kimeandikwa na: ra’isu‘l-muballighin ayatullah allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa...

36
Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi Kimetolewa na: BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIA P.O.Box 20033 DAR ES SALAAM TANZANIA. ISBN 9967 620 36 1 kimechapishwa na Kimetolewa na: BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIA S.L.P. 20033 DAR ES SALAAM TANZANIA e-mail: [email protected]

Upload: others

Post on 26-Oct-2019

39 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

Kimeandikwa na:

Ra’isu‘l-Muballighin AyatullahAllamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi

Kimetolewa na:

BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIAP.O.Box 20033

DAR ES SALAAMTANZANIA.

ISBN 9967 620 36 1

kimechapishwa na Kimetolewa na:BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIA

S.L.P. 20033DAR ES SALAAM

TANZANIAe-mail: [email protected]

Page 2: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

Kimeandikwa na:

Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi

Kimetafsiriwa na:

Salman Al-Afriqi

Kimechapishwa na Kutolewa na:

BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIAP.O.Box 20033

DAR ES SALAAMTANZANIA.

Haki ya kunakili imehifadhiwa na:©Bilal Muslim Mission of Tanzania

ISBN 9967 620 36 1

Toleo la kwanza: Jama’ad Al-Thani, 1424 / August, 2003 Idadi: Nakala 2000

kimechapishwa na Kimetolewa na:BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIA

S.L.P. 20033DAR ES SALAAM

TANZANIAe-mail: [email protected]

www.allamahrizvi.com

Page 3: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

YALIYOMO

1. Utangulizi ................................................................................... 52. Wasifu mfupi wa Al-Marhum Ra’isu-’l-Muballighin Ayaullah Al-Allamah Al-Muhaqqiq Al-Haj S.S.A. Rizvi (r.a.) .................... 6

Sehemu ya Kwanza

3. Maana ya Nabii na Rasuli............................................................ 17 4. Tofauti baina ya Nabii na Rasuli.................................................. 18 5. Unabii: Sababu na faida zake...................................................... 18 6. Sifa muhimu za mtu kuwa Nabii.................................................. 19 7. Mwendelezo wa Unabi............................................................... 19 8. Mabadiliko ya mwongozo wa kidini............................................ 20 9. Kwa nini sheria zilibadilishwa? ................................................... 21 10. Wajibu wetu kwa Manabii wa zamani......................................... 23 11. Majina ya Mitume waliotajwa kwenye Qur’ani na Hadithi ...................................................................................... 24

Sehemu ya Pili

12. Maana ya Ismati........................................................................ 2613. Kwanini Ismat? Hoja ya Mantiki ............................................. 2714. Uthibitisho kutoka kwenye Qur’an ............................................ 2815. Aya zisizo eleweka..................................................................... 2916. Je Adamu alifanya dhambi? ....................................................... 3017.Aya za Qur’ani kuhusu Adamu ................................................... 3118.Mitume wengine ........................................................................ 3419.Tark-ul-Awla ............................................................................ 3520. Ismati ya Mtukufu Mtume wetu ................................................. 3621.Baadhi ya Aya zilizo Tafsiriwa kimakosa ..................................... 37

3

Sehemu ya Tatu

22. Utabiri kuhusu Mtukufu Mtume......................... ....................... 3923. Barm Uttar Khand ................................................................... 4024. Kalki Puran .............................................................................. 4225. Kavi Samati na Parak ............................................................... 4326. Kutoka kwenye Vitabu vingine.................................................. 4427. Pothi Ram Sing Ram ................................................................ 4528. Agano la kale na Agano Jipya ................................................... 4629. Kitabu cha mwanzo .................................................................. 4730. Kumbu kumbu ya Torati ........................................................... 4831.Utabiri mwingine {a}Kumbukumbu ya Torati..................... 49 {b}Isaya ............................................ 50 {c}Habakkuk ....................................... 5032. Kutoka Agano Jipya:-{a}Mtume huyo....................................... 50 {b}Mfariji ........................................... 51

Sehemu ya Nne

33.Maana ya Muujiza..................................................................... 5234.Tofauti baina ya Muujiza na Mazingaombwe............................... 5335.Aina za Muujiza zilizofanywa........ .............................................. 5436.Miujiza wa Qur’ani ................................................................... 5537.Miujiza ya Utabiri ..................................................................... 5638.Taarifa ya matukio yaliyo pita ..................................................... 5839. Miujiza ya Matendo................................................................. 6140. Kwa nini Muujiza ulionyeshwa?................................................. 62

Sehemu ya Tano

41. Ukweli kuhusu Mtukufu Mtume................................................. 6342. Mtume wa Mwisho.................................................................... 6543. Majina na Vyeo vya Mtukufu Mtume ......................................... 6744. Maswali .................................................................................... 68

4

Page 4: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

17

UTUME1. MAANA YA “NABII” NA “RASULI”

Neno “Nabii” { } chimbuko lake ni “Nubuwwat” { }.“Nubuwwat” maana yake ni “kuwa juu” na kwa hiyo neno “Nabii” { }maana yake ni “mtu aliye na cheo cha juu”! aliyeko juu mbele ya Allah.Neno “Nabii” { } linaonyesha utukufu wa cheo cha Mtume ambachoanacho mbele ya Allah.

Tafsiri nyingine ya “Nabii” { } ni kwamba neno hili limetokanana neno “Nubu-at”{ } yaani; kubashiri. Kwa mujibu wa tafsiri hii“Nabii” { } ni neno linalomaanisha mtu anaye bashiri.

Neno “Rasuli;” { }”Risala” maana yake ni kupeleka na“Rasuli” maana yake ni mtu aliyetumwa. Hivyo, neno Rasuli” linamaanisha“mtu aliyetumwa kutoka kwa Allah.”

Kwa mujibu wa msamiati wa kiislamu, “Nabii” maana yake ni “mtualiyetumwa na moja kwa moja kwenda kuwaongoza wanadamu kwenyenjia iliyo nyooka”

Neno “mtu” linawatenga malaika ambao hupelekwa na Mungu kwawanadamu kwa madhumuni mbali mbali, lakini hawaitwi “Nabii” au “Rasuli”katika msamiati wa kiislamu. Vile vile, neno haliwajumuishi wanawake.Mwanamke hawezi kuwa “Nabii” au “Rasuli.”

Msemo “aliye tumwa moja kwa moja” unaonyesha kwamba Nabiihapati wahai au ufunuo kupitia kwa uwakala wa mtu mwingine yeyote. Kwamsemohuu tunatofautisha baina ya Nabii na Imamu, kwa sababu Maimamupia “hutumwa na Mungu kwa binadamu kuwaongoza kwenye njia iliyonyooka, “lakini hutumwa kwa kupitia kwa Mtume; Maimamu hupatamaelekezo yao kupitia kwa Mtume, si kutoka kwa Mungu moja kwa moja.

Kama ilivyoelezwa hapo juu, Nabii alikuwa mtu wa juu sana wawakati wake mbele ya Mungu.

www.allamahrizvi.com

Page 5: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

18 19

Ilikuwa muhimu kwamba Nabii na Rasuli watoke miongoni mwabinadamu: kwa sababu kama Allah ange mtuma malaika kuwaongozabinadamu, watu wangejisikia aibu kwake, kwa kuwa angekuwa mgeni kwao.Ndio sababu Mungu kila wakati alikuwa akiwatuma Nabii na Rasuli kutokamiongoni mwa binadamu , Nabii au Rasuli anafanana na mwanadamu kimwili,sura yake, na mahitaji yake; lakini ubora wake wa kiroho ni mkubwa sana,Roho yake imetakasika na akili yake ni yenye wepesi mno wa kupokeaujumbe wa Allah kwamba, kiistiari, anaweza kuelezeka kama mtu aliyetofauti sana na binadamu wengine. Kwa mfano ulio dhahiri kuhusu uborawake wa kiroho uliozungukwa na mahitaji ya kibinadamu, anawezakufananishwa na kioo. Kioo kina pande mbili, upande mmoja ni ule uliomwangavu, upande mwingine unagiza. Kama tukikiweka kioo kwakuelekeana na jua moja kwa moja, kinapokea mwanga na kinatupa mialekwenye kona ya mbali sana ya chumba. Hivyo hivyo, Nabii au Rasulihupokea ujumbe wa Mwenyezi Mungu kwa sababu ya ukamilifu wake wakiroho, na kwa mwili wake wa kibinadamu akaufikisha kwa wanadamu-kwa watu wake.

2. TOFAUTI BAINA YA NABII NA RASULI

Wanachuo wa kiislamu wamejaribu kuonesha tofauti kati ya Nabiina Rasuli. Wanachuo hao wameandika tofauti nyingi lakini hakuna hatamoja wapo inayoweza kukwepa mtihani wa uchambuzi wa kukosolewa.Kwa mujibu wa imani ya wengi Rasuli alikuwa Mtume yule aliyeleta Shariampya {kanuni za sheria} ambapo mitume wale ambao hawakuleta sheriayoyote mpya {na walifuata sharia ya “Rasuli” aliyepita} waliitwa Nabii.

Hivyo basi, daraja la Rasuli” ipo juu zaidi ya ile la “Nabii.”

3. UNABII: SABABU NA FAIDA ZAKE

Sababu na faida za taasisi ya Unabii zimekwisha fafanuliwa masomoyaliyopita. Zipo sababu mbili na faida mbili. Sababu ya kwanza: ni kwambaendapo Allah angekuwa awalipe au kuwaadhibu wanadamu mnamo Sikuya Hukumu bila kuwapelekea mtume, wale ambao wangeadhibiwa kwenda

jahannam wangekuwa na haki ya kulalamika wapelekwe motoni bila dhambiau kosa walilofanya wao wa kiroho. Ilikuwa ni njia ya kuifukilia mbali hojahii ndio sababu Allah alileta sharia na mitume ili wafikishe ujumbe wa Allahkwa binadamu. Sababu ya pili: vile vile ni kwamba imetamkwa kwamba“Nubuwwat” Nabii ni Luft (neema) na kwa hali hiyo, ilikuwa ni wajibu juuya Allah kuwatuma mitume ili wawaongoze watu kwenye njia iliyonyooka.

Faida: Kwanza, kuleta sheria za Allah kwa wanadamu kuhakikishahaki inatendeka bila upendeleo, usalama na maendeleo ya jamii. Pili:Kuwafanya watu kuwa wanadamu wakamilifu kiroho na kuwaleta karibuna Allah.

4. SIFA MUHIMU ZA NABII

Nabii au Rasuli lazima awe na sifa fulani: Sharti la kwanza, kwa mujibu waimani ya Shia, ni kwamba mtu lazima awe mkamilifu zaidi wakati wa uhaiwake hatika sifa zote kama vile ujuzi, ujasiri, ukarimu, uadilifu na adabu,upendo na kumuogopa Mungu, uchamungu na ibada ya Mungu, na sifazingine nzuri ambazo zinavutia na kutamaniwa kuwa nazo mtu mzuri. Mtuhuyu lazima awe wa juu zaidi katika sifa zote hizo katika wakati wake.

Vile vile mtu huyu asiwe ameugua ugonjwa unaosababisha kutengwana jamii, kama vile ukoma.

Sharti la tatu ambalo ni la muhimu kuliko yote ni kwamba Nabii auRasuli lazima awe masum, yaani asiwe na dhambi yoyote, kosa lolote nauovu wowote.

Sharti la nne ni kwamba Nabii lazima aonyeshe dalili zilizo dhahiri namuujiza kuthibitisha dai lake.

5. MWENDELEZO WA UNABII

Mungu, kwa neema zake, kamwe hakumwacha binaadamu bilakiongozi wa kidini. Kiongozi huyo anaweza kuwa mtume, Rasuli au Imamu.Mtu wa kwanza, Nabii Adamu, alifanywa kuwa mwakilishi wa MwenyeziMungu hapa duniani, ili aweze kuwaongoza wanawe kwenye njia ilio nyooka.Tangu hapo, manabii na mitume walipelekwa kila mahali na kwa watu wote.

www.allamahrizvi.com

Page 6: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

20 21

Mwenyezi Mungu anasema kwenye Qur’ani:

{Hakika wewe ni mwonyaji tu, na kiongozi wa kila taifa}. Kwaujumla walikuja mitume 124,000 kutoka kwa Mungu.

Mitume wengi walitumwa kwenye kijiji kimoja au viwili; mitumewengine walipelekwa kwenye famila moja au mtu mmoja. Mitume wenginewalipelekwa kwenye eneo kubwa zaidi; ambapo mitume wenginewalipelekwa kwenye kabila lote. Lakini, hakuna hata mmoja wao,aliyepelekwa kwa watu wote, kabla ya Mtukufu Mtume wetu wa Uislamu.

Mtukufu Mtume wetu alipelekwa kwa watu wote hadi mwisho waulimwengu. Hapana Mtume mwingine atakayekuja baada yake. Alikuwa,na Mtume wa mwisho

6. MABADILIKO YA MWONGOZO WA KIDINI

Huonekana kutokana na historia ya theolojia ya dini kwamba Mungualipeleka kwa wanadamu sheria nyingi mara nyingi ambazo zilikuwa zinafaakwa kipindi hicho. Nabii Nuh {a.s.} alileta sheria ambayo ilikuwa rahisisana. Na sheria hiyo ilifuatwa na mitume wengine hadi Nabii Ibrahim {a.s.}.Nabii Ibrahim {a.s}alipewa sheria ambayo ilifafanuliwa zaidi na yenye mambomengi kuliko ile ya zamani.

Sheria ya Nabii I brahim iliendelea kutumika kwa wana wa Israilihadi wakati wa Nabii Musa {a.s.}. Naabii Musa{a.s.} alipopewaTorati{Sheria}, ilikuwa sheria yenye vipengele vingi sana na ambayovilikuwa na maelezo mengi, na kufuatwa na mitume wote wa Banii Israelihadi alipokuja Nabii Issa {a.s.}. Nabii Issa {a.s.}aliikamilisha sheria yaHadhrat Musa {a.s.} na aliifanyia mabadiliko kulingana na wakati. Sheriaya Nabii Issa {a.s.} iliendelea kutumika hadi alipokuja Mtukufu Mtume waUislamu.

Tukiliangalia tawi lingine la familia ya Nabii Ibrahim {a.s.}tunaonakwamba watoto wa Ismail walitakiwa kufuata sheria ya Nabii Ibrahim {a.s}

hadi wakati wa Mtukufu Mtume wa Uislamu, Nabii MuhammadMustafa{s.a.w.w.}. Alipokuja Nabii huyu, alifuta na kuziondoa sheria zoteza zamani, na alileta sheria ya mwisho, bora zaidi na yenye kufaa zaidi nayenye muundo mzuri kuliko zote, ambayo inaweza kukabiliana nachangamoto la mabadiliko ya wakati bila tatizo lolote hadi siku ya Hukumu.Mitume walioleta sheria mpya huitwa Ulul - Azmi. Walikuwepo mitumeUlul-Azm watano {5}: Nuh, Ibrahim, Musa, Issa na Muhammad Mustafa{amani iwe juu yao}.

7. KWA NINI SHERIA ZILIBADILISHWA?

Inaweza kuulizwa kwamba, kwa nini mabadiliko yalifanywa kwenyesheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azmwalitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine. Sawa, mtotoanapozaliwa, wazazi wa mtoto humtengenezea nguo za kuvaa. Na jinsimtoto anavyozidi kukua, nguo za zamani huachwa na badala yake nguompya hutengenezwa kufuatana na ongezeko la mwili wa mtoto. Hali hiihuendelea wakati wa utoto wake, wakati wa balehe, wakati wa umri kablamiaka ishirini, hadi unapofika muda baada ya miaka 25 au 30, ambapomwili wake hauongezeki tena kwa urefu na umbo lake, hufikia kiwango chautu uzima. Baada ya hapo, kipimo cha nguo zitakazo mwenea wakati huo,huendelea kumwenea hadi mwisho wa maisha yake.

Hakuna mtu atakaye shauri kwamba kwa kuwa mtoto huyo wakatiwa umri wa miaka 25 anatarajiwa kuwa na urefu wa futi 5 na 6”, kwa hiyoapewe nguo za kipimo hicho siku ya kuzaliwa kwake. Wala hapana mtuatakaye fikiria kwamba kijana wa miaka 30 atavaa nguo zile alizovaaalipokuwa na umri wa miaka 10. Hivyo hivyo, tunaweza kudhani kwambajamii ya binaadamu ilikuwa katika umri wa utoto wakati wa Nabii Adamuna Nuh {a.s}, ambapo jamii hii ilifika umri wa balehe wakati wa NabiiIbrahim {a.s.}na iliendelea kukua{kiakili, kijamii na kiroho.} kwa hiyoAllah aliendelea kuzitupa na kuzifuta sheria za zamani na kupeleka sheriampya kufuatana na mahitaji ya kijamii, kiakili na kiroho ya wakati huo.

Hali hii iliendelea hadi wakati wa Nabii Muhammad Mustafa{s.a.w.w.}. Muhula wake unaweza kulinganishwa na umri wa miaka 25 au

www.allamahrizvi.com

Page 7: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

30 wa mtu anapofika kikomo cha urefu wake na kiwango cha juu sana changuvu zake. Sasa hakuna nafasi kwamba mtu huyu ataendelea kukua nakuzidi kipimo cha nguo zake na kipimo cha umri huo hubaki hivyo, hadikifo chake. Jamii ya binadamu ilipofika kiwango hicho, Mwenyezi Mungualipeleka sheria ya mwisho ambayo itatumiwa na binadamu hadi mwishowa dunia. Baada ya Muhammad Mustafa {s.a.w.w} hapakuwepo na hajaya sheria mpya; hapakuwepo na haja ya Mtume yeyote mpya au mjumbekutoka kwa Mungu na kwa sababu hii Mwenyezi Mungu alimtangazakuwa { } Nabii wa Mwisho.

Kwa hakika, mfasiri wa Qur’ani na mlinzi wa sheria atahitajika daimamilele. Lakini Mwenyezi Mungu aliwateua Maimamu kwa madhumuni haya,baada ya { } Mtume wa Mwisho. Mlolongo wa Unabiiulikoma na badala yake mpangilio mpya wa uongozi wa kidini uliojulikanakama Uimamu ulianzishwa. Mpangilio huu mpya utaendelea hadi Siku yaKiyama; lakini hakuna Nabii au mjumbe angekuja au atakaye kuja, baadaya Mtukufu Mtume wa Uislamu.

Mtu yeyote anayedai kwamba yeye ni Nabii au Mjumbe baada yaMtume wa Mwishoni mlaghai, mwongo na hana uhusiano wowote naUislamu.

Swali: Imekubalika kwamba mwili haubadiliki kwa kuongezeka kwaurefu baada ya miaka 25, lakini bado panaonyesha mabadiliko katikaongezeko la mwili {Misuli}. Mtu anaweza kuongezeka au kupoteza uzitokiasi fulani kulazimisha mabadiliko fulani kwenye vipimo vya nguo. Kwahiyo, utasemaje kwamba hapata hitajika sheria mpya baada ya Uislamu?

Jibu: Kwa kawaida nguo haziwezi kujirekebisha zenyewe kufuatanana ongezeko la mwili. Lakini Uislamu unao uwezo uliojengewa ndani yakekutosheleza hali zote ambazo mtu anaweza kukutana nazo wakati wa uhaiwake . Kwa hali hii, tunaweza kulinganisha na ala za kisasa za electronicambazo zina uwezo wa kujirekebisha kwa kujiendesha zenyewe kwenyemabadiliko ya hali ya joto, mwanga unyevu na hali zingine muhimu kwawakati husika. Mathalani kwenye kamera iliyo nzuri, utaona kwamba lenziyake hufanya marekebisho yote muhimu kulingana na umbali na mwanga

22 23

bila kugusa sehemu yoyote ya kamera.Hivyo hivyo, Uislamu unazo kanuni kwa ajili ya hali zote zinazoweza

kujitokeza na mara inapojitokeza hali yoyote ile ya mabadiliko, sheriahutambua mabadiliko hayo na hujirekebisha haraka kwa kutumia mfumomwingine wa kanuni ili kukidhi hali mpya iliyosababishwa na mabadilikobila kuathiri mpangilio wa maisha ya binadamu na sheria.

