imaan newspaper issue 3

16
Head off ice, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P . O Box 779 Dar es Salaam, Tanzania Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: info@Bi nslum.com Tumekwisha! ISSN 5618 - N0. 003 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 8 RAJAB 1436, JUMAT ATU , APRIL 27 - MEI 3, 2015  www.islamicftz.org huwatoa watu gizani Saudia yaboresha taratibu za Hijja - Uk 3 Sheikh Juma Poli: Ni muasisi wa  JA SU T A - Uk 5 Maafa Pemba: The Islamic Foundation yachangia zaidi ya milioni 10  Zaidi ya familia 100 zaathirika - Uk. 2  Vituo vya kulea yatima vyafungiwa Idadi kupunguzwa Machokoraa kuongezeka Tumekwisha!

Upload: imaan-newspaper

Post on 06-Jan-2016

2.090 views

Category:

Documents


7 download

DESCRIPTION

Imaan Newspaper Issue 38 Rajab 1436, Jumatatu, Mei 4 - 10, 2015

TRANSCRIPT

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 1/15

Head off ice, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P. O Box 779 Dar es Salaam, TanzaniaTell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]

Tumekwisha!

ISSN 5618 - N0. 003 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 8 RAJAB 1436, JUMATATU, APRIL 27 - MEI 3, 2015   www.islamicftz.o

huwatoa watu gizani

Saudia yaboresha taratibu za Hijja - Uk 3

Sheikh Juma Poli: Ni muasisi wa JASUTA - Uk 5

Maafa Pemba: The Islamic Foundation yachangia zaidi ya milioni 10  Zaidi ya familia 100 zaathirika - Uk. 2

 Vituo vya kuleayatima vyafungiwa

Idadi kupunguzwaMachokoraa

kuongezeka

Tumekwisha!

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 2/15

www.islamicftz.

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,

2

Saudia yaipa Serikali ya Tanzania tani 100 za tende

Taasisi ya The Islamic Foundation imechangisha kutoka kwa wadau wake zaidi ya Ts

Milioni 10 kupitia radio na Tv Imaan kwa ajili ya kusaidia wananchi walioathirika naupepo mkali uliovuma katika kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Pemba usiku wa kuamAprili 22 mwaka huu. Pichani juu ni baadhi ya nyumba zilizoathirika. Habari zaidikuhusu tukio hili zitatoka toleo lijalo Insha-Allah.

Mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Fedha ya Saudi Arabia, Mohamed Alhajabani(wa kwanza kushoto) akimkabidhi tende Afisa Mwandamizi wa Serikali kutokaWizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, Leonce Bilauri (wa kwanza kulia).Anayeshuhudia (katikati) ni Kaimu balozi wa Saudi Arabia nchini Sa’ad Al-asiri.Tende zilizotolewa ni tani 100 zenye thamani ya Tsh. Milioni 196.

HABARI

NA MWANDISHI WETU

S

erikali ya Saudi Ara- bia kupi tia ubal ozi

 wake hap a nchiniumekabidhi msaada wa tan i mia moja za ten dezenye jumla ya Tsh. Milioni 196(Tsh.196,000,000/=) kwaSerikali ya Tanzania ikiwa niishara ya mahusiano mema

 baina ya nchi hizo mbili.Makabidhiano hayo yame-

fanyika hivi karibuni katikaubalozi wa nchi hiyo jijini Dares Salaam kwa kuwakutanisha

 watumi shi mba li mba li wa

ubalozi huo na maafisa waan-damizi wa Serikali.

 Akizun gumz a mb ele ya waandishi wa habari wakati wa

kukabidhi msaada huo, mtu-mishi kutoka Wizara ya Mam-

 bo ya Fedha ya Saudia Arabia,Mohamed Alhajabani alisemakuwa, tende hizo ni zawadi yaMfalme Salman bin Abdulazizkwa Watanzania.

``Kiasi hiki cha tende ni za- wadi ya Mfalme Salman bin Abdulaziz i wa Saudi Arabiakwa Watanzania wote; vilevileni muendelezo katika mlolon-go wa misaada mingi iliyowahi

kutolewa na Serikali ya nchihiyo kwa taifa hili”, alisema

 Alahajaban.Kwa upande wake, Afisa

Mwandamizi wa Serikali, Le-once Bilauri ambaye alimwak-ilisha Mkurugenzi wa Idara yaMashariki ya Kati, Balozi Has-san Simba alisema: “Serikali yaTanzania inatambua mchangomkubwa wa Saudi Arabia kati-ka kuchangia maendeleo nchi-ni, lakini pia niwahakikishiekuwa kiasi hiki cha tende zita-

 wafikia walengwa, kwani zitak-abidhiwa kwa taasisi zinazo-husika ili zisambazwe kwa wa-

“Afya”is naturalsource of sweetdrinking waterfrom under-

ground streamwhich is blended

with essential

minerals to sup-port and aid per-fect metabolism.

WATERCOM LIMITED

P.o. Box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 area

Temeke,Daresalaam, Tanzaniawww.watercomtz.com, E-mail:[email protected]

MAAFA PEMBA

nanchi”.Katika hatua nyingine

Mwenyekiti wa Taasisi yaThe Islamic Foundation,

 Aref Nahdi ambaye alia-

 likwa kushuhudia mak-abidhiano hayo, ameli-ambia gazeti hili kuwa

 watanzania wanatakiwa

kushukuru kwa kupatiwa

hidaya hiyo, ambapo piaalizitaka taasisi zitaka-zogaiwa amana hiyo ku-fanya uadilifu kwa ku-

 wafikishia walengwa.

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 3/15

YUSUFU AHMADI NA

YUSUFU AMINI, DAR

Serikali imeshauriwa kusi-mamisha mkakati wake wakuvifungia vituo vya kulea

 watoto yatima badala yakeiviongoze, ivilee, ivisaidie na kuvi-wezesha kutoa huduma bora zaidikwa watoto kwa sababu ni bora mtotoalelewe katika mazingira duni kulikokujilea mtaani.

 Akizungumza kwa niaba ya wami-liki wenzake ambao vituo vyao vime-fungiwa katika mikoa mbalimbali yaTanzania, Bi Aminajati Kilemia,amezitaka mamlaka husika kufikiriamara mbili kabla ya kuchukua hatua,kwani vituo hivyo vinasaidia kupun-guza watoto wa mitaani na matukioya uhalifu.

Bi Aminajati ni mmiliki wa Kituocha Kulea Watoto cha Hiari kilichopokatika Manispaa ya Temeke, jijini Dares Salaam ambacho pamoja na vituovingine kadhaa vilivyopo katika man-ispaa hiyo vilifungiwa hivi karibuni.

“Si sahihi kwa Serikali kuvifungiavituo hivi vinavyosaidia kutunza wa-toto walio katika mazingira magumuna kupunguza watoto wa mtaani am-bao huishia kuwa wahalifu”, alisemaBi Kilemia.

Bi Kilemia aliongeza kuwa, kuleawatoto yatima ni kazi ya kujitolea

inayotokana na huruma. Ni vigumukujikamilisha kwa kila kitu kamaSerikali inavyotaka, badala yake ni

 vema Serikali isaidie wamiliki wana-pokwama. “Mimi kituo changukimefungiwa kwa madai kuwa eneoni dogo na mazingira yake si mazuri,sasa mimi hela ya kununua kiwanjacha mamilioni nazitoa wapi, nadhani

katika hili Serikali haina budi kusaid-ia,” alisema Bi. Kilemia.

Naye Husna Abdul, ambaye nimsimamizi wa kituo kimoja cha wa-

 toto yatima kilichopo Tanga amese-ma, Serikali yenyewe haijaweza ku-

 wapatia makazi, chakula na malazi watoto waishio k atika mazingira

magumu mitaani, ingawa huo ni wa- jibu wake. Kisha Husna alihoji: “Seri-kali inapata wapi utashi wa kuvifunga

 vituo vilivyowapa watoto makazi,chakula, malazi na uhakika wa mai-sha ambayo hawayapati mitaani”.

Husna amesifia na kupongeza uk-aguzi wa vituo vya kulelea watoto, vi-kiwemo vya mayatima na madrassah

nchi nzima, lakini ameonya kuwaSerikali inapokuta upungufu iangaliehatua inazozichukua zisiwe na ma-

 tokeo hasi.

SABABU ZA VITUO

KUFUNGWA:

Katika mkakati huo wa Serikali,

 baadhi ya vituo vya kulelea watoto ya- tima na vingine vya malezi ya kiroho(madrasa) vimefungiwa katika mikoakadhaa, ikiwemo Kilimanjaro, Dar esSalaam na Dodoma.

Sababu za kufunga vituo hivyo in-adaiwa ni kutokuwa na usajili, maz-ingira hatarishi, baadhi ya vituo ku-fundisha karate, watoto kukoseshwaelimu na wahusika kujinufaisha bin-afsi.

Katika suala la usajili kuna mas- wali kadhaa ya kujiuliza katika sakatahili la kuvifungia vituo hivi. Je, kweli

 vyote ni vituo vya watoto/mayatima?Kama jibu ni ndiyo, wahusika wa-

 likuwa wapi miaka yote hii vituo vi-kiendeshwa pasina usajili?

Kadhalika, je hatua zilizochukuli- wa zi lizingatia madhara ya mudamrefu kwa watoto na walezi wao wal-iowapeleka katika vituo hivyo? Wa-zazi na walezi hao walipewa nafasi yakusikilizwa kuelewa matatizo ilimambo yasije kujirudia tena?

 Wachamb uz i wa nase ma in-

gewezekana kwa Serikali kuvmwongozo jinsi ya kusajili, kuviensha na kisha kuwapa muda wahu

 wa vituo hivi kufanya marekebish Wachambuzi wanasema, ku

fungia si ufumbuzi kwani tunawkujikuta tukiongeza idadi ya wat

 wa mitaani. Mmoja wa wadau wa tuo hivi, Jamal Kassim alihoji: “Kakuishi katika kituo kisicho na usni mazingira hatarishi, tuseme kuhusu maelfu ya watoto waishio

 taani? Yepi ni mazingira hatarishiSerikali inajua ukubwa wa ta

 la watoto yatima ambao kwa t wimu zake yenyewe wanakadirkufikia milioni 2.4. Kutokana na wgi huo, wananchi wengi wanaamSerikali ingepaswa kutoa msaadamiongozo, usajili na jinsi ya kuensha vituo vya kulea watoto yatima

 vile vya malezi vinavyoanzishwa watu binafsi au taasisi pasina kufu taratibu badala ya kuvifunga.

Hoja nyingine iliyoshangaza wgi ni kituo kufungwa kwa sababukufundisha watoto karate. Abduldir Omar, mtaalamu wa sanaa za mpigano na mwalimu wa watotomchezo huo, amehoji kuna kosa g

 watoto wakijua karate? Abdulkadir anasema: “Michez

moja ya mambo yanayohimizwaSerikali katika mashule, kuna ubgani iwapo watoto wa kituo cha yma wakifundishwa mchezo huo a

 bao siyo tu mchezo, bali ni ulinzi bafsi (self defence)?”.

Katika wilaya ya Temeke Mra wa Ulinzi na Usalama wa mtkutoka ofisi ya Ustawi wa JamiiSubisya Kabuje, ambako vituo vilofungiwa katika wilaya ya Temekekikiuka miongozo na sheria ya mnamba 21 ya mwaka 2009.

 Ametaja sheria na kanuni ziliziukwa kuwa ni vituo kutosajiliwakutotoa taarifa kwa mamlaka huspale wanapowachukua watoto

Kabuje alisema kuwa, waliwaand wamiliki wa vituo hivyo kuwatkufuata sheria na miongozo ya j

 ya kuendesha vituo vyao pamojakurekebisha mazingira ya vituo vy

Hata hivyo, madai hayo yote yaingwa na wamiliki na watendaji

 vituo vya kulelea yatima na vilemalezi. Katibu wa kituo cha ma

 ya wajane na watoto yatima cha Sna kilichopo katika Manispaa yameke, Jijini Dar Es Salaam ambanacho kilifungiwa, Said Athumamesema wao wamekuwa wakifusheria katika baadhi ya vipengikiwemo kufika kwa serikali za vna kufanya makubaliano kabla ha

 jawach uku a hao wat oto .

Kuvifungia vituovya malezi nikuongeza idadiya watoto wamitaani kamahawa..

HABARIwww.islamicftz.org

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015

HABARI

WACHAMBUZI WANASEMA INGEWEZEKANAKWA SERIKALI KUVIPA MWONGOZO JINSI YAKUSAJILI, KUVIENDESHA NA KISHA KUWAPAMUDA WAHUSIKA WA VITUO HIVI KUFANYA

MAREKEBISHO

Tumekwisha!

U

NA RAMADHANI ALI

–MAELEZO ZANZIBAR

Waislamu wa Zanzibar

 w a n a o t e g e m e akutekeleza Ibada yaHijja mwaka huu

wameshauriwa kukamilisha mipan-go ya safari hiyo mapema ili kuzi-wezesha taasisi zinazosafirisha ma-hujaji kuweza kukamilisha taratibumpya zilizowekwa na Serikali yaSaudi Arabia.

 Afisa katika Kamisheni ya Wakfuna Mali ya Amana, Ustaadh KhalidMrisho,ameliambia kongamano lamahujaji kuwa Serikali ya SaudiArabia imebadilis ha tara tibu zamaandalizi ya Hijjah kuanzia mwa-ka huu kufuatia malalamiko ya ma-

hujaji kutokana na vitendo vyaudanganyifu vya baadhi ya taasisizinazosafirisha mahujaji kutokamataifa mbali mbali duniani.

“Baadhi ya viongozi wa taasisi zi-nazosafirisha mahujaji walikuwa

 wakiwatoza fedha mahujaji wao kwaajili ya kulipia viwanja vya ndege vyaMakka na Madina lakini walikuwahawalipi na kupelekea mahujaji ku-zuiliwa kwa saa kadhaa,”alisema Us-

 taadh Khalid.

 Alisema taasisinyingine zilikuwazinawaahidi mahujaji kuwakodia

nyumba nzuri za karibu katika mijimitakatifu ya Makka na Madina la-kini wanapofika huko huwekwakwenye nyumba mbovu, mbali na

 wengine hukosa huduma ya chaku- la. Alisema kat ika kukabiliana namatatizo hayo Serikali ya Saudia

 Arabia kuanzia sasa imeziagiza taa-sisi zinazosafirisha mahujaji kufan-

 ya taratibu zote za maandalizi ya sa-fari, makazi na matembezi kwa njia

 ya mtandao na kulipa gharama zote

 wakiwa nchini mwao. Alisema iwapo taratibu hizo haz-

ikukamilika hujaji atakosa visa yakuingia Saudi Arabia na atakosakutekeleza ibada ya Hijjah kwamwaka huo.

 Aliongeza Juni 27 ndio siku yamwisho kukamilisha taratibu zamahujaji na baada ya tarehe hiyomtandao huo utafungwa.

“Lengo la uwamuzi huo wa Saudi Arabia ni kuwaondoshea mahujajiusumbufu usiowalazima wakati wakutekeleza ibada hiyo”, alisisitiza

Ustaadh Khalid. Aliwakumbusha mahujaj i wa-

 tarajiwa kuwa waangalifu na mi yao wakati wa safari na wapokuwa nchini humo na wataporejea kuchukua kiwango mizigo kinachokubalika kwendege.

 Akifungua kongamano hilo liloandaliwa na Umoja wa TaasisHijja Zanzibar (UTAHIZMwenyekiti wa Bodi na kufanykatika ukumbi wa Beit al YamMalindi, Sheikh Khamis Abdulmid amewasisitiza Waislamu weuweze kutekeleza ibada ya Hijjkukamilisha Uislamu wao.

Mwaka huu Tanzania imepnafasi 3,000 za mahujaji wataka

 wenda kutekeleza ibada hiyo ina

fanyika kila mwaka mwezi wa mfguo tatu.

Saudia yaboresha taratibu za Hijja

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 4/15

www.islamicftz.

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,

4

Huu ni muendelezowa hotuba ya alieku-wa Rais wa Uganda,

 Jenerali Idd Aminaliyoitoa wakati akiz-indua Baraza Kuu laWaislamu la Uganda(UMSC) katika Kituocha Mikutano ya Ki-mataifa nchini humo,

 June 1, 1972, saa kumi

 jioni………

 Yumkini moja ya vipengelenyeti vinavyosababishamigongano katika jumuiya zaKiislamu hapa Uganda ni ku-

 wepo kwa uelewa tofauti juu yamafundisho ya Mtume Mu-hammad (Rehema na amaniziwe juu yake) jambo ambalohutumiwa na wanaosaka ma-daraka ili kuwagawa Waisla-mu.

Hali hii pia inatokana na walimu wasiofaa kabisa au wenye elimu ndogo kukabi-dhiwa jukumu la kuifundishaQur’an na kwa sababu hii na-karibisha maoni yaliyotolewakatika hadhara ya dini mwaka

 jana kwamba ipo sababu yakuanzishwa kwa taasisi mojainayohusika na mafundisho yaKiislamu.

Taasisi hiyo itahusika nakusahihisha baadhi ya mambo

 yaliyomo katika Uislamu yasi- yo sahihi. Hivyo, ninatarajiakwamba taasisi hiyo itafanyauchunguzi katika taasisi ny-ingine ambazo zinajishughuli-sha na mafundisho ya Kiisla-mu ili kuziboresha.

