinda, basi kwanamna moja au nyinginechangamoto za uwazi na

    haki zinajitokeza. Maranyingi katika maeneohaya wasimamizi wauchaguzi hupata wakatimgumu wa kutangazamatokeo. Matatizo yanamna hii yamekithirikiasi cha kuwa mazoeakatika chaguzi zetu hapanchini.

    Watu milioni 8walipiga kura mwaka2000, watu milioni 11walipiga kura mwaka2005 watu milioni 8walipiga kura mwaka2010. Watu wanaokiamilioni 14 walipiga kuramwaka 2015.

    Limekuwepo swalikwamba kwaniniWatanzania hawapigikura na zimekuwazikitolewa sababu zahapa na pale. Wapowaliosema kukosekanaelimu ya uraia, madaikwamba Tume zaUchaguzi kutokuwa hurunk.

    Kwa kawaida hoja zakampeni lazima ziguseuhalisia wa maisha yawatu na sio ndoto naahadi za kisiasa za hadaa,ambazo zinalazimishwa

    Itafka mahali watu watachokakwa namna yoyotezikubalike, iwe ni kwakununua kura kwaudanganyifu au kwakutumia vyombo vyadola na watendaji.

    Wananchi waTanzania wana mamboyao ya msingi ambayoyanawasumbua nawanahitaji wanasiasawaje na hoja na mipangomadhubuti yenyekutekelezeka, na sioalinacha.

    Watanzania wa sasahawataki wanasiasa

    wanaojifanya wao niMiungu, wanajimu,waganga wa kienyejiau mti wa mwarubaini,kwamba wana tiba yakila tatizo, hapana.

    Wanataka watuwanaowasikilizana kubeba hoja zaokwa uzito walio naowananchi. Halafuwanaposimama kuombakura wawaambiewanakwendakuzishughulikia vipina watoe vigezo vyakuwahukumu iwapowatashindwa kutekeleza.

    Wananchi wanauhuru wa kumtambuani nani anayewafaakatika uchaguzi,wanajua ni nani anawezakuwatatulia kero zao.Wananchi wanajuakuwa wanastahili kuwahuru kuchagua na yulealiyechaguliwa na waliowengi ndiye aliyeshindana anayepaswa kupewa

    jukumu la kuwatumikia.Sasa haki hiyo

    ya kidemokrasiainapoonekana kupuuzwana kutupiliwa kwa mbali,vipi tutarajie watu wawena ghera ya kupiga kura?

    Moja ya eneo ambalohalijakaa sawa na linaviashiria vya kutuvurugani suala la muunganokati ya Zanzabar naTanganyika. Siku hizi si

    jambo la ajabu kusikiatatizo la mgwanyikounajitokeza kikanda aukimikoa, Upemba naUunguja, na mgawanyikombaya zaidi unaotishiahuko tuendako ni wakidini hasa mvutano katiya Waislamu na Wakristo.

    Wananchi waliingiakatika uchaguzi

    wakiamini watawapaviongozi wenye niaya dhati ya kuondoaharufu hizi mbayaza kuwagawa watu.Tulitaka kuona walewanaotaka kutuongozawana kauli na majibusahihi ya jinsi na namna

    nzuri ya kukabilianana migawanyiko hii.Watuambie watafanyanini na watafanyajekutuwekea mazingiramazuri ya kulijengataifa moja, lenye umojana hata inapolazimikakutofautiana, tufanyehivyo bila mivutano,chuki na hatari yakuvunja umoja wetu.

    Wanasiasa wenye uchuhuwa hawajali ni kwakiasi gani wanaathirihisia na matarijio yawale waliowachagua.Watanzania wanasitakupiga kura kwa kuwa

    hawataki ahadi na porojozisizo na uhalisia. Lakinipia kwa hali hii kama yaZanzibar ya kurudiwauchaguzi katika haliya utata inayoachawengi kuamini kwambaunarudiwa kwa sababuchama tawala hakitaki

    kushindwa, itaka mahalipia watu wataona hakunasababu ya kupotezamuda wao na kuchafuavidole vyao kwa winokupiga kura.

    Kwa staili hii ya wenyeuchu wa madarakakulazimisha yao juuya wananchi, ni jambolinalokatisha tamaana watu kujiona kuwahawapo salama na kilawakati kuwa na mashaka.Usalama katika nchiyetu unadorora sanakwasababu ya ubabe waviongozi. Sio kwa sababukuna wananchi wakoro,

    wachochezi na magaidikwa msemo na kisingizimaarufu cha siku hizi.

    Siku hizi ni kawaidasana kusikia watuwamekamatwa,wakateswa na kuswekwndani kwa tuhuma zaugaidi, hali ya kuwa

    tatizo linaweza kuwa nichuki tu za kisiasa nakiimani.

    Mambo hayayamekuwa ni maumivuna uchungu mkubwasana kwa wananchi nandio chachu ya wengikujenga imani kwambauchaguzi kwao haunamaana.

    Inawezekana kabisakuna vilio na changamotnyingi zinazotukabili,lakini hizi zinazowafanyWatanzania wakatetamaa kupiga kura katikchaguzi, ni ishara toshakwamba madhara yake n

    makubwa huko mbeleni

    Imam Hamza huruwalitekeleza kauliyake hiyo ya kwendakufanya tukio?

    Sasa ikiwahapakutokea hilo, basiinaonekana dhahirikwamba pamoja nahayo yote yaliyoelezwakatika mashitaka,ushahidi haujitoshelezikwa shitaka hilo.

    Alisema ImamuHamza, akirejeamaelezo ya Hakimu,akitiririka katikahukumu yake.

    Alisema, mwishoHakimu, aliielezaMahakama kwambaushahidi unaotumikakupitia mkandawa kurekodi (CD),ambayo ilikishwaMahakamani hapokama sehemu yaushahidi dhidi yatuhuma za ImamuHamza, ulikuwa

    umeeditiwa, ikaelezwakuwa ushahidi huohaujitoshelezi bila yavielelezo vingine, kwamaana umekishwakama kopi na si halisi.

    Mpaka kutolewa kwahukumu hiyo, Februari15, 2016 (Jumatatuwiki hii) hukumuhiyo imeahirishwamara tatu, ambapomara ya kwanza,Hakimu hakuwepokwa maelezo kwambaalikuwa likizo, maraya pili pia alikuwa

    Inatoka Uk. 3 bado hajamaliza likizoyake na mara ya tatuiliahilishwa kwamaelezo kuwa Hakimuanakamilisha kuandaahukumu hiyo.

    Aidha, kesi hiyopia mpaka kwishakwake imesikilizwana Mahakimu wanneambapo awali ilikuwakwa MheshimiwaMwambapa, kabla yakuhamishwa kituo chakazi.

    Hata hivyo, baada yaImamu Hamza kutokakwa dhamana, kesihiyo ilichukuliwa naHakimu Loguloga, kishailihamishiwa kwa MamaMushi, ambaye nayealihamishwa kituo chakazi na kesi hiyo kupewaMama Kalegea, ambayendie aliyotoa hukumu.

    Imamu HamzaOmar, alikamatwa na

    Jeshi la Polisi, manamoFebruari 26, 2013, na

    kukishwa MahakamaniFebruari 27, 2013 nahapo hapo dhamanayake ilizuiliwa nakulazimika kukaaMahabusu kwa mudawa miezi minne, katikaGereza la Butimba,

    Jijini Mwanza.Awali kesi hiyo,

    ikiwa chini ya HakimuLoguloga, ImamuHamza, alikuwaakishitakiwa kwamakosa mawili yauchochezi, hata hivyoilikwenda mpaka

    Septemba 23, 2014,ambapo Hakimu huyoaliifuta kwa maelezokuwa kesi hiyo ilikaMahakamani pasi yakufuata taratibu zakisheria kwa maanahaikupitia kwa DPP.

    Kwa maana hiyotokea muda huo(Septemba 23, 2014)

    Imamu Hamza,hakuwa na kesi yakujibu lakini Januari10, 2015, alikamatwatena kisha kufunguliwmashitaka, safari hiiakipewa mashitakamatatu, ya uchochezi,chini ya Hakimu MamMushi.

    Kwa mujibu wa ImamHamza, shitaka hilo,lilikuwa na maelezokwamba, kupitia katikamkanda ulio rekodiwa(CD), amesikika akisemaNundi wote walie, akiliBundi Uchuro.

    Ambapo, ndani yakeanadaiwa kutamka kuwhuko tunakoelekea nipazuri, tunakwendakuchinjana namakari.

    Ama shitaka la pili,Imamu Hamza alisemkwa neno hilo hilo, nikwamba ameumizaimani ya dini nyinginena shitaka la tatu piakwa neno hilo hilo nikuwa hayo ni manenoyanayo amrishamakosa ya mauaji.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    5/20

    5 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201HABARI ZA KIMATAIFA

    JOPO la haki za binadamu laUmoja wa Mataifa limepitishauamuzi kwamba muasisi wamtandao wa WikiLeaks, JulianAsange, amekuwa kizuizinikinyume na sheria na matakwaya Uingereza na Sweden.

    Uamuzi huo ulitolewa Febriari5, 2016 unatoa matumainikwamba, Assange huendaakawa huru baada ya kukaandani ya ubalozi wa Ecuadormjini London kwa karibu miakaminne.

    Jopo hilo la UN limetoa taarifayake yenye kurasa 18 Ijumaailiyopita na kutaka Assangeaachiwe huru na alipwe diakwa muda wake wote aliozuiwatangu Desemba 2010.

    Msemaji wa mtandaowa WikiLeaks, KristinnHrafnsson, alinukuliwa

    akisema, "Tunatarajia serikaliya Uingereza na ya Swedenkuchukua hatua zinazofaa,kufuta waranti wa kukamatwaAssange na viongozi waUingereza wamrejeshee pasiyake ya kusaria na kumuachiahuru, kwa kuwa ndilo jambopekee la busara linaowezakukiriwa."

    Waendesha mashtaka waSweden wanataka kumhojiAssange, kuhusiana na madaiya ubakaji wakati wa ziara yakikazi aliyoifanya nchini humomwaka 2010, wakati mtandao wa

    Umoja wa Mataifa wataka bosi wa WikiLeaks aachwe huruWikiLeaks ulipochua nyarakaza siri na kuibua gumzo kubwakote ulimwenguni.

    Mara kwa mara Assangeamekuwa akikanusha madaihayo lakini amekataa kurejeaSweden kukutana na waendeshamashitaka na kuamua kutafutahifadhi katika ubalozi waEcuador jijini London, ambakoamekuwa akiishi tangu Juni2012.

    Inaelezwa kuwa hatua hiyoya jopo la UN ni pigo dhidi yamfumo wa sheria wa Sweden.

    Jopo la Umoja wa Mataifalimegundua kwamba Assange,hakushtakiwa rasmi nchiniSweden, mbali na kuwekwachini ya uchunguzi wa awali.

    Mwenyekiti wa jopo hiloSeong-Phil Hong, alisema jopohilo limeamua kwamba aina

    mbalimbali za kunyimwa uhurudhidi ya Assange ni kumzuiakinyume na sheria na anastahilihaki ya kulipwa dia.

    Carey Shenkman, mmojawa mawakili wa Assangekutoka Marekani alisemawamefurahishwa na uamuzi huowa jopo la Umoja wa Mataifa.

    "Huu ni ushindi mkubwakwetu baada ya uchunguzihuru wa Umoja wa Mataifauliofanyika kwa kipindi chamiezi 16. Uingereza na Swedenzilikuwa na muda wa kutoshakuwasilisha ushahidi na

    ushahidi huo ukazingatiwa najopo hili na uamuzi ni kwambamteja wetu alizuia kinyume nasheria." Alisema wakili huyo.

