hali ya elimu ya sekondari na changamoto zake nchini

52
TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD) HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI TANZANIA MWAKA 2020 OKTOBA 2020

Upload: others

Post on 25-Oct-2021

15 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

1

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI TANZANIA

MWAKA 2020

OKTOBA 2020

Page 2: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

2

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE

NCHINI TANZANIA MWAKA 2020

Page 3: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

i

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

OKTOBA 2020

Page 4: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

ii

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SEHEMU YA KWANZA

SHUKRANI

Kitabu hiki cha hali ya Elimu ya sekondari na changamoto zake nchini Tanzania ni mwendelezo wa tafiti ambazo Mtandao wa Madeni na Maendeleo Tanzania (TCDD) imekuwa ikizifanya tangu mwaka 2001 katika sekta za afya na elimu. Kitabu hiki kinaainisha hatua zote za mchakato mzima wa ufuatiliaji, umuhimu, malengo, njia, sampuli na zana za utafiti. Kitabu pia kinatoa matokeo ya utafiti kwenye wilaya kumi (10) ambapo utafiti huu umejikita katika kufuatilia utekelezaji wa mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika halmashauri zifuatazo;Manispaa ya Iringa , Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo, Manispaa ya Nyamagana, Manispaa ya Ubungo, Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Manispaa ya Shinyanga , Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, na manispaa ya Sumbawanga. Kitabu hiki kinachambua takwimu na kuzitolea tafsiri kutoka katika shule za Sekondari 100 yaani shule 10 kutoka katika kila Halmashauri teule hapo juu Kama sampuli wakilishi ya sekta nzima katika wilaya hizo.

Shukrani za dhati ziwaendee wote waliohusika kikamilifu katika kukamilisha kazi hii kama ifuatavyo; Wakurugenzi watendaji wa Halmashauri zote ambazo zimehusika kikamilifu katika utafiti huu, Wakuu wa wilaya zote, maafisa elimu wa wilaya, walimu wakuu pamoja na wazazi wote ambao walihusika kwa ukaribu kafanikisha zoezi hili.

Kwa namna ya pekee tunapenda kuyashukuru mashirika wanachama wa TCDD hasa yaliyohusika kikamilifu katika utafiti huu katika Wilaya zao ambayo ni; Unity in Diveristy Foundation (UDF), The Leadership Forum, Biharamulo Non-Governmental Organization Forum Network (BINGO), Youth Partnership Countrywide (YPC), BIDII Tanzania, Uvinza NGO Network, Masasi NGO Network (MANGONET), Youth and Environment Vision (YEV), Wise Utilisation for Natural Resources Sustainability (WURNS) na Rukwa Association of Non-Governmental Organisation (RANGO).

Shukrani pia zimwendee Ndugu Boniface Komba ambaye amesaidia kuratibu mradi huu na kuweka pamoja taarifa za Halmashauri zote 10 na kuwa taarifa moja, Ndugu Jane Mwabulambo ambaye pia amefanya kazi ya kuboresha kitabu hiki katika hatua zote. Wote kwa ujumla wao walitoa mchango mkubwa katika kuboresha na kuchapisha kitabu hiki ambacho sio tu kwamba kitawasaidia watanzania na watunga sera kwa ujumla bali kitumike kama sehemu ya utetezi/uchechemuzi katika kuboresha huduma ya elimu ya sekondari kwa nchi nzima.

Hebron Mwakagenda

Mkurugenzi Mtendaji

Page 5: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

iii

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SEHEMU YA PILI

YALIYOMO

1.0. MSINGI WA MRADI WA UFUATILIAJI 1

1.1. Ushiriki wa Asasi za kiraia katika Maendeleo 2

1.2. Njia za Utafiti 2

1.3. Sampuli 2

1.4. Zana za Ukusanyaji takwimu/taarifa 2

1.5. Baadhi ya Mambo Muhimu yaliyoangaliwa kwenye ufuatiliaji huu 2

2.0. MATOKEO YA UTAFITI KATIKA SEKTA YA ELIMU 3

2.1. Halmashauri na Idadi ya Shule zilizohusika kwenye Ufuatiliaji 3

2.2. Wanafunzi waliofaulu na waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 3

2.3. Wanafunzi waliochaguliwa lakini hawakuripoti (Takwimu Halmashauri) 5

2.4. Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza lakini hawakuripoti 6

2.5. Idadi ya wanafunzi waliofanya Mtihani wa Kidato cha Nne na waliofaulu 8

2.6. Idadi ya wanafunzi waliojiunga Kidato cha Kwanza Mwaka 2018 na 2019 10

2.7. Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa 10

2.8. Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa Matundu ya Vyoo 20

2.9. Uwiano wa wanafunzi kwa idadi ya walimu 28

2.10. Shule zenye Umeme 32

2.11. Hali ya Miundombinu kwenye baadhi ya shule 33

2.12. Ushiriki wa wadau wa Elimu (wazazi, kamati za shule, walimu na wanafunzi) 39

2.13. Nini kifanyike (Maoni na ushauri kutoka kwa wadau wa Elimu) 40

Page 6: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

iv

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

ORODHA YA MAJEDWALI

Jedwali Na. 1: ................................................................................................................................ 3

Jedwali Na. 2 ................................................................................................................................. 3

Jedwali Na. 3: ................................................................................................................................ 4

Jedwali Na. 4: ................................................................................................................................ 5

Jedwali Na. 5: ................................................................................................................................ 6

Jedwali Na. 6: ................................................................................................................................ 6

Jedwali Na. 7: ................................................................................................................................ 7

Jedwali Na. 8: ................................................................................................................................ 7

Jedwali Na. 9: ................................................................................................................................ 8

Jedwali Na. 10: ............................................................................................................................... 8

Jedwali Na 11: …………………………………………………………………………………………..... 9

Jedwali Na 12: ………………………………………………………………………………………..…... 9

Jedwali Na 13: ………………………………………………………………………………………..…... 10

Jedwali Na 14: ………………………………………………………………………………………..…... 11

Jedwali Na 15: ………………………………………………………………………………………..…... 11

Jedwali Na 16: ………………………………………………………………………………………..…... 12

Jedwali Na 17: ……………………………………………………………………………………….….... 13

Jedwali Na 18: ……………………………………………………………………………………….….... 13

Jedwali Na 19: ……………………………………………………………………………………….….... 14

Jedwali Na 20: …..................................................................................................................... ...... 15

Jedwali Na 21: ……………………………………………………….……………………….…………... 16

Jedwali Na 22: …………………………………………………………………………………………..... 17

Jedwali Na 23: ……………………………………………………………...…………………………. .... 18

Jedwali Na 24: ……………………………………………………………………………………….... .... 19

Jedwali Na 25: …………………………………………………………………………………………..... 19

Jedwali Na 26: …………………………………………………………………………………………..... 20

Jedwali Na 27: …………………………………………………………………………………………..... 21

Jedwali Na 28: ……………………………………………………………………………………….….... 22

Jedwali Na 29: ……………………………………………………………………………………….….... 22

Jedwali Na 30: …………………………………………………………………………………………..... 24

Page 7: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

v

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Jedwali Na 31: …………………………………………………………….……………………….……... 25

Jedwali Na 32: ……………………………………………………………………………….…..…... ...... 26

Jedwali Na 33: ………………………………………………………………………….……………. ...... 26

Jedwali Na 34: ……………………………………………………………………………………….. ...... 27

Jedwali Na 35: …………………………………………………………………………………….…. ...... 27

Jedwali Na 36 …………………………………………………………………………………………...... 28

Jedwali Na 37: …………………………………………………………………………………….… ....... 28

Jedwali Na 38: ………………………………………………………………………………………... ..... 29

Jedwali Na 39: ………………………………………………………………………………….……. ...... 29

Jedwali Na 40: ……………………………………………………………………………………….. ...... 29

Jedwali Na 41: ……………………………………………………………………………………….. ...... 29

Jedwali Na 42: …………………………………………………………...………………………….. ....... 30

Jedwali Na 43: …………………………………………………………...………………………….. ....... 31

PICHAPicha Na 1: ……………………………………………………………………………………. ................ 34

Picha Na 2: ……………………………………………………………………………………. ................ 34

Picha Na 3: …………………………………………………………………………………… ................. 35

Picha Na 4: ………………………………………………………………………..……….….................. 35

Picha Na 5: ………………………………………………………………………………….… ................ 36

Picha Na 6: ………………………………………………………………………..…………................... 36

Picha Na 7: ……………………………………………………………………………………. ................ 37

Picha Na 8: ……………………………………………………………………………………. ................ 37

Picha Na 9: ……………………………………………………………………………………. ................ 38

Picha Na 10: ……………………………………………………………………………………. .............. 38

Page 8: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

vi

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

VIFUPISHO

TCDD Tanzania Coalition on Debt and Development

MKUKUTA II Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini

Tanzania Awamu ya Pili

YPC Youth Partnership Countrywide

UDF Unity in Diversity Foundation

BINGO Biharamulo Non-Governmental Organization

RANGO Rukwa Association of Non-Governmental Organisation

MANGONET Masasi NGO Network

FYDP II Five Year Development Plan II

NECTA National Examination Council of Tanzania

WURNS Wise Utilisation for Natural Resources Sustainability

YEV Youth and Environment Vision

Page 9: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

1

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SURA YA KWANZAUTANGULIZI

1.0. MSINGI WA MRADI WA UFUATILIAJI

Umaskini bado ni changamoto kubwa kwa watu wanaoishi Kusini mwa Jangwa la Sahara ukilinganisha na maeneo mengine ya dunia. Kwa mujibu wa Takwimu za Benki ya Dunia za mwaka 2013 zinaonesha kuwa katika kipindi cha mwaka 2013 umaskini katika eneo hili ulipungua kwa asilimia 4 tu hivyo watu milioni 389 walikuwa bado wanaishi kwa kipato cha chini ya dola 1.90 kwa siku. Hii ina maana kuwa zaidi ya nusu ya watu maskini duniani walikuwa wanaishi Kusini mwa Jangwa la Sahara (chini ya dola 1.90 kwa siku). Taarifa hizi zinaonesha kuwa, wengi wa watu hawa maskini duniani wanaishi maeneo ya vijijini na hawana elimu ya kutosha, na zaidi wamejiajiri katika sekta ya kilimo ambapo zaidi ya nusu ni watoto wenye umri chini ya miaka 18. Huku umaskini wa kipato na chakula unatajwa kuwa ndiyo changamoto kubwa kwa dunia nzima na ukanda wa nchi za bara la Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara na kuwa juhudi za ziada zinahitajika ili kukabiliana na changamoto hii.

Uchumi wa Tanzania ulitarajiwa kukua kwa wastani wa asilimia 6.8 hadi 7 kwa mwaka wa fedha 2019/2020 kuelekea asilimia 10 kwa mwaka ikiwa ni lengo mojawapo la mpango wa pili wa Taifa wa maendeleo kufikia 2021. Sababu nyingi zinaelezwa kupelekea hali hii ya umaskini hapa nchini ambazo ni pamoja na sera za uchumi zisizotabilika: Sera za fedha na matumizi ya Serikali kutotosheleza kukuza uchumi unaonufaisha wengi, Huduma zisizotosheleza katika sekta ya kilimo, uwekezaji usiotosheleza katika viwanda mijini na vijijini, teknolojia duni, mila potofu na desturi zisizo na manufaa kwa jamii katika kuleta maendeleo (ubaguzi wa kijinsia na ushirikina).