Mabadiliko haya ni sifa ya pekee ya Uislamu ambayo haipo katikadini nyingine yoyote. Sifa hii ya Uislamu huondoa dhana ya kuanzisha sheriampya.

8. WAJIBU WETU KWA MANABII WA ZAMANI

Kwenye kurasa za nyuma imetamkwa kwamba Mungu aliwatumamitume 124,000 duniani pote. Sirahisi kujua majina ya mitume wote hao.Ni wachache tu wametajwa kwenye Qur’an na Mungu anasema:

“Na bila ya shaka tuliwatuma Mitume kabla yako. Wengine katikahao tumekusimulia habari zao, na wengine hatukukusimulia. Na haiwi Mtumealete Ishara yoyote ila kwa Idhini ya Allah. Basi ikija amri ya Allahhuhukumiwa kwa haki, na hapo wapotofu watakhasiri.” (40:78)

Muislamu anawajibika kuamini katika ukweli uliofikishwa na mitumehawa, kwa kuwa majina yao ni sehemu ya Qur’an. Mitume wenginewametajwa kwenye hadithi za Mtukufu Mtume na Maimamu. Vile vile,tunaamini katika ukweli wa mitume hao.

Sasa tunakuja kwa viongozi na waasisi wa dini ambao ukweli waohaukuandikwa wala kukanushwa kwenye Qur’an na hadithi. Tunawajibikakuwaheshimu {kwa sababu inawezekana walikuwa mitume wa kweli}; lakini,kwa upande mwingine, hatuwezi kukubali moja kwa moja kwamba walikuwamitume wa kweli.

Utaratibu huu unatumika kwa wale waasisi wa dini ambaowalitokeakabla ya Mtukufu Mtume wa Uislamu. Kwa kadiri waasisi haowanavyohusika ambao wanadaiwa kwamba wao ni mitume baada yaMtukufu Mtume wa Uislamu, lazima tuwalaani kama watu walaghai nawaongo, kwa sababu tunajua kwamba hakuna mtume mwingine atakayekuja baada ya Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}.

Page 8: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

24 25

Kwa kuwa watu wa kwanza kuisikia Qur’an walikuwa watu wa baraArabu, pale ambapo palihitajika kutoa mfano wowote, Mwenyezi Mungualitumia majina ya mitume wale waliotumwa katika bara ya Arabu au karibuna sehemu hiyo, ili kuwawezesha wasikilizaji kuelewa kwa urahisi. Ni kwasababu hii wengi wa mitume waliotajwa kwenye Qur’an wanatoka Arabuni,Palestina, Misri na Ethiopia.

9. MAJINA YA MITUME NA WARITHI WAO WALIOTAJWAKWENYE QUR’AN NA HADITHI

{A} Hii ni orodha ya mitume waliotajwa kwenye Qur’an

No. Jina kwa Kiswahili Jina kwa Kiingereza1. Adamu {a.s. } Adam2. Idrisa {a.s. } Enoch {Enosh}3. Nuh {a.s. } Noah4. Hud {a.s. } ----------5. Swaleh {a.s. } ----------6. Ibrahim {a.s. } Abraham7. Lut {a.s. } Lot8. Ismail {a.s. } Ishmael9. Is-haqu {a.s. } Isaac10. Yaquub {a.s. } Jackob11. Yusuf {a.s. } Joseph12. Ayyub {a.s. } Job13. Shuaib {a.s. } Jethro14. Musa {a.s. } Moses15. Haroon {a.s. } Aaron16. Ilyas {a.s. } Elijah {Elias}17. Ilyasaa {a.s. } Hosea18 Dhul-Kifl {a.s. } --------19. Uzair {a.s. } Ezra {Erderas}20. Dawood {a.s. } David21. Sulaiman {a.s. } Solomon

22. Loqman {a.s.} Eosop {a}

{a}Alikuwa ni Muethiopia mweusi. Wanachuoni wengi wa kiislamuwanaamini kwamba alikuwa mtume.

23. Yunus {a.s.} Jonah24. Zakari {a.s.} Zechariam25. Yahya {a.s.} John {mbatizaji}26. Issa {a.s.} Jesus Christ27. Muhammad{s.a.w.w} Muhammad{s.a.w.w.}

{b}Kuna baadhi ya mitume ambao visa vyao vimetajwakwenye Qur’anlakini majina yao hayakutajwa. Hawani:

1. Khidh {a.s.} --------2. Yusha bin Nun{a.s.} Joshua3. Shamuel {a.s.} Samuel4. Hizqueel {a.s.} Ezekiel5. Dhul-Quarnain {a} --------6. Mtume wa Kiethiop {b}7. Shamun Simon8 -9. Masahaba wawili wa mtume Issa.

Zingatia: Namba 7hadi 9 walikuwa {warithi wa Mtume}. Haijulikani kamawalikuwa Manabii au la.

{c}Sasa tunaweza kuwataja baadhi ya mitume ambao majina yao yamokwenye hadithi:-

1. Sheth Seth2 Saam Sham3. Armia Jeremiah4. Danial Daniel

{a}Kuna maoni tofauti ama alikuwa mtume au hapana.{b} Ametajwa kwenye Qur’an Sura 85.,

www.allamahrizvi.com

Page 9: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

26 27

5. Amus Amos6. Obaiah Obaiah7. Habakkuk Habakkuk8. Jirjis --------9. Budhasif Budhastav {Gotam Bodh}10. Khalid bin Sanan --------

{d} Mababu wote wa Mtukufu Mtume wa Uislamu{s.a.w.w.}na Ali {a.s}kutoka Quedar {Cedar}hadi Abdullah na Abu Talib walifuata sheriaya Mtume Ibrahim {a.s.} na walikuwa warithi wa Mtume Ismail {a.s.}.Abu Talib alikuwa mrithi wa mwisho, baada ya kuja Uislamu,alimfuataMtukufu Mtume . Walikuwa warithi wa Ismail, {a.s.}, lakini hawakuwaManabii. Aidha Salman, Muajemi, anaaminiwa na Waislamu kuwaalikuwa mrithi wa Mtume Isa {a.s.}. Aidha naye alimfuata MtukufuMtume wa Uislamu baadaye . Lakini, naye pia alikuwa mrithi {wala}si“Nabii.’

SEHEMU YA PILI

10. MAANA YA ISMATI

Maana halisi yaneno ISMAT ni “Kinga.” Kwenye msamiati wamadhehebu ya Shia maana yake ni “Neema maalum {Lutf} ya MwenyeziMungu ambayo humwezesha mtu mhusika kuacha kufanya dhambi kwahiyari yake mwenyewe mtu huyo huitwa Maasum.

Neema hii lutf haimfanyi Maasum kukosa uwezo wa kufanya dhambi.Bali huepuka kutenda dhambi na makosa kwa hiyari yake mwenyewe.

Mfano ufuatao utasaidia kuiweka maana yake dhahiri:-Tendo la mtu kutembea uchi barabarani lipo kwenye uwezo wa

mhusika. {Na kwa hali hiyo katika nchi nyingi zinazo jiita zimestaarabikawanawake hujenga tabia ya kubaki uchi kwenye kumbi zilizo jaa watu kwakisingizio cha “Msanii.”} Lakini wewe umewahi kufikiria kufanya hivyo?Kwa nini? Kwasababu tendo hilo litateremsha hadhi yako kuwa ya chinimno. Uelewe ya kwamba, husemi ya kwamba “haiwezekani” wewe kufanya

hivyo. Hakika, hilo limo katika uwezo wako, lakini kamwe hutajaribukufikiria kufanya. Kwanini? Kwa sababu unafikiri kwamba upumbavukama huo utatia doa heshima yako katika jamii yako.

Vivyo hivyo, ingawaje mtu Maasum {Mtume au Imamu} anao uwezowa kutenda dhambi, kwa sababu lakini kamwe hata hafikirii kufanya hivyoni kinyume na hadhi yake kuinamia dhambi na makosa.

Kwa mujibu wa imani ya Shia Ithna-asheri, Mitume na Maimamuwote walikuwa Maasum, yaani hawakuwa na dhambi na wasio kosea;hawangeweza kufanya dhambi yoyote- ama dhambi kuu, wala dhambindogo; ama kwa kukusudia au kwa bahati mbaya; na hali huanzia tangumwanzo wa maisha yao hadi mwisho wa uhai wao.

Kwa kadiri Masunni wanavyohusika, wanakubali kwamba mitumehawangeweza kudanganya, na hawangekuwa Makafiri ama kabla au baadaya kutangazwa kuwa wao ni mitume. Kuhusu dhambi zingine, maoni yaoyamegawika sana. Walio wengi husema kwamba mitume hawangewezakufanya dhambi zingine kwa kukusudia . Kuhusu kufanya dhambi kubwabila kukusudia waliowengi wanasema kwamba haingewezekana .

Kuhusu dhambi ndogo, wanasema kwamba ilikuwa inawezekanakwa mitume kufanya dhambi ndogo ingawaje hawangeweza kufanya dhambi,ndogo ambazo zingewafedhehesha miongoni mwa wanadamu, kama vilekuiba mkate.

Kwa hiyo, ni dhahiri kwamba Masunni hawana msimamo ulio wazikuhusu Ismat ya mitume.

11. KWANINI ISMAT? HOJA YA MANTIKI.

Sababu zetu ni zipi zinazotufanya tuamini kwamba mitume wotewalikuwa Maasum {yaani hawakuwa na dhambi}? Sababu ni rahisi sana: Mungu aliwatuma mitume,kwa madhumuni ya kuwaongoza watu waokwenye njia iliyonyooka. Lakini lengo hili halinge fikikiwa kama mitumewasingekuwa safi na wasio na dhambi.

Chukulia kwamba kuna mtu ambaye angefanya dhambi au makosakama watu wengine wa kawaida. Na chukulia ya kwamba mtu huyo anadaikwamba yeye ametumwa na Mungu kuwaongoza watu wake kwenye njia

www.allamahrizvi.com

Page 10: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

28 29

iliyonyooka na kutoa maisha yake kuwa mfano wa yote yaliyo mazuri namema katika maumbile ya binadamu. Watu watathibitishaje kwamba mtuhuyo anasema ukweli, ukweli mtupu? Mtu huyu hawezi kuamuru heshimana utii usiokuwa na shaka na anaostahiki kutoka kwa watu wake. Kwahiyo, kuendeleza kazi ya Mungu, Mitume lazima wawe hawakuwa na dhambina wanayokinga ya kufanya makosa.

12. UTHIBITISHO KUTOKA KWENYE QUR’AN

Kuhoji huku kwa mantiki kunaungwa mkono pia na Qur’an Tukufu.Tazama kwa mfano aya zifuatazo:-

Aya ya kwanza: Mungu anasema: “Na hatukumtuma Mtume yeyoteila atiiwe kwa idhini ya Allah {Qur’an Sura ya 4:64.}Mitume na Manabiiwalitakiwa kupewa heshima na kufuatwa, lakini si kwamba wafuasi waowalitakiwa kuchunguza kila tendo la mtume ili waamue ni kipi cha kutiiwana kipi si cha kutiiwa Ingewezekanaje hali hii kuwa kweli kama si Mitumena Manabii kuaminika kuwa hawana dhambi na hawafanyi makosa?

Aya ya pili: Mungu anatuamuru sisi wanadamu tumtii Mtume: “Enyimlioamini! mtiini Mungu, na mtiini Mtume.” Anaendelea kusema tena: Wotewale wanaomtii Mungu na Mtume----------.” Kwenye sura hiyo hiyoanatamka kwa: Yule anayemtii Mtume anamtii Mungu.” Katika aya zotehizi ndani ya Qur’an na pia kweye Aya nyingine nyingi sana, utiifu kwaMungu umefanywa sawa sawa na utiifu kwa mtume. Tamko hilohalingekuwepo kama mitume hawangekuwa Maasum na wenye kinga yakufanya makosa. Hebu fikiria jinsi ambavyo haingewezekana katika haliambayo ingejitokeza ambapo mtume yeyote angeanza kuwashawishi wafuasiwake kufanya kosa na dhambi. Masikini wafuasi hawa wangepigwamarufuku kwenye radhi ya Mungu katika hali yoyote ile. Endapo wangemtiimtume na wakafanya dhambi hiyo ya kukataa kufuata amri hiyo iliyotolewana Mungu na kwa hiyo wangefedheheshwa. Endapo, kwa upande mwingine,wangekataa kumtii mtume, tena watakuwa wanakataa amri ya Munguiliyotajwa hapo juu inayohusu kumtii mtume. Hivyo basi, inaonyesha kwambamtume ambaye si Maasum angesababisha fedheha na laana kwa watu wake.

Aya ya tatu: Iongeze aya hii kwenye aya za juu: “Msiwatii wale

wanaofanya uovu.” Sasa, picha imekamilika. Mitume walitakiwa kufanyiwautii. Wakosaji hawakupashwa kuheshimiwa. Kwa hiyo, hitimisho ni mojatu kwamba mitume walikuwa hawatendi dhambi.

Aya ya nne: Sasa inakuja dua ya Mtume Ibrahim{a.s.} na jibu lakekutoka kwa Mungu. “Na kumbukeni ambapo Ibrahim alijaribiwa na Molawake kwa kutakiwa kutimiza amri fulani, ambazo alizitimiza: Alisema:Tutakufanya wewe uwe Imamu kwa watu wako. “Akaomba {Ibrahima.s}. Na pia kutoka kwa wazawa wangu.” Mungu akasema: Lakini ahadiyangu haitawafikia wakosaji.”

Aya hii inaonyesha wazi kwamba ahadi ya Mungu kuwateua Maimamu{Hapa neno hili linamaanisha kiongozi wa dini, likijumuisha vyeo vyoteviwili - mtume na Imamu katika msamiati wa Kiislamu} haitawafikia wenyedhambi.

Mpaka hapa inatosha kuonyesha kwamba imani yetu imejengekakwenye msingi wa kuielewa Qur’an waziwazi, kuhusu mamlaka na kazi yamtume kwa Mungu na kwa watu wake.

13. AYA ZISIZOELEWEKA

Ni lazima itamkwe hapa kwamba kuna Aya fulani ndani ya Qur’aniambazo huonyesha, kwa akili za watu wengine, dalili kwamba Mtume Adamu{a.s.} na mitume wengine walifanya dhambi.

Qur’an yenyewe inasema kwamba zipo Aya fulani ambazozinaeleweka kwa urahisi na hizo ndizo msingi wa Kitabu {Qur’an} na zinginehazieleweki. Halafu Qur’an inaendelea kusema kwamba tafsiri ya kweliya Aya zisizoeleweka anajua Mwenyezi Mungu tu na wale ambaowamezama kika milifu kwenye ujuzi {Elimu}.

Kwa hiyo, kwanza kabisa, ni muhimu kuamua ni aya ipi ambayohaieleweki, ambayo maana yake lazima ionyeshwe baada ya kusoma ayazinazoeleweka kwa uongozi wa Mtume au Imamu {ambao walikuwawamezama kwenye elimu ya dini}. Na baada ya hapo na hapo tu ndipotutakapo epukana na migongano katika imani yetu.

Mambo muhimu ni kama yafuatayo:1. Mantiki inasema kwamba Mitume lazima wawe hawana dhambi na

www.allamahrizvi.com

Page 11: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

30 31

wawe na kinga ya kufanya makosa.2. Aya nyingi za Qur’an zinasadikisha fikira hii, kama ambavyo imeelezwa

hapo nyuma.3. Lakini bado zipo aya za Qur’an ambazo zinaonyesha kwamba baadhi

ya mitume walifanya dhambi na makosa.Mwislamu anatakiwa afanye nini?

Kanuni zilizoanzishwa zama za kale na uzoefu uliojitokeza ni kwambalazima tuzikubali aya hizo ambazo zinakubalika kimantiki. Na kuhusu ayazingine{ambazo zinaonyesha kwamba mitume wengine walikuwa nadhambi} lazima tutafute tafsiri zao za kweli na thabiti, kwa kutumia msingiwa lugha ya Kiarabu na msamiati; kama alivyo fundisha Mtume na Maimamu.

14. JE ADAMU ALIFANYA DHAMBI

Na tuyaangalie mafungu ya maneno yaliyotumika kuhusu mtu wakwanza na khalifa wa kwanza wa Mwenyezi Mungu, Mathalan; MtumeAdamu {a.s.}. Qur’an inatoa maelezo kwenye sehemu kadha wa kadhajinsi Mtume Adamu {a.s.}alivyo nasihiwa na Mungu kuto kuusogelea mtifulani alipokuwa bado yu peponi; jinsi Shetani alivyo mdanganya Adamu namkewe Hawa kupitia kiapo chake cha uongo na jinsi Hawaalivyodanganyika kwa ushawishi wa Shetani, naye {Hawa}akamshawishiAdamu; na jinsi Adamu bila kukusudia, alivyokula tunda la mti huo na halafuakapelekwa duniani.

Hiki ndicho kiini cha maelzo yale:Kwanza kabisa, Qur’an inasemawaziwazi kwamba Adamu aliumbwa kama khalifa wa Mwenyezi Mungukatika dunia hii. Kabla hajapelekwa hapa, aliwekwa peponi. Lazimaikubalike kwamba pepo hiyo hayangekuwa maskani yake ya kudumu mudamrefu, kwa sababu, kabla hata kuumbwa kwake, alikwishapangiwa kujakuishi duniani.

Pili, kufuatana na sheria ya Kiislamu si kila amri ni wajibu kutekelezwa.Zipo amri, kwa mfano kusali sala tano kila siku na amri ya kusali rakaa 11baada ya usiku wa manane. Kila Muislamu anajua kwamba amri ya kwanza ‘ ’ ni Wajibu kutekelezwa, ambapo amri ya pili ni Suna ( )kwa hiyo si wajibu. Kwa jinsi hiyohiyo, yapo makatazo ambayo ni lazima

yatekelezwe, ambapo makatazo mengine si lazima yatekelezwe. Mwislamuamekatwazwa kunywa mvinyo, na pia amekatazwa kula kwa mkono wakushoto. Katazo la kwanza, ni ( ){lazima litekelezwe}, ambapo lapili ni ( ) {haipendezi}lakini si haramu.

Hivyo, kizuizi dhidi ya kusogelea mti fulani si lazima iwe na maana yakuwa haramu kwenda karibu na mti huo.

Tatu, mahali ambapo binadamu anatakiwa kujaribiwa kwa kuwekewakanuni za sheria ni hapa duniani, si peponi. Binadamu amepelekwa dunianiili imani yake ijaribiwe. Baada ya kujaribiwa, mtu atakaye fuzu atapelekwapeponi ili apate kufurahia Neema ya Mwenyezi Mungu. Hapatakuwepo namtihani peponi. Mtihani upo hapa duniani. Majibu ya mtihani huo yanatakiwakuandikwa hapahapa wala si peponi. Pepo ni zawadi ya kufuzu mtihani.Kwa hiyo, amri yoyote inayotolewa peponi, lazima iwe katika jinsi yakufanana na mazingira ya sehemu hiyo, iwe ya ushauri, wala si amri yakuwajibisha. Kama tukishindwa kufuzu mtihani wa mtu mwenye hekima ,tunaweza kuwa tunajitakia usumbufu na matatizo; lakini kwa uhakikatunaweza kuwa tumefanya kosa. Matokeo yake yatakuwa hasara kwetu.

15. AYA ZA QUR’AN KUHUSU ADAMU.

Sasa na tuchunguze aya za Qur’an moja baada ya nyingine kuhusu Adamu:1. “Tukasema: Ewe Adamu! Kaeni humo kwenye Bustani wewe namkeo; na kuleni vyote mtakavyo, isipokuwa msiusogelee mti huu, aumtaangamia.”

Neno lililo tumika hapa ni ‘Dhalimiini ( )ambalo chimbuko lakeni ‘Dhulma’ ( )( ) Dhulma maana yake ni : 1. Kuweka kitu mahala pasipo pake;

2. Kuja kwenye maangamizi3. Kandamiza4. Kufanya haraka kabla ya muda uliopangwa.Ni maana ipi iliyosahihi miongoni mwa maana hizo juu? Zifuatazo ni

sentensi chache.Ng’ombe anakula, Chui mkubwa anakula, Mbwa anakula, mtu anakula.

