nyakati saba za kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/swa/swabk-ages an exposition...

391
William Marrion Branham Maelezo Ya Nyakati Saba Za Kanisa

Upload: others

Post on 03-Nov-2019

265 views

Category:

Documents


1 download

TRANSCRIPT

Page 1: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

William Marrion Branham

Maelezo Ya

Nyakati Saba Za Kanisa

Page 2: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

Haki zote kwenye kitabu hiki zimelindwa. Kitabu hiki hakiwezi kuuzwa,kuchapishwa tena, kutafsiriwa katika lugha zingine, ama kutumiwa kwakuchangisha pesa bila barua dhahiri ya kuruhusu ya mchapishaji ama katibuwa William Branham Evangelistic Association.

Maelezo Ya Nyakati Saba Za Kanisa(An Exposition Of The Seven Church Ages)

Ndugu William Marrion Branham alihubiri mfululizo wa mahubiri mnamotarehe 4-11 Desemba, 1960, ili kupokea uvuvio kwa ajili ya Ujumbealioandika katika kitabu hiki, kisha yeye binafsi akakihariri kitabu hikimara nyingi katika muda wa miaka mitano kabla hakijasambazwa mnamotarehe 4 Desemba, 1965. Kilichapishwa tena katika mwaka wa 2006.

C1998 VGR, ALL RIGHTS RESERVED

VOICE OF GOD RECORDINGS

P.O. BOX 950, JEFFERSONVILLE, INDIANA 47131 U.S.A.www.branham.org

Page 3: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MAELEZO YA NYAKATI SABA ZA KANISA

Yakifafanua kirefu somo la zile Nyakati Saba ZaKanisa na mafundisho mbalimbali muhimuyanayopatikana katika Ufunuo, Sura ya Kwanzahadi ya Tatu.

William Marrion Branham

Page 4: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 5: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WILLIAM MARRION BRANHAM

Page 6: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

PAULO IRENEO MARTIN COLUMBA LUTHER WESLEY

NYAKATI 7 ZA KANISA

WAEFESO SMIRNA PERGAMO THIATIRA SARDI FILADELFIA LAODIKIA53-170 170-312 312-606 606-1520 1520-1750 1750-1906 1906- .

Page 7: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

YALIYOMO

Sura Ukurasa

UTANGULIZI

1. Ufunuo wa Yesu Kristo ................................................... 1

2. Ono la Patmo .................................................................... 33

3. Wakati wa Kanisa la Efeso ............................................. 57

4. Wakati wa Kanisa la Smirna .......................................... 101

5. Wakati wa Kanisa la Pergamo ........................................ 149

6. Wakati wa Kanisa la Thiatira ......................................... 205

7. Wakati wa Kanisa la Sardi ............................................. 235

8. Wakati wa Kanisa la Filadelfia ...................................... 281

9. Wakati wa Kanisa la Laodikia ....................................... 315

10. Muhtasari wa Nyakati ..................................................... 363

Page 8: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 9: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UTANGULIZI

Ingawa kitabu hiki kitajihusisha na mafundisho muhimumbalimbali (kama vile Uungu, Ubatizo wa Maji, nk.)yanayopatikana katika Ufunuo, sura ya Kwanza mpaka yaTatu, shabaha yake muhimu ni kufafanua kindani zile NyakatiSaba za Kanisa. Jambo hili ni muhimu kwa kusoma nakufahamu sehemu iliyosalia ya Ufunuo, kwa maana kutokakatika zile Nyakati kunakuja ile Mihuri, na kutoka kwenyeMihuri hiyo zinakuja zile Baragumu, na kutoka kwenye zileBaragumu yanakuja yale Mapigo. Kama vile mwangaza wakwanza wa mshumaa wa Kirumi, Nyakati za Kanisa zilitokeazikiwa na mwangaza mkuu sana wa kwanza, ambapo bila huokusingekuweko na nuru zaidi. Lakini mara mwangaza waNyakati Saba za Kanisa unapotolewa kwa ufunuo wa Kiungu,nuru juu ya nuru inafuata, mpaka Ufunuo wote unafungukawazi mbele ya macho yetu yenye mshangao: nasi, hukutumejengwa na kufanywa wasafi kwa Roho yake, tunafanywatayari kwa ajili ya kule kuonekana Kwake kwenye utukufu,yaani ni Bwana na Mwokozi wetu, Mungu Mmoja wa kweli,Yesu Kristo.

Kitabu hiki kimeandikwa kibinafsi kwa kuwa ni ujumbekutoka moyoni mwangu kwenda kwenye mioyo ya watu.

Juhudi kubwa zimetolewa katika kuweka herufi kubwakwenye majina yote na sifa, majina na vijina, nk., ambayoyanahusu Uungu, na pia maneno kama Biblia, Maandiko, naNeno, kwa maana tunaamini jambo hili linafaa katikakuzungumza juu ya ukuu na Utu wa Mungu na Neno LakeTakatifu.

Naomba baraka za Mungu juu ya kila msomaji; na mwangazawa Roho wa Mungu na uwe fungu maalum kwa kila mmoja.

William Marrion Branham

Page 10: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 11: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 1SURA YA KWANZA

UFUNUO

WA

YESU ALIYE KRISTO

1. Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu,awaonyeshe watumwa Wake mambo ambayo kwamba hayanabudi kuwako upesi; Naye akatuma kwa mkono wa malaikaWake akamwonyesha mtumwa Wake Yohana:

2. Aliyelishuhudia Neno la Mungu, na ushuhuda wa YesuKristo, yaani, mambo yote aliyoyaona.

3. Heri asomaye, na wao wayasikiao maneno ya unabiihuu, na kuyashika yaliyoandikwa humo: kwa maana wakati ukaribu.

4. Yohana, kwa yale makanisa saba yaliyoko Asia: Neemana iwe kwenu, na amani, zitokazo Kwake Yeye Aliyeko, naAliyekuwako, na Atakayekuja; na zitokazo kwa Roho sabaWalioko mbele ya kiti Chake cha enzi;

5. Tena zitokazo kwa Yesu Kristo, Shahidi AliyeMwaminifu, Mzaliwa Wa Kwanza wa Waliokufa, na Mkuu waWafalme wa Dunia. Yeye atupendaye, na kutuosha dhambizetu katika damu Yake,

6. Na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa Mungu,Naye ni Baba Yake; utukufu na ukuu una Yeye hata milele namilele. Amina.

7. Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, nahao waliomchoma: na kabila zote za dunia wataomboleza kwaajili Yake. Naam. Amina.

8. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho, asemaBwana Mungu, Aliyeko, na Aliyekuwako, na Atakayekuja,Mwenyezi.

9. Mimi Yohana, ndugu yenu, na mwenye kushiriki pamojananyi katika mateso, na ufalme na subira ya Yesu Kristo,nalikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo, kwa ajili ya Neno laMungu, na ushuhuda wa Yesu Kristo.

10. Nalikuwa katika Roho siku ya Bwana, nikasikia sautikuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,

11. Ikisema, Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho:na, Haya uyaonayo, uyaandike katika chuo, ukayapeleke kwahayo makanisa saba yaliyoko Asia; kwa Efeso, na Smirna, naPergamo, na Thiatira, na Sardi, na Filadelfia, na Laodikia.

Page 12: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

2 NYAKATI SABA ZA KANISA

12. Nikageuka niione ile sauti iliyosema nami. Nanilipogeuka, niliona vinara vya taa saba vya dhahabu;

13. Na katikati ya vile vinara vya taa saba nikaona mtumfano wa Mwana wa Adamu, amevaa vazi lililofika miguuni,na kufungwa mshipi wa dhahabu matitini.

14. Kichwa Chake na nywele Zake zilikuwa nyeupe kamasufu nyeupe, kama theluji; na macho Yake kama mwali wamoto;

15. Na miguu Yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kanakwamba imesafishwa katika tanuru; na sauti Yake kama sautiya maji mengi.

16. Naye alikuwa na nyota saba katika mkono Wake wakuume: na upanga mkali wenye makali kuwili ukitoka katikakinywa Chake: na uso Wake kama jua liking’aa kwa nguvuzake.

17. Nami nilipomwona, nalianguka miguuni Pake kama mtualiyekufa. Akaweka mkono Wake wa kuume juu yangu,akisema, Usiogope; Mimi ni wa Kwanza na wa Mwisho:

18. Na Aliye hai, Nami nalikuwa nimekufa; na, tazama, nihai hata milele na milele, Amina; Nami ninazo funguo zamauti, na za kuzimu.

19. Basi, uyaandike mambo hayo uliyoyaona, nayo yaliyopo,na yale yatakayokuwa baada ya hayo.

20. Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono Wanguwa kuume, na ya vile vinara vya taa saba vya dhahabu. Zilenyota saba ni malaika wa yale makanisa saba: na vile vinarasaba ulivyoviona ni makanisa saba.

UTANGULIZI WA SURA YA KWANZA

Ufu: 1:1-3. “Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Munguawaonyeshe watumwa Wake mambo ambayo kwamba hayanabudi kuwako upesi; Naye akatuma kwa mkono wa malaikaWake akamwonyesha mtumwa Wake Yohana; aliyelishuhudiaNeno la Mungu, na ushuhuda wa Yesu Kristo, yaani mamboyote aliyoyaona. Heri asomaye, na wao wayasikiao maneno yaunabii huu, na kuyashika mambo yote yaliyoandikwa humo:kwa maana wakati u karibu.”

Mwandishi (si mwanzilishi) wa kitabu hiki ni mtauwaYohana Mt. Wanahistoria wanakubaliana ya kwamba yeyealiishi sehemu ya mwisho ya maisha yake huko Efeso, ingawakatika wakati wa kuandika kitabu hiki yeye alikuwa katikaKisiwa cha Patmo. Si hadithi ya maisha ya Yohana, bali niUfunuo wa Yesu Kristo katika nyakati zijazo za kanisa. Katikaaya ya tatu unaitwa ni unabii na hivyo ndivyo ulivyo hasa.

Page 13: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 3

Kitabu hiki kwa kawaida huitwa Ufunuo wa YohanaMtakatifu, lakini hilo si sahihi. Ni Ufunuo wa Yesu Kristoaliopewa Yohana kwa ajili ya Wakristo wa nyakati zote.Ndicho kitabu pekee katika Biblia nzima ambachokimeandikwa na Yesu Mwenyewe, kwa kumtokea mwandishiYeye Mwenyewe.

Ndicho kitabu cha mwisho cha Biblia, hata hivyokinasimulia habari za mwanzo na mwisho wa kipindi chaInjili.

Sasa neno la Kiyunani la ufunuo ni “apocalypse” ambalomaana yake ni “kufunuliwa”. Kufunuliwa huku kumeelezewakikamilifu katika mfano wa msanii anavyofunua kazi yake yasanamu ya kuchonga, akiionyesha kwa mtazamaji. Ni kufunua,kuonyesha kile kilichokuwa kimefichwa hapo awali. Sasa kulekufunua si tu ufunuo wa Utu wa Kristo, bali ni UFUNUO WAKAZI ZAKE ZIJAZO KATIKA ZILE NYAKATI SABAZIJAZO.

Umuhimu wa ufunuo wa Roho kwa mwamini wa kwelihauwezi kamwe kutiliwa mkazo sana. Ufunuo unamaanishamengi zaidi kwako labda kuliko unavyotambua. Sasasizungumzii juu ya Kitabu hiki cha Ufunuo na kukuhusu wewe.Ninazungumza juu ya mafunuo YOTE. Ni muhimu sana kwakanisa. Je! unakumbuka katika Mathayo 16 ambapo Yesualiwauliza wanafunzi swali hili, “Watu hunena kwamba MimiMwana wa Adamu kuwa ni nani?” Nao wakasema, “Wenginehunena u Yohana Mbatizaji: wengine, Eliya; na wengine,Yeremia, ama mmojawapo wa manabii.” Akawaambia, “Lakinininyi mwaninena Mimi kuwa ni nani?” Ndipo Simoni Petroakajibu akamwambia, “Wewe Ndiwe Kristo, Mwana waMungu aliye hai.” Naye Yesu akajibu akamwambia, “Heriwewe, Simoni Bar-yona; kwa kuwa mwili na damuhavikukufunulia hili, bali Baba Yangu aliye mbinguni. Naminakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huunitalijenga kanisa Langu; wala milango ya kuzimuhaitalishinda.” Wakatoliki wa Kiroma wanasema ya kwambakanisa limejengwa juu ya Petro. Sasa hicho ni kimwili kweli.Mungu angewezaje kulijenga kanisa juu ya mtu anaeyumbahivi kwamba hata alimkana Bwana Yesu na akalaanialipokuwa anafanya hivyo? Mungu hawezi kulijenga kanisaLake juu ya mtu aliyezaliwa katika dhambi. Wala haikuwa nimwamba fulani uliokuwa umelala pale kana kwamba Mungualikuwa ameitakasa ardhi ya mahali pale. Wala si kama vileWaprotestanti wanavyosema, ya kwamba kanisa limejengwajuu ya Yesu. Ilikuwa ni UFUNUO. Lisome jinsi lilivyoandikwa:“Mwili na damu HAVIKUKUFUNULIA hili, BALI BABAYANGU NDIYE ALIYEKUFUNULIA, na JUU YA MWAMBAHUU (UFUNUO) NITALIJENGA KANISA LANGU:” Kanisalimejengwa juu ya Ufunuo, juu ya “Bwana Asema Hivi”.

Page 14: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

4 NYAKATI SABA ZA KANISA

Habili alijuaje la kufanya kusudi amtolee Mungu dhabihuinayokubalika? Kwa imani yeye alipokea ufunuo wa damu.Kaini hakupata ufunuo wa namna hiyo (hata ingawa alikuwana agizo) kwa hiyo hangeweza kutoa dhabihu iliyo sahihi.Ilikuwa ni ufunuo kutoka kwa Mungu ulioleta tofauti naukampa Habili uzima wa milele. Sasa ungeweza kuchukuayale mchungaji anayosema, ama yale yanayofundishwa naseminari, na ingawa yanaweza kufundishwa kwako kwaufasaha wa maneno, mpaka Mungu atakapokufunulia yakwamba Yesu ndiye Kristo, na ya kwamba damu ndiyoinayokusafisha, na ya kwamba Mungu ndiye Mwokozi wako,hutapata uzima wa milele kamwe. Ni Ufunuo wa Roho ndiounaotenda jambo hilo.

Sasa nilisema ya kwamba Kitabu hiki cha Ufunuo niufunuo wa Yesu na yale anayofanya katika makanisa katikahizo nyakati saba. Ni ufunuo kwa sababu wale wanafunzi,wenyewe, hawakujua kweli hizi zilizoandikwa. Haikuwakwanza imefunuliwa kwao. Mnakumbuka ya kwambawalimjia Yesu katika Kitabu cha Matendo na kumwuliza, “Je!wakati huu ndipo unapowarudishia Israeli ufalme?” Nayeakasema, “Si kazi yenu kujua nyakati wala majira.” Watu haowalikuwa wangali wanamfikiria Yesu kuwa na ufalme waduniani. Lakini ilikuwa ufalme wa kiroho ambao Yeye alikuwaanaenda kujenga. Hata Yeye hakuweza kuwaambia kuhusumahali Pake katika huo, kwa maana Baba hakuwaamemfunulia. Lakini sasa baada ya kufa na kufufuka Kwake,na kwa wakati huu maalum katika huduma Yake yaupatanisho, Yeye anaweza kumwonyesha Yohana hapa katikaufunuo huu wa nafsi Yake Mwenyewe mambo yale ambayoutukufu na uwepo Wake kanisani yatamaanisha na kufanya.

Katika ufunuo huu Yeye anatwambia mwisho wa ibilisi ninini. Anatwambia jinsi atakavyomtenda ibilisi na kumtupakatika ziwa la moto. Anafunua mwisho wa watu waovuwanaomfuata Shetani. Na Shetani anachukia jambo hilo.

Je! umeshaona jinsi Shetani anavyochukia vitabu viwilivya Biblia zaidi kuliko vingine vyote? Kwa kuwatumiawanathelojia wa kimapinduzi na wanasayansi bandia yeyedaima hushambulia Kitabu cha Mwanzo na Kitabu chaUfunuo. Katika vitabu hivi vyote viwili tunaona mwanzo waShetani, njia zake mbaya sana na kuangamizwa kwake. Hiyondiyo sababu yeye anavishambulia. Anachukia kufichuliwa, nakatika vitabu hivyo anafichuliwa vile yeye alivyo hasa. Yesualisema juu ya Shetani, “Yeye hana sehemu ndani Yangu naMimi sina sehemu ndani yake.” Shetani angetaka kuthibitishajambo hilo vinginevyo; lakini hawezi, kwa hiyo yeye hufanyayote awezayo kuondoa imani katika Neno. Lakini wakatikanisa litakapokataa kumwamini Shetani na liamini ufunuowa Roho wa Neno, milango ya kuzimu haiwezi kulishinda.

Page 15: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 5

Hebu tu niingize neno hapa kutoka katika huduma yangumwenyewe, kama hamtajali. Nyote mnajua ya kwambakarama hii maishani mwangu ni ya kiroho. Ni karama ambapoRoho Mtakatifu anaweza kutambua magonjwa, na mawazo yamioyo ya wanadamu, na mambo mengine yaliyojificha ambayoni Mungu tu angeweza kujua na halafu anifunulie mimi. Laitimngaliweza kusimama pamoja nami na muone nyuso za watuwakati Shetani anapojua atafichuliwa. Sasa, mimi sinenihabari za watu. Ni kwamba Shetani ameyashikilia maisha yaokwa dhambi, kutojali, na maradhi. Lakini laiti ungalizionanyuso zao. Shetani anajua atafichuliwa, na mabadiliko yaajabu sana huja kwenye nyuso za watu. Shetani anaogopa.Anajua ya kwamba Roho wa Mungu anataka kuwajulihsawatu kuhusu kazi zake. Hiyo ndiyo sababu yeye anaichukiamikutano hii sana. Wakati majina yanapoitwa na magonjwakufichuliwa, Shetani anachukia jambo hilo. Sasa hiki ni kitugani? Si kusoma mawazo, si kuwasiliana mawazo, wala siuchawi. Ni UFUNUO kwa Roho Mtakatifu. Hivyo ndivyo tuninavyoweza kujua jambo hilo. Bila shaka nia ya mtu wakimwili italiita cho chote kile ila Roho Mtakatifu.

Hebu niwaonyeshe sababu nyingine kwa nini Shetanianachukia Kitabu hiki cha Ufunuo wa Yesu Kristo kanisani.Yeye anajua kuwa Yesu Kristo ni yeye yule jana, na leo, nahata milele, Naye habadiliki. Yeye anayajua hayo mno zaidikuliko wanavyojua asilimia tisini ya wanatheolojia. Yeyeanajua ya kwamba kwa kuwa Mungu habadiliki katika asiliYake, basi vivyo hivyo Yeye habadiliki katika njia Zake. Hivyobasi Shetani anajua kwa hakika ya kwamba lile kanisa la asilipale Pentekoste lenye nguvu za Mungu (Marko kumi na Sitakatika matendo) ndilo Kanisa Halisi ambalo Yesu anadai kamaLake. Mengine yote ni ya uongo. Haina budi kuwa hivyo.

Sasa kumbukeni jambo hili. Kristo katika Kanisa la Kwelini kuendelezwa kwa Kitabu cha Matendo. Lakini Kitabu chaUfunuo kinaonyesha vile roho ya mpinga Kristo ingeingiakwenye kanisa na kulichafua, kulifanya vuguvugu, la kawaidana lisilo na nguvu. Kinamfichua Shetani, kikizifunua kazi zake(za kujaribu kuwaangamiza watu wa Mungu na kulipuuzaNeno la Mungu) moja kwa moja mpaka wakati atakapotupwakatika ziwa la moto. Yeye anapinga jambo hilo. Hawezikulivumilia. Anajua ya kwamba kama watu wakipataUFUNUO WA KWELI wa KANISA LA KWELI na kile lilicho,msimamo wake ni nini na ya kwamba LINAWEZA KUTENDAZILE KAZI KUBWA ZAIDI, hilo litakuwa jeshi lisilowezakushindwa. Kama wao wakipata ufunuo wa kweli wa zile rohombili katika kanisa la Kikristo, na kwa Roho wa Munguwaitambue na kuipinga roho ya mpinga-Kristo, Shetanihatakuwa na nguvu mbele zake. Yeye kwa dhahiri atashindwaleo hii kama vile wakati ambapo Kristo alimpinga kwa kila

Page 16: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

6 NYAKATI SABA ZA KANISA

jitihada yake ya kumshinda Yeye huko nyikani. Naam, Shetanianachukia ufunuo. Lakini sisi tunaupenda. Tukiwa na ufunuowa kweli maishani mwetu, milango ya kuzimu haiwezikutushinda, bali tutaishinda.

Mtakumbuka ya kwamba nilitamka hapo mwanzoni mwaujumbe huu ya kwamba Kitabu hiki tunachosoma ni ufunuohalisi wa Yesu, Mwenyewe, katika kanisa na kazi Yake katikanyakati zijazo. Halafu nikasema ya kwamba inahitaji RohoMtakatifu kutupa ufunuo la sivyo tutashindwa kuupata.Tukiyaunganisha mawazo haya mawili pamoja mtaona yakwamba haitachukua tu masomo tu ya kawaida na akilikukifanya Kitabu hiki halisi. Itahitaji nguvu za RohoMtakatifu. Hiyo inamaanisha Kitabu hiki hakiwezikufunuliwa kwa mtu ye yote isipokuwa kwa kundi maalum lawatu. Itahitaji mtu aliye na ono la kinabii. Itahitaji uwezo wakusikia kutoka kwa Mungu. Itahitaji mafundisho yakimbinguni, si eti tu mwanafunzi alinganishaye aya na aya,ingawa jambo hilo ni zuri. Lakini fumbo linahitaji mafundishoya Roho la sivyo halitakuwa dhahiri hata kidogo. Jinsi ganitunavyohitaji kusikia kutoka kwa Mungu na kujiweka wazi nakujisalimisha kwa Roho ili tusikie na tujue.

Kama vile nilivyokwisha kusema, Kitabu hiki (Ufunuo)ndicho ukamilifu wa Maandiko. Hata kimewekwa panapofaakabisa katika vitabu vya Maandiko; mwisho. Sasa unawezakujua kwa nini hasa kinasema ya kwamba mtu ye yoteanayekisoma ama hata kukisikia amebarikiwa. Ufunuo waMungu ndio ambao utakupa mamlaka juu ya ibilisi. Naweunaweza kuona ni kwa nini wao ambao wangeongeza amakuondoa kutoka kwake wangelaaniwa. Haina budi kuwahivyo, kwa sababu ni nani anayeweza kuongeza ama kuondoakutoka katika ufunuo mkamilifu wa Mungu na amshindeadui? Ni rahisi namna hiyo. Hakuna kitu kilicho na nguvu zaushindi namna hiyo kama ufunuo wa Neno. Unaona, katikaaya ya tatu baraka imetangazwa juu ya wale watakaokitegeasikio maalum Kitabu hiki. Nafikiri jambo hili linazungumziadesturi ya Agano la Kale kuhusu makuhani kuwasomeakusanyiko Neno asubuhi. Unaona, wengi hawakuweza kusomakwa hiyo ilibidi kuhani awasomee. Almuradi tu lilikuwa niNeno, baraka zilikuwepo. Haidhuru kama lilisomwa amalilisikilizwa.

“Wakati u karibu.” Wakati haukuwa umekaribia hapo sikuza nyuma. Katika hekima na utaratibu wa Mungu ufunuo huumkuu (ingawa ulijulikana kikamilifu na Mungu) usingewezakuja kabla ya wakati huu. Kwa hiyo tunajifunza kanuni fulanimara moja_ufunuo wa Mungu kwa ajili ya kila wakatiunaweza kuja katika wakati huo peke yake, na katika wakatimaalum. Angalia historia ya Israeli. Ufunuo wa Mungu kwaMusa ulikuja tu katika wakati maalum wa historia, na hata na

Page 17: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 7

zaidi sana ulikuja wakati watu walipomlilia Mungu. Yesu,Mwenyewe, alikuja katika utimilifu wa wakati, Yeye akiwandiye Ufunuo mkamilifu wa Mungu. Na katika wakati huu (waLaodikia) ufunuo wa Mungu utakuja katika wakati wakeufaao. Hautakawia, wala hautakuwa kabla ya wakati wake.Wazia jambo hili na kuliangalia vizuri, kwa maana tuko katikawakati wa mwisho leo.

SALAMU

Ufu. 1:4-6, “Yohana, kwa yale makanisa saba yaliyokoAsia; Neema na iwe kwenu, na amani, zitokazo Kwake YeyeAliyeko, na Aliyekuwako, na Atakayekuja; na zitokazo kwaRoho saba walioko mbele ya kiti Chake cha enzi; tena zitokazokwa Yesu Kristo, Shahidi aliye Mwaminifu, Mzaliwa waKwanza wa Waliokufa, na Mkuu wa Wafalme wa Dunia. Yeyeatupendaye, na kutuosha dhambi zetu katika damu YakeMwenyewe, na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwaMungu, na Baba Yake; utukufu na ukuu una Yeye hata milelena milele. Amina.”

Neno, Asia, hasa ni Asia Ndogo. Ni kipande kidogo chaardhi cha ukubwa kama wa Indiana kwa ukubwa. Hayomakanisa saba kule yalichaguliwa maalum miongoni mwamakanisa mengine yote kwa ajili ya tabia zao, tabia zile zileambazo zingeonekana katika nyakati zilizofuata na karnenyingi baadaye.

Zile Roho saba mbele ya kile kiti cha enzi ni Rohoaliyekuwa ndani ya kila mmoja wa wale wajumbe saba,akiwapa huduma zao kwa wakati ule ambao kila mmoja waoaliishi.

Sasa maneno yote haya, ‘Yeye Aliyeko’, na ‘Aliyekuwako’,na ‘Atakayekuja’, na ‘Shahidi Mwaminifu’, na ‘Mzaliwa waKwanza wa Waliokufa’, na ‘Mkuu wa Wafalme wa Dunia’, na‘Alfa na Omega’, na ‘Mwenyezi’, ni sifa na maelezo ya MTUYULE YULE MMOJA, Ambaye ni Bwana Yesu Kristo, Ambayealituosha dhambi zetu katika damu Yake Mwenyewe.

Roho wa Mungu ndani ya Yohana ananena namna hiikusudi aonyeshe Uungu Mkuu wa Yesu Kristo na kumfunuaMungu kama ni Mungu MMOJA. Leo kuna kosa kubwa sana.Ni kwamba ati kuna Miungu watatu badala ya mmoja. Ufunuohuu kama ulivyopewa Yohana na Yesu Mwenyewe,unasahihisha kosa hilo. Si kwamba kuna Miungu watatu,lakini Mungu mmoja mwenye afisi tatu. Kuna Mungu MMOJAmwenye sifa tatu, Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Ufunuohuu mkuu ndio kanisa la mwanzoni liliokuwa nao, na haunabudi kurudishwa katika siku hii ya mwisho pamoja na kanunisahihi ya ubatizo wa maji.

Page 18: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

8 NYAKATI SABA ZA KANISA

Sasa wanatheolojia wa kisasa hawawezi kukubaliana namikwa kuwa hapa kuna yale yaliyoandikwa katika gazetimaarufu la Kikristo. “Fundisho hilo (kuhusu Utatu) ndilo asilina kiini hasa cha Agano la Kale. Ndilo asili na kiini kabisa chaAgano Jipya. Agano Jipya linapinga tu kama Agano la Kalewazo kwamba kuna zaidi ya Mungu mmoja. Hata hivyo AganoJipya kwa udhahiri ule ule linafundisha ya kwamba Baba niMungu, na Mwana ni Mungu, na Roho Mtakatifu ni Mungu, naya kwamba hawa watatu SI sifa tatu za Mtu yule yule, bali niwatu watatu wakisimama kwa kweli katika uhusiano wakibinafsi mmoja kwa mwingine. Hapo tuna lile fundisho kuu laNafsi Tatu lakini ni Mungu mmoja.”

Wao pia husema, “Mungu, kulingana na Biblia, si mtummoja tu, lakini Yeye ni nafsi tatu katika Mungu mmoja. Hilondilo lile fumbo kuu la Utatu.”

Hakika ni kuu. Watu watatu wanawezaje kuwa katikaMungu mmoja? Si kwamba tu hakuna Biblia kwa ajili yajambo hilo, lakini hata inaonyesha ukosefu wa kutumia akili.Watu watatu mbalimbali, ingawa wao wana maumbile sawa,wanafanya miungu watatu, la sivyo lugha imepoteza maanayake kabisa.

Hebu sikiliza maneno haya tena, “Mimi ni Alfa na Omega,Mwanzo na Mwisho, asema Bwana, Aliyeko, na Aliyekuwako,na Atakayekuja, Mwenyezi”. Huyu ni Mungu. Huyu si nabii tu,mwanadamu. Huyu ni Mungu. Na si ufunuo wa Miunguwatatu, bali wa Mungu MMOJA, Mwenyezi.

Hawakuamini katika Miungu watatu hapo mwanzoni mwakanisa. Huwezi kupata imani ya namna hiyo miongoni mwamitume. Nadharia hii ilikuja baada ya wakati wa mitume naikawa kweli ndilo jambo la kubishaniwa na likawa fundishomuhimu sana kwenye Baraza la Nikea. Fundisho la Uungulilisababisha migawanyiko miwili hapo Nikea. Na kutokana namgawanyiko huo kukatokea pande mbili zilizopita mpaka.Upande mmoja kweli uliingia katika imani ya miungu mingi,ukiamini katika Miungu watatu, na hao wengine wakaingiakatika imani ya umoja. Bila shaka hilo lilichukua mudakutukia, bali lilitukia, na tunalo leo ii hii. Lakini Ufunuokupitia kwa Yohana kwa Roho kwa makanisa ulikuwa, “Mimini Bwana Yesu Kristo, nami ndimi YOTE hayo. Hakuna Mungumwingine”. Naye akatia muhuri Wake katika Ufunuo huu.

Wazia jambo hili: Baba wa Yesu alikuwa ni nani? Mat. 1:18inasema, “Alionekana ana mimba kwa uwezo wa RohoMtakatifu”. Lakini Yesu, Mwenyewe, alidai ya kwambaMungu alikuwa ndiye Baba Yake. Mungu Baba na MunguRoho Mtakatifu, kama tunavyotumia maneno haya maranyingi, yanamfanya Baba na Roho kuwa MMOJA. Kwelindivyo walivyo, la sivyo Yesu alikuwa na Baba wawili. Lakini

Page 19: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 9

angalia ya kwamba Yesu alisema ya kwamba Yeye na BabaYake walikuwa ni Mmoja_si wawili. Hilo hufanya MunguMMOJA.

Kwa kuwa jambo hili ni kweli kihistoria na Kimaandiko,watu wanashangaa hao watatu walitoka wapi. Lilikuja kuwafundisho la msingi kwenye Baraza la Nikea katika 325 B.K.Utatu huu (neno lisilo la kimaandiko kabisa) lilichimbukakwenye miungu mingi ya Rumi. Warumi waliitolea duamiungu mingi waliyokuwa nayo. Wao pia walitolea duamizimu kama wapatanishi. Ilikuwa ni hatua tu ya kuipamiungu ya kale majina mapya, kwa hiyo tuna watakatifu ilikulifanya la Kibiblia zaidi. Hivyo basi, badala ya Zeu, Venisi,Marsi, nk., tuna Paulo, Petro, Fatima, Kristofa, nk., nk.Hawakuweza kuifanya dini yao ya kipagani kufanya kazi naMungu mmoja tu, kwa hiyo walimgawa sehemu tatu, naowakawafanya watakatifu kuwa wapatanishi kamawalivyokuwa wamefanya na mizimu yao.

Tangu basi wakati huo watu wameshindwa kutambua yakwamba kuna Mungu mmoja tu mwenye afisi tatu amamadhihirisho. Wanajua kuna Mungu mmoja kulingana naMaandiko, bali wao wanajaribu kulifanya kuwa nadharia yamazingaombwe kwamba Mungu ni kama kichala cha zabibu;nafsi tatu zote zikishiriki Uungu ule ule sawasawa. Lakiniinasema dhahiri hapa katika Ufunuo ya kwamba Yesu ni “YeyeAliyeko”, “Yeye Aliyekuweko”, na “Yeye Atakayekuja”. Yeyeni Alfa na Omega”, ambalo linamaanisha Yeye ni “A mpaka Z”ama YOTE HAYO. Yeye ni kila kitu_Mwenyezi. Yeye ni Ua laUwandani, Nyinyoro ya Bondeni, Nyota Yenye Kung’aa yaAsubuhi, Chipukizi la Haki, Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu.Yeye ni Mungu, Mwenyezi Mungu. MUNGU MMOJA.

I Tim. 3:16 inasema, “Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu:Mungu alidhihirishwa katika mwili, akajulikana kuwa na hakikatika Roho, akaonekana na malaika, akahubiriwa katikaMataifa, akaaminiwa katika ulimwengu, akachukuliwa juukatika Utukufu”. Hivi ndivyo Biblia inavyosema. Haisemi kitujuu ya nafsi ya kwanza ama ya pili ama ya tatu hapa. InasemaMungu alidhihirishwa katika mwili. Mungu mmoja. HuyoMUNGU MMOJA alidhihirishwa katika mwili. Hilo linapaswakutosheleza. Mungu alikuja katika mfano wa binadamu. Hilohalikumfanya Yeye MUNGU MWINGINE. YEYE ALIKUWAMUNGU, MUNGU YEYE YULE. Ulikuwa ni ufunuo wakatiule, na ni ufunuo sasa. Mungu mmoja.

Hebu na turudi katika Biblia tuone Yeye alikuwa ni nanihapo mwanzo kulingana na ufunuo aliotoa wa YeyeMwenyewe. Yehova aliye mkuu aliwatokea Israeli katikanguzo ya moto. Kama Malaika wa Agano Yeye aliishi katika ilenguzo ya moto na kuwaongoza Israeli kila siku. Hekaluni Yeyealitangaza kuja Kwake kwa wingu kuu. Ndipo siku moja

Page 20: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

10 NYAKATI SABA ZA KANISA

akadhihirishwa katika mwili uliozaliwa na bikira ambaoulitayarishwa kwa ajili Yake. Mungu yule aliyefanya maskaniYake juu ya hema za Israeli sasa alijitwalia Mwenyewe hemaya mwili na akafanya maskani Yake kama mwanadamu kati yawanadamu. Lakini Yeye alikuwa ni MUNGU YEYE YULE.

Biblia inafundisha ya kwamba MUNGU ALIKUWANDANI YA KRISTO. Ule MWILI ulikuwa ni Yesu. KatikaYeye ulikaa utimilifu wote wa Uungu, KWA JINSI YA MWILI.Hakuna jambo linaloweza kuwa dhahiri kuliko hilo. Siri,naam. Lakini ni kweli halisi_haiwezi kuwa dhahiri zaidi yahapo. Kwa hiyo kama Yeye hakuwa ni watu watatu wakatihuo, hawezi kuwa watatu sasa. MUNGU MMOJA: Na Munguyuyu huyu alifanyika mwili.

Yesu alisema, “Nalitoka kwa Mungu Nami naenda (narudi)kwa Mungu”. Yohana 16:27-28. Hilo ndilo lililotukia hasa. Yeyealitoweka duniani kwa njia ya kufa Kwake, kuzikwa,kufufuka, na kupaa. Ndipo Paulo akakutana Naye akiendazake Dameski na akanena na Paulo akisema, “Sauli, Sauli,mbona unaniudhi?” Paulo akasema, “U Nani Wewe, Bwana?”Yeye akasema, “Mimi ni Yesu.” Yeye alikuwa mwali wa moto,nuru inayopofusha. Yeye alikuwa amerudi tena kuwa,sawasawa tu na vile alivyosema angekuwa. Akarudi katikanamna ile ile aliyokuwa kabla hajachukua maskani ya mwili.Hivyo ndivyo hasa Yohana alivyoliona jambo hilo. Yohana 1:18“Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mwanapekee, Aliye katika kifua cha Baba, Huyu ndiye aliyemfunua”.Angalia mahali ambapo Yohana anasema Yesu YUKO. Yeyeyuko NDANI ya kifua cha Baba.

Luka 2:11 inasema, “Maana leo katika mji wa Daudiamezaliwa kwa ajili yenu Mwokozi, Ndiye Kristo Bwana”.Yeye alizaliwa Kristo, na siku nane baadaye wakatialipotahiriwa akaitwa Yesu, kama tu vile malaika alivyokuwaamewaambia. Nilizaliwa Branham. Nilipozaliwa wao walinipajina la William. Yeye alikuwa KRISTO lakini akapewa jinahapa chini kati ya wanadamu. Hiyo maskani ya nje ambayowatu waliweza kuona iliitwa Yesu. Yeye alikuwa Bwana waUtukufu, Mwenyezi aliyedhihirishwa katika mwili. Yeye niMungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Yeye ni hayo yote.

Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu ni sifa tu. Hayo simajina. Hiyo ndiyo sababu tunabatiza katika Jina la BwanaYesu Kristo, kwa maana hilo ni jina, si sifa. Ni jina la sifa hizo,kama tu vile unavyomchukua mtoto mchanga ambaye ndiyo tuazaliwe ambaye ni mwana na unampa jina. Mtoto mchanga nijinsi yeye alivyo, mwana ni sifa, ndipo unampa jina, JohnHenry Brown. Hubatizi tu katika ‘Jina la Yesu’. Kuna maelfuya akina Yesu duniani na hata walikuwako kabla ya Yesu,Mwokozi wetu. Lakini kuna mmoja wao tu aliyezaliwa Kristo,“Bwana Yesu Kristo”.

Page 21: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 11

Watu wananena juu ya Yesu kuwa Mwana wa Milele waMungu. Sasa mbona jambo hilo ni kitu chenye kujipinga? Ninani aliyepata kusikia juu ya “Mwana” kuwa ni wa milele?Wana wana mianzo, lakini kile kilicho cha milele hakinamwanzo kamwe. Yeye ni Mungu wa Milele (Yehova)aliyedhihirishwa katika mwili.

Katika Injili ya Yohana Mtakatifu inasema, “Hapomwanzo kulikuwako Neno, Naye Neno alikuwako kwa Mungu,Naye Neno alikuwa Mungu. Naye Neno alifanyika mwili,akakaa kwetu.” Yeye alikuwa Shahidi wa Kweli naMwaminifu kwa Neno la milele la Baba. Yeye alikuwa Nabiina aliweza kuyasema yale Baba aliyomwagiza kusema.Alisema, “Baba Yangu yumo ndani Yangu”. Hivyo ndivyomaskani Yesu alivyosema, “Baba Yangu yumo ndani Yangu”.

Mungu ana sifa nyingi: ‘Haki yetu’, na ‘Amani yetu’, na‘Aliyeko Daima’, na ‘Baba’, na ‘Mwana’, na ‘Roho Mtakatifu’;lakini ana jina moja tu la kibinadamu na jina hilo ni Yesu.

Usichanganyikiwe kwa sababu ana afisi tatu ama kwambaana madhihirisho ya aina tatu. Duniani alikuwa ni Nabii;mbinguni Yeye ni Kuhani; na akirudi kuja duniani, Yeye niMfalme wa Wafalme. “Aliyekuwako”_Huyo ni Yesu, yuleNabii. “Aliyeko”_Huyo ni Yeye, Kuhani Mkuu, akifanyaupatanisho_Yeye anayeweza kuchukuana nasi katika mamboyetu ya udhaifu. “Atakayekuja”_Huyo Ndiye Mfalme yuleajaye. Duniani Yeye alikuwa Neno_yule Nabii. Musa alinenajuu Yake, “Bwana Mungu wenu atawaondokeshea Nabii kamanilivyo mimi, hata itakuwa kama hawatasikia maneno yaNabii huyo watakatiliwa mbali na watu”.

Tazama kweli hizi kumhusu Yesu. Duniani Yeye alikuwaNabii, Mwana-Kondoo, na Mwana. Hii haikumfanya watatu.Haya yalikuwa ni madhihirisho ama kazi za Mtu Mmoja, Yesu.

Sasa kuna sehemu inayopendwa sana ya Maandiko ambayowa utatu wanafikiri huthibitisha hoja yao ya zaidi ya Nafsimoja halisi katika Uungu. Ni Ufu. 5:6-8, “Nikaona, na, tazama,katikati ya kile kiti cha enzi na wale wenye uhai wanne, nakatikati ya wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama alikuwakana kwamba amechinjwa, mwenye pembe saba na machosaba, ambazo ni Roho saba za Mungu zilizotumwa katikadunia yote. Akaja akakitwaa kile kitabu katika mkono wakuume Wake Yeye aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi. Hataalipokitwaa kile kitabu, hao wenye uhai wanne na wale wazeeishirini na wanne wakaanguka mbele za Mwana-Kondoo, kilammoja wao ana kinubi, na vitasa vya dhahabu vilivyojaamanukato, ambayo ni maombi ya watakatifu.” Kweli aya hizi,kama zikitengwa, zingeonekana kana kwamba zinathibitishahoja yao. Angalia, nilisema, aya hizi ZILIZOTENGWA. Hatahivyo, soma Ufu. 4:2-3 na 9-11, “Na mara nalikuwa katika

Page 22: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

12 NYAKATI SABA ZA KANISA

Roho: na tazama, kiti cha enzi kimewekwa mbinguni, naMMOJA ameketi juu ya kile kiti. Na Yeye aliyeketi alionekanamithili ya jiwe la yaspi na akiki: na upinde wa mvuaulikizunguka kile kiti cha enzi, ukionekana mithili yazumaridi. Na hao wenye uhai wanapompa Yeye aketiye juu yakiti cha enzi utukufu na heshima na shukrani, Yeye aliye haihata milele na milele, ndipo hao wazee ishirini na wannehuanguka mbele Zake Yeye aketiye juu ya kile kiti cha enzi,nao humsujudia Yeye aliye hai hata milele na milele, naohuzitupa taji zao mbele ya kile kiti cha enzi, wakisema,Umestahili Wewe, Ee Bwana, kuupokea utukufu na heshimana uweza: kwa kuwa Wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote, nakwa sababu ya mapenzi Yako vilikuwako, navyo vikaumbwa.”Angalia kwa uangalifu katika aya ya pili inasema, “MMOJA”(si wawili ama watatu lakini MMOJA) aliketi kwenye kiti chaenzi. Katika aya ya tatu inasema, “YEYE” (SI wao) alionekanamithili ya jiwe la yaspi na akiki. Katika aya ya tisa inasema yakwamba wale wanyama walimpa “YEYE” heshima (si wao).Katika aya ya kumi inasema ya kwamba wale wazeewalianguka mbele “ZAKE” (si yao). Katika aya ya kumi namoja inasema ya kwamba wakisema kwa sauti kuu,“Umestahili, EE BWANA” (si Mabwana). Na pia katika aya yakumi na moja inasema huyu MMOJA kwenye kiti cha enzialikuwa ndiye “Muumba”, Ambaye ni Yesu (Yohana 1:3),Ambaye ni Yehova-Roho-Mungu wa Agano la Kale (Mwa. 1:1).

Lakini hebu na tusikome hapo. Someni sasa katika Ufu.3:21, “Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja Nami katika kitiChangu cha enzi, kama Mimi nilivyoshinda, nikaketi pamojana Baba Yangu katika kiti Chake cha enzi.” Pia someni Ebr.12:2, “Tukimtazama Yesu Mwenye Kuanzisha na MwenyeKutimiza imani yetu; Ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwambele Yake aliustahimili msalaba, na kuidharau aibu, Nayeameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.”Tazama ya kwamba kulingana na Yesu, Mwenyewe, Ambayealiandika Ufunuo, Yeye ameketi PAMOJA na Baba. Rohondani ya Paulo (Roho Ambaye ni Roho wa Kristo, kwa maanahuyo ni Roho wa Unabii Ambaye huleta Neno) anasema Yeyeameketi MKONO WA KUUME wa Mungu. Lakini wakatiYohana alipoangalia aliona “MMOJA” tu juu ya kile kiti chaenzi. Na haikuwa hadi mpaka kufikia Ufu. 5:6-8 (ambayoinafuata Ufu. 4:2-3 katika mlolongo wa wakati) ambapotunamwona “Mwana-Kondoo” akikitwaa kile kitabu kutokakwa “YEYE” Ambaye ameketi juu ya kiti cha enzi, kamainavyoonyeshwa katika Ufu. 4:2-3 na 9-10. Ni nini? Ni ile siri ya“MUNGU MMOJA.” Yeye (Yesu), alitoka kwa Mungu,akadhihirishwa katika mwili, akafa na kufufuka tena, naakarudi kwenye “Kifua cha Baba.” Kama alivyosema Yohana,“Mwana pekee Aliye NDANI ya kifua cha Baba, Huyu NDIYEaliyemfunua.” Yohana 1:18. Ulikuwa sasa ni wakati wa Mungu

Page 23: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 13

(Masihi) kurudi apate kudai bibi-arusi Wake halafuajitambulishe Mwenyewe (ajijulishe) kwa Israeli. Hivyo basitunamwona Mungu tena akijitokeza apate kuchukua uhusianowa kimwili na mwanadamu kama “Mwana wa Daudi, Mfalmewa Wafalme na Bwana wa Mabwana, na Bwana Arusi waBibi-arusi wa Mataifa.” SI Miungu “Wawili,” bali tu niMUNGU MMOJA akidhihirisha afisi Zake kuu pamoja na sifaZake.

Watu walijua Yeye alikuwa ni Nabii. Walijua ishara yaMasihi ambayo ingekuja tu kwa kupitia kwa nabii. Yohana1:44-51, “Naye Filipo alikuwa mtu wa Bethsaida, mwenyeji wamji wa Andrea na Petro. Filipo akamwona Nathanaeli,akamwambia, Tumemwona Yeye, aliyeandikiwa na Musakatika torati, na manabii, Yesu mwana wa Yusufu, mtu waNazareti. Nathanaeli akamwambia, Laweza neno jema kutokaNazareti? Filipo akamwambia, Njoo uone. Basi Yesuakamwona Nathanaeli anakuja Kwake, akanena habari zake,Tazama Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake!Nathanaeli akamwambia, Umepataje kunitambua? Yesuakajibu, akamwambia, Kabla Filipo hajakuita, ulipokuwapochini ya mtini, nilikuona. Nathanaeli akajibu akamwambia,Rabi, Wewe u Mwana wa Mungu; Ndiwe Mfalme wa Israeli.Yesu akajibu, akamwambia, Kwa sababu nilikuambia,Nilikuona chini ya mtini, waamini? utaona mambo makubwakuliko haya. Akamwambia, Amin, amin, nawaambia, Mtazionambingu zimefunguka na malaika wa Mungu wakikwea nakushuka juu ya Mwana wa Adamu.” Ule uwezo wa kutambuamawazo ya moyo ndani ya watu uliwafanya wateule waMungu kufahamu ya kwamba huyu ndiye Masihi, Neno laMungu lililotiwa mafuta. Ebr. 4:12, “Maana Neno la Mungu lihai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao woteukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho,na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake, tena li jepesikuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.”

Wakati yule mwanamke kisimani alipomsikia Yeyeakiyatambua mawazo ya moyo wake huyo mwanamke alimkiriYeye kama nabii, akitangaza ya kwamba Masihi atajulikanakwa uwezo huo mkuu. Yohana 4:7-26, “Akaja mwanamkeMsamaria kuteka maji: Yesu akamwambia, Nipe maji ninywe.(Kwa maana wanafunzi wake wamekwenda mjini kununuachakula). Basi yule mwanamke Msamaria akamwambia,Imekuwaje Wewe, Myahudi, kutaka maji kwangu, nami nimwanamke Msamaria? maana Wayahudi hawachangamani naWasamaria. Yesu akajibu akamwambia, Kama ungaliijuakarama ya Mungu, naye ni Nani akuambiaye, Nipe majininywe, ungalimwomba Yeye, Naye angalikupa maji yaliyohai. Yule mwanamke akamwambia, Bwana, huna kitu chakutekea, na kisima ni kirefu: basi umeyapata wapi hayo maji

Page 24: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

14 NYAKATI SABA ZA KANISA

yaliyo hai? Je! Wewe u mkubwa kuliko baba yetu Yakobo,aliyetupa kisima hiki, naye mwenyewe akanywa maji yake, nawanawe pia, na wanyama wake? Yesu akajibu, akamwambia,Kila anywaye maji haya ataona kiu tena: Walakini ye yoteatakayekunywa maji yale nitakayompa Mimi hataona kiumilele; bali yale maji nitakayompa yatakuwa ndani yakechemchemi ya maji yakibubujikia uzima wa milele. Yulemwanamke akamwambia, Bwana, unipe maji hayo, nisionekiu, wala nisije hapa kuteka. Yesu akamwambia, Nenda,kamwite mumeo, uje naye hapa. Yule mwanamke akajibuakasema, Sina mume. Yesu akamwambia, Umesema vema,Sina mume, kwa maana umekuwa na waume watano; nayeuliye naye sasa siye mume wako: hapo umesema kweli. Yulemwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa U nabii.Baba zetu waliabudu katika mlima huu; nanyi husema yakwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja, ambayohamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kuleYerusalemu. Ninyi mnaabudu msichokijua: sisi tunaabudutukijuacho: kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi. Lakinisaa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisiwatamwabudu Baba katika Roho na kweli: kwa maana Babaawatafuta watu kama hao wamwabudu. Mungu ni Roho: naowamwambuduo Yeye imewapasa kumwabudu katika Roho nakweli. Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuajaMasihi, aitwaye Kristo: Naye atakapokuja, Yeye atatufunuliamambo yote. Yesu akamwambia, Mimi ninayesema nawe,Ndiye.”

Katika Ufu. 15:3 inasema, “Nao wauimba wimbo wa Musamtumwa wa Mungu, na wimbo wa MWANA-KONDOO,wakisema, Ni makuu na ya ajabu matendo Yako, Ee BwanaMungu Mwenyezi; ni za haki na za kweli njia Zako, Ee Mfalmewa Watakatifu.” Unaona jambo hilo? Yule MWANA-KONDOO, Kuhani Mkuu anayeshikilia damu Yake kamaupatanisho kwenye kiti cha rehema kwa ajili ya dhambi zetuni Bwana Mungu Mwenyezi. Hiyo ndiyo kazi Yake ya sasa.Hicho ndicho anachofanya sasa, akishikilia damu Yake kwaajili ya dhambi zetu. Lakini siku moja huyo Mwana-Kondooatakuwa Simba wa Kabila la Yuda. Yeye atatokea katikanguvu na utukufu na kuchukua mamlaka Yake kutawala kamaMfalme. Yeye ndiye Mfalme ajaye wa dunia hii. Bila shaka,hilo halisemi Yeye si Mfalme sasa. Kwa kuwa Yeye ni Mfalmewetu, Mfalme wa Watakatifu. Sasa hivi ni ufalme wa kiroho.Si wa utaratibu wa ulimwengu huu kama vile sisi tusivyo waulimwengu huu. Hiyo ndiyo sababu tunaenenda tofauti naulimwengu. Uraia wetu uko mbinguni. Tunarudisha nuru yaRoho ya ulimwengu wa kuzaliwa kwetu upya ambapo Yesundiye Mfalme. Hiyo ndiyo sababu wanawake wetu hawavaimavazi ya wanaume ama kukata nywele zao ama kutumia

Page 25: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 15

vipodozi hivyo vyote na vitu vingine ambavyo ulimwenguunavipenda sana. Hiyo ndiyo sababu wanaume wetuhawanywi pombe wala kuvuta sigara wala kudumu katikadhambi. Utawala wetu ni utawala juu ya dhambi na unafanyakazi kupitia nguvu zilizo katika Roho wa Kristo anayekaandani yetu. Kila ufalme duniani utararuliwa, lakini wetuutabaki.

Sasa tumekuwa tukizunguza juu ya afisi na madhihirishoya Mungu mmoja wa kweli na kuutazama utukufu Wakekatika somo la Maandiko. Lakini Yeye hapaswi kujulikanakiakili. Yeye hujulikana Kiroho; kwa ufunuo wa Roho. Mtuyuyu huyu aliyejulikana kama Yesu kwa jinsi ya mwili alirudikwenye nguzo ya moto. Lakini Yeye aliahidi angerudi tena nakukaa kati ya watu Wake kwa Roho. Na kwenye siku yaPentekoste ile nguzo ya moto ilishuka na kujigawa yenyewekatika ndimi za moto juu ya kila mmoja wao. Mungu alikuwaakifanya nini? Yeye alikuwa akijigawa katika kanisa, akiwapawanaume hao wote na wanawake sehemu Yake Mwenyewe.Yeye alijigawanya kati ya kanisa Lake kama tu vile alivyosemaangefanya. Yohana 14:16-23, “Nami nitamwomba Baba, Nayeatawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; NdiyeRoho wa Kweli: Ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwakuwa haumwoni, wala haumtambui: bali ninyi mnamtambua:maana anakaa kwenu, Naye atakuwa ndani yenu. Sitawaachaninyi yatima: naja kwenu. Bado kitambo kidogo, naulimwengu haunioni tena; bali ninyi mnaniona: na kwa sababuMimi ni hai, ninyi nanyi mtakuwa hai. Siku ile ninyimtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba Yangu, nanyindani Yangu, Nami ndani yenu. Yeye aliye na amri Zangu, nakuzishika, yeye ndiye anipendaye: naye anipendaye atapendwana Baba Yangu, Nami nitampenda, na kujidhihirisha kwake.Yuda (siye Iskariote,) akamwambia, Bwana, imekuwaje yakwamba wataka kujidhihirisha kwetu, wala si kwaulimwengu? Yesu akajibu akamwambia, Mtu akinipenda,atayashika maneno Yangu: na Baba Yangu atampenda, Nasitutakuja kwake, na kufanya makao Yetu kwake.” Yeye alisemaya kwamba angemwomba Baba Ambaye angemtuma Msaidizimwingine Ambaye alikuwa PAMOJA nao (hao wanafunzi)tayari lakini SI NDANI yao. Huyo alikuwa ni Kristo. Halafukatika aya ya ishirini na tatu, akinena habari Zake Mwenyewena za Baba, Yeye alisema NASI tutakuja. Hilo hapo: “Rohoanakuja, Roho Yule Yule wa Mungu aliyejidhihirisha kamaBaba, na kama Mwana, na angali atajidhihirisha katikawengi”_MUNGU MMOJA Ambaye ni Roho.

Hiyo ndiyo sababu hakuna mtu anayeweza kuja na kusemamtu mtakatifu ni papa fulani ama mtu mtakatifu ni askofufulani ama kasisi. MTU MTAKATIFU ni Kristo, RohoMtakatifu, ndani yetu. Serikali ya kanisa inathubutuje

Page 26: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

16 NYAKATI SABA ZA KANISA

kutamka kwamba wafuasi hawana neno la kusema? Kilammoja ana kitu cha kusema. Kila mmoja ana kazi, kila mmojaana huduma. Roho Mtakatifu alikuja wakati ule wa Pentekostena kujigawanya Mwenyewe kwa kila mmoja, ili kwambayatimie ambayo Kristo alisema, “Siku ile ninyi mtatambua yakuwa Mimi ni ndani ya Baba Yangu, nanyi ndani Yangu, Namindani yenu.” Yohana 14:20.

Yule Mimi Niko aliye Mkuu, Mwenyezi Mungu, amekujakama Roho kulijaza kanisa Lake la kweli. Yeye ana haki yakwenda mahali po pote anapotaka, na juu ya mtu ye yoteanayetaka. Sisi hatufanyi “watu watakatifu” wo wote katiyetu, lakini kusanyiko lote la kweli la Mungu ni takatifu, kwasababu ya uwepo wa Roho Mtakatifu. Yeye, Roho Mtakatifu,Ndiye aliye mtakatifu, si kusanyiko lenyewe lilivyo.

Sasa huo ndio ufunuo: Yesu Kristo ni Mungu. Yehova waAgano la Kale ndiye Yesu wa Agano Jipya. Hata ujaribukujitahidi namna gani, huwezi kuthibitisha kuna MiunguWATATU. Lakini pia inahitaji ufunuo wa Roho Mtakatifukukufanya ufahamu ukweli kwamba Yeye ni Mmoja. Inahitajiufunuo kuona ya kwamba Yehova wa Agano la Kale ndiyeYesu wa lile Jipya. Shetani alipenyeza kanisani nakuwapofusha watu kwenye kweli hii. Na wakatiwalipopofushwa kwenye jambo hilo, haikuchukua muda mrefukufikia wakati Kanisa la Kirumi lilipoacha kubatiza katikaJina la Bwana Yesu Kristo.

Ninakiri ya kwamba inatakiwa ufunuo wa kweli kutokakwa Roho Mtakatifu kuona ukweli juu ya Uungu siku hiziwakati tuko katikati ya kupotoshwa kwa Maandiko mengisana. Lakini kanisa lenye nguvu, lenye kushinda limejengwajuu ya ufunuo kwa hiyo tunaweza kumtarajia Mungu kufunuakweli Yake kwetu. Hata hivyo, hakika huhitaji ufunuo juu yaubatizo wa maji. Uko papo hapo ukikukodolea macho usoni.Je! ingewezekana katika muda mfupi sana kwa mitumekuongozwa vibaya kutoka kwenye amri ya moja kwa moja yaBwana kubatiza katika Jina la Baba na Mwana na RohoMtakatifu na halafu uwakute katika kutotii makusudi? Waowalijua hilo Jina lilikuwa ni lipi, na hakuna hata mahalipamoja katika Maandiko ambapo wao walibatiza katika njianyingine yo yote nje ya Jina la Bwana Yesu Kristo. Akili yakawaida ingekwambia ya kwamba Kitabu cha Matendo nikanisa katika matendo, na kama wao walibatiza namna hiyo,basi hivyo ndivyo inavyopasa kubatiza. Sasa kama ukifikiriahilo ni zito, unafikiri nini juu ya jambo hili? Mtu ye yoteambaye hakuwa amebatizwa katika Jina la Bwana Yesualipaswa arudie kubatizwa tena.

Matendo 19:1-6: “Ikawa, Apolo alipokuwa Korintho, Pauloakiisha kupita kati ya nchi za juu, akafika Efeso: akakutana nawanafunzi kadha wa kadha huko, akawauliza, Je! mlipokea

Page 27: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 17

Roho Mtakatifu tangu mlipoamini? Wakamjibu, La, hatakusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatukusikia.Akawauliza, Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema,Kwa ubatizo wa Yohana. Paulo akasema, Yohana kwelialibatiza kwa ubatizo wa toba, akiwaambia watu wamwaminiYeye atayekuja nyuma yake, yaani, Kristo Yesu. Waliposikiahaya wakabatizwa kwa Jina la Bwana Yesu. Na Pauloalipokwisha kuweka mikono yake juu yao, Roho Mtakatifuakaja juu yao; wakaanza kunena kwa lugha na kutabiri.”Hivyo ndivyo ilivyo. Watu hawa wazuri huko Efeso walikuwawamesikia juu ya Masihi ajaye. Yohana alikuwa amemhubiri.Wao walikuwa wamebatizwa wapate ondoleo la dhambi zao,wakitazamia MBELE wapate kuja kumwamini Yesu. Lakinisasa ilikuwa ni wakati wa kuangalia NYUMA kwa Yesu nakubatizwa ili kupata ONDOLEO la dhambi. Ilikuwa ni wakatiwa kumpokea Roho Mtakatifu. Nao walipobatizwa katika Jinala Bwana Yesu Kristo, Paulo aliweka mikono yake juu yao naRoho Mtakatifu akaja juu yao.

Loo! hao watu wapendwa huko Efeso walikuwa ni watuwazuri; na kama mtu ye yote alikuwa na haki ya kujisikiasalama, wao walijisikia. Angalia umbali waliokuwa wamekuja.Walikuwa wamesafiri wakafikia umbali wa kumkubali Masihiajaye. Walikuwa tayari kumpokea Yeye. Lakini huoni yakwamba ingawa walifanya hivyo walikuwa wamemkosa?Alikuwa amekuja na akaondoka. Walihitaji kubatizwa katikaJina la Bwana Yesu Kristo. Walihitaji kujazwa RohoMtakatifu.

Kama umebatizwa katika Jina la Yesu Kristo, Munguatakujaza na Roho Wake. Hilo ni Neno. Matendo 19:6 ambapotulisoma ilikuwa ni kutimizwa kwa Matendo 2:38, “Tubuni,mkabatizwe kila mmoja wenu katika Jina la Yesu Kristompate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa chaRoho Mtakatifu.”Mnaona, Paulo, kwa Roho Mtakatifu, alisemayale yale Petro aliyosema kwa Roho Mtakatifu. Na lililosemwaHALIWEZI kubadilishwa. Halina budi kuwa vile vile tanguPentekoste mpaka yule wa mwisho kabisa aliyeteuliwaamebatizwa. Gal. 1:8, “Lakini ijapokuwa sisi, au malaika wambinguni, atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyotuliyowahubiri, na alaaniwe.”

Sasa baadhi yenu ninyi watu wa Umoja mnabatizamakosa. Mnabatiza kwa ajili ya kuzaliwa upya kama kwambakuzamishwa majini huwaokoa. Kuzaliwa upya hakuji kwa njiaya maji; ni kazi ya Roho. Yule mtu ambaye kwa RohoMtakatifu alitoa ile amri, “Tubuni mkabatizwe kila mmojawenu katika Jina la Bwana Yesu,” hakusema ya kwamba majiyalileta kuzaliwa upya. Yeye alisema ilikuwa tu ni ushuhudawa “dhamiri safi mbele za Mungu.” Ilikuwa ni hayo tu. I Petro3:21, “Mfano wa mambo hayo ni ubatizo unaotuokoa sisi pia

Page 28: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

18 NYAKATI SABA ZA KANISA

siku hizi (siyo kuwekea mbali uchafu wa mwili, bali jibu ladhamiri safi mbele za Mungu,) kwa kufufuka Kwake YesuKristo.” Ninaamini jambo hilo.

Kama mtu ye yote analo wazo lo lote la uongo ya kwambahistoria inaweza kuthibitisha ubatizo wa maji katika njianyingine yo yote mbali na Jina la Bwana Yesu Kristo,ningekushauri usome historia na ujionee mwenyewe. Ifuatayoni kumbukumbu ya kweli ya Ubatizo uliofanyika huko Rumi100 B.K. na ukatolewa tena katika Gazeti la TIME la tarehe 5Disemba, 1955. “Shemasi akainua mkono wake, naye PubliusDecius akaingilia kwenye mlango wa mahali pa kubatizia.Marcus Vasca muuza kuni alikuwa amesimama katika kilekidimbwi maji yamemfikia kiunoni. Alikuwa anatabasamuwakati Publius alipokuwa akipita katika kidimbwi akajaakasimama karibu naye. ‘Credis?’ akauliza. ‘Credo,’ akajibuPublius. ‘Ninaamini ya kwamba wokovu wangu unatoka kwaYesu aliye Kristo, Ambaye alisulubishwa chini ya PontioPilato. Nikafa pamoja Naye kusudi nipate Uzima wa Milele.’Ndipo akasikia mikono yenye nguvu ikimshikilia huku yeyeakijiachilia kuanguka kinyumenyume katika kile kidimbwi,ndipo akasikia sauti ya Marcus kwenye sikio lake_‘Nakubatiza katika Jina la Bwana Yesu’_huku maji baridiyakimfunika.”

Hadi mpaka ile kweli ilipopotea (na haikurudi mpakawakati huu wa mwisho_hii ni kutoka Nikea mpaka mwishowa karne hii) walibatiza katika Jina la Bwana Yesu Kristo.Lakini umerudi. Shetani hawezi kuuzuia ufunuo wakati Rohoanataka kuutoa.

Naam, kama kungalikuweko na Miungu watatu,ungaliweza kubatiza kweli kwa Baba fulani, na Mwana fulani,na Roho Mtakatifu fulani. Lakini ule UFUNUO ALIOPEWAYOHANA ulikuwa kwamba KUNA MUNGU MMOJA na JinaLake ni BWANA YESU KRISTO, nawe unabatiza kwa MunguMMOJA na mmoja tu. Hiyo ndiyo sababu Petro alibatiza jinsialivyobatiza pale Pentekoste. Ilimbidi awe mwaminifu kwaufunuo ambao ulikuwa, “Basi nyumba yote ya Israeli na wajueyakini, ya kwamba Mungu amemfanya YESU HUYO,mliyemsulibisha, kuwa BWANA NA KRISTO PIA.” Huyohapo, “BWANA YESU KRISTO.”

Kama Yesu ni Bwana na Kristo ‘PIA,’ basi Yeye (Yesu) ni,na hawezi kuwa mwingine ila “Baba, Mwana, na RohoMtakatifu” katika Nafsi MOJA aliyedhihirishwa katika mwili.SI “Mungu katika nafsi tatu, utatu uliobarikiwa,” bali niMUNGU MMOJA, NAFSI MOJA yenye sifa tatu kuu, yenyeafisi tatu zinazodhihirisha sifa hizo. Sikilizeni jambo hilo tena.Yesu yuyu huyu ni Bwana na Kristo “PIA.” Bwana (Baba) naKristo (Roho Mtakatifu) ni Yesu, kwa sababu Yeye (Yesu) niwote WAWILI (Bwana na Kristo).

Page 29: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 19

Kama hilo halituonyeshi ufunuo wa kweli wa Uungu,hakuna kitakachotuonyesha. Bwana SI mwingine; Kristo SImwingine. Huyu Yesu ndiye Bwana Yesu Kristo_MUNGUMMOJA.

Filipo siku moja alimwambia Yesu, “Bwana, utuonyesheBaba na itatutosha.” Yesu akamwambia, “Mimi nimekuwapopamoja nanyi siku hizi zote wewe usinijue? Aliyeniona Mimiamemwona Baba, basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?Mimi na Baba Yangu ni Mmoja.” Nilinukuu hilo siku moja nabibi fulani akasema, “Hebu kidogo, Bw. Branham, wewe namke wako ni mtu mmoja.”

Nikasema, “Si kwa namna hiyo.”Akasema, “Ati nini?”Kwa hiyo nikamwambia, “Je! unaniona?”Akasema, “Naam.”Nikasema, “Unamwona mke wangu?”Akasema, “La.”Nikasema, “Basi umoja huo ni wa aina tofauti, kwa kuwa

Yeye alisema, Ukiniona Mimi, unamwona Baba.”Nabii alisema ya kwamba ingekuwako nuru wakati wa

jioni. Katika wimbo imeandikwa:“Kutakuwako nuru wakati wa jioni,Njia ya kwenda utukufuni hakika mtaiona,Katika njia ya maji, hiyo ndiyo nuru leo,Ukizikwa katika Jina la thamani la Yesu.Vijana kwa wazee, tubieni dhambi zenu zote,Roho Mtakatifu hakika ataingia ndani.Nuru ya jioni imekuja_Ni kweli kwamba Mungu na Kristo ni

mmoja.”Si muda mrefu sana uliopita nilikuwa ninazungumza na

Rabi Myahudi. Akaniambia, “Ninyi Mataifa hamwezi kumkataMungu katika vipande vitatu na kumpa Myahudi. Tunajuavizuri zaidi kuliko hivyo.”

Nikamwambia, “Hivyo ndivyo ilivyo hasa Rabi, hatumkatiMungu katika vipande vitatu. Unaamini manabii, sivyo?”

Akasema, “Bila shaka ninawaamini.”“Je! unaamini Isaya 9:6?”“Naam.”“Huyo nabii alikuwa akinena habari za nani?”“Masihi.”Nikasema, “Masihi atakuwa na uhusiano gani na Mungu?”Akasema, “Atakuwa Mungu.”

Page 30: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

20 NYAKATI SABA ZA KANISA

Nikasema, “Hiyo ni kweli.” Amina.Huwezi kumweka Mungu katika nafsi tatu ama sehemu

tatu. Huwezi kumwambia Myahudi ya kwamba kuna Babafulani, na Mwana fulani, na Roho Mtakatifu fulani. Yeyeatakwambia upesi sana mahali wazo hilo lilipotoka. Wayahudiwanajua kanuni hii ya imani ilianzishwa kwenye Baraza laNikea.Si ajabu wao wanatudhihaki kama makafiri.

Tunanena juu ya Mungu asiyebadilika. Wayahudiwanaamini jambo hilo pia. Lakini kanisa lilimbadilisha Munguwake asiyebadilika kutoka MMOJA kuwa WATATU. Lakininuru inarudi katika wakati wa jioni. Ni ajabu jinsi gani yakwamba ukweli huu umekuja katika wakati ambapo Wayahudiwanarudi Palestina. Mungu na Kristo ni MMOJA. Yesu huyuni BWANA NA KRISTO PIA.

Yohana alikuwa na ufunuo, na YESU ndiye aliyekuwaUfunuo huo, Naye amejionyesha Mwenyewe papa hapa katikaMaandiko_MIMI Ndiye Aliyekuwako, Aliyeko naAtakayekuja, Mwenyezi. Amina.

Kama ufunuo umekupita, angalia juu na umtafute Munguuupate. Hivyo ndivyo tu utakavyoupata. Ufunuo hauna budikutoka kwa Mungu. Hauji kwa karama ya maarifa ya kawaida,ya kibinadamu, bali ni kwa karama ya Roho. Unaweza hatakuyakariri Maandiko, na ingawa jambo hilo ni jambo zurisana, hilo halitafaa kitu. Haina budi kuwa ni ufunuo kutokakwa Mungu. Inanenwa katika Neno ya kwamba hakuna mtuanayeweza kusema ya kwamba Yesu ndiye Kristo ila kwa RohoMtakatifu. Huna budi kumpokea Roho Mtakatifu na ndipo, nandipo tu, Roho anapoweza kukupa ufunuo ya kwamba Yesundiye Kristo: Mungu, Yule Mtiwa Mafuta.

Hakuna mtu anayejua mambo ya Mungu ila Roho waMungu na yeye ambaye Roho wa Mungu anamfunulia hayo.Tunahitaji kumsihi Mungu kwa ajili ya ufunuo zaidi kulikokitu kingine cho chote ulimwenguni. Tumeikubali Biblia,tumekubali zile kweli zake kuu, lakini ingali si halisi kwawatu walio wengi kwa sababu ufunuo wa Roho haupo. Nenohalijahuishwa. Biblia inasema katika 2 Kor. 5:21 ya kwambatumekuwa haki ya Mungu kwa muungano wetu na YesuKristo. Ulilipata? Inasema ya kwamba SISI NI HAKIYENYEWE YA MUNGU MWENYEWE kwa kuwa KATIKAKRISTO. Inasema ya kwamba Yeye (Yesu) alifanyika DHAMBIkwa ajili yetu. Haisemi Yeye Mwenyewe akawa mwenyedhambi, lakini alifanyika DHAMBI kwa ajili yetu ili kwambakwa kuungana kwetu na Yeye tuweze kufanyika HAKI yaMungu. Kama tukikubali kweli hiyo (na hatuna budikuikubali) kwamba Yeye alifanyika DHAMBI kweli kabisakwa ajili yetu kwa kupachukua mahali petu, basi hatuna budi

Page 31: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 21

kukubali ukweli kwamba sisi kwa kuungana kwetu Nayetumekuwa HAKI YENYEWE ya Mungu. Kukataa hilo moja nikukataa hilo lingine. Kukubali hilo moja ni kukubali hilolingine. Sasa tunajua Biblia inasema jambo hilo. Haliwezikukanushwa. Lakini ufunuo wake haupo. Si halisi kwa idadikubwa ya watoto wa Mungu. Ni aya nzuri tu katika Biblia.Lakini tunahitaji ifanywe HAI kwetu. Hilo litahitaji ufunuo.

Hebu niingize jambo fulani hapa litakalowashangaza nakuwasaidia. Ni vigumu kumpata mwanafunzi ambaye haaminiAgano Jipya kwanza kabisa lilikuwa katika lugha yaKiyunani. Wanafunzi wetu wote maarufu wa Biblia wamesemaya kwamba Mungu aliupa ulimwengu mataifa makuu matatuwaliotoa michango mikuu mitatu kwa ajili ya Injili. AlitupaWayunani waliotupa lugha ya ulimwengu mzima. AlitupaWayahudi waliotupa dini ya kweli na maarifa ya kweli kuhusuMungu kwa njia ya Mwokozi. Alitupa Warumi waliotupa dolailiyo imara pamoja na sheria na utaratibu wa barabara kuu.Hivyo basi tuna dini ya kweli, lugha ya kuitangazia kwa watuwengi, na serikali na barabara za kuisambazia kwa njia zakawaida. Na tukinena kihistoria jambo hili linaonekana kuwani la kweli kabisa. Na siku hizi wasomi wetu wa Kiyunaniwanasema ya kwamba lugha ya Kiyunani ya siku za Biblia nikamilifu sana na sahihi sana hivi kwamba kama mwanafunziwa Kiyunani ni mwanasarufi hodari sana na asiyekoseaanaweza kujua kwa kweli sawasawa kabisa kile hasa Neno laAgano Jipya linachofundisha. Lakini je! hii si ni nadharia tu?Jambo hili ni kweli? Je! sio kweli kwamba kila msomi walugha ya Kiyunani mwenye kutukuka kutoka kwenyemadhehebu fulani hushindana na mwanafunzi mwingine wamadhehebu mengine, na je! sio kweli ya kwamba mabishanoyao msingi wake ni juu ya maneno yale yale ya Kiyunani nakanuni zile zile za sarufi? Kwa kweli hivyo ndivyo ilivyo. Hatahuko nyuma katika Wakati wa Pergamo, kabla tu ya lileBaraza la Nikea la 325 kulikuwa na wanafunzi wawilimashuhuri sana, Ariusi na Athanasio waliokabana katika vitavya mafundisho juu ya neno moja la Kiyunani. Hoja yaoilikuwa kali sana na ikaenea ulimwenguni mwote hivi kwambawanahistoria walisema ulimwengu ulikuwa umegawanyikakatika vokali moja (sauti ya herufi mbili katika silabi moja.)Sasa, kama Kiyunani ni kikamilifu namna hiyo, nakimechaguliwa kabisa na Mungu, mbona kumekuwa na ubishikama huo? Hakika Mungu hakutarajia sisi sote tujueKiyunani? Leo hii tuna ubishi juu ya Kiyunani. Chukua kwamfano kile kitabu, “Kanisa la Kristo Lililolemaa LikipigwaEksirei” kilichoandikwa na Dk. McCrossan. Humo yeyeameweka nukuu nyingi kutoka kwa wanasarufi wengimashuhuri wa Kiyunani, na anathibitisha kwa kujiridhishayeye mwenyewe ya kwamba kanuni zisizobadilika za sarufi yaKiyunani zinathibitisha bila mjadala ya kwamba Biblia

Page 32: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

22 NYAKATI SABA ZA KANISA

inafundisha ya kwamba mtu hubatizwa na Roho Mtakatifubaada ya kuzaliwa mara ya pili. Pia yeye anasema yakini yakwamba wanawake wanaweza kuchukua mimbara kwasababu neno kutabiri linamaanisha kuhubiri. Lakini je! yeyeamewashawishi wasomi wengine wa Kiyunani ambao nihodari tu kama alivyo yeye? Hata kidogo. Jambo tuunalopaswa kufanya ni kuwasoma wale wasomi wanaoshikiliawazo linalotofautiana na usikilize nukuu zao za kitaalamu.

Sasa si kwamba tu yale niliyokwisha kusema sasa hivikwamba ni kweli, bali hebu tupige hatua moja mbele. Leo tunawanafunzi ambao wanadai ya kwamba yale maandiko yakwanza yaliandikwa katika Kiaramu ambayo ilikuwa ndiyolugha ya Yesu na ya watu wa siku Zake. Wao wanadai yakwamba hao watu hawakuzungumza na kuandika katikaKiyunani kama inavyodhaniwa na watu wengi. Na ukweli nikwamba wanahistoria wetu wamegawanyika katika jambo hilo.Kwa mfano, Dk. Schonfield, msomi hodari sana amejiridhishakwa kuthibitisha kutokana na utafiti kwamba Agano Jipyaliliandikwa katika lugha ya kienyeji ya watu wanaozungumzaKiyunani wa siku hizo. Yeye anajenga hoja safi kwa imani zake,kutokana na hati mbalimbali alizopata. Lakini kwa upandemwingine tuna mwanafunzi mwingine mashuhuri, Dk. Lamsa,ambaye ameshawishika ya kwamba Agano Jipya liliandikwakatika Kiaramu na hana mwingine ila mwanahistoria maarufusana, Toynbee, kuunga mkono mjadala wake kwamba Kiaramu,wala SI KIYUNANI ndiyo iliyokuwa lugha ya watu hao, kwahiyo inaonekana ya kwamba inawezekana Agano Jipyaliliandikwa kwanza katika Kiaramu.

Hata hivyo, kabla hatujashughulikia jambo hili sana, hebuna tusome tafsiri ya King James na tafsiri ya Dk. Lamsa pia.Tunafurahi kuona ya kwamba maneno katika hizo zote mbilini yale yale kabisa hivi kwamba kwa kweli hakuna tofauti katiya yaliyomo wala katika mafundisho. Hata tunawezakumalizia kwamba Mungu ameruhusu maandiko hayayaliyovumbuliwa hivi karibuni na vitabu vilivyoandikwa hivikaribuni vya maandiko ambayo tayari yamejulikana kujambele zetu kuthibitisha ukweli wa kile tulicho nacho tayari.Nasi tunaona ya kwamba ingawa watafsiri wanawezakupingana, maandiko hayapingani.

Sasa unaweza kuona ya kwamba huwezi kuweka msingiwa tafsiri juu ya maarifa ya kina sana ya msomi juu ya lughaambayo Biblia imeandikwa. Lakini kama wewe bado huwezikuona hilo kwa sababu umetiwa utaji katika moyo wako namapokeo hapa pana mfano mmoja wa mwisho. Hakuna mtuanayeweza kutilia shaka kwamba Waandishi na Mafarisayo nawanachuoni mashuhuri wa mwaka wa 33 B.K. walijua kanunisahihi za sarufi na maana sahihi ya maneno ambayo kwayoAgano la Kale liliandikwa; lakini pamoja na maarifa yao ya

Page 33: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 23

hali ya juu sana walikosa ufunuo wa Neno la Mungulililoahidiwa lililodhihirishwa katika Mwana. Alikuwa yukohapo na ameelezewa kutoka Mwanzo hadi Malaki, kukiwekona sura zote nzima zilizotengwa kwa ajili Yake na hudumaYake, na hata hivyo kuacha wachache walioangaziwa na Roho,walimkosa kabisa.

Sasa tunafikia neno la uamuzi wa mwisho, uamuzi wamwisho ule ambao tuliupata tayari katika Neno. Hata ingawatunaamini katika kujaribu kupata maandiko ya kale sana nayaliyo bora sana ili kupata kumbukumbu nzuri sanaiwezekanayo ya Neno, hatutaweza kupata maana yake halisikwa kusoma na kulinganisha Maandiko, hata tuwe waaminifutuwezavyo kuwa. ITAHITAJI UFUNUO KUTOKA KWAMUNGU KULIELEZA. HIVYO NDIVYO HASA PAULOALIVYOSEMA, “NAYO TWAYANENA; SI KWA MANENOYANAYOFUNDISHWA KWA HEKIMA YA KIBINADAMU,BALI YANAYOFUNDISHWA NA ROHO MTAKATIFU.” IKor. 2:15. Ufunuo wa kweli ni Mungu akifasiri Neno LakeMwenyewe kwa kuthibitisha yale yaliyoahidiwa.

Sasa mtu asielewe vibaya na yale niliyosema na kufikiriaya kwamba mimi siamini katika usahihi wa Neno jinsi tulivyonalo sasa. Ninaamini Biblia hii ni sahihi. Yesu alishuhudiakabisa ukweli wa Agano la Kale alipokuwa hapa duniani naloliliandikwa vile vile kama Agano letu Jipya. Usije ukakosea,tuna Neno lisilokosea la Mungu leo na mtu ye yote asithubutukuondoa kwake ama kuongeza kwake. Lakini tunahitaji Rohoyule yule aliyetupa hilo, kutufundisha.

Loo! jinsi tunavyohitaji ufunuo kwa Roho. HatuhitajiBiblia mpya, hatuhitaji tafsiri mpya, ingawa baadhi ni nzurisana, wala sizipingi, LAKINI TUNAHITAJI UFUNUO WAROHO. Na Mungu na ashukuriwe, tunaweza kupatatunachohitaji, kwa kuwa Mungu anataka kutufunulia NenoLake kwa Roho Wake.

Mungu na aanze kwa Roho Wake kutupa ufunuo unaotoauzima na wenye ushindi daima. Loo! laiti kanisa lingalipata tuufunuo mpya na liwe kwa ufunuo huo Neno linaloishilililodhihirishwa, tungeweza kufanya kazi kuu zaidi nakumtukuza Mungu Baba yetu wa mbinguni.

KUFUNGULIWA KUTOKA DHAMBINI

Ufu. 1:5, Yeye atupendaye, na kutuosha dhambi zetu katikadamu Yake.” Neno “kutuosha” kwa kweli ni“kutufungua”_“Kutufungua kutoka katika dhambi zetu kwadamu Yake Mwenyewe.” Je si ni jambo lililo zuri sana hilo?Lakini je! wewe una ni wa kiroho? Ulilipata? Damu YakeMWENYEWE ndiyo iliyotufungua kabisa kutoka katikadhambi zetu. Haikuwa ni damu ya kibinadamu. Ilikuwa ni

Page 34: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

24 NYAKATI SABA ZA KANISA

damu ya Mungu. Petro aliiita damu ya Kristo. Paulo aliiitadamu ya Bwana, na damu ya Yesu. Si nafsi tatu, bali nafsiMOJA. Huo hapo ule ufunuo tena, Mungu MMOJA. HuyoYehova Mungu mwenye nguvu zote alishuka na kujifanyiaMwenyewe mwili kwa njia ya kuzaliwa kibikira na kukaandani ya mwili huo, ili iwe ni damu ya Mungu ambayoingetufungua (kutufungua kabisa) kutoka katika dhambi zetuna kutuweka mbele Yake Mwenyewe bila waa kwa furaha kuu.

Ungetaka mfano wa Agano la Kale? Hebu turudi katikaBustani ya Edeni. Wakati habari za kwanza zilipofikautukufuni ya kwamba yule mwana, Adamu, alikuwa amepotea,je! Mungu alimtuma malaika? Je! Yeye alimtuma mwanafulani? Je! Yeye alimtuma mtu mwingine anayefanana nasi?La, Yeye alikuja MWENYEWE kumkomboa huyo mwanaaliyepotea. Haleluya! Mungu hakukabidhi mpango Wake wawokovu kwa mtu mwingine. Yeye alijiamini Mwenyewe tu.Mungu alifanyika mwili na akakaa kwetu na akatukomboaKwake Mwenyewe. Tunaokolewa na “Damu ya Mungu”.Mungu wa Milele aliishi katika mwili upatikanao na mautikusudi aziondoe dhambi. Yeye alifanyika Mwana-Kondookusudi amwage damu Yake na kuingia kwenye pazia nayo.

Wazia jambo hili. Kwa kuwa ni damu ya Mungu, ni damuiliyo kamilifu; na kama damu iliyo kamilifu inatufungua kutokakwenye nguvu na kifungo na kuchafuliwa na dhambi, basi kulekufunguliwa ni kukamilifu na kamili. Basi sasa hakunahukumu. “Ni nani atakayewashtaki wateule wa Mungu? Mungundiye Mwenye kuwahesabia haki (anayetutangaza kwambatuna haki). Ni nani atakayewahukumia adhabu? Kristo ndiyealiyekufa^” Rum. 8:33-34. Hilo hapo, mauti Yake ilitupa iledamu. Damu hiyo imetufungua. Sasa hakuna hukumu.Inawezaje kuweko? Hakuna kitu cha kuhukumiwa, kwa sababuile damu imetufungua kutoka katika dhambi. Tuko huru,hatuna hatia. Usimsikilize mwanadamu, sikiliza Neno.Umefunguliwa na damu.

Sasa usifungwe tena na mapokeo na kanuni za imani namadhehebu. Usipotezwe kwa kuwasikiliza hao wanaokananguvu za Neno na kukana ya kwamba Yesu anaokoa,anaponya, anajaza na Roho Mtakatifu na nguvu. Ninyi ni watuwa Mungu walio hai, waliofunguliwa na damu YakeMwenyewe. Kama ungali unashikilia imani yako kwenyekanuni za imani na madhehebu, ni dhahiri kwa huo ushuhudaya kwamba umepoteza imani yako katika Neno.

WAFALME NA MAKUHANIUfu. 1:6, “Na kutufanya kuwa wafalme na makuhani kwa

Mungu, na Baba Yake; Utukufu na ukuu una Yeye hata milelena milele. Amina.”

Page 35: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 25

“Ametufanya!” Loo! kuna kweli fulani tunazopaswakutilia mkazo. Hii ni mojawapo. YEYE! AMETUFANYA!Wokovu ni kazi Yake. Wokovu ni wa Bwana. Wote ni waneema. Yeye alitukomboa kwa kusudi fulani. Alitununua kwakusudi fulani. Sisi ni wafalme, wafalme wa kiroho. Loo!tutakuwa wafalme juu ya dunia pamoja Naye wakatiatakapoketi kwenye kiti Chake cha enzi. Lakini hivi sasa sisini wafalme wa kiroho na tunatawala juu ya ufalme wa kiroho.Inasema katika Warumi 5:17, “Kwa maana ikiwa kwa kukosamtu mmoja mauti ilitawala kwa sababu ya yule mmoja; zaidisana wao wapokeao wingi wa neema na kile kipawa cha haki,watatawala katika uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo.” Nakatika Kol. 1:13, “Naye alituokoa katika nguvu za giza,akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme (utawala) waMwana wa pendo Lake.” Sasa hivi tunatawala pamoja naKristo, tukiwa na utawala juu ya dhambi, ulimwengu, mwili,na ibilisi. Akionyesha sifa na utukufu Wake; akijionyeshaMWENYEWE, kwa maana ni Kristo ndani yetu, akitaka nakutenda mapenzi Yake mema. Naam, kweli, hata sasa tumeketikatika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu.

“Na kutufanya makuhani.” Naam, makuhani Kwake,tukitoa sifa za kiroho kwa midomo iliyotakaswa. Tukitumiamaisha yetu kama dhabihu safi Kwake. Tukimwabudu Yeyekatika Roho na katika kweli. Tukipatanisha na kuombeanadua. Makuhani na wafalme kwa Mungu wetu. Si ajabuulimwengu hautuvutii nasi ni watu wa ajabu wenye bidii mnokatika kutenda mema. Tumeumbwa upya katika Yeye tupatekuwa watoto tufananao na Baba yetu.

MUNGU AJAYE

Ufu. 1:7, “Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicholitamwona, na hao pia waliomchoma: na kabila zote za duniawataomboleza kwa ajili Yake. Naam. Amina.”

Yuaja. Yesu anakuja. Mungu anakuja. Nabii anakuja.Kuhani na Mfalme anakuja. Aliye YOTE katika YOTEanakuja. Naam, Bwana Yesu, njoo upesi. Amina.

Yuaja. Yeye anakuja katika mawingu, mawingu ya utukufukama wakati alipoonekana juu ya Mlima wa Kugeuka Sura, nanguo Zake zilikuwa zinang’aa wakati nguvu za Munguzilipomfunika. Na KILA jicho litamwona. Hiyo inamaanishahii si kule Kunyakuliwa. Hii ni wakati atakapokujakupachukua mahali Pake panapomstahili kama Mtawala waUlimwengu. Huu ni wakati ambapo hao waliomchoma kwakanuni zao za imani na mafundisho ya madhehebu yaowatakapoomboleza, na watu wote watalia kwa hofu kwasababu ya Yeye Ambaye ni Neno.

Page 36: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

26 NYAKATI SABA ZA KANISA

Haya ndiyo maneno ya ufunuo wa Zekaria 12:9-14.Zekaria alitabiri jambo hili kama miaka 2,500 iliyopita. Likokaribu sana kutukia. Sikilizeni. “Hata itakuwa siku hiyo, yakwamba nitatafuta kuwaangamiza mataifa yote watakaokujakupigana na Yerusalemu. Nami nitawamwagia watu wanyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, Roho ya neemana kuomba: nao watanitazama Mimi Ambayewalinichoma^” Sasa, Injili inarudi lini kwa Wayahudi?Wakati siku ya Mataifa imekwisha. Injili iko tayarikuwarudia Wayahudi. Loo, laiti ningaliweza tu kuwaambiajambo fulani linalokaribia kutukia katika siku hii yetu.Jambo hili kuu lililo karibu kutukia litaendelea mpakaUfunuo 11 na kuwachukua wale mashahidi wawili, walemanabii wawili, Musa na Eliya, wakiirudisha Injili kwaWayahudi. Tuko tayari kwa ajili ya jambo hilo. Kila kitu kikosawasawa. Kama vile Wayahudi walivyouleta ujumbe kwaMataifa, vivyo hivyo Mataifa wataurudisha moja kwa mojakwa Wayahudi, ndipo Kunyakuliwa kutakuja.

Sasa, kumbukeni yale tuliyosoma katika Ufunuo naZekaria. Yote yanatukia mara baada ya ile dhiki. Kanisa laMzaliwa wa Kwanza halipitii katika ile dhiki. Tunajua jambohilo. Biblia inafundisha jambo hilo.

Katika wakati huo inasema ya kwamba Mungu atamwagaRoho Wake juu ya nyumba ya Israeli. Ni Roho yeye yulealiyemwagwa juu ya Mataifa katika siku zao. “Naowatanitazama Mimi Ambaye walimchoma, naowatamwombolezea, kama vile mtu amwombolezeavyomwanawe wa pekee, nao wataona uchungu kwa ajili Yake,kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wakwanza. Siku hiyo kutakuwa na maombolezo makuu hukoYerusalemu, kama maombolezo ya Hadadrimoni katika bondela Megido. Nayo nchi itaomboleza, kila jamaa peke yake;jamaa ya nyumba ya Daudi peke yao, na wake zao peke yao;jamaa ya nyumba ya Nathani peke yao, na wake zao pekeyao^” na kila moja ya hizo nyumba peke yao wakati Yeyeatakapokuja katika mawingu ya utukufu katika Kuja KwakeMara ya Pili. Wale Wayahudi waliomchoma watamwona kamaisemwavyo katika Maandiko mengine, “Ulipata wapi jerahahizo?” Naye atasema, “Katika nyumba ya rafiki Zangu.”Hautakuwa tu ni wakati wa maombolezo kwa Wayahudiwaliomkataa kama Masihi, bali utakuwa ni wakati wamaombolezo kwa wale waliosalia wa Mataifa ambaowamemkataa kama Mwokozi wa siku hii.

Kutakuwa na kulia na kuomboleza. Wale wanawaliwaliolala watakuwa wakilia. Wao wanawakilisha kanisalililokataa kupata mafuta (ishara ya Roho Mtakatifu) katikataa zao (alama ya mwili ama chombo cha mafuta) mpakaikawa wamechelewa. Si kwamba wao hawakuwa ni watu

Page 37: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 27

wazuri. Wao walikuwa wanawali na hilo linaonyesha hali yajuu ya uadilifu. Lakini wao hawakuwa na mafuta katika taazao kwa hiyo wakatupwa nje ambako kulikuwa na kulia nakusaga meno.

Hebu tufananishe haya yote kutoka katika Mwanzo, suraya 45, ambapo Yusufu anakutana na ndugu zake huko Misri naanajifunua kwao. Mwanzo 45:1-7, “Hapo Yusufu hakuwezakujizuia mbele yao wote waliosimama karibu naye; akapigakelele, na kusema, Mwondoeni kila mtu mbele yangu. Walahakusimama mtu pamoja naye, Yusufu alipojitambulisha kwanduguze. Akapaza sauti yake akalia: nao Wamisri na watu wanyumba ya Farao nao wakasikia. Yusufu akawaambia nduguzake, Mimi ndimi Yusufu; baba yangu angali hai bado? Walandugu zake hawakuweza kumjibu; maana waliingiwa na hofumbele yake. Yusufu akawaambia ndugu zake, Karibienikwangu, nawaomba. Basi wakakaribia. Akasema, Mimi niYusufu, ndugu yenu, ambaye mliniuza kwenda Misri. Basi sasamsihuzunike, wala msiudhike nafsi zenu, kwa kuniuza huku:maana Mungu alinipeleka mbele yenu kuhifadhi maisha yawatu. Maana miaka hii miwili njaa imekuwa katika nchi: naiko tena miaka mitano, isiyo na kulima wala kuvuna. Mungualinipeleka mbele yenu kuwahifadhia masazo katika nchi, nakuwaokoa ninyi kwa wokovu mkuu.”

Je! hilo halilingani na Zek. 12 vizuri sana tu? Tukiwekayote mawili pamoja hatuna budi kulipata sawasawa kabisa.

Wakati Yusufu alipokuwa mdogo sana alichukiwa nandugu zake. Kwa nini yeye alichukiwa na ndugu zake?Ilikuwa ni kwa sababu alikuwa wa Kiroho. Yeye hakuwezakujizuia kuona maono hayo, wala hakuweza kujizuia kuotandoto na kufasiri. Hilo lilikuwa ndani yake. Yeye hakuwezakuonyesha jambo lingine lo lote ila lile lililokuwa ndani yake.Kwa hiyo, wakati nduguze walipomchukia ilikuwa hakunasababu. Lakini yeye alikuwa kipenzi cha baba yake. Babayake alikuwa nabii na alielewa. Hilo linafanya mfanomkamilifu wa Kristo. Mungu Baba alimpenda Mwana,lakini wale ndugu (Waandishi na Mafarisayo) walimchukiakwa sababu Yeye aliweza kuwaponya wagonjwa, kufanyamiujiza na kutabiri mambo yajayo, kuona maono nakuyafasiri. Hiyo haikuwa sababu ya kumchukia bali waowalimchukia, na kama vile ndugu za Yusufu, waowalimchukia bila sababu.

Sasa kumbukeni jinsi hao wana wa Yakobowalivyomtendea Yusufu. Walimtupa shimoni. Wakachukuakoti lake la rangi nyingi ambalo baba yake alikuwa amempana kulichovya katika damu kumfanya baba yake afikiriekwamba huyo mvulana aliuawa na mnyama fulani. Walimuuzakwa wafanyi biashara ya watumwa ambao walimchukuampaka Misri na huko akauzwa tena kwa jemadari. Mke wa

Page 38: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

28 NYAKATI SABA ZA KANISA

huyo jemadari alimfanya afungwe gerezani kwa kumsingizia,lakini baada ya kitambo kidogo uwezo wake kama nabiiulimfanya Farao asikie habari zake naye akainuliwa hadimkono wa kuume wa Farao akiwa na mamlaka makubwa hivikwamba hakuna mtu angaliweza kumkaribia Farao isipokuwaaje kwanza kwa kupitia kwa Yusufu.

Sasa hebu na tuyachunguze maisha ya Yusufu wakatialipokuwa Misri, kwa sababu hapa ndipo tunapomwona kamamfano mkamilifu wa Kristo. Wakati alipokuwa katika nyumbaya yule jemadari yeye alishtakiwa kwa kusingiziwa,akaadhibiwa na kufungwa gerezani bila sababu, kama tuwalivyomfanyia Yesu. Huko gerezani alifasiri ndoto ya mkuuwa wanyweshaji na ya mwokaji waliokuwa pia wafungwapamoja naye. Mnyweshaji aliachiliwa hai, bali huyo mwinginealihukumiwa adhabu ya kifo. Kristo alifungwa msalabani,akaachwa na Mungu na wanadamu. Katika pande zote mbiliZake kulikuwa na mwizi_mmoja alikufa, kiroho, lakini huyomwingine alipewa uzima. Basi angalia, wakati Yesualipotolewa msalabani, Yeye aliinuliwa hadi mbinguni na sasaanaketi mkono wa kuume wa ile Roho kuu ya Yehova; walahakuna mtu awezaye kuja kwa Mungu ila kwa Yeye. Kunampatanishi MMOJA kati ya Mungu na wanadamu, Naye ndiyeyote unayohitaji. Hakuna akina Mariamu wala watakatifu, niYesu tu.

Tukiendelea na mfano huu tunaouona katika Yusufu,angalia jinsi ambavyo kila kitu alichokifanya huko Misrikilifanikiwa. Kazi yake ya kwanza kwa yule jemadariilifanikiwa. Hata gereza lilifanikiwa. Wakati Yesuatakaporudi, jangwa litachanua kama waridi. Yeye ndiye“Mwana wa Usitawi.” Kwa kuwa hakuna wakati uliopatakusitawi kama ule uliokuwa chini ya Yusufu, vivyo hivyo kunawakati wa baraka kama hizo unaokuja duniani ambaoulimwengu haujapata kuujua. Kila mmoja wetu anawezakuketi chini ya mtini wake mwenyewe na kucheka na kufurahina kuishi milele katika uwepo Wake. Katika uwepo Wakekuna utimilifu wa furaha na katika mkono Wake wa kuumekuna raha za milele na milele. Mungu asifiwe.

Sasa angalia, ya kwamba kila mahali Yusufu alipoendawalipiga baragumu kutangaza kuwasili kwake. Watuwangepiga kelele, “Mpigieni goti Yusufu!” Haidhuru mtualikuwa anafanya nini, wakati baragumu hiyo ilipolia yeyealipiga goti. Angeweza kuwa anauza bidhaa fulani mitaani,akikaribia kuchukua pesa zake, lakini ilimbidi kuacha nakupiga goti wakati baragumu hiyo ilipolia. Kama yeyealikuwa mchezaji ama mwigizaji wa mchezo, ingembidikukomesha mchezo wake na kumpigia Yusufu magoti wakatiuwepo wake ulipotangazwa kwa wito wa hiyo baragumu. Namoja ya siku hizi kila kitu katika wakati kitasimama kimya

Page 39: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 29

hapo baragumu ya Mungu itakapolia, na waliokufa katikaKristo watafufuka na itapambazuka asubuhi ya mileleinayong’aa na iliyo nzuri. Kila kitu kitapiga magoti wakatihuo, kwa maana imeandikwa, “Kwa hiyo tena Mungualimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;ili kwa Jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni,na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kwamba kila ulimiukiri ya kuwa Yesu Kristo Ni Bwana, kwa utukufu waMungu Baba.” Fil. 2:9-11.

Lakini angalia ufunuo mwingine wa utukufu katika hukukumfananisha Yusufu. Yusufu, alipokuwa Misri, alipewa bibi-arusi wa Mataifa na kwake akapata jamaa ya wana wawili,Efraimu na Manase. Yusufu akamwomba baba yakekuwabariki wavulana hao wawili. Akawaweka mbele yaYakobo ili kwamba Manase, mzaliwa wa kwanza angekuwakwenye mkono wa kuume wa Yakobo na Efraimu mkono wakushoto. Yakobo alipokuwa tayari kuwabariki akapitanishamikono yake hivi kwamba mkono wa kuume ulimwangukiaaliye mdogo. Yusufu akapaza sauti, akasema, “Sivyo, babayangu, huyu aliye mkono wako wa kulia ndiye mzaliwa wakwanza.” Lakini Yakobo akasema, “Mungu aliipitanishamikono yangu.” Hapa katika mfano tunaona ya kwambabaraka ambazo zilikuwa ni za mzaliwa wa kwanza (Myahudi)zilipewa aliye mdogo (Mmataifa) kupitia msalaba (mikonoiliyopitanishwa) wa Bwana Yesu Kristo. Baraka huja kwakupitia msalabani. Gal.3:13-14, “Kristo alitukomboa katikalaana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu:maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu yamti; ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie Mataifa katikaYesu Kristo; tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia yaimani.” Baraka ya Ibrahimu ilikuja kupitia msalabaikawafikia Mataifa. Wayahudi waliukataa msalaba; kwa hiyo,Yesu akamchukua bibi-arusi wa Mataifa.

Sasa tukirudi kwenye hadithi ya Yusufu akikutana nandugu zake. Unakumbuka ya kwamba si ndugu wotewaliokuja. Yusufu alijua jambo hilo na akasisitiza ya kwambandugu wote wasimame mbele zake, la sivyo hangewezakujitambulisha kwao. Hatimaye wakamleta yule aliyekuwaamekosekana, Benyamini mdogo. Ilikuwa ni Benyaminimdogo, ndugu wa tumbo moja wa Yusufu, aliyeiwasha motonafsi yake. Na hapo Yusufu wetu, ambaye ni Yesu,atakapowajia watu ambao wameshika amri za Mungu naambao wamerudi Palestina, nafsi Yake itawaka moto.Benyamini mdogo anawakilisha wale Israeli 144,000 wanaotokaduniani kote ambao wamerudi Palestina kwa ajili ya ukomboziwao. Wao watakuwa wamesimama kule wakiwa tayarikumpokea Yeye, Ambaye kumjua vizuri ni Uzima wa milele.Watasema, “Huyu ndiye Mungu wetu Ambaye tumemngojea.”

Page 40: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

30 NYAKATI SABA ZA KANISA

Ndipo watakapomwona Yeye Ambaye walimchoma. Naowatalia kwa hofu, “Haya makovu mabaya sana yalitoka wapi?Ilikuwaje?” Nao watalia na kuomboleza, kila jamaa peke yao,kila mmoja peke yake katika uchungu wa huzuni.

Basi Kanisa la Mataifa litakuwa wapi wakati Yesuanajitambulisha kwa ndugu Zake? Kumbuka ya kwamba bibi-arusi wa Yusufu pamoja na wale watoto wawili walikuwakatika jumba la kifalme, kwa kuwa Yusufu alikuwaameamuru, “Kila mtu na aniache; waondoe wote mbeleyangu.” Kwa hiyo bibi-arusi wa Mataifa alifichwa katikajumba la kifalme la Yusufu. Kanisa la Mataifa litaenda wapikatika Kunyakuliwa? Katika jumba la kifalme. Bibi-arusiataondolewa duniani. Atanyakuliwa kabla ya ile dhiki kuukumlaki Bwana wake hewani. Kwa miaka mitatu na nusuwakati hasira ya kupatiliza ya Mungu inamiminwa, atakuwakatika ile Karamu Kuu ya Arusi ya Mwana-Kondoo. NdipoYeye atakaporudi, akimwacha bibi-arusi Wake katika“nyumba ya Baba Yake,” wakati anapojitambulisha kwandugu Zake. Katika wakati uu huu, lile agano la mpinga-Kristo ambalo Wayahudi wamefanya na Rumi litavunjwa.Rumi na marafiki zake basi wanatuma majeshi yaokuwaangamiza Wayahudi wote wanaomcha Mungu, na kulitiiNeno. Lakini wakati wanapokuja kuuvamia ule mji wapatekuuangamiza, kutatokea mbinguni ishara ya kuja KwakeMwana wa Adamu akiwa na majeshi Yake yenye nguvu nyingikuwaangamiza hao ambao wamekuwa wakiiharibu dunia.Huku adui amefukuzwa, Yesu basi anakuja na kujionyeshakwa wale 144,000. Baada ya kuona matendo Yake makuu yawokovu, wamekuja kujua uweza Wake. Lakini pia kwakuyaona majeraha Yake na wakijua ya kwamba walikuwawamemkataa hata mpaka wakati huo, kunawafanya waliesana katika uchungu wa hofu kuu na woga, kamawalivyofanya ndugu zao wa kale waliposimama mbele yaYusufu, wakiogopa sana kwamba wangeuawa. Lakini kamaYusufu alivyosema, “Msijikasirikie. Yote ni sawa na salama.Mungu alihusika na hayo yote. Alifanya hivyo kusudiayahifadhi maisha.” Vivyo hivyo Yesu atanena amani naupendo kwao.

Kwa nini Wayahudi walimkataa Yesu? Mungu alihuskikana hayo yote. Ilikuwa ndiyo njia pekee angaliweza kumletabibi-arusi wa Mataifa. Yeye alikufa msalabani apatekuyahifadhi maisha ya Kanisa la Mataifa.

Sasa hawa 144,000 hawako katika bibi-arusi. KatikaUfunuo 14:4 wanaitwa bikira nao wanamfuata Mwana-Kondoopo pote aendapo. Ukweli kwamba wao hawajatiwa unajisi nawanawake inaonyesha ya kwamba wao ni matowashi (Mat.19:12). Matowashi walikuwa wasimamizi wa chumba cha bibi-arusi. Walikuwa watumishi. Angalia ya kwamba wao hawaketi

Page 41: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

UFUNUO WA YESU KRISTO 31

kwenye kiti cha enzi lakini wako mbele ya kiti cha enzi. La,wao hawako katika bibi-arusi, bali watakuwa katika uleutawala wa fahari wa miaka elfu moja.

Tunaona basi ya kwamba wakati hawa wa mwisho waIsraeli watakapounganishwa kwa Bwana katika upendo, nayule adui amekwisha kuangamizwa, Mungu atautayarisha ulemlima Wake mtakatifu, ile Bustani Yake mpya ya Edeni kwaajili ya bibi-arusi Wake na watumishi Wake kwa ajili yafungate ya miaka elfu moja duniani. Kwa kuwa Adamu naHawa walikuwa katika ile bustani na hawakuimaliza ilemiaka elfu moja, sasa Yesu, Adamu wetu wa mwisho, na HawaWake (Kanisa la Kweli) atatimiza mpango wote wa Mungu.

Loo! jinsi Biblia inavyojirudia. Tamasha la Yusufu nandugu zake liko karibu na kurudiwa, kwa maana Yesu yuajakaribuni.

Na tunapoacha mfano wa Yusufu, kuna jambo moja zaidininalotaka kulileta mlione kuhusu wakati huu wa mwisho.Mnakumbuka ya kwamba Yusufu aliposimama mbele yandugu zake wakati Benyamini alipokuwa hayuko pamoja naoalizungumza kwa mkalimani ingawa yeye alijua Kiebraniavizuri. Alizungumza na ndugu zake katika lugha ya kigeni.Hivi mlijua ya kwamba ule Wakati wa Kwanza wa Mataifa(kichwa cha dhahabu, Kipindi cha enzi ya Babeli) kilimalizikiakwa ujumbe katika lugha zilizoandikwa kwenye ukuta?Wakati huu unaisha namna ile ile. Wingi wa lugha katika sikuhii ni thibitisho zaidi ya kwamba Majira ya Mataifayamekwisha na Mungu anawarudia Waisraeli.

Yuaja upesi. Yule Alfa na Omega, Nabii, Kuhani naMfalme, Yote katika Yote, Bwana Mungu wa Majeshi, yuajaupesi. Naam Bwana Yesu, Mungu Mmoja na Aliye wa Kweli,njoo upesi!

Page 42: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 43: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 33SURA YA PILI

ONO LA PATMO

Ufunuo 1:9-20

Yohana Katika PatmoUfu. 1:9, “Mimi Yohana, ndugu yenu na mwenye kushiriki

pamoja nanyi katika mateso na ufalme na subira ya YesuKristo, nalikuwa katika kisiwa kiitwacho Patmo, kwa ajili yaNeno la Mungu, na ushuhuda wa Yesu Kristo.”

Huu mfululizo wa maono ya Ufunuo wa Utu wa YesuKristo ulipewa Yohana alipokuwa amehamishwa kwenyeKisiwa cha Patmo. Kisiwa hiki kidogo kiko maili thelathinikutoka pwani ya Asia Ndogo katika Bahari ya Aegean. Kikiwachenye miamba miamba na kimejaa nyoka, mijusi na nge,hakikuwa kilikuwa na dhamani ndogo kibiashara, kwa hiyokilitumiwa na Dola ya Kirumi kama koloni la adhabu ambapowaliwekwa majambazi sugu, wafungwa wa kisiasa, nk.

Utaona ya kwamba Yohana amejitambulisha mwenyewekwa Wakristo kama ndugu katika mateso. Ilikuwa kwenyewakati huu ambapo kanisa la mwanzoni lilikuwa likipitiakatika mateso makuu. Dini yao haikuwa tu “ikinenwa vibayakila mahali” bali hao watu wenyewe waliwekwa gerezani nakuuawa. Yohana, kama wengine wengi, alikuwa sasa akitesekakifungoni kwa ajili ya Neno la Mungu na ushuhuda wa YesuKristo. Wakati alipokamatwa, wao walijaribu kumuwua kwakumchemsha katika mafuta kwa masaa ishirini na manne bilakufanikiwa. Maafisa waliokasirika sana na wasiokuwa na lakufanya basi wakamhukumu kwenda Patmo kama mchawi.Lakini Mungu alikuwa pamoja naye, na aliachiliwa nakuondoka kule kisiwani na kurudi Efeso ambako aliendeleatena kuwa mchungaji mpaka wakati wa kifo chake.

Maono aliyopokea Yohana yalidumu muda wa miakamiwili, 95-96 B.K. Hayo ndiyo maono yaliyo makubwa sanakatika Neno lote. Kitabu kizima kimeandikwa katikamafumbo, na kwa hiyo ndicho lengo la ukosoaji karibu wotepamoja na ubishi. Hata hivyo, kina muhuri ya Mungu juuYake. Hilo linakifanya cha kweli na cha thamani kubwa mnokwa wote wanaokisoma ama kusikiliza kurasa zake takatifu.

KATIKA ROHO SIKU YA BWANA

Ufu. 1:10, “Nalikuwa katika Roho siku ya Bwana; nanikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu.”

“Nalikuwa katika Roho.” Hivi kweli hilo halipendezi?Jamani, napenda hilo. Ungeweza tu kuyaita tu maneno hayo,

Page 44: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

34 NYAKATI SABA ZA KANISA

“Maisha yote ya Mkristo.” Kama tutaishi kama Wakristo,inatubidi kuwa katika Roho WAKE. Yohana hakuwa akinenajuu ya kuwa katika roho yake mwenyewe. Hilo halingaliletamaono haya. Ilipaswa kuwa ni Roho wa Mungu. Inabidi iwe niRoho wa Mungu akiwa yu pamoja nasi, pia, la sivyo jitihadazetu zote ni bure. Paulo alisema, “Nitaomba katika Roho,nitaimba katika Roho, nitaishi katika Roho.” Kama kunajambo lo lote zuri litakalokuja kwangu halina budi kufunuliwana Roho, lithibitishwe na Neno, na kudhihirishwa kwamatokeo linayoleta. Kwa hakika tu kama vile Yohanaalivyopaswa kuwa katika Roho kupokea huo mafunuo hayamuhimu mno ulikua upya kutoka kwa Yesu, tunahitaji kuwakatika Roho kufahamu mafunuo ambayo Mungu ametupakuishi kwayo katika kwa Neno Lake, kwa kuwa ni Roho yuleyule.

Liangalieni jinsi hii. Wengi mno husoma Biblia ambapoinasema katika Matendo 2:38, “Tubuni mkabatizwe kila mmojawenu katika Jina la Yesu Kristo mpate ondoleo la dhambizenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu,” naowanapitiliza tu moja kwa moja. Hawalioni. Kamawangeliliona, kwa kuingia katika Roho, wangejua ya kwambakama wanataka kupokea Roho Mtakatifu, wanapaswa kutubuna kubatizwa katika Jina la Bwana Yesu halafu Munguangewajibika kulitimiza Neno Lake kwa kuwajaza na RohoMtakatifu. Wao hawaiingii katika Roho Wake la sivyo jambohilo lingetukia kwao sawasawa kabisa na Neno lisemavyo.Mwombe Mungu upate ufunuo kwa Roho Wake. Hiyo ndiyohatua ya kwanza. Ingia katika Roho.

Hebu nitumie tu mfano mwingine. Tuseme unahitajikuponywa. Neno linasema nini? Vema, sote tumelisoma maranyingi zisizohesabika, lakini hatukuingia katika Rohotulipokuwa tunalisoma. Je! tulimwomba Mungu Roho Wakekutufundisha ukweli halisi wa jambo hilo? Kama tungelifanyahivyo, tungewaita wazee, tutubu dhambi zetu, tutiwe mafutana kuombewa, na hilo lingetosha. Huenda lisije mara moja,lakini katika Roho Wake, imekwisha. Hakuna mahakamanyingine ya rufani. Mungu atatimiza Neno Lake. Loo!tunahitaji kuingia katika Roho, na ndipo mambo hayoyatatendeka. USIANZE NA MATENDO. INGIA KATIKAROHO HALAFU UINGIE KATIKA HAYO MATENDO NDIPOUONE YALE MUNGU TAKAYOKUFANYIA.

Je! umepata kuona jinsi ulimwengu unavyoingia katikaroho ya mambo yaliyo katika ulimwengu? Wao wanaendakwenye michezo yao ya mpira, mashindano yao ya riadha, naadansi zao. Wanaingia katika roho wake. Hawaketi pale kamamaua ya ukutani, vijiti vya kale vilivyokauka. Wao huingiakatika shamrashamra ya mambo na wanakuwa sehemu yamambo hayo. Lakini, loo! jinsi wao wanavyowadharau

Page 45: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 35

Wakristo kwa ajili ya kuingia katika Roho wa Neno la Mungu.Wao wanatuita sisi washupavu wa dini na watakatifuwanaojifingirisha. Hakuna jambo ambalo hawatafanyakuonyesha chuki yao na lawama zao. Lakini usijali jambo hilo.Unaweza kulitarajia, ukijua mahali linakotoka. Endelea tu nauingie katika Roho ya kuabudu.

Roho yetu ni safi. Ni mpya. Ni halisi. Ina kiasi na hainamzaha lakini hata hivyo, imejaa furaha ya Bwana. Mkristoanapaswa kuwa mchangamfu na aliyejaa furaha yakemwenyewe katika Bwana tu kama watu wa dunia walivyowakati wanaposikia utamu na furaha za dunia. Wakristo nawalimwengu wote wawili ni wanadamu; wote wawili huvutiwakwa urahisi. Tofauti ni mioyo ya Wakristo na mivuto yao huwatu ni juu ya Bwana wa Utukufu pekee na upendo Wake,ambapo ulimwengu unaridhisha mwili.

Sasa inasema ya kwamba Yohana alikuwa katika Rohokatika Siku ya Bwana.

Loo! jamani, hapa pana aya inayosababisha mafarakanofulani. Si kwamba ni lazima isababishe, ama inapaswakusababisha mafarakano, lakini wengine hawaoni tu vile Nenolinavyosema hasa.

Kwanza kabisa tunaona watu fulani wazuri ambaowanaita Siku ya Bwana, Siku ya Sabato, ambayo kwao niJumamosi. Kisha kuna wengine wanaoiita Siku ya Bwana,Jumapili, siku ya kwanza ya juma. Lakini ingewezaje kuwamojawapo ya siku hizi, ama hata hizo mbili zikiunganishwapamoja, kwa kuwa Yohana alikuwa katika Roho akipokeamaono hayo kwa muda wa miaka miwili. Kwa kweli jambolililokuwa limetukia lilikuwa kwamba Yohana alinyakuliwakatika Roho na akapelekwa katika ile Siku ya Bwana, ambayobado ilikuwa haijaja. Biblia inanena juu ya Siku ya Bwanaambayo itakuwa katika wakati ujao, na Yohana sasa anaonamambo ya siku hiyo ijayo. Lakini kwa sasa, kwa ajili yakutuliza tu mawazo yetu, hebu na tupate kujua Sabato ni ninihasa leo.

Sabato, kama tunavyoijua kutokana na Agano Jipya, SIkushika siku fulani. Hatuna amri hata kidogo ya kushikaJumamosi kuwa Sabato, wala hatuna amri yo yote ya kushikasiku ya kwanza ya juma, ambayo ni Jumapili. Ukweli waSabato ni huu hapa, ambayo maana yake ni “raha.” Ebr. 4:8,“Maana kama Yesu angaliwapa raha (ama siku ya raha),asingaliinena siku nyingine baadaye. Basi imesalia raha (yakushika Sabato) kwa watu wa Mungu. Kwa maana yeyealiyeingia katika raha Yake, amestarehe mwenyewe katikakazi yake, kama vile Mungu alivyostarehe katika kazi Zake.”Je! umelisikia fungu hilo muhimu sana katika sehemu yamwisho ya aya hiyo? “Mungu alistarehe Mwenyewe katika kazi

Page 46: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

36 NYAKATI SABA ZA KANISA

Zake.” Mungu aliwapa Israeli siku ya saba kwa ajili ya Sabatoyao, kwa ukumbusho wa kazi Yake ambapo Yeye aliuumbaulimwengu na yote yaliyomo, na kisha akaacha kufanya kaziZake. Akastarehe. Sasa lilikuwa ni jambo zuri kuwapa raha yaSabato watu ambao wote walikuwa wanakaa mahali pamojakwa wakati mmoja, ili kwamba wote wapate kuadhimisha sikufulani. Leo sehemu moja ya ulimwengu iko katika nuru wakatisehemu hiyo nyingine iko katika giza, kwa hiyohaingewezekana kamwe. Lakini hiyo ni hoja tu kutokana namambo ya kimaumbile.

Hebu na tuone yale Biblia inayondisha nini juu ya raha hiiya Sabato. “Kwa maana yeye aliyeingia katika raha yake.”Huku kuingia ndani si kuingia tu ndani, bali kudumu ndaniyake, ya ile raha. Ni ‘raha ya milele’ ambayo siku ya saba sicho chote bali ni mfano tu. ‘Saba’ ni kukamilizia. ‘Nane’ nisiku ‘ya kwanza’ tena. Kufufuka kwa Yesu kulitokea katikasiku ya kwanza ya juma, ukitupa uzima wa milele na raha yaSabato ya milele. Kwa hiyo tunaona ni kwa nini Munguhangeweza kutupa siku fulani moja ya juma kama Sabato(raha). Sisi ‘tumeingia ndani’ na ‘tunadumu ndani’ ya rahayetu, jambo ambalo Israeli hawangeweza kufanya, wakiwa tuna kivuli cha mambo halisi ambayo tunayafurahia. Kwa ninikurudia kivuli wakati tuna mambo halisi sasa?

Jinsi tunavyopokea raha hii, ama Sabato ya daima, nikwenye mwaliko wa Yesu. Yeye alisema katika Mat. 11:28,29,“Njoni Kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewana mizigo, Nami nitawapumzisha. Jitieni nira Yangu, mjifunzeKwangu;^nanyi mtapata raha (ama kushika Sabato, si siku,lakini uzima wa milele, Sabato) nafsini mwenu.” Haidhuruumekuwa ukitenda kazi muda mrefu kiasi gani chini ya mzigowako wa dhambi, kama ni miaka kumi, miaka thelathini amamiaka hamsini, ama zaidi, njoo na maisha yako machovu na yataabu nawe utapata raha Yake (Sabato ya kweli). Yesuatakupa raha.

Sasa ni raha gani hasa ambayo Yesu atakupa? Isa. 28:8-12,“Maana meza zote zimejaa matapiko na uchafu, hapanamahali palipo safi. Atamfundisha nani maarifa?atamfahamisha nani habari hii? Je! ni wale walioachishwamaziwa, walioondolewa matitini? Kwa maana ni amri juu yaamri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu yakanuni; huku kidogo na huku kidogo: La, bali kwa midomo yakusitasita na kwa lugha ngeni atasema na watu hawa; ambaoaliwaambia, Hii ndiyo raha yenu (Sabato), mpeni raha yeyealiyechoka (ama kushika Sabato Yake); na huku ndikokuburudika; lakini hawakutaka kusikia.” Hapa imetabiriwa,papa hapa katika Isaya. Na ilitukia kama miaka 700 baadayewakati wa Pentekoste wakati wao walipojazwa na RohoMtakatifu sawasawa kabisa na vile ilivyosemwa ingetukia. Hii

Page 47: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 37

ndiyo Sabato ya kweli iliyoahidiwa. Basi walipojazwa na RohoMtakatifu waliachana na anasa za ulimwengu, matendo yao yakilimwengu, njia zao chafu. Roho Mtakatifu akachukuamamlaka juu ya maisha yao. Wakaingia katika raha. Hiyohapo raha yako. Hiyo ndiyo Sabato yako. Si siku fulani, walamwaka fulani, bali umilele wa kujazwa na kubarikiwa katikaRoho Mtakatifu. Ni wewe kukoma, na Mungu akishughulika.Ni Mungu ndani yako akitaka na kutenda kusudi Lake jema.

Hebu niseme jambo moja zaidi kuhusu Washikajumamosiwanaodai ya kwamba tunakutana siku isiyo sashihi ya jumawakati tunapokutana Jumapili, siku ya kwanza. Haya ndiyoJustin aliyosema katika karne ya pili. “Jumapili kunafanywamkutano wa wale wote wanaoishi katika miji na vijiji, nasehemu fulani husomwa kutoka kwenye kumbukumbu zamitume na maandiko yao mradi tu wakati unaruhusu. Wakatikusoma kunapomalizika, askofu huonya na kushauri kwamahubiri kwamba waige mambo hayo mazuri. Baada ya hayasisi sote tunasimama na kuomba maombi ya pamoja. Katikakufunga maombi, kama vile tulivyokwisha eleza, mkate nadivai vinawekwa mbele zetu, na shukrani inatolewa nakusanyiko linaitikia, “Amina.” Ndipo vitu hivyo hugawanywakwa kila mtu nao wanavishiriki na vinachukuliwa namashemasi na kupelekwa nyumbani kwa asiyekuwapo.Matajiri basi na wanaotaka wanatoa sadaka kwa hiari yao nasadaka hii inapewa askofu ambaye hivyo basi anawapayatima, wajane, wafungwa, wageni wenye kuhitaji.” Kwa hiyotunaona ya kwamba wale wanaodai ya kwamba kanisa lamwanzoni liliendeleza mapokeo ya Kiyahudi ya kukutanakatika siku ya mwisho ya juma hawajui kabisa vile historiainavyosema hasa, na kwa hiyo hawastahili kuaminiwa.

Loo! laiti watu wangalikuja Kwake wapate hiyo raha.Kuna kilio katika mioyo yote kwa ajili ya raha hiyo, lakiniwalio wengi hawajui jibu lake. Kwa hiyo wanajaribu kutulizakilio hicho kwa utaratibu wa kidini wa kuadhimisha sikufulani ama kukubali kanuni za imani na mafundisho ya shartiya kimadhehebu. Bali wakilikosa jambo hilo, wengi hujaribukunywa pombe, kulewa, na kila upotovu wa mwili, wakidhaniya kwamba kwa kushiriki anasa za dunia wanawezakuridhika. Lakini katika hayo hakuna raha. Wao huvutasigara na kutumia madawa ya kulevya ili kutuliza neva zao.Lakini hakuna raha katika madawa ya duniani. Waowanamhitaji Yesu. Wanahitaji dawa ya mbinguni, raha yaRoho.

Halafu wengi wao wanaenda kanisani Jumapili. Hilo nijambo zuri lakini hata huko hawajui jinsi ya kumwendeaMungu na jinsi ya kumwabudu. Yesu alisema ya kwambaibada ya kweli ilikuwa katika Roho na kweli, Yohana 4:24.Lakini unaweza kupata ibada ya namna gani katika kanisa

Page 48: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

38 NYAKATI SABA ZA KANISA

linalomjua Mungu kidogo sana hata linamtembeza BabaKrismasi katika Krismasi na keki katika wakati wa Pasaka?Walipata mambo hayo wapi? Waliyapata kutoka kwawapagani na kuyafanya sehemu ya fundisho la kanisa. Lakiniwakati mtu anapomgeukia Bwana na kujazwa na RohoMtakatifu yeye huacha mambo yote kama hayo. Yeye ana rahakatika nafsi yake. Yeye kweli anaanza kuishi kweli, nakumpenda Mungu na kumwabudu.

Sasa hebu na turudi kwenye Maandiko yetu. Tunajua kileSiku ya Bwana isicho. Kama si Jumamosi au Jumapili, ni ipi?Vema, hebu na tuliweke hivi. Leo bila shaka si Siku ya Bwana.Hii ni siku ya mwanadamu. Ni harakati za mwanadamu, kaziya mwanadamu, kanisa la mwanadamu, wazo la mwanadamula ibada, kila kitu ni cha mwanadamu, kwa kuwa niulimwengu (cosmos) wa mwanadamu. LAKINI SIKU YABWANA INAKUJA. Naam, inakuja. Ni kwamba tu wakati huuwa Ufunuo wa Yesu Kristo Yohana alichukuliwa juu na Rohona kupelekwa na Roho mpaka kwenye Siku ile Kuu inayokuja.Siku ya Bwana ni wakati ambapo siku za mwanadamuzimekwisha. Milki za ulimwengu huu wakati huo zitakuwafalme za Mungu wetu. Siku ya Bwana ni wakati hukumuzitakaposhuka, na baada ya hayo unakuja ule utawala wamiaka elfu. Sasa hivi ulimwengu unafanya unalotakakumfanyia Mkristo. Wanamwita kila aina ya majina mabaya,wakimdhihaki. Lakini inakuja ile siku iliyo kuu na ya ajabuwakati watakapolia sana kwa huzuni na kuomboleza, kwasababu Mwana-Kondoo yuaja kwa hasira kuuhukumuulimwengu. Hapo ndipo wenye haki watakapokuwa na wakatiwao wa raha pamoja na Bwana, kwa kuwa walio waovuwatachomwa moto na wenye haki watatembea juu ya majivuyao waingie kwenye ule utawala wa miaka elfu. Malaki 4:3,“Nanyi mtawakanyaga waovu; maana watakuwa majivu chiniya nyayo za miguu yenu katika siku ile nilifanyapo, asemaBwana wa majeshi.”

SAUTI KAMA YA BARAGUMU

Ufu. 1:10, “^Nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kamasauti ya baragumu.” Yohana alikuwa katika Roho, naalipokuwa katika Roho, aliiona ile siku iliyo kuu na nzuri sanaya Bwana Yesu na uweza Wake wote mtakatifu. Wakati ujaoulikuwa karibu kufunuliwa kwa kuwa Mungu alikuwaanataka sasa kumfundisha. Yohana hakusema ilikuwa nibaragumu. Ilikuwa ni kama baragumu. Sasa wakati baragumuinapopigwa ina jambo la dharura. Ni kama mpiga mbiu,mjumbe wa mfalme, akija kwa watu. Yeye hupiga baragumu.Ni wito wa dharura. Watu wanakusanyika kusikiliza. (Israelidaima walikusanywa kwa mlio wa baragumu.) Jambo fulani

Page 49: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 39

muhimu liko karibu kutukia. “Lisikilize.” Kwa hiyo sauti hiiilikuwa na wito ule ule wa dharura kama ilivyokuwa nao ilebaragumu. Ilikuwa dhahiri na yenye nguvu, ya kushtusha naya kuamsha. Loo! laiti tungaliisikia sauti ya Mungu kamabaragumu siku hii, kwa kuwa ni ‘Baragumu ya Injili’ikitangaza ‘Neno la Unabii’ kutufanya tuwe macho, na kuwatayari, kwa ajili ya yale yanayoujia ulimwengu.

AMRI YA KUANDIKA

Ufu. 1:11, “Ikisema, Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza nawa Mwisho: na, Haya uyaonayo, uyaandike katika chuo,ukayapeleke kwa hayo makanisa saba yaliyoko Asia: Efeso, naSmirna, na Pergamo, na Thiatira, na Sardi, na Filadelfia, naLaodikia.” Angalia hapa. Wa Kwanza na wa Mwisho, Alfa naOmega: yaani ni KILA kitu. Mungu mmoja na wa kweli. Sautina Neno la Mungu. Kitu halisi na cha kweli vimekaribia. Nijambo la fahari namna gani kuwa katika Roho. Jamani, kuwakatika uwepo wa Mungu na kusikia kutoka Kwake^“Hayauyaonayo, uyaandike katika chuo, ukayapeleke kwa hayomakanisa saba.” Ile sauti iliyotangaza Neno Lake katikaBustani ya Edeni na juu ya Mlima Sinai, sauti ambayo ilisikikapia katika utukufu mkuu wa Mlima wa Kugeuzwa Sura,ilikuwa inatangaza mara nyingine tena, na wakati huu kwayale makanisa saba pamoja na ufunuo mkamilifu na wamwisho wa Yesu Kristo.

“Andika hayo maono, ewe Yohana. Andika kumbukumbuzake kwa ajili ya nyakati zijazo, kwa sababu ni nabii za kweliambazo HAZINA BUDI kuja kutimia. Yaandike kishauyapeleke, yapate kujulikana.”

Yohana aliitambua hiyo sauti. Loo! utaitambua hiyo sautiwakati Yeye atakapoita kama wewe ni mmoja wa walioWake.

VINARA VYA TAA VYA DHAHABU

Ufu. 1:12, “Nikageuka niione ile sauti iliyosema nami. Nanilipogeuka, niliona vinara vya taa saba vya dhahabu.”Yohana hasemi ya kwamba aligeuka amwone yule ambayesauti yake aliisikia, lakini aligeuka aione ile sauti. Loo!napenda jambo hilo. Yeye aligeuka aione ile sauti. Sauti nahuyo mtu mmoja na ni kitu kile kile. Yesu ni lile NENO.Yohana 1:1-3, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, Naye Nenoalikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyomwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa Huyo;wala pasipo Yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.”Kama kweli unaweza kuliona Neno utakuwa unamwonaYesu.

Page 50: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

40 NYAKATI SABA ZA KANISA

Wakati Yohana alipogeuka aliviona vile vinara vya taasaba vya dhahabu. Kwa kweli vilikuwa vinara vya taa. Nakulingana na aya ya 20, hivyo ni yale makanisa saba: “vilevinara saba ulivyoona ni yale makanisa saba.” Kuwakilishamakanisa ingekuwa vigumu iwe ni mishumaa. Mshumaahuwaka kwa muda kidogo tu na kisha unakwisha. Unakufa.Haungekuwako tena. Lakini vinara vya taa vina sifa yakudumu isiyopatikana katika mishumaa.

Kama ungetaka kuona picha nzuri ya hiyo taa, somahabari zake katika Zekaria 4:1-6, “Na yule malaika aliyesemanami akanijia mara ya pili, akaniamsha, kama mtuaamshwavyo katika usingizi wake. Akaniuliza, Unaona nini?Nikasema, Nimeona, na tazama, kinara cha taa cha dhahabutupu, nacho kina bakuli juu yake, na taa zake saba juu yake,tena iko mirija saba ya kuleta mafuta, kwa taa zote zilizo juuyake. Na mizeituni miwili karibu yake, mmoja upande wakuume wa lile bakuli, na mmoja upande wake wa kushoto.Nami nikajibu, nikamwambia yule malaika aliyesema nami,nikasema, Ee Bwana wangu, vitu hivi ni nini? Ndipo malaikaaliyesema nami akajibu, akaniambia, Hujui vitu hivi ni nini?Nikasema, La, Bwana wangu. Akajibu akaniambia, akisema,Hili ndilo Neno la BWANA kwa Zerubabeli, kusema, Si kwauwezo, wala si kwa nguvu, bali ni kwa ‘Roho’ Yangu, asemaBwana wa Majeshi.” Hii hapa taa nyingine ya dhahabu tupu.Inawaka sana kwa sababu ina mafuta mengi ambayoinayapata kutoka kwa mizeituni miwili, ambayo inasimamapande zote mbili. Hiyo miti miwili inawakilisha Agano la Kalena Agano Jipya, na bila shaka yale mafuta ni mfano wa RohoMtakatifu, Ambaye peke Yake ndiye anayeweza kuwaleteawatu Nuru ya Mungu. Yule malaika aliyesema na Zekariaalikuwa ni kama anasema “haya uyaonayo yanamaanisha yakwamba kanisa haliwezi kufanikiwa kwa jambo lo lote kwauwezo na nguvu zake lenyewe, bali kwa Roho Mtakatifu.”

Sasa chunguza kinara hiki cha taa. Utaona ya kwambakina bakuli kubwa, ama birika, ambalo liko katikati ya ilemirija saba iliyotoka kwake. Bakuli hili limejazwa mafuta yazeituni ambayo yanatiririka kupitia kwenye tambi sabaambazo zimewekwa kwenye ile mirija saba. Ni mafuta yaleyale yanayowaka na kutoa nuru kwenye ncha ya ile mirijasaba. Nuru hii haikuzimika kamwe. Makuhani waliendelea tukumimina mafuta kwenye lile bakuli.

Hiyo taa iliwashwa kwa njia maalum. Kwanza, kuhanialichukua moto kutoka kwenye madhabahu takatifu ambayohapo awali iliangazwa kwa Moto wa Mungu. Aliwasha,kwanza kabisa, ile taa iliyokuwa imekaa juu ya lile bakuli.Kisha akawasha taa ya pili kutoka kwenye mwali wa taa yakwanza. Taa ya tatu ilipata moto wake kutoka kwenye taa yapili, kama vivyo hivyo na ya nne ilivyopokea kutoka kwa ya

Page 51: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 41

tatu, na kuendelea, mpaka taa zote saba zikawa zinawaka.Moto huu mtakatifu kutoka katika madhabahu, ukipitishwatoka taa hadi taa, ni mfano mzuri sana wa Roho Mtakatifukatika zile Nyakati saba za Kanisa. Kule kumwagwa kwakwanza kwa Pentekoste (ambapo kumwagwa huko kulitokamoja kwa moja kwa Yesu aliyeketi kwenye Kiti cha Rehema)kunalipa Kanisa Lake nguvu katika nyakati zote saba, nakuonyesha kikamilifu ya kwamba Yesu Kristo ni yeye yulejana, na leo, na hata milele, Mungu yule asiyebadilika katikatabia Yake na njia Zake.

Katika Yohana 15, Yesu alisema, “Mimi ni Mzabibu, ninyini matawi.” Yeye ndiye Shina la Mzabibu, ule unaotokakwenye mzizi wa asili kutoka katika mbegu ya asili iliyo nauhai ndani yake. Sasa mzabibu hauzai matunda; matawi ndiyoyanayozaa. Sasa angalia jambo hili: Unaweza kuchukua mtiwa jamii ya mbalungi kama vile mchungwa, na kuupandikizakwenye tawi la mzabibu, tawi la mlimao, tawi la mchenza, naaina nyingine za jamii hiyo, na matawi hayo yote yataota.Lakini matawi hayo yaliyopandikizwa hayatazaa machungwa.La bwana. Tawi la mlimao litazaa malimau, na tawi lamzabibu litazaa zabibu na kadhalika. Hata hivyo matawi hayoyatakuwa yakiishi kwa uhai wa huo mti. Lakini kama mti huoukipata kutoa tawi lingine lake lenyewe litakuwa tawi lamchungwa na litazaa machungwa. Kwa nini? Kwa sababu uhaiuliomo kwenye hilo tawi na uhai uliomo kwenye shina ni sawalakini sivyo ilivyokuwa kwa matawi yaliyopandikizwa. Hayomatawi yaliyopandikizwa yalikuwa yakitoa uhai wao kutokauhai wa aina nyingine, kutoka kwenye mizizi mingine, kutokakwenye mbegu zingine. Loo! yatazaa matunda kweli, lakinihayatazaa machungwa. Hayawezi kwa sababu si ya asili.

Hivyo ndivyo kanisa lilivyo. Mzabibu umepasuliwa namatawi yamepandikizwa. Wamepandikiza matawi yaKibatisti, matawi ya Kimethodisti, matawi ya Kipresbiteri, namatawi ya Kipentekoste. Na matawi hayo yanazaa tunda laKibatisti, Kimethodisti, Kipentekoste, na tunda laKipresbiteri. (Mbegu za Kimadhehebu ambao kutokana nahizo huzaa matunda yao.) Lakini kama mzabibu huo ukiwahikutoa tawi lingine lake wenyewe, tawi hilo litafanana kabisana huo mzabibu wenyewe. Litakuwa tawi kama lilelililozaliwa huko Pentekoste. Litanena kwa lugha, litatabiri,na kuwa na nguvu na ishara za Yesu Kristo aliyefufuka ndaniyake. Kwa nini? Kwa sababu linasitawi kwa chakula cha asilicha mzabibu wenyewe. Unaona, halikupandikizwa kwenyemzabibu; LILIZALIWA katika ule mzabibu. Wakati matawihayo mengine yalipopandikizwa, yote yaliyoweza kufanya nikuzaa matunda yao wenyewe kwa maana hayakuzaliwa namzabibu huo. Hayajui juu ya yale maisha ya asili na tunda laasili. Hayawezi kujua kwa kuwa hayakuzaliwa nao. Lakini

Page 52: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

42 NYAKATI SABA ZA KANISA

kama yangalizaliwa nao, uhai ule ule uliokuwa kwenye shinala asili (Yesu) ungepitia kwao na kudhihirishwa kupitiakwayo. Yohana 14: 12, “Amin, amin, nawaambieni, Yeyeaniaminiye Mimi, kazi nizifanyazo Mimi, yeye naye atazifanya;naam, na kubwa kuliko hizo atafanya; kwa kuwa mimi naendakwa Baba Yangu.”

Madhehebu ambayo yanaongozwa na mwanadamuhayawezi kuzaliwa na Mungu; kwa sababu ni Roho, SIMWANADAMU, anayetoa uzima.

Ni jambo la kusisimua jinsi gani kufikiria juu ya taa hizosaba zikifyonza uhai na nuru kutoka kwenye hazina ya hilobakuli kuu kwa sababu tambi zao zilikuwa zimetumbukizwamle. Kila mjumbe wa wakati wa kanisa anaonyeshwa hapa.Maisha yake yamewashwa moto na Roho Mtakatifu. Utambiwake (maisha) umetumbukizwa katika Kristo. Kwa kupitiautambi huo yeye anafyonza uzima halisi wa Kristo, na kwahuo anatoa nuru kwa ajili ya kanisa. Yeye anatoa nuru ya ainagani? Nuru ile ile iliyokuwa kwenye taa ya kwanzailiyowashwa. Na moja kwa moja katika zile nyakati mpakawakati huu wa sasa wa mjumbe wa siku ya mwisho maishayale yale na nuru ile ile inadhihirishwa na maishayaliyofichwa pamoja na Kristo katika Mungu.

Si kwamba tu tunaweza kunena hivyo juu ya walewajumbe, bali kila mwamini wa kweli anaonyeshwa waziwazihapa. Wote wanafyonza kwenye chemchemi ile ile. Wotewametumbukizwa kwenye bakuli lile lile. Wamekufa kwanafsi zao na maisha yao yamefichwa pamoja na Kristo katikaMungu. Wametiwa muhuri na Roho Mtakatifu. Efe. 4:30, “Walamsimhuzunishe yule Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwaYeye mlitiwa muhuri hata siku ya ukombozi.” Hakuna mtuanayeweza kuwatoa kutoka katika mkono Wake. Maisha yaohayawezi kuchezewa. Maisha yanayoonekana yanawaka motona kuangaza, yakitoa nuru na madhihirisho ya RohoMtakatifu. Maisha ya ndani, yasiyoonekana, yamefichwakatika Mungu na kulishwa kwa Neno la Bwana. Shetanihawezi kuwagusa. Hata mauti haiwezi kuwagusa, kwa kuwamauti imepoteza uchungu wake; kaburi limepoteza ushindiwake. Mungu na ashukuriwe, wao wana ushindi huu katikaBwana Yesu Kristo na kwa kupitia Kwake. Amina na amina.

SI KUHANI TENA

Ufu. 1:13, “Na katikati ya vile vinara nikaona mtu mfanowa Mwanadamu, amevaa vazi lililofika miguuni, na kufungwamshipi wa dhahabu matitini.”

Huyo hapo amesimama, Mmoja mfano wa Mwana waAdamu. Kama vile lulu ilivyo nzuri kwa kutengenezea pete,

Page 53: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 43

vivyo hivyo Yeye anatukuzwa katikati ya makanisa. Ni ileSiku ya Bwana; kwa maana Yohana anamwona amesimama, sikama kuhani, bali kama Hakimu ajaye. Ule mshipi wadhahabu haufungwi tena kiunoni ambapo kuhani hana budikuuvaa anapomtumikia Mungu katika Mahali PatakatifuSana, lakini sasa uko mabegani Mwake, kwa kuwa Yeye sasa sikuhani bali ni HAKIMU. Sasa ndipo Yohana 5:22 imetimia,“Tena Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwanahukumu yote.” Huduma Yake imekwisha tolewa. Ukuhaniumekwisha. Siku za unabii zimekwisha. Yeye anasimamaamefungwa mshipi kama HAKIMU.

UTUKUFU WENYE SIFA SABA WA UTU WAKE

Ufu. 1:14-16, “Kichwa Chake na nywele Zake zilikuwanyeupe kama sufu nyeupe, kama theluji; na macho Yake kamamwali wa moto. Na miguu Yake kama shaba iliyosuguliwasana, kana kwamba imesafishwa katika tanuru; na sauti Yakekama sauti ya maji mengi. Naye alikuwa na nyota saba katikamkono Wake wa kuume; na upanga mkali wenye makalikuwili, ukitoka katika kinywa Chake; na uso Wake kama jualiking’aa kwa nguvu zake.”

Jinsi kuonekana kwa Yesu kulivyomvutia na kumtia moyoYohana, ambaye alikuwa uhamishoni kwa ajili ya Neno, natazama, NENO Lililo Hai sasa linasimama mbele zake. Ni onolinalotia nuru namna gani, kwa maana kila wasifa wa sifaZake una maana. Ni ufunuo mzuri jinsi gani wa Utu Wakemtukufu.1. Nywele Zake Nyeupe Kama Sufu

Yohana kwanza anaona na kutaja weupe wa nywele Zake.Zilikuwa nyeupe, na zenye kung’aa kama theluji. Hii haikuwani kwa sababu ya umri Wake. Loo! la. Zile nywele nyeupe nazenye kung’aa sana hazionyeshi uzee bali ujuzi, kukomaa, nahekima. Yule wa Milele hazeeki. Wakati ni nini kwa Mungu?Wakati haumaanishi mengi kwa Mungu, lakini hekimainamaanisha mengi. Ni kama wakati ambapo Sulemanialipomwomba Mungu apewe hekima kuwahukumu watu waIsraeli. Sasa Yeye anakuja, Hakimu wa dunia nzima. Yeyeatavishwa taji ya hekima. Hicho ndicho zile nywele nyeupezinazong’aa sana zinachomaanisha. Angalia jambo hili katikaDan. 7:9-14, “Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, nammoja aliye Mzee wa siku ameketi, Ambaye mavazi Yakeyalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa Chakekama sufu safi: kiti Chake cha enzi kilikuwa kama miali yamoto, na gurudumu Zake moto uwakao. Mto kama wa motoukatoka ukapita mbele Zake: maelfu kumi mara elfuwakamtumikia, na elfu kumi mara elfu kumi wakasimamambele Zake: Hukumu ikawekwa, na vitabu vikafunuliwa.

Page 54: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

44 NYAKATI SABA ZA KANISA

Nikatazama wakati huo; kwa sababu ya sauti ya yale manenomakubwa iliyoyasema ile pembe; nalitazama hata mnyamayule akauawa, mwili wake ukaharibiwa, akatolewa ateketezwekwa moto. Na kwa habari za wale wanyama wengine,walinyang’anywa mamlaka yao: walakini maisha yaoyalidumishwa kwa wakati na majira. Nikaona katika njozi zausiku, na, tazama, Mmoja aliye mfano wa Mwanadamu akajapamoja na mawingu ya mbingu, akamkaribia Huyo Mzee waSiku, wakamleta karibu Naye. Naye akapewa mamlaka, nautukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, nalugha zote, wamtumikie: mamlaka Yake ni mamlaka ya milele,ambayo haitapita kamwe, na ufalme Wake ni ufalme usiowezakuangamizwa.” Hilo hapo. Danieli alimwona na nywele hizonyeupe. Yeye alikuwa ni Hakimu akivifungua vitabu nakuhukumu kwavyo. Danieli alimwona akija kwa mawingu.Hivyo ndivyo Yohana alivyoona hasa. Wote walimwona vilevile kabaisa. Walimwona Hakimu akiwa na mshipi Wake wahukumu juu ya mabega Yake, akisimama msafi na mtakatifu,amejaa hekima, amestahili kabisa kuuhukumu ulimwengukatika haki. Haleluya.

Hata ulimwengu unafahamu mfano huu, kwa maanakatika nyakati za kale hakimu angetokea na kuanzishamahakama, amevaa wigi nyeupe na nguo ndefu iliyomaanishamamlaka kamili (vazi refu lililotoka kichwani hadi miguuni)kutoa haki.2. Macho Yake Kama Moto

Wazia jambo hilo. Hayo macho ambayo wakati mmojayalififia kwa majonzi ya huzuni na huruma. Macho hayoyaliyolia kwa masikitiko kwenye kaburi la Lazaro. Machohayo ambayo hayakuona uovu wa wale wauajiwaliomsulibisha Yeye msalabani lakini akalia kwa huzuni,“Baba wasamehe.” Sasa macho hayo ni mwali wa moto, machoya Hakimu Ambaye atawapatiliza wale ambao walimkataa.

Katika hisia zote za kibinadamu alizodhihirisha sanakuliko zote wakati alipotokea kama Mwana wa Adamulilikuwa hili, Yeye alilia mara nyingi. Hata hivyo nyuma yakulia huko na huzuni hiyo kulikuwa kungali kuna Mungu.

Macho yayo hayo yaliona maono. Yaliangalia ndani katikamioyo ya wanadamu na kujua mawazo yao na njia zao zotembalimbali. Mungu alikuwa akiangalia kwa macho yawakayoya kibinadamu, Ambaye aliwaambia wale wasiojua vilealivyokuwa Yeye, “^Msiposadiki ya kuwa Mimi Ndiye,mtakufa katika dhambi zenu.” Yohana 8:24. “Kama sizitendikazi za Baba Yangu, msiniamini; lakini nikizitenda, (kazi zaBaba Yangu), ijapokuwa hamniamini Mimi, ziaminini zilekazi;^” Yohana 10:37, 38. Kama Yeremia wa zamani, Yeyealikuwa nabii aliaye, kwa maana watu hawakulipokea Neno laMungu nao waliuwekea kando ufunuo.

Page 55: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 45

Hayo macho yanayowaka moto ya Hakimu yanayowakakama moto hata sasa yanarekodi maisha ya wanadamu wote.Yakienda mbio huko na huko duniani kote, hakuna kituasichojua. Yeye anajua shauku za moyo na yale kila mmojaanayotaka kufanya. Hakuna jambo lililofichwa ambalohalitafunuliwa, kwa maana vitu vyote viko tupu machoni PakeYeye aliye na mambo yetu. Wazia jambo hilo, Yeye anajua hatasasa yale unayowazia.

Naam, Huyo hapo anasimama kama Hakimu mwenyemacho makali kama miali ya moto kutoa hukumu. Siku yarehema imekwisha. Loo! laiti watu wangalitubu na kuutafutauso Wake katika haki wakati kungali bado kuna wakati. Laitiwangalikifanya kifua Chake mto wa kulalia kabla ulimwenguhaujateketea katika moto.3. Miguu Ya Shaba

“Na miguu Yake kama shaba iliyosuguliwa sana, kanakwamba imesafishwa katika tanuru.” Shaba inajulikana kwaugumu wake wa ajabu. Hakuna kitu kinachojulikana ambachounaweza kuitia matiko kwake. Lakini shaba hii inayoelezamiguu Yake ingali ni ya ajabu zaidi kwa kuwa imestahimilimoto wa tanuru, jaribio ambalo hakuna kitu kinginekimelipitia. Na hilo ni kweli kabisa. Kwa kuwa shabainaonyesha Hukumu ya Kiungu: hukumu ambayo Munguametangaza na kutimiza. Yohana 3:14-19, “Na kama vile Musaalivyomwinua yule nyoka jangwani, vivyo hivyo Mwana waAdamu hana budi kuinuliwa: Ili kila mtu amwaminiyeasipotee, bali awe na uzima wa milele. Kwa maana jinsi hiiMungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee,ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wamilele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni iliauhukumu ulimwengu; bali ulimwengu uokolewe katika Yeye.Amwaminiye Yeye hahukumiwi: lakini yeye asiyeaminiamekwisha kuhukumiwa, kwa sababu hakuliamini Jina laMwana pekee wa Mungu. Na hii ndiyo hukumu, ya kuwa nuruimekuja ulimwenguni, na watu wakapenda giza kuliko nuru,kwa maana matendo yao yalikuwa maovu.” Hes. 21:8,9 “Bwanaakamwambia Musa, Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu yamti: na itakuwa, kila mtu aliyeumwa, aitazamapo, ataishi.Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hataikawa, nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka yashaba, akaishi.” Israeli walikuwa wamefanya dhambi. Dhambiilipaswa kuhukumiwa. Kwa hiyo Mungu akamwamuru Musakuweka nyoka ya shaba juu ya mti, naye aliyeiangaliaaliokolewa kutoka katika adhabu ya dhambi yake.

Ile nyoka ya shaba mtini ilikuwa mfano wa dhambi kutokaBustani ya Edeni, ambako yule nyoka alimdanganya Hawa,akamfanya kutenda dhambi. Shaba inanena juu ya hukumu,kama inavyoonekana katika ile madhabahu ya shaba ambapo

Page 56: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

46 NYAKATI SABA ZA KANISA

hukumu ya dhambi ilitimizwa katika dhabihu juu yamadhabahu. Wakati Mungu alipowahukumu Israeli kwa ajiliya dhambi zao katika siku za Eliya, alizuilia mvua na mbinguzilizowaka kama moto zikawa kama shaba. Sasa katika mfanohuu tunaona ya kwamba yule nyoka mtini anawakilishadhambi iliyohukumiwa tayari, kwa maana imefanywa kwashaba, ikionyesha hukumu ya Kiungu ilikuwa tayariimeiangukia dhambi. Ndipo ye yote aliyemtazama yule nyokamtini, akikubali maana yake, alifanywa mzima, kwa maana hiiilikuwa ni kazi ama wokovu wa Bwana.

Yule nyoka mtini ni mfano wa yale Yesu aliyokuja dunianikutimiza. Yeye alifanyika mwili kusudi azichukue hukumu zaMungu kwa ajili ya dhambi. Msingi wa ile madhabahu yadhabihu ulikuwa ni shaba tupu, ikionyesha Mwana-Kondooaliyechinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya dunia. Hukumuilikuwa tayari imewekwa juu Yake wakati hakukuweko nawenye dhambi bado. Wokovu ukiwa ni wa Bwana kabisa, Yeyealikanyaga shinikizo la ghadhabu ya hasira ya Mungu pekeyake. Mavazi Yake yalitiwa rangi nyekundu kwa damu YakeMwenyewe. Tanuru la moto uwakao la hukumu ya haki naghadhabu ya Mungu vilikuwa fungu Lake. Aliteseka, Mwenyehaki kwa wasio na haki. “Umestahili, Ee Mwana-Kondoo waMungu, kwa maana umetukomboa kwa damu YakoMwenyewe.” Alijeruhiwa kwa makosa yetu, alichubuliwa kwauovu wetu, adhabu ya amani yetu ilikuwa juu Yake, na kwakupigwa Kwake sisi tumepona. Bwana ameweka juu Yakemaovu yetu sisi sote. Aliteseka kuliko vile mtu ye yoteamewahi kuteseka. Hata kabla ya msalaba Yeye alikuwaametoa matone makubwa ya jasho kama damu kutoka mwiliniMwake kama vile katika kipeo cha maumivu ya mateso yajayodamu yenyewe ikatengana katika mishipa Yake. Luka 22:44,“Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki akazidi sana kuombana hari Yake ikawa kama matone ya damu yakidondokanchini.”

