an nuur 1132xx

17
ISSN 0856 - 3861 Na. 1132 RAMADHAN 1435, IJUMAA , JULAI 4-10, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz facebook: annuurpaper [email protected] WAISLAMU 70 waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka kutokana na ile operesheni maalum Kilindi, wamefutiwa mashitaka. Hata hivyo, Sheikh Chambuso Ramadhani Chambuso, bado yeye yupo katika lile kundi la washitakiwa wapatao 16 ambao bado Mahakama inaendelea na kesi zao. Waislamu 70 wafutiwa mashitaka Ni katika kesi ya Kilindi, Madinah Sheikh Chambuso bado ‘kashikiliwa’ Na Bakari Mwakangwale Uk. 3 MAKAMO wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Sei f Sh arif f Hamad amesisitiza kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa itakuwepo hata baada ya uchaguzi mkuu wa 2015. Am es ema, serikali hiyo, GNU, itaendelea kuwepo kwa sababu ni suala la kikatiba. Maalim awakatisha tamaa CCM, Kisonge Serikali ya UK, kuendelea 2015 Asema ni suala la Kikatiba, lakini… Kamera hazitazuiya ugaidi Zanzibar  Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Shari Hamad. Na: Mwandishi Wetu Inaendelea Uk. 8 Ramadhan Mubarak Zanzibar Tulete Dua kuomba nchi yetu huru Wabaya Allah awapeperu she mbali Soma Uk.9 Sheikh Chambuso Ramadhani Chambuso,  Allah Anasema tuitangaze na ku himizana kwenda Hijja (Al-Hajj:27). Kwa sababu baadhi yetu wana uwezo na hawaendi Hijja, Mwenyezi Mungu amesema kwa hasira, “…Hana haja na viumbe sote" (Aal Imran:97). Hivyo hasara ni yetu sote! Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022;  Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708. (10)HASARA ZA KUTOHIJI ZINATUENEA SOTE!

Upload: zanzibariyetu

Post on 13-Oct-2015

936 views

Category:

Documents


9 download

TRANSCRIPT

  • ISSN 0856 - 3861 Na. 1132 RAMADHAN 1435, IJUMAA , JULAI 4-10, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz facebook: [email protected]

    WAISLAMU 70 waliokuwa wakikabiliwa na mashitaka kutokana na ile operesheni maalum Kilindi, wamefutiwa mashitaka.

    Hata hivyo, Sheikh Chambuso Ramadhani Chambuso, bado yeye yupo katika lile kundi la washitakiwa wapatao 16 ambao bado Mahakama inaendelea na kesi zao.

    Waislamu 70 wafutiwa mashitakaNi katika kesi ya Kilindi, MadinahSheikh Chambuso bado kashikiliwa

    Na Bakari Mwakangwale

    Uk. 3

    M A K A M O w a Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim S e i f S h a r i f f Hamad amesisitiza kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa i takuwepo hata baada ya uchaguzi mkuu wa 2015.

    A m e s e m a , serikali hiyo, GNU, itaendelea kuwepo kwa sababu ni suala la kikatiba.

    Maalim awakatisha tamaa CCM, Kisonge

    Serikali ya UK, kuendelea 2015Asema ni suala la Kikatiba, lakiniKamera hazitazuiya ugaidi Zanzibar

    Makamo wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad.

    Na: Mwandishi Wetu

    Inaendelea Uk. 8

    Ramadhan Mubarak ZanzibarTulete Dua kuomba nchi yetu huruWabaya Allah awapeperushe mbali

    Soma Uk.9

    Sheikh Chambuso Ramadhani Chambuso,

    Allah Anasema tuitangaze na kuhimizana kwenda Hijja (Al-Hajj:27). Kwa sababu baadhi yetu wana uwezo na hawaendi Hijja, Mwenyezi Mungu amesema kwa hasira, Hana haja na viumbe sote" (Aal Imran:97). Hivyo hasara ni yetu sote! Karibuni Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500. Wahi kulipa uitakase mali yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708.

    (10)HASARA ZA KUTOHIJI ZINATUENEA SOTE!

  • 2 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014AN-NUUR

    S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.

    www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

    Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    Waliovunja jungu na RamadhaniS W A U M U y a Ramadhani ni mwezi a m b a o h u w a p a Waislamu fursa ya kuitekeleza mojawapo ya n g u z o t a n o z a Uislamu.

    E n y i m l i o a m i n i i m e f a r a d h i s h w a kwenu kufunga kama walivyofaradhishwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Allah (S.W). (Baqarah 183).

    Hili ndilo lengo kuu la funga ya Ramadhani. Ni chuo cha kuwajuza n a k u wa k u m b u s h a Wa i s l a m u k u m c h a Mwenyezi Mungu hata baada ya kuondoka Ramadhani.

    M o j a ya k a z i z a swaumu ni kusafisha dhambi na kwa sababu viungo vya mwili wa m wa n a d a m u k a m a vile masikio, macho na mdomo hupelekea n a h u v u t i k a n a matamanio mbalimbali ambayo katika mwezi mtukufu wa Ramadhani hudhibitiwa na wakati huo huo, mtu akaomba na kutubu kwa Allah (sw) kwa aliyoyatenda kupitia viungo hivi.

    Wa k a t i Wa u m i n i w a k i f u r a h i n a kusubiri kwa hamu kuingia Ramadhani i l i wakaj i takase na k u z i d i s h a i b a d a , wapo ambao wanaona R a m a d h a n i n i y a kusitisha maovu kwa muda na yakaendelea baadae ikishapita. Lakini kabla ya kuyasitisha m a o v u h a y o , k wa kuwa mwezi mzima hakutakuwa na nafasi

    ya kuyatenda, basi siku chache kabla ya kuingia mfungo hutenda uovu hadi kukinahi.

    Hebu na tujiulize kwa pamoja, wale wenye tabia ya kuvunja jungu mwaka hata mwaka ili kusitisha maasi na kupisha mwezi, wana u f a h a m u w o w o t e kuhusu ibada ya mwezi wa Ramadhani? Vunja jungu ni nini hasa kwao?

    B i l a y a s h a k a m t a k u b a l i a n a n a s i kwamba vunja jungu kama linavyotafsirika kutokana na matendo yatendwayo na wavunja jungu wenyewe, n i kuogelea katika maasi kiasi cha kukinahi kabla ya kuanza Ramadhani, kwakuwa ndani ya Ramadhani hakuna tena fursa ya kutenda maasi hayo.

    Tunaweza kusema kuwa ni mkono wa kwaheri unaopungwa kwa maasi mbalimbali kwa ajili ya kuingia kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Wavunja jungu huitumia fursa ya siku mbili tatu kabla ya kuandama mwezi wa funga ya Ramadhani, kuhitimisha maasi yao ili kupisha mwezi.

    Wahusika hutumia nafasi hiyo kuogelea na kupiga mbizi kikamilifu katika maasi waliyokuwa wakiishi nayo kwenye kipindi cha ile miezi kumi na moja nje ya Ramadhani. Kwa hivyo basi, vunja jungu kwa mlevi ni kulewa sana kwani hataipata fursa hiyo tena ila baada ya

    kumalizika kwa mwezi wa Ramadhani.

    Hii ina maana vunja jungu kwa mzinifu, ni kuzini sana na kutengana n a k i m a d a w a k e kuipisha Ramadhani, kisha mchezo uendelee baada ya Ramadhani. V u n j a j u n g u k w a mpenzi wa muziki ni kukesha katika kumbi za starehe akicheza na kunywa kufidia ile fursa atakayoikosa kwa sababu ya kuingia kwa mwezi mtukufu.

    K wa wa t u h a wa , Ramadhani ni kama g e r e z a / k i f u n g o k i n a c h o w a o n d o l e a na kuwanyang`anya uhuru wa kuishi kama w a p e n d a v y o k w a kufuata matashi na matamanio ya nafsi zao.

    H a wa wa n a s a h a u kwamba wanawajibika kuishi kwa mujibu wa muongozo wa Mola Muumba wao, na sio kwa kuongozwa na matamanio au matashi yao.

    Wa n a v y o o n e k a n a h a w a , w a n a d h a n i w a n a w e z a k u s i t a kuasi kwenye mwezi wa Ramadhani kwani kufanya hivyo labda dhambi zake zitakuwa kubwa sana. Lakini wakiamini kwamba wanaweza kurejea katika uovu pindi tu Ramadhani i n a p o m a l i z i k a n a kwamba hapo hakuna tena dhambi au hata kama zipo, zinawezakuwa kidogo sana kwa kuwa muda huo utakuwa si wakati wa Ramadhani!

    H a w a n a h a b a r i k w a m b a f u n g a y a Ramadhani ni chuo kwa ajili ya kuwapa mafunzo na mazoezi ya kukimbia mazoea ya uasi waliyokuwa wakiishi nayo nje ya Ramadhani!

    Kwa ujumla vunja jungu ni kushindana katika kutenda maasi mbalimbali kwa sababu kuingia kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, kunahitimisha uwanja wa maasi hayo kwa mujibu wa fikra zao potofu.

    Tunasema kwa mujibu

    wa fikra zao potofu, k wa s a b a b u h a k u n a kibali wala uhalali wa kufanya maasi au mtu kuishi apendavyo nje ya Ramadhani.

    Waliovunja jungu au wenye mazoea hayo wameonyesha kufilisika kiimani, muumini wa kweli hawezi kuvunja j u n g u k w a k u w a anatambua kwamba, kufanya hivyo ni kumuasi Allah, Mola Muumba wake. Na kwa hakika ni kulikosa lengo la funga kabla hata Ramdhani haijaingia. Na hii ndiyo sababu kubwa kwmaba watu wanafunga lakini tabia zao zinabakia chafu. Lile lengo la kuwa wachamungu halifikiwi.

    Muumini wa kweli hujiepusha na maasi na humtii Mola wake ni katika maisha yake yote, bila ya kuangalia kuwa huu ni mwezi wa Ramadhani au ni nje ya Ramadhani.

    Kuaga maasi, eti kwa sababu tu ya kuingia kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, kisha kuyarejea tena baada ya kumalizika kwake, huo ni uasi na kupotosha lengo la funga na la ibada kwa ujumla.

    T u n a p a s w a k u f a h a m u k u w a Mola wa Ramadhani tunayeacha maasi ndani ya mwezi huo kwa ajili yake, ni Mola yule yule wa miezi mingine tunayojihalalishia maasi ndani yake.

    A m r i y a k u m t i i M w e n y e z i M u n g u k w a k u t e k e l e z a yote aliyotuamrisha n a k u y a a c h a y o t e a l i y o t u k a t a z a , n i s u a l a l i n a l o t a k i wa kutekelezwa kat ika muda wote wa maisha ya Muislamu.

    Tumeletewa mwezi wa R a m a d h a n i n a kusisitizwa kufanywa ibada nyingi , lengo likiwa ni kutoa mafunzo na mazoea ya kubaki katika ibada hata katika miezi mingine isiyokuwa

    Ramadhani.K u m u a b u d u

    Mola wako ndani ya R a m a d h a n i t u , n i kujiundia utaratibu wa ibada kinyume na ule aliokupangia Allah Mola muumba wako.

    Tuelewe tu kwamba, k w a M u i s l a m u kuendekeza ulimbukeni wa vunja jungu i l i kukidhi haja ya nafsi yake, aelewa kufanya hivyo ni sawa na kusema kuwa utaratibu wa ibada aliouweka Mwenyezi Mungu aliye mjuzi wa manufaa na maslahi yako, ama haufai au umepitwa na wakati.

    Na kwamba wewe kama kiumbe unaweza kuj iundia utarat ibu utakaokuhakikishia manufaa na mafanikio katika ulimwengu wako huu na ule ujao.

    Katika hali hii, tuwe na hak ika kwamba mtaji wa mvunja jungu siku ya kiyama, Allah (sw) atakuambia ujilipe mwenyewe kwa kuwa yeye hakukuamrisha kufanya ibada kwa u t a r a t i b u w a k o uliojitungia.

    Tukae tukifahamu kwamba Ramadhani iliyopokelewa na vunja jungu haitakuwa na athari yeyote kwako wewe, ambaye ndiwe mlengwa wa Ramadhani na wala sio Mola wako.

    Anayefanya mema anajifanyia (mwenyewe) nafsi yake, na mwenye kutenda ubaya ni juu (ya nafsi) yake (vile vile) [41:46].

    Aya inatubainishia kwamba unapovunja jungu, hufanyi hivyo ila ni kwa maangamivu ya nafsi yako mwenyewe hapa duniani na kesho akhera.

    M t u m e ( s a w ) anasema: Jibril alinijia na akaniambia: Ewe M u h a m m a d ! I s h i utakavyoishi, hakika wewe ni mwenye kufa. Na penda ukipendacho hakika utatengana nacho, na tenda ulitakalo hakika utalipwa kwalo Al-Baihaqiy.

    Ramadhani Kareem

  • 3 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Habari/Makala

    Waislamu 70 wafutiwa mashitakaInatoka Uk. 1

    S h e i k h C h a m b u s o a l i k a m a t w a n a kuunganishwa katika kesi hii baada ya kuonekana akifuatilia hali za watoto waliopotelewa na wazazi wao pamoja na zile za m a j e r u h i wa l i o k u wa wamefikishwa jijini Tanga baada ya kadhia ya Kilindi.

    Wakili wa washitakiwa B w . H a s s a n K i l u l e , amelithibitishia Gazeti la An nuur, kwa njia ya simu kuachiwa huru kwa wateja wake waliokuwa wakikabiliwa na tuhuma mbalimbali , baada ya kukamatwa na Jeshi la Polisi, Novemba 2013, Wilayani Kilindi, Mkoani Tanga.

