dibajirasilimali mpya zinazoundwa. mkukuta unahimiza matokeo nguzo zote tatu zina mikakati ya...

57

Upload: others

Post on 06-Nov-2020

19 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …
Page 2: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Tangu mwaka 1961 Tanzania imekuwa katika mapambano dhidi ya maadui watatu wa maendeleo– ujinga, maradhi na umaskini. Tangu mwaka 1996, sera ya jumla imekuwa na nyongeza yamtazamo unaohimiza swala la kupunguza umaskini katika mfumo imara wa kiuchumi. Nyarakamuhimu za Serikali, zinazoelekeza nini kinatakiwa kufanyika zinajumuisha Dira ya Maendeleo yaTaifa ya 2025 (ya mwaka 1995/961), Mkakati wa Taifa wa Kuondoa Umaskini (NPES) wa mwaka1997, Waraka wa Mkakati wa Kupunguza Umaskini (PRS(P)) wa mwaka 2000 na sasa Mkakatiwa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUKUTA2) wa mwaka 2005.

Nyaraka hizi zinaeleza aina na chanzo cha umaskini na namna ukuaji wa uchumi unavyosaidiakupunguza na hatimaye kuondoa kabisa Umaskini. Nyaraka hizo zinaonyesha mfumo kwa (a)kuratibu shughuli za sekta mbalimbali (b) kuhusika ipasavyo na masuala mtambuka na masualayanayojitokeza na (c) kuwianisha nyenzo kutoka kwa wabia wa maendeleo3.

Mwongozo huu wa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini umetolewa kwa lughanyepesi kwa ajili ya wananchi wa kawaida. Kimebuniwa kuyafanya mawazo magumu katikamkakati yaeleweke kwa idadi kubwa ya watu wa kawaida na kuwahamasisha kuwa washirikiwazuri katika mchakato wa maendeleo ya Taifa. Kijitabu kimeweka kumbukumbu mbalimbali namitandao ya intanet inayotambulisha nyaraka nyingine rasmi kwa watu ambao wanapendakufanya uchambuzi wa kina.

Kijitabu kinaunda sehemu ya mkakati unaojitokeza wa mawasiliano4 ambao unataka kukuzaumiliki wa taifa wa MKUKUTA na kuhamasisha serikali, sekta binafsi, jamii na wabia wamaendeleo kufanya kazi katika uratibu mzuri unaoelekeza jitihada zao za kuendeleza ukuajiuchumi na hivyo kupunguza na hatimaye kuondoa umaskini.

Nyuma ya jalada utaona taarifa za mawasiliano kuhusu mahali ambapo unaweza kutoa mawazoau maoni na uzoefu wako. Tafadhali shiriki na wasiliana nasi.

Juni 2005

Dibaji

ii Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

1 Toleo la Kwanza mwaka 19992 MKUKUTA ni ufupisho wa Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini3 Angalia kiambatisho namba 2 kupata vyanzo vya sera mbalimbali4 Unaweza kupata nakala ya Mkakati wa Mawasiliano kutoka tovuti ya

www.povertymonitoring.go.tz/downloads/new/commstrat.pdf

Page 3: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Yaliyomo

iiiKuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Utangulizi . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .iv

Maswali:1. MKUKUTA ni nini? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .12. Hali ya sasa ya umaskini ikoje na inaleta changamoto gani? . . . . . . . . . . . . . . . . . . .23. Mchakato wa Mashauriano kuhusu MKUKUTA uliendeshwaje? . . . . . . . . . . . . . . .54. Ni Kanuni gani zinaongoza Mkakati huo na matokeo gani yanatakiwa? . . . . . . . . . .85. Nani atatekeleza mkakati huo na ni kwa vipi? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .136. Utekelezaji wa mkakati utafuatiliwa na kutathiminiwa vipi? . . . . . . . . . . . . . . . . . .177. Mkakati utagharamiwa vipi? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .188. Watu watautumiaje Mkakati? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .20

Viambatisho:1. Shabaha za uendeshaji na mikakati ya Nguzo za MKUKUTA . . . . . . . . . . . . . . . . .222. Mitandao muhimu ya intaneti . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .483. Mawasiliano ya Tovuti za Serikali zinazohusiana na kukua uchumi na

kupunguza umaskini . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .504. Maelezo ya vifupisho . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .51

Shukrani . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .52

Page 4: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Utangulizi

iv Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Huu ni mwongozo wa lugha rahisi wa Mkakati wa Taifa wa Kukuza Uchumi na KupunguzaUmaskini Tanzania (MKUKUTA) na Viambatisho5 vyake. Mwongozo huu umegawanywa katikasehemu kuu mbili. Sehemu ya kwanza inajibu maswali nane ya msingi na sehemu ya pili inatoataarifa zitakazosaidia watu kuchambua mambo kwa kina.

Sehemu kuu ya kwanza imegawanyika katika sehemu saba na inatoa muhtasari kuhusuMKUKUTA. Sehemu ya pili na ya tatu inachambua hisia, hoja na maoni juu ya umaskini wa kipatona usio wa kipato. Tunaweza kuona kwamba ukuaji wa uchumi peke yake hautoshi – balimatunda ya ukuaji yasaidie kupunguza umaskini. Matokeo ya utafiti shirikishi yanaelekeza katikamahitaji maalumu ya makundi yaliyorahisi kuathirika na umaskini na njia nzuri za kuelewa sababuzinazowafanya watu wabakie kuwa maskini. Sehemu ya tatu inaeleza mbinu mpya, zamashauriano zilizotumika katika kuandaa MKUKUTA.

Sehemu ya nne inaelezea kanuni zinazoongoza mkakati na kisha kutaja hatua mahsusizinazopendekezwa. Kuna makundi matatu ya matokeo yanayotarajiwa. “Ukuaji na upunguzaji waumaskini wa kipato” na “Kuimarisha ubora wa maisha na ustawi wa jamii” na msingi wake uko katika“Utawala bora na uwajibikaji,”

Sehemu ya tano na ya sita zinapitia namna mchakato mzima utakavyotekelezwa.Wigo mpana waSerikali na unaoshirikisha wadau wengine utawezesha utekelezaji, ufuatiliaji na tathmini ya hatuazote za MKUKUTA.

Sehemu ya saba inapitia taratibu za kugharamia utekelezaji wa MKUKUTA na sehemu ya naneinatoa mwongozo wa namna watu wanavyoweza kuutumia mkakati huu.

Sehemu kuu ya pili ya mwongozo huu inaeleza mfumo na mpangilio maalum wenye maelezoya idadi ya malengo ya MKUKUTA na mipango ya makundi. Pia inatoa taarifa kuhusu mitandaoya intaneti ambayo inazo nyaraka kuu za sera, taarifa, baadhi ya tovuti muhimu za Tanzania naorodha ya vifupisho vilivyotumia.

Zingatia: Endapo utafungua nakala ya mwongozo kutoka www.povertymonitoring.go.tzutaweza kuingia kwenye mitandao mingine kwa haraka na kupata maelezo zaidi.

Katika jalada la nyuma la mwongozo huu utapata maelezo ya mawasiliano kuhusu (a) wapiutapata maelezo zaidi na (b) kutoa maoni na mapendekezo yako.

5 Nakala za viambatisho vinapatikana kwenye intaneti – angalia kiambatisho namba 2

Page 5: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Swali la 1. MKUKUTA ni nini?

1Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Kama jina linavyoelekeza MKUKUTA ni Mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi utakaosaidiakupunguza umaskini .

MKUKUTA umeboreshwa kutoka katika Mkakati wa kwanza wa kupunguza umaskini waOktoba 2000.

MKUKUTA umeandaliwa baada ya matokeo ya mashauriano ya wadau mwaka 2004 nakupitishwa na Baraza la Mawaziri mwezi Februari 2005. Mkakati huu utatekelezwa katika kipindicha miaka mitano kuanzia 2005/2006 hadi 2009/10.

Mawazo makuu ya mkakati huu yameainishwa hapa chini.

Nguzo kuu tatu za MKUKUTA

MKUKUTA umeandaliwa katika nguzo kuu tatu.

Nguzo ya kwanza ni “Ukuaji wa Uchumi na Kupunguza Umaskini wa Kipato” Nguzohii inaunganishwa kwa karibu na nguzo ya pili ya “Kuimarisha ubora wa maisha naUstawi wa Jamii” Nguzo ya tatu ni “Utawala Bora na Uwajibikaji” ambayo ni msingimuhimu wa nguzo mbili zilizotangulia.

Nguzo hizi zote tatu zinahakikisha kuwepo kwa jitihada za kimaendeleo ambazo ni za ufanisiulio na uwiano mzuri na wenye kuhakikisha kwamba kila mtu ananufaika na matunda yarasilimali mpya zinazoundwa.

MKUKUTA unahimiza matokeo

Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamounaohimiza matokeo yanayotarajiwa. Mengi kati ya matokeo haya yatapatikana kupitia kwauratibu wa sekta mbalimbali unaoshirikisha wadau wote katika utekelezaji.

Mikakati ndani ya nguzo tatu za MKUKUTA inaweza kutumika kama msingi wa kubunimipango ya utekelezaji na pia kutathmini utekelezaji na uwajibikaji .

Ushiriki wa Wadau

Malengo na mikakati ya MKUKUTA yanaweza kufikiwa iwapo wadau wote watashiriki katikautekelezaji. Wadau husika si wale watu walio katika sehemu za Serikali na Bunge peke yao,bali pia wale walio katika sekta binafsi, asasi za kijamii, wafadhili na jamii kwa jumla. MKUKUTAunachambua majukumu mbalimbali ambayo wadau wanaweza kushughulikia.

MKUKUTA ni waraka endelevu. Utekelezaji wake hauna budi kufanyiwa tathmini ambayoinaweza ikaleta mawazo mapya katika awamu nyingine ya kuupitia na kupanga. Wadau wotewanahimizwa washiriki katika mchakato wa utekelezaji wake. Hii itasaidia kuleta ari kwa kilamshiriki kuona kwamba anayo sehemu ya umilikaji wa mkakati huu. Ushiriki na kuongezekakwa njia za mawasiliano utawezesha wadau wengi kufanya kazi kwa maelewano.

Page 6: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Mwaka 2001 kulitayarishwa Mpango Kabambe waKufuatilia Umaskini. Mpango huu umewezeshakuwepo kwa mfululizo wa taarifa zinazoeleza hali yaumaskini kwa kina zaidi. (angalia kisanduku –kulia)

Mpaka sasa mafanikio yamechanganyika. Wakatibaadhi ya viashiria vinaonyesha dalili za mafanikio,vingine vinabakia kama vilivyo, na baadhi vimekuwavibaya zaidi. Bado kuna tofauti nyingi (kutofautiana)kama vile kati ya watu walio maskini na walio tajiri,vijijini na mjini na kati ya wanaume na wanawake.Aidha imeeleweka wazi kuwa watoto, vijana, wazeena walemavu wana matatizo yao kuhusu umaskini nakwamba matatizo ya umaskini yanagusa watu tofautikwa kiwango tofauti katika sehemu mbalimbali nchini.

Taarifa mbalimbali zilizotajwa hapo juu zinaelezea hali ya umaskini kwa kina. Hapa chini tunatajabaadhi ya changamoto zilizopo ambazo zimesisitizwa na ambazo MKUKUTA utazishughulikia.

Ukuaji wa Uchumi: toka miaka ya 1990 kwa ujumla uchumi ulikua kwa kiwango kidogo.Kulikuweko na kasi ya kukuakatika sekta ya uzalishaji,biashara ya jumla na rejarejana hoteli. Ukuaji ulikuamdogo katika kilimo.Sehemu kubwa ya ukuajikatika kipindi hiki ilikuwakatika miji na haikusaidia sanawatu walio maskini. Kwahiyo changamoto muhimukatika ukuaji wa uchumi ni (a)kuhimiza ukuaji wauchumi nakuleta maendeleo vijijini, (b)kuhakikisha watu maskiniwananufaika katika ukuaji wakiuchumi.

Kilimo: kimechangia kwa 45% ya pato la taifa na 60% ya pato zima la mauzo ya nje katika kipindicha miaka mitatu iliyopita. Pia kilimo ni uti wa mgongo kwa maisha ya zaidi ya 82% ya watu wote.Pamoja na kuwepo na ukuaji katika miaka ya hivi karibuni, hali ingeliweza kuwa nzuri zaidi.Mkakati wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo Tanzania (ASDS) unatambua vikwazo vya kuendelezakilimo na kuweka bayana mikakati itakayo ratibiwa katika kuyatafutia ufumbuzi.

Swali la 2. Hali ya Sasa ya Umaskini Ikojena Inaleta Changamoto gani?

2 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Vyanzo vya habari kuhusu hali yaUmaskini:

• Taarifa za Maendeleo ya Watu na Umaskini(2002, 2003)

• Utafiti wa Bajeti ya Kaya 2000/02• Tathmini shirikishi za Umaskini Tanzania ya

2002/03• Taarifa Kuu ya Sensa ya Makazi na Watu ya

2002• Hesabu za Taifa (2002 na 2003• Taarifa ya Tanzania ya IDT/MDG (2001)• Utafiti wa Uwiano wa Nguvukazi (2001/02)• Taarifa za wiki ya Sera za Kuondoa Umaskini

Page 7: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Sekta ya Utalii: imekua kwa kasi toka katikati ya miaka ya 1980. Tanzania sasa ni nchi ya tanobora Afrika katika kujipatia pato kubwa toka katika utalii (dola za Kimarekani million mia sabathelathini na tisa makisio ya 2001).Hata hivyo ukiondoa ongezeko la pato kwa serikali changamotokatika ukuaji wa sekta hii ni uchangiaji mdogo wa moja kwa moja katika kupunguza umaskini.

Ajira: kuinua kiwango cha ajira nimoja ya changamoto zilizoko.Matokeo ya utafiti wa ajira wa2001/2 unaonesha kwamba ajiraimekuwa ikipanuka kwa kasi yawatu 40,000 kwa mwaka.Upanuzi huu ni mdogoikilinganishwa na watu wanaoingiakatika soko la ajira kila mwaka.Wengi wanajiunga katika ajirabinafsi hasa katika kilimo na sektaisiyo rasmi. Kiwango chakutokuwa na ajira hasa kwa vijana wakiwemo wale waliosoma ni changamoto katika sekta hii.

Sekta ya Elimu: Katika sekta ya elimu uandikishwaji umeongezeka hasa katika kipindi chamiaka mitatu iliyopita. Haya ni matokeo ya Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM).Changamoto zilizopo ni pamoja na (a) kuongeza idadi ya shule za sekondari, (b) kukabiliana natofauti za kijinsia katika ngazi za sekondari na vyuo na (c) kuongeza ubora na maana ya elimukatika ngazi zote.

Afya: Katika sekta ya afya miaka ya 1990 ilikua na maendeleo mchanganyiko. Kulikua na mafanikiokatika utoaji kinga kwa watoto kwa magonjwa ya kifua kikuu, kupatikana kwa huduma za uzazi wampango na baadhi ya madawa. Lakini bado ipo changamoto ya kuwa na mzigo mkubwa wa magonjwakwa watu wa kila rika. Kwa mfano zaidi ya 9% ya vifo vya watoto husababishwa na watu wengikutembea umbali mrefu kutafuta huduma za afya na bei ghali za baadhi ya madawa kunakowafanyawatu maskini wasiweze kumudu mambo yanayoweza kuzuilika.

Imebainika wazi kuwa baadhi ya makundiya watu (angalia kwenye kisanduku hapokulia) wamo katika hatari ya kuathirikazaidi na umaskini kuliko makundimengine. Zipo sababu aina sita zinazoletamishtuko ya maisha na kuwatumbukizawatu katika umaskini. Aina hizo sitazinaelezewa hapa chini.

3Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Makundi yaliyo katika hatari ya kuathirika• Watoto• Wazee• Watu wanaoishi na Virusi na Ugonjwa wa UKIMWI na

familia zao• Watu wenye magonjwa ya muda mrefu• Watu wenye ulemavu• Wanawake wajane na wanaoshindwa kujihudumia• Vijana (wasioajiliwa, wasiona kipato cha uhakika,

wanawake)

Page 8: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

4 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

SABABU SITA ZA JUMLA ZINAZOLETA MISHTUKO NA KUWASUKUMA WATU KATIKA LINDI LA UMASKINI

Aina MaelezoMazingira Sababu zinazoleta umaskini zinazohusiana na mazingira

zinaathiri ustawi wa mali kwa watu, afya zao na kuwa namatumaini ya ustawi wa baadaye. Mifano ni kama vile halimbaya ya hewa inayoleta mafuriko au ukame. Kuathirikapolepole kwa misitu, udongo, uvuvi, na malisho

Marekebisho ya hali Mazingira haya yanahusu maamuzi ya kiuchumi ngazi ya Taifa ya uchumi na Kimataifa kama vile ubinafsishaji, soko huria, kuondoa

ruzuku, kuchangia gharama za huduma katika afya, kupunguzahuduma za kilimo, ajira, na upatikanaji wa huduma za kijamii.Maamuzi mengine kuhusu mambo haya yanaweza kuwagusawatu wa kawaida na kuwaletea mishtuko.

Utawala Sababu nyingine za kuleta umaskini zinahusika moja kwamoja na mishtuko inayotokana na usimamizi wa utawala. Hizini pamoja na aina zote za rushwa, kodi zinazoleta usumbufu,na kutengwa kisiasa.

Hali ya Afya Utapiamlo, kuumia, maradhi (hasa VVU/IKIMWI), na ainanyingine za maradhi ya mwili na akili huathiri mali za watu,ustawi wa mwili na jamii.

Hatua za maisha na hali Wapo watu wanaoathiriwa na umaskini kutokana na umri inayohusiana na umri. na hatua walizofikia katika maisha yao. Kutokana na hali zao

watu hao wanaweza kuwa na matatizo ya kiafya, hatari yakuathirika zaidi na kutengwa kwa sababu ya umri walio nao.Mfano wa watu katika kundi hili ni pamoja na watoto, vijanana wazee.

Imani za kimila, Kuna njia mbalimbali za kimila zinazopunguza uhuru wa desturi na tabia kufanya uchaguzi na kuchukua hatua na hivyo kuwaletea

vikwazo vya kimaisha baadhi ya watu. Waathirika wakubwani wanawake na watoto.