Katika jitihada za kupunguza na kuondoa umaskini, Tanzania imeanzisha mikakati ya makusudi ambayo ni miongozo ya maendeleo ya jamii na uchumi ikiwemo Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ambao unadhamiria kujenga msingi wa kiuchumi ambao utaipeleka Tanzania kuwa Taifa la uchumi wa kati wa viwanda ifikapo 2025, kukuza maendeleo endelevu ya uwezo wa uzalishaji na uuzaji nje ya nchi, nk. Katika kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo ya Mwaka 2025, Tanzania ilitengeneza na kutekeleza mkakati maalum wa muda ambao ni Mpango wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania (MKUKUTA II) 2010/2011 – 2014/2015 na hivi sasa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 lengo likiwa kufikia matarajio ya Dira ya taifa na malengo ya milenia.

Mpango wa pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 umejikita hasa katika ukuaji wa viwanda vitakavyochochea mabadiliko ya uchumi na maendeleo ya watu kufikia uchumi wa kati wa viwanda na kuwa na watu wenye ujuzi watakaochochea ukuaji wa uchumi kwa kuhakikisha Sekta zinazoajiri watu wengi na walio maskini zinakuwa kwa kasi. Lengo likiwa ifikapo mwaka 2025, Tanzania iwe nchi yenye maisha bora, yenye amani, umoja na utawala bora, jamii inayojifunza na iliyoelimika, yenye uwezo wa kuzalisha na kuwa na ukuaji wa uchumi endelevu na wenye ushindani.

Page 10: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

2

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

1.1. USHIRIKI WA ASASI ZA KIRAIA KATIKA MAENDELEO

Katika kukuza ufanisi na utekelezaji makini wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 usimamizi ni suala muhimu hasa pale mpango huu unapojikita katika kuboresha maisha na ustawi wa jamii hasa kwa watu walio maskini zaidi pamoja na wale walio katika mazingira hatarishi.

Usimamizi mzuri ni pamoja na upatikanaji wa taarifa sahihi kwa muda muafaka na ili kufanikisha upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati, serikali kupitia mfumo wake wa kitaifa wa usimamiaji wa programu ya kupunguza umaskini, inahimiza usimamizi shirikishi wa asasi za kiraia. Katika muktadha huo, TCDD imejikita katika mradi wa kukusanya takwimu, taarifa na vielelezo vitakavyosaidia ufikiwaji wa maamuzi na uimarishaji wa uwezo wa asasi zisizo za kiserikali ziweze kujihusisha kwa usahihi zaidi katika majadiliano ya kisera lakini pia kuangalia utekelezaji, ufuatiliaji, na tathmini ili kujiridhisha na ufanisi wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka mitano 2016/2017 – 2020/2021 kwa jamii ya Tanzania kuelekea katika Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025.

Malengo ya Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 yanaweza kufikiwa tu endapo wadau mbalimbali wa maendeleo watashiriki kikamilifu katika utekelezaji wake. Wadau wa Maendeleo sio wale tu walio katika taasisi za Kiserikali na Bunge, bali pia walio katika asasi za kijamii, sekta binafsi, wafadhili na jamii yote kwa ujumla. Wadau wanahimizwa kushiriki kikamilifu katika utekelezaji ili kujenga hamasa na hali ya umiliki wa mpango huu kwa jamii katika kujiletea maendeleo endelevu.

1.2. Njia za Utafiti

Utafiti huu umehusisha ukusanyaji wa taarifa kutoka kwa wadau mbalimbali wa elimu juu ya utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika halmashauri 10 pendekezwa na kujionea hali halisi kwa kutazama kiwango cha utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya Elimu ikihusisha viashiria vya sekta hiyo ya Elimu vilivyoainishwa kwenye Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021.

1.3. Sampuli

Sampuli iliyotumika katika utafiti huu zilipatikana kutokana na mapendekezo yaliyotokana na wadau na wanachama wa TCDD. Kila Halmashauri ilichagua shule zisizopungua kumi za sekondari katika utafiti huo ambako taarifa zilikusanywa katika ngazi ya shule na ngazi ya halmashauri.

1.4. Zana za ukusanyaji takwimu/taarifa

Takwimu/taarifa zilikusanywa Kwa kutumia madodoso, mahojiano na majadiliano vikundini. Madodoso yalijumuisha maswali ya wazi na yasiyo ya wazi kwa halmashauri zote. Madodoso hayo yalikuwa yamegawanyika katika sehemu kuu tatu nazo ni madodoso kwa wakuu wa shule za sekondari, madodoso kwa maafisa elimu wilaya, na madodoso ya namna ya uendeshaji wa majadiliano kwa vikundi ambayo yaliendeshwa kwa kushirikisha kamati za shule katika ngazi mbalimbali za wilaya husika, wazazi na wanafunzi.

1.5. BAADHI YA MAMBO MUHIMU YALIYOANGALIWA KWENYE UTAFITI HUU

Uwiano wa wanafunzi kwa vitabu (kiada), walimu, madarasa, ufaulu, miundombinu, umeme shuleni, Uwajibikaji wa jamii katika suala zima lihusulo elimu kwa watoto hasa watoto wa Kike. Hii ikiwa ni sehemu ya kupima kama malengo Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika sekta ya Elimu yanaendelea kufikiwa. Lakini pia utafiti huu unasaidia kubaini baadhi ya changamoto zinazojitokeza katika utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021 katika sekta hiyo lakini pia kuibua baadhi ya changamoto ambazo hazikuainishwa katika Mpango.

Page 11: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

3

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

SURA YA PILI

2.0. MATOKEO YA UTAFITI KATIKA SEKTA YA ELIMUElimu ni moja ya sekta kuu muhimu ambayo Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/2017–2020/2021 umejizatiti katika kuondoa changamoto zinazoikabili ili kuleta ustawi wa Taifa kuelekea Tanzania yenye uchumi wa kati. Mpango unaainisha changamoto kadha wa kadha kama vile upungufu wa walimu na uwepo wa walimu wasio na ubora, mazingira yasiyo rafiki ya kujifunzia, upungufu wa madarasa na vyoo vya wanafunzi, upungufu wa walimu na vitabu kwa masomo ya sayansi na kiwango kidogo cha wanafunzi wanaofaulu na kujiunga na masomo ya kidato cha tano.

Moja ya matarajio makubwa katika sekta hii ya elimu ni kuongeza uwezekano wa wananchi wengi kuwa na fursa ya kupata elimu bora katika ngazi mbalimbali, hasa katika elimu ya msingi na sekondari. Kwa kuzingatia viashilia vilivyotolewa kwenye mpango katika sekta ya elimu jumla ya halmashauri 10 zilihusishwa katika utafiti huu ambazo ni Iringa Manispaa, Chunya, Biharamulo, Nyamagana Manispaa, Kibaha, Ubungo Manispaa, Shinyanga Manispaa, Uvinza, Masasi na Sumbawanga Manispaa.

2.1. Halmashauri na Idadi ya Shule zilizohusika katika utafiti huu

Jedwali Na 1: Idadi ya Halmashauri na shule zilizohusika kwenye utafiti

No Halmashauri Idadi ya Shule No Halmashauri Idadi ya Shule

1. Iringa Manispaa 10 6 Ubungo Manispaa 102. Chunya 10 7 Shinyanga Manispaa 103. Biharamulo 10 8 Uvinza 104. Nyamagana 10 9 Masasi 105. Kibaha 10 10 Sumbawanga Manispaa 10

Chanzo: Utafiti 2020

2.2. Wanafunzi waliofaulu na waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza

Jedwali Na. 2: Ufuatiliji TCDD 2020

Mwaka 2018 2019Halmashauri Me Ke Jumla Me Ke JumlaIringa Manispaa 1645 1774 3419 1701 1875 3576Chunya 941 1090 2031 1127 1453 2580Kibaha 1451 1277 2728 1843 1834 3677Ubungo Manispaa 5069 5257 10326 5280 5476 10756Shinyanga Manispaa 1389 1458 2847 1547 1552 3099Uvinza 2385 1654 4039 2503 1903 4406Masasi 583 422 1005 792 412 1204Biharamulo 1807 1845 3652 2042 2146 4188Nyamagana 4893 4592 9485 4726 5358 10084Sumbawanga Manispaa TH TH TH TH TH TH

*TH=Taarifa Haikupatikana

Page 12: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

4

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2016/17 – 2020/21 umejiwekea malengo mahususi kuhakikisha kuwa inaongeza kiwango cha ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba sambamba na kuongeza kiwango cha watakaojiunga kidato cha kwanza. Kwa mujibu wa mpango huo, kiwango cha waliojiunga kidato cha kwanza kwa mwaka 2014/15 kilikuwa 55% na ilijiwekea lengo kufikia 80% ifikapo mwaka 2020/21 na 100% ifikapo mwaka 2025/26.

Takwimu za kitaifa kwa mujibu wa taarifa ya Utekelezaji wa Sekta ya Elimu 2018/2019 iliyotolewa na Wizara ya Elimu, mwaka 2019 inaonyesha kuongeza kwa idadi ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza kutoka 67% mwaka 2015/16 hadi 73.2% mwaka 2018/2019, japokuwa wastani huo bado upo chini ya 80% kufikia 2020 na asilimia 100% kufikia 2025/26.

Takwimu zitokanazo na utafiti huu (kwenye jedwali) zinabainisha kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi wanaofaulu na kujiunga na kidato cha kwanza kwa miaka yote miwili, yaani 2018 na 2019. Pia kama ilivyo kwa takwimu za kitaifa kuwa kiwango cha wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza kutofautiana kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, vivyo hivyo katika ufuatiliaji uliofanywa na TCDD mwaka 2020 kwenye maeneo tajwa hapo juu hali hiyo imejidhihirisha kutoka halmashauri moja na nyingine. Mfano kitaifa, katika mkoa wa Mara ni asilimia 52% hadi kufikia asilimia 93.0% mkoa wa Kilimanjaro.

Takwimu za TCDD zinaonyesha kuwa Manispaa ya Ubungo ina idadi kubwa ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza kuliko Manispaa za Iringa, Shinyanga na Nyamagana-Mwanza. Kadhalika; halmashauri ya Uvinza ikiwa na idadi kubwa ya wanafunzi wanaojiunga kidato cha kwanza kuliko Halmashauri zingine tajwa hapo juu.

Suala la utofauti wa jinsi (gender gap) nalo linajitokeza kwa kiwango kikubwa; Wanafunzi wa jinsi ya kike wanaojiunga kidato cha Kwanza ni wengi kuliko wa jinsi ya kiume. Mfano, Mwaka 2018, halmashauri ya Ubungo, Chunya, Kibaha, Ubungo, Shinyanga, Biharamulo zina idadi kubwa ya wanafunzi wa jinsi ya kike kuliko wa jinsi ya kiume, hali hii imeendelea kuwa hivyo kwa mwaka 2019 pia.

Swali la Kujifikirisha: Je, wadau wa Elimu wanachukua hatua gani muhimu ili kuhakikisha kuwa idadi hii kubwa ya wanafunzi wa kike wanaofaulu na kujiunga kidato cha kwanza wanalindwa na kutunzwa ili waweze kuhitimu kidato cha nne na kutimiza ndoto zao za kimaisha kwa idadi ileile kama walivyojiunga kidato cha kwanza? (SURVIVAL RATE).

