uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike ... for e swahili.pdfyesu kristo –...

32
Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike, Kwa Maana Bwana Mungu Wako Yu Pamoja Nawe Kila Uendako. Yoshua 1:9 Maombi Ya Kuhimiza 1

Upload: others

Post on 02-Mar-2020

142 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa;

Usiogope Wala Usifadhaike, Kwa

Maana Bwana Mungu Wako Yu Pamoja Nawe

Kila Uendako.

Yoshua 1:9

Maombi Ya Kuhimiza 1

joe
Distance Measurement
105 mm
joe
Distance Measurement
148 mm
Page 2: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Kubebwa Salama Soma Yohana 10:1-18

Atalilisha kundi lake kama mchungaji;atawakusanya wanakondoo mikononi mwake, na kuwachukua kifuani mwake.

-Isaya 40:11 Nilikuwa nikipitia hali ngumu nikafiwa moyo nakuogopa. Niliota kuwa nilikuwa mtoto mdogo amebebwa na jitu la mtu. Alinibeba kifuani mwake na kukimbia kwa kasi sana kwenye barabara iliyo kuwa na watu wengi. Lakini siku hisi woga, bali utulivu na usalama kuu. Nilipoamka, niliyasikia maneno haya moyoni mwangu: “Salama mikononi mwa Yesu.” Yesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia masaibu ya majaribio ya maisha. Hofu na hisia ya kutokuwa na tumaini, twabebwa kwa upendo na Yesu, anayetuzingira kwa maisha yake mwenyewe. Tunapokabiliana na shaka, maumivu, magonjwa, na majaribu mbalimbali, twaweza kumbuka kuwa: “Yesu Kristo, ashindaye kila shida, ananibeba kwa upendo kifuani mwake. Mimi ni wa dhamana na salama mikononi mwa Kristo anibebaye katika maisha ya usalama wa milele. Ombi: Bwana Yesu, unatupenda sana kiasi kwamba hauta tuacha peke yetu. Tukiwa wayonge watushikilia, unatubeba kwa utulivu na usalama. Asante kwa upendo wako. Amen.

WAZO LA SIKU Yesu Kristo Ameshinda Kila Jambo Tutakalo Kabiliana Nalo.

Elaine Richardson (Afrika Kusini)

2 Maombi Ya Kuhimiza

Kucheza Densi Yaendelea Soma Marko 6:53-56

Yafikirini Yaliyo juu…Kwa Maana Mlikufa na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.

-Wakolosai 3:2-3 Miaka mingi iliyopita, vijana wetu Tim na Fred walifariki kutokana na Ukimwi. Tim aliaga tarehe 21 Disemba 1990; naye Fred akaaga tarehe 20 Septemba 1991. Hisia ya giza na utupu imedumu moyoni mwetu. Twashuku hisia hii hayatapotea. Hatahivyo, tumepokea zawadi ya uponyaji kutoka kwa Mungu. Uponyaji hupatikana kwa imani katika nguvu ya Yesu Kristo kushinda mauti. Mfalme aliyefufuka atuahidi kuwa sababu Kristo yuhai, Tim na Fred pia wako hai. Baada ya Tim na Fred kuaga, tuliandika kuhusu msafara wetu katika kitabu kiini chake, Kucheza Densi Kwenye Kiti Cha Magurudumu. Tunaendelea kuwaelezea wengine wanaosafiri msafara huo mgumu kuhusu hadithi hiyo. Kupitia kwa kushiriki hadithi yetu na wanafunzi wa India, wachungaji Zimbabwe, wazazi kijijini Amerika, tunabebeana moja kwa mwingine mizigo na kupata njia yakuendelea kucheza densi kwa imani na neema. Ombi: Mungu wa upendo na amani,wajaze na tumaini wote wale wanaokumbana na virusi vya ukimwi na ukimwi. Zingira kila mmoja na marafiki wakuwajalia na kuwasaidia iliwaendelee kucheza densi kwa imani. Amen

WAZO LA SIKU Shukrani kwa Mungu Anayetuzingira na msaada wa kuendelea.

Askofu Fritz na Etta Mae Mutti (Missouri, U.S.A)

Maombi Ya Kuhimiza 3

Page 3: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Kubebwa Salama Soma Yohana 10:1-18

Atalilisha kundi lake kama mchungaji;atawakusanya wanakondoo mikononi mwake, na kuwachukua kifuani mwake.

-Isaya 40:11 Nilikuwa nikipitia hali ngumu nikafiwa moyo nakuogopa. Niliota kuwa nilikuwa mtoto mdogo amebebwa na jitu la mtu. Alinibeba kifuani mwake na kukimbia kwa kasi sana kwenye barabara iliyo kuwa na watu wengi. Lakini siku hisi woga, bali utulivu na usalama kuu. Nilipoamka, niliyasikia maneno haya moyoni mwangu: “Salama mikononi mwa Yesu.” Yesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia masaibu ya majaribio ya maisha. Hofu na hisia ya kutokuwa na tumaini, twabebwa kwa upendo na Yesu, anayetuzingira kwa maisha yake mwenyewe. Tunapokabiliana na shaka, maumivu, magonjwa, na majaribu mbalimbali, twaweza kumbuka kuwa: “Yesu Kristo, ashindaye kila shida, ananibeba kwa upendo kifuani mwake. Mimi ni wa dhamana na salama mikononi mwa Kristo anibebaye katika maisha ya usalama wa milele. Ombi: Bwana Yesu, unatupenda sana kiasi kwamba hauta tuacha peke yetu. Tukiwa wayonge watushikilia, unatubeba kwa utulivu na usalama. Asante kwa upendo wako. Amen.

WAZO LA SIKU Yesu Kristo Ameshinda Kila Jambo Tutakalo Kabiliana Nalo.

Elaine Richardson (Afrika Kusini)

2 Maombi Ya Kuhimiza

Kucheza Densi Yaendelea Soma Marko 6:53-56

Yafikirini Yaliyo juu…Kwa Maana Mlikufa na uhai wenu umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.

-Wakolosai 3:2-3 Miaka mingi iliyopita, vijana wetu Tim na Fred walifariki kutokana na Ukimwi. Tim aliaga tarehe 21 Disemba 1990; naye Fred akaaga tarehe 20 Septemba 1991. Hisia ya giza na utupu imedumu moyoni mwetu. Twashuku hisia hii hayatapotea. Hatahivyo, tumepokea zawadi ya uponyaji kutoka kwa Mungu. Uponyaji hupatikana kwa imani katika nguvu ya Yesu Kristo kushinda mauti. Mfalme aliyefufuka atuahidi kuwa sababu Kristo yuhai, Tim na Fred pia wako hai. Baada ya Tim na Fred kuaga, tuliandika kuhusu msafara wetu katika kitabu kiini chake, Kucheza Densi Kwenye Kiti Cha Magurudumu. Tunaendelea kuwaelezea wengine wanaosafiri msafara huo mgumu kuhusu hadithi hiyo. Kupitia kwa kushiriki hadithi yetu na wanafunzi wa India, wachungaji Zimbabwe, wazazi kijijini Amerika, tunabebeana moja kwa mwingine mizigo na kupata njia yakuendelea kucheza densi kwa imani na neema. Ombi: Mungu wa upendo na amani,wajaze na tumaini wote wale wanaokumbana na virusi vya ukimwi na ukimwi. Zingira kila mmoja na marafiki wakuwajalia na kuwasaidia iliwaendelee kucheza densi kwa imani. Amen

WAZO LA SIKU Shukrani kwa Mungu Anayetuzingira na msaada wa kuendelea.

Askofu Fritz na Etta Mae Mutti (Missouri, U.S.A)

Maombi Ya Kuhimiza 3

Page 4: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Wakati Mwema na Mbaya Soma Zaburi 23

Bwana Ndiyei Mchungaji Wangu, Sitapungukiwa na Kitu. …Nijapopita Kati ya Bonde la Giza kuusitaogopa hatari

yoyote.…Gongo Lako na Fimbo Yako Vyanifariji. Hakika, Wema na Fadhili Zitanifuata, Siku Zote Maishani Mwyangu.

-Zaburi 23:1,4,6 Baada ya kuugua na viruzi vya ukimwi takriban karne mbili, nimeteseka vya kutosha: Hali ya ubaridi, kupoteza uzito, uchovu zaidi, kufadhaika na kupoteza marafiki wangu takriban 3,000 kutokana na virusi vya ukimwi na ukimwi. Katika nyakati zangu njema, mimi hutabasamu kumshukuru Mungu kwa siku njema na kuendelea kuishi maisha mema. Lakini wakati mbaya, huwa vigumu kuishi na ukimwi. Katika nyakati hizo mbaya, mimi huanza na ombi rahisi: “Mungu baba, wajua ni vigumu kwangu leo Nahitaji msaada wako.” Punde tu nikihisi mkono wa Mungu ukinizingira, huwa ninakumbuka Zaburi 23. Kisha baadaye, nina uwezo wa kuamka kitandani nikiimba wimbo niupendao; “Basi imba roho yangu, …u mkuu kiasi gani?”* Huenda nikiendelea kuhisi uchungu na huenda ikawa vigumu kukamilisha juhudi zangu, walakini, naweza kuendeleakutabasamu nikiwa na faraja moyoni mwangu. Ombi: Mungu baba, nifanye kuhisimkono wako waupendo ukinibeba leo. Na pia ufany hivyo kwawote wale wanao lemewa na taabu. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu Hupeana Nguvu za Kukabiliana na Kila Siku.

Dave Daniels (Tennessee, U.S.A) * “U Mkuu Kiasi Gani” na Stuart K. Hine, © 1953, tena 1980 Manna Music, Inc. Maombi Ya Kuhimiza 4

Maji Ya Uzima Kwa Wenye Kiu Soma Yohana 7:37-39

[Yesu alisema,] “Aliye na kiu na aje kwangu anywe. Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu, ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji

ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’” -Yohana 7:37-38

Rafiki wangu wa kifamilia alikuwa mke wa bidii na mwenye furaha. Akiwa mama wa watoto watatu, aliishi maisha ya kufanya kazi kwa bidii. Katika umri wa miaka arubaini, akashikwa na unyonge, akawa hawezi kutembea vyema. Hali yake iliendelea kuwa mbaya, ndipo alipogunduliwa na saratani ya roho. Hapo awali, alikuwa Mkristo wakupendeza maishani mwake mwote, akiwaimiza wale wiliokuwa na unyonge na kufadhaika. Punde tu, akawa mnyonge yeye mwenyewe, na baada ya miaka michache, akazidiwa na kulazwa kitandani na kutegemea kiti cha magurudumu. Aliishiwa na nguvu ya kimwili, lakini bado alikuwa na imani kuwa Yesu angetosheleza kiu chake cha uhai. Na sio chake tu. Waliomtembelea nyumbani au hospitalini waliona imani kuu iliyo shinda upweke na unyonge. Wote wakarejea makwao wakiwa na tumaini mpya na ujasiri. Vile vile, watu walio na virusi vya ukimwi, ukimwi, malaria, kifua kikuu na maradhi mengine ya kuhofisha hutiwa nguvu na kuwapa tumaini wengine. Ombi: Mungu waupendo, niwezeshe kuwatia nguvu wengine kamavile unavyonitia nguvu nikiwa mnyonge. Amen.

WAZO LA SIKU Peana Shukrani na moyo wa kushangilia.

Askofu Rudiger Minor (Ujeremani)

Maombi Ya Kuhimiza 5

Page 5: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Wakati Mwema na Mbaya Soma Zaburi 23

Bwana Ndiyei Mchungaji Wangu, Sitapungukiwa na Kitu. …Nijapopita Kati ya Bonde la Giza kuusitaogopa hatari

yoyote.…Gongo Lako na Fimbo Yako Vyanifariji. Hakika, Wema na Fadhili Zitanifuata, Siku Zote Maishani Mwyangu.