Lakini siku moja hiyo miguu ya shaba itasimama juu yanchi. Naye atakuwa Hakimu wa dunia nzima, naatawahukumu wanadamu katika haki na ukamilifu. Walahakutakuwako na kuepa hukumu hiyo. Hakuna kugeuza hakihiyo. Hakutakuwa na kuigeuza. Mwenye kudhulumu atazidikudhulumu; mwenye uchafu atazidi kuwa mchafu. Yeyeasiyebadilika hatabadilika wakati huo, kwa maana Yeyekamwe hajabadilika wala hatabadilika. Miguu hiyo ya shabaitamsagasaga adui. Itamwangamiza mpinga-Kristo, yulemnyama na ile sanamu na yote yale yaliyo maovu usoni Pake.Ataziangamiza taratibu za makanisa ambayo yamechukua JinaLake ili tu kupotosha uzuri wake na kuwasagasaga pamoja nampinga-Kristo. Waovu wote, makafiri, wasiosadiki kunaMungu, watu wa kisasa, wana mapinduzi, wote watakuwa

Page 57: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 47

pale. Mauti, kuzimu, na kaburi vitakuwa pale. Naam, vitaKwamaana Yeye atakapokuja, vitabu vitafunguliwa. Hapo ndipohata kanisa lenye uvuguvugu na wale wanawali watanowapumbavu watakapotokea. Yeye atawabagua kondoo nambuzi. Wakati atakapokuja Yeye atautwaa ufalme, kwa maanani Wake, na pamoja Naye watakuwepo maelfu mara melfukumi, Bibi-arusi Wake, anakayekuja kumtumikia. Utukufu!Loo! ni sasa hivi. Tubu kabla hujachelewa sana. Amka kutokakatika wafu na ukamtafute Mungu ujazwe na Roho Wake lasivyo utakosa uzima wa milele. Fanya hivyo sasa wakatikungali kuna wakati.4. Sauti Yake Kama Sauti Ya Maji Mengi

Sasa maji yanawakilisha nini? Sikiliza hilo katika Ufu.17:15, “^yale maji uliyoyaona,^ni jamaa, na makutano, namataifa, na lugha.” Sauti Yake ilikuwa kama sauti yamakutano yakinena. Ni nini? Ni ile hukumu. Kwa maana hizini sauti za makutano ya mashahidi, ambao kwa RohoMtakatifu katika nyakati zote wamemshuhudia Kristo nakuihubiri Injili Yake. Itakuwa ni sauti ya kila mtu ikisimamakatika hukumu dhidi ya mwenye dhambi ambaye hangekubalikuonywa. Sauti za wale wajumbe saba zitasikika kwa nguvuna kwa udhahiri. Hao wahubiri waaminifu waliohubiri nguvuza wokovu wa Yesu, waliohubiri ubatizo wa maji katika Jinala Yesu, waliohubiri kujazwa na nguvu za Roho Mtakatifu,waliosimama na Neno kuliko walivyosimama na maisha yaowenyewe; wote walikuwa ni sauti ya Yesu Kristo kwa RohoMtakatifu katika zile nyakati zote. Yohana 17:20, “Wala si haotu ninaowaombea, lakini na wale watakaoniamini kwa sababuya Neno lao.”

Umewahi kuwazia jinsi lilivyo jambo la kutisha sana kwamtu anayechukuliwa na mkondo wa maji bila msaadakuelekea kwenye maporomoko ya maji? Wazia sasa juu yamngurumo huo anapokaribia maangamizi yake ya hakika naya kweli. Vivyo hivyo ndivyo hasa ndivyo siku ya hukumuinavyokuja wakati mngurumo wa makutano ya sautiyatakapokuhukumu kwa kutojali kabla haijachelewa. Yatiliemaanani saa ii hii. Kwa maana wakati huu mawazo yakoyanarekodiwa mbinguni. Huko mawazo yako hunena kwasauti kuu kuliko maneno yako. Kama yule Mfarisayo aliyedaimengi sana kwa mdomo wake, lakini hamsikilizi Bwana, moyowake ukapotoka na ukawa mchafu hata ikawa amechelewasana, hata sasa huenda huu ukawa ndio wito wako wa mwishokulisikia Neno na kulipokea upate uzima wa milele. Utakuwaumechelewa sana utakapokaribia mngurumo wa zile sautinyingi za hukumu na maangamizi.

Lakini umewahi kuona jinsi sauti ya maji inavyowezakuwa tamu na ya kutuliza? Ninapenda kuvua samaki, nanapenda kupata mahali ambapo maji yananong’ona katika

Page 58: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

48 NYAKATI SABA ZA KANISA

viwimbi. Ninaweza kulala chali tu na kuyasikia yakinenaamani na furaha na uradhaa moyoni mwangu. Jinsi nilivyo nafuraha kutia nanga katika kimbilio la pumziko ambapo sautiya Bwana inanena amani, kama vile Neno la maji ya utenganoyalivyothibitisha. Jinsi tunavyopaswa kushukuru kuisikiasauti Yake ya upendo na uchungaji na uongozi na ulinzi. Nasiku moja tutaisikia hiyo sauti tamu ikinena, si katikahukumu, bali katika kutukaribisha sisi ambao dhambi zetuzimeondolewa kwa damu Yake, ambao maisha yetu yamejazwana Roho, na ambao mwenendo wetu ulikuwa katika Neno. Nikitu gani kingalikuwa cha thamani zaidi kuliko kusikia sautinyingi za kukaribisha na kuzungukwa na makutano haoambao wameamini hadi uzima wa milele? Loo! hakuna kitukizuri kama hicho. Ninaomba ya kwamba utaisikia sauti Yakewala usiufanye mgumu moyo wako, bali umpokee kamaMfalme wako.

Loo! laiti tu ungaliliona jambo hilo. Maji ndiyoyaliyouangamiza ulimwengu, lakini yalikuwa ni maji yale yaleambayo yaliyomwokoa Nuhu na pia yakaiokoa dunia yote kwaajili ya Nuhu. Sikiliza sauti Yake, sauti ya watumishi Wake,ikikuitia toba na uzima.5. Katika Mkono Wake Wa Kuume Kulikuwako Na NyotaSaba

“Naye alikuwa na nyota saba katika mkono Wake wakuume.” Sasa bila shaka tayari tunajua kutokana na aya ya 20zile nyota saba ni nini hasa. “Na siri ya zile nyota saba nimalaika (wajumbe) wa yale makanisa saba.” Sasahatungeweza kufanya kosa lo lote hapa kwa vyo vyote vile,kwa kuwa Yeye anatufasiria jambo hilo. Hizi nyota saba niwale wajumbe kwa zile nyakati saba za kanisa zinazofuatana.Hawatajwi kwa majina yao. Wao wameandikwa tu kama saba,mmoja kwa kila wakati. Tangu Wakati wa Efeso na kuendeleampaka kwenye Wakati huu wa Laodikia kila mjumbe aliletaujumbe wa kweli kwa watu, bila kukosea kuliweka hilo Nenola Mungu katika wakati huo huo tu wa kanisa. Kila mmojaalishikilia. Wao walikuwa thabiti katika uaminifu wao kwa ilenuru ya kwanza. Kwa kuwa kila wakati wa kanisa ulikuwaunawacha Mungu, mjumbe wake mwaminifu aliurudishawakati huo kwenye Neno. Nguvu yao ilikuwa inatoka kwaBwana la sivyo hawangeweza kamwe kuyastahimili mawimbi.Walikuwa salama wakiwa katika ulinzi Wake, kwa kuwahakuna kitu kingaliweza kuwapokonya kutoka katika mkonoWake, na wala hakuna kitu kingaliweza kuwatenganisha naupendo wa Mungu, iwe ni maradhi, hatari, uchi, njaa, upanga,uzima au mauti. Walikuwa wamejisalimisha kwa dhati nakulindwa na nguvu Zake zote. Wao hawakuyajali matesoyaliyowakabili. Uchungu ama dhihaka hazikuwa ni kitu chochote bali sababu ya kumpa Mungu utukufu ya kwamba

Page 59: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 49

walihesabiwa kwamba wanastahili kuteswa kwa ajili Yake. Nakatika shukrani kwa ajili ya wokovu Wake waliangaza kwanuru ya uhai Wake na wakadhihirisha mng’ao wa upendoWake, subira, upole, kiasi, unyenyekevu, uaminifu. Na Mungualiwaunga mkono kwa maajabu, ishara, na miujiza. Watuwaliwasema kwamba wao ni washupavu wa dini, nawatakatifu wanaojifingirisha. Walishutumiwa na madhehebuna kudhihakiwa, bali walilishikilia Neno kwa uaminifu.

Sasa si vigumu kusimama na kuwa mwaminifu kwa kanuniya imani. Ni rahisi, kwa maana ibilisi yuko nyuma ya hayoyote. Lakini ni jambo lingine kuwa mwaminifu kwa Neno laMungu na kurudi kwenye yale ambayo Neno lilizaa hapo awalibaada ya Pentekoste ni jambo lingine.

Si muda mrefu uliopita mtu fulani aliniambia ya kwambakanisa Katoliki la Kirumi halina budi kuwa ndilo kanisa lakweli kwa kuwa limeshikilia kwa uaminifu yale linayoaminikwa miaka hii yote, na likaendelea kukua bila kubadilika.Hivyo sivyo ilivyo kabisa. Kanisa lo lote linaloungwa mkonona serikali, na kanuni zake za imani ambazo si Neno kamwe,na bila ya ya kuwa na huduma iliyodhihirishwa ya kumwashaibilisi, hakika lingeweza kuendelea. Hicho sicho kilichokuwakipimo. Lakini unapowazia juu ya kundi lile dogo ambalowashiriki wake walikatwa kwa misumeno, wakalishwa simba,wakateswa na kufukuzwa toka mahali hadi mahali na hatahivyo wakadumu waaminifu kwa Neno_sasa bila shaka huyohana budi kuwa ni Mungu. Jinsi vile walivyopona katika vitavyao vya imani na wakazidi kusonga mbele: HUO ndiomuujiza.

Na faraja hii si kwa ajili ya wale wajumbe wa nyakati sabaza kanisa peke yao. Kila mwamini wa kweli yumo katikamkono wa Mungu na anaweza kunywa katika upendo Wake nanguvu Zake, na kupata fadhili zote za yale yote Mungu aliyokwa mwamini. Yale Mungu anayompa mjumbe huyo, na jinsianavyombariki na kumtumia hayo mjumbe, ni mfano kwawaamini wote juu ya wema Wake na malezi Yake kwawashiriki WOTE wa mwili Wake. Amina.

6. Upanga Wenye Makali Kuwili“Na upanga mkali wenye makali kuwili ukitoka katika

kinywa Chake.” Katika Waebrania 4:12, “Maana Neno laMungu li hai, tena lina nguvu tena lina ukali kuliko upangauwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanyanafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake tena lijepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.” Katikakinywa Chake kulitoka upanga mkali wenye makali kuwiliambao ni NENO LA MUNGU. Ufu. 19:11-16, “Kisha nikaonambingu zimefunuka, na tazama, farasi mweupe; na Yeyealiyempanda linaitwa Mwaminifu na Wa-Kweli, Naye kwa

Page 60: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

50 NYAKATI SABA ZA KANISA

haki ahukumu na kufanya vita. Na macho Yake yalikuwakama mwali wa moto, na juu ya kichwa Chake vilemba vingi;naye ana jina lililoandikwa, asilolijua mtu, ila YeyeMwenyewe. Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu:na Jina Lake aitwa Neno la Mungu. Na majeshi yaliyombinguni yakamfuata wamepanda farasi weupe, na kuvikwakitani nzuri, nyeupe, na safi. Na upanga mkali hutokakinywani Mwake, ili awapige mataifa kwa huo: Nayeatawachunga kwa fimbo ya chuma: Naye anakanyagashinikizo la mvinyo ya ghadhabu ya hasira ya MunguMwenyezi. Naye ana jina limeandikwa katika vazi Lake napaja Lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WAMABWANA.”

Yohana 1:48, “Nathanaeli akamwambia, Umepatajekunitambua? Yesu akajibu akamwambia, Kabla Filipohajakuita, ulipokuwapo chini ya mtini, nilikuona.” Hilo hapo.Hapo atakapokuja, Neno hilo litakuja kinyume cha mataifayote na watu wote. Wala hakuna atakayeweza kulipinga.Litafunua kilichokuwa katika kila moyo kama alivyofanya naNathanaeli. Neno la Mungu litaonyesha ni nani aliyetendamapenzi ya Mungu na ni nani hakutenda. Litafunua kazi zasiri za kila mtu na ni kwa nini alizitenda. Litagawanyavipande-vipande. Hivyo ndivyo linavyosema katika Rum. 2:3,“Wewe binadamu, uwahukumuye wale wafanyao hayo, nakutenda yayo hayo mwenyewe, je! wadhani ya kwambautajiepusha na hukumu ya Mungu?” Halafu inaendelea kusemajinsi Mungu atakavyowahukumu wanadamu. Hili hapa katikaaya ya 5 hadi ya 17. Moyo mgumu usiotubu utahukumiwa. Kazizitahukumiwa. Makusudi yatahukumiwa. Hakutakuwako naupendeleo wo wote mbele za Mungu; lakini wotewatahukumiwa kwa Neno hilo, hakuna atakayelieupuka. Waleambao walisikia na hawangesikiliza watahukumiwa kwa yalewaliyosikia. Wale waliolitumainia wakisema wanaliamini, balihawakulitimiza, watahukumiwa. Kila siri itatoka hadharanina kutangazwa kutoka juu ya nyumba. Loo! kweli tutafahamuhistoria wakati huo. Hakutakuweko na siri itakayosaliakutoka katika nyakati zote.

Lakini je! unajua ya kwamba Yeye anazifunua siri zamioyo ya wanaume na wanawake katika kizazi hikitunachoishi? Ni nani mwingine anayeweza kuzifunua siri zamoyo ila Neno, Mwenyewe? Ebr. 4:12, “Maana Neno la Munguli hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwaowote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi naroho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake, tena li jepesikuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.” Ni Neno.Linatenda yale liliyotumwa kutenda, kwa kuwa Hilo (Neno)limejaa nguvu. Ni Roho yule yule aliyekuwa katika Yesu(Neno) ambaye yuko tena katika kanisa katika wakati huu wa

Page 61: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 51

mwisho kama ishara ya mwisho akijaribu kuwaondoa watuwatoke kwenye hukumu, kwa maana wale wanaomkataa Yeye(Neno) sasa tayari wamekuja hukumuni, wakimsulibisha upya.Ebr. 6:6, “Wakaanguka baada ya hayo, haiwezekanikuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibishaMwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao, na kumfedhehikwa dhahiri.”

Sasa Paulo alisema ya kwamba Neno lilikuja katikanguvu na katika sauti. Neno lililohubiriwa kwelililijidhihirisha lenyewe. Kama upanga uwakao na kukataliliingia katika dhamira za watu, na kama kisu cha mpasuajililikata likaondoa magonjwa na kuwafungulia wafungwa.Kila mahali waamini hawa wa mwanzoni walipoenda,“Walienda wakihubiri Injili (Neno) na Mungu alithibitishaNeno hilo kwa ishara zilizofuata.” Wagonjwa waliponywa,pepo walitolewa, na walinena kwa lugha mpya. Hilo lilikuwaNeno katika matendo. Neno hilo halijashindwa katika vinywavya Wakristo wanaoamini. Na katika wakati huu wa mwisholiko hapa likiwa na nguvu zaidi na likiwa kuu zaidi kulikolilivyowahi kuwa katika bibi-arusi Neno wa kweli. Loo! enyikundi dogo, enyi kusanyiko dogo, shikilieni Neno, jazakinywa chako na moyo kwalo, na siku moja Mungu atakupaule ufalme.

7. Uso Wake Kama Jua

“Na uso Wake kama jua liking’aa kwa nguvu zake.”

Mathayo 17:1-13, “Na baada ya siku sita Yesu akawatwaaPetro, na Yakobo, na Yohana nduguye, akawaleta juu yamlima mrefu faraghani. Akageuka sura Yake mbele yao: usoWake ukang’aa kama jua, mavazi Yake yakawa meupe kamanuru. Na, tazama, wakatokewa na Musa na Eliyawakizungumza Naye. Petro akajibu, akamwambia Yesu,Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa: ukitaka, na tufanye hapavibanda vitatu; kimoja Chako Wewe, na kimoja cha Musa nakimoja cha Eliya. Alipokuwa katika kusema, tazama, wingujeupe likawatia uvuli: na tazama sauti ikatoka katika lilewingu, ikasema, Huyu ni Mwanangu mpendwa Wangu,ninayependezwa Naye; msikieni Yeye. Na wale wanafunziwaliposikia, walianguka kifulifuli, wakaogopa sana. Yesuakaja akawagusa, akasema, Inukeni, wala msiogope. Wakainuamacho yao, wasione mtu, ila Yesu peke Yake. Na walipokuwawakishuka mlimani, Yesu aliwaagiza, akasema, Msimwambiemtu ye yote habari ya ono hilo, hata Mwana wa Adamuatakapofufuka katika wafu. Wanafunzi Wake wakamwuliza,wakisema, Basi kwa nini waandishi hunena ya kwambaimempasa Eliya kuja kwanza? Naye Yesu akajibuakawaambia, Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengenezayote. Ila nawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja,

Page 62: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

52 NYAKATI SABA ZA KANISA

wasimtambue, lakini wakamtenda yote waliyotaka. Vivyohivyo, Mwana wa Adamu Naye yuaenda kuteswa kwao. Ndipowale wanafunzi walipofahamu ya kuwa amesema nao habariza Yohana Mbatizaji.”

Sasa katika Mathayo 16:28, ikitangulia Mathayo 17:1-13,Yesu alikuwa amesema, “^Pana watu katika hawa,wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti kabisa, hatawatakapomwona Mwana wa Adamu akija katika ufalmeWake.” Na wale mitume watatu kweli waliona jambohilo_utaratibu wa kuja Kwake mara ya pili. Walimwonaamegeuka sura pale juu ya mlima. Mavazi Yake yakawa meupesana na uso Wake uling’aa kama jua katika nguvu Zake. Napale alipotokea, walisimama Musa na Eliya upande huu naupande huu. Hivyo ndivyo hasa anavyokuja tena. Hakika Eliyaatakuja kwanza na kuigeuza mioyo ya watoto (bibi-arusi)kurudi kwa baba zao wa Fundisho la Neno la baba zaoMitume. Malaki 4:5,6, “Angalieni, nitawapelekea Eliya nabiikabla haijaja siku ile ya Bwana iliyo kuu na kuogofya: nayeataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo yawatoto iwaelekee baba zao, ili nisije nikaipiga dunia kwalaana.”

Israeli tayari ni taifa. Yuko imara akiwa na majeshi yake,jeshi la majini, idara yake ya posta, bendera yake, na yote yaleyanayohusu mambo ya taifa. Lakini bado hakuna budikutimizwa kwa Maandiko yanayosema, “^ama nchi yawezakuzaliwa mara moja?^” Isa. 66:8. Siku hiyo inakuja hivikaribuni. Mtini umechipua majani yake. Waisraeliwanamngojea Masihi. Wao wanamtarajia na matarajio yaoyako tayari kutimizwa. Israeli itazaliwa mara ya pili Kiroho,kwa maana Nuru yake na Uhai wake viko karibu kufunuliwakwake.

Katika Ufu. 21:23, “Na mji ule hauhitaji jua, wala mwezi,kuuangaza: kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taayake ni Mwana-Kondoo.” Huu ni ule Yerusalemu Mpya.Mwana-Kondoo atakuwa katika mji huo, na kwa sababu yauwepo Wake, hakutahitajika nuru: Jua halitachomoza nakuwaka kwake, kwa kuwa Yeye ndiye Jua na Nuru yake, YeyeMwenyewe. Mataifa yatakayoingia mle watatembea katikanuru Yake. Je! wewe hufurahi ya kwamba siku hiyoimetufikia? Yohana aliiona siku hiyo ikija. Naam, Bwana Yesu,njoo upesi!

Malaki 4:1-3, “Kwa maana, angalieni, siku ile inakuja,inawaka kama tanuru: na watu wote wenye kiburi, naam, naowote watendao uovu, watakuwa makapi: na siku ile inayokujaitawateketeza, asema Bwana wa Majeshi, hata haitawaachiashina wala tawi. Lakini kwenu ninyi mnaolicha Jina LanguJua la Haki litawazukia, lenye kuponya katika mbawa Zake;nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza kama ndama wa

Page 63: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 53

mazizini. Nanyi mtawakanyaga waovu; maana watakuwamajivu chini ya nyayo za miguu yenu katika siku ileniifanyayo, asema Bwana wa Majeshi.” Hilo hapo tena. JUAliking’aa katika nguvu zake zote. Loo! uweza wa Mwana waMungu uking’aa katikati ya vile vinara vya taa saba vyadhahabu. Huyo hapo amesimama, yule Hakimu, Yeyealiyeteseka na kutufia. Yeye alistahimili hasira ya hukumu yaKiungu juu Yake Mwenyewe. Yeye anakanyaga shinikizo lamvinyo ya ghadhabu ya hasira ya Mungu peke Yake. Kamatulivyokwisha kusema, kwa mwenye dhambi sauti Yake nikama sauti ya maporomoko ya maji ama mawimbi meupeyakitwanga katika mawimbi ya mauti kwenye ufuko wenyemiamba. Lakini kwa mtakatifu, sauti Yake ni kama sauti yakijito kinachoimba kwa utamu unapolala starehe, umeridhikakatika Kristo. Akiangaza juu yetu kwa miali Yake ya upendoya joto, Yeye anasema, “Usiogope, Mimi ndimi Niliyekuwako,Niliyeko, Ninayekuja; Mimi ni Mwenyezi. Hakuna mwingineila Mimi. Mimi ni Alfa na Omega, ni YOTE.” Yeye ndiye Ua laUwandani, Nyota Yenye Kung’aa ya Asubuhi. Yeye ndiyemzuri sana kuliko elfu kumi nafsini mwangu. Naam, siku hiyokuu iko karibu kupambazuka na Jua la Haki litazuka lenyekuponya katika mbawa Zake.

KRISTO ALIYE MSHINDI

Ufu. 1:17,18, “Nami nilipomwona, nalianguka miguuniPake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono Wake wa kuumejuu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa Kwanza na waMwisho, na aliye hai; nami nilikuwa nimekufa, na tazama, nihai hata milele na milele, Amina; Nami ninazo funguo zamauti, na za kuzimu.”

Hakuna mwanadamu angaliweza kustahimili nguvu zoteza ono lile. Nguvu Zake zikiwa zimekwisha kabisa, Yohanaalianguka miguuni Pake kama aliyekufa. Lakini mkono waBwana katika upendo ukamgusa, na sauti ya baraka ikasema,“Usiwe na hofu. Usiogope. Mimi ni wa Kwanza na wa Mwisho.Mimi Ndimi Aliye hai, Nami nalikuwa nimekufa; na, tazama nihai hata milele hata na milele.” Kuna kitu gani cha kuogopa?Ile hukumu iliyomshukia pale msalabani, kaburini, na wakatialiposhuka, ilikuwa ni kwa ajili yetu. Yeye alichukua uchunguwote wa jeraha la dhambi na kwa hiyo sasa hakuna hukumuya adhabu kwa hao walio katika Kristo Yesu. Unaona kwahakika “Wakili” wetu ndiye “Hakimu”. Yeye ni “Wakili” na“Hakimu” pia. Kama Hakimu “kesi imetatuliwa”_imekwisha.Kwa hiyo sasa basi hakuna hukumu ya dhambi. Kwa ninikanisa liogope? Ni ahadi gani Yeye amepata kushindwakuidhihirisha mbele zetu? Kwa nini liogope adhabu au mauti?Yote yameshindwa. Huyu hapa mshindi mwenye nguvu. Yupo

Page 64: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

54 NYAKATI SABA ZA KANISA

hapa Mmoja Ambaye ameshinda ulimwengu wa mamboyanayoonekana na yasiyoonekana. Si kama Alekizada,aliyeushinda ulimwengu akiwa na umri wa miaka thelathinina mitatu na hakujua njia nyingine yo yote ya kwendaakashinde zaidi, kwa hiyo akafa akiwa mateka wa dhambi namaisha ya uasherati. Si kama Napolioni, aliyeshinda Ulayanzima lakini mwishowe akashindwa hapo Waterloo nakuhamishwa akapelekwa Elba, akajikuta tu ameshindwa.Lakini hakuna kitu kiliweza kumshinda Kristo. Yeyealiyeshuka sasa amepaa juu ya yote, na amepewa Jina lipitalokila jina. Naam, Yeye alishinda kifo, kuzimu, na kaburi, nayeana funguo zake. Kile anachofungulia kimefunguliwa, na kileanachofunga kimefungwa. Hakuna kubadilishwa kwa jambohilo. Hakukuwa na mshindi kabla Yake wala hakunamwingine zaidi ya Yeye. Yeye peke Yake ndiye Mwokozi,Mkombozi. Yeye ndiye Mungu PEKE Yake: na “Bwana YesuKristo” ndilo Jina Lake.

“Usiogope, Yohana. Msiogope, enyi kundi dogo. Yote niliyoMimi, ninyi ni warithi wake. Nguvu Zangu zote ni zenu.Uwezo Wangu ni wenu ninaposimama katikati yenu. Sikujakuleta hofu na kushindwa, bali upendo na ujasiri na uwezo.Nimepewa mamlaka yote nanyi mnaweza kuitumia. Ninyineneni Neno Nami nitalitimiza. Hilo ni agano Langu walahaliwezi kushindwa kamwe.”

ZILE NYOTA SABA NA VINARA VYA TAA

Ufu. 1:20, “Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkonoWangu wa kuume, na ya vile vinara saba vya dhahabu. Zilenyota sba ni malaika (wajumbe) wa yale makanisa saba: navile vinara saba unavyoviona ni makanisa saba.”

Tayari tumegundua ukweli wa siri hizi mbili. Loo!hatujafunua hawa wajumbe saba walikuwa ni akina nani,lakini kwa msaada wa Mungu tutafunua na siri hiyoitatimizwa. Zile nyakati saba tunazijua. Zimeorodheshwakatika Neno, na tutashughulikia kila mmoja kusudi tufikiewakati huu wa mwisho tunaoishi.

Lakini katika kutupia jicho la kufunga sura hii,tunamwona Yeye anaposimama pale katikati ya vinara vya taasaba vya dhahabu ameshika nyota saba katika mkono Wakewa kuume. Loo! ni jambo la kusisimua moyo sana kumwonaYeye amesimama pale katika Uungu Wake Mkuu. Yeye ndiyeHakimu, Kuhani, Mfalme, Tai, Mwana-Kondoo, Simba, Alfa,Omega, Mwanzo na Mwisho, Baba, Mwana, Roho Mtakatifu,Yeye Aliyekuwako, Aliyeko, Anayekuja, Mwenyezi, YOTEKATIKA YOTE. Huyo hapo, Mwanzilishi na MwenyeKumaliza. Mwana-Kondoo Aliyestahiliye! Yeye alithibitishustahilifu Wake kati Yeye Mwenyewe alipoununua wokovu

Page 65: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

ONO LA PATMO 55

wetu. Sasa Yeye anasimama katika nguvu Zake zote nautukufu Wake wote na vitu vyote vimewekwa Kwake kamaHakimu.

Naam, Huyo hapo amesimama katikati ya vinara vya taa,akiwa na zile nyota mkononi Mwake. Ni usiku, kwa sababuhuo ndio wakati tunapotumia taa kwa ajili ya nuru, na hapondipo nyota zinapoonekana zikiwaka na kurudisha nuru yajua. Na ni usiku. Kanisa linatembea kwa imani gizani. BwanaWake aliondoka hapa duniani lakini Roho Mtakatifu angalianaangaza kanisani, akitoa nuru kwa ulimwengu huuuliolaaniwa kwa dhambi. Na nyota hizo zinarudisha nuruYake pia. Nuru pekee zilizo nayo ni nuru Yake. Ni giza jinsigani_ni baridi kiroho jinsi gani. Hata hivyo wakati anapoingiakati kuna nuru na kuna joto, nalo kanisa limepewa nguvu nakupitia Kwake linatenda kazi alizotenda.

Loo! laiti tungemwona kidogo tu kama vile Yohanaalivyofanya. Tunapaswa kuwa ni watu wa aina gani,tukisimama mbele Yake kwenye siku hiyo!

Kama tayari hujamtolea Yeye maisha yako, nakuombaumpe Mungu moyo wako wakati huu, na upige magoti papohapo ulipo, na uombe msamaha wa dhambi zako, na uyatoemaisha yako Kwake. Ndipo tutajaribu kuzikaribia zile NyakatiSaba za Kanisa pamoja; na tunapofanya hivyo ninaomba yakwamba Mungu atamsaidia mtumishi huyu asiyestahilikulifunua Neno Lake kwako.

Page 66: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 67: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 57

SURA YA TATU

WAKATI WA KANISA LA EFESO

Utangulizi Wa Nyakati Za KanisaKusudi upate kufahamu kikamilifu ujumbe wa Nyakati za

Kanisa ningetaka kuelezea kanuni fulani mbalimbalizilizoniwezesha kuyapata majina ya wale wajumbe, mudazilizodumu zile nyakati, na mambo mengine yanayohusikanazo.

Kwa kuwa somo hili lilipaswa kuwa zito kuliko yoteniliyopata kuchukua hadi wakati huu, nilimwomba Mungukwa siku nyingi anipe upako wa Roho Mtakatifu. Na hapo tundipo niliposoma Maandiko juu ya Nyakati za Kanisa nakuchunguza kwa makini sana historia kadha wa kadha zakanisa zilizoandikwa na wanahistoria nilioweza kupatawasiopendelea kabisa upande wo wote. Mungu hakuachakuyajibu maombi yangu, kwa maana wakati nilipokuwanikisoma Neno na historia kadha wa kadha, niliwezeshwa naRoho Mtakatifu kuona utaratibu ukijifunua ambao ulidumukatika zile karne na hata kufikia moja kwa moja katika sikuhii ya leo, ya mwisho.

Ufunguo alionipa Bwana ambapo niliweza kuamuamjumbe wa kila wakati ni wa Kimaandiko kabisa. Kwa kweliunaweza kuitwa Kipengele Muhimu Sana cha Biblia. Ni uleufunuo ya kwamba Mungu habadiliki hata kidogo, na yakwamba njia Zake hazibadiliki kama jinsi tu Yeyeasivyobadilika. Katika Ebr. 13:8 inasema, “Yesu Kristo yeyeyule jana, na leo, na hata milele”. Mhu. 3:14,15, “Najua yakwamba, kila kazi aifanyayo Mungu, itadumu milele:haiwezekani kuizidisha kitu, wala kuipunguza kitu: nayoMungu ameifanya, ili watu wamche Yeye. Yale yaliyokoyamekuwako; na hayo yatakayokuwako yamekwisha kuwako;na Mungu huyatafuta tena mambo yale yaliyopita.” Hili hapa:Mungu asiyebadilika akiwa na njia zisizobadilika. Yalealiyofanya mara ya KWANZA Yeye hana budi kuendeleakuyafanya mpaka yatakapofanywa kwa mara ya MWISHO.Hakutakuweko na badiliko. Litumie jambo hilo kwenyeNyakati za Kanisa. Aina ya mtu ambaye Mungu alimchaguakwa wakati wa kwanza, na jinsi ambavyo Mungualijidhihirisha katika huduma ya mtu huyo, itakuwa ndiomfano kwa ajili ya nyakati nyingine zote. Yale Mungualiyofanya katika wakati wa kwanza wa kanisa ndiyoanayotaka kufanya katika nyakati nyingine zote.

Sasa tunajua kabisa kutokana na Neno ambalo liliandikwana Roho Mtakatifu jinsi kanisa la kwanza, la asili,

Page 68: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

58 NYAKATI SABA ZA KANISA

lilivyoanzishwa na jinsi Mungu alivyojidhihirisha Mwenyewendani Yake. Neno haliwezi kubadilika wala kubadilishwa kwasababu Neno ni Mungu. Yohana 1:1, “Hapo mwanzokulikuwako Neno, Naye Neno alikuwako kwa Mungu, NayeNeno alikuwa Mungu.” Kubadilisha Neno lake moja, kamaalivyofanya Hawa, kunaleta dhambi na mauti, kama vile piainenwavyo katika Ufu. 22: 18-19, “^Mtu ye yote akiyaongeza,Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katikakitabu hiki: Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno yaunabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yakekatika kile Kitabu cha Uzima, na katika ule mji mtakatifu, nakutoka katika mambo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.”Hivyo basi, vile kanisa lilivyokuwa wakati wa Pentekostendicho kipimo. Hicho ndicho kielelezo. Hakuna kielelezokingine. Haidhuru wasomi wanasema nini, MunguHAJABADILISHA kielelezo hicho. Yale Mungu aliyofanyawakati wa Pentekoste hana budi kuendelea kuyafanya mpakanyakati za kanisa zitakapoisha.

Ingawa wasomi wanaweza kukwambia wakati wa mitumeumekwisha, usiamini jambo hilo. Tamshi hilo ni kosa kwasababu mbili. Kwanza kabisa, ni makosa kudhania ya kwambahakuna mitume tena, ati kwa sababu tu wale wa kwanza kumina wawili wamekufa. Mtume maana yake ni ‘yeye aliyetumwa’;na kuna wengi waliotumwa leo, lakini wanaitwa wamishenari.Mradi tu watu wanaitwa na kutumwa wakiwa na Neno laUzima wakati wa mitume upo unaendelea. Pili, waowanazungumzia siku za ‘nguvu za Roho Mtakatifuzilizodhihirishwa’ kuwa kwamba zimekwisha kwa kuwa Bibliaimekamilishwa. Huo ni uongo. Hakuna hata Andiko mojalinalodokeza jambo hilo, lakini mengi bila shaka kabisayanasema vinginevyo. Hili hapa thibitisho letu ya kwambamashtaka hayo mawili ni ya uongo. Matendo 2:38,39. “BasiPetro akawaambia, Tubuni, mkabatizwe kila mmoja wenu kwaJina Lake Yesu Kristo mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyimtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu. Kwa kuwa ahadi hii nikwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote waliombali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetuwamjie.” Ahadi za nguvu ambazo mitume walipewa wakati waPentekoste ni “kwa ajili yenu (Wayahudi), na kwa watotowenu (Wayahudi), na kwa watu wote walio mbali (Mataifa), nakwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie(Wayahudi na Mataifa pia)”. Mpaka atakapoacha kuita,ujumbe wa Pentekoste na nguvu zake HAVITAKOMA.

Yale kanisa liliyokuwa nayo wakati wa Pentekoste ni hakiyake isiyoweza kuondolewa. Mwanzoni, lilikuwa na Neno safila Mungu. Lilikuwa na nguvu za Roho zilizodhihirishwa katikaishara mbalimbali na maajabu na karama za Roho Mtakatifu.Ebr. 2:1-4, “Kwa hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi hayo

Page 69: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 59

yaliyosikiwa, tusije wakati wo wote tukayakosa. Kwa maanaikiwa lile Neno lililonenwa na malaika lilikuwa imara, na kilakosa na uasi (kwa Neno) ulipata ujira wa haki; Sisi je!tutapataje kupona, tusipojali waokovu mkuu namna hii;ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kisha ukathibitika kwetuna wale waliomsikia Yeye; Mungu naye akishuhudia pamojanao, kwa ishara na maajabu, na nguvu za namna nyingi, navipawa vya Roho Mtakatifu, kama alivyopenda Mwenyewe?”Kanisa lile la mwanzoni halikuongozwa na wanadamu.Liliongozwa na Roho Mtakatifu. Halikuwa kubwa sana.Lilichukiwa na kudharauliwa. Lilikandamizwa. Liliteswa hatakufa. Lakini lilikuwa aminifu kwa Mungu. Lilidumu na kilekielelezo cha asili cha Neno.

Sasa usikosee hapa. Wakati niliposema ya kwamba Munguhabadiliki kamwe wala njia Zake hazibadiliki, sikusema yakwamba kanisa na wajumbe wake hawangeweza kubadilika.Kanisa si Mungu. Kwa hiyo linaweza kubadilika. Lakininililosema ni kwamba kwa sababu ya Mungu asiyebadilika nanjia zisizobadilika tunaweza tukarudi nyuma huko mwanzo nakuona tendo la kwanza na lililo kamilifu la Mungu halafutuamue kwa kipimo hicho. Hivyo ndivyo inavyofanyika.Kanisa la Kweli daima litajaribu kuwa kama lile la asili lawakati wa Pentekoste. Kanisa la Kweli la siku hizi litajaribukulingana na lile la kwanza la mwanzoni. Na wajumbe wamakanisa, wakiwa na Roho yule yule wa Mungu ndani yao,watajaribu kulingana na mtume Paulo. Hawatakuwa kamayeye kabisa; lakini wajumbe wa kweli watakuwa ni walewanaomkaribia kabisa Paulo, aliyekuwa hakufungwa na mtuye yote, aliyejitolea kabisa kwa Mungu, na kuhubiri Neno laMungu peke yake tu, na kumdhihirisha Roho Mtakatifu katikanguvu. Hakuna mwingine angalifaa. Huna budi kuanzia na lilela mwanzoni. Kama vile mbegu izaavyo kwa jinsi yake, Kanisala Kweli daima litakuwa ni lile linalojaribu kufuata nyayo zawaanzilishi wake wa Pentekoste na wajumbe wakewatamfuata mtume Paulo, yule mjumbe wa kwanza wa wakatiwa kwanza wa kanisa. Ni rahisi jinsi hiyo, na ni zuri namnahiyo.

Nikiwa na ufunguo huu, ulio rahisi sana, hata hivyo uliomzuri sana, niliweza, kwa msaada wa Roho Mtakatifu,kukisoma Kitabu cha Ufunuo na historia kadha wa kadha nakupata humo kila wakati, kumpata kila mjumbe, kupata mudauliodumu kila wakati, na kazi kila mmoja aliyotenda katikakusudi la Mungu tangu Pentekoste hata ukamilifu wa nyakatihizo.

Kwa sababu sasa unafahamu jinsi tunavyoamua Kanisa laKweli lilivyokuwa (jinsi lilivyokuwa wakati wa Pentekoste najinsi lilivyokuwa katika nyakati za mitume kamailivyoandikwa katika Neno katika Kitabu cha Matendo)

Page 70: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

60 NYAKATI SABA ZA KANISA

tunaweza kutumia kanuni ile ile kutuonyesha jinsi kanisalilivyoshindwa. Kosa la msingi, ama makosa, yaliyopenyezakatika kanisa la kwanza na yakafunuliwa katika Kitabu chaMatendo na Ufunuo na pia katika zile Nyaraka yatazidikudhihirishwa dhahiri zaidi na zaidi katika kila wakatiunaofuata, mpaka tutakapofikia kuondolewa kabisa kwa ilekweli katika wakati wa mwisho, au Wakati wa Laodikia.

Sasa kutokana na ufunguo huu wa kwanza tuliopokeakutoka kwa Bwana, inakuja kweli nyingine nzuri sana ambayoinakaribia kabisa hiyo. Nilisema ya kwamba Kanisa la Kwelidaima lingejaribu kuwa kama kanisa lilivyokuwa katikaKitabu cha Matendo. Hiyo ni kweli kabisa. Lakini tumegunduaya kwamba Neno pia linafundisha kupenyeza kwa kosa mpakakweli imeondolewa kabisa katika siku ya mwisho wakatiBwana yuko karibu kuonekana. Swali sasa linazuka mioyonimwetu; je! Mungu huwaacha walio Wake na kuwaachawaingie katika hali ya udanganyifu kabisa? La hasha, kwamaana Maandiko yanasema dhahiri kabisa katika Mat. 24:24,ya kwamba ‘Walio Wateule HAWAWEZI’ kupotezwa. “Kwamaana watatokea Makristo wa uongo, na manabii wa uongo,nao watatoa ishara kubwa na maajabu; kiasi kwamba wapatekuwapoteza KAMA YAMKINI, hata walio wateule.” Ni ninibasi? Jibu ni dhahiri mbele yetu. Kuna Kanisa la Kweli nakanisa la uongo. Kuna Mzabibu wa Kweli na mzabibu wauongo. Lakini bila shaka kanisa hilo la uongo, kundi hilo lamzabibu wa uongo, daima litajaribu kunyakua mahali paKanisa la Kweli na kudai ya kwamba lenyewe, wala si walioWateule, ndio walio halisi na wa kweli. La uongo litajaribukuliua la Kweli. Hivyo ndivyo ilivyokuwa katika Kitabu chaMatendo, hivyo ndivyo ilivyofafanuliwa katika zile nyakatisaba, na hivyo ndivyo ilivyonenwa kwa udhabiti katikaNyaraka mbalimbali. Hivyo ndivyo ilivyokuwa. Hivyo ndivyoilivyo sasa. Hivyo ndivyo itakavyokuwa. Haiwezi kubadilika.

Sasa hebu na tuwe waangalifu sana ya kwambahatuchanganyikiwi hapa. Hivyo basi tutatafuta Neno lakulithibitisha dai hili. Hebu na turudi kwenye Kitabu chamwanzo, Mwanzo. Katika Bustani ya Edeni kulikuwa na mitiMIWILI. Mmoja ulikuwa ni mzuri; mmoja ulikuwa ni mbaya.Mmoja ulizaa UZIMA, huo mwingine ulizaa Mauti. Kulikuwana watoto wawili ambao ndio kwa mara ya kwanza kabisawalimtolea Mungu dhabihu. Hebu nirudie jambo hilo, WOTEWAWILI walimtolea Mungu dhabihu. Mwa. 4:3-5, “Ikawahatimaye, Kaini akaleta mazao ya ardhi sadaka kwa Bwana.Habili naye, akaleta wazao wa kwanza wa wanyama wake nasehemu zilizonona za wanyama. Bwana akamtakabali Habilina sadaka yake: bali Kaini hakumtakabali wala sadakayake^Lakini mmoja (Kaini) alikuwa mwovu, akiwa wa babayake (yule Mwovu), wakati Habili alikuwa mwenye haki mbele

Page 71: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 61

za Bwana. Tena, kulikuwako na watoto wawili kutoka katikamwili wa wazazi wale wale. Walikuwa mapacha wa Isaka naRebeka. Mmoja alikuwa ni mteule wa Mungu na huyomwingine alikuwa ni mpotovu. Wote wawili walimwabuduMungu. Katika kila kisa kimojawapo kulikuweko nakumwabudu Mungu. Katika kila kisa yule mwovu alimchukiamwenye haki na kumtesa mwenye haki. Wakati mwingine yulemwovu alimwangamiza mwenye haki. Lakini angalia. Wotewalipandwa pamoja. Waliishi pamoja. Wote wawiliwalimwomba Mungu na kumwabudu Mungu.

Mifano hii inaonyesha kikamilifu mfano wa Bwana YesuKristo hapo aliposema ya kwamba ufalme wa mbinguniunafananishwa na mtu aliyepanda mbegu njema, lakini aduiakaja akapanda magugu miongoni mwa mbegu hizo njema.Mungu hakupanda magugu hayo. Shetani alipanda hayomagugu moja kwa moja miongoni mwa mbegu hizo njema zaMungu. Hizo aina mbili za mimea (watu), kutoka kwenyembegu mbili mbalimbali, zilikua pamoja. Zilikula chakulakatika udongo ule ule, zilishiriki jua lile lile, mvua, na barakanyingine zote, na zote mbili zilivunwa kwa wakati wao.Unaona jambo hilo? Usisahau kamwe kweli hizi tunapojifunzanyakati za kanisa na baadaye zile muhuri. Na zaidi ya yote,usisahau ya kwamba ni katika wakati huu wa mwisho wakatimagugu yanapofungwa matita-matita yapate kuteketezwa,ambapo wataisonga ngano ambayo itawekwa ghalani naBwana.

Ninataka kufuatilia jambo hili mpaka nilimalizie, kwahiyo hebu na twende hatua moja mbele zaidi. Je! ulipatakusoma historia ya ufufuo? Sasa ufufuo unamaanisha tendo laMungu katika nguvu. Na kila wakati Mungu anapotenda kazi,Shetani naye yuko hapo kutenda kazi pia. Haikosekani. Katikasiku za ule ufufuo mkuu wa Kiwelshi (na karibu watu wotehawajui jambo hili), hospitali za wenda wazimu zilijaa upesi,na kulikuweko na onyesho kubwa la nguvu za ibilisi kuwazuiawatu wasimsikilize Mungu. Imeandikwa ya kwamba katikawakati wa Wesley watu wangefanya vitu vya ajabu ajabu sanaambavyo dhahiri vilikuwa ni vya Shetani akijaribu kudhihakiwema na nguvu za Mungu. Katika siku za Luther inasemwa yakwamba muujiza wa huduma yake haukuwa katika ukwelikwamba yeye alifaulu kulipinga Kanisa Katoliki la Kiroma,lakini muujiza ulikuwa katika ukweli wa yeye kuweza, naaliweza, kusimama imara na mwenye akili timamu kati yawashupavu wa dini ambao mara nyingi walijazwa, nakuongozwa, na pepo wachafu. Na kama una habari na hudumahii ya siku ya mwisho, utakuwa umeona uvamizi ule ule waroho wabaya na wa waovu. Haina budi kuwa hivyo. Sasaninatumaini na kuamini wewe ni wa kiroho vya kutoshakupata jambo hilo, na kulitilia maanani.

Page 72: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

62 NYAKATI SABA ZA KANISA

Ili kutia tu muhuri jambo hili juu ya mizabibu ya Kweli naya uongo ikichanganyikana na kuonyesha zile roho mbiliambazo zinatenda kazi sasa, hebu na tuangalie katika IYohana 4:1-4, na Yuda 3,4,12. “Wapenzi, msiiamini kila roho,bali zijaribuni hizo roho kwamba zimetokana na Mungu: kwasababu manabii wengi wa uongo wametokea duniani. Katikahili mwamjua Roho wa Mungu: Kila roho ikiriyo kwamba YesuKristo amekuja katika mwili yatokana na Mungu: na kila rohoisiyokiri ya kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwilihaitokani na Mungu: Na hii ndiyo roho ya mpinga-Kristo,ambayo mmesikia kwamba ilipaswa kuja; na SASAIMEKWISHA KUWAKO duniani. Ninyi watoto wadogo,mwatokana na Mungu; nanyi mmewashinda: (roho ya mpinga-Kristo) kwa sababu Yeye aliye ndani yenu ni mkuu, (Roho waMungu) kuliko yeye aliye katika dunia.” Yuda 3, 4, 12.“Wapenzi, nilipokuwa nikifanya bidii sana kuwaandikiahabari ya wokovu ambao ni wetu sisi sote, nalionaimenilazimu kuwaandikia, ili niwaonye kwambamwishindanie imani waliyokabidhiwa WATAKATIFU maramoja tu. Kwa maana kuna WATU (si Watakatifu) waliojiingizakwa siri (hawa hawakuingia katika kundi kwa kupitiaMLANGONI na kwa hiyo wao ni wanyang’anyi), watuwalioandikiwa tangu zamani hukumu hii, MAKAFIRI,wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkanaYeye Aliye peke Yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo. Watuhawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo,walapo karamu PAMOJA nanyi, wakijilisha pasipo hofu^”Haliwezi kukanushwa mbele ya Maandiko haya ya kwambaKanisa la Kweli na kanisa la uongo yameshikamana, yakiwayamepandwa pamoja lakini ni ya mbegu tofauti.

Sasa basi, nafikiri kuna jambo lingine unalopaswa kujua.Haya makanisa saba yanayoandikiwa na Yohana yako katikaAsia Ndogo na yote ni makanisa ya Mataifa. Yeye hazungumziikanisa la Yerusalemu ambalo wengi wao walikuwa niWayahudi likiwa labda na watu wachache tu wa Mataifa.Sababu yake ni kwamba Mungu alikuwa amewaachaWayahudi akawageukia Mataifa. Kwa hiyo nyakati zote zakanisa ni Mungu akiwashughulikia Mataifa, na kumwita Bibi-arusi wa Mataifa amjie Yeye. Hilo linazifanya ‘Nyakati zaKanisa’ na ‘Utimilifu wa Mataifa’ jambo lile lile tu. Matendo13:44-48, “Hata sabato ya pili watu wengi, karibu mji wote,wakakusanyika walisikie Neno la Mungu. Bali Wayahudiwalipowaona makutano, wakajaa wivu, wakayakanushamaneno yaliyonenwa na Paulo, wakibisha na kutukana. NdipoPaulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa, wakasema, Ilikuwalazima Neno la Mungu linenwe kwenu kwanza: lakini kwakuwa mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi zenu kuwahamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukiaMataifa. Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,

Page 73: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 63

akisema, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, upate kuwawokovu hata mwisho wa dunia. Mataifa waliposikia hayo,wakafurahi, wakalitukuza Neno la Bwana: Nao waliokuwawamekusudiwa uzima wa milele wakaamini.” Rum. 11:1-8,“Basi, nauliza, Je! Mungu aliwasukumia mbali watu Wake?Hasha! Kwa kuwa mimi nami ni Mwisraeli, mmoja wa wazaowa Ibrahimu, mtu wa kabila ya Benyamini. Munguhakuwasukumia mbali watu Wake aliowajua tokea awali. Auhamjui yale yaliyonenwa na Maandiko juu ya Eliya? jinsianavyowashitaki Waisraeli mbele za Mungu, akisema, Bwana,wamewaua manabii Wako, wamezibomoa madhabahu Zako;nami nimesalia peke yangu, nao wananitafuta roho yangu.Lakini ile jawabu ya Mungu yamwambiaje? Nimejisazia watuelfu saba, wasiopiga goti mbele ya sanamu ya Baali. Basi nivivi hivi wakati huu wa sasa yako mabaki waliochaguliwa kwaneema. Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa matendo tena;au hapo neema isingekuwa neema. Lakini ikiwa ni kwamatendo, basi isingekuwa tena neema: au hapo matendoyasingekuwa matendo. Imekuwaje basi? Kitu kile ambachoIsraeli alikuwa akikitafuta hakukipata; lakini walewaliochaguliwa walikipata, na wengine walitiwa uzito (kamailivyoandikwa, Mungu aliwapa roho ya usingizi, macho hatawasione, na masikio hata wasisikie;) hata siku hii ya leo.”

Rum. 11:25-29, “Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msijuesiri hii, ili msijione kuwa wenye akili, ya kwamba kwa sehemuugumu umewapata Israeli, mpaka Utimilifu wa Mataifauwasili. Hivyo Israeli wote wataokoka: kama ilivyoandikwa,Mwokozi atakuja kutoka Sayuni, atamtenga Yakobo na maasiayake; Na hili ndilo agano Langu nao, nitakapowaondoleadhambi zao. Basi kwa habari ya Injili, wamekuwa adui kwaajili yenu: bali kwa habari ya kule kuchaguliwa, wamekuwawapenzi kwa ajili ya baba zetu. Kwa sababu karama za Munguhazina majuto, wala mwito Wake.”

Haya makanisa saba yaliyokuwa katika Asia Ndogoyalikuwa na sifa fulani ndani yao, katika zama hizo za kale,ambazo zilikuja zikawa matunda yaliyoiva ya nyakatizilizofuata. Zile Mbegu zilizopandwa kule nyuma zilitokeabaadaye katika mavuno yaliyokomaa, kama vile Yesualivyosema, “Kwa kuwa kama wakitenda mambo haya katikamti mbichi, itakuwaje katika mkavu”? Luka 23:31.

UJUMBE KWA WAKATI WA KANISA LA EFESO

Ufunuo 2:1-7Kwa malaika wa kanisa lililoko Efeso andika; Haya ndiyo

anenayo Yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono Wakewa kuume, Yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vyadhahabu;

Page 74: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

64 NYAKATI SABA ZA KANISA

Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako, naya kuwa huwezi kuchukuliana na watu wabaya: tenaumewajaribu wale wajiitao mitume, na sio, ukawaona kuwawaongo:

Tena ulikuwa na subira, na kuvumilia, na umetaabika kwaajili ya Jina Langu, wala hukuchoka.

Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendowako wa kwanza.

Basi kumbuka ni wapi ulikoanguka, ukatubu, ukayafanyematendo ya kwanza; lakini usipofanya hivyo naja kwako upesi,nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.

Lakini unalo neno hili, kwamba wayachukia matendo yaWanikolai, ambayo na mimi nayachukia.

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa; Yeye ashindaye nitampa kula matunda yaMti wa Uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

MJUMBE

Mjumbe (malaika) wa kanisa la Efeso alikuwa ni mtumePaulo. Kwamba yeye alikuwa mjumbe wa wakati wa kwanzawa kipindi cha Mataifa haliwezi kukanushwa. Ingawa Petroalipewa mamlaka ya kuwafungulia Mataifa milango, Paulondiye aliyepewa kuwa mtume wao na nabii. Yeye alikuwaNabii-Mjumbe kwa Mataifa. Huduma yake ya kinabii, ambayokwayo alipokea ufunuo mkamilifu wa Neno kwa ajili yaMataifa, ilimthibitisha yeye kama mjumbe wao wa kimitume.Jambo hili walilikubali wale mitume wengine kuleYerusalemu. Gal. 1:12-19, “Kwa kuwa sikuipokea kwamwanadamu, wala sikufundishwa na mwanadamu, bali kwaufunuo wa Yesu Kristo. Maana mmesikia habari za mwenendowangu zamani katika dini ya Kiyahudi, kwamba naliliudhikanisa la Mungu kupita kiasi, nikaliharibu: Nami naliendeleakatika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangukatika taifa langu, nikajitahidi sana katika kuyashikamapokeo ya baba zangu. Lakini ilipompendeza Mungu,aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu, na akaniitakwa neema Yake, alipoona vema kumdhihirisha Mwanawendani yangu, ili niwahubiri Mataifa habari Zake; marasikufanya shauri na watu wenye mwili na damu: walasikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitumekabla yangu; bali nalikwenda zangu Arabuni, kisha nikaruditena Dameski. Kisha, baada ya miaka mitatu, nalipandakwenda Yerusalemu ili nionane na Petro, nikakaa kwake sikukumi na tano. Lakini sikumwona mtume mwingine, ila Yakobondugu yake Bwana.” Gal. 2:2, “Nami nalikwenda kwa kuwanalifunuliwa, nikawaeleza Injili ile niihubiriyo katika Mataifa,

Page 75: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 65

lakini kwa faragha kwa hao walio wenye sifa, isiwe labdanapiga mbio bure, au nalipiga mbio bure.” Gal. 2:6-9, “Lakiniwale wenye sifa ya kuwa wana cheo, (walivyokuwa vyo vyote,ni mamoja kwangu: Mungu hapokei uso wa mwanadamu:)nasema, hao wenye sifa hawakuniongezea kitu: Bali kinyumecha hayo, walipoona ya kuwa nimekabidhiwa Injili yawasiotahiriwa, kama vile Petro ya waliotahiriwa: (Maana Yeyealiyemwezesha Petro kuwa mtume wa waliotahiriwa, Ndiyealiyeniwezesha mimi kwenda kwa Mataifa:) tena walipokwishakuijua ile neema niliyopewa, Yakobo, na Kefa, na Yohana,wenye sifa kuwa ni nguzo, walinipa mimi na Barnaba mkonowa kuume wa shirika; ili sisi tuende kwa Mataifa, na waowaende kwa watu wa tohara.” Rum. 11:13, “Lakini nasema naninyi, mlio watu wa Mataifa. Basi, kwa kadiri nilivyo mtumewa watu wa Mataifa, naitukuza huduma iliyo yangu.”

Paulo alianzisha kanisa la Efeso mnamo katikati ya karneya kwanza. Jambo hili linatuwezesha kuweka tarehe yamwanzo wa Wakati wa Kanisa la Efeso; kama B.K. 53.

Mtindo wake wa kuhudumu uliweka kielelezo ambachowajumbe wote wa baadaye watajaribu sana kuiga, na kwakweli inaweka kielelezo cha kila mhudumu wa kweli waMungu, ingawa hatafikia kiwango hicho katika milki yakinabii kama alivyofanya Paulo. Huduma ya Paulo ilikuwa nasifa za namna tatu na ilikuwa kama ifuatavyo:

Kwanza, Paulo alikuwa mwaminifu kabisa kwa Neno.Hakuliacha kamwe, hata imgharimu nini. Gal. 1:8-9, “Lakiniijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyiinjili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtuawaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyomliyoipokea, na alaaniwe.” Gal. 2:11,14, “Lakini Petroalipokuja Antiokia, nalishindana naye uso kwa uso, kwasababu alistahili hukumu.” “Walakini, nilipoona ya kuwa njiayao haiendi sawasawa na ile kweli ya Injili, nalimwambiaPetro mbele ya wote, Ikiwa wewe uliye Myahudi wafuatadesturi za Mataifa, wala si za Wayahudi, kwa niniunawashurutisha Mataifa kufauata desturi za Wayahudi?”

I Kor. 14:36-37, “Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? aukuwafikia ninyi peke yenu? Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtuwa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwambani maagizo ya Bwana.

Angalia ya kwamba Paulo alikuwa hana madhehebu,lakini aliongozwa na Roho, kama vile Mungu alivyomwongozaMusa kuwatoa Israeli kutoka Misri. Halmashauri yaYerusalemu haikumtuma Paulo, wala haikuwa na nguvu zozote wala mamlaka juu yake. Mungu, na Mungu peke yake,ndiye aliyemtuma na kumwongoza. Paulo hakuwa wa

Page 76: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

66 NYAKATI SABA ZA KANISA

wanadamu, bali wa Mungu. Gal. 1:1, “Paulo, mtume, (si mtumewa wanadamu, wala kutumwa na mwanadamu, bali na YesuKristo, na Mungu Baba aliyemfufua kutoka kwa wafu:)” Gal.2:3-5, “Lakini Tito, aliyekuwa pamoja nami, naye ni Myunani,alilazimishwa kutahiriwa: Na hiyo ni kwa ajili ya ndugu zauongo walioingizwa kwa siri, ambao waliingia kwa siri ilikuupeleleza uhuru wetu tulio nao katika Kristo Yesu, iliwatutie utumwani: ambao hata saa moja hatukujitia chini yao,ili kwamba kweli ya Injili ikae pamoja nanyi.”

Pili, huduma yake ilikuwa katika nguvu za Roho, kwa njiahiyo akidhihirisha Neno lililonenwa na lililoandikwa. I Cor.2:1-5, “Basi, ndugu zangu, mimi nilipokuja kwenu, sikujaniwahubiri siri ya Mungu kwa ufasaha wa maneno, wala kwahekima. Maana naliazimu nisijue neno lo lote kwenu ila YesuKristo, Naye amesulibiwa. Nami nalikuwako kwenu katikahali ya udhaifu na hofu na metetemeko mengi. Na neno languna kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenyekushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu:Ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katikanguvu za Mungu.” Matendo 14:8-10, “Na huko Listra palikuwana mtu mmoja, dhaifu wa miguu, kiwete tangu tumboni mwamamaye, ambaye hajaenda kabisa: Mtu huyo alimsikia Pauloalipokuwa akinena: ambaye akamkazia macho na kuona yakuwa ana imani ya kuponywa, akasema kwa sauti kuu,simama kwa miguu yako sawasawa. Akasimama upesiakaenda.” Matendo 20:9-12, “Kijana mmoja, jina lake Eutiko,alikuwa ameketi dirishani, akalemewa na usingizi sana; hataPaulo alipoendelea sana kuhubiri, akazidiwa na usingizi wakeakaanguka toka orofa ya tatu; akainuliwa amekwisha kufa.Paulo akashuka, akamwangukia, akamkumbatia, akasema,Msifanye ghasia, maana uzima wake ungalimo ndani yake.Akapanda juu tena, akamega mkate, akala, akazidi kuongeanao hata alfajiri, ndipo akaenda zake. Wakamleta yule kijana,yu mzima, wakafarijika faraja kubwa sana.” Matendo 28:7-9,“Karibu na mahali pale palikuwa na mashamba ya mkuu wakisiwa, jina lake Publio; mtu huyu akatukaribisha kwa moyowa urafiki, akatufanya wageni wake kwa muda wa siku tatu.Ikawa babaake Publio alikuwa hawezi homa na kuhara damu.Paulo akaingia kwake, akaomba, akaweka mikono yake juuyake, na kumpoza. Yalipokwisha kutendeka hayo wenginewaliokuwa na magonjwa katika kisiwa wakaja wakapozwa.” 2Kor. 12:12, “Kweli ishara za mtume zilitendwa katikati yenukatika saburi yote, kwa ishara; na maajabu; na miujiza.”

Tatu: yeye alikuwa na tunda dhahiri la huduma yakeiliyotolewa na Mungu. 2 Kor. 12:11 “Nimekuwa mpumbavukatika kusifu, ninyi mmenilazimisha. Maana ilinipasa nisifiwena ninyi; kwa sababu sikuwa duni ya mitume walio wakuukwa lo lote, nijapokuwa si kitu.” I Kor. 9:2, “Kwa maana Ikiwa

Page 77: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 67

mimi si mtume kwa wengine, lakini bila shaka ni mtumekwenu ninyi: kwa maana ninyi ndinyi muhuri ya utume wangukatika Bwana.” 2 Kor. 11:2, “Maana nawaonea wivu, wivu waMungu; kwa kuwa naliwaposea mume mmoja, ili nimleteeKristo bikira safi.” Paulo alikuwa ndiye njia ya kuleta kundikubwa la kondoo wa Mataifa; yeye aliwalisha, nakuwashughulikia, mpaka wakazaa tunda la haki na wakawatayari kumlaki Bwana kama sehemu ya Bibi-arusi wa Mataifa.

Kwenye wakati wa kutoa ule Ufunuo, kulingana namapokeo, Paulo alikuwa amekufa tayari kama mfia imani, baliYohana alikuwa akiendelea badala yake vile vile hasa Pauloalivyokuwa amefanya katika siku za huduma yake. Kifo chaPaulo, kabla ya ule Ufunuo kutolewa, hakifutilii mbali ukwelikwamba yeye alikuwa ndiye mjumbe wa Wakati wa Kanisa laEfeso, kwa kuwa mjumbe wa kila wakati, haidhuru ni katikawakati gani anatokea ama anaondoka, ndiye anayeushawishiwakati huo kuelekea kwa Mungu kwa hudumainayodhihirishwa na Neno. Paulo alikuwa mtu wa aina hiyo.

MJI WA EFESO

Mji wa Efeso ulikuwa mmoja wa miji mitatu iliyokuwamikubwa sana kuliko yote katika Asia. Mara nyingi uliitwamji wa tatu wa imani ya Kikristo, Yerusalemu ukiwa wakwanza, na Antiokia wa pili. Ulikuwa ni mji tajiri sana.Serikali ilikuwa ya Kirumi lakini lugha ilikuwa ni Kiyunani.Wanahistoria wanaamini ya kwamba Yohana, Mariamu, Petro,Andrea na Filipo wote walizikwa katika mji huu mzuri. Paulo,aliyeanzisha imani ya kweli katika mji huu, alikuwamchungaji hapa kwa muda wa miaka mitatu tu; lakini wakatialipokuwa hayuko pamoja na kundi hilo alikuwaanawakumbuka daima, kwa maombi. Timotheo alikuwa ndiyeaskofu wake wa kwanza. I Tim. 1:1-3, “Paulo, mtume wa KristoYesu, kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Bwana YesuKristo, Ambaye ndiye taraja letu; kwa Timotheo, mwananguhasa katika imani. Neema na iwe kwako, na rehema, na amani,zitokazo kwa Mungu Baba yetu na kwa Kristo Yesu Bwanawetu. Kama vile nilivyokusihi ukae Efeso, nilipokuwanikisafiri kwenda Makedonia, ili uwakataze wenginewasifundishe elimu nyingine.”

Jina lenyewe, Efeso, lina maana mbili za ajabu,“Uliolenga”, na “Uliolegea.” Jitihada kuu za wakati huuuliokuwa umeanza kwa utimilifu wa Roho, “kilindi chaMungu,” ambapo walikuwa wakilenga kwenye wito mkuu waMungu, zilianza kutoa nafasi kwa hali kidogo ya kutokuwawaangalifu. Kumfuata Yesu Kristo kwa uvuguvugu kulianzakidogo kujidhihirisha kwenyewe kama dalili ya kwambakatika nyakati zijazo gari la kimwili linaloitwa kanisa

Page 78: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

68 NYAKATI SABA ZA KANISA

lingezama kwenye uovu wa “kilindi cha Shetani.” Ulikuwaumekwisha kulegea na ulikuwa ukikengeuka. Tayari wakatihuo ulikuwa unarudi nyuma. Ulikuwa umeuacha upendo wakewa kwanza. Ile mbegu ndogo sana iliyopandwa katika wakatiwa Efeso ingekua siku moja kuwa roho ya ukengeufu mpakandege wote wachafu wa angani wangejifanyia viota kwenyematawi yake. Mmea huo mdogo ungeonekana kwa huyo HawaMpya (lile Kanisa Jipya) kama usio na madhara kabisa kwamawazo ya binadamu hivi kwamba angedanganywa tena naShetani. Wakati wa Kanisa la Efeso ulikuwa umempa nafasiya kupata mambo yaliyo mazuri sana ya Mungu, na kwakitambo kidogo wakati huu ulishinda, na baadaye ukalegea, nakatika wakati huo wa kutojihami Shetani akapanda mbegu yamaangamizi kabisa.

Dini yenyewe ya Efeso inaonyesha mfano mkamilifu wawakati huu wa kwanza wa kanisa na inaweka mwelekeo wanyakati zijazo. Kwanza kabisa, lile hekalu lililopambwa sanala Diana, lililochukua miaka mingi sana katika kulijenga,mlikuwemo katika nyua zake zilizowekwa wakfu sanamu yaDiana iliyochujuka sana na yenye sura mbaya sana ambayomtu angeweza kuwazia. Alikuwa hafanani kabisa na sanamunyingine zo zote zilizowekwa katika mahekalu mengineyaliyowekwa wakfu kwa ajili yake. Alikuwa tu ni sanamu yakike isiyo na umbo ambayo hatimaye ilitumbukia kwenye gogola mti ambamo alichongewa. Na mikono yake miwiliilitengenezwa kwa pao mbili za kawaida za chuma. Jinsijambo hili linavyoonyesha kikamilifu roho ya mpinga-Kristoiliyoachiliwa katika wakati wa kwanza. Hiyo hapoimeachiliwa katikati ya watu, na hata hivyo haikuchukuaumbo la kuwashtua watu. Hata hivyo mikono hiyo miwili yafito za chuma ilionyesha ya kwamba kusudi lake lilikuwa nikuvunja-vunja kazi ya Mungu wakati roho hiyo ilipofanyamashambulizi yake. Na hakuna mtu aliyekuwa ana habarinaye ama na lile alilokuwa anafanya. Lakini siku mojawangeona, wakati akiwa na mikono hiyo ya chuma ‘matendo’yake yalikuja kuwa ni ‘fundisho’, na fundisho lake likawasheria ya dola.

Utaratibu wa ibada ya hekalu pia unadhihirisha mambosana. Kulikuwako, kwanza kabisa, makuhani waliokuwamatowashi. Ukuhani huu isioweza kuzaa ulitanguliakuonyesha utasa wa watu ambao wangeliacha Neno, kwamaana watu wanaodai kumjua Mungu mbali na Neno hawanauhai kama vile towashi asivyoweza kuzaa. Pili, ndani yahekalu mlikuwemo na makasisi wa kike bikira waliokuwawakishughulika na shughuli za kidini za hekalu. Hii ilionyeshasiku ambayo ibada na desturi, kawaida za dini na matendo,yangechukua mahali pa Roho Mtakatifu na madhihirisho yavipawa vya Roho hayangelijaza tena hekalu la Mungu. Juu ya

Page 79: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 69

hao wote alikuweko kuhani mkuu, mtu mwenye nguvu zakisiasa na ushawishi kwa watu, akionyesha yale yaliyokuwayanaendelea, ingawa hayakudhihirika sana, hiyo ni kusema,kanisa punde si punde lingewekwa chini ya uongozi wamwanadamu na mipango ya mwanadamu na tamaa zake zamambo makuu na “Roho Mtakatifu anasema hivi”halingekuwa tena jambo halisi lililo hai. Na chini ya hao wotekulikuwako na watumwa wa hekalu ambao hawakuwa nahiari ya uchaguzi ila kutii serikali ya kidini. Hili linawezakumaanisha kitu gani ila kwamba siku ingekuja wakatimakasisi wenye mamlaka, kwa njama za kisiasa, msaada waserikali, na kubadilisha Neno na Roho kwa kutwaa kanuni zaimani na mafundisho ya sharti, na uongozi wa kibinadamu,wangewatia wafuasi utumwani wakati viongoziwalijifurahisha kwa anasa za mali waliyopata kwa njia zisizohalali na kufurahia anasa zao chafu, na watu maskini ambaoilipaswa watumikiwe kulingana na mapenzi ya Mungu, sasawakawa watumishi.

YESU, MJUMBE WAKE NA MAKANISA

Ufu.2:1, “^Haya ndiyo anenayo Yeye azishikaye hizonyota saba katika mkono Wake wa kuume, Yeye aendayekatikati ya vile vinara saba vya dhahabu.” Huyu NdiyeAmbaye imesemwa, ‘Yesu yuyu Huyu ndiye Bwana na KristoPIA.’ Huyo hapo, Bwana Mungu Mmoja Mwenyezi na waPekee, na hakuna mwingine zaidi Yake. Huyo hapo, Mwokozi(“^wokovu ni wa Bwana”, Yona 2:9) akienda katikati yamakanisa katika zile nyakati zote saba. Kile alichokuwakatika wakati wa kwanza ndicho alicho katika nyakati zote.Kwa kila mwamini, Yeye ni Yesu Kristo yeye yule, jana, na leo,na hata milele. Kile alichofanya mara ya kwanza angalianakifanya, na ataendelea kukifanya.

Sasa utaona ya kwamba Yesu anatembea peke Yakekatikati ya makanisa Yake. Hakuna mtu mwingine aliye pamojaNaye. Wala kweli hapawezi kuwa, kwa sababu Yeye peke Yakendiye aliyeliletea wokovu wake, na akiwa amelinunua kwadamu Yake mwenyewe linakuwa ni mali Yake. Yeye ndiyeBwana na Mwalimu wake. Kanisa humpa Yeye utukufu wote nautukufu huo Yeye hataushiriki na mtu mwingine. Hakuna papaaliye pamoja Naye. Hakuna askofu mkuu pamoja Naye.Mariamu, mama wa mwili Wake wa duniani, hayuko pamojaNaye. Yeye haneni na kumgeukia Baba fulani, kwa maana YeyeNdiye Baba. Yeye hageuki na kutoa maagizo kwa RohoMtakatifu fulani, kwa maana Yeye ndiye Mungu, Roho wamilele, na Uzima Wake ndio unaotiririka na kudundadundakanisani ukilipa uzima, na bila ya Yeye hakungekuwa na uzimawo wote. Wokovu ni wa Bwana.

Page 80: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

70 NYAKATI SABA ZA KANISA

Hakuna mtu aliyekuwa pamoja Naye wakati alipoikanyagaghadhabu ya hasira ya tanuru ya moto. Hakuwa ni mwingine,ila YEYE Ambaye alining’inia msalabani na kutoa damu Yake.Yeye Ndiye Mwanzilishi na Mwenye Kutimiza imani yetu.Yeye ndiye Alfa na Omega wa wokovu wetu. Sisi tumeposwaNaye na si na mwingine. Sisi si mali ya kanisa. Sisi ni maliYake. Neno Lake ni sheria. Kanuni za imani, mafundisho yasharti, sheria na katiba havitufai. Naam, ni Yesu PEKE YAKEAmbaye anatembea katikati ya makanisa. Ni Mungu ndani yakanisa Lake, akipenda na kufanya mapenzi Yake mema.Usisahau jambo hilo kamwe. Una uhusiano mmoja tu kwaMungu naye Mungu ana uhusiano mmoja tu kwako_huo niYESU, na YESU PEKE YAKE.

Huyo hapo akiwa na zile nyota saba katika mkono Wakewa kuume. Mkono wa kulia au mkono unaonyesha nguvu namamlaka ya Mungu. Zab. 44:3, “Maana si kwa upanga waowalivyoimiliki nchi, wala si mkono wao uliowaokoa: balimkono Wako wa kuume, naam, mkono Wako, na nuru ya usoWako, kwa kuwa uliwaridhia.” Katika mkono huo wa kuumewa nguvu kuna nyota saba, ambazo, kulingana na Ufu. 1:20, niwajumbe wa makanisa saba. Hii inaonyesha ya kwamba uwezana mamlaka yenyewe ya Mungu viko nyuma ya wajumbe Wakewa kila wakati. Wao wanatoka wakienda katika moto namamlaka ya Roho Mtakatifu wakiwa na Neno. Wao ni nyotakwa sababu wanarudisha mwanga wa nuru. Nuruwanayorudisha mwanga wake ni nuru Yake. Hawana nuru yaowenyewe. Wao hawawashi moto wao wenyewe kusudi kwambawatu waweze kutembea katika nuru ya cheche zao. Isa. 50:11.Ni usiku, kwa maana wakati huo ndipo nyota zinapotokeza. Niusiku wa weusi wa dhambi, kwa maana ya watu wote (yaaniulimwengu mzima), umetenda dhambi na daimaunapungukiwa na utukufu wa Mungu. Rum. 3:23.

Wajumbe hawa saba wanamjulisha Mungu kwa watu. Yeyeawapokeaye, ampokea Yeye aliyewatuma. Yohana 13:20.Wananena na kutenda kwa mamlaka Yake. Yeye husimamanyuma yao akiwa na nguvu zote za Uungu. Mat.28:18-20, “Yesuakaja kwao, akasema nao, akawaambia, NimepewaMAMLAKA YOTE mbinguni na duniani. Basi enendeni,mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwajina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu: na kuwafundishakuyashika yote niliyowaamuru ninyi: na, tazama, MIMI NIPOPAMOJA NANYI SIKU ZOTE, hata ukamilifu wa dahari(utimilifu wa nyakati).” Kwa hiyo hao hapo, wamejaa RohoMtakatifu na imani, wamepamba moto kwa moto wa Mungu,wakilishikilia Neno la kweli, naye Huyo hapo amesimamaakiwaunga mkono. Na wazia jambo hilo, hakuna mwaminihata mmoja wa wakati wo wote anayepaswa kulia moyonimwake, “Loo! laiti ningalikuwa kule nyuma katika wakati wa

Page 81: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 71

kwanza wakati mitume walipotumwa kwanza.” HAKUNAhaja ya kuangalia nyuma. ANGALIA JUU! Mtazame Yeyeambaye hata sasa anatembea katikati ya makanisa katikanyakati zote. Mtazame Yeye Ambaye ni yeye yule jana na leo,na hata milele; na Ambaye habadiliki katika tabia Yake amakatika njia Zake. Mahali wawili watatu wanapokusanyikakatika Jina Lake, Huyo hapo katikati yao! Na si katikati yaotu kama anayependezwa kutazama tu bila kuhusika, amakama malaika mwandishi; bali Yuko hapo amesimamaakionyesha hasa Yeye ni nani_Uzima na Mtegemezaji naMpaji wa vipawa vyote vyema kwa kanisa. Haleluya!

“Yeye aendaye katikati ya vinara vya taa saba vyadhahabu.” Jinsi maneno hayo yalivyo na maanayanapoangaliwa katika nuru ya Maandiko, ambayoyanamweleza Yeye kama “Kristo Aliye Uzima wetu.” Kwakuwa Kristo, hakika, Ndiye uzima wa kanisa. Kanisa halinauzima mwingine. Bila Yeye hilo ni shirika tu la kidini, klabu,kusanyiko la watu lisilo na maana. Kama vile maitiiliyopambwa kwa lulu na kuvalishwa ingali ni maiti, vivyohivyo na kanisa, haidhuru mipango na jitihada zake zafadhili zingefanikisha nini, bila Kristo hilo ni maiti pia.Lakini Yeye akiwa yuko katikati yake, Yeye akilitia moyo,linakuwa kwa mshangao wa wote “Mwili Wake, utimilifuWake Yeye anayejaza vyote katika yote.” Na saa ii hii Yeyeanatembea katikati ya kinara cha taa ya dhahabu cha wakatiwa mwisho. Vile alivyokuwa wakati alipotembea katikawakati wa kwanza ndivyo alivyo hata sasa katika wakati huuwa mwisho. Yesu Kristo YEYE YULE, JANA, na LEO, naHATA MILELE.

“Vinara vya taa saba vya dhahabu.” Katika Kut. 25:31,inasema, “Nawe fanya kinara cha taa cha dhahabu SAFI;hicho kinara na kifanywe cha kazi ya KUFUA; tako lake, namti wake, vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake,vyote vitakuwa vya kitu kimoja nacho.” Kanisa la kweli laYesu Kristo, bibi-arusi, linafananishwa na dhahabu SAFI.Haki ya Bibi-arusi ni haki YAKE Yesu. Sifa za bibi-arusi ndiosifa Zake Mwenyewe zenye utukufu. Kitambulisho chake bibi-arusi kinapatikana katika Yeye. Kile alicho Yeye, bibi-arusianapaswa kukionyesha. Kazi azifanyazo Yeye, bibi-arusianapaswa kuzionyesha. Kile alicho nacho Yeye, bibi-arusianapaswa kukidhihirisha. Ndani ya bibi-arusi hamna dosari.Amejaa utukufu kabisa ndani na nje. Tangu mwanzo hatamwisho, yeye ni kazi ya Bwana wake, na kazi Zake zote nikamilifu. Kwa kweli ndani yake kumejumlishwa nakudhihirishwa hekima ya milele na kusudi la Mungu. Mtuatatambuaje jambo hilo? Mtu anawezaje kulifahamu? Ingawahatuwezi kufanya jambo hilo, tunaweza kulikubali kwa imani,kwa maana Mungu amelinena.

Page 82: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

72 NYAKATI SABA ZA KANISA

Lakini si kwamba tu kinara hicho cha taa ni cha dhahabu,ni cha dhahabu ya KUFUA. Kimetengenezwa kwa mikono kwadhahabu ya kufua, kulingana na maelezo yake yaliyotolewa naRoho. Nje ya Bwana na Mwalimu wake, Yesu Kristo, je! kunawatu waliopata kupigwa na kutakaswa kama bibi-arusi waYesu Kristo? Hakika anayatimiza mateso ambayo Kristoaliacha. Ananyang’anywa mali zake. Maisha yake yamohatarini. Anahesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa. Yeyeanauawa siku nzima. Anateseka sana, lakini katika hayo yoteyeye hajilipizi kisasi, wala hasababishi wengine wateseke.Bibi-arusi huyu wa kupendeza wa Kristo anastahili Injili. Nakama vile dhahabu inavyofulika, ambapo shaba itavunjikaikifuliwa, dhahabu hii ya Mungu itastahimili mateso yake kwaajili ya Bwana, si kukunjwa, si kuvunjwa, si kuhabiriwa, balikufanywa kitu chenye uzuri na furaha milele kwa majaribu namajaribio ya maisha haya.

KRISTO ANAWASIFU WALIO WAKE

Ufu. 2:2,3 “Nayajua matendo yako, na taabu yako, nasubira yako, na ya kuwa huwezi kuchukuliana na watuwabaya: tena umewajaribu wale wajiitao mitume, nao sio,ukawaona kuwa waongo; tena ulikuwa na subira, nakuvumilia, na umekuwa na bidii kwa ajili ya Jina Langu, walahukuchoka.”

Jinsi Mwokozi anavyowasifu watoto Wake vizuri nakuwatukuza. Anatoa hesabu kamili ya misimamo yao mizuriya kiroho na tabia yao. Anajua ya kwamba kuna udhaifu katiyao, lakini hata hivyo haukemei. Je! hilo si ni kama Bwana tu?Yeye anajua jinsi ya kututia moyo katika mambo mazuri nakutuzuia kufanya mabaya. Sote tungeweza kujifunza somozuri papa hapa katika kulea kanisa na jamaa zetu. Na isitoshe,tungeweza kujifunza somo zuri katika jambo hilo kwambaMungu hushughulikia kila mmoja wetu namna hii hii kabisa.Usife moyo, ewe Mtakatifu wa Mungu, kwa maana Mungu siasiye na shukrani kusahau matendo yenu ya upendo. Lo lotetufanyalo, hata kumpa mtu kikombe cha maji baridi, linathawabu na baraka kutoka kwa Bwana.

“Nayajua matendo yako, na taabu yako, na subira yako.”Anapotembea katikati ya kanisa Lake, Yeye anajua mateso yawatu Wake, na anashughulika. Kama ilivyokuwa katika sikuza utumwa kule Misri wakati aliposikia vilio vyao, Yeyeasiyebadilika angali anasikia vilio vya wanaoteseka wakatianapotembea kati yao. Neno lenyewe, taabu, linaonyeshauchovu unaotokana na kugandamizwa. Watu wa Munguhawamfanyii kazi tu katika taabu ya upendo, bali wanatesekakwa ajili Yake kwa furaha. Wao ni wavumilivu katika kuibebaile nira. Wakati huu wa kwanza ulipata mateso mengi. Ilibidi

Page 83: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 73

wakati huu ufanye kazi kwa bidii kuhubiri Injili na kuenezakweli. Wito wao mkuu maishani ulikuwa ni kumtumikiaMungu, na wakati matumaini yao katika maisha yalipokwishawao walikuwa na subira na wakakabidhi yote Kwake Ambayealikuwa ameahidi malipo yadumuyo mbinguni kwa ajili yayale waliyopoteza kwa ajili Yake duniani.

Nafikiri tunapaswa kusimama hapa na kushughulikia wazokwamba watu wa Mungu daima wameteswa na daimawatateswa. Unajua kwamba Mwanzo ni kitabu cha mianzo, nakile unachoona kilianza pale kitaendelea moja kwa mojampaka Ufunuo wala hakitabadilika. Hapo tunaona ya kwambaKaini alimsulibisha na kumuua Habili kwa sababu huyu wapili alimpendeza Mungu. Ndipo tunaona picha kamilifu yamwana wa Ibrahimu katika mwili, Ishmaeli, aliyemchokoza nakumpiga mwana wa ahadi, Isaka. Na kulikuweko na Esau,aliyemchukia Yakobo na angalimwua, kama Munguasingaliingilia kati. Katika Agano Jipya tunamwona Yudaakimsaliti Yesu, ambapo mashirika ya kidini katika karne yakwanza yalijaribu kuwaangamiza wale waamini wa mwanzoni.Wana wa ulimwengu huu, wanaoongozwa na ibilisi,wanawachukia watoto wa Mungu wanaoongozwa na Roho.

Haidhuru Mkristo ni mwenye haki na mwaminifu jinsi ganimbele ya watu, na haidhuru ni mwenye fadhili jinsi gani kwamwanadamu mwenzake, akifanya tu yaliyo mema, hebu amkiriKristo kama Mwokozi wake na akiri kutenda kazi kwa karamaza Roho Mtakatifu katika lugha, unabii, kuponya na miujiza,bado atalaumiwa. Roho ya ulimwengu huu inaichukia Roho yaMungu, na kwa kuwa haiwezi kuishinda Roho ya Bwanainajaribu kukiangamiza chombo ambamo Roho wa Kwelianakaa.

Mateso na majaribu ni sehemu ya maisha ya binadamu, nafungu la maisha ya Mkristo. Kuna jambo moja tu unalowezakufanya kuhusu hayo. Yakabidhi yote kwa Mungu,usihukumu, nawe umwachie Yeye kuyatatua na kufanyauamuzi wa mwisho.

“Huwezi kuchukuliana na watu wabaya, tena umewajaribuwale wajiitao mitume, nao sio, ukawaona kuwa waongo.”Hawa Waefeso waliamini ya kwamba watu wa Munguwanapaswa kuwa watakatifu. Kulingana na aya hiiwalichukua hatua kuuweka mwili usichachushwe na dhambi.Ni wazi kabisa ukengeufu ulikuwa umeanza tayari. Dhambiilikuwa imeingia kanisani. Lakini wao walikuwa watiifu kwamaneno ya Paulo aliposema wawaondoe watu waovu kati yao.Walikuwa ni watu waliotengwa. Walikuwa wametoka katikaulimwengu, na sasa hawangeweza kuuruhusu ulimwenguuingie kati yao. Wasingevumilia dhambi kanisani. Utakatifuhaukuwa ni mazungumzo tu kati yao au msemo; ulikuwa nimaisha.

Page 84: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

74 NYAKATI SABA ZA KANISA

“Umewajaribu wale wajiitao mitume, nao sio, ukawaonakuwa waongo.” Jamani, huo ni msemo wa kukata.“Umewajaribu wale wajiitao mitume.” Je! hilo silo jambo laujasiri? Watu wana haki gani ya kuwajaribu wale wajiitaomitume? Na wanawajaribu namna gani? Loo! napenda jambohili. Hili hapa katika Gal. 1:8, “Lakini ijapokuwa sisi, aumalaika wa mbinguni, atawahubiri ninyi Injili yo yoteisipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.” Mitume ndiowaliowaletea watu Neno halisi la asili. Neno hilo halisi la asilihalingeweza kubadilika, hata nukta au kistari chake. Pauloalijua Mungu ndiye aliyekuwa amenena naye, kwa hiyoakasema, “Hata kama mimi nikija na kujaribu kutoa ufunuowa pili, kujaribu kufanya badiliko moja dogo katika yaleniliyotoa hapo kwanza, na nilaaniwe.” Unaona, Paulo alijuaufunuo huo wa kwanza ulikuwa ni sahihi. Mungu hawezikutoa ufunuo wa kwanza, kisha ufunuo wa pili. Kamaangalifanya hivyo, Yeye angekuwa anabadili nia Yake. Yeyeanaweza kutoa ufunuo, kisha auongezee, kama alivyofanyakatika Bustani ya Edeni wakati alipomwahidi mwanamkeUzao, halafu baadaye akasema huo Uzao ulibidi uje kupitiakwa Ibrahimu, na halafu baadaye akasema ungekuja kwaukoo ule ule katika Daudi. Lakini huo ulikuwa ni ufunuo uleule. Uliwapa tu watu habari zaidi kuwasaidia waupokee nakuufahamu. Lakini Neno la Mungu haliwezi kubadilika. UleUzao ulikuja tu kama vile ulivyofunuliwa. Haleluya. Hebubasi angalia yale hao mitume wa uongo walivyokuwawakifanya. Wao walikuja na neno lao wenyewe. Waefeso walewalilijua hilo Neno kama vile Paulo alivyokuwaamelifundisha. Wao walikuwa wamejaa Roho Mtakatifu kwakuwekewa mikono na Paulo. Waliwaangalia hao mitume wauongo machoni na kusema, “Ninyi hamsemi yale aliyosemaPaulo. Ninyi, basi, ni waongo!” Loo! hilo linauwasha motomoyo wangu. Rudini kwenye Neno! Kwa kweli si weweunayemjaribu huyo mtume, na nabii na mwalimu, NENONDILO LINALOWAJARIBU. Moja ya siku hizi atakuja nabiikwa Wakati wa Kanisa la Laodikia nawe utajua kama yeye niyule wa kweli aliyetumwa kutoka kwa Mungu ama si wakweli. Naam utajua, kwa kuwa kama yeye ni wa MunguATAKUWA KATIKA HILO NENO SAWASAWA NA VILEMUNGU ALIVYOMPA PAULO. YEYE HATATOKAKWENYE NENO HILO HATA KIDOGO, HATA KWANUKTA MOJA. Katika wakati huo wa mwisho,kutakapotokea manabii wengi wa uongo, angalia na uone jinsiwanavyokazana kukwambia ya kwamba kama huwaaminiwao pamoja na yale wanayosema, utapotea; lakini wakati yuleNABII WA SIKU YA MWISHO atakapojitokeza, kama yeyekweli ni nabii huyo, atakuwa akipiga kelele, “Rudini kwenyeNeno la sivyo mmepotea.” Yeye hatajenga kwenye ufunuo wakibinafsi ama fasiri, lakini kwenye Neno. Amina, na Amina!

Page 85: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 75

Hawa mitume wa uongo ndio mbwa mwitu wakali ambaoPaulo alinena habari zao. Alisema, “Mara nikiondoka, waowatajaribu kuja na kudai ufunuo sawasawa na wangu; lakinikusudi lao si kuwasaidia, bali ni kuwaangamiza.” Matendo20:27-32, “Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari yakusudi lote la Mungu. Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lotenalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwawaangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa Lake Mungu,alilolinunua kwa damu Yake Mwenyewe. Kwa kuwa najuajambo hili, ya kuwa baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwituwakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi. Tena katikaninyi wenyewe watainuka watu, wakisema mapotovu (neno laowenyewe na mawazo yao, si ya Mungu) wawavute haowanafunzi wawaandamie wao. Kwa hiyo kesheni,mkikumbuka, ya kwamba miaka mitatu usiku na mchanasikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi. Basi, nduguzangu, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa Nenola neema Yake, ambalo laweza kuwajenga, na kuwapa urithimiongoni mwao wote waliotakaswa.”

Yohana aliwajua, pia, kwa maana alisema katika I Yohana4:1, “^manabii wa uongo wengi (tayari) wametokeaduniani.” Hiyo Roho ya mpinga-Kristo tayari ilikuwaikijipenyeza kanisani, nayo ilikuwa ikifanya jambo hilo kwakulipinga Neno. Mbona, hapa ndipo yote yalipoanza. Papahapa katika wakati wa kwanza wa kanisa. Tayari waowalikuwa wakikana Neno na kuanzisha kanuni zao wenyeweza imani na falsafa badala ya Neno. Huyo ni mpinga-Kristo,kwa kuwa Yesu ndiye Neno. Kuwa mpinga-Neno ni kuwampinga-Yesu. Kuwa mpinga-Neno ni kuwa mpinga-Kristo,kwa maana Roho na Neno ni MMOJA. Kama wewe ni mpinga-Neno, lazima uwe u mpinga-Kristo. NA KAMA ILIANZIAKATIKA KANISA LA KWANZA ITAPASWA KUKUAMPAKA MWISHO WAKATI ITAKAPOCHUKUA MAMLAKA.Na jambo hilo ndilo hasa utakaloona tunapopitia nyakati zote.Inaanza ikiwa mindogo sana katika Wakati wa Efeso nainakua katika kila wakati mpaka utaratibu wa mpinga-Neno,mpinga-Kristo, unachukua mamlaka kabisa na mamlakaisiyokosea ya Neno la Mungu inakataliwa na mitume wa uongowa kanisa la uongo.

Sasa ni rahisi kuwa na wazo la makosa la yaletunayozungumzia kwa sababu ninalitamka jambo hili kwauzito sana. Ingeweza kusikika kwako kama kwamba roho hiiya kupinga Neno, ya mpinga-Kristo ni kupinga katakata Neno,kukana Biblia kunakoishia katika kuikataa. La, bwana. Sihilo. Jambo ni kwamba, ni Ufu. 22:18,19, “Namshuhudia kilamtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yoteakiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigoyaliyoandikwa katika kitabu hiki. Na mtu ye yote akiondoa lo

Page 86: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

76 NYAKATI SABA ZA KANISA

lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Munguatamwondolea sehemu yake katika kile Kitabu cha Uzima, nakatika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwakatika kitabu hiki.” Ni kubadilisha kwa hata neno MOJA tukwa kuondoa ama kuongezea kwake. Hiyo ndiyo hila ya asiliya Shetani katika Bustani ya Edeni. Yeye aliongezea tu nenomoja dogo kwa yale Mungu aliyokuwa amesema. Hilo lilitosha.Lilileta kifo na maangamizi. Na katika Efeso, ilikuwa tu ni vilevile. Neno moja tu liliongezwa, neno moja tu lililoondolewa,ndipo roho ya kupinga Neno, roho ya mpinga-Kristo ikaanzakufanikiwa.

Mmelipata sasa? Hao hapo wale mapacha tena. Hiyo hapoile miti miwili tena, ikikua pamoja kwenye udongo ule ule,ikishiriki chakula kile kile, ikinywa kwenye mvua ile ile, nakushiriki baraka za jua lile lile. Lakini wanatokana na mbeguTOFAUTI. Mti mmoja UNALITII Neno la Mungu, sawasawa tuna vile Mungu alivyolitoa, na unalipenda na kulitii. Mti huomwingine umetokana na mbegu ambayo inapinga Neno laMungu na kulibadilisha po pote unapotaka. Unaweka kanunizake wenyewe na mafundisho yake ya sharti badala ya Neno lakweli lililo hai kama tu vile alivyofanya Kaini, ambayehatimaye alimuua Habili. Lakini msiogope enyi kundi dogo.Dumuni na Neno. Liwekeni Neno hilo kati yenu na ibilisi. Hawahakufanya jambo hilo naye akashindwa. Na wakati kanisalinapoachilia Neno linaingia katika kina cha giza la Shetani.

“Tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya JinaLangu, wala hukuchoka.” Hili ni karibu sawa tu na kamailivyosemwa katika aya ya pili. Lakini katika aya ya pili kazi,taabu, na subira zilitokana na kulilinda Neno takatifu ambalowalikuwa wamepewa. Jinsi walivyowazuia maadui. Jinsiwalivyokuwa sifa njema kwa Paulo. Lakini katika aya hiimateso yao na majaribu na subira yao ni juu ya Jina la Yesulililobarikiwa.

Unajua hilo si jambo la ajabu hata kidogo, kwa maana niNeno pamoja na Jina vinavyomleta adui atufurikie kamamafuriko. Hilo Neno lenye nguvu lililodhihirishwa katikakuponya kwingi, ishara nyingi, maajabu, na madhihirishomengine, liliwafanya Mafarisayo kupaza sauti kwa ajili ya kifocha waamini wa kweli. Na sasa Jina hilo, lililochukiwa nakudharauliwa na Wayahudi, linadhihakiwa na wastaarabukama walivyocheka kuwazia mtu ye yote angeweza kuwamjinga mno kumwamini mtu aliyekufa na kufufuka tena na atina sasa anakaa mbinguni. Kwa hiyo hawa hapa walewadhalimu wa kidini, Wayahudi, wakimlaani huyu Yesu,Ambaye kwao alikuwa ni Masihi wa uongo; na hapawalikuwako wale wengine wakilicheka kwa kufurahia sana nakulidhihaki kwa maneno machungu Jina la mungu mgeni,Ambaye kwao hakuwa mungu hata kidogo.

Page 87: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 77

Sasa hapa pana jambo jingine lililoanza katika wakati ulena litaendelea moja kwa moja katika nyakati nyingi, likizidikupata kina na kuzidi kuwa giza. Yaani, watu walikuwawakilikataa Jina hilo. Si lile kanisa la kweli la Efesolililokuwa linatenda jambo hilo. Hapana bwana. Ilikuwa niwale mitume wa uongo. Ilikuwa ni mtu wa nje aliyekuwaakijaribu kuingia na kuwatia waamini unajisi. Waefesowalilijua Jina hilo na walilipenda. Hebu kumbuka Mwanzo waKanisa la Waefeso. Kundi dogo la watu waliokuwawanamtarajia Masihi lilisikia ya kwamba nabii aliyejiitamtangulizi wa Masihi alikuwa ametokea katika nyika zaPalestina naye alikuwa anawabatiza watu kwa ajili ya toba ladhambi. Hawa, basi, waliupokea ubatizo wa Yohana. Lakiniwakati Paulo alipowajia aliwaonyesha ya kwamba huyo nabiiamekufa, ya kwamba Yesu alikuwa amekuja na kutimizamaisha Yake kama dhabihu kwa ajili ya dhambi, na yakwamba SASA Roho Mtakatifu alikuwa amekuja na angeingiana kuwajaza waamini wote wa kweli katika Yesu, yule Masihi.Waliposikia jambo hili, WAKABATIZWA KATIKA JINA LABWANA YESU, na wakati Paulo alipokwisha kuwawekeamikono, wote wakajazwa na Roho Mtakatifu. Walijua kutiiNeno ni nini, kubatizwa katika Jina Lake (Bwana Yesu Kristo)na kwa njia hiyo wao walijua wangejazwa na Roho Mtakatifu.Usingeweza kuwafanya watu hao kubadilika. Waliijua ilekweli. Matendo 19:1-7.

Wao walijua nguvu za hilo Jina. Waliona ya kwamba hiloJina lilikuwa na nguvu sana kwamba hata leso zilizotolewakutoka katika mwili wa Paulo na zikatumwa katika Jina laYesu kwa watu waliokuwa wanaumwa zingewaponyawagonjwa kutokana na kila namna ya magonjwa na kutoapepo wachafu. Jina hilo lilitenda kazi dhahiri sana hataWayahudi wapotovu kule Efeso walijaribu kulitumia kupungapepo. Matendo 19:11-17, “Mungu akafanya kwa mikono yaPaulo miujiza ya kupita kawaida; Hata wagonjwa wakaletewaleso na nguo zilizotoka mwilini mwake, magonjwa yaoyakawaondokea, pepo wachafu wakawatoka. Basi baadhi yaWayahudi wenye kutanga-tanga, nao ni wapunga pepo,wakajaribu kutaja Jina la Bwana Yesu juu yao waliopagawana pepo wachafu, wakisema, Tunawaapisha kwa Yesu, Yuleanayehubiriwa na Paulo. Walikuwako wana saba wa mtummoja Skewa, Myahudi, mkuu wa makuhani, waliofanyahivyo. Yule pepo mchafu akawajibu, akawaambia, Yesunamjua, na Paulo namfahamu; lakini ninyi ni nani? Na yulemtu aliyepagawa na pepo mchafu akawarukia wawili,akawaweza, akawashinda, hata wakatoka mbio katikanyumba ile hali wa uchi na kujeruhiwa. Habari hiiikajulikana na Wayahudi wote na Wayunani pia waliokaaEfeso; hofu ikawaingia wote, na Jina la Bwana Yesulikatukuzwa.”

Page 88: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

78 NYAKATI SABA ZA KANISA

Wao walijua maisha yenye haki yaliyoambatana na mtukulichukua Jina hilo, kwa maana kila anayelitaja Jina laBwana, na aache dhambi. Mwe watakatifu, enyi mnaovibebavyombo vya Bwana. Usilitaje Jina la Bwana Mungu wako bure.Hawa Waefeso walikuwa ni WAKRISTO. Walichukua Jina, naJina hilo lilikuwa ni Kristo, ambaye alikuwa ni Roho waMungu ndani yao, na Ambalo lilikuwa moja ya Majina matatuya Bwana wao.

“^Tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya JinaLangu, wala hukuchoka. Hawa waamini hawakuwawakivumilia kwa ajili ya Paulo, ama kwa ajili ya madhehebufulani. Wao hawakuwa wameshikilia miradi na mashirikaambapo walijenga viwanja vya biashara. Walimfanyia kaziBwana. Walikuwa watumishi Wake, si vibaraka vyamadhehebu. Wao hawakuenda kanisani Jumapili nakuzungumzia habari za Jina hilo kisha walisahau sikuzilizosalia za juma. Wao hawakulitumikia Jina hilo kwamdomo tu. La, bwana. Wao walitoa maisha yao.

Yote waliyofanya, walifanya katika Jina hilo. Katika Jinahilo wao walitenda kazi, lakini kama wasingeweza kutendakwa Jina hilo, basi waliacha kutenda. Hawa walikuwa niWakristo waliokuwa wamewekwa katika ulimwengu wa rohoambao mwendendo wao ulikuwa katika Bwana.

Lakini kundi hilo la mzabibu wa uongo lililotakakuliharibu Jina hilo lilikuwa tayari kama mbwa mwituanayejificha gizani, likingojea kuingia na kurarua. Lakini haowatakatifu walistahimili majaribu nao wakashikilia Neno hilopamoja na Jina.

LALAMIKO LA MUNGU

Ufu. 2:4, “Lakini nina neno juu yako, ya kwambaumeuacha upendo wako wa kwanza.” Ili kufahamu jambo hilihuna budi kutambua ya kwamba Roho haneni na walewatakatifu wa kwanza wa Efeso peke yao. Ujumbe huu ni kwaajili ya wakati wote mzima uliodumu kwa muda wa kamamiaka 120. Ujumbe wake, basi, ni kwa ajili ya vizazi vyotekatika kipindi hicho. Sasa historia inafululiza kujirudiayenyewe. Katika vizazi vya Israeli tunaona ufufuo katikakizazi kimoja, lakini tunaona mioto ikififia katika kizazikinachofuata. Katika kizazi cha tatu, makaa ya moto huendayanameka kidogo, lakini katika cha nne huenda kusiwe nadalili ya mabaki-mabaki hata kidogo za ule mwali wamwanzoni. Basi Mungu anauwasha moto tena, halafu tendolile lile linarudiwa. Kwa urahisi tu ni dhihirisho la kweli yakwamba Mungu hana wajukuu. Wokovu haupokezanwi kwakuzaliwa kimaumbile kama kusivyo na ukweli hata kidogo wauhalifa wa kimitume. Haliko katika Neno. Unaanza na

Page 89: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 79

waamini waliozaliwa kweli mara ya pili, na wakati kizazikinachofuata kinapokuja wao si Wakristo wa kweli tena,lakini wamechukua jina la kimadhehebu na sasa wao niWabatisti, Wamethodisti, n.k. Hivyo ndivyo hasa walivyo, pia.Wao si Wakristo. Huna budi kuzaliwa kwa mapenzi ya Mungu,si mapenzi ya mwanadamu, upate kuokolewa. Lakini jamaahawa wote wanaungana sasa kwa mapenzi ya mwanadamu.Sisemi ya kwamba wengine wao hawako sawa na Mungu.Sisemi hivyo hata kidogo, lakini ule moto wa kwanzaumezima. Wao hawako vile walivyokuwa tena.

Ile shauku kali ya kumpendeza Mungu, shauku ya kutakakulijua Neno Lake, kilio cha kumtafuta Roho, yote yanaanzakufifia na badala ya kanisa hilo kuwaka kwa moto wa Mungu,limepoa na kuwa la kawaida kidogo. Hilo ndilo lililokuwalikitukia kule nyuma kwa Waefeso. Walikuwa wakiwa wakawaida kidogo. Kule kujikana kwao kwa ajili ya Mungukulikuwa kunafifia na watu hawakujali sana yale Mungualiyowawazia kwa kuwa walianza kujali yale ulimwenguulichowawazia. Kizazi cha pili kilichofuata kilikuwa tu kamaIsraeli. Walitaka wawe na mfalme kama mataifa mengine.Walipofanya jambo hilo, walimkataa Mungu. Lakini walifanyajambo hilo hata hivyo. Hiyo ndiyo historia ya kanisa. Wakatilinapowazia zaidi juu ya kufanana na ulimwengu badala yakufanana na Mungu, haichukui muda mrefu kabla hujawaonawakiacha kufanya mambo waliyozoea kufanya, na kuanzakufanya mambo ambayo wao wasingeyafanya hapo awali.Wanabadilisha namna yao ya kuvaa, njia zao na mienendo yao.Wanalegea. Hiyo ndiyo maana ya “Efeso:” kulegea_kuelea.

Mzunguko huo wa ufufuo na mauti haujafa kamwe.Unalohitaji kufanya tu ni kukumbuka tukio hili lililopita laMungu katika Roho wakati wanaume na wanawakewalipovalia kama Wakristo, walienda kanisani, wakaombausiku kucha, wakaenda pembeni mwa barabara naohawakuonea haya kuhusu madhihirisho ya Roho. Waliyaachamakanisa yao ya kale yaliyokufa na kuabudu nyumbani amakwenye majengo ya maghala ya kale. Walikuwa na kitu halisi.Lakini haikuchukua muda mrefu sana hata walipoanza kupatapesa za kutosha kujenga makanisa mazuri mapya. Waliwekakwaya badala ya wao wenyewe kumwimbia Mungu.Waliwavalisha wana kwaya majoho. Waliunda mashirika nawakayaongoza kwa njia ya mwanadamu. Mara wakaanzakusoma vitabu visivyostahili kusomwa. Waliacha milango wazina mbuzi wakaingia na kutawala. Zile kelele za furahazilikuwa zimekwisha. Uhuru wa Roho ulikuwa umeondoka.Loo! waliendelea na desturi; lakini ule moto ulikuwaumezimika na weusi wa majivu ndio karibu tu uliobakia.

Muda kidogo uliopita nilisema ya kwamba Yohanaalifahamu kumpenda Mungu ni kitu gani. Huyo mtume

Page 90: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

80 NYAKATI SABA ZA KANISA

mashuhuri wa upendo bila shaka angeona jambo hilo wakatikanisa lilipoanza kupoteza upendo huo wa kwanza waMungu. Katika I Yohana 5:3, yeye anasema, “Kwa maanahuku ndiko kumpenda Mungu, kwamba tuzishike amri Zake(Neno Lake).” Kuchepuka kidogo kutoka kwenye Neno hilokulikuwa ni hatua moja kutoka kwa Kristo. Watu wanasemawanampenda Mungu, wanaenda kanisani, hata wanapigamakelele na kufurahi na kuimba na kuwa na wakati wafuraha wa kuchemka. Lakini hayo yote yanapokwisha, weweangalia uone kama wako kwenye hilo NENO, wakienendakatika hilo, wakiishi ndani yake. Kama wakipitia katika hayomengine yote na kisha wasiende katika Neno hilo, wanawezakusema wanampenda Mungu bali maisha yao yanasimuliahadithi nyingine. Sijui kama Yohana hakuona mengi ya hayokabla hajafa; watu wakisema walimpenda Mungu lakinihawalitii Neno Lake. Loo! Kanisa la Efeso, jambo fulanilimewapata. Mtu fulani anajaribu aidha kuongeza kwenyeNeno hilo ama kuondoa kwake. Lakini wao wanafanya jambohilo kwa hila sana hata huwezi kuona. Hawajafanya tendokubwa sana hata uweze kuliona huko nje waziwazi.Limejificha, na wanalileta kwa njia ya hoja na ufahamu wakibinadamu na litashinda labda mlikatae. Rudini Pentekostekabla ya kuchelewa!

Lakini kama kawaida watu hawasikii onyo la Mungu. Huomoto wa ufufuo uliowashwa juu ya Neno takatifu ni mzurisana, na dhihirisho la Roho limebarikiwa sana, hivi kwambauoga mdogo unapenya ndani na mnong’ono moyoni unasema,“Tunawezaje kuilinda kweli tuliyo nayo? Tutafanyaje ili kuonaufufuo huu unaendelea?” Hapo ndipo roho ya “mpinga-Kristo”inapoingia na kunong’oneza, “Angalia, mnayo ile kweli sasa,angalieni isipotee. Undeni madhehebu na mworodheshekanuni zenu za imani mnazoamini. Ziandikeni zote katikakitabu kidogo cha mafundisho ya kanisa.” Nao wanafanyahivyo. Wanaunda madhehebu. Wanaongeza kwenye Neno. Naowanakufa kama tu Hawa alivyofanya kwa kuchukua Nenomoja lisilo sahihi. Neno la Mungu ndilo linaloleta uzima. Na sikutumainia yale tusemayo kuhusu Neno ya kutumainia, bali niyale aliyosema Mungu.

ONYO LA MUNGU

Ufu. 2:5, “Basi kumbuka ni wapi ulikoanguka, ukatubu,ukayafanye matendo ya kwanza; lakini, usipofanya hivyo najakwako upesi, Nami nitakiondoa kinara chako katika mahalipake, usipotubu.”

Mungu anawaambia WAKUMBUKE. Bila shaka jambofulani lilikuwa limewaacha. Walikuwa wamesahau jambofulani. Aliwaambia warudi nyuma katika nia zao mahali

Page 91: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 81

walipoanzia. Chimbuko la wakati wa kwanza lilikuwa niPentekoste. Walikuwa wameanguka kutoka hapo. Walikuwawamesahau utukufu na maajabu yake. Ilikuwa ni wakati wakurudi nyuma katika nia zao na halafu katika hali halisi.Warudi mahali ambapo waliweza kusema, “Kwangu mimikuishi ni Kristo.” Warudi nyuma kwenye usafi wakati Ananiana Safira walipoadhibiwa. Warudi kwenye Mlango uitwaoMzuri. Loo! ni jambo la aibu jinsi gani kuondoka kwa Munguna kuyapenda matendo yale yanayolichafua Jina Lake. Hebuhao wanaoliitia Jina Lake waache dhambi na kuweka vyombovyao safi kwa ajili ya Mungu. Angalia vile ulivyokuwa sikumoja moyoni mwako ama mawazoni na maishani mwako.Ndipo urudie hali hiyo.

Na njia ya kurudi ni ipi? Njia hiyo ni njia ya toba. Kamamwenye dhambi hana budi kumjia Mungu kwa njia ya tobabasi mwenye uvuguvugu ama aliyerudi nyuma hana budikutubu namna hiyo hiyo na zaidi sana. Tubuni! Zaeni matundayanayopatana na toba. Thibitisha jambo hilo kwa maishayako. “Usipotubu,” Mungu alisema, “Nitakiondoa kinarachako.” Bila shaka. Kanisa katika hali hiyo haliwezi kutoanuru kwa ulimwengu. Nuru yake imegeuka kuwa giza. Mungubasi atamwondoa mjumbe wake mwaminifu na wachungajiwake waaminifu na kuwaacha peke yao, nao wataendeleakuongea juu ya Ukristo, lakini wawe hawanao.

Tubu haraka! Usisitesite! Kwa dhahiri, Efeso ulisitasita,kwa kuwa kipindi chake cha maisha hakikuwa kirefu sana.Utukufu wa Mungu ulipungua wakati wote upesi sana.Haikupita muda mrefu ule mji ukaangamizwa. Lile hekalulake la fahari likawa magofu matupu yasiyo na umbo. Ardhiikawa bwawa walimoishi ndege wa majini; idadi kubwa yawatu iliangamia kuacha wasioamini wachache walioishikatika kijiji kichafu sana. Hapakuwepo na hata MkristoMMOJA aliyesalia. Taa iliondolewa mahali pake.

Sasa haimaanishi ya kwamba huo haungeweza kutubu.Haimaanishi ya kwamba hatuwezi kutubu. Tunaweza. Lakinihaina budi iwe ni upesi. Haina budi kuwa ni kilio cha kwelicha Mungu toka moyoni katika masikitiko, na ndipo Munguatarejesha. Utukufu utakuja tena.

MBEGU YA UNIKOLAI

Ufu. 2:6, “Lakini unalo neno hili, kwamba wayachukiamatendo ya Wanikolai, ambayo na Mimi nayachukia.”

Sasa kuna mawazo mawili juu ya Wanikolai walikuwa niakina nani. Inasemwa na baadhi ya wengine ya kwambawalikuwa ni kundi la makafiri lililokuwa na mwanzilishi wao,Nikolasi wa Antiokia, mwongofu, aliyekuwa mmoja wa walemashemasi saba wa Yerusalemu. Walikuwa na sikukuu za

Page 92: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

82 NYAKATI SABA ZA KANISA

kipagani nao walikuwa na mienendo michafu sana.Walifundisha ya kwamba ili kushinda mambo ya tamaa zamwili kabisa itamlazimu mtu kujua kwa vitendo mapana namarefu yake kwanza. Ilibidi basi watoe nafasi kwa tamaa zamwili hivi kwamba uasherati wao ukamilishwe. Hivyo basiwaliwapa majina mawili ya Agano la Kale ambayoyanawakilisha wenda wazimu wa jinsi hiyo: Balaamu naYezebeli. Kwa kuwa Balaamu aliwapotosha watu na hivyo basiakawashinda, ilisemekana ya kwamba Nikolasi alifanya vivyohivyo. Kundi hili linadhaniwa kwamba lilifukuzwa Efesondipo likapata mahali pa kukaa huko Pergamo.

Lakini shida iliyopo kuhusu imani hii ni kwamba sio yakweli. Hakuna historia kabisa ya jambo hilo. Zaidi sana hayoni mapokeo. Kuwa na maoni kama hayo ni kuufanya wakatiwa kanisa la Efeso kuwa wa kihistoria kabisa, usio nauhusiano wo wote na siku hizi. Hii si kweli, kwa maana chochote kinachoanza katika kanisa la mwanzoni hakina budikuendelea katika kila wakati mpaka hatimaye kikabarikiwena kuinuliwa na Mungu ama kuangamizwa kama kitu kichafukatika ziwa la moto. Kwamba mapokeo haya kweli ni kinyumecha Maandiko, angalia tu kwamba katika Ufu. 2:2, Kanisa laEfeso HALIKUWEZA KUCHUKULIANA na watu wabaya.Kwa hiyo ilibidi wawafukuze, ama haingekuwa na maanakusema wasingeweza kuchukuliana nao. Kamahawakuwafukuza, basi walikuwa wakichukuliana nao. Sasakatika aya ya sita, inasema ya kwamba wao waliyachukiamatendo yao. Kwa hiyo kundi hili la Wanikolai lilibakia kuwasehemu ya wakati wa kwanza, wakiendelea na matendo yao.Hayo matendo yalichukiwa, lakini nguvu waliokuwa nazo haowatu hazikuondolewa. Hivyo tunaona mbegu katika kipindicha Efeso ambazo zitaendelea na zitakuwa fundisholitakaloendelea mpaka, na katika, ziwa la moto.

Hawa Wanikolai ni akina nani? Neno hilo linatokana namaneno mawili ya Kiyunani. Nikao, ambalo maana yake nikushinda, na Laos, ambalo maana yake ni washirika. Kwakweli iliyo dhahiri, mtu fulani alikuwa akifanya jambo fulanikatika kanisa lile la mwanzoni ambalo lilikuwa likiwatiishawashirika. Kama washirika walikuwa wakitiishwa, basihapana budi ilikuwa ni “mamlaka fulani” iliyokuwekoinafanya jambo hilo.

Ni kitu gani ambacho Mungu alichukia ambacho kilikuwakinatendeka katika kanisa hilo? Yale yaliyokuwa yakiendeleawakati huo, na hivi sasa yanaendelea leo, ndiyo maana hasa yaneno Unikolai. Watu walikuwa kwa namna fulani wakiwekwachini ya mamlaka fulani ambayo ilikuwa kinyume kabisa naNeno la Mungu.

Sasa ili kupata maana kamili ya yale tunayokaribiakuingilia, sina budi kuwatahadharisha mweke daima moyoni

Page 93: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 83

ya kwamba dini (mambo ya kiroho ukitaka), ina sehemu mbiliambazo zimesokotana bali zinahitilafiana kabisa kama nyeusina nyeupe. Dini na ulimwengu wa roho vimefanyizwa kwa mitihiyo miwili ambayo mizizi yao ilikuwa huko Edeni. Mti waUzima na pia Mti wa Kujua Mema na Mabaya ilisimamakatikati ya ile bustani na hapana shaka matawi yakeyasokotana. Hivyo basi katika Kanisa lile la Efeso kunakitendawili kile kile. kanisa lina wazuri na wabaya. Kanisalinaudwa na mizabibu miwili. Mizabibu hiyo iko kama nganona magugu, vikikua pamoja. Lakini mmoja ni wa KWELI. Huomwingine ni wa UONGO. Sasa Mungu atasema NA kila mmojana atazungumza KUHUSU kila mmoja wao. Yeye ataiitakanisa. Na wateule peke yao ndio watakaojua yakini Roho wakweli ni yupi. Wateule peke yao ndio ambao hawatapotezwa.Mat. 24:24, “Kwa maana watatokea Makristo wa uongo, namanabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu;kiasi kwamba wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata waliowateule.” Kwa hiyo huko nyuma mbali sana katika kanisa lamwanzoni (kipindi kidogo sana baada ya Pentekoste) mzabibuwa uongo ulijisokotea kwenye Mzabibu wa Kweli nasi tunaonamatendo haya ya Wanikolai. Na roho huyo ataonekanaakiupiga vita Mzabibu wa Kweli mpaka wakatiutakapoangamizwa na Mungu. Je! sasa umelipata?

Vema. Sasa hali ya kiroho ya kanisa hilo ilikuwaje?Lilikuwa limeuacha upendo wake wa kwanza. Kuachaupendo wake wa kwanza wa Neno la Mungu kulifunuliwakwetu kama kuanguka kutoka kwenye ile asili yake, ambayoilikuwa ni Pentekoste. Katika lugha rahisi, hilo linamaanishakanisa hili lilikuwa katika hatari ya kuondolewa kutokakwenye uongozi wa Roho Mtakatifu, utawala wa Roho.Jambo hili ndilo lililotukia hasa baada ya Musa kuwaongozaIsraeli kutoka Misri. Njia ya Mungu ilikuwa ni kuwaongozakwa wingu la moto, neno la nabii, miujiza na ishara, namaajabu yatokayo kwa Mungu. Haya ilibidi yatimizwe nawatu ‘Walioteuliwa na Mungu’, na ‘Waliochaguliwa naMungu’, na ‘Walioandaliwa na Mungu’, na ‘Waliotumwa naMungu, na kambi nzima ikitawaliwa na nguvu za RohoMtakatifu. Wao waliasi na kutaka orodha ya kanuni nakanuni za imani watakazoenenda kwazo. Kisha wakatakamfalme. Halafu wakataka kuwa kama watu wa ulimwengukabisa na wakaingia katika kukana imani kabisa na kutojali.Hivyo ndivyo jinsi hasa wakati wa kwanza wa kanisaulivyoanza, na jambo hilo litaendelea kuharibika zaidi nazaidi, mpaka Roho Mtakatifu amekataliwa kabisa na Munguhana budi kuwaangamiza watu.

Unaona jinsi jambo hilo lilivyoanza katika kanisa lamwanzoni. Liliitwa matendo. Halafu likawa fundisho. Likawandicho kielelezo. Likashupaa. Hatimaye likashika hatamu na

Page 94: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

84 NYAKATI SABA ZA KANISA

Mungu akasukumiwa kando. Loo! lilianza likiwa dogo sana,limetulia sana, bila shari kabisa. Lilionekana ni zuri sana.Lilionekana ni la kweli. Ndipo likashikilia, na kama vile chatulililibana kanisa pumzi na kuua kiroho chote kilichokuwemondani yake. Loo! huo mzabibu wa uongo ni mjanja. Uko kamamalaika wa nuru mpaka unakushika. Sasa nataka kusema yakwamba ninaamini katika uongozi. Lakini si uongozi wawanadamu. Ninaamini katika uongozi wa Roho Mtakatifuakipitia kwenye Neno. Ninaamini pia, ya kwamba Munguameweka watu kanisani, watu ambao wana karama za Roho;nao wataliweka kanisa katika utaratibu. Ninaamini jambohilo. Ninaamini pia ya kwamba kanisa linatawaliwa na watuambao Mungu huwatuma kuchukua wajibu. Lakini uongozihuo ni KWA NENO, hivi kwamba si wanadamu kweliwanaoongoza bali ni ROHO WA MUNGU, kwa maana Nenona Roho ni MMOJA. Ebr. 13:7, “Wakumbukeni wale waliokuwawakiwaongoza, waliowaambia Neno la Mungu; tena, kwakuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imaniyao.”

Lakini angalieni jambo lililokuwa likitukia kule nyuma.Huo mzabibu wa uongo ulikuwa ukishikilia nao ulikuwaukifundisha ya kwamba uongozi wa mwanadamu ulikuwa niwa kweli. Ulifundisha ya kwamba lazima kanisa liongozwe.Ulifundisha usimamizi juu ya watu, lakini badala ya kulifanyajambo hilo katika njia ya Mungu, wao walichukua kwa urahisitu mamlaka na kuweka mamlaka yote ya kiroho kwenyemikono yao wenyewe ndipo wakaja kutokea na ukuhanimtakatifu ukisimama kati ya Mungu na watu. Walirudi mojakwa moja nyuma kwenye utarativu wa kale wa Kiharuni.Wakawa mpinga-Kristo kwa maana waliondoa kazi Yake yaupatanisho Wake na kuweka wao. Mungu alichukia jambohilo. Waefeso walichukia jambo hilo na mwamini ye yote wakweli atalichukia pia. Ingetubidi tuwe vipofu kabisa tusiwezekuoana jambo lilo hilo likitenda kazi katika nyakati zote nasasa hivi limekuwa baya kupindukia. Jambo lenyewe lilikuwa,ni madhehebu. Hayo yaliwatenganisha watu. Watu wa Munguwanapaswa kuwa ni kitu kimoja. Kwa Roho MMOJA WOTEwamebatizwa kuwa mwili mmoja na KILA MMOJA hana budikuongozwa na Roho Mtakatifu na KILA MMOJA anapaswakushiriki katika kumwabudu Mungu. Lakini watu walitakawatawale wao, kwa hiyo wakachukua mamlaka, ndipomaaskofu wakawa maaskofu wakuu, na kwa vyeo vikubwa-vikubwa wakaliweka Neno la Mungu kando na kufundishamafundisho yao wenyewe. Waliwafanya watu kuwatii waompaka ikafikia wakati ambapo njia yao ya kuabudiahaikufanana kabisa na ya siku za mwanzoni baada yaPentekoste. Matendo haya yalikuwa ndio mwanzo wa uhalifawa kimitume. Kutoka kwenye uhalifa wa kimitume ilikuwa nihatua moja rahisi na ya haraka kufikia “unachama wa kanisa”

Page 95: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 85

kama njia ya neema iokoayo. Neno liligeuzwa likawa kanuniya imani. Mpinga-Kristo alikuwa akilitawala kanisa kwa rohowake.

Angalia jambo hilo leo. Ukisoma Matendo ya Mitume 2:4jinsi wengine wanavyofanya, ungeweza kulisoma hivi, “Hatahapo ilipotimia siku ya Pentekoste, kukaja kasisi na mkatemdogo mwembamba na kusema, “Toa ulimi wako,’ nayeakaweka ule mkate mwembamba juu ya ulimi, na yeyemwenyewe akanywa divai kidogo na kusema, ‘Sasammempokea Roho Mtakatifu’.” Ati haiwezekani? Hapo ndipokabisa Unikolai ulipofika. Wao wanasema, “Msijali vile Nenola Mungu lisemavyo. Hamwezi kulifahamu. Inabidi sisituwafasirie. Isitoshe Biblia haijamalizika bado. Haina budikubadilika na wakati nasi tutawaambia hayo mabadiliko niyapi.” Jinsi jambo hilo lilivyo kinyume na Neno la Munguambalo linatamka kwa mkazo, “Mungu aonekane kuwa amini,na kila mtu mwongo,” wakati wo wote panapotokea upinzanikwa ile kweli. Mbingu na nchi zitapita, lakini HAKUNAHATA NENO MOJA la Mungu litakaloshindwa. Kwa hiyowatu wanaongozwa na watu wanaodhania kuwa kitu wasicho.Wanasema ati wao ni badala ya Kristo, bali kile walicho nimpinga-Kristo.

Hapa kuna habari nyingine ya huzuni. Ni habari yaubatizo wa maji. Katika siku za Yesu na baada ya Pentekostewao walizamishwa katika maji. Hakuna mtu anayewezakukanusha jambo hilo. Watu wenye elimu wanasema yakwamba jambo tu walilofanya ilikuwa ni kuwamwagia majikwa sababu ilikuwa ni rahisi kupata vishimo vya maji katikasehemu nyingi. Na wakati wanapowamwagia maji, wanafanyajambo hilo kwa jina la Baba na la Mwana na la RohoMtakatifu, kama kwamba sifa hizo zilikuwa ni majina halisi,na kama kwamba kulikuweko na Miungu watatu badala yammoja tu. Lakini hebu kaa katika madhhebu hayo na ujaribukuhubiri kweli ya kuzamishwa katika Jina la Bwana YesuKristo nawe utafukuzwa. Usingeweza kuongozwa na Munguna ukae huko. Haiwezekani.

Sasa Paulo alikuwa nabii, aliyefundishwa na RohoMtakatifu. Kama Paulo alibatiza katika Jina la Bwana YesuKristo, na akasema mtu ye yote aliyetenda tofauti na mahubiriyake amelaaniwa, basi wakati umefika wa kuamka na kuonaya kwamba kanisa haliongozwi tena na Roho Mtakatifu balilinaongozwa na Wanikolai. Matendo 20:27-30, “Kwa maanasikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo RohoMtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake,mpate kulilisha kanisa Lake Mungu, alilolinunua kwa damuYake Mwenyewe. Kwa kuwa najua jambo hili, ya kuwa baadaya kuondoka kwangu mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu,

Page 96: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

86 NYAKATI SABA ZA KANISA

wasilihurumie kundi. Tena katika ninyi wenyewe watainukawatu, wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunziwawaandamie wao.”

Paulo aliona jambo hilo likija. Lakini aliwaonya juu yaukuhani huu wenye hila ambao ungekuja na kuchukuamamlaka kwa mafundisho yake ya uongo. Yeye alijuawangeanzisha njia ya ibada ambayo ingewazuia watuwasishiriki katika sehemu yo yote ya huduma ya RohoMtakatifu. Na hata hivi leo kati ya wale wanaodai kuwa huruna wamejaa Roho hakuna uhuru mwingi sana katika wafuasi,na jambo zuri sana tunaloweza kuona ni wahubiri wachachewenye mahubiri yenye upako huku kundi limeketi pale tu nakujaribu kuyashika. Jambo hili liko mbali sana na Pauloaliyesema ya kwamba wakati wote wanapokutanika, wotewalikuwa na uongozi wa Roho, na wote walishiriki katikaibada ya Kiroho.

Na jamii ya kanisa haijajifunza somo hili kutoka kwenyeMaandiko wala kutoka kwenye historia. Kila wakati Munguanapomwaga Roho Mtakatifu na watu wanakuwa huru, baadaya kitambo kidogo wao hujifunga tena kwenye jambo lilewalimotoka. Wakati Luther alipotoka kwenye Ukatoliki, watuwalikuwa huru kwa muda kidogo. Lakini alipokufa, watukirahisi tu waliyawekea utaratibu yale waliyodhania yeyealiyaamini pia wakaanzisha kanuni zao za imani na mawazoyao na wakajitenga na mtu ye yote aliyenena kinyume na yalewaliyonena. Walirudi moja kwa moja kwenye Ukatolikiwakiwa na utaratibu tofauti kidogo. Na leo hii Waluteri wengiwako tayari kurudi kule nyuma kabisa.

Loo! naam! Katika Ufunuo 12, yule kahaba wa kalealikuwa na mabinti wengi. Mabinti hawa ni kama tu mamayao. Wao wanaliweka Neno kando, wanaikana kazi ya Rohowa Mungu, wanawatawala wafuasi, na wanalifanya kuwajambo lisilowezekana kwa wafuasi kumwabudu Munguisipokuwa waje kwa kupitia kwao ama kwa kupitia katikakielelezo chao, ambacho si kitu cho chote ila ni jama zakutokuamini kutoka kwa Shetani mwenyewe.

Tuko wapi, loo tuko wapi, kiroho? Tuko katika nyika yagiza. Jinsi tumeenda mbali na kanisa la kwanza. Pentekostehaionekani mahali po pote wala Neno haliwezi kupatikana.Uhalifa wa kimitume, ambao leo umejaa tele, haupo kwenyeNeno. Ni tungo za watu. Unatangua isivyo halali ukwelikwamba MUNGU, WALA SI MWANADAMU, amewekaviongozi Wake kanisani. Petro hata hakuwa kule Rumi. Hatahivyo wao wanasema uongo na kusema yeye alikuwako huko.Historia inathibitisha ya kwamba hakuwako. Kuna watuwanaosoma historia, lakini wanainua mabega yao na kurudikuamini uongo. Unaweza kupata wapi ‘aliye badala ya Kristo’katika Neno? Hakuna mtu anayepachukua mahali Pake,

Page 97: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 87

walakini jambo hilo limefanyika na watu wanalikubali.Ni wapi unapoweza kupata kwamba ‘ufunuoulioongezewa’unakubaliwa na Mungu, hasa sana ufunuounaopingana na ule uliokwisha tolewa tayari? Hata hivyo waowanaukubali na kuushikilia. Unapata wapi ‘pegatore’?Unapata wapi ‘misa’? Unapata wapi ‘kulipa pesa ili mtu apatekutolewa kutoka kuzimu’? Hakumo katika Neno, lakini watuhuweka jambo hilo katika kitabu chao wenyewe na kwa njiahiyo wamewateka watu, wakiwatawala kwa hofu. Unapatawapi ati ‘mtu ana mamlaka ya kutusamehe kama kwamba yeyealikuwa Mungu’? “Mbwa mwitu wakali,” hata si kali vyakutosha kuwaelezea. Unikolai. Madhehebu. Mwanadamuakimtawala mwanadamu.

Mrudieni Mungu. Tubuni kabla hamjachelewa. Angaliamaandiko ya mkono ukutani. Yanaandika hukumu. Kama vileambavyo vyombo vitakatifu vilivyotiwa unajisi na kwa hiyovikaleta ghadhabu ya Mungu, sasa Neno takatifu limetiwaunajisi na Roho akahuzunishwa, na hukumu imekuja, hasa ipomlangoni. Tubuni! Tubuni! Rudini Pentekoste. Rudini kwenyeuongozi wa Roho Mtakatifu! Rudini kwenye Neno la Mungu,kwa kuwa kwa nini mfe?

SAUTI YA ROHO

Ufu. 2:7, “Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hiliambalo Roho ayaambia makanisa: Yeye ashindaye, nitampakula matunda ya Mti wa Uzima, Ulio katika bustani yaMungu.”

“Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa.” Huenda ikawa ya kwamba mamilioniwatayasikia maneno haya ama watayasoma. Lakini ni wangapiwatakaoyasikiliza? Hayo hatujui. Lakini yule atakayesikilizana anayetaka kujua maneno ya kweli atamwona Roho waMungu akimtia nuru. Kama sikio lako ni nyofu kwa Neno,Roho wa Mungu atalifanya Neno kuwa dhahiri kwako. Sasahiyo ni kazi ya Roho. Ninaweza kukufundisha kweli, balikama hufungui sikio lako upate kuisikia na moyo wako upatekuipokea, hutapata ufunuo

Sasa angalia, inasema ya kwamba Roho ananena namakanisa. Huo ni wingi, si umoja. Roho hakumwacha Yohanaaandike haya kwa ajili ya kanisa la mtaa la Efeso, wala si kwaajili ya ule wakati wa kwanza peke yake. Ni kwa ajili yanyakati zote za kanisa. Lakini hili ni kanisa la mwanzoni. Nakwa hiyo ni kama Kitabu cha Mwanzo. Kile kilichoanza katikaMwanzo kinaendelea wakati wote katika Neno lote nahatimaye kinamalizikia katika Ufunuo. Kwa hiyo, kanisa hililinaloanza katika Matendo ndilo ramani ya Mungu kwa ajili yanyakati zote mpaka linapoishia katika Wakati wa Laodikia.

Page 98: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

88 NYAKATI SABA ZA KANISA

Uliangalie hilo kwa makini. Hebu kila wakati utahadhari, kwamaana kile kinachoendelea hapa ni mwanzo tu. Ule mti mdogouliopandwa utakua. Utakua wakati wote katika zile nyakati.Huu, basi, ni ujumbe kwa kila Mkristo katika kila wakatimpaka atakapokuja Yesu. Naam, ndivyo ilivyo, kwa maanaRoho ndiye anayenena. Amina.

THAWABU ILIYOAHIDIWA

Ufunuo 2:7,^”Yeye ashindaye, nitampa kula matunda yaMti wa Uzima, Ulio katika bustani ya Mungu.” Hii ndiyothawabu ya wakati ujao kwa washindi wote wa nyakati zote.Wakati wito wa mwisho wa kupiga vita umetangazwa, wakatisilaha zetu zimekwisha kuwekwa chini, ndipotutakapopumzika katika bustani ya Mungu na sehemu yetuitakuwa ni ule Mti wa Uzima, milele.

“Mti Wa Uzima.” Je! huo si msemo unaopendeza?Umetajwa mara tatu katika Kitabu cha Mwanzo na mara tatukatika Kitabu cha Ufunuo. Katika sehemu zote sita ni mti uleule na unaonyesha kwa mfano kitu kile kile.

Lakini Mti wa Uzima ni nini? Vema, kwanza kabisaingetupasa kujua mti wenyewe unawakilisha nini. KatikaHesabu 24:6, kama vile Balaamu alivyotoa sifa za Israeli, yeyealisema walikuwa “mfano wa mishubiri aliyoipanda Bwana.”Miti katika Biblia nzima inanena juu ya watu, kama vilekatika Zaburi 1. Hivyo basi Mti wa Uzima hauna budi kuwa niMtu wa Uzima, na huyo ni Yesu.

Sasa katika Bustani ya Edeni kulikuweko na miti miwiliiliyosimama katikati yake. Mmoja ulikuwa ni Mti wa Uzima,huo mwingine ulikuwa ni Mti wa Kujua Mema na Mabaya.Mwanadamu alipaswa kuishi kwa Mti wa Uzima; balihakupaswa kugusa mti huo mwingine la sivyo angekufa.Lakini mwanadamu alikula mti huo mwingine, na wakatialipofanya jambo hilo, mauti ilimwingia kwa njia ya dhambi,naye akatenganishwa na Mungu.

Sasa huo mti kule nyuma katika Edeni, Mti ule ambaoulikuwa ndio chanzo cha uzima, ulikuwa ni Yesu. KatikaYohana, sura ya sita hadi ya nane, Yesu anajionyeshaMwenyewe kama chanzo cha uzima wa milele. Alijiita Chakulakitokacho mbinguni. Alinena juu ya kujitoa Mwenyewe na yakwamba mtu akimla Yeye hatakufa kamwe. Alitangaza yakwamba alimjua Ibrahimu, na ya kwamba Ibrahimuasijakuwepo, Yeye ALIKUWEKO. Alitabiri ya kwamba YeyeMwenyewe angewapa maji yaliyo hai ambayo mtu akiyanywahangeona kiu tena, bali angeishi milele. AlijionyeshaMwenyewe kama MIMI NIKO NILIYE MKUU. Yeye niChakula Cha Uzima, Kisima Cha Uzima, Aliye wa Milele, MTI

Page 99: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 89

WA UZIMA. Yeye alikuweko kule nyuma katika Edenikatikati ya bustani kama tu vile atakavyokuwa katikati yabustani ya Mungu.

Wengine wana wazo ya kwamba ile miti miwili katikabustani ilikuwa tu ni miti mingine miwili kama ile mingineambayo Mungu alikuwa ameiweka mle. Lakini wanafunziwaangalifu wanajua ya kwamba hivi sivyo ilivyo. WakatiYohana Mbatizaji alipopaza sauti ya kwamba shokalimewekwa kwenye shina la miti yote, yeye hakuwa tuanazungumzia juu ya miti ya kawaida, lakini juu ya kanuni zakiroho. Sasa katika I Yohana 5:11, inasema, “Na huu ndioUSHUHUDA, ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele; nauzima huu umo katika Mwanawe.” Yesu alisema katikaYohana 5:40, “Wala hamtaki kuja Kwangu mpate kuwa nauzima.” Kwa hiyo ushuhuda, Neno la Mungu, linasema dhahirina kwa wazi ya kwamba UZIMA, UZIMA WA MILELE, umokatika Mwana. Hauko mahali pengine po pote. I Yohana 5:12,“Yeye aliye Naye Mwana anao huo UZIMA; asiye naye Mwanawa Mungu HANA huo Uzima.” Sasa, kwa kuwa ushuhuda huohauwezi kubadilika, kupunguzwa wala kuongezewa, basi huoushuhuda unasimama ya kwamba UZIMA HUO UMOKATIKA MWANA^Kwa kuwa jambo hili ni kweli, ULE MTIKATIKA BUSTANI HAUNA BUDI KUWA NI YESU.

Vema. Kama Mti wa Uzima ni mtu, basi Mti wa KujuaMema na Mabaya ni mtu PIA. Haiwezi kuwa vinginevyo. Kwahiyo yule Mwenye Haki na Yule Mwovu walisimama pamojapale katikati ya Bustani ya Edeni. Eze. 28:13a, “Ulikuwa(Shetani) ndani ya Edeni, bustani ya Mungu.”

Hapa ndipo tunapoupokea ufunuo wa kweli wa ‘Mzao wanyoka’. Hivi ndivyo ilivyotukia hasa katika Bustani ya Edeni.Neno linasema ya kwamba Hawa alidanganywa na nyoka.Kwa kweli alitongozwa na nyoka. Inasema katika Mwa. 3:1,“Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wamwitu aliowafanya Bwana Mungu.” Mnyama huyu alikuwaanafanana sana na mwanadamu (na hata hivyo alikuwamnyama halisi) hata angeweza kuhojiana na kunena. Alikuwamnyama anayeweza kusimama wima na kwa namna fulanialikuwa kati ya sokwe mtu na mwanadamu, lakini anafananazaidi na mwanadamu. Alikuwa anafanana sana namwanadamu hivi kwamba mbegu yake ingeweza, na iliwezakuungana na ya mwanamke na kumfanya abebe mimba.Jambo hili lilipotukia, Mungu alimlaani nyoka. Aligeuza kilamfupa katika mwili wa nyoka hivi kwamba ilimbidi kutambaakama nyoka. Sayansi inaweza kujaribu iwezavyo, walahaitapata pengo lililopotea. Mungu alihakikisha hatalipata.Mwanadamu ana akili na anaweza kuona uhusiano wamwanadamu na mnyama na anajaribu kuthibitisha jambo hilokwa ivolusheni. Hakuna ivolusheni yo yote. Lakini

Page 100: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

90 NYAKATI SABA ZA KANISA

mwanadamu na mnyama walichangamana. Hiyo ni moja yasiri za Mungu ambazo zilibaki zimefichwa, lakini hii hapaimefunuliwa. Jambo hilo lilitukia moja kwa moja kule nyumakatikati ya Edeni wakati Hawa alipoacha Uzima akakubaliMauti.

Angalia vile Mungu alivyowaambia katika ile bustani.Mwa. 3:15, “Nami nitaweka uadui kati yako na huyomwanamke, na kati ya uzao wako na Uzao wake, na Huoutakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino.” Kamatukikubaliana na Neno ya kwamba mwanamke kweli alikuwana Uzao, basi nyoka naye bila shaka alikuwa na mzao. KamaUzao wa mwanamke ulikuwa mtoto mwanamume asiyetokanana mwanamume, basi uzao wa nyoka utapaswa kuwa katikamtindo ule ule, na hiyo ni kusema mwanamume mwinginehana budi kuzaliwa mbali na njia ya mwanamume. Hakunamwanafunzi asiyejua ya kwamba Uzao wa mwanamke alikuwani Kristo aliyekuja kwa njia ya Mungu, mbali na kujuanakimwili kwa binadamu. Inajulikana vizuri pia ya kwamba kulekupondwa kwa kichwa kwa nyoka kulikobashiriwa kwa kwelikulikuwa ni unabii kuhusu yale ambayo Kristo angetimizadhidi ya Shetani msalabani. Hapo msalabani Kristoangekiponda kichwa cha Shetani, naye Shetani angekipondakisigino cha Bwana.

Sehemu hii ya Maandiko ni ufunuo wa jinsi ambavyo uzaohalisi wa nyoka ulivyopandwa duniani, yaani kama viletulivyo na taarifa ya Luka 1:26-35, ambapo imeandikwa taarifahalisi ya vile Uzao wa mwanamke ulivyodhihirishwa kimwilimbali na njia ya mwanamume. “Mwezi wa sita, malaikaGabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya,jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwaameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa mbari ya Daudi; najina lake bikira huyo ni Mariamu. Na huyo malaika akaingianyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwanayu pamoja nawe: umebarikiwa kati ya wanawake. Nayealipomwona, akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake,akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani? Malaikaakamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neemakwa Mungu. Tazama, utachukua mimba na kuzaa MtotoMwanamume; na jina lake utamwita YESU. Huyo atakuwamkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampakiti cha enzi cha Daudi, baba Yake. Ataimiliki nyumba yaYakobo hata milele, na ufalme Wake utakuwa hauna mwisho.Mariamu akamwambia malaika, Litakuwaje neno hili, maanasijui mume? Malaika akajibu akamwambia, Roho Mtakatifuatakujilia juu yako, na nguvu Zake Aliye juu zitakufunikakama kivuli; kwa sababu hiyo Hicho Kitakachozaliwa kitaitwaKitakatifu, Mwana wa Mungu.” Kama vile Mzao wamwanamke ulivyokuwa ni Mungu Mwenyewe kabisa akijizaa

Page 101: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 91

katika mwili wa mwanadamu, vivyo hivyo na uzao wa nyokani njia halisi ambayo Shetani aliona aliweza kujifunguliamlango wa kuingia katika jamii ya binadamu.Haingewezekana kwa Shetani (kwa maana ni kiumbe chakiroho KILICHOUMBWA tu) kujizaa katika njia ambayoMungu alijizaa, kwa hiyo taarifa ya Kitabu cha Mwanzoinasimulia ambavyo yeye alitoa mbegu yake na kuanzisha amakujiingiza mwenyewe katika jamii ya binadamu. Pia kumbukaya kwamba Shetani anaitwa ‘nyoka’. Tunazungumzia juu yambegu yake ama kuingia kwake katika jamii ya binadamu.

Kabla ya Adamu kumjua Hawa kimwili, nyoka alitanguliakumjua. Na yule aliyezaliwa kwa tendo hilo alikuwa ni Kaini.Kaini alikuwa wa (alizaliwa na, alitokana na) “Yule Mwovu.”1 Yohana 3:12. Roho Mtakatifu ndani ya Yohana hangewezamahali fulani amwite Adamu “Yule Mwovu” (kwa maanahivyo ndivyo ambavyo angekuwa kama yeye ndiye aliyemzaaKaini) na katika mahali pengine amwite Adamu “Mwana waMungu” ambavyo ndivyo alivyokuwa kwa kuumbwa. Luka3:38. Kaini aligeuka akawa na tabia kama ya baba yake,anayeleta kifo, mwuaji. Kumkaidi kwake Mungu kabisawakati alipokabiliwa na Mwenyezi katika Mwa. 4:5,9,13,14,kunamwonyesha yakini kuwa asiye na tabia kabisa yabinadamu, hata alionekana kama amezidi taarifa yo yotetuliyo nayo katika Maandiko ya kuhusu Shetani kukabilianana Mungu. “Bali Kaini hakumtakabali, wala sadaka yake.Kaini akaghadhibika sana, uso wake ukakunjamana. Bwanaakamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema,Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? Kaini akamwambiaBwana, Adhabu yangu imenikulia kubwa, haichukuliki.Tazama, umenifukuza leo katika uso wa ardhi, nitasitirikambali na uso Wako, nami nitakuwa mtoro na mtu asiye nakikao duniani; hata itakuwa kila anionaye ataniua.”

Angalia jinsi kumbukumbu ya Mungu inavyoandika taarifahalisi ya kuzaliwa kwa Kaini, Habili na Sethi. Mwa. 4:1,“Adamu akamjua Hawa mkewe, naye akapata mimba,akamzaa Kaini, akasema, Nimepata mtoto mwanamume kwaBwana. Akaongezea akamzaa ndugu yake, Habili.” Mwa. 4:25,“Adamu akamjua mke wake tena; akamzaa mwanamwanamume, akamwita jina lake Sethi^” Kuna wanaWATATU waliozaliwa kutokana na vitendo VIWILI vyakujuana kimwili kwa Adamu. Kwa kuwa Biblia ni Neno halisina kamilifu la Mungu, hili si kosa bali ni kumbukumbu lakutuangazia. Kwa kuwa wana WATATU walizaliwa kwamatendo MAWILI ya Adamu, unajua KWA KWELI yakwamba MMOJA wa hao watatu HAKUWA mwana waAdamu. Mungu aliandika kumbukumbu hili katika njia hiisahihi kutuonyesha jambo fulani. Ukweli wa mambo nikwamba Hawa aliKuwa na wana WAWILI tumboni mwake

Page 102: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

92 NYAKATI SABA ZA KANISA

(mapacha) kutokana na kuchukua mimba MBALIMBALI. Yeyealikuwa anabeba mapacha, huku ana mimba ya Kainiikitangulia kwa kipindi cha muda fulani ile ya Habili.Waangalie hao MAPACHA tena. Mfano mkamilifu kama ilIvyosikuzote. Kwa wale wanaofikiria kwamba jambo hilihaliwezekani, na ijulikane ya kwamba kumbukumbu zahospitali zimejaa visa ambapo wanawake wamebeba mapachawaliokuwa wa mayai tofauti na wa mimba tofauti zilizobebwana huku kupata mimba kwa mayai kukiwa kumeachana kwasiku kadha, na ISITOSHE, lakini baadhi ya kumbukumbu hizozinaonyesha ya kwamba mapacha hao walikuwa wa babambalimbali. Hivi karibuni taarifa ilitolewa ulimwengu mzimajuu ya mama mmoja wa Kinoruwei aliyekuwa anamshtakimumewe apate kumtunza yeye na mapacha wake, pachammoja akiwa mzungu na huyo mwingine mweusi. Alikubali yakwamba alikuwa na mpenzi wa Kinegro. Mimba hizo mbiliziliachana kwa muda wa kama majuma matatu. KatikaBeaumont, Texas, mwaka wa 1963, kumbukumbu tenazinaonyesha kuzaliwa kwa watoto kadha ambapo mimbazilikuwa zimeachana kwa siku nyingi, kwa kweli ilikuwa hivikwamba mwanamke huyo nusura afe na mtoto mmoja katikakuzaa.

Sasa kwa nini jambo hili likatendeka hivyo? Kwa niniikawa kwamba uzao wa nyoka hauna budi kuja namna hii?Mwanadamu aliumbwa kwa ajili ya Mungu. Mwanadamualipaswa kuwa hekalu la Mungu. Mahali pa Mungu pakustarehe (Roho Mtakatifu) palikuwa ni mwanadamu, lilehekalu. Matendo 7:46-51, “Aliyepata fadhili mbele za Mungu,naye aliomba ampatie Mungu wa Yakobo maskani. LakiniSulemani alimjengea nyumba. Ila Yeye aliye juu hakai katikanyumba zilizofanywa kwa mikono, kama vile asemavyo nabii,Mbingu ni kiti Changu cha enzi, na nchi ni pa kuwekeamiguu Yangu: ni nyumba gani mtakayonijengea? asemaBwana, Au ni mahali gani nitakapostarehe? Si mkono Wanguuliofanya haya yote? Enyi wenye shingo ngumu, msiotahiriwamioyo wala masikio, sikuzote mnampinga Roho Mtakatifu;kama baba zenu walivyofanya, na ninyi ni vivyo hivyo.”Shetani amejua jambo hili tangu zamani. Yeye pia anatakakukaa ndani ya mtu kama vile Mungu anavyofanya. LakiniMungu amejiwekea Mwenyewe haki hiyo. Shetani hawezikufanya jambo hilo. Mungu peke Yake ndiye aliyeonekanakatika mwili wa kibinadamu. Shetani hangeweza na hawezikufanya jambo hilo. Yeye hana nguvu za uumbaji. Njia pekeeya Shetani kutimiza aliyotaka kufanya ilikuwa ni kumwingiayule nyoka kule Edeni yaani kama vile alivyoingia kwa njiaya pepo wachafu katika wale nguruwe Gadara. Munguhawaingii wanyama; bali Shetani anaweza na atawaingiakutimiliza matakwa yake. Yeye hangeweza kumpata mtotomoja kwa moja kwa Hawa kama Mungu alivyofanya kwa

Page 103: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 93

Mariamu, kwa hiyo alimwingia nyoka na akamdanganyaHawa. Yeye alimtongoza na kwa kumtumia Shetani akapatamtoto kwake ili achukue mahali pake. Kaini alikuwa na tabiazote za kiroho za Shetani na tabia za kinyama (tamaa zakimwili, kinyama) za yule nyoka. Si ajabu Roho Mtakatifualisema ya kwamba Kaini alikuwa wa yule mwovu. Ndivyoalivyokuwa.

Sasa nataka kuingilia thibitisho fulani tulilo nalo kwambakuna uhusiano halisi kati ya mwanadamu na mnyama. Nijambo la kimaumbile. Je! unajua ya kwamba unawezakuchukua chembechembe hai za mimba kutoka katika kijusucha mtoto kabla ya kuzaliwa na kuziingiza kwa binadamu?Ndipo hizo chembechembe za kikoromeo zitaingia moja kwamoja mpaka kwenye kikoromeo cha mwanadamu,chembechembe za figo zitaingia moja kwa moja kwenye figo zamwanadamu. Unatambua jinsi jambo hili lilivyo la ajabu sana?Akili fulani huongoza chembechembe hizo za mnyama mojakwa moja kwenye mahali papaswapo. Akili hiyo huzikubalichembechembe hizo na kuziweka sawasawa mahalipapaswapo. Kuna uhusiano kati ya mnyama na mwanadamu.Hawawezi kuchangamana na kuzaa. Jambo hilo limejaribiwa.Lakini kule nyuma katika ile bustani kuchangamana hukokulitukia na uhusiano wa kemikali uliopo bado unathibitishajambo hilo. Kwa maana kule nyuma katika Edeni nyokaalikuwa mnyama anayesimama wima. Yeye alifanana namwanadamu. Alikuwa karibu ni mtu. Shetani alipata nafasi yakutumia tabia za maumbile ya yule nyoka apate kumdanganyaHawa. Ndipo Mungu akaangamiza umbile hilo la nyoka.Hakuna mnyama mwingine anayeweza kuchanganyikana namwanadamu. Lakini uhusiano upo.

