an nuur 1130

17
ISSN 0856 - 3861 Na. 1130 SHAABAN 1435, IJUMAA , JUNI 20-26, 2014 BEI TShs 500/=, Ks hs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz facebook: annuurpaper [email protected] TAMAS HA la ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Pemba linahitimishwa leo kwa semina juu ya utekelezaji wa program za kuendeleza Uislamu nchini. T amasha lafana Pemba Tunakoelekea kubaya Itakuwa ni haya aliyofanyiwa Aisha Kapoteza macho, pua na uso wote Mbiu ishapigwa Unguja, Mbagala 953 washiriki kutoka mikoa yote Wachangia Sh. 11,492,000 za ujenzi Mwanza wavunja rekodi mahudhurio Kilimanjaro waingia ‘Big 3’ michango Na Mwandishi Wetu Tamasha hilo ambalo lilifunguliwa  Juni 13 wiki iliyop ita lilihudhuriwa na wawakilishi kutoka mikoa yote nchini, isipokuwa mikoa mipya ya Geita na Katavi.  Jumla ya washiriki Inaendelea Uk. 4 Machafuko yakolea Kenya  MAITI za wan anchi wa Kenya w aliouliwa katika shambulio lililofanyika Mombasa hivi karibuni. Habari Uk. 5.  Mwandishi T erese Cristiansson, akishi kilia picha ya Ai sha ikionyesha uso wake ulivyo baada ya kulipuliwa. Soma Uk. 8 (8) KILA ENEO LIPELEKE MAHUJAJI Qur'ani imedhamini kuwa tutakwenda Hijja kutoka milima na mabonde ya mbali (Al-Hajj:27). Yaa ni Mwenyezi Mungu Anataka tutoke kila eneo kwenda Hijja kila mwaka. Sharti la kukubaliwa dua zetu ni sisi kuitikia wito wake! (Al-Baqara:186) Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

Upload: zanzibariyetu

Post on 14-Oct-2015

1.128 views

Category:

Documents


9 download

TRANSCRIPT

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1130 SHAABAN 1435, IJUMAA , JUNI 20-26, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected]

    T A M A S H A l aujenzi wa Kituo chaKiislamu Pembal i n a h i t i m i s h w aleo kwa seminajuu ya utekelezajiw a p r o g r a m z akuendeleza Uislamunchini.

    Tamasha lafana Pemb

    Tunakoelekea kubayaItakuwa ni haya aliyofanyiwa Aisha

    Kapoteza macho, pua na uso woteMbiu ishapigwa Unguja, Mbagala 953 washiriki kutoka mikoa yote

    Wachangia Sh. 11,492,000 za uje

    Mwanza wavunja rekodi mahudhu

    Kilimanjaro waingia Big 3 michanNa Mwandishi Wetu T a m a s h a h

    ambalo lilifungulJuni 13 wiki iliyolilihudhuriwa

    wawakilishi kutmikoa yote nchisipokuwa mimipya ya GeitaKatavi.

    Jumla ya washInaendelea U

    Machafuko yakolea Kenya MAITI za wananchi wa Kenya waliouliwa kashambulio lililofanyika Mombasa hivi kariHabari Uk. 5.

    Mwandishi Terese Cristiansson, akishikilia picha ya Aisha ikionyesha uso wakeulivyo baada ya kulipuliwa. Soma Uk. 8

    (8) KILA ENEO LIPELEKE MAHUJQur'ani imedhamini kuwa tutakwen

    Hijja kutoka milima na mabonde ya m(Al-Hajj:27). Yaani Mwenyezi Mun

    Anataka tutoke kila eneo kwenda Hijjamwaka. Sharti la kukubaliwa dua zesisi kuitikia wito wake! (Al-Baqara:1

    Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwmipango mizuri na huduma bora. Ghazote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uita

    mali yako na uboreshe Hijja yakoTafadhali wasiliana nasi: Tanzania B

    0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanz

    0777468018/0685366141/06576067

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    2/16

    2 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26,

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri

    KUNA taarifa kwambaserikali ya Tanzaniaimekubali kutoa mafunzoya kijeshi kwa askariwa jeshi la serikali yaSomalia, kama sehemu yajitihada zake za kusaidiakupatikana amani nausalama nchini Somaliakufuatia ombi la Rais wasasa wa Somalia HassanSheikh Mohamud.

    Hii ni mara ya pili kwaTanzania kukubali ombi

    la serikali ya Somali kutoamafunzo kwa askari waSomalia.

    Mwaka 2012 serikaliilikubali kutoa mafunzokwa askari 1,000 waSomalia kufuatia ombi laRais aliyemaliza mudawake Somalia Sheikh SharifSheikh Ahmed.

    Moja ya sababu kubwaya Tanzania kuridhia ombihilo, imeelezwa kuwa nikuongeza uwezo wa kikosihicho cha Somalia kuilindanchi hiyo.

    M k u r u g e n z i w aMawasiliano Ikulu Bw.

    S a l v a R w e y e m a m u ,al inukul iwa akisemakuwa tayari makambi yamafunzo yameandaliwa nakwamba kinachosubiriwani Somalia kuteua haoaskari 1000 kuja nchinikwa ajili ya mafunzo hayo.

    Bw. Reyemamu alisemak u w a m a f u nz o k w aaskari hao wa Somaliayatawawezesha kuwaa s k a r i w a k i t a a l a mwatakaosaidia kudumishausalama wa nchi yao, haliitakayotoa nafasi ya nchikujihusisha na masuala yamaendeleo.

    Naye Waziri wa Ulinzi naJeshi la Kujenga Taifa Dk.Hussein Mwinyi, alisema

    Jeshi la Ulinzi la Wananchiwa Tanzania (TPDF)limekuwa likiongozakatika kutoa mafunzo naoperesheni za kulindaamani kat ika Afr ikaMashariki na zaidi ya hapokujenga ushirikiano imarawa kanda.

    Alinukuliwa akisemakuwa hata mwaka uliopita,

    Jeshi letu lilitoa fursa zamafunzo kwa vikosi namaofisa wa jeshi kutokanchi za Botswana, Kenya,

    Tuwe makini na mambo ya SomaliaUshauri wa Mhe. Ndugai uchukuliwe

    Uganda, Rwanda, Burundi,Malawi, Zambia, Namibia,Ushelisheli, Swaziland naZimbabwe.

    Aidha alisema Tanzaniaa w a l i i l i w a hi k u to amafunzo kwa vikosi vyaSomalia katika kutoamwitiko wa ombi la Umojawa Afrika.

    Al i ta j a o pe r e she n inyingine ambazo Tanzaniailikuwa na jukumu lakuongoza katika kulinda

    amani kuwa ni pamoja naJamhuri ya Demokrasia yaKongo, Lebanon na Sudaniya Kusini.

    Kimsingi hatuna tatizona misaada ya kijeshiinayotolewa na serikaliyetu kwa majirani zetuwenye mizozo.

    Tunachotizama hapani aina ya mzozo uliopoSomalia na madhara yakekwa mataifa jirani. Hulkaya pande mbili za mzozoSomalia na uhusiano waona nchi nyingine katikakutatua tofauti zao, lakinila muhimu zaidi ni nchi

    zenye lengo la kusaidiautatuzi kuwa na ufahamuwa kina wa mzozo huokatika kuchukua hatua zakusaidia kuutatua.

    Kwa jinsi hali ilivyoS o m a l i a , k i l a n c h iiliyohusika kijeshi katikakujaribu kutatua mzozo wanchi hiyo, zilikabiliwa namatukio ya mashambulizindani ya ardhi za nchi hizo.Ethiopia, Uganda na sasaKenya, ni mfano mzurikwetu.

    T a n g u U g a n d ailipopeleka jeshi lake hukoSomal ia , imeambuliamashambulizi ndani yanchi yake huku askari wakewakiendelea kupotezamaisha Somalia na badohali haijatengemaa.

    Kenya sasa imegeuzwauwanja wa mapambano.Kila kukicha mashambuilizihayaishi na raia wasiona hatia wakiendeleakupoteza maisha na malikuharibiwa.

    Kwa bahati mbaya,machafuko ya Somaliayamekuwa uchochorounaotumiwa na mataifamakubwa, kupandikizatna za kichochezi katika

    mataifa jirani na Somalia.Hivi sasa tunaona

    kila linapotokea tukiola mlipuko hapa kwetu,au hata nchi za jirani,kwa namna moja aunyingine lazima tukio hilolitahusishwa na Alshaababau al Qaeda.

    N a k u w a f i t n aimekolezwa vya kutoka,

    jamii ya watu wa imanifulani wanakuwa ndiowalengwa na washukiwawa kwanza wa matukiohayo.

    Tuseme tu kwamba,wakati serikali iliposemainajiandaa kutoa mafunzoya kijeshi kwa askari waSomalia nchini, tayariWatanzania wameonyeshawasiwasi mkubwa.

    Kw a m ba T a nz a ni akujihusisha kijeshi katikam a su a l a y a S o m a l i akunaweza kukaribishamashambulio ya kigaidikutoka kwa al-Shabaab

    kama inavotokea Kenyahivi sasa.Lakini pia yapo maoni

    na tuhuma kuwa kilanchi inaposhinikizwana kufanywa ama mtoamajeshi kwenda kupiganaSomalia, huwa inachofanyani kupigana proxy war yamabeberu na wala vitahiyo haiwasaidii Somaliaila kuwaangamiza zaidi.Na nchi inayotumiwakupigana au kufunza

    jeshi dhidi ya al Shabab,basi hutumiwa kisingiziocha kutangaziwa uaduina al Shabab ikapigwana kufanyiwa matukio yakigaidi ili kuleta machafukokatika nchi.

    Si hivyo tu, bali kunatoamwanya kwa tna ya ugaidikukolea na kusababishakupandikizwa vitendo vyamachafuko na kulazimikaserikali kupanua mpangowake na kuingia moja kwamoja kijeshi na kwendaSomalia.

    Tunapaswa kujifunzakutoka kwa ndugu zetuwa Kenya. Awali Kenyahaikuwa na uhasama naSomalia, na ilikuwa msaadamkubwa wa kupokeawakimbizi kutoka Somalia

    wanaokimbia machafuko.Lakini kwa kuamua

    kuingilia kijeshi Somalia,leo imegeuka uwanja wavita kwa wanakabiliwana mashambulio ya marakwa mara ya kigaidi.Watu wanauliwa, watuwanaharibiwa mali zao,tna imeingizwa na serikalisasa inatesa raia wakeyenyewe.

    Tunapaswa kuepukatatizo hili. Vikundi vyawapiganaji tunavyovisikiakama Boko Haram nchiniNigeria, Al Shaabab ni

    makundi yasiyoelewekahakika yake kwani kama alShabab yapo madai kuwahupewa silaha na hao haowanaowapa silaha serikaliya Somalia na AMSOM.

    Tunavyoona, kwa jinsimazingira ya mzozo waSomalia ulivyo, serikaliinapaswa kuepuka kabisakujihusisha kijeshi katikamgogoro wa nchi hiyo.

    Kwa hili la Somalia, kaziya Jeshi letu la Wananchiibakie kulinda mipaka yanchi yetu na raia wake.

    Tunafahamu Somaliakuna tatizo, lakini litakuwa

    jambo jema kama serikaliitakuwa mbali na matatizoya Somalia isifanywekatagosi wa kupiganaproxy war ya mabeberu.

    S e r i k a l i i n a w e z akutumia ushawishi wakekatika ukanda huu waAfrika Mashariki na katikamaziwa makuu, kuingiaSomalia kidiplomasia, kwakuweka mikakati sahihiya kukutanisha pandezinazozozana ili kujaribu

    kujadiliana na kufikiamakubaliano.Hata kama itaamuliwa

    kufanya mazungumzo yakidiplomasia kwa pandezinazovutana jijini Dar esSalaam, tunaamini hilohaliwezi kuzalisha uaduikati ya pande zinazozozanaSomalia na nchini yetu.Hi lo hal iwezi kuzaamashambulizi nchini kamailivyo Kenya hivi sasa.

    Ukiacha kutumia njia zakidiplomasia, pia tunawezakuingia katika kusaidiamzozo wa Somalia kamatulivyofanya siku zanyuma, ambapo serikaliilitoa msaada wa chakula

    kukabiliana na baa la njaanchini humo.Tuchukue fursa hii

    kumpa pongezi Naibu

    Spika wa Bunge la Jamya Muungano wa TanzBw. Job Ndugai, amamesema litakuwa jla hatari sana kwa usawa taifa kutuma vnchini Somalia, ambvingechochea uhasamal-Shabaab.

    J a p o k u wa s e r iimezungumzia kmafunzo kwa askar

    Somalia nchini na si kupeleka vikosi, lkwa kuwa hatua hiya kijeshi, inawezepia ikaria kutuma vkama ilivyofanya hCongo- DRC, DarfuComoro.

    Bw. Ndugai aliiserikali Serikali haiphata kidogo kufiwazo la kupeleka vnchini Somalia kwa saitakuwa ni hatari kukwa Taifa.

    Alifafanua kwakama kitatokea choctunapaswa kuwezmikutano kwa aji

    pande zenye migokusuluhisha tofauti zBw. Ndugai alis

    vikosi vya Tanzhaviwezi kutumwa knchi yoyote bila ya riya Bunge, kupitia Kaya Ulinzi na Usalamana uhakika kwampango wowote khuo utazuiwa na wab

    M u hi m u k w e tukufahamu asili ya mgowa Somalia na mazyake yanatokolezwmabeberu kila uchao

    T u m w a c he be baliyelikoroga alin

    m w e ny e w e . S i o kutumika kama upkukoroga uji wa mTutaungua.