-Zaburi 23:1,4,6 Baada ya kuugua na viruzi vya ukimwi takriban karne mbili, nimeteseka vya kutosha: Hali ya ubaridi, kupoteza uzito, uchovu zaidi, kufadhaika na kupoteza marafiki wangu takriban 3,000 kutokana na virusi vya ukimwi na ukimwi. Katika nyakati zangu njema, mimi hutabasamu kumshukuru Mungu kwa siku njema na kuendelea kuishi maisha mema. Lakini wakati mbaya, huwa vigumu kuishi na ukimwi. Katika nyakati hizo mbaya, mimi huanza na ombi rahisi: “Mungu baba, wajua ni vigumu kwangu leo Nahitaji msaada wako.” Punde tu nikihisi mkono wa Mungu ukinizingira, huwa ninakumbuka Zaburi 23. Kisha baadaye, nina uwezo wa kuamka kitandani nikiimba wimbo niupendao; “Basi imba roho yangu, …u mkuu kiasi gani?”* Huenda nikiendelea kuhisi uchungu na huenda ikawa vigumu kukamilisha juhudi zangu, walakini, naweza kuendeleakutabasamu nikiwa na faraja moyoni mwangu. Ombi: Mungu baba, nifanye kuhisimkono wako waupendo ukinibeba leo. Na pia ufany hivyo kwawote wale wanao lemewa na taabu. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu Hupeana Nguvu za Kukabiliana na Kila Siku.

Dave Daniels (Tennessee, U.S.A) * “U Mkuu Kiasi Gani” na Stuart K. Hine, © 1953, tena 1980 Manna Music, Inc. Maombi Ya Kuhimiza 4

Maji Ya Uzima Kwa Wenye Kiu Soma Yohana 7:37-39

[Yesu alisema,] “Aliye na kiu na aje kwangu anywe. Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu, ‘Anayeniamini mimi, mito ya maji

ya uhai itatiririka kutoka moyoni mwake!’” -Yohana 7:37-38

Rafiki wangu wa kifamilia alikuwa mke wa bidii na mwenye furaha. Akiwa mama wa watoto watatu, aliishi maisha ya kufanya kazi kwa bidii. Katika umri wa miaka arubaini, akashikwa na unyonge, akawa hawezi kutembea vyema. Hali yake iliendelea kuwa mbaya, ndipo alipogunduliwa na saratani ya roho. Hapo awali, alikuwa Mkristo wakupendeza maishani mwake mwote, akiwaimiza wale wiliokuwa na unyonge na kufadhaika. Punde tu, akawa mnyonge yeye mwenyewe, na baada ya miaka michache, akazidiwa na kulazwa kitandani na kutegemea kiti cha magurudumu. Aliishiwa na nguvu ya kimwili, lakini bado alikuwa na imani kuwa Yesu angetosheleza kiu chake cha uhai. Na sio chake tu. Waliomtembelea nyumbani au hospitalini waliona imani kuu iliyo shinda upweke na unyonge. Wote wakarejea makwao wakiwa na tumaini mpya na ujasiri. Vile vile, watu walio na virusi vya ukimwi, ukimwi, malaria, kifua kikuu na maradhi mengine ya kuhofisha hutiwa nguvu na kuwapa tumaini wengine. Ombi: Mungu waupendo, niwezeshe kuwatia nguvu wengine kamavile unavyonitia nguvu nikiwa mnyonge. Amen.

WAZO LA SIKU Peana Shukrani na moyo wa kushangilia.

Askofu Rudiger Minor (Ujeremani)

Maombi Ya Kuhimiza 5

Page 6: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Mungu wa Tumaini, Upendo wako Huwezesha

Yasiyo wezekana. Tunapokabiliana na Hali Ngumu,

Tukumbushe Upendo Wako na Yote Yale Yanayo Wezekana

Kutokana na Upendo Huo.

Amen

6 Maombi Ya Kuhimiza

Lakini Sas, Bwana Aliyekuhuluku … Asema Hivi: “Usiogope, Maana Nimekukomboa; Nimekuita kwa Jina Lako, Wewe U Wangu. Upitapo Katika Maji Mengi, Nitakuwa Pamoja Nawe, Na Katika Mito

Haitakugharikisha, Uendapo Katika Moto, Hutateketea, Wal Mwali wa Moto Hautakuunguza.

…Kwa Kuwa Uli kuwa wa thamani Machoni Pangu na Mwenye Kuheshimiwa, Nami Nimekupenda

-Isaya 43:1-2,4

Maombi Ya Kuhimiza 7

Page 7: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Mungu wa Tumaini, Upendo wako Huwezesha

Yasiyo wezekana. Tunapokabiliana na Hali Ngumu,

Tukumbushe Upendo Wako na Yote Yale Yanayo Wezekana

Kutokana na Upendo Huo.

Amen

6 Maombi Ya Kuhimiza

Lakini Sas, Bwana Aliyekuhuluku … Asema Hivi: “Usiogope, Maana Nimekukomboa; Nimekuita kwa Jina Lako, Wewe U Wangu. Upitapo Katika Maji Mengi, Nitakuwa Pamoja Nawe, Na Katika Mito

Haitakugharikisha, Uendapo Katika Moto, Hutateketea, Wal Mwali wa Moto Hautakuunguza.

…Kwa Kuwa Uli kuwa wa thamani Machoni Pangu na Mwenye Kuheshimiwa, Nami Nimekupenda

-Isaya 43:1-2,4

Maombi Ya Kuhimiza 7

Page 8: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Kuishi Siku Baada Ya Siku Soma 1 Yohana 4:16-5:5

Mungu ni Upendo Naye Akaaye Katika Pendo Hukaa Ndani Ya Mungu, Na Mungu Hukaa Ndani Yake.

-1 Yohana4:16 Natoa shukrani kwa rehema ya kiungu na upendo usioisha. Nimemwona Mungu kama mponyaji wa kimiujiza tangu nigunduwe kuwa niko na Ukimwi. Baada ya mume wangu kufariki, na watu wengi karibu nami kuanza kufariki, Ilikuwa inaogofya kuishi na woga wa kuwa na ukimwi. Kila mara, madhara maishani mwangu yalinitatiza sana. Lakinu Mungu akajifunua kwangu. Kwa utaratibu, nilijifunza kuishi siku baada ya siku nikimtegemea Mungu. Niliamini kuwa Mungu amenitumainia kuwa mfano halisi katika hali hii, kama vile Ayubu alivyokuwa wakati wake. Sijawa magonjwa hadi kulazwa kitandani kama vile wengine hulazwa. Mungu hapeani vile ulimwengu hupeana, na njia zake hazifanani na njia zetu. Naomba kila mara, “Mapenzi yako, sio yangu itendeke ndani yangu na katika maisha yangu.” Kilicho muhimu ni kutenda mapenzi ya siku baada ya siku. Ombi: Mungu mwenye upendo, tusaidie kutaka mapenzi yako zaidi ya kila jambo. Fungua macho yetu tupate kukuona. Amen.

WAZO LA SIKU Rehema ya Mungu Huenda Milele Na Milele

Thandekile M. (Afrika Kusini) 8 Maombi Ya Kuhimiza

Hatuko Peke Yetu Soma Zaburi 102

Usikie Sala Yangu, ee Bwana Mungu, na Kilio Changu Kikufikie. Usinifiche Uso Wako Siku Ya Shida Yangu!

-Zaburi 102:1-2 Nikitembea kwenye hospitali ya ukimwi na kifua kikuu, nilifahamu macho mengi yalikuwa yakinitazama. Nilishangaa ni nini walikuwa wakifikiria. Nami nilifikiria nakuhisi nini nilipokumbana na wake, waume na watoto wachovu wakiteseka? Ilikuwa vigumu kuona uchungu na dhiki machoni mwao. Je, ningefanyaje niwatoe katika shida hiyo? Kuwapumzisha mizigo yao? Nilikumbuka rafiki akinielezea dhiki yake wakati majirani waligoma kumtembelea baada ya mumewe kuaga. Hakupoteza mumewe tu, alipoteza ushirika kwa sababu watu wengi hawakujua la kusema wala kutenda. Hatuwezi kumrejesha mtu aliyefariki, lakini tunaweza kujitokeza kuwafariji walio hai. Mara nyingi tukizidiwa na maumivu na uchungu tunayokumbana nayo, twataka kujificha na kuepukana na taabu hiyo. Lakini hiyo ndiyo zawadi ambayo inutubidi tupeane: kuwaona wanaoteseka, kuwafikia kwa urafiki na mikono ya msaada na kuwasimamia wasioweza kuongeza. Ombi: Mungu waupendo, tufanye sote kuhisi upendo, rehema na fadhili yako kwa wengine. Hatuko peke yetu, kwa maana roho wako wa upendo yuko pamoja nasi. Tusaidie tuwe pamoja na wengine katika upendo. Amen.

WAZO LA SIKU Tukionyeshana Upendo, Twadhihirisha Rehema ya Mungu Kwetu

Sote. Bonnie J. Messer (Colorado, U.S.A)

Maombi Ya Kuhimiza 9

Page 9: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Kuishi Siku Baada Ya Siku Soma 1 Yohana 4:16-5:5

Mungu ni Upendo Naye Akaaye Katika Pendo Hukaa Ndani Ya Mungu, Na Mungu Hukaa Ndani Yake.

-1 Yohana4:16 Natoa shukrani kwa rehema ya kiungu na upendo usioisha. Nimemwona Mungu kama mponyaji wa kimiujiza tangu nigunduwe kuwa niko na Ukimwi. Baada ya mume wangu kufariki, na watu wengi karibu nami kuanza kufariki, Ilikuwa inaogofya kuishi na woga wa kuwa na ukimwi. Kila mara, madhara maishani mwangu yalinitatiza sana. Lakinu Mungu akajifunua kwangu. Kwa utaratibu, nilijifunza kuishi siku baada ya siku nikimtegemea Mungu. Niliamini kuwa Mungu amenitumainia kuwa mfano halisi katika hali hii, kama vile Ayubu alivyokuwa wakati wake. Sijawa magonjwa hadi kulazwa kitandani kama vile wengine hulazwa. Mungu hapeani vile ulimwengu hupeana, na njia zake hazifanani na njia zetu. Naomba kila mara, “Mapenzi yako, sio yangu itendeke ndani yangu na katika maisha yangu.” Kilicho muhimu ni kutenda mapenzi ya siku baada ya siku. Ombi: Mungu mwenye upendo, tusaidie kutaka mapenzi yako zaidi ya kila jambo. Fungua macho yetu tupate kukuona. Amen.

WAZO LA SIKU Rehema ya Mungu Huenda Milele Na Milele

Thandekile M. (Afrika Kusini) 8 Maombi Ya Kuhimiza

Hatuko Peke Yetu Soma Zaburi 102

Usikie Sala Yangu, ee Bwana Mungu, na Kilio Changu Kikufikie. Usinifiche Uso Wako Siku Ya Shida Yangu!

-Zaburi 102:1-2 Nikitembea kwenye hospitali ya ukimwi na kifua kikuu, nilifahamu macho mengi yalikuwa yakinitazama. Nilishangaa ni nini walikuwa wakifikiria. Nami nilifikiria nakuhisi nini nilipokumbana na wake, waume na watoto wachovu wakiteseka? Ilikuwa vigumu kuona uchungu na dhiki machoni mwao. Je, ningefanyaje niwatoe katika shida hiyo? Kuwapumzisha mizigo yao? Nilikumbuka rafiki akinielezea dhiki yake wakati majirani waligoma kumtembelea baada ya mumewe kuaga. Hakupoteza mumewe tu, alipoteza ushirika kwa sababu watu wengi hawakujua la kusema wala kutenda. Hatuwezi kumrejesha mtu aliyefariki, lakini tunaweza kujitokeza kuwafariji walio hai. Mara nyingi tukizidiwa na maumivu na uchungu tunayokumbana nayo, twataka kujificha na kuepukana na taabu hiyo. Lakini hiyo ndiyo zawadi ambayo inutubidi tupeane: kuwaona wanaoteseka, kuwafikia kwa urafiki na mikono ya msaada na kuwasimamia wasioweza kuongeza. Ombi: Mungu waupendo, tufanye sote kuhisi upendo, rehema na fadhili yako kwa wengine. Hatuko peke yetu, kwa maana roho wako wa upendo yuko pamoja nasi. Tusaidie tuwe pamoja na wengine katika upendo. Amen.