    Wakili Kilule amesema kuwa jumla ya Waislamu 86 walikuwa wanakabiliwa na mashitaka ambapo 70 wameachiwa na kubaki 16.

    Akifafanua amesema kuwa ambao hawajafutiwa mashitaka ni wale wenye

    tuhuma ya mauaji na kushambulia.

    A l i s e m a , m a u a j i wanayohusishwa nayo ni ya mtu mmoja aliyetajwa kuwa ni Askari Mgambo, n a k u s h a m b u l i w a K a m a n d a wa P o l i s i , ambapo wanaotuhumiwa kwa mauaji hayo mpaka sasa wapo mahabusu, ambao wapo takribani kumi.

    Wakili Kilule alisema wateja wake wameachiwa chini ya kifungu cha sheria namba 225, kifungu kidogo cha tano, cha mwaka 2002, kwamba hakukuwa na ombi la nyongeza ya siku sitini.

    K wa m a a n a h i y o Hakimu aliona kesi hiyo aiondoe, na kuwafutia mashitaka baadhi yao k w a a w a m u t o f a u t i tofauti, awali walifutiwa kesi Waislamu 49, na wiki iliyopita walifuata wengine. Alisema Wakili Kilule.

    Akiongea na gazeti hili kwa njia ya simu kutoka Handeni, Mkoani Tanga, Amir wa Taasisi ya Al-Malidi, Wilayani humo, Ustadhi Omari M o h a m m e d , a l i s e m a Waislamu hao wameachiwa baada ya kubainika kuwa hawana hatia.

    Kifupi ni kwamba M a h a k a m a i m e o n a madai yanayowakabili h a ya n a u s h a h i d i wa kuwatia hatiani, kwa hiyo imewalazimu kuwafutia kesi, lakini Waislamu 13, waliobaki wamepewa kesi ya mauaji kufutia kifo cha askari mgambo. Alisema Ust. Mohammed.

    U s t . M o h a m m e d , alisema awali Mahakama h i y o i l i wa f u t i a k e s i Waislamu 49, na wiki i l iyopi ta imewaachia wengine na sasa waliobakia ni Waislamu 13, ambao wanadaiwa kuwa na kesi ya mauaji.

    Ust. Mohammed, alisema

    wengi walioachwa ni wale kutoka katika vijiji vya Negero, Madina, Lulago mpaka Rwande, ambao walikuwa wanakabiliwa na makosa ya kutokutii amri halali ya Jeshi la Polisi, wakiwa Msikitini na wengine walituhumiwa kukutwa na silaha (gobole).

    A l i s e m a , w e n g i n e makosa yao yalikuwa n i u c h o c h e z i , l a k i n i haieleweki walichochea n i n i , n a w e n g i n e wal ikamatwa wakiwa wanawapelekea vyakula jamaa zao waliokuwa wamekimbilia porini.

    U s t . M o h a m m e d aliwataja Waislamu watatu ambao wapo nje kwa dhamana na hawajafutiwa kes i kuwa ni She ikh Chambuso Ramadhan Chambuso, Chifu Abiola, Mzee Omari Mtana.

    Mwezi Novemba mwaka 2013, Jeshi la Polisi lilivamia katika vijiji vya Lwande, Negelo, Songwe pamoja na

    Kijiji maarufu cha Madina, Wilayani Kilindi, Mkoani Tanga, na kutekeleza kile kilichoitwa operesheni maalum kufuatia kuuliwa Askari mgambo mmoja na kujeruhiwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Kilindi.

    I l i e l e z w a k w a m b a c h a n z o c h a k i f o c h a Mgambo, kisha kujeruhiwa kwa Kamanda huyo ni k u f u a t i a b a a d h i y a wananchi kupinga kulipa ushuru wa mazao na kumshambulia (Mgambo huyo) na kusababisha mauti yake.

    Katika operesheni hiyo, Waislamu wengi katika vi j i j i h ivyo inadaiwa waliuwawa, kujeruhiwa na kuharibiwa makazi yao.

    Ni katika kadhia hiyo, i l ipelekea kukamatwa kwa Sheikh Chambuso Ramadhani Chambuso, kutoka Jijini Tanga, baada ya kufuatilia na kutaka kujua hali na tuhuma zilizokuwa zikiwakabili Waislamu waliokamatwa.

    HAMAS wanahusika na Hamas watal ipa Hiyo ni kauli ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Nentanyahu. Wapalestina watano waliuwawa na vikosi vya utawala haramu wa Israel katika operesheni yao ya kuwatafuta vijana wao watatu waliopotea takriban wiki mbili sasa.

    "Kwa huzuni kubwa tumeipata miili mitatu ya wa l o w e z i a m b a o walitekwa na kuuliwa kinyama bila huruma......Hamas wanahusika na watalipa kwa hili.

    H a p a t a y a r i k u m e s h a t a n g a z w a dhamira ya kuuwa, Hamas wamesema hawahusiki l a k i n i t a ya r i b wa n a mkubwa ameshasema kuwa watalipa kwa hiyo kinachofuata sasa ni mauaji zaidi ya Wapalestina. Allah (sw) atawalinda inshallah na ile nusra yake itapatikana.

    Z a m a n i H a m a s wamekanusha kuhusika na utekaji na uuwaji lakini wao ndio wamerushiwa mpira na kinachofuata sasa ni kuuliwa. Wapalestina watano waliuliwa katika o p e r e s h e n z a o , s a s a vijana wao wameonekana tayari wameshauwawa

    Sababu ya kuuwa imeshapatikanaNa Rashid Abdallah

    a l i y e w a u w a hajulikani lakini sasa wanawashutumu Hamas ili iwe sababu ya kuuwa.

    Taarifa zinatueleza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeamua kutumia f u r s a h i y o k u p a n g a mashambulizi makubwa dhidi ya Ukanda wa Ghaza huko Palestina,

    uliozingirwa kila upande. Mtandao wa lugha

    ya Kifarsi wa Press TV umezinukuu duru za kuaminika ziki f ichua kuwa, brigedi za kijeshi za utawala wa Kizayuni zimepokea amri ya kujiunga na kikosi cha kijeshi cha Israel kijulikanacho kwa jina la Divisheni ya Ghaza.

    Kikosi cha anga cha jeshi la Israel nacho kimeongeza idadi ya makombora katika mfumo wa kujilinda na makombora ujulikanao kwa j ina la "Ngao ya Chuma. " Leo Av igdor Lieberman.

    G e o r g e G a l l o w a y huyu ni Mbunge katika b u n g e n a U i n g e r e z a ameandika maneno haya katika ukurasa wake wa facebook ak ionyesha j i n s i v i o n g o z i w a Kiarabu walivyoghafilika kiasi kwamba hakuna atakayejitokeza kuwahami Wapalestina.

    H a t a w a l e wa s i o k u wa Wa i s l a m u w a m e g u n d u a k u w a Waislamu tumeghafilika mno, madaraka ndio tunayoyakimbilia lakini tukishakaa madarakani kuwatetea wanyonge na wanao onewa kama ni Waislamu wenzetu hilo linakuwa mwiko. Hata kuwasaidia Wapalestina tunasubiri hadi Amerika watuambie hatuwezi tu sisi kuamua.

    V i o n g o z i w a n c h i zenye Waislamu wengi ndio wanao ongoza kw

    kuwagawa Wais lamu n a k u w a p i g a n i s h a , wamelewa na madaraka na wamesahau majukumu yao wanasubir Marekani awaambie kuwa sasa wasaidieni Wapalestina ,na wala sijafikiria kama hiyo siku inaweza kutokea katika mgongo huu wa ardhi uliobeba watesa na wateswaji.

    K a m a t u t a s h i n d wa kuungana na kuonesha guvu zetu kama Waislamu basi siku zote tutakuwa t u n a o n e wa . H u j u m a dhidi ya Wapalestina ipo kwa miaka mingi mno lakini uchu wa madaraka, kupigana sisi kwa sisi ndio vikwazo vinavyosababisha adui kuwepo na wala asipatikane wa kumuondoa. Hali inasikitisha mno kwa ndugu zetu wale.

    Muda huu Waisrael wa n a j a d i l i m u s wa d a wa k u r u h u s u v i k o s i vya usalama kutumia nguvu kwa wafungwa wa Kipalestina. Hapa k a u m i a m t u k u m b e wanatesa na kuwauwa na kuwadhalilisha bado hawajaruhusiwa sasa huo muswada ukipita na kuwa sheria si mtihani. Mimi nahisi mauaji makubwa ya Wapalestina yanakuja zaidi ya yaliyopita ila Mungu atawanusuru Inshallah.

    WAZIRI Mkuu wa Israel, Benjamin Nentanyahu.

  • 4 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Habari

    K I L U G H A , n e n o Swaum' lina maana ya kujizuilia kufanya jambo lolote la kawaida.

    K a t i k a Q u r a n tunafahamishwa kuwa Bi. Maryam, baada ya kumzaa Nabii Isa (a.s) alijizuilia (alikuwa katika Swaum ya) kutosema na mtu yoyote juu ya mtoto wake.

    " ... Na kama ukimuona mtu yeyote (akauliza habari za mtoto huyu) sema:

    H a k i k a m i m i nimeweka nadhiri kwa mwingi wa rehema ya Swaum (kufunga), kwa hiyo leo sitasema na mtu (19:26).

    K a t i k a S h a r i a ya K i i s l a m u k u f u n g a (Swaum) ni kujizuilia kula, kunywa, kujamii, kuingiza kitu chochote katika matundu ya mwili na kujizuilia kumuasi Allah (s.w) kuanzia alfajiri ya kweli mpaka kuingia magharibi.

    L e n g o l a S wa u m k a t i k a U i s l a m u n i k u m u w e z e s h a m j a kuwa mcha Mungu kwa kufuata maamrisho yote ya Allah (s.w) na kuacha makatazo yake yote.

    H i v y o , i l i l e n g o hili litimie mfungaji pamoja na kuj izuia kula, kunywa, kujamii, hanabudi pia kujizuilia na kitendo chochote kitakachomsababishia kuvunja amri ya Allah (s.w) na Mtume wake (s.a.w).

    Kwa maana nyingine, ili Swaum ya mfungaji iwe na maana na yenye kufikia lengo, mfungaji hana budi kukizuilia (kuki fungisha) k i la kiungo chake cha mwili - macho, ulimi, masikio, m i k o n o n a m i g u u pamoja na flkra na hisia zake dhidi ya matendo aliyoyakataza Allah (s. w.).

    Funga ya macho ni kujizuil ia kutazama yale yote aliyoyakataza Allah (s.w), funga ya ulimi ni kujizuilia na m a z u n g u m z o y o t e aliyoyakataza Allah (s.w),

    Mafunzo ya mwezi wa RamadhaniMaana ya Swaumu (Funga)

    kama vile kusengenya, k u s e m a u w o n g o , kugombana n.k., funga ya masikio ni kujizuilia kusikiliza yale yote aliyoyaharamisha Allah (s.w); funga ya miguu ni kujizuilia kuendea yale yote aliyotukataza Al lah ( s .w) ; funga ya fikra na hisia, ni kujizuilia na fikra na dhana mbaya ambazo z i n a m s a b a b i s h i a mja kuvunja amri na makatazo ya Allah (s.w).

    Ni katika maana hii Mtume (s.a.w) anasema katika Hadith zifuatazo:

    Abu Hurairah (r.a) a m e s i m u l i a k u w a M t u m e w a A l l a h amesema: Yule ambaye haachi kusema uwongo na haach i kufanya vitendo viovu, Allah hana haja na kuona kuwa anaacha chakula

    chake na kinywaji chake, (Allah (s.w) hana haja na funga yake). (Bukhari).

    Abu Hurairah (r.a) ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema; Ni wangapi wamefunga lakini hawana funga ila kukaa na kiu tu, ni wangapi wanaswali usiku, ambao hawana swala ila huambulia kupoteza usingizi tu. (Darimi).

    H a d i t h i h i z i zinatuthibitishia kuwa ufungaji usioambatana na kujizuilia na maovu na machafu, haumpatii mfungaji faida yoyote.

    Umuhimu wa funga ya Ramadhani katika Uislamu.

    Funga ya Ramadhani ni miongoni mwa nguzo za Uislamu na ni faradhi kwa Waislamu kama inavyobainika katika

    aya ifuatayo: E n y i m l i o a m i n i !

    M m e l a z i m i s h w a kufunga (swaum) kama wal ivya laz imishwa waliakuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu. (2:183).

    Kama ilivyo katika n g u z o n y i n g i n e z a U i s l a m u , m t u a takapoivunja kwa m a k u s u d i n g u z o hii, hatabakia kuwa Muislamu japo atajiita Muis lamu na watu wakaendelea kumuita hivyo. Katika Hadhith iliyopokelewa na Ibn Abbas (ra) , Mtume (s.a.w) amesema:

    Kuna viungo vitatu vinavyomuunganisha Muislamu na dini ya Uis lamu na yeyote y u l e a t a k a ye v u n j a kiungo kimoja katika hivi atakuwa amekana Uislamu na kuuawa kwake ni halali. Viungo hivi ni: Kushuhudia kuwa hapana Mola ila Allah, kusimamisha swala tano na kufunga mwezi wa Ramadhani."

    K a t i k a H a d i t h nyingine Abu Hurairah ( r . a ) a m e s i m u l i a kuwa Mtume (s.a.w) amesema: Yeyate yule atakayeacha makusudi kufunga siku moja ya mwezi wa Ramadhani, hawezi kuifidia siku hiyo hata akifunga kila siku katika umri wake wote (uliabakia)" (Abu-Daud).