Takwimu za Basic Education Survival Rate zilizotolewa na Wizara ya Elimu kwenye taarifa yake ihusuyo Ufanisi wa sekta ya Elimu ya mwaka 2018/2019 inaonyesha kuwa mategemeo ya wanafunzi kuendelea na Elimu katika ngazi inayofuata inaonyesha kuimarika na wakati mwingine kushuka kama jedwali linavyoonyesha hapa chini. Hivyo juhudi za wadau ili kuhakikisha kuwa wanaoanza shule waweze kuhitimu na kufaulu vizuri masomo yao zinahitajika sana.

Jedwali Na 3: Kiwango cha mategemeo ya wanafunzi kuendelea na masomo katika ngazi inayofuata (Basic Education survival rate - Primary & lower secondary school).

Mwaka 2016 2017 2018 2019Me 22.46% 32.84% 48.10% 41.22%Ke 25.47% 34.48% 48.71% 45.66%Jumla 23.94% 33.65% 48.39% 43.47%

Takwimu, kwa mujibu wa taarifa ya “Ufanisi wa sekta ya Elimu ya mwaka 2018/2019 (Education sector performance report (2018/2019), Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Page 13: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

5

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

2.3. Wanafunzi waliochaguliwa lakini hawakuripoti shuleni

Jedwali Na 4: Takwimu: Idara ya Elimu Halmashauri

Mwaka 2018 2019Halmashauri Me Ke Jumla Me Ke JumlaIringa Manispaa 58 73 131 22 28 50Chunya 120 171 291 132 158 290Kibaha 10 06 16 215 244 459Ubungo Manispaa 1193 1294 2487 1132 1160 2292Shinyanga Manispaa 144 171 315 193 181 374Uvinza 716 528 1244 TH TH THMasasi 104 168 272 97 156 253Biharamulo 163 173 336 395 518 913Sumbawanga Manispaa TH TH TH TH TH THNyamagana 135 217 352 77 378 455

*TH=Taarifa Haikupatikana

Sababu zilizoainishwa kupelekea wanafunzi kutoripoti Shuleni (Kwa mujibu wa taarifa za mahojiano na ofisi za Elimu manispaa/wilaya pamoja na wakuu wa shule)

i. Baadhi ya wanafunzi walijiunga na shule binafsi

ii. Utoro wa wanafunzi

iii. Mwamko duni wa wazazi juu ya Elimu.

iv. Watoto kujihusisha na biashara hasa maeneo ya mijini

v. Mimba kwa wanafunzi wa kike.

Page 14: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

6

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

2.4. Wanafunzi waliochaguliwa Kujiunga kidato cha kwanza lakini hawakuripoti shuleni

Jedwali Na 5: Manispaa ya Iringa (Takwimu kutoka Shule 10)

Ufuatiliaji TCDD 2020

Jina la shule Walioandikishwa Wasioripoti shuleni

Kw

enda

sh

ule

bina

fsi

2018 2019 2018 2019

ME KEJU

MLA ME KE

JUM

LA ME KE

JUM

LA ME KE

JUM

LA

Mlandege 80 97 177 99 109 218 3 2 5 5 1 6 √

Kihesa 156 173 329 116 124 240 15 32 47 10 13 23

Kwakilosa 100 100 200 100 100 200 0 0 0 0 0 0

Miyomboni 120 120 240 58 55 113 4 8 12 3 4 7

Mtwivila 134 120 254 105 115 220 18 14 32 20 16 36

Ipogolo 132 163 295 145 170 315 30 20 50 25 37 62

Kleruu 137 167 304 125 126 251 44 50 94 47 42 89

Mlamke 78 97 175 100 100 200 4 2 6 6 2 8

Mkwawa 94 99 193 66 64 130 20 20 40 15 22 37 √

Nduli 69 90 159 90 86 176 10 3 13 11 6 17

*0=Wanafunzi wote waliripoti shule

Jedwali Na 6: Halmashauri ya Uvinza (shule 10)

Mwaka 2018 2019

Shule/Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Ruchugi sekondari 57 64 121 7 13 20

Basanza sekondari 8 7 15 6 9 15

Itebula sekondari 16 10 26 30 16 46

Nguruka sekondari 109 109 218 67 158 125

Mazungwe sekondari 19 23 42 20 29 49

Kandaga sekondari 14 18 32 22 17 39

Ilagala sekondari 22 69 91 38 55 93

Mwakizega sekondari TH TH TH 42 16 58

Mganza sekondari 32 27 59 37 19 56

Nyamagoma sekondari 2 2 4 17 20 37

TH=Taarifa Haikupatikana

Page 15: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

7

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Jedwali Na 7: Manispaa ya Shinyanga (shule 10)

Mwaka 2018 2019

Jina la shule/Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Uzogore sekondari 0 1 1 0 4 4

Ngokolo sekondari 2 1 3 2 0 2

Town sekondari 15 26 41 22 32 54

Chamaguha sekondari 59 74 133 70 83 153

Mazinge sekondari 39 55 94 43 50 93

Mwasele sekondari 17 17 34 10 12 22

Kolandoto sekondari 10 14 24 1 2 3

Ndala sekondari 20 17 37 22 10 32

Mwamalili sekondari TH TH TH TH TH TH

Kizumbi sekondari TH TH TH TH TH TH

*0=Wanafunzi wote waliripoti shule * TH=Taarifa Haikupatikana

Jedwali Na 8: Halmashauri ya Chunya (Shule 10)

Mwaka 2018 2019

Shule Me Ke Jumla Me Ke Jumla Jumla kuu

Mtande sekondari 12 9 21 10 16 26 47

Lupa sekondari 16 10 26 8 12 20 46

Kipoka sekondari TH TH TH TH TH TH TH

Isangawana TH TH TH Th TH TH TH

Mtanila 3 2 5 4 2 6 11

Itewe 8 7 15 15 11 26 41

Chalangwa 16 21 37 17 10 27 67

Chokaa 11 29 40 21 37 58 98

Iseyela 0 2 2 3 2 5 7

Makongolosi 31 42 73 27 41 68 141

* TH=Taarifa Haikupatikana

Page 16: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

8

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Jedwali Na 9: Manispaa ya ubungo (shule 10)

Mwaka 2018 2019Shule Me Ke Jumla Me Ke JumlaSaranga Sekondari 71 69 140 101 108 209Mugabe sekondari 21 17 38 13 14 27Yusuph Makamba 29 27 56 55 42 97Makoka sekondari 50 69 119 31 12 43Kwembe sekondari 28 28 56 30 24 54Maramba Mawili 69 63 132 47 39 86Mabibo sekondari 05 18 23 14 17 31Makurumla sekonda 20 27 47 16 21 37Kinzudi sekondari 10 14 24 18 21 29Temboni sekondari 10 05 15 40 40 80Jumla 313 337 650 365 338 693

Jedwali Na 10: Manispaa ya Sumbawanga: Ufuatiliaji TCDD 2020

Mwaka 2018 2019Jina la Shule Me Ke Jumla Me Ke Jumla Jumla KuuKatuma Sekondari 3 2 5 3 1 4 9Kalangasa Sekondari 3 7 10 05 07 12 22Kanda Sekondari 4 4 8 18 30 48 56Kilimani-Maweni Sekondari 56 41 97 16 08 24 121

Mbizi Sekondari 23 13 36 03 2 05 41Chanji Sekondari 32 50 82 26 39 65 147

Mtipe Sekondari 3 2 5 10 9 19 24Itwelele Sekondari 02 03 05 41 26 67 72Lukangao Sekondari 8 30 38 10 24 34 72Ipepa Sekondari 2 1 3 0 01 01 04

Kama ilivyoainishwa kwenye takwimu kutoka kwenye ngazi ya Elimu halmashauri za Manispaa na Wilaya, idadi ya wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza kutoripoti kwenye shule walizopangiwa imezidi kuongezeka. Sababu kubwa zinazotajwa kuchangia wanafunzi hao kutoripoti kwenye shule walizopangiwa ni: wanafunzi hao kujiunga na shule binafsi, utoro, mwamko mdogo wa elimu, mimba, na shughuli mbalimbali za kibiashara, uvuvi na kilimo zimekuwa zikichangia wanafunzi hao kutoripoti shuleni. Pamoja na hatua za udhibiti zilizopo, wadau wa elimu wanapaswa kushikamana ili kutatua changamoto hizi zinazoendelea kujitokeza ili kuendelea kuboresha idadi ya wanafunzi wanaosajiliwa kutoka asilimia 50% kwa mwaka 2020/21 hadi asilimia 90% mwaka 2025/26 (kwa wenye vigezo) kwa mujibu wa Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21.

2.5. Idadi ya Wanafunzi waliofanya Mtihani wa kidato cha Nne na waliofaulu

Kwa mujibu wa takwimu za ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha Nne kwa mwaka 2014/2015 ilikuwa ni asilimia 69.8%. Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano umekusudiwa kuongeza mpaka kufikia asilimia 85 mwaka 2020/21 na asilimia 90 mwaka 2025/26. Kitaifa kwa mujibu wa taarifa zilizowasilishwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwenye taarifa ya Education sector performance report 2018/2019

Page 17: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

9

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

zinaonyesha kuwa ufaulu wa wanafunzi kidato cha nne ni mkubwa na umekuwa ukiongezeka kutoka mwaka 2015 hadi 2018 kama jedwali linavyoonesha hapa chini.

Changamoto inaendelea kubaki kutokana na idadi ndogo ya wanaojiunga kidato cha tano haina uwiano na idadi ya wanafunzi wanaofaulu. Hii ikimaanisha kuwa, idadi kubwa ya wanaofaulu wanakosa sifa husika za kuchaguliwa kujiunga jkidato cha tano, waliojiunga vyuo vya ufundi kwa mwaka 2018 walikuwa 39,288; Ikijumuisha wasichana 14,006 na wavulana 25,282 pamoja na takwimu hizi bado uwiano kati ya waliofanya mtihani na walioendelea na masomo hauendani.

Jedwali Na 11: Takwimu, Necta, 2015-2018

Mwaka Watahiniwa Waliofaulu Waliochaguliwa Kidato cha Tano(5) Asilimia(%) ya watahiniwa waliochaguliwa Kidato cha Tano

Shule zaSerikali

Shule Binafsi

Jumla Shule za Serikali

S h u l e Binafsi

Jumla

2015 384,300 240,996 45,094 20,996 66,090 11.73% 5.46% 17.20%2016 349,524 244,762 53,749 24,146 77,895 15.38% 6.91% 22.29%2017 317,777 245,274 57,122 24,110 81,232 17.98% 7.59% 25.56%2018 351,196 272,128 52,428 22,050 74,478 14.93% 6.28% 21.21%

Takwimu: Necta, 2015-2018, Education sector performance report (2018/2019)

Usajili wa wanafunzi wa jinsi ya kike kidato cha tano (transition rate) ni asilimia 18.1% na kwa jinsi ya kiume ni asilimia 24.2%.

Je, hali ipoje kwenye baadhi ya halmashauri ambazo TCDD imefanya ufuatiliaji kwa takwimu za mwaka 2018/2019 kwa waliofanya mtihani na waliofaulu.

