an-nuur 1071

Upload: mzalendonet

Post on 14-Apr-2018

688 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1071RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Na Mwandishi Wetu

    WIZARA ya Elimu naM a f u n z o y a U f u n d iimepit isha uamuzi wakutotahini tena mtihaniwa somo la Dini kuanziamwaka huu.

    Katika kupitisha uamuzihuo, Wizara ilikutana nataasisi za Kikristo pekeemwezi Machi mwaka huuna baadae kuwapa taarifaBakwata juu ya maamuzi

    Na Mwandishi Wetu

    JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar imemwandikiabar ua Mwanasher ia Mkuu iki lalamika nakuhoji kwa nini Serikali ya Umoja wa Kitaifainamdhalilisha na kumnyima haki Sheikh FaridHadi pamoja na Masheikh wote wanaokabiliwana kesi mahakamani.

    Jumuiya hiyo imesema imelazimika kuandikakuhoji kwa sababu wanaamini kuwa Masheikhhao wanadhulumiwa na kwamba ni jukumu lakila Muislamu kusimamia haki ikizingatiwakuwa Muislamu nduguye Muislamu.

    Inaendelea Uk. 2

    Serikali yafuta kinyemelamtihani somo la IslamicWaislam wapanga kumwona Katibu Ikulu

    yaliyofikiwa.Sis i tumefanya tu

    kupewa taarifa kuwa Serikaliimepitisha uamuzi huo,lakini katika kujadili sualahilo hatukufahamishwa,Wizara ilikutana na wadauwa Kik r i s t o pekee . Amesema afisa mmoja waBakwata akielezea juu ya

    barua waliyoandikiwa naKamishna wa Elimu juu yauamuzi huo.

    Inaendelea Uk. 2

    Maimamu Zanzibar wahojiudhalilishaji wa MasheikhWamwandikia barua Mwanasheria MkuuWataka Farid, Uamsho watendewe haki

    Wadai wanadhalilishwa huko korokoroni

    Bomu Arusha kufungua

    mlango wa Al ShabaabSie ni hadithi ya mtoto kulilia wembeTutafakari ya Umar Farouk Mutallab

    AskofuTarcisiusasigeuzemada

    Kuna wasiwasi na uwezekanomkubwa kwamba huenda tukio la

    bomu Kanisani Arusha, likatumikakujenga hoja kuwa sasa Tanzaniainakabi l iwa na ki t isho chaugaidi wa Al Shabab, Al Qaidahna magaidi wengine. Na hilolikifanyika, utakuwa ni msiba kwataifa, lakini kwa wakati mwingine

    kuwa mafanikio makubwa kwawale ambao kwa muda mrefusasa walikuwa wakionyesha hamuya kuona nchi hii kuwa nayoinasajiliwa kuwa na magaidi. Nahilo likitimia, itahalalisha uwepowa kudumu wa FBI/CIA na hatavikosi vya kijeshi na droni.

    Inaendelea Uk. 10

    Dk. Joyce Ndalichako

    IGP Said MwemaSheikh Farid Had

    Uk. 6

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    2/12

    2AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    Inatoka Uk. 1Muislamu ni ndugu

    yake Muislamu ni haramukumdhulumu na ni haramuk u a c h a k u m n u s u r uakidhulumiwa.

    Wamenukuu Hadithi hiyoMaimamu na kisha kumkabiliMwanasheria Mkuu kwakusema kuwa wanamfikishiamalalamiko yao kwa sababundiye Msimamizi Mkuuwa Sheria katika Serikali nautendaji wake kisheria.

    W a k a s e m a ,wanashangazwa sana kuiona

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa( SUT) ikiridhia kwa kukaakimya juu ya dhulma naukiukwaji wa kisheria naudhalilishaji wanaofanyiwaViongozi wa Taasisi zaKiislamu nchini akiwemoKiongozi Mkuu wa Jumuiyaya Maimamu Zanzibar, SheikhFarid Hadi Ahmed pamojana viongozi wa Jumuiya yaMihadhara ya Kiislamu naMashekhe (wengine).

    Jumuiya ya MaimamuZanzibar (JUMAZA) inasemakuwa Viongozi hao kumiwa Kiislamu wamezuiliwa

    WAKATI serikali ikiwakatika harakati mbalimbaliza kuhakikisha kwambayanakuwepo mahusianomema ya imani za kidini,na ili kuleta umoja namshikamano wa kitaifanchini, kuna haja sasa serikalihiyo hiyo kuwaacha huruWaislamu katika jumuiya

    zao. Isiwalazimishe kuwamambo yao lazima ili yafikeSerikalini yapitie Bakwata.

    Na kwa upande mwingineSerikali iache msimamokuwa haiwezi kukaa mezanina taasisi ya Kiislamuisiyo Bakwata wakati kwaWakristo haifanyi hivyo.

    T u n a s e m a h i v y okwasababu BAKWATA,limekuwa likilalamikiwa naWaislamu kuwa limeshindwakutimiza wajibu wakewa kutetea, kulinda nakuendeleza maslahi yaWaislamu nchini, na badalayake limekuwa likishirikianana serikali katika kutimizamaazimio na dhamira zaserikali.

    Si hivyo tu, baraza hili pialimekuwa likilalamimkiwakwamba limekuwa likifujamali za Waislamu kwamaslahi ya watu wachachena kusababisha kudumaamaendeleo ya Waislamuna wakati huo huo kuletam i g o g o r o b a i n a y aWaislamu.

    K w a mt a z a mo h u o ,sehemu kubwa ya Waislamunchini inalitazama Barazahili kama idara ya serikali na

    chumo la viongozi wachachewa baraza kuliko taasisi yaKiislamu kwa ajili ya maslahiya Waislamu wa nchi hii.

    Ni kutokana na udhaifuhuo, mara kadhaa Waislamuwamejaribu kufanya juhudiza kuleta mabadiliko ilikuleta ufanisi wenye maslahikwao, lakini juhudi hizo marakadhaa zimekuwa zikizuiwana nguvu ya serikali.

    K i m s i n g i , t u n a o n akwamba hali hii imeletaathari kubwa sana kwa jamiiya Kiislamu.

    Inatoka Uk. 1Afisa huyo akasema

    kuwa wao kama Bakwatawameshangaa na kushtukasana.

    Akasema kuwa pamojana kuwa hawakushirikishwawanakuja kupewa tu taarifa,lakini wanashangaa pia kwasababu hata walipopewataarifa na Kamishna waElimu, wameambiwa jambohilo liwe siri.

    Jambo hili linafanywaSIRI, je Serikali inatakaWaislamu wasiambiwe?Kwanini? Kuna agenda gani?Amehoji afisa huyo ambayehata hivyo hakutaka kutaja

    jina lake akisema kuwa yeyesio msemaji wa Bakwata.

    Awali taarifa juu ya kikaocha Wakristo na Wizara

    ju u ya mi ti ha ni ya di ni ,zilianza kuvuja kupitia kwaWakristo waliohudhuriaambao walipokutana nawadau kutoka upande waWaislamu waliwalaumu nikwa nini hawakuhudhuriawakasaidiana kupinga uamuzihuo wa Serikali.

    Hata hivyo, wadau haokutoka Islamic EducationPanel waliwafahamishawadau hao wa Kikristo kuwa

    Ni rai ye tu kwa mba,madhali serikali imeonyeshania ya dhati katika kuletaumoja na upendo kwawananchi wake kidini, basifursa hiyo pia itumike kwakuwaacha Waislamu. Iachekurasimisha kuwa msemajiwa Waislamu ni Bakwata.Kama kuna jambo linahitaji

    mawazo ya Waislamu, basimawazo yao hayawez ikuwasilishwa na BAKWATA

    pekee. Lazima taasisi nyinginezinazowakilisha Waislamuzisikilizwe.

    T u n a y a s e m a h a y atukizingatia kauli za baadhiya Wabunge hivi karibuniambao kauli zao zinaonyeshakuwa hueda Muislamu akiwanje ya Bakwata, anatafsiriwakama muhalifu au kavunjasheria za nchi.

    Lakini tunayasema hayapi a tu kizi ngat ia kaul i zawale waliosema kuwa hatuaya Serikali ya kuwadhibitiWaislamu chini ya Bakwata,na kwa namna moja aunyingine, kuingilia utendajiwa Baraza hilo, ikiwa ni

    pamoja na kuhusika katikakuweka viongozi wa ngaziza juu, ni ukandamizaji nakinyume cha sheria kwasababu haifanyi hivyo kwataasisi za dini nyingine.

    Waka taka Wais lamuw a a c h w e h u r u k a m awalivyo huru Wakristo katikamadhehebu na taasisi zao.

    Lakini kubwa zaidi nikwa Serikali kuhakikishakuwa kwa kauli na vitendo

    haionekani kupendeleaupande wowote wa jamii.

    Kwa hiyo, wakati inatakakukutana na viongozi wa kidinihuku ikihimiza maelewano,ijitizame pia katika yaleinayotuhumiwa kwayokwamba inawapendeleaWakristo.

    H a i t a s a i d i a s a n akuhangaika kuleta maelewano

    baina ya Wais lamu naWakristo ikiwa Serikaliyenyewe ndiyo chanzo chautengano kwa kuendeshaubaguzi na upendeleo.

    Serikali isiwe chanzocha migogoro ya kidini

    wao walikuwa hawakupewataarifa.

    Kufuatia kuvuja kwa taarifahizo, baadhi ya wajumbewa I s lamic Educa t ion

    Panel walifuatilia jambohilo Bakwata wakidhanikuwa huenda Bakwata waowalipewa taarifa.

    Hata hivyo, maofisa waBakwata wakasema kuwa naowanasikia tu, hawakualikwa.

    Kwa muda mrefu Serikaliimekuwa ikitahini masomoya Dini ya Kiislamu (Maarifaya Uislamu) na Kikristo(Divinity) katika mitihaniya kidato cha nne na sitana pia katika Mafunzo yaUalimu ngazi ya Cheti naStashahada.

    Kwa upande wa Maarifay a U i s l a m u , W i z a r aimekuwa ikishirikiana naIslamic Education Panelkatika kuandaa mihutasarina mitihani kwa ngazi zotehizo.

    Vitabu vya mihutasarihiyo, kwa ngazi zote, katika

    jalada vimewekwa nemboya Serikali na ile ya IslamicEducation Panel na kusainiwana Kamishana wa Elimu.

    H a t a h i v y o , W i z a r aya Elimu na Mafunzo ya

    Ufundi, haikuwaita IEP katikkupitisha uamuzi huo mkubwna wenye athari kubwa kwvijana wa Kiislamu na vyuvya Kiislamu.

    Hivi sasa Vyuo Vikuu kamkile cha Waislamu Morogor(MUM), pamoja na wanafunwa kozi nyingine, huchukuwanafunzi waliomaliza kidacha sita na kufaulu Somo Islamic Knowledge kwa ajiya kuchukua kozi ya Sheria nSharia kwa pamoja.

    Aidha, huchukua pwanafunzi hao kwa ajili ykozi ya Masomo ya Dini nUalimu, yaani BA IslamStudies and Education.

    Kwa upande mwinginChuo Kikuu cha ElimZanzibar (Chukwani) na kicha Tunguu, navyo vinachukuwanafunzi waliomaliza kidacha sita na kufaulu somo Maarifa ya Uislamu kwa ajiya kozi zao mbalimbali.

    Vipo pia vyuo vikuvya Mbale Uganda, SudaUturuki, Malaysia na sehemnyingine ambapo wana kozinazohitaji somo la Maariya Uislamu kama vile IslamBanking.

    Serikali yafuta kinyemelamtihani wa somo la Islamic

    Maimamu Zanzibar wahoji

    udhalilishaji wa Masheikhna Jeshi la Polisi tokea tarehe20/10/2012 mwaka jana nakufikishwa Mahakamani kwakesi za bandia zenye sura yakutengenezwa ili kuwawekandani kwa muda mrefu kadiriitakavyowezekana.

    Jumaza ikada i kuwaUshahidi wa hayo ni kuwatokea siku waliofikishwaMahakamani hadi leo huusasa unaanza mwezi wasaba, hakuna haki yoyotewa l io tendewa za id i yaudhalilishaji na usanii wakuudanganya Umma wa

    Wazanzibari kuwa Mashekhen a v i o n g o z i w a o h a owanakabiliwa na kesi kubwa iliwananchi waogope na warudinyuma waachane na madaiyao ya kudai Mamlaka kamiliya Nchi yao Zanzibar.

    Mhe, Mwanasheria Mkuu,kwa upande wa Mahakama,hadi hii leo imeshindwa hatakuwapangia Jaji kama taratibuzinavyoelekeza na kwa kipindihicho chote kesi ya msingiimebaki kwa Mrajisi waMahakama ambaye amekuwaakiitaja kila wanapofikishwaMahakamani. Kutokana na

    kutokuwa na nia nzuri ykutoa haki kama ambavymahakama inatakiwa ifanyMrajisi huyu alijipa uwezo wkuzuia dhamana ya Masheikna Viongozi hao licha ykuwa hana uwezo kisherkufanya hivyo; jambo ambalimebainishwa wazi na katikhukumu ya Ombi la dhamanlilitolewa tarehe 11/3/2013.

    Imesema sehemu ya baruya JUMAZA iliyosainiwa nKatibu Mtendaji wake SheikMuhidini Zuberi.

    Barua hiyo ikaongeza kud

    kuwa kwa upande wa Ofiya Mkurugenzi wa Mashitaknao umekiuka utaratibu kwhati ya kupinga dhamana nhuku wakijua kuwa hawansheria wala mamlaka ykufanya hayo. (na kwambakinachoonekana wazi nkujaribu kuridhisha utash

    binaf si wa kisiasa amb aunaonekana kuwa umelengwkufanikisha kuwaweka ndanViongozi hao kwa muda mrefna kuwanyima haki yao ydhamana kwa kulifanya kos

    Inaendelea Uk.

    Inaendelea Uk.

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    3/12

    3AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 201Habari

    SHEIKH Ponda Issa Ponda, amesemakamwe Waislamu hawatorudi nyumakatika kudai haki zao hata kama itabidikutoa uhai wao au kukabiliana navifungo na mateso mengine.

    Sheikh Ponda ametoa msimamohuo, mbele ya maelfu ya Waislamuwaliofurika katika Msikiti waMtambani, Kinondoni, Jijini Dar esSalaam, akiongea mara baada ya swalaya Ijumaa ya wiki iliyopita.