    F u n g a n i i b a d a maalum iliyo muhimu sana katika kumuandaa mja kuwa mcha Mungu kwa kule kukata kwake matamanio ya kimwili. Kwa hivyo Allah (s.w) kwa ukarimu wake a m e a h i d i m a l i p o makubwa kwa wenye k u t e k e l e z a i b a d a hii , i l i iwe motisha w a k u w a w e z e s h a kuitekeleza ibada hii kwa hima kubwa na kwa ukamilifu unaotakikana.

    Ahadi ya Allah (s.w) ya malipo makubwa kwa wenye kufunga Ramadhani tunaipata katika Hadith kama

    ifuatavyo: Abu Hurairah (r.a)

    ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema: M w e n y e k u f u n g a Ramadhani akiwa na imani na akawa na matumaini ya kupata malipo kutoka kwa Allah, dhambi zake zote zilizopita husamehewa; na mwenye kusimama kwa swala (Tarawehe) k a t i k a m w e z i w a Ramadhani, akiwa na imani na matumaini ya kupata malipo (kutoka kwa Allah), dhambi zake zote zilizopita zitasamehewa. (Bukhari na Muslim).

    Pia Abu-Hurairah (r.a) ameeleza kuwa Mtume wa Allah amesema: Kila amali njema anayoifanya mwanadam italipwa mara kumi (Al-Qur'an 6:160) mpaka kufikia mara mia saba (Al-Qur'an 2:261).

    Allah (s.w) amesema: Ila kufunga kwa sababu funga ni kwa ajili Yangu, na ni Mimi mwenyewe nitakayelipa. Mwenye k u f u n g a a n a k a t a a matamanio yake ya kimwili na anaacha chakula kwa ajili Yangu. Kwa mwenye kufunga kuna furaha mbili,furaha moja anaipata wakati wa kufuturu na nyingine wakati atakapokutana na Mola wake . Na h a k i k a h a r u f u y a mdomo wa mwenye kufunga ni bora mbele ya Allah (s.w) kuliko harufu ya miski. Na funga ni ngao. Kwa hiyo atakayefunga miongoni m w e n u h a t a o n g e a maneno ya upuuzi. Wala hatagombana. Kama itatokea achokozwe na yeyote, au mtu ataka kupigana naye , na aseme: "Nimefunga". (Bukhari na Muslim).

    Abdullah bin Amr (r.a) amesimulia kuwa M t u m e w a A l l a h amesema: Funga na Qur'an vitamwombea m t u s h u f a a . S a u m i tasema: Ee Bwana (Rabb) nilimwachisha

    Inaendelea Uk. 7

  • 5 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Habari za Kimataifa

    WA K AT I Wa i s l a m u d u n i a n i k o t e wameshaanza kufunga m w e z i m t u k u f u wa R a m a d h a n i , b e k i m a s h u h u r i wa t i m u ya taifa ya Ufaransa, Bacary Sagna, amesema kinagaubaga kwamba a t a e n d e l e a k u f u n g a saumu ya mwezi huo, licha ya kukabiliwa na kibarua kigumu cha mashindano ya kombe la dunia ambayo yameingia hatua ya pili ya mtoano.

    S a g n a a m e s i s i t i z a k wa m b a , a t a e n d e l e a k u f u n g a s a u m u y a mwezi mtukufu, licha ya kukabiliwa na mechi ngumu kwenye michuano hiyo.

    S a g n a a m e v i a m b i a v y o m b o v ya h a b a r i vya Ufaransa na hapa ananukuliwa:

    Mimi nataka kufunga saumu nchini Brazil, kwa kuwa ni Muislamu. Dini tukufu ya Kiislamu inanipa fursa ya kutofunga saumu nikiwa katika mazingira m a a l u m u k a m a v i l e safari na maradhi, lakini pamoja na kukabiliwa na mashindano ya kombe la dunia nchini Brazil sitaki kufungulia. Nitaendelea kufunga saumu ya mwezi mzima wa Ramadhani, Inshaallah Mwisho wa kunukuliwa.

    Ukiacha Bacary Sagna, wachezaji wengine wengi wanaozichezea timu za taifa za Ufaransa, Algeria, Nigeria na Ujerumani wameendelea kusisitiza k w a m b a w a t a f u n g a saumu ya mwezi mtukufu wa Ramadhani licha ya kukabi l iwa na mechi ngumu za kombe la dunia.

    W a k a t i S a g n a akidhidhirisha msimamo wake huo, tayari Mjumbe Mwandamizi wa Kamati ya Afya ya Shirikisho la Soka Duniani FIFA, Jiri Dvorak, alisema kuwa wa c h e z a j i Wa i s l a m u w a n a o f u n g a m w e z i mtukufu wa Ramadhani, hawataathirika kiafya wakati wa kuendelea michuano hiyo nchini Brazil.

    B w . J i r i D v o r a k amesema kuwa, Kamati ya Afya ya FIFA imefanya uchunguzi na utafiti wa kina kuhusiana na afya za wachezaji katika mwezi

    FIFA yasema funga haina athari kiafyaMechi haimzuii Bacary Sagna kufunga

    mtukufu wa Ramadhani na kubainika kwamba, iwapo wachezaji Waislamu w a t a k u l a v y a k u l a vinavyohitajika, hawawezi kudhoofu kimwili katika m w e z i m t u k u f u wa Ramadhani hata wakiwa dimbani.

    Drovak ameongeza k u w a , k a m a t i h i y o imefanya uchunguzi wa kutosha, hivyo hakuna ulazima wowote kwa wachezaji kuingiwa na

    wasiwasi kutokana na michuano hiyo kuingiliana na mfungo wa mwezi wa Ramadhani.

    Wakati huohuo, Michel D'Hooghe, Mwenyekiti wa Kamati ya Afya ya FIFA amesema kuwa, hakutakuwa na tatizo lolote kwani utaratibu u t a k u w a k a m a u l e uliofanyika wakati wa michuano ya Olimpiki iliyofanyika 2012 mjini London, Uingereza. Irib.ir

    IDADI ya Waislamu n c h i n i C a n a d a i m e o n g e z e k a n a kufikia karibu milioni moja na laki moja.

    Matokeo ya utafiti mpya u l io fanywa n c h i n i h u m o yameonyesha kuwa jamii ya Waislamu nchini Canada huenda ikawa mara tatu zaidi katika kipindi cha miaka 20 ijayo.

    Uislamu ni dini ya pili kwa ukubwa huko Canada baada ya dini ya Kikristo na ni ya kwanza katika dini zinazoenea kwa kasi nchini humo.

    Kituo cha sensa ya watu nchini Canada kimetangaza kuwa, n i Wa i s l a m u 1 3 pekee wa Ulaya ndio walikuwepo huko Canada wakitokea Bosnia-Herzegovina, miaka minne baada ya kuundwa nchi hiyo mwaka 1867.

    Licha ya vyombo v y a h a b a r i v y a Magharibi kuendesha propaganda kubwa za kueneza chuki na hofu dhidi ya Uislamu, na licha ya kuwepo vitendo vya upotoshaji uliokithiri v i n a v y o f a n y w a na watu wasio na uelewa sahihi wa U i s l a m u , h i v y o kuathir i mtazamo wa walimwengu juu ya dini hiyo, lakini yote hayo hayajaweza kupunguza mvuto na ongezeko la watu wanaoamua kuingia katika dini Tukufu ya Uislamu, kwani takwimu zinaonyesha kuwa Uislamu ndiyo dini inayokua kwa kasi zaidi katika nchi za Magharibi.

    Idadi ya Waislamu yaongezeka Canada

    ASKOFU mwandamizi wa Kanisa Katoliki nchini Australia , Max Davis , a m e j i u z u l u b a a d a ya kufikishwa kortini kujibu tuhuma za kuwalawiti watoto wadogo.

    K w a m u j i b u w a telegraph.co.uk, imedaiwa kuwa, Askofu Max Davis, alimlawiti mwanafunzi wa kiume aliyekuwa na umri wa miaka 13 katika chuo cha Saint Benedict mwaka 1969, wakati alipokuwa mwalimu katika chuo cha St. Benedict, kilichopo Magharibi mwa

    Askofu wa Kanisa Jeshini ashtakiwa kwa kubaka mtotoAtangaza kujiuzulu

    Australia, imeeleza taarifa ya mnadhimu wa kijeshi wa Kanisa Katoliki Jeshini Australia.

    Askofu huyo amekanusha tuhuma hizo na kudai kuwa hajawahi kuhusika na kufanya upuzi huo.

    Askofu Max Davis, alikuwa Mkuu wa Kanisa Dayosisi ya Jeshi la Australia, na ni kiongozi wa kidini wa ngazi za juu zaidi Australia kuwahi kushitakiwa katika kashfa ya ubakaji nchini humo.

    Pol is i kat ika eneo la Magharibi mwa Australia

    wamesema walimfungulia mashitaka Askofu huyo mwenye umri wa miaka 68, Ijumaa iliyopita.

    Kashfa za Makasisi wa Kikatoliki kujihusisha na vitendo vya ngono kwa watoto wadogo, vimezusha mpasuko mkubwa kwenye Kanisa hilo, huku baadhi ya ripoti zikionyesha kuwa, Makao Makuu ya Kanisa hilo (Vatican) yamekuwa yakificha makusudi uozo huo, ili kulinda heshima za viongozi hao.

    Mwaka uliopita, Kadinali mwandamizi wa Australia alikiri kwamba, ofisi yake imekuwa ikiwakingia kifua Makasisi waovu kwa hofu ya kusambaratika Kanisa hilo.

    HARAKATI ya Kikristo ya al Marada nchini Lebanon i m e s i s i t i z a k w a m b a , silaha za Wanaharakati wa Hizbullah, zinatumika kwa ajili ya kulinda uhuru na kujitawala kwa ardhi ya Lebanon.

    Mkuu wa Wanaharakati ya Kikristo ya al Marada nchini Lebanon, Suleiman Franjieh, amesema kuwa harakati ya muqawama itajipatia ushindi kwenye matukio yanayoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kwamba, Hizbullah ni sehemu ya Lebanon na silaha zake zinatumika kwa ajili ya kulinda uhuru na kujitawala katika ardhi ya nchi hiyo.

    Bw. Suleiman Franjieh amesisitiza kwamba nchi na makundi yote yanayopigana na serikali ya Syria, yanafanya kazi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

    Wakristo: Silaha za Hizbullahni za kuilinda Lebanon

    ASKOFU Max Davis.

    BACARY Sagna.

  • 6 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014HabariPOLISI nchini Kenya wamewapiga risasi na kuwaua watu zaidi ya 1,000 ndani ya kipindi c h a m i a k a m i t a n o iliyopita.

    Taarifa hiyo ni kwa m u j i b u w a r i p o t i iliyotolewa Alhamisi ya Juni 26 mwaka huu na taasisi ya Independent Medico Legal Uni t (IMLU).

    Gazeti la The Standard la Kenya liliripoti kuwa, IMLU imewalaumu maafisa wa usalama Kenya kwa kutokea vifo vingi, ambapo katika watu 1,873 waliokufa, wengi wamepoteza maisha katika matukio yanayohusiana na risasi kati ya mwaka 2009 na 2013.

    "Zaidi ya asilimia 60 ya vifo hivi vilitokea bila ya kuonyeshwa sababu kwa nini watu hao walipigwa risasi au ni mazingira gani ambayo yalimlazimu Ofisa kutumia silaha," alisema Eric Thuo, Ofisa wa IMLU na mmoja wa maafisa waliofanya utafiti huo.

    Alisema imekuwa n i k a u l i m a a r u f u sana kusikia kwamba w a t u h u m i w a walirusha risasi na vijana wetu wakare jesha a u m t u h u m i w a aliwaonyesha bunduki maafisa wetu."

    R i p o t i h i y o inaonyesha kuwa vijana kati ya miaka 20 hadi 29 ndio sehemu kubwa ya waliouawa. Zaidi ya asilimia 80 ya vifo vyote vya risasi vilitokea jijini Nairobi.

    Wakati huo huo, polisi wametangaza kwamba hawatotegemea tena taarifa za uhalifu za mara kwa mara kutoka Idara ya Ujasusi ya Taifa (NIS), na badala yake watatanua Kitengo cha Upepelezi wa Uhalifu (CIU) kwa a j i l i ya ukusanyaji wa taarifa za upelelezi.

    Hatua hiyo inakuja b a a d a y a p o l i s i k u l a u m i w a k u w a mashambulizi makubwa y a h i v i k a r i b u n i yalitokana na kushindwa kwao kuzifanyia kazi ripoti za kijasusi.

    Inspekta Jenerali wa Polisi, David Kimaiyo,

    Polisi Kenya imeua watu 1000'Informa' wa serikali mashakani

    alitangaza pia kwamba, awamu ya kwanza ya ujenzi wa maabara ya uchunguzi imekamilika.

    Hata hivyo, wakati p o l i s i w a k i f i k i r i a uamuzi huo, baadhi ya watoa taarifa wa polisi wa Kenya wameondoa huduma hiyo kutokana na ukosefu wa malipo.

    Watoa taarifa wapatao watano wa Polisi wa K e n y a w a m e s e m a w a n a j i t o a k a t i k a huduma yao kutokana na ukosefu wa malipo waliyoahidiwa kwa kutoa taarifa zilizohusu shughuli za al-Shabaab, mapambano baina ya makabila na uchochezi wa kisiasa.

    " H i i n i k a z i y a h a t a r i k u p e l e l e z a kikundi cha ugaidi, bado serikali haiwezi kutulipa fedha kwa gharama tulizoingia," alinukuliwa akisema Abdi Mohamed, mkazi wa Kaunti ya Garissa.