Ninatambua kwamba baa-dhi ya watu hawajaridhika na

 jinsi Baraza kuu la sasa lilivy-oanzishwa. Wapo ambao ha-

 wajar idhis hwa na muundo wake. Napenda kukumbushakwamba moja ya mapendeke-zo yaliyotolewa na kamatiinayojishughulisha na masuala

 ya Waislamu katika konga-mano la viongozi wa dini hapomwaka jana lilikuwa kwambaBaraza Kuu linapaswa ku-undwa na watu watatu kutokakila wilaya, akiwemo Kadhi wa

 wilaya hiyo. Wakati nilipokuwa nafunga

kongamano la viongozi wadini, niliomba msaada wa Seri-kali katika kuanzishwa kwaBaraza hilo.

Mipango ilifanywa ili ku- wezesha kufanyika kwa ucha-

guzi nchi nzima kwa mujibu wa mapendekezo niliyoyatajahapo juu; kwa bahati mbaya,

 baadhi ya viongozi wa Kiisla-mu walianza kufanya kampeniili watu wao wachaguliwe kati-ka Baraza hilo.

 Watu hao sio tu walikuwa wakirejesha siasa hapa Ugan-da, vile vile walikuwa wakijari-

 bu kutoiwezesha jamii kubwa ya Waislamu wa Uganda kuwana mwakilishi ndani ya Barazahilo.

Hali hiyo ilinifanya nikosenjia mbadala, na hivyo kua-

mua kusitisha uchaguzi huo,na nilitangaza juu ya sualahilo.

Pia nilitambua kwamba,mwanzoni kabisa mwa uhai

 wa Baraza hili haitowezekana watu watatu pekee kutoka ka- tika wilaya ndio wawe wawak-ilishi. Ifahamike kuwa Waisla-mu wapo kila kona ya nchi hii,katika wilaya zote. Haitoletamaana kutegemea watu

 watatu kutosha kufahamu mi- tazamo na mahitaji ya Waisla-mu wote katika wilaya aliyopo.Ninaona kuna umuhimu wakuhakikisha kila jimbo

 linakuwa na mwakilishi am- bae atayawasilisha matatizo ya

 watu wake katika Baraza Kuu.Hivyo basi, ninapanga kila wilaya kuwa na wawakilishikumi na moja, ikizingatiwakwamba kwa mujibu wa map-endekezo ya kongamano ladini, Baraza Kuu lenyewe

 linaweza kubadili idadi ya wa-n a c h a m a , k w a k a d r i

 litakavyoona inafaa.Muda mfupi kabla hamja-

 wasili katika mkutano huu,niliwaomba muwasilishe ma-

 jina ya Waislamu kumi waliona maarifa ya kutosha kutokakatika wilaya mbali mbali. Nil-iwaomba muwasilishe majinahayo ili kuwezesha Baraza hili

 liwe na Waislamu wenye elimu

pana zaidi. Nina furaha wito

 wangu huo umepokelewa kwamoyo mkunjufu.

Nyinyi wenyewe mme- waondoa wale waliokuwa wa-mechaguliwa hapo awali na

 badala yake kuwachagua vija-na wadogo wenye elimukubwa. Ni jambo la faraja kuo-na baadhi ya wazee wamea-mua kwa hiari yao kuwaachianafasi za kufundisha vijanaambao bado wana damuchanga.

 Wanachama wa Barazasasa ni mchanganyiko waMasheikh wakubwa wenyeuzoefu mzuri katika mambo ya

 Waislamu na vijana waliosoma wenye mtazamo wa kisasa.

Lakini pia natambua, kunaidadi ya watu ambao hawa-

 jachaguliwa katika Baraza hiloambao wanahisi walikuwa nahaki zaidi ya kuwawakilisha

 Waislamu katika wilaya zao. Watu hao watam bue kuwaSerikali haitomvumilia mtu

 yeyote yule atakaejaribu kuk- wamisha kazi za Baraza Kuu.

Ikiwa Serikali itagunduashughuli za kulihujumu Bara-za Kuu italazimika kuchukua

hatua kali ili kuhakikishaBaraza hilo linafanya kazi yake bila bughudha.

Katika moja ya vikao vyan-gu na ndugu Nkambo-Mugerwa aliyeongoza kikaochenu cha mwaka jana na chamwezi uliopita alizungumziakutoridhishwa kwa baadhi ya

 vikundi katika uchaguzi wa baadhi ya viongozi wenu.

Kumekuwa na shutumakwamba kikundi kimoja chaKiislamu kimefurahia ushindi

 wake dhidi ya vikundi vingine vya Kiislamu. Kama kuna kun-di lolote la Kiislamu linaonaushindi ni wake peke yake, basinapata hofu kuwa hatujafani-

kiwa kuleta umoja kamili wa

kitaifa miongoni mwa Wamu hapa nchini.

Unapotazama muundoBaraza Kuu, unathibitikuwa jumuiya na maku

 yote ya Kiislamu ndanBaraza hilo yamewakilish

 vema.Suala hilo linatoa ish

njema kwa mustakabaliUislamu hapa Uganda. Ksasa ni wajibu wa Baraza zi

 viongozi wake na mwanac

ma mmoja mmoja a yechaguliwa kwa njia hakuhakikisha kuwa viku

 vyote vya upinzani vinashishiwa kuungana na Barkwa faida ya Uislamu, amndio sababu hasa ya kuanz

 wa hili Baraza na kamati zaMr. Nkambo-Mugwera

zungumzia pia matatizomaombi yaliowasilish

 wakati wa mikutano yeSerikali itayazingatia matana maombi yenu hayo pale akapokuwa na faida kwa nnzima, ikiwemo nyi

 wenyewe.Ni katika muktadha h

Serikali itaendela kulitilia m

nani jambo lolote lile lita lowasilishwa na Baraza kama viongozi wake.

Kuna uwezekano baadhmaombi yatafanyiwa kazi bda ya Serikali kuyapitia man a k u o n a k a m a y aumuhimu.

Hata kama baadhimaombi yenu hayatafanyinaomba mtuelewe kwa sabmaamuzi yoyote ambayo Skali itachukua yatakuwakwa manufaa ya taifa na npia.

Nimepata fursa ya kuisokatiba mliyoiunda ili kudhna kuelekeza masuala ya K

 lamu hapa nchini. Nim

dhishwa kwa kiwango kikubna muundo wa kamati zilmo ndani ya katiba hiyokatiba nzuri inayotokanakazi kubwa, moyo wa kujitokwenye masuala yahusu

 Waislamu wa hapa Ugandania njema itokayo kwa w

 wote waliomo katika Barhili na walioshiriki katika kgamano la dini la mwaka jhuko Kabale na Kampala.

Kwa sababu hiyo napekutoa shukrani zangu za dkwa Waziri wangu wa Shna Mwanasheria Mkuu, Bna Nkambo-Mugerwa kkujitolea kwake kiasi kikubambapo ameweza kuwaon

za Waislamu katika vimbalimbali tangu hapo mw

 wa tano mwaka jana.

KUTOKA MISIKITINI TUJIKUMBUSHE

Hotuba ya Rais wa Uganda - 2Jenerali Idi Amin Dada wakati akizindua Baraza Kuu la

Waislamu la Uganda (UMSC) katika kituo cha mikutano ya kimataifa nchini humo, June 1, 1972.

Yusufu Ahmadi, Zanzibar

Wazazi na jamii kwa ujumla

wameaswa kutowaita watoto wa-dogo kwa majina mabaya kwani ku-

fanya hivyo ni kuwajengea tabia

mbaya kinyume cha mafundisho

ya dini ya kiislamu.

Akikhutubu kabla ya sala ya

Ijumaa katika Msikiti wa Afraa

Bint Issa(Shurbaa) ulioko eneo

la Kidongo Chekundu katika

mkoa wa mjini Magharibi

Zanzibar, Mwalimu Moham-

ad Soud amesema imejenge-

ka tabia miongoni mwa jamii

kuwaita watoto wadogo majina

yasiyopendeza, jambo ambalo

halifai.

Mwalimu Soud ametoa mfano

wa majina mabaya kama ‘mjinga’,

‘mpumbavu’ na majina kadhalikamajina ya utani yenye maana

mbaya.

Wakati huohuo, Mwalimu Soud

ameutolea wito umma wa kiislam

na jamii kwa ujumla kufanya mambo

mema na kujiepusha na vitendo vina-

vyozuia maombi (du’wa) kupokelewa

na Mwenyezi Mungu Sub’hanahu

Wataala.

Na Yusuph Amin

Waislamu wametakiwa kuitendea haki miezi mitakati-fu kwa kufanya yaliyo mema ili kupata radhi za Allah.

Akihutubia mamia ya Waislamu kwenye ibada ya

swala ya ijumaa msikiti wa Kichangani jijini Da-es-

salaam, Sheikh Omar Alhadi amesema ni wajibu wa kila

Muislamu kutumia fursa katika mwezi huu wa Rajabu

kuzidisha mambo mema na kufanya toba ili kupata

msamaha wa Allah sub’hanahu wataala.

Miongoni mwa mambo mema ambayo Sheikh Omary

aliyowasihi Waislamu kuyafanya kuwasaidiaWaislamu

walio magerezani na kusaidia wagonjwa walio hospitali

kwani kufanya hivyo kunakumbusha faida ya kuwa na

uzima. Katika ibada hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

Dokta Ghalib Bilal, Sheikh Omar amesema Waislamu

wanaumizwa na madhila ya ndugu zao walio magere-

zani na kutaka mamlaka husika kutenda haki katika

kushughulikia kesi za masheikh.

Na Khalid Omary

Wislamu wamekumbushwa kuwafanyia wema wazazi

wao ili kuweza kupata radhi za Mwenyezi Mungu ikiwa

ni miongoni mwa sababu za kukubaliwa ibada zao na

kupata baraka na mafanikio katika siku ya kiama zake.

Ukumbusho huo ulitolewa na Sheikh Harif Suleiman

wakati akitoa khutba ya siku ya Ijumaa, katika msikiti wa

Masjid Hudaa uliopo Ilala Bungoni jijini Dar es salaam.

“Tunatakiwa tuwafanyie mema, tuwajali na tuzun-

gumze nao kwa kauli nzuri, maneno laini na yenye

hekima. Vilevile tujione bado hatujawafanyia jambo

lolote kubwa hata kama unamlisha au umemjengea

 jumba. Kadhalika, tunatakiwa tuwaombee sana dua”,

Sheikh Harif alisema.

Sheikh Harif alisema baadhi ya watu wanawatukana

kuwadharau wazazi wao kwa sababu hawajui thamani

na ukubwa wa wazazi wawili.

 Jamii yatakiwa kuitawatoto majina mazuri

Waislamu waitendeehaki miezi mitakatifu

Tuwafanyie wemawazazi wawili KUMEKUWA NA SHUTUMA

KWAMBA KIKUNDI KIMOJACHA KIISLAMU KIMEFURAHIA

USHINDI WAKE DHIDI YA VIKUNDI VINGINE VYAKIISLAMU. KAMA KUNA

KUNDI LOLOTE LA KIISLAMULINAONA USHINDI NI

WAKE PEKE YAKE, BASINAPATA HOFU KUWA

HATUJAFANIKIWA KULETAUMOJA KAMILI WA KITAIFA

MIONGONI MWA WAISLAMUHAPA NCHINI.

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 5/15

www.islamicftz.org

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015

HAZINA ZETU

NA KHALID OMARY

Ukiorodhesha Masheikh

 wa kupigiwa mfano kati-ka harakati za kuteteaSunnah za Mtume Mu-

hammad (Rehma na amani ziwe juu yake) na kuuhuisha Uislamu hapanchini, huwezi ukakosa kumtajaSheikh Juma Poli.

Sheikh Poli alizaliwa mwaka 1950katika jiji la Dar es Salaam na kukulia

katika jiji hilo. Wazazi wake ni wenyeji wa mkoa wa Pwani na ana-fahamika zaidi kama mmoja wa

 waasisi wa Jumuiya ya Ansaar Sun-nah hapa nchini.

KUSOMA KWAKE:

Sheikh Poli alianza kutafuta elimuakiwa na umri wa miaka mitano ka-

 tika madrasa ya Kadiriya Al Aamudi- ya iliyopo mtaa wa Dodoma, Ilala ji- jini Dar es salaam. Hii ndio madrasapekee aliyosoma ndani ya Tanzania.

Mwaka 1963, Sheikh Poli aliendaPwani ya Afrika Mashariki katikamiji ya Mombasa, Lamu, Malindi nakatika visiwa vya Rasini Kizilitiniambako alisoma kwa Masheikhmbalimbali.

Kiu ya elimu ya Sheikh Poli haiku-kaukia katika miji hiyo; akaendeleana safari yake ya kutafuta elimu se-hemu nyingine ndani na nje ya AfrikaMashariki.

Katika jitihada zake za kutafutaelimu hakuwa peke yake. Sheikh Polialiambatana na Masheikh kadhaa

 wengine ambao baadhi yao kwa sasani Masheikh wakuu wa mikoa.“Miaka ya 1968-70 nilielekea Mach-akos, mji uliopo pembeni kidogo yaNairobi nikiwa na Masheikh wen-gine kama Sheikh Nurdin AbdallahMangochi wa Mtwara, Sheikh AllySariko wa Arusha na Sheikh HassanJuma aliyekuwa mwenyeji wa Kon-doa na ambaye kwa sasa alishafariki”,Sheikh Poli aliliambia gazeti la Im-

aan.Baadae Sheikh Poli alibahatika

kupata nafasi ya kwenda kusoma ka- tika Chuo Kikuu cha Madinah kwamiaka kumi na kupata Shahada yaUlinganiaji.

HARAKATI ZA KUENEZA

SUNNA:

Sheikh Poli ni miongoni mwa watu ambao wamefundisha Waisla-mu wengi na kushiriki katik kuenezadini ya Uislamu. Moja kati ya mae-neo ambayo athari ya kazi yake ikod-hahiri ni katika Chuo cha Alhara-main, jijini Dar es salaam.

Sheikh Poli alijiunga na chuo hi-cho na kufanya kazi ya ualimu mara

 baada ya kurejea kutoka Madinah wakati huo kikiwa maeneo ya MnaziMmoja, jijini Dar es salaam. Chuo hi-cho kwa sasa kipo mtaa wa Lindi naShaurimoyo, katika jiji hilo hilo laDar es salaam.

“Kazi yangu kubwa ya msingi ili-kuwa ni kufudisha na kulea vijanakatika mfumo sahihi wa mafundisho

 ya Uislamu. Mwaka 1995 tukaonge-za wigo kwa kujenga chuo kingineeneo la Buguruni tulichokipa jina la

 Al- Furqan”, Sheikh Poli anaeleza.Sheikh Poli ambaye ni daktari wa

kiroho anasema, pamoja na kufundi-sha, pia amekuwa akifanya kazi yaulinganiaji (da’aawah) kwa kukemea

 bida’a au uzushi katika dini, aki-maanisha mambo mapya yaliyoing-

izwa katika dini ilihali hakuna usha-hidi kuwa Mtume wala maswahaba

 waliyafanya.“Watu wengi wanapenda dini, la-

kini hawaijui, utakuta mtu anafanyamatendo akiamini kwamba anajiku-rubisha kwa Mwenyezi Mungu, laki-ni kiukweli matendo hayo yapo mbalina Allah, kuna tatizo kubwa lakutekeleza ibada kinyume na maele-kezo ya Qur’an na Hadith”, alielezaSheikh Poli akisisitiza umuhimu wakazi ya kuwalingania Waislamu kati-ka mafundisho sahihi.

Hali hiyo ndio iliyomsukuma

Sheikh Poli kuunganisha nguvu za wadau mbalimbali kuanzisha chom- bo kitakachokuwa nembo ya kutan-gaza Sunna za Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake).

Chombo hicho kilitambulika kwa jina la Jumuiya ya Answar SunnaTanzania (Jamaat Answar Sunnah)huku Sheikh Poli akiwa Amir wake.

Kwa mujibu wa Sheikh Poli, har-akati za kuanzisha chombo hicho zil-ianza mwanzoni mwa miaka ya 1980maeneo ya Kinondoni, Da es salaamna kilitambulika rasmi na kupewausajili mwaka 1985.

Sheikh Poli anawakumbukaMasheikh wawili ambao walichangiakwa kiasi kikubwa katika kuunda

chombo hicho; Sheikh MuhidinKingaluna na Sheikh Ahmad Ham-za.Wote kwa sasa wamerejea kwaMola wao. Baadae Jumuiya ya AnsarSunna ilifungua matawi Kigoma,Mwanza, Singida na Morogoro.

 Akizungumzia kupotea kwa mi-hadhara baina ya Waislamu na Wais-

 lamu kwa ajili ya kufahamishana lipisahihi na lipi si sahihi iliyokuwepozamani ikihusisha masuala ya mwe-zi, maulid, khitma, uharamu wa ku-piga ramli iliyochukua nafasi katikamaeneo mbalimbali ya nchi kamaKigoma,Unguja, Pemba, Dar es sa-

 laam, Sheikh Poli amesema hiyo siosera ya Jumuiya ya Ansar Sunna.

Katika jambo lolote hapakosichangamoto, lakini kwa Sheikh Poli

magumu yaliyowakuta katika har-akati zao ni kama ‘juisi’ kwani kwa al-iyeusoma Uislamu atakuwa anajuakuwa mazito zaidi yaliwakuta Wais-

 lamu waliopita. Kwa mujibuwaSheikh baadhi ya watu waliwaita‘kundi la vijana’, baadae walibadili nakuwaita ‘watoto wanaofanya mageu-zi dhidi ya masheikh’.

