page 1 of 181 ya... · watakaokuwa kwenye vyama vya ushirika vya ufugaji wa ng’ombe, kuku, mbuzi...
TRANSCRIPT
Ibara Sekta/Maelekezo Ya Ilani Malengo Yaliyowekwa (Yaonyeshe
Takwimu)
Utekelezaji uliofikiwa (Uoneshe
takwimu)
% ya
utekelezaji
1 2 3 4 5
22 SEKTA YA KILIMO NA USHIRIKA
(i) Mapinduzi ya Kilimo
a Katika kipindi cha mwaka 2015 - 2020, Chama Cha Mapinduzi
kitaielekeza Serikali kutilia mkazo utekelezajiwa Awamu ya Pili ya
Programu ya Kuendeleza Kilimo (Agricultural Sector Development
Programme – ASDP II) pamoja na miradi ya Tekeleza kwa Matokeo
Makubwa Sasa (BRN) ili kufikia malengo makuu ya kukifanya
kilimo kuwa cha kisasa na cha kibiashara:-
1.Kuimarisha upatikanaji wa pembejeo na zana za kilimo ili
kuongeza tija na uzalishaji kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia ya
kisasa hususani katika kuboresha mifumo ya utoaji wa ruzuku na
pembejeo pamoja na kuwaunganisha wakulima na Benki ya
Maendeleo ya Kilimo na taasisi nyingine za fedha.
Kuwapatia wakulima 81,610 ruzuku
ya pembejeo ifikapo Disemba 2017
Mwongozo wa bei elekezi
umesambazwa kwenye kata zote
28 za Halmshauri na bei hiyo
tayari imeshaanza kutumika
-
807 Kuwapatia wakulima mbolea za
viwandani jumla ya tani 12,371
ifikapo Desemba 2017
Jumla ya tani za mbolea 1200
ziligawiwa kwa wakulima
10
Kusambaza tani 2100 za mbegu bora
za mazao ya chakula ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya tani 600 za mbegu bora
za mahindi zilisambazwa kwa
wakulima
29
Kuwafundisha wakulima 48,000
kuhusu matumizi ya Teknolojia ya
Kisasa ya zana za kilimo ifikapo
Disemba 2017
Wakulima 21,314 walifundishwa
matumizi ya teknolojia ya kisasa
na zana za kilimo
44
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI WA CHAMA CHA MAPINDUZI(2015-2020 KWA KIPINDI CHA JULAI –DISEMBA 2017:
HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA
Page 1 of 181
b 2.Kutoa elimu kwa wakulima juu ya kanuni bora za kilimo katika
kila Kata nchini.
Kuwafundisha wakulima 81,610 juu
ya kanuni za kilimo bora ifikapo
Disembai 2017
Wakulima 13,246 waliofundishwa
mbinu za kilimo na kanuni za
kilimo bora
16
Kuongeza idadi ya mashamba
darasa kufikia 113 ifikapo Disemba
2017
Jumla ya mashamba darasa 155
ya wakulima yalianzishwa ili
kuonesha utekezaji wa kanuni za
kilimo bora
150
3.Kuimarisha kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza utegemezi wa
mvua kwa kuongeza eneo la umwagiliaji na kufanya yafuatayo;-
(1) Kushirikiana na sekta binafsi, kuwekeza katika miundombinu ya
umwagiliaji kwa kujenga mifereji mikuu, mifereji ya kati na kujenga
mabwawa ya kuhifadhia maji kwenye maeneo yenye ukame.
Kuboresha miundombinu ya
umwagiliaji kwa kujenga mabwawa
3 na mifereji wa umwagiliaji mita
8,800 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya mabwawa 0 na mifereji
ya umwagiliaji yenye urefu wa
mita 3800 imejegwa
43
(2)Kukamilisha ujenzi wa skimu zote za umwagiliaji zilizoanza
kujengwa miaka ya nyuma.
Kukamilisha ujenzi wa skimu za
Umwagiliaji 4 Ifikapo Desemba 2017
Jumla ya Skimu 2 zilikamilishwa 50
(3)Kujenga, kukarabati na kuboresha skimu za mwagiliaji za
wakulima wadogo na wa kati ili kuongeza uzalishaji na ufanisi wa
matumizi bora ya rasilimali maji.
Kujenga/Kukarabati/Kuboresha
skimu 4 za umwagiliaji za wakulima
wadogo ifikapo Disemba 2017
Jumla ya skimu za wakulima
wadogo 2
Zilizojengwa/Kukarabatiwa/Kub
oreshwa
50
(4)Kujenga na kuimarisha mabwawa ya uvunaji wa maji ya mvua
kwa ajili ya umwagiliaji wa kilimo cha mpunga.
Kujenga Mabwawa 3 ya kuvunia
maji ya mvua kwa ajili ya kilimo cha
mpunga ifikapo Disemba 2017
Jumla ya mabwawa 0
yamejengwa ili kuvuna maji ya
mvua kwa ajili ya kilimo cha
mpunga
-
Page 2 of 181
(ii) Kuhamasisha wakulima kupitia vyama vyao vya umwagiliaji
kuchangia katika ujenzi wa mifereji midogo ya kuingiza maji
mashambani na kushiriki katika kutunza mifereji hiyo.
ii) Kuhamasisha wakulima 275
kupitia vyama vyao vya umwagiliaji
kuchangia katika ujenzi wa mifereji
midogo ya kuingiza maji
mashambani na kushiriki katika
kutunza mifereji hiyo ifikapo
Disemba 2017.
Jumla ya wakulima 81
wamehamasishwa kuchangia
katika ujenzi wa mifereji ya
kuingiza maji mashambani na
kushiriki katika kutunza mifereji
hiyo
30
iii)Kutoa mafunzo kwa wakulima
275 kulima kwa tija na ufanisi kwa
kutumia miundombinu iliyopo
ikiwa ni pamoja na kulima zaidi ya
mara moja kwa mwaka ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya wakulima 81
Wamepewa mafunzo ya kulima
kwa tija na kutumia ipasavyo
miundombinu ya umwagiliaji
iliyopo
30
Kuboresha mfumo wa utafiti wa kilimo nchini ili matokeo ya tafiti
hizo yawafikie wakulima kwa kufanya yafuatayo:-
(ii) Kuzalisha mbegu za mazao mbalimbali kwa kushirikiana na
taasisi za umma na binafsi ili kutosheleza mahitaji ya uzalishaji wa
mbegu bora
ii) Kuzalisha jumla ya tani 6.5 za
mbegu za mazao ya mahindi,
maharage, alizeti 0.7 kwa
kushirikiana na taasisi za umma na
binafsi ifikapo Disemba 2017
Uzalishaji wa mbegu
haukufanyika katika kipindi hiki
-
(5)Kushirikisha sekta binafsi katika uwekezaji na uendelezaji wa
kilimo cha umwagiliaji.
Kuwashirikisha sekta binafsi katika
uwekezaji wa kilimo cha umwagiliaji
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya sekta 8 zilishiriki katika
uwekezaji wa kilimo cha
mpunga/mahindi
100
4.Kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardhi ya kilimo kwa
kuendelea kupima mashamba ya wakulima na kutoa hati miliki za
kimila kwa wakulima wadogo kwa lengo la kuondoa migogoro ya
ardhi na kutumia hati hizo kama dhamana ya kupata mikopo.
Kundaa mipango 2 ya matumizi
bora ya ardhi kwa ajili ya kilimo
katika vijiji ili kuondoa migogoro
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya mipango 1 ya miji na
vijiji imeandaliwa na kukamilika.
Kupima mashamba 3000 na
kuyapatia hati milki ifikapo Disemba
2017
Jumla ya mashamba 200
yalipimwa na kupatiwa hati milki
f 6.Kuwawezesha wakulima hususan vijana na wanawake
kujishughulisha katika kilimo kwa kufanya yafuatayo:-
Page 3 of 181
(1)Kuainisha na kupima maeneo ya ardhi ya kilimo ili kuwawezesha
wakulima kujiajiri katika sekta ya kilimo hususan kilimo cha mazao
ya mbogamboga, matunda, maua, mbegu za mafuta na nafaka.
Kupima hekta 300 za mashamba
kwa ajili ya kilimo cha mboga
mboga, matunda, maua na nafaka
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya hekta 132. za mashamba
zilipimwa kwa ajili ya bustani,
matunda na maua
(2) Kuendelea kupima maeneo na kuyapatia hati miliki ili
kuwawezesha wakulima kushiriki katika kuya endeleza maeneo
hayo kwa kutumia hati miliki kama dhamana ya kupata mikopo
kutoka katika taasisi za fedha.
Kupima maeneo na kuyapatia hati
miliki
Jumla ya maeneo ambayo
yamepimwa na kupatiwa hati
miliki
(3) Kuwaunganisha wakulima (Vijana na wanawake) na asasi za
fedha kwa ajili ya kupata mikopo ya pembejeo, zana bora na
mashine za usindikaji kupitia vyama vyao vya ushirika na vikundi
vya uzalishaji mali.
Kuunganisha vikundi vya
wakulima 1,358 Vijana 825 na
wanawake 531 ili kupata mikopo ya
pembejeo na zana za kilimo ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya vikundi vya wakulim
1,358, vijana 825 Na wanawake
531 vimeundwa na
kuungwanishwa na taasisi za
fedha na kupata mikopo ya kilimo
100
Kuunganisha vikundi vya vijana
vilivyounganishwa
Vikundi vya vijana
vilivyounganishwa
7.Kuwezesha upatikanaji wa masoko ya mazao ya kilimo kwa
kufanya yafuatayo;-
(1)Kushirikisha sekta binafsi kujenga miundombinu ya masoko na
maghala bora ya kuhifadhia mazao mbalimbali hususan vijijini kwa
kutoa elimu na kuondoa vikwazo vya utaratibu wa Stakabadhi ya
Mazao Ghalani.
Kuishirikisha sekta binafsi kujenga
maghala na miundombinu ya
masoko vijijini ifikapo Disemba
2017
Jumla ya Maghala 4 na masoko 0
ya mazao yamejengwa na sekta
binafsi na kudhibiti masoko ya
mazao ghalani
50
Kujenga maghala 4 Jumla ya maghala 4 yamejengwa 100
(2) Kuviimarisha na kuviwezesha vyama vya ushirika kuwa na
uwezo wa kutafuta masoko ya mazao ya wakulima ya ndani na nje
kwa kuweka mfumo madhubuti wa ukusanyaji, uchambuzi na
uenezaji wa taarifa za masoko na kutoa elimu juu ya kuongezaji
thamani na biashara.
Kuimarisha na kuwezesha vyama
vya ushirika 4 kwa kutoa mafunzo
ya kutafuta masoko ya mazao
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vyama vya ushirika
4vimewezeshwa katika mfumo
wa uchambuzi wa masoko
100
Page 4 of 181
8.Kuhamasisha sekta binafsi na vyama vya ushirika wa mazao
kuanzisha viwanda vya kusindika mazao ya kilimo hususan kwenye
maeneo ya uzalishaji wa mazao hayo kwa lengo la kuongeza thamani
na kuongeza ajira. Aidha, kuwawezesha wakulima kupata majokofu
ili kuhifadhi matunda na mazao ya mboga mboga yanayoharibika
haraka pamoja navifungashio.
Kuhamasisha sekta binafsi na
vyama vya ushirika ili kuanzisha
viwanda 50 vya kusindika mazao ya
kilimo ifikapo Disemba 2017
Jumla ya viwanda 18 vya
kusindika mazao ya kilimo
vimeanzishwa
36
Kuwezesha wakulima kupata elimu ya matumizi ya teknolojia rahisi
ya uhifadhi wa chakula
Kuwawezesha wakulima 640 kupata
elimu ya matumizi ya teknolojia
rahisi ya uhifadhi wa chakula
ifikapo Disemba 2017.
Jumla ya wakulima 198
Wamepata elimu ya matumizi ya
teknolojia rahisi ya uhifadhi wa
chakula
31
Wakulima 81,610 watapewa elimu
ya matumizi ya teknolojia ya
uhifadhi wa chakula/masoko
ifikapo Disemba 2017
Wakulima 13,246
wamefundishwa mbinu ya
kuhifadhi mazao /elimu ya
masoko.