WAZO LA SIKU Tukionyeshana Upendo, Twadhihirisha Rehema ya Mungu Kwetu

Sote. Bonnie J. Messer (Colorado, U.S.A)

Maombi Ya Kuhimiza 9

Page 10: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Yesu Atubeba Kwa Fadhili Some Yohana 1:1-14

Naye Neno Alifanyikaa Mwili, akakaa kwetu. -Yohana 1:14

Naipenda nakala imtangazaye Yesu kuwa mwanaadamu nakuishi pamoja nasi. Kwa sababu Yesu akawa mwanaadamu, utu wetu umebadilishwa. Yesu yuko nasi kwa njia zote. Lakini maanake nini kuwa Yesu yu ndani yangu nikisubiri jawabu ya mtihani au nikikabiliana na ugonjwa? Nilijikuta nikiuliza swali hilo miaka iliyopita nilipokumbana na ugonjwa.Nilimuuliza Yesu: Je, Ulikabilianaje na msukumo wa maisha? Jawabu nililolipata nikwamba Yesu, kila mara alimwendea baba yake katika maombi na kushirikiana naye maisha yake, hofu yake na maswali aliyokuwa nayo. Yesu alitambua kuwa Babake alimpenda, na hata akamwita Yesu, “Mpendwa Wangu”(Mathayo 17:5). Yesu pia aliwaendea marafiki wake. Hataingawa hawakumwelewa, na wakamvunja roho, Yesu alishirikia maisha yake na marafiki wa kale na marafiki wapya. Hili lilinisaidia. Nilianza kuomba na kusikiza pole pole, Mungu akiniita kwa jina na kusema, “Wewe U Mpendwa Wangu.” Pia, nilijifungua kwa marafiki wa kale na wapya walioamininika. Manake kwa hao, niliwapata walio nikubali pia kunishughulikia. Yesu akawa amejitokeza kwangu kimwili. Mwishowe, nilijikuta nikimuuliza Yesu aliyejua mateso, nakunibeba kwa fadhili. Huendelea kunibeba kwa njia nyingi kuliko yote yale niliyoyafikiria. Ombi: Bwana Yesu, Unayefahamu utu wetu Tunakuomba utubebe, utuponye na utupende. Amen.

WAZO LA SIKU Mimi ni Mpendwa wa Mungu.

Maria Cimperman (Ohio, U.S.A) 10 Maombi Ya Kuhimiza

Neema Mwibani Soma 2 Wakorintho 12:5-10

Neema Yangu Inatosha Kwa Ajili Yako; Maana Uwezo Wangu Hukamilishwa Zaidi Katika Udhaifu.

-2 Wakorintho 12:9 Mama yangu akachukuliwa kuenda paradiso baada ya kukumbana na saratani. Ingawaje aliweza kupokea madawa yenye nguvu, mateso yake yalikuwa makubwa kiasi kwamba hangeweza kuwa na utulivu. Nilipotambua kwamba hangeweza kuendelea kuwa hai, nilitambua maisha yake mapya mbiguni yalikuwa karibu mno. Mtume Paulo aongea kuhusu “Mwiba …niliopewa mwilini” (2 Wakorintho 12:7). Alipoomba mwiba utolewe, jibu likawa, “Nguvu inakamilishwa katika udhaifu” (2 Wakorintho 12:9). Paulo aliweza kujua kwamba nguvu yake Kristo ilidumu maishani mwake, hata katika udhaifu wake mkuu. “Kama yungiyungi kati ya michongoma, ndivyo alivyo mpenzi wangu kati ya wasichana” (Wimbo Ulio Bora 2:2). Kipengele hiki mara nyingi imetafsiriwa kama Kristo kukiri upendo wake kwa wafuasi wake wateule awapendao. Tunapoendelea kupeleleza, twagundua kwamba upendo kuu wa wateule waliojiunga na Kristo kikamilifu hubandikwa taji la mwiba. Mtu agongekaye wa kifo ni yungiyungi kati ya michongoma, mwana wa Kristo, akitambaza kunukia kuzuri kwa yungiyungi. Mtu huyo ni msaidi wa nguvu yake Mwenyezi Mungu, ikifanywa kikamilifu katika udhaifu wa ugonjwa. Ombi: Mwenyezi-Mungu, neema yako inageuza udhaifu wetu kuwa nguvu, mwiba wetu kugeuzwa kuwa harufu inukiayo Kristo. Amen.

WAZO LA SIKU Neema Ya Mungu Inawatosha Wote Kwa Kila Jambo

J. C. Park (Korea) Maombi Ya Kuhimiza 11

Page 11: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Yesu Atubeba Kwa Fadhili Some Yohana 1:1-14

Naye Neno Alifanyikaa Mwili, akakaa kwetu. -Yohana 1:14

Naipenda nakala imtangazaye Yesu kuwa mwanaadamu nakuishi pamoja nasi. Kwa sababu Yesu akawa mwanaadamu, utu wetu umebadilishwa. Yesu yuko nasi kwa njia zote. Lakini maanake nini kuwa Yesu yu ndani yangu nikisubiri jawabu ya mtihani au nikikabiliana na ugonjwa? Nilijikuta nikiuliza swali hilo miaka iliyopita nilipokumbana na ugonjwa.Nilimuuliza Yesu: Je, Ulikabilianaje na msukumo wa maisha? Jawabu nililolipata nikwamba Yesu, kila mara alimwendea baba yake katika maombi na kushirikiana naye maisha yake, hofu yake na maswali aliyokuwa nayo. Yesu alitambua kuwa Babake alimpenda, na hata akamwita Yesu, “Mpendwa Wangu”(Mathayo 17:5). Yesu pia aliwaendea marafiki wake. Hataingawa hawakumwelewa, na wakamvunja roho, Yesu alishirikia maisha yake na marafiki wa kale na marafiki wapya. Hili lilinisaidia. Nilianza kuomba na kusikiza pole pole, Mungu akiniita kwa jina na kusema, “Wewe U Mpendwa Wangu.” Pia, nilijifungua kwa marafiki wa kale na wapya walioamininika. Manake kwa hao, niliwapata walio nikubali pia kunishughulikia. Yesu akawa amejitokeza kwangu kimwili. Mwishowe, nilijikuta nikimuuliza Yesu aliyejua mateso, nakunibeba kwa fadhili. Huendelea kunibeba kwa njia nyingi kuliko yote yale niliyoyafikiria. Ombi: Bwana Yesu, Unayefahamu utu wetu Tunakuomba utubebe, utuponye na utupende. Amen.

WAZO LA SIKU Mimi ni Mpendwa wa Mungu.

Maria Cimperman (Ohio, U.S.A) 10 Maombi Ya Kuhimiza

Neema Mwibani Soma 2 Wakorintho 12:5-10

Neema Yangu Inatosha Kwa Ajili Yako; Maana Uwezo Wangu Hukamilishwa Zaidi Katika Udhaifu.

-2 Wakorintho 12:9 Mama yangu akachukuliwa kuenda paradiso baada ya kukumbana na saratani. Ingawaje aliweza kupokea madawa yenye nguvu, mateso yake yalikuwa makubwa kiasi kwamba hangeweza kuwa na utulivu. Nilipotambua kwamba hangeweza kuendelea kuwa hai, nilitambua maisha yake mapya mbiguni yalikuwa karibu mno. Mtume Paulo aongea kuhusu “Mwiba …niliopewa mwilini” (2 Wakorintho 12:7). Alipoomba mwiba utolewe, jibu likawa, “Nguvu inakamilishwa katika udhaifu” (2 Wakorintho 12:9). Paulo aliweza kujua kwamba nguvu yake Kristo ilidumu maishani mwake, hata katika udhaifu wake mkuu. “Kama yungiyungi kati ya michongoma, ndivyo alivyo mpenzi wangu kati ya wasichana” (Wimbo Ulio Bora 2:2). Kipengele hiki mara nyingi imetafsiriwa kama Kristo kukiri upendo wake kwa wafuasi wake wateule awapendao. Tunapoendelea kupeleleza, twagundua kwamba upendo kuu wa wateule waliojiunga na Kristo kikamilifu hubandikwa taji la mwiba. Mtu agongekaye wa kifo ni yungiyungi kati ya michongoma, mwana wa Kristo, akitambaza kunukia kuzuri kwa yungiyungi. Mtu huyo ni msaidi wa nguvu yake Mwenyezi Mungu, ikifanywa kikamilifu katika udhaifu wa ugonjwa. Ombi: Mwenyezi-Mungu, neema yako inageuza udhaifu wetu kuwa nguvu, mwiba wetu kugeuzwa kuwa harufu inukiayo Kristo. Amen.

WAZO LA SIKU Neema Ya Mungu Inawatosha Wote Kwa Kila Jambo

J. C. Park (Korea) Maombi Ya Kuhimiza 11

Page 12: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Zaburi 23

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu;

Sitapungukiwa na Kitu.

Katika Malisho Ya Majani Mabichi Hunilaza;

Kando ya Maji ya Utulivu Huniongoza,

Hunihuhisha Nafsi Yangu na Kuniongoza Katika Njia za Haki kwa

Ajili ya jina Lake.

Naam, Nijapopita Kati ya Bonde la Uvuli wa Mauti, Sitaogopa

Mabaya; Kwa Maana Wewe Upo Pamoja Nami,

Gongo Lako na Fimbo Yako Vyanifariji.

Waandaa Meza Mbele Yangu; Machoni pa Watesi Wangu.

Umenipaka Mafuta Kichwani Pangu;

Kikombe Changu Kinafurika.

Hakika Wema na Fadhili Zitanifuata

Siku Zote za Maisha Yangu;

Nami Nitakaa Nyumbani Mwa Bwana

Milele.

12 Maombi Ya Kuhimiza

Faraja Soma Marko35-31

“Mwalimu, hujali kwamba sisi tunaangamia?” [Yesu] akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, “Kimya!

Tulia!” Hapo upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa. - Marko 4:38-39

Nimekuwa nikiwazia kuhusu ukimwi nikajiuliza, “Ugonjwa huu hutoka wapi? Mbona unaambukiza wanaadamu, viumbe vyake Mwenyezi-Mungu? Siwezi nikapata jawabu. Mimi naweza kutafakari, Sali na kuomwomba Mungu kuwakomboa wanadamu. Naamini kama vile kristo alivyowaponya wagonjwa, tutapata matibabu kwa ugonjwa huu. Tutakombolewa na ulimwengu utakuwa huru kutokana na ukimwi. Wanafunzi wake Yesu walililia usaidizi walipofikiria mashua yao ilikuwa inazama na kuangamia ziwani, lakini Yesu alituliza dhoruba ya bahari na pia kuwatuliza wanafunzi wake. Ninalotumaini kwamba tunapokabiliana na tauni ya ukimwi, Yesu Kristo atatuliza dhoruba za virusi vya ukimwi na ukimwi. Natosheka tena kufurahia ninaposoma neno la Mungu litialo roho nguvu. Mungu kila mara atakuwa na watu wake. Ombi: Mwenyezi-Mungu Uwezaye kutenda kila jambo Ukiwa popote, tusaidie kuyashinda maumivu yajazayo roho yetu. Tufunze kuishi maisha yenye tumaini. Amen.

WAZO LA SIKU Yesu Kristo anauweza wa Kutuliza dhoruba Maishani, Hata

Uponyaji Ukikosekana. Armindo Mapoissa (Mozambique)

Maombi Ya Kuhimiza 13

Page 13: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Zaburi 23

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu;

Sitapungukiwa na Kitu.

Katika Malisho Ya Majani Mabichi Hunilaza;

Kando ya Maji ya Utulivu Huniongoza,

Hunihuhisha Nafsi Yangu na Kuniongoza Katika Njia za Haki kwa

Ajili ya jina Lake.

Naam, Nijapopita Kati ya Bonde la Uvuli wa Mauti, Sitaogopa

Mabaya; Kwa Maana Wewe Upo Pamoja Nami,

Gongo Lako na Fimbo Yako Vyanifariji.

Waandaa Meza Mbele Yangu; Machoni pa Watesi Wangu.

Umenipaka Mafuta Kichwani Pangu;

Kikombe Changu Kinafurika.

Hakika Wema na Fadhili Zitanifuata

Siku Zote za Maisha Yangu;

Nami Nitakaa Nyumbani Mwa Bwana

Milele.

12 Maombi Ya Kuhimiza

Faraja Soma Marko35-31

“Mwalimu, hujali kwamba sisi tunaangamia?” [Yesu] akaamka, akaukemea ule upepo na kuyaamrisha mawimbi ya ziwa, “Kimya!