    K a t i k a b a r u a i l i y o t u m w a k w a Inspekta Mkuu wa Polisi wa Kenya David Kimaiyo, iliyoandikwa Juni Mosi, Mohamed na wengine wanne waliodai

    kuwa ni watoa habari wa polisi pamoja na baadhi ya akina mama, walisema wameamua kufunga dir isha la habari kwa polisi kwa sababu hawalipwi kwa huduma wanayotoa.

    "Washambuliaji wa k iga id i wamekuwa wakitulenga sisi na wakala wa usalama wamekuwa wakipuuzia mwito wetu wa msaada.

    " E l e w a k w a m b a watoa habari wote wa wakala wa usalama wameondoa huduma yao kutokana na ukosefu wa msaada kutoka kwa wakala wa usalama hata baada ya kulengwa na washambuliaji. Ustawi wetu hawaujali, wenzetu wa Mombasa wamekuwa p i a wa k i l e n g wa " walisema katika barua yao.

    B w . M o h a m e d aliuambia mtandao wa Sabahi kuwa aliajiriwa 2009 na Ofisa wa Shirika la Upelelezi la Taifa la Kenya, ambaye alikuwa rafiki yake na kwamba, alikua akitoa taarifa kuhusu uchochezi wa wanasiasa wa ndani, biashara ya magendo ya

    silaha, bidhaa za sukari na petroleum katika eneo hilo, na ishara za kutokea kwa mapigano ya kikabila juu ya ardhi ya malisho na maji.

    Alieleza kuwa licha ya kuahidiwa kulipwa angalau shilingi 10,000 kwa taarifa yoyote yenye manufaa, hakujawahi kulipwa hadi Januari 2013, wakati alipopewa shilingi 6,000 kama mshahara wa mwezi.

    Mohamed alisema kwamba mara nyingi alijaribu kutatua suala la fidia na mamlaka y a u s a l a m a w a ndani, lakini hakuna mafanikio. Alidai kuwa wameendelea kuahidi k u wa m a b o s i wa o huko Nairobi walikuwa wakishughulikia suala hilo.

    " T u m e k u w a tukilengwa, kuishi katika hofu na kukosa malipo ikilinganishwa na kazi ya hatari tunayofanya." Alinukuliwa akisema mtoa taarifa huyo.

    Aidha , Mohamed a l i i o n y e s h a m a b a d i l i s h a n o y a u j u m b e w a s i m u aliyofanya na Kamanda

    Kimaiyo Mei 29.Mohamed ameandika:

    " Tu h a m a s i s h e n a ututumie fedha i l i kuk idhi baadhi ya mahitaji yetu."

    K i m a i y o a l i j i b u : " N a s i k i t i k a s a n a ndugu yangu. Kwanza kabisa sina fedha za kununua taarifa. Lakini naweza kufanya kazi na raia wote na raia wanakuja kufanya kazi na sisi , hapo ndipo watakapopendekezwa n a k u p e w a a i n a mbalimbali za zawadi z i k i w e m o f e d h a . Wafanyieni kazi watu wetu na malipo yatakuja baadaye."

    Mohamed alisema ma j ibu kama hayo k u t o k a k w a b o s i wa pol is i yal ikuwa ya n a c h a n g a n ya n a kushusha hamasa ya watoa taarifa.

    Sabahi wal i jar ibu k u w a s i l i a n a n a Kimaiyo kujibu madai ya watoa taarifa hao, lakini inspekta jenerali hakujibu katika maombi yaliyorudiwa kwa ajili ya maoni.

    Mmoja wa watoa taarifa huko Garissa, al iyesaini barua na pia kuomba jina lake halisi lisichapishwe kwa kuhofia kuadhibiwa na al-Shabaab, alisema wa s i wa s i wa k e n i k w a m b a t a a r i f a wanazotoa kwa vikosi vya usalama zinaweza kuishia katika mikono ya wasiohusika.

    A l i r e j e a m a t u k i o matatu tofauti tangu Desemba mwaka jana ambapo watuhumiwa wa kutoa taarifa kwa polisi waliuawa.

    K a t i k a t u k i o l a kwanza, wanachama wa s h u k i wa wa a l -Shabaab wal ikatwa kichwa na kutupwa mwili wa mwalimu wa shule ya Kiislamu na mtoa taarifa kwa polisi, Faiz Mohammed Bwarusi katika ufuko wa Mambrui karibu na Malindi.

    J a n u a r i m w a k a huu, washukiwa wa wafuasi wa al-Shabaab walimpiga risasi na kumuua wakala wa kupambana na ugaidi

    Inaendelea Uk. 7

    INSPEKTA Jenerali wa Polisi, David Kimaiyo.

  • 7 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Habari

    Polisi Kenya imeua watu 1000Inatoka Uk. 6A h m e d A b d a l l a B a k h s we i n . M we z i Mei, Alyaan Mohamed, ambaye pia alisemekana kuwa mtoa taarifa wa polisi, alipigwa risasi na kuuawa kwenye nyumba yake katika Kaunti ya Kilifi.

    Il ielezwa kwamba wakati ni jukumu la kila raia kushirikiana na polisi, watoa taarifa wa kudumu wanapaswa kufidiwa kuzingatia hatari wanazokabiliana nazo.

    Ali alisema aliajiriwa k u r i p o t i k u h u s u shughuli za al-Shabaab kupitia rafiki wa karibu katika kikosi cha polisi mwezi Februari 2012.

    "Niliahidiwa shilingi 10,000 kwa kila taarifa ambayo viongozi wa usalama walihakikisha kama ni ya uhakika, lakini sikuwahi kupokea fedha zozote" alisema mtoa taarifa huyo.

    Kijana huyo alisema kuwa kabla al-Shabaab hawajaingia Kenya, asingejali kutoa taarifa kwa serikali bila malipo. Lakini kuwaingia al-Shabaab ni hatari na kunahitaji muda na

    fedha. Anasema kuwa w a k a t i m w i n g i n e wanatakiwa kusafiri hadi Somalia kukusanya taarifa au kupiga simu. Hivyo ndio sababu wa n a t a k a a n g a l a u kusaidiwa fedha kwa ajili ya zoezi la ukusanyaji wa taarifa hizo.

    Kijana huyo ambaye ni Mkenya mwenye asili ya Kisomali, anasema hutembelea Somalia kukusanya taarifa katika m a z i n g i r a a m b a y o anawatembelea ndugu.

    Alisema kama serikali haitawaingiza katika o r o d h a ya m a l i p o ya m s h a h a r a , b a s i inapaswa kuwa na uwezo wa kulipia taarifa ambazo inathibitisha kuwa zinaongoza katika kuzuia mashambulizi au

    Mkuu wa Kitengo cha Polisi cha Kuzuia Ugaidi Kenya, Boniface M w a n i k i , a l i s e m a hakuwa anajua mtoa taarifa yoyote ambaye alijitoa katika huduma zao.

    " Tu n a d a i wa s a n a kwa ushirikiano wa umma ambao serikali imetupatia katika vita dhidi ya ugaidi. Taarifa tunazozipokea kutoka

    k a t i k a u m m a k wa ujumla zimekuwa na thamani kubwa katika kuzuia mashambulizi mengi . Lakini s ina habari kuhusu taarifa za nani asiyependezwa na serikali." Alinukuliwa akisema.

    M w a n i k i a l i d a i vikosi vya usalama vinategemea ushirikiano wa kawaida wa raia na kwamba wanachukulia taarifa zote kwa makini. Alisema pia kwamba utambulisho wa serikali umewekwa siri kwa ajilii ya usalama wao na familia zao.

    Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Wajir, David Kirui, hakutoa maoni kuhusu tuhuma za watoa taarifa, lakini aliwaagiza W a k e n y a w o t e kuendelea kushirikiana na mashirika ya usalama kusaidia kupambana na wenye itikadi kali.

    Alisema mtoa taarifa ni raia mwema ambaye anachangia kwa kiasi kikubwa katika mambo mazuri na kwamba,kila m m o j a a n a p a s w a kushiriki kwa sababu ni jitihada za pamoja za kuzuia uhalifu.

    Mafunzo ya mwezi wa RamadhaniInatoka Uk. 4chakula na kujamii wakati wa mchana, k wa h i y o n i f a n y e niwe muombezi wake. Na Quran itasema: Nilimwachisha usingizi wakati wa usiku, kwa h i y o n i f a n ye n i we muombezi wake. Kwa hiyo vyote vitamuombea shufaa." (Baihaqi).

    Vi l e v i l e M t u m e (s.a.w.) katika kusisitiza umuhimu wa funga ya Ramadhani, alitoa khutuba mwishoni mwa mwezi wa Shaabani kama ilivyonukuliwa katika Hadith ifuatayo:

    Salman al-Farisy (r.a) ameeleza: Mtume (s.a.w) alituwaidhi mwisho wa siku ya Shaabani akasema: Enyi watu! Hakika umekuj ieni mwezi mtukufu, mwezi uliobarikiwa, mwezi ambo ndani yake kuna usiku ulio bora zaidi kuliko miezi elfu moja.

    A l l a h a ( s w ) amefaradhisha kufunga katika mwezi huu na kusimama (kwa swala ya tarawehe) katika usiku wote ni sunnah. Atakayetekeleza kitendo kizuri kisicho faradhi atapata ujira wa mtu aliyetekeleza kitendo cha faradhi ka t ika miezi mingine. Na yule atakayetekeleza kitendo cha faradhi atapata ujira mara sabini ya ujira wa kitendo hicho katika miezi mingine.

    Na ni mwezi wa subira, na ilivyo, subira malipo yake ni pepo. Na ni mwezi wa kuhurumiana n a m w e z i a m b a o mahitaji (mapato) ya muumini huongezwa. Atakayetoa futari kwa m w e n y e k u f u n g a katika mwezi huu kuna kusamehewa dhambi zake na kuwekwa huru na moto, na atapata malipo sawa nay a Yule aliyefunga bila yay eye kupunguziwa chochote.

    Tukauliza: Ee Mtume wa A l l a h ! H a k u n a yeyote kati yetu mwenye uwezo wa kumfuturisha

    m t u a l i y e f u n g a . A l i j i b u M t u m e : Allaha anamlipa yule mwenye kumfuturisha aliyefunga kwa funda la maziwa, au tende moja, au funda la maji. Na yule anayekidhi haja ya mtu Allah anamnywesha kutokana na bir ika (kauthar ) langu na hatakuwa na kiu mpaka atakapoingia peponi. Na (Ramadhani) ni mwezi ambao mwanzo w a k e n a m w i s h o wake kuna kuachwa huru na moto. Na yule atakayempunguzia kazi mtumwa (mtumishi) wake, Allah atamsamehe na atamuacha huru na moto.

    Hadithi hizi zinatupa picha juu ya umuhimu wa funga ya Ramadhani, kwamba Ramadhani ni ngao ya kumzuia muumini na maovu yanayosababishwa na matashi ya kimwili naitakuwa ni sababu ya muumini kuingia peponi na kuachwa huru na moto.

    K w a n i n i f u n g a imefaradhishwa mwezi wa Ramadhani

    Japo tumefahamishwa katika Quran kuwa, faradhi ya funga ni kwa umma zote, hatufahamu umma zilizotangulia z i l i f a r a d h i s h i w a kufunga miezi gani au wakat i gani wa mwaka. Umma huu u m e f a r a d h i s h i w a kufunga katika mwezi wa Ramadhani kwasababu ndio mwezi ilipoanza kushuka Quran kama tunavyofahamishwa katika aya zifuatazo.

    ( M w e z i h u o m l i o f a r a d h i s h i w a kufunga) ni mwezi wa Ramadhani ambao ndani yake imeshuka hii Quran ili iwe uongozi k wa wa t u n a h o j a zilizo wazi za uongozi n a u p a m b a n u z i . At a k a y e s h u h u d i a mwezi huu miongoni mwenu na afunge ... " (2: 185).

    Hivyo, Wais lamu w a m e a m r i s h w a kufunga katika mwezi

  • 8 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Habari/Tangazo

    Maalim awakatisha tamaa CCM, Kisonge

    Serikali ya UK, kuendelea 2015Asema ni suala la Kikatiba, lakiniKamera hazitazuiya ugaidi Zanzibar

    MAKAMO wa Kwanza wa Rais Zanzibar , Maalim Seif Shariff Hamad amesisit iza kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa itakuwepo hata baada ya uchaguzi mkuu wa 2015.

    Amesema, serikali hiyo, GNU, itaendelea kuwepo kwa sababu ni suala la kikatiba.

    Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi C U F , a m e y a s e m a hayo wakati akifanya mahojiano na ITV.

    Katika maelezo yake Maalim Seif alisisitiza kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa GNU ipo kwa vile suala hilo ni la kikatiba na ni suala lililowekewa misingi maalum.

    Kauli hiyo ni kama inajibu kauli ambazo zimekuwa zikitolewa na wana-CCM wahafidhina ambao wangependa kuona serikali ya Umoja wa Kitaifa ikivunjika.

    Ukiacha baadhi ya viongozi waandamizi wa CCM Zanzibar, walio mbele na wanaopigia chapuo madai ya kutaka kuvunjwa kwa GNU, ni Maskani ya Kisonge ambao mara kwa mara wamekuwa wakitoa ujumbe katika ubao wao wakihimizwa kuvunjwa kwa GNU.

    Katika ujumbe wao hivi karibuni walisema k u w a m w i s h o w a Serikali ya Umoja wa Kitaifa ni 2015, huku wakipandikiza mawazo ya f a r k a b a i n a ya wananchi wa Unguja na Pemba.