16
25 Mifugo na Uvuvi
Kuiendeleza Sekta ya Mifugo na uvuvi ili kuiwezesha kutoa
mchango mkubwa kwenye pato la Taifa kwa kufanya yafuatayo;-
9.Kuongeza uzalishaji wa mitamba kwenye mashamba
inakozalishwa na kuweka mazingira wezeshi kwa Sekta Binafsi
kuendelea kuzalisha mitamba ili kuhamasisha ufugaji wa kisasa.
Kuongeza upatikanaji wa mitamba
hadi kufikia 150 na kusambaza kwa
wafugaji ifikapo Disemba 2017
Jumla ya mitamba 84
imesambazwa kwa wafugaji
56
b 10.Kutenga, kupima na kumilikisha wafugaji maeneo ya ufugaji
nchini ili kuongeza maeneo ya ufugaji yaliyopimwa.
Kupima maeneo ya malisho ya
wafugaji hadi kufikia hekta 15 kwa
vijiji 2 ifikapo Juni 2017
Jumla ya hekta 22,771.62
zimepimwa na kumilikishwa kwa
wafugaji kwa ufadhili wa USAID
katika uimarishaji ardhi Land
tenure assistance (LTA)
162,590
c 11.Kujenga miundombinu ya mifugo kwa kuongeza idadi ya
malambo na kujenga mabwawa katika mikoa yenye
mifugo mingi. Aidha, vitajengwa visima virefu, majosho na
kuanzisha minada ya mifugo katika maeneo yote yatakayotengwa
kwa ajili ya ufugaji ili kuzuia kuhama hama kwa wafugaji
kunakosababisha migogoro.
Kujenga na kuimarisha malambo/
mabwawa/birika 1 Ifikapo Disemba
2017
Jumla ya birika 1 yalijengwa kwa
ajili ya kunyweshea mifugo
100
Page 5 of 181
Kukarabati/Kujenga Majosho 1
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya Majosho 1
yalikarabatiwa/kujengwa
100
Kuchimba visima virefu 19 ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya Visima virefu 19
Vilichimbwa
100
Kujenga/kuboresha maeneo ya
minada kufikia 1 ifikapo Disemba
2017
Jumla ya Minada 1
Ilijengwa/iliboreshwa na kuwa ya
kisasa
100
Kurabati machinjio 1 ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya machinjio 0
Zimekarabatiwa
-
12.Kutoa dhamana kwa vikundi vya wafugaji ili kupata
mikopo kwenye asasi za fedha, hususan vijana na wanawake
watakaokuwa kwenye vyama vya ushirika vya ufugaji wa ng’ombe,
kuku, mbuzi na uzalishaji malisho pamoja na usindikaji wa mazao
ya mifugo (nyama, maziwa na ngozi)
Kuwezesha vikundi vya wafugaji 5
ili kupata dhamana kwenye Taasisi
za fedha ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vikundi 2 vya wakulima
vimewezeshwa na kupata mikopo
katika taasisi kwa ajili ya ufugaji
wa Ng’ombe, mbuzi, na wanyama
wengine
40
e 13.Kuanzisha mashamba darasa ya malisho katika kila Halmashauri
ya Wilaya ili wafugaji wa asili wajifunze jinsi ya kuboresha
na kuhifadhi malisho (feed banks) hususan wakati wa kiangazi
na ukame.
Kuwafundisha wafugaji wa asili ili
kuanzisha mashamba darasa ya
malisho 5 na kuboresha hifadhi ya
malisho (feedbank) wakati wa
ukame ifikapo Disemba 2017
Wafugaji wa asili
wamefundishwa namna ya
uanzishaji wa mashamba ya
malisho na hadi sasa jumla ya
shamba 1 la malisho
limeanzishwa ili wafugaji waweze
kuhifadhi malisho na kuyatumia
wakati wa ukame.
20
Kuanzisha mashamba darasa 5
ifikapo Disemba, 2017
Shamba 1 darasa ya malisho
limeanzishwa
20
24 14.Kueneza ufugaji wa mifugo bora kupitia mikopo ya
mifugo kwa wafugaji watakaojiunga katika vikundi kupitia miradi
ya kopa ng’ombe/mbuzi lipa ng’ombe/mbuzi au kopa
ng’ombe/mbuzi lipa maziwa.
Kuwawezesha vikundi vya wafugaji
1 kupata mafunzo ya ufugaji bora na
kupata mikopo ya kopa ng’ombe
lipa ng’ombe ifikapo Disemba 2017
Jumla ya kundi 1 cha wafugaji
wamepata mafunzo ya ufugaji
bora na kukopeshwa ng'ombe
kupitia utaratibu wa kopa na lipa
ng’ombe
100
Kukopesha ng’ombe 10 kwa kikundi
1
Jumla ya kikundi 1
kimekopeshwa ng’ombe 10
100
Page 6 of 181
15.Kuendelea kutoa elimu kwa wafugaji wanaomiliki na
watakaomilikishwa ardhi ili kutumia hati zao kama dhamana ya
kupata mikopo kutoka asasi za fedha.
Kutoa elimu ya ufugaji bora, umiliki
ardhi na Mikopo kwa wafugaji 87
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wafugaji 603
wamefundishwa mbinu ya
ufugaji bora, umiliki wa ardhi na
namna ya kukopa
693
16.Kuendelea kutoa elimu kuhusu matumizi ya teknolojia ya
uhamilishaji katika kuboresha koo safu za mifugo nchini kwa kutoa
huduma za uhamilishaji kwa wafugaji kwa gharama nafuu kupitia
ruzuku itakayowekwa katika mbegu za uhamilishaji.
Kuwafundisha wataalamu wa
mifugo 8 juu ya elimu ya kisasa ya
Uhamilishaji ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wataalamu 2
wamefundishwa elimu ya kisasa
ya uhamilishaji
25
Kutoa huduma ya uhamilishaji kwa
wafugaji 125 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wafugaji 25 wamepata
huduma ya uhamilishaji kwa
mifugo yao
20
17.Kuendelea kununua na kutoa chanjo za magonjwa ya mlipuko
yanayoathiri afya ya mifugo na binadamu na kuwezesha biashara ya
mifugo katika soko laki mataifa, hususan Ugonjwa wa Homa ya
Mapafuya Ng’ombe (CBPP), Homa ya Bonde la Ufa (RVF) na Sotoka
ya Mbuzi na Kondoo (PPR).
Kuchanja mifugo ngombe 156,335,
za CBBP mbuzi 123,302, Kondoo
30,231, Mbwa 13,500, kuku 2,330,892
dhidi ya magonjwa ya mlipuko
ifikapo Disemba 2016
Jumla ya ng'ombe 52,396
wamepata chanjo ya CBBP,
mbuzi 0, na kondoo 0, mbwa
13,741 , kuku 970,936
wamepatiwa chanjo ya ugonjwa
wa mdondo
42
Kusambaza dozi za magonjwa ya
mifugo ifikapo Disemba 2017 (Lita)
Jumla ya Dozi mbalimbali za
magonjwa zimesambazwa na
sekta binafsi kwa ajili ya chanjo
na magonjwa ya mifugo
ii) Mkoa utahamasisha wakulima
……. kupitia vyama vyao vya
umwagiliaji kuchangia katika ujenzi
wa mifereji midogo ya kuingia maji
mashambani na kushiriki katika
kutunza mifereji hiyo.
18.Kuhamasisha sekta binafsi kuanzisha viwanda vya nyama na
mazao mengine yatokanayo na mifugo ikiwemo jibini na ngozi
hususan katika maeneo yenye mifugo mingi ili kuongeza thamani.
Kuhamasisha sekta bianafsi ili
kuanzisha viwanda 2 vya nyama na
mazao mengine yatokanayo na
mifugo ifikapo Disemba 2017
Jumla ya viwanda 0 vya
nyama/maziwa vimeanzishwa
-
Page 7 of 181
q 19. Kuitafutia ufumbuzi wa kudumu migogoro ya wakulima na
wafugaji.
Kuweka utaratibu wa kupunguza
migogoro ya wakulima na wafugaji
hadi kufikia 1 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya migororo 1 kati ya
wakulima na wafugaji
imesuruhishwa na kutafutiwa
ufumbuzi wa kudumu
100
Uvuvi.
Kuiendeleza sekta ya uvuvi ili iwe ya kisasa zaidi na iweze
kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye pato la Taifa
20.Kuanzisha na kuimarisha vikundi na vyama vya ushirika vya
msingi vya wavuvi wadogo wadogo kwa lengo la kuwakopesha vifaa
vikiwemo zana za uvuvi katika maeneo ya mito kwa kupunguza kodi
na kuviwezesha vikundi hivyo vikopesheke.
Kuwezesha vikundi 1 vya wavuvi
wadogo ili waweze kukopeshwa
vifaa na zana bora za uvuvi ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya vikundi 0 vya wavuvi
wadogo vimekopeshwa vifaa na
zana bora za uvuvi
-
21.Kuanzisha na kuimarisha vikundi na vyama vya ushirika vya
wafugaji wa samaki kwa lengo la kukuza ufugaji wa samaki nchini.
Kuanzisha vikundi na vyama vya
ushirika vya wafugaji samaki 4 ili
kutumia uvuvi kama fursa muhimu
ya kujiongezea kipato ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya vikundi 3 vya wafugaji
wa samakii vimeanzishwa
75
Kutoa mafunzo kwa wafugaji wa
samaki 24 ya ufugaji bora wa samaki
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wafugaji wa samaki 16
wamefundishwa mbinu za uvuvi
na ufugaji wa kisasa wa samaki
67
p) Kuendelea Kupambana na Uvuvi haramu ili uvuvi uwe endelevu na
wenye tija
Kupunguza shughuli za uvuvi
haramu kutoka asilimia 60 Hadi
kufikia asilimia 19 ifikapo Disemba
2017
Shughuli za uvui haramu
zimepungua kutoka asilimia 60
Hadi kufikia asilimia 23
22.Kuendeleza utafiti wa kurudishia samaki na kupandikiza samaki
ili kuongeza wingi katika mito na mabwawa.
Kuendeleza tafiti za samaki na
kupandikiza vifaranga vya samaki
184 aina ya perege katika mabwawa
madogo ifikapo Disemba 2017
Jumla ya tafiti 1 zimefanyika na
vifaranga vya samaki 111 aina ya
perege vimepandikizwa katika
mabwawa ya wavuvi wadogo
60
kupandikiza vifaranga vya samaki
katika mabwawa madogo ifikapo
Disemba 2017
vifaranga vya samaki 124
vimepandikizwa katika
mabwawa 2 ya wavuvi wadogo
Page 8 of 181
d 23.Kushirikiana na wadau wa ufugaji samaki ili kuongeza uzalishaji
wa samaki kwa kujenga mabwawa yakufugia samaki na kuongeza
uzalishaji na kupanua wigo wa ajira kwa vijana.
Kuwashirikisha wadau wa ufugaji
wa samaki ili kujenga mabwawa ya
samaki 5 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya mabwawa 2 ya kufugia
samaki yamejengwa
40
n 24.Kuwawezesha wavuvi wadogo wadogo kupata vifaa vya uvuvi
kwa bei nafuu.
Kuwezesha vikundi vya wavuvi
wadogo 10 kupata vifaa kwa bei
nafuu ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vikundi 0 vya wavuvi
wadogo wamepewa vifaa vya
uvuvi wa kisasa kwa bei nafuu
-
p 25.Kuendelea kupambana na uvuvi haramu ili uvuvi uwe endelevu
na wenye tija.
Kufanya doria 192 za kudhibiti
uvuvi haramu ifikapo Disemba 2017
Jumla ya doria 107 zimefanyika
katika maeneo ya uvuvi ili kuzuia
uvuvi haramu
56
26.Kuhamasisha uchimbaji wa mabwawa na ufugaji wa samaki
katika maeneo yenye ukame kwa lengo la kuongeza lishe bora
pamoja na kuongeza ajira kwa vijana.