Tulia!” Hapo upepo ukakoma, kukawa shwari kabisa. - Marko 4:38-39

Nimekuwa nikiwazia kuhusu ukimwi nikajiuliza, “Ugonjwa huu hutoka wapi? Mbona unaambukiza wanaadamu, viumbe vyake Mwenyezi-Mungu? Siwezi nikapata jawabu. Mimi naweza kutafakari, Sali na kuomwomba Mungu kuwakomboa wanadamu. Naamini kama vile kristo alivyowaponya wagonjwa, tutapata matibabu kwa ugonjwa huu. Tutakombolewa na ulimwengu utakuwa huru kutokana na ukimwi. Wanafunzi wake Yesu walililia usaidizi walipofikiria mashua yao ilikuwa inazama na kuangamia ziwani, lakini Yesu alituliza dhoruba ya bahari na pia kuwatuliza wanafunzi wake. Ninalotumaini kwamba tunapokabiliana na tauni ya ukimwi, Yesu Kristo atatuliza dhoruba za virusi vya ukimwi na ukimwi. Natosheka tena kufurahia ninaposoma neno la Mungu litialo roho nguvu. Mungu kila mara atakuwa na watu wake. Ombi: Mwenyezi-Mungu Uwezaye kutenda kila jambo Ukiwa popote, tusaidie kuyashinda maumivu yajazayo roho yetu. Tufunze kuishi maisha yenye tumaini. Amen.

WAZO LA SIKU Yesu Kristo anauweza wa Kutuliza dhoruba Maishani, Hata

Uponyaji Ukikosekana. Armindo Mapoissa (Mozambique)

Maombi Ya Kuhimiza 13

Page 14: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Wanaougua Ukimwi Soma Zaburi 42

Nafsi Yang, Kwa Nini Kuinama na Kufadhaika Ndani Yangu? Umtumaini Mungu, Kwa Maana, Nitakuja Kumsifu Aliye Afya Ya

Uso Wangu na Mungu Wangu. - Zaburi 42:11

Tarehe 4 Disemba 2001, nilitambulika kuwa na ukimwi. Nilijihisi mchafu. Nilijilaumu kuwa mtu asiyejali tena pumbavu. Yote niliyoyawazia ilikuwa ni kifo tu. Nilitatizwa moyoni na kuogopa kuwaelezea wazazi wangu kuwa nimepatikana na ukimwi. Nilifikiria kwamba niliupata ukimwi kama adhabu kwa dhambi zangu. Hapo ndipo nikagundua kwamba lilikuwa jukumu langu kutafuta amani moyoni mwangu na kupatana na Mungu. Sasa hivi nina furaha. Siogopi tena kuwaelezea wazazi wangu kuwa nina ukimwi Najihesabu kama mteule, aliyeteuliwa kuinuka na kuwaelezea wengine kuwa wakimtegemea Mungu, hakuna jambo litasimama mbele yako na kutatiza. Ombi: Mungu mtakatifu, twakushukuru kwamba ingawaje sisi tumetenda dhambi, wewe unatutakia tu mema na hutuhukumu na magonjwa. Asante kwa mwanao Yesu, aliyeonyesha kuwa kila mmoja wetu ni mpendwa kustahili ukombozi. Tusaidie kuamini Habari Hiyo Njema. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu Anatupenda na Atutakia Mema Tu.

Vuyelwa M. (Afrika Kusini) 14 Maombi Ya Kuhimiza

Mungu Yuko Wapi? Soma 1 Wakorintho 12:12-20

Paulo akaandika, “Nayaweza Mambo Yote Katika Yeye Anitiaye Nguvu.

- Wafilipi 4:13 Miezi mitatu mifupi, nilimtazama Brian, mwana wangu hodari akiugua saratani ya ubongo iliyoletwa na ukimwi. Kijana huyu aliyempenda na kumsifu Mungu kwa kipawa chake cha wimbo hatimaye akalazwa akikaribia kifo. Virusi vya mauti vilimpokonya Brian uwezo wake wa kuongea, mwendo, viungo vya mwili na tabasamu. Nikiketi karibu naye penye alilazwa nikimshika mkono, nikamlilia Mungu, “Uko Wapi, Mungu?” Jawabu likaja. Mungu alikuwa kwenye maneno ya faraja na upendo niliyopewa na dad Maria, kasisi wa zahanati. Mungu aliniguza kupitia Fran, mfanyikazi wa kijamii. Mungu alikuwa mikononi isiyochoka ya wakunga waliyomhudumia Brian na kwa roho wa upendo wa Desmon, rafikiye Brian na mfanyikazi wa kujitolea zahanatini. Mungu aliniongelesha kupitia kwenye cheko na machozi ya familia na marafiki walionipigia simu na kunitembelea na kupitia maneno ya tumaini yaliyotolewa na Mchungaji wetu Denny. Nilipowatazama hawa wote nyusoni, Nilimwona Yesu!Kila mmoja wao alitimiza hitaji maalum, na wote walitimiza mahitaji yote Ikidhihirisha kwangu mfano bora wa mwili wa Kristo. Ombi: Twakusifu Ee Mungu kwa njia zile zote ambazo unajitambulisha kwetu.Shukrani kwa kutuonyesha pendo lako mioyoni tukiwa wazito. Amen.

WAZO LA SIKU Twamwona Mungu kupitia kila tendo laupendo na msaada yatujiayo.

Kathryn A. Sutton (Texas, U.S.A)

Maombi Ya Kuhimiza 15

Page 15: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Wanaougua Ukimwi Soma Zaburi 42

Nafsi Yang, Kwa Nini Kuinama na Kufadhaika Ndani Yangu? Umtumaini Mungu, Kwa Maana, Nitakuja Kumsifu Aliye Afya Ya

Uso Wangu na Mungu Wangu. - Zaburi 42:11

Tarehe 4 Disemba 2001, nilitambulika kuwa na ukimwi. Nilijihisi mchafu. Nilijilaumu kuwa mtu asiyejali tena pumbavu. Yote niliyoyawazia ilikuwa ni kifo tu. Nilitatizwa moyoni na kuogopa kuwaelezea wazazi wangu kuwa nimepatikana na ukimwi. Nilifikiria kwamba niliupata ukimwi kama adhabu kwa dhambi zangu. Hapo ndipo nikagundua kwamba lilikuwa jukumu langu kutafuta amani moyoni mwangu na kupatana na Mungu. Sasa hivi nina furaha. Siogopi tena kuwaelezea wazazi wangu kuwa nina ukimwi Najihesabu kama mteule, aliyeteuliwa kuinuka na kuwaelezea wengine kuwa wakimtegemea Mungu, hakuna jambo litasimama mbele yako na kutatiza. Ombi: Mungu mtakatifu, twakushukuru kwamba ingawaje sisi tumetenda dhambi, wewe unatutakia tu mema na hutuhukumu na magonjwa. Asante kwa mwanao Yesu, aliyeonyesha kuwa kila mmoja wetu ni mpendwa kustahili ukombozi. Tusaidie kuamini Habari Hiyo Njema. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu Anatupenda na Atutakia Mema Tu.

Vuyelwa M. (Afrika Kusini) 14 Maombi Ya Kuhimiza

Mungu Yuko Wapi? Soma 1 Wakorintho 12:12-20

Paulo akaandika, “Nayaweza Mambo Yote Katika Yeye Anitiaye Nguvu.

- Wafilipi 4:13 Miezi mitatu mifupi, nilimtazama Brian, mwana wangu hodari akiugua saratani ya ubongo iliyoletwa na ukimwi. Kijana huyu aliyempenda na kumsifu Mungu kwa kipawa chake cha wimbo hatimaye akalazwa akikaribia kifo. Virusi vya mauti vilimpokonya Brian uwezo wake wa kuongea, mwendo, viungo vya mwili na tabasamu. Nikiketi karibu naye penye alilazwa nikimshika mkono, nikamlilia Mungu, “Uko Wapi, Mungu?” Jawabu likaja. Mungu alikuwa kwenye maneno ya faraja na upendo niliyopewa na dad Maria, kasisi wa zahanati. Mungu aliniguza kupitia Fran, mfanyikazi wa kijamii. Mungu alikuwa mikononi isiyochoka ya wakunga waliyomhudumia Brian na kwa roho wa upendo wa Desmon, rafikiye Brian na mfanyikazi wa kujitolea zahanatini. Mungu aliniongelesha kupitia kwenye cheko na machozi ya familia na marafiki walionipigia simu na kunitembelea na kupitia maneno ya tumaini yaliyotolewa na Mchungaji wetu Denny. Nilipowatazama hawa wote nyusoni, Nilimwona Yesu!Kila mmoja wao alitimiza hitaji maalum, na wote walitimiza mahitaji yote Ikidhihirisha kwangu mfano bora wa mwili wa Kristo. Ombi: Twakusifu Ee Mungu kwa njia zile zote ambazo unajitambulisha kwetu.Shukrani kwa kutuonyesha pendo lako mioyoni tukiwa wazito. Amen.

WAZO LA SIKU Twamwona Mungu kupitia kila tendo laupendo na msaada yatujiayo.

Kathryn A. Sutton (Texas, U.S.A)

Maombi Ya Kuhimiza 15

Page 16: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Mwongozo Wa Nakala Za Bibilia

MANENO YA IMANI NYAKATI ZA UCHUNGU Nyakati za uchungu, watu wengi wametiliwa nguvu na kupata msaada kupitia maneno haya ya imani kutoka kwa bibilia. Tumia mwongozo huu ukusaidie kupata nakala ya kutafakari juu yake nyakati kama hizo.

Mzigo Ukiwa Mzito Mathayo 11:28-30

Ukiwa na Wasiwasi

Wafilipi 4:6-7; 1 Petro 5:7

Wakati Hujui Wa Kumgeukia Zaburi 121

Wakati Unahitaji Ulinzi

Zaburi 91

Wakati Unahitaji Ujasiri Yoshua 1:9

Moyo Ukifadhaika

Yohana 14:27

Wakati Unawoga/Ukiogopa Zaburi 27:1

Ukitaka Mwanzo Mpya Maombolezo 3:22-24

16 Maombi Ya Kuhimiza

Wakati Unahitaji Nguvu Isaya 41:10

Njiani Ikionekana Kukiwa na Giza

Zaburi 23:4

Ukiwa na Woga wa Kifo Yohana11:25-26

Ukihitaji Uvumilivu

Waebrania 12:1-2

Ukijihisi Kama Kuzama Zaburi 69:1-3

Wakati Hujui la Kuomba

Warumi 8:26-27

Ikionekana Kwamba Yesu Hayupo Nawe Luka 24:13-35

Ukiogopa Yajayo/Siku za Usoni

Yeremia 29:10-11

Ukitaka Kumshukuru Mungu Isaya 25:1

Ukihitaji Mtetezi

Waebrania 4:15:16

Ukihitaji Msamaha Wa Mungu Zaburi 51:1-3, Warumi 8:1

Ukitaka Kuamini

Marko 9:24

Maombi Ya Kuhimiza 17

Page 17: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Mwongozo Wa Nakala Za Bibilia

MANENO YA IMANI NYAKATI ZA UCHUNGU Nyakati za uchungu, watu wengi wametiliwa nguvu na kupata msaada kupitia maneno haya ya imani kutoka kwa bibilia. Tumia mwongozo huu ukusaidie kupata nakala ya kutafakari juu yake nyakati kama hizo.

Mzigo Ukiwa Mzito Mathayo 11:28-30

Ukiwa na Wasiwasi

Wafilipi 4:6-7; 1 Petro 5:7

Wakati Hujui Wa Kumgeukia Zaburi 121

Wakati Unahitaji Ulinzi

Zaburi 91

Wakati Unahitaji Ujasiri Yoshua 1:9

Moyo Ukifadhaika

Yohana 14:27

Wakati Unawoga/Ukiogopa Zaburi 27:1

Ukitaka Mwanzo Mpya Maombolezo 3:22-24

16 Maombi Ya Kuhimiza

Wakati Unahitaji Nguvu Isaya 41:10

Njiani Ikionekana Kukiwa na Giza

Zaburi 23:4

Ukiwa na Woga wa Kifo Yohana11:25-26

Ukihitaji Uvumilivu

Waebrania 12:1-2

Ukijihisi Kama Kuzama Zaburi 69:1-3

Wakati Hujui la Kuomba

Warumi 8:26-27

Ikionekana Kwamba Yesu Hayupo Nawe Luka 24:13-35

Ukiogopa Yajayo/Siku za Usoni

Yeremia 29:10-11

Ukitaka Kumshukuru Mungu Isaya 25:1

Ukihitaji Mtetezi

Waebrania 4:15:16

Ukihitaji Msamaha Wa Mungu Zaburi 51:1-3, Warumi 8:1

Ukitaka Kuamini

Marko 9:24

Maombi Ya Kuhimiza 17

Page 18: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Machozi ya Faraja

Soma 2 Wakorintho 2:3-7 Wanaopanda kwa Machozi , Watavuna Kwa Shangwe.