Page 12: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

32 33

Lakini kamwe hatuwezi kufikiria kwamba ng’ombe anamla punda milia nachui mkubwa anakula majani au mbwa anakula keki na mtu anakula chakulacha mbwa. Ingawaje Kitenzi “kula” ni kile kile katika kila sentensi; lakinitunakipatia maana kufuatana na kitu kinachozungumziwa. Vivyo hivyo,kama vile neno ‘Dhulma’ linalo maana nne, linapotumiwa kwa habari zamtume au khalifa wa Mwenyezi Mungu {ambaye tunasababu ya kuaminikwamba lazima awe hana dhambi} tunaweza tukazitumia maana hizo tuambazo hazihusishi dhambi.

Kama tunachukua maana ya neno kuja kwenye maangamizi; ni dhahirikwamba Mungu alimwambia Adamu kwamba kama angeusogelea mti ule,angejiingiza kwenye matatizo na taabu; lakini kuja kwenye maangamizi sitendo linalo maanisha dhambi au kosa. Tunaweza tukatumia, kwa nguvuileile, maana ya fanya haraka kabla ya muda uliopangwa. Lazima ielewekekwamba hatujabuni maana yoyote mpya, lakini wakati huo huo, hatujamtangaza Adamu kuwa mwenye dhambi.

Neno moja zaidi ya maelezo. Dhambi si maana halisi ya ‘Dhulma.’Ni kwamba kwa sababu tu anayetenda dhambi anaiweka akili yake sehemuambayo si mahali pake na anatumia uwezo alio pewa na Mungu katika njiaisiyofaa na hivyo kwamba kimethali anaitwa Dhaalimu { }2. “Halafu, Shetani aliwafanya watende kosa {wateleze}ndani ya{Bustani}na kusababisha waondolewe humo kwenye hali {yabaraka}waliokuwa nayo.”

Neno ambalo limetumika hapa ni ‘Azalla’ { } ambalo maanayake halisi ni alisababbisha {mtu} kutenda kosa. Kimethali lina tumikakutenda kosa na dhambi. Lakini maana ya kimethali si maana halisi. Kwahiyo, tunaweza tukatafsiri bila shaka kwamba Adamu na Hawa walipelekwaDuniani kutoka mahali penye hadhi ya juu, kama ambavyo katika sentensiifuatayo neno ‘Ihbitu’ {nenda chini} linavyoonyesha, neno teleza linafaazaidi katika mazingira haya.3. “Tukasema: Nendeni huko duniani {enyi watu}wote, mkiwa na uaduimiongoni mwenu, maskani yenu yatakuwa Duniani na fadhila zetu mtazipatahumo --- kwa muda uliopangwa . Halafu Adamu akapewa Ujuzi wa Majinaya Viumbe na Mola wake, na Mola wake akamgeukia.”

Hapa neno lililotumika ni{ } ‘taba alaihe; Kitenzi hikikinatokana na neno { } ‘Tauba’ {Toba}, ambalo limetumikakumaanisha ‘Toba.’ Hivyo, kama litumikavyo kwa kawaida, humaanishakosa fulani. Lakini maana halisi ya neno Tauba ni “kurudi.” Neno hililikitumika kimethali, litakuwa na maana: ‘Mungu, alikubali toba ya Adamu;lakini katika maana halisi, litamaanisha ‘Mungu alimgeukia Adamu {kwaNeema na Huruma zake}.’ Na kwa nini tusilitafsiri neno hili kwa jinsi hii?Hata hivyo, maana halisi ya neno lazima iwe na umuhimu zaidi kuliko ilemaana ya kimethali.4. Hoja kuhusu aya zilizotajwa hapo juu zina kuwa wazi zaidi tunapoonaaya zifuatazo kwenye Sura ya 20: “Halafu tukasema: Ewe Adamu hakikahuyu {Shetani} ni adui wako wewe na mkeo. Kwahiyo, msije mkamruhusuakawatoa nyinyi wote nje ya Bustani {Pepo}, na mkaingia kwenye mateso.Humo Bustanini hamtaona njaa, wala kutembea uchi, wala kuona kiu, walakuhisi joto la jua.”

Neno lililotumika hapa ni ‘{ }’Tashqua: Kwenye vitabu vyahotuba za Kiislamu, neno hili limetumika kuleta maana ya Fedheha mbeleya Mwenyezi Mungu. Hivyo, watu wengi hushawishika kulihusisha na kilekiitwacho dhambi ya Adamu na alivyoingia kwenye fedheha. Kwa uhakika,neno hili maana yake ni ‘mateso’. Maana yake kiroho ni methali tu. Ndiomaana Abdullah Yusuf Ali alilitafsiri neno hili kama ifuatavyo; ‘hivyo kwambamtaanguka kwenye mateso.’ Uthibitisho wake madhubuti upo kwenyesentensi zifuatazo ambapo chakula na mahali pakuishi vi metajwa. Ni dhahirikwamba Mungu alikuwa na maana kwamba endapo Adamu hakuwamwangalifu na akamruhusu Shetani kumjaribu yeye, Shetani angesababishayeye {Adamu} kuondolewa peponi na angebakia kwenye mateso,kwasababu hapa Duniani hangepata mahitaji yake.

Orodha hii ya baraka za Pepo, inasadikisha fikira kwamba neno‘Dhulma’ lililotumika kwenye aya ambazo zimetajwa kwenye kurasa zamwanzo pia inamaanisha kuja kwenye maangamizi si dhambi.5. Hivyo Adamu hakumtii Mola wake, na alikubali kushawishiwa.Maneno yaliyotumika ni: { } ‘asa’ na { } ‘Ghawa: maana halisiya (ar) { } ‘asa’ ni hakutii na maana halisi ya { } ’Ghawa’ ni:

Page 13: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

34 35

{1} Alipotea njia{2} Alivunjika moyo{3}Alikufa.Kutotii si lazima iwe dhambi. Kwa sababu kama amri ilikuwa katika

mfano wa ushauri, kitendo cha kutoitii hakiwezi kuwa dhambi. Nanimekwisha eleza kwenye kurasa za nyuma kwamba amri ya Peponi siwezikuchukuliwa kama Wajibu Haramu.

Sasa tunaweza tukatafsiri kwa hadhari; Adamu hakufuata ushauri waMola wake, na akavunjika moyo, na kufumbuliwa macho.

16. MITUME WENGINE

Mtume Musa amenukuliwa kwenye Qur’an akisema ifuatavyo:{Farao alipo mshutumu kwamba yeye {Musa} alimuua Mmisri mmoja, nakwa hiyo alikuwa mtu asiye na shukrani} “Nilifanya hivyo bila kutambua.”{Qur’an 26: 20}.Neno lililo tumika hapa ni { }Dhalleen, ambalochimbuko lake ni kwenye neno{ } “Dhalla.” Maana yake ni

{1} Kusahau njia{2}Kushangaa na kwenda huku na huko{3}Kupotea wakati wa kutafuta kitu ama kitu kile kiwe kizuri au kibaya{4}Kupotosha ukweli {5}KuangamizwaMtume Musa alipotumwa na Mungu kwa Firauni, Firauni

alimkumbusha Musa kuhusu tukio hilo. Hata kwa kiwango cha serikali zahapa duniani hilo halikuwa kosa la kuua. Bado Musa alitumia neno Dhall{ }kwa kujitetea. Hakuna haja ya kudhani kwamba alikuwa namaana kwamba wakati huo alikuwa kwenye njia potofu.’ Yeye anasema tukwamba hakuwa anazijua nguvu zake kabla ya hapo na alikuwa hatambuikwamba ngumi yake moja ingemuua mtu yule.

Zipo rejea zingine tatu au nne za namna hii kuhusu mitume wengine.Kwa sababu kwenye paragrafu zilizotangulia nimetoa maana zote za manenoyaliyotumiwa kwenye aya hizo, sasa unaweza kutumia uamuzi wakoutakapokuwa unatafuta maana za maneno hayo.

17. TARK-UL-AWLA

Kama hii haikuwa dhambi, kama ambavyo nimeeleza mpaka hapa,kwa nini Mungu ametumia maneno makali namna hiyo? Kuna mstari kwenyemashairi ya lugha ya U’rdu; ambayo maana yake ni: “Watu mashuhuri,matatizo yao ni makubwa zaidi.” Sisi watu wa kawaida tunaweza tukadharauushauri {si amri} ya Mungu mara kadhaa kwa siku moja na inawezekanausihesabiwe kuwa ni makosa dhidi yetu. Kwa nini? Kwa sababu uadilifuau kipimo chetu katika masuala ya dini kinachotegemewa kutoka kwetuhakitiliwi maanani . Lakini mtume ni khalifa wa Mungu, yupo karibu naMungu, hupokea wahyi na hupata mwongozo kutoka kwa Mungu. Munguanataka yeye {mtume}awe mfano ulio bora. Halafu kama akitenda kwajinsi ambavyo hata kama tendo hilo si dhambi, tabia hiyo haitaendana nadaraja la juu la mitume, Mungu anatumia maneno hayohayo ambayo kwakawaida hutumika yanayotumiwa kuelezea kwa watu wa kawaida ambaowangefanya dhambi. Ni kinyume na hadhi yao kubwa kupuuza hata dalilindogo ya ridhaa ya Mungu. Si dhambi; lakini ni sharti wasijiingize kwenyematendo ambayo yanafanana na dhambi.

Na endapo wanafanya matendo kama hayo, huitwa Tark-ul-awla{kuacha kilicho kizuri zaidi.} Yaani wao {mitume} wameacha njia iliyonyooka ingawaje hawakupotoka. Neno hili linajumuisha hali yote kwaujumla.

Na maneno haya magumu vile vile hufaa kwa madhumuni mengine:yaani kuvutia akili za waumini kwamba pale Mtume anapowekwa katikahali ngumu kama hiyo kwa sababu ya tendo dogo ambalo wala si dhambiau kosa ni kiasi gani tutapambana kujizuia kutokana na kufanya dhambi namakosa? Mtu yeyote anayesoma Qur’an kwa uangalifu ataona kwambamaelezo hayo hutumiwa kila mara kama mfano kwenye hotuba.

Page 14: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

36 37

18. ISMAT YA MTUKUFU MTUME WETU

Sasa tuziangalie aya fulani mahsus zinazo mhusu mtukufu Mtume wetu.Aya ya kwanza: “Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni

uchafu , enyi Watu wa Nyumba ya mtume, na kukusafisheni barabara.”{Qur’an 33:33}.

Aya ya pili: “Na anachokupeni Mtume chukueni , na anachokukatazeni jiepusheni nacho.” {Qur’an 59:7}. Maana yake ni kwambaruhusa au katazo la Mtukufu Mtume wakati wote lilipendwa na Mungu.Je! kuna mtu anayeweza kuwa na uhakika kuhusu amri za mtu ambayehana kinga ya kutenda kosa?

Aya ya tatu: “Sema: Ikiwa ni nyinyi mna mpenda Mwenyezi Mungubasi nifuateni mimi; Mwenyezi Mungu atakusameheni na atakufutienimadhambi yenu. {Qur’an 3:31}. Hapa mapenzi ya Mungu yametegemezwakwenye kumfuata Mtume wa Uislamu. Pande zote mbili za mapenzi zimejumuishwa humo. Kama unampenda Mungu, mfuate Mtume, Munguatakupenda wewe. Je! hili lingefikirika kama Mtume asingeepushwa nakila aina ya dosari?

Aya ya nne: Sio tu matendo yake , lakini hata maneno yake yalikuwaamri za mungu. Mungu anasema katika Qur’an; “Wala hatamki kwamatamanio yake. Hayakuwa haya ila ufunuo ulio funuliwa; {Qur’an 53:3-4} Hapa tunakumbushwa kuhusu utabiri wa Mtume Issa {a.s.}ulioandikwakwenye Biblia {Agano jipya} Kitabu cha Yahya, 16:7-13:

“Ni kwa manufaa yenu kwamba niende zangu; kwa kuwa kamasikuondoka Msuluhishi hatakuja kwenu--------kwani hatasema manenoyake, bali yote atakayoambiwa ndio atakayo sema------------”

Aya ya tano: Zipo aya kadhaa ambamo maneno yafuatayo yametumikakwa ajili ya Mtukufu Mutme: “Mtume kutoka miongoni mwao --------------kuwatakasa wao na kuwafundisha Hekima”. {Qur’an62:2}Ingewezekanaje mtume kuwatakasa watu wengine wasiwe na dhambina dosari kama yeye mwenyewe hakutakasika? Ingewezekanaje mtukuwafundisha wengine hekima kama yeye hakuwa na hekima yakutofautisha tendo jema na ovu, au baya zaidi, awe hana uwezo wa ujasirikukataa kufanya dhambi wakati anajua. Kazi ya mtume ilikuwa

kuwafundisha watu yale yaliyomo kwenye Kitabu cha Mungu; Inamaanishakwamba alikuwa anajua amri za Mungu. Aliwatakasa na kuwafundishahekima: inamaanisha kwamba {mtume} alikuwa na hekima na utakaso. Mtuanaweza kuitwa mwenye hekima kama alijua yale yaliyokatazwa naMwenyezi Mungu na bado akayatenda?

Aya ya Sita: Usadikisho wa ukamilifu wa tabia yake umo ndani yaQur’an ambayo inasema: “Hakika, wewe ni mbora wa tabia njema.” Mtuanayefanya makosa hastahili sifa hizo. Aya hizo na zingine nyingi za Qur’anzinaonyesha kwamba Mtukufu Mtume wa Uislamu alikuwa hana dhambikabisa na Masum.

19. BAADHI YA AYA ZILIZO TAFSIRIWA KIMAKOSA

Baadhi ya aya fulani ndani ya Qur’an zinazohusu Mtume wetu,zimetafsiriwa isivyo kabisa na Waislamu na wasio Waislamu.

Aya ya Kwanza: Zipo aya tatu kwenye Sura ya 93, zisemazo: “Kwanihakukukuta yatima akakupa makazi? Na akakukuta umepoteaakakuongoa? Akakukuta mhitaji akakutosheleza? {Qur’an 93:6-8}.

Mtume wetu, alikuwa mtoto yatima; baba yake alifariki alipokuwana umri wa miaka 6, babu yake alifariki alipokuwa na umri wa miaka minane{8}. Hatimaye alilelewa na mjomba wake Abu Talib. Kwenye sehemuzote ambazo zimetajwa alijikuta anapendwa zaidi na kutunzwa kwauangalifu zaidi kuliko vile ambavyo angefanyiwa na baba. Kwenye aya ya6 Mwenyezi Mungu anamkumbusha Mtume kuhusu Neema zake ambazoalipewa kupitia kwenye nyumba ya Abdul Muttalib na Abu Talib .

Mtume alikuwa mtu fukara, lakini baada ya kumuoa bibiKhadija{mmoja wapo wa wanawake wanne wateule hapa duniani, kufuatanana hadithi za Mtume}, mapenzi safi ya uaminifu yaKhadija sio tuyalimnyanyua kutoka kwenye uhitaji, lakini yalimfanya asitegemee mahitajiya vitu vya kidunia katika maisha yake ya akhera. Kwenye aya ya 8 Munguanamkumbusha Mtume kuhusu Neema zake kupitia kwa khadija.

Katikati ya hizi Neema mbili, Anamkubusha Mtume kwamba alipoteana Mwenyezi Mungu akampa mwongozo. Neno lililotumika ni Dhaall{ } na maelezo yametolewa huko nyuma kwamba ‘Dhaall’

www.allamahrizvi.com

Page 15: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

38 39

{ } maana yake nyingine miongoni mwa maana zake nyingi nikupotea; “kwenda huku na huko akitafuta ukweli na akampa yeyemwongozo.” Hakuna uhusiano wowote wa dhambi na kosa kwake Mtume.

Lakini hata kama tukisisitiza maana ya “kupotea”, haina maanakwamba Mtukufu Mtume alipotoka. Ibn-e-Abbas na Imamu Raza {a.s.}wote wameitafsiri aya hii kuwa na maana ifuatayo: “Ulipotea miongoni mwawatu wako {watu wa Makka hawakujua nafasi yako halisi miongoni mwaona ubora wako wa kiroho}, kwa hiyo aliwaongoza {wao wakujue}.”

Maana hii inaafikiana sio tu na akili na aya nyingine zilizo tajwa hapojuu, lakini aidha inaendana na aya ya pili ya Sura ya 53 ambayo inasema: “Mwenzenu huyu hakupotea {yaani Mtukufu Mtume}wala hakukosea.

Aya ya Pili: Aya zingine zina muamrisha Mtume kuomba msamaha:“Na omba msamaha kwa dhambi yako-----------” {40:55}: Ili MwenyeziMungu akusameha makosa yako yaliyo tangulia na yajayo.” {48:2}.

Maana yake ya kweli itaeleweka wakati tunapokumbuka kwambaUtukufu uliotukuka wa Allah kwa mujibu wa Uislamu, uko nje ya mawazoya binadamu. Hapana yeyote, hatamkamilifu vipi, anaweza kufikiri, katikaulimwengu wa Kiislamu kwamba amekamilisha mapenzi yake na utiifu wakekwa Mungu. Hivyo, Mtukufu Mtume wetu alikuwa akisali usiku kuchahadi miguu yake ilivimba kwa sababu ya kusimama wakati wa sala, na Mungukwa mapenzi yake ya Wema Wake alimwambia: “HatukukuteremshiaQur’an ili upate mashaka.” {20:2}. Bado Mtume alisema: “SikukuabuduWewe kwa kiwango kinacholingana na UboraWako.” Na: “Sikukuabuduwewe kwa kiwango cha kulingana na Ukamilifu wako.” Hapa hakuna sualala kutenda dhambi. Lakini kuna hisia itokayo kwenye Mapenzi ya kweli yaMwenyezi Mungu, kwamba mtu hamfanyii Mungu kwa utoshelevuunaostaili, mtu hafanyi kile kinacho weza kuonekana kinalingana na darajala juu sana la Muumba Mwenye Uwezo Usio Wezwa. Ilikuwa ni kwasababu ya hisia hii, Mtume {na Maimamu } walikuwa “wakitubu” kwaMwenyezi Mungu kwa ajili ya “dosari zao.” Lakini, kwa hakika hapakuwepona dosari yoyote.

Aya ya Tatu: Aina ya tatu ya aya ni zile ambamo Qur’an inatumiamtindo wa “Nina kwambia wewe lakini nataka jirani asikie.” Maana yake

ni kwamba kusisitiza jambo, Mungu anapeleka karipio moja kwa moja kwaMtukufu Mtume, ambapo kwa hakika mada hiyo haimhusu yeye kabisa.Kwenye aya kama hizo, ingawaje inaonyesha kwamba anaye ambiwa madahii ni mtu mmoja, lakini, inawahusu Waislamu wote.{au jamii yote yawanadamu} kwa ujumla. Mfano: “Kama ukimshirikisha Allah matendoyako mema yataangamia...........” {39:65}.

Hili ni onyo kwa wanadamu wote sio karipio lililoelekezwa kwaMtukufu Mtume, ambaye hakutenda dhambi ya kumshirikisha MwenyeziMungu. Aya kama hizi haziwezi kutumiwa kuonyesha kwamba MtukufuMtume alifanya dhambi, Mungu apishe mbali. Aya hizi zilipelekwa kwake{Mtukufu Mtume}, lakini zilikuwa zina lenga umma wa Kiislamu.

SEHEMU YA TATU

20. UTABIRI KUHUSU MTUKUFU MTUME.

Kwa kuwa Mtukufu Mtume wa Uislamu alikuwa alete dini ya wotewakati wote kwa ajili ya wanadamu wote na kwa kuwa dini ile ingeendeleakudumu hadi mwisho wa dunia, Mitume wote wa kanda zote za duniawaliwataarifu wafuasi wao kuja kwake na waliwaambia watu wao kukubalidini yake bila ya shaka. Katika mifano mingi, vile vile mitume hao walitoamaelezo marefu kuhusu utu wake binafsi na maisha yake ya familia, ili watuwaweze kumwelewa kwa urahisi.

