msingi wa imani yetu: neno la mungu ambalo ni taa miguuni …kelckenya.org/kelc_kalenda_2016.pdf ·...

90
Maono Yetu: Wote wapate kuishi maisha kwa ukamilifu wake hapa duniani na mbinguni. (Yn. 10:10b) Msingi wa Imani yetu: Neno la Mungu ambalo ni Taa miguuni mwetu na Mwanga wa Njia zetu. (Zab. 119:105) Kila msomaji wa masomo yaliyo katika kalenda hii afunikwa na Baraka na makusudi mazuri yasiyobadilika ya Mungu wetu aliye hai.

Upload: others

Post on 08-Feb-2020

17 views

Category:

Documents


2 download

TRANSCRIPT

Maono Yetu: Wote wapate kuishi maisha kwa ukamilifu wake hapa duniani na mbinguni.

(Yn. 10:10b)

Msingi wa Imani yetu: Neno la Mungu ambalo ni Taa miguuni mwetu na Mwanga wa Njia zetu.

(Zab. 119:105)

Kila msomaji wa masomo yaliyo katika kalenda hii afunikwa na Baraka na makusudi mazuri

yasiyobadilika ya Mungu wetu aliye hai.

3

KELC KALENDA 2016 Kauli mbiu Mwaka 2016:

Maana milima itaondoka, na vilima vitaondolewa; bali wema wangu hautaondolewa

kwako, wala agano langu la imani halitaondolewa; asema Bwana akurehemuye

(Isaya 54: 10)

AKAUNTI YA 1 ya “KELC OPERATION KUJITEGEMEA” NI:Jina la Akaunti: Kenya Evangelical Lutheran ChurchBenki: Equity BankTawi: Buru Buru BranchNo. ya Akaunti.: 0950 261 221 095

M-PESA PAYBILL OPTIONGo to M-PESA menu , Select PAYBILL OPTIONWhen requested for the BUSINESS NUMBER enter 247247 Press enter)The next request is an ACCOUNT NUMBER No. Enter 160292Note : Usiweke spaces, dots, symbols or commas)Next step, enter the AMOUNT you wish to Contribute.Then, the enter your M-PESA PIN No. Finally enter to COMPLETE

AKAUNTI YA 2 ya “KELC OPERATION KUJITEGEMEA” NI: Benki: Chase Bank, Tawi la: Eastleigh Jina la Akaunti: KELC, No.: 0062018503005

YALIYOMO

Utangulizi ................................................................................................7

Maelezo ya sakramenti za kilutheri & ungamo la dhambi......................9

Fungu la sita: fundisho la ungamo ........................................................10

Tamko la Kanisa la Utume ...................................................................11

Rangi ya mwaka wa kanisa ...................................................................13

Mikutano na Semina 2016 ....................................................................14

Wajumbe wa halmashauri kuu ..............................................................17

Taarifa za kanisa - Kitaifa .....................................................................18

Idara ya vijana .......................................................................................24

Matawi ya sharika .................................................................................26

Sharika na sehemu za Misioni ..............................................................29

Miradi ya KELC ...................................................................................44

Kalenda na Shajala ya 2016 .................................................................46

7

UTANGULIZI

Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa

siri za Mungu. Hapo tena inayohitajiwa katika

mawakali, ndiyo mtu aone-kane kuwa mwaminifu.

(1 Kor 4:1-2) Wapendwa wakristo karibuni katika kujisomea na kutafakari maandiko yaliyomo katika kalenda ya mwaka huu wa 2016.

Sisi wakristo tumeitwa na Mungu kuwa mawakili wake wa siri za wokovu, huduma, Neno lake na mafunuo ya Roho Mtakatifu katika maisha yetu. Siri za Mungu tulizopewa ni kwa kusudi la kuwafunulia walimwengu mapenzi yake ili wapate kugeuka na kuishi katika maisha yenye tabia ya Ufalme wa Mungu.

Neno la Mungu katika 1Kor.4:1-2 latwambia wazi hivi

“ Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri za Mungu. Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili, ndiyo mtu aonekane kuwa mwaminifu”.

Mwaka huu 2016 tujiweke katika nafasi ya kuhesabiwa na kujulikana na watu wote ya kwamba sisi tunaoliItia Jina la Yesu Kristo tu watumishi wake wenye mfano wa kuwatumikia wengine badala ya kutumikiwa na kuwa

8

mizigo ya watu wengine. Pia mwaka huu na siku zote za maisha yetu tuhesabiwe kuwa mawakili au watunzaji wa siri za Mungu kwa kutimiza wito mkuu wa kuwaendea watu wote na kuwafanya kuwa wanafunzi wake Yesu huku tukiwabatiza kwa Jina la Mungu wa Utatu na kuwafundisha kuyashika yote tulioamuriwa na Kristo mwenyewe.

Mtumishi na wakili wa siri za Mungu ambaye ni mimi na wewe tunahitajika mwaka huu kuwa waaminifu na waajibikaji katika huduma tuliyopewa ndani na nje ya kanisa. Popote ulipo na chochote unachokifanya uwe mwaminifu mpaka kufa naye Kristo kwa uaminifu wake akupe taji ya uzima.(Ufu.2:10)

Kuwa mtumishi wa Kristo na wakili mwaminifu anayewajibika ndio njia pekee ya kumiliki na kutenda huduma zote ndani ya Kanisa na nje ya Kanisa kwa furaha, hiari, upendo, bidii na kwa kujitolea katika kiwango cha juu katikati ya makwazo na majaribu ya mapito. Huu ndio wito wa kuwa ndani ya Kanisa la Kristo na kuwajibika.

Baraka za Mungu na Upendo wake ziandamane nanyi mwaka huu 2016 mkijifurahisha katika yeye, naye akiwapa haja za mioyo yenu.(Zab.37:4)

Askofu Zachariah Kahuthu.

9

MAELEZO YA SAKRAMENTI ZA KILUTHERI & UNGAMO LA DHAMBI

Kutoka Katekisimo Ndogo ya Dr. Martin LutherSisi Wakristo Walutheri tunaamini kuwa kuna njia kuu mbili za

kukutana na Mungu: Kwanza, kwa njia ya Neno lake na pili kwa njia ya Sakramenti Takatifu.

Katika Katekisimo ndogo ya Dr. Martin Luther, Fungu la Nne & Tano imetaja Sacramenti mbili za Kilutheri:

Fungu la nne ni maelezo ya Sakramenti ya Ubatizo naFungu la tano ni maelezo ya Sakramenti ya Chakula cha

Bwana.Ubatizo ndio nini? Ubatizo si maji matupu tu, ila ni maji yatumikayo kwa amri ya Mungu na yaliyounganika na neno lake. Yesu anasema hivi mwis-honi mwa Injili ya Mathayo: 28:19 “Enendeni Mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu“.

Manufaa ya Ubatizo: Kuondoa makosa, kutuokoa katika kufa na katika nguvu ya shetani na kututolea uzima wa milele watu wote wanaoamini, kama ahadi ya Mungu isemavyo. Ahadi hii ipo katika Mk. 16:16. “Aaminiye na kubatizwa ataokoka asiyeamini, atahu-kumiwa“.

Sakramenti ya Chakula cha Bwana ndio nini? Ndiyo mwili wa kweli na damu ya kweli yake Bwana wetu Yesu Kristo. Naye mwenyewe ametuagiza kuula katika mkate na kuinywa katika mvinyo.

Manufaa ya CCB: Manufaa yake yanaonekana katika kuyaamini maneno haya: “Mwili unaotolewa na damu inayomwagika kwa ajili yetu, kwa ondoleo la dhambi”. Maneno haya ndiyo nguvu ya Sakramenti yanayosemwa, yaani ondoleo la dhambi.

10

Maana yake ni: Katika sakramenti hii tunapokea ondoleo la dham-bi, na uzima na wokovu. Kwa kuwa ondoleo la dhambi liwapo, ndipo hata uzima na wokovu huwapo pia.

Mwenye Kustahili kupewa Sakramenti hii ni nani? Ni yeye ayaaminiye maneno haya; Mwili unaotolewa, na damu inayom-wagika kwa ajili yenu, kwa ondoleo la dhambi. Mwenye kuona mashaka ya maneno haya hastahili kupokea.

FUNGU LA SITA: FUNDISHO LA UNGAMO

“Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kwweli haimo mwetu. Tukiziungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusafisha na udhalimu wote. Tukisema kwamba hatukutenda dhambi, twamfanya yeye kuwa mwongo wala neno lake halimo mwetu”. (I Yn. 1:8-10)

Ungamo ndio nini? Ungamo lina vipindi viwili. Cha kwanza ni kuungama dhambi na cha pili ni kupokea ondoleo kwa mtu Yule

tunayemwungamia kama ni kwake Mungu mwenyewe. Wala tusitie shaka, ila tuamini fika ya kwamba dhambi zimeondolewa

hivyo hata kule mbinguni mbele ya Mungu.

Ungamo la dhambi mbele ya MunguMungu mwenye enzi yote, Baba wa rehema, mimi niliye maskini

na dhaifu na kuzaliwa katika hali ya dhambi, naungama mbele zako dhambi zangu zote, nilizozifanya kwa kuwaza na kwa kunena na kwa kutenda. Nimekukasirisha mara kwa mara.

Nikastahili adhabu yako hapa duniani na hata milele. Lakini nazijutia dhambi zangu na kutubu kweli. Nakusihi kwa rehema yako iliyo kuu, unihurumie na kuniokoa mimi niliye maskini na

mwenye dhambi. Ee Bwana, unisamehe dhambi zangu zote, unipe nguvu ya Roho Mtakatifu wako nishike mwenendo mpya. Amina.

11

TAMKO LA KANISA LA UTUME

“Kanisa hili, likiongozwa na Neno la Mungu, lina jukumu la lazima la kuhubiri habari njema ya uzima unaopatikana

katika Yesu Kristo kwa watu wote, ili wawe na uzima kisha wawe nao tele.”(Yn. 10:10)

Katika utekelezaji wa tamko hili Kanisa letu litatumia mikakati ifuatayo:

1. Kuimarisha kwa nguvu huduma zote zilizopo sasa, kwa mfano Shule za Jumapili, Kipa Imara, Bible Study, Kwaya, umoja wa vijana, wanawake na uamsho katika kuandaa na kufanya warsha na semina kwa makundi mbalimbali.

2. Kufahamu idadi ya Wakristo wetu ili kuweza kupanga jinsi ya kuwalea ili wakue na kuwa na nguvu za kiroho na waelewe wajibu wao wa lazima wa kumtangaza Yesu Kristo na kuliimarisha/ kulifadhili Kanisa lao mahali walipo.

3. Kuimarisha huduma ya uinjilisti katika ngazi zote ili ku-panua huduma ya Neno na Sakramenti na kufungua se-hemu mpya za kazi ya Bwana.

4. Kuhusika vilivyo katika kuwaandaa, kuwafunza, na ku-watuma Wakristo waliopo katika huduma ya uinjilisti na udiakonia ili kuondoa uzembe kazini.

5. Kuvitambua na kuvitumia vipawa na karama za watu bi-nafsi ili kuimarisha na kuyajenga makundi yetu yakue kiroho. Vipawa au uwezo wa watu binafsi visiwe tishio na mafarakano bali viwe baraka shambani mwa Bwana.

12

6. Kubuni na kuanzisha huduma au miradi mbalimbali za kiroho na kimwili ili kumkuza mtu mzima kulingana na mahitaji ya sharika zetu kwa mujibu wa maono ya kani-sa kwa kutumia mkakati wa KELC OPERATION KU-JITEGEMEA.

7. Kubuni, kuboresha, kuimarisha, na kutumia mbinu mpya za kulitangaza Neno la Mungu. Mhubiri wa Neno la Mun-gu awe na uhakika wa anachohubiri na aweze kufafanua hoja za kiroho zilizopo katika mahubiri. Mahubiri yawe na mifano hai ili kujenga Imani, toba, faraja, na furaha katika kusikiliza na kutenda.

8. Kuhusika vilivyo katika kuwatafuta, kuwaandaa na ku-wafunza wafanyakazi wenye wito, moyo, na uwezo ka-tika huduma hii ya Kristo.

9. Kuziimarisha sharika zenye uwezo ili ziweze kuhusika katika kufungua sehemu mpya za huduma na kutumia nguvu ya ndani, kuanzisha vituo mbalimbali vya kuwez-esha, kurahisisha, na kuimarisha utekelezaji wa utume wa Kanisa hili.

10. Kujali maslahi na kuwatia motisha wafanyakazi walio na bidii na hamu ya utendaji kazi/ huduma katika shamba la Bwana kwa mujibu wa mapatano yao na Kanisa hili.

13

RANGI YA MWAKA WA KANISA

Zambarau (Majilio, Kwaresima, wakati kabla ya Pasaka) hutukumbusha tumaini la milele libarikiwalo lililo letu katika Kristo. Na hutukumbusha kuhusu haja yetu ya toba na maandalizi ya kuiadhimisha Pasaka.

Nyeupe (Krismasi na Pasaka) ni rangi ya usafi, utakatifu, utukufu na furaha.

Kijani (Epifania na baada ya Pentecoste) huwakilisha maisha ya Mkristo na kukua katika Imani

Nyekundu (Pentecoste, Kipa Imara, Mategenezo, kuwabariki watumishi) rangi ya moto na damu, huiwakilisha kazi ya Kristo na nguvu ya Roho Mtakatifu

“Basi, ninasema, unalolitolea moyo wako na kuliamini, hakika, ndiye mungu wako.”

“Mtu wa namna hiyo ana mungu, aitwaye Mamoni/Utajiri. Yaani, pesa na mali anamwouweka moyo wake wote. Ni sanamu ya kawaida sana ya kuabudiwa duniani. Mwenye pesa na mali anajiona kuwa salama, kuwa ana furaha, asiyekuwa na mahangaiko kana kwamba, ameketi katikati ya Paradiso. Kwa upande mwingine, mchochole huwa na mashaka na hukata tama kana kwamba, hakulisikia lolote kuhusu Mungu.”

“Kuwa na Mungu hasa ni kuwa na kitu ambacho moyoni uanakitegemea kabisa.”