- Zaburi 126:6 Nilikuzwa kwa desturi kuwa kulia ni mbaya au ni ishara ya udhaifu. “Wavulana wazima hawalii.” “Ukilia, Usionekane na wengine.” Mwaka 2001 nilipokuwa kwenye kituo cha urekebishaji wa matumizi mabaya ya madawa, kofia yangu niliyo ipenda ilipotea kwa kuibiwa. Wagonjwa wengine walinisaidia kuitafuta. Mwishowe, aliyekuwa ameichukua alipatikana nikarudishiwa kifia. Wagonjwa wengine walinihimiza nilipishe kisasi, wengine wakanisihi nimsamehe. Kabla nikabiliane naye mwenye kuiba kofia, nilihitaji fursa bore peke yangu. Nikaenda hekaluni na mara ya kwanza maishani, nikalazimishwa kumwomba Mwenyezi-Mungu, “Nipate kufanya nini Bwana Mungu?” Hapo ndipo nikaamshwa kiroho. Nikitokwa na machozi, ndipo jawabu likatokea dhahiri. Sote tulikuwa katika kituo hiki tupate usaidizi ilitupate kushinda kulemewa kwetu na madawa. Nilimhitaji huyu mtu kunisaidia katika kupona kwangu, nami pia nilistahili nimsaidie vile vile. Kisha jambo lingine lakushangaza likatokea. Niligundua kwamba haya hayakuwa machozi ya huzuni, lakini faraja.Sikuwa nimetambua hisia ya ajabu kama hiyo ikiwemo! Ilikuwa hisia ya faraja singeweza kutambua kama ningeendelea kushikilia hisia zangu za hapo awali. Ombi: Ahsante Mungu Baba kwa karama na kipawa cha machozi. Amen

WAZO LA SIKU Je, Nina jiachilia kupokea karama ya kuhisi hisia zangu leo?

Claude Genzel* (Tennessee, U.S.A) *Anayeugua Ukimwi 18 Maombi Ya Kuhimiza

Msifadhaike Mioyoni Soma 2 Wakorintho 4:1-18

Kwasababu hiyo hatufi moyo; na hata kama maumbile yetu ya nje yataoza, lakini kwa ndani, tunafanywa wapya sikubaada ya siku.

- 2 Wakorintho 4:16 Katika waraka wake kwa waumimi wa Korintho, mtume Paulo awaimiza wasife roho. Mungu yule aliyemfufua Yesu Kristo pia atatufufua haijalishi hali ya dhoruba tunayokabiliana nayo. Mateso yetu hapa ulimwenguni yaweza kuwa kuu, lakini haya yote hayawezi kulinganishwa na utukufu unaotusubiri kule mbiguni! Mara mingi tulipoenda kwenye huduma, tuliwahi kuwaombea wagonjwa wengi, wengine wao wakiugua magonjwa ya kuelekeza kifoni. Wengine wameponywa kimiujiwa na wengine kuendelea kugonjeka hadi kifoni, hata ingawa walimwamini Mungu angewaponya wawe hai. Dhihirisho wa ujuzi hili limenifunza kuwa matatizo yetu ya hapa duniani yafanya kazi kutuandaa kuupokeo utukufu wa milele ushindao dhikii yetu na unaotungejea nyumbani kule mbinguni. Twawezaelekeza mtazamo wetu kwa imani na tumaini kwa ule utukufu unaotungojea kule mbinguni, hata kama miili yetu imezidiwa na magonjwa na maradhi. Ombi: Mungu mponyaji wetu tusaidie kuelekeza mtazamo wetu kwako kwa tumaini. Umetuandalia utukufu unaodumu milele, hata kama miili yetu imeshindwa na ugonjwa na maradhi. Katika jina la Yesu twaomba tukiamini. Amen.

WAZO LA SIKU Kristo Yesu Atupa Tumaini Leo.

Philip Polo (Nairobi, Kenya)

Maombi Ya Kuhimiza 19

Page 19: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Machozi ya Faraja

Soma 2 Wakorintho 2:3-7 Wanaopanda kwa Machozi , Watavuna Kwa Shangwe.

- Zaburi 126:6 Nilikuzwa kwa desturi kuwa kulia ni mbaya au ni ishara ya udhaifu. “Wavulana wazima hawalii.” “Ukilia, Usionekane na wengine.” Mwaka 2001 nilipokuwa kwenye kituo cha urekebishaji wa matumizi mabaya ya madawa, kofia yangu niliyo ipenda ilipotea kwa kuibiwa. Wagonjwa wengine walinisaidia kuitafuta. Mwishowe, aliyekuwa ameichukua alipatikana nikarudishiwa kifia. Wagonjwa wengine walinihimiza nilipishe kisasi, wengine wakanisihi nimsamehe. Kabla nikabiliane naye mwenye kuiba kofia, nilihitaji fursa bore peke yangu. Nikaenda hekaluni na mara ya kwanza maishani, nikalazimishwa kumwomba Mwenyezi-Mungu, “Nipate kufanya nini Bwana Mungu?” Hapo ndipo nikaamshwa kiroho. Nikitokwa na machozi, ndipo jawabu likatokea dhahiri. Sote tulikuwa katika kituo hiki tupate usaidizi ilitupate kushinda kulemewa kwetu na madawa. Nilimhitaji huyu mtu kunisaidia katika kupona kwangu, nami pia nilistahili nimsaidie vile vile. Kisha jambo lingine lakushangaza likatokea. Niligundua kwamba haya hayakuwa machozi ya huzuni, lakini faraja.Sikuwa nimetambua hisia ya ajabu kama hiyo ikiwemo! Ilikuwa hisia ya faraja singeweza kutambua kama ningeendelea kushikilia hisia zangu za hapo awali. Ombi: Ahsante Mungu Baba kwa karama na kipawa cha machozi. Amen

WAZO LA SIKU Je, Nina jiachilia kupokea karama ya kuhisi hisia zangu leo?

Claude Genzel* (Tennessee, U.S.A) *Anayeugua Ukimwi 18 Maombi Ya Kuhimiza

Msifadhaike Mioyoni Soma 2 Wakorintho 4:1-18

Kwasababu hiyo hatufi moyo; na hata kama maumbile yetu ya nje yataoza, lakini kwa ndani, tunafanywa wapya sikubaada ya siku.

- 2 Wakorintho 4:16 Katika waraka wake kwa waumimi wa Korintho, mtume Paulo awaimiza wasife roho. Mungu yule aliyemfufua Yesu Kristo pia atatufufua haijalishi hali ya dhoruba tunayokabiliana nayo. Mateso yetu hapa ulimwenguni yaweza kuwa kuu, lakini haya yote hayawezi kulinganishwa na utukufu unaotusubiri kule mbiguni! Mara mingi tulipoenda kwenye huduma, tuliwahi kuwaombea wagonjwa wengi, wengine wao wakiugua magonjwa ya kuelekeza kifoni. Wengine wameponywa kimiujiwa na wengine kuendelea kugonjeka hadi kifoni, hata ingawa walimwamini Mungu angewaponya wawe hai. Dhihirisho wa ujuzi hili limenifunza kuwa matatizo yetu ya hapa duniani yafanya kazi kutuandaa kuupokeo utukufu wa milele ushindao dhikii yetu na unaotungejea nyumbani kule mbinguni. Twawezaelekeza mtazamo wetu kwa imani na tumaini kwa ule utukufu unaotungojea kule mbinguni, hata kama miili yetu imezidiwa na magonjwa na maradhi. Ombi: Mungu mponyaji wetu tusaidie kuelekeza mtazamo wetu kwako kwa tumaini. Umetuandalia utukufu unaodumu milele, hata kama miili yetu imeshindwa na ugonjwa na maradhi. Katika jina la Yesu twaomba tukiamini. Amen.

WAZO LA SIKU Kristo Yesu Atupa Tumaini Leo.

Philip Polo (Nairobi, Kenya)

Maombi Ya Kuhimiza 19

Page 20: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Kuzuiliwa Kwa Kuambukizwa Upya

Soma Isaya 40:1-11 [Yesu Akasema,] “Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uzima – uzima telei.”

-Yohana 10:10 Nikiwa daktari na mtaalamu India, kila mara huomboleza nikiona mtu akiambukizwa na virusi vya ukimwi upya. Mwaka uliopita, takribani watu milioni 5 waliambukizwa virusi hivyo upya. Ninashuku Mungu huomboleza leo sababu virusi vya ukimwi vinaweza kuzuiliwa. Hali ya ukimwi duniani ndiyo hatari kubwa sana ya kiafya inayokumbana na wanaadamu baada ya miaka 700. Watu wengi bado hukana hili; wakikataa kuongea wazi na kwa ukweli kuhusu vile kuambukizwa kunaweza kuzuiliwa. Kama Isaya, wakati mwingine inakuwa kama “tunavyo lia jangwani” bila ya mtu yeyote kusikiliza huhusu dharura ya elimu, uzuilivu, uangalifu na utabibu kuhusu ukimwi. Virusi vya ukimwi ni mwizi aibaye maisha. Katika zahanati yetu ya kukabiliana na ukimwi mashambani, tuwaangalifu kuhusu jinsi ya kuzuia kuambikizwa kwa mtoto na mama wakati wa kuzaliwa kwake �mtoto. Tunangangana kupata madawa ya kukabiliana na virusi hivi kwa watoto waliosahauliwa na ulimwengu. Pia twafunza watu jinsi wanavyoweza kuzuia kuambukizwa na kuambukiza wengine. Yesu hakujiuzulu kujaribu kuwafunza watu kuishi maisha ya uzima wa milele. Kwa msaada wa Mungu, kila mmoja wetu anapaswa kutafuta njia ya kueneza habari za kuzuiliwa kwa ukimwi, ili watu “wawe na uzima, na wawe nao bora milele.” Ombi: Mungu Baba, tupatie umaarufu wakuongea wazi kuhusu namna ya kuzuia kuambukizwa na virusi vya ukimwi. Amen.

WAZOLA SIKU Mungu awataka watu wote kuishi maisha bora milele.

N. M. Samuel, M. D. (India)

20 Maombi Ya Kuhimiza

Ni nani awezaye kututenga na upendo wa Kristo? Je, ni taabu, au

dhiki, au mateso, au njaa, au ukosefu wa nguo, au hatari, au kifo?

Lakini, katika mambo haya yote, tumepata ushindi mkubwa kwa

msaada wake yeye aliyetupenda. Maana najua hakika kwamba

hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: wala kifo,

wala uhai; wala malaika au nguvu nyingine za mbinguni; wala

yanayotokea sasa, wala yatakayotokea baadaye; wala mamlaka; Wala

ulimwengu wa juu wala wa chini kabisa. Hakuna kiumbe chochote

kitakachoweza kututenga na upendo wa Mungu katika Kristo

Yesu Bwana wetu.

Waroma 8:35, 37-39

Maombi Ya Kuhimiza 21

Page 21: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Kuzuiliwa Kwa Kuambukizwa Upya

Soma Isaya 40:1-11 [Yesu Akasema,] “Mwizi huja kwa shabaha ya kuiba, kuua na kuharibu. Mimi nimekuja mpate kuwa na uzima – uzima telei.”

-Yohana 10:10 Nikiwa daktari na mtaalamu India, kila mara huomboleza nikiona mtu akiambukizwa na virusi vya ukimwi upya. Mwaka uliopita, takribani watu milioni 5 waliambukizwa virusi hivyo upya. Ninashuku Mungu huomboleza leo sababu virusi vya ukimwi vinaweza kuzuiliwa. Hali ya ukimwi duniani ndiyo hatari kubwa sana ya kiafya inayokumbana na wanaadamu baada ya miaka 700. Watu wengi bado hukana hili; wakikataa kuongea wazi na kwa ukweli kuhusu vile kuambukizwa kunaweza kuzuiliwa. Kama Isaya, wakati mwingine inakuwa kama “tunavyo lia jangwani” bila ya mtu yeyote kusikiliza huhusu dharura ya elimu, uzuilivu, uangalifu na utabibu kuhusu ukimwi. Virusi vya ukimwi ni mwizi aibaye maisha. Katika zahanati yetu ya kukabiliana na ukimwi mashambani, tuwaangalifu kuhusu jinsi ya kuzuia kuambikizwa kwa mtoto na mama wakati wa kuzaliwa kwake �mtoto. Tunangangana kupata madawa ya kukabiliana na virusi hivi kwa watoto waliosahauliwa na ulimwengu. Pia twafunza watu jinsi wanavyoweza kuzuia kuambukizwa na kuambukiza wengine. Yesu hakujiuzulu kujaribu kuwafunza watu kuishi maisha ya uzima wa milele. Kwa msaada wa Mungu, kila mmoja wetu anapaswa kutafuta njia ya kueneza habari za kuzuiliwa kwa ukimwi, ili watu “wawe na uzima, na wawe nao bora milele.” Ombi: Mungu Baba, tupatie umaarufu wakuongea wazi kuhusu namna ya kuzuia kuambukizwa na virusi vya ukimwi. Amen.