    Aidha Shenkman, alisemamawakili wote wa Assangewaliridhika na taarifa hizo,ambazo zilithibitishwa naWizara ya Mambo ya Nje yaSweden.

    Hata hivyo Sweden imesema

    JULIAN Asange

    haikubaliani kabisa na uamuziwa jopo la Umoja wa Mataifana kwamba, uamuzi huo haunaathari yoyote rasmi kisheriakatika uchunguzi unaofanywa

    dhidi ya Assange kwa mujibuwa sheria za nchi hiyo.Katika barua iliyoandikwa

    na serikali ya Sweden dhidi yajopo hilo, Wizara ya Mamboya Nje ya nchi hiyo imesemaserikali haikubaliani na tathminiliyotolewa na idadi kubwa yawajumbe wa jopo hilo, ikiongezkwamba chombo hicho hakinahaki ya kuingilia katika kesiinayoendeshwa na mamlaka yaumma ya Sweden.

    Thomas Olsson, wakili raiawa Sweden anayemuwakilishaAssange, ameitaka Swedenkuzingatia maamuziyaliyobainishwa katika ripoti ya

    jopo la Umoja wa Mataifa.

    Uingereza nayo imesemaitaupinga rasmi uamuzi huona kwamba, Assange atatiwambaroni iwapo atatoka nje yaubalozi wa Ecuador.

    Msemaji wa serikaliya Uingereza alisemaanachokifanya Assange nikuzuia kwa hiari kukamatwakwa kuendela kubakia ndaniya ubalozi huo. Alisema madaiya ubakaji na waranti wakukamatwa kwake bado upo,kwa hiyo Uingereza ina jukumula kisheria kumrejesha nchiniSweden. abna.ir

    MKUTANO wa Usalamauliofanyika Munich Ujerumani,umemalizika huku yakiwepomatumaini nyu ya kupatikanaamani ya kimataifa na utulivuhuku suala la Syria likihodhimkutano huo wa siku tatu.

    Awali Wolfgang Ischinger,Mwenyekiti wa mkutano huo,akifunga mkutano alisema"Tunakabiliwa na mizozo chungunzima na kama ilivyosemwaasubuhi kushindwa mara nyingikwa utatuzi wa mizozo na kuzuwiamizozo kwa uhakika.

    Tunakabiliana na ukosefu wautulivu usiotabirika katika sehemuzaidi ya moja na tunakabiliana naidadi kubwa ya wakimbizi iliovunjarekodi na muhimu kuliko yotetunakabiliwa na kupoteza imani.Alisema.

    Mwenyekiti huyo aliongezakuwa hakuna maakiano makubwayaliokiwa kutokana na kuendeleakutiliana mashaka na kutoaminianakati ya mataifa hususan katika sualala mzozo wa Syria ambao ulihodhiagenda ya mkutano huo wa sikutatu.

    Rais Barack Obama wa Marekani,ambaye nchi yake inaunga mkonowaasi, Jumatatu wiki hii ameitakaUrusi kuacha kuwashambuliakwa mabomu waasi na magaidialiowaita wenye msimamo wawastani nchini Syria katika juhudiza kumuunga mkono mshirikawake Rais Bashar al Assad.

    Mashambulizi ya Urusi nchiniSyria dhidi ya waasi yanatizamwa

    Mkutano wa Usalama Syriawamalizika bila matumaini

    Nchi za Magharibi zakerwa na Urusina mataifa ya magharibi kwambani kikwazo kikubwa katika juhudiza za kukomesha vita nchiniSyria, kwani nchi za Magharibizinawasaidia waasi na magaidi ilikuiangusha serikali halali ya Syria.

    Mataifa makubwa yamekubalianahapo Ijumaa kupunguza uhasamanchini Syria, lakini makubalianohayo hayategemewi kuanza kazi

    hadi mwishoni mwa wiki hii nahayakusainiwa na makundi yoyoteyale yanayohasimiana, yaani serikaliya Syria na makundi mbalimbali yawaasi yanayoipinga serikali hiyo.

    Mashambulizi ya anga ya Urusidhidi ya makundi ya magaidina waasi wanaoungwa mkonona nchi za Magharibi na zaKiarabu, yanalisaidia jeshi la Syriakufanikisha kile kitakachoelezwakuwa ni ushindi wake mkubwakabisa wa vita katika mapambanoya mji wa Allepo, moja ya mijimikubwa nchini Syria na kitovucha biashara cha nchi hiyo kabla yakuanza kwa vita.

    Hakuna matumaini makubwakwamba makubaliano hayo

    yaliokiwa Munich, yatakuwa nauwezo mkubwa wa kukomeshavita vya miaka mitano ambavyovimeuwa watu zaidi ya 250,000.

    Hata hivyo wakati mkutanohuo ukimalizika, zimekuja taarifakwamba Rais Barack Obama waMarekani na mwenzake VladimirPutin wa Urusi, wamekubalianabaada ya kuzungumza kwa simu

    kuwa na ushirikiano wa karibukatika kusuhughulikia mzozo waSyria na Ukraine, hivyo kuletamatumaini fulani ya kufanyika kwajuhudi za kidiplomasia zaidi zakutatuwa mizozo hiyo.

    Lakini taarifa ya Ikulu ya Urusipia imeweka wazi kwamba nchihiyo imejitolea katika mashambuliziyake dhidi ya kundi la kigaidi laDaesh na makundi mengine yakigaidi, ikiwa ni ishara inaonyeshakwamba pia itayalenga makundimengine yaliyoko Magharibimwa Syria ambapo wapiganajiwa kigaidi kama vile kundi la AlQaeda wanapambana na vikosi vyaAssad, wakiwa karibu na magaidiwanaotumiwa na Marekani na

    kuungwa mkono na Mataifa yaMagharibi wanaonekana kuwa wamsimamo wa wastani wa kigaidi.

    Urusi inasema kundi la kigaidila Daesh na lile la Al Nusra lenyemafungamano na Al Qaeda, ndioyanayolengwa katika mashambulizyake ya anga.

    Lakini mataifa ya Magharibiyanadai kuwa Urusi na Irankwa kiasi kikubwa wanayalengamakundi mengine ya kigaidiyanayoungwa mkono na Marekanikatika mashambulizi hayo dhidiya magadi wanaoungwa mkonona nchi za Kiarabu na zile zaMagharibi kwa lengo la kuiangushserikali halali ya Syria.

    Akizungumza katika mkutanohuo wa Munich, Waziri Mkuu wazamani wa Syria na kiongozi waujumbe wa upinzani unaoungwamkono na Saudi Arabia naMarekani, Riad Hijab, amelaumukusambaratika kwa mchakatowa kisiasa chini ya usimamizi wakimataifa.

    Alinukuliwa akisema, "Wananchwetu wanaona wametelekezwana kuangushwa na jumuya yakimataifa, hususan mataifamakubwa yenye nguvu na hasaMarekani."

    Watu wengi wanasemamkutano wa Munich umetumaujumbe kwa dunia kwambajuhudi zaidi zinahitajika kutatuamizozo inayoendelea kufukutakatika nchi kama Syria, ikiwani pamoja kujenga upya imaniiliyopotea pamoja na kuyapa nguvmazungumzo ya kisiasa. abna.ir.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    6/20

    6 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Makala

    NI Febuari 4 mwaka huuwa 2016, ndio siku ambayowaandishi wa habari waZanzibar hawataisahau ambayowamempoteza mwandishimwenzao muda mfupi tu

    baada ya kumalizika mkutanowa waandishi wa habari nawahariri katika Ukumbi waHabari Maelezo uliopo Maisarakwenye jumba la Wizara yaHabari. Lengo la mafunzo hayoilikuwa ni kukumbushanawajibu wa wanahabari katikakudumisha amani ya nchihasa katika kipindi hikiambacho Zanzibar inapitakwenye majaribio ya kisiasana kuelekea kwenye uchaguziwa marejeo. Ni ghalfa. Taarifaza kifo cha Hadh HusseinMwinyi zimesambaa huku kilammoja akiupokea msiba huo

    kwa huzuni lakini pia kutizamamema yake aliyotanguliza kwajamii.

    Katika siku za hivi karibuniZanzibar ilikutwa na msibawa watu wawili watatu lakiniwakasahau kwamba mtuanapokufa hutakiwa kutajwakwa mema yake na kusahaulikakwa mabaya yake. Lakini katikakifo cha Hadh ilikuwa nitofauti. Kila aliyesikia amesemaAlhamdulillah Malaika wemawampokee kwa mikono yahuruma na unyenyekevu kamaalivyokuwa yeye akiwapokeawengine kwa wema naMwenyeenzi Mungu amlazemahali pema peponi.

    Hadh alipata ajali Januari4, 2016 siku ambayo ndioamejaza fomu ya uanachamawa Jumuiya ya Waandishi waHabari za Maendeleo Zanzibar(WAHAMAZA) na maneno yakeyalikuwa, najiunga na jumuiyahii nikiamni kwamba nitajifunzamengi kutoka kwa waandishimahiri na waliobobea. Naaminindani ya jumuiya hii kuna dadazangu na kaka zangu ambaowamenitangulia na nimekuwanikiwahusudu sana katika kazi

    zao kwa hivyo najiunga nikijuasipotezi.

    Amenikabidhi fomu yake nakisha kuendelea na mafunzosiku ambayo tulikuwa namkutano kati ya Wahariri nawamiliki wa vyombo vya habariambao yaliandaliwa na Shirikala Internews ambalo lilikuwalikitoa mafunzo kwa mudawa wiki moja kwa wandishiwa habari mbali mbali hapaZanzibar. Hadh alikuwa nimoja wapo wa waliobahatikakupata mafunzo hayo ambaposiku ya pili alitakiwa kuwasilisha

    Hafdh Hussein MwinyiSalma Said, Zanzibar

    HAFIDH Hussein Mwinyi

    mbele ya waandishi wenzakeyale ambayo tumejifunza kwapamoja. Baada ya kuwachanana wenzake ili tujumuike sikuya pili kwa ajili ya kuwasilishambele ya walimu wetu, lakinini muda mfupi Hadh alipewakazi ya kwenda kukata tiketibandarini ili walimu wasarikesho yake. Alikwenda kukatatiketi na kuwasilisha tiketi kwaMr Tole Nyaa na Valeria Msokaambao walikuwa miongoni mwawalimu waliokuja Zanzibarkutoa mafunzo kwa waandishiwa habari.

    Baada ya kuachana nao hapona kuwakabidhi tiketi, Hadhalikwenda zake Idara ya HabariMaelezo akifuatana na MakameMshenga ambaye ni Mpiga pichakwenda kuchukua kamera hukoMaungani majira ya saa 11 jioni.Baada ya muda kuka njiani

    wakakuta gari aina ya Fusolikitembea kwa mwendo kasi naMakame Mshenga kuchupa kwakujiokoa, lakini Hadh Allahalikadiria kuwa ndio namna takeya kuondoka duniani, aligongwana gari hilo ambalo lilikuwalikitokea Mjini kuelekea Dimani.

    Taarifa zikaanza kusambaakwenye mitandao ya kijamiikwamba Mwandishi wa habariamefariki kwa kupondwa na garila mchanga aina ya Fuso ndipotulipopata taarifa tukakimbiliahospitali na kuwakuta wenzetukadhaa wakisubiri kutolewa

    kwa maiti na kwenda kuzikwaDaktari aliyemuangalia alisemakutokana na mwili kuharibikamaiti hiyo inapaswa kuzikwasiku hiyo hiyo. Naam, mazikoyake yakafanyika saa 7 za usiku.Hakuna zaidi ya kusema Innaalillahi wainnaa ilayhi rajiuun.