    Kumradhi

    Tunaomba radhi wasomaji na familia ya marehSheikh Mohamed Idris kwa kuchapisha kimakosa yake katika toleo lililopita. Aidha, tunaomba radhkuchapishwa kimakosa wasifu wa Sheikh MohaIdris.

    MHARIRI

    AL-MARHUUM Sheikh Mohamed Idris.

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    3/16

    3 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari

    Wakati Mwenyekiti waCUF Taifa Prof. IbrahimLipumba akiichambuana kuikosoa bajeti yaSerikali ya mwaka2014/2015 kwa kuelezakuwa ina mapungufumengi, ameunga mkonouamuzi wa Serikalikuwa na utaratibuwa kutoa taarifa yamisamaha ya kodi

    kila robo ya mwakakwa kuwatang azaw a l i o n u f a i k a n amisamaha hiyo kwenyetovuti ya Wizara yaFedha.

    Katika taarifa yakealiyoitoa kwa vyombovya habari Ofisi Kuuza CUF, Buguruni jijiniDar es Salaam, Prof.L i pu mba amesemautaratibu huo unawezakusaidia kudhibi t imisamaha ya kodi, nakuwawezesha wananchikuwa na taarifa zamisamaha na kuwezakudai kufutwa kwamisamaha hiyo.

    P r o f . L i p u m b aambaye ni mchumikitaaluma amesema ilikujenga utamaduni wakulipa kodi kuwa isharaya uzalendo ni muhimumisamaha ya kodi kwaviongozi wa serikaliwakiwemo wabungena mawaziri iondolewe,akifafanua kuwa nivigumu kwa viongoziambao hawalipi kodi

    k u w a h a m a s i s h aw a n a n c h i k u w awazalendo na kulipakodi.

    A k i z u n g u m z i autekelezaji wa miradichini ya viwango, Prof.L i pu mba amesemakumekuwepo na tatizo la

    baadhi ya watendaji waserikali kuchangamkiaununuzi wa vifaa kwamategemeo ya kupataCommission kulikomalengo ya kuongezaufanisi, jambo ambalolinapunguza ufanisi

    Prof. Lipumba aunga mkonotaarifa misamaha ya kodi

    Aikosoa bajeti ya serikalikwa miradi hiyo.

    Aidha amepongezautaratibu wa serikali wakudhibiti matumizi yaumma kwa kuunganishamatumizi yote ya serikalichini ya mfumo mmojau n a o s i m a m i w a n aMlipaji Mkuu wa Serikalikupitia akaunti moja yahazina Single TreasuryAccount.

    Amefahamisha kuwakuwepo kwa utaratibuhuo ni jambo zuri, lakinilinahitaji maandaliziikiwa ni pamoja nakufunga akaunti nyingizinazotumiwa na taasisinyengine za Serikali.

    Wizara na Idara nyingizimeendelea kufunguaakaunti mpya. KunaWizara zinazopingaHazi na ku si mami aulipaji wa makandarasiw a n a o t e k e l e z amiradi ya maendeleo.Utekelezaji wa SingleT r e a s u r y A c c o u n t u nahi ta j i ku u ngwamkono kikamilifu naRais, alifafanua Prof.Lipumba.

    Hata h i vyo P r of .I b r a h i m L i p u m b a ,ameichambua bajeti yaSerikali ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniakwa mwaka wa fedha2014/2015, na kusemakuwa ina mapungufumengi.

    Al i mesema ba je t ihiyo bado hai ja toa

    kipaumbele kwenyemiradi ya maendeleo nakwamba, bajeti mbadalailitakiwa ijikite katikaukusanyaji wa mapatokwa umakini, sambambana kuwepo matumizimazuri ya fedha zaumma.

    Alieleza kuwa kunahaja ya kuwepo mikakatimadhubuti ya kuanzishana kuendeleza viwandavinavyotumia mali ghaza ndani, na kuwezakuajiri watu wengi katika

    viwanda kama vya nguona bidhaa nyingine zamatumizi ya ndani, ilikukidhi soko la ajira nauchumi kwa ujumla.

    P r o f . L i p u m b aamewaambia waandishiwa Habari kuwa bajetiikiwa nyenzo muhimuya sera za serikali ,inapaswa kuandaliwakwa umakini ili iweze

    kutekelezwa kwa mujibuwa mahitaji yaliyopo.Amesema ni jambo

    la kushangaza kuonabajeti inayoidhinishwak a t i k a b u n g e k i l amwaka haitekelezwikama ilivyopangwa, na

    badala yake kunakuwana tofauti kubwa kati ya

    bajeti inayoaidhinishwana ile inayopatikana kwamatumizi ya mwaka.

    A l i o n g e z a k u w aba ad hi ya Wi za ra zaSer i ka l i z i meku wazikipata fedha chini ya

    asilimia 50 ya matumiziy a l i y o p a n g w a n akusababisha miradimingi ya maendeleokuzorota kutokana naukosefu wa fedha.

    Aidha amesema bajetihiyo bado inabakia kuwategemezi kutokana namapato ya ndani kuwamadogo, ikilinganishwana matumizi ya kawaidaya serikali.

    Alifahamisha kuwas e r i k a l i i n a p a s w akujipanga ipasavyo,ili kuepuka utegemezikwa bajeti ya maendeleo,a m b a p o a m e s e m aimekuwa ikitegemeazaidi misaada na mikopokutoka nchi za nje namashirika ya Kimataifa.

    Ametaja mambo yamsingi yanayopaswakuzingatiwa wakati wautayarishaji wa bajetikuwa ni pamoja na bajetikuweza kukia malengoya uchumi mpana, ukuajiwa pato la taifa, mfumkowa bei, akiba ya fedhaza kigeni pamoja na

    thamani sarafu.

    M a m b o m e n g i n ealiyobainisha ni kutakamatumizi yagawiwekulingana na malengoya sera ya taifa pamojana kujenga mazingiraya utekelezaji mzuri wa

    bajeti.Katika hatua nyingine

    Prof. Lipumba alisemab a d o b a j e t i h i y oh a i j a w e k a b a y a n akuhusu ukuaji wa deni laTaifa, ambalo amesemalimekuwa likikuwa kwaasilimia 20 kwa mwakawakati ukuaji wa uchumi

    ni asilimia 7 kwa mwaka.

    Amesema deni

    ni hatari kwa Taiflinapaswa kuwekmikakati imaralisiendelee kuongena kudumaza patwananchi.

    Amesema lichaserikali kudai bimelenga kupunggharama za makwa wananchi, lawananchi walio w

    ba do wana on a kgharama za mazinaendelea kupakwa kasi kubwa kutakwimu zinazoto

    na serikali.

    Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba.

    CHAMA Cha WananchiCUF kinaendelea namaandalizi yake kwaajili ya Mkutano MkuuTaifa utakaoambatanana uchaguzi wa viongoziwakuu wa Kitaifa waChama hicho.

    A k i z u n g u m z a n awaandishi wa habarikatika Osi Kuu za Chamahicho Buguruni Dar esSalaam, Katibu Mkuu waChama hicho Maalim SeifSharif Hamad, amesemamaandalizi yote ya msingikwa ajili ya mkutano huoyamekamilika.

    Alisema katika mkutanohuo unaotarajiwa kufanyika

    Juni 23 hadi 27, wajumbewa mkutano watapokeataarifa mbalimbali zakazi za chama kuanziamwaka 2009 hadi 2014,pia watapata fursa yakuzijadili.

    Uchaguzi Mkuu CUF Juni Na Mwandishi Wetu A m e b a i n i s h a

    nyingine katika mkuhuo kuwa ni pamokuwachagua vionwakuu wa kitaifachama hicho, ambaMwenyekiti wa TMakamu MwenyekiKatibu Mkuu.

    V i o ng o z i w e nwatakaochaguliwa k

    mkutano huo ni wajuwa Baraza Kuu la UonTaifa pamoja na wajuwa vi t i maalum wanawake.

    Maalim Seif , taametangaza nia ya kunafasi yake ya UkaM k u u . A i d h a kuwezekano Mwenyekchama hicho Prof. Lipunaye akatetea nafasi katika uchaguzi unaotazamiwa kufankatika hoteli ya Blue Ubungo Plaza, jijini Dsalaam.

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    4/16

    4 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari

    Tamasha lafana Pembawote ni 956 ambapokwa watu waliotokambali (Bara), Mwanzai m e on g oz a k w akuleta wawakilishi36.

    Katika jumla ya

    kazi zilizofanyikakatika tamasha hiloni kusasha eneo lakituo, kutengeneza

    barabara na nj iazinazopita kati yamajengo na kazin y i n g i n e k a m azilipopangwa nakus imamiwa naAmir wa tamasha.

    W a i s l a m uw a l i o h u d h u r i at a m a s h a h i l o

    wakitokea Bukoba,M a ra , M w a n z a ,Kigoma, Ruvuma(Songea), Lindi ,Rukwa na mikoamingine ya Barawaki jumuika nawenzao wa Ungujana pemba, walijilipianauli zao wenyeweambapo pamojana kufanya kazi,kila mkoa ulikujana mchango wakuendeleza kituo.

    A w a l i k a t i k atamasha la mwaka

    jana lili lofanyikaKirinjiko, Same, kilamkoa ulipangiwakiasi cha mchango wafedha unachotakiwakukusanya na kuletaw a k a t i h u u w atamasha.

    Kiwango cha chinikilikuwa shilingilaki tano kwa mikoakama Lindi, Mtwara

    na Rukwa.Kwa mkoa waDar es Salaam waowali leta mil ionita tu (3 ,000 ,000)w a k i fu a t i w a n aMwanza walioletamilioni mbili laki sita(2,600,000).

    M k o a w aKil imanjaro naouliingia katika Big3 kwa kuleta shilingimilioni moja na elfu

    Inatoka Uk. 1 tisini (1,090,000)Jumla ya fe

    zote zilizokusanna wanatamazil i f ikia shi l imilioni kumimoja, laki nnetisini na mbili

    (11,492,000)Pamoja na kufakazi kwa pamwakiwemo washkutoka katika vvya jirani waliokwanakuja na kurkulikuwa na raza usiku za kufaibada za pamojkujikurubisha kAllah na kuwommsaada wake kakukamilisha kaz

    ujenzi wa kituo hna harakati nyinza Kiislamu nch

    Aidha, kulifanpia semina ambndiyo inafungl e o a m b awashiriki walipeuzoefu wao kakufanya harakza Kiislamu kamaeneo wanayok u p i t i a K a mz a K u e n d e l eUislamu.

    Kitakapokamiujenzi wake, kc h a K i i s l aShengejuu, Pemkinatarajiwa kuwshule ya awali, shya msingi, sekonna chuo cha ualiufundi. Vyote hivikiendeshwa kmaadili ya Kiisla

    Kufanyika kt a m a s h a h i l iShengejuu, ni ka

    utaratibu amu m e d u m u ktakribani miakasasa waliojiweWaislamu katkujiletea maende

    N i k u p imatamasha himejengwa ShulKiislamu Ubu(DSM), Kirinj(Same), Nyas(Mwanza) na Mk(Songea).

    PICHANI juu na chini, baadhi ya Waislamu wakiwa katikaTamasha la ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Shengejuu Pembamwishoni mwa wiki.

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    5/16

    5 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari za Kimataifa

    Julius Kithuure, Nairobi,na Bosire Boniface ,Garissa

    JUMATATU ya wiki hii,Maafisa wa serikali yaKenya wamesema watuwanaodaiwa kuwa niWanamgambo wa al-Shabaab, wameuvamiam j i w a p w a n i w aKenya, Malindi eneo

    la Mpeketoni jioni yaJumapili iliyopita nakufanya mashambulizimakubwa katika kituocha polisi, hoteli, na ofsiza serikali, na kuua kiasicha watu 60.

    M a s h u h u d awamenukuliwa wakisemakuwa kiasi cha watu 50wakiwa na silaha nzito,waliingia kwa magarikatika mji huo uliopo kiasicha kilomita 100 kutokampaka wa Somalia nakwanza kukishambuliakituo cha polisi kabla yakuwapiga risasi hovyo nakuzua tafrani kwa watuwaliokuwa wanaangalia

    mechi za Kombe la Duniakwenye baa na hoteli zamji huo.

    Habari zilizopatikanak a t i k a m ta nd a o w asabahi zilieleza kuwa,Naibu Mkuu wa Wilaya,Benson Maisori, alisemamajengo kadhaa kwenyemji huo yalichomwamoto, zikiwemo hoteli,mikahawa, benki na osiza serikali.

    "Walikuwa kiasi chawashambuliaji 50, wakiwana silaha nzito kwenyemagari matatu, walikuwawakipeperusha benderaya al-Shabaab, Walikuwawakipiga mayowe kwa

    Kisomali na kusema"Allahu Akbar," alisema.I m e e l e z w a k u w a

    w a s h a m b u l i a j i h a owalijaribu kushambuliakituo cha polisi, likiwemoghala la silaha lakini Bw.Maisori, alisema maosawa polisi walilinda jengohilo na kuwashinda nguvuwashambuliaji hao.

    Mapigano makali yarisasi yaliendelea hadiusiku wa manane, lakinii l ipof ik ia a l fa j i r i ya

    Jumatatu, mji huo ulirejeakwenye utulivu, hukuvikosi vya usalama vikiwavinawasaka washambuliajina maafisa wa serikali

    wakikusanya miili.Msemaji wa polisi,Zipporah Gatiria Mboroki,alinukuliwa na mtandaowa Sabahi, akithibitishakwamba watu 49 walikuwawamekufa, akiwemoaskari polisi mmoja.

