maana ya laana na kutukana katika qur'ani tukufu

87
Maana ya Laana na Kutukana katika Qur'ani Tukufu Kimeandikwa na: Sheikh Abdul Karim al-Bahbahani Kimetarjumiwa na: Hemedi Lubumba Selemani Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page A

Upload: alitrah-foundation

Post on 22-Mar-2016

812 views

Category:

Documents


48 download

DESCRIPTION

Shia wa sasa na wa zamani, wote wametuhumiwa kuwatukana masahaba na kuwalaani; na kwa ajili ya tuhuma hii wamepatwa na matatizo na machungu mengi baada ya kuhukumiwa kuwa wao ni makafiri. Jambo hili limefanya suala la laana na kulaani lifuatiliwe na watu wengi na wajiulize kuhusu ukweli halisi wa laana ndani ya sheria, hukumu yake na mipaka yake mbalimbali. Ewe msomaji mpendwa! Somo lililomo mikononi mwako ni jaribio makini katika mwelekeo huu ambalo ndani yake tunajaribu kuangazia macho maana ya kulaani kilugha (Kiarabu) na kwa mujibu wa Kitabu na Sunna ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

TRANSCRIPT

Maana ya Laana na Kutukana

katika Qur'ani Tukufu

Kimeandikwa na:Sheikh Abdul Karim al-Bahbahani

Kimetarjumiwa na:Hemedi Lubumba Selemani

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page A

© Haki ya kunakili imehifadhiwa na:AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 512 - 06 - 5

Kimeandikwa na:Sheikh Abdul-Karim Al-Bahbahani

Kimetajumiwa na:Hemedi Lubumba Selemani

Kimehaririwa na:Abdallah Mohammed

Kupangwa katika Kompyuta na:Hajat Pili Rajab.

Toleo la kwanza: Augasti, 2008Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, Tanzania

Simu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555

Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.org

Katika mtandao: www.alitrah.info

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page B

YALIYOMO

Utangulizi....................................................................................................2

Maana ya laana Kilunga na tofauti iliyopo kati yake na maana ya Tusi naKashifa...................................................................................................... 2

Kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu..................................................................4

Kwa muibu na Sunna Tukufu......................................................................4

Si za laana na mlaanifu kwa mujibu wa kitabu na Sunnah.........................5

Laana ni dharura ya kiitikadi.......................................................................9

Msimamo wa kambi ya Kisunni katika suala la laana..............................16

Msimamo wa kambi ya Ahlul-Bait katika suala la laana.......................... 18

Muhtasari wa Uchambuzi..........................................................................74

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page C

NENO LA JUMUIYA

Hakika mirathi ya AHLUL-BAYT ambayo imehifadhiwa na kambi yao nawafuasi wao dhidi ya upotovu inaonyesha kambi iliyokusanya aina mbal-imbali za taaluma za kiislamu.

Kambi hii imeweza kulea nafsi mbalimbali zilizo tayari kunywa kutokakwenye chemchemu hiyo, na kuupa umma wa kiislamu wanachuoniwakubwa wenye kufuata nyayo za ujumbe wa Ahlul-Bayt.

Wanachuoni waliyokusanya vidodosa na maswali mbalimbali ya madhe-hebu na mitazamo tofauti ya kifikra kuanzia ndani ya desturi ya kiislamuhadi nje ya desturi hiyo, huku wao wakitoa majibu na utatuzi makini juuya maswali hayo ndani ya karne zote.

Jumuiya ya kimataifa ya Ahlul-Bayt imefanya hima kutetea tukufu zaujumbe wa Uislamu na ukweli wake ambao umechafuliwa na makundi,madhehebu na wanaharakati mbalimbali wenye chuki na uislamu.

Jumuiya imefuata nyayo za Ahlul-Bayt na za wafuasi wa kambi yao njemaambayo imefanya hima kujibu madai yenye kuendelea na daima ikajaribukubaki ndani ya msitari wa mapambano kwa kiwango kinachohitajikandani ya kila zama.

Hakika uzoefu ambao umehifadhiwa ndani ya vitabu vya wanachuoni wakambi ya Ahlul-Bayt katika dhamira hii ni vya aina ya pekee, kwa sababuuna nguzo ya kielimu inayotegemea akili na hoja, huku ukijiepusha namatamanio na uzalendo uliokatazwa.

Unazungumza na wasomi na wanaharakati wenye fani maalumumazungumzo ambayo yanaituliza akili na yanapokewa na maumbile sala-

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page D

ma.Jaribio hili la Jumuiya ya kimataifa ya Ahlul-Bayt limekuja kuwapawatafuta ukweli hatua mpya ya uzoefu wa thamani katika ulingo wamazungumzo na maswali na kujibu hoja za utata zilizotolewa zama zilizo-pita au zinazotolewa leo kwa njia ya Tovuti, na hasa kwa kupewa nguvu nabaadhi ya nchi zenye chuki dhidi ya uislamu na waislamu.

Jumuiya imejiepusha na udadisi uliokatazwa na ni yenye kuhangaikiakuzidadisi akili zenye kufikiria na nafsi zenye kutafuta haki ili ziwezekufikia kwenye haki ambayo inatolewa na kambi ya Ahlul-Bayt ulimwen-gu mzima, ndani ya zama ambazo akili inaerevuka na nafsi na roho zina-boreka kwa kasi ya pekee.

Ni lazima tugusie kuwa mfululizo huu wa tafiti hizi umeandaliwa naKamati maalum toka jopo la wanachuoni watukufu, hivyo tunatoa shuku-rani njema kwa hawa wote na kwa wasomi na wahakiki kwa kila mmojamiongoni mwao kupitia sehemu ya tafiti hizi na kutoa mchango wao wathamani kuhusu tafiti hizi.

Tunategemea na kutaraji kuwa tutakuwa tumetoa kile tunachokiweza kati-ka juhudi za kutekeleza baadhi ya wajibu tulio nao mbele ya ujumbe waMtukufu Mola wetu Mlezi ambaye alimtuma Mtume Wake na uongofu nadini ya haki ili aidhihirishe juu kuliko dini zote. Na Mwenyezi Munguanatosha kuwa shahidi.

JUMUIYA YA KIMATAIFA YA AHLUL-BAYTKITENGO CHA UTAMADUNI

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page E

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabu kwajina la, Mafhumu ‘l-La’na wa ‘s-Sabb fi ‘l-Qur’ani l-Karim. Sisi tumeki-ita, Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu, kilichoandikwana Sheikh Abdul Karim al-Bahbahani.

Kitabu hiki, Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu, nimatokeo ya kazi ya kielimu iliyofanywa na mwanachuoni huyu waKiislamu.

Kitabu hiki ni majibu kwa wale wanaowashutumu Mashia kwambawanawatukana masahaba, shutuma ambazo zimekuwa zikitolewa kwakarne nyingi sana licha ya wenyewe Mashia kukana shutuma hizi kwanguvu sana. Kwa bahati mbaya, shutuma hizi zilikuwa zikijibiwa kwalugha za kigeni, hususan Kiarabu na Kiingereza, na kuwaacha wasomajiwa Kiswahili wasijue chochote kuhusu suala hili. Basi kitabu hiki ni mojaya vitabu vinavyotoa majibu ya shutuma hizo kwa lugha ya Kiarabu,ambacho tumekitarjumi kwa lugha ya Kiswahili.

Kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wa maendeleomakubwa ya elimu katika nyanja zote. Kutokana na ukweli huu, Taasisiyetu ya Al-Itrah Foundation imeamua kukichapisha kitabu hiki kwa lughaya Kiswahili, kwa madhumuni yake yaleyale ya kuwahudumia Waislamu,hususan wazungumzaji wa Kiswahili, ili kuongeza ujuzi wao katika masu-

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page F

i

ala ya kidini na ya kijamii.

Tunamshukuru ndugu yetu, Hemedi Lubumba Selemani kwa kukubalijukumu hili la kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wotewalioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwakwake.

Mchapishaji:Al-Itrah FoundationS. L. P. 19701Dar-es-Salaam, Tanzania

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page i

ii

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page ii

1

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 1

2

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

UTANGULIZIShia wa sasa na wa zamani, wote wametuhumiwa kuwatukana maswaha-ba na kuwalaani, na kwa ajili ya tuhuma hii wamepatwa na matatizo namachungu mengi baada ya kuhukumiwa kuwa wao ni makafiri. Jamboambalo limefanya suala la laana na kulaani lifuatiliwe na watu wengi nawajiulize kuhusu ukweli halisi wa laana ndani ya sheria, hukumu yake namipaka yake mbalimbali.

Ewe msomaji mpendwa! Somo lililomo mikononi mwako ni jaribio maki-ni katika mwelekeo huu ambalo ndani yake tunajaribu kuangazia machomaana ya kulaani kilugha (kiarabu) na kwa mujibu wa Kitabu na Sunna yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Na tutazame msimamo wa kambi mbili:Kambi ya Sunni na kambi ya Ahlul-Bayt kuhusu suala hilo. Hayo yote nikwa lengo la kutaka kufikia matokeo halisi katika suala hili, na muhimuzaidi ni kuchunguza ukweli wa tuhuma ya kuwatukana maswahaba woteambayo Shia wanatuhumiwa nayo.

MAANA YA LAANA KILUGHA NA TOFAUTI ILIYOPO KATI YAKE NA MAANA YA TUSI NA KASHIFA

Ar-Raghibu Al-Isfahan amesema: “Laana: Ni kufukuza na kutenga mbalikwa njia ya kuchukizwa. Na ikitoka kwa Mwenyezi Mungu ni adhabu yaAkhera na kutokupata rehema Zake na tawfiki Yake duniani. Na ikitokakwa mwandamu ni kumuombea mabaya mwenzake.”1

At-Tarihi amesema: “Laana: Ni kufukuzwa kutoka kwenye rehema…. Nawaarabu zamani ilikuwa mtu miongoni mwao anapoasi humtenga mbali nawao na kumfukuzia mbali ili madhara yake yasiwapate, hivyo husema:Laana ya kizazi cha fulani…”2

1 Al-Mufradat: 471.2 Majmaul-Bahrain 6: 309.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 2

3

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Ibnu Athir ndani ya kitabu An-Nihayah amesema: “Asili ya laana nikufukuzwa na kutengwa na Mwenyezi Mungu. Na kutoka kwa viumbe nitusi na dua mbaya.”3 Pia maana hii imetajwa na Al-Jawhar ndani ya Sahihyake4.

Hii ndio maana ya laana kilugha. Ama kuhusu tusi, Ibnu Athir amesema:“Tusi ni kashfa.”5

Na hiyo ndio kauli ya Al-Jawhar6, At-Tarih7 na Ibnu Mandhur8, kamakwamba maneno hayo mawili yana maana moja, isipokuwa aliyetaja tofau-ti yake ni Al-Isfihan ndani ya Al-Mufradati, nayo ni: “Tusi ni kashifaiumizayo.”9

Na kashifa kwa At-Tarih ni: “Kuelezea kitu kwa kuonyesha fedheha naupungufu.”10

Na kwa Ibnu Mandhur ni: “Maneno machafu yasiyo na laana.”11

Kwa muhtasari ni kuwa laana ikiwa ni kutoka kwa Mwenyezi Mungumaana yake ni kufukuzwa kwenye rehema, na ikiwa ni kutoka kwabinadamu maana yake ni kuomba dua ili utengwe. Hivyo yenyewe ni kitukingine kisichokuwa tusi wala kashifa ambayo yenyewe humaanishamaneno machafu yanayotumika katika kufedhehesha na kuaibisha.

3 An-Nihayah 4: 255.4 As-Sahahu 4: 2196.5 An-Nihayah 4: 330.6 As-Sahahu 1:144.7 Majmaul-Bahrain 2: 80.8 Lisanul-Arab 1: 455.9 Al-Mufradat: 225.10 Majmaul-Bahrain 6: 98.11 Lisanul-Arab 12: 318.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 3

4

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

KWA MUJIBU WA QUR’ANI TUKUFU

Kama ambavyo lugha (Kiarabu) imetofautisha kati ya laana na tusi nakashifa pia Qur’ani tukufu nayo imetofautisha kati ya maana hizo mbili,kiasi kwamba utaikuta imetumia neno (laana) mara thelathini na saba iki-nasibisha na Mwenyezi Mungu na mara moja ikinasibisha na watu.Matumizi haya yenyewe tu yanaonyesha kuwa asili yake imeruhusiwakisheria. Wakati neno (kutukana) limepatikana mara moja tu tena katikamuundo wa kukataza, nayo ni kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Wala msiwatukane wale ambao wanawaabudu badala ya MwenyeziMungu, wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa jeuri bilakujua.” Sura Al-Anam: 108.

Kukatazwa huku kunaonyesha ubaya wa kutukana na kukashifu, na laitikama laana ingekuwa inashirikiana nayo katika ubaya huo basi Qur’anitukufu ingeikataza, hivyo kitendo cha Qur’ani tukufu kutokuikataza, kishakuitumia na kuinasibisha na Mwenyezi Mungu ni dalili kuwa yenyewe nijambo sahihi kwa mujibu wa sheria na linahitajika

KWA MUJIBU WA SUNNA TUKUFU

Tunapokuja ndani ya Sunna tukufu tunaikuta imejaa mamia ya maelezoambayo ndani yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametumia laana dhidi yamaadui wa ujumbe wakiwemo mushirikina, wanafiki na watu wa kitabu,na dhidi ya hali mbalimbali kutoka kwa waislamu akionyesha kukasirish-wa kwake sana na makosa wanayoyatenda, au akiwapa tahadhari kali dhidiya kukurubia makosa makubwa na yenye kuangamiza.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 4

5

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Mwandishi wa kamusi ya misamiati ya Hadithi za Mtume katika neno(laana) amekusanya karibu anuani mia tatu za Hadithi za Mtume zotezikianza kwa neno (laana)12, japokuwa hakuwafikishwa kukusanyaHadithi zote za mlango huu, hivyo akapitwa na baadhi ya Hadithimashuhuri kama ile ya Mtume (sa.w.w.) kumlaani yule aliyetengana najeshi la Usama.13

SIFA ZA LAANA NA MLAANIFU KWAMUJIBU WA KITABU NA SUNNAH

Tunapozitazama Aya zinazozungumzia laana ndani ya Qur’ani tukufutunazikuta katika makundi manne: Zipo zilizoelekeza laana kwa Ibilisi,mfano kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na hakika laana Yangu itakuwa juu yako mpaka siku ya Malipo.”Sura Swad: 78.

Na nyingine ni Aya zilizoelekeza laana kwa makafiri wote, mfano kauli yaMwenyezi Mungu

“Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewalaani makafiri na amewaan-dalia Moto uwakao.” Sura Al-Ahzab: 64.

12 Mawsuat Atraful-Hadithi An-Nabawi, Juzuu ya sita: 594 – 707.

13 Imenukuliwa kutoka kwenye kitabu As-Saqifah Wafadak cha Abu Bakr Al-Jawhari (mwaka 30 A. H.).

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 5

6

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Na zipo zilizoelekeza laana kwa watu wote wa kitabu na kwa mayahuditu, mfano kauli ya Mwenyezi Mungu

“Wamelaaniwa wale waliokufuru miongoni mwa wana wa Israeli kwaulimi wa Daud na wa Isa bin Mariam.” Al-Maidah: 78.

Na za kundi la nne zimemwaga laana juu ya anuani za mienendo bilakubagua na hivyo kuwajumuisha waislamu, mfano anuani ya waongo, hiyoni katika kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na mara ya tano kwamba: Laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yakeikiwa ni miongoni mwa waongo.” Sura Nur: 7.

Na anuani ya madhalimu, hiyo ni katika kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Sikilizeni! Laana ya Mwenyezi Mungu iko juu ya madhalimu.” SuraHud: 18.

Na anuani ya wenye kumuudhi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hiyo ni katikakauli ya Mwenyezi Mungu:

“Kwa hakika wale wanaomuudhi Mwenyezi Mungu na Mtume Wake,Mwenyezi Mungu amewalaani katika dunia na Akhera.” Sura Al-Ahzab: 57.

Na anuani ya wenye kuwasingizia wanaojiheshimu, hiyo ni katika kauli yaMwenyezi Mungu:

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 6

7

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

“Bila shaka wale wanaowasingizia wanawake wanaojiheshimu, wasio-jua, walio waumini, wamelaaniwa katika dunia na Akhera.” Sura Nur:23.

Na anuani ya wenye kuua, hiyo ni katika kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Na mwenye kumuua muumini kwa kukusudia, basi malipo yake niJahannam, humo ataishi milele, na Mwenyezi Mungu amemghad-hibikia na amemlaani, na amemuandalia adhabu kubwa.” Sura An-Nisai: 93.

Na anuani ya wanafiki, hiyo ni katika kauli ya Mwenyezi Mungu:

“Mwenyezi Mungu amewaahidi wanafiki wanaume na wanafikiwanawake na makafiri Moto wa Jahannam watakaa humo milele.Huo unawatosha na Mwenyezi Mungu amewalaani na wana adhabuya kudumu.” Sura Tawba: 68.

Na anuani ya wenye kufanya uharibifu na kukata ujamaa, hiyo ni katikakauli ya Mwenyezi Mungu:

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 7

8

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

“Na kama nyinyi mkipata utawala ni karibu mtaiharibu nchi namtaukata ujamaa wenu. Na ndio Mwenyezi Mungu amewalaani naamewatia uziwi na amewapofusha macho yao.” Muhammad: 22 – 23.

Kama kwamba Qur’ani tukufu katika laana inaanzia kwenye alama yashari inayowakilishwa na Ibilisi na kuendelea mpaka kwenye makundi yawanadamu ambayo yanamkubali na kuitikia wito wake, hivyo inaanza namakafiri kama kundi la kwanza kisha watu wa kitabu kama kundi la kati,na makundi yote mawili ni maadui wa nje wa Uislamu, kisha inaendeleahatua kwa hatua mpaka ndani ya wigo wa Uislamu na hapo inaanzakuelekeza laana kwa maadui wa ndani wa Uislamu kama vile wanafiki,kisha inahama mpaka kwenye kundi la mwisho la msitari wa shari nao nimadhalimu, wauaji, wanaowasingizia waliyojiheshimu na wanaokata uja-maa, yaani kundi ambalo linatishia kusambaratisha muundo wa jamii.

Hivyo Qur’ani inaendelea kuulaani msitari wa shari kuanzia makundi yakeyenye kupiga vita Tauhidi na Uislamu kwa nje mpaka makundi yake yenyekupiga vita kwa ndani na kuendelea mpaka kwenye makundi ya kijamiiambayo yanatishia na kuhatarisha jamii ya kiislamu huku yakipotosha serazake na harakati zake za njia ya wema na mafanikio.

Na atakayefuatilia kwa makini kwa kulinganisha kati ya Kitabu na Sunnatukufu katika suala hili atafumbukiwa kwa uwazi kabisa kuwa Sunna tuku-fu imejikita sana na kwa mapana zaidi katika kulilaani kundi la mwishokuliko makundi mengine, na dalili juu ya hilo ni kuwa laana ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) imeshuka juu ya anuani za kijamii, kama vile laana dhidiya pombe, riba, rushwa, mzuia sadaka na Zaka na mengineyo, kama ilivyowazi kutoka kwenye anuani za mlango huu wa Hadithi za Mtume zilizomo

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 8

9

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kwenye vitabu vya Hadithi.14

LAANA NI DHARURA YA KIITIKADI

Kutokana na maelezo yaliyotangulia imebainika kuwa laana kiasili ni sualala kiimani la dharura ambalo jamii ya kiislamu inalihitaji ili kuimarisha nakumakinisha misingi ya Uislamu kama inavyopasa, na kuondoa makapikutoka ndani yake na kudhihirisha kuchukizwa na kutoridhishwa na kilakinachopeleka upande wa shari na batili kwa mahusiano yoyote yale, kamavile makafiri kwa upande wa nje na wanafiki kwa upande wa ndani, nasababu za kusambaratika jamii ambazo husaidia harakati za maadui kwandani na nje kufikia malengo yao machafu na kuzuia harakati za jamii zakiislamu zisifikie malengo yake.

Na yenyewe ni tamko la kiimani juu ya haja ya kumakinisha kitenganishicha kinafsi na kitamaduni na kilugha ndani ya maisha ya mwislamu kati yaUislamu upande mmoja, na msitari wa ukafiri, unafiki na uovu ambao una-pambana na Uislamu kwa ndani na nje upande wa pili.

Laana kwa maana hii na ufahamu huu haina uhusiano wowote ule na tusiambalo lenyewe ni msamiati wa maadili yanayopingana kwa ukamilifu namaadili ya kiislamu. Bali maana yake kiimani kwa upande mmoja ina uhu-siano wa karibu sana na ile maana ya utawalishaji na kujitoa katika dhima,na kwa upande wa pili ina uhusiano wa karibu mno na faradhi ya kuamr-isha mema na kukataza mabaya. Hiyo ni kwa sababu laana anashushiwayule mtu ambaye kiimani inapasa mwislamu kutangaza kujitoa katikadhima yake, kama vile makafiri na wanafiki. Na juu ya sababu za uovu wakijamii na anuani zisizokubalika katika mwenendo wa kijamii ambazokisheria ni wajibu kwa mwislamu kuziondoa kwa mujibu wa faradhi yakuamrisha mema na kukataza mabaya. Hivyo yenyewe ni tamko la kilugha

14 Rejea Mawsuat Atraful-Hadithi An-Nabawwi 6: 594 – 606.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 9

10

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

juu ya faradhi mbili: Ya kiimani na kisheria, ndani ya wakati mmoja.