    Ndio kwanza nakanyumbani najitayarisha kusalisala ya magharibi nasikia simuyangu ikilia sana na kuichukuanaona ujumbe ukitoka kwaKhatib Suleiman ukinitakanipige simu haraka kuna jambolimetokea. Nipigie haraka,nipigie haraka, nipigie haraka.Kumpigia simu ananiambiaHadh ameshafariki na maitiimehifadhiwa Hospitali yaMnazi Mmoja. Nikasali baada yakusali nikashindwa kuchukuagari na ndipo niliomba mtuanichukue hadi hospitali na

    huko nikawakuta wenzanguwengi wakiwa na huzunikubwa wakisubiri mwili wamwenzetu utolewe katikachumba cha kuhifadhia maiti.Hakuna aliyeamini, lakinijambo likishaka utaamini kwabaadae na ndivyo ilivyokuwakwa mwenzetu huyu ambaye

    jina lake Maarufu ni Mpita Njiana amekuwa na account yafacebook ambayo mwenyeweamekuwa akiiandika manenoya nasaha na kuwaelimishavijana wenzake kuacha kuchezeamuda wao na wajielekeze zaidi

    katika mambo ya kheri ambayoyatawapekea kuwa waja wemakatika jamii na huko twendakoAkhera kwenye maisha yamilele.

    Muda mchache kabla yakifo chake alitoa sadaka kwawatoto waliokuwa njiani kabla

    ya kuanza safari ya kwendahuko ambako alipata ajaliiliyomkatishia uhai wake. Kifochake Hadh kimetoa bushrakubwa na mafunzo makubwakwa vijana ambao wanainukia.Kila sehemu unayopita baada ytangazo la kifo kwenye mitandakila mmoja anamsema ka wemawake, ukaribu, uhodari kujitoleharakati zake za kidini na kijamalizokuwa akizifanya katika uhwake.

    Mtu anapokufa hutakiwaasemwe kwa mema yake nakusahaulika kwa mabaya yake.Naam tumejifunza mambo

    mengi kupitia msiba huu natunaamini kwamba mtu wakheri Mwenyeenzi Munguhumuondosha mapema nandivyo ilivyotokea kwa Hadh

    Katika maelezo yake yamwisho Hadh aliwakumbushawanahabari na namna ambavyowatakavyoweza kuisambaratishnchi iwapo watakosea katikamaandishi nao lakini pianamna ambavyo maandishihao yatakavyoweza kusaidiakatika kuwaunganishaWazanzibari kwa kutumiataaluma yao bila ya upendele

    bila ya kuweka ushabikiwa kisiasa mbele. Katikamafunzo ya Internews Hadhalionesha umahiri mkubwawa kuchangia mijadalambali mbali na akipendasana kutumia mifano ya Mamayake huku maneno yake mengiakiyaelekeza kama ni nasaha nakuzingatia huko twendako zaidkuliko hapa duniani.

    Aliwahimiza waandishiwenzake kuzingatia suala lausalama wa nchi na mapenzikwa nchi na watu wake nakuacha kushabikia mamboambayo yanaweza kuwapelekea

    katika kuleta mifarakano kwanimalipo yake ni mabaya mbeleya Allah. Ni kijana ambayealipenda sana kujifunzaakihusudu mambo ya kheri naalikuwa akipenda sana kujitoleakatika masuala ya kijamii nandio maana taasisi za kusaidiamayatima Hilmi Charitableya kusaidia watoto walemavuwalikuwa wakimtumia katikakukisha ujumbe wao kwaumma ikiwa pamoja na kusaidikupeleka vigari vya walemavukatika maeneo ya Unguja naPemba.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    7/20

    7 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Maoni yangu

    WAKATI Dr John PombeMagufuli alipotangazwamshindi kwenyekinyanganyiro chawanachama 38 waliotakaCCM iwadhaminiwagombee Urais, niliandikamakala niliyoipa kichwahiki Magufuli kama

    Nebukadneza mkuu wa dolaya Babeli.

    Zipo sababuzilizonisukuma kumfananishaMagufuli na NebukadnezaMfalme wa Babeli, kwamwonekano wa njeNebukadneza hakuwavutiaaliowatawala walahawakumpenda kwasababualikuwa mtawala katili. Lakinikulingana na nabii Yeremia,huyo Nebukadneza ndiyeambaye Mungu alimchaguakuyatimiza makusudi yake.Waisraeli walimshangaaNabii Yeremia kwa kutabiriakisema BWANA asemaNebukadneza mtumishiwangu. Walihoji hivi Munguatamwiteje Nebukadnezamtumishi wangu ikiwaNebukadneza hana dini,hamjui Mungu walahamwabudu? Lakini hatimayealiyotabiri Yeremia yakatimiaNebukadneza aliivamiaYerusalemu akawachukuaWaisraeli mateka kwenda naoutumwani Babeli.

    Waisraeli wakiwautumwani Mungu akaanzakujidhihirisha kwa

    Nebukadneza kuwa ndiyealiyemweka kwenye nafasihiyo kwa uwezo wake wakimungu.

    Ninachotaka kielewekeni jinsi njia za Munguzinavyotofautiana na njia zetuwanadamu. Njia za Mungumara nyingi hazikubalikikatika akili za kibinaadamu,wakati mwingine kunamazuri hayapatikani hadimtu apitie mabaya yenyemaumivu makali. Mtawalaanaweza kudhani ameingiamadarakani kwa mbinuna nguvu zake binafsi,

    au akadhani wanadamuwenzake ndio waliomkishaalipo. Mtawala anaweza asijuekwamba Mungu alipangamapema kumwingizamadarakani ili akayatimizemakusudi ya kimungu.

    Darasa la Mungu lilianzahivi, siku moja Nebukadnezaalionyeshwa kwenye ndotosanamu kubwa lililotoamwangaza, kisha jiwelikaporomoka kutoka mlimanilikaiponda hiyo sanamu, jiwelikakua likaijaza dunia yote.

    Nebukadneza alipoamka

    Barua ya wazi kwa Rais John Magufuli:

    Wewe ni Rais wa Watanzania woteU-CCM ni ibada ya sanamu

    RAIS Dk. John Magufuli.

    akili yake haikukumbukaila roho yake ilifadhaikakutokana na ilichoona,akataka washauri wakewamsaidie yaani wenyehekima wa Babeli, wanajimuau wataalamu wa nyota,wachawi, washihirina wapigaramli lakiniwalishindwa. Nebukadnezaakaghadhabika sanaakaamuru hao wasaidiziwake wote wauawe. Huundio mtihani wa watawalawa Dunia, likijitokeza

    jambo gumu linalohitajijawabu lakini washauri wao(wataalamu wao) wakakosa

    jawabu halisi, watawalawengi huchanganyikiwa,hutoa maamuzi ya ajabu.

    Nabii Danieli alifunga nakuomba, Mungu akamfunulia

    alichomwonyeshaNebukadneza pia akampatafsiri yake, MfalmeNebukadneza alifurahia

    jawabu lililotolewa na Danieliakampa zawadi nyingi.Lakini ulika wakati nabiiDanieli akageuka adui wamfalme hadi akahukumiwakifo, ilikuwaje? Nebukadnezaaliamua kuiweka ndotoaliyoonyeshwa na Mungukatika uhalisia, alitengenezasanamu kama alivyoionandotoni akaiweka katikati yamji. Nebukadneza akaamua

    kuizindua sanamu yake kwambwembwe, aliamuru watuwote waisujudie, akaagizawaliokuwa mbali wasujudupopote walipo watakaposikiasauti ya baragumu. Moyonimwake alidhani anamuenziMungu aliyempa ile ndoto,lakini akastaajabu kusikiawaliojiita watumishi waMungu akiwemo Danielialiyemfafanulia maana yandoto ya sanamu wanagomakusujudu. Nebukadnezahakuona uhalali wawatumishi wa Mungukumpinga, kwasababualiamini anatekelezaalichoonyeshwa na Mungu.Kama ilivyokuwa hulka yakeNebukadneza alighadhabikaakaamuru waliompingawachomwe moto, nabii

    Danieli na wenzake wawiliwakatupwa motoni. Lakinihawakuungua Mungualimwonyesha Nebukadnezamiujiza yake.

    Mheshimiwa Dr. JohnPombe Magufuli somoninalokusudia ulielewe ukiwaRais wetu ni hili: Tanzaniaina matatizo mengi lakinikila tatizo linaloikabili nchiau linalokukabili wewe kamamtu binafsi, lina jawabu lake.Ikiwa hujapata jawabu elewahujampata mshauri sahihianayefanana na Danieli.

    Pili, Urais umeupatakupitia mchakato wakisiasa, ambao umehusishawengi kuanzia waliotakauwe Rais hadi wale ambaohawakutaka. Mchakatoulihusisha walioshindananawe kwenye chama chenu,

    baadaye wakaungana nawe

    kushindana na wagombeakutoka upinzani. Wapowaliokukubali kwa shingoupande kwasababuhawakutaka CCM ipotezemadaraka ya dola, wenginewalishiriki kufanikishaushindi wako huku wakiwana malengo binafsi kwambautakapokuwa Rais uhamimaslahi yao.

    Wapo waliohoa Tanzaniaisije kuongozwa nawapinzani, nao walisaidiakwa njia moja au nyingineuwe Rais kwa sababu tuwaliogopa mabadiliko.

    Wapo ambao hawakutakauwe Rais kwa sababuwanazozijua wenyewe, lakinnao wakajikuta wanachangiakwa njia moja au nyinginekukuingiza madarakani.

    Kwa hiyo haiwezekaniukaepuka mkusanyiko wawashauri wanaofanana nawale washauri wa MfalmeNebukadneza, yaani wachawambao wapo kimaslahi,wanajimu ambao majibu yaosiku zote ni ya kubahatisha,wapiga ramli ambao wapokukuletea umbeya mpya kilakukicha ili tu wajidumishe

    kwenye kumbukumbuzako. Wapo waoteaji kaziyao ni kuisoma akili yakokujua mwelekeo wakokisha watafanya mambokwa kuigiza alimradiwakuonyeshe mko pamojakwa kila jambo na kwa wakawote.

    Wapo pia wanaomchaMungu wawezao kuupokeaufunuo wake, hao ndio wenymajawabu kwa matatizoyanayoikabili Tanzania.

    Wanaomcha Mungu huwahawaeleweki kwa fahamu zakawaida wala hawatabiriki,kwakuwa wanaweza kuwapamoja nawe, mkacheka,mkala na kunywa pamojamkifurahi pamoja, lakinighaa ukaja wakati ukawaonwanakupinga.

    Wanaweza kukataaunachokisema wakaonekanakama kwamba wanakuaibishmbele ya Watanzaniaunaowatawala, wanawezakukukasirisha kupitakiasi kama Danielialivyomkasirisha

    Inaendelea Uk.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    8/20

    8 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Maoni yangu

    Inatoka Uk. 7

    Wewe ni Rais wa Watanzania woteNebukadneza.Kwasababu mtu ambayekweli anamtumikia Munguhawezi kuwa nawe kwawakati wote, akishabikiaunayoyasema, unayoyafanyaama yanayofanywa nautawala wako. Munguanaweza kumwongoza huyoanayemtumikia kukwambiahili ni hapana, inahitaji moyomkuu kuchukuliana nahuyo anayekuambia hapana.Wakiwepo viongozi wa dini,wazee wenye hekima, nawataalamu wanaokwambiandiyo kwa wakati wote,elewa hao wanafanana nawashihiri waliomzungukaNebukadneza, yatakapokujamagumu hao hawatakuwamsaada. Wanakiwalikuwako tangu utawalawa Nyerere, walijifanya wako

    naye kisiasa wakishabikiausoshalisti walikiakuulaani ubepari, lakinimara Nyerere alipotokamadarakani wakaachana naAzimio la Arusha wakaanzakuunanga Usoshalisti.Walikuwako kwenye utawalawa Mwinyi wakishabikiasera za rukhsaa lakiniMwinyi alipotoka madarakaniwakaunanga utawala wake,walikuwako kwenye utawalawa Mkapa wakishabikiaUtandawazi, ilipokujaawamu ya nne wakashabikiamengi ya Kikwete lakini sasa

    wanainanga awamu hiyo,wanasema ilizidisha safariza nje na matunuzi, haowanasubiri umalize zamuyako waanze kukungonga.