    Wakiwa na shauku kubwa kusikiakauli ya kwanza ya Kiongozi huyo waJumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini,baada ya kuwa rumande kwa muda wamiezi saba, katika gereza la Segerea,Umma wa Kiislamu Msikitini hapoulirindima kwa mvumo wa Takbirii,baada ya kusikia kauli hiyo.

    Waislamu hatutorudi nyuma,hakuna kurudi nyuma kat ikakupambana na madhalimu, haki yaMuislamu katika nchi hii lazimaipatikane. Muislamu haogopi jela,yupo tayari kuifia dini yake na sisi niseheme ya Waislamu hao. AlisemaPonda.

    Ponda alitahadharisha kwambadhulma dhidi ya Waislamu nchinini kubwa, kwani alidai matukioyote yanayotokea hivi sasa ni yakutengeneza kwa lengo la kuuchafuaUislamu na Waislamu.

    Alisema, jambo ambalo Waislamuwanapaswa kulizingatia muda wote niumoja wao, kwani alidai kukamatwakwa viongozi wao lengo lake nikuvunja umoja wa Waislamu.

    Ponda alisema hakuna vurugu zakidini nchini, bali Waislamu wanadaihaki zao, badala ya kutafuta ufumbuziwa madai yao, Serikali imekuwa

    Na Bakari Mwakangwale

    inakuja na hoja za kupoteza malengona kuwatisha Waislamu.

    Kiongozi huyo wa Jumuiya naTaasisi za Kiislamu, alisema yotehayo yanakuja kutokana na Waislamukuwa na agenda na madai ya msingikwa Serikali yanayohitaji majibu nakufanyiwa kazi sio kupiga siasa zakuyeshusha mada.

    Mfano pale NECTA (Barazala Mitihani) ameajiriwa Mchungajikwa ajili ya maslahi ya wanafunzi waKikristo, swali linakuja kwa nini iweni Mchungaji tu, asiwepo na mtaalamuwa Somo la Dini ya Kiislamu, badalaya kujibu hoja hizi, wanasema niuchochezi, huwezi kuigeuza NECTAkuwa Parokiya, sio nchi ya dini moja

    hii, yapo mengi huu ni mfano tu.Alisema Ponda.

    Kuhusu mauwaji ya Mwembechaalisema kuwa ipo mikanda ya mudamrefu yenye maelezo ya Padri kupitiaradio moja ya Kikristo, akiishawishiSerikali ikawashambulie Waislamu,lakini pia ipo CD, ambayo anasikikakiongozi wa Serikali akiliomba radhiKanisa, na kuahidi kuchukua hatua.

    Mauaji yale ni mauaji ya kinyamakwa Waislamu, na yalifanyika mbeleya vyombo vya habari kumbukumbuzipo katika vyombo hivyo na mikandaipo hakuna anayeliona hili kwa kuwawaliouwawa ni Waislamu. AlisemaPonda.

    Alisema, hivi karibuni zimepelekwaCD, Bungeni wabunge wakichachamaakwa maneno yaliyomo ndani nakulalamika kuwa huo ndio udini, lakinialidai CD ya mauaji ya WaislamuMsikiti wa Mwembechai ipo tokeamwaka 1998, hakuna aliyestuka namauaji hayo na kwamba Bunge lilikataahata kuunda Tume ya Uchunguzi.

    Sheikh Ponda alisema kama siudini dhidi ya Waislamu na kutokujalihaki za raia, basi hiyo CD, ya mauajindiyo ingestahili kupelekwa Bungeni nakuishinikiza Serikali ifanye uchunguzi

    na wahusika wachukuliwe hatua.Ndugu zangu, kipindi tunachopita

    hivi sasa ni kizito sana, si Tanzaniatu, bali duniani kwa ujumla, hali yaWaislamu ni nzito.

    Alisema, yanayojiri hivi sasanchini dhidi ya Waislamu ni kutokanana kuitambua dhulma dhidi yao nakuiweka hadharani jambo ambalo

    linawafanya vinara wa dhulma hikujaribu kuwafumba mdomo.

    Hatuwezi kukubali sisi kama wawa Allah (s.w) ambao tuna malenna kufahamu tumeletwa katiUlimwengu huu kwa sababu ganhalafu tukakubali yale yaliyotufanMwenyezi Mungu atulete hapa, iwhayafanyiki au tunazuiwa kuyafanyaAlitanabaisha Sheikh Ponda.

    Akianisha kile alichookiita chuki na udini dhidi ya Waislamalisema, katika waliokamatwa kativurugu za Mbagala, wapo waliokutwna magita na laptop, lakini katimchujo Polisi jamaa hao waliachiwna waliobaki ni wale waliokuwa alama za Uislamu.

    Ponda alisema, zimetokea vuruTunduma, na waliohusika ni Wakriwakipinga Waislamu kuchinjwalipambana na Polisi na wakenkuvunja Msikiti, lakini mpaka sahakuna shitaka lililofunguliwa kuhuWakristo hao.

    Hii sio nchi ya Kikristo ni ncya wote Waislamu na Wakrisndivyo tunavyotaadharisha siku zohatuwezi kukubali kuona kundi molinadidimizwa na lingine likibebwaAlisema Ponda.

    Leo Magereza yameja Waislamukiuliza sababu za kufungwa kunyimwa dhamana hazina sababza msingi wala hazizingatii utawawa sheria, ni vile wenye mamala

    wanavyo jisikia wanawahukumWaislamu. Alilalamikia hali hiyo.

    Sheikh Ponda Issa Pondalihukumiwa kifungo cha nje mie12, huku Waislamu wengine 4waliachiwa huru kufuatia mashitawaliyokuwa wakikabiliwa nayo, katiMahakama ya Kisutu Jijini Dar Salaam.

    Ponda ahimiza Waislamu

    kupigania haki

    KUONDOKA TAREHE 17 JUNE NA KURUDI TAREHE 30 JUNE 2013GHARAMA INAJUMUISHA:TIKETI YA NDEGE YA KWENDA NA KURUDI DAR-MADINA, JEDDAH- DARMALAZI SIKU 4 MADINA KATIKA HOTELI YA NYOTA TATU YA AL ANSAAR NEWPALACEMALAZI SIKU 6 MAKKAH KATIKA HOTELI YA NYOTA TATU YA NAWRATSHAMS

    ZIYARAH SEHEMU ZA KIHISTORIA MADINA NA MAKKAHMATEMBEZI YA SIKU 3 KATIKA JIJI LA ISTAMBUL, UTURUKIMALAZI HOTELI YA NYOTA TATUKUTEMBELEA SEHEMU ZA KIHISTORIA IKIWEMO: MAKUMBUSHO AMBAMOKUMEHIFADHIWA NGUO, UPANGA NA PETE YA MTUME SAW. KUZURU KABURI LAABI AYUB ANSAARI, MSIKITI WA MEHMET (BLUE MOSQIE) PAMOJA NA SEHEMUMBALIMBALI KATIKA JIJI LA ISTAMBULCHAKULA MILO MITATU NA VIZA YA UTURUKI

    SIKU YA MWISHO YA KUJISAJILI NI TAREHE 29 MAY 2013SAFARI YA UMRAH YA SIKU 15 KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI KWADOLA 3400

    KUONDOKA TAREHE 23 JULY (15 RAMADHAN) NA KURUDI TAREHE 7 AUGUST (29RAMADHAN)

    GHARAMA INAJUMUISHA:TIKETI YA NDEGE YA KWENDA NA KURUDI DAR-MADINA, JEDDAH- DARMALAZI MADINA SIKU 4 KATIKA HOTELI YA NYOTA TATU YA AL ANSAAR NEWPALACEMALAZI MAKKA SIKU 10 KATIKA HOTELI YA NYOTA TATU YA NAWRATSHAMSZIYARAH SEHEMU ZA KIHISTORIA MADINA

    SIKU YA MWISHO YA KUJISAJILI NI TAREHE 20 JUNE 2013.HUDUMA YA UMRAH KWA MTU BINAFSI, FAMILIA NA KIKUNDI INAPATIKANAWAKATI WOWOTE HADI MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI.PIA TUNATOA HUDUMA YA KUOMBA VIZA ZA NCHI MBALIMBALI DUNIANIKWA MAWASILIANO ZAIDI NA USAJILI WASILIANA:

    PEACE TRAVEL, MTAA WA MAFIA INATAZAMANA NA MASJID MANYEMA.NAMBA YA SIMU 0655/0784 411 788, 0777 411 020, 0713 530 036Barua pepe: [email protected]. Tovuti: http// www.peacetraveltz.com

    UMRAH 2013 / 1434SAFARI YA UMRAH PAMOJA NA

    KUTEMBELEA JIJI LA ISTAMBUL,UTURUKI KWA DOLA 1850,

    Na Bakari Mwakangwale

    WAISLAMU nchini wameelezwakuwa yapo mambo ya kuzingatiakatika kesi iliyokuwa ikiwakabiliWaislamu wakiongozwa naSheikh Ponda Issa Ponda.

    Akiongea na Waislamu katikaMsikiti wa Mtambani, mwishonimwa wiki iliyopita, UstadhiMukadam Swaleh, alisemakuwa moja ni kuwa wapo Polisiwanaotambua kuwa kuna tatizola msingi kati ya Waislamu naSerikali.

    Alisema, hayo yametamkwawazi na baadhi ya Polisiwalipokuwa wanawahoji nakuchukua maelezo yao kablaya kufikishwa mahakamani nakuwekwa rumande.

    Hata hivyo akasema kuwa,

    Polisi hao walisema kuwa waohawawezi kumaliza tatizo hilo nawala hatua wanazowachukuliwaWaislamu kama chombo chadola haziwezi kuondoa tatizo lamsingi.

    A l i s ema sua l a l i ng i neni kwamba wapo baadhi yawatendaji wa vyombo vya dolaambao hufanya kazi zao kwachuki.

    Aki toa mfano akasemakuwa wakati wamo ndani, kunaWaislamu waliandamana baadhiwakakamatwa na kufikishwaSegerea.

    Al i sema, wakiwa hukom i o n g o n i m w a w a l ewalioandamana alichanganyikiwa

    a k i l i n a a l i p o p e l e k w aMahakamani kutokana na haliile hakimu alimwachia.

    Lakini alisema kwamba Jeshila Polisi lilimchukua na kuendeleakumshikilia matokekeo yakeMuislamu yule alikosa hudumana kisha kufia mikononi mwaPolisi.

    H i l i n a l o W a i s l a m umlizingatie, muone ni namnagani watu wanafanya kazi kwachuki, mtu dhahiri ameonekanakuchanganyikiwa, Mahakamaimemwachia, lakini bado mtuharidhiki anamshikilia mpakamwisho wa uhai wake. AlisemaUst Mukadam.

    Aki zungumzi a ha l i yamagereza, Ust . Mukadam,alisema wakati wameingi Segereawalikuta mahabusu 15 waliokuwawakiswali, lakini baada ya kufikawao walianza kutoa daawakwa wenzao, na kwambakwa muda wote huo, mpakawanatoka wameacha Waislamuwanaoswali wapatao 480, pamojana waliowasilimisha.

    Ust. Mukadam, al isemakuwa katika gereza la Segereapanahitajika msaada wa kisima,kwani kuna shida kubwa yamaji kitu ambacho ni muhimukwa Muislamu katika kuziendeaibada zake.

    Hivyo aliwataka Waislamuna wote wenye mapenzi memana watu wajitolee kuchumbakisima.

    Polisi wanajua kuna tatizo

    kati ya Waislam na Serikali

    Sheikh Ponda Issa Ponda

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    4/12

    4AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 20Makala

    Kuna maneno mazuri yaKiingereza husema Everything has happened thereis the reason to be, ukiwa

    na maana kuwa kila kitukinachotokea kuna sababuya kuwa hivyo.

    Katika hali ya utando nagiza iliyotanda katika baadhiya vichwa vya Watanzaniajuu ya hal i ya hata r iinayolinyemelea Taifa, na

    watu kuzidi kuipalilia mbeguya chuki ya kimahusiano katiya Wakristo na Waislamunchini, kwa kuzingatia

    msemo huu wa Kiingerezahaya yanayotokea iposababu ya kuwa hivi!Kunahitaj i umakini i l i

    kumjua ni nani mhandisi(Architect) wa propaganda

    na chuki za kidini na hatariinalolinyemelea Taifa letu.

    Hebu tuitizame historiakidogo baina ya Waislamuna Wakristo nchini, na nanichanzo cha chokochoko

    zinazoendelea. Ni kianziana makala maarufu yamwanahistoria MohamedS a i d a l i y o i p a j i n a

    Tusiwalaumu wa Zanzibarkwa kukosa subra turejeeHistoria, ni tamnukuusehemu ya manneo katika

    makala hiyo si kweli kuwa

    Waislamu wana chuki naWakristo anaetaka kujuaukweli rejea katika histori

    ya uhuru wa Tanganyika.Ajiulize vipi MkatolikiMwalimu Nyerere aliwezakupokelewa na Waislamu

    Dar es Salaam na wakampauongozi na baadae kumfanyaWaziri Mkuu wa Tanganyikamwaka 1961? Waislamu

    wangekuwa na chuki naWakristo Mwalimu Nyerereasingekuwa kama mtotowa Bi MLUGURU BINT

    MUSSA akiingia nyumbanikwake Kirki Street akila,kulala na kufuliwa nguozake pale. Mama zetu

    wangelikuwa wana chukina Wakristo, TATU BINTMZEE as i nge l i mwi t aNyerere kaka.

    Waislamu wangelikuwawana chuki na Wakristo,wasingelikuwa wanakulana Wakri s to wengine

    katika harusi za misibayao, wangelikuwa na chuki

    Na Kassim I. Chubwa

    w a s i n g e l i w a p a n g i s h aWakristo katika nyumba

    zao Kariakoo, Ilala, Temekena kwingineko.

    Kama hali ilikuwa hivyo,nini kimetokea hadi leo

    tumekuwa maadui? Jibuni kuwa ulipopatikanauhuru roho ya Mwl Nyerereikabadilika akawa si yule

    aliyeletwa ofisi ya TAA naAbdulwahid Sykess akawasi Nyerere yule aliyekuwamkono wa kulia kwake

    kuna Sheikh Hassan BinAmir, Sheikh SuleimanTakadir, Mshume Kiyate,

    Mwinjuma Mwinyikambina wengineo.

