jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya waziri...

187
i JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA TANDAHIMBA MKOA WA MTWARA MPANGO MKAKATI 2014 – 2018 Umeandaliwa na: Mkurugenzi Mtendaji (W) S.L.P.03 Simu: 0232410030 Kinukulishi 0232410030 Julai, 2013

Upload: others

Post on 30-Jan-2020

7 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

i

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA

MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA

TANDAHIMBA

MKOA WA MTWARA

MPANGO MKAKATI 2014 – 2018 Umeandaliwa na: Mkurugenzi Mtendaji (W) S.L.P.03 Simu: 0232410030 Kinukulishi 0232410030

Julai, 2013

2

Dibaji Muhtasari .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. i Shukrani .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. ii Makisio ya gharama za utekelezaji wa mpango .. .. .. .. .. .. .. iii 1.0 Utangulizi .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 1 1.1 Taratibu za Kisheria na Kisera .. .. .. .. .. .. .. .. 1 1.2 Mchakato wa Uandaaji wa Mpango .. .. .. .. .. .. .. 1 1.3 Mpango wenyewe .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 2 1.4 Mpangilio wa Ripoti (Mpango) .. .. .. .. .. .. .. .. 2 2.0 Hali ya Wilaya .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 3 2.1 Hali ya hewa .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 3 2.2 Maeneo ya Kiutawala .. .. .. .. .. .. .. .. .. 3 2.3 Idadi ya Watu .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 3 2.4 Shughuli za Kiuchumi .. .. .. .. .. .. .. .. .. 3 3. Hali Halisi ya Utoaji Huduma katika Wilaya .. .. .. .. .. .. 4 3.1 Shughuli za Kiuchumi .. .. .. .. .. .. .. .. .. 4 3.1.1 Kilimo .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 4 3.1.2 Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi .. .. .. .. .. .. .. .. 4 3.2 Huduma Za Jamii .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 5 3.2.1 Elimu Awali na ya Msingi .. .. .. .. .. .. .. .. 5 3.2.2 Elimu ya Watu wazima .. .. .. .. .. .. .. .. 5 3.2.3 Elimu ya Sekondari .. .. .. .. .. .. .. .. .. 6 3.2.4 Elimu ya Ufundi .. .. .. .. .. .. .. .. .. 7 3.2.5. Huduma za Afya .. .. .. .. .. .. .. .. .. 7 3.2.6 Maji .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 8 3.2.7 Mtandao wa Barabara na Ujenzi .. .. .. .. .. .. .. 8 3. 3.Huduma Nyingine .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 9 3.3.1 Ushirika .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 9 3.3.2 Maendeleo ya Jamii .. .. .. .. .. .. .. .. .. 9 3.3.3 Fedha na Biashara .. .. .. .. .. .. .. .. .. 10 3.3.4 Utawala na Utumishi .. .. .. .. .. .. .. .. .. 11 3.3.5 Ardhi, Maliasili na Mazingira .. .. .. .. .. .. .. .. 11 3.3.6 Manunuzi .. .. .. .. .. .. .. .. ..13 3.3.7 Sheria .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. ..15 3.3.8 Ukaguzi wa ndani .. .. .. .. .. .. .. .. ..15 4.0 Dira na Dhima .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 17 4.1 Maeneo ya matokeo Muhimu, Malengo mahsusi na Viashiria .. .. .. 18 4.2 Mikakati na Muda wa Utekelezaji .. .. .. .. .. .. ..18 4.3 Makisio ya gharama za utekelezaji wa mpango .. .. .. .. .. ..18 5. Sababu muhimu zitakazo saidia katika utekelezaji wa Dira na Dima ya Halmashauri –Viwezeshi na vikwamishi .. .. .. .. .. .. .. .. .. .. 19 6.0 Viambatisho( Mpango wenyewe) .. .. .. .. .. .. .. .. 20

3

Muhtasari Mpango Mkakati wa Miaka Mitano (2014-2018) wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba

unatoa mwelekeo wa vipaumbele vya Wilaya katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Mpango huu

umetengenezwa kwa kuzingatia, Dira ya Maendeleo Ya Taifa ya mwaka 2025, Ilani ya uchaguzi

ya CCM ya 2010, Mpango wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umasikini(MKUKUTA II), Sera

mbalimbali za Kisekta na Malengo ya Milenia. Na pia uandaaje wake umezingatia sheria ya Bunge

Kifungu cha 6 ya mwaka 1999 na Katiba ya Nchi Ibara namba 145 na 146 na Sheria inayounda

serikali za mitaa namba 7, 8, 9 na 10 ya mwaka 1982.

Mtazamo wa Mpango huu ni kutoa bora kwa Wananchi. Kwa ujumla Mpango huu pia huangalia

maswala Mtambuka kama vile jinsia, mazingira, na mapambano juu ya ukimwi na virusi vya

ukimwi. Kwa muhtasari Mpango huu wa miaka mitano 2014-2018 umetengenezwa kwa kuzingatia

mafanikio na changamoto zilizojitokeza katika kutekeleza Mpango Mkakati wa Kwanza wa

Halmshauri (2004-2008) ili kutoa msukumo na ari katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Ni

matumaini ya yangu kwamba Serikali Kuu pamoja Wadau wa maendeleo katika wilaya wataunga

mkono kwa hali na mali katika kufanikisha utekelezaji wa malengo na vipaumbele vilivyoainishwa

katika Mpango huu.

Mheshimiwa Ally N. Ndingo

Mwenyekiti wa Halmashauri

Julai 2013 i

4

SHUKURANI Kwa niaba ya Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba pamoja na menejimenti ya Wilaya,

ninapenda kuwashukuru wale wote ambao kwa njia moja au nyingine wamefanikisha zoezi la

uandaaji wa Mpango Mkatati wa Halmashauri yetu kwa Kipindi cha Miaka Mitano (2014-2018)

ijayo. Mpango huu ni mwongozo muhimu kwa Halmashauri katika utelezaji wa majukumu yake ya

kutoa huduma bora na kuwatumikia wananchi. Shukrani nyingi zimwendee Mheshimiwa Waziri

wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Hawa Ghasia(MP), Mwenyekiti wa

Halmashuri, Mheshimiwa Ali Ndingo, Wakuu wa Idara na Vitengo and wafanyakazi wote wa

Halmashauri ya Wilaya. Kujitoa kwao, ushauri na maoni yao ndiyo yamesaidia kufanikisha zoezi

zima la uandaaji wa Mpango Mkakati huu wa Halmashuri. Shukrani za dhati pia ziwaendeee wale

wote walioshiriki kwenye Warsha ya Wadau na Kikao cha Kazi cha Wakuu wa Idara na Vitengo.

Mwishoni kabisa ningependa pia kutoa shukrani zangu kwa Dk. Charles Tundui wa Chuo Kikuu

Mzumbe kwa kuwezesha zoezi la uandaaji wa Mpango Mkakati wa Halmashauri yetu. Kama

Halmashauri, tunategemea kuwa huu utakuwa ni mwanzo wa ushirikiano wa muda mrefu wa taasisi

zetu.

Abdallah H. Njovu

Mkurugenzi wa Wilaya Tandahimba

Julai 2013 ii

5

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI WA MPANGO

Bajeti ya jumla inayohitaji kutekeleza Mpango Mkakati (2014-2018) ni shilingi 178,376,938,436. Mahitaji ya kila idara yameonyeshwa kwenye jedwali lifuatalo hapo chini

ENEO LA HUDUMA Gharama za Utekelezaji % ya Bajeti yote

Afya 19,250,246,436 10.8

Elimu 8,286,100,000 4.6

Elimu ya Sekondari 5,917,430,000 24.8 Ardhi 1,952,400,000 1.1

Kilimo, Umwagiliaji na ushirika 71,529,280,000 40.1

Mifugo 1,695,200,000 1.0

Maji 15,238,200,000 9.5

Ujezi na Barabara 10,402,260,000 5.8

Fedha 627,700,000 0.4

Biashara 618,600,000 0.3

Uumishi na Utawala 149,700,000 0.1

Mipango 685,500,000 0.4

Misitu na Mazingira 235,200,000 0.1

Kitengo cha Nyuki 134,500,000 0.1

Wanyapori 107,000,000 0.1

Kitengo cha Kitengo cha sheria 379,250,000 0.2

Kitengo cha Ugavi na Manunuzi 296,000,000 0.2

Kitengo cha Ukaguzi wa ndani 182,700,000 0.1

Maendeleo ya Jamii 688,100,000 0.4

Jumla Kuu 178,376,938,512

100.0

iii

1

HALMASHAURI YA WILAYA TANDAHIMBA

MPANGO MKAKATI

1.0 Utangulizi

Huu ni Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba. Mpango huu ni wa pili (2)

tangu Halmashuri ilipoingia katika mchakato wa maboresho ya serikali za mitaa hapo mwaka 2003.

Lengo kuu la Mpango wa Maboresho ya Serikali za Mitaa Tanzania lilikuwa kuziwezesha serikali

za mitaa nchini kutoa huduma bora kwa wananchi zikishirikiana na wadau mbalimbali waliopo

katika Halmashauri hizo. Kwa hiyo ili kuleta ufanisi katika kutoa huduma bora kwa wananchi,

Serikali za Mitaa nchini zinahitajika kuwa na Mpango Mkakati wa Maendeleo. Kufuata utaratibu

huu kumetokana na ukweli kwamba Mpango Mkakati hutoa nafasi kwa Halmashauri kujitambua

kwamba yenyewe ni nini, inafanya nini na iko kwa ajili ya nani. Kwa kufuata Mpango Mkakati pia

kunaiwezesha Halmashauri kuwa na nafasi nzuri zaidi ya kuelewa kule inakoelekea kwa muda wa

miaka mitani ijayo, na ni kwa jinsi gani itafika huko. Mpango Mkakati pia huipa Halmashauri

nafasi ya kujitahmini ili kujua kwamba imefika huko iendako au la. Kwa upande mwingine kufuata

Mpango Mkakati katika utoaji wa huduma kunaiwezesha Halmashauri kuwa tayari kukabaliana na

mabadiliko ya taratibu pamoja na sera hasa katika ulimwengu wa Utandawazi. Kwa kufuata

utaratibu wa Mpango Mkakati, Halmashauri inaweza kujiwekea vipaumbele, kufanya maamuzi

kwa kuangalia na kuzingatia matokeo ya baadaye ya maamuzi ifanyayo sasa, na kujiweka katika

hali ya utayari wa kukabiliana na mabadiliko ya ndani au ya nje. Kwa hiyo uandaaji wa Mpango

huu umezingatia mambo hayo muhimu hapo juu kwa kuangalia maeneo ya utoaji huduma katika

Halmashauri.

1.1 Taratibu za Kisheria na Kisera

Mpango Mkakati wa Halmashauri ya Wilaya Tandahimba kwa mwaka 2014-2018 umeandaliwa

kwa kuzingatia taratibu za nchi za kisheria na kisera. Kwa hiyo uandaaji wake umezingatia:

� Dira ya Maendeleo Ya Taifa ya mwaka 2025

� Ilani ya uchaguzi ya CCM ya 2010,

� Mpango wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umasikini(MKUKUTA II)

� Sera mbalimbali za Kisekta na

� Malengo ya Milenia.

Na pia uandaaje wake umezingatia sheria ya Bunge Kifungu cha 6 ya mwaka 1999 na Katiba ya

Nchi Ibara namba 145 na 146 na Sheria inayounda serikali za mitaa namba 7, 8, 9 na 10 ya mwaka

1982.

2

1.2. Mchakato wa Uandaaji wa Mpango

Ili kufikia hatua ya mwisho ya uandaaji wa Mpango huu, hatua mbili muhimu zimepitiwa. Katika

hatua ya kwanza, Wakuu wa idara/vitengo walifanya tathmini na uchambuzi wa utekekelzaji wa

Mpango Mkakati wa kwanza wa Halmshauri (2004-2009) pamoja na hali ya utoaji huduma katika

Halmashauri, kwa lengo la kubaini mafanikio na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji

wake. Matokeo ya tathmini na uchambuzi huo yaliwasilishwa kwenye kikao cha Wadau wa

Halmashauri kilichofanyikwa kwa siku mbili wilayani Tandahimba kati ya tarehe 14 na 15 ya

Mwezi Juni 2013. Katika warsha hiyo, wadua kwa pamoja walipata fursa na kujadili chamngamoto

hizo. Katika warsha hiyo pia wadau walipata nafasi ya kubuni malengo, kubaini vipaumbele na

kuweka mikakati kwa ajili ya Mpango Mkakati wa Pili wa Halmashauri (2014-2018) ili kuteleza

dira na kufikia dhima ya Halmashauri.

1.3. Mpango wenyewe

Uandaaji wa Mpango huu hasa ulizingatia matokeo na maamuzi ya warsha ya Wadau. Kwa

kuzingatia hilo Wakuu wa Idara pamoja na Vitengo kwa pamoja waliangalia na kuhakiki malengo,

vipaumbele, mikakati na viashiria kama vilivyoainishwa na wadau. Pia walifanya uhakiki wa

utekezaji wa mikakati hiyo kwa kuangalia vyanzo mbalimbali vya mapato vya Halmashuri.

Mchakato wa uandaaji wa Mpango huu ulifanyika kuanzia tarehe 17 -22 Juni 2013.

1.4. Mpangilio wa Ripoti (Mpango)

Mpango huu una sehemu sita (6). Sekemu ya kwanza ni utangulizi na utaratibu uliotumika katika

uandaaji wa mpango. Sehemu ya pili ni muhtasari wa hali ya Halmashauri(Council profile), na

sehemu ya tatu inatoa hali halisi ya utoaji huduma katika katika Halmashauri. Sehemu ya nne

inaelezea Dira na Dhima ya Halmashauri kama ilivyohusihwa kwenye Kikao cha Wakuu wa

idara/vitengo. Sehemu hiyo pia inatoa malengo mkakati, viashiria, mikakati, pamoja muda wa

utekelezaji wa mikakati hiyo kwa kila sekta au eneo la huduma na vyanzo vya fedha kwa kwa

utekelezaji wa mikakati mbalimbali.

Sehemu ya tano inatoa mambo yale ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza kuathiri

utekelezaji wa mpango huu kwa ujumla wake. Na sehemu ya mwisho kuna viambatisho.

3

2.0 Hali ya Wilaya

Wilaya ya Tandahimba ni mojawapo ya wilaya tano za mkoa wa Mtwara. Wilaya inapakana na

Wilaya ya Newala kwa upande wa magharibi, Wilaya ya Mtwara Vijini kwa upande wa mashariki,

Mkoa wa Lindi upande wa kaskazini na Mkoa wa Ruvuma kwa upande wa kusini. Wilaya ina

jumla ya eneo la mraba la kilomita 167,331. Kati ya hizi hekta 166,535 zinafaa kwa kilimo. Hata

hivyo in hekta129,507 ambazo zinalimwa.

2.1 Hali ya hewa Wilaya ipo mita 900 juu ya usawa wa bahari na pia ina eneo kubwa lenye uwanda wa Savanna wa

Makonde pamoja na aina mbalimbali za nyasi na vichaka. Wilaya inapata mvua za wastani kati ya

800mm – 900 mm kwa mwaka. Wilaya pia ina msimu mmoja tu wa mvua ndefu zinazonyesh

kipindi cha Novemba - Mei. Kipindi cha ukavu huanza katikati ya mwezi Mei mpaka Oktoba.

Kiwango cha nyuzi joto ni kati ya nyuzi 21 katika mwezi wa Juni na nyuzi 28 katika mwezi wa

Oktoba.

2.2 Maeneo ya Kiutawala

Kiutawala wilaya imegawanyika katika tarafa 3 , kata 30, vijiji 157 na jimbo moja la uchanguzi

2.3 Idadi ya Watu

Kulingana za hesabu ya watu ya mwaka 2012, wilaya ina jumla ya watu 227,514. Kati ya hawa

wanaume ni 105,322 na wanawake ni 122,192. Wilaya ina kaya 56,878 zenye wastani ya watu 3.7

kwa kila kaya.

2.4 Shughuli za Kiuchumi

Shughuli kuu za kiuchumi katika wilaya ni kilimo ambacho kinachangia asilimia 75 ya pato la

wilaya. Mazao yanayolimwa ni pamoja na mihogo, mahindi, mtama na mpunga. Mazoa ya

biashara ni korosho, karanga, ufuta. Kulingana na takwimu, pato la mwananchi katika wilaya (per

capita income) kwa mwaka 2012, linakisiwa kuwa ya kati ya 230,000 na 350,000. Sababu zinazo

changia umaskini katika wilaya ni pamoja na zana duni la uzalishaji, miundo mbinu hafifu na mila

na desturi zinazopinga maendeleo.

4

3. Hali Halisi ya Utoaji Huduma katika Wilaya

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba kama zilivyo halmashauri nyingine nchini inakabiliwa na

changamoto nyingi katika pamoja na raslimali katika kuwaletea wananchi wake maendeleo. Kwa

hiyo ina lazimika kutegemea serikali kuu kwa ajili ya ruzuku ili kuendesha shughuli zake za

maendeleo. Hali hii imesababisha utoaji wa huduma usiokidhi mahitaji. Hata hivyo wilaya inazo

fursa nyingi ambazo inaweza kuzitumia kuwaletea wananchi wake maendeleo. Muhtasari ufuatao

unatoa hali halisi ya utoaji huduma katika wilaya:

3.1 Shughuli za Kiuchumi

3.1.1 Kilimo

Kam ilivyokwisha kuanishwa hapo juu, wilaya ina jumla ya eneo la mraba la kilomita 167,331.

Kati ya hizi eneo linalofaa kwa kilimo ni hekta 166,535. Hata hivyo hekta129,507 tu ambazo ziko

chini ya shughuli za kilimo. Mazao yanayolimwa ni pamoja korosho, muhogo, mtama, mpunga,

ufuta, nazi na mengineyo.

Baadhi ya mafanikio ni pamoja na kuongeza uzalishaji wa mazao ya biashara kama vile

uzalishajiwa korosho kutoka tani 15,282 mwaka 2005 hadi kufikia tani 47,682 mwaka 2011/2012

na inakadiliwa kufikia tani 80,000 ifikapo mwaka 2018/2019, kuongeza uzalishaji wa karanga

kutoka kutoka tani 1271 mwaka 2004/2005 hadi tani 3,129 mwaka 2011/2012. Wilaya pia

imefanikiwa kuanzisha jumla ya vituo 3 vya kutolea elimu (resource centres) na kuimarisha

udhibiti wa visumbufu vya mazao na mimea. Wilaya pia inatekeleza miradi mitatu (3) ya

umwagiliaji katika maeneo ya ya Litehu, Lipalwe na Ng’apa. Miradi hii imeshaunda umoja wa

umwagiliaji na kusajiliwa kisheria. Jumla ya wanachama katika miradi yote mitatu ni 201. Miradi

inakamati za usimamizi na zina akaunti Benki.

3.1.2 Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

Wilaya ina jumla ya ngombe 319 wa maziwa, mbuzi 289,975, kondoo 53,436 na wanyama

wengineo. Lengo ni kuwa na miundombinu muhimu kwa ajili ya kuendeleza tasnia ya mifugo. Ili

kutekeleza sheria ya nyama No. 10 ya mwaka 2006 ya kuhakikisha kuwa nyama inayoliwa ni

salama. Halmashauri kupitia idara ya Mifugo na Uvuvi imejenga machinjio 2, malambo 3 kwa ajili

ya kunyweshea maji mifugo yamejengwa na kujenga kliniki mojakwa ajili kutambua kimaabara

magonjwa ya mifugo.

Kwa upande wa uvuvi, idara imefanikiwa kutoa elimu juu ya ufugaji bora wa samaki kwa wafugaji

binafsi nakushauri wafugaji kuchimba mabwa wa kwa ajili ya kufuga samaki.

5

Baadhi ya changamoto zinazoikabili wilaya katika mifugo ni pamoja na upungufu wa maafisa

ugani ambao idadi yao haitoshi kusimamia shughuli za kilimo na mifugo na uvuvi katika wilaya,

ufinyu wa bajeti ili kununua chanjo na mafuta ili kuwafikia wafugaji wengi zaidi pamoja na bei

kubwa ya chanjo.

Kwa hiyo Wilaya inakusudia kuimarisha huduma za ugani kwa wafugaji. Hii ni pamoja na

kuongezeka kwa uzito wa ng’ombe kutoka kilo 250 hadi 350, kuongeza uzalishaji wa maziwa kwa

ng’ombe kwa mwaka kutoka lita 400 hadi 2000, na kuongezeka kwa mbuzi walioboreshwa

kutoka 217 – 3800 ifikapo 2018ifikapo mwaka 2018. Wilaya pia inalenga kuongeza idadi ya vijiji

vilivyotenga maeneo ya malisho na kuanzishwa kwa vikundi vya wafugaji vitano (5) vinavyotumia

nishati ya gesi (Bio-gas) ya kupikia ifikapo 2018.

3.2 Huduma Za Jamii

3.2.1. Elimu Awali na ya Msingi

Kwa upande wa elimu ya msingi, wilaya ina jumla ya shule 118. Shule hizi zina jumla ya

wanafunzi 37232 . Kati ya hawa wavulana ni 20,030 na wasichana ni 17,199. Aidha, kuna shule za

Awali 108 na vituo vya walimu 5. Kwa sasa kuna jumla ya walimu 998, kati yao 957 ni walimu

walio vituoni wanafundisha, 30 ni waratibu wa kata na 11 wapo ofisini.

Uandikishaji katika shule za msingi uko kwenye asilimia 82%, wakati utoro uko asilimia 44%.

Kwa upande mwingine kiwango cha kufaulu darasa la saba mwaka 2012 kilikuwa ni asiliamia

46.6%. Kati ya hawa ni asilimia 49% tu ambao walichaguliwa kujiunga na shule ya sekondari.

Viashiria vya utoaji wa huduma katika elimu ya msingi ni kama inavyoonekana hapo chini.

Jedwali 1: Majengo na samani

Aina ya samani Mahitaji Hali halisi Upungufu Asilim ia Madawati 22,638 18,264 4,374 19.3 Meza 2647 963 1684 63.6 Viti 2958 116 2842 96.0 Makabati 1628 173 1455 89.3 Aina ya majengo Nyumba za Walimu 1320 228 1092 82.7 Vyumba vya madarasa

1182 771 411 34.7

Vyoo wavulana 872 371 501 57 Vyoo wasichana 1079 380 699 64.7

6

3.2.2 Elimu ya Watu wazima

Wilaya imekuwa na mipango madhubuti ya kumpatia mtu mzima elimu kupitia programu

mbalimbali za Elimu ya watu Wazima kama ifuatavyo:

Mpango wa elimu kwa walioikosa(MENKWA), Kisomo chenye manufaa (Kumekuwa na madarasa

kwenye vijiji vya Pemba, Majengo, Namdowola, Mitondi A na Mitondi B), Mpango wa uwiano

kati ya elimu ya watu wazima na jamii(MUKEJA) na kisomo cha kujiendeleza (KCK).

Changamoto zinazoikabili wilaya katika utoaji wa elimu ni pamoja na mwamko mdogo wa

kieliemu katika jamii, ukosefu wa madarasa ya elimu ya watu wazima, walimu wenye sifa,

upungufu wa nyumba za walimu, ofisi na vifaa vya kufundishia na utoro.

Baadhi ya malengo katika kipindi hiki cha mpango ni pamoja na kuongeza idadi hiyo ya madarasa

katika kila shule ya msingi, kuongeza idadi ya watoto wanaosajiliwa wenye umri wa kwenda

shule kutoka 83% hadi 94% ya wanaoandikishwa, kupunguza utoro shuleni, kuongezwa idadi ya

madarasa yanayojengwa, nyumba za walimu, ukarabati wa majengo na ujenzi wa matundu ya vyoo.

3.2.3 Elimu ya Sekondari

Kuna jumla ya shule za sekondari 26 zinazomilikiwa na Halmashauri ya wilaya ya Tandandahimba.

Shule hizi ni za kutwa na zina mikondo ya kidato cha kwanza hadi cha Nne. Wilaya pia ina shule

moja yenye mikondo ya kidato cha tano na sita. Hata hivyo kwa mwaka 2012 shule hiyo

haijapangiwa wanafunzi wa vidato hivyo kutokana na ufaulu mdogo wa wanafunzi wa kidato cha

nne nchini. Ufaulu kwa kidato cha nne kwa mwaka 2012 ulikuwa asilimia 12 tu ya watahiniwa

wote, na kidato cha pili ulikuwa asilimia 36% tu . Takwimu za wanafunzi kwa mwaka 2013

zinaonesha kuwa shule za sekondari zina jumla ya wanafunzi 9,896. Kati ya hawa wavulana ni

5,277 na wasichana ni 4,619. Katika mwaka 2012 kiasi cha wanafunzi 2323 walichaguliwa

kujiunga na kidato cha kwanza. Na ni wanafunzi 1552 (66.8%) tu ambao walijiunga na masomo ya

sekondari.

Kwa upande wa walimu Wilaya ya Tandahimba ina jumla ya walimu 259. Kati ya hawa wanaume

ni 199 na wanawake ni 60. Hata hivyo wengi wa walimu waliopo ni wa masomo ya sanaa.

Changamoto nyingine zinazoikabili wilaya ni pamoja na utoro wa wanafunzi, ulipaji wa kusuasua

wa karo za wanafunzi na ushirikiano mdogo kwa baadhi ya wazazi,walimu au uongozi wa shule

katika masuala ya elimu. Wilaya pia inakabiliwa na wimbi la walimu kuomba kuhama kutokana na

mazingira magumu wanayokabiliana nayo katika shule hasa ukosefu wa nyumba za kuishi hasa

kwa maeneo ya vijijini ambako hakuna nyumba za kupanga walimu.

7

Halmashauri kwa kutambua changamoto wanazo kumbana nazo wanafunzi wa kike kwa

kushirikiana na wananchi imeweza kujenga majengo ya Hostel katika baadhi ya shule za sekondari

kama vile Mkonjowano, Dinduma,Kitama, Luagala,Mahuta na Ngunja kwa lengo la kuwasaidia

wanafunzi wa kike ili waweze kuishi shuleni. Hata hivyo hosteli hizi hazitumiki kikamilifu kwa

maana ya wazazi/walezi hawapendi kuwaruhusu watoto wao kuishi shuleni. Hali ya miundo mbinu

ni kama ifuatavyo:

Jedwali 2: Miundombinu-Elimu ya Sekondari

MAHITAJI MAHITAJI Hali halisi UPUNGUFU % (VILIVYOPO )

Nyumba 259 74 185 16.81

Madarasa 256 203 53 71.47

Matundu-vyoo 334 247 87 26.04

Maabara 78 06 72 7.69

Hostel 52 06 46 11.53

Majengo ya utawala 26 12 14 46.15

Katika kipindi hiki cha mpango pamojana mambo mengine wilaya inalenga kuongeza kiwango

ufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha pili na cha nne, kuongeza idadi ya wanafunzi wanaosajiliwa

kujiunga na kidato cha kwanza kwa wanafunzi wanaokuwa na sifa za kujiunga kidato cha kwanza,

kuongeza idadi ya walimu walioajiriwa na madarasa na nyumba za walimu.

3.2.4. Elimu ya Ufundi

Wilaya ina vyuo viwili vya elimu ya ufundi. Vijana wanaomaliza darasa la VII hujiunga na vituo

vya ufundi stadi vilivyopo Matogoro na Luagala Mission na kupata mafunzo ya ufundi seremala,

uashi na sayansi kimu.

3.2.5. Huduma za Afya

Wilaya ya Tanndahimba ina jumla ya vituo 34 vya kutolea huduma za afya. Hii ni pamoja na Hospitali moja inayomilikiwa na serikali, vituo vya afya 3 kimoja kati ya vituo hivyo kinamilikiwa na shirika la Kanisa la Katoliki na vituo vingine 2 vinamilikiwa na serikali.Pia kuna zahanati 30, zahanati 29 kati ya hizo zinamilikiwa na serikali na moja inamilikiwa na mtu binafsi. Pia kuna maduka ya dawa baridi 27.

Jedwali 3: Huduma za Afya katika Wilaya ya Tandahimba

Huduma Serikali Za kidini Binafs1 Jumla

Hospitali 1 - - 1

Vituo vya Afya 2 1 3

Zahanati 29 1 30

Total 32 1 1 34

8

Viashiria vingine vya utoaji huduma ya afya ni kama inavyoonekana kwenye majedwali

tafuatayto.

Hali halisi Lengo

Vivyo vya akina mama

Wakati wa kujifungu :140 / 100,000 100/100,000

Vifo vya watoto chini ya miaka mitano : 400/1000 200/1000

Huduma ya uzazi wa mpango : 65% 75%

Maambukizi ya virusi vya ukimwi : 3% 1%

Vifo vinvyosababishwa na Malaria : 51 30

Kaya zenye vyoo bora : 30% 65%

Baadhi ya matatizo yanaikabili wilaya katika utoaji wa huduma ya afya ni pamoja na upungufu wa

fedha, wataalamu wa kutosha na sifa, upungufu wa madawa na vitendea kazi. Kwa hiyo Wilaya

inakusudia kuimarisha utaoji wa huduma kwa kujiri wataalamu zaidi nakuongeza idadi ya vitendea

kazi.

3.2.6 Maji

Takwimu za mahitaji ya maji katika Wilaya bado hazijulikani.Hata hivyo uzalishaji wa smaji

hautoshelezi matumizi ya wakazi katika wilaya. Tatizo kubwa ni kwamba Wilaya haina chanzo

chake chenyewe cha maji.

Kuzingatia hali hapo juu, halmshauri inakusudia kuaongeza huduma ya maji kwa wananchi kwa

kuileta huduma hiyo karibu na walipo. Hii ni pamoja na kuimarisha kamati na mifuko ya maji.

Wilaya pia inakusudia kuanzisha Mamlaka na bodi ya maji ya wilaya. Katika kipindi hiki cha

mpango, Wilaya inakusudia kuanzisha miradi mipya ya maji kwenye vijiji 50, kuwaelimisha

wananchi juu ya teknolojia rahisi na sahihi ya uvunaji maji katika vijiji 30 na Kuunda Mamlaka ya

Maji na Jumuiya 30 za watumia maji .

3.2.7 Mtandao wa Barabara na Ujenzi

Wilaya ya Tandahimba ina jumla ya km 1276 za mtandao wa barabara na kati ya hizo km 70 ni za

Kitaifa, km 225 ni za Kimkoa na km 981 ndizo zinahudumiwa na Halmashauri,ambapo kati ya hizo

km 98.06 ni za kiwango cha kifusi na km 882.94 ni za kiwango cha udongo. Kila mwaka

matengenezo yanayofanyika ni wastani wa km 370 tu . Aidha barabara zinazopitika kwa kipindi

chote cha mwaka ni asilimia sabini na tano (75%). Wilaya pia ina jumla ya makalvati 89

yaliyojengwa, na kati ya hayo makalvati 16 yanahitaji kufanyiwa ukarabati na mengine kujengwa

upya. Hata hivyo kutokana na uhaba wa fedha barabara hizo hazifanyiwi matengenezo ya mara

9

kwa mara. Kwa upande mwingine, Wilaya haina usafiri wa kuaminika kwa ajili ya usimamizi

kutokana na uchakavu wa gari lilipo na uhaba wa vifaa.

Kwa upande wa ujenzi, Idara ya ujenzi kupitia kitengo cha majengo kinashughulika na usimamizi

na ukaguzi wa majengo ya serikali na ya watu binafsi ili yaweze kujengwa katika viwango na

ubora unaotakiwa. Pamoja na kazi hizo za kitengo cha majengo, idara inashughulika pia na

kukagua na kupitisha michoro ya majengo ya serikali na ya watu binafsi ili yajengwe katika ubora.

Hata hivyo zoezi hilo limekosa ushirikiano kutoka kwa baadhi ya wananchi pale wanaposhauriwa

juu ya ujenzi wa nyumba zenye viwango na ubora unaotakiwa.

Katika kipindi hiki cha Mpango, Wilaya inakusudia kuongeza matengenzo ya barabara ikiwa ni

pamoja na ujenzi wa barabara mpya, ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua na uwekaji wa alama za

usalama barabarani.

3. 3.Huduma Nyingine

3.3.1 Ushirika

Wilaya na jumla ya vyama vitano (5) vya kuweka na kukopa (SACCOS) vilivyoandikishwa na

kusajiliwa. Jumla ya wanachama wa vyma hivi ni 220.

Matatizo makubwa yanayoikabili idara ni pamoja na ukosefu wa wataalamu wa kutosha,

kukosekana kwa huduma za ukaguzi na mafunzo kwa wataalamu. Kwa hiyo lengo kubwa ni

pamoja na kuongeza idadi ya wataalamu wa ushirika, kutoa mafunzo kwa wanachama, kuimarisha

shughuli za ukaguzi wa vyama na kufanya uchaguzi kwa kufuata sheria.

3.3.2 Maendeleo ya Jamii

Idara ya maendeleo ya jamii inahusika zaidi katika kuwahamasisha wananchi katika kujiletea

maendeleo yao wenyewe kwa kutumia rasilimali walizo nazo. Hii ni pamoja na uanzishaji wa

vikundi mbalimbali vya uzalishaji. Katika kutekeleza majukumu yake Idara imeweza kusajili

vikundi 900 vya uzalishaji mali vya vijana, vijana 175 wameunganishwa na SACCOS za ufugaji

nyuki za Tandahimba na Chingungwe. Elimu ya ujasilimali imetolewa kwa vijana 2000 kwa

kushirikiana na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali.

Kwa upande wa akina mama Wilaya imefanikiwa kutoa mikopo yenye riba nafuu kwa vikundi 67

yenye thamani Tsh 100,000,000/= toka mwaka 2008 hadi mwaka 2012, vikundi 1200 vya

wajasiliamali wanawake vimesajiliwa ngazi ya wilaya na VICOBA 300 vya wanawake

vimeanzishwa kuwawezesha wanawake kuweka na kukopa kwa riba nafuu.

10

Katika juhudi za kupambana na maambukizi ya virusi vya ukimwi, wilaya kupitia idara hii

imeweza kutoa elimu kwa wamama pamoja na vijana juu namna ya kujikinga na UKIMWI.

Wilaya pia imetoa mafunzo kwa makungwi na mangariba ili kuzuia mila potofu zinazochangia

maambukizi. Pamoja na mambo mengine, Wilaya pia imefanikiwa kuendesha makongamano ya

kupinga ukatili wa kijinsia.

Pamoja na mafanikio hayo, wilaya imeshindwa kutekeleza majukumu yake kama inavyostahili

kutokana na uhaba wa watumishi. Kwa mfano idara ina watumishi 16 tu. Huu ni upungufu wa

watumishi 23 wanaohitajika kulingana na sera ya maendeleo ya jamii inayotaka kila kata kupata

afisa maendeleo ya jamii. Idara pia inakabiliwa na ujereshaji hafifu wa mikopo ya wamama na

vijana. Na pia kwa upande wa vijana vikundi vingi vilivyosajiliwa haviko hai kutokana na vijana

wengi kukimbilia mijini na ufinyu wa bajeti ya mikopo kwa vijana. Wilaya pia imeshindwa kupata

mikopo yenye riba nafuu ya wanawake kutoka wizarani kutokana na kusitishwa kwake. Hii ni

pamoja na wilaya kushindwa kutenga asimilia 15 ya mapato yake ili kutoa mikopo kwa akina

mama.

Katika kipindi hiki cha mpango, Halmashauri inakusudia kuongeza urejeshaji wa mikopo ya vijana

na akina mama kwa wakati. Ili kutimiza lengo hilo mikopo ya wanawake na vijana itakuwa

inatolewa kupitia benki ya wananchi TACOBA. Wilaya pia inalenga kuongeza idadi ya vikundi

vya ujasiliamali vya wanawake na vijana vinavyopewa mkopo. Hii ni pamoja na kuwapa mafunzo

ya jinsi ya kuendesha biashara, kuongeza idadi ya watumishi wa idara, kuanzisha baraza la wazee

nk.

3.3.3 Fedha na Biashara

Kulingana na utaratibu na usimammizi wa fedha kama ilivyoainishwa kwenye Waraka wa pesa za

serikali za mitaa (Local Authorities Financial Memorandum made under the local Govt. Finance

Act No. 9 of 1982) majukumu makubwa ya idara ni:-

� Kuishauri Halmashauri katika masula yote yanayohusu pesa

� Kusimamia na kuhahakikisha sheria na kanuni za fedha zinafuatwa

� Kusimamia na kukusanyaji wa mapato ya Halmashauri

� Kusimamia na kuhakikisha matumizi yote ya pesa za Halmashauri yanafanyikga kulingana na

bajeti pamoja na mipango ya utekelezaji iliyopitishwa.

� Kuandaa mihutasari ya mapato na matumuizi ya pesa za Halmashauri kila mwaka na kuikabidhi

kwa Mkagiuzi Mkuu wa Serikali

11

Tatizo kubwa linaloikabili idara ni pamoja na ukosefu wa fedha za shughuli za idara pamoja na

usafiri. Kulingana na majukumu hayo hapo juu, idara inakusudia kuongeza ukusanyaji wa mapato

ya Halmshauri, kutoa huduma bora kwa wananchi na kuhakikisha kanuni na taratibu za fedha

zinafuatwa.