    Hotuba yako uliyoitoamjini Singida mlipoadhimishamiaka 39 ya kuzaliwa CCMnimeipa alama ya hapana,kwasababu inatoa taswirambaya inayoonyeshakwamba umeamua kuwaRais wa chama uliyekusudiaserikali yako pia iendeshwekichama. Hotuba yakonimeipa alama ya hapanakwasababu umeanza

    kuonyesha dalili za hatari,unauacha upesi unyenyekevuwako wa awali uliouonyeshasiku ile tulipokuapishauwe Rais wetu wa tanopale uwanja wa Taifa.Nakukumbusha mazuriuliyoyasema wakati wakampeni, ukayarudia marakadhaa kwenye hotuba zakoza awali ulipoanza kazi yaUrais. Ulikuwa ukisemaWatanzania katika mamboyote tufanye tukimtangulizaMungu. Lakini hiyo hotubayako ya tarehe 05 Februari

    2016 haimuinui Mungubadala yake inaiinua CCM.Umeanza kusahau kwambani mkono wa Mungu ndiouliokuinua ukakupigania nakukukisha hapo ulipo iliuyatimize makusudi yake.

    Unaiona CCM kamachombo kilichokuwezeshakuupata Urais, kwasababutu iliridhia uwe mgombeawake hapo ilipowachekecha

    wengine 38 waliotangaza nia.Rais mstaafu JakayaKikwete naye alipotoka,kwenye hotuba yake yakuaga kama Mwenyekitianayeondoka alikukumbushakuhusu vijana 40 waliofanyakazi kufanikisha uweRais, Kikwete alitakauwakumbuke. Wengituliitafsiri kauli hiyo kwambainakutaka uwapendelee,uwashukuru kwa kuwapachochote kilicho chema hasavyeo.

    Kibinaadamu kushukuruna kufadhiliana ni utamaduni

    mzuri, lakini maneno yenuyalistahili kusemwa kwenyemkutano wa ndani siohadharani ili Watanzaniawote wasikie.

    Rais Magufuli wewe nimali ya Watanzania wote,wapo waliokupigia kura hukuwakiichukia CCM, walioonaimekumbatia masadi,hao walikuwa na imani nawewe sio na CCM. Tafadhaliusianze kuwafanya wakoseimani nawe. Ukifanya hivyoutajiandalia mazingira yakutawala kwa ugumu.

    Uchama ni ibadaya sanamu, na imekuwatatizo kubwa Bungeni,kwenye Halmashauri zamiji na mabaraza yoteyanayojumuisha wawakilishikutoka vyama vingine. RaisMagufuli usiinue u-CCMunapaswa kutupelekakwenye Tanzania mpyayenye watumishi wa serikaliwasioisujudia sanamu iitwayo

    chama cha siasa.Kwenye hotuba yakoulipaswa kuwaambiaWatanzania serikali yakosiyo ya kidini, kikabila walakichama, ulipaswa kusemaserikali haina dini, hainakabila pia haina chama.Uchama ni ubaguzi sawana udini na ukabila, dhambihii inasumbua Bungeni,imewafanya baadhi yawabunge wasikuheshimuwala wasiheshimianewakisababisha vurugu.Dhambi ya uchamailivuruga Bunge la katiba

    ikawanyima Watanzaniakatiba mpya kwakuwawajumbe walibeba misimamoya vyama vyao wakautelekezauzalendo hawakuijali nchiyao. Unapaswa kutuongozaWatanzania kutubu dhambiya uchama kwasababuimeturudisha nyuma nakutukwamisha katika mambomengi. Inabidi tutoke kwenyeuchama hadi kwenyeuhalisia.

    Hatari ninayoiona nimwelekeo wa wahadhinandani ya CCM kujaribu

    kukuteka nyara. Wanatakaufanye kazi yako kama Raiswa CCM. Hilo Watanzaniahawatalikubali, wakifanikiwkulazimisha uwe hivyo,ujue utakuwa unaanzasafari inayofanana na safariya mwisho ya MfalmeNebukadneza alipoelekeaporini.

    Watanzania hawatavumiliakurudishwa kwenyeutawala wa chama kimoja,hawataridhia chama kimojakirudie kushika hatamu zautawala.

    Nasema wazi wahadhinawanakupotosha, kwanzahawakutaka uwe Raiswalikuwa na mgombeawao, mkakati wao wataanzana kukufarakanisha wewena wananchi unaotawala.Hilo watalitimiza kirahisikukugeuza uwe Rais wa CCM

    unayelazimika kuangaliakwanza maslahi ya chama.Kitakachofuatia wananchi

    wasioikubali CCMwatakuchoka mapema kamawalivyoichoka CCM, hilola wengi kuichoka CCMumejionea mwenyewekwenye kampeni. Usijitwishemsalaba wa dhambi yaCCM utalazimika kuitawalaTanzania kibabe ukitumiazaidi nguvu za dolakuliko ridhaa ya wananchiunaowatawala.

    Nahitimisha baruayangu nikimalizia kusema

    yaliyomkuta Nebukadneza.Iko siku aliota anaona mtimkubwa, ndege walijengaviota matawini, wanyamawalijipumzisha chini ya kivuchake, wanadamu walijilishamatunda yake. Lakini ghaasauti ikatoka juu ikisemaukateni huo mti, kiachenikisiki chake kipate umandewa mbinguni miaka saba.

    Danieli alimfafanuliaakisema mti uliouonani wewe Nebukadneza,utafukuzwa utoke kati yawanadamu utaishi porinipamoja na wanyama wakali

    kwa miaka saba, hadiutakapotambua kuwa Mungualiye juu ndiye anayetawalafalme za wanadamu. Danieliakamshauri Nebukadnezaakisema tubu dhambiuwahurumie maskini lakiniNebukadneza hakusikia.

    Siku ilipoka watu walionaanavua nguo akaanzakutembea uchi kuelekeaporini, akaenda kuishikatikati ya wanyama wakalikwa miaka saba.

    Wakatabahu MchungajiKamara Kusupa

    MAKONGORO Nyerere (kulia) mmoja wa waliokuwa wapiga debewakubwa wa Rais Magufuli wakati wa kampeni.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    9/20

    9 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Makala

    HATIMAYE mazungumzoya amani kuhusu Syriayaliyokuwa yakifanyikajijini Geneva yamesitishwabila mafanikio. Msuluhishikutoka Umoja wa Mataifa(UN), Bw Staan de Misturakuanzia tarehe 31 Januarimwaka huu alikutanana pande zinazopigana upande wa serikali ya RaisBashar Assad na upandewa waasi kutoka makundimbalimbali. Kulikuwepo

    na waasi waliounda kilewalichokiita Kamati Kuuya Mazungumzo (HighNegotiations Commiee- HNC) inayoungwamkono na Saudia. Kamatihii inaongozwa na RiadHijab. Wao walimwambiaMistura kuwa hawatashirikimazungumzo mpaka serikaliya Syria itakapositishamabomu yake na kuruhusumisaada ikishwe kwa raiawaliokuwa wamezingirwa namajeshi ya Syria.

    Kikundi cha Wakurdi waSyria walizuiliwa na Uturukikwa sababu inawahesabukama magaidi. Wakurdi hawawana nia ya baadae kuunganana Wakurdi wenzao waliokoIraq na Uturuki ili kuundataifa lao la Kurdistan. Hiindio sababu ya kimsingikuchukiwa na utawala waUturuki.

    Upande wa serikaliuliongozwa na Balozi al-

    Jaafari ukajibu kwa kusemahilo halina tatizo, kwani

    Kwanini mazungumzo ya amani nchini Syria yameshindikana

    Na Nizar Visram

    wastani (moderate). Si ajabuupande wa serikali ya Syriana Urusi ulipinga kikundi

    hiki kushiriki mazungumzoya Geneva. Haya ni mapiganambayo yamekuwayanaendelea kwa muda watakriban miaka mitano sasa.Tayari watu zaidi ya 300,000wamepoteza maisha yao natakriban milioni 9 hawanamahali pa kuishi. Watumilioni 4 wamekimbilia nchiza jirani kama Jordan naLebanon.

    Sasa tunaona wengi waowakiishia Ulaya ambakowanakamatwa na kupigwa.Wenyeji wa huko wamesemahata wapigwe risasi ilikuwazuia wasiingie. Nchiza Ulaya (NATO) ndizozilizosababisha janga hilila Syria kama ilivyo hukoIraq, Libya, Afghanistanna Somalia. Wao ndiowaliosababisha mamilioni yawakimbizi na sasa wanasemahawahusiki kuwasaidia.

    Ni vizuri tukaelewa kuwahivi si vita vya wenyewekwa wenyewe. Ni vitavilivyoanzishwa na mataifaya kigeni Marekani

    (NATO) wakishirikianana Saudia, Qatar, Jordan,Uturuki na Israel. Ndiomaana wapiganaji zaidi ya20,000 wameajiriwa kutokazaidi ya nchi 60 ili kwendakuigomboa Syria. Wengiwao ndio hawa ISIL au Daeshambao wanashikilia maeneokadha nchini Syria. Maranyingi huwa tunaambiwakuwa ugomvi wa Syriaunatokana na tofauti zakidini au kimadhehebu. Nikweli kuwa wakazi wa nchihii wanafuata imani tofauti,lakini kwa muda wa karnenyingi watu hao wamekuwawakiishi kwa amani bilaya migogoro. Sasa ghaatunaambiwa, kwa mfano, etiWaislamu wa madhehebuya Sunni na Washiahawapendani, au Waislamuwanawachukia Wakristo.

    Tuchukue mfano mmojaili kuonesha mahusianoyalivyo baina ya Waislamuna Wakristo. Mwaka janaujumbe kutoka asasi za kiraia

    Inaendelea Uk. 1

    pande zote zinapaswazikubaliane kama raiawa Syria. Jaafari ni baloziwa Syria huko UN. Yeyealisema Mistura ameshindwakutoa orodha ya wapinzaniwatakaoshiriki katikamazungumzo. Hivyo kunauwezekano mazungumzohaya yakashidikana kamailivyokuwa wakati wamazungumzo ya mwaka 2014

    Mazungumzo yalichelewakuanza kutokana namgawanyiko miongonimwa wapinzani wa raisBashar al-Assad. Bw.Mistura alishinikizwa naMarekani pamoja na Saudia,Uturuki na Qatar ambaowalilazimisha kuwa HNCpeke yao watambuliwe

    badala ya kuwaachia Wasyriawajiamulie wenyewe. HiiHNC iliundwa na utawalawa Saudia ili kuwakilishawapinzani wote wa rais

    Assad. Wakamweka RiadHijab kama kiongozi waHNC. Huyu aliwahi kuwawaziri mkuu wa rais Assad.Inasemekana alishawishiwana nchi za magharibi kujiungana upinzani, baada yakupewa sanduku la minotikutoka majasusi wa Ufaransa.

    Msemaji mkuu wa HNC niMohammed Alloush, ambayeanaongoza kikundi cha Jayshal-Islam, hawa ni wafuasi wamadhehebu ya Wahabi ambaowanashirikiana kwa karibu naAl Qaeda kupitia kikundi cha

    Jabhat al-Nusra pamoja naISIL/Daesh.