Kuchimba mabwawa 8 ya ufugaji
wa samaki katika maeneo ya ukame
ifikapo Disemba 2017
Mabwawa 4 yamechimbwa na
yanatumika kwa shughuli za
uvuvi
50
Kuhamasisha wafugaji wa samaki
kuchimba mabwawa maeneo ya
ukame ifikapo Disemba 2017
Wavuvi wadogo
wamehamasishwa kuchimba
mabwawa madogo ya kuvulia
samaki sehemu za maeneo ya
ukame Utalii
27. Kuongeza msukumo katika utalii wa maeneo ya kihistoria kwa
kuboresha miundombinu kwenye maeneo ya malikale na
kuyatangaza maeneo hayo.
Kubainisha fursa na vyanzo vipya
vya utalii maeneo ya kale kutoka 5
Hadi 10 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya maeneo 7 yenye fursa za
utalii yamebainishwa na
kutangwazwa
70
28.Kuhamasisha wananchi kutembelea vivutio vya utalii wa ndani na
kuweka mazingira yatakayowezesha wawekezaji wa ndani
kuendeleza biashara za utalii.
Kuwahamasisha wananchi ili
kuongeza idadi ya wananchi
wanaotembelea vivutio vya utalii
kufikia 20000 ifikapo Juni 2017
Jumla ya wananchi 2560
Wametembelea vivutio
mbalimbali vya utalii maeneo
yao
31
29.Kuendelea kujenga mazingira bora ya kuwawezesha vijana
kuanzisha kampuni za kutembeza watalii katika maeneo mbalimbali
ya utalii
Kushawishi vikundi vya vijana 3
kuanzisha kampuni za kutembeza
watalii (tour guides) ifikapo Juni
2017
Jumla ya vikundi vya vijana 2
vimeanzishwa zipo katika hatua
za kufungua kampuni za utalii na
vijana 2 wamejiunga na shughuli
ya kutembeza watalii(tour guide
operators)
66
Page 9 of 181
30. Kuhifadhi malikale kwa kuishirikisha jamii kutumia Malikale
kama chanzo cha kujipatia kipato kwa kutoa elimu ya ujasiriamali,
kutenga maeneo ya biashara, kuishirikisha sekta binafsi na kutoa
elimu ya uhifadhi kwa umma.
Kuhamasisha vijiji/mitaa
kushirikiana na sekta binafsi
kutumia na kuhifadhi mali kale kwa
ajili ya utalii ifakapo Disemba 2017
Jumla ya serikali za vijiji/mitaa
zimejengewa uwezo wa kutumia
na kuhifadhi malikale kama
vyanzo vya mapato
kuendeleza kuimarisha Doria za Ulinzi wa wananchi dhidi ya
wanayama pori kwa kuboresha mfumo wa utoaji taarifa za wanyama
pori waharibifu
Kuwezesha vijiji 12
vinavyozunguka hifadhi kushiriki
doria za wanyama waharibifu na
kuboresha mfumo utoaji ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya doria 5 za kudhibiti
wanyama pori waharibifu
zimefanyika na kuboresha mfumo
wa utoaji taarifa kuzingatia sheria
za WMA
42
Maliasili
Serikali itaendelea kuchukua hatua za kuhakikisha kwamba Sekta ya
Maliasili inazidi kuimarika ili kuyafanya mazao yatokanayo na
maliasili hususani misitu na nyuki yanaendelea kuchangia katika
ukuaji wa uchumi, kuwaongezea wananchi kipato na kuongeza fursa
za ajira.
Kushirikisha wananchi katika
kusimamia uvunaji endelevu wa
mazao ya misitu katika vijiji (CBFM)
30
Wananchi wanashiriki katika
kufanya uvunaji endelevu wa
mazao ya misitu katika vijiji 16 na
kunufaika na uvunaji endelevu
wa mazao ya misitu na nyuki na
kunufaika
55
31.Kuendelea kujenga mahusiano mema baina ya Mamlaka ya
Hifadhi za Taifa na wananchi wanaoishikaribu na hifadhi hizo kwa
namna ambayo wananchi hao watanufaika na uwepo wa hifadhi
hizo.
Kufanya mikutano ya ujirani
mwema kati ya Halmashauri,
Wananchi na Hifadhi za Taifa
Mikutano ya ujirani mwema
imefanyika katika maeneo
yanayozunguka hifadhi za Ruaha
NP kutatua migogoro ya
uharibifu wa mazao, hifadhi na
huduma za jamii ziliyopo.
44
32.Kutatua migogoro ya mipaka kati ya wananchi na maeneo ya jirani
na hifadhi kwa kushirikisha wadau katika kuhakiki mipaka ya
maeneo ya hifadhi kwakuweka alama za kudumu; kuandaa mipango
ya matumizi bora ya ardhi; na kuzingatia utawala wa Sheria katika
kusimamia rasilimali za maliasili.
Kuandaa mipango ya matumizi
ardhi ya vijiji 24 vya jirani na hifadhi
ili kutataua migogoro ya ardhi na
mipaka ifikapo Disemba2017
Jumla ya vijiji 4 vya jirani na
hifadhi vimeandaa mipango ya
matumizi bora ya ardhi na
kuondokana na migogoro
iliyokuwepo
17
Page 10 of 181
33.Kuendelea kutekeleza programu ya ufugaji nyuki ya mwaka
2007–2016 ili kuwajengea uwezo wadau wake kuzifahamu mbinu
bora za uzalishaji wa mazao ya nyuki na pia masoko ya asali na nta
ya ndani na nje ya nchi.
Kujenga uwezo wa vikundi 81 vya
wafugaji wa nyuki kuzifhamau
mbinu bora za ufugaji wa kisasa na
masoko ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vikundi 32
vimeanzishwa na kupewa
mafunzo ya ufuagaji bora wa
nyuki na masoko.
43
Kutengeneza mizinga 300 ya kisasa
ya kufugia nyuki na kugawa kwa
vikundi vya wafugaji wa nyuki ili
kuzalisha asali kibiashara ifikapo
Disemba 2017
Mizinga ya kisasa 140
Ilitengenezwa na kugawa kwa
vikundi vya wafugaji wa nyuki
40
Kuzalisha asali ya biashara tani 40
Ifikapo Disemba 2017
Asali ya biashara iliyozalishwa
tani 18
46
34.Kuongeza eneo la kupanda miti hadi hekta 130,000 mwaka 2020 na
kuhakikisha kwamba mbao zinazovunwa zinatumiwa kwa ajili ya
kutengeneza samani na matumizi mengine hapa nchini badala ya
kusafirisha magogo nje ya nchi.
Kuongeza eneo la kupanda miti
hadi hekta 937.5 Ili kuhifadhi
mazingira na kupata miti ya mbao
na matumizi mengine ya nishati
ifikapo Disemba2017
Upandaji miti unafanyika kipindi
cha Januari - Juni kila mwaka
-
35.Kuweka utaratibu wa wazi utakao wawezesha wananchi
wanaoishi jirani na hifadhi kufaidika na rasilimali hizo.
Kuhamasisha viongozi wa
vijiji/mitaa kuweka utaratibu wa
kunufaika na raslimali za hifadhi
ifikapo Disemba 2017
Mikutano ya serikali ya
vijiji/mitaa imefanyika na
kuweka utaratibu wa kunufaika
na raslimali zote za utalii na
hifadhi zilizojirani mwao
35
Kutoa mafunzo kwa vikundi vya
mikoko
hakuna maeneo yenye miti aina
ya mikoko katika Wilaya ya
Iringa
-
33 Viwanda na Biashara
Page 11 of 181
Serikali kuweka nguvu kubwa katika kukamilisha utekelezaji wa
Sera ya Maendeleo Endelevu ya Viwanda Awamu ya Tatu
(2010–2020) ambayo malengo yake ni kuiwezesha Sekta ya Viwanda
kuchangia katika kufikia malengo ya maendeleo ya muda mrefu
kama ilivyoanishwa katika Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025. Aidha,
Utekelezaji wa Ilani hii utakuwa ni sehemu ya Utekelezaji wa
Mpangowa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2015/16-2020/21)
ambao lengo lake ni kuendeleza uchumi wa viwanda.
Halmashauri kuhakikisha inatenga
ekari 1500 ya uwekezaji wa
Viwanda
Jumla ya ekari 88 zilizopimwa
zimetengwa kwa ajili ya
Uwekezaji na Viwanda aidha
ekari 678 zipo katika hatua
mbalimbali za upimaji.
49
36.Sekta ya Viwanda inaongeza ajira kwa kuweka kipau mbele cha
kujenga viwanda vinavyotumia malighafi zinazozalishwa hapa
nchini kama vile kilimo, mifugo, uvuvi na maliasili; Viwanda hivyo
ni pamoja na viwanda vya nguo, sabuni, korosho, matunda n.k
Kusimamia uanzishwaji wa
viwanda 2 vinavyotumia malighafi
ya ndani ili kuongeza ajira kufikia
Disemba 2017
kiwanda 1 cha kusindika unga
wa sembe kimeanzishwa
50
36. Kuandaa mikakati thabiti ya kuhamasisha sekta binafsi
kuanzisha viwanda vikubwa na vya kati nakuweka utaratibu wa
kuvilinda dhidi ya viwanda vya nje.
Kuandaa na kutekeleza mkatakati
wa kuanzisha viwanda vikubwa,
vya kati na vidogo katika
Halmashauri ifiakapo Disemba 2017
mkakati wa utekelezaji wa
Viwanda vya aina zote na
kutenga maeneo ya uwekezaji
umefanyika
100
37.Kuendeleza kasi ya ujenzi wa viwanda vidogo na vya kati hasa
vinavyosindika mazao.
Kuendeleza na kujenga viwanda
vidogo vya kusindikika mazao 21
ifikapo Disemba2017
Jumla ya viwanda vidogo 10 vya
kusindika mazao ya nafaka
vimejengwa
48
Madini
Serikali yake kutekeleza mambo yafuatayo ili kuendelea kukuza
Sekta ya Madini na kuongeza mchango wake kwenye Pato la Taifa:-
Kutambua maeneo 15 ambayo
madini yamegunduliwa ifikapo Juni
2017
Jumla ya maeneo 15 ya uchimbaji
madini mbalimbali
yamegunduliwa.
100
Page 12 of 181
38.Kuweka na kusimamia mfumo thabiti wa kukagua shughuli za
migodi, kukusanya takwimu za madini na kufuatilia maduhuli
yatokanayo na madini kwa malengo mapana ya kuongeza mapato ya
Serikali.
Kuimarisha mfumo wa usimamizi,
ufuatilaiji na ukaguzi wa madini
katika migodi 15 ifikapo Juni 2017
Jumla ya shughuli za madini 5
zimekaguliwa na kutolewa taarifa
33.3
39. Kuweka miundombinu muhimu (umeme, simu, maji,barabara)
kupitia ushirikiano wa Serikali na Sekta Binafsi (PPP) kwenye
maeneo yenye uwezekano wa kuanzishwa kwa migodi mikubwa na
midogo mipya.
Kuwezesha migodi 10 kuwa na
miundombinu muhimu ifikapo
Disemba 2017
Jumla migodi 7 ina mbinu
muhimu kwa kushirikiana na
sekta binafsi.
70
40.Kuboresha mfumo wa utoaji na usimamizi wa leseni za madini, na
upatikanaji wa taarifa muhimu kwa wadau kuhusu Sekta ya Madini.
Kuweka mfumo mzuri wa utoaji
taarifa na utoaji wa leseni za madini
ifikapo 15 Disemba 2017
Jumla ya leseni 11 zimetolewa na
taarifa zake kutolewa kwa wakati
73.3
41.Kuimarisha udhibiti na usimamizi wa upatikanaji, utunzaji,
usafirishaji na matumizi ya baruti katika shughuli za migodi
Kufuatilia shughuli za udhibiti wa
mazingira katika migodi 15
Ufuatiliaji umefanyika katika
migodi 15 na misingi ya utunzaji
wa mazingira umezingatiwa.
100
42.Kuwawezesha wachimbaji wadogo kujiajiri kupitia sekta hii kwa
kufanya yafuatayo;-
(1)Kuwatambua, kuwarasimisha na kuwapatia maeneo ya uchimbaji
madini.