Jedwali Na 12: Takwimu: Idara ya Elimu Halmashauri, Ufuatiliaji TCDD, 2020

Mwaka 2018 2019Halmashauri Jinsi Me Ke % Me Ke %Iringa Manispaa watahiniwa 1132 1524 83% ufaulu 1137 2636 87%

ufauluwaliofaulu 917 1296 967 2305

Ubungo Manispaa watahiniwa 3247 3543 78%

ufaulu

3616 3976 71%

ufaulu waliofaulu 2467 2877 2561 2841

Shinyanga Manispaa watahiniwa 937 910 82%

ufaulu

1148 1147 82% ufauluwaliofaulu 780 745 930 958

Uvinza watahiniwa 581 298 85%

ufaulu

797 418 72%

ufauluwaliofaulu 454 299 629 250

Masasi watahiniwa 756 568 75%

ufaulu

826 684 79%

ufauluwaliofaulu 583 422 792 412

Sumbawanga Manispaa watahiniwa 1446 1309 85% ufaulu 1621 1594 waliofaulu 1248 1102 TH 855

Nyamagana watahiniwa 3816 3118 80%

faulu

3902 3644 84%

fauluwaliofaulu 3219 2365 3511 3876

* TH=Taarifa Haikukamilika

* TH=Taarifa Haikupatikana

Page 18: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

10

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Takwimu kwenye jedwali namba tano (5) zinabainisha kuwa idadi ya watahiniwa katika ngazi ya Halmashauri imekuwa ni kubwa na imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka, lakini pia takwimu zinaonyesha kuwa na uwiano mzuri wa ufaulu kwa miaka yote miwili yaani 2018 na mwaka 2019.

2.6. Idadi ya Wanafunzi waliojiunga na Kidato cha tano kwa mwaka 2018 na 2019

Jedwali Na 13: Takwimu: Idara ya Elimu Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD, 2020

MWAKA 2018 2019 WATAHINIWA Me Ke Jumla Me Ke Jumla

HalmashauriIringa Manispaa Waliojiunga 442 565 1007 459 596 1055

walioshindwa 696 922 1618 650 860 1510Uvinza Waliojiunga 150 33 183 231 24 255Masasi Waliojiunga 129 45 174 142 92 234

walioshindwa 309 522 831 407 563 970Sumbawanga Manispaa

Waliojiunga 618 415 1033 TH TH THwalioshindwa 630 687 1317 TH TH TH

Shinyanga Manispaa Waliojiunga 279 236 515 TH TH TH

Jedwali Na 11 (2015-2018) linaonyesha idadi ya watahiniwa waliofaulu na waliojiunga kidato cha tano (5) kwa shule za serikali na binafsi. Na Jedwali Na 12 linaonyesha takwimu za watahiniwa waliofaulu kutoka katika baadhi ya Halmashauri ambazo TCDD imefanya ufuatiliaji, Na Jedwali Na 13, linaonyesha pia watahiniwa waliojiunga kidato cha tano (5) kutokana na takwimu zilizopatikana katika ufuatiliaji wa TCDD katika Halmashauri tano (5).

Takwimu zinabainisha kuwa idadi ya watahiniwa Kwa miaka yote imekuwa kubwa na imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka. Na ufaulu umekuwa ukipanda na kushuka angalau kuanzia asilimia 75% na kuendelea ya watahiniwa hufaulu. Takwimu hizi zinabainisha pia, idadi ya wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga kidato cha (5) kuwa ni ndoto sana ukilinganisha na idadi ya wanaofaulu. Hii maana yake ni kuwa wanafunzi wengi wanaofaulu wanakosa vigezo vya kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano (5) ambapo kigezo kimoja wapo ni kuwa na ufaulu kuanzia daraja la I hadi daraja la III.

Hivyo basi juhudi za makusudi zinahitajika ili kuweza kuongeza kiwango cha ufaulu wa wanafunzi angalau kuanzia daraja la I – III ili kuongeza uwezekano wa watahiniwa hao kuchaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano ili kuweza kufikia azimio la asilimia 80% kwa mwaka 2020/21 hadi kufikia asilimia 90% mwaka 2025/26 kama ilivyoainishwa kwenye Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5).

2.7. Uwiano wa Wanafunzi kwa kila chumba cha darasa/ujazo wa Wanafunzi katika chumba cha darasa

Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) 2016/17 – 2020/21 unakusudia kufikisha uwiano wa kitaifa wa wanafunzi shule za sekondari kuwa 1:40, yaani chumba kimoja cha darasa wanafunzi arobaini (40). Je hali ipoje kutokana na ufuatiliaji uliofanywa na TCDD-2020 katika Halmashauri kumi.

Page 19: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

11

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

Jedwalin Na 14: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa: Takwimu kutoka ngazi ya shule

Jina la Shule 2019

Kidato 1 Kidato cha 2 Kidato cha 3 Kidato cha 4

Jinsi Me Ke Uwiano Me Ke Uwiano Me Ke Uwiano Me Ke Uwiano

Nyabusozi 40 27 1:67 25 20 1:45 34 26 1:60 31 32 1:63

Kagango Girls 50 1:50 55 1:55 47 1:47 HK

Lusahunga 33 29 1.:62 42 27 1:69 39 24 1:63 30 20 1:50

Kagango 82 85 1:167 60 57 1:117 89 84 1:173 51 50 1:101

Bisibo 55 69 1:119 50 56 1:106 26 36 1:62 37 26 1:63

* HK=Hakuna kidato cha nne

Idadi ya wanafunzi kwa kila chumba cha darasa. Kwenye baadhi ya shule ujazo umeenda sambamba na Sera ya Elimu ya Taifa ambayo ni uwiano wa 1:40 mfano; Shule ya sekondari Lusahunga ambapo kila chumba kina wanafunzi 55, mfano shule ya Sekondari ya Runazi chumba kimoja kina wanafunzi 197, Shule ya sekondari Ruziba chumba kimoja kina wanafunzi 80, Shule ya sekondari Nyabusozi chumba kimoja kina wanafunzi 60.

Manispaa ya Iringa

Jedwali Na 15: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa

Takwimu kutoka ngazi ya Manispaa: Ufuatiliaji TCDD 2020

Mwaka 2018 2019

Kidato cha 1 1:40 1:39

Kadato cha 2 1:40 1:39

Kidato cha 3 1:40 1:39

Kidato cha 4 1:40 1:39

Page 20: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

12

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)Je

dwal

i Na

16: U

wia

no w

a w

anaf

unzi

kwa

kila

chu

mba

cha

dar

asa:

Tak

wim

u ku

toka

nga

zi y

a Sh

ule

KID

ATO

CH

A 1

KID

ATO

CH

A 2

KID

ATO

CH

A 3

KID

ATO

CH

A 4

MW

AKA

2018

2019

2018

2019

2018

2019

2018

2019

JIN

A LA

SH

ULE

ME

KE

JUMLA

ME

KE

JUMLA

ME

KE

JUMLA

ME

KE

JUMLA

ME

KE

JUMLA

ME

KE

JUMLA

ME

KE

JUMLA

ME

KE

JUMLA

MLA

NDE

GE

2025

4525

3055

2126

4720

2545

1320

3321

2647

2221

4313

2033

KIH

ESA

141

140

281

107

111

218

124

139

263

139

145

284

8210

418

610

812

122

984

9117

576

9817

4

KWAK

ILO

SA26

2551

2526

5225

2550

2525

5025

2550

2525

5016

1733

2221

43

MIY

OM

BON

I78

9917

797

100

197

6288

150

7194

165

4266

108

5685

141

3753

9034

5690

MTW

IVIL

A92

115

207

8886

174

9490

184

9211

020

273

7819

182

8917

134

5387

7172

143

IPO

GO

LO T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H T

H

KLER

UU

9090

180

7093

163

8910

119

081

7815

994

103

197

8287

169

112

107

219

9296

188

MLA

MKE

7897

175

100

100

200

103

8318

689

9318

283

8116

410

383

186

7875

153

8381

164

MKW

AWA

2325

4818

2038

3035

6521

2445

2117

3827

2754

2024

4422

1436

NDU

LI52

7012

258

8414

247

5910

669

5011

946

5298

3341

7434

4175

3740

77

*TH

=Taa

rifa

Hai

kupa

tikan

a

Ufu

atilia

ji TC

DD 2

020

Kwa

Man

ispa

a ya

Irin

ga, u

jazo

wa

wan

afun

zi um

eend

a sa

mba

mba

na

takw

a la

kis

era

la u

jazo

wa

1:40

kw

a sh

ule

za s

ekon

dari

ikiw

a pi

a ni

tara

jio la

M

pang

o w

a Pi

li w

a Ta

ifa w

a M

aend

eleo

wa

Mia

ka M

itano

(5) y

aani

201

6/17

– 2

020/

21 k

ufiki

sha

uwia

no w

a 1:

40 k

utok

a 1:

43 m

wak

a 20

14/1

5. K

atik

a ng

azi y

a Sh

ule,

bad

o ku

na c

hang

amot

o ili

kufik

ia k

wa

ujaz

o w

a w

anaf

unzi

1:40

. Na

hii h

utof

autia

na k

utok

a sh

ule

moj

a na

shu

le n

ying

ine.

Page 21: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

13

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Manispaa ya Shinyanga

Jedwali Na 17: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa: Takwimu kutoka ngazi ya Manispaa: Ufuatiliaji TCDD 2020

Mwaka 2018 2019Kidato cha 1 1:55 1:60Kidato cha 2 1:50 1:55Kidato cha 3 1:50 1:55Kidato cha 4 1:50 1:55

Jedwali Na 18: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa: Takwimu kutoka ngazi ya shule

Ufuatiliaji TCDD 2020

Jina la shule Mwaka 2018 2019Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Uzogore Kidato cha 1 17 16 33 29 25 54Kidato cha 2 29 13 42 17 16 33Kidato cha 3 16 10 26 29 13 42

Kidato cha 4 09 04 13 16 10 26

Mwamalili Kidato cha 1 81 87 168 50 51 101Kidato cha 2 36 44 80 81 87 168Kidato cha 3 26 25 51 36 44 80Kidato cha 4 15 22 37 26 25 51

Ngokolo Kidato cha 1 148 162 310 130 126 256Kidato cha 2 131 126 257 146 163 309Kidato cha 3 110 132 242 107 103 210Kidato cha 4 84 87 171 102 121 223

Kizumbi Kidato cha 1 52 54 106 72 61 133Kidato cha 2 56 58 114 53 58 111Kidato cha 3 48 27 75 47 51 98Kidato cha 4 38 22 60 47 28 75

Town Kidato cha 1 60 63 123 72 63 135Kidato cha 2 81 52 133 60 63 123Kidato cha 3 54 56 110 81 52 133Kidato cha 4 37 41 78 53 56 109

Page 22: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

14

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Chamaguha Kidato cha 1 59 74 133 70 83 153Kidato cha 2 44 61 105 69 76 145Kidato cha 3 52 67 119 62 48 110Kidato cha 4 34 30 64 50 69 119

Mazinge Kidato cha 1 25 25 50 25 25 50Kidato cha 2 25 25 50 25 25 50Kidato cha 3 25 25 50 25 25 50Kidato cha 4 25 25 50 25 25 50

Mwasele Kidato cha 1 126 116 242 117 118 235Kidato cha 2 57 76 133 126 116 242Kidato cha 3 82 72 154 57 76 133Kidato cha 4 67 92 159 82 72 154

Kolandoto Kidato cha 1 62 91 153 47 72 119Kidato cha 2 40 45 85 62 91 153Kidato cha 3 39 42 81 40 45 85Kidato cha 4 21 31 62 39 42 81

Ndala Kidato cha 1 32 53 85 50 58 108Kidato cha 2 47 60 107 32 49 81Kidato cha 3 47 47 94 42 51 93Kidato cha 4 21 19 40 43 45 88

Manispaa ya Sumbawanga

Jedwali Na 19: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa

Takwimu kutoka shule kumi (10): Ufuatiliaji TCDD 2020

Jina la Shule

2019

Kidato 1 Kidato cha 2 Kidato cha 3 Kidato cha 4

Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke JumlaKatuma 22 30 52 26 27 53 28 36 64 23 21 44Kalangasa 30 29 59 22 25 47 20 25 45 20 25 45Kanda 34 34 68 25 32 57 28 25 53 31 29 60Kilimani 29 32 61 36 21 57 23 27 50 30 21 51Mbizi 67 72 139 47 55 102 21 25 46 27 17 44Chanji 65 45 100 29 29 58 70 72 142 50 40 90Mtipe 24 24 48 22 22 44 25 25 50 30 26 56Itwelele 28 29 57 19 21 40 26 23 49 19 25 44Lukangao 27 26 53 30 32 62 25 26 51 25 13 38Ipepa 19 19 38 18 18 36 18 18 36 21 29 50

Page 23: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

15

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Zoezi la ufuatiliaji katika Manispaa ya Sumbawanga limebaini kuwepo kwa shule zenye ujazo usiokubalika kisera ambao ni 1:40, ikiwa ndiyo dhamira mojawapo ya Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) awamu ya pili kuwa ifikapo mwaka 2020/21 ujazo wa wanafunzi kwa kila chumba 1 cha darasa uwe 1:40. Shule nyingi katika Manispaa ya Sumbawanga zimezidi wastani huo wa kitaifa, hivyo nyongeza ya vyumba vya madarasa inahitajika ili kuondoa hiyo changamoto.