    Kabla ya mazungumzo yaGeneva kuanza, inaripotiwakuwa ni kikundi hiki ndichokilichoripua kwa mabomumsikiti wa Shia ulio karibu naDamascus. Watu 72 waliuawa.Halafu Marekani inadai kuwaeti Alloush na wenzake niwapinzani wenye siasa ya

    MUFTI mkuu wa Syria, Sheikh Ahmad Badr Al-Din Hassoun .

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    10/20

    10 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Makala

    Inaendelea Uk. 1

    Kwanini mazungumzo ya amani nchini Syria yameshindikanaInatoka Uk. 9nchini Marekani ulitembeleaSyria na ukaonana na watu

    kadhaa. Miongoni mwaoni mufti mkuu wa Syria,Sheikh Ahmad Badr Al-Din Hassoun na AskofuLuca al-Khoury wa kanisala Greek Orthodox. MuftiHassoun alisisitiza umuhimuwa kukia muwafaka kwanjia ya mazungumzo bainaya wananchi wa Syriawenyewe bila ya kuingiliwana wageni. Aliwasimuliawageni hao jinsi miakamitatu iliyopita mwanaye wamiaka 22 alivyouawa. Kijana

    huyo ambaye hakuwahikubeba silaha maishanimwake, alikuwa akirudinyumbani kutoka chuokikuu wakati alipopigwarisasi na kuuliwa. Katikamazishi, Mufti alitangazakuwa anawasamehe wauajihao na badala yake akaombamshikamano wa wananchi waSyria. Kisha mufti akamtajaAskofu Khoury kama nduguyangu. Ndipo askofualiposema alishangazwana uamuzi wa serikali yaMarekani kumpa viza yeye

    asari hadi Marekani wakatiwakimkatalia viza Mufti.Akasema:

    Sisi wote ni viongozi wakidini. Kwanini tubaguliwe?Hii ni mbinu za Marekanikuwagawa Wakristo naWaislamu wa Syria. Nisehemu ya mradi wao wakuudhibiti utawala wa Syriaili waweze kujenga bombala gesi litakalopita nchinimwetu.

    Kama serikali ya Syriaingewakubalia Wafaransa

    wachukue gesi yetu, basirais Hollande wa Ufaransaangemtembelea Rais Assadsiku ya pili yake. Kama Syriaingekubali kudhibitiwa naMarekani, basi rais Obamaangemkumbatia rais al-Assadna kumuita rais halali.

    Askofu Khoury akaongeza:Tunashambuliwa na Uturukikwa msaada wa kifedhakutoka Saudia na Qatar namsaada wa kisiasa kutokaMarekani na Ulaya (hasaUingereza). Ndege zao zisizo

    haraka na dharura, pamojana madawa na chakulakwa wakazi wa Madaya na

    kwengineko. UN ikatumahuko chakula cha msaada,lakini chakula hichokikavamiwa na majeshiya waasi na kwa hiyo UNikashindwa kuendeleakusaidia. Haya yalithibitishwna mwakilishi wa asasi yaMsalaba Mwekundu ambayealisema waasi wanachukuachakula na kuwapawapiganaji wao. Kilichobakiwanakiuza kwa bei ya juu.Haya yote yanafunikwa na

    badala yake tunaambiwaserikali inawaua raia wakekwa kuwapiga mabomu nakuwanyima chakula.

    Kisha tena tukaambiwawananchi wanakufa kwanjaa kwa sababu majeshi yaserikali yanazuia chakulakuingia. Tukaonyeshwa pichza watu waliokondeana. Hizini picha za kupandikizwa.Kwa mfano, picha moja niya msichana mwenye njaa etikutoka Madaya (tinyurl.com/j8uzcc2) . Ukweli nikuwa hii ni picha ya MarianaMazeh anayeishi Lebanon

    kusini. Yeye mwenyewealitangaza katika mtandao wYou Tube akikanusha kuwaanaishi Madaya, (tinyurl.comz9vpwoa)

    Halafu shirika la utangazajla BBC lilitumia video kutokaYarmouk ya mwaka 2014,ikidai ni kutoka Madaya. NaAl Jazeera nayo ikaoneshavideo ya mtu aliye na njaakali, ikisema ni kutokaMadaya. Kumbe baadaeikagundulika kuwa ni pichaya ombaomba kutoka mitaaya Ulaya iliyopigwa mnamo2009.

    Shirika la VICE Newslinaloshirikiana na Fox newslikasambaza picha za watotowenye njaa kali eti kutokaMadaya. Baadae walilazimikkukubali kuwa zilikuwa pichfeki. Picha moja ya msichanamwenye njaa ilipigwa nchiniLebanon na alikuwa na afyaya kutosha.

    Tarehe 10 Januari shirikala kimataifa la Msalaba

    na rubani (drone) kila sikuzinawasaidia wavamizi kwakuwaongoza.

    Viongozi hao wa kidiniwaliuambia ujumbekutoka Marekani kuwa chakufanya ni kuzuia silahazisiingizwe nchini Syria.Walisema Marekani inapaswakuwasilisha Azimio katikaBaraza la Usalama la Umojawa Mataifa (UN) kupigamarufuku uingizaji wa silahazote nchini Syria na vitavitamalizika katika wiki moja.

    Lakini Marekani nawenzake hawatafanya hayo.Badala yake wamekuwawakiendesha propagandakadha wa kadha za kuichafuaserikali ya Syria. Kwamfano, mnamo Disemba na

    Januari mwaka huu vyombo

    vya habari vya magharibivimekuwa vikisambazahabari kuhusu mjimdogo wa Madaya wenyewakazi 9,330, ulio karibuna mji mkuu wa Damascus.Walituambia wakazi wahuko wamekuwa wakifa kwanjaa, pamoja na picha kamaushahidi. Wanasema etini kwa sababu majeshi yaSyria hayaruhusu chakulana madawa kupelekwahuko. Ukweli ni kuwa hizi nipropaganda zinazoendeshwana wapinzani wa serikali yaBashar al-Assad. Madaya nimji mdogo karibu na milima.Tarehe 27 Disemba 2015serikali ya Syria iliandika

    barua namba 3746 kwamwakilishi wa UN nchinihumo ikiomba msaada wa

    Askofu Luca al-Khoury .TAJIRI George Soros

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    11/20

    11 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 20111AN-NUU

    Makala

    Kwanini mazungumzo ya amani nchini Syria yameshindikanaInatoka Uk. 10

    Mwekundu ambalolinashirikiana kwa karibu

    na Nyota Nyekundu nchiniSyria lilitangaza kuwahabari za watoto wanaokufakwa njaa huko Madayahazijaweza kuthibitishwarasmi. Inakuwaje basi habari,picha na video hizi fekizinasambazwa ulimwengunikinyume na maadili yauandishi?

    Ni kwa sababu nchiniUingereza kuna asasiiitwayo uchunguzi wa hakiza binadamu nchini Syria(Syrian Observatory forHuman Rights - SOHR). Kaziyake kuu ni kusambaza hizohabari na picha kwa vyombovya habari na mtandao wa

    jamii. Kwa kweli asasi hiiya SOHR inaendeshwa naRami Abdulrahman mwenyeduka la nguo mjini Coventry.Kazi hii anaifanya kutoka

    Sasa baada yamazungumzo ya amanikukumbwa na matatizo,Bw Mistura ameamuakuwa mkutano mwengineufanyike tarehe 25 mwezihuu. Hata hivyo alisemakuna haja kubwa yamaandalizi kufanyika kablya kuwakutanisha wajumbwa pande mbili.

    Waziri wa mambo yanje wa Marekani nayeamesema kuna haja yakuunda serikali ya umojawa kitaifa. Huu ni msimamotofauti na ule wa zamaniwalipokuwa wakisemawanataka serikali ya mpito

    bila ya Assad.

    Sasa wameacha kusemaAssad ni lazima aachiemadaraka, na badala yakeanaweza kushiriki katikauchaguzi ili wananchi waSyria wajiamulie utawalawanaoutaka.

    [email protected]

    nyumbani kwake na anauhusiano wa karibu na tajiriGeorge Soros. Kwa mujibuwa gazeti la New York Timeshuyu Rami anafadhiliwa nanchi za Ulaya pamoja na tajiriwa Marekani aitwaye George

    Soros. Pia ana uhusianao wakaribu na waziri wa mamboya nje wa Uingereza ambayehuwa anamtembelea marakwa mara osini kwake.Hivi ndivyo ulimwenguunavyopatiwa habarikutoka Syria.

    KULIKUWA na Mfalmealiyeitwa Nebkadreza,aliyetawala nchi ya Babeli-Uruwa Wakaldayo-Mesopotamia-Iraq, mwaka wa 600-540K.K.K (Kabla ya Kuzaliwa

    Kristo). Hapo ikumbukwekuwa mfumo uliotumikaulikuwa unaanza kuhesabumiaka kuanzia 2000 kurudikinyume nyume. Ufalmewa Nebkadreza ulikuwa nanguvu sana Mashariki yaKati na hata dunia nzima.Ulijulikana kwa utaalamuwa elimu za fani mbalimbali.Baadhi ya fani za wanataalumawake ni wanajimu, wachawi,waganga wakishirikina, nawanajeshi wakatili. Yote hayoyalimtia kibri sana. Pamojana kuwa wana wa Israeliwalikuwa na makosa yao yakumwasi Mwenyezi Mungu,yaliyostahiki adhabu kutokakwa Mwenyezi Mungu, huendandiyo sababu ya Nebkadrezaakawa ndiye sababu yakuwaadhibu.

    Nebkadreza akaivamiaYerusalemu, akawateka wana waIsraeli na kila kitu, akawapelekaIraq.

    Nebkadreza akaagiza kuwa,wachaguliwe vijana wanne, waIsraeli wa ukoo wa Yuda, wenyevipaji mbalimbali, ikiwemokutafsiri ndoto. Mmoja kati yahao waliochaguliwa alikuwa niDanieli. Nebkadreza alipozidikufru na kibri, alioteshwa

    Zanzibar imtafute DanielKitendawili cha Jecha kitaiangamizaKama Nebkadreza kuna siku yatakwisha

    ndoto, ikamtisha. Lakinialipoamka usingizini, akawaamesahau alicho ota. Akaagizawaitwe, waganga, wachawi,wasihiri na Wakaldayo, iliwamvumbulie ndoto hiyo.Waliposhindwa akaitwa Danieli.Baada ya Danieli kumshukuruMwenyezi Mungu na kumtakamsaada, akamwambia MfalmeNebkadreza:

    Ewe, Ee Mfalme, uliona, natazama, sanamu kubwa sana.Sanamu hii, iliyokuwa kubwa

    sana,Na sanamu hii kichwachake kilikuwa ni dhahabu sa;kifua chake na mikono yake niya fedha; tumbo lake na viunovyake ni vya shaba; miguu yakeni ya chuma na nyayo za miguuyake nusu ya chuma na nusu yaudongo.

    Nawe ukatazama hatajiwe likachongwa bila kazi yamikono, nalo jiwe hilo likaipigasanamu miguu yake iliyokuwaya chuma na udongo, likaivunjavipande vipande. Ndipo kilechuma, na ule udongo, naile shaba, na ile fedha, na iledhahabu, vilivunjwa vipande

    vipande pamoja, vikawakama makapi ya viwanja vyakupepetea wakati wa hari.(Danieli 2:29-45.)

    Pamoja na Danielikumwambia Nebkadreza kuwa

    ishara hizo, ni kuwa, ufalmewake utaanguka, na Nebkadrezkumzawadia Danieli; lakinialiendelea na kibri na kufru.

    Alipozidi kufru na kiburi,Mwenyezi Mungu akamlani,akawa na wazimu, akaendakuishi porini, na kula majani nawanyama pori kwa nyakati saba(miaka saba). Akaota manyoyamarefu na kucha ndefu.Baadaye akajiliwa na fahamuakatubu; lakini ufalme wakeukawa umeshikwa na mwanaealiyeitwa Belshaza.