Kutambua vikundi 15 vya uchimbaji
wa madini wadogo ifikapo Disemba
2017
Jumla ya vikundi 4
vimetambuliwa na kuelimishwa
kupitia ofisi ya madini kanda ya
Mbeya
26.6
(2) Kuwapatia ruzuku, mafunzo, teknologia na maarifa ya kisasa kwa
ajiri ya kuendeleza shughuli za uchimbaji.
Kutoa mafunzo, teknologia na
maarifa ya kisasa kwa ajiri ya
kuendeleza shughuli za uchimbaji
kwa wachimbaji (vikundi) wadogo
15 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vikundi 11
vimewezeshwa kupata mafunzo
ya teknolojia ya uchimmbaji.
7.0
43.Kuendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi katika masuala ya
usalama,utunzaji wa mazingira na afya (EAI).
Kufuatilia shughuli za udhibiti wa
mazingira katika migodi 15 ifikapo
Disemba 2017
Ufuatiliaji umefanyika katika
migodi 13 na misingi ya utunzaji
wa mazingira umezingatiwa.
87
SEKTA YA MIUNDOMBINU NA HUDUMA ZA UCHUMI
(i) Utawala na Ardhi
Page 13 of 181
44. Kufanya uhakiki wa mashamba pori ya siyo endelezwa kwa
kipindi kirefu na kugawa upya kwa wananchi.
Kuhakiki mashamba pori
yasiyoendelezwa na kuyagawa kwa
wananchi
Halmashauri imehakiki shamba
pori 1 lililopo katika kijiji cha
Kikombwe kata ya Lyamgungwe
na mapendekezo ya kulifuta
yamepelekwa Wizarani.
100
45.Kutoa elimu kwa umma juu ya Sheria za Ardhi, Sheria ya
Mipango miji, Sheria ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi na Sheria
zingine zinazohusiana na utawala wa ardhi.
Kuwahamasisha/kuwafunza
wanachi juu ya sheria za Ardhi,
mipango miji na nk
Jumla ya Wanachi 175,000/=
wamehamsishwa juu ya sheria za
Ardhi na mipango miji
100
Kuzijengea uwezo Halmashauri za
miji na Wilaya kwa kuzipatia
mafunzo, vifaa, rasilimali fedha na
wataalamu ili ziweze kupima
viwanja na mashamba nchini.
Jumla ya viongozi 300 wa serikali
za Halmashauri ya vijiji
wamepewa mafunzo muhimu ya
kuzifahamu sheria za ardhi na
mipango miji
100
46.Kuimarisha huduma ya utatuzi wa migogoro ya ardhi kwa
kuanzisha Mabaraza mapya ya Ardhi na Nyumba kwenye wilaya
zenye migogoro mingi ya ardhi.
Kuanzisha mabaraza 28 mapya ya
ardhi na nyumba ya kata ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya mabaraza ya ardhi ya
kata 14 yameanzishwa na
yanasaidia kutatua migogoro
100
Wilaya itatoa elimu juu ya sheria za
ardhi, Mipangomiji,mipango ya
matumizi ya ardhi na sheria
nyingine zinahusiana na utawala wa
ardhi katika vijiji 133
Elimu juu ya sheria za ardhi,
Mipango miji, mipango ya
matumizi ya ardhi na sheria
nyingine zinahusiana na utawala
wa ardhi imetolewa katika vijiji 12
100
47.Kuhakikisha maafisa ardhi wasio waaminifu wanashughulikiwa. 0 0
48 Kuanzisha akiba ya ardhi (land bank). Kupima hekta 200 Kwa ajili ya akiba
ya ardhi itakayohifadhiwa katika
vijiji ifikapo Disemba , 2017
Jumla ya hekta 80 zimepimwa na
kuhifadhiwa kama akiba ya ardhi
(land bank)
40
Mipango na Matumizi Bora ya ardhi
49.Kukamilisha upimaji wa mipaka ya vijiji vyote nchini. Kuhakikisha mipaka ya vijiji 133
inapimwa ifkapo Disemba 2017
Jumla ya vijiji 56 Mipaka yake
imepimwa
42
Page 14 of 181
Kupima viwanja 500 katika maeneo
ya mjini
Jumla ya viwanja 142 vimepimwa
katika eneo la Isimila-Mseke na
jumla shamba 5,289 yamepimwa
katika vijiji vya Lwato, Ngano,
Makota, Ilandutwa, Nyamihuu,
Ikungwe, Muwimbi na Mwambao
60
50.Kuwapatia wananchi hati miliki za kimila pamoja na kujenga
masjala za ardhi katika ngazi za Wilaya na Vijiji.
Kuanzisha masjala za ardhi katika
vijiji 133 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vijiji 26 vimeanzisha
Masjala za Ardhi
39
Kuanzisha masijala ya Ardhi ya
Wilaya ifikapo Disemba 2017
Masijala 1 ya ardhi ya Wilaya ipo
Kuwezesha kutoa hati za kimila
10,000 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya hatimiliki za kimila
6,505.5 zimeandaliwa na
kutolewa katika Vijiji vya; ,
Usengelindete(794), Malagosi
(539), Mgama (1,085), Ilandutwa
(465),Lwato (275) ,Udumuka (539)
,Mfukulembe (909) ,Muwimbi
(405), Mwambao(332) Nyamihuu
(912) na Ngano (558) kwa msaada
wa USAID kupitia DAI
100
Kujenga mfumo utakaorahisisha
umilikishaji wa Ardhi na uhifadhi
wa kumbukumbu za Ardhi kwa
kukamilisha ujezi wa mfumo
unganishi wa kuhifadhi
kumbukumbu za Ardhi.
Mfumo wa umirikishaji wa ardhi
na uhifadhi wa kumbukumbu za
ardhi umekamilika na upo.
100
Kuzijengea uwezo Halmashauri za
miji na Wilaya kwa kuzipatia
mafunzo, vifaa, rasilimali fedha na
wataalamu ili ziweze kupima
viwanja na mashamba nchini.
Wataalam wa kitengo cha Ardhi
6 wamejengewa uwezo
100
Page 15 of 181
51.Kuwapatia wananchi hati miliki pamoja na kusajili nyaraka
nyingine za kisheria.
Kuwawezesha wananchi 70 kupata
hati milki za viwanja za kawaida
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya Hati miliki 50 za viwanja
za kawaida zimetolewa kwa
wananchi
71
Kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi ya Vijiji na Mipango ya
matumizi ya ardhi ya Wilaya
Kuandaa mipango ya matumizi
bora ya vijiji 25 ifikapo Disemba
2017
Vijiji 11 vimeandaliwa mpango
wa matumizi bora ya ardhi
ambavyo ni Mwambao, Isele,
Udumuka, Ngano, Makuka,
Makota, Chamndindi, Ihomasa,
Kisanga, Weru na Magubike.
44
Nyumba.
52.Kuwaelimisha wananchi kuzielewa sheria za mikopo ya nyumba
ili wazitumie kupata mikopo ya muda mrefu kwa ajili ya kujenga au
kununua nyumba na kuhamasisha mabenki na asasi nyingine za
fedha zitoe mikopo ya nyumba ya muda mrefu na yenye riba nafuu.
Kuwaelimisha wanachi kuzielewa
elimu ya mikopo ya Nyumba na
kuzihamasisha taasisis za fedha
zitoe mikopo yenye riba nafuu
ifikapo Disemba 2017
Jumla yawanachi 215
wamehamasishwa umuhimu wa
kutumia mikopo ya nyumba
katika taasisi za fedha
53.Kuwawezesha wanavijiji kujiunga kwenye vikundi vya ujenzi
vitakavyopatiwa elimu ya jinsi ya kujenga nyumba bora.
Kutoa elimu kwa vikundi 10 vya
wakulima juu ya ujenzi wa nyumba
bora na zenye gharama nafuu
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vikundi 5
vimefundishwa elimu ya ujenzi
wa nyumba bora
50
54.Kuanzisha na kuimarisha vyama vya ushirika vya ujenzi wa
nyumba zenye gharama nafuu.
Kuanzisha vyama vya ushirika 8
vitakavyoshiriki ujenzi wa nyumba
bora za wananchi kwa gharama
nafuu ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vyama vya ushirika 3
vimeanzishwa na kuwezeshwa
kwa ajili kushiriki ujenzi wa
nyumba bora na zenye gharama
nafuu
37
55.Kuelimisha na kuhamasisha wananchi kujenga nyumba bora kwa
kutumia vifaa vya ujenzi vya gharama nafuu.
Kuwahamasisha wanachi wapatao
150,000kuhusu ujenzi wa nyumba
zenye gharama nafuu ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya wanachi 36,000
wamehamasishwa kuhusu ujenzi
wa nyumba bora zenye gharama
nafuu56.Kujenga nyumba za watumishi wa umma na majengo ya serikali
yenye kuzingatia mahitaji maalumu ya watu wenye ulemavu.
Kujenga nyumba za watumishi
katika maeneo wenye mahitaji
maalumu ya watu wenye ulemavu
ifikapo Juni 2017
Hakuna nyumba iliyojengwa
Mipango Miji na Vijiji
Page 16 of 181
57.Kukamilisha uandaaji wa Mipango Kabambe Master Plans) kwa
miji yote ya mikoani.
Kuandaa mipango kabambe ya miji
ifikapo Disemba 2017
Mipango Kabambe ya miji 0
imeandaliwa na ramani zake
zimewasisihwa Kamishina wa
Ardhi kupata idhini
Kutekeleza Programu ya Taifa ya
kurasimisha Makazi yaliyopo katika
maeneo ambayo hayajapimwa kwa
lengo la kuyapanga na kuyapima
viwanja katika mji ya Dar es Salaam
Kuandaa michoro ya Mipango
Miji
58.Kuhimiza ujenzi wa miji ya pembe zeno (Satilitecities) katika miji
yote ili kufanya miji hiyo ikue kwa kuzingatia mipango miji.
Kujiendeleza ujenzi wa miji 3 ya
pembezoni kwa kupima na
kuzingatia mipango miji
Jumla ya miji 1 ya pembezoni
imepimwa na kuwa na ramani za
mipango miji
Upimaji na Ramani
59.Kuzijengea uwezo wa rasilimali watu na fedha Halmashauri za
Wilaya, Miji na Majiji na kuzipatia zana za kisasa za kupima ardhi
na usanifu wa ramani na kuwapatia mafunzo stahiki watalaamu wa
ardhi.
Kuwafundisha wataalamu wa ardhi
4 juu ya elimu ya usanifu wa ramani
na upimaji ardhi ifikapo Disemba
2017
Jumla ya wataalamu 4 walipewa
mafunzo ya upimaji ardhi na
usanifu wa ramani wa kisasa
100
Kuwapatia vifaa na zana za kisasa
za kupimia Ardhi ifikapo Disemba
2017
Hakuna vifaa /zana
zilizonunuliwa
Kupima viwanja 50 ifikapo Disemba
2017
Jumla ya Viwanja 22 vimepimwa 44
Usafrishaji na Uchukuzi
(1) Barabara
60.Kuhakikisha kuwa makao makuu ya Wilaya ambazo bado
barabara zake hazipitiki majira yote zinafanyiwa ukarabati angalau
kwa kiwango cha changarawe na kuzifanya zipitike majira yote ya
mwaka.
Kuzifanyia matengenezo ya
kawaida Km ……………… za
barabara kwa kuziwekea
changarawe na udongo ifikapo
Disemba 2017
Km …………. za barabara
zimefanyiwa matengenezo ya
kawaida kwa kuwekewa
changarawe na udongo
Kuzifanyia matengenezo ya sehemu
korofi (spot Improvement ) na
maalumu urefu Km. ………..…..
ifikapo Disemba 2017
Km …………………. zimefanyiwa
matengenezo ya sehemu korofi na
maalumu
Page 17 of 181
Kufanya matengenezo ya madaraja
…….. Ifikapo Disemba 2017
Madaraja ……....
yametengenezwa
Matengenezo ya vivuko ………..na
Mkalvati …. ifikapo Disemba 2017
Jumla ya Maklvati ……………….
na Vivuko ... vimetengenezwa
Kufanyia matengenezo km ……… za
barabara za lami ifikapo
Disemba2017
Km …….. za Barabara za lami
zimewekewa lami katika mji
wa…….
