imaan newspaper issue 2

16
ISSN 5618 - N0. 002 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 1 RAJAB 1436, JUMATATU, APRIL 20 - 26, 2015  www.islamicftz.org huwatoa watu gizani Hotuba ya Rais wa Uganda Idi Amin Dada mwaka 1972 - Uk 4 Sheikh Said Musa: Msomi, mwanaharak ati aliyebobea kwenye u tungaji vitabu - Uk 5 NA ABDALHAKIM NSOBYA. A  lha mis i, wiki ili yop ita ilikuwa ni siku ya ma-  jonzi maku bwa kwa  wananch i weng i wa Uganda, hususan Waislamu,  baa da ya Muf ti, She ikh Zub ayi ri Sowedi Kayongo (83) kuitikia  wito w a kurej ea kwa Muumba  wa ke , Al la h (S ub ha na hu  wataal ah) . Mufti Kayongo alifariki aki-  wa jijini Dar es S alaam, katika Hospitali ya Agha Khan kutoka- na na shinikizo la damu na kuswaliwa katika Msikiti wa Shadhily, Kariakoo, kabla ya kusafirishwa nchini Uganda kwamaziko. Mufti Kayongo alikuwa nch- ini katika ziara ya kida’awah. Katika kuonesha kuguswa na kifo chake, Waziri wa habari wa Uganda, Meja Jenerali Gim Muhwezi alimuelezea Ugaidi Tanzania Mufti Kayongo alikuwa kisima cha maarifa  Waandishi wageuka mahakimu Waislamu wawa washukiwa UGAIDI HISPANIA UGAIDI OKLAHOMA WAHANGA - UGAIDI WA ISRAEL HABARI UK 3 UK 2 Head office, Lumumba Street Opp: Viwanja vya Mnazi Mm oja, P. O Box 779 Dar es Salaam, Tanzania, Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419 Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]

Upload: imaan-newspaper

Post on 06-Jan-2016

2.107 views

Category:

Documents


3 download

DESCRIPTION

Imaan Newspaper Issue 2 1 Rajab 1436, Jumatatu, April 20 - 26, 2015islamicftz.org || facebook.com/islamicftz || twitter.com/islamicftz ||youtube.com/tvimaan ||

TRANSCRIPT

Page 1: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 1/15

ISSN 5618 - N0. 002 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 1 RAJAB 1436, JUMATATU, APRIL 20 - 26, 2015   www.islamicftz.o

huwatoa watu gizani

Hotuba ya Rais wa Uganda Idi Amin Dada mwaka 1972 - Uk 4

Sheikh Said Musa:Msomi, mwanaharakati aliyebobeakwenye utungaji vitabu - Uk 5

NA ABDALHAKIM

NSOBYA.

A lhamisi, wiki iliyopitailikuwa ni siku ya ma-

 jonzi makubwa kwa wananchi wengi wa

Uganda, hususan Waislamu, baada ya Mufti, Sheikh ZubayiriSowedi Kayongo (83) kuitikia

 wito wa kurejea kwa Muumba wa ke , Al la h (S ub ha na hu wataalah).

Mufti Kayongo alifariki aki- wa jijini Dar es Salaam, katikaHospitali ya Agha Khan kutoka-na na shinikizo la damu nakuswaliwa katika Msikiti wa

Shadhily, Kariakoo, kabla yakusafirishwa nchini Ugandakwa maziko.

Mufti Kayongo alikuwa nch-ini katika ziara ya kida’awah.

Katika kuonesha kuguswa nakifo chake, Waziri wa habari waUganda, Meja Jenerali GimMuhwezi alimuelezea

Ugaidi TanzaniaMufti Kayongoalikuwa kisimacha maarifa

 Waandishi wageuka mahakimuWaislamu wawa washukiwa

UGAIDI HISPANIA

UGAIDI OKLAHOMA

WAHANGA - UGAIDI WA ISRAEL

HABARIUK 3

UK 2

Head office, Lumumba StreetOpp: Viwanja vya Mnazi Mm oja, P. O Box 779 Dar es Salaam,

Tanzania, Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]

Page 2: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 2/15

www.islamicftz.

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 ,

2

Mufti Kayongo alikuwa kisima cha maarifa

HABARI

NA ABDULLA ALI, MAELEZO

ZANZIBAR

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazina Utumishi wa Umma Zanzi-

 bar, Haroun Suleiman amewa- taka wasomi wa Kiislamu kuun-

ga mkono uanzishwaji wa mtaala wa taaluma

 ya maarifa (epistemolojia) ya Kiislamu ili ku- wawezesha vijana kwenda sambamba na ma- badiliko yanayotokea kila siku duniani.

Haroun aliyasema hayo wakati akifungua warsha ya siku tatu kujadili utungaji wa mtaala wa epistemolojia ya Kiislamu wa masomo ya vyuo vikuu uliofanyika katika Chuo Kik-uu cha Kumbukumbu ya Abdurahman Al-Sumait kilichopo Chukwani, Zanzibar.

Haroun alisema, dini ya Kiislamu ni neemakutoka kwa Allah ambayo hutofautisha kati ya

 binadamu na viumbe vingine, hivyo ni wajibu wa kila Muislamu kuthibitisha hilo kwakuelewa nyanja zote za Uislamu zilizofunga-mana na Qur’an na Sunnah ambavyo ndiomisingi mikuu ya epistemolojia ya Kiislamu.

 Waziri Haroun amesisitiza kuwa katika ku-fikia lengo hilo, ipo haja kwa Waislamu kuji-funza na kuelewa mafunzo ya Qur’an na Sun-

nah za Mtume (Rehma na amani ziwe juu yake), kwani kuna tofauti kubwa kati ya episte-molojia ya Kiislamu na epistemolojia nyingineambazo huchanganya mawazo ya watu.

 Ametanabahisha kuwa kwa sasa vyuo vingiulimwenguni hata katika nchi za Kiislamu

 vimetawaliwa na mtaala usio wa Kiislamu jambo ambalo hupelekea kuzalisha wataalamuambao wanakuwa kidunia zaidi na wasio nahofu ya Allah, huku wakifanya mambo kwakuangalia utashi na maslahi binafsi.

Naye, Makamo Mkuu wa Chuo cha Kum- bukumbu ya Abdurahman Al-Sumait, Prof.Hamed Rashid Hikmany amesema warshahiyo ina lengo la kujadili hatua za mchakato wakuoanisha na kutunga mtaala unaozingatiamaeneo makuu ya kujifunza yakiwemo ufaha-mu, stadi za mazoezi, namna ya kutatua mata-

 tizo na stadi za sayansi, mawasiliano, uongozi,

stadi za pamoja, menejimenti ya taarifa stadina majukumu ya kijamii pamoja na taaluma

na kanuni na stratejia za uhakiki.Zaidi ya wataalamu 40 wakiwemo wa vy

 vikuu, maprofesa na watafiti kutokea vy vikuu tisa vya nchi za Afrika Mashariki na ChKikuu kimoja cha Malaysia walikutana kajili ya warsha hiyo iliyoandaliwa na TaasisKimataifa ya Fikra za Kiislamu inayoitwa (

 ternational Institute of Islamic Thought - II yenye makao makuu yake nchini Malaysia kkushirikiana na Chuo chake.

Mufti Kayongokama “ Nguzo ya maarifa ya Uisla-mu na mtu muhimu katika masuala

 ya ushauri.” Sheikh Zubayiri Kayon-

go ni nani?Sheikh Kayonga alizaliwa mwa-

ka 1932 katika wilaya ya Kibogakusini mwa Uganda, huku elimu

 yake ya dini ya Uislamu akiipataLamu nchini Kenya na visiwaniZanzibar.

Kupitia elimu yake hiyo ya dini,Mufti Kayonga aliweza kufunguamadrasa nyumbani kwake ambayoilitumika kufundishia viongozi wen-gi wa dini wa sasa nchini Uganda nakwengineko.

 Wakati Marehem Idd Amini ak-izindua rasmi Baraza kuu la Waisla-mu nchini Uganda mwaka 1972,kama chombo cha kuwaunganisha

 Waislamu, Mufti Kayonga alikuwani miongoni mwa Masheikh walio-

 teuliwa katika Baraza hilo.Mwaka 1993 alichaguliwa kuwa

Naibu Mufti wa Uganda mpakamwaka 2000 alipostaafu ili kupishauteuzi wa viongozi wengine wa dini.

Lakini mwaka 2009, MuftiKayongo alichaguliwa kuwa Mufti

 wa Uganda na baadhi ya wafuasi wake waliopinga uteuzi wa Mufti wasasa, Sheikh Shabani Mubaje ambaendie anatambuliwa rasmi na Seri-kali kama Mufti.

Na ili kuondoa mgogoro na ku- waridhisha wafuasi wa SheikhKayonga na kuleta amani ya jumla

 ya nchini humo, Serikali ya YoweriMuseveni iliamua kumtambuaSheikh Kayongo kama Mufti nakumpa gari na walinzi, hivyo Ugan-

da ikawa na Mamufti wawili kwa wakati mmoja. Sheikh Kayonga al-ianza safari yake ya kuutumikia Uis-

 lamu miaka ya 1950 nyumbani

kwake Kitezi karibu na jiji la Kam-pala ambapo alifungua Madrasa ili-

 yozalisha Masheikh wengi waliopoUganda kwa sasa.

Sheikh Kayongo katika maisha yake yote alikuwa akihubiri dinihuku madrasa yake hiyo ikidumuhadi alipofariki. Sheikh Kayongoalikuwa ni mtu wa vitendo, hakutu-mia cheo chake ili kujinufaisha, balikwa ajili ya kuuhuisha na kuusi-mamisha Uislamu.

Kwa upande wangu, nilibahatikakukutana na Sheikh Kayongo mwa-ka 2013 katika Uwanja wa Ndege

 wa Kimataifa wa Dar es Salaam tuk-isubiri kuelekea Entebe, Uganda.

Nilimsogelea ili kumsalimia. Nil-ishangaa Mufti Kayongo alipoinukakwenye kiti chake na kunipa mkono,

 jambo ambalo si la kawaida kwa vi-

ongozi kumpa heshima ya kiasi hi-cho mtu wa kawaida kama mimi.

Katika masaa yote mawili tukiwahewani kuelekea Entebe, MuftiKayongo alitumia muda wake wotekuniusia mafundisho ya dini na jinsi

 ya kuishi duniani.Katika kumsimulia Mufti

Kayongo, mmoja wa watu wal-iokuwa karibu na Sheikh Kayongo,Sheikh Abdulnoor amemtaja mare-hemu Kayongo kama mtu mtulivu,ambae alionesha uadilifu katika dini

 yake:“Tutamkumbuka kwa kuwa kisi-

ma cha maarifa, na miongoni mwa waanzilishi wa Baraza Kuu la Wais-

 lamu nchini Uganda, kiukweli kifochake ni pigo kwetu”.

Nae Mufti wa sasa, Sheikh Mu- bajje katika salamu zake za rambi-

rambi amemsifu Sheikh Kayongokuwa alikuwa mchapakazi katikakuitumikia dini ya Uislamu.

“Sheikh Kayongo alikuwa Muis- lamu wa kweli ambaye alifundisha viongozi wengi wa dini tangu mwa-ka 1950 alipoanza kufundisha”,anasema Mufti Mubajje.

Kiukweli Mufti Kayongoameacha pengo kubwa katika dini

 ya Uislamu na kwa wananchi waUganda na ulimwengu kwa ujumla.

 Atakumbukwa kwa jitihada zakekubwa za kueneza dini kwa miongosita.

 Allah aiweke roho yake mahalapema peponi. Amiin.

INATOKA UK 1

Vyuo vyajadili mtaalawa Kiislamu vyuo vikuu

WAZIRI HAROUN AMESISITIZAKUWA KATIKA

KUFIKIA LENGOHILO, IPO HAJA

KWA WAISLAMUKUJIFUNZANA KUELEWAMAFUNZO YA

QUR’AN NA SUNNAH ZA

MTUME (REHMANA AMANI ZIWE

 JUU YAKE)

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi naUtumishi wa Umma Zanzibar, HarounSuleiman.

“Afya”is naturalsource of sweet drink-ing water from under-ground stream which

is blended with es-sential minerals to

support and aid per-fect metabolism.

WATERCOM LIMITEDP.o.box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 area Temeke,Daresalaam, Tanzania

www.watercomtz.comE-mail:[email protected]

Page 3: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 3/15

NA WAANDISHI WETU

V yombo vya habari vya Tan-zania na mitandao ya ki-

 jamii vimegeuka mahak-imu baada ya kuwatangaza

washukiwa wa uhalifu kumi wal-iokamatwa Morogoro katika msikitiwa Sunni uliopo Kidatu wilaya ya Kil-ombero kuwa ni magaidi wa ‘Al-Shabaab’ kutoka Somalia.

Katika tukio hilo, watu kumi wa-likuwa wanashikiliwa na polisi kwamadai ya kukutwa na milipuko 30,sare za kijeshi, risasi, bendera nyeusiyenye maandishi ya Mungu Mmoja,majambia, bisibisi na vinginevyo.

Kadhalika, kufuatia tukio la ku-kamatwa kwa watuhumiwa hao, tayaribaadhi ya Waislamu wamejikuta wak-ishikiliwa na polisi kwa muda nakuachiwa kwa kuhisiwa kuwa wahali-fu.

Uchunguzi wa gazeti hili umeone-sha kuwa, kinyume na maadili ya uan-dishi wa habari, baadhi ya vyombo vil-iarifu kuwa watu kumi waliokamatwaMorogoro ni magaidi.

Maadili ya uandishi wa habari ya-nasema mtu hawezi kutangazwa

mhalifu mpaka mahakama imkute nahatia. Lakini katika mkasa wa Kilomb-ero mkoani Morogoro vyombo vyahabari havikusubiri hata uchunguziwa polisi kabla ya kupitisha hukumuyao.

 Vituo kadhaa vya redio viliibuka nabreaking news’ vikidai kuwa ‘gaidi’mmoja ameuawa na wengine kumikukamatwa na polisi wakiwa msikiti-ni, habari ambayo ilidakwa juu kwauu na mitandao ya kijamii iliyochapi-

sha kila aina ya uzushi.Baada ya tukio hilo, matukio maw-

ili ya Waislamu kushukiwa kuwa nimagaidi yameripotiwa mkoani Mo-rogoro.

Katika tukio la kwanza, Waislamuraia wa kigeni wanaofanya kazi ya ku-

tangaza dini (Tabligh) walikamatwakatika msikiti wa Masjid Nnur uliopoKihonda, Mazimbu road, Morogoro

mjini asubuhi ya siku ya Alhamisi ya April 16 na kufikishwa kituo cha polisicha Morogoro. Baada ya mahojianomafupi, wenyeji wao waliwasilisha hatizao za kusafiria na vibali vingine napolisi waliawaachia huru.

Katika tukio la pili, wafanyakazi wa vyombo vya habari vya Imaan, ambao walikuwa wakisafiri kutoka Kilombe-ro walikokuwa katika kazi maalum yakukusanya habari kuelekea Morogoro

 walikamatwa eneo la Mikumi nakuhojiwa na polisi.

Kwa mujibu wa Sheikh Ally Ajrani,Katibu Mkuu wa taasisi ya ‘The Islam-ic Foundation’ aliyekuwa katika msa-fara huo; chanzo cha kukamatwa nipale waliposimama katika daraja mojahuko Kilombero kwa ajili ya kupigapicha eneo ambalo walikuta ajali yapikipiki na baiskeli. Askari wa kikosicha usalama barabarani aliyekuwapoeneo hilo alipiga picha gari yao na ku-chukua namba za usajili na kisha ku-

 wasiliana na wakubwa zake. Wafanyakazi hao wa vyombo vya

habari vya Imaan walikuwa namuonekano wa Kiislamu, kama ilivy-okuwa kwa Waislamu wale raia wa ki-geni waliokamatwa kule Kihonda.

Matukio haya mawili yanatia wasi- wasi kuwa huenda mav az i aumuonekano wa Kiislamu, ikiwemokufuga ndevu, kuvaa kanzu, hijabu

 vinaweza kumuweka mtu matatanikwa kushukiwa kuhusika na vitendo

 vya uhalifu, jambo ambalo linawawe-ka Waislamu kitanzini.

Hata hivyo haya yanayotokea Tan-zania ni sehemu ya mkakati mpana wakimataifa wa kuupaka matope Uisla-

mu kama ambavyo Ken Livingstone,Meya wa jiji la London mwaka 2007alikiri, akinukuliwa katika gazeti la

‘The Guardian’ la huko huko Uingere-za.

Katika habari iliyochapwa chini yakichwa cha habari: “Study shows ‘de-monization’ of Muslims” (uchunguziunadhihirisha ushetanishaji Waisla-mu) Meya Livingstone alisema: “Mta-zamo wa jumla unaoneshwa na vyo-mbo vya habari ni kwamba Uislamu nikitisho kwa nchi za magharibi. Kunakiwango kikubwa cha UshetanishajiUislamu katika vyombo vya habariambacho hakuna mtu mwenye akilihuru ataona ni sawa. Ni asilimia nne tu(4%) kati ya habari 352 zilizofanyiwauchunguzi ziliandika vizuri kuhusuUislamu”.

Meya Livingstone aliongeza:“Madai ni kwamba, kwa ujumla haku-na taswira chanya au ya haki kuhusu

Uislamu inayooneshwa. Nafikiri kunaushetanishaji (demonization) wa Uis-

 lamu unaoendelea ambao unadhurumahusiano ya jamii na kuibua hisia za

 tahadhari miongoni mwa Waislamu”.Ukweli ni kwamba ‘Demonization’

 ya Uislamu na Waislamu haiishii tuUingereza, bali ipo Ulaya nzima,Marekani na kwingineko duniani.Kwa hapa Tanzania, matukio ya Kil-ombero, Amboni Tanga na kwingine-ko yanathibitisha kuwa mwendo nihuo huo.

 Vingi katika vyombo vya habarinchini kuanzia tangu kuanza kwa hiyoinayojulikana kama vita dhidi ya ugai-di na kutungwa Sheria ya Ugaidi naBunge la Tanzania mwaka 2002,

 vimekuwa vikiandika habari za kuwa-husisha Waislamu na Uislamu na vi-

 tendo vya kigaidi. Hata matukio yaujambazi ya kawaida, yamekuwa yaki-husishwa na ugaidi na Waislamu kuta-

 jwa.Huko nyuma vyombo vya habari

 vilirindima na habari juu ya kituo chakiislamu kisiwani Ukerewe kiitwacho

 Aljazira vikaita kuwa ni kambi ya ma-

funzo ya ugaidi, habari ambazo hikuwa na kweli wowote na zikaihivi hivi.

Baadaye ikavuma habari ya madi huko mapango ya Amboni Ta

 lakini ikagundulika kuwa wale ni  jambazi tu ingawa awali vyombohabari viliripoti kuwa ni magaid“Al-Shabab”.

 Video ya uongo ikasambazkwenye mitandao ya kijamii ili kukza kitisho cha “Al-Shabab” Tanza

Katika vita hiyo dhidi ya ugaidi, mis ti haikusalimika huku, baadhi ikiv jwa na masheikh kubambikiziwa za ugaidi na kunyimwa dhamana.