    Huyo naye akaendeleana kufru na kiburi; na wotehao walikuwa na ibada yamasanamu, hawakuwa na imanya Mwenyezi Mungu. Serikalizao zilikuwa hazitambui kuwekkwa Mungu. Zilitegemea sheriaza washirikina, wachawi, wapigramli na wanajeshi.

    Kiburi na kufru zilipokiakilele, mfalme Belshazaakaandaa karamu kubwa. Yenykila kufru; moja ya kufru, nikuchukua vyombo vilivyokuwaYerusalemu alivyovichukua

    baba yake (Nebkadreza) wakatialipowateka wana wa Israeli,vyombo vilivyokuwa vikitumikkatika madhabahu takatifu;visivyotiwa najisi (ulevi), yeye

    Inaendelea Uk. 1

    Wanawake Wakristo wakiwa kanisani nchini Syria.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    12/20

    12 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 20112

    ALIULIZA muulizaji akasemanauliza sitaki jawabu lakinisuala langu lizingatiwe,imekuwaje mti huu ukaitwa jinala watu wenye jamii ya Kihindina ukaitwa Mhindi, sijasikiapomti uitwao Mswahili, Mchina,Muiengereza, Mmerekani,Masutralia n.k. Ilivyokuwa

    jawabu yake anataka izingatiwe,

    nakuachia wewe msomaji nakitendawili hichi.Jina la kitaalamu huitwa Zea

    mayes unatokana na Jamii :Poaceae.

    Mhindi una majina ya namnakwa namna kutokana na lughambalimbali. Mhindi hutumikakwa chakula cha mwanadamuna hata cha wanyama.

    Lugha ya Albania huitaMhindi kwa jina la Miser,Belarusian huita Kykypya,Wacoratian huita kukuruz,Wadenish hui Mais, ,Wafaransa Ble, Wajerumanihuita Mais, Wairish huitaArbahar, watu wa Poland huitaKukur, Waswidish huita Majs,Kiarabu huitwa Hubub dharat,

    Bosnia huitwa Kukuruza,Kituruki unajulikana kwa jinaMisir, Kiafrikana huita Koring,Hausa Masara, Wasomali huitaHadhuudh, Yoruba Agbado,Kizulu Ukolweni, Waindonesiahuita Jagung, watu wa Bukinihuita Katsaka, Wamoiri huitaWiti, Wahaiti huita Mayi, LatinAmerica unajulikana kwa jinala Frumentum. (Rejea: hp://www.indierentlanguages.com/words/corn.)

    Nchi zinaongoza uzalishajiwa Mahindi ni kama ifwatavyo,Marekani ndio namba mmojahuzalisha kama tani milioni lakitatu na khamsini na tatu na lakisita na tisini na tisa, ikifwatiwana Uchina, nchi ya Brazil,Argentina, Ukraine, India,Mexico, Indonesia, Ufaransa naAfrika ya kusini. (Rejea: hps://en.wikipedia.org/wiki/Maize).

    Nchi zinazoongoza kwausarishaji a Mahindi dunianinamba moja ni Marekanihusarisha tani milioni43,182.00, ikifwatiwa na nchiya Brazil tani milioni 25,500.00,Argentina tani milioni 16,000.00,Ukraine tani milioni 15,500.00,Urusi tani milioni 3,800.00,Paraguay tani milioni 2,300.00,Serbia tani milioni 1,700.00,Canada tani milioni 1,000.00,Mexico tani milioni 1,000.00,Mynmar tani 900.00, Zambiatani 800.00, India tani 700.00,Vietnam tani 500,000, Tanzania

    Safu ya Ben Rijal

    Miti na maisha yetu-4MPUNGA, Mhindi, Mchele na Ngano vyakulavinavyotawala duniani kuliwa kila siku. Walaji wa Ugaliau tuite kizamani Dona ni wengi mno katika bara laAfrika na hata kusema kuwa ididi yao na walaji wa walihukurubiana. Waupendao wali husema unalika hata pasikuwa na kitoweo au mboga kinyume cha Ugali. Juu ya yoteMahindi yamekuwa yanatenegenezewa vyakula na visivyovya vyakula mfano wa gundi, vitu vya kuhifadhia chakula,nishati ya Ethanol na mengi mengineo.

    tani 400.00, Uganda tani 300.00,Uturuki tani 200,000, Afrika yaKusini tani 200.00, Cambodiatani 200,000 (Rejea: hp://www.indexmundi.com/agriculture/?commodity=corn&graph=expo

    rts)Nchi zenye kutumia mahindikwa wingi duniani nchi yaMarekani ndio namba mmojahutumia mahindi kwa matumizimbalimbali. Zao la mahindi kwanchi ya Marekani hutumiwakwa wastani wa tani milioni279.5 kwa mwaka na kufwatiwana nchi ya China tani milioni188, nchi za Jumuia ya Ulayatani 67.5, Brazil tani milioni 54.0,Mexico tani milioni 29.7, IndiaTani milioni 17.6, Japan tanimilioni 15.0, Canada tani milioni10.8, Misri tani milioni 10.7,Afrika ya Kusini tani milioni10.7 nchi zilizobaki duniani tanimilioni 180.2, kwa ujumla kwamwaka hutumika tani milioni

    863.8 za mahindi kwa matumizimbalimbali dunia koteFaida za kiafya zitokanazo

    na Mahindi ni huwa na kitukinaitwa Antioxidant ambayohusaidia kuratibu na kusaidiakutopatikana kwa ugonjwawa saratani, kisha ndaniya mhindi hupatikana kitukijuliknacho kama antioxidantbetacryptoxanthin ambayohuwa na msaada mkubwakukuepusha kupata maradhiya saratani ya mapafu, VitaminiC nayo husaidia kuiongezakazi kinga na kuepukana nakuambukizwa na maradhi.Aidha Thiamine husaidiakuongeza uwezo kumbukumbu

    MAHINDI mekundu.

    katika ubongo nayo hupatikanakutokana na mhindi,kunapatikana faida nyingi mnokutokana na mhindi, ni vyematukawa tunatumia mahindikwenye matumizi ya mlo wetu

    iwe ugali, bisi, mhindi wakuchoma, mhindi wa kutokosaau kuchemsha n.k.

    Kuenea kwa MhindiMhindi ulianza kukuzwa bara

    la Marekani ulianzia katika nchiya Mexico, na kisha kuenea kilapembe ya dunia. Watu wa nchiya Peru walioishi kabla ya enziya Wainka walikuwa ni wenyekuabudu Mungu wa kike wamahindi aliyepambwa kwa tajilililotengenezwa kwa bunzi zamhindi.

    Mwandishi Joseph Kastneranaeleza kwamba Wenyeji wamwanzo wa nchini Amerikawaliabudu mahindi kama kitukilichotengenezwa na miungu,na kitu ambacho kiliwaumba

    wanadamu, kwao ilikuwarahisi sana kuikuza mimea hiyokwani mhindi mmoja ungewezakutoa chakula cha kutosha chamtu mmoja kwa siku moja.Wakaazi wa bara la Ulayawaligundua mhindi mnamomwaka wa 1492 ikiwa ni karneya 15 baada ya mvumbuziChristopher Columbus kuwasilikatika visiwa vya Caribbean.Mtoto wa Colombus Ferdinandaliandika kwamba baba yakealiona nafaka wanayoitamahindi na ina ladha tamusana ikichemshwa, ikichomwa,au ikisagwa na kuwa unga.Aliporudi nyumbani,Columbus alibeba mbegu ya

    mhindi hadi nyumbani nakuanza kupandishwa rasmi.Katikati ya miaka ya 1500,Kastner aliandika Mhindiulishamiri katika nchi zaHispania, Bulgaria, na UturukiWafanyabiashara ya watumwawalipeleka mahindi baraniAfrika, naye mvumbuzi waKihispania Magellan Ferdinand

    akiwa mzaliwa wa Urenoanasadikiwa kuwa ndio mtualiopeleka mbegu ya Mhindikutoka Mexico nakupelekaFilipino na bara la Asia kwa

    jumla.Siku hizi, mhindi ni nafaka

    inayotumiwa kwa wingi zaidibaada ya ngano na mchele.Mapishi ya aina kwa aianayanatokana na mahindi,kuna aina nyingi za mahindizinazopindukia alfu mmoja,urefu wa bunzi mmoja laMhindi hutafautiana, mbali yarangi tulioizowea ya Mahindi,kuna yenye rangi nyeusi, pinki,

    buluu hata mahindi ya ranginyekundu.

    Aina za Mahindi

    Dondoo juu ya Mhindi:Mahindi hupandishwa maeneoyote duniani isipokuwa katikamaeneo ya baridi kali yaAntractica, kuna zaidi ya aina3,500 ya matumizi ya mahindi.Katika uchanganyishaji wamaakuli mbalimbali mahindihutumiwa kwa mfanoutengenezaji wa kifunguakinywa (cereal), siagi ya peanutsupu, aisikirimu, vyakula vyawatoto, marjarini, mayonnaise,ubani n.k.

    Kinywaji cha soda ya CocaCola na Pepsi hutumia utamuutokanao na utamu wa asiliulionao mhindi, mahindihutumiwa katika shughulihata zisokuwa za malaji kama

    utengenezaji wa gundi, fataki,kuzuia kutu katika vyuma,utaarishaji wa sabuni, dawa zaantibiotic, upigaji wa polishikwa viatu, utengenezaji wakaratasi za kutolea picha n.k.Mahindi ni chakula kikubwakwa wanyama hasa Farasi naPunda.

    Ingawa asili ya mhindi nikutoka kwenye misitu lakinihakuna aina ya mhindi kwasasa ukaitwa Mhindi msitu,kwa kuwa inapatikana kukuwaovyo, aina zote za mahindihuwa zimepandishwa namwanadamu.

    Corn ndio jina hasa laKiengereza la mhindi kulikomaize, asilimia 40% ya mahindi

    yanayozalishwa dunianihutumika kwa uzalishaji wanishati ya Ethanol, Marekaniikiwa ni mzalishaji mkubwawa Mahindi, asilimia 14%ya mahindi yanayozalishwanchini humo hutumia mbinu yaumwagiliaji maji, hivi sasa kunmtindo wa kutumia mashinekwa kuvuna mahindi ijulikanaoWWII ambayo ilivumbuliwakatika miaka ya 1930 nakampuni ya Gleaner HarvestCombine Corporation kwenyemashamba makubwa dunianimahindi hayavunwi tena kwakutumia mikono.

    Fuatana na mie wiki ijayokuujuwa mchungwa.

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    13/20

    13 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Safu ya Ben Rijal

    Katika makala ya wiki iliopitanilianza kwa kunukuu misitarimiwili mitatu ya Kiengerezakwa yule aliojuwana na SayyidOmar Abdalla na leo aidhanitaanza hivyo hivyo na mistarimiwili mitatu alioyaandika yeyemwenye Sayyid Omar Abdalla.

    Dear Mr. Harvey, I have justreceived your circular in connectionwith Religious Teaching in School.Thank you very much. Duringthe last vacation I resumed mydiscussion with the Chief Kadhiand at the end we arrived to adenite conclusion which I am sureyou would like to hear. Since thebeginning of the term I have beentrying to come and see you at youroce but in vain, as I am very busythroughout the week includingSaturday. Could you kindly

    therefore x me up on any oneconvenient Sunday so that I mightcome to see you in your home?Your sincerely, Omar Abdalla(Kumbukumbu ZNA AD 3/8).