Uwekaji wa taa za barabarani
ifikapo Disemba, 2017
Kuweka taa kwenye barabara
61. Kupunguza umaskini kwa kushirikisha kikamilifu vikundi vya
wananchi katika kazi za matengenezo madogo madogo ya barabara
kama vile kazi za kufyeka nyasi, kuzibua mifereji na kufanya usafi
wa barabara zinazopita katika maeneo yao.
Kuwezesha vikundi vya wanachi 20
kufanya kazi za matengenezo
madogo madogo ya barabara ili
kujipatia kipato ifikapo Disemba
2017
Jumla ya vikundi 15
vimewezeshwa kwa njia ya
mafunzo namna ya kufanya na
kusimamia matengenezeo
madogo ya barabara (Labor Based
Technology)Makandarasi wazalendo wanaoonesha nia ya kushiriki katika kazi
kubwa za ujenzi wa barabara watapatiwa dhamana na serikali
kuwajengea uwezo na kuwapatia fursa za kushiriki kikamilifu
kwenye shughuli za sekta ya ujenzi
Kuwatambua makandarasi
wakubwa wa…... watakaofanya kazi
za barabara
Jumla ya wakandarasi wakubwa
wa ndani ….. wameshiriki katika
kazi za matengezeo ya barabara
SEKTA YA HUDUMA ZA JAMII
(i)Afya
50(a) 64.Lengo la kila kijiji kuwa na Zahanati, Kata kuwa na Kituo cha
Afya na Wilaya kuwa na Hospitali linaendelea kutekelezwa katika
maeneo ambayo huduma hizi hazijakamilika pamoja na kujenga
hospitali za wilaya katika wilaya zote mpya.
Kukamilisha ujenzi wa zahanati
katika mitaa/vijiji 21 ifikapo
Disemba 2017
Hadi sasa jumla ya Zahanati za
Vijiji 3 zimekamilika na zinatoa
huduma na zahanti 18 zipo
kwenye hatua mbalimbali za
ujenzi
14
Kuanza ujenzi wa vituo vya afya
katika kata 5 ifikapo Disemba 2017
Hadi sasa kata 1 imekamilisha
ujenzi wa kituo cha afya ujenzi
wa vituo vya afya 4 unaendelea
katika kata mbalimbali
20
Kuhakikisha kuwa wilaya inakuwa
na Hospitali ifikapo Disemba 2017
Eneo la ujenzi wa hospitali
limeshaandaliwa ujenzi bado
haujaanza.
10
Page 18 of 181
65.Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika Sekta ya Afya kwa
kupitia sera ya ubia baina ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP).
Kuhamasisha wadau na sekta
binafsi katika utoaji wa huduma za
Afya na kuwapatia ruzuku ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya sekta binafsi ambazo
zimeingia mikataba ya utoaji wa
huduma ya Afya ni 10
90
67.Kutoa motisha kwa watumishi ambao wanafanyakazi katika
maeneo yenye mazingira magumu ili kuwajengea ushawishi wa
kuendelea kutoa huduma za afya katika maeneo hayo.
Kuwapatia motiisha watumishi 145
wa Afya walio katika maeneo
yeneye mazingira magumu ifikapo
Disemba 2017
Watumishi 137 tu wamepewa
motisha kwa kupewa
nyumba/posho
95
68.Kujenga nyumba za watumishi karibu na vituo vya kutolea
huduma.
Kujenga nyumba za watumishi 10
wa afya waishio maeneo ya
mazingira magumu ifikapo Juni 2017
Jumla ya nyumba 2 zimejengwa
katika maeneo yenye mazingira
magumu zipo katika hatua ya
ukamilishaji
10
(b)Kuimarisha mapambano dhidi ya malaria kwa kufanya yafuatayo;
(i)Kuwagawia wananchi vyandarua vyenye viuatilifu 306000 bila
malipo.
Kugawa vyandarua vyenye
viatailifu 1000 kwa wananchi ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya vyandarua vyenye
viuatilifu 173, 222vimegawanya
kwa wananchi bila malipo.
99
(ii)Kununua na kusambaza dawa za malaria katika vituo vyote vya
kutolea huduma za afya
Kununua na kusambaza dawa
katika vituo 74 vya kutelea huduma
Dawa za Malaria zimesambazwa
katika vituo 74 Vya kutolea
huduma za afya
100
(c) Kuimarisha upatikanaji wa huduma za dharura na za kawaida kwa
wagonjwa kupitia vituo vya huduma za afya hapa nchini. Huduma hizi
ni pamoja na magonjwa ya saratani, mishipa ya fahamu, mapafu, figo,
huduma za magonjwa ya moyo, upasuaji mbalimbali ikiwamo upasuaji
wa mifupa.
Kuimarisha upatikanaji wa huduma
za dharura na kawaida kwa
wagongwa katika vituo 10 ifikapo
Disemba 2017
Hadi sasa huduma za dharula
zimeimarishwa kwenye vituo 4
vya kutolea huduma za afya
40
(j) Kuweka utaratibu utakaowezesha wananchi kuwa na Bima ya Afya
ili kumudu gharama za matibabu.
Kuweka utaratibu wa kupatikana
kwa Bima ya Afya kwa wananchi
ifikapo Disemba 2017
Utaratibu wa wananchi kujiunga
na mfuko wa Afya ya jamii
umewekwa
100
(n) Kukarabati na kuimarisha huduma za kibinadamu katika vituo vya
kutolea huduma za ustawi wa jamii vikiwemo makazi 17 ya wazee,
mahabusu saba za watoto walio katika mkinzano na sheria pamoja na
shule moja ya maadilisho.
Kukarabati na kuimarisha huduma
za kibinaadamu katika vituoo 10 vya
kutolea huduma kwa wazee
Vituo 1 vimakarabatiwa na 0
vimejngwa
10
Page 19 of 181
69.Kuimarisha upatikanaji wa huduma za dharura na za kawaida
kwa wagonjwa kupitia vituo vya huduma za afya hapa nchini.
Huduma hizi ni pamoja na magonjwa ya saratani, mishipa ya
fahamu, mapafu, figo, huduma za magonjwa ya moyo, upasuaji
mbalilmbali ikiwamo upasuaji wa mifupa
Kuimarisha upatikakanaji wa
huduma ya dharura kwa wagonjwa
ifikapo Disemba2017
Jumla ya wagonjwa 126 walipata
huduma za dharura za magonjwa
kupitia vituo vya huduma ya afya
80
70.Halmashauri za Wilaya zitaelekezwa kutenga bajeti kwa ajili ya
kununulia vifaa vya kujimudu kwa lengo la kuwawezesha watu
wenye ulemavu.
Kutenga bajeti ya kununulia vifaa
vya walemavu ifikapo Disemba 2017
Bajeti imetengwa na vifaa
vimenunuliwa kwa ajili ya
walemavu wawili walimu vituoni
imetengwa.
70
71.Kuwezesha wananchi kuwa na Bima ya Afya ili kumudu gharama
za matibabu.
Kuhamasisha wananchi 22200
kujiunga katika mfuko wa afya ya
jamii ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wananchi 6279
wamejiunga na mfuko wa CHF
na wanapata huduma kwa
kipindi cha kuanzia July -
Desemba 2017
29
72.Kuimarisha upatikanaji wa haki na huduma za makundi maalumu
wakiwemo watu wenye ulemavu wa ngozi (albinism) na watoto
wanaoishi mitaani ikiwa ni pamoja na kuanzisha Kamati za Ulinzi
wa Mtoto katika Halmashauri zote.
Kuwezesha watu wenye ulemavu
wa ngozi 52 kupata haki na huduma
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya watu wenye ulemavu
wa ngozi 20 wamehudumiwa
10
Kuwahudumia watoto wa mitaani
1200 kwa kuanzisha kamati za
ulinzi wa watoto
Jumla ya watoto 785
wamehudumiwa na kulindwa na
kamati za ulinzi wa mtoto za vijiji
65
Kamati za kata /vijiji kushiriki
kutetea haki za watu wenye
ulemavu wa ngozi na watoto wa
mitaani
Jumla ya kamati 28 za kata na 133
za vijiji za ulinzi wa haki za
watoto zimeundwa na kufanya
vikao vyao vya ulinzi wa watoto
100
73.Kutoa huduma za mkoba (mobile clinic) hasa maeneo ya vijijini. Kuuimarisha vituo/vijiji 74 vya
kutolea huduma za mkoba ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya vituo /vijiji 74
vimeimarishwa kwa ajili ya
huduma ya mkoba (PENTA 3)
86
Kufanya Mobile clinic 890 kwa
Hamshauri
Idadi ya Mobile Clinic
zimefanyika 806 kwa
Halmashauri
91
74.Halmashauri zitahakikisha wazee wanatambuliwa na kupewa
matibabu bure katika hospitali za Serikali.
Kuwatambua wazee kwa lengo la
kuwapatia vitambulisho matibabu
bure
Jumla ya wazee 59,445
wametambuliwa na wanapata
matibabu bure
Page 20 of 181
Kutenga dirisha la kuwatibia wazee
kwenye Hospitali, vituo vya Afya na
Zahanati kila Halmashauri
Hospital zenye madirisha ya
wazee wanaotibiwa bure
100
75.Kuzijengea uwezo Hospitali na Vituo vya Afya ili kutoa huduma
kamili ya Afya ya Uzazi na Mtoto pamoja na upasuaji kwa mama
wajawazito
Kuviongezea uwezo vituo vya Afya
10 kuwa na huduma za mama na
mtoto na majengo ya upasuaji
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vituo 10 vinatoa
huduma ya mama na mtoto na
vituo 2 vimejengewa majengo ya
upasuaji
20
76. Kuendelea kutekeleza mpango wa kutokomeza maambukizi
mapya ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto
Kutokomeza maambukizi mapya ya
ukimwi kutoka asilimia 9.1 hadi
kufikia asilimia 6 ifikapo Disemba
2017
Kiwango cha maambukizi
kimeongezeka na kimefikia
asilimia 11.3
-
Kupima wajawazito kwa 8,410 ili
kujua hali ya maambukizi ya VVU
na kuzuia maambukizi ya mtoto
tarajiwa ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wajawazito 8,332
wamepimwa maambukizi ya
VVU katika vituo vya kutolea
huduma ya afya kati yao 315
Waligundulika kuwa na VVU
99.0
Kutoa Elimu ya kinga ya
maambukizi mapya ya VVU na
UKIMWI katika Vijiji 133 ifikapo
Disemba 2017
Elimu ya kinga ya maambukizi
mapya ya VVU na UKIMWI
ilitolewa katika vijiji 133
100
52(a) Elimu
Elimu ya kisasa na hasa yenye muelekeo wa sayansi na Teknolojia
ina nafasi ya pekee katika kufanikisha ujenzi wa msingi wa uchumi
wa kisasa wa Taifa linalojitegemea. Kwa kutambua ukweli huu
CCM inaipa kipaumbele sekta ya Elimu umuhimu wa kipekee ili
kuindeleza sekta hii. Katika kipindi cha miaka mitano ijayo (2015 -
2020) CCM itahakikisha serikali inasimamia utekelezaji wa sera ya
Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 kwa kutekeleza yafuatayo:-
77.Kuandaa mfumo, muundo na taratibu nyumbufu za kutoa Elimu
ya Awali na Elimu msingi (1+6+4) bila malipo ili kuhakikisha
kwamba:-
Kuanzisha madarasa ya Elimu ya
Awali katika shule za msingi 148
Ifikapo Disemba 2017
Madarasa ya Elimu ya Awali 136
yameanzishwa katika shule za
msingi 136
91.9
Page 21 of 181
(1).Uandikishwaji rika lengwa la watoto wa darasa la Elimu ya Awali
unaongezeka kutoka asilimia 45 mwaka 2015 hadi asilimia 100
mwaka 2020
Kuongeza uandikishaji kwa
kuwaandikisha watoto lengwa
wapatao 9,739 katika elimu ya
Awali ifikapo Machi 2017
Jumla ya watoto 8,496
wameandikishwa kuingia katika
elimu ya awali sawa na 87%
87
(2).Uandikishwaji rika lengwa la watoto wa Darasa
la Kwanza unaongezeka kutoka asilimia 95mwaka 2015 hadi asilimia
100 mwaka 2020.