Kwa ujumla, taswira inayojenkatika jamii yetu ni kwamba ukimna Muislamu kwa asilimia fulanaweza kuwa ugaidi. Ni katika m

 tadha huu, jamaa wa Tabligh kutIndia walijikuta wakisombwa kutmsikitini Kihonda hadi kituo cha pMorogoro wakishukiwa kwa ugaid

Mfano mzuri ni tukio la Aprilkukamatwa watu 10 msikitini hKidatu wilayani Kilombero amb

 vyombo vya habari haraka vililihusna ugaidi wakati mtu mmojaipokamatwa kanisani akiwa na bassiku ya pasaka huko Bagamhakuhusishwa na ugaidi wala d

 yake haikutajwa.Hata jinsi tukio hili la Kilomb

 lilivyoripotiwa na vyombo vya hani ushahidi wa kuthibitisha aliyoyma Meya Livingstone kwamba knjama (conspiracy) ya kuitisha ja

 wauone Uislamu na Waislamu kamashetani (demonization of Islam

Swali la msingi la kujiuliza, ni knini vyombo vya habari vinaandhabari hasi za Uislamu na Waislana kuwahusisha na ugaidi? Na ni athari ya propaganda hizi dhidi ya U

 lamu?Swali hili linajibiwa na Makia F

man, Mhariri wa The Freedom Acles. Kwa maoni yake, Freeman an

gawa njama (conspiracy) za vyom vya habari dhidi ya Uislamu na W lamu sehemu mbili, vyombo habari vya ndani ya nchi husika naombo vya habari vya kimataifa.

Kuhusu vyombo vya habari ndani ya nchi, Freeman anasem“Sababu kubwa ya kuushetanisha U

 lamu ndani ya nchi ni hii ni kuiwsha Serikali inayotawala kuchuhaki na uhuru (wa Waislamu) kwa ingizio cha uongo, kitu ambacho wingeweza kukifanya (pasina kisinhicho).

Ni kweli kabisa. Waislamu wang wasio na hatia wamenyang’nywa hna uhuru wao kwa kisingizio cha udi? Kwa maana nyingine tuhumugaidi ni mbinu mpya ya wataw

madhalimu duniani kuwadhi Waislamu.Mhariri Freeman anasema: “Ni

nuni ya msingi ya watawala wakwamba kadiri wananchi wanavyokujawa na khofu kwa tuhuma za udi, ndivyo inavyokuwa rahisi kudhibiti na kuwafanya watumwa nd

 ya nchi yao”.Kuhusu lengo la njama hizi za u

di dhidi ya Uislamu na Waislamumataifa, Freeman anasema: “Lengkushetanisha Uislamu kimataifa kka uwanja wa siasa, ni jingine kabKatika uwanja huu, lengo ni chochea migogoro na vita”.

Kama vita vya Ghuba vilivyomudoa Saddam sababu ni ugaidiSaddam na kumiliki silaha za ma

gamizi - uwongo, vita vya AfghanisLibya, Syria, Yemen na kwinginkulikofanyika mashambulizi

Waislamwakiwa katikaMahakama yaKisutu, jijini Dares Salaam, hivikaribuni katikamoja ya kesizinazowakabili..(NA MPIGA PICHA

WETU)

HABARIwww.islamicftz.org

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 , 2015

HABARI

KWA NAMNA VYOMBO VYA

HABARI VYA NCHI YETU VINAVYOZIDI KURIPOTI JUU

 YA HOFU HIZI ZA KUFIKIRIKA,LAKINI SI ZA UHALISIA,

BASI, VYOMBO VYETU VYAHABARI KIMSINGI VINASHIRIKIKIKAMILIFU KUITANGAZA AL

 SHABAAB NA HATA KUISAIDIAKUPATA WAFUASI MIONGONIMWA BAADHI YA VIJANA WA

KITANZANIA WASIOJITAMBUANA WALIO KWENYE UMASIKINI

MKUBWA UNAOCHANGIWA PIANA KUKOSA AJIRA 

Ugaidi Tanzania

UK

Page 4: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 4/15

www.islamicftz.

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 ,

4

Mheshimiwa KadhiMkuu wa UgandaWaheshimiwa vion-gozi wa diniWaheshimiwa nduguwanachama wa Ba-raza Kuu la Wislamunchini UgandaMabibi na mabwana,

 Awali ya yote napenda kutu-mia fursa hii kuwakaribisha kwadhati wageni wetu adhimu

kutoka Misri, Makka, Libya, Pa-kistani na Sudan ambao uwepo wao hapa umepamba vema tukio hili. Uwepo wao hapa ku-ungana na ndugu zao katikakushuhudia uzinduzi wa BarazaKuu la Waislamu la Uganda nakusimikwa kwa mara ya kwanzakwa Kadhi Mkuu wa Uganda niishara ya ushirikiano mpya

 wenye matumaini makubwakati ya nchi yetu na nchi na ma-shirika mnayoyawakilisha. Nimatumaini yangu ushirikianohuu mpya utaendelea kukua nakuimarika.

Leo nina furaha ya kipekeeambayo siwezi hata kuielezeakwa maneno labda kwa hisia tu.

Kwani leo tunashuhudia ku- washwa kwa taa ya mara ya pili ya Uislamu hapa nchini, taa am- bayo kwa mara ya kwanza ili- washwa takribani miaka 100 ili- yopita huku kipindi cha katikati jitahida mbali mbali zimekuwazikizuia taa hiyo isiwake nchinihumu.

 Wakati Uislam u ilikuwandio dini ya kwanza miongonimwa dini za kisasa kuingia kati-ka ardhi hii, ukuaji wake ume-kuwa ni kwa kasi ndogo ukilin-ganisha na dini nyingi. Sababuza kurudi nyuma kwa dini hiizipo wazi. Zinapatikana kuto-kana na makundi yaliyomondani ya dini hii ya Uislamu,

makundi ambayo kitu pekee ki-nachowaunganisha ni kitabukimoja kitakatifu cha Qur’an.Makundi ambayo kila moja lina

 viongozi wake, misikiti yake namipango yake tofauti.

Hali hiyo imepelekea kuwe-po kwa Masheikh tofauti tofauti,na hii ni kwa sababu ya kuko-sekana kwa mamlaka moja iliy-oazishwa kwa mujibu wamafundisho ya Uislamuili kudhibiti Masheikh

 wengi wa makun-di.

Kibaya zai-di, baadhi ya

 Wais lam u wamezuil-

i w akuswali

katika baadhi ya misikiti,makundi hayo yamekuwa yaki-

 bishana kuhusu siku sahihi yakuswali Idd-el-Fitri, huku kud-hoofika kwa dini kunashuhudi-

 wa kwa mapigano ya Waislamu wenyewe ndani ya misikit i.Mapambano hayo mara mojaau mbili yamepelekea baadhi ya

 waumini kupoteza maisha.Cha kushangaza zaidi, ma-

 lumbano hayo hayatokani na tofauti za kufasiri Qur’an au ma-

fundisho ya Mtume Muham-mad (Rehma na amani ziwe juu yake). Ukweli unaou ma nikwamba, ‘hao wanaoitwa vion-gozi’ wametumia dini kwa man-ufaa yao binafsi ya kisiasa, kika-

 bila, na kimakundi na kupuuzaustawi wa Waislamu wote nchi-ni. Hali hili imepelekea ukosefu

 wa chombo kimoj a cheny emamlaka ya kuwahudumia

 Waislamu wote hapa Uganda,kudhibiti na kugawa fedha kwafaida ya Waislamu wote.

Leo kwa mara ya kwanza ka- tika historia ya Uislamu hapanchini, makundi tofauti ya

 Waislamu yanaungana katikachombo kimoja ambacho kitau-

peleka mbele Uislamu hapaUganda. Asije akatokeza mtuatakayebeza umuhimu wa kazizitakazokuwa zikifanywa naBaraza hili Kuu la Waislamu(UMSC).

Leo kwa mara ya kwanza,nina matumaini kuanzia sasakutakuwa na chombo ambachomambo muhimu ya Waislamu

 yatakuwa yakiendeshwa kwamanufaa ya wapenzi wa Mtume

 wetu Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake).

Utatuzi wa mi-gogoro na kuto-kuelewana bai-na ya Waisla-mu kutafanyi-

ka kupitiachombo hiki.Pia mipangombali mbali

 ya ki ta if a yenye lengo lakuwanufai-s h a

 Waislamu itashughulikiwa naBaraza hili.

Hijja itashughulikiwa naBaraza hili. Huko nyuma uan-daaji wa hijja haukuwa wa kuri-dhisha hata kidogo, kwani kilakundi lilishughulika na mashiri-ka ya ndege au mawakala, lakinimahujaji waliokuwa wakifanyasafari walikuwa wakitozwa vi-

 wango tofauti vya nauli. Baadhi ya mahujaji walitapeliwa.

Kutokana na kutokuwepo

kwa chombo kimoja cha kuan-daa hijja, tukio la kusikitisha li- lilomuhusisha mwanamke waUganda lilitokea mapema mwa-

ka huu nchini Saudi Arabia.

Mwanamke huyo aliwasili Jed-dah na kukuta kiongozi aliyera- tibu safari yake hiyo ameachwana ndege.

Mama huyo alikuwa na fed-ha. Kiongozi wa kundi lingine

 toka Uganda aliyewasili Jeddahakiwa na binti huyo katikandege moja, alimfukuza na ku-muacha binti huyo akihangaika.

 Akaishiwa na hela. Akiwa haja-soma, hakuweza kuzungumza

 lugha yoyote inayofahamika na yoyote. Baada ya majuma

kadhaa, binti huyo al-idhaniwa kuwa ka-fariki.

Ndugu na ma-rafiki zake wa

hapa nchini wali-pewa taarifa yakifo chake. Ni kwam a p e n z i y aMwenyezi MunguMuweza mama

 yule alinusurikakatika mazingira

hayo magumuna kusaidiwa

k u r u d inchini

 baa-d a

 ya shida za zaidi ya miezi miwNi miujiza kwamba ma

huyu yu hai akiwa nasi hnchini. Angeweza kufariki karaia wengine wa Uganda wivyofariki katika miaka iliyo

 wakati wakitekeleza nguzomuhimu katika imani yetu.

Kwa hali hii, naamkwamba maisha ya walau waache kati ya Waganda wapoteza maisha katika h

 yangeweza kunusuriwa end

 tungekuwa na chombo mamu kama Baraza hili kuratsafari zao za hijja.

Kwa sasa Baraza Kuu

 Waislamu limeanzishwa, w

 Waislamu wenye dhamirkwenda hijja wanaweza kuwmatarajio yao katika chomhiki kwa matumaini makub

 Wakati wa safari yangu ya nchi, nimekuwa nikiwaiana na mashirika mbali m

 ya kidini. Mengi ya mashi yameonesha nia ya kuwasandugu zao wa Uganda kwa

 wapa msaada wa fursa za mmo (scholarship) na menginKama tusingekuwa na Barhili, tusingeweza kupata neehii kubwa. Kwa uwepo wa Bza hili, tutaweza faidika kutkwao. Bila shaka, Baraza

 litaimarisha ushirikiano wna Waislamu wengine dun

kote. Lakini pia lazima tukuwa, Uislamu nchini Ugaunachechemea ukilinganina jumuia zingine za kidini kka masuala ya elimu ya duSababu za hali hii inanasibishna kutokuwepo huko nyukwa mamlaka kuu yenye waj

 wa kupanga na kutekelezapango ya kuinua kiwango elimu kwa Waislamu.

Natarajia Baraza hili  wekeza jitihada zake nyingkatika kuratibu tu shughumashirika ya kidini hapa nch

 lakini pia kuandaa mikakambayo itakuza shughuli zilpo ili kusukuma mbele kiwacha elimu kwa Waislamu

Uganda. Itaendelea toleo lij

KUTOKA MISIKITINI TUJIKUMBUSHE

Hotuba ya Rais wa UgandaJenerali Idi Amin Dada wakati akizindua Baraza Kuu la

Waislamu la Uganda (UMSC) katika kituo cha mikutano ya kimataifa nchini humo, June 1, 1972, saa kumi jioni:

Yusuph Amin na Selemani Magali

Kufuatia kukithiri kwa propaganda za

ugaidi zenya lengo la kuupaka matope

Uislamu na Waislamu ili kuweza kuwahu- jumu Waislamu, wito umetolewa kuwataka

Waislamu kuzidisha umakini katika

shughuli zao, huku wakiimarisha umoja

na ushirikiano miongoni mwao.

Wito huo umetolewa, Ijumaa iliyo-

pita, katika misikiti ya Mtambani na

Kichangani iliyopo Kinondoni na Mago-

meni, jijini Dar es Salaam.

Wakitoa wito huo, katika khutba

za swala ya Ijumaa, Imam wa

msikiti wa Mtambani, Sheikh

Suleiman Abdallah na Imam wa

Kichangani, Sheikh Omary Alhady,

walisema kuwa, zama zilizopo zinahitaji

sana kutumia akili vizuri, kwani mbinu

zinazotumika kuuhujumu Uislamu na

Waislamu zimeratibiwa kwa umakini wa

hali ya juu. Allah Sub’haanahu Wataala

anasema: ‘‘Hakika katika kuumbwa

mbingu na ardhi na kukhitalifiana usiku

na mchana ziko ishara kwa wenye

akili” (3:190), alinukuu aya hiyo, Sheikh

Alhady akiwasisitiza Waislamu kutumia

akili zao ipasavyo kubaini na kukabiliana na

propaganda ya ugaidi. Kwa upande wake, huku

akirejea matukio kadhaa yanayodaiwa kuwa

ya kigaidi yanavyotumiwa kuuchafua Uislamu

na Waislamu, Sheikh Suleiman, ambaye pia

ni Naibu Amir wa Shura ya Maimam Tanzania,

alisema: “Tusikubali kugawanywa, pamoja na

umakini, lazima tuwe na umoja wa nyuki kuka-

biliana na hali hii”.

Na Khalidy Omary

Waislamu wametakiwa kuwa makini na kulikemeagenge la watu wanaowapinga na kuwatukana maswa-

haba wa Mtume Muhammad (Rehma na amani ziwe juu

yake).

Rai hiyo ilitolewa na Rais wa Wanawazuoni wa nchi

ya Yemen, Sheikh Ahmad bin Hassan Al Muallim wakati

akitoa khutba ya ijumaa, wiki iliyopita, katika msikiti

wa Vetenari, Temeke jijini Dar es salaam. Khutba hiyo

ilifasiriwa na Sheikh Nurdin Kishki.

Sheikh alisema, hivi sasa kuna mtandao mkubwa wa

watu, unaohusisha vyombo vya habari, wanaowapinga

na kuwatukana waziwazi maswahaba wa Mtume, hivyo

Waislamu wanatakiwa kukemea hali hiyo.

“Chukueni tahadhari kwa kila yule ambaye anawatu-

kana maswahaba wa Mtume (Rehma na amani ziwe

 juu yake) muwachukie na wala msiwapende kwani

kuwapenda ni dalili ya unafiki na kuwachukia ni dalili ya

imani”, alisema Sheikh Al Muallim.

Sheikh Mustapha Na Jasmine Shamwepu,

Dodoma

Sheikh wa mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajab ame-

wataka viongozi wa dini ya Kikrito nchini kuacha kutu-

mia nafasi zao kuishawishi Serikali kupinga uwepo wa

mahakama ya kadhi kwa kuwa suala hilo ni la kiibada.

Sheikh Rajab aliyasema hayo hivi karibuni wakati aki-

zungumza na Waislamu mkoani hapa kwenye msikiti wa

Gadaff. Alisema, suala la mahakama ya kadhi ni muhimu

sana kwa Waislamu nchini, kwani litawasaidia katika

masuala yao ya kiibada kama vile mambo ya mirathi,

talaka na mengineyo.

Wakati huohuo, Sheikh Rajab ametoa wito kwa Wais-

lamu ikifika wakati wa uchaguzi mkuu wa rais, wabunge

na madiwani kuwa makini kwa kuhakikisha hawawach-

agui viongozi ambao baadae wanashindwa kusimamia

maslahi yao, ikiwemo mahakama ya kadhi.

Waislamu wapewa‘fimbo’ ya propaganda

Mwanazuoni wa Yemen akemeawanaotukana maswahaba

Mahakama ya kadhi kwaWaislamu suala la kiibada

WAKATI UISLAMU ILIKUWANDIO DINI YA KWANZA

MIONGONI MWA DINI ZAKISASA KUINGIA KATIKA

 ARDHI HII, UKUAJI WAKEUMEKUWA NI KWA KASI

NDOGO UKILINGANISHA NADINI NYINGI.

Idi Amin Dada

Page 5: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 5/15

www.islamicftz.org

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 , 2015

HAZINA ZETU

Gazeti la Imaan: Tueleze histo-ria yako kwa ufupi.

Sheikh Said: Jina langu kamilini Said Musa Kisaka KilombocheTorogha Mkasirwa Mkule (Sam-muki Tomm). Nimezaliwa mwaka1943 katika kijiji cha Simbom Cent-er, kata ya Msangeni, tarafa ya Ug-

 weno wilaya ya Mwanga, mkoaniKilimanjaro.

Gazeti la Imaan: Elimu yakouliipata wapi?

Sheikh Said: Nilianza elimu yangu ya msingi mwaka 1951 hadi

1956 katika shule ya Muslim SchoolKilindini wilaya ya Moshi vijijini.Baadae nikajiunga na sekondari yaMuslim Academy ya mjini Zanzibarkuanzia mwaka 1960 hadi 1963 na

 wakati huo huo nikawa napataelimu ya dini wakati wa jioni (ma-gharibi) kwa Sheikh Abdallah Saleh

 Alfarsy ambako niliji funza fanimbalimbali za dini zikiwemo tafsiri

 ya Qur’an, nahwu, lugha ya kiarabu,fiqhi, hadith na tawhid. Nilihitimumafunzo yangu ya dini mwaka1966.

Nikiwa Zanzibar, mbali naSheikh Alfarsy nimejifunza elimu yadini pia kwa Masheikh mbalimbali,akiwemo Sheikh Seyyid Omar Ab-dallah, Seyyid Ahmed HamidMansab, Seyyid Ali Ahmad Badawi,

Seyyid Abdu-rahman Ahmed As-siriy, Sheikh Suleiman Alawiy,Sheikh Sultan Muhammad Al-mar-ashiy na Sheikh Said Muhammad

 Alkindy, Sheikh Abbas (kutokaTumbatu), Sheikh Mahmud waMakadara na Sheikh Ramadhan(wa Kwakhan).

Gazeti la Imaan: Kwa nini ulia-mua kwenda kutafuta elimu Zanzi-

 bar?Sheikh Said: Hapo awali ni-

 likuwa katika chuo cha Mbale wilaya ya Mwanga mkoa wa Kili-manjaro nikajifunza Qur’an tukufupamoja na ufundi seremala kuanzia1957 hadi 1959. Hapo ndipo SheikhShaaban Rashid ambaye kwa sasani Sheikh wa mkoa wa Kilimanjaroaliponipa fursa ya kwenda Zanzibar

kusoma elimu zaidi.Gazeti la Imaan: Unamzun-

gumziaje mwalimu wako Sheikh Alfarsy?

Sheikh Said: Sheikh Alfarsyalikuwa ni mtu wa watu kwa maanamwenye mahusiano mema na kilamtu na pia alikuwa mtu mcheshi namwepesi katika kufanya maamuzi.Sheikh Alfarsy ameacha atharikubwa ambayo jamii inanufaikanayo mpaka hii leo.