    U n g u j a z i g o t u m e c h o k a : 2 0 1 5 Maridhiano yaishe. Unguja iwe salama. Mapinduzi daima.

    Ulisema ujumbe huo wa Kisonge ulioanza na kibwagizo cha Ole wao huku ikionyeshwa kuwa Pemba ndiyo inanufaika na GNU ila Unguja imekuwa ni zahama tupu kutokana na maridhiano hayo.

    K a u l i ya M a a l i m Seif akiwa kiongozi wa ngazi za juu wa Serikali, inakuja kama jibu la chagizo hizo za

    Na: Mwandishi Wetu

    Maskani Kisonge za kutaka GNU kuvunjika au kuhitimishwa na uchaguzi mkuu wa 2015.

    Kuhusu mchakato wa katiba mpya, Maalim Seif amesema bado serikali ina jukumu la kuhakikisha kuwa katiba mpya inapatikana, ili kuendeza ustawi wa Taifa na kukidhi mahitaji ya wananchi.

    A m e s e m a t a y a r i serikali imeshatumia f e d h a n y i n g i z a wananchi, na kwamba kushindwa kukamilisha mchakato huo kwa wakat i , i takuwa ni hasara kwa serikali na taifa kwa ujumla.

    H i v y o a m e s e m a hakuna budi kwa serikali kutafuta njia mbadala z a m a z u n g u m z o , k u h a k i k i s h a k u wa m c h a k a t o h u o u n a e n d e l e a n a u n a f a n i k i w a k w a maslahi ya Taifa.

    Wa k a t i h u o h u o , Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad ameonya kuwa vitendo vya hujuma dhidi ya raia na wageni, vinaweza kuathiri kwa

    kiasi kikubwa uchumi wa Zanzibar.

    Amesema Zanzibar a m b a y o i m e k u w a ikitegemea zaidi sekta ya Utalii kuendeleza uchumi wake na kukuza pato la taifa, imekuwa ikiguswa na matukio hayo ya hujuma, na kwamba yanaathiri uchumi, ustawi wa jamii na sifa ya ukarimu kwa Zanzibar.

    M h e . M a a l i m S e i f ametoa kauli hiyo katika mahojiano maalum na kituo cha televisheni cha ITV, Mikocheni Dar es Salaam.

    A m e s e m a k a t i k a kukabiliana na vitendo hivyo, serikali inakusudia kutekeleza mpango wake wa kuweka kamera za CCTV katika maeneo muhimu ya utalii likiwemo eneo la Mji Mkongwe, ili kuweza kuwabaini kwa urahisi wahusika wanafanya vitendo hivyo.

    Kuhusu kauli hii baadhi ya wananchi wakitoa maoni yao wamesema kuwa kinachotakiwa kufanya serikali ni kuwa macho na njama za mabeberu kwani mengi ya yanayodaiwa kuwa mashambulizi ya kigaidi ni katika mambo ya kupanga yanayoratibiwa na mabeberu.

    Na kwamba kama huo ndio ukweli, hata kama

    zitawekwa kamera za CCTV, Kila kona na kila mtaa, bado mashambulizi ya kigaidi ya kuratibiwa na mabeberu yatakuwepo k a m a a m b a v y o haz ikuweza kuzuiya shambulio la Westgate Shopping Mall, Nirobi iliyosheheni kamera hizo na walinzi wenye silaha nzito.

    Kuhusu zao la karafuu kwa maendeleo ya uchumi wa Zanzibar, Maalim

    Seif amesema serikali imefanikiwa kudhibiti magendo ya karafuu baada ya kuongeza bei ya zao hilo na kuwashinda wanunuzi wengine wa Afrika Mashariki ambako karafuu hizo z i l ikua zikipelekwa.

    Aidha amesema katika kuhakikisha kuwa ubora wa karafuu za Zanzibar unalindwa na kudhibiti w a u z a j i w e n g i n e , Serikali kupitia Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko, itaweka nembo maalum brand, kuweza kuzitofautisha karafuu za Zanzibar na maeneo mengine.

    Akizungumzia dawa za kulevya, Maalim Seif ambaye ofisi yake ndiyo inayohusika na udhibiti wa dawa hizo, amesema bado kuna kazi kubwa ya kudhibiti uingizaji na matumizi ya dawa hizo kutokana na jiografia ya visiwa vya Zanzibar.

    A m e f a h a m i s h a kuwa vita hiyo pia ni n g u mu k u t o k a n a n a u w e z o m k u b w a w a wafanyabiashara wa dawa hizo ambao wanaweza kuwarubuni watendaji kwa pesa nyingi na kuacha kutekeleza wajibu wao.

    Amesema katika kupiga vita dawa hizo, ni lazima kuwepo na mashirikiano p a m o j a n a u a d i l i f u miongoni mwa watendaji, hasa wale wanaofanya kazi katika viwanja vya ndege, bandarini na vyombo vya ulinzi.

    (Habari kwa hisani ya Mwandishi wa Makamo wa Kwanza wa Rais)

    TANGAZO

    ASW - HAABUL - KAHFI lSLAMIC CENTREUmoja wa Madrasa zenye kuhifadhisha Qur an Yombo, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Asw Haabul Kahfi lslamic

    Centre, unakualika katika mashindano ya 3 ya kuhifadhi Qur an.

    Yatakayo fanyika siku ya Tarehe 6/7/2014Muda: Kuanzia Saa 2:00 (Asubuhi) hadi

    Saa 7:30 (Mchana)Katika viwanja vya Msikiti wa Yombo

    Vituka, Malawi.Masheikh Mbalimbali watakuwepo

    Wote mnakaribishwa

    Ust. Haruna Mustafa MbeseAmiri wa mashindano

    0713 216 302, 0719 279 647

  • 9 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Makala

    UKARIMU wetu uzidi katika mwezi huu na miezi mengine yote.

    Mabaya tuyaache kisha yasirudie tena. Huenda Allah akatupa wepesi kwa lile tulitakalo katika nchi yetu, likiwemo la Zanzibar Huru.

    Ni wakati muafaka sasa kumuelekea Allah kwa maombi na toba ili atuonee huruma na iwe sababu ya kupata nchi yetu.

    Pia tumuombeni Allah wale mashetani na wanao iombea mabaya nchi hii, basi awapeperushe mbali na visiwa hivi.

    Wa n a o - e n e z a s i a s a za kuchuki na ubaguzi, Allah asiwape nguvu za kufanikisha malengo yao hayo. Aamiin!

    Ni jioni ya saa kumi na mbili jua nalo likipoteza nuru yake huku likielekea Magharibi taratiibu, Mama na watoto wake wa kike katika nyumba yao kubwa kidogo iliyoezekwa kwa bati wakifanya matayarisho ya mwisho ya kuandaa chakula kinukiacho sanaa kwa ajili ya familia, huku Baba naye akiwatayarisha watoto wake wadogo wa kiume kwa ajili ya kwenda msikitini kwa swala ya Magharibi. Na jiko nalo likinukia iliki na mafuta ya kula na inakionekana kuna aina fulani ya mkate ukipikwa kwenye chuma chake, japo sikuujua ni mkate gani kwani nilikuwa mbali na jiko hilo.

    Ni harufu ya chapatti, maandazi, vipopoo, ndizi zinazonukia katika eneo hili. Nilikuwa napita tu na safari yangu refu nikiwa niendako sikujui wala sijafika, lakini nimeshangazwa na mnuso huu unaotoka kila nyumba ya eneo hili. Nafsi ikajiuliza na kutaka kujua kuna nini hapa, mbona hivi. Na kila muda ukienda harufu hizi huzidi na muda huu wa jioni pevu.

    Masuali yakawa mengi zaidi bila majibu nikijiuliza peke yangu kwani kawaida ya Harusi au sherehe yoyote ile huwa ni mkusanyiko wa watu wengi kisha harufu kama hizi ndio ukazisika. Lakin hizi harufu nzuri za

    Ramadhan Mubarak ZanzibarTulete Dua kuomba nchi yetu huruWabaya Allah awapeperushe mbali

    Na Rashid Abdallah

    hapa zinanishangaza mno kwani ni za aina moja katika eneo moja kisha zinatoka katika nyumba zote za hapa tena kwa wakati mmoja wa jioni pevu.

    Hiyo haikuwa hadithi ya Ngungi Wa Thiongo au paukwa pakawa ya Sungura na kobe ama ile tamthilia ya This time tomorrow, lakini haya ni maisha ya kweli yaliyoingizwa katika picha ya maneno yakionesha mila na utaratibu wa Mzanzibari wakati wa jioni katika kipindi cha mwezi wa Ramadhani, ha ikuwa hadi th i kama nilivyosema ila ni picha ya yanayo tokea mwezi wa Ramadhani huku kwetu visiwani.

    Mila na utamaduni wa Kizanzibari katika mwezi wa Ramadhan basi miaka mingi hauna tofauti ni uleule haubadiliki. Swala za Tarewekh na visimamo vya usiku ni mambo ya msingi kwa wale wanaotambua utukufu wa mwezi huu.

    Baada ya jua kuzama na adhana (muito wa swala) kuita kwa nguvu zote kutoka kila pembe ya visiwa hivi, yote hayo hutoa ishara kuwa siku imekamilika na ni wakati wa kufungua, hapo kila mtu hujitayarisha na kukimbila msikitini kwa ajili ya swala ya Maghrib, huko baada ama kabla ya swala utakutana na kifungua kinywa yaani tende ambazo huenea kutoka kila sehemu ya visiwa hivi zikitoka nchi mbali mbali duniani hasa Mashariki ya Kati.

    Baada ya hapo ni wakati wa kurudi nyumbani ni mara baada ya swala ili kuja kupata futari, hatuna utaratibu wa kukaa juu ya meza na

    vijiko ila sisi hukaa juu ya majanvi,mikeka au busati bado tukiendeleza hulka na mila za visiwa hivi.

    Hapo sasa ni wewe na tumbo lako kwani utakutana na kila aina ya msosi, sahani ile utaona muhogo na samaki wa changu, huku kuna chapatti na supu, mkono wa kulia utaona ndizi, vipopoo, majimbi. Sahani zote hizo huzungukwa na watu kisha huliwa huku uji na chai vikisukuma taratiibu kupitia koromeo hadi tumboni.

    Jambo la kumualika jirani yako ama ndugu katika futari ni kitu cha kawaida mno na hutojisikia raha kama hujapata mgeni hata siku moja katika mwezi mzima wa Ramadhani hilo ni katika utamaduni wetu. Lazima jirani ama ndugu ajumuike nawe japo siku moja katika futari. Huenda juu ya mkeka ukamkuta Ami,Shangazi akiwa pamoja nawe katika kutekeleza ibada hii ya futari.

    Ama baada ya kumaliza futari hapo ni kujitayarisha na kwenda ku jumuika katika swala ya Tarawekh na kufuatiwa na zile sala za usiku ambazo wapo wanaokesha wakitafuta radhi za Allah. Misikiti hujaa kipindi hichi Alhamdullillah.

    Mara nyingi chakula kikubwa katika visiwa vya Zanzibar kwa ajili ya daku ni wali, huu unakuwa ni mchele maarufu visiwani pembe kwa wengi wetu. Japo wapo wanaotumia aina nyengine ya mchele lakini pembe ndio kila kitu.

    Kukirimiana na kutoa swadaka ni mambo ambayo hatupaswi kuyasahau katika Ramadhan, kwani mambo haya hutuweka ka t ika

    nafasi nzuri ya kusamehewa madhambi yetu na pia kujiwekea mazingira mepesi s iku ya hukumu. S iku ambayo kila mja atakuwa anaiyangalia nafsi yake tu.

    K a t i k a h i l i j e n g i n e tungeiyomba serekali yetu iwe msimamizi nzuri wa mwezi huu juu ya wale ambao hula mchana na kuvaa viguo vifupi ndani ya mwezi mtukufu. Si katika mila za Wazanzibari kumkuta mtu anakula hadharani hata kama ana udhuru lakini hato kula hadharani au kutembea na nguo zisizo msitiri vizuri lakini tayari umagharibi umetuingilia na Wamagharibi n a o w a k i w a w a p o wakiutekeleza Umagharibi wao, sasa kwa mwezi huu t u n g e i y o m b a S e r e k a l i isaidie katika kuwadhibiti watu wao, kwani wao ndio wanaowaleta na wao ndio wanao-waingizia mapato. Kwahiyo wawachunge watu wao vizuuri.

    Hatutaki tukipita Mkoani au Drajani tukutane na watu wamevaa makaptula mpaka mapajani na vifulana visivo na mikono, jukumu mbele ya Mungu mutabeba nyinyi munaowaleta na wanaharibu Ramadhani za watu kisha ndio wao wasiojua kujisitiri.

    Jambo jengine la msingi kukumbushana ni kuhusu wafanya biashara, imekuwa kama tab ia mwezi wa ramadhani ukifika na wao ndio huongeza bei kila kitu hata vile vyakula muhimu kama muhogo,ndizi na viazi pia na nazi utavikuta viko juu.

    Ikiwa Shaaban na Rajabu samaki aliuzwa mia tano

    basi hueda samaki huyo ukamkuta ni elfu moja sokoni, cha mia tatu kikawa mia tano. Ili mradi kila mtu kajipanga kuuufanya mwezi huu kuwa wa mapato zaidi. Ukiwa kama Muislam huu ni mwezi wa kuvuna thawabu n a k u h a k i k i s h a k u wa unafanya ibada ambazo Allah itakuwa sababu ya kukusamehe madhambi yako, sio kuzidisha bei ya mchele au viazi na nanazi.