Chanzo TzPPA 2004

Page 9: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Swali la 3. Mchakato wa Mashaurianokuhusu MKUKUTAuliendeshwaje?

Tanzania ina utajiri wa utamaduni wa kushauriana kwa njia shirikishi. Upo utamaduni wa kupataushauri juu ya masuala ya sera. Tanzania imejifunza mambo mengi kutokana na kushirikishawadau ili kuleta umiliki wa makubaliano hayo ambao ni endelevu. Utaratibu wa kuandaaMKUKUTA ulizingatia desturi hii.

Serikali imehusisha watu wengi katika ngazi zote za maandalizi ya MKUKUTA ambazozilihakikisha kwamba upo uwakilishi mpana wa kupata sauti za watu na kuzingatia maoni yao.Mbinu nyingi tofauti zilitumika6 kujenga ufahamu, kusisimua mijadala na kupata maoni.Zilikuwepo rasilimali za kutosha kutoka vyanzo mbalimbali kugharamia mashauriano na lamuhimu pia muda wa kutosha ulitolewa katika mchakato huo wa mashauriano.

Mchakato wa mashauriano kuhusu MKUKUTA ulifanyika pamoja na mapitio ya mkakati wakwanza wa kuondoa umaskini (PRS). Mapitio hayo yalifanyika kati ya Wiki ya Sera za KuondoaUmaskini Oktoba 2003 na ile ya mwaka uliofuatia ya Novemba 2004. Kwa muhtasarimashauriano yaligawanyika katika awamu tatu.

Awamu ya Kwanza ya Mashauriano

Zilikuwepo aina kuu tatu katika awamu hii. Mashauriano yaliyoongozwa na Serikali, na wadauwengine yakiwemo makundi ya kijamii na yale ambayo yaliyohusisha umma kwa jumla.

6 Pamoja na kongamano na warsha, kulikuwepo pia vipindi vya radio na televisheni, vipeperushi na maswali. Matumizi yasimu na mitandao, tafiti na taarifa zilitolewa, na pia zilikuwepo fursa za majadiliano ya ana kwa ana kwa vikundimbalimbali

5Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Page 10: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

6 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Mashauriano yaliyoongozwa na Serikali Mashauriano yaliyoongozwa na Serikali yalikuwa ni ndani yaSerikali yenyewe, na mengine ni kati ya Serikali na wadauwengine. Katika mashauriano haya masuala muhimu matatuyalijitokeza; (a) kuainisha shughuli muhimu katika mchakato wamashauriano, (b) kuoanisha michakato ya sera za taifa, (c)kujenga uwezo wa kutawala mchakato wote. [Matokeo yamashauriano ya Serikali ni kutolewa kwa mwongozo wa mapitioya mkakati wa kupunguza umaskini.] Angalia kisanduku kuhusumada zilizozingatiwa katika mwongozao wa mashauriano.

Mashauriano yaliyoongozwa na wadau wengineMwezi Januari 2004 wadau wengine waliweza kukutana na kuangalia kwa undani jinsi ganiwatashiriki katika mchakato wa mashauriano kwa kutumia miongozo rasmi.Aina mbili za wadauzilijitokeza na kushiriki katika mashauriano. Aina ya kwanza iliongozwa na Jumuiya ya Serikali zaMitaa (ALAT) na ya pili ni ile iliyoongozwa na vyama mbalimbali vya kiraia.

Mashauriano yaliyoongozwa na Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT) yalihusisha washiriki 18,000kutoka vijiji 168 nchini kote. Wawezeshaji walipewa mafunzo ya namna ya kutumia miongozorasmi na washiriki walichaguliwa kwa kuhakikisha kuwa makundi yote yanapata uwakilishi.

Mashauriano yaliyoongozwa na vyama mbalimbali vya kiraia yalihusisha zaidi asasi za kijamii 1,000 nawashiriki zaidi ya nusu millioni.Baadhi ya mashauriano yalizingatia sekta zote na mengine sekta chachena mashauriano mengine yalitolewa kwa njia za mada zenye ujumbe maalum. Asasi za kijamii zilitumiambinu mbalimbali za kuhakikisha kwamba mashauriano yanafanikiwa.

Mashauriano yaliyohusisha Umma kwa jumlaUmma kwa jumla ulishiriki kupitia kijaridakilichotayarishwa na kuhoji majibu ya maswali matatu.Nakala nusu milioni zilisambazwa nchini na kupitia kwenyemitandao ya intaneti. Idadi ya majibu yaliyorejeshwa ni22,122. Majibu haya yalichambuliwa na Ofisi ya Takwimu yaTaifa (NBS). Maswali matatu yaliyoulizwa yalikuwa:• Ni mabadiliko gani muhimu yamejitokeza ndani ya

miaka mitatu katika jitihada za nchi za kuondoaumaskini.

• Ni vikwazo gani vikubwa vinawazuia Watanzaniakupata maisha bora na kufurahia haki zao.

• Mambo gani muhimu ambayo ni lazima yaingizwekatika mapitio ya Mkakati wa KupunguzaUmaskini ili umaskini upungue zaidi na ubora wamaisha ya watu uweze kustawi.

Vipengere vya Mashauriano

UmaskiniKukua kwa Uchumi

BiasharaVVU/UKIMWI

JinsiaMazingira

AjiraUfuatiliaji Umaskini

Utamaduni na MaendeleoMkakati wa Mawasiliano

Utawala

Page 11: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

7Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Matokeo yaliyopatikana kutokana na Awamu ya Kwanza ya MashaurianoMatokeo kutokana na mashauriano katika Awamu hii ya kwanza7 yalitumika kama mchango warasimu ya Mkakati wa Kuondoa Umaskini. Rasimu iliyopatikana ilitumika katika awamu ya pili yamashauriano.

Awamu ya Pili ya Mashauriano

Awamu ya pili ya mashauriano ilikua na malengo makuumawili; (a) kupata marejesho ya mashauriano kutoka awamuya kwanza na kuainisha mapungufu. (b) kuwezeshamakubaliano na umiliki wa pamoja wa Mkakati.Awamu hii yapili ilikusudia kupata marejesho kutoka makundi ya kisektaaina 13. Mikutano mbalimbali iliandaliwa kati ya mweziAgosti na Septemba 2004.

Mikutano hii ilifuatiwa na warsha ya kitaifa ya tarehe 29-30Septemba 2004. Katika warsha hii ya kitaifa ripoti 43 zenyekurasa 700 ziliwasilishwa na kujadiliwa. Matokeo ya warshazote hizi ni kupatikana kwa rasimu nyingine ya MKUKUTAambayo ilitumika katika majadiliano ya awamu ya tatu.

Awamu ya Tatu ya Mashauriano

Awamu ya tatu ya majadiliano ilifanyika wakati wa Wiki ya Kuondoa Umaskini, Novemba 2004.Mjadala wa Kitaifa ulifanyika kati ya tarehe 1-5 Novemba 2004 na kufuatiwa kwa mara ya kwanza namajadiliano katika ngazi ya mikoa iliyoratibiwa na Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.

Washiriki katika mijadala hii ya Kitaifa, walitakiwa kutoa maoni juu ya rasimu ya MKUKUTAambayo kwa sasa iliingiza masuala yaliyopendekezwa katika awamu ya kwanza na ya pili yamashauriano. Mambo muhimu yaliyohimizwa katika awamu hii yalikua ni namna ya kutekeleza,kutathmini na kugharamia MKUKUTA.

Makubaliano kutoka katika awamu hii ya tatu ndio yaliyowezesha kuandikwa kwa rasimu yamwisho ya MKUKUTA8.

Maoni Kuhusu Mchakato wa MashaurianoWatu wengi walioshiriki katika mashauriano ya kuandaa MKUKUTA walitoa maoni kwambamchakato mzima ulikua wa kueleweka, wazi, shirikishi na hivyo kuhimiza umiliki wa MkakatiKitaifa. Aidha watu waliona mwelekeo wa Mkakati unaozingatia matokeo ni mzuri nakuridhishwa na juhudi za uratibu kati ya sera nyingi na asasi ambazo zilihusika. Pia wito ulitolewakwamba Mkakati utafsiriwe kwa Kiswahili na kusambazwa sehemu zote nchini.

Masuala yaliyojitokeza kwenyemashauriano ya wadau

Ingawa mambo mbalimbali na tofautiyalijitokeza kwa sababu ya eneo,umri, jinsia, na makundi ya kijamii,wadau waliweza kuibua masualamakuu yanayofanana. Uchambuziuliofanyika na Tume ya Takwimu

umeonyesha masuala hayo kuwa nikero zinazotokana na utawala narushwa; urasimu; kunyanyaswa nawatoza kodi wakiwemo watumishi

wa mamlaka za miji na majiji;naupendeleo.

7 Taarifa ijulikanayo kama Muhtasari wa Mashauriano Kuhusu MKUKUTA inapatinaka Ofisi ya Makamu wa Rais8 Rasimu inaweza kupatikana toka kwenye mtandao – www.povertymonitoring.go.tz

Page 12: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

8 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

MKUKUTA unategemea marekebisho mbalimbali yanayoendelea na kulenga kukuza uchumiendelevu na unaowajali maskini ili kuondoa umaskini wao. Katika sehemu hii tunaeleza kanunizinazoimarisha Mkakati, kuainisha makundi matatu muhimu ya MKUKUTA na kuorodheshamatokeo yanayotakiwa na malengo kwa ujumla.

Kanuni zinazoongozaKanuni ya msingi ni kuwa na mkakati unaoeleweka vizurina unaowawezesha watu wote kutoa mchango waokatika hatua zote za MKUKUTA – hii ina maana si wakatiwa utayarishaji wa sera tu bali pia wakati wa utekelezaji,ufuatiliaji na tathmini.

Kanuni nyingine ambazo zinaongoza mkakati ni:• Umiliki wa kitaifa na ushiriki wa wadau.• Utashi wa kisiasa.• Ushirikishwaji wa mikakati ya kisekta• Ubia wa ndani• Uratibu wa misaada• Fursa sawa .• Maendeleo endelevu ya watu.• Mahusiano ya uchumi mkubwa na ule wa ngazi za chini.• Kuunganisha masuala mtambuka

Swali la 4. Ni Kanuni gani zinaongozaMkakati huo na matokeo ganiyanatakiwa?

Inatambuliwa kuwa wakati ukuaji wauchumi ni muhimu kwa kupunguza

umaskini, peke yake hautoshi.Kuwepo kwa usawa wakati uchumi

unapokua ni muhimu pia(MKUKUTA).

Page 13: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

9Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Nguzo tatu na matokeo yanayotakiwaUpunguzaji umaskini ni tatizo kubwa ambalo linaweza kutatuliwa vizuri zaidi kwa kuligawa katikavikundi vya matatizo madogo ambayo ni rahisi kuyashughulikia.

Ili kusaidia utayarishaji sera na mipango, MKUKUTA umeainisha nguzo kuu tatu za matokeoyanayotakiwa (angalia mchoro). Kumbuka kwamba kuna kuhusiana kwingi kati ya nguzo nahuingiliana kwa njia nyingi – hata hivyo kunaonyesha njia nzuri za kuangalia matatizo na hivyokuainisha aina ya shughuli zinazoweza kuyatatua.

Baada ya ushauri mbalimbali, na utafiti wa makini wa mikakati mingine ya sekta, nguzo kuu tatuzimegawanywa katika matokeo ya jumla, shabaha za uendeshaji, malengo, na mikakati ya nguzo.Haya yamechaguliwa kushughulikia (a) masuala mengi yanayojitokeza kutokana na mashaurianona taarifa za utafiti. (b) Programu za Serikali zinazoendelea. Katika kurasa chache zifuatazotumeorodhesha matokeo na malengo yanayohusiana na kila kundi.• Kiambatisho 1 kinaorodhesha malengo na mikakati ya nguzo zinazohusiana.• Wasomaji wanaotaka kupata maelezo kwa kina wanapaswa kusoma Kiambatisho cha

MKUKUTA9 ambacho kinaelezea kila kitu katika kurasa za maelezo kwa kina.• Swali la 8 linaeleza njia za utendaji ambazo watu wa ngazi zote wanaweza kutumia katika

kupanga mipango, utetezi, kutoa ushawishi na kuhimiza uwajibikaji..

Ukuaji nakupunguza

umaskini wakipato

Maisha bora naustawi mzuri

Utawala bora na uwajibikaji

Kupunguza Umaskini

9 Pata nakala yako ya kiambatisho cha MKUKUTA kutoka –www.povertymonitoring.go.tz/downloads/new/nsgrpmatrix.pdf au omba nakala yako kutoka Ofisi ya Makamu waRais (angalia jalada la nyuma kwa anuani kamili)

Page 14: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

10 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

NGUZO YA I: Ukuaji wa Uchumi na Upunguzaji wa Umaskini wa Kipato Kuna vyanzo vingi vinavyowezekana kutumiwa katika ukuaji wa uchumi, lakini vinapaswakuzingatia upana na usawa (ina maana kuwajali maskini).

Pia vinapaswa kuwa imara kuweza kumudu mishtuko na majanga yanayoweza kujitokeza.

Matokeo ya jumla:

• Ukuaji unaozingatia matokeo kwa watu wengi na usawa unafikiwa na kuendelezwa

Malengo:

1. kuhakikisha usimamiaji mzuri wa uchumi2. kukuza ukuaji wenye msingi mpana na uendelevu3. kuongeza upatikanaji wa chakula4. kupunguza umaskini wa kipato kwa wanaume na wanawake wa vijijini5. kupunguza umaskini wa kipato kwa wanaume na wanawake wa mjini6. kutoa nishati ya kuaminika na rahisi kwa watumiaji

Page 15: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

11Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

NGUZO YA II: Maisha Bora na Ustawi wa Jamii

Watu wenye maisha bora na ustawi wa jamii watakuwa wajasiriamali zaidi na wazalishaji nakuelekea zaidi kutetea haki zao.

Matokeo ya Jumla:

• Maisha bora na ustawi wa jamii, pamoja na kuzingatia watu maskini sana na vikundivinavyoweza kuathiriwa.

• Kupungua kwa tofauti za matokeo (mfano katika elimu, kuishi, afya) kunakozingatiamaswala ya kijiografia, kipato, umri, jinsia na vikundi vingine.

• Kuweka mfumo wa huduma za umma

Malengo:

1. kuhakikisha upatikanaji sawa wa elimu bora ya msingi na sekondari kwa wavulana nawasichana, elimu ya watu wazima kwa wote miongoni mwa wanaume na wanawake, naupanuzi wa elimu ya juu, ufundi na elimu ya ufundi sadifu.

2. kuboresha maisha, afya na ustawi wa watoto wote na wanawake na hasa ya vikundi vilivyohatarini kudhurika

3. kuhakikisha upatikanaji wa maji safi, nafuu na salama, makazi bora na mazingira salama naendelevu. Hii itapunguza udhurikaji unaotokana na athari za mazingira

4. kuhakikisha ulinzi wa kutosha wa jamii na utoaji wa mahitaji muhimu na huduma kwawaliohatarini kudhurika na wenye shida

5. kuhakikisha mifumo inayofaa kuruhusu upatikanaji wa huduma za umma zilizo bora narahisi kwa watu wote

6. Kuondoa unyanyasaji wa kijinsia

Page 16: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

12 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

NGUZO YA III: Utawala na UwajibikajiHuu ni msingi na mhimili wa nguzo nyingine za MKUKUTA. Kundi hili linatoa wito wa kuwawazi na kuwajibika si kwa serikali tu, bali pia kwa wadau wote. Wito ni kuondoa rushwa,kuhakikisha kuwa watu wanapata taarifa na habari, mfumo wa sheria unaozingatia usawa, kujengauwezo wa watu na kuboresha uongozi na usimamizi wa asasi kuanzia ngazi ya wananchi hadiserikali kuu.

Matokeo ya jumla:

• Utawala bora na utawala wa sheria.• Uwajibikaji wa viongozi na watumishi wa umma.• Demokrasia na kuvumiliana kisiasa na kijamii.• Amani, utulivu wa kisiasa, umoja wa kitaifa na mshikamano wa jamii.

Malengo:

1. kuhakikisha kuwa miundo na mifumo ya utawala pamoja na utawala wa sheria ni yakidemokrasia, shirikishi, uwakilishi, uwajibikaji na unajumuisha watu wote.

2. kuhakikisha ugawaji sawa wa rasilimali za umma – pamoja na kushughulikia tatizo larushwa ipasavyo.

3. kuweka mfumo wa huduma za umma unaofaa.4. kuhakikisha kwamba haki za maskini na vikundi vilivyo hatarini kudhurika zinalindwa na

kukuzwa katika mfumo wa haki.5. kupunguza kutengwa na kutovumiliana kisiasa na kijamii.6. kuboresha usalama binafsi na wa mali, kupunguza uhalifu na kuondoa unyanyasaji wa

kijinsia na unyanyasaji majumbani.7. kuendeleza na kuimarisha utamaduni wa watu.

Page 17: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

13Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

MKUKUTA unahimiza ushirikishaji wa kila mtu nchini – kuanzia vijijini mpaka serikali kuu nakuhusisha sekta zote. Lengo ni kuwashirikisha wadau wote katika hatua zote za mzunguko waMKUKUTA. Mchoro ufuatao unaonyesha mambo muhimu ya kile kitakachohusishwa.

Muundo huu wa ushirikishaji mpana utasaidia kujenga umiliki wa taifa wa MKUKUTA na piautasaidia kuweka uhusiano utakaotakiwa kwa ajili ya ushirikiano kati ya sekta. Wadau wanawezakugawanywa katika miundo hiyo; wa serikali na usio wa serikali. Wajibu na majukumu yaoyameelezwa kwa muhtasari unaofuata hapo chini. Sehemu hii inakamilishwa na muhtasari wamapitio ya sekta tano muhimu zinazotambuliwa ndani ya MKUKUTA.

Wizara Kuu, Idara,Wakala na Mamlaka za Serikali za Mitaa

Wajibu mkuu wa watendaji wa serikali utakuwa:• kufanya kazi kwa karibu na watendaji wengine ya uratibu MKUKUTA • kuhakikisha kuwa masuala mtambuka yanashughulikiwa ipasavyo• kuhakikisha kuwa Mfumo wa Taifa wa Kufuatilia Umaskini na ile ya Serikali za Mitaa

inaratibiwa vizuri• kuhakikisha kuwa vipaumbele vya MKUKUTA vinaonyeshwa katika mipango na bajeti za

serikali• kusaidia kuainisha maeneo ya shughuli za kipaumbele ngazi ya mkoa, wilaya na vijijini na

shughuli za kutafuta rasilimali na fedha kuzigawa na kuzisimamia

Swali la 5. Nani atatekeleza mkakati huona ni kwa vipi?