Kwa mfano amefanya kazikubwa katika kuandika tafsiri sahihi

 ya Qur’an, alieneza sunnah na kup-inga bidaa, amefanya mapinduzimakubwa kwa kuifanya fani ya uan-dishi wa vitabu kuwa na tija naamepelekea kundi kubwa la waha-dhiri wa Kiislamu kuondoa wogakatika kufikisha ujumbe wa Allah(yaani da’awah) na pia ameletamchango muhimu katika uandishi

 wa vitabu.Gazeti la Imaan: Ulianza lini

uandishi wa vitabu?Sheikh Said: Uandishi wa vita-

 bu nilianza rasmi mnamo mwaka1958. Kitabu cha kwanza kilichosa-hihishwa kilitoka mwaka 1961 nakuchapishwa mwaka 1963. Hadikufikia sasa nimeshaandika vitabu

 takriban 200 vikiwemo vya dini na visivyo vya dini.

Miongoni vya vitabu vya dininilivyoandika ni twahara, udhu naswala, dua za kuswalia, tafsiri ya al-aqidatul islaamiyah (mambo

 ya tawhiid), tafsiri ya Al-alarbainan Nawawi-

 yyah na tafsiri ya Al-arabiynul qudsiyyah.Kwa upande wa vitabu

 visivyo vya dini ni kama vile wito kwa walim- wen gu wot e kuh usu

amani, namna ya kutunga mashairina mashairi ya kimaendeleo.

Gazeti la Imaan: Vitabu unavy-oandika vinabeba maudhui gani?

Sheikh Said : Maudhuimakubwa katika vitabu vyangu vin-gi yamebeba ujumbe wa kuelimisha

 jamii ya kiislamu juu ya kuzingatiamaadili, vilevile fiqhi, tawhiid, ha-dith, tenzi na mashairi.

Gazeti la Imaan: Fani ya uandi-shi wa vitabu ina ugumu gani?

Sheikh Said: Ugumu ambao waandishi wengi wanakumbana

nao katika fani hii ni kuvunja sheriaza uandishi, kukosekana ujuzi wakile kinachoandikwa, kukosekanakwa utaalam na lengo la kitabu una-chokiandika, uwepo wa sentesi nde-fu zisizo na umuhimu wowote kati-ka matumizi, kutozingatia matumi-zi ya lugha sanifu na kutumia lughazinazoleta utata mpaka kuleta mfar-akano.

Gazeti la Imaan: Je uandishi wa vitabu vya dini umechochea ma- badiliko yeyote katika jamii za Wais- lamu na Uislamu?

Sheikh Said: Mabadiliko nimengi, kwa mfano jamii za Kiisla-mu zimeelewa maana ya bidaa kati-ka Uislamu ni kitu gani, halikadha-

 lika watu wamerahisishiwa kupatausahihi wa ibada mbalimbali katikaUislamu kama vile swala, zaka n.k.

Gazeti la Imaan: Ni ipi tofautikati ya uandishi na utunzi?

Sheikh Said:   Tofauti nikwamba, mwandishi ni mtu anaye-andika vitu au mambo mbalimbalina mtunzi ni mtungaji wa vitumbalimbali kama vile sanaa, mich-

ezo ya kuigiza au kitu chochote ana-chodhani kitaleta manufaa kwa

 jamii. Nakumbuka Sheikh Alfarsymara nyingi alipokuwa akinisahihi-sha ninapoandika neno‘utunzi’kwakuniambia neno sahihi linalofaa ku-

 tumia ni utungaji kwa sababu uk-isema utunzi maana yake ni utun-zaji wa vitu.

Gazeti la Imaan: Katika makta- ba zetu kum eku wa na uhabamkubwa wa vitabu vyenye taarifamuhimu za dini ya Kiislamu, labda

 tatizo liko wapi?

Sheikh Said: Tatizo si kwambahakuna watungaji, isipokuwa wengi

 wa watungaji hawaafiki suala zima la usahihishwaji wa vitabu vyao. Hiiinatokana na vitabu vingi vya dinikutokuwa na rejea za kutosha. Ili vi-

 tabu vya dini viwe bora lazima viam- batane na dalili za Qur’an na Sun-nah na wapokezi sahihi na vile vilekutumia hadith nyingine zi-

sizokuwa za Bukhari na Muslim.Ni bora zaidi kutumia hadith zi- lizofanyiwa uchambuzi maalum wahadith kuthibitisha usahihi wake

 japo zimetolewa na Nasai, Tirmidh,Ibni Majah n.k vinginevyo mtuanaweza kuandika hadith isiy-opokelewa na Bukhari na Muslimna kumbe siyo sahihi. Baadhi ya

 waandishi wengi hawazingatii hayo, bali wengine husema tu Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake)amesema bila kubainisha hadithhiyo ni sahihi au imepokelewa nanani.

Gazeti Imaan: Je unadhani nikipi kilichokosekana katika taaluma

 ya uandishi wa vitabu Tanzania?Sheikh Said: Kwa kweli kasoro

ni nyingi. Kwa mfano, vitabu vingi

 vinakosa ukurasa wa yaliyomo nautangulizi. Pia baadhi ya vitabuhavina vichwa vya habari katikakurasa zake, haviandikwi hatimilikina vilevile vimekuwa na tatizo lamatumizi ya lugha sanifu.

Gazeti Imaan: Mwamko wa jamii za watanzania katika usomaji wa vitabu ukoje?

Sheikh Said: Mwamko kusemakweli ni mdogo kwa kuwa watu

 wengi hawana muda wa kujitulizakusoma vitabu ingawa wapo wach-ache ambao hujitahidi kusoma vita-

 bu vidogo. Nakumbuka Sheikh wangu aliwah i kun ius ia niwe

naandika vitabu vidogo vi-dogo kwani waso-

maji tulionaosio wa kuso-

ma vitabu vi ku bw ana kamanitaamuakuandika

 vitabu basi vidogo viwe vingi zaidik u l i k o

 vikubwa.

SHEIKH SAID MUSSA:

UGUMU AMBAOWAANDISHI WENGI

WANAKUMBANA NAO KATIKA

FANI HII NI KUVUNJA SHERIA ZA UANDISHI,KUKOSEKANA

UJUZI WA KILEKINACHOANDIKWA,KUKOSEKANAKWA UTAALAM NALENGO LA KITABUUNACHOKIANDIKA 

Msomi, mwanaharakati aliyebobeakwenye utungaji vitabu

Ni vigumu kutambuamchango wake katikauandishi wa vitabukutokana na kutofaha-mika na wengi ukilin-ganisha na wanatasnia

wengine wa fani yake.Alianzia katika fani yauseremala na baadaeakawa msomi mkubwana hatimaye kuibukakuwa mwandishi wavitabu mbalimbali. Huyundiye Sheikh Said Musaambaye hivi karibunimwandishi wetuYusuph Amin amefan-

 ya mahojiano naye nakufahamu mengi kuto-ka kwake.

Mwandishi wa makalahii akifanya mahojianona Sheikh Said Musa.

Page 6: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 6/15

HUTOLEWA NA KUCHAPISHWA

The Islamic Foundation, P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania, E-mail: [email protected]

MHARIRI MTENDAJI: 0715 559 944, MHARIRI: 0786 779 669, AFISA MASOKO: 0785 500 502

TOVUTI: www.islamicftz.org

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 , 2015

TAHARIRI / UCHAMBUZI6

N

chi yetu inapitiakipindi kigumu

a m b a p o k u m e -kuwa na tetesi za tishio la ugaidi, hususan baada ya mashambulizi ya chuo kik-uu cha Garissa kule Kenya.Tukio la hivi karibuni lililo-

 toke a h uko Kilombe ro, Mo-rogoro la kukamatwa watu 10ikidaiwa kuwa walikuwa namilipuko, risasi, nguo za jeshina bendera ya “Al-Shabaab”

 limezidi kuongeza hofu mion-goni mwa wananchi.

K u t o k a n a n a u k w e l ikwamba mashambulizi ya kuleGarissa yalifanywa na kundi la

 Al Shabaab (kama walivyodai- wa kukir i kuhu sik a) nakwamba watuhumiwa wa Mo-

rogoro walikamatwa wakiwamsikitini, vyombo vya habariikiwemo mitandao ya kijamiinchini vimeongeza kasi ya kui-shambulia dini ya Allah na

 Waislamu wakiipaka matope

na kuihusisha na ugaidi.Sisi katika Gazeti la Imaan

 tunapenda kuweka kumbuku-mbu sawa kwa kusema Uisla-mu hauhusiani na haufundishiugaidi na kwamba matukiohaya yasitumike kama kising-izio cha kunyanyasa Waislamuna kuwanyima haki zao.

Ijulikane kwamba hatakama waliokamatwa Mo-rogoro wangethibitika kuwani magaidi, kamwe hawawezikuwa wanawakilisha Waisla-mu. Lakini ni wazi pia kuwa

 vyombo vingi vya habari namitandao ya kijamii vimesha-

 wahukumu watu wale kuwa nimagaidi, tena wa Al-Shabaab,hata kabla ya uchunguzi wapolisi kukamilika.

Hata hivyo, uzoefu wa ma- tukio kadhaa yaliyowahi kuto-kea huko nyuma nchini un-aonesha tabia ya kupenda ku-

 tia ch umvi matukio ya kawa-ida ya kiuhalifu yaonekane

kuwa ni ugaidi na kuhusishaUislamu, mfano mzuri ni ule

 wa Tanga kat ika mapango ya Amboni . Haya yanayotokea yanatupa wasiwasi Waislamuhasa tukikumbuka mijadala

 ya maha kam a ya kad hi am- bayo ili tumika hoja ya ugaidikupinga uwepo wa mahakamahiyo. Tukijua umbali ambaomaadui wa Uislamu wanawe-za kwenda ili tu kuuchafuaUislamu, ni wajibu wetu kuwa

 waangalifu.Kumbukumbu zetu za tukio

 lil ilo tokea kule Mare kan i lamtu mmoja Michael ConradeSibley, aliyefunguliwa mash-

 taka huko Atlanta mwezi ulio-pita kwa kutega bomu katikasehemu ya bustani ya ku-

pumzikia kwa lengo la kuwa-chongea Waislamu ingalimbichi akilini mwetu.

Katika tukio hilo, Sibleyakiongozwa na chuki dhidi yaUislamu, hakujali kuwa anah-

atarisha maisha ya Wamareka-ni wenzake akaweka mabomu

ndani ya begi na kitabu chaQur’an, huku akijiita ‘mzalen-do’. Sibley alifanya tuko hiloNov 4, mwaka jana ingawaalikiri kufanya hivyo Machi20, mwaka 2015.

Matukio mangapi ya ainahii yanatokea duniani kote ili

 tu ‘kutengeneza sababu’ ya ku- waandama, kuwakand amizana kuwanyima Waislamu hakizao. Waingereza wanasema‘Ukitaka kumuua paka, mpe

 jina baya’. Athari ya haya yanayotokea

kuhusishwa na Uislamu nikuwa mtu anayeonekanakama Muislamu – aidha ki-mavazi, kimuonekano na

 v i n g i n e v y o a t a k u w a n imshukiwa moja kwa mojaakionekana katika maeneo fu-

 la ni ka ma il iv yotoke a kwa waa ndishi wet u wa vyom bo vya Imaan waliokamatwa baa-

da ya kuonekana karibu nadaraja moja ambapo walisi

mama kuangalia ajali iliyo tokea eneo hilo.Kulikuwa na watu weng

 waliosimama kuangalia, lakinni wao waliokuwa katikamuonekano wa ‘kigaidi’ kwamavazi yao na athari zao zaUislamu. Mwisho tunasisitiz

 tena kuwa Uislamu haufundishi ugaidi na haufungamanna ugaidi ingawa wapo Wais

 lamu wanaofanya vitendo vykigaidi kama ambavyo wapo

 watu wa dini nyingine wanaofanya vitendo hivyo, ila tuugaidi unapofanywa na watu

 wa dini nyingine dunia husitakuuita ugaidi.

Na hii ndio maana ruban

msaidizi Andreas Gunter Lu bit z wa shi rik a la Ger man wings a liyeua watu 150 kuleUfaransa hakuitwa gaidi balmgonjwa wa akili. Dunia ilimsikitia badala ya kumlaani!

Ugaidi usitumike kuwakandamiza Waislamu

Kati ya Machi 13 hadi

 April 12 mwaka 2015 wat u 103 wal ifa rik idunia kutokana na

ajali kubwa nane za barabarani.Hii ni kwa mujibu wa taarifa yakaribuni ya mkuu wa kikosi chausalama barabarani DCP Mo-hamed Mpinga.

Kasi ya vifo vinavyotokana naajali imeendelea kuongezeka. Kilauchao, vyombo vya habari vinaar-ifu kuhusu ajali za kutisha zinaz-oua mamia ya watu. Watanzaniasasa, tumeanza kuzoea habarihizo.

Lakini takwimu ni namba tu.Habari halisi zinazoweza kuelezeaathari za ajali hizi zipo nyuma ya

 takwimu hizi. Habari halisi ni visa vya maisha ya watu waliokuwa nandoto nyingi zilizozimika kamakibatari.

 Wapo vijana ambao walifarikikatika ajali hizi punde tu baada yakuhitimu elimu ya chuo kikuu.Unaweza kuhisi uchungu wamzazi aliyejitahidi kulea kijana

 wake, kumuo ngoza kwa miaka yote hiyo! Inauma sana.

 Wapo wakina mama na watoto waliobaki wajane na yatima baa-da ya baba, mhimili wa familiakufariki dunia. Huenda mwa-naume alikuwa tegemeo katikautafutaji riziki. Huenda mwa-naume huyu alikuwa ni mfanya-

 biashara ambaye hana hata pen-sheni. Unaweza kuhisi uchungu

 wa mama na watoto hawa na jinsimaisha yao yatakavyoenda ku-

 badilika ghafla?

Zipo hadithi za familia nzima, bab a, mam a na wat oto , wal i-oteketea katika ajali hizi. Uchun-gu kiasi gani unawakumba ndu-gu, jamaa na marafiki zao?

 Wapo watu waliopata ulemavu wa kudumu kutokana na aja lihizi. Ulemavu wa namna hii una-

 badili kabisa maisha ya baadhi ya watu, ambao huanza kujichukiana kupitia kupata matatizo men-gine ya kisaikolojia. Miongonimwa hawa, wapo waliotamanikufa kuliko kuishi na ulemavu.

Kuna visa vya walemavu wali-opoteza ajira kutokana na kukosauwezo wa kufanya kazi tena. In-auma sana hasa ukizingatia mtuanaupata ghafla ulemavu huu –kama kufumba na kufumbua.

Tukienda katika mtazamo waKiislamu, tunaamini Allah al-ishakadiria haya na ndio maana

 yametokea. Lakini, sisi binadamuni viumbe tuliopewa akili ya kuz-ingatia mambo, na hivyo basi tu-

nao wajibu wa kuchunguza saba- bu za kuongezeka ajali hizi na ku-chukua hatua muafaka.

Kinyume na hali hiyo, kinach-oendelea hapa Tanzania ni kutu-piana lawama kati ya wadau wan-aohusika katika kadhia hii.

Madereva wanalaumu wami- liki kuwa hawawalipi vizuri n akwa sababu hiyo wanaendeshamagari wakiwa na msongo wamawazo kutokana na matatizo yakimaisha. Madereva pia wa-nailaumu Serikali kwa kushindwakusimamia maslahi yao nakushindwa kuboresha miundombinu hususan barabara ambazozinatajwa kuwa nyembamba nazenye mashimo.

Serikali pia inalaumiwa sanakwa kukosa udhibiti mzuri katikautoaji leseni za kuendesha magarikiasi kwamba watu wengi wana-pata leseni kwa njia za panya bilakujaribiwa.

Jeshi la polisi, kupitia kikosi

chake cha usalama barabarani piakimenyoshewa vidole na wadau

 wengi kwa sababu ya tab ia yaufisadi na ulaji rushwa. Inadaiwakuwa askari wa kikosi hicho

 wamekuwa wakifumbia machomakosa ya dhahiri ya wahudumu

 wa mabasi, ikiwemo kujaza abiriana mizigo kupita uwezo wa gari,mwendo wa kasi na kutozingatiaalama za barabarani.

Serikali kwa upande wake in-aamini uzembe wa madereva naujuzi mdogo wa kutenda kazi yaondio chanzo cha ajali nyingi namatokeo yake ikaja na wazo lamadereva kwenda kusoma.

 Wamiliki wa mabasi pia wa-natupiwa lawama kwa kutoreke-

 bish a hi ti la fu za kiufundi zamagari yao kwa tamaa ya pesa.Inatajwa kuwa wamiliki hawatakikutumia fedha kurekebishamagari na pia wanaona mudautapotea na hivyo kukosa pesa.

 Abiria nao hawajanusurika na

 law ama . Waka ti abi ria wengi wamekuwa wakishabikia mwen-do wa kasi, ni wao ndio huwa wakwanza kulaumu mwendo kasi

 wa dereva pindi ajali inapotokea.Kwa nini hawakumshinikiza der-eva apunguze mwendo au kutaar-ifu vyombo husika, mara nyingipolisi huhoji.

Kunyosheana vidole huku nakuchukua hatua bila utafiti wakisayansi hakuwezi kuleta tija,kama uzoefu unavyoonesha.Huko nyuma tulikuwa na majar-ibio kadhaa ya kudhibiti ajaliikiwemo kwa kufunga vidhibitimwendo. Vilidumu? Vilipunguzaajali?

Nasaha zangu ni kuwa sasa tu-fanye utafiti wa kisayansi na tu-

 tumie majibu ya utafi ti kutuon-goza katika kutafuta jawabu lanamna ya kupunguza ajali za

 barabarani.Mambo ya ‘guess work’ hayana

nafasi katika karne hii ya sayansina teknolojia. Kuhisi na kubuni nisababu mojawapo ya malumbanona ubishi unaoendelea juu yachanzo cha kuongezeka ajali.

Uamuzi wa Serikali, ambao baadae uliufuta, wa kuwatak amadereva wakasome haukutoka-na na utafiti bali kazi ya kubunina ndio maana madereva walibi-sha na kuigeuzia Serikali kibanokuwa ndio chanzo cha ajali.

Kukata mzizi wa fitina, jawabupekee ni kufanya utafiti ili kujuasababu za ongezeko la ajali namchango wa kila mdau katika

 tatizo hili na je nini kifanyike?

Utafiti wa kisayansi usaidie 

kujua chanzo ongezeko la ajali

ZIPO HADITHI ZA FAMILIA NZIMA, BABA, MAMA

NA WATOTO, WALIOTEKETEA KATIKA AJALI HIZI.

UCHUNGU KIASI GANI UNAWAKUMBA NDUGU,

 JAMAA NA MARAFIKI ZAO?

OUMAR MOUKHTAR

NASAHA ZA WIKI

Page 7: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 7/15

www.islamicftz.org

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 , 2015

UMUHIMU WA KHUTBA YAIJUMAA:

Sita, khutba ya ijumaa na swala yake hurejelewa kila wiki na hivyokatika mwaka mmoja mwenyekuswali ijumaa husikiliza khutbahamsini na mbili (52). Kwa hiyokhatwibu akizipa khutba zake uzitounaostahiki na akazipangilia maud-hui zake mada kamili kila khutba,khutba hizo huwa ni semina iliy-osheheni hazina kubwa ya ilmu namawaidha yenye kuendelea.

