annur

Upload: hassan-mussa-khamis

Post on 04-Apr-2018

783 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/29/2019 Annur

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1055 RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA J ANUARI 25-31, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Moyo, Rashid wapasua jipu la muunganoWahoji uhalali wake. Hati ya awali yatakiwaKarume, Komandoo nao wapigilia msumariHawajaona faida kiuchumi ila kudharauliwa

    Tanganyika na Zanzibar wakutane katika AU

    HIVI majuzi Waislamuwal i la lamika wakida ikuwa Baraza la Mitihanilimechakachua matokeoyao ya mtihani.

    Hizi ni shutuma nzitokwa nchi yoyote inayojaliraia wake na inayopendakudumisha amani ya kweli.

    Shutuma kama hizi si

    CCM wana sera za udiniWamerithi toka kwa Mwalimu NyerereRais Kikwete, Shukuru wanauendeleza

    vizuri kutumia ujanja ujanjawa kuzizima chini kwa chini,bali ni suala ambalo serikaliinatakiwa ijisafishe wazi waziili kuondoa chuki ambazozinaendelea kujilimbikiza.

    Na wale wote waliohusika,ni lazima wawajibishwe kwamujibu wa sheria. (Somamakala uk. 8, 9)

    MUHIMU hapa ni kuonakwamba tumekuwa kuwana Dini ya Kiislamu kwakarne nyingi sana na sasakila mtu anajua kwambaUislamu si dini tu pekeyake, lakini imechimbazaidi hata katika tabia, silkana hulka zetu.

    Sisi ni Waislamukwanza - Waziri

    Waislamu tumeungana

    zaidi kwa lugha yetu moja na

    kuwa sote ni wamoja.Wajibu wetu wa kwanza ni

    kuunganisha umoja wetu huu(wa Kiislamu) kwa misinginilioieleza. (Mh. AbubakarKhamis Bakary-Soma Uk.13)

    WANANCHI wa kijiji chaChwaka, Kusini Ungujawamewaomba Rais JakayaKikwete na Dk Ali Mohamed

    Chwaka wataka Rais Kikwetekuirejeshea Zanzibar mamlakaWampa changamoto nzito Dr. Shein

    Na Mwandishi Wetu Shein, kushughulikia sualala Zanzibar kurejeshewamamlaka yake kami l ikama ilivyokuwa kabla yakuungana na Tanganyika.

    Ombi hi lo l i l i to lewamwishoni mwa wiki iliyopita

    kwenye mkutano wa wazi wBaraza la Katiba Zanzib(BAKAZA) wakati likitoelimu ya Katiba kwa wanancwa kijiji hicho.

    Huo ni mfululizo wa BarazInaendelea Uk.

    Barabara ya Yasser Arafatyazinduliwa Dar es Salaam

    Uk. 2

    DKT. Salmin Amour DKT. Amani Karume

    WANASIASA wakongwe waliyokuwa katika Serikali ya Mapinduzi, wakati wa kuundwa kwaMuungano huo, Bw Salum Rashid (kushoto) na Bw Hassan Nassor Moyo, Habari Uk. 4.

  • 7/29/2019 Annur

    2/16

    2AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    BARABARA iliyo karibuna makazi ya Balozi wa

    Dola ya Palestina, jijiniDar es Salaam imepewajina la Yas ser Arafat.Hafla ya uzinduzi wabarabara hiyo iliongozwana Bw Richard Chengulaaliyemuwakilisha Meya waKinondoni MheshimiwaYusuf Mwenda.

    Baada ya kufunua bango labarabara hiyo, Bw Chengulaalisema wananchi waliamuakuipa barabara hiyo jina laYasser Arafat kwa kuzingatiakuwa kiongozi huyo waPales t ina a l ikuwa mtumashuhuri duniani, pamojana jitihada zake za kuimarisha

    Barabara ya Yasser Arafatyazinduliwa Dar es Salaam

    uhusiano wa kirafiki baina yaTanzania na Palestina.

    Alisema barabara hiyoitawakumbusha wananchikuwa Tanzania i l ikuwa

    miongoni mwa nchi yakwanza kuitambua Dola yaPalestina.

    Naye Balozi wa Dola yaPalestina, Dr Nasri Abujaishalisema alifurahi sana nakuwashukuru wananchi waTanzania kwa uamuzi wao wakuipa barabara hiyo jina la BwYasser Arafat ambaye alikuwamwanzilishi wa Chama chaUkombozi wa Palest ina(PLO), Rais wa kwanzawa Mamlaka ya Kitaifa yaPalestina na Rais wa kwanzawa Dola ya Palestina.

    Akasema, sababu muhimuzaidi ya uamuzi huu ni

    kuwa Rais Arafat alikuwarafiki mkubwa wa Tanzania,

    akitembelea nchi hii marakadha kwa mwaliko wa Babawa Taifa Mwalimu JuliusNyerere.

    Baadae mshikamano huuuliendelezwa kwa mialiko yaRais Ali Hassan Mwinyi naBenjamin Mkapa.

    Balozi Abujaish akaongezakwa kusema: Katika jiji laRamallah ambao ni makaomakuu ya Mamlaka ya Kitaifaya Palestina, tumeanzishamchakato wa kuzindua Mtaawa Mwalimu Nyerere. Kwakufanya hivyo tutakuwa naMtaa wa Mwalimu Nyererenchini Palestina na Mtaa wa

    Yasser Arafat hapa nchiniTanzania.

    Ni matumaini yetu kuwahatua hizi tu l izochukuazitaendeleza na kuimarisha

    kumbukumbu za viongoziw e t u w a k u u h a w a i l iwaendelee kukumbukwa navizazi vijavyo.

    Balozi alisema Wapalestinawa t a m k u m b u k a Ara fa tkwa vile ndie aliyeanzishavuguvugu la ukombozi waPalestina kutokana na uvamiziwa Israel.

    Arafat atakumbukwa piakwa sababu anawakilisha dirayetu ya kitaifa na ukomboziwa taifa letu la Palestina

    H i v i l e o m o t oaliouwashaYassir Arafatumezaa matunda kutokanana kukubalika kwa Dola ya

    Palestina katika Umoja wMataifa (UN). Tunasikitik

    kuwa yeye hayupo nakushuhudia mafanikio hayHata hivyo kumbukumbzake zitaendelea kubakmioyoni mwetu, na harakaza ukombozi zitaendelehadi kufikia uhuru kamiwa nchi yetu na hatimakukubalika kwa Palestinkama mwanachama kamiwa UN

    Balozi Abujaish alisemPresident Arafat na chama chPLO walikuwa karibu sanna taifa la Tanzania na chamcha CCM. Wapalestina lewana faghari kwa uhusianhuu wa kihistoria baina ymataifa yetu na wananch

    wetu. Ni matumaini yetu kuwuhusiano huu utaendelezwa nkuimarishwa, aliongeza

    Ni kwa sababu uhusianhuu umetokana na mshikaman

    wenu wa dhati na Wapalestinambao wanapambana nuvamizi na ukandamizawa Israel nchini mwao. Kwkweli nyinyi Watanzanmmechukua msimamo hudhidi ya ukoloni wa Israsawa na mlivyofanya wakaule wa utawala wa makaburkule Afrika Kusini. Kwa hitunawashukuru sana kwmoyo wetu wote, alimalizBalozi Abujaish.

    (Habari hizi ni kwmujibu wa Kituo cha Habacha Palestina Tanzania 2January 2013.)

    Balozi wa Dola ya Palestina, Dr Nasri Abujaish (kushoto) na Bw RicharChengula aliyemuwakilisha Meya wa Kinondoni Mheshimiwa Yusuf Mwenda.

    KUANZIA jana usiku,Waislamu sehemu mbalimbalinchini na maeneo mengineduniani, wamekuwa katikasherehe za Maulidi ya Mazaziya Mtume (saw).

    W a k a t i Sh e r e h e h i z izikiadhimishwa, yapo mamboinabidi Waislamu kujiuliza nakuona ni vipi wananufaika naujio wa Mtume Muhammad(s.a.w). Kwanza ni kuwa, kwamuda mrefu sasa Waislamuwa nchi hii wamekuwa namadai na hata kulalamikak w a m b a w a n a b a g u l i w ana kudhulumiwa haki zao.

    Wanadai kuwa kumekuwa namfumokristo ambao uliasisiwatoka wakati wa ukoloni ambaondio umekuwa sababu ya waokudhulumiwa haki zao kamawananchi.

    Kwa upande mwinginewanadai kuwa Wakr i s towamehodhi fursa za elimu,ajira na madaraka serikalini nakatika taasisi za umma kutokanana upendeleo wanaopewa chiniya mfumokristo. Kwa maelezoyao wenyewe, Waislamu wanchi hii wanajiona kama raiadaraja la pili.

    Swali ni je, mafundisho yaUislamu, mafundisho ya Mtumewanayesherehekea uzao wake,yanawasaidia vipi Waislamukujinasua na hali hii? Kamakuja kwa Mtume Muhammad(s.a.w) kumetajwa kuwa niRehma kwa walimwengu,

    je, Rehma hii, inawasaidiajeWaislamu wanaodai kubaguliwana kuonewa? Katika jumlaya mafundisho al iyokujanayo Mtume (s.a.w) ni kuwaWaislamu wasidhulumu nawala wasikubali kudhulumiwa.Je, hii hali ya kulalamika miakayote hii kwamba wnaabaguliwana kudhulumiwa, ni katikaUislamu? Mbona inakuwakinyume na mafundisho yaMtume? Kwa nini Waislamuwaendelee kulalamika wakatidini yao inawakataza wssikubalikudhulumiwa? Je, dhulmaitaondoka kwa kulalamika?

    Tuseme kuwa yapo masualaya kisera ambayo yamekuwayakiwaletea Waislamu nchiniathari kubwa na mbaya kiasicha kuuingiza umma katikamateso makubwa. Kwa hakikaWaislamu kwa sasa wana kilasababu ya kujikita zaidi katikamasuala hayo ya kisera ilikuhakikisha wanakuwa hurukatika Uislamu wao dhidi yasera zinazotawala nchini.

    Waislamu wanakabiliwana tatizo la kukosa uhuru wakuabudu. Uhuru wa kuwa naJumuyia rafiki za kimaendeleo,uhuru wa kuitumikia dolai n a y o k u w a m a d a r a k a n ikutokana na kufunikwa na

    Maulid itukomboemfumokristo nk.

    K i p i n d i h i k i c h akusherehekea uzao wa Mtume(s.a.w) ndio wakati hasa wakutafakari, ni hatua zipi zakuchukua kuhakikisha kuwakatika yale wanayopalalamikiaangalau ikija maulidi nyinginemwakani, basi waweze kusemakuwa hili na lile limeondoka

    Hivi sasa kuna hizi harakatizinaendelea za Katina mpya, nikipindi ambacho tunaona kilaMuislamu anatakiwa kufuatiliakwa karibu mchakato huu wakatiba kuhakikisha kwambaWaislamu wanakomboka katika

    kitanzi cha kukosa uhuru wakuabudu kulingana na imaniyao kwa kigezo cha katiba.

    Kama ni mahakama yakadhi, kujiunga na taasisi zakijamii na kiuchumi kama OIC,kuwa huru siku za ibada yaIjumaa, kuwa huru kuvaa kwaheshima hata katika maeneoya kiserikali, (Hijab, kofia n.k.,kuwepo mfumo huru halali wakiutendaji serikalini, kupewaruzuku kama watu wa inaminyingine nk.