Kuongeza uandaikishaji kwa
kuwaandikisha watoto lengwa
wapatao 11,200 kuingia darasa la
Kwanza ifikapo Machi 2017
Jumla ya watoto 9,815
wameandikishwa kuingia darsa la
kwanza sawa na 87%
87
(3) Uandikishwaji rika lengwa la Wanafunzi waKidato cha Kwanza
unaongezeka kutoka asilimia 60 mwaka 2015 hadi asilimia 80 mwaka
2020.
Kuongeza uandaikishaji kwa
kuwaandikisha wanafunzi lengwa
wapatao 4,248 kuingia kidato cha
kwanza ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wanafunzi 5,555
wameandikishwa kuingia kidato
cha kwanza sawa na asilimia
85.51
85.5
78.Kuhuisha taratibu za kujiunga na taasisi zinazotoa elimu na
mafunzo katika ngazi mbalimbali kwa kutambua sifa zinazopatikana
katika mifumo na taasisi tofauti ili kuhakikisha kwamba:-
(1)Asilimia 20 ya wahitimu wa Elimu msingi wanaendelea na
masomo katika ngazi za Sekondari ya Juu na asilimia 80 kuendelea
na elimu au mafunzo ya ufundi katika ngazi ya cheti, stashahada au
shahada kulingana na sifa,vipaji au vipawa.
Kuwezesha wahitimu 3,823 wa
Elimu ya msingi sawa na asilimia
89.9 kuendelea na masomo ya
sekondari ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wanafunzi 5555
waliomaliza darasa la saba sawa
100 asilimia wataendelea na
masomo ya sekondari mwaka
2018
100.0
(3).Asilimia 70 ya wahitimu wa Elimu au Mafunzo ya Ufundi na
Taaluma wanapata ajira kwa kujiajiri au kuajiriwa.
Kuhakikisha kwamba wahitimu 18
wa mafunzo ya ufundi sawa na
asilimia 100 wanapata ajira ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya wahitimu 10 wa elimu
ya ufundi sawa na asilimia 55.6
walipata ajira katika sekta binafsi
na wengine 8 sawa na asilimia 44
kujiajiri
55
79.Kuhuisha vigezo na utaratibu wa kuhakiki, kusimamiana kupima
utekelezaji wa mitaala katika shule na taasisi za elimu na mafunzo
katika ngazi zote ili kuhakikisha kwamba;-
(1)Ufaulu wa mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi
unaongezeka na asilimia ya wanafunzi wanaoendelea na Kidato cha
Kwanza kuongezeka kutoka asilimia 55.5 hadi asilimia 100.
Kuongeza kiwango cha ufaulu wa
Mtihani wa kumaliza Elimu ya
msingi kufikia asilimia 95 ifikapo
Disemba 2017
Kiwango cha ufaulu kwa mwaka
2017 ni asilimia 85.6 hivyo
hakuna ongezeko
90
Page 22 of 181
80.Kuandaa mpango wa kuwawezesha walimu na wanafunzi
kutumia TEHAMA katika kufundishia nakujifunzia.
Kutekeleza mpango wa TEHAMA
kwa kuwezesha walimu na
wanafunzi wa shule 148 ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya shule 148 zimetekeleza
mpango wa TEHAMA kwa
walimu na wanafunzi
100
(i) Kuhuisha miongozo ya Elimu na Mafunzo ili kuondoa vikwazo
vinavyosababisha mwanafunzi kushindwa kukamilisha mzunguko wa
elimu au mafunzo ili kuhakikisha kwamba:-
Kuhuisha miongozo ya Elimu na
mafunzo ifikapo Disemba 2017
Miongozo imehuishwa na
masomo rekebishi kwa
wasiomudu masomo yanafanyika
shuleni
100
(ii) Mdondoko katika Elimu msingi unapungua kutoka wastani wa
asilimia 8.2 mwaka 2015 hadi asilimia 2 mwaka 2020.
Kuhakikisha mdondoko wa Elimu
Msingi unapungua kutoka wastani
wa asilimia 0.5 hadi 0.185 kufikia
Disemba 2017
Mdondoko wa wanafunzi katika
Elimu Msingi umepungua kutoka
asilimia 0.35 hadi kufikia asilimia
0.185
99.8
(iii) Wanafunzi wanaomaliza mzunguko wa elimu katika ngazi ya
Elimu msingi wanaongezeka kutoka asilimia 67 mwaka 2015 hadi
asilimia 95 mwaka 2020.
Mwaka 2016 walisajiliwa wanafunzi
2,264 kufanya mtihani wa kidato cha
nne mwaka walisajaliwa wanafunzi
3,122
Mwaka 2016 walifanya mtihani
wanafunzi 2,236 na mwaka 2017
wanafunzi kidato cha nne.
97.9
Kuhakisha ujenzi na ukarabati wa miundombinu mbalimbali ya shule
ili kuwa na mazingira mazuri ya kujifunzia
Kuhakikisha madarasa 50 maktaba
10 nyumnba za walimu 8 na
matundu ya vyoo 60 yanajengwa na
kukarabatiwa ifikapo mwaka 2020
Jumla ya madarasa 4 maktaba 1
matundu ya vyoo 12 na uzio wa
shule (Fence) yamejengwa katika
shule ya msingi Kalenga na
nyumba za walimu 4
zimekarabatiwa na madawati 80
yametengenezwa katika shule ya
msingi KalengaMadarasa 3 yamejengwa na
madawati 23 yametengenezwa
katika shule ya msingi Mangalali
(iv). Maabara na samani za darasani. Kuongeza idadi ya shule za
sekondari zenye vyumba vya
maabara vyenye samani kutoka 48
hadi 60 Ifikapo Disemba 2017
Idadi ya Shule za Sekondari zenye
vyumba vya maabara vyenye
samani zimeongezeka kutoka 48
hadi 48
-
Page 23 of 181
81.Kuweka utaratibu wa ada na michango mbalimbali katika shule
na vyuo binafsi ili kusimamia kwa ufanisi masuala ya ada na
michango.
Michango ya hostel wazazi
wamekubaliana kuchangaia Tshs
350,000 hadi 450,000. Ada na
michango ya shule za A Level
inapangwa na OR-TAMISEMI
Shule zote zenye hostel
zimezingatia viwango
vinavyotolewa na OR -
TAMISEMI, wazazi wanatoza
mchango wa Tshs 420,000.54(b) (iii) Maji
83.Kuendelea kutekeleza lengo la kuwapatia wananchi waishio
vijijini huduma ya maji safi na salama na ya kutosha kama yalivyo
Malengo ya Milenia.
Kuongeza hali ya upatikakaji wa
maji safi na salama vijijini kufikia
asilimia 75 ifikapo Disemba 2017
Kwa sasa hali ya upatikanaji wa
maji safi na salama vijijini ni
asilimia 71.5
95
Kujenga vituo 30 na kukarabati
vituo 15 vya vya kutolea huduma
ya maji ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vituo vya kutolea maji
15 vimejengwa na 5
vimekarabatiwa
42
Kujenga visima 5 na kukarabati
visima 2 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya visima 1 vimejengwa na
2 vimefanyiwa ukarabati
20
84.Kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuvuna maji ya mvua
katika majengo ya Serikali, asasi za umma na binafsi na nyumba za
watu binafsi.
Kuhamasisha ujenzi wa matenki ya
kuvuna maji ya mvua ili kujenga
matenki 5 kwenye majengo ya
serikali, asasi za umma na watu
binafsi ifikapo Disemba 2017
Jumla ya matenki 2 yamejengwa
kwa ajili ya kuvuna maji ya mvua
na kuongeza upatikanaji wa maji
katika taasisi na watu binafsi
55
85.Kuongeza upatikanaji wa huduma za maji katika miji mikuu ya
wilaya, miji midogo.
Kuwapatia huduma ya maji safi na
salama wananchi 0 wa mjini ifikapo
Disemba2017
Jumla ya wananchi wapatao 0
wanapata maji safi na salama
mjini
-
Kujenga miundombinu mipya katika
miradi 0 ya maji ifikapo Disemba
2017
Jumla ya miundombinu ya mipya
ya maji imejengwa katika miradi 0
-
Kuboresha mtandao wa maji ya
bomba kwa kuukarabati
Mtandano wa maji ya bomba
wenye urefu mita 0
umekarabatiwa
-
Page 24 of 181
86.Kukamilisha miradi mikubwa ya maji na kuhakikisha vijiji vyote
vilivyopo kando kando ya miradi hiyo mikubwa vinanufaika.
Kukamilisha miradi ya maji
mikubwa 2 ili kuwanufaisha vijiji
ifiakapo Disemba 2017
Jumla ya miradi 0 imekamilika na
inasaidia kuongeza upatikanaji
wa huduma ya maji
usanifu wa
mradi wa
Pawaga
umekamilika
ambapo inafnya
utekelezaji kuwa
201%.
Kujenga Visima Virefu 15 Ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya Visima Virefu 2
vimejengwa
13
87.Kuendelea na uchimbaji wa visima vya maji na kutumia pampu za
maji zinazotumia nishati ya jua.
Kuchimba visima 25 na kuviendesha
kwa kutumia nishati ya jua ifikapo
Disemba 2017
Kazi ya ukamilishaji wa ujenzi
wamiradi ya maji ya visima 19
vinavyotumia nguvu ya umeme
jua ipo kwenye hatua za mwisho
za ukamilishaji
76
88.Kuiwezesha Sekta Binafsi kutoa huduma ya maji safi kwa mfumo
wa ubia na Sekta ya Umma.
Kuongeza wadau wa sekta binfsi
wanaotoa huduma ya maji safi kwa
ushirikiano na sekta ya umma
kufikia 5 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wadau wa sekta binafsi
3 wanashirikiana na sekta ya
umma kutoa huduma za maji
60
89.Kuendelea kuhamasisha wananchi kuunda Jumuiya za Watumia
Maji Vijijini katika Mabonde yote ya maji nchini ifikapo mwaka
2020 ili kuwashirikisha wananchi kikamilifu katika kupanga,
kujenga,kuendesha na kumiliki miradi ya maji.
Kuunda na kuongeza jumuiya za
watumia maji kutoka 15 Hadi 30 na
kuziwezesha kusimamia miradi na
huduma za maji kwa niaba ya
wananchi ifikapo Disemba 2017
Jumala ya jumuiya 20 zimeundwa
na kupewa mafunzo ya
usimamizi wa miradi ya maji ili
iwe endelevu
67
90.Kuweka mfumo madhubuti na endelevu wa utunzaji wa vyanzo
vya maji na udhibiti wa uchafuzi w vyanzo hivyo.
Kuunda kamati za utunzaji wa
mazingiria ikiwemo utunzaji wa
vyanzo vya maji katika vijiji 5
ifikapo Disemba 2017
Kamati za utunzaji wa mazingira
ikiwemo vyanzo vya maji
zimeundwa katika vijiji 4.
80
Majitaka
91.Kuongeza kasi ya ujenzi wa miundombinu ya uondoshaji
majitaka.
Kuongeza kasi ya ujenzi wa miundo
mbinu ya uondoshaji majitaka
ifikapo Disemba 2017
Miundombinu ya maji taka
iliyojengwa
92.Kuwezesha Sekta Binafsi kutoa huduma ya majitaka kwa mfumo
wa ubia na Sekta ya Umma.
Page 25 of 181
Uwezeshaji wananchi kiuchumi
57 Kuendelea kutekeleza sera ya uwezeshaji wa wananchi kiuchumi. Kuanzisha SACCOS 5 Jumla ya SACCOS 3 zilianzishwa 60
93.Kuhakikisha kuwa shughuli zote zenye mwelekeo waushirika
zinapewa msukumo stahiki kwa kuhamasisha na kusimamia kwa
nguvu uanzishaji wa vikundi vya ushirika kama vile SACCOS na
VICOBA; Vyama vya Mazao, Ufugaji na Uvuvi hasa ikizingatiwa
kuwaushirika ndiyo silaha kuu ya wanyonge na nguzo kuuya ujenzi
wa Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea.