Lakini Sheikh Poli anasema, kadrimuda ulivyosogea waliungwa mko-no na baadhi ya wazee wa Tanga,Kigoma na Kondoa na likawa si tenakundi la vijana au watoto, bali watu

 wenye taaluma iliyo sahihi.Sheikh Poli anasema katika baa-

dhi ya maeneo ikiwemo Kigoma baadhi yao walinyang’anywa wake

zao, walipigwa na hata kuondolewamisikitini.

Changamoto hizo zilisukuma Ju-muiya ya Ansaar kujenga misikiti yaoambayo kwa sasa imeenea nchi nzi-ma. Kwa mujibu wa Sheikh, harakatiza kueneza Sunna yaMtume Mu-hammad (Rehmana amani ziwe juu

 yake) zimefanikiwa na hivi sasa watu wengi wanafuata yale yaliyo sahihikuliko hapo awali, ambapo watu wa-

 likuwa ‘wakiburuzwa’.Sheikh Poli akihitimisha maho-

 jiano, alitoa rai kwa waandishi wahabari, ambapo aliwataka watumie

kalamu na ndimi zao kwa umaki-ni mkubwa, kwani kalamu zao ni si-

 laha hatari inayoathiri na yenye ngu- vu kubwa.

SHEIKH JUMA POLI

Kutana na daktari wa kiroho

Ni muasisi wa JASUTA

“KAZI YANGU

KUBWA

 YA MSINGI

ILIKUWA NI

KUFUDISHA

NA KULEA

 VIJANA

KATIKA

MFUMO

 SAHIHI WA

MAFUNDISHO

 YA UISLAMU”.

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 6/15

HUTOLEWA NA KUCHAPISHWA

The Islamic Foundation, P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania, E-mail: [email protected]

MHARIRI MTENDAJI: 0715 559 944, MHARIRI: 0786 779 669, AFISA MASOKO: 0785 500 502

TOVUTI: www.islamicftz.org

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 , 2015

TAHARIRI / UCHAMBUZI6

M

oja kati ya habarizilizochapishwa

katika toleo hili lagazeti la Imaan niile inayozungumzia maandalizi

 ya Hijj a, amba po Waisla muhuko Zanzibar wametakiwa ku-

 jiandaa mapema kwa safari hiyo ya kutekeleza moja kati ya ngu-zo tano za Uislamu.

Kwa kukumbushana tu, Uis- lamu umejengwa juu ya nguzo tano. Nazo ni Kushuhudia kuwa

hapana Mola apasaye kuabudi- wa kwa hak i ila Mweny ezi

Mungu mmoja, Allah, kusi-mamisha swala tano za fardhi,kutoa zaka, kufunga mweziMtukufu wa Ramadhani na Hi-

 jja kwa mwenye kuwezeshwa na Allah.

Imeelezwa kuwa Serikali yaSaudi Arabia imebadilisha tara-

 tibu za safari hiyo kufuatia ma-hujaji mara kwa mara kulalami-kia vitendo vya udanganyifu

 wanavyofanyiwa na baadhi ya taasisi zinazosafirisha mahujaji

kutoka mataifa mbali mbaliduniani. Kwa sasa, imeelezwa, taasisi zinazosafirisha mahujajizinatakiwa kufanya taratibuzote za maandalizi ya safari,makazi na matembezi kwa njia

 ya mtandao na kulipa gharamazote wakiwa nchini mwao.

Kufahamishwa haya kwamahujaji wa Zanzibar, ndio piakujulishwa kwa Waislamu wa

nchi nzima. Kwa hiyo yafaa Waislamu wote, hususan wale

ambao miongoni mwetu tume- tia nia ya kutekeleza ibada hii yakipekee tujiandae mapema.

Hatua hii ya Saudi Arabia in-alenga kutusaidia sisi mahujaji

 wataraj iwa. Lakini ili tuwezekufaidika kwa hatua hii nimuhimu nasi tujisaidie kwakutekeleza wajibu wetu ambaoni kujiandaa mapema.

Kwa mujibu wa serikali ya

Saudia mwisho wa kukamilisha tarati bu za mahujaji (kwa

msimu wa hijja, mwaka huu1436 hijriyyah) ni tarehe 27mwezi Juni na baada ya tarehhiyo mtandao huo utafungwa.

Shime Waislamu ambao tumewezeshwa na Allah tuji

 toke ze kuchukua nafa si hiz3,000 tulizotengewa na Serikal

 ya Saudi Arabia ili t ukaiti kie wito wa Muumba wetu, AllahSub’haanahu Wataala.

Waislamu tujipange mapema msimu wa hijja 1436

M wenyenzi Mungu al-ipomuumba Adam(Amani iwejuuyake)alimfundisha majina

 ya vitu vyote, ambayo ni lugha. Hiiilimpa Adam nafasi maalum kiasikwamba Malaika wote walimsuju-dia.

Katika sehemu nyingine ndani ya Qur’an Tukufu, imesemwa kati-ka Ayatul Qursiy (2:225) kwambahuwezi kufanikisha kupata elimu

 bila ruhusa (kibali) cha Allah. Allah ana sem a: “Mweny ezi

Mungu – hapana Mungu ila Yeye Aliyehai, Msimamia mambo yotemilele. Hashikwi na usingizi walakulala. Ni vyake pekee vyote vilivy-

omo mbinguni na duniani. Ni nanihuyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochotekatika viliopo katika ujuzi wake, ilakwa atakalo mwenyewe. Enzi yakeimetanda mbinguni na duniani, na

 wala haemewi na kuvilinda hivyo.Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye

Mkuu”. (2:225). Elimu husambaakupitia lugha. Nabii Musa alipo-

 tumwa kwa Firauni aliomba apeweufasaha ili watu wapate kufahamu

maneno yake:“Na ulifungue fundo lililo katika

ulimi wangu, Wapate kufahamumaneno yangu” (20: 27 – 28). Kwamara nyingine tena, umuhimu wa

 lugha unasisitizwa.

Katika hadith ya Mtume (Reh-ma na amani ziwe juu yake); nifik-

ishie walau aya moja (Sahih AlBukhar). Unaweza kufikisha vipikama hujui lugha?

Mpenzi msomaji, ukweli nikwamba katika miongo ijayo, yuleambaye anatawala lugha ndieatatawala dunia. Hata sasa mataifa

 yanayotawala yamechukua hatuakubwa katika kueneza lugha ya Ki-ingereza, ambayo ndio njia yakuenezea fikra na nguvu zao.

Kwa mujibu wa makadirio,kuna zaidi ya taasisi 70,000 zina-zojihusisha na kufasiri katika ul-imwengu wa nchi za Magharibi,

 wakati katika umma wa Kiislamu taasisi hizo zinahesabika.

Tunawezaje kufidia huu upun-

gufu? Hatua gani zichukuliwe? Nakwa hatua hizo tutakazochukua

faida zake ni nini?Jawabu ni kwamba, kama am-

 bavyo tumetumia nguvu zetu ny-ingi kujifunza kiingereza na sayan-si na teknolojia, sasa yapaswa tu-

 weke mkazo wa sera za elimu kati-ka ufasiri wa Qur’an tukufu katika

 lugha zote kuu za dunia.Hatua hii si tu kwamba itatoa

faida ya kisiasa na kiuchumi, lakiniitatuwezesha kufikisha ujumbe waQur’an na Sunnah. Ni kupitia

 lugha pekee tunaweza kuwasil-iana, hivyo basi kuna haja kubwa

 ya kutengeneza walimu na kuwana wanafunzi wakutosha katikangazi zote, kuanzia msingi nakuendelea.

Mwisho, napenda kutoa rai kwa vi on go zi wa le te ma ba di li komakubwa katika sera zetu zaelimu, ziweke msisitizo katika ku-

 jifunza lugha mbalimbali, kwaninawahakikishia kwa mara ny-ingine, tukijifunza na kutawala

 lugha basi umma wa Kiis lamuutatawala dunia, Insha Allah. Al-

 lah anajua zaidi.

Umma waKiislamu ujifunzelugha mbalimbali

ELIMU HUSAMBAA KUPITIA LUGHA.

NABII MUSA ALIPOTUMWA KWA FIRAUNI

 ALIOMBA APEWE UFASAHA ILI WATU

WAPATE KUFAHAMU MANENO YAKE:

MOHAMMAD KHAN

NASAHA ZA WIKI

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 7/15

www.islamicftz.org

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015

Mambo ya msingi kwaKhatwibu wa Ijumaa

K wanza, yampasa khatwi- bu wa khutba ya Ijumaaachague mada mapemamwanzo wa wiki, kwani

kuchelewa kuchagua mada humfan- ya akose muda wa kutosha wa ku- jiandaa na hivyo aamue kukhutubumada yoyote ile atakayoiona rahisi

kwake kuifikisha na hata kurudiamada aliyokwishaitoa huko nyuma.

Kufanya hivyo hupelekea mada yake isisheheni yapasayo kuambiwa waumini siku ya Ijumaa au wakatimwingine kushindwa kuzungumzia

 tukio ambalo khutba lilipaswa kuli-zungumzia na kulitolea muongozokwa wiki hiyo.

Iwapo khatwibu atachagua madamapema atapata muda wa kufanyarejea katika vitabu mbali mbali nakukusanya hakika za matukio katika

 jamii ambayo yanaingia katika mada yake ili aihudhurishe kwa wasikilizajiikiwa inakwenda na wakati walion-ao.

Pili, mada iwe huru na isiwe kwashinikizo la mtu au kikundi fulani na

 wala isitokane na mihemko katika

mitaa au tukio fulani. Matukio yawesehemu tu ya ufafanuzi na mifanondani ya khutba, lakini khutba

 yenyewe ijikite kufikisha aya au ha-dith fulani kwa lengo la kuongoza

 watu.Tatu, mada zibadilike zikigusa

nyanja mbali mbali za maisha ya watu na zisijikite katika sekta moja ya maisha. Uislamu ni mfumo kamili wa maisha na kwa hiyo inatakikanakhutba za ijumaa ziguse matatizo nachangamoto zinazoikabili jamii ya

 Waislamu eneo husika au nchi husi-ka na jinsi ya kutatua matatizo hayoau kukabiliana na changamoto hizo.

Khutba zielezee hali ya ummahkiimani, kimaadili, kiuchumi, kisia-sa, kielimu - makosa ya kitawhiid,matendo maovu tuyatendayo, njamaza maadui wa Uislamu, kubainisha

 wanayoyahitaji watu kuhusu huku-mu za kishariah na ibada mbalimbali, kuwaandaa watu kwa siku yamwisho na kadhalika.

Khutba inaweza kuwa karipio,nasaha, mawaidha, mwongozo, ufa-

fanuzi, fatwa, maelekezo, kuhimiza juu ya jambo fulani, ukumbusho, taalimu juu ya jambo fulani na men-gineyo.

Kuna wakati unakuta khatwibuameelekeza khutba zake zote upandemmoja tu - mawaidha na ukum-

 busho. Kifupi ni kwamba khutbazisheheni kila analolihitaji Muislamukatika maisha yake ya dunia naakhera.

Ni makosa kwa khatwibu kuege-mea upande mmoja wa maisha yaMuislamu. Kwa mfano khutba juu

 ya masuala ya siasa pekee. Hii ni kwasababu kuna watu hawana fursa yakwenda madrasa kusoma na khutbaza ijumaa kwao ndiyo fursa ya kuso-ma.

Nne, kuhudhurisha mada vizuriikiwa ni pamoja na kusoma aya zaQur’an na hadith za Mtume (Rehmana amani ziwe juu yake) vizuri kwakiarabu kisha kuzitafsiri kwa kiswa-hili ili watu wafahamu. Si vizuri kwamakhatibu kusoma aya na hadithkwa kiarabu pasina kuzifasiri.

 Yampasa khatwibu afanye bah’thi(uchunguzi) kuangalia vitabu vi-nasemaje, na pia atafute maarifa yasasa ya kidunia yanasema nini. Khat-

 wibu apangilie khutba yake kwakuandika katika karatasi ili aitoe kwamtiririko mzuri.

Mimbari ni amana na waswaliji wanasubiri wasikie mapya kutokakwa khatwibu kila wiki. Hata awe nimsomi wa daraja gani, khatwibuhawezi kuepuka kufanya mura’aa(kupitia vitabu) na kujiandaa kwakhutba kwa kuandika na kupangilia

 vizuri.Katika dhulma ya khatwibu ku-

 wadhulumu waswaliji na kuvunjaamana ya mimbari, ni kutokujiandaakwake na khutba ipasavyo na kuan-daa mada akiwa amechelewa na kujamsikitini mbio mbio pasina maan-dalizi.

Tano, mada ya khutba iwe kuhusu yanayotokea sasa. Ulimwengu waKiislamu unapita katika matukio nachangamoto nyingi. Akili ya Muisla-mu inahitaji kupatiwa maelezo na

ufumbuzi wa matatizo mbali mbali Waislamu wanahitaji kupatiw

maelezo juu ya yale wanayoyaona nkuyasikia katika vyombo vya habakuhusu dini yao nchini na duniakote ili kuwajengea ufahamu mmo

 ja.

Makhatwibu waelewe kwamb waswaliji wanasubiri kusikia ukwekutoka katika khutba na ufafanu

 wa matukio kutoka kwa khatwibambaye wanamuamini kwa ayasmayo kwa jina la Allah na anajukwamba mimbari ni amana nanatekeleza wajibu wake kwumma.

Khatwibu aelewe kwamba kunkundi la Waislamu hawajihusishi nmatukio mbali mbali yanayouhusumma na wala hawajali. Kundi h

 linahitaji kuzinduliwa ili wajue nikinaendelea katika kadhia za Wai

 lamu. Mtu wa karibu nao zaidi am baye watu hawa wanaweza kumtegmea ni khatwibu wa ijumaa.

 Itaendelea toleo lijalo

Mpaka tutakapofaidika na Khutba za Ijumaa - 3

NA SHEIKH TAWAKKAL JUMA

KUTOKA KATIKA QUR’AN’ NA SUNNAH

Qur’an ni kitabu pekeeam bach o kinapo-somwa huingiza hisiakatika moyo wa mso-

maji na wasikilizaji. Katika mojakati ya mashindano ya kimataifa

 ya kuhifadhi Qur’an yaliyofanyikaDubai kijana mdogo wa Kisomalikutoka Kenya alisababisha uku-m b i m z i m aurindime kwa

 vilio kutoka-na na uso-maji wake.

Ni mtotoa m b a y eh a k u w aa n a j u ah a t amaana

 ya nenomoja la

 lugha ya

kiarabu, l a k i n i

alikuwa anapofikia katika aya zi-nazozungumzia adhabu akijikutaakilia pasina kujiliza au kudan-ganya kujiliza, jambo lilowafanya

 watu wengi wahisi ukub wa nautukufu wa Qur’an.

 Waislamu wanaamini kitabuhiki, hususan lugha yake, ni muu-

 jiza. Kwa upande mwingine hebu tua nga lie wal au kidogo kau li

kuhusu Qur’an za wasiokuwa Waislamu na ambao walis-

ilimu baada y akuiso-

ma Qur’an.Saifuddin Dirk Walter Mosig wa Marekani anasema: “Nimeso-ma vitabu vitukufu vya kila dini,hakuna pahala nilipokuta mfano

 wa kile nilichokikuta katika Uisla-mu yaani Ukamilifu. Nikilingani-sha Qur’an na vitabu vinginenilivyosoma ni kama mwanga wa

 jua ulinganishe na mwanga wanjiti ya kibiriti. Naamini pasinashaka kila asomaye neno la Allah,(Qur’an) kwa moyo ambao hau-

 jafungwa kukubali haki, ni lazimaatakuwa Mwislamu”.

Saifuddin ni msomi daktari wafalsafa, mwanasaikolojia, mwana-historia na mchambuzi wa vitabu

aliyezaliwa Ujerumani na kui-

shi miaka kadhaa Ajentinakabla hajahamia Marekani.

Nakubaliana na msomihuyu na hii ndiyo sababu

 baadhi ya dini huwakataza wafuasi wao kuisoma Qur’ankwani wanajua fika kuwaatakayeisoma mwishowe laz-

ima atasilimu.Msomi mwingine, Ali SelmanBenoist, daktari Mfaransa anase-ma: “Kitu kikubwa kabisa namuhimu sana kilichonifanya nisil-imu ni Qur’an. Nilianza kuisomakabla ya kusilimu nikiwa na moyohalisi wa kisomi wa Kimagharibi

 wa kutafiti na kuchunguza mam- bo. Kuna baadhi ya aya za kitabuhiki (Qur’an) zikiwa zimeterem-shwa zaidi ya karne kumi na nnezilizopita miaka (1400) ambazozinafundisha kile kile kinacho-fundishwa katika utafiti wa kisasakabisa wa kisayansi. Hili lilinifan-

 ya nisilimu”.Naye Gohann Wolfgang von

Goethe, mwandishi na mwanadi-

plomasia wa Kijerumani anasema:“Kila mara nyingi tunapoigeukia(Qur’an) mwanzo huwa ikituudhikila tunapoianza, mara mapema

 tu huanza kutuvutia, kutushanga-za na mwishowe hutupelekea kui-heshimu…Mtindo wake ni wakipekee ukiendana na yaliyomo

ndani yake na lengo lake ambalo nikali, la kale, la kutisha, lakini hara-ka mno huamsha hisia za ndani.Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kitabuhichi kina athari kubwa katika kilazama na kila nyakati”.