Sasa kwa kuwa tumefikia umbali huu, hebu nijaribukuangazia akili zenu juu ya somo hili ili mweze kuonaumuhimu wa sisi kuingilia ‘fundiso la uzao wa nyoka’ kamanilivyofanya. Tunaanza na kweli kwamba kulikuwa na mitiMIWILI katikati ya ile bustani. Ule Mti wa Uzima ulikuwa niYesu. Huo mti mwingine hakika ni Shetani kwa sababu ya kilekilichotoka katika tunda la mti huo. Sasa basi, tunajua yakwamba miti hiyo miwili ilikuwa na uhusiano na mwanadamula sivyo haingewekwa pale kamwe. Hapana shaka ilikuwa nasehemu katika mpango mkuu na kusudi la Mungu katikauhusiano wao na jamii ya mwanadamu na kwa YeyeMwenyewe la sivyo hatungeweza kumhesabia Mungu kwambaanajua mambo yote. Hii yote ni kweli kufikia umbali huu,sivyo? Sasa Neno bila shaka linasema ya kwamba kabla yakuwekwa misingi ya dunia kusudi la Mungu lilikuwa nikushiriki Uzima Wake wa Milele na mwanadamu. Efe. 1:4-11,“Kama vile alivyotuchagua katika Yeye kabla ya kuwekwamisingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na

Page 104: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

94 NYAKATI SABA ZA KANISA

hatia mbele Zake katika pendo. Kwa kuwa alitanguliakutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo,sawasawa na uradhi wa mapenzi Yake, Na usifiwe utukufu waneema Yake, ambayo ametuneemesha katika huyo mpendwa.Katika Yeye Huyo, kwa damu Yake, tunao ukombozi wetu,masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa neema Yake.Naye alituzidishia hiyo katika hekima yote na ujuzi; akiishakutujulisha siri ya mapenzi Yake, sawasawa na uradhi Wake,alioukusudia katika Yeye Mwenyewe: Kwamba katikamadaraka ya wakati mkamilifu atavijumlisha vitu vyotekatika Kristo, vitu vya mbinguni na vitu vya duniani pia;Naam, katika Yeye Huyo: Na ndani Yake sisi nasi tulifanywaurithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudiLake Yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri lamapenzi Yake.” Ufu. 13:8, “Na watu wote wakaao juu ya nchiwatamsujudu (Shetani), kila ambaye jina lake halikuandikwakatika Kitabu cha Uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwatangu kuwekwa misingi ya dunia.” Lakini uhai huohaungeweza, wala usingeweza, kugawanywa kwa njianyingine yo yote mbali na njia ya “Mungu aliyedhihirishwakatika mwili.” Hii ilikuwa ni sehemu ya kusudi Lake la milelena lililokusudiwa tangu zamani. Kusudi hili lilikuwa liwe kwasifa za utukufu wa neema Yake. Ulikuwa ni mpango waUkombozi. Ulikuwa mpango wa Wokovu. Sasa sikiliza kwamakini. “Kwa kuwa Mungu alikuwa Mwokozi, ilikuwa shartiamchague mtu tangu zamani ambaye angehitaji wokovukusudi ajipe Mwenyewe sababu na kusudi la kuweko.” Hilo nisahihi asilimia mia moja na Maandiko mengi sanayanashuhudia jambo hilo kama vile isemavyo ile aya dhahiriya Rum. 11:36, “Kwa kuwa VITU VYOTE vyatoka Kwake, vikokwa uweza Wake, tena vinarejea Kwake. UTUKUFU una Yeyemilele na milele. Amina.” Mwanadamu hangekuja moja kwamoja na kushiriki huo Mti wa Uzima ulio katikati ya bustani.Huo Uzima wa Milele wa Mti huo ulipaswa kufanyika mwilikwanza. Lakini kabla Mungu hajaweza kumwinua nakumwokoa mwenye dhambi, Yeye ilibidi awe na mwenyedhambi wa kuinua na kuokoa. Ilibidi mwanadamu aanguke.Huko kuanguka ambako kungesababishwa na Shetani,ilipaswa kupata mwili ili kuwepo na anguko. Ilibidi Shetaniapitie katika mwili pia. Lakini Shetani hangeweza kupitiakatika mwili wa mwanadamu kusababisha kule kuangukakama vile ambavyo Kristo angekuja katika mwili wamwanadamu kuwarudisha walioanguka. Lakini kulikuwakona mnyama, yule nyoka, aliyefanana sana na mwanadamu hataShetani angeweza kuingia katika mnyama huyo na kwakupitia mnyama huyo yeye angeweza kuupata mwili wamwanadamu na asababishe kule kuanguka, na kujiingizamwenyewe basi katika jamii ya binadamu, kama vile ambavyoYesu angekuja siku moja na kujiingiza Mwenyewe katika jamii

Page 105: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 95

ya binadamu, katika miili ya wanadamu, hata kufikia kwenyeule ufufuo ambapo tutakuwa na miili kama Wakeuliotukuzwa. Kwa hiyo yale Mungu aliyotenda hapa bustaniniyalikuwa ni mpango Wake uliokusudiwa tangu zamani. Nawakati Shetani aliposababisha yale yaliyokuwa muhimu kwakusudi la Mungu, basi mwanadamu hangeweza kuufikia uleMti wa Uzima pale bustanini. Hakika asingeweza kabisa.Wakati haukuwa umefika. Lakini mnyama (mnyama ndiyealiyekuwa amesababisha kule kuanguka, sivyo? damu yamnyama na imwagwe) alichukuliwa na damu yake ikamwagwandipo Mungu akawa na ushirika na mwanadamu tena. Ndipokungekuja siku ambayo Mungu angeonekana katika mwili, nakwa njia ya kuaibishwa Kwake Yeye angemrudishamwanadamu aliyeanguka na kumfanya mshiriki wa Uzimahuo wa Milele. Mara unapoona jambo hili, unaweza kufahamuuzao wa nyoka na ujue ya kwamba Hawa hakula tofaa. La,ilikuwa ni kushuka kwa jamii ya wanadamu kwa kuchanganyambegu.

Sasa najua katika kujibu swali moja lingine halina budikuzuka, na watu huniuliza, “Kama Hawa alianguka namnahiyo, Adamu alifanya nini, kwa maana Mungu anamlaumuAdamu?” Hilo ni rahisi. Neno la Mungu daima limekusudiwambinguni. Kabla ya chembe moja ya vumbi la nyota kuumbwa,Neno hilo (sheria ya Mungu) lilikuwepo VILE VILE KAMALILIVYOANDIKWA KATIKA BIBLIA YETU. Sasa Nenolinatufundisha ya kwamba kama mwanamke akimwachamumewe na anaenda na mwanamume mwingine yeye ni mzinzina hana ndoa tena na mumewe hapaswi kumchukua tena.Neno hilo lilikuwa kweli huko Edeni kama lilivyokuwa kweliwakati Musa alipoliandika katika torati. Neno haliwezikubadilika. Adamu alimchukua na kumrudisha. Yeye alijuavema kabisa kile alichokuwa anafanya, lakini akalifanyajambo hilo hata hivyo. Yeye alikuwa ni sehemu yake, nayealikuwa yuko tayari kuchukua jukumu la Hawa juu yake. Yeyehakumwacha aende. Kwa hiyo Hawa akapata mimba yake.Yeye alijua angepata mimba. Alijua kile hasa kingeipata jamiiya binadamu, naye akaiuza jamii ya binadamu dhambinikusudi ampate Hawa, kwa kuwa alimpenda.

Na kwa hiyo hao wana wawili walizaliwa. Wana ambaowangekuwa baba wa jamii ya binadamu ambayo sasa ilikuwaimechafuliwa. Na kumbukumbu inasemaje juu yao? Somakumbukumbu. Yuda 14, “Na Henoko pia, mtu wa saba baadaya Adamu, alitoa maneno ya unabii^” Mwanzo 5 ndiyo suraya ukoo wa Henoko. Inaorodhesha ukoo huo hivi, 1. Adamu, 2.Sethi, 3. Enoshi, 4. Kenani, 5. Mahalaleli, 6. Yaredi, 7. Henoko.Angalia ya kwamba Kaini hatajwi. Ukoo wa Adamu unapitiakwa Sethi. Kama Kaini angekuwa ni mtoto wa Adamu, sheriaya mzaliwa wa kwanza ingalimpa Kaini haki katika huo ukoo.

Page 106: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

96 NYAKATI SABA ZA KANISA

Pia haina budi kuangaliwa kwa makini ya kwamba katikaMwanzo 5:3, inasema ya kwamba, “Adamu akaishi miaka miamoja na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfanowake, akamwita jina lake Sethi. Hakuna mahali linaposema yakwamba Kaini alikuwa na sura ya Adamu, hata hivyoingembidi kuwa sura ya Adamu kama angekuwa mwanae kwamaana sheria ya kuzaana kama inasisitiza ya kwamba kilakitu kizae kwa jinsi yake. Tena hatuna budi kuheshimu ukwelikwamba katika ukuoo ulio katika Mwanzo na pia Luka, Kainianakosekana. Kama Kaini angalikuwa mwana wa Adamuingesemwa juu yake mahali fulani ya kwamba, “Kaini, ambayealikuwa mwana wa Adamu, ambaye alikuwa mwana waMungu.” Haisemi hivyo kwa kuwa HAIWEZI kusema hivyo.

Naam wanafunzi kwa muda mrefu wameelezea koo mbiliza binadamu: mmoja ambao ulikuwa ukoo unaomcha Munguuonekanao kwa Sethi na huo mwingine ni ukoo usiomchaMungu kama ulioanzishwa na Kaini. Na ni jambo la ajabu,bali ni kweli, wanafunzi wawa hawa hawajatwambia badojinsi ilivyokuwa kwamba Kaini alikuwa mtu wa aina ilealiyokuwa wakati Habili na Sethi walikuwa wa ukoo wakiroho na unaomcha Mungu. Kwa kweli, Kaini angalipaswakuwa wa kiroho, na Habili asimzidi, na Sethi awealiyepungukiwa hata na zaidi, na kuendelea kupungua mojakwa moja kwa sababu kila kizazi kinachofuata daimakimeenda mbali zaidi na Mungu. Lakini la, Kaini anatokeaakiwa mwovu kuliko mtu ye yote alivyowahi kuelezewa kwakuwa anashindana vikali na Mungu pamoja na Neno.

Sasa hebu jambo hili na lijulikane: Maandiko hayachezi namaneno. Cho chote kilicho katika Kumbukumbu kiko hapokusudi macho yenye upako yakione. Kiko hapo kwa kusudifulani. Katika Neno hilo inasemwa, Mwa. 3:20, “Adamuakamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliyemama yao wote walio hai.” Lakini hakuna Andiko linalosemaya kwamba Adamu ni baba yao wote walio hai. Kama maanahii haitawekwa juu ya Mwa. 3:20, kwa nini basi itajwe yakwamba Hawa ndiye mama yao wote, wala hakuna nenolililosemwa juu ya Adamu? Ukweli ni kwamba, ingawa Hawaalikuwa ndiye mama yao wote walio hai, Adamu hakuwa babayao wote walio hai.

Katika Mwa. 4:1, Hawa alisema, “Nimepata mtotomwanamume kwa Bwana.” Yeye hampi Adamu sifa za kuwababa wa Kaini. Lakini katika Mwa. 4:25, yeye anasema,“^Maana alisema, Mungu ameniwekea uzao MWINGINE,MAHALI PA HABILI; kwa sababu Kaini alimwua.” Yeyehasemi ya kwamba Mungu alikuwa AMEMPA uzaomwingine_huo ungekuwa ni Kristo, kwa maana YeyeANATOLEWA. Mwana huyu, Sethi, alikuwa AMEWEKWAbadala ya Habili. Yeye anamtambua mwanawe aliyetokana na

Page 107: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 97

Adamu; yeye hamtambui Kaini kwa kuwa alitokana na yulenyoka. Wakati yeye anaposema UZAO MWINGINE badala yaHabili, anasema ya kwamba Kaini alikuwa tofauti na Habili,kwa maana kama wangalikuwa wa baba yule yuleangalipaswa kusema, “Nimepewa UZAO ZAIDI.”

Siamini kila ninachosoma, lakini bila shaka ni jambo laajabu ya kwamba toleo la tarehe 1 mwezi wa Marchi, 1963, lagazeti la LIFE, linaripoti madaktari wa ubongo wakisemajambo lile lile kabisa tunalozungumzia. Sasa najua ya kwambamadaktari wa ubongo wote hawakubaliani wao kwa wao,lakini hivi ndivyo ilivyo. Woga wa nyoka si chukizo litokanalona kuona bali huja bila ya kuwazia. Kama ingalikuwa hofu yakawaida watu wangalisimama wakivutiwa vizuri mbele yamatundu ya gorila ama simba. Fahamu zao za bila kuwaziahuwafanya waendelee kuwakodolea nyoka macho. Hukokuvutiwa na nyoka ni kwa kujuana kimwili bila mtukufahamu. Kwamba jambo hilo limekuwa namna hiyo katikanyakati zote inaonekana kwa watu wakipitia katika kizazibaada ya kizazi katika jambo lilo hilo. Nyoka daimawamekuwa na wataendelea kuwa wanaovutia hukuwakichukiza. Nyoka daima amewakilisha kitu kilicho kizurina kibaya pia. Amekuwa sanamu ya uume katika nyakati zote.Kama tu vile yalivyo maelezo ya Bustani ya Edeni, tunaonanyoka akiwa mfano halisi wa ashiki.

Karibu imekubalika kabisa kati ya makabila mengi yakishenzi ya kwamba nyoka anahusishwa na kujuana kimwilina mara nyingi anaabudiwa kuhusiana na jambo hilo. Somo laelimu ya kujuana kimwili linaeleza jambo hilo katika mifanomingi. Sasa ningetaka kujua mahali ambapo watu hawawalipata jambo hilo, kwa kuwa wao hawana elimu walahawakusoma Biblia kamwe. Lakini kama vile hadithi yagharika inavyojulikana kila mahali ulimwenguni, vivyo hivyona kweli hii ya kuanguka kwa mwanadamu ndivyoinavyojulikana. Wao walijua yaliyotokea kule Edeni.

Sasa papa hapa mtu fulani ataniuliza swali hili. Je! Mungualimwambia Hawa ajihadhari na nyoka la sivyo nyokaangemtongoza? Sasa sikiliza, haikumbidi Mungu kusema chochote cha yale ambayo yangetokea. Hebu tu ielewe hadithi hii.Yeye alitoa tu Neno. Alisema wasishiriki MAARIFA. WashirikiUZIMA. UZIMA ULIKUWA NI NENO LA MUNGU. MAUTIILIKUWA NI CHO CHOTE AMBACHO HAKIKUWA NENOLA MUNGU. Yeye aliruhusu NENO MOJA libadilishwe napapo hapo Shetani akamnasa. Mungu angalisema, “Usichumematunda mengi zaidi toka kwenye miti kuliko yale unayowezakula.” Shetani angeweza kusema, “Angalia, hiyo ni kwelikabisa. Unaona kama ukichuma mengi kupita kiasi yataoza.Lakini hapa pana njia ya kuyahifadhi matunda na hata hivyowakati huo huo unaweza kuchuma yote utakayo. Kwa hiyo

Page 108: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

98 NYAKATI SABA ZA KANISA

unaona, unaweza kufanya upendavyo na apendavyo Munguwakati ule ule.” Ibilisi angalimnasa papo hapo. Yeye aliye nahatia katika jambo MOJA la sheria amevunja sheria YOTE.Usicheze na hilo Neno. Hilo ndilo lililotukia hasa katikaWakati wa Efeso kabla haujaisha katika 170 B.K.

Na mti huo ulizaa nini? Ule Mti wa Maarifa ulizaa mauti.Kaini alimwua ndugu yake, Habili. Yule mwovu alimwuamwenye haki. Iliweka kielelezo. Kielelezo hicho kitaendeleampaka kufanywa upya kwa mambo yote kama ilivyonenwa namanabii.

Huu mti wa Maarifa uliwazaa watu werevu; watu wenyekusifiwa. Lakini njia zao ni njia za mauti. Watu wa Mungu niwa kawaida lakini ni wa kiroho, wakiegemea upande waMungu na maumbile, wakiilima ardhi kwa utulivu, wakijaliukweli kuliko mali. Uzao wa nyoka umeleta uchumi mkubwasana, uvumbuzi wa ajabu, lakini pamoja na hayo yote hujakifo. Baruti zao na bomu za atomiki huua katika vita;na katika wakati wa amani uvumbuzi wao wa mitambo,kama vile motokaa, zitaua hata na zaidi katika wakati waamani kuliko vile uvumbuzi wa vita unavyoangamiza katikanyakati za shida. Kifo na maangamizi ndiyo mataunda yakazi yake.

Lakini wao ni wa dini. Wanamwamini Mungu. Wao nikama baba yao, ibilisi, na babu yao, Kaini. Wote wawiliwalimwamini Mungu. Wanaenda kanisani. Wanachangamanana wenye haki kama vile magugu yanavyochangamana nangano. Kwa kufanya hivyo wanapotosha na kuanzisha dini yaUnikolai. Wao wanasambaza sumu yao katika kila jitihada yakuuangamiza uzao wa Mungu kama tu vile Kaini alivyomwuaHabili. Hakuna kumcha Mungu machoni pao.

Lakini Mungu hapotezi ye yote aliye Wake. Yeyehuwahifadhi hata katika mauti, Naye ameahidi ya kwambakatika siku ya mwisho Yeye atawafufua.

NENO LA MWISHO

“^Yeye ashindaye, nitampa kula Matunda Ya Mti WaUzima, Ulio katika bustani ya Mungu.” Hili ni wazo lakufurahisha jinsi gani. Huo Mti wa Uzima katika Bustani yaEdeni Ambao usingeweza kukaribiwa kwa sababu ya kuangukakwa Adamu sasa umepewa yeye ashindaye. Ule upanga wa motowa kerubi alindaye. Lakini haukutiwa alani kabla ubaba wakekujaa damu ya Mwana-Kondoo. Hebu na tutafakari juu yakweli hii kwa muda kidogo tunapofikiria ni kwa nini Adamu naukoo wake walikatazwa mti huo lakini sasa umeruhusiwa tena.

Kusudi la Mungu kwa ajili ya kiumbe Chake, mwanadamu,ni kudhihirisha Maneno Yake. Katika Mwanzo, Adamu

Page 109: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA EFESO 99

alipewa Neno la kuishi kwalo. Maisha yaliyoishiwa kwa Nenoyangekuwa ni Neno lililodhihirishwa. Hiyo ni kweli sivyo?Lakini je! Adamu aliishi kwa Neno hilo? La, kwa sababualipaswa kuishi kwa KILA Neno, naye alishindwa kutii kilaNeno. Ndipo akainuka Musa. Jinsi alivyokuwa mtu mashuhurina mwenye nguvu. Hata hivyo naye pia alishindwa kuishi kwakila Neno, na nabii huyo, mfano wa yule Nabii Mkuuatakayekuja, alishindwa kwa hasira kulitii Neno. Nakulikuweko pia na Daudi, yule mfalme mkuu wa Israeli, mtualiyeupendeza moyo wa Mungu. Yeye alishindwa kwa uzinzi,wakati alipojaribiwa. Lakini hatimaye, katika utimilifu wawakati, kukaja Mmoja, aliye Kichwa, yaani ni Yesu, Ambayepia hana budi kujaribiwa kuona kama Yeye angeishi kwaKILA Neno lililotoka katika kinywa cha Mungu. NdipoShetani alishindwa. Kwa maana hapa alikuwako MmojaAmbaye aliishi kwa “Imeandikwa,” na Kipeo hicho cha Mungukikashinda kwa kurudisha nuru ya Neno la Mungu. NdipoHuyu Mkamilifu aliyedhihirishwa akapelekwa msalabani,kama Mwana-Kondoo Mkamilifu wa Mungu kwa ajili yadhabihu kamilifu. Na hapo ‘mtini’ Yeye alipata majeraha yamauti, ili kwamba sisi, kwa ajili Yake na kwa sababu Yake,tupate kula ule Mti wa Uzima, ndipo huo Uzima uliotolewabure ungetuwezesha kushinda, na kulidhihirisha Neno laMungu.

Na sasa kwa hawa wana wa Mungu, ambao kwa njia yaYeye wanashinda, wanapewa haki ya bustani ya Mungu, naushirika wa daima wa Yesu Kristo. Hakutakuwa tena nautengano wo wote Naye. Po pote aendapo, bibi-arusi Wakeataenda. Kile kilicho Chake Yeye, anakishiriki na wapendwaWake katika uhusiano wa warithi wa pamoja Naye. Mambo yasiri yatafunuliwa. Mambo ya giza yatadhihirishwa. Tutajuakama tunavyojulikana. Nasi tutakuwa kama Yeye. Huu ndiourithi wa mshindi ambaye ameshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na Neno la ushuhuda wa Yesu Kristo.

Jinsi tunavyoitamani siku hiyo wakati barabarazilizopinda zote zitanyoshwa, nasi tutakuwa pamoja Naye,wakati usio na mwisho. Siku hiyo na ije upesi, nasi natuharakishe kulitii Neno Lake na hapo tuthibitishe kustahilikwetu kushiriki utukufu Wake.

“Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa.” Ni huzuni jinsi gani ya kwamba wakatihuu wa kwanza haukumsikiliza Roho. Ulimsikilizamwanadamu badala yake. Lakini Mungu na ashukuriwe,katika wakati wa mwisho kundi fulani litainuka, Bibi-arusiwa Kweli wa siku ya mwisho, naye atamsikiliza Roho. Katikasiku hiyo ya giza kuu nuru itarudi kwa Neno safi nasi tutarudikwenye nguvu za Pentekoste kumkaribisha Bwana Yesu Kristoajaye.

Page 110: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 111: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 101

SURA YA NNE

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA

Ufunuo 2:8-11

“Na kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika; Hayandiyo anenayo Yeye aliye wa Kwanza na wa Mwisho,Aliyekuwa amekufa, kisha akawa hai;

Nayajua matendo yako, na dhiki yako, na umaskini wako,(lakini, u tajiri), na najua na matukano ya hao wasemao yakuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.

Usiogope mambo yatakayokupata: tazama, huyo ibilisiatawatupa baadhi yenu gerezani, ili mjaribiwe, nanyimtakuwa na dhiki siku kumi: Uwe mwaminifu hata kufa, naminitakupa taji ya uzima.

Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa; yeye ashindaye hatapatikana na madharaya mauti ya pili.”

UTANGULIZI

Ili kukwatua nia zenu nataka kuonyesha tena jinsitunavyoyapata majina ya wajumbe wa nyakati mbalimbali.Mungu katika mapenzi Yake makamilifu amehakikisha yakwamba historia ya kanisa la Agano Jipya haikupotea, kamavile alivyohakikisha ya kwamba historia ya Israeli haingepoteakwa kuiweka katika Biblia na kuithibitisha leo kwa wingi wamagombo, vyombo vya udongo na kazi nyingine sanaa ambazowataalamu wa kuchimbua mambo ya kale wamevumbua nakutafsiri. Kwa kweli tuna ufafanuzi mfululizo wa historia yaBiblia kutoka ukurasa wa kwanza hadi sasa. Kwa hiyo kwakusoma historia tunaweza kuona ni mtu gani ama ni watu ganikatika nyakati mbalimbali waliokuwa karibu sana na kilekielelezo cha asili cha Mungu, Mtume Paulo. Wale ambaoMungu aliwatumia kuwarudisha watu Wake kwenye Neno laKweli wangekuwa ndio tungeangalia. Ndipo kutokana na haokungekuweko na mmoja kwa kila wakati ambaye angejitokezadhahiri kuliko wote kama aliye karibu sana katika kielelezocha Neno na nguvu. Huyo ndiye angekuwa mjumbe. Zilenyakati pia zinapatikana kwa kusoma historia. Mtu anapaswatu kusoma zile nyakati kama zinavyoonekana katika Ufunuona yote yanaendana kikamilifu na historia jinsi ZIPASWAVYOHASA KULINGANA. Kwa kuwa nyakati za kanisazilitabiriwa na Mungu na tabia zake halisi zikafunuliwa, basisharti, historia ambayo ingefuata ingekuwa kama vile

Page 112: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

102 NYAKATI SABA ZA KANISA

inavyoelezewa na Biblia. Ni rahisi jinsi hiyo_lakini basiurahisi ndio ufunguo wa Neno. Sasa pamoja na haya yotesijawa tu mwanafuzi na mwanahistoria, nimejitahidi kuwamtu wa kiroho, nami ilikuwa tu ni kwamba nimewachaguawatu hawa kwa kibali dhahiri tu cha Roho wa Mungu. Hili nikweli kama vile Mungu aujuavyo moyo wangu.

MJUMBE

Tukitumia kanuni yetu tuliyopewa na Mungu yakumchagua mjumbe wa kila wakati, bila kusitasitatunatangaza ya kwamba Irenio aliinuliwa na Bwana kwenyedaraja hilo. Alikuwa mwanafunzi wa yule mtakatifumashuhuri na shujaa wa imani, Polikapu. Na hapana shakaalipoketi miguuni pa mtu huyo mashuhuri alijifunza neema zaKikristo zilizotiririka kutoka katika maisha yake yaliyowekwawakfu, kwa kuwa Polikapu alikuwa mmoja wa watakatifumaarufu kweli wa nyakati zote katika mtazamo wa maishayasiyo na lawama. Utakumbuka kutokana na kusoma kwakobinafsi ya kwamba Polikapu alifia imani yake. Akiwa mzeesana asiweze kukimbia, na akiwa mtu mwaminifu sanahangeweza kumruhusu mwingine kumficha na halafuaadhibiwe kwa kufanya jambo hilo, yeye alijitolea apate kufa.Lakini kabla hajauawa, aliomba na akapewa ruhusa yakuwaombea ndugu zake katika Bwana kwa muda wa masaamawili, kumwombea liwali, adui zake na waliomkamata.Kama wale watakatifu mashuhuri wa nyakati zote, na hukuakitaka ufufuo bora, alisimama imara, akikataa kumkanaBwana, na akafa akiwa na dhamiri safi. Alifungiwa kwenyemti wa kuchomea watu moto (akiwa hajafungwa kwa kuwaaliwaomba wasimfunge) kisha moto ukawashwa. Motoukapinda mbali na mwili wake, ukikataa kumgusa. Ndipoakachomwa kwa upanga. Jambo hili lilipotendeka, majiyalibubujika kutoka ubavuni mwake ukaizima ile miali yamoto. Roho yake ilionekana dhahiri ikiondoka katika mfanowa hua mweupe aliyetoka kifuani mwake. Hata hivyo pamojana ushuhuda huu mkuu, mwanafunzi huyu wa YohanaMfunuzi hakuupiga vita ule utaratibu wa Unikolai, kwamaana yeye mwenyewe aliegemea kwenye madhehebu, bilakutambua ya kwamba ile shauku ya ushirika na kilekilichoonekana kama mpango mzuri wa kusaidia kazi yaMungu ilikuwa kweli ni ujanja wa yule adui.

Haikuwa hivyo kwa Ireneo. Yeye alipinga kila namna yamadhehebu. Pia, historia ya maisha yake, ambapo alimtumikiaBwana, ilikuwa imejaa madhihirisho mengi katika RohoMtakatifu; nalo Neno lilifundishwa kwa udhahiri usio wakawaida na kwa kufuatisha kanuni zake za asili. Makanisayake kule Ufaransa yalijulikana kwamba yalikuwa na karama

Page 113: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 103

za Roho kati yao, kwa maana watakatifu walinena kwa lugha,walitabiri, walifufua wafu, na waliponya wagonjwa kwamaombi ya imani. Aliona hatari ya shirika la undugu wa ainayo yote kati ya wazee, wachungaji nk. Alisimama imarakuunga mkono kanisa la mtaa fulani lililokuwa na nia moja,lililojazwa na Roho, na linalodhihirisha karama. Ndipo Munguakambariki kwa maana nguvu za Mungu zilidhihirishwamiongoni mwa hao watakatifu.

Pia alifahamu dhahiri Uungu. Na kwa kuwa alikuwamwanafunzi wa Polikapu, ambaye naye alikuwa mwanafunziwa Yohana Mtakatifu, tunaweza kujua kwa uhakika yakwamba alikuwa na fundisho kamilifu iwezekanavyo juu yasomo hili. Katika Kitabu cha 1, ukurasa wa 412 chaWaanzilishi Waliotangulia Nikea tuna tamshi lake hili juu yaUungu. “Misemo mingine yote, vivyo hivyo, inaeleza sifa zammoja, na mtu yule yule, Bwana wa Uweza, Bwana, Baba waWote, Mungu Mwenyezi, Aliye Juu, Muumba, Mwenye Kubuni,na kadhalika, haya si majina na sifa za wenye uhai mbalimbaliwanaofuatana, bali ni ya mmoja na yeye yule.” Yeyealionyesha waziwazi ya kwamba hizi si kitu bali ni sifa kamavile katika Ua la Uwandani, Nyota Yenye Kung’aa ya Asubuhi,Aliye Mzuri Kuliko Elfu Kumi, nk. Wala hakuna ila MunguMMOJA. Jina Lake ni Bwana Yesu Kristo.

Kwa hiyo kushikilia kwake Neno kwa dhati, ufahamuwake mzuri sana wa Maandiko, na nguvu za Munguzilizofuatana na huduma hiyo, yeye ndilo chaguo sahihi kwaajili ya wakati huo. Ni huzuni kabisa kwamba zile nyakatinyingine hazikuwa na mizani kama hiyo ya tunda, nguvu, nauongozi katika Roho Mtakatifu na Neno, katika wajumbe wao.

SMIRNA

Mji wa Smirna ulikuwa kaskazini kidogo mwa Efesokwenye mlango wa Ghuba ya Smirna. Kwa sababu ya bandariyake nzuri ulikuwa ni kituo cha biashara kilichojulikana sanakwa bidhaa zake zilizosafirishwa kuuzwa nchi za nje. Piaulisifika sana kwa shule zake za ufasaha wa kuongea, falsafa,udaktari, sayansi, na majengo mazuri. Wayahudi wengiwaliishi hapo, nao walipinga Ukristo vikali, hata zaidi yaWarumi. Kwa kweli, Polikapu, askofu wa kwanza wa Smirnaaliuawa na Wayahudi kwa ajili ya imani yake na inasemekanaya kwamba Wayahudi hao waliinajisi siku yao takatifu(Jumamosi) kubeba kuni za kuteketezea maiti yake.

Neno Smirna maana yake ni, “chungu,” likitoka kwenyeneno, manemane. Manename ilitumiwa katika kuhifadhi maiti.Kwa hiyo tuna maana mbili zinazoonekana katika jina lawakati huu. Ulikuwa wakati wa uchungu uliojaa mauti. Ilemizabibu miwili katika utaratibu wa kanisa ilikuwa

Page 114: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

104 NYAKATI SABA ZA KANISA

ikitengana zaidi na zaidi huku uchungu dhidi ya mzabibu wakweli unaongezeka upande wa ule wa uongo. Mauti hayakuwatu ndiyo mbegu ya huo mzabibu wa uongo bali hata katika ulemzabibu wa kweli kulikuwako na kupooza kulikokuwakunanyemelea kisiri na pia udhaifu kwa sababu walikuwatayari wameondoka kwenye kweli isiyoghoshiwa ya miakamichache ya kwanza baada ya Pentekoste; wala hakunamwamini wa kweli aliye na nguvu zaidi na afya kiroho namzima kuliko kujua kwake na kushikilia kwake Neno halisi laMungu, kama inavyoonekana kwa mifano mingi sana katikaAgano la Kale. Madhehebu yalikuwa yakikua haraka,yakithibitisha na kuongezea kufa kwa wafuasi wake, kwakuwa uongozi wa Roho Mtakatifu uliondolewa na badala yakekanuni za imani, mafundisho ya sharti na kawaida za dinizikachukua nafasi ya Neno.

Wakati Israeli walipoingia katika muungano usio halali naulimwengu, na kuunda ushirika kwa ndoa, siku ilifikahatimaye wakati ulimwengu ulipotawala na Babeliikawachukua watu wa Mungu utumwani. Sasawalipochukuliwa utumwani walienda wakiwa na ukuhani,hekalu na Neno. Lakini waliporudi walikuwa na marabi,utaratibu wa kitheolojia wa Mafarisayo, sinagogi, na Kitabucha Dini ya Kiyahudi. Na wakati Yesu alipokuja walikuwawamepotoka sana hivi kwamba aliwaita wa baba yao, ibilisi,akawaita hivyo ingawa walikuwa wa ukoo wa Ibrahimukimwili. Katika wakati huu tunaona jambo lile lile likitukia.Hata hivyo, kama vile, ‘Israeli wote’ si Israeli, ila kundi dogolilikuwa ndilo Israeli wa kweli wa Kiroho, kwa hiyo daimakutakuwa na kundi dogo la Wakristo wa kweli, bibi-arusi waKristo, mpaka alipokuja kwa walio Wake.

Katika mji huu kulikuweko na mahekalu mawili yenye sifasana. Moja lilikuwa ni hekalu lililojengwa kwa ajili ya ibadaza Zeusi, na hilo lingine alijengewa Sebele. Na katikati yamahekalu haya mawili kulikuweko na barabara nzuri sana yanyakati za kale, iliyoitwa Barabara ya Dhahabu. Kwangumimi hii inaonyesha kupenyeza zaidi kwa upagani ambaotayari ulikuwa umeanza katika wakati wa kwanza, lakiniulijulikana kuwepo huko Rumi tu. Kule kuunganishwa kwamahekalu hayo mawili ya mungu wa kiume na mungu wa kikeni mbegu ya ibada za Mariamu ambapo Mariamu anaitwamama wa Mungu na anapokea heshima na sifa na nguvuzikimpa usawa na Yesu Kristo. Ile Barabara ya Dhahabuinayoziunganisha ni picha ya tamaa ambayo iliwafanyawasimamizi wa Unikolai kuunganisha serikali na kanisa kwasababu walijua utajiri na mamlaka liliyowapa. Kwa kuwaWakati wa Efeso ulikuwa ni tuta tu kwa Wakati ule wa huzunisana wa Pergamo ambao ulikuwa bado ni wa siku zijazo,Wakati huu wa Smirna ulikuwa ndio mvua, jua, na chakula

Page 115: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 105

kilichohakikisha uovu mbaya sana ambao ungeliimarishakanisa katika ibada za sanamu ambazo ni uzinzi wa kiroho,ambamo kanisa halingeweza kutoka humo kamwe. Mautiilikuwa ikipenya katika mizizi yake hadi kwenye matawi nawale walioshiriki naye, walishiriki uchungu wa mauti.

Wakati huu ulidumu kutoka mwaka wa 170 mpaka 312 A.D.

SALAMU

Ufu. 2:8 “Haya ndiyo anenayo Yeye aliye wa Kwanza na waMwisho, Aliyekuwa amekufa, kisha akawa hai.”

“Wa Kwanza na wa Mwisho Aliyekuwa amekufa kishaakawa hai.” Sasa haya si maneno ya mwanadamu. Mtu wakawaida (kama angaliweza kunena kutoka kaburini)angesema, “Mimi ni wa kwanza na wa mwisho aliyekuwaanaishi na sasa amekufa.” Jambo la kwanza linalompata mtuni kwamba anazaliwa (anaishi) na jambo la mwisholinalompata ni kwamba yeye anakufa. Kwa hiyo huyu simwanadamu anayenena. Huyu ni Mungu. Mtu mmoja (Adamu)alichukua uzima na akaugeuza kuwa mauti. Lakini MTU huyu(Yesu) alichukua mauti akaigeuza ikawa uzima. Adamualichukua kutokuwa na hatia akakugeuza kuwa hatia. Huyualichukua hatia akaigeuza kuwa haki. Adamu alichukuaparadiso akaigeuza ikawa nyika tupu inayovuma; lakini Huyuanarudi kuigeuza dunia inayopepesuka na kuyumbayumbakwa maangamizi iwe Edeni nyingine. Adamu alichukuamaisha ya ushirika na ya furaha pamoja na Mungu nakuyageuza kuwa jangwa la giza la kiroho lililosababishadhambi zote, kuoza kwa uadilifu, maumivu, mateso,udanganyifu, na upotovu ambavyo hufanya vita katika nafsi zawanadamu. Lakini Huyu, kutoka kwenye mauti yote yenyehuzuni na uzinzi uliowajaa wanadamu, akaleta maisha ya hakina uzuri, hivi kwamba kama vile dhambi wakati mmojailivyotawala hata mauti, vivyo hivyo watu wanaweza sasakutawala katika haki kwa Mmoja, Kristo Yesu; na si vile hilokosa lilivyokuwa, ingawa lilikuwa baya sana, lakini zaidi sanasasa kipawa Chake cha uzima wa milele kinatawala katikahaki kwa njia ya Mtu mmoja.

Naye yuko hapa, akienda katikati ya wale ambao Yeyeamewakomboa, yaani kanisa Lake. Na hao waliokombolewawalikuwa nini? Je! wengi hawakuwa kama Paulo, wauaji nawaovu? Je! wengi hawakuwa kama yule mwizi aliyekuwaanakufa, wanyang’anyi na wauaji wa watu? Wote ni tuzo laneema Yake. Wote wamefufuliwa kutoka kwa wafu. Wotewamefanywa HAI katika Kristo Yesu, Bwana.

Sijui kama uliona zile salamu za wakati wa kwanza nahalafu ukaona hizi za wakati huu. Hebu ziweke zote pamoja tu.“Haya ndiyo asemayo Yeye azishikaye hizo nyota saba katika

Page 116: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

106 NYAKATI SABA ZA KANISA

mkono Wake wa kuume na Yeye aendaye katikati ya yalemakanisa. Haya ndiyo asemayo wa Kwanza na wa Mwisho,Aliyekuwa amekufa kisha akawa hai.” Huyu ni mtu yule yule.Naye anatujulisha ya kwamba kanisa ni Lake. Kama vile mbeguya tunda ilivyo katikati ya tunda, ndivyo alivyo Yeye, Uzao waKifalme, katikati ya kanisa. Kama vile mbegu peke yake ilivyona uhai ndani yake, vivyo hivyo Yeye Ndiye mwanzilishi wauzima kwa kanisa. Kutembea Kwake kunaonyeshakulishughulikia Kwake bila kuchoka. Yeye ni Mchungaji Mkuuakiangalia walio Wake. Hiyo ndiyo haki Yake, kwa kuwaalilinunua kanisa hilo kwa damu Yake Mwenyewe. Damu hiyoni damu ya Mungu. Yule Mwenye kanisa hilo ni Mungu, Mungumwenyewe. Yeye ni ‘wa Kwanza na wa Mwisho.’ Sifa hiyoinamaanisha umilele. Yeye alikuwa amekufa na sasa yu hai.Alilipa deni kwa hiyo Yeye ndiye peke Yake anayelimilikihekalu la Mungu. Yeye analitawala. Anaabudiwa mle. Yeyeanachukia ye yote anayechukua Uongozi Wake na mamlaka. Siajabu sababu ya Yeye kujitambulisha Mwenywe kwa kilawakati kama Mungu ni kuwaonya na kuwafariji watu. Yeyeanauonya mzabibu wa uongo, na kuufariji mzabibu wa kweli.Huyu Ndiye yule MUNGU MMOJA WA KWELI MWENYEZI.Msikieni Yeye mpate kuishi.

HALI ZA WAKATI ULE

Ufu. 2:9, “Nayajua matendo yako na dhiki yako, naumaskini wako, (lakini wewe u tajiri), najua na matukano yahao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi laShetani.”

Ufunguo kwa wakati huu bila shaka kabisa ni dhiki. Kamakulikuweko na dhiki katika wakati wa kwanza, sasakumetabiriwa kuongezeka kwa dhiki katika wakati wa piliwote. Hapana shaka ila haya maneno yafuatayo ya Pauloyalitumika kwa wengi wa Wakristo po pote walipokuwaduniani na katika kila wakati. Ebr. 10:32-38, “Lakinizikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwanuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu; pindimlipotwezwa kwa mashutumu na dhiki, na pindimliposhirikiana na wale waliotendewa hayo. Maanamliwaonea huruma wale waliokuwa katika vifungo, tenamkakubali kwa furaha kunyang’anywa mali zenu, mkijuanafsini mwenu kwamba mna mali iliyo njema zaidi, idumuyombinguni. Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa maana unathawabu kuu. Maana mnahitaji saburi, ili kwamba mkiishakuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi. Kwa kuwabado kitambo kidogo sana, na Yeye ajaye atakuja, walahatakawia. Sasa mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Nayeakisita-sita, roho yangu haina furaha naye.”

Page 117: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 107

Kule kuungana tu kwa watu wema na mwamini halisihuenda kukasababisha mauti kabisa badala ya wema wao.

Sasa Bwana Mungu Mwenyezi anasema, “NAJUA.” Huyohapo akitembea katikati ya watu Wake. Huyo hapo, MchungajiMkuu wa kundi. Lakini je! Yeye anazuia mateso? Yeye anapingaile dhiki? La, haipingi. Yeye anasema tu “NAJUA dhiki yako_sikwamba sijali mateso yenu hata kidogo.” Jinsi hili lilivyo jiwe lakukwaza kwa watu wengi. Kama vile Israeli wao wanashangaakama Mungu kweli anawapenda. Mungu anawezaje kuwamwenye haki na mwenye upendo kama anasimama hapo nakuwaangalia watu Wake wanateseka? Hivyo ndivyowalivyouliza katika Mal. 1:1-3, “Ufunuo wa Neno la Bwana kwaIsraeli kwa mkono wa Malaki. Nimewapenda ninyi, asemaBwana. Lakini ninyi mwasema, Umetupendaje? Je! Esauhakuwa ndugu yake Yakobo? asema Bwana; ila nimempendaYakobo; bali Esau nimemchukia na kuifanya milima yake kuwaukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa nyikani.” Unaona,wao hawakuweza kuufahamu upendo wa Mungu. Walidhani yakwamba upendo unamaanisha hakuna mateso. Walidhani yakwamba upendo ulimaanisha mtoto mchanga anayelelewa nawazazi. Lakini Mungu alisema ya kwamba upendo Wakeulikuwa upendo wa “kuteuliwa.” Thibitisho la upendo Wake niKUTEULIWA_ya kwamba haidhuru nini kingetutukia, upendoWake ulithibitishwa kwa kweli kwa ukweli kwamba waowalichaguliwa hadi wapate wokovu (kwa maana Munguamekuchagua upate wokovu kwa njia ya utakaso wa Roho nakuiamini ile kweli). Yeye anaweza kukuacha uuawe kama vilealivyomwacha Paulo. Anaweza kuacha uteseke kamaalivyomfanyia Ayubu. Hiyo ni haki Yake. Yeye ni mwenyezi.Lakini yote ina kusudi. Kama hangekuwa na kusudi fulani, basiYeye angekuwa mwanzilishi wa mgogoro wala si wa amani.Kusudi Lake ni kwamba baada ya sisi kuteseka kwa mudakidogo tungefanywa wakamilifu, tuimarishwe, tutiwe nguvu nakupewa raha. Kama alivyosema Ayubu, “Yeye hututia nguvu.”(Ayubu 23:6b) Unaona Yeye, Mwenyewe, aliteseka. Alijifunzakutii kwa mateso hayo yaliyompata. Kwa kweli alikamilishwakwa mateso hayo yaliyompata. Ebr. 5:8-9, “Ingawa ni Mwana,alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata; Nayealipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milelekwa watu wote wanaomtii.” Katika lugha dhahiri, utu wenyewewa Yesu Kristo ulikamilishwa kwa mateso. Na kulingana naPaulo Yeye ameachia kanisa Lake sehemu ya mateso ili kwambawao, pia, kwa imani yao katika Mungu huku wakiteseka kwaajili Yake, wangefikia mahali pa ukamilifu. Kwa nini Yeyeakahitaji jambo hili? Yak. 1:2-4, “Ndugu zangu, hesabuni yakuwa ni furaha tupu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali;mkifahamu ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.Saburi na iwe na kazi kamilifu, mpate kuwa wakamilifu nawatimilifu bila kupungukiwa na neno.”

Page 118: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

108 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kwa nini Yeye anasimama kando? Sababu yake iko katikaWarumi 8:17-18, “Na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithiwa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswapamoja Naye ili tupate na kutukuzwa pamoja Naye. Kwamaana nayahesabu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitukama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu.” Tusipotesekapamoja Naye hatuwezi kutawala pamoja Naye. Huna budikuteseka upate kutawala. Sababu yake ni kwamba tabiahaiumbiki kamwe bila mateso. Tabia ni USHINDI, si karama.Mtu asiye na tabia hawezi kutawala kwa sababu mamlakaisiyo na tabia ni ya Kishetani. Lakini mamlaka iliyo na tabiainastahili kutawala. Na kwa kuwa Yeye anataka sisi tushirikihata kiti Chake cha enzi kwa msingi ule ule ambapo Yeyealishinda na kuketi katika kiti cha enzi cha Baba Yake, basihatuna budi kushinda tupate kuketi pamoja Naye. Na yalemateso madogo yasiyodumu tunayopitia sasa hayastahiliyakilinganishwa na utukufu ulio mkuu sana utakaofunuliwandani yetu wakati atakapokuja. Loo! ni hazina za jinsi ganizilizowekewa akiba wale walio tayari kuingia katika ufalmeWake kupitia kwenye dhiki.

“Msione kuwa ni ajabu ule msiba ulio kati yenu,unaowapata kama moto ili kuwajaribu.” Hivyo ndivyoalivyosema Petro. Je! ni ajabu kwamba Mungu anatutakatupate tabia kama ya Kristo inayokuja katika mateso? Labwana. Nasi sote tuna majaribio. Sote tunajaribiwa nakurudiwa kama wana. Hakuna hata mmoja asiyepitia katikahayo. Kanisa ambalo haliteseki, wala halijaribiwi, limekosa_sila Mungu. Ebr. 12:6, “Maana yeye ambaye Bwana ampenda,humrudi, Naye humpiga kila mwana amkubaliye. Basi kamamkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipommekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali.”

Sasa hali hii maalumu katika Smirna haina budi kutumiwakwa kila wakati. Hakuna wakati usio na hali hiyo. Hakunamwamini wa kweli asiye na hali hiyo. Hili ni la Mungu. Hayani mapenzi ya Mungu. Linahitajika. Tunamhitaji Bwanaatufundishe ile kweli ya kwamba hatuna budi kuteseka nakuwa kama Kristo katika kufanya jambo hilo. “Upendohuvumilia na hufadhili.” Mathayo 5:11-12, “Heri ninyi watuwatakapowashutumu na kuwaudhi na kuwanenea kila nenobaya kwa uongo, kwa ajili Yangu. Furahini, na kushangilia;kwa kuwa thawabu yenu ni kubwa mbinguni; kwa maanandivyo walivyowaudhi manabii waliokuwa kabla yenu.”

Anga zenye mawingu na dhoruba za maisha si ishara zakukataliwa na Mungu. Wala anga nyeupe na maji matulivu siishara za upendo wa Mungu na kibali Chake. Kibali Chakekwa ye yote wetu kiko katika YULE MPENDWA. UpendoWake ni wa kuchagua ambao alitupenda nao kabla yakuwekwa misingi ya ulimwengu. Hivi Yeye anatupenda? Naam

Page 119: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 109

ndiyo. Lakini tutajuaje? Tutajua kwa sababu Yeye ALISEMAHIVYO, na akadhihirisha ya kwamba alitupenda kwa kuwaalituleta Kwake na akatupa Roho Wake, akituweka kamawana. Na nitathibitishaje upendo wangu Kwake? Kwakuamini yale aliyosema, na kwa kuenenda kwa furaha katikatiya majaribio ambayo Yeye katika hekima Yake anayaruhusuyatimie.

“Naujua umaskini wako, (lakini wewe u tajiri).” Hilo hapotena. Mtazame akitembea hapa na pale katikati ya KanisaLake. Kama vile baba Yeye anaiangalia familia Yake. Yeyendiye Kichwa cha nyumba Yake. Yeye ndiye mpaji. Yeye ndiyemlinzi. Hata hivyo Yeye anaangalia umaskini wao. Loo! jinsimwamini asiyefunzwa anavyojikwaa kwenye jambo hili.Mungu anawezaje kuvumilia kuwaangalia walio Wake wakatiwa upungufu na asizuie jambo hilo lote_ajitolee nakuwafurahisha na kila kitu?

Hapa ndipo ambapo huna budi kuamini tena katikaupendo, na wema na hekima ya Mungu. Hili, pia, linahitajika.Kumbukeni, Yeye alionya, “Msisumbukie ya kesho, mle nini aumnywe nini. Baba yenu anajua mambo mnayohitaji. Yeyeanayeyavika maua na kuwalisha shomoro atawafanyia mengizaidi. Vitu hivi vya kimwili si mahitaji yaliyo muhimu yamaisha yenu, kwa maana uzima wa mtu haumo katika wingiwa vitu vyake alivyo navyo. Bali heri utafuteni kwanza ufalmewa Mungu na haki Yake na vitu vyote vya kimwilimtaongezewa.” Watu wa Mungu si watu wa kupenda mali.Wao wanampenda Kristo. Wao hawatafuti hazina zilizo zadunia; wanazitafuta zilizo juu. Ni kweli kabisa, Wakristowengi SI matajiri. Zaidi sana wao ni maskini. Ndivyoilivyokuwa katika siku za Yesu. Ndivyo ilivyokuwa katika sikuza Paulo na inapaswa kuwa hivyo siku hizi. Loo! si kwelikabisa leo kwa kuwa Wakati wa Laodikia ni wakati wenyeutajiri sana ambapo mara nyingi kipimo cha kuwa wa kirohoni wingi wa mali ya dunia. Jamani, jinsi kanisa lilivyo tajirikatika mali. Lakini jinsi lilivyo maskini katika Roho. “Herininyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu.Ufalme wa Mungu SI kula na kunywa.” Si wa kimwili. UmoNDANI yetu. Tajiri ni aliye tajiri katika Mungu, si katika vituvya ulimwengu.

“Loo!” Roho anapaza sauti, “Ninaona umaskini wenu.Ninaona mahitaji yenu. Hamna vitu vingi, iwapo mna chochote kile, cha kujisifia. Yale mliyokuwa nayommenyang’anywa. Kwa furaha mlitoa mali zenumakazibadilisha na zile za milele. Mnachekwa. Mnadhihakiwa.Hamna mali mliyojiwekea akiba mnayoweza kutegemea.Lakini ninyi ni tajiri mbali na hayo yote. Usalama wenu umokatika Yeye aliye ngao yenu na thawabu kuu sana. Ufalmewenu haujaja bado. Lakini utakuja. Nao utakuwa ni wa milele.

Page 120: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

110 NYAKATI SABA ZA KANISA

Naam, ninayajali majaribu yenu na majonzi yenu. Ninajuajinsi ilivyo vigumu kuishi. Lakini nitakumbuka mambo hayayote nitakaporudi kuwachukua walio Wangu, ndiponitawajazi.”

Sasa hii si kuwapinga matajiri kwa sababu Munguanaweza kumwokoa tajiri. Baadhi ya watoto wa Mungu nimatajiri. Lakini fedha zinaweza kuwa mtego sana, si tu kwawale walio nazo lakini pia na kwa wale wasio nazo. Hukonyuma kabisa katika wakati wa kwanza, Yakobo aliwakemeawale waliokuwa wakiwategemea matajiri, “Imani ya Bwanawetu Yesu Kristo msiwe nayo kwa kupendelea watu.” Maskinikule walikuwa wakijaribu kujipendekeza kwa matajiri kusudiwapate msaada, badala ya kumtegemea Mungu. “Msifanyejambo hilo,” anasema Yakobo. “Msifanye hivyo. Pesa si kilakitu. Pesa siyo jibu.” Wala leo si jibu. Tuna mali nyingi zaidiya tulivyopata kuwa nayo na hata hivyo ni machacheyanayotimizwa Kiroho. Mungu hatendi kazi na fedha. Yeyehutenda kazi kwa Roho Yake. Na kutenda huko kwa Roho hujatu kwa maisha yaliyowekwa wakfu kwa Neno.

SINAGOGI LA SHETANI

Ufu. 2:9b. “Najua na matukano ya hao wasemao ya kuwani Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.”

Hii hapa aya ambayo itahitaji kufikiriwa sana, si kwasababu tu sababu ni ya kipekee sana katika maneno yake,lakini pia kwa kweli imerudiwa katika wakati ambao ni wazaidi ya miaka elfu moja baadaye.

Ufu. 2:9 “Nayajua na matendo yako na dhiki yako, naumaskini wako, (lakini wewe u tajiri), najua na matukano yahao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi laShetani.” Kwanza, neno, Wayahudi, halielezei dini yaWayahudi. Linahusu tu watu wa Yuda na lina maana ile ilehalisi kama ningalisema mimi nimezaliwa Muairishi. Watuhawa walikuwa wakisema ya kwamba walikuwa Wayahudihasa, Wayahudi halisi kwa kuzaliwa. Walikuwa waongo.Hawakuwa Wayahudi kwa kuzaliwa wala hawakuwaWayahudi kwa dini.

Kama jambo hili lote ni kweli, wao walikuwa ni akinanani? Walikuwa ni watu waliodanganyika ambao tayariwalikuwa ni sehemu ya kanisa. Walikuwa wa mzabibu wauongo.

Hawakuwa wa kanisa la kweli, lakini wa kanisa la uongokwa sababu Mungu alisema “walikuwa wa sinagogi laShetani.” Sasa neno litumikalo kwa sinagogi si neno lile liletunalotumia kwa kanisa. Katika Biblia, kanisa maana yake ni,“walioitwa watoke”, ama “walioalikwa”. Mtunga Zaburi

Page 121: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 111

alisema kuhusu hawa watu walioteuliwa, “”Heri mtu yuleUMCHAGUAYE, na KUMFANYA akukaribie Wewe, apatekukaa nyuani Mwako. Zaburi 65:4. Lakini maana ya sinagogini “kusanyiko ama mkutano.” Huu unaweza kuwa mzuri amambaya, lakini kuhusiana na jambo hili ni mbaya, kwa maanahawa ni wale ambao kukusanyika kwao si kwa Mungu bali nikwa wao wenyewe. Isaya alisema habari zao, “Tazama,yamkini watakusanyana; lakini SI KWA SHAURI LANGU:Watu wo wote watakaokusanyana juu yako wataanguka kwaajili yako.” Isa. 54:15. Na kwa sababu hawa kweli walikuwadhidi ya ule mzabibu wa kweli, Mungu siku mojaatawashughulikia katika maangamizi.

Sasa ni kwa nini tuna watu waliochanganyika katikampango wa kanisa na wakijiita wenyewe ni Wayahudi?Sababu yake ni hii: Kwa kuwa walikuwa ni waongowangeweza kufanya dai lo lote walilotaka. Wangeweza kusemawalilotaka kana kwamba ilikuwa ni kweli na halafuwalishikilie. Na kwa jinsi hii wangeweza kudanganya wakiwana wazo lenye nguvu sana moyoni mwao. Je! haikuwa hivyokwamba kanisa la hapo mwanzoni lilikuwa lote ama karibulote ni la Wayahudi, likiwafanya wao kuwa washiriki asili wamwili Wake? Wale mitume kumi na wawili walikuwa niWayahudi, na mitume wa baadaye walikuwa ama Wayahudiama waongofu. Kwa hiyo watu kuapa ya kwamba wao etiniWayahudi kungewapa utawala na dai la kuwa waanzilishiasilia. Wewe sema uongo. Ushikilie. Usijali ukweli walahistoria. Wewe tu na uendelee kuusema kwa watu, nahaichukui muda watu wataupokea.

Sasa umekamata kitu fulani hapo? Je! huyo siye roho yuleyule aliyepo sasa hivi kanisani leo? Je! hakuna kundi linalodaiya kwamba wao ndio kanisa la asili na la kweli na kwambawokovu unapatikana tu katika hilo? Je! wao hawadai yakwamba wana funguo za ufalme ambazo walizipokea kutokakwa Petro? Je! wao hawadai ya kwamba Petro alikuwa ndiyepapa wao wa kwanza, na ya kwamba yeye aliishi Rumi wakatiambapo HAKUNA KATAKATA KWELI YA HISTORIA YAJAMBO HILO? Na hata wafuasi wake wasomi hasa na wenyeujuzi sana wanaamini uongo wake. Sinagogi la Shetani! Nakama Shetani ndiye baba wa kanisa hilo, na yeye ni baba wauongo, basi silo jambo la kushangaza ya kwamba hao waliokwenye sinagogi lake ni waongo pia?

Wazia wazo la kukufuru. Hawa walio wa sinagogi laShetani hawakuwa wakimkufuru Mungu katika jambo hili(ingawa jambo hilo ni wazi kabisa) lakini walikuwawakilitukana kanisa la kweli. Kweli kabisa. Kama vile Kainialivyomtesa na kumwua Habili kwa sababu yeye (Kaini)alikuwa wa yule mwovu, na kama vile wafuasi waliokufa waDini ya Kiyahudi (Yesu alisema walikuwa ni wa baba yao,

Page 122: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

112 NYAKATI SABA ZA KANISA

ibilisi) walivyokuwa wakijaribu kuwaangamiza Wakristokatika miaka michache ya kwanza ya wakati wa kwanza, sasakundi lili hili (mzabibu wa uongo) linajaribu hata kwa nguvuzaidi kumwangamiza mwamini wa kweli katika wakati wapili. Roho hiyo ya mpinga-Kristo inakua.

Kundi ambalo lilijipenyeza pole pole kanisani kwaMATENDO yake (Unikolai) haliogopi tena kufunuliwa lakinilimeunda madhehebu waziwazi katika kundi la kukusanyikakwake lenyewe na linalipinga kanisa la kweli katika uadui wawaziwazi.

Sasa wakati ninaposema ya kwamba hili lilikuwa kanisa lampinga-Kristo lililokuwa madhehebu ninawaambia kweli yahistoria iliyothibitishwa. Kanisa la kwanza lililoanzishwaRumi (tutafuatilia historia yake katika Wakati wa Pergamo)lilikuwa tayari limebadilisha kweli ya Mungu kuwa uongo kwakuingiza dini ya kipagani iliyokuwa na majina na maana yaKikristo. Kufikia wakati wa pili lilikuwa la kipagani sana(ingawa lilikuwa linadai ati ndilo kanisa la kweli) hataPolikapu alipokuja yapata maili 1500 akiwa mzee sanakuwasihi warudi. Hawakukubali. Wao walikuwa na utaratibuwa ukuhani uliyo imara na madhehebu imara, na kuondokakabisa kutoka kwenye Neno. Hili basi, ndilo sinagogi laShetani, lililojaa makufuru, ambamo mlikuwemo tayari nambegu za fundisho la Unikolai, na ambalo siku si nyingilingekuwa kiti chenyewe ama nguvu za dini ya Kishetani. Najambo hili ni kweli kabisa kwa kuwa Ufu. 2:9b HAUSEMIhawa watu ni WA sinagogi la Shetani lakini linasema wao NISINAGOGI LA SHETANI.

Roho hii ya mpinga-Kristo si ngeni. Hili si jambo tulililokuja katika zile nyakati za kanisa. Limekuwapo hapasikuzote. Ili kupata ufahamu dhahiri wa jinsi inavyotendakazi, jinsi inavyompinga Mungu na kuchukua mamlaka ya juuya kanisa, angalia kwenye Agano la Kale na uione kule. Hebutuangalie roho hii kama ilivyodhihirishwa katika Israeliwalipotoka Misri kuwa kanisa nyikani.

Kama tu vile kanisa la mwanzo lilivyoanza chini yahuduma safi ya Roho Mtakatifu likiwa na ishara na maajabuna madhihirisho kama vile unabii, lugha, na tafsiri, hekima,maarifa na uponyaji, vivyo hivyo katika siku za Israeli wakatiwalipoondoka Misri, wao walikuwa chini ya uongozi wa Rohowa Mungu akijidhihirisha katika karama. Mungu alikuwandiye kiongozi wa hao watu. Kwa kweli Yeye alikuwa ndiyeMfalme wao. Alikuwa Baba-Mfalme wao. Aliwaangalia Israelikama vile mtu anavyoiangalia jamaa yake. Yeye aliwalisha,akapigana vita vyao, akawaondolea shida zao na kutatua shidazao. Yeye alijishughulisha sana nao. Wao walikuwa ndio taifala pekee ambalo kwake Yeye ndiye aliyekuwa Mungu wao kwakweli. Lakini siku moja wakaanza kutupa macho huko na

Page 123: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 113

huko, ndipo wakawaona Wafilisti na mataifa mengine wakiwana wafalme juu yao. Likawavutia nao wakaamua ya kwambawanapaswa kuufanya uongozi wao kuwa wa kibinadamu, kwahiyo wakataka mfalme. Sasa Mungu Mwenyewe alikuwayuaenda kuufanya uongozi wao kuwa wa kibinadamu, katikaUtu wa Bwana Yesu Kristo, lakini wao wakamtangulia.Shetani alijua mpango wa Mungu kwa hiyo akaliweka katikamioyo ya watu wamtangulie Mungu (Neno).

Wakati walipomwendea Samweli na kuomba wapewemfalme, Samweli alifadhaika sana hata roho yake karibuizimie. Mungu alikuwa anawaongoza watu Wake kupitia kwanabii huyu aliyewekwa wakfu, aliyethibitishwa kwa Maandikonaye akaona kwamba alikuwa amekataliwa. Akawakusanyawatu akawasihi wasimwache Mungu Ambaye alikuwaamewabeba kama watoto, na kuwafanikisha na kuwabariki.Lakini wao wakakaidi. Wakamwambia Samweli. “Hujakoseakatika uongozi wako. Hujakuwa mdanganyifu katika mamboyako ya fedha. Umejaribu uwezavyo kutuweka sawa na Nenola Bwana. Tunaifurahia miujiza, hekima, chakula na ulinzi waMungu. Tunauamini. Tunaupenda. Na isitoshe hatutakikuukosa. Ni kwamba tu tanataka mfalme wa kutuongozavitani. Sasa bila shaka tunapotoka kwenda vitani yangali nimakusudio yetu kuacha makuhani watutangulie huku Yudawakifuata, nasi tutapiga matarubeta na kupiga makelele nakuimba. Hatutarajii kuacha yo yote ya mambo hayo. LAKINITUNATAKA MFALME AMBAYE NI MMOJA WETU APATEKUTUONGOZA.”

Ndipo Mungu akamwambia Samweli. “Unaona, waohawakukukataa wewe, lakini wamenikataa MIMInisiwatawale.”

Jinsi jambo hilo lilivyokuwa la huzuni. Hawakutambuahata kidogo ya kwamba walipokuwa wakimwomba Munguawaache wawe kama watu wengine wa ulimwenguniwalikuwa wakimkataa Yeye, kwa sababu Mungu alikuwaameamuru watu Wake waenende tofauti na ulimwengu. Wao siwa ulimwengu wala hawafanani na ulimwengu walahawaenendi kama ulimwengu. Wamesulibishwa kwaulimwengu na ulimwengu umesulibishwa kwao. 2 Kor. 6:17-18,“Kwa hiyo tokeni kati yao, mkatengwe nao, asema Bwana,msiguse kitu kilicho kichafu; nami nitawakaribisha, nitakuwaBaba kwenu, nanyi mtakuwa Kwangu wanangu wa kiume nawa kike, asema Bwana Mwenyezi.”

Unaona tofauti moja kati ya Israeli na mataifa mengineilikuwa ni Mungu. Mweke Mungu upande mmoja na Israeliwalikuwa kama taifa lingine lo lote. Wakati Samsoni alipokatanywele zake alikuwa kama mtu mwingine ye yote. Wekauongozi wa Roho Mtakatifu kando na kanisa si KITU CHOCHOTE ILA ULIMWENGU ULIOBANDIKWA JINA LA

Page 124: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

114 NYAKATI SABA ZA KANISA

MUNGU. Ulimwengu na kanisa vyote ni fungu moja, kama tuvile Yakobo na Esau walivyokuwa wa wazazi wale wale, lakiniRoho wa Mungu ndiye anayeleta tofauti.

Haidhuru kama unajiita mwenyewe Mkristo. Mtu ye yoteanaweza kufanya jambo hilo. Jambo ni kama wewe una Rohowa Mungu ndani yako ama huna, kwa kuwa bila Roho huyowewe ni mwovu; wewe si Wake. Amina.

Si muda mrefu sana uliopita nilimuuliza bibi fulani kamaalikuwa Mkristo. Akaniambia, “Sina budi kukujulisha, bwana,ya kwamba mimi huwasha mshumaa kila usiku.” Hivi jambohilo lina uhusiano gani na hilo? Mimi ni Mmethodisti, mimi niMbatisti, Mimi ni Mpentekoste. Hilo halina uhusiano wo wotenalo. Ni Roho Mtakatifu ama utaangamia.

Vema, wakianzia kule nyuma kabisa katika kanisa lakwanza watu kufikiria na kuhoji jinsi ya kumwendelezaMungu vizuri zaidi. Matendo ya Wanikolai yalianzakujionyesha yenyewe. Halafu kundi fulani likaundwa.Wakaondoka kwenye utaratibu wa Neno. Yote yanayohitajikani kubadilishwa kwa Neno moja tu ndipo chachu hiyo ndogoinachachua donge lote. Yeye anayejikwaa katika neno moja lasheria amekosa juu ya yote. Hawa alibadilisha tu neno moja.Hilo litatosha.

Na wakati kundi hilo la Kishetani lilipoundwa, lilianzakuwachukia na kuwapiga vita waamini wa kweli, likisisitizaya kwamba wao (hao wageni) walikuwa ndio kanisa la Mungu.

Angalia jinsi madhehebu yanavyozaa chuki. Yanaangamizaushirika. Yanasababisha uchungu. Hiyo ndiyo maana yamanemane. Huu ndio ulikuwa umejaa Smirna. Uchungu. Shinala uchungu huwatia wengi unajisi. Kwa hiyo unajisi zaidi nazaidi ulikuwa ukiingia. Kila wakati wa kanisa ungesikiamakovu yake.

Kanisa la Smirna lilikuwa limeenda mbali na mambo yamwanzo. Lilikuwa limekuwa chotara. Lilikuwa limechanganyambegu kama vile Hawa alivyofanya. Unajua kwamba chotarani matokeo ya kuchanganyika jamii ya vitu viwilivinavyofanana. Matokeo yake si kiumbe kilicho safi tena kamakile cha asili. Ni chotara. Vema, wakati Hawa alipomruhusuyule mnyama wachanganye mbegu zao alizaa kiumbe aliyeitwaKaini ambaye hakuwa mwanadamu halisi. Yeye alikuwa waYULE MWOVU. Angalia jinsi alivyokuwa tofauti na Habili.Angalia jinsi alivyokuwa tofauti na Sethi. Yeye alimchukiaMungu wala hangetii Neno na alimtesa na kumwua mwenyehaki. Alijikweza juu ya Neno la Mungu.

Kanisa, pia, limeondoka kutoka kile lilichokuwa hapoawali. Ni chotara. Hiyo ni kusema, kanisa la kawaida nichotara Watu wanasema, “Mimi ni Mbatisti.” Haikuwa hivyohapo mwanzo. “Mimi ni Mmethodisti.” Haikuwa hivyo hapo

Page 125: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 115

mwanzo. Badala ya Neno la moja kwa moja la Mungu, badalaya watu waliojazwa Roho katika kanisa ambao walikuwawameongozwa na ufunuo uliotolewa na Roho, sasa kunakanuni za imani, na sheria, na mabahatisho ya kielimu ya watuwenye elimu. Kusoma kumepachukua mahali pa ufunuo. Hojazimechukua nafasi ya imani. Taratibu zimechukua mahali pasifa zinazobubujika zenyewe katika Roho Mtakatifu. Haikuwahivyo tangu mwanzo. Jamii yote imebadilika. Limekuwakanisa chotara.

Sasa basi, kanisa linapokuwa chotara, je! litazaa Wakristohalisi? Haliwezi. Uhai ama mbegu inayowazaa Wakristo haimondani yao. Kila mbegu huzaa kwa jinsi yake. Wabatisti huzaaWabatisti zaidi nao huenenda kama Wabatisti. Wamethodistihuwazaa Wamethodisti nao huenenda kama Wamethodisti.Hakuna hata moja linalojulikana kwa nguvu za Mungu walahayawezi kujulikana kwa sababu hazimo ndani yake.Yanajulikana kwa desturi zao za ibada ya Mungu na kanunizao za imani na mafundisho yao ya sharti.

Nena kuhusu chotara. Je! unajua mnyama chotaraanayejulikana sana ulimwenguni? Amekuwa pamoja nasi kwamiaka mingi. Ni nyumbu. Ni mtambuko banina ya punda nafarasi. Ni aina ya mnyama wa kuchekesha. Hawezi kuzaanyumbu mwingine. Hana uhai unaoweza kufanya hivyo.Lakini zungumza kuhusu kazi. Anaweza kufanya kazi zaidi yafarasi ama punda. Lakini angalia tabia yake. Yeye ni mkaidina kamwe huwezi kumwamini. Ni picha kamilifu ya dinichotara. Mtambuko baina ya kweli na giza, kwa maana farasini mfano wa mwamini wa kweli na punda ni picha ya yulemwovu. Wachanganye pamoja nawe unapata dini iliyo tasa, yakawaida. Haina mbegu ya uzima. Imekufa. Inawezakuzungumza juu ya kweli lakini haiwezi kuidhihirisha. HainaMungu ndani yake, hata hivyo inakusanyika pamoja nakuzungumza juu ya Mungu, na ikiwa wakati huo wote inakanazile nguvu kwa taratibu zao. Wao watalikana Neno katika Jinalenyewe la Bwana kabisa. Wala hakuna tumaini lo lote kwaokamwe. Je! unatambua ya kwamba hakuna dini yo yote yakimadhehebu iliyopata kuwa na ufufuo? Hakuna! Marawalipounda madhehebu walikufa. Hawawezi kamwe kurudi.La bwana. Ninaweza kuwaonyesha jambo hilo katika mfano.Katika Kutoka 13:13, “Kila mzaliwa wa kwanza wa pundautamkomboa kwa mwana-kondoo; na kwamba hutakikumkomboa, utamvunja shingo; na kila mzaliwa wa kwanzawa binadamu katika wanao utamkomboa.” Unaona, pundaanaweza kukombolewa. Kila maskini mwenye dhambianaweza kukombolewa kwa damu ya sadaka ya Yesu Kristo,ama kwa kumkataa Kristo akataliwe mwenyewe. Lakinihumkomboi nyumbu. Hakuna ukombozi kwa ajili yake.Hakuna damu kwa ajili yake. Haiwezekani kuwepo kwa

Page 126: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

116 NYAKATI SABA ZA KANISA

sababu nyumbu hukimbilia kanisani ambapo pundaanakimbilia kwenye ile damu. Nyumbu hana “mbegu” ndaniyake ambayo inaweza kuhuishwa, lakini punda ana mbegu.

Mbona, majuma machache yaliyopita nilisoma maoni yamhariri. Naam, yalikuwa ni maoni ya mhariri yaliyoandikwana mfanyi biashara ambaye hajaokoka; si na Mkristo.Alisema ya kwamba alishangazwa na makanisa. Hakuwezakuyaelewa. Yalikuwa na seminari zilizojaa maprofesawaliofundisha Neno la Mungu kusudi wapate kuliangamiza.Sasa basi mtu huyu hangeweza kuwazia jambo hilo.Alishangazwa sana nalo. Alisema ya kwamba aliwezakumwelewa kafiri ama mkomunisti, ama mtu mwenyemawazo huru ama mtu mwingine akifanya jambo hilo. Lakiniwakati kanisa lenyewe linapoharibu Neno la Mungu ilikuwani sawa na mauaji ya kukusudia. HIYO HAPO DINI YAKOYA KISASA. AMKENI ENYI WAMAREKANI KABLAHAMJACHELEWA SANA.

Wakati kanisa linapoenda mbali na Neno litaamini chochote kile. Liko kama Hawa. Wakati Kaini alipozaliwa Hawaalisema, “Nimepata mtoto mwanamume kwa Bwana.” Sasahivi mnatambua ya kwamba kweli yeye alimaanisha hivyo?Yeye alidhani alipata mtoto mwanamume kutoka kwa Bwana.Unaona, mara alipodanganywa kwa kulichukua Neno laShetani badala ya Neno la Mungu yeye basi alifikiri yakwamba cho chote alichosema kilikuwa ni kweli. Kamaalisema kwamba alipata mtoto mwanamume kutoka kwaMungu, basi alimpata mtoto mwanamume kutoka kwa Mungu.Lakini Mungu ameweka sheria katika ulimwengu Wake.Mbegu njema inaweza tu kuzaa tunda zuri na mbegu mbayainaweza tu kuzaa tunda baya. Sasa kila mbegu, ingawa nitofauti, itatumia ardhi ile ile, chakula, unyevu, na jua, lakiniitazaa kwa jinsi yake. Angalia historia ya ukoo wa Kaini.Angalia historia ya ukoo wa Sethi. Tofauti moja pekee katiyao_ile mbegu ya asili. Hakuna kingine.

Kama ukichunguza tamshi hili la Hawa kwa makini sanautaona ya kwamba yeye alipata ufahamu zaidi kuliko watuwengi wanavyotambua. Yeye hakusema mwanawe ni waShetani kwa maana jambo hilo lingemfanya kuwa sawa naMungu. Mungu tu ndiye tu angaliweza kuumba yai katikatumbo la uzazi la Mariamu. Shetani hangeweza kufanya jambohilo. Hawa alijua jambo hilo. Shetani anaweza tu kupotosha.Kwa hiyo alimdanganya kwa mbegu mbaya. Mbegu ya nyokandiyo iliyomzaa Kaini. Mbegu ya Adamu ndiyo iliyomzaaHabili na Sethi. Mbegu hizo zilipitia kwenye hatua zile zile,lakini hao watoto walikuwa tofauti kwa maana walitokana nambegu tofauti.

Yeye aliamini ya kwamba Kaini alitoka kwa Mungu.Alikubali uongo wa ibilisi kama kweli ya Mungu. Hilo ndilo

Page 127: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 117

tulilo nalo sasa hasa. Makanisa yamejiweka kama chemchemiza kweli lakini kweli haimo ndani yao; hata hivyo watoto waowaliowazaa wanaapa kwa wao na hata wataua kusudiwadumishe kosa lao.

Kama unafikiri ya kwamba hilo ni kutia chumvi, soma IITimotheo sura ya 3 yote na aya za kwanza tano za sura ya nne.II Timotheo 4:1-5 “Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele zaBwana Yesu Kristo, atakayewahukumu walio hai nawaliokufa; kwa kufunuliwa Kwake na kwa ufalme Wake;lihubiri Neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakatiusiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote namafundisho. Maana utakuja wakati watakapoyakataamafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewewatajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wanamasikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, nakuzigeukia hadithi za uongo. Bali wewe, uwe na kiasi katikamambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili,timiliza huduma yako.”

Wakati kanisa lilipojiachilia liondoke kutoka kwenye lilela mwanzoni, kama Adamu na Hawa, mauti iliingia.

Hakuna nguvu ndani yake. Limekuwa dubwana. Marakanisa lilipoelekea kwenye mambo ya desturi na kawaida zadini, na kwenye ukuhani kwa kuwaingiza wahudumu katikakundi lililoamua uongozi mbali na Roho Mtakatifu na NenoLake, wakati uo huo mauti iliingia nalo likaanza kuugua, nalilipokuwa gonjwa lilibadilika likawa kundi la watu wasio nanguvu ambao silaha yao pekee ni mabishano. Halikuwezakudhihirisha kitu cho chote katika Roho, kwa maanamatumaini yake yalijengwa juu ya utaratibu wala si katikaimani katika Neno Lake. Walipanda utaratibu kwa hiyowakavuna utaratibu. Walipanda upotovu kwa hiyo wakavunawatoto waliopotoka.

Ukicheza na Mungu utavuna kile hasa ulichopanda.Mwanadamu anapaswa kujifunza jambo hilo kutokana namaumbile. Yeye ameyaharibu maumbile. Ameingiza mawazoyake mwenyewe katika maumbile na kugeuza taratibu zamolekiu, nk., na sasa yeye anavuna kimbunga. Hebu angalia tujinsi walivyowazalisha kuku. Wamewazalisha kitaalam mnohivi kwamba kuku ni mashine ya kutaga inayojiua yenyewekwa kutaga. Hafai kwa chakula na ni debwedebwe na hanaladha. Wao wanadunga vitu katika nyama tunayokula na kwasababu ya jambo hilo mwili wa mwanadamu unabadilika hivikwamba wanawake wanazidi kuwa na viuno vyembamba namabega mapana na wanaume wanakuwa kinyume chake tu.Sasa kama ukichezea maumbile na upate kioja na mlipuko,itakuwaje kama ukigeuza kweli iwe uongo? Jibu ni, utazaautaratibu wa dini ya upinga-Kristo, usio na Mungu ambao

Page 128: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

118 NYAKATI SABA ZA KANISA

umepotoshwa sana hata hautafanana ama kuzaa kitu kamakile cha asili. Jibu pekee alilo nalo Mungu kwa hali kama hiyoni lile ziwa la moto.

Wakati ule wa Smirna unaosikitisha ulikuwa unakufa.Wakati ulipokufa, haukurudi tena. Hakuna wakati wa knisauliowahi kurudi tena. Hakuna ufufuo uliowahi kurudi kamwe.Hauwezi kuwa na uhai wa Mungu ndani yake kwa kuzaliwakimwili. Kunatakiwa kuzaliwa mara ya pili kutoka juu.Wakati huu wa mwisho ulianza kwa mioto ya ufufuo waKipentekoste nao wakarudi kuunda madhehebu moja kwamoja. Badala ya kulichukua Neno wao walichukua mawazoyao wenyewe na kufanya yale yaliyofanywa na kilawakati_wakaweka kitabu kidogo cha mafundisho kiwe badalaya Neno. Hebu jaribu kuondoka kwenye kitabu hicho uoneyatakayokupata. Utafukuzwa, ndugu. Nao watakutesa nakumlaumu Mungu kwa jambo hilo. Na jinsi wanavyoyapendamadhehebu yao. Si ajabu. Wao ni Wapentekoste wa kizazi chapili na kwa kuwa Mungu hana wajukuu wao ni watoto tu wababa zao, wanaojulikana kwa kanuni zao za imani nautaratibu wao wa ibada. Wanaweza kuzungumza juu ya jinsimambo yalivyokuwa, lakini hawawezi kuyadhihirisha. Wakatifulani walikuwa na umeme lakini karibu yote yaliyosalia ningurumo. Lakini hebu wakwambie juu ya utukufu wa shirikalao. Watasema, “Naam, bwana, nataka ujue ya kwambashirika hili halikuanzishwa na mwanadamu. Lilizuka lenyewetu. Roho alishuka kote ulimwenguni. Naam bwana, tulipatakile walichokuwa nacho kule Pentekoste. Hili halikuwa lawanadamu bali ni la Mungu.” BASI MBONA WAOHAWAKULIDUMISHA JINSI HIYO? KAMA MUNGUALILIANZISHA MBONA MUNGU ASIWEZEKULIDUMISHA NA KULIMALIZIA? Kama Munguhakuandika kitabu kidogo cha kanuni za imani na utaratibuna mafundisho ya sharti kulianzisha, basi wao walikuwa nahaki gani ya kufanya jambo hilo? Mungu alimwaga Roho Wakejuu ya Wabatisti, Wamethodisti, Wanazarayo, Wasabato,Wapresbiteri, Wandugu, Kanisa la Mungu (mengi yanavyojiita)nk. Ndugu hawa wote walikuzwa kwa mafundisho tofauti,sheria, vitabu vya mafundisho ya kanisa nk. Mungu aliyaondoaakayaweka upande mmoja; Yeye aliangamiza nadharia zao zavipindi vya wakati na akarudisha karama za Roho,akithibitisha ya kwamba ni yeye yule jana leo na hata milele.Lakini je! hao Wapentekoste walijuta kuhusu madhehebu? La,bwana. Waliunda madhehebu tena na wameandika vitabuvyao wenyewe, sheria na vitabu vya kanisa, kitabu chaushirika nk. wakiwa na wazo moja akilini mwao, ambalo nikuthibitisha ya kwamba sasa wao wana majibu yote, wanajuamajibu yote, na kwa hiyo wao ni watu bora wa Munguwaliosoma wanaojua njia na wanaweza kuwaonyesha njiawengine kama viongozi waliochaguliwa na Mungu. Lakini

Page 129: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 119

hawana kitu. Wao ni chotara tu kama makundi yale yalewalimotoka. Kama wao wanataka kuwa katika bibi-arusiitawabidi watoke kama vile hasa walivyofanya babu zao.

Wao ni kama hao wengine wote. Ufufuo umekwisha.Wanajaribu kuishi jina fulani nao wamekufa. Walichukuamadhehebu, wakati huo huo wakizungumzia kuhusu Roho waMungu. Wao wanazungumzia juu ya thibitisho la RohoMtakatifu. Lakini wanasahau ya kwamba ibilisi anawezakunena katika lugha, pia. Mchafuko mtupu wa Babeli ukokatikati yao nao wanaliita jambo hilo ni Roho ya Mungu. Maranyingine tena tunamwona mwanadamu akimwambia Mungu,badala ya Mungu kumwambia mwanadamu.

Sasa huenda ukataka kunikemea papa hapa kwa ajili yayale niliyokwisha kusema. Vema. Wao wanajiita Wapentekostena Injili kamili. Hebu wathibitishe jambo hilo. Wakati waPentekoste moto ulishuka katika wingu na kujigawanya juu yakila mmoja wao kama ulimi, na ukamshukia kila mmoja wao.Moto huo uko wapi? Walinena kwa lugha wakati waPentekoste na watu waliosikiliza walielewa. Jambo hilo likowapi? Umati mzima wa waamini waliishi kama jamaa moja.Wapentekoste wamegawanyika vibaya sana kama kundi lo lotekatika historia. Hakuna mtu aliyewahi kujiunga na kanisa lahapo mwanzoni ila tu wale Mungu aliowaongeza. Wana mbuziwengi sana miongoni mwao kama wo wote wale. Wao wanadaikuwa wa Injili kamili lakini hawawezi kuthibitisha jambohilo. Makanisa yao yamekosa nguvu kama mengine yo yote.Kama wao ndio Injili kamili basi afadhali tukubali Bibliailikosea wakati inapoelezea walivyokuwa watu wa Injili kamiliwakati wa Pentekoste. Wao wanaimba, “Kumekuweko nabadiliko kubwa ndani yangu.” Wanasema kweli. Lakini hilobadiliko halijakuwa kwa manufaa yao. Wakati wa kumrudiaMungu umewadia. Wao wana jina kwamba wanaishi baliwemekufa. Lugha si thibitisho la ufufuo. Ni thibitisho lamauti. Lugha zilitangaza thibitisho ya kwamba sherehe za diniya Wayahudi zilikuwa zimekwisha, kwamba majira mapyayalikuwa yameanza. Lugha leo zinashusha pazia juu yanyakati za kanisa la Mataifa na Injili inawarudia Wayahudi.Watu wananena kuhusu lugha zikitangulia ufufuo mkubwa waKiroho. Wamechelewa. Ukweli ni kwamba zinaandikakumalizika kwa mawazo yote ya mwanadamu, taratibu nafalme, na ufalme wa Mungu unafunguliwa mlango. Amkenienyi watu wa Mungu. Amkeni.

Endapo hudhani jambo hili ni kweli, hebu sikiliza tujambo hili. Kote ulimwenguni katika makundi yote mawili yaKipentekoste na makundi ya kanuni wanawakusanya pamojawafanyi biashara. Wamevamia mimbara bila kuwa na wito waMungu. Wanajiita wavuvi wa watu na waanzilishi wa kazi zaMungu, nao wanasema ya kwamba ile huduma ya vipawa ya

Page 130: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

120 NYAKATI SABA ZA KANISA

Waefeso 4:10-13 ambayo Mungu aliipa kanisa imeshindwa, kwahiyo wao wanaingilia kati. Hapa tuko katikati ya kutimizwakwa unabii, unaoitwa maasi ya Kora, na hata hawajui yakwamba wao wameyatimiza. Wao wanaendelea bila kufikiriwakihubiri ujuzi badala ya ile kweli. Mungu na awahurumie.Macho yao na yafunguliwe kabla hawajachelewa. Loo!nisikilizeni mimi. Ni wakati gani fahari ya pesa, uongozi wabinadamu, uwezo wa kibiashara, ama ujasiri wa akili tupuzilimstahilisha mtu apate uongozi wa kiroho, ama kutoa uzitowo wote kwenye Neno la Mungu? Na wakati kwa njia yo yotemali ama sifa za kibinadamu zilipoanza kuonyesha kama njiaambayo kwayo Mungu hutenda kazi badala ya Roho MtakatifuPEKE YAKE, basi tunapigana na Mungu, hatumpiganii Yeye.

Sasa nataka jambo hili liwekwe kwenye kumbukumbupapa hapa. Mimi sineni dhidi ya wazee kanisani. La bwana.Na mzee huyo anaweza kuwa maskini kama mtu ye yotealivyopata kuwa maskini, ama awe mtu tajiri kuliko woteduniani mradi tu yeye ni mzee moyoni na katika matendo.Singesita kumwekea mikono mtu ye yote aliye na sifa halisi zaKiroho kama mzee ama shemasi bila kujali mali zake na cheochake miongoni mwa watu. Lakini unapoona mfumo wa fedhaama wa watu kanisani ambao unawagawanya watu kwanamna yote ile_huo si wa Mungu. Ni ishara nyingine yawakati katika wakati huu tunaoishi wa Laodikia ulio tajirikimwili lakini umefilisika Kiroho.

“Najua umaskini wako.” Je! ulitambua ya kwambaumaskini wao unahusiana na sinagogi la Shetani katika aya ileile? Naam, ni madhehebu yaliyo tajiri na yenye nguvu naambayo yana mali na daima yanawasukumia nje watuwachache maskini wanaomtumikia Mungu. Wakati Roho waMungu anapotenda kazi katika mioyo ya wanadamu, ni akinanani wanaoacha majumba na mali? Lile kundi dogo daimahushindwa na madhehebu makubwa. Na hao watu huendawapi basi? Wao wanaabudu manyumbani, kwenye majengo yamaghala ya kale, na vyumba vya chini ya nyumba, kama tuwalivyofanya wakati walipoenda kwenye yale mapango yakuzikia.

Watu hawa walikuwa maskini katika mali ya ulimwenguhuu. Bila shaka. Bali walikuwa matajiri katika Roho.

“Najua matukano yao.” Sasa wazo hapa si kwamba hawawaongo wanamtukana Mungu, ingawa hilo ni wazi. Lakiniwanalitukana kanisa la kweli. Hivi ndivyo ilivyo daima.Imekuwa hivyo daima. Wayahudi wa Yerusalemu walilitukanakanisa la mwanzoni. Waongofu wa Mataifa walifanya vivyohivyo. Kama mtu ye yote atanenwa mabaya, itakuwa sikuzoteni ule mzao wa kweli. Katika siku za Nero Wakristowalilaumiwa kwa kila msiba_hata kwa kule kuteketezwa kwaRumi. Katika nchi za ukomunisti kundi hilo dogo daima ndilo

Page 131: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 121

la kwanza kuangamizwa ingawa kwa kweli ni dogo sana kwaukubwa. Ingawa Wakristo ni watu wazuri na waaminifu,ambao hutenda tu yaliyo mema, daima watateswa kusudihatimaye wapate kuangamizwa kimwili.

Sababu ya jambo hili kuwa hivi, ni kwa sababu wao nikemeo kwa wasio wacha Mungu. Kama vile kidole chenyekidonda wao wanaonekana dhahiri mbele ya walio waovu. Naingawa wenye haki hawakusudii madhara yo yote kwa waliowaovu ila wanataka kutenda tu mema, kila wakati wanajikutawamefitinika kama vile ilivyokuwa kati ya Yohana Mbatizajina Herode. Kwa maana Yohana hakutaka kumdhuru aidhaHerode wala mkewe ila kuwaokoa na hasira ya Mungu. Hili sikwamba tu lilieleweka vibaya kabisa na kupingwa kata kata,lakini Yohana aliuawa kwa sababu ya jambo hilo. Na kwamema yote yale watu wa Mungu wanayofanya, badowanaaibishwa hadharani na kuuawa. Hakika hapana shakakuna nguvu mbaya nyuma ya watu ambao wangekosa dhamiranamna hiyo hivi kwamba wangerudishia mabaya kwa walewaliowatenda mema. Naam, kuna nguvu kama hizo. NiShetani. Jibu liko kwenye aya inayofuata.

MIAKA KUMI YA DHIKI

Ufu. 2:10 “Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyoibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyimtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa,Nami nitakupa taji ya uzima”

Kila wakati Bwana anapoyatumia maneno hayo,“Usiogope,” kuna mapambano karibuni ambayo ni ya hatarikuu na mateso na hasara. Sasa Yeye hasemi waziwazi, na kwakifupi, “Dhiki inakuja.” Hilo lingemwogopesha mtu. Lakinikama mama aliye karibu na kuzima taa anavyomwambiamtoto wake kwa upole asije akaogopa, “Sasa usiogope, kwamaana taa itazima na kutakuwa na giza. Lakini kumbuka yakwamba niko hapa pamoja nawe.” Kwa hiyo Yeye anasema,“Msimwogope mwanadamu ama yale anayoweza kuwafanyia.Niko pamoja nanyi, na neema Yangu inawatosha. Mnapopitiakatika maji, hayatawazamisha. Hata katika mautihamashindwi. Ninyi ni zaidi ya washindi.”

Yule mtume mashuhuri, Paulo, alijua kutokana na uzoefuwa mambo ukweli wa maneno hayo na akaandika katikaWarumi 8:35-59, “Ni nani atakayetutenga na upendo waKristo? Je! ni dhiki, au shida, au adha, au njaa, au uchi, auhatari, au upanga? Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, Kwa ajiliYako tunauawa mchana kutwa; tumehesabiwa kuwa kamakondoo wa kuchinjwa. Lakini katika mambo hayo yotetunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda. Kwamaana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti,

Page 132: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

122 NYAKATI SABA ZA KANISA

wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, walayaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, walayaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chotehakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika KristoYesu Bwana wetu.” La, haitupasi kuogopa. Upendo Wakehuondoa hofu yote.

Sasa angalia yale Yeye anayosema, “huyo ibilisi atawatupabaadhi yenu gerezani ili mjaribiwe.” Wayahudi walikuwawanafanya jambo hilo wakati uo huo. Makuhani wapaganiwalikuwa wakifanya jambo hilo wakati uo huo. Maliwaliwaliojaribu kujipendekeza kwa watu kwa sababu hao watuwalifurahishwa na uwanja wa michezo, waliwatupa Wakristokwa nguvu wakafe kwa maelfu, wakiwaangamiza kwa simbana wapiganaji. Ibilisi ana uhusiano gani na jambo hili? Kwanini kumlaumu? A-ha, naam, lakini ni chuki ya ibilisi ndiyoiliyo nyuma ya jambo hilo lote. Yeye yuko nyuma ya hayo yotekwa maana anamchukia Mungu. Jambo ambalo Munguanataka kufanya, Shetani lazima ajaribu kuliharibu. Lakiniangalia. Hii hapa nuru kidogo. Kama Shetani yuko nyuma yaWayahudi wanaowakokota Wakristo kuwapelekamahakamani, basi Wayahudi wale si wa dini ya Mungu bali yaibilisi. Kusanyiko lao pia ni sinagogi la Shetani. Na kamaKanisa Katoliki la Kirumi liliua umati wa waamini katika zileZama za Giza, naam, na katika nyakati zote, basi wao ni waibilisi na ni wa Shetani, pia.

Na kama unafikiri jambo hili linastusha, hebu ngoja tumpaka unabii wa Ufu. 13 utimizwe. Kwa kwelilinastaajabisha sana ya kwamba Marekani iko kwenye surahiyo. Namba yenyewe kumi na tatu tu ni ishara ya taifa hili.Lilianza na koloni kumi na tatu. Bendera yake ina nyotakumi na tatu na milia kumi na mitatu. Na hayo hapo ndiyoyatakayompata katika hiyo sura ya kumi na tatu. Katikapicha hii inayozungumzwa katika sura hii kutaonekana uovuwote wa yule mnyama aliyemtangulia. Kama vile yulemnyama alivyoinuka kwenye lile Baraza la Nikea, vivyohivyo sanamu hiyo itatokea kwenye Baraza la MakanisaUlimwenguni pamoja na nguvu zote chafu na za Kishetanikuelekeza hasira ya ibilisi juu ya mzabibu wa kweli waMungu. Itakuwa ni kurudia matendo ya ujanja wote wakiibilisi na ukatili.

Wale wanaowashambulia wanyenyekevu wa Mungu nakuwadhihaki na kuwaangamiza_waache wafanye hivyo. Nakufanya hivyo watafanya. Na yote katika Jina la Mungu nadini. Lakini wanasema uongo. Wao si wa Mungu. Wao ni wababa yao ibilisi. Wao, kwa matendo yao dhidi ya watu WOWOTE, wanajionyesha jinsi walivyo. Acha waunde madhehebuna kulitenga lile kundi dogo. Wao hawafanyi lo lote ilawanawaonyesha watu wote zaidi ya kwamba wao ni wa ibilisi.

Page 133: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 123

Wao ni mzabibu wa uongo_mzabibu ambao huua. Chuki yaoinathibitisha wao ni nani. Wao ni kanisa la Wanikolaiwapinga-Kristo.

“Watatupwa gerezani.” Naam, wao wanakokotwakupelekwa mahakamani na kushtakiwa kwa uongo nakuhukumiwa na kutiwa gerezani. Na bila shaka yoteyanafanywa katika jina la dini na uungwana na kwa ukatiliwa dhamira safi. Yote yanafanywa kwa kusudi zuri. Hilolinanifanya niwazie juu ya Mahakama Kuu kukataza maombina kusomwa kwa Biblia shuleni. Ni nani aliye nyuma yake? NiShetani. Ni mlipuko mwingine wa hasira dhidi ya Mungu.

“Nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi.” Huu hapa unabii.Na pamoja nao kuna njia ya kuamua muda Wakati wa Smirnautakaodumu. Diokleshan, mfalme mkatili kuliko wafalmewote, alianzisha kampeni ya kutisha dhidi ya watakatifu waMungu, hivi kwamba isingalikuwa ni kwa ajili ya rehema zaMungu ingeliwaangamiza waamini wote. Ilikuwa ndiyo yenyeumwagaji wa damu sana kuliko zote katika historia na ilidumumiaka kumi (zile siku kumi za Ufu. 2:10b) kutoka 302 hadi 312.

“Uwe mwaminifu hata kufa. Yeye hasemi uwe mwaminifumpaka kufikia kufa, lakini mpaka unakufa. Huenda ikulazimukutia muhuri ushuhuda wako kwa damu yako. Maelfu, naammamilioni, wamekufa katika nyakati zote. Walikufa katikaimani. Kama vile Antipa, yule shahidi mwaminifu, waohawakuyashikilia maisha yao kuwa ni ya thamani hata kufaMara nyingi tunafikiri ya kwamba lingekuwa karibuni nijambo lisilowezekana kuwa mfia imani. Lakini thubutukukumbuka ya kwamba ile imani tunayotumia kila sikukushinda katika Kristo Yesu ndiyo imani ile ileinayowashikilia akina Polikapu na wafia imani wote. Imanikamilifu itatoa neema kamilifu kwa ajili ya saa kamilifu.Mungu na abarikiwe milele!

“Nami nitakupa taji ya uzima.” Kwa kuwa si hata kikombecha maji baridi kinachotolewa katika Jina la Bwana kinakosakupokea thawabu, thawabu yake yeye anayeyatoa maisha yakekama mfia imani kwa ajili ya Jina la Bwana Yesu itakuwakubwa jinsi gani. Labda tunaweza kupata wazo dogo kamatukilinganisha taji hii na taji inayovaliwa katika mashindanoya mbio. Katika 1 Kor. 9:24, Paulo anasema, “Je! hamjui, yakuwa wale washindanao kwa kupiga mbio, hupiga mbio wote,lakini apokeaye tuzo ni mmoja? Pigeni mbio namna hiyo, ilimpate.” Taji iliyotolewa kwa mshindi wa mbio za Olimpikiilikuwa ni shada la matawi ya mizeitumi. Lakini tajiinayotajwa hapa katika Ufunuo, inayotolewa kwa mfia imani,ni taji ya kifalme. Yesu anaiita taji ya uzima. Taji hiyo moja nikwa wale ambao wameshinda; hiyo nyingine ni kwa waleambao wametoa. Taji hizo zote mbili haziharibiki.Hazitaharibika. Washindi wa mbio za ulimwengu za maisha

Page 134: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

124 NYAKATI SABA ZA KANISA

karibuni watapoteza furaha ya mashabiki wa ulimwengu.Utukufu wao utakwisha. Lakini wale wanaoyatoa maisha yaokwa ajili ya Mungu, aidha kwa kushindana kila siku ama kwakumwaga damu yao kama dhabihu ya kuyakamilisha maishayao watapewa taji ya uzima.

Wakati mdogo sana hutumiwa katika kutaabika kwathawabu za milele za Mungu. Malipo ya Mungu hayatiliwimaanani sana. Kama tunaamini katika ukweli wa kufufukakwa mwili, na ufalme wa milele unaoonekana, basi tunapaswakuweka mbinguni zile hazina nzuri ambazo ziko kwa ajili yawatakatifu waaminifu.

THAWABU KWA KUSHINDA

Ufu. 2:11, “Yeye aliye na sikio na alisikie Neno hili ambaloRoho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye hatapatikana namadhara ya mauti ya pili.”

Sasa, mara nyingine tena Roho ananena na nyakati zote.Ujumbe huu ni wa kutufariji leo kama vile ulivyowafarijindugu zetu wa nyakati zile nyingine. Naye anatwambia yakwamba mauti ya pili haitatudhuru.

Sote tunajua ya kwamba mauti ya pili ni lile ziwa la moto.Ufu. 20:14, “Mauti na Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa lamoto. Hii ndiyo mauti ya pili.” Bila shaka hiyo inamaanishahao wote waliokuwa mle, walitupwa katika ziwa la moto. Sasabasi, ninataka kuleta jambo fulani hapa kwa ajili yenu. Bilashaka litawafanya watu kusema mambo juu ya fundisho langula kigeni. Lakini ninasimama hapa juu ya mamlaka ya Neno laMungu na kukana ya kwamba asiyeamini anaenda kwenyekuzimu ya milele na kuteketezwa huko milele. Kwanza,kuzimu, ama ziwa la moto, ama vyo vyote unavyotaka kuliitasi la milele. Linaweza kuwa wakati lilikuwa na mwanzo?Katika Mt. 25:41, inasema ya kwamba “moto wa mileleuliwekewa tayari ibilisi na malaika zake.” Sasa kamauliwekewa tayari, basi haukuwa usio na mwanzo. Kamaulikuwa na mwanzo, basi hauwezi kuwa ni wa milele. Bilashaka huenda ukajikwaa juu ya wazo la neno ‘milele.’ Lakinineno hilo linamaanisha “toka nyakati hadi nyakati” na linamaana tofauti zinazoambatana nalo. Katika I Sam. 3:13-14,Mungu alimwambia Samweli ya kwamba angeihukumunyumba ya Eli milele, na ya kwamba hawangetoa dhabihunyingine “milele” kama makuhani Wake. Na katika 2 Waf.2:27, Sulemani anautupilia mbali ukoo wa Eli kutoka katikaukuhani. Hivyo vilikuwa kitu kama vizazi vinne baadaye. Sasaunaweza kuona ya kwamba “daima” halilingani na kile kilichocha “milele”, ama kile kisichokuwa na mwanzo wala mwisho.Hapa katika kisa hiki neno milele linamaanisha “kufikiamahali pa kutoweka.” Hilo ndilo lililotukia. Wao walitoweka.”

Page 135: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 125

Angalia neno, “maangamizi” kwenye II Thes. 1:9,“Watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele.” KatikaKiyunani “maangamizi” kweli linamaanisha kuharibu kabisa.Na neno, “maangamizi”, HALIMAANISHI kuharibu. Sasa“kuharibu” kunamaanisha kitu fulani kinachoendelea nakuendelea katika kuharibika. Kwa hiyo kuharibu milelekunaweza kuwa na maana gani? Hakumaanishi kuendeleakuharibu, la sivyo hilo lingelifanya neno “kuharibu”,kuchukua mahali pa “maangamizi.” Linamaanisha kuharibumpaka kiishe. Kukimaliza.

Unaweza ukashangaa sasa, ni wakati gani unapowezakutumia neno, “milele,” na usilitumie jinsi ambavyotumefundishwa. Hilo ni rahisi. Wakati litumikapo kumhusuMungu linamaanisha kuwa bila mwanzo wala mwisho, nakudumu daima na bila kikomo. Na wakati unaponena juu yauzima wa milele unawazia niani mwako kile ambacho niuzima wa Mungu. “Huu ndio ushuhuda, ya kwamba Munguametupa uzima wa milele, na uzima huo umo katikaMwanawe. Yeye aliye na Mwana yuna huo uzima.” Sasa basi,wana wa Mungu tu ndio walio na uzima wa milele, ule ambaohaukuwa na mwanzo, lakini ulikuwako daima. Hiyo ni kweli.Una kitu fulani ndani yako sasa hivi ambacho ni cha milele_bila mwanzo wala mwisho. Ni Roho ya Mungu. Ni sehemu yaMungu Mwenyewe. Ni uzima wa Mungu.

Sasa kama mwenye dhambi ataenda kuzimu na halafuateseke jinsi wewe unavyoenda mbinguni na kufurahia mbingu,basi tayari yeye ana uzima wa namna ile ile ulio nao wewe.

Vema, halafu huenda kukawa na wale wanaosema yakwamba uzima wa milele unamaanisha kusitawi kwa watotowa Mungu. Kustawi kwao na halafu furaha yao ndivyo vilivyohatarini. Kwa upande mwingine mwenye dhambi anaendakwenye adhabu yake, hivi kwamba tunaweza kurahisishamauti ya pili kuwa kitu tu cha adhabu na mahali fulani. Uzimawa milele unamaanisha mbingu, na adhabu ya mileleinamaanisha kuzimu. Ungeshangazwa na watu ambaowametukuzwa sana kama wanatheolojia ambao wameaminijambo hilo. Lakini unajua jambo hilo linafanya kitu gani?Linaufanya uzima wa milele kuwa tu ni jambo la kijiografiabadala ya Mtu. Uzima wa Milele ni Mungu,_Bwana YesuKristo. Jinsi mtu ye yote angeweza kuamini jambo kama hilo,ya kwamba uzima wa milele ni mahali fulani tu, ni zaidi yaninavyojua. Linanifanya kuduwaa nikiliwazia.

La bwana. Kuna aina moja tu ya uzima wa milele. Munguanao. Kama tuna Mungu, tuna uzima wa milele ndani Yake nakupitia Kwake.

Kwa hiyo unaona, hilo neno milele, ama daima, linawezakutumiwa katika njia mbalimbali, lakini wakati linapotumiwa

Page 136: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

126 NYAKATI SABA ZA KANISA

kwa Mungu, Yeye akiwa jinsi alivyo, lina maana moja. Nikudumu kwa Mungu. Huwezi kulitumia namna hiyo kwa kitukingine chote. Mungu peke yake ndiye wa milele, na kwasababu Yeye yu hai, sisi tunaishi pamoja Naye.

Sasa msiache mtu ye yote aseme ya kwamba siamini katikaziwa la moto na katika adhabu. Ninaamini. Sijui litadumumuda gani, lakini hatimaye litaondolewa. Katika Ufu. 21:8,inasema ya kwamba hao wenye dhambi waliotajwa watakuwana sehemu yao katika ziwa la moto. Lakini tafsiri ya kweli yaneno hilo si ‘sehemu’ lakini ni ‘wakati’. Unaona, hapoumelipata.

Kwa hiyo walio waovu watatupwa katika kuzimu(Jehanum ama kaburini) na kuzimu katika ziwa la moto.Kutengwa na Mungu. Hilo litakuwa ni jambo baya jinsi gani.

Lakini haitakuwa hivyo kwa wenye haki. Haiwapasikuogopa. Tayari Wamekwisha kukombolewa na Mungu. Wakokifuani Mwake. Wao ni wale washindi. Na ni nani yeyeanayeshinda? Yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Kristo.

Ni kwa nini huyu mshindi, huyu mwamini aepuke, naaingie katika milki ya uzima wa milele na kipeo cha raha? Nikwa sababu Yesu alilipa deni apate kutukomboa na dhambi.Yeye alilijaza lile pengo la utengano, nasi tuliokuwa mbali sasatumeletwa karibu kwa ile damu.

Nao kamwe hawataingia hukumuni. Hawatakuwa kamwekatika lile ziwa la moto. Hawawezi kupotea hata kidogo kwakuwa Yeye hatampoteza hata mmoja wao. Hakuna hata mmojawa hao waliokombolewa atakayekuwa po pote ila mahali alipoYesu.

Unajua jambo hilo ni nini? Nitakufafanulia. Nina mvulanamdogo, Joseph. Yeye ni sehemu yangu, haidhuru iweje. Kamaningalikuwa tajiri, jambo baya sana ningaliweza kufanyalingekuwa kumnyima urithi, lakini hakuna jambo ningaliwezakufanya kamwe kumkana yeye. Siwezi kwa sababu yeye nisehemu yangu. Hapa, hebu tupimwe damu. Hebu tulinganishedamu yake na yangu. Itathibitisha ya kwamba Joseph nimwanangu. Yeye ni wangu.

Kipimo cha damu ndicho kinachoonyesha kama wewe niwa Mungu ama si wa Mungu.

Siwezi kujizuia kufikiria juu ya wakati nilipokuwanikisimamia ng’ombe wa gredi wa Hereford huko Colorado.Tulikuwa tunawaleta hao ng’ombe wapate kuchunguzwa naserikali kama tulitaka walishwe kwenye ranchi ya serikali.Lakini wasingeruhusu hata mnyama mmoja asiyekuwa nakipande cha kuonyesha damu yake kwenye sikio lake. Kipandehicho kilionyesha ya kwamba yeye alikuwa ni wa gredi.Walinzi waliowachunguza hawakuangalia hata mara moja

Page 137: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 127

chapa yao. Waliangalia tu kile kipande kuona ya kwamba iledamu ilikuwa damu halisi. Haleluya. Kama ni damu halisi,haina budi kuwa sawa.

Unajua Mungu aliangalia chini na akatangaza, “Nafsi ileitendayo dhambi, itakufa. Itatengwa Nami. Haiwezikunikaribia Mimi.” Tunajua ya kwamba sote tumetendadhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu. Hiyoilimaanisha ya kwamba wote walikufa, wote walitengwa, nasiku moja wakati ungekuja ambapo hata sehemu hiyo ndogosana ya uhai itaondolewa na yote yatakwisha. Lakini Mungukatika upendo, alichukua mnyama na kuutoa uhai wakebadala ya uhai wa mwenye dhambi.

Katika Agano la Kale mwenye dhambi alimleta mwana-kondoo. Akaweka mkono wake juu ya mwana-kondoo huyohuku kuhani anakata koo la yule mwana-kondoo. Alihisi kulekutoka kwa damu na akasikia kule kulia. Akasikia mwiliukijinyosha ukifa. Aliona moshi wa damu iliyonyunyizwaukipaa kwa Mungu. Alijua huyo mwana-kondoo amepachukuamahali pake. Alijua ya kwamba uhai wa huyo mwana-kondooulikuwa umetolewa badala ya wa kwake. Lakini uhai wamwana-kondoo huyo ulikuwa ni uhai wa mnyama walahaukuweza kumrudia mwenye dhambi na kumfanya msafi.Kwa hiyo akaondoka akiwa na tamaa ile ile ya kutendadhambi. Angeondoka akiwa na dhambi moyoni mwake, nakurudi na kutoa dhabihu kwa ajili ya jambo lile lile mwakammoja baadaye.

Lakini katika Agano Jipya sivyo ilivyo. Mwana-kondoowetu anayekufa ni Mwana wa Mungu aliyeitoa damu Yakefidia kwa ajili ya wengi. Kwa imani tunatembea na kuwekamikono yetu juu ya Mwana-Kondoo huyo_tunamwona akiwana jeraha zilizojaa damu, mgongo uliojeruhiwa, na miibamikali sana ikiumbua paji Lake_tunahisi maumizu Yake nakumsikia akilia, “Mungu Wangu, Mungu Wangu, mbonaumeniacha?” Na nini kilitukia? Uhai ulioiacha chembechembehiyo ya damu iliyovunjwa-vunjwa ulimrudia mwenye dhambialiyetubu. Uhai uliokuwa ndani Yake ukaturudia sisi.Tunarudi pasipo na tamaa tena ya kutenda dhambi, na sasatuna chuki kwa matendo na tamaa za mwili.

Hebu na tujiangalie. Uhai wetu ni nini? Ni chembechembendogo moja tu iliyotoka kwa baba yetu. Mwanamke hana ilesehemu nyekundu ya damu. Yeye hutoa yai; yeye ni chombocha kuatamia. Lakini damu hutoka kwa mwanamume. Hiyondiyo sababu mwanamke huchukua jina la mwanamume.Watoto wanachukua jina la baba. Mama ni chombo chakuatamia watoto anaomzalia.

Hilo ndilo lililotukia kwa ukombozi wetu. Roho Mtakatifualimjia Mariamu naye akamzaa Mwana na akamwita Jina

Page 138: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

128 NYAKATI SABA ZA KANISA

Lake, Yesu. Yule Muumba mkuu alishuka na akawa dhabihukwa ajili ya dhambi yetu. Damu Yake ilikuwa ni damu yaMungu. Hivyo ndivyo ilivyokuwa hasa. Hiyo damu ya Munguilimwagwa na Roho akamtoka alipokuwa anakufa katikauchungu. Ndipo UHAI ULE ULE (ROHO) ukarudi kukaandani ya mwenye dhambi aliyetubu na kumweka huru.Mwenye dhambi huyo hakurudi mwaka baada ya mwaka,dhabihu baada ya dhabihu, kwa maana hapakuwepo na haja.Kwa dhabihu MOJA, mara moja tu yeye amewekwa hurukutoka katika utawala wa dhambi, naye ameupokea uzima waKristo ambapo yeye anatawala kwa ushindi juu ya dhambi,ulimwengu, mwili na ibilisi.

Mungu alifanya jambo hilo. Alifanya jambo lote. Aliuliliaulimwengu uliolaaniwa katika dhambi, “Nitawapa ishara.Bikira atachukua mimba. Bikira atachukua mimba na kuzaaMwana. Hiyo itakuwa ndiyo ishara yenu. Itakuwa ishara yamilele. Kile atakachozaa kitakuwa ni Imanueli, Mungu pamojanasi.”

Mungu alishuka katika chembechembe ya damu, si kwakupitia kwa mwanadamu, lakini kwa Roho Mtakatifu, nakatika tumbo hilo la uzazi la bikira maskani ilijengwa kwakusudi la mauti. Mzao wa mwanamke ulikuja ili Yeye apatekuchubuliwa kusudi atuletee wokovu wetu. Wakati RohoMtakatifu alipomjilia Mariamu, Yeye aliumba ndani ya tumbolake la uzazi chembechembe ile ambayo ingeongezeka na kuwamwili wa Bwana wetu. Chembechembe hiyo iliumbwa. Ilikuwandiyo Mwanzo wa Kuumba kwa Mungu. Huyo Ndiye Yesu. Nahuyo Mtakatifu alijazwa na damu Takatifu, yaani ni damu yaMungu. Maskani hiyo ikaja kuzaliwa. Akakua akawa mtumzima. Akaenda Yordani na hapo hiyo Dhabihu ikaoshwa naYohana katika mto unaoitwa Yordani. Wakati dhabihu hiyoiliyokubalika ilipoinuka kutoka majini, Mungu alikuja akaishindani Yake, akimjaza kwa Roho bila kipimo. Na wakatialipokufa na kumwaga damu Yake, ule uzima mkamilifu waMungu ulitolewa umrudie mwenye dhambi ambayeangemkubali Kristo kama Mwokozi wake.

Loo! jinsi linavyostaajabisha. Yehova, aliyezaliwa akiliajuu ya lundo la samadi. Yehova alizaliwa katika hori lamanyasi. Hiyo hapo ishara yako ya milele kwa wenye majivunona wenye kiburi, na wenye elimu bandia, ambao wamebunitheolojia yao wenyewe na kukana kweli ya Mungu. YehovaMungu, mtoto mchanga anayelia katika hori linalonuka.Halafu tunafikiri tuna haki ya kuwa na majivuno, hukutukiinua juu pua zetu, tukilaumu na kufanya kana kwambatulikuwa watu mashuhuri. Hii hapa ishara yenu halisi. Hiindiyo ya kweli. Yehova, akicheza kama mvulana. Yehovaakifanya kazi katika duka la seremala. Yehova akitawadhamiguu ya wavuvi.

Page 139: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 129

“Nitawapa ishara,” alisema Mungu. “Si ishara ya ukasisiwenye ukosi mweupe. Si ishara ya utajiri na mamlaka. Hakunakitu katika ishara hii ambacho mtakipenda, amamtakachofikiria kinafaa. Lakini ni ishara ya milele. Ni isharakuu kuliko zote.” Yehova akisimama kwenye behewaamechubuliwa na kutokwa na damu akiwa na miiba kwenyepaji la uso Wake na mate aliyotemewa usoni, akidhihakiwa nakufanywa si kitu. Yehova akidhihakiwa na kukataliwa,ameangikwa uchi msalabani, huku wanafiki wakimfanyiamzaha na kumsai ashuke msalabani. Yehova akifa. Yehovaakiomba na hakuna kitu kinatokea. Halafu Yehova akafa.Ishara hiyo ni kwa ajili ya watu wote sasa. Hakuna nyinginekama hiyo. Ndiyo iliyo kuu.

Ndipo giza likaja juu ya dunia. Wakamweka kaburini.Hapo akalala hizo siku tatu usiku na mchana mpaka tetemekola nchi lilipolivunja giza la usiku Naye akafufuka. Yehovaakafufuka. Yehova akapaa juu. Ndipo Yehova akarudi kuishindani ya kanisa Lake. Yehova akarudi kwa upepo wa nguvuukienda kasi na ndimi za moto. Yehova akarudi kuja kutembeakati ya kanisa Lake na kuwatia nguvu watu Wake. Maranyingine tena Yehova akaja, na wakati huu kukaa ndani yawatu Wake. Na tena Yehova huwaponya wagonjwa,anawafufua wafu na kujidhihirisha Mwenyewe kwa Roho.Yehova alirudi, akinena kwa lugha, na kutoa jibu katika fasiri.

Yehova alishuka na kumwinua kahaba asitende dhambitena. Alishuka kuja kwa mlevi aliyejaa nzi usoni mwake akiwaamelala amezirai kwenye handaki. Naam, Yehova alikujakujidhihirisha katika mwili na kujidhihirisha kwa mwili.Yehova alikuja_Mungu ndani yetu, tumaini la utukufu.

Naam, Yesu alikuja na kumwaga damu Yake na kumwekamfungwa huru. Alikuja na kuwakomboa kondoo Wakewaliopotea. Aliwapa uzima wa milele nao kamwehawatapotea. Hatampoteza mmoja wao, bali atawafufua sikuya mwisho.

Haleluya, mauti ya pili haiwezi kuwadhuru. Haina nguvujuu yao. Kwa maana wao ni wa Mwana-Kondoo naowanamfuata po pote aendapo.

ROHO MTAKATIFU KATIKA KILA WAKATI

Ufu. 2:11, “Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambaloRoho ayaambia makanisa.” Hakuna hata wakati mmoja wakanisa ambapo aya hii haitajwi. Kila wakati una onyo lile lilekwa watu wa kila wakati. “Yeye aliye na sikio, na alisikieNeno hili ambalo Roho anasema.” Lakini haiwezekani kabisakwa watu wote kusikia yale ambayo Roho anaziambia nyakatimbalimbali. I Kor. 2:6-16, “Walakini iko hekima tusemayo ya

Page 140: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

130 NYAKATI SABA ZA KANISA

wakamilifu; ila si hekima ya dunia hii, wala ya haowanaoitawala dunia hii, wanaobatilika; bali twanena hekimaya Mungu katika siri, ile hekima iliyofichwa, ambayo Mungualiazimu tangu milele, kwa utukufu wetu; ambayo wenyekuitawala dunia hii hawaijui hata mmoja; maana kamawangaliijua, wasingalimsulibisha Bwana wa utukufu; lakini,kama ilivyoandikwa, mambo ambayo jicho halikuyaona walasikio halikuyasikia, (wala hayakuingia katika moyo wamwanadamu,) mambo ambayo Mungu aliwaandaliawampendao. Lakini Mungu ametufunulia sisi hayo kwa RohoWake. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo yaMungu. Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo yabinadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyona mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho waMungu. Lakini sisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Rohoatokaye kwa Mungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwabure na Mungu. Nayo twayanena, si kwa manenoyanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, baliyanayofundishwa na Roho Mtakatifu, tukiyafasiri mambo yarohoni kwa maneno ya rohoni. Basi mwanadamu wa tabia yaasili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwakehuyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwayatambulikana kwa jinsi ya Rohoni. Lakini mtu wa Rohonihuyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu. Maana, Ninani aliyeifahamu nia ya Bwana, amwelimishe? Lakini sisitunayo nia ya Kristo.” Mt. 13:13-16, “Kwa sababu hii nasemanao kwa mifano; kwa kuwa wakitazama hawaoni, nawakisikia hawasikii, wala kuelewa. Na neno la nabii Isayalinatimia kwao, likisema, Kusikia mtasikia, wala hamtaelewa;kutazama mtatazama, wala hamtaona. Maana mioyo ya watuhawa imekuwa mizito, na kwa masikio yao hawasikii vema, namacho yao wameyafumba; wasije wakati wo wote wakaonakwa macho yao, wakasikia kwa masikio yao, wakaelewa kwamioyo yao, wakaongoka, nikawaponya. Lakini, heri machoyenu, kwa kuwa yanaona; na maskio yenu, kwa kuwayanasikia.” Yohana 8:42-44, “Yesu akawaambia, Kama Munguangekuwa Baba yenu, mngenipenda Mimi; kwa maananalitoka kwa Mungu, Nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsiYangu, bali Yeye ndiye aliyenituma. Mbona hamyafahamuhayo niyasemayo? ni kwa sababu ninyi hamwezi kulisikiaNeno Langu. Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za babayenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangumwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamnahiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yakemwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.” Nidhahiri kabisa kutokana na Maandiko haya ya kwambahakuna mtu kwa nafsi yake anayeweza kumsikia Mungu.Uwezo huo hana budi kupewa na Mungu. Mt. 16:17, “Yesuakajibu, akamwambia, Heri wewe Simoni Bar-yona; kwa kuwa

Page 141: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 131

mwili na damu havikukufunulia hili, bali Baba Yangu aliyembinguni.” Tukiweka aya hizi pamoja tunaona ya kwambakuna kundi moja tu la watu, na hilo ni kundi maalum sana lawatu ambao wanaweza kusikia yale Roho anayosema katikakila wakati. Ni kundi moja maalumu ndilo linalopokea ufunuokwa kila wakati. Kundi hilo ni la Mungu kwa sababu kundilile ambalo haliwezi kusikia si la Mungu. (Yohana 8:42-44)Kundi ambalo linaweza na linasikia yale Roho anayosema nakupokea ufunuo wake ndilo kundi lile lililoelezewa habarizake katika I Kor. 2:6-16. Hao ndio walio na Roho wa Mungu.Hao ndio waliozaliwa na Mungu. Wamebatizwa katika mwiliwa Bwana Yesu Kristo kwa Roho Wake. Wamebatizwa kwaRoho Mtakatifu.

Kufafanua zaidi yale tuliyosema hivi punde, na piakutumia Andiko ambalo linapaswa kuwekwa mawazonitunapozungumza juu ya ni nani aliyebatizwa na RohoMtakatifu, tazama yale Yesu aliyosema katika Yohana 6:45,“Imeandikwa katika manabii, Na WOTE watakuwawamefundishwa na Mungu.” Lakini fungua Isa. 54:13 ambapohili limetolewa na linasema, “Na watoto wako wotewatafundishwa na Bwana.” Hao WOTE wa Mungu niWATOTO wa Mungu. Kwa hiyo jambo hilo ndio ushuhuda wakuwa mtoto wa kweli wa Mungu, (yeye ambaye Rohoamemjilia na kukaa ndani yake) ameelezwa hapa tena kamamtu aliyefundishwa Neno na Roho Mtakatifu.

Sasa unaweza kuanza kuona ni kwa nini lugha siushuhuda wa kubatizwa na Roho Mtakatifu. Haisemi katikawakati wo wote ya kwamba “yeye aliye na lugha na anene lileambalo Roho ananena.” Hilo linaweka lugha, fasiri zake, naunabii, nk. kando kama ushuhuda. Ushuhuda ni KUSIKIAyale Roho asemayo. Roho ananena. Naam, Roho anafundisha.Hivyo ndivyo hasa Yesu alivyosema angefanya atakapokuja.Yohana 14:26, “Atawafundisha yote na kuwakumbusha yoteniliyowaambia.” Na hilo ndilo lililotukia hasa. Hivyo ndivyoInjili zilivyoandikwa. Watu hawa walikuwa wamekumbukamioyoni mwao kwa Roho Mtakatifu Maneno yale yalealiyosema Yesu. Hiyo ndiyo sababu zile Injili ni sahihi. Nikamilifu. Lakini Roho hakuwakumbusha tu mambo yote lakinialiwafundisha zaidi juu ya ile kweli waliyokuwa nayo tayari.Hivyo ndivyo Paulo alivyopokea mafunuo yake. Yeye alisemakuhusu jambo hilo, “Kwa maana, ndugu zangu, Injili hiyoniliyowahubiri, nawajulisha ya kuwa siyo ya namna yakibinadamu. Kwa kuwa sikuipokea kwa mwanadamu walasikufundishwa (na mwanadamu), bali kwa ufunuo wa YesuKristo.” Gal. 1:11-12. Yeye alifundishwa na Roho Mtakatifu.

Siku moja wakati Yesu alipokuwa duniani, mtu fulanimkuu alimtembelea. Mtu huyu akasema, “Rabi, tunajua weweni Mwalimu aliyetoka kwa Mungu.” Lakini utaona ya kwamba

Page 142: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

132 NYAKATI SABA ZA KANISA

Yesu alimkatiza maneno. Alimgeukia Nikodemo na manenoaliyonena yanaweza kufafanuliwa namna hii, “Mimi SImwalimu. Mimi ni Mwana-Kondoo wa Sadaka kwa ajili yadhambi. Ninafanya Kuzaliwa Upya kuwezekane kwa RohoYangu. Bali yuaja Mmoja Ambaye Ndiye Mwalimu. NdiyeRoho Mtakatifu.” Wakati Yesu alipokuwa duniani Yeye alikujakama Mwana-Kondoo, na kama Nabii. Lakini hapo aliporudikwenye kanisa kwa Roho Wake akawa ndiye Mwalimu.

Na kwa kila wakati tunasikia kweli ile ile. “Yeye aliye nasikio na alisikie Neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.”Lakini mtu aliyejazwa na Roho ndiye tu anayeweza kusikiaufunuo wa wakati huo. Hakuna mwingine anayeweza. Labwana. Hawawezi kwa sababu hivyo ndivyo hasa Pauloalivyosema katika I Kor. 2:6-16.

Sasa jambo hili linapaswa kukufanya ufurahi. Kunafundisho la ajabu sana linalovuma ambalo linasababishamafarakano makubwa sana na chuki. Kwa maana hapoWapentekoste wanaposema HUNA BUDI kunena kwa lugha lasivyo hujabatizwa na Roho Mtakatifu, wao aidha wanakana yakwamba watu wenye sifa kama akina Knox, Moody, Taylor,Goforth na wengineo hawakumpokea Roho Mtakatifu, amawanasema ya kwamba wote walinena kwa lugha kisiri naowala hawakujua yaliyokuwa yakitukia. Sasa jambo hilo sikweli. La bwana. Hilo ni kosa baya sana. Lugha si ushuhudawa kujazwa na Roho. Ni moja tu ya yale madhihirisho tisayaliyotajwa katika I Kor. 12. Hakuna Maandiko yanayosema yakwamba unampokea Roho Mtakatifu ukinena kwa lugha aukwamba unampokea Roho Mtakatifu kwa kunena kwa lugha.Lakini nasema kwamba “Baada ya wao wote kujazwa na RohoMtakatifu walinena kwa lugha,” na baadaye inasema yakwamba walitabiri.

Leo miongoni mwa jamaa wengi inakubaliwa tu yakwamba wote wanaodai kumpokea Roho Mtakatifu kwakunena kwa lugha wananena kwa lugha halisi ya Kiroho.Lakini jambo hili si kweli kwa maana wengi hunena kwalugha inayojulikana lakini chini ya ushawishi wa pepo mchafu.Sasa hebu na tuseme tuko kwenye mkutano na watu wotewananena kwa lugha. Unawezaje kujua ni lugha ipi inayotokakwa Roho na ni ipi inayotoka kwa ibilisi? Mimi nimekwendamiongoni mwa makafiri ambapo wachawi wao walikunywadamu kutoka kwenye fuvu la kichwa, wakanena kwa lugha nawakafasiri na kutabiri. Wao hata wanaweza kuandika katikalugha. Sasa kama lugha ndio HUO ushuhuda wa kumpokeaRoho Mtakatifu, basi kila lugha itabidi iwe ni ya Mungu.Lakini imekubaliwa na watu wanaochukua lugha kuwa niushuhuda ya kwamba kuna lugha za uongo na za kweli kwamaana Mungu ana za kweli na ibilisi ana za uongo. Kwa hiyoswali langu mimi ni, “Ni nani anayejua ya kweli ni ipi? Ni nani

Page 143: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 133

aliyefahamu hiyo lugha akajua yale yaliyonenwa? Ni nani aliyena karama ya utambuzi kujua?” Sasa wakati tutakapopatamajibu hayo tutakuwa na jambo fulani la kuendelea nalo,lakini hadi wakati huo, hatuna budi kujiuliza juu ya chanzocha lugha hizo. Unaweza kuona papa hapa ya kwamba kamaukiunga mkono ushuhuda wa lugha na hujui yanayosemwa,itakubidi hatimaye kufikia mahali ambapo lugha zote hazinabudi kuwa ni za Mungu. Jambo hilo basi lingetufanya tuaminiya kwamba ibilisi hawezi kunena kwa lugha. Hilo si kweli; la,sivyo hata kidogo. Mmishenari ye yote wa kweli akiwa hukonchi za ng’ambo anajua vizuri sana ya kwamba mapepohunena kwa lugha, kama vile tu nijuavyo mimi kwa matukiombalimbali niliyokuwa nayo.

Wanatheolojia wa Kipentekoste wanakubali ya kwambahawana Andiko linalosema ya kwamba watu hunena kwalugha wanapobatizwa kwa Roho Mtakatifu. Wanakubali yakwamba wamelichukulia jambo hilo kutokana na matukioyaliyoandikwa katika Kitabu cha Matendo ambapo mara tatukati ya tano watu walinena kwa lugha. Na wanasema pia bilaya Andiko lo lote ya kwamba kuna lugha za aina mbili. Mojani lugha unayonena unapompokea Roho Mtakatifu nayo ndiyo‘ushuhuda’, ambapo baadaye kama unaamini, unawezakupokea kipawa cha kunena kwa lugha ambapo unawezaukanena mara kwa mara. Hata hivyo, wao wanasema, maraukiisha kunena kwa lugha kama ushuhuda wa kupokea,huenda usinene tena. Mara nyingine tena tunatamani kujua niwapi jambo hili linapatikana katika Neno. Kama halipo, basiMungu hajalinena na ole wake yeye ambaye angeongezakwenye Neno hilo. Lakini kuna jambo fulani katika Nenokuhusu somo lili hili ambalo wanalipuuzia kabisa. I Kor. 13.Inataja lugha za wanadamu na za malaika. Hizi zingekuwalugha zinazojulikana na zisizojulikana. Wapentekoste wakisasa wanasema ya kwamba wanaweza wao kumpokea RohoMtakatifu wakinena katika lugha zisizojulikana ama lugha zamalaika. Wameuweka mkokoteni mbele umvute farasi, kwamaana katika Matendo 2 watu walinena katika lugha halisiambayo hata wasioamini walisikia na kufahamu.

Sasa wakati Mungu amenyamaza afadhali tunyamaze.Lakini mahali ambapo amenena afadhali na sisi tunene, pia,na kusema yale aliyokwisha sema. Yeye alitwambia ushuhuda,ama ni jambo gani lingetukia baada ya kubatizwa na RohoMtakatifu ilikuwa kwamba yule Mwalimu angekuja nakutufundisha kweli yote. Lakini Mwalimu huyo alikuwa nimwalimu wa NDANI, si mwalimu wa nje. Kama Rohohakuwamo ndani, wewe hungeweza kuisikia kweli nakuipokea kwa ufunuo kama ungaliisikia kila dakika ya siku.Hiyo ilikuwa ndiyo ishara ya Roho anayekaa ndani katika sikuza Paulo. Wale waliojazwa na Roho Mtakatifu walilisikia

Page 144: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

134 NYAKATI SABA ZA KANISA

Neno, wakalipokea na kuishi kwalo. Wale ambao hawakuwana Roho walilisikia tu kama watu wa kimwili, wakawekatafsiri mbaya kwalo na wakaingia dhambini.

Katika kila wakati, (na kila wakati ni wakati wa RohoMtakatifu kwa mwamini wa kweli)_nasema, katika kilawakati ushuhuda ulikuwa ni ule ule. Wale waliokuwa na Roho,yule Mwalimu, walilisikia lile Neno, na huyo Roho aliyekuwandani yao alilichukua lile Neno na kulifundisha (akalifunua)kwao; nao walikuwa ni wa kundi lile lililomsikia yule mjumbena ujumbe wake na kuuchukua na kuuishi.

Ninajua ni ushawishi mkubwa wa kurejea nyuma kwenyesiku ya Pentekoste na pia kwenye siku ambapo RohoMtakatifu aliposhuka katika nyuma ya Kornelio na halafukuweka hayo matukio mawili yanayolingana kama ushuhudawa Ubatizo wa Roho Mtakatifu. Lakini katika kila moja yamatukio hayo zile lugha zilieleweka kwa wale waliosikiliza.Hii ni mbali sana na babeli ya kisasa ya mchafuko wamikutano ya Kipentekoste. Na kama jambo hili halitoshikutushawishi kutupilia mbali hoja kama hizo, tutafanyajetutakapokabiliwa na ukweli kwamba watu ambao hawajawahikunena kwa lugha kamwe wana baadhi ya yale madhihirishomengine manane maishani mwao, kama vile neno la maarifa,upambanuzi wa roho, neno la maarifa, imani, kuponya na hatamiujiza? Na maneno haya yanavutia hata na zaidi katikaukweli kwamba lugha ndiyo iliyo ndogo sana kuliko zilekarama tisa; kwa hiyo wakati tunapoona watu ambaohawaneni, wala hawajapata kunena kwa lugha, wakitumiakarama kuu kuliko wale wanaonena kwa lugha, hatuna budikukanusha fundisho kama hilo kwa dhati hata kulikoilivyowali kuwa.

Kwa hiyo unaweza kuona sasa, ya kwamba hatuwezikuthubutu kusema yale ambayo Biblia haikusema. WakatiMaandiko yanapotufundisha ya kwamba kazi za RohoMtakatifu, na dhihirisho la Mtu huyo Aliyebarikiwa ni kuletakweli ya kila wakati kwa uzao wa kweli wa wakati huo, basitunajua ya kwamba Roho hana budi kuwa anakaa ndani yamtu huyo la sivyo hawezi kupokea kweli ya wakati huo.Amina. Hiyo ni kweli kabisa. Na kama nyakati hizi zinaletakitu cho chote, hakika zinaleta na kushuhudia kweli hii.

Sasa kabla hatujaacha somo hili ninataka kujiweka wazikabisa juu ya Ubatizo wa Roho Mtakatifu ni nini kulingana naNeno. Si kulingana na mimi, na si kulingana na wewe. Hainabudi iwe ni kulingana na “Bwana asema hivi,” vinginevyotunaongozwa vibaya. Amina.

Kwanza utaona ya kwamba katika mikutano yangu wakatinimemaliza kuhubiri huduma ya ibada ya kiinjilisti, amaujumbe fulani wa mafundisho, ninatupa jarife na kuwaalika

Page 145: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 135

watu. Ninawaomba waje mbele wampokee Roho Mtakatifu.Marafiki zangu wa Kipentekoste, wanaponisikia nikisemajambo hili wanaamini ya kwamba ninawaalika watu wajembele wabatizwe na Roho Mtakatifu kwa sababu tayariwamezaliwa mara ya pili. Kwa hiyo ninapowaalika walewaliojazwa Roho waje wawashughulikie wale waliojibu witowa kumpokea Roho, hawa wapendwa husonga mbele nakuwashughulikia hao watu kana kwamba kuwatia moyowajisalimishe kwa Mungu na waamini kunena kwa lugha.Jambo hilo limesababisha mchafuko mkubwa mno naminataka kuwaambieni hasa yale ninayomaanisha.Ninamaanisha ya kwamba mwenye dhambi aje mbele nakuzaliwa mara ya pili, ambako ni kubatizwa katika mwili waKristo kwa Roho Mtakatifu ambalo ndilo hasa lililotukia palePentekoste wakati kanisa lilipoanzishwa. Kwa manenomengine, kuzaliwa na Roho ni kubatizwa kwa kweli kwa RohoMtakatifu. Ni jambo lile lile hasa.

Sasa natambua ya kwamba litatatanisha kwa muda kidogohapa, kwa kuwa karibu watu wote wanajua ya kwamba miminiliwekwa wakfu kama mhubiri wa Kibatisti nami kwauthabiti nimetangaza ya kwamba Wabatisti wamekosea kwakusema unampokea Roho Mtakatifu WAKATI unapoamini,kwa maana hivyo sivyo. Unampokea “TANGU ulipoamini.”Matendo 19:2-6. “Akawauliza, Je! Mmepokea Roho Mtakatifutangu mlipoamini? Wakamjibu, La, hata kusikia kwamba kunaRoho Mtakatifu hatukusikia. Akawauliza, basi mlibatizwakwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana. BasiPaulo akasema, Yohana kweli alibatiza kwa ubatizo wa toba,akiwaambia watu wamwamini Yeye atakayekuja nyuma yake,yaani, Kristo Yesu. Waliposikia haya wakabatizwa kwa Jina laBwana Yesu. Na Paulo, alipokwisha kuweka mikono yake juuyao, Roho Mtakatifu akaja juu yao; wakaanza kunena kwalugha, na kutabiri.” Hilo hapo. Paulo aliuliza, “MmepokeaTANGU, SI WAKATI mlipoamini.” Na kuna tofauti kubwapale, kwa maana ni BAADA ya sisi kuamini ambapotunapokea. Efe. 1:13 ni kurudia kabisa kwa neno la yaleyaliyotukia Efeso kulingana na Matendo 19, “Ambayemlimwamini pia, BAADA ya kulisikia Neno la kweli, HabariNjema za wokovu wenu; Ambaye pia BAADA ya kuamini (siwakati mlipoamini) mlitiwa muhuri na Roho yule wa ahadialiye Mtakatifu.” Sasa hili hapa neno langu. Wengi sana wawatu wetu wa kisasa na hata ndugu zetu wa kanuni(wanavyojiita) wanaamini wapate kuokolewa katika wakatifulani maalumu ambao mara nyingi unaitwa “kufanyauamuzi,” na huko kumeitwa kumpokea Kristo ama kuzaliwamara ya pili. Sasa kumpokea Kristo ni kumpokea Roho Wake.Kumpokea Roho Wake ni kuzaliwa mara ya pili. KumpokeaRoho Wake ni kubatizwa na Roho Wake Mtakatifu. Amina.Hawa watu wanaamini. Hili ni jambo zuri sana. Lakini

Page 146: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

136 NYAKATI SABA ZA KANISA

wanasimamia hapo. Unampokea Roho Mtakatifu BAADA yakuamini. Imekuwa hivyo daima na daima itakuwa hivyo. Nenola kwanza kabisa la kuwaelekeza watu lilikuwa la Petrowakati wa Pentekoste naye akasema, “Tubuni mkabatizwe kilammoja wenu, katika Jina la Yesu Kristo mpate ondoleo ladhambi nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu, kwakuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu na kwa watoto wenu na kwawale wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na BwanaMungu wetu wamjie.”

Maagizo haya yalikuja kama jibu la moja kwa moja kutokakwa Petro kuhusiana na yale yaliyokuwa yametendeka kweliwakati wa Pentekoste. Kilichotukia kilikuwa ni kwambaMungu kulingana na Yoeli alikuwa akimwaga Roho Mtakatifualiyeahidiwa juu ya wote wenye mwili. Hakuwa amemwagwakabla ya wakati huo wala kutolewa kabla ya wakati huo. Hilililikuwa ndilo jambo hilo. Lakini TUKIO HILI lilikuwa lijetangu wakati wa sasa na kuendelea kwa kutubu, kubatizwakatika Jina la Bwana Yesu Kristo, na halafu Mungu alikuwaanawajibika kuwajaza wale waliokuja. Petro, wala ye yote wahao mitume hawakusema kamwe, “Hamna budi kuzaliwamara ya pili, kisha mjazwe na Roho.”

Kwamba hicho ndicho kielelezo cha tukio kuhusiana nakumpokea Roho Mtakatifu, angalia kwa makini wakati ulehasa uliofuata ambapo Roho alishuka juu ya watu. Matendo8:5-17 “Filipo akatelemka akaingia mji wa Samaria,akawahubiri Kristo. Na makutano kwa nia moja wakasikilizamaneno yale yaliyosemwa na Filipo walipoyasikia na kuzionaishara alizokuwa akizifanya. Kwa maana pepo wachafuwakawatoka wengi waliopagawa nao, wakilia kwa sauti kuu;na watu wengi waliopooza, na viwete, wakaponywa. Ikawafuraha kubwa katika mji ule. Lakini kulikuweko na mtummoja, jina lake Simoni, ambaye hapo kwanza alikuwaakifanya uchawi katika mji ule, akiwashangaza watu wa taifala Wasamaria, akisema ya kuwa yeye ni mtu mkubwa. Wotewakamsikiliza tangu mdogo hata mkubwa, wakisema, Mtuhuyu ni ule uweza wa Mungu, ule Mkuu. Wakamsikiliza, kwamaana amewashangaza muda mwingi kwa uchawi wake.Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri habari njema zaufalme wa Mungu, na Jina Lake Yesu Kristo, wakabatizwa,wanaume na wanawake. Na yeye Simoni mwenyewe aliaminiakabatizwa, na baada ya kubatizwa akashikamana na Filipo;na akashangaa, alipoziona ishara na miujiza mikubwainayotendeka. Na mitume waliokuwako Yerusalemu,waliposikia ya kwamba Samaria imelikubali Neno la Mungu,wakawapelekea Petro na Yohana; ambao waliposhuka,wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu; (kwa maana badohajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa Jinala Bwana Yesu.) Ndipo wakaweka mikono yao juu yao, nao

Page 147: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 137

wakampokea Roho Mtakatifu.” Kulingana na aya ya 12,WALIAMINI NENO. Wakabatizwa katika Jina la Bwana Yesu.Lakini kulingana na aya ya 16, angawa hayo yoteyametendeka, walikuwa BADO HAWAKUWAWAMEMPOKEA ROHO MTAKATIFU. Ilikuwa tu ni BAADAya kuamini na kubatizwa sawasawa ambapo walimpokea RohoMtakatifu. Hicho ndicho kielelezo halisi kilichoandikwa katikaMatendo 2:38-39.

Andiko lingine linalotupa nuru ya kustaajabisha kwenyejambo hili linapatikana katika Gal. 3:13-14, “Amelaaniwa kilamtu aangikwaye juu ya mti; Ili kwamba baraka ya Ibrahimuiwafikilie Mataifa katika Yesu Kristo, kwamba (kusudi) tupatekupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani.” Sasa kamwehaiwezi kusemwa ya kwamba “baraka ya Ibrahimu” ndiyokuzaliwa mara ya pili, na kwamba “ahadi ya Roho” ni Ubatizowa Roho Mtakatifu kama matukio mawili mbalimbali. Kwamaana Maandiko yanasema hivi: “Yesu alikufa msalabani, nakwa njia ya mauti hiyo na kufufuka, baraka ya Ibrahimuiliwashukia Mataifa, ikawaacha Wayahudi. Hili lilitukiakusudi kwamba Roho aweze kupatikana kwa Mataifa.”

Ili kufahamu yale ambayo nimesema sasa hivi ni kuondoautata kwa nini wanafunzi hawajamwona Paulo akisemawakati wo wote, “Mzaliwe mara ya pili na KISHA mjazwe naRoho.” Wameliwazia liko pale, nao wameweka maana zaowenyewe kulifanya liseme hivyo, LAKINI MAANDIKOHAYASEMI JAMBO HILO. Wala Yesu kamwe hakusemahivyo. Angalia Yohana 7:37-39, na ulisome sasa kwa ufahamu.“Hata siku ya mwisho, siku ile kubwa ya sikukuu, Yesuakasimama, akapaza sauti Yake akisema, Mtu akiona kiu, naaje Kwangu anywe. Aniaminiye Mimi, kama vile Maandikoyalivyonena, mito ya maji yaliyo hai itatoka ndani yake. (NaNeno hilo alilisema katika habari ya ROHO, Ambaye walewamwaminio watampokea baadaye; kwa maana RohoMtakatifu alikuwa hajatolewa, kwa sababu Yesu alikuwahajatukuzwa.)” Sasa inasema hapa dhahiri na kwa mkazo yakwamba mwamini akinywa kwa kumjia Yesu katika imaniangekuwa na mito ya maji ikitiririka kutoka kwake. Na hilolinaliweka tukio hili hapo Pentekoste. Sasa tukishikilia wazohili moyoni tunasoma Yohana 4:10 & 14, “Kama ungaliijuakarama ya Mungu, Naye ni nani akuambiaye, Nipe majininywe, ungalimwomba Yeye, Naye angalikupa maji yaliyohai. Walakini ye yote atakayekunywa maji yale nitakayompaMimi hataona kiu milele; bali yale maji nitakayompayatakuwa ndani yake chemchemi ya maji, yakibubujikia uzimawa milele.” Maji yaya haya yaliyo hai yametajwa, lakiniwakati huu hayaitwi mto; yanaitwa chemchemi ya maji. Hapondipo watu wanapokosea. Kwa sababu yanaitwa kisima namto, wao wanafiria ya kwamba mahali fulani ni uzima wa

Page 148: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

138 NYAKATI SABA ZA KANISA

milele unaotolewa na Roho na katika mahali pengine ambapoyanaitwa mto (likimaanisha nguvu nyingi za kuendesha) hainabudi kuwa ni Roho aliyetolewa sasa kama kipawa cha nguvu.Sivyo. Ni kitu kile kile. Roho Ndiye anayetoa uzima na nguvu,na hilo lilikuja hapo Pentekoste.

Ni kitu gani kilichosababisha kutokufahamu huku? Jibu ni,“UJUZI.” Temeongozwa na ujuzi na wala si Neno. Tupiliambali ujuzi kama kipimo chako. Kuna timazi moja peke yake,fimbo moja tu, na hiyo ni NENO. Sasa angalia kwa makini naupate jambo hili. Petro alisema, “Tubuni mkabatizwe kilammoja wenu katika Jina la Yesu Kristo mpate ondoleo ladhambi zenu nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.”Paulo alisema, “Mmepokea Roho Mtakatifu TANGUmlipoamini?” Hii ndiyo shida yetu yote papa hapa. Watuwanatubu dhambi zao, wanabatizwa katika maji, LAKINIHAWAENDELEI NA KUMPOKEA ROHO MTAKATIFU.UNAAMINI HADI KUMPOKEA ROHO. Kumwamini Yesu nihatua nzuri ya kuelekea njia sahihi ambayo inaelelekeza kwaRoho Mtakatifu. Lakini watu wanasimama hapo. Wanaendawanafikia kwenye maji kisha wanakoma. Wanaamini, kishawanakoma. Biblia haisemi ya kwamba unapokea WAKATIunapoamini. Swala ni, “Je! mmepokea Roho MtakatifuTANGU mlipoamini?” Tafsiri halisi na kamili ni: “Je! ninyizamani, mkiisha kuamini, mmempokea Roho Mtakatifu?”Watu wanaamini kisha wanakoma. Humpokei Roho Mtakatifuwakati UNAPOMWAMINI Yeye, baada ya kutubu. Unaendeleambele na kumpokea Roho Mtakatifu. Unaona jambo hilo? Hiyondiyo shida na waamini wetu wa kimsingi. Hawana nguvu kwasababu wao wanakoma kabla ya kuifikia Pentekoste.

Wao ni kama wale wana wa Israeli waliotoka Misri nawakakoma karibu na Nchi ya Ahadi. Sasa hao wana wa Israeliwalitoka Misri wakiwa karibu watu milioni mbili kamili.Walisafiri pamoja, wote waliona miujiza ya Mungu, wotewalishiriki mana ile ile na maji kutoka kwenye mwambauliopigwa, wote walilifuata wingu lile lile mchana na nguzo yamoto usiku lakini WAWILI TU ndio waliofika kwenye Nchi yaAhadi. WAWILI TU NDIO WALIOKUWA WA KWELI AMAWAAMINI HALISI. Hiyo ni kweli kwa sababu Nenolinatwambia ya kwamba hao wengine walikufa kwa sababu yakutokuamini; na kwa sababu ya kutokuamini hawangewezakuingia. (Ebr. 3:19) Basi kwa sababu hilo ni kweli, na niWAWILI tu ndio WALIOINGIA, basi hao wengine hawakuwawaamini wa kweli. Ni kitu gani kilicholeta tofauti? Wawiliwalidumu na Neno. Wakati mioyo ya wale wapelelezi wawiliiliposhindwa kule Kadeshi-barnea, Yoshua na Kalebuhawakusitasita kwa maana waliamini Neno na kusema, “Sisitunaweza hata na zaidi kuiteka hiyo nchi.” Wao walijuawangeweza kwa maana Mungu alikwisha kusema, “Nimewapa

Page 149: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 139

hiyo nchi.” Baada ya Israeli wote wale kuna nguvu na wemana ukombozi wa Mungu hawakuingia katika raha, ambao nimfano wa Roho Mtakatifu. Kwa hiyo unaweza kuona sasa hiviya kwamba ni wachache sana watakaodumu kuamini hatawapate kumpokea Roho wa Mungu.

Vema, tumekuja umbali huu. Sasa nataka kusonga mbelezaidi, na nitakapofanya hivyo ninajua nitasababisha miamshoiibuke. Lakini hilo ni jambo ambalo mimi siwajibiki nalo.Mimi ninawajibika kwa Mungu na Neno Lake na watu ambaoMungu amenituma kwao. Sina budi kuwa mwaminifu kwayale yote anayonipa kusema.

Katika Yohana 6:37 & 44 inasema, “Wote anipao Babawatakuja Kwangu; wala ye yote ajaye Kwangu sitamtupa njekamwe. Hakuna mtu awezaye kuja Kwangu, asipovutwa naBaba aliyenipeleka; Nami nitamfufua siku ya mwisho.”Yohana 1:12-13, “Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wakufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio Jina Lake;waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, walasi kwa mapenzi ya mtu, BALI KWA MUNGU.” Efe. 1:4-5,“Kama vile alivyotuchagua katika Yeye kabla ya kuwekwamisingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio nahatia mbele Zake katika pendo. Kwa kuwa alitanguliakutuchagua, ili tufanywe Kwake wanawe kwa njia ya YesuKristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi Yake.” Sasa bila yakuingilia kindani sana somo la ukuu wa Mungu (kwa kuwalenyewe lingehitaji kitabu kizima) hebu niseme hapa yakwamba kulingana na aya hizi, Yesu Kristo anachagua bibi-arusi Wake kama vile tu watu wanaume wanavyowachaguabibi-arusi wao leo. Bibi-arusi leo haamui tu kwa urahisiatamchukua mwanamume fulani kuwa mume. La bwana.Bwana arusi ndiye anayeamua na kuchagua mwanamke fulaniawe bibi-arusi wake. (Yohana 15:16, “Si ninyi mlionichaguaMimi, bali ni Mimi niliyewachagua ninyi.”) Sasa kulingana naNeno la Mungu, bibi-arusi alichaguliwa kabla ya kuwekwamisingi ya ulimwengu. Huku kuchaguliwa kwa bibi-arusikulikusudiwa katika Yeye Mwenyewe. Efe. 1:9. Na katika Rum.9:11 inasema “Ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua.”Huwezi kulisoma vinginevyo. Kusudi la moyoni, kusudi lamilele la Mungu lilikuwa kuchukua bibi-arusi ambayeamejichagulia MWENYEWE, na kusudi hilo lilikuwa ndaniYake Mwenyewe, na kwa kuwa lilikuwa la milele lilitangazwakabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.

Angalia kwa makini sasa na uone jambo hili. Kablahakujakuweko na chembe ya mavumbi ya nyota; kabla Munguhajakuwa Mungu (Mungu ni kitu cha kuabudiwa nakapakuwepo na mtu wa kumwabudu Yeye, kwa hiyo Yeyewakati huo alikuwa Mungu kwa uwezekano.) Naye alijulikanatu kama Roho wa milele, bibi arusi alikuwa tayari niani

Page 150: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

140 NYAKATI SABA ZA KANISA

Mwake. Naam, alikuwa humo. Alikuwepo katika mawazoYake. Na vipi basi kuhusu mawazo hayo ya Mungu? Hayo ni yamilele, sivyo?

Mawazo ya milele ya Mungu! Hebu nikuulize, “Je! mawazoya Mungu ni ya milele?” Kama unaweza kuona jambo hili,utaona mambo mengi. Mungu habadiliki katika asili na tabia.Tumejifunza jambo hilo na kulithibitisha tayari. Mungu hanakikomo katika uweza wake kwa hiyo Yeye kama Mungu hanabudi kuwa anayejua yote. Kama Yeye ni ajuaye yote, basi Yeyesasa hajifunzi, wala hata hajishauri Mwenyewe, wala wakatiwo wote haongezei kwenye maarifa Yake. Kama anawezakuongezea kwenye maarifa Yake basi, basi Yeye hajui yote.Sana sana tunaloweza kusema ni kwamba atakuwa hivyowakati fulani. Lakini hilo si la Kimaandiko. Yeye NI anayejuayote. Yeye hajawahi kuwa na wazo jipya juu ya jambo lo lotekwa maana mawazo Yake yote amekuwa nayo daima naatakuwa nayo daima, na anajua mwisho kutoka mwanzo kwasababu Yeye ni Mungu. KWA HIYO MAWAZO YA MUNGUNI YA MILELE. NI HALISI. Hayo si kama tu mtu mwenyekielelezo alichochora na ambacho siku moja kitageuzwa kuwakitu kinachoonekana na chenye umbo, lakini hayo ni halisitayari na ni ya milele, na ni sehemu ya Mungu.

Angalia jinsi jambo hili linavyofanya kazi. Mungu daimaalikuwa na mawazo yake kuhusiana na Adamu. Adamu, kamamawazo Yake, hakuwa amedhihirishwa bado. Zaburi 139:15-16itawapa wazo kidogo juu ya jambo hili, “Mifupa yanguhaikusitirika Kwako, nlipoumbwa kwa siri, nilipoungwa kwaustadi pande za chini za nchi; macho Yako yaliniona kablasijakamilika; chuoni Mwako ziliandikwa zote pia, sikuzilizoamriwa kabla hazijawa bado.” Hilo, kama nilivyosema,halikuandikwa juu ya Adamu lakini linakupa fununu na ujuzikwamba wazo lilikuwepo katika nia Yake, na wazo hilolilikuwa la milele na lilipaswa kudhihirishwa. Kwa hiyowakati Adamu alipofanywa kwa mavumbi ya ardhi na utuwake wa kiroho ukaumbwa na Mungu, basi Adamu akawawazo la Mungu lililodhihirishwa, na mawazo hayo ya mileleyalidhihirishwa sasa.