Haiwezekani kutaja katika kitabu hiki kidogo utabiri wote kutokakwenye vitabu vyote. Lakini, ninataka kuorodhesha hapa utabiri mchachekutoka kwenye vitabu vya dini ya Hindu, Yahudi na Ukristu.

Ni muhimu kusema kwamba habari njema kuhusu kuja kwa MtukufuMtume wa Uislamu. Baadae zilifuata habari za maelezo ya watu wa familiayake ambao wangekuwa warithi wake. Nimetoa, maelezo kamili kuhusubaadhi ya utabiri huo ili kusisitiza ukweli wake. Lazima itamkwe kwambabaadhi ya vitabu vyenye manufaa kuhusu somo hili viliandikwa mnamokarne za nyuma.

Miongoni mwa utabiri huo muhimu ni :1. Mir-aal-ul-Makhlu-quat, kitabu kilicho andikwa na marehemu

Page 16: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

40 41

Molvi Abdur-Rehman Chisht wa India . Kitabu hiki kiliandikwa 1041{A.H.}. Yalioyomo humo ni tafsiri kutoka kwenye sehemu muhimu zavitabu vitakatifu vya Hindu.

2. Basha at-e-Ahmadi-kilichoandikwa na Molvi Abdul-Azizi waLucknow India.

3. Anisul-Aalam, kilichoandikwa Fahrul-Islamu, Mohammad Sadique.Huyu alitoka Armenia na kabla ya hapo alikuwa , mchungaji wa Kikristu.Alijua Kilatini, Kigiriki, Kiebrania, Ki-Armenia, Kiajemi na Kiarabu.Aliukubali Uislamu kwa sababu ya kutafuta maana ya neno Parcletos ambayekuja kwake kumetabiriwa kwenye “Injili” ya Mt. Yohana. Aliridhikakwamba neno hilo lilimaanisha Mtukufu Mtume wa Uislamu.

Kitabu hiki kilikuwa na juzuu mbili ambacho kiliandikwa lugha yaKiajemi, kilichapishwa mwaka 1891 A.D. Ni hazina ya utafiti kwa wotewale wenye utashi wa elimu ya kulingania dini, na takriban vitabu vyotevilivyo andikwa baadaye vilitegemea juu ya kitabu hicho ingawaje ni watuwachache wamelitambua deni hili.

Utabiri ulio orodheshwa hapa umenukuliwa kutoka kwenye vitabuvifuatavyo:

21. BARM UTTAR KHAND.

Barm Uttar Khamd ni kitabu cha dini ya Hindu. MarehemuAbdurrahman Chishti {Karne ya 11 A.H.}alikitafsiri katika lugha ya Urdu,kwenye kitabu cha Miraatul-Makhlu-uaat. Kufuatana na kitabu hiki, mtumashuhuri wa Hindu Avtar, aliyejulikana kwa jina la Mahaden alimuambiamkewe, Parbat, matukio yote ya siku za usoni, ambapo walikuwa juu yamlima wa Kailash Parbat, na Bishist Muni mwanafunzi wake, aliandika utabirihuo. Sehemu muhimu zimetafsiriwa hapa kutoka kwenye Muqa-ddamaAnwarul-Qur’an {na marehemu Maulana Sayyid Rahat HusainGopalpuni,uk:40-43.} Mahadewji anasema:-

Baada ya miaka elfu sita, Mungu Mwenye Uwezo Usio Wezwaatamuumba mtu wa ajabu miongoni mwa wana wa Adamu huko Mundarnesehemu iliyoko kati ya bahari {a}------------Ewe Parbati, atatoka kwenyekiuno cha Kant Bunjto; {b} na yeye Abdullah angesoma Vitabu Vitatu: na

angeacha kusoma kitabu cha nne baada ya kusoma ‘Ali,Lam, Mim--------. Ewe Parbati, yeye {Abdullah}angekuwa mkubwa wa kabila lake ,watu kutoka vijiji vyote watakuja kwake na kumfuata {Mtoto wa kiumewa Abdullah}hataogopa viumbe; atakuwa jasiri sana na atakuwa na elimuya Mwenyezi Mungu, na jina lake ataitwa MAHAMAT! na ata waambiawatu wake kwamba : Nimeambiwa na huyu Muweza na {Mungu} Mmojatu kutojihusisha na ibada za kipumbavu; na simwelekei mwingine isipokuwaMwenyezi Mungu; kwa hiyo, sharti mnifuate mimi.” Ewe Parbati, Mahamatatafundisha sheria yake mwenyewe kwa viumbe vyote, kwa kubatilishanamna zote za ibada na sheria zote za zamani; na atajaribu kuwafanya watuwote wamfuate yeye . Palepale, watu wengi wasio hesabika wataingiakwenye dini yake, na wengi wao watafika kwa Mungu. Na kama watuwanavyotumia muhula wetu wa Sakh, hivyo hivyo, watu watatumia muhulawa MAHAMAT hadi mwisho wa kaljug {muhula wa mwisho.} {e}--------Ewe Parbati, baada yake {baada ya kifo cha mtoto wa kiume waMuhammad}atampa {f}Mahamat mtoto wa kike ambaye atakuwa mborazaidi kuliko watoto wa kiume 1,000 na atakuwa na sura ya kuvutia sana nahakuna atakaye lingana naye, na atakuwa mbora wa kumuabudu Mungu.Kamwe hatatamka tamko ovu, na atapewa kinga ya kutofanya dhambiyoyote -kubwa au ndogo; na kupitia kwa baba yake atafika karibu sanana Mungu. Huyu Muweza Asiye Wezwa {Mungu} atampa mtoto wa kikewa Mahamat {a} watoto wa kiume wawili ambao watakuwa na sura nzuriwapenzi wa Mungu, Wenye nguvu, watakuwa na elimu kuhusu Mungu,jasiri, shupavu na matendo yao mema hayatalinganishwa na yeyote. NaMuweza Asiye Wezwa hata umba baada yao mtu yeyote mwenye ukamilifukatika mambo mema ya siri na yanayojulikana.

Watoto hao wa kiume wa Mahamat watashika uongozi baada yake;na watazaa watoto wengi sana; na watawaingiza watu kwenye dini yaMahamat siku hadi siku kwa kutumia hoja zao za kweli; na watatia nurukwenye dini ya Mahamati. Na Mahamat atawapenda wao kuliko watuwake wote, hatakuzidi mtoto wake wa kike. Na watoto hawa wa kiumewatakuwa wabora sana katika kuifuata dini ya Mahamat; hawatafanya kaziyoyote kwa kujifurahisha wao wenyewe na matamshi na matendo yao,

Page 17: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

42 43

yatakuwa ya kumfurahisha Muweza Asiye Wezwa.Ewe Parbati, miaka michache baada ya Mahamat watu fulani waovu

watawaua wajukuu hawa wa Mahamat bila ya sababu yoyote ya msingi;itakuwa ni sababu ya tamaa ya kidunia ; baada ya kifo chao, dunia yotehaitakuwa sikivu. Wauaji wao watakuwa wapagani wa ‘Maliksh’ ambaowatalaaniwa hapa duniani na akhera; watu hawatampenda Mahamat nawatoto wake wa kiume. Watu wachache tu watabaki kwenye njia yaMahamat. Walio wengi watafuata njia ya watu walio waua watoto waMahamat; lakini kwa udanganyifu watajionyesha kuwa wafuasi waMahamat, na katika siku za Kaljing {siku ya mwisho } watakuwepo wanafikiwengi na watasababisha usumbufu duniani pote.

Baadaye Mahdewji anatoa maelezo kuhusu kutokeza kwa ImamMahdi, kuja kwa kijana na kufika kwenye Pepo ya Bibi Fatima pamoja nawafuasi wake.

{a}Bara Arabu imezungukwa na bahari kwenye pande tatu.{b}Kant Banjhi maana yake ni : Mtumishi wa Mungu ambayo kwa

Kiarabu nii “Abdullah” Abdullah ni jina la baba wa Mtukufu Mtume.{c}Sank Rakhiya maana yake ni: “Amani” ambayo Kiarabu ni Amina.

Jina la mama wa Mtukufu Mtume ni Amina.{d}Linganisha na aya ya Qur’an:Sema: Nimeamrishwa nimuabudu Mwenyezi Mungu , na wala

nisimshirikishe. Kuendea kwake yeye ndiyo ninaita, na kwake yeye ndiomarejeo yangu. {Qur’an 13:36.}

{e}Yaani: Wakati wa Hijiriya.{f}Fatuma, Bibi wa pepo, Mkuu wa wanawake wote.{g}Imamu Hasan {a.s.} na Imamu Hussein{a.s.}.

22. KALKI PURAN

Kwenye vitabu vingi vya Hindu, kuja kwa mitume kumi. Hadi sasatisa wamekwisha kuja na wa kumi anangojewa na dhehebu la Hindu. Jinala huyu Mtume wa kumi ni Kalki Avatar” {Mtume Kalki}.Maelezo naishara, zilizomo kwenye vitabu huafikiana na zile za Muhammad Mustafa{s.a.w.w.}

Kalki Puran ni miongoni mwa vitabu vitakatifu vya dini ya Hindu.Imeandikwa kwenye kitabu hiki kwamba sababu ya mtume huyu kuitwa“Kalki””Avatar” ni kwamba atatakasa nyoyo za watu, {Kalki=kutu na giza},na atashinda hila zote.

Imeandikwa pia kwamba watu wake watakuwa wachaji Mungu.Jina la baba wa Mtume wa Kalki linaandikwa; “Vishnuais” maneno

mawili yameunganishwa, Vishnal {Mungu}; na ais {Mtumishi};yakiunganishwa pamoja maana yake inakuwa {Mtumishi wa Mungu}. Hiipia ni maana ya Abdullah ambalo ni jina la baba wa Muhammad Mustafa{s.a.w.w.}

Jina la mama wa Mtume wa Kalki ni “Sonti” na maana yake ni“Anaeaminiwa” na jina la mama wa Mtume Mohammad ni Amina ambalopia maana yake :“Anayeaminiwa.”

Zaidi ya haya, imeandikwa kwamba Mtume Kalki atakuwa na kakawatatu na majina yao ni haya yafuatayo:-

KAVI SAMATI NA PARAK.

{i}Kavi maana yake ni “mwenye hekima” na maana nyingine ni “Aqil”{ii} Samati maana yake ni “ujuzi” na maana nyingine ni “Jaafar”{iii}Parak maana yake ni “Yule aliyeko Cheo cha juu” na maana

nyingine ni “Ali.”Aqil, Jaafar na Ali walikuwa binamu watatu wa mtume Muhammad

Mustafa {s.a.w.w.}.Mahali alipozaliwa Mtume wa Kalki ni: Shambhal Nagani--jina

ambalo imepewa sehemu ya Hejwa huko Arabuni. “Shambhal”inamaanisha “Mchanga” na “Shambhal Nagari” maana yake ni; nchi yenyemchanga au “jangwa” ambalo ni sawa kabisa na bara Arabu.

Kuhusu Mtume wa Kalki vile vile imetaarifiwa kwamba ataabuduakingali pangoni. Ni jambo lijulikanalo sana katika ulimwengu wa Kiislamukwamba Muhammad Mustafa {s.a.w.w.} alipokea “ufunuo” wake wa kwanza kwenye pango la mlima Hira-- kilima cha jangwani naambapo palikuwa mahali pake teule karibu na makka alipokuwaakijipwekesha kwa madhumuni ya ibada.

Page 18: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

44 45

Zaidi ya hayo kwenye “Kalki Puran,” imeandikwa kwamba atapataelimu kupitia “Prash Ram” anayo maanisha “Roho ya Mungu.” Inaelewekadhahiri kwa Waislamu kwamba alikuwa Malaika Jibril ambaye alileta“ufunuo” wa kwanza kwa mtume Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}hapokwenye pango la Mlima Hira. Jibril ameitwa Ar-Ruh-ul-Amin {Rohoiliyo aminiwa} katika Uislamu.

Maandishi yanaendelea tena kwamba mtume wa Kalki atamuoa bintiwa Mfalme wa Shambhal Deep. Hivyo Mtume Muhammad alimuoamwanamke tajiri zaidi katika Bara Arabu, aliyeitwa Khadija.

vile vile imeandikwa kwamba mtume wa Kalki atahamia kwenye vilimavya Kaskazini. Hivyo , kwa amri ya Mungu, Mtume MuhammadMustafa{s.a.w.w.} alihama Makka na kwenda Madina iliyoko Kaskazini.

23. KUTOKA KWENYE VITABU VINGINE

Marehemu Molvi Abdurrah-man Chishti amenukuu maandishi mengikutoka kwenye Puran zingine na katika Veds. Baadhi yametafsiriwa hapakutoka kwenye Muzzaddama Tafsir Anwarul-Qur-an:-

{a} Athruben Ved: Lailaha Harni papan Illallah Param padam JanmBaikunth Birap newti tojane nam Muhammadam.

Tafsiri: Inasema: ‘La Illah’ huondoa dhambiInasema: Illallah huweka Paun Padwi

Kama unataka Pepo daima milele Kila mara kariri jina la ‘Muhammad’

{b}Mwanzilishi wa Arya Samaj, Dyanand Sasswati, alikubali kwenyekitabu chake, Satyanth Parkash { Sura ya 14: uk. 739} kwamba AllooUpnishad ametaja jina la Muhammad kama Rasul. Anaafiki kwamba mtummoja, wakati wa utawala wa Akbar {Mfalme wa Moghal}, lazima atakuwaamekiongoza kwenye Athrubin Ved. Halafu anaandika: Mtu mmoja anawezakusema kwamba unawezaje kudai hivyo ambapo, hakuna mtu ambayeamesema au ameandika hivyo siku zote hizi; tunawezaje kukubali madaiyako {ya nyongeza ya baadae}, bila ya uthibitisho wowote? Lakini madaihayawezi kuwa na makosa kwa kutokubaliwa na yoyote.Madai yaliyojena uthibitisho ulioje!

{c} Bhonik Ultar Puran; Vyas Rishi, mwandishi wa Ramayanameandika kwenye Bhonik Puran: Siku zijazo MAHAMAT atakuja; nidalili yake kwamba wingu lile mara nyingi litamlinda asipatwe na joto la jua;mwili wake hautakuwa na kivuli, nzi hatatua kwenye mwili wake; duniaitakuwa ndogo kwake kwani atasafiri masafa marefu kwa muda mfupi}chochote kile atakacho chuma, atatumia katika njia ya Mungu, na yeyeatakula kidogo tu ----Yeyote atakaye kifuata kitabu hicho {Qur’an } atafikakwa Mungu. Wakati huo hapatakuwepo na njia nyingine ya kumfikia Mungu.

24. POTHI RAM SING RAM

Kitabu hiki ni mojawapo ya vitabu - Puran 18. Mwandishi wake niVyas Rishi. Kimetafsiriwa katika Bhakha na Goshain Tulsi Das. Katikakhondi yake ya 12, Kandi 6 Tulsiji ameandika ifuatavyo:

Katika nchi ya Arabuni, mwelekeo wa Nyota ya Ijumaa ni mzuri nanyota hiyo ipo nchi ya Magharibi ambayo inapendeza na tukufu sikia EweKhag Raj {Kiongozi wa kunguru.}

“Patatokea miujiza na Khalifa wa Mungu ataasisiwa.”“Atazaliwa mnamo karne ya saba ya Biokanun Samvat; mfano wa

miezi minne inayochomoza kwenye giza nene.”Atawaogopesheni kwa amri ya Kifalme, na atawaonyesha upendo

na tabia. Na atahubiri dini yake kwa wote.“Makhalifa wanne wa Mungu wenye busara watakuwa watumishi

wake, ambao kwao kizazi chake kitaenea.” Asili yake ni kama ifuatavyo:“Chitaa Sundaram sat chare,Tan kar bans huwe bahubhare”{Hii ina mhusu Ali, Fatma, Hassan na Hussein a.s.} Utukufu wake

utakuwa kama bahari isiyokuwa na mpaka, na dini yake itasambaa mfanowa moto usambaavyo kwenye matanuru.

“Jinsi dini yake itakavyo endelea, yeyote anaye taka kufika kwaMungu, hatafika bila msaada wa Muhamad.” Asili yake ni:

“Tab lag sund asam chahe koe,Bina Muhammad par na hoe.”Waabuduo na mafukara watapata heshima kwa kukariri jina lake.

www.allamahrizvi.com

Page 19: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

46 47

“Enyi matajiri! mtu anayeacha kuabudu miungu wa oungo na anakubaliyeye, hatapatwa na mashaka.

“Atang’aa kama mwanga na atawang’aisha wengine. Cheche yakesi kama ile ya kugonganisha mawe ambayo huwasha moto mara chache.

“Jisalimishe kwa Mungu, ikiwa ni pamoja na ‘Radhi ya Mungu’ Ujuziwa Mungu, na kuwepo kwake, Maskani ya Roho, uumbaji wa binadamuna uumbaji wa Malaika, haya ni mambo manne katika dini hii.

“Watu wake watajitoa mhanga kwa ajili ya kumpenda Mungu nawataokoka, hivi ndivyo Veda isemavyo:

Halafu atatokea mtu mashuhuri ambaye ataitwa ‘Mehdi’Asili yake ni:“Tab hue nahak lank utara,Mahdi kahain shakal saisara.”Baada ya hapo hapatakuwepo kuzaana.” Inasema Tulsidas.Utabiri wote huu ulio dhahiri toka mwanzo hadi mwisho, unamhusu

Muhammad Mustafa {s.a.w.w.} Haujatumika kwa mtu mwingine, walawafuasi wa dini ya Hindu hawawezi kukanusha uthabiti wake.

25. AGANO LA KALE NA AGANO JIPYA

Sasa tuyaangalie maandiko ya Kiyahudi na Kikristo. Kabla ya kutajabaadhi ya utabiri kutoka kwenye Biblia, jambo moja muhimu lazimalidhihirishwe kwanza.

Ni kawaida ya Wayahudi na Wakristu kutafsiri hata majina ya watu.Hivyo, popote watakapo ona jina ‘Muhammad’ watalitafsiri’: asifiwaye;apendezae’ au mengine kama hayo. Desturi hii imewasaidia kuficha ukweliusijulikane duniani kwa sababu watu wakisoma tafsiri hii kamwehawatagundua kwamba sentensi hiyo, inataja jina la mtu. Sasa endapodesturi hiyo inafuatwa na wengine, mtu asiye jua Kiingereza atatafsiriwa jinaLivingstone kama jiwe lililohai. Halafu anafafanua kuhusu tafsiri hiyo nakuthibitisha kwamba mnamo karne ya 19 kwamba huko Ulaya maweyalikuwa na uhai, mojawapo ya mawe hayo lilikuja Afrika na likafika Kigomana Ujiji.

Nyongeza kwa hayo ni, mabadilko ya mara kwa mara yanayofanywa

na Wakristo kwenye Agano la Kale na jipya, halafu unaweza kutambuahali halisi ilivyo.

26. KITABU CHA MWANZO

Na tuanze na Kitabu cha Mwanzo . Nitatumia Biblia ya tafsiri ya‘King James’ Mfalme Jamse hadi mwisho wa sura hii:

Mwanzo 17:20, inasema kuhusu ahadi ya Mungu na Mtume Ibrahim:“Na kuhusu Ismail, Nimekusikia: Tazama, nimembariki yeye, na

nitaufanya uzao wake uongezeke, kwa wingi sana, watatokea maimamukumi na mbili kwenye ukoo wake, na nitamfanya taifa kubwa.”

Dua iliyotajwa kwenye sentense hii, imefafanuliwa kwa kirefu mahalipengi ndani ya Qur’an, na ina sema ifuatavyo:-

“Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipoinyanyua misingi ya ileNyumba wakaomba: Ewe Mola wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiyeMsikizi Mjuzi.”