Jamii

Jumuiya za Kiraia

Vyombo vya Habari

Sekta Binafsi

Serikali za Mitaa

Bunge

Wabia wa Maendeleo

Serikali Kuu-Wizara,Idara na Wakala wake

Kutathmini

Kufuatilia MKUKUTA Kupanga

Kutekeleza

Page 18: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

14 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

• kufuatilia namna rasilimali za fedha zinavyotolewa kwa watendaji wa MKUKUTA• kuratibu programu za kujenga uwezo na uendelezaji stadi• kuongoza katika kukusanya na kusambaza taarifa kutoka katika ngazi za juu hadi kufikia

ngazi za vijijini

Wizara Kuu zitawajibika na uratibu wa sera, kutoa miongozo, kupanga, kusimamia na kutathiniutekelezaji

Wadau wasio wa SerikaliKuna makundi makuu manne ya wadau wasio wa serikali – jamii, sekta binafsi, vyama vya kiraiana wabia wa maendeleo. Wajibu wao umeelezwa kama ifuatavyo:

Wajibu mkuu wa jamii utakuwa:• kushiriki katika kupanga, kutekeleza, kufuatilia na kutathmini shughuli za jamii zinazosaidiwa

na serikali na watendaji wengine• kufuatilia wingi na ubora wa huduma wanazopewa • kuwajibisha viongozi wa eneo na pia wa serikali kuu na serikali za mitaa

Wajibu mkuu wa sekta binafsi utakuwa:• kuwa nguzo muhimu ya ukuaji uchumi• kushirikiana katika ubia na serikali kuongeza ajira

Page 19: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

15Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Wajibu wa vyama vya kiraia utakuwa:• Kujenga uwezo wa ndani na kuzipa uwezo jamii• Kupitia na kuboresha uwezo wa kiuongozi katika shughuli zao.• Kushiriki katika kutafuta rasilimali za jamii zitakazosaidia kupunguza umaskini• Kushirikiana kwa karibu na watendaji wengine ili kuhakikisha kuwa masuala mtambuka

yanashughulikiwa ipasavyo• Kushiriki katika ufuatiliaji na tathmini katika ngazi ya Jumuiya na taifa• Kutetea uwajibikaji wa wanachama wake na wa serikali kwa wananchi

Wajibu wa wabia wa maendeleo utakuwa:• kuendelea kufanya kazi kwa karibu na wadau katika Mkakati wa kupunguza Umaskini• kuwezesha juhudi za kujenga uwezo• kushiriki katika ufuatiliaji na tathmini• kutumia mfumo wa kitaifa uliokubaliwa kupitishia misaada yao na mifumo mingine ya

kutekeleza MKUKUTA

Kuratibu Utendaji Katika Sekta Tano Muhimu

Mwelekeo wa kuzingatia matokeo ndani ya MKUKUTA unalazimisha kufikiria namna watendajimbalimbali wanavyoweza kufanya kazi pamoja na kuratibiwa. MKUKUTA unazitambua sektatano muhimu ambazo zinalazimika kubainisha (a) masuala muhimu ambayo kila sektaitayashughulikia, (b) maeneo yao ya kushirikiana, (c) watendaji ambao watahusika. Ikumbukwekwamba katika hali zote Bunge litakua na jukumu la uangalizi wa jumla na wabia wa maendeleowatakua na jukumu la kusaidia. Sekta hizo tano muhimu zinaelezewa katika sehemu inayofuata.

Sekta Kuu

Masuala muhimu katika sekta hii ni kutafuta fedha na utawala; udhibiti wa masuala ya fedha kwaSerikali Kuu na ngazi ya Serikali za Mitaa na kuratibu sera. Maeneo ya mashirikiano yanajumuishashughuli za kuunda sera, ushirikiano wa sekta na uangalizi na usimamizi wa utekelezaji katikangazi ya Taifa na ngazi za chini. Wahusika wakuu katika sekta hii ni Serikali Kuu na Serikali zaMitaa. Kutakuwa na majadiliano kati ya sekta binafsi na vyama vya kiraia kuhusu sera za Kitaifa.

Sekta ya Uzalishaji

Masuala muhimu katika sekta hii ni kilimo, madini, viwanda, biashara kubwa na ndogondogo.Maeneo ya ushirikiano ni pamoja na uwekezaji wa umma na ule wa binafsi, masoko na taasisi zakisheria, mawasiliano, ajira na masuala mengine yanayojitokeza. Watendaji wakuu watakua nisekta binafsi pamoja na Serikali inayobakia na jukumu la uwezeshaji katika maeneo teule yauzalishaji.

Page 20: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

16 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Sekta ya Huduma za Kijamii

Masuala muhimu katika sekta hii ni elimu, afya, na mfumo wa maji safi na maji taka. Maeneo yaushirikiano yanajumuisha kuboresha upatikanaji wa huduma bora, fursa sawa ya kupata hudumana ulinzi wa jamii. Watendaji wakuu watakua ni Serikali Kuu na Serikali za Mitaa, sekta binafsi navyama vya kiraia vikiwemo vikundi vya kidini.

Sekta ya Huduma za Kiuchumi

Katika sekta hii masuala muhimu ni barabara na usafirishaji, uchukuzi na mawasiliano, nishati,ardhi, maji, maghala, na teknologia ya mawasiliano. Maeneo ya ushirikiano yanajumuishauwekezaji na ubia, utawala wa sheria, miundo mbinu, na sekta mtambuka. Watendaji wakuuwatakua ni wizara zinazohusika, idara na mawakala, mamlaka ya Serikali za Mitaa, sekta binafsi najamii kwa ujumla.

Sekta ya Utumishi wa Umma

Maeneo ya ushirikiano katika sekta hii ni pamoja na upatikanaji miongozo ya sera, utawala washeria, amani na usalama, utulivu na haki za binadamu. Watendaji wakuu watakua Wizara Kuu,Idara na Mawakala na Serikali za Mitaa

Page 21: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

17Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Mfumo wa Kufuatilia Umaskini (PMS) ulianzishwa mwaka 2001 na muundo na kazi zakeviliwekwa katika Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji Umaskini (PMMP10). Mfumo huu utafanyiwamabadiliko kwa kuzingatia (a) uzoefu uliopatikana mpaka sasa na (b) mahitaji mapyayanayotolewa na MKUKUTA.

Michakato ya Ufuatiliaji na tathmini itashirikisha wadau wote katika ngazi zote, lakini itaratibiwana Sekretariati ya Mfumo wa Ufuatiliaji Umaskini

Mabadiliko katika mfumo yanahusisha kuhakikisha kuwa taarifa zinakusanywa kwa wakati, nisahihi na zinayofaa, na kwamba baadaye zitachambuliwa, kusambazwa na kutumiwa katika njiayenye manufaa.Jedwali linalofuata linaonyesha taarifa zitakazozingatiwa katika mfumo watathmini ili kuelewa matokeo yanayotarajiwa.

JEDWALI LA 6.1: MATOKEO YA MFUMO WA UFUATILIAJI UMASKINI

• Taarifa za Maendeleo za mwaka kuonyesha maendeleo na mabadiliko – hii itaufanyawaraka wa MKUKUTA kuwa muhimu.

• Taarifa za Wiki ya Kutafakari Sera ya Umaskini• Taarifa za Umaskini na Maendeleo ya Watu• Takwimu za Maendeleo ya Jamii na Kiuchumi (TSED) Zitatumika katika mipango

ya Sekta,Wilaya na Mikoa yote*• Taarifa kutokana na programu zinazoendelea za Utafiti na Sensa.• Taarifa ya pili ya utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDG) mwaka

2005• Mkakati wa Mawasiliano ambao unawezesha (a) mbinu nyingi za usambazaji taarifa na (b)

Kuendelea kwa mwitiko unaorejesha taarifa kutoka kwa wadau wengi (huu unapatikanakatika tovuti http://www.povertymonitoring.go.tz/downloads/new/commstrat.pdf )

• Tovuti ya ufuatiliaji umaskini www.povertymonitoring.go.tz itaendelea kuchapisha nyarakamuhimu na taarifa nyingine zinazojitokeza na kwa wakati. Kwa hiyo itakukwa zanamuhimu katika mkakati wa mawasiliano

*Kwa taarifa zaidi kuhusu TSED angalia www.tsed.org

Swali la 6 Utekelezaji wa mkakatiutafuatiliwa na kutathminiwavipi?

10 Nakala ya Mpango Mkuu wa Ufuatiliaji Umaskini (PMMP) inapatikana katika Ofisi ya Makumu wa Rais (Agosti 2002)ijulikanayo kama Kupima Upunguzaji Umaskini – Tafsiri rahisi ya Mfumo wa Ufuatiliaji Umaskini. Pia inawezakupatikana katika intanet www.hakikaz.org/pmmp

Page 22: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

18 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

MKUKUTA unategemea uzoefu uliopatikana katika kugharamia Mkakati wa KupunguzaUmaskini (PRSP). Jitihada zimefanyika kuondoka kutoka “mwelekeo wa sekta zakipaumbele” na kuelekea katika “mwelekeo unaotegemea matokeo”

Serikali itahimiza zaidi upatikanaji wa mapato ya ndani na misaada ya wadau wa maendeleo ilikugharamia MKUKUTA. Pia Serikali itahimiza utekelezaji madhubuti na matumizi mazuri ya fedha.

MKUKUTA unatambua kwamba muda mwingi na taarifa zaidi zinahitajika ili kupima kwa usahihimahitaji na michango inayoweza kupatikana kutoka sekta na wadau mbalimbali.

Pia MKUKUTA unatambua yafuatayo:• Sekta Binafsi itakua nguzo muhimu katika kuchangia ukuaji wa uchumi.• Kutakuwepo na utegemezi mkubwa wa misaada kwa kitambo kidogo na kwamba kiwango

chake hakitabiriki.• Ni muhimu Wadau wa Maendeleo wakashauriwa kutoa misaada yao inayokwenda pamoja

na vipaumbele na taratibu za Serikali. Mfano wa taratibu ni kupitisha misaada katika mfukowa pamoja ambao unasaidia mwelekeo unaolenga matokeo.

• Ruzuku kwa sekta zote zinazoratibiwa na mamlaka za Serikali za Mitaa lazima ziwe namwelekeo unaolenga matokeo.

• Ni muhimu kujijengea akiba ya kujilinda dhidi ya mabadiliko ya hali ya kiuchumi duniani namajanga ya asili yasiyotabirika.

Swali la 7 Mkakati Utagharamiwa Vipi?

Page 23: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

19Kuza Uchumi,

Ondokana na Umaskini

Kuainisha Vipaumbele MKUKUTA hautoi maelekezo yalazima juu ya nini kifanyike katikasekta zipi na watendaji wake. Hatahivyo MKUKUTA unaonyeshamaeneo ambayo sekta na watendajiwanaweza kushirikiana. Vipaumbelekatika shughuli zozote vitaamuliwakwa kuzingatia unafuu wakuvitekeleza na kuwepo kwa mjadalakati ya Serikali na watendaji wasiowa Serikali. Hii itasaidia mipangoyote kuzingatia ufinyu wa rasilimalina mipango inayokwenda pamoja na mfumo wa bajeti.

Maswali yafuatayo yanatoa mwongozo wa mchakato wa kupata mwafaka kuhusu vipaumbelekwa kila shughuli.• Je shughuli inayotekelezwa ni sehemu ya programu inayoendelea na ambayo ilikua sehemu ya

Mkakati wa Kupunguza Umaskini (PRSP)?• Je shughuli inayotekelezwa inajenga jitihada zinazoendelea?• Je utekelezaji utakuwa na matokeo ya haraka na ya kina? (kwa mfano mikopo midogomidogo,

lishe kwa watoto, n.k)• Je utekelezaji utakuwa na matokeo ya ziada yanayowagusa watu wengi na idadi kubwa ya

masuala? (kwa mfano programu za maji, mifumo ya teknolojia ya mawasiliano kwa jamii)?• Je utekelezaji unagusa zaidi ya moja ya matokeo ya MKUKUTA au mikakati ya nguzo za

MKUKUTA ili kuweza kuokoa muda na rasilimali?.• Je utekelezaji unachangia kujenga uwezo zaidi hasa katika ngazi ya Serikali za Mitaa na ile ya Jamii?• Je utelezaji unashughulikia tofauti zilizopo za kikanda?.• Je utekelezaji unasiadia kuunganisha mitazamo ya masuala yanayofungamana? Kwa mfano jinsia

na mazingira.

Page 24: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

20 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Wadau mbalimbali wanaweza kuutumia mkakatikatika njia mbalimbali. Lakini katika njia zoteunaweza kusaidia katika mipango ya kazi, ugawaji warasilimali (kwa mfano kuamua ni kiasi gani kitumiwekatika shughuli zipi), ufuatiliaji na uwajibikaji.

Katika Muundo (angalia mchoro kwenye ukurasaunaofuata) kila moja ya nguzo tatu ina matokeo yajumla na malengo yake ya jumla. Haya yanatoamiongozo ya kuweka malengo na mikakati yakundi11.

Shabaha za uendeshaji na mikakati ya nguzo inasaidia kuongoza sekta mahususi na mipango yautekelezaji wa sekta mbalimbali na pia inakuwa kama vitengo muhimu vya utendaji kwa (a)kuongoza ugawaji wa rasilimali (kama vile kuamua ni kiasi gani kitumike katika shughuli zipi) na(b) kwa ajili ya malengo ya ufuatiliaji (kama vile kujua nini cha kuangalia wakati wa upimajiumaskini).

Zingatia kwamba shabaha za uendeshaji na mikakati ya nguzo inaweza kutumika kamamwongozo katika upangaji mipango katika ngazi zote, kuanzia kijiji mpaka wilaya hadi taifa nahata ngazi ya kimataifa. Pia malengo haya na mikakati inaweza kusaidia kuhimiza na kutathminiuwajibikaji wa watendaji. Kiambatisho 1 kinatoa mfano wa jinsi vipengele vinavyohusiana namada fulani vinavyoweza kufuatiliwa katika utekelezaji wake.

Itakuwa vigumu kupata fedha za kutosha kwa utekelezaji wa haraka, katika maeneo yote nakufikia malengo yote ya utekelezaji katika mikakati ya nguzo. Hata hivyo, vikundi vya kujengamwamko vinaweza kutumia malengo na mikakati ya nguzo (a) kusaidia jitihada za kutoakipaumbele kwa mikakati maalumu katika maeneo maalumu na (b) kufuatilia rasilimalizinanazotumika na matokeo yake katika ngazi zote.

Kunaweza kuwa na masuala ambayo hayakushughulikiwa vizuri katika shabaha za uendeshaji yasasa na mikakati ya kundi. Hili si tatizo kwa kuwa MKUKUTA ni waraka shirikishi na muhimuambao utabadilika kutokana na kuhusisha maoni ya wadau mbalimbali, na pia kutokana nakujenga mwamko, ushawishi na mwitikio wa jumla12 kupitia mkakati wa mawasiliano. Hii ndiyomaana ushiriki uliosambaa na kuwianishwa ni sehemu muhimu ya MKUKUTA. Na pia hii ndiyosababu wewe msomaji unahamasishwa kujihusisha na kuwasiliana nasi.

Swali la 8 Watu watautumiaje mkakati?

MKUKUTA ni Mkakati kwa Watanzania Wote

Kila mtu anatakiwa kushiriki, kuchukua hatua,kutathmini na kutoa taarifa kuhusu kile

kinachoendelea.

Hii ina maana ya kushirikiana na watu wenginena pia kuhakikisha kwamba MKUKUTA

unakuwa na umiliki wa taifa na kila mtu anafaidika.

11 Kiambatisho 1 kinaelezea shabaha na mikakati ya nguzo12 Mkakati wa mawasiliano unapatikana kutoka tovuti ya www.povertymonitoring.go.tz/downloads/new/commstrat.pdf

Page 25: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

21Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

MFUMO WA MKAKATI

KANUNI1. Umiliki na ushiriki wa taifa2. Usawa na uendelevu3. Kufanikisha malengo ya kitaifa na kimataifa (yakiwemo Malengo ya Maendeleo ya

Milenia - MDGs)4. Kushughulikia kwa mapana ukuaji wa uchumi na maeneo yote ya umaskini5. Ushirikiano kati ya vyama vya kiraia, sekta binafsi na wadau wa maendeleo6. Kuleta uwiano katika mipango ya Serikali na michakato ya bajeti

KUPUNGUZA UMASKINI

UGAWAJI NA UFUATILIAJI WARASILIMALI

Kuboresha hali yamaisha na ustawi wa

jamii

Matokeo ya Jumla

Malengo

Shabaha za uendeshaji

Mikakati ya nguzo

Mipango ya Kisektana Sekta Mtambuka

Ukuaji na Kupunguza umaskini

wa kipato

Matokeo ya Jumla

Malengo

Shabaha za uendeshaji

Mikakati ya nguzo

Mipango ya Kisektana Sekta Mtambuka

Utawala bora nauwajibikaji

Matokeo ya Jumla

Malengo

Shabaha za uendeshaji

Mikakati ya nguzo

Mipango ya Kisektana Sekta Mtambuka

Page 26: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

22 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Kiambatisho hiki cha MKUKUTA kinawasilisha kwa kutumia jedwali,matokeo ya jumla,malengo,nguzo kuu za MKUKUTA na shabaha za uendeshaji. Vile vile jedwali linaonesha sekta/maeneoya mashirikiano na wahusika muhimu katika utekelezaji wa mikakati. Haya yameainishwa katikanguzo kuu tatu, kama zilivyoelezwa katika sura ya nne, tano na sita, ambazo ni:• Nguzo Kuu ya Kwanza: Ukuaji wa Uchumi na Upunguzaji wa umaskini wa Kipato.• Nguzo Kuu ya Pili: Kuboresha maisha na hali ya ustawi wa jamii • Nguzo Kuu ya Tatu: Utawala Bora na Uwajibikaji.