    Kisa ni kirefu sitakikukuchosha matokeaoya kubadil ika roho ya

    Nyerere na uadui wake sikwa wale tu waliomfadhilikama Abbdulwahid Sykesna Sheikh Hassan Bin

    Ameir na wengineo bali naWaislamu wote kwa ujumla.Nyerere kaenda mbali zaidiakaja na njama kwanza

    kudhalilisha Uislamu napili kufuta historia ya kudai

    uhuru wa Tanganyika. Laitiwatu wangejua historia

    ya Waislamu na Nyererehuenda hal i ingekuwatofauti kidogo. Mwishowa kunukuu.

    Nasikitishwa na kejelina matusi nisomayo katikamitandao ya kijamii, namagazet i mbal i mbal i

    ya kwamba Wais lamuhawajasoma, Waislamuni magaidi , Waislamuwanapeleka nchi pabaya!

    Najiuliza nini kimetokea,

    kulikoni.Haya ni matokeo yambegu ya chuki iliyopaliliwa

    na kumea vizuri na sasakuanza kuchipua vyema.Ki uha l i s i a W ai s l amuhawana ugomvi na Wakristo

    isipokuwa Wakristo naWaislamu ni mithili yawatoto wawili wa mamammoja na baba mmoja,

    mtoto mmoja ambaye niWakristo amedekezwa nakupendelewa na babaye

    ambaye ni serikali kwakupewa Memorandum of

    Understanding (MoU) fursakatika elimu fursa katikaajira, na kusikilizwa kwa yaleanayoyadai na kukubaliwakwa yale anayoyapinga

    kama vile Mahakama yaKadhi, Tanzania kujiungana OIC, na mengine mengi.Mtoto huyu kwa kupewa

    fursa adhimu ya kustawi nakutotonoka vyema amekuwayuko tayari kumkejel induguye hata kwa kumpaka

    kamasi ili aendelee kuwadhalili na hata siku moja

    asikubaliwe shida zake.Mtoto wa pili ambaye

    ni Muislamu, amevumiliakwa kipindi kirefu tangumauaji ya Mwembechai,kuvunjwa kwa jumuiya

    ya EAMWS, ubaguzi nadhulma za Baraza la Mitihanitangu 1973, mgawanyosawa wa madaraka hayo

    ni baadhi aliyoyataja mtotohuyu anayenyanyapaiwana kunyongeshwa mpakaakafikia kumueleza Mzee

    wake maneno yaliyowahi

    kusemwa na Desmond Tutu.

    Alisema hivi, There can be

    no Real Peace and Securityin (SoA) until there be firstJustice enjoyed by all the

    inhabitants of that beautifulLand.

    Tafsiri hakutakuwa naamani ya kweli na usalama

    (Afrika ya Kusini) hadikwanza kuwe na haki yenyekufurahiwa na wakazi wotewa nchi hiyo nzuri. (Tazama

    the Noble Peace Prize lectureDesmond M.Tutu 1986)

    Kwa maneno mengine,nchi ambayo sehemu ya

    Raia wake wanalalamikakutokutendewa haki pasina kusikilizwa na serikaliya nchi hiyo, Amani ya

    Kweli itakuwani Ndoto.Hapa tunajifunza kumbekuna amani ya kweli.

    Matokeo ya kupendelewa

    kwa Wakristo wamefikiakumwambia wazi wazibaba wa familia (Ambayeni serikali) nguo alizovaa

    hazikufai zinakubana naukiacha kufanya hivyo mimimwanao hata Bakora.

    Bado naedelea kusisitizkuwa Wakristo na Waislamwangekuwa na chuki kubw

    kama inavyosimuliwna baadhi ya vyombvya habari kutokana nk i l e k i nachoda i wa n

    bom u kul ip uk a Ar us hk w e n y e u z i n d u z i wK a n i s a l a M t a k a t i fJoseph Mfanyakazi, nch

    hii isingekuwa inakalikMahusiano ya Waislamna Wakristo katika nchh u t a f s i r i w a k a t i k

    maisha yao ya kila sikmitaani, kazini na harakambalimbali za kimaishsio kulipuliwa nyumba z

    ibada. Haiwezekani watwaishi vizuri pamoja mitaana hata katika nyumbmoja kisha wakitoka hap

    wakalipuliane Misikina Makanisa. Serikaichunguze vizuri iseme nnani hawa waliolipua kanis

    ili kutuharibia mahusianyetu mazuri kati ya Waislamna Wakristo nchini.(Kassim_Ibrahimu@yaho

    com)

    Hakuna ugomvi kati yaWaislamu na Wakristo

    Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 143Hijriakwa Dola US$ 3550 tu.Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo:-1. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26Mkabala na Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na0773 930444.2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 4538384. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 4445. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 7861016. Dukani kwa Abdala Hafidh Mazrui wete pemba 0777 482 6657. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Mkoani Pemba 0777 4569118. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 6796929. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736

    Wahi kulipia.Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444.Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia ACCOUNT NAMBA 048101000030 NBC

    Tanbih:Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16%atalipia $ Dola 2982 tu.Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata Punguzola Asilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu.Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo.Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo.Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975.Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko wengi

    Nyote mnakaribishwa

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    5/12

    5AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 201Makala

    Kwa uamuzi huu waSerikali, ina maana kuwasasa itakuwa vigumu kwaMUM na Chukwani kupatawanafunzi wenye sifa kwahiyo huenda vikalazimikakufuta kozi hizo.

    Hii maana yake ni kuwauamuzi huu unapunguzaidadi ya wanafunzi waKiislamu wanaokuwa na sifaza kupata elimu ya juu.

    Kinachosikitisha ni kuwaSerikali imeamua kukaa naWakristo pekee kupitishamaamuzi mazito kamahaya bila kujali athari yakekwa vijana wa Kiislamu nataasisi za Kiislamu nchini.Amesema mjumbe mmojawa Islamic Education Panelakizungumzia suala hilo.

    Hii ni dharau iliyopitilizak i w a n g o , S e r i k a l iinachukuaje maamuzi kama

    haya bila kujali kuwa kunashule za Kiislamu na Vyuovya Ualimu vya Kiislamu

    pa mo ja na Vyu o Viku uambavyo v ina tegemeakupata wanafunzi kutokanana wanafunzi wanaomalizakidato cha sita wenye somola Maarifa ya Uislamu?

    Amesema mjumbe huyowa Islamic Education Panelambaye hata hivyo hakutakakutajwa jina lake gazetini.

    Kama Serikali imeonakuna mantiki kujitoa katikakutahini somo hili, kwa niniifanye kinyemela? Kwa niniisiwashirikishe wadau husikaili kujua, ni utaratibu gani

    mwingine utafanyika ilivyuo vya Kiislamu vilivyopovisia thir ike? Kwa niniwasikae pamoja na Panel?Mbona waliwaita Wakristo?Kitu gani ki l iwafanyawakwepe kuwaita Waislamu,ni dharau, UDINI, au kunaagenda ya siri?

    Mdau mmoja wa Kikristoaliyekuwa katika kikao hichocha Machi kati ya Serikali nawadau wa Elimu wa Kikristoalipoulizwa kuwa katikakikao hicho Serikali imetoa

    hoja gani ya kufuta mtihani

    huo alisema kuwa, hakunajambo lililoelezwa la kujengahoja madhubuti, lakini yeye

    binafsi anadhani ni kutokanana masuala ya Waislamu tokawalipopinga matokeo yaIslamic mpaka ikabidi Barazala Mitihani liyabadili.

    Wajumbe wa IslamicEducation Panel wanasemakuwa, wakati Waislamuw a me t i mi z a ma t a k w ayote ya Wizara ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi yakuwa na Mihutasari na vitabukwa ngazi zote, Wakristohawakuwa wametimizamatakwa hayo, hawakuwah a t a n a m i h u t a s a r i ,

    lakini somo lao lilikuwalikitahiniwa.

    Hata hivyo, akasema,hao hao ambao hawakuwawametimiza matakwa yaWizara na Baraza la Mitihani,ndio walioitwa kupitishauamuzi wa Serikali kujitoakatika kutahini mtihani huo.

    Waislamu wakilalamikak u w a k u n a u b a g u z i ,udhalilishaji, uonevu na udini,wanaambiwa wanafanyauchochezi, hivi Serikaliinaweza kukaa na Waislamu

    pekee na kufanya maamuzi

    makubwa yenye kugusamasilahi ya Kanisa Katolikina Wakristo wote, halafuifanye tu kuwapelekea taarifaBaraza la Maaskofu juu yamaamuzi hayo? Alihoji.

    Wachambuzi wa masualaya kidini na kijamii nchiniwanasema kuwa huendaSerikali imeamua kujitoakatika suala hili ili ipatefursa ya kuweka mkakatimwingine wa kuibuka nasomo la dini mseto baada yakukwama huko nyuma.

    Hata hivyo wenginewanasema kuwa hii ni mojatu ya mikakati ya kupunguzaidadi ya vijana wa Kiislamu

    wenye sifa za kujiunga navyuo vikuu.

    Wengine wakakumbushakuwa zilipoanzishwa shuleza kwanza za seminari zaKiislamu, Serikali ilitangazakuwa shule hizo sio shulezinazotambulika. Ni Madrasa.Kwa hiyo wanafunzi wakewakimaliza kidato cha nnewasingepatiwa nafasi zakusoma kidato cha tanokatika shule za Serikali.

    Na kwamba kwa walewatakaomaliza kidato cha

    sita , wasingechaguliwa

    kuingia vyuo vikuu na vyuovingine vya Serikali.Kwa vile isingewezekana

    kutangaza kuwa wasiotakiwani Waislamu pekee, ilibiditangazo liguse shule zote

    pa mo ja na sem in ar i zaKikristo.

    H a t a h i v y o , b a a d a ewa l i laz imka wenyewekuondoa tena kimya kimyasera hiyo kabla haijafanyiwakazi, baada ya kuona kuwawatakao athirika zaidi nivijana wa Kikristo kwasababu ni taasisi za Kikristozilizokuwa na shule nyingi zaseminari. Ni kwa sababu yamatukio kama hayo, baadhi ya

    wachambuzi wanasema kuwahuenda kuna agenda ya siriinayowalenga Waislamu nandio maana waliitwa Wakristo

    pekee ili waelimishwe kuwawawe radhi kutoa muhangamtihani wa Divinity.

    Kwa upande mwingineh u e n d a h a w a k u i t w aWaislamu kwa kuhofiwa kuwawangehoji mambo ambayoyasingeweza kupatiwa majibumoja likiwa ni utaratibu ganiumeandaliwa kuhakikishakuwa MUM, Chukwani na

    vyuo vingine vya Kiislamvyenye kozi za IslamiStudies, Shariah na IslamBanking, vitapata wanafunkulingana na vigezo vyMamlaka ya Vyuo VikuuTanzania Commission foUniversities (TCU).

    Habari kutoka ndani yBakwata na Islamic EducatioPanel zinasema kuwa taarifkutoka Wizara ya Elimu nMafunzo ya Ufundi juu ysuala hilo, imeeleza kuwa naWizara wamefanya kupewmaelekezo na Katibu MkuKiongozi, Ikulu.

    N a k w amb a Wi z a rilitakiwa kukaa na wadaukwa maana ya taasisi zkidini kuangalia suala hilo.

    Hata hivyo, haikuwezkufahamika kuwa uamuzwa kutokuwashir ikishWaislamu na badala yakkukaa na Wakristo peke

    ilikuwa ni maelekezo kutokkwa Katibu Mkuu Kiongoau ulikuwa uamuzi wKamishna wa Elimu.

    W a d a d i s i w e n g i nwanasema kuwa jambo hilimetokea Baraza la Mitihan( N E CT A ) n a k w a mbkama ambavyo Baraza hilliliona umuhimu wa kuajiMchungaji wa kutizammasilahi ya wanafunzi wKikristo na kugoma kuajiMuislamu, ndio mtindo huhuo umetumika katika kuikikao cha Wizarani.

    Kutokana na hali hiyoWaislamu kupitia taasisi zawamepanga kumuona KatibMkuu Kiongozi kupatufafanuzi juu ya suala hilo.

    Na kwa k uwa sua lhili linagusa masilahi yWaislamu wote nchinli tafanyiwa tara t ibu zkujadiliwa na kupitishwmaamuzi ya pamoja.

    H a d i j a n a t u k i e n dmitamboni juhudi za kuwapawahusika Wizara ya Elimna NECTA kuzungumzsuala hil i , hazikuwezkufanikiwa.

    Serikali yafuta kinyemela mtihani wa somo la IslamicInatoka Uk. 2

    ambalo halipo kuwa ni kosakubwa na la kutisha kinchi.

    Wakimtupia lawamaM w a n a s h e r i a M k u u ,JUMAZA wakamkabil iwakisema:

    W e w e n i mw e l e d izaidi wa mambo ya sheriana hivyo unafahamu fikakuwa dhamana ni haki yamtuhumiwa kwa kesi kamahiyo, lakini bado Mashekhewanaendelea kunyimwadhamana hiyo na kupigwa

    danedane. Sheria zinachezewahuku Serikali ya Umoja waKitaifa ikibariki ukiukwajihuo kwa ukimya wake nakupongeza Jeshi la Polisi.Mbali ya kuwa dhamanani haki yao, kesi yenyeweunafahamu wewe na Serikalikuwa kisheria kesi hiyoililazimika isikilizwe ndaniya miezi minne na Sheriainaelekeza ikishindikana, basikesi ifutwe, la kusikitisha leoni mwezi wa sita udhalilishajiunaendelezwa huku wananchi

    wakifanywa waamini kuwanchi hii ina Utawala Bora naKuheshimu Sheria.

    Wakikamilisha maelezoyao JUMAZA wakasemak u w a W a i s l a m u w aZ a n z i b a r h a w a j a w a h ikuona viongozi wa dini yaKikristo wakidhalilishwakwa namna yoyote ile kamawanavyofanyiwa viongoziwa Waislamu.

    Na wakamal iza kwakuwataka wananchi kuunganana kutoa sauti moja ya

    kupinga dhulma, uonevu naudhalilishaji kwa sababu hiyosio yaliyotarajiwa kuletwana kufanywa na Serikali yaUmoja wa Kitaifa.