“Ewe Mola wetu! Utufanye sisi tuwe ni Waislamu wenye kunyenyekeakwenye utashi wa Allah, na pia miongoni mwa vizazi vyetu wawe Ummauliosilimu Kwako. Na utuonyeshe njia za ibada yetu na utusamehe. Bilashaka Wewe ndiye Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu”.

“Ewe Mola wetu! Waletee Mtume anayetokana na wao awasomeeKitabu na hikima na watakase. Hakika Wewe ndiye Mwenye kusameheMwenye kurehemu.” (2:27-29)

Sasa tuyaangalie maneno ya Sura ya Mwanzo: katika muundo huuuliopo, sentensi hii inawataja Maimamu 12 tu. Lakini katika lugha yake yaasili inatamka waziwazi jina la Mtukufu Mtume. Katika Kiyahudi inasomekaifuatavyo:

inamaanisha “Nitamfanikisha na MADMAD na Maimamu 12 watazaliwakwake-------” Wafasiri ama kwa tabia au kwa lengo la kuficha ukweli,walitafsiri: “na uzao wake utaongezeka kwa wingi sana.”

Page 20: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

48

27. KUMBUKUMBU YA TORATI

Mungu alimuahidi Mtume Musa {a.s.}: “Bwana, Mungu wako,atakuondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zako kama nilivyo mimi,msikilizeni yeye.” {18:15}.

“Mimi nitawaondokeshea miongoni mwa ndugu zao mfano wakowewe nami nitatia maneno yangu kinywani mwake naye atawaambia yotenitakayo mwamuru. Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno yanguatakayosema yule kwa jina langu, nitalitaka kwake.” {18:18-19}

Wakristo hujaribu kuuhasisha utabiri huu Mtume Issa {a.s.}. Lakiniutabiri si wa mtu mwingine isipokuwa Mtume Muhammad Mustafa{s.a.w.w.} kwa sababu:-{1}Mtume alikuwa atoke miongoni mwa ndugu zao. Mtume yoyote

aliyetoka kwa Banuu Israeli hatajwi kwenye hizi habari njema. Sasa,kama tujuavyo, mtume Issa alitoka kwa Banuu Israel, ambapo MtumeMuhammad alitoka kwa Banuu Ismaili ambao walikuwa ndugu waBanuu Israel.

{2}Mtume alikuwa awe kama Musa’ Mtume Musa alipigana vita na MtumeMuhammad, pia aliwajibika kujitetea kwa kupigana vita. Lakini MtumeIssa kamwe hakupigana vita.

{3}Mtume Musa alikuwa na ndugu msaidizi Haruna ambaye baadaye ilishikanafasi yake. Hapakuwepo na ndugu wa aina hiyo kwa Mtume Issa;ambapo Mtume Muhammad alikuwa na Ali Bin Abi Talib ambayealimwambia: “Wewe kwangu ni kama Haruna alivyokuwa kwa Musaisipokuwa hapataletwa mtume mwingine baada yangu.”

{4}Mtume Musa aliuacha uongozi wa kidini kwa wana wa Haruna. MtumeIssa hakufanya mpango kama huo. Mtume Muhammad alifanya mpangokama huo kwa Umma wake kwa kuuacha Uislamu kwa Ali na watotowake, Hassan na Hussein.

{5}”-------na nitatia maneno yangu ndani ya mdomo wake, na atawaambiawatu yote yale ambayo nitamwamrisha kusema.” Sifa hii inaashiriaMtume Muhammad tu, kwa sababu Mtume Issa hakufanya dai kama

hilo, ambapo Mwenyezi Mungu alisema kwenye Qur’an kwa niaba yaMtume Muhammad.

Wala hatamki kwa matamanio. Hayakuwa haya isipokuwa ni ufunuo uliofunuliwa{Qur’an 53: 3-4}{6}Mtume Issa hakudai kwamba yeye alikuwa Mtume wa ahadi ambapo

Mwenyezi Mungu alitamka kufanana huku kati ya Mtume Musa naMtume Muhammad ndani ya Qur ‘an:

Hakika sisi tumemtuma kwenu Mtume aliye shahidi juu yenu, kamatulivyo mtuma Mtume kw a Firauni. {Qur’an 73:15}

{7}Mtume Issa hakudai kwamba alikuwa kama Musa, ambapo MtumeMuhammad alimwambia Ali Bin Abi Talib, “Wewe kwangu ni kamaalivyokuwa Haruna kwa Musa, isipokuwa hapatakuja Mtume mwinginebaada yangu.”

{8}Mtume Isa mwenyewe alisema kwamba mtume ambaye alikuwa anakujabaada yake angetimiza utabiri huu. Zipitie sentensi za Yohaya zifuatazo:-

“Hata hivyo, pale ambapo, Roho wa kweli, atakuja, atawaongozakwenye kweli yote, kwani hatasema maneno yake mwenyewe bali yaleatakayo yasikia ndio atakayo yasema.”

28. UTABIRI MWINGINE

A} KUMBUKUMBU LA TORATI.

Na yeye {Musa.}alisema; Mola alitoka Sinai na akaenda Seirmiongoni mwao akang’aa kwenye mlima Paran, na alikuja na watakatifuelfu kumi: kutoka mkono wake wa kulia ilitoka sheria kali.” {33:2}

Kuja kwa Mola maana yake ni kuja kwa Mwakilishi wa Mungu.Sasa, mtume wa Mungu aliyekuja kutoka Sinai alikuwa Mutme Musa {a.s.};na yule aliye toka Seir {mlima uliopo Palestina } ni Mtume Isa {a.s.}. NiMtume yupi aliyeng’aa kutoka mlima Paran? Paran ni mlima uliopoMaka. Mtume wa Mungu aliyeng’aa kutoka huko si mwingine isipokuwaMuhammad Mustafa {s.a.w.w.}.

49

Page 21: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

50 51

B} ISAYA

Mwimbie Mola wimbo mpya , na umsifu kutoka mwishowadunia.{42:10}

Kosa la siku nyingi la kutafsiri jina la mtu limesababisha utabiri huuusiwe na maana. Katika tafsiri ya Ki-Armenia, iliyoandikwa mwaka wa1666 na kuchapishwa mwaka 1733, inasema ifuatavyo: “ WanamwimbiaMola mwimbo mpya; na ufalme unaendelea baada yake; na jina lake niAhmad” {Sasa, jina Ahmed limetafsiriwa kumaanisha mwenye “kutukuka.”

Vyovyote vile, kufuatana na tafsiri hii ya makosa kwenye utabiri huuwimbo mpya kwa Mola maana yake ni : Sheria mpya kutoka kwa Mungu,ambayo inaendana zaidi na Mtume wa Uislamu; lakini si kwa Mtume Issa{a.s.}

C} HABAKKUK

Ufunuo wa Nabii Habakkuk unasema:Mungu alikuja kutoka Teman na Aliye Mtukufu kutoka mlima Paran.

Selah------jinsi yake ni ya daima milele.Sidhani kuna haja ya kufafanua utabiri huu ambao upo dhahiri.

Mwakilishi wa Mola ambaye alikuja kutoka Paran alikuwa MtumeMuhammad, na sifa zingine zote zinalingana naye bila shaka.

Allamah Fakhrul-Islam Muhammad Sadique {kabla ya hapo alikuwamchungaji wa Kikristu} ametoa maelezo kuhusu utabiri zaidi ya thelathini{30} kutoka Agano la Kale. Lakini, kwa sababu hiki ni kijitabu kidogo,nitaonyesha baadhi ya hizo.

29. KUTOKA AGANO JIPYA

{A} “MTUME HUYO”

Na haya ni maandishi ya Yahaya {yaani Yohana Mbatizaji}Wayahudi walipowatuma makuhani na Masadukayo kutoka “Jerusalem”wamuulize yeye alikuwa nani?

Na alishuhudia na hakukataa; lakini alishuhudia, mimi si Kristo.

Na wakamuuliza Wewe ni nani basi? Wewe ni yule Mtume ? Akasema,hapana.{ yohana 1:19-21}

Mazungumzo haya yanaonyesha wazi kwamba kipindi kifupi kablaya kuja Mtume Issa {Yesu Kristu}, Wayahudi walikuwa wanawangojeamitume watatu; Kristu, Eliasi na “Mtume huyo.”

Na Yohana aliposema kwamba yeye wala hakuwa miongoni mwamitume hao watatu. Na wakamuuliza, na wakamwambia, kwa nini unabatiza,Kama wewe si yule Kristu, wala Eliasi, ama Mtume yule?” {Yohana 1:25}.

Inaonyesha pia kwamba “Mtume yule”hadhi yake ilikuwa kubwa mnohivyo kwamba jina lake lilikuwa halitajwi Na kivumishi chake “Mtume”huandikwa kwa ‘M’ kubwa. Na kuja kwake kulieleweka sana hivyokwamba habari zake zinapozungumzwa inatosha kusema ‘Mtume yule’ nakuelewa yule anayesemwa.

Wanachuo wa Kiislamu bila kukosea wanasema kwamba ‘Mtumeyule humaanisha Mtume Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}, kwa sababu baadaya Mtume Issa {a.s.} hakuna Mtume mwingine aliyekuja na kufanana namaelezo hayo.

Na wanachuo wengi wanaamini kwamba Eliasi maana yake ni HazratAli {a.s.} ambaye aliteuliwa kuwa mrithi wa Mtukufu Mtume, MuhammadMustafa {s.a.w.w.}.

{B} “MFARIJI”

Mtume Issa {a.s.} aliwaambia wanafunzi wake 12: “Ni kwa manufaayenu kwamba niondoke; kwani kama sitaondoka Mfariji hatakuja kwenu,lakini endapo nitakwenda zangu nitamtuma aje kwenu. Na atakapo kuja,ataushutumu ulimwengu wa dhambi na wa uadilifu wa hukumu: wa dhambi,kwa sababu hawaniamini, wa uadilifu, kwasababu nitakwenda kwa Babayangu na hawataniona tena wa hukumu kwa sababu mfalme wa dunia hiiamehukumiwa.

“Bado nina mambo mengi ya kuwaambieni, lakini hamtayavumilia sasa.Hata hivyo, atakapo kuja yeye Roho wa kweli, atawaongozeni kwenyekweli yote: kwani hatasema kwa matamanio yake, lakini lolote lileatakaloambiwa, ndilo atakalolisema, na atawaonyesheni mambo yajayo siku

www.allamahrizvi.com

Page 22: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

52 53

za usoni.“Atanitukuza mimi: kwani atayapokea ya kwangu na atawaonyesheni.”

{Yohana 18:7-14.}.Rejea kama hizo zimeandikwa katika Yohana 14:26 na 15:26.Sidhani kama kuna haja ya kuelezea jinsi utabiri huu wa Mtume

Isa{a.s.} unavyolingana vizuri mno na Mtukufu Mtume wa Uislamu{s.a.w.w.}Upo utabiri zaidi ya thelathini uliotajwa kwenye “Anisul-Aalaam.”

Sasa unaweza kuelewa kwa wazi zaidi maana ya aya zifuatazo:“Wale tuliowapa Kitabu wanayajua haya kama wanavyowajua

watoto wao, na kuna kikundi katika wao huificha haki na hali wanajua”.{Qur’an : 2:146}

“Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii asiyesoma walakuandika wanayemkuta kaandikwa kwao katika Taurati na Injili ......”{Qur’an 7:157}

“........ na wao walikuwa wakitafutia ushindi kuwashinda makafiri-yalipowajia yale waliyo kuwa wakiyajua waliyakanusha -----” {Qur’an 2:89}

SEHEMU YA NNE

MAANA YA MUUJIZA

‘Muujiza { } katika lugha ya Kiarabu inamaanisha kile kinacholemaza; kile ambacho watu hawawezi kukifanya; Katika msamiati waKiislamu, ‘Muujiza’ { }maanayake: Tendo ambalo watu hawawezikulifanya na Mwenyezi Mungu huonyesha kupitia mikononi mwa Mtume auImamu ili kuthibitisha Unabii wa Nabii au Uimamu wa Imamu.

Miujiza hiyo inaweza ikatokea ama kabla au baada ya kuzaliwakwa Mtume au Imamu mhusika, ama wakati wa utoto wale au baada yabaleghe; ama kabla ya kutangaza Unabii au Uimamu wake au baada yatangazo hilo au mara tu baada ya dai hilo, ama wakati wa uhai wake aubaada ya kifo chake; au mwilini mwake au kwenye vitu vyenye uhusianonaye kama, nguo, nyumba, au kaburi. Haitofautiani kwa vyovyote vile amamuujiza huo unaonekana kuwa wa Mtume husika au wa Mungu.

Kwa namna yoyote ile tendo linalothibitisha ukweli wa madai ya Unabiiau Uimamu linaitwa Muujiza.

Mitume walipewa muujiza kuwa kitambulisho chao. Muujiza ni mamboambayo yanaweza kufanywa lakini yanafanyika bila nyenzo, dawa auvitendo. Lakini, Mtume hufanya muujiza bila kujishughulisha kwa namnayoyote au kutumia mashine. Kuwaponya vipofu au wenye ukomainawezekana kabisa. Lakini Yesu Kristu {Issa a.s.}aliyafanya bila dawa,na huo ulikuwa muujiza wake. Muhammad alifanya miujiza isiyohesabika,lakini mkubwa zaidi kuliko yote ni huu unaoendelea kuonekana hadi leoyaani QUR’AN.

31 TOFAUTI BAINA YA MUUJIZA NA MAZINGA-HOMBWE

Inajulikana kwamba watu wengi kama wachawi, wanajimu,mazingahombwe, yoga na watu wapumbazao akili hufanya mambo mengiyasiyo ya kawaida ambayo hayawezi kufanywa na watu wa kawaida naambaye huwashangaza hata watu wenye akili. Inaweza kuletwa hojakwamba Muujiza ni sawa na haya mazingahombwe. Je kuna kipimochochote ambacho chaweza kutumika kuonyesha tofauti baina ya Muujizana mazingahombwe, pumbazo la akili na kadhalika?

Yapo mambo machache yanayoonyesha kwa urahisi tofauti kati yaMuujiza na mazingahombwe na kadhalika.

Kwanza kabisa Muujiza kazi yake ni kuthibitisha ukweli wa madai yaUnabii au Uimamu. Kwa hiyo, ni muhimu kwamba mtu anayeonyeshaMuujiza lazima adai ama Unabii au Uimamu katika maisha yake.

Pili; Mtu anayeonyesha Muujiza lazima atangaze kwamba Muujizaule ni uthibitisho wa ukweli wa madai yake.

Tatu; Muujiza usizidiwe kwa namna yoyote na jambo lingine lisilo lakawaida ambalo limefanywa na mtu huyo huyo anayedai Unabii au Uimamu.Kwa usemi mwingine, Muujiza lazima uwe jambo ambalo lipo mbali nawatu wa wakati huo na jambo hilo halitakiwi kuhojiwa na nguvu yakekuzidiwa na tukio lingine ambalo halitatokana na anayedai Unabii au Uimamu.

Nne; Sheria na dini ambavyo mtu huyo anadai amevileta kutoka kwaMungu lazima vilingane na fikra za watu wenye hekima wa wakati wa uhai

Page 23: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

5554

wake vikiwa kwenye msingi wa ubora na mantiki.Tano; Mtu huyo anayedai Unabii au Uimamu lazima afuate na

kushikamana na kanuni na taratibu za sheria hiyo yeye mwenyewe.Sita; Uadilifu, wema na maisha ya kijamii ya mtu anayedai kuonyesha

Muujiza lazima yawe ya daraja la juu kwa ubora ikilinganishwa na maishaya watu wa kawaida kwenye kipindi cha uhai wake.

Saba; Tabia yake katika faragha isitofautiane na ile ya hadhara; maishayake ya faragha na hadharani yasiwe na dosari itakayosababisha kulaumiwa.

Nane; Changamoto dhidi ya Muujiza huo lazima na ukomo wa isiwemipaka ya muda. Lazima iwe na nguvu hiyohiyo kipindi chote cha uhai wamtu anayedai Unabii au Uimamu.

32. AINA GANI ZA MUUJIZA ZILIZOFANYWA

Kwa kuwa madhumuni ya Muujiza ni kuwashawishi watu waaminikwamba mambo hayo hayawezi kutokea bila ya mamlaka ya MunguMwenye Enzi, ilikuwa muhimu kwamba Muujiza lazima uzidi nyanja zote zaujuzi au taaluma ambayo ilikuwa ya juu sana katika kipindi cha Mtume auImamu mhusika. Vinginevyo, watu hawange kubali kwamba Muujizaulikuwa hakika wa kiwango cha juu kuzidi uwezo wa binadamu. Mathalan,kwenye jamii ya watu wasioendelea yaani hawajui hata kutengenezagurudumu la mbao, mtu anakuja na baiskeli na kusema, “Huu ni Muujizawangu mimi hupanda baiskeli hii na kutembelea sehemu nyingi;” watuwanaweza kupumbazwa kwa urahisi sana. Lakini endapo mtu kama huyoanakuja kwenye jamii ya watu wenye viwanda, hata kama akionyesha Roketi,hakuna mtu atakaye amini.

Ili kuwafanya watu wakubali usahihi wa hali ya juu mno wa kweli niya daraja ya Muujiza, Mwenyezi Mungu kila mara aliwapa mitume wakeMiujiza ambayo ilihusiana na sayansi au sanaa hiyoyhiyo ambayo ilikuwa yadaraja la juu sana katika jamii hiyo. Hivyo kwamba wataalam wa sanaa ausayansi hiyo waliweza kufanya majaribio bila ugumu wowote, walitoa uamuzina kuamini kwamba madai ya Muujiza huo yalikuwa ya kweli na hakikaulikuwa juu ya uwezo wa binadamu kuweza kubuni mambo hayo yeyemwenyewe.

Katika kipindi cha Mtume Musa {a.s.} uchawi (mazingahombwe)ilikuwa sanaa iliyoendelea sana. Hivyo Allah alimpa Mtume Musa fimbo yakutembelea ambayo iligeuka kuwa chatu kubwa na kumeza fimbo na kambaza wachawi wote.

Katika kipindi cha Mtume Issa (a.s.) utibabu ulikuwa umepiga hatuaya juu sana. Hivyo Allah alimpa muujiza wa kuponya wakoma bila dawayoyote, kuwafanya waone wale ambao walikuwa vipofu tangu kuzaliwakwao.

Wakati wa kutokeza kwa Mtukufu Mtume {s.a.w.w.} wetu, Waarabuwalikuwa wanajivunia lugha yao. Wasichana wao waliweza kutunga mashairiya ubora wa kiwango cha juu sana bila matayarisho yoyote. Waliwaitawatu wasioWaarabu ‘Ajam’ maana yake- bubu! Walidhani kwamba watuwasio Waarabu ni bubu wakilinganishwa na wao. Washairi walipewaheshima ya juu. Masanamu saba yaliwekwa kwenye kuta za Kaaba nakuabudiwa kama miungu.

Wakati huo, Mwenyezi Mungu alimpa Mtukufu Mtume muujiza waQur’an. Maandishi ya Qur’an yakikuwa tofauti sana na mfumo wa fasihiyao. Si mashairi; wala si lugha ya kawaida. Na Muujiza huu wa Qur’anuliwavutia sana Waarabu hivyo kwamba wakati Sura ya al-kauthar {ambayoni fupi kuliko zote} ilipobandikwa kwenye ukuta wa Kaaba, mshairimashuhuri aliandika chini yake: “Haya si maneno ya wwanadamu.” Na yalemasanamu saba yaliondolewa haraka sana.

33. MUUJIZA WA QUR’AN

Miujiza inaweza kugawanywa katika aina mbalimbali. Miujiza inawezakuwa ya maneno au matendo.