Tungeweza kushuka kupitia katika karne nyingi.Tunawaona akina Musa, akina Yeremia, akina YohanaMbatizaji, na kila mmoja wa hawa alikuwa wazo la Mungu lamilele lililodhihirishwa katika majira yake. Halafu tunakujakwa Yesu aliye LOGOS. Yeye alikuwa lile WAZO timilifu nakamilifu lililodhihirishwa na Yeye akajulikana kama Neno.Hivyo ndivyo ALIVYO, na milele ATAKUWA.

Sasa inasema ya kwamba “Ametuchagua KATIKA YEYE(Yesu) kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.” Hilolinamaanisha tulikuweko PAMOJA Naye papo hapo katika nia

Page 151: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 141

na mawazo ya Mungu kabla ya kuwekwa misingi yaulimwengu. Hilo linawapa wateule sifa ya MILELE. Huwezikuepuka jambo hilo.

Hebu niingize wazo hapa ndani. Hata kuzaliwa kwetu kwakawaida msingi wake ni kuchaguliwa. Vifuko vya mayai huzaamayai mengi, mengi sana. Lakini ni kwa nini kwamba kwawakati fulani yai fulani hushuka na wala si lingine? Na halafukati ya mbegu za mwanamume, kwa sababu isiyojulikanachembechembe fulani hujishikiza kwenye yai wakati nyingineambazo zingaliweza tu kujishikiza kwa urahisi, ama zilikuwana nafasi nzuri ya kufanya jambo hilo hazikufanya hivyo nazikafa. Kuna kichwa fulani nyuma ya yote haya, kama sivyo nikitu gani kinachoamua kama mtoto fulani ni mvulana aumsichana, ana nywele za shaba ama nyeusi, macho maangavuama meusi, nk. Tukiwa na mawazo haya kwenye mioyo natuwazie juu ya Yoshua na Kalebu. Je! Yesu hakusema katikaYn. 6:49 “Baba zenu waliila mana jangwani; wakafa?” Haowazazi waliokufa walikuwa muhimu kama mababu wa watuambao Yesu alikuwa akinena nao. Waliangamia, hata hivyowalikuwa katika uchaguzi wa Mungu kimwili kama vileYoshua na Kalebu wlivyokuwa Kiroho.

Lakini kwa kuendelea. Wateule hawa hawakuwa mawazoya milele ya Mungu ambayo yalikuwa yadhihirishwe katikamwili katika majira yao, lakini wateule wawa hawa wanaitwakwa jina lingine. Rum. 4:16, “Kwa hiyo ilitoka katika imani,iwe kwa njia ya neema, ili kwamba ile ahadi iwe imara kwawazao wote; si kwa wale wa torati tu, ila na kwa wale waimani ya Ibrahimu; aliye baba yetu sisi sote.” Rum. 9:7-13,“Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazao wa Ibrahimu, bali,Katika Isaka wazao wako wataitwa. Yaani, si watoto wa mwiliwalio watoto wa Mungu, bali watoto wa ile ahadiwanahesabiwa kuwa wazao. Kwa maana neno la ahadi ni hili,Panapo wakati huu nitakuja, na Sara atakuwa na Mwana.Wala si hivyo tu, lakini Rebeka naye, akiisha kuchukua mimbakwa mume mmoja, naye ni Isaka, baba yetu, (kwa maana kablahawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema walabaya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababuya matendo, bali kwa sababu ya nia Yake aitaye;) aliambiwahivi, Mkubwa atamtumikia mdogo. Kama ilivyoandikwa,Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia.” Gal. 3:16,“Basi ahadi zilinenwa kwa Ibrahimu na kwa mzao wake.Hasemi, Kwa wazao, kana kwamba ni wengi, bali kanakwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani, Kristo.” Gal 3:29,“Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao waIbrahimu, na warithi sawaswa na ahadi.” Kulingana na Rum.4:16 tunaona ya kwamba Mungu ametoa Ahadi ya Hakika kwauzao WOTE wa Ibrahimu, na Paulo anajiweka mwenyewepamoja na waamini wote chini ya kundi hilo kwa sababu

Page 152: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

142 NYAKATI SABA ZA KANISA

anasema “Ibrahimu aliye baba yetu sisi SOTE.” Ndipoanaendelea si kupunguza tu maelezo yake, lakini kuyatimilizakwa kuwa katika Gal 3 yeye anautambulisha yule MZAO(umoja) na Yesu, na kuwahesabu “watoto walio ule uzao”kama watoto wa ahadi, na ahadi kana kwamba ina uhusianona “kuchaguliwa”, ama “uchaguzi wa Mungu.” Na hilo ndilotumekuwa tukisema hasa. Hawa walio wa Uzao wa Kifalmendio wateule wa Mungu; ndio wamechaguliwa tangu zamani,walikwisha kujulikana na Mungu tangu zamani, nao walikuwakatika nia ya Mungu na katika mawazo Yake. Katika lughadhahiri sana Bibi-arusi wa Kweli wa Kristo alikuwa katika niaya Mungu milele, ingawa hakuwa amedhihirishwa mpaka kilammoja wao alipojitokeza katika majira yaliyokusudiwa,yaliyoamriwa. Wakati kila mshiriki alipokuwa anatokeaALIDHIHIRISHWA na kupachukua mahali pake katika ulemwili. Hivyo basi bibi-arusi huyu ni BIBI-ARUSI halisi WAUZAO WA NENO LILILONENWA. Na ingawa yeye anatajwakama mwanamke yeye pia anaitwa “mwili wa Kristo.” Ni wazisana ya kwamba anapaswa kuitwa hivyo kwa kuwa yeyealichaguliwa tangu zamani katika Yeye, alitoka kwenyeschanzo kile kile, alikuwa pamoja Naye milele, na sasaanamdhihirisha Mungu katika mwili wenye washiriki wengiambapo Mungu wakati mmoja alidhihirishwa katikaMSHIRIKI MMOJA, yaani Bwana wetu Yesu Kristo.

Sasa basi, hapa tunafikia neno la mwisho. Kama vile Logos(Mungu) wa milele alivyodhihirishwa katika Mwana, na katikaYesu mlikaa utimilifu wote wa Uungu kwa jinsi ya mwili, naYule wa Milele alikuwa ni yule Baba aliyedhihirishwa katikamwili, na hapo akapata sifa ya Mwana, vivyo hivyo sisi,tukiwa wa milele katika mawazo Yake nasi tulifanyika Uzaowa washiriki wengi wa Neno Lililonenwa, waliodhihirishwakatika mwili, na hayo mawazo ya milele sasayaliyodhihirishwa katika mwili sasa ni wana wa Mungu, kamavile sisi tunavyoitwa. HATUKUFANYIKA UZAO KWAKUZALIWA MARA YA PILI, SISI TULIKUWA NI UZAO NAKWA HIYO TUKAZALIWA MARA YA PILI KWA KUWAWATEULE TU NDIO WANAOWEZA KUZALIWA MARA YAPILI. Kwa sababu TULIKUWA UZAO ndiyo sababu tumewezakuhuishwa. Kwa WASIO UZAO hakuna kitu cha kuhuisha.

Shikilia jambo hili kwa uangalifu moyoni mwako. Sasachukua hatua inayofuatia. Kukomboa maana yake ni kununuatena. Kunarudisha kwa Mwenyewe wa asili. Mungu, kwamauti Yake, ile damu iliyomwagika ILINUNUAKUWARUDISHA WALIO WAKE. Yeye alimnunua nakumrudisha Bibi-arusi Mbegu aliye Neno Lililonenwa.“Kondoo wangu wanaisikia sauti Yangu (Neno) naowananifuata Mimi.” Wewe daima ulikuwa kondoo. Hajawakamwe nguruwe ama mbwa aliyegeuka akawa kondoo. Hilo

Page 153: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 143

haliwezekani kwa maana kila aina ya uhai huzaa wa jinsi yakewala hakuna mabadiliko katika jamii. Kama vile tulivyokuwakatika mawazo ya Mungu kisha tukadhihirishwa katika mwili,ilibidi siku ije ambapo tungeisikia sauti Yake (Neno), na kwakusikia sauti hiyo tutambue Baba yetu anatuita, na tutambueya kwamba sisi ni wana wa Mungu. Tuliisikia sauti Yake natukalia kama vile mwana mpotevu, “Niokoe, Ee, Baba yangu.Ninarudi Kwako.”

Mwana wa Mungu anaweza kwenda wakati mrefu kabla yakutambua ya kwamba yeye ni mwana. Kwa kweli Wakristowengi wa kweli ni kama ile hadithi ya yule kifaranga wa taialiyeanguliwa chini ya kuku. Unajua ya kwamba tai ni mfanowa mwamini wa kweli. Vema, mkulima alitwaa yai kutokakwenye kiota cha tai na kuliweka chini ya kuku. Wakatiulipotimia mayai yote yaliyokuwa chini ya yule kukuyakaanguliwa. Vifaranga vya kuku viliendelea vizuri na mamakuku lakini maskini tai huyo mdogo hakuweza kuuelewa ulemlio na kule kukwaruza-kwaruza kwa ajili ya kupata chakulakwenye lile lundo la samadi. Alifaulu kupata riziki walakinialichanganyikiwa sana juu ya jambo hilo lote. Lakini sikumoja, kutoka mbali huko juu mbali hewani yule mama taialiyekuwa amelitaga lile yai alimwona huyo tai mdogo ardhini.Akashuka chini kwa kasi sana na kumpigia makelele kwa sautiyake yote ili aruke aje kukutana naye. Hakuwa kamweamesikia mlio wa tai, lakini wakati aliposikia mlio huo wakwanza kitu fulani ndani yake kilichochewa naye akatamanikuruka auendee. Lakini aliogopa kujaribu. Tena mama huyoakampigia makelele kwamba aruke hewani amfuate. Akajibukwa sauti kuu ya hofu ya kwamba alikuwa anaogopa. Maranyingine tena akaita, akilia kwa sauti kuu kwamba ajaribu.Huku anapigapiga mabawa yake alijitupa kwa nguvu hewani,na akijibu mlio wa mamaye, alipaa angani kwenye mbingu zasamawati. Unaona yeye daima alikuwa tai. Alienenda kamakuku kwa muda kidogo lakini hangetosheka. Lakini wakatialipousikia ule mwito wa huyo tai mkuu alirejea mahali pake.Na mara mwana wa kweli wa Mungu anaposikia kilio chaRoho kwa Neno, yeye pia, atajitambua yeye yu nani nakukimbilia kwa Nabii Mkuu Tai na kuwa pamoja Naye mileleameketi katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu.

SASA LAJA JIWE LETU LA USHINDI LA KIFUNIKOjuu ya ubatizo wa Roho Mtakatifu. Gal. 4:4-7, “Hataulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanaweambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisitupate kupokea hali ya kuwa wana. Na kwa kuwa ninyimmekuwa wana, Mungu alimtuma Roho wa Mwanawemioyoni mwenu, aliaye, Aba, yaani, Baba. Kama ni hivyo,wewe si mtumwa tena bali u mwana; na kama u mwana, basi,

Page 154: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

144 NYAKATI SABA ZA KANISA

u mrithi kwa Mungu kwa njia ya Kristo.” Hilo hapo. YesuKristo alikuja, akafa msalabani, na akatimiza Ukombozi(akiturudisha kwa Mwenyewe wa asili kwa njia ya kutununua,ama kulipa deni) na hapo AKATUWEKA KAMA WANA. Yeyehakutufanya wana, kwa kuwa tayari tulikuwa wanawe, lakinialituweka kama wana; kwa kuwa mradi tu tulikuwaulimwenguni, katika mwili, hatungeweza kutambuliwa kamawanawe. Tulishikiliwa mateka na ibilisi. Lakini tulikuwa niwana, hata hivyo. Basi sikilizeni jambo hili: NA KWA KUWANINYI NI WANA, MUNGU ALIMTUMA ROHO WAMWANAWE MIOYONI MWENU, AMBAYE KWA HUYOMNALIA, BABA, BABA.” Roho alishuka juu ya nani palePentekoste? Wana. Pale Korintho? Juu ya wana walipokuwaWAKISIKILIZA NENO.

Ubatizo wa Roho Mtakatifu ni nini? Ni Roho akikubatizakatika ule mwili wa Kristo. Ni ule mzao mpya. Ni Roho waMungu akiingia na kukujaza ukiisha kutubu, (ukiisha kulisikiaNeno Lake) na kwisha kubatizwa katika maji kama jibu ladhamiri njema kwa Mungu.

Yale tuliyokwisha kueleza sasa hivi yangekuwa rahisi zaidikwa watu wote kuelewa kama wote wangeliamini fundisho laumoja wa Uungu. Kwa kuwa hakuna nafsi tatu katika Uunguule ila MOJA. Hivyo HATUZALIWI mara ya pili kwa Roho wauzima wa Yesu akiingia ndani, na halafu baadaye RohoMtakatifu anaingia kutupa nguvu. Kama hilo lingalikuwa nikweli, mbona tunashindwa kumheshimu Baba kwa kutokumpaYeye sehemu fulani katika ukombozi wetu mkamilifu, kwamaana kama wokovu ni wa Bwana na kuna Bwana watatu,basi YEYE (Baba) hana budi kuwa na jambo la kufanya, pia.Lakini hakika inaweza kuonekana ya kwamba Yesu alifanyajambo hili dhahiri sana ya kwamba ilikuwa ni Yeye na Yeyepeke yake Aliye Mungu na ni Yeye na Yeye peke yake Ambayeanaingia ndani ya mwamini. Yohana 14:16 inasema ya kwambaBaba atamtuma Msaidizi mwingine. Lakini aya ya 17 inasemaya kwamba Yeye (Yesu) anaishi pamoja nao na atakuwaNDANI yao baadaye. Katika aya ya 18 Yeye anasema Yeyeatakuja kwao. Katika aya ya 23 katika kuzungumza nawanafunzi Yeye alisema, “Sisi (Baba na Mwana) tutakujakwake.” Kwa hiyo ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu wotewakija kwa wakati mmoja kwa maana Uungu NI MTUMMOJA. Kuja huko kulitukia pale Pentekoste. Hakuna kujakuwili kwa Roho, ni kumoja tu. Shida ni kwamba watuhawajui ukweli halisi, nao wanamwamini Yesu tu kwa ajili yaondoleo la dhambi lakini hawasongi mbele kamwewakampokee Roho.

Kabla sijafunga somo hili, najua kuna swali mioyonimwenu. Mtataka kujua kama ninaamini katika fundisho lamtu kuishi kabla ya kuzaliwa. Mimi siamini katika fundisho

Page 155: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 145

hilo la Kimormoni la kuweko kwa nafsi kabla mtu kuzaliwazaidi ya ninavyoamini katika kufanyika mtu tena ama roho yamtu kuingia katika mwili mwingine mtu afapo. Uwemwangalifu hapa na uone jambo hili. Si mtu anayekujaaliyechaguliwa tangu zamani na Mungu, NI NENO, AMAUZAO. Hivyo ndivyo ilivyo. Huko nyuma kabisa, huko nyumazamani sana hata akili za mwanadamu haziwezi kufahamu,Mungu wa Milele pamoja na mawazo ya milele, aliwaza nakutangaza, “NIMEMPENDA YAKOBO, BALI ESAUNIMEMCHUKIA, (Warumi 9:13) WALA HAWAJAZALIWA,WALA HAWAJATENDA NENO JEMA WALA BAYA.”Unaona, ilikuwa ni WAZO, na halafu hilo wazolikadhihirishwa, na Mungu akamkomboa Yakobo, kwa maanaYakobo ndiye pekee aliyekuwa MZAO; Yakobo, ndiye pekeyake aliyekuwa mzao; hiyo ndiyo sababu aliiheshimu ile hakiya mzaliwa wa kwanza na agano la Mungu. Kama wewe nimzao wa kweli, utalisikia hilo Neno; Roho atakubatiza katikamwili wa Kristo, akikujaza na kukutia nguvu, nawe utalipokeaNeno la siku yako na wakati wako. Unaona jinsi ushuhuda wakweli unavyokuwa wakati Neno linapofunuliwa kwako? Tena,angalia, Yesu alikuwa Mzao wa Kifalme. Aliishi katika mwiliwa kibinadamu. Wakati Roho alipomwita (WazoLililodhihirishwa kwa Neno), alienda Yordani na akabatizwakule ndani ya maji. Baada ya kulitii Neno, Roho Mtakatifualishuka juu Yake na sauti ikasema, “Huyu ni Mwanangumpendwa Wangu, msikieni Yeye.” Hiyo sauti haikusema,“Huyu amekuwa Mwanangu,” Yesu ALIKUWA ndiye huyoMwana. Roho Mtakatifu alimweka mahali Pake kama huyoMwana mbele yao wote. Ndipo baada ya kujazwa namna hiyo(na kielelezo hicho hicho kinatumika pale Pentekoste na daimabaadaye), alienda zake katika onyesho la nguvu, akipokeaufunuo mkamilifu wa Mungu na kutoka kwa Mungu, kwa ajiliya siku hiyo.

Sasa tumekuwa daima tukisema ya kwamba ushuhuda wakweli wa kubatizwa na Roho Mtakatifu ni kwa mwaminikulipokea Neno kwa wakati anaoishi. Hebu niwaonyesheniwazi wazi kabisa kabisa.

Zile Nyakati Saba kama zilivyoelezewa katika Ufu. Suraya 2 & 3 zinachukua wakati wote mzima wa Utimilifu waMataifa, ama wakati wote ambao Mungu anawashughulikiaMataifa katika wokovu. Katika kila wakati, bila kuondoammojawapo, inasema jambo lile lile katika kufungua nakufunga ujumbe wa kila wakati. “Kwa mjumbe wa (Efeso,Smirna, Pergamo, Thiatira, Sardi, Filadelfia, Laodikia) andika;Haya ndiyo asemayo Yeye, nk., nk. “^Yeye aliye na sikio, naalisikie (umoja) Neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.”Angalia hapa ya kwamba Yesu (kwa Roho) katika KILAwakati anamwandikia mtu MMOJA TU kuhusiana na Neno la

Page 156: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

146 NYAKATI SABA ZA KANISA

wakati huo. Ni mjumbe MMOJA tu kwa kila wakatianayepokea yale Roho anayouambia wakati huo, na MJUMBEHUYO MMOJA ndiye mjumbe wa kanisa la kweli. Yeyeanazungumza kwa niaba ya Mungu kwa ufunuo kwa“makanisa”, yote mawili la kweli na la uongo. Ujumbe huondipo unatangazwa kwa wote. Lakini ingawa unatangazwakwa ajili ya wote wanaokuja katika eneo la ujumbe huo,ujumbe huo unapokelewa kibinafsi na kundi fulanilinalosatahili kwa njia fulani. Kila mtu binafsi wa kundi hiloni yule aliye na uwezo wa kusikia yale Roho anayosema kwamjumbe huyo. Wale wanaosikia hawapati ufunuo wao wakipekee, wala kundi fulani halipati ufunuo wao wa pamoja,BALI KILA MTU ANASIKIA NA KUPOKEA AMBAYOHUYO MJUMBE AMEISHAPOKEA TAYARI KUTOKA KWAMUNGU.

Sasa usifikiri ni ajabu ya kwamba hivi ndivyo ilivyo; kwamaana Paulo aliweka kielelezo hiki akiwa chini ya mkono waMungu. Paulo ndiye peke yake aliyekuwa na ufunuo kamilikwa ajili ya siku yake kama inavyodhihirishwa na kukabilianakwake na mitume wengine ambao walikubali ya kwambaPaulo alikuwa ndiye Nabii-Mjumbe wa Mataifa kwa ajili yasiku hiyo. Na pia angalia kwa ule mfano wenyewe hasa waNeno, ya kwamba wakati Paulo alipotaka kwenda Asia,Mungu alimkataza, kwa kuwa kondoo (watoto Wake)walikuwa Makedonia nao (hao Wamakedonia) wangesikiaambayo Roho aliyokuwa aseme kupitia kwa Paulo, wakatiwatu wa Asia hawangesikia.

Katika kila wakati tuna kielelezo cha namna ile ile. Hiindiyo sababu nuru inapitia kwa mjumbe fulani aliyetangazwana Mungu katika eneo fulani, halafu kutoka kwa mjumbe huyonuru inaenea kwa kupitia katika huduma za wengine ambaowamefundishwa kwa uaminifu. Lakini bila shaka hao wotewanaotoka daima hawajifunzi jinsi lilivyo jambo muhimukusema yale TU yule mjumbe aliyosema. (Kumbukeni, Pauloaliwaonya watu waseme tu yale aliyosema, I Kor. 14:37, “Mtuakijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayoninayowaandikia, ya kwamba ni MAAGIZO YA BWANA.” Auje! Neno la Mungu lilitoka kwenu? au kuwafikia ninyi pekeyenu?”) Wao wanaongeza hapa, ama wanaondoa pale, na maraujumbe si halisi tena, na ufufuo unakufa. Jinsi tunavyopaswakuwa waangalifu kusikia sauti MOJA, kwa kuwa Roho hanaila sauti moja ambayo ni sauti ya Mungu. Paulo aliwaonyawaseme yale aliyosema, yaani kama vile Petro alivyofanyavivyo hivyo. Aliwaonya ya kwamba HATA YEYE (PAULO)hangeweza kubadilisha hata neno moja la yale aliyokuwaametoa kwa ufunuo. Loo! jinsi ilivyo muhimu kusikia sauti yaMungu kwa njia ya wajumbe Wake, halafu kusema yalewaliyopewa kuyaambia makanisa.

Page 157: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SMIRNA 147

Natumaini mnaanza kuliona sasa. Labda mnawezakufahamu sasa ni kwa nini sikubaliani na wale wa kimsingi naWapentekoste. Sina budi kushikilia Neno jinsi ile Bwanaalivyolifunua. Sasa sikumaliza kila kitu. Hilo lingechukuakitabu kingine kando, lakini kwa msaada wa Mungu tutapatamahubiri mengi na kanda na jumbe juu ya mambo haya yote ilikuwasaidia mfahamu na kuyaunganisha Maandiko yotepamoja.

“Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa ya kila wakati.” Katika kila wakati kiliokilikuwa ni kile kile. Sikia anayosema Roho. Kama wewe niMkristo, utarudi kwa yale Roho anayofundisha, hiyo nikusema, Neno la wakati huu. Kila mjumbe kwa kila wakatiatalihubiri Neno hilo. Kila ufufuo mpya na wa kweli utatokeakwa sababu watu wamerudi kwenye Neno la wakati wao. Kiliocha kila wakati ni lile onyo, “Mmeliacha Neno la Mungu.Tubuni, na mlirudie Neno.” Kutoka kwenye kitabu chakwanza katika Biblia (Mwanzo) hadi kitabu cha mwisho(Ufunuo) kuna sababu moja tu ya ghadhabu yaMungu_kuliacha Neno; na kuna dawa moja tu ya kupata tenaupendeleo Wake_kurudi kwenye Neno.

Katika Wakati wa Efeso, na katika wakati huu, na katikakila wakati tutakaoufikiria tutaona ya kwamba jambo hili nikweli. Na katika wakati wa mwisho ambao ni wakati wetu,tutaona kutiwa giza kwa Neno, ukengeufu mkamilifu ukiishiakwenye ile dhiki kuu.

Kama wewe ni mzao wa kweli, kama kweli umebatizwakwa Roho Mtakatifu utalithamini Neno Lake kuliko rizikiyako ya lazima, na kutamani sana kuishi kwa KILA Nenolitokalo katika kinywa cha Mungu.

Hii ndiyo sala langu ya moyoni kwa ajili yetu sisi sote;naomba tusikie yale ambayo Roho anatuletea leo kutokakwenye Neno.

Page 158: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 159: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 149SURA YA TANO

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO

Ufunuo 2:12-17

Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Hayandiyo anenayo Yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makalikuwili.

Nayajua matendo yako, na mahali ukaapo, ndipo penyekiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana Jina Langu,wala hukuikana imani Yangu, hata katika siku za Antipashahidi Wangu, mwaminifu Wangu, aliyeuawa kati yenu, hapoakaapo Shetani.

Lakini ninayo maneno machache juu yako, kwa kuwa unaohuko watu washikao mafundisho ya Balaamu, yeyealiyemfundisha Balaki atie ukwazo mbele ya Waisraeli, kwambawavile vitu vilvyotolewa sadaka kwa sanamu, na kuzini.

Vivyo hivyo wewe nawe unao watu wayashikaomafundisho ya Wanikolai, ambayo Mimi nayachukia.

Basi tubu; na usipotubu, naja kwako upesi, nami nitafanyavita juu yao kwa huo upanga wa kinywa Changu.

Yeye aliye na sikio na alisikie neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ilemana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilolimeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeye anayelipokea.

PERGAMO

Pergamu (jina la kale) ulikuwa uko Misia, katika jimbolililokuwa na mito mitatu, ambapo mmoja wa hiyouliuwezesha kuwasiliana na bahari. Ulielezewa kama mjiuliokuwa maarufu kuliko yote katika Asia. Ulikuwa mji wautamaduni na wenye maktaba ya pili kwa ukubwa kutoka ileiliyokuwa Aleksadria. Hata hivyo ulikuwa ni mji wenyedhambi nyingi, uliopenda sana ibada za uasherati za Eskalpia,ambaye walimwabudu katika mfano wa nyoka aliye haialiyewekwa na kulishwa hekaluni. Katika mji huu mzuriwenye vichaka vilivyonyweshewa maji, barabara na bustani,kuliishi kundi dogo la Wakristo waliojiweka wakfu ambaohawakupumbazwa na uzuri wa nje, na walichukia ibada zaShetani zilizojaa mahali pale.

MUDA WENYEWE

Wakati wa Pergamo ulidumu kwa miaka kama mia tatu,tangu mwaka wa 312 hadi 606 A.D.

Page 160: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

150 NYAKATI SABA ZA KANISA

MJUMBE

Tukitumia kanuni yetu tuliyopewa na Mungu yakumchagua mjumbe kwa kila wakati, hiyo ni kusema,tunamchagua yule ambaye huduma yake inakaribia sana ile yamjumbe wa kwanza, Paulo, tunatangaza bila kusita mjumbewa Pergamo kuwa ni Martin. Martin alizaliwa mwaka wa 315huko Hungary. Walakin, kazi ya maisha yake ilikuwa hukoUfaransa ambako alitumika hapo Tours na kandokando yakekama askofu. Alikufa katika mwaka wa 399. Mtakatifu huyumashuhuri alikuwa ni mjomba wa Mkristo mwingine mzurisana, Mt. Patriki wa Ireland.

Martin aliongoka kwa Kristo wakati alipokuwa akifanyakazi ya askari wa kulipwa. Ilikuwa katika kipindi alipokuwaangali anafanya kazi hii ambapo muujiza wa ajabu sanaulitukia. Imeandikwa ya kwamba maskini mmoja alikuwamgonjwa amekaa kwenye barabara za mji mahali Martinialipokuwa ametumwa kazini. Baridi ya majira ya kipupweilikuwa zaidi ya vile angeweza kuvumilia kwa kuwa hakuwa nanguo za kutosha. Hakuna mtu aliyejali mahitaji yake mpakaMartin alipopita pale. Alipoona hali mbaya ya mtu huyumaskini, lakini akiwa hana nguo nyingine ya ziada, alivua kotilake la baridi, akalikata vipande viwili kwa upanga wake, kishaakamsetiri kwa vazi hilo huyo mtu aliyekuwa anakufa kwabaridi. Akamhudumia vizuri sana alivyoweza kisha akaendazake. Usiku huo Bwana Yesu akamtokea katika ono. Huyo hapoamesimama, kama maskini, amesitiriwa kwa ile nusu ya vazi laMartin. Akanena naye akamwambia, “Martin, ingawa yeye nimwanafunzi wa katekisimo tu amenivika nguo Mimi kwa vazihili.” Tangu wakati huo na kuendelea Martin akatafutakumtumikia Bwana kwa moyo wake wote. Maisha yake yakawani mfululizo wa miujiza ikidhihirisha nguvu za Mungu.

Baada ya kuacha jeshi na akiisha kuwa kiongozi kanisani,alichukua msimamo mkali sana dhidi ya ibada za sanamu.Akakatakata maashera, akavunja sanamu na kuzibomoamadhabahu. Alipokabiliwa na wapagani kwa ajili ya vitendovyake yeye alishindana nao kwa kadiri ya namna ile ile Eliyaaliyoshindana na manabii wa Baali. Alitaka afungwe kwenyemti kwa upande wake wa chini ili kwamba wakatiutakapokatwa utamponda-ponda isipokuwa Mungu aingiliekati na kuugeuza huo mti wakati unapoanguka. Hao makafiriwenye hila wakamfunga kwenye mti uliokuwa unakua kwenyemtelemko wa kilima, wakiwa na uhakika ya kwamba mvutowa kawaida wa nguvu za uvutano wa dunia ungeufanya huomti kuanguka hivi kwamba ungemponda-ponda. Mara mti huoulipoanza kuanguka, Mungu aliugeuza kuelekea upande wajuu wa kile kilima, kinyume cha tabia zote za maumbile. Walemakafiri waliokuwa wanakimbia walipondwa-pondwa wakatihuo mti ulipowaangukia wengi wao.

Page 161: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 151

Wanahistoria wamekiri ya kwamba katika marazisizopungua tatu alifufua wafu kwa imani katika Jina laYesu. Katika tukio moja alimwombea mtoto mchangaaliyekuwa amekufa. Kama Elisha, alijilaza juu ya huyo mtotomchanga akaomba. Akafufuka na akapata nguvu. Katika tukiojingine aliitwa akasaidie kumwokoa ndugu mmoja aliyekuwaamechukuliwa akauawe wakati wa mateso makuu. Hata yeyealipofika maskini huyo tayari alikuwa amekufa. Walikuwawamekwisha kumnyonga mtini. Mwili wake haukuwa na uhaina macho yake yalikuwa yametokeza kutoka kwenye soketi zamacho. Lakini Martin alimshusha chini, na wakatialipokwisha kuomba huyo mtu akafufuka na kupewa jamaayake iliyojaa furaha.

Martin hakumwogopa kamwe adui haidhuru alikuwa ninani. Hivyo basi alienda mwenyewe binafsi kumkabili mfalmemkatili ambaye alikuwa amehusika na vifo vya watakatifuwengi waliojazwa Roho. Huyo mfalme hakukubalikuzungumza naye, kwa hiyo Martin akaenda kumwona rafikiwa huyo mfalme, mtu mmoja jina lake Damasus, askofu katiliwa Rumi. Lakini askofu huyo, akiwa Mkristo wa jina tu wa ulemzabibu wa uongo alikataa kumtetea. Martin akarudi kwenyejumba la mfalme, lakini hadi kufikia wakati huo milangoilikuwa imekwisha fungwa nao hawakumkubalia kuingia.Akajilaza kufudifudi mbele za Bwana na kuomba ya kwambaaweze kuingia kwenye jumba hilo la mfalme. Akasikia sautiikimwambia ainuke. Alipoinuka, aliona milango ikijifunguayenyewe. Akaenda akaingia barazani. Lakini huyo mtawalamwenye majivuno hakugeuza kichwa chake na aseme naye.Martin akaomba tena. Mara moto ukatokea wenyewe kutokakwenye kile kiti cha mfalme na mfalme huyo mshariakaondoka kitini mbio. Hakika Bwana huwadhili wenye kiburina kuwainua wanyenyekevu.

Shauku yake ya kumtumikia Bwana ilikuwa kubwa hivikwamba ibilisi alikasirishwa sana. Maadui wa ile kweliwaliwaajiri wauaji ili wamwue Martin. Wakaja kwakunyemelea nyumbani kwake na walipokuwa wanatakakumwua, alisimama wima na kutoa shingo yake ikatwe kwaupanga. Walipokuwa wanaruka mbele, mara nguvu za Munguzikawatupa nyuma kwa nguvu mpaka upande wa pili wa kilechumba. Walishindwa sana katika mazingara hayo matakatifuna ya kuogofya hivi kwamba walitambaa kwa mikono yao namagoti yao na kuomba msamaha kwa kujaribu kumwua.

Mara nyingi sana wakati watu wanapotumiwa sana naBwana wanajiinua kwa majivuno. Lakini sivyo kwa Martin.Yeye daima alibaki kuwa mtumishi mnyenyekevu wa Mungu.Usiku mmoja alipokuwa anajitayarisha kwenda mimbarani,maskini mmoja alikuja kwenye chumba chake cha kujisomeaakaomba nguo. Martin akamwambia aende kwa mkuu wa

Page 162: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

152 NYAKATI SABA ZA KANISA

mashemasi wake. Huyo shemasi mwenye kiburi akamwamuruaondoke. Basi akarudi kumwona Martin. Martin akaamka nakumpa huyo maskini vazi lake mwenyewe lililo zuri, kishaakamwagiza yule shemasi amletee vazi jingine lililokuwa lahali ya chini kuliko hilo. Usiku huo wakati Martin alipokuwaanahubiri Neno, kundi la Mungu liliona nuru nyeupe yakupendeza inayomeka ikimzunguka.

Hakika huyu alikuwa mtu mashuhuri, mjumbe wa kweliwa wakati huo. Kwa kuwa hakutaka kamwe cho chote ilakumpendeza Mungu aliishi maisha yaliyowekwa wakfu sana.Kamwe hangeweza kushawishiwa kuhubiri mpaka kwanzaameomba na yuko katika hali nzuri ya kiroho kujua na kuletamausia yote ya Mungu kwa Roho Mtakatifu aliyetumwakutoka mbinguni. Mara nyingi angewaweka watu wangojehuku anaomba apate hakikisho kamili.

Kujua tu habari za Martin na huduma yake kuu kunawezakumfanya mtu awazie ya kwamba mateso ya watakatifuyalikuwa yamepungua. Sivyo. Bado walikuwa wangaliwanaangamizwa na ibilisi kwa njia ya watu wakatili.Walichomwa moto. Walipigiliwa misumari kwenye magogo usoukielekea chini na mbwa wakali waliachiliwa wawashambulie,hivi kwamba hao mbwa wangewachana nyama ya mwili namatumbo, wakiwaacha waliopatwa na hayo kufa katikauchungu mkuu. Watoto wachanga walitolewa kwenyematumbo ya mama waja wazito na kutupiwa nguruwe mwitu.Matiti ya wanawake yalikatwa, na walilazimishwa kusimamawima huku kila pigo la moyo lilimwaga damu mpakawakaanguka chini wakafa. Na msiba huo ulikuwa mkuu hatana zaidi kuuwazia wakati mtu anapotambua ya kwamba hivihavikuwa ni vitendo tu vya makafiri, lakini mara nyingivilisababishwa na hao, wanaosemekana kuwa ni waliojiitaWakristo waliojisikia kwamba walimtetea Mungu katikakuwaangamiza askari hawa waaminifu wa msalabawaliolitetea Neno na kumtii Roho Mtakatifu. Yohana 16:2,“Watawatenga na masinagogi; naam, saa yaja atakapodhaniakila mtu awauaye ya kuwa anamtolea Mungu ibada.” Mat.24:9, “Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, naowatawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifayote kwa ajili ya Jina Langu.”

Kwa ishara na maajabu, kwa nguvu za Roho, Martin kwelialithibitishwa kama mjumbe wa wakati huo. Lakini sikwamba tu yeye alikirimiwa huduma kuu, yeye mwenyewealikuwa mwaminifu daima kwa Neno la Mungu. Aliyapingamadhehebu. Alikemea dhambi mahali pa juu. Aliitetea kwelikatika neno na tendo na kuishi maisha kamili ya ushindi waKikristo.

Mwandishi wa habari za maisha yake aliandika juu yakehivi. “Hapana mtu aliyepata kumwona amekasirika, au kuwa

Page 163: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 153

na wasiwasi, au akihuzunika, au akicheka. Yeye daimaalikuwa vile vile, na alionekana kama kitu ambacho ni zaidi yamwanadamu, usoni mwake kukiweko na namna fulani yafuraha ya kimbinguni. Kamwe hakukuweko na cho chotekinywani mwake ila Kristo, kamwe hakukuweko na kitumoyoni mwake ila uchaji, amani na huruma. Mara nyingialililia dhambi hata na za wale wapinzani wake, ambao wakatialipokuwa amenyamaza na hayuko walimshambulia kwamidomo kama ya nyoka na ndimi zenye sumu. Wengiwalimchukia kwa ajili ya nguvu ambazo wao wenyewehawakuwa nazo na wala hawakuweza kuiga, na ole! maaduizake wabaya sana walikuwa ni maaskofu.”

SALAMU

Ufu. 2:12b “Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upangamkali, wenye makali kuwili.”

Ujumbe kwa wakati wa tatu wa kanisa uko karibukutokea. Onyesho la tatu juu ya tamasha hili ya “Kristo kati yakanisa Lake” liko karibu kufunuliwa. Kwa sauti kama yabaragumu, Roho anamwonyesha Huyu Mweza Yote, “YeyeAliye na huo upanga mkali wenye makali kuwili!” Jinsionyesho hili lilivyo tofauti sana na wakati ambapo Pilatoalivyomjulisha Mwana-Kondoo wa Mungu, amevikwa mavaziya zambarau ya mzaha, amepigwa na kuvikwa taji ya miiba,akisema, “Mtazameni Mfalme wenu!” Sasa huku amevaamavazi ya kifalme na kutiwa taji ya utukufu anasimamaBwana wetu aliyefufuka, ‘Kristo, nguvu za Mungu’.

Katika maneno haya, ‘Yeye Aliye na huo upanga mkaliwenye makali kuwili’ kuna ufunuo mwingine wa Uungu.Katika Wakati wa Efeso, utakumbuka, Yeye alionyeshwakama Mungu Asiyebadilika. Katika wakati wa Smirnatulimwona kama Mungu MMOJA WA KWELI na zaidi Yakehakukuwa na mwingine. Sasa katika wakati huu wa Pergamokuna ufunuo wa zaidi wa Uungu Wake, ulioonyeshwa kwakuhusishwa Kwake na huo upanga mkali wenye makali kuwili,ambao ni Neno la Mungu. Ebr. 4:12, “Maana Neno la Mungu lihai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao woteukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho,na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesikuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.” Efe. 6:17 “Tenaupokeeni upanga wa Roho ambao ni Neno la Mungu.” Ufu.19:13 & 15a, “Naye amevikwa vazi lililochovywa katika damu,na Jina Lake aitwa, Neno la Mungu. Na upanga mkali hutokakinywani Mwake. Yn.1:1-3, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno,Naye Neno alikuwako kwa Mungu, Naye Neno alikuwaMungu. Huyo (Neno) mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyotevilifanyika kwa Huyo; wala pasipo Yeye hakikufanyika cho

Page 164: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

154 NYAKATI SABA ZA KANISA

chote kilichofanyika.” 1 Yohana 5:7, “Kwa maana wako watatuwashuhudiao Mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, nawatatu hawa ni MMOJA.”

Sasa tunaweza kuona kuhusika Kwake na Neno. YEYE NINENO. Hilo ndilo Yeye alilo. NENO KATIKA JINA LAKE.

Katika Yohana 1:1 ambapo inasema “Hapo mwanzokulikuweko Neno,” shina ambamo tunapata tafsiri yetu ya‘Neno’ ni ‘Logos’ ambalo maana yake ni ‘wazo ama fikira.’Lina maana maradufu ya ‘wazo’ na ‘maneno’. Sasa ‘wazolililotamkwa’ ni ‘neno,’ ‘ama maneno’. Je! hilo si ni la ajabu nazuri? Yohana anasema fikira za Mungu zilidhihirishwa katikaYesu. Na Paulo naye anasema jambo lile lile katika Ebr. 1:1-3,“Mungu, Ambaye alisema zamani na baba zetu katika manabiikwa sehemu nyingi na kwa njia nyingi, mwisho wa siku hiziamesema na sisi katika Mwana (Logos), aliyemweka kuwamrithi wa yote, tena kwa Yeye aliufanya ulimwengu. Yeye kwakuwa ni mng’ao wa utukufu Wake na chapa ya nafsi Yake,akivichukua vyote kwa amri ya uweza Wake, akiisha kufanyautakaso wa dhambi zetu, aliketi mkono wa kuume wa Ukuuhuko juu.” Mungu alidhihirika katika utu wa Yesu Kristo.Yesu alikuwa Sura ya Nafsi ya Mungu. Tena katika Yohana1:14, “Naye Neno alifanyika mwili akakaa kwetu.” NafsiYenyewe ya Mungu ilifanyika mwili ikakaa kwetu. YuleMungu-Roho aliye mkuu ambaye hakuna mtu angewezakumkaribia, Ambaye hakuna mtu alikuwa amemwona walaangeweza kumtazama sasa alikuwa amefanya maskani Yakekatika mwili na kukaa kati ya wanadamu, akidhihirishaukamilifu wa Mungu kwa wanadamu. Yohana 1:18, “Hakunamtu aliyemwona Mungu wakati wo wote; Mwana pekee aliyekatika kifua cha Baba, Huyu ndiye aliyemfunua.” Mungu,Ambaye mara kwa mara angedhihirisha uwepo Wake kwawingu ama nguzo ya moto iliyoleta hofu mioyoni mwa watu;Mungu huyu, Ambaye tabia za moyo Wake zilidhihirishwakwa ufunuo wa maneno tu kupitia kwa manabii, sasa akawaImanueli (Mungu pamoja nasi) akijifunua Mwenyewe. Neno,‘kufunua,’ linatolewa kwenye shina la Kiyunani ambalo maranyingi tutalifasiri kama mafafanuzi, ambalo linamaanishakueleza kinaganaga na kufanya dhahiri. Hivyo ndivyo NENOlililo Hai, Yesu, alivyofanya. Yeye alimleta Mungu kwetu, kwamaana Yeye alikuwa Mungu. Yeye alitufunulia Mungu kwaudhahiri mkamilifu sana hivi kwamba Yohana angewezakusema habari Zake katika 1 Yn. 1:1-3 “Lile lililokuwakotangu mwanzo, tulilolisikia, (Logos maana yake ni maneno)tuliloliona kwa macho yetu, tulilolitazama, na mikono yetuikalipapasa, kwa habari ya Neno la Uzima; (na Uzima huoulidhihirika, nasi tumeuona, tena twashuhudia, na kuwahubirininyi ule Uzima wa Milele, uliokuwa kwa Baba, ukadhihirikakwetu); Hilo tuliloliona na kulisikia, twawahubiri na ninyi; ili

Page 165: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 155

nanyi pia mpate kushirikiana nasi; na ushirika wetu ni pamojana Baba, na pamoja na Mwana Wake Yesu Kristo.” WakatiMungu alipokuwa amefunuliwa kweli, Yeye alidhihirishwakatika mwili. “Yeye aliyeniona Mimi amemwona Baba.”

Sasa turudi kwenye Ebr. 1:1-3 tuliona kwamba Yesualikuwa ni sura ya nafsi ya Mungu. Alikuwa ni Munguakijidhihirisha Mwenyewe katika mwanadamu kwamwanadamu. Lakini kuna jambo jingine la kuangalia katikaaya hizi, hasa aya ya kwanza na ya pili. “Mungu, ambayealisema zamani na baba zetu katika manabii kwa sehemunyingi na kwa njia nyingi, mwisho wa siku hizi amesema nasisi katika Mwanawe.” Nataka uangalie hapa pambizoni mwaBiblia yako utaona sahihisho. Neno ‘kwa’ si tafsiri sahihi.Linapaswa kusema ‘NDANI YA’. Si, ‘kwa’. Ndipo linasemakwa usahihi, “Mungu, ambaye alisema zamani na baba zetuNDANI YA manabii kwa njia ya Neno”. I Sam. 3:21b, “Kwakuwa Bwana akajifunua kwa Samweli huko Shilo, kwa Nenola Bwana.” Hilo linaelezea I Yohana 5:7 kikamilifu, “Roho naNeno ni MMOJA.” Yesu alimfunua Baba. Neno lilimfunuaBaba. Yesu alikuwa ni Neno lililo Hai. Mungu asifiwe, leo Yeyeangali ni Neno hilo lililo Hai.

Wakati Yesu alipokuwa hapa duniani Yeye alisema,“Husadiki ya kwamba Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yundani Yangu? Hayo Maneno niwaambiayo Mimi, siyasemi kwashauri Langu; lakini ni Baba akaaye ndani Yangu huzifanyakazi Zake.” Yn. 14:10. Hapa inaelezwa dhahiri sana kwambadhihirisho kamilifu la Mungu katika Mwana lilikuwa kwaRoho aliyekuwa akiishi ndani Yake akijidhihirisha katikaNeno na kazi. Hivyo ndivyo tulivyokuwa tukifundisha hasawakati wote. Wakati bibi-arusi atakaporudi kuwa bibi-arusiNeno, atafanya kazi zile hasa alizofanya Yesu. Neno ni Mungu.Roho ni Mungu. Wote ni MMOJA. Mmoja hawezi kutenda kazibila huyo mwingine. Kama mtu ana Roho wa Mungu kweli,atakuwa na Neno la Mungu. Hivyo ndivyo ilivyokuwa namanabii. Walikuwa na Roho wa Mungu aliyekuwa akikaandani yao nalo Neno likawajilia. Hivyo ndivyo ilivyokuwa naYesu. Ndani Yake mlikuwemo na Roho bila kipimo na Nenolikaja Kwake. (Mambo aliyoanza Yesu kufanya naKUFUNDISHA. Mafunzo Yangu si Yangu Mimi, ila ni YakeBaba aliyenipeleka. Matendo 1:1; Yn. 7:16.)

Kumbukeni sasa, Yohana Mbatizaji alikuwa nabii namjumbe wa siku yake. Alijazwa na Roho Mtakatifu tangutumboni mwa mama yake. Wakati alipokuwa anabatiza katikaYordani Neno la Mungu (Yesu) lilimjia. Neno daima huja kwayule aliyejazwa kweli na Roho Huo ndio ushuhuda wa kujazwana Roho Mtakatifu. Huo ndio Yesu aliosema utakuwa ndioushuhuda. Alisema, “Nami nitamwomba Baba, Naye atawapaMsaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele, Ndiye Roho wa

Page 166: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

156 NYAKATI SABA ZA KANISA

kweli; Ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea.” Sasa tunajuaKweli ni nini. “Neno Lako ndiyo Kweli.” Yohana 17:17b. Tenakatika Yohana 8:43, “Mbona hamyafahamu hayo niyasemayo?Ni kwa sababu ninyi hamwezi kulisikia Neno Langu.” Umeonaya kwamba Yesu alisema ya kwamba ulimwengu haungewezakumpokea Roho Mtakatifu? Vema, katika aya hii niliyosomahivi punde, wala hawangeweza kulipokea Neno. Kwa nini?Kwa sababu Roho na Neno ni mmoja, na kama una RohoMtakatifu kama wale manabii, Neno halina budi kuja kwako.Ungelilipokea. Katika Yohana 14:26, “Lakini huyo Msaidizi.Huyo Roho Mtakatifu, Ambaye Baba atampeleka kwa JinaLangu, ATAWAFUNDISHA yote, na kuwakumbusha yoteniliyowaambia.” Hapa tena tunaona Neno likija kwa sababuya Roho wa Mungu. Tena katika Yohana 16:13 “Lakini Yeyeatakapokuja, huyo Roho wa Kweli (Neno), atawaongozaawatie kwenye kweli yote (Neno Lako ni kweli); kwa maanahatanena kwa shauri Lake Mwenyewe, lakini yoteatakayoyasikia (Neno la Mungu) atayanena (Neno), na mamboyajayo atawapasha habari yake.” (Roho akileta Neno laUnabii). Nataka uangalie kwa makini sana ya kwamba Yesuhakusema ya kwamba ushuhuda wa kubatizwa na RohoMtakatifu ulikuwa ni kunena kwa lugha, kufasiri, kutoaunabii, au kupiga makele na kucheza. Alisema ushuhudaungekuwa ya kwamba wewe utakuwa katika KWELI; utakuwakatika Neno la Mungu kwa wakati wako. Ushuhudaunahusiana na kulipokea hilo Neno.

Katika I Kor. 14:37, “Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu warohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba nimaagizo ya Bwana.” Sasa angalia jambo hilo. Thibitisho laRoho akaaye ndani ya mtu lilikuwa ni kukubali na KUFUATAyale nabii wa Mungu aliyotangazia huo wakati wake akiliwekakanisa kwenye utaratibu. Ilimbidi Paulo kuwaambia walewaliodai ufunuo mwingine, (aya ya 36) “Au je! Neno la Mungulilitoka kwenu? au kuwafikia ninyi peke yenu?” Ushuhuda waMkristo mwamini aliyejazwa na Roho si kuinena kweli (Neno),bali kupokea kweli (Neno), na kuliamini na kulitii.

Umeona katika Ufu. 22:17 “Na Roho na bibi-arusi wasema,Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo!” Unaona, bibi-arusiananena Neno lile lile analonena Roho. Yeye ni bibi-arusiNeno akithibitisha yeye anaye Roho. Katika kila wakati wakanisa tunayasikia maneno haya “Yeye aliye na sikio, naalisikie Neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. “Rohoanatangaza Neno. Kama una Roho utalisikia Neno la wakatiwako, kama vile wale Wakristo wa kweli walivyolichukuaNeno kwa ajili ya wakati wao.

Je! umelipata wazo hilo la mwisho? Ninarudia, kila wakatiwa kanisa unaishia na onyo lile lile. “Yeye aliye na sikio, naalisikie (mtu binafsi) Neno hili ambalo Roho ayaambia

Page 167: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 157

makanisa.” Roho hutangaza Neno. Yeye ana kweli kwa ajili yakila wakati. Kila wakati umekuwa na wateule wake wenyewe,na kundi hilo teule daima ‘lilisikia neno,’ na kulipokea,ikithibitisha wao walikuwa na ile Mbegu ndani yao. Yohana8:47, “Yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu; hivyoninyi hamyasikii kwa sababu ninyi si wa Mungu.” Waowalilikataa Neno (Yesu) na Maneno Yake kwa siku zao, lakiniuzao wa kweli ulilipokea Neno kwa sababu wao walikuwa niwa Mungu. “Na watoto Wako WOTE watafundishwa naMungu.” (Roho Mtakatifu) Isa. 54:13. Yesu alisema jambo lilelile katika Yohana 6:45. Kuwa MMOJA NA NENOkunathibitisha kama wewe ni wa Mungu na umejazwa naRoho. Hakuna kipimo kingine.

Lakini lugha ni nini na kufasiri na karama nyingine? Hizoni madhihirisho. Hivyo ndivyo Neno linavyofundisha. Somajambo hilo katika I Kor. 12:7, “Lakini kila mmoja hupewaUFUNUO wa Roho kwa kufaidiana.” Halafu Paulo anatajamafunuo hayo.

Sasa linakuja swali hili zuri sana ninalojua nyote mnatakasana kuuliza. Kwa nini madhihirisho si ushuhuda wakubatizwa na Roho Mtakatifu, kwa sababu hakika hungewezakumdhihirisha Roho Mtakatifu isipokuwa iwe ulikuwaumejazwa kweli na Roho. Sasa laiti ningaliweza kusema yakwamba jambo hilo ni kweli, kwa sababu sipendi kuwaudhiwatu ama kuyapuuza mafundisho yao; lakini nisingekuwamtumishi wa kweli wa Mungu kama sikuwaambia shauri lotela Mungu. Hiyo ni kweli, sivyo? Hebu tumwangalie Balaamukidogo. Yeye alikuwa mtu wa dini, alimwabudu Mungu.Alifahamu njia sahihi ya kutoa dhabihu na kumkaribiaMungu, lakini hakuwa nabii wa Uzao wa Kweli kwa maanaalichukua ujira usio wa haki, na jambo baya sana kuliko yotealiwaongoza watu wa Mungu akawaingiza katika dhambi zauasherati na ibada za sanamu. Lakini ni nani angethubutukukana ya kwamba Roho wa Mungu alijidhihirisha kupitiakwake katika moja ya sehemu nzuri sana za unabii ulio sahihikabisa ulimwengu uliopata kuona? Lakini yeye kamwehakuwa amepata Roho Mtakatifu. Sasa basi, unafikirije juu yaKayafa, yule kuhani mkuu? Biblia ilisema ya kwamba yeyealitabiri namna ya kifo ambacho Bwana atakufa. Sote tunajuahakuna taarifa yake ya kuwa mtu aliyejazwa na kuongozwa naRoho kama mzee mpendwa Simeoni ama yule mtakatifu mzurisana aliyeitwa Ana. Lakini hivyo alikuwa na dhihirisho lakweli la Roho Mtakatifu. Hatuwezi kukana jambo hilo. Basi niwapi ambapo dhihirisho ni kama ushuhuda? Hakuna. Kamawewe kweli umejazwa na Roho wa Mungu utakuwa nathibitisho la NENO maishani mwako.

Hebu niwaonyeshe kwa kina jinsi ninavyojisikia nakuufahamu ukweli huu kwa ufunuo alionipa Mungu. Sasa

Page 168: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

158 NYAKATI SABA ZA KANISA

kabla sijawaambia, nataka kusema jambo hili. Wengi wenuninyi watu mnaniamini mimi kwamba ni nabii. Sisemikwamba mimi ni nabii. Ninyi ndio mliosema. Lakini sotetunajua ya kwamba maono anayonipa Mungu HAYASHINDWIKUTIMIA. HATA MARA MOJA. Kama mtu ye yote anawezakuthibitisha ya kwamba ono lilipata kushindwa wakati wowote nataka kujua kuhusu hilo. Sasa kwa sababu mmenifuataumbali huu, nawaleteeni kisa changu.

Miaka mingi iliyopita nilipokutana na Wapentekoste kwamara ya kwanza, nilikuwa katika mmoja wa mikutano yao yakambi ambako kulikuwako na madhihirisho mengi ya lugha,kufasiri lugha, na unabii. Wahubiri wawili hasa walihusikakatika kuzungumza kwa lugha kwa namna hii zaidi ya ye yotewa ndugu hao wengine. Nilifurahia ibada hizo sana na kwelinilivutiwa sana na madhihirisho mbalimbali, kwa sababuyalikuwa na mlio wa ukweli. Nilitaka sana kujua yoteniliyoweza kuhusu karama hizi, kwa hiyo nikaamuakuzungumza na hao watu wawili juu yake. Kupitia karama yaMungu iliyo ndani yangu, nilitafuta kujua roho iliyokuwandani ya mtu wa kwanza, kama alikuwa wa Mungu kweli amasivyo. Baada ya mazungumzo mafupi na ndugu huyo mzuri,mnyenyekevu, nilijua ya kwamba alikuwa Mkristo halisi,imara. Yeye alikuwa mtu halisi. Huyo kijana mwinginehakuwa kama huyo wa kwanza kamwe. Alikuwa mwenyekiburi na majivuno, na nilipokuwa ninazungumza naye onolilipitia kwenye macho yangu nami nikaona ya kwambaalikuwa ameoa bibi mwenye nywele za shaba lakini alikuwaanaishi na mwingine mwenye nywele nyeusi na alikuwaamezaa watoto wawili nae. Kama kulipata kuwa na mnafiki,huyo alikuwa ndiye.

Sasa hebu niwaambie, nilishtuka sana. Vipi nisiwezekushtuka? Hapa palikuwa na watu wawili, mmoja wao ambayealikuwa ni mwamini halisi na huyo mwingine alikuwa nimwigaji mwenye dhambi. HATA HIVYO WOTE WAWILIWALIKUWA WAKIDHIHIRISHA KARAMA ZA ROHO.Nilisumbuliwa na mchafuko huu. Nikaondoka mkutanoninipate kumtafuta Mungu anipe jibu. Nikaenda peke yangumahali pa siri na hapo nikiwa na Biblia yangu nikaomba nakumngojea Mungu anipe jibu. Nikiwa sijui tu nisome sehemugani ya Maandiko nilijifungulia tu Biblia mahali fulani katikaMathayo. Nikasoma kwa muda kidogo na kisha nikaiwekaBiblia chini. Haijapita muda kidogo upepo ukavuma kuingiamlechumbani na kuzigeuza kurasa za Biblia kwenyeWaebrania, sura ya sita. Nikaisoma nikaimaliza na hasa sananilivutiwa na hizo aya za ajabu, Ebr. 6:4-6, “Kwa maana haowaliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni,na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu, na kulionja Nenozuri la Mungu, na nguvu za zamani zijazo, wakaanguka baada

Page 169: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 159

ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu;kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwanafsi zao, na kumfedhehi kwa dhahiri. Maana nchi inayoinywamvua inayoinyeshea mara kwa mara, na kuzaa mboga zenyemanufaa kwa hao ambao kwa ajili yao yalimwa, hushirikibaraka zitokazo kwa Mungu; bali ikitoa miiba na maguguhukataliwa na kuwa karibu na laana; ambayo mwisho wake nikuteketezwa. Lakini, wapenzi, ijapokuwa twanena hayo,katika habari zenu tumesadiki mambo yaliyo mazuri zaidi, nayaliyo na wokovu.”

Nikaifunga Biblia, nikaiweka chini, nikatafakari kwamuda kidogo na kuomba tena. Bado sikuwa na jibu.Nikaifungua Biblia tena bila kufikiria lakini sikuisoma. Maraupepo ukavuma kuingia mle chumbani tena, na mara nyinginetena kurasa zikafunguka kwenye Ebr. sita na kubakia hapowakati upepo ulipokoma. Nikasoma maneno hayo tena, nanilipofanya hivyo, ndipo Roho wa Mungu akaingia mlechumbani na nikaona ono. Nikaona katika lile ono mtualiyekuwa amevaa mavazi safi sana meupe ambaye aliondokaakaenda kwenye shamba lililolimwa karibuni na akapandambegu. Ilikuwa ni siku isiyo na mawingu, na upanzi ulifanyikaasubuhi. Lakini usiku ulipokuwa umeenda sana baada ya yulempanzi aliyevalia mavazi meupe kuondoka, mtu aliyevaamavazi meusi akaja akapanda kifichifichi mbegu nyingine katiya zile yule mtu aliyevaa mavazi meupe alikuwa amepanda.Siku zikapita_jua na mvua vikaibariki nchi; na siku moja ilenafaka ikatokeza. Jinsi ilivyokuwa nzuri. Lakini siku mojabaadaye magugu yakatokea.

Ile ngano na yale magugu vikakua pamoja. Vikashirikichakula kile kile kutoka katika ardhi ile ile. Vikanywa kutokakwenye jua lile lile na mvua.

Ndipo siku moja anga likawa rangi ya shaba, na mimeayote ikaanza kuinama na kufa. Nikasikia ngano ikiinua vichwavyake na kumlilia Mungu mvua. Magugu pia yakapaza sautizao na yakasihi yapate mvua. Ndipo mbingu zikawa nyeusi namvua ikaja, na mara nyingine tena ile ngano, ikiwa sasa imejaanguvu ikainua sauti yake katika sifa, “Bwana asifiwe.” Nakwa mshangao wangu nikasikia magugu yaliyokuwayamehuishwa pia yakiangalia juu na kusema, “Haleluya!”

Ndipo nikajua ukweli wa ule mkutano wa kambi na lileono. Ule mfano wa Mpanzi pamoja na Mbegu, sura ya sita yaWaebrania, na dhihirisho dhahiri la karama za Kiroho katikakusanyiko lililochanganyikana_yote yakawa dhahiri vizurisana. Yule mpanzi aliyevaa vazi jeupe alikuwa ni Bwana. Yulempanzi aliyevaa vazi jeusi alikuwa ni ibilisi. Ulimwenguulikuwa ndio lile shamba. Mbegu zilikuwa ni watu, wateule nawakana imani. Wote wawili walishiriki chakula kile kile, majina jua. Wote waliomba. Wote walipata msaada kutoka kwa

Page 170: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

160 NYAKATI SABA ZA KANISA

Mungu, kwa kuwa huwaangazia jua Lake na kunyeshea mvuaYake wenye haki na wasio haki. Na ingawa wote walikuwa nabaraka zile zile za ajabu, na wote wawili walikuwa namadhihirisho mazuri sana, KULIKUWA KUNGALI NA ILETOFAUTI MOJA, WALIKUWA NI WA MBEGU TOFAUTI.

Hapa palikuweko na jibu pia la Mt. 7:21-23 “Si kila mtuaniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wambinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba Yangu Aliyembinguni. Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana,hatukufanya unabii kwa Jina Lako, na kwa Jina Lako kutoapepo, na kwa Jina Lako kufanya miujiza mingi? Ndiponitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeniKwangu, ninyi mtendao maovu.” Yesu hakatai ya kwambawao walifanya kazi kuu ambazo Roho Mtakatifu ndiye tuanayeweza kutimiza kwa njia ya wanadamu. Lakini Yeyealikana kwamba aliwahi kuwajua. Hawa hawakuwa watuwaliorudi nyuma. Hawa walikuwa watu waovu, wasioongoka,wakana imani. Hawa walikuwa mbegu ya Shetani.

Na ndio hilo hapo. HUWEZI kudai ya kwamba dhihirishondio ushuhuda wa kuzaliwa na Roho, kujazwa na Roho. Labwana. Nitakubali ya kwamba dhihirisho la kweli ni ushuhudawa Roho Mtakatifu akifanya kazi kuu, lakini SI thibitisho layule mtu binafsi kujazwa na Roho, hata ingawa mtu huyobinafsi ana wingi wa madhihirisho hayo.

Ushuhuda wa kumpokea Roho Mtakatifu leo ni kama vilevile tu ilivyokuwa kule nyuma katika siku za Bwana wetu. Nikulipokea Neno la kweli kwa siku ile unayoishi. Yesu kamwehakutilia mkazo umuhimu wa Kazi kama alivyotilia maananisana Neno. Alijua ya kwamba kama watu wakilipata NENOkazi zingefuata nyuma. Hiyo ni Biblia.

Sasa Yesu alijua ya kwamba kutakuweko na kutokakwenye Neno kubaya sana katika Wakati wa Pergamo ambaoulikuwa bado umbali wa miaka mia mbili kutoka kwenye lileono la Patmo. Alijua ya kwamba kutoka huko kungewafanyakuingia katika zile Zama za Giza. Alijua ya kwamba jinsimwanadamu hapo awali alivyotoka kutoka kwa Munguilikuwa kwanza kwa kuliacha Neno. Kama ukiliacha hlo Neno,umemwacha Mungu. Hivyo basi anajitambulisha Mwenyewekwa kanisa hapo Pergamo, na kwa kweli kwa makanisa yoteya nyakati zote, “Mimi ni Neno. Kama mkitaka Uungu katiyenu, basi karibisheni na mlipokee Neno. Msiache mtu ye yotehata wala cho chote kiingie kati yenu na hilo Neno. Hilininalowapa ninyi (Neno) ni ufunuo wa Mimi Mwenyewe. MIMINI NENO. Kumbukeni jambo hilo!”

Sijui kama tumeguswa moyoni na Neno vya kutoshalililoko katikati yetu. Hebu niwape wazo hapa. Tunaombaje?Tunaomba katika Jina la Yesu sivyo? Kila ombi ni katika Jina

Page 171: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 161

Lake la sivyo hakuna jibu. Walakini katika I Yohana 5:14tunaambiwa, “Na huu ndio ujasiri tulio nao Kwake, ya kuwa,tukiomba kitu cho chote sawasawa na mapenzi Yake, Yeyeatusikia. Na kama tukijua kwamba atusikia, tuombacho chote,twajua kwamba tunazo zile haja tulizomwomba.” Sasatunauliza, “Mapenzi ya Mungu ni nini?” Kuna njia MOJA TUya kujua mapenzi Yake na hiyo ni KWA NENO LA MUNGU.Omb. 3:37, “Ni nani asemaye Neno nalo likafanyika, ikiwaBwana hakuliagiza?” Hilo hapo. Kama haliko kwenye Nenohuwezi kulipata. Kwa hiyo hatuwezi kuomba isipokuwa jamboliwe liko katika Neno, wala hatuwezi kusihi ama kuombaisipokuwa iwe ni katika Jina Lake. Hilo hapo tena. YESU (lileJina) ni NENO (mapenzi). Huwezi kumtenganisha Mungu naNeno. Wao ni MMOJA.

Sasa basi, hili Neno aliloliacha nyuma kwenye ukurasauliopigwa chapa ni sehemu Yake unapolikubali kwa imanikatika maisha yaliyojazwa Roho. Yeye alisema ya kwambaNeno Lake lilikuwa uzima. Yohana 6:63b. Lakini hivyo ndivyoalivyo hasa: Yohana 14:6, “Mimi Ndimi Njia, na Kweli naUzima.” Rum. 8:9b “Lakini mtu awaye yote asipokuwa naRoho wa Kristo, huyo si Wake.” Hilo hapo, Yeye ni Roho Nayeni Uzima. Hivyo ndivyo Neno lilivyo hasa; hivyo ndivyo Yesualicho hasa. Yeye ni Neno. Kwa hiyo wakati mtu aliyezaliwakwa Roho, aliyejazwa na Roho anapoingiza Neno hilo ndani yamoyo wake na kuliweka kwenye kinywa chake kwa imani,mbona hilo ni kama tu Mungu akinena. Kila mlima hauna budikuondoka. Shetani hawezi kusimama mbele ya mtu huyo.

Kama kanisa, huko nyuma kabisa katika ule wakati watatu lilikuwa tu limeshikilia ule ufunuo wa Neno lililo haikatikati yao, nguvu za Mungu hazingefifia kama zilivyofifiakatika zile Zama za Giza. Na leo hii, wakati kanisa linaporudikwenye Neno katika imani, tunaweza kusema bila tashwishiya kwamba utukufu wa Mungu na matendo ya ajabu ya Munguyatakuwa katikati yake tena.

Usiku mmoja nilipokuwa nikimwomba Bwana, RohoMtakatifu aliniambia nitwae kalamu yangu na niandike.Nilipoishika kalamu kuandika, Roho Wake akanipa ujumbekwa ajili ya kanisa. Nataka kuwaleteeni ninyi huo^Unahusu Neno na bibi-arusi.

“Haya ndiyo ninayojaribu kuwaambieni. Sheria ya kuzaani kwamba kila jamii izae kwa jinsi yake yenyewe, yaanikulingana na Mwanzo 1:11, “Mungu akasema, Nchi na itoemajani, mche utoao mbegu, na mti wa matunda uzaao matundakwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu yanchi: ikawa hivyo.” Uhai wo wote ule uliokuwemo katikambegu ulijitokeza katika mmea na baadaye katika tunda.Sheria iyo hiyo inatenda kazi kwa kanisa leo. Mbegu yo yoteiliyoanzisha kanisa itamea na kuwa kama ile mbegu ya asili

Page 172: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

162 NYAKATI SABA ZA KANISA

kwa sababu ni mbegu ile ile. Katika siku hizi za mwishoKanisa la Bibi-arusi wa kweli (mzao wa Kristo) litafikiakwenye Jiwe la Kileleni, nalo litakuwa ni kipeo cha kanisa,mzao bora sana, linapomkaribia Yeye. Wao katika Bibi-arusiwatakuwa chapa Yake hivi kwamba watafanana Naye kabisa.Hii ni kusudi wapate kuungana Naye. Watakuwa mmoja.Watakuwa dhihirisho kamili la Neno la Mungu aliye hai.Madhehebu hayawezi kuleta hili (wao ni uzao mbaya).Wataleta kanuni zao za imani na mafundisho yao ya sharti,yaliyochanganywa na Neno. Mchanganyiko huu huzaa mzaomchanganyiko.

Yule mwana wa kwanza (Adamu) alikuwa ni mzao_Nenolililonenwa na Mungu. Alipewa bibi-arusi kusudi azaliane.Hiyo ndiyo sababu yeye alipewa bibi-arusi, apate kuzaliana,amzae mwana mwingine wa Mungu. Lakini huyo mwanamkealianguka. alianguka kwa kuchanganya mbegu. Alisababishamumewe afe.

Mwana wa pili (Yesu), pia Mzao-Neno lililonenwa naMungu alipewa bibi-arusi kama vile Adamu alivyopewa.Lakini kabla hajaweza kumwoa, yeye pia alikuwaameshaanguka. Yeye, kama vile mke wa Adamu, alijaribiwakama angeliamini Neno la Mungu na aishi, au alitilie shakaNeno na afe. Yeye alishuku. Aliliacha Neno. Akafa.

Toka kwenye kundi dogo la mzao halisi wa Neno, Munguatamtuza Kristo na bibi-arusi mzuri. Yeye ni bikira wa NenoLake. Yeye ni bikira kwa sababu hazijui kanuni zo zote zaimani zilizobuniwa na wanadamu wala mafundisho ya sharti.Kwa njia ya washirika na kupitia kwa washirika wa bibi-arusiyatatimizwa yale yote yaliyoahidiwa na Mungu kudhihirishwakatika bikira.

Neno la ahadi lilimjia bikira Mariamu. Lakini hilo Neno laahadi lilikuwa ni Yeye, Mwenyewe, kudhihirishwa. Mungualidhihirishwa. Yeye, Mwenyewe, alifanya tendo wakati huo nakulitimiza Neno Lake la ahadi katika huyo bikira. Malaikandiye aliyemletea ujumbe. Lakini ule ujumbe wa malaikaulikuwa ni Neno la Mungu. Isa. 9:6. Yeye aliyatimiza wakatihuo yote yale yaliyoandikiwa Yeye kwa sababu huyo bikiraalilikubali Neno Lake alilomletea.

Washiriki wa bibi-arusi bikira watampenda Yeye, naowatakuwa na uweza Wake, kwa maana Yeye ndiye kichwachao, na nguvu zote ni Zake. Wanamtii Yeye kama vile viungovya miili yetu vinavyotii vichwa vyetu.

Angalia kupatana kwa Baba na Mwana. Yesu hakufanya lolote mpaka alipoonyeshwa jambo hilo kwanza na Baba.Yohana 5:19. Kupatana huku kunatakiwa sasa kuwepo kati yaBwana Arusi na bibi-arusi Wake. Yeye anamwonyesha NenoLake la uzima. Naye analipokea. Yeye halishuku kamwe. Kwa

Page 173: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 163

hiyo, hakuna kitakachoweza kumdhuru, wala hata mauti. Kwakuwa kama mbegu imepandwa, maji yataifufua tena. Siri yajambo hili ndiyo hii: Neno limo ndani ya bibi-arusi (kama vilelilivyokuwa ndani ya Mariamu). Bibi-arusi ana nia ya Kristokwa kuwa anajua kile Yeye anachotaka kifanywe kwa Neno.Anatekeleza maagizo ya Neno katika jina Lake kwa kuwa yeyeanayo “Bwana asema hivi.” Ndipo Neno linahuishwa na Rohonalo linatimia. Kama vile mbegu ambayo imepandwa nakumwagiwa maji, inafikia mavuno kamili, ikitimiza kusudilake.

Wale walio katika bibi-arusi hufanya tu mapenzi Yake.Hakuna ye yote anayeweza kuwafanya watende vinginevyo.Hao wana “Bwana asema hivi” la sivyo wananyamaza.Wanajua ya kwamba hapana budi iwe ni Mungu ndani yaoanayefanya hizo kazi, akilitimiza Neno Lake Mwenyewe. Yeyehakumaliza kazi Zake zote alipokuwa katika huduma Yake yaduniani kwa hivyo sasa Yeye hutenda kazi katika na kwakupitia kwa bibi-arusi. Bibi-arusi ajua hayo, kwa sababuwakati Wake wa kufanya mambo fulani ambayo hana budikuyafanya sasa haukuwa umewadia. Lakini sasa Yeyeatatimiza kupitia kwa bibi-arusi kazi ile aliyoiacha ili ifanywekwa wakati huu uliokusudiwa.

Basi na tusimame kama Yoshua na Kalebu. Nchi yetu yaahadi imeanza kuonekana kama vile yao ilivyoanzakuonekana. Sasa Yoshua maana yake ni “Yehova-Mwokozi,”naye anamwakilisha kiongozi wa wakati wa mwisho ambayeatakuja kwa kanisa kama vile Paulo alivyokuja kama kiongoziwa kwanza. Kalebu anawakilisha wale waliomtii Yoshua.Kumbuka, Mungu alikuwa amewaanzisha Israeli kama bikirakwa Neno Lake. Bali wao walitaka kitu tofauti. Vivyo hivyo nakanisa la siku za mwisho nalo. Angalia jinsi ambavyo Munguhakuwasogeza Israeli, au kuwaacha waingie katika nchi yaahadi mpaka wakati Wake Mwenyewe uliokusudiwaulipowadia. Sasa huenda hao watu walimsonga Yoshua,aliyekuwa kiongozi, na kusema, “Hiyo nchi ni yetu, hebu natwende tukaitwae. Yoshua, umeshindwa, lazima umepotezaagizo lako, huna ile nguvu uliyokuwa nayo. Ulikuwa ukisikiakutoka kwa Mungu na kujua mapenzi ya Mungu, na kutendakwa haraka. Una kasoro.” Lakini Yoshua alikuwa nabiialiyetumwa na Mungu naye alijua ahadi za Mungu, kwa hiyoalizingojea. Yeye alingojea uamuzi dhahiri toka kwa Mungu nawakati ulipofika wa kusonga mbele, Mungu aliuweka uongozimzima katika mikono ya Yoshua kwa sababu alikuwaamedumu na Neno. Mungu aliweza kumwamini Yoshua lakinisi hao wengine. Kwa hiyo itajirudia katika siku hizi zamwisho. Shida ile ile, usumbufu ule ule.

Chukua mfano tuuonao katika Musa. Nabii huyu waMungu mwenye nguvu aliyetiwa mafuta alizaliwa kiajabu,

Page 174: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

164 NYAKATI SABA ZA KANISA

akiwa amezaliwa kwa wakati uliofaa kwa ajili ya ukomboziwa mzao wa Ibrahimu toka Misri. Yeye hakukaa Misri hatakidogo kuhojiana nao kwa Maandiko, wala kuzozana namakuhani. Yeye alienda zake nyikani mpaka watu walipokuwatayari kumpokea. Mungu alimwita Musa aende nyikani.Kungoja kule hakukuwa kwa Musa bali ni kwa sababu ya watuwaliokuwa hawajawa tayari kumpokea. Musa alidhani haowatu wangeelewa bali hawakuelewa.

Kisha kuna Eliya ambaye alijiliwa na Neno la Bwana.Alipomaliza kuhubiri kweli na hilo kundi zamani zile ambaloni mtangulizi wa kundi la Yezebeli wa Marekanihalingelipokea Neno! Mungu alimwita aondoke kwenyehuduma kisha akakipiga mapigo kizazi hicho kwa ajili yakumkataa nabii na ujumbe ambao Mungu ameutangaza.Mungu alimwita aende nyikani naye hangetokea hata kamaangeitwa na mfalme. Wale waliojaribu kumshawishi afanyehivyo, walikufa. Lakini Mungu alinena na nabii Wakemwaminifu kwa ono. Toka mafichoni alikuja na kuwarejesheaNeno Israeli.

Halafu akaja Yohana Mbatizaji, mtangulizi mwaminifu waKristo, nabii mkuu kwa wakati wake. Hakwenda kwenye shuleya baba yake, wala kwenye shule ya Mafarisayo_hakwendakwenye madhehebu yo yote, bali alienda huko nje nyikanialikoitwa na Mungu. Akakaa huko mpaka Mungu alipomtumaakiwa na ujumbe, akapaza sauti, ‘Masihi amekaribia.’

Basi hebu na tuchukue onyo la Kimaandiko hapa. Je!haikuwa ni katika siku za Musa ambaye Mungu alikuwaamemthibitisha ambapo Kora aliinuka na kumpinga huyonabii mkuu? Alibishana na Musa na kudai kuwa yeye piaalikuwa na mambo yale yale kutoka kwa Mungu kwakuwaongoza hao watu na ya kwamba wengine walishirikikatika ufunuo wa Kiungu kama vile vile Musa alivyoshiriki.Alikataa mamlaka ya Musa. Basi hao watu zamani zile, baadaya kulisikia Neno la kweli nao walifahamu vizuri kabisaukweli kwamba nabii wa kweli alikuwa amethibitishwa naMungu, nasema watu hao walimfuata Kora na ukaidi wake.Kora hakuwa nabii wa Kimaandiko bali umati mkubwa wawatu pamoja na viongozi wao walimfuata. Ni sawa vipi nawainjilisti siku hizi wakiwa na maazimio yao ya ndama wadhahabu kama wa Kora. Wanaonekana wazuri kwa watu kamavile Kora alivyoonekana wakati huo. Wana damu katika pajiza nyuso zao, mafuta mikononi mwao na mipira ya motojukwaani. Wanaruhusu wahubiri wanawake, wanawaruhusuwanawake wanyoe nywele zao, wavae suruali na kaptura, nakulivuka Neno la Mungu kwa kutimiliza kanuni zao wenyeweza imani na mafundisho ya sharti. Hiyo yaonyesha aina yambegu iliyomo ndani mwao. Bali sio watu wote waliomkataaMusa na kuliacha Neno la Mungu. La. Wateule walikaa naye.

Page 175: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 165

Jambo lilo hilo linatendeka leo. Wengi wanaliacha Neno balibaadhi wanashikamana nalo. Lakini kumbuka mfano wangano na magugu. Magugu hayana budi kukusanywa matitamatita yakachomwe moto. Makanisa haya yenye kukana imaniyanafungwa pamoja na kukazwa zaidi na zaidi, tayari kwaajili ya mioto ya hukumu ya Mungu. Bali ngano itakusanywakwa Bwana.

Sasa nataka mwe waangalifu sana hapa na mlione hili.Mungu ameahidi ya kwamba mwishoni mwa wakati Malaki 4itatimia. Haina budi kutimia kwa kuwa ni Neno la Mungulililohuishwa na Roho lililonenwa na nabii Malaki. Yesualilitaja hilo. Ni kabla tu ya kuja kwa Kristo mara ya pili.Ifikapo wakati wa kuja Kwake Yesu Maandiko yote hayanabudi kutimizwa. Kipindi cha Mataifa kitakuwa kimefikiawakati wake wa kanisa la mwisho wakati huyo mjumbe waMalaki atakapokuja. Yeye atakuwa amesimama na Nenokweli kweli. Ataichukua Biblia yote tangu Mwanzo hadiUfunuo. Ataanzia kwenye uzao wa nyoka na kuendelea hatakwenye mjumbe wa mvua ya masika. Bali atakataliwa namadhehebu.

Hana budi kukataliwa kwa kuwa hiyo ni historiaikijirudia yenyewe kutoka wakati wa Ahabu. Historia yaIsraeli chini ya uongozi wa Ahabu inatimia papa hapaMarekani ambapo nabii wa Malaki anatokea. Kama vileIsraeli walivyoondoka Misri waende wakaabudu kwa uhuru,wakawafukuza wenyeji, wakaunda taifa lenye viongozimashujaa kama Daudi nk., kisha wakamweka Ahabu kwenyekiti cha enzi na Yezebeli nyuma yake akimwongoza, vivyohivyo tumefanya jambo lile lile Marekani. Babu zetu walikujakatika nchi hii wapate kuabudu na kuishi katika uhuru.Waliwafukuza wenyeji na kuitwaa nchi. Watu wenye nguvukama vile Washington na Lincoln waliinuliwa lakini baadayekidogo watu wengine wasiofaa waliwafuatia watu hawamashuhuri hata punde si punde Ahabu aliwekwa kwenye kiticha urais na Yezebeli nyuma yake kumwongoza. Ni katikawakati kama huu ambapo mjumbe wa Malaki hana budi kuja.Ndipo katika mvua ya masika kutatokea shindano dhahiri laMlima Karmeli. Angalia hili kwa makini sasa upate kulionakatika Neno. Yohana alikuwa mtangulizi wa Malaki 3. Yeyealipanda mvua ya vuli na kukataliwa na mashirika ya sikuzake. Yesu alikuja na akawa na shindano la Mlima waKugeuka Sura. Mtangulizi wa pili wa Kristo atapanda kwaajili ya mvua ya masika. Yesu atakuwa shindano kati yamadhehebu na kanuni za imani, kwa kuwa Yeye atakujakuliunga mkono Neno Lake na kumtwaa bibi-arusi Wakekatika unyakuo. Shindano la kwanza lilikuwa kwenye MlimaKarmeli; la pili lilikuwa kwenye Mlima wa Kugeuka Sura, nala tatu litakuwa kwenye Mlima Sayuni.

Page 176: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

166 NYAKATI SABA ZA KANISA

Tabia ya ajabu ya Musa, Eliya, na Yohana ya kujitenga nawatu na kuishi katika upweke iliwaacha wengi wametatanika.Wao hawakutambua kwamba ni kwa sababu jumbe zaozilikuwa zimekataliwa. Lakini mbegu ilikuwa imepandwa,kupanda kulikuwa kumemalizika. Hukumu ilikuwa inafuata.Walikuwa wamemaliza kazi yao kama ishara kwa watu, kwahiyo hukumu ilikuwa inafuata.

Ninaamini kulingana na Ufu. 13:16 ya kwamba itambidibibi-arusi kuacha kuhubiri kwa maana yule mnyama anadaichapa katika mkono au paji la uso ikiwa ruhusa ya kuhubiriitatolewa. Madhehebu yataichukua ile chapa, la sivyoyatalazimishwa kuacha kuhubiri. Ndipo Mwana-Kondooatakuja kumchukua bibi-arusi Wake na kumhukumu yulekahaba mkuu.

Basi kumbuka ya kwamba Musa alizaliwa kwa ajili ya kazimaalum, lakini hangaliweza kufanya kazi hiyo mpakaalipokwisha kupokea vipawa ambavyo vingemwezeshakuifanya hiyo kazi. Ilimpasa yeye aende jangwani na kungojahuko; Mungu alikuwa na wakati aliouchagua. Kulikuwa kuwena Farao fulani kwenye kiti cha enzi, na iliwapasa watu wawewakililia mkate wa uzima, kabla ya Mungu hajamrudisha. Nivivyo hivyo katika siku zetu.

Lakini tuna kitu gani katika siku hizi zetu? Umati mkubwaunafanya ishara mpaka tuna kizazi cha watafuta isharawanaojua machache ama wasiojua lo lote kuhusu Neno, autendo halisi la Roho wa Mungu. Wao wakiona damu, mafuta namoto wanasikia kubarikiwa; haidhuru ni kitu gani kilichokokatika Neno. Wataunga mkono ishara yo yote, hata zile zisizoza kimaandiko. Lakini Mungu ametuonya kuhusu jambo hilo.Yeye alisema katika Mathayo 24 kwamba katika siku zamwisho zile roho mbili zitafanana sana hivi kwamba ni waliowateule tu wangeweza kuzitofautisha, kwa kuwa hao pekeendio ambao hawatadanganywa.

Unaweza kuzitofautisha roho hizo? Hebu zipe tu jaribio laNeno. Kama hazizungumzi hilo Neno, ni za yule mwovu. Kamavile yule mwovu alivyowadanganya wale bibi-arusi wawili wakwanza, yeye atajaribu kumdanganya bibi-arusi wa siku hii yamwisho, kwa kujaribu kumfanya ajichanganye mbegu katikakanuni za imani, ama tu kuliacha Neno wazi wazi na kufuataishara yo yote inayomfaa. Lakini Mungu hakuziweka isharambele ya Neno. Ishara hufuata Neno, kama wakati ule wa Eliyaalipomwambia yule mwanamke amtengenezee mkate kwanza,kulingana na Neno la Bwana. Alipofanya vile Nenolilivyosema, ishara sahihi ikaja. Njoo kwenye Neno kwanzakisha ungojee muujiza. Mbegu Neno hutiwa nguvu na Roho.

Yawezekanaje mjumbe ye yote aliyetumwa toka kwaMungu kuamini tu sehemu ya Neno na kukana sehemu

Page 177: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 167

nyingine? Nabii wa kweli wa Mungu katika huu wakati wamwisho atalitangaza Neno lote. Madhehebu yatamchukia.Maneno yake yaweza kuwa makali kama yale ya YohanaMbatizaji aliyewaita majoka. Bali waliochaguliwa tangu awaliwatasikia na kuwa tayari kwa unyakuo. Mzao wa Kifalme waIbrahimu, ukiwa na imani kama ya Ibrahimu watalishikiliahilo Neno pamoja naye, kwa kuwa wao walichaguliwa tanguawali pamoja naye.

Mjumbe wa siku ya mwisho atatokea katika wakatiuliokusudiwa na Mungu. Ni wakati wa mwisho sasa kamawote wanavyojua, kwa maana Israeli wako katika nchi yao.Kwa wakati wo wote sasa atakuja kulingana na Malaki.Tutakapomwona, atakuwa amefungwa kwenye Neno. Nayeatadhihirishwa (ataonyeshwa wazi katika Neno. Ufunuo 10:7.)na Mungu atathibitisha huduma yake. Atahubiri ukweli kamavile Eliya alivyofanya na kuwa tayari kwa shindano la MlimaSayuni.

Wengi hawatamfahamu kwa sababu wamefundishwaMaandiko kwa njia fulani ambayo wao hufikiria ndiyo kweli.Wakati ajapo kinyume cha hilo, hawataamini. Hata wahudumuwengine wa kweli watakosa kumwelewa huyo mjumbe kwasababu mengi sana yameitwa ukweli wa Mungu na watuwadanganyifu.

Lakini huyu nabii atakuja, na kama vile yule mtanguliziwa kule kuja kwa kwanza alivyopaza sauti, “Tazama Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu, vivyohivyo bila shaka naye atapaza sauti, “Tazama Mwana-Kondoowa Mungu anayekuja katika utukufu.” Atafanya jambo hili,kwa maana kama vile Yohana alivyokuwa mjumbe wa ilekweli kwa wateule, ndivyo alivyo na huyu mjumbe wa mwishokwa wateule na kwa bibi-arusi aliyezaliwa kwa Neno.

KRISTO ALISIFU KANISA

Ufu. 2:13 “Nayajua matendo yako, na napajua ukaapo,ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sanaJina Langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku zaAntipa shahidi Wangu, mwaminifu Wangu, aliyeuawa katikatiyenu, hapo akaapo Shetani.

“Nayajua matendo yako.” Haya ni maneno yanayofananaanayoambiwa kila mmoja wa wale wajumbe saba kuhusianana watu wa Mungu katika kila wakati. Yanaponenwa kwa ilemizabibu miwili (wa kweli na wa uongo) yataleta furaha nashangwe kwa mioyo ya kundi moja, lakini yanapaswa kutiakishindo cha hofu kuu katika mioyo ya hilo jingine. Kwamaana ingawa tunaokolewa kwa neema, mbali na matendo,wokovu wa kweli utazaa matendo, ama matendo ambayo

Page 178: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

168 NYAKATI SABA ZA KANISA

yatamfurahisha Mungu. I Yn. 3:7, “Watoto wadogo, mtu naasiwadanganye; ATENDAYE (afanyaye) haki yuna haki, kamaYeye alivyo na haki.” Kama aya hii ina maana yo yote hatakidogo, inamaanisha ya kwamba kile mtu AFANYACHOndicho ALICHO. Yak. 3:11, “Je! chemchemi katika jicho mojahutoa maji matamu na maji machungu?” Rum. 6:2, Hasha! Sisitulioifia dhambi tutaishije tena katika dhambi?” Mat. 12: 33-35,“Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; auufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwamaana kwa matunda yake mti hutambulikana. Enyi wazao wanyoka, mwawezaje kunena mema, mkiwa wabaya? Maana,kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake. Mtu mwemakatika akiba njema ya moyo hutoa mema; na mtu mbayakatika akiba mbaya hutoa mabaya.” Sasa kama mtuamezaliwa kwa Neno (Mkizaliwa mara ya pili, si kwa mbeguiharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika; kwa Neno la Mungulenye uzima, lidumulo hata milele. I Pet. 1:23) yeyeatadhihirisha Neno. Matunda ama matendo ya maisha yakeyatakuwa ndiyo matokeo ya namna ya mbegu ama uhai uliondani yake. Hivyo basi matendo yake yatakuwa yaKimaandiko. Loo! kweli hii itakuwa ni shtaka la namna ganidhidi ya Wakati wa Pergamo. Huyo hapo anasimama YeyeAsiye na Kifani, na katika mkono Wake kuna upanga mkaliwenye makali kuwili, Neno la Mungu. Na Neno hilolitatuhukumu katika siku ya mwisho. Kwa kweli Nenolinahukumu hata sasa hivi, kwa maana huyatambua mawazona makusudi ya moyo. Linakata na kuwatenga wa kimwili nawa kiroho. Linatufanya nyaraka zilizo hai na zinazojulikanana watu wote kwa utukufu wa Mungu.

“Nayajua matendo yako.” Kama mtu akihofu kwambahuenda asimpendeze Mungu, basi na alitimize Neno. Kamamtu hajui kama atayasikia maneno hayo, “Vema, mtumwamwema na mwaminifu,” hebu na alitimize Neno la Mungukatika maisha yake, na bila shaka atayasikia maneno hayo yasifa. Neno la kweli ndilo lililokuwa kipimo wakati huo; ndilokipimo sasa. Hakuna kipimo kingine; hakuna timazi nyingine.Kwa kuwa ulimwengu utahukumiwa na Kristo Yesu, vivyohivyo utahukumiwa kwa Neno. Kama mtu akitaka kujua jinsianavyofanikiwa, hebu na afanye kama Yakobo alivyoshauri:“Angalia katika kioo cha Neno la Mungu.”

“Nayajua matendo yako.” Alipokuwa amesimama pale naNeno Lake, akiyachunguza maisha yao katika nuru yakielelezo alichokuwa amewapa, hana budi alifurahishwa kiasi,kwa sababu wao, kama wale wengine waliowatangulia,walikuwa wanayastahimili mateso ya wasio haki na hukuwangali kwa furaha wanamshikilia Bwana. Ingawa wakatimwingine ilikuwa ni vigumu kumtumikia Bwana, hata hivyowao walimtumikia na kumwabudu Yeye katika Roho na katika

Page 179: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 169

kweli. Lakini haikuwa hivyo kwa ule mzabibu wa uongo. Loo!walikuwa wameyakataa maisha yanayojengwa juu ya Neno nasasa wao walikuwa wanaendelea kuiacha kweli. Matendo yaoyalishuhudia kilindi walichokuwa wamezama.

WEWE WALISHIKA SANA JINA LANGU

“Twende kwa nani? Wewe peke yako unayo maneno yauzima wa milele!” Walishikilia sana wakati huo; walikuwawakishikilia sana sasa, lakini si kwa hofu ya kukata tamaakama watu wanaoishi maisha ya bure. Walikuwa wakishikiliasana katika nguvu Zake, katika uhakikisho wa Roho yakwamba wao walikuwa mmoja katika Yeye. La kwao lilikuwani ufahamu wa hakika wa dhambi zilizosamehewa naowalikuwa na jina la ‘Mkristo’ katika kulishuhudia jina hilo.Walilijua na kulipenda Jina lile ambalo lilipita kila jina.Magoti yao yalipigwa kwa Jina Hilo. Ndimi zaozilikwishalikiri. Lo lote walilotenda, walitenda yote katikaJina la Bwana Yesu. Walikuwa wameliitia Jina hilo nawakaacha uovu, na baada ya kuchukua msimamo waowalikuwa sasa wako tayari kufa kwa ajili ya Jina hilo, wakiwawamehakikishiwa ufufuo bora.

Peleka Jina la Yesu,Po pote uendapo.Litafurahisha moyo.Peleka uendako.Thamani na tamu,Ni Jina Lake Yesu.

Tayari katika karne ya pili maneno hayo “Baba, Mwana naRoho Mtakatifu” yalikuwa yameandika neno ‘Utatu’ kwawengi, na wazo la imani ya miungu mingi la Miungu watatulilikuwa tayari limekuwa ni fundisho katika kanisa la uongo.Haikuchukua muda mrefu hata lile Jina lilipokuwalimeondolewa, kama kweli lilivyoondolewa katika wakati huu,na mahali pake zile sifa za yule MUNGU MMOJA MKUUzingewekwa badala ya lile JINA, Bwana Yesu Kristo. Wakatiwengi walikana imani na kushika utatu na kubatizawakitumia zile sifa za Mungu, lile Kundi Dogo bado lilibatizakatika Jina la Yesu Kristo na hivyo lilishikilia kweli.

Huku wengi sana wakimdharau Mungu, wakimbadilishakuwa miungu watatu, na kulibadilisha Jina Lake la neema nakulifanya sifa, mtu angeshangaa kama ishara na maajabuyanayoambatana na Jina kubwa kama hili yangeonekana katiya watu. Kweli ishara hizo zilidhihirishwa kwa nguvu na kwaajabu sana, ingawa bila shaka si katika ule mzabibu wa uongo.Watu kama Martin walitumiwa sana na Mungu aliwashuhudiakwa ishara na maajabu pia na karama za Roho Mtakatifu. Jina

Page 180: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

170 NYAKATI SABA ZA KANISA

hilo bado lilikuwa linatenda kazi kama vile lilivyokuwa daimana litakavyokuwa daima ambapo watakatifu wanamheshimuYeye kwa Neno na imani.

WEWE HUKUIKANA IMANI YANGU

Katika Mdo. 3:16 wakati Petro alipoulizwa jinsi ulemwujiza mkuu ulivyokuwa umetukia kwa yule kiwete kwenyeule Mlango Mzuri, yeye aliuelezea namna hii, “Na kwa imanikatika Jina Lake (Yesu), Jina Lake (Yesu) limemtia nguvu mtuhuyu (aliyekuwa kiwete) mnayemwona na kumjua; naam imaniile iliyo (inayotoka) Kwake Yeye (Yesu) imempatia huyu (yulemtu) uzima huu mkamilifu mbele yenu ninyi nyote.” Unaona,hilo hapo. Jina la Yesu, na Imani ya Yesu ilisababisha huomuujiza. Petro hakudai ilikuwa ni imani yake ya kibinadamuzaidi ya kudai ya kwamba ilikuwa ni jina lake mwenyewe.Alisema ya kwamba Jina la Yesu likitumiwa katika imaniinayotoka kwa Yesu ndiyo iliyotenda kazi hiyo kuu. Imani hiindiyo Bwana aliyokuwa akinena habari zake katika Ufu. 2:13.Ilikuwa ni imani YAKE. Haikuwa imani KATIKA Yeye. Lakiniilikuwa ni imani YAKE MWENYEWE ambayo alikuwaamewapa waamini. Rum. 12:3 “Kama Mungu alivyomgawiakila mtu (kulingana na aya ya kwanza watu hapa ni NDUGU)kiasi cha imani.” Efe. 2:8, “Kwa maana mmeokolewa kwaneema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo (Imani) haikutokanana nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu.” Na pia inasema katikaYakobo 2:1, “Ndugu zangu (angalia yeye, pia, anazungumza naNDUGU), imani YA (si katika) Bwana wetu Yesu Kristo,Bwana wa utukufu, msiwe nayo kwa kupendelea watu.”

Katika Wakati huu wa Pergamo ambapo watu walikuwawakiufanya wokovu kuwa ni wa kibinadamu, baada yakugeuka kutoka kwenye kweli kwamba “Wokovu ni waBwana,”_baada ya kutupilia mbali fundisho la kuteuliwa nakufungua wazi mlango wa kanisa na ushirika wao kwa ye yotena wote ambao wangekubaliana na mafundisho yao (bilakulijali Neno), katika wakati huu wa kuja upesi kwa ufisadi,kungali kulikuweko na wale wachache waliokuwa na kiasi chaile imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, na hawakutumia tuimani hiyo katika matendo ya nguvu lakini walishindana nahao waliothubutu kusema ya kwamba wameokoka ati kwasababu tu walijiunga na kanisa. Walijua ya kwamba hakunamtu ambaye kweli angaliamini apate uzima wa milele na hakiya Mungu mbali na kiasi cha imani ya Bwana Yesu,Mwenyewe. Kwa kuwa kanisa la leo limejaa waamini wakiakili wanaokubaliana na kuzaliwa kibikira, ile damuiliyomwagwa, kuhudhuria kanisa na kushiriki meza ya Bwana,na hawajazaliwa mara ya pili hata kidogo, hata hivyo katikawakati ule wa tatu shida ilikuwa ni ile ile. Imani ya

Page 181: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 171

kibinadamu haikutosha wakati huo wala haitoshi sasa.Inahitaji imani yenyewe ya Mwana wa Mungu kushuka katikamoyo wa mwanadamu ili kwamba aweze kumpokea Bwana wautukufu katika hekalu lisilofanywa kwa mikono.

Hii ilikuwa ni imani iliyo hai. “Ninaishi kwa imani yaMwana wa Mungu.” Paulo hakusema aliishi kwa imaniKATIKA Mwana wa Mungu. Imani ya Mwana wa Mungundiyo iliyokuwa imempa uzima na kumdumisha kuishi katikaushindi wa Kikristo.

La, wao hawakuwa wamekana ya kwamba wokovuulikuwa wa rohoni tangu mwanzo hata mwisho. Waliichocheakweli ya Jina Lake na Imani Yake nao wakabarikiwa naBwana na kuhesabiwa kwamba wanamstahili Yeye.

ANTIPA SHAHIDI WANGU MWAMINIFU

Hakuna kumbukumbu nyingine katika Neno au katikahistoria yo yote ya kilimwengu kumhusu ndugu huyu. Lakinihakika hakuna haja. Imetosha hata na zaidi ya wambaalijulikana tangu zamani na kujulikana na Bwana. Imetoshahata na zaodo kuona uaminifu wake kwa Bwana umeandikwakatika Neno lililo hai. Yeye alikuwa ni Mkristo. Alikuwa naJina la Yesu. Alikuwa na imani ya Bwana wetu Yesu Kristo naalikuwa miongoni mwa wale walioishi kwayo. Alikuwaameitikia maneno ya Yakobo, “Imani ya Bwana wetu YesuKristo msiwe nayo kwa kupendelea watu.” Akiwa amejaaRoho Mtakatifu na imani kama alivyokuwa Stefano,hakumpendelea mtu ye yote, hakumwogopa mtu; na hapo kifokilipotangazwa juu ya wote ambao wangelichukua hilo Jina nakutembea katika imani ya Yesu Kristo yeye alichukuamsimamo wake pamoja na wale ambao hawangegeuka nyuma.Naam, alikufa, lakini kama vile Habili, alipata ushuhudakutoka kwa Mungu (jina lake limeandikwa katika Neno), naingawa amekufa, sauti yake ingali inanena katika kurasa zaMungu za Kumbukumbu ya Mungu. Shahidi mwinginemwaminifu aliyepelekwa kwenye raha yake. Lakini Shetanihakushinda wakati huo, kama vile ambavyo hakushindawakati alipomwua Mfalme wa Amani, kwa maana kama vileShetani alivyonyang’anywa mamlaka msalabani, vivyo hivyosasa damu ya Antipa itawalilia mamia zaidi watakaochukuamisalaba yao na kumfuata Yeye.

PENYE KITI CHA ENZI CHA SHETANI

Sababu ya hii kuwa ni sehemu ya sifa za Roho ni kwambahawa askari hodari wa msalaba walikuwa wanamshindaShetani papo hapo katikati ya chumba chake mwenyewe chakiti cha enzi. Walikuwa wanashinda vita kwa Jina na Imani ya

Page 182: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

172 NYAKATI SABA ZA KANISA

Yesu katikati ya kambi ya viongozi wa giza. Ni sifa nzurinamna gani. Kama vile wale watu mashujaa wa Daudi ambaowalivamia kambi ya adui kumletea Daudi maji yanayozimakiu, vivyo hivyo mashujaa hawa wa imani walivamia milki yangome ya duniani ya Shetani, na kwa kuhubiri na kuonyawakawaletea maji ya wokovu wale walioishi chini ya kivulicha mauti.

Sasa kadiri maneno haya kuhusu kiti cha enzi na milki yaShetani ni sehemu ya sifa za Mungu kwa wateule Wake, kwakweli yaliweka jukwaa la mashambulizi juu ya uovu ambaoulitawala kanisani.

PERGAMO: Kiti cha enzi cha Shetani na Makao Yake.Kwa watu wengi, matamshi haya yamekuwa yanaonyeshapicha tu wala si ya kihistoria kweli. Lakini hakika ni halisi nahistoria inashuhudia jambo hilo. Pergamo kweli ulikuwa nikiti cha enzi na makao ya Shetani. Jambo hilo lilitukia hivi:

Pergamo hapo mwanzo haukuwa mahali ambapo Shetani(kuhusu mambo ya kibinadamu) alikaa. Babeli ndio daimaumekuwa makao yake makuu halisi na kwa mfano wa makaoyake makuu. Ibada za Kishetani zilianzia katika jiji la Babeli.Mwa. 10:8-10, “Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtuhodari katika nchi. Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbeleza Bwana. Mwanzo wa ufalme wake ulikuwa Babeli naEreku, na Akadi, na Kalne, katika nchi ya Shinari.” Mwa.11:1-9, “Nchi yote ilikuwa na lugha moja na usemi mmoja.Ikawa watu waliposafiri pande za mashariki kwambawaliona nchi tambarare katika nchi ya Shinari; na wakakaahuko. Wakaambiana, Haya, na tufanye matofalitukayochomea moto. Walikuwa na matofali badala ya mawe,na lami badala ya chokaa. Wakasema, Haya, na tujijengeemji, na mnara, na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyiejina; ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote. Bwanaakashuka ili auone mji na mnara waliokuwa wakiujengawanadamu. Ndipo Bwana akasema, Tazama, watu hawa nitaifa moja, na lugha yao ni moja; na haya ndiyo wanayoanzakuyafanya, wala sasa hawatazuiliwa neno wanalokusudiakulifanya. Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao iliwasisikilizane maneno wao kwa wao. Basi Bwanaakawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi yote;wakaacha kuujenga ule mji. Kwa sababu hiyo jina lakelikaitwa Babeli; maana hapo ndipo Bwana alipoichafua lughaya dunia yote; na kutoka huko Bwana akawatawanya waendeusoni pa nchi yote.”

Bebeli ndilo jina la asili la Babeli. Linamaanishamchafuko. Ulianzishwa hasa na Kushi, mwana wa Hamu,lakini ulifanywa ufalme wenye nguvu na fahari chini yamwanawe, Nimrodi, yule mwindaji hodari. Nimrodi, kulinganana maelezo ya sura ya kumi na moja ya Mwanzo na pia

Page 183: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 173

kulingana na historia ya kilimwengu, aliazimia kutimizamambo matatu. Alitaka kujenga taifa lenye nguvu, naakalijenga. Alitaka kueneza dini yake mwenyewe, naakaieneza. Alitaka kujifanyia jina, nalo pia akafualu. Kufaulukwake kulikuwa kukuu sana hivi kwamba ufalme wa Babeliuliitwa kichwa cha dhahabu kati ya serikali zote zaulimwengu. Kwamba dini yake ilipata umaarufuinathibitishwa kwa ukweli kwamba Maandikoyanaitambulisha kabisa na Shetani katika Isa. Sura ya 14 naUfu. Sura ya 17-18. Na kwa historia tunaweza kuthibitisha yakwamba iliuvamia ulimwengu mzima na ndiyo msingi wa kilautaratibu wa dini ya ibada za sanamu, na kiini cha hadithi zamiungu, ingawa majina ya miungu yanatofautiana katikasehemu mbali mbali za nchi kulingana na lugha ya watu.Kwamba alijifanyia jina kwa ajili yake mwenyewe na kwawafuasi wake ni wazi, kwa kuwa mradi wakati huu wa sasaunaendelea (hadi Yesu atakapojifunua kwa ndugu Zake) yeyeataabudiwa na kuheshimiwa, ingawa itakuwa chini ya jinajingine mbali na Nimrodi, na katika hekalu ambalo ni tofautikidogo na lile aliloabudiwa hapo awali.

Kwa kuwa Biblia haishughuliki na historia za mataifamengine kirefu, itakuwa ni muhimu kuchunguzakumbukumbu za kale za kilimwengu kupata jibu letu la jinsiPergamo ulivyofanyika kiti cha enzi cha dini ya Kishetani yaBabeli. Chimbukko kubwa la taarifa hiyo itakuwa katikakumbukumbu za utamaduni wa Kimisri na wa Kiyunani.Sababu yake ni hii kwamba Misri ilipata sayansi yake nahisabati zake kutoka kwa Wakaldayo nayo Uyunani ulizipatakutoka Misri. Sasa kwa kuwa makuhani ndio waliokuwa najukumu la kufundisha sayansi hizi, na kwa kuwa sayansi hizizilitumiwa kama sehemu ya dini, tayari tunajua ufunguo wavile dini ya Babeli ilivyoimarika katika nchi hizi mbili. Nikweli pia kwamba kila wakati taifa moja lilipowezakulishinda taifa jingine, baada ya kitambo kidogo dini yalililoshinda ilikuja kuwa dini ya lililoshindwa. Inajulikanavizuri sana ya kwamba Wayunani walikuwa na alama zile zileza Zodiaka kama za Wababeli; na imegunduliwa katikakumbukumbu za kale za Wamisri kwamba Wamisri waliwapaWayunani elimu yao ya miungu mingi. Hivyo siri za Babelizilisambaa kutoka taifa moja hadi jingine mpaka zikatokeahuko Rumi, Uchina, India na hata katika Marekani zote mbiliya Kaskazini na ya Kusini tunaona jambo lile lile la msingi wakuabudu.

Historia za kale zinakubaliana na Biblia ya kwamba dinihii ya Babeli hakika kabisa haikuwa dini ya awali ya watu wakwanza duniani. Ilikuwa ni ya kwanza kuiacha imani ya asili;lakini yenyewe haikuwa ya asili. Wanahistoria kamaWilkinson na Mallet wamethibitisha kabisa kabisa kutoka

Page 184: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

174 NYAKATI SABA ZA KANISA

kwenye maandishi ya kale ya kwamba wakati mmoja watuwote wa duniani walimwamini MUNGU MMOJA, mwenyezi,wa milele, asiyeonekana, Ambaye kwa Neno la kinywa Chakealinena vitu vyote vikawepo, na kwamba katika tabia Yakealikuwa mwenye upendo na mwema na mwenye haki. Lakinikwa kuwa Shetani daima atapotosha cho chote awezacho,tunamwona akipotosha nia na mioyo ya watu ili kwambawaikatae ile kweli. Kwa vile daima amejitahidi apatekuabudiwa kama kwamba yeye alikuwa ndiye Mungu wala simtumishi na kiumbe cha Mungu, aliondoa ibada kutoka kwaMungu kwa kusudi kwamba aweze kuileta kwake mwenyewena kwa hiyo atukuzwe. Kwa kweli hakika alitimiza shaukuyake ya kusambaza dini yake kote ulimwengu mzima. Jambohili linathibitishwa na Mungu katika Kitabu cha Warumi,“Wakati walipomjua Mungu, hawakumtukuza kama ndiyeMungu, mpaka wakapotea katika uzushi wao, na kwa mioyoyenye giza wakakubali dini iliyopotoka mpaka waliabuduviumbe wala si Muumba.” Kumbukeni, Shetani alikuwakiumbe cha Mungu (Mwana wa Asubuhi). Hivyo tunaona yakwamba pale ambapo wakati mmoja ukweli ulisambazwa katiya wanadamu, na wote wakaishikilia hiyo kweli moja,kulikuja siku baadaye wakati kundi kubwa lilipomwachaMungu na likaeneza utaratibu wa ibada za kishetani kilamahali ulimwenguni. Historia inashuhudia ya kwamba walewa kabila la Shemu waliosimama na kweli isiyobadilikawalikuwa wanawapinga vikali hao wa Hamu walioiacha kweliwakafuata uongo wa ibilisi. Hakuna wakati wa kujiingizakatika mjadala wa jambo hili; limeingizwa tu upate kuonakulikuweko na dini mbili na mbili peke yake, na ile ya yulemwovu ikaenea kote ulimwenguni.

Imani ya Mungu mmoja iligeuka ikawa imani ya miungumingi huko Babeli. Uongo wa ibilisi na mafundisho ya siri zaibilisi ziliinuka dhidi ya kweli ya Mungu na siri za Mungukatika mji huo. Shetani kweli akawa mungu wa dunia hii naakawashurutisha kumwabudu wale aliokuwaamewadanganya, akiwafanya waamini ya kwamba yeyealikuwa ndiye Bwana kweli.

Dini ya miungu mingi ya yule adui ikaanza na fundisho lautatu. Ilikuwa ni huko nyuma kabisa katika zamani za kalesana ambako wazo la “Mungu mmoja katika nafsi tatu”lilizaliwa. Ni ajabu vipi ya kwamba wanatheolojia wetu wakisasa hawakuona jambo hili; lakini kwa dhahiri kama vilebaba zao walivyodanganywa na Shetani, wao wangaliwanaamini katika nafsi tatu katika Uungu. Hebu natuonyeshwe mahali pamoja tu katika Maandiko ambapo panaushuhuda wo wote kwa fundisho hilo. Je! si ni jambo la ajabukwamba wakati uzao wa Hamu ulipoenda zake katika ibada zaKishetani ambazo zilikuwa na wazo la kimisingi la miungu

Page 185: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 175

mitatu kwamba hakuna dalili hata moja ya uzao wa Shemuwanaoamini jambo kama hilo ama walio na desturi za ibadazinazohusika na hata mfano wake? Sio ajabu kwambaWaebrania waliamini, “Sikia, Enyi Israeli, Bwana Munguwenu ni Mungu MMOJA”, kama kungalikuweko na nafsi tatukatika Uungu? Ibrahimu, wa mzao wa Shemu, katika Mwa. 18,aliona Mungu MMOJA tu na malaika wawili.

Sasa utatu huu ulionyeshwaje? Ulionyeshwa katika umbola pembetatu zilizo sawa kama vile tu unavyoonyeshwa hukoRumi leo. Ajabu, Waebrania hawakuwa na wazo kama hilo.Sasa ni nani aliye sahihi? Ni Waebrania ama Wababeli? HukoAsia wazo la imani ya miungu mingi la miungu watatu katikammoja lilitokea katika sanamu iliyokuwa na vichwa vitatukatika mwili mmoja. Yeye anaonyeshwa kama watu watatu.Huko India, waliamua mioyoni mwao kumwonyesha kamamungu mmoja katika maumbo matatu. Sasa kwa kweli hiyo nitheolojia nzuri ya kisasa. Huko Japani kuna Budha mkuumwenye vichwa vitatu kama yule tuliyekwisha kuelezea.Lakini ya wazi sana kuliko zote ni ile inayoonyesha wazo lautatu wa Mungu katika hali tatu za: 1. Kichwa cha mzeekikionyesha Mungu Baba, 2. Duara ambayo katika zile siriilimaanisha “Mzao” ambao nao unamaanisha Mwana. 3.Mabawa na mkia wa ndege (hua). Hapa ndipo palipokuwapona fundisho la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, nafsi tatukatika Uungu, utatu kweli-kweli. Unaweza kuona jambo lilelile huko Rumi. Sasa hebu niulize mara nyingine tena, je! hivihaishangazi kwamba ibilisi na watu wake wanaomwabudukweli walifunuliwa ukweli mwingi zaidi ya baba wa imani(Ibrahimu) na uzao wake? Je! haistaajabishi ya kwambawaabudu Shetani, walijua mambo mengi zaidi kuhusu Mungukuliko watoto wa Mungu? Sasa hivyo ndivyo wanatheolojia wakisasa wanavyojaribu kutuambia wakati wanapozungumza juuya utatu. Kumbuka tu jambo hili moja tangu sasa nakuendelea: kumbukumbu hizi ni kweli na jambo hili nikweli_Shetani ni mwongo na baba wa uongo, na wakati wowote anapokuja na nuru yo yote bado ingali ni uongo. Yeye nimwuaji. Na fundisho lake la utatu limeangamiza umati wawatu na litaangamiza mpaka Yesu atakapokuja.

Kulingana na historia haikuchukua muda mrefu kwabadiliko kufanywa katika wazo hili la Baba na Mwana naRoho Mtakatifu. Shetani aliwachukua hatua kwa hatua kutokakwenye ile kweli. Wazo la Uungu lililojitokeza sasa lilikuwa: 1.Baba wa milele, 2. Roho wa Mungu aliyefanyika mwili katikamama wa KIBINADAMU. (Je! hilo linawafanya mfikiri?) 3.Mwana fulani wa Kiungu, tunda la huko kufanyika mwili,(Mzao wa mwanamke).

Lakini ibilisi hajatosheka. Bado hajafaulu kuabudiwa, ilakwa njia isiyo ya moja kwa moja. Kwa hiyo wanachukua watu

Page 186: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

176 NYAKATI SABA ZA KANISA

mbali zaidi kutoka kwenye kweli. Kupitia mafundisho yake yasiri yeye anawafunulia watu ya kwamba kwa kuwa yule babaMungu mkuu asiyeonekana hajishughulishi na mambo yakibinadamu, lakini yeye anaendelea kuwanyamazia, basi kwasababu hiyo anaweza kuabudiwa katika ukimya. Kwa kwelihiyo inamaanisha kutomjali sana iwezekanavyo, ama kabisa.Fundisho hili lilienea duniani pia, na hata leo huko Indiaunaweza kuona ya kwamba mahekalu ya yule muumbajimkuu, mungu mkimya, inashangaza idadi yake ni ndogo.

Kwa kuwa halikuwa jambo la lazima kumwabudu yulemuumba-baba, basi lilikuwa tu ni jambo rahisi kwamba ibadazilibadilishwa zikawa ni “Mama na Mwana” kama vitu vyakusujudiwa. Huko Misri kulikuwako na muungano huo huo wamama na mwana walioitwa Isiri na Osiri. Huko India ilikuwani Isi na Iswara. (Angalia jinsi hata majina yanavyofanana.)Huko Asia ilikuwa ni Sibele na Diusi. Huko Rumi na Uyunaniikawa ni vile vile tu. Na Uchina. Vema, wazia mshangao wabaadhi ya wamishenari wa Katoliki ya Kirumi walipokuwawanaingia Uchina wakakuta huko Madona na Mwana akiwana miali ya nuru inayotoka kutoka kwenye kichwa cha huyomtoto mchanga. Sanamu hiyo ingeweza vizuri kubadilishwakwa urahisi na ile iliyoko Vatikani ila kwa tofauti iliyopokatika sura ya uso.

Inatubidi sasa kugundua asili ya mama na mwana. Yulemungu-mama asili wa Babeli alikuwa ni Semirami ambayealiitwa Rea katika nchi za mashariki. Alimshika mwanamikononi mwake, ambaye ingawa alikuwa ni mtoto mchanga,alisemekana kwamba ni mrefu, mwenye nguvu, mwenye suranzuri na hasa sana anayewavutia wanawake. Katika Eze. 8:14yeye aliitwa Tamuzi. Kati ya waandishi wa vitabu bora sanayeye aliitwa Bakusi. Kwa Wababeli alikuwa Ninasi. Sababu yayeye kuwakilishwa kama mtoto mchanga aliyeshikwamikononi na hata hivyo anatajwa kama mtu mkuu na mwenyenguvu mno ni kwamba yeye anajulikana kama “Mume-Mwana”. Moja ya jina lake la cheo lilikuwa ni “Mume waMama”, na huko India ambako hao wawili wanajulikana kamayule Iswara na Isi, yeye (mume) anawakilishwa kama yulemtoto mchanga kwenye titi la mke wake mwenyewe.

Kwamba huyu Ninasi ndiye yule Nimrodi wa Bibliatunaweza kuthibitisha kwa kulinganisha historia na taarifa yaKitabu cha Mwanzo. Pompei alisema, “Ninasi, mfalme waAshuri, alibadilisha njia za maisha ya kawaida ya kale kwatamaa ya kuteka nchi. NDIYE ALIYEKUWA WA KWANZAKUFANYA VITA DHIDI YA MAJIRANI ZAKE. Alishindamataifa yote kutoka Ashuri mpaka Libia kwa maana watuhawa hawakuwa na ujuzi wa vita.” Diodoru anasema, “Ninasialikuwa ndiye wa zamani sana wa wafalme wa Waashurialiyetajwa katika historia. Akiwa mwenye tabia ya kupenda

Page 187: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 177

vita sana aliwafunza kwa ukakamavu sana vijana wengimbinu za vita. Aliiteka Babilonia wakati hakukuweko na mjiwo wote wa Babeli.” Kwa hiyo tunaona jambo hili ya kwambahuyu Ninasi alianza kuwa mkuu huko Babeli, akaujengaBabeli na kuiteka Ashuri, akawa mfalme wake, kishaakaendelea kuangamiza majimbo mengine makubwa ambakowatu hawakuwa na ujuzi wa vita na waliishi maisha yakawaida kama alivyosema Pompei. Sasa katika Mwanzo 10,ikinena juu ya ufalme wa Nimrodi inasema, “Mwanzo waufalme wake ulikuwa Babeli na Ereku, na Akadi, na Kalne,katika nchi ya Shinari. Kutoka katika nchi hiyo akatokaAshuri na akajenga Ninawi, na Kala nk.” Lakini wafasiriwalifanya kosa kwa kutafsiri Ashuri kama jina kwa kuwa nikitendo, na katika Kikaldayo linamaanisha ‘kutia nguvu.’Hivyo basi ilikuwa ni Nimrodi, ambaye baada ya kutiwanguvu (alianzisha ufalme wake kwa kuanzisha jeshi la kwanzaduniani ambalo alilifundisha kwa kulifanyiza mazoezi na kwamazoezi magumu ya kuwinda) alienda mbele ya Shinari najeshi lake hodari na kuyashinda mataifa na kujenga miji kamaNinawi, ambao uliitwa kwa jina lake, kwa maana hata leosehemu muhimu ya mabaki ya mji huo inaitwa Nimroudi!

Kwa kuwa tumegundua Ninasi alikuwa ni nani, ni muhimusasa kugundua baba yake alikuwa ni nani. Kulingana nahistoria alikuwa ni Beli, aliyeuanzisha Babeli. (Sasa inapaswakufahamika hapa ya kwamba Beli aliuanzisha kwa maana yakwamba yeye ndiye aliyeanzisha harakati hizi zote, lakiniilikuwa ni mwanawe, Ninasi, aliyeusimamisha na ndiyealiyekuwa mfalme wa kwanza nk.) Lakini kulingana naMaandiko, baba wa Nimrodi alikuwa ni Kushi: “Na Kushiakamzaa Nimrodi.” Si tu hii ni kweli bali tunaona ya kwambaHamu alimzaa Kushi. Sasa, katika utamaduni wa Kimisri Belialiitwa Herme, na Herme maana yake ni, “MWANA WAHAMU.” Kulingana na historia Herme alikuwa nabii mkuu waibada za sanamu. Yeye alikuwa mfasiri wa miungu. Jinajingine aliloitwa kwalo lilikuwa ni Merkuri. (Soma Matendo14:11-12)

Higinu anasema hivi kuhusu mungu huyo aliyejulikanakwa majina kadha kama vile Beli, Herme, Merkuri nk, “Kwamiaka mingi watu waliishi chini ya serikali ya Jove (si yuleJove wa Kirumi, lakini Yehova wa Waebrania ambayeametangulia historia ya Kirumi) bila miji na bila sheria, nawote wakinena lugha moja. Lakini baadaye Merkuri (Beli,Kushi) alifasiri lugha za wanadamu (ambapo kutokana nachanzo hicho mfasiri anaitwa Hermeneute) mtu yuyo huyoaliyatawanya mataifa. Ndipo mizozo ikaanza.” Inaonekanakutokana na jambo hili ya kwamba Beli ama Kushi, baba waNimrodi, hapo awali alikuwa ndiye kiongozi aliyewaongozawatu kutoka kwa Mungu wa kweli na kuwatia moyo watu

Page 188: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

178 NYAKATI SABA ZA KANISA

kama “mfasiri wa miungu” wachukue dini ya namna nyingine.Aliwatia moyo waendelee na ule mnara ambao mwanawekusema kweli ndiye aliyeujenga. Ushawishi huu ndio ulioletaule mchafuko na mgawanyiko wa wanadamu, hivi kwambayeye alikuwa yote mawili “mfasiri na mchafuaji.”

Kushi, basi, alikuwa baba wa ule utaratibu wa imani yamiungu mingi na wakati watu walipofanywa miungu nawatu, yeye bila shaka, akawa baba wa miungu. Sasa Kushialiitwa Beli. Na Beli katika hadithi za miungu ya Kirumialikuwa ni Janu. Yeye huchorwa akiwa na nyuso mbili naalibeba rungu ambayo kwayo aliwafadhaisha na“kuwatawanya” watu. Ovidi anaandika ya kwamba Janualisema kuhusu habari zake mwenyewe “watu wa kalewaliniita mimi Machafuko”. Kwa hiyo tunaona ya kwambaKushi wa Biblia, yule mwasi wa kwanza dhidi ya imani yaMungu mmoja aliitwa Beli, Belu, Herme, Janu, nk. miongonimwa watu wa kale. Alikusudia kuleta mafunuo na fasirikutoka kwa miungu kwenda kwa watu. Kwa kufanya jambohilo alisababisha ghadhabu ya Mungu kuwatawanya watu,akileta utengano na machafuko.

Sasa umbali huu tumeona ni wapi imani ya miungu mingiama kuabudu miungu mingi kulikotoka. Lakini una habari yakwamba pia tulipata kutajwa kwa mtu aliyeitwa Kushiambaye alipewa cheo cha “baba wa miungu”? Umeona hapakiini cha hoja ya kale ya hadithi za kale za miungu, yakwamba miungu wanajitambulisha na wanadamu? Hapo ndipoibada za mizimu zinapochimbuka. Kwa hiyo pengine hebukidogo tuchunguze historia tupate kujua habari za ibada zamizimu. Vema, ilielezewa ya kwamba Kushi aliingiza ibada yamiungu watatu ya baba, mwana na roho. Miungu watatuambao wote walikuwa sawa. Lakini alijua juu ya mzao wamwanamke unaokuja, kwa hiyo hapana budi patokeemwanamke na uzao wake uingie kwenye picha. Hilililitimizwa wakati Nimrodi alipokufa. Mkewe, Semiramialimfanya mungu, na hivyo basi akajifanya mwenyewe mamawa huyo mwana na pia mama wa miungu. (Kama vile vile tukanisa la Kirumi lilivyomfanya Mariamu kuwa mungu.Wanadai yeye hakuwa na dhambi na alikuwa Mama waMungu.) Yeye (Semirami) alimwita Nimrodi “Zeroashta”ambalo linamaanisha, “uzao wa mwanamke ulioahidiwa.”

Bali haikuchukua muda mrefu sana hata mwanamke huyoalipoanza kuwavutia watu kuliko mwana, na haikuchukuamuda akawa ndiye aliyeonyeshwa akimkanyaga yule nyokachini ya mguu wake. Walimwita “malkia wa mbinguni” nawakamfanya wa kiungu. Jinsi ilivyo sawa na siku hizi ambapoMariamu, mama wa Yesu, ameinuliwa kufikia kutopatikana namauti na sasa hivi kuanzia mwezi wa Septemba 1964halmashauri ya Vatikani inajaribu kumpa Mariamu sifa zisizo

Page 189: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 179

zake, kwa kuwa wao wangetaka kumwita, “MariamuMpatanishi,” “Mariamu Mama wa Waamini Wote,” ama“Mama wa Kanisa.” Kama kulipata kuweko na ibada zamizimu za Kibabeli katika dini, ni dini ya Kanisa la Rumi.

Si kwamba ibada ya mizimu pekee ilianzia Babeli lakinipia vivyo hivyo ibada za maumbile. Ilikuwa ni hapo Babelimiungu ilipotambulishwa na jua na mwezi, nk. Kitu muhimusana katika maumbile kilikuwa ni jua ambalo lina asili yakutoa nuru na joto na linaonekana kwa mwanadamu kamampira wa moto mbinguni. Hivyo basi mungu mkuu angekuwani mungu jua ambaye walimwita Baali. Mara nyingi jualilionyeshwa kama duara la mwali wa moto na mara kidogokuuzunguka mwali huo pakatokea nyoka. Haikuchukua mudamrefu hata huyo nyoka akawa ndiye alama ya jua namwishowe akaabudiwa. Kwa hiyo shauku ya moyo wa Shetaniikatimizwa kikamilifu. Aliabudiwa kama Mungu. Kiti chakecha enzi kikaimarishwa. Watumwa wake wakamsujudia. HukoPergamo aliabudiwa katika mfano wa nyoka aliye hai. Ule Mtiwa Kujua Mema na Mabaya, sasa ukionyeshwa katika umbo lanyoka aliye hai haukuwa tu umemdanganya Hawa baliwanadamu wengi.

Lakini Pergamo ulifanyikaje kiti cha enzi cha Shetaniiwapo Babeli ndio uliokuwa kiti cha enzi? Jibu tena liko katikahistoria. Wakati Babeli ilipotekwa na Wamedi na Waajemi,yule kuhani-mfalme, Atalasi aliukimbia huo mji akaenda hukoPergamo pamoja na makuhani wake na mafundisho yake yasiri za miungu. Akaanzisha ufalme wake huko nje ya himayaya Kirumi, ndipo akafanikiwa chini ya ulinzi wa ibilisi.

Huu umekuwa muhtasari mfupi sana wa historia ya dini yaKibabeli na kuwasili kwake Pergamo. Maswali mengi bilashaka yameachwa bila kujibiwa na mengi zaidi, hapana shaka,yangeweza kusemwa kutuangazia, lakini hili halikusudiwikuwa somo la historia, zaidi sana linakusudiwa kuwa msaadawa kulisoma Neno.

LAWAMA

Ufu. 2:14-15 “Lakini ninayo maneno machache juu yako,kwa kuwa unao huko watu washikao mafundisho ya Balaamu,yeye aliyemfundisha Balaki atie ukwazo mbele ya wana waIsraeli, kwamba wavile vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu,na kuzini. Vivyo hivyo wewe nawe unao watu wayashikaomafundisho ya Wanikolai vile vile, ambayo nayachukia.”

Katika Wakati huu wa Pergamo Bwana analaumumafundisho mawili ambayo Yeye anayachukia: 1. Fundisho laBalaamu ambalo liliingiza ibada za sanamu na anasa zadhambi zilizopita kiasi kwa Israeli huko Baal-Peori, na 2.

Page 190: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

180 NYAKATI SABA ZA KANISA

Fundisho la Wanikolai, ambalo lilikuwa ni matendo tu katikaWakati wa Efeso. Unganisha mashtaka haya na jambo lakwamba amekuwa akitilia mkazo Pergamo kama kiti cha enzicha Shetani, na ni rahisi sana na ni vema kumalizia yakwamba kwa namna fulani dini ya Babeli imechanganyikanana Ukristo.

Sasa jambo hili si la kukisia tu bali ni kweli ya kihistoriaambayo tutaithibitisha kwa kurudi katika historia kwenyekama 36 B.K. na kufikia kwenye Baraza la Nikea la 325.Wakati Wakristo (hasa Wayahudi kwa kuzaliwa)walipotawanyika kila mahali kutoka Yerusalemu waliendakila mahali wakihubiri Injili, zaidi sana katika masinagogi.Hivyo basi katika kipindi cha miaka mitatu, ama kama 36 B.K.Injili ilikuwa imepelekwa Rumi na Yunia na Androniko,ambao kulingana na Warumi 16:7 walikuwa ni mitume. Kaziilistawi kule kwa miaka kadha wa kadha mpaka ugomvi wasikuzote miongoni mwa Wayahudi wenyewe kwa wenyeweulisababisha Mfalme Klaudio kuwafukuza kutoka Rumi.Wayahudi wakiwa wamefukuzwa kutoka kwenye mji huo utiwa mgongo wa kanisa hilo dogo kwa kweli ulivunjwa kabisa.Labda hata na wazee walikuwa ni Wayahudi na kwa hiyowangekuwa wameondoka. Lile kundi litakuwa halihudumiwina kwa kuwa Neno halikuwa limeandikwa kama mwongozoingekuwa ni rahisi sana kwa kundi hili dogo kupeperushwaama kusongwa na wanafalsafa na wapagani wa siku hizo.Huku mbwa mwitu wakali wakizungukazunguka, na roho yampinga-Kristo ikiwa imeachiliwa, twaona kutoka kwenyehistoria ya kwamba kanisa hili dogo hapo Rumi lilirudi nyumavibaya kabisa, na likaanza kuingiza ibada za kipagani chini yamajina ya Kikristo.

Kwa vile kipindi cha kule kufukuzwa kilidumu miaka 13,wale waanzilishi, Yunia na Androniko hawakurudi mpaka 54B.K. Hebu wazia hofu yao kuu walipokuta kanisa likiwa najina la Kikristo na huku ni pagani vya kutisha. Kulikuweko namadhabahu kanisani ambapo waliweka ubani na kuadhimishaibada za kipagani. Wale viongozi wa kanisa hilowaliojing’ang’aniza hawangeweza kuambiwa kitu, kwa hiyopamoja na wale wachache waliokuwa wamejaribu kudumuwaaminifu wakaanzisha kanisa jipya, ama Kanisa la Pili laRumi. Mungu alitenda kazi kwa neema kati yao kwa ishara namaajabu hivi kwamba kanisa la tatu lilianzishwa. Na ingawalile Kanisa la Kwanza lilikemewa kwa kuwa la kipagani walaSI la Kikristo katika ibada zake halikuacha jina lake lakinililibaki na LINGALI LIMEBAKI Kanisa la Kwanza la Rumi_Kanisa Katoliki la Kirumi.

Sasa wengi wetu sisi tuna wazo baya kwamba ye yote nawote wanaojiita Wakristo wangekuwa ndio lengo la ibilisi nakwa hiyo wao ndio wanaostahimili udhalimu wa ukatili wa

Page 191: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 181

serikali. Lakini sivyo. Kanisa hili la kwanza lilikuwalimeanza kusitawi na kuongezeka sana katika idadi yao hatawafalme na maafisa mbalimbali wa serikali kweliwalilipendelea kanisa hilo kwa sababu za kisiasa. Hivyo basiwakati viongozi wa Kanisa la Kwanza huko Rumiwalipojikuta wanapendelewa, walichukua nafasi hiyokuipambanisha serikali na waamini wa kweli na kudaiwateswe la sivyo warudi kwenye kundi lao. Askofu mmojakama hao wa Kanisa la Kwanza la Rumi alikuwa ni Anisetaambaye aliishi katika karne ya pili na alikuwa hirimu waPolikapu. Wakati yule mtakatifu Polikapu aliposikia yakwamba Kanisa la Kwanza la Kikristo huko Rumi lilikuwalinashiriki katika desturi za kipagani na limepotosha kweli yaInjili, yeye alienda kule kuwasihi sana wabadilike. Aliwaonawakisujudu mbele ya sanamu zilizoitwa kwa majina yamitume na watakatifu. Aliwaona wakiwasha mishumaa nakuchoma ubani juu ya madhabahu. Aliwaona wakiendeshaibada ya Pasaka chini ya jina la Ista, ambapo waliuinuamkate wenye umbo la duara ambao ulimtukuza mungu jua,halafu wakamwaga divai kama sadaka ya kumimina kwamiungu. Lakini mtakatifu huyu mzee aliyekuwa amesafirimaili 1500 hangeweza kuzuia huko kutumbukia kwao. Mungualinena kupitia kwake wakati tu alipokuwa anaondoka,“Efraimu amejiungamanisha na sanamu zake; mwache,” Hos.4:15. Polikapu hakurudi tena.

Aliyemfuata Aniseta alikuwa askofu katili wa Rumi jinalake Vikta. Yeye hata aliingiza sikukuu nyingi zaidi na ibadaza kipagani katika Kanisa la Kwanza, na pia akashikakujaribu awezavyo kuyashawishi makanisa ya kweli yaKikristo kuingiza mawazo yale yale. Hawakufanya kamaalivyowaomba kwa hiyo akawashawishi maafisa wa serikalikuwatesa waamini, wakifurahia kuwapeleka mahakamani,wakiwatupa gerezani na hata kuwaua wengi. Mfano kamahuo wa matendo yake maovu unapatikana katika historiaambapo Mfalme Septima Severa alishawishiwa na Kalistasi(rafiki wa Vikta) kuua 7000 huko Thesalonike kwa sababuwaamini hawa wa kweli waliendesha ibada ya Pasakakulingana na Bwana Yesu wala si kulingana na ibada yaAstarte.

Tayari ule mzabibu wa uongo ulikuwa ukiachilia hasirayake dhidi ya Mungu aliye hai kwa kuwaua wateule, kama vilealivyofanya mtangulizi wake, Kaini, kumwua Habili.

Kanisa la kweli liliendelea kujaribu kulifanya Kanisa laKwanza kutubu. Halingetubu. Liliongezeka katika ukubwa naushawishi. Lilianzisha njama zisizo na mwisho za kuuvunjiasifa uzao wa kweli. Walidai ya kwamba wao na wao pekeendio waliokuwa wawakilishi wa kweli wa Bwana Yesu Kristo,na kujivunia ukweli kwamba wao walikuwa kanisa la kwanza

Page 192: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

182 NYAKATI SABA ZA KANISA

huko Rumi, na wao peke yao ndio Kanisa la Kwanza. Kweliwalikuwa Kanisa la Kwanza, na KWELI NDIO Kanisa laKwanza.

Kwa hiyo mnamo wakati wa wakati huu wa tatu wa kanisatuna makanisa mawili yaliyokuwa na jina lile lile lakinikukiweko na tofauti ya chuki kati yao. Moja limeiacha ilekweli, likajiunga na sanamu na halina uhai ndani yake.Limejichanganya mbegu na dalili za mauti, (si uhai),zinaliandama. Lina nguvu kwa kuwa na wafuasi wengi.Linapendwa na ulimwengu. Hilo jingine ni kundi dogolinaloteswa. Lakini linafuata Neno, na ishara zinafuatananalo. Wagonjwa wanaponywa na wafu wanafufuliwa. Liko haikwa Uzima na Neno la Mungu. Halipendi uzima wake, lakinilinashikilia Jina Lake na imani Yake hata mauti.

Na kwa hiyo yale mateso mabaya sana ya serikali yaKirumi yaliwaangukia waamini wa kweli mpaka Konstantinoalipoinuka na kutoa uhuru wa kuabudu. Inaonekana kunasababu mbili ambazo zilifanya uhuru huu utolewe. Kwanzawafalme wengi wazuri hawakuwa wameruhusu mateso, lakiniwalipoaga dunia, walifuatiliwa na wale waliowaua Wakristo.Yalikuwa hayana sababu hivi kwamba watu hatimayewakaona kwamba Wakristo wanapaswa kuachwa peke yao.Sababu ya pili na inayojulikana sana ni kwamba Konstantinoalikuwa na vita vigumu sana mbele yake katika kuitawala dolayake. Usiku mmoja katika ndoto aliona msalaba mweupeukijitokeza mbele yake. Aliona kwamba hii ilikuwa ni bahatinzuri kwake ya kwamba kama Wakristo wakiomba apateushindi, angeshinda vita. Aliwaahidi uhuru endapoangeshinda. Alishinda na uhuru wa kuabudu ukatolewa katikaazimio la Nante la mwaka wa 312 B.K.

Lakini uhuru huu wa kutokana na mateso na kuuawahaukuwa wa haki kama vile ulivyoonekana kwanza.Konstantino sasa ndiye aliyekuwa mwangalizi. Kamamwangalizi kuhusika kwake kulikuwa kwa namna fulani zaidiya mtazamaji, kwa kuwa aliamua ya kwamba kanisa lilihitajimsaada wake katika shughuli zake. Alikuwa amewaonawakibishania mambo mbalimbali, moja ya hayo lilimhusuAriasi, Askofu wa Alekizanda, aliyewafundisha wafuasi wakeya kwamba Yesu hakuwa kwa kweli ni Mungu lakini alikuwakiumbe cha chini kidogo, akiwa ameumbwa na Mungu. Kanisala Magharibi lilishikilia mawazo tofauti, likiamini ya kwambaYesu alikuwa nafsi halisi ya Mungu na kama walivyosema,‘sawasawa na Baba’. Kukiweko na mambo kama hayo, pamojana kupenyeza kwa ibada za kipagani katika ibada, mfalmealiitisha Baraza la Nikea katika mwaka wa 325 akiwa na wazokwamba angeyaleta makundi yote pamoja mahali ambapowangetatua tofauti zao, na wafikie uelewano wa pamoja, nawote wawe mmoja. Je! si ni la ajabu kwamba ingawa jambo

Page 193: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 183

hili lilianza na Konstantino halikufa lakini lingali hai kabisaleo kama “Baraza la Makanisa Ulimwenguni”? Na mahalialiposhindwa kufanikiwa kweli katika jambo hilo,litafanikiwa katika siku hii kupitia kwenye harakati zaekumenia.

Sasa huku kuingilia kati kwa serikali katika kanisa nijambo la kijinga kwa maana ulimwengu haufahamu aidhakweli inayopatikana katika Neno ama njia za kanisa. Mbona,uamuzi ule hasa uliotolewa na baraza hilo ya kwamba Ariasialikuwa amekosea ulibadilishwa miaka miwili baadaye namfalme na kwa miaka mingi fundisho hilo la uongo liliingizwakwa hila na watu.

Lakini kwamba kanisa na serikali vingeungana kwa kweliilijulikana kabla na Bwana. Jina lenyewe hasa Pergamolinamaanisha “kuolewa kwelikweli”. Na kwa kweli serikali nakanisa vilifunga ndoa; siasa na dini viliungana. Watoto wamuungano huo wamekuwa machotara wabaya sana waliothabiti ambao ulimwengu ulipata kuona. Kweli haimo ndaniyao, lakini njia zote mbovu za Kaini (yule chotara wa kwanza)zimo.

Si kwamba tu serikali na kanisa vilifunga ndoa katikakipindi cha wakati huu, lakini ile dini ya Babeli iliunganishwarasmi na Kanisa la Kwanza. Shetani sasa alikuwa na njia yakulifikia Jina la Kristo na alitawazwa kama Mungu katikaibada. Kwa msaada wa mali za serikali ya dola makanisayalirithi majengo mazuri yaliyojaa madhabahu za marmarnyeupe na vinyago vya watakatifu waliokufa. Na papa hapakatika wakati huu ndipo yule “mnyama wa Ufu. 13:3 aliyepatajeraha la mauti: (Dola ya kipagani ya Kirumi) alipofufuka nakurudi kwenye utawala kama “Dola Takatifu ya Kirumi.”Rumi kama taifa la kidunia ilikuwa imefilisika sana na mudasi muda ingefilisika kabisa; lakini haikuleta tofauti yo yotesasa, kwa kuwa dola yake ya kidini ingeliidumisha kuwakileleni juu ya ulimwengu ikitawala kutoka ndani ambamohaitaonekana ikifanya jambo hilo kwa nje.

Hebu niwaonyeshe kweli halisi ya Maandiko ya jambo hili,kwa kuwa sitaki mtu ye yote afikirie kwamba ninatoa ufunuowangu mwenyewe_ule usiopatikana katika Maandiko. Dan.2:31-45, “Wewe Ee Mfalme, uliona, na tazama, sanamu kubwasana. Sanamu hii, iliyokuwa kubwa sana, na mwangaza wakemwingi sana, ilisimama mbele yako; na umbo lake lilikuwalenye kutisha. Na sanamu hii, kichwa chake kilikuwa ni chadhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbolake na viuno vyake ni vya shaba; miguu yake ni ya chuma; nanyayo za miguu yake nusu ya chuma na nusu ya udongo. Naweukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalojiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na

Page 194: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

184 NYAKATI SABA ZA KANISA

udongo, likaivunja vipande vipande. Ndipo kile chuma, na uleudongo, na ile shaba, na ile fedha, na ile dhahabu, vilivunjwavipande vipande pamoja, vikawa kama makapi ya viwanja vyakupepetea wakati wa hari; upepo ukavipeperusha, hatapasionekane mahali pake; na lile jiwe lililoipiga hiyo sanamulikawa mlima mkubwa, likaijaza dunia yote. Hii ndiyo ilendoto, nasi tutaihubiri tafsiri yake mbele ya mfalme. Wewe, Eemfalme, u mfalme wa wafalme, na Mungu wa mbinguniamekupa ufalme, na uwezo, na nguvu, na utukufu; na kilamahali wakaapo wanadamu, wanyama wa kondeni na ndegewa angani amewatia mkononi mwako, Naye amekumilikishajuu ya hao wote; wewe u kichwa kile cha dhahabu. Na baadaya zamani zako utainuka ufalme mwingine, mdogo kulikowewe; na ufalme mwingine wa tatu wa shaba, utakaoitawaladunia yote. Na ufalme wa nne utakuwa na nguvu mfano wachuma; kwa maana chuma huvunja vitu vyote na kuvishinda;na kama chuma kisetavyo vitu hivi vyote, ndivyoutakavyovunja-vunja na kuseta. Na kama vile ulivyoziona hizonyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wamfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalmeuliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma,kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongowa matope. Na kama vidole vya zile nyayo vilivyokuwa nusuchuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusuyake una nguvu, na nusu yake umevunjika. Na kama vileulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wamatope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu;lakini hawatashikamana kama vile chuma kisivyoshikamanana udongo. Na katika siku za wafalme hao Mungu wambinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwamilele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; baliutavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, naoutasimama milele na milele. Na kama vile ulivyoona ya kuwajiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwalilivunja-vunja kile chuma, na ile shaba, na ule udongo, na ilefedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulishamfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni yahakika, na tafsiri yake ni thabiti.” Hapa yamefunuliwamatokeo halisi ya siku zijazo, historia isiyojazwa iliyotabiriwakuja juu ya nchi tokea wakati wa Danieli mpaka Yesuatakapokuja na kutawala kama Mwana wa Daudi.Unajulikana kama “Majira ya Mataifa.” Ndani yakemlikuwemo na sehemu nne zilizogawanyika za kihistoriazilizojulikana kwa ufalme ule uliotawala katika kila sehemu:Wababeli, Waamedi na Waajemi, wa Kiyunani, wa Kirumi.Ufalme uliokuwa mkuu sana wa zote na wenye amri zoteulikuwa wa Babeli ambao uliwakilishwa na kichwa chadhahabu. Uliofuatia katika utukufu ulikuwa ni wa Wamedi naWaajemi ambao kama vile historia inavyoonyesha kweli

Page 195: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 185

ulikuwa umepungua katika utukufu na uliwakilishwa na kifuana mikono ya fedha. Ndipo ukafuata wakati wa Kiyunaniambao mfalme wake alikuwa kiongozi mkuu sana na hodarisana wa viongozi wote wa kijeshi ambao ulimwengu umepatakujua kwa hiyo uliwakilishwa vizuri kwa tumbo na viuno vyashaba. Ulikuwa umepungukiwa na utukufu kuliko zilenyingine zilizoutangulia. Hatimaye ukaja ule ufalme wamwisho ambao ulikuwa ni Dola ya Kirumi iliyowakilishwa namiguu na nyayo. Lakini ambapo hizo nyingine zilizopitaziliwakilishwa na madini safi (dhahabu safi, fedha na shaba)dola hii ya mwisho ilikuwa tu chuma safi tu kwenye miguuyake, kwa maana ilipofikia kwenye nyayo ilikuwa nimchanganyiko wa chuma na udongo, na madini na udongohavichangamani hata na kufanya kitu thabiti na chenyenguvu. Lakini si kwamba jambo hili tu ni kweli, lakini jambola kushangaza sana, dola hii ya mwisho (ya Kirumi) ingedumukatika hali yake ya ‘kuchanganyikana’ mpaka wakatiatakaporudi Yesu.

Dola hii ya Kirumi ya chuma (chuma kikiwakilisha nguvuna uweza mkuu wa nguvu za maangamizi dhidi ya wapinzani)ilikuwa ifanywe kwa sehemu mbili muhimu. Na kweli ilikuwahivyo kwa kuwa hiyo dola kweli iligawanyika katika sehemumbili_Mashariki na Magharibi. Zote mbili zilikuwa na nguvusana, zikivunja vunja vitu vyote mbele zake.

Lakini kama ilivyo kwamba utukufu na nguvu za dola zotehupungua, vivyo hivyo dola hii ilianza kuanguka pia. Kwahiyo Rumi ilianguka. Himaya ya Rumi ya kipagani haikuwachuma tena. Ilivunjika-vunjika. Ilipigwa jeraha la mauti. Rumisasa haikuweza kutawala. Ilikuwa imekwisha kabisa. Ndivyoulimwengu ulivyodhani. Lakini jinsi ulimwengu ulivyokosea,kwa maana kichwa hicho (Rumi) ingawa kilikuwa kimetiwajeraha lakini halikuwa la mauti. (Fasiri ya Wuest, ya Ufu. 13:3,“Na moja ya kichwa chake kilionekana kama kimetiwa jerahala mauti, baada ya kukatwa koo. Na jeraha lake la mautililipona. Na ulimwengu mzima ukamfuata huyo MnyamaMwitu katika mshangao.”)

Watu huiangalia Rumi. Wanaliangalia taifa la Italia. Naowanapotazama hawatambui ya kwamba Rumi pamoja namipaka yake halisi ambapo papa ana eneo halisi kama milkiyake kweli ni taifa ndani ya taifa, naye ana mabalozi naanapokea mabalozi. RUMI YA PAPA YA UKRISTO WAUONGO (hata unaitwa mji wa milele_jinsi lilivyo lakukufuru) SASA INATAWALA KWA DINI KWA UHODARIHATA NA ZAIDI KULIKO WAKATI DOLA YA KIPAGANIYA RUMI ILIPOTAWALA KWA NGUVU TUPU ZACHUMA. Rumi ilihuishwa upya wakati Konstantinoalipounganisha kanisa na taifa na kuimarisha muungano huokwa kutumia nguvu. Ile roho iliyoendesha Rumi ya kipagani

Page 196: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

186 NYAKATI SABA ZA KANISA

ndiyo roho ile ile inaongoza Rumi ya Kikristo ya uongo.Unaweza kuona jambo hilo ni kweli kwa sababu sasa unajuaya kwamba ule ufalme wa nne haukwisha; ulibadilisha tuumbo lake la nje.

Mara Baraza la Nikea lilipoelekeza nguvu za Rumi yakisiasa kwa kanisa, ilionekana ya kwamba hapakuwepo namipaka kwa Kanisa hili la Kwanza la Kikristo ko kotelingeenda. Hilo jina, Mkristo, ambalo hapo awali lilisababishamateso, sasa likawa ndilo jina la watesi. Wakati huu ndioambapo Ogastino wa Hipo (354-430) alipokuwa ameanzishakanuni kwamba kanisa linapaswa na HALINA BUDI kutumianguvu kama ni lazima kuwarudisha watoto wake kwenyekundi, na ya kwamba ilikuwa inakubaliana na Neno la Mungukuwaua wazushi na wakana dini. Katika mabishano yake naWadonati yeye aliandika^” Kwa kweli ni afadhali kwambawatu waongozwe kumwabudu Mungu kwa mafundisho kulikowasukumiwe jambo hilo kwa hofu ya adhabu ama uchungu wamaumivu, lakini hiyo si kusema ya kwamba kwa sababukufundisha kunaleta watu bora zaidi, hivyo basi hao ambaohawatakubaliana na jambo hilo watupiliwe mbali. Kwa kuwawatu wengi wameona faida (kama tulivyokwisha kuthibitishana tunathibitisha kila siku kwa ujuzi halisi) katikakushurutishwa kwanza kwa hofu ama maumivu, ili kwambabaadaye wapate kushawishiwa kwa mafundisho, ili kwambawapate kufuata katika kitendo yale waliyokwisha kujifunzakatika neno^ingawa hao wanaoongozwa vizuri kwa upendoni bora zaidi, bila shaka ni wengi zaidi hao wanaosahihishwakwa hofu. Kwa maana ni nani anayeweza kutupenda zaidi yaKristo, Ambaye alitoa uhai Wake kwa ajili ya kondoo? Hatahivyo baada ya kuwaita Petro na mitume wengine kwa manenoYake peke yake, wakati alipokuja kumwita Paulo, Yeyehakumshurutisha tu kwa sauti Yake, bali hata alimtupaardhini kwa nguvu Zake; na ili kwamba apate kumleta kwanguvu yule anayejichafua katika giza la kukataa imani, apatekuitamani nuru ya moyo, Yeye kwanza alimpiga kwa upofu wamacho ya kimwili. Kwa nini basi Kanisa lisitumie nguvukatika kuwashurutisha wanawe waliopotea kurudi? BwanaMwenyewe alisema, ‘Toka nje uende barabarani na mipakaniukawashurutishe kuingia ndani.’ Kwa sababu hii kamamamlaka hiyo ambayo Kanisa imepokea kwa agizo la kiungukatika wakati wake, kwa tabia ya kidini na imani ya wafalme,kuwa ndicho chombo ambacho hao wanaopatikana barabaranina mipakani_hiyo ni kusema katika uzushi wa dini nawaliojitenga_watalazimishwa kuingia ndani, basi hebu nawasione vibaya wakishurutishwa.”

Kiu ya damu ilikuwa inaongezeka sana. Ule mzabibu wauongo huko Hispania sasa ulimshawishi Mfalme Makzimakujiunga nao katika kuwapiga vita waamini wa kweli ambao

Page 197: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 187

walikuwa na Neno na ishara na maajabu. Hivyo basi baadhi yaWaprisila waliletwa Treves na Askofu Ithakasi (385). Yeyealiwashtakia uchawi na uzinzi na wengi waliuawa. Martin waTours, na Ambrose wa Milan walipinga jambo hili, nawakawasihi bila kuambulia kitu ili kwamba mateso yaleyakomeshwe. Wakati mateso yale yalipoendelezwa maaskofuhawa wawili walikataa kuwa na ushirika na askofu Haidatusina wengine walio kama yeye. Ajabu ni kwamba Baraza laMaaskofu huko Treves liliidhinisha hayo mauaji.

Tangu wakati huu na kuendelea, hasa sana kupitia katikazile Zama za Giza, tutawaona wana wa kimwili wakiwatesa nakuwaangamiza wana wa Roho, ingawa wote wawili wanadaiwana Baba mmoja kama vile tu ilivyokuwa kwenye kisa chaIshmaeli na Isaka. Lile giza la upotovu wa kiroho litaongezekana nuru ya kweli ya Mungu itafifia mpaka kiidadi itaendeleakumeka kwa udhaifu sana. Hata hivyo ahadi ya Munguitadumu ya kweli, “Nuru huangaza gizani wala giza haliwezikufanya jambo lo lote juu yake.”