(Maelezo ya Martin Luther kwa amri ya kwanza)

14

MIKUTANO NA SEMINA 2016

OFISI YA ASKOFUKamati ya Theologia 26/02/2016 VoiHalmashauri Kuu 1. 30/04/2016Halmashauri Kuu ya 2. 29/10/2016 Voi

SEMINA YA KUWAANDAA NA KUWATUNZA WATUMISHIJimbo la Pwani Kaskasini 17-19/05/2016 MalindiJimbo la Pwani kusini 28-30/06/2016 MombasaJimbo la Kilimanjaro 2-4/08/2016 Voi Jimbo la Kati 1 6-8/09/2016 KambuJimbo la Kati 2 13-15/09/2016 Nairobi, Demesse

JMCKJMCK 07/10/2016 Mkutano NairobiJMCK Mazungumzo ya vikundi mbali mbali 08/10/2016

DIAKONIAMikutano miwili ya Idara, 26/04/2016 Mombasa na 25/10/2016 Taveta

IDARA YA VIJANAKamati ya vijana 19/03/2016 Nairobi na 15/10/2016 VoiJumapili ya vijana 07/08/2016Youth Rally Juma la mwisho wa Agosti 24-27/08/2016 Malindi

OFISI YA KATIBU MKUUKamati ya Katiba na utumishi 15-16/04/2016LUCCEA Bodi ya Utendaji 17-19/08/2016 Nairobi

LEGAL OFFICELand rates payment Machi 2016Tax returns Mei 2016Reminder of Appriasal Februari

15

MIKUTANO NA SEMINA 2016

WANAWAKEKamati ya wanawake Jimbo la Kati 19/03/2016- NairobiKamati ya wanawake Jimbo la Kati 15/10/2016 Kambu Kamati ya wanawake Jimbo la Kilimajaro 29/01/2016 TavetaKamati ya Jimbo Kilimanjaro 26/05/2016 OloitokitokKamati ya wanawake jimbo Kilimanjaro 27/10/2016 VoiKamati ya Jimbo Pwani Kaskazini 13/02/2016 Magarini GngoniKamati ya Jimbo Pwani Kaskasini 20/10/2016 GarseniKamati ya jimbo la Pwani Kusini 24/02/2016 MombasaKamati ya Jimbo La Pwani Kusini 5/10/2016 NyangoGender Empowernment 1. 8-13/02/2016 Lungalunga, Nasserian,Nyango.Gender empowerment Pwani Kaskasini 15-20/02/2016 Magarini/MalindiMaombi ya dunia ya wanawake 6/03/2016Kamati ya PLCC 16/03/2016 RongaiKamati ya PLCC 13/07/2016 RongaiKamati ya PLCC 09/11/2016 RongaiKamati ya wanawake KELC Theologia ya wanawake 7-9/04/2016 TavetaGender Empowerment Kilimanjaro 18-20/07/2016 VoiGender Empowerment 8-12/08/2016 OlekeriaiKamati ya wanawake KELC 3-5/11/2016 MombasaGender Empowerment Kati 14-19/11/2016 Pokot

OFISI YA MTUNZA HAZINAKamati ya Fedha na Miradi I 29/04/2016 NairobiKamati ya Fedha na Miradi II 28/10/2016 VoiSemina kwa watunza hazina wa usharika na eneo la missioni 17-18/08/2016 Voi

IDARA YA ELIMU YA KIKRISTOKamati ya Elimu ya Kikristo 25/02/2016 VoiSemina kwa usharika wote kuhusu amri kumiFugate tano kwa watumishi wote wa KELC

16

MIKUTANO NA SEMINA 2016

NB: Wahusika watawafahamishwa mabadiliko yoyote yanapotokea

OFISI KUU: Matangazo Rasmi (Tafadhali someni kwa makini)Unaombwa unapopanga kuizuru Ofisi Kuu uizingatie nidhamu ifuatayo:

1. Ofisi za Mtunza Hazina na Katibu Mkuu zinashughulikia mambo ya kipekee ya kiofisi hivyo zitakuwa zimefungwa kila Jumanne.

2. Unaombwa kuwasiliana mapema na kuhakikishiwa mapokezi unapotaka kufika kwa huduma Ofisi kuu. (Pia ni pamoja na vikao vyote)

3. Kila Alhamisi kuna mkutano wa Executive Board, na viongozi wa idara zote ni wahusika, hivyo ukifika siku hiyo utakosa kuhudumiwa.

4. Kila siku saa 4 hadi 4.30 kuna Sala ya Asubuhi na Breki ya chai.Ili kuyatekeleza mapatano yote ya Kanisa na kuwahudumia wote, Ofisi kuu inaomba kila mmoja wetu azingatie hayo mambo.

“Kuusisitiza vibaya jina la Mungu ikiwa tutamwita Bwana Mungu pasipo kujali, kwa kuusistiza uongo au kosa la aina yoyote.”(kwa amri ya 2)

“Pia kuna kundi lingine linalilisikiliza burudani yoyote, wanaokuja katika mahubiri kwa ajili ya mazoea tu, na wanaondoka tena wakiwa na ujuzi mdogo sana wa neno la Mungu mwishoni mwa mwaka jinsi walivyokuwa mwanzoni mwa mwaka.”

“Hivyo, inakupasa kuliweka neon la Mungu moyoni, midomoni, na masikioni mwako siku zote.”(kwa amri ya 3)

17

WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU

1. Askofu Zachariah Kahuthu - Mwenyekiti2. Mch. Johannes ole Meliyo - Msaidizi wa Askofu3. Mch. Luke Mwololo - Naibu Katibu Mkuu4. Deacon Thomas Ritter - Mhazina Mkuu5. Bw. Julius Osoro - Msaidizi wa Mhazina Mkuu6. Bw. Karanu Waweru - Afisa-Sheria wa KELC7. Bi. Elizabeth Hendrickson - Mkurugenzi wa Mawasiliano8. Mch. Johannes Löffler - Mkurugenzi Elimu ya Kikristo9. Bw. Jonathan Kapanga - Kaimu Mkurugenzi Diakonia

10. Bi. Alice Mwaringa - Kaimu Mratibu wa Wanawake11. Bw. Jonathan Kapanga - Mratibu wa Vijana12. Bi. Angelina Igwo - Katibu Mwandishi wa H/Kuu13. Mch. Balozi Mrutu - Mkuu wa Jimbo la Kati14. Mch. Jackline Loroghwa - Mkuu wa Jimbo la Kilimanjaro15. Mch. Titus B. Komora - Mkuu wa Jimbo la P/Kaskazini16. Mch. Emmanuel Chambi - Mkuu wa Jimbo la P/Kusini17. Bw. Harrison Kaula (Kambu) - Jimbo la Kati18. Bw. Peter Mkuu (Taveta) - Jimbo la Kilimanjaro19. Bw. Umuru Maduga (Garsen) - Jimbo la P/Kaskazini20. Bw. Paul Adam (Mombasa) - Jimbo la P/Kusini21. Bi. Judith Nyawanda (S.C.) - M/Kiti wa Wanawake22. Bi. Petra Kea - Kaimu M/Kiti wa Vijana23. Bw. Lucas Chacha (Nairobi) - M/Kiti wa Katiba24. Bw. Andrew Fumo (Magarini) - M/Kiti wa Kamati ya

Fedha na Miradi25. - M/Kiti wa Elimu ya Kikristo26. Bi. Christine Wamaitha - M/Kiti Diakonia

18

TAARIFA ZA KANISA - KITAIFA

OFISI KUU OFISI/ SEHEMU YA KAZI

Askofu Zachariah KahuthuMch. Luke MwololoShe. Thomas RitterShe. Osoro MokuaMs. Pauline KaniniBw. Karanu WaweruBi. Alice MwaringaBw. Jonathan KapangaBi. Elizabeth Hendrickson Mch. Johannes LöfflerBw. Jonathan KapangaBi. Mary MshanaBw. Philip AdikaBi. Irene Kamanthe

Askofu wa Kanisa N/Katibu Mkuu Mhazina MkuuOfisi ya HazinaOfisi ya HazinaAfisa-Sheria wa KELCKaimu Mratibu wa WanawakeMratibu wa VijanaMkurugenzi wa MawasilianoMkurugenzi wa E ya KikristoMkurugenzi wa DiakoniaMkurugenzi wa PLCCMhudumu Ofisi KuuMhudumu Senta ya Vijana (NBI)

HALMASHAURI KUU IDARA/ MAJIMBO

Askofu Zachariah KahuthuMch. Johannes ole MeliyoMch. Luke MwololoShe. Thomas RitterShe. Julius OsoroShe. Karanu WaweruBi. Elizabeth Hendrickson Mch. Johannes LöfflerBw. Jonathan KapangaBi. Alice MwaringaBw. Jonathan KapangaBi. Angelina Igwo

MwenyekitiMsaidizi wa Askofu (Jerusalem )N/Katibu MkuuMhazina MkuuOfisi ya Mtunza hazina Afisa-Sheria wa KELCMkurugenzi wa MawasilianoMkurugenzi Elimu ya Kikristo.Mkurugenzi DiakoniaKaimu Mratibu wa WanawakeMratibu wa VijanaKatibu Mwandishi wa H/Kuu

19

TAARIFA ZA KANISA - KITAIFA

Mch. Balozi MrutuMch. Jackline LoroghwaMch. Titus B. Komora (Kaimu)NN.Bw. John K Kisu (Ukambani)Bw. Kennedy Karsalei (Ltk)Bw. Andrew Fumo (Magarini)Bw. Paul Adam (Mombasa)Bi. Judith Nyawanda (S.C)Petra KeaBw. Lucas ChachaBw. Andrew FumoBw. John Tikan

Mkuu - Jimbo la KatiMkuu wa Jimbo la KilimanjaroMkuu wa Jimbo la P/KaskaziniMkuu wa Jimbo la P/Kusini0714376463 - Jimbo la Kati0725500486 - Jimbo la Kilimanjaro0720771375 - Jimbo la P/Kaskazini0720959078 - Jimbo la P/Kusini0721490044 - M/ kiti wa Wanawake0713 924 838 - M/ kiti wa Vijana0722417999 - M/Kiti wa KatibaM/kiti Kamati ya F & Miradi0724 318513 - M/kiti wa Afya

KAMATI YA UTENDAJI OFISI/ KMT/ USHARIKA

Askofu Zachariah KahuthuMch. Johannes ole MeliyoMch. Luke MwololoShe. Thomas RitterBw. Karanu WaweruBi. Alice MwaringaBw. Jonathan KapangaBi. Angelina IgwoBw. Lucas Chacha

Askofu wa KanisaMsaidizi wa Askofu N/ Katibu MkuuMtunza Hazina Mshauri wa SheriaKaimu Mratibu wa WanawakeMratibu wa VijanaKatibu MwandishiMwenyekiti wa Katiba

KAMATI YA FEDHA NA MIRADI - KITAIFA KIMAJIMBO

Bw. Andrew FumoShe. Thomas RitterShem. Osoro MokuaMch. Luke MwololoBw. Jonathan KapangaBw. Oliver SalaleBw. Willband LymoMch. Titus BereBi. Elizabeth Hendrickson

Mwenyekiti (Jimbo la Pwani Kaskazini)Mhazina Mkuu (KELCMsaidizi Mtunza Hazina (KELC)Kaimu Katibu Mkuu KELCMratibu Idara ya VijanaJimbo la KatiJimbo la KilimanjaroMkuu wa Jimbo la Pwani KaskaziniM/nzi wa Idara ya Mawasiliano KELC

20

TAARIFA ZA KANISA - KITAIFA

Mch. Jackline Lorongwa Mch. Balozi Mrutu

Mkuu wa Jimbo la KilimanjaroMkuu wa Jimbo la Kati

KAMATI YA THEOLOGIA NAFASI/ USHARIKA

Askofu Zachariah KahuthuMch. Johannes ole Meliyo Mch. Johannes LöfflerWachungaji Viongozi wotePW. Agnes Kaula

Askofu wa KanisaMsaidizi wa Askofu Mkurugenzi/Elimu ya KikristoWa Sharika na Misioni Mwakilishi wa Wanawake

KAMATI YA KATIBA NAFASI/ USHARIKA

Bw. Lucas ChachaM/sheria Karanu WaweruMch. Luke MwololoElizabeth AyugiBw. John Muinde (0713 682159)Bw. Albert KivinduBw. Jeremiah Igwo (0716 255244)P/W Rachel Dambala

Mwenyekiti Mshauri wa KisheriaN/ Katibu MkuuJimbo la KatiJimbo la KilimanjaroJimbo la Pwani KusiniJimbo la Pwani KaskaziniMwakilishi wa Wanawake

KAMATI YA UTUMISHI NA MASOMO YA JUU

Mch. Luke MwololoDeacon. Thomas RitterBw. Andrew FumoBw. Lucas C. MatikoMch. Balozi MrutuBi. Judith NyawandaBw. Karanu Waweru

N/ Katibu Mkuu/ Mwenyekiti.Mtunza Hazina M/kiti Fedha na MiradiM/kiti KatibaMwakilishi - Wakuu MajimboMwakilishi wa WanawakeMjumbe

KAMATI YA UPATANISHO

Msaindizi wa Askofu - Wajumbe wote wa Kamati ya Utumishi na Masomo ya Juu

Mwenyekiti(Tazama G Juu)

21

TAARIFA ZA KANISA - KITAIFA

KAMATI YA UDIAKONIA

Bi. Christine Wamaitha

Jonathan Kapanga

Anna Kibwana

Geofree Ondari

Leonard Kamuya

Rehema Jermia

Eda Kimathi

David Fondo

Catherine Willium

M/Kiti

Kaimu Mratibu

M/Kiti Jimbo la Kilimanjaro

Mjumbe wa Jimbo la Kilimanjaro

M/Kiti wa Jimbo la Kati

M/Kiti Pwani Kusini

Mjumbe Pwani Kusini

M/kiti Pwani Kaskazini

Mjumbe Pwani Kaskazini

KAMATI YA ELIMU YA KIKRISTO NAFASI/ USHARIKA

Mch. Johannes Löffler

Mch. Lukas N. Mwololo

Shem. Joseph M. Nguku

Mch. Lennox Mwarandu

Mch. Bere T. Komora

Mch. Jackline Lorongwa

Mkurugenzi E/K KELC -

070 7678 732

Katibu Mkuu KELC -

072 410 0195

Mwandishi - 072 998 4099

Jimbo Pwani Kaskazini -

071 158 9810

Mkuu Jimbo P/Kaskazini -

072 712 5934

Mkuu Jimbo la Kilimanjaro -

072 613 6912

22

TAARIFA ZA KANISA - KITAIFA

Bw. Johanna Nkulai

Mch. Julius Musyoka

Mchg. Emmanuel Chambi

Mwi. James P. Mpario

Jimbo la Kiliomanjaro -

072 902 1639

Jimbo la Kati - 071 876 4805

Mkuu Jimbo la P/Kusini

Jimbo la P/Kusini - 071 134 7662

Wajumbe wapya watachaguliwa na Majimbo

KAMATI YA WANAWAKE KITAIFA

Bi Judith Nyawanda

Bi Martina Swai

Pw Alice Mwaringa

Pw Agnes Kaula

Bi Mary Mshana

Bi Milka Mshanga

Bi Gladys Mmbondo

Bi Agelina Igwo

Pw Racheal Badaso

Pw Florence Rongit

Shem Mary Mkofira

Mwenyekiti

Msaidizi Mwenyekiti

Kaimu Mratibu

Msaidizi wa Mratibu

Mratibu Jimbo la Kati

Mkurugenzi PLCC

Mkiti Jimbo la Kati

Mkiti Jimbo la Kilimanjaro

Mkiti Pwani Kusini

Mratibu pwani Kusini

Mratibu pwani Kaskazini

Mratibu Kilimanjaro

Fahamu: Wenyeviti wote wa Kamati za wanawake toka sharika na sehemu za misioni pamoja na Parish Workers ndio watakao kuwa wajumbe wa

Kamati za Wanawake za Majimbo husika.