Kwa upande wake, msomimwingine mkubwa G. Margo-

 liouth anasema:“Qur’an kwa haki-ka inachukua nafasi muhimumiongoni mwa vitabu vikubwa vyadini za ulimwenguni. Pamoja nakuwa ndio cha mwisho kushukakatika daraja la vitabu vya aina hii,hakifikiwi na (kitabu) chochotekingine kwa upande wa athari yaajabu kwa makundi ya watu”.

 Anaendelea: “Qur’an imeten-geneza awamu mpya na kamili yafikra na tabia za mwanadamu.Kwanza imebadili makabilambalimbali ya watu nchi za ma-

 jangwa katika ghuba ya Arabuni

 wakawa taifa la mashujaa na kishaikaendelea kuunda taasisi kubwa ya kidini na siasa ya ulimwenguambayo ni nguvu moja kubwainayopaswa kutambuliwa naUlaya na nchi za Mashariki”.

 Itaendelea….

 Waliosilimu baada ya kuisoma Qur’an

WAISLAMU WANAAMINI KITABU HIKI,HUSUSAN LUGHA YAKE, NI MUUJIZA. KWA

UPANDE MWINGINE HEBU TUANGALIEWALAU KIDOGO KAULI KUHUSU QUR’AN

KWA WASIOKUWA WAISLAMU BAADA YAKUISOMA QUR’AN.

Na Sheikh Muhammad Duwaysh

MLINGANIAJI

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 8/15

www.islamicftz.org

8 Rajab1436,  JUMATATU Aprili27- Mei3, 2015

  www.islamicftz.org

8 Rajab1436,  JUMATATU Aprili27- Mei3, 2015

NA MWANDISHI WETU

A lhamdulillahi,tukondaniyamwezi wa Rajab, moja kati-

 ka miezi mitakatifu aliyotu- julishaAllah(Subhaanahuu

 wa Taala) katika Surat At-Tawbah: 36“Hakika idadi ya miezi katika Ilmu ya

 Allah ni miezi kumi na miwili tangusikualoumba mbingunaardhi; katika

 hiyo minne ni mitakatifu, hiyo ndiyodini ya sawa kwa hiyo msizidhulumunafsizenundaniyake(miezihiyo)”.

Kunatofautikatiyamwezimtakati- fu na mwezi mtukufu. Ramadhani nimwezi“Mtukufu”lakinisi“Mtakatifu”.Utakatifu ni wa Allah pekee na ana-

 pokiitakitukitakatifubasiamekituku-zasanakituhicho.Nikwaninimiezihiiminnenimitakatifuhatukujulishwasi

 katikaQur’anwalaSunnah. Miezihiinikwamujibuwamianda-

moyaKiislamuiliyoegemezwakwenyemwenendo wa mwezi na si jua kamazilivyo kalenda za kikafiri. KatikaQur’an hatukutajiwa majina ya miezi

 hii.MajinahayoyametajwakatikaSun-

nah.Imesimuliwa naAbu Bakrah(Al- lah amridhie) kwamba Mtume (Reh-ma na amani ziwe juu yake) alitoa

 khutbayakeyakuagaakasema;“Zama zimekamilisha mzunguko

 wake na imekuwa kama ilivyokuwasiku Allah alipoumba mbingu na ar-dhi. Mwaka una miezi kumi na miwilinakatikahiyominnenimitakatifu,mi-

 tatuimefuatana-DhulQaadhah,DhulHijja na Muharram- na Rajab Mud-

 harr ulio kati ya Jumaada (aakhir) naShaaban”(BukharinaMuslim).

 Mwezi wa Rajab ndio huu tulionao hivi sasa na umeitwa Rajab Mudharr yasemekana kwa sababu watu wa ka- bilalaMudharrkatikaMaqureyshwa- likuwa wakiutukuza sana tofauti namakabila mengine. Zama za jaahili-

 yyah,mweziwaRajabukiitwapiaMu-nassilal-Asinnahyaaniwenyekusaba-

 bishanchazasilahakuondolewa. Abu Rajaa’ al-‘Ataaridi (Allah awe

radhi nae) amenukuliwa akisema “… ulipofika mwezi wa Rajab, tulikuwa tukisema Munassil al-Asinnah na tu- likuwa hatuachi mkuki au mshale wowoteuliokuwanakipandechachu-ma ila tuliondoa kichwa chake chachuma na kukitupa wakati wa mwezi

 waRajab”(Bukhari). Naam, mwezi wa Rajab ni mwezi

mtakatifu na kama ilivyo miezi mi- takatifu, waumini tunakatazwa kuiv- unjia heshima iliyopewa na Allah. Al- lah(SubhaanahuuwaTaala)anasema

“Enyimlioamini,msivunjeutukufuwaalamazaAllahwalamiezimitakatifu…”(Maidah-2).

Kwa hiyo tujihimu kuitukuza miezi hii mitakatifu kwa sababu Allah (Sub- haanahuuw a Taala) ameiteua kwa kuipahadhimaalumnakatuusiakuto- kuzidhulumu nafsi zetu kwa kutendamaasi ndani yake ambalo ni kosa

 kubwasanambeleyaAllahingawaku-

ABUU MAYSARA

Katika sehemu ya kwanza, tuliona jinsi Warenonchini Msumbiji walivy-ojenga khofu dhidi ya

amu na hata kuchukua hatua zanga misikiti na madrasa zao na

dae waligundua hili lisingeuzuiaamu kushamiri nchini humo.

Wakaamua kuwadhibiti Waisla-wa kuanzisha ukaribu nao hata

nzisha programu maalum za ku-a kukarabati misikiti na madra-o vilivyoachwa kama magofu.ko Maalum wa Ureno kwa ajili

Waislamu (Portugues Muslimd) ulianzishwa kufadhili miradili mbali ya Waislamu.

atimaye kikaja kipindi cha wa-nia uhuru wa Msumbiji kuanzi-mapambano ya silaha dhidi ya

wala wa Wareno. Katika kipindimikakati ya Wareno dhidi yalamu ikabadilika.arakati za mapambano dhidi

Wareno zilishaanza kama tu-ona. Inaaminika kwamba wan-ambo wa kimakua waliundahoitwa ‘Brotherhood of Muslimkuas’. Pia kaskazini mwambiji, Waislamu waliunda ju-ya zao katika wilaya zote nne.

Makundi yote haya yalisambara-wa kinyama na Wareno mwaka-55, ingawa wenyewe Wareno

anusha habari hizi. Unyama waeno dhidi ya Waislamu hauku-harakati za wapigania uhurudelea na kuimarika.wa akili ya kawaida, hukuikabiliwa na harakati za wapiga-huru zilizojumuisha makundili mbali ya kijamii ya wanam-biji, Wareno waliamua ku-hilibu Waislamu wawe upandekupambana na nguvu ya Freli-Na hiki ndicho kiini cha mada.e, ilikuwaje viongozi wa Waisla-wa Msumbiji kukubali kutumi-a Wareno dhidi ya wapiganiau wa Frelimo wakati ukoloni

uwa ni madhila kwao kama ili-kuwa kwa wananchi wengine wambiji ? Je, Waislamu wali-kaje au walipata hasara zipi

kana na ushirika huu baina yaoWareno?wa upande mwingine, wakatiambano ya kudai uhuru

aanza nchini Msumbiji, tayarieno walikuwa wanapambanaarakati za wapigania uhuru ka-makoloni yake mengine barania.

Mfano mzuri ni Guinea Bissau,ako Wareno kwa kutumia ka-i ya ‘wakati wa mapambanoguza maadui’, waliwaorodheshalamu wahafidhina katika kabilala dhidi ya harakati za wapiga-

uhuru. Huu ukawa mfano kwahirika yake ya kijasusi juu ya niniufanywa katika makoloni men-yenye Waislamu kama Msumb-

wa hiyo, kuanzia katikati ya mi-

Rajab, Mwezi Mtakatifu

MAKALA MAALUM

aka 1950, Uislamu ukaanza kuta-zamwa na Wareno kwa jicho jin-gine kabisa huku Adriano Moreira,ambaye alikuwa Mkuu wa ChuoKikuu cha Sayansi Jamii na Siasa zaKimataifa (Instituto superior deciências sociais e política) akisisitizaumuhimu wa kudhibiti kueneakwa kasi kwa Uislamu kaskazinimwa Msumbiji.

 Akihutubia kat ika chuo chakijeshi kiitwacho Instituto de AltosEstudos Militares, Moreira, ali-himiza shughuli za wamishionari Wakatoliki katika eneo la Wama-

konde ambao wengi wao walikuwa wameukwepa Uislamu na kubakia wapagani.

 Wareno walitekeleza sera yao yasiasa ya utangamano (politics of in- tegration) kinyume na ile ya Wa-faransa iliyojulikana kama siasa ya

kumeza (politics of assimilation).Sera ya Ufaransa iliyotekelezwa Tu-nisia, Morocco, Mali na Ivory Coastililenga kuhakikisha mila na desturiza Kiislamu hazitofautiani na zile zaKifaransa.

Mwishoni mwa mhadhara wakesiku hiyo, Bwana Moreira alishaurikwamba paundwe alichokiita‘kikosi cha utafiti cha ushawishi wa Waislamu – Waarabu katika ma-koloni ya Ureno’ ili kufuatilia kwakaribu kuenea kwa Uislamu,kung’amua kiwango cha mwamko wao kisiasa na kushauri mikakati

inayostahiki kulinda maslahi yakoloni la Wareno dhidi ya Uislamu.

Kutekeleza ushauri wa Moreira, Wareno mna mo mwaka 1960 wakaunda kikosi kazi kushughuli-kia Uislamu na Waislamu katikamakoloni yake walichokiita Jumui-

 ya ya Jiografia ya Lisbon (Sociedadede Geografia de Lisboa).

Ukiliangalia jina la kikosi kazihiki huwezi kujua nini undani wakazi au malengo yake. Hizi ndiyombinu za maadui wa Uislamuzilivyo. Hutoa majina yasiyoashiriamalengo yao kuuzuga umma. Kufi-kia mwaka 1965, wigo mpana wasera za wakoloni dhidi ya Uislamuulikuwa umeshabadilika mno.

Mwaka huo 1965, tawi la Shirika la Ujasusi la Wareno (Serviços deCentralização e Coordenação de In-formações) kwa Msumbiji lilisam- baza maandiko yaitwayo ‘Kuzishin-da nyoyo za waumini katika jamii’.

 Andiko hili liliainisha mikakati ya kuzitawala nyoyo na akili zamakundi mbali mbali ya jamii nch-ini Msumbiji likiwemo kundi jamii la Waislamu ili makundi haya yasi-unge mkono harakati za ukombozi wa Msumbiji zilizoongozwa na Fre- limo.

Mfano, mwandishi alishaurikwamba Waafrika wanapendasana ushawishi wa manabii kwasababu akili zao zimetawaliwa naimani za mambo ya kufikirika. Ilikuikabili hali hii, ilishauriwakwamba Serikali iwavute karibu vi-ongozi wa dini. Sehemu ya andikohilo ilisomeka hivi:

“Mtazamo mpana kwa upande wa Serikali unawezekana kwa ajili ya kupata ushirikiano wao (viongo-zi wa dini) kama silaha muhimu yamapambano dhidi ya vitendo vyakiuasi vinavyofanywa na baadhi ya wanadini ambao wanakuwa na mi- tazamo isiyo mizuri kwa maslahi ya taifa. Na pale vikundi kama hivyo(vya viongozi vibaraka) vinapoko-sekana, si vigumu kuvitengeneza nakuviingiza katika mioyo ya watu”.

Hatua iliyofuata kwa Wareno nikukusanya taarifa za kutosha kuhu-su Waislamu nchini Msumbiji ilikuwezesha SCCIM na intelijensia ya jeshi kuchukua hatua muafakadhidi yao.

Kwa hiyo mwaka 1965, SCCIMikaanda dodoso kuhusu Uislamu.Ilielekezwa kuwa maswali dodoso yajibiwe na viongozi wa Kiislamu wenye hadhi au ufahamu fulanikuhusu jamii yao. Wasimamizi wal-ionywa wasifanye vitendo vyovyote vile vitakavyowashtua Waislamukuhusu lengo la dodoso hilo.

Dodoso hilo liligawika sehemunne zenye jumla ya maswali 28,mengi yakiambatana na namna ya

ufuatiliaji wa watendaji kwa maja- wabu yatakayotolewa. Karatasimaalum iliandaliwa kwa ajili hiyo.

Muundo wa maneno ya dodosoulionesha kwamba waandaji wali- jua tofauti mbali mbali za kiaqida,kifiqh na kijamii zilizoko katika jamii ya Waislamu na waliuliza tukupata undani kutoka kwa kilamlengwa.

Muundo mzima wa zoezi hili ul-ilenga kuzielewa jamii za Waislamunchini Msumbiji kwa kina kuanzianini wanachokifanya misikitini,madrasa na katika mijumuiko yao, lugha itumikayo na uongozi waounavyotambulika.

 Fuatana na mwandishi toleolijalo kupata sehemu yamwisho ya makala haya.

KWA AKILI YA KAWAIDA, HUKUWAKIKABILIWA NA HARAKATI ZA

WAPIGANIA UHURU ZILIZOJUMUISHAMAKUNDI MBALI MBALI YA KIJAMII

 YA WANAMSUMBIJI, WARENOWALIAMUA KUWAGHILIBU

WAISLAMU WAWE UPANDE WAOKUPAMBANA NA NGUVU YA FRELIMO.

Waislamu walivyotumika - 2

 tenda maasi muda wote nidhambi lakini maasi katikamiezi mitakatifu ni dhambi

 kubwa zaidi kutokana na utakatifuwake.

Katika yaliyokatazwa ku- tendwakatikamiezimitakati- fu ni kupigana. Allah (Sub- haanahuuwaTaala)anasema“Na wanakuuliza kupigana

 vita katka miezi mitakatifu, waambie (ee Muhammad) kupi gana ndani yake ni(dhambi)kubwa…”(Al Baqa-rah:217).

Baadhi ya wanawazuoni wanasemakatazolakupigana vitandaniyamiezimitakatifuni mansuukh (lilifutwa) kwaaya ya 194 Suurat Al Baqarah

 Allah aliposema “Miezi mi- takatifu kwa miezi mitakatifunavilivyovitukufuQisasi,basiatakayechupa mipaka juu

 lenu nanyi chupeni mipakadhidi yake, na mcheni Allahna jueni Allah yu pamoja na

 wachaMungu”. Wengine wanasema, hau-ruhusiwikuanzishavitandani

 ya miezi mitakatifu, lakini in-aruhusiwa kuendelea na vita

 iwapo vita ilianza nje ya miezimitakatifu. Kwa hiyo iwapo

 Waislamu watashambuliwanaaduikatikamiezimitakati-

 fu, wataruhusiwa kupigana kujilinda. Hawawezi kuacha kupiganaetikwakuwanimie-zimitakatifu.

Dua ya Kuomba Mwanzo wa Rajab: Na katika ya liy-okithirikuhusumweziwaRa-

 jab ni watu kuomba kwa dua hii “Allwaahumma baari k lanaafiyRajabwashaa- baa n, wab al- lighnaa Ram-adhwaan”.Hii ni dua

 ili-

 yopokewa na Imam Ahmad.LakiniSheikhAlAlbaaniyka-

 tika maelezo juu ya hadith hiianasema ni dhaifu. (Tazama

 Ta’liyq ya Al Ba niy ya a l- Mishkaat, Mujalada wa 1, uk.306,hadithiya16).

Funga katika mwezi waRajab:hakuna upokezi sahihi

 kutoka kwa Mtume wa Allahau kutoka kwa swahaba yeyo-

 te kuashiria kwamba kuna funga maalum ya mwezi huu waRajab.Fungakatikamwezi wa Rajab ni funga za sunnahza kawaida kama vile ju-matatu na alhamisi, sunnah

 ya nabii Dawuud (alayhi sa- laam)namasikumeupekama ilivyo katika miezi mingine yote.

 AmesimuliahadithiImam Ahmad (Allah amrahamu) kutoka kwa Abi i Ba krah kwamba “Umar (Allahamridhie)alikuwaakipiga miko-n o

 yawaliofungaswaumumwezi wa Rajab mpaka wachukuechakula na akisema, ‘huu nimwezi ulioabudiwa zama zaUjaahili”. (Tazama Al Mugh-niy ya Ibn Qudamah Mjalada3, uk. 167 na Sharh al-Kabiyr

 Mjaladawa2uk.52). Na ametaja Shaykhul Is-

 laam Ibn Taymiyyah (Allahamrahamu) “Kuadhimisha

mwezi wa Rajab ni katikamamboyauzushiambayoyat-akikana kujiepusha nayo”(Tazama Iqtidhwaau as-swiraatwalmustaqiym,mjala-dawa2uk.624-625).

 Nae Imam Ibnul Qayyimal-Jawziyyah amesema,“Mtume (rehma na amaniziwe juu yake) hakupata ku-

 funga swaumu miezi mitatumfululizo-Rajab, Shaaban na

Ramadhan-kama wafan- yavyobaadhiyawatu,na

 hakufunga mwezi wa Rajab kabi-

s a

na wala hakuwahimiza watu kufunga mwezi huu (Rajab) kamaalivyopokeaIbnMajah”(Tazama Zaad al-Ma’ad,

 Mjaladawa2,uk.64).Kwa kusema haya hatum-

 katazi mtu kufunga swaumuzakezasunnahlakiniasiseme

 kwambakufanyahivikaamri-shaMjumbewaAllah(rehmanaamaniziwejuuyake)auku-

 fanya hivyo kuna fadhila ma- khsusi kwa mwenye kufungamweziwaRajab.