    Haya ni masuala ya msingiya kufanyiwa kazi kipindi hikicha mchakato wa mabadilikoya katiba.

    Hata hivyo, jambo muhimusio kuwekwa katiba au sharia

    kwani hata katiba ya sasainapinga ubaguzi. Muhimukwa Waislamu ni kujenga iledhamira ya kukataa kuonewana wakawa tayari kulisimamiahilo na kwa gharama yoyote.

    Hata kama i t akuwepokatiba nzuri, lakini Waislamuwenyewe wakawa hawa hawaambao wanaona dhulma ya wazikatika taasisi kama ya Baraza laMitihani, lakini hawaonekanikuchukua hatua madhubuti namakini kuondoa dhulma hiyo,huna vya kuwasaidia. Haowataendelea kudhulumiwa nakuonewa hata kukiwa na katibanzuri kiasi gani.

    Ha t a k a m a k u t a k u wana katiba nzuri kiasi gani,

    lakini Waislamu wenyewewakawa hawa hawa ambao mtuakiwa mwanasiasa, msomi,mfanyabiashara aliyefanikiwana afisa wa serikali, anajionahana la kupigania Uislamu naWaislamu ila huona kuwa hiloni jukumu la wanaharakati,

    ba do it ak uw a ka zi ng um ukwa Waislamu wa nchi hiikuepukana na dhulma.

    Ni mat araj io ye tu kuwatutasherehekea Maulid hukutukitafakari jinsi Mtume (s.a.w)alivyowakomboa Waislamukutoka makucha ya madhalimuwa Makkah ili nasi tupatekujikomboa.

  • 7/29/2019 Annur

    3/16

    3AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 201Habari

    RAIS Mstaafu wa Zanzibar,Dk. Amani Abeid Karume,a m e o m b a k u p a t i w ahati halisi (Original) yaMuungano wa Tanganyikan a Z a n z i b a r a m b a y oimetiwa saini na Mwalimu

    Julius Kambarage Nyererena Mzee Abeid AmaniKarume.

    Ombi hilo la Karumelimekuja kufuatia utoaji wakewa maoni mbele ya Tumeya Mabadiliko ya Katibailiyoongozwa na Mwenyekitiwa tume hiyo, Jaji JosephWarioba, makamo MwenyekitiAssa Rashid na wajumbewengine aliyokutana nayojuzi nyumbani kwake MjiniUnguja.

    Karume alisema yeye hanahati ya Muungano na hajawahikuiona na iwapo Tumehiyo inayo hati hiyo, basiangeomba kupatiwa kwani ni

    Wazanzibari wengi wanahitajikuiona hati hiyo ambayo nimkataba kati ya nchi mbilizenye mamlaka kamili kilamoja na zilizoungana mnamomwaka 1964 kila nchi ikiwahuru.

    Kwa mujibu wa chanzo chahabari kutoka ndani ya tumehiyo, kimesema Karume mbaliya kutaka kupatiwa hati yaMuungano lakini pia alisemaanaunga mkono kuwepokwa Muungano wa Mkatabaambao kila nchi itakuwa namamlaka yake kamili na kisha

    Karume ataka Hati

    halisi ya Muungano

    Na AlghaithiyyahZanzibar,

    RAIS Mstaafu wa Zanzibar,Dk. Amani Abeid Karume.

    MAKAMU wa kwanza wa RaisZanzibar, Seif Sharif Hamad.

    kufuatia huo na mfungamanowa mkataba ambapo alisemaZanzibar kwa takriban miaka50 sasa imekuwemo katikaMuungano lakini imekuwahainufaiki kiuchumi ndani yaMuungano huo.

    Aidha Karume alisemayeye yupo tayari kuongozakipindi cha mpito iwapokutakuwepo na kipindi hichokutoka Muungano huu uliopo

    na kuingia wa Maktaba palealipoulizwa na Mjumbe waTume hiyo, Salim AhmedSalim ambaye alionesha khofuyake na uzoefu wa chaguzizinazofanyika nchini kwambazinakuwa na machafuko.

    K a r u m e a l i s e m ahakuna machafuko yoyoteyatakayoweza kutokezeakatika kipindi hicho cha mpitona iwapo Rais aliyekuwepom a d a r a k a n i h a t a w e z a

    kusimamia na hatajiaminikwa hilo, basi yeye anawezakuchukua nafasi hiyo ili awezekusimamia hilo na akaahidikwamba hali itakuwa shuwarina kuivusha Zanzibar katikamachafuko kama alivyowezakusimamia Maridhiano katiya vyama vikuu vya CCM naCUF mwanzo hadi mwishowake.

    Karume ambaye amekuwarais kwa miaka 10 Zanzibar,amesema amepata uzoefum k u b w a s a n a k a t i k akipindi cha uongozi wakeakiwa madarakani ambapo

    a m e s h u h u d i a Z a n z i b a r ikidhoofika kiuchumi wakatiupande wa pili wa Muunganoukinufaika zaidi.

    Amesema, n i wakat imwafaka kupitia katiba mpyawatu kuwa wazi na kusemaukweli kwa kubainishakero na matatizo yote yaMuungano ili hatua za lazimazichukuliwe katika kuwaleteawananchi katiba iliyo nzuri nayenye usawa wa nchi mbilizilizoungana na zenye hadhisawa.

    Karume alisema waziwazi kwamba kwa kipindi

    cha miaka 10 ameshuhudmengi sana katika suazima la maslahi ya Zanzibalakini pia alisema sasa nzama mpya za ukweli nuwazi na kwa hali iliyofiksasa hakuna njia nyenginzaidi ya kila nchi - Zanzibna Tanganyika - kurejeshmamlaka yake kitaifa nkimataifa na kisha nchi hizmbili kushirikiana kupitMuungano wa Mkataba kayao, hivyo ndivyo alivyosemM h e s h i m i wa Ka ru m ekilisema chanzo chetu chhabari.

    H a t a h i v y o K a r u maliwaambia wajumbe wa tumhiyo kwamba Muunganwa Tanganyika na Zanzibuliotiwa saini na MwalimNye rere na Mze e Karumulikuwa na heshima hapzamani na ukiheshimiwsana lakini kumekuwepna dharau fulani ambazz i m e k u w a z i k i f a n y wna viongozi na baadhi y

    watendaji jambo amballinadhoofisha Muungano huna kusababisha malalamikmakubwa miongoni mwpande mbili hizo.

    C h a n z o c h e t u c hhabari kimesema kwambMakamishna wa Tume yKatiba wakiongozwa nMwenyekiti wake, JosepWarioba, wamemwambk wa m b a k a t i y a wo twaliotoa maoni hadi saswaliouchambua Muungankinaga ubaga ni yeye DAmani Karume na MaaliSeif.

    Chwaka wataka Rais Kikwete kuirejeshea Zanzibar mamlakahilo katika kutoa elimu yaKatiba kwa wananchi waZanzibar.

    Akizungumza kat ikamkutano huo, mmoja waWazee wa Chwaka, FadhilMussa Haji alisema suala lakuunganisha nchi lilifanywana watu wawili, MwalimuNyerere na Mzee Karume nawote hawapo tena.

    Akasema, ni jukumu laviongozi waliopo madarakani

    kulishughulikia suala hilo.Mwalimu Nyerere naMzee Karume waliunganishanch i kwa kuamua waowenyewe na kisha MzeeKarume akaja uwanjanikutuuliza mnakubali unionwatu wakaitikiakwa kuwaalijua hakuna atakayewezakupinga kwa wakati ule,alisema na kuongeza:

    Lakini sisi hatujakubalianana hayo tokea wakati huosasa kilichobaki tunamuombaRais Kikwete na Rais Sheinwao ndio wapo madakarakaniwa t u re j e s h e e m a m l a k ana hadhi ya Zanzibar,

    Inatoka Uk. 1 alisema Mzee Fadhil, hukuakishangiliwa na vijanawaliohudhuria mkutano huo.

    Mzee Fadhil alisema yapobaadhi ya mambo ambayoyameingizwa katika orodhaya mambo muungano bila yaridhaa ya Wazanzibari.

    Hata h ivyo akasemakuwa baadhi ya Wazanzibariwenyewe ndio walishirikikuizamisha nchi yao kutokanan a t a m a a n a k u p e n d amadaraka, jambo ambaloalisema hivi sasa linawafanyawajute:

    N i s i s i w e n y e w etumefanya na tumetakatutendewe hivi kwa sababusisi tulikuwa tumeshapatauhuru wetu hapa mwaka1963, lakini ni Wazanzibariwenyewe wakaleta mapinduzina kuukataa ule uhuru halali,alisema na kufafanua:

    Sasa tunasema hizi tamaana kupenda madaraka sasa hivindivyo vitu vinavyotuadhibusote katika nchi yetu kwatamaa za hao wachachewaliyokuwa wakituamulia,alisema Mzee Fadhil.

    A l i t o a m f a n o k w aviongozi wa Wazanzibariwalivyojikaanga kwa mafutayao wenyewe: Ni tamaa ndizozilizosababisha nchi kutokuwana hadhi na mamlaka kamiliya kujiamulia mambo yake,alisema Mzee Fadhil.

    Alisema ni tamaa ndiyozilizofanya kuporwa mamlakakamili ya Zanzibar na hivyokubak isha nch i kukosauwakilishi hata kwa yalemambo ya Zanzibar, ambayosio ya muungano yanavyokosauwakilishi wa Wazanzibarikatika nchi za nje:

    Wakati umefika sasakwa kila mmoja kufahamukwamba mamlaka ya Zanzibaryanahitaji kuheshimiwa nakupiganiwa na kila raia ilihadhi ya Zanzibar irudi,alisema Mzee Fadhil.

    Ak i toa maon i yakealipendekeza Katiba mpyaiweke bayana mamlaka yaZanzibar na rais wake, kwanialisema hivi sasa rais waZanzibar, hana hadhi ya kwelikama itakiwavyo kwa rais wanchi.. RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.

  • 7/29/2019 Annur

    4/16

    4AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 20Habari

    Moyo, Rashid wapasua jipu la muungano

    TUME ya mabadil ikoKatiba mpya, imeelezwakuwa Baraza la Mapinduzi

    h a l i k u s h a u r i wa wa l akushir ik ishwa kat ikaMuungano wa Tanganyikana Zanzibar, ulioundwaAprili 26, 1964.

    Wanasiasa wakongwewaliyokuwa katika Serikaliya Mapinduzi, wakati wakuundwa kwa Muunganohuo, Bw Salum Rashid naBw Hassan Nassor Moyowaliiyambia Tume hiyo,walipokuwa wakitoa maoniyao Maisara, mjini Zanzibar.

    K a t i k a m a o n i y a owalisema: Tangu awalikatika kuundwa Muungano,kulikosekana uhalali, licha

    ya kuwa umedumu kwamiaka hamsini huku kukiwana malalamiko kadhaa yawananchi.

    W a k i z u n g u m z a k wapa mo ja, Wana si asa ha owaliunga mkono kuwepo kwaMuungano, lakini walishaurimfumo mpya wa Muunganowa Mkataba, ili kila nchi kuwana mamlaka yake kamili:

    Kwa hali ilivyo miaka50 ya Muungano kushindwakutatua mambo mbali mbali,mfumo pekee unaofaa kwasasa na kwa kizazi hiki niMuungano wa Mkataba.Utaratibu wake utajulikanabaadae, walisema Wanasiasahao.