Biashara

Kitengo cha Biashara kina simamia taratibu na sheria za Biashara pia kusimamia

Wafanyabiashara katika Wilaya. Aidha kitengo kinasimamia maswala ya ulipaji kodi kwa hiari

pamoja na kukata leseni za biashara. Kitengo cha Biashara kinafanya shughuli za kukagua bei za

bidhaa mbalimbali na kufuatilia ushuru wa Halmashauri kutoka kwa wafanyabiashara mbalimbali.

Wilaya ya Tandahimba ina jumla ya wafanya biashara wa maduka 868, Nyumba za kulala wageni

14, Mashine za kukoboa na kusaga nafaka 94,Vituo vya mafuta 3, Biashara za Bar na Grocery 5 na

wafanyanyabiashara ndogondogo 609 ambao wanatambulika na kulipa ushuru na kodi mbalimbali.

Vyanzo vya Mapato vya Halmshauri

Zaidi ya 80% wananchi wa Wilaya ya Tandahimba wanategemea kilimo. Kwa hiyo mapato ya

wilaya kwa sehemu kubwa pia yanategemea shughuli hii(75% ya mapato yote). Asilimia inayobaki

inatokana na vyanzo vingine kama biashara. Vyanzo hivi ni pamoja na mapato kutoka kwenye

maduka, migahawa, vioski , mashine za kusaga nafaka, gereji, nyumba za kulala wageni na

maduka ya dawa baridi. Hata hivyo vyanzo hivi vimekuwa havitoshelezi mahitaji ya Wilaya. Kwa

hiyo wilaya kwa sehemu kubwa imekuwa ikitegemea ruzuku toka serikalini pamoja na wafadhili

wengine kwa jili ya shughuli zake za maendeleo.

3.3.4 Utawala na Utumishi

Idara hii inatoa huduma zifuatazo kwa watumishi wa Halmashauri:

Kutafsiri sheria, kanuni na taratibu za kiutumishi kwa watumishi wa Serikali ya Jamhuri ya

Muungano wa Tanzania, kutekeleza huduma ya utawala bora kwa wananchi na watumizhi wa

Halmashauri ya wilaya Tandahimba.

Idara pia inahusika kutoa huduma ya Afya kwa watumishi wanaoletwa na Serikali ya Ajira pamoja

na Wizara mbalimba za Tanzania na kutekeleza maagizof yote yanayotolewa na Mkurugenzi

Mtendaji (W).

Kwa upande wa watumishi Halmashauri ina jumla ya watumishi 1673. Hawa ndiyo watumishi

wanaotarajiwa kutekeleza malengo yalioaninishwa katika Mpango Mkakati. Hata hivyo idadi yao

12

ni ndogo uikilinganisha na mahitaji halisi kama ikama ya Halmashauri inavyoonesha hapo chini.

Kuna upungufu katika baadhi ya idara, kiasi cha kuasiri utoaji huduma katika idara husika. Idara

ambazo zina upungufu mkubwa ni pamoja na Usafi na Mazingira, Maji na Ustawi wa Jamii na

Vijana. Kwa mantiki hiyo, ili kutekeleza malengo yaliyoainishwa kwenye Mpango Mkakati huu

Halmashauri inawajibika kuajiri watumishi zaidi. Jedwali lifuatalo linaonyesha ikama ya

Halmashauri ya andahimba.

Jedwali 4: Ikama ya Halmashauri

Idara Wanaohitajika Waliopo Upungufu % ya

upungufu

1 Utawala na Utumishi 98 56 42 42.9

2 Mipango, Takwimu na ufuatiliaji 4 2 2 50.0

3 Elimu ya Msingi 1498 968 530 35.4

4 Elimu ya Sekondari 440 260 180 40.9

5 Afya 400 244 156 39.0

6 Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa

Jamii na Vijana

38 14 24 63.2

7 Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika 98 56 42 42.9

8 Mifugo na Uvuvi 24 14 10 41.7

9 Ardhi na Maliasili 22 15 7 31.8

10 Usafi na Mazingira 35 7 28 80.0

11 Maji 15 6 9 60.0

12 Fedha na Biashara 15 15 0 0.0

13 Ujenzi 17 10 7 41.2

14 Kitengo cha Ufugaji na Nyuki 3 0 3 100.0

15 Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani 3 2 1 33.3

16 Kitengo cha Sheria 2 0 2 100.0

17 Kitengo cha Ugavi na manunuzi 5 4 1 20.0

18 Kitengo cha Uchaguzi wa ndani 1 0 1 100.0

19 Kitengo cha Teknolojia, habari,

mawasiliano na uhusiano

1 0 1

100.0

Jumla 2719 1673 1046 38.5

13

3.3.5 Ardhi, Maliasili na Mazingira

Jukumu kubwa la idara ya ardhi, maliasili na mazingira ni kuwawezesha wananchi kuitumia ardhi

kama rasilimali katika kuwaletea wananchi maendeleo katika hali endelevu. Kwa sasa wilaya

inavyo viwanja 6325 vilivyochorwa na 3015 vilivyopimwa na kugawiwa kwa waombaji. Na pia

halmshauri imefanikiwa kuandaa na kutoa jumla hati 500 kwa wamiliki wa ardhi mjini. Kwa

upande wa umilikishaji ardhi vijini, Halmashuri imefanikiwa kupima jumla ya vijiji 140, na jumla

ya vijiji 8 vimeshaandaa mipango ya matumizi bora ya ardhi. Kwa upande wa upimaji Upimaji wa

mashamba ya Wananchi, Jujla ya mashamba 267 yamepimwa na hati 194 kuandaliwa. Pamoja na

mafanikio hayo Halmashauri imekuwa na changamoto zifuatzo: uchache wa wataalamu (upimaji na

utoaji miliki ardhi) na ulipaji wa fidia hasa fidia ya ardhi na mazao ni kubwa.

3.3.5.1 Sekta ya Maliasili

Sera ya Taifa ya Misitu ya mwaka 1998 ilalenga kuhakikisha jamii inatambua na kushiriki

kikamilifu katika uhifadhi na utumiaji wa rasilimali za misitu kwa maendeleo endelevu kwa vizazi

vilivyopo na vijavyo. Wilaya ya Tandahimba ina aina mbalimbali ya maliasili pamoja na vivutio

vya kitalii hii ni pamoja na mazao ya misitu, wanyama pori, samaki na nyuki na aina mbalimbali za

madini. Hata hivyo bado vivuito mbalimbali vya kitalii havijaendelezwa. Wilaya ya ina hifadhi ya

misitu ya ukubwa wa heka 149,320.8 Mafanikio yaliyopatikana ni pamoja na jumla ya vijiji 10

kushiriki katika mpango wa uhifadhi wa misitu ya jamii yenye jumla ya ukubwa wa eneo hekta

149,310.8. Wilaya pia imekuwa ilipanda miti 500,000 kwa mwaka.

Kwa upande wa uzalishaji wa mazao ya nyuki, mazao hayo yanazalishwa kwa kiwango kidogo

katika wilaya. Hata hivyo wilaya imefanikiwa luongeza vikundi vya ufugaji nyuki na kufikia 20.

Wilaya pia imekuwa ikifanya doria dhidi ya wanyama wakali na waharibifu wa mazao. Hata hivyo

wilaya inakabiliwa na uchache wa wataalam na ushirikiano mdogo toka kwa jamii kuhusu uhifadhi

wa misitu.

Katika kipindi hiki cha mpango Halmashauri pamoja na mambo mengine inatarajia kuongeza idadi

ya viwanja vilivyopimwa pamoja kutoa hati miliki kwa wamiliki wa viwanja hivyo na kuongeza

makusanyo ya kodi ya ardhi. Wilaya pia inalenga kutambua mitaa 300 kwa majina na kuongeza

ajira za watumishi.

3.3.6 KITENGO CHA MANUNUZI (PMU)

Halmshauri za wilaya kwa kuzingati Sheria ya fedha Na 9 ya mwaka 1982 ya serikali za mitaa

zina mamlaka kamili ya kupanga matumizi yanayotokana na mapato mbalimbali ya fedha.

Halmashauri katika kutoa hudua kwa jamii matumizi makubwa yanahusu manunuzi ya namna

14

moja au nyingine. Ili kazi za manunuzi ziweze kufanyika kwa ufanisi Kitengo Cha Manunuzi

kimeanzishwa Lengo ni kuona kwamba taratibu na sheria za manunuzi zinazingatiwa wakati wa

utoaji huduma kwa jamii.

Kitengo cha Manunuzi ( Procurement Management Unit – PMU) katika Halmashauri kina jukumu

kubwa la kutoa huduma zinazo husu manunuzi ya aina zote. Pia kitengo hiki kinatoa ushauri

kwa Mkurugenzi Mtendaji juu kuzingatia sheria na taratibu za manunuzi ili kuepuka matatizo

ambayo yanaweza kutokea endapo taratibu na sheria zitakuwa zimekiukwa.

Aidha Kitengo cha Manunuzi kinawajibika na uandaaji taratibu za manunuzi kwa kuhakikisha

kwamba nyaraka zote muhimu kwa kabala ya kufanya manunuzi zinadaliwa . Mara nyingi ni

lazima kushindanisha wafanyabishara au makampuni,wakandarasi kwa kufuata taratibu baada ya

hapo mapendekezo hutolewa na watakao shinda basi manunuzi hufanyika kutoka kwao.

Ili kuona kwamba manunuzi yanafanyika kwa uwazi matangazo ya zabuni yanatolewa kwa

uwazi kwa kubandikwa kwenye mbao za matangazo na hata kwenye magazeti ili kupata ushindani

wa kutosha. Na pia ipo Bodi ya Zabuni ambapo Kataibu wake ni Mkuu wa Kitengo cha

Manunuzi. Bodi ya Zabuni moja ya majukumu yake ni kupitia na kuona kwamba taratibu za

manunuzi zinazingatiwa katika Halmashauri ya wilaya. Aidha kitengo cha Manunuzi

kinawajibika kuandaa taarifa ya mwenendo wa manunuzi kila robo mwaka.

Katika kipindi hiki cha Mpango, Kitengo kinalengo kufanya mambo yafuatayo:

• Kutangaza zabuni mara moja kila mwaka, kwa kuzingatia Mpango wa manunuzi na kwa

kufuata tender documents zinazopendekezwa na PPRA na kuweka uwazi katika shughuli za

manunuzi kwa kutangaza fursa za zabuni katika vyombo vya habari ( magazeti na mbao za

matangazo) kila mwaka.

• Pia Kitengo kinatarajia kupata thamani ya fedha kwa huduma zitolewazo na wazabuni na kutoa

mafunzo kwa wajumbe wa bodi ya zabuni juu ya sheria ya manunuzi ya 2011 na kanuni zake.

Kitengo pia kitaandaa mpango wa bajeti ya kitengo cha manunuzi ili kiweze kutekeleza

malengo yake kwa ufanisi mkubwa ifikapo mwezi Februari kila mwaka nk.

3.3.7 KITENGO CHA SHERIA

kitengo hiki kinajishughulisha na mambo au majukumu mtambuka ambayo ni:- Kuishauri

Halmashauri ya Wilaya juu ya mambo yote ya kisheria. Kitengo pia kinahusika kuandaa rasimu za

Sheria Ndogo mbalimbali na kuziwasilisha kwenye vikao vya Halmashauri na baadaye

kuziwasilisha OWM-TAMISEMI kwa ajili ya kuidhinishwa na Waziri mwenye dhamana.

15

Kitengo pia kina wajibu wa kusimamia utendaji wa kila siku wa Mabaraza ya Kata na Mabaraza ya

Ardhi ya vijiji. Lengo jingine ni kuandaa mikataba ya Halmashauri na kuishauri Halmashauri juu

ya mikataba mbalimbali. Na pia Kitengo kinahusika kuendesha mashauri mepesi Mahakamani au

katika mabaraza na kufanya tafiti juu ya mambo ya sheria na kuishauri Halmashauri. Katika kipindi

hiki cha mpango kitengo kinatarajia kuufanya pamoja na mambo mengine haya yafuatayo:

Kufanya uchambuzi wa sheria ndogo kutoka vijijini na kupitisha kwenye vikao vya Kamati

husika, kufanya vikao vya pamoja na serikali za vijiji ili kuahinisha sheria ndogo na kutoa

mafunzo kwa wajumbe wa h/za vijiji kuhusu namna ya kuandasheria ndogo.

Kitengo pia kitaandaa sheria ndogo za H/wilya na kuziwasilisha kwa waziri mwenye dhamana ya

serikali za mitaa ( TAMISEMI).

3.3.8 KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

Madhumuni ya kuwa na Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani katika Halmashauri ni kuhakikisha

uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa juu ya rasilimali za Halmashauri

zinazingatiwa. Lengo kuu likiwa ni kumshauri Mkurugenzi Mtendaji Wilaya juu ya uzingatiaji

sheria, kanuni na taratibu zilizokubalika katika usimamizi na matumizi ya rasilimali za

Halmashauri.

Baadhi ya Majukumu ya kitengo cha ukaguzi wa ndani ni kama ifuatavyo:

• Kuandaa mpangokazi wa mwaka wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kwa kushirikiana na

Mkurugenzi Mtendaji Wilaya na kisha kupelekwa nakala kwa Mdhibiti na sMkaguzi Mkuu wa

Hesabu za Serikali (CAG), Waziri mwenye dhamana na Serikali za Mitaa na kwa Mkuu wa

Mkoa kabla ya tarehe 15 Julai kila mwaka.

• Kuandaa mpangokazi wa kitengo cha ukaguzi wa ndani utakaozingatia vihatarishi katika zoezi

la ukaguzi (Annual Risk Based Internal Audit Plan) na kuuwakilisha katika kamati ya ukaguzi

na nakala kupewa Mkurugenzi Mtendaji Wilaya kwa ajili ya kuidhinisha.

• Kujiridhisha uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu katika uandaaji wa hesabu na usimamizi

wa fedha za Halmashauri kwa kufanya yafuatayo;-

• Kuhakiki na kuripoti juu ya ufanisi na uhalisia wa taarifa za fedha na rasilimali zinazotumika

katika kuandaa taarifa za hesabu na ripoti za utekelezaji.

Pamoja na mafanikio katika utekelezaji wa majukumu yake, Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

kinakabiliwa na changamoto mbalimbali, baadhi ya changamoto hizo ni kama ifuatavyo:

16

� Muda wa kutoa na kutuma taarifa za ukaguzi; Memoranda ya Fedha za Serikali za Msitaa ya

mwaka 2010 inamtaka Mkaguzi wa Ndani kutoa taarifa ndani ya siku kumi na tano (15) baada

ya robo mwaka kuisha na pia inamtaka Mkurugenzi Mtendaji (W) kutuma taarifa ndani ya siku

za kazi kumi na tano (15) (working days) kwenda kwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali

(CAG), Katibu Mkuu TAMISEMI na Katibu Tawala Mkoa (RAS). Muda uliowekwa hautoi

fursa;-

� Muda uliowekwa hautoi fursa kwa Menejimenti kutoa majibu ya hoja za ukaguzi kwenda kwa

Mkaguzi wa Ndani vilevile hautoi furssa kwa Mkaguzi wa ndani kuyahakiki majibu ya

Menejimenti na kutoa ripoti ya mwisho (final report).

� Muda uliowekwa hautoi fursa ya taarifa kuingizwa katika vikao vya kamati ya ukaguzi, timu ya

wakuu wa idara (CMT) na kamati ya fedha, mipango na uchumi (FUM).

� Idadi ndogo ya watumishi; Kitengo kwa sasa kina wakaguzi wa ndani wawili (2) tu wakati

ikama inataka kuwe na wakaguzi watatu (3). Hivyo kuna upungufu wa Mkaguzi mmoja (1).

� Kitengo kukosa gari kwa ajili ya shughuli za ukaguzi na kulazimika kuomba magari kutoka

idara mbalimbali za Halmashauri. Hali hii imesababisha wakati mwingine Kitengo kushindwa

kutekeleza majukumu yake kwa wakati hasa pale inapotokea magari yote ya idara yanatumiwa

na idara husika na

� Wakaguzi wa Ndani kukosa mafunzo juu ya utumiaji wa taarifa za fedha zilizo katika mfumo

wa kielekroniki (EPICOR System) na kusababisha ukaguzi wa taarifa zilizo ndani ya mfumo

wa kielekroniki kutofanyika.

Katika kipindi hiki cha mpango, kitengo kinalenga kutelelza yafuatayo:

• Kufanya ukaguzi wa hesabu na kutoa ripoti ya ukaguzi pamoja na kufanya ukaguzi wa miradi

ya maendeleo na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

• Kitengo pia kinalenga kufanya ukaguzi wa rasilimali za Halmshauri na kutoa ripoti ya ukaguzi

kila robo mwaka, kuboresha mazingira ya kufanyia kazi na kuendeleza mapambano dhidi ya

Ukimwi.

• Pia kitengo kinatarjia kuongeza idadi ya wakaguzi wa ndani na kufikia watatu (3) ifikapo

mwaka wa fedha 2015/2016 na kuwajengea uwezo watumishi wawili (2) kwa kiwango cha

taaluma katika kiwango cha CPA.

17

4.0 Dira na Dhima

Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba imeundwa na Sheria ya Mbunge ya Serikali za Mitaa

namba .7 ya mwaka 1982 na kama ilivyofanyiwa marekebisho namba 6 ya mwaka 1999. Sheria hii

ndiyo inayoipa Halmshauri Madaraka na mamlaka ya utendaji na kuwepo kwake. Kwa hiyo

utengenezaji wa Dira na Dhima umezingatia madaraka hayo muhimu kama yanavyoainisha katika

sheria.

Kwa kuzingatia, uwezo, changamoto, fursa na vikwazo katika utoaji huduma, Wakuu wa idara na

vitengo walifanya mapitio ya Dira na Dhima Halmshauri ya Wilaya ya Tandahimba (2004-2009)

na kubuni Dira na Dhima mpya kama ifuatavyo: -

Dira: –“ Ifikapo 2018 Halmashauri Ya Wilaya Ya Tandahimba, Kwa Kutumia Rasilimali

Zilizopo, Utalaamu Na Ushirikishwaji Wa Jamii, Iwe Imetoa Huduma Bora Na

Kujenga Uchumi Endelevu Utakaowezesha Maisha Bora Ya Wananchi’’

Dhima: Kutumia Rasilimali Na Fursa Zilizopo Ili Kuimarisha Huduma Za Kijamii, Kiuchumi,

Na Kuboresha Maisha Na Utawala Bora Kupitia Ushirikishwaji Wa Jamii

4.1 Maeneo ya matokeo Muhimu, Malengo mahsusi na Viashiria

Maeneo ya matokeo Muhimu, ni yake ambayo wadau katika Halmashauri wana haki ya kutarajia

matokeo kutoka Halmashauri ya Serikali yao ya Wilaya. Na haya ni maeneo ambayo Halmashauri

inatakiwa kuyapa kipaumbele kuyatekeleza. Maeneo ya matokeo muhimu, Malengo mahsusi na

Viashiria ni kama yalivyoainisha katika warsha ya Wadau. Maeneo ya matokeo muhimu, Malengo

mahsusi na Viashiria vimeonyeshwa kwenye viambatisho.

18

4.2 Mikakati na Muda wa Utekelezaji

Muda wa Mpango huu Mkakati ni miaka mitano kuanzia mwaka 2014 mpaka 2018. Mikakati

iliyoainishwa kwenye Mpango huu inalenga kila idara husika katika Halmashauri.Wakati wa

kubuni mikakati hii, lika lengo mahsusi, wakuu wa Idara wamehakikisha kwamba, mikakati hii

inafanyisha utelelezaji wa malengo yote mahsusi katika kila idara au sekta. Kwa hiyo kila lengo

mahsusi limevunjwavujwa kwenye mikakati midogomidogo kwa kurahisisha utekelezaji wake.

Mikakati ya kila Idara/sekta imeonyeshwa kwenye Viambatisho.

4.3 Makisio ya Gharama za Utekelezaji wa Mpango

Bajeti ya Jumla inayohitaji kutekeleza Mpango Mkakati ni shilingi 178,376,938,436. Mahitaji ya

kila idara yameonyeshwa kwenye jedwali lifuatalo hapo chini. Hata hivyo ni muhimu kuelewa

kuwa bajet hii ya makisio itapitiwa tena katika vikao vingine vya Halmashauri ili kubainishi

mahitaji halisi ya kila mwaka.

Jedwali 5: Masikio ya Mpango Mkakati (2014-2018)

ENEO LA HUDUMA

2014 2015 2016 2017 2018 Jumla % ya Jumla

Afya 3,923,224,936 3,964,500,500 4,839,870,600 5,826,000,300 696,650,100 19,250,246,436 10.8

Elimu 1,171,000,000 2,473,700,000 2,313,200,000 2,328,200,000 8,286,100,000 4.6

Elimu ya Sekondari

5,917,430,000 5,131,330,000 5,496,230,000 5,536,330,000 22,081,320,000 5,917,430,000 24.8

Ardhi 423,000,000 395,600,000 375,600,000 375,600,000 375,100,000 1,952,400,000 1.1

Kilimo, Umwagiliaji na ushirika

14,305,856,000 14,305,856,000 14,305,856,000 14,305,856,000 14,305,856,000 71,529,280,000 40.1

Mifugo 135,050,000 487,650,000 689,550,000 318,200,000 100,950,000 1,695,200,000 1.0

Maji 4,506,676,767 4,507,908,892 3,288,079,917 2,368,418,250 2,359,968,250 15,238,200,000 9.5

Ujezi na Barabara

1,020,720,000 2,074,500,000 2,211,300,000 2,400,250,000 2,575,700,000 10,402,260,000 5.8

Fedha 69,200,000 232,500,000 112,000,000 109,000,000 105,000,000 627,700,000 0.4

Biashara 123,720,000 123,720,000 123,720,000 123,720,000 123,720,000 618,600,000 0.3

Uumishi na Utawala

27,000,000 30,100,000 30,100,000 31,100,000 32,100,000 149,700,000 0.1

Mipango 59,000,000 48,500,000 208,000,000 186,000,000 184,000,000 685,500,000 0.4

Misitu na Mazingira

40,200,000 52,000,000 62,000,000 58,200,000 42,000,000 235,200,000 0.1

Kitengo cha Nyuki

24,500,000 29,000,000 29,000,000 34,000,000 24,000,000 134,500,000 0.1

Wanyapori 28,000,000 31,000,000 25,000,000 25,000,000 25,000,000 107,000,000 0.1

Kitengo cha Kitengo cha sheria

75,860,000 95,310,000 79,560,000 56,560,000 80,160,000 379,250,000 0.2

Kitengo cha Ugavi na Manunuzi

11,000,000 130,000,000 60,000,000 30,000,000 65,000,000 296,000,000 0.2

Kitengo cha Ukaguzi wa

24,900,000 30,600,000 37,900,000 42,500,000 46,800,000 182,700,000 0.1

19

ndani Maendeleo ya Jamii

127,500,000 215,000,000 119,500,000 110,300,000 109,300,000 688,100,000 0.4

Jumla Kuu 30,731,077,703 32,800,165,392 34,389,506,517 34,121,174,550 102,692,288,350 178,376,938,436

100.0%

Makisio ya bajeti kwa kila eneo la huduma yanaonyesha kuwa pesa nyingi zitahitaji ili kutekeleza

malengo na mikakati iliyoainishwa katika mpango huu. Kwa mantini hiyo, Mpango huu utaweza

tu kutekeleza kama Wilaya itaimarisha ukusaji wa mapato ya ndani. Hii ni pamoja na Halmashuari

kubuni vyanzo vingine vya mapato. Kwa upande mwingine Mpango huu utafanikiwa kama Serikali

Kuu pamoja na Wafadhili wataendelea kusaidia na kutoa fedha kwa ajili ya shughuli za

Halmashauri. Kulingana na mchanganuo hapo juu sehemu kubwa ya bajeti ya Mpango huu

itatumika kwa shughuli za kilimo, umwagiliaji na ushirika (40.1%), elimu (Msingi na

Sekondari)(29.4%), afya (10.8%) na maji(9.5%). Makisio ya bajeti kwa kila idara, ni kama

imeonyeshwa kwenye kiambatisho/jedwali namba moja(1). Utaratibu wa kisekta umetumika ili

kumpa msomaji urahisi wa kuelewa malengo, mikakati ya utekelezaji naa makisio ya bajeti ya kila

idara.

5. Sababu muhimu zitakazo saidia katika utekelezaji wa Dira na Dima ya Halmashauri –

Viwezeshi na vikwamishi

Utekelezaji wa mpango huu unategemea baadhi ya sababu muhimu. Sababu hizi kwa upande

mmmoja zinaweza zikawa voiwezeshe au vikwamishi. Hata hivyo nyingi ya sababu hizo ni za

kiuccumi, kijamii, , za kisera, za kifedha na nyinginezo.

5.1. Sababu za Kifedha

Imeonekana kwamba uwezo wa Halmashauri kutekeleza mpango huu kutoka vyanzo vyake

yenyewe ni modgo. Kwa mantiki hiyo basi Halmashauri haina budi kubuni vyanzo vingine vya

mapato, na wakati huohuo serikali kuongeza ruzuku. Hii ina maana pia kwamba ni muhimu kwa

wananchi kutekeleza baadhi ya majukumu kutokana na fursa walizo nazo na kwa upande mwingine

jumuiya ya wafadhili kusaidia juhudi za wananchi katika kujiletea maendeleo.

5.2. Rasilimali Watu

Kitu kingine muhimu kinachohitajika katika ufanishaji wa mpango huu ni upatikanaji wa rasilimali

watu. Kwa mantini hiyo, ufanisi katika utekelezaji wa mpango utafikiwa tu kama rasilimali watu

iliyopo inaujuzi wa kutosha, uzoezu na moyo wa kujituma. Hata hivyo ikama ya Halmashauri

imeonyesha kuwa kuna upungufu mkubwa kwa baadhi ya idara. Kwa hiyo wilaya haina budi

20

kuajiri wafanyakazi wengi zaidi pamoja na kubuni mpango wa kufanya wanaoajiriwa wasiondoke

kwa mfano kuwapa posho ya mazingira magumu.

5.3. Utawala bora

Utawala bora ni muhimu kwa mafanikio ya mpango huu pia. Hii inajumuisha mambo yote

yaliyohusu uwazi, demokrasia pamoja na utawala wa sheria katika uendeshaji wa shule za kila siku

za Halmashauri. Kama mambo hayo hayatakuwepo ushiriki wa wananchi katika shughuli za

kujiletea maendeleo utakuwa mgumu. Kwa maana hiyo basi ni muhimu kuwa kila kipengele cha

utawala bora kinatekelezwa ili halmshauri iweze kufanikiwa kutekeleza malengo na mikakati

iliyoaninshwa katika mpango huu. Ni muhimu pia kuzingatia pia kwamba vikao vyote vya kisheria

vya Halmashauri vinafanyika kama inavyotakiwa ili kuwapa wananchi nafasi ya kuchangia

maamuzi ya utekelezaji.

5.4. Ushirikishwaji wananchi

Maudhui ya mpango wa mkakati katika serikali za mitaa nchini ni kuzifanya Halmashauri kutoa

huduma bora kwa wananchi. Hii ni pamoja na kuwapa wananchi pamoja na wadau wengine nafasi

ya kushiriki katika kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo katika serikali yao. Kufikia lengo

hilo ni muhimu basi kuhakikisha wananchi wanapata nafasi ya kushirika maamuzi katika hatua

mbalimbali za mchakato wa kupanga shughuli mbalimbali za maendeleo yao. Ushirikishaji wa

wananchi utawapa nafasi ya kutoa mawazo yao na kumiliki mchakato mzima wa mpango wa

kujiendeleza. Lakini pia utasaidia katika kuleta hali ya maelewano kati ya Halmshauri na wananchi.

Katika hili pia ni muhimu kuhakikisha mambo yote muhimu yaliyoibuliwa na wadau yanaingizwa

na kupewa nafasi inayostahili katika mpango huu mkakati.

5.5. Mambo ya Jinsia

Kwa upande mwingine, mafanikio ya mpango huu pia yanategemea ni kwa jinsi gani na kwa

kiwango gani mambo yanayohusu jinsia katika jamii yanapata nafasi katika mpango huu. Kwa hiyo

ni muhimu kuhakikisha wakati wote kuwa jinsia zote zinapata nafasi katika kupanga, kutekeleza

na kutathimini miradi na programu zote za maendeleo.Hayo yanaeweza kufikiwa kwa kuzingatia

baadhi ya mambo yafuatayo.:

• Kubuni miradi itakayopunguzia wanawake mzigo katika jamii.

• Kubuni na kutumia teknologia zinazopunguza muda wa kazi, kwa mfano uvunaji wa maji

ya mvua, zana rahisi za usafiri na kubebea mizigo na kadhalika.

• Kuwapa wanawake nafasi ya kumiliki rasilimali, kutoa taarifa zinahohusu haki ya

wanawake pamoja na kuwafundisha juu ya haki ya mama na mtoto.

21

• Kutengeneza mazingira yatakayotoa nafasi kwa wanawake kushiriki katika mambo ya

uongozi na siasa.

22

6. VIAMBATISHO/ MPANGO WENYEWE LENGO MAHSUSI, VIASHIRIA, CHANZO CHA UHAKIKI NA DHA NA

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA MAJI

LENGO KUU: Kuboresha huduma ya maji vijijini kwa kujenga miundo mbinu mipya, kukarabati ile ya zamani na kujenga uwezo wa jamii kusimamia na kuendesha miradi ya maji kwa kutumia vyombo vyao vya kisheria.

NA ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANJO CHA UHAKIKI DHANA

1 Jumuiya za watumia maji

Kuongeza jumuiya za watumia maji kutoka 12 hadi 62 ifikapo 2018

Jumuiya za watumia maji zilizoundwa

Kuzitembelea Jumuiya 50 Taarifa za utekelezaji

Kuwepo kwa fedha Jamii kutohiyari Kubadilika kwa sera ya nchi

Kujenga uwezo wa jumuiya za watumia maji juu ya umiliki na usimamizi wa miradi ya maji kutoka 5 hadi 50 ifikapo 2018

Jumuiya za watumia maji zilizojengewa uwezo

Taarifa ya utekelezaji Kuwepo kwa fedha Kubadilika sera

2 Miundombinu ya Maji

Kukarabati miradi ya maji11 ifikapo 2018

Miradi ya maji itakayokarabatiwa.

Taarifa ya utekelezaji

Kupatikana fedha na utayari wa jamii kupokea mradi

Kupanua njia ya bomba kwenda vijiji 2 ifikapo 2018

Miradi iliyopanuliwa Taarifa ya utekelezaji Kutembelea mradi

Kupatikana fedha Utayari wa jamii kupokea mradi

Kukarabati visima ndoo vinavyofanya kazi kutoka 12 hadi 27 ifikapo 2018

Visima ndoo Vilivyokarabatiwa

Taarifa ya utekelezaji Kutembelea mradi

Kupatikana fedha Utayari wa jamii kupokea mradi Kutafuta vyanzo vya maji

katika vijiji 25 ambavyo havina kabisa huduma ya maji ifikapo 2018

Idadi ya vyanzo vya maji vilivyopatikana

Taarifa ya utekelezaji Kutembelea mradi

Kupatikana fedha Kupata wazabuni wenye uzoefu Uendelevu wa Kujenga miradi mipya 22 ya Idadi ya miradi mipya Taarifa ya utekelezaji Kupatikana fedha

23

NA ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANJO CHA UHAKIKI DHANA

3 Miradi na vyanzo vya maji

maji. ifikapo 2018 ya maji iliyojengwa Kutembelea mradi

Utayari wa jamii jamii kupokea mradi

Kutunza vyanzo na miradi ya maji katika vijiji 55 ifikapo 2018

Idadi ya miradi iliyotunzwa na inayofanya kazi

Taarifa ya utekelezaji Kutembelea mradi

Kupatikana fedha Utayari wa jamii kupokea mradi

4 Mazingira ya vyanzo vya maji

Kuanzisha sheria ndogo ya vijiji ya kuhifadhi na kutunza mazingira ya vyanzo vya maji katika vijiji 50 ifikapo 2018

Vyanzo vya maji vilivyohifadhiwa na kutunzwa

Taarifa ya utekelezaji Kutembelea mradi

Kupatikana fedha Utayari wa jamii kupokea mradi

5 Usafi na Usalama wa

Kuimarisha Usalama na Usafi wa maji

Upatikanaji wa maji salama na safi

Taarifa ya Utekelezaji

Upatikanaji wa fedha

6 Kujenga uwezo Kuajiri watumishi 8 wapya na kutoa mafunzo kwa watumishi 9 ifikapo 2018

Idadi ya watumishi watakaoajiriwa

Taarifa ya uttumishi Upatikanaji wa fedha Utayari wa watumishi kuajiriwa Tandahimba

7 Mazingira ya kazi

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi, kujenga ofisi, karakana na kununua vifaa vya ofisi na vitendea kazi ifikapi 2018.

Ofisi iliyokamilika kujengwa Idadi ya vifaa na vitendea kazi vitakavyonunuliwa

Taarifa mbalimbali Kutembelea karakana na ofisi

Kuwepo na fedha

8 Mamlaka ya Maji

Kuanzisha Mamlaka ya maji ifikapo 2018

Kuwepo Mamlaka ya maji

Taarifa za utekelezaji Upatikanaji wa fedha na utayari wa jamii kuanzisha mfuko

9 VVU/Ukimwi

Kuendeleza mapambano ya ukimwi na virusi dhidi ya maambukizi mapya

Jumuiya za watumia maji zilizopewa mafunzo ya VVU/UKIMWI

Taarifa ya Uhamasishaji na mafunzo

Upatikanaji wa fedha Kutokubadilika kwa sera ya taifa ya maji na usafi wa mazingira

10 Utawala Bora Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa

Kupungua kwa malalamiko kwa wateja

Taarifa ya Dawati la malalamiko Uwepo wa fedha Uihiari wa watumishi

24

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: MAJI

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

LENGO 1 Kuongeza jumuiya za watumia maji kutoka 12 hadi 62 ifikapo 2018

Kuunda jumuiya za watumia maji 50 DWE/ DWST/DED

LENGO 2 Kujenga uwezo wa jumuiya za watumia maji juu ya umiliki na usimamizi wa miradi ya maji 50 ifikapo 2018

Kutoa mafunzo ya uendeshaji wa jumuiya za watumia maji 50

DWE/ DWST

LENGO 3 Kukarabati miradi ya maji 11 ifikapo 2018

Kutafuta fedha za kukarabati miradi DWE/ DWST/DED

Kutangaza na kupata wakandarasi wa kukarabati miradi

DWE/ DWST/PO/DE

D

Kujenga miradi na kukabidhi kwa jumuiya DWE/DWST WAKANDARA

SI

LENGO 4 Kutafuta vyanzo vya maji kwa ajili ya vijiji vyote ambavyo havijapata maji ifikapo 2018

Kutangaza na kupata wakandarasi wa kujenga vyanzo

DWE/ DWST / DED

25

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kutoa elimu kwa jamii za vijiji 50 vitakavyojengewa

DWE/ DWST / DED

Kujenga na kukamilisha vyanzo vya maji DWE/DWST

LENGO 5 Kupanua njia ya bomba kwenda vijiji 2 ifikapo 2018

Kutangaza na kupata mzabuni wa kupanua mradi

DWE/ DED/DWST/P

O

Kujenga na kukabidhi mradi DWE/DED/DWST

LENGO 6 Kukarabati visima ndoo vinavyofanya kazi kutoka 12 hadi 27 ifikapo 2018

Kutangaza kupata wakandarasi na kujenga miradi ya maji

DED/DWE/ WAKANDARA

SI

LENGO 7 Kujenga miradi mipya 22 ya maji ifikapo 2018

Kufanya usanifu, kutangaza na kupata wazabuni wa kujenga mradi

DWE/DWST/ PO

MSHAURI

Kujenga mradi na kukabidhi kwa jamii DWE/DED/DWST/

LENGO 8 Kutunza vyanzo na miradi ya maji katika vijiji 55 ifikapo 2018

Kuunda na kutoa mafunzo ya uendeshaji kwa kamati za watumia maji

DWE/DED/DWST

26

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kuanzisha mfuko wa maji wa wilaya DWE/DED/DWST/MOW/

LENGO 9 Kuanzisha sheria ndogo ya vijiji ya kuhifadhi na kutunza mazingira ya vyanzo vya maji katika vijiji 50 ifikapo 2018

Kutafuta fedha za kutunga sheria DWE/DED/DWST

Kutunga sheria za kuhifadhi na kutunza mazingira ya vyamzo vya maji

DWE/DED/DWST

LENGO 10 Kuimarisha Usalama na Usafi wa maji ifikapo 2018

Kuchukua sampuli za maji 3720 kwa ajili ya kutafiti hali ya maji ya Kifizikia, Kikemikali na Kibaolojia

DWE/DED/DWST

/BWO

LENGO 11 Kuajiri watumishi 8 wapya na kutoa mafunzo kwa watumishi 9 ifikapo 2018 Kutafuta fedha za kutoa mafunzo DWE/DED/DH

RO

Kutoa mafunzo ya ajira mpya kwa watumishi 9

DWE/DED/DHRO/

LENGO 12 Kuanzisha Mamlaka ya maji ya wilaya ifikapo 2018

Kutafuta fedha za kuanzisha Mamlaka ya Maji Tandahimba

DWE/DED/DHRO

Kuanzisha Mamlaka ya maji Tandahimba DWE/DED/DWST

LENGO 13 Kukamilisha ujenzi wa ofisi ya maji, ujenzi wa karakana, ununuzi wa vifaa vya ofisi na vitendea kazi ifikapi 2018.