    Mkuu wa Polisi waKenya, David Kimaiyona Waziri wa Mamboya Ndani na Uratibu waSerikali Kuu, Joseph oleLenku, waliripotiwa kuwanjiani kuelekea Mpeketonikutathmini hali hiyo.

    Mkazi wa Mombasa,Lucy Muthoni alisemamaafisa wa usalama wa

    Machafuko yakolea KenyaRaia wataka kuwajibishwa usalama

    Kenya hawakuwepowakati washambuliajiwakiendelea na mauajiyao ya kiholela, wakipitanyumba kwa nyumba.

    " T u m e o g o f y w a nahaya tuliyoshuhudia.Mpeketoni imekuwasehemu ya amani natulivu sana. Hatujawahikushuhudia ghasia zakiwango hiki. Tulisamilikahata na machafuko ya

    ba ada ya ucha guzi wa2007 ambayo yalizikumbap a n d e n y i n g i n e z anchi. Lakini amani hiyoimetoweka na sasa tunakhofu sana. Alisema mkazihuyo.

    Mbunge wa LamuM a s h a r i k i J u l i u sNdegwa Kariuki, alisemaalinusurika mashambuliow a k a t i a l i p o k u w aanakutana na baadhiya wapiga kura wakekatika Breeze View Hotel,ambayo ilishambuliwa nakuchomwa moto ambapoalidai mmiliki wa hotelihiyo aliuawa.

    Wakazi katika vijij ivya jirani na Mpeketoni,w a l i r i p o t i k w a m b awatu hao wenye silahawaliwashambulia wakatiwalipokuwa wanakimbiamapigano mjini.

    Mwezi uliopita, mamiaya watalii wa Uingerezawalihamishwa kutoka kwahoteli za mapumziko zaufukweni karibu na mjiwa Mombasa, kufuatiliatahadhari za mashambulioya kigaidi Osi za Mamboya Nje za Uingereza na

    Jumuiya ya Madola.Uingereza pia ilitoa

    onyo wiki iliyopita kwawananchi katika mataifakadhaa ya Afrika Mashariki

    ya Djibouti, Ethiopia,K e n y a n a U g a n d a ,ambayo yana askari wakenchini Somalia kuchukuatahadhari hususan katikamaeneo yanaoonyeshwafainali za Kombe la Duniakwa umma.

    Alhamisi i l iyopita,Inspekta jenerali waPolisi nchini Kenya DavidKimaiyo, a l i tangaza

    ha tu a z a k i u sa l a m azilizoboreshwa katikas e h e m u z a u m m azinazoonesha mechi zaKombe la Dunia.

    Rais Uhuru Kenyatta,ametakiwa na raia kuitishauchunguzi haraka kujuakwa nini nchi inakabiliwasana na mashambulizi yakigaidi, licha ya kuwa nachombo cha kiintelijensia

    na Kitengo cha Polisi chaKupambana na Ugaidiv i na v y o pe w a f e d hanyingi.

    Wananchi wamehojimaisha yao yataendeleakuwa katika hali ya hatarihadi linin na kupoteakwa sababu ya wakubwaw a p o l i s i , a m b a ow a na o ne k a na k u w akatika usingizi mzito hata

    baada ya mfulul izo wamashambulizi ya kigaidi.Walieleza kuwa kwa

    jinsi hali ilivyo sasa ni kamamaisha yao yanabakiakutolewa takwimu tukila baada ya kila tukio laugaidi.

    B w . J o e l O m o l o ,mfanyakazi wa Benkiya Equity mjini Nairobi,alisema aliona picha

    ya magar i ya pyakiunguzwa, majkuteketezwa na mkusambaa kote.

    Al i se m a k u to kna kukithir i halmashambulizi, kunaya wahusika wa maya usalama kuwajkutokana na makoskiusalama na wahu

    kujiuzulu bila kuskufukuzwa kazi.

    "Tunataka ukwelinini ilichukua mpolisi kufika, tunamajibu ya kuridhishya jinsi gani magaidi waliingia mjini wkaunti zinatakiwa kzimewekwa katika htahadhari kubwa salihoji.

    Bw. Cyrus Kyuambaye ni dereva

    basi kat i ya Nai robMombasa alisema kni kweli kulikuwa naya watu 50 wenye s

    kunahitajika majibu sji ns i kundi hi li kulilivyokuwa na uwezkuingia katika nchkutambulika.

    Alishangazwa k i t e n d o c h a p okuchukua zaidi yanne za mashambulimauaji bila kufanya jkabisa kuzuia mauajiau kuwakamata wau

    W a k e n y a w ewameishutu IdarUsalama wa Taifa nhumo kwa kufanshambulio hilo.

    Hata hivyo, Rai

    Kenya, Uhuru Kenamesema kuwa, shamhilo si la kigaidi balikisiasa.

    Mashambulio ya kwa mara yanayotnchini Kenya, serikavyombo vyake vyawamekuwa wakiyahuna na ugaidi huskikundi cha Al-Shacha Somalia.

    KIEVM azung umzo katiya Urusi, Ukraine naUmoja wa Ulaya kuhusugesi asili yaliyofanyikaJumapili huko Kiev,yamemalizika bilakufkiwa makubaliano.

    Mkurugenzi Mkuuwa kampuni ya mafutana gesi asili ya Ukraineya Naftogas Bw. AndreKobol ev , amesemaKamati ya Umoja waUlaya imependekezakuwekwa bei ya muda

    Urusi mbioni kuzuia gesi kwenda Ulaya gesi kati ya dola zakimarekani 300 na 385kila mita za ujazo elfumoja kutokana na tofautiya majira ya baridi na ya

    joto, lakini Urusi imekataapendekezo hilo.

    Baada ya mazungumzohayo, Waziri wa Nishatina Viwanda vya Makaaya Mawe wa Ukraine Bw.Yuri Prodan, amesemaUrusi imesema wazikatika mazungumzo hayokwamba, kama Ukrainehaitalipa gharama husika,

    Urusi itapunguza kiagesi asili inayouzwa nUkraine.

    H a b a r i n y i n gzinasema, kampuni yasili ya Urusi Gazp

    J u m a t a t u w i k i ilitangaza kuwa, kusaa 4:00 asubuhi kwza Moscow, kampunitatekeleza utaratibmalipo ya awali kwainayouzwa kwa kamya Ukraine, baadkampuni hiyo kushinkulipia deni lake la dokimarekani bilioni 4.

    WANANCHI wa Kenya wakishangaa maiti za wenzao zilizotokana na machafukoyanayoendelea kutokea Mombasa, Kenya.

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    6/16

    6 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari/Tangazo

    UONGOZI WA SHULE WAKISHIRIKIANA NA JUMUIYAYA WANATAALUMA WA KIISLAM TANZANIA (TAMPRO)WANAYOFURAHA KUWATANGAZIA WAZAZI NAWALEZI KUWA TUMEANZA KUPOKEA WANAFUNZI WAKIDATO CHA TANO KWA MICHEPUO YOTE YA MASOMOYA ARTS NA BIASHARA.AIDHA NAFASI ZIPO KWA WALE WOTE WANAOTAKAKUHAMIA KATIKA KIDATO CHA, KWANZA, PILI, TATU,NNE, NA SITA

    T U N A O W A L I M U W E N Y E S I F A N A M A K I N IWATAOHAKIKISHA KUWA MWANAO ANAPATA ELIMUBORA NA MALEZI MEMA

    PIA DARASA LA QT LIPO.

    WANAFUNZI WETU WOTE WA KIDATO CHA SITAHUWA WANAENDELEA NA MASOMO YA ELIMU ZA JUU.CHAKULA CHA MCHANA KINATOLEWA SHULENI KWAWANAFUNZI WOTE.

    GHARAMA YA FOMU NI TSHS.10, 000KWA MAWASILIANO:

    SIMU NO.0754 400026, SIMU NO.0787 754244IMETOLEWA NA UONGOZI MPYA WA SHULE

    SHULE YA SEKONDARI YA BONDENIS.L.P.2013, ARUSHA

    NAFASI ZA KIDATO CHA TANO KWA MWAKA 2014/2015

    M A K A M U w aKwanza wa Rais waZanzibar Mhe. MaalimSeif Sharif Hamad,a m e v i k u m b u s h avyombo vya sheriajuu ya wajibu wak u s h i r i k i a n a n aw a n a n c h i k a t i k autekelezaji wa sheria,ili kuhakikisha kuwahaki inatendeka kwawatu wanaokabiliwa nakesi mahamani.

    Maalim Seif alitoakauli hiyo katika hoteliya Zanzibar OceanView, wakati akifunguamafunzo ya siku nne

    kwa Majaji, Mahakimu,Wanasheria, Mawakili

    Wadau wa sheria Zanzibar wafundwNa Mwandishi Maalum p a m o j a n a k a d a

    nyengine za sheria.Alisema mara nyingi

    wananchi wamekuwa

    wakikosa haki zaom a h a k a m a n i k w amadai ya ku weposababu mbal imbal izikiwemo uchelewajiwa kesi, kukosekanakwa mashahidi namahakimu wa kundeshakesi hizo.

    Alitaka matatizo hayokupewa kipaumbelen a k u t a t u l i w a i l ikuondosha vikwazov y a k u p a t i k a n ahaki miongoni mwawananchi.

    A l i o n g e z a k u w akatika kufanikisha

    KITUO Cha Afya chaKijiji cha MamboM t a e w i l a y a n iL u s h o t o m k o a n iTanga kinakabiliwana uhaba mkubwawa vifaa vya kupimamaradhi.

    I m e b a i n i k akuwa kituo hichok i n a c h o h u d u m i awakazi zaidi ya elfuhamsini na sita, kinakipimo kimoja tu chakupima malaria, hukukifaa cha kupimiashinikizo la damu-B P i k i s e m e k a n akinamilikiwa na Dk.Malik Karata na siomali ya kituo hicho.

    Wakazi wa eneo

    hilo wameeleza kuwawagonjwa wanaokakituoni hapo hupatiwamatibabu baada yakupimwa kwa machotu, jambo ambalolimewatia wasiwasi nakudai hali hiyo ni sawana kuchezea maishayao.

    Bw. John Shekiughoa l i s e m a u h a b amkubwa wa vipimokama vile vya damu

    Hakuna vipimkituo cha afyMambo Mtae

    masuala hayo ni lazimavyombo vinavyohusikak u s h i r i k i a n a k w apamoja, ili kuona kuwa

    wananchi wanapatahaki zao wanazostahikikwa wakati muafaka.

    Makamu wa Kwanzawa Rais pia alisisitiza

    juu ya haki ya dhamanak w a w a s h i t a k i w awanaoweza kupewadhamana kwa mujibuwa sheria na kwamba,

    jambo la msingi nikuwajengea mazingira

    b o r a wa s h i t a k i w ahao ili waweze kufikam a h a k a m a n i p a l ewanapohitajika.

    Aidha amesisitizahaja ya kuzitazama

    sheria ambazo haziletiusawa na zenye ubaguzindani yake, ili ziwezek u b a d i l i s h w a n a

    wananchi washirikishwekatika mageuzi hayo.M a p e m a

    akizungumza katikamafuzo hayo, Waziriwa Katiba na Sheria

    Zanzibar AboubKhamis Bakari, amesuala la uchelewawa kesi hal iz ihmahakama peke y

    bali kuna wadau wwakiwemo mashahipolisi ambao wanapkushirikiana kikamkuhakikisha kuwa thilo linaondoka.

    Na AbdulkarimMsengakamba

    vinavyojumuishamaradhi ya Taiv ip im o vy a hkubwa na ndovyote havipatikkatika kituo hicho

    B w . S h e k i ualisema kuwa kasiku za nyuma, viphivyo vilikuw

    l a k i n i k w a shaijulikani viko wAlisema kuwa

    shaka kwamba vhivyo vilivyokuvikipatikana siknyuma, haifahamvilikuwa vinamilikmadaktari wenye

    W a n a k i jw a m e w a o mwahusika ambaserikali kupitia Wiya Afya kuchungkituo hicho, ili kiwkutoa huduma bkwa wagonjwa w

    N a y e DM a l i k K a r aalipozungumzagazeti hili kwa njisimu, alikiri kuwuhaba wa viplakini wanaendkutoa huduma.

    Hata hivyo aliskama yupo mwekutoa misaada ya vhivyo vya maabwatashukuru san

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    7/16

    7 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Tangazo

    K I L A k i p i n d ic h a h i s t o r i ak i l i c h o h u s i s h w an a k u m s h i r i k i s h aM weny ezi M ung u

    (s.w.t.) na mapatina(wenza) - vitu au watu,kwa njia yoyote ile- ama kwa kuabudumasanamu na kuyapasifa za kiungu, au kwakuwav isha uung uwanadamu wenzaoa u k u u s i n g i z i aulimwengu au vyanzovingine vya kidunia wakuumba - ni giza tupu.Hivi ndivyo ilivyo kwasababu pindi imaniya Umoja au Upwekewa Mungu (s .w.t . )ikitolewa katika moyo,

    akili na roho "huingiagiza", viwango vyotehubadilika na vituna dunia hutazamwakwa mitizamo bandia.H a l i k i m a a d i l i ,kiroho, kijamii, nahata kiuchumi nakisayansi ya jamiindiyo inayoelezewana aya ifuatayo yaQur'an kuwa ni hali ya(jahiliyya):

    Au (amali zao zilembaya) ni kama gizakatika bahari kuu, iliyofunikwa na mawimbi

    juu ya mawimbi, na juuyake yapo mawingu.Giza juu ya giza. Akiutoam t u m k o n o w a k eanakaribia asiuone (kwakiza kilivyoshtadi).Na ambaye MwenyeziMungu hakumjaaliakuwa na "Nuru kamwehatakuwa na nuru.(Surat An-Nur, 24:40)

    M i m i s i p e n d ikuelezea mambo yauongo. Isitoshe, niupotofu ulioje kwangumimi kuuelezea uongowakati ukweli unaweza

    kuelezewa? Kwa mujibuw a m a n e n o Y a k eMwenyewe MwenyeziM u n g u ( s . w . t . ) ,Amesema hivi:

    Basi huyo ndiyeM w e n y z i M u n g u ,Mola mlezi wenu wahaki. Na kipo kitu gani

    baada ya (kuiacha) haki,isipokuwa upotovut u ? B a s i h u w a j emkageuzwa? (SuratuYunus, 10:32)

    H a t a h i v y o , i l ituliweke wazi somo hili,

    Muhammad (s.a.w.) alitumwa kuja kuwa rehma kipindi cha giza cha ujahili

    ninaona ni lazima nisememachache kuhusu zamaza ujahiliya, yaani kablaUislamu haujaja.