Wala kutokana na maelezo hayo haimaanishi kuwa Uislamu na jamii yakeunategemea laana kama silaha tegemezi katika kupambana na njia yaukafiri, unafiki na uovu bali silaha tegemezi ndani ya Uislamu ni dalili nahoja na mantiki yenye hoja za kiakili ambayo Qur’ani imeielezea kwalugha mbalimbali. Na tukifuatilia matumizi ya matamshi ya kilugha ndaniya Qur’ani yenye uhusiano na fikra, akili, dalili, hoja, elimu, uandishi namfano wa hayo tutayakuta ni zaidi ya mara elfu mbili mia moja na tisini,ilihali matumizi ya neno laana ni mara thelathini na nane. Hivyo dalili nahoja ndio kanuni kuu ya imani ndani ya Uislamu, ama laana si chochotebali ni maelezo ya kilugha juu ya silaha ya kujihami ya ulinzi wa kuzuiamashambulizi, ambayo huikimbilia muislamu pindi anapohisi hatari, namwenye kulaani hulaani baada ya kuwa na ushahidi wa wazi na hoja juuya haki na baada ya kuthibiti ukaidi na upinzani toka upande wa pili.

Ndiyo, imekatazwa laana isiwe ni tabia ya kudumu na njia ya kuendeleaambayo daima muislamu anapita juu yake, kama aliposema MtukufuMtume (s.a.w.w.): “Muumini si mtukanaji mno wala si mtiaji mno dosariwala si mwenye kulaani mno.”15 Na kauli yake (s.a.w.w.): “Muumini huwahawi mwenye kulaani mno.” 16

Ni wazi kuwa anayeitwa mwenye kulaani mno ni yule ambaye laana ina-toka ulimini mwake kwa namna ya kuendelea kwa sababu maalumu au bilasababu yoyote, ama ambaye analaani kwa kadiri ya mahitajio husika haitwimwenye kulaani mno, kwa sababu tamko hilo (mno) hutumika kwa yuleambaye mara nyingi amekuwa katika hali hiyo, na hivyo mara nyingi hutu-mika kwa ambaye anafanya kitendo fulani kuwa kazi na shughuli yake,kama vile seremala na mchinjaji na wengineo, na ni wazi kuwa ambayeanachinja kichinjwa kwa dharura tu huwa haitwi mchinjaji, bali jina hili

15 Kanzul-Ammal 1: 146, Hadithi ya 720.16 Kanzul-Ammal 3: 615, Hadithi ya 8178.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 10

11

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

hupewa yule ambaye kazi hii ni shughuli yake ya kuendelea kila siku kamajukumu lake la kudumu kwake, hivyo laana ya namna hii na kukatazwakwake hailazimishi asili ya laana ikatazwe. Hivyo asilan hakunamgongano kati ya mambo hayo mawili.

Al-Faydhu Al-Kashan amesema: “Ama Hadithi ‘Msiwe watoa laana mno,’huenda alikataza kutukana kusiwe tabia yao kwa sababu ya kukithirishakufanya hivyo, kiasi kwamba wanamlaani kila mtu kama inavyoonyeshwana kauli yake (s.a.w.w.): ‘Watoa laana mno.’ Hivyo haimaanishi kuwaalikataza kulaani wenye kustahiki, kama si hivyo basi angesema: Msiwewatoa laana, kwani kati ya sentensi hizo kuna tofauti kubwa anaijua yulemfasaha wa lugha.”

Ama ile iliyopokewa kuwa kiongozi wa waumini (a.s.) alikataza kuwalaaniwatu wa Sham ikisihi basi huenda (a.s.) alikuwa anataraji kuwa watasilimuna kumfuata, kama ilivyo kwa Rais mwenye huruma kwa raia wake, ndiomaana akasema: “Lakini semeni: Ewe Mwenyezi Mungu suluhisha katiyetu,” na hii inakaribiana na kauli ya Mwenyezi Mungu katika kisa chaFiraun: “Na kamwambieni maneno laini.”17”

Ndiyo, kiongozi wa waumini (a.s.) aliwakataza maswahaba wakekuwalaani watu wa Sham, na hili limetajwa ndani ya Nahjul-Balagha kwaanuani ya: “Maneno yake alipowasikia watu miongoni mwa maswahabawake wakiwatukana watu wa Sham siku za vita vyao vya Siffin.” Na IbnuAbil Hadid ameongezea kwa kusema: “Ambalo (a.s.) hakupendezwa nalokutoka kwao ni kuwa walikuwa wakiwakashifu watu wa Sham na walahakuwa akichukizwa na laana yao kwao na kujitenga nao, si kama wanvy-odhani watu wa mtazamo wa chini, kwa kusema: Hairuhusiwi kumlaaniyeyote mwenye jina la Uislamu na hawapendezwi na anayelaani. Na yupoanayevuka mipaka zaidi ya hapo kwa kusema: Simlaani kafiri wala sim-laani Ibilisi kwani Mwenyezi Mungu hatomuuliza mtu siku ya Kiyama

17 Sura Twaha: 44.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 11

12

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kwa nini haujalaani? Bali atamuuliza kwa nini ulilaani? Hakika manenoyao haya ni kinyume na maelezo ya Kitabu kwa sababu Mwenyezi amese-ma:

“Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewalaani makafiri na amewaan-dalia Moto uwakao.” (Sura Al-Ahzab: 64.)

Na akasema:

“Hao hulaaniwa na Mwenyezi Mungu na hulaamiwa na wenyekulaani.” Sura Al-Baqara: 159.

Na akasema kuhusu Ibilisi:

“ Na hakika laana Yangu itakuwa juu yako mpaka siku ya Malipo.”(Sura Swad: 78.)

Na akasema:

“Wamelaaniwa popote waonekanapo.” (Sura Al-Ahzab: 61.)

Na Aya kama hizo ndani ya Kitabu ni nyingi sana.

Itawezekanaje kwa muislamu achukie kujitenga na mtu ambaye ni wajibukujitenga naye? Hivi hawa hawajasikia kauli ya Mwenyezi Mungu:

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 12

13

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

“Hakika nyinyi mna mfano mzuri kwa Ibrahim na wale waliokuwapamoja naye, walipowaambia watu wao: Kwa hakika sisi tu mbali nananyi na hayo mnayoyaabudu kinyume cha Mwenyezi Mungu,tunakukataeni na umekwishadhihiri uadui na bughudha ya daimakati yenu na yetu.” (Sura Al-Mumtahinah: 4.)

Na dalili inayothibitisha kuwa aliye muislamu atakapotenda dhambikubwa inaruhusiwa kumlaani, bali inawezekana katika baadhi ya mazingi-ra ikawa ni wajibu kumlaani kama ilivyo katika kutoleana laana kati yamume na mke. Mwenyezi Mungu anasema katika kisa cha laana:

“Basi ushahidi wa mmoja wao utakuwa kushuhudulia mara nne kwakiapo cha Mwenyezi Mungu, kwamba: Bila shaka yeye ni katikawasema kweli.* Na mara ya tano kwamba: Laana ya MwenyeziMungu iwe juu yake ikiwa ni miongoni mwa waongo.” (Sura Nur:6-7.)

Na akasema kuhusu mwenye kumtuhumu mtu kwa zinaa:

“Bila shaka wale wanaowasingizia wanawake wanaojiheshimu, wasio-jua, waliyo waumini, wamelaaniwa katika dunia na Akhera.” (SuraNur: 23.)

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 13

14

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Aya hizi mbili zinawahusu waisilamu na Aya za kabla yake zinawahusumakafiri na wanafiki na kwa ajili hii alimwombea dua mbaya Muawiya nakundi la wafuasi wake ndani ya kunuti na akawalaani baada ya Swala. Naalilolikataza kiongozi wa waumini ni kuwakashifu baba zao na mama zao,kwani baadhi yao walikuwa wakiiaibisha nasaba ya kundi fulani miongo-ni mwao na mwingine akiwataja kwa uduni wa nasaba na mwingine aki-wafedhehesha kwa uoga na ubahili na kwa baadhi ya michambuo ambayowashairi huchambuana kwayo, na namna yake inajulikana18, hivyo (a.s.)akawakataza hilo kwa kusema: “Mimi sipendi nyinyi muwe watukanajilakini bora zaidi ni muelezee matendo yao na mtaje hali zao….” 19

Na kwa kutumia Hadithi zinazokataza kulaani tunaweza kuthibitisha kuwazinaashiria lile tulilobainisha mwanzo kuwa silaha ya asili ya sheria yakiislamu katika kuamiliana na msitari wa ukafiri na unafiki na uovu nidalili na hoja, bali laana yenyewe ni kama silaha ya kujihami ambayo anai-hitajia kila kiumbe hai na kila nidhamu ya jamii ili kujihami mwenyewekimaadili na kijamii dhidi ya anayemfanyia uadui kwa nje na dhidi yaanayepotosha mwenendo wake kwa ndani.

Maneno ya kustaajabisha sana ni yale aliyotamka Al-Ghazalii katika sualahili, pale alipodai kuwa: “Katika kuwalaani watu kuna hatari hivyo mtu aji-apeshe, na wala hakuna hatari katika kunyamaza bila kumlaani Ibilisi sem-buse mwengine.” Kisha akasema: “Hakika tumesema haya kutokana nawatu kutolitilia uzito suala la laana na kulitamka ulimini, na muuminihuwa si mwenye kulaani mno, hivyo haipasi ulimi wake utamke laana ilajuu ya aliyekufa akiwa kafiri, au makundi ambayo yanajulikana kwa sifazao bila kuwataja watu binafsi, hivyo kujishughulisha na utajo wa

18 Kama lugha ya kejeli na kuchamba tunayoishuhudia ndani ya mashairi na betiza wanataarabu na mipasho ambayo kwa sheria ya dini ni haramu na uovu mkub-wa kwa muislamu - Mtarjumi.19 Sharhu Nahjul-Balagha cha Ibnu Abil Hadid 11: 22 – 23, Hadithi ya 199.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 14

15

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Mwenyezi Mungu ni bora, na kama si hivyo basi kwenye kunyamaza kunaamani.”20

Katika maneno yake kuna eneo la uchunguzi litokanalo na maelezo yaliy-otangulia, nalo ni kuwa laiti laana ingekuwa na hatari ndani ya jamii basiingelazimika Qur’ani isiitowe na Mtukufu Mtume asiitowe na kuitekeleza.Maneno haya ya Al-Ghazalii yana aina fulani ya uzalendo wa chuki, kwanikwa ajili ya kumtetea Yazid na kuharamisha kumlaani amekimbiliakwenye kauli ambazo zinakomea kumpinga Mwenyezi Mungu na MtukufuMtume (s.a.w.w.) bila kutaka.

Qur’ani tukufu inamlaani Ibilisi, hivyo laiti kusingekuwa na masilahi yoy-ote ya kiimani basi zisingepatikana Aya mbili zikimlaani, na maslahi yakwanza kabisa ambayo tunaweza kuyajua ni kuimarisha na kukomazandani ya nafsi hali ya kuchukizwa na kutokupenda alama za shari, batili nauovu, jambo ambalo litasaidia kuwa katika msimamo na kuweka msitarimkubwa tenganishi kati yake na uovu, lakini pamoja na hayo yote bado Al-Ghazalii anadai kuwa ‘hakuna hatari yoyote katika kuacha kumlaani Ibilisisembuse mtu mwingine.’

Huoni matokeo ya maneno yake haya ni kuondoa hekima ya Qur’ani?!Ama suala la watu kutolitilia uzito, hilo ni suala jingine na chanzo chakeni ujinga wa watu au siasa za watawala waovu ambao walimlaani kiongoziwa waumini na wafuasi wake mimbarini, mfano wa Muawiya na Yazid binMuawiya na watawala ambao walikuwa wanapotaka kuwatendea bayawafuasi wa Ahlul-Bayt basi huwatuhumu kuwa wanawatukana mashekhewawili21 ili iwe wepesi kwao kuwatendea watakalo kama utakavyoonahuko mbele.

20 Ihyau Ulumid-Dini, 3:134 – 135, chapa ya Darul-Fikri.21 Abubakr na Umar – Mtarjumi.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 15

16

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Ama kutofautisha kwake kati ya kulaani makundi na kulaani watu binafsijibu lake na uchambuzi wake vitakuja mbele. Ama kauli yake kuwa:“Hivyo kujishughulisha na utajo wa Mwenyezi Mungu ni bora, na kama sihivyo basi kwenye kunyamaza kuna amani,” ni rai binafsi juu ya sualahusika, kwani kinacholazimu ni kuweka wazi hukumu ya laana, hivyoikiwa kisheria inahitajika basi haina maana yoyote kusema kuwa: Kwenyekunyamaza kuna amani, na kama kisheria haihitajiki basi hapo ni lazimakuweka wazi kutokuruhusiwa kwake kisheria, hivyo maneno yake haya nisawa na mawaidha binafsi juu ya hukumu za kifiqhi.

MSIMAMO WA KAMBI YA KISUNNI KATIKA SUALA LA LAANA

Ukweli ni kuwa suala hili halina utata kati ya waisilamu upande wa asiliyake, bali utata kati yao umejitokeza pale ufahamu wa laana yenye maanahiyo tuliyoibainisha ulipogongana na kanuni ya msingi miongoni mwakanuni za kambi ya kisunni, nayo ni kanuni ya uadilifu wa kila swahabaambaye aliishi zama za uhai wa Mtume (s.a.w.w.) akasuhubiana naye hukuakiwa anamwamini. Hivyo kwa ajili ya uzito wa kanuni hii na kuitangulizakwao mbele kabla ya kanuni nyingine wamelazimika viongozi wa kambihii kuleta maana nyingine katika kila kinachopingana na kanuni hiyo mion-goni mwa fikira na ufahamu, na hata matukio ya wazi ya kihistoria ambayoyanathibitisha uovu wa wazi juu ya baadhi ya maswahaba, na makosa yawazi ambayo Qur’ani imeyathibitisha juu ya baadhi yao.

Basi wakajaribu kutaka kuyakimbia kwa hoja ambazo hakuna yeyotemwenye akili anayeafikiana nao, na ni vigumu sana hata kwa waowenyewe kukinaika nazo. Isipokuwa walipopita njia hii na kujizibia njianyingine walijikuta wanalazimika kurukia kila neno ambalo wao wanad-hani kuwa litawasaidia kutoka kwenye matokeo mabovu ya lazimayatokanayo na kanuni hiyo, japokuwa bora zaidi kwao ilikuwa nikuyafanya matokeo hayo batili dalili ya ubatilifu wa kanuni hiyo. Na ufa-

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 16

17

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

hamu wa laana ni miongoni mwa mambo ambayo yanapingana na kanunihii, hivyo wakazidi kung’ang’ania humo kwa kujikaza juu ya kanuni hiyoambayo kwa ajili ya kuilinda na kuitetea wamepanda kila la uasi na baya,japokuwa sehemu kubwa ya maswahaba wa Mtukufu Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w) wametenda matendo ambayo Qur’aniimeyaelekezea laana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w) yeye mwenyeweakawalaani baadhi ya maswahaba kupitia sifa jumuishi, kama pia alivy-owalaani wengine kwa kuainisha na kwa majina. Na japo haya yote nisehemu ya historia isiyopingika lakini bado kambi ya kisunni inaaminikuwa:

Maswahaba wote ni waadilifu.

Yote yanayopingana na uadilifu yaliyotokea kati yao vyovyote yatakavy-ofikia ni lazima kuyaletea maana nyingine yoyote inayonasibu kama ijti-hadi na mfano wa hilo.

Kuhukumu kwa mujibu wa makosa haya na kuyafanyia kazi matokeo yakisheria na kiakili na kutoyaletea maana nyingine nzuri kunapelekea kuwa-tia dosari maswahaba walioyatenda na kufungua mlango wa kuwalaani nakuwaweka kwenye uovu.

Kuwatia dosari baadhi ya maswahaba ni dhambi kubwa inayopelekeamwenye kuwatia dosari ima kuwa muovu au kafiri.22

Nukta hizi baadhi yake zinatokana na nyingine na kila moja kati ya hizo nimbaya zaidi na mbovu kuliko ya kabla yake na zote zinakomea kwenyekanuni yao kuu inayohusu uadilifu wa maswahaba hata yule aliyetendamakosa ya wazi, bali hata yule ambaye Qur’ani imethibitisha uovu wake!!!Kuanzia hapa ndipo utata kati ya kambi mbili ulipoanza: Kambi ya kisun-ni na kambi ya Ahlul-Bayt (a.s.) katika suala la laana, kwani kambi Ahlul-

22 As-Sawaiqu Al-Muhriqah: 375 – 389, chapa ya Darul-Kutub Al-Ilmiyyah.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 17

18

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Bayt (a.s.) wanaamini kuwa watu wote katika sheria ya Mwenyezi Munguni sawasawa na kuwa yeyote atakayetenda kitendo chochote ambachondani ya Kitabu na Sunna kimeambatanishwa na laana na himaya basimatokeo haya yanamkuta sawa awe sahaba au mwanafunzi wa sahaba aumtu wa karne za baadae, na hasa kwa kuwa Qur’ani imethibitisha hilo juuya baadhi ya maswahaba na ikawatolea laana hiyo, na Sunna ya MtukufuMtume (s.a.w.w) imekusanya ushahidi mbalimbali juu ya kutuhumiwa,kulaaniwa na kutengwa kwa baadhi ya maswahaba. Ufuatao ni ufafanuziwake:

MSIMAMO WA KAMBI YA AHLUL-BAITKATIKA SUALA LA LAANA

Ili tulifafanue vizuri kabisa suala hili kwa upande wa Ahlul-Bayt na liwena uwazi utoshelezao ni lazima tulizungumzie kwa kufuata vipengele vifu-atavyo:

Tofauti kati ya laana na tusi

Kutokana na maelezo yaliyotangulia imebainika kuwa laana ni dharura yakiimani ambayo jamii ya kiislamu yenye imani inaihitaji ili kulinda misin-gi yake ya kiimani dhidi ya maadui wa Uislamu wa ndani na wa nje, nadhidi ya baadhi ya tabia za kijamii ambazo zina hatari inayotishia kusam-baratisha muundo wa jamii ya kiislamu, ilihali tusi ni msamiati wakimaadili usiotakiwa na ni neno la kilugha lisilokubalika kwa mtazamo waQur’ani na Sunna ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Maimamu wa nyumbaya Mtukufu Mtume (a.s.).

Nadharia ya uadilifu wa kila sahaba si sahihi

Maudhui hapa haijawekwa ili kujadili nadharia ya uadilifu wa kila sahaba,kwani maudhui hiyo inahitaji nafasi pana yenye kulingana na kitabu kiz-ima au zaidi ya kitabu kimoja, lakini kwa sababu mada yetu ina uhusiano

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 18

19

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

na maudhui hii tumedharurika kuigusia kwa kiwango kinachonasibiana.Miongoni mwa kanuni za kiakili zinazokubalika kwa wenye akili ni kuwadai lazima lilingane na ukubwa wa dalili, lakini likiwa kubwa kuliko dalilibasi linageuka na kuwa dai lisilokuwa na dalili, na pindi unapopimwaukubwa wa dai hutazamwa pamoja na matokeo yote ya lazima ya dai husi-ka kisha ndipo linapopimwa lenyewe kati yake na dalili husika.

Tunapokuja kwenye nadharia ya uadilifu wa kila sahaba tunaikuta inalaz-imu kupatikana matokeo mengi ya lazima ya kiakili na ya kisheria na yotesi sahihi, miongoni mwa matokeo hayo ni:

Hakika kuamini uadilifu wa sahaba kunalazimu kuamini kuwa sababu yauadilifu kwa sahaba ni ule tu usuhuba wake kwa Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) na wala si vitendo vya sahaba, hivyo maadamu yeye nisahaba basi ni mwadilifu hata kama atatenda atakayotenda miongoni mwamakosa.

Hakika makosa ya maswahaba ni lazima kuyaletea maana nyingine inay-onasibiana, na kila inapokuwa vigumu kuleta maana na ikadhihiri kuwatunalazimisha maana hiyo basi kipengele husika cha sheria hudhoofika nakupoteza hadhi yake na hukumu yake. Hivyo kutafsiri kuwa maswahaba nimujtahidina, na mwenye kukosea kati yao hupata thawabu moja namwenye kupatia thawabu mbili, jambo hilo linashusha hadhi ya ijtihadindani ya sheria ya kiislamu. Ni ijtihadi ipi hii inaruhusu maswahabawauane wao kwa wao? Basi kuna tofauti gani kati yao na wanadamuwengine ambao wanauana wao kwa wao, na mengineyo, hivyo kuyatafsiriyote kwa maana ya kisheria kunashusha hadhi ya maana hiyo ndani ya she-ria.

Hakika imani ya uadilifu wa maswahaba inapingana na tamko la wazi laQur’ani tukufu inayoonyesha kuwa miongoni mwao wamo wanafiki,waovu na wenye kumuudhi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kama itakavyoku-ja.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 19

20

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Hakika imani ya uadilifu wa maswahaba inapingana na tamko la wazi laSunna ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) inayoonyesha kuwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) aliwakasirikia na kuwaghadhibikia baadhi ya maswahaba zakekama itakavyokuja.