    Jumuiya ya Maimamuinatoa wito kwa Serikali naWawakilishi wa wananchikusimamia Utawala waHaki na Sheria bila ubaguzina kushirikiana pamoja nawananchi kutanguliza uteteziwa maslahi ya nchi kwanza.Maslahi ya vyama, vikundivya watu na mtu binafsi

    yatafuatia baadae.Walimaliza JUMAZ

    katika barua yao waliyoinakikwa Waziri wa Sheria, Barazla Mapinduzi, Jaji MkuBaraza la Wawakilishi nMkurugenzi wa Mashitaka

    Wengine waliopewa nakani Shirika la Kimataifa Kutetea Wafungwa (AmnesInternational), Umoja wMajaji na Makadhi ZanzibaEast Africa Law SocietZanzibar Law Society nWaandishi wa Habari.

    Maimamu Zanzibar wahoji udhalilishaji wa MasheikhInatoka Uk. 2

    Dk. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    6/12

    6AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 20MAKALA

    Askofu Tarcisiusasigeuze mada

    The Church is now totallydependent on State aid for theadministration of these schools.If this aid were withdrawn thechurch will be forced to closeits schools.

    Hii ni kauli ya aliyekuwaKatibu Mkuu wa Baraza laMaaskofu Katoliki (TEC) Fr

    Robbinson, D. W miaka ya1960.Kauli hiyo inamaanisha kuwa

    Kanisa limekuwa tegemezikabisa kwa Serikali katika kutoapesa za kuendesha shule zake nakwamba ikiwa Serikali itasitakutoa fedha kwa shule hizo, basiKanisa litalazimika kuzifunga.Hiyo ilikuwa ni mwaka 1965ambapo inaelezwa kuwa hadikufikia mwaka 1964, kiasi chaasilimia 60 ya bajeti ya KanisaKatoliki katika kuendesha shulezake ilikuwa inategemewakutoka Serikalini. Kutoka katikaHazina yenye kuchangiwa naWatanzania wote. Kwa mujibuwa taarifa ya Padiri Robbinson,kufika mwaka huo wa 1965,

    ndio ikawa kwa asilimia miamoja (100%), ndio kanisalikawa linategemea kuchotewapesa kutoka Hazina.

    Kwa upande mwingine,Padiri Dr. John Sivalon anasemakuwa, kutokana na ukweli kuwawahitimu wengi wa shule zaKanisa za St. Marys Tabora naSt. Francis Pugu, ndio walishikaserikali, iliwezesha kukuakwa uhusiano kati ya viongoziwa Kanisa na wa Serikali naChama (TANU/CCM). Nakwamba hali hii imefanyamatendo, msimamo na uamuziwa viongozi wa Serikali ufananemara kwa mara kwa namna mojaau nyingine na mafundisho namwelekeo wa Kanisa.

    Na nini ulikuwa mwelekeo,mtizamo na msimamo waKanisa? Padri Sivalon anasemakuwa ulikuwa ule wa kupingakuenea kwa dini ya Kiislamuna kwamba walifanya makusudikujenga uhusiano na viongoziwa Serikali ili wawe na nafasinzuri katika kujihami dhidi yauenezi wa Uislamu. PadiriSivalon anasema kuwa mojaya mambo ambayo maaskofuhawakupenda kuona , n ikuwepo kwa taasisi madhubutiza Waislamu zinazowajengeaumoja na kuwaleta maendeleo.Waliitaja kwa jina Jumuiyaya Maendeleo ya Waislamuya Afrika Mashariki-East

    Af r i ca Mus l i m W el f a r eSociety (EAMWS). Na baadaya kuonyesha kuwa hawatakikuiona EAMWS, kilichofuatiani Mwalimu Nyerere kupigamarufuku taasisi hiyo naSerikali kusimamia kuundwakwa Bakwata kule Iringa.Nikutokana na histo ria hiyo,ndio maana mpaka leo akinaMheshimiwa Anna Abdallahbado hawaoni vibaya kusimamabungeni kuitaka Serikali iendeleekuwadhibiti Waislamu chini yaBakwata.

    Ijumaa wiki iliyopita wakatiwa mazishi ya watu waliokufakatika mlipuko wa Bomu

    Na Omar Msangi

    Kanisani Arusha, Rais wa Barazala Maaskofu wa Kanisa KatolikiTanzania (TEC), Askofu TarcisiusNgalalekumtwa alihusisha tukiola kulipuliwa bomu Kanisani naWaislamu. Katika maelezo yakembele ya Waziri Mkuu, AskofuNgalalekumtwa amesema kuwakatika miongo mitatu hali yausalama nchini imetoweka nahili linafanywa na baadhi ya

    watu wasiolitakia mema taifahili na wapinga Ukristo.Akifafanua na kuwataja hao

    wasiolitakia mema taifa hili nawapinga Ukristo, akasema kuwani wale waliofanya vikao vingina cha mwisho kilikuwa Oktoba16 mwaka 2011 katika ukumbiwa Diamond Jubilee na kuazimiakuuwa ili kutokomeza Ukristo.Akifafanua zaidi akasema kuwakatika kongamano la Diamondwalichochea chuki ya kidinikati ya Waislamu na Wakristokwa kudai kuwa Serikali yaTanzania inaongozwa kwamfumokristo ulioasisiwa naHayati Mwalimu Nyerere.

    Akinukuliwa na baadhi yavyombo vya habari Askofu

    Tarcisius Ngalalekumtwaalisema kuwa katika kongamanohilo, washiriki waliaminishwakuwa Serikali inatoa fedha zaruzuku kujenga shule na taasisiza Kanisa kutokana na kuwapomkataba maalum kati ya Kanisana Serikali, jambo ambalo siyokweli.

    Kinachosikitisha zaidi nikwamba Serikali haikukanushamadai na uchochezi huo, lichaya mambo hayo kufanyikana kusemwa hadharani kwawahusika kuzunguka nchi nzimakueneza chuki na uchochezihuo.

    N i s e m e k u w a ,kinachosikitisha ni kuwa Serikali

    haijajibu wala kutekeleza madaihaya ya Waislamu. Sio kuwahaijakanusha kama anavyosemaAskofu Ngalalekumtwa. Serikalihaiwezi kukanusha kwa sababuni madai ya kweli. Na kamaanavyosema Askofu TarcisiusNg al al ek um twa, Wai sl amuwalikutana Diamond Jubilee.Hawakujificha. Walitembea nchinzima na kueleza madai yaohadharani. Walifanya hivyo kwasababu hawakuwa wakitangazabiashara ya bangi wala kusemamambo ya kuzua na kuchocheachuki wala kutangaza ubayana Wakristo. Waliyosema yoteyalikuwa ya kweli. Kwa bahatimbaya Serikali ikaona namna ya

    kujibu ni kukaa kimya.Labda tumuulize Askofu

    Ngalalekumtwa, hivi ingekuwani kweli kuwa Waislamuwaliokutana Oktoba 16 mwaka2011 katika ukumbi wa DiamondJubilee waliazimia kuuwa(Wakristo) ili kutokomezaUkristo na wakatembea nchinzima kutangaza azma hiyo,leo 2013, bado nchi ingekuwa

    salama?Kwa wanasiasa kusema

    mambo ya kuzua kama haya nahata makubwa zaidi, inawezaisiwe ni jambo la kushangazasana; lakini inapokuwa nikiongozi wa Kidini, kidogohapo inaleta maswali mengi nautata mwingi!

    Kwa mujibu wa utafi t iuliofanywa na Kamati Maalumuiliyoandaa Makongamano yaWaislamu Dhidi ya Mfumokristona wakaandaa lile kongamano laUkumbi wa Diamond JubileeOktoba 16, 2011, katika mwakawa fedha wa 2009/10 Serikaliilitumia jumla ya shilingi85,776,373,200 katika hospitalina taasisi nyingine za hudumaya afya zinazomilikiwa namakanisa na zile zinazomilikiwana Serikali kwa ajili ya kulipamishahara wafanyakazi nagharama za uendeshaji.

    Kati ya fedha hizo, shilingi46,624, 820, 500 ambazoni sawa na asilimia 54.4 yafedha zote, zilipelekwa katikahospitali na taasisi nyingine zahuduma za afya zinazomilikiwana makanisa. Hospitali nataasisi zinazomilikiwa naSerikali zilipatiwa shilingi39,151,552,700 sawa na asilimia45.6

    Lakini ukiacha taarifa hiziza kiutafiti, Rais Jakaya MrishoKikwete katika hotuba yake

    katika Misa ya kusimikwa Askofuwa Jimbo la Dodoma , GervasNyaisonga, Machi mwaka 2011alisema kuwa mwaka 2010Serikali yake iliwapa Wakristoruzuku ya shilingi bilioni 61.9(61,900,000,000). Na kwambakwa mwaka 2011 ruzuku hiyoilitarajiwa kufikia shilingi bilioni112.

    Yote haya yanafanyika kwasababu toka huko nyuma kamaalivyosema Fr. Robbinson,Serikali ilikuwa imejiwekeautaratibu wa kuwapa Wakristofedha kutoka hazina ya nchikuendesha shughuli zao nakufika mwaka 1992 ndio

    utaratibu huo ukawekewamakubaliano maalum ya kisheria.Makubal inao hayo kamayalivyosainiwa na MheshimwaEdward Lowassa kwa niaba yaSerikali ndiyo yanayojulikanak a m a M e m o r a n d u m o f Understanding (MoU) ambapoSerikali inalazimishwa kutengakiasi cha fedha za walipa kodi nakuzipa taasisi za afya na elimu

    zinazomilikiwa na Wakristo.Lakini pia chini ya MoU, Serikaliinatakiwa kusaidia taasisizinazomilikiwa na Makanisakupata misaada kutoka kwawafadhili wa nje ya nchi, pamojana kutenga nafasi maalum zamasomo katika shule na vyuokwa ajili ya kusomesha watuwatakaofanya kazi katika taasisiza elimu na afya zinazomilikiwana makanisa. Askofu TarcisiusNgalalekumtwa, kama huu ndioukweli, na hii ndio hali ya mambokatika nchi hii inayodaiwa kuwahakuna ubaguzi wala upendeleowa kidini, Serikali ikanushenini?

    Mwandishi Bergen P kwenyekitabu kiitwacho, Development

    and Religion in Tanzania ukurasawa 334 anamnukuu MwalimuJulius Kambarage Nyerereakisema manneo yafuatayo:

    Im a layman but I try todo what I can anda will not goagainst my own church. I want togive the church a better chancehere. Tell the Bishops that Ihave established in TANU adepartment of political educationand have put a Lutheran ministerin charge; he was not a greaterpolitician I selected him becauseof his strong faith.

    Yaani, Mimi si mjuzi wa dinilakini huwa najaribu kufanyakile niwezacho na kamwesitoenda kinyume na Kanisa

    langu. Nataka kulipa Kanisafursa bora hapa. Waambiemaaskofu kwamba nimeundaIdara ya Elimu ya Siasa katikaChama cha TANU na kumwekawaziri ambaye ni Mlutheri kuwakiongozi wa Idara hiyo. Yeyesi mwanasiasa mahiri, hasha,nimemuweka kwa sababu nimuumini thabiti wa Kikristo.

    Katika taarifa yao, Waislamuwaliokutana Diamond Oktoba16, 2011 wakisherehesha kauli hiiya mwalimu Nyerere walisemakuwa ni kutokana na mawaziri nawatumishi wengine wa Serikaliwanaoteuliwa kwa kuzingatiaumadhubuti wao katika Ukristo,ndio maana aliyewahi kuwa

    Waziri wa Fedha Basil PesambMramba akiwa pia ni Mbungwa Rombo, alipokea jumya shilingi 76,200,000 kutokkatika kampuni ya kuchimbgesi iitwayo Rak Gas ya Falmza Kiarabu na kuzipelekkuendeleza shule za Rombo.

    Kwa kawaida makampukutoka nje hushauriwa nSerikali kutoa misaada ykimaendeleo katika eneo ambandiko kampuni husika hufany

    shughuli zake. Kampuni ya RaGas ilikuwa ikijishughulishna utafiti wa gesi Lindi, lakimsaada waliotoa badala ykuwanufaisha watu wa Lin(kwenye Waislamu wengi), pezikapelekwa Rombo kwenyWakristo wengi.

    Kutokana ile ahadi aliyotoMwalimu kuwa atalipa Kanifursa bora hapa Tanzania, DSivalon anasema kuwa Mwalimalikuwa na uhusiano wa karibsana na maaskofu akikutannao mara kwa mara na alikuwkiungo muhimu katika utumwao. Na kwamba alifanykila awezalo kuwaimarishkiuchumi jambo lililolifany

    Kanisa Katoliki kuwa nnguvu za kiuchumi wakati tailikiwa kwenye hali mbayankwamba Kanisa likawa ndichchombo pekee kilichowezkushindana na Chama na Serikakatika sehemu zote za TanzanBara.

    Na kwa nguvu hizo na kwkutokana na ukweli kuwa karibtaasisi zote muhimu za kiserikazimeshikwa na Wakristo, ndanasema Padiri John Sivalokuwa wakati mwingine katikutendaji wa Serikali inakuwvigumu kujua ni lipi la Kanina lipi la Serikali.

    A s k o f u T a r c i s i uNg al al ek um tw a, hu u nd

    mfumokristo wanaozungumzW a i s l a m u n a k a milivyoonyeshwa umeasisiwna Hayati Mwalimu NyererNi mfumo wa UDINI dhidi yUislamu na Waislamu. Kwmisingi ya kiserikali, katiba nsheria za nchi, mfumo huu hauprasmi. Lakini kiutendaji mfumhuu umefanywa kuwa ndmila, desturi na utamaduni wwatendaji walio wengi serikalina katika taasisi za nchi ambakunatumika kukandamiza nkudhulumu haki za Waislamu

    Jaribio la Askofu TarcisiuN g a l a l e k u m t w a k u t a kkuunganisha madai ya Waislamkuhusu mfumokristo na bomuArusha au kujaribu kuleta madkuwa Muislamu kupinga dhulmkama walivyosema wakiwDiamond Jubilee, ni sawa nkutaka Waislamu wakubali kuwdhalili, wenye kudhulumiwkubaguliwa, kukandamizwraia daraja la pili na hohe hahdaima dumu.