Kuwawezesha viongozi wa vikundi
28 vya ushirika vya SACCOS /
VICCOBA na vinginevyo kujua
mbinu za ujasiliamali na misingi ya
ujamaa na kujitegemea
Jumla ya viongozi wa ushirika
SACCOS/VICCOBA 8
wamewezeshwa mbinu za
ujasiliamali na mbinu za
kujitegemea
32
Kuwawezesha vikundi 28 vya
ushirika vya SACCOS / VICCOBA
na vinginevyo kufikia kujitegemea
Jumla ya vyama 8 vya ushirika
SACCOS/ VICCOBA na
vimepewa mafunzo ya ujasilimali
na kuwezeshwa kujitegemea
28
94.Kuweka mfumo wa kuvitambua, kuvisajili na kuviwezesha
vikundi vyote vyenye mwelekeo waushirika na ujasiriamali.
Kutambua , kuvisajili na
kuviwezesha vikundi vya ushirika 6
vifanye kazi zake ifikapo Disemba
2017
Jumla ya vikundi (AMCOS) 3
vimesajiliwa na kuingizwa katika
mfumo sahihi wa vikundi vya
ujasiliamali
50
95.Kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuhakikisha kwamba
fursa ya mikopo kwa ajili ya mitaji inapatikana bila ya urasimu na
kwa masharti nafuu na kuwafikia wananchi wengi mijini na vijijini.
Kuwezesha vikundi vya ushirika 52
vya ujasisliamali kupata mikopo
katika taasisi za fedha bila urasimu
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vikundi 21
vimewezeshwa kupata mikopo ya
mitaji bila urasimu na kwa
masharti nafuu
41
96.Kutenga maeneo mahsusi katika kila Halmashauri kwa ajili ya
biashara ndogo ndogo.
Kuhakikisha kila Halmashauri
inatengea maeneo ya biashara
ndogondogo
Halmashauri imetenga maeneo ya
biashara ndogo yakiwemo
masoko 11, magulio 12 na minada
6 na kila kijiji kimetenga eneo la
kuuzia na kununua mazao.
97.Kuondoa kero na malalamiko kuhusu ushuru na kodi zinazotozwa
na Halmashauri ambazo zinakwamisha jitihada za wafanyabiashara
wadogo kujikwamua kimaisha.
Kuhakikisha kero za ushuru/ kodi
wananchi toka Halmashauri ...
zinatatuliwa ifikapo Disemba 2017
Jumla ya kero 4 na malalamiko 3
kuhusu ushuru na kodi
zimetatuliwa katika Halmashauri
zote
Page 26 of 181
98.Kuwarasimisha wafanyabiashara wadogo ili biashara zao
zitambuliwe kisheria kwakuwapatia leseni, mafunzo ya ujasiriamali
na kuwaunganisha na asasi za fedha ili wapate mikopo yenye
masharti nafuu.
Kuwawezesha na kuwarasismisha
wafanyabiashara wadogo 382 katika
mfumo rasmi ili watambulike
kishera na kupata leseni
Jumla ya wafanya biashara
wadogo 206 wamerasimishwa na
kupewa leseni za biashara zao
54
99.Kuanzisha Mamlaka ya Usimamizi wa Biashara Ndogo na za Kati. Kuanzisha mamlaka za usimamizi
wa biashara na mabaraza ya
biashara 2 kuanzishwa ifikapo
Disemba 2017
Baraza 1 la biashara la Wilaya ya
limeanzishwa na kutekelza
majukumu yake na mamlaka 1 ya
usimamizi ya biashara, uwekezaji
na viwanda imeanzishwa
50
Urasimishaji Mali za Wanyonge
100.Kuongeza kasi ya utambuzi, usajili na umiliki wa ardhi pamoja
na kuendeleza urasimishaji wa rasilimali za wananchi,
kuwashirikisha na kuwawezesha kutumia rasilimali zao kama
dhamana ya kupata mitaji.
Kuongeza kasi ya usajili wa Ardhi
na kutoa hati za Kimila miliki ya
ardhi hadi kufikia Disemba 2017
Jumla ya hati milki Ardhi za
kimila ambazo zimetolewa
Kuwawezesha Vijana Kujiajiri
102.Kuhakikisha kwamba Halmashauri zote nchini zinaendelea
kutenga, kurasimisha, kupima na kuyawekea miundombinu maeneo
maalumu ya vijana kwa ajili ya shughuli za uzalishaji mali katika
sekta mbalimbali hususan kilimo, ufugaji, madini, viwanda vidogo,
uvuvi, mawasiliano na biashara.
Halmashauri kuendelea kutenga na
kurasmiisha maeneo maalumu ya
vijana ekari 1600 kwa ajili ya
shughuli za uzalishaji kilimo na
viwanda ili waweze kujiajiri
Jumla ya ekari 720 zimetengwa ili
waweze kujiajiri
45
Page 27 of 181
Kuwahamasisha Vijana kuanzisha
miradi ya kiuchumi ifikapo Disemba
2017
Halmashauri kuanzisha Januari
2017 hadi Disemba 2017 imesajili
jumla ya vikundi 36 vyenye
wanachama 795 kati ya vikundi
hivyo vikundi 32 vilipewa
mafunzo ya ujasiliamali ya namna
ya uanzishaji wa shughuli za
kiuchumi. Kazi hii iliwezeshwa na
halmashauri kwa kushirikiana na
shirika la Junior achievement
Tanzania (JAT) .Jumla ya vijana
372 walipata mafunzo kupitia
SIDO ya namna ya utengenezaji
bidhaa. Pia halmashauri
iliwezesha maonyesho ya vijana
kwa kushirikiana na JAT
maonyesho haya yalifanyika
tarehe 17/6/2017 na mgeni rasmi
alikuwa Mh.mkuu wa wilaya.
Kutokana na maenyesho hayo
vijana 2 wamepata fursa ya
kushiriki maonyesho ya bidhaa
zinazotengenezwa na vijana
afrika ya kusini ambapo walibuni
wazo la kutengeneza chaki.
88.8
Page 28 of 181
60(h) 103.Kuhakikisha kwamba Halmashauri zote nchini zinaendelea
kutenga fedha kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kwa
mujibu wa Sheria ili kuwezesha upatikanaji wa mikopo yenye
masharti nafuu.
Kuhakikisha Halmashauri zote
zinatenga asilimia 5% ya mfuko wa
Vijana kiasi cha Tzs 112,500,000
Kwa kipindi hiki Halmashauri
ipo kwenye maandalizi ya
kutenga fedha kwa mfuko wa
vijana kwa kuwa tayari kuvipa
mikopo vikundi vilivyo leta
Maandiko mapema januari
2018.
70
Kuwezesha vikundi 30 mikopo ya
yenye masharti nafuu toka asilimia
5%
Jumla ya vikundi 44
vimepitishwa kukopeshwa
vyenye wanachama (me 188 na
ke 158) wenye jumla ya Tsh.
72,200,000/= fedha hizo
zitztolewa mapema Januari
2018.
147
104. Kuziwezesha SACCOS za vijana katika Halmashauri zote nchini
kupata mikopo kutoka kwenye benki na taasisi nyingine za fedha.
Kuwezesha vikundi vya Ushirika
vya SACCOs kupata mikopo benki
na Taasisi zingine za fedha
Jumla ya vikundi/SACCOs 13
ziliwezeshwa kupata mikopo toka
taasisi za kifedha
Kuwawezesha Wanawake Kiuchumi
107.Kuendelea kuwapatia mikopo yenye masharti nafuu, elimu ya
ujasiriamali na biashara ili kuwawezesha kuongeza ajira, ujuzi wa
kujiajiri, fursa za kipato nakujikimu.
Kuwezesha vikundi vya akinamama
vya ushirika (SACCOs) 5 Kupata
mikopo yemye masharti nafuu
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vikundi 1 vya ushirika
SACCOs vimewezeshwa
kwakupatiwa mikopo nafuu
20
Kutoa mikopo kwa vikundi vya
wanawake 50 kutoka benki na
Taasisi zingine za fedha
Vikundi vya wanawake kupitia
VICOBA 76 vimehamasishwa
kwa ajili ya kupata mkopo katika
benki ya CRDB ambayo
imeanzisha mikopo kwa
VICOBA.
152
Kuwafundisha viongozi 303 wa
vikundi vya wanawake elimu ya
ujasislimali na uongozi wa ushirika
Jumla ya wanawake 182
wamepewa mafunzo ya elimu ya
biashara na ujasiliamali
60
Page 29 of 181
109.Kuhakikisha kwamba Halmashauri zote nchini zinaendelea
kutenga fedha kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake kwa
mujibu wa Sheria ilikuwezesha upatikanaji wa mikopo yenye
masharti nafuu.
Kuhakikisha Halmashauri zote
zinatenga asilimia 5% ya mfuko wa
Vijana kiasi cha 112,500,000 ifikapo
Disemba 2017
Katika kipindi cha mwaka
2017 Halmashauri imetenga
jumla ya Tshs 126,00,000 kwa
mfuko wa vijana
100
Kuwezesha vikundi 80 mikopo ya
yenye masharti nafuu toka asilimia
5%
Jumla ya vikundi 135
vimepitishwa kupatiwa mkopo
mapema januari 2018 na
Halmashauri kutokana na 5%
ya mapato ya ndani na fedha
zilizopo kwenye mzunguko .
Jumla ya wanachama 1214
wanatarajiwa kunufaika na
mikopo.
100
110.Kuondoa kero na malalamiko ya wanawake wajasiriamali hasa
mama lishe, wauza mbogamboga,wauza maandazi/vitumbua kuhusu
maeneo yakufanyia biashara, ushuru na kodi zinazotozwa
naHalmashauri ambazo zinakwamisha jitihada zao zakujikwamua
kimaisha.
Kuondoa kero na Malalamiko ya
wanawake wajasiliamali ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya kero/malalamiko 16
yalitatuliwa na kutenga maeneo
maalum kwa ajili ya mama lishe
UTAWALA BORA NA DEMOKRASIA
Kuendelea kudumisha utawala bora nchini:
112.Kuendeleza jitihada za kukuza, kulinda na kuhifadhi Haki za
Binadamu na Utawala wa Sheria katika ngazi zote za uongozi
Kufanya mikutano 4 ya Baraza la
madiwani na kamati 0 za ushauri
wilaya ifikapo Disemba 2017
Jumla ya mikutano 1ya mabaraza
ya madiwani na kamati za
ushauri wilaya zimefanyika 0
50
Kufanya vikao vya kisheria 112
katika ngazi za kata ifikapo Juni
2017
Jumla ya vikao 28 vya kisheria
vyangazi ya kata (WDC)vilifanyika
50
Kufanya mikutano 1,762 ya kisheria
3028 ngazi ya Vijiji ifikapo Juni 2017Jumla ya mikutano 152,vikao vya
kisheria665 vya ngazi ya vijij
vilifanyika
57
Page 30 of 181
Kutoa mafunzo ya Utawala Bora na
Demokrasia kwa watendaji wa vijiji
133
Mafunzo yaliyotolewa kwa
Watendaji katika Vijiji 133
100
(f) Kuendelea na kukamilisha zoezi la uandikishaji na utoaji wa
vitambulisho vya uraia.
Kukamilisha zoezi la uandikishaji na
utoaji wa vitambulisho vya Uraia
kwa wananchi 122,716
Jumla ya, wananchi 122,716
wameandikishwa na watumishi
3,345 wameandikishwa na
kupatiwa vitambulisho vya uraia.
Wageni wakazi 0
wameandikishwa na kati yao 0
wamepatiwa vitambulisho.
Mazingira na Mabadiliko ya Tabia nchi
113.Kupanga na kuendelea kutekeleza miradi ya upandaji miti ili
kuondokana na hatari ya Taifa kugeuka kuwa
jangwa kwa kuhakikisha kila Halmashauri inapanda na kutunza miti
isiyopungua milioni 1.5 kila mwaka.