    Bwana Nassoro Moyoalisema Serikali ya Muungano,isiogope maoni ya wananchikwani kwa takriban miaka50 matatizo ya Muunganoyameshindwa kutatuliwana njia pekee kwa sasa nikukubali kubadilisha mfumowa Muungano huo.

    Tukiwa na mfumo mpyawa Muungano, utakwendasambamba na wakati huuambao idadi kubwa yawananchi wameamka nakuona kuna matatizo katikaMuungano wetu, alisemaMzee Moyo.

    Mzee Moyo a l ikuwaWaziri wa kwanza wa Sheriawa Serikali ya Muungano, naBwana Salum Rashid alikuwaKatibu Mkuu wa kwanza waBaraza la Mapinduzi.

    Kwa pamoja , wazeehao wakongwe wa siasa zaZanzibar, walishauri kuwepokwa Muungano lak in iwalisisitiza, ili kuimarishaMuungano kwa nchi zotembili, ni kusikilizwa kwamaoni ya wananchi ambaowanataka aina mpya yaMuungano wa Mkataba.

    Sis i ndiyo tul ikuwa

    Na Alghaythiyah,Zanzibar

    na dhamana wakati ulena tulitakiwa tuunganisheSerikali kwa kuimarishaudugu na kuimarisha uchumiwetu, bahati mbaya sasa kuna

    kero, mimi siziiti kero naitani matatizo, ni wakati wakekuondoshwa, alisema nakubainisha:

    Msimamo wangu niSerikali ya Mkataba na ndiyoninavyoamini na naaminikwamba huu muunganotulionao ni Muungano waMkataba, hili siyo jamboji pya, Mwal imu Ny erer ena Mzee Karume walitiasaini ya Mkataba, hili siojambo jipya, alisisitiza MzeeMoyo.

    Moyo alitaka kurudishwakwa utaratibu wa zamani, iliRais wa Zanzibar aendelee

    kuwa Makamo wa Kwanzawa Rais wa Tanzan ia ,akimaanisha Muunganohuo ni wa Tanganyika naZanzibar.

    Na ye , Kat i bu Mk uuwa Kwanza wa Baraza laMapinduzi, Mzee SalumRashid ambaye alikuwa Dares Saalm na Mzee Karumesiku ya kusainiwa Mkatabawa Muungano, alisisitizakuwepo kwa Muunganowenye maslahi kwa wananchiwa nchi zote mbili.

    Serikali ya Muunganoisiwe na woga wa kuvunjikakwa Muungano. Hilo sio

    jambo kubwa na wala siyojambo geni, baadhi ya nchiza Afrika ziliwahi kuungana,na Muungano ukavunjika,alisema na kufafanua zaidiakisema:

    Sioni jambo zito kuvunjikakwa Muungano, mbonaMuungano wa Senegal naGambia ulivunjika na wotewalikuwa ni wanachama waUmoja wa Afrika na hakunajambo lolote li li lo tokea,alisema Bw Salum Rashid.

    A l i s e m a w a n a n c h iwanaotaka Muungano waMkataba, hawamaanishikuvunja Muungano, bali

    wanataka mfumo mpya waMuungano ili kuirudishiaZanzibar , mamlaka namadaraka yake kamili.

    A l i s e m a i f a h a m i k e

    kwamba, kuwa nje ya Serikalisiyo sababu ya kuwa ni fursaya kuzungumza hayo, lakiniwakati ule likizungumzwasuala la Muungano, ilikuwainaonekana ni uhaini.

    A l i s e m a k w a s a s ahaiwezekani tena kuburuzwana hasa v i jana . Hivyomatumaini yake kwa tumehiyo ni makubwa.

    Naamini watafanya kazizao kwa uadilifu mkubwa namaoni ya wananchi ambayowameyatoa kwa Tume,yatatekelezwa, alisema BwSalum Rashid.

    Alisisitiza kuwa Muungano

    wa Mkataba ndiyo sahihikwa sasa na hakuna sababuya viongozi kuogopa hilo,Wazanzibari na hasa vijanawanataka nchi yao kuwa namamlaka kamili.

    M z e e M o y o n aRashid, wote wawili kwapamoja wa mewa toa hofuWazanzibari kuhusu utendajiwa Tume hiyo, na walisemawanaiamini kwamba itafanyakazi yake kwa uadilifu, bilaupotoshaji.

    Tume hiyo inayongozwana Mwenyekiti wake JajiJoseph Warioba na Katibuwa Tume, Assa Rashid tayari

    imeshachukuwa maoni yabaadhi ya viongozi wakuu,pamoja na Marais wastaafuwa Serikali ya Zanzibar.

    Viongozi waliyokwishatoa maoni yao ni pamoja naMakamo wa Kwanza waRais Zanzibar, Maalim SeifSharif Hamad, Rais MstaafuDk Salmin Amour, Dk AmaniAbeid Karume na baadhiviongozi wengine wa Serikaliya Zanzibar..

    Wakati huo huo RaisMstaafu wa Zanzibar, MheAmani Abeid Amani Karumeamesema kwamba wakati wasiku za mwanzoni, Muungano

    ulikuwa wa heshima nausawa kati ya Zanzibar naTanganyika lakini kadiri sikuzinavyokwenda unachukuasura ya nchi moja -Tanganyika

    kuuhodhi Muungano huodhidi ya Zanzibar.

    Akasema akiwa Raiskwa kipindi cha miaka 10ameshuhudia mengi dhidi yamaslahi ya Zanzibar.

    Mheshimiwa Dr. Karumea m e s e m a h a y o wa k a t ialipokutana na Tume ya JajiWarioba na kutoa maoni yakejuu ya Katiba Mpya.

    Katika maoni yake Dr.Karume amesema kuwa hizini zama mpya za uwazi naukweli na kwa hali iliyofikiasasa, hakuna njia nyenginezaidi ya kila nchi Zanzibarna Tanganyika kurejesha

    mamlaka yake (sovereignty)kitaifa na kimataifa na kishanchi hizo mbili kushirikianak u p i t i a M u u n g a n o waMkataba kati yao.

    N a y e R a i s M s t a a f ualiyemtangulia Dr. Amani,Mheshimiwa Dr. SalminAmour, maarufu Komandoo,katika maoni yake ameielezaTume ya Mabadiliko yaKatiba kwamba anataka kuonaZanzibar na Tanganyika kilamoja ikiwa ni nchi yenyemamlaka kamili ndani nanje na kisha zishirikiane kwamfumo wa ushirikiano kamaule uliopo baina ya nchi za

    Afrika kupitia Umoja waAfrika (AU).D k . S a l m i n A m o u r

    amesema msingi wa umojawa nchi za Afrika umetokanana mashirikiano kati yavyama vya ukombozi chiniya PAFMECA.

    Ak a s e m a Um o j a waVyama vya Ukombozi vyaAfrika Mashariki na Kati(PAFMECA) ulitambua hajaya nchi za Afrika kuunganabaada ya uhur u, lakinikwa msingi wa kuheshimumamlaka ya k i la nch i(sovereignty) na mipakayake.

    Hivyo, akataka mahusianmapya kati ya Zanzibna Tanganyika yazingatmsingi huo ambao ndiyo puliojenga misingi ya Umo

    wa Afrika (African Union)K w a m b a k a m a n

    muungano, basi Tanganyikna Zanzibar wakutane katikUmoja wa Afrika.

    Kwa upande mwinginb a a d h i y a w a n a n c hw a m e p o n d a h o j a zwanaozungumzia udogo wZanzibar kwamba ni kikwazcha kusimama kama nchwakisema kuwa wachukumfano wa Cape Verde ambayhivi karibuni katika mchezwa mpira imecheza na kutoksare na nchi kubwa ya Afrikya Kusini.

    Cape Verde ni nchi ndogyenye watu wasiofika laksita, lakini juzi hapa katikmichezo ya Afrika imechezikiwa na bendera yake nkutoka sare na Afrika yKusini nchi kubwa yenywatu zaidi ya milioni 52Amesema mtoa maonmmoja.

    Watizame Singapornchi ndogo kuliko Zanzibna ilikuwa imeungana nMalaysia, lakini ilijitenga nsasa ipo mbali kimaendeleh u w e z i k u i l i n g a n i s hna Unguja i l iyo kat ik

    muungano, kwa hiyo hojsio udogo wa nchi wamuungano, ni dhamira nmipango ya nchi katikkujiendeleza, sisi Zanzibdhamira tunaweza kuwnayo, lakini hiyo mipangtunaiweka na kuitekelezvipi chini ya makucha ymuungano wakati hata OItulikatazwa kujiunga itusinufaike na misaada yBenki ya Kiislamu isiyo nriba. Amesema mwananchuyo ambaye hata hivyhakutaka kutajwa jina lakgazetini.

    Bw Hassan Nassor MoyoBw Salum RashidDKT. Salmin Amour DKT. Amani Karume

  • 7/29/2019 Annur

    5/16

    5AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 201Habari za Kimataifa

    KIONGOZI wa chama chaHarakati ya Israel Bi. Tzipi

    Livni, amesema kuwa serikaliya Qatar imetoa kiasi chadola milioni tatu kumsaidiaWaziri Mkuu wa utawala waIsrael, Benjamin Netanyahu,kwenye kampeni za uchaguzimkuu uliofanyika nchini humoJumanne Januari 22.

    Livni aliyewahi kuwa Waziriwa Mambo ya Nchi za Njewa Israel ameongeza kuwa,chama cha Yisrael Beytenu,kinachoongozwa na AvigdorLieberman, Waziri wa zamaniwa Mambo ya Nchi za Nje waIsrael, nacho pia kimepokea dolamilioni mbili na nusu kutokaserikali ya Qatar, ikiwa ni msaadawa kampeni ya uchaguzi mkuuhuo.

    Kwa upande mwengine,Chanel ONE ya Televisheniya Israel imetangaza juu yakuwepo mahusiano ya karibukati ya Livni na mke wa Emirwa Qatar.

    Kwa miaka kadhaa sasaQatar, imekuwa na mahusianoya kibiashara na mashirika yaKizayuni na mashirika hayoyamekuwa na ofisi zake nchinihumo.

    Mashirika hayo yamekuwayakitumiwa kama mwanzo wakuwepo mahusiano ya kisiasakati ya pande mbili na kuandaasafari za pande mbili za viongoziwa Qatar na utawala wa Kizayuniwa Israel.

    Wakati baadhi ya nchi zaKiarabu zikijizatiti kusaidiautawala huo wa kizayuni, vitishovya Israel dhidi ya msikiti waal Aqsa bado vinaendelea, namara hii mjumbe wa chamakinachoitwa Yisrael Beiteinuameutaka utawala wa Israelkuulipua msikiti huo.

    Matamshi hayo yanaonyeshaukubwa wa hatari zinazoukabilimsikiti huo, ambao ni kibla chakwanza cha Waislamu.

    Pa i r Le p i d , m k u u wachama kingine cha Kizayuniambacho kinaunga mkono siasaza kupenda kupora ardhi nakijipanua za utawala wa Israel,amekosa haya na soni usonikiasi cha kuthubutu kutangazakuwa, Quds utakuwa mji mkuuwa utawala huo haramu.

    Matamshi hayo yanatolewakatika hali ambayo, AvigdorLieberman, waziri wa zamani wamashauri ya kigeni wa Israel piaamesisitiza juu ya kupanuliwaujenzi wa vitongoji vya waloweziwa Kizayuni katika maeneo yaWapalestina, hasa kwenye mjiwa Baitul Muqaddas.