Sasa hadi kufikia wakati huu sijaelezea jambo lile katikahistoria ambalo niliahidi kuzungumzia, yaani, kulekuchanganyikana kwa dini ya Nimrodi na dini ya Kikristo.Mtakumbuka ya kwamba Atalasi alikimbia toka Babelikwenda Pergamo na kuanzisha ufalme Wake nje ya mipakaya Dola ya Kirumi. Ufalme wake ulifanikiwa kwa miakamingi, ukilelewa na mungu wa dunia hii. Mfululizo wamakuhani_wafalme uliendelea baada ya Atalasi mpakakwenye utawala wa Atalasi wa III wakati ambapo kwasababu zinazojulikana tu katika mamlaka ya Munguakausalimisha huo ufalme kwa Rumi. Basi Juliasi Kaisariakatwaa falme hizo zote mbili ule wa kimwili na wa kirohopia kwa kuwa yeye aliitwa sasa Kuhani Mkuu Makzima wadini ya Babeli na kwa hiyo alikuwa kuhani-mfalme. Cheohiki kiliendelea kwa wafalme waliomfuata mpaka ukafikiawakati wa Makzima wa III ambaye alikikataa. Kulingana naHistoria ya Steven ikawa basi hapo ndipo papa alipochukuauongozi uliokataliwa na mfalme huyo na mpaka leo kungalikuna kuhani mkuu ulimwenguni, na yeye kwa kweli niKuhani Mkuu Makzima. Yeye huvaa taji yenye sehemu tatuna anaishi Rumi. Na katika Ufu. 17 Mungu hataji tenaPergamo kama kiti cha enzi cha Shetani wala hasemi yakwamba huko ndiko anakoishi Shetani. La, chumba cha kiticha enzi hakiko tena huko Pergamo, bali ni Babeli ya SIRI.Hakiko huko Babeli bali ndani ya Babeli wa SIRI. Kikokwenye mji uliojengwa juu ya milima saba. Kiongozi wake nimpinga-Kristo kwa kuwa amepachukua mahali pa KristoAmbaye Ndiye pekee mpatanishi na Ambaye pekee anawezakusamehe dhambi. Naam, Kuhani Mkuu Makzima yukopamoja nasi leo.

Page 198: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

188 NYAKATI SABA ZA KANISA

FUNDISHO LA WANIKOLAI

Ufunuo 2:15, “Vivyo hivyo wewe nawe unao watuwayashikao mafundisho ya Wanikolai, ambayo ninayachukiavile vile.”

Utakumbuka ya kwamba nilielezea katika Wakati waEfeso kuwa lile neno, Nikolai, linatokana na maneno mawili yaKiyunani: Nikao ambalo linamaanisha kutiisha, na Laoambalo linamaanisha washirika. Nikolai maana yake ni,“kuwatiisha washiriki.” Sasa kwa nini hili ni jambo bayasana? Ni baya kwa sababu Mungu hajaliweka kamwe kanisaLake mikononi mwa viongozi waliopigiwa kurawanaoongozwa na mawazo ya kisiasa. Ameliweka kanisa Lakekatika ulinzi wa watu waliochaguliwa na Mungu, waliojazwaRoho, watu wanaoliishi Neno na kuwaongoza watu kwakuwalisha Neno. Yeye hajawatenganisha watu katikamadaraja hivi kwamba umati uongozwe na ukasisi mtakatifu.Ni kweli ya kwamba uongozi lazima uwe mtakatifu, lakinipamoja na hayo inapasa kusanyiko lote liwe takatifu. Isitoshe,hakuna mahali katika Neno ambapo makasisi ama wahudumuama watu wa namna hiyo hupatanisha kati ya Mungu na watu,wala hakuna mahali ambapo wanatenganishwa katikakumwabudu kwao Bwana. Mungu anataka wote wampende nakumtumikia pamoja. Unikolai huharibu amri hizo na badalayake huwatenganisha wahudumu na watu na kuwafanyaviongozi wawe mabwana-watawala badala ya kuwawatumishi. Sasa fundisho hili kweli lilianza kama tendo katikawakati wa kwanza. Yaonekana kwamba shida ilikuwa katikamaneno mawili; “wazee wa kanisa” (makasisi) na“wachungaji” (maaskofu). Ingawa Maandiko yanaonyeshakwamba kuna wazee kadha wa kadha katika kila kanisa,baadhi ya watu walianza (miongoni mwao akiwemo Ignatio)kufundisha kuwa wazo la askofu lilikuwa kwamba yeye ni mtumwenye cheo kikubwa ama mwenye mamlaka na amri juu yawazee. Sasa ukweli wa mambo ni kwamba neno “mzee”linaonyesha mtu huyo ni nani, ambapo neno “askofu”linaonyesha huduma ya mtu yuyo huyo. Mzee ni mtumwenyewe. Askofu ni huduma ya huyo mtu. “Mzee” sikuzotelimekuwa na kila mara litakuwa tu likimaanisha umri wa mtukatika Bwana. Yeye ni mzee, si kwa sababu amechaguliwa kwakura ama amewekewa mikono, nk., bali ni kwa sababu yeyeana umri mkuu ZAIDI. Yeye amekolea zaidi, amefundishwa, simwanafunzi, ni mtu anayetumainiwa kwa sababu ya ujuzi nauthabiti wa ujuzi wake wa Kikristo wa siku nyingi. Bali sivyo,maaskofu hawakushikilia nyaraka za Paulo, bali walipendeleakwenda kwenye taarifa ya Paulo ya wakati alipowaita wazeekutoka Efeso kwenda Mileto katika Matendo 20. Katikakifungu cha 17 taarifa hiyo inasema, “wazee” waliitwa nabaadaye katika kifungu cha 28 wanaitwa waangalizi

Page 199: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 189

(maaskofu). Nao hawa maaskofu, (bila shaka wakiwa namawazo ya kisiasa na wenye shauku ya kutaka madaraka)walisisitiza ya kwamba Paulo alikuwa akimaanisha kuwa“waangalizi” walikuwa ni zaidi ya mzee wa mtaa ambaye anamamlaka rasmi katika kanisa lake mwenyewe tu. Kwao askofualikuwa sasa mtu mwenye mamlaka juu ya viongozi wengi wamitaa. Wazo kama hilo halikuwa la Kimaandiko wala lakihistoria, hata hivyo hata mtu wa hadhi kama ya Polikapualiegemea kwenye mwongozo kama huo. Kwa hiyo, lilelililoanza kama tendo katika wakati wa kwanza lilifanywafundisho la kweli na ndivyo lilivyo sasa. Maaskofu wangaliwanadai mamlaka ya kuwaongoza watu na kuwatendea vilewapendavyo, wakiwaweka mahali wao wapendapo katikahuduma. Jambo hili linakaidi uongozi wa Roho Mtakatifualiyesema, “Nitengeeni Paulo na Barnaba kwa kazi ileniliyowaitia.” Hili ni pinga-Neno na ni pinga-Kristo. Mathayo20:25-28, “Lakini Yesu akawaita, akasema, Mwajua ya kuwawakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa waohuwatumikisha. Lakini haitakuwa hivyo kwenu; bali mtu yeyote anayetaka kuwa mkubwa kwenu, na awe mtumishi wenu;na mtu ye yote anayetaka kuwa wa kwanza kwenu na awemtumwa wenu; kama vile Mwana wa Adamu asivyokujakutumikiwa, bali kutumika, na kutoa nafsi Yake iwe fidia yawengi.” Mathayo 23:8-9, “Bali ninyi msiitwe Rabi, maanaMwalimu wenu ni Mmoja, yaani Kristo; nanyi nyote ni ndugu.Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu niMmoja, Aliye wa mbinguni.”

Ili kueleza jambo hili kwa wazi zaidi, hebu nielezeeUnikolai kwa njia hii. Mnakumbuka kuwa katika Ufunuo 13:3inasema, “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwambakimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona.Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.” Sasa twajuakwamba kile kichwa kilichojeruhiwa kilikuwa ni Dola yakipagani ya Kirumi, lile taifa kuu la dunia la kisiasa. Kichwahiki kiliinuka tena kama “Dola ya kiroho ya Katoliki yaKirumi.” Sasa angalia hili kwa makini. Ni jambo ganiililofanya Rumi ya kipagani ya kisiasa ambalo lilikuwa ndilomsingi wa mafanikio yake? Hiyo, “iligawanya na kushinda.”Hiyo ndiyo iliyokuwa mbegu ya Rumi_tenganisha upatekushinda. Meno yake ya chuma yalirarua na kuangamiza. Yulealiyemrarua na kumwangamiza hangeweza kuinuka tena kamaule wakati alipoiangamiza Kathago na kutapanya chumvihumo. Mbegu zile zile za chuma zilibaki ndani yake wakatiilipoinuka kama kanisa la uongo, na mbinu zake zingali ni zilezile_tenganisha upate kushinda. Huo ni Unikolai na Munguanauchukia.

Sasa ni jambo la kweli kihistoria linalojulikana sanakwamba wakati kosa hili lilipopenya likaingia kanisani, watu

Page 200: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

190 NYAKATI SABA ZA KANISA

walianza kushindania huduma ya uaskofu na matokeo ikawakwamba cheo hiki kilikuwa kikipewa wenye elimu zaidi nawaliopiga hatua katika kupata mali na wenye mwelekeo wakisiasa. Maarifa ya wanadamu na taratibu zake vikaanzakuchukua nafasi ya hekima ya Kiungu, na Roho Mtakatifuhakuwa tena anaongoza. Jambo hili bila shaka lilikuwa uovuwa kufisha, kwa kuwa maaskofu walianza kushikilia kuwahaikuhitaji tena tabia safi ya Ukristo kuhudumu aidha Nenoau kuendeleza utaratibu wa dini kanisani kwa kuwa jambomuhimu ni sakramenti na taratibu zake. Jambo hili liliruhusuwatu waovu (wadanganyifu) wawararue kondoo.

Pamoja na mafundisho yaliyobuniwa na wanadamu yakuwainua maaskofu hadi mahali ambapo hawakupewa katikaMaandiko, hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa madaraja ambayoyaliunda serikali ya kidini; kwani muda si muda palikuwepona maaskofu wakuu juu ya maaskofu na makadinali juu yamaaskofu wakuu na hata kufikia wakati wa Bonifasi wa tatupalikuwepo na papa juu ya wote, Kuhani Mkuu.

Huku yakiwemo mafundisho ya Wanikolai na muunganowa Ukristo na Ubabeli matokeo halisi kwa jumla hayana budiyalikuwa yale Ezekieli aliyoona katika Sura ya 8:10, “Basinikaingia, nikaona; na tazama, kila namna ya wadudu, nawanyama wachukizao, na taswira za vinyago vyote vyanyumba ya Israeli, zimepigwa ukutani pande zote.” Ufunuo18:2, “Akalia kwa sauti kuu, akisema, Umeanguka, umeangukaBabeli ule mkuu; umekuwa maskani ya mashetani, na ngomeya kila roho mchafu, na ngome ya kila ndege mchafu mwenyekuchukiza, kwa kuwa mataifa yote wamekunywa mvinyo yaghadhabu ya uasherati wake.”

Basi fundisho hili la Wanikolai, sheria hii iliyoanzishwakanisani haikukubalika vizuri sana kwa watu wengi kwa kuwawaliweza kusoma waraka adimu au insha juu ya Nenolililoandikwa na mtu fulani mcha mungu. Basi kanisalilifanyaje? Liliwafukuza walimu wenye haki na kuyachomamoto magombo. Wakasema, “Inatakiwa elimu maalum kusomana kulielewa Neno. Mbona hata Petro alisema kwamba mambomengi aliyoandika Paulo yalikuwa magumu kuyaelewa.”Baada ya kuliondoa Neno kutoka kwa watu, muda si mudailifikia mahali ambapo watu kusikiliza tu yale aliyosemakasisi, na kufanya aliyowaambia. Waliyaita hayo Mungu naNeno Lake takatifu. Waliyatwaa mawazo na maisha ya watuna kuwafanya wao watumwa wa ukasisi mdhalimu.

Basi kama ukitaka uhakika kuwa Kanisa Katoliki hudaimaisha na mawazo ya watu, hebu sikiliza amri ya Theodosiowa X. Amri ya Kwanza ya Theodosio.

Amri hii ilitolewa mara tu baada ya yeye kubatizwa naKanisa la Kwanza la Rumi. “Sisi watawala watatu wa dola

Page 201: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 191

tunaamuru ya kwamba raia wetu washike kwa uthabiti diniwaliyofundishwa Warumi na Mt. Petro, ambayo imehifadhiwakwa uaminifu kwa mapokeo na ambayo sasa inatangazwa nakuhani mkuu, Damasasi wa Rumi, na Petro, askofu waAlekizandria, mtu mwenye utakatifu wa Kimitume kulinganana msingi wa Mitume, na mafundisho ya Injili; haya natuamini katika Uungu mmoja wa Baba, Mwana, na RohoMtakatifu, wenye utukufu ulio sawa katika Utatu Mtakatifu.Tunaamuru ya kwamba wanaoishika imani hii waitweWakristo Wakatoliki; tunawabandika wafuasi wote wasio naakili wa dini nyingine jina lenye sifa mbaya la wazushi, nakukataza mikutano yao ya nyumbani kuitwa kwa majina yamakanisa. Mbali na hukumu ya haki ya kiungu, lazimawapatilizwe kwa adhabu kali ambayo serikali yetu,ikiongozwa na hekima ya mbinguni itaamua wanastahilikupewa^”

Zile sheria kumi na tano za adhabu ambazo mtawala huyualizotoa katika miaka mingi kama hiyo ziliwanyang’anya walewote wanaoamini katika wokovu haki zote za kuendeleza diniyao, ziliwaondoa kwenye kazi zote za serikali, na kuwatishiafaini, kuwanyang’anya mali zao, kuhamishwa na hata katikamatukio fulani, kifo.

Unajua nini? Tunaelekea kabisa upande huo leo.Kanisa Katoliki la Kirumi hujiita kanisa Mama. Linajiita

kanisa la kwanza ama kanisa la awali. Hiyo ni kweli tupu.Lilikuwa ndilo Kanisa asili la Kwanza la Rumi lililoanguka nakuingia dhambini. Lilikuwa la kwanza ambalo liliundamadhehebu. Ndani yake mlionekana matendo na baadayemafundisho ya Unikolai. Hakuna mtu atakayekana kuwa ndilomama. Hilo ni mama na limezaa mabinti. Sasa binti hutokanana mwanamke. Mwanamke aliyevaa vazi la rangi nyekunduanaketi kwenye vilima saba vya Rumi. Yeye ni kahaba naamezaa mabinti. Mabinti hao ni makanisa ya Kiprotestantiyaliyotoka kwake na kisha yakarudi moja kwa moja kwenyemadhehebu na Unikolai. Mama huyu wa makanisa bintianaitwa kahaba. Huyo ni mwanamke ambaye hakuwamwaminifu kwa nadhiri zake za ndoa. Aliolewa na Munguhalafu akaenda kufanya uasherati na ibilisi na katikauasherati wake amezaa mabinti walio kama yeye kabisa.Muungano huu wa mama na binti ni upinga-Neno, upinga-Roho na kwa sababu hiyo ni upinga-Kristo. Naam, UPINGA-KRISTO.

Basi kabla sijaendelea mbali sana ninataka kusemakwamba hawa maaskofu wa mwanzoni walidhani ya kwambawao walikuwa wako juu ya Neno. Waliwaambia watu kwambawao waliweza kuwasamehe dhambi zao wakiziungama. Hilohalikuwa kweli kamwe. Walianza kuwabatiza watotowachanga katika karne ya pili. Kwa kweli walibatiza kwa ajili

Page 202: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

192 NYAKATI SABA ZA KANISA

ya kuzaliwa mara ya pili. Si ajabu watu leo hiiwamechanganyikiwa. Ikiwa walikuwa wamechanganyikiwanamna hiyo wakati huo, karibu sana na Pentekoste, sasa wakokatika hali mbaya zaidi kuliko nyakati zote zilizopita, wakiwaumbali wa yapata miaka 2,000 kutoka kwenye ile kweli ya asili.

Ee! Kanisa la Mungu, kuna tumaini moja tu. Rudi kwenyeNeno na ukadumu nalo.

FUNDISHO LA BALAAMU

Ufunuo 2:14, “Unao huko watu washikao mafundisho yaBalaamu, yeye aliyemfundisha Balaki atie ukwanzo mbele yawana wa Israeli, kwamba wavile vitu vilivyotolewa sadakakwa sanamu, na kuzini.”

Sasa, huwezi kuanzisha mpango wa Unikolai kanisani naukose pia kujiingiza kwa fundisho hili jingine. Unaona,ukiliondoa Neno la Mungu na kazi za Roho kama njia yakuabudia (wao wanaoniabudu Mimi yawapasa waniabudukatika Roho na kweli) basi itakulazimu uwape watu ainanyingine ya ibada kuwa kibadala, na badilisho humaanishaUbalaamu.

Endapo tutafahamu fundisho la Balaamu ni nini katikakanisa la Agano Jipya ni heri turudi nyuma tuone lilikuwa ninini katika kanisa la Agano la Kale na kulitumia katika huowakati wa tatu na halafu kulileta hadi siku hizi.

Hadithi hiyo inapatikana katika Hesabu Sura za 22 hadi 25.Sasa tunajua kwamba Israeli walikuwa watu waliochaguliwana Mungu. Walikuwa ndio Wapentekoste wa siku yao.Walikuwa wamekimbilia chini ya damu, wote walikuwawamebatizwa katika Bahari ya Shamu nao wakatoka majiniwakiimba katika Roho na kucheza kwa nguvu za RohoMtakatifu, huku Miriamu, nabii mke, akipiga tari lake. Naam,baada ya wakati fulani wa kusafiri hawa wana wa Israeliwalifika Moabu. Mnakumbuka Moabu alikuwa ni nani. Yeyealikuwa mwana wa Lutu kwa mmoja wa mabinti wakemwenyewe aliozaa, naye Lutu alikuwa mpwawe Ibrahimu,kwa hiyo Israeli na Moabu walikuwa ni wa ukoo mmoja.Ninataka mlione hilo. Wamoabu waliujua ukweli, kamawaliuishi au la.

Kwa hiyo Israeli wakaja hadi mipakani mwa Moabu nawakatuma wajumbe kwa mfalme wakisema, “Sisi ni ndugu.Turuhusuni tupite katika nchi yenu. Kama watu wetu auwanyama wetu wakinywa ama wakila cho chote, tutakilipakwa moyo mweupe.” Lakini Mfalme Balaki alihangaika sana.Kiongozi huyo wa kundi hilo la Wanikolai hakuwa tayarikuachilia kanisa lipite likiwa na ishara zake na maajabu namadhihirisho mabalimbali ya Roho Mtakatifu, huku nyuso zao

Page 203: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 193

ziking’aa kwa utukufu wa Mungu. Ilikuwa ni hatari sana, kwakuwa huenda angepoteza baadhi ya kundi lake. Kwa hiyoBalaki alikataa kuwaruhusu Israeli wapite. Kwa kweli, hofuyake ya watu hao ilikuwa ni kuu mno, hivi kwambaakamwendea nabii wa kukodisha aliyeitwa Balaamu naakamwomba awe mpatanishi kati yake na Mungu na amsihiMwenyezi awalaani Israeli, na azivunje nguvu zao kabisa. BasiBalaamu, akiwa na shauku ya kushiriki katika mambo yakisiasa na kuwa mtu mkuu, alifurahia tu sana kufanya hivyo.Lakini alipoona ya kwamba ilimlazimu amkaribie pia,asikilizwe na Mungu kusudi hao watu wapate kulaaniwa kwakuwa hangeweza kufanya hivyo yeye mwenyewe, akaendakumwuliza Mungu kama angeweza kumpa ruhusa aende. Sasaje! jambo hilo silo kama tu Wanikolai tulio nao siku hizi? Waohulaani ye yote ambaye hangefuata njia zao.

Wakati Balaamu alipomwomba Mungu ruhusa ya kwenda,Mungu alimkatalia. Jamani liliuma! Lakini Balaki alisisitiza,akimwahidi hata zawadi kubwa zaidi na heshima. Kwa hiyoBalaamu akarudi kwa Mungu. Sasa jibu moja toka kwaMungu lingetosha. Lakini sio kwa Balaam mkaidi. Mungualipoona ukaidi wake, alimwambia asimame aende. Upesiakamtandika punda akaondoka akaenda zake. Yeyeangepaswa kutambua ya kwamba haya yalikuwa tu mapenziya Mungu ya kuruhusu naye asingaliweza kuwalaani hatakama angeenda mara ishirini na kujaribu mara ishirini. Jinsiwatu siku hizi walivyo kama Balaamu! Wanaamini katikaMiungu mitatu, wanabatizwa katika vyeo vitatu badala yaJINA, na hata hivyo Mungu atamtuma Roho juu yao kamavile alivyofanya juu ya Balaamu, nao wataendelea kuaminikuwa wao wako sahihi kabisa, nao ndio hawa hapa akinaBalaamu kwa kweli kabisa. Unaona, fundisho la Balaamu.Wewe endelea tu. Fanya upendavyo. Wao husema, “Naam,Mungu ametubariki. Lazima liwe ni sahihi.” Ninajua Yeyeamewabariki. Sikatai hilo. Lakini ni njia ile ile yakimadhehebu ambayo Balaamu alipitia. Ni ya kuasi Neno laMungu. Ni fundisho la uongo.

Kwa hiyo Balaamu alishuka akaenda barabarani kwaukaidi mpaka malaika aliyetoka kwa Mungu akasimama mbelezake. Lakini huyo nabii (askofu, kadinali, mwenye kiti, rais namsimamizi mkuu) alipofushwa mno katika mambo ya Kirohokwa wazo la heshima na utukufu na pesa hata hakuwezakumwona malaika mwenye upanga uliochomolewaamesimama. Huyo hapo amesimama amzuie nabii mwenyekichaa. Maskini yule punda alimwona na akakwepa kwanyuma na mbele hadi mwishowe akamseta Balaamu mguuwake kwenye ukuta wa mawe. Yule punda akasimama nahangeendelea kwenda. Hangeweza kwenda. Kwa hiyoBalaamu akaruka akaondoka na kuanza kumpiga. Ndipo yule

Page 204: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

194 NYAKATI SABA ZA KANISA

punda akaanza kuongea na Balaamu. Mungu alimwezeshapunda yule kunena katika lugha. Punda huyo hakuwa mzaochotara; alikuwa mzao wa asili. Akamwambia nabiialiyepofushwa, “Je! mimi si punda wako, nami, je! sijakubebawewe kwa uaminifu?” Balaamu akamjibu, “Ndiyo, ndiyo,wewe u punda wangu nawe umenibeba kwa uaminifu hadisasa; na ikiwa siwezi kukufanya utembee, nitakuua^”masalale! ni kitu gani hiki, kuzungumza na punda? Ajabu hii,nadhani nilimsikia huyu punda akizungumza nami nilikuwanikimjibu.”

Mungu daima amenena katika lugha. Alinena katikakaramu ya Belshaza na kisha hapo Pentekoste. Anafanya hivyotena leo. Ni onyo la hukumu inayokuja karibuni.Basi huyo malaika akaonekana waziwazi kwa Balaamu. Nayeakamwambia Balaamu kama si punda yeye angekuwa amekufahata sasa hakika kwa kumjaribu Mungu. Lakini Balaamualipoahidi kurudi, alitumwa aende na onyo la kusema yale tuMungu aliyompa.

Kwa hiyo Balaamu akashuka akaenda akatengenezamadhabahu saba kwa ajili ya wanyama safi wa sadaka.Akachinja kondoo dume kuonyesha kuja kwa Masihi. Alijua lakufanya apate kumkaribia Mungu. Mitambo yake ilikuwasawa; bali si nguvu za kuendesha; ndivyo iliyvo sasa. EnyiWanikolai hamwezi kuona hilo? Kule chini bondeniwalikuweko Israeli wakitoa dhabihu ile ile, wakifanya mamboyale yale lakini ni mmoja tu aliyekuwa na ishara zilizofuata.Ni mmoja tu aliyekuwa na Mungu kati yao. Desturihazitakufikisha po pote. Haziwezi kupachukua mahali padhihirisho la Roho. Jambo hilo ndilo lililotukia kule Nikea.Waliyachukua mafundisho ya Balaamu, si mafundisho yaMungu. Nao wakajikwaa; naam walianguka. Wakawa watuwaliokufa.

Baada ya dhabihu kutolewa, Balaamu alikuwa tayarikutabiri. Lakini Mungu akaufunga ulimi wake naye hakuwezakuwalaani. Aliwabariki.

Balaki alikasirika sana, lakini hapakuwepo na chochoteambacho Balaamu angeweza kufanya kuhusu huo unabii.Ulikuwa umenenwa na Roho Mtakatifu. Kwa hiyo Balakiakamwambia Balaamu ashuke chini, aende katika lile bonde,akaangalie upande wao wa nyuma aone kama kuna uwezekanowa kuweza kuwalaani kwa njia fulani. Mbinu alizotumiaBalaki ni zile zile wanazotumia leo. Madhehebu makubwahudharau vikundi vidogo, na cho chote wanachopata kati yaokiwezacho kusababisha kashifa wao wanakichukua nakukitangaza. Kama watu wa kisasa wakiishi katika dhambi,hakuna mtu anayesema neno juu yake; bali hebu mmoja wawateule apatikane na shida na kila gazeti litalilipua kote

Page 205: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 195

nchini. Naam, Israeli alikuwa na sehemu zake dhaifu(kimwili). Walikuwa na upande wao usio mwema; bali licha yakutokamilika kwao, kwa kusudi la Mungu ambalo hufanyakazi kwa uchaguzi, kwa neema wala si kwa matendo,WALIKUWA NA WINGU MCHANA NA NGUZO YA MOTOUSIKU, WALIKUWA NA MWAMBA ULIOPIGWA, NYOKAWA SHABA NA ISHARA NA MAAJABU. Walithibitishwa_sikwa juhudi zao, bali katika Mungu.

Mungu hakuwatakabali wale Wanikolai na PHD zao, LLDna DD zao na madhehebu yao yote mazuri na mambo borasana ambayo mwanadamu angejivunia; bali Yeyealiwatakabali Israeli kwa kuwa walikuwa na Nenolililothibitishwa kati yao. Hakika Israeli hawakuonekanawameadibika sana, wakiwa tu ndio kwanza watoke Misri kwakutoka mbio mbio, lakini walikuwa watu waliobarikiwahaidhuru. Yote walichokuwa wamewahi kujua kwa zaidi yamiaka 300 ilikuwa ni kuchunga kondoo, kulima mashamba nakufanya kazi ya utumwa huku wakiwa na hofu ya kifo chini yaWamisri. Lakini walikuwa huru sasa. Walikuwa watuwaliobarikiwa kwa mamlaka ya Mungu. Bila shaka Moabuwaliwadharau. Mataifa mengine yote yalifanya hivyo, pia.Madhehebu daima huwadharau wasio na madhehebu na aidhawatawashurutisha wajiunge na madhehebu la sivyowatawaangamiza wasipokuja.

Basi huenda mtu angeniuliza, “Ndugu Branham, ni kitugani kinachokufanya ufikirie kuwa Moabu walikuwa wakimadhehebu ambapo Israeli hawakuwa hivyo? Unalipatawapi wazo hilo?” Ninalipata papa hapa katika Biblia. Lotelimeonyeshwa hapa katika mfano. Kila kilichoandikwa katikaAgano la Kale kilicho katika namna ya hadithi kimaandikwakwa ajili ya kutuonya ili tuweze kujifunza kwa hilo. Hili hapapapa hapa katika Hesabu 23:9, “Kutoka kilele cha majabalinamwona, na kutoka milimani namtazama; angalia, ni watuwakaao PEKE YAO, wala HAWATAHESABIWA PAMOJA NAMATAIFA.” Hilo hapo. Mungu akiangalia chini kutokakwenye kilele cha majabali, si kutoka kwenye bonde fulaniakiyaangalia mabaya yao na kuwahukumu. Mungu akiwaonajinsi alivyotaka kuwaona_kutoka kwenye kilele cha upendona neema. Waliishi PEKE YAO na hawakuwa na madhehebu.Hawakuwa na mfalme. Walikuwa na nabii, naye nabii alikuwana Mungu ndani yake kwa Roho; nalo Neno lilimjia nabii nahilo Neno likawaendea watu. Hawakuwa washiriki wa U.M.Hawakuwa wa Baraza la Makanisa Ulimwenguni, wala waWabatisti, wa Wapresbiteri, wa Asemble of Gpd wala kundijingine lo lote. Hawakuwa na haja ya kuwa wa kundi fulani.Walikuwa wameunganishwa na Mungu. Hawakuhitaji shaurikutoka kwa halmashauri yo yote_walikuwa na “Bwana asemahivi” kati yao. Haleluya!

Page 206: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

196 NYAKATI SABA ZA KANISA

Basi licha ya ukweli kwamba Balaamu alijua njia iliyosawa ya kukutana na Mungu na angeweza kuleta ufunuo tokakwa Bwana kwa njia maalumu ya nguvu ya kipawa, yeyealikuwa angali bado licha ya hayo yote askofu katika kundi lauongo. Kwa kuwa alifanya nini sasa ili apate kujipendekezakwa Balaki? Alibuni mpango ambapo Mungu angelazimikakumwua Israeli. Kama tu vile Shetani alivyojua kuwaangeweza kumdanganya Hawa (kumfanya aanguke kwadhambi ya kimwili) na hivyo basi akamfanya Munguamhukumu kwa hukumu Yake aliyoitangaza ya kifo dhidi yadhambi, vivyo hivyo Balaamu alijua ya kwamba kamaangeweza kuwafanya Israeli watende dhambi, Munguangewaua. Kwa hiyo yeye alipanga njia ya kuwanasa wao wajekushiriki katika dhambi. Alipeleka mialiko kuja kwenyekaramu ya Baal-Peori (mje huku na mwabudu nasi). BasiIsraeli, bila shaka, walikuwa wameona karamu za Wamisrikwa hiyo hawakuona kuwa ilikuwa ni vibaya sana kwenda nakuangalia tu na pengine kula pamoja na watu wale. (Kunaubaya gani kwani kuwa na ushirika? Tunapaswa kuwapendasivyo? au tutawezaje kuwavuta?) Kufanya urafiki hakumdhuruye yote_ama ndivyo walidhania. Lakini wakati walewanawake wazinzi wa Moabu walipoanza kucheza na kuvuanguo wakati walipokuwa wanajizungusha wakicheza rumbazao na kukata viuno, tamaa iliwaka miongoni mwa Waisraelinao wakazini ndipo Mungu kwa ghadhabu akawaua elfuarobaini na mbili kati yao.

Na hivyo ndivyo Konstantino na waliomfuatawalivyofanya huko Nikea na baada ya Nikea. Waliwaalikawatu wa Mungu kwenye mkutano. Na kanisa lilipokaa chinikula, kisha likaamka kucheza (likishiriki katika desturi zakanisa, ibada, na karamu za kipagani zilizopewa majina yaibada za Kikristo), lilinaswa; lilifanya uzinzi. Basi Munguakaondoka.

Wakati mtu ye yote anapoliacha Neno la Mungu nakujiunga na kanisa badala ya kumpokea Roho Mtakatifu, mtuhuyo anakufa. Amekufa! Hivyo ndivyo alivyo. Usijiunge nakanisa. Usiingie katika madhehebu na kuchukuliwa na kanuniza imani na mapokeo au kitu cho chote ambacho hupachukuamahali pa Neno na Roho, la sivyo umekufa. Imekwisha.Umekufa. Umetengwa milele na Mungu!

Hivyo ndivyo ilivyokuwa katika kila wakati tangumwanzo. Mungu huwakomboa watu. Wanatoka kwa njia yadamu, wakiwa wametakaswa kwa Neno, na kupitia katikamaji ya ubatizo na kujazwa na Roho; lakini baada ya mudamfupi upendo wa kwanza unapoa halafu mtu fulani anapatawazo kwamba yawapasa waunde madhehebu ili wajinusuru nakujitengenezea jina, basi wanaunda madhehebu moja kwamoja tena katika kizazi cha pili na pengine hata kabla ya hapo.

Page 207: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 197

Hawana tena Roho wa Mungu, ila tu mfano wa ibada.Wamekufa. Wamejichanganya na kanuni za imani na desturina hamna uhai ndani yao.

Kwa hiyo Balaamu aliwafanya Israeli kufanya uasherati.Je! wajua uasherati wa kimwili ni roho yule yule ambayehukaa katika madhehebu ya dini? Nilisema kuwa roho wauzinzi ndiye roho wa madhehebu. Na waasherati wotewatakuwa na mahali pao katika ziwa la moto. Hivyo ndivyoMungu anavyowazia juu ya madhehebu. Naam bwana, yulekahaba na binti zake watakuwa katika ziwa la moto.

Madhehebu si ya Mungu. Hayajawahi kuwa na hayatakujakuwa kamwe. Ni roho mbaya anayewatenganisha watu waMungu katika madaraja ya makasisi na washiriki; na kwahiyo, basi, ni roho mbaya anayebagua watu na watu. Hivyondivyo shirika na madhehebu yafanyavyo. Katika kujiundiamadhehebu wao hujitenga na Neno la Mungu, na kujiingizakatika uzinzi wa kiroho.

Sasa tazama ya kwamba Konstantino aliwapa watukaramu maalum. Zilikuwa ni zile karamu za kipagani za kalezikiwa na majina mapya yaliyotolewa katika kanisa, au wakatimwingine ibada za Kikristo zilichukuliwa na kutumiwa isivyokatika ibada za kipagani. Alichukua ibada ya mungu jua nakuibadilisha kuwa ya Mwana wa Mungu. Badala yakuiadhimisha mnamo tarehe 21 Desemba, ambayo ndiyowalipokuwa wakisherehekea karamu ya mungu jua, waliiwekaiwe Desemba 25 na kuiita siku ya kuzaliwa kwa Mwana waMungu. Bali tunajua kuwa alizaliwa Aprili wakati ambapouhai unatokeza, si Desemba. Nao wakazichukua karamu zaAstarte na kuziita shehere za Pasaka ambayo kwayo Mkristoanapaswa kuadhimisha kifo na kufufuka kwa Bwana. Kwakweli hiyo ilikuwa ni karamu ya kipagani ya Astarte.

Waliweka madhabahu kanisani. Wakaweka sanamu.Waliwapa watu kile walichokiita imani ya mitume, ingawahuwezi kuipata katika Biblia. Waliwafundisha watu kuabudumizimu hivyo basi linalifanya Kanisa Katoliki la Kirumi kuwakanisa kuu kuliko yote yanayoabudu mizimu ulimwenguni.Kila ndege mchafu alikuwa katika ngome hiyo. Na kunaWaprotestanti nao na madhehebu yao wanaofanya mambo yaleyale.

Walikula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu. Sasasisemi ya kwamba hili hasa lina maana kwamba walikuwawakila kweli vyakula vilivyotolewa sadaka kwa sanamu. Kwamaana ingawa mkutano wa Yerusalemu ulikataza vitu kamahivyo, Paulo hakulitilia jambo hilo mkazo sana kwa kuwaalisema sanamu sio kitu. Ilikuwa tu ni jambo la dhamiriisipokuwa pale tu ambapo lilimkwanza ndugu aliyezidi kuwamnyonge na ndipo basi halikukubaliwa. Isitoshe, Ufunuo huu

Page 208: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

198 NYAKATI SABA ZA KANISA

unawahusu Mataifa wala si Wayahudi kwa kuwa haya nimakanisa ya Mataifa. Ninaliona jambo hili katika nuru ile ileninavyoyaona maneno ya Bwana, “Msipoula mwili Wangu nakuinywa damu Yangu hamna uzima ndani yenu. Mtu hataishikwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa chaMungu.” Waweza kuona kuwa kula kwa hakika ni kushirikikatika hali ya kiroho. Kwa hiyo wakati hawa watuwalipokuwa wakisujudia sanamu, wakiwasha mishumaa,wakitumia sikukuu za kipagani, wakiziungama dhambi zaokwa wanadamu (ambayo yote ni dini ya ibilisi), walikuwawakishirikiana na ibilisi wala sio Bwana. Walikuwa katikaibada ya sanamu wakubali wasikubali. Wanaweza kusemayote watakayo kwamba madhabahu na uvumba nikuwakumbusha tu maombi ya Bwana au lo lote wanalodhanihayo yanamaanisha; nao wanaweza kusema kuwawanapoomba mbele ya sanamu ni kwa kutilia mkazo tu; nakwamba wanapoungama kwa kasisi, eti wanafanya hivyo hasakwa Mungu ndani ya mioyo yao, nao wanaposema kwambakasisi anawasamehe, ni kwamba tu anafanya hivyo katika Jinala Bwana; wanaweza kusema watakacho lakini waowanashiriki katika dini inayojulikana sana ya Babeli na yaShetani, nao wamejiunga na sanamu na wametenda uasheratiwa kiroho, ambao maana yake ni mauti. Wamekufa.

Kwa hiyo kanisa lilifunga ndoa na serikali. Kanisalilijiunga na sanamu. Huku wakisaidiwa na nguvu za serikaliwalijisikia kuwa sasa, “Ufalme umekuja na mapenzi ya Munguyameingizwa kwa nguvu duniani.” Si ajabu Kanisa la Katolikila Kirumi halitarajii kurudi kwa Bwana Yesu. Wao hawaaminikatika ule utawala wa miaka elfu. Wao wana utawala wao wamiaka elfu papa hapa. Papa anatawala hivi sasa na Munguanatawala ndani yake. Kwa hiyo Yeye atakapokuja kulingananao, haina budi kuwa ni wakati ambapo mbingu mpya na nchimpya zinaandaliwa. Lakini wao wamekosea. Papa ni kiongoziwa kanisa la uongo, na kutakuwako na ule utawala wa miakaelfu, ila wakati huo unapoendelea yeye hatakuwamo. Atakuwamahali pengine.

ONYO

Ufunuo 2:16. “Basi tubu, na usipotubu, Naja kwako upesi,Nami nitafanya vita juu yao kwa huo upanga wa kinywaChangu.”

Aseme nini tena? Hivi Mungu aweza kuachilia dhambi zahao ambao wamelichukua Jina Lake bure? Pana njia moja tuya kupokea neema katika wakati wa dhambi, TUBU. Ungamaumekosea. Njoo kwa Mungu upate msamaha na upate Roho waMungu. Hii ni amri itokayo kwa Mungu. Kutoitii ni mauti, kwakuwa Yeye anasema, “Nitafanya vita juu yako kwa huo

Page 209: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 199

upanga wa kinywa Changu.” Mnyama alifanya vita nawatakatifu, bali Mungu atafanya vita na mnyama. Walewaliolipiga vita Neno watakuta siku moja Neno likiwapigavita. Ni jambo baya sana kuondoa, ama kuongeza kwenyeNeno la Mungu. Kwa maana wale waliolibadilisha, nawakafanya nalo walivyotaka, mwisho wao utakuwa nini ilamauti na maangamizi. Bali bado neema ya Mungu inapazasauti, “Tubu.” Loo! jinsi mawazo ya toba yalivyo matamu.Sina kitu mkononi ninachokuletea, nashikilia tu kwenyemsalaba Wako. Naleta huzuni yangu. Natubu ya kwamba miminiko jinsi nilivyo, na yale niliyofanya. Sasa ni damu, hakunakitu kingine ila damu Yake Yesu. Itakuwa nini? Toba, amaupanga wa mauti? Ni juu yako.

THAWABU

Ufu. 2:17. “Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambaloRoho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi yaile mana iliyofichwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwehilo limeandikwa jina jipya asilolijua mtu ila yeyeanayelipokea.”

Kila ujumbe kwa kila wakati una kitu cha kumtia moyomwamini, kumpa moyo awe mshindi na hapo atunukiwe naBwana. Katika wakati huu Roho anaahidi mana iliyofichwa najina jipya lililoandikwa ndani ya jiwe jeupe.

Sasa kwa kuwa kila mmoja wa jumbe hizi umeelekezwakwa ‘malaika’_(mjumbe wa kibinadamu) wajibu mkubwasana na pia majaliwa makuu sana ni fungu lake. Mungu anatoaahadi maalum kwa watu hawa, kama vile ilivyo kwa walemitume kumi na wawili kuketi kwenye viti kumi na viwili vyaenzi wakiwahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli. Basi,kumbuka Paulo alipewa ahadi maalum: ile ya kumkabidhiYesu watu wa bibi-arusi wa siku yake, 2 Kor. 11:2 “Maananawaonea wivu, wivu wa Mungu; kwa kuwa naliwaposeamume mmoja, ili nimletee Kristo bikira safi.” Ndivyoitakavyokuwa kwa kila mjumbe ambaye amekuwa mwaminifukwa Neno la saa yake na kipindi cha wakati wake. Ndivyoitakavyokuwa katika siku ya mwisho. Itakuwa thawabu ile ilemaalum aliyopewa Paulo. Nafikiri karibu ninyi nyotemnakumbuka jinsi nilivyosema daima niliogopa kufa nisijenikakutana na Bwana Naye asipendezwe nami kwa kuwanilikuwa nimekosea mara nyingi sana. Vema, nilikuwanikiwazia jambo hili asubuhi moja wakati nilipokuwamimelala kitandani na mara nikanyakuliwa katika ono laajabu sana. Ninasema lilikuwa la ajabu kwa kuwanilikwishapata maelfu ya maono wala hakuna wakati hatammoja ni nilionekana ninauacha mwili wangu. Lakininilikuwa mimi hapo nimenyakuliwa; nami nikaangalia nyuma

Page 210: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

200 NYAKATI SABA ZA KANISA

kumwona mke wangu, nami nikaona mwili wangu umelalapale kando yake. Ndipo nikajikuta katika mahali pazuri mnonilipopata kuona. Ilikuwa ni paradiso. Nikaona msongamanowa watu wenye sura nzuri sana na wenye furaha sananiliopata kuona. Wote walionekana ni vijana sana_yapataumri wa miaka 18 hadi 21. Hapakuwa na unywele wa mvi walakunyazi lo lote wala kilema cho chote miongoni mwao. Vijanawanawake wote walikuwa na nywele zilizofika viunoni mwao,na vijana wanaume walikuwa wenye sura nzuri sana na wenyenguvu. Loo! jinsi walivyonikaribisha. Walinikumbatia nakuniita ndugu yao mpenzi, na kuendelea kuniambia jinsiwalivyokuwa na furaha kuniona. Nilipokuwa nikishangaaumati wote huo ni akina nani, mmoja aliyekuwa karibu namiakasema, “Hao ni watu wako.”

Nilishangaa sana nikauliza, “Hawa wote ni Wabranham?”Akasema, “La, ni waongofu wako.” Ndipo akaelekeza

kidole kwa bibi mmoja na kusema, “Unamwona yule bibikijana uliyekuwa ukimshangaa sana muda kidogo uliopita.Yeye alikuwa na umri wa miaka tisini ulipomwongoa kwaBwana.”

Nikasema, “Loo jamani, na hebu wazia jambo hili ndilonililokuwa nikiogopa.”

Huyo mtu akasema, “Tunapumzika hapa huku tukingojeakuja kwa Bwana.”

Nikajibu, “Ninataka kumwona Yeye.”Akasema, “Huwezi kumwona sasa; lakini yuaja upesi, na

wakati atakapokuja atakuja kwako kwanza, naweutahukumiwa kulingana na Injili uliyohubiri, nasi tutakuwaraia wako.”

Nikasema, “Una maana kwamba ninawajibika kwa hawawote?”

Akasema, “Kila mmoja. Ulizaliwa kiongozi.”Nikamwuliza, “Je! kila mtu atawajibika? Na Mtakatifu

Paulo je?”Akanijibu, “Yeye atawajibika kwa siku yake.”“Vema,” nikasema, “Nimehubiri Injili ile ile aliyohubiri

Paulo.” Na makutano wakapaza sauti, “Tunategemea jambohilo.”

Naam, ninaweza kuona ya kwamba Mungu atatoa thawabumaalum kwa wajumbe Wake ambao wamekuwa waaminifukatika kutekeleza wajibu ambao Yeye ameweka juu yao. Kamawao wamepokea ufunuo wa Neno kwa ajili ya wakati huo nakulihubiri kwa uaminifu katika siku yao, na kuishi yalewaliyohubiri, watapokea thawabu kuu.

Page 211: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 201

Sasa tukiwa na wazo hili moyoni, angalia hiyo aya tena.“Nitampa mana iliyofichwa.” Sote tunajua ya kwamba manahiyo ilikuwa ni chakula cha malaika; ilikuwa ni kile Mungualichoshusha chini juu ya nyasi kwa ajili ya Israeli wakati wakuzungukazunguka kwao. Kilikuwa ni chakula kikamilifu.Ilikuwa ni kitu cha kustaajabisha sana jinsi vidonge hivyovidogo vya chakula vilivyowaweka katika afya kamilifu.Hakuna mtu aliyeugua. Ndicho kitu pekee walichohitaji.Wakati lile sanduku lilipotengenezwa waliweka baadhi yamana hiyo humo ndani. Kisha sanduku hilo likawekwa nyumaya pazia na ni kuhani mkuu tu ndiye angethubutu kulikaribiana halafu ilimbidi kuwa na damu ya sadaka. Chakulakitokacho mbinguni, kilichowakilishwa na mana, siku mojakilishuka kutoka mbinguni na kikawa Uzima kwa wotewanaomwamini Yeye. Yeye alisema, “Mimi Ndimi chakula chauzima. Mimi ni chakula kilicho hai kilichoshuka kutokambinguni, mtu ye yote akila chakula hiki ataishi milele.”Wakati alipoondoka Yeye alituachia Neno Lake, “Mtu hataishikwa mkate tu bali kwa kila Neno litokalo katika kinywa chaMungu.”

Neno Lake lilikuwa chakula. Lilikuwa mana kamilifu,ambayo, kama mtu ye yote akiishi kwayo, hatakufa kamwe.Lakini mara baada ya kufa kwa wale waanzilishi, hakuna mtualiyeonekana anajua ile kweli halisi na haikupita muda manahii ilionekana imefichwa kwa watu. Lakini katika kila wakatiMungu alianza kurudisha kwa ufunuo kile ambacho kilikuwakimefichwa hata siku hii ya mwisho kulingana na Ufu. 10:7,nabii atakuja na kufunua siri zote halafu Bwana atakuja. Sasakatika kila wakati, nasema, wale wajumbe walipokea ile kweliiliyofichwa. Lakini hawakuipokea kwa ajili yao tu. Bali nikama ilivyokuwa wakati wale wanafunzi walipoambiwawawahudumie wale makutano mikate na samaki; Yesualiwapa chakula kilichovunjwa-vunjwa, lakini wao naowakawapa watu tena. Mungu humpa mwenye kushinda manaYake iliyofichwa. Vingenevyo haiwezekani. Yeye hangefunguahazina Zake kwa ajili ya wale wanaopuuza yaleyaliyofunuliwa tayari.

Yale niliyokuwa nikisema juu ya mjumbe wa kila wakatiakipokea kutoka kwa Mungu sehemu ya ile kweli ya asili yaPentekoste yanaonyeshwa kwa mfano katika Agano la Kaleambapo Musa aliamriwa kuchukua painti tatu na nusu zamana na kuiweka katika chombo cha dhahabu nyuma ya paziala patakatifu pa patakatifu. Hapo kuhani mkuu wa kila kizaziangeweza kuingia akiwa na damu ya dhabihu. Ndipoangechukua sehemu kidogo ya mana hii (kwa kuwa haikuoza)ambayo ilikuwa sehemu ya ile ya asili na kuila. Sasa katikakila wakati mjumbe wa Bwana kwa kipindi cha wakati huoalipewa ufunuo wa Mungu kwa ajili ya kipindi hicho hicho.

Page 212: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

202 NYAKATI SABA ZA KANISA

Mara mjumbe huyo alipoangaziwa na ile kweli, angeileta hiyokweli kwa watu. Na hao ambao maskio yao yalikuwayamefunguliwa na Roho wangeisikia hiyo kweli, wakaiamini,na kuiishi.

Sasa basi, kuna wazo pia la kula ile mana iliyofichwakatika siku zijazo. Nafikiri itakuwa kula kwa milele kwaufunuo wa Yesu Kristo katika nyakati za milele zijazo.Tungewezaje basi kuanza kujua utajiri usiopimika wa UtuWake? Yote ambayo tumetamani kujua, maswali yetu yoteambayo hayajajibika, yote hayo yatafunuliwa. Tutaupokeakutoka kwa Kristo Ambaye kwamba Ndiye uzima wetu. Loo!wakati mwingine tunafikiri tunafahamu kidogo juu yake naNeno Lake hapa chini, na ni jambo zuri sana, linatufanyatushangilie; lakini siku moja wakati miili yetu itakapobadilika,Neno hilo pamoja na Yeye watakuwa jinsi ambavyohatujawazia inawezekana.

Pia inasemwa hapa ya kwamba Yeye atampa mwenyekushinda jiwe jeupe na ndani ya (si juu ya) jiwe hilo jina jipya,ambalo linajulikana tu na huyo mwenyewe. Sasa wazo la jinajipya si geni. Abramu alibadilishwa akawa Ibrahimu, Saraiakawa Sara, Yakobo akawa Israeli, Simoni akawa Petro, naSauli akawa Paulo. Majina haya aidha yalisababisha badiliko,ama yalitolewa kwa sababu ya badiliko. Ilikuwa tu ni baadaya Abramu na Sarai kubadilishwa majina na Bwana ndipowalipotayarishwa kumpokea yule mwana ajaye. Katika kisacha Yakobo, ilimbidi kushinda na ndipo akaitwa mtawala.Kuhusu Simoni na Sauli, walipokwisha kumpokea Bwana,badiliko lao likaja. Na hivi leo kila mmoja wetu sisi waaminiwa kweli amekuwa na badiliko la jina. Sisi ni Wakristo. Nijina ambalo ni letu sote kwa jumla. Lakini siku moja tutapatabadiliko lingine; bila shaka tutapokea jina jipya. Huendaikawa jina hilo lilikuwa ndilo letu la kweli na la asililililoandikwa kwenye Kitabu cha Uzima cha Mwana-Kondootangu kuwekwa misingi ya ulimwengu. Yeye analijua jina hilo,bali sisi hatulijui. Siku moja katika uradhi wa mapenzi Yake,sisi nasi tutajua pia.

Jiwe jeupe. Ni jambo zuri jinsi gani. Hapa kuna pichanyingine ya mtakatifu akipokea tuzo kutoka kwenye mkonowa Mungu kwa ajili ya majaribu yake duniani. Unajua, baadaya Konstantino, lile kanisa la uongo liliweza kuingiza mkonowake katika hazina ya serikali na basi kujenga majengomazuri yaliyojaa sanamu za kuchonga za kuvutia sana.Sanamu hizi za kuchonga, zilizotengenezwa kwa marmarnyeupe, kwa kweli zilikuwa ni miungu ya Warumi iliyopewamajina mapya ya watakatifu. Hayo makanisa na mapamboyake yalikuwa mazuri kupita kiasi, kama vile mtuanavyoyaona leo. Lakini Mungu hakuwa pamoja nao. Mungualikuwa wapi? Alikuwa na watakatifu Wake katika nyumba

Page 213: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA PERGAMO 203

fulani ndogo, ama katika pango, ama kwenye sehemu fulani yamlima msituni ambapo walijificha wasionekane na wafuasi wakanisa la uongo. Wao hawakuwa na majengo mazuri yakuvutia, kwaya zilizovikwa majoho, nguo nzuri, na vivutiovingine vya kilimwengu. Lakini sasa katika ahadi hii maalumkwa waamini wa kweli wa nyakati zote, Mungu ametangazaYeye atawapa thawabu zenye uzuri mkuu na udumuo milele.Acha matajiri wawadharau maskini. Acha watoe michangomikubwa kwa kanisa ili nalo lipate kumheshimu huyomfadhili kwa kuweka kipande chembamba cha marmar amasanamu fulani ya kuchonga kwa heshima yao ili watu wotewapate kukiona na kuwashangilia. Siku moja Munguanayeona na kujua yote mara nyingine tena atamsifu mjanekwa kutoa yote aliyo nayo, ingawa yaweza kuwa ni senti mbilitu, Naye, Yeye Mwenyewe, atamjazi na hazina za mbinguni.

Naam, mana iliyofichwa na jina jipya ndani ya jiwe jeupe.Jinsi Bwana alivyo mzuri kwetu kututunukia vizuri hivi, nasisi tukiwa hatustahili kabisa. Loo! ninataka kuwa tayariwakati wote kufanya mapenzi Yake, na kuweka hazinambinguni.

Page 214: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 215: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 205SURA YA SITA

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA

Ufunuo 2:18-29

Na kwa malaika wa kanisa lililoko Thiatira andika; Hayandiyo anenayo Mwana wa Mungu, Yeye aliye na macho Yakekama mwali wa moto, na miguu Yake mfano wa Shabailiyosuguliwa sana.

Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma nasubira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidiyale ya kwanza.

Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yulemwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundishawatumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vituvilivyotolewa sadaka kwa sanamu.

Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubiauzinzi wake.

Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao wazinio pamojanaye, wapate dhiki kubwa wasipotubia matendo yao;

Nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na makanisa yotewatajua ya kuwa Mimi ndiye achunguzaye viuno na mioyo.Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake.

Lakini nawaambia ninyi na wengine mlioko Thiatira, wowote wasio na mafundisho hayo, na wasiozijua fumbo zaShetani, kama vile wasemavyo, Sitaweka juu yenu mzigomwingine.

Ila mlicho nacho kishikeni sana, hata nitakapokuja.Na yeye ashindaye, na kuyatunza matendo Yangu hata

mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa,Naye atawachunga kwa fimbo ya chuma, kama vyombo

vya mfinyanzi vipondwavyo, kama Mimi Nami nilivyopokeakwa Baba Yangu.

Nami nitampa ile nyota ya asubuhi.Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Roho

ayaambia makanisa.

THIATIRA

Kihistoria, mji wa Thiatira ulikuwa ndio mdogo wa yotekwa umashuhuri kati ya miji yote ile saba ya Ufunuo.Ulijengwa ndani ya mipaka ya Misia na Ionia. Ulizungukwa namito mingi, lakini ilijaa wadudu wafyonza damu. Sifa yake

Page 216: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

206 NYAKATI SABA ZA KANISA

moja uliosifika nayo sana ilikuwa kwamba ulijiweza kifedhakwa sababu ya vyama vya ushirika wa biashara ya wafinyanzi,watengenezaji ngozi, wafumaji, mafundi rangi, mafundi wanguo, nk. Ni katika mji huu ambamo Lidia, yule mwenyekuuza rangi ya zambarau, alitoka. Yeye alikuwa Mzungumwongofu wa kwanza wa Paulo.

Sasa sababu iliyomfanya Roho kuuchagua mji huu kamatayari uliokwisha kuwa na mambo ya kiroho kwa ajili yawakati wa nne ilikuwa ni kwa sababu ya dini yake. Dini kuuya Thiatira ilikuwa ni ibada ya kumwabudu Apolo Tirimnaioambayo iliunganishwa na madhehebu ya kumwabudu mfalme.Apolo alikuwa mungu jua, na wa pili katika mamlaka kutokakwa baba yake, Zeu. Alijulikana kama ‘kinga ya uovu’; yeyealikuwa mkuu wa sheria za kidini na sadaka (njia yaupatanisho, akilipia makosa ama hatia). Plato alisema juuyake, “Yeye huwaelezea watu kawaida za hekalu, dhabihu nahuduma kwa miungu, mbali na desturi zinazohusika na mautina maisha ya baadaye.” Yeye alishirikisha maarifa yake ya‘siku za usoni’ na ‘mapenzi ya babaye’ kwa watu kwa kupitiamanabii na maaguzi. Hapo Thiatira ibada hii iliendeshwa nanabii wa kike aliyekalia kiti cha miguu mitatu na kuleta jumbeakiwa kwenye usingizi mzito huku anaona njozi.

Uwezo wa dini hii ulikuwa wa ajabu. Nguvu zake nyingi zahatari mno hazikuwa tu katika milki ya mafumbo, lakinizilikuwa katika kweli kwamba hakuna mtu angaliweza kuwamwanachama wa vyama hivyo vya ushirika wa kibiasharavilivyowapa watu riziki zao isipokuwa wawe wafuasi wa ibadaza hekalu la Apolo. Ye yote aliyekataa kujiunga na karamuhizo za kuabudu sanamu na uasherati alikataliwa kujiunga navyama hivi vya karne ya kwanza. Ili kuwa sehemu ya maishaya watu wengine na sehemu ya maisha ya biashara mtualipaswa kuwa mpagani anayeabudu sanamu.

Ni jambo linalostahili kuangaliwa sana ya kwamba jinalenyewe Thiatira linamaanisha, “Mtawala Mwanamke.” Hivyobasi wakati huu unaainishwa na nguvu itawalayo, nguvuambayo huwavamia wote kwa ukatili, inawatiisha wote nakutawala kwa udhalimu. Sasa mtawala mwanamke ni laanakubwa kuliko zote duniani. Mtu mwenye hekima kuliko woteambaye ulimwengu ulipata kumwona alikuwa Sulemani, nayealisema, “Moyo wangu ulikazwa katika kujua na kupeleleza,na kuitafuta hekima, na maana ya mambo yaliyoko; ilinifahamu ya kuwa uovu ni upumbavu, na upumbavu niwazimu. Nami nimeona LILILO NA UCHUNGU KUPITAMAUTI; yaani, MWANAMKE ambaye moyo wake ni mitego natanzi, na mikono yake ni kama vifungo; yeye ampendezayeMungu atamponyoka, bali MWENYE DHAMBI atanaswa nayeye. Tazama, asema Mhubiri, mimi nimeyaona hayo kwakulinganisha hili na hili, ili kuitafuta jumla; ambayo bado

Page 217: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 207

nafsi yangu nikali nikiitafuta, nisiione; mwanamume mmojakatika elfu nimemwona; bali mwanamke mmoja miongonimwa wote mimi sikumwona.” Mh. 7:25-28. Paulo alisema,“Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, walaKUMTAWALA mwanamume.” Tangu Bustani ya Edeni nakuendelea, mwanamke amejaribu daima na akafaulukuchukua mamlaka juu ya mwanamume, na leo hii niulimwengu wa mwanamke na mungu wa kike wa Marekaniakiwa ni mwanamke aliye uchi. Kama vile sanamuinayoabudiwa ya mwanamke inayoshuka kutoka angani(kumbuka mikono yake ilikuwa ya pao za chuma) ilionyeshatabia ya ule wa kwanza ama Wakati wa Efeso, vivyo hivyonguvu zake zimeongezeka mpaka amepata mamlaka kamili,mamlaka ya namna hiyo yakinyakuliwa na tabia yake yachuma.

Sasa mwanamke hapaswi kuwa na tabia ya chuma. Yeye,kulingana na Maandiko Matakatifu, anapaswa kuwa mtiifukwa mwanamume. Ameamriwa hayo. Mwanamke ambayekweli ni mwanamke, mwanamke kabisa kabisa, atakuwa natabia hiyo. Si jamvi la mlangoni. Hakuna mwanamume halisianayemfanya mwanamke jamvi la mlangoni. Lakini atapendakuwa chini ya mamlaka na kutokumtawala mwanamume, kwamaana yeye ndiye kiongozi wa nyumba. Kama akivunja mfanohuo ambao amewekewa na Mungu, yeye amepotoka.Mwanamume ye yote anayemruhusu mwanamke achukuemamlaka naye pia amevunja mfano huo na Yeye amepotoka.Hiyo ndiyo sababu mwanamke HAWEZI KUVAA MAVAZIYAMPASAYO MWANAMUME AMA KUKATA NYWELEZAKE. Hapaswi kamwe kuvaa mavazi yanayompasamwanamume wala kukata nywele zake. Wakati anapofanyahivyo anaingilia mamlaka ya mwanamume akitwaa mamlakana kujipotosha mwenyewe. Na mwanamke anapoivamiamimbara jambo ambalo AMEAMRIWA ASIFANYE,anaonyesha yeye ni wa roho ya namna gani. Kuwa mtawalamwanamke ni upinga-Kristo na mbegu za Kanisa Katoliki laKirumi zimo ndani yake ingawa anaweza kukanusha jambohili kwa ukali sana. Lakini INAPOFIKIA KWENYE NENO,Neno la Mungu liwe kweli na kila neno la mwanadamu liweuongo. Amina.

Hebu na turudi mwanzo. Katika maumbile ya kawaida yaawali kama tunavyoyajua jambo hilo leo, Mungu alifanya kilakitu katika pea, cha kiume na cha kike. Kulikuweko na kukuwawili_jimbi na kuku. Kulikuweko na ng’ombe wawili,ng’ombe jike na fahali. Na vivyo hivyo na kuendelea. Lakiniilipofikia kwa mwanadamu, kulikuweko na mmoja tu.Hawakuwa wawili. Adamu alikuwa ameumbwa katika mfanowa Mungu. Yeye alikuwa mwana wa Mungu. Kama mwana waMungu yeye hangeweza kujaribiwa na aanguke. Hiyo

Page 218: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

208 NYAKATI SABA ZA KANISA

isingewezekana. Kwa hiyo Mungu alichukua kitukilichotokana na mwanamume kusababisha kule kuanguka.Mwanamke hakutoka moja kwa moja kutoka katika mkono waMungu kama kiumbe cha kweli cha Mungu. Yeye alitolewakutoka kwa mwanamume. Na wakati Mungu alipomfanyaatolewe kutoka kwa mwanamume alikuwa tofauti sana namajike mengine aliyoyaumba Yeye. Aliweza kumtongozwa.Hakuna jike jingine katika uumbaji linaloweza kuwa zinifu;lakini jike la mwanadamu linaweza kuguswa karibu wakatiwo wote. Na udhaifu huo ndani mwake ulimruhusu Shetanikumtongoza kwa njia ya yule nyoka, na tendo hilo limemletamwanamke mahali pa kipekee sana mbele za Mungu na NenoLake. Yeye ni mfano wa mambo yote ya kishenzi, machafu naya kuchukiza kwa upande mmoja, na kwa upande mwingineyeye ni mfano wa mambo yote yaliyo safi na mazuri, namatakatifu kama chombo cha Roho na baraka za Mungu. Kwaupande mmoja yeye anaitwa kahaba ambaye amelewa kwamvinyo ya uasherati wake. Kwa upande mwingine anaitwaBibi-arusi wa Kristo. Kwa upande mmoja anaitwa Babeli yaSiri, chukizo mbele za Mungu; na kwa upande mwingineanaitwa Yerusalemu Mpya, mama yetu. Kwa upande mmojayeye ni mchafu sana na mwovu sana na mzinifu sana hataanatupwa bila mjadala katika ziwa la moto kama mahalipekee panapompasa; na kwa upande mwingine anakwezwambinguni, akishiriki kiti kile kile cha Mungu kama mahalipekee panapomstahili malkia kama huyo.

Na katika wakati huu wa Kanisa la Thiatira yeye niMTAWALA MWANAMKE. Yeye ni Babeli ya Siri. Yeye nikahaba mkuu. Yeye ni Yezebeli nabii mke wa uongo. KWANINI? Kwa sababu mwanamke halisi humtii Mungu. Kristondiye kichwa chake. Hana neno ila Lake, hana mawazo ilaYake, hana uongozi ila Wake. Lakini ni vipi kuhusu kanisa hili?Limelitupa Neno nje, likaziangamiza Biblia na maandishi yenyemaana ya wacha Mungu. Limewaua wale ambao wangehubirikweli. Limewateka wafalme, watawala na mataifa_anayaongoza majeshi na kusisitiza ya kwamba lenyewe ndilomwili wa kweli wa Kristo na ya kwamba mapapa wake ndiomahalifa wa Kristo. Limepotoshwa kabisa na ibilisi mpakalenyewe nalo limekuwa potoshaji la wengine. Ni bibi-arusi waShetani na limezaa watoto wake wa dini haramu.

Limetawala wakati wote katika zile Zama za Giza. Kwazaidi ya miaka mia tisa aliteka nyara na kuangamiza.Liliangamiza sanaa, likaangamiza sayansi, halikuleta kitu chochote ila mauti mpaka nuru ya ile Kweli ilikuwa karibuimekwisha kabisa na ni sehemu ndogo sana ya nuru iliyosalia.Mafuta na divai vilikuwa karibu kuacha kumiminika; lakiniingawa lilitawala falme za dunia na kudai kwamba watu wotewatafute uraia kwake, kulikuweko na kundi dogo lililokuwa la

Page 219: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 209

Mungu na uraia wake ulikuwa mbinguni, na hao yeyehakuweza kuwaangamiza. Mungu alilihifadhi kundi Lakedogo; hawangeweza kuangamizwa. Kanisa hili la Rumililikuwa ni la kipagani na katili kama Malkia Athaliaaliyejaribu kuuangamiza mzao wote wa kifalme na karibuafanikiwe, bali MUNGU ALIMHIFADHI MMOJA, na kutokakwake huyo wakaja wengine wa wale walio waaminifu. Kwahiyo Mungu alihifadhi kundi fulani dogo katika usiku huomrefu wa giza nene na kutokana na kweli yao hatimayeakatokea Luther.

Mtu ye yote anayejua jambo lo lote kuhusu Kanisa Katolikila Kirumi na kawaida yake ya ibada anaweza kujua kwa ninimji huu wa Thiatira lilichaguliwa na Roho kuwakilisha kanisakatika zile Zama za Giza. Hilo hapo, mbele za macho yetukabisa.

WAKATI WENYEWE

Wakati wa Thiatira ulidumu muda mrefu kuliko nyakatizote, kama miaka 900, tangu mwaka wa 606 hadi 1520.

MJUMBE

Kanisa lilikuwa limegawanyika tangu siku nyingi katikavikundi viwili, cha Magharibi na cha Mashariki. Mara kwamara mtengenezaji angeinuka ama katika kimojawapo chavikundi hivyo ama katika vikundi vyote viwili na kuongozasehemu fulani ya kanisa kwa muda kidogo kuingia katikauhusiano wa ndani zaidi na Mungu. Mtu kama huyo hukoMagharibi alikuwa Fransisi wa Asisi. Akiwa amefanikiwa kwakweli kwa muda, kazi yake hatimaye iliwekwa chini yaserikali ya dini ya Rumi. Petro Waldo wa Lioni, mfanyibiashara aliyeyakana maisha yake ya kidunia, alikuwa na bidiisana katika kumtumikia Bwana na wengi aliwavuta Kwake;lakini alizuiwa katika kazi yake na akatengwa kwenyeushirika na papa. Si makundi ya Magharibi au ya Masharikiyaliyokuwa na mtu ndani yao ambaye yamkini angeweza kuwamjumbe kwa wakati huu ikichunguzwa katika nuru yaMaandiko. Hata hivyo, kulikuweko na watu wawili hukokwenye Visiwa vya Uingereza, ambao huduma zao katikaNeno na matendo zingeweza kustahimili thibitisho la ile kweli.Hao walikuwa ni Mt. Patriki na Mt. Kolumba. Kura ya kuwamjumbe ilimwangukia Mt. Kolumba.

Ingawa mjumbe wa Wakati wa Thiatira alikuwa Mt.Kolumba, ninataka kueleza kidogo juu ya maisha ya Mt. Patrikikama mfano kwetu na pia kudhihirisha uongo wa dai la Rumikwamba ati Mt. Patriki alikuwa ni mtu wake zaidi yailivyokuwa naye vile vile Yoana wa Ark. Patriki alizaliwa na

Page 220: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

210 NYAKATI SABA ZA KANISA

dada wa Mt. Martini katika mji mdogo wa Bonavern kwenyekingo za Mto Klede. Siku moja wakati alipokuwa anachezapwani pamoja na dada zake wawili, maharamia wa bahariniwalikuja na kuwaiba wote watatu. Huko wale dada,walikoenda, hakuna ajuaye, lakini Patriki (jina lake lilikuwaSukati) aliuzwa kwa sultani fulani huko Ireland ya Kaskazini.Kazi yake ilikuwa ni kuchunga nguruwe. Ili afanye jambo hilialifundisha mbwa. Mbwa wake walikuwa wamefundishwavizuri sana hivi kwamba watu wengi walikuja kutoka mbali nakaribu kuwanunua. Katika upweke wake alimgeukia Mungu naakaokolewa. Ndipo ikaja shauku ya kumshurutisha atoroke nakurudi nyumbani kwa wazazi wake. Akabuni mpango uliotumiavizuri sana ustadi wake kama mfugaji. Aliwafundisha mbwakumlalia na kuufunika mwili wake kwa uangalifu na kutosogeampaka waamriwe. Ikawa siku moja wakati tajiri wake alipouzambwa wengi, Patriki aliwapa amri hao mbwa, isipokuwakiongozi wa hilo kundi, kuingia chomboni. Huyo kiongozi wakundi hilo ambaye yeye baadaye alimpa ishara ya kisirialikimbia mbio akakataa kuingia chomboni. Wakati tajiri nahuyo mnunuzi walipokuwa wakijaribu kumpata huyo mbwa,Patriki aliingia chomboni na kuwaashiria wale mbwawamfunike. Ndipo kwa mlio wa filimbi akamleta yule kiongoziwa hilo kundi chomboni na akamlalia. Kwa kuwa Patrikihakuonekana po pote huyo mnunuzi alitweka tanga akaendeleana safari baharini. Baada ya kuhakikisha ya kwamba nahodhaalikuwa amesafiri mbali sana naye hatarudi, Patriki aliwapahao mbwa ishara nyingine ambayo iliwafanya wafanye ghasia.Ndipo akajitokeza akamwambia nahodha ya kwambaasipomshusha pwani ya nyumbani kwao angewaamuru mbwawaendelee kufanya ghasia, naye angekiteka hicho chombo.Walakini, huyo nahodha alikuwa ni Mkristo, na aliposikia kisacha huyo kijana alimshusha pwani ya nyumbani kwao kwafuraha. Huko Patriki akaenda kwenye shule ya Biblia kishaakarudi Ireland ambako kwa Neno na nguvu za Mungu katikaishara nyingi na maajabu aliwavuta maelfu kwa Bwana. Nahakuna wakati wo wote yeye aliwahi kwenda Rumi walahakuna hata wakati mmoja alipotumwa na Rumi. Ukweli wamambo ni kwamba wakati Rumi hatimaye ilipopata mamlakakatika kisiwa hicho na walipoona wakati ulikuwa unafaa,waliua Wakristo zaidi ya 100,000 ambao kwa miaka mingiwalikuwa wamechipuka kutoka kwenye lile kundi la kwanzalililomjia Bwana chini ya Mt. Patriki.

Yapata miaka 60 baada ya kifo cha Mt. Patriki, Columbaalizaliwa katika Mkoa wa Donegali, Ireland ya Kaskazini, kwajamaa ya kifalme ya Fergusi. Yeye akawa mwanachuonimwenye akili nyingi, aliyejitenga kwa Bwana, akikariri karibuMaandiko yote. Mungu alimwita kwa sauti iliyosikika waziawe mmishenari. Baada ya yeye kusikia sauti ya Mungu,hakuna kitu kiliweza kumzuia, na huduma yake ya kimiujiza

Page 221: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 211

imewafanya wanahistoria wengi kumsifu sana kwamba yeyendiye hasa anayewafuatia mitume. Huduma yake ilikuwa kuusana huku ikifuatwa na ishara za kimiujiza hata baadhi (zaidisana wanafunzi huko Rumi) wamefikiria taarifa hizo zilitiwachumvi.

Katika moja ya safari zake za kimishenari, alipokuwaanaukaribia mji uliozingirwa kote na ukuta, alikutaamefungiwa malango. Akainua sauti yake katika maombikwamba Mungu aweze kuingilia kati na kumruhusu apate njiaya kuwafikia watu awahubirie. Lakini hapo alipokuwaanaomba wachawi wa nyumba ya mfalme walianzakumsumbua kwa sauti kuu za kelele. Ndipo akaanza kuimbazaburi. Alipokuwa anaimba, Mungu aliikuza sauti yake sanahata akayafunika yale makelele ya wale makafiri. Mara yalemalango yakafunguka yenyewe. Akaingia na kuhubiri Injili,akiwaleta wengi kwa Bwana.

Wakati mwingine ambapo alikuwa amefungiwa tena nje yakijiji fulani, wakati alipogeuka kurudi, mwana wa sultanighafla akawa mgonjwa mahututi, karibu ya kufa. Mt. Columbaalitafutwa upesi akaitwa arudi. Alipoomba maombi ya imanimvulana huyo aliponywa mara moja. Kijiji hicho kikafungukabasi kwa kuhubiriwa kwa Injili.

Injili isiyoghoshiwa iliyohubiriwa na Columba nawahudumu wenzake ilienea Skotland nzima, ikaigeuzakumwelekea Mungu. Pia ilifurika ikaingia Ireland na Ulaya yaKaskazini. Njia yake ya kueneza Injili ni ile ambapo labdawatu kumi na wawili chini ya kiongozi mmoja wangeingiakatika eneo moja jipya na kujenga mji halisi wa makao makuuya Injili. Miongoni mwa watu hawa kumi na wawiliwangekuwemo maseremala, waalimu, wahubiri, nk., wotewakiwa wamefundishwa Neno vizuri sana pamoja na kuishimaisha matakatifu. Koloni hili dogo lilikuwa limezungushiwaukuta. Muda si muda eneo hili lingezungukwa na wanafunzina jamaa zao katika nyumba zao wenyewe, wakijifunza Nenona kujitayarisha kutoka waende wakamtumikie Bwana kamawamishenari, viongozi, na wahubiri. Hao wanaume walikuwahuru kuoa ingawa wengi hawakuoa, kusudi wamtumikieMungu vizuri zaidi. Hawakufungwa na msaada wa serikali, nakwa kufanya hivyo wakaziepa siasa. Badala ya waokushambulia dini nyingine waliifundisha ile kweli kwa kuwawaliamini ya kwamba ile kweli ilikuwa ni silaha ya kutoshakutimiza kusudi alilokuwa nalo Mungu kwa ajili yao. Waokatakata hawakuitegemea Rumi.

Mt. Columba alikuwa mwanzilishi wa shule kubwa yaBiblia kwenye kisiwa cha Hai (mbele ya pwani ya Kus. Magh.mwa Skotland). Wakati alipokwenda huko hicho kisiwakilikuwa kame sana na chenye miamba sana hata hakingewezakuzaa chakula cha kutosha kwa ajili yao wote. Lakini

Page 222: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

212 NYAKATI SABA ZA KANISA

Columba alipanda mbegu kwa mkono mmoja huku akiinuahuo mkono mwingine juu katika maombi. Leo kisiwa hicho nikimoja cha visiwa vyenye rutuba sana duniani. Kutoka kwenyekisiwa hiki cha makao makuu ya Biblia kukatoka wanachuonihodari waliokirimiwa hekima na nguvu za Mungu.

Wakati nilipoisoma historia ya mtumishi huyu mashuhuriwa Mungu na kazi za ajabu alizotenda, moyo wanguulihuzunika kuona kwamba ngvuvu za kipapa, zikitamanikuwaleta watu wote kwenye mikono yake, zilikuja nahatimaye zikachafua maeneo haya ya kimishenari nakuangamiza ule ukweli kama ulivyofundishwa na Columba.

SALAMU

Ufu. 2:18, “Haya ndiyo anenayo Mwana wa Mungu, YeyeAliye na macho Yake kama mwali wa moto, na miguu Yakemfano wa shaba iliyosuguliwa sana.”

Ufunuo wa Uungu kwa Wakati wa Thiatira ni kwambaYesu ni Mwana wa Mungu. Wakati mmoja alipokuwa katikasiku Zake za mwili Yeye alijulikana kama Mwana wa Adamu.Lakini sisi tangu sasa hatumjui Yeye tena kwa jinsi ya mwili.Yeye si Mwana wa Adamu tena, yule Nabii Mkuu, Ambayekatika Yeye Mwenyewe alikusanya pamoja nabii zote. Mwanawa Pekee amerudi katika kifua cha Baba. Sasa tunamjua kwajinsi ya nguvu za kufufuka. Yeye amefufuka na amejitwaliaMwenyewe nguvu Zake kuu Naye ni zaidi ya yote na juu ya yotekwa sifa za utukufu Wake. Hatashiriki utukufu Wake na mtumwingine. Hatampa mtu ye yote uongozi Wake juu ya kanisa.

Yeye anauangalia Thiatira, na hapa anaona katika mji huona katika wakati ule wa nne heshima ambayo ni Yake pekeYake, imepewa mwingine. Macho Yake yanawaka kwa motowa hasira na hukumu anapomwona Apolo akiheshimiwa kamaMwana wa Mungu, wakati Yeye peke Yake ndiye Mwana waPekee wa Baba. Jinsi hukumu Yake inavyopaswa kuwa mbayajuu ya dini hii ya Wakati wa Thiatira ambapo wafuasi wakanisa kama vile wapagani wanaomwabudu mwana wa mungu(Apolo mwana wa Zeu), wanavyomwinua mtawala wakibinadamu na kumsujudu, wakiungwa mkono na nguvu zaserikali. Kwa kuwa hivyo ndivyo alivyoona hasa. KanisaKatoliki la Kirumi, likiwa limezama kabisa katika ibada zasanamu zenye msingi wake kwenye ibada za mungu jua(Apolo) lilikuwa limemwinua mtu fulani kuwa mungu halisi(papa) kwa muungano wa kanisa na serikali. Kwa kuwaTomaso Akwinasi na Alverusi Pelagiusi walieleza na kusemaya kwamba: “Papa anaonekana kwa hao wanaomwangaliakwa jicho la kiroho, kuwa, si mwanadamu bali ni Mungufulani. Hakuna mipaka katika mamlaka yake. Anawezakutangaza lo lote atakalo kuwa ni kweli na anaweza

Page 223: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 213

kuwanyang’anya watu wo wote haki zao apendavyo. Kutiliashaka nguvu hizi zilizoenea kote duniani kutaleta kufungiwanje ya wokovu. Adui wakuu wa kanisa ni wale wazushi wadini ambao hawatavaa nira ya utiifu wa kweli.

“Kuna mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu,mwanadamu Kristo Yesu (Mwana wa Mungu.)” I Tim. 2:5.Lakini papa wa Rumi amelibadilisha Neno. Yeye alilifanya,“mpatanishi mmoja kati ya Mungu na mwanadamu (siwanadamu)”. Kwa hiyo sasa yeye anapatanisha kati yampatanishi na wanadamu. Lakini hakuna mpatanishi mwingineila Mwana. Papa hutangaza wokovu kupitia kwa kanisa laRumi. Lakini hakuna wokovu ila kwa kupitia kwa Mwana waMungu. Si ajabu hayo macho yanawaka katika hukumu yahasira kali. Si ajabu hiyo miguu ni kama shaba iliyosuguliwasana anaposimama akiwa tayari kuzikanyaga-kanyaga zikawaunga na vumbi falme hizi potovu za ulimwengu huu. Mungu naashukuriwe kwa ajili ya miguu hiyo yenye nguvu ya shaba.Imepitia katika hukumu kwa ajili yetu. Sasa hiyo ndiyo msingiwetu kwa maana aliyoyapata ni yetu. Tunasimamatumetambulishwa katika Yeye, Yesu Mwana wa Mungu.

Ilikuwa ni katika wakati huu ambapo tunashuhudiakuinuka kwa Uislamu ambao ulimkana Mwana wa Mungu nakutangaza kifo kwa wale wote waliojiita Wakristo.

Ilikuwa pia ni katika wakati huu ambapo kanisa la uongoliliasi amri ya kwanza ya Mwenyezi Mungu na likaingilia upesikuivunja amri ya pili kwa maana lilimweka papa wake katikamahali pa Yesu Kristo na kuanzisha na kulazimisha ibada zasanamu sana hivi kwamba ilimaanisha kifo kwa walewaliokataa hizo sanamu kuwekwa ndani ya kanisa. Chini yaMalkia Theodora, peke yake, tangu mwaka wa 842 hadi 867zaidi ya watakatifu 100,000 waliuawa kwa sababu walihesabukwamba sanamu hazina thamani yo yote.

Hakika wakati huu hauna budi kutubu ama utapotezayote. Huyo hapo amesimama Bwana wa utukufu, Mungu aliyeMungu kabisa_Neno Lake limewekwa kando, utu Wakeumekataliwa, lakini mikono ya binadamu na mioyo yamwanadamu haiwezi kumwondoa mamlakani. Acha wamkane,Yeye anadumu mwaminifu. “Msiogope enyi kundi dogo; kwakuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme. Na wakatinitakapokuja kwa miguu ya shaba na macho yanayowakamoto nitalipa; hukumu ni yangu, nitawajazi,” asema Bwana.

SIFA

Ufu. 2:19, “Nayajua matendo yako na upendo na imani nahuduma na subira yako na matendo yako; na tena kwambamatendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza.”

Page 224: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

214 NYAKATI SABA ZA KANISA

Hapa tena tunaona matamshi yale yale ya utangulizi,“Nayajua matendo yako.” Mwana wa Mungu, Mwenyewe,alisema, “Mnisadiki Mimi kwa ajili ya kazi zenyewe.” Yeyealitilia mkazo kazi Zake mwenyewe wakati alipokuwaduniani. Kazi alizofanya zilikuwa zimeamriwa na Mungukuvuvia imani katika Yeye. Ilikuwa ni sehemu kubwa yahuduma Yake. Roho Wake Mtakatifu katika mtume Pauloalisema, “Maana tu kazi Yake, tuliumbwa katika Kristo Yesututende matendo mema, ambayo tokea awali Mungualiyatengeneza ili tuenende nayo..” Efe. 2:10. Kazi hizizilikuwa zihuishe imani katika Yeye kwa maana zingeonyeshauhusiano huo Kwake ambao Paulo alieleza kama “tuliumbwakatika Yeye.”

Sasa kazi kamwe hazitapachukua mahali pa imani katikaMungu kwa ajili ya wokovu wetu. Lakini kazi zitaonyeshaimani yetu ambayo tayari imewekwa ndani Yake. Matendomema hayatakuokoa, lakini yatatokea kutoka katika maishayaliyookolewa kama tunda kwa Bwana. Ninaamini katikamatendo mema. Hata kama mtu hajaokolewa, anapaswakufanya matendo mema na ajitahidi awezavyo. Jambo lakuchukiza mbele za Mungu ni kwa wanadamu kufanyamatendo mabaya na halafu waseme wanatenda mapenzi yaBwana. Hivyo ndivyo maaskofu na mapapa na serikali ya diniya Rumi walivyokuwa wanafanya. Walikuwa wanaua,wakiharibu, na kufanya kila namna ya uovu katika Jina laBwana. Wao waliishi maisha yaliyokuwa kinyume kabisa nayale Neno linayofundisha. Katika siku hiyo ya uovu haowaamini wa kweli waling’aa kama nuru gizani walipokuwawanaendelea kutenda mema; kwa kuwa walirudisha barakakwa laana, nao wakatekeleza ile kweli kumheshimu Munguhata ingawa wengi walikufa kwa ajili hiyo.

Katika aya hii Yeye anawasifu watoto Wake kwa sababuwalikuwa wanaishi maisha yaliyobadilishwa. Kazi zaozilishuhudia Roho mpya aliyekuwa ndani. Watu walionamatendo yao mazuri na wakamsifu Mungu. Naam bwana,kama wewe ni Mkristo utafanya yaliyo sawa. Kazi zakozitaonyesha ya kwamba moyo wako ni mnyofu. Na haitakuwani jambo ambalo unaigiza, kwa maana utafanya mapenziYake hata Yake wakati hakuna mtu anayekuona ila Mungu,na utafanya mapenzi Yake hata kama itakugharimu maishayako.

“Najua upendo wako, na imani, na huduma na subirayako.” Utaona ya kwamba upendo wao umewekwa katikati ya‘matendo’ na ‘huduma’. Na hapo ndipo mahali pakepanapofaa, kwa maana bila upendo kazi zetu hazikubalikimbele za Mungu na wala huduma zetu. Paulo akizungumza naWakorintho alisema, “Bila upendo, si kitu mimi, na lo lotenifanyalo halina faida isipokuwa linafanywa katika upendo.”

Page 225: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 215

Sasa unaweza kuona papa hapa ya kwamba waamini hawahawakuwa katika tabaka lile la Wanikolai waliotenda kazikama njia ya wokovu ama ya kupendwa na watu. Walifanyakazi zao kutokana na pendo la Mungu lililokwisha kumiminwakatika mioyo yao na Roho Mtakatifu. Pendo hilo mioyonimwao lilikuwa pendo la Mungu kwa ajili ya walio Wake. Yesualisema, “Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyimmekuwa wanafunzi WANGU, kwamba mna upendo ninyikwa ninyi.” Wapagani walioyaona maisha ya Wakristo wamwanzoni walisema, “Tazama jinsi wanavyopendana.”Yohana alisema, “Kila apendaye amezaliwa na Mungu.” IYohana 4:7.

Ninataka kutoa onyo papa hapa. Inanenwa kuhusu sikuza mwisho ya kwamba kwa sababu ya kuongezeka maasiupendo wa wengi utapoa. Katika Laodikia, ama wakati wamwisho, kujipenda, na kupenda mali kutachukua mahali papendo la kweli la Mungu. Tunapaswa kujikinga na nguvu zadhambi katika siku hizi za mwisho. Watu wengi sanawanakuwa wagumu sana kwa sababu hawajatambua nguvuza roho hii ya siku ya mwisho. Wakati umewadia wakumkaribia Mungu na kumruhusu ayajaze maisha yetu naupendo Wake, la sivyo tutasikia ubaridi wa kanisa la siku zamwisho, na kuikataa kweli ya Mungu ambayo ndiyo pekeeinayoweza kutusaidia.

Katika miaka hiyo ya giza na ya kutisha mzabibu wa kweliulishikilia upendo wake kwa Mungu na upendo wa ndugu.Mungu aliwasifu kwa ajili ya jambo hilo.

“Naijua huduma yako.” Yesu alisema, “Yeye aliye mkubwawenu ndiye mtumishi wa wote.” Mtu mwenye hekima alitoamatamshi juu ya msemo huo. Hivi ndivyo alivyosema,“Historia pekee ndiyo itakayothibitisha ukweli wa msemohuo.” Mtu huyo alisema kweli. Watu wote walio wakuu kweliwa historia wamekuwa watumishi. Hao waliodai kutumikiwa;hao waliowatesa watu; hao waliotafuta sikuzote kuwawakubwa, wameishia katika aibu. Hata walio matajiri sanawamehukumiwa na Mungu wakati hawakutumia mali yaovizuri. Lakini angalia katika historia na utaona ya kwambawale waliokuwa wakuu kweli walikuwa ni walewaliowatumikia wengine. Historia haiwezi kamwe kuwasifuwale ambao walitendewa mengi, lakini daima itawasifu walewaliowafanyia mengi wengine. Sasa hebu na tutumie jambohilo kwetu. Hata kama vile Mwana wa Adamu asivyokujakutumikiwa, bali kutumika, vivyo hivyo sisi nasi tunapaswakufuata mfano huo. Mwangalie anapoinama kwenye miguu yawale mitume na kuitawadha miguu yao iliyochoka na michafu.Yeye alisema, “Hamjui sasa nifanyalo, lakini mtafahamubaadaye. Lakini mnaloniona Mimi nikifanya, mnapaswakulifanya pia.” Yeye alifanyika mtumishi kusudi kwamba

Page 226: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

216 NYAKATI SABA ZA KANISA

Mungu apate kumwinua juu kuliko vitu vyote. Na siku mojakatika hukumu ya watakatifu tutamsikia Yeye akisema,“Vema, MTUMWA mwema na mwaminifu, ingia katika furahaya Bwana.” Ni vigumu kuwa mtumwa daima. Lakini walewanaotumika na kutaabikia wengine siku moja wataketipamoja Naye katika kiti Chake cha enzi. Litakuwa jambo lathamani kuliko yote, wakati huo. “Na tumtumikie Bwana,tangu mapambazuko hata machweo ya jua, Na tuzungumzekuhusu upendo Wake wote wa ajabu na huruma Zake, Nahapo maisha yote yatakapokwisha na kazi zetu dunianizimekwisha, Na majina yaitwapo kule juu nitakuweko.”

“Naijua imani yako.” Sasa Yeye hasemi hapa kamaalivyoliambia kanisa huko Pergamo, “unaishika imaniYANGU.” Yeye haneni kuhusu imani Yake sasa, lakinianawasifu kwa ajili ya uaminifu wao. Na anapofanya jambohilo anataja pia ‘subira’ yao. Sasa uaminifu na subirahuambatana pamoja. Kwa kweli subira ni matokeo yauaminifu, kwa maana Yak. 1:3 inasema, “Kujaribiwa kwaimani yenu huleta saburi.” Hakuna katakata njia nyingine yakupata subira. Haina budi kuja kwa kujaribiwa kwa imaniyetu. Rum. 5:3, “Dhiki kazi yake ni kuleta saburi.” Jinsi Munguanavyothamini sana kuimarishwa kwa subira yetu inaonekanakatika Yak. 1:4, “Saburi na iwe na kazi kamilifu, mpate kuwawakamilifu na watimilifu bila kupungukiwa na neno.”Mapenzi ya Mungu kwetu ni Ukamilifu. Na huo ukamilifu nisubira_kumngojea Mungu na kumngoja Mungu. Hii ndiyo njiaya kuumba tabia. Jinsi Mungu alivyowasifu sana watakatifuhawa wa zile Zama za Giza. Wenye saburi kama ya wana-kondoo wakiongozwa machinjioni, walimtumikia Mungu kwaupendo, uaminifu. Hayo tu ndiyo waliyotaka maishani,kumtumikia tu Bwana wao. Jinsi thawabu yao itakavyokuwakubwa.

“Nayajua matendo yako; tena kwamba matendo yako yamwisho yamezidi yale ya kwanza.” Hili bila shaka lina maanasana. Wakati giza la wakati huo lilipoongezeka; wakati orodhaya heshima ya wafia imani ilipozidi kuwa ndefu siku kwa siku,walifanya kazi kwa juhudi zaidi, walitumika zaidi, na imaniyao ikaongezeka. Ilikuwa ni huzuni jinsi gani kwamba katikaWakati wa Efeso upendo ulififia. Na kweli hakuna kitukilichosemwa juu ya kuongezeka kwa taabu ya upendo katikazile nyakati nyingine; lakini katika wakati huu, katika wakatiulio na giza sana kuliko nyakati nyingine zote, waowalimtumikia hata na zaidi. Ni somo la jinsi gani hilo. Hakunakukoma kwa huduma hii ya neema ya kumpenda Bwana,lakini zaidi ni kuongezeka kwake. Hiyo ndiyo siri. Hebu aduiajaribu kupinga utumishi wetu kwa Bwana_jibu letu nikuongezeka huduma. Wakati waliodhaifu wanapolia kwa hofu,huo ndio wakati wa kupiga makelele ya ushindi.

Page 227: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 217

“Nayajua matendo yako; tena kwamba matendo yako yamwisho yamezidi yale ya kwanza.” Sasa kama viletulivyokwisha kusema, wakati huu unaitwa Zama za Giza kwasababu ulikuwa kweli ndio wakati uliokuwa wa giza sanakatika historia yote. Ulikuwa wakati wa Papa Inosenti IIIaliyedai ya kwamba yeye ndiye “aliye badala yaKristo_mfalme mkuu juu ya kanisa na dunia,” aliyeanzishaBARAZA KUU LA KUHUKUMU WAAMINI ambalo chini yauongozi wake lilimwaga damu nyingi zaidi kuliko katikawakati mwingine wo wote isipokuwa katika wakati wa yaleMatengenezo. Ulikuwa ni wakati wa uasherati, utawala wamalaya. Sagarius III alikuwa na malaya wake na “aliijazakwaya ya papa na hawara na wana wa haramu na kuifanyaikulu ya papa kuwa pango la wanyang’anyi.” Anastazia IIIalikabwa koo mpaka akafa na Marozia ambaye alikuwakahaba wa Sagarius. Yohana wa XI alikuwa mwana waharamu wa Marozia. Yohana XII alikuwa mjukuu wa Marozianaye “aliwanajisi wajane na mabikira na aliuawa akiwakwenye tendo la uzinzi na mume wa huyo mwanamkealiyekuwa ameghadhabika sana.” Ulikuwa ni wakati waMafarakano ya Kipapa kwa kuwa serikali mbili za mapapa(moja ikitawala kutoka Avignon na hiyo nyingine kutokaRumi) walilaaniana na kupigana wao kwa wao. Mapapa hawahawakuwa tu na hatia ya matendo mabaya ya uzinzi (wakizaachungu mbovu ya watoto haramu, wakifanya ulawiti nk.)lakini walikuwa na hatia ya kuuza vyeo vya ukuhani kwawazabuni waliolipa pesa nyingi zaidi.

Ulikuwa ni wakati ambapo nuru iliendelea kumeka kidogosana, hata hivyo hao waamini wachache walitaabika kwa bidiizaidi wakati giza likizidi kuongezeka mpaka kuelekea mwishowa wakati huo wengi waliinuka wakijaribu kuletamatengenezo. Juhudi zao zilikuwa motomoto hivi kwambahata waliandaa njia kwa ajili ya matengenezo yaliyokuwayanakuja. Kwa hiyo kama vile Neno linavyosema kuhusuwakati huo, “matendo yako ya mwisho (mwisho wa wakatihuo) yamezidi ya kwanza.”

Neno, Thiatira, lina maana mbalimbali ambazo kati yahizo mojawapo ni “Dhabihu ya Daima.” Kwa wengi hiiinaaminiwa kuwa ni unabii kuhusu matumizi ya Misaambayo ni kutolewa kwa daima kwa dhabihu ya Kristo. Hiloni wazo zuri sana, lakini linaweza pia kumaanisha dhabihuya daima katika maisha na taabu za waamini wa kweli waBwana.

Hakika hawa watakatifu wa Thiatira walikuwa ndiomalimbuko ya zao, waliojaa Roho Mtakatifu na imani,walioumbwa watende matendo mema, wakionyesha sifa Zake,wakiacha kuthamini maisha yao wenyewe, lakini kwa furahawakitoa yote waliyo nayo kama dhabihu impendezayo Bwana.

Page 228: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

218 NYAKATI SABA ZA KANISA

KEMEO

Ufu. 2:20, “Lakini nina neno juu yako, maadamuwamridhia (kuchukuana na) yule mwanamke Yezebeli, yeyeajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu nakuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwasanamu.”

Sasa mkiwa mmeshikilia aya hii nawataka mshuke chinikwenye aya ya 23 na mwone udhihirisho wa kweli kuuniliyokuwa nikiwaletea wakati huu wote. “Nami nitawauawatoto wake kwa mauti. Na makanisa yote watajua ya kuwaMimi Ndiye achunguzaye viuno na mioyo.” Kila wakatinimekuwa nikisema ya kwamba kwa kweli kuna makanisamawili, ingawa Roho ananena na yote mawili katika kilawakati, kana kwamba yalikuwa ni moja. Hapa imesemwadhahiri ya kwamba kuna makanisa, na inaelezea wazi piakwamba baadhi ya makanisa hayo kwa hakika kabisaHAYAJUI ya kwamba Yeye Ndiye achunguzaye viuno namioyo. Yeye atawathibitishia ya kwamba jambo hilo ni kweli.Haya basi, hayo makanisa ni yapi yasiyojua kweli hii?Bila shaka ni lile kundi la mzabibu wa uongo kwa sababuwaamini wa kweli hakika wanajua ya kwamba hukumuhuanzia katika nyumba ya Mungu, nao wakiwa wachaMungu, wanajichunguza wasije wakahukumiwa.

Sasa kwa nini Mungu anayaita makanisa haya nimakanisa Yake hata ingawa wao ni mzabibu wa uongo?Ukweli wa mambo ni kwamba wao ni Wakristo. Lakini waosi Wakristo wa Roho. Wao ni Wakristo wa mwilini. Waowanalichukua Jina hilo bure. Marko 7:7, “Nao waniabudubure, wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo yawanadamu.” Lakini kweli wao ni Wakristo kwa kuwa ni kitugani kingine tena wangeweza kuwa? Mwislamu ni Mwislamu.Hiyo ndiyo dini yake haidhuru anaiishije kwa sababu yeyeanakubaliana kwa akili na yale Kurani inayofundisha. Vivyohivyo Mkristo ni Mkristo mradi tu yeye anakubaliana naukweli kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, aliyezaliwa nabikira, alisulibishwa na akafa na akafufuka tena, ya kwambaYeye ndiye Mwokozi wa wanadamu, nk. (Kwa kweli katikaWakati wa Laodikia kutakuweko na wale wanaojiita Wakristokwa sababu ati wanakubaliana na sifa nzuri za Yesu, hukuwakijiwekea haki ya kuukana Uungu Wake. Wakristo waKisayansi wamefanya jambo hilo tayari pamoja na watuwengi ambao wanahubiri Injili ya kijamii). Yeye ni Mkristowa jina na ni mfuasi wa kanisa. Lakini yeye si mwamini WAKWELI ama mwamini wa Kiroho. Mwamini wa namna hiyoni yule ambaye amebatizwa katika mwili wa Kristo na nimshiriki Wake. Lakini hata hivyo, ni jambo ambalo likokatika kanuni ya Mungu kwamba magugu yakue pamoja na

Page 229: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 219

ngano wala yasing’olewe. Hiyo ni amri ya Mungu. Siku yao yakufungwa matita-matita na kuchomwa moto inakuja; lakinibado haijaja.

Kwa hiyo Roho ananena na kundi hili lililochanganyikana.Kwa upande mmoja Yeye anasifu, na kwa upande mwingineanakemea. Amesema yaliyo heri kwa mwamini wa kweli. SasaYeye anaonya yale ule mzabibu wa uongo unayopaswakufanya kama utasimama uhesabiwe haki mbele za Bwana.

YULE MWANAMKE YEZEBELI

Mtume Yakobo alituonyesha njia ambayo dhambi hupitia.Yak. 1:14-15, “Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yakemwenyewe huku akivutwa na kudanganywa. Halafu ile tamaaikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiishakukomaa huzaa mauti.” Sasa hiyo ndiyo picha hasa ya yaleyanayotukia katika nyakati za kanisa. Kwa kuwa dhambihaikuanza katika kitu cho chote ila hisia tu, kwa hiyo mautikwa kanisa ilianza na matendo rahisi, na yasiyotambulikanasana ya Wanikolai. Kutoka matendo yakawa fundisho. Kutokakwenye fundisho yalizikamata nguvu za serikali na kuingizaupagani. Sasa katika wakati huu linaenda kwa nabii wakemwenyewe (mwalimu) na kwa hiyo linaendelea kusafiri mpakalitakapojikuta kwenye ziwa la moto, kwa maana huko ndikolitakakoishia, katika ile mauti ya pili.

Sasa malalamiko yote ya Mungu dhidi ya wakati huu wanne yanaonekana katika lawama Zake juu ya nabii huyu wakike, Yezebeli. Na ili kufahamu ni kwa nini hasa Yeyeanamlaumu namna hiyo, itatubidi kuchunguza historia yakekatika Biblia na wakati tutakapoona yale aliyofanya kulenyuma, tutajua yale yanayoendelea wakati huu.

Jambo la kwanza na lililo muhimu sana tunalojifunza juuya Yezebeli ni kwamba yeye SI binti wa Ibrahimu, walakuingizwa kwake katika makabila ya Israeli hakukuwakuingizwa kwa kiroho kama kule kuingizwa kwake Ruthu,yule Mmoabi. La bwana. Mwanamke huyu alikuwa binti WaEthbaali, mfalme wa Sidoni (I Wafalme 16:31), ambaye alikuwakuhani wa Astarte. Yeye alinyakua ufalme kwa kumwuaFelesi, aliyemtangulia. Kwa hiyo tunaona mara moja yakwamba yeye alikuwa binti wa mwuaji. (Hii bila shakainatukumbusha juu ya Kaini.) Na namna alivyokuwa sehemuya Israeli si kwa kupitia njia za kiroho ambazo Mungu alikuwaameamuru kwa ajili ya kuwaingiza Mataifa; lakini aliingiakwa KUOLEWA na Ahabu, mfalme wa yale makabila kumi yaIsraeli. Sasa muungano huu kama tulivyoona haukuwa waKiroho; ulikuwa wa kisiasa. Na hivyo mwanamke huyualiyekuwa amezama katika ibada za sanamu hakuwa nashauku hata kidogo ya kuwa mwabudu wa Mungu Mmoja aliye

Page 230: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

220 NYAKATI SABA ZA KANISA

wa Kweli, bali badala yake alikuja ameyakinia kuwageuzaIsraeli wamwache Bwana. Sasa Israeli (yale makabila kumi,)tayari walikuwa wamejua ni nini kuabudu ndama wadhahabu, bali walikuwa bado hawajajiuza kwa ibada zasanamu, kwa maana Mungu aliabudiwa na torati ya Musailikubaliwa. Bali tangu wakati wa Ahabu alipomwoa Yezebeli,ibada za sanamu ziliendelea katika mtindo wa kutisha mno.Ilikuwa ni wakati huu mwanamke huyu alipokuwa kuhanimwanamke katika mahekalu ambayo alimjengea Astarte(Vinasi) na Baali (mungu jua) ambapo Israeli walifikia upeo wahatari sana katika maisha yao.

Tukiwa tumeshikilia jambo hili moyoni tunaweza sasakuanza kuona kile ambacho Roho wa Mungu anaelezea katikawakati huu wa Thiatira. Hiki hapa.

Ahabu akamwoa Yezebeli naye alifanya jambo hilo kamawerevu wa kisiasa kuimarisha ufalme wake na kuulinda.Hivyo ndivyo kanisa lilivyofanya kabisa wakati lilipoolewachini ya Konstantino. Wote waliungana kwa sababu za kisiasa,ingawa waliingiza hali ya kiroho ndani yake. Sasa hakuna mtuanayeweza kunifanya nisadiki kwamba Konstantino alikuwaMkristo. Yeye alikuwa mpagani mwenye yale yaliyoonekanakama mapambo ya Kikristo. Alichora misalaba myeupekwenye ngao za askari. Alikuwa mwanzilishi wa Mashujaa waColumba. Aliweka msalaba juu ya mnara uliochongoka wa Mt.Sofia na hapo akaanzisha mapokeo.

Wazo alilokuwa nalo Konstantino lilikuwa kuwaleta watuwote pamoja, wapagani, Wakristo wa jina na Wakristo wakweli. Na kwa kitambo kidogo ilionekana kana kwambaangefanikiwa kwa maana waamini wa kweli walikuja kuonakama wangeweza kuwarudisha wale waliokuwa wameondokakwenye Neno. Walipoona ya kwamba hawangewezakuwarudisha kwenye ile kweli, walilazimika kutengana nahilo shirika la kisiasa. Ndipo walipofanya hivyo, waliitwawazushi na wakateswa.

Hebu niseme papa hapa ya kwamba tunalo jambo lile lilelikiendelea sasa hivi. Watu wote wanaungana pamoja.Wanaandika Biblia ambalo litamfaa kila mmoja iwe niMyahudi, Mkatoliki, ama Mprotestanti. Wao wana Baraza laowenyewe la Nikea bali wanaliita Baraza la Ekumeni. Naunajua haya mashirika yote yanawapiga vita akina nani?Yanawapiga vita Wapentekoste wa kweli. Simaanishi shirikalinaloitwa Pentekoste. Ninamaanisha wale ambao niWapentekoste kwa sababu wamejazwa na Roho Mtakatifu naowana ishara na karama miongoni mwao kwa maana waowanatembea katika kweli.

Wakati Ahabu alipomwoa Yezebeli kwa sababu za kisiasayeye aliuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza. Ukijiunga na

Page 231: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 221

shirika fulani basi unauza haki yako ya mzaliwa wa kwanza,ndugu, amini usiamini. Kila kundi la Kiprotestanti lililowahikutoka kisha likarudi huko huko lilikotoka waliuza haki zaoza mzaliwa wa kwanza, na unapouza haki yako ya mzaliwa wakwanza, wewe ni kama tu Esau_unaweza kulia na kutubuutakavyo, bali haitakufaa kitu. Kuna jambo moja tuunaloweza kufanya na hilo ni, “Tokeni kwake, enyi watuwangu, na mwache kuzishiriki dhambi zake!” Sasa kamahudhani ninasema kweli, hebu jibu tu swali hili moja. Kunamtu ye yote aishiye anayeweza kuniambia ni kanisa gani amani tukio gani la Mungu lililopata kuwa na ufufuo na likapatakurudi baada ya kuunda shirika na kufanyika madhehebu?Someni historia zenu. Huwezi kupata moja_hata moja.

Ilikuwa ni saa ya usiku wa manane kwa Israeli wakatiwalipojiunga na ulimwengu na kuacha ya Kiroho kuendea yaleya kisiasa. Ilikuwa ni saa ya usiku wa manane kule Nikeawakati kanisa lilipofanya jambo lile lile. Ni saa ya usiku wamanane sasa ambapo makanisa yanaungana.

Basi wakati Ahabu alipomwoa Yezebeli alimruhusukuchukua fedha za serikali na kujenga majumba mawilimakubwa sana ya kuabudia ya Astarte na Baali. Lilealilojengewa Baali lilikuwa kubwa vya kutosha kwa Israeliwote kuja na kuabudia hapo. Na wakati Konstantino na kanisawalipofanya arusi yeye alilipatia kanisa majengo, nakutengeneza madhabahu na sanamu, na akaunda serikali yakanisa ambayo tayari ilikuwa inaumbika.

Wakati Yezebeli alipoungwa mkono na nguvu za serikalialiwalazimisha watu dini yake na akawaua manabii namakuhani wa Mungu. Hali ilikuwa mbaya sana hata Eliya,mjumbe wa siku yake, alifikiria alikuwa ndiye peke yakealiyebakia; bali Mungu alikuwa na wengine 7,000 ambaowalikuwa bado hawajampigia magoti Baali. Na sasa hivi kulenje kati ya hayo madhehebu ya Wabatisti, Wamethodisti,Wapresbiteri, nk., kuna baadhi yao watakaotoka na kumrudiaMungu. Nataka mjue mimi sipambani, sasa, na sijawahikupambana na watu. Ni madhehebu_taratibu ya shirikaambayo ninapambana nayo. Mimi sina budi kuipinga kwasababu Mungu anaichukia.

Sasa hebu na tusimame kwa dakika moja hapa turudiekuelezea kile tulichoelezea juu ya ibada kule Thiatira. Nilisemaya kwamba wao walimwabudu Apolo, (ambaye alikuwa mungujua) pamoja na mfalme. Sasa huyu Apolo aliitwa ‘mkingamaovu.’ Aliwakingia watu maovu. Aliwabariki na alikuwamungu halisi kwao. Ilidaiwa aliwafundisha watu. Alielezeahabari za ibada, na taratibu za hekalu, ibada kwa miungu, juuya kutoa dhabihu na kuhusu mauti na uzima baada ya kufa.Jinsi alivyotenda haya ilikuwa ni kwa kupitia kwa nabii wakike aliyeketi amelala fofofo juu ya kiti cha miguu mitatu. Loo!

Page 232: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

222 NYAKATI SABA ZA KANISA

Mnaliona? Huyu hapa huyo nabii wa kike anayeitwa Yezebelinaye anawafundisha watu. Na mafundisho yake yanawapotoshawatumishi wa Mungu na kuwafanya wafanye uasherati. Sasauasherati maana yake ni ‘ibada ya sanamu.’ Hiyo ndiyo maanayake ya kiroho. Ni muungano haramu. Muungano wa Ahabu namuungano wa Konstantino yote miwili ilikuwa haramu. Wotewawili walifanya uzinzi wa kiroho. Kila mwasherati ataishiakwenye ziwa la moto. Mungu alisema hivyo.

Haya basi, mafundisho ya Kanisa Katoliki (kanisa nikiumbe cha kike, ni mwanamke) linakana Neno la Mungu. Papaambaye ni Apolo mwenyewe kwa mtindo wa kisasaamewafundisha watu kujiunga na sanamu. Kanisa la Kirumisasa limekuwa nabii wa kike wa uongo kwa watu kwa maanalimeliondoa Neno la Mungu kutoka kwa watu na kutoa mawazoyake lenyewe juu ya jambo la msamaha wa dhambi, jambolinaloleta baraka za Mungu; na makasisi wamefikia kiwangocha kusema kwa mkazo kabisa kwamba wanayo mamlaka sikatika maisha tu bali pia katika mauti. Wanafundisha waowenyewe ya kwamba kuna pegatore, lakini huwezi kupata kituhicho katika Neno. Wanafundisha ya kwamba maombi na misana pesa zitakutoa pegatore kukuingiza mbinguni. Utaratibuwote ambao una msingi kwenye mafundisho yake ni wa uongo.Haupo katika msingi wa kweli wa ufunuo wa Mungu katikaNeno Lake bali umekaa kwenye mchanga unaotembeaunaozama wa uongo wake wa kishetani.

Kanisa lilienda moja kwa moja kutoka kwenye utaratibulikawa madhehebu kisha likayaendea mafundisho ya uongo.Hiyo ni kweli. Wakatoliki wa Kiroma hawaamini ya kwambaMungu yuko katika Neno Lake. La bwana. Kamawangaliamini ingewabidi kutubu na kurudi, bali waowanasema Mungu yuko katika kanisa Lake. Hilo lingeifanyaBiblia kuwa ni historia ya Kanisa Katoliki. Sivyo ilivyo.Angalia tu kile waliloufanyia ubatizo wa maji. Waliuondoakutoka kuwa Ubatizo wa Kikristo na kuufanya wa kipaganiwa vyeo. Hebu niwaelezeni kuhusu tukio nililolipata kwakasisi fulani wa Kikatoliki. Msichana fulani ambaye nilikuwanimembatiza wakati mmoja aligeuka akawa Mkatoliki, kwahiyo huyo kasisi alitaka kunihoji mimi kumhusu yeye.Akaniuliza alibatizwa kwa ubatizo wa namna gani.Nikamwambia nilimbatiza katika Ubatizo wa Kikristo ambaondio tu wa aina yake uliokuweko nijuavyo mimi. Nilikuwanimemzika katika maji katika Jina la Bwana Yesu Kristo.Huyo kasisi aliniambia kwamba wakati mmoja KanisaKatoliki lilifanya hivyo. Papo hapo nikamwuliza ni lini KanisaKatoliki lilifanya hivyo, kwa maana nimesoma historia zaonami sikuweza kupata alilosema. Akaniambia ya kwambaulipatikana katika Biblia, na ya kwamba Yesu alikuwaameunda utaratibu wa Kanisa Katoliki. Nikamwuliza kama

Page 233: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 223

yeye alifikiria Petro alikuwa hasa ndiye papa wa kwanza. Yeyeakasema kwa mkazo ya kwamba Petro alikuwa papa wakwanza. Nikamwuliza kama ati misa ziliendeshwa katikaKilatini kusudi ihakikishwe kwamba hazina makosa nahazingebadilika kamwe. Akasema hiyo ilikuwa ni kweli.Nikamwambia ya kwamba mimi nalifikiria wao walikuwawametangatanga mbali sana na waliyokuwa nayo hapomwanzo, nikamjulisha ya kwamba kama kweli KanisaKatoliki liliamini Kitabu cha Matendo, basi mimi nilikuwaMkatoliki wa mtindo wa kale. Akaniambia ya kwamba Bibliailikuwa ni kumbukumbu la Kanisa Katoliki na ya kwambaMungu alikuwa katika kanisa. Sikukubaliana naye kwa maanaMungu yuko katika Neno Lake. Mungu na aonekane kuwaamin na kila mtu mwongo. Kama ukiondoa ama kuongezakatika Kitabu hicho, Mungu ameahidi ya kwambaatawaongezea mapigo wale wanaoongeza na ataondoa sehemuyao kutoka kwenye Kitabu cha Uzima kama wakithubutukuondoa kutoka kwake. Ufu. 22:18,19.

Hebu nionyeshe jinsi Kanisa Katoliki la Kirumilinavyoamini ya kwamba Mungu yuko katika kanisa badala yakuwa katika Neno. Hapa pana maneno yaliyotolewa kwenyekitabu cha kumbukumbu habari za kila siku cha Papa Yohanawa 23. “Uzoefu wangu katika miaka hii mitatu kama Papa,tangu nilipokubali ‘katika hofu na kutetemeka’ utumishi huukatika utii halisi kwa mapenzi ya Bwana, niliyokabidhiwakwa njia ya Baraza Takatifu la Makadinali lilipokutanikakisiri, unashuhudia msemo huu na ni sababu ya kuvutia na yakunidumisha mimi kuwa mwaminifu kwake; kumtumainiMungu kabisa, katika yale yote yanayohusu wakati uliopo, nautulivu mkamilifu kuhusu mambo ya usoni.” Papa huyuanasema ya kwamba Mungu alinena kupitia kwenye kanisaakifunua mapenzi Yake. Ni uongo jinsi gani. Mungu yukokatika Neno Lake Naye hunena kwa Neno akiyafunua mapenziYake. Yeye amesema pia ya kwamba aliweka tumaini kamilifukatika neno la wanadamu na hapo akalitii kwa utulivu.Linasikika ni zuri sana bali ni uongo sana. Kama tu uleupotovu katika Bustani ya Edeni.

Sasa hebu na tufungue hapa katika Ufu. 17 na tumwonemwanamke huyu, kanisa, ambaye anaishi kwa nabii za uongona si kwa Neno la Mungu. Katika aya ya 1 Mungu anamwitakahaba mkuu. Kwa nini yeye ni kahaba? Kwa sababu yeyeyuko kwenye ibada za sanamu. Yeye amewanasa watu katikajambo lile lile. Dawa ya ibada za sanamu ni nini? Neno laMungu. Kwa hiyo mwanamke huyu ni kahaba kwa sababuameliacha Neno. Huyo hapo ameketi juu ya maji mengi,ambayo maana yake ni makutano ya watu. Hili kweli halinabudi kuwa ni lile kanisa la uongo kwa sababu kanisa la Munguni dogo_nao waionao ni wachache.

Page 234: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

224 NYAKATI SABA ZA KANISA

Tazama jinsi alivyo mbele za macho ya Mungu, haidhuruanaonekana ni mzuri sana vipi kwa watu na jinsi anavyosikikani wa kifalsafa. Yeye ni mchafu na amelewa kwa uasheratiwake. Sasa yeye alikuwa amelewa kwa damu ya wafia imani.Kama tu vile Yezebeli aliyewaua manabii na makuhani nakuwaangamiza watu wa Mungu ambao hawangesujudu nakumwabudu Baali. Na hivyo ndivyo hasa Kanisa Katolikililivyofanya. Wao waliwaua hao ambao hawangetii utawalawa kipapa. Wale waliotaka Neno la Mungu badala ya manenoya watu waliuawa, mara nyingi kwa njia za kikatili. Lakinikanisa hili ambalo lilishughulika na mauaji lilikuwa lenyewelimekufa na halikujua. Hamkuwemo na uhai ndani yake walahamna ishara zilizopata kufuatana nalo.

MUDA WA KUTUBU

Ufu. 2:21; “Nami nimempa muda ili atubu, wala hatakikuutubia uzinzi wake.” Unajua ya kwamba kanisa hili kwelililikuwa katili kuliko Ahabu? Unajua ya kwamba yeye alitubukwa kitambo kidogo na kuenenda kwa unyenyekevu mbele zaMungu? Huwezi kusema jambo hilo kuhusu Kanisa Katoliki laKirumi. La bwana. Halijatubu kamwe na kwa ukaidilimemwangamiza ye yote na wote waliojaribu kulisaidiakutubu. Hiyo ni historia. Sasa Mungu aliendelea kuinua siwajumbe tu kwa kila wakati bali aliinua wasaidizi wazurisana kwa ajili ya hao wajumbe. Aliupa kila wakati watuwazuri sana wa Mungu nao wakafanya kila walichowezakulirudisha kanisa kwa Mungu. Mungu hakika alilipa nafasina msaada lipate kutubu. Liliwahi kutubu na kuonyeshalimetubu kwa matunda yake? La bwana. Halijafanya hivyo nahalitafanya hivyo. Limelewa. Limepoteza hisi zake katikamambo ya kiroho.

Sasa msibabaike na kuanza kufikiri ya kwamba Kanisa laKirumi limetubu kwa kuwaua watakatifu ati kwa sababulinajaribu kuungana na Waprotestanti kwa kufanya kanunizake za imani zichukuane na Kanuni za Imani zaKiprotestanti. Halijaomba msamaha hata wakati mmoja nakusema lilikosa kwa mauaji yake ya umati mkubwa wafu.Wala halitatubu. Na haidhuru hata lionekane pole na jemanamna gani katika wakati uu huu, hata hivyo bado litainukalipate kuua, kwa maana kuua kunakaa kwenye moyo wakemwovu na usiotubu.

HUKUMU IMETOLEWA DHIDI YA YULE KAHABA

Ufu. 2:22-23,”Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na haowazinio pamoja naye, wapate dhiki kubwa wasipotubiamatendo yao; nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na

Page 235: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 225

makanisa yote watajua ya kuwa Mimi Ndiye achunguzayeviuno na mioyo. Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri yamatendo yake.”

Ati nini? Ato mwanamke huyu ana watoto? Naye nikahaba? Kama hivyo ndivyo ilivyo ya kwamba yeye alipatawatoto kwa ukahaba wake basi hana budi kuchomwa motokama vile Neno lilivyosema. Hiyo ni kweli kabisa. Huo ndiomwisho wake kwa maana ataungua kwa moto. Mwisho wakeni ziwa la moto. Lakini simama na ukafikirie kidogo juu yawatoto hawa. Mwanamke ndiye anayezaa watoto. Ni dhahiriya kwamba mwanamke huyu alikuwa na watoto waliotokakwake lakini walifanya jambo lile lile alilolifanya. Nionyeshekanisa hata moja liliwahi kutoka kwenye shirika ambalohalikurudi moja kwa moja tena huko. Hakuna hata moja. Hatamoja. Waluteri walitoka kisha wakaunda madhehebuwakarudi kule kule na leo hii wao ni kidole na pete katikapilikapilika za ekumeni. Wamethodisti walitoka kishawakarudi kuunda madhehebu moja kwa moja. Wapentekostewalitoka kisha wakaunda madhehebu moja kwa moja.Kutakuwa na kutoka kwingine, na Mungu asifiwe hawataundamadhehebu warudi kule kwa sababu wanajua kweli. Kundihilo litakuwa bibi-arusi wa siku za mwisho.

Sasa imesemwa hapa ya kwamba huyo kahaba alikuwa nawatoto. Sasa walikuwa ni nani? Walikuwa ni mabinti, kwamaana walikuwa ni makanisa kama yeye tu alivyo. Sasa hapapana jambo la kuvutia sana. Yezebeli na Ahabu walikuwa nabinti. Binti huyo aliolewa na Yehoramu mwana waYehoshafati na katika 2 Wafalme 8:16 inasema ya kwamba“Yehoramu alienda katika njia za baba mkwe wake.” Yeyealiingia moja kwa moja katika ibada ya sanamu kwa ndoa hii.Aliiingiza Yuda inayomcha Mungu na inayomwabudu Mungukatika ibada ya sanamu. Hivyo ndivyo hasa haya makanisawashirika yote yalivyofanya, kama tu nilivyowaelezea. Waowanaanza katika ile kweli kisha wanafunga ndoa namadhehebu na wanaacha Neno wachukue mapokeo, kanuni zaimani nk. Sasa hebu niwaelezee jambo hili. Katika Ebr. 13:7inasema, “Watiini wao waliokuwa wakiwaongoza,waliowaambia Neno la Mungu.” Neno ndilo linalotutawala, siwanadamu. Sasa mwanamume kama mume ndiye kichwa chamwanamke. Yeye humtawala. Bali kanisa ni mwanamke, pia,na mtawala wake ni Neno. Yesu ni Neno. Kama kanisalikikataa Neno na kukubali uongozi mwingine ni mzinzi. Sasawewe nitajie kanisa moja ambalo halijaacha Neno nakuchukua mapokeo na kanuni za imani. Yote ni mazinzi_kama mama, kama binti.

Adhabu ya yule kahaba na watoto wake itakuwa ni nini?Vema, itakuwa na vipengele viwili. Kwanza Yeye alisema,“Nitamtupa kitandani.” Kulingana na sehemu ya mwisho ya

Page 236: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

226 NYAKATI SABA ZA KANISA

aya ya 22 itakuwa ni kitanda cha dhiki, ama ile dhiki kuu.Hivyo ndivyo hasa alivyosema Yesu katika Mat. 25:1-13.Kulikuwa na wanawali kumi. Watano walikuwa ni wenyebusara na watano walikuwa wapumbavu. Wale watano wenyebusara walikuwa na mafuta (Roho Mtakatifu) bali haowengine watano hawakuwa nayo. Wakati kelele iliposikika,“Haya, Bwana Arusi yuaja,” iliwabidi wale watanowapumbavu kukimbia wakitafuta mafuta huku wale watanowenye busara wakaenda kwenye arusi. Hao watanowalioachwa nje waliachwa kwenye ile dhiki kuu. Hivyo ndivyoitakavyotukia kwa wale wote ambao hawataenda kwenyekunyakuliwa. Hilo ndilo litakalompata yule kahaba na bintizake. Pili, inasema ya kwamba Yeye atawauwa kwa mauti amakama tafsiri halisi inavyosema, “Na wauawe kwa mauti.” Huuni msemo wa ajabu. Tunaweza kusema, “mtu na auawe kwakunyongwa, ama kwa umeme ama kwa njia fulani nyingine.”Bali huu unasema, “Na wauawe kwa mauti.” Mauti yenyewendiyo sababu ya kifo chao. Sasa nawatakeni mwone jambo hilikwa dhahiri ili nichukue tena mfano wetu wa binti waYezebeli akiolewa katika nyumba ya Yuda na hapo akiiingizamoja kwa moja katika ibada za sanamu na kumfanya Munguawapeleke Yuda mautini. Hivyo ndivyo alivyofanya Balaamu,pia. Kwa hiyo hapa alikuwepo Yezebeli na upagani wake.Upande ule yuko Yuda akimwabudu Mungu ipaswavyo nakuishi chini ya Neno. Kwa hiyo Yezebeli anamwoza bintiyekwa Yehoramu. Mara jambo hilo litukiapo, Yehoramuanawafanya watu kuwa waabudu sanamu. Mara hiyo ndoailipofungwa Yuda akawa amekufa. Mauti ya kiroho ikaingia.Mara kanisa la kwanza la Rumi lilipounda madhehebu,lilikufa. Mara Waluteri walipounda madhehebu, mauti iliingianao wakafa. Wapentekoste walikuja mwishoni nao wakaundamadhehebu. Roho akaondoka, hata ingawa wao hawaaminijambo hilo. Bali aliondoka. Ndoa hiyo ilileta mauti. Ndiponuru ya Umoja wa Uungu ikaja. Wao wakaunda madhehebuna wao pia wakafa. Ndipo baada ya moto wa Mungu kushukaMto Ohio katika mwaka wa 1933 ufufuo wa kuponya ulieneaulimwenguni, bali haukuja kwa kupitia shirika lo lote. Mungualienda nje ya makundi ya Kipentekoste, nje ya shirika, na yaleatakayofanya katika siku za usoni yatakuwa nje ya shirika,pia. Mungu hawezi kutenda kazi kwa kuwatumia wafu.Anaweza kutenda kazi tu kwa kupitia washiriki WALIO HAI.Hao washiriki walio hai wako nje ya Babiloni.

Kwa hiyo unaona, “Mauti” ama “Shirika” lilikuja, nalokanisa likafa, ama kulifanya dhahiri zaidi mauti ikafanyamakao mahali ambapo muda mfupi kabla yake ni UZIMA pekeyake ulitawala. Kama vile Hawa wa awali alivyosababishamauti kwa wanadamu vivyo hivyo hivi sasa madhehebuyameleta mauti, kwa maana madhehebu ni matokeo ya mambomawili yanayopotoka, Unikolai na Ubalaamu, vinavyoenezwa

Page 237: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 227

na nabii mke Yezebeli. Sasa, Hawa alipaswa kuchomwa motopamoja na yule nyoka kwa sababu ya tendo lao la kuchukizasana. Bali Adamu aliingilia kati, akamchukua upesi hivikwamba aliokoka. Bali wakati dini hii ya Kishetaniitakapopitia katika kipindi chote kizima cha nyakati,hapatakuwa na mtu wa kuingilia kati, naye atachomwa motopamoja na mwenye kulipotosha, kwa maana yule kahaba nawatoto wake pamoja na mpinga Kristo na Shetani watatupwawote katika ziwa la moto.

Papa hapa nitakuwa nikijitangulia na labda napaswakuliacha jambo hili kwa ajili ya ujumbe juu ya wakati wamwisho, bali linaonekana ni sawa tu kuliingiza sasa kwamaana linahusu kwa dhahiri sana madhehebu na kilekitakachotukia kupitia kwayo. Nami nataka kuwaonya. Ufu.13:1-18, “Kisha nikasimama juu ya mchanga wa bahari, nanikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi,na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, najuu ya vichwa vyake majina ya makufuru. Na yule mnyamaniliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwakama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa chasimba; yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi nauwezo mwingi. Nikaona kimoja cha vichwa vyake kanakwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mautilikapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyamauwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ninani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezayekufanya vita naye? Naye akapewa kinywa cha kunena manenomakuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yakemiezi arobaini na miwili. Akafunua kinywa chake amtukaneMungu, na kulitukana Jina Lake, na maskani Yake, naowakaao mbinguni. Tena akapewa kufanya vita na watakatifuna kuwashinda, akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa nalugha na taifa. Na watu wote wakaao juu ya nchiwatamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katikaKitabu cha Uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangukuwekwa misingi ya dunia. Mtu akiwa na sikio na asikie. Mtuakichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwaupanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye subira naimani ya watakatifu. Kisha nikaona mnyama mwingine,akipanda juu kutoka katika nchi; naye alikuwa na pembembili mfano wa mwana-kondoo, akanena kama joka. Nayeatumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake.Naye aifanya dunia na wote wakaao ndani yake wamsujudiemnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.Naye afanya ishara kubwa, hata kufanya moto kushukakutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu. Nayeawakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa ishara zilealizopewa kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia

Page 238: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

228 NYAKATI SABA ZA KANISA

wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama,aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi. Akapewa kutiapumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu yamnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamuya mnyama wauawe. Naye awafanya wote, wadogo kwawakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwawatumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, aukatika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu awaye yoteasiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani,jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake. Hapa ndipo penyehekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyamahuyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni miasita, sitini na sita.”

Sura hii inaonyesha nguvu za Kanisa Katoliki la Kirumi nayale litakalofanya kwa kupitia kwenye shirika. Kumbuka huundio ule mzabibu wa uongo. Acha utaje Jina la Bwana,unafanya hivyo kwa uongo tu. Uongozi wake si wa Bwana balina Shetani. Hatimaye unaishia ambapo unatambulishwa namnyama kabisa. Yule kahaba akiketi juu ya mnyamamwekundu sana inaonyesha kwa dhahiri nguvu zake ni zamungu anayetumia nguvu (Shetani) na si Mungu wetu, BwanaYesu Kristo.

Katika aya ya 17 inaonyesha kwa mkazo ya kwamba yeyeatatwaa mamlaka kabisa juu ya uchumi wa dunia, kwa maanahakuna mtu awezaye kununua wala kuuza bila yeye. Hililinathibitishwa katika Ufu. 18:9-17 ambapo anaonyeshwaakijihusisha na wafalme, watawala, wafanyi biashara, ambaowote wana uhusiano na Rumi na biashara.

Katika Ufu. 13:14, tunapata kujua ya kwamba yulemnyama anaeneza ushawishi wake kwa kupitia sanamualiyojengewa. Sanamu iliyojengwa ni baraza la ekumeni ladunia nzima, ambamo makanisa yote yaliyounda madhehebuyatakutanika pamoja na Wakatoliki wa Kirumi (hata sasa hiviwanafanya hivyo.) Inawezekana kabisa muungano huuutafanyika kusudi wakomeshe nguvu za ukomunisti. Lakinikwa sababu ukomunisti kama vile Nebukadreza umeinuliwa ilikuuunguza mwili wa yule kahaba, Rumi itashindwa nakuangamizwa. Angalia kwamba kila mahali kanisa la Kirumililipokwenda, ukomunisti ulifuata. Haina budi kuwa namnahiyo. Na hebu niwaonye sasa, msifikiri Ukomunisti ndio aduiyenu pekee. La bwana. Ni Kanisa Katoliki pia, na hata nazaidi.

Sasa hebu na tusome Ufu. 13:1-4, kisha tulinganishe hayana Ufu. 12:1-5. Ufu. 13:1-4, “Kisha nikasimama juu ya mchangawa bahari, nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenyepembe kumi na vichwa saba, na juu ya pembe zake anavilemba kumi, na juu ya vichwa vyake jina la makufuru. Nayule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu

Page 239: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 229

yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kamakinywa cha simba; yule joka akampa nguvu zake, na kiti chakecha enzi na uwezo mwingi. Nami nikaona kimoja cha vichwavyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake lamauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyamauwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ninani afananaye na mnyama huyu? tena ni nani awezayekufanya vita naye?” Ufu. 12:1-5, “Na ishara kuu ilionekanambinguni; mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ulikuwa chiniya miguu yake, na juu ya kichwa chake taji ya nyota kumi nambili. Naye alikuwa ana mimba, akilia, hali ana utungu nakuumwa katika kuzaa. Ikaonekana ishara nyingine mbinguni;na tazama, joka kubwa jekundu, alikuwa na vichwa saba napembe kumi, na juu ya vichwa vyake vilemba saba. Na mkiawake wakokota theluthi ya nyota za mbinguni, na kuziangushakatika nchi. Na yule joka akasimama mbele ya yulemwanamke aliye tayari kuzaa, ili azaapo, amle mtoto wake.Naye akazaa mtoto mwanamume, yeye atakayewachungamataifa yote kwa fimbo ya chuma. Na mtoto wakeakanyakuliwa hata kwa Mungu, na kwenye kiti Chake chaenzi.” Shetani na dini yake ya Kishetani wamo katikawanyama hawa wawili. Katika Ufu. 14, yule mnyama aliyetiwajeraha la mauti lakini akaishi tena ni milki ya kipagani yaRumi ambayo iliangushwa na mashambulizi ya washenzi nahapo ikapoteza nguvu zake za kitaifa. Bali ilizipata tenakupitia Rumi ya papa. Mnaliona? Taifa lile lililotawala kwakuwavunjavunja wote na ambalo lilifanyika dola yenye nguvusana iliyopata kujulikana, hatimaye lilitiwa jeraha la mauti.Nguvu zake za kitaifa kama kutawala kwa majeshi nk.zilikwisha. Bali chini ya Konstantino liliishi tena, kwa maanaRumi ya papa imepenyeza kila mahali duniani, na nguvu zakehazina kikomo. Inawatumia wafalme na wafanyi biashara nakatika nguvu zake hatari za kidini na za kifedha inatawalakama mungu mke wa wakati huu wa sasa. Hiyo pia ndiyo yulejoka aliyesimama apate kumla mtoto mwanamume. Herodealijaribu kumwua Bwana Yesu Kristo na akashindwa. BaadayeYesu alisulubiwa na askari wa Kirumi, bali sasaamenyakuliwa hata kwenye kiti cha enzi.

Sasa pamoja na yale ambayo nimesema sasa hivi,kumbukeni lile ono la Danieli. Sehemu ya mwisho ya ilesanamu, milki ya mwisho ya ulimwengu ilikuwa kwenyemiguu. Hiyo ilikuwa chuma na udongo. Angalia kwamba kilechuma ni dola ya Kirumi. Bali sasa si chuma kitupu tena.Udongo umechanganyika ndani yake. Hata hivho ipo pale nainatawala shughuli za dunia katika mataifa ya kidemokrasiana yale yaliyozidi katika kutawala kwa mabavu. Kanisa laKirumi liko katika kila taifa. Limechanganyikana na hayoyote.

Page 240: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

230 NYAKATI SABA ZA KANISA

Hebu niwape kitu fulani kidogo juu ya chuma na udongo.Mnakumbuka wakati Khrushchev alipogonga meza kwa kiatuchake kwenye U.M.? Vema, kulikuweko na mataifa matano yamashariki hapo na matano ya magharibi. Khrushchevaliwakilisha Mashariki na Rais Eisenhower Magharibi. KatikaUrusi, Khrushchev ni udongo na Eisenhower inamaanishachuma. Wale watawala wawili muhimu wa ulimwengu, vidolegumba viwili vikubwa vya miguu vya chuma na udongo,viliketi pamoja. Tuko katika mwisho wa yote.

Katika aya ya 4 inauliza, “Ni nani awezaye kufanya vita namnyama huyu?” Naam kwa sasa kuna majina makubwaulimwenguni. Kuna baadhi ya mataifa yenye nguvu, bali sasahivi Rumi ndiyo inayotawala. Papa ameshika usukani. Nanguvu zake zitaongezeka. Hakuna mtu anayeweza kufanyavita dhidi yake.

Aya ya 6 “Akafunua kinywa chake amtukane Mungu.”(Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu,wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa, wenye mfano wautauwa huku wakikana nguvu zake.) Yeye alilitukana Jina laMungu_akilibadilisha Jina hilo kuwa vyeo na kukataakufanya vinginevyo.

Aya ya 7 “Tena akapewa kufanya vita na watakatifu.”Mateso_mauti kwa mwamini wa kweli na yote katika Jina laBwana kusudi Jina la Mungu litukanwe, kama ilivyo kuleUrusi, kwa sababu ya yale dini ya Katoliki ilivyofanya kule.

Aya ya 8, “Na watu wote wakaao juu ya nchi (wote ambaomajina yao hayakuandikwa katika Kitabu cha Uzima chaMwana-Kondoo aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi yadunia) watamsujudu.”

Mungu ashukuriwe hao kondoo hawatamsujudu. Kilammoja atadanganywa ila walio wateule. Bali waohawatadanganywa. Kwa maana wao huisikia sauti yaMchungaji na kumfuata.

Haya basi, oneni hili, yale tuliyokuwa tukijaribukuwaonyesha. Hii mbegu ya mauti iliyoanza katika wakati wakwanza_hii mbegu ya kimadhehebu, hatimaye imekua ikawamti ambamo kila ndege mchafu anakaa. Mbali na madai yakekuwa yeye ni mpaji wa uzima, yeye ni mpaji wa mauti. Tundalake ni MAUTI. Wale wanaomshiriki wamekufa. Taratibu hiikuu ya kanisa la ulimwengu ambayo huupumbaza ulimwenguya kwamba ndani yake mna wokovu wa kimwili na wa kirohohuwadanganya na kuwaangamiza watu wengi mno. Lakiniyeye si mauti tu katika mwili, bali kiumbe hiki cha mzoga huuuliokufa chenyewe kitauawa kwa mauti ambayo ni ziwa lamoto. Loo! laiti watu wangalijua mwisho wao utakakuwa ninini wakibaki ndani yake. “Tokeni kwake, hivi mbonamnataka kufa?”

Page 241: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 231

ONYO LA MWISHO

Ufu. 2:23. “Nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Namakanisa yote watajua ya kuwa Mimi Ndiye achunguzayeviuno na mioyo. Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri yamatendo yake.”

Mungu huangalia moyo. Hilo halijabadilika kamwe. Walahalitabadilika kamwe. Hapa, kama vile katika nyakati zotekuna makundi mawili, yote yakidai ufunuo wao kutoka kwaMungu na uhusiano wao na Mungu. “Lakini msingi wa Munguulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajuawalio Wake.” 2 Tim. 2:19. “Bwana huchunguza viuno.” Neno‘chunguza’ linamaanisha ‘kufuatilia’ ama ‘andama.’ Munguhufuatilia mawazo yetu (viuno); Yeye anajua kilicho mioyonimwetu. Yeye huziona kazi zetu ambazo ni madhihirishodhahiri ya yale yaliyo ndani yetu. Ni kutoka moyoni ambamohutoka aidha haki ama maovu. Madhumuni yetu, makusudiyetu_yote yanajulikana Kwake kwa kuwa Yeye huchunguzakila tendo. Na kila tendo, kila neno litaletwa hukumuni wakatihesabu ya maisha yetu itakapotolewa. Hapakuwepo nakumcha Mungu mbele ya ule mzabibu wa uongo na waowatalipia kwa uchungu. Hebu wote wanaolitaja Jina Lake,waishi inavyowapasa watakatifu. Tunaweza kuwadanganyawatu lakini hatuwezi kumdanganya Bwana.

AHADI KATIKA SIKU ZILE ZA GIZA

Ufu. 2: 24-25. “Lakini nawaambia ninyi, na wengine mliokoThiatira, wo wote wasio na mafundisho hayo, wasiozijuafumbo za Shetani, kama vile wasemavyo, Sitaweka juu yenumzigo mwingine. Ila mlicho nacho kishikeni sana, hatanitakapokuja.” Sasa kabla hatujaingilia ile ahadi hebunionyeshe tena ya kwamba kanisa kama lilivyonenwa na Rohokatika kitabu hiki lina mizabibu miwili ambayo inaundakanisa hili kwa matawi yake yaliyosukana. “Lakininawaambia ninyi, na hao wengine wote walioko Thiatira wasiona mafundisho haya.” Hilo hapo. Yeye anazungumza namakundi hayo mawili. Moja lina lile fundisho, lingine halina.Hayo hapo, wametawanyika kila mahali katika mataifa hukufundisho la kila mmoja wao likipingana na la mwingine. Mojani la Mungu, likijua fumbo zake, hilo lingine ni la Shetani,likijua fumbo za Shetani.

“Sitaweka juu yenu mzigo mwingine.” Neno jingine badalaya mzigo ni uzito ama dhiki. Dhiki ya zile Zama za Gizailikuwa aidha ukubali, ama uvunjiliwe mbali. Sujudu la sivyoufe. Ilikuwa ni lile baraza kuu la kuhukumu waamini, nguvuza dola zikiunga mkono ibada za Kishetani. Unda madhehebula sivyo utalipa kwa uhai wako. Kila wakati ulikuwa na dhiki

Page 242: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

232 NYAKATI SABA ZA KANISA

zake. Kwa mfano mzigo mkubwa wa wakati wa mwisho nimatatizo ya utajiri, kuishi maisha ya raha na wasiwasi wamawazo katika wakati wenye mambo chungu mbovu ambamoinaonekana ni vigumu kwetu kuishi ndani yake. Wakati huuwa nne ulionekana kama kwamba ulikuwa na mzigo wa waziwazi. Ulikuwa ni wa kuasi Rumi, kusimama imara na Nenohata kufa.

“Wasiozijua fumbo za Shetani.” Inaonekana ya kwambaaya hii imeachwa na wafafanuzi kwa kuwa wao hawakuwezakujua ni fundisho gani ama ni ujuzi gani uliomaanishwa nakifungu hiki. Kwa kweli ni rahisi kujua unamaanisha nini.Hebu kwanza tujue fumbo la Mungu ni kitu gani, na kinyumechake ndicho kitakachokuwa fumbo la Shetani. Katika Efe.3:16. “Awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu Wake,kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho Wake, katikautu wa ndani; Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwana shina na msingi katika upendo; ili mpate kufahamu pamojana watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, nakina; na kuujua upendo Wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsiulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote waMungu.” Sasa kulingana na aya hizi, wakati mtu anapopataujuzi wa kina cha Mungu katika maisha yake, ni tukio halisi lakibinafsi la Roho wa Mungu akiishi ndani yake, na nia yakeinaangazwa na hekima na maarifa ya Mungu kwa kupitiaNeno. Lakini kina cha Shetani kitakuwa kwamba yeyeatajaribu kuangamiza jambo hilo. Yeye daima atajaribukufanya badiliko la ukweli huu wa Mungu. Atafanyaje jambohilo? Ataondoa maarifa ya ukweli wa Mungu_kuliangamizaNeno kwa kuweka lake mwenyewe, “Ati! hivi ndivyoalivyosema Mungu?” Hapo basi yeye atabadilisha utu waKristo katika roho zetu. Atabadilisha, kama vile alivyowafanyaIsraeli kufanya jambo lile lile; kwa mwanadamu akitawalakama mfalme badala ya Mungu. Tukio la kuzaliwa mara ya pililitakataliwa kwa kupenda kujiunga na kanisa. Fumbo zaShetani zilikuwa zimeingizwa ndani katika wakati huo. Natunda la fumbo hilo la Shetani ambalo ni uongo, mauaji nauharibifu wa kutisha yalitokana na jambo hilo.

THAWABU

Ufu. 2:26-29. “Na yeye ashindaye, na kuyatunza matendoYangu hata mwisho, nitampa mamlaka juu ya mataifa, nayeatawachunga kwa fimbo ya chuma, kama vyombo vyamfinyanzi vipondwavyo, kama Mimi Nami nilivyopokea kwaBaba Yangu. Nami nitampa ile nyota ya asubuhi. Yeye aliye nasikio, na alisikie Neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.”

“Yeye ashindaye na kuyatunza matendo yangu hatamwisho.” Ni dhahiri sana kutokana na matamshi ya Roho juu

Page 243: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA THIATIRA 233

ya kazi ya kwamba Bwana anajaribu kuwafanya walio Wakekuona maoni Yake ya kazi za haki. Anataja kazi mara nne. Nasasa Yeye anasema, ya kwamba yeye anayeendelea kutendakazi Zake kwa uaminifu hata mwisho atapewa mamlaka juuya mataifa, naye atakuwa kiongozi mwenye nguvu, hodari,shupavu ambaye anaweza kukabiliana vizuri sana na hali yoyote, kwamba hata adui aliye mbaya sana atavunjwa kamakukiweko na haja. Dhihirisho Lake la kutawala kwa mamlakalitakuwa kama lile lile la Mwanawe. Hili linashangaza sana.Lakini hebu na tuangalie ahadi hii katika nuru ya wakati huo.Rumi yenye nguvu ikiungwa mkono na serikali, ikiwatumiawafalme na majeshi na wabunge, inavunja-vunja na kusagayote yaliyo mbele zake. Imewaua mamilioni na inaona njaa yakuwaua mamilioni wengine ambao hawatamsujudu.Inawatawadha wafalme na kuwashusha bila kuvumilia wakatiwo wote awezapo. Naam, kuingilia kwake kati kwa kwelikumeyafanya mataifa kuanguka kwa maana amepaniakuwaangamiza wateule wa Mungu. Kazi zake ni kazi za ibilisi,kwa kuwa huua na kudanganya kama ibilisi alivyofanya.Lakini siku inakuja ambapo Bwana atasema, “Waleteni hawaadui Zangu mbele Yangu mkawaue.” Ndipo wenye hakiwatakapokuwa na Bwana wao wakati hasira Yake yenye hakiitakaposhuka juu ya wanaokufuru. Wale wenye hakiwatakapokuja Naye katika utukufu, watawaangamiza haowalioiharibu nchi na kuwaangamiza watakatifu wa Mungu.Huu ulikuwa ni wakati wa kugeuza hilo shavu lingine, wadhiki mbaya sana; lakini siku inakuja wakati kweli itashindana ni nani atakayesimama katika moto wake na awe salama?Ni wale waliokombolewa tu na Bwana.

“Nami nitampa ile nyota ya asubuhi.” Kulingana na Ufu.22:16, na 2 Pet. 1:19, Yesu ndiye Nyota ya Asubuhi. “MimiNdimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aaya asubuhi.” “Mpaka kutakapopambazuka, na nyota yaasubuhi kuzuka mioyoni mwenu.” Roho kwa hiyo basi,anawapa wateule wa zile Zama za Giza ahadi kuhusiana naYeye Mwenyewe na halafu pia katika nyakati zijazo.

Kama tulivyokwisha kusema, Yesu anajitambulishaMwenyewe na wajumbe wa kila wakati. Wao wanapokeakutoka Kwake ufunuo juu ya Neno kwa ajili ya kila kipindi.Ufunuo huu wa Neno huwaleta wateule wa Mungu kutokakatika ulimwengu na waingie katika muungano mkamilifu naYesu Kristo. Wajumbe hawa wanaitwa nyota kwa sababu waowanawaka kwa nuru ya kuazima ama nuru wanayoitoa na waoya Mwana, yaani Yesu. Wao wanaitwa nyota pia kwa sababuwao ni ‘wabebaji wa nuru’ usiku. Kwa hiyo katika giza ladhambi, wanaleta nuru ya Mungu kwa watu Wake.

Hizi ndizo zile Zama za Giza. Ni giza hasa kwa sababuNeno la Bwana karibu lote limefichwa kabisa kwa watu.

Page 244: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

234 NYAKATI SABA ZA KANISA

Maarifa ya Yeye Aliye Juu karibu yamekoma. Kifo kimepigawaamini wengi mno mpaka makundi yao yamepunguka sanakwa kuuawa. Mambo ya Mungu yako katika hali ya kufifiasana mpaka kufikia wakati huu, na ilionekana ya kwambaShetani hakika angewashinda watu wa Mungu.

Kama watu walipata kuhitaji ahadi inayoishikilia nchiambamo hamna usiku, ilikuwa ni watu wa zile Zama za Giza.Na hiyo ndiyo sababu Roho anawaahidi nyota ya asubuhi.Yeye anawaambia hivyo ya kwamba ile Nyota Kuu, yaaniYesu, Ambaye anaishi katika Nuru ambayo hakuna mtuanayeweza kuikaribia, atawaangazia katika ufalme ujao kwauwepo Wake Mwenyewe. Yeye hatakuwa akitumia zile nyota(wajumbe) kutoa nuru katika giza tena. Itakuwa ni Yesu,Mwenyewe, akinena nao uso kwa uso akishiriki ufalme Wakenao.

Nyota ya asubuhi ndiyo inayoonekana wakati nuru ya juainapoanza kuangaza. Wakati Jua letu, (Yesu) atakapokuja,hakutakuweko na haja zaidi ya wajumbe; Yeye atatuleteaujumbe Wake Mwenyewe wa furaha; na wakati anapotawalaufalme Wake, nasi tunaishi katika uwepo Wake, nuru ya Nenoitazidi kung’aa zaidi na zaidi katika siku yetu kamilifu.

Tungetamani nini tena kuliko Yesu Mwenyewe? Je! Yeye sini kila kitu, hata Kila Kitu kilicho Kikamilifu?

Yeye aliye na sikio na alisikie hili ambalo Roho ayaambiamakanisa. Amina. Hata hivyo, Bwana Mungu, kwa Roho Yako,jalia tuisikie kweli Yako.

Page 245: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 235SURA YA SABA

WAKATI WA KANISA LA SARDI

Ufunuo 3:1-6

Na kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika; Hayandiyo anenayo Yeye aliye na hizo Roho saba za Mungu, na zilenyota saba. Nayajua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwahai, nawe umekufa.

Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe mambo yaliyosalia,yanayotaka kufa. Maana sikuona matendo yako kuwayametimilika mbele za Mungu Wangu.

Basi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyosikia;yashike hayo na kutubu. Walakini usipokesha, nitakuja kamamwivi, wala hutaijua saa nitakayokuja kwako.

Lakini unayo majina machache katika Sardi, watuwasioyatia mavazi yao uchafu. Nao watakwenda pamoja Namihali wamevaa mavazi meupe, kwa kuwa wamestahili.

Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe, walasitalifuta kamwe jina lake katika kitabu cha uzima, Naminitalikiri jina lake mbele za Baba Yangu, na mbele ya malaikaZake.

Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Rohoayaaambia makanisa.

SARDI

Sardi ulikuwa mji mkuu wa Lidia ya kale. Ulitoka katikamikono ya wafalme wa Lidia ukawa wa Waajemi halafuukatekwa na Alekzanda Mkuu. Ulitekwa na Antioka Mkuu.Ndipo Walfame wa Pergamo wakafaulu kuutawala mpakawakati Warumi walipouteka. Katika wakati wa Tiberiaulikumbwa na matetemeko ya ardhi na tauni. Siku hizi nilundo la magofu na haukaliwi na watu.

Mji huu wakati mmoja ulikuwa muhimu sana kibiashara.Plini alisema ya kwamba ustadi wa kutia sufu rangi ulibuniwahapa. Ulikuwa ni kituo cha kutia sufu rangi na kufuma mazulia.Eneo hili lilikuwa na fedha nyingi na dhahabu nyingi nainasemekana ya kwamba sarafu za dhahabu kwa mara yakwanza zilitengenezwa hapo. Ulikuwa pia na soko la watumwa.

Dini ya mji huu ilikuwa ibada chafu ya kuabudu munguwa kike Sibele. Magofu makubwa sana ya hekalu hilo yangaliyanaweza kuonekana.

Utakumbuka ya kwamba katika Wakati wa Pergamonilitaja ya kwamba lile wazo la Kibabeli la “mama na mwana”

Page 246: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

236 NYAKATI SABA ZA KANISA

wanaojulikana kama Semiramisi na Ninusi walikuwa Sibelena Deoiusi wa Asia. Sifa zao hawa wawili zinazoambatana naozinatoa mwanga sana tunapowachunguza sambamba.

Huyu mwana alikuwa ndiye mungu jua; mama alikuwamungu mwezi.

Mwana alikuwa bwana wa mbinguni; mama alikuwamalkia wa mbinguni.

Mwana alikuwa mfunuzi wa fadhili na ukweli; mamaalikuwa wa upole na rehema.

Mwana alikuwa mpatanishi; mama alikuwa mpatanishi wakike.

Mwana alikuwa na ufunguo ambao hufungua na kufungamalango ya ulimwengu usioonekana; naye mama alikuwa naufunguo aina hiyo hiyo akifanya yale yale.

Mwana alikuwa hakimu wa waliokufa; mama alisimamakaribu naye.

Mwana alipouawa, alifufuka na kupaa mbinguni; mamaalipelekwa kule katika mwili na mwanawe.

Sasa huko Rumi mungu yuyu huyu anapewa sifa za Bwanawetu: yeye anaitwa Mwana wa Mungu wakati mama anaitwamama wa Mungu.

Sasa jambo hilo ndilo tuliloliona kule nyuma katikanyakati zile nyingine mbili, ambapo wazo la ‘mama na mwana’lilichukua uhusiano mkubwa sana. Lakini sasa angalia yakwamba kama vile ilivyokuwa kule nyuma huko Babelikwamba ibada ya mwana ilianza kuzidiwa na ibada ya mama,kwa hiyo, mama akaanza kupachukua kabisa mahali pamwana. Tunaona katika wakati huu ya kwamba ibada zote zakipagani za Sardi zilikuwa ibada za kumwabudu mwanamke.Ilikuwa ni Sibele peke yake, si Sibele na Deoiusi. Mamaamepachukua mahali pa Mwana kabisa, akijaliwa sifa zaUungu. Mtu anachohitaji kufanya tu ni kupitia katika sifazake mbalimbali na kukumbuka sifa nzuri sana alizopewaMariamu na Kanisa la Kirumi kuelewa mahali dini ya wakatihuu ilikotoka.

Mambo mawili yalinigusa kwa nguvu nilipochunguzaibada hii ya Sibele. Jambo moja lilikuwa ukweli kwambaalivaa ufunguo kama wa Janusi ambao ulimpa mamlaka yaleyale kama ya Janusi, (ufunguo wa mbinguni na duniani namafumbo ya miungu) na ukweli kwamba waabuduohujicharaza mijeledi mpaka damu itoke miilini mwao, jamboambalo linafanywa leo hii na Wakatoliki wanaoona kwambawanateseka kama Bwana.