    Hili hatudhani kuwa kunbinadamu yeyote anayewezkulikubali. Kwa hiyo, kamni kuvuruga amani ya nchwataivuruga wale ambawa t a j a r i bu kuwapakazuhalifu Waislamu wanaopingdhulma kama mkakati wkuwanyamazisha.

    Bomu lisiunganishwe na madai ya WaislamYaliyosemwa Diamond Jubilee haya hapa

    Na huu ndio Waislam wanaita Mfumokristo

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    7/12

    7AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 201Tangazo

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    8/12

    8AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 20Makala

    Vipi hii inakufaa? Inaonekanainafanana sana na rangi (ya njano)ya kile chama chako. Lakini sasahivi ni kuchagua mtu siyo mambo yachama-Askofu Alex Malasusa.

    Ndugu mhariri naomba unipatie

    nafasi katika gazeti lako ili niwezekuwatahadharisha wale wanaodhanikwamba vuguvugu la Waislamula kudai mfumokristo ukomeshwez i n a w e z a k u n y a m a z i s h w ana propaganda na uongo naunaoenezwa na baadhi ya Maaskofuna mawakala wao.

    Tumeearifiwa kupitia katikavyombo vya habari kwamba sikuya maziko ya watu waliouwawakatika mlipuko wa bomu uliotokeakanisani Arusha, Askofu Tarcisius

    Ngalalekumtwa alinukuliwa akidaikwamba walipuaji wa bomu wanauhusiano na Waislamu waliokutanaDiamond Jubilee tarehe 16 Oktoba,2011 kuzungumzia mfumokristo.Aidha juma hi l i Dr Kit imaambaye ni Makamu Mkuu waChuo Kikuu cha Saint Agustino(SAUTI) aliiambia Star Televisionkatika kipindi kimoja cha TV hiyokwamba viko vyuo hapa nchinikimojawapo kikiwa huko Morogoroambavyo vinatoa magaidi. Huundiyo ninaosema ni uongo na

    propaganda za wale wanaofaidikana mfumokristo.

    Tuliona jinsi mara baadaya mlipuko wa bomu kutokeaArusha ambavyo haraka harakailikimbiliwa kuwakamata Waarabu.Hii ilikuwa ni kuweka taswirakwamba walipuaji walikuwa niWaislamu. Hatujaambiwa kwambahakuna Wazungu waliokuwaArusha siku ile ya tukio. Bila shakawatu wamejengewa dhana potofukwamba Wazungu ni Wakristohivyo hawawezi kufanya uovuule!

    Kuhusu kongamano la Diamond

    Jubilee ni kweli kwamba lilifanyikana kufuatiliwa na makongamanoya nchi nzima. Yaliyosemwa paleyamo katika kijitabu na katikaCD/DVD. Kijitabu kilisambazwakatika ofisi zote za serikali. Kwahiyo kongomano lile halikuwana siri yoyote na wala maudhuiyake kamwe hayawezi kusemwakwamba ni siri.

    Viongozi wa serikali, maaskofuwanatambua wazi kwamba maudhuiya kongamano la Diamond ilikuwani kujaribu kuwazindua walewanaodhani kwamba kunawezakuwepo amani ya kweli na yakudumu katika taifa ambalo baadhiya watu wake wanabaguliwa kwamisingi ya dini yao. Kijitabu kilekimesheheni mifano kadha wakadha ya kuonesha jinsi serikali

    inavyotumia rasilimali za nchikuwanufaisha Wakristo hukuWaislamu wakibanwa. Mwitoulitolewa kwa serikali kukomeshaupendeleo huo ambao ndiyoulioitwa mfumokristo.

    W ai s l amu hawakukutanaDiamond kutangaza vita dhidiya Wakristo. Wanajua kwambaWakristo wengi wa kawaida hawajuiuwepo wa mfumokristo kwa maanaya ubaguzi dhidi ya Waislamu.Wamezoea kujiona wakiwa wengikatika shule na vyuo vya umma.Wamezoea kuwaona baba zao nashangazi zao wakiwa katika maofisiya umma peke yao. Wengi waWakristo wa kawaida wameelewakwamba Waislamu hawako shuleni,vyuoni na maofisini kwa sababu

    Na Hashim Saiboko

    kama inavyosemwa mara kwamara na wakuu wa mfumokristokuwa (eti) Waislamu hawapendikusoma. Wote tuliokuwa Diamondtunatambua ukweli huu na hivyohatuna sababu ya kutangaza vita naWakristo wala nyumba zao za ibada.

    Na kwa kuwa kijitabu kipo na DVDpia zipo na hilo halimo, ni dhahiribasi kwamba uongo na propagandaza Maaskofu lengo lake ni kuwazuiaWaislamu kufahamamishana ukweli

    kuhusu uwepo wa mfumokristo nakuwataka waupinge kwa nguvuzao zote ili kuihakikishia Tanzaniaamani ya kweli na ya kudumu.

    Ifahamike pia kwamba Waislamuwote tuliokuwa Diamond Jubileetunafahamu wazi kwamba maaskofuwote wanajua uwepo wa mfumokristona namna ambavyo wao binafsi namakanisa yao yatakavyoathirikakama mfumokristo hautaendeleakuwepo. Lakini pia tunajua wotetuliokwenda Diamond Jubileekwamba sio wote wanaodai kuwawanaipenda nchi na kuitakia amani,wanasema kweli. Tazama gazetila Mwananchi la Oktoba 17, 2010ambalo liliripoti kwamba MKUUwa Kanisa la Kiinjili la KilutheriTanzania (KKKT), Askofu Dk AlexMalasusa amewataka Watanzania

    kuchagua kiongozi makini badala yachama. Ona jinsi alivyowahamasishawaamini wake kuinyima CCMkura mwaka 2010, rejea manenoyafuatayo yaliyonukuliwa kutokaGazeti la Mwananchi la tareheniliyoitaja, Wakati akipiga mnadawa khanga, ambayo ilikuwa narangi ya njano, Askofu Malasusaal imtazama mmoja wa watuwaliotaka kununua khanga hiyona kumuuliza: Vipi hii inakufaa?Inaonekana inafanana sana na rangiya kile chama chako. Lakini sasahivi ni kuchagua mtu siyo mamboya chama.

    Ifahamike pia kwamba wotetuliokuwa Diamond tunafahamu fikalipi lilikuwa chaguo la Maaskofukatika uchaguzi wa mwaka 2010

    na kipi chama kilikuwa chaguo laona kwa nini. Na kwa bahati nzurihawakujificha.

    Wote tul iokuwa Diamondtunaelewa kwamba maana ya udiniambayo sisi tumeiita mfumokristoambayo in dhana inayoelezeaupendeleo unaofanywa na serikalikuwapendelea Wakristo hukuikiwabana Waislamu siyo sawa nadhana ya udini inayotamkwa namaaskofu. Kwa watumishi hawa wa

    Bwana maana ya udini ni Muislamukupata haki yake! Rais akimteuaMuislamu kuongoza taasisi au kuwakatika cheo fulani huo ni udini.

    Na neno hili kuwa udini ni kumpaMuislamu nafasi limedhihirika hatakatika Bunge linaloendelea hivisasa. Waziri wa nchi Ofisi ya RaisProf. Mark Mwandosya alisimamakumtetea Rais wetu MheshimiwaJakaya Kikwete kwamba hanaudini na kutoa ushahidi kuwa Ofisiya Rais imejaa mawaziri, makatibuna wakurugenzi Wakristo. Kwamtazamo wa wenzetu hawa kuwepoWakristo wenyewe katika ofisi mojaya umma, huo si udini! Lakini hukoUDOM kumejaa udini na bungelimeelezwa kwa sababu tu yukokiongozi mmoja Muislamu tenaProfesa!

    Wote tuliokwenda DiamondJubi lee tunafahamu kwambamaaskofu wanapozungumzia umojawa kitaifa wanazungumzia maslahiyao serikalini. Kila anayepingamaslahi ya kanisa ser ikal inianaonekana kuhatarisha amani.Maneno yatatungwa ili kuwapigavita. Katika tukio la kuchomwamakanisa Mbagala, maaskofuwalitumia fursa hiyo kuitaka serikaliifikirie uwezekano wa kupigamarufuku vazi la hijabu katika ofisiza umma na mashuleni. Katikatamko lao la tarehe 18 Oktoba2012 wanasema, Kulazimishauvaaji wa alama za kidini katikataasisi za umma ili kurahisisha nakuratibisha tofauti za Watanzania.Tunajiuliza: Likitokea la Mbagala

    katika mashule yetu na vyuo vyaumma, watachomwa wangapi nakuuawa wangapi?

    Kwa maaskofu kupinga maadiliya dini za wengine ndio utaifawenyewe. Maaskofu wanapingavazi la hijab kwa hoja ya Utanzania.Hata siku moja hawapingi makasisina watawa kuvaa nguo na misalabamikubwa inayoashiria dini zao.Kwa maaskofu dini ya Tanzaniani Ukristo na Watanzania wenye

    haki mbele ya serikali ni Wakristo.Wengine sisi ni kama wapagazi tuau wapangaji. Tunaweza kutakiwakuondoka wakati wowote. Kwaowao lazima tuwe na adabu! Hili siudini! Kwa sisi tuliokuwa DiamondJubilee, tungependa kutambuliwakama Waislamu wa Tanzania badalaya Watanzania Waislamu.

    Wote tuliokwenda DiamondJubilee tunatambua dhamira njematuliyo nayo hata sasa kwa taifa hili.Tuna yakini kwamba Waislamuhawataweza kuendelea kusubirikwa miaka mingine 50 wakiwawatazamaji tu na wengine wakifaidimaliasili na rasilimali za nchi yetu.Hawatakubali kuendelea kulipakodi na kuiacha serikali kuendeleakutoa sehemu ya kodi zao kuwapamakanisa kuendeshea taasisi zao za

    elimu na afya kupitia muafaka waMoU. Wote tuliokuwa DiamondJubilee hatuwezi kusema kwambahatuna wasiwasi kwamba huenda

    ba ad hi ya ma as ko fu hu li pw amishahara yao kupitia pesa zaMoU kwa ulaghai wakijifanya kamawatumishi wa afya katika hospitaliza kanisa wakati hawafanyi kazihizo. Kwa maaskofu hili la kupewa

    pesa za serikali kuendeshea mamboyao si udini!

    Ningependa kuishauri serikal iyangu na maaskofu na walemawakala wa mfumokristo kwambaamani ya Tanzania itakuwa endelevukwa kuzingatia haki sawa kwa wote.Ingekuwa amani inadumishwa kwakuwakamata wanaosema dhidiya maovu na kuwafunga, basi

    wangefanikwa Makaburu wa AfrikKusini. Waislamu waliokwendDiamond hawawachukii Wakris

    jap o was ite gem ewa kuw ape ndmaaskofu ambao kila uchao duyao ni kuona Waislamu wakifikwna mabalaa. Kila linalotakiwna Waislamu: Iwe Mahakama yKadhi, OIC, haki sawa, elimkwa Waislamu, uteuzi na ajira biubaguzi, wao hutoa kauli za kupingJapo maaskofu hawategemei sikmoja serikali iwaaambie waachkuhubiri hadharani uungu wa Yeslakini kila siku wanaichagiza serikaiwazuie Waislamu kuhubiri kuwIssa bin Mariam (Yesu) si Mungu

    W a i s l a m u w a l i o k w e n dDiamond J ub i l ee kuup ingmfumokristo na kuchukua azimla kufikisha ujumbe ule nchi nzimhawakutegemea maaskofu wana kauli yenye heri nao. Hivykama ambavyo hatukushangaMakaburu na wakoloni wa Kirenwalivyowaua akina Steve BikSolomoni Mahlangu na EdwaM o n d l a n e , h a t u w a s h a n gmaaskofu wanapoitaka serika

    kuwashughulikia walikwendDiamond kuupinga mfumokristMfumokristo ndiyo lifeline yaMwenye kutaka kuingia hapanatafuta ugomvi. Waislamwaliokwenda Diamond wako tayakwa ugomvi huo kwa sababu hapndiko kwenye salama ya Tanzanya sasa na ya baadaye. Tutaitwmagaidi, wachochezi, mujahidinsiasa kali n.k., lakini hatuaachkusema dhidi ya mfumokristo kwsababu hii ni haki yetu ya kikatibya kutoa maoni yetu na pia haki yeya kibinaadamu na ya kiungwanya kujaribu kuiepusha nchi yetu nmachafuko.

    Maneno ya waliokwenda DamonJubilee hayatofautiani na yale yShahid Malcom X aliyepiganhaki za watu weusi huko Marekan

    Wakati anatafakari hali yake na waWeusi wenzake kama wahanga wmfumo wa ubaguzi ulikuwepo kualiposema:

    Im one of 22 million blacpeop le who are the vic tim s Americanism. I see America througthe eyes of a victim. I do not seAmerican dream, I see Americanightmare.

    Kuhusu nini cha kufanya kujikomboa na hali ya Weusi wMarekani Malcom X alipingkuwakumbatia wabaguzi nkuwashauri Weusi wenzake hivi:

    . Everything, anything thyou beg other men to set you fryou will never be free. Freedom something that you have to do fyourself. And until the America

    Negro let the white men know th

    we are real ready and willing pay the price necessary for freedoour people will always be walkinaround here second class citizewhich we call 20 century slavesThe price of freedom is death!

    W a i s l a m u w a l i o k w e n dDiamond Jubi lee wanaamikuwa Wais lamu wa nchi hwanadhulumiwa, wanabaguliwna kunyimwa haki zao za msingWanaamini kuwa inawabidi kufany

    juhudi kubwa na kujitolea muhangkama walivyofanya kuzunguknchi nzima kulieza jambo hilndio watapata haki zao. Tunatomwito kwa Watanzania wote wenymapenzi mema na nchi yao tuungankuuondoa mfumo unaoendeleubaguzi na dhulma nchini.

    Yakitekelezwa yaliyosemwa Diamond ndio amani ya kweli itapatikana nchiniMaaskofu waache kupiga propaganda haisaidii

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    9/12

    9AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 201Makala

    Na Paul Craig Roberts

    Mei 9, 2013 - Mtandao wakupashana habari

    Rais mpya wa Venezuela, NicolasMaduro, ana mtazamo unaofananana Chavez. Hapo Mei 4, alimwitaRais Obama wa Marekani mangimkuu wa majini.