    Kwa ujumla matamshi hayoya viongozi wa utawala waKizayuni yanabainisha kuendeleamalengo yao ya uharibifu dhidiya msikiti wa al Aqsa na piaharakati za kutaka kuudhibiti mjiwa Baitul Muqaddas.

    Njama za Israel dhidi ya msikitihuo zimeingia katika kipindi chahatari zaidi na kuna uwezekano

    HAO NDIO WAARABU!

    Qatar yatoa mamilioni ya dola kuisaidia IsraelWenye mpango wa kuipoteza Al Aqsa nao wamo

    wa kutekelezwa mipango miovuya kutaka kukiharibu kikamilifukibla hicho cha kwanza chaWaislamu.

    Wazayuni wanatumia njiatofauti za kuuharibu msikitiwa al Aqsa ikiwa ni pamojana kuchimba mashimo mengina njia za chini ya msikiti huomtukufu na kando kando yake.

    Vitendo hivyo kwa kweli vinalengo la kuzidhoofisha kuta zamsikiti wa al Aqsa ili eneo hilotakatifu liweze kuharibika kwamtikisiko mdogo tu wa ardhi aumripuko.

    Hivi karibuni ilifichuliwakuwa, moja ya mashirika yakijasusi ya utawala wa Kizayunilinalojulikana kwa jina la Kajlilifanya kikao na marubaniwa Kizayuni kuwashawishiwadodoshe bomu kwenyemsikiti huo.

    Tangu kuundwa utawalahuo pandikizi katika ardhiza Palestina hadi hivi sasa,msikiti mtukufu wa al Aqsaumeshashambuliwa mara kadhaana Wazayuni.

    Mwaka 1969 Wazayuni wenyemisimamo mikali wakiongozwana Dennis Michael Rohan,waliuchoma moto msikiti huowa kihistoria, hatua ambayoiliratibiwa na makundi ya wataliikwa ushirikiano na viongozi waTel Aviv.

    Katika tukio hilo, mita mrabazisizopungua 200 za dari yamsikiti huo ziliharibiwa nakuanguka kabisa, pande tano zakuba la msikiti huo ziliungua namimbari yenye thamani kubwailiyojengwa miaka 800 iliyopita,iliteketea kabisa kwa moto.

    Huku mji wa Baitul Muqaddasna msikiti wa al Aqsa ukikabiliwana duru mpya ya vitisho na

    njama za utawala wa Kizayuni,fikra za walio wengi dunianiwanaitaka jamii ya kimataifakuchukua hatua madhubutina za haraka za kupambana

    MSIKITI wa al Aqsa

    Mahakama ya Gambiimemuhukumu kifungcha miaka 10 gerezanEnsa Badjie, Mku

    wa zamani wa Jeshi lPolisi la Gambia (IGPbaada ya kumkutna hatia ya kushirikkwenye magendo ydawa za kulevya, wizna ufisadi.

    H a l i k a d h a l i km a h a k a m a h i yimemkuta Ensa Badjie nhatia ya kutumia vibaymadaraka yake. Mkuhuyo wa zamani wjeshi la polisi la Gambialitiwa mbaroni wik

    iliyopita na makacherwa polisi wa nchi hiyo

    Taar i fa z inasemkuwa, Ensa Badjie tayaameshaanza kutumikiadhabu ya kifunghicho pamoja na maafiswengine wa ngazi zjuu wa jeshi la poliswaliohukumiwa adhabmbalimbali za vifungo

    IGP Gambiajela miaka kumi

    na utawala huo, wakiaminikwamba, kucheleweshwa sualahilo kutaifanya Israel kuendeleana hatua zake hizo za uharibifu

    bila ya woga.

    URUSI imeanza kufanya mazoezimakubwa ya jeshi lake la majinikatika bahari za Mediterraneanna Bahari Nyeusi, karibu naSyria ambayo inakabiliwa namashambulizi ya magenge yawaasi.

    Mazoezi hayo yameelezwakuwa ni makubwa zaidi kufanywana Jeshi la Majini la Urusi kwamiongo kadhaa.

    Taarifa rasmi ya Wizara ya Ulinziya Urusi imesema kuwa, mazoezi

    hayo ya kijeshi yanafanyika katikautaratibu wa vikosi vya ulinzivya Urusi wa mwaka 2013, wakujiimarisha kiulinzi na kuzingatiazaidi suala la kufanya kazi kwa

    pa mo ja vi ko si vy a nc hi hi yo ,kutoka manowari zake mbalimbalizinapokuwa katika eneo la maji lambali.

    Mazoezi hayo ya Jeshi la Majiniyataendelea hadi Januari 29 nakufanya majaribio ya silaha nambinu tofauti za kivita.

    Urusi imekuwa ikizilaumu nchiza Magharibi kwa kuchochea mauajina uasi nchini Syria, na kusababishakushuhudiwa machafuko tangukatikati ya Machi 2011.

    Raia wengi na maafisa usalamawa serikali ya Syria wameuawakatika machafuko hayo.

    Urusi yafanya mazoezimakubwa ya kijeshi SyriaKatika hatua nyingine, Waziri wa

    Mambo ya Nchi za Nje wa UrusiBw. Sergei Lavrov, ametupiliambali ombi la nchi za Qatar naUturuki za kui taka Moscowimshawishi Rais Bashar Assadwa Syria aondoke madarakani nakusisitiza kwamba, kiongozi huyohatangatuka madarakani.

    Ameongeza kuwa, suala lakuondoka madarakani Rais Assadhaliko mikononi mwa serikali ya

    Moscow.Bw. Lavrov amesema, haku

    sababu zozote za kuwepo uadui wserikali za Uturuki na Qatar dhidi serikali ya Damascus, kwani nchizo zilikuwa na mahusiano mazuna serikali ya Syria.

    Lavrov amesis i t iza kuwmgogoro wa Syria kamwe hauwekumalizwa kwa njia za kijeshi nkwamba, njia pekee ya kutatumzozo huo ni kuketi kwenye meya mazungumzo.

    URUSI imeanza kufanya mazoezi makubwa ya jeshi

  • 7/29/2019 Annur

    6/16

    6AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 20Makala/Tangazo

    S H U K R A N I z o t eanastahiki mwenyez iMungu Rehema na Amanizimfikie Mtume wetuMuhamad na masahabazake na wanaomfuata amabaada ya utangulizi huu.

    Hakika Uislam ni diniinayohimiza msamaha nauwepesi na inatosha kwaji na la dini ya uw epesena msamaha. Na maana

    ya hanafia ni msimamona msamaha yaani ni dininyepesi inayotekelezekaamri zake, hivyo basiUislamu umekuja ili kutianguvu vyanzo vya msamahawa kuacha ubabe kuvukamipaka na siasa kali nakuhimiza kuishi na watu wotekwa wema na yanayotilianguvu zaidi ni maneno yamtume (S.A.W) kwa hakikanimetumilizwa ili nitimizetabia njema na msamaha nimiongoni mwa vyanzo vyatabia nzuri na ndio tabia yajuu zaidi ilio nzuri.

    Msamaha ni shina nachanzo cha tabia nzuriQur-ani imezungumziahilo pale mwenyezi Mungualipowaamrisha waja wakekusamehe na kuwa wapoleakasema hataki mwenyezim u n g u k u k u w e k e e n iugumu pia akasema tenaAnataka mwenyezi Mungukwenu wepesi na wala hatakikwenu ugumu

    Amesema tena anatakam w e n y e z i m u n g uawapunguzieni kwenumambo magumu na ayaza msamaha ni nyingihazidhibiiki.

    Na vi le vi le qu r-an i

    imemihimiza mtume (S .A.W) aishi na waislamu kwatabia ya msamaha na maanayake ni kukubali uwepesiwa tabia zao na kuyabeamakosa yao na kuwasamehewanapoteleza.

    Amesema MwenyeziM ungu w a sa me he nawaamrishe mema na wapuuzewaj inga na akasemakumwambia mtume (SAW)na kwa Rehema toka kwamwenyezi Mungu umekuwalaini kwao na lau ungekuwamwenye moyo mbaya nachuki wangekukimbia woteuliokaribu nao wasamehe

    DR. EMAD RABIE

    Uislam unahimiza kusamehena waombee msamaha nawashauri katika mambona msahama kwa maanayake pana zaidi ina maanaya uwepesi kwa watu hadiwapinzani na kuwasamehena kuishi nao kwa ulainina upole na uwepesi nakukubali nyuzuru zao nakupokea yale wanayokosea.Hivyo basi ni lazima kwakila muislamu kuishi kwatabia ya musamehe kwawatu wote bila ya kubaguakati ya Muislamu na asiyeMuislamu katika mamboyote ya maisha ya kilas iku amesema mtume( S .A .W) A mr e he mumwenyezi Mungu mtua m b a y e h u s a m e h eanapouza na anaponunuana anapokopesha na uzuri

    ulioje juu ya maneno yamshair i huyu mwenyehekima nitailazimisha nafsiyangu kusamehe kila kosa.

    Hata kama nitafanyiwamakosa mengi zaidi akasamamwengine:-

    Ananisamehe mimi mtumjinga kwa maneno mabayaninachukia kumjibu yeyeanataka ujinga mimi natakaupole ni sawa na kijiticha kibiriti zawadi yakeni kuunguzwa na kuishina watu kwa msamaha naviumbe vyote kwa kunafaida kubwa nazo ni:-

    T a b i a y a k u s a m e h e

    inakuwani mwenendo wakueneza mapenzi kati yawatu.

    Huondoa chuki na choyomoyoni mwa muislamu.

    Msamaha ni wito wakikazi na ni mfano mzuri wakuigwa kwa kueneza Uislamkati ya wasio waislam nadalili kubwa juu ya hilo nikuenea Uislam katika nchinyingi za Afrika na Ulayabi la ya vi ta au kuua na .Kwa hakika umeeneaUislam katika nchi hizi nikwa matokeo ya tabia yakusamehe waliokuwa naoWaislam wafanya biasharana watalii katika nchi hizipale walipoona watu uzuriwa tabia zao na ukubwa wamsamaha wao waliingiak a t i k a U i s a l a m k w akuupenda na kuridhia nakutii bila ya kulazimishwaau kuteswa nguvu na mifanoya Kiislam katika jambo hilila kusamehe limejaa katikavitabu vya historia na sira(Mwenendo) wa mtume(S.A.W) haitutoshi kuyatajakatika makala hii ambayo nindogo.

    Kwani kuyataja kwakeinahitaji vitabu vingi nawakati mrefu yatosha tutaje

    mifano michache iliyoenea na

    ni mashuhuri masikioni mwawasikilizaji pale alipoingiamtume kuikomboa makana kuwasamehe watu wamakka ambao walimuadhibu

    yeye na masahaba zake.

    Hakuongeza la kusemaisipokuwa aliwambia Enyiwatu wa makka hivi mnadhanimimi nitakufanyeni nininyinyi? wakasema kheri

    ndugu mwema na mtot

    wa ndugu mwemaAkasema Nenden

    na nyinyi mupo huru

    (S.A.W)

    Baadhi ya Viongozi waliotoa mada mbali mbali meza kuuwakiwa katika Kongamano la kidini lililoandaliwa na Kituocha Kiislamu cha Kimisr Markaz cha jijini Dar es salaamkongamano hilo lilifanyika Jijini Arusha na kuhudhuriwana washiriki 180 hivi karibuni.

    Jumuiya ya wataalamu wa kiislamu Tanzania ( TAMPRO) kwakushirikiana na Jumuiya ya wanazuoni Tanzania (Hai-atu

    Ulamaa) wana watangazia waislamu wote kuhudhuria katikaHafla ya ugawaji Zakka.