    Mtume Muhammad(S.A.W) alikuja katikawakati ambao watuhawakujua dini yaukweli, na kwa hiyowaliabudu masanamuya watu. Hawakujuadini ya ukwel i , nakwa hiyo waliabudu

    masanamu ya udongo,mkate na hata ya jibinikama inavyosema Quraan:

    N a o , b a d a l a y aM wenyez i M u ngu ,w a n a a b u d u w a s i owadhuru (wanapoachak u w a a b u d u ) w a l ak u w a n u f a i s h a(wanapowaabu du ) ,na wanasema; hawa( w a u n g u w a d o g o ,washirika wa Mungu!Tu nawaowaabu du )ndio waombezi wetukwa Mwenyezi Mungu!

    Asiyo yajua ya katikambingu wala katikaa r d h i ? S u b h a n a h uwa taala ametakasikan a u p u n g u f u w akuhitaji mshirika) naametukuka na haowanaowashir ikishanaye (Surat Yunus 10:18)

    W a l i c h a n g amasanamu ya, udongoya, mkate, na hata jibini,nao wakasema hivi:Hao ni waombezi wetukwa Mungu walikuwaduni kwa fikra na

    maadili kiasi kwamba,k a m a a l i v y o r i p o t iAbu Dharr Al-Ghafirik u w a , w a n a w e z akuketi ili kula chakula,na wakayakatakatamasanamu yao vipandevipande kisha wakayala.K i s i n g i z i o p e k e ewaliochukuwa nachokwa ujahiliya (ujinga)wao huo, walisemakwamba wal i ku wa

    wanafuata nyanyo zamababu zao, kamainavyosema Qur aan:

    Na wanapoambiwa:fuateni aliyoyateremshaMwenyezi Mungu, waohusema; bali tutafuatatul iyowakuta nayo

    baba zetu, j, hata ikiwababa zao wa likuwah a w a e l e w i k i t u ,wala hawakuongoka(watawafuata vivyohivyo kiupofu)? SuratAl- Baqarah,2:170)

    Hata walikia hali yakuwazika watoto wao

    wanawake huku wakiwahai, kama inavyosemaQur,an:

    Na Mmoja waoanapopewa habari yakuzaliwa kwa msichana,uso wake husawijika,naye ka jaa majuto.A k a w a a n a j i f i c h ausionekane na watukwa ubaya wa habarializoambiwa (kuhusukuzaliwa mtoto wakewa kike)! Je, akae naye

    ju u ya fe dh eh a hi yoau amfukie udongoni(kaburini), ilhali badomzima, ili ae kaburini

    kwa kukosa hewa)?Tazama uovu wajinsiw a n a v y o h u k u m u ! "(Surat An-Nahl, 16:58-59)

    Kabla ya kuja kwaUislamu, wanawakewal idharaul iwa nakunyanyaswa, siyokatika nchi za Arabunitu, bali pia katika nchiza Kirumi na Uajemi(Watawala wa Sassan,huko Persia (Uajemi)

    mnamo "mi aka ya211-651A.D.). Qur'aninatangaza wazi wazikuwa wauaji hao wotewatakuja kuulizwa juuya haya:

    Na mtoto msichanaal iyezikwa hal i yaku wa a l i ku wa ha iatakapoulizwa, Kwakosa gani aliuliwa?"(Surat At-Takwiyr, 81:8-9)

    Siku moja, baada yakutangazwa Unabii waMuhammad (s.a.w.),mmoja wa Masahabazake alimwendea Mtume

    (s.a.w.), na akamhadithiaalichomfanyia bintiyake, kama ifuatavyo:

    "Ewe Mjumbe waAllah (s.w.t.)! Nilikuwana Binti yangu. Sikumoja nikamwambiamamake amvishe nguo,kwa kuwa nilikuwanampeleka kwa mjombawake. Masikini mamahuyo alijua maana yamaneno hayo, hakuwezakufanya lolote zaidi yakutii na kulia tu. Mkewangu akamvalisha

    binti huyo nguo nzuri,na binti mwenyewe

    alikuwa anafurakwenda kwa mjowake. Ni l impelkaribu ya kisimanikamwambia atazkisimani. Nikamteke kuelekea kisimAlipokuwa akiangchini alikuwa ak(Baba, Baba!'." Kahuyo Sahaba alivyokakisimulia hadithiMtume) alikuwa akwa kwi kwi kamani yeye aliyempondugu yake wa dwa karibu kabisa.

    Nyoyo zil ikwikuwa sugu. Kila sh i mo l i l i ch i mb

    jangwani ili azikwemsichana asiyekn a h a t i a y o y oWanaadamu walikwakatili zaidi kuh a t a f i s i . W en g u v u w a l i k uwakiwateketeza wnguvu na wadhoI l i ku wa ni wakambao unduli ulikkawaida ya wanadaukatili ulidhihirishwenye kiu ya tukuk u m w a g a d akulihesabika kuwsifa, zinaa ya watu wndoa na wasiyokuwndoa ilikuwa ni kawzaidi kuliko ndoak i s h e r i a . M i u n

    ya familia ilikwkuharibiwa.

    Kipindi hiki cha ndicho kilichofuana Uislamu. Na bakkuondosha maovu mengine, MwenyMungu (s.a.w) hakukurudia katazo la kwatoto wadogo, kinavyosema Qur'an

    S e m a : n j onikusomeeni akuharamishieni Mwenu mlezi. Naykuwa, msimshirikyeye na chochote

    wazazi wenu wafanywema. Wala msiwaw a t o t o w e n u ksababu ya umasikintunakuruzukuni nyna wao. Wala msikam a m b o m a c h ayanayoonekana, yanayofichikana. Wmsiuwe nafsi ambM w e n y e z i M u nameharamisha kuiuila ikiwa kwa hHayo amekuusienmyatie akilini. (SAl-An`aam, 6:151)

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    8/16

    8 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala

    HIVI sasa mtoto Aishaakiwa na umri wamiaka mitano (5) hanamacho, pua wala usohautambuliki kuwaana sura ya namna gani.Kilichosalia ni paji lauso kuelekea kichwani.Mkono mmoja pia

    haupo.Aisha hakuzaliwakatika hali hii. Walahakukwa na masaibu

    Tunakoelekea kubayaItakuwa ni haya aliyofanyiwa AishaKapoteza macho, pua na uso woteMbiu ishapigwa Unguja, Mbagala

    Mwandishi Terese Cristiansson, akishikilia picha ya Aisha ikionyesha uso wakeulivyo baada ya kulipuliwa.

    i n a v y o t u b a i n i s h i aQ u r a n i k i l e n g akututanabahisha kuwatujihadhari nao.

    N a w a n a p o aa m b i w a : M s i f a n y euharibifu ulimwenguni,husema: Bali sisi niwatengezaji. Hakikawao ndio waharibifu,lakini hawatambui.(2:11, 12).

    Ilikuwa ni Septemba7 , 2 0 1 3 , a m b a p okombora kutoka droneya Wamarekani lilipigagari iliyokuwa na abiria15 kule Afghanistan.Wote waliokuwemo

    waliuliwa isipokuwamtoto Aisha wakati huoaiwa na umri wa miakaminne (4).

    A i s h a a l i k u w aakisari na wazazi wakena ndugu zake, kaka nadada kutoka nyumbanikwao Gamber, katika

    Jimbo la Kunar. Maarufukama American birdsU . S . d r o n e , n d i y oiliyomtia Aisha kilemacha maisha, kupotezafamilia yake yote nakubaki yatima asiye nadada wala kaka. Kipofu,

    bila pua, bila masikio nabila sura ya kueleweka.

    Ilikuwa wapita njiaambao walipotizamana kupekua mabakiya gari lililoharibiwa

    kabi sa (wr eckage) ,w a l i t o s h e k a k u w ahakuna kilichosalia haikutokana na gari hiyoilivyokuwa imeharibiwana kuwepo mtapanyikowa vipande vya miili yawatu. Hata hivyo katikahali ambayo walisema nikama muujiza, walisikiasauti ikiita, nataka maji,nataka maji, maji, maji.Huyo alikuwa ni mtotoAisha.

    Alipotolewa kutoka

    mahali pale, ulikhuwezi kumtambua

    jinsi uso ulivyoharibAmepoteza pua, mna mkono.

    Taar i fa za Aizilika katika masikmacho ya walimw

    ba ada ya mwand

    Terese Cristianssongazeti moja la SweExpressen kuka k

    haya kutokana na ajaliya moto au gari. Aishaameharibiwa uso wake.Kaharibiwa mustakbali

    wa maisha yake yote.Ni katika jumla yamatokeo ya ufisadi nauovu unaofanywa na

    binadamu katika ardhiya Al lah. Mafisadiambao kila wakiambiwamsifanye ufisadi nauharibifu katika ardhi,w a o h u t a m b a n akujigamba kuwa waondio watengezaji. Balitambueni kuwa hakikahao n i wahar i b i fuw a k u b w a k a m a

    hospitali ya WafarKabul akifuatilia hnyingine kabisa. Hndio akakutana

    dakitari HumayZaheer, aliyemwakuwa pamoja na hanazofuatili, kipokisa cha Aisha.

    Kwa hakika kisaAisha ni cha kutishkusikitisha kilichommpaka Rais HaKarzai kuka hospkumwona. Karzai bya kumwona mAisha anasema,

    Inatoendelea U

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    9/16

    9 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala

    Tunakoelekea kubayaInatoka Uk. 8

    hakika hiyo ilikuwasiku mbaya kabisailiyowahi kumpitikiakatika maisha yake. Kwamaana kuwa hajapatapokuona jambo la kutishana kuhuzunisha kama

    alivyomshuhudia Aishaalivyo.Siku mbaya katika

    maisha yangu ilikuwasiku nilipomtembeleamtoto mdogo mwenyeumri wa miaka minnena nusu. Aisha alikuwahana uso. Uso wakeulikuwa umelipuliwana kuharibiwa kabisak u t o k e a k i d e v u n ih a d i j u u . K i p o f u ,alikuwa na macho,kwani yameharibiwa.Hana mkono mmoja.

    Amepoteza familia yote,yote kabisa. Familia yawatu 14 imeangamizwana bomu la pale Kunar.Kwa hakika, siku ilenilitamani lau mtotoA i s h a a n g e k u w aamekufa akazikwa nawatu wengine wa familiayake, wazazi wake, kakana dada zake.

    H a y o y a l i k u w am a n e n o y a R a i sHamid Karzai hukua k i b u b u j i k w a n a

    m a c h o z i b a a d ay a k u s h u h u d i amasaibu yaliyomkutamtoto Ai sha . Hatahivyo al ichotakiwak u k u m b u k a n akuzingatia Karzai nikuwa yeye ana mchangomkubwa. Yeye ni katikawatu watakaoulizwa juuya ukatili aliofanyiwaAisha na wanaofanyiwaw a t u w e n g i n e w aAfghanistan. Yeye ndiye

    aliyekubali kutumiwakama ki bar aka waM a r e k a n i h u k uakishirikiana nao katikakuwaangamiza nduguzake kwa madai kuwani magaidi. Haya ndiyomatoke ya lazima kwakila anayewakaribishawatu hawa . Hawahawaingii katika mijina nchi, ila hufanyauharibifu na kuletamaangamizi kwa watu.

    Wasivyo na a ibuwatu hawa, baada yakutangazwa habariza Aisha, wal ikujaw a k a m c h u k u a n ak u m p e l e k a k a t i k ahospitali ya ki jeshiWashington- WalterReed Military Hospital,Washington, bila hataya kuomba ruhusakwa ndugu wa karibuwa Aisha akiwemomjomba wake. Hivi sasawanamlea Aisha katikakituo kiitwacho Solacefor Children, ambachokazi yake kubwa ni

    kuwakusanya watotow a K i a f g h a n i s t a nwaliopoteza wazaziwao au kujeruhiwakatika matukio kamahilo la Aisha, halafuhuko huwapatia wazaziwa kupanga (fosterfamilies). Kuna wengine

    ba ad ae hu ware je shakwa wazazi na nduguzao Afghanistan, lakiniwengine hupotelea hukoMarekani.

    Habari zinafahamishak u w a m w a n d i s h iCristiansson, aliendampaka Washingtonkufuatilia habari zaAisha, lakini watu wakituo cha Solace wakadaikuwa wao walipoletewamtoto huyo waliambiwakuwa hakuwa na wazaziwala familia. Alifanyakuokotwa tu. Hata hivyoalipowaambia kuwa anafamilia iliyoangamizwan a m a k o m b o r ay a M a r e k a n i ,Solace, wal ikat isham a z u n g u m z o n a

    h a w a k u t a k a t e n akuongea habari za mtotoAisha.