WAZOLA SIKU Mungu awataka watu wote kuishi maisha bora milele.

N. M. Samuel, M. D. (India)

20 Maombi Ya Kuhimiza

Ni nani awezaye kututenga na upendo wa Kristo? Je, ni taabu, au

dhiki, au mateso, au njaa, au ukosefu wa nguo, au hatari, au kifo?

Lakini, katika mambo haya yote, tumepata ushindi mkubwa kwa

msaada wake yeye aliyetupenda. Maana najua hakika kwamba

hakuna kitu kiwezacho kututenganisha na upendo wake: wala kifo,

wala uhai; wala malaika au nguvu nyingine za mbinguni; wala

yanayotokea sasa, wala yatakayotokea baadaye; wala mamlaka; Wala

ulimwengu wa juu wala wa chini kabisa. Hakuna kiumbe chochote

kitakachoweza kututenga na upendo wa Mungu katika Kristo

Yesu Bwana wetu.

Waroma 8:35, 37-39

Maombi Ya Kuhimiza 21

Page 22: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Yesu Hukaribia

Soma Mathayo 11:28-30 Hata kama wazazi wangu wakinitupa, Mwenyezi-Mungu atanipokea

kwake. - Zaburi 27:10

Watu wengi walio na virusi vya ukimwi na ukimwi hujiweka mbali na Mungu wakifikiria hao wenye dhambi, au wamelemewa katika maisha. Lakini mimi naichukua hali yangu kuwa na ukimwi kama ishara ya jambo ninalotakikana kulitenda au kulibadilisha. Kilio cha roho yangu ni kupatikana kwa tiba ya virusi vya ukimwi na ukimwi kote duniani. Jamii, marafiki na familia wakati mwingine hubagua na kuvunja mioyo yetu tulio na ukimwi. Marafiki waweza kutuepa wakiogopa kuwa watu watafikiria kuwa hao pia wana ukimwi wakionekana nasi. Watu wa familia waweza tupuuza wakidhania kuwa kuwa kwetu na ukimwi hushusha heshima ya familia. Hata hivyo, ninayo tumaini. Mungu alikomboa Afrika kusini kutokana na utawala wa ubaguzi na nyakati za kumwaga damu. Tuliombea amani wakati wa uchaguzi, na kukawa amani. Mungu yuko nasi, na uwepo wake waweza kuleta miujiza. Sisi tulio na ukimwi twaweza samehe, sahau, wacha kulaumiana na kukataa kulipisha kisasi kutokana na kukasirika kwetu kwa wale waliotutenga na kutudharau. Hii ndio njia ya Kristo. Ombi: Bwana yesu Kristo, tupe hekima kuifuata njia yako na kuwa waaminifu kwa watu wengine na kwetu wenyewe. Tufunze kupenda bila kuhesabu gharama. Amen.

WAZO LA SIKU Njia ya Kristo ni kukaribia waliobaguliwa na ulimwengu.

Mathabo L. (Afrika Kusini)

22 Maombi Ya Kuhimiza

Maisha Yaweza Kufanywa Mapya Soma Yohana 11:32-44

Palikuwa na mtu mmoja tajiri, …na kufanya sherehe kila siku. Na mlangoni pa huyo tajirikulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaru,

ambaye alikuwa amejaa vidonda. Lazaru alitamani kupewa makombo yaliyoanguka kutoka mezani mwa huyo tajiri.

- Luka 16:19-21 Hakuna madawa au matibabu yamepatikana kwa virusi vya ukimwi na ukimwi. Lakini tuna habari njema: Tunayo madawa ya kupambana na virusi hivi na ugonjwa huu siyo lazima jawabu lake liwe kifo tena. Agano jipya latoa hadithi ya watu wawili mmoja wao akiwa Lazaro, ambaye ni maskini, mgonjwa, ananjaa na amepuziliwa na tajiri mchoyo. Lazaro mwingine, nduguye Maria na Martha afariki lakini Yesu amfufua kuwa hai tena.

Hadithi hii ya kibibilia yatukumbusha kwamba Mungu hutuita tuwe wawakilishi wa kupeana madawa bure au kwa bei nafuu yakuwaokoa maisha na vyakula kwa wote walio na ukimwi, malaria na kifua kikuu. Eldoret, Kenya, madaktari huwaelezea wagonjwa aina mbili ya madawa; moja ikiwa ya chakula na ingine ikiwa ya matibabu.

Asante kwa madawa haya ya kupambana na virusi hivi, manake watu waliokuwa karibu kufa kama Lazaro wameweza kuamka, kutembea na kufanya kazi tena. Rosa, kwa mfano, karibu aage, lakini kwa sasa yeye ni naibu mkrugenzi wa shamba na watoto wake watatu sio mayatima. Mungu awaita matajiri kushiriki walio nayo tuweze kukomesha njaa na kuwapa uzima na tumaini kwa wagonjwa. Ombi: Mungu wa uzima, nisaidie kuwa mwakilishi wa vyakula na madawa kwa watu wote wa Mungu. Amen.

WAZO LA SIKU Waandikie watu na serikali barua leo uwaimize kushiriki vyakula

na madawa. Donal E. Messer (Colorado, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 23

Page 23: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Yesu Hukaribia

Soma Mathayo 11:28-30 Hata kama wazazi wangu wakinitupa, Mwenyezi-Mungu atanipokea

kwake. - Zaburi 27:10

Watu wengi walio na virusi vya ukimwi na ukimwi hujiweka mbali na Mungu wakifikiria hao wenye dhambi, au wamelemewa katika maisha. Lakini mimi naichukua hali yangu kuwa na ukimwi kama ishara ya jambo ninalotakikana kulitenda au kulibadilisha. Kilio cha roho yangu ni kupatikana kwa tiba ya virusi vya ukimwi na ukimwi kote duniani. Jamii, marafiki na familia wakati mwingine hubagua na kuvunja mioyo yetu tulio na ukimwi. Marafiki waweza kutuepa wakiogopa kuwa watu watafikiria kuwa hao pia wana ukimwi wakionekana nasi. Watu wa familia waweza tupuuza wakidhania kuwa kuwa kwetu na ukimwi hushusha heshima ya familia. Hata hivyo, ninayo tumaini. Mungu alikomboa Afrika kusini kutokana na utawala wa ubaguzi na nyakati za kumwaga damu. Tuliombea amani wakati wa uchaguzi, na kukawa amani. Mungu yuko nasi, na uwepo wake waweza kuleta miujiza. Sisi tulio na ukimwi twaweza samehe, sahau, wacha kulaumiana na kukataa kulipisha kisasi kutokana na kukasirika kwetu kwa wale waliotutenga na kutudharau. Hii ndio njia ya Kristo. Ombi: Bwana yesu Kristo, tupe hekima kuifuata njia yako na kuwa waaminifu kwa watu wengine na kwetu wenyewe. Tufunze kupenda bila kuhesabu gharama. Amen.

WAZO LA SIKU Njia ya Kristo ni kukaribia waliobaguliwa na ulimwengu.

Mathabo L. (Afrika Kusini)

22 Maombi Ya Kuhimiza

Maisha Yaweza Kufanywa Mapya Soma Yohana 11:32-44

Palikuwa na mtu mmoja tajiri, …na kufanya sherehe kila siku. Na mlangoni pa huyo tajirikulikuwa na maskini mmoja jina lake Lazaru,

ambaye alikuwa amejaa vidonda. Lazaru alitamani kupewa makombo yaliyoanguka kutoka mezani mwa huyo tajiri.

- Luka 16:19-21 Hakuna madawa au matibabu yamepatikana kwa virusi vya ukimwi na ukimwi. Lakini tuna habari njema: Tunayo madawa ya kupambana na virusi hivi na ugonjwa huu siyo lazima jawabu lake liwe kifo tena. Agano jipya latoa hadithi ya watu wawili mmoja wao akiwa Lazaro, ambaye ni maskini, mgonjwa, ananjaa na amepuziliwa na tajiri mchoyo. Lazaro mwingine, nduguye Maria na Martha afariki lakini Yesu amfufua kuwa hai tena.

Hadithi hii ya kibibilia yatukumbusha kwamba Mungu hutuita tuwe wawakilishi wa kupeana madawa bure au kwa bei nafuu yakuwaokoa maisha na vyakula kwa wote walio na ukimwi, malaria na kifua kikuu. Eldoret, Kenya, madaktari huwaelezea wagonjwa aina mbili ya madawa; moja ikiwa ya chakula na ingine ikiwa ya matibabu.

Asante kwa madawa haya ya kupambana na virusi hivi, manake watu waliokuwa karibu kufa kama Lazaro wameweza kuamka, kutembea na kufanya kazi tena. Rosa, kwa mfano, karibu aage, lakini kwa sasa yeye ni naibu mkrugenzi wa shamba na watoto wake watatu sio mayatima. Mungu awaita matajiri kushiriki walio nayo tuweze kukomesha njaa na kuwapa uzima na tumaini kwa wagonjwa. Ombi: Mungu wa uzima, nisaidie kuwa mwakilishi wa vyakula na madawa kwa watu wote wa Mungu. Amen.

WAZO LA SIKU Waandikie watu na serikali barua leo uwaimize kushiriki vyakula

na madawa. Donal E. Messer (Colorado, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 23

Page 24: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Tazama, Sikiza, Guza Soma Marko 1:40-45

“Ukitaka, waweza kunitakasa!” …Yesu akasema, “Nataka,!... Takasika!”

Katika hadithi hili la agano, twapokea hisia kwamba Yesu yu ushukani na amejitolea kuwashinda adui wote watishao uzima wa wanaadamu. Yesu achikua mamlaka kupitia kubiri na kuwaponya wagonjwa. Aponya mwenye ukoma, mmoja wao waliobaguliwa wakati wa Yesu. Huyo mweny ukoma ajitokeza, akipiga magoti mbeleye Yesu na kusema: “Ukitaka, waweza kunitakaza.” Papo hapo, Yesu akijaa neema akanyosha mkono akamguza akinena, ‘Nataka, …takasika!’” (Marko 1:41). Hatujui vile, lakini huyo mwenye ukkoma alitambua kwamba Yesu angemwona na kumjibu moja kwa moja kama mwanadamu na sio kama aliyebaguliwa. Yesu akamsikiza, akamtazama na akamguza – matendo matatu ambayo hakuna mtu yeyote wakati huo angeweza kufanya. Twaweza ihesabu. Yesu atatujubu kama vile alivyomjibu huyo mwenye ukoma. Na leo hii, uponjaji wa upendo hunenwa kutupitia. Jukumu letu kwa wengine yapasa kuwa kama rehema yake Kristo itakayotuongoza kuwaona, kuwasikiza na kuwaguza. Ombi: Mungu wa uponyaji, nione, nisikize na uniguze leo. Amen.

WAZO LA SIKU Sisi ni macho, masikio na mikono ya Kristo Ulimwenguni leo.