Umrah mwezi wa Rajab:Hadith nyingi zinabainisha

 kwamba Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) haku-

 fanya Umrah ndani ya mwezi wa Raj ab kam a ili vy-opokelewa na Ummul

 Mu’miniyna ‘Aisha (Radhi za Allah ziwe juu yake) “…Allahamrahamu Abu ‘Abd al-Rah-maan, Mtume kamwe haku-

 fanyaUmrahkatikamweziwaRajab”(BukharinaMuslim).

Lakini kama mtu ataendaUmrah ndani ya mwezi waRajab pasina kuamini

 kwa mba kuf any a hivyokunafadhi-

 la fulani ma- khs usi na

 kwamba imetokezea nalioona ni fursa kwake

 hivyo,hapohakunauba yahivyo.

Baadhi ya Bid’a kati wa Rajab: miongoni mzinazofanywa na WaislniyamweziwaRajabniSal-Raghaa’ib. Swala hsana mnamo karne ya n

 yyah. Swala hii huswal wa ijumaa ya kwanza Rajab. Shaykhul Isla

 Taymiyyah (Allah amanasema, “Swalaat al-ni bid’a kwa mujibu wa

 wanawazuoni wa dini k Maalik, Shaafi’i, Abu  At-Thawriy, Al-AwzaLaythiynawengine.Hadosemwa kuhusu swa

 uzushi kwa mujibu wazuoni wa ilmu ya hadithma Majmu’u Fataawa

 wa23,uk.132). Matukioyanayonasi

 MweziwaRajab:Pame tukio kadhaa kuhusu M Allah (Rehma na aman yake) kuwa yalitokea Rajab lakini hakuna

 kuhusu matukio hayondaniyaRajab.

 Miongoni mwa matuni tukio la Israa na Misimuliwa na Al-Qaasim

 hamamd kwamba safar ilikuwausikuwamweziUsimulizi huu ukapingrahimal-Harbinaweng

 Na kati ya yaliyozushsomochaMi’raajmweziaukuuhuishausikuhu

 tendo ya kiibadah na mchanawakenakufany

 juu lake. Huu ni uzush kuzingatiakuwahakun kwamba Israa na Mi’r keamwezi27Rajab.

 Na h ata kama ing kuthibiti huko kwambmwezi 27 Rajab kusindalili ya kufanyika ymaadam Mtume wa Amaswahaba wake wa

 wema katika karne nj hawakuyafanyahaya.

Swala ya Ummu DHuu nao ni uzushi mwiswala iitwayo swalaaDaawuud ambayo hunusuyamweziwaRajab

 vyouzushikwaduazinamakhsusindaniyamw

 jab na pia kutembelea siku maalum ndani ya

 bid’ahyafaatujiepushen TwamuombaAllah(S

 huu wa Taala) atufany vitu alivyovifanya vitaatuwezeshe kushikamSunnahyaMtumewakna amani ziwe juu yake

 fuata mwendo wa wem tangulia, kwani Imam  pata kusema “Kamwe fauluwamwishowaum ilakwayalewaliyofaulumwanzo wake” (Minhnah,mjaladawa2,uk.44

 Na mwisho wa dua

NAAM, MWEZI WA RAJAB NI MWEZIMTAKATIFU NA KAMA ILIVYO MIEZI

MITAKATIFU, WAUMINI TUNAKATAZWAKUIVUNJIA HESHIMA ILIYOPEWA NA

 ALLAH. ALLAH (SUBHAANA HUU WATAALA) ANASEMA “ENYI MLIOAMINI,MSIVUNJE UTUKUFU WA ALAMA ZA ALLAH WALA MIEZI MITAKATIFU…

”(MAIDAH - 2).

Muuminiwa dini yaKiislamu

akiwamsikitini

mjiniMaputo,Msumbiji

STORIA YA MSUMBIJI

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 9/15

www.islamicftz.

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,

10

Mlango wa udhu - 2

Kutawadha (Kuchukuaudhu)

Namna ya mwanamke kupaka

maji kichwani:Swali: Aliulizwa Sheikh Mu-

hammad bin Swaleh Al-uthaimin(Allah amrehemu): Je ni Sunnahmwanamke anapopaka maji kichwachake wakati anatawadha kuanziakwenye maoteo ya nywele mpaka ki-chogoni kama anavyofanya mwa-naume?

 Jawabu: Naam, kwani asili kati-ka hukumu za kisharia ni kuwa kilekilichothibiti kwa mwanaume kime-

 thibiti pia kwa mwanamke na kiny-ume chake, isipokuwa kwa dalili.Nami siijui dalili inayomtofautishamwanamke kwenye hili. Na kwamsingi huu mwanamke atapaka majikuanzia kwenye maoteo ya nywelehadi kichogoni. Hata zikiwa nyweleza singa haitoathiri, kwani aimaani-shi kuziminya nywele kwa nguvumpaka zitote au aziinuwe hadiutosini. Kinachotakiwa ni kupakamaji polepole.

Hukumu ya kupaka majikwenye nywele zilizo-sukwa:

Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-mad bin Swaleh Al-uthaimin (Allahamrehemu): Ni ipi hukumu ya mwa-namke kupaka maji juu ya kilembacha kichwa?

 Jawabu:  Inaruhusiwa kwamwanamke kupaka maji kwenyekichwa chake, sawa nywele zikiwafupi au ndefu. Isipokuwa hatakiwi

kuzirundika utosini (kufanyamnara), kwani naogopa asije kuingiakwenye neno la Mtume (Rehma naamani ya Allah iwe juu yake): “Na

 wanawake wenye kuvaa wenda uchi, vichwa vyao kama nundu ya ngamiainayoyumba, hawatoingia peponi

 wala hawatoipata harufu yake, waka-

 ti harufu ya pepo hupatikana umbalikadhaa na kadhaa”.

Kupaka maji juu ya khofuzinazotokana na dhahabu

au fedha:Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-

mad bin Ibrahim Alu Sheikh (Allahamrehemu): kuhusu khofu zi-napokuwa za dhahabu au fedha 

 Jawabu: Haisihi kwa mwanam-ke au mwanamume kupaka majikwenye khofu za dhahabu au fedhaau vilivyochovywa na viwili hivyo,isipokuwa khofu zilizo na kiasi kido-go cha dhahabu na fedha, kama tut-akavyoeleza kwenye mlango wa vyo-mbo. Wanawake hawakuruhusiwakutumia dhahabu na fedhaisipokuwa kiwango kilichozoelekakuvaliwa kidesturi, kwa lengo la ku-enziwa na waume zao. Ama zaidi yahivyo hakuna lazima, na zaidi ya tu-

 livyoeleza kiasili hukumu yake ni ka-

 tazo. Kwa maana hiyo wanawake ku- vaa dhahabu na fedha ni ruhusa, amazaidi ya tulivyoeleza hukumu yake nikutoruhusiwa kuvaa na hata kupakamaji juu yake.(Fat-wa na Rasaailu za

Sheikh Mohamad bin Ibrahim2/67).

Hukumu ya kupaka maji juu ya ushungi/ukaya:

Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-mad bin Swaleh Uthaimin (Allahamrehemu): Je inajuzu kwa mwan-amke kupaka maji juu ya ukaya

 wake? Jawabu:  Kilicho mashuhuri

kwenye madhehebu ya Imam Ah-mad, mwanamke anaweza kupakamaji kwenye ukaya wake kama ukayaumezungushwa mpaka kwenye koo,kwani kitendo kama hicho kime-

 thibiti kwa baadhi ya wanawake waKiswahaba (Allah awaridhie). Vyo-

 vyote iwavyo atapoona usumbufu,

ima kwa sababu ya hali ya hewa ya baridi au usumbufu wa kuvua na ku-funga tena, si vibaya kupaka maji juu

 ya ukaya, ama bora nikutopaka. (Fat- wa na Rasaai lu za Shei kh Ibn

Uthaimin 4/171).

Kupaka maji kwenye ma-pambo yaliyo kichwani:

Swali: Aliulizwa Sheikh Moham-ed bin Ibrahim Alu Sheikh (Allahamrehemu): Kuhusu kupaka majimapambo yaliyo kichwani.

 Jawabu: Hatakiwi kupaka majimapambo yaliyo kichwani, kwanihayana maana inayolingana na kho-fu.

Kupaka maji kichwakilichosingwa mafutamchanganyiko:

Swali: Aliulizwa Sheikh Mo-hamed bin Ibrahim Alu Sheikh (Al-

 lah amrehemu) kuhusu kupaka majkichwa kilichopakwa mchanganyik

 wa mafuta mazito. Jawabu: Kichwa cha aina hiy

hakitopakwa maji juu yake, kwan

hakilingani na khofu si kimaana walkihisia. Mchanganyiko wa mafutmazito hupakwa kwa ajili ya anasana wala hayapakwi kwa haja audharura fulani.

Kupaka maji kwenye ny-wele zilizo na rojo la hina

Swali: Aliulizwa Sheikh Mohamed bin Swaleh Uthaimin (Allahamrehemu): Mwanamke anapozipaka hina nywele zake, je atapakmaji kwenye hina?

 Jawabu: Mwanamke atakapokipaka hina kichwa chake, atapakmaji kwenye hina, wala halazimikkufumuwa nywele na kukwangukilicho kichwani. Imethibiti kuwMtume (Rehma na amani ya Allah

iwe juu yake) alipohirimia alikuwamepaka hina kichwani. Hii inmaana kilichoganda kichwani ni sehemu ya kichwa. Hii inaonyeshkuna unafuu wa aina fulani katiksuala la kupaka maji kichwa”. (Fat-wna Rasaailu za Sheikh Muhamad binIbrahim 4/147).

Kupaka maji nywele zilizona mafuta:

Swali: Aliulizwa Sheikh Muhamad bin Swaleh Uthaimin (Allahamrehemu):

Mwanamke anapokipaka mafutkichwa chake na kupaka maji juu

 yake, je udhu wake ni sahihi au la? Jawabu: kabla ya kulijibu swal

hili, napenda niweke wazi kuwa, Al lah aliyetukuka amesema kwenykitabu chake: “Enyi mlioaminmnapoinuka ili kutaka kuswali, basosheni nyuso zenu na mikono yenumpaka kwenye visukusuku, na pakeni maji kwenye vichwa vyenu na muoshe miguu yenu mpaka vifundoni(5:6).

FAT-WA KWA MWANAMKE WA KIISLAMNA SHEIKH SHABANI MUSSA

Dini ya Kiislamu ni mfumokamili wa maisha, ambayohaikuacha kutoa misingi

 ya mambo yote muhimu

kwa maisha ya binadamu. Kuhusumanufaa ya chakula tunaona misingi yake katika Qur’an na Sunnah yaMtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake).

Kwa leo turejee aya zifuatazo:“Hebu mwanadamu na atazamechakula chake. Hakika Sisi tumem-imina maji kwa nguvu. Tena tukai-pasuapasua ardhi. Kisha tukaoteshahumo chembechembe. Na mizabibuna mboga. Na mizaituni na mitende.Na mabustani, yenye miti iliyosonga-na. Na matunda na malisho, kwa ajili

 ya kukustarehesheni nyinyi na wan- yama wenu”. (80: 24-32).

“Enyi mlioamini kuleni vizuri tu- livyokuruzukuni, na mumshukuruMwenyezi Mungu, ikiwa mna

muabudu yeye peke yake”. (2:172).

Mwenyezi Mungu asingetuhimi-

za kula vyakula tena vilivyo bora kamahakuna manufaa. Zaidi ya hayo,Mwenyezi Mungu anataka tufanyeutafiti kuhusu vyakula ili tupate yaki-ni ya kuwepo kwake na nguvu zake.

Chakula kinaweza kutazamwa aukufanyiwa utafiti kwa njia mbalim-

 bali kama vile kinavyozalishwa kwakupitia ardhi na maji, aina ya vyakula

 vinavyozalishwa na ardhi – nafaka,matunda, mbogamboga, wanyama,samaki, n.k. Namna chakula kinavy-ojenga au kuharibu afya ya mlaji, ninjia nyingine ya kukiangalia chakula.

Makala haya yanajikita kujadilimanufaa ya chakula katika ujenzi waafya ya mlaji.

Manufaa ya kwanza ni kuwachakula kinakidhi mahitaji ya nishati

 ya kila siku ya mwili. Ili mtu aweze

kuswali, kulima, kufikiri vizuri,

kutembea, kusoma, kutazama,kusikiliza, ili dawa aliyokunywa ifan-

 ye kazi mwilini, ni lazima mwili wakeupate nishati ya kutosha kutoka kati-ka vyakula anavyokula.

Pia, nishati zaidi inahitajika ilikumwezesha mtoto tumboni na yulealiyezaliwa kukua vizuri.

 Vyakula vyenye wanga mwingikama vile wali, ugali, ndizi, viazi, mi-hogo, mikate, chapati na maandazi ni

 vyanzo vizuri vya nishati mwilini. Vyakula hivyo vitumike zaidi ku-

 liko vyakula vya mafuta na sukari, in-gawa navyo vinaupa mwili nishati.Tunahitaji vyakula vya mafuta lakini

 viwe kwa kiasi kidogo.Manufaa ya pili ya chakula ni kuu-

 wezesha mwili kukua, kujikarabati

na kuponya majeraha. Kati ya umri

 wa mwaka mmoja na umri wa ku-

 balehe au kuvunjaungo (adoles-cence), motto anakua kwa wasta-ni wa nchi 2.5 kwa mwaka. Ilikukua kwa kiwango hicho mi-fupa na misuli inahitaji chakulachenye protini, wanga, vitaminina madini.

Kula kila siku vyakula vyaprotini, madini ya chuma na vi-

 tamini B ni muhimu sana ilimwili uweze kuwa na damu yakutosha na kuwe-za kusafirisha

 vi ru tu bi sh om u h i m ukutoka se-hemu mojakwenda se-hemu ny-

ingine.

CHAKULA KINAVYONUFAISHA AFYA ZETU

PAZI MWINYIMVUA

AFYA YAKO

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 10/15

Shukran njemaanastahiki AllahS u b ’ h a n a h u

 Wataala na Re-hema na amani zimfikie

Mtume wetu Muhammad(Rehma na amani ziwe juu yake), maswahaba zake na wale watakaofuata muon-gozo mpaka siku yamwisho.

Ndugu mpenzi mso-maji, katika makala yetu ya

 leo tutaangaaza juu ya ka-nuni za msingi zinazoon-goza biashara na uchumi

 wa Kiislamu.Biashara na uchumi wa

Kiislamu umejengwa kati-ka msingi mama wa kuk-

 wepa riba. Miamala yote ya kibiashara inatakiwa isi- jihusishe na riba kwa nam-na yoyote ile. Katika Uisla-

mu, biashara imehalalish- wa na riba imeharamish- wa.

 Allah anasema: “Wale walao riba hawasimami ilakama anavyosimama ali-

 yezugwa na shet’ani kwakumgusa. Hayo ni kwakuwa wamesema: Bi-ashara ni kama riba. LakiniMwenyezi Mungu amei-halalisha biashara naameiharimisha riba. Basialiyefikiwa na mawaidhakutoka kwa Mola wakeMlezi, kisha akajizuia, basi

 yake ni yaliyo kwisha pita,na mambo yake yako kwaMwenyezi Mungu. Na

 wenye kurudia basi haondio watu wa motoni,h u m o w a t a d u m u ”(2:275).

Kanuni ya msingi ya pili

ni Al Gharar. Katika utara- tibu wa kibiashara un-aokubalika katika Uislamuni kuhakikisha pande zi-nazoshiriki katika biasharakujiepusha na ‘gharar’ am-

 bayo inajumuisha hiyana,hadaa, hatari, udanganyifuna ile hali ya kutokuwa nauhakika juu ya ya jambofulani linalohusu muama-

 la ambalo huweza kusaba- bisha hasara na dhulmakwa upande mmoja wa

 washiriki katika biashara.Kutokana na kanuni

hii, uwazi na utoaji wa taarifa sahihi na kamili juu ya bi dh aa , hu du ma ,

masharti na vigezo baina ya muuzaji na mnunuzi vinape wa nafasi ya juusana ili kuhakikisha mua-mala unafanywa katikahali isiyogubikwa na ujin-ga, ambapo pande zote zi-nakuwa na ufahamu nauhakika juu ya muamala

 wao.Swala la udanganyifu

 limekemewa na kunyimwanafasi kabisa katika mua-mala, ambapo kila upandeunatakiwa kutoa taarifasahihi na kudumisha uk-

 weli, uadilifu na uaminifukatika biashara. Aidha,hadaa na upunjaji wa vipi-

UCHUMI NA BIASHARA JAMAL ISSA

WATU MAARUFU WASIOKUWA WAISLAMU WASEMAVYO KUHUSU UISLAMU

www.islamicftz.org

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015

mo umekatazwa katika biashara.

 Allah anasema katika Qur’an tukufu: “…Na timizeni vipimo namizani kwa uadilifu….” (6:152),“Ole wao hao wapunjao!Ambao

 wanapojipimia kwa watu hudai watimiziwe.Na wao wanapowapi-mia watu kwa kipimo au mizanihupunguza”(83: 1-3).