    Waandishi wa habarina watu ndugu waAisha, walizuiwa kupatahabari za Aisha na hiini katika jitihada zakucha uovu na ubayawa mashambulizi yadrone. Ilikuwa ni Machimwaka huu ambapoa n g a l a u m j o m b aw a A i s h a , B w a n a

    Hasrat Gul, alipewataarifa kuwa Aishaamekabidhiwa familiamoja ya Kiislamu huko

    Marekani kukaa naye.Hata hivyo anasemakuwa wanachotaka nikurejeshewa Aisha wao.Aisha hastahiki kukaana watu ambao ndiowalilipua uso wakena kumpotezea pua,macho na mkono. Watuwaliomuuwa baba yake,mama yake, kaka zakena dada zake.

    Mwaka huu 2014unaingia mwaka wa tano(5) wa mashambulizi ya

    drone toka Rais Obamaal i poanz i sha U.S .drone program. Kwamujibu wa taarifa ya TheBureau of Investigative

    J o u r na l i s m , k a t i kakipindi hicho jumlaya watu 2,400 na zaidikidogo wameul iwaambapo zaidi ya 200 niwatoto wadogo. Na hiyoni katika Pakistan pekee.

    Ilikuwa ni Septembahiyo hiyo ya 2013,ambapo wakati Aisha

    analipuliwa na famnzima kuteketea, Barack Obama akmashambulizi ya d

    kwa kile alichosku wa ni ha l a l iyanayosa i di a skatika kukabiliamagaidi na kwayataendelea kutumkila ambapo Mareimeingia kupambanmagaidi.

    T u n a c h o t a kk u f a h a m u w a ktunasoma habari za Aisha ni kuwa wale waliozoeya kukelele za mbwa m

    wa uwongo, wakkuitangazia Tanzkuwa ina kitishomagaidi (Al ShabaQaidah), wajue kkitisho hicho kikkolea, wenye vitaya ugaidi wataingimatokeo yake ni khaya yanayomtoa Karzai machozi. Dhaitachagua MuislMkristo, mwandishhabari wala mchuau mtoto mchanga

    Mwandishi Terese Cristiansson akiwa kazini.

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    10/16

    10 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, MAKALA

    Kwa jina MwenyeziMungu mwingi warehma na mwingi waukarimu. Kila sifan j e m a a n a s t a h i k iMwenyezi Mungu kwaneema alizotuneemeshazenye kuonekana nazisizoonekana.

    Na katika kila kitutumeumba Dume na Jikeili mpate kufahamu[51:49]

    Mpenzi msomaj i ,m a n e n o h a y a y aA l l a h M u u m b ayanatubainishia jinsim w a n a n d a m u n avyote alivyoviumbaameviweka katika Joziya uwili, uwili utokanaona ujike na udume

    unaopatikana katikavitu vyote vilivyomokatika maisha, yenyek u p a t i k a n a k w awanadamu, hayawani,m i m e a , j a m a d i(inanimate), katika bakiya maada nyingine nahata katika chembe(particle/atom) za vituvyenye mkondo hasina chanya. Jozi hiiinazingatiwa kuwa niajabu yenye kuvuta akilina kra za walimwenguna kuzifanyia utafiti.Q u r - a n i T u k u f uinauvuta mtazamo naakili ya mwanadamukuielekea ajabu hiikupitia kauli tukufu yaAllah (s.w):

    N a a m e t u k u k aA l l a h a a l i y e u m b aDume na Jike katika(vitu) vyote, katikavile ivioteshavyo ardhi(Mimea) na kat ikanafsi zao (wanadamu)n a k a t i k a v i l ewasivyovijua. [36:36]

    Allah Mola Muumbaameumba jozi ya udumena ujike katika kila ainaya viumbe vyake. Eneona dhima ya jozi hiyohufanya kazi katikau l i m w e n g u w a k emakhsusi kwa kulinganana nidhamu (utaratibu)maa l u mu i s i yo yakubahatisha. Katikaeneo la wanadamutunaiona jozi hii bainaya mwanamume namwanamke ni njia ya

    Ndoa na madhara ya zinaaNa Hemed S. Marhoon

    kuzaana, kuongezeka nakujiimarisha sawasawakatika siha ya mwili nanafsi. Na kwa kupitia

    jozi hii ndio kizazi chawanadamu huendeleakubakia katika maishaya sayari hii ya dunia.

    Kwa kuuzingatiau k w e l i h u u u l i odhahiri, tunalazimikakukubali kwamba kilammoja wa wanajozi

    hawa mwanamumen a m w a n a m k e n isehemu isiyotengekana mwenzake. Kwam a n e n o m e n g i n ew a w i l i h a w a k w apamoja ndio huundaumbile moja kamili lamwanadamu. Umbileambalo halipatikanii l a k w a w a w i l ihawa kuungana nakuchanganyika pamojakatika maisha ambayoyatawaunganisha na

    kuwa nafsi moja. Na hilila kuwa nafsi na mwilimmoja halipatikani ilakwa njia na msaada wandoa na si vinginevyo.Ni kwa sababu hi indio maana mfumo wandoa katika Uislamuu k a w a n i m f u m ow a k u k a m i l i s h a n a( i n t e g r a t i o n /complementarity) bainaya mwanamume namwanamke.

    N a h i v i n d i v y o

    inavyobainisha kauliya Allah (s.w) katikaQuran:

    Na katika ishara zake(za kuonyesha ihsaniyake juu yenu) ni kuwaamekuumbieni Wakezenu katika jinsi yenuili mpate utulivu kwao,naye amejaalia mapenzina huruma baina yenu.Bila shaka katika hayazimo ishara kwa watu

    wanaokiri. [30:21]Hii ndio maana ya

    kuumbwa mwanamumena mwanamke kutokanana asili moja. Ndoa ndiomfumo bora unaobebadhamana ya utwaharifuwa tone la manii naule wa tumbo la uzazi.Ndoa huchukua dhimaya kuhakikisha kuwambegu imetoka ndipona kuingia ndipo, yaaniyametoka kihalali nakuingia mahala pa halali

    (mke). Ni katika hali namazingira haya ya ndoandipo hudhibitika nakuthibitika ukweli wanasabu ya mwanadamutofauti na ile ya hayawaniwengine.

    Ndoa katika Uislamundio njia sahihi yak u f u a t w a a m b a y oh u w a k u t a n i s h apamoja mwanamke namwamume. Na ndionjia ya kimaumbile yakuzaliana inayotakiwa

    kuyatawala maishaya mwanadamu kwaa j i l i y a k u h i f a d h ina ku l i nda hadhi ,utukufu na heshima yamwanadamu kama mtu

    binafsi na kama jamii .Allah Mola Mtukufua n a t u a m b i a : N ahakika tumewatukuzawanadamu [17:70].

    Sasa ikiwa AllahM o l a a l i y e t u u m b a

    ametutukuza sisi wajawake na akatuwekeautarat ibu wa ndoai l i k u u c h u n g a n akuuendeleza utukufuwetu huu. Kwa nini

    basi sisi tuliofadhiliwana kupendelewa kwakupewa hiba ya utukufuhuu tunaukataa?! Na

    badala yake tunautwaauduni na kufuata njiachafu na mbaya yazinaa inayotuweka nakutulinganisha sawa

    na wanyama ambaohawakupewa utukufumithili ya tuliopewasisi?!

    Zinaa ni chimbukol a f i sadi kwa mtu

    bi na fs i na jami i kwaujumla. Zinaa ina atharimbaya zinazomrudiamuhusika mwenyewekatika maisha yake nakatika jamii ambazoz i n a i h a l a l i s h a n ak u i t u n g i a m i f u m om a a l u m u . K a t i k a

    mifumo hii michi n a y o n u k a , anakuwa hana kdhidi ya zinaa kanafsi, familia na mmume wake. Ukiacmbali kwamba zinmashine yenye jukla kuifisidi siha (

    ya muendekezajitendo hili lisilo la kZinaa pia ni kiwac h e n y e d h i m akuzalisha na kusammaradhi ya kuambuyatokanayo na uhuu. Maradhi amhuharibu kizazi naya kizazi. Ukimwkatika jumla ya mmakuu yanayozalina kiwanda hikizinaa, huu ni ukusiopingika.

    K u t o k a n a

    madhara haya makuyatokanayo na zindipo Uislamu kdini na mfumo sawa maisha ukaikamkuikemea vikali kzinaa. Ukaifanya zkuwa ni miongoni madhambi makunyu ma ya dhaz a k u m s h i r i k iAllah na kuua ni l i y o h a r a m i s hKutokana na sababuAllah (s.w) ameike

    na kuikataza zinaaWala musiikaZinaa, hakika huuchafu (mkubwani njia mbaya kab[17:32]

    K a t i k a U i s l akujilinda na kujihifna zinaa ni mionmwa sifa za wauwaliofaulu na kufAmesema MwenMungu Mtukufu:

    . . n a a mwanazilinda tupuIsipokuwa kwa wzao au kwa iliyowammkono yao ya kukwani hao si wekulaumiwa. Laanayetaka kinycha haya, basi hao warukao mipaka [7]

    Zinaa ni sabachemchem na chacha aina mbalimbashari, uovu na fikubwa katika jam

    Inaendelea U

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    11/16

    11AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala

    PROFESSOR KhadijaW a t s o n , a l i k u w a

    mwana Theologia ,Missionary, Mchungaji,Mkristo mhafdhina nakamwe hakuonekanakama angeweza kuwamuumini wa Kiislamu.

    Miaka sita iliyopita,katika maisha yake yote,alilelewa katika maishaya Ukristo (awali kamamuumini wa RomanKatoliki na baadaeMlokole). Alihitimustashahada ya uhubiri(Standard MinisterialDiploma), shahada yaTheology na shahada ya

    uzamili ya Divinity.Lakini pamoja na hayoyote, hatimaye aligeukiaUislamu na kusilimu!

    N i j a m b o g a n il i l i l o m f a n y a P r o f .K h a d i j a k u f a n y am a b a d i l i k o h a y oyaliyowashtua wengi,i k i l i n g a n i s h w a n amsimamo na elimuya Ukristo aliyokuwanayo?

    Mama huyo anaelezak u w a c h a n z o c h akubadilika kwake, nikuanza kuhoji baadhi ya

    mambo katika imani yaKikristo wakati anasomashahada yake ya uzamiliya Divinity.

    Ilikuwa tabia yakekusoma sana Bibliakatika kipindi cha miaka12. Alifanya hivyo marakwa mara pamoja nakuhubiri na kufundisha.

    Wakati huo akisoma,a l i a n z a k u t a m b u amikanganyiko kadhaan d a n i y a U k r i s t o .Alitoa mfano kuwawalifundisha habari zadhambi ya asili kutokakitabu cha Mwanzo3, lakini ilitofautianana katika kitabu chaEzekiel 18:1-22.

    A n a s e m a k u w akama maandiko hayaya mwanzo sio kweli,msingi wote wa Ukristounaanguka.

    Niliona mambo hayawakati nayasoma, namara zote nilishindwakuyati l ia maanani ,lakini nilikosa mudakuyafanyia uchunguzikwasababu ya kubanwa

    Alivyosilimu Prof. Khadija WatsoNa Khadija Watson,

    California, Marekani na masomo yangu.Ndio, katika miaka

    yangu nane ya masomotulisoma vitabu vya

    Biblia, kimoja baadaya kingine, sura kwasura, aya kwa aya, hatahi vyo ha tu ku wahikufanya ulinganifu,hivyo mkanganyikowowote ulioonekanahaukuelezwa kabisa.

    Alisema katika kipindihicho, ilikuwa ndio marayao ya kwanza kujifunzahistoria ya Kanisa kwauhalisia wake na siokutoka kwenye Biblia.

    Alisema ni katikanukta hii alianza kuhoji

    juu ya mafundishoya Kikristo ambayohayakuwepo enzi zauhai wa Yesu, badalayake mafundisho hayoyalianza miaka 325

    baadae, yakianzia namafundisho ya utatu.

    Akielezea historiayake katika kanisa hadikusilimu, Bi. Khadijaalieleza kuwa nenoutatu halikupatikanakatika Biblia yeyoteduniani, wala katikalugha za asili za kigirikina Kiibrania. (Hizo

    ndizo lugha ambazokwa asili yake zilitumikakuandika Biblia).

    Khadi ja anasemakuwa mafundisho hayoya utatu yalianzishwakwa mara ya kwanzak w e n y e m a b a r a z amanne ambayo ndiyoyaliyoufanya Ukristoleo, lakini kwasababuWakatoliki kwa wakatihuo wasingeukubali,ulianzishwa tena miaka68 baadae, katika Barazala pili la Nicaea.

    Kupitia mafundisho

    ya kibinadamu, ambayoyalimfanya Yesu kuwaMungu na binadamuw a k i u m e , h a d ikukia mafundisho yamaafikiano, au perfectsacrifice, uhandishiwa mafundisho hayayote ulichukua zaidi yamiaka 100.

    Siku zote nilikuwa nahamu kubwa ndani yamoyo wangu kumjuazaidi Mungu. Siku mojanilikwenda kwa profesawangu na kumweleza,

    " K u n a u w e z e k a n ok w a m b a k u n aUkristo zaidi kulikoule tunaoufundisha.Tunawaambia watukuwa lazima wazaliweupya " (ikiwa na maanaunatakiwa utoe kaulindani ya nafsi yako nakuamua kumwombaYesu Kristo a ingiendani ya moyo wako na

    kukusamehe dhambizako na kukufanya mtumpya), au unatakiwakuwa na roho mtakatifuikiwa ni ziada ya kuwa M l o k o l e a m b a p omtu anakuwa na hisiaza ndani za moyomtakatifu, zikikolezwana kutamka kwa ulimi.