Hii ndiyo nafasi ya khutba ki-maana mbele za watu na ndiyo

khutba zenye athari. Uchunguzikuhusu athari ya khutba ya ijumaauliofanyika nchini Misri unaoneshakwamba 78% ya wasikilizaji khutbahuathirika moja kwa moja na yale

 yasemwayo na khatwibu. Na kati yahao 71% wakasema kwamba waohutekeleza yale yasemwayo na khat-

 wibu.Makhatwibu wa ijumaa katika

msikiti mmoja nchini Misri waliku- baliana mmoja wao atoe khutbakuhusu riba. Wakagawa maswalidodoso kabla ya khutba kwa walio-hudhuria yenye swali je unafahamunini kuhusu riba?

Matokeo yakaonesha 85% wa- likuwa wanaufahamu sahihi juu yariba. Lakini baada ya khutba ma-

 tokeo yakaonesha kuwa 97% wa-

 likuwa wanafahamu ufahamu sahi-hi ikiwa ni ongezeko la 12%.

Katika maswali dodoso kulikuwana swali juu ya adhabu ya mla riba.Kabla ya khutba 33% tu walikuwa

 wakijua adhabu ya mla riba, lakini baada ya khutba idadi ikapandahadi 59%. Asilimia 71 walikuwa

 wakijua kuwa benki za Misri zina- jishughulisha na miamala ya riba, baada ya khutba ikawa 94%.

Uchunguzi huo ukaoneshakwamba 50% walikuwa wakipen-delea kuweka fedha katika benki zaKiislamu lakini baada ya khutbaikapanda hadi 64%. Mwisho paka-oneshwa kwamba 34% watatoa na-saha kuhusu riba kwa watu wenginena 31% wataacha miamala ya riba.

Uchunguzi kama huu ni ushahi-di kwamba khutba ya ijumaa inaathari kubwa kwa wenye kuswaliswala ya ijumaa na hapo ni pindi

 wanapomkuta khatwibu mwenyekuathiri kwa khutba na vitendo

 vyake.Saba, wahudhuriaji katika khut-

 ba ya ij um aa da im a hu zi dikuongezeka kadiri muda unavyok-

 wenda kinyume na muhadhara audarsa ambapo wasikilizaji wanawe-

za kuwa wanaondoka wakati mtoamada anaendelea. Kwa khutba yaijumaa ni mpaka mada ya khatwibuikamilike ndio watu huondoka nakwa hiyo ujumbe mzima hupatika-na.

Baada ya kujua yote haya, je hai-paswi kwetu makhatwibu kupewauzito mkubwa na muda wa kutoshakwa maadalizi ya khutba ya iju-maa na kujihimu kutumiambinu mbali mbali kuhak-ikisha kuwa zinakuwa naathari?

Na ni kwa nini taasisi na jumu iya za Kiislamu haz-iandai semina kwa ajili yakuwawezesha makhat-

 wibu wetu kutoa khut- ba zen ye kut imi zamalengo ya swala yaijumaa na hivyokuinua viwango

 vyao?Haya ni mas-

 wali ya kujiulizakwa pamoja ilikuziba pengo

 linaloonekana

a m b a p omisikiti mingi

inayoswaliwa ijumaa hakunampango wa kuhakikisha kuwakhutba zinakuwa chachu ya ma-

 b ad i l ik o y a Waislamuna jamii kii-mani, kie-

 l imu , ki-m a a d i l i ,

kiu-

chumi na kijamii. Khutba zinapaswa kuandikwa na kuhifadhiwkama rejea za siku za baadae.

Hatuwezi kubadilika mpaka tuakaponufaika kutokamana n

khutba zetu za ijumaa. Itaendelea toleo lija

Mpaka tutakapofaidika na Khutba za Ijumaa - 2

NA SHEIKH TAWAKKAL JUMA

KUTOKA KATIKA QUR’AN’ NA SUNNAH

Mpenzi msomaji bado

 tu na en de le le a namakala yetu tuliy-oyaanza wiki iliyopita.

Pamoja na kuwa Qur’an ni maneno ya Allah hebu tuangalie walau kwamukhtasari watu waliojadili, kwafikra zao, juu ya mtunzi wake wa-nasemaje.

Katika Kamusi“Encyclopedia” ya Kikatoliki juzuu ya sita, chini yamada ya Qur’an, wamesema: “Over

 the centuries, many theories have been offered as to the origin of theQur’an….Today no sensible manaccepts any of these theories”. Maa-na ya maneno haya ni:“kwa karnenyingi nadharia nyingi zimeibuliwa

 juu ya asili ya Qur’an... Leo hakunamtu mwenye akili timamuanayekubali yoyote miongoni mwanadharia hizi”.

Kwa kifupi kuna nadharia kad-

haa za wasiokuwa Waislamu zina-zozungumzia utunzi wa Qur’an tukufu. Wasio Waislamu wameto-fautiana sana kuhusiana na nanikaitunga hii Qur’an isipokuwa wote

 wanakubaliana kuwa Qur’an ilita-mkwa kwa mara ya kwanza na mtuambaye alizaliwa katika mji waMakkah, mji ulioko katika Bara

 Arab mnamo karne ya sita akiitwaMuhammad (Rehma na amaniziwe juu yake).

 Ama kuhusiana na chanzo auasili ya Qur’an, wasiokuwa Waisla-mu wamegawanyika katika

makundi matatu.Kuna wale wanaoamini kuwaMuhammad (Rehma na amaniziwe juu yake) mwenyewe ndiyealikuwa mwandishi wa hii Qur’an.Kundi la pili wanaamini kuwa Mu-hammad (Rehma na amani ziwe

 juu yake) siye aliy eiandik a hiiQur’an lakini alijifunza kutoka kwamtu mwingine au watu wengine.Kundi la tatu linaamini kuwaQur’an haijatungwa na mwanada-mu bali ni maneno ya Allah.

Miongoni mwa nadharia zina-zomuelezea Muhammad (Rehmana amani ziwe juu yake) kuwa ndi-

 yo chanzo au mtunzi wa Qur’an zi-nadadisi sababu mbalimbali za

 yeye kutunga Qur’an. Moja ya nad-

haria inazungumzia‘Material gainas the motive’yaani kutafuta malikuwa ndio sababu ya Muhammad(Rehma na amani ziwe juu yake)kutunga Qur’an, baadhi ya wengine

 wakataja‘desire for Power and Glo-ry’, yaani uchu wa madaraka naumaarufu.

 Wananadharia wengi ne wa-

kasema Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake) alikuwaanataka‘Unity and Liberation of

 Arabs’ yaani kuleta umoja na kuwa-komboa waarabu. Na wapo wal-iosema Muhammad alitaka kuletamageuzi ya roho (moral reforma-

 tion).Pia wapo waliodai kuwa Mu-

hammad (Rehma na amani ziwe juu yake) aliitunga Qur’an pasinakujijua yaani ‘unconscious fabrica-

 tion’ na wengine waliokuja na nad-haria ya kifafa (epileptic theory) nanyinginezo.

Uchunguzi huru na yakinifu un-aonyesha kuwa nadharia hizi zote sichochote bali uongo mtupu na haz-iingii katika akili ya mtu mwenye

akili timamu anayeisoma Qur’ankwa kuzingatia.

MAUDHUI YA QUR’AN:Kama ilivyo kawaida, kila kitabu

kina maudhui. Maudhui makuu yakitabu hiki ni lile lengo la kuumbwamwanadamu, ambalo ni kumtu-mikia Allah. Pamoja na kuwa haya

ndio maudhui makuu, ndani yakitabu hiki pia kuna maudhui men-gine mbalimbali ambayo yanalengakumkinaisha mwanadamu ili al-iendee lengo lake la kuumbwa.Maudhui haya yote yameashiriwakatika sura ya kwanza, yaani Su-ratul-Faatiha.

MAJINA YA QUR’AN:Jina maarufu la kitabu hiki ni

Qur’an, lakini kutokana na utuku-fu wake na sifa zake adhimukimepewa majina mengine kamaKipambanuzi (Alfurqaanu, AlBayaanu, Attibiyaanu, Albayyin-natu), Tukufu (Al‘Adhwiimu,

 Al‘Azizi), Yenye Hekima (Alhaki-imu), Nuru (Anuur), Muongozo

(Alhudaa), Ukumbusho (Attad-hkratu), Rahma (Arrahmatu), Po-nyo (Asshifaa), Kitabu Chenye Ku-

 bainisha (Alkitaabul Mubiinu) ,Utajo Mtukufu (Adhikrul Haki-imu), Njia Iliyonyooka (AsswiratulMustaaqiimu) n.k.

Hiki ni kitabu pekee ambachokimebaki katika uasili wake tangu

kiteremshwe tofauti na vitabu vi ngin e am bavy o ka la mu ya waandishi na mafarisayo imevifan- ya kuwa uongo, kama Yeremia 8:8isemavyo. Kulingana na tabia yaMayahudi ya kubadilisha maneno

 ya Allah ni vigumu sana kwa sasahata kujua katika vitabu vingine ni

 lipi neno la Allah na ni lipi neno lamwanadamu.

Sehemu kubwa sana ya vitabu vingine sasa imekuwa ni maneno ya wanadamu yenye kuendana namatashi yao, ndio maana utaonakuwa wakitaka kumla nguruweambaye kaharamishwa na Allah

 watapachika andiko lao pale kuwasi kila kiingiacho ni najsi bali ki-

 tokacho! Atakay eitikadi katik a Waislamu au akawa na shaka yaaina yoyote kuwa Qur’an imepun-gua, kwa mujibu wa Shari’ah ya Ki-islamu anakuwa amepotoka na

kutoka katika Uislamu.Jambo jingine la ajabu kuhusukitabu cha Qur’an ni kuwa tofautina vitabu vingine ndiyo kitabu pe-kee kilichohifadhiwa hata na wato-

 to wadogo na wale wasiojua hatamaana ya neno moja la kiarabu.

Hii ni tofauti na vitabu vingineambavyo hakuna mtu hata mmojadunia nzima aliyehifadhi vitabuhivyo neno kwa neno, mwanzo hadimwisho. Tena kimehifadhiwa si ka-

 tika uandishi tu bali hata namna yausomaji wake!

 Itaendelea

Nadharia mbalimbali juu ya asili ya Qur’an

KWA KIFUPI KUNA NADHARIA KADHAA ZA

WASIOKUWA WAISLAMU ZINAZOZUNGUMZIA

UTUNZI WA QUR’AN TUKUFU

Na Sheikh Muhammad DuwayshMLINGANIAJI

Waislamu wakisikiliza

mawaidha ya ibada yaIjumaaa.

Page 8: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 8/15

www.islamicftz.org

1Rajab1436,  JUMATATU Aprili20 -27 , 2015

  www.islamicftz.org

1Rajab1436,  JUMATATU Aprili20 -27 , 2015

Ilipoishia wiki iliyopita …….. Waislamu washika mwendo wa zama za jadi ya kiislamu(traditional orthodox Islam) wana chem- bechembe ya demokrasia zinazoweza kutumi-ka kupambana na msimamo wa kikandamizajina kiimla wa siasa kali, ingawaje hawafai kuwachombo cha kutegemewa cha demokrasia yaKiislamu.

Nafasi hii inaliangukia kundi la wanam-ageuzi wa kiislamu (Islamic modernists) am-

 bao utendaji wao una kikwazo kwa sababukadhaa ambazo ripoti hii itazizungumzia.Ili kuchochea mabadiliko chanya kwa ulim-

 wengu wa kiislamu kuelekea de mokrasiakubwa zaidi, usasa na kuendana na mfumo wakimataifa wa zama hizi, taarifa ya RAND in-ashauri ifuatavyo:

“The United States and the West need toconsider very carefully which elements, trends,and forces within Islam they intend to strength-en; what the goals and values of their variouspotential allies really are; and what the broaderconsequences of advancing their respectiveagendas are likely to be”.

“Marekani na nchi za magharibi zinahitajikutafakari makundi gani, mtiririko wa matukiona nguvu ndani ya Uislam za kuzipa nguvu;(pia) kung’amua malengo na maadili ya wawe-zao kuwa washirika wao na matokeo ya kuzi-saidia ajenda zao”.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, mbinumchanganyiko kwa ajili ya makundi mbalimbali inaonekana kuwa na matunda mazurizaidi. RAND wanashauri:

“Kwanza, ungeni mkono wanamageuzi wakiislam, chapisheni na kusambaza maandiko yao kwa gharama nafuu ili watu waweze kuyap-ata kwa urahisi, wahimizeni waandike fikra zaokwa ajili ya umma na hasa vijana, ingizeni fikrazao katika mitaala ya elimu ya Kiislam (Kum- buka mradi wa Conrad na mtaala wa elimu yakiislam na kuchapisha vitabu Tanzania bara naZanzibar), wapeni jukwaa waufikie ummakueleza fikra zao (vipindi vya radio, runinga,magazeti, mitandao ya kijamii n.k).

Fanyeni tafsiri, maoni na fatwa zao kwenyemasuala ya msingi ya dini ya kiislamu yaufikieumma wa Waislamu ili kushindana na siasakali na wahafidhina ambao wana tovuti, mita-mbo ya uchapaji, mashule, vyuo na nyenzo ny-

ingine za kusambazia fikra zao. Wawekeni wasekula na wanamageuzi kama

mila mbadala “Counterculture” kwa vijana am- bao hawajaharibiwa na fikra za siasa kali. Wezesheni na himizeni ufahamu wao kuhusuhistoria ya Uislam kabla na historia ya ulim- wengu usio wa kiislamu na mila nyingine kati-ka vyombo vya habari na mitaala ya nchi husi-ka. (Rejea propaganda ya upotoshaji wa histo-ria ya utumwa Afrika Mashariki kupitia mitaalana vitabu vya historia mashuleni). Propagandazinasema Uislamu na Waislamu ndio wa ku- laumiwa kuhusu utumwa na wazungu ndio wapiga vita utumwa.

 Wasaidieni (wasekula na wanamageuzi yakisasa wa kiislam) kuendeleza taasisi huru zakijamii kutia nguvu utamaduni wa kiraia nakutoa nafasi kwa wananchi wa kawaida kuji-funza kuhusu mfumo wa kisiasa wa kimagaha-ribi na kuelewa misimamo yao. Msomaji kum- buka kuundwa kwa taasisi mbali mbali za kiis-

 lamu ambazo kazi yao kubwa ni kupinga juhudiza Uislam na Waislam kuusimamsiha Uislamuhuku zikipewa majukwaa mbali mbali kuelezeafikra zao.

 Ama kuhusu makundi mawili yaliyobakiakati ya yale manne walishauri: “Waungenimkono wahafidhina dhidi ya siasa kali, t anga-zeni ukosoaji wa wahafidhina kukosoa ukatilina fikra za siasa kali, chocheeni kutokuelewanakati ya wahafidhina na siasa kali, Pingeni ush-irikiano kati ya wahafidhina na siasa kali nachocheenii ushirikiano kati ya wanamageuzi wa kisasa na wahafidhina ambao wako karibu yao kimtazamo katika baadhi ya mambo.

“Pale inapowezekana, wapeni elimu wahafi-dhina kuwawezesha kuwa weledi kwa mijadalana siasa kali. Siasa kali mara nyingi ni wazun-gumzaji na watoa hoja wazuri wakati wahafi-dhina wanajua zaidi kuhubiri Uislamu ulivyo tu.”

Katika nchi kama za Asia ya Kati, wahafi-dhina watahitaji kufundishwa na kufundwakuhusu Uislamu sahihi (orthodox Islam) ili

 waweze kujitetea dhidi ya hoja za siasa kali.Msomaji ona mbinu hii, wamarekani wanaam- biwa wawafundishe Waislamu Uislamu sahihisi kwa kuwa wanaukubali Uislamu bali wau- tumie kuwagonganisha Waislamu. Kwa hiyo tuwe macho na ufadhili wa watu kama hawa.Mbinu nyingine waliyowashauri wamarekani waitumie katika kuupiga vita Uisla m nikuongeza idadi ya wanafunzi wenye fikra za us-asa (modernists) katika vyuo vya kiislamu vyakihafidhina kama vile Chuo Kikuu cha Madina, Al Azhar n.k. Lengo ni kuwafanya wausomeUislamu sahihi kwa nia ya kuja kuupinga huku wakiwachanganya Waislamu kwa kuwa wa- takuwa wamehitimu katika vyuo vikuu vinavy-okubalika na Waislamu.

 Wanastratejia wa RAND wanaendeleakushauri; “Tofautisheni makundi mbali mbali

 ya wahafidhina na wapeni nguvkaribu na usasa (modernism) kamhehebu ya Hanafi dhidi ya madingine za kiislamu. Wahimizeni sa wa na kuzieneza ili kudhoofisha f wahabi.”

Pia walishauri kuenezwa na kufikra za Usufi (mtazamo wa kuachna kujishughulisha na akhera tkwamba Waislamu wengi wakiwa

huu wa kisufi, basi maadui wa Uisopata upinzani wowote katika maia yao. Hili ndilo lengo la kundi huko Yemen.

“Kabilini na pambaneni na sigeni tafsiri yao juu ya Uislamu na okosa ya tafsiri yao hiyo. Fichueni una makundi na vitendo haramusana athari za matendo yao ya kika

RAND wanashauri, “Oneshenkwao kutawala na kuleta maendenchi na jamii zao”. Msomaji kumbuhamed Mursi na utawala wa Ikhwiyna huko Misri jinsi ulivyonyimwMarekani na washirika wake waonekane hawawezi kutawalmaendeleo na hatimaye ukapindu

“Uelekezeni ujumbe huu hasw vijana, washika ibada wa kihafidh lamu walio wachache katika nchina makundi ya wanawake. Epukemnatambua au kuheshimu vitensiasa kali na magaidi. Watangaz watu waliochanganyikiwa na wmsiwatangaze kwa namna i waonekane kama mashujaa waka

“Wahimizeni wanahabari kmienendo na tuhuma za ufisadi, ufedha, undumilakuwili na ufuska ni za makundi ya siasa kali na mag tangaza sana katika vyombo vya h

“Himizeni migogoro baina yasiasa kali. Waungeni mkono wase wachambua wafaao kuungwa msiofaa. Himizeni kutambulika kkama adui wa watu wote na pigeni la k uungana na ma kundi yaMarekani kama vile wapigania ut wa itikadi za mrengo wa kushoto.

Ungeni mkono fikra ya kuten

na dola kuwa inakubalika hata kana kwamba fikra hiyo haihatarimtu bali ndiyo haswa huiimarisha

Kisha RAND wakasema, mmtakayoitumia tunashauri ifanykutafakari kwa kina na kufahamu baadhi ya masuala, maana inay tikana kwa ku zingatia watunMarekani na misimamo katika bauala, athari za misimamo hiyo kmengine ya kiislam ikiwa ni pam ya kuyahatarisha makundi yale aenga kuyasaidia na athari zisizotasaidia makundi hayo katika mudaeni.

Hatimaye RAND wakamalizkwa kushauri mbinu kuu zifuathizo zilizotangulia.