Hakika imani ya uadilifu wa maswahaba inapingana na maana ya laanainayopatikana ndani ya Qur’ani tukufu kwa kuhusiha baadhi ya haliambazo baadhi yake zimepatikana katika mwenendo wa baadhi ya maswa-haba.

Hakika imani ya uadilifu wa maswahaba inapingana na kanuni za tabia zabinadamu ndani ya jamii kwani mwanadamu ambaye kabla ya kumwami-ni Mtume (s.a.w.w.) alikuwa akimpiga vita, tena mwenye kubobea kwenyeujahili kwa kila aina ya ubaya na uchafu itawezekanaje akili ikubali kuwaamekuwa mwadilifu kwa kutamka tu shahada mbili na kumsuhubu Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)?

Hatukatai kuwa ni jambo linalowezekana lakini uwezekano huo ni kwabaadhi ya watu ambao ushahidi wa kivitendo umethibitisha kupatikanauadilifu kwao kivitendo, na si kwa jamii nzima kama jamii, kwaniuwezekano ni kitu kingine na upatikanaji ni kitu kingine, kwani nadhariaya uadilifu wa maswahaba haizungumzii uwezekano bali yenyeweinazungumzia upatikanaji wa uadilifu kwa kila sahaba bila kujali matendoyao bali ni bila kukubali uchunguzi juu ya hilo.

Na tunaweza kusema kwa yakini kabisa kuwa nadharia ya uadilifu wamaswahaba inapingana kwa ukamilifu na elimu za historia, jamii nasaikolojia ambazo hazikubali kutoa hukumu za mjumuisho wa moja kwamoja zinazosifia kundi la watu fulani, kisha ukatafsiri matendo yao kwanamna inayooana na hukumu hizo. Na jambo ambalo linasisitizwa na tabiaya maisha pamoja na elimu hizi ni kuwa: Hukumu ya sifa nzuri au mbayainatokana na matendo na wala matendo hayatokani na hukumu, na kwaajili ya hukumu kutokana na matendo ni lazima tuchunguze matendo ya

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 20

21

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kila mmoja mmoja na tumtolee hukumu kila mmoja kwa kile anachostahi-ki, ima tumhukumu kwa sifa nzuri au mbaya.

Wenye akili wemezoea kutoa hukumu juu ya kundi fulani la watu kwakuangalia uwingi na aghlabu, Qur’ani imeridhia utaratibu huu hivyo nayoikatoa hukumu juu ya baadhi ya makundi kwa namna hii, lakini maarufu nikuwa katika hali kama hizi hukumu ya kundi haimgusi mtu mmoja mmoja,mfano inaposemwa: Wanaume wana nguvu kuliko wanawake, katikahukumu kama hii haimaanishi kuwa kila mwanaume ana nguvu kulikowanawake wote, kwa sababu hukumu kama hii na mfano wake zimetokanana kigezo cha uwingi na aghlabu na wala haitokani na uchunguzi na laitimtu akidai imetokana na uchunguzi basi dai lake litakuwa ni uwongo.

Nadharia ya uadilifu wa maswahaba inahimiza uadilifu wa kila sahabawala haikubali dhana ya uwingi na aghlabu, na hiki ni kielelezo cha wazikabisa kinachobainisha ubovu wake. Baada ya kubainisha baadhi ya nuktajuu ya nadharia ya uadilifu wa kila sahaba upande mmoja, na kuangaliamkazo wa kambi ya kisunni juu ya nadharia hii upande wa pili, sasamchunguzi mwadilifu ana haki ya kujiuliza: Ni kwa ajili ya dalili ipitunalazimika kuamini nadharia ambayo inalazimu kutenda mambo yotehaya ya mfarakano na matokeo batili? Je, dalili juu ya nadharia hii imefikianguvu, uwazi na mkazo wa kiwango hiki? Kiasi kwamba kutenda mambohaya ya mfarakano na matokeo batili ni suala jepesi kimantiki kulikokuamini uadilifu wa baadhi ya maswahaba?

Na je, kuamini uadilifu wa baadhi ya maswahaba na si wote kunalazimumakosa na mambo ya mfarakano yaliyo makubwa kuliko hayo? Kiasikwamba tulazimike kuamini kuwa maswahaba wote ni waadilifu?

Ukweli ni kuwa sisi sote tunapozitazama dalili wanazozileta juu ya nad-haria ya uadilifu wa kila sahaba tunazikuta ni kundi la baadhi ya Aya naHadithi zisizothibitisha dai hili, mfano:

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 21

22

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

“Waliotangulia ndio waliotangulia.* Hao ndio watakaokaribishwa.”(Al-Waqiah: 10 – 11.)

Na Aya

“Muhammad Mtume wa Mwenyezi Mungu na walio pamoja naye niimara mbele ya makafiri na wenye kuhurumiana wao kwa wao.”(Sura Al-Fat’hu: 29.)

Na Aya

“Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewaridhia Waumini.” (Sura Al-Fat’hu: 18.)

Na kauli ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Karne bora ni karne ambayonimepewa utume nikiwa miongoni mwao, kisha wanaowafuata kishawanaowafuata.”23

Ni wazi kuwa lengo linaloonyeshwa na dalili hizi ni kukisifia kizazi chamaswahaba na kuwasifu kwa juhudi walizozifanya katika kuinusuru dinina Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na hilo ni jambo linalokubalika kiakili hatakabla ya Qur’ani kwani maswahaba wa Mtukufu Mtume wao kama kizaziwalikuwa ni mbegu ya jamii ya kiislamu duniani na ndio mwanzo wakusambaa Uislamu ndani ya maisha, hivyo wao ni kipimo bora cha imanikuliko jamii yoyote ile ya wanadamu katika ardhi zama hizo, lakini hiki ni

23 Al-Fatawa Al-Kubra 4: 217.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 22

23

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kitu kingine; na kuhukumu uadilifu kwa kila mtu miongoni mwao ni kitukingine.

Na tayari tangu mwanzo tumeshasema kuwa hukumu ya pamoja haimgusimtu mmoja mmoja kwa sababu yenyewe inatokana na kigezo cha uwingina aghlabu, ilihali hukumu ya mtu mmoja mmoja inahitaji uchunguzi wapande mbili: Upande wa watu na upande wa matendo ya kila mtu mudawote wa maisha yake ndipo itasihi kwetu kusema: Watu wa kundi hili woteni waadilifu.

Aya zilizotajwa hazionyeshi uchunguzi wowote si katika upande huu walaupande ule, bali hapo uchunguzi haukubaliki kiakili kwa sababu maisha yamaswahaba wanaohutubiwa kwa Aya hizo bado hayajatimia mpaka tusemekuwa: Zinaonyesha uadilifu wao, kwani baada ya hotuba hii au baada yakufariki Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) huenda watatenda mambo yanayokhal-ifu uadilifu, na tayari Aya nyingine zimeshatupa habari kuwa baadhi yamaswahaba wanaweza kuritadi na hilo ni kosa kubwa sana miongoni mwamambo yanayopingana na uadilifu na hilo lilitokea kivitendo kamaitakavyokuja.

Na kwa kuwa uchunguzi hauwezekani basi tunaweza kusema kuwa:Hakika Aya zilizotajwa si kwamba hazionyeshi tu uadilifu wa maswahababali pia dalili hii yenyewe binafsi haijiwezi, kwani yenyewe ni tasa kwasababu ya kutoweka mlengwa, kwani hakuna maana mbili: Moja inaonye-sha uadilifu wa maswahaba na nyingine inaonyesha kusifiwa kwao tu, hatatuhitaji kuchagua iliyo bora zaidi kwa mujibu wa vielelezo na dalili. Balimaana ni moja katika Aya hizi nayo ni kuwa Aya hizi zinawasifia maswa-haba kwa kuzingatia wao ni kizazi na kundi moja bila kujali mtu mmojammoja miongoni mwao, na maana hii imetamkwa wazi ndani ya maelezona urithi wa kifikra wa Ahlul-Bayt (a.s.) kama tutakavyoona katika kipen-gele kifuatacho.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 23

24

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Tunakiri ubora wa maswhaba kwa sura ya ujumla

Imamu Ali (a.s.) anawazungumzia maswahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwa kusema: “Hakika niliwaona maswahaba wa Muhammad(s.a.w.w.) na sijamwona yeyote anayefanana nao miongoni mwenu, hakikawalikuwa wakiamka na kutawanyika kama vumbi ilihali walilala wakiwani wenye kusujudu na kusimama huku wakijigeuza kati ya vipaji vyao namashavu yao, na wakisimama kama wako juu ya kijinga cha moto kwa ajiliya kukumbuka marejeo yao, kati ya macho yao kukiwa kama magoti yambuzi kutokana na urefu wa sijida zao, Mwenyezi Mungu anapotajwamacho yao hububujika machozi mpaka vifua vyao vinalowa na wananepakama unepavyo mti wakati wa upepo mkalli kwa ajili ya kuogopa adhabuna kutaraji thawabu.”24

Na anasema: “Wako wapi ndugu zangu ambao wamepita njia na wakapitajuu ya haki? Yuko wapi Ammar, yuko wapi Ibnu At-Tayyhan, yuko wapimwenye shahada mbili? Wako wapi mfano wao miongoni mwa ndugu zaoambao waliisoma Qur’ani kisha wakaiimarisha, na wakaizingatia faradhikisha wakaisimamisha, walihuisha Sunna na wakaua Bidaa, waliitwakwenye jihadi wakaenda na wakamwamini kiongozi kisha wakamfuata.”25

Na Miongoni mwa dua za Imam As-Sajjad Zaynul-Abidina Ali bin Husein(a.s.) ambazo zinapatikana ndani ya kitabu maarufu kwa jina la As-SahifatuAs-Sajadiyyah ambacho wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s.) hukitumia katikaibada mbalimbali ni dua hii:

“Ewe Mola, wabariki wafuasi wa Mitume na wale wenye kuwasadikishakatika mambo ya ghaibu, wakati wapinzani wao wanapowapinga kwakuwakadhibisha……. Ewe Mola, na maswahaba wa Muhammad hasa,ambao waliandamana naye kwa wema na ambao walipigana kishujaa kati-

24 Nahjul-Balagha – Subhi As-Saleh: 91.25 Nahjul-Balagha – Subhi As-Saleh: 264 Hotuba ya 182.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 24

25

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

ka kumnusuru, wakamsaidia na kufanya haraka katika kuunga mkonoujumbe wake na kuuitikia mwito wake, waliomwitikia mara tu alipowasik-ilizisha hoja za ujumbe wake, wakajitenga na baba zao, wake na watotokatika kudhihirisha neno lake, wakapigana na baba zao na watoto katikakuthibitisha Utume wake na wakanusurika kwaye.

Na wale waliozama katika kumpenda yeye, waliotarajia biashara isiy-oweza kuharibika ya mapenzi kwake. Na wale ambao jamaa zao waliwa-hama pale waliposhikamana na kishikio chake na akraba waliwakimbiapale walipokaa chini ya kivuli cha akraba zake. Basi usisahau ewe Molayale waliyoyaacha kwa ajili yako katika njia yako. Wape radhi zako…..Uwalipe kwa kuyahama majumba ya watu wao kwa ajili yako….. EweMola uwafikishie bora ya malipo yako wale walioandamana nao kwawema ambao husema: “Mola wetu Mlezi tusamehe sisi na ndugu zetuwaliotutangulia katika imani…..”26

Maana hii inaonekana kutoka kwenye urithi wa wanachuoni na wana-harakati wa kambi ya Ahlul-Bayt (a.s.), mmoja kati ya wanachuoni wazama zetu naye ni Sheikh Muhammad Husein Ali Kashful-Ghitai anasema:“Sisemi maswahaba wengine – Na ndio wengi ambao hawakuwatawalishaAhlul-Bayt – walimkhalifu Mtume na hawakushika ushauri wake, si hivyo,tunajikinga kwa Mwenyezi Mungu tusiwadhanie hivyo ilihali zama hizowao ndio walikuwa watu bora kuliko wote waliyokuwa juu ya ardhi, laki-ni huenda maneno hayo hawakuyasikia wote na baadhi walioyasikiahawakujua makusudio yake. Na maswahaba wa Mtukufu Mtume wako juuzaidi kuliko hadhi zao kuzungukwa na dhana chafu.”27

Ali Kashif Al-Ghita baada ya kutaja baadhi ya yaliyowapata Ahlul-Baytzama za ukhalifa uliofuatana anaongeza kwa kusema: “Usisahau kuwa hii

26 As-Sahifatu As-Sajadiyyah – Dua namba 4 (Kuwaombea baraka wafuasi waMitume na wenye kuwasadikisha.).27 Aslus-Shia Wa Usuliha: 84 – 85.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 25

26

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

haimaanishi kuwa sisi tunataka kukanusha mema waliyo nayo hao makhal-ifa na baadhi ya huduma zao kwa ajili ya Uislamu ambavyo havikanushiila mwenye kiburi, na tunamshukuru Mwenyezi Mungu sisi si wenyekiburi wala si watukanaji wala si wenye kukashifu, bali sisi ni wenyekushukuru wema na kusamehe makosa.”

Na anasema tena: “Huo ni umma uliotangulia una yake uliyoyachuma nani juu yake yale uliyoyachuma na malipo yake ni juu ya Mwenyezi Mungu,akisamehe basi ni kwa fadhila Yake na akiadhibu basi ni kwa uadilifuWake.”28

Haya ni kwa ufafanuzi, ama muhtasari wa wasifu wa maswahaba ameu-fupisha As-Sayyid As-Shahid Muhammad Al-Baqir As-Sadri kwa ibara yakupendeza akasema: “Hakika maswahaba kwa sifa yao ya kuwa kundi lamwanzo lenye imani na lenye kuangazia wengine walikuwa wabora nambegu bora zaidi katika kuanzisha umma wa kiislamu mpaka historia yamwanadamu haijashuhudia kizazi cha kiimani kizuri, bora na kisafi kulikokizazi alichokianzisha Mtukufu Mtume kiongozi.”29

Vielelezo vya Qur’ani, Hadithi na historia vinathibitisha ukosefu wauadilifu kwa baadhi ya maswahaba

Na sisi hapa tutaeleza hilo kwa ufafanuzi kidogo. Vilidhihiri baadhi yavitendo vya unafiki kwa baadhi ya maswahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) huko Madina tukufu na Qur’ani ikasajili vitendo hivyo kwa ibarambalimbali zilizorudiwa ndani ya Sura kumi na mbili, na moja ikatengwamahususi kwa ajili ya kuwafichua, kuwatahadharisha, kufichua njama zaona siri zao na kubainisha sifa zao na mwenendo wao, na ikawaashiria kwakutumia neno unafiki au wanafiki mara thelathini na saba, na bila shakahawa walimsuhubu Mtume (s.a.w.w.) na kabla ya hapo walikuwa miongo-

28 Aslus-Shia Wa Usuliha: 94.29 Al-Majumuati Al-Kamilah namba 11 mada kuhusu utawala: 48.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 26

27

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

ni wanaoshiriki naye katika vita mbalimbali na huenda baadhi yaowalikuwa na imani ya kweli kabla unafiki haujaingia ndani ya mioyo yao.

Miongoni mwa maswahaba yumo aliyemuasi Mtume (s.a.w.w.) katikasadaka, na yupo aliyemuudhi na kumwambia yeye ni (Sikio), na miongonimwao yupo aliyejenga msikiti kwa ajili ya kuwadhuru na kuwafarakishawaumini, na miongoni mwao yupo aliyekuwa na ugonjwa moyoni mwakena wapo wenye kuwazuia watu, na miongoni mwao wapo waliotoa udhu-ru ili wasiende vitani kwenye vita vya Tabuk, na hao walikuwa watu the-manini30 na wakaapa mbele ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) naye akakubalikiapo chao ndipo kwa ajili yao Mwenyezi Mungu akateremsha

“Watakuapieni Mwenyezi Mungu mtakaporudi kwao ili mjitenge nao.Basi jitengeni nao, kwani wao ni najisi, na makazi yao ni Jahannam nimalipo ya yale waliyokuwa wakiyachuma.* Wanakuwapieni ili muweradhi nao, na kama mkiwaridhia, basi hakika Mwenyezi Munguhatakuwa radhi na watu wavunjao amri.” (Sura Tawba: 95 – 96.)

Na katika vita hivi wanafiki kumi na nne walinuia kumuua MtukufuMtume (s.a.w.w.) kwenye giza huko kwenye ufa wa mlima.31 Na alipoon-doka Mtume kutoka kwenye vita hivi kwenda Madina njiani kulikuwa namaji yanayotoka kidogo kidogo kwenye bonde lenye mpasuko, basi

30 Fat’hul-Bari 8: 113, mlango wa 79, Hadithi ya 4418.31 Dalailun-Nubuwwah 5: 256, 262.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 27

28

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Mtume wa Mwenyezi Mungu akasema: “Atakayetutangulia kufika kwenyemaji yale asinywe hata kidogo mpaka nifike.” Basi kundi la wanafikilikamtangulia na wakanywa maji, Mtukufu Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) alipofika alisimama na hakuona maji hata kidogo, basi Mtumealipojua walilolifanya wanafiki alisema: “Hivi hatukuwakataza wasinywemaji hata kidogo mpaka nifike?” kisha akaanza kuwalaani na kuwaombeadua mbaya.32

“Na miongoni mwao wako wanaomuudhi Nabii na wanasema: Yeye nisikio….. na wale wanaomuudhi Mtume wa Mwenyezi Munguwatakuwa na adhabu iumizayo.” (Sura Tawba: 61.)

“Kwa hakika wale wanaomuudhi Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.Mwenyezi Mungu amewalaani duniani na Akhera na amewaandaliaadhabu yenye kufedhehesha.” (Sura Al-Ahzab: 57) 33

Na miongoni mwao wamo wanaodanganya na ambao wanadhihirishaimani, Mwenyezi Mungu kawaelezea kwa kusema:

32 Tarikhu At-Tabari 2: 186, kuelezea habari za vita vya Tabuki: Matukio yamwaka 9 tangu kuhama.33 Rejea Tafsiril-Mawsarid 4: 422 kwenye tafsiri ya Aya hii.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 28

29

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

“Na miongoni mwa watu wako wasemao: Tumemwamini MwenyeziMungu na siku ya Mwisho, hali wao si wenye kuamini.* Wanatakakumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walioamini lakinihawamdanganyi ila nafsi zao na hawatambui.” (Sura Al-Baqara: 8 –9.) 34

“Na wanapokutana na walioamini husema: Tumeamini, nawanapokuwa peke yao kwa mashetani wao husema: Hakika sisi tupamoja nanyi, sisi tunafanya mzaha tu.” (Sura Al-Baqara: 14.) 35

“Na miongoni mwao wako waliomwahidi Mwenyezi Mungu akitupakatika fadhili Zake lazima tutatoa sadaka na bila shaka tutakuwamiongoni mwa watendao mema. Lakini alipowapa katika fadhila

34 Rejea Al-Jamiu Liahkamil-Qur’ani 1: 192 – 197 kwenye tafsiri ya Aya hizimbili.35 Rejea Tafsir Al-Baydhawi 1: 175 – 177 kwenye tafsiri ya Ayah hii.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 29

30

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Zake wakazifanyia ubakhili na wakageuka na huku wakipuuza. Kwahiyo akawalipa unafiki nyoyoni mwao mpaka siku ya kukutana nayekwa sababu ya kumkhalifu Mwenyezi Mungu ahadi waliyomwahidina kwa sababu walikuwa wanasema uongo.” (Sara Tawba: 75 – 77.)

Aya hizo ni kisa cha Thaalabah yule sahaba mkata aliyemwomba MtukufuMtume (s.a.w.w.) amuombee kwa Mwenyezi Mungu ili amruzuku mali,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamwambia: “Ole wako ewe Thaalabahkichache unachoshukuru ni bora kwako kuliko kingi usichokiweza.”Thaalabah akasema: “Naapa kwa yule aliyekupa utume, iwapo utamwom-ba Mwenyezi Mungu na akaniruzuku mali hakika nitampa kila mwenyehaki ile haki yake.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Ewe Molamruzuku Thaalabah mali.” Ndipo Mwenyezi Mungu alipomruzuku mali nakumzalishia.

Basi Mtukufu Mtume alipomwomba atoe Zaka ya mali yake Thaalabaalikataa huku akitoa kisingizio kuwa Zaka hii ni kodi, hivyo akagomakutoa; na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akafariki ilihali Thaalabah akiwabado hai, basi ndipo alipopeleka Zaka ya mali yake kwa Abu Bakr nayeakaikataa, akaipeleka kwa Umar akaikataa, na Thaalabah akafariki zama zaUthman.36

Na miongoni mwao yupo aliyezungumziwa na Qur’ani kuwa:

36 Rejea Tafsir Fat’hul-Qadir cha As-Shawkan Ali bin Muhammad 2: 185. TafsirIbnu Kathir cha Ismail bin Kathir Ad-Damashki 2: 373. Tafsir Al-Khazin chaAlaud-Din Ali bin Ibrahim Al-Baghdad 2: 125. Tafsir Al-Baghawi Muhammad ibnu Al-Hasan bin Masuud Al-Fara 2: 125kwenye maelezo ya Tafsir Al-Khazin. Tafsir At-Tabari cha Abu Jafar Muhammadbin Jarir At-Tabari 6: 131.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 30

31

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

“Je, muumini anaweza kuwa sawa na yule aliye muovu? Hawawisawa. Ama wale walioamini na wakafanya vitendo vizuri basiwatakuwa nazo Bustani za makazi ndio pakufikia kwa waliyokuwawakiyatenda. Lakini wale waliofanya uovu, basi makazi yao niMotoni, watakapotaka kutoka humo watarudishwa humo na wataam-biwa: Onjeni adhabu ya Moto ambayo mlikuwa mkikadhibisha.”(Sura As-Sajdah: 18 – 20.)