27

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kutafuta fedha za kukamilisha ofisi, kujenga karakana na kununua vifaa vya ofisi na vitendea kazi

DWE/DED/PO/ WAZABUNI

LENGO 14 Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa ifikapo 2018

Kutoa elimu kuhusu athari za rushwa kijamii na kiuchumi

DWE/DED/DHRO/PCCB

LENGO 15 Kuendeleza mapambano ya ukimwi na virusi dhidi ya maambukizi mapya

Kutoa elimu na mafunzo jinsi ya kupambana na maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI

DWE/DED/DMO/

DHO/DHRO

28

LENGO MAHSUSI, VIASHIRIA, CHANZO CHA UHAKIKI NA DHA NA

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA MAJI

LENGO KUU: Kuboresha huduma ya maji vijijini kwa kujenga miundo mbinu mipya, kukarabati ile ya zamani na kujenga uwezo wa jamii kusimamia na kuendesha miradi ya maji kwa kutumia vyombo vyao vya kisheria.

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA X 1,000,000 TSHS 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA LENGO 1 Kuongeza jumuiya za watumia maji kutoka 12 hadi 62 ifikapo 2018

Kuunda jumuiya za watumia maji 50

3,465,000 3,465,000 3,465,000 3,465,000 3,465,000 17,325,000 TDC, DP, MOW

LENGO 2 Kujenga uwezo wa jumuiya za watumia maji juu ya umiliki na usimamizi wa miradi ya maji 50 ifikapo 2018

Kutoa mafunzo ya uendeshaji wa jumuiya za watumia maji 50

4,331,250 4,331,250 4,331,250 4,331,250 17,325,000 TDC, DP, MOW

LENGO 3 Kukarabati miradi ya maji 11 ifikapo 2018

Kukarabati miradi 11 na kukabidhi kwa Jamii

916,666,667 916,666,667 916,666,667 2,750,000,000 TDC, DP, MOW

LENGO 4 Kutafuta vyanzo vya maji kwa ajili ya vijiji vyote ambavyo havijapata maji ifikapo 2018

Kutangaza na kupata wakandarasi

6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 30,000,000 TDC, DP, MOW

Kutoa elimu kwa jamii za vijiji 50 vitakavyojengewa miradi ya maji

5,400,000 5,400,000 5,400,000 5,400,000 5,400,000 27,000,000 TDC, DP, MOW

Kujenga na kukamilisha vyanzo vya maji

390,000,000 390,000,000 390,000,000 390,000,000 390,000,000 1,950,000,000 TDC, DP, MOW

29

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA X 1,000,000 TSHS 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA LENGO 5 Kupanua njia ya bomba kwenda vijiji 2 ifikapo 2018

Kutangaza kupata mzabuni, kujenga mradi na kukabidhi

300,000,000 300,000,000 600.000,000 TDC, DP, MOW

LENGO 6 Kuongeza idadi ya visima ndoo vinavyofanya kazi kutoka 12 hadi 27 ifikapo 2018

Kutangaza kupata wakandarasi, Kujenga na kukabidhi miradi ya maji

5,000,000 5,000,000 5,000,000 15,000,000 TDC, DP, MOW

LENGO 7 Kujenga miradi mipya 22 ya maji ifikapo 2018

Kufanya tathmini na usanifu (Mshauri) Kutangaza na kupata wazabuni wa kujenga na kujenga miradi

1,860,000,000 1,860,000,000 1,860,000,000 1,860,000,000 1,860,000,000 9,300,000,000 TDC, DP, MOW

LENGO 8 Kutunza vyanzo na miradi ya maji katika vijiji 5 5 ifikapo 2018

Kufuatilia utendaji wao kamati za maji na kufanya 1tathmini

1,440,000 1,440,000 1,440,000 1,440,000 1,440,000 7,200,000 TDC, DP, MOW

Kuanzisha mfuko wa maji wlaya

3,450,000 3,450,000 6.900,000 TDC, DP, MOW

LENGO 9 Kuanzisha sheria ndogo ya vijiji ya kuhifadhi na kutunza mazingira ya vyanzo vya maji katika vijiji 50 ifikapo 2018

Kutunga sheria za kulinda na kutunza vyanzo vya maji

2,990,000 2,990,000 5,990,000 TDC, DP, MOW

LENGO 10 Kuimarisha Usalama na Usafi wa maji ifikapo 2018

Kuchukua sampuli za 16,400,000 16,400,000 16,400,000 16,400,000 16,400,000 82,000,000 TDC, DP,

30

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA X 1,000,000 TSHS 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA maji 3720 kwa ajili ya kutafiti hali ya maji ya Kifizikia, Kikemikali, na Kibaolojia

MOW

LENGO 11 Kuajiri watumishi 8 wapya na kutoa mafunzo kwa watumishi 9 ifikapo 2018

Kuwaendeleza kitaaluma watumishi

1,440,000 1,440,000 1,440,000 1,440,000 1,440,000 72,000,000 TDC, DP, MOW

LENGO 12 Kukamilisha ujenzi wa ofisi ya maji, ujenzi wa karakana, ununuzi wa vifaa vya ofisi na vitendea kazi ifikapi 2018.

Kununua vifaa/vitendea kazi vya ofisi

41,536,000 41,536,000 41,536,000 41,536,000 41,536,000 207,680,000

TDC, DP, MOW

LENGO 13 Kuanzisha Mamlaka ya maji ya wilaya ifikapo 2018

Kuanzisha mamlaka ya maji Tandahimba

29,956,000 29,956,000 29,956,000 29,956,000 29,956,000 149,780,000

TDC, DP, MOW

JUMLA

4,506,676,767 4,507,908,892 3,288,079,917 2,368,418,250 2,359,968,250 15,238,200,000

31

LENGO MAHSUSI, VIASHIRIA, CHANZO CHA UHAKIKI NA DHA NA IDARA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA ENEO LA HUDUMA: KILIMO LENGO KUU: Kuhakikisha upatikanaji wa chakula kuanzia ngazi ya kaya na kuboresha kiwango cha lishe na maisha ya jamii nzima ya Tandahimba NA ENEO LA

MATOKEO LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANJO CHA UHAKIKI DHANA

1 Huduma za ugani

Kuongezeka kwa idadi ya wakulima wanaopata mafunzo ya kilimo bora kutoka wakulima 106,000 mwaka 2013

Idadi ya wakulima waliopata mafunzo kupitia mashamba darasa

Taarifa za mwezi, robo na mwaka kutoka ngazi ya vijiji na kata Taarifa ya Halmsahauri

Mahudhurio hafifu ya wakulima katika maeneo ya mafunzo Upatikani wa fedha

Kusogeza elimu ya maarifa kwa wakulima kutoka 3 hadi 7 ifikapo mwaka 2018

Idadi ya vituo vya maarifa

Kutembelea vituo Taarifa za utekelezaji na kuptia LGMD2

Serikali kukosa pesa za kujengea vituo vya maarifa ya jamii 2 Kuongeza

thamani ya mazao

Kuongezeka kwa thamani ya mazao kwa 25% ifikapo 2018

Idadi ya vikundi vya usindikaji mazao korosho, muhogo na mbegu za mafuta

Taarifa za mwezi, robo na mwaka kutoka ngazi ya vijiji na kata

Kukosa fedha za kununulia vitendea kazi

3

Uhifadhi wa mazao /mavuno

Kupunguza uharibifu mazao baada ya kuvunwa kutoka 40% hadi 10% ifikapo mwaka 2018

Idadi ya maghala ya kuhifadhia nafaka

Taarifa za mwezi, robo na mwaka kutoka ngazi ya vijiji na kata Taarifa za za wilaya kupitia LGMD2

Kukosa pesa za kuendeshea mafunzo

4 Utunzaji maji na udongo ( Soil and water conservation)

Kuboresha uhifadhi wa maji na udongo katika vijiji 50 ifikapo mwaka 2018

Kuongezeka kwa maeneo/vijiji yaliyohifadhiwa kwa maji na udongo

Idadi ya vijiji vinavyotekeleza miradi

Utayari wa wanchi

5 Zana bora za kilimo

Kuongeza matumizi ya zana bora za kilimo kutoka 5% hadi 30% ifikapo mwaka 2018

Kiasi cha ongezeko Taarifa za utekelezaji Uwezo kwa wakulima, Upatikanaji wa mikopo

32

NA ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANJO CHA UHAKIKI DHANA

6 Mbegu bora Kuongeza matumizi ya mbegu bora kutoka 10% hadi 50% mwaka 2018

Kiasi cha ongezeko Taarifa za Halmashauri kupita LGMD2

Utayari wa wakulima kuzalisha mbegu

7 Hali ya lishe Kuongeza matumizi ya lishe bora kutoka 20% hadi 40% ifikapo 2018

Kiasi cha ongezeko Kuwepo kwa afisa kilimo lishe Serikali kukosa pesa ya kuajiri

Afisa kilimo lishe kuajiriwa

Taarifa za hali ya lishe Serikali kukosa pesa za kuendesha mafunzo

8 Maendeleo ya Umwagiliaji

Kuongeza eneo la umwagiliji toka ekari 506 hadi 2500 ifikapo 2018

Ongezeko luzalishaji wa mpunga katika mabonde ya Litehu, Lipalwe na Ng’apa.

Taarifa za uzalishaji kupitia LGMD2

Utayari wa wakulima katika kuchangia miradi, uongozi wa kamati za miradi kuwa imara 9 Mazao ya

biashara Kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la ufuta kutoka tani 256 hadi tani 457 mwaka 2018

Kuongezeka kwa eneo linalolimwa zao la ufuta

Taarifa za mwezi, robo, mwaka kuptia LGMD2

Utayari wa wakulima kulima zaom la ufuta

Kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la korosho kutoka tani 34,000 hadi tani 55,000 mwaka 2018

Kiasi cha tani zilizozalishwa

Taarifa ya mwaka Mabadiliko ya hali ya hewa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi

Kuongeza mazao ya mbeguza mafuta - Alizeti Ifikapo 2018

Uwepo wa mazao mapya ya biashara

Taarifa za uzalisahaji kuptia LGMD2

utayari wa wakulia

10 Mazao ya chakula

Kuongezeka kwa uzalishaji wa muhogo kutoka tani 105 hadi 160,000 ifikapo 2018

Kiasi cha tani zilizozalishwa

Taarifa za mwaka kupitia LGMD2

kuongezeka kwa magonjwa ya mihogo

Kuongezeka kwa Uzalishaji wa karanga kutoka tani 3,129 hadi tani 6500 ifikapo 2018

Eneo linalolimwa, Uzalishaji wa karanga,

Taarifa za mwezi, robo, mwaka kuptia LGMD2

Utayari wa wakulima

33

NA ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANJO CHA UHAKIKI DHANA

11 Mazingira ya kazi

Kuboresha na kuimarisha mazingira ya kufanyia kazi

Idadi ya nyumba za maafisa ugani katika ngazi ya kata

Taarifa za mwezi, robo, mwaka kuptia LGMD2

Uwezo wa serikali kujenga nyumba za watumishi

34

LENGO MAHSUSI, VIASHIRIA, CHANZO CHA UHAKIKI NA DHA NA

B: ENEO LA HUDUMA : MAENDELEO YA USHIRIKA

1.0 LENGO KUU : Kuhakikisha kwamba makundi ya watu maskini katika jamii yanakuwa na chombo cha kuaminika cha kuwawezesha kufikia malengo yao ya kiuchumi na kijamii.

1

Vyama vya kuweka na kukopa (SACCOS)

Kuongezeka kwa SACCOS kutoka 5 mwaka 2013 hadi 20 mwaka 2018

Idadi ya SACCOS Rejista ya SACCOS Utayari wa wanachama

Kuimarisha vyama vya kuweka na kukopa

Kuongezesha kwa wanachama

Rejista ya wanachama Kukosekana kwa fedha za kutolea elimu ya ushirika

Kujenga uwezo Kuimarisha vyama vya ushirika Idadi ya wanachama waliopata mafunzo

Taarifa za ushirika Kukosekana kwa fedha za kutolea elimu ya ukimwi

35

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: KILIMO

Lengo Kuu: : Kuhakikisha upatikanaji wa chakula kuanzia ngazi ya kaya na kuboresha kiwango cha lishe na maisha ya jamii nzima ya Tandahimba

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 1 Kuongezeka kwa idadi ya wakulima wanaopata huduma za ugani kutoka wakulima 106,000 mwaka hadi 176,000 ifikapo mwaka 2018

Mkakati: 1 kufufua na kuanzisha mashamba darasa.

DED/DAICO/DIDF/AGHA KHAN FOUNDATION

Mkakati: 2kuajiri watumishi 10 kila mwaka TAMISEMI/DED/DHRO/DAICO

Lengo 2 Kusogeza elimu ya maarifa kwa wakulima kutoka 3 hadi 8 ifikapo mwaka 2018

Mkakati: 1 kujenga kituo 1 cha maarifa kwa wakulima kila mwaka

DED/DAICO/DE

Lengo 3 Kupunguza uharibifu mazao baada ya kuvunwa kutoka 40% hadi 10% ifikapo mwaka 2018

Mkakati 1: kutoa elimu ya uhifadhi wa mazao baada ya mavuno.

DAICO/NARI

Mkakati: 2 kuhamasisha sekta binasi kufungua maduka ya pembejeo

DAICO/DTO

Mkakati 3: Kutolewa kwa elimu juu ya ujenzi maghala rahisi ya kutunzia nafaka.

36

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 4 Kuongeza thamani ya mazao kwa 25% ifikapo 2018

Mkakati :1 kufundisha vikudi 30 namna ya usindikaji wa zao la muhogo

DED/DAICO/OWECO

Mkakati:2 .Kujengea uwezo wa namna ya usindikaji wa korosho vikundi 30

DED/DAICO/ OWECO

Mkakati:3 . Kujenga viwanda 3 vya kubangua korosho vya kati (medium scale factories) ifikapo mwaka 2017

AMCOSS/Benki (TIB)

Mkakati:4 .Kuwajengea uwezo vikundi 5 vya usindikaji wa zao la ufuta ili kutengeneza mafuta.

DED/DAICO/ MIVARF

Mkakati:5 .Kuvijengea vikundi 2 vya Lipalwe na Mchichira/Ng’apa uwezo wa usindikaji wa zao la mpunga

DED/DAICO/SIDO

Mkakati : 6. Kujengea uwezo vikundi 5 katika usindikaji wa alizeti ili kutengeneza mafuta

DED/DAICO/SIDO

Mkakati :7 kuongezausindikaji wa mazao kupitia vikundi kutoka vikundi 12 vya sasa hadi vikundi 37 vikundi 5 kila mwaka

Lengo:7. Kuboresha uhifadhi wa maji na udongo katika vijiji 50 ifikapo mwaka 2018

Mkakati:1 . Kutoa elimu juu ya uhifadhi wa vyanzo vya maji

DED/DWE/DEMO/NGOs

(MEPPO/TANGONET)

37

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

MKAKATI: 2 Kutoa elimu sehemu hatarishi za uharibifu wa udongo vjiji vya kando ya gema la Makonde ( makonde Escarpment)

DED/DWE/DAICO,DNREO,/NGOs/MEPPO/TANGONET

Lengo 8 DED/DAICO/TAMISEMI Kuongeza matumizi ya zana bora za kilimo kutoka 5% hadi 30% ifikapo mwaka 2018

Mkakati : kudhamini mikopo ya matrekta makubwa kwa wakulima 20

DED/DAICO/SUMA JKT, WAKULIMA

Lengo: 9 Kuongezeka kwa matumizi ya mbegu bora kutoka 10% hadi 50% ifikapo mwaka 2018

Mkakati 1 .Kununua mbegu za msingi za mahindi,karanga na mpunga kwa kuzalishia mbegu za daraja la kuazimia. (QDS)

DED/DAICO

Lengo :10 DED/DNO/DHO/DPLO Kuongeza uelewa wa lishe katika kaya500 ifikapo 2018

Mkakati 1.Kuajiri afisa kilimo lishe ili kuboresha afya za watumiaji wa vyakula.

DED/DAICO/DHRO/BWANA AFYA

Mkakati: 2 Kufanya vikao vya tathmini ya hali ya lishe wilayani

Lengo 11 Kuongeza eneo la Umwagiliji toka ekari 506 hadi 2500 ifikapo 2018

Mkakati 1. Kuibua miradi ya umwagiliaji vijiji vya kata za Michenjele,Mkorea, Maundo,Mchichira na Litehu.

DED/DAICO/DWE

38

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Mkakati 2. Kuelimisha jamii na kamati za miradi juu ya kuchangia na utunzaji wa miradi ya umwagiliaji

DED/DAICO/DWE

Mkakati 3 kufundisha jamii katika maeneo ya miradi ya Ng’apa, Lipalwe na Litehu juu ya kilimo cha majaruba

DED/DAICO/AGHA KHAN FOUNDATION

Mkakati 4 Kuendeleza ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji katika vjiji 10 mwaka 2018.

DED/DWE/ZITSU/DIDF/DAICO

Lengo 12 Kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la ufuta kutoka tani 256 hadi tani 457 ifikapo mwaka 2018

Mkakati 1. Kufanya kampeni kabambe juu ya ulimaji wa zao la ufuta kwa wakulima.

DED/DAICO

Lengo 13. Kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la korosho kutoka tani 34,000 hadi tani 80,000 ifkapo mwaka 2018

Mkakati 2. Kufanya kampeni kabambe juu ya uzalishaji wa zao la korosho kwa wakulima

DED/DAICO

Mkakati 3. Uboreshaji wa mashamba ya mikorosho kwa kupanda mbegu bora.

DED/DAICO/Wakulima

Mkakati: 4. Mafunzo juu matumizi ya madawa ya korosho kwa maafisa ugani/wakulima

DED/DAICO /NARI/WAEOs/VAEOs

Mkakati 5: kuwezesha mchakato wa usambazaji pembejeo kwa kutumia mawakala

DC/DED/DAICO/WAKFU

39

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Mkakati: 6 kujenga uwezo wa vikundi vya kuzalisha miche bora ya mikorosho /kutoa vitwendea kazi

VIKUNDI VYA KUZALISHA MICHE/ DAICO/MEPPO

Lengo 14 Kuongezeka kwa uzalishaji wa muhogo kutoka tani 105 hadi 160,000 ifikapo ifikapo 2018

Mkakati : Kusambaza mbegu mbora za mihogo toka kituo cha utafiti Naliendele

NARI/DAICO

Lengo 15 Kuongezeka kwa uzalishaji wa karanga kutoka tani 3,129 mwaka 2013 hadi tani 6500 ifikapo 2018 Mkakati: kuzalisha mbegu bora za karanga

kutuia daraja la kuazimiwa (QDS) kutumia vikundi

DED/DAICO/Vikundi/

Lengo 16 Kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la alizeti

Mkakati 1 Kujenga uwezo kwa vikundi vya kuzalisha alizeti

DED/DAICO

Lengo 17 Kuboresha na kuimarisha mazingira ya kazi

Mkakati: 1 kujenga nyumba za maafisa ugani DED/DE/DAICO

Mkakati:2 Kumalizia /kukarabati ofisi ya DAICO

Mkakati: 3 Kujenga shedi ya kutunzia zana za kilimo

Mkakati 4 Kununua vinakilishi, printer, photocoy

40

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Mkakati 5 : kuchimba kisima cha kutunzia maji eneo la ofisi ya DAICO

Mkakati 6: kununua pikipiki 47 ifikapo 2018

Mkakati kuweka mazingira kwa maafisa ugani kujiendeleza

DED/DHRO/DAICO

Lengo 18 Kuongezeka kwa SACCOS kutoka 5 mwaka 2013 hadi 20 mwaka 2018 Mkakati 1 kujenga uelewa juu ya umuhimu wa SACCOS

DED/OWECO/DCO

Mkakati 2 Kuongeza idadi ya wanachama 240 hadi 12000 mwaka 2018

DED/OWECO/DCO

Mkakati Kufundisha wanachama na wasiowanachama faida za ushirika.

Lengo 19 Kuimarisha vyama vya ushirika

Mkakati1: kufanya ukaguzi wa vyama vya kuweka na kukopa

DED/DAICO/DEMO/NGOs

Mkakati2: Kuelimisha wanachama juu ya sheria za ushirika

DED/DEMO/NGOs

Mkakati3: kufanya uchaguzi kwa kufuata sheria DED/DCO

Mkakati 4: Kuajiri afisa ushirika 2 ifikapo 2018

DED/DHRO

41

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: KILIMO

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA

Lengo 1 Kuongezeka kwa idadi ya wakulima wanaopata huduma za ugani kutoka wakulima 106,000 mwaka hadi 176,000 ifikapo mwaka 2018

Mkakati 1: kufufua na kuanzisha mashamba darasa.

6,000,000.00 8,000,000.00 8,000,000.00 8,000,000.00 8,000,000.00 TDC, CG,WAKFU

Mkakati 2: kuajiri watumishi wa ugani 10 kila mwaka kwa miaka 5

� � �

� DED/DHRO/DAICO

Mkakakti 3: kujenga kituo 1 cha maarifa kwa wakulima kila mwaka

35,000,000 35,000,000 35,000,000 35,000,000 35,000,000 TDC,

Lengo 2 Kupunguza uharibifu mazao baada ya kuvunwa kutoka 40% hadi 10% ifikapo mwaka 2018 Mkakati 1: Kutoa elimu ya uhifadhi wa mazao baada ya mavuno

2,000,000 2,000,000 2,000,000 6,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati2 Kuhamasisha sekta binasi kufungua maduka ya pembejeo

500,000.00 500,000.00 500,000.00 500,000.00 20,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 3 Kutolewa kwa elimu juu ya ujenzi maghala rahisi ya kutunzia nafaka.

500,000.00 500,000.00 500,000.00 500,000.00 20,000,000.00 DED/DAICO

Lengo 3 Kuongeza thamani ya mazao kwa 25% ifikapo 2018 Mkakati 1 kufundisha vikudi 30 namna ya usindikaji wa zao la muhogo

1,200,000 1,200,000 1,200,000 1,200,000 4,800,000.00 DED/DAICO/MIVARF

Mkakati 2 : Kujengea uwezo wa namna ya usindikaji wa korosho vikundi 30

800,000.00 800,000.00 800,000.00 800,000.00 3200,000.00 DED/DAICO/MIVARF

Mkakati 3: Kujenga viwanda 3 vya kubangua korosho vya kati (medium scale factories) ifikapo mwaka 2017

1,500,000,000.00

1,500,000,000.00

DED/MIVARF/

42

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA

Mkakati 4: Kuwajengea uwezo vikundi 5 vya usindikaji wa zao la ufuta ili kutengeneza mafuta

5,000,000,00.00 5,000,000,00.00 5,000,000,00.00

5,000,000,00.00 20,000,000.00 DED/NARI/DAICO/SID

O

Mkakati 5: Kuvijengea vikundi 2 vya Lipalwe na Mchichira/Ng’apa uwezo wa usindikaji wa zao la mpunga

5,000,000,00.00 5,000,000,00.00 5,000,000,00.00

15,000,000.00 DED/DAICIO/AGHA/C

AN FOUNDATI

ON/ Mkakati 6: Kujengea uwezo vikundi 5 katika usindikaji wa alizeti ili kutengeneza mafuta

500,000.00 500,000.00 500,000.00 500,000.00 2,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 7: kuongezausindikaji wa mazao kupitia vikundi kutoka vikundi 12 vya sasa hadi vikundi 37 vikundi 5 kila mwaka

1,200,000.00 1,200,000.00 1200,000.00 1200,000.00 4,800,000.00 DED/DAICO

Lengo 4 Kuboresha uhifadhi wa maji na udongo katika vijiji 50 ifikapo mwaka 2018 Mkakati 1 1 Kutoa elimu juu ya uhifadhi wa vyanzo vya maji

600,000.00 600,000.00 600,000.00 1800,000.00 DED/DAICO

Mkakakti 2 : Kutoa elimu sehemu hatarishi za uharibifu wa udongo vjiji vya kando ya gema la Makonde ( makonde Escarpment

500,000.00 500,000.00 500,000.00 1,500,000.00 DED/DAICO

Mkakati 3: Kuongeza matumizi ya zana bora za kilimo kutoka 5% hadi 30% ifikapo ifikapo mwaka 2018

1 kudhamini mikopo ya matrekta makubwa kwa wakulima 20

Lengo 5 Kuongezeka kwa matumizi ya mbegu bora kutoka 10% hadi 50% ifikapo mwaka 2018

43

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA

Mkakati 1 1Kununua mbegu za msingi za mahindi,karanga na mpunga kwa kuzalishia mbegu za daraja la kuazimia. (QDS)

5,000,000.00 5,000,000.00 10,000,000.00 DED/DAICO

Lengo 6 Kuongeza uelewa wa lishe katika kaya500 ifikapo 2018

Mkakati 1 :.Kuajiri afisa kilimo lishe ili kuboresha afya za watumiaji wa vyakula.

� � � � DED/DHRO/DAICO

Mkakati :2 Kufanya vikao vya tathmini ya hali ya lishe wilayani

1,200,000.00 1,200,000.00 1,200,000.00 3,600,000.00 DED/DAICO

Lengo 7 Kuongeza eneo la Umwagiliji toka ekari 506 hadi 2500 ifikapo 2018

Mkakati 1: kufundisha jamii katika maeneo ya miradi ya Ng’apa, Lipalwe na Litehu juu ya kilimo cha majaruba

2,500,000.00 2,500,000.00 2,500,000.00 2,500,000.00 10,000,000.00 DED/DIDF/ZITSU

Mkakati 2: Kuendeleza ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji katika vjiji 10 mwaka 2018

1,200.000.000.00

1,200.000.000.00

2,400,000,000.00

DED/DIDF

Lengo 8 Kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la ufuta kutoka tani 256 hadi tani 457 ifikapo mwaka 2018

Mkakati 1 Kufanya kampeni kabambe juu ya ulimaji wa zao la ufuta kwa wakulima.

5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 20,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 2 : Kuwezesha wakulima kupata mbegu za ufuta

5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 20,000,000.00 DED/DAICO

Lengo 9 Ongezeko la zao la korosho kutoka tani 34,000 hadi 55,000 ifikapo 2018

44

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA

Mkakati 1 Kufanya kampeni kabambe juu ya uzalishaji wa zao la korosho kwa wakulima

25,000,000.00 25,000,000.00 25,000,000.00

25,000,000.00 100,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 2: Uboreshaji wa mashamba ya mikorosho kwa kupanda mbegu bora.

2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 8,000,000.00 DED/DAICO

M kakati 3: Mafunzo juu matumizi ya madawa ya korosho kwa maafisa ugani/wakulima

5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 20,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 4: kuwezesha mchakato wa usambazaji pembejeo kwa kutumia mawakala

5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 20,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 5: Kujenga uwezo wa vikundi vya kuzalisha miche bora ya mikorosho /kutoa vitendea kazi

10,000,000.00 10,000,000.00 10,000,000.00

10,000,000.00 40,000,000.00 DED/DAICO

Lengo 10 Kuongezeka kwa uzalishaji wa muhogo kutoka tani 105 hadi 160,000 ifikapo ifikapo 2018

Mkakati 1: Kusambaza mbegu mbora za mihogo toka kituo cha utafiti Naliendele

2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 8,000,000.00 /DED/WAKFU/DAICO

Mkakati 2 kuzalisha mbegu bora za karanga kutuia daraja la kuazimiwa (QDS) kutumia vikundi

2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 8,000,000.00 DED/DAICO

Lengo 11

Kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la alizeti

Mkakati 1 Kuwezesha wakulima kulima alizeti

0 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 15,000,000.00 DED/DAICO

Lengo 12

Kuboresha na kuimarisha mazingira ya kazi

Mkakati 1: kujenga nyumba za maafisa ugani

30,000,000.00 30,000,000.00

30,000,000.00 90,000,000.00 DED/DAICO

45

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO

CHA PESA

Mkakati 2 : Kumalizia /kukarabati ofisi ya DAICO

20,000,000.00 20,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 3: Kujenga shedi ya kutunzia zana za kilimo ofisi ya DAICO

25,000,000.00 25,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 4: Kununua vinakilishi, printer, photocoy

10,000,000.00 10,000,000.00 DED/DAICO

Mkakati 5: kuchimba kisima cha kutunzia maji eneo la ofisi ya DAICO

15,000,000.00 15,000,000.00 DED/DAICO

LENGO 13 Kuongezeka kwa SACCOS kutoka 5 mwaka 2013 hadi 20 mwaka 2018 Mkakati 1 Kuongeza idadi ya wanachama 240 hadi 12000 mwaka 2018

2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 2,000,000.00 8,000,000.00 DED/DCO

MKAKATI 2 Kutoa elimu ya ushirika ili kuongeza idadi ya wanachama 240 hadi 12000 mwaka 2018

800,000.00 800,000.00 800,000.00 800,000.00 3,200,000.00 DED

Lengo 14 Kuimarisha vyama vya ushirika DED/

Mkakati:1 kufanya ukaguzi wa vyama vya kuweka na kukopa

2,500,000.00 2,500,000.00 3,000,000.00 3,000,000.00 10,000,000.00 DED

Mkakati2: Kuelimisha wanachama juu ya sheria za ushirika

3,000,000.00 3,000,000.00 4,000,000.00 4,000,000.00 14,000,000.00 DED

Mkakati 3: kufanya uchaguzi kwa kufuata sheria

3,000,000.00 3,000,000.00 4,000,000.00 4,000,000.00 14,000,000.00 DED

JUMLA 14,305,856,000 14,305,856,000 14,305,856,000

14,305,856,000 71,529,280,000

46

ENEO LA HUDUMA: MIFUGO

Lengo Kuu: Kuwa na ufugaji wa kisasa wenye mifugo bora yenye uzalishaji mzuri, inayofugwa kibiashara na yenye kuboresha lishe na

kuinua kipato cha mfugaji/jamii ifikapo 2018

Na Eneo la Matokeo

Lengo Mahususi Viashiria vya Utekelezaji Chanzo cha Uhakiki Dhana

1 Uzalishaji wa mifugo

Kuongezeka kwa uzito wa ng’ombe kutoka kilo 250 hadi 350 ifikapo mwaka 2016

Idadi ya kilo za nyama

Taarifa ya utekelezaji � Upatikanaji wa fedha � Utayari wa jamii � Milipuko ya magonjwa

Kuongezeka kwa uzalishaji wa maziwa kwa ng’ombe kwa mwaka kutoka lita 400 hadi 2000 ifikapo mwaka 2018

Idadi ya lita za maziwa yalio zllishwa

� Taarifa ya utekelezaji Kufuatilia kwa wafugaji

� Utayari wa jamii � Upatikanaji wa fedha � Milipuko ya magonjwa

Kuongezeka kwa uzalishaji wa mayai ya kuku kutoka 60 hadi 300 kwa mwaka ifikapo 2016

Idadi ya mayai, yaliyozalishwashwa

� Taarifa ya utekelezaji kupitia LGMD2

� Kufuatilia kwa wafugaji

� Utayari wa jamii � Upatikanaji wa fedha � Milipuko ya magonjwa

Kuongezeka kwa mbuzi walioboreshwa kutoka 217 – 3800 ifikapo 2018

Idadi ya mbuzi bora

� Taarifa kupitia LGMDG2

� Kuvitembelea vikundi

� Upatikanaji wa fedha � Milipuko ya magonjwa

Kuongezeka kwa ng’ombe wa maziwa kutoka 319 – 3600 ifikapo 2018

Idadi ya ng’ombe wa maziwa

� Taarifa za wataalam � Kufuatilia kwa

wafugaji � Taarifa kupitia

LGMD2

� Utayari wa jamii kufuga

� Ukame � Milipuko ya magonjwa � Uwepo wa fedha

2 Nyama safi

na salama Kuongeza upatikanaji wa nyama safi na salama kutoka 20% hadi 70% ifikapo 2017

Idadi ya machinjio bora Idadi ya mabucha bora

� Taarifa za wataalam wa mifugo

� Taarifa ya utekelezaji kupitia LGMD2

� Upatikanaji wa fedha (Wafadhili)

� Utayari wa jamii

3 Kujenga Uwezo

Kuongezeka kwa idadi ya wataalam wa mifugo kutoka 14 hadi 36 ifikapo 2015

Idadi ya wataalam wa Mifugo walioajiriwa

� Taarifa ya wataalam � Taarifa kupitia

LGMD2

� Utayari wa wizara � Upatikanaji wa fedha

47

Na Eneo la Matokeo

Lengo Mahususi

Viashiria vya Utekelezaji Chanzo cha Uhakiki Dhana

Kuwapatia wataalam 36 wa mifugo mafunzo rejea ifikapo 2017

Idadi ya wataalam waliopata mafunzo

� Vyeti vya kufuzu mafunzo

� Taarifa za watumishi

� Upatikanaji wa fedha

Kuongezeka kwa wataalam wa mifugo wenye Diploma ya Mifugo kutoka 9 hadi 14 ifikapo 2017

Idadi ya wataalam wa mifugo wenye shahada

� Taarifa ya idara � vyeti vya taaluma

� Upatikanaji wa fedha � Uwezo wa wizara

Kuongezeka kwa wataalam wa mifugo waliopata mafunzo ya uhamilishaji kutoka 2 hadi 14 ifikapo 2016

Idadi ya wataalam waliopata mafunzo

� Taarifa ya Mifugo � Vyeti vya kufuzu

mafunzo

� Upatikanaji wa fedha

Kuanzisha na kuimarisha vikundi 20 vya wafugaji vilivyopata mafunzo ya uhamilishaji na utambuzi wa ng’ombe walio kwenye joto na muda wa kuwapandisha ifikapo 2016

Idadi ya vikundi vilivyopata mafunzo

� Kuvitembelea vikundi

� Taarifa ya utekelezaji kupitia LGMDG2

� Upatikanaji wa fedha � Utayari wa wafugaji

4 Huduma za ugani

Kupunguza vifo vya mifugo kutokana na magonjwa kutoka 54% hadi 15% ifikapo 2018

Idadi ya mifugo iliyopata kinga/tiba

� Taarifa za wataalam wa mifugo

� Taarifa kupitia LGMD2

� Upatikanaji wa fedha � Utayari wa jamii

5 Mazingira ya kazi

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa wataalam 37 wa Mifugo na Uvuvi ifikapo 2018

Ofisi ya Mifugo na uvuvi Idadi ya nyumba za wataalam wa kata wa Mifugo

� Taarifa ya DLFDO � Kuitembelea Ofisi

� Upatikanaji wa fedha

6 Vitendea kazi

Kuongeza ufanisi wa kazi kwa wataalam 37 wa Idara ya Mifugo na Uvuvi ifikapo 2017

Vifaa vya kufanyia kazi vilivyonunuliwa

� Taarifa ya DLFDO

� Upatikanaji wa fedha

7 Miundo Mbinu

Kukamilisha ujenzi wa kituo 1 (Kliniki) cha afya cha mifugo ifikapo 2014

Idadi ya vituo vya afya ya mifugo vilivyojengwa

� Kutembelea kituo kilichojengwa

� Taarifa kupitia LGMD2

� Upatikanaji wa fedha

Kuongezeka kwa malambo ya maji kutoka 3 hadi 5 ifikapo 2018

Idadi ya malambo ya maji � Kutembelea malambo ya maji

� Taarifa ya utekelezaji

� Upatikanaji wa fedha

48

Na Eneo la Matokeo

Lengo Mahususi

Viashiria vya Utekelezaji Chanzo cha Uhakiki Dhana

Kuongezeka kwa machijio kutoka 2 hadi 7 ifikapo 2015

Idadi ya machinjio � Taarifa za wataalam � LGMD2

� Upatikanaji wa fedha

8 HIV/ UKIMWI

Kuendeleza mapanbano dhidi ya maambukizo mapya ya virus vya UKIMWI na UKIMWI kwenye makundi maalum 10 ifikapo 2018

Idadi ya vikundi Kupungua kwa maambukiza ya HIV/UKIMWI

� Taarifa za vikundi � Taarifa kupitia

LGMD2 � Kutembelea vikundi

� Upatikanaji wa fedha

Kuboresha maisha kijamii na kiuchumi kwa makundi maalum 10 ifikapo 2017

Idadi ya vikundi vilivyoboreshwa

� Taarifa za utekelezaji kupitia mfumo wa LGMDG

� Upatikanaji wa fedha

9 Hifadhi ya Mazingira

Kuongezeka kwa vijiji vilivyotenga maeneo ya malisho kutoka 2 hadi 7 ifikapo 2018

Idadi ya vijiji vilivyotenga maeneo ya malisho

Taarifa za watendaji wa vijiji � Taarifa ya wataalam

wa ardhi � Kutembelea maeneo

� Upatikanaji wa fedha � Utayari wa jamii katika

kutenga maeneo

Kuanzishwa kwa vikundi vya wafugaji vitano (5) vinavyotumia nishati ya gesi (Bio-gas) kupikia ifikapo 2018

Idadi ya vikundi vilivyoanzishwa Idadi ya vikundi vyenye nishati

� Taarifa za wataalam � Kuvitembelea

vikundi � Taarifa ya utekelezaji

kupitia LGMD2

� Upatikanaji wa fedha � Mwitikio wa jamii

10 Utawala bora

Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa kwa watumishi 14 ndani ya idara ifikapo 2015

Kupungua kwa malalamiko ya wateja

� Taarifa ya dawati la malalamiko

� Upatikanaji wa fedha � Uhiari wa watumishi

49

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: MIFUGO

Lengo Kuu: Kuwa na ufugaji wa kisasa wenye mifugo bora yenye uzalishaji mzuri, inayofugwa kibiashara na yenye kuboresha lishe na