    Obama, ambaye ameisalitidemokrasia nchini Marekani,akipania kuuawa kwa wananchiwa Marekani bila kupitia mkondowa sheria na bila kuidhinishwa naBunge, alisababisha alichosemaMaduro kwa kudai kuwa serikalimpya ya Maduro iliyochaguliwainawezekana ilichaguliwa kwaudanganyifu. Ni wazi kuwa Obamahana raha kutokana na mamilioniya dola za Marekani ambazoutawala wake ulitumia kuwezeshakuchaguliwa kibaraka wa Marekani

    badala ya Maduro, kushindwa.Kama kuna mtu ameisoma

    Marekani vyema, ni wa-Venezuela.Nani atakayemsahau Chavez akiwaamesimama katika jukwaa laBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    jijin i New York akimzungumziaGeorge W. Bush? Kunukuu kutokakumbukumbu: Hapa tulipo, jana,katika jukwaa hili hili alisimamaShetani mwenyewe, akizungumzakana kwamba dunia ni mali yake.Bado unaweza kuisikia harufu yasulphur.

    Mbabe Marekani alitupa pesanyingi katika uchaguzi uliopitawa Venezuela, akifanya alilowezakuwasilisha utawala wa nchi hiyokwa kibaraka wa Marekani aitwaye

    Henrique Caprilles, kwa maoniyangu msaliti kwa Venezuela.Kwanin i huyu k ibar aka waMarekani asikamatwe kwa uhaini?

    Kwanini mawakala wa Marekaniwanaohujumu nchi huru - baloziwa Marekani, washauri, maofisa waUSAID/CIA, mashirika yasiyo yakiserikali yanayopata fedha kutokaMarekani wasitakiwe kuondokaVenezuela haraka au wakamatwe nakufikishwa mahakamani kwa ujasusina uhaini mkuu? Kwanini kuruhusuuwepo wowote wa Marekani nchiniVenezuela wakati ni wazi kuwa niaya Marekani ni kuigeuza Venezuelanchi kibaraka kama Uingereza,Ujerumani, Canada, Australia,Uturuki, Japan na nyingine.

    Kulikuwa na wakati, kama ulewa Allende na Pinochet, ambakowapenda maendeleo wa Marekanina vyombo vya habari vilivyopoteav y a u k o s o a j i w a n g e k u w a

    wanaichachafya Marekani kwauingiliaji usio halali wa mamboya nchi huru. Sivyo tena. Kamamwandishi Jeffrey St. Clair wagazeti la CounterPunch alivyowekawazi hivi karibuni, wapendamaendeleo wa Marekani badohawana hisia halisi ya utovu wakimaadili na kikatiba wa uhalifuunaofanywa na championi wao- rais wa kwanza mweusi, au nusu-mweusi, wa Marekani - kumwachaRand Paul (mjumbe mwandamiziwa Baraza la Wawakilishi) atoe

    pingamizi rasmi dhidi ya operesheniza kibabe za Marekani dhidi yamataifa huru.

    Dhidi ya vitendo vya ugaidi wakimataifa na wa ndani wa serikali

    ya Obama, wataalamu wa mageuzikuanzia wanademokrasia hadiroboti wa Moveon.org hawainui

    pin gam izi zoz ote na haw afa nyi

    maandamano. St. Clair ameandikamakala yenye nguvu, Isomekwa wakati wako: http://www.counterpunch.org/2013/05/03/the-game-of-drones/print

    Nadhani wapenda maendeleo waMarekani walipoteza hamasa wakatiUrusi ilipoanguka na wakomunistiwa China na India wakageukiaubepari. Kila mtu aliisoma vibayahali hiyo, hasa wapumbavu wamwisho wa historia (dhana yaProf. Francis Fukuyama, kuwamjadala wa kihistoria umekwisha naubepari, demokrasia vimeshinda).Matokeo yake ni kuwa na duniaisiyo na upinzani mkali dhidi yavitendo vya Marekani na nchivibaraka wake vya uhalifu wakivita, mauaji, kuharibiwa kwa

    uhuru wa raia na haki za binadamu,na propaganda za wazi za uwongo:Jana usiku majeshi ya Polandyalivuka mpaka na kuishambuliaUjerumani, ndivyo alivyowahikusema Adolf Hitler. Madai yaMarekani ya silaha za maangamizini uwongo wa wazi zaidi ya huo.

    Lakini hakuna anayejali. Serikaliza nchi za Magharibi na Japanzimelipwa na kununuliwa, na zileambazo hazijanunuliwa zinaombakununuliwa kwa sababu nao piawanahitaji fedha hizo. Ukweli,uadilifu, haya yote ni maneno yasiyona uhai. Hakuna tena anayefahamuyana maana gani.

    Zezeta George W. Bush alisema,katika kujikanganya mfano wa

    Animal Farm ya George Orwell,wanatuchukia kwa uhuru wetuna demokrasia. Hawatuchukiikwa sababu tunawapiga mabomu,tunawavamia, tunawaua, tunauamfumo wao wa maisha, utamaduni,na miundombinu. Wanatuchukiakwa sababu sisi ni wema sana. Hivimtu awe mpumbavu kuasi ganiaweze kuamini mkorogo huu?

    Marekani na Israel zinaletakatika dunia uovu usiofichika.Sihitaji kusimama katika jukwaa laBaraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    baada ya Bush au Obama. Napataharufu ya maovu ya Washingtonnikiwa kilomita 1000 kutoka hapo,hapa Florida. Jeffrey St. Clairanapata harufu hiyo akiwa katikatiya Marekani huko Oregon, NicolasMaduro anapata harufu hiyo nchiniVenezuela. Evo Morales anaisikiaharufu hiyo nchini Bolivia ambakoaliwafukuza maofisa wa USAID

    waliojaziwa majasusi wa CIA. Putinanasikia harufu hiyo Russia, licha yakuwa bado anaruhusu wahaini waupinzani wa Russia unaofadhiliwana fedha za Marekani kuiwekeavikwazo serikal i ya Russia. Wa-Iraniwanapata harufu hiyo katika Ghubaya Uajemi, Wa-China wanaipatakutoka mbali, jijini Beijing.

    Idara ya Usalama wa Ndani,inayofanana na Gestapo, polisi wasiri wa Hitler, ina wanaofuatiliahatar i kusaidia kudanganyawananchi katika operesheni zakeza kuigiza. Soma: http://www.governamerica.com/black-ops/

    boston-bombings/110-fema-hiring-actors-to-run-live-terror-drills

    Utawala wa Obama una droni

    ambazo inazitumia kuwanyamazisraia wa Marekani bila kupitmkondo wa sheria. Soma:

    http://www.salem-news.comarticles/may042013/drones-bosto

    wh.phpIdara ya Usalama wa Ndani i

    risasi zaidi ya bilioni moja, vifarkikosi maalum cha kijeshi. Kamza wafungwa zimejengwa.

    Bunge la Marekani lina fedha walipakodi kuilipa FBI (Shirika Upelelezi) kuwabambika wasio nhatia na kuwapeleka jela.

    Hii ndiyo nchi ambayo Marekaimekuwa. Haya ndiyo mashirika usalama iliyo nayo, ikijaza mifukyao kwa kuteketeza maisha ya wasna hatia na wanyonge.

    In God we trust (Katika Muntunatumaini) ndiyo nembo ya serikya Marekani. Ingefaa isomeke: Satan we follow. (Katika Shetatunafuata).

    (Paul Craig Roberts alikuw

    Naibu Waziri wa Fedha na Seza Uchumi na Mhariri mshiriwa jarida la Wall Street JournaAmekuwa mwanasafu wa jarila kiuchumi la Business Weemtandao wa habari wa ScrippHoward. na Creators Syndica(jukwaa la waandishi). Amekuwna miito mingi kufundisha katikvyuo vikuu, Makala zake katikmtandao zimewavutia wasomakote duniani. Kitabu chake kipyKushindwa kwa ubepari usio nmpaka na kuyeyuka kiuchumi kwukanda wa Magharibi (The Failuof Laissez-Faire Capitalism anEconomic Dissolution of the Wesasa kinapatikana. Mfasiri kwKiswahili Anil Kija)

    Obama alivyovuruga haki za binadamu,utawala wa sheria Marekani

    Mwandishi Ibn e Abdul Haq anakamilishauchambuzi wa ushahidi wa mashirika yaupepelezi ya Marekani kuhusu kuhusikakwa Waislamu, na Al Qaeda, katikashambulio la Septemba 11 mwaka 2001nchini humo.

    7 . Washi r ika wa Al Qaedawalikamatwa katika video za usalamakatika uwanja wa ndege?

    Mojawapo ya ushahidi kwa madaikuwa washirika wa Al Qaeda walikuwakatika ndege hizo ni fremu za pichaza mikanda ya video, zinazosemekanazilichukuliwa na camera za usalamazinazodaiwa kuonyesha watekajiwaliingia katika viwanja vya ndege(ndege hizo zilikotokea). Muda mfupi

    baada ya mashambulio, kwa mfano pichazinazomwonyesha Mohamed al-Atta

    na al-Omari katika uwanja wa ndegezilizungushwa duniani kote. Hata hivyo,ingawa ilikuwa inadhaniwa kuwa pichahizo zilipigwakatika uwanja wa ndegewa Boston, ukweli ni kuwa zilipigwakatika uwanja wa ndege wa Portland.Hakuna picha zinazomwonyesha Attaau mwingine kati ya wanaodaiwa kutekanyara ndege katika uwanja wa ndege waLogan mjini Boston ziliwahi kutolewa.Sana sana tuna ushahidi wa picha kuwaAtta na al-Omari walikuwa katikauwanja wa ndege wa Portland.

    Hivyo, uthibitisho wa video kuwawatekaji hao waliingia viwanja vyandege siku hiyo 9/11 haupo.

    8. Majina ya watekaji yalikuwakatika orodha ya abiria?

    Je, nini kuhusu orodha za walioingiakatika ndege, ambazo zinaweka majinaya abiria wote? Kama wanaodaiwa niwatekaji walinunua tiketi na kuingia

    kwenye ndege, majina yao yangeonekanakatika orodha ya abiria wa ndege hizo.Orodha za abiria ambazo zilitolewakatika vyombo vya habari hazikuwana majina 19 ya wanaodaiwa walitekanyara ndege hizo, na hata majina yawatu wa Mashariki ya Kati hayakuwepokabisa. Orodha hizi, kwa hiyo, zinatoaishara kuwa hapakuwa na watekaji waal Qaeda katika ndege hizo.

    9. Vipimo vya DNA (vinasaba)vilionyesha watekaji watano katiya waliokufa katika shambulio laPentagon?

    Kama ndege ya Boeing 757 ingekuwainasafiri katika mwendo wa maili 500 kwasaa ikiwa ardhini, ingeharibu sana majanina ardhi inapopita, ikiwa ni pamoja nakusababisha mashimo kutokana na

    mikwaruzo ya injini zinazoninginia,lakini picha zilizochukuliwa mara

    baada ya athari hiyo kudaiwa kutokeainaonyesha hali ya majani kuwa ninzuri bila doa. Malundo ya mabakiyalianza kuonekana baadaye na huendailishushwa kutoka dege la mizigo laC-130 ambalo lilionekana likizunguka

    jengo hilo.Isitoshe, kutokuwepo kwa uonyeshaji

    halisi wa wanaodaiwa kuteka nyarakatika vipimo vya DNA kunashabihianana taarifa ya uchunguzi wa maiti,ambayo ilitolewa kwa Dk. ThomasOlmsted, ambaye alipeleka maombiya taarifa hiyo kwa idara ya serikali yaMarekani ya usafiri wa ndani wa ndege.Kama ilivyokuwa kwa orodha ya abiriaya Safari namba 77, alifichua, taarifa hii

    pia haina majina ya Kiarabu.10 . Madai kuwa baadhi ya

    wanaodaiwa kuteka ndege bado wako

    hai imekanushwa?Tatizo jingine la madai kuwa

    watekaji 19 walikuwa wametambuliwamnamo Septemba 11, au tuseme sikuchache baadaye, ni kuwa baadhi yaowalionekana katika orodha ya mwishoya FBI walionekana hao baada ya 9/11.Mnamo Septemba 22, 2001, shirika lautangazaji la BBC lilichapisha makalaya David Bamford yenye kichwaMtuhuhiwa utekaji nyara yuko salamaMorocco. Ilimwonyesha Waleed al-Sehiri aliyetajwa na FBI kama mmojawa wateka nyara akiwa mzima. Keshoyake BBC ikachapisha makala nyingine,Watuhumiwa utekaji nyara wako haina salama.

    11. Bin Laden na Al Qaedawangeweza kufanikisha mashambulio

    hayo?Ili waendesha mashitaka wadhihirishe

    kuwa washitakiwa wametenda jinai,,inabidi waonyeshe kuwa walikuwana uwezo (pamoja na nia ya nafasi)ya kufanya hivyo. Lakini wataalamukadhaa wa masuala ya kisiasa na kijeshiwa nchi nyingine wamesema kuwaBin Laden na Al Qaeda kwa vyovyotewasingeweza kuendesha mashambuliohayo. Jenerali Leonid Ivashov, ambayemwaka 2001 alikuwa Mkuu wa Majeshiya Russia aliandika:

    Ni mashirika ya kijasusi pekee nawakuu wake wa sasa au waliostaafuambao bado wana ushawishi katikataasisi za dola wana uwezo wa kupanga,kuratibisha na kutekeleza mpango waaina hiyo.. Osama bin Laden na alQaeda hawawezi kuwa watayarishaji auwatekelezaji wa mashambulio ya 9/11.Hawana uwezo wa mipango, raslimali

    au viongozi wanaohitajika.Mohammed Hassanien Heikal,

    aliyekuwa zamani Waziri wa Mamboya Jje wa Misri, aliandika:

    Bin Laden hana uwezo wa operesheniya kiwango hiki. Ninapomsikia Bushakizungumza kuhusu Al Qaeda kanakwamba ni Ujerumani ya kifashistiau chama cha Kikomunisti cha Urusi,nacheka kwa sababu najua kilichopo.

    Maelezo kama hayo yametolewapia na Andreas van Bulow, aliyekuwaWaziri wa Ulinzi nchini Ujerumani,Jenerali Mirza Aslam Beg, aliyekuwaMkuu wa Majeshi ya Pakistan, na hataJenerali Musharraf, rais wa Pakistanhadi hivi karibuni.

