imaan newspaper issue 10

20
ISSN 5618 - N0. 010 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 25 SHAABA N 1436, IJUMAA, JUNI 12 - 18, 2015 www.islamicftz.org huwatoa watu gizani TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN 1436 Head off ice, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P . O Box 779 Dar es Salaam, Tanzania Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: info@Bi nslum.com MTIHANI MGUMU: NANI ATAFAULU? RAMADHAN 1436 HABARI UK2 MTIHANI MGUMU: NANI ATAFAULU? TIF KUTUMIA TSH. MIL 200 KUFUTURISHA-Uk 2

Upload: imaan-newspaper

Post on 06-Jan-2016

2.220 views

Category:

Documents


10 download

DESCRIPTION

Imaan Newspaper issue 10

TRANSCRIPT

Page 1: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 1/19

ISSN 5618 - N0. 010 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 25 SHAABAN 1436, IJUMAA, JUNI 12 - 18, 2015 www.islamicftz.o

huwatoa watu gizani

TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN 1436

Head off ice, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P. O Box 779 Dar es Salaam, TanzaniaTell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]

MTIHANI MGUMU:NANI ATAFAULU?

RAMADHAN 1436

HABARI UK2

MTIHANI MGUMU:NANI ATAFAULU?

TIF KUTUMIA TSH. MIL 200 KUFUTURISHA-Uk 2

Page 2: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 2/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

2TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN HABARI / TANGAZO

The Islamic Foundationkutumia Tsh. Mil 200

kufuturisha magereza 13NA MWANDISHI WETU

Taasisi ya The Islamic Founda- tion (TIF) yenye makao yakemakuu mkoani Morogoro ina- tarajia kutumia zaidi ya Tsh.

Milioni 216,000,000 kwa ajili ya kufu- turisha makundi mbalimbali ya Kiislam, wakiwemo wafungwa.

 Akizungumza na gazeti la Imaan,Katibu Mkuu wa taasisi hiyo, Sheikh Ally Ajirani amesema, fedha hizo zitatu-mika kusambaza futari nchi nzima.

 Aidha, Sheikh Ajirani a libainisha

kuwa, makundi yatakayonufaika nipamoja na misikiti zaidi ya 250, shule zasekondari na vyuo zaidi ya 50, pamojana wafungwa katika magereza 13 nchini.

Mbali na zoezi la kufuturisha, piaSheikh Ajirani alizitaja shughuli ny-ingine zitakazofanywa na taasisi ya TIFkatika mwezi mtukufu wa Ramadhankuwa ni mafunzo ya darasa za Ramad-han yatakayotolewa na masheikhmbalimbali kutoka chuo cha MaahadilImaan kilichopo wilaya ya Kilosa mkoa-ni Morogoro.

 Alisema, masheikh zaidi ya 100 kuto-ka chuo hicho kilicho chini ya The Islam-ic Foundation wanatarajiwa kutoa darsakatika baadhi ya misikiti hiyo.

 Aidha Sheikh Ajirani alisema, taasisihiyo pia itashughulika na upokeaji wa

zaka kutoka kwa wahisani mbalimbali

na kugawa kwa watu waliokusudiwkwa mujibu wa sharia ya Kiislam.

Sheikh Ajirani aliongeza kusemkuwa, licha ya kugawa futari katimisikiti yake hapa nchini, Taasisi ya Tpia inajishughulisha na ugawaji w tende katika misikiti mbalimbali ya tasisi na isiyokuwa ya taasisi ndani ymwezi huo wa Ramadhan.

Kwa mujibu wa Sheikh Ajirani, mwka huu taasisi ya TIF inatarajia kugaw tani 200 za tende zenye thamani ya TsMilioni 700.

 Aliongeza kusema kuwa, taasisi pinashughulika na kuwalipia baadhi

 wafungwa ambao walihukumiwa kfungwa magerezani kutokana nkushindwa kulipa faini.

Katika hatua nyingine, Sheikh Ajiraalisema, Waislam na wasiokuwa Wa lam wajiandae kunufaika na vipindi vmafundisho sahihi ya dini ya Kiisla yenye kuhusiana na mwezi mtukufu wRamadhan kupitia radio na TV imapamoja na gazeti la Imaan.

Sheikh Ajirani amewataka Waislakufuatilia vipindi vya Ramadhan kupitradio na Tv zao ili kupata mafundishayo sahihi ya Kiislam.

 Akizungumzia shughuli ambazo zifanywa na taasisi hiyo mwezi wa Ramadhan kwa mwaka jana, Sheikh Ajiraalisema, taasisi ilifanikiwa kuwalipfaini wafungwa wapatao 25 na kuachiw

huru.

NYAKATI ZASWALANa. MJI ALFAJR DHUHUR ASR MAGHARIB ISHA

1 DAR ES SALAAM 11:16 6:22 9:44 12:15 1:25

2 ZANZIBAR 11:15 6:22 9:45 12:16 1:26

3 TANGA 11:17 6:26 9:49 12:22 1:32

4 MOROGORO 11:27 6:40 9:52 12:22 1:32

5 MTWARA 11:23 6:23 9:42 12:09 1:20

6 ARUSHA 11:22 6:35 10:00 12:34 1:44

7 DODOMA 11:27 6:35 9:58 12:29 1:39

8 MBEYA 11:43 6:47 10:08 12:37 1:47

9 KIGOMA 11:50 6:59 10:22 12:55 2:05

10 MWANZA 11:34 6:48 10:12 12:47 1:57

11 KAGERA 11:46 6:57 10:20 12:53 2:03

12 TABORA 11:39 6:48 10:11 12:43 1:53

13 SHINYANGA 11:36 6:47 10:11 12:45 1:55

14 SINGIDA 11:33 6:41 10:04 12:36 1:46

15 IRINGA 11:36 6:39 9:59 12:28 1:38

08 JUNI - 14 JUNI, 2015

“Afya”is naturalsource of sweetdrinking waterfrom under-

ground streamwhich is blended

with essentialminerals to sup-

port and aid per-fect metabolism.

WATERCOM LIMITED

P.o. Box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 areaTemeke,Daresalaam, Tanzania

www.watercomtz.com, E-mail:[email protected]

Katibu Mkuu The Islamic Foundation (TIF), Sheikh Ally Ajirani

Page 3: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 3/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

NA MWANDISHI WETU

Balozi wa Marekani nch-ini Indonesia, nchi

 yenye Waislam wengizaidi duniani, Robert O.

Blake, amerudisha nyuma shere-he za uhuru wa Marekani kwa

mwezi mmoja nyuma kutoka Ju-lai 4 hadi Juni 4.Sababu aliyoitoa, ni kuhesh-

imu mwezi wa Ramadhan. Iwapozingefanyika Julai 4, sherehe hizozinazoambatana na muziki namambo mengine yaliyo kinyumena Uislam, zingefanyika ndani yamwezi huo mtukufu.

Hapa nchini, zimebaki sikunne au tano mwezi wa Ramadhanuingie na tayari Watanzania wak-iwemo Waislam wako katika hek-aheka za kampeni za uchaguzi.

“Swaumu ya mwezi wa Ram-adhan mwaka huu ni mtihanimgumu kwa Waislam haswa wale

 wanaojihusisha na siasa za ucha-guzi, hususan wagombea au wa-pambe wao”, mmoja wa wanasiasa

 wanaopigania nafasi ya udiwani jijini Dar es salaam, Karama Jumaalisema.

Mwezi wa Ramadhan ni mwezimtukufu wa Waislam ambao nda-ni yake Mtume Muhammad (Re-hma na amani ziwe juu yake) ali-pewa utume pamoja na kuterem-shiwa Qur’an.

Kwa mujibu wa Uislam,Mtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake) ametumwakuwa Rehma kwa walimwengu

 wote na Qur’an imekusudiwa iwemwongozo kwa watu wote.

“Mwezi wa Ramadhan ambaoimeteremshwa ndani yake Qur’an

mwongozo kwa watu wote na ki-pambanuzi katika miongozo…”(2:185).

Nini utukufu wa Ramadhan?Utukufu ni tofauti na utakatifu.Ingawa mwezi wa Ramadhan nimwezi mtukufu, lakini si mwezimtakatifu. Miezi mitakatifu niMuharram, Rajab, Dhul Qaadah

na Dul Hijja. Utakatifu wao nikwa kuwa Allah ameitaja miezi hiikuwa ni miezi mitakatifu (Qur’an9:36)

Ramadhan ni mwezi mtakatifu yaani wenye hadhi kubwa sanakwa sababu mbali na Mtume ku-pewa utume ndani ya mwezi huuna kuteremshwa Qur’an, ndani yamwezi wa Ramadhan kuna usikummoja ambao Allah nasema“Usiku wenye cheo ni bora kulikomiezi elfu moja” (97:3)

Mtume Muhamamd (Rehma

na amani ziwe juu yake) anatu-dokeza moja ya sababu za mwezi

 wa Ra ma dh an kuwa mw ez imtukufu ni kwamba Allah ameii-

 ta ibada ya swaumu ifanyikayo

ndani yake kuwa ni ‘ibada yake’.Imepokewa kutoka kwa AbuHuraira (Radhi za Allah ziwe juu

 yake), kuwa Mtume wa Allah al-isema: “Allah Mwenye nguvuanasema ‘kila tendo la mwanada-mu ni la kwake isipokuwa swau-mu, kwa hakika hiyo ni yangu namimi ndiye nitakayeilipa’”.

Swaumu ni ngao, kwa hiyoinapokuwa mmoja wenu katikasiku ya swaumu ajiepushe namaneno machafu na ugomvi; naikiwa mtu atamtukana na asemehakika mimi nimefunga.

“Naapa kwa yule ambaye nafsi ya Muhamamd iko katika miliki yake, harufu ya kinywa cha aliye-

funga inapendeza mbele ya Allahkuliko manukato ya miski.Mwenye kufunga ana furaha mbi-

 li, furaha pindi anapofungua nafuraha pindi atakapokutana namola wake atafurahi kwa (malipo)

 ya swaum u yake” (Bukharin aMuslim).

Ndiyo maana imeelezwa kumwezi wa Ramadhan kuangukipindi hiki cha uchaguzi, a

 bacho wanasiasa na wapam wao huzuliana, kufitiniana, hu

rumishana makombora na hkufikia kugombana ni mtihmgumu sana.

Kwa kuwa swaumu ni ya Al basi mwezi wa Ram adhanmwezi wa Allah. Huu ndio utufu wa mwezi wa Ramadhan.kama vile Allah anasema m

 yote ya mwaka ni miezi yenu w wangu, lakini mwezi wa Ramhan ni mwezi wangu.

Na hii ni kwa sababu ibada ingine zote ni ibada ambazo w

 wanaweza kusema huyu anaswanatoa sadaka, anasoma Quranatoa zaka au anahiji na kad

 lika. Lakini hakuna atakayesekwa hakika nani amefunga.

Kwanza kwa sababu swau

si kuacha kula na kunywa pe bali ni kufunga dhidi ya yale yaliyoyakataza Allah na Mtu

 wake na pili ni kwa sababu uhaka wa mtu kujizuilia na huko kna kunywa aujuaye ni mwenkufunga na Mola wake tu.

Kwa hiyo, Waislam, kama  lozi wa Marekani anaamua krudisha nyuma siku ya sikuk

 yao ya taifa kwa heshima ya mw wa Ramadhani, naye si Muislsisi tunatakiwa tuuheshimu mwzi huu kiasi gani?

Chonde chonde tusiuvunheshima mwezi huu mtukufu kkutanguliza mbele mambo yadunia, tukaangukia miongmwa wale ambao dunia yao im

 washughulisha hadi wakaisahdini.

Tujiandae kuukaribisha mw wa Ramadhan kwa kukithiriuchamungu katika siku hchache zilizobaki na katu tusif

 ye ajizi tukapata hasara kamaivyosema Mtume Muhamm(Rehma na amani ziwe juu yak

“….Amepata hasara atakaydiriki mwezi wa Ramadhanasisamehewe…” (Tirmidhy).

HABARI

 “SWAUMU YA

MWEZI WA

RAMADHAN

MWAKA HUU NI

MTIHANI MGUMU

KWA WAISLAM

HASWA WALE

WANAOJIHUSISHA

NA SIASA ZA

UCHAGUZI,

HUSUSAN

WAGOMBEA AU

WAPAMBE WAO

MTIHANI MGUMU: NANI ATAFAULU?

NA SELEMANI MAGALI

Wakati Waislam waki- jiandaa kuukaribishamwezi mtukufu waR a m a d h a n , w a -

nafunzi wa Kiislam wanaosomakatika shule za bweni wanakabili-wa na changamoto kubwa ya ku-kosa futari kufuatia shule hizokushindwa kuwa na utaratibu wakufuturisha.

Hayo yamebainishwa na Raiswa Jumuiya ya Wanafunzi na Vija-na wa Kiislam Tanzania (TAM-SYA), Mohammedi Wage, wakati

akizungumza na gazeti

 la Imaan juu ya mata- yarisho ya mapokezi ya

mwezi wa Ramadhan kwa wa-nafunzi na vijana kwa ujumla.

Mohammed Wage alisema,changamoto kubwa ambayo wa-nayo ni maombi mengi ya wa-nafunzi kutoka shule mbalimbalina vyuo kutaka kupatiwa msaada wa futari wakati wa mwezi wa Ra-madhan.

 Alisema changamoto hiyo badohawajaweza kuipatia majibu yake.

 Wage aliongeza kusema kuwa, tatizo hilo lipo katika shule zotekuanzia zile za serikali na za watu binafsi, ambapo wanafunzi wa Ki-islam bado hawajui hatma yao, wakat i wanae lek ea kuu pok ea

mwezi mtukufu wa Ramadhan. Wage ametaja changamoto ny-

ingine ambayo wanakabiliananayo kama chama kuwa ni ucha-che wa vitabu vya dini, ikiwemoQur’an. Alisema, shule nyingizimekuwa zikiomba kupatiwa vi- tabu hivyo bila mafanikio.

 Aliongeza kuwa ni muhimu wa-nafunzi wa Kiislam kuvipata vita- bu hivyo na kuvisoma katika mwe-zi huu ambao Qur’an inapaswakusomwa zaidi.

 Ametaja tatizo lingine linalow-asumbua wanafunzi walio katikashule za bweni kuwa ni uchache wa masheikh wa kwenda kutoamafundisho ndani ya mwezi waRamadhan, na kushauri kuwa,

 wafadhili wajitokeze ili masheikh waweze kupata fursa ya kwenda

katika mashule na kutoa ma-fundisho.

Rais huyo alisema, waliwezakupeleka kilio chao katika taasisimbalimbali na kupata misaada, la-kini kutokana na wingi wa mashulemahitaji bado ni makubwa.

 Wage ametoa wito kwa Wais- la m weny e uwez o ku an ga li achangamoto hizo na kuona jinsigani wanaweza kusaidia.

 Akizungumzia harakati za cha-ma chake kuelekea mwezi mtuku-fu wa Ramadhan, Rais huyo alise-ma, wameandaa kongamano lakuukaribisha mwezi mtukufu waRamadhan litakalowakutanisha

 wanafunzi zaid i ya 500 kutokashule na vyuo mbalimbali hapa

nchini. Wage alisema, kongamano

 litafanyika katika shule ya sekoari Lamoon iliyopo Ilala karibuMachinga Complex, June14, 20

 Alisema, katika kongamahilo, Sheikh Ibrahim Ghulkutoka taasisi ya Hayyatul Ulamatawasilisha mada kuu ya ‘Fal ya mwezi wa Ramadhan’.

Mohammed Wage alitaja sghuli zingine ambazo zinatarajkufanyika ndani ya mwezi wa madhan na wanafunzi hao vyuo vikuu kuwa ni pamoja nasoma Qur’an, kusimama usikukuhudhuria tarawehe, shugh

ambazo zitaratibiwa na jumu yake.

TAMSYA: Wafadhili saidieni wanafunzi wa bweni kipindi cha Ramadh

 JABAL NUUR Makkah, ndipo Qur’an ilipoanza kuteremshwa ndani ya mwezi wa Ramadhan.

Page 4: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 4/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

4TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

WANAWAKE TEGETA KULISHA FUTARI, DAKUHOSPITALI YA MBWENI MWEZI MZIMA

NA HAFSWA MADIWA

Umoja wa Wanawake waKiislam Tanzania umean-daa mpango wa kutoa fu-tari kwa ajili ya mwezi

mtukufu wa Ramadhan kwa famil-ia za wahitaji kutoka katika kijijicha Mkamba (Kimanzichana) naMuhaga (Kisarawe).

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Umoja huo,

Ukhti Sophia Abdurrahman, lengo la mpangohuo utakaonufaisha familia zaidi ya 500 nikutafuta radhi za Allah, aliyesema katikaQur’an: ‘’Wale watoao mali zao usiku na mcha-na kwa siri na kwa dhahiri,wana ujira wao kwaMola wao, wala haitakuwa khofu juu yao walahawatahuzunika’’(2:274).

 Aidha, Mwenyekiti huyo pia alimnukuuMtume Muhammad (Rehma na amani ziwejuu yake) aliyesema: “Wahurumieni waliokokatika ardhi atakuhurumieni aliyoko mbingu-ni”.

Ukhti Sophia alisema, wazo hili la kufuturi-sha vijiji viwili lilikuja baada ya kuona baadhiya Waislam hujitolea kufuturisha majumbanikwao siku moja kwa gharama kubwa wakatikiasi hicho kingeweza kutumika kufuturishafamilia nyingi zisizo na uwezo kwa muda mre-fu.

Ukhti Sophia alisema, walichagua vijiji vyaMuhaga na Mkamba kwa sababu vijiji hivyovina wanakijiji wengi Waislam ambao hawanauwezo wa kupata fedha ya kununua futari kwaajili ya swaumu ya mwezi wa Ramadhan.

Halikadhalika futari hiyo pia ni njia ya kuk-ishukuru kijiji cha Muhaga kilichojitolea kuuz-ia Umoja huo eneo kubwa ili kujenga shule yabweni kwa ajili ya watoto yatima.