Kuinua kipato cha mfugaji/jamii.ifikapo 2018

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 1 Kuongezeka kwa uzito wa ng’ombe kutoka kilo 250 hadi 350 ifikapo mwaka 2016

Kuanzisha vikundi vya unenepeshaji wa ng’ombe wa asili

DED, DLFDO, DPLO

Kutoa mafunzo kwa wanavikundi 20 juu unenepeshaji na utunzaji wa ng’ombe

DED, DLFDO, DSMSs

Livestock, LFOs

Kuanzisha na kutoa mafunzo kwa vyama vya wafugaji na wafanya biashara ya Mifugo (Ng’ombe )

DED, DLFDO, DTO, DCO

Lengo 2 Kuongezeka kwa uzalishaji wa maziwa kwa ng’ombe kwa mwaka kutoka lita 400 hadi 2000 ifikapo mwaka 2018

Kuboresha kosaafu kwenye ng’ombe wa maziwa kwa njia ya uhamilishaji

DLFDO, DSMSs Livestock

Kutoa mafunzo kwa vikundi vya ufugaji ng’ombe wa maziwa juu ya ufugaji bora na wa kibiashara

DED, DLFDO, DSMS Livestock

50

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 3 Kuongezeka kwa uzalishaji wa mayai ya kuku kutoka 60 hadi 300 kwa mwaka ifikapo 2016

Kufufua/kuunda vikundi 45 vya ufugaji kuku wa asili na kukarabati mabanda 45 bora ya kuku

DLFDO, DSMSs Livestock

Kuboresha kosaafu kwenye kuku wa asili kwa kununua majogoo 200 ya kisasa

DED, DLFDO, DSMSs Livestock

Kuendesha mafunzo kwa wanavikundi juu ya teknolojia za ufugaji bora wa kuku

DLFDO, DSMS Livestock, LFOs

Lengo 4 Kuongezeka kwa mbuzi walioboreshwa kutoka 217 – 3800 ifikapo 2018

Kuendeleza vituo vya uboreshaji mbuzi wa asili kwa kununua mbuzi (madume/majike) bora

DED, DLFDO, DSMS Livestock

Kutoa mafunzo juu ya uboreshaji mbuzi wa asili na ufugaji bora kwenye vikundi

DLFDO, DSMS Livestock, LFOs

Lengo 5 Kuongezeka kwa ng’ombe wa maziwa kutoka 319 – 3600 ifikapo 2018

Kuendeleza mfumo wa kopa ng’ombe lipa ng’ombe kwa kuchangia kununua ng’ombe 105 wa maziwa na kusambaza kwenye vikundi

DED, DLFDO

51

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kutoa mafunzo kwenye vikundi cha ufugaji ng’ombe wa maziwa juu ya utunzaji na kanuni /masharti ya ufugaji ng’ombe wa maziwa

DLFDO, DSMS Livestock

Lengo 6 Kuongeza upatikanaji wa nyama safi na salama kutoka 20% hadi 70% ifikapo 2017

Kujenga machinjio ndogo 10 (slaughter slabs) katika vijiji vinavyochinja mifugo (ng’ombe, mbuzi, kondoo) kwa wingi

DED, DLFDO, DPLO

Kujenga mabucha 30 katika vijiji vinavyochinja mifugo ili kuwa na sehemu salama za kuuzia nyama

DED, DLFDO, DPLO

Kuhamasisha uundwaji wa vikundi vya tasnia ya nyama na kuvipatia mafunzo juu ya sheria ya nyama Na. 10 ya mwaka 2006, sheria ya magonjwa ya mifugo Na. 17 ya mwaka 2003 na sheria ya chakula na dawa (TFDA) Na. 1 ya mwaka 2003

DLFDO, DCDO

Lengo 7 Kuongezeka kwa idadi ya wataalam wa mifugo kutoka 14 hadi 36 ifikapo 2015

Kuajiri wataalam 22 wa taaluma ya Mifugo wenye ngazi mbalimbali

DED, DHRO, DLFDO

52

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 8 Kuwapatia wataalam 36 wa mifugo mafunzo rejea ifikapo 2017

Kuwawezesha wataalam 36 wa mifugo kwenda kozi fupi za mifugo ili kwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia katika fani ya Mifugo

DED, DLFDO

Lengo 9 Kuongezeka kwa wataalam wa mifugo wenye Diploma ya Mifugo kutoka 9 hadi 14 ifikapo 2017

Kuwawezesha wataalam 6 walio na cheti kwenda vyuo vya mifugo kusoma masomo ya Diploma ya Mifugo

DED, DHNRO, DLFDO

Lengo 10 Kuongezeka kwa wataalam wa mifugo waliopata mafunzo ya uhamilishaji kutoka 2 hadi 14 ifikapo 2016

Kuwawezesha wataalam 12 kupata mafunzo ya uzalishaji wa ng’ombe kwa njia ya chupa NAIC – ARUSHA

DED, DLFDO

Kununua mbegu bora (semen) na vifaa vya kupandishia

Lengo 11 Kuanzisha na kuimarisha vikundi 20 vya wafugaji vilivyopata mafunzo ya uhamilishaji na utambuzi wa ng’ombe walio kwenye joto na muda wa kuwapandisha ifikapo 2016

53

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kutoa mafunzo ya upandishaji ng’ombe kwa njia ya chupa, kutambua dalili za ng’ombe aliye katika joto na muda wa kupandishwa katika vikundi 20 vinavyofuga ng’ombe wa maziwa

DLFDO, DSMS Livestock, LFOs

(outsource)

Lengo 12 Kupunguza vifo vya mifugo kutokana na magonjwa kutoka 54% hadi 15% ifikapo 2018

Kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya mlipuko (homa ya mapafu ya ng’ombe (CBPP), homa ya mapafu ya mbuzi (CCPP), mdondo wa kuku (NCD), sotoka ya mbuzi (PPR), kichaa cha mbwa (Rabies))

DLFDO, DVO, DSMS Livestock

Ujenzi wa vituo (Kliniki) 2 vya uchunguzi magonjwa ya mifugo kimaabara

DED, DLFDO, DE

Kuanzisha vituo 4 vya ukaguzi wa mifugo na mazao yake

DED, DLFDO

Kujenga vituo 2 vya kukusanyia mifugo (Holding Grounds) inayoingia wilayani ili kuchunguza kama inamagonjwa kabla ya kusambaa ndani ya wilaya

DED, DLFDO, DVO, DPLO

54

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kutoa mafunzo kwa viongozi wa vijiji, wafugaji juu ya udhibiti wa magonjwa na sheria za magonjwa ya mifugo Na. 17 ya mwaka 2003

DLFDO, DVO

Lengo 13 Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa wataalam 37 wa Mifugo na Uvuvi ifikapo 2018

Ujenzi wa Ofisi ya Idara ya Mifugo na Uvuvi (W),

DED, DE, DLFDO, PO

Ujenzi wa nyumba 5 za wataalam wa mifugo wa kata

DED, DE, DLFDO, PO

Lengo 14 Kuongeza ufanisi wa kazi kwa wataalam 37 wa Idara ya Mifugo na Uvuvi ifikapo 2017

Ununuzi wa gari ya Idara ya Mifugo na Uvuvi

DED, DLFDO, PO

Kuwawezesha wataalam kufanya kazi kwa ufanisi kwa kuwapa vyombo vya usafiri (pikipiki 15)

DED, DLFDO, PO

Ununuzi wa samani za ofisi, Kompyuta (laptops 5), printa 1, photocopy machine 1, Scaner 1, power point 1

DED, DLFDO, PO

Lengo 15 Kukamilisha ujenzi wa kituo 1 (Kliniki) cha afya cha mifugo ifikapo 2014

Ukamilishaji wa ujenzi wa Kliniki ya mifugo

DED, DE, DLFDO, PO

55

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Ununuzi wa samani za kliniki ya Mifugo

DED, DLFDO, PO

Lengo 16 Kuongezeka kwa malambo ya maji kutoka 3 hadi 5 ifikapo 2018

Kuhakikisha kuwa maji kwa ajili ya kunyweshea mifugo yanapatikana kwa kuchimba malambo 2

DED, DWE, DLFDO

Lengo 17 Kuongezeka kwa machijio kutoka 2 hadi 7 ifikapo 2015

Kuhakikisha kuwa ukaguzi wa nyama unafanyika kwa kuzingatia sheria kwa kujenga machinjio ndogo (Slaughter slabs) 5

Lengo 18 Kuendeleza mapanbano dhidi ya maambukizo mapya ya virus vya UKIMWI na UKIMWI kwenye makundi m aalum 10 ifikapo 2018

Kutoa mafunzo ya kujikinga na maambukizi ya HIV/UKIMWI kwenye makundi maalum 10

DSWO, DCO, DLFDO, DMO,

CHAC

Lengo 19 Kuboresha maisha kijamii na kiuchumi kwa makundi maalum 10 ifikapo 2017

Kuwaboresha kijamii na kiuchumi vikundi 2 vya watu wanaoishi na HIV/UKIMWI kwa kuwachangia ng’ombe wa maziwa

DED, DLFDO

56

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kuboresha maisha ya vikundi 3 vya walemavu wa ngozi kwa kuchangia ng’ombe wa maziwa

DED, DLFDO

Kuboresha maisha ya vikundi 5 vya walemavu wa viungo kwa kuwachangia kuku

DED, DLFDO

Kuwajengea uwezo vikundi 10 vya makundi maalum juu ya ufugaji wa kibiashara

DLFDO, DSWO

Lengo 20 Kuongezeka kwa vijiji vilivyotenga maeneo ya malisho kutoka 2 hadi 7 ifikapo 2018

Kupanga matumizi bora ya ardhi katika vijiji 5 vinavyofuga ng’ombe

DLNREO, DLFDO, DCDO

Lengo 21 Kuanzishwa kwa vikundi vya wafugaji vitano (5) vinavyotumia nishati ya gesi (Bio-gas) kupikia ifikapo 2018

Kuwawezesha wanavikundi katika vikundi 5 vya ufugaji wa ndani wa ng’ombe wa maziwa kutumia nishati ya Bio-gas

DED, DLFDO, DSMS Livestock

Kuwajengea uwezo wanavikundi vya ufugaji wa ng’ombe wa maziwa juu ya matumizi ya Bio-gas

DLFDO, DSMS Livestock

Lengo 22 Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa kwa watumishi 14 ndani ya idara ifikapo 2015

57

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kutoa elimu kuhusu athari za rushwa kijamii na kiuchumi

DED, PCCB, DLFDO

58

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: MIFUGO

Lengo Kuu: Kuwa na ufugaji wa kisasa wenye mifugo bora yenye uzalishaji mzuri, inayofugwa kibiashara na yenye kuboresha lishe na

Kuinua kipato cha mfugaji/jamii ifikapo 2018

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 1 Kuongezeka kwa uzito wa ng’ombe kutoka kilo 250 hadi 350 ifikapo mwaka 2016

Kuanzisha vikundi vya unenepeshaji wa ng’ombe wa asili

15,800,000 15,800,000 31,600,000 TDC, MLFD, Wafadhili

Kutoa mafunzo kwa wanavikundi 20 juu unenepeshaji na utunzaji wa ng’ombe

5,500,000 4,900,000 10,400,000 TDC, NGOs,Wafadhili

Kuanzisha na kutoa mafunzo kwa vyama vya wafugaji na wafanya biashara ya Mifugo (Ng’ombe )

4,600,000 2,000,000 6,600,000 TDC, Act!on Aid, Wafadhili

Lengo 2 Kuongezeka kwa uzalishaji wa maziwa kwa ng’ombe kwa mwaka kutoka lita 400 hadi 2000 ifikapo mwaka 2018

Kuboresha kosaafu kwenye ng’ombe wa maziwa kwa njia ya uhamilishaji

6,600,000 6,000,000 7,000,000 8,000,000 10,000,000 37,600,000 TDC, Wafadhili

Kutoa mafunzo kwa vikundi vya ufugaji ng’ombe wa maziwa juu ya ufugaji bora na wa kibiashara

3,000,000 2,000,000 3,900,000 8,900,000 TDC, Wafadhili, NGOs,

Development

59

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Partners (DP)

Lengo 3 Kuongezeka kwa uzalishaji wa mayai ya kuku kutoka 60 hadi 300 kwa mwaka ifikapo 2016

Kufufua/kuunda vikundi 45 vya ufugaji kuku wa asili na kukarabati mabanda 45 bora ya kuku

10,500,000 8,500,000 19,000,000 TDC, NGOs, CG, Wafadhili.

Kuboresha kosaafu kwenye kuku wa asili kwa kununua majogoo 200 ya kisasa

8,500,000 8,500,000 TDC, Wafadhili, DP, NGOs

Kuendesha mafunzo kwa wanavikundi juu ya teknolojia za ufugaji bora wa kuku

3,000,000 3,000,000 6,000,000 TDC, Wafadhili

Lengo 4 Kuongezeka kwa mbuzi walioboreshwa kutoka 217 – 3800 ifikapo 2018

Kuendeleza vituo vya uboreshaji mbuzi wa asili kwa kununua mbuzi (madume/majike) bora

3,900,000 6,800,000 6,000,000 6,000,000 22,700,000 TDC, Wafadhili

Kutoa mafunzo juu ya uboreshaji mbuzi wa asili na ufugaji bora kwenye vikundi

2,400,000 3,600,000 6,000,000 TDC, Wafadhili, NGOs

Lengo 5 Kuongezeka kwa ng’ombe wa maziwa kutoka 319 – 3600 ifikapo 2018

Kuendeleza mfumo wa kopa ng’ombe lipa ng’ombe kwa kuchangia kununua ng’ombe 105 wa maziwa na kusambaza kwenye vikundi

17,850,000 17,850,000 17,850,000 17,850,000 17,850,000 89,250,000 TDC, Wafadhili

60

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Kutoa mafunzo kwenye vikundi cha ufugaji ng’ombe wa maziwa juu ya utunzaji na kanuni /masharti ya ufugaji ng’ombe wa maziwa

2,500,000 3,500,000 3,500,000 4,500,000 5,500,000 19,500,000 TDC, Wafadhili

Lengo 6 Kuongeza upatikanaji wa nyama safi na salama kutoka 20% hadi 70% ifikapo 2017

Kujenga machinjio ndogo 10 (slaughter slabs) katika vijiji vinavyochinja mifugo (ng’ombe, mbuzi, kondoo) kwa wingi

25,000,000 15,000,000 10,000,000 50,000,000 TDC, Wafadhili

Kujenga mabucha 30 katika vijiji vinavyochinja mifugo ili kuwa na sehemu salama za kuuzia nyama

30,000,000 30,000,000 30,000,000 90,000,000 CG/Jamii, NGOs

Kuhamasisha uundwaji wa vikundi vya tasnia ya nyama na kuvipatia mafunzo juu ya sheria ya nyama Na. 10 ya mwaka 2006, sheria ya magonjwa ya mifugo Na. 17 ya mwaka 2003 na sheria ya chakula na dawa (TFDA) Na. 1 ya mwaka 2003

5,600,000 5,600,000 11,200,000 TDC, NGOs

Lengo 7 Kuongezeka kwa idadi ya wataalam wa mifugo kutoka 14 hadi 36 ifikapo 2015

Kuajiri wataalam 22 wa taaluma ya Mifugo wenye ngazi mbalimbali

28,200,000 29,200,000 30,200,000 35,200,000 40,200,000 163,000,000 TDC, Hazina

Lengo 8 Kuwapatia wataalam 36 wa mifugo mafunzo rejea ifikapo 2017

Kuwawezesha wataalam 36 wa 5,000,000 7,000,000 8,000,000 20,000,000 TDC, Wafadhili

61

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

mifugo kwenda kozi fupi za mifugo ili kwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia katika fani ya Mifugo

Lengo 9 Kuongezeka kwa wataalam wa mifugo wenye Diploma ya Mifugo kutoka 9 hadi 14 ifikapo 2017

Kuwawezesha wataalam 6 walio na cheti kwenda vyuo vya mifugo kusoma masomo ya Diploma ya Mifugo

5,500,000 6,500,000 7,500,000 19,500,000 TDC, MLFD

Lengo 10 Kuongezeka kwa wataalam wa mifugo waliopata mafunzo ya uhamilishaji kutoka 2 hadi 14 ifikapo 2016

Kuwawezesha wataalam 12 kupata mafunzo ya uzalishaji wa ng’ombe kwa njia ya chupa NAIC – ARUSHA

3,000,000 5,000,000 8,000,000 TDC, Wafadhili

Kununua mbegu bora (semen) na vifaa vya kupandishia

4,500,000 6,500,000 11,000,000 TDC, Wafadhili

Lengo 11 Kuanzisha na kuimarisha vikundi 20 vya wafugaji vilivyopata mafunzo ya uhamilishaji na utambuzi wa ng’ombe walio kwenye joto na muda wa kuwapandisha ifikapo 2016

Kutoa mafunzo ya upandishaji ng’ombe kwa njia ya chupa, kutambua dalili za ng’ombe aliye katika joto na muda wa kupandishwa katika vikundi 20 vinavyofuga ng’ombe wa maziwa.

6,800,000 6,800,000 TDC, Wafadhili, NGOs

62

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 12 Kupunguza vifo vya mifugo kutokana na magonjwa kutoka 54% hadi 15% ifikapo 2018

Kudhibiti na kutokomeza magonjwa ya mlipuko (homa ya mapafu ya ng’ombe (CBPP), homa ya mapafu ya mbuzi (CCPP), mdondo wa kuku (NCD), sotoka ya mbuzi (PPR), kichaa cha mbwa (Rabies))

15,000,000 10,000,000 12,000,000 14,000,000 16,000,000 67,000,000 TDC, MLFD, Wafadhili

Ujenzi wa vituo (Kliniki) 2 vya uchunguzi magonjwa ya mifugo kimaabara

45,000,000 50,000,000 95,000,000 TDC, Wafadhili

Kuanzisha vituo 4 vya ukaguzi wa mifugo na mazao yake

4,0000,000 6,500,000 10,500,000 TDC

Kujenga vituo 2 vya kukusanyia mifugo (Holding Grounds) inayoingia wilayani ili kuchunguza kama inamagonjwa kabla ya kusambaa ndani ya wilaya

15,000,000 15,000,000 TDC, Wafadhili

Kutoa mafunzo kwa viongozi wa vijiji, wafugaji juu ya udhibiti wa magonjwa na sheria za magonjwa ya mifugo Na. 17 ya mwaka 2003

3,400,000 2,300,000 5,600,000 TDC, NGOs

Lengo 13 Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi kwa wataalam 37 wa Mifugo na Uvuvi ifikapo 2018

Ujenzi wa Ofisi ya Idara ya Mifugo na Uvuvi (W), na ununizi wa

85,000,000 85,000,000 TDC, Wafadhili

63

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

samani

Ujenzi wa nyumba 5 za wataalam wa mifugo wa kata

60,000,000 70,000,000 70,000,000 200,000,000 TDC, Wafadhili

Lengo 14 Kuongeza ufanisi wa kazi kwa wataalam 37 wa Idara ya Mifugo na Uvuvi ifikapo 2017

Ununuzi wa Gari ya Idara ya Mifugo na Uvuvi

250,000,000 250,000,000 Wafadhili, TDC

Kuwawezesha wataalam kufanya kazi kwa ufanisi kwa kuwapa vyombo vya usafiri (pikipiki 15)

18,750,000 18,750,000 37,500,000 TDC, Wafadhili

Ununuzi wa samani za ofisi, Kompyuta (laptops 5), printa 1, photocopy machine 1, Scaner 1, power point 1

15,000,000 15,000,000 TDC, Wafadhili

Lengo 15 Kukamilisha ujenzi wa kituo 1 (Kliniki) cha afya cha mifugo ifikapo 2014

Ukamilishaji wa ujenzi wa Kliniki ya mifugo

47,000,000 47,000,000 TDC, Wafadhili

Ununuzi wa samani za kliniki ya Mifugo

11,000,000 11,000,000 TDC. Wafadhili

Lengo 16 Kuongezeka kwa malambo ya maji kutoka 3 hadi 5 ifikapo 2018

Kuhakikisha kuwa maji kwa ajili ya kunyweshea mifugo yanapatikana kwa kuchimba malambo 2

45,000,000 45,000,000 90,000,000 TDC, Wafadhili

64

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 17 Kuongezeka kwa machijio kutoka 2 hadi 7 ifikapo 2015

Kuhakikisha kuwa ukaguzi wa nyama unafanyika kwa kuzingatia sheria kwa kujenga machinjio ndogo (Slaughter slabs) 5

30,000,000 30,000,000 TDC, Wafadhili

Lengo 18 Kuendeleza mapanbano dhidi ya maambukizo mapya ya virus vya UKIMWI na UKIMWI kwenye makundi maalum 10 ifikapo 2018

Kutoa mafunzo ya kujikinga na maambukizi ya HIV/UKIMWI kwenye makundi maalum 10

4,500,000 4,500,000 TDC, Wafadhili

Lengo 19 Kuboresha maisha kijamii na kiuchumi kwa makundi maalum 10 ifikapo 2017

Kuwaboresha kijamii na kiuchumi vikundi 2 vya watu wanaoishi na HIV/UKIMWI kwa kuwachangia ng’ombe wa maziwa

11,350,000 11,350,000 22,700,000 TDC, Wafadhili

Kuboresha maisha ya vikundi 3 vya walemavu wa ngozi kwa kuchangia ng’ombe wa maziwa

6,950,000 6,950,000 TDC, Wafadhili

Kuboresha maisha ya vikundi 5 vya walemavu wa viungo kwa kuwachangia kuku

8,000,000 9,000,000 17,000,000 TDC, wafadhili, NGOs

Kuwajengea uwezo vikundi 10 vya makundi maalum juu ya ufugaji wa kibiashara

5,500,000 5,500,000 TDC, Wafadhili, NGOs

65

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 20 Kuongezeka kwa vijiji vilivyotenga maeneo ya malisho kutoka 2 hadi 7 ifikapo 2018

Kupanga matumizi bora ya ardhi katika vijiji 5 vinavyofuga ng’ombe

4,500,000 6,900,000 11,300,000 TDC, Wafadhili

Lengo 21 Kuanzishwa kwa vikundi vya wafugaji vitano (5) vinavyotumia nishati ya gesi (Bio-gas) kupikia ifikapo 2018

Kuwawezesha wanavikundi katika vikundi 5 vya ufugaji wa ndani wa ng’ombe wa maziwa kutumia nishati ya Bio-gas

17,200,000 17,200,000 TDC, Wafadhili, Jamii

Kuwajengea uwezo wanavikundi vya ufugaji wa ng’ombe wa maziwa juu ya matumizi ya Bio-gas

3,400,000 3,400,000 TDC, Wafadhili, NGOs

Lengo 22 Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa kwa watumishi 14 ndani ya idara ifikapo 2015

Kutoa elimu kuhusu athari za rushwa kijamii na kiuchumi

2,500,000 2,500,000 TDC

JUMLA KUU 135,050,000 487,650,000 689,550,000 318,200,000 100,950,000 1,695,200,000

66

ENEO LA HUDUMA: UVUVI

Lengo Kuu: Hifadhi, uendelezaji na matumizi endelevu ya raslimali za bahari kwa manufaa ya vizazi vijavyo ifikapo 2018

Na Eneo la Matokeo

Lengo Mahususi

Viashiria vya Utekelezaji Chanzo cha Uhakiki Dhana

1 Uzalishaji wa samaki

Kuanzisha uzalishaji wa samaki kufikia tani 20 ifikapo 2016

Idadi ya tani za samaki � Taarifa za wataalam � Taarifa kupitia LGMD2

� Mwitikio wa wavuvi/jamii

� Uwepo wa fedha 2 HIV/

UKIMWI Kuendeleza mapambano ya maambukizi ya virus

vya UKIMWI na UKIMWI kwa vijiji 10 vilivyo kandokando ya mto Ruvuma ifikapo 2018

Idadi ya vijiji vilivyofikiwa � Taarifa ya mafunzo � Kuvitembelea vijiji

� Mwitikio wa jamii � Upatikanaji wa

fedha

67

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: UVUVI

Lengo Kuu: Hifadhi, uendelezaji na matumizi endelevu ya raslimali za bahari kwa manufaa ya vizazi vijavyo ifikapo 2018

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 1 Kuanzisha uzalishaji wa samaki kufikia tani 20 ifikapo 2016

Kuhamasisha wananchi katika vijiji 15 kuchimba mabwawa ya kufugia samaki

DLFDO, DFO, DSMS fisheries

Kuanzishwa kwa vikundi 5 vyenye nia thabiti ya kuanzisha ufugaji wa samaki

DLFDO, DFO, DSMS fisheries

Kununua vifaranga vya samaki na kuvisambaza kwenye vikundi

DED, DLFDO, DFO

Kutoa mafunzo kwa wanavikundi juu ya ufugaji bora wa samaki na sheria za uvuvi

DLFDO, DFO, DSMS fisheries

Lengo 2 Kuendeleza mapambano ya maambukizi ya virus vya UKIMWI na UKIMWI kwa vijiji 10 vilivyo k andokando ya mto Ruvuma ifikapo 2018

68

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kutoa mafunzo ya kujikinga na maambukizi ya HIV/UKIMWI kwenye vijiji10

69

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: UVUVI

Lengo Kuu: Hifadhi, uendelezaji na matumizi endelevu ya raslimali za bahari kwa manufaa ya vizazi vijavyo ifikapo 2018

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 1 Kuanzisha uzalishaji wa samaki kufikia tani 20 ifikapo 2016

Kuhamasisha wananchi katika vijiji 15 kuchimba mabwawa ya kufugia samaki

4,360,000 4,200,000 8,560,000 TDC, CG, Jamii

Kuanzishwa kwa vikundi 5 vyenye nia thabiti ya kuanzisha ufugaji wa samaki

3,700,000 2,450,000 5,150,000 TDC, DADPs, Wafadhili

Kununua vifaranga vya samaki na kuvisambaza kwenye vikundi

5,000,000 5,900,000 10,900,000 TDC, MLFD, Wafadhili

Kutoa mafunzo kwa wanavikundi juu ya ufugaji bora wa samaki na sheria za uvuvi

6,000,000 6,000,000 TDC, NGOs

Lengo 2 Kuendeleza mapambano ya maambukizi ya virus vya UKIMWI na UKIMWI kwa vijiji 10 vilivyo kandokando ya mto Ruvuma ifikapo 2018

Kutoa mafunzo ya kujikinga na maambukizi ya HIV/UKIMWI kwenye vijiji10

4,600,000 6,900,000 4,200,000 15,700,000 TDC, Wafadhili, NGOs

70

EENEO LA HUDUMA: ELIMU YA MSINGI

LENGO KUU: Ifikapo mwaka 2018, mazingira ya kufundishia na kujifunzia yawe yameboreshwa ili kutoa fursa ya kutoa elimu bora itakayoinua maisha ya jamii ili kuondoa umaskini.

SN ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

1. Uandikishaji wa wanafunzi

Kuongeza watoto wanaosajiliwa wenye umri wa kwenda shule kutoka 83% hadi 94% ya wanaoandikishwa ifikapo 2018

Usajili ufikie 94% ya uandikishaji - Madodoso ya TSM - Taarifa za mwezi, robo,

nusu na mwaka - Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kushiriki kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao

Kuongeza watoto wanaosajiliwa kutoka shule za awali kuingia darasa la I wenye umri wa kwenda shule kutoka 72% hadi 85% wanaandikishwa ifikapo 2018

Usajili ufikie 85% ya uandikishaji - Madodoso ya TSA - Taarifa za mwezi, robo,

nusu na mwaka - Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kushiriki kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao

Watoto wanaosajiliwa kuanza madarasa ya awali wanaongezeka kutoka 58% hadi 65% 1fikapo 2018

Usajili ufikie 65% ya uandikishaji - Madodoso ya TSA - Taarifa za mwezi, robo,

nusu na mwaka - Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kushiriki kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao

Kuongeza asilimia ya usajili kwenye shule za ufundi ukue kutoka 42% hadi 50% ifikapo 2018

Usajili ufikie 50% ya uandikishaji - Taarifa za mwezi, robo,

nusu na mwaka - Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kushiriki kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao

2

Mahudhurio na kudumu shuleni

Kupunguza au kuacha utoro shuleni � Kwenye shule za Awali kutoka 21%

hadi 6% na � Kwenye shule za msingi kutoka 18%

hadi 12% ifikapo 2018

� Utoro upungue hadi 6% kwa shule za awali na 12% kwa shule za msingi

- Madodoso ya TSM & TSA - Taarifa za mwezi, robo,

nusu na mwaka - Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kushiriki kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao

Kuongeza asilimia ya watoto wanaoanza darasa la I waendelee na masomo na kufanya mitihani � Darasa la IV kutoka 89% hadi 92% � Darasa la VII kutoka 68% hadi 75%

ifikapo 2018

� Ongezeko la wanaoendelea na masomo na kufanya mitihani ifikie 92% kwa darasa la IV na 75% kwa darasa la VII

- Madodoso ya TSM - Taarifa za mwezi, robo,

nusu na mwaka Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kushiriki kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao

3. Miundombinu (Infrastructure)

Kuongezwa kwa idadi ya majengo yanayojengwa shuleni ifikapo 2018

Kuongezeka majengo mapya yaliyojengwa

- Madodoso ya TSM & TSA - Taarifa za mwezi, robo,

� Jamii itashiriki kikamilifu kusimamia

71

SN ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

(a) Majengo � Madarasa ya awali kutoka 4 hadi 25 � Madarasa ya shule za msingi kutoka 771

hadi 820 � Nyumba za walimu kutoka 228 hadi240 Ukarabati wa majengo ufanywe ifikapo 2018 � Ukarabati wa nyumba 70 za walimu � Ukarabati wa madarasa 150 � Ujenzi wa matundu ya vyoo kwa ajili ya

wasichana ufikie matundu 1079 kutoka 380 na wavulana ufikie matundu 872 kutoka 371

� Kujenga/kukarabati matanki ya maji chini ya ardhi 50.

� Madarasa ya awali 25 � Madarasa ya msingi 820 � Nyumba za walimu 240 Kufanyika kwa ukarabati wa � Nyuma 70 � Madarasa 150 � vyoo kwa ajili ya wasichana

ufikie matundu 1079 na wavulana kufikia matundu 872.

� Idadi ya matanki yaliyojengwa/karabatiwa

nusu na mwaka - Ufuatiliaji

maendeleo ya elimu ya watoto wao

� Utayari wa jamii kuanzisha shirika la kusimamia ubora wa elimu kupitia makato ya mapato ya zao la korosho

(b) Samani Kuongezwa kwa idadi ya samani shuleni ifikapo 2018 � Madawati kwenye shule za awali kutoka

221 hadi 400 � Madawati kwenye shule za msingi

kutoka 18,264 hadi 22,000. � Meza za walimu 963 hadi 1200 kwa

shule za Msingi � Meza za walimu 18 hadi 100 kwa shule

za awali � Viti vya walimu 116 hadi 250 kwa shule

za Msingi � Viti vya walimu 22 hadi 100 kwa shule

za awali

Kuongezwa kwa samani mpya zilizotengenezwa � Madawati 400 ya shule za

awali � Madawati 3800 ya shule za

msingi � Meza 1300 � Viti 350

- Madodoso ya TSM & TSA - Taarifa za mwezi, robo,

nusu na mwaka - Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kushiriki kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao Utayari wa jamii kuanzisha shirika la kusimamia ubora wa elimu kupitia makato ya mapato ya zao la korosho

(c) Vifaa Vya kujifunzia na kufundishia

� Kuhakikisha uwiano wa vitabu vya kujifunzia unakuwa 1:1(UKM) ifikapo mwaka 2018

� Kuhakikisha vifaa vya kufundishia vinaongezeka kwa kila somo kwa uwiano wa shule kwa vifaa kufikia 1:13 kutoka 1:9

Kuongezeka kwa vitabu vya kujifunzia (kiada) UKM 1:1 na vifaa vya kufundishia kufikia 1:13

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

Utayari wa jamii kuanzisha shirika la kusimamia ubora wa elimu kupitia makato ya mapato ya zao la korosho

4. Ustawi wa Walimu Ifikapo mwaka 2018 � Kuongeza walimu sambamba na

kupungua kwa kustaafu na mengineyo

� Ongezeko la uwiano wa mwalimu kwa mwanafunzi lipungue hadi 1:45

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

Utayari wa jamii kuanzisha shirika la kusimamia ubora wa elimu

72

SN ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

ifikapo mwaka 2018 ifikie 1: 45 badala ya 1:65 ya sasa.

� Kuhakikisha walimu viongozi wapya wanapata mafunzo ya uongozi kozi 1 kwa mwaka.

� Kuhakikisha walimu wanapata mafunzo ya mada ngumu/tata, masomo 2 kwa mwaka

� Walimu 60 wapate fursa ya kulipiwa masomo ya kujiendeleza

� Kusomesha walimu 100 wa english, sayansi na hisabati kwa mkataba maalum

� Kusomesha walimu 75 ujuzi wa kutumia kompyuta.

� Idadi ya mafunzo ya uongozi na utawala wa Elimu kwa viongozi wa kata na shule kwa mwaka

� Idadi ya masomo ya mada ngumu yatakayofanyika kwa mwaka

� Idadi ya walimu watakaolipiwa masomo

� Idadi ya walimu watakaosomeshwa kwa mkataba

� Idadi ya walimu watakaosomeshwa ujuzi wa kompyuta.

- Ufuatiliaji kupitia makato ya mapato ya zao la korosho Utayari wa Serikali na Halmashauri kutenga bajeti ya kuendesha mafunzo ya uongozi, masomo tata.

5. Utamaduni na Michezo

Kuimarisha utamaduni na michezo ifikapo 2018 (a) Michezo � Kuongezeka usajili wa vilabu vya

mpira wa miguu kutoka 37 hadi 60 � Kuwapo kwa timu 1 ya wilaya ya

mpira wa miguu ya wanawake � Kuongeza kiwanja cha michezo chenye

uzio wa tofali kutoka 1 kilichopo hadi 2 chenye uwezo wa kuchukua michezo mingi

� Kuongeza idadi ya michezo mfano mpira wa kikapu, wavu, pete, mikono, riadha nk ikiwemo ya jadi (bao, kulenga shabaha nk) itakayoshindanishwa katika ngazi mbalimbali.

� Kuendesha ligi ya kombe la wilaya kwa vilabu 37 na timu za Tarafa kwa michezo mbalimbali.

� Kuendesha mafunzo kwa walimu wa michezo walao kila mchezo mara 1

� Idadi ya vilabu vilivyosajiliwa ifikie 60

� Kuanzishwa kwa timu 1 ya wilaya ya mpira wa miguu ya wasichana

� Kiwanja 1 cha michezo chenye uzio kitakachojengwa

� Idadi ya michezo ya kisasa na jadi iliyoongezeka

� Idadi ya timu zitakazoshiriki kwenye mashindano ya wilaya kwa ngazi vilabu na tarafa.

� Idadi ya walimu na aina ya michezo itakayotolewa mafunzo.

� Idadi na aina ya vifaa vitakavyosambazwa kwenye shule.

� Idadi ya vilabu vya michezo isiyopewa kipaumbele iliyoanzishwa

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Utayari wa wadau kuchangia maendeleo ya michezo wilayani

� Utayari wa wadau hasa shule za msingi na sekondari kujifunza michezo mbalimbali ikiwemo ya jadi

� Utayri wa Wadau kuanzisha vilabu vya michezo mbalimbali.

73

SN ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

kwa mwaka. � Kuhakikisha usambazaji wa vifaa vya

michezo hadi kufikia aina 3 (mirusho) kutoka aina 1 (mipira)

� Kuhamasisha uanzishaji wa vilabu 10 vya michezo isiyopewa kipaumbele

(b) Sanaa � Kuvitambua na kuvisajili vikundi vya

sanaa kutoka 9 vya sasa hadi 25 � Kusimamia na kuendesha maonesho ya

kazi mbalimbali za sanaa mara 1 kwa mwaka.

� Kusimamia na kuendesha matamasha ya kazi mbalimbali za sanaa mara 1 kwa mwaka.

� Kuwa na kituo 1 cha utamaduni, mila na desturi.

� Idadi ya vikundi vya sanaa vilivyotambuliwa na kusajiliwa

� Idadi ya sanaa za maonesho yaliyofanyika kwa mwaka.

� Idadi ya matamasha ya sanaa yaliyofanyika kwa mwaka

� Idadi ya kituo 1 cha utamaduni, mila na desturi.

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Utayri wa wadau kujenga kumbi za kisasa za burdani

� Utayari wa Jamii kushiriki

(c) Vivutio vya Asili � Kuimarisha maeneo yenye vivutio vya

asili.

Idadi ya maeneo yaliyopendekezwa kuwa na vivutio vya asili.

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Ushiriki wa jamii katika kubaini maeneo mapya yenye vivutio vya asili

6. Maswala Mtambuka

(a) UKIMWI � Kuendeleza mapambano dhidi ya

maambukizi mapya ya UKIMWI na virusi vya UKIMWI kwenye shule zote 117 na watumishi ofisi za kata na wilaya.

� Idadi ya vilabu vilivyoanzishwa kwenye ngazi ya shule

� Kuanzishwa kwa kilabu ngazi ya wilaya

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

(b) Rushwa � Kuimarishwa vita dhidi ya rushwa

kwenye shule zote 117 na watumishi ofisi za kata na wilaya.

� Idadi ya vilabu vilivyoanzishwa kwenye ngazi ya shule

� Kuanzishwa kwa kilabu ngazi ya wilaya

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Ushiriki wa Jamii katika uzuiaji na kuchukia rushwa.