23

TAARIFA ZA KANISA - KITAIFA

KAMATI YA MRADI WA JAMII MPYA

Mch. Mwololo, LukeBw. Kariuki ThabaBw. Osoro MokuaBw. Karanu Waweru

MwenyekitiMwandishi/ ManejaMsaidizi Mtunza HazinaMshauri wa Sheria

KAMATI YA PLCC

Bi. Judy Nyawanda 0721490044 PW Alice Mwaringa 0722460366Bi. Mary Mshana 0725406607Deacon Thomas Ritter Ask. Zachariah KahuthuBw. Karanu WaweruMch. Mwololo, LukeJohannes ole MeliyoP/w Agnes KaulaMw. Baerbel Loeffler

MwenyekitiMratibu - W/wakeMkurugenzi wa PLCCMtunza Hazina KELCAskofu wa KanisaMshauri - Kisheria N/Katibu Mkuu Msaidizi wa Askofu/JerusalemuPw wa JerusalemMwalimu

KAMATI YA KELC OPERATION KUJITEGEMEA

Wafanyi kazi wote wa ofisi kuu

Wakuu wote wa Majimbo

Wasimamizi wa sharika na sehemu za misioni

Wasimamizi wa vituo vya Kanisa

IZINGATIWE: KILA USHARIKA NA MISIONI LAZIMA IWE NA KAMATI ZA KOK NA KUWACHAGUA WENYEVITI WAKE

KUFIKIA SASA. Majina yatumwe Ofisi Kuu na Jimboni. KILA KIONGOZI WA USHARIKA & MISIONI ANAWAJIBIKA

KUPIGIA DEBE MKAKATI WA KOK.

24

TAARIFA ZA KANISA - KITAIFA

No

Kit

aifa

/Jim

bo

Wad

hif

aJi

na

la K

ion

gozi

Sim

u

1.K

itai

faM

ratib

uJo

nath

an K

apan

ga07

2304

3744

2.K

itai

faM

/Mki

tiP

etra

Kea

h07

1392

4838

3.K

atib

u-

--

4.M

shau

ri-

--

5.P

wan

i Kas

kasi

niM

/Kiti

Pet

ra K

eah

0713

9248

38

Msh

auri

/mra

tibu

Mch

. Len

nox

Mw

aran

du07

1158

9810

6.P

wan

i Kus

ini

M/K

itiE

rick

Sw

ai-

Msh

auri

/mra

tibu

Mw

ij N

icho

las

Maz

era

0727

6077

13

7.K

ilim

anja

roM

/Kiti

Ste

phen

Wam

bua

-

Msh

auri

/mra

tibu

--

8.K

ati

M/K

itiP

hili

p A

dika

Aw

uor

0727

8633

65

9.K

amat

i ya

Kit

aifa

Msh

auri

/mra

tibu

Mw

ij E

lihu

rum

a M

fina

nga

0722

2547

54

IDARA YA VIJANA

25

“Anatuamuru sio tuwapende tu, lakini kuwaheshimu wazazi wetu … Kwa maana, kuheshimu ni jambo muhimu zaidi kuliko kupenda. Heshima ina-jumlisha upendo, staha, unyenyekevu, na adabu kwa ajili ya enzi inayoficha ndani yazo.”(kwa amri ya 4)

“…hatupaswi kuua, kwa mkono, moyo, mdomo, ishara, makanyezo, msaada, wala kwa njia ya ushauri.”

“…tusimruhusu mtu yeyote aumie bali tumwonyeshe kila mtu wema na upendo wote … wema huu umeelekezwa tu kwa walio maadui zetu.”(kwa amri ya 5)

Martin Luther

26

MATAWI YA SHARIKAU

SH

AR

IKA

M

ITA

AJU

ML

A

Jeru

sale

m P

aris

hJe

rusa

lem

, Sou

th C

, Mat

asia

, Ron

gai,

Mac

hako

s5

Nai

robi

Int

erna

tiona

l L

uthe

ran

Chu

rch

NIL

C/D

agor

etti

1

Mat

hare

Eas

tlei

gh, K

ange

mi

2

Ger

man

Par

ish

Riv

ersi

de D

r., K

ampa

la U

gand

a2

Uka

mba

niM

anoo

ni, K

ithu

man

i, K

aum

oni,

Mua

mbw

ani,

Mas

okan

i5

Mut

yam

bua

Mut

yam

bua,

Kat

une,

Kat

ani,

3

Olk

eria

iN

gatu

, O

lont

ulug

um,

Ese

lenk

ei,

Mat

apat

o,

Olo

shai

ki,

Em

pere

long

'o, E

nkii

, Mas

huur

u, E

ndon

yow

uas

9

Kam

buK

ambu

mji

ni,

Ivin

goni

, N

zwii

, M

akut

ano,

Kon

go,

Mw

anza

ni,

Mw

eine

, Sya

ndan

i8

Kaj

iado

Kaj

iado

Mji

ni, O

lior

um, B

issi

l, N

aman

ga, I

lpar

ua, I

lesa

i, E

suku

ta7

Mak

indu

Mak

indu

, Ita

ngin

i S. S

ch, Y

inza

u S

. Sch

.3

Kir

inya

gaK

ahuh

o-in

i, K

ianj

ege,

Kia

ngw

achi

, Kah

uhoi

ni4

Em

bu/K

ianj

okom

aK

ianj

okom

a, I

ndat

u2

Muk

aa/ M

uthi

tha

Muk

aa, M

uthi

tha

2

27

MATAWI YA SHARIKAIn

guru

man

Ingu

rum

ani,

Inta

sopi

a, O

lkir

amat

ian

3

Kit

ale

& P

okot

Kac

hibo

ra, C

hem

ale,

Tak

ayw

a, A

imat

4

Loi

toki

tok

Loi

toki

tok

Mji

ni, R

onga

i, E

llas

it, O

ldon

yo O

ibor

, Isi

net

5

Rom

boM

atep

es1

Ent

onet

Ent

onet

, Im

urto

t, O

lcho

rro,

Nam

elok

, Im

isig

iyio

5

Tav

eta

Tav

eta

mji

ni, L

eses

ia, E

ldor

o, K

imor

igo,

Njo

ro, M

bogh

oni

6

Tim

bila

Tim

bila

, Kas

okon

i, K

iwal

wa,

Ndi

lida

u, K

imal

a, S

ilai

ta6

Kit

obo

Kit

obo,

Lot

ima,

Mli

man

i, M

raba

ni, K

itok

oto,

Pyt

hon

Hil

l, R

iata

7

Voi

Voi

, M

aung

u,

Mge

no,

Kis

imen

yi,

Nga

mbe

nyi,

Wan

gala

, N

amel

ok, N

dara

8

Mom

basa

Mak

upa,

Kon

gow

ea, M

agon

go, K

ambe

& S

hanz

u5

Lun

galu

nga

Mw

ena,

Mal

adi,

Goy

o, M

aji M

oto,

Mat

oron

i5

Nas

eria

n

Nas

eria

n, N

ashi

pai,

Mw

akal

anga

, N

iaok

oki,

Mtu

nga,

Nam

elok

, M

ajan

gwan

i L

ari,

Maj

angw

ani

Los

ikit

o, M

reng

e, B

anda

wac

ho,

Em

art,

Kag

era,

Och

oro,

Mpa

kani

, U

moj

a, B

angu

e, P

embe

Tat

u,

Pet

u L

ani,

Ngo

mei

, Nar

amat

i

20

28

Nya

ngo

Nya

ngo-

Lek

ule,

Kil

ibas

i, K

iser

ian,

Old

oiny

o, O

lkil

orit,

Kap

ingu

, T

ata,

Ngw

ata,

Lar

i, K

aria

ka A

, K

aria

ka B

, M

unyu

ni,

Nam

enw

a,

Nja

lo, S

hesh

eni,

Vit

uo V

itat

u, N

amun

yak

17

Mal

indi

Cen

tral

, Maw

eni,

Kak

onen

i, Ji

lore

, Mat

song

oni,

Uyo

mbo

6

Mag

arin

iG

ongo

ni m

jini

, Gon

goni

-Map

imo,

Kan

agon

i, N

gom

eni,

Mar

eren

i, T

hath

esa,

Fun

disa

7

Mar

afa

Mar

afa

Mji

ni, K

abib

oni,

Cha

ngot

o3

Gar

sen

Gar

sen,

Maz

iwa

2

Sal

ama

Kul

esa,

Laz

ima,

Sai

loni

, Wem

a, &

Gad

eni.

5

Sin

gway

aN

gao,

Tar

asaa

, Oda

& G

olba

nti

4

Hol

a/W

enje

/ Bur

aH

ola,

Wen

je, D

uway

o, B

ura

Mji

ni, B

ura

Hir

iman

i, B

aom

o, K

iter

e7

Kil

ifi

Kib

aoni

1 180

MATAWI YA SHARIKA

29

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Orodha ya watumishi na ya Mitaa ni ya mwaka wa 2011/12. Fahamu kuwa: Mahudhurio ni wastani wa jumapili na Idadi zote zingine ni jumla ya Mwaka na kwa sababu ya nafasi, majina yote hayakuorod-

heshwa. U=Ubatizo/ N=Ndoa/ Maz=Mazishi/ KI=KipaImara/ CCB=Chakula cha Bwana/ Pok=Waliopokelewa/ Rud=Kurudishwa Kundini/ Wag=Wageni

waliotembelea, JP = Jumapili.

JIMBO LA KATI, Mkuu: Mch. Balozi Mrutu

Usharika wa Jerusalem, Mch. Johannes ole Meliyo - Shem. Peter Mbugua (M/K - E ya K)Pw. Agnes Kaula (M/K - Afya)U - 10, N - 2, Maz - 2, KI– 18, CCB (av) - 1277, Pok - 6, Rud - ?, Wag - 78,Mhazina: Lucy Matilu Kmt: F&M - D. Moshi (0733601983), MGAO: 1,154,997KOK: 134,5005% Jimbo: 92,174Matolea mpaka Sept: 1,700,906

S.L.P, 72772 - 00200, Nbi.0722 148 8720720 2583080720 635775Walei: 6 - S. Akyoo, Lucy M., D. Urioh, Grace Munisi, B. Mutie & P. Adika .Vijana- P. Adika (0727 863365),Katiba - Liz Ayungu (0722 803261),

SADAKA: 1,760,158JUMLA: 3,461,064

Baraza la wazee = 18, Mzee Kiongozi ni P. Mmbando (0722 691220), W/Viti: Mipango - D. Maina (0722525764), Katiba - Bi. Liz A., Afya - A. Kaula, Fellowship- S. Akyoo, Jumuiya Alfa - M. Chacha (0722 417999), Tumaini - Kasente (0722252737), Upendo Choir- J. Loile (0721286744), Tumsifu Choir - R. Mmbando (0722756585) & Wajane - L.Temba (0721728466) Shule ya msingi, Mw. Mary Kahuho, Mw. Emmy Chep-koech, Ruth Ongaya, Synthia Atieno, Mary Etamuku Miradi: (1) Nursery Sch. ya watoto 42, (2) Dorcas Multipurpose House. & (3) Mradi wa kutengeneza hostia.