Halmashauri ya Chunya

Jedwali Na 20: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa

Takwimu kutoka Shule kumi (10): Ufuatiliaji TCDD 2020

SHULE 2018 2019Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mtande Kidato 1 92 82 174 73 82 155Kidato 2 48 45 93 75 77 152Kidato 3 35 30 65 44 37 81Kidato 4 20 10 30 35 27 62

Lupa Kidato 1 26 25 51 30 30 60Kidato 2 24 24 48 31 30 61Kidato 3 30 30 60 25 25 50Kidato 4 16 41 57 26 25 51

Kipoka Kidato 1 20 20 40 0 0 0Kidato 2 0 0 0 0 0 0Kidato 3 0 0 0 0 0 0Kidato 4 0 0 0 0 0 0

Isangawana Kidato 1 86 126 212 77 96 173Kidato 2 73 97 170 74 97 171Kidato 3 39 39 78 55 85 140Kidato 4 26 54 80 37 35 72

Mtanila Kidato 1 40 35 75 86 75 161Kidato 2 31 26 57 36 27 63Kidato 3 30 25 55 21 22 43Kidato 4 17 14 31 19 24 43

Itewe Kidato 1 46 66 112 72 77 149Kidato 2 29 53 82 38 59 97Kidato 3 35 51 86 28 50 78Kidato 4 18 32 50 30 51 81

Chalangwa Kidato 1 113 175 288 105 161 266

Kidato 2 82 84 166 92 159 251

Kidato 3 51 82 133 54 70 124

Kidato 4 32 41 73 46 74 120

Page 24: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

16

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Chokaa Kidato 1 85 117 202 84 114 198

Kidato 2 45 60 105 64 107 171

Kidato 3 27 41 68 41 50 91

Kidato 4 21 33 54 24 35 59

Isenyela Kidato 1 46 67 113 52 82 134

Kidato 2 32 58 90 44 59 103

Kidato 3 23 60 83 20 54 74

Kidato 4 14 24 38 22 36 78

Makongolo Kidato 1 20 24 44 22 23 45

Kidato 2 26 20 45 19 26 45

Kidato 3 23 22 30 27 21 48

Kidato 4 14 16 30 19 21 40

Halmashauri ya Uvinza

Jedwali Na 21: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa

Takwimu kutoka Halmashauri: Ufuatiliaji kutoka TCDD

Uwiano wa Wanafunzi kwa kila Chumba cha Darasa katika Halmashauri ni: 1:59

Mwaka 2018 2019Kidato cha 1 70 85Kidato cha 2 60 70Kidato cha 3 50 60Kidato cha 4 45 50

Page 25: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

17

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Takwimu kutoka shule (10)

Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 22: Uwiano wa Wanafunzi kwa kila Chumba cha Darasa

Mwaka 2018 2019Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaRUCHUGI SEKONDARIKidato cha 1 162 96 258 150 108 258

Kidato cha 2 146 83 229 96 66 262

Kidato cha 3 96 56 229 46 46 131

Kidato cha 4 50 56 93 42 42 125

BASANZA SEKONDARIKidato cha 1 62 29 91 90 87 177

Kidato cha 2 90 87 177 50 44 94

Kidato cha 3 0 0 0 39 25 64

Kidato cha 4 0 0 0 0 25 0

ITEBULA SEKONDARIKidato cha 1 34 23 57 99 68 157

Kidato cha 2 87 77 164 33 25 58

Kidato cha 3 43 17 60 66 42 108

Kidato cha 4 16 13 29 42 17 59

NGURUKA SEKONDARIKidato cha 1 340 290 630 293 201 494

Kidato cha 2 136 102 238 231 181 412

Kidato cha 3 135 76 211 112 85 197

Kidato cha 4 77 34 211 96 64 160

MAZUNGWE SEKONDARIKidato cha 1 40 41 81 41 29 70

Kidato cha 2 35 43 78 40 27 67

Kidato cha 3 37 48 85 26 50 76

Kidato cha 4 22 39 61 24 17 41

KANDAGA SEKONDARIKidato cha 1 32 28 60 25 23 48

Kidato cha 2 18 35 52 24 17 41

Kidato cha 3 25 17 42 11 25 36

Kidato cha 4 33 15 48 25 17 42

Page 26: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

18

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Mwaka 2018 2019Jinsi Me Ke Jumla Me Ke Jumla

ILAGALA SEKONDARIKidato cha 1 255 181 436 145 115 260Kidato cha 2 250 132 352 0 0 0Kidato cha 3 167 109 276 0 0 0Kidato cha 4 52 17 69 100 63 163MWAKIZEGA SEKONDARIKidato cha 1 61 62 113 77 49 126Kidato cha 2 0 0 0 61 52 113Kidato cha 3 0 0 0 0 0 0Kidato cha 4 0 0 0 0 0 0MGANZA SEKONDARIKidato cha 1 47 26 73 50 26 76Kidato cha 2 47 24 71 38 26 74Kidato cha 3 21 6 27 29 16 45Kidato cha 4 16 5 21 33 15 48NYAMAGOMA SEKONDARIKidato cha 1 133 96 230 15 96 211Kidato cha 2 95 67 162 12 86 198Kidato cha 3 98 40 138 88 66 154Kidato cha 4 46 17 63 89 35 124

Manispaa ya Ubungo

Takwimu kutoka Elimu Manispaa: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 23: Uwiano wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa

2018 2019

WALIMU WANAFUNZI UWIANO WALIMU WANAFUNZI UWIANO985 25842 26:1 1034 28091 27:1

Uwiano kwa mwaka 2019 ni 27:1 na kwa mwaka 2018 ni 26:1 hii imechangiwa na ongezeko la wanafunzi 2249 kwa mwaka 2019 toka wanafunzi 25842 mwaka 2018 ukilinganisha na ongezeko la walimu ambao ni 49 waliongezeka kwa mwaka 2019.

Page 27: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

19

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Takwimu Kutoka Shule Kumi (10): Ufuatiliaji TCDD

Jedwali Na 24: Uwiano wa Wanafunzi kwa kila Chumba cha Darasa

SHULE KIDATO CHA KWANZA KIDATO CHA PILI KIDATO CHA TATU

KIDATO CHA NNE

Me Ke jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mabibo 50 50 100 73 73 146 47 59 106 48 46 94

Maramba 152 160 312 71 89 160 103 126 229 100 95 195

Makurumla 38 47 85 39 44 83 34 31 65 36 37 73

Temboni 155 150 305 129 122 251 99 139 238 78 106 184

Kinzudi 140 125 265 52 68 120 72 64 136 62 73 135

Saranga 71 69 140 150 155 305 66 109 175 55 75 130

Mugabe 194 168 362 218 223 441 129 164 293 128 141 269

Y.makamba 38 36 74 37 36 73 31 34 65 35 30 65

Makoka 58 53 111 40 35 75 47 30 77 33 39 72

Kwembe 122 144 266 64 73 137 78 76 154 69 66 135

Jumla 1018 1002 2020 873 918 1791 706 832 1538 644 708 1352

Manispaa ya Nyamagana

Takwimu Kutoka Elimu Manispaa: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 25: Uwiano wa Wanafunzi kwa kila Chumba cha Darasa

UWIANO WA WANAFUNZI KWA DARASA2018 2019

Darasa Wanafunzi Darasa WanafunziKidato cha 1 1 80 Kidato cha 1 91Kidato cha 2 1 65 Kidato cha 1 70Kidato cha 3 1 70 Kidato cha 1 64Kidato cha 4 1 62 Kidato cha 1 60

Kwa Manispaa ya Nyamagana, wastani wa ujazo wa wanafunzi katika madarasa umezidi wastani uliowekwa na serikali kwa shule za sekondari ambao ni 1:40, yakiwa pia ni malengo ya Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5). Kidato cha kwanza inaonyesha kuwa na idadi kuwa ya wanafunzi katika chumba kimoja cha darasa ukilinganisha na vidato vingine.

Kwa ujumla, ujazo wa wanafunzi kwa kila chumba cha darasa unatofautiana kutoka Halmashauri moja kwenda nyingine. Kuna baadhi ya Halmashauri zimebainika kuwa na ujazo mkubwa wa wanafunzi katika chumba kimoja cha darasa (Ingawa sio wote wanasomea chumba kimoja cha darasa).

Kwa mujibu wa sera ya elimu 2014, idadi ya wanafunzi kwa kila chumba cha darasa unapaswa kuwa 1:40, yaani chumba kimoja wanafunzi arobaini. Mpango wa Taifa wa Maendeleo awamu ya pili 2016/2017 – 2020 umekusudia kupunguza ujazo wa wanafunzi katika darasa moja kutoka 1:43 mwaka 2014/15 hadi kufikia 1:40 mwaka 2020/21 na 2025/26 ukiwa ndio ujazo wa wastani unaokubalika

Page 28: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

20

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Kwa kuzingatia takwimu kama zilivyoainishwa hapo juu, ni dhahili kuwa bado kuna hitaji kubwa la vyumba vya madarasa ili kuweza kukidhi ongezeko la idadi ya wanafunzi hasa kutokana na mpango wa hivi sasa wa elimu bila malipo. Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) katika utekelezaji wake unalenga kufikia uwiano wa 40:1 kwa mwaka 2020/21 na 2025/26 kutoka 43:1. Mlundikano wa wanafunzi wengi darasani hakutoi nafasi nzuri kwa wanafunzi kujifunza sawasawa lakini pia huleta changamoto kwa walimu katika kulimudu darasa husika.

2.8. Uwiano wa idadi ya Wanafunzi kwa Matundu ya Vyoo

Ufuatiliaji katika kipengele hiki umekusudia kuangalia uwiano wa wanafunzi kwa idadi ya matundu ya vyoo yanayotumika katika shule za sekondari.

Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano (5) umekusudia kufikisha uwiano wa 20:1, yaani wanafunzi ishirini kwa tundu moja la choo kufikia mwaka 2020/21 na pia kufikia 2025/26 ukiwa ndiyo ukomo wa dira ya Maendeleo ya Taifa hii ni kutoka uwiano wa 29:1. Ifuatayo ni hali halisi katika Halmashauri na katika shule 10 ambazo TCDD ilifanya ufuatiliaji kwa mwaka 2020.