Ujenzi wa shule hiyo ni sehemu ya utekele-zaji wa mpango wa umoja huo wa kupunguzaau kutokomeza kabisa tabia ya kuweka watotokatika vituo vya kulelea watoto yatima, nabadala yake watoto hao warudi kwenye miko-no ya wazazi na wapatiwe shule na malezi borahadi wafikie balehe.

Ukhti Sophia alisema, fedha za futari zina-tarajiwa kupatikana kutoka kwa wanachama,wafadhili na wadau mbalimbali.

Umoja huo pia umepanga kutoa seminamaeneo mbalimbali katika mwezi wa Ramad-

han, ikiwa ni sehemu ya kazi zao za kila sikuhakikisha kwamba inawainua wanawake limu na kiuchumi kwa kutoa vitabu mba bali elimu ya watu wazima,kufundisha ujamali pamoja na kutoa mikopo na kuwawsha wanawake kufanya biashara mbalimba

 Wakati huohuo, akizungumza katika kgamano liliofanyika hivi karibuni kwenye umbi wa DIT, jijini Dar es salaam, Mwenye wa taasisi ya TAQWA, Dk. Salha Mohammamesema kuwa, taasisi yake imepanga ku turisha kaya 800 katika mwezi mtukufuRamadhan katika mikoa ya Pemba, Dar e laam, Kisarawe, Mkuranga, Bagamoyo na rogoro.

Dr.Salha alisema, taasisi yake imekuikitekeleza mpango huo tangu 2012,kwamba kila mwaka wamekuwa wakiongmaeneo mapya. Mwaka huu wameong wilaya ya Mkuranga na kila familia moja ya hizo 800 itapata futari ya thamani ya 50,000.

Kwa mujibu wa Dr. Salha, walipoampango huo mwaka 2012 walilenga kusa yatima waliotokana na vifo vya wazazi wao tika ajali za boti zilizoua watu zaidi ya 60. Ama mwaka huo waliamua kuchangisha wna kupata wadhamini waliowezesha kufutsha kaya 250 Pemba peke yake.

Mwaka 2013, taasisi hiyo ilipata wadhamzaidi waliowawezesha kufuturisha kaya na pia kuongeza kuongeza wilaya nyingzikiwemo Kisarawe,Bagamoyo, Dar es Salna Morogoro na kufuturisha kaya 600, wa

mwaka jana walifanikiwa kufuturisha fam749.

Kaya 500 Kimanzichana,Kisarawe kusaidiwa futari

UKHTI SOPHIA ALISEMA, WAZO HILI LA

KUFUTURISHA VIJIJI VIWILI LILIKUJA BAADA

 YA KUONA BAADHI YA WAISLAM HUJITOLEA

KUFUTURISHA MAJUMBANI KWAO SIKU MOJA

KWA GHARAMA KUBWA WAKATI KIASI HICHO

KINGEWEZA KUTUMIKA KUFUTURISHA FAMILIA

NYINGI ZISIZO NA UWEZO KWA MUDA MREFU.

HAFSWA MADIWA

U

moja wa wanawake wa Kiislam wa Teg-eta unaoundwa na wakina mama kuto-ka misikiti mitano ya eneo hilo wameji-panga kupeleka futari na daku mwezi

mzima wa Ramadhan katika hospitali ya Mbweni, jijini Dar es Salaam. Habari hiyo nzuri imekuja wiki tu kuanza kwa swaumu ya Ramadhan, ambayo ninguzo ya nne ya Uislam.Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Ukt Nasra Mbaru al-

isema, umoja wao unajishughulisha na kutembelea na

kuombea dua wagojwa na kuhamasishana kusoma,

lakini mwezi wa Ramadhan wameamua kufuturisha

mwezi mzima wagonjwa na watumishi wa hospitali

hiyo ili kutafuta radhi za Allah.

Akielezea namna watakavyofuturisha na kulisha daku,

Ukhti Nasra aliongeza kuwa wanatarajia kutafuta mpi-

shi wamlipe awe anapika daku ili iwe rahisi kwa wag-

onjwa na wauguzi wenye uwezo na wasio na uwezo

wa kufunga kujumuika na ndugu zao Waislam kupata

fadhila za mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Ukhti Nasra pia alisema, wamekuwa wakihamasisha

muumini mmoja mmoja aangalie watu wasioweza

kununua futari ili awasaidie fedha au chakula.

Ni kutoka kwa wanawake wa Kiislam Dar es Salaam

HABARI

Page 5: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 5/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015TOLEO MAALUMU LA RAMADHANMAKALA/ TANGAZO

MASUALA MBALIMBALIYANAYOAMBATANA NA SWAUMU

NA SHEIKH TAWAKKAL JUMA

Mpenzi msomaji wagazeti la Imaan tuki- wa tun amn go jamgeni mtukufu,

Mwezi wa Ramadhan, mgeni am- baye kuingia kwake kumekaribiaukaribu wa mfano wa pinde mbiliau chini yake, nakukaribisha kati-ka makala haya yanayozungumziamas’ala mbalimbali yanayohusi-ana na mgeni huyu mtukufuanayekuja mara moja kila baada ya siku mia tatu na ushee.

Makala haya yatakuwa katikamfumo wa nukta muhimu am- bazo zi tamrahisishia msomajikupata hukumu mbalimbali;

 Awali inatupasa kufahamukuwa Swaumu inapasa kwa moja ya mambo mawili. Moja ni kwakuona mwandamo wa Ramad-han au kukamilisha siku thelathi-ni za mwezi wa Shaaban.

Kuingia mwezi wa Ramadhanhuthibiti kwa mtu mmoja kuuonamwandamo kama ilivyokuja kati-ka hadith ya Ibn ‘Umar iliyoripoti- wa na Abuu Dawud. Ibn ‘Umaranasema: Watu walikuwa waki- tafuta kuandama kwa mwezi.Nikamjulisha Mtume kuwa miminimeuona mwezi. Mtume akafun-ga na akaamrisha watu wafunge.”

Inashurutishwa ili ikubalikehabari ya aliyeuona mwezi lazimamtu huyo awe mwadilifu aliye baleghe na mukallafu anayelaz-

imika na Hukumu za Sharia yaKiislam.Kutafuta mwezi wa Ramad-

han siku zinapowadia ni miongo-ni mwa alama za Allah. Hivyo Waislam wanatakikana kulifanyiakazi jambo hili na kutokulipuuza.Ni ajabu sana katika miaka hii to-fauti na miaka ya zamani, wengi tunasubiri kuambiwa tu kuwamwezi umeandama pasina hatakuthubutu kutupia tu jicho kuan-galia walau kwa bahati mbayakama mwezi umeandama au la.

 An ay el az im ik a ku fu ng akisharia ni Muislam aliyebalegheanayekalifiwa na sharia namwenye uwezo wa kufunga.

Kutokuweza kufunga kisharia

hakuwezi kuwa nje ya hali mbili;Moja ni kutokuweza kutokana nasababu ya muda ambayo inatara- jiwa kuondoka.

Katika hali hii mtu anatakika-na kufungua na kuja kulipa Swau-mu katika masiku yajayo. Hali yapili ni ile ambayo mtu hawezi ku-funga daima kutokana na sababuambayo haitarajiwi kuondoka.

Huyu anatakiwa asifunge bali alena kulisha masikini.

Namna ya kuwalisha maskiniinaweza kuwa moja kati ya namna

mbili. Aidha anaweza ampe masi-kini mmoja kila siku ya Swaumu yake chakula kiliwacho pahalahapo na cha kumtosha kwa mlo wa siku moja (makadirio yake nikilo moja na robo hivi takribani).

 Anaweza kumpa vibaba vyoteanavyodaiwa au atakavyodaiwakwa mara moja au anaweza kupi-gia hesabu idadi ya siku na idadi yamasikini anaoweza kuwalishakwa mujibu wa siku hizo alafuakawalisha kwa mara moja.

 Anaweza kufanya hivi mwanzo wa Ramadhan au mwisho auakawa anatoa vya siku kadhaamara moja. Kwa ujumla mlangohuu ni mpana na kila mwenyekulazimika kutoa kibaba anaweza

kutathimini namna bora kwake ya kulifanyia kazi hili.Katika kauli iliyo sahihi zaidi

kwa wanazuoni wengi ni kuwamwanamke mjamzito na mwan-amke anayenyonyesha wanapoji-hofia wao au wanapowahofia wa- toto wao wanatakiwa wafunguena watakuja kulipa masiku yajayo wala hawatalazimika kulipa fidia

 ya kibaba. Atakayezimia au akapatwa na

uendawazimu katika sehemukubwa ya mchana hali ya kuwa

usiku alinuia kufunga ikiwaatazindukana walau sehemu ndo-go kabla mchana kwisha Swaumu yake inazingatiwa kisharia kuwani sahihi lakini kama itatokeahivyo mchana wote hapo saumu yake itakuwa sio sahihi kisharia.

Tofauti na hukumu iliyotan-gulia hapo juu mtu aliyelala mcha-na wote Swaumu yake itakuwasahihi. Pamoja na hivyo hii siosababu wala hoja inayokubalikakisharia mtu kupitwa na swalakwa sababu ya kujilaza na kupiti- wa na usingizi kwa kuwa eti ame-funga; hasa hasa siku ambazokuna viamshaji vingi kama saazenye kengele za kuzindua wakatialarms na adhana zinasomwa kwa

sauti kwenye vipaza sauti ambazoaghlabu watu wote hushtuka zi-naposomwa hata kama wako ka- tika usingizi mzito.

Ikiwa mtu hajafahamu kuingiakwa mfungo wa Ramadhan hadimchana ndipo mathalani akapatahabari na mfano wa huyu ni kamamtoto aliyebalekhe mchana waRamadhan au mtu aliyesilimu

mchana wa Ramadhan; watuhawa wote itasihi nia yao mchanana watakachofanya ni kujizuia se-hemu ya mchana iliyobaki wala

hawatakuja kulazimika kulipasiku hiyo na siku za nyuma yake.Inatosha nia moja ya Ramad-

han katika mwanzo wa Ramad-han kwa siku zote za Ramadhan,isipokuwa pale itakapotokea aka-pata udhuru wa kufungua Swau-mu atapoanza tena kufunga at-anuia tena. Na nia mahala pake nimoyoni wala haitamkwi. Tuachekupoteza muda kusubiri baada yaIshaa anayeitwa mnuizi ili tunu-izwe.

Hao ni masheikh ambao elimuinayohusiana na nia iliwapitiakushoto au wana maslahi wanay-opata kwa kuwadanganya watu juu ya kusihi kunuizwa. Nia mtuajinuize mwenyewe, sheikh nae

ajinuize mwenyewe. Si jambo jema kuwadanganya watu katikadini.

Katika Uislam hakuna kunui-zana. Inatosha tu kuwa ni nia sa-hihi mtu anaposimama kwa ajili ya kula daku. Hivyo nia ya Swau-mu ya faradhi inaweza kuwamwanzo wa usiku au katikati yausiku au mwisho wa usiku.

Head office, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P. O Box 779 Dar es Salaam, Tanzania

Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]

Page 6: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 6/19

HUTOLEWA NA KUCHAPISHWA

The Islamic Foundation, P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania, E-mail: [email protected]

MHARIRI MTENDAJI: 0715 559 944, MHARIRI: 0786 779 669, AFISA MASOKO: 0785 500 502

TOVUTI: www.islamicftz.org

21 Shaaban 1436,  JUMATATU Juni 8 - 14, 2015

TAHARIRI / UCHAMBUZI6

Siku chache zijazo Waislam

 wataingia katika mfungo

 wa mwezi mtukufu wa Ra-madhan, mwezi ambaounatoa taswira ya lengo la kuumbwakwa mwanadamu, ambalo ni kum-cha Mwenyezi Mungu.

 Allah Ta’ala anabainisha hilo kati-ka Surat Baqara pale anaposema:“Enyi mlio amini! Mmewajibishwaswaumu, kama walivyowajibishwa

 walio kuwa kabla yenu ili mpatekumcha Allah” (2:183).

Kwa mujibu wa aya hii, ni wazikuwa lengo la kuumbwa mwanada-mu linapatikana kwa kuitekelezanguzo hii, kwani pamoja na mambomengine swaumu ndio ibada pekeeinayofungamanisha moja kwa moja

 baina ya Mwenyezi Mungu na mja

 wake kwa namna ya kipekee.Kwa maana hiyo basi, Muislam

anapotekeleza ibada ya swaumu kwaukamilifu wake na kwa ‘Ikhlaswi’,hupata malipo makubwa mbele ya

 Allah na kuwa mja mwema wa Allahhapa duniani.

Tukiwa Waislam hatuna budi ku-upokea mwezi wa Ramadhan kwakutanguliza yaliyo mema miongonimwa ibada ili kusafisha njia kwa ajili

 ya kumpokea mgeni huyu mtukufu.Kwa kawaida, mgeni yoyote hu-

penda kukirimiwa na mwenyeji wake. Vivyo hivyo kutokana nautukufu wa mgeni huyu, hapana

 budi wenyeji wake ambao ni Wais- la m ku muo ne sh a ma pen zimakubwa.

Ibada ya swaumu kama ili-

 vyob aini shwa ndani ya kita bukitukufu cha Qur’an, ni ibada kong-

 we na asili yake ni umma zilizopita.Hivyo basi, Waislam wanapaswakuichangamkia .

Ingawa ibada kwa waja huwa ni jambo zito kwa sababu ya kazi yasheitani ya kumvuta mwanadamukatika maasi, Waislam hawana budikudhibiti nafsi zao katika kipindi hikicha kuelekea mfungo wa Ramad-han.

 Waislam wadhibiti nafsi zao, hu-susan kuanzia mwishoni mwa Shaa-

 ban ambapo baadhi ya yetu tume-kuwa tukifanya maasi kwa kudaikudai tunaukaribisha mwezi mtuku-fu wa Ramadhan kwa jina la ‘Vunja

 jungu’.Ukweli wa mambo ni kwamba

katika Uislam hakuna kitu kinach-oitwa Vunja jungu bali kinacho-

 tendeka ni ushawishi wa sheitani ka- tika kuwahadaa wanadamu kutendamaovu kwa kufahamu kuwa hat-opata fursa hiyo ndani ya mwezi waRamadhani kwa sababu za kuwekwakizuizini na Allah Taala.

Kwa kiasi kikubwa umma wa Waislamu wa leo tumekuwa hatunashauku katika kuutendea haki mwe-zi mtukufu wa Ramadhani kinyumena ilivyokuwa kwa Maswahaba waMtume (Mwenyezi Mungu awari-dhie).

 Wao walikuwa wakimwombaMwenyezi Mungu awajaalie fursa yakushuhudia Ramadhan miezi sitakabla. Waislam hatuna budi kuigamfano wa hawa wema waliotutan-

gulia.Kwa kweli maswahaba walijua

 thama ni halisi ya Ramadh ani Wakati ambapo jamii ya kiislamukatika zama zetu inachukulia kuwani kawaida hali ya kuwa mwezi hujamara moja kwa mwaka na wakathuo huo unamalizika bila ya sisi ku-chuma faida zake halisi.

Hivyo sisi katika gazeti la Imaan tunatumia fursa hii ‘adhwimu’ ku wanasihi Waislam kujiandaa namfungo kwa kuzitakasa nafsi, ku-

 jiandaa kupata chumo la halal ipamoja na kujiepusha na vitenguz

 vya ibada ya swaumu ili kujikurubi-sha kwa Allah Ta’ala aweze kutulipa

 yaliyo mema, hatimaye atuingize ka- tika pepo yake.

Karibu Mgeni wetu mtukufu, Ramadhan

Umoja ni nguvu, utenganoni udhaifu. Huu ni msemo

 wa Kiswahili unaosisitizauwepo wa umoja baina ya

 watu. Lakini suala la umoja litaletamaana zaidi endapo tu jamii itashika-mana na kutumia vema neema ya aki-

 li na utashi, kwani ndiyo inayotofauti-sha hali ya ubinadamu na unyama.

Bila shaka watu hutofautiana mi- tazamo. Historia pia inaonesha hivyo.Tofauti za makubaliano na maridhi-ano katika jambo moja huchukua na-fasi kubwa kwa kuwa binadamu hu-

 tumia vipaji vitokanavyo na akili zaokatika kuamua mambo.

Suala la uelewa ni moja kati ya ma- tokeo ya athari za watu kutofautiana,kwani hata rejea za sira ya MtumeMuhammad (Rehma na amani iwe

 juu yake) zinaonesha kuwa maswa-haba wake (Allah awe radhi nao) pia

 walikuwa wakikhitilafiana katika baadhi ya mambo, lakini hawakuwa wakifarakana .

Hii inaashiria kuwa, kila mtu anamsingi ambao kutokana na akili naufahamu alionao unasababisha uto-fauti wa kimaana, tafsiri na mantikikwa sababu za viamshi au vichocheokatika mazingira yake. Kuhitilafianakwa misingi hiyo ndiko kunakopele-kea tofauti katika mitazamo baina ya

 jamii.Hata hivyo, katika jamii yetu ya

 Waislam hivi leo, tafiti mbalimbali zi-naonesha uwepo wa matatizomakubwa, likiwemo la Waislam ku-kosa umoja, na ikhlaswi, kiwangoduni cha elimu juu ya dini, kujawa naubinafsi, na Waislam kujali hadhi zaokuliko maslahi ya dini.

Mambo haya ni miongoni mwa vi-chochezi vinavyosababisha mitazamo

 tofauti.Kwa bahati mbaya mitazamo hu-

 jengwa juu ya misingi ambayo si rahisikuibomoa na inakuwa na mizizi am-

 bayo vilevile si rahisi kuing’oa, haliinayopelekea ugumu wa kumshawi-shi mtu kukubali mtazamo wa wen-gine.

Kuandama kwa mwezi ni mion-goni mwa masuala yanayosababisha

 Waislam kugawika katika makundi yenye mitazamo tofauti, hususan kilaunapoingia Mfungo wa Ramadhanna wakati wa kuingia sikukuu mbili za‘Idd - ul-fitri na Idd –ul-Hajj’.

Makala hii ni jaribio la kutaka kuli- tolea ufumbuzi suala la ‘mwandamo wa mwezi’, pia kujaribu kuonesha njia ya kufuatwa na Waislam katika ku-funga mwezi wa Ramadhan.

