jipime sayansi darasa la sita

30

Click here to load reader

Upload: kanguni

Post on 16-Apr-2017

17.230 views

Category:

Education


320 download

TRANSCRIPT

Slide 1

Maswali ya Sayansi Darasa la VIKanguni I.S. 2013

1

1Ogani muhimu kuliko zote katika mwili wa binadamu ni __________IniKongoshoMoyoFigo

2Virusi vya UKIMWI hushambulia chembe zipi katika damu?NyekunduPlasmaNyeupeZote

3Zifuatazo ni sifa za viumbe hai isipokuwa __________Kuzaa Kula KuimbaKuwa na nguvu

4Vyakula vyenye protini huwezesha mwili __________Kuchakaa Kuwa na jotoKukuaKuwa na nguvu

5Sauti iliyoakisiwa huitwa __________Sauti kaliSauti nzuriMwangwimwangu

6Nyama isiyoiva vizuri yaweza kuwa chanzo cha __________MinyooUchafuAfya nzuriNjaa

7Samaki huvuta hewa kwa kutumia __________Mapezi MagambaPuaMatamvua

8Takamwili zinazotolewa na ngozi ni __________AsidiUreaUchafukabonidioksidi

9Binadamu huvuta hewa gani?OksijeniKobonidioksidiNitrojeniHidrojeni

10Mmea una sehemu kuu ngapi?TatuNneTanoMbili

11Mashine ni kitu chochote kinachorahisisha __________UzitoMzigoUjazoKazi

12Kipimo rasmi cha uzito ni __________Kg au gSmMetamm

13Chakula tumboni huchanganywa na kiowevu tumbo na __________Asidi ya haidroklorikiMajiChumviDamu

14Kila mamalia na asiye mamalia ana figo______MbiliMojaTatuTano

15Mimea hupumua kwa kutumia matundu madogomadogo yaitwayo ______MatunduPuaStomataAota

16________ ni mchanganyiko wa gesi.VumbiGesiHewaMaji

1Mmengenyo wa chakula huanzia katika ________TumboNgoziKinywaMkono

19Tendo la mmea kujitengenezea chakula chake huitwa________UsanisinuruKuakisiKulaOsmosisi

20Moyo umegawanyika katika vyumba vingapi?34812

21Sehemu ya majimaji ya damu huitwa________PlazimaSeli nyekunduPlasmaSeli nyeupe

22Stameni ni sehemu ya ________ ya ua.JuuNdaniChiniKikonyo

23Mkasi ni aina ya nyenzo daraja la________KwanzaPiliNneTatu

24Mwanaume ana gameti yenye kromosomu za aina________XXYYAnavyo vyoteYX

25Kwa kawaida mbegu zenye mbawa hutawanyika kwa njia ya________MajiUpepoMvuaMpasuko

26Gameti za kiume hutengenezwa na kuhifadhiwa kwenye________UumeMwiliniKorodaniMaungoni

27Mfano wa figo ni kama________ChungwaHarageEmbePilipili

28Sauti husafiri upesi zaidi katika nini?ArdhiMajiHewaYabisi

29Gesi inayotokana na mchanganyiko wa gesi ya kabonidioksaidi, mitheni na mvuke inaitwa ________OksijeniBayogesiNaitrojeniHaidrojeni

30Idadi ya chaji katika metali huitwa ________NyutroniProtoniValensiMolekyuli