A ABUU MAYSARA

Katika ulimwengu wa ush-indani takriban katika kilanyanja ya maisha; uchumi,siasa, dini, n.k, ni rahisi kwa

u au kikundi cha watu kujikuta aki-mika kwa maslahi ya wengine na pen-ne hata kwa madhara yakewenyewe.Katika kipindi hiki tunapoelekea ka-a kura ya maoni kuhusu katiba inayo-ndekezwa na uchaguzi mkuu nchini,aislamu kama wanajamii wenginenapaswa kuwa makini dhidi ya kutu-ka kwa namna yoyote ile kwa maslahimtu au kikundi chochote kile.Hili ni katazo kama alivyotufunza Al-katika Suurat Al Qasas (28 :86) al-

mwambia Mtume Muhammad (Re-a na amani ziwe juu yake):“Na wala

kuwa hutaraji kuteremshwa kwakoabu isipokuwa ni rehma kutoka kwala wako, basi usiwe egemeo/msaada

a makafiri.Pia Allah Sub’haanahu Wataalaasimulia kutokana na Nabii Musahma na amani ziwe juu yake):“Eela wangu, kwa vile ulivyoneemeshayangu, basi kamwe sintokuwa ege-

o/msaada kwa watu waovu”(28:17).Lakini ni mara ngapi Waislamu kwaua au kutojua tumetumika kwaslahi ya watu wengine huku tukiid-u dini yetu au sisi wenyewe? Katikakala hii, tutadondoa sehemu katikatoria ya Msumbiji wakati wa mapam-no ya chama cha FRELIMO ya kudaiuru kutoka kwa Wareno ili kuona jin-aadhi ya Waislamu wenzetu hukoivyokubali kutumiwa na Wareno nadhara yake.Hii ni tafsiri ya makala iitwayo “Islamthe Service of Colonialism? Portu-

guese Strategy during the Armed Liber-ation Struggle in Mozambique” iliy-oandikwa na Edward A. Alpers.

Kwa mujibu wa Askofu Mkuu waLourenco Marques, Kadinali Teod’osiode Gouveia, Waislamu walimkaribisha Vasco da Gama katika kisiwa chaMsumbiji mwaka 1497. Wakiongozwana ari yao ya vita vya msalaba na uchu wa kuhodhi rasilimali, Wareno waliuo-na Uislamu na Waislamu kama maadui wakubwa kabla hata ya kutweka nangakuja Afrika.

 Wakati Wareno waliporejea Msumb-iji kwa mara ya pili mwishoni mwakarne ya kumi na tisa safari hii kama wa-koloni katika kinyan’ganyiro cha matai-fa ya Ulaya kugawana Afrika, wakakuta wimbi la kuenea kwa Uislamu eneo laKaskazini mwa Msumbiji kutokeapwani.

Hali hii iliamsha ari na moyo mion-goni mwa maafisa watawala, askari Wakireno na wawakilishi wa Kanisa

Katoliki ya kupambana na Uislamu ka- tika vita vya msalaba eneo la Kaskazinimwa Msumbiji. Inakuwaje basi Wareno waamue kuwaweka viongozi wa Wais- lamu nchini Msumbiji katika safu yaodhidi ya Frelimo wakati wa vita vyaukombozi wa Msumbiji miaka ya 1960hadi 1970?

Ili kupata jibu la kitendawili hiki, tu-nahitaji kujua kitu kuhusu historia yaMsumbiji ya karne ya ishirini iliyopele-kea Wareno kufikia uamuzi huu wa ki-historia wa kuwatumia Waislamu ku- wasaidia kupambana na Frelimo.

Kukua kwa Uislamu na Sera ya Wareno nchini Msumbiji:

Kama mahali popote Afrika yaMashariki, nyenzo kubwa ya kueneakwa Uislamu mwanzoni mwa karne ya20 ilikuwa ni“Twariqa”- jumuiya za Kis-

ufi. Twariqa ya Shaadhiliyya iliingia kisi- wa cha Msumbiji mwaka 1896 kutokeaComoro na Zanzibar na kufuatiwa naQadiriyya.

 Awali Twariqa ya Shaadhiliyya iliing-ia kupitia walinganiaji kutoka visiwa vyaComoro na hadi leo kuna uhusiano ima-ra na Comoro. Tawi la kwanza la Twar-iqa ya Qadiriyya nchini Msumbiji lil-iundwa na Sheikh kutoka Zanzibar.

Taratibu twariqa zote hizi mbili yaShaadhiliyya na ile ya Qadiriyya zikaan-za kueneza matawi yao kuelekea bara yaMsumbiji kupitia barabara na reli, wakati huo huo ukoloni wa Kireno uki- jikita nchini Msumbiji. Tawi jingine la

 twariqa ya Qadiriyya likafunguliwa jim- boni Niassa kupitia Tanganyika (sasaTanzania) na Nyasaland (sasa Malawi).

Hadi kufikia mwaka 1930, wakazi wengi waafrika kaskazini mwa Msumb-iji walikuwa Waislamu huku wakatoloki wakiwa wachache na waanglikana wak-iwa wachache zaidi. Dalili ya kwanza ya Wareno kuwaona Waislamu kuwa ni tatizo ilijitokeza mwaka 1937 kulipoku- tikana vipeperushi (bila shaka kutokeaZanzibar) vikielezea furaha ya Waislamukwa Dola la Kihabshi (Abyssinia, wakatihuo mtawala wake akiwa Muislamu)kuwashinda Waitalia.

 Wareno waligundua kuwa chanzo

cha vipeperushi hivyo ni raia waMsumbiji mwenye asili ya kiarabu. Wareno wakaona kut okuwepo kwa wakatoliki kaskazini mwa Msumbiji ni tatizo kwani kunawaacha wakazi waeneo hilo chini ya ushawishi wa Waisla-mu kwa kuwepo madrasa na misikitiambamo ndani yake itikadi dhidi ya wa-zungu na wakristo hufundishwa.

Hali hii ilipelekea utawala wa Warenokuanzisha mjadala juu ya mbinu za ku-dhibiti Uislamu. Moja ya fikra ilikuwa nikufunga misikiti na madrasa zote. Ku- likuwa na sheria ya Wareno iliyotakakila shule iwe imesajiliwa na taasisi ny-ingi za kielimu za Waislamu hazikuwana usajili. Mbinu hii ya kutaka madrasazisajiliwe iliwahi kuibuka hapa Tanza-nia.

Mwisho, Wareno waliona hatua yakufunga madrasa na misikiti y a Waisla-mu ni kujitafutia balaa kwani ingeonge-za chuki ya Waislamu dhidi ya Wareno.

 Wareno waligundua kuwa madrasa

na misikiti ni kama chakula kwa Wais- lamu, wangeweza kuingiza ushawishi wao katika uendeshaji wake, lakini sikuzikandamiza. Kutokana na kuko-sekana mfumo imara wa elimu wa kika- toliki eneo la kaskazini ya Msumbiji,mamlaka ya Wareno katika wilaya hiyoiliamua kuacha hali jinsi ilivyo.

Ingawa iliamuliwa kuziacha madra-sa na misikiti iendelee katika eneo lakaskazini mwa Msumbiji, hali haikuwahivyo katika jimbo la Cabo Delgado naPorto Amelia. Huko Wareno walizifun-ga madrasa na misikiti kwa masiku kad-haa na kunyang’anya vitabu vya dini yaKiislamu Machi 1937, uamuzi ambao baadae ulifutwa na gavana mpya wa jimbo la Niassa mwezi Oktoba 1938.

Jambo lililowachanganya zaidi Wareno ni nafasi ya Zanzibar katika

mambo ya Uislamu na Waislamu nchiniMsumbiji, kwani Zanzibar ilikuwa kito- vu cha harakati zote za Uislamu AfrikaMashariki na Kati nyakati hizo.

Mwanzoni mwa mwaka 1930, mzo-zo wa kidini katika jimbo la Cabo Delga-do ulipelekwa kwa Kadhi Mkuu waZanzibar kwa ajili ya kutolewa fatwa.Miaka michache baadaye, Mkaguzi waUtawala (Administrative Inspector) ait- waye Pinto Correa aliielezea ‘hatari’ hii.

Pinto alisema:“Waislamu wengi wa-naendelea kutii ushawishi wa Masheikhkutoka Zanzibar na ushahidi thabiti tu-nao. Madrasa na misikiti inashamiri kilasehemu ikiashiria mshikamano wa kidi-ni ambao kwa Waislamu ni sawa na mu-undo wa kisiasa unaoelekezwa nakuendeshwa na wageni kutoka Tangan- yika, Nyasaland na hata Kenya”.

Hatimaye, Pinto alibuni mkakati wakudhibiti alichokiona kuwa kitishokikubwa kwa utawala wa Warenokaskazini mwa Msumbiji kutokana naushawishi mkubwa wa kiongozi waTwariqa ya Qadiriyya, Sheikh AbdulMajid kutoka Macufi kote wilayani Lu-rio.

Katika mkakati wake aliandika

hivi:“Kwa kuwa haiwezekani kuian-gamiza imani ya Waislamu, kwa hiyokwa sasa, ili kudhibiti kuenea kwake, tu-napaswa kuidhibiti na kuielekeza kwamaslahi ya taifa la Wareno”.

Mkakati wake ukajumuisha serikalikufadhili ukarabati wa misikiti jimboniMacufi. Katika andiko aliloandaa liit- walo “Kuutaifisha Uislamu wa wenyeji”,alibuni mkakati wa kutekeleza mbinuhii kwa kuanzisha mfuko maalumutakaochangiwa fedha na serikali yamkoloni uitwao‘Mfuko wa Ureno kwaajili ya Waislamu’ ambapo fedha zinget-okana na kodi za serikali za mitaa.

Pinto aliona mkakati huu kuwa ni se-hemu ya mapambano ya kudumu kati ya Ukristo dhidi ya Uislamu kwaniUkristo ulikuwa unazorota na Uislamukupata nguvu, hususan baada ya kion-gozi mmoja wa Kanisa katika kisiwa chaIbo kusilimu.

Hapa Pinto aliiga tu mbinu ya Afisa wa Serikali Mfaransa, aitwaye Lyauteyhuko Morocco, aliyejifanya rafiki na ku- toa misaada kwa Waislamu huku akiwasi tu Mkatoliki na mwanajeshi bali piamfuasi wa Jesuit! (Kitengo Maalum chaUjasusi cha Kanisa Katoliki Duniani).

Pamoja na ukweli huo, Lyautey alia-cha wosia karibu na kufa kwake aki-andika kwa mkono wake maneno yafuatayo ili yaandikwe juu ya kaburi lake:“Hapa amelala Padri Lyautey, raia wa Ufaransa nchini Morocco, na am- baye kamwe katika maisha yake hakusa-haau kuuheshimu Uislamu”!!!

Mrithi wa Pinto kama Mkaguzi waUtawala wilayani Cabo Delgado aliandi-ka katika ripoti yake ya ukaguzikwamba wilaya imejaa Masheikh am- bao wamefundishwa Tanganyika kiasikwamba inahofiwa Uislamu kupanuka. Wakati huo huo a kaishauri serikalikwamba hatua ya mamlaka ya utawalakuifunga misikiti na madrasa na kuisi-mamia haikuwa na mantiki yoyote.

Hadi kufikia miaka ya 1950, Warenonchini Msumbiji walikuwa bado hawa- jawa na mka kati wa kudhibiti kili-choshuhudiwa na watawala kuwa nikukua na kuimarika kwa Uislamu hasakaskazini mwa Msumbiji. Wakati huohuo harakati za mapambano ya kuikom- boa Msumbiji kutoka katika makucha ya Wareno ilikuwa imeshaanza kuvukampaka kutokea Tanganyika.

Inaaminika kwamba wanamgambo

Stratejia yawamagharibikuwagawa Waislamu

MAKALA MAALUM

 Waislamu wal-itahadharishwadhidi ya Frelimo

 Mpangomkakati ulianda-liwa kwa siri naWareno

Masheikhwalipingana wao

kwa wao

HISTORIA YA MSUMBIJI;

Waislamu walivyotumika - 1

WAKATI WARENOWALIPOREJEA MSUMBIJI

KWA MARA YA PILI MWISHONIMWA KARNE YA KUMI NA TISA

 SAFARI HII KAMA WAKOLONI,WAKAKUTA WIMBI LA KUENEA

KWA UISLAMU ENEO LAKASKAZINI MWA MSUMBIJI

KUTOKEA PWANI

 Makala hii kutokana na makosa ya kiufundi haikumalizika mpaka mwiyopita, kutokana na umuhimu wake tumelazimika kuiendeleza katika to

 MHARIRI.

MBINU NYINGINE

WALIYOWASHAURI

WAMAREKANI

WAITUMIE

KATIKA KUUPIGA

 VITA UISLAM NI

KUONGEZA IDADI YAWANAFUNZI WENYE

FIKRA ZA USASA

(MODERNISTS)

KATIKA VYUO VYA

KIISLAMU V YA

KIHAFIDHINA KAMA

 VILE CHUO KIKUU

CHA MADINA, AL

 AZHAR N.K.

Msikiti Mkuu jijini Maputo

Page 9: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 9/15

www.islamicftz.

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 ,

10

Mgogoro un-aoendelea nch-ini Yemen, am-

 bao umevukamipaka na kuhusisha matai-

fa ya nje unaweza kuonekanakama mgogoro wa kisiasa tu.

Hata hivyo, ukweli nikwamba mgogoro huu ni zai-di ya siasa. Ni mgogoro wakidini kati ya mashia na AhluSunnah wal Jamaa. Wanao-itwa ma-Houthi si wengine

 bali ni mashia wa dhehebu laZaydiyyah lililopata kuitawalanchi hiyo miaka mingi nyuma.

Mwaka 1962 utawala wama - Houthi ulimalizika kwamapinduzi ya kijeshi ambayo

 yaliibadili Yemen kuwa nchi yakisekula.

Chimbuko la ma-Houthi,ambao jina lao rasmi ni An-sarullah yaani ‘wenye kumnu-

suru Mungu’, ni vuguvugu la vi- jana wa kish ia liitwalo ‘Al-Shabab Al-Mu’min’, yaani vijana

 waumini lililoibuka baada tu ya Yemen mbili kuungana mwaka1990.

Jamii ya mashia ya Zaydi- yyah ya Yemen walikuwa wakii- lalamikia serik ali ya Yemenkwamba inawabagua, imejaarushwa, ina uhusiano na Saudi

 Arabia na kwamba kituo chaelimu cha Masalafi huko Sa’adahkinaeneza imani ya masuni eneoambalo kihistoria ni eneo lamashia.

Mwaka 2004, ma-Houthi wal-ianzisha mapambano ya silaha kati

 yao na majeshi ya serikali. Baada ya

 vipindi kadhaa vya mapigano nakusitisha mapigano hatimaye ma-Houthi wakaibuka kwa nguvu mwa-ka 2011 baada ya vuguvugu la maan-damano ya raia yaliyozikumba nchiza kiarabu maarufu kama “ArabSpring”.

Kiongozi wa ma-Houthi wa wakati huo aitwaye Hussein Badru-diyn al-Houthi (kwa hiyo jina ma-Houthi latokana na jina la kiongozi

 wao) aliuwawa katika mapiganohayo.

Hatimaye, mwaka 2014 ma-Houthi wakauteka mji mkuu wa

 Yemen, Sanaa na kusababisha Rais

 Abdurasuul Mansour Hadi kukim- bilia Aden. Ma-Houthi wakajizatitikuiteka Yemen na hapo Saudi Arabiana nchi nyingine kumi za kiarabu zakisunni zikaanzisha mashambulizi

 ya anga dhidi ya ma-Houthi kwa lengo la kuurejesha utawala wa raisHadi aliyechaguliwa na wananchi.

Lakini nguvu kubwa kama hii yama-Houthi wanaitoa wapi? Iran,naam ma-Houthi wanasaidiwa naIran. Tarehe 18 Oktoba mwaka 2014,Iran iliitisha mkutano wa washirika

 wake uitwao, “The International Is- lamic Awakening Association” (Cha-ma cha kimataifa cha uamsho waKiislamu). Ni katika mkutano huondipo mpango wa mashia wa kuta-

 wala nchi za mashariki ya kati kwaitikadi ya ushia ulidhihiri.

Katibu Mkuu wa umoja huo Dr. Ali Akbar Velayati alinukuliwa akise-ma kuwaambia wajumbe kutokama-Houthi: “Tuko hadhiri juu yaushindi wenu na tumefurahi sanakuhusu ushindi huu. Uhusiano wetuna ma-Houthi unarudi nyuma kita-mbo kirefu sana na tunajua fikra zaSadrudiyn Houthi ambaye ni kion-gozi wa kiroho wa Ansarullah na

 baba wa shahidi Hussein Houthi na Abdulmalik Houthi ambaye ni kion-gozi wa ma-Houthi nchini Yemen(hivi sasa)”.

 Akaendelea kusema: “Nina fura-ha kwamba ma-Houthi na kiongozi

 wa mapinduzi nchini Yemen wa-naongoza harakati za busara na zakijasiri nchini Yemen”.

Mara nyingi, Iran hukanusha ku- wasaidia ma-Houthi lakini kwa kauliza viongozi wake kama hizi inaone-sha kuna mkakati maalum wamashia wa Iran kutawala nchi za ki-arabu kwa kusimika utawala wamashia wenzao.

Dr. Velayati alinukuliwa

akisema: “Jamhuri yaKiislamu ya Iran inao-na fahari kubwa

kwa Ansarullah (ma-Houthi) nakwamba inataraji jukumu kama laHizbullah ya Lebanon litafanywa na

 Ansarullah nchini Yemen”.Kwa hiyo kwa mujibu wa Velayati,

kinachotokea nchini Yemen nimwamko wa Kiislamu (Islamic

 Awakening), lakini kimsingi ni ush-indi wa mashia kuwashinda masuni.Dr Velayati anakiri: “Jamhuri ya Ki-islamu ya Iran inawaunga mkono

 Ansarullahi (ma-Houthi wa Yemen)na inaona harakati yao iko sambam-

 ba na utekelezaji wa sehemu yamwamko wa Kiislamu”.

Kwa upande wao, wajumbe wama-Houthi walioshiriki katika mku-

 tano huo walitamka wazi kwamba Ayatollah Khamenei siyo tu kiongozi wa Iran bali ni kiongozi wa Waisla-mu wote duniani.

Huu ndio ukweli wa kinacho- tokea Yemen. Saudi Arabia haikuun-da muungano wa kuwapiga ma-Houthi kwa lengo jingine bali kuzuiamashia kutimiza malengo yao yakuzitawala kwa itikadi ya kishia nchiza kiarabu hata ikibidi kimabavu.

Kwa mujibu wa chanzo hicho chahabari cha mashia wenyewe, Dr Ve-

 layati alipoulizwa kuhusu manufaa ya mapinduzi ya ma-mashia Houthinchini Yemen alijibu: “Sualamuhimu ni kwamba njia ya kuikom-

 boa Palestina iko Yemen kwa sababu Yemen iko mahali muhimu kistrate- jia na karibu na bahari ya Hindi,ghuba ya Oman na (mlango bahari)

 bab el-mandeb”.Kukomboa Palestina hutumika

na Iran kama ngao ya kufichia lengo lao kuu ambalo ni kutawala kwaitikadi ya kishia eneo lote la masha-riki ya kati. Tangu lini mashia

 wakaw a na uchungu na

masun-ni wa Pal-

estina wanaowatam- bua Abubakar, Umar na Uthman(Radhi za Allah ziwe juu yao) kuwani makhalifa wa Mtume (Rehma naamani ziwe juu lake) mpaka wawe

 tayari kuikomboa Palestina?Naye mwakilishi wa kiongozi wa

kidini wa mashia Ayatollah AliKhamenei aitwaye Ali Shirazi, akion-gea na Vikosi vya Walinzi wa Mapin-duzi vya Quds alinukuliwa na Defa

Press akisema: “Jamhuri ya Kiislamuinawaunga mkono moja kwa mojama-houthi nchini Yemen, HizbullahLebanon na wanamgambo nchiniSyria na Iraq”. Kwa hiyo kinachoen-delea nchini Yemen ni sehemu yapicha kubwa inayoihusu Iran namkakati wake wa kutawala nchi zakiarabu kwa itikadi ya ushia.