    Usiwafanye Wais lam w a i c h u k i e R a m a d h a n n a k u l a l a m i k a u g u m u wa maisha sababu wewe umepandisha bei bidhaa zako. Huenda ukawa kwenye jukumu zito na ukajibu kwa hilo, usifanye hata siku moja mwezi huu kuwa ndio mwezi wa mapato makubwa kwako.

    H a t a v i o n g o z i we t u wanalizungumzia hili, juzi nilimsikia Naibu Waziri wa biashara, viwanda na masoko Thuwaiba Kisasi katika baraza la Wakilishi (BLW) akiwaeleza wafanya biashara kuwa wasizidishe bei mwezi huu na wapunguze ili uwe mwezi wa kuchuma thawabu na wao. Ni kweli jamani tusikomo-ane.

    Nikirudi katika familia zetu tujitahidini kuswali,kuomba msamaha kwa Allah kwani tumetenda mengi mabaya katika miezi iliyopita pia tu j i tahidi kuwaelekeza watoto wetu katika mambo ya kheri kama kwenda vyuoni (Madrasa).Kusoma Quran na mihadhara ya kiislamu visitupite hivyo.

    Hakuna ha ta mmoja mwenye uhakika wa kuifika Ramadhana ijayo kwa hiyo hii tuliyonayo basi tujitahidi kuifanyia kazi vizuri mno. Dhambi za pombe, zinaa tuziepuke na tusiyaache mwezi huu tu na hata baada ya kumaliza Ramadhani basi tusiyarudie.

    Ukarimu wetu uzidi katika mwezi huu na miezi mengine yote, mabaya tuyaache kisha yasirudiwe tena. Huenda pia Allah akatupa wepesi kwa lile tulitakalo katika nchi yetu, likiwemo la Zanzibar Huru. Ni wakati muafaka sasa kumuelekea Allah kwa maombi na toba ili atuonee huruma na iwe sababu ya kupata nchi yetu.

    Pia tumuombeni Allah wale mashetani na wanao iyombea mabaya nchi hii basi awapeperushe mbali na visiwa hivi.Wanao-eneza siasa za kuchuki na ubaguzi Allah asiwape nguvu za kufanikisha malengo yao hayo.

    Kutoka Kaskazini mwa Kisiwa cha Unguja, Kusini hadi Kaskazini mwa Pemba nawatakia Wazanzibari na Waislam kote duniani Ramadhan Maqbuul.

  • 10 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014MAKALA

    MAUAJI ya Kimbari hapo awali yalikuwa ni uhalifu usio na jina. Licha ya kuwa ndiyo uhalifu mbaya zaidi kuliko wote. Dhana hiyo haikuingizwa katika lugha ya mahusiano ya kimataifa hadi baada ya Vita Vikuu vya Pili. Hadi hapo, uvamizi wa kijeshi na uteketezaji wa watu wengine na tamaduni ulijipitisha kwa majina kama maendeleo na kupanuka kwa ustaarabu.

    Nilishtuka miaka mingi iliyopita nilipomsikia Noam Chomsky (bingwa wa fasihi na falsafa nchini Marekani karne iliyopita) akisema kuwa mauaji ya kimbari ndiyo hasa kielelezo cha kisiasa cha utaifa wa Marekani. Ndipo nilipotambua kuwa Marekani (kama Canada kwa kiwango kidogo zaidi) ilikuwa na msingi wake katika kuteketeza maisha na tamaduni za watu takriban milioni 25 walioishi barani Amerika mara ya kwanza kwa milenia nyingi. Kwa upande wa Marekani, hadithi hiyo iliendelea kwa ukwapuaji wa (jimbo la) Texas mwaka 1845 kutoka kwa wakulima wa Mexico na wakazi wa asili, pamoja na Nevada, New Mexico, Arizona, California na maeneo mengine punde kidogo, mwaka 1849, Vikosi vya Marekani chini ya mfuga watumwa Jenerali Zachary Taylor kwa kibali chake mwenyewe alivamia eneo hilo jirani kwa upande wa kusini, kwa kisingizio feki cha kulipia damu ya Wamarekani, na Jenerali Taylor punde akatinga katika Ikulu ya Marekani, kama rais shujaa wa vita, Licha ya kuwa mjumbe kijana wa Baraza la Wawakilishi, Abraham Lincoln alifichua kisingizio hicho, na kukiunganisha na mikakati ya kibiashara ya Uingereza na Waingereza wa Marekani kulazimisha soko huria katika maeneo hayo kwa kutoa fedha kwa rais aliyetangulia, James Polk kuingia Ikulu kama kamanda wa Jenerali Taylor.

    Mwaka 1898, kwa mara nyingine tena kwa kisingizio cha kujihami (wakati USS Maine , mel i ya k i t iva , ilipozama kwa mlipuko wa ndani), nchi za Ufilipino, Guam, sehemu ya Cuba na Puerto Rico ziliingizwa katika himaya kwa vita nyingine ya kujichokoza wenyewe. Vita hii ya kubamiza na kutwaa nchi, kama vita nyingine za Marekani za uingiliaji wa nchi nyingine, vilitanguliwa

    KUIELEWA DOLA YA VITA YA MAREKANI: Msingi mpya wa itikadi, Amerika ni MunguNa Profesa John McMurty Ni rahisi. Unachohitaji kufanya ni kuwaambia watu

    wanashambuliwa, na kuwalaani watafuta amani kwa utovu wa uzalendo na kuikaribisha hatari inayoinyemelea nchi. - Hermann Goering (aliyekuwa mkuu wa jeshi la anga halafu Spika wa Bunge la kifashisti chini ya Adolf Hitler, dikteta wa Ujerumani, 1933-1945)

    April 09, 2014 (Mtandao wa Kupashana Habari, na Global Research)

    na kampeni katika vyombo vya habari kuinua kiwewe miongoni mwa wananchi na homa ya vita. Mmiliki mashuhuri wa vyombo vya habari Randolf Hearst alinukuliwa katika usemi uliovuma, Unatoa picha, nitakupatia vita hivyo, siyo tofauti sana na televisheni za Marekani na ngoma ya vita katika miezi ya karibuni kutaka vita Irak. Vita ni ustareheshaji wa kikatili, na kwa kushirikiana kwa karibu na makao makuu ya jeshi la Marekani inaweza k u e n d e l e a k wa m i e z i kadhaa kuelekeza macho ya wananchi kwingine.

    Hulka ya kuwadanganya watu wa Marekani kwa visingizio kuanzisha vita ni ya muda mrefu, sawa na historia ya Marekani, lakini kuanzia kipindi cha uelekeo wa kifashisti (kati ya vita vikuu vya kwanza na vya pili), hundi ya wazi isiyo na tarakimu imetolewa na Bunge la Marekani kushambulia nchi z inazoendelea i l i k u t w a a n a k u d h i b i t i ras l imal i zao. Mkakat i

    ambao sasa unafahamika wa Dick Cheney, Donald Rumsfeld, Paul Wolfowitz na wengine ulioandikwa September 2001 kama Mradi wa Karne Mpya ya Amerika uko wazi kuhusu mpango wa kuelekeza usa lama wa kimataifa kuendana na itikadi za Marekani na maslahi yake. Kuhodhi kwa mtutu wa bunduki kwa eneo la ghuba (ya Arabuni) kunavuka suala la utawala wa Saddam Hussein.

    Mafuta ghafi yana uso mpana katika mpango huu wa kutawala dunia kwa maslahi ya Marekani, Kwa mujibu wa ripoti iliyotayarishwa kwa ajili ya makampuni ya mafuta na Kituo cha Washington cha Ulinzi na Uhusiano wa Kimataifa, mafuta ghafi siyo tena bidhaa ambayo inanunuliwa na kuuzwa katika mpangilio wa jadi wa mlingano wa upatikanaji na mahitaji, ila ni kigezo muhimu cha utawala wa taifa na nguvu kimataifa.

    Uvamizi wa kijeshi wa Marekani nchini Afghanistan

    na Irak katika kipindi cha miaka miwili ni kielelezo cha sera hii mpya ya kuvuka mipaka ya soko. Kabla hatujavuka mpangilio wa uyakinifu wa kilichotokea k a m a u h a l i s i t u w a mahusiano ya kimataifa, tukumbuke kuwa mradi huu wa dola wa kutumia majeshi unafanana na ufashisti, siyo tu katika mashambulizi ya kihalifu dhidi ya nchi nyingine kinyume cha sheria za kimataifa, lakini pia katika kupuuzia mahusiano ya soko na kutwaa bidhaa muhimu za wengine kwa mabavu.

    Kukabiliana na uhalisia

    J i n s i u t u k u z a j i w a uvamizi wa maangamizi ya nchi kwa mara nyingine t e n a u n a v y o k w e p a k u t a j w a k u t o k a n a n a g h a r i k a ya u p o t o s h a j i na viinuaji kuhusu Adui mpya wa Marekani, inabidi tujikumbushe yale ambayo hakuna chombo kikubwa cha habari kilitangaza kati ya Oktoba 2002 na Machi

    2003. Tunavyodhihirisha hapa udanganyifu ulioko madarakani, tujikumbushe kanuni isiyokufa ambayo haionekani. Uhalalishaji wa sera za vita wa dola ya Marekani muda wote unamwonyesha adui wa kupangwa kwa kile ambacho dola usalama ya Marekani inakifanya yenyewe. Ikilaani k wa n g u v u s i l a h a z a maangamizi za nchi nyingine ndogo, au za kemikal i na kibaiolojia, kuvunjwa kwa sheria za kimataifa, au ikijaribu kulazimisha matakwa yake juu ya dunia kwa uga id i , tunaweza kufikia tamati kuwa ndicho hasa Marekani inapanga kufanya zaidi ya hapo, ila inaelekeza hisia kwingine kwa kuwasema wengine. Jaribisha kanuni hii ya msingi katika kila lawama ambayo itatolewa na Marekani, na utaona kuwa inajidhihirisha bila tatizo.

    Kanuni hiyo inajidhihirisha vizuri sana ukiwa na vyombo vya bahari vyenye kola shingoni na tabaka la kisiasa ambalo l inachangamkia kuingia kat ika kiwewe cha pamoja kwa ulaani wa kibubusa wa zimwi la kigeni ambalo linakuwa ndiyo Adui wa Kipindi hicho, hoja ambayo nitairudia nikiangal ia j insi kundi linalotawala linavyofikiria. Uhusiano huo ni sahihi kuwa dola usalama ya Marekani inachomoza sera zake za ukatili kwa wengine hivyo hakuna anayejua ni sera gani ya udhalimu inayopanga katika hatua inayofuata ila kwa kina ambacho Mwingine anashambuliwa kwa uhalifu huo.

    Hivi ndivyo tunavyoweza kueleza lawama zisizoisha kuwa Urusi ilikuwa na nia ya kutawala dunia kwa nguvu, kabla ya 1991, na jinsi tunavyoweza kuelewa ipasavyo mlengo wa serikali ya Marekani kuhusu ugaidi wa kimataifa. Mielekeo hiyo miwili inaonyesha mantiki ya ndani ya dola vita ya Marekani ikielezea hulka yake yenyewe. Mara kadhaa na j iu l iza kama huu ni mkakati halisi wa kuelekeza hisia kwingine, au ni mfumo wa hulka ya kiwewe ambao umejijenga katika hisia ya utamaduni wa Marekani.

    (itaendelea)

    RAIS wa Marekani, Barack Obama (kulia) na Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria.

  • 11 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Kwa wanaojua Kiingereza

    Palestine Information Centre (Tanzania)

    HEBRON, (WAFA) Israeli soldiers on Friday detained a Palestinian shepherd from the south Hebron hills for allegedly throwing stones at a setter's car and forced him to stand under the hot sun for an hour while waiting for the police to arrive, Sunday said a press release by the Operation Dove.

    He was later released by a popular struggle action for lack of evidence.

    A Pa l e s t i n i a n a n d some young shepherd were drawing water from a Palestinian owned well nearby the Israeli settlement of Carmel. While they were crossing the bypass road 317 settlers saw them and immediately called the Israeli soldiers. When the Army arrived, they stopped and detained the Palestinian, the only adult, for allegedly throwing stones in direction of the road. At about 2pm, when Palestinians from the South Hebron Hills Popular Resistance Committee and international volunteers arrived, the shepherd was handcuffed by a plastic band and was forced to stand under the sun for an hour waiting for the arrival of the police, called by the army.

    A f t e r a s k i n g f o r explanations from the soldiers, a Palestinian member of the Popular S t r u g g l e C o m m i t t e e released the hands of the shepherd cutting the handcuffs and allowing him to pray. Palestinians a n d i n t e r n a t i o n a l s reiterated to the soldiers the duty to show them the evidences and to consider the shepherd's declaration of innocence and not only the settlers' unfounded accusations. At 3pm the Palestinian detained was free and back home.

    The well from which the children were drawing

    Soldiers Detain Palestinian Under Sun for an Hour for Alleged Rock Throwingwater lies between Carmel and Ma'on settlements, in an area where the Palestinian population is constantly subject to harassment acts in order to prevent them from accessing their own land.

    Coordinator of the Committee said: 'The South Hebron Hills Popular Struggle Committee is watching all violations of the human rights in the area, responding by nonviolent direct actions.'

    O p e r a t i o n D o v e h a s m a i n t a i n e d a n international presence in At-Tuwani and the South Hebron Hills since 2004.

    H e a d o f E n v i r o n m e n t a l Quality Authority Participates in Nairo bi E n vir o n m e n t Assembly

    NAIROBI, (WAFA) Head of the Environmental Q u a l i t y Au t h o r i t y Adala Al-Atira stated Friday that sustainable development could not be achieved under the Israeli occupation that controls Palestinian land and natural resources.