Muundo wa MKUKUTA unaweka bayana matokeo ya jumla ambapo malengo yameelezewa nakuhusishwa na matokeo ya kiutekelezaji kitarakimu au kwa kutumia tarakimu na muda wakuyafikia. Kwa kila tokeo la kiutekelezaji, mikakati maalum na mambo ya kufanyiwa kaziyameainishwa. Hivyo inawezekana kubainisha hayo kwa kisekta na wahusika katika utekelezaji.Mifano ya maneno yaliyotumika imetolewa hapa chini:

KIAMBATISHO:Shabaha za uendeshaji namikakati ya Nguzo zaMKUKUTA

Page 27: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

23Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

NGUZO YA 1: UKUAJI WA UCHUMI NA KUPUNGUZA UMASKINI WA KIPATO

Lengo la 1: Kuhakikisha kuna usimamizi mzuri wa Uchumi

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya Kundi1.1 Kudumishwa kwa 1.1.1 Kudumisha jitihada za kudhibiti mfumuko wa bei kwa

uchumi mkubwa ulio kiwango kinachokaribiana au kilicho sawa na kile cha wabia thabiti wakuu wa biashara kwa kusimamia kwa makini sera

zinazohusu fedha.1.1.2 Kujitahidi kupunguza nakisi katika akaunti ya mapato ya nchi na

Urari wa Malipo (kwa kuongeza usafirishaji bidhaa nje ya nchikwa mtanzano wa kupunguza utegemezi wa misaada na madeni).

1.1.3 Kuhamasisha ubia wa sekta binafsi na umma kuwekeza katikamafunzo ya biashara, usafirishaji bidhaa nje na masoko ya ndani.Pia kutoa mafunzo yanayozingatia ubora wa bidhaa nakuanzisha vituo na maabara bora za upimaji za kisasa.

1.1.4 Kukuza uwezo ili kudumisha ukuaji wa masoko ya ndani nausafishaji bidhaa nje na kukuza utaalamu katika usafirishaji bidhaanje wa aina tofauti na kuhamasisha ongezeko la ushindani

1.1.5 Kuifanya biashara kutoa fursa kwa wote kupitia kuwezeshaupanuzi wa fani nyingi za shughuli hasa biashara za kati nandogondogo katika shughuli za usafirishaji bidhaa nje.

1.1.6 Kukuza biashara na kutetea haki katika utandawazi; kujengauwezo wa kutoa huduma za biashara ili kufaidi matunda yautandawazi na mitandao ya masoko; na kuimarisha taratibuza dhamana za kusafirisha bidhaa nje.

1.1.7 Kujenga uwezo wa watu katika makubaliano ya biashara;kuwianisha viwango na kuboresha taratibu za forodha;kuimaisha jitihada zinazoendelea katika kuongeza upatikanaji wamasoko ya wenyeji, kanda na dunia kwa wanawake

1.1.8 Kukuza biashara ya uwazi katika maliasili (misitu, uvuvi,wanyama, kilimo) inayozingatia kanuni za matumizi endelevu, nakukuza hatua za kufuta biashara haramu katika maliasili

1.1.9 Kudumisha hali ya kutokubadilika viwango vya kubadilishafedha

1.1.10 Kudumisha akiba za serikali kwa angalau kiwango chamiezi 6 zenye thamani ya kuagiza bidhaa.

1.1.11 Kuendelea kuimarisha usimamizi wa kodi, kupunguzaukwepaji kodi na rushwa; kuondoa usumbufu kwa walipakodi, kupitia upya sera ya kodi ili kuongeza jitihada zaukusanyaji kodi

1.1.12 Kuongeza marekebisho ya kina katika sekta ya fedha ilikuongeza kiwango cha uwekaji amana ambachokinahamasisha kuweka akiba, na kiwango cha ukopajiambacho kinapunguza gharama ya kukopa na hivyo

Page 28: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

24 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

kuhamasisha uwekezaji.Kupunguza deni la nje kufikia viwango ambavyo nchi

inaweza kuvimudu (50% ya Pato Ghafi la ndani au pungufu)

1.2 Kupunguza ukosefu 1.2.1 Kutekeleza mikakati ya uwekezaji ambayo inaleta za ajira na wa ajira kutoka 12.9% kuongeza fursa za kujiajiri.mwaka 2000/01 hadi 1.2.2 Kuleta ajira katika ngazi ya jamii kwa kupitia ujenzi na 6.9% ifikapo 2010 na ukarabati wa barabara za vijijini.kushughulikiaviwango 1.2.3 Kuhimiza uwekezaji wenye mwelekeo wa kuleta ajira katika wa chini vya ajira katika kupunguza umaskini; na kukuza uwekezaji wa sekta binafsi maeneo ya vijijini katika sekta “zinazoongoza kukuza uchumi” ikiwa ni pamoja

na kilimo, utalii, uchimbaji madini na uzalishaji viwandani1.2.4 Kuimarisha uwezo wa taasisi na watendaji katika kuratibu

utoaji huduma za ajira nchi nzima.1.2.5 Kuendeleza utekelezaji wa programu ya kuendeleza ujuzi

unaotakiwa kwa ajili ya kukuza ajiri na tija1.2.6 Kuchukua hatua za makusudi zinazotoa fursa za ajiraa kwa

vijana, wanawake na walemavu.Lengo la 2: Kukuza ukuaji endelevu na mpana

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya Kundi2.1 Kuharakisha kiwango 2.1.1 Kubuni mkakati wa ukuaji wa kina ambao unalenga katika

cha ukuaji wa Pato la kuzalisha bidhaa/huduma maalumu ambapo Tanzania Taifa la Ndani ili inaweza kupata manufaa yenye ushindanikupata kiwango cha 2.1.2 Kushughulikia uhusiano na ushirikiano katika ngazi ya sekta ukuaji cha 6-8% kwa ndogo ndani ya sekta zote ili kuongeza thamani ya bidhaa mwaka ifikapo 2010. maalumu zilizobainishwa.

2.1.3 Kubainisha na kukuza uwekezaji katika sekta za tija na huduma.Kuhimiza utekelezaji wa Mpango wa Kuharakisha Maendeleo yaTaifa Tanzania (Tanzania Mini-Tiger Plan - TMTP 2020).

2.1.4 Kulinda hakimiliki ya mali, kupunguza uharibifu wa mazingira,kuboresha uzalishaji na tija katika nishati, viwanda, kilimo, uvuvi,misitu, utalii, mawasiliano, usafirishaji n.k

2.1.5 Kudumisha mazingira ya biashara yanayotabirika kupitiaprogramu ya “uimarishaji Mazingira ya Biashara Tanzania” BEST.

2.1.6 Kuwa na matazamo mpya unaounganisha mfumo wa reli kupitiasera mwafaka. Kuzifanya barabara kuu kuwa za kisasa nakuzipanua; kuboresha na kupanua bandari, viwanja vya ndege nahuduma za usafiri kama zile za kikanda kwa kupitia ubia wasekta ya Umma na ile ya Binafsi.

2.1.7 Kuanzisha programu ya kupambana na kuenea kwa VVU naUKIMWI katika maeneo yote ya kazi za wizara za serikali na idarazake, serikali za mitaa, vyama vya kiraia na katika Sekta zote.

2.2 Kuzidisha ushiriki wa 2.2.1 Kuimarisha vyombo vya dhamana ya Mkopo kwa viwandasekta zisizo rasmi na na biashara ndogondogo na za kati - SME; Kuimarisha sera

Page 29: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

25Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

zile za viwanda na na mpango wa maendeleo ya SME. Pia kuimarisha Mfuko biashara ndogondogo wa Dhamana ya usafirishaji bidhaa nje kwa vyama vya na za kati - SME (ikiwa ushirika na vyama vingine vinavyohusika na mazao ya ni pamoja na ushirika). wakulima, Sera ya Maendeleo ya Ushirika ya 2003, benki za

mikopo midogo midogo.2.2.2. Kutoa kapaumbele kikubwa katika ukuzaji na ushiriki wa sekta

ya viwanda na biashara ndogondogo na za kati (SME).

2.3 Ongezeko la ukuaji wa 2.3.1 Kuimarisha hatua za kuvutia uwekezaji zaidi kwa mtazamo sekta ya uzalishaji wa kuongeza uzalishaji na kuongeza utoaji wa ajiraviwandani kutoka 8.6% 2.3.2 Kupitia upya Sheria za uanzishaji wa Asasi za Utafiti na mwaka 2003 hadi 15% Maendeleo; na kukuza hati ya hakimiliki na ufanyaji biashara ifikapo 2010 wa teknolojia zilizothibitishwa

2.3.3 Kuongeza msaada kwa taasisi zinazojishughulisha na “Utafiti naMaendeleo” (R&D),ambao unalenga ubunifu wa teknolojia katikashughuli za teknolojia zinazolinda mazingira katika usindikaji &uzalishaji; kuboresha utumiaji wa teknolojia wa sekta binafsi

2.4 Ongezeko la ukuaji wa 2.4.1 Kuongeza idadi ya miradi ya umwagiliaji na uendelezaji wakilimo kutoka 5% matumizi mazuri zaidi ya miradi ya maji.mwaka 2002/03 hadi 2.4.2 Kuongeza eneo la umwagiliaji na kukuza ufanisi wa matumizi 10% ifikapo 2010 ya maji katika mipango ya umwagiliaji na kuhamasisha matumizi

ya teknolojia za gharama ndogo2.4.3 Kuendeleza uvunaji wa maji ya mvua unaojumuisha mabwawa

na matangi ya maji madogo, ya kati na makubwa2.4.4 Kuongeza tija katika shughuli za kilimo zilizopo kupitia

utumiaji na uwekezaji katika teknolojia ya uzalishaji katikakilimo (kilimo/ufugaji).

2.4.5 Kuongeza ufahamu kuhusu matumizi salama na uhifadhi wakemikali za kilimo (ikiwa ni pamoja na kilimo na pembejeo zamifugo kwa mfano: majosho ya ng’ombe, matumizi ya dawa zakudhibiti wadudu waharibifu, mbinu za kilimo na mazingira namatumizi ya elimu ya asili

2.4.6 Kuboresha uwezo wa rasilimali yawatu katika utoaji wa hudumaza kilimo

2.4.7 Kuimarisha uwezo wa udhibiti kwa muda muafaka wa ndege,wanyama, na wa wadudu waharibifu wa mazao na kuzuiamagonjwa.Udhibiti mahususi ni kwa quelea quelea,viwavijeshi,nzige, wanyama wagugunao, magonjwa ya mazao na kukuzausimamizi wa pamoja dhidi ya wadudu waharibifu (IPM).

2.4.8 Kuboresha na kuongeza upatikanaji wa huduma za msaada kwakulenga katika utafiti na uenezi unaokidhi mahitaji ya wakulima,wavuvi, watu wanaotegemea misitu na wafugaji; na kuongezamawasiliano na ushirikiano katika kutoa huduma za ugani.

2.5 Kuongezeka kwa 2.5.1 Kukuza matumizi mazuri ya maliksho na kuziwezesha asasi kiwango cha ukuaji wa za wafugaji kwa ajili ya uzalishaji wa mifugo ulioboreshwa.

Page 30: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

26 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

sekta ndogo ya mifugo 2.5.2 Kukuza programu ambazo zinaongeza fursa ya kuzalisha kutoka 2.7% mwaka kipato kwa wanawake na wanaume wa vijijini kwa kukuza 2000/01 hadi 9% ifikapo viwanda vidogo vya wenyeji, bidhaa zisizo za kiutamaduni na 2010 kazi za mikono za kiutamaduni

2.5.3 Kukuza ufugaji kama mfumo endelevu wa kujipatia riziki.2.5.4 Kujenga malambo zaidi ya maji; kuboresha upatikanaji na ubora

wa huduma za matibabu ya mifugo; na kukuza viwanda vyamaziwa na ngozi .

2.5.5 Kuboresha upatikanaji na usambazaji wa uhakika wa maji kwamaendeleo ya mifugo kwa kuendeleza uvunaji wa maji ya mvua.

2.6 Kuongezeka kwa 2.6.1 Kukuza matumizi ya teknolojia ya mawasiliano ikiwa ni ubunifu wa teknolojia pamoja na yale ya serikali (e-government), kupanua ya mawasiliano. mitandao ya mawasiliano (pamoja na huduma za posta,ufahamu

wa kompyuta, msongamano wa simu na intaneti.2.6.2 Kukuza matumizi ya teknologia ya mawasiliano kwa kuendeleza

zaidi uwezo kwa ajili ya viwanda na biashara ndogondogo na zakati (SME) na kujiajiri kwa ajili ya ongezeko la tija

2.6.3 Kuanzisha matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kupitia vituovya televisheni, asasi za elimu na maktaba ili kufikia masoko yadunia na ya ndani

2.6.4 Kuzisaidia asasi ambazo zinawezesha maendeleo na uhamishajiwa teknolojia inayofaa na iliyo salama kwa mazingira

2.7 Kukuza usawa wa 2.7.1 Kuanzisha na kutekeleza mpango wa uwekezaji unaozingatia kikanda katika kanda na kukuza uwekezaji kwa ajili ya kuleta ajira, kujenga maendeleo, uwezo, na uwezo na ongezeko la uzalishaji.miundombinu 2.7.2 Kuangalia upya mwelekeo wa matumizi kwa umma yenye inayowezesha upanuzi mwelekeo wa matokeo ya kipaumbele na yanayohakikishawa uwekezaji na kuleta utoaji wa rasilimali moja kwa moja kwa halmashauri za mitaa maisha endelevu. (kushughulikia mahitaji ya wilaya zilizo nyuma kimaendeleo)

2.8 Barabara za vijijini zenye 2.8.1 Kutoa kiwango cha miundombinu kinachotosha ili kukubiliana km. 15,000 kufanyiwa na mahitaji yanayolenga kupunguza umaskinimatengenezo kila mwaka 2.8.2 Kuzihusisha jumuiya za vijijini katika ujenzi na usimamiaji wa ifikapo 2010 kutoka barabara za vijijinikm. 4,500 mwaka 2003

2.9 Kupunguza Athari mbaya 2.9.1 Kuendeleza hatua ambazo zinahusisha hatua za kulinda katika mazingira na mazingira katika mipango na mikakatimaisha ya watu 2.9.2 Kuandaa mpango wa kazi kwa ajili ya utekelezaji wa Sheria ya

Usimamizi wa Mazingira.

2.10 Kupunguza uharibifu wa 2.10.1 Kuboresha usimamiaji wa ardhi ikiwa ni pamoja na kupanda ardhi na upotevu wa miti, uanzishaji wa Hifadhi ya Ardhi ya Misitu ya Kijiji (usimamizi bioanuwai unaohusisha jumuiya) katika ardhi ya kijiji na kudumisha uadilifu

wa mtandao wa eneo linalohifadhiwa

2.11 Ongezeko la uwiano 2.11.1 Kutekeleza Mfumo wa Usajili wa uchimbaji Madini

Page 31: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

27Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

wa usafirishaji bidhaa za 2.11.2 Kuanzishwa na kutumiwa mifumo ya kutunza takwimu madini nje kwa kuongeza kuhusu madini na nishati.thamani yake kutoka 2.11.3 Kuboresha sera na sheria ya madini0.5% kwa sasa hadi 2.11.4 Uwekezaji katika madini kuongezeka kwa 20% kutoka US $ 3.0% ifikapo 2010 bilioni 30 za sasa ifikapo Juni 2010; na ongezeko la mchango wa

makaa ya mawe na gesi asilia katika Pato Ghafi la Ndani (GDP)2.11.5. iKuanzisha na kukuza mazingira mazuri kwa uwekezaji wenye

ongezeko la thamani ya madini2.11.6. Kuvutia uwekezaji katika uendelezaji wa makaa ya mawe na

gesi asilia ili kuongeza Pato Ghafi la ndani2.11.7. Kuanzisha mfumo unaohakikisha kuwa uchimbaji mdogo

madini ni salama na endelevu; na angalao 90% ya wachimbajiwadogo waliosajiliwa wanaopata mafunzo kuhusu usalamaifikapo 2010.

Lengo la 3: Kuboresha upatikanaji na upataji wa chakula ngazi ya kayakatika maeneo ya Mjini na Vijijini

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya Kundi3.1 Kuongeza uzalishaji 3.1.1 Kuboresha upatikanaji wa pembejeo kwa wakulima wa

wa mazao ya chakula kujikimu kupitia ruzuku ya pembejeo inayolenga katika kutoka tani milioni 9 mazao ya chakula yaliyochaguliwa na kuongeza upataji wa mwaka 2003/4 mikopo midogo midogohadi tani milioni 12 3.1.2 Utafiti, kutambua na kuendeleza teknolojia ya kuhifadhi mwaka 2010 chakula na kuendeleza usindikaji bidhaa za kilimo pamoja na

teknolojia za kilimo zilizo salama kwa mazingira na hasamaeneo ya vijijini

3.2 Kudumisha uhifadhi wa 3.2.1 Kuboresha usimamiaji wa akiba na kufuatilia hali ya chakulaNafaka kwa angalau 3.2.2 Kufanya mapitio ya usambazaji wa mahindi, usimamiaji namiezi 4 ya mahitaji ya ufuatiliaji wa usambazaji chakula cha dharura ikiwa ni chakula ya taifa pamoja na ufafanuzi zaidi wa kanuni na njia za kurahisisha

biashara.

Lengo la 4: Kupunguza Umaskini wa kipato kwa wanaume na wanawakewa maeneo ya Vijijini

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya Kundi4.1 Kupunguza uwiano 4.1.1 Kuhamasisha uzalishaji wa mazao yenye faida kubwa;

wa idadi ya watu wa kuongeza upataji wa nyenzo za kilimo na matumizi sahihi ya vijijini (wanaume & teknolojia.wanawake) walio chini ya mstari wa mahitaji ya msingi kutoka asilimia 38.6 mwaka 2000/01 hadi asilimia 24 mwaka 2010

Page 32: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

28 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

4.2 Kupunguza uwiano wa 4.2.1. Kukuza mbinu za usimamiaji wa mavuno katika kaya za maskini wa chakula vijijini. Kukuza miradi ambayo inaongeza thamani katika vijijini (kwa wanaume kilimo cha msingi, uvuvi, bidhaa za misitu na bidhaa za na wanawake) kutoka mifugo.27% 2000/01 hadi 14% ifikapo 2010

4.3 Kuongeza tija na 4.3.1 Kufuatilia sera ambazo zinavutia uwekezaji wa umma nafaida ndani na binafsi katika kilimo (pamoja na mifugo) na maliasili, kukuzanje ya sekta ya kilimo upanuzi kwa shughuli zisizo za kilimo

4.4 Kuongeza shughuli za 4.4.1 Kuongeza upatikanaji wa huduma za mikopo midogomidogo uzalishaji kipato mbali kwa wakulima wa kujikimu, hususan vijana na wanawake nazile za mashamba walengwa; na kukuza shughuli zisizo za mashamba kwa

kulenga mahususi katika kusaidia uanzishaji wa usindikajibidhaa za kilimo za viwanda na biashara ndogondogo na zakati (SME); kukuza na kudumisha miundo ya uwekaji akibana mikopo kama SACCOS na mfuko ya mzungukoli

4.4.2 Kuimarisha mafunzo ya stadi za maisha na ujasiriamali kwawatu wa vijijini, hususan wanawake na vijana

4.5 Kupata na kuwezesha 4.5.1 Kubainisha masoko mapya, kukuza bidhaa ambazoutafutaji masoko wa zinaongeza kwa kiwango cha juu ongezeko la thamani na bidhaa za kilimo kupata fursa mpya kwa mfumo wa ugavi nchini.