 Allah Ta’ala amejaalia watu wa-naoifuata dini ya Uislam kuwa wenyeakili (ulul’albab). Tunamuomba atu-

 wezeshe kuielewa zaidi pamoja nakuifuata njia ya haki (dini ya Uisla-mu).

Kama inavyofahamika katika his- toria ya Uislamu ‘taarikh’, Bwanamtume (Rehma na amani ya Allahiwe juu yake alifanya juhudi katikakuleta umoja na udugu baina ya Wais-

 lamu mara tu baada ya tukio la ‘hijra’kuhama Mji wa Makka na kwendaMadina.

Kutokana na umuhimu huo, jamii ya kiislamu inapaswa kuyatazamamambo haya kwa kina. Inatulazimukumuiga bwana mtume kwa vitendokwa kujenga na kuimarisha mshika-mano baina yetu ili kufanikisha lengo

 la kuwepo kwetu hapa duniani.Katika kutilia mkazo suala la umo-

 ja katika Uislamu, Allah Taala katikaQur’an (3: 103) anasema: “Na shika-maneni kwa kamba ya MwenyeziMungu nyote pamoja, wala msifariki-ane. Na kumbukeni neema yaMwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vilemlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maa-dui naye akaziunganisha nyoyo zenu;kwa neema yake mkawa ndugu. Namlikuwa ukingoni mwa shimo laMoto, naye akakuokoeni nalo. Nam-na hivi Mwenyezi Mungu anakubain-ishieni Ishara zake ili mpate kuon-goka”.

Kwa muktadha wa aya hii, wataalam wa fani ya tafsiri wanafa-fanua zaidi tamko ‘shikamaneni’ am-

 balo ni kitendo cha lazima ‘fiilul amri’hivyo ikiwa patafanyika kinyumechake ambacho ni kufarikianaitakuwa umepinga amri hiyo ya AllahTaala hivyo kuingia katika makosa.

Kwa maana hiyo basi ni wazi kuwakuwepo kwa mitafaruku, si jambo li-nalopendeza au linalofaa kulishabikiakwani madhara yake ni makubwa zai-di kuliko faida.

Miongoni mwa madhara yatoka-nayo na faraka baina ya Waislamu nipamoja na Waislamu kujengeanachuki baina yao, kutengana katikamambo ya halali badala ya kushiriki-ana, kushutumiana katika majukwaa

 ya mihadhara jambo linaloshusha ha-

dhi ya dini.Kadhalika, Waislam kutokana na

kufarikiana wanashindwa kusaidianakutokana na chuki za kimadhehebuna kujengeana fitna na husda.

Suala la umoja ni miongoni mwamambo yaliyokokotezwa katika

Qur’an na Sunna na pia ndio silaha

kuu ya mafanikio yeyote. Hivyo kunahaja ya umma wa Waislam dunianikote kuhitaji umoja na mshikamano,

 lakini ni katika zama hizi ambazokumekuwepo udhaifu mkubwa uli-opelekea miparaganyiko baina yao.

Ingawa mgogoro wa mwandamoumeonekana kuwaathiri Waislamu

 wa Afrika mashriki, imethibitikakuwa tofauti hizi zimeshamiri nakukua si chini ya karne kumi, yaanizaidi ya miaka 1000 iliyopita, ingawahapo awali wanazuoni wenye mtaza-mo wa muandamo mmoja walikosa

fursa ya kutekeleza kikamilifu msi-mamo huo kutokana na kukosekanamawasiliano ya kutosha kwa wakatihuo.

Jamii ya waislamu inapaswakuelewa kuwa kwa kawaida watuhutofautiana katika jambo moja laki-ni hawagombani. Kwa sababu hiyoumma wa kiisalamu unapaswa kujie-pusha na chuki zitokanazo na mitaza-mo ya kimadhehebu kwani endapohali hiyo itaendelea kushika kasiumma hautoweza kusonga mbele.

Kama nilivyotangulia kusemahapo awali ya kuwa Allah Taala ame-

 jaalia watu wanaofuata dini hii kuwa wenye akili hivyo ni vema wanazuoni wetu watoe elimu ya dini pasipokuegema upande wowote.

Maana yake ni kwamba uwasilish- waji wa elimu ya dini utolewe kwamnasaba wa uelewa wa wema walio-

 tutangulia hivyo kutoa fursa huru kwamwenye kuitumia akili vema kujuausahihi wa mapokeo ya kisheria ‘fiqhi’ili aweze kuufuata.

Pia nitumie fursa hii kuisihi nafsi yangu pia kuwasihi Waislam wote po-pote walipo kurejea kwa Allah Taalakwa kufuata aliyoyaamrisha nakuacha aliyoyakataza, pia kufuatamafundisho sahihi ya Bwana Mtume(Rehma na amani ya Allah iwe juu

 yake). “Allah ni mjuzi zaidi na kwa hakika

 tunamuomba atuoneshe haki tuwezekuifuata na atuoneshe upotovu tu-

 weze kuuepuka”. Amiin.

 Mwandamo wa mweziusiwe chanzo cha faraka

baina ya WaislamuKWA BAHATI

MBAYA MITAZAMO

HUJENGWA

 JUU YA MISINGI

 AMBAYO SI RAHISI

KUIBOMOA NA

INAKUWA NA

MIZIZI AMBAYO

 VILEVILE SI RAHISI

KUING’OA, HALIINAYOPELEKEA

UGUMU WA

KUMSHAWISHI

MTU KUKUBALI

MTAZAMO WA

WENGINE.

NA YUSUPH AMIN

NASAHA ZA RAMADHAN

Page 7: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 7/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

IDDI JENGO

Katika ulimwengu tulion-ao tumeumbwa walim-

 wengu wa aina tofauti tofauti. Asili ya utofauti

huo inatoka kwa aliyetuumba, hili tunalipata katika maelekezo yaQur’an tukufu;

“Enyi watu! Hakika Sisi tumeku-umbeni kutokana na mwanamumena mwanamke. Na tumekujaalienikuwa ni mataifa na makabila ilimjuane. Hakika aliye mtukufu zaidikati yenu kwa Mwenyezi Mungu nihuyo aliye mcha Mungu zaidi katikanyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu niMwenye kujua, Mwenye khabari”.(49:15).

 Aliyetuumba sisi walimwengualiweka mfumo maalum (Dini)inayoendana na maumbile yetukuanzia mtu mmoja mmoja mpaka

 jamii kwa ujumla. Katika mipango yake Mwenyezi Mungu ametupauhuru kwa yeyote miongoni mwetukufuata mfumo anaoutaka.

 Allah Ta’ala anaeleza haya katikakitabu chake kitukufu cha Qur’an:“Hakika Sisi tumemuumba mtukutokana na mbegu ya uhai iliyochanganyika kati ya mwanamke na

 ya mwanamme, ili tumfanyie mti-hani. Kwa hivyo tukamfanyamwenye kusikia, mwenye kuona.Hakika Sisi tumembainishia njiambili . Ama awe ni mwenye kush-ukuru, au mwenye kukufuru(76:2-3)”.

Uhuru huu unamtaka mwanad-amu afanye maamuzi ya busara ka-

 tika kufuata mfumo autakao. Kwa bahati mbaya baadhi ya wanadamuhuamua kufuata mifumo mibayaambayo mwisho humuacha katikaudhalili mkubwa na mwisho kuko-sa wa kumsaidia.

Mfumo wa maisha sahihi al-iouchagua Mwenyezi Mungu niUislam. Mfumo huu wa maisha yakiislam unayo mihimili yake yamsingi inayotoa miongozo ya nam-na ya kuyaendea mambo. Mihimilimikuu ni Qur’an na Sunnah zaMtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake).

Ndani ya mihimili hii ndo tunay-akuta mafunzo kamili ya Uislam

 yakiwa yamegawanywa katika ma-fungu makubwa matatu; nguzo

 tano (5) za Uislam, Nguzo sita (6)

za imani na nguzo moja ya ihsani.Moja ya jambo tunalojifunza ka- tika vipengele vyote hivyo, yaaninguzo za Uislam, nguzo za imani nanguzo ya ihsani ni kumuandaa mjakuutumikia Uislam kama mfumo

 wa maisha, yaani, ni nyenzo za ku-muwezesha mwanadamu kufikiakilele cha kuutumikia Uislam.

 Allah Ta’ala anasema katikaQur’an: “Enyi mlio amini! Ingienikatika Uislam kwa ukamilifu, walamsifuate nyayo za she’tani; hakika

 yeye kwenu n i adui aliye wazi”2:208.

Uislam hautoweza kuonekanakatika taswira yake halisi kama mis-ingi yake hiyo haijaeleweka, kuanziakatika masuala ya ibada ya mtu bin-afsi mpaka masuala ya ibada za ki-

 jamii.Moja kati ya nguzo tano (5) za

Uislam ambazo hazijaeleweka kwa Waislam wengi ni swaumu ya Ra-madhan, ambayo ndio kiini chamakala yetu ya leo.

Ili tuelewe swaumu ya Ramad-han ambayo ni nguzo ya nne ya Uis-

 lam, tuanze kwa kuangalia hadithmashuhuri ambayo inapatikanakatika vitabu vingi vya hadith,ikiwemo Bukhari na Muslim.

Imepokewa hadith kutoka kwa Abdullah ibn ‘Umar (Radhi za Allahziwe juu yake) amesema: Nimemsi-kia Mtume akisema: “UmejengwaUislam juu ya nguzo tano; kush-uhudia ya kwamba hakuna Molaanayestahiki kuabudiwa kwa hakiisipokuwa Allah na kwamba hakikaMuhammad ni Mtume wa Allah,na kusimamisha swala, na kutoazaka, na kufunga swaumu ya Ram-adhan, na kuhiji katika nyumba(tukufu) ya Al- Kaaba. (Al Bukhariyna Muslim).

Kuna baadhi ya Waislam wa-meielewa vibaya hadith hii kuwa:

Uislam ni nguzo tano’ au kuwa‘Uislam unakamilika na nguzo tano

 tu’. Kwa maana nyingine imeelewe-ka kwa mba , ng uzo ta nozikitekelezwa Uislam utakuwa

umeshakamilika na Waislam wa- takuwa hawana wajibu wa lolote lingine.

Kimsingi, nguzo za Uislam zikopale kumsaidia mwanadamukuboresha utu wake kutoka kwenyedaraja ya uchavitu mpaka kufikiadaraja la ucha Mungu, na hatimaekusimamisha Uislam katika jamii.

Swaumu ya Ramadhan kamamoja ya nguzo za Uislam ndiyochanzo kikuu cha kumpelekeaMuislam kuwa mcha Mungu. Allahanatukumbusha katika Qur’an;“Enyi mlioamini mmelazimish-

 wa kufunga (swaumu) kama wal-ivyolazimishwa waliokuwa kab-

 la yenu ili mpate kumcha mungu”(2:183).

Katika aya hii, Allah anaelezadhamira kubwa inayopatikana baa-da ya mja kuidiriki na kuitekelezaswaumu ya Ramadhan, nayo ni ku-muandaa mja aweze kumcha AllahTa’ala. Aya hiyo haisemi kuwa kwahakika mtakuwa wacha Mungukwa sababu natija ya kufunga in-ategemea uelewa na dhamira yahuyo mfungaji.

 Yeyote atakayeelewa lengo lafunga na maana ya lengo na akajita-hidi kwa hali yoyote kufikia lengohilo atakuwa mcha mungu katika

kiwango kinachotakiwa, lakini kwaasiyeelewa lengo la funga hawezikufikia lengo la kuwa mchamungu.

Msingi wa lengo la swaumu yaRamadhan umeasisiwa kutokanana maana yenyewe ya swaumu.Swaumu, kilugha ni kujizuia kufan-

 ya jambo lolote la kawaida ulilozoeakulifanya.

Katika Qur’an tunafahamishwakuwa Bibi Maryam baada ya kum-zaa Nabii Isa (Amani iwe juu yake)alijizuia (alikuwa katika swaumu)

 ya kutosema na mtu yeyote juu yamtoto wake.

“Basi kula, na kunywa, na litue ji-cho lako. Na pindi ukimwona mtu

 yeyote basi sema: Hakika miminimeweka nadhiri kwa MwenyeziMungu ya kufunga; kwa hivyo leositasema na mtu. (19:26)”.

Katika sheria ya Kiislam, kufun-ga (swaum) ni kujizuilia kula,kunywa, kujamiiana, kuingiza kituchochote katika matundu ya mwilina kujizuilia kumuasi Allah Ta’alakuanzia alfajiri ya kweli mpaka ku-ingia magharibi.

Hata hivyo, hali hiyo haiishiihapo, umri wote wa mwanadamuanatakiwa aishi akifukuzia lengo laucha mungu kwa kufuata maam-risho yote ya Allah Ta’ala na kuachamakatazo yake.

MCHA MUNGU NI MTUWA AINA GANI?

Mchamungu ni mtu mwenyeshauku, hamasa na jitahada ya ku-

 jiepusha na kila kitendo kiovu yeye binfasi na akajitahidi kuhakikishamaovu hayo yanatoweka kabisa ka-

 tika jamii, kama Mtume alivyoagizakatika hadith yake mashuhuri.

Mtume wetu mpenzi (Rehmana amani ziwe juu yake) amesemakatika hadith iliyosimuliwa na

 Abu Sa’iyd Al-Khudriy (Radhi za Allah ziwe juu yake) ambaye amese-

ma:Nilimsikia Mtume akisema:

“Yeyote yule atakayeona kitendokiovu basi akiondoe (akibadilishe)kwa mkono wake, ikiwa hawezi basikwa ulimi wake (alikemee au kuka-

 taza), na ikiwa hawezi basi kwamoyo wake (achukie) na huo (yaanikuona baya na kunyamaza) ni ud-haifu wa imani) (Muslim).

Na Allah Ta’ala katika kutiamsisitizo anaeleza katika Qur’an:“Na Waumini wanaume na wau-mini wanawake wao kwa wao nimarafiki walinzi. Huamrisha memana hukataza maovu, na hushikaSwala, na hutoa Zaka, na humtiiMwenyezi Mungu na Mtume Wake.Hao Mwenyezi Mungu atawarehe-mu. Hakika Mwenyezi Mungu niMtukufu Mwenye nguvu, Mwenyehekima” (9: 71).

Zipo faida nyingi zinazopatikanakutokana na mja kufunga swaumu

 ya Ramadhan. Miongoni mwa fa-ida hizo ni pamoja na kumjengamja kiimani. Mwenye kufunga Ra-madhan huwa ni mchamungumwenye imani thabiti na imani iki-

 jikita sawasawa basi jambo linalo-

dhihiri ni mwanadamu kuwamwadilifu, kama ambavyo Qur’aninavyotukumbusha

“Enyi mlio amini! Kuweni wasi-mamizi madhubuti kwa ajili yaMwenyezi Mungu mkitoa ushahidikwa haki. Wala kuchukiana na watukusikupelekeeni kutofanya uadilifu.Fanyeni uadilifu. Hivyo ndio kuwakaribu mno na uchamungu. Namcheni Mwenyezi Mungu. HakikaMwenyezi Mungu anazo khabari zamnayoyatenda” (5:8).

Ukimuona mtu ana imani yakweli kipimo cha kwanza cha kujuauthabiti juu ya imani yake ni kuan-galia uadilifu wake.

Faida ya pili, ni kujenga udugu wa kweli baina ya waumini wa Kiis- lam na kuzalisha mapenzi ya kweli

 baina yao. Udugu huu ni udugu wakimataifa, maana Muislam wa Tan-zania na Muislam wa Marekanihuwa wanafanya jambo li-nalofanana pasi na kujali utaifa,rangi, wala jambo jingine lolote, nando maana ikawa kwa Allah Ta’alakipimo cha utu na udugu wa kwelini uchamungu.

Mkishikana kwa misingi ya ran-gi, taifa au kabila - udugu wenuhautokuwa wa kudumu, bali wal-ioshikana kwa udugu wa kiucha-mungu ndo watadumu na uduguhuo, na utawafaa katika maisha yadunia na maisha ya akhera. Kwamsingi huo swaumu ya Ramadhanikawa ni nguzo miongoni mwa ngu-zo za Uislam ambazo zinaleta udu-gu huo.

“Hakika waumini ni ndugu, basipatanisheni baina ya ndugu zenu,na mcheni Mwenyezi Mungu ilimrehemewe” (49:09).

“Enyi watu! Hakika Sisi tumeku-umbeni kutokana na mwanamumena mwanamke. Na tumekujaalienikuwa ni mataifa na makabila ilimjuane. Hakika aliye mtukufu zaidikati yenu kwa Mwenyezi Mungu nihuyo aliye mchamngu zaidi katikanyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu niMwenye kujua, Mwenye khabari”(49:13).

 Jengokeya [email protected] 135 201

 Allah amrehemu

SWAUMU YA RAMADHAN:

Nguzo ya nne ya Uislam

  YEYOTE ATAKAYEELEWA LENGOLA FUNGA NA MAANA YA LENGO

NA AKAJITAHIDI KWA HALI YOYOTE KUFIKIA LENGO HILO

 ATAKUWA MCHA MUNGU KATIKAKIWANGO KINACHOTAKIWA,

LAKINI KWA ASIYEELEWA LENGOLA FUNGA HAWEZI KUFIKIA

LENGO LA KUWA MCHAMUNGU.

 Waislam wakiomba dua

MAKALA

Page 8: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 8/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

8TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA  YENYE UZOEFUWA MIAKA 14 KATIKA SHUGHULI ZA HIJA NAUMRA, INAWATANGAZIA WAISLAM WOTE KUWAGHARAMA YA HIJA KWA MWAKA 2014/ 1435H NIDOLA 4750 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWAAWAMU (KIDOGO KIDOGO).AIDHA, GHARAMA YA KUFANYIWA IBADA YA HIJA(KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU.

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:  NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI

  MALAZI MAKKA, HOTELI YA NYOTA 3*,MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 7 TUMPAKA MASJID HARAM.