    Nilizoea kuwa navyote hivyo ingawahaya hayatambuliwin a M a k a n i s a y o t eya Ki kr i s to . Ku nakutokubaliana na tofautinyingi za kanuni zakielimu za madhehebuya kidini. Protestantihawawatambui Katolikina hata kuona kuwa sioWakristo kwasababuwanamwabudu Maria,Mama wa Yesu.

    Wasabato hawanam a h u s i a n o n awasiokuwa Wasabato.K u n a M e t h o d i s t ,Wesleyan, Presbyterian,C o n g r e g a t i o n a l ,Kanisa la Pentecostemaelfu ya makanisay a n a y o j i t e g e m e a

    ambayo hayapo chiniya madhehebu yeyote.

    Wote wanatofautianak a t i k a n u k t a z amisingi au kisera aukatika kutafsiri Biblia.Ni l i ona kama ki l etunachofundisha nihalisi, kulikuwa hakunahaja ya madhehebu.Kungekuwa mabadilikoya dhahiri katika jamii

    i n a y o t u z u n g u k a .Badala yake, jamiiinaporomoka na kuwakatika hali mbaya kulikoi l i v y o k u w a m i a k ahamsini iliyopita.

    Zinazoitwa nchi zaWakristo ni miongonimwa nchi zenye halimbaya zaidi. Profesawangu hakuwa na lakujibu. Nilisonga mbelena kuhitimu shahadayangu ya uzamili yamasomo ya dini (a degreein Theology) mwaka1993. Mwezi mmoja

    baa da ya kuhit im u,n i l i a m u a k u s o m alugha ya Kijerumani.M w a n a f u n z imwenzangu mmojaal ikuwa ni daktar iambapo alifanya kazimiaka sita Dubai.

    T u l i k u j a k u w amaraki na nilitambuamaswali yake aliyokuwaakiniuliza mara zoteyal ihusu andiko laagano la kale. Nami pianilikuwa mara nyinginamuuliza maswali

    kuhusu utamadwa Mashariki ya Sikuwahi kuwa na hya Uislamu, ingmasomo yangu myalikuwa ya masuadini. Tulisoma maya Uislamu, BuddhHinduism, AnimisCatholicism sambana tamaduni zake.

    Haja yangu ilik

    k u j u a m a m b oAnimism, au din

    jadi. Wakati tulipokpamoja ni l igunkuwa yuko tofaMara zote alitaka kulakini katika mtazwa Kikristo. Tulipoktumetoka, alikuwa zote akiwapa feombaomba. I l i fmahali akawa na mwa plasitiki ukiwsarafu ndani ya gariajili ya kazi hiyo.

    S i k u m oni l imwambia kkabla ya kumfahvizuri zaidi, nilyeye ni MuislaAlinithibitishia kwakati alipokuwa Dalikuwa Muislalakini hakuwahi kuifamilia yake. AlipoPhilippines, aliritena na hakuswali kufuata Uislamu Familia yake ilikya Kikatoliki, ingyeye hakuwa na h

    Inaendelea U

    Khadija Watson

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    12/16

    12 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Mashairi/Habari

    Ndoa na madhara ya zinaInatoka Uk. 10

    wanadamu. Kutokanana sababu hiyo nanyenginezo, Uislamu

    u m e w e k a a d h a b uitakayomzuia mzinifukufanya tendo hilo

    baya. Kwa kuwe kasheria hizi, Uislamuumemuhifadhi mtu

    binafsi na jamii nzimakutokana na atharimbaya zitokanazo nauchafu huu wa zinaa.

    W a k a t i a m b a p oUislamu unayafanyayote haya, kanuniz i l i z o w e k w a n akutungwa na binadamuvi u mbe dha i fu nawapungufu wa kila hali,zinampa mtu uhuru wakufanya zinaa katikahali ya maridhiano namakubaliano baina yawahusika wa tendo hili.

    K a t i k a h a l i y amaisha ya sasa imekiawanadamu kuhalalishazinaa na kuitungia sheriayake, kutengenezewav i f a a p a m o j a n akutengewa sehemumaalumu ya kufanyia ilikumrahisishia mtendaji.

    Kwa kutumia kigezohicho, zinaa imekuwani sehemu ya kuingiziapato kwa watu binafsina taifa kwa ujumla.

    Sababu kama hizizinakamilisha manenoya Mtume Muhammad(s.a.w) pale aliposema:"Ikidhihirika zinaana riba katika ardhi

    bas i wamejihalalishia(wamejitakia) wenyewenafsi zao adhabu yaMwenyezi Mungu".

    Na amesema tenaM t u m e ( S . A . W ): "Haienei zinaa nauasherati katika jamii ilaitaenea kwao vitu viwili,(mauti na magonjwayasiyojulikana)".

    Mpenzi msomaj i ,yatupasa tutambuekuwa kila mwanadamuni mkosaji na mmborawa mkosaji ni yulem w e n y e k u t u b i amakosa yake. Ikiwawewe ni miongoni

    mwa wenye kutendadhambi hii ya Zinaa naunachukizwa na jambohilo, basi nafasi ipo ya

    kufanya tawba juu yadhambi hii kubwa kablahayajakuka mauti. NaMwenyezi Mungu niMsamehuvu, Mpole.

    Ikiwa ni mwanamumeuliyekia umri wa kuoa

    basi fanya hima kuoa ilikutekeleza ule utukufualiotutukuza Mola wetu.Na ikiwa ni mwanamkena bado hukujaaliwandoa ilhali umeshakiaumri, basi fanya subrampaka Al lah (s .w)atakapokujaalia rizkiyako. Ama kwa walew a l i o k u w a n d a n iya ndoa watambueku wa wal i z i fu ngandoa zao kwa ajili yakutekeleza Sheria yaMwenyezi Mungu, basiwanapozivunja sheriahizo kisha wakajihisiwapo huru kwa kulekutohukumiwa kwaohapa duniani kutokanana sheria alizoziwekaMola, watambue kuwa

    kwake Yeye M ol ahaziepukiki.

    U i s l a m uumeiharamisha zinaakwa sababu ya madharamengi yanayotokanan a y o n a u k a w e k aadhabu kali kwa kilamwenye kujitumbukizakatika uchafu huu.Falsafa na hekimaya adhabu kali hii nikumlinda mtu binafsina jamii kwa ujumla

    dhidi ya madhara nataathira mbaya ya zinaa.Bwana Mtume-Rehemana Amani zimshukie-aka tu tahadhar i shad h i d i y a k u a c h akuzitekeleza adhabu hizikwa kumuonea hurumamwenye kutenda kosahilo,akatuambia:

    I t a k a y e m z u i l i ah u r u m a y a k ekuitekeleza adhabumiongoni mwa adhabu

    za Al lah. Bi lashaka huyo ataka m e m p i n g a Akatika amri yake.

    U i s l a mhaukumuacha hmwanadamu hkuyashibisha maumyake a takavyokupenda. Kwa ambayo ataisidi yake na wengakayadhuru maadkuubomoa utu pana kuzisambaratf a m i l i a k u y a p a r a g a n y imajumba. Uislaumesimama msimwa kati na kati, ukau

    wito wa maumn a k u y a w eutaratibu maaluutaratibu amabaomwanadamu anapkuufuata ili kufukamilifu.

    Vijana wengi wuwezo na wengi wanaishi na wanaw

    bila ya ndoa kama mna mke. Na wen

    japo hawaishi pamlakini wanawahudkwa matumizi ySi jambo jema

    kidogo, MwenMungu ametupataratibu nyepeszenye manufaa km a h u s i a n o y ekufanya kinyume cni kama kumuonykuwa za kwako

    bora zaidi. Ni kibrMwenyezi Mu

    amesema katika kichake kitukufu: wapeni wanawmahari yao hali ya kni kipawa..[4:4]

    Ikiwa mtu anay a k u o a / k u o lhatokuwa na sabya kushindwa kufhivyo kutokana wwa utekelezaji wikiwa misingi na tarz i t a f u a t w a . HM w e n y e z i M uakiwaahidi fadzaidi, pale aliposem

    "... wakiwa mafM w e n y e z i M uatawatajirisha kafadhila Zake..." [24

    Nani alo kama mamaHana baba wala mama, kwa uwezo katukukaViumbe vizuri sana, ametuumba hakikaTupate heshimiana, mama daraja kampaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Mama amepata shida, tumboni amekuwekaMiezi tisa sihaba, huku akiangaikaMempa nyingi suluba, kula asichokitakaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Siku ile ikaka, kukuleta duniani

    Ilikuwa patashika, roho yake mkononiAkajalia Rabuka, ukatolewa tumboniNani alo kama mama, kama yupo nambieni.

    Usiku nawe akesha, yakikuka maradhiHawezi wewe kukwacha, atakosa usingiziChakula atakiacha, yakuondoke maudhiNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Mtoto awezalia, mama akakosa rahaNa dawa kumpatia, hana anachouguaKumbe imemtokea, mamie kumdekeaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Mama huikosa raha, pale unapouguaMoyo hupata jeraha, hutamani na kuliaKule na huku huhaha, tiba upate fanyiwaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Huruma hukuonea, madhara yakikukaYeye atakuchukua, mikononi takuwekaDua atakuombea, yakuondoke mashakaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Hata awe masikini, atafanya kila njiaIsikupate huzuni, usisumbuke na njaaHukuweka mgogoni, uache kulialiaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Kila unachokiona, wewe unakililiaPengine hakina mana, wala kwako manufaaHujitoa wako mama, ili upate tuliaNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Hongera za kina mama, popote ziwekieAllah awape salama, na sisi aturidhieTuwafanyieni wema, na wao wajivunieNani alo kama mama, kama yupo nambieni.Mwl. Zainab Ally KhatibShule ya Msingi Nangurukuru-Kilwa.

    Mkutubi nimeona,tahadhari niwapeniLengo ni kuzinduana,mimi pamwe ikhiwaniKazi ya kukumbushana,yetu sote kiimaniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Limeshaanza pamema,ndani ya mwezi ShabaniKwa kasi limechachama,kuwateka insaniMajumba wanayahama,wanakesha ukumbiniShime kombe la dunia,lisimeze RamadhaniUsiku kucha wakesha, macho pima runinganiIbada kuahirisha, imeshakua fasheniSala kuziharakisha,kuwahia laghawiniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Ishara zaonekana, imani kushuka chiniWapo wanokosekana, kuka msikitiniLaghawi zimewabana, na hawaki jamaniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Karibu utaingia, Mtukufu RamadhaniNimepatwa na hisia, changamoto imbeleniMpira kushabikia, tutafanya lamwanzoniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Hala hala waumini, tusishindwe na shetaniTukiri kwa makini, lipi litatuauniTukiwa makaburini, pamwe huko hesabuniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Si chotwe kama chotara,kuingizwa mkumboniUsichague mpira, tarawehe ukahini

    Utaipata hasara, kuitenga QuraniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Ni kipi kilichobora,kama kuhama dhambini?Ni mwezi wa maghura,msamaha tuombeniTufanye istighfara, na kukesha ibadaniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Heshima tuupatie,hauzidi thelathiniTena tuukumbatie, tupate zakwake shaniFuraha tujisikie, kupata huu ugeniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Kaditama nimeka, hapa ndipo ukingoniMkutubi naondoka, narajea vitabuniVizuri tukazinduka,kutoka usingiziniShime kombe la dunia, lisimeze Ramadhani

    Isihaka Hemed Mzuzuri (Sauti ya Mkutubi)S.L.P 1031, MUM-Morogoro

    KOMBE LA DUNIA LISIMEZE RAMADHANI

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    13/16

    13 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala

    Alivyosilimu Prof. Khadija WatsoInatoka Uk. 11

    na Kanisa Katoliki, balialipendelea zaidi Kanisala Protestanti. Ilikuwa

    ni katika kipindi hiki,nilikutana na Mlipinoaliyekuwa Muislamuwakati akifanya kaziSaudi Arabia. Nilikuwanaishi Manila wakatihuo na ingawa kulikuwana Waislamu pale,sikuhangaika nao.

    Niliona jambo hilililikuwa geni zaidi,kwamba ningekutanana watu wawili ambaowalikuwa Waislamukwa muda mfupi kamahuo.

    Huku nikijua jinsigani Mungu anafanyakazi kat ika maishayangu kupitia hali yakawai da . Ni l i semakwa u tani , "Okay,M u n g u , u n a j a r i b uk u n i a m b i a j a m b ogani?" Ni l imuul izak u h u s u U i s l a m una swali la kwanzakuuliza lilihusiana ni

    ji ns i ga ni wana wakewanachukul iwa naUislamu. Ni jambolinalofahamika kamatunavyoelezwa katika

    nchi za M aghar i b ina ku si ki a ku pi t i avyombo vya habarikuwa mwanamke waKiislamu ni raia daraja lapili asiyekuwa na haki.Lazima ajifiche katikavazi la abaya/purdah aukujifunika kwasababuwanaume zao hawatakimtu yeyote amuone.

    Lazima abakie ndaniya nyumba na pamoja nahilo, mume ana haki yakumpiga! Nilishtushwana majibu ya rafikiy a n g u h u y u , p a l e

    aliposema kuwa mkena mama wamewekwakatika daraja la heshimakubwa katika Uislamu.A l i e l e z e a k u w awanawake wanajifunikamiili yao kwa sababuni amri ya MwenyeziMungu kwa ajili yaulinzi wa mwanamke.