4.5.2 Kuboresha mifumo ya usafiri, hivyo, kupunguza gharama zamasoko na kuboresha utafutaji masoko ili kuhakikishakiwango cha juu cha faida kwa wazalishaji

4.5.3 Kuwekeza katika miundombinu na kuongeza upatikanaji wamasoko ndani ya nchi, kanda na kimataifa ili kuongeza tija nakipato katika kilimo.

4.5.4 Kutoa nishati ya uhakika kwa maendeleo ya uchumi, kutoaumeme mbadala wa vijijini, na mipango inayofaa ya nishatiambayo inapunguza matumizi ya umeme na mzigo wa kazikwa wanawake

4.5.5 Kuweka mazingira mazuri kwa wakala wa Nishati vijijini(REA) na Mfuko wa Umeme Vijijini (REF) ili kukuzauwekezaji Nishati vijijini unaopatikana kwa matumizi yauzalishaji

4.5.6. Kuongeza upatikanaji wa maji ya uhakika kama rasilimali yauzalishaji uchumi kwa lengo la kuongeza mchango wa majikatika Pato Ghafi la Ndani (GDP). Na kuhakikisha kuwepokwa usimamiaji endelevu wa maeneo ya vyanzo vya maji.

4.5.7. Kuzidisha shughuli bunifu za maendeleo ya jamii kwa mfanozile za ujenzi wa barabara za vijijini unaohusisha jamii nauendelezaji wa pgoramu kama vile SIDO, TASAF na SELFambazo zinalenga ngazi ya chini.

4.5.8 Kubainisha na kupitia sheria na utetezi dhidi ya vitendo vyakimila ambavyo vinawanyima wanawake na vijana kupata

Page 33: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

29Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

rasilimali za uzalishaji na za fedha – pamoja na sheria yaurithi na hakimiliki ya mali binafsi

4.6 Kubadili sekta ya kilimo 4.6.1 Kuzielimisha jumuiya kuhusu haki za msingi za mtoto cha kujikimu kwa pamoja na kupambana dhidi ya ajira ya watoto; kuanzisha na wakulima wadogo kutekeleza programu zinazolenga kupunguza ajira ya watotowadogo wa mazaoya buashara 4.6.2. Kuanzisha na kuchochea utalii wa ndani na shughuli za

biashara ndogondogo ili kuhakikisha uhusiano na uchumi wanchi (usambazaji wa pembejeo za kilimo (usambazaji wapembejeo za kilimo, kazi nk

4.7 Kuongeza michango 4.7.1 Kuanzisha programu za kuongeza udhibiti wa ndani nakutokana na wanyama kupata mapato katika maeneo ya usimamizi wa wanyamapori misitu na uvuvi pori, na kuanzisha mfuko wa ndani wa kusimamia rasilimali katika vipato vya kwa kufuata maarifa ya utamaduni wa wenyejijumuiya za vijijini 4.7.2 Kuhimiza usimaimiaji wa misitu ambao ni shirikishi katika

wilaya zote kama utaratibu wa kuongeza kipato cha jumuiyaza vijijini kutokana na usimamiaji wa maliasili

4.7.3 Kuwianisha sera za sekta ya maliasili na kuondoa migonganoyoyote katika Sheria na kanuni. Kuboresha hatua zakuhifadhi ardhi na usimamizi wa maliasili unaozingatia jamiina mazingira mazuri

Lengo la 5: Kupunguza umaskini wa kipato wa wanaume na wanawake wa mijini

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya Kundi5.1 Kupunguza uwiano wa 5.1.1 Kusaidia sekta ya viwanda na biashara ndogondogo na vya

idadi ya watu kati (SME) na katika sekta isiyo rasmi kwa kutoa mikopo,(wanaume na kuboresha mazingira ya biashara na teknolojia. Kuwezeshawanawake) walio chini uwekezaji binafsi na wa umma kwa lengo la kuleta ajira.ya mstari wa umaskini wa mahitaji ya msingi kutoka 25.8% mwaka 2000/01 hadi 12.9% mwaka 2010

5.2 Kupunguza uwiano wa 5.2.1 Kutekeleza mipango ya matumizi na usimamiaji wa ardhi maskini wa chakula makazi yaliyopimwa kwa kuzingatia Sheria ya Ardhi ya 1999mjini (wanaume & na kuboresha ukusanyaji wa mapato ya ardhi na mfumo wawanawake) kutoka usimamizi wa fedha.13.2% mwaka 2000/01 5.2.2 Kuboresha vituo vya mafunzo ya ufundi stadi vilivyofungwa hadi 6.6% ifikapo 2010 na kukarabati vilivyopo hasa vile vinavyotoa mafunzo kwa

walemavu, na kuanzisha hatua za makusudi zinazokubalikana kuongeza ajira kwa walemavu

5.2.3 Kuhakikisha usambazaji wa mara kwa mara na wa uhakikawa umeme, maji na afya ya mazingira maeneo ya mjini

5.2.4 Kuhakikisha matumizi endelevu ya maliasili ili kuhakikishausambazaji nishati unadumishwa (misitu, vyanzo vya maji na

Page 34: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

30 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

uzalishaji mkaa)5.2.5 Kutekeleza mpango mkuu wa nishati vijijini katika kueneza

umeme vijijini, uendelezaji wa vyanzo asilia na mbadala vyanishati, na kuunganisha gridi sehemu zisizounganishwa.

5.2.6 Kuboresha ubora nguvu kazi kwa kutoa mafunzo ya uborawa kazi na ujasiriali unawaloenga vijana kukuza biashara zao;kusaidia programu za ujasiriamali kwa wanawake namafunzo ya wasichana yanayowandaa kufanya kazi

5.2.7 Kukuza kujiajiri na kuongeza fursa ya ajira katika sekta isiyorasmi

5.2.8 Kuongeza fursa kwa vijana na wanawake katika sekta rasmina biashara; na kutekeleza sera na sheria ambazo zinaongezafursa ya ajira ya vijana na wanawake katika sekta isiyo rasmi;biashara na sekta rasmi kama vile upatikanaji sawa wa kazina wanavyotendewa maeneo ya kazi.

Lengo la 6: Utoaji wa nishati ya uhakika na nafuu kwa wateja

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya Kundi6.1 Ulegezaji masharti wa 6.1.1 Kuhuisha mara kwa mara mpango mkuu wa mifumo ya

sekta ndogo ya umeme umeme; na utekelezaji wa miradi ya umeme kutegemeanaifikapo 2010 na mifumo ya umeme na Mipango Mikuu ya Mifumo ya

Umeme na Nishati ya vijijini6.1.2 Kukuza maendeleo ya nishati inayofaa kwa mazingira6.1.3 Miongozo na kanuni za kupunguza usafirishaji nishati, hasara

za upitishaji na usambazaji kupitiwa upya na kutekelezwa6.1.4 Kukuza matumizi yanayofaa ya nishati na ufanisi wake na

uhifadhi katika sekta zote za uchumi ifikapo 2006.6.1.5 Kukuza uzalishaji wenye ufanisi na unaofaa na matumizi ya

huduma za umeme6.2 Kuafikiwa kwa 6.2.1 Kuanzisha na kukuza utumiaji wa rasilimali za nishati za

Mikataba ya wenyeji na upanuzi wa vyanzo vya nishatiKushirikiana uzalishaji 6.2.2 Kutangaza takwimu za utafuti wa mafuta ghafinikshati (PSA) na kutia saini ifikapo Juni 2010

Page 35: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

31Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

NGUZO YA 2: KUBORESHA HALI YA MAISHA NA USTAWI WA JAMII

Lengo 1: Kuhakikisha upatikanaji sawa wa elimu bora ya msingi nasekondari kwa wavulana na wasichana, elimu ya kusoma nakuandika kwa wote miongoni mwa wanaume na wanawake naupanuzi wa elimu ya juu, ufundi na ufundi stadi

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya Kundi

A. Maendeleo ya Awali kwa Mtoto1.1 Kuongeza idadi ya A.1 Kupanua mfumo wa elimu ya msingi ili kukuza programu

watoto wanaojiandaa bora za elimu ya awali ambayo inahusiana na mahitaji yakuanza shule na shule awali ya mtoto - afya, lishe, elimu ya nyumbani (wazazi)zinazojiandaa kupokea A.2 Kukuza vituo vya kutunza watoto/shule za awali watoto zinazoendeshwa na jumuiya

A.3 Kuanzisha muundo wa sera wa sekta mbalimbali zakuongoza maendeleo ya awali ya mtoto na kuendelezamafunzo ya awali ya mtoto

B. Uandikishaji katika Shule za Msingi1.2 Kuongezeka kwa B.1 Kuhakikisha watoto wote (wavulana na wasichana) pamoja

uandikishaji wa jumla na walio walemavu, yatima na wengine walio katika hatari na halisi wa wavulana ya kuathirika (kwa mfano watoto walio vibarua, watoto wana wasichana katika mitaani) kupata elimu kikamilifu na yenye ubora wa hali ya shule za msingi kutoka juu, inayomfaa mtoto na inayozingatia jinsia.90.5% mwaka 2004 B.2 Kutekeleza mikakati inayozingatia masuala ya watoto walio hadi 99% mwaka 2010 hatarini zaidi katika programu za elimu yao ya msingi na

1.3 Kuongeza uwiano wa sekondariwatoto walemavu B.3 Kutoa kipaumbele kwa maendeleo, ugharimiaji na wanaoandikishwa, utekelezaji wa mikakati ya nchi inayounga mkono ukuzaji wa kuhudhuria na kumaliza elimu kwa yatima na watoto walio hatarini zaidishule kutoka 0.1% B.4 Kudumisha sera iliyopo ya elimu ya shule ya msingi kuwa mwaka 2000 hadi 20% bure ili kuhamasisha upatikanaji mkubwa wa elimu kwa mwaka 2010 watoto wote

1.4 Kuongeza uwiano wa kuandikisha wsatoto yatima na wale walio katika hatari ya kuathirika zaidi na kuongeza uwiano wao wa kumaliza elimu ya msingi kutoka 2% mwaka 2000 hadi 30% mwaka 2010

Page 36: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

32 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

C. Uandikishaji katika shule za Sekondari1.5 Kuongezeka kwa C.1 Kupunguza gharama za elimu ya sekondari ili kuhamasisha

asilimia ya wasichana upatikanaj mkubwa wa elimu kwa wotena wavulana walemavu C.2 Kuboresha upatikanaji wa usawa wa elimu bora ya sekondari na yatima na walio ambao hautawatenga bila uwiano maskini, watoto hatarini wenye sifa za walemavu, yatima na watoto wengine walio katika hatari ya kuingia sekondari na kuathirikakumaliza ifikapo 2010 C.3 Kuweka miongozo na mikakakati inayofaa kwa elimu ya

1.6 Angalau 50% ya pamoja inayowakubali na kuwapokea watoto wote (pamojawavulana na wasichana na walio hatarini) na kila programu ya elimu ya msingi na wenye miaka 14-17 sekondariwanaandikishwa katika C.4 Kuanzisha malengo/viashiria vinavyofaa kutathmini ubora shule za sekondari wa elimu ya sekondari kidato cha nne na cha sita ifikapo zenye kidato cha nne 2010ifikapo 2010 C.5 Kuanzisha mbinu zinazowezesha kuongeza idadi ya wasichana

1.7 Angalau 60% ya wanaomaliza shule za sekondari, na matokeo mazuri katika wasichana na wavulana shule za msingi na sekondariwanafaulu mtihani wa C.6 Kupanua mafunzo ya walimu yanayozingatia stadi za maisha darasa la VII ifikapo 2010 na kujali jinsia kwa ajili ya shule za msingi na sekondari

1.8 Angalau 25% ya kukabiliana na ongezeko katika uandikishajiwavulana na wasichana wanaandikishwa elimu ya sekondari kidato cha sita ifikapo 2010

D. Mafanikio na Ubora wa elimu ya Msingi1.9 Kufikisha wastani wa D.1 Kuboresha uwezo na ushiriki sawa katika ngazi zote za elimu

mahudhurio ya kila siku ili kupanga, kutekeleza na kufuatilia ubora wa utoaji elimu katika shule za msingi katika ngazi ya shule, ikiwa ni pamoja na matumizi bayana ya kwa angalau 85% fedha za shule

1.10 Angalau 95% ya rika D.2 Kuhakikisha walimu maalumu na wengineo wanapatamoja la wanafunzi mafunzo kazini ili kutoa elimu bora kwa watoto walemavu;wanaomaliza darasa la IV kuhakikisha kuwa watoto wanachujwa ili kutambua ulemavu

1.11 Angalau 90% ya wao na matatizo ya afya; kuhakikisha kuwa kuna vifaa wanafunzi wanaomaliza vya kutosha kutayarisha vyombo vyakusikilizia, vitabu darasa la VII vinavyotoa sauti, vitabu vyenye maandishi ya breli,

usambazaji wa zana na vifaa shuleniE. Mafanikio/Ubora wa Elimu ya Sekondari1.12 Angalau 70% ya E.1 Kuinua kiwango cha wanafunzi walioanza shule waweze

wasichana na wavulana kumaliza elimu ya sekondari katika ngazi ya kidato cha nne.wanafaulu mitihani ya E.2 Kufanya marekebisho katika mitaala ya elimu ya msingi,kidato cha IV kwa sekondari, mafunzo ya walimu, kuimarisha vifaa vya Daraja la I-III kufundishia, tathmini na mtihani, na ukaguzi wa shule ili

kukuza kujifunza kwa kina, ubunifu na kuzingatia ujuzi, na

Page 37: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

33Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

1.13 Kuboresha mazigira kuhusisha masuala ya jinsia, VVU/UKIMWI, ulemavu na ya kujifunza kwa mazingirawatoto wote katika E.3 Kupanua na kuboresha uwezo wa wakaguzi wa shule ili shule zote na taasisi kufuatilia vizuri ubora wa elimu; kuhakikisha kuwepo kwa zote za elimu zilizo fursa sawa na kujifunza kwa vitendo kunafanywa ipasavyo salama kwa mtoto na katika shule kuzingatia jinsia E.4 Kuhakikisha usambazaji wa usawa wa walimu wenye ujuzi

1.14 Upatikanaji wa elimu na Walio na motishwa, na kupewa msaada wa kutosha iliyo bora katika shule (nyumba na mahitaji mengine muhimu), hususan kwa walimu za serikali na binafsi walio maeneo ya vijijini , na pia walimu wanaofundisha kurekebishwa watoto walemavu.

1.15 90% ya shule za E.5 Kuhakikisha kuwa uwiano wa kitabu cha kiada1:1 unafikiwa msingi na sekondari kwa shule za msingi na sekondari, vitabu na vifaa vingine vya zina idadi ya kutosha kujifunzia vinahusishwa, kujali jinsia na kukuza mafunzo ya walimu hodari na yanayozingatia stadi za maisha, na kukidhi mahitaji yawenye ujuzi ifikapo 2010 mwanafunzi wote pamoja na wale wenye ulemavu.

1.16 Elimu ya msingi na E.6 Kuhakikisha kuwa ruzuku zinazo zingatia idadi ya wanafunzi sekondari kuwa ya na zile za maendeleo kwa shule za msingi na sekondari ubora wa hali ya juu na zinatolewa kikamilifu, kupelekwa katika ngazi ya shule kwakukuza utoaji wa elimu wakati na kuwa bayana kwa woteya kina, ujuzi halisi na E.7 Kuboresha mitazamo ya jinsia madarasani na shuleni; kuwapamaadili ya maendeleo mafunzo walimu katika mbinu za kufundisha zinazofaa;

kuajiri walimu wanawake waliopata mafunzo na wenye hamasa, na kutumia mbinu mbadala na zinazokubalika kwaadhabu ya viboko

F. Elimu ya Juu na Ufundi1.17 Kuongeza uandikishaji F.1 Kuwezesha upatikanaji wa watu wengi wenye ujuzi

katika elimu ya juu na unaofaa kwa ajili ya kusimamia uchumi na utoaji wa ya ufundi kwenye vyuo huduma za jamiivikuu na vyuo vya F.2 Kupanua vyuo vilivyopo vinavyofundisha stadi za maisha na ufundi kufikia wanafunzi visivyobagua jinsia kwa shule za msingi na sekondari ili 30,000 wanaosoma kukabiliana na ongezeko la kuandikisha.muda wote, na 10,000 F.3 Kuwianisha na kuanzisha upya asasi za elimu ya juu kwa ajili kwa muda maalumu na ya matumizi kamilifu ya miundombinuwanafunzi 15,000 F.4 Kuboresha utoaji bora na uonaofaa katika asasi za elimu ya wanaosoma kwa njia ya juu na ufundi ili kuongeza idadi ya wanaojiunga na fursa Posta na njia nyinyine sawa za kupata nafasi.za mawasiliano ifikapo F.5 Kubuni mfuko wa kuwaendeleza walimu na watendaji 2008 wengine wa asasi za elimu ya juu na ufundi.

1.18 Kuboresha elimu F.6 Kuimarisha uwezo na utendaji kwa mamlaka za HEAC nakatika ujuzi wa NACTE ili kuongeza ubora wa asasi za elimu ya juu na ufundiujasiriamali miongoni F.7 Kupanua elimu ya ufundi stadi na utaalamu, kutoa ujuzi wa mwa vijana kujiajiri na ushindani

Page 38: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

34 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

F.8 Kuongeza ugharimiaji wa elimu na mafunzo ya wanawake nakuboresha ujuzi wao wa ufundi ili kuwapatia matokeomazuri katika maendeleo.