Maxie Dunnam (Kentucky, U.S.A.) 24 Maombi Ya Kuhimiza

Filisika na Sifa Soma Zaburi 22

Usikae mbali nami, kwani taabu imekaribia; wala hakuna wakunisaidia. …Ee Mwenyezi-Mungu, usikae mbali nami; ewe

msaada wangu, uje haraka kunisaidia. - Zaburi 22:11, 19

Ninamsaidia rafiki wa karibu na mshiriki wa kanisa letu anapokabiliana na ukimwi. Amekuwamdhaifu na huhitaji msaada kwa kila jambo. Kila mara huwatwasoma Zaburi 22 pamoja. Zaburi inaonyesha mifano ya maumivu na faraja, uchungu na kufurahia, upweke na tumaini. Kwa njia mengi, maisha ya rafiki huyo imefananishwa katika Zaburi hiyo. Amekataliwa na watu ambao humchekelea na kumdharau wakimwona. Rafiki huyo hukabiliana na machungu na maumivu, ukavu mdomoni, kupoteza uzito kiasi aweza hesabu mifupa yake na roho iliyokufa ganzi na kupotez tumaini ndani yake. Zaburi pia huimbia ahadi za Mungu kwa rafiki wangu nasi sote: Mungu atujua naye ni nguvu yetu Kila mara yunasi na hapuuzi mateso yetu, lakini hujibu kilio chetu tukiitana msaada. Kila mara tunaposoma Zaburi 22 pamoja, amani ya Mungu hutujaza mioyoni. Uhakika wetu huturejea na twaweza endelesha Safari tukijua Mungu yuasafiri nasi. Ombi: Mungu, huwasikiza ombi letu la msaada na kutupatia nguvu nyakati za dhiki. Ahsante kwa uwepo wako utupatiao mwangaza na tumaini usiko wa giza kuu. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu hayuko mbali sana

Pascual P. Torres (Honduras)

Maombi Ya Kuhimiza 25

Page 25: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Tazama, Sikiza, Guza Soma Marko 1:40-45

“Ukitaka, waweza kunitakasa!” …Yesu akasema, “Nataka,!... Takasika!”

Katika hadithi hili la agano, twapokea hisia kwamba Yesu yu ushukani na amejitolea kuwashinda adui wote watishao uzima wa wanaadamu. Yesu achikua mamlaka kupitia kubiri na kuwaponya wagonjwa. Aponya mwenye ukoma, mmoja wao waliobaguliwa wakati wa Yesu. Huyo mweny ukoma ajitokeza, akipiga magoti mbeleye Yesu na kusema: “Ukitaka, waweza kunitakaza.” Papo hapo, Yesu akijaa neema akanyosha mkono akamguza akinena, ‘Nataka, …takasika!’” (Marko 1:41). Hatujui vile, lakini huyo mwenye ukkoma alitambua kwamba Yesu angemwona na kumjibu moja kwa moja kama mwanadamu na sio kama aliyebaguliwa. Yesu akamsikiza, akamtazama na akamguza – matendo matatu ambayo hakuna mtu yeyote wakati huo angeweza kufanya. Twaweza ihesabu. Yesu atatujubu kama vile alivyomjibu huyo mwenye ukoma. Na leo hii, uponjaji wa upendo hunenwa kutupitia. Jukumu letu kwa wengine yapasa kuwa kama rehema yake Kristo itakayotuongoza kuwaona, kuwasikiza na kuwaguza. Ombi: Mungu wa uponyaji, nione, nisikize na uniguze leo. Amen.

WAZO LA SIKU Sisi ni macho, masikio na mikono ya Kristo Ulimwenguni leo.

Maxie Dunnam (Kentucky, U.S.A.) 24 Maombi Ya Kuhimiza

Filisika na Sifa Soma Zaburi 22

Usikae mbali nami, kwani taabu imekaribia; wala hakuna wakunisaidia. …Ee Mwenyezi-Mungu, usikae mbali nami; ewe

msaada wangu, uje haraka kunisaidia. - Zaburi 22:11, 19

Ninamsaidia rafiki wa karibu na mshiriki wa kanisa letu anapokabiliana na ukimwi. Amekuwamdhaifu na huhitaji msaada kwa kila jambo. Kila mara huwatwasoma Zaburi 22 pamoja. Zaburi inaonyesha mifano ya maumivu na faraja, uchungu na kufurahia, upweke na tumaini. Kwa njia mengi, maisha ya rafiki huyo imefananishwa katika Zaburi hiyo. Amekataliwa na watu ambao humchekelea na kumdharau wakimwona. Rafiki huyo hukabiliana na machungu na maumivu, ukavu mdomoni, kupoteza uzito kiasi aweza hesabu mifupa yake na roho iliyokufa ganzi na kupotez tumaini ndani yake. Zaburi pia huimbia ahadi za Mungu kwa rafiki wangu nasi sote: Mungu atujua naye ni nguvu yetu Kila mara yunasi na hapuuzi mateso yetu, lakini hujibu kilio chetu tukiitana msaada. Kila mara tunaposoma Zaburi 22 pamoja, amani ya Mungu hutujaza mioyoni. Uhakika wetu huturejea na twaweza endelesha Safari tukijua Mungu yuasafiri nasi. Ombi: Mungu, huwasikiza ombi letu la msaada na kutupatia nguvu nyakati za dhiki. Ahsante kwa uwepo wako utupatiao mwangaza na tumaini usiko wa giza kuu. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu hayuko mbali sana

Pascual P. Torres (Honduras)

Maombi Ya Kuhimiza 25

Page 26: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Msiwe na Wasiwasi juu ya kitu chochote, ila kwa

kila hali, Mwombeni Mungu katika sala juu

yamahitaji yenu, kwa shukrani. Nayo amani ya

Mungu ipitayo akili zote za watu itawalinda salama

mioyo na akili zenu katika kuungana na Kristo

Yesu.

- Wafilipi 4:6-7

26 Maombi Ya Kuhimiza

Nani Awajalia Wenye Kuwashughulikia Wengine? Soma Wathesalonika 2:5-8

Nilikuwa mgonjwananyi mkaja kunitazama. Mathayo 25:36

Tulikaa na kuongea na wanawake wengi walio shiriki hadidhi iliyofanana. Wote walikuwa waaminifu kwa waume wao, hata kuwashughulikia walipoanza kuhisi ishara ya machungu ya ukimwi. Familia zao zilikusanyika pamoja na kusaidiana pia. Lakini wanaume walipofariki na wake zao kugunduliwa kuwa na ukimwi pia, walipuuzwa na kufukuzwa toka nyumbani kwao. Kila mara wake hulaumiwa kuwa chanzo cha ukimwi unaoua waume wao, hata ikawa hawakuwa chanzo cha kuambukizwa kwao. Wanawake hawa wakaja kwa hekalu ya Wat Frabat Nampu wa Kibudha Kaskazini Thailandi. Hapo, wakapata msaada na faraja. Hapo, walipokea kujaliwa kwa upendo walipokuwa wanakabiliana na madhara ya ukimwi, hata ingawa waliwahitaji familia zao kwa hamu na ghamu. Mara kwa mara wale washughulikiao wengine hawapati kushughulikiwa vyema wakigonjeka au wakivunjika mioyo. Swali muhimu; Ni nani atawashughulikia wenye kuwashughulikia wengine? Ombi: Ee Mungu, wachukue kwenye uwepo wako uponyao waliopeana maisha yao kuwashughulikia wenzao. Wape nguvu katika huduma zao na uwafariji kutokana na dhiki zao wenyewe. Amen.

WAZO LA SIKU Wakumbuke waliokushughulikia wakati wa mahitaji.

Yohana Blinn (Colorado, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 27

Page 27: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Msiwe na Wasiwasi juu ya kitu chochote, ila kwa

kila hali, Mwombeni Mungu katika sala juu

yamahitaji yenu, kwa shukrani. Nayo amani ya

Mungu ipitayo akili zote za watu itawalinda salama

mioyo na akili zenu katika kuungana na Kristo

Yesu.

- Wafilipi 4:6-7

26 Maombi Ya Kuhimiza

Nani Awajalia Wenye Kuwashughulikia Wengine? Soma Wathesalonika 2:5-8

Nilikuwa mgonjwananyi mkaja kunitazama. Mathayo 25:36

Tulikaa na kuongea na wanawake wengi walio shiriki hadidhi iliyofanana. Wote walikuwa waaminifu kwa waume wao, hata kuwashughulikia walipoanza kuhisi ishara ya machungu ya ukimwi. Familia zao zilikusanyika pamoja na kusaidiana pia. Lakini wanaume walipofariki na wake zao kugunduliwa kuwa na ukimwi pia, walipuuzwa na kufukuzwa toka nyumbani kwao. Kila mara wake hulaumiwa kuwa chanzo cha ukimwi unaoua waume wao, hata ikawa hawakuwa chanzo cha kuambukizwa kwao. Wanawake hawa wakaja kwa hekalu ya Wat Frabat Nampu wa Kibudha Kaskazini Thailandi. Hapo, wakapata msaada na faraja. Hapo, walipokea kujaliwa kwa upendo walipokuwa wanakabiliana na madhara ya ukimwi, hata ingawa waliwahitaji familia zao kwa hamu na ghamu. Mara kwa mara wale washughulikiao wengine hawapati kushughulikiwa vyema wakigonjeka au wakivunjika mioyo. Swali muhimu; Ni nani atawashughulikia wenye kuwashughulikia wengine? Ombi: Ee Mungu, wachukue kwenye uwepo wako uponyao waliopeana maisha yao kuwashughulikia wenzao. Wape nguvu katika huduma zao na uwafariji kutokana na dhiki zao wenyewe. Amen.

WAZO LA SIKU Wakumbuke waliokushughulikia wakati wa mahitaji.

Yohana Blinn (Colorado, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 27

Page 28: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Mungu Huomboleza Soma Yeremia 31:15-17

Sauti imesikika huko Rama, Kilio na maombolezo mengi. Raheli anawalilia watoto wake, wala hataki kutulizwa,

maana wote wamefariki. - Mathayo 2:18

Watoto wengi wasiohesabika huadhiriwa na ukimwi, malaria na kifua kikuu. Ni nani huwaombolezea? Msichana wa umri wa miaka mitano Afrika Kusini hanabudi kuhama kituo cha mayatima sababu amegonjeka sana kutokana na ukimwi, kiasi kwamba hawezi kuishi mle tena. Watoto huwa ‘wazazi’ kwa wandugu na madada zao wachanga. Ni nani atakuwa wazazi wa ‘wazazi’ hawa wachanga? Ni nani atawafariji hawa watoto, kuwafundisha, kuwalinda kutokana na ugonjwa na magumu ya maisha? Ni nani atawaombolezea ikiwa familia na jamii yao imefilisika? Watoto wengi wasiohesabika hawana yeyote wakuwaombolezea kwa sababu kizazi chote kimefilisika. Niweze kusema nini? Niweze kuwajibika namna gani? Huenda nisiweze kutana na wapendwa hawa wachanga; wanaoishi maisha tofauti, wengine wao wakifuata madhehebu tofauti. Lakini wote ni dada na ndugu zangu, wasichana na wavulana. Hao ni wana wa Mungu aliye juu zaidi anayewaombolezea watoto wote! Ombi: Mungu warehema, pamoja na kila jamii ya ulimwengu, twaomboleza pamoja nawe. Wafariji waliopweke na kuogopa kwamba hakuna wakuwaombolezea. Tufanye kwa roho yako tukiwafikia wanaoomboleza, tuwe mikono yakotuwasaidie wanaoishi. Maana wewe ndiwe Mungu asimamaye na na waliopuziliwa na kupotea. Njoo kila mahali patakapo faraja yako na uwepo wako wa uponyaji. Amen.

WAZO LA SIKU Twaweza ungana na Mungu kwa matendo ya rehema na machozi kwa

wote walio na dhiki leo. Beth A. Richardson (Tennessee, U.S.A)

28 Maombi Ya Kuhimiza

Kumpenda Jirani Yetu Soma Wagalatia 6:1-5

Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, upendo ni utimilifu wa sheria.

- Waroma 13:10 Hivi punde niliweza kutana na mwanamke aitwaye Bertha, kutoka Guatemala akiwa na ukimwi. Alikuwa akiongea kuhusu vile walio na ukimwi hubaguliwa katika jamii. Akasema, “Hata kanisa laweza tenda dhara kuu kwa wale wanaongangana na ukimwi.” Kwa upole, alielezea kuhusu mama aliye mjane El Salvador aliye enda kanisani kufarijika. Baada ya kusikiza hali yake, kasisi aliwaonya jamii yote “kutahadhari” na mama huyu. Hatimaye, huyu mama akahama jiji hilo. Bertha huelezea kuwa wake wengine waliopuziliwa hujinyonga. Hadithi yake Bertha ilinivunja moyo. Ilinifanya nijiulize kuhusu matendo yangu mwenyewe. Niweze kuwashughulikiaje walio na ukimwi, mimi nikiwa mwamini Mkriskito? Niweze kuwashughulikiaje wanaogonjeka na kutarajia kushughulikiwa? Katika barua yake kwa waGalatia, mtume Paulo atuhimiza tubebeana mizigo mmoja kwa mwingine, sio kuwakemea wanaongangana na kuteseka au walio tofauti nasi. Twaitwa tutende kwa neema ya upendo bila kuwahukumu wengine, bali tuonyeshe upendo wa Kristo kwa kila jambo tunalolitenda. Ombi: Mungu mtakatifu, fanya ndani yetu roho iliowazi kwa watoto wako wote, tukiambatana na wale walio na mahitaji.Tusaidie kuwashughulikia na kuwaonyesha upendo. Amen.