(c) Mazingira � Shule zote 117 zitashindanishwa kila

mwaka katika uhifadhi wa mazingira.

Idadi ya shule zilizoshindanishwa - Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Utayari wa shule kuanzisha na kuimarisha vilabu vya utunzaji wa mazingira ya shule

74

SN ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

(d) Jinsia � Wanafunzi kutoka shule 30

watahamasishwa juu ya uwezo na nafasi sawa katika masomo na utendaji mwingine

Idadi ya shule na wanafunzi wanaoshiriki kwenye makongamano ya jinsia

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

(e) Walemavu � Kuimarisha shule 1 ya walemavu wa

akili iliyopo. � Kutoa mahitaji yanayowakwaza

walemavu 10 waliopo kwenye shule za msingi.

� Idadi ya mipango ya kuendeleza shule ya walemavu wa akili.

� Idadi ya walemavu waliosaidiwa kutatua vikwazo vya kujifunza

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Utayri wa Wadau kushiriki katika kuendeleza elimu ya walemavu wa akili na waliopo kwenye shule za kawaida.

7 Usimamizi wa mipango ya kitaasisi

Ifikapo 2018: � Kuhakikisha uhusiano wa kiutawala

unaimarishwa na taasisi nyingine zenye udau na elimu.

� Kuimarisha Kamati za shule wenye shule zote 118.

� Kuimarisha ukaguzi kwenye shule zote 118

� Kuimarisha mifumo ya utoaji taarifa ndani na nje ya wilaya

� Idadi ya wadau walioshiriki � Idadi ya Kamati za shule

zilizopata mafunzo. � Utoaji wa taarifa kwa wakati

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Kuongezeka kwa ushirikiano na viongozi wa kata, vijiji, shule, vyama vya ushirika, mashirika ya dini, NGO’s

8. Mazingira bora ya kufanyia kazi

Ifikapo 2018: � Kuimarisha mfumo wa mawasiliano

kwa kuanzisha tovuti ya idara ya Elimu. � Kuimarisha uwezo wa kusafiri ndani ya

idara kwa kununua gari na pikipiki. � Kuimarisha utaratibu wa kutunza

nyaraka na mali nyeti. � Kuongeza ufanisi wa kazi kwa kuongeza

samani na vifaa vya kazi vya kielektroniki.

� Kufanya ukarabati wa jengo la idara

� Kuanzishwa kwa tovuti ya idara ya elimu.

� Idadi ya magari na pikipiki zitakazonunuliwa

� Idadi ya sehemu za hifadhi zilizojengwa

� Idadi ya vifaa vilivyonunuliwa

� Ukarabati wa jengo unaofanywa kwa mwaka

- Taarifa za mwezi, robo, nusu na mwaka

- Ufuatiliaji

� Utayari wa Jamii kuanzisha shirika la kusimamia ubora wa elimu kupitia makato ya mapato ya zao la korosho

� Kuimarika kwa mfumo wa kufanya kazi na utoaji taarifa

75

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: ELIMU YA MSINGI

LENGO KUU: Ifikapo mwaka 2018, mazingira ya kufundishia na kujifunzia yawe yameboreshwa ili kutoa fursa ya kutoa elimu bora itakayoinua maisha ya jamii ili kuondoa umaskini.

SN LENGO MKAKATI MHUSIKA

MUDA WA UTEKELEZAJI 2015 2016 2017 2018 2018/19

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1. Uandikishaji wa

wanafunzi � Kufanya sensa ya kuwatambua

wanafunzi wote wenye umri wa kwenda shule na ambao hawahudhurii shule.

DEO, MEK, Walimu Wakuu

2. Mahudhurio na kudumu shuleni

� Kuhamasisha wazazi na jamii kupitia opersheni za viongozi mbalimbali kusimamia elimu ya watoto.

DEO, Wadau, Madiwani

� Kuweka mazingira ya kuvutia shuleni mfano miti ya vivuli, mipango ya chakula cha mchana, bendi , michezo nk

MEK, Walimu Wakuu

� Kuhimiza matumizi ya sheria ya mahudhurio ya lazima kutekelezwa na vijiji

DEO, WEO, VEO

3. Miundombinu � Kuhakikisha jamii inashirikishwa kikamilifu kwenye miradi ya ujenzi na kutengeneza samani

DED, DEO, Wadau

� Halmashauri (W) itumie sehemu ya mapato yake ya ndani kusaidia nguvu za wananchi

DED

� Kushirikisha wadau mbalimbali wa elimu kuchangia mipango ya kuinua elimu kupitia uwepo wa miundombinu

DED, DEO, Wadau

� Kuanzisha mfuko maalum utakaotumika kuinua elimu

DC, DED, Wadau

76

SN LENGO MKAKATI MHUSIKA

MUDA WA UTEKELEZAJI 2015 2016 2017 2018 2018/19

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 4. Ustawi wa Walimu � Kuhakikisha walimu wakuu na

waratibu wote wanapatiwa mafunzo ya uongozi

DED, DEO

� Kuhakikisha walimu wanalipwa kwa wakati stahili zao mfano nauli za likizo, marupurupu ya uhamisho, kuugua nk

DED, DEO

� Kuhakikisha walimu wanapatiwa mafunzo ya masomo tata mfano english, hisabati, KKK na sayansi

DED, DEO

5. Utamaduni na michezo

� Uimarishaji wa michezo kwenye ngazi za shule

DED, DEO, DCSO

� Kuwa na vilabu vya michezo mbalimbali ya kisasa na ya jadi

DCSO

� Kuwa na mashindano ya michezo mbalimbali ngazi ya vilabu na maeneo ya kiutawala mfano ya tarafa ili kuwa na timu madhubuti za wilaya

DED, DCSO

� Kuanzisha, kusajili na kuimarisha sanaa za mikono na maonesho na kuandaa matamasha na maonesho

DCSO

� Ushirikishaji wa watu mashuhuri katika kuhifadhi historia na maeneo yenye vivutio vya asili

DED, DCSO, Watu mashuhuri

6. Maswala mtambuka

� Kuanzisha vilabu mbalimbali vihusuvyo UKIMWI, mazingira, rushwa, michezo, jinsia na walemavu ili kupata mbinu za

DED, DEO, TAKUKURU, Ustawi wa Jamii,

77

SN LENGO MKAKATI MHUSIKA

MUDA WA UTEKELEZAJI 2015 2016 2017 2018 2018/19

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 kuelimishana, kuondoa unyanyapaa na hata kujiongezea kipato

Madiwani,Mganga Mkuu (W)

7. Usimamizi wa mipango ya Kitaasisi

� Kuweka mazingira ya kuhamasisha utendaji kazi na kutoa motisha kwa watenda kazi bora kitaaluma, kuwa na vivutio shuleni, kutunza wanafunzi (retention) shule kuwa na mipaka inayoeleweka na kutoa hati bora na zawadi kwa shule bora.

DED, DEO

� Kushirikisha wadau katika kuajiri walimu maalum watakaosomeshwa masomo maalum kufundisha kwa mkataba.

DC, DED, DEO, Wadau

� Kuhakikisha shule zina mipaka inayoeleweka

DED, DEO, MEK, Walimu Wakuu

� Shule zote 118 ziwe na Kamati za shule hai zenye mafunzo

DEO, Walimu Wakuu

� Ukaguzi wa shule ufanyike kwenye shule zote

DED, DEO, DCSI

� Kuhakikisha idara inapata samani za kutosha

DEO

� Kuimarisha mfumo wa kupokea na kutuma taarifa ndani nje ya wilaya.

DEO

8. Mazingira bora ya kufanyia kazi

� Uchaguzi wa kamati za shule DED, DEO

� Kuunganishwa na mawasiliano ya Internet

DED, DE, DEO

� Kuimarisha uwezo wa idara wa kusafiri kwa kununua gari na pikipiki

DED, DEO

� Ujenzi wa strong room ya idara na makasiki kwenye shule

DEO

78

SN LENGO MKAKATI MHUSIKA

MUDA WA UTEKELEZAJI 2015 2016 2017 2018 2018/19

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 � Kununua samani na mashine ya

fotokopi, laptop na kompyuta DEO

� Kufanya ukarabati wa jengo la idara ya elimu

DEO, DE

� Kuandaa Mpango wa Maendeleo ya Elimu (W)

DED,DEO

79

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI WA MPANGO MKAKATI 2015 - 2018

ENEO LA HUDUMA: ELIMU YA MSINGI

SN LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA

JUMLA MHUSIKA 2015 2016 2017 2018

Uandikishaji wa wanafunzi

� Kufanya sensa ya kuwatambua wanafunzi wote wenye umri wa kwenda shule na ambao hawahudhurii shule. 200,000 200,000 200,000 200,000 800,000

DEO

Mahudhurio na kudumu shuleni

� Kuhamasisha wazazi, jamii na watoto wao wanatambua umuhimu wa elimu kupitia opersheni za wadau mbalimbali. 4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 16,000,000

DED, DEO Madiwani, wadau

� Kuweka mazingira ya kuvutia shuleni mfano miti ya vivuli, mipango ya chakula cha mchana, bendi , michezo nk 1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 4,000,000

DEO

� Kuhimiza matumizi ya sheria ya mahudhurio ya lazima kutekelezwa na vijiji 500,000 500,000 500,000 500,000 2,000,000

DEO, WEO, VEO,

Miundombinu � Kuhakikisha jamii inashirikishwa kikamilifu kwenye miradi ya ujenzi na kutengeneza samani 400,000,000 400,000,000 400,000,000 400,000,000 1,600,000,000

Jamii, wadau

80

SN LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA

JUMLA MHUSIKA 2015 2016 2017 2018

� Halmashauri (W) itumie sehemu ya mapato yake ya ndani kusaidia nguvu za wananchi 175,000,000 175,000,000 175,000,000 175,000,000 700,000,000

DED, DEO

Kushirikisha wadau mbalimbali wa elimu kuanzisha mfuko wa kuchangia mipango ya kuinua elimu kupitia uwepo wa miundombinu - 1,400,000,000 1,400,000,000 1,400,000,000 4,200,000,000

Jamii, wadau

Ustawi wa Walimu

Kuhakikisha walimu wakuu na waratibu wote wanapatiwa mafunzo ya uongozi 5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 20,000,000

DED, DEO, Jamii

Kuhakikisha walimu wanalipwa kwa wakati stahili zao mfano nauli za likizo, marupurupu ya uhamisho, kuugua nk 120,000,000 120,000,000 120,000,000 120,000,000 480,000,000

DED. DEO

Kuhakikisha walimu wanapatiwa mafunzo ya masomo tata mfano english, hisabati, KKK na sayansi 10,000,000 10,000,000 10,000,000 10,000,000 40,000,000

DED, DEO, Jamii

Utamaduni na michezo

Uimarishaji wa michezo kwenye ngazi za shule 500,000 500,000 500,000 500,000 2,000,000

DEO, A/UTAMADUNI

Kuwa na vilabu vya michezo mbalimbali

5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 20,000,000 A/UTAMA

81

SN LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA

JUMLA MHUSIKA 2015 2016 2017 2018

ya kisasa na ya jadi

Kuwa na mashindano ya michezo mbalimbali ngazi ya vilabu na maeneo ya kiutawala mfano ya tarafa ili kuwa na timu madhubuti za wilaya 7,500,000 7,500,000 5,000,000 5,000,000 25,000,000

DED, A/UTAMDUNI

Kuanzisha, kusajili na kuimarisha sanaa za mikono na maonesho na kuandaa matamasha na maonesho 1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 4,000,000 A/UTAMADUNI Ushirikishaji wa watu mashuhuri katika kuhifadhi historia na vivutio vya asili 500,000 - 500,000 - 1,000,000

DEO, A/UTAMADUNI

Maswala mtambuka

Kuanzisha vilabu mbalimbali vihusuvyo UKIMWI, mazingira, rushwa, michezo, jinsia na walemavu ili kupata mbinu za kuelimishana, kuondoa unyanyapaa na hata kujiongezea kipato 500,000 - - - 500,000

DEO

82

SN LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA

JUMLA MHUSIKA 2015 2016 2017 2018

Usimamizi wa mipango ya Kitaasisi

Kuweka mazingira ya kuhamasisha utendaji kazi na kutoa motisha kwa watenda kazi bora kitaaluma, kuwa na vivutio shuleni, kutunza wanafunzi (retention) shule kuwa na mipaka inayoeleweka na kutoa hati bora na zawadi kwa shule 3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 12,000,000 DED, DEO Kushirikisha wadau katika kuajiri walimu maalum watakaosomeshwa masomo maalum kufundisha kwa mkataba. 15,000,000 15,000,000 30,000,000

DED,DEO, Wadau

Kuhakikisha shule zina mipaka inayoeleweka 300,000 - - - 300,000 DEO Shule zote 118 ziwe na Kamati za shule hai zenye mafunzo

- 180,000,000 - - 180,000,000 DED, DEO Ukaguzi wa shule ufanyike kwenye shule zote 30,000,000 30,000,000 30,000,000 30,000,000 120,000,000 DED, DEO, DCSI Kuhakikisha idara inapata samani za kutosha - - 25,000,000 25,000,000 50,000,000 DED,DEO, Wadau

83

SN LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA

JUMLA MHUSIKA 2015 2016 2017 2018

Kuimarisha mfumo wa kupokea na kutuma taarifa ndani nje ya wilaya. 12,000,000 12,000,000 12,000,000 12,000,000 48,000,000 DED, DEO

Mazingira ya kufanyia kazi

Uchaguzi wa kamati za shule 2,000,000 - - 2,000,000 4,000,000 DED, DEO Kuunganishwa na mawasiliano ya Internet 8,000,000 2,000,000 - - 10,000,000 DEO Kuimarisha uwezo wa idara wa kusafiri kwa kununua gari na pikipiki 250,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 256,000,000 DED, DEO Ujenzi wa strong room ya idara na makasiki kwenye shule 100,000,000 100,000,000 100,000,000 100,000,000 400,000,000 DEO Kununua samani na mashine ya fotokopi, laptop na kompyuta 5,000,000 - 1,500,000 - 6,500,000 DEO Kufanya ukarabati wa jengo la idara ya elimu - - 12,000,000 12,000,000 24,000,000 DED, DEO Kuandaa Mpango wa Maendeleo ya Elimu (W) 30,000,000 - - - 30,000,000 DEO

JUMLA KUU 1,171,000,000 2,473,700,000 2,313,200,000 2,328,200,000 8,286,100,000

84

ENEO LA HUDUMA: ELIMU SEKONDARI

LENGO KUU : Kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia ili kutoa elimu bora itakayoinua hali ya maisha ya jamii ili kuondoa umaskini ifikapo mwaka 2018.

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

1 USAJILI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA

Kuongeza idadi ya wanafunzi wanaosajiliwa kujiunga na kidato cha kwanza kutoka 78% ya sasa mpaka 100% ya wanafunzi wanaokuwa na sifa za kujiunga kidato cha I wanasajiliwa ifikapo mwaka 2018.

Idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari kusajiliwa. Idadi ya vyumba vya madarasa vilivyopo.

• Ukaguzi. • Taarifa/ufuatiliaji.

Jamii kushiriki kikamilifu katika kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao.

2 MAHUDHURIO Ifikapo mwaka 2018 kuimarisha mahudhurio ya lazima kwa wanafunzi wa vidato vyote kwa kuzingatia kanuni, sheria na miongozo ya Wizara.

Idadi ya wanafunzi wanaonza/ andikishwa kidato cha kwanza na kuhitimu kidato cha nne

• Taarifa/ufuatiliaji • ukaguzi

Jamii kushiriki kikamilifu katika kusimamia maendeleo ya elimu ya watoto wao.

3 UFAULU Kiwango cha taaluma ya wanafunzi wanaofaulu elimu ya sekondari kiwe kimepanda kutoka 13.69% mwaka 2012 kufikia 58% ifikapo mwaka 2018.

Idadi ya wanafunzi waliofulu

• Ukaguzi. • Taarifa/ufuatiliaji.

Kuwepo kwa fedha za uwezeshaji na uendeshaji.

4 KUJENGA UWEZO Ifikapo mwaka 2018, • Kuongeza idadi ya walimu walioajiriwa

kutoka 265 wa sasa hadi kufikia walimu 440.

• Kuimarisha upatikanaji wa vitendea kazi vyote muhimu vya ofisi.

• kuwezesha walimu 141 wenye stashahada kwa sasa kusomea shahada ya Elimu.

• Kusomesha watumishi wawili walio ofisini kusomea Shahada ya juu ya Utawala katika Elimu.

Idadi ya walimu watakaoajiriwa. Idadi ya vitendea kazi.

Taarifa za robo, nusu, robotatu na mwaka.

Kupatikana kwa kibali cha ajira.

85

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

5 MIUNDO MBINU Kufikia mwaka 2018 a) Idadi ya mikondo ifikie minne kwa

kila shule b) Shule 2 za sekondari zinazojengwa

ziwe zimekamilika na kufanya jumla ya shule 28 toka 26 zilizopo sasa.

c) Kuongeza idadi ya nyumba za walimu toka 74 hadi 194.

d) Kuongeza ya matundu ya vyoo vya wanafunzi kutoka 334 ya sasa hadi 574(was 130, wav 110)

e) Kuongeza ya matundu ya vyoo vya walimu kutoka 14 ya sasa hadi 112(ke 56, me 56)

f) Kuongeza idadi ya shule zenye maabara kutoka shule 3 hadi 28.

g) Hosteli 16 ziwe zimejengwa kutoka 8 zilizopo sasa.

h) Visima 184 viwe vimechimbwa toka 22 vilivyopo sasa.

i) Majengo ya utawala 28 yawe yamejengwa kutoka majengo 11.

j) Majengo 4 ya utawala ambayo hayajakamilia kwa sasa yawe yamekamilika.

k) Kujenga mabwalo ya chakula 16 kutoka 2 yaliyopo sasa.

l) Kujenga majiko 28 kutoka 1 lililopo sasa.

• Idadi ya majengo yatakayojengwa na kukamilika.

• Ujenzi wa shule mbili kukamilika, kusajiliwa na kuanzishwa.

• Kufuatilia • Kukagua • Kuwepo kwa taarifa za

robo, nusu na mwaka.

Kuwepo kwa fedha Uchangiaji wa nguvu kazi kutoka kwa jamii. Michango ya wahisani Serikali kuu kuchangia.

6. SAMANI Ifikapo mwaka 2018: a) Viti na meza za walimu kununuliwa

kutoka 54 vya sasa hadi kufikia 440. b) Viti na meza za wanafunzi kununuliwa

kutoka 8523 vya sasa hadi kufikia 19875.

Idadi ya samani zitakazoo nunuliwa.

• Ukaguzi • Taarifa/ ufuatiliaji

Kuwepo kwa fedha.

86

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

7. VIFAA VYA KUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA

Uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi ufikie 1:3 kutoka uwiano wa sasa wa 1:8 ifikapo mwaka 2018.

Vitabu vya masomo mbalimbali 9800 viwe vimenunuliwa ifikapo mwaka 2018.

• Ukaguzi. • Taarifa/ufuatiliaji

Kuwepo kwa fedha. Kupatikana kwa wahisani.

8. KUMBUKUMBU NA NYARAKA

Ifikapo mwaka 2018 utunzaji wa kumbukumbu uwe umeboreshwa.

Idadi ya watumishi watakaopata mafunzo ya utunzaji kumbukumbu.

• Ukaguzi. • Taarifa/ufuatiliaji

Kuwepo kwa fedha.

9. MAWASILIANO Kuboresha mawasiliano katika Ofisi ya Elimu (W) ifikapo mwaka 2018

Kuunganishwa mitambo ya mawasiliano ya mkongo wa taifa.

Taarifa na ufuatiliaji. Kuwepo kwa fedha.

10 MICHEZO Kuimarisha michezo katika shuleni ifikapo mwaka 2018.

Uwepo wa vikundi vya michezo. Ufuatiliaji na uhamasishaji. Kupatikana kwa fedha.

11 VVU/UKIMWI Kuendeleza mapambana dhidi ya maambukizi mapya ifikapo mwaka 2018

Idadi ya vilabu vitakazoanzishwa na kuwa hai.

Taarifa na ufuatiliaji Maambukizi kupungua miongoni mwa watumishi na wanafunzi.

12 MAKUNDI MAALUMU

Ifikapo mwaka 2018 kuimarisha huduma za wanafunzi 200 waliokatika makundi maalumu.

Idadi ya wanafunzi watakaopatiwa huduma.

Taarifa na ufuatiliaji Kupatikana kwa fedha. Wahisani kuchangia

13 RUSHWA Kuendeleza mapambana dhidi ya rushwa ifikapo mwaka 2018.

Idadi ya vilabu vitakavyoundwa na kuwa imara

Kupatikana kwa fedha.

14 MAZINGIRA Kuboresha mazingira katika shule za sekondari 28 zitakazokuwepo ifikapo mwaka 2018.

Idadi ya miti ya matunda, vimvuli na na maua yatakayopandwa.

Ukaguzi na ufuatiliaji Kupatikana kwa fedha.

15 MIPAKA YA SHULE

Kuweka mipaka ya shule katika shule 28 ifikapo mwaka 2018.

Idadi ya shule zitakazopimwa. Ukaguzi na ufuatiliaji Kupatikana kwa fedha. Wanajamii kuhamasika kutoa maeneo yao bila fidia au fidia nafuu.

87

ENEO LA HUDUMA: ELIMU SEKONDARI

LENGO KUU: Kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia ili kutoa elimu bora itakayoinua hali ya maisha ya jamii ili kuondoa umaskini ifikapo mwaka 2018.

LENGO MKAKATI MHUSIKA MUDA WA UTEKELEZAJI

2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

1. Kuongeza idadi ya wanafunzi wanaosajiliwa kujiunga na kidato cha kwanza kutoka 78% ya sasa mpaka 100% ya wanafunzi wanaokuwa na sifa za kujiunga kidato cha I wanasajiliwa ifikapo mwaka 2018.

• Kujenga uwezo kwa bodi za shule kusimamia usajili na mahudhurio ya lazima kwa wanafunzi wote.

• Kuhamasisha jamii kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wao kwa kuandaa na kuendesha kampeni maalumu ya elimu.

DC, DED, DSEO, MADIWANI, JAMII

2. Ifikapo mwaka 2018 kuwe na mahudurio ya lazima kwa wanafunzi wa vidato vyote kwa kuzingatia kanuni, sheria na miongozo ya Wizara.

• Kuchukua hatua za kisheria kwa wote wanaosababisha wanafunzi kuacha shule.

• Kuboresha mazingira ya shule kuyafanya yawe kivutio kwa wanafunzi.

• Kuhimimiza upatikanaji wa chakula cha mchana shuleni

DC, DED, DSEO, MADIWANI, JAMII, VEO, WEO

3.Kuinua kiwango cha taaluma ya wanafunzi wanaofaulu elimu ya sekondari kutoka 13.69% mwaka 2012 kufikia 58%ifikapo mwaka 2018.

• Kuhamasisha walimu kujiendeleza • Kutoa mafunzo kazini na kozi fupi • Kusomesha wanafunzi waliohitimu

kidato cha sita kwa mkataba hasa wa masomo ya Sayansi na Hisabati

• Kutafuta vyanzo vya fedha. • Kuimarisha ukaguzi wa shule kwa

kuwatumia wakaguzi wa shule. • Kulipa stahiki za watumishi kwa

wakati ili kuondoa mlundikano wa madeni hasa ya likizo na uhamisho.

DED, DHRO, DSEO, JAMII, WAKAGUZI

88

LENGO MKAKATI MHUSIKA MUDA WA UTEKELEZAJI

2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

4.Ifikapo mwaka 2018, • Kuongeza idadi ya walimu

walioajiriwa kutoka 265 wa sasa hadi kufikia walimu 440.

• Kuimarisha upatikanaji wa vitendea kazi vyote muhimu vya ofisi.

• Kuwezesha walimu 141 wenye stashahada kwa sasa kusomea shahada ya Elimu.

• Kusomesha watumishi wawili walio ofisini kusomea Shahada ya juu ya Utawala katika Elimu.

• Kuomba kibali cha ajira kitakachowesha kuajiri walimu 50 kila mwaka.

• Kuwa na mpango wa manunuzi ulio mahususi na wa wazi.

• Gari 1 la idara liwe limenunuliwa • Kukopesha pikipiki 28 kwa wakuu. • Kuweka umeme katika majengo ya

shule.

DED, DHRO, DSEO

5.Kufikia mwaka 2018, • Idadi ya mikondo ifikie minne kwa

kila shule • Shule 2 za sekondari zinazojengwa

ziwe zimekamilika na kufanya jumla ya shule 28 toka 26 zilizopo sasa.

• Kuongeza idadi ya nyumba za walimu toka 74 hadi 194.

• Kuongeza ya matundu ya vyoo vya wanafunzi kutoka 334 ya sasa hadi 574(was 130, wav 110

• Kuongeza ya matundu ya vyoo vya walimu kutoka 14 ya sasa hadi 112(ke 56, me 56)

• Kuongeza idadi ya shule zenye maabara kutoka shule 3 hadi 28.

• Hosteli 16 ziwe zimejengwa kutoka 8 zilizopo sasa.

• Visima 184 viwe vimechimbwa toka 22 vilivyopo sasa.

• Majengo ya utawala 28 yawe yamejengwa kutoka majengo 11.

• Majengo 4 ya utawala ambayo hayajakamilia kwa sasa yawe

• Kujenga vyumba 70 kila mwaka. • Kujenga majengo yote muhimu katika

shule 2. • Kujenga nyumba za walimu 30 za

walimu kila mwaka. • Kujenga matundu 60 ya vyoo vya

wanafunzi kila mwaka. • Kujenga maabara katika shule 6 kila

mwaka. • Kujenga matundu 24 ya vyoo vya

walimu kila mwaka. • Kujenga hostel za wasichana katika

shule 4 kila mwaka. • Kuchimba visima 40 kila mwaka. • Kujenga majengo ya utawala katika

shule 4 kila mwaka. • Kukamilisha majengo 4 ya utawala

ifikapo mwaka 2018. • Kujenga mabwalo 3 ya chakula kila

mwaka. Kujenga majiko katika shule 6 kila mwaka.

DC, DED, DSEO, MADIWANI, WANAJAMII, WADAU

89

LENGO MKAKATI MHUSIKA MUDA WA UTEKELEZAJI

2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

yamekamilika. • Kujenga mabwalo ya chakula 16

kutoka 2 yaliyopo sasa. • Kujenga majiko 28 kutoka 1 lililopo

sasa. 6. ifikapo mwaka 2018:

• Kuongeza idaid ya viti na meza za walimu kutoa 53 hadi kufikia 440

• Kuongeza Viti na meza za wanafunzi kutoka 8523 hadi kufikia 19875.

Kununua au kuchongesha meza na viti 80 vya walimu na 80 vya wanafunzi kwa kila shule kila mwaka.

DED, DSEO, WAHISANI

7. Uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi ufikie 1:3 kutoka uwiano wa sasa wa 1:8 ifikapo mwaka 2018.

• Kununua vitabu 3360 kwa kila somo kwa mwaka.

• Kujenga maktaba za kutosha katika shule zetu ili kuwa na uhifadhi/utunzaji mzuri wa vitabu vilivyopo na vitakavyonunuliwa.

DED, DSEO, WAHISANI

8. Ifikapo mwaka 2018 utunzaji wa kumbukumbu uwe umeboreshwa.

Kununua: • Mashine za kisasa (kamera ya video na

picha, “scanner 1”, “power pointi 1”) na kompyuta.

• Kujenga Chumba maalumu (strong room) cha kuhifadhia nyaraka(mf. Mitihani) katika shule zote 28 na ofisini.

DED, DSEO,

9. Kuboresha mawasiliano katika Ofisi ya Elimu (W) ifikapo mwaka 2018

• Kuendesha mafunzo kwa watumishi. • Mtambo wa mawasiliano ya mkongo wa

Taifa uliopo katika eneo la Halmashauri,kuunganishwa katika ofisi ya Elimu ifikapo mwaka oktoba 2014 • Kuanzisha tovuti ya Idara.

DED, DSEO, DE

10 Kuimarisha michezo katika shuleni ifikapo mwaka 2018.

• Kuongeza idadi ya wanafunzi walioteuliwa kujiunga kambi za taifa za michezo na kupata ufadhili

DED, DSEO, WAHISANI

11. Kuendeleza mapambana dhidi ya maambukizi mapya ifikapo mwaka 2018

• Kutoa elimu na kuhamasisha upimaji wa hiari.

• Wanafunzi na walimu kujengewa uelewa

DED, DSEO, DCDO, DMO, ASASI

90

LENGO MKAKATI MHUSIKA MUDA WA UTEKELEZAJI

2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

wa mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI kwa kuanzisha na kuimarisha vilabu kwa kila shule.

• Kuwatambua watumishi na wanafunzi walioathirika na VVU/UKIMWI

12 Ifikapo mwaka 2018 kuimarisha huduma za wanafunzi 200 waliokatika makundi maalumu

Kubaini makundi haya na kuwawezesha kupata mahitaji husika.

DED, DSEO, DCDO, WAHISANI

13. Kuendeleza mapambana dhidi ya rushwa ifikapo mwaka 2018

• Kuunda klabu za kupambana na kuzuia rushwa katika shule zote za sekondari kutoka 5 za sasa.

• Kuzuia mianya ya rushwa sehemu za kazi kwa kuboresha utoaji wa huduma.

DC, DED, DSEO, TAKUKURU, WATUMISHI, MADIWANI, WANAJIAMII

14. Kuboresha mazingira katika shule za sekondari 28 zitakazokuwepo ifikapo mwaka 2018.

Upandaji wa miti, maua na mbogamboga pamoja na uchimbaji wa mashimo ya takataka,

DED, DSEO, HMs, DAICO, WANAJAMII

15 Kuweka mipaka ya shule katika shule 28 ifikapo mwaka 2018.

• Kushirikiana na viongozi wa vyama vya msingi kuzisaidia shule kulipa fidia za mazao yaliyokatika maeneo ya shule.

• Kupima shule zote na kuzipatia hati miliki.

DED, DSEO, DLNREO, VYAMA VYA MSINGI, WANAJAMII

91

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: ELIMU SEKONDARI

LENGO MKAKATI

MAKISIO YA GHARAMA CHANZO

CHA FEDHA 2015 2016 2017 2018 JUMLA 1. Kuongeza idadi ya wanafunzi wanaosajiliwa kujiunga na kidato cha kwanza kutoka 78% ya sasa mpaka 100% ifikapo mwaka 2018.

Kujenga uwezo kwa bodi za shule kusimamia usajili na mahudhurio ya lazima kwa wanafunzi wote. 22,880,000 22,880,000 22,880,000 22,880,000 91,520,000

ADA, WAHISANI

Kuhamasisha jamii kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wao kwa kuandaa na kuendesha kampeni maalumu ya elimu.

4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 16,000,000

2. Ifikapo mwaka 2018 kuwe na mahudurio ya lazima kwa wanafunzi wa vidato vyote kwa kuzingatia kanuni, sheria na miongozo ya Wizara.

Kuboresha mazingira ya shule kuyafanya yawe kivutio kwa wanafunzi kwa kuhimiza upatikanaji wa chakula shuleni.

186,200,000 196,000,000 215,600,000 225,600,000 823,400,000

WAHISANI, MICHANGO YA WAZAZI

3.Kuinua kiwango cha taaluma ya wanafunzi wanaofaulu elimu ya sekondari kutoka 13.69% mwaka 2012 kufikia 58%ifikapo mwaka 2018.

Kuhamasisha walimu kujiendeleza kwa ngazi mbalimbali za elimu. 5,000,000 6,000,000 7,000,000 8,000,000 26,000,000

BG, HALSHAURI

Kutoa mafunzo kazini na kozi fupi kwa walimu hasa kwa mada ngumu. 3,000,000 4,000,000 5,000,000 6,000,000 18,000,000 Kusomesha wanafunzi waliohitimu kidato cha sita kwa mkataba hasa wa masomo ya Sayansi na Hisabati 10,000,000 10,000,000 10,000,000 10,000,000 40,000,000

92

LENGO MKAKATI

MAKISIO YA GHARAMA CHANZO

CHA FEDHA 2015 2016 2017 2018 JUMLA 4.Ifikapo mwaka 2018, Kuimarisha ukaguzi wa shule

kwa kuwatumia wakaguzi wa shule. 20,000,000 20,000,000 20,000,000 20,000,000 80,000,000

� Kuongeza idadi ya walimu walioajiriwa kutoka 265 wa sasa hadi kufikia walimu 440.

Kulipa stahiki za watumishi kwa wakati ili kuondoa mlundikano wa madeni hasa ya likizo na uhamisho

55,000,000 55,000,000 55,000,000 55,000,000 220,000,000

� Kuwezesha walimu 141 wenye stashahada kwa sasa kusomea shahada ya Elimu.

Kuomba kibali cha ajira kitakachowezesha kuajiri walimu 50 kila mwaka.

27,250,000 29,250,000 31,250,000 33,250,000 121,000,000

� Kusomesha watumishi wawili walio ofisini kusomea Shahada ya juu ya Utawala katika Elimu.

Kuwa na mpango wa manunuzi ulio mahususi na wa wazi.

400,000 400,000 400,000 400,000 1,600,000

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi

Gari 1 la idara liwe limenunuliwa

250,000,000 - - - 250,000,000

Halmshauri WAHISANI, BG

Kukopesha pikipiki 28 kwa wakuu. 98,000,000 - - - 98,000,000

Kuweka umeme katika majengo ya shule. 259,200,000 259,200,000 259,200,000 259,200,000 1,036,800,000

Kuandaa mpango wa masomo. 9,000,000 9,000,000 9,000,000 9,000,000 36,000,000

5.Kufikia mwaka 2018,

Kujenga vyumba 70 vya madarasa kila mwaka.

24,500,000 24,500,000 24,500,000 24,500,000 98,000,000

CDG, Halmashauri, WAHISANI � Idadi ya mikondo

ifikie minne kwa kila shule

93

LENGO MKAKATI

MAKISIO YA GHARAMA CHANZO

CHA FEDHA 2015 2016 2017 2018 JUMLA � Shule 2 za sekondari zinazojengwa ziwe zimekamilika na kufanya jumla ya shule 28 toka 26 zilizopo sasa.

Kujenga na kukamilisha majengo yote muhimu katika shule 2.

625,000,000 200,000,000 - - 825,000,000 � Kuongeza idadi ya nyumba za walimu toka 74 hadi 194.

Kujenga nyumba 30 za walimu kila mwaka.

1,050,000,000 1,050,000,000 1,050,000,000 1,050,000,000 4,200,000,000 � Kuongeza ya matundu ya vyoo vya wanafunzi kutoka 334 ya sasa hadi 574.(wav110, was 130)

Kujenga matundu 60 ya vyoo vya wanafunzi kila mwaka.

100,000,000 100,000,000 100,000,000 100,000,000 400,000,000

� Kuongeza ya matundu ya vyoo vya walimu kutoka 14 ya sasa hadi 112.(me 56, ke 56)

Kujenga matundu 24 ya vyoo vya wanafunzi kila mwaka.

30,000,000 30,000,000 30,000,000 30,000,000 120,000,000

� Kuongeza idadi ya shule zenye maabara kutoka shule 3 hadi 28.

kujenga maabara katika shule 6 kila mwaka

220,000,000 220,000,000 220,000,000 220,000,000 880,000,000 � Hosteli 16 ziwe zimejengwa kutoka 8 zilizopo sasa.

kujenga hostel nne za wasichana kila mwaka

150,000,000 150,000,000 150,000,000 150,000,000 600,000,000

� Visima 184 viwe vimechimbwa toka 22 vilivyopo sasa.

Kuchimba visima 40 kila mwaka

16,000,000 17,000,000 18,000,000 19,000,000 70,000,000

94

LENGO MKAKATI

MAKISIO YA GHARAMA CHANZO

CHA FEDHA 2015 2016 2017 2018 JUMLA � Majengo ya utawala 17 yawe yamejengwa kutoka majengo 11.

Kujenga majengo ya utawala katika shule 4 kila mwaka.

90,000,000 100,000,000 110,000,000 120,000,000 420,000,000

� Majengo 4 ya utawala ambayo hayajakamilia kwa sasa yawe yamekamilika.

kukamilisha majengo 4 ya utawala

48,000,000 - - - 48,000,000

� Kujenga mabwalo ya chakula 16 kutoka 2 yaliyopo sasa.

Kujenga mabwalo 3 ya chakula kila mwaka.

210,000,000 210,000,000 210,000,000 210,000,000 840,000,000 � Kujenga majiko 27 kutoka 1 lililopo sasa.

kujenga majiko katika shule 6 kila mwaka

60,000,000 72,000,000 78,000,000 84,000,000 294,000,000 Halshauri

6. ifikapo mwaka 2018:

Kutafuta vyanzo vya fedha kutoka sehemu mbalimbali na kuhamasisha jamii kuchangia ili kuwezesha:

-

CDG, WAFADHILI, Halmashauri, JAMII

� Viti na meza za walimu kununuliwa kutoka 53 vya sasa hadi kufikia 440

Kuchongesha viti na meza 80 za walimu kwa kila mwaka

9,600,000 9,600,000 10,400,000 10,400,000 40,000,000

� Viti na meza za wanafunzi kununuliwa kutoka 8523 vya sasa hadi kufikia 19875

Kuchongesha viti na meza 80 za wanafunzi kwa kila shule kwa kila mwaka

268,800,000 268,800,000 291,200,000 291,200,000 1,120,000,000

7. Uwiano wa kitabu kwa mwanafunzi

Kutafuta vyanzo vya fedha kutoka sehemu mbalimbali. 45,000,000 45,000,000 45,000,000 45,000,000 180,000,000

CDG, WAHISANI

95

LENGO MKAKATI

MAKISIO YA GHARAMA CHANZO

CHA FEDHA 2015 2016 2017 2018 JUMLA ufikie 1:3 kutoka uwiano wa sasa wa 1:8 ifikapo mwaka 2018.