G.Virusi vya Ukimwi na Ugonjwa wa Ukimwi1.19 Elimu inayofaa ya VVU G.1 Kufanya marekebisho katika mitaala ya shule za msingi na

na UKIMWI, programu sekondari, mafunzo ya ualimu, zana za kufundishia, tathmini za mazingira na stadi za na mitihani,na ukaguzi wa shule ili kukuza kujifunza maisha kutolewa katika kunakozingatia ubunifu na ujuzi na kuhusisha VVU na shule zote za msingi na UKIMWI na masuala ya mazingira, elimu kwa ajili ya sekondari na vyuo vya uendelevu, afya, usafiri, usawa wa jamii na makaziwalimu G.2 Kuongeza utekelezaji wa programu za afya mashuleni

G.3 Kuhakikisha shule zote za msingi na sekondari zinatoa stadiza maisha na VVU/UKIMWI zinazofaa kuanzia darasa la 3 au4; kupanua programu za vijana wasio shuleni na kuhakikishakuwa mafunzo ya stadi za maisha yanatolewa.

H.Elimu ya Watu Wazima na Elimu isiyo rasmi na elimu kuhusu Utamaduni1.20 Angalau 80% ya watu H.1 Kutoa kipaumbele kwa maendeleo, ugharimiaji na

wazima, hususan utekelezaji wa programu za elimu ya watu wazima za wanawake wa vijijini gharama nafuu na endelevu; kupanua mafunzo ya gharama wajue kusoma na nafuu ambayo yanawaandaa watu kupata riziki zaokuandika H.2 Mbadala maalumu wa nyenzo za elimu zisizo na gharama na

1.21Kupunguza idadi ya zenye lengo maalumu, ikiwa ni pamoja na Elimu ya Uwianowatu wazima wasiojua katika jamii (ICBAE) kwa vijana na watu wazima na kusoma na kuandika MEMKWA katika kiwango kidogo kwa watoto walio nje yakutoka milioni 3.8 mfumo wa shule rasmi.(2004/05) hadi milioni H.3 Kuweka utaratibu wa elimu ya wazi na ya masafa kwa vijana 1.5 (2007/08) ambao hawakuandikishwa katika mfumo wa elimu rasmi na

1.22 Kupunguza idadi ya elimu ya ufundi stadivijana wanaohusishwa H.4 Kuongeza elimu ya kusoma na kuandika, ujuzi, mafunzo yakatika MEMKWA ujasiriamali na mwongozo wa ufundi stadi kwa watu wakutoka 234,000 mwaka vijijini, hususan wanawake na vijana2004/05 hadi 70,566 H.5 Kupanua mafunzo ya ujuzi na elimu ya msingi ya kusoma na mwaka 2007/08 kuandika kwa wanawake na wanaume walio watu wazima ili

1.23 Kupanua na kuboresha kuwawezesha kuwa na uchaguzi mpya kadri wanavyozeekaushiriki wa umma katika H.6 Kupanua na kuboresha programu ya TUSEME, Miradi ya shughuli za utamaduni sanaa Maonyesho ya Watoto katika shule za Msingi na

1.24 Kuongeza idadi ya Sekondari.wanafunzi/vijana ambao H.7 Kukuza uanzishaji wa vituo vya utamaduni ambavyo vinakuzawanatoa huduma mijadala ya maendeleo katika ngazi zote ukizingatia fursa za

utamaduni na za asili kwa ajili ya maendeleo.

Page 39: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

35Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Lengo la 2: Kuboresha maisha, afya na ustawi wa watoto wote nawanawake na hasa makundi Yaliyo katika hatari ya kuathirika

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya KundiA.Afya ya Mtoto mchanga na Mtoto mdogo2.1 Kupunguza vifo vya A.1 Kuboresha matunzo kabla ya kuzaliwa na matunzo ya

watoto wachanga watoto wachanga na kuhakikisha utambuzi wa watoto walio kutoka 95 mwaka chini ya miaka 5 kuhusu ukuaji wao, hali ya walemavu, na 2002 hadi kufikia elimu lengwa juu ya lishe kwa watoto wanaokosa chakula.watoto 50 kwa mwaka A.2 Afya kwa umma na mikakati ya kinga ya msingi kama vile 2010 kila watoto 1000 upatikanaji mpana na utumiaji wa ITN, kinga, matumizi ya wanaozaliwa hai. maji safi na salama, usafi binafsi na hatua za kulinda afya. Pia

kukuza ufahamu na kuhimiza shughuli zenye gharama nafuu katika kupunguza magonjwa yanayoletwa na maji ikiwa ni pamoja na afya ya mazingira.

2.2 Kupunguza vifo vya A.3 Utekelezaji bora wa mkakati wa Taifa wa Elimu ya Malezi na watoto (chini ya umri kusaidia kufanikisha hali bora ya lishe na afya ya watoto wa miaka mitano) wachanga na watoto wadogo.kutoka 154 hadi 79 A.4 Kuchunguza mbinu mbadala na zinazofaa kudhibiti malaria;kwa kila watoto 1000 matibabu ya haraka, hasa kwa watoto chini ya miaka 5 na wanaozaliwa hai. wakina mama wajawazito na wazee; na mikakati ya

kuongeza viwango vya matibabu.A.5. Kuongeza asilimia ya watoto chini ya miaka 2 wanaokingwa

dhidi ya surua na kifaduro kutoka 80% mwaka 2002 hadi85% mwaka 2010

A6. Kupunguza vifo vya watoto walio chini ya umri wa miakamitano vinavyotokana na malaria hospitalini kutoka 12%mwaka 2002 hadi kufikia 8% mwaka 2010

B. Lishe ya Mtoto2.1. Kupunguza kuenea B.1 Kuendeleza ulishaji mzuri na ulikizaji kwa watoto wadogo,

kwa kudumaa kwa kusisitiza haja ya uangalizi wa wazazi na matunzo ya msingi watoto chini ya miaka kwa watoto wachanga na kuwa na lishe ya mara kwa maramitano kutoka 43.8% B.2 Kuhimiza Usimamizi wa Uwiano wa Magonjwa ya Utotonihadi 20% mwaka 2010 (IMCI) nchi nzima.

2.2 Kupunguza kuenea kwa kudhoofika kwa watoto chini ya miaka mitano kutoka 5.4% hadi 2% mwaka 2010

C. Afya ya Mama Mjamzito2.3 Kupunguza vifo vya akina C.1. Mikakati ya Afya kwa umma na kinga ya msingi, kuboresha

mama wajawazito kutoka upatikanaji na matumizi ya ITN; pamoja na upatikanaji wa529 hadi 265 kwa kila ITN zinazodumu, kutumia maji safi na salama, usafi binafsi 100,000 ifikapo 2010. na hatua za kufanya usafi, kuboresha upatikanaji na

Page 40: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

36 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

2.4 Kuongeza idadi ya matumizi mazuri ya ITN.wanaojifungua ambao C.2 Mikakati ya kuongeza viwango vya matibabu mapya, ikiwa ni wanahudumiwa na pamoja na upatikanaji wa ITN zinazodumuwatumishi wenye ujuzi C.3 Kuboresha ufikikaji na ubora wa huduma a afya ya mama kutoka 50% hadi 80% ikiwa ni pamoja na: matunzo ya wajawazito, matunzo mwaka 2010 kuzalisha kwa dharura, matunzo baada ya kujifungua, na

matunzo ya mtoto aliyezaliwaC.4 Kukuza na kulinda haki za afya ya uzazi ikiwa ni pamoja na

upatikanaji wa huduma ya uzazi wa mpango , ukingaji wamimba, huduma za afya ya uzazi kwa vijana waliobalehe,kuruhusu chaguzi na kudhibiti matokeo ya kupevuka kwawanawake na vijana

C.5 Kulenga elimu ya lishe na vyakula vya nyongeza(kushughulika ukosefu wa lishe) kwa wanawake wajawazito

D. Virusi vya Ukimwi na Ukimwi2.5 Kupunguza kuenea D.1. Kuongeza rasilimali kwa ajili ya programu zinazofaa za

kwa VVU miongoni kujikinga na VVU na UKIMWI ikiwa ni pamoja na kulenga na mwa wajawazito wenye kuzingatia elimu rika, kupanga upimaji na matibabu ya miaka 15-24 kutoka magonjwa ya ngono (STI), huduma za kupima kwa hiari 11% mwaka 2004 hadi (VCT), matumizi ya kondomu; na kushughulikia unyanyapaa 5% mwaka 2010 na ubaguzi

2.6 Kupunguza kuenea kwa D.2 Kupanga uhusishaji wa tiba za dawa za kupunguza makali ya VVU kutoka 11% 2004 UKIMWI kama vile kula vyakula maalumu, kuzuia na kutibu hadi 5%-2010 kati ya Tibii na matibabu ya magonjwa nyemelezi katika Watu wenye umri wa miaka wanaoishi na virusi vya ukimwi na ugonjwa wa UKIMWI 15 na 24 (PLHA)

2.7 Kupunguza kuenea D.3 Upatikanaji wa usawa, endelevu na wa gharama nafuu wa kwa VVU na UKIMWI dawa za kupunguza makali ya UKIMWI (ARVs) kwa kaya miongoni mwa zote zilizoathirika, kwa kutilia mkazo elimu ya ARV, Kinga ya wanawake na wanaume Uambukizo wa Mama kwa Mtoto (PMTCT) na msaada kwa walemavu (miongoni mama baada ya kujifungua.mwa kundi lenye D.4 Kutekeleza na kusaidia programu ya kuendeleza matunzo miaka 15-35) kwa Watu wanaoishi na Virusi na ugonjwa wa UKIMIWI

2.8 Kuongeza elimu ya ikiwa ni pamoja na shughuli zinazohusisha jamii, kwa mfano maambukizo ya VVU/ matunzo ya nyumbani, msaada wa msingi wa chakula, maji,UKIMWI kwa nyumba, glavu na msaada wa kisaikolojia. Kuongeza na wananchi wote kutekeleza programu zinazowalnga wanawake, watoto,

2.9 Kupunguza unyanyapaa wanaotunza wazee, wajane na watoto wanaoongoza kayawa VVU/UKIMWI D.5 Kuhusianisha shughuli zinazohusisha jamii na vyombo vilivyo

katika muundo wa muendelezo wa matunzo ambavyovinatoa matunzo ya muda mrefu na usimamizi wa magonjwasugu na makali kama vileVVU na UKIMWI, tibii

D.6 Kuhusisha hatua za kushughulikia tofauti za kijinsia na kutokuwana usawa ambavyo vinasababisha viwango vikubwa vya kueneakwa VVU miongoni mwa wanawake na wasichana

Page 41: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

37Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

E Rasilimali watu na Uongozi2.10 Bodi za Afya na E.1. Kutathmini na kuchambua kwa kina mkakati wa maendeleo

kamati za Huduma ya rasilimali watu katika sekta ya afya ili kubainisha upungufu kutumika na katika ujuzi miongoni mwa wafanyakazi wa afya na kuandaa kuendeshwa katika mpango kwa ajili ya mafunzo ya haraka katika maeneo wilaya zote muhimu ikiwa ni pamoja na mahitaji maalumu ya kiafya kwa

2.11 Kuanza kutekeleza wazee na walemavukikamilifu makubaliano E.2 Kuajiri na kuwatumia kwa haki wafanyakazi wa afya kwa ya kutoa huduma kutia mkazo kwa wanaohudumia vijiji/jumuiya, ikiwa ni

2.12 Timu za Usimamizi pamoja na kutatua vikwazo vilivyopo vya kuajiri na kujaza wa Afya za Mkoa nafasi, kuziwezesha Halmashauri kuajiri ipasavyo, kuanzishakuteuliwa kuanza motisha kwa “nafasi zenye kazi ngumu,” na kuhusisha kazi na kuendeshwa taratibu za uhamisho na utendaji

2.13 Kukuza mafunzo ya E.3 Kukamilisha uundaji wa Bodi ya Afya na Kamati za Afya,matunzo miongoni kuhakikisha uwakilishi mkubwa ikiwa ni pamoja na wa mwa watumishi wa makundi yaliyotengwa, na utendaji mzuri wa kamati hizo wa afya namna ya kufuatilia ubora na upataji wa huduma za afya, makubalianokuwahudumia ya ubia wa umm na binafsi katika utoaji wa huduma bora za walemavu na wazee afya zilizozidishwa

E.4 Kuanzishwa kwa Timu za Usimamizi wa Afya za Mkoaambazo zina uwezo wa kutoa msaada unaofaa na wa ainatofauti kwa Timu Usimamizi wa Afya za Halmashauri namajukumu na mamlaka yaliyoelezwa

Lengo la 3: Kuongeza upatikanaji wa maji safi, gharama nafuu nasalama, usafi, makazi mazuri na mazingira salama naendelevu na hivyo, kupunguza uathirikaji kutokana na hatariza mazingira.

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya KundiA. Maji3.1 Ongezeko la uwiano A.1. Kuongeza upatikanaji wa kudumu wa vyanzo vya maji visivyo

wa watu wa vijijini na gharama na vya uhakika katika maeneo yote ya mijini na wanaopata maji safi na vijijinisalama kutoka 53% A.2 Usimamizi endelevu wa maeneo ya misitu yenye vyanzo vya mwaka 2003 hadi 65% maji2009/10 katika muda A.3 Kutumia viwango ambavyo vinahakikisha kumudu kupata wa dakika 30 maji salama, hususan maeneo ya vijijini na kulenga kaya zilizowanazotumia kwenda hatarini, pamoja na wazee wanaoongoza kayakuchota maji A.4 Utekelezaji wa sera ya maji na miundo ya kanuni

3.2 Ongezeko la watu wa zinazohusiana na majimijini wanaopata maji safi na salama kutoka 73% mwaka 2003 hadi 90% ifikapo 2009/10

Page 42: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

38 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

B. Usafi na Usimamiaji taka3.3 Kuongeza upatikanaji B.1 Upanuzi, ukarabati na ujenzi wa mifereji ya maji machafu na

wa mifumo ya mifumo ya kutiririshia majimajitaka iliyobreshwa B.2 Kuboresha usimamiaji wa taka ngumu na usafi wa kiikolojia,kutoka 17% mwaka na kukuza ufanyaji usafi katiak kya, vijijini na makazi ya mjini2003 hadi 30% mwaka B.3 Kuweka motisha kwa fursa za kuzalisha kipato na uwekezaji 2010 katika maeneo katika usimamizi wa takahusika ya mjini B.4 Kuhakikisha kuwa vifaa vya usafi vinavyofaa katika asasi zote

3.4 Kupunguza kaya za umma zikiwemo shule, vituo vya afya, masoko na zinazoishi katika vibanda maeneo ya umma ikiwa ni pamoja na kupatikana kwavibovu bila ya huduma walemavumuhimu za msingi

3.5 100% ya shule zitakuwa na mifumo ya usafi inayofaa ifikapo 2010.

3.6 95% ya watu wana fursa ya kupata huduma ya usafi wa mazingiraifikapo 2010

3.7 Kupunguza milipuko ya kipindupindu kwa nusu ifikapo 2010

C. Uchafuzi wa Mazingira3.8 Kupunguza viwango C.1 Utekelezaji wa udhibiti wa uchafuzi, shughuli za afya na

vya uchafuzi wa viwango vya usalama na usimamizi wa mazingira kama mazingira vinavyohusiana vilivyoelezwa katika mwongozo wa sekta na sheria ya na maji kutoka 20% usimamizi wa mazingiramwaka 2003 hadi 10% C.2 Utekelezaji wa mkakati wa taifa wa elimu ya mazingira kwa mwaka 2010 kulenga kulenga katika kuongeza ufahamu katika masuala ya

3.9 Kupunguza maji afya na hatari za mazingira.machafu yenye madhara C.3 Kuongeza uanzishaji wa elimu na ufahamu katika shughuli za yanayotoka viwandani afya na viwango vya usalamana katika kilimo

D. Mipango na Makazi ya Watu3.10 Kuboresha na D.1 Mamlaka za Manispaa na asasi kuandaa mipango ya pamoja

kuongeza Makazi ya ya maendeleo mjini kwa 25% ya makazi yaliyobainishwa mjini yaliyopimwa na nchinikupewa huduma kwa D.2 Upendeleo wa kuhudumia makundi yaliyo katika hatari ya kuzingatia taratibu kuathirika, hasa wanawake katika programu za ardhi ya za mipango miji umma kama vile marekebisho ya kutoa hati na ya ardhi.

3.11 Ongezeko la idadi ya Kuzingatia uondoaji wa vikwazo vya kupata mikopo kwa watu walio na umiliki wanawake wajane.

Page 43: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

39Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

wa ardhi na mali D.3 Kuhalalisha makazi yasiyopimwa na kuongeza viwanja inayoweza kuwekwa vidogo vilivyopimwa,vyenye miundombinu ya msingi na rehani, na wanaume/ kuhakikisha hati zinazotolewakwa viwanja vyote vilivyogawiwa.wanawake wana haki D.4 Kufuata Programu ya Shirika la Nyumba la Taifa, kuongeza sawa ya kupata, umiliki ushiriki wa Sekta binafsi katika nyumba, kuongeza vifaa vya na urithi ujenzi vinavyofaa na rahisi kumudu na teknolojia ya ujenzi,

kuongeza upatikanaji wanyumba za gharama nafuu na kutoaviwanja kwa watu wanajami wenye shida sana (ikiwa nipamoja na walemavu).

D.5 Kutekeleza Mpango wa Matumizi na Usimamizi wa ArdhiMakazi yaliyopimwa – sheria ya Ardhi ya 1999

E. Uathirikaji na Hifadhi ya Mazingira na Usimamiaji Majanga3.12 Kupunguza kuathiriwa E.1 Kuboresha usimamizi wa ardhi na kutumia teknolojia ya

na majanga ya kuhifadhi maji na kutekeleza mipango ya taifa chini ya MEAkimazingira katika kukomesha jangwa na uharibifu wa ardhi, na

3.13 Kutunza Maliasili na kuboresha ardhi iliyoharibikamifumo mingine E.2 Kujenga uwezo wa Serikali za Mitaa (LGA) na Baraza la ambayo watu Utunzaji Mazingira (NEMC) kusimamia mifumo asiliaya wanaitegemea katika tekolojia na kulinda rasilimali zisiathiriwe kutokana na kuhifadhi na uzalishaji utekelezaji wa mipango ya usimamiaji maliasili.