30

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Usharika wa Mathare,Volu. Ev. E. Mfinanga, Mwi. Josephat Kamosu, Mlinzi; Bernard Musyoka Kiongozi; Mzee Dickson LemaUsafi; Light KimaroWalei; Bi. Marieta ShayoBw. Altans Mongi

Mah. 470 / Jumapili, U - 10; N - 2; Maz - 4; KI - 35; CCB - 1461; Pok - 0; Rud - 7

Box 69192 - 00622, Eastleigh,0722 254 7540724 375 7010706 989 9640722 362 8980715 640 2060720 381 1380722 507 059

Matoleo; 7,439,769

Wawakilishi Wa Usharika Katika Kamati Kelc/Jimbo:1. Mjumbe Wa Halmashauri Kuu, Mzee Dickson Lema - 0722 362 898 2. Mjumbe na Mwenyekiti wa Vijana, Bw. Michael sumi 0721 595 146; Mjumbe na Mwenyekiti wa akinamama, Bi. Milka Mshanga, 0720 623 820; Mjumbe na mwenyekiti wa Katiba, Mzee Judicah Mboya, 0722 861 514; Mjumbe wa Elimu ya Kikristo, Mwi. Elihuruma Mfinanga, 0722 254 754; Mjumbe na Mwenyekiti wa Fedha na Mirandi, Bw. Rowland Dominics, 0715 819 504; Mjumbe na Mwenyekiti wa Wajane / Udiakonia, Bi. Anna Luckness Kweka, 0722 931 660; Mjumbe na Mwenyekiti wa Malaria na Ukimwi, Bi. Marieta Shayo, 0723 066 564; Mjumbe na Mwenyekiti wa Majengo, Mzee Dickson Lema; Mjumbe wa Kamati ya Sunday School, Altans Mongi. O7222 507 759; Mjumbe na Mwenyekiti wa Uwakili / Uinjilisti, Mwi. Josephat Kamosu, 0724 375 101

Nrb. Int. Luth. Congr. (NILC)Rev. Michael Fonner (0711 233681)Mch. Balozi Mrutu (0707 066308)Mhazina: Tekye G. (0733 763066)

S.L.P 34089 - 00100 [email protected]@gmail.comCaretaker: S. Muhia (0723118100)Gardener: D. Ndichu (0708295921)Finance & Admni: Sam. WanyoikeE-mail: [email protected]: L. Ngomuo (0726 539857)Baraza: Wastani wa wajumbe 16

31

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Mjumbe wa H/Kuu ya Jimbo - Mha. B. Birundu - (0722 790598), Wa-jumbe: Prof. G. Msangi, Bi. Hilda N., H. Mariki, M. Thendeu, E. Wachira, W/Viti wa Kmt: F & M - S. Wanyoike (0721 992155), Uwakili - Ombese (0722 717638) & R. Bosire (0720 440743), Vijana - P. Njeri, Katiba & Katibu wa Baraza - A. Obaga, W/wake - M. Njeri, Diakonia - C. Wamai-tha, Mwl/Mkuu Chekechea - L. Maina (0721 546413), Afya - J. Onyango (0720 440743), Women F/ship - Louise R. (0722 784518), Young Couples & S/Sch - E. Okioga (0728 604415), Uimbaji - Askah Oroo (0720 242120), Angazeni - Eva M. (0722962317).Miradi: Shule ya Ushonaji (34) - c/o R. Gara & G. Wanjiru, Shule ya Chek-echea (39), Kilimo cha mboga, Maji, Billboard, Kuosha magari (vijana)

Usharika wa Kijerumani Mch. Herbert [email protected]: Jutta Quade, [email protected]ürgen PrieskeDe. Thomas Ritter

(Associate) Riverside Drive 113, Lavington, Nrb. (020 444 3262), 0733 824 514. [email protected]

Baraza: M/Kiti: Cordula Kunze, N-M/Kiti: Sabine Rundgren, Katibu:- Mch. Herbert Falke, Jutta Q., & Constanze Motzka, Iris Karanja

Usharika wa Ukambani Shem. Joseph NgukuMhazina: Bi. Anna Peter (0720 915567

S.L.P, 40, Sultan Hamud0729 984099Walei: 5: - B. Muuo, Annah P., E. Kamula, Josphine M., & Phelomena M.

Usharika huu una mradi wa kufuga kuku chini ya Idara ya Udiakonia

Usharika wa MutyambuaEv. Josephat Kilungu (c/o Usharika)Ev. Christine EllyMhazina: Esther Kimilu

S.L.P, 531- 90132, S/Hamud0705 4305680729 891638Walei 3: L. Kamuya, D. Muthiani, R. Paul

32

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Baraza: 16: H/Kuu - J. Kisu, F&M - G. Kithumu, Katiba - G. Ndambuki, Maendeleo - D. Maithya, W/Wake - Nora M., Vijana - J. Makau, KOK - B. Kimanyi & wajumbe wengine. Mradi: Shule ya Ushonaji.

Usharika wa Olkeriai, Mch. Lucas O. TapwaiPw. Monica M. DavidEv. W. Kapana (Kujitolea)Mhazina - J. Orumoi (0710 676365)

S.L.P, 8, Mashuuru0733 705369/ 0721 6823630710 477339Walei: 6 - J. Orumoi, A. Mooke, S. Kyengo, S. Saetwa, J. Moonka, & L. Miisia

Mjumbe wa H/Kuu Jimboni - J. Kereto, W/Viti wa Kamati: F & M - L. Mwololo, KoK - A. Mooke, Vijana - Daniel Melita, Katiba - ?, Afya ?, E ya Kikristo - S. Saetwa. W/wake - Bi Stella Isaak, Diakonia - Joyce Mamadi & Afya - ?, Kwaya - Tumaini - D. Kapana, Upendo - P. Keke.Mradi: Eselenkei Nursery School? : Mradi wa Wanawake wa Usharika

Usharika wa Kambu, Mch. Julius Musyoka, She. Rodah Nzioka Mwi. Philip MunyaoWalei: Christine RobertLeonard MutiaVeronicah KiokoRabbecca MuiaWakristo - 330; U - 6; Rud - 5; CCB - 47; KI - 31; Mapato - 262,027

S.L.P, 121, Ngwata0718 764 8050723 722 6150727 126 7830725 230 0220727 633 9020720 335 6060720 487 716

Mirandi: Nursery School - 45; Guest house - vyumba 9; Wajube wa Halmashauri Kuu: Bw. Harrison K. Mutua (0718 301 321);

Bw. Raphael M. Kamwele (0727 121 413)

“Kila mmoja anahitajika kuishi kwa unyofu na amsaidie jirani yake kuishi kama yeye … Mungu anataka kumlinda kila mume na mke ili asiingiliwe na yeyote.”(kwa amri ya 6)

33

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Misioni ya Kajiado,Mch. Samuel NtetuyaPw. Rosia Joshua Mhazina - S. Mpoke (0724 034637)

S.L.P, 52, Bissil - Kajiado 0719 606666/ 0735 8029600713 2005460711 347 662Walei 7: - Elijah Msafiri, Janet R., (0724079054), L. Kulei, Pris-cilar Kawiche., Elizabeth M., Lucy Daniel., E. Msafiri & Mama Shinini.

Wajumbe wa Baraza ni 7 - Baadhi ni: C. Mbuya (0728 070874), Pris-cilar K., (0720 561278), John Tikan (0724 318513), Isaya N., Moses L., Lea Kulei, E. Mepukori, W/Viti wa Kmt: F & M - Charles Buya (0728 070874), Vijana - P. Kilukuny (0715 107039), S/S- Anna Paulo (0710 416848), W/wake - Janet R. (0724 079054), Afya - J. Kongo (0724 318513), Wajane - Koin Kobai, Ujenzi - S. Rampei (0722 556822)Miradi: 1. Oliorum Lutheran Pri. Sch: Wanafunzi 155, Walimu 7: J. Muteri (0724 512777), J. Katei, A. Kanderi, L. Wangeshi, F. Singiyian, Sheila Rempes (0726 432232) & E. Parasho. 2. Mradi wa maji na 3. Mbuzi Bissil.

Misioni ya Makindu,Ev. Bernard KyamboMhazina: Bw. Paul Kilonzo (0725 620287)

S.L.P, 153, Makindu.0728 353233Walei 2: 1. Paul Kilonzo & 2. Scholar Nduku. (0736 783401)

Wajumbe wa Baraza ni 6 - Baadhi ni Walei wote, Scholar Nduku, Bi. Beth Kisoi (0711 728658), Bi. M. Musango (0703 361262) na Bw. James Mutio, W/Viti wa Kmt: F & M - E. Kimambo, Vijana - Titus Katana, E ya Kikri - Diakonia - Bi. D. Muindi (0713 140327), W/wake - Jennifer Mwende., Afya - M. Ndumi (0726 915153), Shule ya Chekechea - J. Mutio, Walimu wa S/S - Bi. Eunice M., Dorothy M., & Mary N.

34

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Misioni ya KirinyagaDe. Simon Choimba (Mtunzaji)Ev. John MurimiMhazina: George Waweru (0728 392235)

S.L.P, 389, Karatina0722 341509/ 0734 4365750724 501088Walei: 1: Paul Mremi

Baraza la Wazee ni 8 - Ev. S. Chomba, N. Kagwima, G. Waweru, A. Mwangi, Mary Ndegwa, M. Nahashoni (M/Kiti - W/wake), N. Mwai (S/Sch) & David Irungu (M/Kiti - Vijana) Mradi: Kahuho-ini Lutheran Academy

Misioni ya Embu/KianjokomaDe. Simon Choimba (Mtunzaji)Mhazina: P. Wanja (0713 175186)

S.L.P, 1556, Embu0722 341509/ 0734 436575Walei1: Purity Wanja

Baraza la Wazee ni 7: De. S. Choimba, A. Njiru, P. Rugendo, P. Nyaga, P. Mukami, J. Marigu & P. Wanja)

Misioni ya Mukaa/ MuthithaEv. Leonard LoleMhazina: F. Mang‘okaWalei: M. Mutuku Philomena

S.L.P, 135, Nunguni0712 329 6880714 156 7770716 495 5890724 024 767

Baraza la Wazee ni 12 - W/Viti wa Kmt F&M - Fred Mang‘oka (0714 156777), Ester Maliti, Kmt ya Afya - J. Kamau - (0717624451), Vijana - J. Mwendwa

“Kwa ajili ya uvivu, kutojali, au ubaya, mtumishi anaviharibu na kuvipuuza vitu hata mwajiri wake wa kiume au wa kike achukizwe na kukerwa.”“Jambo hili lilo lazima lisemwe kuhusu mafundi , wafanyakazi, na vibarua.Hawa wanatenda kazi kwa ujeuri na hawajui kamwe njia zinazofaa za kuwatoza watu viwango vya juu kupita kiasi nab ado hawajali na hawaaminiki katika kazi zao.”“Mbali na kuwa wachokonzi wa makufuli na wezi wa kunyemelea wa-naovimimina visanduku vya pesa, wameketi katika viti maofisini, wanaitwa mabwanawakubwa, wananchi waheshimiwa, wanaudai wema, na kumbe, wananyang’anya na kuiba yakuuonyesha uhalili mkubwa wa sheria.”

(kwa amri ya 7)

35

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Misioni ya Ingrumani Shem. Michael Ole Wuapi(Missionary wa ELCT)Mhazina: R. Anangi (0718 453214)

S.L.P, 39, Magadi-Soda0729 492603/ 0733 212030Walei 6: - Evans S (0702 286141), Jesinta J. (0725 205460), Naata J.,Manase J., W. Wambua (0728 691249) , Agnes N, A. Ibrahim .

Wajumbe wa Baraza ni 21 - Baadhi yao ni: A. Libeze (070232568) - Katibu wa Missioni, L. Kaisa (0719 676215) - F & M, Agnes Noah - M/kiti wa W/wake, B. Mutuku - M/Kiti E ya K ( 0726 713447), Joseph T. (0727 674466) & J. Naata (0720 549675), Catherine M. - S/School, Evans Saiguran - Kmt ya Udiakonia & Noah - M/kiti wa Kwaya. Alice L., Mary N., Ester S., Gladness T., Grace S., Manase E., Margaret K., Jonathan R., Elizabeth E., Miriam S., & Moses S.,

Misioni ya Kitale & PokotEv. Baraka ReubenEv. Thomas KalaleEv. Johnstone AkauleMhazina: Joshua Lumunyang

S.L.P, 4469 - 30200, Kitale 0736 7580630735 1090550738 306014Walei 4 - Samuel Nakapel, Jane K. (0710 858653), M/Kiti Vijana - Josphine Cheyech

JIMBO LA KILIMANJARO Mkuu: Mchg. Jackline Loroghwa

Usharika wa Loitokitok/Rombo Mch. Johannes ole MeliyioPw. Bertha MutungaEv. J. Kimani Mhazina: S. Anyika (0722 150751)

S.L.P, 147, Loitokitok0722 148872 0727 4037090700 525783Walei 6: - J. Kasaine 0713564986, G. Onderi 0722378972, E. Minja 0727492386, P. Wambua 0726083547, & M. Musembi 0723 511133

36

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Baadhi ya wazee wa Baraza ni: G. Onderi, Esther N. (0726 838447), Elizabeth M. (0722 343683), P. Wambua, Lodaa O. S., Ann Rubia, Simon Yiaro, J. Jumbe (0710 788030). Mjumbe wa H/Kuu - K. Karsalei (0725 500486), Kamati: F & M - J. Njoroge, E ya Kikri. Elia Minja, Vijana - M. Mushau - Jimb & J. Makau - Ush. E ya Kikr - Elijah Minja, Katiba - J. Muinde, W/wake - E. Meliyio (0712 830989), Wajane - Susan A., Afya - J. Loningo (0728 673644).

Usharika wa EntonetMch. Mteule Emmanuel LempurisMhazina: S. Anyika (0722 150751)

S.L.P, 147, Loitokitok0726 803399Walei 4: - Alais Samson (0712 064993), Erick S. (0714 142827), Kenyatta J. (0713 764974), & G. Mutonga (0701134631)

Baadhi ya wazee wa Baraza ni: Alais Samson (0712 064993), Erick S. (0714 142827), Kenyatta J. (0713 764974), & G. Mutonga (0701134631), J. Jumbe, & Elizabeth Makau.

Usharika wa TavetaMch. Jackline Loroghwa - MjiniMwi. Jane K. Thoya

S.L.P, 47, Taveta0726 1369120726 831665Walei: 4 - J. Maati, A. Wambua, A. Kimsasi, & G. Lenjayo

Baraza la Wazee ni wastani 14. Baadhi ni: Mjumbe wa H/Kuu - Solomon Katuta, K. Mnandi (0720 413682), V. Wanjohi, F & M & Diakonia - A. Kibwana, (0713 676615), Oliver L (0725 841271), W/Wake - Anna Mutiso (0712 012044), J. Mwangangi (0724 588862), Rose K, Vijana - Nixol Abineri (0720 412377), Katiba - A. Koleta (0728 975203), J. Jumamosi, F. Herman, Dinais Elias (0732 883416), E ya Kikr. - Ujenzi & Maendeleo - Eliud Kamuu, KOK - Bonface .Mradi: Taveta, Ruth Guest House.