    Tafsiri ya juu juu kutokana naFaili lake lenye nambari ZNA3/8 akimuandikia Mkurugenziwa Elimu Mr. Harveyakimwambia, Nashukuu kuwanimepata chapisho ulionitumiakuhusu usomeshwaji wamasomo ya dini katika maskuli.Katika mapumziko yangu

    baada ya mhula wa masomo,nilishafanya mazungumzo

    juu ya masaala hayo naKadhi Mkuu ambaye tulikia

    makubaliano, imani yangukuwa wewe Mkurugenzi waElimu utapenda kusikia juu yamazungumzo hayo. Nilijitahidikupiga hodi kwenye osi yakopasi mafanikio, ikiwa na mienimebanwa na mashughulikwa wiki nzima pamoja naIjumamosi yake, nitaombauitenge siku ya Ijumapili tuwezekuonana. Wako mtiifu. OmarAbdalla.

    Nitapenda kugusia jambommoja muhimu sana ambalokatika utawala wa Muiengerezauliweza kusaidia sana katikauwekaji wa kumbukumbu.Ilikuwa Maosa wote waSerikali wakitakiwa taarifa zaokuhifadhiwa katika mafailimaalumu kisha kuwekwakwenye osi ya nyaraka(Archives).

    Ilikuwa osa yoyoteakipandishwa cheo, akiongezwamshahara, akipata uhamisho

    barua atakayopewa lazimaikawekwe kwenye faili lakehuko osi ya nyaraka nampelekaji wa taarifa hizo nitarishi ambaye kila mtu akimjuakama ni tarishi au kwa jinahilo la zama hizo akiitwa Osi

    boi, kwani akivaa shati nasurula ya khaki na baskeli yakenyekundu.

    Masheikhe wetu: Sayyid Omar Abdalla (Mwinyi Baraka)-2KATIKA makala haya ya leo yatamuangalia Sayyid Omar Abdallakatika kuendelea kusoma na kazi alizozifanya alipokuwa badoyupo Zanzibar. Sio kitu cha kawaida katika Wasomi wengi wa

    Kiislamu kwenda nazo sambamba elimu ya dunia na elimu yadini. Sayyid Omar Abdalla alielimika na elimu zote mbili hizoaidha alikuwa akijisomea vitabu mbalimbali na majarida katikakuendeleza uwezo wake kielimu.

    Sayyid Omar Abdalla akiwa na Masheikhe na walimu mbalimbalihapo Ukutani

    Ahlil Darsa wa Msikiti wa Ijumaa mdogo

    Osi boi akijivunia kazihio kwani ilikuwa siku hizoukiwa mfanya kazi wa Serikali

    basi maisha yako utayawezakutokana na mshaharaunaolipwa. Taarifa nyingi zawaliopita tunaweza kuzipatakwa njia hio ambazo kwaleo ni kitu kigumu kuwezakuzipata taarifa za wafanya kazimbalimbali.

    Aidha katika sehemu hio yakumbukumbu utaweza kupatataarifa za kila aina, hata zileza magazeti yaliopita ambayokila nakala iliokuwa ikitolewahupelekwa hapo na kuwekwa.ayyid Omar Abdalla akiwana Masheikhe na walimumbalimbali hapo Ukutani

    Sayyid Omar Abdalla akiwaamerudi kusoma MakerereCollege huku anasomesha,alikuwa anasubiri nafasi ya

    kwenda kuongeza masomo kwahamu huko nchi za nje. Kamanilivyokwisha kueleza kablakuwa Sayyid Omar alikuwakati ya wanafunzi wa mwanzokusoma masomo ya Sekondarivisiwani Zanzibar. Aidhaalikuwa kati ya wanafunziwa mwanzo kwenda kusomamasomo ya juu katika Chuo chaMakerere.

    Ilipoka mwaka wa 1951Sayyid Omar Abdalla naAbdalla Jahadhmi walikuwawanafunzi wawili waliopatafursa ya kwenda Uiengerezakwa masomo ya juu. SayyidOmar Abdalla alikwenda chuocha SOAS kufanya masomo yaUlinganisho wa dini pamoja naKiarabu.

    Kuna mapendekezomengi ambayo watawalawa Kiengereza walikuwa

    wakijadiliana katika uongoziwa elimu pamoja na mahusianoya mambo ya nje juu yakumsomesha Sayyid OmarAbdalla ili aweze kuja kuwaMwalimu Mkuu wa Chuo chaKiislamu ambacho kilikuwakatika katika matayarisho yakufunguliwa mwisho wa miakaya 40.

    Sayyid Omar Abdalla alikuwakitamani kwenda kusomanchi za Kiarabu lakini fursailipomuangukia ya kusomaUiengereza kufanya masomo yaUlinganisho wa dini ngazi yaShahada ya Diploma hakusitaakakubali, huku akijuwa kuwaatakuwa na pengo katikakuzungumza Kiarabu, ingawaakizungumza Kiarabu lakinisivyo namna alivyokuwa

    akitamani mwenyewe kukimudhicho Kiarabu. Wengi wawatu wa visiwani siku hizokatika maisha yao ya kujifunzaMsikitini tangu utotoni hadiutuzimani mwao walikuwawakizungumza Kiarabu lakiniwenyewe wakikiita Kiarabu chaMsikitini.

    Alipokuwa anafanya masomoyake hayo hapo Uiengereza,alipewa magwiji wawili ambaokazi yao ilikuwa kuhakikishaanalikia lengo lilokusudiwa,akisimamiwa na mjuzi waelimu ya Ulinganisho wa diniDavid Cowan (al Dundawi)na R. B. Serjeant inagawa

    msimamizi mwengine alimkatakumsimamia na kujiunga nachuo hicho alikuwa ni J.N.DAnderson.

    Akiwa anasoma hukoUingereza alikuwa akiwasilianana wanafunzi wa maeneombalimbali kuweza kupatakwenda kujiendeleza baada yakukamilisha masomo yake nakhasa alilenga kuweza kupatafursa ya kwenda kujiendelezakatika nchi za Kiarabu na zaKiislamu.

    Ilipoka mwaka wa 1953akiwa bado yupo Uiengerezaalifanya safari ya kwendaMarekani na kuhudhuriamafunzo ya nyakati za kiangazimasomo ya muda mfupi, hukuakiwa amefanya aridhilhali yakupata kwenda kusoma masomya Kiarabu.

    Hakuchoka kuandikana kuwataka Waiengerezawamlipie masomo yake katikanchi za Kiarabu kitu ambachokatika siku zake za utuzimani

    baada ya kuondoka Zanzibarhakuwa ni mtu wa kushikilia

    jambo analolitaka ila akipendakuona ajiachie na aone upepoutavyomchukua utakavyo.

    Akiwa bado yupo hukoUiengereza na kiu chake kutaka

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    14/20

    14 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201MAKALA/MASHAIRI

    Kamati ya Maafa ya Shura ya Maimamu,

    inatoa wito kwa Waislamu kuchangia

    huduma za malazi kwa Masheikh Farid

    Had, Mselem Ally na Waislamu wengine

    waliopo katika gereza la Segerea Jijini Dar

    es Salaam, kwa tuhuma za Ugaidi.

    Hakika kwa kila atakae toa atakuwa

    amejiwekea akiba isiyo oza, mbele ya

    Mwenyezi Mungu.

    Unaweza kuchangia kupitia Namba

    zifuatazo:-

    0655, 0767, 0789, 0774/ 74 52 88.

    Katibu Ustadhi Ally Mbaruku.

    Shura ya MaimamuKamati ya Maafa

    Masheikhe wetu: Sayyid Omar AbdallaInatoka Uk. 13

    kujiendeleza masomoyake katika nchi zaKiarabu, hakuona tabukukamata kalamu nakuandikia Wizara yaelimu, aliandika lughanzito yenye ufasahana unapoisoma baruahii utaona namnaalivyokuwa akikimuduKiengereza.

    Sir, you may bepleased to hear that Ihave done well in myexamination, and next

    year I hope to completemy course. I must thankthe government foraording me the unique

    opportunity, beingthe rst and the onlystudent in the course. Iam becoming a learnedman. But you will agreethat however high thestandard of knowledgeI get here, I shall not bereally competent to holdany post involving theuse of Arabic or Islamiclaw unless I spend sometime in a country where

    Arabic is the language,and where Islam formthe background of the

    people. Here, there is no

    proper atmosphere. Mystay in Arabia will be ashield against those whocriticize my coming toLondon. It will give mea greater condence, andI confess that I shall notcompletely qualied fora responsible positionwithout actual living in

    Arabia(kumbukumbuANA AB 86/47, baruaalioiandika tarehe30.6.1953)

    Kwa kifupi aliandikabarua kusema kuwaamemaliza masomo

    yake na amefanyavizuri ni vyemasasa wakampatiafursa ya kwendakuongeza msomoyake katika nchi zaKiarabu, kufanyahivyo kutawafungamidomo wale watakao

    bwabwaja kuwa elimuyake kaipata Ulaya,ila tu kukosa kwendakufanya mafunzokatika nchi za Kiarabuzenye utamaduniwa Kiislamu basi

    hatokuwa na uwezowa kukamata nyadhifakubwa za kitaaluma.

    Katika mwaka wa1954 Sayyid OmarAbdalla aliandika

    barua ya kukumbushaazma yake ya kupatafursa ya kuendeleakusoma katika nchi zaKiarabu na Kiislamuna alitaka kuwaakiwa anarudi kutokaUiengereza apeweruksa ya kwenda KuhijiMakka kisha apiteHadharmout hukoYemen akae kidogoajifunze kwa Kiarabumasomo aliokwishakuyasoma kisha ndioarudi nyumbani.

    Alikubaliwa hilo nasafari yake alilipiwa na

    Sayyid Umar bin Sumayt na Sayyid Omar Abdalla

    Serikali.Kuna kumbukumbu

    ambayo sijaipatalakini niliisikia kuwaalipokwenda Makkana kupita Hadahrmoualichelewa kwa siku 2kurudi Zanzibar, kwahio alikatwa mshaharawa siku 2 lakini hapohapo kutokana nakufanya vizuri masomyake alipandishwacheo na kupatiwanyongeza ya mshahara

    Fatwana na miekatika makalainayofwatakumuangalia SayyidOmar Abdalla akiwaamerudi masomoni,kazi zake na kuhama

    Zanzibar kuhamiavisiwa vya Comoro.

    1.Usemayo nawaki, yatakwisha masahibuMasahibu na mikiki, kuteswa bila sababu

    Sababu kudai haki, kudai bila harubu Harubu si mwendo wetu.

    2.Yatakwisha ya dhuluma, na watu kuadhibiwaKuadhibiwa kwa chama, wengi walokichaguwaWalokichaguwa vyema, sio kulazimishiwa Kulazimishiwa na wasio wetu.

    3.Watu sasa wamechoka, na matumizi ya dolaDola ilojipachika, kwa mabavu kutawalaKutawala kwa shabuka, na majeshi wasolala Wasolala kwa hofu ya umoja wetu.

    4.Matumizi ya mabavu, ndio kubwa yao ngaoNgao yetu utulivu, hatujali nguvu zaoZao nguvu za uovu, hazilindi roho zao Roho zao, mjuzi ni Mola wetu.

    5.Kubwa wanaloliweza, ni kuchelewesha sikuSiku ya Mola muweza, alopanga tuwapikuTuwapiku kuongoza, hakuna mtafaruku Mtafaruku wa nani kiongozi wetu.