Kujenga maktaba za kutosha katika shule zetu ili kuwa na uhifadhi/utunzaji mzuri wa vitabu vilivyopo na vitakavyonunuliwa.

8. Ifikapo mwaka 2018 utunzaji wa kumbukumbu uwe umeboreshwa.

Kutafuta vyanzo vya fedha vitakavywezesha kununua:

-

BG, HALSHAURI, CGG

Mashine za kisasa (kamera ya video na picha, “scanner 1”, “power pointi 1”) na kompyuta. 10,000,000 8,000,000 - - 18,000,000 Kujenga Chumba maalumu (strong room) cha kuhifadhia nyaraka (mf. Mitihani) katika shule zote 28 na ofisini.(7 kila mwaka) 70,000,000 70,000,000 70,000,000 70,000,000 280,000,000

9. Kuboresha mawasiliano katika Ofisi ya Elimu (W) ifikapo mwaka 2018

Kutafuta vyanzo vya fedha.

CDG,CB, HALSHAURI Kuendesha mafunzo kwa

watumishi. 9,000,000 10,000,000 11,000,000 12,000,000 42,000,000 Mtambo wa mawasiliano ya mkongo wa Taifa uliopo katika eneo la Halmashauri,kuunganishwa katika ofisi ya Elimu ifikapo mwaka oktoba 2014 10,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 16,000,000

Kuanzisha tovuti ya Idara. 1,000,000 - - - 1,000,000

10 Kuimarisha michezo katika shuleni ifikapo mwaka 2018.

Timu za UMISSETA kuweza kuzalisha wanamichezo watakaotoa hamasa kwa wanafunzi na wazazi kushiriki michezo shuleni. 45,000,000 48,000,000 51,000,000 54,000,000 198,000,000

ADA, BG, WAHISANI

96

LENGO MKAKATI

MAKISIO YA GHARAMA CHANZO

CHA FEDHA 2015 2016 2017 2018 JUMLA Kuongeza idadi ya wanafunzi walioteuliwa kujiunga kambi za taifa za michezo na kupata ufadhili 10,000,000 11,000,000 12,000,000 13,000,000 46,000,000

11. Kuendeleza mapambana dhidi ya maambukizi mapya ifikapo mwaka 2018

Kushirikiana na asasi mbalimbali zinazojihusisha na masuala ya mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI kutoa elimu na kuhamasisha upimaji wa hiari. 500,000 500,000 500,000 500,000 2,000,000

Wanafunzi na walimu kujengewa uelewa wa mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI kwa kuanzisha na kuimarisha vilabu kwa kila shule. 500,000 500,000 500,000 500,000 2,000,000

Kuwatambua watumishi na wanafunzi walioathirika na VVU/UKIMWI ili kuweza kuwapatia stahiki zao.

4,800,000 4,800,000 4,800,000 4,800,000 19,200,000

12 Ifikapo mwaka 2018 kuimarisha huduma za wanafunzi 200 waliokatika makundi maalumu

Kushirikiana na maafisa maendeleo na ustawi wa jamii kuyabaini makundi haya na kuwawezesha kupata mahitaji husika.

20,000,000 20,000,000 20,000,000 20,000,000 80,000,000

13. Kuendeleza mapambana dhidi ya rushwa ifikapo mwaka 2018

Kujenga uelewa dhidi ya rushwa kwa kuunda klabu za kupambana na kuzuia rushwa katika shule zote za sekondari kutoka 5 za sasa. 500,000 500,000 500,000 500,000 2,000,000

Kuzuia mianya ya rushwa sehemu za kazi kwa 48,000,000 48,000,000 48,000,000 48,000,000 192,000,000

97

LENGO MKAKATI

MAKISIO YA GHARAMA CHANZO

CHA FEDHA 2015 2016 2017 2018 JUMLA kuboresha utoaji wa huduma.

14. Kuboresha mazingira katika shule za sekondari 28 zitakazokuwepo ifikapo mwaka 2018.

Upandaji wa miti, maua na mbogamboga pamoja na uchimbaji wa mashimo ya takataka,

800,000 800,000 800,000 800,000 3,200,000

BG, ADA

15 Kuweka mipaka ya shule katika shule 28 ifikapo mwaka 2018.

Kushirikiana na viongozi wa vyama vya msingi kuzisaidia shule kulipa fidia za mazao yaliyokatika maeneo ya shule.

40,000,000 44,000,000 48,000,000 52,000,000 184,000,000

WAHISANI, MICHANGO YA JAMII, ADA

Kupima shule zote na kuzipatia hati miliki. 500,000 600,000 700,000 800,000 2,600,000

JUMLA KUU 5,917,430,000 5,131,330,000 5,496,230,000 5,536,330,000 22,081,320,000

98

ENEO LA HUDUMA : SEKTA YA ARDHI

Lengo Kuu: Kuwa na makazi bora na kumiliki ardhi kisheria mijini na vijijini

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

1 Matumizi bora ya ardhi na umiliki wa Ardhi Mijini na Vijijini

Kuongeza Mpango Mkakati 1 undelezaji wa mji na ifikapo 2018

Mpango 1 uliondaliwa

Taarifa za utekelezaji Mchoro na ramani kutembelea maeneo

Kubadilika kwa sera ya Makazi, Uwepo wa fedha

Kuongeza upimaji wa viwanja toka 3015 hadi 6515 ifikapo 2018

Idadi ya viwanja vilivyopimwa

Taarifa za utekelezaji na utembeleaji wa

Uwepo wa fedha

Kuongeza hati miliki za kawaida mijini toka 500 hadi 5000 ifikapo 2018

Idadi ya hati zilizondaliwa

Taarifa za utekelezaji

Uwepo wa fedha

Kuongeza hati miliki za kimila toka 220 hadi 45,000 ifikapo 2018

Idadi ya hati zilizondaliwa

Taarifa za utekelezaji na utembeleaji wa maeneo

Kubadilika kwa sera ya Makazi Uwepo wa fedha

Kuongeza makusanyo ya Kodi ya ardhi toka Tsh. 12 milioni kwa mwaka hadi 40 milioni ifikapo 2018

Asilimia ya ongezeko la makusanyo ya mapato

Taarifa za utekelezaji na utembeleaji wa maeneo

Kubadilika kwa sera ya Makazi Uwepo wa fedha

2 Maeneo ya wazi Kuboresha maeneo ya 20 ifikapo 2018 Idadi ya maeneo yaliyoboreshwa

Taarifa za utekelezaji na utembeleaji wa maeneo

Uwepo wa fedha

3 Majina ya mitaa Kutambua mitaa 300 kwa majina ifikapo 2018

Idadi ya vibao vyenye majina

Taarifa ya Utekelezaji

Uwepo wa fedha

4 Kujenga uwezo Kuongeza ajira za watumishi toka 4 hadi 8 ifikapo 2018

Idadi ya watumishi walioajiriwa

Taarifa za hali ya watumishi

Uwepo wa fedha Kibali cha ajira

99

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

Kuongeza vitendea kazi, Jumla station 1, plotter 1, plan cabinet 1, photocopy 2, printing machine 1 na pikipiki 4, compyuta 4 ifikapo 2018

Idadi ya vifaa vilivyonunuliwa

Taarifa ya utekelezaji

Uwepo wa fedha

Kuongeza watumishi waliopata mafunzo ngazi ya shahada toka 1 hadi 3 ifikapo 2018

Idadi ya watumishi waliopata mafunzo

Taarifa ya utekelezaji

Kuhakiki wa vyeti

Uwepo wa fedha

4 Ukimwi, jinsia Kuongeza uelewa kuhusu kujikinga Ukimwi na maswala ya jinsia ifikapo 2018

Idadi ya vikao vilivyofanyika

Taarifa ya utekelezaji

Uwepo wa fedha

5 Kupambana na rushwa

Kuongeza ulewa wa watumishi jinsi ya kuziba mianya ya rushwa ifikapo 2018

Idadi ya vikao vilivyofanyika

Taarifa ya utekelezaji

Uwepo wa fedha

100

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA ARDHI

Lengo Kuu: Kuwa na makazi bora na kumiliki ardhi kisheria mijini na vijijini

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 1 Kuongeza mpango Mkakati 1 wa undelezaji wa mji ifikapo 2018

Mkakati : Kutoa elimu kwa jamii kuhusu mipango ya uendelezaji miji

DED,DLNREO,TPLO

Mkakati: Kulipa fidia ya mashamba eneo la mjini

DED, DLNREO

Mkakati: Kuchora michoro ya mipango miji

DED,DLNREO

Lengo 2 Kuongeza hati miliki za kawaida mjini toka 500 hadi 5000 ifikapo 2018

Mkakati: Kununua vifaa vya upimaji wa kisasa GPS yenye Real Time Kinematic Mode (RTK) na Jumla Station

DED,DLNREO,DLS

101

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Mkakati: Kupima viwanja vya matumizi mbalimbali

DED, DLNREO

Mkakati: Kuandaa hati miliki za kawaida

Lengo 3 Kuongeza makusanyo ya Kodi ya ardhi toka Tsh. 12 milioni kwa mwaka hadi 40 milioni ifikapo 2018

Mkakati: Kutoa matangazo na vipeperushi ya ujumbe wa kulipa kodi ya ardhi

DED,DLNREO,DLO

Mkakati: Kuandaa orodha ya walipa kodi

DED,DLNREO

Lengo 4 Kuongeza hati miliki za kimila toka 220 hadi 45,000 ifikapo 2018

Mkakati: Kupima mipaka ya vijiji vilivyogawanyika

DED,DLNREO,DLS

Mkakati: Kupanga matumizi bora ya ardhi

DED,DLNREO

Mkakati: Kuandaa hati miliki za kimila

102

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 5 Kuboresha maeneo ya wazi 20 ifikapo 2018

Mkakati: Kusafisha na kuweka miondo mbinu

DED,DLNREO,DE,DWE

Lengo 6 Kutambua mitaa 300 kwa majina ifikapo 2018

Mkakati: Kuweka vibao vya mitaa

DED,DLNREO,DE

Lengo 7 Kuongeza ajira za watumishi toka 4 hadi 8 ifikapo 2018

Mkakati: Kuajiri ajira mpya

DED

Lengo 8 Kuongeza vitendea kazi, photocopy 2, printing machine 1 na pikipiki 4 ifikapo 2018

Mkakati: Kununua vitendea kazi na vifaa vya ofisi

DED

Lengo 9 Kuongeza watumishi waliopata mafunzo ngazi ya shahada toka 1 hadi 3 ifikapo 2018

Mkakati: Watumishi kuhudhuria mafunzo

DED

Lengo 10 Kuongeza uelewa wa watumishi kuhusu kujikinga Ukimwi na maswala ya jinsia ifikapo2018

103

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Mkakati: Kuwapa watumishi elimu ya kujikinga na maambukizi ya VVU na maswala ya jinsia

DLNREO

Kuongeza ulewa wa watumishi jinsi ya kuziba mianya ya rushwa ifikapo 2018

Mkakati: Kuotoa elimu ya kupambana na rushwa mahali pa kazi

DLNREO

104

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA ARDHI

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 1 Kuongeza Mpango Mkakati 1 undelezaji wa mji na ifikapo 2018

Mkakati : Kutoa elimu kwa jamii kuhusu mipango ya uendelezaji miji

1,500,000.00 1,500,000.00 3,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kuandaa mpango mkakati

10,000,000.00 10,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kulipa fidia ya mashamba eneo la mjini

100,000,000.00

300,000,000.00 300,000,000.00 300,000,000.00 250,000,000.00 1,250,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kuchora michoro ya mipango miji

5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 25,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 2 Kuongeza hati miliki za kawaida mjini toka 500 hadi 5000 ifikapo 2018

Mkakati: Kununua vifaa vya upimaji wa kisasa GPS yenye Real Time Kinematic Mode (RTK) na Jumla Station

60,000,000.00 60,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kupima viwanja vya matumizi mbalimbali

20,000,000.00 20,000,000.00 20,000,000.00 20,000,000.00 20,000,000.00 100,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kuandaa hati 2,500,000.00 2,500,000.00 2,500,000.00 2,500,000.00 2,500,000.00 12,500,000.00 TDC, CDG,BG

105

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

miliki za kawaida Wafadhili

Lengo 3 Kuongeza makusanyo ya Kodi ya ardhi toka Tsh. 12 milioni kwa mwaka hadi 40 milioni ifikapo 2018

Mkakati: Kutoa matangazo na vipeperushi vya ujumbe wa kulipa kodi ya ardhi

500,000.00 500,000.00 500,000.00 500,000.00 500,000.00 2,500,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kuandaa orodha ya walipa kodi

500,000.00 500,000.00 500,000.00 1,500,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 4 Kuongeza hati miliki za kimila toka 220 hadi 45,000 ifikapo 2018

Mkakati: Kupima mipaka ya vijiji vilivyogawanyika

15,000,000.00 15,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 45,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kupanga matumizi bora ya ardhi

321,000,000.00 321,000,000.00 321,000,000.00 321,000,000.00 321,000,000.00 1,608,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kuandaa hati za kimila

5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 25,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 5 Kuboresha maeneo ya wazi 20 ifikapo 2018

Mkakati: Kusafisha na kuweka miondo mbinu

40,000,000.00 40,000,000.00 40,000,000.00 40,000,000.00 40,000,000.00 200,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 6 Kutambua mitaa 300 kwa majina ifikapo 2018

Mkakati: Kutengenezesha na

10,000,000.00 10,000,000.00 20,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

106

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

kuweka vibao vya mitaa

Lengo 7 Kuongeza ajira za watumishi toka 4 hadi 8 ifikapo 2018

Mkakati: Kuajiri ajira mpya

5,400,000.00 5,400,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 8 Kuongeza vitendea kazi, photocopy 2, printing machine 1 na pikipiki 4 ifikapo 2018

Mkakati: Kununua vitendea kazi na vifaa vya ofisi

22,000,000.00 500,000.00 27,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 9 Kuongeza watumishi waliopata mafunzo ngazi ya shahada toka 1 hadi 3 ifikapo 2018

Mkakati: Watumishi kuhudhuria mafunzo

3,500,000.00 3,500,000.00 3,500,000.00 3,500,000.00 3,500,000.00 17,500,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 10 Kuongeza uelewa wa watumishi kuhusu kujikinga Ukimwi na maswala ya jinsia ifikapo2018

Mkakati: Kuwapa watumishi elimu ya kujikinga na maambukizi ya VVU na maswala ya jinsia

100,000.00 100,000.00 100,000.00 100,000.00 100,000.00 500,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 11 Kuongeza ulewa wa watumishi jinsi ya kuziba mianya ya rushwa ifikapo 2018

Mkakati: Mkakati: Kuotoa elimu ya kupambana na rushwa mahali pa kazi

100,000.00 100,000.00 100,000.00 100,000.00 100,000.00 500,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

107

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

JUMLA 423,000,000 395,600,000 375,600,000 375,600,000 375,100,000 1,952,400,000

108

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA MISITU NA MAZINGIRA

Lengo kuu: Kutumia Rasilimali za Misitu kwa Maendeleo endelevu

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

1 Hifadhi ya Misitu Kuboresha usimamizi shirikishi wa misitu ya hifadhi ya Halmashauri kwenye vijiji 5 ifikapo 2018.

Idadi ya vijiji vitakavyoshiriki

Taarifa za utekelezaji Kutobadilika kwa sera ya Makazi, Uwepo wa fedha

Kuongeza hifadhi ya misitu ya Ardhi ya vijijii toka 6 hadi 20 ifikapo 2018.

Idadi ya vijiji vyenye hifadhi ya misitu ya jamii

Taarifa za utekelezaji Kutobadilika kwa Sera ya Misitu Ushiriki wa jamii Uwepo wa fedha

2 Hifadhi ya vyanzo vya maji

Kuboresha hifadhi ya vyanzo vya maji vyanzo 8 vilivyopo ifikapo 2018

Idadi ya miti itakayopandwa na vyanzo vya maji vitakavyo hifadhiwa

Taarifa za utekelezaji Kutobadilika kwa Sera ya Misitu Ushiriki wa jamii Uwepo wa fedha

3 Mabadiliko ya tabianchi

Kukuza uelewa juu mabadiriko ya tabianchi katika vijiji 75 ifikapo 2018

Idadi ya vijiji vitakavyopata elimu ya mabadiliko ya tabia ya nchi na kuhifadhi mazingira

Taarifa za utekelezaji Kutobadilika kwa Sera ya Misitu Uwepo wa fedha

4 Kujenga uwezo Kuongeza ajira za watumishi toka 4 hadi 8 ifikapo 2018

Idadi ya watumishi walioajiriwa

Taarifa za utekelezaji Uwepo wa fedha

Kuongeza watumishi waliopata mafunzo ngazi ya shahada toka 1 hadi 2 ifikapo 2018

Idadi ya watumishi waliopata mafunzo

Taarifa za utekelezaji Uwepo wa fedha

Kuwa na vifaa na vitendea kazi muhimu Photokopi 1, kompyuta 3 na pikipiki 5 ifikapo

Idadi ya vitendea kazi vitakavyo

109

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

2018 nunuliwa

110

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA MISITU NA MAZINGIRA

Lengo Kuu: Kutumia Rasilimali za Misitu kwa Maendeleo endelevu

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 1

Kuboresha usimamizi shirikishi wa misitu ya hifadhi kwenye vijiji 5 ifikapo 2018.

Mkakati: Kutoa mafunzo ya jinsi ya kushiriki usimamzi wa pamoja wa misitu

DED,DLNREO,DFO

Mkakati: Kuandaa mipango ya uvunaji

DED,DLNREO,DFO

Lengo 2 Kuongeza hifadhi ya misitu ya Ardhi ya vijijii toka 6 hadi 20 ifikapo 2018.

Mkakati: Kuhamasisha vijiji vitenge misitu ya hifadhi

DED,DLNREO,DFO

Mkakati: Kupima misitu ilyotengwa na vijiji

DED,DLNREO,DFO

Mkakati: Kuandaa mipango ya uvunaji na usimamizi endelevu wa misitu

DED,DLNREO,DFO

Lengo 3 Kutoa elimu ya mabadiriko ya tabianchi na uapandaji miti kufikia asilimia 75 ya vijiji vyote ifikapo 2018

111

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Mkakati: Kuandaa na kutoa mafunzo kuhusu mabadiliko ya tabianchi

DED,DLNREO,DFO

Mkakati: Kupanda miti kwa wingi kila mwaka

DED,DLNREO,DFO

Lengo 4 Kuongeza ajira za watumishi toka 4 hadi 8 ifikapo 2018

Mkakati: Kuajiri watumishi wapya

DED,DLNREO,DFO

Lengo 5 Kuongeza watumishi waliopata mafunzo ngazi ya shahada toka 1 hadi 2 ifikapo 2018

Mkakati: Kuwapeleka watumishi kuhudhuria mafunzo vyuoni

DED,DLNREO,DFO

Lengo 6 Kuwa na vifaa na vitendea kazi muhimu Photokopi 1, kompyuta 3,scanner na pikipiki 4 ifikapo 2018

Mkakati Kununua vitendea kazi

DED,DLNREO

112

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA MISITU NA MAZINGIRA

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 1 Kuboresha usimamizi shirikishi wa misitu ya hifadhi kwenye vijiji 5 ifikapo 2018

Mkakati: Kutoa mafunzo ya jinsi ya kushiriki usimamzi wa pamoja wa misitu

10,000,000.00 10,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kuandaa mipango ya uvunaji

25,000,000.00 25,000,000.00 25,000,000.00 25,000,000.00 100,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 2 Kuongeza hifadhi ya misitu ya Ardhi ya vijijii toka 6 hadi 20 ifikapo 2018.

Mkakati: Kuhamasisha vijiji vitenge misitu ya hifadhi

2,000,000.00 2,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kupima misitu ilyotengwa na vijiji

3,500,000.00 3,500,000.00 3,500,000.00 3,500,000.00 3,500,000.00 10,500,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kuandaa mipango ya uvunaji na usimamizi endelevu wa misitu

15,000,000.00 15,000,000.00 30,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 3 Kutoa elimu ya mabadiriko ya tabianchi na uapandaji miti kufikia asilimia 75 ya vijiji vyote ifikapo 2018

113

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

Mkakati: Kuandaa na kutoa mafunzo kuhusu mabadiliko ya tabianchi

6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 30,000,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kupanda miti kwa wingi kila mwaka

4,000,000.00 4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 20,000,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 4 Kuongeza ajira za watumishi toka 4 hadi 8 ifikapo 2018

Mkakati: Kuajiri watumishi wapya

7,200,000. TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 5 Kuongeza watumishi waliopata mafunzo ngazi ya shahada toka 1 hadi 2 ifikapo 2018

Mkakati: Kuwapeleka watumishi kuhudhuria mafunzo vyuoni

3,500,000 3,500,000 3,500,000 3,500,000 3,500,000 17,500,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 6 Kuwa na vifaa na vitendea kazi muhimu Photokopi 1, kompyuta 3,scanner na pikipiki 4 ifikapo 2018

Mkakati : Kununua vitendea kazi

4000,000 8,000,000 5,000,000 1,200,000 17,200,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

JUMLA 40,200,000 52,000,000 62,000,000 58,200,000 42,000,000 235,200,000

114

ENEO LA HUDUMA : SEKTA YA NYUKI

Lengo kuu: Kupunguza umasikini kwenye jamii kwa kutumia mazao ya nyuki

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

1 Manzuki (mashamba ya Nyuki)

Kuongeza uzalishaji wa asali toka lita 100,000 hadi 150,000 ifikapo 2018

Idadi ya vikundi vilivyoongezeka na vilivyowezeshwa vifaa vya kisasa na kiasi cha mazao ya nyuki yaliyouzwa sokoni

Taarifa ya utekelezaji Kutembelea vikundi

Uwepo wa fedha Ushiriki wa jamii

2 Kujenga uwezo wa watumishi na ufanisi kazini

Kuongeza watumishi 2 waliopata mafunzo ngazi ya diploma kuhusu ufugaji nyuki ifikapo 2018

Idadi ya watumishi waliopata mafunzo

Taarifa ya utekelezaji

Uwepo wa fedha

Kuwa na vitendea kazi, Kompyuta 2, photokopi 1 na pikipiki 2 ifikapo 2018

Idadi ya kompyuta na pikipiki zilizo nunuliwa

Taarifa ya utekelezaji

Uwepo wa fedha

115

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA NYUKI

Lengo Kuu: Kupunguza umasikini kwenye jamii kwa kutumia mazao ya nyuki

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 1 Kuongeza uzalishaji wa asali toka lita 100,000 hadi 150,000 ifikapo 2018

Mkakati: Kutoa mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwenye vikundi vya ufugaji nyuki

DLNREO,DBO

Mkakati: Kutoa vifaa vyakisasa kwenye vikundi vya ufugaji

DED,DLNREO,DBO

Mkakati: Kufuatilia masoko ya mazao ya nyuki

DLNREO, DBO

Mkakati: Kutafiti maeneo yenye mimea inayofaa kwa ufagaji nyuki

DLNREO,DBO

116

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Mkakati: Kutafiti magonjwa na maadui wa nyuki ili kuzia madhara yake kwa nyuki

DED,DLNREO,DBO

Lengo 2 Kuongeza watumishi 2 waliopata mafunzo ngazi ya diploma kuhusu ufugaji nyuki ifikapo 2018

Mkakati: Kuwezesha watunishi kwenda kuhudhuria mafunzo ya

DED,DLNREO

Lengo 3 Kuwa na vitendea kazi, Kompyuta 2, photokopi 1 na pikipiki 2 ifikapo 2018

Mkakati: Kununua kompyuta photokopi na pikipiki

DED,DLNREO

117

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA NYUKI

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 1 Kuongeza uzalishaji wa asali toka lita 100,000 hadi 150,000 ifikapo 2018

Mkakati: Kutoa mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwenye vikundi vya ufugaji nyuki

4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 20,000,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kutoa vifaa vyakisasa kwenye vikundi vya ufugaji

3,500,000 3,500,000 3,500,000 3,500,000 3,500,000 17,500,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kufuatilia masoko ya mazao ya nyuki

6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 24,000,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kutafiti maeneo yenye mimea inayofaa kwa ufagaji nyuki ili kupanua maeneo ya ufugaji nyuki

3,000,000.00 3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 15,000,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Mkakati: Kutafiti magonjwa na maadui wa nyuki ili kuzia madhara yake kwa nyuki

3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 15,000,000 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 2 Kuongeza watumishi 2 waliopata mafunzo ngazi ya diploma kuhusu ufugaji nyuki ifikapo 2018

118

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA CHANZO CHA PESA

Kuwezesha watunishi kwenda kuhudhuria mafunzo ya ufugaji nyuki

4,500,000.00 4,500,000.00 4,500,000.00 4,500,000.00 18,000,000.00 TDC, CG, Wafadhili

Lengo 3 Kuwa na vitendea kazi, Kompyuta 2, Tv set, internet, photokopi 1 na pikipiki 2 ifikapo 2018

Mkakati: Kununua kompyuta, TV set, Internet na photokopi na pikipiki

5,000,000.00 5,000,000.00 5,000,000.00 10,000,000.00 25,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

JUMLA 24,500,000 29,000,000 29,000,000 34,000,000 24,000,000 134,500,000

119

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA WANYAMAPORI

Lengo kuu: Kusimamia na Kuhifadhi Rasilimali za Wanyamapori

NA ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

1 Wanyama waharibifu Kupunguza madhara ya wanyama waharibifu yanayofanywa kwenye vijiji 20 ifikapo 2018

Idadi ya vijiji na vikundi vilvyopatiwa mafunzo

Taarifa za utekelezaji

Uwepo wa fedha Ushiriki wa jamii

Kuongeza eneo la kufanya doria ya wanyama waharibifu toka vijiji 12 hadi 20 ifikapo 2018

Idadi ya vijiji ambavyo doria imefanyika

Taarifa za utekelezaji Uwepo wa fedha

2 Rasilimali za Wanyama Pori

Kutambua 20% vinasaba vya wanyama pori na mahali wanaopatikana ifikapo 2018

Idadi ya wanyama pori waliofanyiwa tathmini

Taarifa za utekelezaji Uwepo wa fedha

3 Kujenga uwezo wa watumishi na ufanisi kazini

Ununuzi wa pikipiki 2, mahema 4 na risasi 1000 ifikapo 2018

Idadi ya pikipiki, mahema, na risasizilizonunuliwa

Taarifa za utekelezaji Uwepo wa fedha

120

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA WANYAMAPORI

Lengo Kuu: Kusimamia na Kuhifadhi Rasilimali za Wanyamapori

Lengo/Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezji

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Lengo 1 Kupunguza madhara ya wanyama waharibifu kwenye vijiji 20 ifikapo 2018

Mkakati: Kutoa elimu ya kujikinga na wanyama hatari na waharibifu

DED,DLNREO,DGO

Mkakati: Kufanya doria dhidi ya wanyama waharibifu na hatarishi

DED,DLNREO,DGO

Lengo 2 Kutambua 20% ya aina ya wanyama pori na mahali wanapopatikana ifikapo 2018

Kufanya sensa ya wanyamapori

DED,DLNREO,DGO

Lengo 3 Kuwa na vitendea kazi, pikipiki 2, mahema 4 na risasi 1000 ifikapo 2018

Mkakati Kununua vitendea kazi

DED,DLNREO,DGO

121

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: SEKTA YA WANYAMAPORI

Lengo/Mkakati MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 20171/18 JUMLA CHANZO CHA PESA

Lengo 1 Kupunguza madhara ya wanyama waharibifu kwenye vijiji 20 ifikapo 2018

Kutoa elimu ya kujikinga na wanyama hatari na waharibifu

3,000,000.00 3,000,000.00 3,000,000.00 3,000,000.00 12,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Kufanya doria dhidi ya wanyama waharibifu na hatarishi

6,000,000.00 6,000,000.00 6,000,000.00 6,000,000.00 6,000,000.00 18,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 2 Kutambua 20% ya aina ya wanyama pori na mahali wanapopatikana ifikapo 2018

Kufanya sensa ya wanyamapori

15,000,000.00 15,000,000.00 15,000,000.00 15,000,000.00 15,000,000.00 60,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

Lengo 3 Kuwa na vitendea kazi, pikipiki 2, mahema 4 na risasi 1000 ifikapo 2018

Mkakati Kununua vitendea kazi

7,000,000.00 10,000,000.00 4,000,000.00 4,000,000.00 4,000,000.00 29,000,000.00 TDC, CDG,BG Wafadhili

JUMLA 28,000,000 31,000,000 25,000,000 25,000,000 25,000,000 107,000,000

122

ENEO LA HUDUMA: UJENZI

LENGO KUU: Kuboresha huduma ya mawasiliano kwa matengenezo ya Barabara zenye urefu wa km 981 na kalavati 89 ifikapo 2018.

ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

UJENZI/UKARABATI WA BARABARA

Ukarabati wa barabara za udongo kutoka km 371 hadi 790 ifikapo 2018

Km 419 zilizokarabatiwa na kupitika.

Kutembelea eneo la mradi. -Taarifa za utekelezaji

Upatikanaji wa fedha. -Uwepo wa usafiri wa uhakika.

Matengenezo ya barabara za changarawe kutoka km 98 hadi km 198.

Km 100 changarawe zilizo jengwa na kupitika

kutembelea eneo la mradi. -taarifa za maendeleo ya mradi kila robo/mwaka

-Upatikanaji wa fedha. -Uwepo wa usafiri wa uhakika.

-Ujenzi wa Box kalavati 90 ifikapo 2018.

Kalavati 90 zilizojengwa.

-kutembelea eneo la mradi. -taarifa za utekelezaji kwa robo/mwaka.

-upatikanaji wa fedha. -uhakika wa usafiri.

-Ujenzi mpya wa barabara km 5 za lami ifikapo 2018.

Km 5 za lami zilizojengwa.

-kutembelea eneo husika-taarifa za utekelezaji za robo/mwaka.

-upatikanaji wa fedha. -Uhakika wa usafiri.

-Ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua km10 ifikapo 2018.

Km 10 za mifereji zilizojengwa.

-kutembelea eneo la mradi. -taarifa za utekelezaji za robo/mwaka

-uhakika wa usafiri. -upatikanaji wa fedha

-Uwekaji wa alama 180 za usalama barabarani ifikapo 201

Alama 180 za barabarani zilizowekwa.

- Kutembelea eneo la mradi. -taarifa za utekelezaji

-uhakika wa usafiri. -upatikanaji wa fedha

Kujenga uwezo -kuajiri mafundi sanifu 3 ifikapo 2018. -Kutoa mafundi kwa mafundi sanifu 4 ifikapo 2018.

Watumishi 3 wawe wameajiriwa. Mafunzo yawe yametolewa kwa watumishi 4.

-taarifa za ajira. -Vyeti vya taaluma -Vyeti vya taaluma. Taarifa za mafunzo.

-uwepo wa kibali cha ajira. -upatikanaji wa fedha. -upatikanaji wa fedha.

Mambo ya Jinsia/Ukimwi

Kuendeleza mapambano juu yakupunguza maambukizi ya

Kupungua kwa maambukizi ya ukimwi.

Taarifa za utekelezaji -taarifa za vikao.

-Upatikanaji wa fedha.

123

ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

Ukimwi kwa Watumishi ifikapo 2018. -Kuwahamasisha makampuni ya ujenzi ya wanawake kushiriki kwenye miradi ya barabara ifikapo 2018.

-Kampuni za wanawake kuongezeka.

-Vyeti vya usajili wa makampuni.

-Upatikanaji wa kampuni. -Ushiriki wa jamii.

Ufuatiliaji na Usimamizi.

Kuimarisha ufuatiliaji na usimamizi wa miradi ya barabara ifikapo 2018.

-Safari za ufuatiliaji na usimamizi kuongezeka.

-Taarifa za ufuatiliaji na usimamizi kwa robo/mwaka.

-Uhakika wa usafiri. -Upatikanaji wa fedha.

Utawala Bora Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa kwa kutoa elimu kwa watumishi/jamii.

Idadi ya vikao vilivyofanyika.

Kutokuwepo mashitaka ya rushwa. -Taarifa za vikao vilivyofanyika

Utayari wa watumishi/jamii

124

LENGO, MKAKATI NA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: UJENZI ( BARABARA )

Lengo Kuu: Kuboresha huduma ya mawasiliano kwa kutengeneza barabara KM 981, culverts 89 ifikapo 2018

Lengo/Mkakati MKAKATI MHUSIKA 2014 2015 2016 2017 2018 Ukarabati wa barabara za Udongo kutoka km 271 hadi km 490

Kutangaza Zabuni. DED &DE&PO

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

DE &DED

Matengenezo ya barabara za Changarawe kutoka Km 98 hadi Km 198.

Kutangaza Zabuni DE & PO

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

DE &DED

Ujenzi wa Box culvert mpya 90 ifikapo 2018

Kutangaza Zabuni DED &DE

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

DE &PO

Ujenzi mpya wa Barabara za lami Km 5 ifikapo 2018

Kutangaza Zabuni DED &DE

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

DE &PO

Kutoa mafunzo kwa mafundi sanifu 4 ifikapo 2018.

Kutoa mafunzo kwa fundi sanifu mmoja kwa kila mwaka

DED &DE

Ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua

Kutangaza Zabuni DED,DE &POI

125

Lengo/Mkakati MKAKATI MHUSIKA 2014 2015 2016 2017 2018 Km 10 Ifikapo 2018

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

DED &DE

Uwekaji wa alama 180 za Usalama barabarani ifikapo 2018

Kutangaza Zabuni DE &PO

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

DE &PO

Kuajiri Mafundi sanifu 3 ifikapo 2016

Kuajiri fundi sanifu mmoja kwa kila mwaka

DED &DE

Kuwahamasisha Kampuni za Ujenzi za Wanawake kushiriki miradi ya barabara ifikapo 2018.

Kutoa Elimu katika jamii.

CDO &DE

Kuimarisha Ufuatiliaji na Usimamizi wa miradi ya barabara na majengo ifikapo 2018.

Kununua gari la usimamizi

DED &DE

Kufanya ukaguzi na usimamizi wa kila mara

DED,DED &MADIWANI

Kuendeleza

mapambano juu yakupunguza maambukizi ya Ukimwi kwa Watumishi ifikapo 2018.

Kutoa Elimu kwa watumishi kwa kila robo mwaka kwa pamoja na jamii husika ktk mradi

CDO &DE

Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa kwa kutoa elimu kwa

Kutoa elimu ya mara kwa mara kwa watumishi kwa kufanya vikao.

DE &TAKUKURU

126

Lengo/Mkakati MKAKATI MHUSIKA 2014 2015 2016 2017 2018

watumishi/jamii.

127

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: UJENZI (BARABARA)

LENGO MIKAKATI

CHANZO CHA

FEDHA

MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA Ukarabati wa barabara za Udongo kutoka km 271 hadi km 490

Kutangaza Zabuni. TDC,ROADFUND 502,000,000 550,000,000

600,000,000

650,000,000

700,000,000 3,002,000,000

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

TDC,ROADFUND 25,100,000 27,500,000 30,000,000 32,500,000 35,000,000 150,010,000

Kutangaza Zabuni TDC,ROADFUND 380,000,000 400,000,000

450,000,000

480,000,000

500,000,000 2,210,000,000

Matengenezo ya barabara za Changarawe kutoka Km 98 hadi Km 198.

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

TDC,ROADFUND

19,000,000 20,000,000 22,500,000 24,000,000 25,000,000 110,500,000 Ujenzi wa Box culvert mpya 90 ifikapo 2018

Kutangaza Zabuni TDC,ROADFUND 72,000,000 90,000,000

120,000,000

150,000,000

180,000,000 612,000,000

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

TDC,ROADFUND 3,600,000 4,500,000 6,000,000 7,500,000 9,000,000 30,600,000

Ujenzi mpya wa Barabara za lami Km 5 ifikapo 2018

Kutangaza Zabuni TDC,ROADFUND

- 625,000,000 650,000,000

680,000,000

700,000,000 2,655,000,000

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

TDC,ROADFUND - 31,250,000 32,500,000 34,000,000 35,000,000 132,750,000

Kutoa mafunzo kwa mafundi sanifu 4 ifikapo 2018.

Kutoa mafunzo kwa fundi sanifu mmoja kwa kila mwaka

TDC

2,000,000 2,500,000 3,000,000 4,000,000 - 11,500,000 Kuajiri Mafundi sanifu 3 ifikapo 2016

Kuajiri fundi sanifu mmoja kwa kila mwaka

TDC - 3,600,000 4,000,000 4,500.000 5,000,000 17,100,000

Ujenzi wa mifereji ya maji ya mvua Km 10 Ifikapo 2018

Kutangaza Zabuni TDC,ROADFUND

120,000,000 150,000,000 200,000,000

220,000,000

250,000,000 940,000,000

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

TDC,ROADFUND 6,000,000 7,500,000 10,000,000 11,000,000 12,500,000 47,000,000

Uwekaji wa alama 180 za Usalama barabarani ifikapo 2018

Kutangaza Zabuni TDC,ROAD 45,000,000 60,000,000 75,000,000 90,000,000 270,000,000

128

LENGO MIKAKATI

CHANZO CHA

FEDHA

MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA FUND

Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara

TDC,ROADFUND 2.250,000 3,000,000 3,750,000 4,500,000 13,500,000

Kuwahamasisha Kampuni za Ujenzi za Wanawake kushiriki miradi ya barabara ifikapo 2018.