Katika aya nyingine Allahanasema: “Na kwa watu wa Mady-ana tuliwatumia ndugu yaoShua’ib. Akasema: Enyi watu wan-gu! Muabuduni Mwenyezi Mungu.Nyinyi hamna Mungu ila Yeye,

 wala msipunguze vipimo na miza-ni. Mimi nakuoneni mmo katikahali njema, nami nakukhofieni ad-habu ya Siku kubwa hiyo itakayokuzungukeni. Na enyi watu wangu!

Timizeni vipimo na mizani kwauadilifu wala msiwakhini watu vitu

 vyao; wala msieneze uovu katikanchi mkafanya uharibifu. (11: 85-86).

Kanuni muhimu ya tatu ni juu ya Al-Qimar na Al-Maisir. Uchumikatika Uislamu umejengwa juu ya

msingi usiohusisha kamari (mche-

zo wa bahati nasibu) kama sehemu ya biashara. Muamala wowote un-aohusisha kamari ambapo upandemmoja unaoshinda utanufaikakwa gharama/hasara ya upandemwingine unaoshindwa haukuba-

 liki katika Uislamu. Mbali na dhul-ma iliyopo katika kamari, piakamari husababisha uvivu nauzembe wa kutojishuhulisha katikashuhuli za uzalishaji mali ambazohujenga uchumi madhubuti na ha-

 timaye kuwa na wimbi la umaskinina watu tegemezi. Kamari husaba-

 bisha mtu kupata kipato bila ku-fanya kazi/kutolea jasho, kipatoambacho si halali (Al-Maisir).

 Allah ametuonya katika Qur’an:“Enyi mlio amini! Bila ya shaka ul-

evi, na kamari, na kuabudu masan-amu, na kupiga ramli, ni uchafukatika kazi ya Shetani. Basi jiepush-eni navyo, ili mpate kufanikiwa.Hakika Shetani anataka kutia kati

 yenu uadui na chuki kwa ulevi nakamari, na akuzuieni kumkumbu-ka Mwenyezi Mungu na kusali.

Basi je, mmeacha? “(5:90-91).Kanuni ya nne muhimu ni kuji-

husisha na sekta halisi ya kiuchumi.Mfumo wa kifedha katika Uislamuunatakiwa kuwa na uhusiano aukuambatana na rasilimali. Kwamaana mfumo wa kifedha unatak-

iwa kuambatana na shughuli zauzalishaji mali na biashara na siokuingiza fedha katika mzunguko

 bila kuzingatia uzalishaji mali na biashara au kuifanya fedha yenyewekama bidhaa ambapo hubadilish-

 wa fedha kwa fedha ya aina mojakwa ziada kwa njia mbalimbalihaswa mikopo ya riba.

Mfumo wa kifedha usiojali nakuzingatia wapi fedha zinawekezwapale zinapotolewa na taasisi zakifedha kwa wateja wake haukuba-

 liki katika Uislamu. Hivyo utarati- bu wa kifedha wa Kiislamu huzin-gatia fedha kuwekezwa katika sektahalisi ya uchumi na sio katika sektaza anasa, starehe na pumbao am-

 bazo hazijengi uchumi madhubuti

 wenye bidhaa na huduma halali.Miamala ya kifedha katika Uisla-mu huambatana na rasilimali am-

 bazo zitazalisha pato na mali halali.Kanuni ya msingi ya tano ni

ushirika. Uislamu umesisitiza mfu-mo wa kibiashara wa kushirikianakatika mtaji, kuendesha na kusi-mamia biashara, na kugawana fa-ida na hasara.

Utaratibu wa baadhi ya watu au taasisi za kifedha kuwapa watu mi- taji kama mikopo kwa riba hauku- baliki kwani hauleti tija zaidi ya un- yonyaji. Utaratibu huu pia hauzin-gatii matokeo ya biashara ambayofedha hizo zimewekezwa, kwani al-iyekopeshwa kwa namna yoyote ile,hata kama amepata hasara, atalaz-

imika kurejesha mkopo na riba.Hivyo mkopeshaji anakuwa ameji-hakikishia manufaa na kukwepahatari ya kupata hasara.

Katika utaratibu wa Kiislamu washirika hunufaika kutokana namatokeo ya biashara kwa kugawa-na faida au hasara. Na hii inaendanana dhana nzima ya kusaidiana kwa

 wema bila kunyonyana jambo am- balo tumeusiwa katika Qur’an;”Nasaidianeni katika wema na ucha-mngu. Wala msisaidiane katikadhambi na uadui”(5:2).

 Ndugu mpenzi msomaji usiko-se makala ijayo In Sha Allahtutadurusu riba kwa undani.

 [email protected],+255713996031

Misingi ya

Kiislamu yauchumi nabiashara

Mfanyabiasharaakiuza bidhaasokoni.

UTARATIBU WA BAADHI

 YA WATU AU TAASISI ZA

KIFEDHA KUWAPA WATU

MITAJI KAMA MIKOPO KWA

RIBA HAUKUBALIKI KWANI

HAULETI TIJA ZAIDI YA

UNYONYAJI.

NAPOLEON BONAPARTE:

Alizaliwa August 15, 1769 naku-wa Generali wa jeshi na Mfalmewa kwanza wa Ufaransa. Vitavyake maarufu kama vita vyaNapoleon (Napoleonic wars) vili-

ubadili ulimwengu. Anasema:

I hope the time is not far off when I shall be able to unite allthe wise and educated men of all the countries and estab-lish a uniform regime based on the principles of Quran which

 alone are true and which alone can lead men to happiness

Tafsiri: Natumaini wakati hauko mbali pindi nitakapoweza kuunganisha watu wote wenye hekimana elimu wa nchi zote na kuanzisha utawala mmoja unaotokana na kanuni za Qur’an, kanuni am-bazo peke yake ndiyo za kweli na ambazo peke yake ndizo zinazoweza kuwaongoza watu kwenyefuraha (ya kweli).Imenukuliwa kutoka: Christian Cherfils, ‘Bonaparte et Islam,’ Pedone Ed, Paris, France, 1914, pp. 105, 125

(Original References: “Correspondance de Napoléon Ier Tome V pièce n° 4287 du 17/07/1799...)

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 11/15

www.islamicftz.

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,

12

TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA  YENYE UZOEFUWA MIAKA 14 KATIKA SHUGHULI ZA HIJA NAUMRA, INAWATANGAZIA WAISLAM WOTE KUWAGHARAMA YA HIJA KWA MWAKA 2014/ 1435H NIDOLA 4750 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWAAWAMU (KIDOGO KIDOGO).AIDHA, GHARAMA YA KUFANYIWA IBADA YA HIJA(KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU.

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:  NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI  MALAZI MAKKA, HOTELI YA NYOTA 3*,

MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 7 TUMPAKA MASJID HARAM.

  MALAZI MADINA, HOTELI YA NYOTA 3*MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 3 TUMPAKA MASJID NABAWY

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

  USAFIRI WA BASI JEDDAH – MAKKA,MAKKA – MADINA

  HUDUMA MAALUM (SPECIAL SERVICE)SIKU 5 ZA HIJJA

  MAHEMA YENYE VIYOYOZI (AIR CONDITION), MAGODORO, MITO NA BLANKETI

  CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIAMWENYEWE (BUFFET) CHAI, KAHAWA,JUISI, SODA, MAJI NA VITAFUNWA(SNACKS) VITAPATIKANA MASAA 24, SIKU 5ZA HIJJA

  USAFIRI WA BASI KATI YA MAKKA – MINA,MINA – ARAFAT, ARAFAT – MUZDALIFA,MINA – MAKKA

  NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NAHIJAB KWA WANAWAKE, GALONIMOJA YA MAJI YA ZAM ZAM (LITA 10)BEGI LA KUSAFIRIA, PAMOJA NA KILO 3 ZATENDE KWA KILA HUJAJI

  ZIARA YA MAKKA KUTEMBELEA NYUMBAALIKOZALIWA MTUME WETUMUHAMMAD (S.A.W), JABAL HIRA,JABAL THAWR, JABAL RAHMA,MASJID JINNI, MASJID KHEIF,MASJID NIMRAH, VIWANJA VYA ARAFAT,MINA, MUZDALIFA NA JAMARAT

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

TAASISI YA YENYE UZOEFU

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:

(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).

 

  ZIARA YA MADINA KUTEMBELEA MSIKITI

  VILE VILE GHARAMA YA HIJJA INAJUMUISHA ZIARA YA MADINA KUTEMBELEAMASJID QUBA, MASJID QIBLATAIN, MASJID

JUMAA, SABA MASAAJID (MAHALI KULIPOFANYIKA VITA VYA KHANDAQ), NAJABAL UHUD.

  GHARAMA YA UCHINJAJI WA MNYAMAWA UDH’HIYA

  CHAKULA MILO MITATU KUJIHUDUMIAMWENYEWE (BUFFET) SIKU ZOTE ZASAFARI.

SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKHJUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNEKAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZOKWA MAHUJAJI WAKATI WOTE. AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMAD) AL-HAJJZULFIKAR OSMAN (ZULLY) AL HAJJ ALTAF ABDU-LATIF NA AL HAJJ SIDIK VIONGOZI WENYE UZOEFUWA MUDA MREFU PIA WATAKUWEPO KUWAHU-DUMIA MAHUJAJILENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZAIBADA YAKE INAVYOTAKIWA. MADAKTARI DR. HAJIHAMDU NA DR. HAMISA THEREYA ( DAKTARI WA

AKINA MAMA) WATAKUWEPO KATIKA MSAFARANA MADAWA YOTE MUHIMU YATAPATIKANAWAKATI WOTE WA SAFARI.WAWEZA KUWAULIZA MAHUJAJI WALIOWAHIKUHUDUMIWA NA TAASIS HII, NA WATAKUHAKIK-ISHIA UWEPO WA HUDUMA ZA KURIDHISHA.ALHAMDULILAH DAIMA KHIDMAT ISLAMIYATUMEWEZA KUTEKELEZA KILA TUNACHOKIAHIDI.

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

WA MTUME (SAW), MAKABURI YA BAQII(WALIPOZIKWA MASWAHABA, BAADHI YAWAKEZE NA WATOTO WA MTUME (S.A.W.)NA MAKABURI YA WALIOKUFA SHAHIDIKATIKA VITA VYA UHUD

-

-

-

TAHADHARI:  NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.

KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJIWASILIANA NA:  SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA

NAMBA YA SIMU 0715 915 008,0784 915 008

  SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA –IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545

  AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020,0713 530 036, 0786 411 020

  AL-HAJJ HAFIDH SALIM – 0655 616 623,0682 535 319  SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA

0715 985 413  AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED

0789 373 222  AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI

WA QIBLATAIN - 0715 210 666  ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI –

TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALANA NMB TAWI LA SOKO KUU NAMBAYA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513,0655 125 513

  MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEHNAHDY(AHMADO)- 0715 372 776,0773 372 776

  DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSURUGEIYAMU – 0754 334 400,0786 293 901

  DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683

  MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJMAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573

KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA

MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA

TAREHE 20 SHAABAN 1437

MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA

  0773 372 776

RUGEIYAMU – 0754 334 400,

  DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683

MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573

KATIBU MTENDAJIMUHSIN MOHAMED HUSSEIN0784 /0715 /0773 - 786 680,

TAARIFA MUHIMU

KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA

MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA

TAREHE 20 SHAABAN 1437

MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA

U

shawishi wa marafiki wa ba ya na uh urumkubwa vimetajwakuwa sababu ya baadhi

 ya vijana wa kiislamu wanaojiungana vyuo vikuu hapa nchini kutum-

 bukia katika maasi kama ulevi, ku- vaa mavazi yasiyo na stara na zinaa.

Hayo yamebainishwa na baadhi ya walimu na wanafunzi wa kiislamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliohojiwa na gazeti la Imaan hivikaribuni. Wengi kati ya waliohojiwa

 wamekiri kwamba kuna wimbi la vi- jana wa kiislamu, hususan wa kikekubadilika pindi tu wanapozoeamazingira ya chuo na kugundua

 wapo tofauti kitabia na vijana wengi.Hali hiyo ya ‘upweke’ katika jamii

 ya wanafunzi ambao wengi wame-potoka hulazimisha vijana wa kiisla-

mu kuiga ili ‘kwenda na wakati’,mwalimu Zuhura Selemani wa chuokikuu cha Dar es Salaam, Shule Kuu

 ya Uandishi wa Habari na Mawasil-iano ya Umma alisema.

Zuhura anasema anazungumza

kutokana na uzoefu ambapo yeyemwenyewe alikuwa mwanafunzikutoka mwaka 2006 hadi 2009, nakisha kuajiriwa chuoni hapo mwaka2010.

Zuhura alisema, vijana wengi wa-nafwata mkumbo wa marafiki zao.

 Akitoa mfano, Zuhura alisema binti wa kiislamu aliyetoka kijijini na ku-ingia mjini anakuwa na ushamba wamambo mengi, na anapokutana na

 watoto wa mjini atataka afanane naokimavazi na tabia ili naye aonekaneameelimika na kustaarabika.

Hoja ya Zuhura inaungwa mko-no na mmoja wa wanafunzi wamwaka wa pili Rahma Muhajir, ali-

 yetaja msukumo wa marafiki kuwamoja ya sababu za mporomoko wamaadili, hususan kwa wanafunzi wakike.

Rahma alisema binti wa kiislamumara nyingi hupangiwa chumba na vijana wasiokuwa Waislamu nahivyo huanza kuiga tabia za kusikili-za miziki, kuangalia picha za ngono,kwenda disko, ulevi na kadhalika.

Rahma alisema:“Vijana wengi wa kiis lamu wanapofika Chuohuacha kabisa kujishughulisha namaswala ya dini kama vile kuswalikuhudhuria madarasa, semina zadini na badala yake kujihusisha namambo ya kipuuzi kama vile pati,kutoka usiku na mahusiano ya ki-mapenzi”.

Upo Msikiti wa Chuo pale Msau-di, unafundisha madarasa na kuali-ka masheikh mbalimali kutoa daawa

 lakini wanafunzi wa kiislamu wan-aohudhuria ni wachache mno ukil-inganisha na idadi ya Waislamuchuoni hapo”, Rahma aliongeza.

Sababu nyingine iliyotajwa ya vi- jana kujiingiza katika maasi ni uhu-ru wa kupitiliza ukilinganisha namaisha yao kabla ya kujiunga nachuo.

 Akielezea hilo, Mwalimu Zuhuraalisema baadhi ya mabinti wa kiisla-mu wanakuwa nje ya udhibiti wa

 wazazi kwa mara ya kwanza na baa-dhi yao huutumia uhuru huo vibayakwa kujaribu anasa mbalimbali.

Zuhura alisema kijana ambayehakujengeka vizuri kimaadili na am-

 baye alikuwa anaishi kwa kumu-uogopa mzazi, katika hali mpya yauhuru kamili nidhamu ya uogahuondoka na kuanza kufanya mam-

 bo apendavyo.Hata hivyo, Zuhura anasema sio

 wanafunzi wote wanabadilika nakuingia katika uovu. Wapo wa-nafunzi ambao wamedumu katikamaadili mazuri kipindi chote chamasomo yao.

Naye, Shekha Ally ambaye pia nimwalimu katika Chuo Kikuu chaDar es Salaam ametaja vishawishikuwa ni moja ya sababu zinazoshu-sha maadili ya vijana wa kiislamupindi wanapofika chuo.

Shekha alisema wapo wanafunzi walioingia chuoni hapo wakiwa na

maadili mema na misimamo mizuri ya kidini, wakivaa mavazi mazuri yastara na kuswali lakini baada yamuda kwa sababu hakuna tena usi-mamizi wa wazazi hushawishika nakujiingiza katika vitendo visivyo-

mpendeza Allah. Akikumbuka enzi zake za uwa-

nafunzi, Shekha alisema yeye binafsialikuwa akishauriwa na marafikizake avue baibui ili avae gauni, sketina bilauzi kwa kuwa angependezazaidi, lakini hakuyumba.

Kadhalika, Shekha alisema yeyehakuyumba kwa sababu alikuwaanajiamini na anaamini anachofan-

 ya ni sahihi, jambo ambalo baadhi yamabinti wa kiislam wamekosa nahivyo kufwata mkumbo na kuigaigakirahisi. Kuhusu kutojiamini, mwa-nafunzi wa mwaka wa tatu, RaiyeMkubwa, alisema mazingira ya uogana udhaifu wa kiimani hupelekeakuporomoka maadili kwa vijana wa

 vyuo. Alifafanua kuwa baadhi ya vitivo

 vina wanafunzi wachache wa kiisla-

mu wanaovaa hijab na wakatimwingine msichana anawezakuogopa vitisho vya kufelishwa na

 walimu kwa madai ya ‘ujahidina’ haliambayo huweza kupelekea mwa-nafunzi kupunguza stara yake.

Uhuru, marafiki, chanzo mporomoko wa maadili vyuo vikuu

HAFSWA MADIWA

MILA NA DESTURI

MILA NA DESTURI / TANGAZO

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 12/15

www.islamicftz.org

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015

Katika makala

 ya ke kwen yegazet i RaiaMwema toleo

namba 401 la tarehe 15

 Aprili, 2015, mwandishiJoseph Mihangwa chini yakichwa cha habari: ‘Dini zaKigeni Tishio kwa Umoja

 Afrika’ aliuliza: “Ni nchingapi za Afrika ya Kiarabuziliwahi kushiriki katikaukombozi wa nchi za Afrika

 bila uswahiba wa kidini?”Pengine ni kwa kutokujua

au kwa kujifanya hajui,mwandishi ameupotoshaumma uamini kwamba haku-na nchi za Afrika za Kiarabuzilizosaidia ukombozi wa Afri-ka dhidi ya minyororo ya ukol-oni isipokuwa ni kwa uswa-hiba wa kidini.