Ukweli kwamba huu ndio wakati wa kwanza wakutengana halisi na Rumi ya papa ambayo ilistawi kweli, bilashaka ilimsababisha nabii wa kike Yezebeli kuimarisha na

Page 247: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 237

kutilia mkazo fundisho lake la ibada ya Mariamu katikaupinzani wa dhahiri dhidi ya Waprotestanti ambaowalimkanushia kuwa na sehemu yo yote katika mpango waWokovu achilia mbali kukubalika kwake mbele za Mungukama bikira aliyechaguliwa kumzaa yule Mwana. WakatiLuther alipokuwa anadhihirisha fundisho la kuhesabiwa hakikwa imani wao walishikilia matendo, vitubio, maombi na njianyingine zisizo za kimaandiko. Na wakati Wakristo waliokuwahuru walipomtukuza Mwana, Wakatoliki wa Kirumiwalizidisha kumpa Mariamu sifa za kuwa Mungu mpaka karneya ishirini ikamwona (huku wanatheolojia wa Kirumi walio navyeo vya juu sana wakipinga) Papa Piusi akimwinua Mariamudhahiri kabisa atukuzwe katika mwili uliofufuka. Fundishohilo ni la Kibabeli kabisa la mwana anayembeba mamambinguni katika mwili.

Si ajabu wakati huu wa tano unaenda moja kwa mojapamoja na nyakati zile nyingine na utaendelea hivyo mpakautakapoishia katika ziwa la moto ambamo yule kahaba nawatoto wake wanauawa katika mauti ya pili. Hilo hapo, ibadaya Mariamu, kumwabudu Sibele. Jambo lingine, je! ulijuakwamba Sibele alikuwa ndiye yule Astarte ambaye Yezebelialikuwa ndiye kuhani wake wa kike naye aliwafanya Israeliwajikwae kwa ibada zake za kiasherati ambazo aliendesha?Naam, hivyo ndivyo alivyokuwa katika Biblia.

WAKATI

Wakati wa Sardi ama wakati wa tano wa lamosa ulidumukutoka 1520 hadi 1750. Kwa kawaida unaitwa Wakati waMatengenezo.

MJUMBE

Mjumbe wa wakati huu ndiye yule mjumbe anayejulikanavizuri sana wa nyakati zote. Alikuwa ni Martin Luther. MartinLuther alikuwa mwanachuoni mwenye akili sana na mwenyetabia ya upole. Alikuwa akisomea uanasheria wakati ugonjwauliomsumbua sana na kifo cha rafiki yake msiri vilimfanyaayachunguze sana maisha yake ya kiroho. Alijiunga na watawawa Agostino huko Erfurt mwaka wa 1505. Huko alisomeafalsafa na Neno la Mungu pia. Aliishi maisha magumu sana yakujitesa kwa vitubio lakini matendo yote ya nje hayakuwezakuondolea mbali kujiona yu mwenye dhambi. Alisema,“Nimeijitesa nusura nife kwa madhumuni ya kufanya amanina Mungu, bali nilikuwa gizani wala sikuipata hiyo amani.”Mtumishi wa askofu wa shirika lake, Staupizi, alimsaidiakutambua ya kwamba wokovu wake ungepaswa kuwa ni tukiola tendo la ndani wala si ibada za kidini. Alipotiwa moyo hivi,

Page 248: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

238 NYAKATI SABA ZA KANISA

akazidi kumtafuta Mungu. Baadaye akawa padre. Hakuwaameokolewa hadi wakati huo. Akawa mwanafunzi mwenyebidii sana na mwenye kina wa Neno na wa masomo ya hali yajuu ya kitheolojia ya siku zake. Alipendwa sana kamamwalimu na mhubiri kwa ajili ya maarifa yake yenye kilindina unyofu wake mkuu. Ili kuondoa nadhiri aliyokuwaamejiwekea mwenyewe alienda huko Rumi. Huko aliona upuziwa matendo ya sheria za kanisa ambazo zilidaiwa kwambazinaleta wokovu, ndipo Neno la Mungu likawa dhahiri moyonimwake, “Mwenye haki ataishi kwa imani.” Aliporudinyumbani ukweli huo wa kiinjilisti wa Andiko hili ukafurikamoyoni mwake ndipo akawekwa huru na dhambi na kuzaliwakatika ufalme wa Mungu. Mara baada ya jambo hilialipandishwa cheo akawa Daktari wa Uungu na akaagizwa,“kuyatumia maisha yake yote katika kusoma na kufafanuakwa uaminifu na kutetea Maandiko matakatifu.” Akafanyajambo hili, na kwa matokeo makubwa sana hivi kwamba moyowake na mioyo ya wale waliomzunguka ilielekezwa sanakwenye kweli ya Neno. Mara Neno likaanza kuhitilafianawaziwazi na matumizi mabaya ya kanuni za imani za kanisapamoja na mafundisho yake.

Hivyo basi wakati Leo X alipotawazwa kuwa papa, naJohn Tetzel akaja kuuza vitubio vya dhambi, Luther hakuwana la kufanya ila kusimama dhidi ya fundisho hili lisilo laKimaandiko. Kwanza, alinguruma kutoka mimbarani dhidi yajambo hilo halafu akaandika zile hoja zake 95 zinazojulikanasana ambazo tarehe 31 mwezi wa Oktoba mwaka wa 1517alizigongomea misumari kwenye Mlango wa Kanisa la Castle.

Muda si muda Ujerumani ikawa inawaka moto namatengenezo yalikuwa yamepamba moto. Sasa hebu naikumbukwe kwamba Martin Luther hakuwa peke yake tualiyekuwa amelipinga Kanisa Katoliki la Kirumi. Yeyealikuwa tu mmoja miongoni mwa wengi. Wengine walikuwawamewakatalia mapapa mamlaka yao waliyojipa wenyewe yamaisha ya kimwili na ya kiroho, na hata miongoni mwamapapa kulikuweko na mabadiliko madogo-madogo ya muda.Naam, kulikuweko na wengine wengi waliotoa hoja, lakinikatika kisa cha Luther, wakati wa Mungu ulikuwa umeivakwa kitendo dhahiri ambacho kingekuwa ndio mwanzo wakurudishwa kwa kanisa kuelekea kwenye kumwagwa kwaRoho Mtakatifu katika wakati wa baadaye kabisa.

Sasa Martin Luther, mwenyewe, alikuwa Mkristoaliyejazwa Roho mwepesi wa kuona mambo. Yeye hakikaalikuwa mtu wa Neno kwa maana hakuwa tu na shaukukubwa sana ya kulisoma lakini kulifanya liweze kupatikanakwa watu wote kusudi watu wote waweze kuishi kwa Hilo.Alitafsiri Agano Jipya na kuligawa kwa watu. Kazi hii ngumusana aliifanya mwenyewe, akisahihisha fungu moja la maneno

Page 249: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 239

hata mara ishirini. Aliwakusanya wanachuoni wa lugha yaKiebrania waliomzunguka ambao kati yao walikuwamoWayahudi na wakafasiri Agano la Kale.

Kazi hii kuu sana ya Luther bado ingali ndiyo kazi ambayokatika hiyo tafsiri zote zilizofuata za Maandiko katikaUjerumani zimetegemea.

Yeye alikuwa mhubiri mwenye uwezo mkuu sana namwalimu wa Neno, naye akasisitiza hasa sana katika miakayake ya kwanza ya kujulikana sana na watu, ya kwamba Nenondilo lililokuwa kipimo pekee. Hivyo basi alipinga kwambamatendo ndio njia ya wokovu na ubatizo kwamba ndio njia yakuzaliwa mara ya pili. Alifundisha upatanisho wa Kristo mbalina wa mwanadamu kama lilivyokuwa wazo la asili laPenteksote. Alikuwa mtu aliyekuwa anaomba sana na alikuwaamejifunza ya kwamba kadiri alivyokuwa na kazi nyingi zaidiza kufanya, na kadiri alivyokosa wakati kabisa, ndivyoalivyomtolea Mungu wakati wake mwingi katika maombikusudi ahakikishe anapata matokeo yanayoridhisha. Alijuavile ilivyo kupigana na ibilisi na inasemekana ya kwambaShetani siku moja alimtokea dhahiri, naye akamtupia kidaucha wino, akimwamuru aondoke. Wakati mwinginewashupavu wawili wa dini walimjia kumshawishi ajiunge naokatika kuwaangamiza mapadre wote na kuharibu Biblia zote.Aliitambua roho iliyokuwa ndani yao na akawafukuza.

Imeandikwa kuhusu Dk. Martin Luther katika Historia yaSauer Chuo cha 3, ukurasa wa 406 ya kwamba yeye alikuwa,“nabii, mwinjilisti, mnenaji kwa lugha, mtafsiri, katika mtummoja, aliyejaliwa karama zote tisa za Roho.”

Kile kilichouchochea moyo wake kwa Roho Mtakatifu, naambacho kilikuwa ni shina changa la kijani kibichi ambalolilionyesha ya kwamba kweli ilikuwa inarudi kanisani kamailivyojulikana pale Pentekoste, ilikuwa ni fundisho lakuhesabiwa haki: wokovu kwa njia ya imani, mbali namatendo. Ninatambua ya kwamba Dk. Luther hakuamini tu,na kuhubiri tu, kuhesabiwa haki, lakini hilo lilikuwa ndilolililokuwa jambo lake kuu kama ambavyo kweli ilipaswa kuwakwa kuwa hilo ndilo fundisho la msingi la ukweli wa Neno.Yeye daima atajulikana kama chombo kile katika mkono waMungu ambaye alifufua kweli hii. Alikuwa ndiye mjumbe watano na ujumbe wake ulikuwa, “MWENYE HAKI ATAISHIKWA IMANI.” Kwa hakika tunakiri ya kwamba yeye alijua naalifundisha ya kwamba tunapaswa twende toka imani hadiimani. Ufahamu wake wa ajabu wa mamlaka, uteule,kuchaguliwa tangu zamani na kweli nyingine zinamwonyeshayeye kuwa mtu mashuhuri sana katika Neno, hata hivyoninasema tena, kama wasemavyo wanahistoria, Mungualimtuma kuwaletea watu kipimo cha Mungu dhidi yamatendo_“Mwenye haki ataishi kwa imani.”

Page 250: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

240 NYAKATI SABA ZA KANISA

Sasa kama nilivyokwisha kusema tayari, wakati huuumeitwa na wanahistoria, Kipindi cha Matengenezo. Hiyo nikweli kabisa. Hivyo ndivyo ulivyokuwa. Ulipaswa kuwa hivyokwa kuwa Martin Luther alikuwa ni mtengenezaji, si nabii.Sasa najua kitabu cha historia kinamwita nabii, lakini hiyohaimaanishi ya kwamba kitabu hicho cha historia kiko sahihi,kwa maana hakuna taarifa ya Martin Luther kupata sifa yanabii wa kweli wa Mungu katika maana halisi ya Kimaandikoya neno hilo. Yeye alikuwa mwalimu mzuri aliyekuwa nabaadhi ya madhihirisho ya Roho katika maisha yake nasitunamsifu Mungu kwa ajili ya jambo hilo. Kwa hiyo hakuwezakuliongoza kanisa liirudie kweli yote kama vile ambavyoangefanya mtu kama mtume Paulo ambaye alikuwa mtume nanabii pia.

Sasa wakati ulipoendelea tunaona badiliko kuu katika njiaaliyoendeleza mambo ambayo alihusika nayo. Hapo mwanzonialikuwa mpole sana, mjasiri sana, mwenye subira sana nadaima alimngojea Mungu kuzitatua shida. Lakini baadayewatu wengi wakaanza kuja chini ya bendera yake. Kusudi laohalikuwa kweli la kiroho. Sana sana walikuwa na msukumowa kisiasa. Walitaka kuvunja nira ya papa. Walichukiakutuma pesa Rumi. Washupavu wa dini waliinuka. Maraalikokotwa akaingizwa katika mambo ya siasa na maamuziambayo kwa kweli yalikuwa nje ya mambo ya kanisa ilakwamba kanisa kwa njia ya maombi, kuhubiri na mwenendohuenda likaweka kielelezo cha kufuatwa. Matatizo haya yakisiasa yaliongezeka mpaka akaingizwa kwa nguvu katikamahali pabaya pa kuwapatanisha matajiri na maskini.Maamuzi yake yalikuwa mabaya sana hivi kwamba maasiyalitokea na maelfu wakauawa. Yeye alikusudia mema, lakinimara alipokwisha kujifunga tena katika Injili ya muungano waKanisa na Serikali ilibidi avune kimbuga.

Lakini kwa hayo yote, Mungu alimtumia Martin Luther.Hebu na isisemwe ya kwamba makusudi yake yalikuwa nimabaya. Na isemwe tu kwamba uamuzi wake ulishindwa.Kweli kama Waluteri wangalirudi kwenye mafundisho yake nakumtumikia Mungu kama ndugu huyu mwenye neemaalivyomtumikia Yeye, basi hao watu hakika wangekuwaheshima kubwa na sifa kwa Mungu aliye mkuu na Mwokozi,Yesu Kristo.

SALAMU

Ufu. 3:1, “Haya ndiyo anenayo Yeye Aliye na hizo Rohosaba za Mungu, na zile nyota saba.”

Mara nyingine tena kama vile katika zile nyakati nnezilizopita Roho anatufunulia Bwana wetu wa neema kwakueleza sifa zake za ajabu. Wakati huu Yeye akiwa

Page 251: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 241

amesimama katikati ya kanisa, tunamwona Yeye kama Yulealiye na zile Roho saba za Mungu na zile nyota saba. Tunajuazile nyota saba ni akina nani, lakini itatubidi kujua zile Rohosaba ni kitu gani.

Tamshi lili hili linaonekana mara nne katika Kitabu chaUfunuo. Ufu. 1:4, “Na zitokazo kwa Roho saba Walioko mbeleya kiti Chake cha enzi.” Ufu. 3:1, “Haya ndiyo anenayo YeyeAliye na hizo Roho saba.” Ufu. 4:5, “Na katika kile kiti chaenzi kunatoka umeme na sauti na ngurumo. Na taa saba zamoto zilikiwaka mbele ya kile kiti cha enzi, ndizo Roho sabaza Mungu.” Ufu. 5:6, “Nikaona, na tazama, katikati ya kile kiticha enzi na wale wenye uhai wanne, na katikati ya walewazee, Mwana-Kondoo amesimama, alikuwa kana kwambaamechinjwa, mwenye pembe saba na macho saba, ambazo niRoho saba za Mungu zilizotumwa katika dunia yote.”

Kwanza, tunajua yakini ya kwamba aya hizi hazifundishifundisho jipya na fundisho tofauti na Yohana 4:24a “Mungu niRoho (mmoja).” Lakini hili ni kama I Kor. 12:8-11 ambapotunaona Roho MMOJA akijidhihirisha Mwenyewe katika njiaTISA. Kwa hiyo tunajua ya kwamba zile Roho Saba za Munguzinamaanisha ni Roho yule yule mmoja akija kwa namna yanjia saba. Sasa katika Ufu. 4:5 Roho zizi hizi saba zinaitwa ‘taaza moto zikiwaka’ mbele za Bwana. Kwa kuwa Yohanahakutumia kitu ila mifano ya Agano la Kale katika Ufunuotunaenda kwenye Agano la Kale na kuona kutoka katika Mit.20:27 ya kwamba “Pumzi ya mwanadamu ni taa ya Bwana.”Hizi Roho saba zinaonekana zina uhusiano na mwanadamu.Yohana Mbatizaji katika Yohana 5:35 aliitwa ‘nuru iwakayo’ambayo kweli ingepaswa kutafsiriwa kama ‘taa iwakayo’.Tena katika Ufu. 5:6 zile Roho saba zinatambulishwa kamamacho saba. Katika Zek. 4:10, “Maana ni nani aliyeidharausiku ya mambo madogo? kwa kuwa watafurahi, nao wataionatimazi katika mkono wa Zerubabeli; naam, hizi saba ndizomacho ya Bwana.” Ni dhahiri sana ya kwamba neno, ‘nao’linanena kuhusu watu. Hivyo tunaona ya kwamba macho yaBwana katika mfano huu ni watu_bila shaka watakuwa niwatu waliotiwa mafuta, wamejaa Roho Mtakatifu, kwa maanahuduma za Mungu haziko chini ya mamlaka ya wanadamu baliya Roho Mtakatifu. Tukiuweka uvumbuzi wetu wa Maandikopamoja ni dhahiri ya kwamba hizi Roho saba za Munguzinahusu huduma inayoendelea ya Roho Mtakatifu yule yulekatika maisha ya watu saba ambao Mungu anajitambulishanao vizuri sana. Hao ndio macho Yake, nao ndio taa Zake.Kwamba watu hawa saba ni akina nani inaweza kuonekanakwa urahisi kwa sababu katika fungu la maneno linalofuatalinawaita zile nyota saba ambazo tayari zinajulikana kwetukama wale wajumbe saba wa zile nyakati saba. Jinsi hilolilivyo zuri. Unaona, nyota hiyo ilikusudiwa kurudisha nuru

Page 252: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

242 NYAKATI SABA ZA KANISA

usiku, kwa maana jua limeshuka. Vivyo hivyo mjumbe(aliyefananishwa na nyota) kwa kila wakati alikusudiwakurudisha nuru ya Mwana. Wote walilifanya jambo hili kwaRoho Mtakatifu.

Paulo alikuwa mjumbe wa kwanza naye alisema katikaGal. 1:8 ya kwamba kama malaika ye yote, mjumbe ye yote,padre ye yote, haidhuru yeye alikuwa ni nani_kama atahubiriinjili nyingine yo yote isipokuwa ile aliyohubiri Paulo, naalaaniwe. Paulo alijua ya kwamba baada ya kuondoka kwake,mbwa mwitu wakali wangeingia. Alijua ya kwamba Shetani,mwenyewe, angeweza kutokea kama malaika wa nuru kwahiyo ni zaidi sana vipi watumishi wake. Kwa hiyo anaonya yakwamba Injili hii daima ingekuwa ni ile ile. Sasa Pauloalikuwa amebatiza katika Jina la Yesu na akabatiza tenaambapo watu hawakuwa wamezamishwa wakabatizwa majinikwa jinsi hiyo. Aliliweka kanisa katika utaratibu naakafundisha matumizi halisi ya karama za Roho nakuthibitisha ya kwamba zilipaswa kubaki kanisani mpakaYesu atakapokuja. Hivyo basi wajumbe waliofuatia, hao wotesita waliosalia, kwa moto uo huo wa Roho Mtakatifu,wangewaka na kutoa nuru ile ile ya Injili ya Yesu Kristo naishara zingewafuata wao. Je! Ireneo alistahili? Naam. Martinje? Naam. Vipi Columba? Naam. Martin Luther je? Kwa hakikakabisa. Vipi Wesley? Naam, bwana, yeye alikuwa na hudumakuu na hata alimwombea farasi wake apate afya na akapona.Naam basi. Nyakati saba za kanisa na wajumbe sabawaliokuwa wa namna moja, naye Paulo akatangaza laana kwaye yote aliyesema alikuwa ni mjumbe lakini alikuwa na injilitofauti na aliishi katika nuru tofauti.

Je! hilo tamshi langu la mwisho linaafikiana na Nenojingine lote? Naam. Inasemwa katika Neno ya kwamba kamamtu ye yote akiongezea kwenye kitabu hiki ama akiondoakwake, atapigwa kwa mapigo na kuhukumiwa aendehukumuni na Mungu. Mungu alisema, ‘Nitamwongezea mapigoyaliyoandikwa katika kitabu hiki ama nitaondoa sehemu yakekutoka katika Kitabu cha Uzima.” Ufu. 22:18.

Kwa hiyo tunaona ya kwamba zile Roho Saba kwelizinamtaja yule Roho Mmoja wa Mungu akitenda mapenzi yaMungu na kutekeleza Neno Lake katika vizazi mbali-mbali.Ningetaka kutoa mfano wa jambo hilo kutoka kwenye Neno.Roho wa Mungu alikuwa juu ya Eliya akitenda kazi kwanguvu sana. Halafu Roho yuyo huyo akaja juu ya Elisha katikanguvu maradufu. Halafu karne kadha baadaye, Roho yule yuletunayemwita Roho wa Eliya ili kuelezea huduma Yake,akarudi juu ya Yohana Mbatizaji. Siku moja Roho yuyo huyoakitambulishwa kwa huduma ya namna hiyo hiyo atakuja juuya mtu fulani kwa ajili ya mwisho wa wakati wa kanisa laMataifa. Tena: Maandiko yanasema ya kwamba Mungu alimtia

Page 253: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 243

mafuta Yesu wa Nazareti kwa Roho Mtakatifu na nguvu Nayeakazunguka huko na huko akitenda mema, akiponya wotewalioonewa na ibilisi. Wakati Yesu alipokuwa anaondokaaliwaambia wanafunzi Wake wangoje mpaka Pentekostewakati ambapo Roho yule yule aliyekuwa juu Yake angerudina kushuka juu yao na kuwajaza. Ndipo ‘mwili huo ulioitwa’(kanisa) ungekuwa badala Yake juu ya nchi, ukipachukuamahali pake. Na kwa sababu Roho yule yule Ambaye alikuwandani Yake angekuwa ndani yao, wangefanya kazi zile zile. Nawatu wo wote ambao kweli ndio Mwili wa Yesu Kristo (kanisala kweli) watadhihirisha kazi zile zile kama alizozifanya Yesuna kanisa la Pentekoste kwa sababu Roho yule yule atakuwandani yao. Kanisa lingine lo lote lisilokuwa na Roho namadhihirisho litatoa hesabu yake kwa Mungu.

Inanenwa hapa pia ya kwamba nyota hizi saba, amawajumbe saba kwa zile nyakati saba wako katika mkonoWake. Yeye anawashikilia. Unajua mara moja ya kwambakama zimeshikwa katika mkono Wake wanahusiana na nguvuZake. Hilo ndilo mkono unaloomaniisha. Unamaanisha nguvuza Mungu! Na mamlaka ya Mungu. Hakuna hata mmoja waoaliyekuja katika nguvu zake mwenyewe na mamlaka. Hivyondivyo alivyosema Paulo. Hakuna mtu angethubutu kufanyahivyo. Inatakiwa mamlaka ya Mungu na nguvu za RohoMtakatifu. Injili inahubiriwa kwa mamlaka ya Mungu katikanguvu za Roho. Watu hawa wote walikuwa wamepewa nguvuna Roho Mtakatifu. Wote waliukabili ulimwengu. Waliwezakufanya jambo hilo. Walikuwa wamejaa Mungu.WALITUMWA ama waliamriwa na Mungu WALA si wenyeweama watu wengine.

Sasa wao walikuwa na kitu ambacho ulimwenguhaungeweza kuwa nacho. Yesu alisema ya kwamba wakatialipoondoka angemtuma Roho Wake Ambaye ulimwenguhaungeweza kumpokea. Hiyo ni kweli. Ulimwengu, amataratibu za ulimwengu hazingeweza kumpokea. Hivyo ndivyomadhehebu yalivyo_ni utaratibu wa watu. Nionyeshe kanisalenye utaratibu wa wanadamu ambalo limejaa RohoMtakatifu. Nataka kuliona. Kama unaweza kunionyeshakanisa kama hilo unaona kosa katika Neno. La bwana.Hakuna hata mmoja wa hawa wajumbe aliyeunda madhehebu.Aidha walitolewa nje ama walitoka kwa sababuwalihakikishwa juu ya dhambi ya madhehebu. Roho Mtakatifuanawezaje kuwa kwenye madhehebu wakati madhehebu ndiyoyanayopachukua mahali pa Roho pia madhehebuyanapachukua mahali pa Neno? Kumbuka, “Madhehebu” ni“MAUTI.” Haiwezi kuwa namna nyingine yo yote. Kamaulimwengu ukichukua mamlaka, Roho huondoka.

Naam, Roho si Roho saba ila ni MMOJA. Yeye daimaatakuwa yeye yule na kutenda vile vile. Na wale wajumbe saba

Page 254: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

244 NYAKATI SABA ZA KANISA

watakuwa na Roho yule yule na kufundisha Neno lile lile nakuwa na nguvu zile zile. Na kama kanisa hilo ni kanisa lakweli litakuwa na Roho yule yule na Neno na matendo yanguvu waliyokuwa nayo ule wakati wa Pentekoste. Kwa ujuzilitakuwa kanisa la Kipentekoste; na kutakuweko na lugha, natafsiri na unabii na kuponya. Mungu atakuwa katikati yake naMungu atajitangaza Mwenyewe katikati yake kama vilealivyofanya daima. Haleluya! Na HALITAKUWA lakimadhehebu. Usisahau jambo hilo.

Sasa tunaweza kuona ya kwamba Yesu Kristo anajifunuaMwenyewe katika nyakati hizi zote kwa Roho Wake katikawale wajumbe. Wao ni kama Musa alivyokuwa kwa wana waIsraeli. Kama vile alivyokuwa na ufunuo wa siku yake, vivyohivyo kila mjumbe alikuwa na ufunuo wa Mungu na hudumakwa siku hiyo. Hivyo basi wakati tunapoona ya kwamba haowajumbe wako katika mkono Wake, tunamwona Bwanaakijitambulisha Mwenyewe pamoja na watu hawa na kuwapanguvu Zake. Haitoshi kwamba Yeye amejihusisha na kanisazima, jambo ambalo tuliliona wakati alipoonekana amesimamamiongoni mwa vinara vya taa saba vya dhahabu. Wala hatahaitoshi ya kwamba tunaziona zile huduma tano za Waefesonne (mitume, manabii, waalimu, wainjilisti, wachungaji). Kwakuwa katika kila wakati kanisa hupotoka, wala si wafuasi tubali na kundi la makasisi_wachungaji wako makosani nakondoo pia. Ndipo Mungu anajitokeza jukwaani kamaMchungaji Mkuu katika huduma za hawa watu sabakuwaongoza watu Wake wairudie ile kweli na zile nguvunyingi za kweli hiyo. Mungu yuko ndani ya watu Wake_watuWake wote, kwa maana kama mtu ye yote hana Roho waKristo yeye si Wake. Naye ni Neno. Hilo lingekuwa Nenolililotambulishwa katika watu. Lakini Yeye ameweka uongozimaalum katika watu hawa aliowachagua Yeye Mwenyewe nakwa shauri lililokusudiwa la mapenzi Yake. Wanatokea maramoja katika kila wakati. Ni Roho yeye yule ndani yao. Hili likombali sana jinsi gani na uzushi wa Rumi. Wana mtuwaliyemchagua wenyewe_mmoja baada ya mwingine_hakunahata mmoja anayeonyesha nguvu za Mungu_hakuna hatammoja anayedumu katika Neno la Mungu_kila mmojaakihitilafiana na yule aliyemtangulia na kuongeza yaleanayotaka kana kwamba alikuwa Mungu. Mungu hayukokwenye kitu hicho. Lakini Yeye yuko ndani ya mjumbe Wakena yeye ambaye angekuwa na utimilifu wa Mungu angemfuatahuyo mjumbe kama vile huyo mjumbe alivyo mfuasi wa Bwanakwa Neno Lake.

“Yeye aliye na hizo Roho saba za Mungu na zile nyotasaba.” Ufu. 3:1. Kama vile Bwana yuyu huyuanavyojitambulisha Mwenyewe na mwanadamu katika kulekufanyika mwili, Yeye tena anajitambulisha Mwenyewe na

Page 255: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 245

mwanadamu kwa Roho Wake ndani ya mwanadamu. “Hawa niWangu,” asema Bwana. Hao wajumbe saba waliojazwa naRoho ni wa Bwana. Wanaweza kukataliwa. Wanawezakuhojiwa. Naam, kwa akili za wanadamu huenda hatawasionekane kwamba wanastahili_hata hivyo, wao niwajumbe kwa wakati wao. Mungu alimtumia Ibrahimu(akasema uongo), akamtumia Musa (akaasi), Yona (akakaidi),Samson (akafanya dhambi), Daudi (akaua). Pia alimtumiaYoshua, na Yusufu. Na hao walio na hitilafu mbaya sana niwengi sana kuliko hao ambao historia zao zinaonekana kuwakamilifu. WOTE WALIKUWA, NA WANGALI NI WAKE.Hakuna anayeweza kuthubu kukanusha hilo. Aliwatumiakupitia na kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyemweka ndani yao.Walisimama ama kuanguka mbele za Bwana wao wenyewe. Nandani yao hao wote yalitimizwa mapenzi ya mamlaka yaMungu. Acha historia ya nje ijaribu kukanusha jambo hili,lingali linasimama. Yule Mungu wa milele angali anatembeakatikati ya vinara vya taa vya dhahabu na huwatuma wajumbeWake kwa Roho Wake wakiwa na lile Neno kwa watu wa kilawakati.

SHTAKA

Ufu. 3:1b, “Nayajua matendo yako, ya kuwa una jina lakuwa hai, nawe umekufa.” Ufu. 3:2b, “Maana sikuona matendoyako kuwa yametimilika mbele za Mungu.” Sasa hapa, kweli,ni jambo la ajabu sana. Katika kila wakati mpaka sasa Rohokabla ya yote amewasifu waamini wa kweli, halafu akaulaumumzabibu wa uongo. Lakini katika kipindi hiki inaonekanakuna upotovu mwingi sana wa kumdharau Mungu na NenoLake hivi kwamba ujumbe wote wa wakati huu wa tanounanguruma hukumu.

“Nayajua matendo yako.” Ni matendo gani hayayaliyokuja mbele za Bwana na kusababisha Yeye kuudhika?Vema, unajua ya kwamba kila wakati ulipita ukaingia kwenyeule uliofuata, kwa hiyo tuna kuendelea kwa kazi za wakati wanne kuingia katika ule wa tano. Matendo haya kamamnavyoyafahamu vizuri sana yalikuwa:

1. Uongozi wa Roho Mtakatifu ulibadilishwa na uongoziwa wanadamu.

2. Neno safi la Mungu na fadhili zake zinazotolewa burekwa watu wote lilibadilishwa kwa kanuni za imani,mafundisho ya sharti, amri za kanisa, nk.

3. Kule kuabudu katika Roho na Karama za Roho na yoteyale yanayohusu ushirika wa kweli wa kusanyiko lawatakatifu yaliondolewa na badala yake zikaingizwa liturgiana ibada halisi za sanamu, karamu za wapagani, nk.

Page 256: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

246 NYAKATI SABA ZA KANISA

4. Ibada za kumwabudu Mariamu zilikuwa zikishikilianafasi kubwa katika ibada za Kikristo, mpaka kwa uhalisiyeye akachukua nafasi ya Uungu na Mwana alishushwakutoka mahali Pake pa juu kuliko wote akawa chini yamwanadamu anayeitwa papa, ambaye alijiita aliye mahali paKristo.

Wale waliopiga vita kanisa hili baya sana la mpinga-Kristowaliangamizwa. Wale waliodumu nalo walijikuta ni vibarakavya kanisa haidhuru walikuwa maskini ama wafalme. Maishayao hayakuwa yao tena, na wala maisha yao hayakuwa yaKristo, lakini walikuwa mali ya Kanisa la Kirumi mwili, nafsi,na roho. Walizungumza juu ya damu ya Kristo, hata hivyowalinunua wokovu wao kwa pesa, na kununua msamaha wadhambi kwa aidha dhahabu ama vitubio. Matajiri kati yaowalifurahia hali hiyo wakati Papa Leo X alipowaruhusukununua msamaha wa dhambi ambazo walikuwa badohawazijatenda kusudi waweze kupangilia dhambi zao zakutisha kwa dhamira tulivu na halafu waendelee kuzitekeleza,wakijua ya kwamba papa tayari alikwisha kuwasamehedhambi zao. Neno la Mungu lilifichwa kwao, kwa hiyo ni naniangalijua kweli! Kwa kuwa kweli hutokana tu na Neno, haowatu walifungiwa kwenye korokoro la Kanisa la Kirumi,wakingojea kifo, na baada ya kifo hukumu. Lakini yulekahaba mkuu, aliyelewa kwa damu ya mashahidi na akiwahana wazo la kuhukumiwa, aliendelea kupepesuka kikatilikuwaua watu kwa mauti ya kiroho na ya kimwili.

Sasa karibu na mwisho wa wakati wa nne ambaoungekuwa mwanzo wa wakati wa tano pia, kuvamiwa kwaKonstantinopo na Waturuki kuliwapeleka Magharibiwanachuoni wa Mashariki na vitabu vyao vya Kiyunani. Hivyobasi usafi wa Neno na mafundisho ya waamini wa kwelivilienezwa. Na si kwamba tu hawa waalimu bora walikuwamuhimu sana lakini pia uvumbuzi wa kile kilichopata kuwamsingi wa mitambo yetu ya kisasa ya kupiga chapauligunduliwa, ikirahisisha kuchapishwa kwa vitabu. Hivyobasi tunaona ile njaa kubwa na shauku ya Biblia ingejibiwa.Mungu aliwainua watu wengi hodari ambao Luther alikuwa nimmoja wao. Kalvini na Zwingli walikuwa ni watu wenginewawili maarufu na mbali na hawa walikuweko na wenginewengi, wengi mno ambao hawajulikani vizuri sana. Hatahivyo, ingawa hayo yote hayakuwa bure, kazi kuu ya Mungukwa kweli ilizuiliwa na watu wawa hawa. Kwanza, waoHAWAKUPINGA kuungana kwa Serikali na Kanisakulikofanywa na Baraza la Nikea lakini wao kweli waliungamuungano huo mkono. Jambo la Injili kutetewa na serikalililipendwa ingawa hapakuwepo na Neno lililokubaliana najambo hilo. Na ingawa tunaweza kuona “hasira yamwanadamu ikimsifu Mungu,” katika matukio kama lile la

Page 257: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 247

Henry wa Nane akiunga mkono matengenezo na kukataautawala wa papa, lilikuwa jambo lililokuwa mbali sana na ilekweli ya Pentekoste na ulinzi wa Mungu mwenye nguvu zote.

Ijapokuwa Luther alishikilia kufundisha dhidi yakuingiliwa kwa mambo ya kanisa la mtaa kutoka nje,hakuweza kuondoa wazo la serikali ya kanisa la “Askofu,Askofu Mkuu” kutoka kwenye mioyo ya watu. Kwa hiyokanisa lilichukua hatua moja katika mwelekeo wa kweli lakinibado lilibaki limefungwa pingu, kwa hiyo kwa kifupi lilikuwalimefungwa tena katika gereza lile lile lililojaribu kutoroka.

Hata hivyo kile kikombe cha matendo hayo ya kuchukizahakikuwa kimejaa bado. Si kwamba tu Luther kwa maamuzimabaya alichochea vita na hivyo basi akasababisha vifo vyaumati wa watu; lakini kikundi cha Zwingli kilimtesa mpakakikampeleka gerezani yule mtawa Dk. Hubmeyer, na ingawahakikumchoma moto, kwa kweli kilihusika kwa kiwangokikubwa katika kifo chake cha baadaye kwa kuchomwa moto.Na Kalvin naye alikuwemo, kwa kuwa alidai kukamatwa kwaServetus ambaye alikuwa ameona na kufundisha umoja waUungu. Basi serikali ikamhukumu ndugu huyu, naye Kalvinkwa hofu akashtukia wamemchoma moto.

Kama kuliwahi kuweko na wakati wa shauku zaumadhehebu ilikuwa ni wakati huu wa huzuni. Maneno yaKomeniasi yanakifafanua kipindi hiki. Komeniasi aliandika‘KINATAKIWA KITU KIMOJA’. Yeye anaulinganishaulimwengu na mahali penye mazingile mwanambije, naanaonyesha ya kwamba njia ya kutokea ni kuacha kileambacho hakihitajiki, na kuchagua kile kitu kimojakinachotakiwa_Kristo. Wingi wa waalimu, anasema ndiyosababu ya wingi wa madhehebu, ambayo punde si pundetutaishiwa na majina ya kuyaita. Kila kanisa hujihesabu kuwandilo la kweli, au ngaa ndilo sehemu ambayo ndiyo safi kulikoyote na ndiyo sehemu ya kweli, na huku kati yao yanatesanayenyewe kwa yenyewe kwa chuki mbaya sana. Hakunamapatano yanayoweza kutumainiwa kati yao; wanaukabiliuadui kwa uadui usioweza kupatanishwa. Kutoka kwenyeBiblia wanabuni kanuni zao mbalimbali za imani; hizi ndizongome zao na maboma yao ambamo wanajilinda na kujibumashambulizi yote. Sitasema ya kwamba maungamo haya yaimani_kwa sababu tunaweza kukubali mara nyingi yakwamba ndivyo yalivyo_yenyewe ni mabaya. Yanakuwamabaya, hata hivyo, kwa sababu yanachochea moto wa uadui;ni kwa kuyatupilia mbali kabisa ndipo ingewezekana kuanzakazi ya kutibu majeraha ya Kanisa. “Katika utata huu wawingi wa madhehebu na imani mbali mbali kuna jambojingine: kupenda mabishano^Faida yake ni nini? Je! kunaubishi hata mmoja wa kielimu uliopata kutatuliwa? Hakuna.Hesabu yao imeongezeka tu. Shetani ndiye mdanganyifu

Page 258: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

248 NYAKATI SABA ZA KANISA

mkubwa kuliko wote; hajapata kushindwa kamwe katikaugomvi wa maneno^Katika kutumikia Mungu maneno yawanadamu kwa kawaida husikiwa zaidi ya Neno la Mungu.Kila mmoja hupayukapayuka atakavyo, ama hupoteza wakatikatika ubishi wa kielimu wa maneno mengi na kukanushamaoni ya wengine. Kuhusu kuzaliwa upya na jinsi mtuanavyopaswa kubadilishwa na kufanywa mfano wa Kristokusudi awe mshirika wa Tabia ya Uungu (2 Pet. 1:4), huwa nishida sana jambo hilo kuongelewa. Kuhusu nguvu za ufunguo,Kanisa karibu limepoteza nguvu za kufunga, ila tu zinabakinguvu za kufungua^Zile sakramenti, zilizotolewa kamamifano ya umoja, upendo, na za maisha yetu katika Kristo,zimefanywa kisa cha ugomvi ulio mbaya sana, chanzo chachuki ya mmoja kwa mwingine, kituo cha umadhehebu^Kwa kifupi, Ukristo umekuwa mazingile mwanambije. Imaniimegawanyika katika visehemu vidogo-vidogo elfu moja naweunafanywa mzushi kama kuna kimoja cha hivyousichokikubali^Ni kitu gani kinachoweza kusaidia? Kunajambo moja tu linalotakiwa, kurudi kwa Kristo, kumtazamaKristo kama Kiongozi wa pekee, na kutembea katika nyayoZake, kuwekea kando njia nyingine zote mpaka sotetutakapoifikia ile mede, na tutakapoufikia umoja wa imani(Efe. 4:13). Kama vile Bwana wa mbinguni alivyojenga kilakitu kwenye msingi wa Maandiko vivyo hivyo sisi nasitunapaswa kuacha ubinafsi wetu wote wa imani zetu maalumna kutosheka na Neno la Mungu lililofunuliwa ambalo ni letusote. Tukiwa na Biblia mkononi mwetu tunapaswa kupazasauti: ninaamini yale ambayo Mungu amefunua katika Kitabuhiki; nitashika amri Zake kwa utiifu; ninatumainia kile Yeyealichoahidi. Enyi Wakristo, tegeni sikio! Kuna uhai mmoja tu,lakini Mauti inatujia sisi katika namna elfu moja. Kuna Kristommoja tu, lakini wapinga-Kristo elfu moja^Kwa hiyomnajua, Enyi jamii ya Wakristo wote, jambo mojalinalotakiwa. Aidha mumrudie Kristo ama mwende kwenyemaangamizi kama mpinga-Kristo. Kama ninyi ni wenyehekima nanyi mtaishi, mfuateni Kiongozi wa Uzima.

Lakini ninyi, Wakristo, furahini katika kunyakuliwakwenu,^yasikilizeni maneno ya Kiongozi wenu waMbinguni, ‘Njoni Kwangu.’^Jibuni kwa sauti moja, ‘Naam,tunakuja’”.

Sasa hivi tu nilisema ya kwamba wakati huu ulisababishakukua kunakotisha kwa roho ya kimadhehebu. Kama tabia ileya Wakorintho ya “Mimi ni wa Paulo, mimi ni wa Kefa”ilipata kuonyeshwa, ilikuwa ni wakati huu. Kulikuwa nakundi la Waluteri, Wahusiti, la Wazwingli, nk. Kuvunjikavipande vipande kama huko kwa huo mwili kulikuwakunasikitisha sana. Walikuwa wakiishi jina bali walikuwawamekufa. Bila shaka walikuwa wamekufa. Walikufa dakika

Page 259: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 249

ile ile walipounda madhehebu. Yale makundi makubwayaliunda madhehebu na kufunga ndoa na serikali. Hilolilimaliza kila kitu. Walikwisha. Unaona hapa wale Waluteriwaliokuwa wamelilaumu Kanisa Katoliki la Kirumi. Walijuamaovu ya miungano ya kisiasa na kiroho_hata hivyo Luther(kama wakati ule Petro alipozidiwa na wale wa Dini yaKiyahudi) alienda moja kwa moja na kuifanya serikali badalaya Mungu, kuwa iwe ndiyo mtetezi wa imani. Haya ndiyomadhehebu ya kwanza yenye sifa yaliyotoka kwa yule kahaba,lakini wakati Luther alipokufa hawakuchukua muda mrefukuwa na serikali ya kidini kama ile waliyokuwa wameipinga.Jambo hili la Mungu, hata kufikia wakati wa kuja kwa kizazicha pili yalikuwa yamerudi moja kwa moja chini ya ubawa wamama yake. Yalikuwa yamerudi na hata hayakujua. Walikuwawamechukua jina lao wenyewe juu ya Jina Lake. Walikuwawakiishi jina lao, wenyewe pia. Na madhehebu yote yanafanyajambo lilo hilo leo. Yanaishi jina lao wenyewe, na si Jina laBwana Yesu Kristo. Hilo linaonekana kwa urahisi kwa maanakila kanisa linajulikana kwa namna linavyoabudu lakinihakuna linalojulikana kwa kuwa na nguvu za Mungu. Hilohapo jaribio lako. Nami nakutaka uone papa hapa ya kwambakipindi hiki hakikuwa na ishara na maajabu miongoni mwao.Waliacha nguvu za Mungu wakachukua nguvu za serikali.Waling’ang’ania jina lao wenyewe; walijipatia sifa. Ilikuwa niroho yule wa kale wa kumwingiza kila mtu katika kundi lake.Leo Wabatisti wanawataka Wamethodisti waje kwa Wabatisti.Wamethodisti wamekazana kuwaongoa Wapresbiteri. NaWapentekoste wanawataka wote. Kila moja linadai kutoamengi kuliko yote na kuonyesha matumaini makuu kulikoyote_kitu kama mlango wa kuingilia mbinguni, ama angaa,njia ya nzuri zaidi ya kuingia. Hayo yote yanahuzunisha jinsigani.

Roho hii ya kimadhehebu imeyafanya madhehebu yotekuandika vitabu vyao vya mafundisho na kufundisha kanunizao, kuanzisha ofisi zao na serikali za kanisa na kila mojalinadai kuwa ndilo, na ndilo pekee, ambalo kweli linanenakwa ajili ya Mungu kwani ndilo linalostahili kuliko mengineyote. Naam, kama hivyo sivyo hasa papa na Kanisa la Kirumiwanavyofanya! Wako wamerudi kule kule wakiwa pamoja namama yao, yule kahaba, wala hawajui.

Katika kufunga mafafanuzi yetu juu ya aya hii, “una jinala kuwa hai, nawe umekufa,” siwezi kuwasisitizia sana yakwamba wakati huu, ingawa ulileta yale matengenezo,ulikemewa sana na Mungu badala ya kusifiwa, kwa maanaULIPANDA MBEGU ZA MADHEHEBU AMBAYOYALIRUDI MOJA KWA MOJA KWA YULE KAHABA, baadaya Mungu kufungua mlango wa kutokea. Wakati hatua yakutoka kwenye Kanisa Katoliki ilipotokea, haikuwa kwa kweli

Page 260: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

250 NYAKATI SABA ZA KANISA

ni ya Kiroho kwa jumla, bali zaidi sana ilikuwa ni ya kisiasa.Karibu watu wote waliungana na Uprotestanti kwa sababu,kama nilivyokwisha kusema, walichukia utaratibu wa Kirumiwa utumwa wa kisiasa na wa kiuchumi. Kwa hiyo, badala yajambo hili kuwa hatua muhimu ya Kiroho yenye dalili zote zaushawishi wa Roho Mtakatifu kama ilivyokuwa wakati Mungualipotumia mambo halisi ya Kiroho kutimiza makusudi YakePale Pentekoste, ilikuwa kwa kweli ni MATENDO AMBAPOHASIRA YA MWANADAMU ILIMSIFU MUNGU, na matokeoyake yalifanana na ya historia ya Israeli wakati walipoondokaMisri na kuzungukazunguka jangwani, wakashindwa kufikakwenye Nchi ya Kanaani. Hata hivyo, mengi yalitimizwa kwakuwa mahali ambapo nira hiyo ya Rumi ilivunjwa ngaa kwasehemu, watu waliweza sasa kupokea Neno la Mungu nakukubali uongozi wa Roho bila ya kuwa na hofu kubwa sanakama ilivyokuwa hapo mwanzoni. Jambo hili lilifunguamlango kwa ajili ya ule wakati mkuu wa kimishenariuliofuata.

Yule Yezebeli wa Thiatira hakuwa na moyo wa kuachiliautawala wake juu ya watu, na hivyo basi tunaona binti yakeAthalia akiinua kichwa chake katika Wakati wa Sardi akiwana matumaini ya kwamba angeweza kuunyonga na kuuua ulemzao wa kweli kwa njama zake za kimadhehebu.

ONYO

Ufu. 3:2, “Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe mamboyaliyosalia, yanayotaka kufa maana sikuona matendo yakokuwa yametimilika mbele za Mungu.”

Laiti ingaliwezekana kusemwa kwamba Wakati wa Sardiungalikuwa wa kurudishwa badala ya kuwa wa matengenezo.Siwezi kusema jambo hilo. Neno haliuiti kurudishwa, bali bilashaka linauita matengenezo. Kama ungalikuwa wakurudishwa, wakati huo ungekuwa wakati mwingine waKipentekoste. Lakini haukuwa ni wakati wa kurudishwa. Sanasana jambo ambalo lingaliweza kusemwa juu yake lilikuwa,“Ukayaimarishe mambo yaliyosalia, yanayotaka kufa.”Kulikuweko na kitu kinachokosekana. Jamani, naam, hakikakilikuwepo. Wakati huu ulikuwa na kuhesabiwa haki, lakiniulikosa kuwa na kutakaswa na Ubatizo wa Roho Mtakatifu.Huo ndio uliokuwa mpango wa kwanza wa Mungu. Hayondiyo waliyokuwa nayo wakati wa Pentekoste. Walihesabiwahaki, walitakaswa, na walijazwa na Roho Mtakatifu. Loo!nisikilizeni, sababu ya kuhesabiwa haki na kutakaswa nikusudi upate kubatizwa na Roho Mtakatifu. Hiyo ndiyosababu ya kanisa kuweko. Ni hekalu la Mungu lililojawa naMungu, yaani Roho Mtakatifu. Roho yule yule aliyekuwakatika Yesu wakati alipokuwa hapa duniani, akimfanya

Page 261: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 251

afanye mambo makuu aliyotenda alirudi kwenye kanisawakati wa Pentekoste hivi kwamba walifanya kazi zilealizozifanya Yeye. Wakati huu haukuwa na kazi hizo. Loo!walikuwa na Neno lililoandikwa, (bali si hilo Nenolililofunuliwa). Huu ulikuwa ni wakati wa yale matengenezo.Lakini msiogope enyi kundi dogo, Mungu alisema,“Nitarudisha,” na matengenezo haya yalikuwa yakienda kuwandiyo mwanzo wake. Yeye alikuwa yuaenda (kulingana naahadi Yake) kulirudisha kanisa kutoka kwenye fumbo laShetani katika zile Zama za Giza aliingize katika Fumbo laMungu ambalo walikuwa nalo wakati wa Pentekoste na katikaile miaka michache ya kwanza ya kuweko kwa kanisa.

Sasa iweni waangalifu, na mlipate jambo hili. Inasemwakatika aya hii ya pili niliyosoma, “Maana sikuona matendoyako kuwa yametimilika mbele za Mungu.” Unajua hasamaana ya ‘hayajatimilika’ ni nini? Ni ‘kutomalizika.’ Wakatihuu ulikuwa ni wakati usiotimilika. Ulikuwa ni mwanzo tu wakurudi. Hiyo ndiyo sababu nilisema Biblia iliuitaMatengenezo_si kurudishwa. Ulikuwa umeshaanza kwafundisho la kuhesabiwa haki ambalo lilimaanisha wokovuwote ulikuwa ni kazi ya Mungu. Loo! jinsi Luther alivyohubirimamlaka ya Mungu na kuteuliwa. Yeye alijua yote yalikuwa nikwa neema. Alilitenganisha kanisa na utawala wa serikali yakanisa. Alizivunja sanamu. Alitupilia mbali kwenda kutubukwa makasisi. Alimshambulia papa hadharani. Hali ilikuwanzuri sana, alivyoanza, bali Mungu alikuwa ameshasemamiaka 1500 kabla, “Luther, utaanzisha mambo, lakini wakatiwako hutayaona yametimilika yote, ninaachia jambo hilo kwasiku za baadaye.” Haleluya, Mungu wetu anatawala! Yeyeanajua mwisho kutoka mwanzo. Naam, Luther alikuwa nimjumbe Wake. Haikuonekana kama ndivyo ilivyo,tunapoyachunguza makosa yake. Lakini kulikuweko na mtualiyeitwa Yona, yeye naye alikuwa na makosa katika maishayake. Yeye alikuwa ni nabii ingawa mimi na wewe huendatusitake kusema hivyo juu ya msingi wa vile alivyotenda.Lakini Mungu anawajua hao walio Wake na anafanyaapendavyo na kama tu alivyofanya na Yona. Yeye alifanyaalivyopenda na Luther katika wakati ule, Naye atafanyaapendavyo hata ukamilifu wa dahari.

Sasa huu ulikuwa ni wakati usiotimilika. Ulikuwa niwakati wa matengenezo. Lakini hivyo ndivyo Mungualivyotaka uwe. Ninataka kuwaelezeeni jambo hilo jinsi vilenilivyofanya kwa ndugu mzuri sana wa Kiluteri ambaye nimkuu wa seminari nzuri sana huko pande za Magharibi.Nilikuwa nimekaribishwa nyumbani kwake kula naye chakulacha jioni na nimzungumzie kuhusu Roho Mtakatifu. Alikuwaametatanishwa na mambo mengi naye akaniambia, “SisiWaluteri tuna kitu gani?”

Page 262: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

252 NYAKATI SABA ZA KANISA

Nikasema, “Vema, mna Kristo.”Akasema, “Tunataka Roho Mtakatifu. Unafikiri tunaye?”Nikasema, “Kwa uwezekano, mnaamini mpate kumpokea

Yeye.”Akasema, ‘Una maana gani, kwa uwezekano? Tuna njaa ya

Mungu. Tulisoma kitabu fulani juu ya Pentekoste na karamaza Roho, kwa hiyo baadhi yetu tukaruka kwa ndege mpakaCalifornia kuonana na mwandishi wake. Tulipofika hukoalitwambia ya kwamba ingawa yeye alikuwa amekiandikakitabu hicho, yeye hakuwa na hizo karama. Sasa wakatitulipoona karama zikitenda kazi katika huduma yako tulitakakuzungumza na wewe, kwa maana hapana budi una funununazo.”

Sasa seminari ya ndugu huyu iko huko bara naimezungukwa na ekari nyingi za mashamba ambamowanafunzi wanaweza kufanya kazi na hivyo basi kujilipiamasomo yao ya chuo. Pia ana viwanda vinavyoendana nashamba hilo kwa ajili ya kutoa kazi zaidi. Kwa hiyo nikitumiamashamba yake ili kueleza hoja yangu nilisema, “Siku mojaalitokea mtu aliyetoka akaenda shambani mwake akapandashamba la mahindi. Aling’oa visiki, akaondoa miamba,akalima na kutifua udongo halafu akapanda mahindi yake.Kila asubuhi aliangalia shambani; lakini asubuhi moja badalaya shamba tupu aliona utitiri wa vijani vinavyoota. Akasema,“Mungu na asifiwe kwa ajili ya shamba langu la mahindi.”Ndipo nikamwuliza, “Je! mtu huyo alikuwa na mahindi?”

Akasema, “Vema, kwa namna fulani alikuwa nayo.”Nikasema, “Kwa uwezekano, ndiyo; na hiyo ilikuwa ni

ninyi Waluteri katika yale matengenezo, mkichomoza majaniyenu, unaona? Mahindi yakaanza kukua. (Baada ya kwishakuoza ardhini katika zile Zama za Giza). Baada ya pingilikadha kukawa na mabua mazuri na makubwa, na siku mojakishada cha hariri kikatokea. Hicho kishada cha haririkiliinama kikayatazama majani yaliyokuwa chini na kusema,“Enyi Waluteri wa kale baridi hamna lo lote. Tuangalieni sisi,sisi ndio wenye kuzaa, wamishenari mashuhuri. Siku yetu nikipindi cha umishenari.” Wakati ule wa kishada ulikuwa niule Wakati wa Wesley. Walikuwa wamishenari mashuhurisana na hata walitushinda sisi katika wakati wetu. Wakati huoulifanya kitu gani? Ulitawanyika kama mbelewele katikaupepo.

“Sasa hatua inayofuata ni ipi? Kwa mpangilio wa mawazo,tunafikiri huko ndiko kutengenezwa kwenyewe hasa kwanafaka na kuvuna_mzunguko kamili. Lakini sivyo. Kunahatua nyingine. Hatua hiyo ni wakati ganda ama kapilinapotengenezwa lipate kufunika mbegu. Na hilo ndilolililotukia hasa katika mzunguko huu wa Kiroho. Mwanzoni

Page 263: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 253

mwa karne ya ishirini, katika mwanzo wa Wakati waLaodikia, kulikuwa na imani iliyoenea sana ya kwamba RohoMtakatifu alikuwa anashuka vile vile tu kama alivyofanyawakati wa Pentekoste. Watu walikuwa wakinena kwa lugha nakudai kubatizwa na Roho Mtakatifu wakiwa na ushuhuda wakunena kwa lugha. Lakini nimetembea kwenye mashamba yanafaka mara nyingi, na humo mwishoni mwa kiangazinimekonyoa vichwa vya ngano na kuvisugua katika mkonowangu nipate punje, lini nilishangaa HAPAKUWEPO NAPUNJE YO YOTE YA NGANO KATIKA KAPI HILO,INGAWA KWELI ILIONEKANA KANA KWAMBA NGANOILIKUWEPO. Hii ni picha kamilifu ya unaoitwa ufufuo waWapentekoste. Na kwamba huu ni ukweli uliothibitishwainaonekana kwa kuwa watu hawa WALIUNDAMADHEHEBU JUU YA FUNDISHO FULANI na wakajifungamoja kwa moja kama yalivyofanya madhehebuyaliyowatangulia, ikithibitisha ya kwamba badala ya kuwambegu halisi, walikuwa ni makapi ama kifuniko cha kuikingapunje ya ngano ambayo inapaswa kuja. Wakati huu wa makapiulikuwa ni kipindi cha hatari ambacho Yesu alinena habarizake katika Mat. 24:24, “kuwapoteza walio wateule kamayamkini.” Loo! mwanadamu alijisikia ya kwamba ganda hili,huo eti uitwao Wakati wa Kipentekoste ulikuwa ndio mbeguhalisi. Lakini ulithibitisha kuwa ni mbebaji tu wa kubeba uhaikuupeleka katika wakati ambapo kurudishwa kwa kwelikunakuja na Bibi-arusi Ngano anadhihirishwa katika nguvuzilizonenwa na Ezekieli 47:2-5, ‘Ndipo akanileta nje kwa njiaya lango upande wa kaskazini, akanizungusha kwa njia ya njempaka lango la nje, kwa njia yake iliyoelekea mashariki; natazama, maji yalitoka upande wa kuume. Na alipotoka mtuyule, mwenye uzi wa kupimia mkononi mwake, kwendamasharikini, akapima dhiraa elfu, akanivusha maji yale; majiyakafika mpaka viweko vya miguu. Kisha akapima dhiraaelfu, akanivusha maji yale, maji yakafika mpaka magoti. Kishaakapima dhiraa elfu, akanivusha, maji yakafika mpaka viuno.Kisha akapima dhiraa elfu, yakawa mto nisioweza kuuvuka;maana maji yamezidi, maji ya kuogelea, mto usiovukika.’

“Na jinsi jambo hilo lilivyofanyika ilikuwa ni kwa mapenzimakamilifu ya Mungu na mipango Yake. Waluteri walikuwana Roho Mtakatifu kwa uwezekano chini ya kuhesabiwa haki;Wamethodisti walikuwa Naye kwa uwezekano chini yautakaso na leo amerudishwa, kurudishwa_Roho Mtakatifuyuko hapa.”

“Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe mambo yaliyosalia,yanayotaka kufa.” Sasa mawazo yaliyoelezewa katika manenohayo mawili, “akeshaye” na “ukayaimarishe” ni haya.Kukesha hakuna tu wazo la kuwa macho bali kuwamwangalifu. Kuwa vinginevyo kunadokeza hatari na hasara.

Page 264: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

254 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kuimarisha kunamaanisha zaidi ya kutia nguvu tu,linamaanisha kutengeneza na kusimamisha kwa ajili yakudumu kwa muda mrefu. Amri hizi mbili zinahusu UKWELIuliosalia ambao wenyewe uko tayari ama “karibu” kufa.Tamshi hili la Roho linakuja mbele zangu kama mfano. Kundila watumwa, waliofungwa kabisa kimwili na kimaadiliwameasi na kutoroka kutoka kwa waliowashika (kwa kwelihivyo ndivyo Sardi inavyomaanisha: waliotoroka).Wanafuatiwa na ushindi wao mkubwa na mzuri sana karibuwote umepotea. Hawajashikwa tena bado, lakini karibu yoteyanayoweza kusemwa ni kwamba wametoroka_si kutorokakabisa kama wengine wao walivyokuwa kulingana na Neno.Walikuwa wamepoteza sehemu kubwa ya uhuru wao. SasaBwana anasema, “Kwa uwezekano mmerudi utumwani;angalieni msirudi. Ili kujihami msirudi iweni macho nadumuni mkikesha daima kuhusu mambo ya utumwa wenu lasivyo mtapoteza yote. Jiimarisheni sasa katika yale yaliyosaliahivi kwamba mtaweza kuimarisha kabisa yale mliyo nayo nakwa hiyo mhakikishe hamtapoteza kitu katika siku zijazo. Hiiitakuwa ni nafasi yenu kutimiza yale ambayo hamjatimiza.”Lakini je! wao waliendelea? La bwana. Hawakuisikiliza sautiya Roho na wakati mwingine wa kanisa ukaingia utumwani nakwa hiyo Mungu akawainua wengine ambao wangefanyamapenzi Yake. Mungu aliyapita madhehebu ya Kiluteri kamaalivyofanya na mengine yote, nayo hayatarudi tena. IlibidiMungu kuendelea na katika wakati mwingine mpya aongezeekweli zaidi na kurudishwa kwingine zaidi.

HUKUMU

Ufu. 3:3, “Basi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsiulivyosikia; yashike hayo na kutubu. Walakini usipokesha,nitakuja kama mwivi, wala hutaijua saa nitakayokuja kwako.”

Ninataka kusoma tafsiri nyingine (Wuest) ya aya hii,“Endelea kukumbuka, basi, umepokea kwa njia gani (ukwelikama akiba ya kudumu) na jinsi ulivyolisikia (hilo) nakulilinda (hilo), na ubadilishe nia mara moja.” Ni dhahiri sanakutoka katika aya hii ya kwamba Mungu alikuwa amewapakweli kama akiba ya kudumu. Ilipokewa na ni yao nahawawezi kunyang’anywa. Kinachobaki sasa ni kuona kilewatakachofanya nayo, kama wataiheshimu amahawataiheshimu. Na hiyo ni kweli. Wamekwishapewa msingiwa kweli wa Injili yote, “Mwenye haki ataishi kwa imani”,“Wokovu ni wa Bwana.” Walikwishasikia kweli ya Bibliaambayo iliyatupilia mbali mafundisho ya Rumi na kuyapuuzakabisa mamlaka yote ya papa. Walijua kweli kwamba kanisahaliokoi. Walifahamu meza ya Bwana. Walikuwa na nuru juuya ubatizo wa maji. Waliondoa sanamu. Kweli? Mbona

Page 265: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 255

hakujawahi kuwepo na wakati wenye watu wengi zaidiwaliokuwa na nuru nyingi namna hiyo ya kuangaza. Walikuwana mwangaza wa kutosha kuharibu kabisa ule utaratibu wakale au kuanza upya na kumwacha Mungu awaongoze, mstarijuu ya mstari, na kanuni juu ya kanuni. Walipokea ile kweli.Waliitaka na waliisikia. Lakini swali lilikuwa, waowaliisikiaje? Waliisikia ili kusudi wajenge juu yake amailikuwa ni msimamo ule ule ambao Wayunani wengi walikuwanao_jambo fulani la kuhojiana na kutoa nadharia juu yake?Kwa kweli Neno zuri la kweli lilikuwa linasikiwa kwa njia yakielimu, badala ya matendo yanayofaa, kwa kuwa Mungualikuwa akidai wabadilishe nia zao kulihusu. Kama hili niNeno la Mungu ambalo kweli ndilo, basi halina budi kutiiwa.Kutolitii kungeleta hukumu. Wakati walinzi wa hekalutakatifu walikutwa wamelala usingizi, walichapwa kishamavazi yao yakachomwa moto. Bwana atawafanya nini haoambao katika wakati huu wamelegeza ulinzi wao?

“Nitakuja kwako kama mwivi.” Sardi ya kale daimailisumbuliwa na maharamia walioshuka wakawavamia tokavilimani na kuwateka watu nyara. Hivyo basi wao walijuavizuri sana tu yale Roho aliyokuwa anasema ya kwamba kulekuja kwa Bwana ni kama mwizi. Kuwa macho na matayarishondiko pekee kutakakotosheleza kuwa tayari kwa ajili ya kujaKwake. Sasa tunajua ya kwamba huu ni ujumbe kwa ajili yaule mzabibu wa uongo, kwa maana kuja kwa Bwana kutakuwakama ilivyokuwa katika siku za Nuhu. Wale wananewaliookolewa walikuwa wanajua vyema habari za gharikaijayo, na kwa kuwa walijua wao walijiweka tayari nawakaokolewa. Lakini ulimwengu wa wasiomcha Munguulifutiliwa mbali. Ingawa kila siku walikutana na watu wenyehaki na walisikia ile kweli, waliikataa mpaka wakachelewa.Wale watu wa kimwili kabisa katika wakati ule wa kale nimfano wa Wakristo wa kawaida wa siku hizi ambao maishayao yamejaa mambo ya dunia, na wanayafurahia hivi kwambahawana shauku na mambo ya Kiroho, na wala hawana habarikabisa nayo, wala hawajawa tayari kwa ajili ya kuonekanaKwake.

SIFA

Ufu. 3:4, “Lakini unayo majina machache katika Sardi,watu wasioyatia mavazi yao uchafu; nao watakwenda pamojaNami hali wamevaa mavazi meupe, kwa kuwa wamestahili.”

Bila shaka neno ‘majina’ linamaanisha ‘watu’ kamaisemavyo katika Matendo 1:15 kuhusu wale waliokuwa katikachumba cha juu, “jumla ya majina ilipata 120.” Lakini kwangumimi lina maana zaidi kuliko tu ya kuwawakilisha watu;linadhihirisha ile kweli ambayo imewekwa katika kila wakati

Page 266: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

256 NYAKATI SABA ZA KANISA

ambayo ilinenwa kwetu kwa mkazo mkuu na Bwana wetu. Nihili: muundo wa kanisa wa nyakati hizi umeundwa kwamizabibu miwili, wa kweli na wa uongo. Mungu katika kusudila mamlaka Yake makuu ameyaweka yote pamoja, akiyaitakanisa. Angalia katika wakati huu jinsi Yeye alivyowakemeaakisema, “kwa kanisa lililoko” si “makanisa yaliyoko” Sardi_lakini akiyalundika pamoja_“kanisa lililoko”^“Ninajuamatendo yako^umekufa^kazi zako hazijatimilika^”Halafu anaendelea_“Una (kanisa hili lililoko Sardi) watuwachache wazuri, na si wabaya kama walivyo wengi. Hawawanatembea katika mavazi safi na wao wananistahili Mimi.”Sasa watu hawa waliokuwa watakatifu wa kweli wa Munguwalikuwa wanatembea “wote wakimpendeza Bwana.” Mavaziyao yalikuwa safi. Unaona katika siku zile hayo mavaziyaligusa ardhi na kuzoa vumbi na uchafu. Hawa waliangaliajinsi walivyoenenda hivi kwamba wasipotoshwe naulimwengu. Walikuwa katika Roho na wakitembea katikaRoho. Walikuwa watakatifu na wasio na lawama mbele Zake.Hivyo walikuwa wanatimiza kusudi lao kwa kuwa hivyondivyo Efe. 1:4 inavyosema ndilo kusudi la Mungu kwa ajiliyetu, “ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele Zake.”

Sasa kutokana na aya hii inayoonyesha wateule wa Mungukwamba ni “Majina Machache,” unaweza kuona dhahiri yaletuliyokuwa tukifundisha kuhusu wakati huu. Ulikuwaumechafuka sana. Ulikuwa HAUJATIMILIKA. Ulikuwaumegawanyika katika njia nyingi, na Mungu akaukemea karibuwote. Ulikuwa dhaifu na mgonjwa na karibu kufa. Haukuwawakati wa fahari kama vile wanahistoria Waprotestanti wenyenia za kimwili walivyojaribu kuufanya. Mtazamo mmoja waharaka wa mti huo uliona kuwa umeoza na umeshikwa naugonjwa, hauna majani wala matunda isipokuwa kwa matundamachache yaliyoumbuka na yaliyoliwa na wadudu ambayoyalikuwa yakianguka haraka ardhini. Lakini ngoja kidogo!Angalia kwa makini. Kule juu, kwenye nuru ya jua, kulikuwana ‘malimbuko’_‘Majina Machache’_waliokuwa wakamilifukatika Yeye kwa maana walizaliwa Naye, wamejazwa Naye nawakitembea Naye kwa Neno Lake.

Mungu ashukuriwe kwa ‘wale wachache’.“Nao watakwenda pamoja Nami.” Hicho ndicho ambacho

Mungu anasema atawapa kwa ajili ya mwenendo huu mnyofu.Hiyo ni sehemu ya urithi wao ambao Yeye amewawekea. Kamawalikuwa tayari kutembea pamoja Naye kupitia kwenye taabuna mitego ya maisha na kuwa waaminifu Kwake, Yeye alikuwaanaenda kuwapa thawabu. Yeye hasahau taabu yetu yaupendo. Mungu daima atatujazi kwa ajili ya jitihada zetu zakumfurahisha Yeye.

Naam, walikuwa wametembea ulimwenguni walahawakuwa wameshiriki mambo yake. Hawakuwa

Page 267: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 257

wameziachilia taratibu za ulimwengu ziwashinde. Wakatihayo majina maarufu sana ya wakati huo yalipokuwayamejisalimisha kwenye upendeleo wa serikali na wakachaguamambo ya kisiasa badala ya mambo ya Kiroho nao walikuwawanaenda zao kurudi ulimwenguni, hawa wachachewalilitetea Neno la Mungu, na hivyo basi wakamheshimuBwana. Sasa Yeye naye angewaheshimu vivyo hivyo. Kwakuwa watakwenda pamoja Naye hali wamevaa mavazi meupe.Walikuwa wamejitambulisha Naye duniani na sasa Yeyeatajitambulisha pamoja nao katika Yerusalemu Mpya. Na nijinsi gani kujitambulisha huko kutakavyokuwa kuzuri!Linanifanya nishangilie na hata hivyo linanifanya niliekufikiria juu ya kujidhili Kwake, kwa kuwa utaona kwambaYeye havai rangi nyingine tofauti na watakatifu, kamaambavyo viongozi wa dunia wangefanya. La, wao ni kamaYeye; Yeye ni kama wao. Wao ni kama Yeye, kama vile Yohanaalivyosema; kwa kuwa “wanamwona Yeye kama alivyo.”

“Kwa kuwa wamestahili.” Unatambua ni Nani anayesemajambo hili? Ni Yesu, Yeye Anayestahili, Mwenyewe. HuyuNdiye pekee Ambaye amehesabiwa kuwa anastahili kukitwaakile kitabu kutoka katika mkono Wake Yeye aliyeketi kwenyekiti cha enzi. Na sasa Huyu Anayestahili anawaambiawatakatifu Wake, “Ninyi mmestahili.” Huyu hapa Mmoja,Yule pekee anayestahili kuwa hakimu, (na kwa kweli hukumuyote amekabidhiwa Yeye,) Naye anasema, “Nyinyimmestahili.” Maneno haya yanashangaza sana kama yalemaneno ya Rum. 8:33b, “Mungu anasema mimi ni mwenyehaki.” (Tafs. ya Way.) Pale katika nuru nyeupe ya haki yaMungu, isikie sauti tamu ya Yesu anaposema, “Hawa niWangu. Wao ni wenye haki. Wamestahili. Watatembea pamojaNami huku wamevaa mavazi meupe.”

AHADI KWA MSHINDI

Ufu. 3:5, “Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe,wala sitalifuta kamwe jina lake katika Kitabu cha Uzima,lakini nitalikiri jina lake mbele za Baba Yangu, na mbele yamalaika Zake.”

“Yeye ashindaye atavikwa hivyo mavazi meupe.” Hili kwakweli ni marudio ya aya ya 4, ambapo pametajwa haowachache ambao hawajayatia mavazi yao uchafu. Tulikuwa namsemo miaka mingi iliyopita ambao bila shaka ulitolewakutoka kwenye aya hii. Ulikuwa, “Msichafue sketi zenu.”Msemo huo ulimaanisha: usihusike na mambo yasiyo wazi;wengine watahusika na wewe huenda ukashawishikakuhusika, ama mtu fulani hata anaweza kujaribu kukuhusisha;lakini kaa mbali na jambo lote kwa kuongoza katika njiaiendayo mbali na jambo hilo. Sasa Mungu atawapa thawabu

Page 268: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

258 NYAKATI SABA ZA KANISA

hao wanaoyafuata mawaidha haya. Watavalishwa mavazimeupe kama vile Yeye alivyovaa mavazi meupe. Petro, Yakobona Yohana walimwona kwenye Mlima wa Kugeuka Sura namavazi Yake yalikuwa meupe kama nuru. Hivyo ndivyowatakatifu watakavyovalishwa. Mavazi yao yatakuwayaking’aa, meupe sana.

Unajua tunaishi katika wakati wa mwisho. Wakati huundio ambapo makanisa yataungana. Na kama vile ambavyohata sasa yanatawala siasa za ulimwengu, hivi karibuniyatatawala uchumi wa dunia. Basi, kama wewe si mfuasi washirika la makanisa ulimwenguni, hutaweza kuuza walakununua. Utapoteza yote. Wale wanaodumu kuwa waaminifukwa Mungu na kuyaweka mavazi yao meupe yasichafuliwe nahuu ‘utaratibu wa ulimwengu’ wa mashirika ya kanisawataachwa bila mali. Wataletewa jaribu kubwa sana wapatekujisalimisha. Wahubiri watajisalimisha kwa kisingizio chakwamba watamtumikia Mungu wakiwa ndani ya utaratibu wamnyama mpinga-kristo. Watajisalimisha kwa sifa za uleulaghai na ushawishi wa serikali ya kanisa. Nao watuwatawafuata hawa wachungaji wa uongo moja kwa moja hatamachinjioni. Lakini hukumuni wote watakutwa uchi.Hawatapewa hayo mavazi meupe; wala hawatatembea pamojaNaye. Huwezi kutembea umevaa mavazi ya ulimwenguambayo yana mawaa, huku ukiwa umeshikana mikono naibilisi, na halafu utazamie kuwa pamoja na Mungu. Ni wakatiwa kuamka na kuisikia sauti ya Mungu ikisema kwa sauti kuu,“Tokeni kwake (dini ya kimadhehebu) enyi watu Wangu, msijemkashiriki dhambi zake, msije mkapokea mapigo yake.”Amina. Mungu ananena. Jiepusheni na dini za ulimwengu huukama vile mjiepushavyo na tauni. Acheni kutembea pamoja naulimwengu na myafanye mavazi yenu meupe kwa toba nadamu ya Mwana-Kondoo. Lakini fanyeni jambo hilo sasa, kwamaana kesho inaweza kuwa mtu umechelewa.

“Na yeye ashindaye, sitalifuta jina lake katika Kitabu chaUzima.” Mara nyingine tena tunafikia sehemu iliyo ngumusana ya Neno. Aya hii ikiangaliwa kwa juu-juu itatumiwa naWaarminia na Wakalvini pia ifae mashauri yao. Waarminiawatasema kwa uthabiti ya kwamba aya hii bila shakainafutilia mbali Yon. 6: 37-44, “Wote anipao Baba watakujaKwangu; wala ye yote ajaye Kwangu sitamtupa nje kamwe.Kwa kuwa Mimi sikushuka kutoka mbinguni ili niyafanyemapenzi Yangu, bali mapenzi Yake Yeye aliyenipeleka. Namapenzi ya Baba Yangu aliyenipeleka ni haya, ya kwambakatika wote alionipa nisimpoteze hata mmoja, bali nimfufuetena siku ya mwisho. Basi Wayahudi wakamnung’unikia, kwasababu alisema, Mimi ni chakula kilichoshuka kutokambinguni. Wakasema, Huyu siye Yesu, Mwana wa Yusufu,ambaye twamjua babaye na mamaye? Sasa asemaje huyu,

Page 269: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 259

Nimeshuka kutoka mbinguni? Basi Yesu akajibu, akawaambia,Msinung’unike ninyi kwa ninyi. Hakuna mtu awezaye kujaKwangu, asipovutwa na Baba aliyenipeleka; Nami nitamfufuasiku ya mwisho.” Uarminia unafanya mapenzi ya Baba, sikusudi la mamlaka kuu, lakini ni shauku tu ya ridhaa huyoBaba anaposimama huko nyuma aone yale watu wotewanayofanya na karama Zake za kweli na za neema, na hatauzima wa milele.

Wakalvini hawaoni jambo hilo. Wanaona katika aya hiifaraja kubwa sana iliyotolewa kwa watakatifu wanaoteseka,waliolemewa na mizigo, ya kwamba haidhuru nyakati hizo niza uovu namna gani, jinsi mateso yalivyo ya kutisha, kwasababu mshindi ni mmoja, “anayeamini ya kwamba Yesu niKristo,” jina lake halitaondolewa kwenye kile kitabu. Wenginewanasema pia ya kwamba ‘Kitabu hiki cha Uzima’ si ‘Kitabucha Uzima cha Mwana-Kondoo.’ Lakini kama kawaida, wakatimtu anapoangalia aya kwa juujuu, yeye anaondoka akiwa naufahamu wa kijuujuu.

Uwezekano wa kuondolewa kwa jina kutoka kwenyerekodi za Mungu kunahitaji zaidi ya somo la juujuu, kwasababu hadi kufikia wakati huu karibu wanafunzi wotewamefikia kwenye uamuzi ya kwamba Mungu huweka majinaya wale waliozaliwa mara ya pili katika Kitabu cha Uzima chaMwana-Kondoo wakati wa kuzaliwa kwao upya; na kama kwasababu yo yote jina hilo litapaswa kuondolewa, sehemu hiyokwenye rekodi itakuwa ni tupu tu kama ilivyokuwa kabla yajina halijaandikwa pale. Hili ni asilimia mia moja kinyume nayale hasa Neno linayofundisha.

Katika mwanzo kabisa wa somo letu, hebu na ijulikane yakwamba hakuna Andiko HATA MOJA linalofundisha yakwamba Mungu hivi sasa anaandika orodha ya majina. Jambohili lilifanywa kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, kamatutakavyoonyesha hivi punde. Pia, si swali la sisi kujihusishana makundi mawili ya watu ambao wote walikuwa na nafasiya kupokea uzima wa milele, ambapo kundi moja liliupokea namajina yao yakaandikwa kwenye orodha ambapo walewengine waliokataa hawakuandikwa majina yao. Kwa kwelitutaonyesha kwa Maandiko ya kwamba umati mkubwa wawatu ambao hata hawakuzaliwa mara ya pili wataingia katikauzima wa milele. Ingawa hili linaweza kusikika ni jambo geni,hakika ni la kweli. Pia tutaonyesha ya kwamba kuna kundi lawatu ambao majina yao, baada ya kuandikwa kwenye orodhahiyo kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, MAJINAHAYO HAYAWEZI KUONDOLEWA KWA HALI YO YOTE;lakini pia tutaonyesha ya kwamba kundi lingine AMBALOMAJINA YAO YALIKUWA KWENYE ORODHA HIYOKABLA YA KUWEKWA MISINGI YA ULIMWENGUMAJINA YAO YATAFUTILIWA MBALI.

Page 270: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

260 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kwanza, hakuna msingi kwa madai kwamba ‘Kitabu chaUzima cha Mwana-Kondoo’ si sawa na ‘Kitabu cha Uzima.’Kitabu cha Uzima kinaweza kuitwa Kitabu cha Uzima chaMwana-Kondoo, ama Kitabu cha Uzima cha Kristo, ama hataKitabu Chako na Kitabu cha Walio Hai. Ni majina tuyaliyoandikwa mle. Ufu. 13:8, “Na watu wote wakaao juu yanchi watamsujudu, (huyo mnyama) kila ambaye jina lakehalikuandikwa katika Kitabu cha Uzima cha Mwana-Kondoo,aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia.” Ufu. 17:8,“Yule mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yutayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu.Na hao wakaao juu ya nchi wasioandikwa majina yao katikaKitabu cha Uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu,watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwambaalikuwako, naye hayuko, naye atakuwako.” Ufu. 20:12-15,“Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimamambele za Mungu; na vitabu vikafunguliwa; na Kitabu kinginekikafunguliwa, ambacho ni cha Uzima; na hao wafuwakahukumiwa katika mambo hayo yote yaliyoandikwakatika vile vitabu, sawasawa na matendo yao. Bahari ikawatoawafu waliokuwamo ndani yake; na mauti na kuzimuzikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwakila mtu kwa kadiri ya matendo yake. Mauti na kuzimuzikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili,yaani, hilo ziwa la moto. Na iwapo mtu ye yote hakuonekanaameandikwa katika Kitabu cha Uzima, alitupwa katika lileziwa la moto.” Unaweza kuona ya kwamba ingawa kunavitabu vingine vilivyotajwa, daima kuna kutajwa kwa kitabuKIMOJA kilicho na majina. Katika Ufunuo kinaitwa ‘Kitabucha Uzima cha Mwana-Kondoo’, ama ‘Kitabu cha Uzima.’

Sasa kitabu hiki kimewekwa wapi? Luka 10:17-24, “Ndipowale sabini waliporudi tena kwa furaha, wakisema, Bwana,hata pepo wanatutii kwa Jina Lako. Akawaambia, NilimwonaShetani, akianguka kutoka mbinguni kama umeme. Tazama,nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote zayule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru, Lakini,msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii; bali furahini kwasababu majina yenu yameandikwa mbinguni. Saa ile ile Yesualishangilia kwa Roho, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwanawa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya umewafichawenye hekima na akili; umewafunulia watoto wachanga;Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyokupendeza.Nimekabidhiwa vyote na Baba Yangu, wala hakuna amjuayeMwana ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana apenda kumfunulia. Akawageukiawanafunzi Wake, akasema nao kwa faragha, Heri machoyaonayo mnayoyaona ninyi: Kwa kuwa nawaambia yakwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaonamnayoyaona ninyi wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia

Page 271: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 261

ninyi wasiyasikie.” Kitabu cha Uzima bila shaka kikombinguni, na kitatokea kwenye ile hukumu kuu ya KitiCheupe cha Enzi. Katika aya hizi Yesu alisema ya kwambaMAJINA yao yaliandikwa mbinguni. Yaliandikwa katikaKitabu cha Uzima, kwa maana humo ndimo majinayanamowekwa. Yesu alikuwa akizungumza na wale sabini (ayaya 17), lakini alikuwa pia akizungumza na wale kumi nawawili (aya ya 23). Hawa wote walikuwa wakifurahi yakwamba pepo walikuwa wakiwatii katika Jina la Yesu. Jibu laYesu lilikuwa, “Msifurahi kwa vile pepo wanavyowatii, balifurahini kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni(Kitabu cha Uzima).” Utaona hapa ya kwamba Yuda alikuwani mmoja wa wale waliokuwa wanatoa pepo katika Jina laYesu, lakini tunajua ya kwamba yeye alikuwa ni shetani,mwana wa upotevu. Yohana 6:70-71, “Yesu akawajibu, Je!Mimi sikuwachagua ninyi thenashara, na mmoja wenu nishetani? Alimnena Yuda Iskariote, mwana wa Simoni: maanahuyo ndiye atakayemsaliti, naye ni mmojawapo wa walethenashara.” Yn. 17:12, “Nilipokuwapo pamoja nao duniani,Mimi naliwalinda kwa Jina Lako: wale ulionipa, nikawatunza,wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana waupotevu: ili Andiko litimie.” Yn. 13:10-11, 18, “Yesuakamwambia, Yeye aliyekwisha kuoga hana haja ila yakutawadha miguu, bali yu safi mwili wote, nanyi mmekuwasafi, lakini si nyote. Kwa maana alimjua yeye atakayemsaliti;ndiyo maana alisema, Si nyote mlio safi. Sisemi habari za ninyinyote: nawajua wale niliowachagua: lakini Andiko lipatekutimizwa, yeye alaye chakula pamoja Nami ameniinuliakisigino chake.” Sasa kama lugha ina maana yo yote hatakidogo hatuna budi kukubali ya kwamba Yuda alichaguliwana Yesu (Yn. 13:18), lakini yeye hakuwa safi. (Yn. 13:10-11), piapia Yesu alipewa Yuda na Baba Yake. Yn. 17:12. (Hebu naijulikane hapa kwamba kule “kuchaguliwa” na kutoa ni jambolile lile liendalo sambamba sambamba kabisa na kama vilekatika mfano wa Musa na Farao, Yakobo na Esau, kwa maanaingawa Esau na Farao walijulikana wote wawili tangu zamani,walikusudiwa ghadhabu, ambapo mwisho wa Musa na Yakoboulikuwa ni kutukuzwa. I Petro 2:8-9a inaonyesha wotewaliokataliwa na walioteuliwa “kwa maana hujikwaza kwaNeno lile, wasiliamini: nao waliwekwa kusudi wapate hayo.Bali ninyi ni mzao mteule.”) Yuda alihesabiwa pamoja na walethenashara na kwa kweli alikuwa na sehemu pamoja naokatika ile huduma kabla ya Pentekoste. Matendo 1:16-17,“Ndugu, ilipasa Andiko litimizwe, alilolinena Roho Mtakatifuzamani kwa kinywa cha Daudi, katika habari za Yuda,aliyewaongoza wao waliomkamata Yesu. Kwa sababu alikuwaamehesabiwa pamoja na sisi, akapata sehemu ya huduma hii.”Sehemu ambayo Yuda aliipata kati ya wale thenashara halafuakaipoteza haikuwa ndogo kuliko huduma za hao wengine

Page 272: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

262 NYAKATI SABA ZA KANISA

kumi na mmoja, wala haikuwa huduma ngeni ya kiibilisiiliyoingizwa kati ya huduma za hao wengine. Matendo 1:25,“Ashike mahali katika huduma hii na utume huu, alioukuosaYuda, aende mahali pake mwenyewe.” Yuda, ambaye alikuwashetani, alipoteza huduma ya Roho Mtakatifu aliyopewa naMungu, ndipo akajiua na AKAENDA MAHALI PAKEMWENYEWE. Jina lake hata lilikuwa kwenye Kitabu chaUzima. Lakini jina lake lilifutiliwa mbali.

Sasa kabla hatujalifuatilia wazo hili juu ya Yuda, hebu naturudi nyuma katika Agano la Kale tuone mahali ambapoMungu alitenda jambo lile lile. Katika Mwa. 35:23-26, wana waYakobo walikuwa thenashara na majina yao yalikuwa kamaifuatavyo: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni;Yusufu na Benyamini; Dani na Naftali; Gadi na Asheri. Ukoowa wana hawa thenashara ukawa yale makabila kumi namawili ya Israeli isipokuwa Yusufu hakuwa na kabilalililoitwa kwa jina lake, kwa maana katika mawazo ya mbeleya Mungu ilikuwa kuwe na makabila kumi na matatu, na walewana wawili wa Yusufu walipewa heshima ya kuyafanya yalekumi na mawili kuwa kumi na matatu. Mnajua, bila shaka, yakwamba jambo hili lilikuwa la lazima kwa kuwa Lawialitengwa kwa Mungu kwa ajili ya ukuhani. Kwa hiyo wakatiIsraeli walipoondoka Misri na Mungu akawapa ile hemajangwani, tunaona kabila la Lawi likiwahudumia makabilakumi na mawili ambayo majina yao ni Reubeni, Simeoni,Isakari, Yuda, Zabuloni, Benyamini, Dani, Naftali, Gadi,Asheri, Efraimu na Manase. Hiyo ndiyo taratibu ya majina yajeshi lao katika Hes. 10:11-28. Hakuna kutajwa kwa Yusufu auLawi. Lakini tunapoangalia Ufu. 7:4-8, ambapo inasema“walitiwa muhuri watu mia na arobaini na nne elfu katikaKILA kabila la wana wa Israeli,” linawaorodhesha namna hii:Yuda, Reubeni, Gadi, Asheri, Naftali, Manase, Simeoni, Lawi,Isakari, Zabuloni, Yusufu, Benyamini. Tumerudi kwenyemakabila kumi na mawili huku Lawi na Yusufu wametajwamiongoni mwao, lakini Dani na Efraimu wanakosekana.

Swali sasa linazuka, ni kwa sababu gani haya makabilamawili yalifutiliwa mbali? Jawabu liko katika Kum. 29:16-20,“Kwani mwajua tulivyoketi nchi ya Misri, na tulivyokujakatikati ya mataifa hayo mliyopita katikati yao; nanyi mlionamachukizo yao, na sanamu zao, miti na mawe, fedha nadhahabu, zilizokuwako kwao: Asiwe mtu katikati yenu, mumewala mke, wala jamaa, wala kabila, ageukaye moyo wake leoamwache Bwana, Mungu wetu, kwenda kuitumikia miungu yamataifa hayo; lisiwe katikati yenu shina lizaalo uchungu napakanga; Ikawa asikiapo maneno ya laana hii, ajibarikie mtuhuyo moyoni mwake, na kusema, Nitakuwa katika amani,nijapotembea katika upotoe wa moyo wangu, kwa kuangamizambichi na kavu; Bwana hatamsamehe mtu huyo, lakini wakati

Page 273: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 263

huo hasira ya Bwana na wivu Wake vitafuka moshi juu ya mtuyule, na laana yote iliyoandikwa katika kitabu hiki itamkaliajuu yake, na Bwana atalifuta jina lake chini ya mbingu.” Hapaimetangazwa laana dhidi ya ibada za sanamu, ama uasheratiwa kiroho. Kabila ambalo liligeukia ibada za sanamu ilibifijina lake lifutwe. Na historia ya hayo makabila mawili ambayomajina yao yalifutwa kwa sababu ya ibada za sanamuinapatikana katika I Waf. 12:25-30, “Ndipo Yeroboamuakajenga Shekemu katika milima ya Efraimu, akakaa huko;akatoka huko akajenga Penueli. Yeroboamu akasema moyonimwake, Basi ufalme utairudia nyumba ya Daudi: Kama watuhawa wakipanda kwenda kutoa dhabihu katika nyumba yaBwana huko Yerusalemu, ndipo mioyo ya watu hawaitamrudia bwana wao, yaani Rehoboamu, mfalme wa Yuda,nao wataniua mimi, na kumrudia Rehoboamu, mfalme waYuda. Kwa hiyo mfalme akafanya shauri, akafanyiza ng’ombewawili wa dhahabu, akawaambia watu, Ni vigumu kwenukupanda kwenda Yerusalemu; tazama, hii ndiyo miungu yenu,Enyi Israeli, iliyowapandisha kutoka nchi ya Misri. Akamwekammoja katika Betheli, na wa pili akamweka katika Dani.Jambo hili likawa dhambi: maana watu walikwenda kuabudumbele ya kila mmoja, hata huko Dani.” Hosea 4:17, Efraimuamejiunganisha na sanamu zake: mwache.

Angalia hasa ya kwamba adhabu ya kuabudu sanamuilikuwa ni kwamba jina la kabila hilo ilibidi lifutwe kutoka‘chini ya mbingu.’ Kum. 29:20. Halisemi ya kwambalingefutwa ‘mbinguni,’ lakini kutoka chini ya mbingu. Nahivyo ndivyo ilivyo hasa, kwa kuwa sasa Israeli wamerudiPalestina, na hivi karibuni Bwana atawatia muhuri 144,000wa hao. Lakini kutoka katika hesabu hiyo Dani na Efraimuwanakosekana.

Ufu. 7:4-8, “Nikasikia hesabu yao wliotiwa muhuri katikaKILA kabila la Waisraeli, watu mia na arobaini na nne elfu. Wakabila ya Yuda kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabilaya Reubeni kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila yaGadi kumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Asherikumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Naftalikumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Manasekumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Simeonikumi na mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kablia ya Lawi kumina mbili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Isakari kumi nambili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Zabuloni kumi nambili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Yusufu kumi nambili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Benyamini kumi nambili elfu waliotiwa muhuri waliotiwa muhuri. (Angalia, Danina Efraimu hawako). Sasa pamoja na jambo hili angalia Dan.12:1 ambayo inawaorodhesha hawa mia na arobaini na nne elfuwanaotiwa muhuri wakati wa ule muhuri waa sita na wakati

Page 274: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

264 NYAKATI SABA ZA KANISA

wa ile Dhiki Kuu ama taabu ya Yakobo. “Wakati huo Mikaeliatasimama, jemadari mkuu, asimamaye upande wa wana wawatu wako: na kutakuwa na wakati wa taabu, mfano wakehaukuwapo tangu lilipoanza kuwapo taifa hata wakati uo huo:na wakati huo watu wako wataokolewa; kila mmojaATAKAYEONEKANA AMEANDIKWA KATIKA KITABUKILE.”

Hata hivyo, baada ya kipindi hiki cha dhiki, (wakati waule utawala wa miaka elfu,) kama ulivyoonekana na Ezekielikatika 48:1-8, na 22-29 tunaona makabila yamerudi maranyingine tena katika utaratibu wa Kiungu. Lakini, tanguwakati ule Efraimu na Dani walipojiunga na sanamu,walikufa, na makabila hayo hayatambuliwi tena. Sasanatambua ya kwamba tangu kule kuharibiwa kwaYerusalemu, orodha zote za makabila yote zimepotea, hivikwamba hakuna mtu anayeweza kusema kwa hakika yeye niwa kabila gani, LAKINI MUNGU ANAJUA. Yale Mungumkuu Ambaye anawarudisha Israeli Palestina anajua kwauhakika kabisa kabila analotoka kila Mwisraeli halisi, nakutoka kwa hao wote mia na arobaini na nne elfuwatakaokusanyika Dani na Efraimu hawatakuweko.

Haya hapa makabila ya Israeli. Eze. 48:1-8 na 22-29, “Basi,haya ndiyo majina ya kabila hizo. Toka mwisho wa pande zakaskazini, karibu na njia ya Hethloni hata maingilio yaHamathi. Hata Hasar-enoni, penye mpaka wa Dameski, yaani,upande wa kaskazini karibu na Hamathi; watakuwa naupande wa mashariki na upande wa magharibi; Dani fungumoja. Tena mpakani mwake Dani, toka upande wa masharikihata upande wa magharibi, Asheri, fungu moja. Na mpakanimwa Asheri, toka upande wa mashariki hata upande wamagharibi; Naftali, fungu moja. Na mpakani mwa Naftali, tokaupande wa mashariki hata upande wa magharibi; Manase,fungu moja. Na mpakani mwa Manase, toka upande wamashariki hata upande wa magharibi; Efraimu, fungu moja.Na mpakani mwa Efraimu, toka upande wa mashariki hataupande wa magharibi; Reubeni, fungu moja. Na mpakani mwaReubeni, toka upande wa mashariki hata upande wamagharibi; Yuda, fungu moja. Na mpakani mwa Yuda, tokaupande wa mashariki hata upande wa magharibi, nk. Tenatokea milki ya Walawi, na tokea milki ya mji, kwa kuwa nikatikati ya nchi iliyo ya mkuu katikati ya mpaka wa Yuda nampaka wa Benyamini, itakuwa ya MKUU. Na katika habari zakabila zilizosalia; toka upande wa mashariki hata upande wamagharibi, Benyamini, fungu moja. Tena mpakani mwaBenyamini, toka upande wa mashariki hata upande wamagharibi, Simeoni, fungu moja. Tena mpakani mwa Simeoni,toka upande wa mashariki hata upande wa magharibi, Isakari,fungu moja. Na mpakani mwa Isakari, toka upande wa

Page 275: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 265

mashariki hata upande wa magharibi, Zabuloni, fungu moja.Na mpakani mwa Zabuloni, toka upande wa mashariki hataupande wa magharibi, Gadi, fungu moja. Na mpakani mwaGadi, upande wa kusini kuelekea kusini, nk.

Mfano mwingine ambao tungeweza kuchukua ni habari zaIsraeli walipoondoka Misri wakielekea nchi ya Kanaani.Kusudi la Mungu katika wakati huu lilikuwa ni KUWATOAIsraeli, na KUWAINGIZA, wapate kumtumikia Yeye. Hivyobasi wakati walipotoka Misri WOTE walitoka chini ya damuya mwana-kondoo wa sadaka; WOTE walipitia ubatizo wamaji katika Bahari ya Shamu; WOTE waliifurahia miujizayenye uwezo; WOTE walikula mana; WOTE waliunywea ulemwamba; na kwa habari za baraka dhahiri za nje na kuhusumadhihirisho WOTE walishiriki kwa njia ile ile na njia sawa.Lakini, walipofika Moabu wale waliojiunga na karamu yaBaal-Peori wote walikufa. Mizoga yao ilianguka nyikani, kwasababu huko ndiko walikolikatalia Neno la Mungu nawakaliacha. Sasa hili ndilo Ebr. 6:1-9 inachozungumzia,ambalo lilifafanuliwa vizuri sana katika Wakati wa Pergamo.Huwezi kuendelea na sehemu tu ya Neno, huna budi kuchukuaNeno LOTE. Kuna watu wanaoonekana wanahusika namambo ya Mungu karibu asilimia mia moja. Wao ni kamaYuda. Hakuna mtu ila Yesu aliyejua Yuda alikuwa mtu wanamna gani hasa. Kwa hiyo siku ilitimia wakati Yudaalipofanya vile hasa walivyofanya Israeli kule Baal-Peori.Alikata shauri ya kwamba alitaka kujiunga na jeshi lamzabibu wa uongo_ajiingize katika madhehebu ya biashara,na ya kisiasa yanayolipinga Neno, dini ya mpinga-Kristo naakafanya hivyo. Yeye alidanganyika! Hao wengine kumi nammoja hawakudanganyika. Hawangeweza kudanganywa, kwamaana walikuwa wateule wenyewe hasa. Kwa hiyo Yudaalipoondoka na kumsaliti Bwana, jina lake liliondolewa katikaKitabu cha Uzima. (Ufu. 22:19).

Sasa nina hakika ya kwamba umeona ya kwamba haoambao majina yao yalikuwa katika Kitabu cha Uzimawalikuwa ni sehemu ya utaratibu wa dini wa siku hizouliokuwa unaegemea kwa Mungu wa kweli na kumwabuduYeye, ingawa hawakuabudu kulingana na Kweli (Neno.) Kamavile Yuda wao hawakuendelea hata mwisho. Angalia jinsiYuda alivyochaguliwa na Mungu. Alifundishwa kweli.Alishiriki maarifa ya hizo siri. Alipewa huduma yenye nguvuna aliwaponya wagonjwa na kutoa pepo katika Jina la Yesu.Lakini wakati shindano la kuamua lilipokuja, yeye alijiuzakwa dhahabu na nguvu za kisiasa. Yeye hakufika Pentekostekumpokea Roho wa Mungu. Hakuwa na Roho. Usikosee, mtuambaye amebatizwa kweli na Roho Mtakatifu katika mwili waKristo na kupokea utimilifu wa Roho atakuwa katika NENODAIMA. Hilo ndilo thibitisho la kubatizwa na Roho Mtakatifu.

Page 276: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

266 NYAKATI SABA ZA KANISA

Yuda alishindwa. Wengi sana wanashindiwa papo hapo. Nawanaposhindwa kuendelea katika hilo Neno, majina yaoyanaondolewa katika Kitabu cha Uzima.

Ili kuelezea zaidi huku kuondolewa kwa jina kutoka katikaKitabu cha Uzima tunapaswa kuelekeza mawazo yetu kwaIsraeli katika siku za Musa. Kut. 32:30-34, “Hata asubuhi yakeMusa akawaambia watu, Mmetenda dhambi kuu: na sasanitakwenda juu kwa Bwana; labda nitafanya upatanisho kwaajili ya dhambi zenu. Musa akarejea kwa Bwana, akasema, Aa!watu hawa wametenda dhambi kuu, wamejifanyia miungu yadhahabu. Walakini sasa, ikiwa utawasamehe dhambi zao_nakama sivyo, unifute, nakusihi, katika kitabu Chakoulichokiandika. Bwana akamwambia Musa, Mtu ye yotealiyenitenda dhambi, ndiye nitakayemfuta katika kitabuChangu. Basi sasa uende ukawaongoze watu hawa mpakamahali pale ambapo nimekuambia habari zake; tazama,malaika Wangu atakutangulia; pamoja na hayo sikunitakayowajilia nitawapatiliza kwa ajili ya dhambi yao.” Nidhahiri kweli kweli ya kwamba majina yameondolewa, nayataondolewa kutoka katika Kitabu cha Uzima kabla yawakati haujaisha. Katika mahali hapa hasa ilikuwa ni kwasababu ya kuabudu sanamu, kama vile Dani na Efraimuwalivyopoteza haki zao kama makabila kwa ajili ya kuabudundama za dhahabu. Wote walioabudu sanamu majina yaoyaliondolewa katika Kitabu cha Uzima.

Wakati Israeli walipoukataa uongozi wa Mungu katikanguzo ya moto, na kugeukia ibada za ndama wa dhahabumajina yao yaliondolewa kutoka kwenye Kitabu cha Uzima.Kut. 32:33. (Mtu ye yote aliyenitenda dhambi, ndiyenitakayemfuta katika kitabu Changu.) Kama kugeukia sanamunamna hiyo kunastahili adhabu ya majina kuondolewa kutokakatika Kitabu cha Uzima, basi bila shaka kabisa Israelikumkataa Yesu Kristo kama Masihi kungestahili adhabu kalikama hiyo. Hii ni kweli kabisa. Katika Zaburi 69 ambayoinaelezea kutwezwa kwa Yesu inasema katika aya ya 21-28,“Wakanipa uchungu kuwa chakula Changu; Nami nilipokuwana kiu wakaninywesha siki. Meza yao mbele yao na iwe mtego;naam, wakiwa salama na iwe tanzi. Macho yao yatiwe gizawasione, na viuno vyao uvitetemeshe daima. Uimwageghadhabu Yako juu yao, na ukali wa hasira Yako uwapate.Matuo yao na yawe ukiwa: pasiwe na mtu wa kukaa hemanimwao. Maana wanamwudhi Mtu uliyempiga Wewe,wanasimulia maumivu ya hao uliowatia jeraha. Uwaongezeeuovu juu ya uovu, wala wasiingie katika haki Yako. Nawafutwe katika Chuo cha Uhai, wala pamoja na wenye hakiwasiandikwe.” Wakati Wayahudi walipomkataa Yesu Mungualiwaacha kweli akawaendea Mataifa. Matendo 13:46-48“Paulo na Barnaba wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa

Page 277: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 267

lazima Neno la Mungu linenwe kwenu kwanza; lakini kwakuwa mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi zenu kuwahamkustahili uzima wa milele, angalieni, twawageukiaMataifa. Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana,akinena, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, upate kuwawokovu hata mwisho wa dunia. Mataifa waliposikia hayowakafurahi, wakalitukuza Neno la Bwana: nao waliokuwawamekusudiwa uzima wa milele wakaamini.”

Hii si kudokeza ya kwamba hakutakuweko na majinamengine tena kutoka katika makabila ya Israeli yatakayosaliakatika Kitabu cha Uzima, kwa maana wengi wa hawa (bali siumati wa watu) kwa kanuni ya kuteuliwa watakuwa katikawakati wa kanisa la Mataifa na kuingia katika mwili wa YesuKristo, ikionyesha ya kwamba majina yao kweli yalibakikatika Kitabu cha Uzima. Pia, kama tutakavyoonyesha,kulingana na muhuri ya sita umati mkubwa wa mashahidi waKiyahudi watapewa mavazi meupe na uzima wa milele naBwana. Pia wale mia na arobaini na nne elfu watatiwa muhuriwakati wa kule kuja Kwake, ikithibitisha ya kwamba majinayao hayakufutwa pia. Lakini ni kama tu ilivyoelezwa kwausahihi sana katika Zaburi ya 69 ya kwamba ni hao waovu amawatu wasio na haki wanaomkataa Kristo na wanaowaangamizawatu Wake ambao majina yao yanaondolewa.

Kama vile Israeli (watu waliochaguliwa na Mungu) waliowengi walivyopoteza haki zao katika Kitabu cha Uzima kwakumkataa Yesu, vivyo hivyo wengi wa kanisa la Mataifawatahukumiwa pia na matokeo yake yatakuwa kuondolewakwa majina yao kutoka katika Kitabu cha Uzima kwakulikataa Neno na hivyo basi kuingia katika harakati zaekumeni ulimwenguni kitu ambacho ni sanamuiliyotengenezwa kwa ajili ya yule mnyama.

Kuna jambo jingine la kuona hapa. Katika ile hukumu kuuya kile Kiti Cheupe cha Enzi kutakuweko na watu kubaguliwa.Kitabu cha Uzima kitafunguliwa na kitabu kinginekitafunguliwa. Mat. 25:31-46, “Hapo atakapokuja Mwana waAdamu katika utukufu Wake, na malaika watakatifu wotepamoja Naye, ndipo atakapoketi katika kiti cha utukufu Wake;na mataifa yote watakusanyika mbele Zake; Naye atawabaguakama vile mchungaji abaguavyo kondoo na mbuzi; atawawekakondoo mkono Wake wa kuume, na mbuzi mkono Wake wakushoto. Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkonoWake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa na Baba Yangu, urithiniufalme mliowekewa tayari tangu kuumbwa ulimwengu: Kwamaana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula: Nalikuwa na kiu,mkaninywesha; Nalikuwa mgeni, mkanikaribisha: Nalikuwauchi, mkanivika: Nalikuwa mgonjwa, mkaja kunitazama:nalikuwa kifungoni, mkanijia: Ndipo wenye hakiwatakapomjibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona una

Page 278: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

268 NYAKATI SABA ZA KANISA

njaa, tukakulisha, au una kiu tukakunywesha? Tena ni linitulipokuona u mgeni, tukakukaribisha? au u uchi, tukakuvika?ni lini tena tulipokuona u mgonjwa, au kifungoni, tukakujia?Na Mfalme atajibu akiwaambia, Amin, nawaambia, kadirimlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu Zangu waliowadogo, mlinitendea Mimi. Kisha atawaambia na walewalioko mkono Wake wa kushoto, Ondokeni Kwangu,mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewatayari ibilisi na malaika zake. Kwa maana nalikuwa na njaa,msinipe chakula: Nalikuwa na kiu, msininyweshe: Nalikuwamgeni, msinikaribishe: nalikuwa uchi, msinivike: Nalikuwamgonjwa, na kifungoni, msije kunitazama: Ndipo hao piawatajibu, wakisema, Bwana, ni lini tulipokuona Wewe unanjaa, au una kiu, au u mgeni, au u uchi, au u mgonjwa, au ukifungoni, tusikuhudumie? Naye atawajibu, akisema, Amin,nawaambia, Kadiri msivyomtendea mmojawapo wa hao waliowadogo, hamkunitendea Mimi. Na hao watakwenda zaokuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwendakatika uzima wa milele.”

Ufu. 20:11-15, “Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa,cheupe, na Yeye aketiye juu yake; Ambaye nchi na mbinguzikakimbia uso Wake, na mahali pao hapakuonekana.Nikawaona wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbeleza Mungu; na vitabu vikafunguliwa; na kitabu kinginekikafunguliwa, ambacho ni Kitabu cha Uzima; na hao wafuwakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vilevitabu, sawasawa na matendo yao, Bahari ikawatoa wafuwaliokuwamo ndani yake: na mauti na kuzimu zikawatoawafu waliokuwamo ndani yake. Wakahukumiwa kila mtu kwakadiri ya matendo yake. Mauti na kuzimu zikatupwa katikalile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa lamoto. Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katikaKitabu cha Uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.”Kutakuwako na wenye haki na wasio haki katika hukumu hii.Inasema hivyo. WENYE HAKI HAWA HAWATAKUWA BIBI-ARUSI KWA MAANA BIBI-ARUSI ANAKETI NAYEKATIKA HUKUMU. I Kor. 6:2-3, “Au hamjui ya kwambawatakatifu watauhukumu ulimwengu? na ikiwa ulimwenguutahukumiwa na ninyi, je! hamstahili kukata hukumu zilizondogo? Hamjui ya kuwa tutawahukumu malaika? basi si zaidisana mambo ya maisha haya? Ufu. 3:21, “Yeye ashindaye,nitampa kuketi pamoja Nami katika kiti Changu cha enzi,kama Mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba Yangukatika kiti Chake cha enzi.” Unaona, Bibi-arusi yuko pamojaNaye kwenye kile kiti cha enzi. Kwa kuwa yeye atauhukumuulimwengu hana budi kuketi katika hukumu pamoja Naye.Hayo ndiyo hasa aliyoona Danieli. Dan. 7:9-10, “Nikatazamahata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa sikuameketi; mavazi Yake yalikuwa meupe kama theluji, na

Page 279: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 269

nywele za kichwa Chake kama sufu safi: kiti Chake cha enzikilikuwa kama miali ya moto, na gurudumu Zake kama motouwakao. Mto kama wa moto ukatoka ukapita mbele Zake:maelfu elfu wakamtumikia, na elfu kumi mara elfu kumiwakasimama mbele Zake: hukumu ikawekwa, na vitabuvikafunuliwa.” Unaona, ni tukio lile lile, kwa maana walemaelfu mara elfu wanaomtumikia Yeye ni bibi-arusi, kwakuwa ni nani anayemtumikia mume isipokuwa mke?

Swali sasa linazuka, kwa nini hawa wenye haki wawekatika hukumu? Hakuna mahali pengine wanapowezakutokea, kwa maana kuna ufufuo mara mbili tu na kwa kuwahawangeweza kustahili ufufuo wa kwanza hawana budikutokea katika wa pili ambao ni ufufuo wa hukumu. Walewanaostahili ufufuo wa kwanza (bibi-arusi) hawakohukumuni. Yohana 5:24, “Amin, amin, nawaambia, Yeyealisikiaye Neno Langu na kumwamini Yeye aliyenipeleka yunauzima wa milele (hiyo ni kusema, mwamini tayari amepokeauzima wa milele ambao anao sasa kama mali yake); walahataingia hukumuni (hataingia hukumuni, ndivyo inavyosemahasa) bali amepita (daima) kutoka mautini kuingia uzimani.”Lakini angalia kwa makini, Yesu hana budi analiwazia kundilingine bado ambalo katika ufufuo fulani litapokea uzima wamilele. Wao wataupokea kwenye ule ufufuo, KWA KUWAHAWAKUWA WAMEUPOKEA HAPO AWALI KAMASEHEMU YA BIBI-ARUSI. Yn. 5:28-29, “Msistaajabie manenohayo; kwa maana saa yaja, ambayo watu WOTE waliomomakaburini wataisikia sauti Yake, nao watatoka; walewaliofanya mema kwa ufufuo wa uzima, na wale waliotendamabaya kwa ufufuo wa hukumu.” Sasa sote tunajua yakwamba Yn. 5:28-29 SI KULE KUNYAKULIWA kwa kuwa niwale tu waliokufa katika Kristo watakaofufuka kutokamakaburini wakati huo pamoja na bibi-arusi ambaye angalihai duniani. I Thes. 4:16-17, “Kwa sababu Bwana Mwenyeweatashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti yamalaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katikaKristo watafufuliwa kwanza. Kisha sisi tulio hai, tuliosalia,tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwanahewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.” Lakiniinasema katika Yn. 5:28-29 ya kwamba WOTE watatokakaburini. Huu ni ufufuo ule ule unaonenwa katika Ufu. 20:11-15 ambapo WALIOKUFA waliletwa mbele za Bwana nakuhukumiwa kulingana na kazi zao, na wote wale ambaomajina yao hayakuwemo katika Kitabu cha Uzima basiwalitupwa katika lile ziwa la moto.

Sasa tunalikabili swali kwamba ni kwa sababu ganiwanapaswa kupewa uzima wa milele kwenye ile hukumu kwasababu inaonekana Nyaraka zinaonekana zinasisitizakinaganaga ya kwamba mtu hana budi kuwa na Roho wa

Page 280: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

270 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kristo la sivyo ataangamia. Ingawa inaonekana hivi,hatupaswi kuyapuuza maneno ya Yesu Ambaye anasisitiza yakwamba kuna wengine wanaopatikana katika Kitabu chaUzima ambao aidha watapokea uzima wa milele kabla yaufufuo wa kiama ama baada yake. Paulo haepi kweli hii kwasababu yeye anasema kwa udhahiri sana katika Flp. 3:11, “Ilinipate kwa njia yo yote kuifikia kiama ya wafu.” Sasa tamshihili ni la ajabu sana. Sote tunajua ya kwamba sisi SOTEtutafufuka tutake tusitake. Wote watafufuliwa. Kwa hiyo hatakidogo kwamba Paulo asingeweza kuwa anasema, “Ili KWANJIA YO YOTE nipate kuifikia kiama ya wafu.” Ukweli wajambo lenyewe ni kwamba, hasemi hivyo. Maana hasa yamaneno hayo ni kwamba, “Ili kwa njia yo yote nipate kufikia‘kufufuka nje ya kiama’ ya wafu.” Hii si kufikia kiama ya watuwote ama ufufuo wa pili, lakini ni kufikia ufufuo wa kwanza,ambao habari zake zinasemwa, “Heri na Mtakatifu ni yeyealiye na sehemu katika ufufuo wa kwanza, juu ya hao mauti yapili haina nguvu, bali watakuwa makuhani wa Mungu na waKristo nao watatawala pamoja Naye hiyo miaka elfu.” Ufufuowa kwanza hauna uhusiano wo wote na mauti ya pili. Huo nimwisho wa ile miaka elfu wakati HAO wafu WALIOSALIAwatakuwa tena hai. Na katika siku hiyo kutakuweko na haowatakaotoka waingie uzima wa milele na wale wenginewatakaopatikana na mauti ya pili. Sasa hatutaki kubahatishakuhusu wale ambao watakaopewa uzima katika ule ufufuo wapili. Tunaambiwa wanapewa uzima kwa kuwa wamekuwawema na wakarimu kwa “Ndugu.” Wale watakaofufuliwa nakutupwa kwenye lile ziwa la moto watatendewa hayo kwasababu ya kuwatendea mabaya “Ndugu.” Kwa kuwa hili niNeno la Mungu tunalikubali kirahisi tu. Hakuna ubishi hapa,ni tamshi dogo tu la kweli.

Kulidhihirisha zaidi, angalia hasa maneno ya Mat. 25:31-46.Haisemi ya kwamba mchungaji kweli anawabagua kondoo nambuzi, lakini ni KAMA VILE mchungaji akiwabagua kondoona mbuzi. Hawa si kondoo katika muda huu maalum (Hukumuya Kiti Cheupe cha Enzi). Kondoo wamo zizini Mwake,waliisikia sauti Yake (Neno) nao wakamfuata. TAYARI WANAUZIMA WA MILELE WALA HAWAWEZI KUINGIAHUKUMUNI. Lakini hawa HAWANA uzima wa milele, naowako hukumuni. Wanaruhusiwa KUINGIA KATIKA uzima wamilele. Lakini wanaingia katika uzima wa milele kwa mashartigani? Bila shaka si juu ya jambo kwamba wao tayari wanauzima Wake kama vile bibi-arusi alivyo nao, lakiniwanaupokea kwa sababu waliwatendea mema ndugu Zake.Wao si ndugu Zake: hilo lingewafanya warithi pamoja na Yesu.Hao SI warithi wa cho chote ila uzima. Hawashiriki kiti chochote cha enzi, nk. pamoja Naye. MAJINA YAO HAPANABUDI YALIKUWA KWENYE KITABU CHA UZIMA WALAHAYAKUONDOLEWA. Sasa kwa sababu ya upendo wao kwa

Page 281: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 271

watu wa Mungu wanakubaliwa na kuokolewa. Hapana shakahawa waliwatumikia na kuwasaidia watoto wa Mungu. Labdakama akina Nikodemo na Gamalieli waliwatetea watoto waMungu katika wakati wa shida.

Kama hili linaonekana linafanana na “kurudishwa,”angalia kwa makini sasa, kwa maana walio waovuHawarudishwi, lakini wanatupwa kwenye lile ziwa la moto.Majina ya wengi wa wale wanaoangamizwa yalikuwa katikakile Kitabu cha Uzima pia; lakini yalifutwa kwa sababuwalishindwa kuwaheshimu watu wa Mungu waliokuwa Nenolililo hai lililodhihirishwa (nyaraka zilizo hai) kwa siku yao.

Sasa hebu na tuwe wazi sana hapa. Haya si mataifayanayohukumiwa na kuingia katika ule utawala wa miaka elfuati kwa sababu wamewakaribisha na kuwasaidia Wayahudi.Hilo ni wazi sana kwa sababu ya mwisho wa aya hizi. “Basihawa (waovu) wataingia katika adhabu ya milele (ziwa lamoto), lakini wenye haki katika uzima wa milele.” Hakunataarifa ya hukumu MBILI zilizowekwa ambapo waovuwanatupwa katika ziwa la moto. Ni mnyama tu na nabii wauongo wanahukumiwa mwisho wa ile dhiki kuu. La, hii nihukumu ya Kiti Cheupe cha Enzi, nao wanahukumiwakulingana na yale yaliyoandikwa katika vitabu.

Ni katika ufufuo wa pili ambapo zile “roho zilizo chini yamadhabahu” kama ilivyoelezewa katika muhuri ya tano (Ufu.6:9-11) wanaopewa nguo ndefu nyeupe, na hakuna budi uzimawa milele, la sivyo kusingekuwa na haja ya nguo ndefu nyeupe.“Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini yamadhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya Neno laMungu, na kwa ajili ya ushuhuda waliokuwa nao. Wakaliakwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli,hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwahao wakaao juu ya nchi? Nao wakapewa kila mmoja nguondefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache,hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao,watakaouawa vile vile kama wao.” Sasa angalia hasa yakwamba hakuna mmoja wa hawa walio chini ya madhabahuwaliuawa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu. Hawakuwa kamaAntipa aliyeuawa kwa kushika sana Jina Lake. Hawa si walewaliozaliwa mara ya pili, wenye uzima wa milele kama maliyao. Wao wanatokea katika ufufuo na kupokea uzima kwasababu ya msimamo wao kwenye Neno. Pia angalia jinsi hawawanavyolia walipiziwe kisasi. Hawawezi kuwa ni ule mwili wabibi-arusi. Bibi-arusi hugeuza shavu na kupaza sauti,“Wasamehe, Baba, hawajui watendalo.” Hawa ni Wayahudi.Hawana budi kuwa kwa sababu wako kwenye muhuri ya tano,na ni katika muhuri ya nne ambapo bibi-arusi wa Mataifaananyakuliwa. Kwa hiyo Wayahudi hawa hawajazaliwa kwaRoho Wake. Hata hawaamini ya kwamba Yesu ndiye Masihi.

Page 282: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

272 NYAKATI SABA ZA KANISA

Lakini kwa kuwa walipofushwa na Mungu kwa ajili yaMataifa, Mungu aliwapa uzima wa milele kwa sababu kwambaingawa hawangeweza kuja Kwake, hata hivyo walikuwawaaminifu kweli kwa Neno lote walilojua, na wakalifia kamavile umati mkubwa ulivyokufa chini ya Hitla, Stalin, nk. nabado watakufa.

Katika ufufuo wa pili ndipo ambapo wale wanawaliwatano wapumbavu wanapotokea. Angalia ya kwambawalikuwa ni wanawali. Hawakuwa na Roho Mtakatifu kwahiyo wakakosa kuwa katika bibi-arusi, ambapo wale watanowerevu waliokuwa na mafuta wakawa sehemu ya huyo bibi-arusi. Lakini watu hawa, kwa kuwa walikuwa wametengwa,watu wanaompenda Mungu, na kujaribu kudumu katika Neno,kulingana na yale waliyojua juu Yake, na wakiwa ni msaadakatika kazi ya Bwana watatokea katika mwisho wa wakati.Watakosa kuweko kwenye ule utawala wa miaka elfu, ambaounaweza kuanza kuona kulingana na kweli hizi kuwa nimuhimu zaidi na mzuri mno kuliko tulivyoweza kuwazia amakuamini.

Watu wote hawa walikuwa wameandikwa majina yaokatika Kitabu cha Uzima na majina yao yakabaki. Lakini nimajina ya akina nani ambayo hayakubakia? Hao wa makanisaya taratibu za dunia waliompiga vita bibi-arusi watakuwandio ambao majina yao yataondolewa. Hao ndio watakaopatahasara. Watatupwa katika lile ziwa la moto.

Sasa hebu na tupige hatua nyingine, lakini kablahatujafanya jambo hilo hebu na tuchunguze tena hoja yetuhadi kufikia hapa. Kwanza tunajua yakini kwamba kusudi laMungu linasimama imara katika kuchagua. Ilikusudiwa ndaniYake Mwenyewe. Lilikuwa ni kusudi la Mungu kuzaa watukama Yeye Mwenyewe ambao wangekuwa Bibi-arusi Neno.Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwenguKATIKA YEYE. Alijulikana tangu zamani na kupendwa kablahajazaliwa katika zile nyakati duniani. Alikombolewa kwadamu Yake na hawezi kuingia KAMWE hukumuni. Hawezikamwe kuwa kwenye hukumu kwa sababu hawezi kuhesabiwadhambi. Rum. 4:8, “Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabiidhambi.” Lakini kweli yeye atakuwa pamoja Naye katika kitiChake cha enzi cha hukumu, akiuhukumu ulimwengu na hatamalaika. Jina lake (kila mmoja wa washirika wake)liliandikwa katika sehemu fulani ya Kitabu cha Uzima chaMwana-Kondoo kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu.Pili, kuna kundi lingine. Majina yao pia yako katika Kitabucha Uzima nao watatokea katika ufufuo wa pili. Watu kamahao ni wale wanawali wapumbavu na wenye hakiwanaonenwa katika Mt. 25. Katika kundi hili pia wako waleambao hawamwabudu yule mnyama ama kuhusika katikakundi la mpinga-Kristo lakini wanakufa kwa ajili ya imani

Page 283: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 273

yao hata ingawa hawako katika bibi-arusi, wakiwahawakuzaliwa mara ya pili. Lakini watatokea katika ufufuowa pili na kuingia katika uzima wa milele. Tatu, kunaWakristo wakwamia mpakani kama tulivyoona katika Israeliwakitoka Misri. Hawa walikuwa wameandikwa majina yaokatika Kitabu cha Uzima na kazi zao zikaandikwa katikavitabu. Watu hawa baada ya kushindwa kumtii Mungu nawakiwa hawana Roho, ingawa hata ishara na maajabuyalikuwa miongoni mwao, majina yao yataondolewa kwenyeKitabu cha Uzima. Kati ya kundi hili kutakuweko na walekama Yuda ambao ingawa hawana Roho kabisa, lakini ni wakidini, watakuwa na madhihirisho maishani mwao, na ingawawalikuwa kwenye vile vitabu hawakuwa wamechaguliwaKATIKA YEYE. Watu pia kama Balaamu watakuwa kwenyekundi hilo. Nne na mwisho ni wale ambao majina yaohayajapata kuandikwa wala hayataandikwa katika vile vitabu.Watu kama hao wanapatikana katika Ufu. 13:8 na Ufu. 17:8,“Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambayejina lake halikuandikwa katika Kitabu cha Uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia. Yulemnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yu tayarikupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na haowakaao juu ya nchi wasioandikwa majina yao katika Kitabucha Uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu,watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwambaalikuwako, naye hayuko, naye atakuwako.” Yesu alisema yakwamba kundi fulani litamkubali mtu atakayekuja katika jinalake mwenyewe. Huyo mtu ni mpinga-Kristo. Na hivyo ndivyoinavyosema juu yao katika Ufu. 13:8, na 17:8. Hawawalikusudiwa na Mungu lakini si kwa kuchaguliwa. Nakwenye kundi hili ni watu kama Farao. Inasema juu yake,“Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ili nionyeshe nguvu Zangukwako. Vyombo vya ghadhabu vilivyofanywa tayari kwauharibifu.” Rum. 9:17 na 22. Hakuna mmoja wa hawaangewekwa kwenye zile orodha za uzima. Sisemi ya kwambahakuna orodha yao. Hapana shaka kuna namna fulani yaorodha yao, lakini SI KATIKA ILE ORODHA YA UZIMA.Kusudi la kuwepo kwao limegusiwa kidogo katika sehemuiliyobaki ya kitabu hiki lakini tunaweza kuongezea Maandikomengine mawili. Mit. 16:4, “Bwana amewafanya wabaya kwasiku ya ubaya.” Ayu. 21:30, “Mwovu huachiliwa katika siku yamsiba, na kuongozwa nje katika siku ya ghadhabu.”

Kwa kuwa sehemu hii ya Neno ni ngumu kwa akili yamwanadamu kuelewa, haina budi kukubaliwa na kuaminiwakwa imani. Wengine watachukizwa na yale niliyoeleza kwasababu wanashindwa kufahamu uwezo mkuu wa Munguambao hutangaza kwamba MUNGU NI MUNGU, na kwakuwa Yeye ni Mungu mtu hawezi kushinda mashauri Yakewala kuzuia mapenzi Yake na kusudi Lake; lakini Yeye, akiwa

Page 284: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

274 NYAKATI SABA ZA KANISA

ni mwenye nguvu zote, anatawala katika mambo YOTE naanafanya lo lote atakalo na viumbe vyake vyote kwa sababuvyote viliumbwa kwa ajili ya mapenzi Yake mema. Kwa hiyo,kama Paulo asemavyo, “Kama Mungu akichukua fungu mojala udongo na kufanya kutoka kwenye fungu lilo hilo chombokimoja cha heshima na chombo kingine cha ghadhabu Yake, ninani anayeweza kuchukizwa Naye na kumpigia makelele?”Kwamba ana haki ya kufanya jambo hili kwa sababu yauumbaji peke yake, hatuwezi kukana. Hata hivyo alienda hatambele zaidi, kwa maana kulingana na Rum. 14:7-9, tunathibitisho lisiloweza kukanushwa ya kwamba Yesu alilipagharama ya ulimwengu mzima, na kwa hiyo anaweza kufanyaapendavyo na walio Wake. “Kwa sababu hakuna mtumiongoni mwetu aishiye kwa nafsi yake, wala hakuna afayekwa nafsi yake. Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwaBwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana: basi kama tukiishiau kama tukifa, tu mali ya Bwana. Maana Kristo alikufaakawa hai tena kwa sababu hii, AWAMILIKI WALIOKUFANA WALIO HAI PIA.” (Ni kumiliki: SI uhusianounaomaanishwa hapa.) Hili pia linaelezwa katika Yn. 17:2,“Kama vile ulivyompa mamlaka JUU YA WOTE WENYEMWILI, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.”

Sasa, kama tukimpa Mungu sifa ya kujua yote, hatunabudi kukubali pia ya kwamba Yeye ni mkamilifu katikahekima na haki. Mpango huu wa kuchagua na kukatalia nihekima ya Mungu iliyofunuliwa katika nyakati zote yaani,kama vile isemavyo katika Efe. 1:3-11, “Atukuzwe Mungu,Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa barakazote za Rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani Yake Kristo;kama vile alivyotuchagua katika Yeye kabla ya kuwekwamisingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio nahatia mbele Zake katika pendo. Kwa kuwa alitanguliakutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo,sawasawa na uradhi wa mapenzi Yake. Na usifiwe utukufu waneema Yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.Katika Yeye huyo, kwa damu Yake, tunao ukombozi wetu,masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa neema Yake.Naye alituzidishia hiyo katika HEKIMA yote na ujuzi, akiishakutujulisha siri ya mapenzi Yake, sawasawa na uradhi Wake,alioukusudia katika Yeye huyo. Yaani, kuleta madaraka yawakati mkamilifu atavijumlisha vitu vyote katika Kristo, vituvya mbinguni na vitu vya duniani pia. Naam, katika Yeyehuyo; na ndani Yake sisi nasi tulifanywa urithi, hukutukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi Lake Yeye,Ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi Yake.”Kwa hiyo kama Mungu ameamua kwamba kuweko na haoambao majina yao yanawekwa katika sehemu fulani ya Kitabucha Uzima cha Mwana-Kondoo na hayawezi yakafutwa kwamaana ni majina ya bibi-arusi Wake, basi hatuna budi

Page 285: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 275

kulikubali hilo. Kama inasemwa pia kwamba kuna waleambao majina yao yaliwekwa katika orodha ya Kitabu chaUzima lakini katika kutangulia kujua kwa Mungu ilikuwawaanguke na kuondolewa majina yao hatuna budi kukubalijambo hilo. Na kama kuna hao ambao majina yao KAMWEhayakuandikwa kwenye orodha ya uzima, hatuna budikukubali jambo hilo, pia. Na kama kuna hao ambao wataingiakatika uzima wa milele baada ya ile hukumu ya Kiti Cheupecha Enzi kwa sababu tu waliwatendea mema na kuwafadhilina kuwapa haki yao wateule wa Mungu ambao ni ndugu Zake,basi hatuwezi ila kukubali jambo hilo. MAANA NI NANIALIYEIFAHAMU NIA YA BWANA AMWELIMISHE? Badalayake hebu na tuwe watiifu katika imani kwa Yeye Ambaye niBaba Yetu tupate kuishi.

Ili kufahamu somo hili yaani kwa dhahiri sana itakuwavema kuliendea sasa kutokana na wazo la kanisa katika zilenyakati zote. Mpaka wakati huu tumekuwa tukifikiria juu yakuondolewa kwa majina ya watu binafsi. Sasa tunatakakuangalia, si watu binafsi, lakini makundi yanayowakilishwakanisani. Ili kufanya jambo hilo tutalinganisha kanisa katikanyakati zote na mmea wa ngano. Punje ya ngano inapandwa ilikwamba punje moja ya ngano itazaa na kuongezeka kupitiahatua fulani katika muda fulani wa wakati. Hiyo punje mojaitakufa, lakini katika kufa, uhai ule uliokuwemo ndani yakeutapanda juu katika mmea ambao nao utakuwa mbebaji amamchukuzi wa uhai huo ambao hauna budi kurudia hali ya asilikatika hali ya wingi. Yesu aliye Mzao mkuu wa Kifalmealikufa. Huyo Mwenyezi Ambaye ndiye uzima wa kanisaanasimama katikati ya kanisa kwa zile nyakati saba zote zakanisa akitoa uhai Wake kwa kanisa (bebaji ama chukuzi) ilikwamba uhai Wake wenyewe utazaliwa tena katika miiliinayofanana na Wake katika ule ufufuo. Katika wakati ule waufufuo ndipo ambapo ule Mzao wa Kifalme utaona mizaomingi ya kifalme ifananayo na Yeye Mwenyewe, nao hatawatakuwa kama alivyo Yeye, kwa kuwa Yohana anasema,“tutakuwa kama Yeye.” Jambo hili ndilo ambalo YohanaMbatizaji alilokuwa akilinena aliposema kwamba Yesuangekusanya ngano ghalani. Huo ulikuwa ni ule ufufuoambapo wale waliokombolewa waliokuwa wamechaguliwakupata uzima wa milele walipoingilia.

Sasa basi, orodha ya mmea huu wa ngano ambao mwishowake ni kuzaa tena ile mbegu ya asili katika mbegu nyingindicho KITABU CHA UZIMA. Narudia: historia ama orodhaya mmea huu wa ngano ni Kitabu cha Uzima ambacho sehemuya Kitabu kile cha Uzima ni ORODHA YA UZIMA WAMILELE. (Sehemu fulani ya Kitabu cha Uzima). Jambo hililinakuwa dhahiri kwa kuchunguza mmea wa ngano. Mbegutupu inapandwa. Mara jani linatokeza. Lakini hiyo si ngano

Page 286: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

276 NYAKATI SABA ZA KANISA

bado. Kisha inakua ikawa ubua. Huu bado si ngano. Uhai upo,bali si ngano. Ndipo kwenye mwisho wa ule ubua kuna kitukilichochongoka kinachotoa kishada. Bado ni mmea wa nganolakini ngano yenyewe bado. Kisha huo mmea unapatambelewele, ndipo tunaona kapi likitokea. Hili linafanana sanana ngano lakini bado si mbegu. Ndipo ngano inafanyika ndaniya ganda. Sasa imerudi jinsi ilivyokuwa hapo awali. Sasangano iliyoiva inavunwa.

Yesu Kristo alikufa. Alitoa uhai Wake. Uhai huo ulikuwaulirudie kanisa na kuwaleta wana wengi wanaofanana Nayekwa utukufu katika ufufuo. Lakini kama vile ile punje yangano ilivyopaswa kuwa na mbebaji kusudi izae punje nyingiza ngano, hata hivyo kulipaswa kuwe na kanisa ambalolingekuwa bebaji la Uzima wa Kristo. Kama vile ule unyasi,ubua, kishada, na maganda yalivyokuwa wabebaji wa ilembegu lakini HAYAKUWA ile mbegu yenyewe, vivyo hivyokanisa lote katika nyakati zote limekuwa bebaji la MBEGU yakweli ingawa lenyewe SI mbegu. Hiyo ndiyo sababu tunawezakusema ya kwamba Kitabu cha Uzima ni mmea MZIMA WANGANO.

Hebu na turudie hilo tena. Hapa pana ile mbegu ya asiliiliyopandwa. Ikazaa unyasi. Huo si yenyewe. Ikaleta ubua.Wala huo sio. Haya hapa maganda ambamo ngano itaumbika.Hayo siyo. Kishada kinatokea. KISHA MBELEWELEZINAANGUKIA ZILE SEHEMU ZA MBEGU. SEHEMU YAMMEA HUO INAHUISHWA. KITU FULANI CHA ILEMBEGU ASILI KILICHOPANDA KUPITIA KWENYE MMEAWOTE KINAGEUKA KIKAWA MBEGU. Kwa nini mmeawote haukugeuka ukawa mbegu? Kwa sababu uliumbwa kwakusudi hilo. Ni sehmu tu ya mmea huo inayoweza kurudiikawa mbegu kwa sababu ni sehemu tu ya MMEA huo waNGANO NDIYO NGANO YA UZIMA WA MILELE.

Una mfano mkamilifu wa jambo hilo katika Israeliwakitoka Misri. Walitoka wakiwa wametimia watu milionimbili. WOTE waliokoka kupitia damu ya dhabihu. WOTEwalibatizwa katika Bahari ya Shamu; WOTE walitoka majiniwakifurahia dhihirisho la Roho Mtakatifu na baraka; WOTEwalikula chakula cha malaika; WOTE waliunywea ulemwamba uliowafuata. Hata hivyo ila kwa wachache sanahawakuwa kitu ila wabebaji kwa ajili ya watoto ambaowangewafuata na kuingia katika nchi ya Kanaani. Israeli woteSI Israeli. Na wote ila ukiondoa watu wachache sana majinayao yalifutwa kutoka katika Kitabu cha Uzima.

Tuna jambo lile lile kanisani leo hii. Majina yataondolewakatika Kitabu cha Uzima. Hakuna jina litakaloondolewakutoka katika Kitabu cha Uzima wa Milele kwa maana hiyo niorodha nyingine ikiwa iko kwenye Kitabu cha Uzima. HUUNDIO USHUHUDA: MUNGU AMETUPA UZIMA WA

Page 287: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 277

MILELE, NA UZIMA HUU UMO KATIKA MWANAWE.YEYE ALIYE NAYE MWANA ANAO HUO UZIMA (WAMILELE) ASIYE NAYE MWANA HANA HUO UZIMA (WAMILELE). Na hao walio na huo uzima walikuwa katika YEYEkabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu. WALICHAGULIWAKATIKA YEYE KABLA YA KUWEKWA MISINGI YAULIMWENGU. Huo MZAO MKUU WA KIFALME, YesuKristo, alipandwa (alikufa) na uhai huo uliokuwemo ndaniYake ukapanda kupitia katika mmea wa ngano na unajizaawenyewe katika punje nyingi za ngano zilizo na uzima ule ulendani yao, na zikiwa kama ile ya Asili kwa sababu kwa njia yaRoho wao ni wa asili.

Sasa tunaweza kuona kwa nini bibi-arusi (alikuwa ndaniYake kama vile Hawa alivyokuwa ndani ya Adamu)aliyekombolewa (kununuliwa na kurudishwa na mwenyewewa asili) hawezi kamwe kufutwa ‘majina ya washirika wake’kutoka kwenye ile orodha. Yeye ni sehemu Yake. Yeye yukokwenye kiti cha enzi. Hawezi kuhukumiwa kamwe. Kilammoja katika bibi-arusi ni mshirika Wake na Yeyehatampoteza hata mmoja. Lakini sivyo ilivyo kuhusu wale“wote” walio kwenye kile Kitabu cha Uzima. Kwa maana katiyao wako wale kama Yuda nk. walio na sehemu fulani katikaile orodha lakini majina yao yanaondolewa. Tunaweza kuonawale wanaokuja katika siku za mwisho, na baada ya kufanyamatendo ya ajabu sana, Yesu atasema ya kwamba Yeyehakuwajua kamwe. Si kwamba hakuwa akijua wapo. KujuaKwake mambo yote kunaliondoa jambo hilo; lakini waohawakujulikana tangu zamani kama vile katika bibi-arusi; nawala hawakujulikana tangu zamani kama walio kati ya wenyehaki wa ufufuo wa pili. Hawakuzaa matunda yo yote (kwasababu walikuwa nje ya Neno_hawakudumu ndani ya Hilo)na wao, kwa sababu hii, walipewa adhabu ya kifo. Basi kamatulivyoonyesha hapo kabla kuna wale waliomtetea bibi-arusina walikuwa msaada na faraja kwake. Hao majina yaoyalibakia katika Kitabu cha Uzima na wanaingia katika uzimawa milele. Hatimaye kuna wale kama Farao ambaohawakuandikwa majina yao katika Kitabu cha Uzima na hawawanatupwa katika ziwa la moto pia.

Hivyo basi punje ile ya ngano iliyokuwa mmea wa kuvunwani kumbukumbu za kanisa. Na kama vile ambavyo mmea wotewa ngano sio ngano yenyewe, na kama vile ambavyo si mmeawote unaotumiwa katika mavuno, ndivyo iliyo nakanisa:_kanisa lote si bibi-arusi, na wala si wote wanaopewauzima wa milele, lakini SEHEMU yake inakusanywa katikaghala, na SEHEMU yake inawekwa ili kwamba ipate kuingiakatika uzima wa milele katika ufufuo wa pili, na SEHEMUyake ambayo inahesabiwa kama kapi inachomwa katika lileziwa la moto. Na jambo hili ndilo hasa Yohana Mbatizaji

Page 288: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

278 NYAKATI SABA ZA KANISA

pamoja na Yesu walilosema, kwa kuwa Yohana alisema yakwamba ngano ingewekwa ghalani na makapi yachomwe moto.Yesu alisema, “Yafungeni magugu, kisha muikusanye ngano.”Harakati za ekumeni zitayafunga pamoja makanisa magugu,kwa maana magugu hayana budi kufungwa KWANZA, naingawa mwisho wao ni kuchomwa moto, hayachomwi wakatiyanapofungwa lakini yanawekwa hadi wakati mwingine,ambao ni mwisho wa ule utawala wa miaka elfu, ama ufufuowa pili. Lakini mara magugu yanapofungwa kunyakuliwakunaweza kutokea na kunatokea wakati fulani kati ya kulekufungwa na kule kufunuliwa kwa mpinga-Kristo. Ndipoitakuja siku ambapo WOTE watasimama pamoja kamailivyoonekana katika Daneli. Mfalme atakuwapo pale pamojana bibi-arusi Wake na mbele yao wote kutakuweko namakutano ambao watahukumiwa. Naam. WOTE wako pale.Vitabu vyote vinafunguliwa. Mwelekeo wa mwisho wa watuWOTE unafanywa. Kuvuna kweli kumekwisha. Mara vitabuvikiisha kufunguliwa vinafungwa.

Katika kumalizia somo hili kwa wakati huu, hebu nirejeekwenye tamshi moja lililotolewa mwanzoni mwake ambaponilisema ya kwamba hakuna hata Andiko moja linalonena juuya Bwana kuandika orodha ya majina SASA HIVI. Hilo nikweli kabisa. Hata hivyo kuna Andiko linaloonyeshakuandikwa katika siku zijazo. Liko kwenye Zaburi yathemanini na saba. Zaburi hii inazungumza habari za Bwanaakiandika majina ya wale wote waliozaliwa katika Sayuni.Kabisa haiwezi kudhaniwa ya kwamba Mungu anapaswakungojea hata mwisho wa nyakati ama kipindi hicho chawakati kinachohusu Sayuni kusudi ajue ni akina naniwanaweza kuzaliwa Sayuni. Tena, hilo lingeondoa kule Kujuayote. Hakika Yeye anawajua wote wanaohusika katika hesabuhiyo. Lakini ni kitu gani? Je! si orodha tu iliyoandikwa upyaambapo Mungu anaweka tu katika orodha mpya yale majinayaliyosalia baada ya ufufuo wa pili nao walikuwa ni waSayuni? Hakika, hivyo ndivyo ilivyo.

“Nami nitalikiri jina lake mbele za Baba Yangu, na mbeleya malaika Zake.” Kuitwa majina mbinguni! “Mtu akifa, je!atakuwa hai tena? mimi ningengoja siku zote za vita vyangu,hata kufunguliwa kwangu kunifikilie. Wewe ungeita, naminingekujibu; ungekuwa na tamaa ya kazi ya mikono Yako.”Yule Mchugaji Mkuu anawaita kondoo Wake kwa jina. Ilesauti ya Mungu ya uumbaji inawaita watoke mavumbini amakubadilisha atomi zao hata ingawa hawakuwa wamelala. Nikunyakuliwa. Ni ile Karamu kuu ya Arusi ya Mwana-Kondoona Bibi-arusi Wake.

Lakini kunyakuliwa sio kuitwa kwa orodha ya majina kwapekee. Hapo kwenye ufufuo wa pili, kwenye ile hukumu yakile Kiti kikuu Cheupe cha Enzi, majina yatakubaliwa mbele

Page 289: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA SARDI 279

ya Baba na malaika Zake. Basi nimeambiwa na walewanaojua, ya kwamba sauti iliyo tamu sana kwenye sikio lamwanadamu ni sauti ya jina la mtu huyo. Jinsi watuwanavyopenda kuitwa majina yao mbele za watu.Wanavyopenda kusifiwa. Lakini hakuna sauti ya dunianiitakayoweza kutaja jina lako kwa utamu kama sauti ya Mungukama jina lako liko kwenye Kitabu cha Uzima na litabaki mlekufunuliwa mbele za malaika watakatifu. Itakuwa ni siku yaajabu jinsi gani wakati tutakapomsikia Yesu akisema, “Baba,walikiri Jina Langu mbele za watu katika siku za safari yaoduniani. Sasa nitayakiri majina yao mbele Zako na malaikawote wa mbinguni.”

“Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa.” Mara nyingine tena Roho amenena. Maranyingine tena tumechunguza ushuhuda wa yale aliyotuambiaRoho kwa wakati mwingine. Nasi tumeona kumbukumbu hilokuwa ni sahihi. Wakati mwingine umepita na umetimizwakikamilifu kama Yeye alivyosema ungetimizwa. Hivyo nifaraja ya jinsi gani kwetu sisi tunaotarajia kuwa katika bibi-arusi wa siku ya mwisho, kwa maana inaifanya mioyo yetukuruka kwa furaha ya kwamba Yeye ni mwaminifu naatatimiza kila ahadi Yake. Kama Yeye alikuwa mwaminifu nawa kweli kwa wale wa Wakati wa Sardi, basi Yeye ni wa kwelivile vile kwa wakati wetu huu. Kama wao kwa neema Yake nanguvu Zake watapokelewa na kusifiwa Naye, basi na sisi pia.Na twende basi, kwenye ukamilifu tukamlaki Bwana hewani,na tuwe pamoja Naye milele.

Page 290: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 291: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 281SURA YA NANE

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA

Ufunuo 3:7-13

Na kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia andika; Hayandiyo anenayo Yeye aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye naufunguo wa Daudi, Yeye Mwenye kufungua wala hapanaafungaye, naye afunga wala hapana afunguaye.

Nayajua matendo yako. Tazama, nimekupa mlangouliofunguliwa mbele yako, ambao hapana awezaye kuufunga,kwa kuwa unazo nguvu kidogo, nawe umelitunza Neno Langu,wala hukulikana Jina Langu.

Tazama, nitawafanya wao walio wa Sinagogi la Shetani,wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo.Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, nakujua ya kuwa nimekupenda.

Kwa kuwa umelishika Neno la subira Yangu, Mimi Naminitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo tayarikuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.

Tazama, naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtuakaitwaa taji yako.

Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu laMungu Wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, Naminitaandika juu yake Jina la Mungu Wangu, na jina la mji waMungu Wangu, huo Yerusalemu Mpya, ushukao kutokambinguni kwa Mungu Wangu, Nami nitaandika juu yake JinaLangu jipya.

Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa.

FILADELFIA

Filadelfia ulikuwa maili sabini na tano kusini-masharikimwa Sardi. Ulikuwa ni mji wa pili kwa ukubwa katika Lydia.Ulikuwa umejengwa juu ya vilima vingi katika wilayailiyokuwa maarufu sana kwa kilimo cha divai. Sarafu zakezilikuwa na kichwa cha Bakasi na sanamu ya Bakante (kuhanimwanamke wa Bakusi). Wenyeji wa mji huo walikuwa nipamoja na Wayahudi, Wakristo wa asili ya Kiyahudi, nawaongofu kutoka kwenye upagani. Mji huo ulipatwa namatetemeko ya ardhi ya mara kwa mara, walakini muda wakewa kudumu ulikuwa ni mrefu zaidi kati ya ile miji saba yaUfunuo. Kusema kweli mji huo ungali uko chini ya jina laKituruki la Alasehir, ama Mji wa Mungu.

Page 292: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

282 NYAKATI SABA ZA KANISA

Chapa za hizo sarafu zinadokeza mungu wa mji huo kuwani Bakasi. Sasa Bakasi ni sawa na Ninasi ama Nimrodi. Yeyeni ‘yule anayeombolezewa’, ingawa wengi wetu tunamfikiriakuhusiana na ulafi na ulevi.

Ni mwanga wa jinsi gani unaoletwa kwenye mioyo yetu najambo hili. Hii hapa sarafu ikiwa na mungu katika upandemmoja na kuhani mwanamke ama nabii wa kike upande huomwingine. Sasa vingirisha sarafu. Je! kuna tofauti yo yote yaupande itakaoshukia? La, bwana, ingali ni sarafu ile ile. Hiyondiyo dini ya Kirumi ya Yesu na Maria.

Lakini hatuwazii juu ya Rumi peke yake tu. La, hakuko tuna yule kahaba mkuu. Hasha; kwa maana yeye, kwa uasheratiwake mwingi amepata watoto. Mabinti zake sasa ni sarafu zachapa ile ile. Hapo kwenye upande mmoja wa sarafuwamechora ibada ya Yesu na kwenye upande huo mwinginewana kuhani wao wa kike ama nabii wa kike pia nayeanaandika kanuni zake za imani na masharti ya dini namafundisho ya dini na kuyauza kwa watu kwa ajili ya wokovuakikazania ya kwamba yeye na yeye peke yake ndiye aliye nanuru ya kweli.

Ni jambo la ajabu jinsi gani huo ukweli kwamba wakatihuu unanyeshwa na sarafu. Kwa maana huyo mama namabinti wote wananunua njia yao ya kuingilia mbinguni. Beiyake ya kununulia ni pesa wala si damu. Pesa na wala si Rohondiyo nguvu inayowasukuma mbele. Mungu wa ulimwenguhuu (mali) ameyapofusha macho yao.

Lakini biashara yao na ya kuua itaisha hivi karibuni, kwakuwa huu ndio wakati ule ambao Roho anasema kwa sautikuu, “Tazama naja upesi.” Naam, na uje upesi, Bwana Yesu!

WAKATI

Wakati wa Kanisa la Filadelfia ulidumu tangu mwaka wa1750 mpaka kwenye kama mwaka wa 1906. Wakati huu, kwasababu ya maana ya jina la huo mji, umeitwa Wakati waUpendano wa Ndugu, kwa kuwa Filadelfia inamaanisha,“upendano wa ndugu”.

MJUMBE

Mjumbe wa wakati huu bila shaka alikuwa ni John Wesley.John Wesley alizaliwa huko Epworth, tarehe 17 Juni, 1703 nayealikuwa mmoja wa watoto kumi na tisa waliozaliwa naSamweli na Susana Wesley. Baba yake alikuwa kasisi katikaKanisa la Kianglikana; lakini kuna uwezekano zaidi kwambamwelekeo wa kidini wa moyo wa Wesley ulikuwa zaidi sana namsingi wake kwenye mfano wa maisha mema ya mama yake

Page 293: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 283

kuliko kwenye theolojia ya baba yake. John alikuwamwanachuoni mwenye akili sana. Ilikuwa wakati alipokuwahuko Oxford ambapo Yeye pamoja na Charles waliposjiungana kundi fulani ambalo lilikuwa likifanya ibada za kiroho zakuabudu katika msingi wa kuishi maisha ya ile kweli kwamatendo badala ya kufanya mafundisho yawe ndiyo kielelezochao. Waliandika mwongozo wa matendo ya kiroho, kama vilekuwapa maskini, kwenda kuwaona wagonjwa na waliokifungoni. Kwa sababu hii waliitwa Wamethodisti, na majinamengine ya dhihaka. Sasa John alikuwa amejawa sana moyonina ono lake la haja ya dini kwa ajili ya watu wa ulimwengukupata dini hivi kwamba akaenda Marekani (Georgia) kamammishenari miongoni mwa Wahindi. Alipokuwa akisafiriakienda zake kule aliona kwamba wengi wa abiria wa melialiyosafiria walikuwa ni Wamorevia. Alivutiwa sana na upolewao, amani, na ujasiri katika hali zote. Juhudi zake kuleGeorgia mbali na yeye kujinyima na kazi ngumu zilikuwa nikazi bure. Alirudi Uingereza akilia, “Nilienda Marekanikuwaongoa Wahindi lakini jamani! ni nani atakayeniongoamimi?”

Aliporudi London alikutana tena na Wamorevia. PeterBoehler ndiye aliyemwonyesha njia ya wokovu. Alizaliwakweli kabisa mara ya pili jambo ambalo lilimfadhaisha sanana kumkasirisha dhahiri ndugu yake, Charles, ambayehakuweza kuelewa jinsi mtu wa kiroho namna hii kama Johnangesema hakuwa sawa na Mungu siku za nyuma. Walakini,haukupita muda mrefu, baada ya jambo hilo Charles, pia,aliokolewa kwa neema.

Wesley sasa akaanza kuhubiri Injili hapo London kwenyemimbara zile ambazo hapo awali alikuwa amekubaliwa; lakinihaikupita muda wakamwondosha. Katika wakati huu huundipo ambapo rafiki yake wa siku nyingi, George Whitefield,alimsaidia sana kwa kuwa alimwalika John aje amsaidiekuhubiri kwenye maeneo ya viwanja ambako maelfu walikuwawakisikiliza Neno. Kwa mara ya kwanza Wesley aliona nivigumu ya kwamba eti anapaswa kuhubiri huko nje hadharanibadala ya kuhubiri kwenye jengo, lakini wakati alipouonamsongamano wa watu na kuona Injili ikifanya kazi katikanguvu za Roho aliyageukia mahubiri ya namna hiyo kwa moyowake wote.

Mara kazi ilipanuka sana hivi kwamba akaanza kuwatumawaamini wengi wa kawaida waende kuhubiri Neno. Jambo hilililionekana linaenda sambamba na Pentekoste ambapo Rohoaliwainua karibu kwa usiku mmoja watu waliokuwa na nguvuza kuhubiri na kufundisha Neno.

Kulikuwako na kupingwa kukali sana kwa kazi yake baliMungu alikuwa pamoja Naye. Matendo ya Roho

Page 294: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

284 NYAKATI SABA ZA KANISA

yalidhihirishwa kwa nguvu sana na mara nyingi roho wakusadiki sana aliwashika watu sana hata akawapondapondanao wakaanguka sakafuni wakilia kwa huzuni sana juu yadhambi zao.

Wesley alikuwa mtu mwenye nguvu za ajabu sana.Anasema habari zake mwenyewe ya kwamba hawezikukumbuka kusikia udhaifu wa nafsi hata kwa muda wa robosaa tangu alipozaliwa. Alilala si zaidi ya masaa sita kwa siku;akawahi kuamka kusudi apate kuanza kuhubiri saa kumi namoja karibu kila siku ya huduma yake; alihubiri kama maranne kwa siku moja hivi kwamba katika mwaka mmojaangekuwa na wastani wa mahubiri 800.

Alisafiri maelfu na maelfu ya maili kama walivyofanyawale wahubiri wake wazungukao huku na huko kupeleka Injilikaribu na mbali. Kusema kweli Wesley alisafiri maili 4,500 kwamwaka kwa farasi.

Alikuwa anaamini katika uweza wa Mungu nayealiwaombea wagonjwa akiwa na imani kubwa na akapatamatokeo mazuri sana.

Mingi ya mikutano yake iliona madhihirisho ya karama zaKiroho.