37

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Usharika wa TimbilaShem. James MutungaMhazina: J. Aringo (0725 777922)

S.L.P, 47, Taveta0721 895 565Walei: 4: Harrison N., Samwel M., Charles L., Jaclkline M., & F. Muthiani

Baraza la Wazee ni wastani 25. Baadhi ni: Mzee kiongozi - Jimmy Mchiri, Kmt ya Maendeleo - Leonard Leshamta, W/wake - Ester Mburu, KOK - Ann Sandewa, Vijana - Joshua Aringo,

Misioni ya KitoboShem. David Mukunzu Mhazina: Silvster Kiio

S.L.P, 47, Taveta0723 680 6790717 485294Walei 2: Albert Yohana, & Emma-nuel Kinga.

Baraza la wazee ni wastani wa 11: Baadhi yao ni: W/viti wa W/wake - Sara Benjamin, Kmt ya F & M - Wilson Kapanga, Vijana - Samuel Ombeni, E ya Kikr - Mch. E. Chambi, & Wazee - John Muthiani

Misioni ya VoiMch. Manase M. MkofiraShem. Mary Wangui MkofiraMch. Agnes ChombaMhazina: R. Ndaya (0725984068)

S.L.P, 757 - 80300, Voi0720 721587/ 0735 7992950726 0959170722 483816Mratibu -Yatima: Lydia- (0710259859)

Walei walezi: 1. Voi - Amos Mazera; 2. Maungu - Florence M., (0713 350079); 3. Mgeno - H. Mambori (0724954743); 4. Kisimenyi - David Kilonzo; 5. Ngambenyi - Josephine C. (0716 809758); 6. Wangala - Yohana Ngukulai (0729 021639) & Pamela Chidodo; 7. Namelok - Yakobo Kasumuni; 8. Ndara - Noah Sarkai; 9. Naretoi - Mama Salome.

Baraza la Wazee ni wastani 12. W/viti wa Kamati: F & M - Pius Tole, Vijana - Rachael Sau (0725 724073), W/wake - Gladness M.(0725 645450), Afya - H. Mambori - km juu) Miradi: 1. Nursery School watoto 50, 2. Chuo cha Biblia (Voi Lutheran Bible College)

38

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Shule ya Biblia Voi.1. Mch. Manase Mkofira2. Mch. Agnes Chomba

S.L.P, 757 - 80300, Voi0720 7215870722 483816

JIMBO LA PWANI-KUSINI

Usharika wa Mombasa, Mch. Emmanuel ChambiPw. Rachael A. Badaso Ev. Nicholas Mazera (c/o Usharika)Mhazina: S. Dzoro (0721 208682)

S.L.P, 83841, Mombasa0723 452 6760734 2370790727 607713Walei 7:- Abigael S. (0722598175) Saul Dzoro, Mrima R., Tito M. M. Jinja, E. Haniel, A. Gushe, & E. Menza

Baraza la wastani 25. Baadhi ni: Mjumbe wa H/Kuu ya Jimbo - A. Jilo Kmt: F & M - P. Adam (0733 731471), E ya Kikr - ?, Vijana - Bi. J. Dickson (0726 951711), Katiba - A. Kivindu (0710 529589), W/wake - A. Igwo (0725 528336), Fellowship (Mkp) - R. Mrima (0729 3155577), Diakonia - Edda K.

MIRADI

1. ‘Lydia Café’ sasa ni Vatican Café: Uwekezaji wa Wanawake chini ya Mmoja wao kwa mapatano maalum.

2. Mombasa Lutheran Centre & Ukumbi: Vyumba vya mikutano na Kulala wanafunzi wanaosafiri kutembelea Pwani - Msa.

3. Mradi wa Maji wa Kongowea: Huu ni mradi wa wanawake wa usharika wa Kongowea,

4. Tudor House, Mombasa:- Hii ni nyumba ya Kanisa ambayo ni kitega uchumi cha Kanisa chini ya utunzaji wa Usharika wa Mombasa.

5. Tumaini Widows Group: Hiki ni kikundi cha wajane & single mothers.

6. Shule ya Chekechea Kambe:- Mradi huu upo chini ya wanawake wa Mombasa na una watoto 35.

39

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Usharika wa Lungalunga, Ev. M/funzi Lucy Njole DanielVoulunteer: Andrea ZaniMhazina: J. Mwatela (0736 319843)

S.L.P, 92, Lungalunga0737 331834Walei 5: Titus Mzungu, Robert Tawi, Lina Sammy, Tom Nyama-wi, Daudi Ngome

Baraza la Wazee ni wastani 10: Baadhi yao ni: W/viti wa kmt ya F&M - Joshua Kisilu, W/wake - Caroline Yohana, & Vijana - Leah Nyamawi,

Missioni ya NaserianMch. Emmanuel Lempuris

Mwi. Paul LemleWakristo - 923; Matoleo - 551,080;Mgao - 180,000; U - 121; CCB - 187; Maz - 7; Wag - 2;

S.L.P, 92, Lungalunga0726 803 399 [email protected] 079 560 Mhazina: Elex Sangoi (0700 266 403)

Walei: Isack K. (0731 436 562); J. Ngome (0718 904 679); N. Kaika (0731 965 634); P. Roine (0712 338 658); L. Milia (0736 608 709); S. Kumbiro (0728 150 642); John L. (0708 751 378); R. Milia; Rabbecca Milia; J. Ngarao (0711 146 834); N. Musa; M. Musa; M. TumboVijana: Sabastian K. (0714 716 972) Mzee: D. Kisaka (0731 925 222)Mshauri Fedha na Miradi: J. Lazaro (0708 751 378); O. Lemle; R. Milia; Y. Olagoloi (0718 904 679); R. Kisau; Ann P; Isack K; M. Lemomo; E. Ololepo (0702 706 432); S. Kimai

Miradi: ya wanawake wa misioni: 1. Mwena Water Tank: Utekaji maji ya mvua na kuuzwa ili kutunza kazi ya wanawake. 2. Posho Mill: Mashine ya kusaga na ya kukoboa mahindi.

Misioni ya Lekule/ NyangoEv. James MparioMhazina: S. Lemule (0704 063378

Ref. Anwani .....Msa Parish0719 410756 / 0711 347662Walei 29: Baadhi yao ni: Supuk, Reine, Rahel, Saigarai, Ngepeni, Lemoshi, Mapi, Taiko, Lazaro, Magreth, Namnyak, Kilimbei, Mary, Kasumuni & Rehema

40

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Baraza 15: Baadhi yao ni: Katibu wa Baraza - Paul Mapi (0723 738461), M/kiti F&M - Martha Paul (0716 245964), M/kiti W/wake - Ruaichi Mengoru, M/kiti Kmt ya Udiakonia - Rehema Jeremiah, S/School - Regi-na Daudi, J. Loibai (0700506746), Christina L, (0702827013), R. Roine, Patina M (0702282988), R. Mbeeyia, E. Pakasi, Sabina P, J. Nguku-lai (0729021639), Jakob K., Joshua K., Christina Albert, Sara Larusai (0731241934), Ngepeni, Sokoine, Yohana Mapi (0706338105), Teresia Ntoros (0706348342)

JIMBO LA PWANI - KASKAZINI Mkuu: Mch. Titus Bere Komora

Usharika wa Malindi,Mch. Catherine NginaMwi. Amos TsumaMwi. Philip AmumaWalei: Justine Kwai Michael Kahindi Joseph Kithome Sarah Mwathethe Javan Tunje John UliseU - 26; CCB - 750; Rud - 3; KI - 31; N - 1; Maz - 6;

S.L.P, 409 - 80200, Malindi,0721 720 5680728 674 7680720 571 9240729 302 3460701 230 4160721 251 5230707 432 1960731 038 0930725 909 884Idadi ya washarika wastani - 318; Matoleo - 925,313

Miradi: Youth chair’s for hire project - mradi wa vijana wote; Ufugaji wa kuku - mradi wa wajane Central na maweni; Poshomill - mradi wa wanawake Kakoneni; Ufugaji wa kuku - mradi wa wanawake Central; Nursery School - mradi wa mtaa wa Kakoneni; Wajumbe wa Baraza: Philip Iha - Halmashauri kuu; J, Kithome - Fedha / miradi; Margaret Ngala - Udiakonia; Hammerton Katana - Vijana; Rose Kanze - Wanawake; Mch. Catherine Ngina - Katiba; Mwi. Amos Tsuma - E/K; Ushelle Smey - Sunday School; Grace Kemunto - M/kiti msaindizi wa wanawake Jimboni

41

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Usharika wa Magarini,, Mch. L. Mwarandu (0711 589 810)Pw. Florence Rong‘iti

S.L.P 409 - 80200, [email protected] 904 251Walei 10: J. Ngala, A. Fumo, A. Nzaro, J. Jefwa, A. Karisa, O. Mweni, N. Munyao, S. Ndoro, Renson G., & Timothy Mwarome

Baraza la Wazee baadhi ni: Mjumbe wa H/Kuu Jimboni - Jonathan Ngala (0725 482870) Kmt ya F&M - A. Fumo(0720 771375), E ya Kikr - Mch. L. Mwarandu, Katiba - Albert N (0729 033224), Ujenzi - D. Changawa (0727 292855), Vijana - J. Jefwa (0702 481944), W/wake - Margaret Ngala, Afya - A. Karisa, Alfred K., Rahel B., Fatuma S. (0700 806880) & B. Gunga (0729 842 548),

Misioni ya Marafa,Mhazina: Silas Kambi.

S.L.P, 409 - 80200, MalindiWalei 3: - M. Bandiko, B. Nzai, A. Changawa,

Usharika wa Garsen,Mch. Titus Komora (0727 125934 / 0770 809442)Mlei Mwi. Neema Pearson (0700 070996)Mhazina: Bi. Bona R. (0700 343515)

S.L.P, 27 - 80201, [email protected] 5: Hellen N. (0714 550314), J. Wario(0729 935427), O. Robert (0739 789495), C. Kawitsi (0702 368037), & A. Luku (0714 447587),

Baraza la Wazee ni: Mjumbe wa H/Kuu Jimboni - B. Alex (0729 002173), Kmt: F&M - H. Buya (0717 167433), E ya Kikr. - H. Julius, Katiba - J.I. Nebert, Vijana - Israel M., W/wake - A. Galana, Afya - D. Maseke, Dia-konia - C. Kawitsi, Majengo - P. Komora.

Miradi: Shule ya Chekechea, Ufugaji Mbuzi - Maziwa, & Uuuzaji maji Garsen.

42

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Usharika wa Salama,Mch. Obed Dambala Maua e-mail: [email protected] Ev. Festo GwiyoMhazina: J.Badaso

S.L.P, 27 - 80201, Garsen0727 086208Walei 8: - B. Nixon (0701 042197), G. Luku, C. Dulu, G. Buko, P. Hiyesa, G. Igwo, S. Kawele, A. Makauka na A. Badaso.

Baraza la wazee ni:- Mjumbe wa H/Kuu Kijimbo - Alex Deye, Kamati: F&M- G. Abaree, E ya Kikr- ?, Katiba - ?, Vijana- Hariss B., W/wake- Blandina K., Afya- Ruth H, Wajane - ?,

Usharika wa SingwayaShem. Yefta OdisaMhazina: R. Kiwanza (0716 171511)

S.L.P, 27 - 80201, Garsen0724 954876/ 0734 408347Walei 9: - L. Manase, S. Abaganda, Musa O., S. Komora, Faith H., Ve-ronica O., Elizabeth H., Syrack G., & Milka W.

Baraza: Mjumbe wa H/Kuu Jimboni - M. Virarani, W/Viti wa Kmt: KOK/F&M - Z. Shindo (0716922003), E ya Kikr. - S. Abaganda (0710566617), Katiba - Nabil K. (0729249434), Vijana - P. Keah (0713924838), W/wake - Mary C. (0716873576), Afya - K. Bahola, Dia-konia - Syrack G. (0723034521), Majengo - J. Daido (0710725342), & F/ship - Milka W. Miradi: Tanki 2 za Maji - Oda & Tarasaa

“…una hazina moja yenye thamani kwako. Yaani, heshima yako na jina lako zuri, kwa maana, haivumiliki kuishi miongoni mwa watu katika aibu na madharau..”

“Ushuhuda wa uongo ulio wazi, ni kazi ya ulimi,”

“Kila mmoja angependelea zaidi kusikia maovu kuliko mema kuhusu jirani yake.”

“Heshima na jina jema vinaweza kuondolewa kwa urahisi, lakini si rahisi kurudishwa.”(kwa amri ya 8)

43

SHARIKA NA SEHEMU ZA MISIONI

Misioni ya Hola/Wenje/ BuraShem. Bere Jillo TitusMhazina: Seth Kofa

S.L.P, 25, Hola0726 900 435Walei 10: Ev. Kenneth Odha, K. Odha, I. Amuma, P. Makorani, A. Abae, J. Bahola, G. Moroa, Isaack K, S. Kofa, & A. Joshua

Baraza ni 13: Baadhi yao ni: S. Kofa, Kmt ya E ya Kikr. - K. Odha, A. Abae, Katiba - E. Umuru, Annah D., J. Mzungu, W/wake - Eunice D., Vi-jana - Abel E., Diakonia - Irene A., S. Oroni, F&M - G. Morowa, Starford A., H. Kamaku, & Eva S.

Misioni ya Kilifi,Mwi. Emmanuel Ruhusa Mhazina:Vishan H.N.(0712 670727)

S.L.P, 1186, Kilifi0705 855773Walei 3: Vishan H, Neema P, & Mary W.,

Baraza la Wazee ni: F. Morris, K. Mkeahola (0702 766642), Emma Dha-habu (0701 133041); Kmt: F&M - B. Baya (0725 690348), E ya K - Deac. Odisa, Vijana - J. Kiiyo (0712558843), W/wake - M. Ben (0715 859790, Afya - Alice Kombe Ujenzi - J. Wario(0733 320828). Mradi: wa Miti

Tulitumia mataarifa tuliopokea mpaka tarehe 09/12/2015Kitabu hiki kilitayarishwa na Idara ya Elimu ya Kikristo.