Kabla hatujaonesha kwa

ushahidi jinsi nchi za kiarabuzikiwemo Algeria na Libyazilivyoshiriki kwa hali na malikatika ukombozi wa Afrika,kwanza tumkumbushe kuwaukombozi wa nchi za Afrika us-ingekuweko kama si kwa nchiza kizungu za kikristo kuivamiana kuikalia Afrika.

 Wazungu walikutana mjiniBerlin, Ujerumani mwaka1884-85 kugawana bara la Afri-ka lililokuwa linakaliwa na Waa-frika weusi, Wabantu weusi,

 Waarabu weusi na Waarabu we-upe.

Mwandishi angepaswa kwanzakuwalaani wazungu kwa kuwad-halilisha waafrika lakini kama wal-ivyo waandishi mfano wake, hilohawezi kulifanya kwa kuwa chuki

 yake ni kwa waarabu tu.Ndivyo walivyofundishwa katika shule zaoza misheni-Mwarabu mbaya,mzungu mzuri.

Tukirudi katika swali la mwandi-shi wa makala hayo, kama kunanchi zilizosimama kidete na wapi-gania uhuru zikitoa fedha, silaha namafunzo mbali na kuwaunga mko-no katika majukwaa ya kimataifa ninchi za kiafrika za kiarabu.

 Algeria: Nelson Mandela alipatamafunzo yake ya kwanza ya kijeshinchini Algeria. Mwaka 1961 Man-dela alitembelea vikosi vya ukom-

 bozi vya Algeria katika mji wa Oujdanchini Morocco.

Katika kitabu cha maisha yake“The Long Walk to Feedom” NelsonMandela alikiri kuhamasishwa namapinduzi ya Algeria.

“Algeria ilitoa silaha, pasi zakusafiria na misaada mingine iliyo-fanikisha kung’olewa kwa ubaguzi

 wa rang i”.A lise ma Lamtan eLamamra, Waziri wa Mambo yaNje wa Algeria katika maombolezo

 ya kifo cha Mandela.Bwana Mihangwa, Mandela

mwenyewe alisema: “Nilijuakwamba wapiganaji wetu wa-nafanana na wapiganaji wa Algeria,na nilikuwa nataraji kwamba wata-pigana kishujaa kama wao (Walge-ria)”.

Tangumwaka 1961 Algeria ili-

popata uhuru, wapiganaji wengi wa ANC na vyama vingine vya ukom- bozi Afrika ya Kusini walipatiwamafunzo yao ya kijeshi nchini Alge-ria.

Baada ya Mandela kufariki, Rais wa Algeria, Abdulaziz Boutefliqaaliamuru bendera za nchi hiyo ku-pepea nusu mlingoti kwa heshima

 ya Mandela. Boutelfiqa alimuitaMandela: “The loyal friend of Alge-ria”- Rafiki mtiifu wa Algeria.

Labda tumuulize mwandishihuyo, Mandela ni Mwarabu auMuislamu? Watu wa Algeria ni dinigani maana makala yake inadai:“Dini za kigeni tishio kwa umoja wa

 Afrika”. Kwanza hii dhana ya dini zakigeni anaipata wapi?

Mgawanyo huu wa dini za kigenina dini za kienyeji ni mabaki ya fikraza kikoloni? Wao ndio walitugawa

 tukawa ”natives” – wenye jina “for-eigners” wageni. Dini ni dini tu nahazipaswi kuitwa za kigeni wala

kienyeji. Kwa ni dini ikiwa yakienyeji ndiyo inakuwa dini ya kwelina si tishio?

Kinachosababisha mauaji ya al- bino na vikongwe huko Shinyangaanakoishi mwandishi wa makalahayo ni dini gani, Uislamu au Ukris-

 to? Ni dini gani tishio kwa Afrika, za“kigeni” au “kienyeji”?

Tukirudi kwenye swali lake, kwa taarifa yako msomaji Algeria ndiyonchi ya kwanza aliyoitembeleaMandela mwaka 1990 mara tu

 baada ya kuachiwa huru na utawala wa kibaguzi kuonesha shukranikwa kuungwa mkono na Algeria

 wakati wa mapambano.Libya: Hii ni nchi nyingine ya

Kiafrika, ya Kiarabu, ya Kiislamuambayo pasi na kigezo cha dini ili-saidia ukombozi wa Afrika yaKusini. Mandela alipotangazakutembelea Libya mwaka 1994

 wakati Libya ikiwa imewekewa vikwazo na mataifa ya magharibi,

alikumbana na upinzani waMarekani.

Mandela akawajibu akisema,“Those who feel irritated by ourfriendship with President Gaddafican go jump in the pool (Wale wa-naokerwa na urafiki wetu kwaGaddafi, waende wakajitupekwenye bwawa).

Mandela akaongeza kusema:“Those that yesterday were friendsof our enemies have the gall today to

 tell me not to visit my brother Gadd-afi, they are advising us to be un-grateful and forget our friends of thepast.” Yaani: “Wale ambao jana wa-

 likuwa marafiki wa maadui zetu leo wan ath ubu tu kunia mbi a ni-simtembelee kaka Gaddafi, wana-

 tushauri tusiwe na shukrani na ku- wasahau marafiki zetu wa zamani”.

Si hivyo tu Afrika ya Kusini chini ya Mandela ilitoa nishani iitwayo“Order of Good Hope” kwa Gaddafikama heshima kutambua mchango

 wa Libya na Gaddafi kwa AfrikaKusini. Yote hayo ni kwanini?

Libya iliisaidia ANC kwa hali namali ikitoa si tu mafunzo ya kijeshi

 bali silaha, pesa na kuiunga mkono

kidiplomasia wakati wote wa vita vya ukombozi wa nchi hiyo.

Labda tumuulize Mihangwa,Gaddafi ni dini gani na Libya ni nchigani kama si ya kiarabu? Mandelanaye alikuwa Muislamu mpakaLibya imsaidie yeye na wananchi

 wake? Bila shaka hiyo ni chuki tudhidi ya Waarabu na Waislamu.

Marekani na washirika wake waliendelea kumuona Mandela nigaidi hata baada ya ukombozi wa

 Afrika ya Kusini. Ni mwaka 2008ndiyo Bunge la Congress liliondoa

 jina la Mandela katika orodha yamagaidi duniani na walifanya hivyosi kwakuwa waligundua upumbavu

 wao, bali walitoa kama zawadi yasiku ya Mandela kutimiza miaka

90.Bwana Mihangwa, Waarabu

 walikukosea nini hata ukweli kamahuu unajifanya huujui? Bahatimbaya ni kwamba si wewe tu, bali

 wapo Watanzania kadhaa hivi sasa wanawachukia Waarabu.

Hata ule mshikamano ulioku- wepo baina yaWatanzania na Wa-palestina umetoweka. Sasa kuna

 Watanzania wengi wanaopendeleaIsrael. Ni kana kwamba dhulma na

 jinai zinazofanywa na Israel kwa Wapalestina hawazioni. Ni chukikwa sababu Wapalestina ni Waara-

 bu.Mwalimu Nyerere kwa hili

alikuwa mkweli. Kwake Waisrael walikuwa madhalimu na Wapales- tina wadhulumiwa.Kuko wapikumuenzi kwenu Nyerere? Chukidhidi ya Waarabu imejengekakuanzia Zanzibar hadi bara, kanakwamba kuwa Mwarabu ni kosa.

 Watawala wengi waliotawalanchi zetu wawe Wareno, Waarabu,

 Wajerumani, Waingereza, Wa-faransa na kadhalika waliwatendea

 Waafrika vibaya. Lakini sisi wa ki-zazi cha leo, hatupaswi kuishi nachuki mioyoni mwetu hadi kuuka-na ukweli. Mazuri ya watu yat-haminiwe ipasavyo na mabaya yao

 yaelezwe pasi na upendeleo.Historia imepotoshwa pakubwa

kiasi kwamba Waarabu hufanywamashetani (demonized) na Wazun-gu malaika.

Chuki dhidi ya Waarabu inayo- jengwa na watu kama akina Mi-hangwa italiangamiza taifa na Afri-ka kwa ujumla. Nchi za kiafrika zakiarabu ziliunga mkono vilivyoukombozi wa Afrika ya weusi kulikohata nchi za Waafrika weusizenyewe.

Tishio kwa Afrika si dini ya Uis- lamu wala Ukristo alizoziita dini zakigeni bwana Mihangwa. Tishiokwa Afrika ni dhulma za watawaladhidi ya nchi zao, ukandamizaji wa

 watawala dhidi ya jamii fulani kwarangi na dini, ubadhirifu wa rasili-mali na ubaguzi kwa misingi ya dini,

 tofauti ya vipato, rangi na kabila un-aofanywa na kundi moja dhidi ya

 wengine.

KATIKA KITABU CHA MAISHA YAKE “THE LONG

WALK TO FEEDOM” NELSON MANDELA ALIKIRI

KUHAMASISHWA NA MAPINDUZI YA ALGERIA.

NCHA YA KALAMUSHEIKH MUHAMMAD ISSA

Chuki dhidi ya Waarabuni matokeo ya mitaala

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 13/15

SHAIRI BARUA ZA WASOMAJIGazeti letu Imaan

Naingia uwanjani, kuwajuza waumini.

Furaha iso kifani, imenijaa moyoni.

Kwa kutujia mgeni, kipenzi cha waumini.

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Mgeni mwenye thamani, jina lake ni Imaan.Hutoa watu gizani kuwapeleka mwangani.

Wengi tulimtamani sasa tumpokeeni

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Gazeti letu makini, waandishi wenye fani.

Habari zetu za ndani,hata za nchi jirani.

Twazipata kwa undani, kwa kusoma kurasani,

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Uvivu tuuacheni, maandiko tusomeni.

Jumatatu amkeni, gazeti litafuteni.

Mkiliona mezani, haraka linunueni.

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Tusibakie pembeni, kusema ya mitaani.

Habari tuzijueni, zilizo ulimwenguni.

Tusikae vijiweni, na kuleta ubishani.

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

www.islamicftz.

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,

14

Usia wangu jamani, gazeti tununueni.

Tusomeni kwa makini, kisha tuliweke ndani.

Tusilitupe jamani, likafungiwa sabuni.

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Mwishoni nakujuzeni, pacha tatu zishikeni.Gazeti letu Imaan, Redio yetu Imaan.

Tv yetu Imaan, pia tuitizameni.

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Tutasoma gazetini, Redio tusikizeni.

Tv tutizameni, izidi yetu Imaan.

Tumkimbie shetani, asituweke gizani.

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Nimefikia mwishoni, kalamu naweka chini.

Mhariri samahani, usiniweke pembeni.

Ujumbe wende hewani, waelewe waumini.

Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.

Athumani Shomari

0715 483 123

[email protected]

Bagamoyo, Pwani.

Ndugu Mhariri,Hongereni kwa kazi nzuri,

hakika mnakata kiu yetu was-omaji. Naomba kutoa maoni

 yangu kuhusiana na hili swala la unaodaiwa ugaidi hapanchini.

Hivi karibuni kupitia vyo-mbo vya habari iliripotiwakuwa watu takribani 15 wana-osadikiwa kuwa wafuasi wamchungaji Gwajima walitiwamikononi na jeshi la polisi

 wakidaiwa kutaka kumtoro-sha mchungaji huyo aliyekuwachini ya mikono ya polisi.

 Wafuasi hao waliokamat- wa majira ya saa tisa usiku wa-

 likutwa na begi lenye bundukina risasi.

Pamoja na kukutwa na si- laha hizo na nia yao hiyo yakutaka kumtorosha kiongozihuyo, vyombo vya habari ha-

 vikuripoti kuwa tukio hilo ni la kigaidi.

 Vyombo hivyo pamoja na tuk io hil o kut oke a kat ikakipindi ambacho kuna tarifazinazo husishwa na ugaidi ka-

 tika maeneo mbalimbali nchi-ni ambapo kuna uporaji wa si-

 laha unaofanya na watu wasio julikana baada ya kuwauwapolisi, bado hawakulihusishana ugaidi.

Nalazimika kujiuliza; h tukio kama lile lingetokea kw Waislamu lingeripotiwa vipBila shaka moja kwa moja ligehusishwa na ugaidi na pagekuwa ‘hapatoshi’. Wahusi

 wangesota gerezani bila dhmana wala haki zao kama biadamu zisingezingatiwa. Kwkweli ingekuwa ni shiida!

Kwa mwenendo huu wkuwapachika raia wenzeugaidi tunaipeleka nchi ye

 jahannam! na tukishaifikishapo hakuna atakayepona.

Nasoro Abe

Morogo

0718 418 1

‘Ugaidi’ utaliangamiza taifa

Kuh usu sh utum akwamba vituo vyao haviwapelekishule za kawaida watoto hao kusoma,amesema kuwa suala hilo si la kweli,kwani watoto hao wako katika shuleza msingi na wengine zile za upili(secondary). Bwana Athmani ame-waasa maofisa wa ustawi wa jamiikuwa na utaratibu wa kufanya

uchunguzi wa kina kabla ya kufungiavituo hivyo, na kuacha kufuata prop-aganda, pia watoe mafunzo ya malezikwa wamiliki wa vituo.

Miongoni mwa vituo vilivyofun-gwa ni madrasa ambazo zilikuwazikihifadhisha watoto Qur’an na ku-toa mafundisho mengine ya dini yaKiislamu. Kosa la madrasa hizi inad-aiwa ni kukosa usajili wa kituo chawatoto.

Baadhi ya Masheikh walioongeana gazeti la Imaan wamesema wana-hofu na mwenendo unaojikita kwaamii na watendaji wa Ser ikali wa

kuona vituo vya Kiislamu ni mazaliaya ugaidi. Masheikh walisema kuzi-funga madrasa ni sehemu ya mkakatiwa Marekani kupambana na ugaidi

duniani na mkakati huu unatekelezwasehemu mbalimbali duniani.

MKAKATI WA

KUVIPUNGUZA?

Kwa mujibu wa Kaimu KamishnaMsaidizi Haki za Mtoto na Marekebi-sho ya Tabia wa Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii, Steven Gumbo, ali-

 yenukuliwa katika gazeti moja la kilasiku, uamuzi wa kuvifunga na kuvi-futa vituo mbalimbali nchini kote

umechukuliwa na serikali baada yakufanya utafiti katika mikoa 25 nakubaini vipo zaidi ya 300, huku baa-dhi vikiwa vinaendeshwa bila leseni.

“Katika utafiti wetu wa mwaka2011, tulibaini vituo vingi havina ub-ora na vilifunguliwa bila idhini yaIdara ya Ustawi wa Jamii. Mpango

 wa serikali kwa sasa ni kuvipunguzaili vibaki vichache vyenye ubora”.Gumbo alinukuliwa na vyombo vyahabari.

Lakini wadau wamehoji, je Seri-kali inapovipunguza vituo hivyo, ita-

 wahamishia watoto wa vituo vilivyo-fungwa katika vituo hivyo vi-

 takavyobaki na kubor eshwa? Je, watafanya hivyo kwa hiari ya wazazina walezi wao au kwa nguvu? Na je,

Serikali imeandaa bajeti ya kughara-mia watoto hao?

Serikali pia imedai waendeshaji wa vituo hivi wanajinufaisha kwa ku- tumia watoto yatima kama chanzocha kujipatia kipato. Kwa madaihaya, wachambuzi wanahoji; je ma-drasa nazo zinaangukia katika wigo

 wa vituo vya watoto au mayatima?Sheikh Muhammad Issa, Naibu Kat-ibu Mkuu wa Baraza la Sunna Tanza-nia (BASUTA) anasema, madarasazimekuwepo kabla hata ya wakolonikuingia nchini na kuanzisha mfumo

 wao wa elimu.Sheikh Muhammad anashauri

Serikali ingeviangalia vituo hivi (ma-

drasa) vinavyolenga kutoa elimu yakiroho na maadili tofauti na vituo vya

 watoto au mayatima vinavyopaswakuendeshwa chini ya taratibu za idara

 ya ustawi wa jamii.Sheikh anasema: “Nashauri hili

kwa sababu kwa mujibu wa katiba yanchi 19 (1) na (2) serikali haina dinina kazi ya kutangaza dini, kufanyaibada na kueneza dini itakuwa nihuru na jambo la hiari ya mtu ya bin-afsi, na shughuli na uendeshaji wa ju-muiya za dini zitakuwa nje ya shu-ghuli za mamlaka ya nchi”.

Sheikh Muhammad anasema,

kwa miaka mingi madrasa zimezishwa majumbani mwa mashezetu na zimetoa mchango mkub

 wa kuwalea watoto wa Kiislamu wkuwa raia wema wa nchi yetu. Lakwa kukosa uwezo wa kifedha nunua viwanja na kujenga majekama ilivyo kwa shule, madrasa zimetapakaa huko mitaani.

 Alisema anahofia kuwa zoezi linaloendelea linaweza kupelekuamsha chuki ya Waislamu kSerikali , huku likiwanyima watfursa ya malezi ya kiroho, jambo a

 balo ni hatari kwa taifa.