Wesley hakupenda madhehebu. Washirika wake kweliwalikuwa na “Shirika la Muungano” ambalo lilikuwa, “kundila watu waliokuwa na mfano, na waliokuwa wakitafutanguvu za utauwa, waliounganika kusudi wapate kuombapamoja, kupokea Neno la maonyo, na kutunzana kwa upendo,kusudi wapate kusaidiana kutimiza wokovu wao wenyewe.”Sharti la pekee kwa wale waliokuwa wakijiunga nalolilikuwa kwamba wao wanapaswa kuwa watu, “waliokuwana shauku ya kuitoroka hasira ijayo, na kuokolewa nadhambi zao.” Muda uliposonga mbele waliorodhesha sheriakali zitumiwe katika kuutawala mwili kwa ukali kwamanufaa ya nafsi zao. Wesley alitambua ya kwamba baada yakifo chake shirika hilo lingeweza kufanywa madhehebu naRoho wa Mungu awaachie utaratibu uliokufa. Wakati mmojayeye alisema ya kwamba hakuhofu ya kwamba jinaMethodisti litaondoka duniani bali ya kwamba Roho huendaakaruka akaenda Zake.

Katika maisha yake yeye angaliweza kupata mali nyingisana; lakini hakutaka. Msemo wake alioupenda sana kuhusupesa ulikuwa, “Pata zote uwezazo kupata, weka akiba zoteuwezazo kuweka akiba, kisha gawa zote uwezazo kugawa.”Ingekuwa ni ajabu vipi kwa Wesley kurudi na kuonamadhehebu yanayoitwa kwa jina la Methodisti leo. Wao nitajiri_tajiri mno. Lakini yale maisha na nguvu za John Wesleyhazipo.

Page 295: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 285

Inapaswa kukumbukwa pia ya kwamba Wesley kamwehakutaka kujenga kazi fulani juu ya msingi wa kimadhehebuama wa kundi. Ingawa katika imani alikuwa Mwaarminia,yeye hakutaka kujitenga na ndugu zake juu ya msingi wafundisho. Alikuwa mwanafunzi mzuri wa Yakobo: aliwekamsingi wa uzima wake wa milele juu ya imani na matendo,ama kule kuyaishi yale maisha, badala ya kukubali tu kanunifulani ya imani ama mafundisho ya maneno fulani.

John Wesley alikufa akiwa na umri wa miaka 88 akiwaamemtumikia Mungu ambapo ni watu wachache sanawangethubutu kufikiri wangeweza.

SALAMU

Ufunuo 3:7, “Na kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfiaandika; Haya ndiyo anenayo Yeye Aliye mtakatifu, Aliye wakweli, Aliye na ufunguo wa Daudi, Yeye mwenye kufungua walahapana afungaye, Naye afungaye wala hapana afunguaye.”

Loo! jinsi maneno hayo yalivyo mazuri. Jinsi hata sautiyake ilivyo na fahari. Jinsi inavyofurahisha kuwazia yakwamba sifa hizo zote zinaweza kutumiwa kwa mtu mmoja.Ni nani angethubutu kusema mambo kama hayo juu ya nafsiyake ila Yesu Kristo, Bwana wa Utukufu? Ninaamini ufunguowa kutafsiri maana hasa ya kila moja ya mafungu haya mazurisana ya maneno ya sifa unapatikana katika aya ya tisa,“Tazama, nitawafanya wao walio wa sinagogi la Shetani,wasemao kwamba ni Wayahuhdi, nao sio, bali wasema uongo;tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, nakujua ya kuwa nimekupenda.” Ninasema aya hii ndio ufunguokwa sababu inahusu Wayahudi ambao daima wamejiitawatoto wa Mungu wakiwatenga wengine wote. Waowalimsulibisha na kumwua Bwana Yesu Kristo. Tendo hilo laobaya sana lilileta damu yao wenyewe juu ya vichwa vyaowenyewe kwa karne nyingi. Yote hayo kwa sababuwalimkataa Yesu kama Masihi wao, Ambavyo ndivyoalivyokuwa kweli. Kwao Yeye hakuwa Yule ajaye, ama Mwanawa Daudi; kwao Yeye alikuwa ni Beelzebuli, ama mtu fulanimwovu ambaye anastahili tu kuangamizwa. Lakini sivyoilivyo. Yeye alikuwa Imanueli kweli, Mungu aliyedhihirishwakatika mwili. Yeye kweli, ni Masihi. Hakika, Yeye alikuwajinsi hasa kama anavyojionyesha sasa kuwa. Huyo hapo, YESUYEYE YULE_Yesu Kristo yeye yule jana, na leo na hatamilele. Yule Mtakatifu aliye katikati ya vile vinara vya taandiye Yesu yeye yule Ambaye alitembea kwenye pwani zaGalilaya, Ambaye aliwaponya wagonjwa, Ambaye aliwafufuawafu, na Ambaye ingawa analo thibitisho lisilowezakukanushwa alisulibishwa na kuuawa. Lakini alifufuka tena,na ameketi mkono wa kuume wa Ukuu huko juu.

Page 296: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

286 NYAKATI SABA ZA KANISA

Wayahudi hawakumwita mtakatifu wakati huo.Hawamwiti mtakatifu hivi sasa. Lakini Yeye ni MTAKATIFU.Zaburi 16:10; “Maana hutakuachia kuzimu nafsi Yangu, walahutamtoa MTAKATIFU Wako aone uharibifu.”

Wao walitafuta haki yao kwa sheria na wakashindwavibaya sana, kwa maana kwa sheria hakuna mtu anayewezakuhesabiwa haki. Kwa sheria hakuna mtu anayewezakufanywa mtakatifu. Utakatifu ni wa Bwana. I Wakorintho1:30, “Bali kwa YEYE ninyi mmepata kuwa katika KristoYesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, nahaki, na utakatifu, na ukombozi.” II Wakorintho 5:21,b, “Ilisisi tupate kuwa haki ya Mungu katika Yeye.” Ilikuwa niKristo au waangamie, nao wakaangamia kwa sababu waowalimkataa Yeye.

Nao watu wa wakati huo kama vile wa siku hizi walikuwawanafanya kosa lile lile. Kama vile Wayahudi walivyokimbiliautaratibu wa ibada za sinagogi wapate usalama, vivyo hivyokatika Wakati wa Filadelfia walikuwa wanakimbilia kanisani.Kujiunga na kanisa silo jambo la kutumaini. Uzima haumokatika kanisa. Uzima umo katika Kristo. “Huu ndio ushuhudaya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele na uzima huu umokatika Mwanawe. Yeye aliye naye Mwana anao huo uzima,asiye naye Mwana hana huo uzima.” Mwanadamu hufanywamtakatifu na Roho. Roho wa Utakatifu aliyemfufua Yesukatika wafu ndiye anayekaa ndani yetu na kutufanyawatakatifu kwa utakatifu Wake.

Huyo hapo amesimama, YULE MTAKATIFU. Nasitutasimama pamoja Naye huku tumevaa haki Yake, tukiwawatakatifu kwa utakatifu Wake.

Sasa wakati huu ndio wakati wa sita. Katika macho yaMungu, wakati unakaribia kwisha. Atarudi hivi karibuni.Hivi karibuni kelele zitapigwa wakati atakapokuja, “Namwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye hakina azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.”Ufu. 22:11b

Loo! ninafurahi sana ya kwamba utakatifu wangu siwangu mwenyewe. Ninafurahi ya kwamba nimo ndani yaKristo, pamoja na kuhesabiwa sifa Zake zote za ajabu na zahaki, naam, nimewekewa mimi ndani. Mungu abarikiwemilele!

“Haya ndiyo anenayo Yeye aliye wa kweli.” Sasa nenohili, ‘wa kweli’, ni neno zuri sana. Halimaanishi kweli katikamaana tu ya kwamba ni kinyume cha uongo. Linanena juu yaKutimia Kukamilifu kwa wazo fulani ukilinganisha naKutimia kwa Sehemu. Kwa mfano tunakumbuka ya kwambaYesu alisema katika Yohana 6:32, “Siye Musa aliyewapa

Page 297: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 287

chakula kile cha mbinguni, bali Baba Yangu anawapa ninyichakula cha kweli kitokacho mbinguni.” Yohana 15:1, “MimiNdimi mzabibu wa kweli.” Waebrania 9:24, “Kwa sababuKristo hakuingia katika patakatifu palipofanyika kwamikono, ndio mfano wa patakatifu halisi; bali aliingiambinguni hasa, aonekane sasa usoni pa Mungu kwa ajiliyetu.” I Yohana 2:8, “Kwa kuwa giza limepita na ile nuru yakweli sasa inang’aa.”

Kwa kuwa neno hili, kweli, linaeleza Kutimia Kukamilifuukilinganisha na wazo la Kutimia kwa Sehemu kamailivyoonyeshwa katika aya hizi, sasa tunaweza kufahamukuliko tulivyopata kufahamu hapo nyuma kitu chenyeweukilinganisha na mfano wake na kitu chenyewe ukilinganishana kivuli chake. Chukua mfano sasa wa ile mana kutokambinguni. Mungu aliwashushia Israeli chakula cha malaikakutoka mbinguni. Lakini chakula hicho hakikuridhisha.Kilikuwa kinafaa tu kwa siku moja. Wale waliokila walipatanjaa tena kesho yake. Kama kiliachwa mahali fulanikiliharibika. Lakini Yesu ndiye chakula cha KWELI kitokachombinguni, ambapo mana ilikuwa ni mfano tu. Na mtu ye yoteakila CHAKULA hicho kilichotoka mbinguni hataona njaatena. Hahitaji kurudi na kukila tena. Hapo alipokila tu, alipatana uzima wa milele. Hiki hapa KITU KILICHO HALISI.Hakuna haja ya kivuli tena. Hakuna haja ya nusu wokovu.Huu hapa WOTE. Kama tu vile Yesu asivyo sehemu ya Mungu;Yeye NI Mungu.

Hakuna mtu angaliweza kukana ya kwamba Israeliwalikuwa na nuru. Walikuwa ndio watu pekee waliokuwa nanuru kama taifa. Ni kama wakati Misri ilipokuwa na giza sanakwamba mtu angaliweza kuligusa. Lakini katika nyumba zaWaisraeli kulikuweko na nuru. Lakini sasa nuru halisiimekuja. Nuru ya ulimwengu ni Yesu. Musa na manabiiwalileta nuru kwa njia ya Maandiko yanayomhusu Masihi.Hivyo basi Israeli walikuwa na nuru. Lakini sasa Utimilifu wanuru umekuja, na kile kilichokuwa Neno lililokuwa linamekakimejitokeza sasa katika Mng’aro wa Mungu akidhihirishwamiongoni mwa watu Wake. Kama vile ile nguzo ya motoilivyotoa nuru usiku, na jambo hilo lilikuwa ni zuri sana, sasanuru na uzima vilidhihirishwa katika utimilifu wa Uungu kwajinsi ya mwili.

Israeli walikuwa wakichukua mtamba wa ng’ombemwekundu na kumtoa dhabihu juu ya madhabahu kwaondoleo la dhambi. Kwa mwaka mzima dhambi za mtumwenye hatia zilifunikwa. Lakini kufunikwa hukohakungeweza kuondoa tamaa ya dhambi. Haikuwa nidhabihu kamilifu. Ilikuwa ni kivuli mpaka ile halisiilipokuja. Kwa hiyo kila mwaka mtu huyo angetoa dhabihuna kila mwaka anarudi kwa sababu alikuwa angali na tamaa

Page 298: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

288 NYAKATI SABA ZA KANISA

ile ile ya kutenda dhambi. Uhai wa yule mnyama ulifanyaupatanisho kwa ajili ya dhambi zake, lakini kwa kuwa nidamu ya mnyama iliyomwagwa na uhai wa mnyamauliotolewa uhai huo haukuweza kumrudia mtu huyo. Kamaulikuwa umerudi, ungali haungefaa kitu bado. Lakini wakatiKristo yule kibadala kikamilifu alipotolewa, na damu Yakeikamwagwa, basi uzima uliokuwemo ndani ya Kristoulimrudia mwenye dhambi aliyetubu na uzima huo kwa kuwani uzima mkamilifu wa Kristo, usio na dhambi na ni wa haki,basi mwenye hatia angeweza kwenda huru kwa maanahakuwa na tamaa ya kutenda dhambi. Uhai wa Yesu ulikuwaumerudi kwa mtu huyo. Hilo ndilo linalomaanishwa katikaWarumi 8:2, “Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima ule uliokatika Kristo Yesu imeniacha huru, mbali na sheria yadhambi na mauti.”

Lakini Wayahudi kule nyuma wakati wa Yesu hawakutakakuikubali ile dhabihu. Damu ya mafahali na ya mbuzihaikukamilisha cho chote. Wakati mmoja ilikuwa ndiyo njiailiyochaguliwa na Mungu. Lakini sasa Kristo akiisha kutokeakatika mwili, na kwa kumwagwa kwa damu Yake Mwenyeweameondoa dhambi na kwa toleo hilo la nafsi Yake ametufanyasisi kuwa wakamilifu. Wayahudi hawakukubali jambo hilo.Lakini vipi kuhusu Wakati ule wa Filadelfia, na, naam, zilenyakati nyingine, pia? Je! walikubali kweli hakika hiikatikaKristo? La bwana. Hata ingawa Luther alileta kweli yakuhesabiwa haki, Kanisa la Kirumi, na pacha wake wamashariki, Kanisa la Kiorthodoksi, yangali yalishikiliamatendo. Sasa matendo ni sawa, lakini hayakuokoi.Hayakufanyi wewe mkamilifu. Ni Kristo la sivyo uangamie.Na hata si Kristo NA matendo. Ni Kristo peke yake. Wakatihuu ulianzisha miaka ya Uarmenia usioamini katika Kristokama ALIYE HALISI. Hauimbi juu ya “Hakuna kingine ila ileDamu,” kwa maana unaimba juu ya “Hakuna kingine ila damuNA mwenendo wangu mwenyewe.” Sasa mimi ninaaminikatika mwenendo mwema. Kama umeokolewa utatenda kwahaki. Tumepitia jambo hilo tayari. Lakini hebu niwaambiesasa, wokovu SI Yesu pamoja NA. Ni Yesu PEKE YAKE.WOKOVU NI WA BWANA. Tangu mwanzo hata mwisho yoteni MUNGU. Hebu maisha Yake na yawe ndani yangu. Hebu naiwe ni damu Yake inayoniosha. Hebu iwe ni Roho Wakeanayenijaza. Hebu na liwe ni Neno Lake ndani ya moyo wanguna mdomo wangu. Na yawe ni mapigo yake yanayoniponya. Naiwe ni Yesu na Yesu Peke Yake. Si kwa matendo ya hakiambayo nimefanya. La bwana. Kristo ndiye uzima wangu.Amina.

Najisikia ningeweza kuendelea na kuendelea tu juu yakweli hizi, lakini nitawapa wazo moja zaidi. Ni kuhusu ulewimbo mzuri sana ulioandikwa na A. B. Simpson.

Page 299: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 289

“Wakati mmoja ilikuwa ni baraka,Sasa ni Bwana.Wakati mmoja ilikuwa ni kuhisi,Sasa ni Neno Lake.Wakati mmoja Karama Yake niliitaka,Sasa Mpaji Mwenyewe.Wakati mmoja nilitafuta kuponywa,Sasa Yeye Mwenyewe Pekee.

Yote katika yote milele,Nitamwimba Yesu.Kila kitu katika Yesu,Na Yesu kila kitu.”

Hakuna kitu cho chote katika maisha haya, hata kiridhishenamna gani, kiwe kizuri na chema vipi, ila utapata jumla yaukamilifu wote katika Kristo. Kila kitu hufifia kabisa mbeleZake.

“Yeye Aliye na ufunguo wa Daudi.” Fungu hili la manenoya kupendeza linafuata na kutoka kwenye fungulililotangulia, “Yeye aliye wa kweli.”_Kristo, UtimilifuMkamilifu, ukilinganisha na Utimilifu wa Sehemu. Hili hapa.Musa alikuwa nabii fulani wa Mungu, lakini Yesu (kwamfano wa Musa) alikuwa YULE Nabii wa Mungu. Daudi(mtu aliyempendeza Mungu) alikuwa mfalme wa Israeli,lakini Yesu ni yule Daudi Mkuu Zaidi, Mfalme wa Wafalmena Bwana wa Mabwana, Mungu Aliye Mungu hasa. SasaDaudi alizaliwa katika kabila la Yuda ambalo kwakehakukutoka makuhani wo wote, hata hivyo alikula mikate yawonyesho iliyotengwa kwa ajili ya makuhani. Yeye alikuwashujaa mkuu akishinda adui, akiwaimarisha watu; kamamfalme yeye aliketi kwenye kiti cha enzi. Yeye alikuwa nabii.Alikuwa mfano mzuri sana wa Kristo. Sasa inasema katikaIsaya 22:22, “Na ufunguo wa nyumba ya Daudi nitauwekabegani Mwake; Yeye atafungua wala hapana atakayefunga;Naye atafunga, wala hapana atakayefungua.” Roho anatumiamaneno haya ya Agano la Kale kumhusu Bwana Yesu Kristona huduma Yake katika kanisa. Kile ufunguo wa Daudiulichoomaanisha wakati ule ni kivuli tu, ambalo limetimizwasasa katika Yesu akisimama katikati ya vinara vya taa.Inahusiana na Bwana wetu BAADA ya kufufuka Kwake walasiyo safari Yake ya duniani. Lakini ufunguo huu unaonyeshanini? Jibu liko kwenye MAHALI ufunguo ulipo. HAUKOkatika mkono Wake. Haukuvaliwa shingoni Mwake.Haujawekwa mikononi mwa watu wengine, ama hiyo ayahaingekuwa inasema ya kwamba YEYE PEKEE NDIYEANAYEUTUMIA UFUNGUO HUO_KWA MAANA YEYEPEKE YAKE NDIYE ANAYEFUNGUA NA KUFUNGA,WALA HAKUNA MTU aliye na haki hiyo ila YesuMwenyewe. Je! jambo hilo sio kweli? Lakini ufunguo huo uko

Page 300: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

290 NYAKATI SABA ZA KANISA

wapi? UKO BEGANI MWAKE. Lakini BEGA lina uhusianogani nao? Soma Isaya 9:6, “Na uweza wa kifalme utakuwabegani Mwake.” Lakini hili lina maana gani? Hili hapa jibu.Fungu la maneno, “uweza wa kifalme begani Mwake”linatokana na sherehe ya arusi ya Mashariki. Baada ya bibi-arusi kukabidhiwa kwa bwana arusi yeye huondoa shela yakena kuiweka juu ya mabega ya bwana arusi, ikionyesha yakwamba si kwamba tu yeye yuko chini ya mamlaka yake_yakwamba amehamisha haki zake akazipeleka kwake_yakwamba yeye ndiye kichwa_lakini pia ya kwamba yeye ndiyeanayewajibika kumwangalia na kumtunza na ya kwambaYEYE NA YEYE PEKE YAKE_HAKUNA MWINGINE_HAKUNA MWANAMUME MWINGINE_HAKUNAMAMLAKA NYINGINE_ILIYO NA HAKI YO YOTE NAJUKUMU. Na huyo, mpendwa, ndiye UFUNGUO wa Daudi.Mungu akiwa Mwenyezi, Yeye alijua tangu zamani kwauamuzi wa Kiungu ni nani hasa angalikuwa katika bibi-arusiWake. Yeye ndiye aliyemchagua. Bibi-arusi hakumchaguaYeye. Yeye ndiye aliyemwita. Bibi-arusi hakuja kwa hiariyake. Yeye alimfia. Alimsafisha kwa damu Yake Mwenyewe.Alimnunua. Yeye ni mali Yake na ni Wake peke yake. Yeyebibi-arusi amejitoa Kwake kabisa naye Bwana Arusianakubali jukumu hilo. Yeye ndiye kiongozi wake, kwamaana Kristo ndiye kichwa cha kanisa Lake. Kama vile Saraalivyomwita Ibrahimu, Bwana, vivyo hivyo bibi-arusianafurahi ya kwamba Yeye ni Bwana wake. Yeye hunenanaye anatii kwa maana hiyo ndiyo furaha yake.

Lakini je! Watu wamekubali kweli hii? Je! Waowameuheshimu Utu Wake Ambaye ndiye pekee aliye namamlaka makamilifu ya kifalme juu ya kanisa Lake?Ninasema, “LA”. Kwa sababu katika kila wakati kanisalimekuwa likitawaliwa na serikali ya makasisi_ukasisi_uhalifa wa kimitume_ukifungia mlango wa rehema na neemakwa ye yote utakaye, na badala ya kukubali upendo na jukumula kanisa serikali hiyo ya makasisi imeliteka nyara kanisa kwatamaa ya fedha na kuliangamiza. Makasisi waliishi katikaanasa wakati maskini kanisa lililishwa makapi ya dhuluma.Na hakuna hata wakati mmoja uliotenda vinginevyo. Kilammoja ulijifunga kwenye madhehebu na kuuweka utawala juuya wanadamu na kuliweka kanisa chini ya utawala huo. Watuwalipothubutu kuinuka, na walisetwa kikatili au kutupwa nje.Kila madhehebu yana roho yule yule. Kila madhehebu huapaya kwamba ndiyo yaliyo na ufunguo wa kulitawala kanisa.Kila madhehebu yanadai kwamba yanafungua mlango. Lakinihilo si kweli. Ni Yesu na Yesu, peke yake. Yeye huwawekawashirika katika ule Mwili. Anawapa huduma zao. Anawekakarama ili wazitumie. Anamshughulikia na kumwongoza.Bibi-arusi huyo ni mali Yake peke yake na Bwana Arusi hanamwingine ila Yeye.

Page 301: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 291

Jinsi wakati huu wa kanisa tuishio ndani yake ulivyombali sana na jambo halisi. Na siku moja mara watu hawaambao hata sasa wanaonekana kama kwamba wanawakilishakanisa watainuka katika pilikapilika za ekumeni wamwekempinga-Kristo aliye hai apate kuongoza madhehebu yaoambayo yanamwondosha Bwana na tutamwona Yeye (Kristo)nje ya kanisa akisema, “Tazama, nasimama mlangoni, nabisha:mtu akiisikia sauti Yangu, na kuufungua mlango, nitaingiakwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja Nami.”Ufunuo 3:20.

Lakini hebu niseme jambo hili. Bwana wetu hajashindwa.Watu wanadai kumfungulia Mungu mlango na kuufungamlango huo, lakini wao ni waongo. Wote aliompa Babawatamjia, na kila amwendeaye Yeye hatatupwa nje kamwe;Yeye hatampoteza hata MMOJA wao. Yohana 6:37-39. Na hapoyule mshirika wa mwisho wa mwili wa Kristo atakapoingia,ndipo Bwana wetu atakapotokea.

Ufunguo wa Daudi. Je! Daudi hakuwa mfalme wa Israeli_Israeli yote? Na je! Yesu siye Mwana wa Daudi kulingana naukweli kwamba Yeye ataketi juu ya kiti cha enzi cha Daudikatika ule utawala wa miaka elfu na kutawala na kuwa namamlaka juu ya urithi Wake? Hakika. Kwa hiyo ufunguo waDaudi unaonyesha ya kwamba Yesu Ndiye atakayeuleta uleutawala wa miaka elfu. Yeye aliye na ufunguo wa mauti nakuzimu atawainua walio Wake kusudi wapate kushiriki katikautawala Wake wa haki juu ya dunia.

Ni jambo zuri jinsi gani ya kwamba Bwana wetu anamajibu yote. Kweli katika Yeye ahadi zote za Munguzinatimizwa. Kweli kwa kuwa NDANI Yake sisi ni warithi wayale ambayo Yeye ametununulia.

Naam, Huyo hapo anasimama, Bwana wa Utukufu. Wakatimmoja kama Baba, Yeye alizungukwa na malaika, malaikawakuu, makerubi, na maserafi, na jeshi lote la mbinguni,likilia, “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni Bwana Mungu waMajeshi.” Utakatifu Wake ulikuwa hivi kwamba hakuna mtuangaliweza kumkaribia Yeye. Lakini sasa tunamwona katikakanisa, akishiriki utakatifu Wake Mwenyewe pamoja nasi,hata katika Yeye tumekuwa haki yenyewe ya Mungu. Naam,na Huyo hapo amesimama, “Yesu, Mkamilifu kwa KilaKitu,”_Ua la Bondeni, Nyota ya Asubuhi Inayong’aa, AliyeMzuri Kuliko Wote kati ya Elfu Kumi, Alpha na Omega, Shinana Mzao wa Daudi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu_Yote nakatika Yote. Isaya 9:6, “Kwa maana kwa ajili yetu Mtotoamezaliwa, tumepewa Mtoto Mwanamume; na uweza wakifalme utakuwa begani Mwake; Naye ataitwa Jina Lake,Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye nguvu, Baba wa Milele,Mfalme wa Amani.” Katika Yeye kuna utimilifu mkamilifu.Ingawa wakati mmoja hatukumheshimu, sasa tunampenda

Page 302: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

292 NYAKATI SABA ZA KANISA

kwa furaha isiyoneneka na iliyojaa utukufu. Amesimamakatikati ya kanisa, nasi tutaimba sifa Zake, kwa maana YeyeMshindi Mkuu ndiye kichwa cha kanisa ambalo ni bibi-arusiWake. Yeye alimnunua bibi-arusi huyo. Yeye ni mali Yake.Yeye ni Wake na Wake pekee Naye anamtunza. Yeye ni mfalmewetu nasi ni ufalme Wake, mali Yake ya milele.

Sasa utakumbuka ya kwamba hapo mwanzoni mwa aya ya7, nilisema ya kwamba aya ya 9 ingetusaidia kulifahamu jambohilo. Natumaini uliona nililomaanisha. Yesu anajiwekaMwenyewe kama Yeye Aliye mtakatifu, wa kweli, (ama aliyehalisi pekee) Yule aliye na ufunguo wa Daudi, Yeyealiyefungua na kufunga. Na hilo ni kweli kabisa. Hayomafungu ya maneno yanamwelezea kikamilifu. LakiniWayahudi katika siku Yake walimkataa na yote Yeyealiyokuwa. Walimkataa Mwokozi wao na yote aliyomaanishakwao. Na Mkristo wa jina sasa amefanya vile vile. Wamefanyayale Wayahudi waliyotenda hasa. Wayahudi walimsulibishaYeye halafu wakamgeukia mwamini wa kweli. Mkristo wakawaida amemsulibisha Yeye upya na kuligeukia kanisa lakweli apate kuliangamiza. Lakini Mungu ni wa kweli, na Yeyealiye juu ya yote bado atarudi, na atakaporudi ataonyeshaMwenye Nguvu peke yake ni nani. Na wakati anapojithibitishaMwenyewe kwa ulimwengu, na ulimwengu wote unasujudumiguuni Pake, wakati huo ulimwengu wote utasujudu miguunipa watakatifu, ikithibitisha ya kwamba walikuwa sahihikatika msimamo wao pamoja Naye. Mungu na abarikiwemilele!

WAKATI WA MLANGO ULIOFUNGULIWA

Ufunuo 3:8, “Nayajua matendo yako; tazama, nimekupamlango uliofunguliwa mbele yako, ambao hapana awezayekuufunga, kwa kuwa unazo nguvu kidogo, nawe umelitunzaNeno Langu, wala hukulikana Jina Langu.”

Fungu la maneno la kwanza la aya hii, “Nayajua matendoyako,” linafafanuliwa katika sehemu iliyosalia ya aya hii, kwamaana matendo yao yalikuwa na uhusiano na ‘mlangouliofunguliwa,’ ‘nguvu kidogo,’ ‘Neno na Jina.’

Kusudi tufahamu utajiri wa maana inayohusika katika“tazama nimeweka mlango uliofunguliwa mbele yako, nahapana awezaye kuufunga,” hatuna budi sasa kukumbuka yaleyaliyosemwa kuhusu kila wakati kupitiliza na kuingia katikawakati mwingine. Kuna kuingiliana, kuyeyuka ama kufifia nakuishia ndani yake, badala ya kukatika mara moja na kuwa namwanzo ulio waziwazi. Wakati huu kwa dhahiri unapita nakuingia katika wakati unaofuata. Na si kwamba tu wakati huuunapita na kuingia katika wakati wa mwisho lakini wakati wamwisho katika mambo mengi ni kuendelea tu kwa wakati wa

Page 303: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 293

sita. Wakati wa saba (wakati mfupi sana) unakusanya ndaniyake wenyewe kwa ajili ya kazi moja ya haraka, maovu yote yakila wakati, na hata hivyo unakusanya kweli yote yaPentekoste. Mara Wakati wa Filadelfia unapokuwa karibukwisha muda wake, Wakati wa Laodikia unaingia upesi,ukileta magugu pamoja na ngano kwenye mavuno,“Yakusanyeni kwanza magugu mkayachome; bali nganoikusanyeni ghalani Mwangu.” Mat. 13:30. Kumbukeni,tafadhalini, ya kwamba Wakati wa Sardi ulianzisha yalematengenezo ambayo hayana budi kuendelea mpaka ile mbeguiliyopandwa kule Pentekoste ipitie kwenye mzunguko kamiliwa kupanda, kutia maji, kulishwa, nk., mpaka irudi moja kwamoja kwenye punje ya asili. Wakati jambo hili likiendelea, yalemagugu yaliyopandwa hayana budi kupitia katika mzungukowao na yavunwe pia. Hilo ndilo tunaloona likitukia hasa.Kama unaweza tu kufikiria juu ya majira, unaweza kupatapicha nzuri sana ya jambo hili. Ule mmea unaouona ukikuakatika nguvu nyingi katika majira ya kiangazi mara tuunaonekana ukianza kupooza. Huwezi kujua hasa ni wakatigani majira ya kiangazi yaligeuka yakawa ya masika_yalififiatu yakaishia ndani yake. Hivyo ndivyo nyakati zilivyo, na hasasana hizi mbili za mwisho.

Wakati huu ndio Yesu anaouambia, ‘Naja UPESI’ aya ya11. Jambo hilo linaufanya wakati wa mwisho kuwa mfupisana. Laodikia ni wakati wa ile kazi ya haraka. Unafupishwa.

Sasa tutaeleza kwa dhahiri kirefu juu ya MLANGOULIOFUNGULIWA ambao hapana anayeweza kuufunga.Kwanza kabisa nataka kuelezea kwa kirefu juu ya mlangouliofunguliwa kama uonyeshao juhudi kubwa mno zakimishenari za wakati ule. Paulo aliita jitihada mpya yakimishenari kwa ajili ya Bwana mlango uliofunguliwa. IIWakorintho 2:12, “Basi nilipofika Troa kwa ajili ya Injili yaKristo, nikafunguliwa mlango katika Bwana.” Kwa hiyotunaweza kuona kwa kulinganisha Maandiko ya kwambamlango huu uliofunguliwa ulionyesha kuenezwa kukuu mnokwa Injili ambako ulimwengu ulipata kuona.

Ninawatakeni mwone jambo fulani hapa. Mungu hutendakazi katika tatu-tatu, sivyo? Katika wakati wa tatu amaWakati wa Pergamo ilikuwa ndipo ambapo kanisa liliolewa naserikali. Matendo ya Wanikolai yalikwisha kuwa fundisho laWanikolai. Wakati huo ulikuwa ndio ule MLANGOULIOFUNGULIWA kwa ajili ya ule mzabibu wa uongo. Maraulipoungwa mkono na nguvu za serikali ndipo ukawa hasashirika la kilimwengu hata ingawa ulichukua jina, Mkristo.Hivyo basi ulisambaa upesi mno kama moto mkali sana.Lakini sasa, nyakati tatu baadaye, baada ya jitihada za mudamrefu na vita vigumu vya imani, huu hapa unakuja MLANGOULIOFUNGULIWA kwa ajili ya ile kweli. Neno la Bwana sasa

Page 304: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

294 NYAKATI SABA ZA KANISA

lina siku yake. Hapana shaka ule wakati wa tano ulikuwaumeandaa jukwaa kwa ajili ya ufufuo huu mkuu sana, kwamaana wakati huo ulitupa sisi uvumbuzi wa nchi ngeni,ukoloni, uchapishaji wa vitabu, nk.

Lingekuwa ni jambo zuri sana iwapo huu‘mlangouliofunguliwa’ ungelifuata kielelezo cha Mungu chaPentekoste ambacho kiliandikwa katika Waebrania 2:1-4,“Kwa hiyo imetupasa kuyaangalia zaidi hayo yaliyosikiwatusije tukayakosa. Kwa maana, ikiwa lile Neno lililonenwa namalaika lilikuwa imara, na kila kosa na uasi ulipata ujira wahaki, sisi je! Tutapataje kupona, tusipojali wokovu mkuunamna hii; ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kishaukathibitika kwetu na wale waliomsikia; Mungu Nayeakishuhudia pamoja nao kwa ishara na maajabu na nguvu zanamna nyingi, na kwa magawanyo ya Roho Mtakatifu, kamaalivyopenda Mwenyewe.” Sasa unajua ya kwamba hiki ndichokielelezo kwa maana Yesu, Mwenyewe, alisema hivyo. Marko16:15-20, “Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote,mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Aaminiye na kubatizwaataokoka; asiyeamini, atahukumiwa. Na ishara hizizitafuatana na hao waaminio; kwa Jina Langu watatoa pepo;watasema kwa lugha mpya; watashika nyoka; hata wakinywakitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa; wataweka mikonoyao juu ya wagonjwa, nao watapata afya. Basi Bwana Yesu,baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni, akaketimkono wa kuume wa Mungu. Nao wale wakatoka, wakahubirikotekote, Bwana akitenda kazi pamoja nao, na kulithibitishalile Neno kwa ishara zilizofuatana nalo. Amina.”

Yeye hakuwaambia kamwe waende ulimwenguni mwotewakaanzishe vyuo vya Biblia; wala hakuwaambiawakasambaze vitabu. Sasa mambo hayo ni mazuri, lakini yaleYesu aliyowaambia kufanya ilikuwa ni KUIHUBIRI INJILI_kushikilia NENO_ndipo ishara zitafuata. Utangulizi wakwanza kabisa tulio nao wa jinsi Ufalme wa Mungu ulipaswauhubiriwe ulikuwa ni wakati Yeye alipowatuma walethenashara. Katika Mathayo 10:1-8, Yeye aliwatuma nakuwaagiza hivi, “Akawaita wanafunzi Wake kumi na wawili,akawapa amri juu ya pepo wachafu, wawatoe, na kupozamagonjwa yote na udhaifu wa kila aina. Na majina ya haomitume kumi na wawili ni haya; Wa kwanza Simoni, aliyeitwaPetro, na Andrea nduguye; Yakobo wa Zebedayo, na Yohananduguye; Filipo, na Bartholomayo; Tomaso, na Mathayo mtozaushuru; Yakobo wa Alfayo, na Lebasi ambaye jina la babayake ni Thadayo; Simoni Mkananayo, na Yuda Iskariote, nayendiye mwenye kumsaliti. Hao Thenashara Yesu aliwatuma,akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, walakatika mji wo wote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeninjia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Na

Page 305: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 295

katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wambinguni umekaribia. Pozeni wagonjwa, fufueni wafu,takaseni wenye ukoma, toeni pepo; mmepata bure, toeni bure.”Huduma hii aliyowapa Yeye ilikuwa hasa ni kushiriki hudumaYake Mwenyewe pamoja nao, kwa maana inasema katikaMathayo 9:35-38, “Naye Yesu alikuwa akizunguka katika mijiyote na vijiji, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiriHabari Njema ya ufalme, na kuponya magonjwa yote naudhaifu wa kila aina miongoni mwa watu. Na alipowaonamakutano, aliwahurumia, kwa sababu walikuwa wamechokana kutawanyika kama kondoo wasio na mchungaji. Ndipoalipowaambia wanafunzi Wake, Mavuno kweli ni mengi, lakiniwatenda kazi ni wachache. Basi mwombeni Bwana wamavuno, apeleke watenda kazi katika mavuno Yake.”

Sasa watu wengi wana wazo kwamba ni mitume tu ndiowaliopewa huduma hiyo na Bwana wetu Yesu, na kwa hiyowakati walipokufa, huduma hiyo ilikuwa imekwisha. Sivyo.Hapa katika Luka 10:1-9, tunaona ya kwamba katika siku zasafari Yake ya duniani Yeye alikuwa tayari ameanza kuwapawalio Wake huduma za nguvu, “Basi baada ya hayo Bwanaaliweka na wengine, sabini, akawatuma wawili wawiliwamtangulie kwenda kila mji na kila mahali alipokusudiakwenda Mwenyewe. Akawaambia, Mavuno kweli ni mengi,lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wamavuno apeleke watenda kazi katika mavuno Yake. Enendeni,angalieni, nawatuma kama wana-kondoo kati ya mbwa-mwitu. Msichukue mfuko, wala mkoba, wala viatu; walamsimwamkie mtu njiani. Na nyumba yo yote mtakayoingia,semeni kwanza, Amani iwemo nyumbani humu; na akiwamomwana wa amani, amani yenu itamkalia; la, hayumo, amaniyenu itarudi kwenu. Basi, kaeni katika nyumba iyo hiyo,mkila na kunywa vya kwao; maana, mtenda kazi amestahilikupewa ujira wake. Msihame-hame kutoka nyumba hiikwenda nyumba hii. Na mji wo wote mtakaouingia,wakiwakaribisha, vileni vyakula viwekwavyo mbele yenu;wapozeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Munguumewakaribia.”

Ni nani angethubutu kukanusha huduma kuu sana yaFilipo? Ni nani angethubutu kukanusha huduma kuu zaIreneo, Martin, Columba, Patrick na idadi kubwaisiyohesabika ya wengine waliokuwa na upako wa Mungu juuyao?

Naam. Njia ya Biblia ndiyo njia halisi ya mlangouliofunguliwa. Nami ninataka kuongezea ushuhuda wangukwenye jambo hilo. Sababu ya mimi kufanya jambo hilo nikwa kuwa ninaweza tu kunena kwa uhakika kuhusu yaleMungu aliyotenda katika maisha yangu mwenyewe. Kwa hiyokama mtaniwia radhi kwa muhtasari mfupi hapa wa kibinafsi

Page 306: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

296 NYAKATI SABA ZA KANISA

nitawaambia jinsi ninavyojua kwa hakika ya kwamba Yesu niyeye yule jana na leo na hata milele na kwamba nguvu zaMungu zinapatikana kwa wale watakaoamini na kupokea.

Wakati wa safari yangu ya kimishenari huko Afrika yaKusini, Mungu alibariki sana hivi kwamba wakati nilipokujaDurban mahali pekee ambapo pangeanza kuwatosha watupalikuwa ni ule uwanja mkubwa sana wa mashindano ya mbioambao ndio wa pili katika ukubwa duniani. Umati wa watuulikuwa umezidi 100,000. Ili kudumisha sheria na utaratibuiliwabidi waweke seng’enge kuyatenganisha makabilambalimbali. Waliweka mamia ya polisi kuyanyamazishamakutano ya watu. Hizo nafsi zenye njaa zilikuwa zimetokamaili nyingi. Malkia mmoja kutoka Rhodesia alikuwa amekujana gari la moshi lililokuwa na mabehewa 27 yaliyojaawananchi Waafrika. Walijitahidi kuvuka mashamba nakupanda milima huku wamewabeba migongoni mwao kwamaili kadha wa kadha wapendwa wao waliohitaji msaada.Nchi nzima ilikuwa imewashwa moto na kazi kuu zilizokuwazimedhihirishwa na Roho Mtakatifu.

Alasiri moja wakati nilipoanza kuhudumu, mmoja wamaelfu ya Waislamu alikuja jukwaani. Mwanamke huyoaliposimama mbele yangu, mmishenari mmoja kwa Waislamuakaanza kumsihi Bwana kwa utulivu, “Ee, kwa ajili ya nafsihiyo ya thamani. Ee, kwa ajili ya nafsi hiyo ya thamani.”Alikuwa amekaa kule kwa miaka na miaka, na kulingana naushuhuda wake mwenyewe, alikuwa amepata kuonaMwislamu MMOJA tu akija kumpokea Yesu Kristo kamaMwokozi. Wao kwa asili yao walikuwa Wamedi na Waajemiambao sheria zao hazibadiliki. Ni wagumu sana kuwapata.Inaonekana kana kwamba “ukisha kuwa Mwislamu daimautakuwa Mwislamu” ndio sheria miongoni mwao. Vema,wakati alipokuwa amesimama pale mbele zangu, nilianzakuzungumza naye na kwa hao maelfu wote kupitia kwawakalimani. Nikasema, “Je! sio kweli kwamba wamishenariwamewaambia juu ya YESU aliyekuja kuwaokoa?” Laitimngaliwaona hao watu wakiangaliana niliposema jambo hilo.Basi walipojibu ya kwamba hiyo ni kweli nikaendelea nakusema, “Lakini je! wamishenari waliwasomea kutoka katikaKitabu hiki (nikainua Biblia yangu juu wapate kuona) yakwamba Yesu yuyu huyu alikuwa mponyaji mwenye nguvu, naya kwamba Yeye angeishi ndani ya watu Wake katika nyakatizote mpaka atakapokuja tena kuwapokea Kwake Mwenyewe?Je! waliwaambia ya kwamba kwa sababu ya Roho yeye yulendani yao ambaye alikuwa ndani ya Yesu ya kwamba waowangeweza kufanya kazi kuu kama vile Yesu alivyofanya? Je!waliwaambia ya kwamba mnaweza kuponywa, kama vile tumnavyoweza kuokolewa? Ni wangapi wenu wangetakakumwona Yesu yuyu huyu akishuka kati yetu na kutenda

Page 307: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 297

mambo yale yale aliyotenda wakati alipokuwa hapa dunianizamani sana?” Wote walitaka jambo hilo. Hilo ndilo jambomoja ambalo hakika walilikubalia.

Ndipo nikaendelea, “Kama Yesu kwa Roho Wake atafanyaalilofanya alipokuwa duniani, mtaamini Neno Lake, basi?” Nahapa alikuwepo huyo mwanamke Mwislamu mbele yangu.Roho akaanza kutenda kazi kupitia kwangu.

Nikamwambia, “Sasa, unajua ya kwamba mimi sikujui.Hata siwezi kuzungumza lugha yako.” Yeye akakubali jambohilo. Nikasema, “Kuhusu kukuponya, unajua ya kwamba mimisiwezi. Lakini ulisikia ule ujumbe alasiri ya leo naukanielewa.” Mkalimani wake wa Kihindi akamjibia yakwamba alifahamu, kwa maana yeye alikuwa amesoma AganoJipya.

Sasa Waislamu ni ukoo wa Ibrahimu. Wanaamini katikaMungu Mmoja. Lakini wanamkataa Yesu kuwa Mwana waMungu na badala yake wanamchukua Mohamedi kama nabiiWake. Wanasema kwamba Yesu kamwe hakufa na kufufukatena. Wao wanafundishwa jambo hilo na masheikh wao naowanaliamini.

Nikasema, “Lakini Yesu alikufa na akafufuka tena.Alimtuma Roho Wake kurudi juu ya kanisa. Roho huyoaliyekuwa ndani Yake ndiye Roho yule yule aliye ndani yakanisa sasa na anaweza kutenda na atatenda yale Yesualiyotenda. Yeye alisema katika Yohana 5:19, “Mwana hawezikutenda neno Mwenyewe ila lile ambalo amwona Babaanalitenda; kwa maana yote ayatendayo Yeye, ndiyoayatendayo Mwana vile vile.” Sasa basi, kama Yesu atakuja nakunifunulia mimi shida yako ni nini, ama sababu yako ya kujahapa_kama anaweza kuniambia mambo yako yaliyopita, bilashaka unaweza kuamini kwa ajili yale ya usoni?”

Akasema kupitia kwa mkalimani wake, “Naam,ninaweza.”

Nikasema, “Vema, na afanye hivyo.”Waislamu hao walikuwa wakiangalia kwa makini. Wote

walikuwa wameinama mbele kuona kitakachotukia.Ndipo Roho Mtakatifu akanena, “Mume wako ni mtu

mfupi, mnene, mwenye masharubu meusi. Una watoto wawili.Ulikuwa kwa daktari kama siku tatu zilizopita nayeakakufanyia uchunguzi. Una kifuko chenye maji mazitotumboni.”

Akainamisha kichwa chake na kusema, “Hiyo ni kweli.”Nikamwuliza, “Kwa nini ukaja kwangu mimi, Mkristo?

Kwa nini hukumwendea nabii wako wa Kiislamu?”Akasema, “Nafikiri unaweza kunisaidia.”

Page 308: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

298 NYAKATI SABA ZA KANISA

Nikasema, “Siwezi kukusaidia, lakini kama ukimpokeaYesu Kristo kama Mwokozi wako, Yeye Aliye hapa sasa hivi,na anajua habari zako zote, Yeye atakusaidia.”

Akasema, “Namkubali Yesu kama Mwokozi wangu.” Hilolilitosha. Aliponywa na Waislamu wapatao elfu kumiwakamjia Kristo siku hiyo kwa sababu Injili ilihubiriwa kwaNeno na uwezo pia. Mungu hakumwambia mwanadamuataabike miaka thelathini na asivune kitu. Yeye alitupamlango uliofunguliwa wa Neno na nguvu na hizo ndizotunazopaswa kutumia. Hizo ndizo zilizompa Paulo hudumayake kuu na iliyofanikiwa sana. I Wakorintho 2:4, “Na nenolangu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekimayenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na zanguvu.”

Nisikilizeni sasa. Wakati tulipokuwa kwenye ziara hii hiiambapo nilikuwa nikipanda ndege kule New Salisbury,Rhodesia, ndipo ambapo niliona kundi la watu wanne wenyepasipoti za Marekani. Niliwaendea nikasema, “Alo jamani,naona mna pasipoti za Marekani. Je! Mnasafiri kwenda mahalifulani?”

Huyo kijana mwanamume akanijibu, “La, sisi sote niwamishenari hapa.”

“Ni vizuri vipi,” nikajibu. “Hivi mko peke yenu amamnafanyia kazi shirika fulani?”

“Sisi ni Wamethodisti. Tumetoka Wilmore, Kentucky,”akasema.

“Vema, hapo karibu ni nyuma ya uwanja wangu wanyuma,” nikajibu.

“Wewe siye yule Ndugu Branham ambaye anatokeasehemu hizo?”

Nikasema, “Naam, hiyo ni kweli.” Hilo lilimtibu.Hangesema jambo jingine_na vile yeye na hao wasichanawatatu walivyoangaliana tu. Basi nikasema, “Hebu kidogomwanangu, ningetaka kuzungumza nanyi nyote kuhusukanuni fulani, kwa kuwa sisi sote ni Wakristo na tuko hapakwa ajili ya kusudi kubwa sana. Sasa mnasema nyote wannemmekuwa hapa miaka miwili. Mnaweza kusema katika Jina laYesu ya kwamba mnaweza kunyoshea kidole mtu mmojaambaye mnajua mmemleta kwa Bwana?” Hawangewezakufanya jambo hilo.

“Sitaki kuwaudhi, enyi wasichana,” nikasema, “lakininyote mnapaswa kuwepo nyumbani mkiwasaidia mama zenukuosha vyombo. Hamna shughuli yo yote huku nje kwenyeshughuli za umishenari isipokuwa mmejazwa na RohoMtakatifu na mnahubiri Injili ya kweli katika dhihirisho la

Page 309: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 299

nguvu za Roho Mtakatifu. Kama hamwoni matokeo ambayoYesu alisema mngeyaona, ni kwa sababu hamhubiri Injili yakweli.”

Hebu nipige hatua moja mbele na niwaonyeshe tu jinsimambo yanavyoweza kuwa kwenye kazi ya kimishenari.Sisemi ndivyo ilivyo kote, lakini nasikitika sana sana mengindivyo yalivyo. Ilikuwa ni wakati nilipokuwa kwenye safarihii hii na nikitembelea karibu na Durban pamoja na meyaambapo nilimwona mwananchi aliyekuwa na kipande kidogokimefungiwa shingoni mwake naye alikuwa amebeba kinyago.Nikamwuliza rafiki yangu kipande hicho kilikuwa ni cha nininaye akasema ya kwamba wakati mwananchi anapokubaliUkristo wao wanampa kipande. Hilo kwa hakikalilinishangaza, kwa maana hapa pana mtu anayejiita Mkristo,na huku anabeba sanamu hiyo, kwa hiyo nikauliza jambo hilolinawezekanaje.

Akasema, “Ninaweza kuzungumza lugha yake. Hebutwende tukazungumze naye.”

Kwa hiyo tukamwendea na yule meya akawa kamamkalimani wangu. Nikamwuliza yule mwananchi kamaalikuwa ni Mkristo. Akaitikia kwamba hakika alikuwa niMkristo. Ndipo nikamwuliza kwa nini anabeba kinyago kamayeye alikuwa ni Mkristo. Akajibu ya kwamba hicho kilikuwani kinyago baba yake alichokuwa amebeba kisha akamwachia.Nilipomwambia hakuna Mkristo anayepaswa kubeba sanamualijibu ya kwamba kinyago hiki kilimfaa sana Baba Yake.Nilikuwa na shauku ya kujua ni kwa jinsi gani, naye akasemaya kwamba siku moja baba yake alikuwa ananyemelewa nasimba, kwa hiyo akawasha moto na kuongea na kinyago kilejinsi ile alivyokuwa amefundishwa na mchawi. Yule simbaakaondoka. Nikamjulisha ya kwamba moto ndio uliomfukuzahuyo simba kwa maana moto huwaogopesha wanyama wotewa mwituni. Sitasahau kamwe jibu lake. Akasema, “Vema, nihivi, kama Amoya (Roho) akishindwa, basi kinyago hikihakitashindwa.”

(Taarifa ya habari zote juu ya kampeni hiyo ya Afrikainaweza kupatikana katika kitabu kiitwacho, “Nabii AzuruAfrika.”)

Hizo ndizo karibu nguvu zote walizo nazo Wakristo wengisana kwa sababu Neno halikuletwa kwao kwa ule mlangouliofunguliwa wa hapo asili wa Pentekoste.

Sasa tukirudi kwenye mlango uliofunguliwa wakimishenari wa Wakati wa Filadelfia. Haukuwa na mlangouliofunguliwa wa nguvu kama ulivyopaswa kuwa nao. Angaliakwenye aya ile ile Yeye anataja mlango huu uliofunguliwa.Yeye anasema, “Una nguvu kidogo.” Hiyo ni kweli. NGUVU zaRoho hazikuwepo katika wakati huo. Neno lilihubiriwa vizuri.

Page 310: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

300 NYAKATI SABA ZA KANISA

Liliweza vizuri sana kuwafanya watu wawe na hekima kufikiawokovu. Lakini zile nguvu kuu za Mungu ambazo zilionyeshakazi Zake kuu, zilizoungua mkono wake kwa niaba ya walioWake hazikuwako isipokuwa miongoni mwa makundiyaliyotawanyika. Hata hivyo, Mungu asifiwe, zilikuwa zinakuana ziliongezeka kuzidi zile walizokuwa nazo katika yalematengenezo.

Ni katika wakati huu ambapo yule mtu ambaye maranyingi tunamwita baba wa misheni alipoingia kazini. WilliamCarey, fundi viatu wa kijijini, aliyekuwa mchungaji wa Kanisala Kibatisti la Particular huko Moulton, Uingereza,aliwaamsha watu kwa nguvu kuu kwa kuhubiri juu ya, “kamaile amri waliyopewa Mitume ya kufundisha mataifa yotehaikuwa ya lazima kwa wahudumu wote hata ukamilifu wadahari, kwa kuwa ahadi inayoambatana nayo ilikuwa yakudumu vile vile.” Yeye alipigwa vita na Wakalvini ambaowalikuwa wamepita mpaka wa fundisho la kuteuliwawakiamini ya kwamba wote watakaookolewaWATAOKOLEWA na kazi ya umishenari ingekuwa kinyumecha kazi ya Roho. Lakini Andrew Fuller alimsaidia Bw. Careykwa kuhubiri kwake na kuchangisha pesa. Jitihada yaoilikuwa hivi kwamba shirika liliundwa la kueneza Injili kwamataifa yote, katika mwaka wa 1792. Shirika hili lilimtumaCarey ambaye alibarikiwa na Mungu sana katika kuwavutawatu huko India. Katika mwaka wa 1795 Ukristo uliopambamoto uliunda Shirika la Kimishenari la London ambalotunalijua vizuri sana lilichanga mamilioni ya pauni, nakuwatuma maelfu ya wamishenari kwa miaka kadhakutekeleza mapenzi ya Bwana. Roho wa Mungu alikuwaakitenda kazi na “Kondooo Wengine” huenda hata kingekuwandicho kilio cha moyoni cha hao waamini wa kweli.

“Nimekupa mlango uliofunguliwa mbele yako.” Ninatakakuyaangalia maneno haya tena. Wakati huu, ingawasitayaondoa kwenye umishenari, nitawaletea wazo ambalolinaingia ndani kabisa katika wakati wa mwisho. Kama viletayari nilivyokwisha sema, wakati huu unatokomea na kuingiakatika wakati wa mwisho. Ni katika wakati huu ambapo Yesualisema, “Naja upesi” (aya ya 11), na kuhusu wakati wamwisho Yeye alikuwa anaenda “kuimaliza kazi na kuikatakatika haki; kwa maana Bwana atafanya kazi ya kumalizaupesi juu ya nchi.” Warumi 9:28. Angalia jinsi aya hii yaUfunuo 3:8 inavyoenda_“mlango uliofunguliwa_nguvukidogo, Neno, Jina.” Mlango huo uliofunguliwa una uhusianona yote matatu. Sasa mlango unawakilisha nini? KatikaYohana 10:7, inasema, “Basi Yesu aliwaambia tena, Amin,amin, nawaambieni, MIMI NDIMI MLANGO WA KONDOO.”Hiyo ni kweli: ‘MIMI NIKO’ NI mlango wa kondoo. Sasa hayasi maneno ya kushangaza tu. Hii ndivyo ilivyo hasa. Angalia

Page 311: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 301

katika Yohana 10 wakati Yesu anapotoa mfano huu, YeyeMwenyewe anajiita ni yule mchungaji. Kisha anajiitaMwenyewe ni ule mlango. Na hivyo ndivyo mchungaji alivyokwa kondoo. Yeye kwa kweli ni mlango wao.

Nilipokuwa kule Mashariki niliona ya kwamba wakati wausiku mchungaji angewakusanya kondoo wake wote pamoja.Atawaingiza katika zizi. Kisha atawahesabu. Alipohakikishaya kwamba wote wameingia, atalala chini kwenye mlangouliofunguliwa wa hilo zizi na awe kweli ni mlango wa kuingiliazizini. Hakuna mtu angeweza kuingia wala kutoka ila kwayeye. Alikuwa ndiye mlango. Kesho yake nilipokuwa kwenyegari la aina ya jip pamoja na rafiki yangu, niliona ya kwambamchungaji mmoja alianza kuongoza kundi lake kuelekea mjini.Mara moja magari yote yakasimama ili kwamba wale kondoowapite. Sasa miji kule Mashariki si kama ilivyo hapa. Sisitunaweka bidhaa zetu zote ndani; lakini kule, ni kama sokokubwa la wakulima ikiwa mazao yote yamewekwa kando yabarabara kusudi watu wanaopita wayaone na kuyanunua.Nikawaza, “Loo! jamani, hapa ndipo ghasia zitakapoanza.Hebu ngoja hao kondoo wafikie kukiona chakula chote kilehapo nje.” Lakini wakati mchungaji alipoongoza, hao kondoowalifuata moja kwa moja katika kila hatua. Wangekiangaliachakula hicho chote kizuri, lakini hakuna kondoo hata mmojaaliyegusa kitu. Loo! laiti tu ningalijua lugha yao,ningalisimamisha hayo magari mimi mwenyewe nakuwahubiria mahubiri juu ya yale niliyoyaona punde.

Wakati wewe ni kondoo wa yule Mchungaji Mkuu,unafuata moja kwa moja katika kila moja ya hatua Zake,kama tu vile hao kondoo walivyofanya. Hutashawishiwakugeukia kando kwa ajili ya ua fulani kubwa la kanisa fulani,ama kusikiliza sauti ya D.D. fulani ama Ph.D. ama L.L.D.,lakini utakaa pamoja na yule Mchungaji. Biblia inasema yakwamba kondoo wanaijua sauti Yake nao wanamfuata YEYE,lakini sauti ya mgeni itawafanya tu kutoroka na kumkimbiliaMchungaji wao wa kweli. Mungu asifiwe.

Lakini hayo siyo tu niliyoona na kujifunza kule. Siku mojanilianza kufikiria juu ya kuwaona watu kondeni wakichungawanyama wa aina mbalimbali. Jamaa mmoja alikuwaakiwalisha nguruwe, mwingine mbuzi, na mwingine ngamia,na mwingine nyumbu, nk. Kwa hiyo nikamwuliza rafiki fulanialiyeishi kule, waliwaita nini watu hao. “Loo!” akajibu, “waoni wachungaji.”

Singeweza kuamini jambo hilo. Nikasema, “Humaanishi yakwamba hao WOTE ni wachungaji. Wachungaji huchungakondoo tu, sivyo?”

“La,” akasema, “mchungaji ni mwenye kuchunga aukulisha, kwa hiyo mtu ye yote anayewalisha wanyama nimchungaji.”

Page 312: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

302 NYAKATI SABA ZA KANISA

Vema, hilo lilinishangaza. Lakini niliona tofauti kati yahao wachungaji na wale waliowachunga kondoo. Usikuulipoingia hao wengine wote isipokuwa wachungaji wakondoo waliwaacha wanyama wao makondeni wakaenda zaonyumbani. Yule mchungaji aliondoka pamoja na kondoo zake,na kuwaingiza zizini kisha alilala chini na akawa mlango wakondoo. Loo! Mungu asifiwe, Mchungaji wetu hatuachikamwe wala kutupungukia. Wakati usiku unapoingianinataka kuwa katika zizi Lake. Ninataka kuwa katika ulinziWake.

Sasa basi, tunaweza kuona ya kwamba YESU NDIYEMLANGO. Yeye ndiye mlango wa kondoo. Na angalia yakwamba inasema sasa kuhusu MLANGO KUFUNGULIWA.Hiyo ni nini ila ni kufunuliwa Kwake? Na huo ufunuounafunguka upate kutuletea Nguvu, kuliangazia Neno nakulitukuza Jina Lake. Ilikuwa ni katika katikati ya zilenyakati mbili zilizopita ambapo Ufunuo wa Uungu wa YesuKristo ulipochanua vizuri mbele zetu. Naam, tulijua Yeyealikuwa Mungu. Angewezaje tena kuwa Mwokozi wetu? Lakinikujua ya kwamba YEYE ALIKUWA MUNGU TU, AMAMUNGU PEKEE, ya kwamba alikuwa Alfa na yule Omega, yakwamba “Yesu huyu alikuwa BWANA NA KRISTO PIA_IKIMFANYA BWANA YESU KRISTO, BABA, MWANA NAROHO MTAKATIFU, YOTE MTU MMOJA_hilo lilikuwalimepotea tangu nyakati za kwanza za kanisa, lakini sasatunaliona tena. Ufunuo wa YEYE ALIKUWA NI NANIulikwisha kurudi. Kweli Uungu si Mungu wa watu watatuwalio na nafsi moja, kwa maana inahitaji utu kumfanya nafsi.Kama kuna utu mmoja, kuna mtu mmoja tu. Lakini haowanaoamini katika nafsi tatu wana Uungu wa miungu watatunao wana hatia ya kuvunja amri ya kwanza.

Lakini ufunuo wa Uungu umerudi. Sasa kanisa la kwelilinaweza kujijenga katika nguvu tena. Baada ya wakati huuwote hatimaye linajua Bwana wake ni Nani. Mara nyinginetena TUNABATIZA KATIKA JINA LA BWANA YESU kamatu walivyofanya wakati wa Pentekoste.

Hebu niwaambieni juu ya ndoto niliyopewa na Mungu juuya ubatizo wa utatu. Hili halikuwa ni ono, bali ni ndoto.Mnajua, nina hakika, ya kwamba moja ya baraka za nyakati zakanisa ilikuwa ni kupokea ndoto kwa Roho Mtakatifu, kamavile vile tu mtu anavyoweza kupokea maono. Ilikuwa Ijumaausiku kuamkia Jumamosi kama saa 9 usiku. Nilikuwa ndiyo tunimeamka ili kumpa Joseph maji ya kunywa. Nilipojilazakitandani nililala mara moja na kuota ndoto hii. Niliona mtufulani niliyedhani alikuwa ni baba yangu. Alikuwa ni mtumkubwa mno na mnene. Pia niliona mwanamke aliyedhaniwakuwa ni mama yangu, lakini hakufanana naye, kama vilemwanamume huyo asivyokuwa anafanana na baba yangu. Mtu

Page 313: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 303

huyu alikuwa ni mbaya sana kwa mkewe. Alikuwa na rungukubwa yenye pembe tatu. Unajua unapochukua gogo nakulilaza chini na kulipasua upande mmoja mwishoni kwashoka, linatoa ukuni wenye sehemu tatu kama kabari.Lilikuwa namna hiyo. Yeye angechukua rungu hii na kumpiganayo, na kumbwaga chini. Akiwa amelala hapo analia,angetembea huku na huko kifua mbele na usoni mwakemlikuweko na kiburi na majivuno hivi kwamba alionekanaanaona fahari na kuridhika kwa kumpiga maskini mwanamkeyule mdogo. Kila wakati alipojaribu kuinuka yeye angempigakumbo. Sikupendezewa na alilokuwa anafanya, lakininilipokuwa ninawazia juu ya kumkomesha, niliwaza, “Siwezikumdhibiti mtu yule_yeye ni mkubwa kupita kiasi. Halafuanadhaniwa kuwa ni baba yangu.” Lakini ndani moyoninilijua yeye hakuwa baba yangu, na nilijua ya kwamba hapanamtu aliye na haki ya kumtendea mwanamke namna hiyo.Nikaondoka nikaenda nikamshika kwa nguvu kwenye ukosi nakumgeuza nikasema, “Huna haki ya kumpiga.” Na niliposemajambo hilo misuli yangu ilikua nami nikaonekana kama lijitulikubwa. Mtu huyo akaiona na ndipo akaniogopa. Nikasema,“Mpige tena nawe utapambana nami.” Akasita kumpiga tena,na ndipo hiyo ndoto ikaniacha.

Nikaamka mara baada ya ndoto hiyo. Nikawaza, ni jambola ajabu jinsi gani. Sikujua ni kwa nini niliota juu yamwanamke huyo, ndipo mara Huyo hapo Yeye akaja, nauwepo wa Mungu ukajulikana kwangu na tafsiri ya hiyo ndotoikatoka Kwake. (Sasa ninyi watu mnajua ya kwamba sikwamba tu nimewafasiria ndoto zenu sawa sawa kabisa; lakininimewaambia mara nyingi, nyingi sana, yale mliyoota hivikwamba haikuwabidi ninyi kuniambia.) Huyo mwanamkeanaliwakilisha kanisa la ulimwengu siku hizi. Nilizaliwakatika mchafuko huu_mchafuko alimo huyo mwanamke.Alionekana kwa namna fulani kuwa kama mama (yeye nimama wa makahaba). Mumewe ni madhehebu yanayomtawala.Lile gogo lenye pembe tatu ni ubatizo wa uongo wa nafsi tatukatika utatu wa miungu. Kila wakati alipoanza kuinuka (hiyoinamaanisha kusanyiko lilipoanza kukubali ukweli) yeyeangemtwanga chini tena moja kwa moja kwa fundisho hilo lauongo. Alikuwa mkubwa sana hata nilimwogopa mara yakwanza, lakini nilipomkabili nilikuta kwamba nilikuwa namisuli mikubwa na yenye nguvu. Ilikuwa ni MISULI YAIMANI. Matokeo ya ndoto hiyo ilikuwa kwamba, “kwa kuwaMungu yu pamoja nami, na anaweza kunipa nguvu kama hizo,basi hebu nimpiganie dhidi ya nguvu za kimadhehebu zaulimwengu na kumkomesha aache kumpiga.”

Sasa sijaribu kujenga fundisho fulani juu ya ndoto. Walasijaribu kuthibitisha fundisho lo lote ninaloshikilia kwa ndoto.Umoja wa Uungu uko kote kote kutoka Mwanzo 1:1 mpaka

Page 314: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

304 NYAKATI SABA ZA KANISA

Ufunuo 22:21. Lakini watu wamepofushwa na fundisho lasharti lisilo la kimaandiko la utatu, na fundisho hilo la shartilimekubalika sana duniani kote hivi kwamba kujaribu kuona“Mungu Mmoja wa Nafsi Moja” haiwezekani kabisa. Kamawatu hawawezi daima kuona KWELI ya Uungu, baliwanaipinga; hawataweza sikuzote kuona kweli nyingine kwasababu UFUNUO NI YESU KRISTO KATIKA KANISA LAKENA KAZI ZAKE KATIKATI YA KANISA KWA ZILENYAKATI SABA. Umeliona jambo hilo? Sasa nina hakikamnafahamu.

“Unazo nguvu kidogo, nawe umelitunza Neno Langu, walahukulikana Jina Langu.” Sasa tayari tumeishasema ni jinsigani nguvu zile zilivyokuwa zikirudi. Zilikuwa zinarudi.Nguvu za baraza kuu la kuhukumu wazushi wa dini zilikuwazimefifia. Watu walikuwa wameondoka kwenye nchi zauenyeji wao na kudai uhuru wa kuabudu. Nira ya serikali yaukasisi ilikuwa inavunjwa. Serikali zilikuwa zilikuwa zikionani jambo la busara kutounga mkono kundi moja dhidi yajingine. Kwa kweli, watu wenye nia nzuri lakini walioongozwavibaya walikuwa tayari kupigana vita kusudi watetee haki zaoza kidini. Labda onyesho kubwa sana la nguvu za kidini katikawakati huu lilikuwa ni ukweli, ya kwamba ingawa Ufaransailiangushwa katika mapinduzi, ule ufufuo mkuu wa Kiwesleyulizuia mapinduzi yasiingie Uingereza na ukaiokoa ipate kuwachombo katika mkono wa Mungu kwa miaka mingi yenyefahari.

Kuhubiriwa kwa Neno hakukuongezeka hata kidogo.Wakati shetani alipokuwa akiinua makundi yake yamaharamia wenye mawazo huru, waanzilishi wa ukomunistiwalipoinuka, wanatheolojia wa kimapinduzi walipokuwawakieneza bidhaa zao chafu, Mungu aliinua mashujaa hodariwa imani, na vitabu muhimu sana vya Kikristo na mafundishona mahubiri vilitokea katika kipindi hiki. Kamwe hakujatokeana hakutatokea wahubiri na waalimu kama wake. AkinaSpurgeon, Parka, Meklaren, akina Edward, Bunyan, Meula,Brainard, Barne, Bishop, wote walitokea kwenye kipindi hiki.Walihubiri, wakafundisha na kuandika Neno. WalilitukuzaJina Lake.

HUKUMU YA WAYAHUDI WA UONGO

Ufunuo 3:9. “Tazama, nakupa walio wa sinagogi laShetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasemauongo; tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguuyako, na kujua ya kuwa nimekupenda.”

Sasa tunaweza kuona mara moja ya kwamba tatizo hili laWayahudi wa uongo ama waamini wa uongo lilikuweko tayarikatika wakati wa pili. Hawa ambao walijiita Wayahudi kwa

Page 315: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 305

uongo walitokea mara baada ya kumwagika kwa wingi kwakwanza kwa ule wakati wa kwanza, na sasa wanatokea tenakatika wakati wa pili baada ya yale matengenezo. Hii si bahatimbaya kabisa. Kwa kweli, si bahati mbaya. Ni kanuni yaShetani. Kanuni hiyo ni kuunda madhehebu na kudai kuwandio waanzilishi na hivyo basi kustahili haki na heshimamaalum. Hebu niwaonyesheni. Huko nyuma katika Wakati waSmirna watu hawa walidanganya na kusema wao kweliwalikuwa ni Wayahudi (ama waamini) wakati hawakuwahivyo kabisa. Walikuwa ni sinagogi la Shetani. Wao walikuwakundi la Shetani lililounda madhehebu, kwa kuwa ilikuwa nikatika wakati huo tulipoona mwanzo wa watu katika hudumawakichukua uongozi usio wa haki juu ya ndugu zaowanaohudumu. (Maaskofu wakawekwa kwenye majimbo, juuya wazee). Jambo lililofuata tuliloliona lilikuwa kwambakatika wakati wa tatu kulikuweko na mahali halisi palipoitwa“kiti cha Shetani.” Wakati huo ulitupa muungano wa kanisana serikali. Huku nguvu za serikali zikiwa nyuma yake kanisalilikuwa kimwili haliwezekani kabisa. Lakini Mungu aliivunjangome hiyo bila kujali nguvu za serikali na matengenezoyakaleta nuru kuu. Lakini nini kilitendeka? Waluteri waliundamadhehebu na kujiunga na serikali na ndipo tena tunaonasinagogi la Shetani likidhihirishwa katika wakati huu wa sita.Sasa bila shaka kundi hili la sinagogi halingesema ni laShetani. Hapana bwana. Wao wanasema ni wa Mungu. Lakiniwanasema uongo. Kwa kuwa Yeye aliye Myahudi wa kweli(hivyo ndivyo walivyodai kuwa) ni yule aliye Myahudi kwandani_katika Roho. Kwa hiyo kama wao ni Wayahudi wauongo inamaanisha wao ni kama vile Yuda 19 inavyosema,“WASIO na Roho.” Watoto wa Mungu wanazaliwa na Roho.Hawa hawana Roho na kwa hiyo wao SI wana wa Munguhaidhuru wakatae kwa nguvu namna gani na waende umbaligani kujaribu kuthibitisha ya kwamba wao ni watoto waMungu. Wao WAMEKUFA. Wao ni watoto wa madhehebu, namatunda ya kweli hayapo. Wamejengwa juu ya kanuni zaowenyewe, mafundisho ya sharti na mafundisho ya dini walakweli haimo ndani mwao kwa maana wao wamewekamashauri yao yawe juu ya Neno la Mungu.

Hebu niwaonyeshe jambo ambalo nimekuwa nikijaribukufundisha wakati wote kuhusu ile mizabibu miwiliinayotokana na roho mbili tofauti. Chukua mfano wa Yesu naYuda zamu hii. Yesu alikuwa Mwana wa Mungu. Yudaalikuwa Mwana wa upotevu. Mungu aliingia ndani ya Yesu.Shetani akaingia ndani ya Yuda. Yesu alikuwa na hudumakamilifu ya Roho Mtakatifu kwa kuwa “Jinsi Mungualivyomtia Yesu wa Nazareti mafuta kwa Roho Mtakatifu nanguvu; Naye akazunguka huko na huko, akitenda kazi njemana kuponya wote walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungualikuwa pamoja Naye.” Matendo 10:38. Inasema “Kwa sababu

Page 316: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

306 NYAKATI SABA ZA KANISA

yeye (Yuda) alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi, akapataSEHEMU ya huduma hii,” Matendo 1:17. Mathayo 10:1,“Akawaita wanafunzi Wake kumi na wawili, akawapa amrijuu ya pepo wachafu, wawatoe, na kupoza magonjwa yote naudhaifu wa kila aina.”

Roho yule aliyekuwa ndani ya Yuda alienda moja kwamoja kupitia katika huduma ya Yesu. Ndipo wote wawiliwakaja msalabani. Yesu alisulibishwa msalabani, akiutoa UhaiWake kwa moyo kwa ajili ya wenye dhambi na kuiweka RohoYake kwa Mungu. Roho Yake ilienda kwa Mungu kishaikamwagwa ndani ya kanisa wakati wa Pentekoste. LakiniYuda alijinyonga na roho yake ikamrudia Shetani, lakinibaada ya Pentekoste roho yuyo huyo aliyekuwa ndani ya Yudaalirudi mzabibu wa uongo ambao unakua moja kwa mojapamoja na mzabibu wa kweli. Lakini angalia, roho ya Yudahaikufika Pentekoste. Haikuendelea hata impokee RohoMtakatifu. Haikuweza. Lakini roho ile ya Yuda ilifuatilia nini?Ilifuatilia mfuko wa dhahabu. Jinsi ilivyopenda pesa. Ingaliinapenda pesa. Kama inakwenda huku na huko kwa Jina laYesu ikitenda mambo makuu na kuendesha mikutanomikubwa, bado ingali inatengeneza pesa zaidi na kujengamajumba zaidi, na elimu na kila kitu ikiwa na wazo la mali.Angalia tu huyo roho aliye juu yao na usipumbazwe. Yudaalienda huku na huko kama mmoja wa wale kumi na wawilinaye akafanya miujiza, pia. Lakini Yeye HAKUWA na Rohowa Mungu kama wake binafsi. Yeye kweli alikuwa na hudumafulani. Hakufikia Pentekoste kamwe kwa maana hakuwa mzaowa kweli. Hakuwa mwana halisi wa Mungu. Hapana bwana.Na hivyo ndivyo ilivyo hivi sasa katika sinagogi la Shetani.Usipumbazwe. Hutadanganywa kama wewe ni kunddi la waliowateule. Yesu alisema hutadanganywa.

Naam, hawa jamaa wanasema wao ni Wakristo bali siWakristo.

“Nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, nakujua ya kuwa nimekupenda.” I Wakorintho 6:2, “Au hamjuiya kwamba Watakatifu watauhukumu ulimwengu?”Hakutakuwapo na wale mitume kumi na wawili tu kwenye vitikumi na viwili wakiyahukumu yale makabila kumi na mawiliya Israeli bali na watakatifu, pia, watauhukumu ulimwengu.Hapo ndipo hawa wanaodai kwamba ni wa Mungu na kudai yakwamba Mungu anawapenda watakapopata kujua hakikakabisa mtoto wa Mungu ni nani na ni nani anayependwa naMwana. Naam, siku hiyo inakuja wakati itakapodhihirishwa.Hawa ambao sasa wanautawala ulimwengu kwa kiasi fulani,na ambao katika wakati ule wa mwisho watatengenezasanamu ya mnyama ambapo kwa kweli watautawalaulimwengu, siku moja wataaibishwa wakati Yesu atakapokujapamoja na watakatifu Wake kuuhukumu ulimwengu katika

Page 317: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 307

haki. Hilo ndilo tuliloona hasa katika Mat. 25 wakati “Wote”wale wasiokuwemo katika ufufuo wa kwanzawatakaposimama mbele ya Hakimu na bibi-arusi Wake.

SIFA NA AHADI

Ufunuo 3:10, “Kwa kuwa umelishika Neno la subira Yangu,mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyotayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wao wakaao juuya nchi.”

Yeye anamaanisha nini kwa kusema “neno la subiraYake?” Waebrania 6:13-15. “Kwa maana Mungu, alipompaIbrahimu ahadi, kwa sababu alikuwa hana mkubwa kulikoYeye Mwenyewe wa kumwapa, aliapa kwa nafsi Yake,akisema, Hakika Yangu kubariki nitakubariki, na kuongezanitakuongeza. Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.”Unaona Roho ananena juu ya Neno la Mungu ambalotumepewa sisi. Kule kungojea kule kutimizwa kwa Neno hilokulihitaji subira kama tu ilivyokuwa kwa Ibrahimu.Alivumilia kama kwamba alimwona Yeye asiyeonekana. Yeyealikuwa na saburi na halafu hatimaye Neno lilitimizwa. Hivindivyo Mungu anavyowafundisha watu Wake subira. Mbona,kama Yeye angalilitimiza Neno Lake katika madhihirisho yamaumbile papo hapo ulipoomba, hungeweza kujua subira ninini hata kidogo, lakini ungekuwa hata zaidi na zaidi mtuasiye na subira na maisha. Hebu niwaonyeshe kweli hiiikielezewa hata kikamilifu zaidi. Waebrania 11:17, “Kwa imaniIbrahimu, alipojaribiwa, akamtoa Isaka awe dhabihu; na yeyealiyezipokea hizo ahadi (Neno la Mungu) alikuwa akimtoamwanawe, mzaliwa wa pekee.” Hivyo ndivyo ilivyo: Ibrahimualijaribiwa BAADA ya kupokea Neno la Ahadi. Watu waliowengi hufikiri ya kwamba mara tu baada ya sisi kuombakatika Jina la Yesu kuhusu ahadi nzuri za Mungu ya kwambahakungeweza kuwepo na majaribu. Lakini hapa inasema yakwamba Ibrahimu alijaribiwa baada ya kuipokea ile ahadi.Hilo ni sahihi kabisa kulingana na Mwandishi wa Zaburiakimzungumza Yusufu, 105:19, “Hata wakati wa kuwadia nenolake, Neno la Bwana lilimjaribu.” Mungu hutupa ahadi kubwamno na za thamani. Yeye ameahidi kuzitimiza. Atazitimiza.Lakini tangu wakati tunapoomba mpaka wakati tunapopatajibu hatuna budi kujifunza subira nafsini mwetu kwa maanani katika subira tu ndipo ambapo tunapokea uzima. Mungu naatusaidie kujifunza somo hili kama vile tunavyojua watu wawakati huu wa sita walivyojifunza subira. Tunasoma historiaya maisha ya Wakristo hawa mashuhuri; ni tofauti ganitunayoona kati ya maisha yao na yetu kwa maana walikuwana subira sana na walikuwa watulivu, na leo tumeshindwakatika kukosa subira kabisa na kuwa na haraka.

Page 318: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

308 NYAKATI SABA ZA KANISA

Anaendelea kuwaambia, “Kwa kuwa umelichukua NenoLangu na kuliishi na kwa njia hiyo mkawa na subira,nitakulinda na saa ya kujaribiwa itakayoujilia ulimwengu,kuwajaribu wakaao juu ya nchi.” Sasa hapa tena tunaona kulekuingiliana kwa zile nyakati mbili; kwa maana ahadi hii inauhusiano na mwisho wa wakati wa Mataifa ambao unaishiakatika ile Dhiki iliyo Kuu.

“Nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo tayarikuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.”Aya hii si tangazo la kwamba kanisa la kweli litaingia nakupitia katika ile dhiki. Kama ingalimaanisha hilo ingesemahivyo. Lakini ilisema, “Nitakulinda utoke katika saa yakujaribiwa.” Jaribu hili ni kama lile kabisa lililokuwa Edeni.Litakuwa ni maneno ya kuvutia sana ambayo yatatolewakinyume kabisa na Neno la Mungu lililoamriwa, na hata hivyokwa msimamo wa akili za kibinadamu litaonekana kuwa nijambo sahihi kabisa, litoalo mwanga sana na kutoa uzima hatalinaweza kuupumbaza ulimwengu. Walio wateule ndio tuhawatapumbazwa. Hilo jaribu litakuja namna hii. Zilepilikapilika za ekumeni ambazo zimeanza katika kitukinachoonekana kama kanuni nzuri sana na yenye baraka(kuyatimiza maombi ya Kristo ya kwamba sote tupate kuwakitu kimoja) zinapata nguvu sana kisiasa hata zitaishurutishaserikali kuwafanya wote waungane nao aidha moja kwa mojaama kwa kufuata kanuni zilizofanywa sheria hivi kwambahakuna watu watakaotambuliwa kama makanisa halisiisipokuwa chini ya uongozi wa moja kwa moja ama usio wamoja kwa moja wa halmashauri hii. Makundi madogo madogoyatapoteza mikataba, haki, nk., mpaka watakapopoteza maliyote na haki za kiroho kwa watu. Kwa mfano, sasa hiviisipokuwa shirika la wahudumu la mtaa fulani likubali katikamiji mingi, kama si karibuni yote, mtu hawezi kukodisha jengokwa ajili ya ibada za dini. Kuwa makasisi jeshini, kwenyemahospitali, nk., sasa hivi karibu ni jambo la lazimakutambuliwa kama mtu ambaye anakubalika na makundi yautatu ya ekumeni. Wakati mbano huu unapoongezeka, nautaongezeka, itakuwa ni vigumu zaidi kuupinga, kwa maanakuupinga ni kupoteza haki. Na wengi sana watashawishikakukubaliana nao, kwa sababu wataona ni afadhalikumtumikia Mungu hadharani katika utaratibu uliowekwa nashirika hili kuliko kutomtumikia Mungu hadharani kabisa.Lakini wao wanakosea. Kuamini uongo wa ibilisi nikumtumikia Shetani, hata ingawa ungetaka kumwita yeye niYehova. Lakini wateule hawatadanganywa.

Zaidi ya hayo, wateule si kwamba tu watahifadhiwa,lakini wakati pilikapilika hizi zinapofanyika “SANAMUILIYOFANYIWA YULE MNYAMA,” watakatifu watakuwawamenyakuliwa. Na shirika hili dogo linalopendeza,

Page 319: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 309

linalofurahisha sana lililoanza kule Efeso katika ushirikalitakuwa dubwana la Shetani linalonajisi na kuudanganyaulimwengu wote. Kwa maana utaratibu wa kanisa wa Katolikiya Kirumi na wa Kiprotestanti katika kuungana utamilikimpango mzima wa mali yote ya ulimwengu na kuishurutishadunia nzima kuingia katika mtego wake wa kidini, la sivyoutawaua, kwa kuwanyima haki ya kununua na kuuza ambayokwayo wangejipatia riziki. Jambo hili litatimizwa kwakirahisi, kwa maana binti wa kahaba karibu wote wamerudikwake. Wakati huo huo, Rumi imemiliki karibu akiba yote yadhahabu. Wayahudi wana zile hati za dhamana na noti zote.Katika wakati unaofaa, yule kahaba ataangamiza utaratibuwa sasa wa pesa kwa kuagiza hati zote za malipo zilipiwe, nakudai dhahabu. Bila dhahabu, huo utaratibu unaanguka.Wayahudi wataingia mtegoni na kufanya mapatano, ndipokanisa hilo la kahaba litauteka uliwengu mzima.

AHADI KWA WALIO WAKE

Ufunuo 3:11-12, “Tazama, Naja upesi. Shika sana ulichonacho, asije mtu akaitwaa taji yako. Yeye ashindaye,nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu Wangu, walahatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake Jina laMungu Wangu, na jina la mji wa Mungu Wangu, huoYerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa MunguWangu, na Jina Langu Mwenyewe, lile jipya.

Hatuna haja ya kufafanua wazo hilo ya kwamba Yeyeanakuja upesi. Tunajua ya kwamba Yeye anakuja kwa sababutuko mwishoni mwa siku za mwisho, sivyo? Lakini Yeyeanaendelea kusema, “Shika sana ulicho nacho, asije mtuakaitwaa taji yako.”

Katikati ya wakati wa shida kuu ndipo ambapo Yesuanakuja. Na katika kuja Kwake kuna ufufuo. Wengi watatokakatika mavumbi na kupaa pamoja na wale walio hai wakingojeatu kurudi Kwake. Na hawa watapewa taji. Kwa nini? Kwamaana wao ni Wana wa Mungu. Wao ni wafalme pamoja Naye.Wanatawala pamoja Naye. Taji inamaanisha hilo kumiliki nakutawala pamoja na Mfalme Mkuu, Mwenyewe. Hiyo ndiyoahadi kwa wale wote wanaoteseka pamoja Naye hapa duniani_hao wote waliovumilia kwa subira wakijua ya kwamba Mungu,yule Hakimu Mwenye Haki atawajazi. Wao waliotoa yote kwaajili Yake na kuweka yote Kwake wataketi katika kiti Chakecha enzi na kushiriki ufalme Wake wenye utukufu.

Loo! tuna neno kwa ajili yetu sote wakati huu. Ni kushikasana_vumilia. Usife moyo. Vaa silaha zote za Mungu_tumiakila silaha aliyotupa_tumia kila karama tuliyopewa kutumiana tuangalie mbele kwa furaha, kwa sababu tutatiwa taji NayeAmbaye ni Mfalme wa Wafalme na Bwana wa Mabwana.

Page 320: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

310 NYAKATI SABA ZA KANISA

Sasa Yeye hatoi taji tu lakini anasema ya kwamba hawawalio katika bibi-arusi watafanywa nguzo katika hekalu laMungu. Lakini hekalu la Mungu ni nini? Yesu alinena juu yamwili Wake kuwa ndio lile hekalu. Ndivyo ulivyokuwa.Ulikuwa ni hekalu la Mungu. Lakini sasa kwa kuwa sisi nimwili Wake, kanisa la kweli ni hekalu la Mungu kwa RohoMtakatifu aliye ndani yetu. Sasa atamfanya mshindi kuwanguzo katika hekalu hilo. Lakini nguzo ni nini? Nguzo kwakweli ni sehemu ya msingi kwa kuwa inashikilia sehemu yajuu. Mungu asifiwe, hilo linamweka mshindi moja kwa mojapamoja na mitume na manabii, kwa maana inasema katikaWaefeso 2:19-22, “Basi tangu sasa ninyi si wageni walawapitaji, bali ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wanyumbani Mwake Mungu. Mmejengwa juu ya msingi wamitume na manabii, Naye Kristo Yesu Mwenyewe ni jiwe kuula pembeni. Katika Yeye jengo lote linaungamanishwa vema nakukua hata liwe hekalu takatifu katika Bwana. Katika Yeyeninyi nanyi mnajengwa pamoja kuwa maskani ya Mungukatika Roho.” Naam, aya ya 22 inasema ya kwambatumejengwa pamoja nao. Kila kitu kilipitia MLANGONI(Yesu) na ni sehemu ya mwili huo ama hekalu. Sasa wakatiMungu anapomweka mtu katika hekalu kama nguzo nakumfanya sehemu ya kundi hilo la msingi Yeye anafanya nini?Yeye anampa ufunuo wa Neno na wa Yeye Mwenyewe, kwamaana huo ndio mitume na manabii waliokuwa nao. Mat.16:17. Huyo hapo katika hilo Neno. Huyo hapo anasimama.Hakuna mtu anayeweza kumtoa nje.

Wazia Neno hilo, “ashindaye”. Yohana anauliza swali,“Mwenye kushinda ni nani?” na jibu linarudi moja kwa moja,“Yeye aaminiye ya kwamba Yesu ndiye Kristo.” Yeye hasemiya kwamba mshindi ni yule aaminiye katika Yesu ‘Fulani’ nakatika Kristo ‘Fulani,’ lakini aaminiye ya kwamba YesuNDIYE KRISTO_mtu MMOJA_si wawili. Huyo ni yuleambaye amebatizwa katika Jina la Bwana Yesu Kristo.

Mungu ananena juu ya bibi-arusi hapa. Je! unataka kuonapicha yake nyingine? Iko katika Ufunuo 7:4-17, “Nikasikiahesabu yao waliotiwa muhuri katika kila kabila ya Waisraeli,watu mia na arobaini na nne elfu. Wa kabila ya Yuda kumi nambili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Reubeni kumi nambili elfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Gadi kumi na mbilielfu waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Asheri kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Wa kabila ya Naftali kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Wa kabila ya Manase kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Wa kabila ya Simeoni kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Wa kabila ya Lawi kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Wa kabila ya Isakari kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Wa kabila ya Zabuloni kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Wa kabila ya Yusufu kumi na mbili elfu

Page 321: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 311

waliotiwa muhuri. Wa kabila ya Benyamini kumi na mbili elfuwaliotiwa muhuri. Baada ya hayo nikaona, na tazama,mkutano mkubwa sana ambao hapana mtu awezayekuuhesabu, watu wa kila taifa, na kabila, na jamaa, na lugha,wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi, na mbele za Mwana-Kondoo, wamevikwa mavazi meupe, wana matawi ya mitendemikononi mwao; wakilia kwa sauti kuu wakisema, Wokovuuna Mungu wetu aketiye katika kiti cha enzi, na Mwana-Kondoo. Na malaika wote walikuwa wakisimama pande zoteza kile kiti cha enzi, na za hao wazee, na za wale wenye uhaiwanne, nao wakaanguka kifulifuli mbele ya kile kiti cha enzi,wakamsujudu Mungu, wakisema, Amina; Baraka na utukufuna hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu zinaMungu wetu hata milele na milele. Amina. Akajibu mmoja wawale wazee akiniambia, Je! Watu hawa waliovikwa mavazimeupe ni akina nani? Nao wametoka wapi? Nikamwambia,Bwana wangu, wajua wewe. Akaniambia, Hao ndio wanatokakatika dhiki ile iliyo kuu, nao wamefua mavazi yao, nakuyafanya meupe katika damu ya Mwana-Kondoo. Kwa hiyowako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu, nao wanamtumikiamchana na usiku katika hekalu Lake, na Yeye aketiye katikakiti cha enzi atatanda hema Yake juu yao. Hawataona njaatena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, walahari iliyo yote. Kwa maana huyo Mwana-Kondoo, aliyekatikati ya kiti cha enzi, atawachunga, Naye atawaongozakwenye chemchemi za maji yenye uhai, na Mungu atayafutamachozi yote katika macho yao.” Yesu amekuja. Amewatiamuhuri wale 144,000. Yeye aliwachukua 12,000 kutoka katikakila kabila. Lakini kuna kundi jingine ambalo si la hawa144,000 ambao wanaonekana katika aya ya 9-18. Hao ni akinanani? Hawa ni bibi-arusi waliotolewa miongoni mwa Mataifa.Wao wako mbele ya kiti Chake cha enzi usiku na mchana.Wanamtumikia hekaluni. Wao wako chini ya ulinzi maalumwa Bwana. Wao ni bibi-arusi Wake.

Bibi-arusi anaenda po pote Bwana-arusi alipo. Yeyehataachwa Naye kamwe. Hataondoka ubavuni Mwake. Yeyeatashiriki kiti cha enzi pamoja Naye. Atatiwa taji kwa utukufuna sifa Zake.

“Nami nitaandika juu yake Jina la Mungu Wangu, na Jinala mji wa Mungu Wangu. Na Jina la Mungu ni nani? Vema,Yeye alikuwa Mungu pamoja nasi, ama Imanueli, lakini hilohalikuwa jina alilopewa. “Utamwita Jina Lake Yesu.” Yesualisema, “Nilikuja katika Jina la Baba Yangu, walahamkunipokea.” Kwa hiyo Jina la Mungu ni YESU, kwamaana hilo ndilo Jina alilokuja nalo. Yeye ni BWANA YESUKRISTO. Na mwanamke anachukua jina gani anapoolewa namwanamume? Yeye huchukua jina la mume. Jina Lake ndiloanalopewa bibi-arusi wakati anapomchukua Kwake.

Page 322: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

312 NYAKATI SABA ZA KANISA

Ufu. 21:1-4. “Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya;kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwishakupita, wala hapana bahari tena. Nami Yohana nikauona mjiule mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbingunikwa Mungu, umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwishakupambwa kwa mumewe. Nikasikia sauti kubwa kutokambinguni ikisema, Tazama, maskani ya Mungu ni pamoja nawanadamu, Naye atafanya maskani Yake pamoja nao, naowatakuwa watu Wake. Naye Mungu Mwenyewe atakuwapamoja nao, na atakuwa Mungu wao. Naye atafuta kila chozikatika macho yao, wala mauti haitakuwapo tena; walamaombolezo, wala kilio, wala maumivu hayatakuwapo tena;kwa kuwa mambo ya kwanza yamekwisha kupita.” Jinsiinavyopendeza. Ahadi zote nzuri za Mungu zimetimizwa. Yoteyatakuwa yamekwisha. Badiliko litakuwa limekamilika.Mwana-Kondoo na bibi-arusi Wake wamekaa milele katikaukamilifu wote wa Mungu. Ati utoe sifa ya jambo hilo? Ni nanianayeweza kufanya jambo hilo? Hakuna. Ati uwazie juu yake?Uote juu yake? Usome yale Neno lisemayo juu yake? Ndiyotunaweza kufanya hayo yote, hata hivyo tunaweza kujua tusehemu yake iliyo ndogo sana mpaka itakapokuwa ni jambohalisi katika ule ufufuo wa kwanza.

“Nami nitaandika juu yake Jina Langu Mwenyewe, lileJIPYA.” Jina Langu jipya. Wakati YOTE yatakapokuwamapya, ndipo basi atajitwalia Mwenyewe Jina JIpya na Jinahilo litakuwa ndilo Jina la bibi-arusi pia. Kwamba Jina hilo nilipi, hakuna anayethubutu kukisia. Itabidi iwe ni ufunuo waRoho uliotolewa kwa dhahiri sana hata hakuna mtuangethubutu kukana jambo hilo. Lakini hapana shakaatauacha ufunuo huo mpaka siku ambayo Yeye anatakakulitangaza Jina hilo. Inatosha kujua ya kwamba litakuwa nila ajabu sana kuliko tungaliweza kuwazia.

ONYO LA MWISHO KWA WAKATI HUU

Ufunuo 3:13, “Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hiliambalo Roho ayaambia makanisa.” Kila wakati unaisha kwaonyo lili hili. Ni ombi la daima kwamba makanisa waisikiesauti ya Bwana. Katika wakati huu hilo ombi ni la nguvu zaidikuliko nyakati zilizotangulia, kwa maana katika wakati huukuja kwa Bwana kweli kunakaribia. Swali linaweza kuzukalabda, “Kama kuna wakati mwingine baada ya huu, mbonadharura ya namna hii?” Jibu liko hapa. Wakati wa mwishoutakuwa mfupi_kazi ya haraka ya kumalizia. Na si kwambajambo hili ndivyo lilivyo tu, lakini mtu hana budi kukumbukadaima ya kwamba katika macho ya Mungu wakati unapitaharaka sana; naam, miaka elfu ni kama tu siku moja. Na kamaYeye anakuja katika masaa machache kama vile

Page 323: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA FILADELFIA 313

anavyouangalia wakati, Yeye hakika hana budi kutuonya kwadharura yote na sauti Yake haina budi kusikika wakati wotekatika mioyo yetu tuwe tayari kwa ajili ya kuja huko.

Loo! kuna sauti nyingi sana ulimwenguni_shida nyingisana na mahitaji yanapaza sauti yapate kushughulikiwa; lakinikamwe hakutakuweko na sauti iliyo muhimu sana nainayostahili kushughulikiwa kama sauti ya Roho. Kwa hiyo,“Yeye aliye na sikio la kusikia, na alisikie Neno hili ambaloRoho ayaambia makanisa.”

Page 324: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa
Page 325: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 315SURA YA TISA

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA

Ufunuo 3:14:22

Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Hayandiyo anenayo Yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu nawa kweli, Mwanzo wa Kuumba kwa Mungu.

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto;ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.

Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi walamoto, nitakutapika utoke katika kinywa Changu.

Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, walasina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, namwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na uchi.

Nakupa shauri ununue Kwangu dhahabu iliyosafishwakwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa,aibu ya uchi wako isionekane; na dawa ya macho ya kujipakamacho yako, upate kuona.

Wote niwapendao Mimi nawakemea, na kuwarudi; basiuwe na bidii, ukatubu.

Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sautiYangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakulapamoja naye, na yeye pamoja Nami.

Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja nami katika kitiChangu cha enzi, kama Mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja naBaba Yangu katika kiti Chake cha enzi.

Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoayaambia makanisa.

MJI WA LAODIKIA

Jina hilo, Laodikia, ambalo maana yake ni, “haki za watu”lilitumiwa sana na lilipewa miji kadha kwa kuwaheshimumabibi wa kifalme walioitwa hivyo. Mji huu ulikuwa mmojawa miji iliyokuwa muhimu sana kisiasa na iliyostawikibiashara sana katika Asia Ndogo. Mji huo ulipewa malinyingi sana na wenyeji mashuhuri. Ulikuwa ni kituo cha shulekuu ya uuguzi. Watu wake walikuwa mashuhuri katika sanaana sayansi. Mara nyingi uliitwa ‘mji mkuu wa nchi’ kwa kuwaulikuwa makao makuu ya nchi kwa miji mingine ishirini namitano. Mungu wa kipagani aliyeabudiwa hapo alikuwa niZeu. Kwa kweli mji huu wakati mmoja uliitwa Diopolisi (Mjiwa Zeu) kwa heshima ya mungu wao. Katika karne ya nne

Page 326: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

316 NYAKATI SABA ZA KANISA

mkutano muhimu wa baraza la kanisa ulifanyika hapo.Matetemeko ya mara kwa mara ya ardhi hatimayeyalisababisha uhamwe kabisa.

Ni barabara jinsi gani sifa za wakati huu wa mwishozilivyolingana kuuwakilisha wakati tunaoishi sasa. Kwamfano, wao waliabudu mungu mmoja, Zeu, ambaye alikuwandiye mkuu na baba wa miungu. Hii ilitabiria kanuni ya kidiniya karne ya ishirini ya ‘Mungu mmoja, baba-yetu-sote’ ambayoinaendeleza udugu wa binadamu, na hata sasainawaunganisha Waprotestanti, Wakatoliki, Wayahudi,Wahindu, nk. kwa nia kwamba utaratibu wa ibada ya pamojautaongezea upendo wetu na uelewano, na kutunzana.Wakatoliki na Waprotestanti hata sasa hivi wanajitahidi, nakwa kweli sasa hivi wanafaulu katika muungano huu wakiwana nia dhahiri ya kwamba wengine wote watafuata. Nia hii hiiilionekana katika Umoja wa Mataifa wakati viongozi wa duniawalipokataa kutambua wazo lo lote moja la ibada ya kiroholakini wakapendekeza kuwekea kando mawazo hayo yotembalimbali wakiwa na matumaini ya kwamba dini zotezisawazishwe ziwe moja, kwa maana zote zina shauku yamadhumuni yale yale, zote zina makusudi yale yale, na zotekimsingi ni sahihi.

Angalia hilo jina, Laodikia, ‘haki za watu’, ama ‘usawa wawatu.” Je! kuliwahi kuwa na wakati kama wakati wa kanisa lakarne ya ishirini ambao umeona mataifa YOTE yakiinuka nakudai usawa, wa watu na wa kiuchumi? Hizi ni siku zawakomunisti ambapo watu wote wanatakiwa kuwa sawa,ingawa inakuwa hivyo katika nadharia tu. Huu ni wakati wavyama vya kisiasa vinavyojiita Wanademokrasia wa Kikristo,na Wajamaa wa Kikristo, Jumuiya ya Muungano wa Kikristo,nk. Kulingana na wanatheolojia wetu wenye mawazo huruYesu alikuwa mwanaujamaa na kanisa la mwanzoni chini yauongozi wa Roho liliendeleza ujamaa, na ati kwa hiyoinatupasa kufanya jambo hilo leo.

Watu wa zamani zile walipouita Laodikia kuwa mji mkuuwa nchi ilikuwa ni kutazamia serikali moja ya ulimwenguambayo sasa tunaianzisha. Tunapowazia mji huo kuwa ndipomahali pa baraza kuu la kanisa tunaona zile jitihada zashughuli za ekumeni zinazofanyika siku hizi zikitanguliakuonyeshwa katika kivuli, ambapo hivi karibuni tutaona wotewale ‘wanaojiita’ Wakristo wakiunganika pamoja. Kweli,kanisa na serikali, dini na siasa vinaungana. Maguguyanafungwa. Ngano hivi karibuni itakuwa tayari kwakuwekwa ghalani.

Ulikuwa mji uliokumbwa na matetemeko ya ardhi ya marakwa mara, matetemeko ambayo hatimaye yaliuangamiza.Wakati huu utaishia na Mungu kuutikisa ulimwengu mzimaambao umeenda kufanya mapenzi na yule kahaba wa kale. Si

Page 327: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 317

kwamba tu taratibu za ulimwengu zitavunjika, bali duniayenyewe itatikiswa kisha ifanywe upya kwa ajili ya uleutawala wa Kristo wa miaka elfu.

Huo mji ulikuwa tajiri, ulijaa mali nyingi. Ulijaautamaduni. Sayansi ilijaa. Jinsi ilivyo kama siku hizi.Makanisa ni matajiri. Ibada ni malidadi na zenye utaratibu,lakini ni baridi na zimekufa. Utamaduni na elimu vimechukuamahali pa Neno lililotolewa na Roho, na sayansi imepachukuamahali pa imani, hivi kwamba mwanadamu amechukuliwamateka na mambo ya dunia.

Katika kila sifa Laodikia ya kale inaonekana imezaliwakatika Wakati wa Laodikia ya karne ya ishirini. Katikarehema za Mungu, naomba wale walio na sikio la kusikiawatoke kwake wasije wakashiriki dhambi zake na hukumuinayofuata.

WAKATI WA LAODIKIA

Wakati wa Laodikia ulianzia kwenye mwanzo wa Karne yaIshirini, labda 1906. Utadumu muda gani? Mimi kamamtumishi wa Mungu ambaye amepata maono mengi sana,ambayo hakuna HATA MOJA limepata kukosa kutukia, hebunibashiri (sikusema ninatabiri, lakini nabashiri) ya kwambawakati huu utaishia kwenye mwaka wa 1977 hivi. Kamamtaruhusu maelezo mafupi hapa ya kibinafsi, ninawekeamsingi ubashiri huu juu ya maono saba muhimu ya mfululizoambayo yalinijia Jumapili moja asubuhi mwezi wa Juni, 1933.Bwana Yesu alinena nami na kusema ya kwamba kuja kwaBwana kulikuwa kunakaribia, lakini ni kwamba kabla Yeyehajaja, matukio saba muhimu yangetukia. Niliyaandika yoteasubuhi hiyo na kuutangaza ufunuo wa Bwana. Ono la kwanzalilikuwa kwamba Musolini angevamia Ethiopia na hilo taifa“litaanguka miguuni pake.” Hilo ono hakika lilisababishamakelele miongoni mwa watu, na baadhi yao walikasirikasana niliposema jambo hilo nao hawangeliamini. Lakinililitukia namna hiyo hiyo. Yeye aliingia tu humo akiwa nasilaha zake za kisasa na kuitwaa. Wananchi hawakuwezakufanya kitu cho chote. Lakini lile ono pia lilisema ya kwambaMusolini angefikia mwisho mbaya sana hapo watu wakemwenyewe watakapomgeuka wamshambulie. Hilo lilikujakutimia sawa kabisa na ilivyosemwa.

Ono lililofuatia lilitabiri ya kwamba Mwaaustria jina lakeAdolf Hitler atainuka kama mtawala wa mabavu hukoUjerumani, na ya kwamba angeuingiza ulimwengu katika vita.Lilionyesha boma la Siegfried na jinsi ambavyo majeshi yetuyangekuwa na wakati mgumu sana kuliteka. Kishalikaonyesha ya kwamba Hitler atafikia mwisho usiojulikana.

Page 328: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

318 NYAKATI SABA ZA KANISA

Ono la tatu lilihusu mazingira ya siasa za ulimwengu kwakuwa lilinionyesha ya kwamba kutakuweko na ITIKADI tatukuu, Ufashisti, Unazi, Ukomunisti, lakini ni kwamba zile mbiliza kwanza zingemezwa katika ile ya tatu. Hiyo sauti ikaonya,ANGALIA URUSI, ANGALIA URUSI. Mtazme sana Mfalmewa Kaskazini.”

Ono la nne lilionyesha maendeleo makubwa katika sayansiambayo yangekuja baada ya vita vya pili vya ulimwengu.Yalifikia kilele katika ono la motokaa ya plastiki mfano wafutuza kwa juu nayo ilikuwa ikikimbia kwenye barabara kuunzuri ikiongozwa na rimoti hivi kwamba watu walionekanawameketi katika motokaa hii bila usukani nao walikuwawanacheza namna fulani ya mchezo wa kujifurahisha.

Ono la tano lilihusu shida ya uadilifu wa wakati wetu,ikihusu zaidi sana wanawake. Mungu alinionyesha ya kwambawanawake walianza kutoka kwenye nafasi yaowaliporuhusiwa kupiga kura. Ndipo wakakata nywele zao,jambo ambalo lilionyesha ya kwamba hawakuwa tena chini yamamlaka ya mwanamume lakini walisisitiza wapewe hakisawa, ama mara nyingi sana, zaidi ya haki sawa. Akaingiliakuvaa nguo za kiume na kuendea hali ya kwenda uchi, mpakapicha ya mwisho niliyoona ilikuwa ni ya mwanamkealiyekuwa uchi akiwa tu na kijiaproni kidogo kama cha jani lamtini. Kwa ono hili niliona upotovu mbaya sana na hali mbayaya uadilifu wa ulimwengu mzima.

Ndipo katika ono la sita aliinuka huko Marekanimwanamke mrembo sana, lakini katili. Yeye alishikilia watukwa nguvu zake zote. Niliamini ya kwamba hii ilikuwa nikuinuka kwa Kanisa Katoliki la Kirumi, ingawa nilijua huendaikawa ni ono la mwanamke fulani akiinuka katika mamlakakuu huko Marekani kwa kura ya kupendwa na wanawake.

Ono la mwisho na la saba lilikuwa ambapo nilisikiamlipuko wa kutisha sana. Nilipogeuka kuangalia sikuona kituila mabaki ya nyumba, mashimo kama ya volkeno, na moshikila mahali juu ya nchi ya Marekani.

Kwa msingi wa maono haya saba, pamoja na mabadilikoya haraka ambayo yameenea ulimwenguni katika miakahamsini iliyopita, NINABASHIRI (mimi si tabiri) ya kwambamaono haya yote yatakuwa yametimia ifikapo mwaka wa 1977.Na ingawa wengi wanaweza kuona ya kwamba tamshi hili sila kuaminiwa kwa sababu ya ukweli kwamba Yesu alisema yakwamba ‘hakuna mtu aijuaye siku hiyo wala saa,’ ningalininashikilia ubashiri huu baada ya miaka thelathini kwasababu, Yesu HAKUSEMA hakuna mtu angeweza kujuamwaka, mwezi ama juma ambapo kuja Kwakekutakamilishwa. Kwa hiyo ninarudia, ninaamini kwa kweli nakushikilia kama mwanafunzi binafsi wa Neno, pamoja na

Page 329: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 319

uongozi wa Kiungu ya kwamba mwaka wa 1977 unapaswakumaliza taratibu za ulimwengu na kufungulia mlango uleutawala wa miaka elfu.

Sasa hebu niseme jambo hili. Kuna mtu ye yote anayewezakuthibitisha lo lote la maono hayo kuwa yamekosea? Je! yotehayakutimizwa? Naam, kila moja limetimizwa, ama liko katikahatua za kutimizwa sasa hivi. Musolini aliivamia Ethiopiaakashinda, kisha akaanguka na kuipoteza yote. Hitler alianzavita ambavyo hakuweza kuvimaliza na akafa namnaisivyojulikana. Ukomunisti ulimeza ITIKADI hizo nyinginembili. Ile motokaa ya plastiki mfano wa futuza imeundwatayari na inangojea kuanzishwa kwa utaratibu mzuri zaidi wabarabara. Wanawake karibu wote wako uchi, na hata hivi sasawanavaa vazi la kuogelea ambalo halifuniki kifua. Na hivimajuzi tu niliona kwenye gazeti nguo ile ile hasa niliyoonakatika ono langu (kama unaweza kuiita nguo). Ilikuwa nguo yanamna ya plastiki inayoona ikiwa na visehemu vitatu vyeusiambavyo vilifunika sehemu ndogo ya matiti, halafukulikuwako na mahali peusi kama aproni ndogo sehemu yachini. Kanisa Katoliki linaendelea kupamba moto. Tumekuwana rais mmoja Mkatoliki na bila shaka tutakuwa na mwingine.Ni nini kilichosalia? Hakuna ila ni Ebr. 12:26. “Ambaye sautiYake iliitetemesha nchi wakati ule; lakini sasa ameahidiakisema, Mara moja tena nitatetemesha si nchi tu, bali nambingu pia.” Mara nyingine tena Mungu ataitetemesha nchi napamoja nayo atatetemesha na kulegeza kila kitu kinachowezakutetemeshwa. Ndipo ataifanya upya. Mwezi wa Marchi hivikaribuni tu, mwaka wa 1964, lile tetemeko la ardhi la IjumaaKuu la Alaska liliutikisa ulimwengu mzima ingawahalikuuondoa mahali pake. Lakini Mungu alikuwa akionyakwa tetemeko la ardhi la dunia nzima yale atakayofanya hivikaribuni kwa kiwango kikubwa zaidi. Yeye ataulipua nakuutetemesha ulimwengu huu uliolaaniwa kwa dhambi, nduguyangu, dada yangu, na kuna mahali pamoja tu panapowezakustahimili msukosuko huo, na hapo ni katika zizi la BwanaYesu. Na ningewasihi wakati rehema ya Mungu ingaliinapatikana kwa ajili yako, kwamba uyatoe maisha yako yote,kabisa kikamilifu kwa Yesu Kristo, Ambaye kama Mchungajiwa kweli atakuokoa na kukulinda na kukuweka katikautukufu bila mawaa kwa furaha kuu.

MJUMBE

Natilia shaka sana kama wakati wo wote ule kweli ulimjuamjumbe ambaye Mungu alimtuma kwa wakati huo, isipokuwakatika wakati wa kwanza ambapo Paulo alikuwa ndiyemjumbe. Na hata katika wakati huo wengi hawakumtambuakwa kile alichokuwa.

Page 330: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

320 NYAKATI SABA ZA KANISA

Sasa wakati tunaoishi unaenda kuwa mfupi sana. Matukioyatapita haraka sana. Kwa hiyo mjumbe wa Wakati huu waLaodikia hana budi kuwa yupo hapa hivi sasa, ingawa labdabado hatumjui. Lakini hapana budi patakuwa na wakatiambapo atapata kujulikana. Sasa naweza kuwathibitishiajambo hilo kwa sababu tuna Andiko linaloeleza huduma yake.

Kwanza kabisa, mjumbe huyo atakuwa ni nabii. Yeyeatakuwa na utume wa nabii. Atakuwa na huduma ya kinabii.Itakuwa na msingi imara kabisa juu ya Neno kwa sababuwakati atakapotoa unabii ama kuona ono, daima litakuwa“linaloelekea kwenye Neno” na DAIMA litatimia. Yeyeatathibitishwa kama nabii kwa sababu ya usahihi wake.Thibitisho la kwamba Yeye ni nabii linapatikana katika Ufu.10:7 “Isipokuwa katika siku za sauti ya mjumbe wa sabaatakapokuwa tayari kupiga baragumu; hapo ndipo siri yaMungu itakapotimizwa, kama alivyowahubiri watumishi Wakehao manabii.” Sasa mtu huyu, ambaye katika aya hii anaitwa‘malaika’ katika toleo la King James SI kiumbe cha mbinguni.Yule malaika wa sita anayepiga baragumu, ambaye ni kiumbecha mbinguni, yuko katika Ufu. 9:13, na wa saba wa mpangohuo huo yuko katika Ufu. 11:15. Huyu hapa katika Ufu. 10:7 nimjumbe wa wakati wa saba na ni mwanadamu, naye anapaswakuleta ujumbe kutoka kwa Mungu, na ujumbe wake nahuduma yake itamaliza siri ya Mungu kama alivyowahubiriwatumishi Wake, manabii. Mungu atamchukua mjumbe huyuwa mwisho kama nabii KWA SABABU YEYE NI NABII.Hivyo ndivyo Paulo alivyokuwa katika wakati wa kwanza, nawakati wa mwisho unaye mmoja, pia. Amosi 3:6-7, “Je!tarumbeta itapigwa mjini, watu wasiogope? Mji utapatikanana hali mbaya, asiyoileta Bwana? Hakika Bwana Munguhatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi Wakemanabii siri Yake.”

Ni katika wakati wa mwisho ambapo ndipo zile ngurumosaba za Yesu zilipotoa sauti zao. Ufu. 10:3-4, “Naye akalia kwasauti kuu, kama simba angurumavyo. Na alipolia, zilengurumo saba zikatoa sauti zao. Hata ngurumo saba zilipotoasauti zao, nalikuwa tayari kuandika. Nami nalisikia sautikutoka mbinguni ikisema, Yatie muhuri maneno hayoyaliyonenwa na hizo ngurumo saba, usiyaandike.” Kilekilichokuwa kwenye ngurumo hizo hakuna ajuaye. Lakinitunahitaji kujua. Na itatakiwa nabii kupata ufunuo kwamaana Mungu hana njia nyingine ya kutoa mafunuo Yake yaKimaandiko ila kwa njia ya nabii. Neno daima lilimjia nabiina daima litamjia. Kwamba hii ni sheria ya Mungu ni dhahirikwa hata kuchunguza kwa purukushani Maandiko. Munguasiyebadilika akiwa na njia zisizobadilika alimtuma nabiiWake katika kila wakati ambapo watu walikuwa wameondokakutoka kwenye utaratibu wa Mungu. Wanaatheolojia pamoja

Page 331: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 321

na watu wakiwa wameondoka kwenye Neno, Mungu daimaalimtuma mtumishi Wake kwa watu hawa (lakini mbali nawanatheolojia) ili asahihishe mafundisho ya uongo nakuwaongoza watu wamrudie Mungu.

Kwa hiyo tunaona mjumbe wa wakati wa saba akija, nayeni nabii.

Si kwamba tu tunamwona mjumbe huyu akija hapa katikaUfu. 10:7, lakini tunaona ya kwamba Neno linazungumza juuya Eliya akija kabla ya Yesu kurudi. Katika Mathayo 17:10,“Wanafunzi Wake wakamwuliza, wakisema, Basi kwa niniwaandishi hunena ya kwamba imempasa Eliya kuja kwanza?”Yesu akajibu, “Kweli Eliya yuaja kwanza, naye atatengenezayote.” Kabla ya kule kuja kwa Bwana wetu, Eliya hana budikurudi kwa ajili ya kazi ya kurudisha yaliyopotezwa katikakanisa. Hili ndilo Mal. 4:5 inalosema, “Angalieni,nitawapelekea Eliya nabii, kabla haijaja siku ile ya Bwana,iliyo kuu na kuogofya. Naye ataigeuza mioyo ya babaiwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee babazao, ili nisije nikaipiga dunia kwa laana.” Hakuna tashwishikatakata ya kwamba Eliya hana budi kurudi kabla ya kujakwa Yesu. Yeye ana kazi maalum ya kutimiza. Kazi hiyo nisehemu ile ya Mal. 4-6 inayosema “ataigeuza mioyo ya watotoiwaelekee baba zao.” Sababu ya kwamba sisi tunajua hii ndiyokazi yake maalum ya kufanya katika wakati huo ni kwasababu tayari ametimiza sehemu ile inayosema “ataigeuzamioyo ya baba iwaelekee watoto wao,” wakati huduma yaEliya ilipokuwa hapa katika Yohana Mbatizaji. Luka 1:17,“Naye atatangulia mbele Zake katika Roho ya Eliya, na nguvuzake, ili kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto, nakuwatilia waasi akili za wenye haki, na kumwekea Bwanatayari watu waliotengenezwa.” Katika huduma ya Yohana“mioyo ya baba iligeuzwa ikawaelekea watoto wao.” Tunajuajambo hilo kwa sababu Yesu alisema hivyo. Lakini haisemi yakwamba mioyo ya watoto iligeuzwa ikawaelekea baba zao.Hilo litakuja kutukia usoni. Mioyo ya watoto wa siku zamwisho itageuzwa iwaelekee mababa wa Kipentekoste.Yohana aliwatayarisha mababa kwa ajili ya Yesukuwakaribisha watoto waingie zizini. Sasa nabii huyu ambayeatashukiwa na Roho ya Eliya atawatayarisha watoto wapatekumkaribisha Yesu.

Yesu alimwita Yohana Mbatizaji, Eliya. Mat. 17:12, “Ilanawaambia, ya kwamba Eliya amekwisha kuja, wasimtambue,lakini wakamtenda yote waliyotaka.” Sababu ya kumwitaYohana Eliya, ilikuwa ni kwa sababu Roho yule yulealiyekuwa kwa Eliya alikuwa amekuja juu ya Yohana, kamavile Roho huyo alivyokuwa amemrudia Elisha baada yautawala wa Mfalme Ahabu. Sasa mara nyingine tena Rohohuyo atarudi juu ya mtu mwingine kabla tu ya Yesu kuja. Yeye

Page 332: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

322 NYAKATI SABA ZA KANISA

atakuwa nabii. Atathibitishwa kuwa hivyo na Mungu. Kwakuwa Yesu, Mwenyewe, katika mwili hatakuwa hapakumthibitisha, (kama alivyomfanyia Yohana) jambo hilolitafanywa na Roho Mtakatifu hivi kwamba huduma ya nabiihuyu itafuatwa na madhihirisho makuu na ya ajabu. Kamanabii, kila ufunuo utadhihirishwa, kwa maana kila ufunuoutatimia. Matendo ya ajabu ya nguvu yatatendwa kwa amrizake katika imani. Ndipo utaletwa ujumbe ambao Munguamempa yeye katika Neno kuwarudisha watu kwenye kweli nanguvu za kweli za Mungu. Wengine watasikiliza, lakini waliowengi watafanya kama ilivyo kawaida na kumkataa yeye.

Kwa kuwa huyu nabii mjumbe wa Ufu. 10:7 atakuwa niyule yule wa Mal. 4:5-6 yeye atakuwa bila shaka kama Eliya naYohana. Wote wawili walikuwa watu waliotengwa kutokakwenye shule za dini zilizokubalika za siku zao. Wote wawiliwalikuwa watu wa nyikani. Wote wawili walitenda kazi tuwakati walipokuwa na “Bwana asema hivi,” moja kwa mojakutoka kwa Mungu kwa ufunuo. Wote wawili walikemeataratibu za dini na viongozi wa siku zao. Lakini si hivyo tu,wao waliwakemea wote waliokuwa wamepotoka amawanawapotosha wengine. Na tazama, wote wawili walitabirisana dhidi ya wanawake wazinzi na njia zao. Eliya alimkemeaYezebeli, na Yohana akamkemea Herodia, mke wa Filipo.

Ingawa hatapendwa sana na watu, yeye atathibitishwa naMungu. Kama vile Yesu alivyomthibitisha Yohana, na RohoMtakatifu akamthibitisha Yesu, tunaweza kabisa kutarajiamtu huyu kwanza atathibitishwa na Roho akitenda kazi katikamaisha yake katika matendo ya nguvu ambayo hayawezikukanushwa na yasiyoonekana mahali pengine po pote; nayeYesu Mwenyewe, katika kurudi, atamthibitisha, kama vilealivyomthibitisha Yohana. Yohana alishuhudia ya kwambaYesu anakuja,_vivyo hivyo na mtu huyu pia, kama Yohana,atashuhudia ya kwamba Yesu anakuja. Na kule kurudikwenyewe kwa Kristo kutathibitisha ya kwamba mtu huyukweli alikuwa mtangulizi wa kuja Kwake kwa mara yapili. Huu ndio uthibitisho wa mwisho ya kwamba huyu kwelindiye nabii wa Mal. 4, kwa maana mwisho wa wakati waMataita utakuwa ni Yesu, Mwenyewe, akitokea. Ndipo waleambao wamemkataa watakuwa wamechelewa wale ambaowamemkataa.

Kusudi tuelezee zaidi maelezo yetu ya nabii huyu wa sikuza mwisho, hebu na tuone waziwazi kwamba yule nabii waMat. 11:12, alikuwa ni Yohana Mbatizaji, ambaye ndiyealiyetabiriwa katika Mal. 3:1, “Angalieni, namtuma mjumbeWangu, Naye ataitengeneza njia mbele Yangu; Naye Bwanamnayemtafuta atalijilia hekalu Lake ghafula, naam, yuleMjumbe wa Agano mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asemaBwana wa Majeshi.” Mat. 11:1-12, “Ikawa Yesu alipokwisha

Page 333: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 323

kuwaagiza wanafunzi Wake kumi na wawili, alitoka hukokwenda kufundisha na kuhubiri katika miji yao. Naye Yohanaaliposikia huko gerezani matendo Yake Kristo, alitumawanafunzi wake wawili, kumwuliza, Wewe Ndiwe Yule ajaye,au tumtazamie mwingine? Yesu akajibu akawaambia, Nendenimkamweleze Yohana tena mnayoyasikia na kuyaona; vipofuwanapata kuona, viwete wanakwenda, wenye ukomawanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, namaskini wanahubiriwa Habari Njema. Naye heri awaye yoteasiyechukizwa Nami. Na hao walipokwenda zao, Yesu alianzakuwaambia makutano habari za Yohana, Mlitoka kwendanyikani kutazama nini? Unyasi ukitikiswa na upepo? Lakinimlitoka kwenda kuona nini? Mtu aliyevikwa mavazi mororo?Tazama, watu wavaao mavazi mororo wamo katika nyumba zawafalme. Lakini mlitoka kwenda kuona nini? Ni kuona nabii?naam, nawaambia, na aliye mkuu zaidi ya nabii. Kwa maanahuyu ndiye aliyeandikiwa haya, Tazama, Mimi namtumamjumbe Wangu mbele ya uso wako, atakayeitengeneza njiaYako mbele Yako. Amin, nawaambieni, hajaondokea mtukatika wazao wa wanawake aliye mkuu kuliko YohanaMbatizaji; walakini aliye mdogo katika ufalme wa mbinguni nimkuu kuliko yeye.” Hili tayari limetimia. Hili limetimia.Limekwisha. Lakini angalia sasa katika Mal. 4:1-6, “Kwamaana, angalieni, siku ile inakuja, inawaka kama tanuru; nawatu wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu, watakuwamakapi; na siku ile inayokuja itawateketeza, asema Bwana wamajeshi; hata haitawaachia shina wala tawi. Lakini kwenuninyi mnaolicha Jina Langu, Jua la Haki litawazukia, lenyekuponya katika mbawa Zake; nanyi mtatoka nje, na kucheza-cheza kama ndama wa mazizini. Nanyi mtawakanyaga waovu;maana watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu; katikasiku ile niifanyayo, asema Bwana wa majeshi. Ikumbukenitorati ya Musa, mtumishi Wangu, niliyomwamuru hukoHorebu kwa ajili ya Israeli wote, naam, amri na hukumu.Angalieni, nitawapelekea Eliya nabii, kabla haijaja siku ile yaBwana, iliyo kuu na kuogofya. Naye ataigeuza mioyo ya babaiwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee babazao, ili nisije nikaipiga dunia kwa laana.” Unaona, mara baadaya kuja kwa Eliya HUYU, dunia itatakaswa kwa moto nawatendao uovu watateketezwa wawe majivu. Bila shaka, hiliHALIKUTENDEKA wakati wa Yohana (yule Eliya wa sikuhizo.) Roho wa Mungu aliyetabiri kuja kwa yule mjumbekatika Mal. 3:1 (Yohana) alikuwa tu akirudia lile tamshi Lakela hapo awali la kinabii la Isa. 40:3 lililotamkwa karnezisizopungua tatu hapo kabla. “Sikiliza, ni sauti ya mtu aliayenyikani, Itengenezeni njia ya Bwana; nyosheni jangwani njiakuu kwa Mungu wetu.” Sasa Yohana, kwa Roho Mtakatifu, nisauti iliyonenwa na Isaya na Malaki katika Mat. 3:3, “Kwasababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya, akisema, Sauti

Page 334: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

324 NYAKATI SABA ZA KANISA

ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, yanyoshenimapito Yake.” Kwa hiyo tunaweza kuona vizuri kutokakwenye Maandiko haya ya kwamba yule nabii katika Mal. 3,ambaye alikuwa ni Yohana, HAKUWA yule nabii wa Mal. 4,ingawa kweli, Yohana na nabii huyu wa siku za mwisho piawana Roho yule yule aliyekuwa juu ya Eliya.

Sasa mjumbe huyu wa Mal. 4 na Ufu. 10:7 atafanya mambomawili. Moja: Kulingana na Mal. 4 ataigeuza mioyo ya watotoiwaelekee baba zao. Pili: Atafunua siri za ngurumo saba katikaUfu. 10 ambazo ni mafunuo yale yaliyo ndani ya zile muhurisaba. Hizi ‘kweli za kisiri’ zilizofunuliwa Kiungu ndizozitakazoigeuza kweli mioyo ya watoto iwaelekee baba zao waKipentekoste. Ndio hivyo kabisa. Hivyo ndivyo ilivyo hasa.

Lakini wazia jambo hili pia. Huyu nabii-mjumbe atakuwakatika hali yake na tabia zake kama walivyokuwa Eliya naYohana. Watu wa siku za huyu nabii-mjumbe watakuwa kamawalivyokuwa katika siku za Ahabu, na katika za Yohana. Nakwa kuwa ni “WATOTO PEKE YAO” ambao mioyo yaoitageuzwa, watoto tu ndio watakaosikiliza. Katika siku zaAhabu kulipatikana mzao wa kweli wa Waisraeli 7,000 tu.Katika siku za Yohana kulikuwa pia na wachache sana. Umatimkubwa katika nyakati hizo zote mbili ulikuwa katikauasherati wa ibada za sanamu.

Nataka kulinganisha mara moja tena kati ya nabii-mjumbewa Laodikia na Yohana, nabii-mjumbe ambaye alikutanguliakuja kwa kwanza kwa Kristo. Watu katika siku za Yohanawalikosea wakimdhania kuwa ndiye Masihi. Yn. 1:19-20, “Nahuu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotumakwake makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu iliwamwulize, Wewe u nani? Naye alikiri, wala hakukana; alikirikwamba, Mimi siye Kristo.” Sasa huyu nabii-mjumbe wa sikuza mwisho atakuwa na nguvu sana mbele za Bwana hivikwamba kutakuweko na wale watakaomdhania kwamba yeyeni Bwana Yesu. (Kutakuwako na roho fulani katika siku zamwisho ambayo itawashawishi baadhi ya watu na kuwafanyawaamini jambo hili. Mat. 24:23-26, “Kwa maana watatokeaMakristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa isharakubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hatawalio wateule. Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele. Basiwakiwaambia, Tazama, Yuko jangwani, msitoke; tazama,Yumo nyumbani, msisadiki.”) Lakini msiamini jambo hilo.Yeye si Yesu Kristo. Yeye si Mwana wa Mungu. YEYE NIMMOJA WA NDUGU, NABII, MJUMBE, MTUMISHI WAMUNGU. Hahitaji kupewa heshima kubwa zaidi kuliko ileYohana aliyopokea wakati alipokuwa sauti iliyolia, “MimiSiye, LAKINI ANAKUJA BAADA YANGU.”

Kabla hatujafunga sehemu hii juu ya mjumbe wa Wakatiwa Laodikia, hatuna budi kuyachunguza mawazo haya mawili

Page 335: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 325

kwa makini sana. Kwanza, wakati huu utakuwa na Nabii-Mjumbe MMOJA. Ufu. 10:7, inasema, “Atakapokuwa yeye(umoja) tayari kupiga baragumu.” Hapajatokea wakatiambapo Mungu aliwapa watu Wake manabii wawili wakuukwa wakati mmoja. Yeye alimtoa Henoko (peke yake); alimtoaNuhu (peke yake); alimtoa Musa (yeye pekee ndiye aliyekuwana Neno ingawa wengine walitabiri); Yonana Mbatizaji alikujaPEKE YAKE. Sasa katika siku hii ya mwisho kutakuwako naNABII (si nabii mke_ingawa katika wakati huu kunawanawake wengi kuliko wanaume wanaodai kutoa ufunuo waMungu), na Neno lisiloweza kukosea linasema ya kwamba yeye(nabii huyo) atawafunulia watu wa wakati wa mwisho siri, nakuigeuza mioyo ya watoto iwaelekee baba zao. Kuna walewanaosema ya kwamba watu wa Mungu watakusanyika chiniya ufunuo wa pamoja. Nalisai tamshi hilo. Ni wazo tu,lisilohakikishwa mbele ya Ufu. 10:7. Sasa sikatai ya kwambawatu watatabiri katika wakati huu wa mwisho na huduma zaozinaweza kuwa kweli na zitakuwa hivyo. Sikatai ya kwambakutakuwako na manabii hata kama vile katika siku za Pauloambapo kulikuwa na “nabii mmoja jina lake Agabo aliyetabirijuu ya njaa kubwa.” Ninakubali hivyo ndivyo ilivyo. LAKINININAKATAA JUU YA USHUHUDA USIOKOSEA WA NENOYA KWAMBA KUNA NABII-MJUMBE ZAIDI YA MMOJAAMBAYE ATAFUNUA SIRI ZILIZO KATIKA NENO, NAAMBAYE ANA HUDUMA YA KUIGEUZA MIOYO YAWATOTO IWAELEKEE BABA ZAO. “Bwana asema hivi” kwaNeno Lake lisilokosea inasimama, na litasimama nakuthibitishwa. Kuna nabii-mjumbe mmoja kwa wakati huu.Juu ya msingi wa tabia za wanadamu peke yake, mtu ye yoteanajua ya kwamba palipo na watu wengi kuna hata na maoniyasiyopatana juu ya mambo madogo-madogo ya fundishomuhimu ambalo wote wanashikilia pamoja. Ni nani basiatakayekuwa na mamlaka ya kutokosea ambayo itarudishwakatika wakati huu wa mwisho, kwa kuwa wakati huu wamwisho utarudi kwenye kumdhihirisha Bibi-arusi wa NenoHalisi? Hiyo inamaanisha tutakuwa na Neno tena kamalilivyotolewa kikamilifu, na kueleweka kikamilifu katika sikuza Paulo. Nitakwambia ni nani atakayekuwa nalo. Itakuwa ninabii aliyethibitishwa kinaganaga, ama hata aliyethibitishwakinaganaga zaidi kuliko nabii ye yote katika nyakati zotetangu Henoko hata siku hii, kwa sababu mtu huyu itambidikuwa na huduma ya jiwe la kifuniko, na Munguatamtambulisha. Haitambidi kujitetea, Mungu atamtetea kwasauti ya ishara. Amina.

Wazo la pili linalopaswa kutiwa mioyoni mwetu ni yakwamba zile nyakati saba za kanisa zilianzia na roho wampinga-Kristo pamoja na Roho Mtakatifu Ambaye ni wakubarikiwa milele. I Yn. 4:1, “Wapenzi, msiiamini kila roho, balizijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa

Page 336: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

326 NYAKATI SABA ZA KANISA

sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.”Umeliona jambo hilo? Roho wa mpinga-Kristo anatambulishwana manabii wa uongo. Nyakati hizi zilikuja pamoja na manabiiwa uongo na zitaisha na manabii wa uongo. Sasa bila shakakutakuwako na NABII HALISI WA UONGO katika maana yakujitokeza kabisa kwa mtu huyo aliyetajwa katika Ufunuo.Lakini kwa sasa kabla ya kufunuliwa kwake kutatokea manabiiwengi wa uongo. Mat. 24:23-26, “Wakati huo mtu akiwaambia,Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule, msisadiki. Kwa maanawatatokea Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, naowatatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kamayamkini, hata walio wateule. Tazama, nimekwisha kuwaonyambele. Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; tazama,Yumo nyumbani, msisadiki.” Manabii hawa wa uongowametiwa alama kwa ajili yetu katika Maandiko menginembalimbali kama haya yafuatayo. 2 Petro 2:1-2, “Lakinikuliondokea manabii wa uongo pia katika wale watu, kama vilekwenu kutakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingizakwa werevu uzushi wa kupoteza, wakimkana hata Bwanaaliyewanunua, wakijiletea uharibifu usiokawia. Na wengiwatafuata ufisadi wao; na kwa hao njia ya kweli itatukanwa.” 2Tim. 4:3-4, “Maana utakuja wakati watakapoyakataamafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewewatajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wanamasikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, nakuzigeukia hadithi za uongo.” I Tim. 4:1, “Basi Roho anenawaziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitengana imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho yamashetani.” Sasa katika kila hali utaona ya kwamba nabii wauongo ni yule aliye nje ya Neno. Kama tu vile tulivyowaonyeshaya kwamba ‘mpinga-Kristo’ maana yake ni ‘mpinga-Neno’hivyo basi hawa manabii wa uongo wanakuja wakilipotoshaNeno, wakilipa maana fulani inayokubaliana na nia zao zakishetani. Je! umewahi kuona jinsi watu wanavyowapotoshawengine wanavyowafunga watu na kuwakaza kwao kwa hofu?Wao wanasema ya kwamba kama watu hawafanyi wanalosemawao, ama wakiondoka, basi maangamizi yatafuata. Wao nimanabii wa uongo, kwa kuwa nabii wa kweli daimaatamwongoza mtu kwenye Neno na kuwafunga watu kwa YesuKristo naye hatawaambia watu wamwogope yeye ama yaleanayosema, lakini waogope yale Neno lisemayo. Angalia jinsiwatu hawa kama vile Yuda wanavyokimbilia fedha.Wanakufanya uuze mali yote uliyo nayo na uitoe kwao nakwenye miradi yao. Wanatumia wakati mwingi zaidi katikamatoleo kuliko katika Neno. Wale wanaojaribu kutumiakarama watatumia karama ambayo ina makosa kidogo ndaniyake kisha waombe watu fedha, na wawekee kando Neno nakuita jambo hilo ni la Mungu. Nao watu watawaendea, nakuwavumilia, na kuwaunga mkono, na kuwaamini, bila kujua

Page 337: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 327

ni njia ya mauti. Naam, nchi imejaa waigaji wa kimwili. Katikasiku hiyo ya mwisho wao watajaribu kumwiga huyo nabii-mjumbe. Wale wana saba wa Skewa walijaribu kumwiga Paulo.Yule mchawi Simoni alijaribu kumwiga Petro. Uigaji waoutakuwa ni wa kimwili. Hawataweza kufanya kile nabii wakweli anachofanya. Wakati atakaposema ufufuo umekwishawatazunguka-zunguka wakidai ufunuo mkuu ya kwamba kilewatu walicho nacho ni kweli kabisa na ati Mungu atatendamambo makubwa zaidi na ya ajabu zaidi miongoni mwa watu.Nao watu watadanganywa na hayo. Manabii wawa hawa wauongo watadai ya kwamba mjumbe wa siku za mwisho simwanatheolojia, kwa hiyo hapaswi kusikilizwa. Hawatawezakufanya kile huyo mjumbe anachoweza kufanya;hawatathibitishwa na Mungu kama nabii huyo wa siku zamwisho atakavyothibitishwa, lakini kwa maneno yao makubwamakubwa na kwa uzito wa umaarufu wao ulioenea ulimwengumzima wao watawaonya watu wasimsikilize mtu huyo(mjumbe) nao watasema yeye anafundisha makosa. Waowanafanya kabisa kama baba zao, wale Mafarisayo, waliokuwawa ibilisi, kwa kuwa walidai ya kwamba pia Yohana na Yesuwote wawili walifundisha makosa.

Sasa kwa nini hawa manabii wa uongo wanampinga nabiiwa kweli na kudharau mafundisho yake? Kwa sababuwanafanya vile vile walivyofanya baba zao katika siku zawakati wa Ahabu walimpinga Mikaya. Kulikuwa na jumla yawatu mia nne na wote walikubaliana; na wote wakisema jambolile lile, waliwadanganya watu. Lakini nabii MMOJA_mmojatu_alikuwa sahihi na hao wengine wote walikuwa makosanikwa sababu Mungu alikuwa ametoa ufunuo KWA MMOJA TU.

Jihadharini na manabii wa uongo, kwa maana wao nimbwa mwitu wakali.

Kama ungali una mashaka yo yote juu ya jambo hilimwombe Mungu kwa Roho Wake akujaze na kukuongoza,KWA MAANA WALIO WATEULE HAWAWEZIKUPUMBAZWA. Ulilipata jambo hilo? Hakuna mtuanayeweza kukupumbaza. Paulo hangeweza kumpumbazamteule ye yote, kama angalikuwa amekosea. Na katika Wakatiule wa Kwanza wa Efeso wateule wakati huo hawangewezakupumbazwa kwa maana waliwajaribu mitume wa uongo namanabii wa uongo na kuwaona kuwa ni waongo nawakawaondosha. Haleluya. Kondoo WAKE wanaisikia sautiYake na kumfuata YEYE. Amina. Ninaamini jambo hilo.

SALAMU

Ufu. 3:14, “Haya ndiyo anenayo Yeye aliye Amina, Shahidialiye mwaminifu na wa Kweli, Mwanzo wa Kuumba kwaMungu.”

Page 338: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

328 NYAKATI SABA ZA KANISA

Jamani, je! hayo siyo maelezo mazuri sana kuliko yote yasifa za Bwana na Mwokozi wetu anayependeza sana, YesuKristo? Maneno haya karibu yananifanya nipige makelele.Yanaleta roho ya mambo halisi sana moyoni mwangu.Kuyasoma tu bila hata ya kungojea ufunuo wa kindani waRoho juu yake kunanifurahisha sana.

Yesu anatupa sifa hii Yake kuhusiana na wakati wamwisho. Siku za neema zinakwisha. Yeye ameangalia tokeakarne ya kwanza moja kwa moja mpaka ya ishirini, nakutuambia mambo yote yanayohusu nyakati hizi. Kabla yaYeye kutufunulia tabia za wakati wa mwisho, anatupamtazamo mmoja wa mwisho wa Uungu Wake mkuu wa neema.Huu ni ufunuo wa jiwe la kifuniko wa nafsi Yake.

Haya ndiyo anenayo Yeye aliye “AMINA”. Yesu ni Aminawa Mungu. Yesu ni “Na Iwe Hivyo” ya Mungu. Aminainawakilisha mwisho. Inawakilisha kibali. Inawakilisha ahadiya ushindi. Inawakilisha ahadi isiyobadilika. Inawakilishamuhuri ya Mungu.

Ninataka mwangalie jambo hili kwa makini sasa uonejambo fulani tamu sana na la kupendeza. Nilisema huu niufunuo wa wakati wa mwisho wa nafsi Yake Mwenyewe.Wakati siku ya neema itakapokwisha, ndipo ule utawala wamiaka elfu unapokuja baada ya muda mfupi, sivyo? Vema,someni pamoja nami Isa. 65:16-19. “Hata itakuwa yeyeatakayejibariki duniani, atajibariki kwa Mungu wa kweli; nayeatakayeapa duniani, ataapa kwa Mungu wa kweli; kwa kuwataabu za kwanza zimesahauliwa, na kwa kuwa zimefichwamachoni Pangu. Maana, tazama, Mimi naumba mbingu mpyana nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, walahayataingia moyoni. Lakini furahini, mkashangilie daima, kwaajili ya hivi niviumbavyo; maana, tazama, naumba Yerusalemuuwe shangwe, na watu wake wawe furaha. Nami nitaufurahiaYerusalemu, nitawonea shangwe watu wangu; sauti ya kuliahaitasikiwa ndani yake tena, wala sauti ya kuomboleza.” Hililinahusu Yerusalemu Mpya. Huu ni ule utawala wa miaka elfu.Lakini tunapoingia katika ule utawala wa miaka elfu, sikiaanalosema juu ya kuwa namna fulani ya Mungu, aya ya 16,“Hata itakuwa yeye atakayejibariki duniani atajibariki kwaMungu wa kweli.” Naam, hiyo ni kweli, lakini tafsiri halisi si“Mungu wa kweli.” Ni “Mungu wa AMINA.” Kwa hiyotunasoma, “Atajibariki kwa Mungu wa AMINA; nayeatakayeapa duniani, ataapa kwa Mungu wa AMINA. Kwamaana taabu za kwanza zimesahauliwa, na kwa kuwazimefichwa machoni Pangu. Maana, tazama, Mimi naumbambingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanzahayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni. Lakini furahini,mkashangilie daima, kwa ajili ya hivi niviumbavyo; maana,tazama, naumba Yerusalemu uwe shangwe, na watu wake

Page 339: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 329

wawe furaha. Nami nitaufurahia Yerusalemu, nitawoneashangwe watu Wangu; na sauti ya kulia haitasikiwa ndani yaketena, wala sauti ya kuomboleza.” Haleluya. Huyu hapa Yehovawa Agano la Kale, “Mungu wa Amina.” Huyu hapa Yesu waAgano Jipya, “Mungu wa Amina.” Sikilizeni, Enyi Israeli,Bwana Mungu wako ni Mungu MMOJA. Hilo hapo tena, Yehovawa Agano la Kale ndiye Yesu wa Agano Jipya. “Sikilizeni, Enyi,Israeli Bwana Mungu wako ni Mungu MMOJA.” Agano Jipyahalimfunui Mungu MWINGINE, ni ufunuo zaidi wa MUNGUMMOJA NA YEYE YULE. Kristo hakuja kujijulishaMwenyewe. Hakuja kumfunua Mwana. Alikuja kumfunua nakumfanya Baba ajulikane. Yeye hakunena kamwe juu yaMiungu miwili; alinena juu ya Mungu MMOJA. Na sasa katikawakati huu wa mwisho, tumerudi kwenye ufunuo wa jiwe lakifuniko, ufunuo mkubwa wa Uungu kuliko mafunuo yotekatika Biblia nzima, yaani, YESU NI MUNGU, YEYE NABABA NI MMOJA: KUNA MUNGU MMOJA, NA JINA LAKENI BWANA YESU KRISTO.

Yeye ni Mungu wa Amina. Kamwe habadiliki. Afanyalohalibadiliki. Analisema, na linasimama imara. Analifanya, nalimekwisha milele. Hakuna anayeweza kuondoa kutokakwenye yale Yeye asemayo wala kuongeza kwake. Na iwehivyo. Amina. Na iwe hivyo. Je! Huna furaha ya kwambaunamtumikia Mungu wa namna hiyo? Unaweza kujuasawasawa kabisa mahali ulipo kumhusu Yeye wakati wo wotena wakati wote. Yeye ni Mungu wa AMINA wala hatabadilika.

“Haya ndiyo anenayo Yeye aliye AMINA.” Ninapenda hilo.Linamaanisha ya kwamba lo lote alilosema ni mwisho.Inamaanisha ya kwamba lo lote alilouambia ule wakati wakwanza na ule wa pili na nyakati zote kuhusu kanisa LakeMwenyewe lililo la kweli na alilosema kuhusu ule mzabibu wauongo ni kweli kabisa na halitabadilika. Inamaanisha yakwamba kile alichoanza nacho katika Mwanzo, atakimalizakatika Ufunuo. Hana budi kufanya hivyo kwa maana Yeye niAmina, NA IWE HIVYO. Sasa tunaweza kuona tena ni kwanini ibilisi anavichukia Vitabu vya Mwanzo na Ufunuo. Yeyeanaichukia ile kweli. Anajua kweli itashinda. Anajua mwishowake utakavyokuwa. Ni jinsi gani analipinga jambo hilo.Lakini tuko upande unaoshinda. Sisi (ninamaanisha waaminiwa Neno Lake, peke yao) tuko upande wa Amina.

“Haya ndiyo asemayo Shahidi aliye Mwaminifu na waKweli.” Sasa nataka kukuonyesha kile ninachopata katikawazo la “mwaminifu.” Unajua mara nyingi tunanena juu yaMungu mkuu asiyebadilika, Ambaye Neno Lake halibadiliki.Nasi tunaponena juu Yake kwa njia hiyo mara nyingi tunapatamtazamo Wake ambao unamfanya aonekane hahusiki sana. Nikama kwamba Mungu alifanya ulimwengu mzima na sheriazote zinazouhusu kisha akarudi nyuma akawa Mungu mkuu

Page 340: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

330 NYAKATI SABA ZA KANISA

asiyehusika. Ni kama kwamba Mungu alifanya njia ya wokovukwa ajili ya wanadamu waliopotea, njia hiyo ikiwa ni msalaba,na halafu wakati kifo cha Kristo kilipofanya upatanisho kwaajili ya dhambi zetu, na kufufuka Kwake kukatupa mlangouliofunguliwa wa kuingia Kwake, Mungu alikunja mikonoYake tu akarudi nyuma na kusimama. Ni kama kwambatuliweka juhudi katika kuamini Muumba Aliye mkuu, Ambayebaada ya kuumba, hakuvutiwa tena binafsi na viumbe Vyake.Sasa nasema hivyo ndivyo watu wengi mno wanavyoelekeakuwazia. Lakini hayo ni mawazo mabaya, kwa kuwa MunguANATAWALA KATIKA MAMBO YA WANADAMU SASAHIVI. YEYE NI MUUMBA NA MPAJI. Kol. 1:16-17. “Kwakuwa katika Yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni navilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwani viti vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyoteviliumbwa na Yeye, na kwa ajili Yake. Naye amekuwako kablaya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika Yeye.” Yeye niMungu Mwenye enzi. Kwa shauri Lake Mwenyewe Yeyealikusudia mpango wa wokovu wa wateule Wake Mwenyeweambao aliwajua tangu zamani. Mwana alikufa msalabaniapate kutengeneza njia ya Wokovu na Roho Mtakatifuanafanya mapenzi ya Baba kwa uangalifu. Yeye anatendamambo yote wakati huu kulingana na kusudi la mapenzi YakeMwenyewe. Yeye yuko kabisa katikati ya yote hayo. Yeye yukokatikati ya kanisa Lake. Huyu Muumba mkuu, Mungu-Mwokozi anatenda kazi kwa uaminifu miongoni mwa watuWake sasa hivi kama Mchungaji mkuu wa kondoo. Yeyeanaishi kwa ajili ya walio Wake. Anawapenda naanawashughulikia. Jicho lake daima liko juu yao. Wakati Nenolinaposema ya kwamba “maisha yenu yamefichwa pamoja naKristo katika Mungu inamaanisha vile linavyosema hasa. Loo!ninafurahi sana ya kwamba Mungu Wangu anadumumwaminifu. Yeye ni mwaminifu Kwake Mwenyewe, hatasemauongo. Yeye ni mwaminifu kwa Neno, ataliunga mkono. Yeyeni wa kweli kwetu sisi, hatampoteza hata mmoja wetu, baliatatufufua katika siku ya mwisho. Ninafurahi ya kwambaninapumzika katika uaminifu Wake. Fil. 1:6. “Naminiliaminilo ndilo hili, ya kwamba Yeye Aliyeanza kazi njemamioyoni mwenu ataimaliza hata Siku ya Kristo Yesu.”

“Yeye ndiye Shahidi wa Kweli.” Sasa neno hili, wa kweli,ni neno lile lile tuliloliona kule nyuma katika Ufu. 3:7.Unakumbuka ya kwamba halimaanishi ‘kweli’ iliyo kinyumecha ‘uongo.’ Lina maana yenye uzito, na yenye kilindi zaidikwa mbali mno. Linaonyesha ujuzi mkamilifu wa jamboukilinganisha na ujuzi wa sehemu. Sasa huko nyuma katikaWakati wa Filadelfia, kuja kwa Bwana kulikuwa kunakaribia.Ni upendo mkuu jinsi gani uliodhihirishwa ma wakati huokwa ajili Yake. Linanikumbusha juu ya maneno yale mazuri yaI Pet. 1:8, “Naye mwampenda, ijapokuwa hamkumwona;

Page 341: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 331

Ambaye ijapokuwa hammwoni sasa, mnamwamini; nakufurahi sana, kwa furaha isiyoneneka, na yenye kujaautukufu.” Tunafurahi pamoja nao pia. Hatujamwona, lakinitumemhisi. Tunamjua sasa kiasi ambacho hisi zetu zenyekikomo zinaweza kuturuhusu. Lakini siku moja itakuwa usokwa uso. Hiyo ni kwa ajili ya wakati huu. Yeye anakujamwishoni mwa wakati huu. Ujuzi wa sehemu utafanywaUJUZI MKAMILIFU, UJUZI ULIOKAMILISHWA. Haleluya!Tumekuwa tukiona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo, lakini hivikaribuni itakuwa ni uso kwa uso. Tumekuwa tukienda tokautukufu hadi utukufu, lakini hivi karibuni itakuwa moja kwamoja katika utukufu; na TUTANG’AA katika UTUKUFUWAKE. TUTAKUWA KAMA YEYE, TUTAFANANA VYAKIAJABU SANA NAYE, YESU ALIYE MUNGU MWOKOZIWETU! Hilo si ni la ajabu? Sisi tumekamilika katika Yeye.Hiyo ni kweli. Yeye hangeweza kutudanganya kuhusu jambohilo. Lakini siku moja tutabadilishwa katika atomi. Tutavaakutokuharibika. Tutamezwa kabisa katika uzima. NdipoTUTAPATA UJUZI MKAMILIFU.

“Yeye ni Shahidi Aliye Mwaminifu na wa Kweli.” Sasatunafikiria juu ya neno hilo, ‘shahidi’. Vema, ni kutoka kwenyeneno hilo tunakopata neno ‘mfia imani’. Biblia inanena juu yaStefano na Antipa na wengineo kama mashahidi. Waowalikuwa wafia imani; walikuwa pia mashahidi. Yesu alikuwashahidi mwaminifu. Roho Mtakatifu ni shahidi wa jambo hilo.Roho anashuhudia jambo hilo. Ulimwengu ulimchukia Yesu.Ulimwua. Lakini Mungu alimpenda Naye alienda kwa Baba.Thibitisho ya kwamba Yeye alienda kwa Baba ni kwambaRoho Mtakatifu alikuja. Kama Yesu hangekuwa amepokewana Baba, Roho hangekuja. Soma hilo katika Yohana 16:7-11.“Lakini Mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi Miminiondoke; kwa maana Mimi nisipoondoka, huyo Msaidizihatakuja kwenu; bali Mimi nikienda Zangu, nitampelekakwenu. Naye akiisha kuja, Huyo atauhakikisha ulimwengukwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu. Kwa habari yadhambi, kwa sababu hawaniamini Mimi; kwa habari ya haki,kwa sababu Mimi naenda Zangu kwa Baba, wala hamnionitena; kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu waulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.” Uwepo wa RohoMtakatifu katika ulimwengu huu badala ya Yesu kuwa hapa,unathibitisha ya kwamba Yesu alikuwa mwenye haki naalienda kwa Baba. Lakini inasema pia katika Yohana 14:18.“Sitawaacha ninyi YATIMA; naja kwenu.” Yeye alimtumaMfariji. Yeye ALIKUWA NDIYE HUYO MFARIJI. Alirudikatika ROHO juu ya kanisa la kweli. Yeye Ndiye SHAHIDIaliye mwaminifu na wa kweli katikati ya kanisa. Lakini sikumoja Yeye atarudi katika mwili tena. Wakati huo atathibitishabasi ni nani mwenye nguvu pekee aliye na hekima,_ni Yeye,Yesu Kristo Bwana wa Utukufu.

Page 342: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

332 NYAKATI SABA ZA KANISA

Shahidi aliye Mwaminifu na wa Kweli, Muumba na Mpaji,Ujuzi Mkamilifu, Amina wa Mungu.

Loo! jinsi ninavyompenda, jinsi ninavyomwabudu, YesuMwana wa Mungu.

Nataka kumalizia mawazo yangu juu ya sehemu hii yasalamu kwa maneno haya ya 2 Kor. 1:18-22. “Lakini kamaMungu alivyo mwaminifu, neno letu kwenu si ndiyo na siyo.Maana Mwana wa Mungu, Kristo Yesu, aliyehubiriwa katikatiyenu na sisi, yaani, mimi na Silwano na Timotheo, hakuwandiyo na siyo; bali katika Yeye ni ndiyo. Maana ahadi zote zaMungu zilizopo katika Yeye ni ndiyo; tena kwa hiyo katikaYeye ni Amina; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi. Basi Yeyeatufanyaye imara pamoja nanyi katika Kristo, na kututiamafuta, ni Mungu, Naye ndiye aliyetutia muhuri akatupaarabuni ya Roho mioyoni mwetu.”