Manispaa ya Iringa:

Takwimu kutoka shule 10: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 26: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

Idadi ya wanafunzi Idadi ya wanafunziMWAKA 2018 Matundu ya choo 2019 Matundu ya choo

JINSI Me Ke Jumla Me Ke Jumla Uwiano Me Ke Jumla Me Ke Jumla UwianoMlandege 248 313 561 12 12 24 23:1 283 320 603 12 12 24 25:1

Kihesa 431 477 908 7 9 16 57:1 432 476 908 7 9 16 56:1Kwakilosa 92 92 184 22 12 34 5:1 98 97 195 22 12 34 5:1Miyomboni 219 306 525 12 10 22 24:1 258 335 593 12 10 22 26:1

Mtwivila 350 289 639 12 12 24 26:1 333 357 690 12 12 24 28:1Ipogolo 401 397 798 7 8 15 53:1 371 431 802 7 8 15 53:1Kleruu 385 401 786 12 12 24 33:1 325 354 679 12 12 24 28:1

Mlamke TH TH TH TH TH TH TH TH TH TH TH TH TH THMkwawa 236 247 483 9 12 21 23:1 259 258 517 10 13 23 22:1

Nduli 190 205 395 6 6 12 33:1 178 235 413 6 6 12 34:1

*TH=Taarifa Haikupatikana

Shule zote zilizofanyiwa utafiti katika manispaa ya Iringa zimeongeza idadi ya wanafunzi mwaka 2019 lakini idadi ya matundu ya vyoo bado ni ile ile ya mwaka 2018, na hata mwaka 2020 wakati taarifa hizi zinakusanywa (japo haipo kwenye jedwali) idadi ya wanafunzi imeongezeka lakini bado matundu ya vyoo ni ileile; Na uwiano wa 20:1 kama unavyotarajiwa kufikiwa na Mpango wa Maendeleo juhudi za makusudi zinatakiwa ili kufikia.

Page 29: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

21

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

Takwimu kutoka shule 10: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 27: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

Mwaka 2018 2019Nyabusozi sekondari Jinsia Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Wanafunzi 177 159 336 205 123 328Vyoo 8 8 16 8 8 16

Uwiano 21:1 21:1Kagango Girls Mwaka 2018 2019

Jinsia Me Ke Jumla Me Ke Jumla Wanafunzi - 466 466 - 466 466

Vyoo - 10 10 - 10 10Uwiano 49:1 49:1

Ruziba sekondari Mwaka 2018 2019Jinsia Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Wanafunzi 167 210 377 159 207 367Vyoo 6 8 14 6 8 14

Uwiano 27:1 26:1

Nyabusozi sekondari

Mwaka 2018 2019Jinsia Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Wanafunzi 177 159 336 205 123 328Vyoo 8 10 18 8 8 16

Uwiano 52:1 21:1Lusahunga sekondari Mwaka 2018 2019

Jinsia Me Ke Jumla Me Ke Jumla Wanafunzi 340 228 568 398 282 680

Vyoo 8 8 16 8 8 16Uwiano 35:1 43:1

Rwagati sekondari Mwaka 2018 2019Jinsia Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Wanafunzi 279 287 566 275 285 560Vyoo 3 2 5 9 6 15

Uwiano 113:1 37:1

Ufuatiliaji katika katika shule tajwa hapo juu katika Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo unabainisha kuwepo kwa uwiano usio linganifu kati ya idadi ya matundu ya vyoo yaliyopo kwa idadi ya wanafunzi. Mfano katika shule ya sekondari ya wasichana Kagango ina-wanafunzi 466 kwa idadi ya vyoo 10, hii ikiwa na uwiano wa 1:47 yaani wanafunzi arobaini na saba kwa tundu moja la choo. Vivyo hivyo shule ya sekondari Rwagati nayo ikiwa na uwiano wa 1:45. Bado idadi kubwa ya matundu ya vyoo inahitajika ili kukidhi uwiano wa 1:20 kama ilivyokusudiwa na mpango wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano Awamu ya Pili wa 2016/17 – 2020/21.

Page 30: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

22

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Manispaa ya Sumbawanga

Takwimu Kutoka shule 10: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 28: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

Mwaka 2018 Mwaka 2019JINA LA SHULE

Wanafunzi Matundu ya Vyoo

Uwiano Wanafunzi Matundu ya vyoo

Uwiano

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me KeKatuma 331 350 08 14 1:41 1:24 428 502 08 14 1:54 1:36Kalangasa 278 317 08 06 1:35 1:53 279 347 10 10 1:28 1:35Kanda 372 381 06 06 1:62 1:64 448 453 06 06 1:75 1:76Kilimani 554 570 06 10 1:92 1:57 535 557 06 10 1:89 1:56Mbizi 126 123 05 06 1:25 1:21 162 169 06 08 1:27 1:21Chanji 443 538 12 06 1:37 1:90 367 440 12 06 1:31 1:73Mtipe 177 188 13 13 1:14 1:14 184 213 13 13 1:14 1:16Itwelele 303 352 06 06 1:51 1:59 364 390 06 06 1:61 1:65Lukangao 211 274 05 04 1:42 1:44 272 293 05 04 1:54 1:73Ipepa 215 303 08 16 1:27 1:19 253 327 08 16 1:32 1:20

Shule 10 zilizofanyiwa ufuatiliaji katika Manispaa ya Sumbawanga, shule nane zimebainika kwa kutokufikia uwiano wa 20:1 kama ulivyokusudiwa na mpango. Shule ya Kilimani na Kanda zinaongoza kwa kuwa na uwiano mkubwa. Utafiti umebainisha kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi kuliko idadi ya matundu ya vyoo yanayohudumia wanafunzi hao, hii ni changamoto ambayo inahitaji utatuzi.

Halmashauri ya wilaya ya Uvinza

Takwimu kutoka shule 10: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 29: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

Mwaka 2018 2019Jinsi Me Ke Jumla Me Ke JumlaRUCHUGI SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

454 278 732 414 262 676

Matundu ya Vyoo

8 8 16 8 8 16

Uwiano 45:1 42:1BASANZA SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

102 69 171 189 146 335

Matundu ya Vyoo

6 6 12 6 6 12

Page 31: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

23

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Uwiano 14:1 28:1ITEBULA SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

180 130 310 240 142 382

Matundu ya Vyoo

7 7 4 10 7 17

Uwiano 78:1 22:1NGURUKA SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

229 126 355 224 133 357

Matundu ya Vyoo

3 4 7 3 4 7

Uwiano 50:1 51:1MAZUNGWE SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

344 492 836 499 372 871

Matundu ya Vyoo

19 19 38 19 19 38

Uwiano 22:1 22:1KANDAGA SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

171 161 332 162 164 326

Matundu ya Vyoo

8 7 15 8 7 15

Uwiano 22:1 22:1ILAGALA SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

724 355 1079

Matundu ya Vyoo

8 10 18 8 10 18

Uwiano 59:1MWAKIZEGA SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

61 52 113 77 49 126

Matundu ya Vyoo

6 6 12 6 6 12

Uwiano 9:1 10:1MGANZA SEKONDARI Idadi ya wanafunzi

260 123 383 301 163 466

Matundu ya Vyoo

4 4 8 4 4 8

Uwiano 47:1 58:1

Page 32: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

24

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

NYAMAGOMA SEKONDARIIdadi ya wanafunzi

374 213 587 356 266 622

Matundu ya Vyoo

0 3 3 0 3 3

Uwiano 195 207

Manispaa ya ubungo

Takwimu kutoka katika Shule 10: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 30: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo mwaka 2018

Wanafunzi Matundu ya Vyoo Uwiano

SHULE Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me KeMabibo 661 682 1343 05 07 12 132:1 97.1

Maramba Mawili 426 470 896 05 07 12 85:1 67:1

Kwembe 337 343 680 06 07 13 56:1 49:1

Makoka 672 590 1262 12 12 24 56:1 49:1

Y. Makamba 677 652 1329 05 06 11 135:1 109:1

Mugabe 25 20 45 1 1 2 25:1 20:1

Saranga 342 408 750 10 13 23 34:1 31:1

Kinzudi 326 330 656 04 06 10 81:1 55:1

Temboni 461 517 978 02 04 6 230:1 129:1

Makurumila 775 852 1627 20 25 45 39:1 34:1

Jumla 4702 4864 9566 70 88 158 67:1 55:1

Manispaa ya Ubungo nayo imebainika kuwa na uwiano mkubwa kati ya matundu ya vyoo kwa idadi ya wanafunzi. Ambapo uwiano mkubwa zaidi ni 129:1 katika shule ya sekondari ya Temboni ikifuatiwa na shule ya sekondari ya Yusuph Makamba yenye 109:1. Uwiano wa 20:1 ambao unapiganiwa na Mpango wa Taifa wa Maendeleo Awamu ya Pili yaonekana kuwa mbali kufikiwa. Uwiano mkubwa namna hii una athari kubwa kwa wanafunzi wa jinsi ya kike hasa wakiwa kwenye siku za hedhi.

Page 33: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

25

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)H

alm

asha

uri y

a M

anis

paa

ya Ir

inga

Takw

imu

kuto

ka s

hule

10:

Ufu

atilia

ji TC

DD 2

020

Jedw

ali N

a 31

: Uw

iano

wa

idad

i ya

wan

afun

zi kw

a m

atun

du y

a vy

oo

Idad

i ya

wan

afun

ziId

adi y

a w

anaf

unzi

Mw

aka

2018

Mat

undu

ya

vyoo

2019

Mat

undu

ya

vyoo

Jins

ia

Me

Ke

Jum

la

Me

Ke

Jum

laU

wia

noM

eK

e Ju

mla

M

e K

e Ju

mla

U

wia

no

Mla

ndeg

e24

831

356

112

1224

1:23

283

320

603

1212

241:

25Ki

hesa

23

147

790

87

916

1:56

437

476

908

79

161:

56M

wak

ilosa

9292

184

2212

341:

598

9819

522

1234

1:6

Mio

mbo

ni

219

306

525

1210

221:

2425

833

559

312

1022

1:26

Mtiv

ila

350

289

639

1212

241:

2633

335

769

012

1224

1:29

Ipog

olo

401

397

798

77

151:

5337

143

180

27

815

1:53

Kler

uu

385

401

786

1212

241:

3232

535

497

912

1224

1:28

Mkw

awa

236

247

483

912

211:

2325

925

871

710

1323

1:22

Ndu

li 19

020

539

56

612

1:32

178

235

413

66

121:

34

Page 34: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

26

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Shinyanga ManispaaTakwimu kutoka shule 10: Ufuatiliaji TCDD 2020Jedwali Na 32: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