    Kassim O. Ali

    Kuna siku yatakwisha

    1.Mungu atupe subira, na nyingi stahmalaItushukie nusura, wahizike zao hilaIwangie khofu mara, iwatoke kwa ghafula Kama ndoto walo lala

    2.Yana tutia uchungu, kila mara tukionaKupigwa watu virungu, hata sababu hapanaWanatugawa mafungu, kwa chuki zisizo mana Kwa hili hamtapona

    3.Huku kutu dhalilisha, nako kuna mwishowakeKuna siku yatakwisha, yaondoke yende zakeHawatodumu maisha, Mungu ana siri yake Tusubiri tusichoke

    4.Wangapi wameondoka, wameiaga duniaWalio wakidhihaka, majumba kutuvunjia

    Wakapita wakicheka, mabaya kufurahia Hawapo wamejia

    5.Hapa palipo bakia, padogo simbali tenaMuhimu kuvumilia, machungu tunayoonaTuwe shujaa wa nia! , pamoja kushikamana Tuangaze mbele sana

    Maher ( Unique )

    Kuna siku yatakwisha (Jibu)

  • 7/24/2019 ANNUUR 1217

    15/20

    15 AN-NUU

    JAMADUL AWWAL 1437,IJUMAA FEB19-25, 201Habari/Makala

    Zanzibar imtafute DanielInatoka Uk. 11

    katika karamu hiyo,akawa anavinyweapombe na wakezena Masuria. Wakatiwanakunywa mvinyohuo ndani ya vyombohivyo:

    Ndipo kile kitangacha ule mkono kikaletwakutoka mbele zake,kikawa kinaandikamaneno haya kwa kidolekatika ukuta; na manenohaya yameandikwa. Namaandiko yaliyoandikwani haya; MENE, MENE,TEKELI, NA PERESI.

    Na tafsiri ya manenohaya ni hii; MENE,Mungu ameuhesabuufalme wako nakuukomesha. TEKELI,umepimwa katika mizaninawe umeonekanakuwa umepunguka.PERESI, ufalme wakoumegawanyika, naowamepewa Wamedi naWaajemi.

    Usiku huo huoBelshaza, mfalme waWakaldayo, akauawa.Na Dario, Mmedi,akaupokea ufalme.(Danieli 5:24-31).

    Tunajifunza nini,kutoka katika wafalmewawili hao? KwanzaMfalme Nebkadrezapamoja na kufru,kiburi, ushirikina waibada ya sanamu,uchawi na ukatiliuliokubuhu; alikwamana waganga, wachawi nawanajimu wake katikakumvumbulia ndoto.

    Ikabidi atafutwe mchaMungu Danieli, naalipofumbua ndoto ile,Nebkadreza alitambuakuwa Danieli ni mteulewa Mungu, akamzawadiayale aliyoahidi. LakiniMfalme Nebkadrezahakumwamini MwenyeziMungu; akaendeleana kufru zake ndipoakalaaniwa akaendaporini na kula majani,

    nyakati saba.Zanzibar kunawafalme tena wenye diniitokayo kwa Allah (SWT).Wanaojua kukisomana kukitafsiri kitabucha Allah. Wanaojinadikuwa ni wacha Mungu.Kwao hakuna wachawi,

    bali kuna ma-Sheikh,inakuwaje wafalme hawawazidiwe utambuzina Nebkadreza, karimutlak aliye mtafutaDanieli, kumvumbuliamambo; lakini Zanzibarwanawaweka ma-Sheikh katika kifungo

    kisichokuwa na hukumu.Wafalme hawa waZanzibar wanamtegemeaMungu yupi?

    Inawezekana haoma-Sheikh waliowekwandani hawana elimuinayokubalika kwawatawala wa Zanzibar.

    Je! Zanziba kitovucha Elimu ya Dini yaKiislamu kwa Afrikaya Mashariki na Katiwamekosekana ma-Sheikh mfano wa Danieliwa kuwavumbulia ndotohii ya kufutwa uchaguziwa Zanzibar?

    Belshaza mtoto waNebkadreza, alipotawala

    badala ya baba yake,naye hakujifunza yaleyaliyomkuta baba yake.Akaendelea na kufru nakibri. Ikakia kuvinajisivifaa vya nyumba yaMungu kwa kuvinyweapombe. Akaona kiganjacha mkono wa mtukikiandika ukutani.

    Naye, wachawi,

    wapiga ramlihawakumsaidia ilaakatafutwa Danieli;lakini alishachelewa namakosa yake yalikuwani makubwa mno. Baadatu ya kuvumbuliwamaana ya yale maandishusiku ule ule akauawa.Ufalme ukachukuliwa nWamedi na Waajemi.

    Viongozi wetu, waTanzania, na Zanzibar,wanaojisia kwa uchamungu, wameshindwajena Nebkadreza namwanawe Belshazawaliomtafuta Danielikuwavumbulia ndoto na

    maandishi.Inakuwaje Zanzibar, nTanganyika, (Tanzania)wamewakosa kinaDalieli, wakuwavumbulndoto na maandishi yakitendawili cha kufutwauchaguzi wa Zanzibar?

    Hii ni sawa na kuinajiZanzibar na Tanzaniakwa jumla sawa na vileBelshaza alivyo vinajisivyombo vitakatifuvya madhabahu yaYerusalemu kwakuvinywea pombe?

    (K.J. Mziray, 0757 013344).

    WAANDISHI wa habari waZanzibar wamewalaumuwanasiasa na vyombovya dola kwa kushindwak u k e m e a u c h o c h e z iunaofanywa kupitia Bao laCCM, Kisonge na Shirika laUtangazaji Zanzibar (ZBC).

    Lawama hizo zimetolewak a t i k a k o n g a m a n o l awahariri na wakurugenziwa vyombo mbali mbali vyahabari lililofanyika Zanzibarhivi karibuni.

    W a k i c h a n g i a m a d a ,waandishi hao walitajamambo mawili waliyodaikuwa huvuruga hali yamaelewano Zanzibar na

    kwamba kila inapotokeam a k o n g a m a n o n amikutano ya kitaaluma,huwa yanazungumzwalakini bahati mbaya huwahayapewi umuhimu wowotewa kurekebishwa kasorohizo.

    Kauthar Is-hak Mwandishiwa Shirika la UtangazajiZanzibar (ZBC) alikumbushamambo mawili hayo kuwani ubao wa Chama ChaMapinduzi uitwao Kisongena mazungumzo baada yahabari ya radio ya serikali.

    Alisema, bao la Kisongelimekuwa likiandika ujumbewenye kuhatarisha amaninchini kwa muda mrefu, bila

    ya wanasiasa na vyombo vyaulinzi kukemea uchochezihuo.

    Jambo jengin e al is emamazungumzo baada ya habariyanayorushwa na vyombovya habari vya serikali, daimayamekuwa yakiwalengawapinzani pamoja na nyimboza mafumbo zinazopigwakatika vyombo vya habarivya serikali ZBC Radio naZBC televisheni.

    Kila siku tunazungumzamasuala hayo kwa hayolakini mbona hakuna hatuazinazochukuliwa? Bao laKisonge linaandika IkiwaSudan ya Kusini na Kaskazinizimetengana vyereje Unguja

    na Pemba . Sasa hebutuutizame huu ujumbeunatoa sura gani kwa taifa?Hivi viongozi hamulioni hili?Alihoji Kauthar.

    Aidha alisema vyombo vyahabari vimekuwa vikifanyauchochezi wa hali ya juuna waziwazi kwa kuwekanyimbo zenye kuchocheana kushabiki ugomvi wawazi kwa wapinzani hukumazungumzo baada yahabari ambayo yamekuwayakitolewa mara kwa maraambayo yanalenga mojakwa moja kwa wapinzanijambo ambalo linatoa taswirambaya kwa taifa.

    CCM Kisonge, ZBC ndio wachochezi wakubwaWanasiasa, Polisi washindwa kukemea

    Na Mwandishi Wetu,Zanzibar

    Hivi kwani hatuwezikusitisha haya mazungumzo

    baad a ya haba ri am bayoyanachochea na kuumizawatu roho? Kwani hakunam a n e n o m a z u r i y akuunganisha, lazima kipindihiki tutumie maneno kamayale ambayo yanachocheashari kwa wengine? AlihojiKauthari na kuungwa mkonona waandishiwe wenginekatika mkutano huo.

    Akitoa mada kuhusuwajibu wa vyombo vyahabari kuelekea katikauchaguzi wa marudio ,Mhariri Mtendaji wa gazetila Zanzibar Leo, Nasima HajiChumu alivitaka vyombovya habari kuepukana nakuandika habari ambazo

    zinaweza kusababisha chukina kuwagawa wananchiwa Zanzibar hasa katikakipindi hiki ambacho hali yawananchi ni ya wasiwasi.

    Alisema uzoefu unaoneshakwamba vyombo vya habarindiyo chanzo cha fujo navurugu katika nchi zaidikatika kipindi cha kuelekeauchaguzi kwa kuandikahabari zenye muelekeo wachuki na uhasama kutokakwa viongozi wa vyama vyasiasa katika majukwaa.

    Katika hatua nyengine,Waan dis h i wa h abar iw a m e p o n g e z w a k w ak u f a n i k i s h a u c h a g u z imkuu wa Oktoba 25 ambao

    ulifutwa kwa kuandikahabari ambazo zilizingatiana kuweka maslahi yataifa mbele kwa kujengamshikamano amani nautulivu ambayo ilidumu hatapale matokeo ya uchaguzihuo yalipotangazwa kuwayamefutwa.

    Katibu Mtendaji wa Tumeya Utangazaji Zanzibar,Chande Omar Chandealisema vyombo vya habarivilifanikiwa kutekelezamajukumu yao kikamilifukwa kuandika habari ambazozilitoa elimu kwa wananchiikiwemo wapiga kura juu yawajibu wa kutimiza malengoya demokrasia katika mfumo

    wa vyama vingi kuchaguwaviongozi wanaowataka.

    Naye Mshauri wa masualaya habari katika Shirikala Kimataifa la habari laInternews ,Valarie Msokaamewaasa waandishi wahabari wahariri na wamilikiwa vyombo vya habarikutumia kalamu zao vizuriili taifa lisije kuingia katikamajanga kama nchi nyenginezinazotokea masuala kamahayo yanayotokana nakalamu zao.

    Msoka alisema vyombovya habari wajibu wake nimkubwa ikiwemo kujenganchi au kubomoa nchi ambapo

    katika kipindi cha kuelekeauchaguzi wa marudio ,wajibu wa vyombo hivyo nikuimarisha amani na utulivuhuku vikiepukana na taarifazinazoweza kusababishachuki na uhasama.

    Tole Nyaa ni Mwalimuna Mwandishi Muandamizikutoka Nchini Kenya alitoauzoefu wake kwa waandishiwa habari kuhusiana nakuandika habari ambazozinataliweka taifa katikaamani.

    Nyatta alisema Kenyailiingia katika msukosukowa uvunjifu wa amani hukuwaandishi wakilaumiwakutokana na kutumia vibayakalamu zao jambo ambalolimewasababisha wenginekufunguliwa kesi katikamahakama ya kimataifa ya

    ICC. W a k e n y a t u l i p a t a

    funzo kubwa baada yayale machafuko ambayoyalipoteza maisha na malinyingi kuteketea, waandishitu l iu n gan a n a ku an zakutumia nyimbo kwenyevyombo vyote vya habarikuhamasisha amani nakuliunganisha taifa, kwanitunajua amani kutoweka nirahisi sana lakini kuitafutaamani ni kazi kubwa sanaalisema Nyaa.

    Mafunzo ya wiki mojakwa waandishi wa habari wavyombo mbali mbali nchiniikiwemo vile vya taasisiza watu binafsi na serikaliyaliendeshwa na Shirikala Internews kwa lengo lakuwakumbusha waandishiwa habari wajibu wao ili

    wasije kuponyoka na kuingkatika kulisambaratishtaifa hasa katika kipindi hiambacho nchi ipo katika hatete.

    Mwenyekiti wa Tume yUchaguzi Zanzibar (ZECJecha Salum Jecha aliufuuchaguzi Octoba 28 kwmadai ya kasoro mbali mbazilizotokea katika uchaguhuo na kisha kutangazkufanyika tena Machi 2mwaka huu.

    Uchaguzi huo ulifutwwakati ambao tayari baadya majimbo yameshakamilikn a