    Siku: JumapiliTarehe: 27/01/2013Mahali: Lamada hotelMuda: saa 2:30 ( Asubuhi) Saa 6:30 mchana

    Zakka ya mwaka huu imelenga kuwasaidia kina mama WajaneMasikini/ Mafukara 15 na Wanafunzi 15 wasio na uwezo.

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu:0716 776226, 0713 208585, 0754 434968.

    Wote mnakaribishwa.

    TAMPRO BAITUL- MAAL

  • 7/29/2019 Annur

    7/16

    7AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 201Makala

    INGAWA bado kuna ubishikwa serikali yetu, kuendeleakuisujudia Dar es Salaamna kupuuzia ulazima wakukuza na kuendeleza mikoamingine kiuchumi, lakiniukweli unaendelea kubakikuwa, watu wataendeleakumiminika kutoka mikoamingine na kujazana Dar esSalaam.

    W a t u w a m e k u w awakitiririka Dar wakiaminikuwa hapo ndipo l i l ipo

    jicho la serikali kihuduma

    na kimaendeleo. Wanaaminikwamba Dar ndiko mahaliambako kuna fursa zaidi zakimaisha na mahali ambakomtu anaweza akajishughulishana chochote na ukaambuliachochote.

    Hali hii ni matokeo yaserikali kuweka mazingira yahuduma za jamii, kimaendeleona kiuchumi katika eneo mojana kuyaacha maeneo mengineyakisuasua.

    Kwa mfano, Dodomandiko yalipo Makao Makuuya Chama Tawala na Serikali,lakini katika uhalisia wake,Dodoma ni Makao Makuu

    Kupeleka gesi Dar ni kuhujumu malengo ya Mtwara Corrido

    Na Shaaban Rajab

    RAIS Mstaafu, Benjamin William Mkapa

    jina, vigoda bado vipo Dares Salaam. Wenye vigodawanaona kuhamia Dodomani sawa na kuchukua uamuzimgumu.

    Yote hayo ni kwa sababuDodoma pamoja na cheo kizuricha Makao Makuu, lakinikama ilivyo mikoa mingine,inaonekana haina mazingirayanayowashawishi serikalikuhamia huko.

    Pamoja na kwamba kasumbahii ya serikali imeifanya Darkuwa na mrundikano mkubwawa watu kiasi cha kuelemeamiundo mbinu ya jiji hili,

    bado inaonekana kukosekana

    m i k a k a t i k a b a m b e y akuwafanya Watanzania kuonafahari kubaki katika mikoa yaona kuendelea na shughuli zaoza uchumi na kimaendeleo.

    Hivi sasa kuna sakata lawananchi wa mkoa wa Mtwarauliopo Kusini mwa Tanzania,ambao wanashinikiza serikalikutumia gesi inayozalishwamkoani humo, kuwa chachuya kuwanyanyua kiuchumina kimaendeleo badala yakuivuna na kuielekeza Dar esSalaam.

    Wana Mtwara wanaaminikuwa gesi iliyopo itakuwachachu ya maendeleo mkoani

    humo kiasi cha kuwafanyaWatanzania kutoka mikoamingine, kuwa na hamu yakwenda kuishi na kufanyakaz i zao Mtwara kamawanavyokimbilia jijini Dar es

    Salaam hivi sasa.Sote tunakumbuka ulempango wa kufungua malangoya kiuchumi unaoitwa MtwaraCorridor. Mpango huu ulikuwana maana ya ku funguakiuchumi maeneo kwa ajili yauwekezaji na miundombinu ilikuhudumia maeneo ya ndaniKusini (Land Locked Area)yaani Mtwara, Lindi, Ruvumahadi nchi jirani za Malawi naZambia.

    Mkakati huu ulichagizwazaidi na Rais wa awamu yatatu Mzee Benjamin WilliamMkapa, kiasi cha kuanza kuletasura ya matumaini hususan kwawatu wa mikoa ya Kusini.

    Kugunduliwa kwa gesi hukoSongosongo na Mnazi Bay,kuwepo kwa bandari yenyekina kirefu cha asili ya Mtwara,kilimo cha zao la korosho,matunda, utengenezaji wachumvi, madini ya nishatikama makaa ya mawe hukoKiwira, madini vito huko Lindi,Tunduru, Jasi, Gypsum n.k,maliasili zote hizi ni kichocheomuhimu cha maendeleo yakiuchumi kwa ukanda huu nakwa taifa kwa ujumla.

    Mtwara uk iwa mkoaunaoongoza kwa zao lakorosho, unahitaji viwandavya kubangulia zao hilo(processing factories) ilikuliongezea thamani na wakatihuo huo kuongeza pato kwamkulima. Baadhi ya viwandavinafanya kazi lakini vingivimesimamisha uzalishaji nakugeuzwa maghala.

    Tayar i Mtwara kunawawekezaji wa viwanda ambaowameshaanza uwekezaji wao.Kwa mfano hivi sasa kunaujenzi wa kiwanda cha sarujicha Dangote, kuna mpango wakujengwa kiwanda kikubwacha mbolea, ambacho kitatumiaumeme mwingi.

    Kunahitaji viwanda vyachumvi, migodi ya madinikama kule Tunduru itahitajiumeme, migodi ya makaaya mawe Kiwira kadhalika.

    R uvuma na L ind i ko tekunahitaji umeme wa uhakikakwa ajili ya uwekezaji ambaoumeshaanza kuonekana.

    Gesi ya Msambiati imeletamatumaini ya kuwepo nishati yakutosha kwa ajili ya kuendeshashughuli zote hizi za kiuchumikatika eneo hilo. Uwekezajiwote huu utahitaji umeme wakutosha na wa uhakika katikaeneo lote la Mtwara Corridorhapo baadae, ili kukidhi haja yauwekezaji katika eneo hilo.

    Kuitoa gesi Mtwara nakuisafirisha hadi Dar es Salaamili eti iweze kuzalisha umemewa uhakika katika gridi ya

    Taifa na kuleta nishati yakudumu katika viwanda vyaDar es Salaam, ni sawa nakusaliti matarajio ya uwekezajimkubwa katika MtwaraCorridor.

    Ni vyema serikali ikaonahaja ya kufua umeme nakuuingiza gridi ya Taifakutokea huko huko Mtwara,na ukasambaa mikoa mingineikiwemo Dar. Hatua hii pia ni

    bora zaid i kiusalama kwanihata Ubungo Electric Plantikikwama iwe ni kwa tufaniau maafa, basi kunakuwepo nachaguo la chanzo kingine chaumeme, nao ni kutoka MtwaraElectric Plant.

    Kwa kufanya maamuziya busara katika kuvuna nakutumia rasilmali zilizopomikoani, na kwa kuwekamikakati ya kuweka mazingiramazuri ya uwekezaji kiuchumimikoani, ni wazi kwambautafika wakati watu badala yakurundikana Dar, wakatamanikwenda Mtwara, Lindi ,Kigoma, Kagera na mikoamingineyo, kwa kuwa zile fursazilizokuwa zikionekana Dar

    pekee huko nako zitakuwepo.Kwa kifupi, hatua hii

    inaiwezesha mikoa nayo kuwaEconomic Hub kama Dar

    japo inaweza isiwe sawa kwakipindi kifupi.

    Hivi sasa serikali imeamuakujenga bandari mpya hukoMwambani katika jiji la Tanga,ni hatua ya kimaslahi kiuchumikwa taifa na ya kimaendeleokwa Watanzania. Hatua hii

    bila shaka ni nzur i na hatakistrategia inakubalika.

    Kwa kujengwa bandari yakisasa Tanga, ni wazi kwambakutarahisisha kupokea nakusafirisha bidhaa nyingi katikamaeneo ya Kaskazini mwanchi na katika nchi jirani zaUganda, Rwanda na Burundi,na DRC.

    Hata hivyo wakati wa ujenziwa bandari ya Tanga ukiwekwa

    bayana, serikali pia imeelezakuwa imeingia makubaliano naKampuni ya Ujenzi (MerchantsHolding Company), kutokaChina kwa ajili ya ujenzi waBandari mpya ya Bagamoyomkoani Pwani.

    Waziri wa Nchi, Ofisi yaWaziri Mkuu Uwekezaji naUwezeshaji, Dkt. Mary Nagu,alishasema kuwa makubalianoya awali yalifanyika Septemba5 mwaka jana na kwamba,ujenzi wa bandar i h iyoutakwenda sambamba nauendelezaji wa miradi mingineinayoambatana na ujenzi wa

    bandar i hiyo kwenye EneoMaalumu la kiuchumi laBagamoyo (SEZ).

    Dkt. Nagu alisema kikosikazi cha kampuni ya MerchantsHolding Company, kitasimamiamiradi itakayojumuisha ujenziwa barabara itakayounganisha

    bandari hiyo, pamoja na ujenziwa reli itakayounganisha

    bandari hiyo na reli ya kati na

    TAZARA.Waziri alichagiza zai

    kuwa miradi hiyo itatekelezwkwenye maeneo hayo maaluya kiuchumi, hivyo ni mrawenye umuhimu mkubw

    kwa maendeleo ya Taiikizingatiwa kwamba bandahiyo mpya itasaidia kupungumsongamano wa mizigo katikBandari ya Dar es Salaamambayo alidai tayari imekaribukomo wake wa kupanuliwa

    Dkt. Nagu alibainishkwamba bandari mpya yBagamoyo i takuza kwkiasi kikubwa ushindani wTanzania kikanda na Kimataikwa kuwa itaongeza uwezo wkuhudumia shehena za mizigkutoka na kwenda nchi jiraza Uganda, Rwanda, BurundZambia, Congo (DRC), nMalawi.

    Alisema kadhalika mapayatokanayo na biashara ykimataifa yataongezeka nkuongeza fursa za ajira hivykuchangia kwa kiasi kikubwkuongeza kasi ya kukua kwuchumi wa nchi.

    Binafs i s idhani kamkulikuwa na ulazima sankiuchumi kujenga Bandaya mpya Bagamoro kwa sakuliko ile ya Mtwara. Kujengwkwa Bandari Bagamoyo, kama tawi tu (subsidiary) kw

    bandar i ya Dar es Sal aamZaidi ni kwamba zitakuwa enemoja, kwa maana hakuna nafuyoyote kiusafirshaji inayowekupatikana kiuchumi zaidi yile inayotajwa ya kuondomsongamano bandari ya Des Salaam.

    Bandari ya Dar es SalaamTanga na Mtwara zingetoshkujenga uchumi kwa njya bandari. Si BagamoyKwa kutengemaa bandari zTanga na Mtwara, ingetoshkupunguza msongamanuliopo katika Bandari ya DaShehena za DRC, RwandBurundi, Uganda ni rahisi nnafuu iwapo zitapita katik

    bandari ya Tanga kuliko Dau hiyo ya Bagamoyo.

    S h e h e n a z a M a l a wZambia na maeneo maalum yuwekezaji ya Kusini mwa nczingesafirishwa kwa urahisi nkwa unafuu zaidi kwa kupitBandari ya Mtwara, ambay

    tunaona kimaslahi ya kiuchumndiyo ingestahili kupewkipaumbele ikilinganishwa nhiyo inayojengwa Bagamoy

    Kiuchumi tunaona maamuyaliyofanywa na serikahayakuwa na tofauti na ywale walioamua kuingoreli ya Nachingwea Mtwaril iyojengwa mahsusi nwakoloni wa Kiingereza kwajili ya kusafirisha mazao ykaranga na korosho.