Kimechapiwa Don Bosco Printing Press Makuyu; P.O. Box 158 Kenol, Email: [email protected]

44

MIRADI YA KELC

Malindi Lutheran Guest House: Huu ni mradi wa Kanisa wa nyumba za kulala wageni. Kuna Bangalow mbili ambazo wageni wa muda mrefu wa-naweza kukodisha. Kila moja ina nafasi ya watu wanne, sebule, jiko, bafu na choo. Guest House ina vyumba self-contained 13 vyenye vitanda 32. Kuna Ukumbi wenye vyombo maalum kwa kufanya Semina/Mikutano na Warsha mbalimbali. Wanaohudhuria Warsha/ Semina/ Mkutano wanaweza kufanya booking ya fullboard mapema. Anwani ni:

Kwa Msimamizi/ Meneja,Malindi Lutheran Guesthouse, S.L.P 409,

MALINDI. Ofisi ya Katibu Mkuu & Ofisi ya Hazina

Kenya Evangelical Lutheran Church, S.L.P, 54128 - 00200, NAIROBI .

Tel. 020-2480545 E-mail: [email protected]

Jamii Mpya Workshop - Nairobi: Mradi huu uelimisha vijana katika user-emala na kutengeneza vifaa vya mbao na vinyago ambavyo uuzwa hapa nchini na nje. Lengo kuu la mradi ni kuwapa vijana ujuzi maalum ili waji-patie kazi au kujiajiri wenyewe na kuwapa mapato akina mama walezi wa-sio na ajira ili kukidhi mahitaji ya jamaa zao ya kila siku. Kwa kiasi kidogo uchangia katika mfuko wa Kanisa ili lijitegemee. Eastleigh House, Nairobi: - Hii ni nyumba ya Kanisa ambayo inatumiwa kama kitega uchumi kutokana na kodi ya nyumba inayolipwa kila mwezi. Pangani Lutheran Children Centre/Ong’ata Rongai: Mradi huu ni maalumu katika kutoa huduma ya matunzo - kimalezi, kimalazi na kielimu wasichana wa mitaani ili kuwaandalia maisha mema katika maisha yao ya utu uzima. Mradi huu uko chini ya idara ya Wanawake wa KELC. Kwa sasa kuna wasichana zaidi ya 115 wanaonufaika kielimu, kiafya na mafunzo mengine muhimu ya kimaisha. Kwa ajili ya huduma hii, mwaka jana tuli-fungua kituo kipya Ong’ata Rongai ambapo kuna watoto 36 wanaotunzwa pale. Kituo cha Pangani kitatumika kuwaokoa kwanza watoto kutoka bara-barani kabla ya kuhamishiwa Ong’ata Rongai.

45

MIRADI YA KELC

Youth Centre, Nairobi: Huu ni mradi wa Vijana wa Kanisa kwa ajili ya mikutano na semina. Ina vyumba 12 vyenye vitanda 50. Mapato yake yote, kwa njia ya kukodisha vyumba, yanainua mfuko wa Vijana wa Kanisa. Ni mahali kimya na pazuri pa kufanya mikutano na kukaa kwa muda. Tudor House, Mombasa:- Hii ni nyumba ya Kanisa ambayo ni kitega uchumi kutokana na kodi ya nyumba inayolipwa kila mwezi. Mradi huu unaendeshwa na Usharika wa Mombasa kwa niaba ya KKKK. Malindi House: - Hii ni nyumba iliyotumika awali kama nyumba ya wa-misionari wetu kutoka Ujerumani. Kwa sasa imekodishwa na kutumika kimkataba kama shule “Sandpiper School” ya watoto. Oliorum Lutheran Primary School:- Mradi huu upo Kajiado chini ya usimamizi wa KELC na “School Local Committee” na bado unaendelea kujengwa. Tayari kuna madarasa matatui. Wanafunzi waliopo sasa ni 238. Watumishi, Wanafunzi wa Uchungaji & Uinjilisti Waliopo masomoni - TUMA & SMMUCo (Mwika) - TZ, Vyuo Vingine & Walio Mazoezini1. Mch. Johannes Meliyio - TUMA (Shahada ya Uzamili) - 0722 1488722. Mch/ Mwf. Dominic Nyambisa (TUMA) - Mazoezi_Mld., 07263054943. Mch/ Mwf. Catherine Hedy (SMMUCo) - Mazoezi_Tvt., 0700611453

MAELEZO KUHUSU MAFUPISHO YA MASOMOZab. = Somo la Zaburi, I. = Somo la InjiliW. = Somo la Waraka, M. = Somo la Mahubiri

R: =Rangi ya vitambaa vya Madhabahu, NK. = Neno Kuu

46

JANUARI 2016

1 IjumaaSiku ya Mwaka Mpya

Zab 8:4-7 Lk 4:16-30 M. Yak 4:13-17NK: MAPENZI YA MUNGU

R: Nyeupe

2 Jumamosi Yos 24:1-26 Mk 1:1-8

3Jumapili

1/52

ya 2 baada ya Krismasi Zab 138 I. Lk 2: 41-52 M. 1 Yh 5: 11-13NK: UZIMA KATIKA KRISTO YESU

R: Nyeupe

4 Jumatatu Mwa 21:1-7 Mk 1:9-13

5 Jumanne Mwa 9:12-17 Mk 1:14-20

6 JumatanoEpifania Zab 72

I. Mt 2: 1-12 M. Efe 3:2-6NK: UFUNUO WA SIRI YA KRISTO

R: Nyeupe

7 Alhamisi 1 Yoh 3:1-6 Mk 1:29-39

8 Ijumaa Hes 24:15-19 Mk 1:40-45

9 Jumamosi Efe 4:17-24 Mk 2:1-12

10Jumapili

2/52

ya 1 baada ya Ufunuo / Epifania Zab 89: 20-30

I. Mt 3: 13-17 M. Rum 12: 1-8NK: MAPENZI YA MUNGU KWETUSADAKA MAALUM: Elimu ya Kikristo

R: Kijani

11 Jumatatu Mdo 10:37-48 Mk 2:13-17

12 Jumanne 1 Kor 2:11-16 Mk 2:18-22

13 Jumatano Rum 8:26-30 Mk 2:23-28

14 Alhamisi Efe 1:3-10 Mk 3:1-6

15 Ijumaa Kol 2:1-7 1 Tim 1:1-11

16 Jumamosi Mat 6:6-13 1 Tim 1:12-20

47

SHAJARA YA JANUARI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

48

JANUARI 2016

17Jumapili

3/52

ya Mwisho Baada ya Ufunuo/EpifaniaZab 97 I.