3.14 Kupunguza uharibifu E.3 Utekelezaji wa sheria na Sera za kupunguza majanga ya wa ardhi na kupotea kimazingira (kwa mfano mafuriko, ukame na wimbi la kwa bio anuwai wakimbizi) na kuchukua tahadhari kwa majanga yajayo.

Lengo la 4: Kutosheleza Ulinzi wa kijamii unaofaa na haki za makundiya walio hatarini kuathirika na wenye shida pamoja namahitaji na huduma za mzingi

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya KundiA. Ulinzi wa Kijamii4.1 Kuwafikia yatima na A.1 Kufanya utafiti wa msingi, usiotenga umri, jinsia na ulemavu,

watoto walio hatarini kutoa takwimu za msingi kwa matokeo ya uendeshaji na wanaoongezeka na yaliyobainishwa na kuanzisha shabaha zinazofaa kwa 2010.hatua za ulinzi wa Kupima, kujaribu na kuanzisha miundo ya ulinzi wa kijamii.hifadhi ya jamii A.2 Watu wanaotoa huduma kwa watu walio hatarini zinazofaa ifikapo 2010. wanapewa msaada

4.2 20% ya watoto na A.3 Kuchunguza njia za kutoa ulinzi wa kijamii kupitia pensheni watu wazima walemavu ya kila mwezi ili kukidhi mahitaji ya msingiwanaofikiwa na hatua za A.4 Kuongeza ushiriki wa ngazi ya jamii katika kubuni na ulinzi wa kijamii kuanzisha hatua za ulinzi wa kijamii zinazofaa kwazinazofaa ifikapo 2010. wanajumuiya walio hatarini kuanzia kwa vijana wadogo hadi

4.3 Kuwafikia 40% ya wazeewazee walioteuliwa A.5 Kutekeleza sera pana ya rasilimali kuwafikia watu walio kufikiwa na hatua za hatarini kuathirka na kuwapa ulinzi wa kijamii, pamoja na ulinzi wa kijamii taratibu za kupata msaada, kusambaza taarifa sehemu zinazofaa ifikapo 2010 kubwa kwa wanufaika muhimu na watoa huduma

Page 44: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

40 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

4.4. Kupunguza A.6 Kukuza jitihada za sekta binafsi katika kutekeleza hatua za unyanyasaji wa ulinzi wa kijamiikutumia nguvu dhidi ya A.7 Kuongeza vipimo na ufikikaji wa makundi yaliyo hatarini wanawake kuathirika ya miradi mikubwa na inayofaa, bima ya jamii na

programu za misaada

B. Msaada kwa Makundi yaliyo hatarini kuathirika4.5 Kuongeza uwezo wa B.1 Kuanzisha shughuli zenye ubora wa hali ya juu

kaya maskini wa zinazowalenga walemavu, PLHA, wale wagonjwa wa muda kuhudumia makundi mrefu na wazee, ikiwa ni pamoja na watoto kama yaliyo hatarini kuathirika itakavyofaa: kupata huduma za jamii; kupata mikopo,wakiwemo wazee, kusamehewa uchangiaji gharama; mafunzo ya ufundi stadi,yatima, watoto , na watu uhamisho na pensheniwanaoishi na virusi na B.2 Kuimarisha uwezo wa mamlaka za mitaa wa kutambua watu ugonjwa wa UKIMWI walio hatarini zaidi na kutoa msaada ambao unajumuisha

uboreshaji wa kupatikana kwa huduma za serikali naongezeko la uwezo wa familia , jumuiya na asasi za ndani ilikukidhi mahitaji ya walio hatarini zaidi

B.3 Kuzisaidia kaya zilizoathirika na VVU/UKIMWIzinazoongozwa na wanawake vijana, watoto na wazee namisaada kama vile kuongeza upatikanaji wa huduma za jamii;upataji mikopo; kusamehewa uchangiaji gharama, matunzoya nyumbani elimu Na mafunzo ya ufundi stadi; uhamisho napensheni

C. Ulinzi na Haki za Mtoto4.5 Kupunguza uwiano C.1 Kuanzisha na kutekeleza programu zinazohusisha programu

wa watoto wanaofanya za sekta kwa ajili ya kuondoa ajira mbaya ya watotokazi ngumu nchi nzima C.2 Kuzielimisha jamii kuhusu haki za msingi za mtoto ikiwa ni kutoka 25% hadi pamoja na kupambana na ajira ya watoto; kuanzisha na pungufu ya 10% kutekeleza programu zinazolenga kupunguza ajira ya ifikapo 2010 na watoto na zinazonga haki za yatima na watoto walio kuwapatia shughuli hatarini.-mbadala ikiwa ni pamoja C.3 Kupitia na kurekebisha sheria, sera na mikakati ya taifa kwa na kuwaandikisha elimu maslahi ya watoto, na kuunda mpango wa kazi kwa ya msingi, MEMKWA & utekelezaji wa Sheria ya watoto inayokujaufundi wa kujiajiri

D. Upataji wa Mafunzo ya ujuzi wa elimu ya Huduma za Nishati za kisasakwa watu wa vijijini

4.7 Utaratibu wa kitaasisi D.1 Kuanza kutumia utaratibu wa kitaasisi wa kuongeza upataji kwa maendeleo ya wa nishati ya kisasa kwa watu wa vijijininishati ya vijijini D.2 Kurahisisha utumiaji wa haraka wa vyanzo vipya na vya asilia kuanzishwa na nishatikuimarishwa D.3 Kuanzisha na kukuza matumizi ya nishati isiyo ya kuni kwa

4.8 Mchango wa sola, kupikia na matumizi mengine ya kupata joto

Page 45: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

41Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

upepo na gesi ya samadi D4 Boresha na endeleza kupika bila kutumia kuni na njia na makaa ya mawe kwa nyinginezouzalishaji umeme kuongezeka kutoka wa sasa 0.5% mwaka 2003 hadi 3% ifikapo Juni 2010.

4.9 Angalau 10% ya wananchi wanatumia njia nyingine za kupikia badala ya kuni ifikapo 2010

Lengo la 5: Kuweka na kutumia mifumo inayohakikisha upatikanaji wahuduma ka wote na kwa gharama nafuu.

Shabaha za uendeshaji Mikakati ya KundiA. Barabara5.1 Kuboresha upitaji wa A.1 Kuhakikisha kuna miundombinu ya msingi, hususan huduma

barabara za vijijini zinazofaa na mtandao wa barabara zinazopitika ili (zenye hali nzuri) kutoka kuwezesha upelekaji wa huduma za jamii za msingi50% mwaka 2003 hadi angalau 75% mwaka 2010

B. Shule & Huduma za Afya5.2 90% ya shule na 80% B.1. Kuongeza rasilimali halisi kwa huduma za jamii za msingi

ya huduma za afya B.2 Kuhakikisha kuwa watumishi wenye ujuzi na katika maeneo ya mjini/ waliohamasishwa katika huduma za jamii wanaajiriwa,vijijini kuwa na wanasambazwa kwa usawa, wanalipwa kwa haki na mchanganyiko wa kusimamiwa ili kuhakikisha ufanyaji kazi na uwajibikajiwafanyakazi wanaotakiwa wenye ujuzi/waliohamasishwa

C. Sekta za Jamii na Huduma5.3 Watumishi wenye ujuzi C.1 Kuimarisha mifumo ya rufaa ya ngazi ya wilaya ili kuwezesha

katika sekta za jamii, upatikanaji wa haraka na unaofaa katika viwango vya juu vya miundombinu na matunzo kama itakavyotakiwahuduma wanashughulikia C.2 Kuhakikisha upatikanaji mzuri wa huduma muhimu za kazi zao na kutekeleza msingi (maji safi na salama, umeme na vyanzo vingine vya wajibu wao ipasavyo nishati nafuu barabara na mifumo ya maji machafu) katika

maeneo yaliyopo yasiyopimwa na maeneo ya mjiniyaliyopimwa.

C.3 Kuwasaidia watumishi wenye ujuzi katika sekta za jamii,miundombinu na huduma pamoja namotisha ikihusisha vifaakwa mazingira ya kazi yanayofaa

D. Kupatikana kwa Huduma za Afya5.4 Kuboresha upatikanaji D.1 Kuboresha utumiaji unaofaa na wenye usawa wa fedha za

Page 46: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

42 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

wa huduma za afya kwa umma hususan kwa huduma zinazowagusa maskini na waliomaeneo ya kijiografia. hatarini kuathirikaKaya kuwa ndani ya D.2 Kuondoa aina zote za vikwazo vya huduma za afya kwa km. 5 za vipimo vya kuwasamehe maskini, wajawazito, wazee na walemavu,huduma za afya. watoto na kuondoa gharama zisizo rasmi, kupunguza umbali

5.5 100% ya wazee na kuboresha matibabuwanaotambuliwa D.3 Kutekeleza na kutimiza mipango iliyopo kwa ukarabati wa kupewa huduma za vituo vya Afya ili kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa,matibabu bure na hususan katika ngazi ya huduma za msingi.kuhudumiwa na D.4. Kuhakikisha wazee wanapatiwa vitambulisho ili kupata watumishi madaktari matibabu za burewenye ujuzi ifikapo 2010 D.5 Kuongeza ugawaji wa dawa na usambazaji katika ngazi ya

kituo na wilaya ikiwa ni pamoja na kukidhi mahitaji ya mahalina uzito wa magonjwa, na kuanzisha utaratibu imara wakukagua ugavi wa dawa na mlolongo wa usambazaji

E. Ubia na Mipango5.6 Ubia na jumuiya za E.1 Kuanza kutumia mifumo ya kukusanya, kuchanganua na

kiraia na sekta binafsi kutumia takwimu kuhusu fursa za kufikiwa na huduma.katika upanuzi na utoaji Kuchambua takwimu kuzingatia jinsia, umri, hadhi ya kipato,wa huduma za afya zenye na eneo la kijiografia (mengine) ili kutambulisha viashirio ubora kuanza kutumika vyenye usawa

5.7 Mifumo halisia, kuleta ufanisi na mifumo inayofaa kwa upangaji na uchanganuzi wa takwimu kuanza kutumika

Page 47: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

43Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

NGUZO YA 3: UTAWALA NA UWAJIBIKAJI

Lengo la 1: Miundombinu na mifumo ya utawala pamoja na utawala washeria kuwa ya Kidemokrasia, Shirikishi, inayowakilisha,kuwajibika kujumuisha wote

Shabaha za kutekeleza Mikakati ya Kundi1.1 Kuhakikisha ushiriki 1.1.1 Kupanga na kufuatilia utekelezaji wa vipengele vyote vya

wa wote (maskini na muundo wa Taifa kuhusu Utawala Boravikundi vilivyo hatarini 1.1.2 Kuboresha uwezo wa vyombo vya uwakilishi katika ngazikuathirika) na asasi za zote ikiwa ni pamoja na Bunge kufanya kazi ya kusimamia;utawala zinazowajibika na kuhakikisha kuwa mgawanyo wa madaraka kati yakufanya kazi katika utendaji, mahakama na sheria unadumishwa na kukuzwangazi zote 1.1.3 Kuimarisha asasi za utawala ngazi ya chini (kwa mfano

kuhakikiha mikutano yote halali ya jumuiya inafanyika kamailivyopangwa) ili kuongeza ushiriki na uwakilishi wa wote,ikiwa ni pamoja na walio hatarini zaidi katika kubuni,kutekeleza na ufuatiliaji wa sera

1.1.4 Kutekeleza na kuwianisha sera na sheria husika kwamatumizi ya ardhi na maliasili; ardhi yote ya vijijini na mjiniinapimwa na kutolewa hati

1.1.5 Kuimarisha ulinzi wa umiliki wa mipaka ya ardhi za kijijiinayoshikiliwa kijumuiya au mtu binafsi na kuondoa migogoro yamasharti katika sheria zinazoongoza sekta kama vile uchimbajimadini, shughuli za ufugaji na wanyamapori.

1.1.6 Kuunda mkakati wa kuiwezesha Tawala za Mikoa na Serikali zaMitaa T(AMISEMI) na Mamlaka nyingine za wenyejikutekeleza na kusimamia programu za utawala(marekebsiho) katika ngazi ya chini

1.1.7 Kuingiza utawala bora na jinsia katika sera, mipango, bajetina utaratibu wa utekelezaji ikiwa ni pamoja na viashirio vyaufuatiliaji na tathmini ya jinsia kwa utawala bora

Lengo la 2: Ugawaji sawa wa rasilimali za umma na kushughulikiatatizo la rushwa ipasavyo

Shabaha za kutekeleza Mikakati ya Kundi2.1 Rasilimali za umma 2.1.1 Kuhakikisha kuwa Utaratibu wa Usimamizi Fedha za Umma

kugawiwa, kupatikana (PER) inashughulikia ipasavyo masuala ya haki na usawa na kutumika katika hali katika matumizi ya tafiti kufuatilia upangaji bajeti unaowajali ya haki, uwajibikaji na maskini kwa kuangalia mahususi mahitaji ya maskini nauwazi makundi yaliyo hatarini.

2.1.2 Kuimarisha, kupanua na kufuatilia ugawaji wa rasilimalikuhakikisha kunakuwepo haki miongoni mwa mamlaka zawenyeji

Page 48: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

44 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

2.1.3 Kuongeza uhusika wa umma katika uandaaji, uundaji naufuatiliaji wa Mkakati wa Kupunguza Umaskini (PRS),Utaratibu wa Kusimamia Fedha za Umma (PER) na bajetizinazohusika ikiwa ni pamoja na kutoa taarifa kuhusu bajeti,matumizi na mapato yanayopatikana sehemu kubwa katikangazi ya chini

2.1.4 Kuongeza utekelezaji wa programu ya marekebisho yafedha za umma

2.1.5 Kutoa uangalizi unaofaa kwa halmashari kwa kukamilishamahesabu, taarifa za fedha na shughuli za ukaguzi wa hesabu

2.1.6 Kujenga ufahamu watu kuhusu sera za serikali, ugharimiajiumma na utozaji rasmi pamoja na umiliki kupitia elimu yauraia na usambazaji wa taarifa

2.1.7 Kuunda taratibu zinazofaa ili kuhakikisha kuna upatikanajisawa na matumizi ya mazingira na maliasili hasa kwa maskinina makundi yaliyo hatarini

2.1.8 Kuimarisha mifumo ya takwimu za kawaida ili kupimakiwango, undani na aina za umaskini na uathirikaji katikamakundi yote yaliyobainishwa kwa ajili ya kutumiwa katikakuamua sera, mtiririko wa rasilimali, uhusishaji unaofaa n.k.

2.1.9 Kuimarisha mifumo na taasisi ya uwajibikaji, maadili na uwaziwa viongozi wa serikali, wasio wa serikali na vyama vya siasa

2.2 Kuanzisha kanuni na 2.2.1 Kujenga zaidi uwezo wa halmashauri na Wizara, Idara na taratibu zinazofaa Wakuu wa Serikali (MDA) katika kusimamia rasilimalikuhusiana na tatizo la 2.2.2 Kuanzisha hatua zenye masharti dhidi ya viongozi husika wa rushwa kubwa na ndogo halmashauri na Wizara, Idara na Wakuu wa Serikali (MDA)

ambao wanashindwa kupata “cheti kizuri” katika ukaguzi2.2.3 Kuboresha taratibu zilizopo (kwa mfano sheria ya Tume ya

kuzuia rushwa kujiendesha kwa kujitegemea na kuchukuahatua za kisheria za haraka kwa rushwa kubwa na ndogo

2.2.4 Kuimarisha na kutekeleza sheria, na kanuni na taratibukuhusu rushwa ikiwa, ni pamoja na utekelezaji wa Mkakatiwa Taifa wa Kupambana na Rushwa na Mpango wa Kazi(NACSAP) pamoja na zile za Wizara, Idara na wakuu waSerikali (MDA), kuwa na hatua mahususi za kupunguzarushwa na kufuatilia rushwa ndani ya sekta, Wizatra, Idarana Wakuu wa Serikali (MDA) kuwajibika kwa udhibiti mzuriwa rushwa

2.2.5 Kuwezesha utaratibu kwa ajili ya kutambua, kuchunguza nakusimamia kesi za matumizi mabaya ya fedha za umma narushwa ndogo/kubwa

2.2.6 Kutoa mara kwa mara na kwa utaratibu mgawanyo wa bajeti,usambazaji na utumiaji wa fedha kwenye ngazi ya wilaya, katana kijijini kupitia kutangaza kwenye mbao za matangazo nakurahisisha matumizi ya taarifa hizo katiak mikutano

Page 49: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

45Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

2.2.7 Kuongeza kujihusisha kwajumuiya za kiraia (zikiwemo taasisiza dini) ngazi zote katika kutengeneza sera ikijumuishamipango na ufuatiliaji

2.2.8 Kukuza uhuru, uwezo na uwajibikaji na vyombo vya habarindani ya viwango vya taifa/kimataifa.

Lengo la 3: Muundo mzuri wa huduma za umma kutumika ili kutoamsingi wa kuboresha utoaji huduma na kupunguza umaskini

Shabaha za kutekeleza Mikakati ya Kundi3.1 Mifumo ya uongozi ya 3.1.1 Kuimarisha na kuongeza Programu za marekebisho ya

asasi za umma utumishi wa ummakuongozwa kwa uwazi 3.1.2 Kuongeza uangalifu katika kutekeleza mikataba na na kuzingatia maslahi ya kusuluhisha migogoro ya kibiashara ili kujenga imani kwa watu inaowahudumia wawekezaji

3.2 Kuhakikisha utekelezaji 3.1.3 Kushughulikia utoaji wa mara kwa mara/kuridhika kwa wa kupeleka madaraka mteja, tafiti katika ufuatiliaji bora wa huduma za umma na kamili kwa serikali za kusambaza matokeo kwa wadau. Kuongeza njia ambamo mitaa ili kuwawezesha wateja wanaweza kuwawajibisha watoa hudumawananchi kumiliki 3.1.4 Kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji na tathmini ili kuhakikisha shughuli za maendeleo viashirio vya utendaji vinalinganishwa dhidi ya malengo nana mchakato wa shababa za kila Wizara, Idara na Wakuu wa Serikali (MDA)kupunuza umaskini 3.1.5 Kuanzisha, kutekeleza na kufuatilia mwitikio katika Mikataba

ya Huduma kwa Mteja kwa pamoja na tafiti za mtumiaji wamwisho katika kila sekta

3.1.6 Kukuza ubia wa asasi zisizo za serikali (AZISE) za umma-binafsi katika utoaji wa huduma

3.1.7 Kuajiri watumishi wenye ujuzi mkubwa katika sekta kuuambao wana mafunzo, hamasa na wanasambazwa kwa hakikatika ngazi ya wilaya

3.1.8 Kuunda na kutekeleza sera ya msaada wa kiufundi3.1.9 Kuongeza na kuwianisha mishahara ya watumishi wa umma

ili kufidia kwa haki kipato cha kuishi na kupunguza rushwa.3.2.1 Kurekebisha kwa kina maboresho ya programu ya serikali

za mitaa.Lengo la 4: Haki za maskini na makundi yaliyo hatarini kuathirika

zinalindwa na kuendelezwa katika Mfumo wa sheria

Shabaha za kutekeleza Mikakati ya Kundi4.1 Kuhakikisha haki 4.1.1 Kuimarisha mfumo wa sheria hasa katika mahakama za

inatolewa kwa wakati chini/mwanzo ili kuboresha upatikanaji, uwakilishi na na inavyopaswa kwa hukumu ya kesi zinazohusisha watoto, vijana, walemavu,wote na hasa maskini wazee na makundi mengine yaliyo hatarinina makundi ya walio 4.1.2 Kuongeza utekelezaji wa Programu inayoendelea ya hatarini marekebisho ya Sekta ya Sheria ili kujumuisha vyombo

vyote vya usalama kwa kutilia mkazo kuhuisha muundo wa

Page 50: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

46 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

sheria, kuimarisha usimamizi na ugawanyaji wa madarakamiongoni mwa sheria na amri za taasisi.