  MALAZI MADINA, HOTELI YA NYOTA 3*MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 3 TUMPAKA MASJID NABAWY

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

  USAFIRI WA BASI JEDDAH – MAKKA,MAKKA – MADINA

  HUDUMA MAALUM (SPECIAL SERVICE)SIKU 5 ZA HIJJA

  MAHEMA YENYE VIYOYOZI (AIR CONDITION), MAGODORO, MITO NA BLANKETI

  CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIAMWENYEWE (BUFFET) CHAI, KAHAWA,JUISI, SODA, MAJI NA VITAFUNWA(SNACKS) VITAPATIKANA MASAA 24, SIKU 5

ZA HIJJA  USAFIRI WA BASI KATI YA MAKKA – MINA,MINA – ARAFAT, ARAFAT – MUZDALIFA,MINA – MAKKA

  NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NAHIJAB KWA WANAWAKE, GALONIMOJA YA MAJI YA ZAM ZAM (LITA 10)BEGI LA KUSAFIRIA, PAMOJA NA KILO 3 ZATENDE KWA KILA HUJAJI

  ZIARA YA MAKKA KUTEMBELEA NYUMBAALIKOZALIWA MTUME WETUMUHAMMAD (S.A.W), JABAL HIRA,JABAL THAWR, JABAL RAHMA,MASJID JINNI, MASJID KHEIF,MASJID NIMRAH, VIWANJA VYA ARAFAT,MINA, MUZDALIFA NA JAMARAT

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

   ZIARA YA MADINA KUTEMBELEA MSIKITI

  VILE VILE GHARAMA YA HIJJA INAJUMUISHA ZIARA YA MADINA KUTEMBELEAMASJID QUBA, MASJID QIBLATAIN, MASJIDJUMAA, SABA MASAAJID (MAHALI KULIPOFANYIKA VITA VYA KHANDAQ), NAJABAL UHUD.

  GHARAMA YA UCHINJAJI WA MNYAMAWA UDH’HIYA

  CHAKULA MILO MITATU KUJIHUDUMIAMWENYEWE (BUFFET) SIKU ZOTE ZASAFARI.

SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKHJUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNEKAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZOKWA MAHUJAJI WAKATI WOTE. AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMAD) AL-HAJJZULFIKAR OSMAN (ZULLY) AL HAJJ ALTAF ABDU-LATIF NA AL HAJJ SIDIK VIONGOZI WENYE UZOEFUWA MUDA MREFU PIA WATAKUWEPO KUWAHU-DUMIA MAHUJAJI

LENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZAIBADA YAKE INAVYOTAKIWA. MADAKTARI DR. HAJIHAMDU NA DR. HAMISA THEREYA ( DAKTARI WAAKINA MAMA) WATAKUWEPO KATIKA MSAFARANA MADAWA YOTE MUHIMU YATAPATIKANAWAKATI WOTE WA SAFARI.WAWEZA KUWAULIZA MAHUJAJI WALIOWAHIKUHUDUMIWA NA TAASIS HII, NA WATAKUHAKIK-ISHIA UWEPO WA HUDUMA ZA KURIDHISHA.ALHAMDULILAH DAIMA KHIDMAT ISLAMIYATUMEWEZA KUTEKELEZA KILA TUNACHOKIAHIDI.

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMA

NAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMA

NAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMA

NAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

WA MTUME (SAW), MAKABURI YA BAQII(WALIPOZIKWA MASWAHABA, BAADHI YAWAKEZE NA WATOTO WA MTUME (S.A.W.)NA MAKABURI YA WALIOKUFA SHAHIDI

KATIKA VITA VYA UHUD

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMA

NAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

 

SAFIRI NA KHIDMAT ISLAMIYA SAFIRI NA KHIDMAT ISLAMIYA 

  KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJIWASILIANA NA:  SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA

NAMBA YA SIMU 0715 915 008,0784 915 008

  SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA –IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545

  AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020,0713 530 036, 0786 411 020

  AL-HAJJ HAFIDH SALIM – 0655 616 623,0682 535 319

  SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA0715 985 413

  AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED0789 373 222

  AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI

WA QIBLATAIN - 0715 210 666  ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI –

TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALANA NMB TAWI LA SOKO KUU NAMBAYA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513,0655 125 513

  MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEHNAHDY(AHMADO)- 0715 372 776,0773 372 776

  DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSURUGEIYAMU – 0754 334 400,0786 293 901

  DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683

  MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJMAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573

KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA

MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA

TAREHE 20 SHAABAN 1437

MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA

  0773 372 776

RUGEIYAMU – 0754 334 400,

  DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683

MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573

KATIBU MTENDAJIMUHSIN MOHAMED HUSSEIN0784 /0715 /0773 - 786 680,

TAARIFA MUHIMU

KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA

MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA

TAREHE 20 SHAABAN 1437

MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA

TANGAZO

Page 9: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 9/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

1. KULA DAKU

U ta ra ti bu hu u wa ku la da kuumeamrishwa na kuhimizwa naMtume (Rehma na amani ya Al- lah iwe juu yake): Imepokewa na

Swahaba Anas Allah amridhie, kuwa Mtume(Rehma na amani ya Allah iwe juu yake) al-isema: “Kuleni daku kwani katika kula dakukuna baraka”. (Imepokewa na Bukhari naMuslim).

Na kutoka kwa Al-miqdaamu bin Ma’adiKarib kutoka kwa Mtume (Rehma na amani ya Allah iwe juu yake): “Ni juu yenu kuladaku, kwani ni chakula kilichobarikiwa” (Im-epokewa na An Nasaaiy kwa sanad Jayyid)

Sababu ya daku kuwa ni chakula chenye baraka: Chakula cha daku humpa nguvumfungaji, na kumfanya awe mchangamfu, namwepesi katika funga yake.

2. BARAKA YA DAKU HUPATIKA-

NAJE?Baraka ya daku haipatikani kwa kiwangokingi cha chakula au kichache, bali hupatika-na hata kwa funda ya maji. Imepokewa na Abi Said Al-khudriy (Allah amridhie), kuwa:“Daku ni baraka, msiiache walau kwa kunywammoja wenu funda ya maji, kwani MwenyeziMungu na Malaika wake huwarehemu wa-naokula daku”. (Imepokewa na Ahmad, nakuna njia kadhaa zinazoipa nguvu riwayahii).

3. WAKATI WA KULA DAKU

Daku huliwa kwenye nusu ya usiku mpakakaribu ya mapambazuko ya alfajiri, na ni vye-ma kula wakati wa mwisho.

Imepokewa na Zaid bin Thabit (Allah am-ridhie) akisema: “Tulikula daku pamoja na

Mtume (Rehma na amani ya Allah iwe juu yake), kisha tukaenda kuswali. Nikasema:kulikuwa na (tofauti ya) muda gani baina yamawili hayo? Akasema: Aya khamsini”. [Im-epokewa na Bukhari na Muslim].

Na kutoka kwa Amri bin Maymun aliele-za: “Walikuwa Swahaba wa Mtume (rehmana amani ya Allah iwe juu yake), wanaharaki-sha sana kufuturu, na kuchelewesha sanakula daku”. [Imepokewa na Bayhaqiy kwasanad sahih]. 4. SHAKA YA KUCHOMOZA KWAALFAJIRI

Hata kama mtu atatia shaka ya kuchomo-za kwa alfajiri, sharia inamtaka ale, na anywe,mpaka awe na yakini ya kuchomoza kwa al-

fajiri ya kweli, kwa sababu Allah amewekamwisho wa kula na kunywa, ni kuchomozakwa alfajiri ya kweli, na sio shaka.

 Allah anasema: “Na kuleni na kunywenimpaka ubainike kwenu weupe wa alfajiri ka- tika weusi wa usiku” (2: 177). Na kuna mtualimwambia Ibn Abbas (Radhi za Allah ziwe juu yake), “Mimi ninakula daku, nitakapotiashaka je?” Akamwambia: “Kula, kwenyemuda unaotia shaka, mpaka shaka itoweke”.

Naye Abu Daud ameeleza: “Alisema Abu Abdillah (Ahmad bin Hambal): ‘Atakapotiashaka ya kuingia kwa alfajiri, aendelee kula,mpaka awe na yakini ya kuingia kwa alfajiri’”.Na hii ndio madhehebu ya Ibn Abbas, A’twaa, Al-awzaai’y na Ahmad. Na Imam An Na- wawiy anaeleza: “Wameafikiana wafuasi waShafi’iyu kuhusu suala la kujuzu kula kwamwenye shaka wakati wa kuchomoza al-

fajiri”.

5. KUHARAKISHA KUFUTURUInapendekezwa kwa mtu aliyefunga

kufanya haraka kufuturu, mara ataka-pokuwa na yakini ya kuzama kwa jua.

Imepokewa kutoka kwa Sahal bin Sa’adkwamba: “Hawatoacha watu kuwa katikakheri, muda wa kuwa wanaharakisha ku-futuru”. (Imepokewa na Bukhari na Mus- lim).

Na futari inatakiwa iwe kwa tende, nahizo tende ziliwe kwa witri. Iwapo haz-ikupatikana basi, afutari kwa maji.

Imepokewa na Anas (Allah amridhie)akisema: “Mtume (Rehma na amani ya Allah iwe juu yake), alikuwa anafuturukwa tende (Rutwab) kabla ya kuswali, ana-

pozikosa (Rutwab) alikuwa anafuturu kwa tende kavu, asipopata alikuwa anakunywafunda ya maji”. (Imepokewa na Abu Daud, Al-hakim na akaisahihisha, na Tirmidhiyakaifanya kuwa ni hadith Hassan).6. DUA WAKATI WA FUNGANA WAKATI WA KUFUTURU

Imethibiti kuwa Mtume (Rehma na

amani ya Allah iwe juu yake) alikuwanasema: “Kiu kimeondoka, na taabkwenye misuli imetoweka, na ujira Insh Allah umethibiti”.

Na amepokea Imam Tirmdhiy kwa -Sanad Hasan- kuwa, Mtume (Rehma namani ya Allah iwe juu yake) alisema“Watu wa aina tatu dua zao hazirudishwmwenye kufunga mpaka atakapofungukiongozi muadilifu, na mtu mwenye kudhulumiwa”.

Pichani juuni uzinduziwa gazeti jipya laKiislamu(IQRA)uliofanyikawikiiliyopitakatikamsikiti waMtambani jijini Dar esSalaam.

Chini,mhariri waredio

Imaan,KassimLyimoakiwakatika mojaya seminaza mafunzoya ndanikwawatendajiImaanMedia.

BY 

P O Box 20831

Dar Es Salaam

 Tel: +255 22 2125 312/2119 247

Fax: +255 22 2125 317 / 8

E Mail:[email protected]

ADABU ZA FUNGA NA SHEIKH SHABANI MUSSA

Inahimizwa kwa mtu anayefunga kuzingatia adabu zifuatazo:

 inaendelea Uk...1

MAKALA/TANGAZO

Page 10: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 10/19

Page 11: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 11/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

12TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

UMUHIMU NA NAMNABORA YA KULA DAKU

Daku ni chakula kinacholiwausiku wa manane kwa ajili yakujiandaa kufunga siku inayo-fuata. Kula daku ni jambo li-

 lilokokotezwa sana na Uislamu kama tu-navyojifunza katika Qur’an na Hadithi zaMtume Muhammad (Rehma na amanızımfıkıe): “.....Na kuleni na kunywenimpaka ubainike kwenu weupe wa alfajirkatika weusi wa usiku.....” (Qur’an: 2:187).

Mtume Muhammad (Rehma naamanı zımfıkıe) amesisitiza sana kuladaku. Tuone hadithi moja ifuatayo: “Kule-ni daku, kwani ipo baraka katika kuladaku. Na tofauti ya fadhila ya funga zetusisi na Ahlul Kitabu (Wayahudi na Wakris-to) ni huko kula daku”.

Mlo bora wa daku Vyakula vinaweza kugawanywa katika

makundi makuu mawili kwa kigezo chamuda wake wa kukaa tumboni. Kundi la

kwanza ni vyakula vinavyochukua mudamfupi masaa mawili mpaka manne ku-sagwa. Mfano wa vyakula hivyo ni vile lainikama ndizi, viazi na matunda. Kama tu- livyoona katika makala zilizopita, vyakula laini ni vizuri kutumika kama futari.

Kundi la pili la vyakula ni vyakula vina- vyokaa tumboni kwa muda mrefu (kiasicha masaa sita mpaka nane au zaidi).

 Vyakula hivyo ni kama vile nafaka nambegu, ngano, shahiri, mtama, mahindi,mchele na maharage. Inashauriwa na wataalamu wa vyakula wa kiislamu kuwa vyakula kama hivi viliwe kama daku auusiku sana kwa wale wanaoshindwa kua-mka na kula daku.

 Vyakula hivi vitawapa nguvu ya kuhi-mili mikiki mikiki ya saumu mchana napia wataweza kumudu majukumu men-

gine ya kazi za mchana. Kwa hiyo, vyakulahivi ndio vizuri zaidi kuliwa kama daku.Katika funga nia kubwa ya Mwenyezi

Mungu ni kupima utii wetu kwake, sio ku-tukomoa. Ndio maana funga ya Kiislamuinahimiza kula daku karibu na alfajiri nakutufuru mara tu jua linapo zama.

Maana yake hizo ni takriban saa 14(kati ya saa 24 za siku nzima) (pale am- bapo mchana sıo mrefu) zinatosha kupi-ma utii wetu kwa Mola. Hii maana yake nikuwa Uislamu unazingatia namna Allahalivyouumba mwili. Swaumu ya muda fu- lani ni tiba katika mwili, lakini ukizidishamuda sana bila mwili kuupa chakula,utakidhuru kiwiliwili hasa ubongo.

Madai ya baadhi ya watuBaadhi ya wasiokuwa Waislamu wa-

nabeza na kudai kuwa sisi tunakula alfajir,halafu ndio tunafunga. Wajaribu na waokufunga japo kwa saa 12 tu wataona ugu-mu wa swaumu, hasa kwa asiefunga kwaimani ya kumkubali Mola Muumba.

Kwa hakika kula na kufanya jimai ndiofuraha kubwa katika maisha ya kidunia,na wengi wanamuasi Mola kwa hayomawili, yaani tumbo na utupu.

Makundi ya vyakula Watu wanaofunga wanatakiwa kucha-

gua na kula vyakula kutoka katika makun-di mbalimbali kwa kila mlo wa futari nadaku. Makundi hayo ya vyakula ni:

Nafaka, vyakula aina ya mizizi na ndiziza kupika 

Kundi hili la vyakula linajumuisha na-faka kama mahindi, mchele, mtama, ulezi

na ngano; ndizi za kupika na vile vya aina ya mizizi kama magimbi, mihogo na viazi.

 Vyakula hivi huupa mwili nish(nguvu) vile vile vitamini, madini na proni kiasi kidogo.

 Vyakula jamii ya mikunde, vile vkokwa na vyenye asili ya wanyama 

 Vyakula vilivyoko katika kundi hilpamoja na maharage, mbaazi, karankorosho, nyama, samaki, mayai na ma wa ambavyo vyote ni chanzo kikubwa cprotini. Pia, vyakula hivyo ni chanzo c vitamini na madini.

Matunda

Matunda ni chanzo kizuri cha vitamC, vitamini za aina nyingine na baadhimadini. Kundi hili linajumuisha matunkama matikiti, zabibu, mapapai, maemmachungwa, limau, ndimu, machennanasi, pamoja na matunda pori kamubuyu, mabungo na ukwaju.

Mboga mbogaKundi hili linajumuisha matembe

kisamvu, majani ya maboga, mchich bamia, karoti, maboga, nyanya pamojamboga nyingine za asili kama mlendamchunga. Mbogamboga ni chanzo kizcha vitamini na madini. Zaidi ya haymboga mboga hasa za majani ni chankizuri sana cha nyuzi lishe (dietary fibers

Ingawa Qur’an imebainisha kuwMwenyezi Mungu katuumbia mbomboga kwa manufaa yetu, lakini Waismu wengi hawana habari kabisa na u wa vyakula hivyo hasa wakati wanapo kfutari.

Mafuta na sukariMafuta ni pamoja na samli, siagi, m

futa ya nazi, majarini, mafuta ya alizeufuta, mahindi, na mawese. Inashaurikuwa watu watumie zaidi mafuta yanaytokana na mimea badala ya wanyama. Skari ni pamoja na asali na ile inayotokana miwa. Vyote hivyo vina kiwankikubwa na nishati iliyomakinika (cocentrated), watu wasitumie kwa wingi.

Maji ya kunywa

 Wakatı mwıngı wa usıku wa Ramahan ni muhimu sana mfungajı kunywmaji ili kupunguza hatari ya mwili kukmuda mrefu bila maji ya kutosha mcha wa mfungo. Maji na juisi huondoa sumkutoka katika mwili.

Kwa mtu mzima anatakiwa anyglasi nane za maji (kama lita moja

nusu). Wakati wa mfungo tujitahidi ili agalau tusinywe chini ya glasi nne kwa usi wote.

Pia, wafungaji wakumbuke tulivyoma huko nyuma kuwa sio vizuri mkunywa kwa wingi chai au kahawa au so ya coca cola/pepsi wakati wa kula mlodaku. Hii ni kwa sababu chai au kahaau soda (ya coka cola na pepsi cola) hutegeneza mkojo mwingi, hivyo maji madini yatapotea kwa njia ya mkojo kuapo kucha.

 Vilivile, milo yote wakati wa Ramahani isiwe na chumvi au sukari nyingi ksababu mchana utakuwa na kiu sana utapoteza maji kwa njia ya mkojo. Ni visri kunywa tangawizi au mchai chai au m ya moto kama mtu hawezi kula daku bchai au kahawa nyingi. Kawaha au chai

soda (kina coka) ukinywa kabla ya usi wa manane hakuna shida sana.

Watu wengi hudhanikuwa Swaumu inamadhara hasi kwaafya zao. Hawa ni

 watu ambao huviangalia viwiliwili vyao kama magari ambayo hay-awezi kutembea hatua moja bilamafuta.

Ni dhana hii potofu ndio iliy-owafanya waone kuwa kila siku ili waishi ni lazima wale mara tatu;asubuhi, mchana na jioni na kuwa wakiacha mlo mmoja watadhuri-ka.

Fikra kama hizi asili yake nikutokujua sayansi ya kufunga.Kwa hiyo katika makala hii tutaak-

isi juu ya muujiza wa kitiba waSwaumu. Ukisoma ndani yaQur’an Allah anasema: “Enyi mlio-amini! Mmeandikiwa (fardhi ya) Asw-Swiyaam au kufunga kamailivyoandikwa kwa walio kabla yenu mpate kuwa na taqwa”(2:183).