“Mwanzo Wa Kuumba Kwa Mungu.” Huyo ndiye AmbayeBwana Yesu anayesema ya kwamba ni Yeye Mwenyewe.Lakini maneno hayo hayamaanishi jinsi hasa kamayanavyosikika kwetu. Kuyachukua tu jinsi yanavyosikikayamewafanya baadhi ya watu fulani (kusema kweli ni umatiwa watu) kupata wazo kwamba Yesu alikuwa kiumbe chakwanza kuumbwa na Mungu, likimfanya Yeye kuwa mdogokuliko Mungu. Ndipo kiumbe hiki cha kwanza kikaumbaulimwengu wote mwingine na cho chote kilichomo ndani yake.Lakini hiyo si kweli. Unajua jambo hilo haliambatani nasehemu iliyosalia ya Biblia. Maneno hayo ni, “Yeye NdiyeMWANZO ama MWANZILISHI wa kuumba kwa Mungu.”Sasa tunajua kwa hakika ya kwamba Yesu ni Mungu, Munguhalisi. Yeye ndiye Muumbaji. Yohana 1:3 “Vyote vilifanyikakwa Huyo; wala pasipo Yeye hakikufanyika cho chotekilichofanyika.” Yeye Ndiye Ambaye ilinenwa, Mwa. 1:1“Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.” Piainasema katika Kut. 20:11, “Maana, kwa siku sita Bwanaalifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo,akastarehe siku ya saba.” Unaona, hapana shaka ya kwambaYeye ndiye Muumba. Alikuwa Muumba wa UUMBAJI WAMAUMBILE YALIYOMALIZIKA.

Hakika tunaweza kuona kile ambacho maneno hayayanamaanisha sasa. Kuwa na tafsiri nyingine yo yoteingemaanisha ya kwamba Mungu alimuumba Mungu. Munguangewezaje kuumbwa wakati Yeye, Mwenyewe, ndiyeMuumba?

Lakini sasa Yeye anasimama katikati ya Kanisa. Wakatianaposimama pale akijifunua Yeye yu Nani katika wakati huuwa mwisho, Yeye anajiita “Mwanzo wa kuumba kwa Mungu.”Huu ni UUMBAJI MWINGINE. Hili linahusiana na kanisa. Hiini sifa nyingine maalum Yake Mwenyewe. Yeye ndiye

Page 343: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 333

MUUMBA wa kanisa hilo. Bwana arusi wa mbingunialimuumba bibi-arusi wake. Akiwa Roho wa Mungu, alishukana kuumba katika bikira Mariamu chembechembe ambazokwazo mwili Wake ulizaliwa. Ninataka kurudia jambo hilo.Yeye aliumba chembechembe zenyewe katika tumbo la uzazi laMariamu kwa ajili ya mwili huo. Haikutosha kwa RohoMtakatifu kutia uhai kwa urahisi tu katika yai la mwanadamulililotolewa na Mariamu. Hiyo ingekuwa ni mwanadamumwenye dhambi akiuzaa mwili. Hilo halingeweza kumzaaa“Adamu wa Mwisho.” Kumhusu Yesu ilisemwa “Tazama mwiliWewe (Baba) umeniwekea tayari.” Mungu (si Mariamu) ndiyealiyetoa mwili huo. Mariamu alikuwa chombo cha kibinadamucha kuangulia naye alimbeba Mtoto Mtakatifu na akamzaa.Alikuwa Mungu-mwanadamu. Alikuwa ni Mwana wa Mungu.Alikuwa ni wa ule uumbaji MPYA. Mwanadamu na Munguwalikutana na kuungana; Yeye alikuwa ni wa kwanza wajamii hii mpya. Yeye Ndiye kiongozi wa jamii hii mpya. Kol.1:18, “Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha kanisa; Naye nimwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awemtangulizi katika yote.” 2 Kor. 5:17 “Hata imekuwa, mtuakiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kaleyamepita; tazama! yote yamekuwa mapya.” Hapo unawezakuona ya kwamba ingawa mwanadamu alikuwa ni waUTARATIBU ule WA KALE ama uumbaji, sasa katikaKUUNGANA NA KRISTO, amekuwa KIUMBE KIPYA chaMungu. Efe. 2:10, “Maana tu kazi Yake, TULIUMBWA KWAKUUNGANA NA KRISTO YESU tutende matendo mema.”Efe. 4:24, “Mkavae UTU MPYA ulioumbwa kwa namna yaMungu katika haki na utakatifu wa kweli.” Huu UumbajiMpya si ule uumbaji wa kale uliotengenezwa tena, la sivyohaungeitwa uumbaji mpya. Hivi ndivyo hasa inavyosemaulivyo, UUMBAJI MPYA.” Ni uumbaji mwingine, mbali na ulewa zamani. Hashughuliki tena na mambo ya mwili. Hivyondivyo alivyoshughulika na Israeli. Alimchagua Ibrahimu, nauzao wa Ibrahimu kwa kupitia ukoo mcha Mungu wa Isaka.Lakini sasa kutoka katika kila jamaa, kabila na taifa Yeyeamekusudia kiumbe kipya. Yeye ndiye wa kwanza wa uumbajihuo. Yeye alikuwa ni Mungu aliyeumbwa kwa mfano wamwanadamu. Sasa kwa Roho Wake Yeye anajiumbia Wanawengi Mwenyewe. Mungu muumba, akijiumbia Mwenyewesehemu ya uumbaji Wake. Huu ndio ufunuo wa kweli waMungu. Hili lilikuwa ndilo kusudi Lake. Kusudi hili lilifanywahalisi kwa uchaguzi. Hiyo ndiyo sababu Yeye aliwezakuangalia moja kwa moja hata kwenye wakati wa mwishowakati yote yatakuwa yamekwisha na kujiona Mwenyeweangali akiwa katikati ya kanisa, kama mwanzilishi wa huuUumbaji Mpya wa Mungu. Nguvu za Ukuu Wake zilitimizajambo hilo. Kwa amri Yake Mwenyewe Yeye aliwachaguawashiriki wa Uumbaji huu Mpya. Aliwachagua tangu zamani

Page 344: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

334 NYAKATI SABA ZA KANISA

wapate kufanywa wana kulingana na uradhi wa mapenziYake. Kwa kujua Kwake yote na kwa kuwa Kwake na nguvuzote alilitimiza. Vinginevyo angewezaje kujua kwambaangesimama katikati ya kanisa akipokea utukufu kutoka kwandugu Zake kama Yeye hakuhakikisha? Alijua mambo yote, naalitenda mambo yote kulingana na yale aliyojua ili kwambakusudi Lake na uradhi wa mapenzi Yake vitimizwe. Efe. 2:11“Ndani Yake sisi nasi tulifanywa warithi, huku tukichaguliwatangu awali sawasawa na kusudi Lake Yeye ambaye hufanyamambo yote kwa shauri la mapenzi Yake.” Haleluya! Je!hufurahi ya kwamba wewe ni Wake!

UJUMBE KWA WAKATI WA LAODIKIA

Ufu. 3:15-19 “Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridiwala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto,nitakutapika utoke katika kinywa Changu. Kwa kuwawasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu;nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka,na maskini, na kipofu, na uchi. Nakupa shauri, ununueKwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri;na mavazi meupe upate kuvaa, na kwamba aibu ya uchi wakoisionekane; na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upatekuona. Wote niwapendao Mimi nawakemea, na kuwarudi; basiuwe na bidii, ukatubu.”

Tulipokuwa tunasoma hili pamoja nina hakika ya kwambaumeona ya kwamba Roho hajasema jambo moja zuri kuhusuwakati huu. Yeye anatoa mashtaka mawili na kutoa hukumuYake juu ya mashtaka hayo.

(1) Ufu. 3:15,16 “Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridiwala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto,nitakutapika utoke katika kinywa Changu.”

Tutachunguza jambo hili kwa makini. Inasema ya kwambakundi hili la wakati huu wa kanisa la Laodikia ni vuguvugu.Uvuguvugu huu unastahili hukumu kutoka kwa Mungu.Hukumu ni kwamba wao watatapikwa watoke katika kinywaChake. Hapa ndipo hatutaki kukosea kama watu wengiwanavyofanya. Wao wanasema pasipo busara kabisa yakwamba Mungu anaweza kukutapika utoke katika kinywaChake na hilo linathibitisha ya kwamba hakuna kitu kamaukweli wo wote kwenye fundisho la uvumilivu wa Watakatifu.Ninataka kusahihisha mawazo yako sasa hivi. Aya hiihaitolewi kwa mtu binafsi. Inatolewa kwa kanisa. Yeyeanalizungumzia kanisa. Isitoshe, kama utaliweka tu Nenoniani utakumbuka ya kwamba hakuna mahali linaposema yakwamba sisi tuko katika KINYWA cha Mungu. Tumechorwa

Page 345: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 335

kwenye vitanga vya mikono Yake. Tumebebwa moyoni Mwake.Huko nyuma kabisa katika nyakati zisizojulikana kabla yawakati tulikuwa katika nia Yake. Tuko katika zizi Lake, nakatika malisho Yake, lakini kamwe si katika kinywa Chake.Lakini ni kitu gani kilicho katika kinywa cha Bwana? Nenolimo katika kinywa Chake. Mat. 4:4 “Lakini akajibu akasema,Imeandikwa, Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila Nenolitokalo katika kinywa cha Mungu.” Neno linapaswa kuwakatika vinywa vyetu, pia. Sasa tunajua ya kwamba kanisa nimwili Wake. Liko hapa likipachukua mahali Pake. Ni kitugani kitakachokuwa katika kinywa cha kanisa? NENO. I Petro4:11 “Mtu akisema, na aseme kama mausia (Neno) ya Mungu.”2 Petro 1:21 “Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenziya mwanadamu; bali watu watakatifu wa Mungu walinenayaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.”Basi watu hawa wa siku za mwisho wana shida gani?WAMEONDOKA KWENYE NENO. HAWANA MOTO TENAKUHUSU HILO. WAO NI VUGUVUGU KUHUSU HILO.Nitathibitisha jambo hilo sasa hivi.

Wabatisti wana kanuni zao za imani na mafundisho yasharti yaliyo na msingi wake katika Neno nawe huwezikuwatikisa. Wao wanasema siku za miujiza za mitumezimekwisha na hakuna Ubatizo wa Roho Mtakatifu, baada yakuamini. Wamethodisti wanasema (kwa kutumia Neno)hakuna ubatizo wa maji (kunyunyizia si ubatizo) na yakwamba utakaso ndio Ubatizo wa Roho Mtakatifu. Kanisa laKristo linashikilia sana ubatizo wa kuzaliwa mara ya pili namara nyingi sana wanatumbukizwa wakiwa wenye dhambiwakavu na kutoka wakiwa wenye dhambi waliolowa maji.Hata hivyo wao wanadai ya kwamba mafundisho yao yanamsingi wake katika Neno. Nenda moja kwa moja kwenyemstari na uwafikie Wapentekoste. Je! wana Neno? Wapejaribio la Neno uone. Wao wataliuza Neno kwa jambo lakusisimua karibu kila wakati tu. Kama unaweza kutoamadhihirisho kama mafuta na damu na lugha na isharanyinginezo, kama ziko kwenye Neno ama haziko, ama kamahayo yamefasiriwa vizuri kutoka kwenye Neno, walio wengiwatalikimbilia. Lakini ni nini kimelipata Neno? Nenolimewekwa kando, kwa hiyo Mungu anasema, “Mimi nikokinyume nanyi nyote. Nitawatapika mtoke katika kinywaChangu. Huu ni mwisho. Kwa kuwa saba kati ya nyakati saba,sijaona kitu ila watu wakiliheshimu neno lao wenyewe kulikoLangu. Kwa hiyo mwishoni mwa wakati huu ninawatapikamtoke katika kinywa Changu. Yote yamekwisha.Nitazungumza basi. Naam, niko hapa katikati ya Kanisa.Amina wa Mungu, aliye mwaminifu na wa kweli atajifunuaMwenyewe na itakuwa KWA NJIA YA NABII WANGU.” Loo!ndiyo, hivyo ndivyo ilivyo. Ufu. 10:7 “Na katika siku za sautiya mjumbe wa saba, atakapoanza kupiga baragumu, siri ya

Page 346: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

336 NYAKATI SABA ZA KANISA

Mungu itatimizwa kama alivyowahubiri watumishi Wakemanabii.” Hilo hapo. Yeye anamtuma nabii aliyethibitishwa.Anatuma nabii baada ya karibu miaka elfu mbili. Yeyeanamtuma mtu fulani aliye mbali sana na madhehebu, elimu,na ulimwengu wa dini hivi kwamba kama vile YohanaMbatizaji na Eliya wa kale, yeye atasikia tu kutoka kwaMungu na atakuwa na “Bwana asema hivi” na kunena kwaniaba ya Mungu. Yeye atakuwa kinywa cha Mungu NAYE,KAMA INAVYOTANGAZWA KATIKA MAL. 4:6,ATAIGEUZA MIOYO WA WATOTO IWAELEKEE BABAZAO. Atawarudisha wateule wa siku za mwisho naowatamsikiliza nabii aliyethibitishwa akitoa kweli halisi kamavile ilivyokuwa kwa Paulo. Atairudisha kweli kamawalivyokuwa nayo. Na hao wateule walio pamoja naye katikasiku hiyo watakuwa ndio wanaomdhihirisha Bwana kwa kwelina watakuwa ndio Mwili Wake na kuwa sauti Yake na kutendakazi Zake. Haleluya! Unaliona hilo?

Wazo la haraka la historia ya kanisa litathibitisha jinsiwazo hili lilivyo sahihi. Katika Zama za Giza watu walikuwakaribu wamepotelewa na Neno. Lakini Mungu alimtumaLuther akiwa na NENO. Waluteri walikuwa ni kinywa chaMungu kwa wakati huo. Lakini wao wakaunda madhehebu, natena hilo Neno safi lilipotezwa kwa maana madhehebuhuegemea kwenye mafundisho ya sharti na kanuni za imani,wala hawaegemei kwenye Neno lililo halisi. Wao hawakuwezatena kuwa kinywa cha Mungu. Ndipo Mungu akamtumaWesley, naye alikuwa ndiye sauti iliyokuwa na Neno katikasiku yake. Watu waliouchukua ufunuo wake kutoka kwaMungu wakawa nyaraka zilizo hai zilizosomwa na kujulikanana watu wote kwa ajili ya kizazi chao. Wakati Wamethodistiwaliposhindwa, Mungu aliwainua wengine na kwa hiyo jambohilo limeendelea kwa miaka mingi mpaka katika wakati huuwa mwisho kuna watu wengine nchini, ambao chini yamjumbe wao watakuwa ndio sauti ya mwisho kwa wakati wamwisho.

Naam bwana. Kanisa si “kinywa” cha Mungu tena. Nikinywa chake lenyewe. Kwa hiyo Mungu analiacha.Ataliangamiza kupitia kwa nabii na bibi-arusi, kwa kuwasauti ya Mungu itakuwa ndani ya bibi-arusi. Naam iko, kwamaana inasema katika sura ya mwisho ya Ufu. aya ya 17 “Rohona bibi-arusi wasema, njoo.” Mara nyingine tena ulimwenguutasikia moja kwa moja kutoka kwa Mungu kama ilivyokuwawakati wa Pentekoste; lakini bila shaka huyo Bibi-arusi Nenoatakataliwa kama ilivyokuwa katika wakati wa kwanza.

Sasa Yeye ameupigia kelele wakati huu wa mwisho,“Mnalo Neno. Mna Biblia nyingi kuliko mlivyowahi kuwa,lakini hamfanyi lo lote juu ya Neno ila kuligawanya nakulipasua vipande-vipande, mkichukua mnalotaka na kuacha

Page 347: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 337

yale msiyotaka. Hamtaki KULIISHI, ila kulibishania. Afadhalimngalikuwa baridi ama moto. Kama mngalikuwa baridi namkalikataa, ningaliweza kuvumilia jambo hilo. Kamamngalikuwa moto kweli kweli kujua ni kweli na kuliishi,ningewasifu kwa ajili ya jambo hilo. Lakini wakatimnapolichukua tu Neno Langu wala hamliheshimu, MimiNami sina budi kukataa kuwaheshimu. Nitawatapika kwamaana mnanichefua moyo.”

Sasa mtu ye yote anajua ya kwamba maji yenye uvuguvugundiyo yanayokuchefua moyo. Kama unataka dawa yakutapisha, maji yenye uvuguvugu ndiyo yanayofaa sanakunywa. Kanisa vuguvugu limemchosha Mungu Nayeametangaza atalitapika. Inatukumbusha jinsi alivyojisikiakabla tu ya ile gharika, sivyo?

Ee Mungu! laiti kanisa lingalikuwa baridi ama moto. Niafadhali sana, lingekuwa na juhudi (moto). Lakini si moto.Hukumu imetolewa. Kanisa si sauti ya Mungu tena kwaulimwengu. Litashikilia kwamba ndivyo lilivyo, lakini Munguanasema sivyo.

Loo! Mungu yungali ana sauti kwa ajili ya watu waulimwengu, kama vile tu aliyompa bibi-arusi sauti. Sauti hiyoimo ndani ya bibi-arusi kama tulivyosema na tutazungumzazaidi juu ya jambo hilo baadaye.

(2) Ufu. 3:17-18 “Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri,nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwawewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu,na uchi. Nakupa shauri, ununue Kwangu dhahabuiliyojaribiwa kwa moto, upate kuwa tajiri; na mavazi meupeupate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane; na dawa ya machoya kujipaka macho yako, upate kuona.”

Sasa angalia fungu la kwanza la maneno ya aya hii, “kwakuwa wasema.” Unaona, wao walikuwa wananena. Walikuwawakinena kama kinywa cha Mungu. Hili linathibitisha yalehasa niliyosema aya za 16-17 zilichomaanisha. Lakini ingawawao wanasema hivyo, hilo halilifanyi kuwa ni sawa. KanisaKatoliki linasema ya kwamba linanena kwa niaba ya Mungu,likisema ndilo sauti ya hakika ya Bwana. Jinsi watu wo wotewanavyoweza kuwa waovu kiroho jinsi hiyo ni zaidi yanijuavyo mimi, lakini wao wanazaa kulingana na mbegu iliyondani yao, nasi tunajua mahali mbegu hiyo ilikotoka, sivyo?

Kanisa la Laodikia linasema, “Mimi ni tajiri nanimejitajirisha, wala sina haja ya kitu.” Hivyo ndivyolilivyojipima. Lilijiangalia na hilo ndilo lililoona. Likasema,“Mimi ni tajiri,” ambalo linamaanisha ni tajiri katika mamboya ulimwengu huu. Linajigamba mbele ya Yakobo 2:5-7,“Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni, Je! Mungu hakuwachaguamaskini wa dunia hii wawe matajiri wa imani na warithi wa

Page 348: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

338 NYAKATI SABA ZA KANISA

ufalme aliowaahidia wampendao? Bali ninyi mmemvunjiaheshima maskini. Je! matajiri hawawaonei ninyi na kuwavutambele ya viti vya hukumu? Hawalitukani Jina lile zurimliloitwa?” Sasa mimi SIDOKEZI ya kwamba tajiri hawezikuwa wa Kiroho, bali sote tunajua ya kwamba Neno linasemani wachache sana walio wa kiroho. Maskini ndio walio wengikatika mwili wa kanisa la kweli. Sasa basi, kama kanisalikijaa mali, tunajua jambo moja tu; “Ichabod” limeandikwakwenye malango yake makubwa! Huwezi kukanusha jambohilo, kwa kuwa hilo ni Neno.

Nena kuhusu mali kanisani_mbona kamwe hakujakuwekona onyesho kama hilo la mali. Madhabahu nzuri zimeongezekakuliko isivyopata kuwa hapo awali. Makundi mbalimbaliyanashindana wao kwa wao kuona ni nani anaweza kujengayaliyo makubwa na mazuri kuliko yote. Nao wanajenga vituovya elimu vinavyogharimu mamilioni yasiyokisika, na majengohayo yanatumiwa tu kwa saa moja ama mawili kwa juma. Sasajambo hilo halingekuwa baya sana, lakini wanatarajia wakatihuu mdogo unaotumiwa na watoto kwenye kituo hicho chaelimu kupachukua mahali pa masaa ya kufundishwayanayopaswa kutolewa nyumbani.

Pesa zimemwagwa kanisani hata madhehebu mbalimbaliyana rasilmali na dhamana, viwanda, mashimo ya mafuta, namakampuni ya bima. Wamemwaga pesa katika ustawi wajamii na kwenye hazina za kustaafu. Sasa hili linasikikakwamba ni zuri, lakini limekuwa mtego kwa wahudumu, kwamaana kama wakiamua kuliacha kundi lao kwa ajili ya nuruzaidi ama kumpenda Mungu, wanapoteza ujira wao wakustaafu. Walio wengi hawawezi kustahimili jambo hili naowanakaa na kundi lao linalowabana.

Sasa usisahau ya kwamba wakati huu ni wa mwisho.Tunajua ya kwamba wakati huu ni wa mwisho kwa sababuIsraeli wamerudi Palestina. Kama tunaamini ya kwamba Yeyeanakuja kweli, basi hapana budi pawe na jambo fulani kombokwa wale wanaojenga sana. Inamfanya mtu kufikiria yakwamba watu hawa wanakusudia kukaa hapa milele, ama yakwamba kuja kwa Yesu ni mamia ya miaka ijayo.

Je! unajua ya kwamba dini leo inajulikana kama biasharakubwa? Ni kweli kabisa ya kwamba wanaweka mameneja wabiashara katika makanisa washughulikie mambo ya fedha. Je!hili ndilo Mungu analotaka? Je! Neno Lake halikutufundishakatika Kitabu cha Matendo kwamba watu saba waliojaa RohoMtakatifu na imani walimtumikia Bwana katika shughuli zakifedha? Hakika unaweza kuona ni kwa nini Mungu alisema,“WEWE unasema u tajiri; Mimi sikusema hivyo kamwe.”

Kuna vipindi vya redio, vipindi vya televisheni, na jitihadanyingi sana za kanisa zinazogharimu mamilioni na mamilioni

Page 349: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 339

ya dola. Utajiri unamiminika na kumiminika kanisani, wafuasiwanaongezeka pamoja na pesa, hata hivyo kazi haifanywikama ilivyokuwa ikifanyika wakati hapakuwepo na pesa,lakini watu walitegemea uwezo pekee waliopewa na RohoMtakatifu.

Kuna wahubiri wa kuajiriwa, wasaidizi wa kuajiriwa,wahudumu wa muziki na elimu wa kuajiriwa, kwaya zakuajiriwa, wasimamizi wa kuajiriwa, vipindi, na mambo yakujifurahisha_yote yakigharimu fedha nyingi mno, lakinipamoja na hayo yote, nguvu zinapungua. Naam, kanisa nitajiri, lakini nguvu hazipo. Mungu hutembea kwa Roho Wake,si kwa kiasi cha fedha ama majaliwa ya kiakili kanisani.

Sasa nataka kuwonyesha jinsi tamaa hii ya pesailivyokuwa ya kuchukiza. Makanisa yote yamejitahidi sanakupata wafuasi, hasa sana wale walio matajiri. Kila mahalikuna kilio cha kuifanya dini kuwa ya kuvutia sana na yakupendeza kusudi matajiri na watu wastaarabu na wote waliona sifa za kilimwengu waje na kuwajibika kanisani. Je!hawawezi kufahamu ya kwamba kama utajiri ndio kipimo chakuwa wa kiroho, basi ulimwengu tayari una Mungu, unaMungu mzima, na kanisa halina kitu?

“Unasema nimejitajirisha.” Hii kihalisi inamaanisha ‘Ninautajiri wa Kiroho.’ Hii inasikika kama ule utawala wa miakaelfu pamoja na barabara za dhahabu na uwepo wa Mungu.Lakini nashangaa kama hivi ndivyo ilivyo. Je! kanisa kweli nitajiri kwa mambo ya Kiroho ya Mungu? Hebu na tuchunguzemajivuno haya ya Laodikia ya Karne ya Ishirini katika nuru yaNeno.

Kama kanisa kweli lingekuwa tajiri Kiroho, ushawishiwake ungeenea kwenye maisha ya jamii. Lakini ni maisha yanamna gani hasa hawa wanaoitwa ni watu wa kiroho na wenyeushawishi wanayoishi? Huko nje kwenye vitongoji vya miji,huko nje kwenye mitaa ya watu wa tabaka bora, kumejaakubadilishana wake, umalaya, na makundi ya watotowahalifu, wakisababisha uhalifu mkubwa sana wa mali.Ufisadi umefikia kiwango cha juu sana cha nyakati zote katikamatendo ya kujuana kimwili ovyo ovyo, madawa ya kulevya,kucheza kamari, kuiba, na kila namna ya uovu. Na kanisalinaendelea kudai jinsi kizazi hiki kilivyo kizuri, jinsimakanisa yalivyojaa na jinsi hata wananchi wanavyoitikiawito wa wamishenari katika nchi za ng’ambo. Kanisalimewapeleka watu kwa madaktari, hasa sana madaktari waakili. Jinsi linavyoweza kujigamba kuhusu kuwa tajiri Kirohoni zaidi ya nijuavyo mimi. Si kweli. Wao wamefilisika walahawajui.

Angalia vizuri kila upande hapo wewe ulipo. Wachunguzewatu wanapopita karibu na wewe. Katika umati unaouona,je! unaweza kuwachagua hao wanaoonekana kuwa ni

Page 350: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

340 NYAKATI SABA ZA KANISA

Wakristo? Angalia jinsi wanavyovalia, angalia jinsiwanavyoenenda, sikia wanayosema, angalia wanakoenda.Kweli kunapaswa kuwako na ushuhuda halisi wa kuzaliwaupya kati ya hao wote tunaowaona wakipita. Lakini niwachache. Hata hivyo leo makanisa ya kikanuni yanatwambiawana mamilioni waliookolewa na hata kujazwa na Roho. Atikujazwa na Roho? Unaweza kusema wanawake wanaokwendahuko na huko na nywele zilizosokotwa na zilizokatwa,wamevaa kaptura ndefu na suruali zinazopwaya, blauzikifua-wazi na kaptura, wamejipodoa kabisa kama Yezebeliwamejazwa na Roho? Kama hawa wamevaa mavazi yakujisetiri kama iwapasavyo wanawake Wakristo, ningechukiakufikiria jinsi ingekuwa kama ingenibidi kushuhudia onyeshola ukosefu wa adabu.

Sasa ninajua ya kwamba wanawake hao sio wanaoundahiyo mitindo. Hollywood ndiyo inayofanya jambo hilo. Lakinisikilizeni enyi mabibi, wangali wanauza vitambaa namacharahani. Si lazima ununue za madukani halafu utumiejambo hilo kama udhuru. Hili ni jambo zito sana ninaloingilia.Hujasoma katika Maandiko ya kwamba wakati mwanamumeanapomtazama mwanamke na kumtamani moyoni mwake,tayari amezini naye moyoni mwake? Vipi kama ulivalia hivikwamba ulisababisha jambo hilo? Hilo linakufanya wewekuwa mwenzi wake katika dhambi, hata ingawa ungekuwahuna habari na jambo hilo katakata, ukiwa wewe ni bikirakweli asiye na tamaa kama hizo. Hata hivyo Munguanakushikilia kuwa unawajibika na utahukumiwa.

Sasa ninajua ya kwamba ninyi akina mama hamtakimahubiri ya namna hii, lakini ewe dada, umekosea kabisakatika yale ufanyayo. Biblia inakukataza kukata nywele zako.Mungu alikupa hizo ziwe badala ya mavazi. Alikuamuruuziache ziwe ndefu. Ndiyo utukufu wako. Ulipokata nywelezako ulionyesha ya kwamba umeacha uongozi wa mume wako.Kama vile Hawa ulitoka ukaziendea njia zako mwenyewe.Mlipata haki ya kupiga kura. Mmeingilia kazi za wanaume.Mkaacha kuwa wanawake. Mnapaswa kutubu na kumrudiaMungu. Na kama mambo haya yote hayakuwa mabaya vyakutosha, wengi wenu mlichukua wazo kwamba mngewezakuzivamia mimbara na huduma za kanisa ambazo Munguameziweka kwa ajili ya wanaume na wanaume peke yao. Loo!nimetonesha kidonda basi sivyo? Vema, nionyesheni mahalipamoja katika Biblia ambapo Mungu aliwahi kumchaguamwanamke ye yote kuhubiri ama kutwaa mamlaka juu yamwanamume, nami nitaomba msamaha kwa yale niliyosema.Hamwezi kupata kwamba nimekosea. Ninasema kweli, kwamaana ninashikilia Neno na niko kwenye Neno. Kamamngalikuwa tajiri Kiroho mngejua ya kwamba hiyo ni kweli.Hakuna kweli ila Neno. Paulo alisema, “Simpi mwanamke

Page 351: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 341

ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume.”Huwezi kamwe kuchukua nafasi katika zile huduma tano zaEfe. 4 bila kuwatawala wanaume. Dada, afadhali ulisikilizehilo Neno. Haikuwa ni Roho wa Mungu akijidhihirisha katikamaisha yaliyojazwa Roho aliyekwambia uhubiri kwa sababuRoho na Neno ni MMOJA. Roho na Neno wanasema jambo lilelile. Mtu fulani alifanya kosa. Mtu fulani alidanganyika.Amkeni kabla hamjachelewa. Shetani alimdanganya Hawa,mama yenu; anawadanganya binti zake sasa. Mungu naawasaidie.

“Sina haja ya kitu.” Sasa wakati mtu ye yote anaposema,“Sina haja ya kitu,” angeweza kuwa anasema kabisa, “Ninakila kitu”, ama angeweza kuwa anasema, “Sitaki menginezaidi kwa maana nimeshiba sasa.” Unaweza kutamka jambohili kwa njia yo yote utakayo, na jumla ya yote ni kwambakanisa limejikinai. Limeridhika na yale liliyo nayo. Aidhalinawazia kwamba lina yote ama lina ya kutosha. Na hilo ndilotunalopata leo hasa. Ni madhehebu gani yasiyodai ya kwambaYENYEWE yana ufunuo na nguvu na kweli? WasikilizeniWabatisti, nao wana yote. Wasikilizeni Wamethodisti, naowana yote. Wasikilizeni wa Kanisa la Kristo na kila mtuamekosea isipokuwa wao. Sikiliza wanayosema Wapentekostenao wana utimilifu wa utimilifu. Sasa wao wanajua ninasemakweli juu yao, kwa maana hakuna kimoja cha vitabu vyao vyamafundisho kinachosema tofauti yo yote. Waliviandika vyotevizuri sana na kuandika majina yao humo na kumaliza kilakitu. Mungu hana mengine tena kabisa. Na kuna wale ambaokweli hawataki mengine tena. Hawaamini katika kuponyawala wasingekutaka, ingawa kupo katika Neno. Kuna waleambao hawangemkubali Roho Mtakatifu kama Munguangalifungua mbingu na kuwaonyesha ishara.

Sasa wote wanasema, na kujaribu kuthibitisha ya kwambawana yote, ama wana ya kutosha. Hata hivyo hiyo ni kweli?Linganisha kanisa hili la karne ya ishirini na kanisa la karneya kwanza. Endelea. Fanya hivyo. Zile nguvu ziko wapi? Uleupendo uko wapi? Liko wapi lile kanisa lililosafishwa ambalolilipinga dhambi na likaenenda kwa imani kuelekea kwa Yesu?Uko wapi ule umoja? Huwezi kuupata. Kama kanisa hili linayote linalohitaji, mbona walikuwa wanalia wampate Munguzaidi katika Kitabu cha Matendo kama kwamba waohawakuwa na yote hayo, na walakini walikuwa na mambomengi ya Mungu kuliko walivyo nayo leo?

TIBA YA MUNGU

Sasa yale Mungu aliyoona yalikuwa tofauti kabisa na yalewaliyosema waliona. Wao walisema ya kwamba walikuwawamejitajirisha na ni matajiri Kiroho. Walikuwa wameisha

Page 352: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

342 NYAKATI SABA ZA KANISA

fika. Hawakuwa na haja na kitu. Lakini Mungu alionavinginevyo. Alisema, “Hamjui jambo hili, lakini ninyi niwanyonge, wenye mashaka, maskini, vipofu, na uchi.” Sasawakati watu wako hivyo, hasa sana uchi na HAWAJUI,hapana budi kuwe na jambo fulani baya sana. Hakika hapanabudi jambo fulani linatendeka. Je! sio kwamba Munguameyapofusha macho yao kama alivyowafanyia Wayahudi? Je!Injili inawarudia Wayahudi? Je! historia inajirudia yenyewe?Nasema inajirudia.

Mungu anasema kanisa hili la Wakati wa Laodikia ni“nyonge”. Neno hilo linatoka kwenye maneno mawili yaKiyunani ambayo yanamaanisha ‘kuvumilia’ na ‘kujaribiwa.’.Na halina uhusiano wo wote na majaribu yanayompataMkristo wa kweli kwa maana Mungu anamwelezea Mkristoaliye katika majaribu kama “aliyebarikiwa” na mwelekeowake ni wa furaha ambapo maelezo haya yametajwa kama“mnyonge na mwenye mashaka”. Ni ajabu jinsi gani. Katikawakati huu wa wingi, katika wakati huu wa maendeleo, katikawakati huu wa vitu tele, kunawezaje kuweko na majaribu?Vema sasa, ni ajabu; lakini katika wakati huu wa wingi naufaao, wakati kila mtu ana mengi sana na kuna mengi sana yakupatikana, vipi tukiwa na vyombo vyote vilivyovumbuliwakufanya kazi zetu na vitu vingi sana vya kutufurahisha,MARA, tunaona ugonjwa wa akili ukienea sana hata unalitiahofu taifa. Ambapo kila mtu anapaswa kuwa na furaha, bilaya kuwa na kitu kwa kweli cha kumfanya mtu kutokuwa nafuraha, mamilioni wanakunywa dawa za kutuliza ubongousiku, madawa ya kuwachangamsha asubuhi, wakikimbiliakwa madaktari, wakiingia mahospitalini, na kujaribukunyamazisha hofu zisizojulikana kwa pombe. Naam, wakatihuu unajivunia maghala yake makubwa mno ya bidhaa zaulimwengu, lakini watu wamepungukiwa na furaha kulikowalivyowahi kuwa. Wakati huu unajivunia mafanikio yake yakiroho, lakini watu hawajiamini kuliko walivyowahikujiamini. Wakati huu unajivunia maadili bora zaidi naumepotoka zaidi kuliko wakati wo wote tangu ile gharika.Unazungumzia juu ya maarifa yake na sayansi, lakiniunapigana vita unavyoshindwa katika fani zote, kwa kuwaakili ya mwanadamu na nafsi na roho haviwezi kufahamu amakwenda sambamba na mabadiliko yote ambayo yamekuja juuya nchi. Katika kizazi kimoja tumeenda mbali kutoka kwenyewakati wa mkokoteni wa farasi kuingia kwenye wakati wawanaanga, nasi tunajivunia na kujigamba juu ya jambo hilo;lakini mle ndani kuna shimo tupu lenye giza linalolia kwamateso, na BILA SABABU YO YOTE INAYOJULIKANAmioyo ya wanadamu inavunjika kwa hofu na ulimwengu unagiza sana hivi kwamba wakati huu ungeweza kuitwa wakatiwa wenda wazimu. Unajivuna, lakini hauwezi kudhihirishajambo hilo. Unapigia shime amani, wala hakuna amani.

Page 353: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 343

Unasema kwa sauti kuu ya kwamba una wingi wa mamboyote, lakini unaendelea kuwaka tamaa kama moto usioridhika!“Hakuna amani”, Mungu wangu awaambia waovu.

“Wao ni wenye mashaka”. Hiyo ina maana kwamba wao niwatu wa kusikitikiwa. Ati kusikitikiwa? Wao wanapuuzakusikitikiwa. Wamejaa kiburi. Wanajivunia waliyo nayo.Lakini waliyo nayo hayatastahimili jaribio la wakati.Wamejenga juu ya mchanga wa kudidimiza badala yamwamba wa ufunuo wa Neno la Mungu. Hivi karibunikunakuja tetemeko la nchi. Hivi karibuni kutatokea dhorubaza hasira ya Mungu katika hukumu. Ndipo yatakujamaangamizi ya ghafla, na licha ya matayarisho yao yote yakimwili watakuwa bado hawajajitayarisha kwa yaleyatakayokuja juu ya nchi. Hao ndio wale ambao mbali najitihada zao zote za ulimwengu kweli wanajipinga wenyewe nahawajui. Kweli wao ni watu wa kusikitikiwa. Wasikitikie watumaskini walio katika pilikapilika hizi za ekumeni za siku yamwisho kwa kuwa wanasema jambo hilo kwamba ni la Mungu,ambapo ni la Shetani. Wasikitikie hao wasiojua laana yamadhehebu. Wasikitikie hao walio na makanisa mengi sanamazuri, nyumba nzuri namna hiyo za makasisi, kwaya nzurisana zilizofunzwa, onyesho kubwa sana la utajiri na namna yakuabudu iliyo tulivu na yenye uchaji namna hiyo. Wasikitikie,usiwaonee wivu. Rudini kwenye majengo ya maghala ya kale,rudini kwenye vyumba visivyo na mwangaza wa kutosha,rudini kwenye vyumba vidogo vya chini, rudini kwenyemachache ya ulimwengu na mengi ya Mungu. Wahurumie walewanaofanya madai yao makubwa, na kuzungumzia vipawavyao. Wahurumieni kama vyombo vya kusikitikiwa, kwamaana siku si nyingi watakuwa vyombo vya hasira.

“Wao ni maskini.” Sasa bila shaka hilo linamaanishamaskini Kiroho. Ishara ya wakati huu unapomalizika, nimakanisa makubwa na bora zaidi, yakizidi kujaa watu,yakizidi kuwa na madhihirisho ya yale yanayodhaniwa kuwani madhihirisho ya Roho Mtakatifu. Lakini madhabahuzilizojaa, karama za Roho zikitenda kazi, kuhudhuria kuzurisana si jibu kutoka kwa Mungu, kwa maana hao wanaokujamadhabahuni ni kwa shida sana wao hubaki wapate kuendeleana Mungu, na baada ya zile kampeni kuu kumalizika, wakowapi hao wote walioshuka wakaja kupitia kwenye nafasi zakupitia za marefu ya kanisa? Walimsikiliza mwanadamu,walisikiliza wito, waliingia katika jarife, lakini hawakuwasamaki, na kama vile kasa walitambaa wakarudi kwenye majiyao wenyewe.

Halafu kuna mazungumzo haya yote kuhusu glosalalia_inadhaniwa kuwa ndio ushuhuda wa Ubatizo wa RohoMtakatifu, nao watu wanadhani ya kwamba tuko katikati yaufufuo mkuu. Ufufuo umekwisha. Marekani ilikuwa na nafasi

Page 354: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

344 NYAKATI SABA ZA KANISA

yake ya mwisho katika mwaka wa 1957. Sasa lugha ni isharaya Mungu ya maangamizi yajayo, kama vile ilivyokuwa wakatizilipotokea ukutani kwenye karamu ya Belshaza. Hamjui yakwamba wengi watatokea katika siku ya mwisho na kusema,“Bwana, Bwana, je! hatujafanya kazi nyingi za ajabu katikaJina Lako, hata kutoa pepo? Naye atasema, “OndokeniKwangu, ninyi mtendao maovu. Sikuwajua ninyi kamwe.” Mt.7:22-23. Yesu alisema hao ni watendao maovu. Hata hivyo,unampata mtu anayeweza kuja na kuwaombea wagonjwa,anafanya mafuta na damu kutokea kwenye kusanyiko, unabiiunatoka na kila namna ya mambo ya kimbinguni, nao watuwatamzunguka, na kuapa ya kwamba yeye ni wa Bwana, hataingawa yeye anafanya dini kuwa njama za kupata fedha nakuishi katika dhambi. Jibu pekee walilo nalo ni jibu lisilo lakibiblia katakata la “vema, yeye anapata matokeo, kwa hiyohana budi kuwa ni wa Mungu.” Ni jambo lakutisha jinsi gani.Jinsi wakati huu ulivyo maskini kweli katika Roho wa Mungu,na hao maskini wasio na kitu wala hawajui.

“Wewe ni kipofu na uchi.” Sasa hili ni jambo la hatarisana. Mtu ye yote anawezaje kuwa kipofu na uchi wala asijue?Hata hivyo inasema ya kwamba wao ni vipofu na uchi walahawawezi kujua jambo hilo. Jawabu ni, wao ni vipofu kiroho,na uchi kiroho. Unakumbuka wakati Elisha na Gehaziwalipozungukwa na jeshi la Waashuri? Unakumbuka yakwamba Eliya aliwapiga kwa upofu kwa nguvu za Mungu.Hata hivyo macho yao yalikuwa yanatazama kabisa naowaliweza kuona walikokuwa wanaenda. Huo upofu ulikuwa niwa ajabu kwa vile wao waliweza kuona mambo fulani, lakinimambo fulani mengine kama vile Elisha na mtumishi wake nakambi ya Israeli hawakuweza kuona. Yale jeshi hilililichoweza kuona hakingeweza kuwasaidia. Yale wasiyowezakuona ndiyo yaliyosababisha kuchukuliwa kwao mateka. Sasahili lina maana gani kwetu? Linamaanisha jinsi hasalilivyomaanisha kule nyuma katika huduma ya duniani yaYesu. Yeye alijaribu kuwafundisha kweli, lakiniwasingesikiliza. Yohana 9:40-41. “Baadhi ya Mafarisayowaliokuwepo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je!sisi nasi tu vipofu? Yesu akawaambia, Kama mngekuwavipofu, msingekuwa na dhambi; lakini sasa mwasema,Twaona; basi dhambi yenu inakaa.” Tabia ya wakati huu nikama vile kabisa ilivyokuwa wakati ule. Watu wana kila kitu.Wanajua yote. Hawafundishwi na mtu. Kama jambo la kwelikatika Neno likitokea na mtu fulani anajaribu kueleza maoniyake kwa mtu aliye na mawazo tofauti, anayesikiliza hasikilizihata kidogo kusudi apate kujua, lakini anasikiliza tu apatekukanusha yale yanayosemwa. Sasa nataka kuwaulizeni swalizuri. Hivi Maandiko yanaweza kupingana na Maandiko? Bibliainapinga Biblia? Kunaweza kuwe na mafundisho mawili yakweli katika Neno yanayosema kinyume ama yanayopingana?

Page 355: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 345

LA. HAIWEZEKANI. Hata hivyo ni watu wa Mungu wangapiwamefungua macho yao kwa ajili ya kweli hiyo? Si hata mojakwa mia, nijuavyo mimi, wamejua ya kwamba MaandikoYOTE yametolewa na Mungu na YOTE yanafaa kwamafundisho, kwa kuwaonya watu makosa yao, kuwasahihisha,nk. Kama Maandiko yote yametolewa namna hiyo, basi kilaaya itaambatana na nyingine ikipewa nafasi. Lakini niwangapi wanaoamini katika kuchaguliwa tangu zamani kwaajili ya kuteuliwa na kukataliwa kwa ajili ya kuangamizwa?Hao ambao hawaamini, je! watasikiliza? La, hawatasikiliza.Hata hivyo wote wawili wamo katika Neno, wala hakuna kitukitakacholibadilisha. Lakini kujua jambo hilo na kupatanishakweli ya mafundisho hayo pamoja na kweli nyingine ambazozinaonekana kama zinapinga, hawana muda. Lakini waohuziba masikio yao, na kusaga meno yao, na wanapata hasara.Katika mwisho wa wakati huu nabii atakuja, bali waowatakuwa vipofu kwa yale yote anayofanya na kusema. Waowana uhakika sana wako sawa, na katika upofu waowatapoteza yote.

Sasa Mungu anasema wao ni uchi na pia ni vipofu. Siwezikuwazia jambo lo lote la huzuni kama mtu ambaye ni kipofuna yu uchi naye hajui. Kuna jibu moja tu_amerukwa na akili.Tayari yeye yumo katika usahaulifu mzito sana. Akili zakezimepotea, usahaulifu wa kiroho umeingia. Linawezakumaanisha nini tena? Linaweza kumaanisha ya kwambaRoho Mtakatifu ameliacha kanisa hili la siku za mwisho?Linaweza kumaanisha ya kwamba watu wamemsahau Mungumioyoni mwao kiasi kwamba inatukia kama vileilivyoandikwa katika Rum. 1:28. “Na kama walivyokataa kuwana Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akilizao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.” Hakika inaonekanakwamba jambo kama hilo limetukia. Hawa hapa watuwanaosema ya kwamba wao ni wa Mungu na wanamjuaMungu na wana Roho Wake Mtakatifu, na hata hivyo wao niuchi na vipofu wala hawajui. Wao TAYARIWAMEDANGANYIKA. WANA ROHO MBAYA. WATEULEHAWAWEZI KUDANGANYWA, LAKINI NI DHAHIRI YAKWAMBA HAWA WENGINE WAMEDANGANYWA. Hawandio wale ambao wamekuwa vipofu kwa sababu walilikataaNeno la Mungu. Hawa ndio wao waliovua nguo wakawa uchikwa kuacha uangalizi na ulinzi wa Mungu wakatafutakutengeneza njia yao wenyewe ya wokovu, mnara waowenyewe wa Babeli kwa kuunda madhehebu. Loo! jinsiwanavyoonekana wamevalia vizuri na malidadi mbele yamacho yao wenyewe wanapofanya mabaraza yao makubwa, nahalmashauri zao, nk. Lakini sasa Mungu anayaweka yote wazinao ni uchi, kwa maana madhehebu haya hayakufanya kitu ilayamewaongoza tu kwenye kambi ya mpinga-Kristo, kwenyemashamba ya magugu, moja kwa moja mpaka kwenye

Page 356: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

346 NYAKATI SABA ZA KANISA

kufungwa matita-matita na kuteketezwa. Hao kweli nivyombo vya kusikitikiwa. Naam, wasikitikieni, waonyeni,wabembelezeni, na hata hivyo wanaenda zao moja kwa mojakwenye uharibifu, wakipuuza kwa ghadhabu kali jitihada yoyote na jitihada zote za kuwaokoa kama vinga kutoka motoniwasiungue. Kweli hao ni wenye mashaka, hata hivyo hawajui.Wamekufa ganzi na hawana matumaini kabisa, waowanajitukuza kwa jambo ambalo ni aibu yao kweli. WaliasioNeno, hata hivyo siku moja wao watahukumiwa kwalo nakulipa gharama ya mashtaka yake ya kutisha.

USHAURI WA MWISHO WA NYAKATI

Ufu. 3:18-19. “Nakupa shauri, ununue Kwangu dhahabuiliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri; na mavazi meupeupate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane; na dawa ya machoya kujipaka macho yako, upate kuona. Wote niwapendao Miminawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.”

Shauri la Mungu ni fupi. Ni la maneno machache. Yeyeanalielekeza kanisa hili la wakati wa mwisho kwenye tumainimoja. Tumaini hilo ni YEYE MWENYEWE. Anasema, “NjooKwangu ukanunue.” Ni dhahiri kutokana na fungu hili lamaneno “ununue Kwangu” ya kwamba kanisa la Laodikiahalishughuliki hata kidogo na Yesu kwa ajili ya matunda yaKiroho ya Ufalme wa Mungu. Shughuli zao haziwezi kuwa niza Kiroho. Wao wanaweza kufikiria kwamba ni wa Kiroho,lakini wanawezaje kuwa ni wa kiroho? Kazi wazitendazo katiyao kweli kabisa si kama vile ambavyo Paulo angesema,“Mungu atendaye kazi ndani yenu kwa kulitimiza kusudi Lakejema.” Fil. 2:13. Hivyo basi vipi kuhusu makanisa haya yote,shule, hospitali, juhudi za kimishenari, nk.? Mungu hayupondani ya hizo mradi tu wao ni uzao na roho wa kimadhehebu,na si wa Uzao na wa Roho wa Mungu.

“Ununue Kwangu, dhahabu iliyosafishwa kwa moto,upate kuwa tajiri.” Sasa watu hawa walikuwa na dhahabunyingi sana, lakini ilikuwa ni ya aina isiyofaa. Ilikuwa ni iledhahabu iliyoyanunua maisha ya wanadamu nakuwaangamiza. Ilikuwa ni ile dhahabu iliyopinga na kuipotoatabia ya binadamu, kwa maana kuipenda kwake kulikuwandio chanzo cha maovu yote. Ufu. 18:1-14, “Baada ya hayonaliona malaika mwingine, akishuka kutoka mbinguni,mwenye mamlaka kuu; na nchi ikaangazwa kwa utukufuwake. Akalia kwa nguvu kwa sauti kuu, akisema,Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu, umekuwa maskaniya mashetani, na ngome ya kila roho mchafu, na ngome yakila ndege mchafu mwenye kuchukiza; kwa kuwa mataifayote wamekunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake,na wafalme wa nchi wamezini naye, na wafanya biashara wa

Page 357: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 347

nchi wamepata mali kwa nguvu za kiburi chake. Kishanikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokenikwake, enyi watu Wangu, msishiriki dhambi zake, walamsipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefikahata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake. Mlipenikama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri yamatendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha,mchanganyishieni maradufu. Kwa kadiri alivyojitukuza nakufanya anasa, mpeni maumivu na huzuni kadiri iyo hiyo.Kwa kuwa husema moyoni mwake, Nimeketi malkia, wala simjane, wala sitaona huzuni kamwe. Kwa sababu hiyo mapigoyake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa,naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana BwanaMungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu. Na hao wafalme wanchi, waliozini naye na kufanya anasa pamoja naye, wataliana kumwombolezea; wauonapo moshi wa kuungua kwake;wakisimama mbali kwa hofu ya maumivu yake, wakisema,Ole, ole, mji ule ulio mkuu, Babeli, mji ule ulio na nguvu!kwa kuwa katika saa moja hukumu yako imekuja. Naowafanya biashara wa nchi watalia na kumwombolezea, kwasababu hapana mtu anunuaye bidhaa yao tena; bidhaa yadhahabu, na fedha, na kito chenye thamani, na lulu, na kitaninzuri, na nguo ya rangi ya zambarau, na hariri, na nguonyekundu; na kila mti wa uudi, na kila chombo cha pembe,na kila chombo cha mti wa thamani nyingi, na cha shaba, nacha chuma, na cha marimari; na mdalasini, na manukato, nailiki, na uvumba, na marhamu, na ubani, na mvinyo, namafuta ya mzeituni, na unga mzuri, na ngano, na ng’ombe, nakondoo, na farasi, na magari, na watumwa na nafsi zawanadamu. Na matunda yaliyotamaniwa na roho yakoyamekuondokea; na vitu vyote vilivyo laini na vitu vya faharivimekupotea; nawe hutaviona tena kamwe.” Haya ni kwelikabisa yale makanisa yaliyounda madhehebu ya siku zamwisho, kwa maana inasema katika aya ya 4, “Tokeni kwakeENYI WATU WANGU.” Kunyakuliwa hakujatukia bado.Bibi-arusi hajaondoka bado wakati hali hizi mbaya sanakatika kanisa hili tajiri, la uongo zinapokuwepo.

Lakini, kuna dhahabu ya Mungu. I Pet. 1:7. “Ili kwambakujaribiwa kwa imani yenu, ambayo ina thamani kuu kulikodhahabu ipoteayo.” Dhahabu ya Mungu ni tabia iliyo kama yaKristo iliyotengenezwa katika tanuru ya moto wa mateso. Hiyondiyo dhahabu ya namna nzuri.

Lakini kanisa lina dhahabu ya aina gani leo? Halina kituila dhahabu ya dunia ambayo itaangamia. Ni tajiri.Linajikinai. Limefanya utajiri kuwa ndio kipimo halisi chakuwa wa kiroho. Ushuhuda wa baraka za Mungu na usahihiwa mafundisho, nk. unategemea sasa ni matajiri wangapiwanahusika katika hayo.

Page 358: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

348 NYAKATI SABA ZA KANISA

“Afadhali uje kabla hujachelewa,” asema Bwana, “naununue Kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto ndipoutakuwa tajiri kweli.” Tunalipata jambo hilo? Nisikilizenimimi, “Tunakuja uchi (kimwili) ulimwenguni, lakiniHATUTAUACHA (kiroho) tukiwa uchi.” Loo la, tutabeba kitufulani, kwamba kitu hicho ni nini, ndicho TU tunachowezakubeba, si pungufu wala si zaidi. Kwa hiyo afadhali tuwewaangalifu sana sasa kuona ya kwamba tunachukua kitukitakachotufanya sawa mbele za Mungu. Kwa hiyo, basi,tutabeba nini? Tutabeba TABIA yetu, ndugu, hiyo ndiyotutakayochukua? Sasa ni tabia ya namna gani utakayochukua?Je! itakuwa kama Yake Yeye ambaye tabia yake ilifinyangwakwa kuteseka katika tanuru ya moto ya mateso, ama itakuwahuu wororo wa watu hawa wa Laodikia wasio na tabia njema?Ni juu yetu kila mmoja wetu, kwa kuwa katika siku hiyo kilamtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.

Sasa, nilisema ya kwamba mji wa Laodikia ulikuwa ni mjitajiri. Ulitengeneza sarafu za dhahabu zilizoandikwa pandezote. Sarafu za dhahabu ziliainisha wakati huo_kulikuwakona biashara iliyostawi kwa ajili ya hizo. Leo, ile sarafu yadhahabu yenye pande mbili iko pamoja nasi. Tunajilipiakutoka na tunajilipia kuingia. Katika kanisa, tunajaribukutimiza jambo lile lile. Tunajilipia kutoka dhambini nakujilipia kuingia mbinguni_ama ndivyo tusemavyo. LakiniMungu hasemi jambo hilo.

Kanisa linamiliki utajiri usio wa kawaida, hivi kwambakatika wakati wo wote ule linaweza kutwaa madaraka yote yampango wa biashara ya dunia, na kwa kweli kiongozi fulaniwa Baraza la Makanisa Ulimwenguni ametabiri hadharani yakwamba kanisa katika siku zijazo litapaswa, litaweza, nalitafanya hasa jambo hilo. Lakini mnara wao wa dhahabu waBabeli utaanguka. Dhahabu iliyojaribiwa katika moto tu ndiyoitakayostahimili.

Na hivyo ndivyo ambavyo kanisa limefanya daima katikazile nyakati. Limeliacha Neno la Mungu na kuchukua kanunizake lenyewe za imani na mafundisho ya sharti; limejifanyamadhehebu na kujiunganisha lenyewe na ulimwengu. Hivyobasi liko uchi, na Mungu anahukumu uasherati wake. Njiapekee linaloweza kutoka kwenye hali hii mbaya sana ni kwakumtii Bwana kurudi kwenye Neno Lake. Ufu. 18:4, “TokeniKwake enyi watu Wangu.” 2 Kor. 6:14-18. “Msifungiwe nirapamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maanapana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana ushirika ganikati ya nuru na giza? Tena pana mapatano gani kati ya Kristona Beliari? au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeyeasiyeamini? tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Munguna sanamu? kwa maana ninyi ni hekalu la Mungu aliye hai;kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na

Page 359: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 349

kati yao nitatembea, Nami nitakuwa Mungu wao, naowatakuwa watu Wangu. Kwa hiyo, Tokeni kati yao,mkatengwe nao, asema Bwana, msiguse kitu kilicho kichafu,Nami nitawakaribisha. Nitakuwa Baba kwenu, nanyimtakuwa Kwangu wanangu wa kiume na wa kike, asemaBwana Mwenyezi.” Kuna malipo ya kulipa kwa ajili ya mavazihayo, na hayo ni malipo ya kutengana.

“Na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upatekuona.” Hasemi ya kwamba inakubidi kununua dawa hii yamacho. Loo hasha. Roho Mtakatifu hauzwi. “Je! mlimpokeaRoho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana naimani?” Gal. 3:2. Bila Ubatizo wa Roho Mtakatifu, macho yakohayawezi kufunguliwa upate ufunuo wa kweli wa Kiroho waNeno. Mtu asiye na Roho ni kipofu kwa Mungu na kweli Yake.

Ninapofikiria juu ya dawa hii ya macho kuyafunguamacho ya watu, karibu siwezi kujizuia kukumbuka wakatinilipokuwa mvulana mdogo huko Kentucky. Mimi pamoja nandugu yangu tulilala katika orofa ndogo ya juu kabisa kwenyegodoro la manyasi. Mianya ya nyufa za nyumba hiyoingeingiza baridi. Wakati mwingine katika majira ya kipupwekungekuwa na baridi sana kwamba tungeamka asubuni machoyetu yakiwa yamefumbwa kabisa yakagandamana kwa baridihata yakavimba na kuuma. Tungemlilia mama, naye angekujaakiwa na mafuta yenye moto ya mnyama aina ya cheche nakuyasugua macho yetu mpaka usaha uliokauka ungetoka, nandipo tungeweza kuona. Unajua kumekuwako na baridimbaya sana inayovuma katika kanisa katika kizazi hiki, naminachelea macho yake kwa namna fulani yamegandamanayakafunga kwa baridi nalo ni kipofu kwa yale Mungu aliyonayo kwa ajili yake. Linahitaji mafuta ya moto ya Roho waMungu kuyafungua macho yake. Lisipompokea Roho waMungu litaendelea kubadilisha nguvu kwa utaratibu na Nenokwa kanuni za imani. Linahesabu idadi kwamba ndiyomafanikio, badala ya kutafuta matunda. Madaktari watheolojia wamefunga mlango wa imani na kuwakataza wotekuingia. Wao hawaingii, wala hawamruhusu mtu mwingine yeyote kuingia. Theolojia yao inatoka kwenye kitabu chasaikolojia kilichoandikwa na mtu fulani asiyeamini. Kunakitabu fulani cha saikolojia, kile sisi sote tunachohitaji; niBiblia. Kimeandikwa na Mungu na kina saikolojia ya Mungu.Huhitaji daktari ye yote kukielezea kwako. Mpokeeni RohoMtakatifu na mmwache yeye atoe maelezo. Yeye ndiyealiyekiandika Kitabu hicho na anaweza kukuambia ni ninikilicho ndani yake na kinamaanisha nini. I Kor. 2:9-16 “Lakinikama ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona walasikio halikuyasikia, Wala hayakuingia katika moyo wamwanadamu, mambo ambayo Mungu aliwaandaliawampendao. Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho.

Page 360: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

350 NYAKATI SABA ZA KANISA

Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamuila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mamboya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu. Lakinisisi hatukuipokea roho ya dunia, bali Roho atokaye kwaMungu, makusudi tupate kuyajua tuliyokirimiwa na Mungu.Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwahekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na RohoMtakatifu, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno yarohoni. Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mamboya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezikuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.Lakini mtu wa Rohoni huyatambua yote, wala yeye mwenyewehatambuliwi na mtu. Maana, Ni nani aliyeifahamu nia yaBwana, kwamba amwelimishe? Lakini sisi tunayo nia yaKristo.”

Sasa kama mambo yote ambayo Roho anayapigia kelelekwa sauti kuu kuyapinga ni mambo yaliyopo katika wakatihuu, tunahitaji mtu fulani ajitokeze jukwaani kamaalivyofanya Yohana Mbatizaji na kulikemea kanisa kulikoilivyowahi kufanya. Na jambo hilo ndilo hasa linalokujakatika wakati wetu. Yohana Mbatizaji mwingine anakuja nayeatapiga kelele kama vile vile alivyofanya yule mtangulizi wakwanza. Tunajua ya kwamba atafanya jambo hilo kwa sababuya yale isemayo aya inayofuata.

“Wote niwapendao Mimi nawakemea, na kuwarudi; basiuwe na bidii, ukatubu.” Ufu. 3:19. Huu ni ujumbe ule uleYohana aliokuwa nao alipopiga makelele katika lile jangwa lakidini la Mafarisayo, Masadukayo, na makafiri, “TUBUNI!”Hapakuwepo na njia nyingine wakati huo; hakuna nyinginesasa. Hapakuwepo na njia nyingine ya kumrudia Munguwakati huo, wala hapana njia nyingine sasa. Ni TUBUNI.Badilisheni nia zenu. Geukeni. TUBUNI, kwa maana kwa ninimfe?

Hebu na tuchunguze fungu la kwanza la maneno, “woteniwapendao.” Katika Kiyunani mkazo upo kwenye kijina chanafsi “MIMI”. Hasemi wengi ambao wangejisikia angesema,“wote wanipendao MIMI.” La bwana. Hatupaswi kamwekujaribu kumfanya Yesu kuwa KITU cha kupendwa namwanadamu katika aya hii. La! Ni WOTE walio WAPENDWAwa Mungu. Upendo WAKE, ndio tunaozungumzia, SI wetu.Kwa hiyo mara nyingine tena tunajikuta tukifurahia katikawokovu Wake, kusudi Lake na mpango Wake, nasitunaimarika hata na zaidi katika kweli ya fundisho la Ukuuwa Mungu. Kama tu vile alivyosema katika Rum. 9:13.“Nimempenda Yakobo.” Je! sasa ina maana ya kwamba kwakuwa Yeye aliwapenda hao WENGI TU, Yeye sasa yuko katikahali ya kinaya, akingojea upendo wa hao ambao

Page 361: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 351

hawajamkaribia? Hivi sivyo lilivyo kabisa, kwa maana Yeyealitangaza pia katika Rum. 9:13, “Esau nimemchukia.” Nakatika aya ya 11 Roho anasema kwa ujasiri, “Kwa maanakabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jemawala baya, ILI LISIMAME KUSUDI LA MUNGU LAKUCHAGUA, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu yania Yake aitaye.” Upendo huu ni “Upendo wa Kuchagua.” Niupendo Wake kwa ajili ya wateule WAKE. Na upendo Wakekwao hauhusiki na KUSTAHILI KWA KIBINADAMU kwamaana inasemwa ya kwamba kusudi la Mungu linasimamakatika kuchagua jambo ambalo ni kinyume kabisa cha kaziwala cho chote alicho nacho binadamu mwenyewe. Kwa kuwa“KABLA HAWAJAZALIWA WALE WATOTO” Yeye TAYARIalikuwa amekwisha kusema, “Nimempenda Yakobo, lakiniEsau nimemchukia.”

Na sasa anawaambia walio Wake, “Wote niwapendaoMimi, NAWAKEMEA NA KUWARUDI.” Kukemea nikukaripia. Kukaripia ni ‘kuweka wazi kwa ajili yakusahihisha.’ Kurudi hakumaanishi kuadhibu. Kunamaanishakumkanya mtu kwa sababu nia ni kumsahihisha.” Hili ndilotunalopata hasa katika Ebr. 12:5-11, “Tena mmeyasahau yalemaonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana, Mwanangu,usiyadharau marudia ya Bwana, wala usizimie moyoukikemewa Naye; Maana yeye ambaye Bwana ampenda,humrudi, Naye humpiga kila mwana amkubaliye. Ni kwa ajiliya kurudiwa mwastahimili; Mungu awatendea kama wana;maana ni mwana yupi asiyerudiwa na babaye? Basi kamamkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipommekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali. Napamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi,nasi tukawastahi; basi si afadhali sana kujitia chini ya Babawa roho zetu na kuishi? Maana ni hakika, hao kwa siku chachewaliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali Yeye kwafaida yetu, ili tuushiriki utakatifu Wake. Kila adhabu wakatiwake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakinibaadaye huwaletea wao waliozoezwa nayo matunda ya hakiyenye amani.”

Hapa basi unaonyeshwa upendo wa Mungu. Yeyealitamani jamaa Yake Mwenyewe katika upendo, jamaa yawana_wana kama Yeye. Hapo mbele Yake wamekaawanadamu wote kama bonge MOJA la udongo. Kutoka kwenyelundo lilo hilo sasa atafanya vyombo vya heshima na visivyovya heshima. UCHAGUZI utakuwa ni kuchagua Kwake.Ndipo hao aliowachagua, waliozaliwa kwa Roho WakeWatafundishwa kufanana na sura Yake katika mwenendo wao.Yeye HUKARIPIA kwa uvumilivu wote na upole na rehema.Yeye HURUDI kwa mikono yenye makovu ya misumari.Wakati mwingine Mfinyanzi huyu hana budi kuchukua

Page 362: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

352 NYAKATI SABA ZA KANISA

chombo anachokifanyia kazi na kukivunja-vunja kabisakabisa kusudi apate kukiunda tena jinsi anavyokitaka hasa.LAKINI NI UPENDO. HUO NI UPENDO WAKE. HAKUNANJIA NYINGINE YA UPENDO WAKE. HAIWEZI KUWAKO.

Loo! enyi kundi dogo, msiogope. Wakati huu unamalizikaupesi. Na unapomalizika magugu hayo yatafungwa pamoja, nakama vile kamba ya nyuzi tatu haikatiki upesi, yatakuwayenye nguvu nyingi sana za namna tatu za kisiasa, kimwili, nakiroho (Kishetani), nayo yatatafuta kumwangamiza bibi-arusiwa Kristo. Atateseka, bali atavumilia. Usiogope mambo hayoyanayokuja juu ya dunia, kwa maana Yeye “Ambayealiwapenda watu Wake, aliwapenda upeo.” Yohana 13:1.

“Uwe na bidii ukatubu.” Sasa kanisa hili la uongo linabidii; usikosee jambo hilo. Bidii yake imekuwa hasa ni ile yaWayahudi, Yohana 2:17, “Wivu wa nyumba yako umenila.”Lakini ni bidii mbaya. Ni ya nyumba waliyojijengea wenyewe.Ni ya kanuni zao wenyewe, mafundisho ya sharti, madhehebu,haki yao wenyewe. Wameliondosha Neno wakatwaa mawazoyao wenyewe. Walimwondoa Roho Mtakatifu na kuwafanyawanadamu kuwa viongozi. Wameweka kando Uzima wa Milelekama Mtu, na kuufanya kwamba ni matendo mema, ama hatakuigiza kanisa badala ya matendo mema.

Lakini Mungu anataka bidii nyingine. Ni bidii ya kulia“NIMEKOSA.” Sasa ni nani atakayeenda kusema ya kwambaamekosa? Ni kitu gani madhehebu haya yoteyanachotegemea?_dai la uanzilishi, pia dai la Mungu,_dai lakwamba wao ndio walio wa kweli. Sasa WOTE hawawezikuwa sahihi. Kusema kweli hakuna HATA MOJA la hayo lililola kweli. Hayo ni makaburi yaliyopakwa chokaa, yamejaamifupa ya wafu. Hayana uhai. Hayana thibitisho. Munguhajajijulisha kamwe katika madhehebu yo yote. Waowanasema wako sahihi kwa sababu wao ndio wanaosemajambo hilo, lakini kusema kitu hakukifanyi kuwa kweli. Waowanahitaji “Bwana asema hivi” iliyothibitishwa ya Mungu,nao hawanayo.

Sasa hebu niseme jambo hili hapa. Siamini ya kwambaMungu anaita kanisa la uongo peke yake kuja kutubu. Katikaaya hii Yeye anazungumza na wateule Wake. Wao wana jambola kutubia, pia. Wengi wa watoto Wake wangali wako kwenyehayo makanisa ya uongo. Hao ni wale ambao habari zaozinasemwa katika Efe. 5:14, “Amka, wewe usinziaye, ufufukekatika wafu, na Kristo atakuangaza.” Kulala sio kufa. Hawawanalala miongoni mwa wafu. Wako kule nje kwenyemadhehebu yaliyokufa. Wanaelea pamoja nayo. Munguanawapigia makele, “AMKENI!” Tubieni ujinga wenu.” Hawahapa wakitoa ushawishi wao, wakitoa wakati wao na fedhazao, kwa kweli maisha yao yenyewe kwa haya madhehebu ya

Page 363: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 353

mpinga-Kristo, na wakati wote wakifikiria kila kitu ni kweli.Wanahitaji kutubu. Hawana budi kutubu. Wanapaswakubadilisha nia yao na kuigeukia ile kweli.

Naam, huu ndio wakati ambao unahitaji kutubu sana.Lakini utatubu? Utalirudisha Neno? Je! utamrudisha tenaRoho Mtakatifu kwenye kiti cha enzi katika maisha ya watu?Utamheshimu tena Yesu kama Mwokozi PEKEE? Ninasema la,kwa maana aya inayofuata inaonyesha ukweli wa kushangazasana na wa kufadhaisha sana wa kumalizia kwa wakati huu.

KRISTO AKIWA NJE YA KANISA

Ufu. 3:20-22, “Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtuakiisikia sauti Yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake,Nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja Nami. Yeyeashindaye, nitampa kuketi pamoja Nami katika kiti Changucha enzi, kama Mimi nilivyoshinda nikaketi pamoja na BabaYangu katika kiti Chake cha enzi. Yeye aliye na sikio, naalisikie Neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa.”

Sasa kuna utata mkubwa sana juu ya aya hii kwa sababuwengi sana wanaotenda kazi kibinafsi katika uinjilisti wakibinafsi wanautumia kana kwamba Yesu alikuwa kwenyemlango wa moyo wa kila mwenye dhambi akipiga hodi apatekuruhusiwa kuingia. Ingesemwa basi ya kwamba kamamwenye dhambi angefungua mlango, Bwana angeingia. Lakiniaya hii haizungumzi na wenye dhambi binafsi. Ujumbe huuwote una jumla ya maneno kama vile ilivyo kwa kila ujumbekatika kila wakati. Katika aya ya 22 inasema, “Yeye aliye nasikio, na alisikie Neno hili ambalo Roho ayaambiaMAKANISA.” Kwa hiyo huu ni ujumbe kwa kanisa la wakatiwa mwisho. Hii ndiyo hali ya kanisa la Laodikia hapo mwishowake unapokaribia. Si ujumbe wa kibinafsi kwa mtu mmoja;ni Roho akitwambia mahali alipo Yesu. KRISTOAMELIACHA KANISA. Je! hayo siyo matokeo dhahiri amamwisho kama Neno likiwekwa kando badala ya kanuni yaimani kuweka kando, Roho Mtakatifu akiondolewa namapapa, maaskofu, marais, washauri, nk. kuchukua mahaliPake, na Mwokozi akiwekwa kando na badala Yake nafasiichukuliwe na utaratibu wa shughuli za kidini, ama kujiungana kanisa, ama namna fulani ya kupatana na utaratibu wakanisa? Kuna nini zaidi linaloweza kufanywa dhidi Yake? Huuni ukengeufu! Huku ni kuanguka! Huu ni mlangouliofunguliwa kwa mpinga-Kristo, kwa maana kama Mmojaalikuja katika Jina la Baba Yake (Yesu) wala hakupokewa,lakini akakataliwa, basi atakuja mwingine aliye na jina lakemwenyewe (mwongo, mnafiki) naye huyo wao watampokea,Yohana 5:43. Yule mtu wa dhambi, yule mwana wa upotevuatachukua mamlaka.

Page 364: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

21

43

65

354 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kupatwa kamili kwa mwezi hapo Papa alipozuru Jerusalemu.

Page 365: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 355

Mt. 24, inataja ishara mbinguni kuhusu siku hii ya mwishokabla tu ya kuja kwa Yesu. Sijui kama uliona ishara kama hiyohivi majuzi ikitimizwa ipate kuonyesha kweli ile iletuliyokuwa tukinena habari zake. Kweli hiyo ni kwamba Yesuamekuwa akisukumwa pole pole kando mpaka katika wakatiwa mwisho amesukumwa nje ya kanisa. Kumbuka ya kwambakatika wakati wa kwanza kanisa lilikuwa karibu ni mviringomzima wa kweli. Walakini kulikuweko na kosa dogo lililoitwamatendo ya wanikolai lililoifanya duara hiyo kutojaa. Ndipokatika wakati uliofuata giza zaidi lilipenya mpaka ile duara yanuru ikapunguza mwangaza wake, ndipo giza likafunikasehemu kubwa zaidi ya ile duara. Katika wakati wa tatuilifunikwa hata na zaidi, na katika wakati wa nne ambaoulikuwa ndio zile Zama za Giza, nuru ilikuwa karibu yoteimekwisha. Sasa hebu wazieni jambo hili. Kanisa linaangazakatika nuru iliyotoka kwa Kristo. Yeye ndiye JUA. Kanisa niMWEZI. Kwa hiyo mviringo huu wa nuru ni mwezi. Ulikuwaumepungua kutoka karibu mwezi mzima katika wakati wakwanza, kufikia kipande chembamba katika wakati wa nne.Lakini katika wakati wa tano ulianza kukua. Katika wakatiwa sita ukapiga hatua kubwa sana ya kukua kuendelea mbele.Katika sehemu ya wakati wa saba ulikuwa ungali unakua,ndipo mara moja ukakoma, na ukafifia karibu kabisa, hivikwamba badala ya nuru ilikuwa ni giza la ukengeufu, nakatika mwisho wa wakati ulikuwa umeacha kuangaza kwamaana giza lilikuwa limeshinda. Kristo sasa alikuwa nje yakanisa. Hii hapa ile ishara mbinguni. Kule kupatwa kwamwisho kwa mwezi kulikuwa kupatwa kwa mwezi wote.Ulififia ukawa giza tupu katika hatua saba. Katika hatua yasaba, giza tupu liliingia wakati Papa wa Roma (Paulo wa Sita)alipoenda huko Palestina kufanya ziara takatifu yaYerusalemu. Alikuwa ndiye papa wa kwanza aliyepata kwendaYerusalemu. Huyo papa anaitwa Paulo wa Sita. Paulo alikuwani mjumbe wa kwanza na mtu huyu anaitwa kwa jina hilo.Angalia kwamba ni wa sita, ama hesabu ya mwanadamu. Hiini zaidi ya kubahatisha. Na hapo alipokwenda Yerusalemu,mwezi ama kanisa likawa giza tupu. Mambo ndiyo hayo. Huundio ule mwisho. Kizazi hiki hakitapita mpaka yoteyatakapotimizwa. Naam Bwana Yesu, njoo upesi!

Sasa tunaweza kuona ni kwa nini kulikuweko na mizabibumiwili, mmoja wa kweli na mmoja wa uongo. Sasa tunawezakuona ni kwa nini Ibrahimu alikuwa na wana wawili, mmojawa kimwili (aliyemtesa Isaka) na mmoja wa ahadi. Sasatunaweza kuona ni kwa nini kwamba kutoka kwa wazazi walewale wavulana wawili walitokea kama mapacha, mmojaakipenda na kuyajua mambo ya Mungu, na yule mwingineakijua mengi ya kweli hiyo hiyo, lakini hakuwa wa Roho yuleyule, na kwa hiyo akamtesa mtoto aliyekuwa ameteuliwa.Mungu hakukataa vivi hivi tu kwa ajili tu ya kukataa. Yeye

Page 366: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

356 NYAKATI SABA ZA KANISA

alikataa kwa ajili ya walio wateule. MTEULE HAWEZIkumtesa mteule. MTEULE HAWEZI kumdhuru mteule.Waliokataliwa ndio wanaowatesa na kuwaangamiza wateule.Loo! hao waliokataliwa ni wa kidini. Ni werevu. Wao ni waukoo wa Kaini, ule mzao wa nyoka. Wanajenga Babeli zao,wanajenga miji yao, wanajenga himaya zao, na wakati huo wotewakimlilia Mungu. Wao wanachukia uzao wa kweli, naowatafanya yote wawezayo, (hata katika Jina la Bwana)kuwaangamiza wateule wa Mungu. Lakini wanahitajika.“Makapi yana faida gani kwa ngano?” Bila makapi, hakunangano. Lakini wakati wa mwisho, ni nini kinachoyapatamakapi? Yanateketezwa kwa moto usiozimika. Na ngano je? Ikowapi? Inakusanywa katika ghala Lake. Iko mahali alipo Yeye.

Enyi wateule wa Mungu, jihadharini. Someni kwa makini.Iweni waangalifu. Utimizeni wokovu wenu kwa kuogopa nakutetemeka. Mtegemeeni Mungu na mwe hodari katika uwezaWake. Adui yenu, ibilisi, hata sasa anazunguka-zunguka kamasimba angurumaye akitafuta mtu ammeze. Kesheni mkiombana mwe imara. Huu ni wakati wa mwisho. Mizabibu yotemiwili wa kweli na wa uongo inafikia kukomaa, lakini kablangano haijakomaa, magugu hayo yaliyoiva hayana budikufungwa yapate kuteketezwa. Unaona, yote yanajiunga naBaraza la Makanisa Ulimwenguni. Huko ndiko kule kufungwa.Hivi karibuni utafika wakati wa ngano kuwekwa ghalani. Balisasa hivi zile roho mbili zinatenda kazi katika ile mizabibumiwili. Tokeni kati ya hayo magugu. Anzeni kushinda mpatekuhesabiwa wanaostahili sifa kwa ajili ya Bwana wenu, nawanaostahili kumiliki na kutawala pamoja Naye.

KITI CHA ENZI CHA MWENYE KUSHINDA

Ufu. 3:21, “Yeye ashindaye, nitampa kuketi pamoja Namikatika kiti Changu cha enzi, kama Mimi nilivyoshinda nikaketipamoja na Baba Yangu katika kiti Chake cha enzi.”

Sasa tunapaswa kushinda nini? Hilo ndilo swali lakawaida la kuuliza hapa. Lakini hilo silo wazo halisi la aya hiikwa maana sana sana si YALE tunayopaswa kushinda bali niJINSI tunavyopaswa kushinda. Sasa hili ni wazi, kwa maanaje! ni hoja sana YALE tunayopaswa kushinda iwapo tunajuaJINSI ya kushinda?

Mtazamo wa haraka wa yale Maandiko yanayomhusuBwana Yesu akishinda yataelezea ukweli wa hoja hii. KatikaMt. 4, ambapo Yesu anajaribiwa na ibilisi, Yeye alishinda hayomajaribu ya binafsi ya Shetani kwa Neno, na kwa Neno pekeyake. Katika kila moja ya yale majaribu matatu makuuyaliyofanana kabisa na yale majaribu ya Bustani ya Edeni,tamaa ya mwili, tamaa ya jicho, na kiburi cha uzima, Yesualishinda kwa Neno. Hawa alianguka kwa jaribu la kibinafsi la

Page 367: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 357

Shetani kwa kushindwa kutumia Neno. Adamu alianguka kwakutolitii Neno waziwazi. Lakini Yesu alishinda kwa Neno. Nasasa hivi, hebu niseme ya kwamba hii ndiyo njia pekee ya kuwamshindi, pia ndiyo njia pekee ambayo unaweza kujua kamaunashinda, kwa maana hilo Neno HALIWEZI kushindwa.

Sasa angalia tena jinsi Yesu alivyoshinda utaratibu wa diniza ulimwengu. Wakati aliposumbuliwa mara kwa mara nawanatheolojia wa siku Yake, Yeye daima alitumia Neno.Alinena yale tu ambayo Baba alimpa kunena. Hapakuwepo nawakati ambapo ulimwengu haukuwa umetatanishwa kabisa nahekima Yake kwa maana ilikuwa ni hekima ya Mungu.

Katika maisha Yake ya kibinafsi, akishindana na nafsiYake, Yeye alishinda kwa kulitii Neno la Mungu. Katika Ebr.5:7 inasema, “Yeye, siku hizo za mwili Wake, alipomtolea yuleawezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na duapamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsialivyokuwa mcha Mungu; na, ingawa ni Mwana, alijifunzakutii kwa mateso hayo yaliyompata; Naye alipokwishakukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watuwote wanaomtii.” Yeye alikuwa mtii kwa kitu gani? Neno laMungu.

Sasa basi, hakutakuwako na mtu hata mmoja atakayeketikatika kiti cha enzi cha Bwana Yesu Kristo isipokuwaamekuwa akiliishi hilo Neno. Maombi yenu, kufunga kwenu,toba zenu_haidhuru umpe nini Mungu_hakuna hata moja yahayo yatakayokupa majaliwa ya kuketi kwenye kiti hicho chaenzi. Bibi-arusi NENO tu ndiye atakayejaliwa. Kama vile kiticha enzi cha mfalme hushirikishwa malkia kwa sababuameungana naye, vivyo hivyo ni wale tu walio wa Neno kamavile Yeye alivyo wa hilo Neno watashiriki kiti hicho cha enzi.

Kumbukeni tumeonyesha wazi wazi katika nyakati zote yakwamba kama vile Adamu na Hawa walivyoanguka kwasababu waliliacha Neno, vivyo hivyo Wakati wa Efesoulianguka kwa kugeuka kidogo kutoka kwenye Neno, mpakana kila wakati ukiendelea kugeuka, tumefikia kukataliwa kwamwisho kwa Neno na utaratibu wa Kanisa la Ulimwengu.Wakati huu wa Laodikia unaishia katika kutiwa giza kabisakwa Neno, na kwa hiyo kumfanya Bwana kuondoka katikatiyao. Anasimama nje akiita walio Wake wanaomfuata Yeyekwa kulitii Neno. Baada ya dhihirisho fupi na lenye nguvu laRoho kundi hili dogo linalowindwa na kuteswa litaondokaliende kuwa pamoja na Yesu.

MWISHO WA NYAKATI ZA MATAIFA

Wakati huu ndio wa mwisho wa zile nyakati saba zakanisa. Kile kilichoanza katika Wakati wa Kwanza au Wakati

Page 368: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

358 NYAKATI SABA ZA KANISA

wa Efeso hakina budi na lazima kifikie kwenye ukamilifu wakutoa mazao na kuvunwa katika ule wa mwisho ama Wakatiwa Laodikia. Mizabibu hiyo miwili itazaa matunda yao yamwisho. Roho hizo mbili zitamaliza dhihirisho lao katika kilamoja ya vikomo vyao vya mwisho. Kule kupanda, kulekumwagia maji, kule kukua kote kumekwisha. Majira yakiangazi yamekwisha. Mundu sasa umetupwa katika mavuno.

Katika aya ya kumi na tano mpaka ya kumi na naneambazo ndiyo tu tuzisome kuna picha ya kweli ya mzabibu wauongo ulioiva, roho wa uongo, watu wa kanisa la uongo.“Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto;ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwasababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto,nitakutapika utoke katika kinywa Changu. Kwa kuwawasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu;nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka,na maskini, na kipofu, na uchi. Nakupa shauri, ununueKwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri;na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane;na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.”Hakuna maneno yaliyopata kuonyesha kukataliwa kuchunguzaidi, wala hakuna watu wa kidini wenye kiburi nawanaojivuna waliostahili hayo zaidi ya hao. Hata hivyo katikaaya ya ishirini na moja, “Yeye ashindaye, nitampa kuketipamoja Nami katika kiti Changu cha enzi, kama Miminilivyoshinda nikaketi pamoja na Baba Yangu katika kitiChake cha enzi,” tunaona ule mzabibu wa kweli, Roho wakweli, watu wa Kanisa la kweli wameinuliwa mpaka kwenyekiti cha enzi cha Mungu na sifa za hali ya juu sana zilizopatakutolewa kwa kundi imara la Kiroho na nyenyekevu.

Maneno ya Yohana Mbatizaji aliyemweleza Kristo kwausahihi sana katika uhusiano wa kanisa la kweli na la uongosasa yanatimia. Mt. 3:11-12, “Kweli mimi nawabatiza kwa majikwa ajili ya toba; bali Yeye ajaye nyuma yangu ana nguvukuliko Mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu Vyake; Yeyeatawabatiza kwa Roho Mtakatifu na kwa moto. Ambayepepeto Lake li mkononi Mwake, Naye atausafisha uwandaWake; na kuikusanya ngano Yake ghalani, bali makapiatayateketeza kwa moto usiozimika.” Kristo, yule MvunajiMkuu, sasa anavuna matunda ya nchi. Yeye anaikusanyangano ghalani kwa kuja kwa ajili ya walio Wake nakuwapokea milele Kwake. Ndipo anarudi kuwaangamizawaovu kwa moto usiozimika.

Ile siri ya magugu na ngano ya Mt. 13:24-30, hivi sasa piaimetimizwa. “Akawatolea mfano mwingine, akisema, Ufalmewa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njemakatika konde lake: Lakini watu walipolala, akaja adui yakeakapanda magugu katikati ya ngano, akaenda zake. Baadaye

Page 369: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 359

majani ya ngano yalipomea, na kuzaa, yakaonekana namagugu. Watumwa wa mwenye nyumba wakaendawakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katikakonde lako? Limepata wapi basi magugu? Akawaambia, Aduindiye aliyetenda hivi. Watumwa wakamwambia, Basi, watakatwende tukayakusanye? Lakini akasema, La; msijemkakusanya magugu, na kuzing’oa ngano pamoja nayo.Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wamavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu,myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyenighalani Mwangu.”

Ngano na magugu, ambavyo tangu wakati ule wa kwanzahata sasa vimekua pamoja, vinavunwa. Yale ambayo Nikeailitaka kutimiza hatimaye yametimwizwa sasa. Likiwa nanguvu zote za madhehebu kanisa la uongo linaacha kila kwelidalili yote ya kweli na kwa nguvu za kisiasa linajiimarishahuku likisaidiw na serikali na linatoka kwendakumwangamiza kabisa mwamini wa kweli. Lakini wakati tuambapo liko karibu na kutimiza njama zake za woga nganoinakusanywa ghalani. Ngano na magugu hayatamea pamojatena. Magugu hayatapokea baraka za Mungu tena kwa sababuya uwepo wa ngano, kwa maana ngano itakuwa imeondoka naghadhabu ya Mungu itamwagwa katika muhuri ya sita ambaoutaishia katika maangamizi kabisa ya walio waovu.

Sasa nilisema muda mfupi uliopita ya kwamba ulemzabibu wa uongo ulikomaa kikamilifu katika wakati huu.Tunda lake lingepevuka na kukomaa. Hilo ni kweli. Kanisahili lililo na roho mchafu, lililojaa uovu, litafunuliwa kamambegu ya haradali iliyokua ikawa mti ambamo mlikaa ndegewa angani. Kiongozi wake atakuwa mpinga-Kristo, ile siri yakuasi. Haya yote ni kweli. Na kama hii ni kweli, basi hainabudi kuwa ni kweli ya kwamba kanisa la Bibi-arusi litakomaa,na kuiva kwake kutakuwa ni kujitambulisha na Bwana wakekwa njia ya Neno, na Kiongozi Wake Ambaye atakuja kwakeni ile Siri ya Uungu, Ambayo kweli ni Kristo. Na kama vilekanisa la uongo likiwa na ujanja wote na nguvu za ibilisizilizoundwa kwa nguvu za kisiasa, nguvu za kimwili namapepo ya giza litakapokuja kupiga vita mzabibu huu wakweli, ule mzabibu wa kweli ukiwa na utimilifu wa Roho naNeno utafanya matendo yale yale ya nguvu ambayo Yesualifanya. Ndipo wakati linapokaribia jiwe lake la Kileleni,likifanyika kama Yeye kupitia katika Neno, Yesu atakujakusudi bibi-arusi na Bwana-arusi waunganike kama mmojamilele.

Tayari madhihirisho yanayoonekana ya yale nilivyokuwanikiwaambia yanaonekana kila upande. Pilikapilika zaekumeni za magugu ni jambo la kweli. Lakini pia ni kweli yakwamba nabii wa wakati wa mwisho hana budi kuwa analeta

Page 370: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

360 NYAKATI SABA ZA KANISA

ujumbe kutoka kwa Mungu ambao utakutangulia kuja kwaBwana mara ya pili, kwa kuwa kwa ujumbe wake ndipomioyo ya watoto itawarudia baba zao wa Pentekoste, napamoja na kurudishwa kwa Neno kutakuja kurudishwa kwazile nguvu.

Ni nyakati za uamuzi mzito zilizoje hizi tunazoishi. Jinsitunavyopaswa kuwa waangalifu kusudi tudumu waaminifukwa Neno hili wala tusiondoe kwake wala kuongeza kwake,kwa maana yeye ambaye angenena ambapo Mungu hajanenaanamfanya Yeye mwongo. Jambo nililo nalo moyoni hasa nihili: Kufikia mwisho wa karne hii njaa ya Mungu iliyoanziakwenye Wakati wa Filadelfia ilisababisha kulilia Roho waMungu. Na wakati kilio hicho kilipojibiwa na Mungu kwakutuma madhihirisho katika lugha, kufasiri na unabii, marakundi fulani, na likiwa kinyume kabisa cha Neno, lilianzishafundisho ya kwamba lugha zilikuwa ndizo ushuhuda wakubatizwa na Roho Mtakatifu. Lugha zilikuwa mbali naushuhuda. Zilikuwa dhihirisho, lakini si ushahidi. Uongo wafundisho hilo hauwezi kuonekana tu kwa ukosefu waMaandiko kuyakinisha jambo hilo, lakini hao waliofuatafundisho hilo waliunda madhehebu mara moja juu ya msingiwa fundisho hilo, ikithibitisha ya kwamba wao hawakuwakatika ile kweli kama walivyowataka watu waamini. Loo!lilionekana kwamba ni zuri. Lilionekana kama ni kule kurudikwa Pentekoste. Lakini ilithibitika kwamba haikuwa hivyo.Haingeweza kuwa, kwa maana waliunda madhehebu. Hiyo nimauti, si uzima. Ilionekana inafanana sana na kile kitu halisihata wengi walidanganywa. Sasa kama haikuwa ni kile kituhalisi, ilikuwa ni nini? Ilikuwa ni ganda, kapi. Katika kifunikokama ala ya kijani kibichi ilionekana kana kwamba ilikuwa nikile kitu chenyewe. Lakini kama vile mtu anavyoweza kwendashambani na kuona kile kinachoonekana kama ngano kabisana walakini ni ganda tu, (kwa kuwa chembe ya nganohaijaumbika bado) kwa hiyo hili lilikuwa tu ni lile ganda lainiambalo lilionekana kama ile chembe halisi itakayokuja. Ilechembe halisi ya Pentekoste ilikuwa irudi katika wakati wamwisho. Ilikuwa imezikwa hapo Nikea. Ilitoa chipukizi wakatiwa Sardi. Ikazaa kishada wakati wa Filadelfia, na ilikuwaikomae wakati wa Laodikia. Lakini haingeweza kurudia ile yaasili mpaka Neno liliporudishwa. Nabii hakuwa amejitokezajukwaani. Lakini sasa kulingana na wakati tunaposimamiakatika Wakati wa Laodikia, ‘Nabii-Mjumbe’ wa Ufu. 10:7 hanabudi kuwa nchini tayari. Mara nyingine tena “Bwana asemahivi” haina budi kuwa hapa, tayari kudhihirishwa kwaushuhuda usiokosea. Hivyo basi ile Mbegu ya Kweli tayariinakomaa, na HALAFU MAVUNO.

Wakati wa mavuno. Naam, wakati wa mavuno. Ilemizabibu miwili iliyokua pamoja na kukingamanisha matawi

Page 371: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

WAKATI WA KANISA LA LAODIKIA 361

yake sasa haina budi kutenganishwa. Matunda ya mizabibuhiyo ambayo ilikuwa ikitofautiana yatakusanywa katikamaghala tofauti. Roho hizo mbili zitakwenda kwenye vikomovyao tofauti. Sasa ni wakati wa kuitikia ule mwito wa mwishounaokuja tu kwa Bibi-arusi Ngano, ‘Tokeni kwake enyi watuWangu msije mkashiriki dhambi zake, na ili kwamba ninyi(ngano) msipokee mapigo (ile dhiki kuu ya ile muhuri ya sitana Mt. 24) yake (magugu).

ONYO LA MWISHO LA ROHO

Ufu. 3:22, “Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambaloRoho ayaambia makanisa.”

Hili ndilo onyo la MWISHO. Hakutakuwako na lingine.Kile chumba chenye kiti cha enzi kimeandaliwa. Ile misingikumi na miwili imewekwa. Barabara za dhahabuzimetengenezwa. Malango ya lulu kubwa mnoyamesimamishwa na kufungwa bawabu. Hicho chumbakinasimama kama piramidi kikiwa malidadi sana na kizuri.Vile viumbe vya mbinguni vilivyokiandaa vinakiangalia kwamshangao mkubwa mno, kwa maana kinametameta nakuangaza kwa utukufu usio wa duniani. Kila sehemu ya uzuriwake inasimulia hadithi ya neema ya ajabu na upendowa Yesu. Ni mji uliotayarishwa kwa ajili ya watuwaliofanywa tayari. Unangojea tu wenyeji wake na marawatajaa kwenye barabara zake kwa furaha. Naam, ni mwitowa mwisho. Roho hatanena katika wakati mwingine. Zilenyakati zimekwisha.

Lakini Mungu ashukuriwe, katika wakati huu, wakati huuhaujakwisha. Yeye anapaza sauti. Na kilio Chake hakiko tukwenye masikio ya kiroho ya wanadamu kwa Roho Wake,lakini mara nyingine tena nabii yuko nchini. Mara nyinginetena Mungu atafunua kweli kama alivyomfunulia Paulo.Katika siku za mjumbe wa saba, katika siku za wakati waLaodikia, mjumbe wake atafunua siri za Mungu kamazilivyofunuliwa kwa Paulo. Yeye atanena, na haowatakaompokea nabii huyo katika jina lake mwenyewewatapokea matokeo mema ya huduma ya nabii huyo. Na haowatakaomsikia watabarikiwa na kuwa sehemu ya bibi-arusiwa siku hizo za mwisho anayetajwa katika Ufu. 22:17, “Rohona bibi-arusi wanasema njoo.” Chembe ya ngano (Bibi-arusiNgano) iliyoanguka ardhini huko Nikea imerudi tena kuwaNeno Chembe ya asili tena. Mungu na asifiwe milele. Naam,msikilize nabii aliyethibitishwa waMungu ambaye anatokeakatika wakati huu wa mwisho. Anachosema kutoka kwaMungu, bibi-arusi atasema. Roho na nabii na bibi-arusiwatakuwa wanasema jambo lile lile. Na yale watakayosemayatakuwa tayari yamesemwa katika Neno. Wanalisema sasa,

Page 372: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

362 NYAKATI SABA ZA KANISA

“Tokeni kwake sasa makatengwe naye.” Kilio kimetolewa.Kilio kinatolewa. Sauti hiyo italia kwa muda gani? Hatujui,lakini tunajua jambo moja, haitachukua muda mrefu, kwamaana huu ni wakati wa mwisho.

Yeye aliye na sikio, na alisikie Neno hili ambalo Rohoanayaambia makanisa. Roho amenena. Jua linalotua likokaribu kufifia katika umilele kwa ajili ya nyakati za kanisa.Ndipo yote yatakwisha. Ndipo itakuwa mtu amechelewa kuja.Lakini kama mahali fulani katika mfululizo wa masomo hayaMungu amekushughulikia kwa Roho Wake, naomba umgeukiehata sasa katika toba na umtolee maisha yako ili kwamba kwaRoho Wake apate kukupa uzima wa milele.

Page 373: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 363SURA YA KUMI

MUHTASARI WA NYAKATI

Kwa kuwa masomo yetu yamekuwa maelezo ya aya kwaaya ya Maandiko yale yanayohusika na zile nyakati saba,hatujaweka mfululizo wa kielelezo cha kihistoria cha kanisakama jinsi ambavyo ingelitupasa kufanya. Kwa hiyo, sasa nikusudi letu, basi, sasa kuchukua sura hii, na tukianzia naWakati wa Efeso tufuatilie katika nyakati zote kanisa nahistoria yake kama ilivyopewa Yohana na Roho wa Mungu.Hatutakuwa tukiongezea mambo mapya zaidi ya kuunganishayale tuliyonayo tayari.

Kutokana na masomo yetu tayari tumejua ya kwambasehemu kubwa ya Ufunuo inaeleweka vibaya kabisa kwasababu hatukujua hapo kabla ya kwamba lile ‘kanisa’linalonenwa habari zake na linalozungumziwa katika kitabuhiki halihusu ‘ekklesia’ pekee ‘walioteuliwa,’ ‘mwili waKristo,’ ‘bibi-arusi,’ bali inkinazungumzia mwili mzima wawatu wanaoitwa Wakristo, kama ni wa kweli ama ni wa jinatu. Kama vile Israeli yote SI Israeli, vivyo hivyo Wakristo woteSI Wakristo. Hivyo tulijifunza ya kwamba kanisa linamizabibu miwili, wa kweli na wa uongo. Hiyo mizabibu miwiliinaongozwa na roho za aina mbili; mmoja una Roho Mtakatifuwakati huo mwingine umejazwa na roho ya mpinga-Kristo.Yote miwili inadai inamjua Mungu na inajulikana Naye. Yotemiwili inadai kuzungumza kwa niaba ya Mungu. Yote miwiliinaamini kweli fulani za kimsingi sana na kuhitilafiana katikanyingine. Lakini kwa kuwa yote miwili ina jina la Bwana,ikiitwa Wa-Kristo, na kwa kujulikana kwa jina kama hilo bilashaka wanadai uhusiano fulani Kwake (Mungu anaita jambohilo ndoa), Mungu sasa anachukulia yote miwili kwambainahusiana Naye na kwa hiyo anazungumza na kila mmojawao.

Tena tulipata kujua ya kwamba mizabibu hii miwiliingekua pamoja mpaka mwisho wa nyakati wakati yoteingefikia kupevuka na yote miwili ivunwe. Huo mzabibu wauongo haungeshinda na kuangamiza mzabibu wa kweli, lakinibasi, wala mzabibu wa kweli haungeweza kuufikisha mzabibuwa uongo kwenye uhusiano unaookoa kwa Yesu Kristo.

Tulijua ukweli wa ajabu sana ya kwamba Roho Mtakatifuangeweza kushuka na angeshuka juu ya Wakristo walio wamzabibu wa uongo wasiozaliwa mara ya pili na kudhihirikakwa nguvu katika ishara na maajabu mbalimbali, kama tu vileYuda alivyokuwa na huduma dhahiri katika Roho Mtakatifuingawa yeye, mwenyewe, alitangazwa kuwa ni ibilisi.

Tukiwa na kanuni hizi mioyoni mwetu tunaanzakulifuatilia kanisa katika zile nyakati saba mbalimbali.

Page 374: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

364 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kuzaliwa kwa kanisa kulikuwa pale wakati waPentekoste. Kama vile Adamu wa kwanza alivyopewa bibi-arusi moja kwa moja kutoka katika mkono wa Mungu nayealikuwa hajatiwa unajisi kwa kitambo kidogo, vivyo hivyo naKristo, Adamu wa mwisho, alipewa bibi-arusi msafi naasiyeghoshiwa pale Pentekoste; naye alibaki akiwaametengwa na hajatiwa unajisi kwa kitambo kidogo. “Nakatika wote wengine hapana mtu hata mmoja aliyethubutukuambatana nao.” (Matendo 5:13) na “Bwana akalizidishakanisa kila siku kwa wale waliokuwa wakiokolewa.”Matendo 2:47. Hatujui jambo hili liliendelea kwa muda gani,lakini siku moja kama vile Hawa alivyojaribiwa nakutongozwa na Shetani, vivyo hivyo kanisa lilitiwa unajisikwa kuingia kwa roho wa mpinga-Kristo. “Na hii ndiyo rohoya mpinga Kristo ambayo mmesikia kwamba yaja; na sasaimekwisha kuwako duniani.” I Yohana 4:3. Naye Yesualisema kumhusu bibi-arusi Wake katika wakati huo wakwanza, “Lakini nina Neno juu yako, ya kwamba umeuachaupendo wako wa kwanza. Basi, kumbuka ni wapiulikoanguka; ukatubu.” Ufu. 2:4-5. Kanisa katika wakati huowa kwanza tayari lilikuwa ‘mwanamke aliyeanguka’. Kamavile Shetani alivyokuwa amefika kwa Hawa kabla ya Adamu,vivyo hivyo sasa Shetani alikuwa amelidanganya kanisa,bibi-arusi wa Kristo, kabla ya ‘karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo’. Na ni kitu gani hasa kilichokuwa katikati yakekilichosabibisha kule kuanguka? Ni kitu gani ila Ufu. 2:6,“MATENDO YA WANIKOLAI.” Tayari wakati huo wakwanza ulikuwa umeacha kulifuata Neno lisiloghoshiwa laMungu. Waliacha maagizo ya Mungu ya kanisalinalomtegemea Yeye kabisa (linalomtegemea Mungu kabisakutimiza Neno Lake tangu mwanzo hata mwisho mbali nautawala wa kibinadamu) wakauendea Unikolai, ambao nikuunda utawala wa kibinadamu kanisani ambayo kama vileserikali zote zifanyavyo, huwaweka watu chini ya sheria.Walifanya kabisa vile vile hasa Israeli walivyofanya.Waliiendea njia ya utawala wa kibinadamu badala ya Nenona Roho.

Mauti ilikuwa imeingia. Tunajuaje? Je! hatusikii sauti yaRoho imepazwa katika wakati ule wa kwanza kwa wotewatakaosikia, wakati Yeye anapoita, “Yeye ashindaye nitampakula matunda ya Mti wa Uzima, katika bustani ya Mungu.”Kanisa lilikuwa tayari limekunywa likalewa sana kutokakwenye mti wa mauti (ama mzabibu wa uongo wakimadhehebu) ambao mwisho wake ni ziwa la moto. Lakinihakuna makerubi wenye panga za moto kuulinda Mti waUzima sasa. Mungu sasa haondoki katika kanisa kamaalivyoondoka Edeni. Loo! la, Yeye daima atakuwa katikati yakanisa Lake mpaka wakati wa mwisho. Na mpaka wakati huoYeye anawaita wote waje.

Page 375: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 365

Sasa hebu tafadhali na tuwe waangalifu hapa. Ujumbe huukwa malaika wa kanisa lililoko Efeso si ujumbe kwa kanisahasa lenyewe la Efeso. Ni ujumbe kwa ajili ya WAKATI huo. Nawakati huo ulikuwa na mbegu ya kweli ndani yake na mbegu yauongo sawa kabisa na ilivyoelezewa kulingana na ule mfano wangano na magugu. Zile nyakati za kanisa ndilo shamba, nandani yake mna ngano na magugu. Kanisa la uongo liliundamadhehebu, wakaunda uongozi wa kanisa kimwili nakulichukua Neno kimwili, na kumpiga vita Mkristo wa kweli.

Magugu daima hustawi kwa nguvu zaidi kuliko ngano amammea mwingine wo wote unaolimwa. Kanisa la magugulilikua upesi sana katika wakati huu wa kwanza. Lakinikanisa la ngano lilikuwa linastawi pia. Hadi kufikia mwishowa wakati wa kwanza matendo ya Wanikolai yalikuwayakistawi katika makanisa ya mitaa ya ule mzabibu wa uongohuku yakizidi kujaribu kueneza ushawishi wao kwenyesehemu za mbali zaidi na kundi lao. Ushawishi wakeulionekana kwenye kanisa la kweli kwa maana watu kamamwadhamu Polikapu walikuwa wakijiita maaskofu wakitumiacheo hicho ambacho hakikuwako kulingana na Neno. Piakatika wakati huo, kanisa la kweli lilikuwa limepoteza upendowake wa kwanza. Upendo huo ulifananishwa na kama upendowa bibi-arusi na bwana arusi wakati ndoa yao na miaka yakwanza ya maisha yao ya ndoa. Kulikuweko na kupoa kwaupendo huo mkamilifu na kumwacha Mungu.

Lakini angalia. Ufu. 2:1 inamwelezea Bwana Yesu akiwakatikati ya kanisa Lake huku amewashika wale wajumbekatika mkono Wake wa kuume. Kwa sababu bibi-arusi huyuameanguka, kwa sababu kanisa lililounda shirika sasa nimchanganyiko wa kweli na uongo, Yeye haliachi. Ni Lake. Nakulingana na Rum. 14:7-9 hiyo ni kweli kabisa. “Kwa sababuhakuna mtu miongoni mwetu aishiye kwa nafsi yake, walahakuna afaye kwa nafsi yake. Kwa maana kama tukiishi,twaishi kwa Bwana, na kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basikama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana. Kwa maanaKristo alikufa akafufuka, akawa hai tena na kwa sababu hii,awamiliki waliokufa na walio hai pia.” Pale msalabani Yeyealinunua ulimwengu MZIMA wa watu. Hao ni Wake. Yeye niBwana wa walio hai na waliokufa. (Kuhusiana na umilikaji, SIuhusiano.) Naye anatembea katikati ya kundi hilo ambalo linauhai na mauti ndani yake.

Kile kilichopandwa katika wakati wa kwanza kitakuakatika wakati wa pili na katika nyakati nyingine zote mpakakitakapofikia kupevuka na kuvunwa. Hivyo basi katikaWakati wa Smirna tunatarajia kupanuka na mwangaza wahistoria ya shirika la kanisa kupitia ufunuo wa Roho.

Katika wakati huu chuki ya mzabibu wa uongoinaongezeka. Unaona, wao walijitenga (aya ya 9) na kundi la

Page 376: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

366 NYAKATI SABA ZA KANISA

wale walio wa kweli. Walitoka kwao. Walikuwa waongo.Walijiita jina lisilo lao. Lakini je! Mungu aliwaangamiza? La.“Waacheni na wote wawili watafikia kwenye mavuno.”

“Lakini Bwana wao wanapaswa kuangamizwa kwa kuwawanawaangamiza watu Wako. Wanawaua.”

“La, waacheni. Lakini kwa bibi-arusi Wangu ninasema,‘Uwe mwaninifu hata kufa. Mnipende hata na zaidi’.”

Tunapata kujua waziwazi kabisa ya kwamba mzabibu huuwa uongo ni mzabibu wa Shetani. Kukusanyika kwao nikwake (Shetani). Wao wanakusanyika katika Jina la Mungu nakudanganya kwamba wao ni wa Kristo. Wanahubiri,wanafundisha, wanabatiza, wanaabudu, wanashiriki katikamatendo ya ibada mbali mbali zilizopewa kanisa na Kristo,hata hivyo wao si wa Mungu. Lakini kwa kuwa wao wanasemani wa Mungu, Mungu atawachukulia kwamba wanahusika nakatika kila wakati Yeye anaongea habari zao na kuzungumzanao. Wao wanatukumbusha juu ya Balaamu kabisa. Yeyealikuwa na huduma ya kinabii. Alijua njia nzuri yakumkaribia Mungu kama inavyoonyeshwa katika dhabihu yawanyama walio safi. Lakini yeye hakuwa NABII wa kweli WANENO kwa maana wakati Mungu alipomwambia asiendekumtukuza Balaki kwa uwepo wake yeye alijitahidi kwendahata hivyo kwa maana alikuwa akiongozwa na tamaa yake yadhahabu na heshima. Kwa hiyo Mungu akamruhusu aende.Mapenzi ya Mungu ya kuruhusia yakachukua mahali pamapenzi makamilifu ya Mungu kwa sababu ya “tamaa yamoyo” wa Balaamu. Mungu kweli alisema, “Endelea.” Je!Mungu alibadilisha nia Yake? La bwana. Mungu alitimizamapenzi Yake bila ya kujali kwenda kwa Balaamu. Balaamuhakutangua mapenzi ya Mungu. Mungu alitenda mapenzi Yakehaidhuru. Balaamu ndiye aliyepata hasara kwa maanaalilipuuza Neno. Na leo tuna jambo lile lile. Wahubiriwanawake, madhehebu, mafundisho ya uongo, nk., na watuwakimwabudu Mungu, akijidhihirisha katika Roho naowakiendelea tu kama alivyofanya Balaamu, wakidai yakwamba Mungu amenena nao hata wakati ambapo agizolililopokelewa ni kinyume cha Neno lililofunuliwa. Namisitakana ya kwamba Mungu alinena nao. Lakini ilikuwa tukama wakati Yeye aliponena na Balaamu ile mara ya pili. Kwakuwa Yeye alijua ya kwamba Balaamu alitaka shauku ya moyowake zaidi ya Neno Naye akampa hiyo, hata hivyo wakati huowote hatimaye akifanya APENDAVYO MWENYEWE; vivyohivyo leo Mungu huwaambia watu waendelee katika tamaa zamioyo yao wenyewe kwa kuwa wao tayari wamelikataa Neno.LAKINI MAPENZI YA MUNGU YATATENDEKAHAIDHURU. Amina. Ninatumaini mnaona jambo hili.Halitaondoa tu utata wa mengi ya yale yanayoonekana katikanyakati zote lakini zaidi sana litasaidia katika wakati huu wa

Page 377: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 367

mwisho ambao una madhihirisho mengi sana na baraka za njewakati ambapo kipindi chote kizima kiko kinyume kabisa na‘Mapenzi ya Mungu-Yaliyofunuliwa-kwa-Neno.’

Kama wakati wo wote ulipata kupokea ujumbe wenyenguvu na dhahiri kabisa, wakati huu uliupokea. Ilikuwa, naingali ni, ile kweli ya Agano la Kale, “Mwana wa mjakaziatamuudhi mwana wa mwungwana mpaka mwana wamjakazi atakapofukuzwa.” Hilo linatufanya kujua ya kwambachuki na matukano ya Shetani dhidi ya Wakristo wa kweliyatatolewa kupitia kundi la Wakristo ambao ni wa kawaidana wa uongo, na haya yataongezeka mpaka Munguatakapong’oa huo mzabibu wa uongo katika mwisho waWakati wa Laodikia.

Wakati wa tatu ulifunua kwa Roho wa unabii ya kwambakanisa la kilimwengu litakubali Unikolai kama fundisho. Kulekutenganishwa kwa makasisi na wafuasi kulikua kutokakwenye kweli ya Biblia ya wazee (wachungaji wa makundi yamtaa) kutawala kundi hilo kwa Neno, na kuingia kwenye‘matendo ya Wanikolai’ ambapo makasisi walijiwekea vyeokimoja juu ya kingine, kanuni isiyo ya kimaandiko ambayoilijitokeza kwenye ukasisi uliowaweka makasisi kati yawanadamu na Mungu, ukiwapa makasisi haki fulani hukuwakati wote ukiwanyima wafuasi haki zao walizopewa naMungu. Huu ulikuwa ni unyang’anyi. Hilo lilifanyika fundishokatika wakati huu. Liliimarishwa kanisani kama Neno halisila Mungu, ambalo kwa kweli halikuwa hivyo. Lakini makasisiwaliliita Neno la Mungu na kwa hiyo fundisho hilo lilikuwa lampinga-Kristo.

Kwa kuwa utawala wa kibinadamu ni siasa tupu zakawaida tu, kanisa lilijiingiza kwenye siasa. Kujiingiza hukukulipewa nafasi na mfalme mtawala wa mabavualiyeunganisha siasa za kanisa na siasa za serikali naakaanzisha kanisa la uongo (dini ya uongo ya Shetani) kwakutumia nguvu kama dini ya kweli. Na kwa sheria mbalimbaliza wafalme mbalimbali tunaliona kanisa la uongo likiwa nanguvu za kiserikali likiuangamiza ule mzabibu wa kweli kwabidii zaidi.

Inatia huzuni kusema kwamba ule mzabibu wa kwelihaukuwa kwa kweli una kinga fundisho hili. Kwa kusemahivyo simaanishi kwamba ule mzabibu wa kweli uliwahikuanzisha mawazo ya Wanikolai kama fundisho. La hasha.Lakini mdudu huyo mdogo wa alidumu aliendelea kuufyonzamzabibu wa kweli akitumaini ya kwamba utaanguka. Hatandani ya kanisa la kweli, watu ambao Mungu alikuwaamewaita kama waangalizi walikuwa wanachukua cheo hichokuwa na maana ya madaraka yaliyozidi kidogo tu wajibu kwamtaa fulani. Haikuwa ule ufahamu dhahiri wa Paulouliokuwako katika kanisa wakati huu. Kwa maana Paulo

Page 378: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

368 NYAKATI SABA ZA KANISA

alikuwa amesema, “Wakamtukuza Mungu kwa ajili yangu.”Haidhuru Paulo alikuwa na mamlaka ya namna gani,aliwashikilia watu wamwangalie Mungu Ambaye Kwakehutoka mamlaka yote. Lakini hao makasisi daima walikuwawakitazamia Uongozi wa Kiungu PAMOJA NA WAKIBINADAMU, na kwa hiyo kutoa heshima mahali ambapohapakustahili heshima, tunaona ya kwamba kanisa la kwelililikuwa limetiwa madoadoa ya ubinadamu. Huku Unikolaiukiwa umeimarishwa_uhalifa wa kimitume_wahudumuwaliobandikwa na binadamu_wachungaji waliopigiwa kura,nk., ilikuwa tu ni hatua moja kwa hilo kanisa la uongokuendelea na kuingia kwenye Ubalaamu. Hatua ya pili yakuzama kwenye ‘fumbo la Shetani’ ilikuwa sasa inaendeleakikamilifu.

Hatua hii ya pili ilikuwa ni fundisho la Balaamu,(linaloelezewa katika Ufu. 2:14) ambapo Balaamu alimfundishaBalaki kuwakwanza wana wa Israeli kwa ‘mkutano wamuungano’. Huko wageni wangefanya mambo mawili zaidikinyume cha Neno la Mungu. Utakumbuka ya kwamba Balakialihitaji msaada kuudumisha ufalme wake. Akamwita mtualiyekuwa na nguvu sana kiroho katika siku zake, Balaamu.Balaamu alitoa shauri lililowanasa na kuwaangamiza Israeli.Kwanza ilikuwa ni, kupendekeza ya kwamba wote wakutanepamoja na kuzungumza mambo wayamalize, na wale pamojana kunyosha mambo. Hata hivyo, kuelewana ni jambo muhimusana. Mara ukitekeleza jambo hilo unaweza kuendelea mbele.Hatua inayofuatia ingekuwa ni kuabudu pamoja, na bilashaka, msisitizo kidogo kutoka kwa mwenyeji kwa kawaidahuwafanya wageni waende mbali zaidi kuliko walivyotaka.Sasa jambo hilo halikutukia tu huko nyuma kwenye kanisa laMungu la Agano la Kale lakini lilitukia kwenye kanisa laAgano Jipya, kwa maana kulikuwako na mfalme, ambayekama Balaki alihitaji msaada apate kuilinda ufalme wake.Kwa hiyo Konstantino akaalika Mkristo wa jina, Kanisa laKwanza la Kikristo la Rumi, limsaidie kuwafanya Wakristowamuunge mkono, kwa maana walikuwa ni kundi kubwasana. Matokeo yake yalikuwa ni Baraza la Nikea la 325. HapoWakristo, wa kweli na wa jina pia, walikutanika kwa mwalikowa Konstantino. Wakristo wa kweli hata haikuwapasakuhudhuria mkutano huo. Licha ya yale yote ambayoKonstantino angeweza kufanya kuwaunganisha wote, waaminiwa kweli walijua hawakupaswa kuwa mahali hapo naowakaondoka. Lakini kwa wale waliobaki, Konstantinoaliwapa mali kutoka katika hazina ya serikali pamoja nanguvu za kisiasa na za kimwili. Watu wakaingizwa katikaibada za sanamu na mizimu, kwani sanamu zenye majina yawatakatifu ziliwekwa katika majengo na watu wakafundishwakuwasiliana na mizimu, ama kuwaomba dua watakatifuambalo si jambo lingine ila ibada ya mizimu. Badala ya

Page 379: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 369

chakula ambacho mwanadamu anahitaji kweli, yaani Neno laMungu, walipewa kanuni za imani, na mafundisho ya sharti naibada za dini ambazo pia zililazimishwa na serikali, na zaidiya yote walipewa miungu mitatu na jina lenye sehemu tatu zayule Mungu Mmoja wa Kweli, na ubatizo wa maji katika JinaLake Bwana Yesu Kristo ukabadilishwa na ubatizo wakipagani wa vyeo vitatu.

Waamini wa kweli hawakupaswa kwenda kule. Walikuwatayari wamepoteza kweli nyingi, na sasa wao, pia, watapotezaufahamu wa Uungu na kubadilisha majina kwa vyeo katikaubatizo wa maji.

Sasa angalia fundisho hili la Balaamu kwa uangalifu sana.Angalia zaidi ya yote, ya kwamba ni njama za makusudi zamakasisi wapotovu kuwafunga watu kwao, kwa kuwaongozawatu makusudi katika dhambi ya kutokuamini. Fundisho laWanikolai lilikuwa ni upotovu wa makasisi walipokuwawakitafuta nguvu za kisiasa miongoni mwao wenyewe,ambapo Ubalaamu ni kuwatiisha watu chini ya utaratibu waowa kanuni za imani na ibada kusudi wapate kuwashikilia.Sasa angalia jambo hili kwa makini. Ni kitu ganikilichowafunga watu kwenye kanisa lisilo la kweli na hapolikawaangamiza? Ilikuwa ni kanuni za imani na mafundisho yasharti yaliyowekwa katika mafundisho ya kanisa. Ilikuwa nifundisho la Kanisa Katoliki la Kirumi. Hawakupewa chakulacha kweli, Neno. Walipewa chakula kilichotokana na ibada zasanamu, ule upagani wa Kibabeli uliofungwa katika manenona majina ya Kikristo. Na roho iyo hiyo na fundisho lilo hilovipo katikati ya Waprotestanti wote na huitwa MADHEHEBU.Unikolai ni madhehebu, kuufanya uongozi wa kanisa kuwa wakibinadamu, na hivyo kumwondoa Roho. Ubalaamu niumadhehebu ambao huchukua mafundisho ya vitabu vyakanisa badala ya Biblia. Na hata katika saa hii, wengi wa watuwa Mungu wameshikwa katika mtego wa umadhehebu naMungu anawapigia kelele, “Tokeni kwake enyi watu Wangu,msije mkashiriki dhambi zake, na msije mkapokea mapigoyake.” Unaona wao hawajui. Lakini kama kunyakuliwakukitukia dakika hii, kutojua hakungekuwa mahakama yakukata rufani kutokana na hukumu ya Mungu kwa ajili yakuwa kwenye kundi baya.

Makasisi kujiwekea utaratibu wa cheo kimoja juu yakingine mpaka hatimaye wanaongozwa na rais ni dhihirisho laroho ya mpinga-Kristo, haidhuru linaonekana ni jambo zuri nani muhimu jinsi gani. Si cho chote bali ni mawanzo yakibinadamu yakichukua nafasi ya Neno. Na mtu ye yote aliyekatika utaratibu wa madhehebu yuko moja kwa moja katikatiya utaratibu wa mpinga-Kristo. Sasa hebu niseme jambo hilina nilifanye dhahiri sana. MIMI SIWAPINGI WATU.NINAPINGA HUO UTARATIBU.

Page 380: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

370 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kukiwa muungano wa serikali na kanisa jukwaalimekwisha andaliwa kwa zile Zama za Giza. Na kwa kwelikwa kama miaka 1000 kanisa liliingia katika kiini cha giza,likijua mafumbo ya Shetani. Wakati watu wo wote wa diniwanaposhikilia Unikolai na Ubalaamu, na kuungwa mkono nanguvu za kisiasa, za kifedha na za kimwili kuna upande mmojatu wanaoweza kwenda. Upande huo ni wa kuingia moja kwamoja kwenye fundisho la Yezebeli. Sasa kwa nini tunasemajambo hili? Kwa sababu kama tulivyoonyesha katika somo lawakati wa nne ya kwamba Yezebeli alikuwa Msidonia, bintiwa Ethbaali ambaye alikuwa ni kuhani mfalme wa Astarte.Yeye alikuwa mwuaji. Mwanamke huyu aliolewa na Ahabu(Mfalme wa Israeli) kwa manufaa ya kisiasa. Ndipo alipotwaamamlaka juu ya dini ya watu na akawaua Walawi, na kujengamahekalu ambamo aliwafanya watu wamwabudu Astarte(Vinasi) na Baali (mungu Jua). Aliunda kanuni za mafundishona kuwafanya makuhani wake kuyafundisha, ndipo wao naowakawafanya watu kuyakubali. Hapo unaweza kuona jinsihasa kanisa la uongo lilivyokuwa katika Zama za Giza.Waliliacha Neno la Mungu kabisa isipokuwa kwa majina navyeo vya Uungu na kanuni chache za Kimaandiko.Walipotosha yale waliyotoa kwenye Biblia kwa kubadilishamaana yake. Chama chao cha maaskofu, nk., kiliandika vitabuvingi mno, mapapa wao walijitangaza kwamba hawawezikukosea na wakasema walipokea ufunuo kutoka kwa Munguna kunena kama Mungu kwa watu. Haya yote walifundishwamakuhani ambao kwa hofu waliwafanya watu wayaamini.Kuyakaidi ilikuwa ni kifo ama kuharimishwa ambakokungekuwa kubaya zaidi ya mauti. Sasa ilikuwa ni kanisalenye sauti iliyoyakinishwa ambalo lilitwaa mamlaka nalikiwa limeenda wazimu kwa nguvu walizokuwa nazowalikunywa damu ya mashahidi mpaka Wakristo wa kweliwalikuwa wameangamizwa karibu wote kabisa na karibuhakukuweko na Neno lililosalia, na madhihirisho haba sana yaRoho Mtakatifu. Lakini ule mzabibu wa kweli ulijitahidiukapona. Mungu alikuwa mwaminifu kwa kundi hilo dogo nambali na yale Rumi ingefanya na miili yao, Rumi haingewezakuiua Roho iliyokuwa ndani yao, na nuru ya ile Kweliikaendelea kuangaza, ikiungwa mkono na Roho Mtakatifu nanguvu.

Hapa ni mahali pazuri pa kufanyia uchunguzi unaotoamwanga. Angalia. Matendo na mafundisho ya Wanikolai,fundisho la Balaamu, na fundisho la nabii mke wa uongo,Yezebeli, havifanyi roho tatu ama kufanya kanuni tatu zakiroho. Hivi vitatu si cho chote ila ni madhihirisho mbalimbaliya roho yule yule anapoenda kutoka kilindi kimoja kuingiakingine. Jumla ya mambo ni kwamba, vyote hivyo ni roho yampinga-Kristo ya kimadhehebu katika hatua zake tatumbalimbali. Mara makasisi walipojitenga na kujiwekea

Page 381: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 371

utaratibu waliwakandamiza watu kwa kuwaongoza katikamadhehebu, na kuwafunga humo pia. Madhehebu hayayalikuwa na msingi wake juu ya kanuni za imani namafundisho ya sharti ambayo waliwafundisha watu badala yakuwafundisha Neno safi la Mungu. Urembo wa dini na shereheza kidini vilizidi kupewa nafasi katika ibada, na pundeutaratibu huu wote mzima ulikuwa wenye nguvu ya kivita naya ibilisi ambayo ilifanya juhudi zote kutawala kila mtu kwaushawishi wa maneno ama kwa kutumia nguvu kikweli kweli.Utaratibu huu ulipita nguvu zake kutoka kwa unabii wakemwenyewe wa uongo wala si Neno la Mungu. Ulikuwa sasa wakipinga-Kristo kabisa ingawa ulikuja katika Jina la Kristo.

Baada ya kile kilichoonekana kama wakati usio na mwishoambapo Kweli haina budi kufa, watu walianza kupingaupotovu wa Kanisa Katoliki la Kirumi, kwa maana huwezikuwazia hata kidogo kabisa kabisa kwamba Mungu angewezakuwemo katika fundisho kama hilo ama mwenendo wa jinsihiyo. Upinzani huu aidha ulipuuzwa kisha ukafa kutokana nakushindwa kuwaamsha watu, ama ulikomeshwa na Rumi.Lakini basi, Mungu katika neema Yake kuu alimtuma mjumbejina Lake Martin Luther akaanzishe matengenezo. Alifanyakazi katika hali ambapo Kanisa Katoliki la Kirumi lilikuwalimepewa kamba kubwa sana hivi kwambalilikuwa karibukujinyonga. Kwa hiyo wakati Luther alipohubiri kuhesabiwahaki kwa imani ule mzabibu wa kweli kwa mara ya kwanzakatika karne nyingi ulianza kukua kwa wingi. Kama vilekanisa la uongo lilivyokuwa limetumia nguvu za serikalikuliunga mkono, sasa nguvu za serikali zilianza kumiminikakulipinga. Na hapa ndipo Luther alipofanya kosa lake, nawaamini wa kweli walipofanya kosa lao. Waliruhusu serikaliiwasaidie kifedha. Kwa hiyo wakati huu haukupiga hatuakubwa sana kwenye Neno. Mungu ashukuriwe kwamba lilifikaumbali liliokwenda, lakini kwa sababu liliegemea zaidi sanakwenye nguvu za kisiasa, wakati huu uliishia kwenye kuundamadhehebu, na kundi lili hili ambalo katika kizazi cha Lutherlilikuwa limekatika kutoka kwenye mzabibu wa uongo, sasaliligeuka na kurudi kuwa binti wa kahaba kwa maana liliingiamoja kwa moja katika Unikolai na Ubalaamu. Wakati huuulikuwa na vikundi vingi vilivyofarakana ndani yake, na ilikuthibitisha jinsi walivyokuwa mbali na mzao wa kweli nikusoma tu historia na kuona jinsi walivyotesana, hata kufikiakuuana wakati mwingine. Lakini kulikuweko na majinamachache miongoni mwao, kama vile ilivyo sikuzote katikakila wakati.

Tunafurahia wakati huu kwa ajili ya jambo hili moja.Matengenezo yalikuwa yameanza. Haikuwa ni kufufuka bali nimatengenezo. Wala haikuwa ni kurudishwa. Lakini ile chembeya ngano iliyokuwa imekufa pale Nikea na kuoza katika Zama

Page 382: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

372 NYAKATI SABA ZA KANISA

za Giza, sasa ilitoa chipukizi la kweli ikionyesha ya kwambakwenye siku za baadaye, mwishoni mwa Wakati wa Laodikia,kabla tu ya Yesu kuja, kanisa litarudi kuwa Bibi-arusi Chembeya Ngano tena ambapo magugu nayo yangevunwa nakuchomwa katika ziwa la moto.

Kwa kuwa wakati ule wa tano ulikuwa umesababishakusambazwa sana kwa Neno kwa njia ya uchapishaji, wakatiwa sita ulifanya haraka kutumia nafasi hiyo. Wakati huuulikuwa ndio hatua ya pili ya kule kurejezwa na kamatulivyokwisha kusema ulikuwa ni wakati wa kishada. Elimuilijaa tele. Huu ulikuwa ni wakati wa wasomi waliompendaMungu na kumtumikia. Wamishenari walijaa tele nalo Nenolikaenea ulimwenguni kote. Ulikuwa ni wakati wa upendanowa ndugu. Ulikuwa ni wakati wa mlango uliofunguliwa.Ulikuwa ni wakati wa mwisho uliodumu muda mrefu, na baadayake Wakati wa Laodikia ungekuja ambao ungekuwa mfupi.

Mzabibu wa kweli ulikua katika wakati huu kuliko wakatimwingine wo wote wakati mtu anapofikiria kuhusu idadi yanyumbani na katika nchi za ng’ambo. Wakati huu uliwawekawatu watakatifu mstari wa mbele. Mzabibu wa kweliulisambaa na mzabibu wa uongo ukarudi nyuma. Kila mahalimzabibu wa kweli ulikoenda Mungu alitoa nuru na uzima nafuraha. Mzabibu wa uongo ulidhihirishwa kile ulichokuwa:giza, taabu, umaskini, ujinga na mauti. Na kama vile mzabibuwa uongo katika siku zake za mamlaka usingeweza kuuamzabibu wa kweli, wala mzabibu wa kweli sasa haukuwezakuurudisha mzabibu wa uongo kwa Yesu Kristo. Lakini ulemzabibu wa uongo ulijiimarisha, ukingojea sehemu ya mwishoya wakati wa mwisho wakati ambapo utawarudisha wotekwake ila lile kundi ambalo ndilo mzabibu uliochaguliwa nawa kweli wa Mungu.

Lakini jinsi wakati huu unavyotufanya tujisikiekuhuzunika tunapotambua ya kwamba kila ufufuo mkuu waMungu (na kulikuweko na nyingi) ulipuuza kutupilia mbalifundisho la Wanikolai kwa maana fufuo zote ziliundamadhehebu kisha zikafa. Ndipo wakaunda madhehebu wapatekuwashikilia waliokufa kiroho katika malisho yasiyo nachakula. Hawakuwa na habari hata kidogo na jambo hilo,lakini kila kundi liliambukizwa kosa lilo hilo, na wakati motowa ufufuo ulipofifia, madhehebu yalichukua mamlaka na watuwakawa madhehebu. Walikuwa ni Wakristo wa jina tu ingawakila kundi lilidai kwa uhakika ule ule kama Kanisa Katoliki laKirumi ya kwamba wao walikuwa wako sahihi na haowengine wote wako makosani. Jukwaa kweli lilikuwalimeandaliwa kwa ajili ya hao mabinti kurudi nyumbanikatika wakati wa mwisho, kurudi Rumi, chini ya mama kuku.

Na kwa hiyo tunafikia wakati wa mwisho: Wakati waLaodikia. Huo ndio wakati wetu. Tunajua ndio wakati wa

Page 383: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 373

mwisho kwa maana Wayahudi wamerudi Palestina. Haidhuruwalifikaje kule; wako kule. Na huu ni wakati wa mavuno.Lakini kabla hakujakuweko na mavuno hapana budi kuwekona kuiva, kukomaa kwa hiyo mizabibu miwili.

Wakati wa Luther ulikuwa majira ya kuchipusha majani.Wakati wa Wesley ulikuwa majira ya kiangazi ya kukua.Wakati wa Laodikia ni wakati wa mavuno wa kukusanyamagugu yapate kufungwa na kuchomwa; na kuweka nganoghalani kwa ajili ya Bwana.

Wakati wa mavuno. Je! uliambua kwamba katika wakatiwa mavuno, ingawa kuiva kunaharakisha dhahiri sana, vivyohivyo kukua kunapungua mpaka hakuna kukua tena? Je hilosilo kwa kweli tunaloona hivi sasa? Ule mzabibu wa uongounapoteza umati wa watu kwa Wakomunisti na imani za ainanyingi. Idadi yake haiongezeki kama ambavyo ungetaka sisituwazie. Kuwashikilia kwake watu si kama vile ilivyokuwa, namara nyingi sana kwenda kanisani ni onyesho tu. Na mzabibuwa kweli je? Na huo je? Unakua? Iko wapi ile idadi kubwasana inayoendelea kuja kwenye ufufuo na kuitikia wito wamadhabahuni? Je! wengi wao sio wanaoongozwa na mwamshotu, ama walio na shauku ya jambo fulani la kimwili mbali nashauku ya jambo ambalo ni la Kiroho kweli? Je! siku hii siyokama siku ambayo Nuhu aliingia safinani, nao mlangoukafungwa, lakini hata hivyo Mungu akangojea katikahukumu siku saba? Hakuna mtu aliyerudishwa kwa Mungukatika siku hizo za kimya.

Na hata hivyo ni wakati wa mavuno. Basi hapana budikutokee jukwaani katika wakati huu wale watakaokomazangano na magugu. Magugu tayari yanakomaa haraka sanachini ya waalimu wapotovu wanaowaondoa watu kwenyeNeno. Lakini ngano pia haina budi kukomaa. Na, Munguanamtuma kwake Nabii-Mjumbe akiwa na hudumailiyothibitishwa kusudi akubaliwe na wateule. Watamsikiakama vile kanisa la kwanza lilivyomsikia Paulo, naye bibi-arusi atakomaa katika Neno mpaka hapo atakapokuwa Bibi-arusi Neno kazi kubwa zitatendeka ndani yake ambazo daimazinaambatana na Neno lisiloghoshiwa na imani.

Makundi ya makanisa ya uongo yataungana katika barazala makanisa ulimwenguni. Baraza hili la makanisa ndiloSANAMU ILIYOTENGENEZEWA MNYAMA. Ufu. 13:11-18,“Kisha nikaona mnyama mwingine, akipanda juu kutokakatika nchi; naye alikuwa na pembe mbili mfano wa Mwana-Kondoo, akanena kama joka. Naye atumia uwezo wote wamnyama yule wa kwanza mbele yake. Naye aifanya dunia nawote wakaao ndani yake wamsujudie mnyama wa kwanza,ambaye jeraha lake la mauti lilipona. Naye afanya isharakubwa, hata kufanya moto kushuka kutoka mbinguni uje juu

Page 384: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

374 NYAKATI SABA ZA KANISA

ya nchi mbele ya wanadamu. Naye awakosesha wale wakaaojuu ya nchi, kwa ishara zile alizopewa kuzifanya mbele yahuyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyiasanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga nayeakaishi. Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama,hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wotewasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Naye awafanyawote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, nawalio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono waowa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtuawaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapaile, au, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake. Hapandipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabuya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu; na hesabuyake ni mia sita, sitini na sita.” Sasa kumbuka, Dola yaKipagani ya Rumi ndiyo iliyoanguka kwa upanga. Lakiniiliponywa pigo lake la mauti wakati ilipoungana na kanisa lakawaida la Kikristo la Rumi na kuchanganya upagani naUkristo, na hapo ikawa Dola Takatifu ya Kirumi ambayoilikuwa idumu mpaka Yesu atakapokuja na aiangamize.Lakini Rumi haiko peke yake. Binti zake wako moja kwa mojapamoja naye naye atachukua mamlaka yenye amri zote kwanjia ya Baraza la Makanisa Ulimwenguni. Hili linawezakuonekana kama jambo la uongo kwa wengine lakini kwakweli liko dhahiri sana kwa wote kuona kwa sababu sasa hivimakanisa yanamiliki siasa na katika wakati unaofaayatadhihirisha barabara jinsi utawala huo ulivyo na nguvu.Shughuli hizi za ekumeni zitaishia na Rumi kama kiongoziwake hata ingawa watu hawakuliona jinsi hiyo. Hii ndivyoilivyo kwa sababu katika Ufu. 17:3-6 inasema kwamba yulekahaba, Babeli ya siri ameketi juu ya mnyama. Yeyeanaongoza ile himaya ya mwisho, ama ya nne. Kanisa hili laKirumi linafanya jambo hilo. Huku kanisa la muungano laulimwengu likiwa chini yake Rumi itakuwa ikitawala, nasanamu hii (muungano wa kanisa) itaitii Rumi kwa maanaRumi inamiliki dhahabu ya ulimwengu. Hivyo basi watu wotehawana budi kuwa washiriki wa kanisa la muungano laulimwengu ama watiishwe na hali ya nchi kwa maanahawawezi kununua ama kuuza bila alama ya mnyamamkononi ama kichwani. Alama hii kichwani inamaanisha yakwamba itawabidi kuamini mafundisho ya hilo shirika lakanisa la ulimwengu ambayo ni utatu, nk., na ile alamamkononi ambayo maana yake ni kufanya mapenzi ya kanisa laulimwengu. Likiwa na nguvu hizi kuu taratibu za kanisazitamtesa bibi-arusi wa kweli. Sanamu hii itajaribu kumzuiabibi-arusi kuhubiri na kufundisha, nk. Wahudumu wakewatakatazwa kutoa faraja na kweli kwa watu wanaoihitaji.Lakini kabla ya mpinga-Kristo (mtu halisi) kutwaa mamlakakamili juu ya utaratibu huu wa makanisa ulimwenguni kanisa

Page 385: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 375

la kweli litaondolewa hapa ulimwenguni likaishi pamoja naBwana. Mungu atamnyakua bibi-arusi Wake kwenda kwenyeile Karamu kuu ya Arusi ya Mwana-Kondoo.

Sasa kwa vile sura hii ya mwisho ilitolewa kusudi tuwezekufuatilia yale makanisa mawili na zile roho mbili tanguPentekoste hadi mwisho wao, tutachukua wakati huu wamwisho kuonyesha jambo hili katika Wakati wa Laodikia.

Wakati huu ulianza tu mara baada ya mwanzo wa karneya ishirini. Kwa kuwa ulikuwa uwe ni wakati ambapo kanisala kweli lingerudi kuwa bibi-arusi kama alivyokuwa wakatiwa Pentekoste, tunajua ya kwamba hapana budi kuwe nakurudishwa kwa zile nguvu kuu. Waamini walihisi jambo hilikatika roho zao na wakaanza kumlilia Mungu wapatekumwagiwa kupya kama ilivyokuwa katika karne ya kwanza.Kitu kilichoonekana kama jibu kilikuja wakati wengiwalipoanza kunena kwa lugha na kudhihirisha karama zaRoho. Wakati huo iliaminika ya kwamba huku kulikuwa ndiokweli kule KURUDISHWA kulikongojewa kwa muda mrefu.La, haikuwa jambo hilo, kwa maana mvua ya vuli inaweza tukuja baada ya mvua ya masika ambayo ni mvua yakuchipusha ama ya KUFUNDISHA. Mvua ya vuli, basi, nimvua ya KUVUNIA. Hili lingewezaje kuwa ndilo jambo halisiambapo Mvua ya Kufundisha haikuwa imekuja? Nabii-Mjumbe aliyekuwa atumwe KUWAFUNDISHA watu nakuigeuza mioyo ya watoto wao iwaelekee baba zao waPentekoste hakuwa amekuja bado. Hivyo basi kilekilichodhaniwa kuwa ni kurejezwa na kuhuishwa kwamwisho hadi kufikia kunyakuliwa hakikuwa kimekuja. Ndaniyake kulikuweko na mchanganyiko wa wasio haki wakishirikibaraka za Kiroho na kumdhihirisha Roho Mtakatifu kamavile tulivyodumu kuwaonyesha. Ndani yake pia kulikuwekona nguvu za ibilisi kwa kuwa watu walikuwa chini yauongozi wa mapepo, lakini hakuna mtu aliyeonekana anajuajambo hilo. Ndipo, ili kuthibitisha ya kwamba halikuwa nilile jambo lenyewe HALISI, watu hawa (hata kabla ya kizazicha pili kutokea) waliunda madhehebu, na wakaandikamafundisho yao yasiyo ya kimaandiko na kujijengea mabomayao wenyewe kama kila kundi lingine lo lote lililowatangulialilivyofanya.

Kumbukeni, wakati Yesu alipokuwapo duniani vivyo hivyona Yuda pia alikuwepo. Kila mmoja wao alitokana na rohotofauti, na walipokufa kila mmoja alienda mahali pake. Rohoya Kristo ilirudi baadaye juu ya kanisa la kweli, nayo roho yaYuda ikarudi juu ya kanisa la uongo. Liko papo hapo katikaUfu. 6:1-8, “Nikaona, na tazama, farasi mweupe, na yeyealiyempanda ana uta, akapewa taji, naye akatoka, aliakishinda tena apate kushinda. Na alipoifungua muhuri yapili, nikamsikia yule mwenye uhai wa pili akisema, Njoo uone!

Page 386: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

376 NYAKATI SABA ZA KANISA

Akatoka farasi mwingine, mwekundu sana, na yeyealiyempanda alipewa mamlaka kuiondoa amani katika nchi, iliwatu wauane, naye akapewa upanga mkubwa. Naalipoifungua muhuri ya tatu, nikamsikia yule wa tatu mwenyeuhai akisema, Njoo uone! Nikaona, na tazama, farasi mweusi,na yeye aliyempanda ana mizani mkononi mwake. Nikasikiakama sauti katikati ya hao wenye uhai wanne, ikisema, Kibabacha ngano kwa nusu rupia, na vibaba vitatu vya shayiri kwanusu rupia, wala usiyadhuru mafuta wala divai. Naalipoifungua muhuri ya nne, nikasikia sauti ya yule mwenyeuhai wa nne akisema, Njoo uone! Nikaona, na tazama, farasiwa rangi ya kijivujivu, na yeye aliyempanda jina lake ni Mauti,na Kuzimu akafuatana naye. Nao wakapewa mamlaka juu yarobo ya nchi, waue kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni nakwa hayawani wa nchi.” Angalia jinsi hiyo roho ya Yudailivyorudi kama mpanda farasi kwenye farasi mweupe.Alikuwa mweupe. Anafanana sana na kile kitu halisi, kama tuvile Yuda alivyofanana sana na Yesu. Alipewa taji (mpandafarasi mweupe). Namna gani? Roho huyo alikuwa sasa ndaniya kiongozi wa utaratibu huo wa Uanikolai na alikuwa papaaliyetiwa taji yenye sehemu tatu ambaye aliketi kama Mungukatika hekalu lake, akijiita mwenyewe aliye badala ya Kristo.Kama aliye badala ya Kristo inamaanisha ‘badala ya Kristo’ama ‘mahali pa’ ama ‘kwa niaba ya Mungu’ basi papa alikuwaakijiita Roho Mtakatifu, ama anamwondoa Roho Mtakatifu,akitenda badala Yake. Hiyo ilikuwa ni roho ya Yuda ndaniyake ikitenda jambo hilo. Angalia jinsi alivyoshinda_nayeakatoka ali akishinda tena apate kushinda. Kristo hakufanyajambo hilo. Wale tu waliomjia walikuwa tayariwamechaguliwa tangu zamani na Baba. Na kwa hiyo huyoroho akaendelea na kuendelea na siku moja itafanyika mwilikweli ndani ya mtu ambaye ataongoza Baraza la Makanisaulimwenguni, kama tu vile tulivyokuwa tukisema. Na kwadhahabu yake (kumbuka Yuda ndiye aliyekuwa na ule mfuko)atautawala ulimwengu wote, na utaratibu huo wa mpinga-Kristo utamiliki kila kitu na kujaribu kumtawala kila mtu.Lakini Yesu atarudi na kuwaangamiza wote kwa nuru ya kujaKwake. Na mwisho wao utakuwa ziwa la moto.

Lakini vipi kuhusu ile mbegu ya kweli? Itatukia jinsi kamatu tulivyosema. Watu wa Mungu wanafanywa tayari kwa Nenola Kweli toka kwa mjumbe wa wakati huu. Ndani ya bibi-arusiutakuweko utimilifu wa Pentekoste kwa maana Rohoatawarudisha watu moja kwa moja mahali walipokuwa hapomwanzo. Hiyo ni “Bwana asema hivi.”

Ni “Bwana asema hivi” kwa kuwa hivyo ndivyo Yoeli2:23-26 inavyosema, “Furahini, basi, enyi wana wa Sayuni,mkamfurahie Bwana, Mungu wenu; kwa kuwa Yeye amewapaninyi mvua ya masika, kwa kipimo cha haki, Naye

Page 387: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 377

atawanyeshea mvua, mvua ya masika, na mvua ya vuli,katika mwezi wa kwanza. Na sakafu za kupepetea zitajaangano, na mashinikizo yatafurika kwa divai na mafuta. Naminitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, namadumadu, na tunutu, jeshi Langu kubwa nililolituma katiyenu. Nanyi mtakula chakula tele na kushiba, na kulihimidiJina la Bwana, Mungu wenu, aliyewatendea mambo ya ajabu;na watu Wangu hawatatahayari kamwe.” Sasa inasemaMungu “atarudisha”. Wakati wa Luther haukulirejeshakanisa; ulianzisha matengenezo. Wakati wa Wesleyhaukurudisha. Wakati wa Wapentekoste haukurudisha.Lakini Mungu hana budi kurudisha kwa maana Yeye hawezikulikana Neno Lake. Huku si kufufuka kwa Kanisa; ni“Kurudishwa”. Mungu atalirudisha kanisa moja kwa mojahadi Pentekoste ya mwanzoni. Sasa angalia katika aya ya 25inatwambia kwa nini tunahitaji kurudishwa. Nzige, parare,madumadu na tunutu wamekula yote ila mizizi na kipandekidogo cha shina. Sasa tunaambiwa ya kwamba waduduhawa wote ni mdudu mmoja na ni yule yule katika hatuambalimbali. Hiyo ni kweli. Hao ni roho ya mpinga-Kristoikidhihirishwa katika mashirika, madhehebu na fundisho lauongo katika nyakati zote. Na maskini mzizi huo mdogo naubua vitarudishwa. Mungu hatapanda Kanisa jipya, lakiniatarudisha Kile Chake alichopanda mwanzoni kirudie ilembegu asili. Yeye anafanya jambo hilo kama lilivyoelezwakatika aya ya 23, kwa mafundisho, ama mvua ya “masika.”Inayofuatia itakuwa mvua ya mavuno ama imani yakunyakuliwa.

Hivyo basi katika wakati uu huu tuko katika kutimizwakabisa kwa Mt. 24:24 “wapate kuwapoteza, kama yamkini,hata walio wateule.” Na ni nani ambaye atajaribu kuwapotezawalio wateule? Ni ajabu, ni roho wa mpinga-Kristo katika“waliopakwa mafuta wa uongo” wa siku hii ya mwisho. Hawawaongo tayari wamekwisha kuja katika “Jina la Yesu”wakidai kwamba wametiwa mafuta na Mungu kwa ajili yasiku ya mwisho. Wao ni Masihi wa uongo (waliotiwa mafuta.)Wao wanadai ya kwamba wao ni manabii. Lakini je! wao ndiowalio na hilo Neno? Hata kidogo. Wao wameliongeza amawalilipunguza. Hakuna mtu anayekana ya kwamba Roho waMungu akijidhihirisha katika karama yuko juu yao. Lakinikama vile Balaamu wote wana mipango yao, wanaomba pesa,wanatumia karama, lakini wanalikana Neno ama wanaliepakwa ajili ya hofu kwamba huenda upinzani ungeweza kukatizanafasi zao za kunufaika zaidi. Hata hivyo wao wanahubiriwokovu na ukombozi kupitia nguvu za Mungu, kama tu Yuda,alivyokuwa na huduma aliyopewa na Kristo. Lakini kwasababu wao ni wa uzao mbaya, basi wanaongozwa na pepomchafu. Ati ni wa kidini? Loo jamani! Wanawashinda waliowateule katika bidii na juhudi, lakini ni ya Laodikia, si ya

Page 388: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

378 NYAKATI SABA ZA KANISA

Kristo, kwa maana wanatafuta kupata makundi makubwa,maazimio makubwa na ishara za kustaajabisha miongonimwao. Wao wanahubiri kuja kwa Kristo kwa mara ya pili,lakini wanakana kuja kwa nabii-mjumbe, ingawa katikanguvu na ishara na ufunuo wa kweli anawashinda wote.Naam, roho hii ya uongo ambayo katika siku za mwishoinafanana sana na ya kweli, inaweza kutambuliwa tu kwa jinsianavyoenda mbali na Neno, na kila wakati inaposhikwa kuwaiko kinyume cha Neno, inarukia hoja moja ambayo tayaritumekwisha onyesha kwamba ni ya uongo: “Tunapatamatokeo, sivyo? Hatuna budi kuwa ni wa Mungu.”

Sasa kabla hatujafunga, ninataka kuleta wazo hili. Mudahuo wote tumekuwa tukizungumzia juu ya Chembe ya Nganoikizikwa, kisha inatoa machipukizi mawili, kisha kishada,halafu suke la kweli. Jambo hili linaweza kuwafanya wenginewashangae iwapo tulisema ya kwamba Waluteri hawakuwana Roho Mtakatifu kwa sababu tu wao walifundisha kimsingitu kuhesabiwa haki. Inaweza kuwafanya wengine waduwaekuhusu Wamethodisti, nk. La Bwana, hatusemi hivyo.Hatuzungumzii juu ya watu binafsi ama watu, bali ni kuhusuule WAKATI. Luther alikuwa na Roho wa Mungu, lakiniwakati wake haukuwa ni wakati wa kurudishwa kukamilfukwa kumwagwa kwingine kama ilivyokuwa hapo mwanzo.Ilikuwa ni vivyo vivyo kwa Wesley, Booth, Knox, Whitefield,Brainard, Jonathan Edwards, Meuller, nk. Hakikawao walikuwa wamejaa Roho Mtakatifu. Naam, hakikawalikuwa wamejaa Roho Mtakatifu. Lakini wakati ambaokila mmoja aliishi haukuwa wakati wa kurejeshwa, walahapakuwepo na wakati mwingine wo wote ila wakati huu wamwisho, wakati wa giza kabisa katika ukengeufu. Huu niwakati wa ukengeufu, na huu ni wakati wa kurejeshwa, niwakati wa duara iliyokamilika. Pamoja na wakati huu, yoteimekwisha.

Kwa hiyo tunamalizia zile Nyakati Saba za Kanisa,tukisema yale tu Roho aliyonena kwa kila wakati, “Yeye aliyena sikio na alisikie Neno hili ambalo Roho anayaambiamakanisa.”

Ninaamini kwa kweli kabisa ya kwamba Roho wa Munguamekuwa akinena nasi, si kutufundisha tu kweli za zilenyakati, lakini amekuwa akiishughulikia mioyo kwamba ipatekumgeukia Yeye. Hiyo ndiyo sababu ya kuhubiri kote nakufundisha, kwa maana ni katika kuhubiri na kufundishaNeno ambapo kondoo huisikia sauti ya Mungu na kumfuataYeye.

Kamwe siwaletei watu ujumbe kusudi wanifuate, amawajiunge na kanisa langu, ama waanzishe shirika fulani namadhehebu fulani. Sijafanya hivyo kamwe wala sitafanya

Page 389: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

MUHTASARI WA NYAKATI 379

hivyo sasa. Sivutiwi na mambo hayo, bali ninavutiwa namambo ya Mungu pamoja na watu, na kama naweza kutimizajambo moja tu nitaridhika. Jambo hilo moja ni kuona uhusianowa kweli wa kiroho baina ya Mungu na watu umeimarishwa,ambapo watu wanakuwa viumbe vipya katika Kristo,wamejazwa na Roho Wake na wanaishi kulingana na NenoLake. Ningewaalika, ningewasihi na kuwaonya watu wotewaisikie sauti Yake wakati huu, na kuyatoa maisha yenukabisa Kwake, yaani kama vile ninavyoamini moyoni mwangukwamba nimempa Yeye yote niliyo nayo. Mungu na awabariki,kuja Kwake na kuifurahishe mioyo yenu.

Page 390: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

Kuna zaidi ya jumbe 1179 asili za Kiingereza za Kasisi William MarrionBranham zilizorekodiwa na zinapatikana katika vielelezo vya kusikia. Nyingiza jumbe hizi zinapatikana katika vitabu. Kuna maofisi na maktaba zakuazimisha katika mataifa kote ulimwenguni ambamo jumbe hizizinapatikana kwa urahisi katika lugha nyingi.

SWAHILI

Kwa maelezo zaidi ama kupata jumbe za Kasisi Branham waombwakuwasiliana na:

VOICE OF GOD RECORDINGS

P.O. BOX 950, JEFFERSONVILLE, INDIANA 47131 U.S.A.www.branham.org

Page 391: Nyakati Saba Za Kanisa - download.branham.orgdownload.branham.org/pdf/SWA/SWABK-AGES An Exposition Of The Seven... · paulo ireneo martin columba luther wesley nyakati 7 za kanisa

Ilani ya haki ya kunakili

Haki zote zimehifadhiwa. Kitabu hiki kinaweza kuchapishwa kwa matbaa ya nyumbani kwa matumizi ya kibinafsi ama kusambaza, bila malipo, kama chombo cha kuitangazia Injili ya Yesu Kristo. Kitabu hiki hakiwezi kikauzwa, kunakiliwa kwa wingi, kuwekwa kwenye mtandao, kuhifadhiwa kikatolewe tena, kufasiriwa katika lugha zingine ama kutumiwa kuomba fedha bila idhini halisi iliyoandikwa moja kwa moja kutoka Voice Of God Recordings®.

Kwa habari zaidi ama kwa vifaa zaidi, tafadhali wasiliana na:

VOICE OF GOD RECORDINGSP.O. BOX 950, JEFFERSONVILLE, INDIANA 47131 U.S.A.

www.branham.org