WAZO LA SIKU Mwangaza wa Mungu hungaa ndani yetu tukiwapenda wengine.

Linda Bales (Virginia, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 29

Page 29: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Mungu Huomboleza Soma Yeremia 31:15-17

Sauti imesikika huko Rama, Kilio na maombolezo mengi. Raheli anawalilia watoto wake, wala hataki kutulizwa,

maana wote wamefariki. - Mathayo 2:18

Watoto wengi wasiohesabika huadhiriwa na ukimwi, malaria na kifua kikuu. Ni nani huwaombolezea? Msichana wa umri wa miaka mitano Afrika Kusini hanabudi kuhama kituo cha mayatima sababu amegonjeka sana kutokana na ukimwi, kiasi kwamba hawezi kuishi mle tena. Watoto huwa ‘wazazi’ kwa wandugu na madada zao wachanga. Ni nani atakuwa wazazi wa ‘wazazi’ hawa wachanga? Ni nani atawafariji hawa watoto, kuwafundisha, kuwalinda kutokana na ugonjwa na magumu ya maisha? Ni nani atawaombolezea ikiwa familia na jamii yao imefilisika? Watoto wengi wasiohesabika hawana yeyote wakuwaombolezea kwa sababu kizazi chote kimefilisika. Niweze kusema nini? Niweze kuwajibika namna gani? Huenda nisiweze kutana na wapendwa hawa wachanga; wanaoishi maisha tofauti, wengine wao wakifuata madhehebu tofauti. Lakini wote ni dada na ndugu zangu, wasichana na wavulana. Hao ni wana wa Mungu aliye juu zaidi anayewaombolezea watoto wote! Ombi: Mungu warehema, pamoja na kila jamii ya ulimwengu, twaomboleza pamoja nawe. Wafariji waliopweke na kuogopa kwamba hakuna wakuwaombolezea. Tufanye kwa roho yako tukiwafikia wanaoomboleza, tuwe mikono yakotuwasaidie wanaoishi. Maana wewe ndiwe Mungu asimamaye na na waliopuziliwa na kupotea. Njoo kila mahali patakapo faraja yako na uwepo wako wa uponyaji. Amen.

WAZO LA SIKU Twaweza ungana na Mungu kwa matendo ya rehema na machozi kwa

wote walio na dhiki leo. Beth A. Richardson (Tennessee, U.S.A)

28 Maombi Ya Kuhimiza

Kumpenda Jirani Yetu Soma Wagalatia 6:1-5

Ampendaye jirani yake hamtendei vibaya. Basi, upendo ni utimilifu wa sheria.

- Waroma 13:10 Hivi punde niliweza kutana na mwanamke aitwaye Bertha, kutoka Guatemala akiwa na ukimwi. Alikuwa akiongea kuhusu vile walio na ukimwi hubaguliwa katika jamii. Akasema, “Hata kanisa laweza tenda dhara kuu kwa wale wanaongangana na ukimwi.” Kwa upole, alielezea kuhusu mama aliye mjane El Salvador aliye enda kanisani kufarijika. Baada ya kusikiza hali yake, kasisi aliwaonya jamii yote “kutahadhari” na mama huyu. Hatimaye, huyu mama akahama jiji hilo. Bertha huelezea kuwa wake wengine waliopuziliwa hujinyonga. Hadithi yake Bertha ilinivunja moyo. Ilinifanya nijiulize kuhusu matendo yangu mwenyewe. Niweze kuwashughulikiaje walio na ukimwi, mimi nikiwa mwamini Mkriskito? Niweze kuwashughulikiaje wanaogonjeka na kutarajia kushughulikiwa? Katika barua yake kwa waGalatia, mtume Paulo atuhimiza tubebeana mizigo mmoja kwa mwingine, sio kuwakemea wanaongangana na kuteseka au walio tofauti nasi. Twaitwa tutende kwa neema ya upendo bila kuwahukumu wengine, bali tuonyeshe upendo wa Kristo kwa kila jambo tunalolitenda. Ombi: Mungu mtakatifu, fanya ndani yetu roho iliowazi kwa watoto wako wote, tukiambatana na wale walio na mahitaji.Tusaidie kuwashughulikia na kuwaonyesha upendo. Amen.

WAZO LA SIKU Mwangaza wa Mungu hungaa ndani yetu tukiwapenda wengine.

Linda Bales (Virginia, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 29

Page 30: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Tumaini Katika Siku Ya Maafa Soma Maombolezo 3

Usiwe tisho kwangu; wewe ndiwe kimbilio langu siku ya maafa. - Yeremia 17:17

Maafa ilipotokea nilipo gunduliwa na ukimwi, tayari nilijua dhamana ya kushikilia tumaini la milele inayotokana na kumwamini Yesu Kristo. Pia nikatambua kwamba kuwa na imani ya kudumu milele nyakati za mateso ni jambo lililo rahisi kuliongea tu! Ikawa rahisi kujitambulisha na nabii Yeremia akililia: “Kwa nini mateso yangu hayaishi?” (Yer 15:18). Hata nikamwambia Mungu, Kwa Yeremia, “Ama kweli umenidanganya, kama kijito cha maji ya kukaukakauka!” Baadaye, ndipo ikadhihirika kwamba katika Kristo Yesu, hakika tuna tumaini liliohai na ngome kutokana na maafa yanayopatikana katika maisha haya. Kukumbuka taabu na kutangatanga kwangu kwanipa uchungu kama wa nyongo (Maombolezo 3:19). Nayafikiria hayo daima, nayo roho yangu imejaa majonzi. Lakini nakumbuka jambo hili moja, nami ninalo tumaini: kwamba fadhili za Mwenyezi Mungu hazikomi, huruma zake hazina mwisho. Kila kunapokucha ni mpya kabisa; uaminifu wake ni mkuu mno” (Maombolezo 3:21-23). Ombi: Asante Mungu Baba, kwamba ingawaje nimechoshwa na kuangaika kwangu, lakini sitakiri: “Hamnatumaini.” Asante kwa kurejesha upya nguvu tunayoipata ndani yako. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu ndiye tumainilyetu la kipekee katika siku za maafa.

Frans H. Koekemoer (Afrika Kusini) 30 Maombi Ya Kuhimiza

Kushirikia Woga Wetu Soma Zaburi 27

Mwenyezi-Mungu ni mwangaza wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa?Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha

yangu; sitamwogopa mtu yeyote. - Zaburi 27:1

Miaka sita iliyopita, nilipokea upasuaji kutoa saratani ya bongo. Nikawa hospitalini mara tatu juu ya saratani. Kwa sababu ya kugonjeka kwangu, singewahi kuendelea na kazi yangu ya huduma ya mara kwa mara kama mchungaji wa kanisa. Nilizingirwa na “familia” kubwa ikijumlisha familia yangu ya nyumbani, familia ya kanisa, marafiki wa jamii, na familia ya hospitali. Hawa wote walikuwa watu ambao kwa njia tofauti, wangeweza kuelewa woga wangu na kunisaidia kukabiliana na dhiki yangu. Niligundua kwamba kushiriki woga na dhiki yangu na “familia” yangu ilikuwa kama tiba kwangu. Watu walio na ukimwi, malaria, kifua kikuu na magonjwa mengine hatari pia waweza kuwa na mahitaji ya kushiriki woga wao na dhiki yao. Niligundua kwamba katika kushirikia hisia zangu, niliwezeshwa kuwasaidia wengine kukabiliana na hisia zao wenyewe. Nilipokuwa na uhodari wa kushirikiana na wengine woga na dhiki zangu, tumaini mpya na nguvu ilipatikana kwangu na kwa wale walionizingira. Ombi: Mungu mwenye ujasiri, asante kwa nguvu ya uwepo wako ubadilishao katika kushirikiana kwangu leo. Tupate kuona uso wako kwa wale tuwakutao. Amen.

WAZO LA SIKU Kushiriki woga wetu na dhiki yetu inaweza kututia nguvu pamoja

na hata wengine. Gilbert H. Caldwell (New Jesrey, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 31

Page 31: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia

Tumaini Katika Siku Ya Maafa Soma Maombolezo 3

Usiwe tisho kwangu; wewe ndiwe kimbilio langu siku ya maafa. - Yeremia 17:17

Maafa ilipotokea nilipo gunduliwa na ukimwi, tayari nilijua dhamana ya kushikilia tumaini la milele inayotokana na kumwamini Yesu Kristo. Pia nikatambua kwamba kuwa na imani ya kudumu milele nyakati za mateso ni jambo lililo rahisi kuliongea tu! Ikawa rahisi kujitambulisha na nabii Yeremia akililia: “Kwa nini mateso yangu hayaishi?” (Yer 15:18). Hata nikamwambia Mungu, Kwa Yeremia, “Ama kweli umenidanganya, kama kijito cha maji ya kukaukakauka!” Baadaye, ndipo ikadhihirika kwamba katika Kristo Yesu, hakika tuna tumaini liliohai na ngome kutokana na maafa yanayopatikana katika maisha haya. Kukumbuka taabu na kutangatanga kwangu kwanipa uchungu kama wa nyongo (Maombolezo 3:19). Nayafikiria hayo daima, nayo roho yangu imejaa majonzi. Lakini nakumbuka jambo hili moja, nami ninalo tumaini: kwamba fadhili za Mwenyezi Mungu hazikomi, huruma zake hazina mwisho. Kila kunapokucha ni mpya kabisa; uaminifu wake ni mkuu mno” (Maombolezo 3:21-23). Ombi: Asante Mungu Baba, kwamba ingawaje nimechoshwa na kuangaika kwangu, lakini sitakiri: “Hamnatumaini.” Asante kwa kurejesha upya nguvu tunayoipata ndani yako. Amen.

WAZO LA SIKU Mungu ndiye tumainilyetu la kipekee katika siku za maafa.

Frans H. Koekemoer (Afrika Kusini) 30 Maombi Ya Kuhimiza

Kushirikia Woga Wetu Soma Zaburi 27

Mwenyezi-Mungu ni mwangaza wangu na wokovu wangu, ni nani nitakayemwogopa?Mwenyezi-Mungu ni ngome ya maisha

yangu; sitamwogopa mtu yeyote. - Zaburi 27:1

Miaka sita iliyopita, nilipokea upasuaji kutoa saratani ya bongo. Nikawa hospitalini mara tatu juu ya saratani. Kwa sababu ya kugonjeka kwangu, singewahi kuendelea na kazi yangu ya huduma ya mara kwa mara kama mchungaji wa kanisa. Nilizingirwa na “familia” kubwa ikijumlisha familia yangu ya nyumbani, familia ya kanisa, marafiki wa jamii, na familia ya hospitali. Hawa wote walikuwa watu ambao kwa njia tofauti, wangeweza kuelewa woga wangu na kunisaidia kukabiliana na dhiki yangu. Niligundua kwamba kushiriki woga na dhiki yangu na “familia” yangu ilikuwa kama tiba kwangu. Watu walio na ukimwi, malaria, kifua kikuu na magonjwa mengine hatari pia waweza kuwa na mahitaji ya kushiriki woga wao na dhiki yao. Niligundua kwamba katika kushirikia hisia zangu, niliwezeshwa kuwasaidia wengine kukabiliana na hisia zao wenyewe. Nilipokuwa na uhodari wa kushirikiana na wengine woga na dhiki zangu, tumaini mpya na nguvu ilipatikana kwangu na kwa wale walionizingira. Ombi: Mungu mwenye ujasiri, asante kwa nguvu ya uwepo wako ubadilishao katika kushirikiana kwangu leo. Tupate kuona uso wako kwa wale tuwakutao. Amen.

WAZO LA SIKU Kushiriki woga wetu na dhiki yetu inaweza kututia nguvu pamoja

na hata wengine. Gilbert H. Caldwell (New Jesrey, U.S.A.)

Maombi Ya Kuhimiza 31

Page 32: Uwe Hodari Na Moyo Wa Ushujaa; Usiogope Wala Usifadhaike ... for E Swahili.pdfYesu Kristo – waajabu, mwenye nguvu na aliyejaa upendo – atubeba imara na kwa uhakika kila mara tukipitia