NYAKATI ZA SWALA

Na. MJI FAJR DHUHUR ASR MAGHARIB ISHAA

1 DAR ES SALAAM 5:14 12:23 3:43 6:21 7:27

2 ZANZIBAR 5:14 12:23 3:42 6:23 7:28

3 TANGA 5:14 12:24 3:43 6:23 7:29

4 MOROGORO 5:32 12:38 3:59 6:34 7:40

5 MTWARA 5:13 12:18 3:39 6:12 7:19

6 ARUSHA 5:26 12:37 3:54 6:39 7:447 DODOMA 5:28 12:37 3:57 6:36 7:42

8 MBEYA 5:41 12:49 4:09 6:47 7:53

9 KIGOMA 5:51 1:01 4:15 7:01 8:07

10 MWANZA 5:37 12:48 4:07 6:50 7:56

11 KAGERA 5:14 12:24 3:43 6:23 7:29

Tumekwisha!natoka uk 3

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 14/15

www.islamicftz.org

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 , 2015

NA NAHIDA ISMAIL

 WATOTO / TANGAZO

Swali: Unajua sura gani kati-ka Qur’an inazungumziakuhusu sisimizi?

 Jawabu: Surat An-Naml(Sisimizi)

Siku moja, Suleiman aliku-sanya jeshi lake na kuanza ku-songa mbele. Sisismizi aliliona jeshi hilo linakaribia na akaliakuwaonya wenzake ili wajifiche: “Kimbilieni majumbanimwenu! Vingenevyo, Sulei-man na jeshi lake watawakan- yaga, bila kujua!”.

Suleiman akatabasamu,kwani kamwe asingeweza ku- wadhuru viumbe wa Mwenye-zi Mungu kwa makusudi. Alimshukuru Allah kwa kusal-imisha maisha ya sisimizi naalifurahi kufahamu kuwa sis-imizi alimjua kuwa yeye ni Na- bii.

Suleiman ni nani?(Solomon ni jina lakibiblia)

 Alikuwa ni mtoto wakiume wa mwisho wa NabiiDawood (Amani iwe juu yake)

 Alikuwa ni mmoja kati yamanabii wakubwa wa Allah,

ambaye Mwenyezi Mungu al-impatia zawadi na neema yaajabu.

 Alijaaliwa kuwa na heki-ma na elimu kubwa.

 Alielewa lugha za wanya-ma wote.

 Alipewa mamlaka juu yaupepo. Aliweza kuuamrishauvume au vinginevyo.

Majini walifanywa wam- tii yeye.

Kuhusu sisimizi:Sisimizi anaishi katika

makundi makubwa, kwa ki-ingereza yanajulikana kama‘colonies.

Ulijua kuwa kuna Malkia wa sisimizi katika kundi lao?Sisimizi wana miguu sita

(6).Sisimizi wanabeba mzigo

 wenye uzito mara kumi ya uzito wao.

 Allah Mtukufu anasimulia:Na alikusanyiwa Suleimanmajeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo yaka-pangwa kwa nidhamu.

Mpaka walipofika kwenye bonde la wadudu chungu, al-

isema mdudu chungu mmoja:Enyi wadudu chungu! Ingienim a j u m b a n i m w e n u ,asikupondeni Sulaiman namajeshi yake bila ya waokutambua.

Basi (Sulaiman) akataba-samu, akacheka kwa neno hili,

na akasema: Ee Mola wanguMlezi! Nizindue niishukuruneema yako uliyo nineemeshamimi na wazazi wangu, na ni-pate kutenda mema uyapen-dayo, na uniingize kwa rehema yako katika waja wako wema.(27:17-19 Quran).

Imam Ali (a) anamuelezeas i s i m i z i kw a m an en o yafuatayo:

‘Mwangalie sisimizi. Jinsikamwili kake kalivyo kadogo,na jinsi maumbile yake yalivyo teketeke, ni kiumbe mdogosana ambaye mara nyingi jichohushindwa kun’gamua uwepo wake, na watu wachache wa-naojali kumtambua umuhimu wake miongoni mwa viumbe

 walio hai wanaopatikana dun-iani.Mwangalie na umsome

mtindo wake wa maisha, jinsianavyotambaa, anavyokulachakula, anavyobeba punjenzito maradufu ukilinganishana uzito wa mwili wake, anavy-oipeleka mpaka kwenye tundu lake, anavyoitunza na jinsi wakati wa majira ya joto anavy-okusanya vyakula na kuwekaakiba ya siku za baridi namvua.

Masafa ya Imaan FM

Kigoma

Moro

Arusha

Ruvuma

Dsm

Mtwara

Mwanza

Tabora

Mbeya

1 Daresalaam 104.5 Mhz2 Morogoro 96.3 Mhz3 Arusha 90.8 Mhz4 Mwanza 105.6 Mhz5 Kigoma 92.5 Mhz

6 Tabora 101.6 Mhz

7 Mbeya 90.3 Mhz8 Dodoma 102 Mhz9 Ruvuma 94.2 Mhz10 Mtwara 90.9 Mhz11 Zanzibar 104.5 Mhz

12 Pemba 104.5 Mhz 

SISIMIZI

KONA YA WATOTO DARASA LA WIKI MATHEMATICS TEST NO.1

1.Add: 988 + 7753 =(a)8741 (b) 8641 (c) 8461 (d) 8441 (e) 8661 [ ]2. Simplify 0.075 ÷ 0.03 =(a) 35 (b) 45 (c) 25 (d) 15 (e) 27 [ ]3. Work out +117 ÷ (-9)(a) +13 (b) +14 (c) -15 (d) -13 (e) +18 [ ]4. Subtract 3.004 – 1.02 =(a) 11.984 (b) 19.84 (c) 1.894 (d) 1.984 [ ]5. Simplify +(a) (b) 91/12 (c) (d) (e) [ ]6.Work out x(a) (b) (c) 15 4/8 (d) (e) [ ]7. Divide 4059 ÷ 33 =(a)132 (b) 213 (c) 312 (d) 302 (e) 123 [ ]8. Subtract(a) (b) (c) (d) (e) [ ]9.Work out 24.41 – 2.2(a) 22.21 (b) 222.1 (c) 2.221 (d) 2221 (e) 322.1 []10.(a)(b) (c ) (d) (e) [ ]11. 6 x(a) (b) (c) (d) e) [ ]12. Change 30/50 into percentage(a) 70% (b) 55% (c) 20% (d) 60% (e) 64% []13. List down all the prime numbers between 20and 40(a) 23, 29, 31, 37 (b) 23, 27, 29, 39(c) 23, 25, 31, 35 (d) 23, 29, 31, 37 (e) 24, 26, 28,30 [ ]14. Write down all even numbers between 60

and 70(a) 61, 62, 63, 64, 67 (b) 62, 64, 66, 68(c) 63, 65, 67, 69 (d) 60, 65, 70 (e) 63, 66, 69 []

15. Find the highest common factor(H.C.F) of 36 and 42(a) 4 (b) 2 (c) 6 (d) 7 (e) 8 [ ]16. Change % as fraction in its lowestterm(a) (b) (c) (d) (e) [ ]17. Write 666 in roman numerals(a) CLDXVI (b) CLXII (c) DCLXVI (d) DCXLVI (e)CDLVI [ ]18. Find the square root of 324(a) 16 (b) 14 (c) 17 (d) 13 (e) 18 [ ]19. Find the square(a) (b) (c) (d) (e) [ ]20. Change 5.75% into decimal(a) 0.0575 (b) 0.575 (c) 00.0575 (d) 05.78 [ ]21. Find the next number in the series 3, 6, 11, 18 ……….

(a)19 (b) 21 (c) 25 (d) 27 (e) 30 [ ]22. the average of four numbers is 90,three number are 138, 40 and 102 find thefourth number.(a) 90 (b) 70 (c) 120 (d) 60 (e) 80 [ ]23.Find the lowest common factor of

18, 21 ad 30(a)630 (b) 126 (c) 670 (d) 250 (e) 640 [ 24. Find the value of (0.6)2(a) 036 (b) 0.36 (c) 360 (d) 30.6 (e) 3.6 [ 25. If m:56 = 7:8 find the value of m(a) 28 (b) 52 (c) 49 (d) 47 (e) 6 [ ]26. Simplify(a)80 (b) 70 (c) 60 (d) 40 (e) 110 [ ]27.Write 1988 into roman numeral(a) MCMLXXXVI II (b) MCLXXXVII I MMCLXXXVIII(d)CMMLXXXVIII (e) MCMXXXVIII [ ]28. Find the value of r in – 5 = 11(a)42 (b) 38 (c) 28 (d) 26 (e) 24 [ ]29. If a= 6, b= 2, c=1 find the value of 3b+c –  2a(a) (b) (c)(d)(e) [ ]30. Aman sold oranges for sh 1100/= he bothem at shs 1200/=, how much loss did he g(a)600/= (b) 400/= (c) 200/= (d) 100/= (e) 5]31. Find the value of 7 + 225(a) 23 (b) 22 (c) 24 (d) 26 (e) 27 [ ]32. Find the sum of ¼ of 1400 and of 9000(a)26700 (b) 21950 (c) 52100 (d) 2510022500 [ ]33. Amuriah got 33 questions out of 50 quesin mathematics work out her percentage sco(a) 66% (b) 67% (c) 76% (d) 60% (e) 5]34. ¾ of eggs in the box are good, the remafraction were broken. Find the fraction of bro

eggs.(a) 8/12 (b) 1/3 (c) ¼ (d) 2/5 (e) 1/15 [ ]45. The age of Rabibu is three times the age oyoung brother; If the sum of their age is 60Find the age of Rabibu.(a)45 yrs (b)35yrs (c)50yrs (d)40yrs (e)40y20yrs46. Find the speed of a school bus which cov64km in 4 hours.(a)16km/h (b)17km/h (c)15km/h (d)20k(e)14km/h47. Find the value of(a)(b) (c) (d) (e)

48.Find the length of a box if the height is and width 5cm of the volume is 240 cm3(a)13 cm (b) 12cm (c)14cm (d) 15 cm (cm

49. The volume of a cylinder is 1540cm2 it’s heis 10cm. Find the radius(a)14cm (b) 16cm (c) 21cm (d) 7cm (e) 8.cm

50. Ashura bought the following items;Find how much did she spend?2pencil @200/= 8 b o o@250/=, 20 exercise books @300 and 15 ru@50/=

7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3

http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 15/15

Vita ya Yemenni mkakati waIran kuenezaushia

Uk 10

8 Rajab 1436,  JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,

NA SELEMANI MAGALI

Kutokana na kuongezekakwa taasisi za kifedha zaKiislamu, ni suala lauchaguzi kuliko kulaz-

imika kwa Muislamu kushiriki kati-ka uchumi haramu wa riba. Wiki ili-

 yopita nilikitambulisha kwenu Cha-ma cha Ushirika cha Kuweka naKukopa cha TAMPRO. Leo na-

 watambulisha kwenu Saccos ny-ingine ya Kiislamu inayoitwa Kutay-

 ba.Kutayba ni SACCOS ambayo in-

amilikiwa na Baraza Kuu la Jumuiyana Taasisi za Kiislamu (BARAZA

KUU) ni taasisi inayoendana na halihalisi ya mahitaji ya Waislamu yakujikwamua kiuchumi bila kula aukuchangia riba. Tofauti na Saccosnyingine, Kutayba imeweza kwa ki-asi kikubwa kuwaunganisha watu

 binafsi na vikundi mbalimbali.Kwa mujibu wa Meneja Mkuu

 wa Saccos hiyo, Sheikh Jamali Nge- langela, Kutayba ilianzishwa miakaminne iliyopita na sasa ina wanach-ama takriban 12,000 waliowekezaamana zao katika matawi 52 na

 vikundi zaidi ya 102 Tanzania nzi-ma.

Sheikh Ngelangela anasema,matawi na vikundi ni moja kati yasiri ya mafanikio ya Kutayba kwanimtandao huo unarahisisha uende-shaji shughuli za chama, hususankatika kukusanya malipo yanayo-

 tokana na mikopo.

Kwa nini Saccos yaKiislamu?

Sheikh Ngelangela anasema,misingi ya SACCOS ya Kutayba nimakundi ya Waislamu waliojiungapamoja huko misikitini chini yamuongozo wa Baraza Kuu kwa len-go la kuinua uchumi wao.

Ngelangela anasema, jamii yaKiislamu imekuwa na changamoto

 ya kulazimika kushiriki katika uchu-mi wa riba iliyoharamishwa katikaQur’an 2:275, kinyume na matakwa

 yao kwa sababu ya kukosa

 taasisi za kifedha za

kiislamu. Anasema kutokana naumuhimu wa huduma za kifedhailikuwa ni lazima kujibu mahitaji ya

 Waislamu kwa kuanzisha chombo

ambacho kitaendesha shughuli zake bila riba na ndio maana Kutayba ili-anzishwa ili kuwajengea wananchiuchumi imara usio na riba.

Kutokana na umuhimu wa hu-duma hiyo, Saccos ya Kutayba imee-nea Tanzania nzima kasoro mikoamipya ya Simiyu na Njombe, hukuZanzibar wakiwa na tawi Unguja.

Huduma za Kutayba:Kuhusu madhumuni ya Saccos

hiyo, Sheikh Ngelangela amesema, wamekusudia kuinua uchumi wa wanachama wao kwa kuzingatiamafundisho ya Uislamu kupitia ku-

 toa mikopo bila riba, kupokea hisa,amana na akiba, sambamba nakuwakutanisha Waislamu ili kutan-

ua wigo wa kiuchumi na kufanyashughuli zingine halali kwa manu-faa ya wanachama. Ngelangelaamewataka Waislamu kujiunga naSaccos zinazofuata misingi ya Uisla-mu, kwani kufanya hivyo kuna faidanyingi kiuchumi na mbele ya Allah.

Mikopo inayotolewa na Kutaybani pamoja na mkopo wa biashara(Iqtiswaad) unaolenga kwa ajili yakuanzishia au kuendelezea biasharana mkopo wa uwezeshaji binafsi(Tasihiilul tausii’i) wenye lengo lakumsaidia mwanachama kimaen-deleo kama vile kununua sa-mani na ujenzi

 wa ny-

umba. Aina nyingime za mikopo, ni mko-po wa majanga (Tahaabuun) ambao nikwa ajili kutatua majanga, ikiwemo adaza shule na mkopo wa uwezeshaji Jumui-

 ya (Tamassakuun), ambapo wanachama walio katika vikundi wananufaika mojakwa moja.

Huduma nyingine ya mikopo inayo- tolewa na Saccos ya Kutayba ni mikopo yakuwezesha umma (Ta’awuun). Hii nimikopo midogo midogo kwa ajili ya watu

 binafsi na vikundi ambavyo si wanachma wa Kutayba Saccoss.

Saccos ya Kutayba pia inatoa huduma ya kujiandalia Hijja (Masuruful Hajj) am- bapo mwanachama anapata fursa ya ku- jiwekea akiba kidogo kidogo ili kwendaHijja. Ipo pia huduma ya zawadi kwa wa-

 toto (Hidayatul Atwifaal) ambayo inam-pa fursa mwanachama kufungua akauntikumuwekea akiba mtoto wake kwa ma-

 tumizi ya baadae kama vile ada. Ukiachahuduma hizo za kujiwekea fedha kwa

malengo maalum na mikopo, Saccos yaKutayba pia inatoa ruzuku kwa mwana-chama wao aliyefariki ama aliyefiwa(Takafuli) ikilenga kuonyesha kujali, ku-pendana na kuhurumiana kama Allah al-ivyoamrisha.

Sifa za Kujiunga: Ak iz un gu mz ia

Sifa za ku-

 jiunga na chama chao, Sheikh Nge- langela amesema mwanachama lazi-ma awe ni Muislamu aliyefikisha umri

 wa miaka 18. Hata hivyo, Sheikh Nge- langela anasema kuna mpango unas-ukwa ili kuwaruhusu wasio Waislamukufaidika na huduma za Saccos hiyo.

“Hapo awali tuliweka vigezo kuwamwanachama lazima awe Muislamukwa sababu asili ya kuanzishwa kwasacoss hii ni waislamu waliojiunga ka-

 tika vikundi huko misikitini, sasa kwasababu ya mahitaji, tunafikiria kupan-ua wigo wa kibiashara ili tuweze ku-

 wah udumi a na wal e wanao ami nikuwa haiwezekani kuendesha saccos

 bila ya riba” alisema.

Changamoto:Katika mazungumzo yake na gazeti

 la Imaan, Sheikh Ngelangela amese-ma, uendeshaji wa Saccos una changa-moto zake pia.

Miongoni mwa changamoto hizoni wanachama kuchelewa kurejeshafedha na tamaa ya baadhi ya wanach-ama ambao hukopa sehemu nyinginena kuweka akiba kwenye chama ili

 wawe na sifa ya kuko pesh eka kias ikikubwa. Anasema wanachama wal-iokopa sehemu nyingine wanajikutamatatani kwa kushindwa kulipa wad-eni wao.

Ili kuzipa nguvu zaidi Saccos za ki-islamu, Sheikh Ngelangela ame-

 washauri wafanyabiashara wakubwa wa Kiislamu kuangalia uwezekano wakutunza fedha zao katika Saccos hizokwani ni sehemu salama kwaamana zao.

Ijue Kutayba Saccos Ina wanachama zaidi ya 12,000Unaweza kuwekeza kwa ibada ya Hijja

HUDUMA

NYINGINE YA MIKOPO

INAYOTOLEWA

NA SACCOS

 YA KUTAYBA

NI MIKOPO YA

KUWEZESHA

UMMA

(TA’AWUUN)