Mt 17: 1-9 M. 2 Kor 4:6-10NK: NGUVU YA NURU YA KRISTO

R: Nyeupe

18 Jumatatu 2 Kor 3:9-18 1 Tim 2:1-7

19 Jumanne Yoh 1:43-51 1 Tim 2:8-15

20 Jumatano Yoh 3:31-46 1 Tim 3:1-13

21 Alhamisi Ufu 1:1-8 1 Tim 3:14-16

22 Ijumaa 1 Kor 2:6-10 1 Tim 4:1-11

23 Jumamosi Hes 6:22-27 1 Tim 4:12 - 5:2

24Jumapili

4/52

ya 9 kabla ya Pasaka – Septuagesimae Zab 31:20-25

I. Mt 20: 1-16 M. 1 Kor 9:24-27NK: BIDII KATIKA HUDUMA

R: Kijani

25 Jumatatu Lk 19:1-10 1 Tim 5:13-16

26 Jumanne Kum 7:6-12 1 Tim 5:17-25

27 Jumatano Rum 4:1-8 1 Tim 6:1-10

28 Alhamisi 1 Kor 3:1-8 1 Tim 6:11-21

29 Ijumaa Mal 3:13-18 2 Tim 1:1-12

30 Jumamosi 1 Kor 1:26-31 2 Tim 1:13-18

31Jumapili

5/52

ya 8 kabla ya Pasaka – SexagesimaeZab 119:105-117

I. Lk 8: 4-15 M. Ebr 4:12-13NK: NGUVU YA NENO LA MUNGU

R: Kijani

49

SHAJARA YA JANUARI 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

31

50

FEBRUARI 2016

1 Jumatatu Kum 32:44-47 2 Tim 2:1-13

2 Jumanne Eze 33:30-33 2 Tim 2:14-26

3 Jumatano Lk 6:43-49 2 Tim 3:1-9

4 Alhamisi 1 The 1:2-10 2 Tim 3:10-17

5 Ijumaa 2 Tim 3:10-17 2 Tim 4:1-8

6 Jumamosi Mt 13:31-35 2 Tim 4:9-22

7Jumapili

6/52

ya 7 kabka ya Pasaka – EstomihiZab 31:2-6

I. Mk 8: 31-38 M. 1 Kor 13NK: UPENDO IMARA

R: Kijani

8 Jumatatu Lk 13:31-35 Tit 1:1-9

9 Jumanne Lk 5:33-39 Tit 1:10-16

10 Jumatano

Mwanzo wa Majira ya Kwaresima Zab 143:1-10

I. Mt 6: 16-21 M. 2 Petr 1:2-11NK: AHADI ZA MUNGU KWETU

R: Urujuani

11 Alhamisi Kol 3:5-11 Tit 2:11-15

12 Ijumaa Rum 7:14-25 Tit 3:1-15

13 Jumamosi Dan 5:1-30 Flm 1-25

14Jumapili

7/52

ya 6 kabla ya Pasaka – InvocavitZab 91:1-12

I. Mt 4: 1-11 M. Ebr 4:14-16NK: YESU KRISTO KUHANI MKUU

SADAKA MAALUM: KKKK (KELC) – Mikutano na kazi ya kanisa

R: Urujuani

15 Jumatatu 2 The 3:1-5 Mk 11:1-11

16 Jumanne Ayu 1:1-22 Mk 11:12-25

51

SHAJARA YA FEBRUARI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

52

FEBRUARI 2016

17 Jumatano Kum 8:11-18 Mk 11:27-33

18 Alhamisi Yak 4:1-10 Mk 12:1-12

19 Ijumaa Ebr 2:11-18 Mk 12:13-17

20 Jumamosi Rum 6:12-18 Mk 12:18-27

21Jumapili

8/52

ya 5 kabla ya Pasaka – ReminiscereZab 10:4-18

I. Mk 12: 1-12 M. Rum 5:1-11NK: MATOKEO YA KUHESABIA HAKI

R: Urujuani

22 Jumatatu Mwa 37:3-36 Mk 12:28-34

23 Jumanne Ayu 2:1-10 Mk 12:35-40

24 Jumatano Yn 16:29-33 Mk 12:41-44

25 Alhamisi 1 Yoh 1:8 - 2:6 Mk 13:1-13

26 Ijumaa 2 Kor 13:3-9 Mk 13:14-23

27 Jumamosi Gal 2:16-21 Mk 13:24-37

28Jumapili

9/52

ya 4 kabla ya Pasaka – OkuliZab 34:16-23

I. Lk 9: 57-62 M. Efe 5: 1-8NK: MWENENDO WA MFUASI WA KRISTO

R: Urujuani

29 Jumatatu Lk 14: 25-35 Mak 14: 1-11

53

SHAJARA YA FEBRUARI 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

54

MACHI 2016

1 Jumanne Ayu 7:11-21 Mk 14:12-16

2 Jumatano Mt 13:44-46 Mk 14:17-25

3 Alhamisi Mt 19:16-26 Yh 14:1-14

4 Ijumaa Mt 10:34-39 Yh 14:15-26

5 Jumamosi Gal 6:11-18 Yh 14:27-31

6Jumapili

10/52

ya 3 kabla ya Pasaka – LaetareZab 84:6-13

I. Yoh 12: 20-26 M. 2 Kor 1: 3-7NK: FARAJA KATIKA NENO LA MUNGU

R: Urujuani

7 Jumatatu Yh 6:26-35 Yh 15:1-8

8 Jumanne Ayu 9:14-35 Yh 15:9-17

9 Jumatano Yh 15:9-17 Yh 15:18 – 16:4

10 Alhamisi 2 Kor 4:11-18 Yh 16:5-15

11 Ijumaa Yh 16:16-23 Yh 16:16-24

12 Jumamosi Yh 14:15-21 Yh 16:25-33

13Jumapili

11/52

ya 2 kabla ya Pasaka – YudikaZab 43

I. Mk 10: 35-45 M.Ebr 5:7-9NK: TABIA YA KUHANI MKUU

R: Urujuani

14 Jumatatu Efe 2:11-16 Yh 17:1-8

15 Jumanne Ayu 19:21-27 Yh 17:9-19

16 Jumatano Ebr 9:11-15 Yh 17:20-26

17 Alhamisi Yer 15:15-21 Mk 14:26-31

55

SHAJARA YA MACHI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

17

56

MACHI 2016

18 Ijumaa 10:1-18 Mk 14:32-42

19 Jumamosi Lk 18:31-43 Mk 14:43-52

20Jumapili

12/52

ya Mwisho kabla ya PasakaSiku ya Mitende – Palmarum

I. Yoh 12: 12-19 M. Fil 2:5-11Zab 69:17-19

NK: KUMWIGA YESU KRISTO

R: Urujuani

21 Jumatatu Mt 26:6-13 Mk 14:53-65

22 Jumanne Ayu 38:1-11, 42:1-6 Mk 14:66-72

23 Jumatano Lk 22:1-6 Mk 15:1-15

24 Alhamisi

ya Kuanzishwa Ushika Mtakatifu Zab 111

I. Yoh 13: 1-15 M. 1 Kor 11:23-26NK: KUANZISHWA USHIRIKA MTAKATIFU

R: Nyeupe

25Ijumaa

Kuu

Kukumbuka Kufa kwa Yesu KristoZab 22:2-12

I. Yoh 19:16-30 M. 2 Kor 5:14-21NK: MAANA YA KIFO CHA KRISTO

R: Nyeusi

26 Jumamosi 1 Pet 3:18-22 Mk 15:42-47

27Jumapili

13/52

ya Pasaka Zab 118: 14-24I. Mk 16: 1-8 M. 1 Kor 15:1-11

NK: YESU AMEFUFUKA KWELIR: Nyeupe

28 Jumatatu Pasaka II Zab 107:1-14I. Lk 24: 13-35 M. 1 Kor 15:12-20

NK: YESU AMEFUFUKAR: Nyeupe

29 Jumanne 1 Kor 15:20-28 1 Pet 1:1-12

30 Jumatano 1 Kor 15:35-49 1 Pet 1:13-16

31 Alhamisi 1 Kor 15:50-57 1 Pet 1:17-21

57

SHAJARA YA MACHI 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

31

58

APRILI 2016

1 Ijumaa 1 Kor 5:6-8 1 Pet 1:22-2:3

2 Jumamosi 2 Tim 2:8-13 1 Pet 2:4-10

3Jumapili

14/52

ya 1 Baada ya Pasaka – QuasimodogenitiZab 116:1-13

I. Yoh 20: 19-29 M. 1 Petr 1:3-9NK: URITHI WA WATU WA MUNGU

R: Nyeupe

4 Jumatatu Mwa 32:22-32 1 Pet 2:11-17

5 Jumanne Ayu 42:7-17 1 Pet 2:18-25

6 Jumatano Isa 66:6-13 1 Pet 3:1-7

7 Alhamisi Yh 17:9-19 1 Pet 3:8-12

8 Ijumaa 1 Pet 2:1-10 1 Pet 3:13-17

9 Jumamosi Mdo 8:26-39 1 Pet 3:18-22

10Jumapili

15/52

ya 2 Baada ya Pasaka – Misericordias DominiZab 23

I. Yoh 10: 11-16 M. 1 Petr 2:21-25NK: KUMRUDIA MCHUNGAJI WETU MWEMA

R: Nyeupe

11 Jumatatu Yh 10:1-10 1 Pet 4:1-11

12 Jumanne Mt 9:35-10:7 1 Pet 4:12-19

13 Jumatano Yh 17:20-26 1 Pet 5:1-7

14 Alhamisi Efe 4:8-16 1 Pet 5:8-14

15 Ijumaa Mt 26:30-35 1 Kor 1:1-9

16 Jumamosi Yh 14:1-6 1 Kor 1:10-17

59

SHAJARA YA APRILI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

60

APRILI 2016

17Jumapili

16/52

ya 3 Baada ya Pasaka – YubilatiZab 24

M. Kol 1:15-17I.Mk 4:3-32NK: KUTUNZA MAZINGIRA

R: Nyeupe

18 Jumatatu Rum 1:18-25 1 Kor 1:18-25

19 Jumanne 2 Kor 5:11-18 1 Kor 1:26-31

20 Jumatano Yh 8:31-36 1 Kor 2:1-5

21 Alhamisi Rum 8:7-11 1 Kor 2:6-16

22 Ijumaa Yh 19:1-7 1 Kor 3:1-4

23 Jumamosi Ufu 22:1-5 1 Kor 3:5-8

24Jumapili

17/52

ya 4 Baada ya Pasaka – Kantate Domino Zab 98

I. Mt 11: 25-30 M. Kol 3:12-17NK: MWENENDO WA WATEULE WA MUNGU

R: Nyeupe

25 Jumatatu Mit8:23-32 1 Kor 3:9-17

26 Jumanne 1 Sam 16:14-23 1 Kor 3:18-23

27 Jumatano Rum 15:14-21 1 Kor 4:1-5

28 Alhamisi 1 Kor 14:6-19 1 Kor 4:6-13

29 Ijumaa Ufu 5:6-14 1 Kor 4:14-21

30 Jumamosi Yh 6:60-69 1 Kor 5:1-8

61

SHAJARA YA APRILI 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

62

MEI 2016

1Jumapili

18/52

ya 5 Baada ya Pasaka – RogateZab 95:1-7 I. Yoh 16:23-33

M. 1 Tim 2:1-6NK: KUTANGULIZA MAOMBI

R: Nyeupe

2 Jumatatu Mk 1:32-39 1 Kor 5:9-13

3 Jumanne Lk 18:1-8 1 Kor 6:1-11

4 Jumatano Mk 9:14-29 1 Kor 6:12-20

5 Alhamisi

Siku ya Kupaa Kwake YesuZab 47:2-9 I.

Lk 24: 44-53 M. Mdo 1:3-11NK: KRISTO AMEPAA KATIKA UTUKUFU

R: Nyeupe

6 Ijumaa Yh 18:33-38 1 Kor 7:1-16

7 Jumamosi Ufu 4:1-11 1 Kor 7:17-24

8Jumapili

19/52

ya 1 Kabla ya Pentecoste - Exaudi Zab 27:1-9

I. Yoh 15:26 – 16:4 M. Efe 3:14-21NK: KRISTO NDANI YETU

R: Nyeupe

9 Jumatatu Eze 11:14-20 1 Kor 7:25-40

10 Jumanne 1 Yoh 4:1-6 1 Kor 8:1-6

11 Jumatano Isa 32:11-18 1 Kor 8:7-13

12 Alhamisi Mdo 1:12-26 1 Kor 9:1-18

13 Ijumaa Efe 1:15-23 1 Kor 9:19-23

14 Jumamosi Yh 16:5-15 1 Kor 9:24-27

15Jumapili

20/52

ya Pentecoste Zab 118: 24-29I. Yoh 14: 23-27 M. Mdo 2:1-18NK: KANISA LA ROHO MTAKATIFU

R: Nyekundu

63

SHAJARA YA MEI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

64

MEI 2016

16 Jumatatu

ya Pentecoste Zab 100I. Mt 16: 13-19 M. 1 Kor 12:4-11NK: KARAMA ZA ROHO MTAKATIFU

R: Nyekundu

17 Jumanne Mdo 4:23-31 1 Kor 10:1-13

18 Jumatano Mdo 8:9-25 1 Kor 10:14-22

19 Alhamisi Mdo 11:1-18 1 Kor 10:23-11:1

20 Ijumaa Mdo 11:19-26 1 Kor 11:2-16

21 Jumamosi Mdo 18:1-11 1 Kor 11:17-26

22Jumapili

21/52

ya Utatu – Trinitatis Zab 145:1-4I. Yoh 3: 1-15 M. Rum 11:33-36

NK: UKUU WA MUNGUR: Nyeusi

23 Jumatatu Kut 3:13-20 1 Kor 11:27-34

24 Jumanne Isa 43:8-13 1 Kor 12:1-11

25 Jumatano Mdo 17:16-34 1 Kor 12:12-26

26 Alhamisi Efe 4:1-7 1 Kor 12:27-31

27 Ijumaa 2 Pet 1:16-21 1 Kor 13:1-7

28 Jumamosi Yh 14:7-14 1 Kor 13:8-13

29Jumapili

22/52

ya 1 Baada ya Utatu Zab 34:2-11I. Lk 16: 19-31 M. 1 Yoh 4:16 -21

NK: UPENDO KATIKA MAISHAR: Kijani

30 Jumatatu Mdo 4:1-21 1 Kor 14:1-12

31 Jumanne 2 Kor 1:23-2:4 1 Kor 14:13-25

65

SHAJARA YA MEI 2016

16

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

31

66

JUNI 2016

1 Jumatano Eze 3:22-27 1 Kor 14:26-33

2 Alhamisi Yh 21:15-19 1 Kor 14:33-40

3 Ijumaa Yer 20:7-11 1 Kor 15:1-11

4 Jumamosi Yon 1:1-16 1 Kor 15:12-19

5Jumapili

23/52

ya 2 Baada ya Utatu Zab 36:6-11I. Lk 14: 15-24 M. Efe 2:17-22

NK: KRISTO JIWE LA PEMBENIR: Kijani

6 Jumatatu Mit 9:1-10 1 Kor 15:20-28

7 Jumanne Kut 2:11-25 1 Kor 15:29-34

8 Jumatano Yh 4:5-18 1 Kor 15:35-49

9 Alhamisi Mt 15:29-39 1 Kor 15:50-58

10 Ijumaa Yh 6: 37-46 1 Kor 16:1-12

11 Jumamosi Yon 2:1-11 1 Kor 16:13-24

12Jumapili

24/52

ya 3 Baada ya Utatu Zab 103:1-5,8-13I. Lk 15: 1-3, 11-32 M. 1 Tim 1:12-17

NK: NEEMA YA KRISTOR: Kijani

13 Jumatatu Lk 7:36-50 Kut 1:1-22

14 Jumanne Amu 10:6-16 Kut 2:1-10

15 Jumatano Mik 7:7-20 Kut 2:11-25

16 Alhamisi Mt 18:15-20 Kut 3:1-22

67

SHAJARA YA JUNI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

68

JUNI 2016

17 Ijumaa Gal 3:6-14 Kut 4:1-17

18 Jumamosi Yon 3:1-10 Kut 4:18-31

19Jumapili

25/52

ya 4 Baada ya Utatu Zab 42:2-12I. Lk 6:36-42 M. Rum 14:10-13

NK: TUSIHUKUMIANER: Kijani

20 Jumatatu Gal 6:1-5 Kut 5:1 - 6:1

21 Jumanne 2 Kor 2:5-11 Kut 7:1-25

22 Jumatano Mk 11:20-26 Kut 12:1-20

23 Alhamisi 1 Kor 12:19-26 Kut 12:21-51

24 Ijumaa Mdo 19:1-7 Kut 13:17-22

25 Jumamosi Mt 10:26-33 Kut 14:1-14

26Jumapili

26/52

ya 5 Baada ya Utatu Zab 73:14-28I. Lk 5: 1-11 M. 1 Kor 1:18-25

NK: NENO LA MSALABAR: Kijani

27 Jumatatu Gal 1:13-24 Kut 14:15-31

28 Jumanne Rum 9:14-26 Kut 15:1-21

29 Jumatano Ez 2:3-8 Kut 15:22-27

30 Alhamisi Mdo 15:4-12 Kut 16:1-16

69

SHAJARA YA JUNI 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

70

JULAI 2016

1 Ijumaa 2 Kor 12:1-10 Kut 16:17-36

2 Jumamosi Fil 3:12-16 Kut 17:1-16

3Jumapili

27/52

ya 6 Baada ya Utatu Zab 139:1-24I. Mt 28: 16-20 M. Rum 6:3-11

NK: MAANA YA UBATIZOR: Kijani

4 Jumatatu Kut 14:15-22 Kut 18:1-27

5 Jumanne Mdo 2:32-40 Kut 19:1-25

6 Jumatano Mdo 16:23-34 Kut 20:1-21

7 Alhamisi Mt 18:1-6 Kut 24:1-18

8 Ijumaa 1 Kor 12:12-18 Kut 25:1-22

9 Jumamosi Ufu 3:1-6 Kut 32:1-14

10Jumapili

28/52

ya 7 Baada ya Utatu Zab 107:1-9I. Yoh 6: 1-15 M. Mdo 2:41-47NK: UMOJA WA USHIRIKA MTAKATIFU

R: Kijani

11 Jumatatu Yh 6:47-56 Kut 32:15-35

12 Jumanne Mt 22:1-14 Kut 33:1-23

13 Jumatano Mdo 10:21-36 Kut 34:1-17

14 Alhamisi 1 Kor 10:16-17 Kut 34:18-35

15 Ijumaa Lk 22:14-20 Kut 40:1-17

16 Jumamosi Ufu 19:4-9 Kut 40:34-38

71

SHAJARA YA JULAI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

72

JULAI 2016

17Jumapili

29/52

ya 8 Baada ya Utatu Zab 48: 2-15I. Mt 5: 13-16 M. Efe 5: 8-14

NK: KUISHI NURUNIR: Kijani

18 Jumatatu Mt 7:7-12 Mk 3:7-19

19 Jumanne Lk 6:27-35 Mk 3:20-30

20 Jumatano Mt 5:33-37 Mk 3:31-35

21 Alhamisi 1 Kor 12:27-13:3 Mk 4:1-9

22 Ijumaa 1 Pet 3:8-17 Mk 4:10-20

23 Jumamosi Fil 2:12-18 Mk4:21-25

24Jumapili

30/52

ya 9 Baada ya Utatu Zab 40:9-12I. Mt 25: 14-30 M. Fil 3:7-14

NK: MAISHA MAPYAR: Kijani

25 Jumatatu 1 Fal 3:16-28 Mk 4:26-29

26 Jumanne Efe 5:15-20 Mk 4:30-34

27 Jumatano 1 Kor 10:23-31 Mk 4:35-41

28 Alhamisi 1 Kor 9:16-23 Mk 5:1-20

29 Ijumaa Yer 1:11-19 Mk 5:21-34

30 Jumamosi Lk 12:42-48 Mk 5:35-43

31Jumapili

31/52

ya 10 Baada ya Utatu Zab 106: 4-6I. Lk 19: 41-48 M. Rum 9:1-16

NK: MAPENZI YA MUNGUR: Kijani

73

SHAJARA YA JULAI 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

31

74

AGOSTI 2016

1 Jumatatu Rum 11:1-12 Mk 6:1-6

2 Jumanne Omb1:1-11 Mk 6:7-13

3 Jumatano Yh 4:19-26 Mk 6:14-29

4 Alhamisi Rum 11:25-32 Mk 6:30-44

5 Ijumaa Omb 5:1-22 Mk 6:45-56

6 Jumamosi Kum 4:27-40 Mk 7:1-23

7Jumapili

32/52

ya 11 Baada ya Utatu Zab 113:1-8I. Lk 18: 9-14 M. Efe 2: 1-10NK: WOKOVU KWA NEEMA YA MUNGU