Miujiza ya maneno iliyofanywa na Mtukufu Mtume wa Uislamuilikuwa ya namna tatu:-

{a} Qur’an{b}Utabiri wa mambo yajayo{c}Masahihisho ya imani potofu za watu wa kale.Utajifunza kuhusu Qur’an kwenye somo Namba sita {6} Hapa

nitaonyesha sifa tatu tu za muujiza huu. Qur’an ni muujiza, kwasababu:

Page 24: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

56 57

{1}Uzuri wake wa fasihi ulishangaza bara lote la Arabuni, ingawa palitolewachangamoto kadhaa dhidi yake, hakuna jibu la maandishi lililotolewa hatakwa sura iliyo fupi sana .{2} Ndio tu Muujiza pekee ambao umeunganisha pamoja madai nauthibitisho wa utume. Miujiza mingine yote ya Mtukufu Mtume na mitumewaliotangulia, ilihitaji tangazo kwamba muujiza ulioonyeshwa ulikuwa namadhumuni ya kuthibitisha madai ya utume. Kuhusu Qur’an, haikuwa hivyo,kwasababu ndani ya Qur’an madai ya utume wa Mtukufu Mtumeyamerudiwa mara nyingi. Kwa hiyo, kama mtu anapokubali muujiza waQur’an, moja kwa moja anakubali ukweli wa utume wa Muhammad Mustafa{s.a.w.w.}.{3}Qur’an ni kitabu cha pekee kwa jinsi moja zaidi. Miujiza mingine yoteilitokea katika kipindi fulani halafu ikatoweka; na sasa hivi hakuna jinsi yakuhakikisha kwamba muujiza ile iliwahi kutokea. Lakini Qur’an ni muujizawa kudumu hadi siku za mwisho wa duniani (kwa sababu utume wa MtukufuMtume utaendelea hadi mwisho wa dunia.}

Vipengele vingine vya muujiza wa Qur’an vitaelezewa kwenye somola 6.

34. MIUJIZA YA UTABIRI

Aina ya pili ya miujiza ya maneno ni utabiri wa mambo yajayo.Utabiri mwingi sana umetujia kutoka kwa Mtukufu Mtume hivyo

kwamba haiwezekani kutoa orodha yote hapa. Hata hivyo baadhi ya utabirimashuhuri utatajwa hapa ili kurahisisha maana yetu. Kwenye orodha ifuatayositatoa maneno kamili wala rejea kwa sababu nafasi ni ndogo, lakini mtuyoyote anayesoma vitabu vya kiislamu lazima atakuwa ameuona utabiri maranyingi.

1} Utabiri kwamba Uthmani atamfukuza Abu Dhar kutoka Makkana Madina, na atamweka kizuizini huko Rabdha.

Vile vile utabiri: Ewe Abu Dhar! ulikubali Uislamu peke yako nautakufa peke yako na utaletwa kwenye Hukumu peke yako.

2}Utabiri kwamba Bibi Fatima {a.s.} atakuwa mtu wa kwanzamiongoni mwa Ahlul-Bayt kufa baada ya Mtukufu Mtume.

3}Utabiri kuhusu kuuliwa kwa Muhammad bin al- Hanafiyya,kumwambia Imamu Ali bin Abi Talib {a.s.}, kumpa jina la Muhammad najina la Ukoo Abul-Qasim!

4}Utabiri kwamba mmoja wa wakeze angepigana vita na Imam Alibin Abu Talib {a.s.} angepanda ngamia mwenye manyoya mengi usoni, nambwa wa ‘Haw-ab’ wangembwekea.

5}Utabiri kwamba Ammar bin Yaasir {R.A.} angeuawa na kundilililoasi- watu hao watakuwa wanamwita aende Jahannamu ambapo Ammaratakuwa anawaita waende Peponi.

6} Utabiri kwamba Imamu Ali bin Abi Talib {a.s.} angeuawa wakatiwa mwezi wa Ramadhani na kwamba mtu atakae muua atalaaniwa sanakatika jamii ya wanadamu.

7}Utabiri kwamba Ali bin Abi Talib {a.s.}angepigana vita na makundimatatu: “Wale ambao watavunja kiapo cha utii kwake; wale ambaowatamuasi na wale ambao wataacha imani.”

8}Utabiri kwa Imamu Ali bin Abi Talib {a.s.} “Utapigana vita kwamadhumuni ya kutoa tafsiri ya Qur’an iliyo {sahihi} kama ambavyo nilipiganavita wakati inateremshwa.”

9}Utabiri mwingi sana kuhusu kufa mhanga kwa njia ya MwenyeziMungu kwa Imamu Hussein {a.s.}.

10}Utabiri kwa Ummu Salama {R.A.}kwamba mchanga wa Karbalaaliopewa utageuka kuwa damu siku atakapo uawa Imamu Hussein{a.s.}akipigania dini ya Mwenyezi Mungu.

11}Utabiri kuhusu kuuawa kwa Imam Ali bin Musa Ar-Ridha {a.s.}huko Khorasan atakapo kuwa ana pigania dini ya Mwenyezi Mungu.

12}Utabiri kwamba Hujri bin Adi {R.A.}na wafuasi wake atauawana Muawiyah bila haki.

13}Utabiri kwamba wakati idadi ya watoto wa Abul-Aas ikifikathelathini, wangeharibu dini ya Mwenyezi Mungu, wangewafanya watu kuwawatumwa na wange pora utajiri wa Waislamu;

14}Utabiri kuhusu vita ya Khaybar ambapo Abu Bakar na Umarmara nyingi walirudi nyuma bila ushindi: “Kesho nitampa bendera ya Uislamumtu ambaye mara nyingi hushambulia maadui na haachi kupigana; ambaye

Page 25: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

58 59

anampenda Mwenyezi Mungu na Mjumbe wake, na ambaye MwenyeziMungu na Mjumbe wake wanapenda, na ambaye hatarudi hadi hapoMwenyezi Mungu atakapo hakikisha amemshinda adui.”

Orodha hii ya utabiri 14 {miongoni mwa mamia} unatosha kumshawishimtu yeyote mwenye akili kuelewa kwamba taarifa sahihi kama hii haingekujaisipokuwa kwa mafundisho yake Mwenyezi Mungu.

35 TAARIFA YA MATUKIO YALIYO PITA

Aina ya tatu ya miujiza ya maneno ni habari zilizomo kwenye Qur’ankuhusu matukio ya zamani. Inaweza kuonekana kama jambo la kushangaza,lakini kwanza fikria jambo hili kwamba Mtukufu Mtume wa Uislamu kamwehakufundishwa na binadamu yeyote kusoma na kuandika; hakuwa namaandishi yoyote. Halafu ukilinganisha matukio ya mitume wa zamaniambayo yametajwa ndani ya Qur’an na Biblia, utaona kwamba pale ambapopana upungufu baina ya vitabu Viwili kuhusu maelezo ya matukio husika,Biblia mara kwa mara hutoa maelezo yanayoonyesha kwamba tabia nahadhi ya mtume husika ilikuwa ya chini sana bila kuzingatia kwamba mtumehana dhambi na hafanyi kosa, na Qur’an wakati wote hutofautiana na Bibliakwa sababu hulinda hadhi ya mitume. Mathalani; na tuangalie maelezo kuhusukuabudiwa kwa Sanamu ya ndama na wana wa Israeli wakati Nabii Musa{a.s.}hakuwepo. Biblia inaseama kwamba Nabii Haruna {a.s.}ndiye aliewachochea wana wa Israeli kutengeneza sanamu ya ndama na kuanzakumwabudu:-

Hata watu walipoona kuwa Musa amekawia kushuka katika mlima,wakakusanyana wakamuendea Haruni, wakamuambia, Haya! Katufanyiemiungu itakayo kwenda mbele yetu, kwa maana Musa huyo aliyetutoa katikanchi ya Misri hatujui yaliyompata. Haruni akawambia, Zivunjeni dhahabuzilizo katika masikio ya wake zenu, na wana wenu, na binti zenu, mkaniletee.Watu wote wakavunja pete za dhahabu zilizo katika masikio yao wakamleteaHaruni. Akaipokea mikononi mwao akaitengeneza kwa patasi, akaifanyaiwe sanamu ya ndama kwa kuiyeyusha; nao wakasma, Hiyo ndiyo miunguyako, Ee Israeli, iliyo kutoa katika nchi ya Misri. Naye Haruni alipoonajambo hili, akajenga madhahabu mbele yake; Haruni akatangaza akasema,

Kesho itakuwa siku kuu kwa BWANA. Wakaondoka asubuhi na mapema,wakatoa dhabihu, wakaleta sadaka za amani, watu wakaketi kula nakunywa, wakaondoka wachache. Bwana akamwaambia Musa, Haya!Shuka; kwa maana watu wako uliowatoa katika nchi ya Misri wamejiharibunafsi zao. (Exodus 32:1-7)

Sasa kumbuka kwamba, kwa mintarafu ya Biblia, Haruna pamojana wanawe, aliteuliwa na Mungu kuwa mtumishi wake:

Nawe umlete Haruni ndugu yako karibu nami, na wanawe pamojanaye, miongoni mwa wana wa Israeli, ili anitumikie katika kazi ya ukuhani.Haruni na Nadabu, na Ezeazari, na Ithamari, wana wa Haruni. Naweutamfanyia Haruni ndugu yako mavazi matakatifu, kwa utukufu na kwauzuri. Nawe utawaambia watu wote wenye moyo wa hekima, niliojaza naroho ya hekima wamfanyie Haruni mavazi ili kumtakasa anitumikie katikakazi ya ukuhani. Na mavazi watakayo yafanya ni haya; kifuko cha kifuani,na naivera, na joho, na kanzu ya kazi ya urembo; na kilemba, na mshipi;nao watawafanyia Haruni nduguyo, na wanawe, mavazi matakatifu iliwanitumikie katika kazi ya ukuhani. (Exodus 28:1-4)Mungu alikwisha muamulia kuhusu kazi zake na heshima yake kwenyeSura ya 28na 31.

Na halafu tena hapohapo Sura ya 32 inasema aliwachochea nakuwasaidia Wana wa Israeli kuabudu sanamu! Hivi inawezekana?

Sasa soma tukio hilihili kwenye Qur’an:-(Allah) akasema: Sisi tumewatia mtihani watu wako baada yako, na

Samiri amewapoteza.Musa akarudi kwa watu wake kwa ghadhabu na kusikitika. Akasema

Enyi watu wangu! Kwani Mola wenu hakukuahidini ahadi nzuri? Je,umekuwa muda mrefu kwenu au mmetaka ikushukieni ghadhabu ya Molawenu, ndio maana mkavunja miadi yangu.

Wakasema sisi hatukuvunja miadi yako kwa hiari yetu, lakinitulibebeshwa mizigo ya mapambo ya watu, basi tukaitupa. Na hivyo ndivyoalivyotoa ushauri Samiri.

Na akawaundia ndama, kiwiliwili chenye sauti. Na wakasema: Huyundiye mungu wenu, na mungu wa Musa, lakini alisahau.

Page 26: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

6160

Je, hawakuona kuwa hakuwarudishia neno, wala hakuweza kuwadhuruwala kuwafaa?

Na hakika Harun alikwisha waambia kabla yake: Enyi watu wangu!Hakika ninyi mmetiwa mtihani tu kwa kitu hiki. Na kwa hakika Mola wenuni Arrahmani, Mwingi wa Rehema. Basi nifuateni mimi, na tiini amri yangu!

Wakasema: Hatutaacha kumuabudu mpaka Musa atakapo rejeakwetu.

(Musa) akasema: Ewe Harun! Ni nini kilichokuzuia, ulipowaonawamepotea,

Hata usinifuate? Je, umeasi amri yangu?Akasema: Ewe mwana wa mama yangu! Usinishike ndevu zangu,

wala kichwa changu. Kwa hakika niliogopa usije sema: Umewafarakishawana wa Israil, na hukungojea kauli yangu.

(Musa) akasema: Ewe Samiri unataka nini?Akasema: Niliona wasio yaona wao, nikashika gao katika unyayo

wa Mtume. Kasha nikalitupa. Na hivyo ndivyo ilivyonielekeza nafsi yangu.(Musa) akasema: Basi ondoka! Na kwa hakika utakuwa katika

maisha ukisema: Usiniguse. Na hakika una ahadi kwako isiyo vunjwa. Namtazame huyo mungu wako uliyeendelea kumuabudu — Sisi kwa hakikatutamchoma moto, kasha tutamtawanya baharini atawanyike.

Sasa unaweza kuamua mwenyewe ni maelezo yapi yanayokubalianana mtu anayezungumziwa ambaye aliteuliwa na Mungu kuwa Mtume Wake”?

Vile vile, kuna imani yenye mantiki kwamba mitume hawangefanyadhambi. Ni dhahiri kwamba Qur’an haikunukuu kutoka kwenye Biblia: sikitu cha kuigiza, iliteremshwa ili ifute uongo ambao ulipandikizwa kwenyeBiblia Yenyewe {Qur’an }ni mwongozo wa vitabu vya zamani kwa maanakwamba ilihifadhi kweli na kuondoa sumu ya kubadilishwa na kuongezwamaandishi.

Kwa mtazamo huu hata maelezo ya matukio yaliyopita yanawezakupewa hadhi ya muujiza, kwa sababu mambo yenyewe yalikwisha poteamikononi mwa wanadamu na hayangeweza kurejeshwa tena bila mwongozowa kimungu.

36 MIUJIZA YA MATENDO

Miujiza ya matendo ya Mtukufu Mtume ilikuwa ya aina mbalimbalina mingi sana hivyo kwamba vitabu vingi vikubwa vimeandikwa. AllamaFakhrul-Islamu ameandika kwamba amehesabu na kuona zaidi ya miujizaelfu nne kutoka kwenye vitabu vya kuaminika.

Ingawa Mtukufu Mtume mara nyingi alisema kwamba yeye alikuwabinadamu ambaye hana uwezo usio wa kawaida utokao kwa MwenyeziMungu, Mungu alimruhusu kuonyesha muujiza hii pale ambapo madai yautume wake yalitiliwa shaka na wale maadui ambao walikuwa hawana akiliya kutambua kweli yake kwa utukufu wa tabia yake na Sheria ya kiakili,kwa mfano:-

1}Vipofu wengi walipata kuona baada ya kupata baraka zake.2}Wagonjwa wengi walipona haraka kwa kuwaombea dua.3}Mara nyingi mtu aliyekufa au mnyama aliyekufa alifufuka baada ya

kumwombea dua4}Amri bin Humque Khuza’i aliishi hadi umri wa miaka 80 bila kuota

mvi kwasababu ya dua ya Mtukufu Mtume.5}Mara nyingi aliuombea mti ulio kauka ukapata kijani tena na kutoa

matunda ya kula yeye na msafara wake.6}Mara nyingi alipanda mbegu za mitende na haraka ziliota na kuwa

miti mikubwa.7}Mara kadhaa, aliwalisha watu wengi kwa kiasi kidogo cha chakula.

Watu walikula na kushiba na bado chakula kilibaki kama kilivyokuwamwanzo.

8}Mara nyigni aliweka vidole vyake kwenye kikombe na majiyalitiririka kutoka kwenye vidole hivyo hadi msafara wote ulijaza majikwenye viriba.

9}Mara kadhaa wanyama wakubwa kama mijusi wakubwa nangamia walishuhudia kwa Kiarabu sahihi kuhusu ukweli wa utume wake.

10}Mara nyingi changarawe na mawe yalimsifu Mwenyezi Mungukwa lugha ya Kiarabu sahihi yakiwa mkononi mwake.

11}Muhimu zaidi ya yote, Mwenyezi Mungu alimchukua na kumpelekambingu ya mbali sana na kumwonyesha maajabu ya muumba.

www.allamahrizvi.com

Page 27: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

6362

37. KWANINI KUWE NA MIUJIZA HIYO?

Maelezo yamekwisha tolewa kwamba muujiza ni utendajiunaowezekana, lakini lazima pawepo vitendea kazi, dawa au utekelezaji.Lakini Mtu me au Imamu hufanya muujiza bila ya vitendea kazi. Vile vile,imefafanuliwa kwamba muujiza lazima utokane na fani ya taaluma ya mafunzoambayo yapo kwenye daraja la juu sana na katika kipindi cha Mtume auImamu mhusika.

Sasa, hapa si mahali pa kuthibitisha kwamba muujiza husika unawezakufanyika. Hata hivyo, mtu anaweza kuuliza kwamba kwanini MtukufuMtume wa Uislamu alipewa muujiza hii? Hakika, hakuna mtu aliyedaikwamba angeweza kuruka angani kwa kutumia kipando wakati wa uhaiwake.

Kwa hiyo palikuwa na haja gani ya kumchukua Mtukufu Mtumekwenye miiraji? Na uchawi ni sanaa ambayo haikuwepo wakati huo. Kwanini basi wanyama na changarawe vilizungumza? Kwanini maji yalitiririkakutoka kwenye vidole? Kwa nini watu wengi wale chakula na kubaki kamakilivyokuwa mwanzo ambacho kiasi chake kilikuwa kidogo mno?.

Wana chuo wetu wengi hutaja miujiza hii ili kuthibitisha jinsi ya ukubwawa daraja la Mtukufu Mtume kwa Mwenyezi Mungu, ni jinsi gani alikuwaanapendwa na Mwenyezi Mungu. Kwa mintarafu ya maoni yao, MtukufuMtume alipewa miujiza hiyo kwa lengo la kuonyesha ukuu wake mbele yaMwenyezi Mungu. Lakini watu kama hao hawaoni ukweli wote.

Ni kweli kwamba miujiza hii inaonyesha ukuu wa Mtukufu Mtume,kama ilivyo kawaida ya miujiza yote. Lakini swali halijajbiwa kwambakwanini miujiza hii ilichaguliwa na Mwenyezi Mungu kuonyesha ukuu wakeambapo uchawi haukuwepo wakati wa uhai wake?

Ukweli ni kwamba Utume wa Mtukufu Mtume wa Uislamu haukuwakwa ajili ya muda fulani, ulikuwa uendelee hadi dakika ya mwisho ya duniahii. Mitume wengine wote walipelekwa kwa ajili ya kabila fulani na kupewamuda. Kwa hiyo, walipewa miujiza inayofanana na sanaa ya wakati huo tu.Lakini Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}alikuja kuwa Mtume hadi mwoshowa dunia na kwa ajili ya wakati wote. Kwa kuwa muda wa Utume wake

ulijumuisha kipindi cha sayansi na teknilojia ya hali ya juu ya wakati huo,Mwenyezi Mungu alimpa yeye miujiza ambayo itaendelea kushindana nawanasayansi na sayansi yao hadi mwisho wa dunia.

Sayansi ya leo imeendelea sana katika vitengo vyake vyote. Lakini,kilele cha taaluma ya sayansi ni usafiri wa anga. Binadamu amekwishakanyaga mwezi. Ilikuwa ni kushindana na sayansi hii ndio maana MwenyeziMungu alimpa Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}muujiza mkuu wa miiraji.

Kwa sababu ya kuongezeka kwa idadi ya watu duniani, wanasayansiwanajaribu kutafuta utaratibu wa kulisha watu kwa kutumia kidongekilichokolezwa au vitu vingine kama hivyo. Hivyo, Muhammad Mustafa{s.a.w.w.} aaliwalisha watu 40 kwa kipande kidogo cha bofulo.

Sayansi imeweza kunasa sauti ya binadamu kwenye diski na tepu yakurekodi sauti. Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}alilishinda jaribio hili kwakuzifanya changarawe na wanyama kuongea kwa amri yake.

Na alifanya yote haya bila kutumia vitendea kazi, na bila kufanyamipango au maandalizi yoyote kabla.

Kwa hiyo, ni nadharia kwamba miujiza hii haikuwa kuonyesha ukuuwake tu lakini ilikuwa muhimu kuthibitisha ukweli wake kwa dunia yaKisayansi.

SEHEMU YA TANO MWISHO

38. UKWELI KUHUSU MTUKUFU MTUME

Nimeeleza sifa zote muhimu za Utume nataka kutaja kwa kifupi baadhiya uthibitisho wa kuonyesha chanzo cha utume wa Mtukufu Mtume waUislamu, Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}kwamba ulitoka kwa Mungu.

Uthibitisho wa Kwanza: Kila mtu anajua kwamba Mtume MuhammadMustafa {s.a.w.w.} alidai kwamaba yeye ni Mtume kutoka kwa MwenyeziMungu, na alionyesha miujiza kusadikisha madai hayo. Inathibitisha kwambamadai yake yalikuwa kweli.