Muumini hapa ni Ali bin Abi Talib, na muovu hapa ni Al-Walid bin Aqabahna yeye alikuwa Gavana wa Uthman huko Kufa na Gavana wa Muawiyana mwanae Yazid huko Madina.37

37 Rejea Tafsir At-Tabari 21: 107. Tafsir Al-Kashaf cha Az-Zamakhshar 3: 514.Fat’hul-Qadir cha Al-Shawkan 4: 225. Tafsir Ibnu Kathir 3: 462. Asbabun-Nuzulcha As-Suyut kimechapwa pambizoni mwa Tafsir Al-Jalalayn: 550. Ahkamul-Qur’ani cha Ibnu Arab 3: 1489. Sharhu Nahjul-Balagha cha Ibnu Abil Hadid 4:80 na 6: 292. Ad-Durul-Mathur cha As-Suyut 5: 178. Zadul-Masir cha Ibu Al-Jawaziyu Al-Habaliyu 6: 340. Ansabul-Ashraf cha Al-Baladhari 2: 148 Hadithi ya150. Tafsir Al-Khazin 3:470 na 5: 187. Maalimu At-Tanzil cha Al-Baghawi As-Shafi kwenye maelezo ya Al-Khazin 5: 187. As-Sirat Al-Halbiyyah cha Al-HalbiAs-Shafi 2: 85. Takhrijul-Kashaf cha Ibnu Hajar Al-Asqalan kilichochapwa mwis-honi mwa Al-Kashaf 3: 514. Al-Intisaf fi ma tadhammanahu Al-Kashaf kilichopomwishoni mwa Al-Kashaf 3: 244.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 31

32

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Na miongoni mwao yupo aliyezungumziwa na Mwenyezi Mungu kwakusema:

“Na ni nani dhalimu mkubwa zaidi kuliko yule anayemzuliaMwenyezi Mungu uongo na hali anaitwa kwenye Uislamu? NaMwenyezi Mungu hawaongozi watu madhalimu.” (As-Saf: 7.)

Aya hii iliteremka kwa ajili ya Abdullah bin Abu Sarhi naye ni Gavana waUthman huko Misri, yeye ndiye aliyemzushia Mwenyezi Mungu uongo naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) akahalalisha damu yake hata kama atang’ang’a-nia nguzo za Al-Kaaba kama anavyoelezea hilo As-Shafiy mwandishi wakitabu As-Sirat Al-Halabiyyah kwenye mlango wa ukombozi wa Makka,na siku ya ukombozi Uthman alikuja naye akimuombea amani kamaanavyoeleza mwandishi wa As-Sirah, lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alinyamaza akitaraji atauwawa ndani ya muda wa ukimya wake kamaalivyofafanua hilo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), lakini hakuuwawa na hivyoakapewa amani.38

Na miongoni mwao yupo aliyezungumziwa na Mwenyezi Mungu:

“Wamefanya kiapo chao kuwa ngao, wakaepuka njia ya MwenyeziMungu basi itakuwa kwao adhabu ifedheheshayo.” (Sura Al-Mujadalah: 16.) 39

38 Rejea As-Siratu Al-Halabiyyah mlango wa ukombozi wa Makka.39 Rejea Tafsir Al-Khazin 4: 262 kwenye Tafsiri ya Aya hii, chapa ya Darul-KutubAl-Ilmiyyah.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 32

33

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Na yupo aliyesema:

“Hakika wanafiki wanataka kumdanganya Mwenyezi Mungu, nayeatawaadhibu kwa sababu ya udanganyifu wao. Na wanaposimamakuswali husimama kwa uvivu, kujionyesha kwa watu, wala hawamta-ji Mwenyezi Mungu ila kidogo tu. Wanayumbayumba huku na huku,huku hawako wala huku hawako. Na ambaye Mwenyezi Munguamemwacha katika upotovu basi huwezi kumpatia njia.” (Sura An-Nisai: 142 – 143.) 40

Na Kitabu Kitukufu kinatamka waziwazi kuwa lipo kundi linalomsikilizaMtukufu Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) lakini Mwenyezi Munguamepiga mihuri kwenye nyoyo zao kwa sababu wao walifuata matamanio,Mwenyezi Mungu akasema:

“Na wako miongoni mwao wanaokusikiliza hata wanapoondokakwako wanawauliza wale waliopewa elimu: Amesema nini sasa? Haondio ambao Mwenyezi Mungu amewapiga muhuri nyoyoni mwao nawakafuata tamaa zao.” (Sura Muhammad (s.a.w.w.): 16.) 41

40 Rejea Tafsir Al-Maragh 2: 186 – 188 kwenye tafsiri ya Aya hizi mbili, chapaya Darul-Fikri.41 Rejea Safuwat-Tafasir 3: 209 – 210. Chapa ya Darul-Qalam kwenye tafsiriya Aya hii.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 33

34

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Kama Mwenyezi Mungu alivyotangaza kulilaani kundi miongoni mwaonao ni wale ambao ndani ya nyoyo zao mna ugonjwa na ambao wanao-fanya uharibifu ardhini na kukata ujamaa wao, Mwenyezi Mungu akase-ma: “Na ndio Mwenyezi Mungu amewalaani na amewatia uziwi naamewapofusha macho yao. Je, hawaizingatii Qur’ani au nyoyo zinakufuli?” (Sura Muhammad (s.a.w.w.): 23-24.)42

Na miongoni mwao yupo Dhuthudayyah ambaye alikuwa miongoni mwamaswahaba wenye kushikamana na ibada, ibada yake pamoja na juhudizake vilikuwa vikiwashangaza watu, na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alikuwa akisema: “Hakika yeye ni mtu mwenye doa jeusi kutoka kwaShetani.” Na akamtuma Abu Bakr ili akamuue lakini alipomkuta akiswaliakarejea. Akamtuma Umar naye hakumuuwa. Kisha akamtuma Ali (a.s.)lakini hakumkuta.43 Na yeye ndiye aliyekuwa kiongozi wa waasi na ali-uliwa na Ali kwenye vita vya Nahrwan.44

Baadhi ya kundi la maswahaba lilikuwa likijikusanya kwenye nyumbamoja wakiwazuia watu dhidi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)ndipo akamwamuru aliyewaunguza kwa kuwachomea nyumba hii.45

Na miongoni mwa waliomsuhubu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni Qazmanbin Al-Harth aliyepigana bega kwa bega na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kwenye vita vya Uhud tena kwa ushujaa mpaka maswahaba wa Mtukufuwa Mtume (s.a.w.w.) wakasema: “Hakuna yeyote aliyetuwakilisha kama

42 Rejea Safuwat-Tafasir 3: 211 – 212, kwenye tafsiri ya Aya hizi mbili, chapaya Darul-Qalam.43 Rejea Al-Isabah fi Tamyizi As-Sahabah 1: 484, namba 2446. Fat’hul-Bari 6:

617, Hadithi ya 361, kwa tamko lingine.44 As-Sirat An-Nabawiyyah cha Ibnu Haban: 546. MurujuDhahab 2: 425. Al-Kamil fi Tarikh 3: 348. Al-Bidayat Wan-Nihayah 7: 235.45 Rejea Sirat Ibnu Hisham 3: 235.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 34

35

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

alivyotuwakilisha fulani.” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Bilashaka yeye ni miongoni mwa watu wa Motoni.” Na alipopatwa na jerahana kudondoka wakamwambia: “Hongera ewe baba Al-Ghaydaq.”Akasema: “Pepo kutoka kwa Harmal! Naapa kwa Mwenyezi Munguhatukupigana ila kwa ajili ya nasaba.”46

Na miongoni mwao wapo waliojenga msikiti kwa ajili ya kuwadhuru nakuwafarakisha waumini na wakasema: Hakika wao wamejenga msikiti huukwa ajili ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, na hawa walikuwa niwatu kumi na mbili wanafiki miongoni mwa maswahaba.

Ibnu Hajar Al-Haythami ametoa kutoka kwa Abu Dardau amesema:Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: “Bila shaka kwenye Hodhi nita-jua atakayofanyiwa mmoja wenu, kisha nitasema: Huyu ni miongoni mwamaswahaba zangu. Nitaambiwa: Hakika wewe hujui ni kitu gani walizuabaada yako”47 Na kutoka kwa Abu Dardau amesema: Nikamwambia: EweMtume wa Mwenyezi Mungu, imenifikia habari kuwa umesema: Hakikawatu katika umma wangu watakufuru baada ya imani yao.” Akasema:“Ndiyo, ewe Abu Dardau, na mimi si miongoni mwao.”48

Na Imam Ahmad ametoa kutoka kwa Abu Bakrah amesema: Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Watanikuta kwenye Hodhi watumiongoni mwa walionisuhubu na kuniona, basi watakapoinuliwa nanikawaona, watasogezwa mbali na mimi. Hapo nitasema: Ewe Molawangu Mlezi! Hawa ni maswahaba zangu! Hawa ni maswahaba zangu!Nitaambiwa: Hakika wewe hujui ni kitu gani walizusha baada yako.”49

Na ametoa Imam Ahmad kutoka kwa Anas bin Malik kutoka kwa Mtukufu

46 Al-Isabah 3: 235.47 Maj’mauz-Zawaid 9: 367.48 Maj’mauz-Zawaid 9: 367.49 Musnad Imam Ahmad 5: 50 chapa ya kwanza.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 35

36

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Mtume (s.a.w.w.) amesema: “Kuna watu watanikuta kwenye Hodhi basinitakapowaona watainuliwa kuletwa kwangu lakini watasogezwa mbali namimi. Hapo nitasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Hawa ni maswahabazangu! Hawa ni maswahaba zangu! Nitaambiwa: Hakika wewe hujui nikitu gani walizusha baada yako.50

Na Imam Ahmad ametoa kutoka kwa Said bin Jubayri kutoka kwa IbnuAbbas amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu alisimama kutuwaidhiakasema: “Hakika ninyi mtafufuliwa kuelekea kwa Mwenyezi Mungumkiwa peku, uchi na mkiwa mazunga kama tulivyoanza mwanzo waumbile tutalirudisha ikiwa ni ahadi juu yetu hakika sisi tulikuwa ni wenyekufanya.” Hivyo kiumbe wa kwanza atakayevishwa nguo ni Ibrahimkipenzi cha Rahman kisha kundi miongoni mwenu litapelekwa upande wakushoto.”

Na Ibnu Jafar amesema: “Watu miongoni mwa umma wangu watachukuli-wa na kuelekezwa upande wa kushoto51, kisha mimi nitasema: Ewe MolaWangu Mlezi, maswahaba zangu! Nitaambiwa: Hakika wao hawakuachakurudi nyuma tangu ulipowaacha, basi nitasema kama alivyosema mjamwema ‘Nilikuwa shahidi juu yao pale tu nilipokuwa bado nimo miongo-ni mwao.’ Hakika Wewe ni Mshindi, mwenye hekima.”52

Qur’ani na Sunna vinawalaani waziwazi baadhi ya maswahaba

Ama kuhusu Qur’ani tukufu tayari tumeshasema maeneo ya laana ndani yaQur’ani tukufu yamegawanyika katika mizunguko minne nayo ni:

50 Musnad Imam Ahmad 3: 281.51 Ili wafikishiwe sehemu inayowafaa wao, Mwenyezi Mungu anasema: “Nawatu wa kushoto, watakuwa vipi watu wa kushoto. *Watakuwa katika upepo wamoto na maji yachemkayo. * Na kivuli cha moshi mweusi sana. * Si baridi walasi starehe.”- Sura Waqia: 41. - Mtarjumi. 52 Musnad Imam Ahmad 1: 235.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 36

37

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Makafiri wote, mayahudi peke yao, wanafiki na sababu zinazotishiakusambaratika muundo wa jamii ya kiislamu. Mzunguko wa kwanza na wapili ni ya nje na wa tatu na wa nne ni ya ndani inaishi ndani ya jamii yakiislamu, na pindi Qur’ani inapomwaga laana yake juu ya wanafiki nikuwa inawalaani watu ambao walisilimu na wakamsuhubu MtukufuMtume (s.a.w.w.) na maana ya usahaba ikatimia kwao, na hivyo hivyo kati-ka mzunguko wa nne.

Na Aya kinara kabisa katika kuwalaani baadhi ya maswahaba ni kauli yaMwenyezi Mungu:

“Na tulipokuambia: Hakika Mola wako Mlezi amewazunguka watu.Na hatukuifanya ndoto ile tuliyokuonyesha ila kwa kuwajaribu watu,na pia mti uliolaaniwa ndani ya Qur’ani tukufu. Na tunawahadhar-isha lakini haiwazidishii ila uasi mkubwa.” (Sura Al-Israi: 60.)

Wafasiri wamesema kuwa mti uliolaaniwa ndani ya Qur’ani tukufu ni mtiwa Al-Hakam bin Abul-Aas, na ndoto ni ndoto aliyoiota Mtukufu Mtumekuwa kizazi cha Mar’wan bin Al-Hakam watapeana mimbari yake.53

Ama laana ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa baadhi ya maswahaba nimlango mkubwa sana wenye mambo mengi, na mashuhuri zaidi ni laanaya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kumlaani Al-Hakam na kulaani kizazi chake

53 At-Tafsir Al-Kabir 20: 237. Al-Jamiu Liahkamil-Qur’ani 10: 281 – 287kwenye tafsiri ya Aya hii ya sitini ya Sura Al-Israi. Ruhul-Maan cha Al-Alus 15:105 – 107 kwenye tafsiri ya Aya hii.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 37

38

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

mpaka akasema: “Ni balaa kubwa kwa umma wangu kutokana na kili-chopo kwenye mfupa wa mgongo wa huyu.”54

Na kwa mujibu wa Hadithi ya Aisha ni kuwa yeye alimwambia Mar’wan:“Nashuhudia ya kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu alimlaani babayako nawe ukiwa kwenye mifupa ya mgongo wake.” Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) akamfukuza na kwenda Maraj karibu na Taif na akamharamishiakuingia Madina, lakini alipofariki Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)Uthman alimwendea Abu Bakr akimuomba amrudishe Madina lakini AbuBakr alikataa, na Abu Bakr alipofariki Uthman alimwendea Umar iliamruhusu kurudi Madina naye Umar akakataa, ndipo Uthman alipochukuaukhalifa akamwingiza Madina kwa heshima na taadhima na akampadirhamu laki moja na kumfanya mwanae Mar’wan kuwa mshauri wakemkuu, na mwishowe alisababisha khalifa kuuawa na ukhalifa kuharibika.

Nasru bin Muzahim Al-Man’qar ametoa kutoka kwa Abdul-Ghaffar binQasim kutoka kwa Adi bin Thabit kutoka kwa Al-Barau bin Azib amese-ma: “Alikuja Abu Suf’yan akiwa na Muawiya basi Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) akasema: “Ewe Mola, mlaani mfuasi na mfuatwa, eweMola mlaani mwana.” Ibnu Barrau akamuuliza baba yake: Ni nani mwana?Akasema: Muawiyya.”55

54 Chanzo kilichotangulia. Na Fakhru Ar-Raz amefanya Hadithi iliyopokewakutoka kwa Aisha kuwa ndio dalili ya kusihi tafsiri hii ya mti uliolaniwa kuwa niAl-Hakam na kizazi chake. Pia tazama Al-Mustadrak Alas-Sahahain cha Al-Hakim 4: 481 na amesema riwaya hiyo ni sahihi. As-Sawaiq Al-Muhriqah: 179chapa ya Al-Muhammadiyyah na ukurasa wa 108 chapa ya Al-MaymaniyyahMisri. Tat’hir Al-Jinan kilichochapwa pamoja na As-Sawaiq: 63 chapa ya Al-Muhammadiyyah na kwenye maelezo yake: 144 chapa ya Al-Maymaniyyah. Ad-Durrul-Mathur cha As-Suyut 4: 191 na 6: 41. Maqtaluk-Husein cha Al-Khawarazim Al-Hanafiy 1: 172. Siratu Aalamu An-Nubalai 2: 80. Usudul-Ghabacha Ibnu Al-Athir 2: 34. Al-Istiab cha Ibnu Abdul-Bar mwishoni mwa Al-Isabah1: 317, chapa ya Misri na juz 1, uk 318. As-Siratul-Halabiyyah 1: 317. As-SiratuAn-Nabawiyyah cha Zayni Dahlan kwenye maelezo ya Siratul-Halabiyyah 1: 225,226. Al-Ghadir cha Al-Amin 8: 245.55 Waq’at Saffayn: 217, uhakiki na ufafanuzi wa Ustadh Abdus-SalamMuhammad Harun, chapa ya Misri.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 38

39

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Na Nasru ametoa kutoka kwa Ali bin Al-Aqmar mwishoni mwa Hadithiyake: “Mtume akamtazama Abu Suf’yan akiwa juu ya kipando naMuawiya na ndugu yake mmoja amekaa na mwengine anaendesha, basiMtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alipowaona akasema: “Ewe Molamlaani kiongozi, mwendeshaji na mpandaji.” Tukasema: Wewe ulimsikiaMtume wa Mwenyezi Mungu? Akasema: Ndiyo, na kama si hivyo basimasikio yangu mawili yazibe kama yalivyopofuka macho yangu maw-ili.”56

Tazama barua ya Muhammad bin Abu Bakr ambayo alimtumia Muawiyandani yake aliandika: “Na nimekuona unataka kujilinganisha naye ilihaliwewe ni wewe na yeye ndiye mwenye nia njema kuliko watu wote nandiye mwenye kizazi bora kuliko watu wote na ndiye mwenye mke borakuliko watu wote na ndiye mwenye binamu bora kuliko watu wote, nduguyake aliiuza nafsi yake siku ya vita vya Muuta, na ami yake ni bwana wamashahidi siku ya Uhudi na baba yake ndiye aliyejitolea kumhami Mtumewa Mwenyezi Mungu na sisi ni wanafunzi wake. Na wewe ni mlaanifumwana wa mlaanifu wewe na baba yako mliendelea kumfanyia kila tatizoMtume wa Mwenyezi Mungu na mkijitahidi kuzima nuru ya MwenyeziMungu mkikusanya makundi ili kutimiza hilo na mkitoa mali na kumku-sanyia makabila na baba yako akafariki akiwa katika hali hiyo na weweumemrithi katika hilo.” Muawiya hakukataa laana yake wala laana ya babayake japokuwa aliandika barua ya kujibu barua hii.57

Na ushahidi huu wa Qur’ani, Hadithi na historia unathibitisha kwa yakinikabisa ubatilifu wa nadharia ya uadilifu wa kila sahaba, na piaunathibitisha kuwa maswahaba wao wenyewe hawakuwa wanamuona kilasahaba mwenzao ni mwadilifu kama ilivyo kwenye kauli ya Aishakumwambia Mar’wan: “Nashuhudia kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) alimlaani baba yako na wewe ukiwa bado kwenye mifupa ya

56 Waq’at Saffayn: 220, chapa ya Misri.57 Muruj Ad-Dhahab 3: 14 – 16.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 39

40

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

mgongo wake.” Na matokeo haya yanatiwa mkazo na neno lake mashuhurikuhusu Uthman: “Muuweni Naathal hakika yeye amekufuru.” 58

Ubatilifu wa kanuni ya kutofautisha kati ya sifa jumuishi na mtubinafsi

Ushahidi huu pia unathibitisha ubatilifu wa kanuni aliyoiweka Abu HamidAl-Ghazalii na wengine waliomfuata katika hilo, kuwa laana inayoruhusi-wa ni laana ya kulaani makundi kwa kuzingatia sifa jumuishi akaandikaakisema: “Hakika laana inayoruhusiwa ni kulaani kwa kuzingatia sifajumuishi kama vile kusema: Laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yamakafiri, watu wa bidaa, madhalimu na wala riba… Ama kumlaani mtubinafsi kwa kumuainisha katika hili kuna hatari, kama vile kusema:Mwenyezi Mungu amlaani Zaydu, japokuwa yeye ni kafiri au muovu aumtu wa bidaa.”