    Al-Attira made these remarks during the five-d a y U n i t e d N a t i o n s Environment Assembly in Kenyan capital Nairobi that kicked off Monday and concluded its sessions Friday. Delegates from 152 nations participated in the assembly, most notably UN Secretary-General B a n K i n - m o o n , w h o inaugurated the High-level Segment of the first session.

    During his speech, Bani Ki-moon said: Today, there is common acceptance among governments and peoples that a healthy environment is necessary for eradicating poverty and supporting equitable economic growth and social progress.We are now poised for the crucial next phase of human

    development a universal post-2015 sustainable development agenda.

    We in Palestine share all worldwide countries their direction to achieve sustainable development and ambitious goals and are observing with much concern the environmental and climatic challenges facing the world which will constitute an increasingly source of instability for global peace and security if not effectively solved, said Al-Attira.

    Al-Attirah added that the Israeli occupation const i tutes the most formidable obstacle to sustainable development in Palestine given its practices and violations of the components of Palestinian environment manifest in trees chopping, n a t u r a l r e s o u r c e s depletion, sett lement c o n s t r u c t i o n a n d expansion, land seizure for the construction of the segregation wall, noting that all of these practices have wrecked destruction on forests and natural reserves and fragmented Palestinian land.

    Ban Ki-moon added: We see the heavy hand of humankind everywhere from tropical deforestation t o d e p l e t e d o c e a n fisheries from growing freshwater shortages to increasingly polluted skies and seas, land and water in many parts of the world from the rapid decline of biodiversity to the growing menace of climate change.

    Al-Attira also noted that the National Development Pl a n 2 0 1 4 - 2 0 1 6 , t h e strategies adopted as well as environment protection projects implemented by Palestine have all been constrained by the Israeli occupation practices, which also hinder the state-institutions building and establ ishing the

    Palestinian state.She called upon friendly

    states to raise funds for the construction of a seawater desalination plant in order to provide a sustainable solution for the water crisis in Gaza Strip.

    The assembly discussed many issues including p o v e r t y r e d u c t i o n , global health, trade and sustainable economic growth.

    Spanish Foreign Ministry Warns against Investing in Israeli Settlements

    MADRID, (WAFA) Spanish Ministry of Foreign Affairs warned S a t u r d a y S p a n i s h b u s i n e s s e s a g a i n s t making investments in illegal Israeli settlements, following the suit of Germany, the UK, France and Italy.

    T h e M i n i s t r y s a i d is a press release that it welcomed the warning issued recently by the Governments of United K i n g d o m , F r a n c e , Germany, Spain and Italy, and the Netherlands earlier on, to their citizens against doing business in illegal Israeli settlements in the Occupied Palestinian Territory, including East Jerusalem, and the Golan Heights , consider ing that this step reflects the commitment of France, United Kingdom, Spain and Italy to the universality of human rights.

    This step is consistent with the European Union's long-standing position that Israeli settlements in the Occupied Palestinian Territory are illegal under international law. It is also in conformity with States obligations under International law, United Nations resolutions and the International Court of Just ice ' s advisory opinion on the wall, not to render aid to illegal

    a c t i o n u n d e r m i n i n g the Palestinian people's i n a l i e n a b l e r i g h t t o s e l f - d e t e r m i n a t i o n , who's realization is a responsibility ergaomnes (of concern to all), said the press release.

    It is also in line with the recommendations of the UN Human Rights Councils 2013 fact finding mission report on Israeli settlements.

    C o m m e n t i n g o n t h e a d v e r s e i m p a c t of the i l legal I srae l i settlement constriction, the Ministry said: The Israeli occupation's illegal settlement activities are detrimental to the two state solution on the basis of the pre-1967 borders, the inalienable rights of the Palestinian people and the prospects of peace.

    The Ministry stressed that making investments in Israeli settlements is tantamount to being c o m p l i c i t i n I s r a e l i violations, stating: Israel the occupying Power has shown itself unwilling t o h a l t s e t t l e m e n t construction and end its numerous additional violations of international law even as a temporary measure of good faith during negotiations. In this context, such steps by third parties are important to avoid being complicit in Israeli violations of international law and to contribute to putting an end to them.

    The Ministry called on all other European Union (EU) member States to take all necessary measures not to render aid or assistance to i l l ega l se t t lement activity as Such measures must pave the way for the banning of illegal Israeli settlement products in all EU member states, prohibiting any form of involvement, both direct and indirect, by citizens,

    Cont. Pg. 12

  • 12 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Mashairi/MakalaSpanish Foreign Ministry Warns against Investing in Israeli SettlementsFrom Pg. 11groups, corporations and governments in the illegal settlement activity, as well as taking steps against settlers' groups, notably the terrorist organizations constant ly a t tacking the Palestinian civilian population.

    The Ministry concluded by ca l l ing upon the international community, including the EU Member States, to assume their responsibility in holding Israel accountable for its violations of international law and Pa les t in ian rights. It also called on all States to halt all trade with illegal Israeli settlements and ensure that national businesses do not contribute to Israeli violations of international law.

    Affirming the fact that halting illegal settlement construction, let alone dismantling settlements, is a prerequisite for any credible negotiations, the Ministry noted: These s teps against Israel i illegal settlement activity would constitute the necessary support for the resumption of credible negot iat ions leading to ending occupation and materializing the independent State of Palestine on pre-1967 borders and achieving the long overdue end to this conflict.

    Israeli Forces Arrest Four, including Teen, in West Bank

    BETHLEHEM, (WAFA) Israeli forces Sunday arrested four Palestinians, including a teenager, in the West Bank districts of Bethlehem, Hebron and Nablus, according to local and security sources.

    Army forces stormed t h e v i l l a g e o f B e i t Fajjar, to the south of Bethlehem, and arrested two Palestinians, ages 17 and 20, after raiding and searching their homes, sabotaging their furniture.

    Forces further stormed the nearby village of Taqu and raided and

    searched several homes, ye t no ar res t s were reported. Soldiers also stormed and searched the neighborhood of Tur Az-Zafaran in the nearby village of Nahhalin, as well as stormed the village of Zatara.

    Meanwhile in Hebron, Israeli forces stormed and searched several areas in the city before arresting a 55-year-old.

    In Nablus, Israeli army stormed the village of Madama in the night hours and arrested a youngster, 22, after breaking into his home and sabotaging its furniture.

    Hamdallah Briefs Head of IMF on Latest Developments

    RAMALLAH (WAFA) - Prime minister Rami Hamdallah Sunday met with the Deputy Division Chief at International M o n e t a r y F u n d , ChristophDuenwald, at his office in Ramallah, where they discussed the latest developments in the polit ical and economic situation.

    Hamdallah briefed D u e n w a l d o n t h e government's action plan to improve the economic s i t u a t i o n , t h r o u g h the rationalization of government expenditures, working on increasing the countrys income, improving tax collection, creating an investment climate and encouraging investments from abroad.

    The Prime Minister stressed that the Israeli occupation is the main o b s t a c l e f a c i n g t h e development and the advancement o f the Palestinian economy, particularly by depriving P a l e s t i n i a n s f r o m investing in Areas 'C', areas that fall under the complete control of Israel.

    Israel Re-Opens Allenby C r o s s i n g f o r H e b r o n Passengers

    HEBRON, (WAFA) The Israeli authorities Sunday allowed Palestinians from Hebron to travel through

    Al-Karamah (Allenby) border crossing, between the West Bank and Jordan, after banning them from travelling for almost two weeks, according to the Palestinian Military Liaison Office.

    On June 12, following alleged disappearance of three Israeli settlers near Hebron, the Israeli authorities announced it will not allow passengers from Hebron Governorate t o p a s s t h r o u g h a l -Karamah, the only border crossing with Jordan for individuals.

    T h e l i a i s o n o f f i c e called upon passengers from Hebron to report a n y h i n d r a n c e a n d harassments which they may face while passing the crossing.

    Settlers Destroy Palestinian-O w n e d C r o p s W e s t o f Bethlehem

    BETHLEHEM, - (WAFA) - Israeli settlers, late Saturday night, attacked l a rge a reas of land and destroyed crops belonging to Palestinians in the village of Husan, wes t o f Be thlehem, according to a security source.

    T h e s o u r c e t o l d WAFA that 'a group of settlers from 'BeitarIllit' settlement, built illegally on land belonging to Palestinians, destroyed large areas of land planted with crops in the village, as well as destroyed the irrigation pipes in the area.

    To be noted, residents of Husan have been subjected to frequent attacks by the settlers of 'BeitarIllit'; the latest attack took place almost ten days ago; settlers set fire to vast areas of land, chopped down trees, razed land, and attacked the farmers.

    Contact us: P.O Box 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar es Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 Email: [email protected] Website: www.pal-tz.org

    Tuhuma za ugaidiNaja kwako Mhariri, kuwajibu IkhiwaniSera zao matajiri, Ulaya na MarekaniNi kuhodhi utajiri, uliopo dunianiNi sera za ukoloni

    Tuhuma za ugaidi, ni sera za ukoloniKwa leo ni mradi, kuhofisha IkhiwaniIla kuna ufisadi, ugaidi mtihaniNi sera za ukoloni

    Popote ulimwenguni, wauliwe wauminiKosa lao kuamini, Mungummoja dunianiTuhuma za Kilindini, Somalia na SudaniNi sera za ukolono.

    Watugawa Ikhiwani, kwa mujibu wa imaniWao liwa hayawani, kulikoni IkhiwaniMwazila nyama jamani, za ndugu zenu kwaniniNi sera za ukoloni

    Congo ndugu tunayaona, uhuru ni mtihaniWanaporwa kwa mapana, leo wao masikiniKisa ni wale mabwana, mabwana wa kikoloniNi sera za kikoloni

    Hupinduwa serikali, halali zetu jamaniTukaletewa batili, vibaraka wa bomaniWalozidi ukatili, na kubadili imaniNi sera za kikoloni

    Tunauwana wenyewe, kwa visa vya mkoloniMwanadamu sio mwewe, ela sio hayawaniMbona analembwa mawe, na risasi kulikoniNi sera za kikoloni

    Wanufaika kwa hilo, Ulaya na MarekaniVipi tunahangaika, nchi kuwa masikiniHujuma za kila mwaka, mipango ya wakoloni Ni sera za kikoloni

    Masare S.R Ndwata

    Bismihi AL-HAQU, Alhamdu nanisemeWatoto katuruzuku, Wakike na wakiumeTuwape haki za utu, Na malezi ya MtumeMbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Kilio hiki nalia, Siku zote za maishaPale ninaposikia, Vyombo vikihabarisha Watoto wadhulumiwa, Maisha wanakatishwaMbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Hivi kuna kitu gani, Hasa kina kinawasumbuaMnawatia chooni, Wale mnaowazaaMola kawaruzukuni, Vizazi kawapatiaMbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Vyombo vyetu vya habari, Kutwa vyatuhabarisha Mazingira ya hatari, Kichanga kimeokotwaNi katikati ya pori, Kweli yatusikitisha Mbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Kusikia haya mambo, Hakika yatuumizaKwenye mifuko ya rambo, Vichanga vyatumbukizwaWadudu waliokonda, kuwadhuru wanaanzaMbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Nao viumbe hakika, Machungu wanasikiaKwenye mashimo ya taka, Wengine mwawatupiaKatu hawatoridhika, Unyama mwawatendeaMbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Kuweni nazo huruma, Fikiria mara mbiliBaadhi ya kina mama, Uacheni ukatiliHuu ni kwali unyama, na mola haukubaliMbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Riziki isiwe hoja, Kiumbe usihofieMia hamsina moja, AN-AM nikwambieMola amekwisha taja, Riziki yako na eyeMbona mnawadhulumu, Kosa gani wametenda.

    Mwl. Zainab Ally Khatib Shule ya Msingi Nangurukuru-Kilwa.

    Mbona Mnawadhulumu

  • 13 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Makala/Tangazo

    SHUKURANI zote ni za Mwenyezi Mungu na rehema na amani zimfikie Bwana wetu Mtume wa Mwenyezi Mungu na jamaa zake na sahaba zake na wale wenye kuondoka kwa muongozo wake.

    Ama baada ya utangulizi huu mfupi, kwa hakika Manabii wote ni ndugu kama ulivyotufundisha Uislamu. Imani yao ni moja na unaafikiana ujumbe wao katika mashina ya dini na sheria zake, huenda zikatofautiana kat ika baadhi ya hukumu ndogo ndogo.

    M i o n g o n i m w a mashina ya dini ambayo yanayokubaliana katika ujumbe wote ni funga. Na Mwenyezi Mungu ametupa habari katika Qurani takatifu kwamba, amefaradhisha funga kwa umati zilizotangulia. A m e s e m a M we n ye z i M u n g u ( e n y i a m b a o mlioamini imefaradhishwa kwenu kufunga kama ilivyo faradhishwa kwa wengine waliopita kabla yenu, i l i mpate ucha Mungu) Surat al-Bakarat, aya ya 193)

    Kwa hakika imetupa habari aya hii tukufu k w a m b a , M w e n y e z i Mungu amelazimisha kufunga kwa waliopita kabla yetu katika nyumati z i l i z o p i t a n a h i i n i kukubaliana kwa ujumbe katika shina la faradhi za funga. Pia sheria huenda zikatofautiana kati ya umma huu na mwingine katika sheria ndogo ndogo na baadhi ya ufafanuzi.