    P i a a l i n i e l e z e akuwa hata siku mojaunyanyasaji wa mkesi sehemu ya Uislamu.Nilikuwa na hakikakuwa kile nilichoelezwa

    ni sahihi na nilikuwat a y a r i k u o n y e s h ahuruma yangu kwawanawake wa Kiislamu.Baada ya kuelezwaukwel i huu ambaoumekuwa kinyumena uongo niliokuwanimefundishwa hapo

    k a b l a , n i l i e n d e l e akumuuliza maswalimengine: Allah ni nani,na Muhammad (saw) ninani na ana mahusianogani na Waislamu?.

    Kwa wakati huo,nilikuwa nafundishakatika vyuo, kwa hiyomaswali yangu mengiyalikuwa ya kina. Rakiyangu huyo alikiri kuwaalikuwa ndio kwanzan a y e y e a m e i n g i akatika Uislamu hivyoasi ngeweza ku j i bumaswali yote, hivyo

    alinisindikiza katikaKituo cha Kiislamuambako ku na mtuangeweza kunijibu.

    N i l i p o s i k i a h i l i ,n i l i o m b a " B w a n a ,(ikimaanisha Yesu kwawakati huo), kamahuu ni ushetani (kamaambavyo Wakr i s towengi wanavyofikirikuwa ndivyo ulivyoU i s l a m u ) , b a s ianionyeshe. Sitaendahata mara moja."

    Baada ya hapo, sikuwa

    katika hisia za kishetani.Sikuhisi kupata hali yakupata wasiwasi na sita,hivyo nilikwenda nayelakini kwa tahadhari.

    Nilishangazwa najinsi wal ivyotupokea.Nilifundishwa Kanisani.Ni l i jua kuwa kuna

    m b i n u n y i n g i n anjia zinatumika paleanapohamasishwa mtukuingia katika dini yako.

    H a p o k i t u o n ihawakutumia njia yeyotekatika hizo! Hakukuwana udhali l ishaji wakisaikolojia, hakukuwan a s h i n i k i z o z ahi la , hakukuwa nausumbufu, hakukuana maneno kama haya"tunakuwa tunakujakukufundisha Qurnnyumbani kwako kamawanavyofanya Wakristo

    wanapotumia mfunzoya Biblia, hakukuwa nakupigiwa simu.

    Walikuwa wawazina wakweli. Walinipa

    ba ad hi ya vi ta bu nakusema kuwa kamanitakuwa na swali lolotewatafurahi kunijibu.

    Nilienda nyumbaniu s i k u h u o n akusoma vitabu vyotewalivyonipa. Nilivutiwana kushangazwa. Hiiilikuwa mara yanguya kwanza kusoma

    kikamilifu kitabu chaUislamu kilichoandikwana Muislamu.

    V i t a b u v y o t etulivyowahi kuvisomakatika masomo yangumiaka nane juu yaUi s l amu , v i l i ku wav i m e a n d i k w a n a

    Wakristo.Vitabu hivi viliakisikile walichokikiri juuya Uislamu. Lakiniwanavyofikiri ulivyoUislamu na jinsi ulivyoUislamu wa kweli ni vituviwili vyenye mitazamotofauti kabisa.

    Wakristo ni wenyekuamini sana, lakiniwanaamini kwa makosa.Nilirejea siku iliyofuatana kujadil iana kwasaa tatu juu ya kilenilichokisoma. Walinipavi tabu v i ngi ne na

    nilirejea nyumbani nausiku nikavisoma.H a d i m w i s h o w e

    n i k a w a n i m e s o m avitabu kumi na mbilina kutumia zaidi yasaa 15 katika mjadala.Nimesoma miaka nanemasomo ya dini yaKikristo. Mwisho wawiki hiyo, nilifahamukuwa Uislamu ni diniya kweli.

    Nilifuata Uislamubaada ya hapo? Hapana,kwa sababu hata wakati

    huo sikuwa mnaHaukuwa katika mwangu. Miongoni maswali ya mwa

    kuuliza wiki ile lilikswali hili : Allah ni nTumefundishwa kMungu wa Waislammungu wa wapag( K a m a m u n g u H i n d u l a k i n i lake ni Allah na hndiye mungu mmw a n a y e m w a b uWaislamu).

    Nilishangaa kkwamba Allah ni mwa yote -The Omnis(All-Knowing), mwnguvu zote Omnip( A l l - P o w e r f u l )

    aliyepo wakati wO m n i p r e s e n t (Present).

    Yeye ni muummtoaji na mvumiHaya hayafanann i l i y o s o m a k aupagani na nimetamkwa hakika, huyuMungu wa kipagYeye ni mmojaMungu pekee, hwashirika. Hii ni tona mafu ndi shoUtatu ambako Muana nafsi tatu, BMwana (Yesu), na R

    Mtakatifu, wote wausawa wa pamojumilele wa pamoja

    T u n g e p e nkuwauliza rafiki Wakristo, Yesu alikyupi wakati alipokanasulubiwa msalana kusema "Eli, Eli, LSabachtani? (Muwangu, Mungu wambona umeniach(Mahew 27: 46).

    A l i k uakizungumza peke yLabda unaweza kus"hapana, hiyo nsehemu ya uanadwa Yesu " (Maanya Incarnation amYesu alikuwa Mung

    binadamu).Swali la pili nililo

    lilikuwa: Muham(saw) ni nani hukusna Waislamu?

    Nilistaajabu kk u w a W a i s l ah a w a m u a b uM u h a m m a d ( sk a m a W a k r iwanavyomuabudu

    Inaendelea U

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    14/16

    14 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Makala/Tangazo

    (as).W a i s l a m u

    wanamuomba Allah

    kumrehemu Muhammadna Masahaba na ahli zakekama wanavyomumbaAllah kumrehemu NabiiIbrahim (as) na ahli zakemwisho wa swala.

    Ni l i tambua kuwaMitume na Manabii wotepamoja na Yesu wotewanaombewa kwa Allahkwa dua hiyo.

    Ujumbe huu ni wakumwabudu Mungummoja wa kweli. Musaalizungumza kwa watuwa Israel "Sikia enyiIsrael! Bwana Mungu

    wako ni Mungu mmojana unapaswa kumpendaBwana Mungu wakokwa moyo wako wote,kwa ufahamu wako wotena nguvu zako zote."(Deuteronomy 6:4)

    Yesu pia alitoa ujumbehuo, "Sikia enyi Israel!Bwana Mungu wakoni Mungu mmoja naunapaswa kumpendaBwana Mungu wako kwamoyo wako wote, kwaufahamu wako wote nanguvu zako zote." (Mark12:29,30).

    Zingatia: Yesu alisemaMungu mmoja, sio tatukwa moja! Yesu mwenyehakuwahi kusema yeye nimwana wa Mungu, kamawengine wanavyomwita.

    Ujumbe wa Musana Yesu ulitumwa kwawatu maalum, Wayahudi.Katika Biblia maneno" S i k i e e n y i I s r a e lyamerusiwa mara kwamara na Mitume ikiwa nipamoja na Yesu.

    Q u r a n T u k u f uhaikuteremshwa kwawatu maalum ingawaMtume (saw) alikuwaMwarabu na lugha niKiarabu.

    Allah anasema katikaQuran (zaidi ya maraishirini) kuwa Uislamuumeshushwa kwa ajili ya

    binadamu wote.Swali la tatu lililoulizwa

    lilikuwa: Ni maneno ganiya swala? Hata hivyosote tuliona picha zaWaislamu wakiswalikuelekea katika Ka'bahya Makkah. Tulikuwatu k i d ha ni k w a m ba

    Alivyosilimu Prof. Khadija WatsoInatoka Uk. 13 Waislamu wanaamini

    kwamba lile jiwe jeusi ndioMungu wao au walidhanikuwa mungu wao yuko

    ndani yake pale. Hili kwamara nyingine lilionyeshauj inga ambao wengiwasiokuwa Waislamu hasaWakristo, katika kuuelewaUislamu.

    Tangu swala na mamboya utukufu mara zoteyalikuwa muhimu sanakwangu kama Mkristo,nilikuwa nitaka sana kujuanjia na maneno ya swala.

    Walinijibu "kabla yayote kuiendea swala niusa-wote wa kiroho nakimwili. Allah, Muumbawa binadamu ndiye pekee

    mwenye haki ya kusemani namna gani tutakujambele yake katika swala.

    Aw a l i n i l i po k u w aMkatoliki, nilikuwa napigamagoti na kuonyeshaishara ya msalaba. Baadae,nilipokuwa Protestant,tu l i i nu a m i k o no nakuimba, kupiga makofi,kucheza na kulia.

    Katika ujinga wetu,tulidhani hii ilikuwa njiasahihi ya kumwabuduMungu. Alitueleza katikaQuran tukufu njia sahihiya kufuata kumwabudu

    Mungu (Sura ya 5 aya ya6).

    Tunatakiwa kuoshamikono yetu, uso, mikono,kichwa na miguu.

    Kwa kufanya hivyo,dhambi ndogondogotulizozifanya kupitiaviungo hivi vya miili yetuzinaondolewa.

    Baadae nenda simamahuku ukielekea Makkah(nukta ya uelekeo waswala) na nyanyua mikonoyako ukisema, "MwenyeziMungu ni mkubwa". Baadaya hapo, tunasoma sura yakwanza ya Quran Tukufu:(Sura ya 1 Aya 1-7).

    Kwa ujumla nifunzwautaratibu mzima wakuswali kuanzia kujitakasakabla ya swala (twahara),kufunga swala, kuitidali,kurukuu, kusu judu,huku sehemu kubwa yaswala ikimtukuza zaidiMwenyezi Mungu.

    Na Ibada yote ya swalani maelekezo ya MwenyeziM u n g u m w e n y e w ea l i y o m p a M t u m eMuhammad (saw) kupitia

    kwa Malaika wake Jibreel(Gabriel).

    Nilikuja kutambuakuwa Waislamu ni watu

    pekee duniani ambaowameelekezwa kuswalimithili ya wanavyoswaliM a l a i k a , n a s w a l ainafanywa kwa kuzingatiamuda maalum kulingananafasi ya jua. Hii ina maanakuwa katika mzungukowa dunia, Waislamupekee ndio wanaoendanao sambamba kwa ibadambele ya Mungu hivyokumwabudu kwa saa 24kwa siku.

    Swali la mwisho lilihusuu ha k i k a w a Q u r a nTukufu. Biblia imetokana

    na vitabu 66 (Biblia yaKikatoliki inavyo zaidi) naimeandikwa na waandishitofauti zaidi ya 40.

    Kwa baadhi ya vitabuwakati mwingine hatamwandishi hafahamikiau hakubainishwa. Kwamfano kitabu cha Ruthkatika agano la Kale naWaebrania katika Agano

    Jipya.Ingawa Waebrania

    anahusishwa na Paul,ba do ha onekani nd aniyake na katikati ya kitabucha Waebrania, mtindo wa

    uandishi umebadilika.Prof. Khadija anasema

    Wakristo wa kawaidahawawezi kuona haya hadiuwe umesomea shahadaya theolojia, kwa kawadatu huwezi kutambua hayokwa kusoma tu Biblia.

    Katika Biblia unakutanana lugha mbili. Kiibraniana Kigiriki katika agano

    Jipya. Hata hivyo sijawahik u s i k i a k u w a Y e sualizungumza kigiriki.Nililazimika kusoma kwalugha zote mbili masomoyangu.

    Lakini nimevutiwa

    kujua kwamba QuranT u k u f u i l i k u w a n amwandishi mmoja tu,ambaye ni Allah (sw)mwenyewe.

    Kila inapoanza sura,isipokuwa sura mojatu, inaanza kwa jina laMwenyezi Mungu, mwingiwa rehema mwenyekurehemu, tofauti na Bibliaambayo katika agano laKale: Kitabu cha, auAgano Jipya ambalo surahuanza: Neno kwa mujibuwa. . . (Mathayo, Mark,

    Luka au John).H a t a h i v y o , k w a

    mujibu wa wasomi waBiblia, Mahew, Mark naLuka hawakuwahi kuwawanafunzi wa Yesu.

    Walikuwa wanafunziPeter na Paul. Mark ni

    k i t a b u c h a k w a n z akuandikwa katika miakaya 68 AD. Wasomi wengiwa Biblia wanaona kuwaMathayo amenakili nakuunga unga kutoka kwaMark na kwamba, Markalipata baadhi ya taarifakutoka chanzo kinginekilichoitwa Q.

    Luka ameeleza katikamaandiko yake na kitabuc ha k e c ha M a te nd okwamba maelezo yake nimkono wa pili. Maandikoya John yaliandikwakatika miaka ya 100 AD.Kama nilivyosema, mpakauwe umesoma theology,v i n g e v y o h u w e z ikutambua mambo haya.

    J a m b o j i n g i n el i l i l o n i v u t i a k a t i k aUislamu, kwa kweli niQuran kubakia ilivyo bilakubadilika tangu miaka1421.

    Kile kinachosomwa leoni sawa kabisa kama vilealivyofunuliwa MtumeMuhammad (saw). Walewanaosoma tafsiri yaQur;an tukufu mara zotewatakuta maneno yaKiarabu kama yalivyo.

    Lazima ikumbutafsiri sio kubadili l(Katika kila lugha, m i u n d o k a d h a agrama, sawa na vifvya maneno (phra m b a v y o h a v i wkutafsiriwa barabara

    K w a h i y o t a f

    i n a k a m i l i k a kupata maana yak i l i c h o z u n g u mpamoja na maneno yaliyotumia.

    N d i o m a a n a Muislamu anasisitkusoma Lugha ya Kiacha Quran.

    Si kwakuwa swalatunazisomwa kwa lya asili, lakini piamaana kuwa Waislamwatu pekee duniani awanaunganishwa pakwa lugha moja.