Na kwa ufafanuzi ni kuwa kila mtu binafsi ambaye kisheria imethibitilaana yake basi inaruhusiwa kumlaani kwa kumuainisha, kama vile kuse-

58 Rejea Tarikh At-Tabari 4: 459. Al-Kamil fi Tarikh cha Ibnu Athir Al-Jazri As-Shafiy 3:206. Tadhkiratul-Khawas cha As-Sibtu bin Al-Jawzi Al-Hanafiy: 61 na64. Al-Imamah Was-Siyasah cha Ibnu Qutaybah 1: 49 humo mna “kawa muovu”badala ya “kakufuru” chapa ya Mustafa Muhammad ya huko Misri. As-Sirat Al-Halabiyyah cha Ali Burhanud-Din Al-Halbiy As-Shafiy 3: 286, chapa ya Al-Bahiyyah Misri mwaka 1320 A.H. Na ameinukuu Al-Askar ndani ya kitabuAhadithi Ummul-Muuminin Aishah, juz 1, uk. 105 kutoka kwenye kitabu TarikhIbnu Aatham: 155 chapa ya Bombay, rejea huko. An-Nihayah cha Ibnu Al-JazriAs-Shafiy 5: 80 uhakiki wa Mahmud Muhammad At-Tanahi chapa ya DaruihyaiAt-Turath Al-Arabiy huko Beirut. Tajul-Arus Min Shar’hul-Qamus cha Az-Zubaydiy Al-Hanafiy 8: 141. Lisanul-Arab cha Ibnu Mandhur 14: 193. SharhuNahjul-Balagha cha Ibnu Abu Hadid 2: 77 chapa ya kwanza Misri na 6: 215 chapaya Misri uhakiki wa Muhammad Abul-Fadhlu, na 2: 408 chapa ya Maktabatul-Hayat Beirut, na 2: 121 chapa ya Darul-Fikri.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 40

41

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

ma: Mwenyezi Mungu amlaani Firaun, na Mwenyezi Mungu amlaani AbuJahl, kwa sababu tayari imeshathibiti kuwa hawa walikufa wakiwamakafiri na likatambulika hilo kisheria. Ama kumlaani mtu binafsi katikazama zetu hizi kama vile kusema: Mwenyezi Mungu amlaani Zaydu, etikwa kuwa tu yeye ni Yahudi hili lina hatari kwani huenda atakuja kusilimuna akafariki akiwa amejikurubisha zaidi kwa Mwenyezi Mungu, sasa vipiahukumiwe kuwa ni mlaanifu?

Ukisema: Analaaniwa kwa kuwa hivi sasa ni kafiri kama ambavyo muisla-mu anavyoombewa rehema: “Mwenyezi Mungu amrehemu” kwa kuwahivi sasa ni mwislamu japokuwa huenda akaritadi, basi jua kuwa tuna-posema: “Mwenyezi mungu amrehemu” tunamaanisha Mwenyezi Munguamuimarishe ndani ya Uislamu na ndani ya utiifu ambavyo vyenyewe ndiosababu ya kupata rehema hiyo, na wala haiwezekani kusema: MwenyeziMungu amuimarishe kafiri ndani ya kitu ambacho ndio sababu ya kupatalaana, kuuombea ukafiri ombi hili na kwenyewe ni ukafiri, bali inaruhusi-wa kusema: Mwenyezi Mungu amlaani iwapo akifa ndani ya ukafiri naMwenyezi Mungu asimlaani akifa ndani ya Uislamu, na hilo ni jambo lasiri halijui isipokuwa Mwenyezi Mungu, na hali isiyojulikana yenyekutaradadi kati ya pande mbili ina hatari lakini kuacha kulaani hakunahatari.

Ukijua hilo kwa kafiri basi lenyewe kwa Zaydu muovu au Zaydu mtu wabidaa ni bora zaidi kuliacha, kwani katika kuwalaani watu binafsi kunahatari kwa sababu hali za watu hubadilika ila yule ambaye Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimtambulisha kwani inaruhusiwa kutambu-lishwa yule atakayefia ndani ya ukafiri, na kwa ajili hiyo aliainisha baadhiya watu kwa kuwalaani akawa akisema ndani ya dua yake juu ya maku-rayshi: “Ewe Mola, mlaani Abu Jahli bin Hisham na Ut’bah bin Rabiah.”Na akiwataja baadhi ya watu waliyouwawa ndani ya ukafiri mpakaalikuwa akimlaani yule asiyejuwa mwisho wake na ndipo akakatazwa.Kwani imepokewa kuwa: Alikuwa akiwalaani mwezi mzima ndani yakunuti yake wale waliowaua watu wa kisima cha Muuta ndipo ikateremka

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 41

42

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Aya ya Mwenyezi Mungu: “Huna neno katika shauri awakubalie toba yaoau awaadhibu, maana hakika wao ni madhalimu.” Inamaanisha kuwahuenda wao watasilimu na itajulikanaje kama wao ni walaanifu?

Na pia inaruhusiwa kumlaani yule aliyebainika kufia ndani ya ukafiriiwapo tu kufanya hivyo hakumuudhi mwislamu lakini kama kunamuudhihairuhusiwi, kama ilivyopokewa kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) alimuuliza Abu Bakr kuhusu kaburi moja pindi walipopitakuelekea Taif, akasema: “Hili ni kaburi la mtu aliyekuwa kafiri dhidi yaMwenyezi Mungu na Mtume Wake naye ni Said bin Al-As.” Basi mwanaeAmr bin Said akakasirika na kusema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) hili ni kaburi la mtu aliyekuwa mtoaji mno wa chakula namkarimu mno kuliko Abu Quhafa.” Abu Bakr akasema: “Ewe Mtume waMwenyezi Mungu, hivi huyu ndiye anayeniambia mimi maneno haya?”Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Nyamaza dhidi ya Abu Bakr.” Akaondoka,kisha Mtume akamgeukia Abu Bakr na kumwambia: “Ewe Abu Bakr,mnapowataja makafiri watajeni kwa sifa jumuishi kwani mtakapoainishawatoto watakasirika kwa ajili ya baba zao.” Akawazuia watu kufanyahivyo.

Nu’man alikunywa pombe na akaadhibiwa mara nyingi tu mbele yaMtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) basi sahaba mmoja akasema:“Mwenyezi Mungu amlaani kwani mara kwa mara analetwa.” Basi Mtumewa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema: “Usiwe msaidizi wa shetani juuya ndugu yako.” Na katika riwaya nyingine: “Usiseme haya hakika yeyeanampenda Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.” Akamzuia kufanyahivyo, na hili linaonyesha kuwa hairuhusiwi kumlaani muovu kwakumuainisha, na kwa ujumla ni kuwa kuwalaani watu binafsi kwakuwaainisha kuna hatari hivyo mtu ajiepushe na wala hakuna hatari katikakunyamaza bila kumlaani Ibilisi achia mbali mwingine.

Ukisema: Je, inaruhusiwa kumlaani Yazid kwa kuwa alimuua Husein aualiamuru auwawe? Tunajibu: Asilan hili halijathibiti, hivyo hairuhusiwi

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 42

43

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kusema kuwa yeye ndiye aliyemuuwa au aliamuru kwani haijathibiti achiambali kumlaani. Kwa sababu hairuhusiwi kumnasibisha mwislamu namadhambi makubwa bila uchunguzi. Ndio, inaruhusiwa kusema IbnuMuljimu alimuuwa Ali (a.s.) na Abu Luuluu alimuuwa Umar kwani hilolimethibiti kwa wingi.

Hivyo hairuhusiwi muislamu kuzushiwa uovu au ukafiri bila uchunguzi,kwani Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Mtu hamzushiimwenzake ukafiri wala uovu ila ni lazima umrudie mwenyewe iwapomwenzake hana sifa hiyo.” Na akasema (s.a.w.w.): “Mtu hathibitishiukafiri wa mwenzake ila ni lazima utamrudia mmoja kati yao, akiwa kwelini kafiri basi yeye ni kama alivyosema, na kama si kafiri basi yeye(mwenye kuthibitisha) amekufuru kwa kumzushia ukafiri mwenzake.” Nahii maana yake ni kuwa amkufurishe ilihali anajua kwa yakini kuwa yeyeni mwislamu, lakini iwapo akidhania kuwa yeye ni kafiri kwa sababu yabidaa au nyingine atakuwa mwenye makosa na si kafiri.

Maadh amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) aliniambia:“Nakukataza kumkashifu mwislamu au kumuasi Imam mwadilifu nakuwachunguzachunguza sana maiti.” Masruq amesema: “Niliingia kwaAisha akasema: “Fulani laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake amefanyanini?” Nikasema: Amefariki. Akasema: “Mwenyezi Mungu amrehemu.”Nikasema: vipi hili? Akasema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)amesema: “Msiwatukane wafu kwani hakika wao wameyafikia waliyoy-atanguliza.” Na akasema (a.s.): “Msiwatukane wafu mtawaudhi waliyohai.” Na akasema (a.s.): “Enyi watu! Nilindieni heshima yangu kwamaswahaba zangu, ndugu zangu na wakwe zangu na wala msiwatukane,enyi watu! Maiti anapofariki mtajeni kwa heri.”

Ukisema: Je, inaruhusiwa kusema: Mwenyezi Mungu amlaani muuwaji waHusein, au Mwenyezi Mungu amlaani mwamrishaji wa mauwaji yake?Tunasema: Sahihi ni kusema: Mwenyezi Mungu amlaani muuwaji waHusein ikiwa amekufa kabla ya kutubu, kwani huenda amekufa baada ya

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 43

44

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kutubu, kwani Wahshiya muuwaji wa Hamza ami ya Mtukufu Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alimuuwa akiwa kafiri lakini baadae akatubuna kuacha ukafiri na uawaji vyote pamoja, na wala hairuhusiwi kumlaani,kuuwa ni dhambi kubwa lakini halifikii daraja la ukafiri, hivyo laitilisipowekwa sharti la kutubu na ikaachwa bila sharti kuna hatari, lakinikatika kunyamaza hakuna hatari hivyo kwenyewe ni bora.

“Hakika tumesema haya kutokana na watu kutolitilia uzito suala la laanana kulitamka ulimini, na muumini huwa si mwenye kulaani mno, hivyohaipasi ulimi wake utamke laana ila juu ya aliyekufa akiwa kafiri, aumakundi ambayo yanajulikana kwa sifa zao bila kuwataja watu binafsi,hivyo kujishughulisha na utajo wa Mwenyezi Mungu ni bora, na kama sihivyo basi kwenye kunyamaza kuna amani.”59

Ibnu Taymiyyah naye akaandika akiunga mkono hilo: “Ndani ya SahihBukhari yamethibiti yenye kumaanisha kuwa kulikuwa na mtu mlevi mnoakinywa pombe na kila alipopelekwa kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alichapwa viboko, basi siku moja mtu mmoja akasema alipoletwa:“Mwenyezi Mungu amlaani kwani mara kwa mara analetwa kwa MtukufuMtume (s.a.w.w.).” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: “Msimlaani haki-ka yeye anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.” Na kila muumi-ni anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na asiyempendaMwenyezi Mungu na Mtume Wake basi si muumini japokuwa wanatofau-tiana katika imani na wana mapenzi juu ya kitu kingine.

“Alikataza hilo bila kujali kuwa yeye mwenyewe (s.a.w.w.) alilaanipombe, mtengenezaji wake, mnywaji wake, mnyweshaji wake, mbebajiwake mpelekewa na mlaji wa kipato chake. Na alikataza kumlaani huyumtu binafsi kwa sababu laana ni sehemu ya ahadi ya adhabu hivyo hutole-wa kwa sura ya ujumla. Na huenda ahadi ya adhabu ikaondolewa kwa mtubinafsi kutokana na toba sahihi au mema yenye kufuta au matatizo yenye

59 Ihyau Ulumid-Dini 3: 133 – 135, chapa ya Darul-Fikri.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 44

45

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kufidia au shufaa yenye kukubalika au mengine yasiyokuwa hayo mion-goni mwa sababu ambazo madhara yake huondoa adhabu kwa mwenyedhambi.”60

Na imenukuliwa kutoka kwake kauli: “Na ukweli wa mambo katika hilo nikuwa kauli inaweza kuwa ukafiri, na itolewe kauli ya kumkufurisha mse-maji wake, isemwe: “Atakayesema kadha wa kadha yeye ni kafiri.” Lakinimtu mwenyewe aliyesema hakufurishwi mpaka ithibiti dalili juu yakeambayo inamkufurisha atakayeiacha, kama vile maelezo ya hukumu yakisheria kutoka kwa mtawala au kiongozi mwenye kutiiwa kama ilivy-oelezwa ndani ya vitabu vya sheria.

Hivyo sheria itakapomtambulisha na akajulikana ndipo dalili itakapokuwaimethibiti, hili ni kama lilivyo ndani ya ahadi za adhabu kutoka ndani yaKitabu na Sunna, nazo ni nyingi mno. Na kusema kwa mujibu wa dalilihiyo ni wajibu lakini kwa sura ya ujumla bila kumuainisha mtu binafsi,hivyo haisemwi: “Huyu ni kafiri au muovu au mlaanifu au mwenyekukasirikiwa au mwenye kustahiki moto” hasa inapokuwa mtu ana fadhilana mema, kwani wasiokuwa Manabii wanaweza kutenda madhambi mado-go na makubwa, zaidi ya hapo inawezekana mtu huyo akawa mkweli aushahidi au mtu mwema kama ilivyoelezwa katika sehemu nyingine kuwahusamehewa matokeo ya dhambi kwa toba au kuomba msamaha au memayenye kufuta au matatizo yenye kufidia au shufaa yenye kukubalika aukwa utashi binafsi wa Mwenyezi Mungu na rehema Zake.

Ukisema: Ni kwa mujibu wa kauli ya Mwenyezi Mungu: “Na mwenyekumuua muumini kwa makusudi…” (Sura An-Nisai: 93.) Na kauliYake: “Hakika wale ambao wanakula mali ya yatima kwa dhulma bilashaka wanakula moto matumboni mwao na wataingia Motoni.” (SuraAn-Nisai:10.) Na kauli Yake: “Na anayemuasi Mwenyezi Mungu naMtume Wake na kuiruka mipaka Yake….” (Sura An-Nisai: 14.) Na

60 Al-Fatawa Al-Kubra 4: 220.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 45

46

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kauli Yake: “Wala msiliane mali baina yenu kwa batili..” (Sura Al-Baqarah:4) Na kauli Yake: “Na mwenye kufanya hili kwa uadui nadhuluma...” (Sura An-Nisai: 30.) Na Aya nyingine kama hizo zinazotoaahadi ya adhabu.

Tunasema: Ni kwa mujibu wa kauli ya Mtukufu Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.): “Mwenyezi Mungu amemlaani mlevi wa pombe.”61 Au“Asiyewatimizia haki wazazi wake wawili.”62 Au “Atakayebadili minaraya ardhi.”63 Au “Atakayechinja kwa ajili ya asiyekuwa MwenyeziMungu.”64 Au “Mwenyezi Mungu amemlaani mwizi.”65 Au “MwenyeziMungu amemlaani mla riba, mwakilishi wake, shahidi wake na mwandishiwake.”66 Au “Mwenyezi Mungu amemlaani mwenye kupinga sadaka namwenye kuzifanyia uovu.”67 Au “Atakayezua tukio Madina au akamsaidiamwenye kuzua tukio basi laana ya Mwenyezi Mungu, Malaika Wake nawatu wote itakuwa juu yake.”68 Na Hadithi nyingine kama hizo za ahadiya adhabu, lakini hazijaruhusu kumuainisha mtu yeyote miongoni mwawatu binafsi waliofanya matendo hayo na kusema: Huyu mtu binafsiamepatwa na ahadi hii ya adhabu. Hilo ni kwa sababu anaweza akatendachochote kinachofuta adhabu kama toba au jambo lingine.”

61 Majmauz-Zawaid 4: 90, humo anasema kuwa (s.a.w.w.) alisema: “MwenyeziMungu ameilani pombe, mtengenezaji, mnywaji na mnyweshaji….”62 Musnad Ahmad 1: 317.63 As-Sunan Al-Kubra cha An-Nasai 3: 67.64 Al-Mustadrak Alas-Sahihain 4: 153.65 Sahih Bukhar 8: 15.66 Sahih Muslim 5: 50, humo mna: “Mwenyezi Mungu amemlaani mla riba,mwakilishi wake, mwandishi wake na shahidi wake.”67 Musnad Ahmad, 1:464 – 465.68 Sahih Bukhar 4: 69, humo mna: “Madina iliyo tukufu ni eneo kati ya Air mpakaKadha, basi atakayezua tukio Madina au akamsaidia mwenye kuzua tukio basilaana ya Mwenyezi Mungu, Malaika Wake na watu wote itakuwa juu yake.”

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 46

47

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Akaendelea mpaka akasema: “Atakayefanya matendo kama haya kwa kud-hani kuwa ni halali kutokana na ijitihadi au ufuasi na mfano wa hayo basiatakuwa na kinga ya kutokupatwa na adhabu kutokana na kizuizi kamailivyoshindikana kwao kupata adhabu kutokana na toba au mema yenyekufuta au matatizo yenye kufidia au kama hayo. Na njia hii ndiyo ambayotunawajibika kuifuata kwani hakuna njia nyingine ila mbili mbaya: Yakwanza: Kusema kuwa kila mmoja atapatwa na adhabu kama ilivyo. Napili ni kudai kuwa amefanya kwa mujibu wa maelezo ya Aya au Hadithi,na hili ni baya sana kuliko hata kauli ya Makhawariji wanaowakufurishawatu kwa madhambi, ya Muutazila na wengineo, na ubovu wake unaju-likana kwa dharura na dalili zake zinajulikana huko sehemu yake.

Hivyo maelezo ya ahadi ya adhabu kama haya na mengineyo ni haki, laki-ni mtu binafsi ambaye amefanya vitendo hivyo hathibitishiwi moja kwamoja kuwa atapatwa na adhabu hiyo, hivyo kwa muislamu hathibitishiwiMoto kwa kuwa sharti halijatimia au kwa kuwa kuna kizuizi. Na hivy-ohivyo upande wa kauli zinazomkufurisha msemaji wake, kwani huendamsemaji huyo hajafikiwa na maelezo yanayomlazimu kuijua haki, nahuenda yamemfikia lakini hayajathibiti kwake au hajaweza kuyajua nakuyafahamu ipasavyo, au huenda amepatwa na mkanganyiko ambaoMwenyezi Mungu atamsamehe kwawo.

Basi atakayekuwa anamwamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wakemwenye kudhihirisha Uislamu mwenye kumpenda Mwenyezi Mungu naMtume Wake Mwenyezi Mungu anamsamehe hata kama atatenda baadhiya madhambi kwa maneno au vitendo, sawa aitwe mshirikina au muasi.Hili ndilo wanaloliamini maswahaba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu namaimamu wote wa Uislamu, lakini makusudio ni kuwa madhehebu yamaimamu yamejengeka katika imani hii ya kutofautisha kati ya sifajumuishi na mtu binafsi.”69

69 As-Sawaiq Al-Muhriqah fi radi Alal-Wahabiyyah, Sulayman bin Abdul-Wahab: 86 – 88 uhakiki wa Darul-Hidayah.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 47

48

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Maneno haya tumeyaleta kwa urefu wake na mapana yake kutokana nauzito wa utata huu na haki kufichikana sana, na tunaweza kuufikia ukwelikwa njia ya kubainisha baadhi ya nukta muhimu zinazopatikana katikakanuni hii katika nukta mbalimbali nazo ni:

Hakika kulaani si kutoa habari za hali ya mlaanifu mpaka tuseme kuwahuenda mtu anayelaaniwa atatubu na kuomba msamaha na hivyo huendaakapatwa na rehema ya Mwenyezi Mungu. Bali kwenyewe kamatulivyosema tangu mwanzo kuwa ni kuomba mtu huyo aondolewe kutokakwenye rehema ya Mwenyezi Mungu, hivyo huenda Mwenyezi Munguakajibu dua au asijibu, na huenda kweli mtu huyo baadaye akatubu nakuwa miongoni mwa waja wema na huenda asitubu, hivyo MwenyeziMungu anatenda kwa vipimo Vyake na muumini anatekeleza jukumu lake.

Basi mtu atakapomuona mtu mwenye kutenda vitendo vilivyolaaniwa naKitabu na Sunna ya Mtukufu Mtume anawajibika kuamrisha mema nakukataza mabaya kwa kufuata hatua zake tatu, kwa mkono wake, ulimiwake na kwa moyo wake, na laana ni miongoni mwa hatua ya ulimini namoyoni, hivyo akiweza kuidhihirisha na kuitoa nje na kuitangaza waziwazihiyo ni katika hatua ya ulimimi. Na kama hawezi kufanya hivyo basi hiyoni katika hatua ya moyoni.

Na katika laana hii hakuna kitu kinacholazimu kufichua na kutoa habari zahali ya mtu mlaanifu mbele ya Mwenyezi Mungu kama ililivyo wazi, ila tupale Mwenyezi Mungu atakapokuwa kamlaani mtu binafsi ndani ya KitabuChake au kupitia maneno ya Mtume Wake, laana kama hii ina aina fulaniya habari zinazofichua hali ya mtu huyo mbele ya Mwenyezi Mungu.

Na kanuni ya kutofautisha kati ya kulaani kundi kwa kuzingatia sifa aukumlaani mtu binafsi imetokana na kuchanganya kati ya muumini kum-laani mtu binafsi na kati ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake kumlaanimtu huyo, kwani laana ya watu kumlaani mtu binafsi haina habari yoyote,kinyume na laana itokayo kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, na

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 48

49

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

tunayozungumzia ni laana ya watu kumlaani mtu binafsi isiyokuwa nachembechembe yoyote ya habari za Akhera, hivyo haina hoja yoyote kauliya Al-Ghazalii kuhusu muumini kumlaani Yahudi kuwa: “Hili lina hatarikwani huenda anaweza kuja kusilimu na akafariki akiwa amejikurubishazaidi kwa Mwenyezi Mungu, sasa vipi ahukumiwe kuwa ni mlaanifu?”Kwani maana ya kumlaani ni kuwa Mwenyezi Mungu amesharuhusualaaniwe kulingana na hali yake ya sasa, na hukumu ya kuwa ni mlaanifumbele ya Mwenyezi Mungu? Au hapana inabakia kwa Mwenyezi Mungukulingana na vipimo Vyake vikuu alivyonavyo na vielelezo kamilifu, walakatika hilo hakuna hatari yoyote bali huenda hatari ipo katika kuachakwani kunadhoofisha kwa muumini hisia za kufuata haki na roho yakuikataa batili, na hii ndio hatari ya kuacha kulaani laana ambayo Al-Ghazalii anaikanusha.