    12. Jengo la WTC 7 : Bundukiinayotoa moshi ya 9/11

    Kwa vile jengo la WTC 7 (linginekatika kituo cha kimataifa cha biashara)haikugongwa na ndege, kuangukakwake kwa kasi ya kutokuwa na kizuizi,ambako kulitanguliwa na milipuko nakuyeyushwa chuma, lilikuwa mfanowa wazi wa kuangusha jengo kwampangilio. Kwa mfano , Jack Keller,

    profe sa mstaa fu wa uhandi si katikaChuo Kikuu cha Utah, ambaye amepewawajibu maalum na jarida la ScientificAmerican, alisema: Ni wazi ilitokanana uangushaji jengo kwa mpangilio.Pia, Danny Jowenko, mtaalamu wauangushaji majengo kwa mpangilioalipotakiwa kuzungumzia video yakuanguka kwa jengo hilo alisema:Walilipua tu mihimili na yaliyosaliayaliachia punde. . Ni mlipuko wandani. Kundi la wataalamu lilifanyahivyo. Uteketezaji wa jengo namba 7 lakituo cha kimataifa cha biashara ilikuwa

    lazima ni kazi ya ndani.Hitimisho:Baada ya muongo mmoja w

    vita vilivyoanzishwa kwa madai uwongo kukaribia kumalizika nchAfghanistan, kuanzia 2014, suala nani aliyefaidika na 9/11 haliptena mashakani. Katika miaka iliyopita, dunia imeona faida kubwwaliyopata Marekani, Ulaya Magharna Israel kisiasa, kidiplomasia, udhibwa maeneo na uchumi kutokana vita hivyo. Afghanistan, Irak majirani zao wa Kiislamu, kwa upanmwingine, wamekuwa waathirika wutumiaji nguvu, umwagaji damu uharamia uliofanywa na Marekani washirika wake wa NATO. Mfumwa kijeshi wa nchi za Maghari

    umekuwa ukikanyaga kila mahaduniani miguu yake ikiwa na madya damu ya mamilioni ya Waislamwasio na hatia.

    Maelezo rasmi na ushahidi wouliotoa kuwa Marekani ilishambuliwna Waislamu mnano Septemba 1yakiangaliwa kwa undani, yanaelekkuwa yametengenezwa. Kamhilo litathibitishwa, matokeo yayatakuwa ya kutisha. Kuwagundua kuwapeleka mahakamani wahusihalisi wa mashambulio ya Septem11 bila shaka kungekuwa na umuhimmkubwa. Uhakika wa watu katiuadilifu na usahihi kisiasa wa nchi Magharibi ungeporomoka. Matokya kwanza, hata hivyo, ingekuwkugeuza mielekeo na sera zilizojengw

    juu ya mta za mo kuw a Mar ekailishambuliwa na Waislamu hapSeptemba 11.

    Je, Waislamu waliishambulia Marekani Septemba 11 2001?

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    10/12

    10AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 20Makala

    Na Omar Msangi

    Kuna wasiwasi na uwezekanomkubwa kwamba huenda tukio la

    bomu Kanisani Arusha, likatumikakujenga hoja kuwa sasa Tanzania

    inakabiliwa na kitisho chaugaidi wa Al Shabab, Al Qaidah

    na magaidi wengine. Na hilolikifanyika, utakuwa ni msiba kwa

    taifa, lakini kwa wakati mwinginekuwa mafanikio makubwa kwa

    wale ambao kwa muda mrefusasa walikuwa wakionyesha hamu

    ya kuona nchi hii kuwa nayo

    inasajiliwa kuwa na magaidi. Nahilo likitimia, itahalalisha uwepowa kudumu wa FBI/CIA na hata

    vikosi vya kijeshi na droni.Kauli ya hivi karibuni ya

    Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP)

    Saidi Mwema kwamba katikakuchunguza tukio la Arusha

    wanashirikiana na makacherowa Kenya kwa sababu wao wana

    uzoefu wa mambo haya, yawezakwa upande mmoja isiwe na tatizo.

    Kwa maana kuwa ikaonekana nikauli ya kuonyesha tu kusaidiana

    majirani katika shida kama hii.Hata hivyo, kutokana na kauli za

    wanasiasa huko nyuma na hatavyombo vya usalama ambazo

    zimekuwa zikionyesha wazi kuwakulikuwa na hamu ya kutangaza

    kuwa tuna ugaidi wa Al Shababna Al Qaidah, huenda kuwepo

    kwa makachero wa Kenyakukakamilisha azma hiyo.

    Wasiwasi ni kwamba iwapo

    makachero hao watasema kuwabomu la Arusha linafanana na

    yale yaliyokuwa yakilipuliwaKenya ambayo yalidaiwa kuwa

    ni ya Al Shabab, basi hiyo itatoshakutangaza kuingia kwa Al Shabab

    Tanzania na mengine kufuatia.Wasiwasi huu unapata nguvu

    zaidi kwa sababu ni kiasi wikimbili tu zilizopita, Polisi wetu

    walisema kuwa wana taarifa za

    ki-intelijinsia zinazoonyeshakuwa Tanzania inakabiliwa nakitisho cha ugaidi wa al Shabab

    na al Qaidah.Hoja hapa sio kuwa vyombo

    vyetu vya usalama visifanye

    kazi na kutekeleza wajibu waokutizama kuwa nchini kuna

    vikundi vyovyote vya kigaidina kuchukua hatua. Lakini

    ukiacha propaganda, ukweliuliokwisha dhihirika mpaka sasa

    ni kuwa kinachoitwa vita dhidiya ugaidi imekuwa kama mkakati

    na mipango ya mabeberu yakutimiza malengo yao katika

    nchi mbalimbali duniani. Na

    kwa hiyo, matukio mengi ya

    kigaidi yamekuwa ya kubunina kutengenezwa ili ipatikane

    sababu.M a k a c h e r o , w a s o m i ,

    wanasayansi, watafiti wataalamumbalimbali, kwa muda sasa

    wamekuwa wakiandika na kuhojimaswali mengi pamoja na kufichua

    siri zilizojificha katika matukio

    yaliyotikisa ulimwengu yakidaiwakuwa ni ugaidi uliofanywa na

    kundi hili au lile. Matukio hayo nipamoja na lile mashuhuri Septemba

    11, Anthrax Terror Attack, Bali,London Bombing, kulipuliwa

    Balozi za Marekani Dar es Salaamna Nairobi, mgogoro wa Libya na

    huu wa Syria hivi sasa n.k.Kwa upande wa Al Shabab

    tatizo linafahamika kuwa niWasomali wasiotaka kuona nchi

    yao ikitawaliwa na watu wa nje auwatu vibaraka wanaotumiwa na

    mabeberu. Al shabab ni matokeoya hatua ya Marekani na Ethiopia

    kushirikiana kungoa utawala waUmoja wa Mahakama za Kiislamu

    uliokuwa umeiletea amani Somalia

    baada ya miaka zaidi ya 15 yavita na uharamia wa wenyewe

    kwa wenyewe. Waliongolewamadarakani wakashika silaha

    kupambana na serikali waliyoiitaya kisaliti. Kama itatokea kuwa

    na uadui na watu wa nje, basiitakuwa ni wale wanaoshiriki

    vita ndani ya nchi yao. Lakinisasa suala linageuzwa kuwa hao

    ni kundi la kigaidi, ni wenzaoAlqaida wanaofanya vitendo vya

    kigaidi Afrika Mashariki. Nakwa maana hiyo, tunalazimishwa

    kuamini kuwa ni maadui waKenya, Uganda, Tanzania na eneo

    lote la Afrika Mashariki na Kati.Mambo haya yanakwenda hatua

    kwa hatua. Kwanza unapigwa

    propaganda ukubali kuwa kunagaidi anakuvizia na ashaingia

    nyumbani kwako. Propaganda hiyoinaonekana ishakolea Tanzania.

    Hatua ya pili, ni kukuthibitishiakuwa kweli adui sasa yupo na

    ni hatari kweli. Likitokea tukiokama lile la kuuliwa Padiri

    Mushi kule Zanzibar au hili laArusha, hata kama lina chanzo na

    malengo tofauti, laweza kutumikakulazimisha kuwa waliohusika

    ni Al Shabab au Al Qaidah. Hilolikishafanikiwa, kinachofuatia sasa

    ni kupewa msaada wa kupambanana magaidi. Utathibitishiwa uwepo

    wa FBI/CIA, Marines na droni.Lakini ukifikishwa hapo,

    basi ujue pamoj a na msa ada

    huo na mwingine utakaopewa

    wa kitaalamu, vifaa, mafunzo

    na fedha, hupo salama tena.Matukio ya kutisha kama la

    Arusha yataendelea kuwepoili kudumisha kitisho na hivyo

    kuhalalisha uwepo wa walinziwako wa usalama kutoka nje. Hii

    ndiyo hali inayoikuta Pakistan,Yemen, Afghanistan, Iraq n.k. Ni

    kutokana na hali kama hii ndio

    nasema kuwa, itakuwa msibaiwapo tukio la Arusha litatumika

    kuwafungulia milango Ashababna Alqaidah. Hakuna hata nchi

    moja duniani, iliyonasa katikamtego huu ambayo ipo salama.

    Hata hiyo Marekani yenyewehaipo salama kwa sababu ili

    kitisho cha ugaidi kiendeleekuwepo, ni lazima ziendelee

    kuwepo hizi Boston MarathonBombing.

    Tukio la Arusha na jinsiUba loz i wa Saud i Arab ia

    ulivyoshughulika kutaka kujuauhakika wa kuhusishwa raia wa

    nchi hiyo, imeonyesha kuwa sioSerikali zote duniani ambazo

    hazijali watu wake. Serikali hiyo

    imesimama madhubuti kuonakuwa raia wake anatendewa haki

    na maadhali alikuwa hahusiki,ameachiwa.

    Katika kesi ya kulipuliwaUbalozi wa Marekani, hatukuweza

    kufanya lolote kumtetea Ghailaniwala kutaka kama ni kushitakiwa

    ashitakiwe katika ardhi ya Tanzaniaambapo ndipo uhalifu ulifanyika.

    Matokeo yake ni kuwa taarifatulizo nazo ni zile za kuambiwa.

    Tumeambiwa tumekubali, walahaikutushughulisha kuhoji ukweli

    wa madai kuwa Ahmed KhalfaniGhailani anahusika.

    Nyaraka muhimu ya mashitakadhidi ya Ghailani inasema kuwa

    kijana huyo Mtanzania aliingiza

    vifaa vya kutengenezea bomunchini. Kisha akakusanya watu wa

    kumsaidia wakatengeneza bomulikakamilika. Lilipokamilika,

    wakawa wanalihamisha kutokanyumba moja hadi nyingine ili

    lisigundulike mpaka ilipofika sikuya kwenda kulipua. Mtu yoyote

    anayetumia akili yake japo kwaasimia moja tu, hawezi kukubali

    maelezo kama haya. Lazimaatahoji, iliwezekanaje yote hayo

    kufanyika bila ya vyombo vyanchi kujua. Lakini tumekaa kimya,

    tunaona fahari kutangaza kuwaMtanzania amehusika kulipua

    Ubalozi wa Marekani! Inakuwakana kwamba tunaona fahari

    kutangaza kuwa Mtanzania ni

    gaidi.

    Katika ile kadhia ya siku yaKrismasi 25 Desemba, 2009,

    kijana wa ki-Nigeria, UmarFarouk Abdulbutallab, maarufu

    Underwear Bomber akisafirikatika ndege ya shirika la ndege

    la Northwest Airlines, Flight

    253, kutoka Amsterdam kuelekeaDetroit, Michigan, alidaiwakujaribu kulipua ndege hiyo.

    Ikadaiwa kuwa kijana huyo

    alificha milipuko katika nguoyake ya ndani (chupi) na alipotaka

    kulipua ndege, ikamuunguza yeyemwenyewe.

    Kiasi wiki mbili zilizopitanililazimika kuacha kichupa

    changu kidogo cha manukatoUwanja wa Ndege wa Kimataifa

    Dar es Salaam kilichokuwa katikabegi kwa sababu kiligunduliwa

    na machine za ukaguzi. Sheria zasasa za usalama katika viwanja

    vya ndege, haziruhusu abiriakuingia katika ndege na chupa ya

    pafiumu, hata na chupa ya majiya kunywa. Nimewahi kusafiri na

    ndege za Mashirika ya Kimarekani,ndani na nje ya Marekani ikiwemo

    hii Northwest Airlines kutoka

    Uwanja wa Ndege wa Kimataifawa Schiphol, Amsterdam kwenda

    Washington (baada ya Septemba11), kwa hiyo najua ni kiasi gani

    cha upekuzi unaofanyika na hasaukiwa Muislamu au Muarabu.

    L e o i n a p o s e m w a k u w aMuislamu, Mweusi kutoka Nigeria

    kaingia katika ndege ya abiria namilipuko bila kutambulika, ni

    jambo linalozua maswali mengisana na utata mwingi.

    Lakini ukiacha hilo, wapo

    wasafiri mtu na mkewe, KurtHaskell na Lori Haskell ambao naowalikuwa wakisafiri katika ndege

    aliyopanda Umar. Wao wanasemawalipokuwa katika sehemu ya

    maofisa wa Uhamiaji na ukaguzi

    wa mwisho kabla ya kuingiakatika ndege, walishuhuduia

    mtu mmoja akimpitisha UmarFarouk bila kupitia hatua za

    kawaida za ukaguzi. Wanahoji, ninani yule mtu, Smartly dressed

    man, a l iyempit isha UmarFarouk Abdumutallah uwanja wa

    ndege wa Schiphol, Amsterdam,Uholanzi bila ya kupitia taratibu

    za kawaida za kiusalama katikaviwanja ya ndege?

    Hoja yao ni kuwa mtu yulea l iyempi t i sha ak ipa t ikana

    itajulikana Umar ni nani na kwanini alipitishwa bila kupekuliwa.

    Na kw am ba in av yo on ek an awanausalama katika uwanja wa

    ndege walikuwa wamearifiwa

    juu ya kupita kwake. Kurt na Loriwalijitahidi sana kuita vyombo vya

    habari kueleza tukio hilo, lakinihabari hizo zikawa zinafukiwa.

    Kinyume chake TV na magazetiyakakazana kuelezea kuwa

    Umar alipokuwa chuoni alikuwakiongozi wa vijana wa Kiislamu.