Kuanzisha vitalu vya miche ya miti
13 ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vitalu 6 vilianzishwa na
kuoteshwa miche
46
Kupanda miti 1,500,000 ili
kuondokana na jangwa ifikapo
Disemba 2017
Hakuna miti iliyopandwa katika
kipindi hiki
-
114.Kuhakikisha Halmashauri zote nchini zinaweka na kusimamia
Sheria ndogo za hifadhi ya mazingira.
Kuhakikisha kila Hlamashauri/vijiji
inaweka sheria ndogo za kuhifadhi
mazingira
Halmashauri zote/vijiji
zinazosheria za kuhifadhi
mazingira na zinatekelezwa
100
115.Kuendelea kufanya tathmini ya vyanzo vya maji
vilivyohifadhiwa, kuongeza vyanzo vipya na kufufua vilivyopotea
ama kuharibika ili kuwa na uhakika wa wa upatikanaji wa maji safi
na salama
Kufanya tathmini ya vyanzo vya
maji 72 vilivyohifadhiwa ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya vyanzo vya maji 32
vilifanyiwa tathini na kuonekana
vimehifadhiwa vizuri.
44
Kuongeza vyanzo vipya vya maji 25
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya vyanzo vya maji 6
vimeongezeka
24
Kukarabati Visima Vifupi 8 Ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya visima 5
vilivyokarabatiwa
62
116.Kuimarisha ukaguzi na usimamizi wa shughuli za viwanda ili
zisiharibu mazingira.
Kufanya ukaguzi na usimamizi wa
shughuli za viwanda 6 zisizoharibu
mazingira
Jumla ya viwanda vikubwa 5 na
vidogo 100 vimekaguliwa na
taarifa ya tathimini ya
kimazingira kutolewa
83
Page 31 of 181
Michezo
Serikali kuimarisha Sekta ya Michezo ili kuinua kiwango cha
michezo nchini ikiwa ni pamoja na kuifanya Sekta ya Michezo kutoa
fursa za ajira husasan kwa vijana.
117.Kujenga na kuimarisha miundombinu ya michezo nchini Kujenga na kuimarisha viwanj 6 vya
michezo ifikapo Disemba 2017
Jumla ya viwanaja vya michezo 3
vimejengwa
50
119.Kulinda maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya michezo na burudani
kwa kushirikiana na makundi ya wanamichezo, jamii na mamlaka
nyingine zilizopo.
Halmashauri kuhakikisha inatenga
maeneo ya michezo
Jumla ya maeneo yametengwa
kwa ajili ya kuibua vipaji na
burudani
120.Kuendeleza shughuli za michezo mashuleni ili kuibua vipaji vya
michezo mbalimbali nchini.
Kuwezesha wanafunzi wa shule za
sekondarii na msingi kufanyika kwa
mashindano ngazi ya mkoa na
kitaifa
Jumla ya wanafunzi waliteuliwa
katika mashindano ya kuibua
vipaji vya ngazi ya mkoa
(UMITASHUMITA/UMISETA)
yaliyofanyika
Kuendeleza Makundi Maalum
Wazee
121.Kuhakikisha wazee wanatambuliwa na kupatiwa huduma za
matibabu bila malipo.
Kuwatambua wazee 59,445
kuwapatia vibali na kuwapatia
matibabu bila malipo ifikapo
Disemba 2017
Jumla ya wazee 59,445
wametambuliwa na kusajiliwa
kwa ajili ya kupata matibabu bila
malipo
100
123.Kuhakikisha wazee wanapata haki zao za kisheria nakupata
fursa sawa katika ngazi zote.
Kuwasaidia wazee 120 wapate
huduma za kisheria kwa usawa
ifikapo Disemba 2017
Jumla ya wazee 23 wamesaidiwa
huduma za kisheria kwa fursa
sawa
20
124.Kulindwa dhidi ya vitendo vya ukatili vikiwemo mateso na
mauaji.
Kufanya mikutano ya kijiji ya elimu
na ulinzi wa wazee 133 pamoja na
kubaini matukio ya ukatili kwa
wazee yaliyotokea
Jumla ya mikutano 87 imefanyika
ngazi ya kijiji ya elimu na ulinzi
wa wazee
65
125.Walemavu wote nchini wanaendelea kutambuliwa na kulindwa
na vitendo vinavyoshusha utu vikiwemo ubaguzi, uonevu, ukatili na
mila potofu.
Kuwatambua walemavu 3,045 na
kuwalinda dhidi ya ubaguzi na
ukatili ifikapo Juni 2017
Jumla ya walemavu 807
wametambuliwa dhidi ya
ubaguzi na ukatili na mila potofu
26
Page 32 of 181
126.Kuhakikisha kwamba watu wenye ulemavu wa ngozi(albino)
wanalindwa dhidi ya ukatili na ubaguzi wa aina yoyote.
Kuhakikisha kwamba watu wenye
ulemavu wa ngozi 52 na ulemavu
mwingine wanalindwa dhidi ya
ukatili na ubaguzi
Jumla ya watu wenye ulemavu
wa ngozi 52 na wengine
wamelindwa na kusaidiwa
huduma
100
Wanawake
128. Kuendelea kuweka utaratibu wa kikatiba na kisheria
utakaowawezesha wanawake kushika nafasi sawa(50/50) za uongozi
katika vyombo vya maamuzikatika ngazi zote.
Kuhakikisha kwamba wanawake
wanawezeshwa kushika nafasi kwa
usawa (50/50)
Jumla ya wanawake 109
wameshika nafasi za uongozi
katika ngazi ya kijij, kata , tarafa ,
wilaya
19
Kufanya majukwaa ya wanawake
katika kata 28
Halmashauri imefanikiwa
kuanzisha majukwaa ngazi ya
kata 13 na jukwaa la wanawake
ngazi ya wilaya 1
46
129.Kuhakikisha wanawake wanapata haki zao za kisheria na kupata
fursa sawa katika ngazi zote.
Kufanya mabaraza ya haki za
wanawake 28 yatafanyika katika
ngazi ya kata ifikapo Disemba 2017
Jumla ya mabaraza 0
yamefanyika
-
131.Kuhakikisha kuwa ajira za wanawake zinalindwa wakati wa
ujauzito na pale wanapojifungua.
Kulinda ajira za wanawake wakati
wa ujauzito na pale wanapojifungua.
Wananwake wajawazito
wanapewa ruhusa ya kuhudhuria
matibabu/clinic pale
wanapojisikia vibaya na kupewa
ruhusa ya 'martenity'kwa miezi 3
baada ya kujifungua.
100
Watoto
132.Kuhakisha watoto wanalindwa dhidi ya uonevu, ukatili,
udhalilishaji, utumikishwaji na mila potofu.
Kuhakikisha kamati za ulinzi na
usalama wa watoto 133 zimefanya
mikutano yake ili kuwakinga watoto
dhidi ya dhidi ya mila potofu, ukatili
na udhlilishaji
Jumla ya kamati 113 zimefanya
mikutano yake na kushughulikia
maswala ya ukatili na
udhalilishaji wa watoto
100
134.Kuboresha viwanja vya kuchezea watoto katika ngazi za mitaa,
vijiji na vitongoji.
Kuboresha viwanja vya michezo vya
watoto 148 katika halmashauri zote
Jumla ya viwanja 148 vinatumika
na watoto
100
Vijana
Page 33 of 181
135.Kuendelea kuwashirikisha vijana kwa kuwapa nafasi za
maamuzi katika ngazi zote kutegemeana na sifa, weledi na uadilifu.
Kuwashirikisha vijana 3,325 katika
nafasi za maamuzi kwa kuzingatia
welezi na uadilifu
Jumla ya vijana 1,663
wameshirikishwa katika nafasi za
uongozi ngazi zote za maamuzi
46
136.Kuvitambua na kuviendeleza vipaji vya vijana katika nyanja za
michezo, sanaa, elimu, ubunifu na uongozi
Kuvitambua vipaji vya vijana 500
katika Nyanja za michezo, sanaa
,elimu na uongozi ifikapo Disemba
2017
Jumla ya vijana 645
walitambuliwa kuwa na vipaji
vya michezo
129
137.Kuanzisha uraghibishi kwa vijana waweze kujiajiri kwa
kuthamini kazi nyingine za mikono na utaalamu kama vile kilimo,
ufundi, michezo, sanaa na kazi nyingine za kitaaluma.
Kuwawezesha vijana 79,176 (me
39,096, ke 40,080) ili waweze kujiajiri
katika kazi za mikono, kilimo ,
ufundi michezo na nyinginezo
Jumla ya vijana 28,783 (Me 11,906,
ke 16,877) wamewezeshwa mbinu
na ubunifu na wamejiajiri katika
fani za kilimo , ufundi na michezo
36
Page 34 of 181
Page 35 of 181
Page 36 of 181
Page 37 of 181
Page 38 of 181
Page 39 of 181
Page 40 of 181
Page 41 of 181
Page 42 of 181
Page 43 of 181
Page 44 of 181
Page 45 of 181
Page 46 of 181
Page 47 of 181
Page 48 of 181
Page 49 of 181
Page 50 of 181
Page 51 of 181
Page 52 of 181
Page 53 of 181
Page 54 of 181
Page 55 of 181
Page 56 of 181
Page 57 of 181
Page 58 of 181
Page 59 of 181
Page 60 of 181
Page 61 of 181
Page 62 of 181
Page 63 of 181
Page 64 of 181
Page 65 of 181
Page 66 of 181
Page 67 of 181
Page 68 of 181
Page 69 of 181
Page 70 of 181
Page 71 of 181
Page 72 of 181
Page 73 of 181
Page 74 of 181
Page 75 of 181
Page 76 of 181
Page 77 of 181
Page 78 of 181
Page 79 of 181
Page 80 of 181
Page 81 of 181
Page 82 of 181
Page 83 of 181
Page 84 of 181
Page 85 of 181
Page 86 of 181
Page 87 of 181
Page 88 of 181
Page 89 of 181
Page 90 of 181
Page 91 of 181
Page 92 of 181
Page 93 of 181
Page 94 of 181
Page 95 of 181
Page 96 of 181
Page 97 of 181
Page 98 of 181
Page 99 of 181
Page 100 of 181
Page 101 of 181
Page 102 of 181
Page 103 of 181
Page 104 of 181
Page 105 of 181
Page 106 of 181
Page 107 of 181
Page 108 of 181
Page 109 of 181
Page 110 of 181
Page 111 of 181
Page 112 of 181
Page 113 of 181
Page 114 of 181
Page 115 of 181
Page 116 of 181
Page 117 of 181
Page 118 of 181
Page 119 of 181
Page 120 of 181
Page 121 of 181
Page 122 of 181
Page 123 of 181
Page 124 of 181
Page 125 of 181
Page 126 of 181
Page 127 of 181
Page 128 of 181
Page 129 of 181
Page 130 of 181
Page 131 of 181
Page 132 of 181
Page 133 of 181
Page 134 of 181
Page 135 of 181
Page 136 of 181
Page 137 of 181
Page 138 of 181
Page 139 of 181
Page 140 of 181
Page 141 of 181
Page 142 of 181
Page 143 of 181
Page 144 of 181
Page 145 of 181
Page 146 of 181
Page 147 of 181
Page 148 of 181
Page 149 of 181
Page 150 of 181
Page 151 of 181
Page 152 of 181
Page 153 of 181
Page 154 of 181
Page 155 of 181
Page 156 of 181
Page 157 of 181
Page 158 of 181
Page 159 of 181
Page 160 of 181
Page 161 of 181
Page 162 of 181
Page 163 of 181
Page 164 of 181
Page 165 of 181
Page 166 of 181
Page 167 of 181
Page 168 of 181
Page 169 of 181
Page 170 of 181
Page 171 of 181
Page 172 of 181
Page 173 of 181
Page 174 of 181
Page 175 of 181
Page 176 of 181
Page 177 of 181
Page 178 of 181
Page 179 of 181
Page 180 of 181
Page 181 of 181