Hakika Aya: “Huna neno katika shauri awakubalie toba yao au awaadhibu,maana hakika wao ni madhalimu.”70 Ambayo imesemekana kuwa ilishu-ka kumkataza Mtume (s.a.w.w.) alipokuwa akiwalaani ndani ya Swalayake mwezi mzima wauaji wa maswahaba kwenye kisima cha Muuta,yenyewe haionyeshi kuwa Mwenyezi Mungu anamkataza Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) dhidi ya laana hii, na kikubwa kinachoonyeshwa na Aya ni kuwalaana si kipimo halisi cha mafikio ya watu waovu, kwani huendaMwenyezi Mungu atawasamehe na huenda atawaadhibu, na hili halilaz-imishi laana ikatazwe kama alivyotafsiri Al-Ghazalii.

Na hili linaoana kabisa na tukio la mlevi wa pombe ambaye Mtume waMwenyezi Mungu alimuadhibu mara kwa mara na akakataza asilaaniwe71,kwani kukutaza huko huenda kunatokana na utambuzi wake binafsialiokuwa nao Mtukufu Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) juu yamatokeo ya mustakabali wa mtu huyo na mbele ya Mwenyezi Mungu,hivyo ndio maana Mtukufu Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)

70 Sura Al-Imran: 128.71 Sahih Bukhari 8: 14, chapa ya Darul-Fikri.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 49

50

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

akawakataza maswahaba zake wasimlaani, ikiwa ni ishara kuwa huendadua zao zisipokewe na kuwa wao wanamuombea mtu mwenye matokeomazuri, hivyo Hadithi hii inakuwa sawa na hukumu kwenye tukio maalu-mu linalomuhusu mtu pekee bila kuwajumuisha wengine, na kutafsiri vile(alivyotafsiri Al-Ghazali) na kuacha tafsiri hii ni kuchagua bila kigezo,kwani zote mbili zinawezekana: Tafasiri ya kukataza kumlaani mtu binaf-si, na tafsiri ya kuwa katazo la hapa (kwenye kisa) ni hukumu ya tukiobinafsi. Na tayari imeshasemwa (na wataalamu) kuwa: Uwezekano wa piliunapopatikana basi dalili inabatilika.

Ufafanuzi huu ni iwapo tu kanuni ya kutenganisha kati ya makundi na watubinafsi ni sahihi. Ama ikithibiti kuwa yenyewe ni batili na kuwa hainadalili yoyote kama ilivyo sahihi, basi haki inabakia imezingirwa kwenyetafsiri ya pili tu na hamna njia nyingine na wala zamu haifiki kwenye uch-aguzi wa tafsiri iliyo bora.

Tunaweza kukubaliana naye kuwa kuwalaani watu binafsi ni hatari lakinihatukubaliani naye kuwa kwa ajili ya hatari hii tujiepushe kulaani, balilinalotakiwa ni kuwa makini mno juu ya mtu tunayetaka kumlaani, hivyoasilaaniwe ila yule tu ambaye kwa yakini kabisa anastahili kulaaniwa, kus-tahili kusikokuwa na shaka yoyote.

Wala hatumuafiki kuwa hakuna hatari katika kunyamaza bila kumlaaniIbilisi sembuse mwingine, kwa sababu laana ni silaha ya kilugha na kie-limu ambayo jamii inaweza kuitumia kujilinda yenyewe dhidi ya uovu nakujihami yenyewe dhidi ya sababu za ubomoaji na uharibifu wa ndani, nakunyamaza bila kulaani kunamaanisha kuiua silaha miongoni mwa silahaza asili zenye kuhami ambazo zinaihakikishia jamii usalama wake na uny-oofu wake, na kwa ajili hiyo ndio maana Mwenyezi Mungu aliwalaaniwatu binafsi ndani ya Qur’ani kama vile Ibilisi, na mti uliyolaaniwa ambaoni Al-Hakam bin Abu Al-As na wanawe.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 50

51

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Na maneno ya Al-Ghazali kuhusu muuaji wa Imam Husein (a.s.): “Sahihini kusema: Muuaji wa Husein Mwenyezi Mungu amlani iwapo alikufakabla ya toba, kwa sababu huenda alikufa baada ya kutubu…” ni kukirikuruhusiwa kuwalaani watu binafsi miongoni mwa waisilamu kwa sababutoba haihusiani na laana, kwa sababu kosa lake linajulikana waziwazikuwa yeye ndiye aliyeamuru Husein auwawe na ndiye aliyetoa tamko lakumuuwa na wala haijulikani kama alitubu, hivyo ikiwa kitendo hichokimetoka kwake basi sisi hatujui kama toba yake imekubaliwa, na muhimuzaidi ni kuwa ndani ya hesabu za Al-Ghazalii Yazid si miongoni mwa watuwaliofia ndani ya ukafiri, lakini cha kushangaza imekuwaje ameruhusualaaniwe ilihali yeye kasema hairuhusiwi laana ila juu ya aliyefia ndani yaukafiri?

Ama maneno ya Ibnu Taymiyyah kuwa hairuhusiwi: “Hazijaruhusukumuainisha mtu yeyote miongoni mwa watu waliyofanya matendo hayona kusema: Huyu mtu binafsi amepatwa na ahadi hii ya adhabu. Hilo nikwa sababu anaweza akatenda chochote kinachofuta adhabu.” Ikiwa nikwa kigezo cha ahadi ya Mwenyezi Mungu Akhera na zitakavyokuwa haliza watu binafsi siku ya Kiyama, maneno yake ni sahihi wala hayana tatizololote, kwani hakuna mtu yeyote anayeweza kuwa na yakini juu ya hali zawatu binafsi siku ya Kiyama kwa sababu mambo hayo ni siri na nafsizimefichwa kwetu.

Ama kwa kigezo cha athari za kidunia zinazotokana na matendo yao,maneno hayo kisheria hayakubaliki, kwani haiwezekani kuyaamini achiambali kuyatekeleza, kwa sababu ni wazi kuwa kuritadi na unafiki na baad-hi ya mambo ya uovu husababisha athari za malipo ya kisheria, kama vilewajibu wa kumuuwa aliyeritadi, basi iwapo tukitekeleza kanuni hii natukaacha kutekeleza adhabu ya malipo ya kisheria kwa watu binafsi, (kamaanavyosema kuwa) haturuhusiwi kumuashiria mtu fulani na kusema: Yeyeameritadi au muovu au mlaanifu, basi hatutoweza kutekeleza hukumu zaadhabu za malipo ya kisheria ya kiislamu zinazotokana na anuani hizi zamatendo.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 51

52

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Na dalili juu ya hilo ni kitendo cha khalifa wa kwanza, ikiwa kwelihakuwaainisha watu fulani kwa madai ya kuritadi na kutoka kwenye dini,ni kwa kigezo kipi aliruhusiwa kuwauwa? Hivyo kitendo cha khalifa wakwanza ni jibu la wazi kabisa ndani ya kambi ya kisunni juu ya ubatilifuwa kanuni ya kutenganisha kati ya sifa jumuishi na watu binafsi katikaahadi za adhabu.

Ni wazi kuwa kutekeleza malipo ya adhabu na mengineyo juu ya aliyeri-tadi, muovu na munafiki huwa ni kwa kuzingatia hali ya nje ya mtu, nawala hali hiyo hatuwezi kuifanya kuwa ndio dalili juu ya matokeo mabayaya Akhera kwani Akhera ina hesabu zake ambazo zenyewe zimefichikanakwetu, na ahadi ya adhabu za Akhera za watu hawa hatuna njia ya kuzijuaila kwa habari za Mwenyezi Mungu na Mtukufu Mtume Wake kuhusuwatu hawa kama ilivyo wazi tangu mwanzo.

Pia ni wazi kuwa kutekeleza athari hizi za kidunia zinahitaji ushahidi maki-ni kwa sababu kumhukumu muislamu kwa ukafiri au unafiki au uovu nijambo zito sana si la kudharau kama yalivyokubaliana madhehebu yote yakiislamu isipokuwa watu wachache kama vile Makhawariji. Matokeo nikuwa kanuni iliyotajwa ikiwa ni kwa kigezo cha Akhera basi yenyewe nisahihi isipokuwa tu wale ambao Mwenyezi Mungu na Mtume Wakewametoa habari kuwa watu hao binafsi watapatwa na adhabu.

Na kama ni kwa kigezo cha athari za duniani basi yenyewe si sahihi nawala hatuwezi kuiamini, ndiyo kuthibitisha athari hizi za kisheria juu yawatu binafsi kunahitaji sharti za uthibitisho tena zilizokamilika, na kuwamakini sana katika kuchambua ni nani mfano halisi wa ukafiri, kuritadi,unafiki na uovu, na wala isiwe kwa namna ya kubahatisha na shaka.

Na miongoni mwa ushahidi unaothibitisha ubatilifu wa kanuni hii ni athariza kihistoria zinazoonyesha kuwa maswahaba walikuwa wakiwaambiawatu binafsi na kuwaashiria kwa ukafiri na unafiki, kama vile habari ya

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 52

53

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Aisha kuhusu Mar’wan na baba yake72 na maneno yake ambayo Al-Ghazali ameyataja huko nyuma, na maneno yake kuhusu Uthman73 namaneno maarufu ya Abu Said Al-Khudri aliposema: “Hakika sisi tulikuwatunawajua bila shaka wanafiki kwa kumchukia Ali bin Abi Talib.”74

Yenyewe ni maneno yanayowagusa watu binafsi maalumu ndani yadhamiri ya muongeaji na anawaita watu binafsi kwa sifa ya unafiki.

Ibnu Aqil Al-Alawi amemjibu Al-Ghazali kwa kusema: “Nasema:Nashangaa imekuwaje Ibnu Al-Munir na Al-Ghazali na aliyewafuatawatafsiri kitendo cha Mtume (s.a.w.w.) kukataza maswahaba zake kum-laani mlevi wa pombe mwenye kumpenda Mwenyezi Mungu na MtumeWake kuwa amekataza kuainisha, ilihali katazo lililopo kwenye Hadithihiyo lina sababu maalumu nayo ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu naMtume Wake tena limetokea baada ya kuadhibiwa, na wala kutoka ndaniya ibara za Hadithi haifahamiki maana yoyote ya kuainisha au kutokuain-isha.

Na hoja yenye nguvu sana katika uhalali wa kumlaani muislamu binafsi niKitabu cha Mwenyezi Mungu, kwani anasema kuhusu yamini ya mwenyekulaani:

“Na mara ya tano laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake ikiwa nimiongoni mwa waongo.” (Sura An-Nur: 7.)

Na Mtukufu Mtume (s.a.w.w) mara nyingi alimuapisha mwenye kulaani naakafanya hilo kuwa ni sheria ya kudumu ndani ya umma wa Muhammad(s.a.w.w.) mpaka siku ya Kiyama, na uainishaji kwa dhamiri yamzungumzaji hapa una nguvu sana kuliko kuainisha kwa kutaja jina la mtu72.Usudul-Ghaba cha Ibnu Athir 2: 35, mlango wa herufi Hau na Kaf. At-TafsirAl-Kabir cha Ar-Raz 20: 237, kwenye tafsiri ya Aya ya 60 ya Sura Al-Israi.73 Al-Kamil fi At-Tarikh 3: 105, amesema: “Muuweni Naathal bila shaka yeyeamekufuru.” Tarikh At-Tabari 3: 12, matukio ya mwaka 36 A.H.74 Sunan At-Tirmidh 5: 593, kitabu cha fadhila, mlango wa 20 fadhila za Ali(a.s.) Hadithi ya 3717.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 53

54

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

binafsi, kama inavyoelezwa kwenye vitabu vya lungha ya kiarabu, na walahakuna yeyote aliyesema kuwa aliye muongo kati ya wenye kutoleanalaana ni kafiri hata ioane na kauli ya Al-Ghazalii na waliomfuata kuwahairuhusiwi laana kwa mtu binafsi ila kwa kafiri.

Na Mtukufu Mtume (s.a.w.w) aliwalaani watu aliyowataja kwa majina nawalifia ndani ya Uislamu kama vile Abu Suf’yan bin Harbu, Suhayl binAmr, Amr bin Al-As, Abu Al-Aawar As-Salmiy, Al-Hakam bin Abul-As namwanae Mar’wan na wengineo, na akawalaani maswahaba wakubwa watualiowataja kwa majina yao kama vile Muawiya, Amr bin Al-As, Habib,Abdur-Rahman bin Khalid, Dhahak bin Yazid, Basru bin Artaah, Al-Walid,Ziyad, Al-Hajjaj bin Yusuf na wengine wengi ambao ni vigumu kuorodhe-sha idadi yao.

Na pia Hasan bin Thabit alimlaani Hindu binti Ut’bah na mumewe AbuSufyan zama ambazo yeye (Abu Suf’yan) alikuwa akimtetea MtukufuMtume (s.a.w.w.) na dini yake lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w) hakukatazabali aliridhia. Alisema katika beti zake: “Laana ya Mwenyezi Mungu iwejuu ya Hindu pamoja na mumewe.”75 Na Umar bin Al-Khattab alimlaaniKhalid bin Al-Walid alipomuuwa Malik bin Nuwayrah.76 Na Ali (a.s.)akamlaani Abdullah bin Zubayr siku aliyouawa Uthman kwa kuwahakumhami.77

Na Abdullah bin Umar alimlaani mwanae Bilal mara tatu kama alivyoelezaIbnu Abdul-Bar amesema: Imepokewa kutoka kwa Abdullah bin HubayrahAs-Sabaiy amesema: “Alitusimilia Bilal bin Abdullah bin Umar kuwa babayake Abdullah bin Umar siku moja alisema: Mtume wa Mwenyezi Mungu

75 Ad-Daywan 1: 384 Chapa ya Dar Sadir.76 At-Tabari 3: 241 kwa matamshi yake mbalimbali, na katika baadhi yake:“…Akamkashifu Muhammad bin Talha na kumlaani Abdullah bin Zubayr.” Al-Kamil fi Tarikh 3: 358 – 359. Sharhu An-Nahju 1: 179.77 Murujudh-Dhahab 2: 54.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 54

55

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

(s.a.w.w.) alisema: “Msiwazuie wanawake kupata mafungu yao kutokamsikitini.” Nikasema: Mimi nitaendelea kumzuia mke wangu na anayeta-ka amruhusu mkewe. Basi akanigeukia na kuniambia: Mwenyezi Munguakulaani, Mwenyezi Mungu akulaani, Mwenyezi Mungu akulaani.Unanisikia nasema kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) kaamu-ru wasizuiliwe, kisha akasimama akiwa amekasirika.78

Na imesihi kutoka kwa Imam Malik kuwa alisema: Mwenyezi Munguamlaani Amru bin Ubaydu - yaani mtawa mashuhuri. Na akasemaMuhammad bin Hasan sahaba wa Abu Hanifa Mwenyezi Mungu awarehe-mu wote wawili kuwa, nilimsikia Abu Hanifa akisema: “Mwenyezi Munguamlaani Amr bin Ubaydu.” Na Ibnul-Jawzi amenukuu kutoka kwa Al-Qadhi Abu Yaal kwa kuitoa kwa Salih bin Ahmad bin Hambal alisema:“Nilimwambia baba yangu: Watu wanatunasibisha na utawala wa Yazid,akasema: Ewe mwanangu mpendwa! Hivi yeyote anayemwaminiMwenyezi Mungu humtawalisha Yazid, na kwa nini tusimlaani aliyelaani-wa na Mwenyezi Mungu ndani ya Kitabu Chake? Nikamwambia: Ni wapiMwenyezi Mungu kamlaani Yazidi ndani ya Kitabu Chake? Akasema:Kauli Yake “Na kama nyinyi mkipata utawala ni karibu mtaiharibunchi na mtaukata ujamaa wenu.* Na ndio Mwenyezi Mungu ame-walaani na amewatia uziwi na amewapofusha macho yao.”79 Je kunauharibifu mkubwa kama mauwaji haya.” Na katika riwaya nyingine: “Ewemwanangu mpendwa, nitasema nini kuhusu mtu aliyelaaniwa naMwenyezi Mungu ndani ya Kitabu Chake.”80

Na Bukhari amenukuu kuhusu kuumbwa kwa vitendo vya waja akasema:Wakiu alisema: Bashru Al-Maraysiyyu laana ya Mwenyezi Mungu iwe juuyake, je ni myahudi au mkiristo? Mtu mmoja akamjibu: “Baba yake aubabu yake alikuwa mkiristo.” Wakiu akasema: “Laana ya Mwenyezi

78 Jamiu Bayanl-Ilmi Wafadhluhu 16: 414, Hadithi ya 45174.79 Sura Muhammad: 22 – 23.80 Ameinukuu Ibnu Hajar ndani ya kitabu Tat’hir Al-Jinan Wal-Lisan: 50.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 55

56

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Mungu iwe juu yake na juu ya wafuasi wake.”81

Na Bakru bin Hammad, Al-Qadhi Abu Tayyib, Abu Al-Mudhaffar Al-Asfarainiy na wengineo walimlaani Imran bin Hattan katika jibu laomashuhuri juu ya beti zake ambazo alimsifia muovu wa waovu IbnuMuljim laana ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake.82 Na Yahya bin Mu’inalimlaani Husein bin Ali Al-Karabis As-Shafiy Al-Baghdad kama ilivy-oelezwa ndani ya kitabu Tahdhibut-Tahdhib83 na bado laana imetapakaabaina ya waislamu pindi wanapogundua maasi kutoka kwa mtu binafsi,maasi yanayostahili kumlaani.

Na utakapofuatilia vitabu vya Hadithi, sira na historia utavikuta vimeshe-heni hilo, na kwa ajili hii namwambia mtafiti wa haki kuwa yasikushituemaelezo mengi ya hawa ya kukataza kuainisha, japokuwa zimepatikariwaya nyingi zinazowakhalifu wao kutoka kwa Mtume wao na maswaha-ba wengi na kutoka kwa mashekhe wakubwa wa zamani, basi furahiakwani uongofu ni uongofu wa Muhammad na maswahaba zake.”84

Laana haimpeleki mtu kwenye ukafiri

Wanachuoni wa kiislamu wamekuwa wakali kuhusu kumkufurisha mtumiongoni mwa waislamu na wala hawajaruhusu hilo ila kwa kutimiamasharti maalumu na kwa ugumu sana, hiyo ni kutokana na taathira zakisheria zinazotokana na kitendo hicho, na pia Sunna ya Mtukufu Mtumeimekuwa makini sana na jambo hilo, hivyo umashuhuri wake na kutapakaakwake kunatutosheleza dhidi ya ufafanuzi wake na dhidi ya kuleta ushahi-

81 - Khulqu Af’alil-Ibad: 20.82.Nurul-Absar cha Shablanji: 199. Katika beti za mwanzo za Bakri bin Hassanamesema: "Mwambie Ibnu Muljim na nguvu zilizoshinda umeubomoleaUislamu na dini nguzo.83. Tahdhibut-Tahdhib 2: 360, namba 608.84.An-Nasaihul-Kafiyah: 33 - 36, chapa ya Muassasatu Al-Fajri

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 56

57

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

di wa maneno ya wanachuoni wa sheria na wanatheolojia.

Na la muhimu sana kwetu katika mlango huu ni kusema kuwa miongonimwa sharti maarufu katika kumkufurisha mtu ni kitendo kinachompelekamtu kwenye ukafiri kisiwe kimetokana na ijtihadi ya kimakosa kwanimwenye kufanya ijtihadi amesamehewa na yale yanayotokana na ijtihadiyake, na wala mujtahid mmoja hana njia juu ya mujtahid mwingine. Na hilindilo linalofanyika katika mlango wa laana, yule ambaye juhudi zake zakielimu na madhehebu yake vitampelekea kuwalaani baadhi ya maswaha-ba bali akaona hilo ni bora, hatuwezi kumhukumu kuwa ni kafiri au muovuhata kama asili ya laana inawajibisha awe hivyo, kwani ijtihadi ni mion-goni mwa mambo yanayozuia hukumu hiyo ya kidhana.

Na vifuatavyo vi vipande vya rai za Sheikh Ibnu Taymiyyah na SheikhIbnul Qayyim Al-Jawziyyah kuhusu dhamira hii, kauli hizo zimenukuliwana Sheikh Sulayman bin Abdul-Wahab kaka mpendwa wa SheikhMuhammad bin Abdul-Wahab mwasisi wa Uwahabi ndani ya kitabu chake“Vimondo vya Mwenyezi Mungu katika kuwajibu Mawahabi.”