    Ni vyema serikali ikajazaidi mipango ya kiuchuminayok idh i v igezo vykiuchumi na kimaendelekuliko mipango inayokidsababu na haja za kisiasa.

  • 7/29/2019 Annur

    8/16

    8AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 20Makala

    S I A S A n i m c h e z omchafu, na ukitafakarizaidi kuhusu msemohuu, utagundua kwambaw a n a s i a s a n i w a t uwachafu na hutakiwikuwaamini hata sikum o j a . M w a n a s i a s a

    yeyote haijalishi anaapakwa kutumia Quranau Bibilia, madhali nimwanasiasa hata kiapochake haki f iki kwamungu. Wengi wapo kamapopo, akifika msikitiniameshika tasbihi, naakiingia kanisani amevaamsalaba!

    Binadamu ameumbwa naubinafsi wa kujipendelea,wakati wowote na popotepale alipo hata akipatafursa ya kuamua, basihatasita kujipendelea.A t a j i p e n d e l e a k w a

    kuonyesha kwamba yeyeni bora zaidi kuliko walewaliomzunguka. Wakatim w i n g i n e a n a w e z ak u j i p e n d e l e a k w akudhihirisha kwambaimani yake ni bora kulikoimani ya wengine, au milaza kabila lake ni bora kulikozingine nakadhalika. Imaniza udini katika nchi yetuzina historia ndefu mnolicha ya kwamba wanasiasana serikali zao zimekuwazikikataa kwamba hakunaubaguzi wa udini katikanchi hii. Kulingana na

    utafiti wangu hulka zaudini pia zimechangiak u l i n d a n a k u j e n g adesturi za kulindana:mtu anakosa ambalokwa mujibu wa sheriaanastahili kuwajibishwakwa kufikishwa mbeleya haki, lakini kwa vileni muumini mwenzio,basi unamlinda, na hukuukizingatia kigezo kwambaukimfukuza utapunguzaidadi ya waumini katikasafu ya uongozi wako.Imeshawahi kutokea mtuamekosa lakini kigezocha imani za kidinikikamlinda asifukuzwekazi bali akahamishiwai d a r a n y i n g i n e i l iakajirekebishe!

    W a k a t i m w i n g i n eudini unatumika kamanjia mbadala ya kuugawaumma ushindwe kusimamakwa pamoja kama taifakutetea mahitaji muhimuna maslahi kwa taifa(Divide and Rule).

    Taifa hili ni la Waislamuna Wakristo ukiwagawawakawa hawapendani,

    Je, wana Sera za Udini?

    Na Dr. Noordin Jella

    w a n a g o m b a n a n akuchukiana, basi wanakuwahawana uwezo wowotewa kuukemea utawalawala kuuwajibisha palewanapoenda kinyumena taratibu zilizowekwa;n a k w a m a a n a h i iwa tawala wanawezak u f a n y a w a t a k a v y owanajua hakuna nguvuya umma ya pamoja yakuwawajibisha. Hii katibatunayoitafuta hivi sasatungekuwa tumeshaipatamiaka mingi iliyopitatangu enzi za Nyerere,lakini tumegawanywa natumegawanyika.

    M w a k a 1 9 9 2tulipoanzisha mfumo wavyama vingi vya kinafiki,ni wanasiasa hao hao

    wal iokuwa ser ikal iniwaliokuwa mustari wambele katika zoezi hilola kuviunda vyama vyaupinzani, na walipomalizakuviunda wao hao haondiyo walianza kutuambiakwamba hiki ni chamaWaislamu na kile nichama cha Wakristo auchama fulani ni chamacha kikabila nakadhalika!Ilimradi tu wametugawa nakweli tumegawanyika.

    Tatizo la Udini ni tatizosugu na lina historia ndefukatika nchi hii, na tatizohili hakulianzisha Dr.Kikwete licha ya kwambawatu wengi wanalalamikakwamba Kikwete ana Udini.Udini aliuanzisha MwalimuNyerere mwenyewe hata

    kabla nchi haijapata uhurutoka kwa Waingereza,na kauli ya kwanza yaUdini aliitoa Nyerereakiwa katika viwanja vyaMnazi Mmoja mjini Dar esSalaam aliposema Hapanipo Mkristo peke yanguwakati akitoa kauli hiyoalikuwa amezungukwa nabaadhi ya wanaharakati wachama cha TAA waliokuwawanapigania uhuru wa nchihii ambao wote walikuwani Waislamu.

    Wakati watu wanashaukuni namna gani wanawezak u p a t a u h u r u y e y ehakufikir ia umuhimuwa uhuru kwanza, balialifikiria Udini! Pamoja nakwamba hakuna anayejuadini nzuri ni ipi? Au

    pamoja na kwamba hakunaliyechagua azaliwe ndini gani, nikiwa na maankwamba wote tumefuadini walizokuwa nazwazazi wetu, ingawkuna wachache ambawamevuka barabara nkujiunga na dini nyinginkwa sababu za ndo

    uchumi, ushawishi fulaau maamuzi tu ya mtmwenyewe. Kulingana nuelewa wa viongozi wetangu nchi hii ipate uhurni kwamba kila mtawaalijitahidi kuwasogezmaumini wenzie karibu nyeye kadri ilivyowezekankwa mfano: Nyereralipoingia Ikulu kwanzinasemekana aliandikWaraka wa kuwaagizviongozi wa wizara yelimu kutoa kipaumbekwa wanafunzi wa Kikristna baada ya kufanya hivyakahakikisha kwa vitendkwamba anawapendeleWakristo kwa kila hali.

    Hii ni vita kubwa sanpamoja na kwamba siyvita ya kutumia bunduau mapanga lakini ni viambayo imeweza kudumkwa zaidi ya miaka 5sasa; pamoja na kuwepkwa vita hii, lakini hakunkiongozi hata mmojutakayemuuliza kuhusvita hii akubali kwambkuna vita! Kuna msommmoja wa Uingerezalikuwa anaitwa IsaNewton ambaye aligunduta r a t ibu za mwend(principles of motionmoja ya taratibu hizinasema Kila kitendo kinjibu lake (Every Actiohas Reaction). Nimetumtaratibu za Newton inielezee kwamba Mkirisakimtoa Muislamu kwmaana ya kwamba nMuislamu, basi Waislamwengine walioko ndani ySystem hiyo hiyo wanajibmapigo chini kwa chinMuislamu akimtoa Mkiris

    na kumuweka Muislamkwa maana za kidini, baWakristo waliopo ndani ySystem hiyo hiyo wanajibmapigo ya chini kwa chinWewe kama ni Mkiristu k a m c h a g u a W a z iMkristo au wewe kamni Muislamu ukamchaguWaziri Muislamu badhujafanya kitu kwa viwaziri si mtendaji bawaziri ni mzungumzajlakini wanaopika mambhuko jikoni huwajui kam

    RAIS Jakaya Kikwete. Dkt. Shukuru Kawambwa (Waziri)

    Inaendelea Uk.

  • 7/29/2019 Annur

    9/16

    9AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 201Makala

    Je, wana Sera za Udini?Inatoka Uk. 8

    ni Waislamu au Wakristo!Hii ni vita ya kipuuzi na

    inabidi vita hii ikomeshwem a r a m o j a , k w a v i l etukiendelea na ustaarabuhuu tutajikuta siku mojatunatoana ngeu. Tusihusishemahitaji muhimu ya binadamu

    na imani za kiroho. Kilabinadamu bila ya kujali imaniyake ya kidini anahitaji kula,kunywa, kuvaa, elimu bora namengineyo. Hivyo kuhusishaimani za kiroho na mahitajimuhimu ya binadamu, nikumkufuru mungu.

    Watu wengi wanamlaumusana Rais Jakaya MrishoKikwete kwamba ni mtuanayeendekeza udini, lakinikwa nini tumlaumu Kikwetetusiilamu CCM na systemyake! Si tunasema kwambaRais ni taasisi, kama hivyondivyo sioni kama tutakuwa

    sahihi kumlaumu Kikwete,mimi nawaombeni hebumvute kumbukumbu zenumkumbuke kukua na kueneakwa Udini tangu nchi hiiimepata uhuru mwaka 1961hadi leo, ingawa nafahamukwamba Watanzania tunak u m b u k u m b u d h a i f u ;hatukumbuki jana walahatuna habari na kesho,isipokuwa tunaiona leotu kwa vile ipo mbele yamacho yetu, lakini pamojana lawama hizo, Kikwetehuyo huyo anaonekana vitaya udini imemshinda kwa

    vile Wakristo wana vyuovikuu zaidi ya 15 hapa nchini,wakati Waislamu wana ChuoKikuu kimoja.

    Waislamu wamekuwawakilalamika kwa mudamrefu kuhusu ahadi yaMwalimu Nyerere ya kuwapaWakristo upendeleo, lakiniwamekuwa wakipuuzwakama wanachosema siyo kitumuhimu! System ya Nyerere(serikali ya CCM) imekuwana tabia ya kupuza sanawananchi wake. Unawezaukatoa hoja nyeti sana kwamanufaa ya jamii, lakini

    wakajikausha kwa kukaakimya kama vile unachokidaihakina maana!

    Mtu wa kwanza katikas e r i k a l i k u z u n g u m z i akubaguliwa Waislamu katikaelimu alikuwa ProfessorKighoma Malima, lakini MzeeMwinyi hakuchukua hatuazozote wala kukemea kwavile ubaguzi huo umewekwana mwenye nchi. Sasa hiviyupo Rais Kikwete naMaalimu Shukuru Kawambwahawataki kuuweka hadharani

    ubaguzi huo wala kuukemea.Wanaogopa wakiukemeawanaweza kuwa kat ikamatatizo makubwa, kwavile mwenye nchi aliachawosia kwamba anataka kulipaKanisa A better chance.

    Mimi naona kwa mwenendohuu tunazidi kuongeza barutikwenye mbegu ya chukiiliyopandwa na Mwasisi waTaifa hili Mwalimu Nyerere.Nyerere amepanda mbeguya chuki ya udini kati yaWaislamu na Wakristo nakama tusipotumia busarakuingoa mbegu hii kuichomamoto na kuifukia baharini,basi nchi hii siku za usoniitawaka moto!

    Hivi majuzi Waislamuwalilalamika wakidai serikaliwamechakachua matokeoyao ya mtihani ya kidato chaNne/Sita ! Hizi ni shutumanzito sana kwa nchi yoyoteinayojal i raia wake na

    inayopenda kudumisha amaniya kweli, na shutuma kamahizi si vizuri kutumia ujanjaujanja wa kuzizima chinikwa chini, bali ni sualaambalo serikali inatakiwaijisafishe wazi wazi ilikuondoa chuki ambazozinaendelea kujilimbikiza;na wale wote waliohusikani lazima wawajibishwekulingana na mujibu washeria.

    Mwaka 2007 nilipokuwanafundisha kule ChuoKikuu Mzumbe siku moja

    nilikuwa nasahihishamtihani wa wanafunziwangu wa mwaka watatu ambao ni l ikuwanawafundisha somo laQuantitative Economics(Mahesabu ya Uchumi);w a k a t i n a s a h i h i s h amtihani huo akauonamwalimu mwenzangu

    ambaye alikuwa MhadhiriM w a n d a m i z i . M a r aakaanza kushangaa etikumbe ninajua hesabu!A k a a n z a k u s t a a j a b uinakuwaje mimi Muislamuninajua hesabu?