Sasa basi, uthibitisho huu unaweza kuzidishwa mara 4000, kila muujizaukitajwa peke yake. Kwa hiyo, uthibitisho huu mmoja unanguvu yauthibitisho 4,000.

Page 28: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

64 65

Uthibitisho wa Pili: Mitume waliopita walitabiri kwamba mtume wamwisho angetoka Arabuni na atashuhudia ukweli wa Mitume waliotan gulia,na utabiri huo ulisema kuhusu sifa zake binafsi na tabia na kueleza kwa kinakuhusu maisha ya familia yake ya kifamilia. Mtume Muhammad Mustafa{s.a.w.w.}alidai kuwkwamba yeye ni yule mtume na maelezo yoteyalilingana na jinsi alivyo.

Inathibitisha kwamba madai yake yalikuwa sahihi.Uthibitisho huu unaweza kuzidishwa na 100, kwa kutaja kila utabiri

peke yake. Kwa hiyo, uthibitisho huu mmoja unanguvu ya takriban uthibitisho100.

Uthibitisho wa Tatu: Mtume Muhammad Mustafa {s.a.w.w.}alizaliwakwenye nchi ambayo wakazi wake walikuwa watu wa kutembea hapa napale jangwani, ambao walitumia maisha yao katika kupigana vita, kuporamali na kuua. Hawakujua ujuzi ni kitu gani, ujuzi wa aina moja tu waliokuwanao, kujilinda na maadui.

Kwenye nchi hiyo, na watu kama hao, mtoto yatima anazaliwa naanalelewa na babu yake, halafu na mjomba wake, hajui kitabu ni nini nahakuna anaemfundisha kuandika hata alfabeti. Anatumia muda wake mwingiwa nusu ya maisha yake kwenye biashara na uchuuzi.

Halafu tena, ghafla, mtoto huyo wa jangwa anadai kwamba analetasheria ya dunia yote ya kudumu daima milele.

Na sheria hiyo inathibitisha kuwa bora sana, inapendwa sana na sanatena kabla ya kipindi chake hivyo kwamba dunia, hata baada ya miak 1400inajitahidi kujaribu kuwa nayo. Historia ya Sheria na kanuni zake katikakipindi cha Karne ya 14 inawezwa kuelezwa kama ifuatavyo:

Uislamu unaongoza na dunia inafuata nyuma.”Je! si kweli kwamba ubora wa sheria na uwezo wake wa kubadilika

kufuatana na wakati, ni miujiza mikubwa sana ya Mtukufu Mtume?Mwana chuo wa Kislamu wa karne ya 19 ameandika kwamba

mchungaji wa Kikristu alimuuliza kuhusu uthibitisho wa ukweli wa MtukufuMtume. Aliorodhesha baadhi ya uthibitisho. Hatimaye, mchungaji waKikristo alisema: Rafiki yangu, uthibitisho mkubwa sana kwamba Uislamuchanzo chake ni kwa Mungu ni katika ukamilifu wake wa juu sana wa

sheria. Watu huko nchini kwangu {Uingereza} huwachagua wawakilishiwao, wawakilishi hao wanatakiwa kuwa mfano bora zaidi katika jamii.Bunge lina tabaka la watu wenye uwezo. Watu huleta mswada bungeni;wanaujadili kwa siku au hata wiki kadhaa na miezi; hatimaye wanautengenezainavyo stahili kufuatana na uzoefu wao. Halafu loo!muda mfupi tu baada yamswada kuwa sheria halafu inajitokeza hali tofauti na marekebisho yamswada yanafanyika ili kuifanya sheria iendane na wakati. Lakini, tazamasheria ya Kiislamu, ambayo imedumisha asili yake tangu karne ya 13 {sasa14} zilizopita na hakuna mtu aliyeweza kusema kwamba shria hii au ile inatakiwa kurekebishwa.

“Ukweli huu wa kudumu ni uthibitisho mzuri sana usio na dosarikuhusu ukweli wa Mtume wa Uislamu.”

39. MTUME WA MWISHO

Zifuatazo ni rejea zinzo onyesha kwamba Mtukufu Mtume wa Uislamualikuwa Mtume wa mwisho, na hakuna tena mtume atakaye kuja baadayake:-

1}Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mtume wa Wana wa Israeli,walikuwa wanawaongoza, alipokufa mtume mmoja mwingine alikuja nakushika nafasi yake. Lakini, baada yangu mimi, hapatakuja mtume mwingine,watakuja makhalifa.”

Inaonyesha wazi kwamba hakuna nafasi kwa ajili ya mtume mwinginebaada ya Mtukufu Mtume wa Uislamu.

2}Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mfano kuhusu mimi naMitume waliotangulia ni kama mtu aliyejenga jengo zuri sana, lakini tofalimoja lilikosekana kwenye kona moja. Watu waliotembelea jengo hilowalistaajabu kwa uzuri wa jengo hilo, lakini vilevile walikua wanashangaakwa nini tofali halikuwekwa pale kwenye kona. Hivyo, mimi ni lile tofaliambalo halikuwekwa mahali pake na mimi nimewekwa hapo na mimi ni‘Khatamun- Nabiyyiin.’

Page 29: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

Maana yake ni kwamba baada ya kuja Mtukufu Mtume wa Uislamu,jengo {mpangilio}wa utume ulikamilika, hapakuwepo na nafasi iloachwawazi, ambayo ingejazwa na Mtume anayetegemewa kuja.

3}Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Kiyama hakitafika mpakahapo Umma wangu utakapo fuata waabuduo masanamu {watafanya dhambiisiyo sameheka-kuabudu masanamu} na hadi watakapo abudu masanamu;na hakika miongoni mwa Umma wangu watajitokeza watu laghai 30, kilammoja wao atajitangaza kwamba yeye ni mtume; ambapo mimi ndieKhatamun-Nabiyyin {Mtume wa mwisho} hakuna mtume baada yangu.”

4}Imam Ali {a.s} alisema wakati anaosha maiti ya Mtukufu Mtume{s.a.w.w.}: “Baba na mama yangu wawe fidia ya kukukomboa wewe, jambohili limesitishwa na kifo chako ambapo kamwe halikusitishwa na kifo chamtu mwingine yoyote. {Na jambo hili ni Utume, tangazo la yale yaliyojificha{Ghaibu} na habari za mbinguni.}”

66 67

40. MAJINA NA VYEO VYA MTUKUFU MTUME

Majina na vyeo vifuatavyo vya Mtukufu Mtume wa Uislamu vimechukuliwakutoka kwenye Qur’an:-

Jina Maana yake

Muhammad Asifiwaye mnoAhmad Atukuzwaye sanaRahmatun,Lil Alamiina Rehema kwa ulimwengu woteRasul-ul-lah Mjumbe wa Mwenyezi MunguAn-Nabi MtumeAl-Bashir Mwenye kuleta habari njemaAn-Nadhir MwonyajiAn-Nur NuruAl-Mizan Mizani {ya usawa}Al-Muzzammil Aliye SitirikaAl-Muddath thir Aliye FunikwaAs-Sirajul-Munir Taa Ing’aayoAs-Shahid ShahidiAs-Shaheed ShahidiAd-Dal-llallah Aitaye Watu wote kwa MunguAwwal-ul-Muslimeen Muislamu wa kwanzaAwwal-ul-Abediin Mchaji Mungu wa kwanzaKhatam-un-Nabiyyin Muhuri wa Mtume. Mtume wa mwisho.Yasin KiongoziTa-Ha Aliye Takasiwa

Page 30: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

MASWALI

1.} {a} Elezea kwa urefu maana ya “Nabii” na “Rasuli” {b}Elezea tofauti ya “Nabii” na “Rasuli” {c} Sifa zipi zilizo muhimu mtu kuwa Mtume?

2.}{a}Maana ya “Ismat” ni nini? {b}Kwa nini “Ismat” ni muhimu kwa Nabii au Imam?Taja sababu mbili {c}“Mtukufu Mtume wa Uislamu alikuwa Maasum” Taja aya mbili

ndani ya Qur’an kuthibitisha usemi huo. {d}Adamu alifanya dhambi? Eleza.

3.}{a}Taja utabiri uliomtaja Mtukufu Mtume mara mbili kwenye Agano la Kale. {b}Taja moja wapo ya utabiri kwenye Agano Jipya na moja kutoka kwenye maandiko ya Kihindu kuhusu Mtukufu Mtume.

4. {a}Muujiza unamaaisha ni tendo lisilotekelezeka? Eleza. {b}Nini tofauti ya uchawi na “Muujiza” ? {c}Aina gani ya Miujiza walipewa Mitume?

5.} {a}Kwa nini Mtukufu Mtume wa Uislamu alipewa “Muujiza” wa Miiraj? {b}Kutokana na maoni yako, uthibitisho gani ulio bora zaidi wa ukweli wa Mtukufu Mtume wa Uislamu? {c}Thibitisha kwamba Hadharat Muhammad Mustafa {s.a.w.w} ni Mtume wa Mwisho.

68

UTANGULIZI

Tunamshukuru Allah (s.w.t.) na kwa Baraka za Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na Watukufu Ahlul~Bait (a.s.) kwa kutujaalia kuweza kufanikishajuhudi zetu hizi katika kuchapisha kitabu hiki “Utume”.

Kitabu kilichopo mikononi mwako ni tafsiri ya moja ya vitabu vyaAl-Marhum Ra’isu ’l-Muballighín Ãyatullah Allamah al-Haj Sayyid SaeedAkhtar Rizvi (r.a.), na kimetafsiriwa na Ndugu Salman Al-Afriqi kwa lughaya Kiswahili kutoka asili yake ya lugha ya Kiingereza, na Dr MuhammadKanju ameipitia tarjuma hii na kuisahihisha. Kitabu hiki kimekua maarufukatika ulimwengu wa Ki-Islamu na pia kimechapishwa na Taasisi mbali mbaliza ulimwengu.

Bilal Muslim Mission inatoa shukurani zake za dhati kwa wale woteambao kwa juhudi zao kitabu hiki kinawafikia wasomaji wetu mikononi nawale wote wanaotuunga mkono kwa njia moja au nyingine katika kazi zetuza Tabligh, Tunamuomba Allah (s.w.t.) awalipe malipo mema hapa Dunianina baadaye huko, Akhera.

BILAL MUSLIM MISSION OF TANZANIAJama’ada Al-Thani 1424 / August 2003

5

Page 31: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

WASIFU MFUPI WA AL-MARHUMRA’ISU- ‘L-MUBALLIGHIN AYATULLAH

AL-ALLAMAH AL-MUHAQQIQAL-HAJ SAYYID SAEED AKHTAR RIZVI R.A.

(1345 – 1423/ 1927 – 2002)

KUZALIWA KWAKE & ELIMU YAKE:Hazrat Ra’isu‘l-Muballighin, Ayatullah al-Allamah al-Muhaqqiq al-Faqihi

al-Haj Sayyid Saeed Akhtar Rizvi, mwana wa marhum Ustadh ‘l-Ulamã’Maulana Hakim al-Haj Sayyid Abul Hassan Rizvi, alizaliwa 1 Rajab 1345A.H. / 5 Januari 1927 katika mji wa Ushri Khurd, Wilaya ya Siwan, Bihar,India. Mzazi wake alikuwa mmoja wa Maulamaa wakubwa wa India.Alikuwa ni wa tano katika mfululizo wa vizazi vya ‘Ulamã’ wa familia yake;mbali na baba yake, kulikuwa na ‘Ulamã’ wengine wanne miongoni mwawazee wake wa karibu, aliye mashuhuri zaidi miongoni mwao alikuwaMaulana Sayyid Muhammad Mahdi (alikufa 1929), mwandishi wa kitabumaarufu “Lawhiju‘l-Ahzan” (katika juzuu mbili) ambacho bado kinapatikanana kuendelea kuchapishwa nchini India na Pakistani

Allamah Rizvi alianza masomo yake katika mji wa Gopalpur makazi yajadi yake na kuendelea huko Patna na Banaras. Alifaulu Shahada ya juukatika mtihani wa lugha za Ki-Arabu, Ki-Ajemi na Ki-Urdu kutoka ChuoKikuu cha Allahabad Board, U.P., na akafanikiwa kupata Shahada ya juuzaidi ya elimu ya dini – “Fakhrul-e-Afadhil” kutoka Chuo cha Jami’ul ‘UloomJawadia, Banaras katika mwaka wa 1946 akiwa na umri wa miaka kumi natisa.

Walimu ambao chini yao Allamah Rizvi alijifundisha ni Baba yake,Ustadhu ‘l-Ulamã’, Hakim Maulana Sayyid Abul Hasan Rizvi (Patna). 2.Maulana Sayyid Farhat Husain (Patna). 3. Maulana Sayyid Ghulam Mustafa

(Patna). 4. Maulana Sayyid Mukhtar Ahmad (Patna). 5. Maulana SheikhKazim Husain (Banaras). 6. Hujjatul Islam wal Muslimeen, Sayyid ZafrulHasan Rizvi (Banaras). 7. Hujjatul Islam wal Muslimeen, Sayyid MuhammadRaza Zangipuri (Banaras). Chini ya ma‘ulamã hawa alijifundisha matini yamaandiko ya lugha la Kiarabu na fasihi, mantiki na filosofia, fiqh na usulu ‘l-fiqh, na theolojia na hadithi.

Kwa ajili ya kumbukumbu, tunaweza hata kutaja kwamba miaka kadhaabaada ya kujishughulisha katika elimu na uwanja wa Tabligh na ambaoalikuwa tayari anafanya kazi kama mwalimu wa isimu (lugha kadhaa) katikaShule za juu, alijitokeza kwa ajili ya kufanya mitihani ya mwisho (kamamwanafunzi mtu mzima) katika Chuo Kikuu cha Aligarh Muslim Universityna alitunukiwa cheti na heshima.

SHUGHULI ZA KIDINI NA ZA KIJAMII:Kuanzia ujana wake alikuwa akijishughulisha kikamilifu katika jamii,

elimu na kuinua dini katika Jumuiya. Katika mwaka wa 1948, alichukuwanafasi ya baba yake kama Imammu wa jumuiya huko Hallaur katika Wilayaya Basti, U.P. na akaendelea na nafasi hiyo hadi mwaka wa 1951. Kuanzia1952 – 1959 alifanya kazi kama mwalimu wa Urdu na Kiajemi katika Shuleya sekondari ya juu ya Husainganj huko Husainganj, Siwani.

Muda wa miaka hii alitumia likizo zake na wakati wake katika shughuliza Jumuiya kama vile kuendeleza shughuli za Anjumani Wazifa-e-Sadat-waMomineen (AWSM) na Anjuma-e-Tarraqi-e-Urdu (ATU). AWSMhushughulikia uendelezaji wa elimu miongoni mwa vijana wa Kishia kwakuwapatia nafasi za kusoma nje masomo ya juu, ambapo ATU imelengakuendeleza Urdu miongoni mwa Waislamu nchini India. Baadhi ya Mashiavijana wa siku hizo ambao sasa wanashikilia nafasi nzuri za kazi, kwa utashina kifedha walisaidiwa na Allamah kuendelea na masomo yao ya juu.

Wakati alipokuwa Hallaur, alihusika katika ukamilishaji wa jengo laMsikiti. Katika miaka ya hamsini alikuwa vile vile mdhamini wa Msikiti naImambara ya Gopalpur na wakati Serikali ya India ilipotaifisha ardhi kubwa(ardhi ya kilimo na halikadhalika bwawa kubwa ambalo huzalisha samaki)

6 7

Page 32: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

ambayo ilikuwa ni waqf kwa ajili ya ukarabati na utunzaji wa Msikiti naImambara, alifanikiwa kuupinga uamuzi huu wa Serikali mahakamani nakuirudisha ardhi hiyo mikononi mwa Jumuiya tena.

Mapema katika miaka ya 40 na 50 Allamah vile vile alikuwaamejishughulisha sana katika kuandika makala na vitabu katika lugha yaUrdu juu ya masuala mbali mbali ya ki-Islamu. Juni mwaka wa 1949 – Juni1950, mfululizo wa makala zilichapishwa katika gazeti la kila mwezi la al-Wã’iz (Lucknow) zikiwa na anwani ya “Islam” awr Tadhir-e-Manzil.”Makala hizi kumi na mbili zilifanya msingi wa kitabu chake, “The FamilyLife in Islam” (kilichapishwa 1971). Kile cha Urdu kilichapishwa katikamuundo wa kitabu mwaka 1997 kama “Islam ka Nizam Khanawadigi”.

Mwaka 1374 A.H. Mhariri wa gazeti la Sunni la kila mwezi, liitwaloRidhwãn (Lahore) alichapisha baadhi ya maswali kama changamoto kwaMashia. Marhum Allamah aliombwa na baadhi ya Mashia kujibu changamotohiyo. Aliandika jibu ambalo lilichapishwa kama “Mudir-e-Ridhwan see DooDoo Bateen” katika mfulilizo wa makala kumi na mbili katika gazeti la kilamwezi la al-Jawãd (Banaras) kuanzia 1955 – 1958. Makala ya pili katikamfululizo huu juu ya badã suala zito la kitheolejia lilipendwa sana nawanachuoni kiasi kwamba Adib-e-A’zam, Maulana Zafar Hasan, Mhaririwa gazeti la Nur la Karachi, aliichapisha katika mwaka wa 1955 katikamuundo wa mjadala wenye anwani ya “Allamah Barzakhi kã Mukãlamaapni Baigum see Mas’ala-e-Bada” Aliandika utangulizi usemao kwambaalikuwa bado hajaona maandishi bora na ya wazi juu ya suala hili katikaUrdu. Makala hizi pana kumi na mbili (kurasa 444) baadae zilichapishwakatika muundo wa kitabu kama “Itmam Hujjat” katika mwaka wa 1986.

Hizi zilikuwa ni baadhi ya kazi za kisomi zilizochapishwa India kabla yakuhamia Afrika.

TABLIGH KATIKA AFRIKA:Katika Mwezi Desemba 1959, alikwenda Tanzania (wakati huo

ikijulikana kama Tanganyika) ambako alihudumia kama Imam wa Jumuiyahuko Lindi (1959-1962) Arusha (1963-1964) na Dar es Salaam (1965-

1969).

Baada ya juma moja tu kuwasili kwake Afrika, alianza kujifunza lughaya Kiswahili na kuangalia hali ya nchi kwa mtazamo wa kubalighisha Uislamuwa kweli miongoni mwa jamii ya wazawa (wa asili). Katika nyakati hizokulikuwa hakuna Shia-Ithna-asheri hata mmoja mwenye asili yaKiafrika katika bara lote. Katika mwaka wa 1962 alitayarisha mpangokwa ajili ya tablighi na akaupeleka kwa sekritariati ya Halmashauri Kuu yaKhoja Shia Ithnaasheri wakati huo ikiwa Arusha. Katika mwaka wa 1963mpango huu ulijadiliwa kwa urefu. Katika hatua hiyo haukuweza kutekelezwakama ilivyoshauriwa, lakini mwelekezo wa taratibu uliwekwa katikautekelezaji. Katika mwaka 1964 Sekritariati ilitayarisha taarifa(memorandum) iliyotegemea juu ya msingi wa taratibu yake ambayoiliwekwa katika agenda ya mkutano wa tatu wa mwisho wa mwaka wamuungano wa Jamati za Khoja Shia Ithna-asheri za Afrika (Federation ofKhoja Shia Ithna-Asheri Jamaats of Africa) uliofanyika Tanga. Hivyo BilalMuslim Mission ilizaliwa.

Kuanzia siku hiyo, Allamah Rizvi alitumia muda wake katika shughuli zaTabligh. Katika mwaka 1963 Bilal Muslim Mission of Tanzania ilisajiliwa.Wakati kazi ilipoongezeka, Marehemu Ayatullah Al-Uzma Sayyid MuhsinAl-Hakeem (Najaf, Iraq) aliamuru Halmashauri Kuu ya Khoja Shia Ithna-asheri ya Afrika kumtoa katika majukumu ya Jamaat, na kuanzia hapogharama zote za Allamah Sayyid Rizvi zilichukuliwa na marehemu AyatullahAl-Uzma Sayyid Muhsin Al-Hakeem na baada yake zikachukuliwa namarehemu Ayatullah Al-Uzma Sayyid Abul Qasim Al-Musawi Al-Khu’i.