    Kwa mfano iwMuislamu wa C

    atakwenda Marena ha w e z i k u o nKiingereza na Waiswa Marekani hawakuzungumza Kichwanaweza kuwasikwa kutumia Kiakatika Quran.

    Ingawa sikuinkatika Uislamu wiknilianza kuhudhmihadhara ya KiislKwa mara nyingnilishtushwa na nilichokuwa najifu(Itaendelea)

    Khadija Watson.

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    15/16

    15 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, Habari/Tangazo

    BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM

    MUNAZZAM

    AT AL-DAAWA AL-I

    SLMIYA - TANZANIA

    KU

    NDUCHI GIR

    L

    S I

    SLAMIC HIGH SCHOOL- DSM(SHULE MAALUMU nA yakipekee kwa mabinti wa kiislamu)

    INAWATAK

    IA KHE

    R

    I YA M

    WE

    Z

    I M

    T

    U

    KUF

    U WA R

    AMADHAN

    I

    INATANGAZA NAFASI ZA MASOMO KWA KIDATO CHA TANO

    KWA MICHEPUO YOTE (SAYANSI, SANAA (ART) NA BIASHARA)

    SHULE INA SIFA ZA KIPEKEE ZIFUATAZO:

    > INAZINGATIA NA KUJALI MAADILI NA MALEZI YA KIISLAMU

    >MASOMO YOTE YANAFUNDISHWA NI PAMOJA NA MAARIFA YA

    UISLAMU, QUR AN NA LUGHA YA KIARABU

    JIUNGE NA KUNDUCHI KWA UHAKIKA NA WEPESI WA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU

    FOMU ZINAPATIKANA SHULENI KUNDUCHI AU TUPIGIE

    0 7 1 3 4 6 5 4 3 7 / 0 7 1 3 5 1 5 0 5 4

    NAFASI Z

    A KUSOM

    E

    A UA

    L

    IMU- CH

    ET

    I NA DI

    PLOM

    AZI

    NA

    PAT

    I

    K

    A

    NA CH

    UO CHA UA

    L

    IMU CH

    A K

    I

    PE

    K

    E

    E U

    N

    UN

    IOKUJIUNGA NA CHUO PIGA SIMU

    0

    6

    87505

    2

    92

    /0715

    8

    2

    2

    332

    /

    0

    65

    4

    08

    394

    0SIFA NI KWA MUJIBU WA WIZARA YA ELIMU

    WASIO KAMILISHA SIFA WATAPOKELEWA NA KURUDIA MTIHANI

    WANANDOA NA WALIOMALIZA ZAMANI WANAPOKELEWA

    WA5 WENYE DIV I KWA SAYANSI WATASOMA BURE PIA DIV I KWA SANAA NA DIV II KWA SAYANSI WATALIPA 60% YA

    WAZAZI wa Kiislamunchini wametakiwakuwashonea mabintizao vazi la Hijabu kwamujibu wa mwongozowa Qur an.

    Wito huo umetolewana Mratibu wa vazi laHijabu kutoka BarazaKuu la Jumuiya naTaasisi za Kiislamu (T)Ustadhi Shaabani Ally,mwishoni mwa wikiiliyopita, akiwashajiishawazazi wa Kiislamukuachana na wogakatika kutekeleza amri

    za Allah (sw).U s t . S h a a b a nalisema suala la uwogalinatakiwa lisiwepokwa wazazi na waleziwa Kiislamu, katikakuwalea watoto waokatika maadili likiwemosuala la stara.

    Katika kipindi hikicha likizo wazazi nawalezi wa Kiislamuwahaki ki she ku wawanawashonea watotowao Hijabu badala ya

    Tumieni likizo kuandaa hijabu za sare za shulNa Bakari Mwakangwale maajabu ya Hijabu, na

    waache woga katikakutekeleza amri za Allah(s.w). alisema Ust.

    Shaaban.Akifafanua nini Hijabu

    na maajab ya Hijab,Ust. Shaaban alisema,Hijabu ni vazi ambalolinafunika sehemu yoteya mwili isipokuwa usona viganja vya mikonona maajabu ya Hijabuni kijuba kinachofunikakichwa na kuishia juu yakifua, sketi fupi na shatila mikono mifupi.

    Alisema, Muislamuwa kweli anayeelewa

    haswa ni n i maanaya Hi jabu , hawez ikumshonea mtoto wakekijuba kilicho juu yakifua, sketi fupi shati lamikoni mifupi.

    Ust. Shaaban, alisemakutokana na uzoefuwake wa kuhamasishana kusimamia suala hilomashuleni, amebainikwamba baadhi yaWaislamu na Walimuwanaichukulia Hijabukuwa ni kitambaa cha

    k i c h w a n i ( s h u n g i )b i l a ya ku z i n g at i asehemu ingine ya mwiliimefunikwa kwa kiasigani.

    Alisema walimu waliowengi katika Shule zaMsingi wanataka watotowa Kiislamu wavaemaajabu ya Hijabu,wakiamini kwambaHijabu ni kitambaakadogo kilichofunikakichwa badala ya vazil i l i l o f u n i k a m w i l imzima.

    Alisema, kutokana nahali hiyo ya ufahamukuanzia kwa Walimu

    na Waislamu wenyeweni kupatiwa elimu yakutosha juu ya vazi laHijabu, kwani akasemai k i w a W a i s l a m uwatapewa elimu kwanamna iliyo nzuri bilashaka kutakuwa namabadiliko makubwaya kimaadili kwa ummawa Kiislamu.

    Alisema, ni ukweliusiopinginga kwamba,W a i s l a m u w e n g iwamekosa elimu na

    ufahamu juu ya diniyao na pindi anapowapaelimu juu ya vazi hilo navipi binti wa Kiislamu

    a w e k a t i k a s t a r andani ya sare ya shulewanaelewa na kuingiakatika utekelezaji.

    H a t a h i v y o U s t .Shaaban, alisema katikawazazi au walezi hao

    baada ya kue li mik ahugawanyika katikamakundi wawili wapowanaotekeleza bi lahofu na wale ambaow a n a e l e w a l a k i n iw a n a h o f i a w a t o t ow a o k u s u m b u l i w a

    na walimu, na kuonamabinti wao wabakiekatika hali ileile yaHijabu ya maajabu.

    A l i s e m a ,kinachotakiwa kwawazazi si kujiuliza kamamtoto atakubaliwa aukukataliwa akivaa staraakiwa Shuleni, baliwanatakiwa kuelewawao ni wachunga nawanapaswa kusimamiamaadili kwa mujibu wadini na si vinginevyo.

    Akielezea vikwazoambavyo wanakumbananavyo mabi nt i waKiislamu wanaovaaHijabu sahihi katikaShule za Msingi, alisema,hulazimishwa kuvaavijuba vidogo, sketifupi na shati la mikonomifupi, na kuelezwahiyo ndiyo Hijabu.

    Ust. Shaaban, alisemaamekuwa akipambanana walimu na kesi nyingikama hizo na anapokakujua tatizo, hulezwa

    kuwa wamevaa kinyumena utaratibu wa Shulena anapowaeleza kuwahivyo ndivyo Hijabuinavyokuwa, baadhiya Walimu hupingana kusema Hijabu nikitambaa cha kichwani.

    Alisema, kutokanana kesi nyingi za vazisahihi la Hijabu ni lipi

    baiana ya Walimu nawazazi (Waislamu) hivikaribuni Serikali imetoaMuongozo mwingine

    kwa wal i mu wikiwafafanulia aianHijabu kwa mujibudini ya Kiislamu.

    Ust. Shabani, aliMuongozo uliotolewKamishna wa Elimmwaka 2014, umewwazi na kuonyek w a m b a k a u l iWalimu waliokwakigomea Hijabumujibu wa Uislailikuwa ni misimyao wenyewe na Wizara ya Elimu.

    Alisema, Kamiswa Wizara ya El

    aliweka wazi kwamiongozo yote ya ahaikuainisha ainHijabu inayotakkuvaliwa na wanawa kike, kwa kSerikali ilijua kwa

    j u k u m u h i l o nWaislamu wenyew

    Ust. Shaaban, aliukirejea waraka Wizara ya ElimuFebr u ar i 14 , 2s a s a u m e a i n iwazi kwamba Hiy a n a m n a gi v a l i w e k i n y un a w a l i v y o k uwakilazimisha Wamashuleni ambayHijabu bali ni maaya Hijabu.

    Mratibu huyoHijabu, aliwaponw a z a z i a mhawakuyumba kakusimamia vazi histara kwa mabinti na kulazimika Ser

    kutoa muongozo watendaj i wakekuepusha kumpawa kiimani.

    Ku pi t i a warhuu wa KamishnaElimu sasa wazazi hiyo iwaondoke, kSerikali imetoa ufafakwa Walimu wakambao walikuwkikwazo katika uwa Hijabu kwa muwa Dini yao. AliUst. Shaaban.

  • 5/24/2018 An Nuur 1130

    16/16

    16 AN-N

    SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26,

    16MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

    AN-NUUR16 SHAABAN 1435, IJUMAA JUNI 20-26, 2014

    SomaGazeti la AN-NNUR

    kila Ijumaa

    IMEELEZWA kuwaharakati za kupiganiaUislamu ni jukumu lakila Muislamu aliyehai na hakuna kurudinyuma, ikiwa kiongoziw a h a r a k a t i h i z oametangulia mbele yahaki.

    Hayo yamebainishwana Ustadhi SuleimanK a s s i m , w a k a t iakiongea na Waislamukatika Msikiti wa Tungi,Temeke Jijini Dar esS a l a a m m w i s h o n imwa wiki iliyopita,kat ika Kongamanolililofanyika Msikitini

    hapo.A k u z u n g u m z i aharakati za marehemuSheikh Ilunga HassanKapungu na MzeeAmani Hamisi Mushi,waliotangulia mbele yahaki hivi karibuni, Ust.Kassim alisema kwakuwa Jihadi ni jukumula kila Muislamu, basikuondoka kwa kiongozihaiwi mwisho wa kazi

    basi husimama kiongozimwingine na kushika

    bendera ya Jihad.Kwa maana hiyo

    al isisi t iza kwambaiwapo kiongozi waharakati ametanguliambele ya haki, basinafasi hiyo lazimaichukuliwe na mtumwingine miongonimwa Waislamu.

    Akisherehesha aya yaQuran 3:144 alisema,M w e n y e z i M u n g uameeleza katika ayahiyo kwamba hakuwaM u hammad i l a n iMtume na kwamba,wamepita kabla yake

    Waislamu watakiwa kuzibapengo la Sheikh Ilunga, MushNa Bakari Mwakangwale

    Mitume wengi, hivyoakifa au kuuawa haiwisababu ya ku r u dinyuma.

    K a s s i m a l i s e m apamoja na mazingatioya aya hiyo na nyingine

    nyingi zenye maudhuikama hayo, Waislamuwanatakiwa wajiulizehivi sasa ni ibra ganiwanatakiwa waipatek u f u a t i a v i f o v y amajemadari hao wawaili

    waliorejea kwa Molawao.

    K a s s i m a m b a y eanatoka Chuo ChaWaislamu Morogoro( M U M ) , a l i s e m af u n d i s h o k u b w alinalotokana na ayahiyo ni kwamba, Allah(sw) anapowaondoaM ajemadar i wake ,Waislamu wanaobakihawapaswi kurudinyuma katika kuupiganina kuupeleka mbeleUislamu.

    A l i o n g e z a k u w aAllah (s.w) amekemeamitazamo kuwa Jihadiau harakati zinategemea

    zaidi kuwepo kwaSheikh fulani, jamboambalo amel ielezaku wa ni mtazamopotofu.

    Waislamu lazimawaelewe kuwa Jihadina harakati ni jukumula kila mmoja wetu,a k i o n d o k a y u l eambaye mlimwekambele kukuongozeni,

    bas i haraka nafas ihiyo ichukuliwe namwingine miongonimwenu. Alisisitiza Ust.

    Kassim.Aidha alisema kuwaM w e n y e z i M u n g ua m e w a a m r i s h aWaislamu kupiganiadini (Uislamu) kwaniy e y e ( M w e n y e z iM u n g u ) n d i y ealiyewachagua kufanyahivyo.

    Hata hivyo alitoatahadhari kwambau n a p o f i k a w a k a t iMuislamu yupo katikamitihani na misukosukok a m a i l i v y o s a s a

    ambapo M ashemahiri wamefaSheikh mwingine y

    je la huku wenwakikabiliwa na

    basi isije kutafsivibaya kauli ya A(sw) kuwa mwenya n a j u a j i n s ikuinusuru dini hii

    Muislamu ukiharakati kwa sabk i o n g o z i f u lkafa, wewe ujueupungufu katika imyako. Alisema.

    Alisema mionmwa mambo ambWaislamu wanatakujifunza kutoka Marhumu hao wani ujasiri walioknao katika kufanyaya Dini.

    A l i t o a m i fk w a m b a m w1 9 9 8 , A l - M a r hSheikh Ilunga, alikuvamiwa nyumkwake Jijini Mwna kujeruhiwa, bya kupata matiba l i kwenda mkoTabora na kuzunguna Waislamu kaMsikiti wa Gon

    na kuongea mamazito.

    A l i s e m a S h eIlunga, alieleza a l i c h o t a m k i w awavamizi wale kwalitaka kumuua sababu ya kukedhulma ya Serikali dya Waislamu nchin

    U s t . K a s sa l i s e m a k awanapatikana vion

    j a s i r i , m a d h a lwasingefurukuta.

    AL-MARHUUM Amani Khamis Mushi

    AL-MARHUUM Ilunga Hassan Kapungu.