Hivi karibuni, Iran hususan kupi- tia kiongozi wake wa kidini, Ayatol- lah Ali Khamenei, imenukuliwa iki- laani kwa nguvu mashambulizi yaanga ya nchi za kisunni za kiarabu

 yanayoongozwa na Saudi Arabia ku- walenga ma-Houthi nchini Yemen.

 Ali Khamenei amenukuliwa ak-isema: “Uvamizi wa Saudia dhidi ya

 Yemen na watu wake wasio na hatia

ni kosa...umeweka mfano mbaya ka- tika eneo (la ghuba)”.

Iran haikuwahi kusema lolotehuko nyuma wakati ma-Houthi

 wakiwaua masunni nchini Yemenkwa silaha, fedha na mafunzo waliy-oyapata kutoka Iran. Sasa inaonamkakati wake wa kuitawala Yemenunakwenda kombo ndiyo inapazasauti kutaka mazungumzo ya ama-ni.

Katika vita hiyo ya maneno, Ayat-ollah Khamenei alisema: “Riyadhhaitoibuka mshindi katika uvamizi

 wake”, akiwa na maanaSaudi Arabia na wa-shirika wake ha-

 watowashinda ma-Houthi.

0785 955 859

HUU NDIO

UKWELI WA

KINACHO

TOKEA

 YEMEN.

 SAUDI

 ARABIA

HAIKUUNDA

MUUNGANO

WA

KUWAPIGA

MA-HOUTHI

KWA LENGO

 JINGINE

BALI KUZUIA

MASHIA

KUTIMIZA

MALENGO

 YAO YA

KUZITAWALA

KWA ITIKADI

 YA KISHIANCHI ZA

KIARABU

HATA IKIBIDI

KIMABAVU

NCHA YA KALAMUSHEIKH MUHAMMAD ISSA

 Vita ya Yemen ni

mkakati wa Irankueneza ushia

Wapiganaji wa Shiha

nchini Yemen.

Page 10: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 10/15

N

eno saccos ni maarufu

hapa Tanzania hususankatika zama hizi am- bapo kila kundi la ki-

 jamii linajiunga ili kukabiliana nachangamoto za kiuchumi.

Saccos ni ufupisho wa maneno ya kiingereza‘Savings and CreditCooperative Society’ yaani ‘Vyama

 vya Ushirika vya Kuweka Akiba naKukopa’. Vyama hivi mara nyingihuundwa na watu wenye malengo

 yanayofanana – kama Waislamu, walimu, wakulima, wafanyabi-ashara au wafanyakazi wa eneo aukampuni husika.

Historia ya saccos inatokana na watu wa hali ya uchumi ya chini nakati kushindwa kupata sifa za kupa-

 ta mikopo katika mabenki. Hivyo,

 wataalamu wakaja na utaratibuhuu wa kuwakusanya pamoja nakuunda mfuko wa kuhifadhi pesazao huku wakikopeshana kwa utar-atibu maalum.

Miaka ya karibuni, Serikali ime-kuwa ikifanya kampeni kubwa ku-hamasisha uundwaji wa saccos namatokeo yake kumekuwa namwamko wa makundi mbalimbalikuunda saccos au kujiunga na sac-cos.

 Waislamu hawakubaki nyumakatika uundaji saccos. TAMPROSaccos iliyopo Magomeni iliundwaili kuwakusanya Waislamu waliokokwenye miamala yenye riba (hara-mu) na wale walioweza kujizuia ili

 wasaidiane, wanasihiane na kue-

 limishana ili wapate mafanikioduniani na kesho akhera.TAMPRO Saccos ilisajiliwa

 April 2010 kwa namba ya usajiliDSR.1257 na kuzinduliwa May2010, ikiwa na makao yake makuuMagomeni Usalama, jijini Dar esSalaam, karibu kabisa na ofisi zamanispaa ya Kinondoni. Kwa sasaina matawi pia Morogoro, Mwanzana Arusha.

Ni muhimu kwa Waislamu kuzi- jua saccos za Kiislamu ili waliozamakatika miamala ya riba wajue njiambadala ya kujikwamua kiuchumina wale ambao wamejizuia wajuekuwa kuna mbadala wa mifumomibaya ya riba ambayo mtu anawe-za kuitumia na kujikomboa kiu-

chumi. Matatizo yaliyopo katika taasisi za kifedha za kisekula si riba tu, bali pia mifumo hii ya fedha im-ewalazimisha Waislamu kutoka njezaidi ya mipaka ya Allah kwa kutoarushwa. Pia, baadhi ya Waislamu

 wamefilisiwa na kuingia katika ma- janga mengine katika biashara zaona maisha kwa ujumla.

Meneja wa TAMPRO saccos,

 Abuu Firdaus Abdullah anasema,kwa Muislamu yeyote anayem-uogopa Allah anawajibu wa kujiun-ga na taasisi za fedha za Kiislamu ilikunufaika na mikopo isiyo na ribana kujiepusha na majanga men-gine.

Saccos za Kiislamu kama zilivyosaccos zingine zinakumbwa nachangamoto nyingi ikiwemo ile yakushindwa kukidhi mahitaji ya wa-nachama wake. Mfano, saccos yaTampro inauwezo wa kukopeshampaka milioni sabini kwa mwezihuku kiwango cha juu cha kukope-sha kwa mwanachama kikiwa5,000,000. Kutokana na maombimengi, baadhi ya wanachama wa-nachelewa kupata mikopo.

UCHUMI NA BIASHARANA SELEMANI MAGALI

Tanzil.net

 Assalam alaykum msomaji wagazeti la Imaan. Hii ni safu itakay-okutambulisha tovuti mbalimbalizenye maudhui ya dini ya kiislam. Hiini dunia ya sayansi na teknolojia naWaislam hatuna budi kuendana nawakati, bila kuchupa mipaka ya AllahSubhanaahu Wata’allah.

Ipo mitandao au tovuti nyingi am-bazo zina maudhui ya Kiislam katikamada mbalimbali ikiwemo Qur an,

Sira, Hijja, Hadith za bwana Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) na

mambo mengine mengi ya kidini.Leo tutaanza kuiangalia tovuti ya

Tanzil.net. Hii ni tovuti ambayo ilian-zishwa miaka nane iliyopita na Profe-sa wa Chuo Kikuu cha Teknolojia chaSharrif (Sharrif University of Technol-ogy), Hamid Zarrabi. Chuo hiki kiponchini Iran.

Tovuti ya Tanzil.net  imejikita kati-ka Qur’an tukufu. Mtembeleaji wa to-

 vuti hiyo anaweza kuisikiliza Qur’ankupitia wasomaji 26 tofauti, wak-

iwemo wasomaji maarufu kama Ab-dul Bast, Abdurahman, Sudais, Sa’ad

al Ghamad na wengine.

Ukitembelea tovuti hiyo vilevile,unaweza kupata tafsiri ya aya husika,

 te na kw a ku so ma aukusikiliza. Tovuti hiyo ina

 tafsiri zisizopungua lugha thalathini za nchi tofautiikiwemo lugha ya Kiswahi-

 li kupit ia She ikh All yMuhsin al Barwan. Vile vilekuna kurasa itakayo ku-

 wezesha kusoma tafsi ripeke yake kuanzia mwanzohadi mwisho, tena kwa sai-zi na aina ya maandishi ya

chaguo lako.Tovuti ya Tanzil.net pia inakupa

nafasi ya kupata takwimu mbalimza Qur’an. Kwa mfano, unataka kuneno ‘ahad’ limetokea mara ngapi

 tika Qur’an, Tanzil.net itakuonyena aya ambazo neno husika lim

 toke za. Kwa uchache huo nmtandao wa Tanzil.net. Kufuraelimu kubwa iliyopo katika mtanhuo unaweza ukaingia katika to

 yao ya www.Tanzil.net ufaidike zai 

 Kwa maoni, ushauri piga autuma ujumbe kwa 0683 110 00

TOVUTI ZAKIISLAMU

www.islamicftz.org

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 , 2015

NA KHALID OMARY

Changamoto nyingineinayoikabili saccos ya TAM-PRO ni baadhi ya watu kuwa

 wazito kurejesha fedha. Kati-ka saccos nyingine, wanacha-ma wakishindwa kurejeshafedha, hatua za kufilisianahufuata. Lakini katika saccosza kiislamu kama ilivyo TAM-PRO saccos hali ni tofauti.Njia ya kiimani hutumika za-idi.

Hata hivyo, ingawa katikasaccos za Kiislamu suala lakudai marejesho ni la kiima-ni, Firdaus anasema wanach-

ama wanatakiwa kujengautamaduni wa kulipa ili wen-gine waweze kukopeshwa.Kubaki na amana bila yakurejesha ni sawa na kurudi-sha nyuma taasisi.

Ili kufaidika na hudumaza saccos Muislamu anataki-

 wa ajiunge na asasi yeyoteanayoipenda yenye misingi yadini na kuwa mwanachama

 wao, kisha aanze kujiwekeaakiba na hisa zake.

Kwa mfano kwa sasaTAMPRO saccos wanatoamkopo wa aina moja tu un-

aoitwa kisheria ‘Qard Hassan’ambapo mwanachama ata-kopeshwa fedha taslimu nakutakiwa kuzirejesha bila ribakwa muda uliopangwa.

Katika saccos ya TAM-PRO, masharti ya kukopa ni

pamoja na kuwa mwanacha-ma kwa kipindi cha miezi mi- tatu, na kukamilisha na kuli-pia hisa na gharama zauendeshaji za mwaka mzima.

Kiasi cha mkopo kinacho- tolewa na saccos za Kiislamuhakina tofauti na saccos zakawaida. Mwanachama ata-kopeshwa mara mbili ya ak-iba yake. Tofauti iliyopo niriba. Katika saccos za kiisla-mu mwanachama hatoi ribakwa kiasi alichokopa.

Mfano, akiba yako ni Tsh.mil 5 unaweza kukopa Tsh.mil 10 na utarejesha fedhahizo bila ya nyongeza ya fed-ha. Kwa sasa, Saccos ya TAM-

PRO inauwezo wa kukope-sha mwanachama wake kiasiTsh. milioni 5 na marejesho

 ya mikopo yanatakiwa yafan- yike kila mwezi kwa mudausiozidi miezi 12 (mwakammoja). Akizungumzia ma-fanikio, meneja wa saccos yaTAMPRO, Firdaus, anasemamafanikio walioyapata nipamoja na ile Qadar ya Allah

 ya kuiwezesha kuendelea ku- wepo kwa miaka mitano ik-iendelea kutoa huduma.

Mpaka sasa TAMPROsaccos ina wanachama 1,000na ina uwezo wa kutoa miko-po kwa wanachama wake

 yenye thamani isiyopungua

TZS.70,000,000/= kilamwezi.

Kidogo kidogo, ime- wawezesha wengi katika wa-nachama wake kumiliki nakuendeleza makazi na bi-ashara zao pamoja na malipo

 ya ada za shul e na vyuombalimbali.

Si nia yangu kuitangazaTAMPRO Saccos, lakini kwamanufaa ya Waislamu walio

 wengi ambao wamek uwa wakiteseka na wengine ku-chupa mipaka ya Allahmtukufu, nawausia wauminikujiunga na SACCOS za Kiis-

 lamu ili kukwepa miamala yenye riba.

Ijue Saccos ya kiislamu ya TAMPRO

Katibu Mkuuwa Jumuiya yaWataalam waKiislamuTanzania(TAMPRO), PaziMwinyimvuaakifafanua

 jambo katikamoja ya

mikutano yawanachama wa jumuiya hiyo.

NI MUHIMU KWA

WAISLAMU KUZIJUA

 SACCOS ZA KIISLAMU

ILI WALIOZAMA KATIKA

MIAMALA YA RIBA

WAJUE NJIA MBADALA

 YA KUJIKWAMUAKIUCHUMI

Page 11: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 11/15

Makala yetu ya wiki hiiinaanza kwa kuainishaulazima wa kuitafutaelimu ya chakula na

 lishe bora katika jamii.Neno lishe linaweza kuelezwa

katika maana tofauti. Kwa muktad-ha wa makala hizi, neno lishe

 linamaanisha jumla ya hatua mbalimbali kuanzia uchaguzi wa chakula,maandalizi ya chakula, ulaji wachakula na jinsi miili yetu inavyo-chukua virutubisho na kuvitumiakatika kumpatia mlaji afya bora.

Maana yake ni kwamba lishe

 bora hutokana na ulaji unaofaa, yaani chakula cha kuto sha,chenye mchanganyiko wa viru-

 tubisho vyote katika uwianounaotakiwa.

Kwa upande mwingine,utapiamlo au lishe duni ni halimbaya ya lishe inayosababish-

 wa na mambo mbalimbali ikiwani pamoja na ulaji usiofaa. Utapi-amlo unaweza ku-sababishwa nakula mlo uliona virutubisho

 vich ache au vingi kulin-gana namahitaji.

K u l a

mlo wenye v i r u t u -

 bisho vichache visivyokidhi mahitajihuleta upungufu mlo, wakati mlo

 wenye virutubisho vilivyozidi mahi- taji huleta kiribatumbo. Vilevile ainambalimbali za madini na vitaminizikizidi mwilini huleta madhara.

 Watu wengi wanajitahidi kutafu- ta elimu ya mambo mbalimb ali

kama vile kuendeshag a r i ,k u t u -

mia simun akompyu- ta, kutu-

m i am b o l e a

au kuny -u n y i z i adawa mi-mea sham-

 b a n i .La-

kini, watu hao hao wengi wao hawa- jishugulishi kabisa kupata elimu yachakula na lishe ambayo itawasaidiakujua ni aina gani ya chakula wale,na kuna uhusiano gani baina yachakula wanachokula kila siku nakuimarika au kuharibika kwa afyazao.

Zaidi ya hayo, ni kwa namna ganiulaji mbaya unasababisha upungufu

 wa nguvu za kiume au upungufu wanguvu za kike. Ni imani yetu kuwa

 wasomaji wa makala hizi za chakulana lishe wataongeza ari na kasi yaokatika kujifunza elimu ya chakulana lishe ili iwasaidie kuzikabilichangamoto za ulimwengu wa sasakatika maswala ya chakula na lishe.

Miaka ya nyuma, hasa katika bara la Afrika watu walikuwa wana- tumia kwa kiasi kikubwa vyakula vya asili kutoka shambani. Zamahizi, hasa baada ya maingiliano nanchi zilizoendelea, watu wengi hasakatika miji wanakula vyakula vilivy-osindikwa katika viwanda.

Usindikaji wa vyakula katikazama za sasa unajulikama kamad h a m b i isiyoepukika(neces- sary evil).H i i ni kwa

sababu, dunia ina idadi kubwa ya watu ambao kuwalisha kwa kutu-mia njia za asili ni jambo lisi-

 lowezekana. Ndio maana leo tunakuku wa kisasa, machungwa yakisasa, n.k. Fikiria nchi kama Tanza-nia ambayo kwa sasa idadi ya wa-nanchi wake wanakaribia milioni50. Ifikapo mwaka 2050 idadi inak-isiwa kufikia milioni 88. Bila ya ku-

 wepo vyakula vya kusindika maisha yatakuwa magumu hasa katika miji.

Hata hivyo, vyakula vilivy-osindikwa vina changamoto zake,hasa chumvi, sukari, mafuta nakemikali nyingi zinazowekwa ili ku-

 vifanya vyakula hivyo visiharibikekatika muda mfupi.

Kwa hiyo, kuwa na elimu ya ku- tosha juu ya chakula na lishe kutatu-saidia kupunguza athari mbayainayoletwa na ulaji wa vyakula

 vilivyosindikwa.Kwa hakika, katika zama zetu

hizi mada muhimu ya kuzun-gumzwa kwa njia mbalimbali na se-hemu tofauti ni elimu ya chakula na

 lishe. Kuongezeka kwa matumizi ya vyakula vilivyosindikwa viwandanikunakwenda sambamba nakuongezeka kwa magonjwa ya kisa-sa yanayotokana na ulaji mbayakama vile unene na uzito kupita kia-si kwa wa- toto na watu

 w a z i -

ma, shinikizo la juu la damu, kisukari, ugonjwa wa moyo, sarataniupungufu wa nguvu za kiume nkike, n.k.

Pia, kutokana na matangazo y biashara katika vyombo vya habar juu ya vyakula yanawafanya watu wengi kuingia katika hatari ya ulajmbaya.

Njia moja madhubuti ya kuika bili changamoto hiyo ni kuwa naelimu ya kutosha juu ya chakula n

 lishe. Elimu hii itamsaidia mtu kufanya uchaguzi wa chakula bora nkupika vyakula hivyo kwa njia zasalama kiafya. Katika nchi nyingduniani na hapa Tanzania, wataalamu wa chakula na lishe wanashaurelimu ya chakula na lishe iwekwkatika mitaala kuanzia elimu yamsingi.

Utafiti mbalimbali unaoneshakuwa mtoto akijifunza elimu yachakula na lishe katika umri mdogoataendelea kuwa na hiyo athari katika umri mkubwa. Kwa kukosamwongozo wa namna bora ya ulaji

 watoto wataangukia katika ulajmbaya unaopelekea unene na uzitokupita kiasi hali ya kuwa wanaumrmdogo.

Unene na uzito kupita kiasi sio tuunaathiri afya, bali pia unaletamsongo wa mawazo (emotionastress) kwa watoto. Shule zikiwa n

programu ya kuelimisha ulaji bora zinaweza

kuokoa afya ya wat oto hasunene na kiribatumbo.

0754654900

UMUHIMU WA

ELIMU YA LISHE

www.islamicftz.

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 ,

12

PAZI MWINYIMVUA

AFYA YAKO

 ya Marekani na wa-shirika wake sababu ni ugaidi. “Ush-etanishaji (demonization) wa Uislamuni jaribio la propaganda la kupakamatope mafundisho ya Uislamu kwarangi mbaya kiasi kwamba watu wa-takuwa tayari kwenda vitani-kuua- ilikuungamiza Uislamu”.

Kwa juhudi hizi za vyombo vyahabari kushetanisha Uislamu naWaislamu, vyombo vya dola vitauaWaislamu na hakuna kitakachotokeamaana watakaokuwa wameuawa ni

magaidi. Watanzania watakuwawashaandaliwa kuamini kwambamiongoni mwao kuna adui ambaye simwingine bali Muislamu.

Kiitwacho vita dhidi ya ugaidi nimkakati mkubwa wa kimataifa kuten-geneza mazingira ya vita kuu ya tatu yadunia. Vita hii inaandaliwa iwe kati yamajeshi ya Marekani na washirikawake dhidi ya majeshi ya Waislamukwa upande mwingine na inawezeka-na China na Urusi wakawa kundi mojana Waislamu si kwa sababu za kiimanibali kwa kuwa kwao dhidi ya sera zawamagharibi.

Kila ukisikia matukio ya kigaidi,kaa chonjo kwani watengeneza mi-gogoro na vita watakuwa wako kazini.Ni vijana wangapi walipewa mafunzo

na hao hao wapika majungu dhidi yaUislamu na wakaenda vitani kuuwa

na kuuawa kwa jina la “Jihad” feki? Wakati wowote ule usikiapo magai-

di Waislamu wanatajwa katika vyo-mbo vya habari, basi zingatia sana

 yafuatayo; Mosi, Huo ni ushetanishaji wa Uislamu na Waislamu ambao hau-paswi kuruhusiwa uendelee hata ki-dogo kwani madhara yake, kama al-ivyosema Meya Livingston, ni hatarikwa mahusiano ya jamii.