    Mara akawaita walimuwengine nao wakaanzakushangaa kama yeye

    alivyokuwa anashangaaMimi nikaona labda kwvile ni walimu wenzangulabda walikuwa wanafanyutani, lakini cha kushangaznikaona gumzo hilo likawrefu na baada ya hapo ikawinaendelea minongonya chini kwa chini! Nwengine wakaanza kuniiAbdala, wakati hilo siyjina langu!

    Je, kama ningekuwa nBhudist au sina dini yoyoningewekwa kwenye kungani!? Ningekuwa juu yUkristo au ningekuwa chiya Uislamu!? Je, Watanzanbado hamjakubali kwambNyerere ka tupumbazaS a s a k a m a M h a d h iMwandamiz i wa ChuKikuu anaweza kustaajabkwamba kumbe Muislamanaweza kujua hesabuHivi imani ya kiroho nuelewa au ufahamu wmtu vinahusiana niniIna maana Professor w

    hesabu Mkiristo akibadidini na kuwa Muislamhesabu zote kichwanzinayeyuka na kuwa muuzmachungwa?

    Ndugu zangu WatanzaniNy erere amet ufanya ki tk ibaya sana , na kamtusipotumia busara tutakukuchinjana kama kuku kwimani za kijinga ambazhazitofautiani na imani zkishirikina.

    Mimi binafsi ni muhangwa sera za Udini, naaminkwamba sera na vigezhivi hivi vya udini ndivyvimetumika kuvipiga vi

    na kuviagandamiza vitabvyangu ndani na nje ya nchWanakitengo wakitumdesturi na mila zao zizile za Udini za kwambkwa nini Muislamu aandikvitabu vingi kiasi hiki (Vitab33)? Vitabu hivi vinawezk u o n e k a n a k w e n ymitandao kama vile wwwamazon.com, www.googlcom, na mingineyo (tafuNoordin Jella).

    Udini umeleta chuki zkijinga ambazo zimepuuzkabisa kitu kinachoitwuzalendo. Leo Muislamamefanya kitu kizuri, Wakriswanakipinga; kesho Mkirisnaye atafanya kitu kizuri kwtaifa hili lakini Waislamwatakipinga..

    (Dr. Noordin Jella (PhD. in Economics)

    Former Lecturer oMzumbe, Open & KI D ar, Un iver s i t i eCurrently: FreelancJournalist & SeasonaPolitical Analyst

    Email:[email protected]: +255 782 000131)

    NAPE Nnauye, Katibu Mwenezi CCM

    RAIS Jakaya Kikwete (katikati), Rais mstaafu Zanzibar, Dkt. Amani AbeidKarume na Katibu Mkuu mstaafu Yusuph Makamba.

  • 7/29/2019 Annur

    10/16

    10AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 20Makala

    (Januari 2013 - Mtandao wakupashana habari)

    MTU mwingine wa hatariambaye alikuwa na nafasikatika kuundwa kwa mpangowa kupambana na uasi nchiniIrak alikuwa Kamishna wazamani wa polisi jijini NewYork Bernie Kerik (aliyepigwapicha akiwa Chuo cha Polisicha Baghdad amezungukwana walinzi) ambaye mwaka2007 alifunguliwa mashitakakatika mahakama ya shirikisho(serikali kuu) kwa makosa 16ya jinai.

    Kerik alikuwa ameteuliwa nautawala wa Bush wakati uvamiziwa Irak ulipoanza mwaka 2003kusaidia katika kuunda upyana kutoa mafunzo kwa jeshi la

    polisi Irak. Wakati akiwa hapokwa muda mfupi mwaka 2003,Bernie Kerik - ambaye alishikawadhifa wa Waziri wa Mamboya Ndani kwa muda - alifanyakazi ya kuunda makundi yakigaidi ndani ya jeshi la polisila Irak. Akiwa amepelekwakuinua majeshi ya usalamaIrak kufikia hali inayostahili,Kerik alijifanya waziri wamuda wa mambo ya ndano waIrak. Washauri wa Uingerezawalimwita terminator waBaghdad, kwa mujibu wa jaridala Salon, Desemba 9, 2004.

    C h i n i y a u o n g o z i w aNeg ropont e kwe nye Uba loz iwa Marekani mjini Baghdad,wimbi la mauaji yaliyojificha yaraia na kuuawa kwa kulengwayalikuwa yameanza. Wahandisi,madaktari, wanasayansi nawasomi pia walilengwa.

    M wa n d i s h i wa v i t a b una mchambuzi wa masualaya kimataifa, Max Fuller ameonyesha kwa undani vitendovya kinyama vilivyofanywachini ya mpango wa kupambanana ugaidi ulioendeshwa naMarekani.

    Kuzuka kwa makundi yamauaji kuliarifiwa mara yakwanza mwezi Mei (mwaka 2005)....makumi ya miili ilionekana

    imetupwa ovyo bila kificho ...katika maeneo yasiyokaliwa nawatu mjini Baghdad. Waliouawawalikuwa wamefungwa pingu,wakafungwa kitambaa usonina kupigwa risasi kichwani,na wengi walionyesha dalili zakuwa waliteswa vibaya.

    Us h a h i d i h u o u l i k u waunatosha kwa Chama chaWanazuoni wa Kiislamu (AMS),ambacho hasa kinaunganishawanazuoni wa ki-Sunni, kutoataarifa ambako walitoa tuhumakuwa majeshi ya usalama chiniya Wizara ya Mambo ya Ndani

    pam oja na Br ige di ya Bad r,ambayo mwanzoni ilikuwa tawila kijeshi la Baraza Kuu la

    Ugaidi wenye sura ya kiutu:Historia ya vikundi vya mauaji Marekani -2

    Na Profesa MichelChossudovsky

    Mapinduzi ya Kiislamu nchiniIrak (SCIRI), kuwa wanahusikana mauaji hayo. Pia waliituhumuWizara ya Mambo ya Ndanikwa kuendesha ugaidi wa dola(kwa mujibu wa FinancialTimes, gazeti mashuhuri laUingereza).

    M a k o m a n d o o w apo li si pa mo ja na Br ig ed iya Mbwamwitu walikuwa

    wanasimamiwa na mpangowa kupambana na ugaidi waMarekani, katika Wizara yaMambo ya Ndani ya Irak.

    Makomandoo wa polisiwaliundwa chini ya uangaliziwenye uzoefu na wapiganajidhidi ya ugaidi wa Marekani,na kuanzia mwanzo walifanyaoperesheni za pamoja na vikosimaalum na vya siri vya jeshila Marekani, kwa mujibu wataarifa za usalama wa taifa lashirika la habari la Reuters.

    Mshirika muhimu katikakukua kwa MakomandooMaalum wa Polisi alikuwa JamesSteele, mshirika wa zamaniwa vikosi maalum vya Jeshila Marekani ambaye alionjavita huko Vietnam kabla yakuendelea mbele, kusimamiaujumbe wa kijeshi wa Marekaninchini El Salvador wakati wakilele cha vita vya wenyewe kwawenyewe nchini humo.....

    Mchangiaji mwingine waMarekani alikuwa yule yuleSteven Casteel ambaye, alikuwaofisa mwandamizi zaidi mshaurikatika Wizara ya Mambo ya

    Ndani alipuuzia taarifa zenyeushahidi kamili wa uvunjwajiusio na mipaka wa haki za

    bi na da mu ka ma u vu mi navijembe. Kama Steele, Casteelalipata uzoefu katika Amerikaya Kusini, kwa upande wakeakishiriki katika kumtafuta

    maporini mbabe wa madawa yakulevya Pablo Escobar katikavita dhidi ya madawa nchiniColombia miaka ya 1990......

    Alichofanya Casteel hukonyuma ni muhimu kwa sababuaina hii ya kukusanya taarifa zakijasusi na kutayarisha orodhaza watu wa kuuawa ni sehemumahsusi ya kile Marekaniinachofanya inaposhi r ik i

    katika programu za kupambanana ugaidi na kunadhihirishauwiano wa kile kilichotokeana kuonekana kana kwambani mauaji ya mtawanyiko,yanayotokea ghafla tu.

    Mauaji haya ya halaikiy a n a y o r a t i b i w a r a s m iyanaendana na kile kinachotokeaIrak, Pia yanaendana na kilekinachofahamika kuhusuMakomandoo wa Polisi Maalum,ambayo ilifukwa kuipa Wizaraya Mambo ya Ndani uwezo wakutumia vikodi maalum vyawapiganaji (kwa mujibu waWizara ya Ulinzi ya Marekani).Ili kuendana na nafasi hiyo,makao makuu ya Makomandoowa Polisi yamekuwa ndiyo kitu

    cha kamandi maalum ya kitaifa,udhibiti, mawasiliano, kituo chauendeshaji kumpyuta na ujasusi,kwa usimamizi wa Marekani(kwa mujibu wa Max Fuller,aliyetajwa juu).

    Maandalizi ya mwanzoy a l i y o f a n y w a c h i n i y a

    Neg ropo nte mw aka 2005yalitekelezwa chini ya mrithiwake, Balozi Zalmay Khalilzad.Robert Stephen Ford alihakikishauendelezaji wa mradi huo kablaya kuhamishwa kuwa Baloziwa Marekani nchini Algeriamwaka 2006, na pia aliporudiBaghdad kama naibu balozi,mwaka 2008.

    Operesheni Contra wa

    Syria: Kujifunza kutoka uzoefu

    wa IrakUigaji wa kutisha nchini Irak

    wa mpango wa Salvador chiniya Balozi John Negroponteumekuwa mfano wa kuigwawa kuunda Contras wa JeshiHuru la Syria. Robert StephenFord bila shaka alihusika nautekelezaji wa mradi wa Contrawa Syria, baada ya kurudishwaBaghdad kama naibu mkuu wakituo (ubalizi) mwaka 2008.

    Nia nchini Sy ria ili kuwani kuunda migawanyiko katiya makabila-dini ya Walawi,Wasuni, Washia, Wakurdi,Wadruze ba Wakristo. Wakatihali ya Syria ni tofauti kabisana ile ya Irak, kuna maeneoyanayofanana kabisa kuhusu njia

    za kufuata ambako mauaji nautisho mwingine vinafanyika.

    Taarifa iliyochapishwa najarida la Ujerumani, Der Spiegel,kuhusu vitendo vya kikatilivilivyofanywa katika mji waHoms nchini Syria zilithibitishampangilio wa kufanya mauajiya watu wengi kikabila, n amauaji nje ya mkondo washeria yanayofanana na yaleyaliyofanywa na makundi yamauaji yaliyoundwa na Marekaninchini Irak.

    Watu wa Homs walikuwam u d a wo t e wa n a i t wa n iwafungwa (Washia, Walawi)na wahaini. Wanaoitwawahaini ni raia wa Kisuni katikamaeneo yanayoshikwa na waasi

    mijini, ambao wanaonyeshakutokukubaliana au upinzanikwa utawala wa vitisho wa JeshiHuru la Syria (FSA).

    Tangu kiangazi kilichopita(2011), tumewakatilia mbaliwatu karibu 150, ambao nikaribu asilimia 20 ya wafungwawetu, anasema Abu Rami (waFSA)..... Lakini wauaji wa Homswamekuwa wakihangaikia zadiwahaini katika makundi yaowenyewe na siyo wafungwawa kivita. Kama tunamkamataMsuni akifanya ujasusi, aukama raia anayahaini mapinduzi,tunafanya chap chap, anasemampiganaji huyo. Kwa mujibu waAbu Rami, brigedi ya kuzika yaHussein imewaua wahaini kati

    ya 200 na 250 tangu kuanzakwa uasi, kwa mujibu wa DerSpiegel, Machi 30, 2012.