4.1.3 Kuendelea na mapitio yanayoendelea kuhusu urithi, desturi,sheria za Ndoa na sheria nyingine ili kutoa haki sawa kwawatoto, wanawake na wanaume, wasichana na wavulana

4.1.4 Kuweka utaratibu na kuimarisha msaada wa kisheria wamakundi ya walio hatarini

4.1.5 Kuimarisha ufuatiliaji wa sera, magereza na mifumo yamahakama kwa kuhakikisha kuwa mikondo inayofikika yaupataji haki kisheria inapatikana na takwimu za makosazinaripotiwa, kesi za utumiaji nguvu unaohusisha jinsia,malalamiko n.k. vinalinganishwa katika kila wilaya

4.1.6 Kuanzisha mfumo wa haki wa kimahakama kwa watotoambao unaendeshwa kwa kufuata maslahi ya watoto nakuanzisha mahakama za watoto na huduma katikamahakama za wilaya ili kufika katika mikoa yote

4.1.7 Kuondoa aina zote za unyanyasaji na ubaguzi hasa dhidi yawanawake, watoto na makundi mengine yaliyo hatarini

4.1.8 Kuboresha huduma, miundombinu na uendeshaji wa polisi,magereza na mahakama ili kuwawezesha kufanya kazi kwaufanisi

Lengo la 5; Kupunguza utengwaji na kutostahimili kisiasa na kijamii

Shabaha za kutekeleza Mikakati ya Kundi5.1 Kuanzisha mifumo ya 5.1.1 Kubuni na kutekeleza kampeni za kuwaelimisha watu

kisiasa na kijamii na kuhusu haki zao, majukumu na kushughulikia aina za asasi zinazoruhusu unyanyasaji, kutostahimili, ubaguzi na unyanyapaaushiriki kikamilifu wa 5.1.2 Kukuza na kuendeleza mjadala kuhusu umaskini na Haki za raia wote ikiwa ni binadamu miongoni mwa viongozi na wanachama wa vyama pamoja na maskini na vya siasamakundi ya walio hatarini 5.1.3 Kuendelea kukuza utamaduni wa amani na uvumiivu kupitia

mjadala miongoni mwa viongozi wa dini na asasi mbalimbali5.1.4 Kuwapa wanawake na wanaume, wasichana na wavulan

elimu ya uraia inayofaa na elimu ya jinsia5.1.5 Kupanga hatua za dhamana ya uchambuzi wa utengwaji wa

watu walio hatarini katika michakato ya upitiaji (kwa mfanomapitio ya sekta ya afya na elimu)

5.1.6 Kufuata sheria inayowataka waajiri kutumia na kufuata sera zafursa sawa za ajira ambazo hazibagui jinsia,umri,watu wanaoishi naVVU/UKIMWI,walemavu na makundi mengine ya walio hatarini

5.1.7 Kuanzisha sheria na taratibu za uhakika za kuwalinda raiaambao wanaandikisha malalamiko kutokana na kutendewamaovu na vitisho

5.1.8 Kuanzisha na kuelekeza taratibu za kutekeleza sheria namasharti maalumu ambayo yanaeleza kwa msimamo haki za

Page 51: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

47Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

makundi yaliyo hatarini, ikiwa ni pamoja na hatua zinazopaswakuchukuliwa pale haki zilizotajwa zinapovunjwa.

Lengo la 6: Kuboresha usalama wa mtu na mali, kupunguza makosayajinai, kuondoa unyanyasaji wa Kijinsia na unyanyasajimajumbani

Shabaha za kutekeleza Mikakati ya Kundi6.1 Kuhakikisha asasi na 6.1.1 Kuanzisha taratibu za kupunguza msongamano magerezani,

mawakala wa serikali kutekeleza sera ya jamii kuhukumu, kuwezesha kufanya kazi kama vile polisi, kwa bodi za Parole na kutilia mkazo mkabala wa ujengaji mahakama na magereza kuliko utoaji adhabu gerezaniwanafuata haki za 6.1.2 Kuongeza uwezo wa majaji, mahakimu, na wanasheria wa binadamu na kuhakikisha serikali wa kumudu idadi kubwa ya kesi kwa haki na usahihi zaidihaki na ulinzi kwa raia 6.1.3 Kuongeza uwezo wa polisi wa kushughulikia makosa kwawote haki na ueneaji wa silaha ndogo, ugaidi na biashara haramu;

na kuhusisha jamii kushughulikia tabia hiyo mbaya6.1.4 Kuhusisha na kuwianisha mfumo wa mashtaka na

kuimarisha uratibu wa Mahakama za kata katika usimamiajiwa Haki

6.1.5 Kushughulikia mahitaji maalumu ya ulinzi wa makundi yaliyohatarini (ikiwa ni pamoja na watoto, vijana – hususanwasichana, walemavu watu wenye VVU/UKIMWI na wazee)ambayo yanahitaji hatua maalumu za ulinzi. Kutoautambulisho binafsi kwa wote

6.1.6 Kufuatilia matukio ya kisheria na kiutawala ili kuwalindawanawake dhidi ya utumiaji nguvu, kukuza haki ya kutafutamsaada wa kisheria, ulinzi na utaratibu wa kutoa haki kwawakosaji

6.1.7 Kutoa mafunzo kwa polisi, magereza, Tume ya KuzuiaRushwa (PCB) na asasi nyingine zinazotekeleza sheriakuhusu haki za binadamu (na kuhusisha jinsia

6.1.8 Kujeng aufahamui wa watu kuhusu Katiba na haki zabinadamu – ikiwa ni pamoja na haki ya kupata taarifa zaumma katika ngazi zote za miundo ya utawala

Lengo la 7: Utambulisho wa Utamaduni wa taifa kuimarishwa nakukuzwa

Shabaha za kutekeleza Mikakati ya Kundi7.1 Sera, mikakati na 7.1.1 Kupitia upya sera zilizopo,mikakati na miundo ya sheria kwa

miundo ya sheria kwa upatanifu na ukuzaji utamadunimaendeleo ya 7.1.2 Kuanzisha na kuzisaidia asasi ambazo zinakuza utambulisho utamaduni na maadili wa utamaduni na umoja wa taifakutumika na kutekelezwa 7.1.3 Kuhakikisha kuwa muda unapangwa na kutumiwa kwa ajili

ya elimu ya maadili shuleni7.1.4 Kukuza lugha ya Kiswahili Kitaifa na Kimataifa

Page 52: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

48 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Zingatia: [PV] ina maana kuwa mwongozo kwa lugha nyepesi unaweza kupatikana pia kutoka katika mtandao wa intaneti http//www.hakikazi.org/plain language.htm

Baadhi ya Nyaraka kuu za taifa, za sera za serikali ni:

Mkakati wa Taifa wa Kupunguza Umaskini (NPES) 1997hppt://www.tzonline.org/pdf/thenationalpovertyeradicationstrategy.pdf

Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025 (1999)http//www.tanzania.go.tz/vission 2025f.html

Mkakati wa Misaada Tanzania [PV] http://www.tzonline.org/pdf/Tanzaniaassistance strategy.pdf

Makala ya Mkakati wa Kupunguza Umaskini(2000) [PV]http//www.tzonline.org/pdf/FinalPSP25.pdf

Mpango Mkuu wa Kufuatilia Umaskini [PV]http//www.tzonline.org/pdf/povertymonitoringmasterplan.pdf

MKUKUTA ni Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (2005) [PV]http//www.povertymonitoring.go.tz./downloads/new/nsgrptext,pdf

Mkakati wa Taifa wa Ukuaji na Kupunguza Umaskini (2005) (Kiambatisho)http://www.povertymonitoring.go.tz/downloads/new/nsgrpmatrix.pdf

Baadhi ya taarifa muhimu zinazohusika na ufuatiliaji umaskini ni pamoja na:

Taarifa ya maendeleo ya PRSP 2001 [PV]http//www.tzonline.org/pdf/prspprogress 01.pdf

Taarifa ya Maendeleo ya PRSP 2002http//www.povertymonitoring.go.tz/downloads/resourceforprsreview/prs%20progress%20report t%2001-2002.pdf

Taarifa ya Maendeleo ya PRSP 2003http//www.tanzania.to.tz/pdf/THE%20THIRD%Progress%20Report%202003.pdf

Taarifa ya Umaskini na Maendeleo ya watu 2002http//www.tanzania.go.tz/pdf/phdrmain.pdf

Tathmini Shirikishi ya Umaskini Tanzania(TzPPA) 2002/03 [PV]http://www.povertymonitoing.go.tz/downloads/resourceforprsreview/tzppabodytext.pdf

Kiambatisho 2: Kupunguza Umaskininchini Tanzania baadhi yanyaraka muhimu

Page 53: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

49Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Taarifa ya wiki ya Sera za Kuondoa Umaskini 2002http://www.povertymotioring.go.tz./downloads/povpolweek/povertypolicyweek2003fullreport.doc

IDT/MDG Tanzaniahttp://www.undp.org/mdg/Tanzania/pdf

Utafiti wa Taifa wa Bajeti ya Kayahttp://www.tanzania.go.tz/hbs/HomePage HBS html

PAMOJA NA – uunganishaji wa taarifa nyingine nyingi za kitakwimu unaweza kuzipata katikahttp://www.tanzania.go.tz/statistics.html

Page 54: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Tovuti ya Taifa –Mtandao Rasmi wa kompyuta wa kupata Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniahttp://www.tanzania.go.tz

Tovuti Rasmi ya Serikali – yenye kuunganisha katika sekta za wizara mbalimbalihttp://www.tanzania.go.tz/government/index.html

Bunge la Tanzania - linawakilisha wananchi wote wa Tanzania. Lilianzishwa mwaka 1977 nawabunge wake wanachaguliwa na wananchi kila baada ya miaka mitanohttp://www.parliament.go.tz./bunge/bunge.asp

Ofisi ya Makamu wa Rais –Dhamira ya Ofii ya Makamu wa Rais ni Kuunda Sera na mikakatikuhusu kuondoa umaskini, uhifadhi wa mazingira na asasi zisizo za srikali pamoja na kuratibumasuala yote yanayohusu Muungano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikaliya Zanzibar.http://www.tanzania.go.tz/government/vpoffice.htm

Tovuti ya kufuatilia Umaskini Tanzania – ina taarifa kuhusu maendeleo na matokeo kuhusuMikakati ya Kupunguza Umaskini Tanzania na Mfumo wa kufuatilia Umaskini Tanzaniahttp://www.povertymonitoring.go.tz

Mtandao wa Kompyuta Tanzania – njia ya kupata taarifa kuhusu masuala ya maendeleo nchiniTanzania http://www.tzonline.org/

Mtandao wa Kompyuta Tanzania – unakuunganisha katika sera mbalimbali za taifahttp://www.tzonline.org/policies.htm

Mtandao wa Kompyuta Tanzania – unakuunganisha na tovuti nyingine za Tanzaniahttp://www.tzonline.org/websiteslinks.htm

Mbinu ya Maendeleo Tanzania – Mlango wa Intaneti ambao unakuza mitandao ya kompyuta,kugawana, kushirikiana na usambazaji wa maarifa, mawazo na taarifa kuhusu mambo yamaendeleohttp://www.tanzaniagateway.org/

Data hazina ya Uchumi – jamii Tanzania – inatoa upatikanaji wa mtandao wa kompyuta kwa datasahihi kwa kiwango kikubwa cha viashirio vya uchumi-jamii katika hali iliyo rahisi kutumiahttp://www.tsed.org

Kiambatisho 3: Mawasiliano ya Tovuti za Serikalizinazohusiana na kukua uchumi nakupunguza umaskini

50 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Page 55: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

51Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

AIDS Upungufu wa Kinga MwiliniALAT Shirikisho la Serikali za Mitaa Tanzania

ARV Dawa za Kupunguza Makali ya UKIMWIASDS Mkakati wa Sera za Kuendeleza KilimoBEST Uimarishaji Mazingira ya Biashara TanzaniaCEO Ofisa Mtendaji Mkuu

COBET Mpango wa Elimu kwa walioikosa (MEMKWA)CSO Vyama vya Kiraia

DSA-TWG Timu ya wataalam ya usambazaji, uhamasishaji na kujenga mwamkoFBO Mashirika ya KidiniGDP Pato la TaifaGoT Serikali ya TanzaniaHIV Virusi vya Ukimwi

ICBAE Elimu ya uwiano ngazi ya jamiiICT Teknolojia ya Habari na MawasilianoIDT Malengo ya Maendeleo ya Kimataifa

IMCI Usimamizi wa uwiano wa Magonjwa ya watotoIPM Usimamizi wa pamoja wa wadudu waharibifu

JICA Shirika la Ushirikiano la Kimataifa la JapaniLGA Mamlaka ya Serikali za Mitaa

MDAs Wizara, Idara na Wakala wa serikali MDG Malengo ya Maendeleo ya Milenia

MKUKUTA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini TanzaniaNASCAP Mkakati wa Taifa wa Kupambana na Rushwa na Mpango wa Kazi

NGO Asasi isiyo ya KiserikaliNPES Mkakati wa Taifa wa Kuondoa UmaskiniOVC Watoto Yatima na walio hatarini kuathirika

PEDP Programu ya Maendeleo ya Elimu ya MsingiPER Mapitio ya Matumizi ya Umma

PFMPP Programu ya Marekebisho ya Usimamizi wa Fedha za UmmaPLHAs Watu wanaoishi na Virusi ya UKIMWI na UKIMWIPMCT Kinga ya Uambukizo wa Mama kwa MtotoPMMP Mpango Mkuu wa Kufuatilia Umaskini

PMS Mfumo wa Kufuatilia UmaskiniPO-RALG Ofisi ya Rais-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

PPP Ubia wa Umma na Watu binafsiPPW Wiki ya Sera za Kuondoa UmaskiniPRS Mkakati wa Kupunguza Umaskini

PRSP Makala ya Mkakati wa Kupunguza UmaskiniPSA Makubaliano ya Kushirikiana katika uzalishaji

PV Toleo la WananchiR & D Utafiti na Maendeleo

SACCOS Vyama vya Ushirika vya kuweka na kukopaSELF Chombo cha Mikopo ya Wajasiriamali wadogoSIDO Shirika la Maendeleo ya Viwanda vidogoSME Shughuli/Biashara Ndogo na za kati

TASAF Mfuko wa Jamii TanzaniaTB Kifua Kikuu

TSED Takwimu za Kiuchumi na Maendeleo TanzaniaTzPPA Tathmini Shirikishi ya Umaskini Tanzania

VPO Ofisi ya Makamu wa Rais

Kiambatisho 4: Vifupisho

Page 56: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …

Kwa sasa Tanzania ina mkakati endelevu uliotokana na mkakati wake wa kwanza (PRS). Mkakatihuu mpya ni tofauti na mkakati wa kwanza. Mkakati huu unaitwa Mkakati wa Kukuza Uchumi naKupunguza Umaskini Tanzania na unajulikana kwa kifupi kama MKUKUTA.

Serikali inatoa shukrani kwa mchango uliotolewa na wadau wa lugha rahisi ya MKUKUTA ambaowalihusishwa katika utayarishaji wa mwongozo huu. Kazi ya mtu mmoja mmoja na asasiinatambuliwa, lakini shukrani za pekee ziwaendee wajumbe wa Timu ya Wataalamu yaUsambazaji, Uhamasishaji na Kujenga Mwamko na sekretarieti ya MKUKUTA katika Ofisi yaMakamu wa Rais. Timu hii lilifanya kazi kubwa ya kuwezesha utoaji wa kijitabu na kutoa maoniya kina na kuhakikisha kuwa ni sahihi na kamilifu.

Utayarishaji wa mwongozo huu ulifadhiliwa na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Japan (JICA)na Shirika la Misaada la Ujerumani (GTZ) yaliyopo nchini.

Shukrani za pekee ziende kwa asasi ya kiraia ya Hakikazi Catalyst (www.hakikazi.org) ambayoilijihusisha na utaalamu wa kutayarisha na kuwezesha toleo hili la wananchi kwa lugha zote mbili,kiingereza na Kiswahili. Shukrani pia zimuendee Ali Masoud kwa katuni zake zinazosisimua.

Julai 2005

Shukrani

52 Kuza Uchumi, Ondokana na Umaskini

Page 57: Dibajirasilimali mpya zinazoundwa. MKUKUTA unahimiza matokeo Nguzo zote tatu zina mikakati ya utekelezaji zaidi ya 200. Mikakati hii ina mtazamo unaohimiza matokeo …