    Alikuwa akianza siku yake kwaswala ya Subhi, kisha kusoma

    Quran hadi wakati wa kwenddarasani. Wakasema pia kuw

    Umar alikuwa akitumia kumi mwisho la mwezi mtukufu w

    Ramadhani kukaa Itiqaaf Msikitina kwamba alikuwa akiwap

    nasaha vijana wenzake wasiwe nmahusiano na wasichana ya

    boy na girl friends, labda kamni kutaka uchumba.

    Kwamba madai haya juya Uislamu wa Umar ni sahi

    au ya uwongo, sio muhimMuhimu hapa ni mambo mawi

    Moja ni hilo la kuunganishUislamu na ugaidi. Na pili, jin

    watu walivyopumbazwa n

    kuathiriwa katika kufikiri kwakiasi kwamba hawataki ten

    kujua ukweli. Wanachoshikilni propaganda wanayopewa n

    makachero wa Serikali. Hawanhaja ya kuwasikiliza akina Ku

    Haskell walioshuhudia tukiWatu wamepumbazwa kw

    propaganda hawaoni, hawahowala hawasikii.

    Mwaka 2005 liliwahi kuandigazeti moja katika ukura

    wake wa mbele kuwa Waislamwalikuwa wameingiza majambi

    mapanga na silaha nyinginkwa ajili ya kupambana n

    Wakristo. Likasema kuwa silahizo zilikuwa zimehifadhiw

    katika Misikiti Dar es Salaa

    na Morogoro. Taarifa kama hiambazo zimekuwa zikirejewa kw

    namna tofauti tofauti, hazikuwakukanushwa wala kukemewa n

    Serikali hata mara moja.Wakati ule baada ya kuona kuw

    Serikali imekaa kimya, gazeti An nuur liliandika likihoji kuw

    mchezo kama huo ukiachwa, jjamii haioni kuwa kama itatok

    tu vurugu, au akatokea kichmmoja kupiga mtu jiwe kanisa

    au kutia moto Kanisa, hatuokuwa Wakristo watakimbil

    kusema kuwa ni Waislamu kwsababu walishaambiwa kuw

    wameandaa silaha?Mantiki ya hoja ya An nu

    ilikuwa kwamba kama mad

    yale yalikuwa ni kweli, bawahusika wakamatwe wafikishw

    mahakamani. Lakini kama ilikuwni mambo ya kuzua, yakemew

    yasiachwe yakaathiri ufahamuelewa na uoni wa watu wet

    Hilo halikufanyika.H i v i w a t u w a l i o p i g

    pro pag and a cha fu kam a hizwanashindwa kupanga tukio

    kutaka kuthibitisha madai yaNa hata wakishindwa kupanga

    kutekeleza, hivi likitokea tuklolote la kihalifu kama ilivyotok

    Zanz iba r au h i l i l a bomArusha (na hata kilichodaiw

    kuwa ni kuchomwa makaniMbagala katika maandamano

    watashindwa kutumia tukio hi

    kupiga propaganda kujenguwongo kuwa wahusika ni wa

    walioingiza majambia mwak2005?

    Bomu Arusha kufungua mlango wa Al ShabaabSie ni hadithi ya mtoto kulilia wembeHuenda nasi tunataka tuletewe droni

    Tutafakari ya Umar Farouk Mutallab

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    11/12

    11AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 201Makala/Tangazo

    Kila mwaka tarehe 15 Mei,

    taifa la Palestina linaadhimishajanga lililoikumba mwaka 1948.Mnamo mwaka huo Wapalestinawalilazimishwa kwa mtutu wabunduki kuiacha nchi yao nakuelekea ukimbizoni. Nchi yaPalestina ikafutwa katika ramaniya dunia. Takriban vijiji 418viliteketezwa na asilimia 70 yawatu wetu wakawa wakimbizi.

    Tangu wakati huo imepitamiaka 65, tumekuwa tunaishimaisha ya kuhangaika nakudhalilishwa tukiwa ndani nanje ya nchi yetu. Leo tunaendeleakudai haki ya Wapalestina woteulimwenguni, haki ya kuirudisha

    nchi yetu katika ramani, na hakiyetu ya kurudi nchini mwetu kwamujibu wa sheria ya kimataifa.

    Leo tukiadhimisha siku hii yaJanga la 1948, kila Mpalestinapopote a l i po anaende leakusononeka na kudhalilika, kituambacho kinapaswa kiwe ni aibukwa ulimwengu mzima. Hii nikwa sababu, baada ya miakayote hii pamoja na maazimiokemkem kupitishwa yakidaihaki ya kimsingi ya Wapalestina,Israel inaendelea kupuuza kwajeuri na ufedhuli.

    Kwa muda wa miaka 25Wapalestina wamediriki hatakukubali (kwa shingo upande)

    kuitambua Israel na kukubali

    iendelee kuikalia asilimia 78 yaardhi ya mababu zetu. Licha yayote hayo Israel siyo tu imekataakuitambua Dola ya Palestina,bali inaendelea kupanua himayayake kwa kuvamia ardhi yetutunamoishi.

    Israel inafanya uvamizi huukinyume cha sheria ya kimataifawakati ikifaidika kwa kuwa nauhusiano wa kirafiki na nchinyingi ulimwenguni.

    Mwaka 1949, Umoja waMataifa (UN) ulikubali kuiruhusuIsrael iwe mwanachama wa UNkwa masharti mawili. Sharti lakwanza ni kuwa wakubalianena azimio namba 181 la kuwana mataifa mawili ya Israelna Palestina. Sharti la pili nikukubaliana na azimio 194

    la kuwaruhusu Wapalestinawakimbizi wote kurudi kwaowalikofukuzwa. Inasikitishakuwa hata azimio moja kati yahaya mawili halijatekelezwa.Si hayo tu, bali miaka 65 baadaya Nakba, Israel inakataakuungama dhulma ilizotendamnamo 1948.

    Kibaya zaidi ni kuwa Israelimeunda sheria inayokatazaW apa l e s t i na wa l i o r a i awa Israel kuadhimisha sikuya Nakba. Ukweli ni kuwahakuna sheria inayoweza kufutaukweli wa Nakba. Kukataakuwaruhusu wakimbizi warudi

    kwao hakumaanishi kuwawakimbizi hawatakuwepo.

    Kitakachofanyika ni kuwaupatikanaji wa suluhu naamani ya kudumu utazidi kuwamgumu

    Nd io ma an a le o Na kb ainaendelea kukumbukwamiongoni mwa Wapalestinamilioni 11 kote duniani .Mfano mmoja ni wakimbiziwa Kipalestina wanaoishi Iraqna Syria, ambao wanatesekaku t okana na vur ugu zawenyewe kwa wenyeweambazo haziwahusu. Katikahali kama hii ni muhimu sanakwa ulimwengu kuingilia katina kuhakikisha kuwa wakimbizihao wanarudi nchini mwao,kwani usalama wa maisha yaohauwezi kuhakikishwa bila yahaki yao ya kurudi Palestina.

    Ili kuhakikisha kuwa amaniinapatikana, tumejitahidi sanakugeuza msimamo wetu. Ndiomaana tumekubaliana na mpangowa amani uliopendekezwa nanchi za Kiarabu, tukakubalikuishi kwa amani na Israel.Tunachodai ni kuwa Israelituachilie ardhi iliyovamiana kuikalia tangu mwaka1967 pamoja na kuwaruhusuwakimbizi warudi makwao kwamujibu wa azimio 194.

    K w a b a h a t i m b a y a ,tunakabil iwa na mvamiziasiyetaka amani, tunakabiliwana utawala wenye msimamo

    mkali unaowaunga mkonona kuwawakilisha walowezi

    w a n a o k a l i a a r d h i y e t uwaliyoivamia mwaka 1967. Hiini serikali ambayo inakataa fursaya kuishi kwa amani na badalayake inangangania ardhi yetu.Hii ni serikali ambayo mawaziriwake wanakataa katu katukuitambua Dola ya Palestina nakutangaza azma ya kuongezawalowezi wa Kiyahudi hadikufikia milioni moja katika ardhiiliyovamiwa.

    Ndio maana kuna umuhimuwa kuunga mkono jitihadazinazofanywa na Waziri waMambo ya Nje wa Marekani, BwJohn Kerry. Baada ya miaka 65ya Nakba, ulimwengu unapaswasasa useme kwa nguvu zakezote Imetosha! badala yakuendelea kutoa maneno matupubila ya vitendo.

    W a k a t i u m e f i k a s a s akusahihisha makosa ya

    kihistoria, kwa kuruhusuPalestina irudi katika ramaniya dunia, ikiwa taifa huru nalinalojitegemea, linaloishijirani na Israel kwa amani namaelewano, ili kutimiza hakiza kimsingi za kila Mpalestinapopote alipo.

    Ili kuhakikisha kuwa malengohaya yanatekelezwa, ni lazimaulimwengu uachane na mbinuzilizoshindwa na kusahauliwa.Kusema kuwa mazungumzoya amani yafanyike bila yakuwa na hadidu rejea nabi la ya ku il az imisha Is raelitekeleze majukumu yake kama

    tulivyokubaliana, ni sawa nakuendelea na mazungumzo kwa

    miaka 20 ijayo, wakati Israinaendelea na uvamizi wa ardbila ya kikwazo. Mwishowmazungumzo hayatafanikiwna hakutakuwa na amatunayotarajia.

    Tumemaliza zaidi ya nukarne. Hii ni mara ya kwanztunaadhimisha Nakba wakaPalestina imetambuliwa kamDola katika Umoja wa MataifIngawa tungali tuko chini yukoloni wa Israel, tumechukuh a t u a t h a b i t i k u e l e k etunakokusudia. Tutaendelekuelekea huko ili kushinda hayetu ya kimsingi kama taifa.

    Ni lazima tukomeshe miak65 ya ufedhuli wa IsraeUlimwengu hauwezi kuendelkuadhimisha siku kama hii biya kuchukua hatua thabiti. Nlazima Israel itanabahi kuwkukataa kuwapa Wapalestinhaki yao kutawagharimu sanKukubali kuishi kwa amani njia pekee waliyo nayo. Hawannjia nyingine.

    B aha t i mbaya , j ambhili halijaingia katika akiza Waisrael na ndio maanwanaendelea kujidanganya.

    Saeb Erekat ni Mkuu wMazungumzo ya amani kwniaba ya Chama cha Ukombocha Palestina (PLO).

    Contact us: P.O Box 2030612 UN Road Upanga WeDar es Salaam Tel: 2152812150643 Fax: 2153257 [email protected] Website: ww

    pal-tz.org

    Janga la Palestina (Al Nakba)Mwaka wa 65 wa Ufedhuli wa IsraelNa Saeb Erekat

    CAREER GUIDANCE KWA WAHITIMU WA KIDATO CHASITA

    JUMUIYA YA WATAALAMU WA KIISLAMU TANZANIA(TAMPRO) INAWAALIKA WAHITIMU WA KIDATO CHASITA KUHUDHURIA CAREER GUIDANCE JUU YAUOMBAJI WA UNDERGRADUATE SCHOLARSHIPSNJE YA NCHI.

    TAMPRO IMEPATA WAHISANI WA KUFADHILIMASOMO NGAZI YA SHAHADA YA KWANZA.

    SIKU: JUMAPILI, TAREHE 19/05/2013MUDA: SAA 3:00 ASUBUHI 6:00 MCHANAMAHALI: TAMPRO MAKAO MAKUU, MAGOMENI, DARES SALAAM

    TAFADHALI UKIIPATA TAARIFA HII WAJULISHEWENGINE

    KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA:0713 521147, 0764 024441, 0715 822332 AU EMAIL:[email protected], [email protected]

    SADIKI S. GOGOMKURUGENZI MTENDAJI

    TANZANIA MUSLIMPROFESSIONALASSOCIATION

    NAFASI ZA KAZI

    Inawatangazia nafasi ya kazi upande wa wauzaji (Salesman)

    Sifa za muombaji

    Awe kijana wa kitanzania

    Awe na umri kati ya miaka 25-45

    Awe tayari kuweka dhamana ya mali isiyohamishika

    Awe na wadhamini watatu ( 3) wenye ajira zinazotambulika kiserikali Awe na elimu siyochini ya kidato cha nne

    Awe na uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu katika fani hiyo.

    MAWASILIANO Zaidi:

    Piga Simu: 0789 272 737

    Maombi yote yatumwe katika mtandano.

    Email: [email protected]

    Au kwa Barua S.L.P 4804- DSM

    MAOMBI YAAMBATANISHWE NA PASSPORT SIZE.

    FAIR LAND DISTRIBUTION

  • 7/30/2019 An-nuur 1071

    12/12

    12 MAKALA

    AN-NUUR12 RAJAB 1434, IJUMAA MEI 17-23, 2013

    Na Mwandishi Wetu

    MAULID!!! MAULID!!!

    Masjid Allah Karim Kazimzumbwi Kisarawe Inawaalika waislamuwote katika Maulid ya Mtume Muhammad

    (S.A.W) Kazimzumbwi Kisarawe, Tarehe 25/05/2013, siku yaJumamosi Saa 2:30 Baada ya Swalatul Ishaa , Inshaalah.

    Wafadhili wa maulidi Hii ni.

    1. Sheikh Juma Sadiki Muyenga

    2. Mohamed Rafik Nurmohamed Satya

    3. Ndugu wa Familia ya Madenge

    Nyote Mnakaribishwa

    Umoja wa Wanazuoni wa

    Kiislamu (Hay-atul Ulamaa)

    umewataka Waislamu kuwa

    makini na kuchukua tahadhari

    kubwa katika kipindi hiki tete.

    Wametoa tamko hilo kufuatia

    tukio la Mei 5 la kurushwa bomu

    kanisani Arusha lililosababisha

    vifo vya watu watatu na wengi

    kujeruhiwa.

    Tunawataka Waislamu wote

    nchini kuwa watulivu na kamwe

    Waislamu watakiwakuchukua tahadhariNi nasaha za Hay-atul Ulamaa

    wasichokozeke na matamshiyanayotolewa na baadhi ya

    watu au baadhi ya vyombo vya

    habari ambavyo vina malengo

    yasiokuwa bayana.

    Imesema taarifa ya Hay-

    atul Ulamaa i l iyotolewa

    tarehe 7 May, na kusainiwa

    na Mwenyekiti wake Sheikh

    Su