Kutoa Elimu katika jamii. TDC

1,000,000 1,500,000 1,800,000 2,000,000 6,300,000 Kuimarisha Ufuatiliaji na Usimamizi wa miradi ya barabara na majengo ifikapo 2018.

Kununua gari la usimamizi TDC,ROADFUND

- 100,000,000 - - - 100,000,000 Kufanya ukaguzi na usimamizi wa kila mara

TDC 10,000,000 13,000,000

17,000,000

20,000,000

25,000,000 85,000,000

Kuendeleza mapambano juu yakupunguza maambukizi ya Ukimwi kwa Watumishi ifikapo 2018

Kutoa Elimu kwa watumishi kwa kila robo mwaka kwa pamoja na jamii husika ktk mradi

TDC, ROADFUND

500,000 800,000 1,000,000 1,200,000 1,500,000 5,000,000 Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa kwa kutoa elimu kwa watumishi/jamii.

Kutoa elimu ya mara kwa mara kwa watumishi kwa kufanya vikao.

TDC

400,000 600,000 800,000 1,000,000 1,200,000 4,000,000

JUMLA 1,020,720,000

2,074,500,000

2,211,300,000

2,400,250,000

2,575,700,000

10,402,260,000

129

ENEO LA HUDUMA: MIPANGO

LENGO KUU : Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mpango wa maendeleo wa wilaya 2015- 2018.

NA ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHUSUSI/MKAKATI

VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

1 Mpan go wa maendeleo wa wilaya

Kuandaa mpango kazi wa mwaka wa wilaya kila mwezi Februari kila mwaka

Mijadala ya kupanga vipaumbele vya maendeleo.

Taarifa za utekelezaji Kutoshiriki kwa baadhi ya makundi katika mijadala

2 Utekekelezaji wa miradi maendeleo

Kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati i kila mwaka.

Miradi iliyokamilika na inaoendelea kutekelezwa.

Taarifa za hali ya utekelezaji miradi za kila robo na mwaka.

Kuchelewa kwa fedha tofauti na mpango kazi.

4 Kuuhisha mpango makakati wa wilaya

Kuanda Mpango Mkakati mwingine wa miaka mitano ( 2019- 2024).

Taarifa za utekelezaji Kuwepo kwa Mpango Mkakati wa Wilaya.

Ufinyu wa bajeti.

5 Kujenga uwezo. Kuwapatia mafunzo watumishi 4 waliopo ifikapo mwaka 2015.

Ushiriki wa watumishi katika mafunzo mbalimbali.

Watumishi wanaohitimu mafunzo. Bajeti finyu

6 Mawasiliano Kuimallisha mawaliano kwa njia ya elektoroniki ifikapo.

Kumlika kwa mawasiliano.

Taarifa ya utekelezaji Bajeti finyu

7 Takwimu Kukusanya takwimu sahihi kutoka kwenye idara ifikapo 2018

Kuwepo kwa takwimu mbalimbali

Taarifa ya uteke lezaji Bajeti finyu

130

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI.

ENEO LA HUDUMA: MIPANNGO

LENGO KUU: Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mpango wa maendelei wa wilaya 2014 - 2018.

Lengo/ Mkakati Mhusika Muda wa utekelezaji. 2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kuandaa Mpango wa Maendeleo wa Wilaya ifikapo mwezi Februari kila mwaka. Mikakati 1.Kuuhisha miradi ya kata 30 kutokana na vipaumbele vya O&OD kila mwaka.

A/Mipango

2. Kupitisha vipaumbele vya miradi ya maendeleo katika Kamati za Kudumu na Baraza kila mwaka

A/Mipango

3. Kuandaa na kuwasilisha hazina makala ya Mpango wa mwaka wa wilaya.

A/Mipango

Kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati kila mwaka. Mikakati . 1.Kufanya tathimini na ufuatiliaji utekelezaji wa miradi ya maendeleo kila robo mwaka.

A/Mipango

2.Kutangazo zabuni za kutekeleza kwa wakati kila mwaka.

A/Mipango

3. Kuandika taarifa za hali ya utekelezaji miradi ya maendeleo kwa kujaza fomu mbalimbali ( CDR,IFMS nk) kila robo mwaka.

A/Mipango

Kuanda Mpango Mkakati mwingine wa miaka mitano ( 2019- 2024). Mikakati.

131

Lengo/ Mkakati Mhusika Muda wa utekelezaji. 2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

1.Kufanya Mkutano na Wakuu wa Idara /vitengo kwa siku 10 mwaka 2018

A/Mipango

2. Kuandaa makala ya Mpango kwa kushirikiana na Muwezeshaji Mshauri mwaka 2018.

A/Mipango

Kuwapatia mafunzo watumishi 4 waliopo ifikapo mwaka 2015. Mikakati 1. Kuwapatia mafunzo watumishi 4 kuhusu PlanRep 3 pamoja na Epicor ifikapo Juni 2015.

A/Mipango

Kuimallisha mawaliano kwa njia ya elektoroniki ifik apo2018. Mikakati. 1. Kuunganisha mtandao wa internet katika ofisi zote 12 za halmashauri ya wilaya ifikapo Juni 2017

A/Mipango

Kukusanya takwimu sahihi kutoka kwenye idara ifikapo 2018 Mikakati . 1. Kukusanya takwimu muhimu kutoka kwenye kata kwa kutumia fomu za LGMD kila mwaka.

A/Mipango

2. Kununua vitendea kazi kwa ajilia ya kitengo cha takwimu ifikapo 2015.

A/Mipango

132

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: MIPANGO

Lengo Mikakati MAKISIO YA GHARAMA Chanzo cha fedha 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla

1.Kuandaa mpango wa maendeleo wa wilaya ifikapo mwezi Februari kila mwaka.

Kuuhisha miradi ya kata 30 kutokana na vipaumbele vya O&OD kila mwaka. Kupitisha vipaumbele vya miradi ya maendeleo katika Kamati za Kudumu na Baraza kila mwaka. Kuandaa na kuwasilisha hazina makala ya Mpango wa mwaka wa wilaya.

12,000,000 25,000,000 20,000,000

14,000,000

14,000,000 14,000,000 14,000,000 69,000,000 25,000,000 20,000,000

Kutekeleza miradi ya maendeleo kwa wakati kila mwaka.

Kufanya tathimini na ufuatiliaji utekelezaji wa miradi ya maendeleo kila robo mwaka. Kutangazo zabuni mbalimbali za miradi. Kuandika taarifa za hali ya utekelezaji miradi ya maendeleo kwa kujaza fomu mbalimbali ( CDR,IFMS nk) kila robo mwaka.

85,000,000 5,000,000 12,000,000

90,000,000 6,000,000 12,500,000

90,000,000 15,000,000

90,000,000 7.000,000 15,000,000

90,000,000 15,000,000

445,000,000 18,000,000 15,000,000

Kuanda Mpango Mkakati mwingine wa miaka mitano ( 2019-

Kukusanya takwimu na kufanya Mkutano wa Wadau ifikapo mwezi Juni

0

0

0

5,000,000

5,000,000

133

Lengo Mikakati MAKISIO YA GHARAMA Chanzo cha 2024). 2018

Kuahinisha malengo ,mikaati na gharama za kila lengo iikapo juni 2018

Kuwapatoa mafunzo watumishi 4 waliopo ifikapo mwaka 2015.

Kufanya mafunzo kuhusu IFMS kwa watumishi 4 ifikapo Juni 2015.

15,000,000 14,000,000 29,000,000

Kuimallisha mawaliano kwa njia ya elektoroniki ifikapo2018.

Kuunganisha mtandao wa internet katika ofisi zote 12 za halmashauri ya wilaya ifikapo Juni 2017

25,000,000

15,000,000 40,000,000

Kukusanya takwimu sahihi kutoka kwenye idara ifikapo 2018

Kukusanya takwimu muhimu kutoka kwenye kata kwa kutumia fomu za LGMD kila mwaka. Kununua vitendea kazi kwa ajilia ya kitengo cha takwimu ikapo 2015.

12,000,000 15,000,000

15,000,000 15,000,000

15,000,000 57,000,000 15,000,000

JUMLA 9,000,000 48,500,000 208,000,000 186,000,000 184,000,000 685,500,000

134

ENEO LA HUDUMA : FEDHA LENGO KUU: Kusimamia mapato na matumizi ya fedha kwa kuzingatia kanuni na taratibu za fedha. NO. ENEO LA

MATOKEO LENGO MAHSUSI/MKAKATI VIASHIRIA VYA

UTEKELEZAJI CHANZO CHA

UHAKIKI DHANA

1 Ukusanyaji wa mapato Kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka asilimia 90 hadi 100. - kutumia mawakala - kuainisha vyanzo vingine vya mapato.

Kiasi cha mapato kilichokusanywa

Taarifa za utekelezaji

Mawakala makini, kuwepo kwa fedha

2 Kanuni na taratibu za fedha

Kuimarisha utekelezaji wa kanuni na taratibu za fedha - Kuweka fedha benki kila siku punde tu zinapokusanywa - Ufungaji wa hesabu kwa wakati - Kuwa na chumba maalumu (strong room) cha kuhifadhia nyaraka za fedha. - Kusimamia matumizi ya fedha kwa kuzingatia taratibu na kanuni za fedha

Stakabadhi na benki pay in slip Vitabu vya mahesabu uwepo wa kasiki Nyaraka za fedha.

Taarifa za fedha kutoka kwa muhasibu, Taarifa za kibenki (bank statement) taarifa ya mkaguzi, hati safi

kufanya kazi kulingana na mpango kazi, kuwepo kwa watumishi wenye sifa. Kuwepo kwa miongozo ya fedha.

3 Mazingira bora ya kufanyia kazi

Kuimarisha mazingira bora ya kufanyia kazi -Kununua vitendea kazi, kompyuta, photocopy, printa, scanner -Ununzi wa pikipiki 3 -ununuzi wa samani

Kompyuta na photocopy vimenunuliwa Pikipiki zimenunuliwa

Uwepo kompyuta photocopy, printa Uwepo wa pikipiki 3

Uwepo wa fedha

4 Kujenga uwezo Wahasibu 6 wanapata mafunzo hadi kufikia mwaka 2018

Idadi ya watumishi watakaopata mafunzo

vyeti Uwepo wa fedha

5 Taarifa za mkaguzi wa nje

Kuondoa hoja za ukaguzi, kujibu hoja kwa wakati.

Kutokuwepo na hati chafu Hati safi Watumishi wenye sifa

6 Huduma kwa wateja Kutoa huduma kwa wakati Kupungua kwa malalamiko

Taarifa za utekelezaji

Utayari wa watoa huduma

135

136

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI ENEO LA HUDUMA : FEDHA LENGO KUU: Kusimamia mapato na matumizi ya fedha kwa kuzingatia kanuni na taratibu za fedha. Eneo la Matokeo Muhimu

Mkakati Mhusika Muda wa utekelezaji

2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Ukusanyaji wa mapato

Kuongeza ukusanyaji wa mapato kutoka asilimia 90 hadi 100. - kutumia mawakala - kuainisha vyanzo vingine vya mapato.

DT, Afisa biashara

Kanuni na taratibu za fedha

- Ufungaji wa hesabu kwa wakati

DT na Wahasibu wote

- Kuwa na chumba maalumu (strong room) cha kuhifadhia nyaraka za fedha.

DED

Mazingira bora ya kufanyia kazi

Kununua vitendea kazi, kompyuta, photocopy, printa, scanner

Afisa manunuzi

Ununzi wa pikipiki 3 na samani

Afisa manunuzi

Kujenga uwezo Wahasibu 6 wanapata mafunzo hadi kufikia mwaka 2018

Wahasibu

Taarifa ya mkaguzi wa nje

Kutokuwepo na hati chafu Wahasibu, DT, wakuu wa idara na DED

137

Eneo la Matokeo Muhimu

Mkakati Mhusika Muda wa utekelezaji

2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Huduma kwa wateja

Kutoa huduma kwa wakati

Watumishi wote wa idara ya fedha

138

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI ENEO LA HUDUMA: FEDHA Lengo Mkakati Makisio ya gharama

2014 2015 20116 20/17 20/18 JUMLA CHANZO CHA FEDHA

Ukusanyaji wa mapato kutumia mawakala kuainisha vyanzo vingine vya mapato.

15,000,000 18,000,000 20,000,000 21,000,000 25,000,000 99,000,000 Halmashauri

Kanuni na taratibu za fedha

Ufungaji wa hesabu kwa wakati

20,000,000 23,000,000 25,000,000 26,000,000 28,000,000 122,000,000 Halmashauri

Kuwa na chumba maalumu (strong room) cha kuhifadhia nyaraka za fedha.

150,000,000 150,000,000 Halmashauri

Mazingira bora ya kufanyia kazi

Kununua vitendea kazi, kompyuta, photocopy, printa, scanner

7,000,000 10,000,000 11,000,000 28,000,000 Halmashauri

Ununzi wa pikipiki 3 na samani

2,200,000 12,500,000 23,000,000 25,000,000 62,700,000 Halmashauri

Kujenga uwezo Wahasibu 6 wanapata mafunzo hadi kufikia mwaka 2018

10,000,000 12,000,000 14,000,000 15,000,000 16,000,000 67,000,000 Halmashauri

Taarifa ya mkaguzi wa nje

Kufanyia kazi taarifa za mkaguzi wa ndani ili kusiwepo na hati chafu

15,000,000 17,000,000 20,000,000 22,000,000 25,000,000 99,000,000 Halmashauri

Huduma kwa wateja Kutoa huduma kwa wakati

JUMLA 69,200,000 232,500,000 112,000,000 109,000,000 105,000,000 627,700,000

139

MPANGO MKAKATI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANDAHIM BA 2014-2018 ENEO LA HUDUMA : BIASHARA LENGO KUU: Kuchochea Maendeleo na kasi ya ukuaji wa biasshara ,kuinua uwezo wa ushindani ili kuongeza kasi ya maendeleo ya kijamii ,kiuchumi na kuondoa umasikini kufikia 2018 NO. ENEO LA

MATOKEO LENGO MAHSUSI VIASHIRIA VYA

UTEKELEZAJI CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

1 Leseni za Biashara wafanyabiashara 600 wanatambuliwa na kupewa leseni - Usajili wa wafanyabiashara - mafunzo kwa wafanyabiashara

idadi ya wafanyabiashara

Taarifa za utekelezaji

uwepo wa fedha

2 Ushuru wa masoko Kupandisha kiwango cha ukusanyaji wa ushuru kutoka 80% hadi 100% -Kuanzusha maeneo mapya ya kufanyia biashara -Kurejea viwango vya kukusanyia ushuru - Ujenzi wa stendi kuu ya mabasi

idadi ya Mikataba iliyorejewa

Taarifa za utekelezaji

uwepo wa fedha na wafanyabiashara

140

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: BIASHARA Lengo Mkakati Mhusika Muda wa utekelezaji

2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Leseni za Biashara Usajili wa wafanyabiashara

Afisa biashara

Mafunzo kwa wafanyabiashara

Ushuru wa masoko Kurejea viwango vya kukusanyia ushuru

DED

Ujenzi wa stendi kuu ya mabasi

DED

141

ENEO LA HUDUMA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, USTAWI WA JAMII NA VIJANA

LENGO KUU: Kuweka usawa wa kijinsia katika ukuaji wa kiuchumi, uwajibikaji, na kupunguza umasikini ili kuboresha maisha jamii kwa kutumia rasilimali zilizopo ifikapo 2018

ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI/ MKAKATI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

1 Vikundi vya wanawake na vijana

Kuongeza uhakiki vikundi vya kiuchumi vya wanawake na vijana kutoka 77 hadi 120 ifikapo 2018

Idadi ya vikundi vya wanawake vilivyo hakikiwa

Taarifa kutoka dawati la wanawake

Upatikanaji wa rasilimali fedha na mahitaji ya kikundi

Kuongeza kipato cha kiuchumi kwa vikundi vya ujasiliamali vya wanawake na vijana vinavyopewa mkopo wa kutoka 16 hadi 32 ifikapo 2018

Idadi ya vikundi vya wanawake na vijana vilivyopewa mkopo

Taarifa kutoka dawati la wanawake na vijana

Upatikanaji wa rasilimali fedha

Kuongeza idadi ya vikundi vya ujasiliamali kushiriki maonyesho ya biashara kutoka 4 hadi 14 ifikapo 2018

Idadi ya vikundi vitakavyo shiriki

Taarifa dawati la jinsia Upatikanaji wa mapato

2 Kujenga uwezo

Kuongeza idadi ya watumishi wa idara kutoka 16 waliopo hadi 39 ifikapo 2018

Idadi ya watumishi watakao ajiriwa

Taarifa kutoka idara ya utumishi

Upatikanaji wa kibali cha ajira

3 makundi maalum

Kuongeza vituo vya kulelea watoto wadogo umri(3-5),kutoka kituo 1cha sasa hadi vituo 4 ifikapo 2018

Kuwepo kwa vituo Taarifa ya vituo Upatikanaji wa fedha

Utayari wa jamii

Kuzijengea uwezo kamati za kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi 75 kati ya 157 zilizopo ifikapo 2018

Idadi ya kamati zitakazojengewa uwezo

Taarifa ya utekelezaji Uwepo wa fedha na utayari wa jamii

142

ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI/ MKAKATI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

Kuanzisha mfuko wa kuhudumia makundi maalum ifikapo 2018

Kuwepo kwa mfuko Taarifa ya mfuko Utayari wa jamii katika kuchangia na upatikanaji wa fedha

Kuanzisha baraza la wazee ifikapo 2018 Kuwepo kwa baraza Taarifa ya utekelezaji Utayari wa jamii katika kuchangia na upatikanaji wa fedha

Takwimu Kuhuisha takwimu za makundi maalum ifikapo 2018

Kuwepo kwa takwimu mpya za makundi maalum

Kuwepo kwa takwimu Upatikanaji rasilimali fedha

Mfuko wa afya ya jamii

Kuwezesha makundi maalum 4 kujiunga na mfuko wa afya ya jamii(CHF) ifikapo 2018

Idadi ya makundi yatayojiunga na mfuko wa afya kwa jamii(CHF

Kuwepo kwa mfuko Uamasikaji wa jamii pamoja na kuwepo kwa fedha

Kutambua na kuwatoa wafungwa wanaostahili kutumikia kifungo cha nje kutoka 10 wa sasa hadi 100 ifikapo 2018

Idadi ya wafungwa watakao tambuliwa na kutolewa

Taarifa kutoka magereza,mahakamani na ofisi kitengo cha ustawi

Kuwepo kwa fedha na ushirikiano na jamii

Ndoa na familia

Kuimarisha ndoa na familia katika vijiji 121 kati ya vijiji 157 vilivyopo ifikapo 2018

Idadi ya vijiji vitavyopatiwa elimu.

Taarifa ya mafunzo kutoka kitengo cha ustawi

Kuwepo kwa fedha na ushirikiano na jamii

4 Virus vya UKIMWI UKIMWI

Kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizo mapya ya vvu na UKIMWI katika vijiji 157 na kata 30 ifikapo 2018

Idadi ya maeneo yatakayo tembelewa

Taarifa ya utekelezaji Upatikanaji wa fedha

143

ENEO LA HUDUMA: IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, USTAWI WA JAMII NA VIJANA

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

Kuongeza uhakiki wa vikundi vya kiuchumi vya wanawake na vijana kutoka 77 hadi 120 ifikapo 2018

Kutoa elimu sahihi ya ujasiliamali kwa wanawake na vijana kutoka 20 vya sasa hadi 120 ifikapo 2018

DCDO/WID �

Kuongeza kiasi cha fedha ya mikopo kwa vikundi kutoka 30milioni hadi 100milioni ifikapo 2018

DCDO/TACOBA

Kuongeza idadi ya vikundi vya ujasiliamalia kushiriki maonyesho ya biashara kutoka 4 hadi 14 ifikapo 2018

DCDO/WID

Kuajiri watumishi wa idara wenye sifa 23 ifikapo 2018

DHRO

Kuwepo kwa mpango wa idara unaonyesha bajeti y a watumishi 2 kwa kila mwaka hadi ifikapo 2018

DCDO/DPLO

Kuhakikisha idara inaweka kwenye bajeti watumishi 10 watakaojiendeleza ifikapo 2018

DCDO

Kuboresha huduma za idara ifikapo 2018

Kuongeza idadi ya watumishi wanaojiendeleza kitaaluma kutoka 3 wa sasa hadi 6 ifikapo 2018

DCDO/DPO

Kununua vitendea kazi na DCDO/DPLO

144

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

vitendea kazi kwa kununua vifaa vya ofisi,printer,photocopy machinery,laptop,thamani za ofisi ifikapo 2018 Ununuzi gari moja la idara ifikapo 2015

DED

Kuboresha huduma katika kuhudumia makundi 4 maalum yaliyopo ifikapo 2018

Kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu kwa kuhudumia makundi maalum katika tarafa tatu zilizopo ifikapo 2018

DSWO/DCDO

Kutoa elimu kwa jamii namna ya kuchangia mfuko wa makundi maalum katika vijiji 157 vilivyopo ifikapo 2018

SWO/DCDO

Kuzijengea uwezo kamati za kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi 75 kati ya 157 zilizopo ifikapo 2018

SWO/DCDO

Kuanzisha baraza la wazee 1 ifikapo 2018

DSWO

Kuwezesha makundi maalum 4 kujiunga na mfuko wa afya ya jamii(CHF) ifikapo 2018

MRATIBUCHF/SWO

Kuhuisha takwimu za makundi maalum ifikapo 2018

DSWO

Kutambua na kuwatoa wafungwa kutumikia kifungo cha nje kutoka 10 wa sasa hadi

DSWO

145

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

100 ifikapo 2018 Kutoa elimu juu ya ndoa na familia katika vijiji 121 kati ya vijiji 157 vilivyopo ifikapo 2018

DSWO

Kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizo mapya ya vvu na UKIMWI katika vijiji 157 na kata 30 ifikapo 2018

Kutoa mafunzo kwa kamati za UKIMWI za kata 15 kati 30 zilizopo ifikapo 2016

CHAC/DAC/DCDO

Kuendelea kuwezesha vikao 4 vya mwaka vya kamati ya kupambana na virus vya ukimwi na UKIMWI ya wilaya

CHAC

Kutoa elimu ya kujikinga maambukizo ya virus vya ukimwi na UKIMWI kwa vijana kutoka 450 waliopata elimu hadi 900 ifikapo 2017

CHAC/DAC

Kuhamasisha upimaji wa vvu kwa hiari katika kata 8 kati ya 30 ifikapo 2015

CHAC/DAC

Kutoa mafunzo kwa nghariba 60 wa sasa hadi 120 ifikapo 2015

CHAC/DAC

Kuhamasisha watu waishio na virus vya UKIMWI kujiunga katika vikundi 20 vilivyopo kwa sasa ifikapo 2018

CHAC/DCDO

Kuongeza idadi ya vikundi vya watu wanaoishi na vvu vinavyopewa fedha za miradi

CHAC/DSWO

146

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

18 vya sasa hadi 36 ifikapo 2018 Kuongeza idadi ya watoto yatima wanaosaidiwa sare na vifaa vya shule kutoka 50 hadi 100 ifikapo 2018

CHAC/DSWO

Kuhuisha takwimu za watoto wanaoishi na vvu kutoka 32 waliopo ifikapo2018

CHAC

Kuzijengea uwezo kamati za kupambana na vvu na UKIMWI ngazi ya vijiji 157 zilizopo ifikapo 2018

CHAC

Kuongeza idadi ya makundi yanayohitaji msaada wa chakula kutoka 30 ya sasa ifikapo 2018

CHAC/DAC

Kuwajengea uwezo wahudumu wa wagonjwa wa UKIMWI wa majumbani 52 waliopo kwa sasa ifikapo 2018

CHAC/DAC

Kuimarisha mashirika yasiyoyaserikali 22 yaliyopo kwa sasa ifikapo 2015

Kutoa elimu ya usimamizi wa Asasi za kiraia kwa viongozi wa Asasi 22 zilizopo ifikapo 2015

DCDO

Kuhamasisha vikundi vya ujasiliamali 1200 kujiunga katika mtandao wa Asasi wa wilaya(TANGONET) ifikapo juni 2014

DCDO

147

148

MAKISIKIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI WA IDARA YA MAE NDELEO YA JAMII, USTAWI YA JAMII NA VIJANA MWAKA 2014/ 2018

LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla CHANZO

CHA PESA Kuongeza uhakiki wa vikundi vya kiuchumi vya wanawake na vijana kutoka 77 hadi 120 ifikapo 2018

Kutoa elimu sahihi ya ujasiliamali kwa vikundi vya wanawake na vijana kutoka 20 vya sasa hadi 120 ifikapo 2018

2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,00 10,000,000 DED, Wizara ya maendelao ya jamii.

Kuongeza kiasi cha fedha ya mikopo kwa vikundi kutoka 30milioni hadi 100milioni ifikapo 2018

20,000,000 20,000,000 20,000,000 20,000,000 20,000,000 100,000,000 DED,Wizara ya maendelao ya jamii

Kuongeza idadi ya vikundi vya ujasiliamalia kushiriki maonyesho ya biashara kutoka 4 hadi 14 ifikapo 2018

2,500,000 2,5000,000 2,500,000 2,500,000 2,500,000 12,500,000 DED,Wizara ya maendelao ya jamii

Kuajiri watumishi wa idara wenye sifa 23 ifikapo 2018

5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000, 5,000,000 25,000,000 DED

Kuwepo kwa mpango wa idara unaonyesha bajeti y a watumishi 2 kwa kila mwaka hadi ifikapo 2018

12,000,000 12,000,000 12,000,000 12,000,000 12,000,000 60,000,000 DED

Kuhakikisha idara inaweka kwenye bajeti watumishi 10 watakaojiendeleza ifikapo 2018

500,000 500,000 500,000 500,000 500,000 2,500,000 DED

Kuboresha huduma za idara ifikapo 2018

Kuongeza idadi ya watumishi wanaojiendeleza kitaaluma kutoka 3 wa sasa hadi 6 ifikapo 2018

6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 30,000,000 DED

Kununua vitendea kazi vya 14,000,000 - - - - 14,000,000 DED

149

LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla CHANZO

CHA PESA ofisi, printer,photocopy machinery, laptop, saamani za ofisi ifikapo 2018 Ununuzi wa gari moja la idara ifikapo 2015

- 75,000,000 - - - 75,000,000 DED

Kuboresha huduma katika kuhudumia makundi 4 maalum yaliyopo ifikapo 2018

Kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuhudumia makundi maalum katika tarafa tatu zilizopo ifikapo 2018

500000 500000 500000 500000 500000 2,500,000 DED

Kutoa elimu kwa jamii namna ya kuchangia mfuko wa makundi maalum katika vijiji 157 vilivyopo ifikapo 2018

800,000 800,000 800,000 800,000 800,000 40,000,000 DED

Kuzijengea uwezo kamati za kuhudumia watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi 75 kati ya 157 zilizopo ifikapo 2018

1,500,000 1,500,000 1,500,000 1,500,000 1,500,000 7,500,000 DED

Kuanzisha baraza la wazee 1 ifikapo 2016

- - 10,000,000 - - 10,000,000 DED

Kuwezesha makundi maalum 4 kujiunga na mfuko wa afya ya jamii(CHF) ifikapo 2018

5,000,000 10,000,000 10,000,000 20,000,000 20,000,000 65,000,000 DED

Kuhuisha takwimu za makundi maalum ifikapo 2018

5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 25,000,000 DED

Kutambua na kuwatoa wafungwa kutumikia kifungo cha nje kutoka 10 wa

2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 10,000,000 DED

150

LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla CHANZO

CHA PESA sasa hadi 100 ifikapo 2018 Kutoa elimu juu ya ndoa na familia katika vijiji 121 kati ya vijiji 157 vilivyopo ifikapo 2018

1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 5,000,000 DED

Kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizo mapya ya vvu na UKIMWI katika vijiji 157 na kata 30 ifikapo 2018

Kutoa mafunzo kwa kamati za UKIMWI za kata 15 kati 30 zilizopo ifikapo 2016

4,200,000 4,200,000 4,200,000 - - 12,600,000 DED/ TACAIDS

Kuendelea kuwezesha vikao 4 vya mwaka vya kamati ya kupambana na virus vya ukimwi na UKIMWI ya wilaya

5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 25,000,000 DED TACAIDS

Kutoa elimu ya kujikinga maambukizo ya virus vya ukimwi na UKIMWI kwa vijana kutoka 450 waliopata elimu hadi 900 ifikapo 2017

4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 16,000,000 DED/ TACAIDS

Kuhamasisha upimaji wa vvu kwa hiari katika kata 8 zilizobaki kati ya 30 ifikapo 2015

3,000,000 3,000,000 - - - 6,000,000 DED/ TACAIDS

Kutoa mafunzo kwa nghariba 60 wa sasa hadi 120 ifikapo 2015

5,000,000 5,000,000 - - - 10,000,000 DED/TACAIDS

Kuhamasisha watu waishio na virus vya UKIMWI kujiunga katika vikundi 20 vilivyopo kwa sasa ifikapo 2018

3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 15,000,000 DED/ TACAIDS

Kuongeza idadi ya vikundi 5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 25,000,000 DED/

151

LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla CHANZO

CHA PESA vya watu wanaoishi na vvu vinavyopewa fedha za miradi 18 vya sasa hadi 36 ifikapo 2018

TACAIDS

Kuongeza idadi ya watoto yatima wanaosaidiwa sare na vifaa vya shule kutoka 50 hadi 100 ifikapo 2018

7,000,000 7,000,000 7,000,000 7,000,000 7,000,000 35,000,000 DED/ TACAIDS.

Kuhuisha takwimu za watoto wanaoishi na vvu kutoka 32 waliopo ifikapo2018

4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 4,000,000 20,000,000 DED/ TACAIDS

Kuzijengea uwezo kamati za kupambana na vvu na UKIMWI ngazi ya vijiji 157 zilizopo ifikapo 2018

5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 5,000,000 25,000,000 DED/ TACAIDS,

Kuongeza idadi ya makundi yanayohitaji msaada wa chakula kutoka 30 ya sasa ifikapo 2018

2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 10,000,000 DED/ TACAIDS

Kuwajengea uwezo wahudumu wa wagonjwa wa UKIMWI wa majumbani 52 waliopo kwa sasa ifikapo 2018

1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 5,000,000 DED/ TACAIDS

Kuimarisha mashirika yasiyoyaserikali 22 yaliyopo kwa sasa ifikapo 2015

Kutoa elimu ya usimamizi wa Asasi za kiraia kwa viongozi wa Asasi 22 zilizopo ifikapo 2015

500,000 500,000 500,000 500,000 500,000 2,500,000 DED/ WAHISANI.

Kuhamasisha vikundi vya ujasiliamali 1200 kujiunga katika mtandao wa Asasi wa

1,000,000 - - - 1,000,000 DED/ WAHISANI .

152

LENGO MKAKATI MAKISIO YA GHARAMA 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla CHANZO

CHA PESA wilaya(TANGONET) ifikapo juni 2014

JUMLA 127,500,000 215,000,000 119,500,000 110,300,000 109,300,000 688,100,000

153

ENEO LA HUDUMA: AFYA

Lengo Kuu: Kutoa huduma bora za afya kwa Wananchi

ENEO LA MATOKEO LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

Huduma za mama na watoto Huduma muundo mbinu

Kupunguza Vifo vya mama wajawazito kutoka14 hadi 10 ifikapo juni 2018

Idadi ya wajawazito walio fariki

Taarifa za wajawazito walio jifungua kwenye vituo vya kutolea huduma na kwenye jamii

Upatikanaji wa fedha

Kuongeza kiwango cha chanjo kwa wajawazito na watoto chini ya miaka 5 kutoka 80% hadi 100% ifikapo juni 2018

Idadi ya watoto chini ya miaka 5 waliopata chanjo SURUA, PEPOPUNDA KIFUA KIKUU

Taarifa ya idadi ya watoto waliopata chanjo

Upatikanaji wa fedha Dawa za chanjo watumishi

Kupunguza vifo vya watoto wachanga kutoka 40 hadi 20 iflkapo juni 2018

Idadi ya watoto wachanga walio fariki

Taarifa ya watoto wa changa walio fariki kutoka kwenye jamii na vituo vya kutolea huduma

Upatikanaji wa fedha Dawa za chanjo watumishi

Kuongeza matumizi ya dawa za uzazi wa mpano toka asilimia 65 hadi 75 ifikapo juni 2018

Idadi ya akina mama waliojiunga uzazi wa mpango

Taarifa ya wateja walio jiunga na uzazi wa mpango

Upatikanaji wa fedha Dawa za chanjo watumishi

Kupunguza idadi yakina mama wanao jtfungulia nyumbani toka asilimia 48 hadi 40 ifikapo juni 2018

Idadi ya akina mama waliojifungulia nyumbani

Taarifa ya akina mama walio jifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma na nyumbani

Upatikanaji wa fedha watumishi

Kuongeza asilimia ya watoto wanaopata Vit A toka 89 hadi 95 ifikapo juni 2018

Idadi ya watotp waliopata Vit A

Taarifa ya watoto walio pata Vit A

Upatikanaji wa fedha Dawa za chanjo watumishi

kuongeza idadi ya Zahanati kutoka 30 hadi 40 ifikapo juni 2018

zahanati zilizojengwa Taarifa za ujenzi wa zahanati

Upatikanaji wa fedha

154

ENEO LA MATOKEO LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

Kufanya ukarabati wa zahanati 14 ifikapo juni 2018

Ukarabati wa zahanati 14 Taarifa ya ukarabati wa zahanati

Upatikanaji wa fedha

Mpango wa utunzaji wa majengo uwe umeandaliwa ifikapo juni 2018

Idadi ya majengo ya lio kwenye mpango

Taarifa ya majengo yalio kwenye mpango

Upatikana wa fedha

Upatikanaji wa Dawa na vifaa Tiba ifikapo juni 2018

Uwepo wa dawa na vifaa tiba kwenye vituo vya kutolea huduma

Taarifa za Dawa kwenye Zahanati na vituo vya Afya

Upatikanaji wa fedha Watumishi

MAGONJWA YA KUAMBUKIZA

Kupunguza maambukizo ya UKIMWI toka asilmia 3 hadi 1 lfikapo juni 2018

Idadi ya watwalio pimwa virusi vya ukimwi

Taarifa ya waliopimwa na kugunduliwa kuwa wana virusi vya ukimwi

Upatikanaji wa fedha

Kuongeza vituo vya kutolea huduma ya kupatika kwa dawa za ARV toka 12 hadi 20 ifikapo juni 2018

Idadi ya vituo vilivyo ongezeka

Taarifa ya vituo vinavyo toa huduma

Upatikanaji wa fedha Watumishi

Kupunguza vifo vinavyo sababishwa na Malaria toka 51 hadi 30 ifikapo juni 2018

Idadi ya watu waliougua ugojwa wa malaria

Taarifa kutoka vituo vya kutolea huduma

Upatikanaji wa fedha Watumishi

MAGONJWA YA SIO PEWA KIPAUMBELE

Kuongeza idadi ya watu

wanaomeza dawa za kuzuia

maambukizo toka 80% hadi

90%yatmagonjwa VIKOPE

KICHOCHO

Idadi ya wananchi waliopata dawa za KICHOCHO VIKOPE

Idadi ya waliopata dawa KICHOCHO VIKOPE

Upatikanaji wa fedha Watumishi

Kupunguza maambukizo ya ugonjwa wa kukoma kutoka 24 hadi 8 ifikapo juni 2018

Idadi ya walio ugua ugonjwa wa ukoma

Taarifa za waliougua ugonjwa wa ukoma kutoka kwenye vituo vya kutolea huduma

Upatikanaji wa fedha Watumishi

Huduma za mkundi Kuongeza idadi watoto Idada ya watoto watakao Taarifa toka ofisi ustawi Upatikanaji wa fedha

155

ENEO LA MATOKEO LENGO MAHUSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

maalumu katika Jamii waopatia lishe bora watoto 32 hadi 50 wanaoishi na VVU Ifikapo juni 2018

hudumiwa wa jamii

Kuwapatia kadi za CHF wazee 500 Ifikapo juni 2018

Idadi ya wazee waliopata kadi za CHF

Taarifa toka ofisi ya ustawi wa jamii

Upatikanaji wa fedha

KUJENGA UWEZO Kuwajengea uwezo wafanyakazi 20 hadi 100 ifikapo juni 2018

Idadi ya wafanyakazi walio pata nafasi za masomo ya kujiendeleza

Taarifa za wafanya kazi waliorudi masomoni

Upatikanaji wa fedha

Kuhakisha watumishi wanalipwa stahili zao ifikapo juni 2018

Idadi ya watumishi wolio lipwa stahili zao

Taarifa za idadi ya watumishi waliolipwa stahili zao

Upatikanaji wa fedha

Idadi ya watumishi walio ajiriwa kwa kada

Utawala ufafanisi na upatikanaji wa vitendea kazi na dawa

Bodi ya Afya ya wilaya ,kamati za CHF Ziwe zimezina fanya kazi ifikapo juni 2018

Idadi ya kamati za CHF Zinazofanyakazi

Taarifa za CHF Toka kwenye vituo vya kutolea huduma

Upatikanaji wa fedha

Vitendea kazi na Dawa ziwe ziwezinapatikana ifikapo june 2018

Idadi ya vituo vilivyo pata na vitedea kazi

Taarifa ya vituo vilivyo pata dawa na vitendea kazi

Upatikanaji wa fedha Watumishi

156

ENEO LA HUDUMA: AFYA

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 Kupunguza Vifo vya mama wajawazito kutoka14 hadi 10 ifikapo juni 2018

Kufanya ufutiliaji kwenye kata 30 kuanzisha mfuko wa matibabu ya dharura

DMO

Kufanya mikutano ya kujadili vifo vya mama wajawazito na watoto

DMO

Maadhimisho ya siku ya unyonyeshaji Duniani

DMO

Kufanya kampeni ya utowaji wa dawa za minyoo na Vit A

DMO

Kufanya huduma za Mkoba kwenye maeneo ambayo ni vigumu kufikika

DMO

Kuanzimisha siku ya chanjo Duniani

DMO

Kuanzisha kamati za ufuatilia wa vifo kwenye tarafa 3

DMO

Kufanya uhamasishaji wa jamii dhidi umuhimu wa uzazi wa mpango

DMO

Kuongeza idadi ya zahanati toka 30 hadi 40 ifikapo juni 2018

Ujenzi wa zahanati 2`

Kufanya ukarabati wa Ukarabati wa zahanati DMO

157

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 zahanati 14 ifikapo juni 2019 Upatikanaji wa Dawa na vifaa Tiba

Uwepo wa dawa na vifaa tiba kwenye vituo vya kutolea huduma

DMO

Kupunguza maambukizo ya UKIMWI toka asilmia 3 hadi 1 lfikapo juni 2019

Kuwepo na mafunzo ya uzazi salama kwa watoa huduma

DMO

Mafunzo rejea ya kuzuia maambukizo VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto

DMO

Kufanya mikutano kila robo na watenda kujadili mambo ya liofanyka kwenye vituo vya kutolea huduma

DMO

Kusafirisha sampuli za damu kutoka kwenye vituo vya kutolea huduma

DMO

Ununuzi wa vitendanishi na kuvisabaza kwenye vituo vya kutolea huduma

DMO

Kuhamasisha jamii umuhi wa kupima VVU kwa wajawazito na weziwao

DMO

Kufanya usimamizi shirikishi kila robo mwaka

DMO

Kuadhimisha siku ya UKIMWI duniani

DMO

158

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 Kuongeza vituo vya kutolea huduma ya kupatika kwa dawa za ARV toka 12 hadi 20 ifikapo juni 2019

Kutoa ya Mafunzo ya matumizi ya ARV Kwa watumishi

DMO

Kuhakikisha upatikanaji wa dawa za ARV Katika vituo vya kutolea huduma

DMO

Kuongeza idadi ya watu wanaomeza dawa za kuzuia maambukizo toka 80% hadi 90% ifikapo juni 2018

Kufanya kampeni kila mwaka kwenye jamii kuhimiza umuhimu kumeza dawa

DMO

Kuongeza idadi watoto waopatia lishe bora watoto 32 hadi 50 wanaoishi na VVU Ifikapo juni 2018

DMO

Kuwajengea uwezo wafanyakazi 20 hadi 100 ifikapo juni 2018

DMO

Kuhakisha watumishi wanalipwa stahili zao ifikapo juni 2018

DMO

Bodi ya Afya ya wilaya ,kamati za CHF Ziwe zinfanya kazi ifikapo juni 2018

DMO

Vitendea kazi na Dawa ziwe ziwezinapatikana

DMO

159

Lengo Mkakati Mhusika Muda wa Utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 ifikapo june 2018

160

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: AFYA

Lengo MAKISIO YA GHARAMA Chanzo cha fedha

2014 2015 2016 2017 2018 Jumla

1. Huduma za mama na watoto 131,281,500 140,300,500 145,440,600 150,300,000 155,400,000 722,722,600

2.Huduma muundo mbinu 178,000,000 200,000,000 250,330,000 300,100,000 350,450,100 1,278,880,100 3. Magonjwa ya kuambukiza 74,444,952 80,500,000 94,500,000 120,000,000 130,000,000 499,444,952 4. Magonjwa ya sio pewa kipaumbele 36,300,100 40,200,000 45,500,000 50,200,000 55,300,000 227,500,100 5. Kuboresha huduma za mkundi maalumu katika Jami

2,733,000 3,500,000 4,000,000 4,500,300 5,500,000 20,233,300

7.Lengokuwajengea uwezo wafanyakazi

3,091,793,976 3,500,000,000 4,300,100,000 5,200,900,000 16,092,793,976

8.LengoUtawala ufanisi na upatikanaji wa vitendea kazi na Dawa

408,671,408 408,671,408

JUMLA 3,923,224,936 3,964,500,500 4,839,870,600 5,826,000,300 696,650,100 19,250,246,436

161

ENEO LA HUDUMA: IDARA YA UTAWALA NA UTUMISHI

Lengo Kuu: Kuboresha huduma za kiutumishi kwa watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba ifikapo mwaka 2018.