 Aya hii imetaja neno taqwakama lengo kuu la kufaradhishwaSwaumu. Taqwa ni neno la kiara- bu lenye maana ya kinga. Taqwa nikinga ya moto ikiwa na maana yakutii maamrisho ya Allah nakuepuka makatazo ya Allah.Taqwa ni Ucha Mungu.

Swaumu ina lengo la kuletaTaqwa au kizuizi; dhidi ya mad-hambi. Ni sahihi pia kusema

Swaumu ni kinga au kizuizi dhidi ya maradhi ya roho na mwili. Kati-ka hadithi iliyopokelewa na maim-amu Muslim, Ahmad na Anna-saaiyyu Mtume amesema kuwaSwaumu ni ngao yaani ni kinga nasitara. Tafiti za kitiba zimethibiti-sha kuwa funga au Swaumu nikinga ya maradhi mengi.

Miongoni mwa faida za Swau-mu za kiafya ni kuwa Swaumu in-aimarisha mfumo wa kinga yamwili dhidi ya maradhi Immunity.Faida hii inatokana na kile wataalamu wa tiba walichobainikuwa Swaumu huhuisha chem- bechembe zinazohusika na kinga ya mwili na kuzifanya kuwa nanguvu na kuzipa hali ya uchangam-fu zaidi na hivyo chembechembehizo kuwa na uwezo mkubwa wakupambana na maradhi.

Utafiti unaonyesha kuwa mtuakifunga kiwango cha chem- bechembe zinazozalishwa na kon-gosho zinazoitwa T lymphocyteshuimarika na kiwango chake huwa juu. Kazi ya chembechembe haihizi ni muhimu kuhusiana na ui-marishaji wa kinga ya mwili.

Lakini faida ya chembechembehizi kuhusiana na uimarishaji wakinga ya mwili itapatikana tuiwapo mtu atafunga kwa utaratibu wa kisharia ambapo mtu anaye-funga anahitajika asifunge mdo-mo tu dhidi ya vyakula na vinywaji bali inatakikana na viungo vyake

 vyote viwe vimefunga au vimeji-zuia na madhambi. Hivyo ulimi,macho, masikio, mikono, miguuna viungo vingine vyote navyo vi-natakikana vifunge.

 Vinginevyo mwenendo hasi wa viungo hivi kama kuviingiza katikamaasi yanayoletwa mathalani na

ulimi kama vile kusengenya huletaathari mbaya kiafya, badala ya kui-marisha mfumo wa kinga hubo-moa mfumo huo. Ndiyo maanaMtume akatahadharisha sana mtukusema uongo akiwa amefungakwani si jambo linaloharibu tuSwaumu yake bali ni jambo linal-odhuru afya ya mfungaji.

Hii yawezekana ni moja kati yamambo yanayokusudiwa namaneno ya Mtume aliposema asi- yeacha uongo na kuufanyia kaziuongo Allah hana haja na kuachakwake kula na kunywa (Allah hanahaja na funga ya mtu huyo).

Miongoni mwa faida za kiafyaza Swaumu ni kuwa Swaumuhumkinga mfungaji na maradhi ya kunenepa kulikokithiri (obesity)na athari zake. Kunenepa mno sioafya njema kitiba. Utaratibumbaya wa kula au kula ovyo nimoja kati ya sababu zinazoletaugonjwa huo.

Kuna watu tabia zao za ulaji nikama za panzi au zaidi. Panzi hulamfululizo hadi akasinzia katikamajani na hushiba mpaka shingo-ni. Wako watu pia mwaka mzimaanakula mfululizo tena sahani zili-zojaa toplea kama wanavyoita wenyewe; asubuhi sahani imejaakama mlima Uluguru, mchanaimejaa kama mlima Kilimanjaro,na usiku imejaa kama mlima Ever-est.

Na kati ya nyakati za kula mili-

ma hiyo ya ugali, wali, pilau na vyakula lukuki, kuna nyakati za vyakula vidogo vidogovidogo kama wanavyoviita wao vingi tu; marachocolate, mara biskuti, mara sodank.

Hebu fikiria kama ungekuwana mashine ya kusaga nafaka ina-fanya kazi mfululizo mwaka mzi-ma ingekuwa nzima kweli mashinehiyo?.

Tumbo linalosaga chakula mfu- lu li zo mw ak a mz im a te nauchanganyaji wa ovyo wa vyakula litakuwa na uzima gani! Hivyo ku- jizuia na kula mchana mzima kwamuda wa mwezi mzima pamoja

na ulaji mzuri wa futari na dakuulioelekezwa katika Uislamu wakati wa mwezi wa Ramadhanukiambatana na ibada nyingi zina-zofanyika wakati wa mwezi wa Ra-madhan za kimwili na kirohohuboresha afya ya mwili pamojana akili.

Hivyo ni kweli kabisa Swaumu ya Ramadhan ni chanzo kisicho nagharama yoyote cha kuleta siha yamwili wa mwanadamu. Kwa hiyomoja kati ya mambo ambayo tu-nayopaswa kuzingatia sana katikamwezi wa Ramadhan ni kufunga viungo vyetu vyote, na kukithirishaibada za swala, kutoa sadaka nakusoma Qur’an katika mwezi huupamoja na kuwa na utaratibu na

makadirio mazuri ya vyakula.Itakuwa haina maana yoyote

kiafya kwamba mtu ajizuie na kulamchana wote kisha kwenye fikrana uhalisia wake awe kamaanayelipa kisasi wakati wa kufutu-ru. Amejisogezea tambi za sukari,maharage ya chumvi, magimbi,mihogo, ndizi, samaki, kuku, nya-ma ya ng’ombe, nyama ya kuku,maandazi, vitumbua, sambusa,maji ya baridi, juisi iliyokaribia ku-ganda n.k.

Mchanganyiko wa vyakula vin-gi vingine vinafanya kazi moja. Vingine vya moto na vingine vya baridi. Vyote hivi viliwe kwa wakatimmoja tena na tumbo moja am- balo ha likuwa na kitu mchana wote.

Hata ikifika wakati wa ishaamtu anashindwa kukaa wala kusi-mama, huku akihemea juu juu.Mtu kama huyu funga badala im- letee afya badala yake inamleteamaradhi.

 Afya njema katika Swaumu ita-patikana tu kwa kuzingatia ulajimzuri, utulivu wa akili na nafsi un-aoletwa na imani inayochanuliwana Swaumu kutokana na kukithiri-sha ibada, kusoma Qur’an, kumta- ja Allah, kujiweka mbali na kuudhina namna ya kukabiliana na mau-dhi, kudhibiti hisia na matamanio,na kuuelekeza mwili na nafsi kati-ka mambo yenye manufaa nakuepuka mambo yenye madhara.

SWAUMU NI TIBA MUJARABU YA

MARADHI MENGI YA BINADAMU

SHEIKH TAWAKKAL JUMA

 AYA HII

IMETAJA NENO

TAQWA KAMA

LENGO KUU LA

KUFARADHISHWA

 SWAUMU. TAQWA

NI NENO LA

KIARABU LENYE

MAANA YA KINGA.

TAQWA NI KINGA

 YA MOTO IKIWA

NA MAANA YAKUTII MAAMRISHO

 YA ALLAH

NA KUEPUKA

MAKATAZO YA

 ALLAH. TAQWA NI

UCHA MUNGU.

NA: MUJAHID MWINYIMVUA

MAKALA

FUNGA NA AFYA

Page 12: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 12/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

Sifa njema ni zake Muumbambingu na ardhi aliyetuku-ka na Mola wa walimwen-gu wote. Rehma na amani

zimfike Mtume wetu aliye mkwelimwaminifu. Kisha salaam kwa

 wenye kufuata muongozo.

Katika mwezi mtukufu wa Ram-adhan tunayo fursa zaidi ya kujifun-za mambo mengi yatakayobadili mi-

 tazamo na utendaji wetu katika shu-ghuli mbalimbali za maisha yetu.

Ibada adhimu ya funga ya Ram-adhan ina lengo la kutufanya tuwe

 wachamungu kama ilivyobainishwakatika Qur’an tukufu: “Enyi mlioamini! Mmeandikiwa Swaumu,kama walivyoandikiwa walio kuwakabla yenu ili mpate kumchaMwenyezi Mungu” (2:183).

Jambo la kumcha Allah ni jambopana, lenye kugusa kila nyanja yamaisha ya mwanadamu, ikiwemouchumi na biashara. Ramadhan itu-

 jenge kuchuma pato la halali kwakuwa na hofu ya Allah katika shu-

ghuli zetu zinazotupa kipato kwakuzingatia mipaka ya Allah.

Mtume (Rehma na amani ziwe juu yake) alisema, itafika zama watuhawatajali kipato chao ni cha halaliau haramu, hivyo tuitumie Ramad-han kutizama upya vyanzo vyetu vyamapato ili kumridhisha Allah.

Mtizamo chanya juu ya kujishu-ghulisha kupata chumo la halali nimuhimu sana katika maisha yetu.Umaskini na utegemezi unatokanana mtizamo hasi wa kutojishughuli-sha kwa bidii katika kutafuta kipatohalali, na kupenda kusaidiwa zaidi,kuliko mtu kuchuma kwa mkono

 wake mwenyewe.Uislam unawataka watu wajishu-

ghulishe kwa kufanya kazi kwa bidii

ili kupata kipato cha halali na ku- jitegemea bila ya kuwa ombaomba.

Umar Ibn Al-Khattab (Radhi za Allah ziwe juu yake) amasema: “Yoy-ote miongoni mwenu asijiepushe nakujishughulisha kuchuma kipato

huku akisema, ‘Ewe Allah nipe riziki’, wakati anajua mbingu hainyeshelezidhahabu wala fedha, na Allah hutoariziki kwa njia ya watu kwa watu”.

Kisha Umar Ibn Al-Khattab aka-soma: “Na itakapo kwisha swala, ta-

 wanyikeni katika nchi mtafute fa-

dhila za Mwenyezi Mungu, namkumbukeni Mwenyezi Mungu

kwa wingi ili mpate kufanikiwa”(62:10).

Pia alisema: “Hakuna hali am-

 bayo ningependa kufa mbali na jihadkwa ajili ya Allah zaidi kama kifokingenijia wakati nasafiri na ngamia

 wangu (kwa ajil i ya biash ara),kutafuta riziki kwa fadhila za Allah”.Na akasoma “…na wengine wanasa-

 WAFANYA BIASHARA TUSIHODHI, TUSIPUNJE KATIKA RAMADHAN NA BAADA

firi katika ardhi wakitafuta fadhilaza Mwenyezi Mungu...” (73:20).

 Abdulrahman bin Auf (Allahamuwie radhi) alipo wasili Madi-na baada ya kufanya hijra kutokaMakka, Mtume alimuunganishaudugu na Rabia (Ansari).

Kisha Rabia kwa mapenzi yaudugu wa kiislamu akamwambia

 Abdulrahman atampa nusu yamali na familia yake, kwani Mu-hajirina walikuwa wameacha mali

na wengine waliacha familia zaoMakka. Abdulrahman alimjibukuwa Allah ambariki katika malina familia yake na kumuombaamuonyeshe soko.

Subhanallah, huu ndio mtiza-mo wa maswahaba wa Mtume

 wetu wa kupigiwa mfano. Na hak-ika wengi katika sisi katika zamahizi tunazoziita za kileo, jambo lakwanza ingekuwa ni kuuliza saliokwenye akaunti na idadi na tham-

ani ya mali aliyokuwa nayo ili ku- tathimini nusu yake.

Lakini haikuwa hivyo kwa bin Auf. Kwa kweli Abdulrahmanalikuwa akipenda kuchuma kwamkono wake. Hakupenda cha ku-pewa na hakupenda kuwa tegem-ezi. Alijua mafanikio ya ukweli yakiuchumi yanataka kufanya kazikwa bidii.

Haikupita muda mrefu,Mtume alimuona usoni na poda

 waliyokuwa wakitumia wanawakezama hizo akamuuliza ni niniakamwambia ameoa, akamuulizaamelipa nini mahari, akasema ki-pande cha dhahabu.

Kwa kweli kwa mtizamo huuchanya historia imeandika ma-

fanikio makubwa ya Abdulrah-man bin Auf kwa mali aliokuwanayo na namna alivyoitumia kuu-hami na kuendeleza Uislam.

 Yatosha katika Ramadhan hiikujifunza ujasiriamali kwake nanamna ya kutumia vizuri malizetu.

 Vijana wa Kiislam tuitumieni vizuri Ramadhan kutafakari fanigani tutajifunza, kisha tuchukuehatua katika kujifunza fanimbalimbali na kuzifanyia kazi.Kufanya hivyo tutakuwa tumeji-patia ajira na kutengeneza ajirakwa wengine. Pia tutatoa hudu-

ma au bidhaa kuisaidia jamii nahatimaye kupata kipato cha halalina radhi za Allah.

Umar Ibn Al-Khattab (Radhiza Allah ziwe juu yake) alikuwaakimuona kijana na akimpendaalikuwa anauliza je anafani/utaalamu wowote? Jibu likiwa

hapana, anasema sivutiki kwake tena. Pia amesema: “Jifunze fani/utaalamu, karibuni mmoja wenuatahitaji fani/utaalamu”.

Ramadhani ya mwaka huu InSha Allah tujifunze kuwa wajasiri-amali wazuri badala ya kuwa na

mtizamo hasi kuwa ni mwezi wakulala, kucheza karata, kubeti nakupoteza muda katika pumbaonyingine. Ramadhan ni mwezi wakufanya kazi kwa bidii zaidi nakuboresha utendaji wetu. Kufanyahivyo kutatufanya kuwa huru nakutokuwa tegemezi kwa wengine.

Umar anasema: “Isingekuwakwa huku kununua na kuuza, hivikaribuni mngekuwa tegemezi kwa

 watu”.Pia imepokelewa kutoka kwa

Muhammad ibn Siriin ya kuwa, baba yake amesema: “Nilihudhu-ria Magharib pamoja na Umar ibn

 Al-Khattab. Alikuja kwangu nanilikuwa na rundo dogo la nguo.

 Akaniuliza, ‘Ni nini hiki una-

cho?’ Nikasema, ‘Nguo chache.Nimekuja kwenye soko hili ku-nunua na kuuza’. Akasema(Umar), ‘Enyi Maquraish, msim-ruhusu huyu na wengine kama

 yeye kudhibiti biashara, kwani (bi-ashara) ni moja ya tatu ya uongo-zi’”.

Tuitumie Ramadhan ya mwa-ka huu kujijengea tabia ya utenda-

 ji na kubadili mtizamo wa kuwa tegemezi na kupenda vitu vya bure. Tujifunze ujasiriamali na ka-nuni za kufanya biashara katikaUislam. Ramadhan hii itubadilikuwa wachamungu kwa kufanya

 biashara halali kwa kuzingatia mi-paka ya Allah ili tudhibiti moja ya

 tatu ya uongozi.

 [email protected]+255713 996 031

 [email protected]+255713 996 031

Tutafute chumola halali ndaniya Ramadhan

BIASHARA NA UCHUMI NDANI YA RAMADHAN JAMAL ISSA

 ABUU ASMAA 

Shukrani njema anastahiki yuleambaye ametufaradhishia fun-ga katika mwezi wa Ramadhanili tuwe wachamungu. Rehema

na amani zimfikie mbora wa viumbe ali- yemsifika na rahma kwa walimwengu

 wote.Katika mwezi mtukufu wa Ramad-

han, upatikanaji wa bidhaa mbambalikama vile chakula kwa ajili ya futari nadaku ni muhimu sana katika kufanikishaibada ya swaumu kwa wepesi, ijapokuwa wakati mwingine baadhi ya bidhaa huwaadimu.

 Wafa nya bia sha ra wan a naf asimuhimu ya kuhakikisha uwepo wa bid-haa muhimu katika soko kwa bei nafuukwa walaji. Wafanya biashara katika ku-ukaribisha mwezi wa Ramadhan wana-takiwa kufanya juhudi za kutafuta bid-haa bora za kutosha ili kurahisisha upa-tikanaji wa bidhaa muhimu ndani yamwezi mtukufu wa Ramadhan kwa beinafuu.

Ramadhan ni mwezi wa kujifunza

kuhurumiana na kuzidisha huruma.

Hivyo basi, wafanyabiashara wanataki- wa kuw aon ea hur uma wal aji kwakutoficha (hoarding) bidhaa kabla ya Ra-madhan kwa madhumuni ya kupandis-ha bei ili wanufaike kwa kupata faidakubwa, kwani kufanya hivyo kutakuwani kinyume na utaratibu wa Kiislam.

Kutoka kwa Abu Huraira (Allah

amuwie radhi) ambae amesema: Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) kase-ma: “… wala msizidishiane bei (za vitu)…”(Muslim).

Imam Malik amesimulia katika Al-Muwatta ya kuwa Umar ibn Al-Khattabamesema: “Hakuna kuhodhi (kuficha bidhaa) katika soko letu. Tajiri yoyote asi-hodhi riziki (bidhaa) ya Allah iliyokujakatika soko letu na kuziweka mbali nasi.Lakini yoyote ambaye ataleta bidhaasokoni wakati wa kipupwe na kiangazi nimgeni wa Umar, acha auze anachokitakana ahodhi anachokitaka”.

Hivyo Uislam umeharamisha kuho-dhi bidhaa, kwani matokeo yake ni kuzi-fanya kuwa adimu na mwishowe maski-ni, yatima, wajane na jamii kwa ujumlainakuwa inaathirika kwa mfumuko wa

 bei.

 Wafanya biashara wanatakiwa walia-che soko lipange bei kwa uwiano wa us-ambazaji/upatikanaji wa bidhaa (sup-ply) na mahitajio (demand).

Kwa wafanya biashara, mwezi wa Ra-madhan ni mwezi wa kujifunza kwa vi-tendo kuwa wa kweli kwenye biasharazao kwa kuuza bidhaa bora bila ya kucha-

kachua, kuwepo utapeli wa kuficha mad-hara au ubovu wa bidhaa au huduma.