Kwa juhudi zake katika Mission hii, makumi ya maelfu ya Waafrikawamekubali imani ya Shia pole pole kupitia mafundisho, maandishi namasomo kwa njia ya Posta, sasa Jumuiya ya Shia imestawi nchini Guyanachini ya Bwana Lateef Ali ambaye amefanikiwa kueneza ujumbe mpakaTrinidad na Tobago.

Lateef Ali ambaye amekuwa Shia katika mwaka wa 1972, anaelezeamisingi muhimu katika ukuaji wa Ushia nchini Guyana kwa maneno yafuatayo:“Allamah mwalimu kwa njia ya posta asiye choka, na Lateef Ali,

8 9

www.allamahrizvi.com

Page 33: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

msambazaji.”

Mission ina kituo kwa ajili ya kufundishia Mubalighina, Hawzah-e-Ilmiyah mjini Dar es Salaam ambacho vile vile kina Bweni lenye nafasi.Kuna shule za chekechea, Msingi, Secondary, Chuo Cha Walimu naMadrasah ya Qur’ãn na Misikiti. Kwa nyongeza, Mission inaendeshamasomo aina nne kwa njia ya Posta ambayo kwayo mwanga wa Ushiaumefika mbali kwa mapana. Mission imechapisha vitabu zaidi ya miamojana Thalasini kwa Kiingereza na Kiswahili, sehemu kubwa ikiwa ni ya vitabuvya Allamah Rizvi au tarjuma yake na vile vile Mission inaendesha kambi yamacho na za mtibabu kwa ajili ya watu wasio na uwezo na pia kuchimbavisima kwa ajili ya maji sehemu mbali-mbali za Tanzania.

Kuna Bilal Muslim Mission nchini Kenya (imeanzishwa sawia na Misheniya Tanzania) Burundi, Malagasy, Congo, Ruanda na Msumbiji. Yakitiwamoyo na Bilal Muslim Mission of Tanzania, Mashirika yenye majina kamahaya yameanzishwa nchini Seneghal, Naijeria, Ghana, Sweden na Marikani.

Katika mwaka wa 1963 alifanya ziyara ya Jamati zote za Khoja ShiaIthna-asheri za Afrika na kuwahimiza kuanzisha madarrasa kwa ajili ya vijanana watoto waweze kupata elimu za kidini, kwa utaratibu huo kila sehemuzimeanziswa Madrasa na vile vile vipindi vya dini katika shule piayameanzishwa, masomo hayo yaliyotayarishwa na Allamah.

ZIARA NDEFU YA INDIA NA ULAYA MAGHARABI:Katika mwaka wa 1978 alirudi na kukaa nchini India ambako alianza

kuandika tarjuma ya Kiingereza ya Tafsir al-Mizan cha Marehemu AllamahSayyid Muhammad Husayn at-Tabataba’i. Juzuu kumi na mbili za tarjumahii zimekwisha chapishwa na World Organization For Islamic Service(WOFIS) Tehran Iran. Mbali na kazi hii ya kielimu, vile vile alikuwa nichanzo cha kazi nyingi za misaada, ikiwemo kujenga upya kwa ‘idd-gah naimambargah, na ukarabati wa Msikiti huko Gopalpur.

Ziara yake ya kwanza katika nchi ya Uingereza na Amerika ilikuwa1981. (Ingawa madhumuni ya ziara yake ilikuwa kwa ajili ya tabligh wakati

wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani, aliomba Ofisi kuu ya Anjuman-e-Wzifa-e-Sadat-wa-Momineen (AWSM) impatie orodha ya majina ya Mashiaambao walipewa qarz-e hasana (Mikopo) kwa ajili ya masomo yao ya juuna wamejiimarisha vizuri nchini Marikani, lakini bado hawajarudisha mikopoyao; alifanya hivyo kwa nia ya kuwalingania ili kwa kulipa madeni yao,Mashia wengine wanaostahiki masomo nao wasaidiwe.)

Mwezi Desemba 1982, alikwenda London kwa mualiko wa (Shirikala) Imam Sahebuz Zaman Trust. Kule London alikua pamoja na marehemuHujjatul Islam Al-Mujahid Sayyid Mhadi al-Hakeem katika kuanzisha WorldAhlul-Bayt (A.S.) Islamic League (WABIL) na alikuwa mmoja wawadhamini watatu wa Shirika hili. Alikuwa Mkurugenzi wa Kamati yamaandalizi ambayo ilirasimu katiba ya WABIL na ilipanga mkutano wakewa kwanza wa katiba. Mkutano huu ulifanyika mwezi Augosti 1983 ambaokwayo wajumbe 80 kutoka nchi 30 walishiriki. Katika mkutano huoalichaguliwa kuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo.

Katika mwaka wa 1982 – 1983, alizuru karibu vituo vyote vikubwavya Shi’a vyilivyoko Amerika na Canada, na vile vile alitoa darsa kwenyekambi ya kwanza ya kiangazi iliyofanyika Toronto.

KURUDI TANZANIA:

Alirudi Tanzania mwaka 1985 kwa ajili ya ziara fupi; lakini hali ya BilalMuslim Mission of Tanzania ilimlazimisha kurudi na kuakaa kabisa ilikusimamia na kuimarisha shughuli za Bilal Muslim. Hivyo katika mwakawa1986 alimua kufanya kituo chake katika mji wa Dar-es-Salaam, nakugawanya wakati wake kati ya Tanzania, India, na Canada.

Mapema katika miaka ya 1980, alikaribishwa kusadia kuanzisha Hawzaya kwanza nchini Amerika ya Kasikazini, itwayo, Hawza-e-‘Ilmiyya ‘Asr,mjini Medina, N. Y.

Mwaka wa 1991 Ilianzishawa Ahlul~Bayt (A.S.) World Assembly(ABWA) Tehran, Iran na Allamah Rizvi alichguliwa moja wawana kamati yaHalmashuri kuu na mjube. Na vile vile ni Muasisi na Mwenyekiti wa

10 11

Page 34: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

Ahlul~Bayt (A.S.) Assembly of Tanzania (ABATA).

Mwaka wa 1995 ameanzisha Bilal Charitable trust of India, Gopalpur.BCT, iliasisiwa ili kuifanya rasimi kazi ya msaada ambayo ilikuwa ikifanywana kupitia kwa Allamah huko Bihar, India kwa makumi mengi ya miaka.Africa Federation, Al-Imam Foundation ya Bombay na waumini katika nchimbali mbali ikiwemo Canada, wameendelea kuiimarisha Bilal CharitableTrust ya India. Hadi sasa zaidi ya Misikiti 25 na Hussaeinia zimejengwa nazaidi ya 89 Nyumba za kuishi kwa watu ambao hawana makazi. BCT vilevile imeanzisha na huendesha Al-Mahdi Institute huko Gopalpur, ambayoina Al-Mahdi English Medium School na Al-Mahdi Institute of InformetionTechnology na chuo cha ufundi. Yote haya ni mbali na kazi ya kawaida yamisaada wa kutoa chakula, nguo, gharama za kuoleana msaada wa matibabukwa ajili ya mashia wanaostahiki. BCT vile vile huendesha kambi la machokatika sehemu mbali mbali za Bihar.

Allamah Rizvi ameanzisha Madrasa nyingi za Kidini na kufungua Markaziza Tablighi katika sehemu mbalimbali ulimwenguni, kati ya sehemu hizo niIndia, Marakani, Uingereza, Canada, na nchi za Kiafrika.

MAANDISHI NA VITABU VYAKE:Kufikia sasa ameandika zaidi ya vitabu 150 kwa lugha ya Kiingereza,

Kiurdu, Kiarabu, Kifursi na Kiswahili. Baadhi ya vitabu vyake vimetafsiriwakwa lugha za Ki-Japan Ki-Indonesia, Ki-Thai, Ki-Burma, Ki-Urdu, Ki-Hindi, Ki-Gurjati, Ki-Sindhi, Ki-Kashmiri, Ki-Ajemi, Ki-Swahili, Ki-Hausa,Ki-Shona, Ki-Taliani, Ki-Faransa, Ki-Swidish, Ki-Bosni, Ki-Arabu, Ki-Holanzi, Ki-Malayen, Ki-Spanish.

Umuhimu wa elimu yake unaweza kupimwa kwa kitabu chake cha pilikilichoandikwa kwa ajili ya masomo ya ki-Islamu kwa njia ya posta, “Munguwa Uislamu” (God of Islam) kilichochapishwa 1971, kiabu ambacho huelezeakuwepo kwa Mwenyezi Mungu na tawhid. Kitabu hiki hulinganishwa najuzuu ya tano ya “Usul-e-Falsafa wa Rawish-e-Reelism” cha AllamahTabataba’I, pamoja na sherhe pana ya Shahid Murtaza Mutahhari, kilichochapishwa 1975, kitaonyesha kiwango cha ujuzi na elimu ya Allamah Rizvi

juu ya theolejia ya Uislamu. Kigezo cha hoja katika kazi zote kinafananakabisa. Lakini, kuna tofauti moja muhimu: wakati ambapo sherhe ya ShahidMutahhari iliwekwa katika istilahi za kifilosofia na mtindo, pamoja namaelekezo ya vipi hoja za kifilosofia kihistoria zivyoendelea, (kitabu) “Munguwa Uislamu” kamwe hakimuachi msomaji aone kwamba anapita kwenyeeneo la utaalamu wa kifilosofia. Na humo ndimo mlimo lala ubora wakaziya Allamah Rizvi: theolojia ngumu mno au suala la kifilosofia linawezakuwasilishwa katika mtindo rahisi sana usio na utata wa kitaalamu.

Katika mwaka wa 1972, gazati la Nama-e-Astan-e-Quds (Juzu ya 9namba 1–2) ambalo ni kitengo cha Dhari’ah ya Imamu Raza (as) Mashhad(Iran), lilichapisha tarjuma ya Kifursi ya baadhi ya sura za kitabu cha Allamah,“Prophethood” (Utume). Katika utangulizi wake, Mhariri aliandika: “Katikasura mbali mbali masuala ya kina na yenye faida sana yameelezewa katikalugha nyepesi, ambayo yameongeza utumiaji wake na kuvuta usikivu; hapatunatoa tarjuma ya sura chache za kitabu hiki chenye manufaa.”

Kitabu chake Allamah Sayyid Rizvi juu ya Uimamu wa Amiru’l-Mu’minina ‘Ali bin Abi Talib (a.s.) kinachoitwa Imamate: makamu waMtume, kimechapishwa mara nyingi na kusambazwa ulimwengyni kote naWOFIS (World organisation for Islamic Services). Dr. Khalil Tabataba’Iwakati mmoja alimuambia Allamah Rizvi kwamba kitabu chake juu yaUimamu na vitabu vingine juu ya Usul-e-Din, pamoja na ufupi wakevimezungumzia masuala yote muhimu na kwamba lazima vifanywe vipatikanekatika lugha ya ki-Arabu. Alisema kwamba vitabu katika lugha ya ki-Arabujuu ya masuala hayo ni kwa ufupi au kwa urefu sana. Allamah alijichukuliayeye mwenyewe juu yake kutarjum kitabu hicho na kilichapishwa na Dr.Tabataba’I kupitia Taasisi ya Imam Hussain Foundation Beirut, Lebnon1999.

Vile vile Allamah Sayyid Rizvi amefanya kazi na baadhi ya Maulama waQum kuweka vizuri na kusahihisha Adh-Dhariah fi Tasanif As-shia, Kitabukikubwa cha habari za vitabu na watungaji wake kilichoandikwa namarehemu Ayatullah Agha Buzrg at-Tehrani katika juzuu zaidi ya ishirini.Allamah alizipitia juzuu zote za adh-Dhari’ah na akaandika Taliqaat

1312

Page 35: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

(nyongeza) kwa kiarabu kwa ajili ya kitabu hicho; dondoo 1000 na anwani1000 mpya ziliongeza na Allamah Rizvi marhum Allamah Abdul AzizTabataba’I akazi chapisha katika kitabu chake, Azwa ‘ala adh-Dhari’ah.

Allamah Sayyid Rizvi alipewa Ijazat (Mamlaka) na Ma-Ayatullahwakongwe zaidi ya ishirini wa Najaf (Iraq) na Qum (Iran) kwa simulizi yahadithi (riwayah) kwa mambo ya hukumu kwa Shariah na vile vilekushughulikia suala lolote ambalo kwayo ruhusa ya Mujtahid ni muhimu.Na vile-vile Allamah Sayyid Rizvi amewapa Ijaza ya riwayah kwa Ma-Ulama wengine.

Alikuwa mtaalam wa lugha. Huandika, huzungumza na kutoamihadhara kwa Ki-Urdu, Ki-Arabu, Ki-Ingereza, Ki-Swahili na Ki-Ajemi.Vile vile anayo elimu (ya maandishi) ya Ki-Hindi na Ki-Gujarati.

Mbali na ukubwa na upana wa eneo aliloshughulikia, na ziara zamara kwa mara ndani ya Afrika Mashariki, alizuru kama nchi 45 za Asia,Afrika, Ulaya na Marekani.

SAFARI YA MWISHO:Siku ya alhamisi, mwezi 8 Rabi ath- Athâni 1423/ 20 Juni 2002,

kma kawaida ‘Allamama Rizvi alianza kazi yake katika meza yake ndani yachumba chake cha kulala. Alikuwa ana tafsir juzuu ya 13 ya al-Mizan.Mnamo majira ya saa 1. 45 (mbili kasoro robo) asubuhi alipata mshitukomkubwa. Gari la wangonjwa na Daktari aliitwa haraka. Wakati akiwa katikagari la wangonjwa, alipata mvujisho wa damu katika ubongo wake naakazimia. Ilipofikia majira ya jioni, ilionekana kama hali yake inakuwa nzuri;lakini kwa bahati mbaya sana mara tu baada ya magharibi majira ya saa1:40, aliutoka ulimwengu huu kwa amani.

Mazishi yake yalifanywa siku ya Jumamosi. Kwa wakazi wengi wamjini Dar-es-Salaam siku ya Jumamosi iliwapambanukia kwa sauti ya SuratYasin iliyokuwa ikisomwa kutoka kwenye kipaza sauti cha Adhana chaMsikiti wa Shi’a. Ilikuwa ni hisia ya upesi sana ya ukiwa, kama vile unavyohisiwakati unapoamka asubuhi siku ya Ashura na kutambua jinsi uzito wa sikuhiyo ulivyo, na hakuna dalili ya furaha itakayoonekana katika uso wako.

Na kwa hakika ilikuwa siku ya msiba. Kifo cha Aalim, Mwanazuoni,ni kifo cha aalam – ulimwengu. Na kwa hakika ilikuwa kupotelewa naulimwengu. Ilikuwa ni siku ambayo tulimlaza kwenye mapunziko yake yamwisho mtu mashuhuri sana na mwenye elimu kubwa katika jumuiya yetu,‘Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi.

Kila mtu alionekana akijaribu kukumbuka na kuunganisha huzunialiyokuwa akihisi moyoni mwake, jinsi walivyokutana kupitia mikutano,majadiliano au muda aliokuwa pamoja na Sayyid. Kama vile ambavyowanawake hawakuweza kujizuia kulia baada ya kufanya ziara ya Marhum,wakitoa heshima zao za mwisho, bibi mmoja alishindwa kujizuia na yotealiyokuwa anafikiri, alisema, yeye ndiye aliyesoma nikah yangu.

Sala ya jeneza iliongoza na mtoto wake, Hujjatul Islam WalMuslimeen Al-Haj Sayyid Muhammad Rizvi pamoja na watu wengiwaliohudhuria wakiwepo wajumbe wa Africa Federation, Balozi na maofisawa ubalozi wa Iran, wawakilishi mbalimbali wa jamat za Afrika ya Mashariki,wawkilioshi wa Bilal Mission ya Zanzibar na Kenya, na takriban Maulamaa20 wa ki-Shi’a, halikadhalika na viongozi wengine wa jumuiya za ki-Islamu.Kisha ‘alim mkazi, Hujjatul Islam Sheikh Musi Raza alisoma majlisi fupiambayo kwayo aliamsha mawazo ya kila mtu siku hiyo wakati alipotamkakwamba ameishiwa nguvu na maneno ya kuweza kutolea rambi rambi zakekwa watoto wa Sayyid na jumuiya kwa jumla katika muda huu wa “musibateadheem.” Alisema, ni ulimwengu wa elimu tu ndio utakaoweza kupima pengohili amnbalo limetokea na ambalo kamwe halitajazwa. Hakuna moyo ambaohaukugusa wakati akimzungumzia Sayyid akiumbia umati mkubwa wa watumbali mbali, wakiwepo watu wa mataifa yote, jumuiya, marika yote na wahadhi mbali mbali ambao wamekusanyika msikitini asubuhi hiyo kumuagaSayyid.

Maandamano ya mazishi yalianza kwa Maulamaa kuanza kubebajeneza na kasha waumini wakalichukuwa kwenye mabega yao mpakamakaburini ( kwa kawaida majeneza huwa yanabebwa na gari maalumumpaka makaburini). Maskauti wa ki-Shi’a wakiwa wameongoza na maskautiwawili ambao wamebeba bendera kubwa mbili nyeusi, waliongoza

14 15

Page 36: Kimeandikwa na: Ra’isu‘l-Muballighin Ayatullah Allamah ... · sheria, kwa nini ufunuo wa polepole na kwa nini mitume Ulul - Azm walitenganishwa kwa kuja mmoja baada ya mwingine

maandamano ya mazishi pamoja nao walikuwa wamebeba picha kubwa ya‘Allama. Polisi wa barabarani walisimamisha magari mengi asubuhi yajumamosi yenye harakati nyingi ili knafasi kwa wasindikizaji. Watu wengiwasio Waislamu walionekana wakijiunga katika maandamano ya mazishiwakati wa kuelekea makaburini.

Kuwepo kwa kundi kubwa la Mashia wa kiafrika katika mazishiwakati mtu anapoingia tu Msikitini ilikuwa ni ushahidi wa mafanikio makubwaya aalim. Kutoka sifuri, amewageuza maelfu ya wazawa katika Afrika kuwawafuasi wa Ahlul Baiti. Na kulia kwao kulikuwa kunatia kwiki, huku “Laillaha illa llah” ilipokuwa inasomwa ikiashiria safari kuelekea kabrastanhakuna mtu katika mkusanyiko huo aliyeweza kujizuia kububujikwa namachozi. (pamoja na kundi la wanawake wambolezaji waliovaa nguo nyeusi,watu wengi waliohojiwa na gazati la Samachar walionyesha kwamba ilikuwavigumu kufikiria kwamba mtu huyu mashuhuri mwenye jina lililozoelekamwenye tabia nzuri mno, kweli ameondoka kutoka kwenye jumuiyaakituacha bila faida ya ilm yake kubwa aliyokuwa nayo. Wanawake wengiwanakumbuka madras zake za Masael kwa ajili ya wanawake miakamichache iliyopita na jinsi walivyo na imani kamili juu ya wachache isipokuwa“Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi. Maneno yake yalichukuliwa kwa imanikubwa).

Wakati maandamano ya mazishi yalipoondoka Msikitini kuelekeamakuburini, kundi kubwa la waombolezaji mara tu lilivuta wapita njia nawatu wengine barabarani kuacha kufanya shughuli zao na kuangaliamaandamano ya mzishi, kwa silka wakijua katika nyoyo zao kwamba hayahayakuwa mazishi ya kawaida. Mashia wengi walitoa rambi rambi zao kwamti huyu mkubwa kwa kufunga maduka yao na biashara zao ili kujiungakatika maandamano ya mazishi.

Mwishowe, wasindikizaji walifika kwenye eneo la makuburi na nyotaing’arayo mno ya tabligh ya ulimwengu wa Shi’a iliwekwa kwenyemapunziko katika kaburi karibu tu mlango wa Msikiti ndani ya eneo lamakuburi.

16