    Amesema Mwenyezi Mungu (kwa kila Mtume sheria na mwongozo) basi tabia ya funga na kwa nani inamwajibikia

    Funga katika sheria ya mbinguni huwasogeza baina ya wafuasi wake

    Na Sheikh Abd Allah Darwish

    KONGAMANO la kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani lilifanyika katika ukumbi wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kongamano hilo lililoandaliwa na TAMPRO.

    funga na wakati gani inaanza na wakati gani i n a m a l i z i k a ? H a y a yanaweza kutofautiana kati ya Mtume na Mtume na kutoka ujumbe na ujumbe mwingine.

    Na Mwenyezi Mungu mtukufu ametupa habari kwamba Bibi Mariam, mama wa Nabii Issa (a.s) aliweka nadhiri kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kufunga (sitozungumza leo na mtu) Surat Mariam. Na hapo ilikuwa funga ni juu ya maneno na ni kitu cha kisheria katika umati zilizopita.

    A m a u j u m b e w a Mtume wetu Muhamad [saw] haifai kufunga kwa maneno, hapo kufunga ni kujizuia kula na kunywa na kuonana na wanawake. Na miongoni mwa mambo yanayokubaliana katika ujumbe wa mbinguni katika faradhi ya funga, ni kuwajibika kwa kujizuia na maasi ya aina zote na katika kila wakati, hasa pale anapokuwa mtu amefunga . Uis lamu umetufundisha kwamba funga sio tu, kujizuia na kula na kunywa bali ni kujizuia na maneno ya uongo na kuufanyia kazi uongo huo.

    Na hii ni kauli ya Mtume [saw] (yeyote asiyeacha maneno ya uongo na kuyafanyia kazi, huyo hana haja kwa Mwenyezi

    Mungu kuacha chakula chake na kinywaji chake) na neno la Mtume wa mwisho (funga sio kuacha kula na kunywa tu, bali

    funga ni kuacha mambo machafu na maneno mabaya), funga ni hali ya kiroho ambayo humfanya mfungaji ashikamane na tabia nzuri kwa wengine miongoni mwa binadamu walio Waislamu na wasio Waislamu. Hakika ya funga inamkataza Muislamu kumuudhi mtu yeyote wa dini yoyote. Bali funga inafundisha Muislamu pale anapoudhiwa ajibu kwa upole na msamaha kwamba (mimi ni mtu niliyefunga) kwa maana haifai kujibu kwa ubaya kama ulivyofanyiwa.

    Kwa hak ika funga huwasogeza wafuas i wake kwa hali tofauti na huwausia juu ya tabia nzuri na kuishi vizuri na wengine na ni haramu k u m u u d h i y e y o t e . Funga inawausia juu ya tabia nzuri na wosia juu ya uvumilivu pale wanapokutana na mambo mabaya .

    T u n a m u o m b a Mwenyezi Mungu kama al ivyotuumba vizuri , atujaalie tabia nzuri hapa duniani na akhera.

    KAMATI YA MUUNGANO YA MASHINDANO YA SHULE ZA KIISLAMU

    HOLY QURAN RECITATION JOINT COMMITTEEMob: Chairman 0713 33 46 98, Katibu 0784 211 673, Treasurer 0717 30 43 53

    MUSABAQAH! MUSABAQAH! MUSABAQAH!Waislamu wote mnaalikwa katika mashindano ya nne ya kuhifadhi Qur

    an tukufu kwa wanafunzi wa Shule za Msingi za Kiislamu.Siku: Jumapili, Julai, 6, 2014

    Mahali: Msikiti wa TIC-Magomeni Kichangani, DSMMuda: Saa 2:00, Asubuhi Hadi Saa 7:00 Mchana

    Juzuu zitakazo shindaniwa: Ni 2, 5, 7 na 10.Jumatatu- Julai 7, 2014

    Mahali: Ukumbi wa Diamond Jubilee DSMMuda: Saa 2:00, Asubuhi hadi Saa 7, Mchana

    Juzuu zitakazo shindaniwa: 1, 3, 15 na 20Ni mpambano wa aina yake, njoo ushuhudie usingoje kuhadithiwa.

    Kusikiliza Qur an ni ibada, usikubali kuiokosa fulsa hii ndani ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, utapata thawabu Inshaallah

    Mgeni Rasmi: Mkurugenzi wa The Islamic Foundation of Morogoro-Al-Akh, Sheikh Arif Nahdi.

    Mwalimu, Mzee MwinyikaiKatibu wa Kamati

    MASHINDANO YA USOMAJI QURAN

  • 14 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014Makala/Tangazo

    HAKI inazidi kutoweka kila siku dhulma ndio inachukua nafasi kila uchao. Wenye sauti hawasemi. Tusio na sauti ndio tunajitahidi l a k i n i h a k u n a a n a y e t u s i k i l i z a . Maneno yetu yamekuwa ni kama kumpigia mbuzi gitaa. Hakuna yanayemuingia na wala hakuna atusikilizae, t u k i wa l e n g a wa l e walengwa haswa lakini wapi!!

    D h u l m a n d i o inatawala hasa kwa w a n y o n g e w a s i o n a n g u v u . M u n g u k a wa p a b a a d h i ya binaadamu nguvu lakini wanazitumia vibya. Wanazitumia kuuwa, kubaka, kudhulumu, k u t e s a n a m a m b o mengine mabaya.

    Kusema hatutochoka lakini tunavunjika moyo kuona tunachokisema k u w a n i k i b a y a ndicho kinachorudiwa kufanywa kila siku. Wenye sauti hawasemi pia sis i hatutoacha kusema japo hali ni mbaya kila kukicha. Watu wapo kwenye dhulma na mateso kwa miaka mingi sasa hakuna anayewajali wa n a t a m a n i n u s r a walioahidiwa ije na Inshallah itakuja kweli kama tulivyoa ahidiwa.

    Mtandao wa Mail and Gudian 22 Jun 2014 unaripoti habari yenye anuani i somekayo: More Palest inians killed in hunt for missing Israeli teens

    Yaani, Wapalestina w e n g i wa m e u l i wa katika operesheni ya kuwatafuta vijana wa Kiisrael waliopotea.

    Urefu wa maana ya anuani hiyo ni kuwa Wapalestina wengi mno wanaendelea kuuwawa katika operesheni ya k u wa t a f u t a v i j a n a watatu wa Kiisrael ambao walipote wiki iliyopita.

    M t a n d a o h u o unaendela kutueleza kuwa tayari vikosi vya Isrel vimeshauwa

    Unyama, ukatili wa Israel waendelea PalestinaNa Rashid Abdallah Wapalest ina wanne

    na kukamata wengine zaidi katika harakati zao za kutafuta vijana waliopotea June 12 na wamewalaumu Hamas kuhusika.

    M t a n d a o h u o u n a t u e l e z a k u w a Wapalestina zaidi ya 340 wameshakamatwa na jeshi la nchi hiyo. Hayo yote jamani ni katika kuwatafuta vijana watatu wa Ki israel ambao hawajulikani nani kawateka na wala wako wapi lakini roho za Wapalestina ndio zinakuwa kafara, hii ni haki?

    Waisraeli wanawataja H a m a s k u h u s i k a na utekaji huo lakini Hamas wamekanusha kuhusika na utekaji huo lakini kinachoendelea sasa kule ni kamata kamata na uwa uwa kila Mpalestina.

    Idhaa ya Kiswahili y a r e d i o T e h r a n inatuarifu kuwa Israel imeanzisha wimbi jipya la kuwakandamiza na kuwaua kikat i l i Wa p a l e s t i n a k w a madai ya kuwatafuta walowezi watatu wa Kizayuni wanaodaiwa kutoweka tangu wiki moja zilizopita.

    Harakati ya Kimataifa ya Kuwalinda Watoto imesema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshawaua watoto sita wa Kipalestina tangu ulipoanza mwaka huu wa 2014.

    Katika taarifa yake iliyoitoa Jumapili hii, harakati hiyo imesema kuwa, katika siku za hivi karibuni Israel imekuwa i k i t u m i a r i s a s i z a kivita kuwashambulia Wapalestina na hasa w a t o t o w a d o g o a m b a p o t a k w i m u rasmi zinaonesha kuwa watoto 6 wa Kipalestina wameshauawa tangu m w a n z o n i m w a mwaka huu kat ika mashambulizi ya kikatili ya Wazayuni.

    Sis tunaendelea kula, k u n y wa n a k u l a l a lakini wenzetu haki imeenda likizo katika

    ardhi yao hakuna haki. Wapalestina wanaishi life of jungle (misha ya msituni) Maisha ya msituni mara zote yanakuwa mwenye nguvu mpishe na wala si mwenzio kaa mbali naye.

    H i c h o n d i c h o kinachoendelea kule kuna Simba na Swala k w a h i y o S i m b a a k i w a n a s a b a b u asiwe na sababu yeye atamuonea tu swala. Lakini hakuna marefu yakosayo mwisho na haya inshal lah ipo siku yote yatakwisha. Binaadamu unapewa nguvu na unazitumia k u u wa wa n y o n g e ? Kiukweli inasikitisha lakini hatuto nyamaza kusema hata kama hatusikilikani, hakuna atusikiaye na wala wakisikia hawatojali lakini sisi tutaendelea kusema tu.

    Inas ik i t i sha sana tunao-itwa Waislamu

    tupo zaidi kupigana na kugombana sisi kwa sisi na kufika hadi kuuwana, kama kweli tuna nguvu z a k u p i g a n a b a s i twendeni tukaiyondowe dhulma wanayofanyiwa Waislamu wenzetu wa Kipalestina, tusiishie tu kuuwana sisi kwa s i s i Syr ia , I raq na Somalia. Madhalimu wapo kibao duniani lakini cha kusikitisha t u n a g o m b a n a n a k u p i g a n a s i s i k wa sisi tunawaache wale ambao sheria inatutaka tuwapige vita.

    W a p a l e s t i n a w a n a d h u l u m i w a , w a n a u w a w a k i l a s i k u n a k w a h a l i inavyoonekana hakuna U m o j a wa M a t a i f a wala Umoja wa Afrika ambao utawasaidie Wapalestina, isipokuwa n i s i s i Wa i s l a m u w e n z i wa o . H a m a s na makundi mengine kiukweli wanaonekana kushindwa kuiyondoa

    dhulma i le , ukweli wanataka msaada wetu Waislamu tusiuwane wenyewe kwa wenyewe tu.

    Rais wa mamlaka ya Palestinian Mahmud Abbas anasema: I have no credible information that Hamas was behind t h e k i d n a p p i n g Ta f s i r y a k e S i n a taarifa za kuaminika kwamba Hamas ndio wametekeleza utekaji. Hamas wamekanusha kuhusika , kwahiyo yawezekana Wazayuni w a m e t e k a v i j a n a w a o i l i w a p a t e sababu ya kuwauwa n a k u w a k a m a t a Wapalestina.

    Ndiyo hayo j apo hatusikilikani lakini tutaendelea kusema, d h u l m a l a z i m a iyondoshwe dhidi ya Wapalestina. Marekani hawezi kuiyondosha d h u l m a d h i d i y a Wapalestina isipokuwa ni wewe Muislamu.

    Kampuni binafsi yenye Makao Makuu jijini Dsm na matawi sehemu nyingi nchini inahitaji Marketing & Planning Manager.

    Majukumu: Kusimamia Idara ya Masoko katika Kupanga na Kuratibu shughuli za Masoko pamoja na kujenga Mahusiano mazuri na Wateja.

    Sifa: i. Diploma au Degree, Mjuzi wa Kazi, Muadilifuii. Uzoefu usiopungua miaka 5 katika nafasi ya Uongozi iii. Umri usiopungua Miaka 40

    Maombi yakiambatana na CV na vyeti yatumwe kwa:MkurugenziP.O. Box 70941Dar es Salaam

    Mwisho wa Kupokea Maombi ni tarehe 20 Julai, 2014.

    NAFASI YA KAZIMarketing and Planning Manager

  • 15 AN-NUURRAMADHAN 1435, IJUMAA JULAI 4-10, 2014LISHE

    W I K I i l i y o p i t a tulijifunza kuwa katika Uislamu kila ibada ina makusudio yake, ambayo ni ya hapa duniani na ya katika maisha baada ya kufa. Kwa mfano, ibada ya funga ya Ramadhani inakusudiwa kumjenga mfungaji ili afikie ucha Mungu, kuwa na afya bora, kuongeza huruma ya kusaidiana baina ya wenye nacho na watu masikini, kujenga umoja baina ya waumini, n.k.

    Fungeni mtapata afya Mtume Muhammad

    ( s . a . w ) a m e s e m a fungeni mtapata afya. Saumu inaimarisha afya ya mfungaji kwa njia nyingi. Mojawapo ni pale mtu anapopunguza ulaji kwa kufunga na matokeo yake mwili wake unatumia chakula kilichohifadhiwa katika kipindi cha kula m c h a n a . K wa h i y o , mfungaji anatarajiwa uzito na unene wake utakuwa wa kiwango kinachotakiwa. Pia, kiwango cha mafuta mwili aina ya cholesterol kitakuwa katika kiwango kizuri.

    Ulaji mbaya ni kikwazoUlaji mbaya wa baadhi

    ya Waislamu wanaofunga k a t i k a m w e z i w a Ramadhani unakwenda kinyume na mafundisho ya Uislamu na pia unaifanya funga isilete siha njema kama Mtume Muhammad (s.a.w) alivyobainisha lengo hilo.

    Tuone mifano miwili: Kula sana na unywaji wa soda na juisi za viwandani vinavyo bomoa afya ya wafungaji saumu.

    Soda au juisi za viwandaniM w e n y e z i M u n g u

    anasema katika Quran kuwa, hawako sawa w a n a o j u a n a w a l e wasiojua. Kwa wanaojua inawasikit isha kuona baadhi ya Wais lamu wakifuturu kwa