Ni mwezi wa kujifunza kwa vitendokuwa waadilifu katika vipimo kama wao wanavyotaka kufanyiwa uadilifu bila yakupunjwa wakati wakinunua. Allahanasema: “Ole wao hao wapunjao! Am- bao wanapojipimia kwa watu hudai wa-timiziwe. Na wao wanapo wapimia watukwa kipimo au mizani hupunguza.Kwani hawadhani hao kwamba watafu-fuliwa” (84:1-4).

Ni mwezi wa kutizama upya biasharainayofanywa ni halali au si halali. Kutath-mini namna biashara inavyoendeshwani muhimu sana kwani wakati mwingine biashara ni h alali lakini namna ina- vyoendeshwa si halali kwani kanuni nataratibu za uendeshaji hazizingatii mipa-

ka ya Allah. Ni mwezi wa kujifunza ku-

fuata halali kuepuka haramu na mambo yenye shaka katika biashara.

Kutoka kwa Abu Abdullah An-Nu’uman Ibn Bashir (Allah amuwie ra-dhi) ambaye alisema: Nilimsikia Mtume(Rehma na Amani ziwe juu yake) akise-ma:

“Halali iko wazi na haramu iko

 wazi, baina yao ni vitu vyenye shakaambavyo watu wengi hawajui. Kwahivyo, yule anayeepuka vyenye shakaanajisafisha nafsi yake kwenye dini

 yake na heshima yake, lakini yuleanayetumbukia katika mambo yenyeshaka, huanguka katika haramu, kamamchunga anayechunga pembezonimwa mpaka, mara huingia ndani (yashamba la mtu). Hakika kila mfalmeana mipaka yake, na mipaka ya Allahni makatazo yake...” (Imesimuliwa na

 Al-Bukhari na Muslim)Kwa wafanya biashara, Ramadhan

ni mwezi wa kujifunza kutoa sadakana zaka. Inawapasa wenye mali kuzidi-sha utoaji wa sadaka na kuwafuturisha

 wasio na uwezo. Wafanya biashara wajifunze kuwa

kama kina Abubakar Sidiq, Othmani

 bin Affan, Abdulrahmani bin Auf (A lah awawie radhi) na wengineo katimaswahaba jinsi walivyochuma nkutumia vizuri katika kuusimamishUislamu. Ni mwezi wa kutathmikwa kiwango gani biashara yako imsaidia dini na kupanga vipi itasaiddini ya Allah. Ni mwezi wa kujisafish

na ubinafsi na choyo. Allah anasema: “Basi mche

Mwenyezi Mungu kama mUwezavyna sikieni, na t’iini, na toeni, itakuwkheri kwa nafsi zenu. Na mwenye kupushwa na uchoyo wa nafsi yake, bahao ndio waliofanikiwa. Mkimkopsha Mwenyezi Mungu mkopo mzuatakuzidishieni maradufu, natakusameheni. Na Mwenyezi Munni Mwingi wa shukrani, Mpol(64:16-17).

Ramadhan ni mwezi wa kujifunkutoa huduma bora kwa wateja kwukarimu.

 Wafanya biashara watumie fursaRamadhan vizuri kuboresha hudumzao, kutathmini mchango wa biashazao katika dini ya Allah na maendel

 ya jamii kwa ujumla.

MAKALA

Page 13: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 13/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

14TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

Mwezi wa Ramad-han ni msimu waWaislam kujichu-mia kheri nyingi

za kuwafaa duniani kwamwaka unaofuatia naakhera watakapokutana naMola wao. Kwa hiyo ni mwe-zi wa kukithirisha amali nje-ma na kujipinda kwa ibadambali mbali.

Lakini msimu huu kwa mwan-

amke wa Kiislam, hupita pasina ku-faidika vilivyo na fursa mbali mbalizilizopo katika mwezi wa Ramadhankutokana na kukalifishwa au kujika-

 lifisha na shughuli za maandalizi yachakula na kisha kujiandaa kwasikukuu ya Idd-ul-Fitr.

Matokeo yake wanawake wa-naikosa ile faida aliyoisema Mtume(Rehma na amani iwe juu yake),kwamba: “Pindi mwanamke ataka-poswali swala zake tano, na akafun-ga swaumu yake, akahifadhi utupu

 wake na akamt ii mume wake,ataingia peponi kwa mlango wowoteule aupendao” (Al-Tirmidhi).

Uislam unawahimiza wanaumena wanawake kujipinda katika kutu-mia fursa za masiku ya mwezi wa

Ramadhan kwa ibada na amali nje-ma za kumtii Allah na kujikurubishakwake na kutokupoteza wakati kwa

 yasiyo na faida.Lakini inahuzunisha kuona wa-

nawake wakifanya makosa mengikuhusu swaumu ya mwezi wa Ram-adhan pasina kujua. Miongoni mwamakosa yafanywayo na wanawakemwezi wa Ramadhan ni;

Mosi, kupoteza wakati mwingi jiko ni nyaka ti za mchana kwakukithirisha maandalizi ya ainambali mbali za vyakula kwa ajili yafutari na daku. Wanawake hufanyahivyo hata wasipate muda wa kuso-ma Qur’an, kuleta dhikri, kusikilizamawaidha na hata wengine swala

 tano zikiwapita.

Ewe dada katika imani, ina- takikana kupika aina mbili au tatu za vyakula kwa ajili ya futari na daku, iliupate muda wa kujikurubisha kwaMola wako ipasavyo. Soma makala

 ya ‘Nukta 10 za Mpango Wa Maan-dalizi Ya Ramadhan’ iliyochapishwakatika toleo hili na utumie maarifahayo kujipangia muda wako vizuri.

Namna nyingine ya kufanya ni wanawake katika familia moja ku-saidiana au kupeana zamu ya kupikaili kuwawezesha wapate muda wakufaidika na Ramadhan kama wa-navyofaidika wanaume.

Pili, wanawake kutoka nyakati zausiku kwa ajili ya kwenda msikitinikuhudhuria swala ya Ishai na

 tarawehe wakiwa wamevaa mavazi

 yasiyokidhi sitara ya mwanamke

pamoja na kujitia manukato makali ya fitna.Inawezekana msikiti ukawa

mbali na nyumbani na pia kutokahuko kukasababisha mchanganyikona wanaume, hususan wakati wakutoka msikitini, jambo ambalo lin-achochea vitendo vya kukurubia zi-naa na hata kufanyika uchafu huo,haswa miongoni mwa vijana na wa-sichana.

Mtume (Rehma na amani ziwe juu yake) anasema: “Mwanamke yeyote atakayejitia uturi, asihudhu-rie pamoja na sisi swala ya Ishai”(Muslim).

Katika hadith nyingine, Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake)anasema: “Mwanamke yeyote

atakayejitia uturi (manukato) kishaakapita kwa watu ili wanuse harufu

 yake, basi yeye ni mzinifu” (Ahmad).Ee dada yangu katika imani, ni

kipi cha kukufanya uhukumiwe uz-inifu ambao haujaufanya kwa kujitiamanukato, kisha ukatoka na kupita

 walipo watu? Je, ukifanya hivyo Ra-madhan yako umeitumia vizuri auumejidhulumu nafsi?

Kibaya zaidi, ni mwanamkeMuislam kujikwatua na kujitia uturimchana wa Ramadhan aendaposokoni au akiwa nje ya nyumba yake,kwani kufanya hivyo ni fitna kwa

 wanaume na hivyo hujic humiadhambi nyingi katika mwezi ambaoangefanya yale ya kumpatia thawabunyingi.

Dada yangu katika imani, pamo-

 ja na Uislam kutokumzuia mwan-amke kwenda msikitini kwa hadith:“Msiwazuie waja wa kike wa Allahkwenda misikiti ya Allah” (Bukhari),inakupasa kujua kuwa kutoka kwa-ko kwenda kuhudhuria swala ya

 jamaa si wajibu kama ilivyo kwa wa-naume kiasi kwamba utoke nyum-

 bani kwako, upande gari na kusafirikilometa kadhaa kufuata swala yaIsha na Tarawehe.

Tatu, michanganyiko baina ya wanawake na wanaume wakati wakutoka msikitini usiku. Kama mwa-namke atahudhuria swala ya Ishaina Tarawehe, basi afanye harakakutoka msikitini kabla ya wanaumekuanza kutoka.

Na katika hili, maimam wa

misikiti wawahimize wanawakekuanza kutoka msikitini na wa-naume kuchelewa kutoka. Hii nikwa sababu Mtume (Rehma na am-ani ziwe juu yake) alipowaona wa-nawake wakichanganyika na wa-naume majiani alisema: “Kaeni nyu-ma, kwani hamtakiwi kupita katikati

 ya njia, ni juu yenu kutembea pam- bizoni mwa njia” (Abuu Dawud).

Nne, kosa jingine lifanywalo na wanawake ni kuacha kufanya ibadambalimbali zinazoruhusiwa hali

 wakiwa katika ada zao za mwezi aunifasi. Wengi wa wanawake wakiwakatika ada zao au nifasi hudhani

 wamezuiliwa kufanya ibado zote,kumbe si kweli.

Mwanamke akiwa katika ada

 yake ya mwezi au nifasi na akawa

ndani ya mwezi wa Ramadhananaruhusiwa kufanya ibada za ku- jikurubisha kwa Allah kama vile ku-dumu na dhikr mbalimbali, kuombadua, kutoa sadaka, kusoma vitabu

 vya dini ya Kiislam na hata kusomaQur’an kwa kauli iliyo swahihi mion-goni mwa maulamaa, lakini iwe kwahifdhi.

Kwa hiyo dada yangu, usiikosefursa ya kujichumia kheri za mwezi

 wa Ramadhan eti kwa sababu ukokatika ada yako. Ulichokatazwa nikuswali na kufunga swaumu tu,hivyo usijihini bure ukakosa faida

 wazipatazo wanaume.Tano, kosa jingine lifanywalo na

 wanawake Waislam katika mwezi wa Ramadhan ni mwanamke ali-

 yekuwa katika ada yake ya mwezi aunifasi kuacha kufunga baada yadamu kukatika kabla ya alfajiri naikawa hakuweza kujitoharisha kwa

 josho la tohara kwa wakati.Hufanya hivyo kwa hoja kwamba,

asubuhi imefika kabla hajaoga josho la hedhi au nifasi, wakati kilichowa- jibu kwake ni kufunga swaumu yasiku hiyo hata kama hakuwahi kuogakabla ya asubuhi na aoge hata baada

 ya jua kuchomoza.Kwa hiyo wanawake Waislam

muwe makini na jambo hili, kwanini kinyume cha sharia kuacha ku-funga kwa kuwa tu hujaoga. Ni sawana mke na mume waliofanya tendo

 la ndoa usiku na wakalala pasinakuoga hadi asubuhi, wawili hawa ya-

 wapasa kufunga swaumu hata kam jua limechomoza kabla hawajaoga.

Sita, katika makosa yatendwayna wanawake ndani ya mwezi wRamadhan ni kuwakataza binti zakufunga swaumu pindi wanapotakkufanya hivyo kwa kisingizo kwamb

 bado wadogo kiumri.Ingawa swaumu ni wajibu kwa

 wakifikia baleghe, lakini kuwazoezkufunga swaumu wakiwa na umrmdogo ni jambo lililohimizwa katikUislam. Na pia wanawake wengi ha

 wawachunguzi mabinti zao kujukama wamekwishaanza kuona hedhi ili wawafundishe mambo ya ku

 jitwaharisha na kuwahimiza kufunga.

Saba, miongoni mwa makosa ya tendwayo na wanawake katikmwezi wa Ramadhan ni kuchelewkufungua wakati ukifika kwa kusubiri adhana ya swala ya magharibi.

Misikiti mingi huadhini mud wa swala ya magharib i ukifika wakati muda wa kufuturu huingikwa dakika kadhaa kabla ya mud

 wa swala ya maghribi, hivyo kukosfadhila ya kuwahi kufungua, ambayni sunnah miongoni mwa sunnah zswaumu zilizohimizwa.

Kwa hiyo wanawake wajichungna muda wa kufuturu, ambao ni pal

 jua linapozama likawa halionekaningawa wekundu wake bado uko angani. Maghribi huingia dakika kadhaa baadaye wakati pingapinga lusiku linapokaribia.

Nane, wanawake wengi hujishughulisha sana na maandalizi ysikukuu (Idd-ul-Fitr) katika kumi lmwisho la Ramadhan badala ya ku

 jipinda katika ibada kama alivy

okuwa akifanya Mtume (Rehma namani ziwe juu yake).Kapokea hadith Ummu

Mu’miniyna Aisha (Allah awe radhnae) kwamba: “Lilipoingia kumi lmwisho (la Ramadhan) alikeshusiku, na akiwaamsha watu wa nyumbani kwake na akijifunga kibwe

 bwe (kwa ibada)” (Bukhari, Mus lim).

Lakini wanawake wa Kiislamzama hizi likiingia kumi la mwishakili yote inahamia katika nguo zsikukuu kwa ajili yake na watot

 wake badala ya kuangalia analitumiaje kumi hilo kukithirisha ibadkumuiga Mtume (Rehma na amanziwe juu yake).

Tena kwa wanawake kuwa n

harakati za sikukuu huwatelezeshhata waume zao kwa kuwatoa katikkujihimu na ibada na kuwateza ngu

 vu kuwataka wawape pesa za kufan ya ‘matanuzi’ kwa ajili ya sikukuu yIdi.

Kwa hiyo enyi wanawake wa Kislam mcheni Allah, elekezeni akizenu na mioyo yenu katika kufanyamali nyingi zaidi kwenye kumi lmwisho la Ramadhan, badala ya ku

 jishughulisha na maandalizi y vyakula, mavazi na kutafuta kumbza starehe wakati wa Idd-ul-Fitr.

Tumuombe Allah Ta’ala atufikishe katika Ramadhan na aturuzukkutumia wakati wetu katika yenymanufaa kwetu.

 Amiin.

Makosa yanayofanywa

na wanawake katikaRamadhan

NA MWANDISHI MAALUM

WANAWAKE NA RAMADHAN

 

MAKALA

Page 14: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 14/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

MAKALA MAALUMIDDI JENGO

sawa na masaa 2 na nusu.Kwa hiyo masaa 7 ya ibada –

masaa 2 na nusu yanabaki masaa4 na nusu. Hapo kuna kusomaQur’an, swala ya tarawehe na witri yake na kisimamo cha usiku. Un-aweza kuipa swala ya tarawehemasaa 2, na kisimamo cha usikunusu saa na saa 2 lililobaki likawa la kusoma Qur’an na dhikr.

Utaona kwamba, kamautashikamana na mgawanyo huu wa wakati (muda) ndani ya mwezi wa Ramadhan unaweza kupata fa-ida kubwa kwa kuutumia muda

 wako vizuri, jambo ambalo kamahalikufanyika basi Ramadhan in-akuwa kama alivyowahi kusemaProfesa Ali Mazrui, ‘A plan gone wrong’, yaani mpango uliokwendamrama.

3. Weka malengo yenyekueleweka (set clear goals)

Baada ya kujua ni masaa man-gapi ya ibada utakayokuwa nayokwa siku nzima, hatua ifuatayo nikuweka malengo. Malengo yenyemanufaa ni yale yatakayokidhi hi- tajio liitwalo S.M.A.R.T yaani yenye sifa za umakhsusi (Specific), yenye kupimika (measurable), yenye kutekelezeka (Attainable),

 yanayozingatia uhalisia (Realistic)na yanayozingatia muda maalum(Time-bound).

Kwa mfano, kama mkakati wako Ramadhan hii ni kusomaQur’an, weka lengo makhsusi ku-soma kwa mazingatio kwa kuelewamaana (Tafsiri), kisha weka suraau juzuu unazotaka au unayotakakujua tafsiri yake ili uingie katika wale wasomao Qur’an kwa mazin-gatio.

Lengo lako la S.M.A.R.T litakuwa “Nataka kusoma Tafsiri ya Qur’an Juzuu ‘Amma yote Ram-adhan hii”. Kwa hiyo ili usome tafsiri ya juzuu ‘Amma yote katikasiku 29 ambazo Ramadhan inazo(kama si mwezi mkubwa), kila siku

itakubidi usome angalau sura 1 in-

gawa sura fupi fupi unaweza kuso-ma zaidi ya moja.

4. Tenga muda kwa kilalengo

Kwa kuwa tayari umeshakuwana malengo maalum ya Ramad-han na unajua masaa mangapi yaibada unayo kila siku, hatuaifuatayo ni kutenga muda maalumkila siku kufikia kila lengo ma-khsusi.

Kwa mfano, kama unalengo lakusoma Qur’an na dhikr kila sikukwa masaa 2, tenga muda wa ku-soma kwa mazingatio tafsiri ya

Qur’an angalau nusu saa, kusoma bila tafsiri saa 1 na nusu saa ili- yobaki kwa ajili ya dhikr.

 Weka muda mahususi wa ku-soma Qur’an (fanya baada ya swala ya alasiri au baada ya swala ya al-fajiri). Panga muda wa kuwa nahalaqa (kikao cha elimu) cha fa-milia baada ya tarawehe au baada ya sala ya alasiri. Kwa namna hiikila lengo liwekee muda maalumna ulitekeleze muda wake ukifika bila kukosa ila kwa udhuru.

5. Tumia masaa ya kabla yaaflajiri vizuri

Masaa ya baada ya usiku wamanane na kabla ya alfajiri yaju-

 likanayo kama “Al As-haa’u” nimasaa bora kabisa ya kufanya iba-da. Allah Ta’ala anasema; “Wa- likuwa wakilala kidogo sana usiku,na nyakati za Al as-haari wao waki- leta maghfira” (51:17-18).

Hiki ndicho kipindi cha kisima-mo cha usiku, dhikr na hata kuso-ma Qur’an kwa mazingatio, kwani Allah anasema: “Ewe uliyejifunika(Muhammad). Simama usikuisipokuwa (lala kidogo). Nusu yakeau punguza kidogo. Au zidisha juu yake na usome Qur’an kwa tarati- bu. Hakika sisi tutateremsha kwa-ko kauli nzito. Hakika kuinukausiku kuna utulivu zaidi na borakwa kuelewa maneno (ya Allah)”(73:1-6).