Makundi mengi ya kigaidi yame-kuja kudhihirika kuwa yaliandaliwakimafunzo, silaha na fedha na hao haomabwana wa vita dhidi ya ugaidi. Je,

 wajua kuwa kirefu halisi cha kundi laISIS ni Israel Security Inteligence Serv-ices? Yaani Idara ya Huduma za Kijas-usi ya Israel? Tafsiri inayotolewa yaISIS ni Islamic State in Iraq and Syriaina lengo la kuchafua fikra ya kweli ya“Islamic State” ili watu waogope dola

 yoyote ile ya Kiislamu.Bernard Lewis, muasisi wa

“Fourth-Generation Warfare” alipatakusema: “Hatuhitaji majeshi kutoka

 bara moja kwenda jingine ambayo yataamsha hisia za uzalendo na kure- jea kwetu kama maiti kama ilivyotokea

 Afghanistan na Vietnam, lakini tuna-paswa kutafuta mawakala ndani yanchi shabaha watakaofanya kazi ya

 wanajeshi (wetu), na tunahitaji vyo-mbo vya habari kupotosha ukweli kwa

 watu na pesa za kuwa ghara mia(mawakala)…” Kwa hiyo kwa mujibu

 wa Bernard Lewis, vyombo vya habarini sehemu muhimu sana ya vita dhidi

 ya ugaidi ambayo kikweli ni vita dhidi ya Uislamu na ni vita kwa ajili ya ku-dhibiti mafuta ya mashariki ya kati nakusimika mfumo mpya wa ulimwen-gu (New World Order).

Pili, kama kuna magaidi Waislamu wasiotokana na wamagharibi, ambaoni sehemu ndogo kabisa ya umma wa

 Waislamu. Hao hawawakilishi mamia ya mamilioni ya Waislamu na wa- takuwa na sababu ya kwa nini wanapi-gana. Waislamu wanajua jinsi ya kui-shi na wasio Waislamu kwa amanikama Mtume Muhammad (rehma naamani ziwe juu yake) na maswahaba

 walivyofanya.

Na daima kumbuka kwamba ugadihauna dini wala kabila wala rangi.Kuna magaidi wengi tu Wakristo,

 Wayahudi, Wahindu na kadhalika.Nchini Ireland ya Kaskazini, Wakristo

 wa Kikatoliki na Waanglikana waliua-na kwa miongo kadhaa hadi walipopa-

 tana. Jerry Adam na IRA yake wa- likuwa magaidi.

 Aprili 19 mwaka 2001 TimothyMcveigh raia wa Marekani, mkrito al-ilipua jengo la serikali huko Oklahomana kuawa watu 168 wengi wao watoto

 wa shule. Hakuitwa gaidi mkristo. Walioua maelfu ya watu kwa bomu

 la atomiki huko Hiroshima ni Waisla-

mu? Walioanzisha vita vya kwanza napili vya dunia vilivyoua mamilioni ya

 watu ni Waislamu? Walioanzisha vita vya Vietnam na kuua mamilioni ya watu ni Waislamu? Walioua Waisla-mu huko Bosnia na Kosovo ni Waisla-mu? Waliofanya mauaji ya kimbariRwanda ni Waislamu? Wote hawa nimagaidi kwa tafsiri yao wenyewe yaugaidi.

Tatu, vyombo vya habari vinauzakhofu. Vinajaribu kutengeneza adui

 wa kubuni (Bogeyman) na huyo simwingine bali Muislamu. Vinafanyahivyo ili wewe uweze kumuogopa aukumchukia Muislamu.

Katika nchi nyingi za kiafrika, wap-igania uhuru walikuwa magaidi. Baa-da ya shambulizi la Septemba 11 huko

marekani hivi sasa magaidi ni Waisla-mu. Vyombo vya habari viko katika

utumishi wa watawala wa dunia. Khiyo usikurupuke kuamini kila kichoandikwa kuhusu ugaidi husuugaidi unapohusishwa na Waislam

Umefika wakati wahariri wa vmbo vya habari wabadilike na kuanka habari za ukweli kuhusu matuKuendeleza propaganda ya wamgharibi kwamba Waislamu ni hakwa usalama wa nchi na ni kuieleknchi katika chuki na uhasama wamakundi jambo ambalo litakapofkuzaa matunda hakuna atakaye

imika.Mwandishi mmoja wa gazet

 wiki nchini anaonya juu ya mwenehuu wa vyombo vya habari kuandhabari za kuchombeza ugaidi akma: “Kwa namna vyombo vya ha

 vya nchi yetu vinavyozidi kuripoti ya hofu hizi za kufikirika, lakini uhalisia, basi, vyombo vyetu vya hakimsingi vinashiriki kikamilifu k

 tangaza Al Shabaab na hata kuisakupata wafuasi miongoni mwa baa

 ya vijana wa Kitanzania wasiojit bua na walio kweny e umasikmkubwa unaochangiwa pia na kukajira”.

Ni vema vyombo vya habari Tanzania vikazikumbuka nasaha kikamilifu ili visije kuwa vimeshi

kuitumbukiza nchi katika lindi la udi wa kweli.

Ugaidi TanzaniaNATOKA UK 3

Page 12: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 12/15

MAPITIO YA VITABU

Kitabu: Al Fusuul Fii Mustwalahi Had-ithi r-RasuuliMwandishi: Haafidh Thanaau-ll-waahi ZaahidyMfasiri:Sheikh Muhammad Issa

Mlango wa Pili: Majina ya Matiniza Hadith

 Hadith: Ni kile kilichoegem-ezwa kwa Mtume (Rehma na amaniziwe juu yake) miongoni mwa kauli,kitendo au kuridhiya au sifa. Na amamuradi wa kuridhiya (At-taqriyr) nikitendo kilichotendwa au kauli iliyo-nenwa mbele ya Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) au akapatahabari zake na asikikataze.

Na muradi wa ‘As-swifah’: ni kilaambacho ni sifa miongoni mwa sifa

za Mtume (Rehma na amani ziwe juuyake) za kimaumbile kama: “Alikuwa

Mtume wa Allah (Rehma na amaniziwe juu yake) mzuri wa sura kuliko watu wote na mzuri wa maumbile, simrefu sana wala si mfupi” (Amei-simulia Muslim kwa nambari 2337).

Na (sifa) za kitabia, kama alivyokatika hadith ya Anas (Radhi za Al-

 lah ziwe juu yake) “ Alikuwa Mtume wa Allah (Rehma na amani ziwe juu yake) mzuri wa tabia kuliko watu wote” (Ameis imulia Muslim kwanambari 2310).

 Al-Khabaru: Hutamkwa nakukusudiwa hadith kwa maana am-

 bayo iliyokwisha tajwa (hapo juu), na vile vile hukusudiwa kwalo maana ili- yopana zaidi kuliko hadith miongonimwa (vyenye) kuhabarisha.

  Al-Atharu: Hutamkwa na

kukusudiwa kwalo hadith za Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) na

(pia) hukusudiwa chochote ambachokimeegemezwa kwa Maswahaba naTaabi’iyna miongoni mwa kauli namatendo.

 As-Sunnah: Kwa wanawazuoni wa Ilmu ya Hadith na watu wa Usuu- li, (Sunnah) ni kila kinachorejea kwaMtume (Rehma na amani ziwe juu

 yake) miongoni mwa kauli, kitendoau kukiri (kwake).

Na katika utambuzi wa wanawa-zuoni wa Fiq-h: As-Sunnah ni “Kilekilichothibiti kutoka kwa Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) ka-

 tika hukumu na kisiwe faradh au wa- jibu. Na katika utambuzi wa wana- wazuoni wa mawaidha na uongozi,‘As-sunnah’ ni chochote kile dhidi ya

uzushi (bida’a). Al-Marfu’u: Nayo ni mafungu

mawili: (Al-Marfu’u) Swariyhu:Nayo ni hadith ambayo imeegem-ezwa kwa Mtume (Rehma na amaniziwe juu yake) kauli au kitendo aukukiri wazi wazi.

(Al-Marfu’u) Ghayru Swariyhu:Nayo ni kauli ya swahaba au kitendochake ambacho si miongoni mwa

 yale yawezayo kuwa ni ya kutamkwaau kutendwa kutokana na rai au jiti-hada (ya mtu) kama vile kutoa habarikuhusu mambo yaliyopita au yat-akayokuja. Na vile vile lile ambalohupatikanwa kwa kutendwa kwake

 thawabu makhsusi au adhabu ma-khsusi, na huitwa ‘Marfu’an Huk-man’ pia.

 Al-Mawquufu: Ni hadith ili- yoegemezwa kwa swahaba, kauli au

kitendo, sawa sawa sanad (mtiririko wa wapokezi) yake iwe imeungana au

imekatika. Al-Maqtu’u: Ni kile kilichoemezwa kwa taabii na waliofumiongoni mwa kauli au kitensawa sawa sanad yake iwe imeungau imekatika.

 Muttafaqun ‘Alayhi: Ni hadambayo wamekubaliana kupatikkwake (Imam) Bukhari na Mus(Rehma za Allah ziwe juu yao) kasahihi zao mbili (Sahihi BukharSahihu Muslim).

 Al-Musnad: Ni hadith Marambayo sanad yake imeungana.

 Al Hadiythul Qudsiyyu: Ni anachosimulia Mtume (Rehmaamani ziwe juu yake) kutoka kMola wake kwa matamshi au ma

na kisichokuwa Qur’an. Itaendelea toleo li

www.islamicftz.org

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 , 2015

Kwa nini fat’wa kwa mwan-amke wa Kiislamu?

 Awali ya yote, Allah anasema:Nasi hatukuwapeleka (kuwa Mi-

 tume) kabla yako isipokuwa wa-

naume ambao tuliwafunulia Wahyi.Basi waulizeni wenye kumbukumbu(za vitabu vya Allah) ikiwa nyinyihamjui) [An Nahli aya ya: 43]

Kama tunavyofahamu hivi sasakumejitokeza mambo mengi ya ki-maendeleo, na kuna mambo kadhaa

 ya kisharia yanayohitaji fat’wa naufafanuzi wa kisharia. Na hapo ndi-po tunapohitaji kupata mitazamo yakielimu ya wanazuoni wetu (Allahawahifadhi) kwa kudhihirisha uwe-po wao katika jamii na kutoa fat’waza kielimu zitakazoutoa umma kati-ka matatizo na kumkwamua mwa-namke wa Kiislamu na mitanzikoinayomkabili.

Imeelezwa kuwa,‘Mama ni chuoukimuandaa’. Kwa kulizingatia hili,

gazeti lako la Imaan limetenga uku-rasa huu wa kukupatia fat’wa za wa-nazuoni waliobobea wa zama hizizitakazomhusu zaidi mwanamke

 wa Kiislamu kivitendo kuliko nad-haria. Kadhalika, Mtume (Rehmana amani ya Allah iwe juu yake), al-itenga muda maalum wa ku-

 wafundisha wanawak e sh ar iambalimbali za dini ya Kiislamu, ku-

 walingania na kuwajuza hukumu zakisharia zinazowahusu. Wake zakepia walishiriki katika kazi hii adhimu

 ya kuwafundisha wanawake wenzaomasuala nyeti yahusuyo dini yao.

Kwa kuzingatia hilo, gazeti la Im-aan linakupa fursa mwanamke ku-

 jielimisha mambo mbalimbali ya-husuyo dini yako kama ilivyokuwa

katika zama za Mtume (Rehma naamani ya Allah iwe juu yake).

Na hizi ni juhudi za kibinadamu,na haziwezi kusalimika na makosa.Jukumu na kazi yetu ni kufasiri nakuyaratibu maneno ya wanazuoni.Endapo ndugu msomaji utakuwana pendekezo au jambo linalohitajiuzindushi na ufafanuzi usisite kutu-

 tanabahisha na hilo ndilo tunaloli-hitaji. Mada ya leo katika fat’wa kwamwanamke wa Kiislamu inahusu

 vinavyozuwia udhu.

Vinavyozuwia udhu:

Hukumu ya udhu wa mwanam- ke aliyepaka rangi ya kucha.

Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-mad bin Swaleh Uthaimini Allah

amrehemu: Ni ipi hukumu ya udhu wa mwanamke aliyepaka rangi yakucha?

 Jawabu: Haifai kwa mwanam-ke anayeswali kupaka rangi za kuchakwani rangi za kucha zinazuwiamaji kufika kwenye kiungo kina-chooshwa na kila kinachozuwiamaji kufika kwenye kiungo hakifaikutumiwa na mtu anayetawadha aukujitwaharisha. Allah anasema:“Osheni nyuso zenu na mikono

 yenu...” (5: 6). Iwapo mwanamkeana rangi juu ya kucha zake, bilashaka itazuia maji kufika kwenyekiungo na hatuwezi kusema kuwaameosha mkono wake bali itakuwaameacha faradhi kati ya faradhi zaudhu au josho.

Na kwa mwanamke asiyeswali,

kwa sababu ya hedhi mathalan, Yeye hakatazwi kupaka rangi yakucha isipokuwa aweza kukatazwakama itakuwa ni kati ya mapambomahasusi kwa wanawake wakikafiri. Kwa hali hiyo haitofaakwani kuna kujifananisha namakafiri. (Fatawa na Rasailu zaSheikh Ibn Uthaimin 4/148)

Hukumu ya udhu kwa mtu ali- yepaka hina kwenye mikono yake

Swali: Liliulizwa jopo la kudu-

mu la fat’wa: Yasemwa kume-pokewa riwaya kutoka kwa Mtumekwamba, ‘Udhu hausihi ikiwa vidol-eni kuna rojo lililoganda au rangi auudongo’. Nami huwaona baadhi ya

 wanawake wakiwa wamepaka rojo la hina kwenye mig uu yao, nahuswali hivyo, je yafaa? Kwani wan-

apokatazwa husema hii ni safi.Jawabu: Kwa tunavyofahamu

hakuna hadith iliyopokewa kwa tamko hilo. Ama kubaki kwa athari ya rangi ya hina kwenye miguu namikono hakuathiri, kwa sababurangi ya hina haina tabaka tofauti naunga unaonata, udongo na rangi yakucha ambavyo huwa na tabaka li-nalozuwia maji kufika kwenye ngo-zi. Kwa kuwa kuna tabaka linalozu-

 wia maji kufika kwenye ngozi, udhu

hauwezi kusihi. Hivyo, ni lazima uk wanguliwe mithili ya unga ulionat(Fataawa Laj-natud Daimah 5/217

Hukumu ya udhu bila ya kuk-wangua rangi ya kucha

Swali: Liliulizwa jopo la kudumu la fat-wa: Tuliwasikia baadhi y

 wanazuoni wanasema: Inajuzu kwmwanamke kutawadha bila ya kuk

 wangua rangi ya kucha, ni yapi maoni yenu?

 Jawabu:Rangi ya kucha ikiwna tabaka (layer) kwenye kuchhapo hakutakuwa na udhu mpak

 tabaka liondoshwe kwanza kabla ykutawadha. Kama rangi haina tabaka, udhu utasihi na hakutakuwa n

 tofauti na hina. (Fataawa Laj-natuDaimah 5/218).

FAT-WA KWA MWANAMKE WA KIISLAMNA SHEIKH SHABANI MUSSA

Page 13: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 13/15

NYAKATI ZA SWALA

17 Fri 5:15 6:24 12:23 3:43 6:21 7:28

18 Sat 5:15 6:24 12:23 3:43 6:21 7:27

19 Sun 5:14 6:24 12:23 3:43 6:21 7:27

M koa wa Tanga ,Kalenda yanyakatiza swala April / 2015

 

Tarehe Siku FajrMwisho wa Alfajir Dhuhr Asr Maghrib Isha

13 Mon 5:18 6:27 12:28 3:46 6:28 7:34

14 Tue 5:18 6:27 12:28 3:46 6:28 7:34

15 Wed 5:18 6:27 12:28 3:46 6:28 7:33

16 Thu 5:18 6:27 12:27 3:46 6:27 7:33

17 Fri 5:18 6:26 12:27 3:46 6:27 7:33

18 Sat 5:17 6:26 12:27 3:46 6:26 7:32

19 Sun 5:17 6:26 12:27 3:46 6:26 7:32

Mkoa wa Morogoro, Kalenda ya nyakatiza swala April / 2015

Tarehe Siku Fajr Mwisho wa Alfajir Dhuhr Asr Maghrib Isha

13 Mon 5:25 6:34 12:33 3:53 6:31 7:37

14 Tue 5:25 6:34 12:33 3:53 6:31 7:37

15 W ed 5:25 6:34 12:33 3:53 6:30 7:37

16 Thu 5:25 6:34 12:32 3:53 6:30 7:36

17 Fri 5:24 6:34 12:32 3:52 6:30 7:36

18 Sat 5:24 6:34 12:32 3:52 6:29 7:35

19 Sun 5:24 6:34 12:32 3:52 6:29 7:35

Mkoa wa Mw anza, Kalenda ya nyakatiza swala April / 2015

 

Tarehe Siku FajrM wisho wa Alfajir Dhuhr Asr Maghrib Isha

13 Mon 5:39 6:48 12:50 4:07 6:52 7:57

14 Tue 5:39 6:48 12:50 4:07 6:52 7:57

15 Wed 5:38 6:47 12:50 4:07 6:51 7:57

16 Thu 5:38 6:47 12:49 4:07 6:51 7:57

17 Fri 5:38 6:47 12:49 4:07 6:50 7:56

18 Sat 5:38 6:47 12:49 4:07 6:50 7:56

19 Sun 5:37 6:47 12:49 4:07 6:50 7:56

ZanzibarSouth Region, Prayer Tim es Schedule April / 2015

Date Day Fajr Sunrise Dhuhr Asr M aghrib Isha

13 Mon 5:14 6:23 12:23 3:42 6:23 7:28

14 Tue 5:14 6:23 12:23 3:42 6:23 7:28

15 W ed 5:14 6:23 12:23 3:42 6:22 7:28

16 Thu 5:14 6:23 12:23 3:42 6:21 7:2

17 Fri 5:13 6:23 12:22 3:42 6:21 7:2

18 Sat 5:13 6:22 12:22 3:42 6:21 7:2

19 Sun 5:13 6:22 12:22 3:42 6:20 7:26

ZanzibarNorth Region,Prayer Tim es Schedule April / 2015

Date Day Fajr Sunrise Dhuhr Asr M aghrib Isha

13 Mon 5:14 6:23 12:24 3:43 6:23 7:29

14 Tue 5:14 6:23 12:24 3:43 6:23 7:29

15 W ed 5:14 6:23 12:23 3:43 6:23 7:28

16 Thu 5:14 6:23 12:23 3:42 6:22 7:28

17 Fri 5:14 6:23 12:23 3:42 6:22 7:28

18 Sat 5:14 6:23 12:23 3:42 6:21 7:27

19 Sun 5:13 6:23 12:22 3:42 6:21 7:27

M koa wa Mbeya, Kalenda yanyakatiza swala April / 2015

 

Tarehe Siku Fajr M wisho wa Alfajir Dhuhr Asr Maghrib Isha

13 Mon 5:416:50 12:49 4:09 6:47 7:53

14 Tue 5:416:50 12:49 4:09 6:47 7:53

15 Wed 5:416:50 12:49 4:09 6:46 7:52

16 Thu 5:416:50 12:48 4:09 6:46 7:52

17 Fri 5:416:50 12:48 4:09 6:45 7:51

18 Sat 5:416:50 12:48 4:08 6:45 7:51

19 Sun 5:41 6:50 12:48 4:08 6:44 7:51

Mkoa wa Kigoma ,Kalenda yanyakatiza swala April / 2015

 

Tarehe Siku Fajr M wisho wa Alfajir Dhuhr Asr M aghrib Isha

13 Mon 5:51 7:00 1:01 4:19 7:01 8:07

14 Tue 5:51 7:00 1:01 4:19 7:01 8:07

15 W ed 5:51 7:00 1:01 4:19 7:00 8:06

16 Thu 5:51 7:00 1:00 4:19 7:00 8:06

17 Fri 5:51 6:59 1:00 4:19 7:00 8:06

18 Sat 5:50 6:59 1:00 4:19 6:59 8:05

19 Sun 5:50 6:59 1:00 4:19 6:59 8:05

M koa wa Dar es Salaa m ,Kalenda ya nyakatiza swala April / 2015

 

Tarehe Siku Fajr M wisho wa Alfajir  Dhuhr Asr Maghrib Isha

13 Mon 5:15 6:24 12:24 3:43 6:23 7:29

14 Tue 5:15 6:24 12:24 3:43 6:23 7:29

15 Wed 5:15 6:24 12:24 3:43 6:22 7:28

16 Thu 5:15 6:24 12:23 3:43 6:22 7:28

M koa wa Arusha , Kalenda yanyakatiza swala April / 2015

 

Date Day Fajr Sunrise Dhuhr Asr M aghrib Isha

13 M on 5:26 6:35 12:37 3:54 6:39 7:44

14 Tue 5:26 6:35 12:37 3:54 6:39 7:44

15 W ed 5:26 6:34 12:37 3:54 6:38 7:44

16 Thu 5:25 6:34 12:36 3:54 6:38 7:43

17 Fri 5:25 6:34 12:36 3:54 6:37 7:43

18 Sat 5:25 6:34 12:36 3:54 6:37 7:43

19 Sun 5:25 6:34 12:36 3:54 6:37 7:43

www.islamicftz.