R: Kijani

8 Jumatatu Mt 23:1-12 Mk 7:24-30

9 Jumanne 1 Sam 17:38-51 Mk 7:31-37

10 Jumatano Yh 8:3-11 Mk 8:1-9

11 Alhamisi 1 Pet 5:1-5 Mk 8:10-21

12 Ijumaa Lk 22:54-62 Mk 8:22-26

13 Jumamosi Isa 26:1-6 Mk 8:27-33

14Jumapili

33/52

ya 12 Baada ya Utatu Zab 147: 1-20I. Mk 7: 31-37 M. Mdo 9: 1-20

NK: KUKUTANA NA KRISTO MAISHANI KUOMBEA TAIFA

R: Kijani

15 Jumatatu Mt 9:27-34 Mk 8:34-9:1

16 Jumanne Mk 3:1-12 Mk 9:2-13

75

SHAJARA YA AGOSTI 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

76

AGOSTI 2016

17 Jumatano Mdo 9:31-35 Mk 9:14-29

18 Alhamisi Yak 5:13-16 Mk 9:30-37

19 Ijumaa Mt 12:15-21 Mk 9:38-41

20 Jumamosi Isa 57:15-19 Mk 9:42-50

21Jumapili

34/52

ya 13 Baada ya UtatuZab 119: 145-159

I. Lk 10: 25-37 M. 1 Yoh 4:7-12NK: TUPENDANE KIKRISTO

R: Kijani

22 Jumatatu Mt 12:1-8 Mk 10:1-12

23 Jumanne Amo 5:4-15 Mk 10:13-16

24 Jumatano Kum 24:10-22 Mk 10:17-27

25 Alhamisi Mdo 4:32-37 Mk 10:28-31

26 Ijumaa Yak 2:5-13 Mk 10:32-45

27 Jumamosi Yud 1:2-25 Mk 10:46-52

28Jumapili

35/52

ya 14 Baada ya Utatu Zab 146I. Lk 17: 11-19 M. Rum 8:12-17NK: UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

R: Kijani

29 Jumatatu Kum 26:1-11 Yer 1:1-10

30 Jumanne Gal 5:22-26 Yer 1:11-19

31 Jumatano Flm 1-22 Yer 2:1-13

77

SHAJARA YA AGOSTI 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

31

78

SEPTEMBA 2016

1 Alhamisi 1 Nya 29:9-18 Yer 3:1-10

2 Ijumaa Yh 13:31-35 Yer 3:21 - 4:4

3 Jumamosi 2 The 2:13-17 Yer 6:9-23

4Jumapili

36/52

ya 15 Baada ya Utatu Zab 127:1-2I. Mt. 6: 25-34 M. 1 Petr 5:5-11NK: THAMANI YA UNYENYEKEVU

R: Kijani

5 Jumatatu Fil 4:8-14 Yer 7:1-15

6 Jumanne 1 Tim 6:3-11 Yer 7:16-28

7 Jumatano Mhu 4:4-12 Yer 9:22-23

8 Alhamisi Lk 10:38-42 Yer 12:1-6

9 Ijumaa 1 Kor 7:17-24 Yer 13:1-11

10 Jumamosi Mk 12:41-44 Yer 14:1-16

11Jumapili

37/52

ya 16 Baada ya Utatu Zab 68:1-21I. Yoh 11: 17-45 M. 2 Tim 1:7-10

NK: USHUHUDA WA KWELIR: Kijani

12 Jumatatu Rum 6:18-23 Yer 15:10-21

13 Jumanne Isa 38:9-20 Yer 16:1-13

14 Jumatano Mdo 9:36-42 Yer 18:1-12

15 Alhamisi Fil 1:19-26 Yer 19:1-13

16 Ijumaa Ufu 2:8-11 Yer 20:7-18

79

SHAJARA YA SEPTEMBA 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

80

SEPTEMBA 2016

17 Jumamosi Rum 4:18-25 Yer 21:1-14

18Jumapili

38/52

ya 17 Baada ya Utatu Zab 25:8-15I. Mt 15: 21-28 M. Rum 10:9-18

NK: IMANI IMARAR: Kijani

19 Jumatatu Ebr 11:1-10 Yer 23:1-8

20 Jumanne Yak 1:1-13 Yer 25:1-14

21 Jumatano Lk 7:1-10 Yer 26:1-19

22 Alhamisi Mdo 5:34-42 Yer 28:1-17

23 Ijumaa Ebr 12:1-3 Yer 29:1-14

24 Jumamosi Mt 14:22-33 Yer 30:1-3; 31:1-14

25Jumapili

39/52

ya 18 Baada ya Utatu Zab 1:1-5I. Mk 12:28-34 M. Rum 14: 17-19

NK: UFALME WA MUNGUR: Kijani

26 Jumatatu Mt 6:1-4 Yer 31:18-37

27 Jumanne Mk 3:31-35 Yer 36:1-19

28 Jumatano Wim 8:4-7 Yer 36:20-32

29 Alhamisi Lk 10:17-20 Yer 37:1-21

30 Ijumaa Mwa 16:6-14 Yer 38:1-13

81

SHAJARA YA SEPTEMBA 2016

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

82

OKTOBA 2016

1 Jumamosi Kut 23:20-27 Yer 38:14-28

2Jumapili

40/52

ya 19 Baada ya Utatu Zab 32: 1-11I. Mk 2: 1-12 M. Efe 4:22-32NK: MWENENDO MPYA WA MKRISTO

R: Kijani

3 Jumatatu Kut 15:22-27 Yer 39:1-18

4 Jumanne Lk 5:12-16 Yer 40:1-16

5 Jumatano Lk 13:10-17 Yer 41:1-18

6 Alhamisi Mt 8:14-17 Yer 42:1-22

7 Ijumaa Yer 17:13-17 Yer 43:1-13

8 Jumamosi Mdo 14:8-18 Yer 44:1-14

9Jumapili

41/52

ya 20 Baada ya UtatuZab 119:101-109

I. Mk 10: 2-16 M. 1 Thess 4:1-8NK: EPUKA UASHERATI

R: Kijani

10 Jumatatu 2 The 3:6-13 Yer 44:15-30

11 Jumanne Rum 13:1-7 Yer 45:1-5

12 Jumatano Efe 5:25-32 Omb 1:1-22

13 Alhamisi 1 Kor 14:26-33 Omb 3:1-33

14 Ijumaa Yh 18:28-32 Omb 3:34-66

15 Jumamosi Mit 3:1-8 Omb 5:1-22

16Jumapili

42/52

ya 21 Baada ya Utatu Zab 143:1-10I. Mt 18: 21-35 M. Fil 1:3-11NK: KUITETEA INJILI YA KRISTO

R: Kijani

83

SHAJARA YA OKTOBA 2016

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

84

17 Jumatatu Rum 12:17-21 2 Kor 1:1-11

18 Jumanne 2 Kor 10:1-6 2 Kor 1:12-24

19 Jumatano Mwa 13:5-18 2 Kor 2:1-11

20 Alhamisi Law 19:1-18 2 Kor 2:12-17

21 Ijumaa Lk 22:49-53 2 Kor 3:1-11

22 Jumamosi 2 Tim 2:1-6 2 Kor 3:12-18

23Jumapili

43/52

ya 22 Baada ya Utatu Zab 143:1-10I. Mt 18: 21-35 M. Fil 1:3-11NK: KUITETEA INJILI YA KRISTO

R: Kijani

24 Jumatatu Hos 12:1-7 2 Kor 4:1-6

25 Jumanne Rum 3:9-20 2 Kor 4:7-18

26 Jumatano Mwa 33:1-11 2 Kor 5:1-10

27 Alhamisi Ufu 3:14-22 2 Kor 5:11-15

28 Ijumaa 1 Yoh 3:19-24 2 Kor 5:16-21

29 Jumamosi Isa 1:18-27 2 Kor 6:1-10

30Jumapili

44/52

ya 23 Baada ya Utatu Zab 33:13-22I. Mt 22: 15-22 M. Fil 3:17-21

NK: KUMFUATA KRISTO SADAKA MAALUM: Masomo ya juu

R: Kijani

31

Jumatatu

Siku ya Matengenezo Zab 46:2-8Mt 5: 2-12 M. Rum 3:21-28

NK: KUHESABIWA HAKI KWA NEEMA 2 Kor 6:11-7:1

R: Nyekundu

OKTOBA 2016

85

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

31

SHAJARA YA OKTOBA 2016

86

1 Jumanne

Siku ya Ukumbusho wa Watakatifu Zab 89:2-8 Mt 5: 2-12 M. Ufu 7:9-17NK: WATU WA NYUMBANI MWA MUNGU

2 Kor 7:2-16

R: Nyekundu

2 Jumatano Ufu 13:1-10 2 Kor 8:1-15

3 Alhamisi Mt 21:12-27 2 Kor 8:16-24

4 Ijumaa 1 Kor 3:16-23 2 Kor 9:1-15

5 Jumamosi 2 Pet 3:13-18 2 Kor 10:1-11

6Jumapili

45/52

ya 3 Kabla ya Majilio Zab 90:1-17I. Lk 17: 20-30 M. Rum 14:7-9

NK: SISI NI MALI YA KRISTOR: Kijani

7 Jumatatu 1 Pet 4:7-11 2 Kor 10:12-18

8 Jumanne Yer 18:1-10 2 Kor 11:1-15

9 Jumatano Ebr 13:1-9 2 Kor 11:16-33

10 Alhamisi 1 Yoh 2:18-29 2 Kor 12:1-10

11 Ijumaa 2 Kor 6:1-10 2 Kor 12:11-21

12 Jumamosi Mk 13:1-8 2 Kor 13:1-13

13Jumapili

46/52

ya 2 Kabla ya Majilio Zab 50:1-23I. Mt 25: 31-46 M. Rum 8:18-25

NK: TARAJIO LA MKRISTOR: Kijani

14 Jumatatu Mt 7:21-29 2 Pet 1:1-11

15 Jumanne Yh 3:17-21 2 Pet 1:12-21

NOVEMBA 2016

87

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

SHAJARA YA NOVEMBA 2016

88

16 Jumatano

ya Siku ya Toba Zab 51:3-14Lk 13:1-9 M. Rum 2:1-11

NK: HUKUMU YA KWELI YA MUNGU

2 Pet 2:1-11

R: Urujuani

17 Alhamisi Lk 15:1-10 2 Pet 2:12-22

18 Ijumaa Ebr 13:17-21 2 Pet 3:1-9

19 Jumamosi Ufu20:11-15 2 Pet 3:10-18

20Jumapili

47/52

ya Mwisho Kabla ya Majilio – Kukumbuka Uzima wa Ulimwengu UjaoZab 126:1-6 Mt 25:1-13 M. Ufu 21: 1-8

NK: MAKAO YA MILELE

R: Kijani

21 Jumatatu Ebr 12:18-25 Isa 56:1-8

22 Jumanne 1 Pet 1:13-21 Isa 56:9-12

23 Jumatano 1 Kor 3:9-15 Isa 57:1-13

24 Alhamisi 1 The 5:9-15 Isa 57:14-21

25 Ijumaa Ebr 13:10-16 Isa 58:1-9

26 Jumamosi Ufu 21:10-27 Isa 58:9-14

27Jumapili

48/52

ya 1 Katika Majilio Zab 24I. Mt 21: 1-9 M. Yer 23:5-8

NK: BWANA ANAKUJAR: Urujuani

28 Jumatatu 1 Pet 1:8-13 Isa 59:1-15

29 Jumanne Ebr 10:32-39 Isa 59:15-21

30 Jumatano Kol 1:9-14 Isa 60:1-14

NOVEMBA 2016

89

16

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

SHAJARA YA NOVEMBA 2016

90

1 Alhamisi 1 The 5:1-8 Isa 60:15-22

2 Ijumaa Ez 37:24-28 Isa 61:1-6

3 Jumamosi Hab 2:1-4 Isa 61:7-11

4Jumapili

49/52

ya 2 Katika Majilio Zab 80:2-20I. Lk 21: 25-33 M. Mt 24:1-14

NK: DALILI ZA MWISHOR: Urujuani

5 Jumatatu Isa 25:1-8 Isa 62:1-5

6 Jumanne Isa 26:7-13 Isa 62:6-12

7 Jumatano Ufu 2:1-7 Isa 63:1-6

8 Alhamisi 2 Kor 5:1-10 Isa 63:7-16

9 Ijumaa Zek 2:14-17 Isa 63:17-64:3

10 Jumamosi 1 The 4:13-18 Isa 64:4-11

11Jumapili

50/52

ya 3 Katika Majilio Zab 85:2-8I. Mt 11:2-10 M. Lk 3:1-14

NK: MAISHA YA TOBAR: Urujuani

12 Jumatatu Hos 14:2-10 Isa 65:1-10

13 Jumanne Mt 3:7-12 Isa 65:11-16

14 Jumatano Isa 45:1-8 Isa 65:17-25

15 Alhamisi Mt 11:7-15 Isa 66:1-4

16 Ijumaa Isa 44:21-27 Isa 66:5-14

DESEMBA 2016

91

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

11

12

13

14

15

16

SHAJARA YA DESEMBA 2016

92

17 Jumamosi Lk 1:26-38 Isa 66:15-24

18Jumapili

51/52

ya 4 Katika Majilio Zab 102:17-23I. Lk 1: 39-56 M. Lk 1: 26-38NK: MPANGO WA WOKOVU WETU

R: Urujuani

19 Jumatatu Isa 11:10-13 Lk 1:1-17

20 Jumanne Isa 42:5-9 Lk 1:18-25

21 Jumatano Ufu 3:7-12 Lk 1:26-38

22 Alhamisi Ufu 22:16-21 Lk 1:39-56

23 Ijumaa Isa 7:10-14 Lk 1:57-66

24 Jumamosi

Usiku wa Kukumbuka Kuzaliwa kwa KristoZab 2 Lk 2:1-20 M. Yoh 3:16-21

NK: IMANI NA WOKOVULk 1:67-80

R: Nyeupe

25Jumapili

52/52

Krismasi I: Siku ya Kuzaliwa ya Kristo Zab 96 I. Lk 2: 1-20 M. Mik 5: 1-4KUZALIWA YA YESU KRISTO

Lk 2:1-14

R: Nyeupe

26 Jumatatu

Krismasi II: Siku ya Kuzaliwa ya Kristo Zab 95:1-7 Yh 1:9-14 M. Yoh 8:12-16

NK: NURU YA ULIMWENGU Lk 2:15-20

R: Nyeupe

27 Jumanne Yh 21:20-24 Lk 2:21-24

28 Jumatano Mt 2:13-18 Lk 2:25-35

29 Alhamisi 1 Yoh 4:11-16 Lk 2:36-40

30 Ijumaa Isa 63:7-14 Lk 2:41-52

31 Jumamosi

Siku ya Mwisho wa MwakaZab 121

Lk 12:35-40 M. Isa 30:8-17NK: KUTULIA NA KUTUMAINI

R: Nyeupe

DESEMBA 2016

93

17

18

19

20

21

22

23

24

25

26

27

28

29

30

31

SHAJARA YA DESEMBA 2016