Kwa hiyo huu ni wakati muafa-

ka kufanya Qiyamul-Layli, dhikrmbali mbali na dua, kwani wakatihuu mtu anakuwa hajachoka, ana-kuwa na utulivu kwa kutokushu-ghulishwa na kazi na majukumu ya familia. Ni vema basi tutumiesana wakati huu wenye baraka.

6. Panga halaqa (vikao vyaelimu) vya familia

Mwezi wa Ramadhan ni wakatimuwafaka wa kukuza mafunga-mano katika familia na kukuapamoja kiimani. Nafsi zinaathirikazaidi kwa malezi ya kiroho na njiamojawapo ya kuzipa nafsi malezi

 ya kiroho ni kuwa na halaqa za wa-nafamilia wote.Katika halaqa hizi, mnaweza

kusoma sura au aya moja ya Qur’anau hadith moja na tafsiri yake.Mnaweza pia kusikiliza kandambali mbali za mawaidha.Mnaweza pia kuchagua kitabu fu- lani cha kusoma kwa pamoja kishamkajadili faida mliyoipata kutoka-na na mada ya siku hiyo, huku kilammoja akipewa nafasi ya kusema yaliyo moyoni mwake.

7. Epuka kufanya jukumuzaidi ya moja wakati mmoja(Multi-tasking)

Hiki ni kipengele muhimu cha

matumizi ya muda siyo tu katikamwezi wa Ramadhan bali hata nje ya mwezi wa Ramadhan. Wataala-mu wa matumizi ya muda wanase-ma kushika kazi zaidi ya moja kwa wakati ule ule hushusha kiwangocha uzalishaji.

Usijaribu, kwa mfano, kusomaQur’an huku ukiangalia kipindicha TV au kusikiliza radio. Kwaakina mama usijaribu kufanyadhikr huku ukijishughulisha nashughuli za kupika. Dhikr ni ibada,hivyo itengewe muda wake maa- lum.

8. Punguza mwingilianomwingi na watu (Excessivesocializing)

Mwezi wa Ramadhan punguzakujumuika sana na watu katikamambo yasiyokuwa ibada. Pun-guza matumizi ya mitandao ya ki- jamii na ongeza kupata muda wafaragha kutekeleza mipango yako ya kiibada.

Kama unaona una muda wa zi-ada, basi ni vema uende msikitiniukusudie itikafu ili ujitenge mbalina ratiba za kila siku ulizozizoeakama vile kukaa vijiweni, kwenyemagenge ya kahawa, kuangaliamechi za michezo mbali mbali namambo yote ya pumbao (laghwu).

Punguza mialiko ya futari iliuweze kupata muda wa kufuturu

na familia na kushikamana na rat-iba yako ya kila siku kwa wakati.Unaweza kupanga ratiba nampango mzuri wa Ramadhan la-kini kama hutadhibiti mwingil-iano na watu wengine utajikutahutekelezi hata robo ya mpango wako huo mzuri.

9. Jiweke katika afya njema

 Afya ni tunu kama alivyosemaMtume (Rehma na amani ziwe juu yake): “Neema mbili zimefichika-na kwa wengi katika watu, afya nafaragha/wakati” (Bukhari). Hu- wezi kutimiza malengo yako katikaRamadhan kama umekosa afyanjema.

Na tunapozungumzia afya tunamaana ya afya ya kiwiliwili na afya ya akili, yaani utulivu wa nafsi un-aopelekea utulivu wa akili. Kamahutopata usingizi vizuri, ukiugua,kukosa kipato au kutokuwa katikahali ya amani ndani ya familia hu- wezi kufanya ibada zako vizuri.

Kwa hiyo, moja ya maandalizi ya Ramadhan ni kujiepusha na yale yote yatakayokugharimu fed-ha nyingi kama vile kula vyakulaaina nyingi kiasi kwamba hata kilealichokuruzuku Allah kikawa hak-ikutoshelezi.

Jaribu kuupa nguvu mwili kwakulala usingizi masaa uliyoyapan-ga na hili haliwezekani ila ulale

mapema. Ndiyo maana Mtume

(Rehma na amani ziwe juu yakeakakataza kutembeleana baada yswala ya Isha.

Kula vizuri futari na daku kwkuhakikisha lishe bora inapatikana, ikiwemo kunywa maji ya kutosha au juisi. Epuka vyakula vyenysukari nyingi na mafuta meng Amka kula daku nyakati za dakna kunywa maji mengi baada ykula daku. Epuka kula daku mapema, ni kinyume na Sunnah.

Zidisha swaumu na ucha-Mungu

Katika namna mbaya ya ku

 jiandaa na Ramadhan ni watkukithirisha maasi siku za mwishmwisho za mwezi wa Shaaban ka tika kile kiitwacho ‘Vunja JunguHaya ni mambo ya kijahili, kwanhuwezi kujiandaa kumpokea mgeni wako umpendaye na kumheshimu kwa kujipakaza kinyesi.

Imekuwa kawaida kusikia ma tangaz o katika vyombo mbambali yakiwaita watu katika maahaya ya ‘Vunja Jungu’ na yanapitpasina kukemewa. Katika maandalizi ya Ramadhan hii, siyo tu si wenyewe tujiepusha na balaa hili l‘Vunja Jungu’ bali tupige vitmambo haya.

Mtume (Rehma na amani ziw juu yake) alisema: “Mwenye kuon

Munkari (ovu) miongoni mwenna aliondoshe kwa mkono wakikiwa hatoweza basi kwa ulim wake na ikiwa hatoweza basi kwmoyo wake na huo ndio udhaif wa imani” (Muslim).

Ndugu Muislamu, tunapoonmatangazo haya kisha tusikeme wale wayafanyayo, huo tayari udhaifu wa imani. Je, iwapo si wenyewe tukashiriki kwenye hiz‘vunja jungu’ tutakuwa nani?

Tumuombe Allah Ta’ala atu jaalie kuifikia Ramadhan tukiwsalama na wazima wa afya na aturuzuku kuufanya mwezi wa ibadna sio mwezi wa mazoea - Amiin.

 [email protected] 0714

 135 201

 inatoka Uk...11

Nafasi ya swaumu ya Ramadhan

katika kuleta mabadiliko

MAKALA

Page 15: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 15/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

16TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN TANGAZO

Page 16: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 16/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015TOLEO MAALUMU LA RAMADHANMAKALA YA KIMATAIFA

Tayari ni saa 9 usiku,niko peke yangunimekaa mbele yameza ya jikoni kwan-

gu. Ninakunywa uji gizani. Ra-madhan yangu ndogo ilianzakwa futari ya peke yangu, kisha

makelele ya walevi na muzikimtaani.

Kadiri Ramadhan ilivyoka-ribia kumalizika mwisho wawiki hii, Waislam weng i dun-iani kote watakuwa wanata-fakari jinsi mwezi huu ulivyo-pita. Mimi si Muislam kwa hiyosintokuwa nikisherehekeasikukuu ya Idd.

Pamoja na hayo, nimekuwanikitafakari uzoefu wangu nda-ni ya mwezi huu. Na miminimejifunza mambo makubwa.Sikuwahi kufunga kabla yamwezi huu. Nilikua kama Mka-toliki. Hivi sasa mimi ni Mlib-erali na sina sababu maaluminayonilazimisha kufunga

kama sehemu ya imani ya diniyangu.

Kuwatazama rafiki zanguwakifunga na huku wakifanyakazi hata msimu ambao mcha-na ni mrefu kuliko usiku hukuUlaya, kulinishangaza, kusemakweli nilihisi kuchanganyikiwa.Sikuelewa ni nini wanachohisiwakifunga?

Niliona ni jambo lisiloingiaakilini mtu kuwa karibu zaidina Mungu wake eti kwa kukaabila ya kula na kunywa. Kuse-ma kweli kukaa bila kula kun-genifanya nisiwe na hamu yachochote, nikose nguvu nakuhisi njaa na kiu kali tu.

Ramadhan hii nikaamuakujaribu kufunga nijioneemwenyewe ile hali wanayoihisiWaislamu. Nil ijisemea: “pen-gine inawezekana hata kwamimi, Mkristo mpenda vyakulakujifunza kitu kwa kujumuikakatika swaumu ya mwezi huumuhimu wa Kiislam”.

Lakini, nikajiuliza, siku the-lathini? Hapana, haiwezi kuwahivyo, inawezekanaje? Pamojana hayo nilikuwa nimepaniakujaribu angalau siku tatu tu.

Jumapili, Julai 29, 2012 ili-kuwa sikukuu ya wayahudi yaTisha B’Av, siku ambayo waya-hudi wengi hufunga. Hii ikawasiku muwafaka kwa mimi

kuanza kufunga Kiislam kwakuwa nilikuwa nasafiri narafiki yangu Myahudi kwendakushiriki futari kwa rafikiMuislam jioni hiyo.

Rafiki yangu alinielezeakwamba, katika dini ya kiyahu-di, swaumu inaweza kuwa namaana mbali mbali na malengombali mbali kutegemeana natukio linalohitaji swaumu hiyo.

Swaumu inaweza kuwa ten-do la kukumbuka mateso ya vi-zazi vilivyopita au unawezakuona kuwa vyakula vinakuko-sesha kupata wasaa wa utulivu wa ki ro ho hiv yo un aam uakuacha kula.

Nilisikiliza kwa makini na

kujaribu kuelewa. Jioni ya sikuhiyo nilipokuwa ninang’atatende yangu kufungua swaumuniliyofunga sikujihisi kuwa ka-ribu na Mungu kwa sababu yanjaa na kiu nilivyovipata.

Ni lipokuwa niki fanyamaombi jioni hiyo, kitu chaajabu kilijitokeza. Akili yangu yenye njaa ya kujifunza haiku-tarajia hisia niliyoihisi ndani yangu, nilipata hisia ya shukranna furaha. Nilijisikia nimeba-rikiwa kwa siku hiyo ya swau-mu yangu ya kwanza.

Nilikaa na rafiki yanguMuislam siku nyingine mbili,nilijaribu kujiweka ndani yaratiba yake ya Ramadhan.

Kuswali kukawa mara nyingizaidi ya nilivyokuwa nikijua Waislam wanaswali. Swala ili-nifanya niondoe fikra zangukuhusu chakula.

Kila jioni, rafiki yangualikuwa akienda msikitini,nilimfuata na kukaa mwishokabisa kimya, nikitafakari kilanililoliona. Kila dada zangu Waislam walipoina ma, kusu- judu na kuinuka niliwaangaliakwa mshangao.

Nilisikiliza kisomo chaQur’an kwa kiarabu ingawasikuelewa kitu, lakini ajabu ili-

kuwa na mvuto wa kipekee.Jambo moja nilipendalo kuhusuUislam ni kwamba, hii ni dini il-iyojikita zaidi katika kuswali.

Nyakati za Ramadhan, dinihii hupata nguvu zaidi, kwani Waislam hutumi a mud a zaid imsikitini, wakiungana pamojakama jamii kwa ajili ya swala zausiku. Mjumuiko huu wa kidu-gu katika Ramadhan ni kitukilichoniathiri zaidi.

Kushiriki katika futari narafiki yangu pamoja na familia yake kulinifanya nijihisi sehemu ya ja mi i hi i, ac hi li a mb al imatembezi tuliyoyafanya kwandugu zao na kufuturu pamojana Waislam wengine msikitini

siku yangu ya mwisho ya kufun-ga.

Sababu moja iliyonifanyanichague kufunga ndani yamwezi wa Ramadhan nikwamba miongoni mwa dinizote duniani, pengine Uislamndiyo dini isiyoeleweka zaidi na wen gi, na amb ayo Wais lam wengi huite keleza kinyume namaandiko matukufu.

Majira ya kipupwe yaliyopitanilihudhuria mdahalo kuhusu

mila na desturi mbali mbali,ambao haraka uligeuka kuwa jukwaa la mashambuli zi dhidi ya Uislam. Msemaji wa kwanzaalisimulia kuhusu watoto wa

shule kunyimwa maji ya kunywasiku za joto kali kipindi cha Ra-madhan.

Kwa mawazo yangu, mzun-gumzaji hakujua shauku waipatayo watoto kuhusu mwe-zi wa Ramadhan, kiasi kwambahawahitaji mtu kuwazuia kulana kunywa, bali hufanya kwa hi-ari yao.

Hakujua watoto hao ingawani wa umri mdogo, walikuwa wakijif unza kufun ga swaumukidogokidogo; siku moja wa-nafunga, siku moja wanaacha.Lakini ni wazi walitamani kuwa wakubwa ili na wao wafungemwezi mzima.

Bila shaka walitambua ku-

funga swaumu ni kushiriki kati-ka jambo kubwa na takatifu, jambo ambal o l inaun ganishafamilia na jamii kwa ujumla.Mimi mwenyewe nilijisikia ku-unganishwa na Waislam nilipo-funga Ramadhan ile.

Niseme wazi kwamba, ni- likaribishwa kwa furaha na ba-shasha, hususan walipogunduakwamba mimi si Muislam lakinininashiriki kufunga swaumukama wao. Ingawa nilifungasiku tatu tu, uzoefu na hisia nili- yoipata ilibaki nami na hadi sasa bado naitafakari.

Kuna mengi ya kujifunzakutokana na swaumu ya Ram-adhan, siyo tu kuhusu jamii ya

 Waislam inavyodhihirisha udu-gu na upendo, bali kuinuauelewa juu ya dini. Nilijifunzamengi hata kuhusu mimimwenyewe.

Sikujua kwamba nina nguvukubwa ya dhamiri (will power) ya k uacha kula hata baada yakuanza kusikia njaa mpakaufikie muda wa kufuturu. Niki- wa nimepata funzo hili kwambanaweza kuidhibiti nafsi yangu,mtazamo wangu kuhusu vyaku-

 la sasa umeboreka.Pengine somo kubwa z

nililoondoka nalo kutkwenye swaumu ni kujenga ezo wangu wa kuidhibiti n

na kujenga huruma kuh wale amba o hawan a hiarkutokula kwa sababu hawkitu cha kula.

Kutokana na fikra tzobadilishana na Waislamuelewa wangu mdogo baadkufunga siku tatu tu, nilitafana kujua kwa nini Ramadhamwezi muhimu na wa kipek

Ramadhani ni mwezimageuzi makubwa ya nafsi sababu ya juhudi za kuendazifanyazo mfungaji na hisi le ng o ma al um la sw auTwaweza kujaribu kila uckuelezea imani zetu kadiri wezavyo kupitia matendo ye

Lakini sisi ni binadam

tunaweza kushindwa na khakika hufeli. Kilicho cha kuangaza kuhusu Ramadhan,  ya miezi 12, nadhan i ni mwambao ndani yake mtu hupfursa ya kujitafakari, kuang juhudi za n yuma, mwaka mma na kuangalia afanye nmwaka ujao.

Pengine kule kufunga swmu, kujumuika kama jamii, badilishana uzoefu na udhi wa n afsi upatik anao ndanRamadhan hutoa msaadaaohitajika sana kumbadili m

Najua kwamba nitauhmsaada huu siku za mbelKwa hiyo hii imekuwa m yangu ya kwanza kufunga sw

mu ya Ramadhan na natahaitokuwa mara ya mwikwangu kujikuta nikifuswaumu ya Ramadhan.

 Wako was iokuwa Wais wanaodiriki kufunga japo knia ya kujifunza kama huyuni Waislam wangapi siku  wanaacha kufunga?

Mfasiri wa Makala haySheikh Mohammed Issa, afuatilia iwapo Charllote alimu bila mafanikio.

Mimi si Muislam, lakini Ramadhan ilinibadil

HUKO NYUMA,MADAKATARIWALIKUWAWAPINGAJIWAKUBWA

WA KUSAIDIAWAGONJWA

KUJIUA. JUMUIYA YAMADAKTARI

NCHINIMAREKANI

ILIWAHIKUTOA TAMKO:

“DAKTARI

KUMSAIDIAMGONJWAKUJIUA NI

KINYUME NAWAJIBU WAKE,

 AMBAO NIKUMSAIDIAMGONJWAKUPONA”.

KUJIZIWIA NA YASI-YORANDANA NA FUN-

GA:

Funga ni moja ya ibada bora ya kujipendekezakwa Allah. Allah amei- leta ibada hii ya funga ili

izinyooshe nafsi na kuzizoeshakatika kupenda kheri.

Kwa maelezo haya, anatakiwamtu aliyefunga ajiepushe namambo yote yanayoweza kuihar-ibu funga yake na ahakikishe ana-faidika na funga yake, na anaufi-kia ucha Mungu uliotajwa na Al- lah kwenye neno lake lifuatalo.

 Allah anasema katika Qur’an:“Enyi mlioamini! Mmefara-dhishiwa funga, kama walivyo-faradhishiwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah”.

Funga si kuacha kula na kunywa

na vinavyofunguza peke yake, balifunga ni kuacha kula, kunywa na vyote vilivyokatazwa na Allah.

Imepokewa na Abi Hureyrahkuwa: Mtume (Rehma na amani ya Allah iwe juu yake) alisema:“Funga (halisi) si kujizuwia nakula na kunywa, isipokuwa funga(halisi) ni kujizuwia na mambo yakipuuzi na lugha chafu. Na en-dapo mtu atakutusi au akakud-harau, sema: (kwa ulimi au kwamoyo, au kwa vyote) ‘Kwa hakikaMimi nimefunga’, ‘Kwa hakikaMimi nimefunga” [Imepokewana Ibn Khuzaimah, Ibn Hibban,na Hakim akasema ni sahihi kwasharti la Muslim].

Na imepokewa na wapokezi

 wengi kutoka kwa Abi Hurairah

isipokuwa -Imam Muslim- kuwa:Mtume (Rehma na amani ya Al- lah iwe juu yake) alisema: “Mtuasiyeacha kusema uongo, na ku- tenda vitendo vya hovyo, Allahhana haja ya yeye kuacha chakulachake na kinywaji chake” (yaani-haikubali funga yake).

Kupiga mswaki:Inapendekezwa kupigwa

mswaki wakati wa funga, nahakuna tofauti kati ya kupigamswaki wakati wa usiku na wakati wa mchana. Mtumemwenyewe, (Rehma na amani ya Allah iwe juu yake), alikuwa ana-piga mswaki na huku akiwa ame-funga.