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 ,

14

Imekuwa ni kawaida kila inapofi-ka mwisho wa wiki kukutanana watoto, vijana na hata watu wazima wakiwa wamejikusanya

 vijiweni, mikononi wameshika penina karatasi ili ‘kupiga pesa’ kupitiashughuli yao ambayo kimsingi ni har-amu na haimpendezi AllahSub’haanahu Wataala.

Si daktari, si mwalimu, si mwa-nafunzi na hana majukumu katikaofisi yoyote, lakini utamkuta mtu

amening’iniza peni juu ya mfuko washati lake na karatasi mkononi.

Peni na karatasi hizo zinafanyakazi moja: ‘kubeti’. Neno ‘kubeti’ limetokana na neno la kiingereza ‘bet- ting’ lenye maana ya ubashiri aukamari. Hawa wanabashiri matokeo ya mechi za michezo ya mpira wamguu, ngumi, mbio za farasi na mich-ezo mingineyo.

Katika kituo husika, mbashiri hu-pewa karatasi yenye ratiba kamili zamechi za kila timu (wengine wana-

 bandika ubaoni). Mara nyingi timu yenye uwezo zaidi ya mpinzani wakehuwa na pointi chache.

Pointi hizo ndizo zinazomjulishamtu huyo anaebashiri ni timu ganiakiibashiria itampa fedha nyingi zai-di. Baada ya hapo, mbashiri hucha-gua timu anazozihitaji kuzitabiria, ki-sha kumpa mhudumu wa kituo nakutolewa tiketi iliyochapwa. Karatasihiyo ni maarufu kwa jina la ‘mkeka’.

Mchezo huo haramu, ulioenea na

unaozidi kusambaa kwa kasi unach-agizwa na utitiri wa vituo na makam-puni mbalimbali ya kamari karibukila kona na mitaa ya jiji la Dar es sa- laam na nchi nzima kwa ujumla.

 Yapo mambo mengi yanayosuku-ma watu kuingia kwenye mchezo huumchafu ikwemo ushawishi wa ma-rafiki wabaya na tamaa ya kujipatiafedha nyingi kwa urahisi na mudamfupi kiasi (dakika 90) tena kwauwekezaji mdogo wa mtaji unaoanziashilingi mia tano!

Kibaya zaidi hata watoto wen gi wam ein gia kwe nyekamari, ingawa majengo yakamari yameandikwa “mtuchini ya miaka 18 haruhusiwikuingia”. Katazo hilo halizuii watoto kucheza kamari am- bapo hutumia ujanja wa ku- tum a wakubw a ku- wanunulia ‘mkeka’.

Ndi y o m aan amwanzoni mwa

m a k a l a h a y anilieleza watoto, vij an a na watu wazima hushiriki-ana katika mchezohuu.

Mmoja wa wato- to aliy eath irik a nakamari (jina tunalihifadhi) ni mwa-nafunzi wa darasa la saba katika moja ya shule za hapa jijini Dar es salaam.Mtoto huyo anasema alianza kamari tangu mwaka jana na amekuwa akili-

 w afedha nyin-

g i . C h a ajabu zaidi hajawahikushinda hata shilingi elfu mbili!Mtoto huyo anasema hatoachakucheza akiamini siku moja atapatafedha nyingi.

“Kiukweli hadi ushinde fedha ny-ingi ni kazi ngumu. Tangu nipo la sitahadi leo bado sijaambulia chochoteila ipo siku tu ntapiga pesa nyingi nahapo ndio ntaacha kubeti”, anasema.

Kizazi hiki kinachopotea ilhali tu-

nakiona kinahi- taj i uko mbo zi.Hebu fikiria,

kwanza ni mtotom d o g o , p i l i

a m e c h e z akamari mwakamzima na tatua n a a h i d ihatoacha kamarihadi ashinde fed-ha nyingi kufikia

kiasi ‘ali-zoweke-za’. Kijana

huyu ndieanayetegem-

ewa kuwa taifa la kesho.

Ukiacha wa- toto, vijana ni kundi

 jingine lililoathirikasana na kamari.

M i o n g o n i m w a o wameacha kazi na hushinda kwenye

kumbi za kamari wakitegemea mal-ipo yatokanayo na mchezo huu hara-mu.

Ni wakati muafaka kwa jamii kua-mka na kupinga mchezo huu haramuunaoathiri si tu watoto na vijana wa wa kiislamu, bali hata wasiokuwa Waislamu. Inashangaza zaidi kuona baadh i ya Waislamu wanas wali‘khamsa swalawat’ lakini wanachezakamari.

Shime Waislamu na watanzaniakwa ujumla, kuanzia wazazi majum- bani, viongozi wa dini, waandishi wa

habari tuungane kuondoa janga hili.

Kamari ni kazi ya shetani

MCHEZO HUO HARAMU, ULIOENEA NA UNAOZIDI

KUSAMBAA KWA KASI UNACHAGIZWA NA UTITIRI

WA VITUO NA MAKAMPUNI MBALIMBALI YA

KAMARI KARIBU KILA KONA NCHI NZIMA 

NA MWANDISHI WETU

MILA NA DESTURI

Page 14: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 14/15

www.islamicftz.org

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 , 2015

 WATOTO / TANGAZO

NA NAHIDA ISMAIL

Unajua nini kuhusu nyangumi?

Nyangumi sio samaki bali

ni mnyama jamii ya mamalia

wakubwa.

Nyangumi wanapumua kupitia

mashavu yanayopitisha hewa

mpaka katika mapafu.

Nyangumi wana damu ya joto.

Nyangumi wa rangi ya bluu ni

nyangumi mkubwa zaidi akiwa na

urefu wa wastani wa futi 94 (mita

29) - karibu sawa na kimo cha

 jengo la ghorofa tisa.

Wanyama hawa wakubwa wa-

nakula kamba wadogo (krill).

 Je umewahi kusikia kuhusukisa cha Nabii Yunus nanyangumi?

Nabii Yunus (Amani iwe

 juu yake) alitumwa na Allah

Sub’haanahu Wataala kuwakum-

busha watu kuhusu ujumbe wa

kweli: Kumuabudu YEYE, ALLAH

pekee na wafanye mambo mema

na kuwaonya na adhabu kali,

iwapo watafanya vinginevyo.Hata hivyo, watu hawakutaka

kumsikiliza Nabii Yunus (Am-

ani iwe juu yake) na walifanya

mambo mengi ambayo Allah

Sub’haanahu Wataala ameyaka-

taza.

Yunus alipoteza subira kuto-

kana na matendo ya watu na

kuamua kuondoka kwa hasira.

Alipanda meli ili kuvuka bahari.

Lakini akiwa katikati ya bahari,

alitupwa baharini na kumezwa

na nyangumi mkubwa. Ndio!

Alimezwa mara moja, mzima

mzima, na kujikuta tumboni mwa

nyangumi!

Nabii Yunus akatua ndani ya

tumbo la nyangumi ambako

kulikuwa na giza kali. Nabii Yunus

(Amani iwe juu yake) aliogopa

sana. Akapata muda wa kufikiria

 juu ya nini kilichotokea.

Alifikiria kwa nini aliondoka ka-

tika mji wake, kwa nini alitupwa

baharini na kwa nini alibaki kuwa

hai ndani ya tumbo la nyangumi.

Nabii Yunus aligundua kuwa

alikosea kuwaacha watu.

Alipaswa kuwa mvumilivu na

kuendeleza wito wake kwa watu

kumrudia Muumba wao, Allah

Sub’haanahu Wataala.

Nyangumi alielewa kuwa

alimmeza Mtume wa Mwenyezi

Mungu. Nyangumi alikuwa pia

akitii amri ya Mwenyezi Mungu

Mtukufu.

Nabii Yunus alimuomba Allah

msamaha. Aliomba kwa moyo

wake wote na kusema: “Oh Allah,

hakuna Mungu isipokuwa Wewe.

Ni Wewe pekee nakutukuza.

Nimekosea. Kama hutanisaidia,

nitapotea milele.”

Allah alisikai dua ya Nabii

Yunus (Amani iwe juu yake) na

kumsamehe. Allah akamuamuru

nyangumi amteme Yunus (Amani

iwe juu yake) na akatoka kutoka

katika tumbo la nyangumi akiwa

hai na alimshukuru Allah. Yunus

(Amani iwe juu yake) alirudi

kwa watu na kuendelea kuwaita

katika njia ya uongofu.

Mambo tunayojifunza: Tuwe na subira na uvu-

milivu.

Ukigundua kuwa umefanya

kosa – rudi kwa Allah na utubu.

Nasi pia tusome dua ya

Nabii Yunus (Amani iwe juu yake)

- “Laa ilaha illa anta subhaanaka,

inni kuntu min adh-dhalimeen”

(Hapana mungu isipo kuwa

Wewe Subhanaka Uliye takasika.

Hakika mimi nilikuwa miongoni

mwa wenye kudhulumu).

 

Ni muhimu tuendelee ku-

waita watu katika uongofu.

Dua zina nguvu kubwa.

KONA YA WATOTO

Masafa ya Imaan FM

Kigoma

Morogoro

Arusha

Ruvuma  Mtwara

Mwanza

Tabora

Mbeya

92.5 MHz

96.3 MHz

90.8 MHz

94.2MHz90.9MHz

105MHz

101.6 MHz

90.3 MHz

Page 15: Imaan Newspaper Issue 2

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 2

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-2 15/15

Vita ya Yemenni mkakati waIran kuenezaushia

Uk 10

1 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 20 - 27 ,

JAI inavyohuisha tabia za Kiislamu

NA KHALID OMARY

Hapa nchini zipo jumuiyana taasisi nyingi ambazozinaihudumia jamii bilakujali tofauti ya dini wala

kabila. Moja kati ya jumuiya hizo niJumuiya ya Tabia za Kiislamu (JAI)au kama inavyotambulika,‘Jamiya

 tul Akhlakul Islamiy’ iliyoasisiwa mi-aka saba iliyopita.

 Yafuatayo ni mahojiano kati yagazeti hili na Amir wa jumuiya hiyo,Sheikh Yahya Masau kuhusiana namaendeleo ya taasisi hiyo tangu ili-poanzishwa.

Imaan:Tueleze historia ya taasisi yenu kwa ufupi.

Masau: Jumuiya ya tabia za Ki-islamu ilianzishwa mwaka 2008 na

 watu saba huko Mwananyamala ka- tika msikiti wa Taqwa. Tulianza shu-ghuli zetu kwa kutembelea na kufar-iji wagonjwa hospitali ya Mwanan-

 yamala.Baadae tukahamasisha misikiti

mingine ya Mwananyamala kuun-gana na sisi katika ibada hii, kabla yakupanua shughuli hizi mkoa mzima

 wa Dar es Salaam. Kwa sasa kazi yetuimepokelewa na inatekelezwa

 takriban nchi nzima.Imaan: Nini malengo na shu-

ghuli kuu za taasisi kwa sasa?Masau: Lengo letu kuu ni kuul-

ingania Uislamu kwa kuonesha kwa vitendo tabia nzuri za Kiislamu kati-ka jamii yetu. Kwa kufanya hivi tun-aimarisha imaan za Waislamu nakuwavuta katika Uislamu wasio

 Waislamu.Shughuli zetu ni pamoja na ku-

saidia wagonjwa ambao hawanandugu, ikiwemo wanaofikishwahospitalini na polisi pasina nduguzao kuwa na taarifa. Pia tunawatoleadamu wagonjwa, tunapokea nakulea watoto wachanga wanao-

 tupwa, ambapo huko nyuma wame-kuwa wakipelekwa kwenye taasisi zadini nyingine.

Kadhalika, tunasaidia kuwareje-sha majumbani kwao baada yakupata matibabu na kuruhusiwa

 wagonjwa walioharibikiwa na wa-siokuwa na nauli, tunawaombea dua

 wagonjwa, tunawasafisha (kuwao-gesha) na kusafisha mazingira yahospitali.

Pia tunanunua madawa, kuwali-pia gharama za vipimo wagonjwa

 wasio na uwezo na kukarabati au ku-

nunua vifaa mbalimbali vinavyoko-sekana hospitalini.

Imaan:Je mna matawi na kama yapo mangapi?

Masau :Tunam sh ukuruMwenyezi Mungu takriban kuanziamiaka minne hadi mitano iliyopitamaeneo mengine ya nchi yetu

 wameweza kuipokea kazi hii. Kwasasa,tuna matawi katika mikoa 21.Mkoa wa mwisho kuufikishia kazi

hii ni Mwanza na Shinyanga. Tuna vituo vya kazi 32 nchi nzima. KwaDar es salaam vituo vyetu vya kazi nihospitali za Mwananyamala,Muhimbili, Ocean Road, Temeke na

 Amana.Imaan: Bila shaka kufanya shu-

ghuli hizi mnahitaji fedha. Nani ana-fadhili shughuli zenu?

Masau: Kwa kweli wafadhilinamba moja ni sisi wenyewe, tu-naliendeleza jambo hili kwa hali namali. Ukiacha sisi, misikiti inatuungamkono kwa kiasi kikubwa. Wadau

 wetu wengi wanapatikana misikiti-ni. Kadhalika, baadhi ya makampu-ni na wafanyabiashara wa-natuchangia ili kuongeza barakakwenye biashara zao. Hivi ndivyo tu-navyojiendesha.

Imaan: Kwa siku mnahudumia wastani wa wagonjwa wangapi?

Masau: Hatuna idadi maalum ya wagonjwa tunaowahudumia,idadi hubadilika kutegemeana nasiku, hata hivyo hawapungui wag-onjwa watano katika kila kituo. Nakwa Dar es salaam wahitaji ni wengizaidi kuliko mikoani. Kadhalika kilasiku kuna tofauti ya aina ya uhitajiikiwemo watu wa kusafirishwa,

madawa, kulipia vipimo na kujitoleadamu. Na kwa upande wa ratiba yetu ya utoaji wa huduma, tunatoahuduma kila siku kama wagonjwa

 wanavyougua kila siku.Imaan: Ni changamoto zipi

mnakutana nazo katika utendaji wenu kwa ujumla?

Masau:  Changamoto zipo. Wakat i tunaanza watu wengihawakutuelewa tuna malengo gani.Kwa sasa, tunashukuru tumeelewe-ka. Changamoto kubwa kwa sasa nikipato. Mara nyingi mahitaji ya wag-onjwa huwa makubwa kuliko uwezo

 wetu.Pia ipo changamoto ya usafiri

kwa baadhi ya maeneo zilipo hospi- tali, hususan Ocean Road ambako nimbali na maeneo ya makazi ya watu.

Kwa upande wa ushirikiano na wau-guzi, madaktari na wadau wa kiseri-kali, tunapata ushirikiano mzuri,kwani tumefuata taratibu za kisheriana tunatambulika kwa Mkurugenzi

 wa Manispaa na waganga wakuu wahospitali zote. Taasisi yetu imesajili-

 wa Serikalini.Imaan: Kama akipatikana mfa-

dhili mngehitaji nini kuwaongezeanguvu ya kufanya shughuli hii?

Masau: Kwa sasa, hewa ya oxy-gen inayomsaidia mgonjwa kupu-mua ni tatizo kubwa. Madawa yame-kuwa ghali. Wangejitokeza wafadhili

 tungewaonesha aina ya dawa zina-zohitajika.

Imaan: Kuna mambo yoyote yakujivunia yanayotokana na kazi

 y enu?Masau:   Tunamshukuru

Mwenyenzi Mungu hii ni moja kati ya jumuiya zinazoongoza kusaidia wagonjwa. Tumekuwa tukiongozakatika zoezi la kutoa damu mpakakutunukiwa cheti cha damu salamakutoka Wizara ya Afya na Ustawi waJamii. Cheti tulitunukiwa na ali-

 yekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Dr.Hussein Mwinyi.

Kwa upande wa Jumuiya, tunamsikiti mmoja uliopo marambamawili, shamba la hekari nne hukoBagamoyo na lingine la hekari tatuChamazi. Pia viwanja viwili vilivyopoKigamboni na Kibaha.

Imaan: Ni yepi malengo yenu ka- tika kutanua shughuli za taasisi sikuzijazo?

Masau:Kilio cha Waislamu kwasasa, pamoja na mambo mengine, nikukosa hospitali zetu, na hilo ndio

 limekuwa lengo namba moja la taa-sisi yetu. Kwa kuanzia, tuna mkakati

 wa kutafuta ardhi kwa ajili ya miradihiyo.

Tunakusudia kujenga hospitalimaalum za wanawake na watoto zi-

 takazosaidia kuwatibu wanawake ili

 wasitirike kwa kutibiwa na wa-nawake wenzao. Pia zitakuwepo zi- takazowatibia wanaume.

 Vilevile tunakusudia kujengakituo cha kulea watoto yatima ili

 wale watoto wanaotupwa hospitalini wasiishie katika vituo vya kanisa tu.

Imaan: Wito wako kwa Waisla-mu na Watanzania kwa ujumla.

Masau: Waislamu tusiwe wavi- vu, tujumuike katika ibada hiimuhimu ya kuhudumia wagonjwa,ambayo si tu Mtume Muhammad(Rehma na amani iwe juu yake) alii-sisitiza, lakini pia aliifanya katikauhai wake na kupelekea watu wengikuingia katika Uislamu. Hapo tut-akuwa tumefuata tabia ya Kiislamuna tabia ya Mtume Muhammad(Rehma na amani iwe juu yake).

 Yajipanga kujenga hospitali ya Wanawake Wizara ya Afya yawatunuku cheti

Wanajumuiya ya Akhlaaqul Islamiya (JAI),wakiwa hospitali ya Tumbi, Kibaha, hivikaribuni, katika moja ya harakati zao.