Humo ameandika: “Na kwa kuchukulia kuwa haya mambo mnayodai niukafiri, yaani nadhiri na kinachohusiana nayo, basi hapa kuna msingimwingine miongoni mwa misingi ya Sunni ambao wote wameukubalikama alivyotaja Sheikh Taqiyyud-Din na Ibnul-Qayyim kutoka kwao, naoni kuwa asiyejua na mwenye kukosea ndani ya umma huu hata kama ata-tenda jambo la ukafiri na shirki ambalo mwenye kulitenda huwa kafiri aumshirikina basi yeye atasamehewa kutokana na ujinga na makosa mpakadalili imbainikie, mwenye kukufurishwa ni yule mwenye kuiacha wazi-wazi na kwa ubainifu usiochanganyikana na mwingine, au anayeacha lilelinalojulikana kwa dharura ndani ya dini ya Uislamu, ambalo wotewamekubaliana kwa yakini na uwazi kabisa, analolijua kila mtu miongonimwa waislamu bila kufikiria wala kusita.85

85 As-Sawaiq Al-Ilahiyyah: 33, uhakiki wa Darul-Hidayah.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 57

58

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Imenukuliwa kutoka kwa Ibnul-Qayyim kuwa alisema: “Ukafiri wa kupin-ga una namna mbili: Ukafiri wa kupinga kitu kizima na ukafiri wa kupin-ga sehemu maalumu ya kitu kizima, wa kitu kizima ni kupinga yote aliy-oteremsha Mwenyezi Mungu na ujumbe wa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.), na wa sehemu ya kitu kizima ni kupinga faradhi yoyote mion-goni mwa faradhi za Uislamu au haramu yoyote miongoni mwa haramuzake au sifa miongoni mwa sifa alizojisifu mwenyewe Mwenyezi Mungu,au habari miongoni mwa habari alizozitoa Mwenyezi Mungu, afanye hivyokwa kusudi au kwa kutaka kumshinda mpinzani wake kwa ajili ya lengololote miongoni mwa malengo, kwa kusudi huku akiwa anajua.

Ama akifanya hivyo kwa ujinga au kwa tafsiri fulani, anasamehewa nahivyo mwenyewe hakufurishwi kutokana na riwaya iliyomo ndani yaSahih mbili, Sunan na Masanid iliyotoka kwa Abu Huraira, amesema:Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) alisema: “Alisema mtu mmojaambaye alikuwa hajaifanyia kheri yoyote familia yake – Na katika riwayanyingine: Mtu mmoja alifanya uharibifu juu ya nafsi yake – basi ulipofikawakati wa kifo aliwausia wanawe kuwa atakapofariki wamchome motokisha nusu yake waiweke nchi kavu na nusu yake baharini, naapa kwaMwenyezi Mungu kwa sababu Mwenyezi Mungu alimkadiria kumwad-hibu adhabu kali ambayo hajawahi kumwadhibu yeyote miongoni mwaviumbe, basi alipofariki wakafanya kama alivyowaamuru, ndipoMwenyezi Mungu alipoiamuru bahari ikakusanya iliyonayo na akaiamurunchi kavu ikakusanya iliyonayo, kisha akamwambia: Kwa nini ulifanyahivyo? Akajibu: Ewe Mola Mlezi! Ni kwa ajili ya kukuogopa na weweunajua. Basi akamsamehe.”

Huyu ni mkanushaji wa uwezo wa Mwenyezi Mungu juu yake namkanushaji wa ufufuo lakini pamoja na haya yote Mwenyezi Mungu alim-samehe na kumkubalia udhuru wake kutokana na ujinga wake, kwa sababuhicho ndicho kiwango cha elimu yake na hakupinga hayo kwa kiburi, nahicho ndicho kitenganishi katika ubatilifu wa kauli ya anayesema: “HakikaMwenyezi Mungu hakubali udhuru wa ujinga kwa viumbe katika kuwaon-

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 58

59

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

dolea adhabu iwapo hicho ndicho kiwango cha elimu yake.”86

Imenukuliwa kutoka kwa Ibnu Taymiyyah kuwa alisema: “Na miongonimwa bidaa mbaya ni kulikufurisha kundi maalumu na linginelo lolotemiongoni mwa makundi ya kiislamu na kuhalalisha damu yao na mali yao,na hili ni kosa kubwa kwa sababu mbili:

Ya kwanza: Hakika hilo kundi jingine huenda likawa halina bidaa kubwakuliko ile ya kundi lile lenye kukufurisha, bali huenda kundi lenye kuku-furisha likawa na bidaa kubwa kuliko lile lenye kukufurishwa, na huendayakalingana au likawa chini, na hii ndio hali ya watu wote wa bidaa namatamanio ambao wanakufurishana wao kwa wao, na hawa ni miongonimwa wale aliowazungumzia Mwenyezi Mungu kwa kusema:

“Hakika wale waliofarikisha dini yao na wakawa makundi makundihuna uhusiano nao wowote.” (Sura Al-An’am: 159.)

Ya pili: Lau ikijaaliwa kuwa kundi moja limo ndani ya bidaa na jinginelimo ndani ya Sunna basi Sunna hii haijamkufurisha kila anayesema kauliyoyote yenye makosa, kwani Mwenyezi Mungu anasema: “Mola wetuMlezi usitushike kama tukisahau au tukikosa…” (Sura Al-Baqara:286.) Na imethibiti ndani ya Sahihi kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kuwa Mwenyezi Mungu “Alisema: Tayari nimeshafanya.”

Na Mwenyezi Mungu akasema:

“Wala si lawama juu yenu katika hayo mliyokosa, isipokuwa katikayale ziliyofanya nyoyo zenu kwa kusudi…” Sura Al-Ahzab: 5.

86 As-Sawaiq Al-Ilahiyyah: 8.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 59

60

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Na imepokewa kutoka kwa (s.a.w.w.)87 kuwa alisema: “Hakika MwenyeziMungu ameusamehe umma wangu yatokanayo na makosa, usahaulifu nawaliyoshinikizwa.” Nayo ni Hadithi nzuri ameipokea Ibnu Majah nawengine. Na maswahaba na waliowafuata kwa wema na viongozi wenginewa waislamu wote wamekubaliana kuwa si kila anayesema kauli yenyemakosa basi anakufurishwa kwa kauli hiyo, hata kama kauli yake inakhal-ifu Sunna, lakini watu wana utata katika suala la kukufurisha nalolimeelezwa kwa upana sehemu nyingine.”88

Na pia imenukuliwa kutoka kwake kuwa: “Hakika mimi nakiri kuwaMwenyezi Mungu ameshausamehe umma huu makosa yake, na hilo lina-jumuisha makosa ya kwenye masuala ya kihabari na masuala ya kielimu,na waliyopita bado wanazozana kuhusu masuala mengi miongoni mwamasuala haya na hakuna yeyote miongoni mwao anayemthibitisha mtubinafsi kwa hilo, si kwa ukafiri wala uovu wala maasi, kama Sharihualivyokanusha usomaji wa: “Bali unastaajabu, na wao wanafanyamzaha.” (Sura As-Saffat: 12.) Akasema: Hakika Mwenyezi Mungu has-taajabu.”

Mpaka akasema: “Mzozo huu umepelekea kuuwana kati ya waliotanguliajapokuwa Sunni wameafikiana kuwa makundi yote mawili yana imani, nakuwa kuuwana hakuzuii uadilifu uliothibiti kwao, kwa sababu muuwajihata kama atakuwa ni dhalimu lakini yeye ni mwenye kuleta maananyingine na kuleta maana nyingine kunazuia uovu.

Na nilikuwa nikiwabainishia kuwa yaliyonukuliwa kutoka kwa waliotan-gulia na viongozi kuwa kutoa tamko la ujumla la kumkufurisha mtuanayesema kadha wa kadha pia nako ni haki, lakini ni lazima kutofautishakati ya mjumuisho na muainisho, na hili ndilo suala la kwanza ambaloumma ulizozana miongoni mwa masuala makubwa ya misingi, nalo ni

87.As-Sawaiq Al-Ilahiyyah: 85, uhakiki wa Darul-Hidayah.88 As-Sawaiq Al-Ilahiyyah: 80 – 81.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 60

61

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

suala la ahadi ya adhabu, kwani hakika maelezo ya ahadi ya adhabu ndaniya Qur’ani ni ya mjumuisho yasiyokuwa na mipaka, kama kauli yaMwenyezi Mungu: “Hakika wale ambao wanakula mali ya yatima kwadhuluma..” (Sura An-Nisai: 10). Na vilevile mambo mengine kamaatakayefanya hivi basi atapata hivi au yeye ni hivi, hakika maelezo haya niya mjumuisho yasiyokuwa na mipaka na yenyewe ni sawa na kauli yamwenye kusema miongoni mwa waliotangulia: “Atakayesema kadha basiyeye ni kafiri.”

Mpaka akasema: “Na kukufurisha ni miongoni mwa ahadi ya adhabu,hivyo japokuwa kauli hiyo itakuwa ni kupinga aliyoyasema MtukufuMtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) lakini inawezekana mtu huyo nimgeni ndani ya Uislamu au amekulia kijiji cha mbali, na huenda akawa nimtu ambaye hajasikia maelezo hayo au ameyasikia lakini kwake haya-jathibiti au yamekinzana kwake na kitu kingine, au amewajibika kuyaleteamaana nyingine japokuwa ni mwenye makosa.

Na daima hukumbuka Hadithi iliyomo ndani ya Sahihi mbili inayomhusumtu aliyeiambia familia yake kuwa: “Nitakapofariki mnichome moto…”kwani mtu huyu alishakia uwezo wa Mwenyezi Mungu na uwezekano wakumrudisha baada ya kuwa chembechembe za udongo bali aliamini kuwahakuna ufufuo, na huu ni ukafiri kwa itifaki ya waislamu wote, lakinialikuwa mjinga hajui hilo na alikuwa muumini akiogopa MwenyeziMungu asimuadhibu, basi ndipo Mwenyezi Mungu akamsamehe. Namaana iliyoletwa kutoka kwa watu wa ijtihadi wenye pupa ya kumfuataMtukufu Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) inafaa zaidi kusamehewakuliko mfano wa hili.”89

Imenukuliwa tena kuwa Ibnu Taymiyyah aliulizwa kuhusu watu wawiliwaliozungumzia suala la kukufurisha, basi akajibu na kurefusha jibu, namwisho wa jibu akasema: “Tukijalia kuwa mtu huyo alitetea ukafiri dhidi

89 As-Sawaiq Al-Ilahiyyah: 83 – 84.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 61

62

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

ya mtu anayeamini kuwa si kafiri ili amhami na kumnusuru ndugu yakemuislamu basi lengo hili ni zuri tena la halali, na yeye iwapo amefanya ijti-hadi katika hilo na akapatia basi ana thawabu mbili na kama atakosea anathawabu moja.”90

Vifungu hivi ni sehemu ya mitazamo ya waasisi wa Salafiyyah mpya,vinatosha kabisa kuonyesha mitazamo ya wanachuoni wengine wa sheriajapokuwa hatumkosi aliyezidiwa na chuki yake na akatoa fatwa ya kumku-furisha yule anayewatukana maswahaba na hivyo kumsababishia matatizomakubwa yule aliyetuhumiwa kwa hilo kama tutakavyoona katika nuktaifuatayo.

8-Chanzo cha kisiasa cha kumkufurisha yule aliyetuhumiwakuwatukana maswahaba

Ufafanuzi mzuri mno katika dhamira hii ni ule aliouandika Ustadhi SheikhAsad Haydar pindi alipoandika akisema: “Hakika tuhuma ya kuwatukanamaswahaba dawa yake imeshindikana hivyo imekuwa vigumu kutibika,hukumu yake imetekelezwa hivyo imekuwa vigumu kuitengua na madaihayo yameenea ndani ya jamii huku hisia zisizoona na chuki iliyofura viki-ichafua, na ukweli ukiwa umesimama huku umekunja mikono mbele yamazingira hayo ya kuumiza, mbele yake umewekewa nguo za kuuvurugana umezungukwa na aina mbalimbali za vizuizi, na katika njia ya kuufikiaukweli kumewekwa maelfu ya adhabu huku silaha ya nguvu ikiwa juuyake, kwani utawala ulipitisha utaratibu wa kutekeleza ukafiri na uzindikijuu ya wale wanaoipinga siasa yake.

Na hawakuweza kutimiza hilo ila kwa kutuhumu kuwatukana maswahabaau Abu Bakr na Umar katika sura ya pekee, na pindi wanaharakati wanapo-jaribu kusimama kwenye ukweli na uhalisi wa mambo basi huwatuhumukwa tuhuma hizo na utawala huo muovu huwazingira, hivyo serikali

90 As-Sawaiq Al-Ilahiyyah: 84.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 62

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

63

ilikuwa inapotaka kumuadhibu Shia yeyote kwa ajili tu ya madhahebuyake ilikuwa haikumbuki jina la Ali bali hufanya sababu kuu ya kumuad-hibu ni kuwa yeye amewakashifu Abu Bakr na Umar. Hilo limesemwandani ya kitabu Al-Muntadhim, na Ibnu Athiri katika matukio ya mwaka407 A.H. Amesema: “Ndani ya mwaka huu Shia wengi waliuwawa katikanchi zote za kiafrika na tuhuma ya kuwatukana mashekhe wawili ikafany-wa ndio sababu ya kuwauwa.”91

Ni mengi sana matukio hayo ya fedheha na matendo ya unyama ambayoutawala wa kisiasa uliyatekeleza na wala hayana uhusiano wowote naUislamu ambao unamhukumu mtekelezaji wake kuwa ametoka ndani yaUislamu wenyewe. Na hakika suala liko wazi halihitaji maelezo ya ziadaya kubainisha na kufafanua sababu ambazo zilipelekea kutokea matukiohayo ya kuumiza na kutenda makosa hayo ya aibu na kuamiliana nawafuasi wa kizazi cha Mtukufu Mtume muamala mbaya mno.

Hakuna anayeshakia kuwa uhuru wa Shia kiroho na kutokukubali sheria yamtawala asiyeheshimu kanuni za dini na wala hafuati amri za sheria ndiouliowafanya wawe wapinzani wa utawala, hivyo tatizo la ufuasi wa kizazicha Mtume lilikuwa ndio tatizo kubwa kati ya matatizo ambayo dola ili-pambana nayo. Hivyo Shia kwa sababu ya upinzani wao na dola nakuwapinga watawala waovu walikutana na vikwazo katika njia ya kuenezawito, kama vile walivyopata ushindi pale vikwazo vinapokuwa havi-warudishi nyuma au haviwaweki kwenye mbinyo wa kufeli na kukatatamaa ya kuendelea katika njia ya kudhihirisha imani yao.

Hakika walikuwa na ari na imani imara iliyowasaidia kuendelea kurudishanafasi yao katika historia ili wabebe ujumbe ambao wanalazimika kuufik-isha na ni wajibu kwao kuendeleza mapambano ili kutimiza ujumbe huonao ni ujumbe wa Uislamu chini ya kivuli cha wito wa kizazi cha MtukufuMtume (a.s.), hivyo wakawa na taathira kubwa katika kueneza mwamko

91 Al-Imam As-Sadiq Wal-Madhahib Al-Ar’baah 2: 614 – 623.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 63

64

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

wa kiislamu na kuzikomboa fikra kutoka kwenye mgando.

Vyovyote vile ni kuwa maadui zao hawakupata utatuzi wa tatizo hili ila nikuwabambikizia tuhuma ambayo jamii itaikubali hivyo wakazama ndaniya tuhuma na wakafanya njia ya kutimizia malengo hayo, wakasema:Hakika Shia wanawakufurisha maswahaba wote wa Muhammad (s.a.w.w.)na kuwatia dosari na kwa ajili hiyo dosari hizo zinafika mpaka kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kuwa wao wanawasingizia mama wa wau-mini zinaa, na mengineyo.

Wakaweka kanuni waliyoipitisha wanachuoni waovu nayo ni: Ukimuonamtu anamkosoa yeyote miongoni mwa maswahaba wa Muhammad(s.a.w.w.) jua kuwa ni zandiki, kwa sababu Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) ni haki na Qur’ani ni haki na hakika aliyetufikishia Qur’ani hiina Sunna ni maswahaba wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), hivyowanataka kuwatia dosari mashuhuda wetu ili wabatilishe Kitabu na Sunnahivyo kuwatia dosari wao ni bora na wao ndio mazandiki.92

Na wakamhukumu kuwa ni kafiri yule mwenye kuwatukana mashekhewawili, hivyo haoshwi wala kuswaliwa na wala tamko la kuwa hapanaMola wa haki ila Allah halimnufaishi chochote, na hivyo atabebwa kwajeneza na kufukiwa ndani ya shimo lake.93 Na kuwa atakapoomba tobahaikubaliki bali ni wajibu kumuuwa,94 na baadhi yao wakasema kuwakichinjwa chake ni haramu na ni haramu kumuoza.

Kutokana na haya na yale ikaenea fikira ya ukafiri wa Shia kwa sababudola kwa utaratibu wake iliamua kuwamaliza na kukitafutia kitendo hichokigezo cha kisheria, lakini siasa haina macho na haki haina thamani kwawanachuoni waovu ambao walijitokeza kuutia nguvu utawala na

92 Al-Kifayah cha Khatibu Al-Baghdad: 49.93 As-Sarim Al-Maslul: 575.94 Rasail Ibnu Abidin 1: 364.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 64

65

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kuwapoteza watu wa kawaida.

Na hapa tunapenda kidogo kugusia uchambuzi wa Imam Kashif Al-Ghitaukuhusu tofauti ya msingi kati ya makundi mawili. 95 Baada ya kutaja tofau-ti kuhusu ukhalifa akasema: “Pia huenda hili lisiingie kwenye maasi walakuwajibisha uovu iwapo linatokana na ijtihadi na imani hata kamaamekosea, kwani miongoni mwa mambo yaliyokubalika kwa wote katikamlango wa ijtihadi ni kuwa mwenye kukosea ana thawabu moja namwenye kupatia ana thawabu mbili.”

Maimamu wa kisunni wamesihisha vita ambavyo vilitokea kati ya maswa-haba zama za mwanzo, kama vile vita vya Jamal na Siffin na vinginevyokwa sababu Talha, Zubayr na Muawiya walifanya ijtihadi, japokuwawalikosea katika ijtihadi yao lakini hilo halitii dosari uadilifu wao na hadhiyao, na ikiwa ijtihadi inahalalisha na wala haikatazi kuuwa maelfu ya nafsina kumwaga damu zao, basi ni bora kuhalalisha na kutokukataza ushusha-ji wa heshima na hadhi unaofanywa na baadhi ya wapinzani (kutokana naijtihadi). Hatuna uwezo wa kunukuu maneno ya wanachuoni wa kishia juuya nukta hii muhimu ambayo ina athari kubwa katika kuchafua udugu wakiislamu na hivyo ikawa ndio njia ya maadui wa dini ya kuingizia malen-go yao.”

Kisha akaongeza kwa kusema: “Hakika wazo la kuwatuhumu Shiakuwatukana maswahaba na kuwakufurisha kuliasisiwa na siasa chafu nawatu duni waliouza dhamira zao kwa thamani duni wakaendelea kuliimar-isha na wakazidisha uongo kwenye milango ya madhalimu wakijikuru-bisha kwao kwa kuwatuhumu Shia. Maadui wa dini waliitumia fursa hiihivyo wakapanua wigo wa mpasuko ili wapate malengo yake na waponyevifua vyao dhidi ya Uislamu na waislamu, wafitinishi wakaendelea95Tazama uchambuzi huu wa thamani ambao ulisambazwa na jarida la Risalatul-Islam lililotolewa na Darut-Taqrib Baynal-Madhahib Al-Islamiyyah chini ya kich-wa cha habari “Uwazi wa Waisilamu” uk 227 – 228 mwaka wa pili, toleo la tatu.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 65

66

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

kuhamasika ili kueneza fitina na kuwasha moto wa chuki kati ya waislamubila uchunguzi na mazingatio na nyoyo zao zikiwa zimejaa chuki.

Na kwa uamuzi wa siasa na utawala wake Shia wakawa ndiyo wenyekutupiwa kila baya na kushambuliwa kwa mashambulizi ya ajabu nawakasimama wenye tamaa na kuonyesha mapenzi yao kwa dola hiyo kwakuunga mkono utawala huo na kuukubali na tayari umekuwa ni sehemu yaakili za umma ilihali wao wanajidanganya. Hawajafungua mlango wamjadala wa kielimu na wakawaharamishia watu uhuru wa kuhoji nawakawafumba mdomo ili waweze kuamini ukafiri wa Shia na wajitenge namadhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s.), na laiti mtafuta ukweli akiwahoji nakuwataka wamfafanulie hilo basi hawana jibu ila ni utawala huo kumuad-hibu. Hivyo sisi tunawauliza:

1. Upo wapi umma huu unaowakufurisha maswahaba wote na kujitenganao?

2. Upo wapi umma huu unaodai kuwa Maimamu wa nyumba ya MtukufuMtume (a.s.) ni sawa na Mola Mlezi?

3. Upo wapi umma huu ambao mafunzo yake umeyachanganya pamoja namafunzo uliyoyachukua kutoka kwa waabudia moto?

4. Upo wapi umma huu ambao umepindisha Qur’ani na kudai upungufuwake?

5. Upo wapi umma huu ambao umezua madhehebu nje ya Uislamu?

Bila shaka hawawezi kujibu hayo, kwa sababu dola imeamua tuhuma hizibasi wao hawawezi kuzikhalifu na wala haiwezekani kuwakinaisha kwalugha ya elimu, na hakuna njia fupi mno ya kuutambua ukweli kamawangekuwa angalau na sehemu ndogo ya fikra na mabaki ya upendo wakutaka kudadisi, kumuogopa Mwenyezi Mungu na kuhami dini.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 66

67

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Hivi Ushia si imani inayojumuisha idadi kubwa ya maswahaba waMuhammad (s.a.w.w.) na wao ni miongoni mwa watu wa vita vya Badri nawatu wa kiapo cha ridhaa? Miongoni mwa watu waliomtawalisha Ali (a.s.)na kuamini ukhalifa wake?!!