UKARIMU NA KUISOMA

QUR’ANUkarimu na kuisoma Qur’an,ni mambo yanayopendekezwakufanyika kila wakati, isipokuwamawili hayo katika mwezi wa Ra-madhan yamesisitizwa zaidi.

Imam Bukhari anapokeakutoka kwa Ibn Abbas (Allah am-ridhie yeye na baba yake), akise-ma: “Mtume alikuwa mkarimuzaidi ya watu wote, na alikuwaanakuwa mkarimu mara dufukatika mwezi wa Ramadhan, wakati alipokuwa anakutana naJibril, na alikuwa anakutana naJibril ndani ya kila usiku wa Ra-madhan akidurusu naye Qur’anna alikuwa na kasi katika mambo ya kheri kuliko upepo unaovuma

kwa kasi”.

KUFANYA BIDII KATIKAIBADA KWENYE KUMILA MWISHO LA RAMA-DHAN

Imepokewa na Imam Bukharina Muslim kutoka kwa Bi, Aisha(Allah amridhie) kuwa: “Mtume(Rehma na amani ya Allah iwe juu yake), alikuwa linapoingiakumi la mwisho (la Ramadhan)alikuwa anakesha, na kuwaam-sha wake zake, na alikuwaanaongeza juhudi (yaani anajiki- ta zaidi) katika ibada”.

Na katika riwaya ya Muslim:“Alikuwa anajipinda zaidi (katikaibada) katika kumi la mwisho ku- liko anavyojipinda katika siku ny-ingine”.

Inahimizwa kwa mtu anayefunga kuzingatia adabu zifuatazo inatoka Uk...9

Ni kauli ya Charlotte Dando, Mkurugenzi Msaidizi, William Temples Foundatio

Page 17: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 17/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

18TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

Ramadhani mwenye shani, ewe shahari tukufu,Ramadhani mwako ndani, mumejaa matukufu,Ramadhani kwa kifani, sijaona wako kufu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani si Shabani, waongoza kwenye safu,Ramadhani ‘waiwini’, arba mitakatifu,Ramadhani namba wani, kwa hilo sina hawafu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani duniani, u johari nakashifu,Ramadhani kwa thamani, wazidi vito nadhifu,Ramadhani kithamani, vyote havifui dafu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani twatamani, yako yote matukufu,Ramadhani ni Manani, alokupa utukufu,Ramadhani bora mweni, twakungojea kwa afu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani duniani, kheri zako zasadifu,

Ramadhani dhunubuni, watuauni rishafu,Ramadhani na RAYANI, u wazi kwa watiifu,

KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani zi hewani, rehema zake Latwifu,Ramadhani u wanjani, msamaha wa Raufu,Ramadhani tu huruni, na moto wa wakosefu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani u mwandani, wa wema na watukufu,Ramadhani wahisini, memayo na matukufu,Ramadhani hayakhini, hayo ila mpotofu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani ni mizani, ipimayo kwa insafu,Ramadhani maradhini, tumepewa tahafifu,Ramadhani safarini, Allah hajatukalifu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

Ramadhani u njiani, na kheri zako sufufu,Ramadhani twatamani, ungekuwa maradufu,Ramadhani tu foleni, twakungoja safusafu,KARIBU MWEZI WA AFU, MTUKUFU RAMADHANI.

 ABUU NYAMKOMOGI - MWANZA 

1. Kwa moyo uso inadi,Nawaletea zawa-di.  Itokayo kwa wahidi, Ilahi mola jalia.

2. Zawadi hasa yakini,Izidishao imani.  Kurudi kwa rahmani. Kufuata ya nabia.

3. Zawadi yenye amani,Ipendezao moyo-ni.  Zawadi ni ramadhani,Wazi nawatan-gazia.

4. Ni mwezi usio shaka,Ni mwezi wenye baraka.  Ndio hunu ushafika,Waja umetufikia.

5. Tumshukuru illahi,Kutujalia uhai.  Kufikia sahihi,Tena umetufikia.

6. Wangapi leo nanena,Walo usubirsana.  Lakini mola rabana,Rabbi hakuwa

 jalia.

7. Hakujalia kuona,Washarudi kwakesana.  Kwenye njia ile pana,Sote tutaipatia.

8. Ndio kwa yake hiari,Illahi mola kahari  Kwa mwezi hunu wa heri,Sisi tumejio-nea.

9. Lazima tuone raha,Raha iso ikiraha.  Raha ilo na furaha,Sisi umetufikia.

10. Ndio natowa wasia,Upate kuwafikia.  Kwa munaonitegea,Mupate kuzinga-

 tia.

Karibu mwezi wa afu Utenzi wa kukaribisha Ramadhan

Muda   Kipindi

VIPINDI RADIO IMAANMuda   Kipindi

VIPINDI TV IMAAN

MASHAIRI YA RAMADHANI 

Muda   Kipindi

 VIPINDI /USHAIRI

Page 18: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 18/19

www.islamicftz.org

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18, 2015

1TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN WATOTO / TANGAZO

Masafa ya Imaan FM

Kigoma

Moro

Arusha

Ruvuma

Dsm

Mtwara

Mwanza

Tabora

Mbeya

1 Daresalaam 104.5 Mhz2 Morogoro 96.3 Mhz3 Arusha 90.8 Mhz4 Mwanza 105.6 Mhz5 Kigoma 92.5 Mhz

6 Tabora 101.6 Mhz

7 Mbeya 90.3 Mhz8 Dodoma 102 Mhz9 Ruvuma 94.2 Mhz10 Mtwara 90.9 Mhz11 Zanzibar 104.5 Mhz

12 Pemba 104.5 Mhz 

104.5 Mhz

104.5

104.5 Mhz

104.5 Mhz

104.5 Mhz

104.5 Mhz

105.6 Mhz

101.6 Mhz

94.2 Mhz

90.9 Mhz

92.5 Mhz

90.8 Mhz

Dodoma

102 Mhz

NAHIDA ESMAIL

WATOTO NA RAMADHAN 

Tunaelekea mwishoni mwa

mwezi wa Shaabani na kuukar-ibia mwezi mtukufu wa Ram-adhan! Uko tayari kwa Ramad-

han mwaka huu? Kumbuka huu ni mwe-zi wa ibada, Qur’an na usiku wa cheo(Laylatul Qadr. Hivyo basi tujiandae.

 Weka nia ya kuifanya Ramadhan hii kuwa bora kuliko ya mwaka jana. Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) amesema: “Malipo ya matendo yanategemea niana kila mtu atalipwa kutokana na nia yake” (Bukhari).

 Angalia hapa chini mambo ya kuzingatia katika maandalizi ya Ramadhan:Nunua tende Andaa nguo za Idd mapemaOngeza kumuomba Allah msamaha (Sema: Astaghfirullah) Andika dua zakoSafisha kabati lako, kwa kugawa kwa wanaohitaji vitu ambavyo wewe huvihitajiGawa vitu vyako vya kuchezea ambavyo unadhani ni ziada na huvihitaji kwa wa-

 toto wenzako

Pia zingatia haya: Weka nia ya kufungaKula daku

Dumu katika fungaSwali swala za faradhi zote mara tano kwa sikuSoma Qur’anOmba duaKuwa mwema kwa watuSwali tarawehe

 Nawe unasemaje!?

Fikiria kuhusu mambo ambayo unaenda kuyafanya Ra-madhan hii. Jibu maswali yafuatayo:

1. Surah ninazotaka kujifunza kusoma na maana yake ni  ...........................................................................................................  2. Nataka kutoa sadaka...........................................................................................................

 3. Nitaifanya Ramadhan hii kuwa mwezi bora kwa sababu...........................................................................................................

 4. Tia rangi picha ifuatayo...........................................................................

MAMBO YA KUZINGATIA RAMADHANRamadhanndio hii! JIANDAE NA RAMADHAN

ZAHRA EBRAHIM

Imetufikia! Imetufikia! Imetufikia!

Hatimaye Ramadhan imefika !Mwezi wa baraka, fursa nzuri ya kuweka

uzito mizani yetu kwa matendo mazuri nakujisafisha kimwili na kiroho.

 Vipi utatumia mwezi mtukufu wa Ramadhankupata faida kubwa iwezekanavyo?

Bila shaka, kwa kupanga na kujiandaa sisi wenyewe katika maendeleo. Kama tunavyojua,“Ukishindwa kupanga, unapanga kushindwa”.

Haya ni mambo machache ya kukusaidia kuwa tayari kwa Ramadhan;

1.Soma na kusanya taarifa kuhusu Ramadhan.Hii itakufanya uhamasike na kujua zaidi ibadambalimbali, sheria zake na umuhimu wake.

2.Weka orodha za dua zote utakazo omba iliusiache hata moja. Muda mzuri wa kuomba duani kabla ya kufuturu, usiku wa siku za mwishomwisho za Ramadhan na muda wa Tahajjud.

3.Kamilisha manunuzi yako ya Ramadhan,sikukuu ya Idd na zawadi kabla ya Ramadhankuanza. Hii itakuepusha kupoteza muda katikakufanya manunuzi na kukufanya uwe makini naRamadhani.

4.Epuka vyakula vya mafuta mengi na kulasana wakati wa kufuturu, itakupelekea kuwa mvi-

 vu.5. Panga orodha ya vyakula vyenye afya kwa

ajili ya kula mwezi wa Ramadhan. Kumbuka

kuongeza matunda na mboga mboga ambavyo vitakufanya uwe na nguvu muda wote wa Ramadhan.

6.Panga ratiba nzuri na inayotekelezeka. Hiyoitakusaidia kupumzika vizuri, kufanya kazi zakoza kila siku (kazi za shule, kusaidia wazazi) na ku

 tumia muda wako kwenye ibada na dhikir (kumkumbuka Mungu).

7.Epuka kulala siku nzima, itakufanya ukosenguvu, ujisikie kuchoka na mwenye usingizi.

8.Kunywa maji mengi ili mwili uwe na maji yakutosha muda wote.

 Anza kujiandaa ili uwe na Ramadhan yenye baraka na mafanikio.

Zoezi

 1.Kuna miezi mingapi katika kalenda ya Kiislam?

 ..................................................................

2.Ni upi mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiislam?

.................................................................. 

3.Taja matendo matatu ya kiibada unayoyafanya.

.................................................................. 

Chora mti wa mtende na andika faida tatu zakula tende

Page 19: Imaan Newspaper issue 10

7/17/2019 Imaan Newspaper issue 10

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-10 19/19

www.islamicftz.

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

20TOLEO MAALUMU LA RAMADHAN

Mimi si

Muislam,lakini

Ramadhanilinibadili

Uk 17

25 Shaaban 1436,  IJUMAA Juni 12 - 18,

 

NA MWANDISHI WETU

Kongamano la Ra-madhan (Ram-adhan Confer-ence) ni mku-

tano maalum wa wana-taaluma na wanazuoniwa Kiislam ambalolinaandaliwa kabla yamwezi mtukufu wa Ram-adhan likiwa na dhamiraya kuwakutanisha pamo-

 ja wataalamu hao ili ku-badilishana mawazo juuya mwezi mtukufu wa Ra-madhan.

Ni kongamano la siku mojaambalo ndani yake masheikh na

 wataalamu wa Kiislam huwasili-sha mada mbalimbali zinazohu-siana na mwezi wa Ramadhan,kisha washiriki kupata fursa yakubadilishana mawazo juu yamada husika.

 Akizungumza na gazeti Im-aan, Mwenyekiti wa KalamuFoundation ambayo ndio warat-ibu wa kongamano hilo, waki-shirikiana na jumuiya ya wana-

 taaluma wa Kiislam Tanzania(TAMPRO), Mohammed Kam-ilagwa, alisema wazo la kuan-zishwa kwa kongamano hilo

 limekuja kufuatia upotoshaji wa watu kuhusu makaribisho ya

mwezi wa Ramadhan. Alisema, hapo awali kulikuwa

na changamoto ya watu kudhanikuwa, mwezi mtukufu wa Ram-adhan unakaribishwa kwa muz-iki, ngonjera na maasi mengineambayo wameyapa jina la VunjaJungu. Hivyo waliona kuna haja

 ya kuingilia kati na kusema kweli juu ya mapokezi ya mwezi huomtukufu.

“Sisi kama wataalam wa Kiis- lam tuliona kuna tatizo kuhusumapokezi ya mwezi mtukufu waRamadhan. Kila mtu alikuwaanapokea kwa mtindo wake,

 wengine wakicheza muziki, tu-kaona tuingilie kati” alisema Ka-milagwa.

 Aliongeza kusema kuwa, ka- tika kutoa ufafanuzi juu yamapokezi mazuri ya mwezi huo,ndipo wakaja na wazo la kuanzi-sha Kongamano la Ramadhan

 linalokutanisha wataalam ku-

 jadili mada mbalimbali juu yamwezi huo.

 Akizungumzia kuhusu Wais- lam wa ngazi ya chini, Kami- lagwa alisema, kupitia konga-mano hilo ambalo huwa linabe-

 ba kaul i mbiu maalum kilamwaka, wanahakikisha kuwamafundisho yanayowasilishwa

 yanasimamiwa na kufikishwakatika ngazi ya jamii.

 Alisema, mara kadhaa wame-kuwa wakitumia mada zinazow-asilishwa hapo kusaidia jamiikwa kutekeleza kauli mbiu kwa

 vitendo, ambapo wanatumia ra-silimali walizonazo kusaidia baa-dhi ya changamoto zilizopo kati-

ka jamii. Akitaja baadhi ya changamo-

 to ambazo wamekuwa wakiz-ishughulikia, alisema kuwa nipamoja na ujenzi wa madrasa naujenzi wa nyumba za walimu,ambapo mpaka hivi sasa tayari

 wamefanikiwa kujenga madrasana nyumba za walimu zaidi yanane katika mikoa ya Dar es sa-

 laam, Pwani na Lindi.“Kwa mwaka jana tulikuwa

na kauli mbiu ya ‘Vijana wetu,hazina yetu’ na kupitia kaulimbiu hiyo tulitembelea madrasa,hususan huko vijijini maeneo yaMkuranga, ambako tumekutahali ni mbaya kuanzia madrasa

 yenyewe na nyumba za walimu

 wao, na hivyo tukaamua kusaid-ia ujenzi”, aliongeza Kamilagwa.

 Akizungumzia mafanikio yaKongamano la Ramadhan, Ka-milagwa alisema, limewaungan-isha wanataaluma wa Kiislamkatika kushiriki midahalomuhimu, ambayo ina faidakubwa kwa Waislam.

 Alisema, hapo awali ilikuwani vigumu kwa wanataalumakubadilishana mawazo kupitiamisikitini. Hiyo ni kutokana namajukumu yao kuwashughuli-sha mno kiasi ambacho akifikamsikitini anawaza kuswali tu nakisha kuondoka.

 Ameongeza kuwa, ujio waKongamano la Ramadhan ume-

 jibu mahitaji ya Waislam, husu-san wa maofisini na wale wasiomaofisini kukutana pamoja ku-

 badilishana mitazamo juu yamafundisho ya dini ya Kiislamkuhusiana na mwezi mtukufu

 wa Ramadhan.Naye, mmoja wa waratibu wa

kongamano hilo, Sudi Mussa al-isema, kongamano hilo limewe-za kuongeza hamasa miongonimwa vijana wa madrasa kufuatiakuanzishwa kwa mashindano yamadrasa ya kuhifadhi Qur’an

 yaliyofanyika huko Mkuranga.Mussa alisema, mashindano

 ya madrasa yalianzia katika nga-zi ya mtaa hadi wilaya, ambapokwa kiasi kikubwa watoto walin-ufaika na mashindano hayo yali-

 yofanyika mwaka juzi.

Mussa alisema, kongamano la mwaka jana walikusanya Tsh.milioni 8 ambazo walizitumiakatika ujenzi wa madrasa na ku-fanya utafiti juu ya hali ya masla-hi ya walimu wa madrasa.

 Alisema, katika utafiti huo, walibaini mambo mengi, lakinikubwa ilikuwa ni walimukutegemea zaidi wazazi ili kupa-

 ta fedha ya kujikimu.KONGAMANO LA 2015

 Akizungumzia maandalizi yaKongamano la mwaka huu, am-

 balo linafanyika Juni 14, 2015,katika ukumbi wa Mwalimu Ny-erere, Kamilagwa alisema, mata-

 yarisho yote yamekamilika na wanategemea watu 900 wata-shiriki.

Kamilagwa alisema, konga-

mano la mwaka huu ni la aina yake, ambapo mada tatu kuhusi-ana na Ramadhan zitawasilish-

 wa na wanataaluma kutoka nda-ni na nje ya nchi.

 Aliwataja jopo la watoa mada

katika kongamano hilo kuwa nipamoja na Prof. Omari Kasulekutoka Fahd Medical Center yaSaudi Arabia, Sheikh Muham-mad Issa wa Taasisi ya Baraza laSunnah Tanzania (BASUTA) naMwanasaikolojia Sadaka Igan-di.

Mada zitakazowasilishwa ka- tika Kongamano hilo ni pamojana ‘Ndoa chanzo cha utu wetu’itakayowasilishwa na SheikhMuhammad, wakati Prof.Kasule atawasilisha mada kuhu-su taasisi ya ndoa jana, leo na ke-sho. Kwa upande wake Gandiatazungumzia, ‘Familia katikachangamoto za utandawazi’.

Mwaka jana, jumla ya watu730 walihudhuria katika konga-mano la 6 la Ramadhan.

“SISI KAMAWATAALAMWA KIISLAM

TULIONA KUNATATIZO KUHUSU

MAPOKEZI YA MWEZI

MTUKUFU WARAMADHAN. KILA

MTU ALIKUWA ANAPOKEAKWA MTINDO

WAKE, WENGINEWAKICHEZA

MUZIKI, TUKAONA

TUINGILIE KATI”

Tampro, KEF wajana kongamano la7 la Ramadhan

MOROBEST BUS SERVICEMOROBEST BUS SERVICEKWA MAHITAJI YA USAFIRI WA UHAKIKA, SAFIRI NA KAMPUNI YA MABASI YA MORO BESTKILOMBERO – DAR, NA DAR - KILOMBEROKILOSA – DAR, NA DAR - KILOSASAFIRI NAMORO BEST KWASAFARI ZAAMANI UTULIVU NAUHAKIKA