SHULE 2018 2019

Wanafunzi VYOO Wanafunzi VYOO

JINSI Me Ke Jumla Me Ke Jumla Uwiano Me Ke Jumla Me Ke Jumla Uwiano

Uzogore 71 43 114 5 5 10 11:1 90 65 155 5 5 10 15:1

Mwamalili 158 178 336 12 12 24 14:1 193 207 400 12 12 24 16:1

Ngokolo 473 507 980 6 6 12 81:1 485 513 998 6 6 12 83:1

Kizumbi 189 160 349 3 8 11 31:1 211 209 420 3 8 11 38:1

Town 232 212 444 9 12 21 21:1 266 234 500 11 12 33 15:1

Chamaguha 189 232 421 4 4 8 52:1 251 276 527 4 4 8 65:1

Mazinge 338 343 681 2 4 6 113:1 341 343 684 2 4 6 114:1

Mwasele 335 353 688 13 18 31 22:1 382 382 764 15 19 34 22:1

Kolandoto 220 270 490 4 4 8 61:1 224 289 513 4 4 8 64:1

Ndala 149 179 325 2 2 4 81:1 174 193 367 2 2 4 91:1

Halmashauri ya Wilaya ya ChunyaTakwimu kutoka shule 10: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 33: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyooMWAKA 2018 2019SHULE Wanafunzi Vyoo Uwiano Wanafunzi Vyoo UwianoJINSI Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me KeMtande 193 169 4 8 1:48 1:21 227 223 4 8 1:57 1:28Lupa 434 402 22 20 1:20 1:20 506 476 22 20 1:23 1:23Kipoka 20 20 7 10 1:3 1:2 0 0 0 0 0 0Isangawana 202 241 25 20 1:8 1:12 227 327 9 10 1:25 1:33Mtanila 118 100 15 23 1:8 1:4 162 148 15 23 1:11 1:6Itewe 128 202 3 5 1:43 1:40 168 237 7 10 1:24 1:24Chalangwa 278 175 10 10 1:28 1:18 297 464 10 10 1:30 1:46Chokaa 178 251 4 8 1:45 1:31 213 306 4 8 1:53 1:38Isenyela 115 209 6 7 1:19 1:30 138 251 6 7 1:23 1:36Makongolos 358 342 8 10 1:45 1:34 411 450 8 12 1:51 1:36

Page 35: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

27

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Manispaa ya NyamaganaTakwimu kutoka ngazi ya Manispaa: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 34: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

Wanafunzi 2018 2019 Jinsia Uwiano kwa tundu la choo Uwiano kwa tundu la choo

Me 56:1 65:1

Ke 47:1 56:1

Halmashauri ya Mji wa Kibaha

Takwimu kutoka ngazi ya Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 35: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

Mwaka 2018 2019Jinsi Me Ke Me KeWanafunzi 4272 4019 4892 4673Matundu ya vyoo 127 113 131 123Uwiano 1:25 1:20 1:25 1:20

Uwepo wa miundombinu ya vyoo isiyokidhi idadi ya wanafunzi waliopo inachangia sana wanafunzi kutokufanya vizuri katika masomo yao hasa kwa wanafunzi wa jinsi ya kike wanapokuwa katika siku zao za mwezi (hedhi). Tafiti zinaonyesha kuwa baadhi ya shule wanafunzi hulazimika kukatiza masomo yao kwa kuwa tu miundombinu ya vyoo kuwa chakavu au haitoshi.

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano umekusudia kufikia uwiano wa 20:1 kwa mwaka 2020/21 na 2025/26 kutoka kwenye uwiano wa 29:1 mwaka 2014/15. Halmashauri na shule nyingi ambazo TCDD imefanya ufuatiliaji uwiano wake bado upo zaidi ya 29:1 wa kitaifa ambao serikali inapambana kuupunguza, Juhudi za makusudi zinahitajika ili kuboresha miundombinu hii ili wanafunzi wawe katika mazingira bora ya kujifunzia.

Page 36: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

28

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

2.9. Uwiano wa Wanafunzi kwa idadi ya Walimu

Kwa mujibu wa taarifa zilizochapishwa na Benki ya Dunia kwa mwaka 2018 inaonyesha kuwa uwiano wa wanafunzi kwa walimu katika shule za secondari nchini Tanzania ni 1:20.86 kutoka uwiano wa 23.52 mwaka 2014. Awamu ya pili ya mpango wa Taifa wa maendeleo 2016/2017-2020/21 umekusudia kufikia uwiano wa 20:1 kutoka uwiano wa 24:1 mwaka 2014/15. TCDD ilifanya ufuatiliaji katika ngazi ya shule na Halmashauri ili kujionea hali ilivyo katika kufika malengo hayo.

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Jedwali Na 36: Uwiano wa idadi ya wanafunzi kwa matundu ya vyoo

Mwaka 2018 2019Jumla wanafunzi Vyoo Uwiano Wanafunzi Vyoo Uwiano Jinsi Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Mkalapa 184 232 4 4 1:52 215 296 4 4 1:64Chiugutwa 190 220 6 6 1:34 210 285 6 6 1:41Isdore Shirima 132 194 4 4 1:40 135 202 4 4 1:42Mbuyuni 124 165 6 6 24:1 105 142 6 6 1:27Nangoo 134 164 3 4 1:42 157 208 4 7 1:70mpindimbi 92 85 3 6 1:14 95 104 6 6 1:16nanganga 108 145 2 4 1:42 128 197 2 4 1;54lukuledi 205 219 4 4 1:53 221 244 4 4 1:58Nanjota 126 144 4 4 1:33 112 103 4 4 1:26

Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana

Takwimu ngazi ya Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 37: Uwiano wa Wanafunzi kwa Walimu

UWIANO WA WANAFUNZI KWA WALIMU

Mwaka Kundi husika Idadi Uwiano2018 Walimu 1101 24:1

Wanafunzi 263362019 Walimu 1200 27:1

Wanafunzi 32258

Page 37: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

29

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Manispaa ya shinyanga

Takwimu ngazi ya Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 38: Uwiano wa Wanafunzi kwa Walimu

Mwaka 2018 2019Walimu 403 411Wanafunzi 9134 10798Uwiano 1:23 1:27

Manispaa ya ubungo

Takwimu ngazi ya Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 39: Uwiano wa Wanafunzi kwa Walimu

2018 2019Walimu Wanafunzi Uwiano Walimu Wanafunzi Uwiano985 25842 26:1 1035 28091 27:1

Halmashauri ya wilaya ya Uvinza

Takwimu ngazi ya Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD 2020

Jedwali Na 40: Uwiano wa Wanafunzi kwa Walimu

2018 2019Walimu Wanafunzi Uwiano Walimu Wanafunzi Uwiano249 8610 35:1 235 9663 1:42

Manispaa ya Sumbawanga:

Jedwali Na 41: Uwiano wa Wanafunzi kwa Walimu: Takwimu kutoka ngazi ya Elimu Manispaa: Ufuatiliaji TCDD 2020

Halmashauri Walimu Wanafunzi Uwiano UwianoManispaa ya Sumbawanga 2018 2019 2018 2019 2018 2019

537 557 12,271 17,000 1:23 1:31

Page 38: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

30

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Halmashauri ya Wilaya ya Chunya

Jedwali Na 42: Uwiano wa Wanafunzi kwa Walimu

Takwimu ngazi ya Shule: Ufuatiliaji TCDD 2020

2018 2019

SHULE Kidato Wanafunzi Walimu Uwiano Wanafunzi Walimu Uwiano

Mtande Kidato 1 174 14 1:13 155 15 1:11

Kidato 2 93 14 1:7 152 15 1:10

Kidato 3 65 14 1:5 81 15 1:5

Kidato 4 30 14 1:2 62 15 1:4

Lupa Kidato 1 188 4 1:51 227 5 1:51

Kidato 2 145 3 1:51 183 4 151

Kidato 3 120 3 1:40 107 3 1:35

Kidato 4 57 2 1:28 109 3 1:35

Kipoka Kidato 1 40 4 1:10 0 0 0

Kidato 2 0 0 0 0 0 0

Kidato 3 0 0 0 0 0 0

Kidato 4 0 0 0 0 0 0

Mtanila Kidato 1 75 12 1:6 161 12 1:13

Kidato 2 57 12 1:5 63 12 1:5

Kidato 3 55 12 1:5 43 12 1:4

Kidato 4 31 12 1:3 43 12 1:4

Itewe Kidato 1 112 18 1:6 149 17 1:9

Kidato 2 82 18 1:5 97 17 1:6

Kidato 3 86 18 1:5 78 17 1:5

Kidato 4 50 18 1:3 81 17 1:5

Chalangwa Kidato 1 288 9 1:32 266 9 1:30

Kidato 2 166 8 1:21 251 9 1:29

Kidato 3 133 7 1:19 124 8 1:16

Kidato 4 73 8 1:9 120 8 1:15

Isenyela Kidato 1 113 6 1:20 134 6 1:22

Kidato 2 90 5 1:20 103 5 1:22

Kidato 3 83 4 1:20 74 3 1:22

Kidato 4 38 2 1:20 78 4 1:22

Makongolo Kidato 1 354 11 1:29 315 10 1:36

Kidato 2 181 6 1:30 281 8 1:35

Kidato 3 135 4 1:34 144 4 1:36

Kidato 4 121 4 1:30 120 4 130

Page 39: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

31

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Kid

ato

cha

1K

idat

o ch

a 2

Kid

ato

cha

3K

idat

o ch

a 4

Mw

aka

2018

2019

2018

2019

2018

2019

2018

2019

Jina

la s

hule

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Wanafunzi

Walimu

Uwiano

Mla

ndeg

e15

610

01:1

621

810

01:2

916

610

01:1

715

810

01:1

610

510

01:1

117

010

01:1

796

1001

:10

105

1001

:11

Kihe

sa28

144

01:0

722

942

01:0

626

344

01:0

628

442

01:0

718

644

01:0

422

942

01:0

617

544

01:0

417

442

01:0

4

Kwak

ilosa

204

1101

:19

157

1101

:14

195

1101

:18

200

1101

:18

134

1001

:13

150

1001

:15

9710

01:1

012

910

01:1

3

Miy

ombo

ni17

710

01:1

719

710

01:1

915

010

01:1

516

510

01:1

610

810

01:1

114

111

01:1

390

901

:10

9011

01:0

9

Mtw

ivila

207

1001

:21

174

1001

:17

184

1001

:18

202

1001

:20

191

1101

:17

171

1101

:15

8711

01:0

814

311

01:1

3

Ipog

olo

207

901

:23

202

901

:22

214

901

:24

214

901

:24

198

901

:22

198

901

:22

166

901

:20

180

901

:20

Kler

uu18

08

01:2

216

38

01:2

019

09

01:2

115

99

01:1

819

78

01:2

416

98

01:2

121

99

01:2

418

89

01:2

1

Mla

mke

175

901

:20

200

901

:23

186

901

:21

175

901

:20

164

901

:19

186

901

:21

153

901

:17

164

901

:19

Mkw

awa

194

1101

:17

151

1301

:12

125

1201

:10

181

1001

:18

7610

01:0

810

811

01:1

088

1001

:08

7710

01:0

8

Ndu

li12

29

01:1

414

29

01:1

610

69

01:1

211

79

01:1

398

901

:11

819

01:0

975

901

:08

739

01:0

8 Aw

amu

ya P

ili ya

Mpa

ngo

wa

Mae

ndel

eo w

a Ta

ifa u

mek

usud

ia k

uwa

kufik

ia m

wak

a 20

20/2

1 se

rikal

i iwe

imew

eza

kufik

ia u

wia

no w

a 20

:1 k

utok

a uw

iano

w

a 29

:1. T

akw

imu

zilizo

patik

ana

kuto

kana

na

ufua

tilia

ji wa

TCDD

kw

a ta

kwim

u za

mw

aka

2018

/201

9 ku

wa

uwia

no b

ado

hauj

afiki

wa

japo

zin

aony

esha

ku

wa

na u

elek

eo c

hany

a ka

tika

kufik

ia u

wia

no w

a 20

:1 ja

poku

wa

baad

hi y

a H

alm

asha

uri z

imeo

nyes

ha k

uwa

na u

wia

no m

kubw

a uk

ilinga

nish

a na

ny

ingi

ne m

fano

Hal

mas

haur

i ya

Uvi

nza,

cha

ngam

oto

kubw

a iliy

opo

ni k

upat

a uw

iano

wa

wan

afun

zi kw

a w

alim

u kw

a so

mo,

ufu

atilia

ji uki

bain

i kuw

epo

cha

chan

gam

oto

ya u

wep

o w

a w

alim

u w

a m

asom

o ya

say

ansi

.