Je, miongoni mwa Mashia si wamo wanachuoni ambao hadhi yao ya juuna wingi wa elimu yao vimekubalika na wote, huku watu wakiwahitajia nawao wakiwa miongoni mwa mashekhe wa wanachuoni wakubwa na waan-dishi wa Sahih Sita kama vile Abu Hanifa, Shafi’i, Ahmad, Bukhari nawengineo?!

Na waandishi wa Sahih Sita wametoa idadi kubwa ya wapokezi Mashiaambao idadi yao ni zaidi ya wapokezi mia tatu, na wala nafasi hii haitu-ruhusu kutaja majina yao hivyo hilo tunaliacha kwa ajili ya fursanyingine.96

Hivi miongoni mwa mashia si wamo watu waliobeba ujumbe wa Uislamuna kuvumilia matatizo katika kuufikisha wakiwemo waliobeba Fiqhi nalaiti kama si wao basi Fiqhi ingepotea na mafunzo ya Uislamu kutoweka?!Na hakika Shia wana mchango katika kuhifadhi urithi wa Uislamu nakuulinda dhidi ya mchezo wa kisiasa.”

96 Baadhi yao amewataja Sayyid Sharafud-Din ndani ya kitabu chake Al-Murajaat, ametaja wapokezi mia moja. Allamah Al-Amin ndani ya kitabu chakeAl-Ghadir ndani ya juzuu ya tatu ametaja idadi kubwa miongoni mwao. Na sisituna orodha takriba ya wapokezi mia tatu ambao waandishi wa Sahih Sita wame-wategemea “Kwa kalamu ya Asad Haydar ndani ya kitabu chake Al-Imam As-Sadiq Wal-Madhahib Al-Ar’baah” na hayo yote ameyakusanya SheikhMuhammad Jafar Al-Murawwaj At-Tabas An-Najaf ndani ya kitabu chake“Rijalus-Shia fiasnadis-Sunnah” yaani “Wapokezi wa kishia ndani yaupokezi wa kissuni.”

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 67

68

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Kisha akasema: “Hatujazama katika kubainisha mada hii kwa mchezo tuau kwa ajili ya kuzua mada mpya, na pia hatukusudii kuzama ndani yauchambuzi usiokuwa na mahusiano yoyote na kitabu hiki, bali ukweli hal-isi ni kuwa mada hii ni miongoni mwa mada muhimu ambazo ni lazimakuzigusia ndani ya kitabu hiki ambacho tumekitoa ili kubainisha madhe-hebu ya wafuasi wa kizazi cha Mtukufu Mtume (a.s.), na hakika tatizokubwa lililopo mbele ya mtafiti ni suala la Shia kutuhumiwa kuwatukanamaswahaba au kuwakufurisha.

Na tayari mara nyingi tumebainisha kuwa hilo linatokana na sababu zakisiasa ambazo hazina ukweli wowote, kwa sababu jina Shia ni kufunga-mana na watu wa nyumba ya Muhammad (s.a.w.w.) na wao ndio wateteziwao, na watu wa nyumba ya Muhammad ndio mfupa uliokwama kwenyekoo za hao watawala ambao waliugandamiza umma kupitia utawala, hivyokutokana na sababu za kisiasa ukaota chuki ndani ya nyoyo za watu dhidiya yule anayewapinga na kupambana nao au asiyewaunga mkono hukuakisimama msimamo wa kupinga vitendo vyao.

Je, kuna shaka yoyote katika upinzani wa Shia na kutokuunga mkono dolayao, na kuwa wao zama hizo hawakubali utawala wao kwa sababu waohawataki kukiri kuwa Ahlul-Bayt ndio wenye haki na ukhalifa kutokana nakuwa na nafsi safi na kujitolea kwa ajili ya maslahi ya watu wote, na waondio wanaofaa zaidi kwa jambo hilo na waadilifu mno katika hukumu, nakwa ajili hiyo ndio maana tunaona kuwa fitina za utaratibu wa utawala juuya yule anayetuhumiwa kuwatukana maswahaba inalenga kuwaadhibuShia tu, ama wengineo wao hukumu hii haiwagusi hata kama ni mpagani!kama tulivyoeleza.

Na huenda wanaodanganywa kwa mambo ya juu juu wakaharakishakukubali na wakasimama kutekeleza na hivyo kuwahukumu Shia kwauovu mara moja na ukafiri mara nyingine, natamani wangeliwekea hilimipaka maalumu ili watu wajue namna ya kuhukumu, lakini waowamepanua wigo na kutofautisha picha, kama pia walivyopitisha kuwa

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 68

69

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

toba ya mwenye kutuhumiwa kuwatukana maswahaba au mashekhe waw-ili katika sura maalumu haikubaliki, na wakaamua kutekeleza rai za mtubinafsi juu ya umma wote bila kuchunguza hukumu wala kujidhibiti kati-ka mada hii.

Kwa ajili hii vibaraka miongoni mwa wanachuoni ambao walikuwa ndiochimbuko la fatwa na wakuu wa idara ya sheria, walichukua dhamana yakuwapotosha watu na kuwapeleka kinyume na haki, hivyo walikuwamakada wa mfarakano na viongozi wa upotovu, basi wakawahukumu Shiahasa bila kueleza chanzo cha hukumu na dalili ya fatwa ya kuwa kuwauwaShia ni jihadi kubwa na atakayeuawa wakati wa kuwapiga vita basi yeyeni shahidi.

Na anasema mwisho wa fatwa kuwa: “Atakayeshakia ukafiri wao basiyeye mwenyewe anakuwa kafiri.” Na mwingine anasema: “Shia kamaanawatukana mashekhe wawili na kuwalaani basi ni kafiri na kama anam-fadhilisha Ali kuliko wao wawili basi ni mtu wa bidaa.”97

Hivyo ndivyo watu walivyopambiana wao kwa wao wapende tukio hilo nawakahalalisha muislamu kuuawa kwa mkono wa nduguye muislamu bilakuchunguza hukumu na kusimama mbele ya heshima hiyo, hawana lengololote ila ni kuuridhisha utawala hata kama Mwenyezi Munguatawakasirikia.

Wala hatuna haja ya kunukuu ibara zinazoonyesha uwezo wa akili za wase-maji wake na kiwango cha ujuaji wao wa mambo hivyo hatusimami sanakwenye uzushi huo na batili hizo bali tunaziwekea pazia. Lakini ni lazimatuchunguze nukta mbili:

97 Rasail Ibnu Abidin 2: 169.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 69

70

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Ya kwanza: Je, kulitia dosari kundi la maswahaba kunawajibisha hukumuhizi mbaya? Au kuna tofauti na kitenganishi? Ikiwa hukumu hii ni kwa kilaanayewatia dosari maswahaba au kuwasifu kwa sifa isiyofaa, basi kwa ninihawajamhukumu yule aliyewatia dosari maswahaba wengi na akawasifukwa sifa isiyowafaa? Na wao ni miongoni mwa maswahaba wakubwa nahalisi kwa sababu wao walimpinga Uthman kuhusu mazingira ya kinyumeya Bani Umayyah na kuwakumbatia kwake, au walimukhalifu MuawiyaIbnu Abu Suf’yan, hivi huoni miongoni mwa dosari na kuwatia aibumaswahaba ni kuwasifu kuwa: “Hakika wao ni miongoni mwa watuwapumbavu mabaradhuli, bila shaka wao ni waharibifu ardhini wenyekumuasi Imam.”98

Na Ibnu Taymiyyah anasema: “Hakika wao ni waasi wenye kufanyauharibifu ardhini.” Mpaka akasema: “Na wala halikumuuwa ila kundi dogoovu la kidhalimu. Ama waliokwenda kumuua wote ni wenye makosa balini madhalimu waovu waliovuka mipaka.”99

Ibnu Hajar anasema katika kuwasifu waliompinga: “Hakika mujtahid hap-ingwi katika mambo yake ya kiijtihadi lakini hao walaanifu wenye kupin-ga hawana fahamu yoyote bali hawana akili yoyote.”100 “Na katika madaya uaidilifu wamepitisha kuwa maswahaba ni waadilifu mpaka kutokeefitina. Ama baada ya hapo ni lazima tumzungumzie yule asiyekuwakielelezo cha uadilifu, hii ndio moja ya kauli.”101

Na wala hatutaki kugusa kauli zote ambazo kwazo wamewasifu maswaha-ba ambao walishiriki katika kumpinga Uthman na kuwahimiza watu dhidiyake.

98 Tarikh Ibnu Kathir 1: 176.99 Min’hajus-Sunnah 2: 191 – 206.100 As-Sawaiqul-Muhriqah cha Ibnu Hajar: 68.101 Sharhu Al-Fiyya Al-Araqiy 4: 36.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 70

71

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Ya pili: “Hakika Shia hawajifichi katika kumchukia kila anayemfanyiauadui Ali (a.s.) kwani hakika amchukiaye Ali (a.s.) ni mnafiki kwa mujibuwa maelezo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Ewe Ali! Hakupendi ilamuumini na wala hakuchukii ila mnafiki.” Na hakika wanafiki watakuwakatika tabaka la chini kabisa Motoni, na tayari imeshathibiti kuwa baadhikati ya waliokuwa na alama za usahaba walikuwa wakimchukia Ali (a.s.)na wakimtukana na hilo ni mashuhuri kwao: Bila shaka Mwenyezi Munguanashuhudia hakika sisi hatuwapendi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, kati-ka hilo hatumuhofii yeyote atakayechukia.

Na bila shaka ni kuwa Muawiya na kundi lake walikuwa wakidhihirikiwawaziwazi na sifa ya kumchukia Ali (a.s.) na watu wa nyumba ya MtukufuMtume wote, na walimkabili kwa uadui na kutangaza vita juu yake. KamaMuawiya alivyotangaza na kufanya Sunna na akawafuatilia wafuasi waokuanzia maswahaba hadi tabiina, na hivyo akawaonjesha kila aina yamaudhi na matatizo akawanywesha sumu na kuwauwa chini ya kila jiwena changarawe, suala ambalo hatuna haja ya kulifafanua, ilihali matendoyake haiwezekani kuyanyamazia na wala hakuna njia ya kuyatafsiri kwamaana ya usahihi.

Si uadilifu kusema: Hakika Muawiya ni mujtahid aliyeleta maana, ilihaliameacha sheria na kubatilisha ushahidi na ameuwa nafsi zilizo haramukuziua, kawateka wanawake wa kiislamu na kuwatangaza kwenye masokona kufunua miundi yao, hivyo yeyote mwenye muundi mkubwa hununuli-wa kulingana na ukubwa wa muundi wake102. Na mengine mengi mion-goni mwa matukio ya fedheha na ya huzuni.

Huyu hapa Abu Al-Ghadiyyah Al-Juhni, alikuwa miongoni mwa maswa-haba na miongoni mwa waliomsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) naakapokea kutoka kwake na yeye ni miongoni mwa wapokezi wa Hadithi:“Ewe Ammar litakuuwa kundi ovu.” Na yeye mwenyewe ndiye aliye-muuwa Ammar radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake. Watu walim-102 Al-Istiabu 1: 157.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 71

72

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

chukia kwa kutenda kosa hili na yeye mwenyewe akakiri kuwa yeye nimiongoni mwa watu wa Motoni, na alikuwa akisema: “Naapa kwaMwenyezi Mungu laiti Ammar angeuliwa na watu wa ardhini basiwangeingia Motoni.”103

Inakuwaje anatuhumiwa kuwa katoka ndani ya dini yule mwenye kujiten-ga na mtu muovu kama huyu ambaye yeye mwenyewe amekiri kuwa niadui wa Mwenyezi Mungu, lakini baadhi ya wasimulizi wamemtafsirivingine na kuwa yeye ni mujtahid aliyekosea na ni lazima kuwa na dhananzuri na maswahaba.104

Sisi hatujui ni mantiki ipi hii inayopitisha kutupiliwa mbali hukumu naKitabu kuhamwa kwa hoja ya kuwa na dhana nzuri na maswahaba na kun-yamazia yale waliyoyatenda. Na je, inaruhusiwa kwetu kunyamaziamatendo ya Basri na maangamizi yake? Pindi tu atakapokuwa na alama yausahaba, ilihali yeye ndiye kiongozi wa jeshi la Muawiya na hakika aliten-da makosa ambayo unyama wake bado historia haijauona mfano wake,mpaka wanawake wakamkana pindi alipoingia Yemen, akauwa wazee nawatoto na kuteka wanawake. Mwanamke mmoja kutoka kabila la Kindaakamwambia: “Ewe mwana wa Artaah! Hivi mtawala hadumu ila kwakuuwa watoto wadogo na wazee vikongwe na kung’oa rehema na kuwa-tendea vibaya ndugu wa damu, hakika yeye ni mtawala muovu.”105

Vipi iruhusiwe kwetu kunyamaza dhidi ya vitendo vya Basri na tuzibemasikio yetu dhidi ya sauti ya mama mfiwa ambaye sauti yake inasukumamawimbi ya haki na kupeleka dhuluma aliyofanyiwa kwa wanaumewaadilifu huku akiomba akiwa amechanganyikiwa hajui la kufanya?!

103 Usudul-Ghaba: 5 – 267.104 Al-Isabah: 4 – 151.105 Al-Kamil cha Ibnu Kathir 3: 195.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 72

73

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

“Ewe ambaye umehisi kuhusu wanangu wawili wapendwa ambaowao ni sawa na nyota mbili zilizoachana pande mbili.

“Ewe ambaye umehisi kuhusu wanangu wawili wapendwa ambaowao ni sikio langu na akili yangu, leo akili yangu imekwapuliwa.

“Atakaye muonyesha mzazi wa kike aliyechanganyikiwa asiyejuacha kufanya juu ya watoto wadogo wawili waliodhalilika, keshoatapata malipo.

“Niliambiwa habari za Basri na si kuamini waliyodai kutokana nauongo wao na kosa walilolitenda.

“Naihurumia mishipa ya shingo za wanangu wapendwa iliyonole-wa na kulainishwa na lile kosa linalotendwa.”

Hii ni sauti inayopeleka maumivu moyoni na kijiti jichoni inatoka kwamama mwenye huzuni kali naye ni mke wa Abdullah bin Abbas aliwakosawanae wawili nao ni Qutham na Abdur-Rahman, aliwachukua Basri binArtaah ilihali wakiwa bado wadogo, akawachinja mbele ya mama yao, basiakachanganyikiwa bila kujua la kufanya, hivyo akawa akija msimu huo nakusoma shairi hili bila kujua afanye nini.106

Hivyo sio haki kabisa kumtuhumu mwislamu kuwa ni zandiki na mpaganiakichukia pindi anaposikia sauti yake na kunasibisha dhuluma kwa yulealiyewauwa wanae, eti kwa sababu tu kamtia dosari Muawiya, kwanimauaji yalifanyika kwa amri yake na yeye ni sahaba, na katika hilo ana ijti-hadi inayokubalika au tafsiri sahihi, hivyo Muawiya aingie kwenye uwan-ja wa maisha na kutenda lolote atakalo mwenyewe.

106 Al-Istiabu 1: 156. Al-Kamil cha Ibnu Kathir 3: 195.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 73

74

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

Bila shaka usahaba umewekewa ngome inayouzuia usihukumiwe na hivyoukakingwa na kila hatari, na umwage damu na uuwe kwa kigezo cha dhanana tuhuma, mbele yake vizuizi vyote vimeondoka na vikwazo vyotevimeyayuka hivyo haumhusu ule utaratibu na hukumu zilizowekwa nasheria tukufu zenye wema kwa wanadamu na utaratibu wa maisha kwasababu tu yeye ni sahaba na ana uhuru wa kufanya chochote ndani yahukumu.

Na laiti angekuwa na haki ya kufanya hivyo basi matendo yakeyasingepingwa na maswahaba, na kinara wao ni sahaba mkubwa AbuDharr Al-Ghaffar, bila shaka alitangaza waziwazi mbele ya kadamnasiupinzani wake dhidi ya mwenendo wa Muawiya na uendaji wake kinyumena dini.

Pia Aisha alimpinga Muawiya kwa kitendo chake cha kumuua Hajar nawafuasi wake na akamkasirikia na akamkataza asiingie nyumbani kwakena wala hakukubali udhuru wake pale aliposema: “Hakika katika kuwauakuna masilahi kwa umma na kuwaacha waendelee kuishi kuna uharibifukwa umma.” Aisha akamwambia: “Nilimsikia Mtume wa MwenyeziMungu akisema: “Kuna watu wataua kwa hoja za kitoto na MwenyeziMungu na watu wa mbinguni watawaghadhibikia.”107

MUHTASARI WA UCHAMBUZI

Hakika laana ni suala lingine lenye maana tofauti na tusi na kashifa kilughahata kisheria, na bila shaka laana ni dharura ya kiitikadi inayoimarishamaana ya mapenzi kwa mawalii wa Mwenyezi Mungu na uadui kwamaadui wa Mwenyezi Mungu. Na hakika Qur’ani tukufu imeitumia kwawatu wa kitabu na mara nyingine kwa makafiri wote na mara ya tatu kwa

107 - Tarikh Ibnu Kathir 8: 55. Tazama Aslus-Shiah Wa-Usuliha cha marehemuKashif Al-Ghatau.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 74

75

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

wanafiki na mara ya nne kwa waisilamu wenye kutenda makosa ya kishe-ria yaliyo makubwa. Na hakika Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliitumia maranyingi kwa ajili ya kundi la nne tu kwa waislamu kuliko makundi mengine,na maswahaba wana athari zilizomo ndani ya historia.

Na laana inatumiwa kwa kundi la watu wenye sifa moja na kwa mtu binaf-si, na hakika wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s.) hawalaani maswahaba wotekama walivyotuhumiwa kwa hilo, bali humlaani yule tu aliyelaaniwa naMwenyezi Mungu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Na kumlaani mtu binafsi kukiwa kunatokana na ijtihadi basi kwenyewehakuingii kwenye mlango wa maasi achia mbali kumpeleka mtu kwenyeukafiri. Na hakika kuwakufurisha Shia kwa tuhuma ya kuwatukanamaswahaba ni kitendo kisichokuwa na msingi wowote wa kisheria ndaniya Uislamu, bali kilitekelezwa na baadhi ya wanachuoni vibaraka wawatawala ili wajipendekeze kwa watawala na kuzua fitina kati ya waisla-mu.

Mwisho wa dua zetu ni kumshukuru Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wawalimwengu.

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 75

76

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NAAL - ITRAH FOUNDATION:

1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Ishirini

2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur'an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 76

77

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

25. Yajue Madhehebu ya Shia26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna.34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka Na Aba'Khalifa37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an inatoa changamoto

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 77

78

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Tujifunze Misingi Ya Dini68. Sala ni Nguzo ya Dini69. Mikesha Ya Peshawar70. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu71. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia iliy

onyooka72. Shia asema haya, Sunni asema haya, Wewe wasemaje?73. Liqaa-u-llaah74. Muhammad (s) Mtume wa Allah75. Amani na Jihadi Katika Uislamu 76. Uislamu Ulienea Vipi?77. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 78. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s)

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 78

79

Maana ya Laana na Kutukana katika Qur’ani Tukufu

BACK COVER

Shia wa sasa na wa zamani, wote wametuhumiwa kuwatukana masahabana kuwalaani; na kwa ajili ya tuhuma hii wamepatwa na matatizo namachungu mengi baada ya kuhukumiwa kuwa wao ni makafiri. Jambo hililimefanya suala la laana na kulaani lifuatiliwe na watu wengi na wajiulizekuhusu ukweli halisi wa laana ndani ya sheria, hukumu yake na mipakayake mbalimbali.

Ewe msomaji mpendwa! Somo lililomo mikononi mwako ni jaribio maki-ni katika mwelekeo huu ambalo ndani yake tunajaribu kuangazia machomaana ya kulaani kilugha (Kiarabu) na kwa mujibu wa Kitabu na Sunna yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Na tutazame msimamo wa kambi mbili:Kambi ya Sunni na kambi ya Ahlul Bayt kuhusu suala hilo. Hayo yote nikwa lengo la kutaka kufikia matokeo halisi katika suala hili, na muhimuzaidi ni kuchunguza ukweli wa tuhuma ya kuwatukana masahaba woteambayo Shia wanatuhumiwa nayo.

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah FoundationS.L.P. 19701 Dar es Salaam, Tanzania

Simu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]: www.alitrah.org

Katika mtandao: www.alitrah.info

Hatukashifu bali tunalaani chk Lubumba Final D.Kanju.qxd 7/1/2011 4:14 PM Page 79