ENEO LA MATOKEO

LENGO KUU

VIASHIRIA

VYANZO VYA UHAKIKI

DHANA

Mafunzo kwa watumishi

Kutoa mafunzo kwa watumishi wa kada mbalimbali katika idara za Halmashauri 13 na vitengo 6 ifikapo 2018

Idadi ya watumishi waliopata mafunzo:

Watumishi 15 idara ya Elimu Msingi wamepata shahada ya Elimu Ualimu na watumishi wote waliomba mafunzo wamepata mafunzo hayo.

Upatikanaji wa fedha za malipo ya Ada na fedha nyingine katika kugharamia mafunzo hayo.

Mazingira bora ya kufanyia kazi

Kuongeza idadi ya Vyombo vya usafiri kwa watendaji wa Kata, maafisa Maendeleo ya Jamii katika Kata, waratibu elimu Kata na Watumishi wengine wanaofanya kazi za kutoa huduma mbalimbali katika Halmashauri kwa kusafiri, watapata pikipiki ifukapo mwaka 2018

Idadi ya vyombo vilivyonunuliwa Kupatikana pikipiki 20 na Baiskeli 5.

Upatikanaji wa fedha kununulia vyombo vya usafiri.

Utunzaji wa kumbukumbu za kiutumishi

Masjala ya wazi na masjala ya siri katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (W) zinakuwa na taarifa sahihi za watumishi muda wote ifikapo mwaka 2018

Register ya mzunguko wa majarada ya watumishi na majarada mengine katika masijara zote

Kuwepo reister mbalimbali katika masjara zote Watumishi wa masjara (Register Assistants) kupata mafuzo ya utunza kumbukumbu

Upatikanaji wa fedha za mafunzo na ununuzi wa Regislirs pamoja na majalada.

Kujenga Uwezo Kuendeleza mapambano juu ya kupunguza maambukizi ya UKIMWI kwa watumishi wa Halmashauri ya wilaya Tandahimba ifikapo mwaka 2018

Idadi ya watumishi waliopata mafunzo Kuwepo kwa mafunzo mbalimbali kwa watumishi juu ya Ukimwi na jinsi ya kujikinga na Ukimwi

Upatikana wa fedha za mafunzo Kutoa huduma ya chai kula kwa watumishi walio na maambukizi ya UKIMWI.

162

163

MPANGO KAZI WA UTEKELEZAJI WA MKAKATI.

LENGO : Kuboresha huduma za kiutumishi kwa watumishi 1,862 wa halmashauri ya wilaya ya tandahimba ifikapo mwaka 2018.

LENGO MKAKATI MHUSIKA

2014 2015 2016 2017 2018

Kutoa mafunzo kwa watumishi wa Halmashauri ifikapo mwaka 2018

Kuwaelimisha watumishi juu ya kujiendeleza kielimu na kuomba kujifunza

DED, DHRO

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi ifikapo mwak 2018

Kununua vyombo vya kusafiria (Pikipiki) kwa Maafisa Watendaji Kata 12 na Waratibu wa Elimu Kata 8 na baiskeli 5 kwa Wahudumu wa ofisi na Ofisi bora za kufanyia kazi

DED, DHRO, DEO (P)

Kuwa na taarifa sahihi za watumishi katika Masijara ya wazi na masijara ya siri ya Mkurugenzi Mtendaji (W) ifikapo mwaka 2018

Kuboresha utunzaji wa kumbukumbuku sahihi za kila mtumishi

DHRO na OS

Kuendeleza mapambano dhidi ya Ukimwi kwa watumishi wa Halmashuri ya Wilaya ya Tandahimba

Kutoa mafunzo ya mara kwa mara kwa watumishi wa Halmshauri dhidi ya Ukimwi na Maambukizi ya Ukimwi

DED, DHRO, CHAC

164

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: HUDUMA ZA KIUTUMISHI

LENGO MKAKATI CHANZO CHA FEDHA

MAKISIO YA GHARAMA JUMLA

2014 2015 2016 2017 2018

Kuwapa mafunzo watumishi mbalimbali katika Idara 13 za Halmashauri na Vitengo 6 pamoja na kuwa na mpango wa matumizi ya fedha za kujenga uwezo (CBG)

Kuwawesha Watumishi walioomba kwenda mafunzoni kulingana na mpango wa mafunzo ya Idara na Vitengo ifikapo mwaka 2018

Vyanzo vya ndani Fedha za kujenga uwezo (CBG)

12,600,000

15,700,000 15,700,000 16,700,000 17,700,000 77,700,000

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi ifikapo 2018

Kununua Pikipiki 20 na baiskeli 5 kwa ajli ya watumishi katika ngazi ya Kata na Halmashauri.

Vyanzo vya ndani

8,400,000 8,400,000 8,400,000

8,400,000 8,400,000 42,000,000

Kuimarisha utunzaji wa kumbukumbu za watumishi

Taarifa zote za watumishi zitunzwe ipasavyo katika majalada yao binafsi pamoja na majalada ya siri ifikapo 2018

Vyanzo vya ndani Fedha za kujenga uwezo (CBG)

1,500,000 1,500,000 1,500,000 1,500,000 1,500,000 7,500,000

Mapambano dhidi ya Ukimwi na Maambukizi ya Ukimwi

Watumishi wote wapewe Elimu juu ya Ukimwi na maambukizi ya Ukimwi Ifikapo mwaka 2018

Vyanzo vya ndani

4,500,000 4,500,000 4,500,000 4,500,000 4,500,000 22,500,000

JUMLA 27,000,000 30,100,000 30,100,000 31,100,000 32,100,000 149,700,000

165

ENEO LA HUDMA: BIASHARA

Lengo Kuu: Kuchochea Maendeleo na kasi ya ukuaji wa biashara, kuinua uwezo wa ushindani ili kuongeza kasi ya maendeleo ya kijamii ,kiuchumi na kuondoa umaskini kufikia 2018 Madhumuni ya Mkakati Mkakati Lengo la kutolea huduma Viashiria Njia ya kupima Dhana/Udhaifu

Kutambua wafanya biashara 600 ifikapo 2018

Usajili wa wafanyabiashara wilayani

Utoaji wa Leseni za biashara toka 220 hadi 600 ifikapo 2018 Ongezeko la biashara

Ukaguzi wa maeneo ya biashara

Usafiri/fFedha

kuongeza mapato kupitia biashara ndogondogo ifikapo 2018

Usajiri wa biashara ndogo ndogo

Utambuziwa wafanyabiashara ndogondogo 320 katika Wilaya ifikapo 2018

Ongezeko la maombi ya biashara ndogondogo

Uandikishaji wa wafanyabiashara Shajala/Fedha

Kurasimisha eneo la soko la Wilaya ifikapo 2018

Kupangisha vibanda vya soko

Upangishaji wa vibanda 289 vya soko ifikapo 2018

Ongezeko la maombi ya mahitaji ya wapangaji wa vibanda

Uandikishaji wa wafanyabiashara

Shajala/Fedha

166

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

LENGO LA KUTOLEA HUDUMA MIKAKATI 2014 2015 2016 201 7 2018 Utoaji wa Leseni za biashara toka 220 hadi 600 ifikapo 2018 Usajili wa wafanyabiashara Utambuzi wa wafanyabiashara ndogondogo 320 katika Wilaya ifikapo 2018

Uhamasishaji wa utambuzi wa wafanyabiashara

Upangishaji wa vibanda 289 vya soko ifikapo 2018

mafunzo kwa wafanyabiashara

Utozaji wa ushuru wa mabasi 100 hadi kufikia 2018

Kusajiri mabasi yanayotoka na kuingia

167

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKEZAJI

ENEO LA HUDUMA: BIASHARA

LENGO LA KUTOLEA HUDUMA

MIKAKATI 2014 2015 2016 2017 2018 JUMLA

Utoaji wa Leseni za biashara toka 220 hadi 600 ifikapo 2018

Usajili wa wafanyabiashara

30,000,000 30,000,000 30,000,000 30,000,000 30,000,000 150,000,000

Utambuzi wa wafanyabiashara ndogondogo 320 katika Wilaya ifikapo 2018

Uhamasishaji wa utambuzi wa wafanyabiashara

23,040,000 23,040,000 23,040,000 23,040,000 23,040,000 115,200,000

Upangishaji wa vibanda 289 vya soko ifikapo 2018

mafunzo kwa wafanyabiashara

34,680,000 34,680,000 34,680,000 34,680,000 34,680,000 173,400,000

Utozaji wa ushuru wa mabasi 100 hadi kufikia 2018

Kusajiri mabasi yanayotoka na kuingia

36,000,000 36,000,000 36,000,000 36,000,000 36,000,000 180,000,000

Jumla 123,720,000

123,720,000

123,720,000

123,720,000

123,720,000

618,600,000

168

ENEO LA HUDUMA: KITENGO CHA UGAVI NA MANUNUZI

ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI/ MKAKATI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

1 Usimamzi wa shughuli za manunuzi

Kuwa na mpango wa manunuzi wa mwaka wa Halmashauri kila ifikapo mwezi Februari kila mwaka

Kupokelewa kwa mahitaji ya manunuzi toka kila idara na kwa kupanga vipao mbele vya manunuzi

Taarifa za utekelezaji wa mchakato wa manunuzi.

Upatikanaji wa rasilimali fedha na watu.

Kutangaza zabuni mara moja kila mwaka, kwa kuzingatia Mpango wa manunuzi na kwa kufuata tender documents zinazopendekezwa na PPRA

Kuwepo kwa mpango wa manunuzi ulioidhinishwa na Halmashauri. Matumizi ya tender documents zilizoandaliwa na PPRA.

Taarifa za utekelezaji wa manunuzi kwa kila robo mwaka kuwasilishwa katika vikao vya CMT na Finance Commitee

Upatikanaji wa rasilimali fedha, watu na vitendea kazi (komputa, printer,photokopi)

Utawala bora Kuweka uwazi katika shughuli za manunuzi kwa kutangaza fursa za zabuni katika vyombo vya habari ( magazeti na mbao za matangazo) kila mwaka.

Kuwa na vikao vya kitengo cha manunuzi kila mwezi

Idadi ya matangazo ya zabuni yanayohusiana na mchakato wa manunuzi yaliyotolewa magazetini.

Mihtasari ya vikao vya kitengo vya kila mwezi

Taarifa za utekelezaji wa ukaguzi wa vifaa, Miradi na Huduma zilizonunuliwa kabla ya malipo kufanyika.

Taarifa ya utekelezaji wa vikao

Upatikanaji wa rasilimali fedha kwa ajili ya kulipia matangazo katika magazeti

Rasilimali watu,

Shajala na fedha

Kupata thamani ya fedha kwa huduma zitolewazo na wazabuni

Viainisho sahihi vya mahitaji toka kwa wakuu wa Idara

Taarifa za utekelezaji wa ukaguzi wa vifaa, Miradi na Huduma zilizonunuliwa kabla ya malipo kufanyika.

Upatikanaji wa rasilimali fedha, watu na vitendea kazi.

2 Kujenga uwezo Kutoa mafunzo kwa wajumbe wa bodi ya zabuni juu ya sheria ya manunuzi ya 2011 na kanuni zake ifikapo 2018

Uwepo wa bajeti ya mafunzo kwa wajumbe wa bodi juu ya sheria mpya ya manunuzi ya mwaka 2011

Taarifa ya utekelezaji wa mafunzo.

Upatikanaji wa Rasilimali fedha, na rasilimali watu

169

ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI/ MKAKATI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

Kuandaa mpango wa bajeti ya kitengo cha manunuzi ili kiweze kutekeleza malengo yake kwa ufanisi mkubwa ifikapo mwezi Februari kila mwaka.

Vikao vya kupanga vipaumbale vya bajeti na mahitaji halisi ya kitengo cha ugavi

Taarifa ya uandaaji wa bajeti toka kitengo cha manunuzi

Upatikanaji wa rsilimali fedha, watu

Kuongeza kiwango cha ufanisi na weledi katika kazi kwa kuhudhuria mafunzo warsha na semina zinazotolewa na mamlaka za manunuzi (PPRA, PSPTB) kwa watumishi wanne (4) waliopo katika kada ya manunuzi ifikapo 2018

Idadi ya watumishi waliojiendeleza kila mwaka

Taarifa za kiutumishi na uwepo wa vyeti

Upatikanaji wa rasilimali fedha na watu

3 Mambo ya jinsia na Ukimwi

Kutoa mafunzo juu ya ugonjwa wa ukimwi kwa kupitia machapisho mbalimbali ya nyaraka za zabuni na katika mabango ya miradi ya ujenzi wa majengo na barabara ifikapo 2018

Nyaraka za zabuni na mabango ya miradi ya ujenzi

Taarifa ya utekelezaji wa kitengo cha manunuzi

Upatikanaji wa fedha

4 Ufuatiliaji na usimamizi

Kuwa na chombo cha usafiri kwa ajili ya shughuli za manunuzi

Kuwepo katika bajeti mahitaji ya chombo cha usafiri kwa ajili ya kitengo cha manunuzi

Taarifa ya utekelezaji Upatikanaji wa fedha

Kuwa na taarifa za uhakiki mali kila mwaka ifikapo mwezi Juni

Uwepo wa bajeti ya kufanya uhakiki mali

(stock taking)

Taarifa utekelezaji ya uhakiki mali

Rasilimali fedha, watu, shajara na usafiri.

Kuwa na ukaguzi wa vifaa vilivyopokelewa kabla ya kufanya malipo

Kuundwa kwa kamati za ukaguzi wa vifaa vilivyopokelewa

Taarifa ya ukaguzi wa vifaa vilivyopokelewa

Rasilimali watu na fedha

Kuboresha mfumo wa utunzaji kumbukumbu za manunuzi.

Uwepo wa mafaili ya wazabuni na mikataba yao pamoja na rejista za malipo mkataba, uwepo wa rejista ya

Uwepo wa rejista za mikataba (contractors registers) na utekelezaji

Rasilimali fedha,na watu

170

ENEO LA MATOKEO MUHIMU

LENGO MAHUSUSI/ MKAKATI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

mikataba wa mikataba.

171

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA:MANUNUZI

LENGO MIKAKATI

CHANZO CHA

FEDHA

MAKISIO YA GHARAMA

2014 2015 2016 2017 2018 Jumla Ujenzi wa ghala kudumu ifikapo 2018 Kutangaza Zabuni.

TDC/OWN SOURCE -

10,000,000 10,000,000 10,000,000

5,000,000 35,000,000

Mafunzo kwa wadau wa manunuzi/wajumbe bodi ya manunuzi na madiwani juu ya sheria mpya ya Manunuzi

Kumpata mshauri/consultant

Halmashauri

- 6,000,000 6,000,000 6,000,000 6,000,000 24,000,000 Kuwa na mpango wa manunuzi wa Halmashauri ifikapo 2018

Posho ya kujikimu kwa ajili ya wakuu wa idara

TDC / Halmashauri

11,000,000 11,000,000 11,000,000 11,000,000

11,000,000 55,000,000

Kutangaza zabuni na taarifa mbalimbali za manunuzi katika vyombo vya habari

Kuwa na bajeti ya matangazo ya zabuni.

Halmashauri

- 5,500,000 5,500,000 5,500,000 5,500,000 22,000,000

Kuimarisha utoaji wa taarifa za manunuzi kwa wakati

Shajara TDC - 2,500,000 2,500,000 2,500,000

2,500,000 10,000,000

Kuratibisha vikao vya bodi ya zabuni kwa kila mwezi

Posho kwa ajili ya wajumbe

TDC,ROAD FUND -

18,000,000 18,000,000 18,000,000

18,000,000 72,000,000

Kuhudhuria warsha,semina na mafunzo yanayohusiana na manunuzi kwa wajumbe wa bodi (PPRA/PSPTB,ROAD FUND)

Posho za kujikimu TDC,ROADFUND - 2,500,000 2,500,000 2,500,000

2,500,000 10,000,000

Kuhakiki mali za halmashauri kila mwaka ifikapo 2018

Posho kwa watumishi

TDC,BUSKET FUND - 2,000,000 2,000,000 2,000,000

2,000,000 8,000,000

Kuwa na chombo cha usafiri Kuwa na bajeti ya kununua gari

TDC -

70,000,000 - - - 70,000,000

172

ENEO LA HUDUMA: KITENGO CHA SHERIA

LENGO KUU: Kuwa na mfumo wa uzingatiaji wa Sheria, Kanuni na taratibu katika shughuli mbalimbali za maendeleo ifikapo 2018.

ENEO LA MATOKEO LENGO MAHSUSI VIASHIRIA CHANZO CHA UHAKIKI

DHANA

MABARAZA YA KATA

Kuimalisha Mabaraza ya Kata 30 lfikapo mwaka 2018

Kuwepo kwa mabaraza hai katika kata zote 30.

Kutembelea mabaraza ya Kata. -Taarifa za utendaji kutoka katika Mabaraza hayo

Upatikanaji wa fedha. -Uwepo wa usafiri wa uhakika.

KUJENGA UWEZO

-Kuajiri Afisa Sheria mmoja (1) ifikapo mwaka 2015 .-Kumwendeleza kitaaluma Afisa Sheria mmoja ifikapo 2015 Kuimarisha kitengo cha sheria ifikapo mwaka 2018

Watumishi mawili (2) wawe wameajiriwa. -Afisa Sheria aliyeedeelezwa kitaaluma 2015. Kitengo kuwa na mwanasheria.

-Taarifa za ajira. -Vyeti vya taaluma Taarifa ya Utumishi

-Uwepo wa kibali cha ajira. -Upatikanaji wa fedha.

MAMBO YA JINSIA NA UKIMWI

Kuendeleza mapambano dhidi maambukizi mapya ya Ukimwi kwa Watumishi ifikapo 2018.

Kupungua kwa maambukizi mapya ya UKIMWI.

-Taarifa za utekelezaji -Taarifa za vikao.

-Upatikanaji wa fedha. -Ushiriki wa jamii.

UTAWALA BORA Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa kwa watumishi kila mwaka.

Idadi ya vikao vilivyofanyika. Kutokuwepo mashitaka ya rushwa na taarifa za vikao vilivyofanyika

Utayari wa watumishi/jamii

SHERIA NDOGO

-Kuwa na sheria ndogo mbalimbali katika vijiji na Halmashauri ifikapo 2018

- Sheria Ndogo katika H/wilaya zinatumika

-taarifa kuhusu sheria ndogo zilizoidhinishwa na -kuwepo kwa nyaraka malimbali za sheria ndogo.

-Utayari wa wananchi na wadau mbalimbali Upatikanaji wa fedha

KESI NA MADAI MBALIMBALI YA HALMASHAURI

-Kusimamia kesi na madai mbalimbali ya h/wilaya kila mwka ifikapo 2018.

Kuwepo kwa kesi na madai mbalimbali zinazoendelea .

Taarifa kuhusu kesi na madai Kuwepo fedha

173

MPANGO WA UTEKELEZAJI

ENEO LAHUDUMA: KITENGO CHA SHERIA

Lengo/Mkakati

Mhusika

Muda wa utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 Kufanya uchqguzi na kuwapata wajumbe katika kata zote 30 ifikapo 2015

LO & WDC

Kutoa mfunzo kwa wajumbe 300 wa mabaraza ya kata ifikapo Juni 2015

LO

Kufanya ufuatailiaji ili kukutana na wajumbe wa Mabaraza ya Kata kila robo mwaka ifikapo Juni 2018

DED & LO

Mwanasheria 1 kupatiwa mafunzo ya kuimalisha taaluma yake ifikapo mwaka 2015.

DHRO

Kuajiri mwanasheria 1 ifikapo Juni 2015

DHRO

Kununua samani za ofisi na vitedea kazi ifikapo Juni 2015.

LO

Kununua pikipiki/gari kwa ajili ya usafri wa kitengo ifikapo mwka 2015

DED

Kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya UKIMWI

CDO

Kuwahamasisha wanajamii kuhudhuria makongamano ya Elimu ya Afya ya Uzazi ifikapo 2018

CDO

Kuimarisha ufuatiliaji na usimamizi wa mambo mtambuka ya kitengo

LO

Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa

LO & PCCB

174

Lengo/Mkakati

Mhusika

Muda wa utekelezaji 2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 Kufanya uchambuzi wa sheria ndogo kutoka vijijini na kupitisha kwenye vikao vya Kamati husika ifikapo mwaka 2015

LO, WAKUU WA IDARA NA MADIWANI

Kufanya vikao vya pamoja na serikali za vijiji ili kuahinisha sheria ndogo ifikapo mwaka 2018

LO & MADIWANI

Kutoa mafunzo kwa wajumbe wa h/za vijiji kuhusu namna ya kuandasheria ndogo ifikapo mwaka 2018.

LO & HALMASHAURI ZA VIJIJI

Kuhudhuria mahakamani na mabaraza ya ardhi wakati wa mashauri na kesi kila mwezi ifikapo mwaka 2018

LO

Kuandaa kesi na madai mbalimbali ya h/wilaya kila mwezi ifikapo ikapo juni 2018

175

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: KITENGO CHA SHERIA

Malengo Makisio ya Gharama Chanzo

cha fedha 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla Kufanya uchaguzi na kuwapata wajumbe katika kata zote 30 ifikapo 2015

4,000,000 6000000 6000000 6000000 6000000 28,000,000 TDC

Kutoa mfunzo kwa wajumbe 300 wa mabaraza ya kata ifikapo Juni 2015

0 15,000,000 0 0 15,000,000 30,000,000 TDC

Kufanya ufuatailiaji ili kukutana na wajumbe wa Mabaraza ya Kata kila robo mwaka ifikapo Juni 2018

2,000,000 15,000,000 15,000,000 2,000,000 2,000,000 36,000,000 TDC

Mwanasheria 1 kupatiwa mafunzo ya kuimalisha taaluma yake ifikapo mwaka 2015.

0 10,000,000 12,000,000.0 8,000,000 14,000,000 44,000,000

Kuajiri mwanasheria 1 ifikapo Juni 2015

3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 3,000,000 15,000,000 TDC

Kununua samani za ofisi na vitedea kazi ifikapo Juni 2015.

7,000,000 7,000,000 7,000,000 7,000,000 7,000,000 35,000,000 TDC

Kununua pikipiki/gari kwa ajili ya usafri wa kitengo ifikapo mwka 2015

6,000,000 6,000,000/= 6,000,000 6,000,000 6,000,000 30,000,000 TDC

Kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya

0 5,000,000 5,000,00 5,000,000/= 5,000,000/= 25,000,000 TDC

176

Malengo Makisio ya Gharama Chanzo

cha fedha 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla UKIMWI

Kuwahamasisha wanajamii kuhudhuria makongamano ya Elimu ya Afya ya Uzazi ifikapo 2018

0 4,900,000.0 4,900,000.0 4,900,000 4,900,000 19,600,000

Kuimarisha ufuatiliaji na usimamizi wa mambo mtambuka ya kitengo

8,760,000 8,760,000 8,760,000 8,760,000 8,760,000 43,800,000 TDC

Kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa

3,600,000 3,600,000 3,600,000 3,600,000 3,600,000 18,000,000 TDC

Kufanya uchambuzi wa sheria ndogo kutoka vijijini na kupitisha kwenye vikao vya Kamati husika ifikapo mwaka 2015

0 5,000,000 0 0 2,600,000 7,600,000 TDC

Kufanya vikao vya pamoja na serikali za vijiji ili kuahinisha sheria ndogo ifikapo mwaka 2018

0 4,750,000 6,000,000 0 0 10,750,000 TDC

Kutoa mafunzo kwa wajumbe wa h/za vijiji kuhusu namna ya kuandasheria ndogo ifikapo mwaka 2018.

2,500,000 2,500,000 2,500,000 2,500,000 2,500,000 12,500,000

TDC

177

Malengo Makisio ya Gharama Chanzo

cha fedha 2014 2015 2016 2017 2018 Jumla Kuhudhuria mahakamani na mabaraza ya ardhi wakati wa mashauri na kesi kila mwezi ifikapo mwaka 2018

38,000,000 3,800,000 3,800,000 3,800,000 3,800,000 19,000,000

TDC

Kuandaa kesi na madai mbalimbali ya h/wilaya kila mwezi ifikapo ikapo juni 2018

1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 5,000,000

TDC

Jumla 75,860,000 95,310,000 79,560,000 56,560,000 80,160,000 379,250,000

178

ENEO LA HUDUMA:UKAGUZI WA NDANI

LENGO KUU :Kuboresha usimamizi wa mapato, matumizi ya fedha na usimamizi wa rasilimali nyingine za halmashauri

NA ENEO LA MATOKEO

LENGO MAHUSUSI/ MKAKATI VIASHIRIA VYA UTEKELEZAJI

CHANZO CHA UHAKIKI DHANA

1. Ukaguzi wa hesabu. Kufanya ukaguzi wa hesabu na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

Taarifa za ukaguzi

Uwepo wa hesabu zilizokaguliwa.

Taarifa za utekelezaji. Uwepo wa bajeti inayokidhi mahitaji.

2. Ukaguzi wa Miradi ya maendeleo.

Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

Taarifa za Ukaguzi. Taarifa za utekelezaji. Uwepo wa bajeti inayokidhi mahitaji na upatikaji wa usafiri wa uhakika.

3. Ukaguzi wa Rasilimali za Halmashauri.

Kufanya ukaguzi wa rasilimali za Halmshauri na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

Taarifa za Ukaguzi . Taarifa za utekelezaji. Upatikaji wa usafiri wa uhakika.

4. Mazingira ya kufanya kazi

Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi ifikapo mwaka 2015.

Samani zinanunuliwa. Taarifa za utekelezaji. Uwepo wa bajeti inayokidhi mahitaji.

5. Mambo ya jinsia/ukimwi

Kuendeleza mapambano dhidi ya Ukimwi. Kupungua kwa maambukizi mapya ya Ukimwi.

Taarifa za utekelezaji. Uwepo wa bajeti inayokidhi mahitaji na utayari wa jamii.

6. Kujenga uwezo Kuwa na wakaguzi wa ndani watatu (3) ifikapo mwaka wa fedha 2016.

Idadi ya wakaguzi waliajiriwa Taarifa za utekelezaji. Uwepo wa kibari cha ajira na kuripoti kwa watumishi wapya.

Ifikapo mwaka 2016 watumishi wawili (2) wawe wameongeza kiwango cha taaluma katika kiwango cha CPA.

Idadi ya watumishi waliohudhuria mafunzo na kuhitimu

Taarifa za utekelezaji. Uwepo wa bajeti inayokidhi mahitaji.

179

LENGO, MKAKATI NA MUDA WA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: UKAGUZI WA NDANI

LENGO KUU: Kutoa ushauri juu ya uzingatiaji wa sheria, kanuni na taratibu katika utekelezaji wa shughuli za Halmashauri.

NA LENGO MKAKATI MHUSIKA MHUSIKA

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

1. Kufanya ukaguzi wa hesabu na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

• Kuwa na mpangokazi wa ukaguzi wa ndani wa taarifa za hesabu.

Mkaguzi wa ndani.

• Kufanya ukaguzi kila robo mwaka kwa kuzingatia mpangokazi uliopo.

Mkaguzi wa ndani.

• Kutoa taarifa ya ukaguzi wa ndani mara baada ya robo mwaka kuisha.

Mkaguzi wa ndani.

• Kuhakiki majibu ya hoja za ukaguzi na kutoa maoni.

Mkaguzi wa ndani.

2 Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka

• Kutembelea miradi ya maendeleo iliyotekelazwa na kuona hatua miradi ilipofika.

Mkaguzi wa ndani.

• Kuzipitia taarifa za utekelezaji wa miradi husika.

Mkaguzi wa ndani.

• Kutoa maoni/ushauri juu ya utekelezaji wa miradi pamoja na ripoti ya ukaguzi.

Mkaguzi wa ndani.

3 Kufanya ukaguzi wa rasilimali za Halmshauri na kutoa ripoti

• Kuzihakiki rasilimali za Halmashauri kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo/waraka itolewayo juu ya

Mkaguzi wa ndani.

180

NA LENGO MKAKATI MHUSIKA MHUSIKA

2014 2015 2016 2017 2018

1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4 1 2 3 4

ya ukaguzi kila robo mwaka matumizi na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri.

4 Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi ifikapo mwaka 2015.

• Kununua samani za ofisi kulingana na bajeti iliyopitishwa.

Mkaguzi wa ndani.

5 Kuendeleza mapambano dhidi ya Ukimwi.

Kutoa mafunzo na Elimu ya mapambano zidi ya Ukimwi

Mkaguzi wa ndani.

6 Kuwa na wakaguzi wa ndani watatu (3) ifikapo mwaka wa fedha 2016.

• Kuajiri wakaguzi wa kitengo cha ukaguzi wa ndani.

Afisa Utumishi

7 Ifikapo mwaka 2016 watumishi wawili (2) wawe wameongeza kiwango cha taaluma katika kiwango cha CPA.

• Kuhudhuria mafunzo mbalimbali yatakayokuwa yanatolewa kwa lengo la kujenga uwezo kwa watumishi.

Mkaguzi wa ndani.

181

MAKISIO YA GHARAMA ZA UTEKELEZAJI

ENEO LA HUDUMA: UKAGUZI WA NDANI

NA LENGO MIKAKATI MAKISIO YA GHARAMA CHANZO CHA

FEDHA 2014 2015 2016 2017 2018

1. Kufanya ukaguzi wa hesabu na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

• Kuandaa mpangokazi wa kitengo cha ukaguzi wa ndani.

1,200,000 3,000,000 3,500,000 4,000,000 4,300,000 TDC/ Wizara ya Fedha

• Kufanya ukaguzi kila robo mwaka kwa kuzingatia mpangokazi uliopo.

1,000,000 1,700,000 2,000,000 2,500,000 3,000,000 TDC/ Wizara ya Fedha

• Kutoa taarifa ya ukaguzi wa ndani mara baada ya robo mwaka kuisha.

2,000,000 2,500,000 3,000,000 3,500,000 4,000,000 TDC/ Wizara ya Fedha

• Kuhakiki majibu ya hoja za ukaguzi na kutoa maoni.

500,000 1,000,000 1,500,000 2,000,000 2,500,000 TDC/ Wizara ya Fedha

2. Kufanya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

• Kutembelea miradi ya maendeleo iliyotekelazwa na kuona hatua miradi ilipofika.

5,000,000 5,000,000 8,000,000 8,000,000 8,000,000 TDC/ Wizara ya Fedha

• Kuzipitia taarifa za utekelezaji wa miradi husika.

1,400,000 1,400,000 1,700,000 2,100,000 2,400,000 TDC/Wizara ya Fedha

• Kutoa maoni/ushauri juu ya utekelezaji wa miradi pamoja na ripoti ya ukaguzi.

500,000 700,000 900,000 1,100,000 1,300,000 TDC/Wizara ya Fedha

3. Kufanya ukaguzi wa rasilimali za Halmshauri na

• Kuzihakiki rasilimali za Halmashauri kwa kuzingatia sheria, kanuni,

2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 2,000,000 TDC/ Wizara ya

182

NA LENGO MIKAKATI MAKISIO YA GHARAMA CHANZO CHA

kutoa ripoti ya ukaguzi kila robo mwaka.

taratibu na miongozo/waraka itolewayo juu ya matumizi na usimamizi wa rasilimali za Halmashauri.

Fedha

4. Kuboresha mazingira ya kufanyia kazi ifikapo mwaka 2015.

• Kuhakikisha samani za ofisi zinanunuliwa kulingana na bajeti iliyopitishwa.

2,500,000 2,500,000 2,500,000 2,500,000 2,500,000 TDC/ Wizara ya Fedha

5 Kuendeleza mapambano dhidi ya Ukimwi.

• Kujifunza na kutoa Elimu ya mapambano zidi ya Ukimwi

1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 1,000,000 TDC/ Wizara ya Fedha

6. Kuwa na wakaguzi wa ndani watatu (3) ifikapo mwaka wa fedha 2016.

• Kuhakikisha kitengo cha ukaguzi wa ndani kinaongezewa Mkaguzi mmoja ili ikifika mwaka 2015 ikama ya watumishi watatu iwe imetimia.

4,800,000 4,800,000 4,800,000 4,800,000 4,800,000 TDC/ Wizara ya Fedha

7. Ifikapo mwaka 2016 watumishi wawili (2) wawe wameongeza kiwango cha taaluma katika kiwango cha CPA.

• Kuhudhuria mafunzo mbalimbali yatakayokuwa yanatolewa kwa lengo la kujenga uwezo kwa watumishi.

3,000,000

5,000,000

7,000,000

9,000,000

11,000,000

TDC/ Wizara ya Fedha

JUMLA 24,900,000 30,600,000 37,900,000 42,500,000 46,800,000