Man

ispa

a ya

Irin

ga: J

edw

ali N

a 43

: U

wia

no w

a W

anaf

unzi

kw

a W

alim

u: T

akw

imu

kuto

ka n

gazi

ya

shul

e 10

: Ufu

atili

aji T

CD

D 2

020

Page 40: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

32

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

2.10. Shule zenye umeme

Katika awamu ya Pili ya Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2020/21 serikali ilijiwekea lengo la Shule za secondari ngazi ya chini kuwa na umeme kufikia asilimia 85% mwaka 2020/21 hadi kufikia asilimia 90% mwaka 2025/26 kutoka asilimia 77.3% mwaka 2014/15.

TCDD imelenga kufuatilia ufanisi wa mpango huu katika ngazi ya Halmashauri na katika shule 10 ambazo taasisi hii imefanya ufuatiliaji.

Halmashauri ya Kibaha

Maelezo kutoka ofisi ya Elimu Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD 2020

Kwa mujibu wa takwimu kutoka ofisi ya Elimu Wilaya, shule zote katika halmashauri ya Mji wa Kibaha zina umeme, japo kuna upungufu wa rasilimali fedha ambao utawezesha kusambazwa kwa umeme huo kwenye madarasa yote na ofisi zote katika shule hizo. Hali hii inapelekea baadhi ya maeneo ya kila shule husika kutofikiwa na umeme kila mahali.

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa

Ufuatiliaji TCDD 2020

Shule zote kumi zilizotembelewa zina umeme. Takwimu kutoka Elimu Manispaa zinaonyesha pia shule zote 32 ndani ya manispaa zina umeme.

Halmashauri ya Uvinza

Maelezo kutoka ofisi ya Elimu Halmashauri: Ufuatiliaji TCDD 2020

Halmashauri hii ina Shule za sekondari kumi na nane(18), lakini ni shule mbili (2) tu kati ya hizo ndizo zenye umeme

Halmashauri ya Masasi

Ufuatiliaji TCDD 2020

Shule zote kumi (10) zilizotembelewa zina umeme

Manispaa ya Sumbawanga

Ufuatiliaji TCDD 2020

Kati ya shule kumi (10) zilizotembelewa, Shule saba 7 zina umeme, mbili (2) hazina kabisa na moja(1) ilikuwa kwenye mchakato wa kuwekewa umeme (mchakato wa kuweka nguzo ulikuwa ukiendelea)

Page 41: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

33

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Manispaa ya Ubungo

Ufuatiliaji TCDD 2020

Shule zote zote kumi (10) zilizotembelewa katika zoezi hili zina umeme.

Halmashauri ya Chunya

Ufuatiliaji TCDD 2020

Shule nane (8) kati ya kumi (10) zilizotembelewa zina umeme.

Halmashauri ya Nyamagana

Ufuatialiji TCDD 2020

Shule zote kumi (10) zilizotembelewa zina umeme, na katika ngazi ya Halmashauri, Shule 29 kati ya 30 zina umeme.

Halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo

Kati ya shule 10 zilizotembelewa katika Halmashauri ni shule tatu (3) ndizo zilizokutwa na umeme

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga

Ufuatiliaji TCDD 2020

Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ina shule za serikali 26, kati ya hizo, shule 21 zina umeme na shule 4 hazina. Kati ya shule 10 zilizotembelewa, shule 5 zina umeme na shule 5 hazina umeme.

Page 42: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

34

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

HALI HALISI KATIKA PICHA

2.11. Hali ya Miundombinu kwenye baadhi ya Shule zilizotembelewa

Ufuatiliaji TCDD 2020

Picha Na 1: Miundombinu ya vyoo

Mwonekano wa vyoo vya wavulana katika shule ya Sekondari Kalangasa, Manispaa ya Sumbawanga

Picha Na 2: Ujazo wa wanafunzi katika madarasa

Ujazo wa wanafunzi katika chumba cha darasa shule ya Sekondari Katuma, Manispaa ya Sumbawanga

Page 43: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

35

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha Na 3, (Juu); Mwonekano wa vyoo wa wanafunzi-Mbizi Sekondari

Picha Na 4, (Juu), Vyoo vya shule ya sekondari Ipepa, Manispaa ya Sumbawanga

Page 44: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

36

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha Na 5: (Juu) Ujenzi wa Miundombinu ya shule ukiendelea baadhi ya shule za sekondari, Halmashauri ya Kibaha.

Picha Na 6 (Juu), Shule ya sekondari Mkalapa, : Halmashauri ya wilaya ya Masasi

Page 45: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

37

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha Na 7 (Juu), Ujenzi wa vyoo, Shule ya sekondari Nanganga, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

Picha Na 8 (Juu): Vyumba vya madarasa shule ya sekondari Kipoka Halmashauri ya Wilaya ya Chunya

Page 46: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

38

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Picha Na 9 (Juu kushoto): Vyoo, shule ya sekondari ITEWE, (Juu kulia) vyoo vya shule ya sekondari ISENYELA, Halmashauri ya Wilaya ya Chunya.

Picha Na 10 (chini): Jiko, Shule ya sekondari Katuma: Manispaa ya Sumbawanga

Page 47: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

39

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

2.12. USHIRIKI WA WADAU WA ELIMU (WAZAZI,KAMATI ZA SHULE,WALIMU NA WANAFUNZI)

MAONI JUMUISHI YA WADAU KUTOKA KATIKA SHULE 10 ZILIZOTEMBELEWA KWENYE HALMASHAURI ZOTE KUMI (10)

(Maoni yatokanayo na vikundi vya Majadiliano)

o Ufaulu umeongezeka kulinganisha na miaka ya nyuma

o Wazazi hawachangii hela ya chakula kwa wanafunzi na pia hawahudhurii vikao muhimu vya maendeleo ya kitaaluma

o Wazazi wanaona kuwa jukumu la kutoa elimu wanaliona ni kama la serikali pekee

o Kuna Changamoto ya usafiri kwa wanafunzi kufika shuleni

o Kuna upungufu wa viti na meza lakini pia kuna uhaba wa ofisi za walimu, wengine wanatumia madarasa

o Kuna uhaba mkubwa wa viwanja vya michezo katik Shule

o Mimba kwa wanafunzi wa kike bado ni nyingi

o Kukosekana chakula shuleni, kutokuwa na uzio, vifaa vya maabara na hakuna eneo la viwanja vya michezo

o Utoro wa wanafunzi, umbali wa shule.

o Ufaulu kwa watoto wa kike umeongezeka sana lakini bado idadi ya wanaopata mimba ni wengi

o Mazingira ya shule siyo rafiki kwa watoto wa kike na baadhi ya shule zimezungukwa na vichaka, njia ya jamii inapita katikati ya shule.

o Baadhi ya walimu hawafundishi vizuri, matokeo ya shule sio mazuri, upungufu wa walimu wa sayansi, maabara na maktaba.

o Vyumba vya madarasa havitoshi, shule hazina maji muda wote, vitabu havitoshi, maabara hazitoshi moja..

o Walimu kutumia lugha za matusi na kutofundisha vizuri, vyoo vya wasichana hakuna maji.

o Ukosefu wa chumba cha wasichana kujisitiri, hakuna chakula kwa madarasa ambayo sio ya mitihani, vyoo havina maji

o Kutokumaliza masomo yao kutokana na kutelekezwa na wazazi wao, mimba na kukosa mahitaji muhimu kwa wanafunzi

o Baadhi ya shule kutokuwa ma hosteli kunasababisha wanafuzi kupewa majukumu mengi warudipo nyumbani na kukosa muda wa kujisomea

Page 48: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

40

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

2.13. NINI KIFANYIKE

o Wazazi wawe na ushirikiano na walimu ili ufaulu uongezeke.

o Walimu waendeleee kufanya juhudi ili ufaulu uongezeke zaidi.

o Wazazi watoe hela ya chakula ili watoto wasome hadi jioni na wazazi wahudhurie vikao na mikutano.

o Ushirikiano uwepo kati ya walimu na wanafunzi ili ufaulu uongezeke na pia vitendea kazi vya masomo kama maabara viongezeke.

o Shule zijengwe uzio na maabara na vifaa vyake na pia viwanja vya michezo

o viboko virudishwe na elimu ya kujitegemea irudishwe ili kuondoa changamoto ya elimu bure

o Walimu na wazazi washirikiane ili kuwalinda watoto wao na pia barabara ziboreshwe

o Iwepo mikutano kati ya wazazi, walimu na bodi yashule ili kutatua changamoto.

o Vifaa vya maabara vinunuliwe na, elimu ya kujitegemea itekelezwe kwa vitendo

o Kuwepo kwa usafiri ili wanafunzi wanaotoka mbali wawahi kufika shuleni na waache utoro lakini pia wazazi waelimishwe kuhusu kujenga shule za jirani.

o Wazazi wahamasishwe kushiriki kikamilifu kufuatilia muenendo wa watoto wao kimasomo

o Mabweni yajengwe kutokana na kuwa shule kuwa mbali.

o Walimu wa hesabu na masomo ya sayansi waongezwe na maabara ziongezwe.

o Sheria kali ziongezwe kudhibiti nidhamu na ukaribu kati ya wanafunzi na wazazi na walimu ili kudhibiti mapenzi shuleni

o Vyoo vya wasichana viwekwe milango, kuwe na vyumba vya dharura, maji, wapewe vifaa vya kujisitiri na elimu itolewe mara kwa mara kuhusu namna ya kujilinda

o Mabweni kwa watoto wa kike yajengwe ili iwe rahisi kwa wanaotoka mbali na pia kuwepo kwa insinilator ya kuchomea pedi

o Kuwepo kwa sheria kali kwa wazazi wasiotaka kuwapeleka watoto shule.

Page 49: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

41

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

MATUKIO KATIKA PICHA

BAADHI YA WADAU WALIOSHIRIKI KATIKA VIKUNDI MBALIMBALI VYA MAJADILIANO

Page 50: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

42

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

REJEA

1. Taarifa za ufuatiliaji kutoka Halmashauri Kumi (10) zilizotembelewa Mwaka 2020: Ufuatiliaji TCDD 2020

2. Mpango wa Pili wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/2017 – 2020/2021: Wizara ya Fedha

3. Taarifa ya utekelezaji ya Sekta ya Elimu 2018/2019: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

4. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia: Matokeo ya mitihani ya kidato cha nne (NECTA) 2015-2018

Page 51: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

43

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Page 52: HALI YA ELIMU YA SEKONDARI NA CHANGAMOTO ZAKE NCHINI

44

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

TANZANIA COALITION ON DEBT AND DEVELOPMENT (TCDD)

Shaurimoyo Road, Ilala Area, Mariam Tower, 7th FloorP.O. Box 80147, Dar es Salaam, Tanzania.

Tel: +255 22 2866866 Mobile: +255 739 502661E-mail: [email protected] or [email protected]

Website: www.tcdd.or.tz