    Mradi huo ulihitaji mkakatim a a l u m wa k u s a j i l i n akuwafunza askari wa kukodiwa.Vikundi vya mauaji ikiwa ni

    pamoja na wafua si wa Salaf iwa Lebanon na Jordan viliingiaSyria kwa mpaka wake wakusini, na Jordan katikati yamwezi Machi 211. Sehemu yakazi ya msingi (kufikia hapo)ilikuwa imeshafanyika kabla yaRobert Stephen Ford kuwasiliDamascus mwezi Januari 2011.

    Balozi Ford akiwa Homsmwanzo wa Julai 2011

    Kuteuliwa kwa Ford kama

    Balozi wa Marekani nchi

    Syria kulitangazwa mapem2010. Mahusiano ya kibaloyalikuwa yamevunjwa mwak2005 baada ya kuuawa kw(aliyekuwa Waziri Mkuu wLebanon) Rafik Hariri, ambakWashington iliilaumu Syrkwa mauaji hayo/ Ford aliwasnchini Syria takriban miemiwili kabla ya kuanza kwuasi.

    Jeshi Huru la Syria (FSA)Washington na washirik

    wake walirudia nchini Syrvielelezo vikuu vya Mkakawa Salvador nchini Irak, nkufikia kuundwa kwa Jeshi Hula Syria (FSA) na vikundi vyaktofauti vya uasi ikiwa ni pamona kikundi mwanachama wa AQaeda cha brigedi za Al Nusr

    W a k a t i k u u n d wa k wJeshi Huru la Syria (FSAkuliotangazwa Juni 201kusajili na kutoa mafunzo kwaskari wa kukodiwa kutoka nkulianzishwa kitambo kablKatika maeneo mengi, JesHuru la Syria ni vungavungtu. Linainuliwa na vyombvya habari vya Magharikama chombo ha l i s i chkijeshi kilichoundwa kutokanna askari wengi kuyakimbmajeshi ya serikali. Idadi haliya waliokimbia jeshi la serikahaikuwa muhimu au ya kutoshkuunda mfumo halisi wa jeshwenye mamlaka za utawala nudhibiti.

    FSA siyo jeshi halisi la wawa fani hiyo, ila ni mkusanyik

    au mtandao wa brigedi tofauti ugaidi, ambao wanaunganishpamoja vikundi vya ki jesvinavyojitegemea, vikifanyopereseni sehemu tofauti znchi.

    Kila moja kati ya vikunhivi vya kigaidi inafanya kakivyake. FSA haina mfummmoja wa kutoa amri na kudhibkinachotokea, na kuwasilianna vikundi tofauti vya kijeshVikundi hivi vinaelekezwa nvikosi maalum na mawakala wusalama wa Marekani na NATambao wamepachikwa katikmifumo ya vikundi kadhahusika.

    Vikosi hivi maalum (vyenymafunzo ya hali ya juu) katikmapigano (wengi wao nwaajiriwa wamakampuni binafya ulinzi) wanawasiliana kimara na vituo vya upelelewa kijeshi vya Marekani nwashirika wake wa NATO

    pamoja na Uturuki. Vinaelekezwna vikosi maalum (vikiwemSAS ya Uingereza na askawa miavuli wa Ufaransa) nmakampuni binafsi ya ulinna usalama yenye mikatabna NATO na makao makuu yJeshi la Marekani (PentagonKwa hili, taarifa zinathibitishkukamatwa na serikali ya Syrkwa waajiriwa 200 hadi 300 wmakampuni binafsi ya ulinambao walikuwa katika vikunvya uasi.

    (itaendelea)

  • 7/29/2019 Annur

    11/16

    11AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 201Makala/Tangazo

    Kuna kijana mmojaaliwahi kuishi katika nchi

    hii, na huyu kijana alikuwaanaitwa Edward MoringeSokoine. Kijana huyualikuwa anatoka kabila laWamasai. Sokoine aliwahikuwa Waziri Mkuu wanchi hii na alipokuwaWaziri Mkuu alikuwa mtuwa kwanza kumrekebishaNyerere hadharani kwakusema Tusiseme ZidumuFikira za Mwenyekintiwa CCM, Bali TusemeZidumu Fikira Njema zaMwenyekiti wa CCM;Ujasiri huu ulikuwa siyo wakawaida, ilikuwa si rahisi

    kwa mtu yeyote kumkosoaNyerere, Nyerere alikuwahakosolewi, harekebishwina wala hashauriki, alikuwaMungu Mtu! Sokoinealipokuwa Waziri Mkuualianzisha kampeni yakupambana na WahujumuUchumi kwa wakati huoau kwa sasa tunawaitaMaf i sad i , Soko inealiwahi kuwapa baadhi yavigogo wa serikali sikusaba warudishe pesa zawananchi shilling millionsitini (Tsh. 60,000,000) zawakati huo ambapo dollar

    moja ya Kimarekani ilikuwaShillingi 20. Vigogo haowalidaiwa kumuuzia LordRajipar Meli ya serikali napesa hazikuonekana. BasiSokoine katika kampenizake za kupambana naUfisadi akawapa sikusaba kwa kuwaambiak u w a a n a w a p a S i k uSaba warudishe Pesa zaWananchi, la wakishindwaatawapeleka Radio Tanzaniawakawaambie Watanzaniakwa Njia ya Radio PesaZao wamezipeleka Wapi?;Mimi Naenda DodomaKuhutubia Bunge, NikirudiNipate Majibu.

    Kwa baha t i mbayakabla ya siku saba kutimiaSokoine alifariki duniakwa ajali ya gari iliyotokeahuko Dakawa Morogoroa k i t o k e a B u n g e n iDodoma.

    Watanzania wenzanguk a m a m m e y a s a h a uhaya naomba mtafutekumbukumbu kwenyemaktaba za Radio Tanzaniana Magazeti ya Tanzaniaw a k a t i h u o ( U h u r u ,

    Je, Nyerere ni kikwazo cha katiba ya umma?-3Na Dr. Noordin Jella

    MWALIMU Julius Kambarage Nyerere

    Mzalendo, Daily News &Sunday News); nakumbukayalitangazwa kwenyetaarifa ya habari wakatihuo na kwenye magazetiyote yaliandika.

    Sokoine alipofariki ndipoharakati za kupambana na

    Ufisadi za kweli zilipoishiahapo na kuzikwa rasmi njekidogo ya mji wa Morogorokando ya njia ya kwendaDodoma, na baada ya hapoyakaendelea maneno yaleyale ya majukwaani tuya kulaani na kukemearushwa na ufisadi bila yavitendo!

    Je , wa le wakubwawenzangu wal ioku lachumvi nyingi kama mimi,haya wanayakumbuka, auyakitokea haya walikuwepoUghaibuni!? Ina maanaNyerere al ikuwa ha ju i

    kwamba Kawawa ameuzameli ya Wananchi kwaShillingi million sitini?Wakati nchi ilikuwa nameli moja tu! Sasa walewanaosema angekuwepoNyerere haya yanayotokeayasingetokea, naombawaseme au wajibu hojahii.

    Leo hii tunashangaau f i s a d i w a k a w a i d aunaofanywa na baadhi yamawaziri na viongozi waumma. Sokoine alipofarikiufisadi huo wa kutisha

    ukaisha kimya kimyahakuna aliyejitokeza kuhojiswala hilo tena!

    Ndugu zangu Watanzaniakabla hatujafikiri keshok u t a k u w a j e , l a z i m atukumbuke jana kulikuwavipi. Huwezi kufanya

    utabiri wa hali ya uchumi(economical prognosis) wamwaka kesho kama hunatakwimu za mwaka jana.Ukitaka kufanya utafitiwa jambo lolote lile, nilazima kwanza uelewekitu kinachoitwa Chanzocha Tatizo au kwa jina laKiingereza Backgroundof Problem. Bila kujuachanzo cha tatizo la Ufisadila nchi hii, hata tufanyenini au hata tumpate nani,au kitawale chama gani,hatutaweza kumal izaufisadi.

    Rais Mwinyi aliukutaufisadi, akauacha na RaisMkapa naye akaukuta nakuendeleza yale waliofanyawatangulizi wake kwa vileKatiba ni ile ile na watu niwale wale. Rais Kikwetenaye hawezi kumalizaUfisadi hata tungelalabarabarani mwaka mzima,h a w e z i k u b a d i l i s h achochote kwa vile yeyeni mzungumzaji tu lakiniSystem anayoisimamia niSystem ile ile ya Nyererena chama chake kile kile

    cha CCM. Enzi za Nyererepamoja na Tanzania kuwa nawasomi wengi waliokuwawamefika vyuo vikuu,

    lakini katika uchaguzimkuu wa Urais, Nyererealikuwa anagombea naKivuli yaani kwambahakuna mtu mwinginemwenye sifa za kugombeanafasi ya Urais na yeye,na chini ya picha yakekulikuwa na neno Ndiyona chini ya kivuli kulikuwana neno Hapana. Hivyoukichagua neno ndiyoUmemchagua Nyerere,na ukichagua neno hapanapia Umemchagua Nyerere!Huyo ndiye Nyerereni l iyekuwa ninamjua

    mimi.Jambo la kushangaza

    ni kwamba katika nafasiza Ubunge walikuwepow a g o m b e a w a w i l iwawili wakiwakilishwana alama ya Jembe naNyumba. NakumbukaNyerere watu walikuwawanamtania wanamwita H a a m b i l i k i y a a n iNyerere ni mtu aliyekuwahapendi ushauri wa mtuyeyote yule. WanaomjuaNyerere vizuri wanasemahuwezi kumkalisha chiniumshauri, hatakusikiliza,

    ukitaka atumie ushauri

    wako unatakiwa aidhuandike uache wazi ajasome bila wewe kuwepoau uwepo chumba chpili uonge e kwa nguvasikie lakini usijue kamanakusikiliza.

    Nyerere aliwahi kwendMarekani kuomba msaadwa chakula wakati wRais Ronald ReaganRais huyo wa Marekanalimshangaa kwa ninapate shida ya kuombchakula wakati Tanzanni nchi yenye rutuba nmito mingi. Nyerere alidhana wataalam wazuri wUchumi. Reagan alimshaukwamba ampe wakulimwatano (5) wa Kimarekan

    waje walime chakula chkuwatosha Watanzaniwote na kingine wauze nchza nje. Nyerere alikataakasema yeye ni Mjamahataki Mabepari.

    ( M a k a l a h iimea ndikwa na DrNoordin Jella (Ph.D. iEconomics)

    Former Lecturer oMzumbe, Open & KI

    Dar, Universi t ieCurrently: FreelancJournalist & SeasonaPolitical AnalystEmainorjel [email protected]

    Mobile:+255 782 000 131)

    Inapenda kutoa shukran zake za Dhati kwamahujaji wote waliosafiri na Ahlul-daawa.

    Pia inatangaza kua imeandaa safari ya UmraMfungo wa Saba ni sawa na machi 11 2013kwa Gharama ya Dola 1450 tu.

    Inaendelea kuandikisha mahujaji kwa

    Mwaka 2013.Wale watakao jiandikisha na kufanya malipomapema watapata punguzo maalumu labei.

    Usisahau Ahlu Daawa Hajj kwa Bei nafuu nahuduma bora.

    Kwa mawsiliano piga simu zifuatazo.

    Dar es salaam: 0773 724444, 0715 786101 nakwa Zanzibar 0777 417736, 0777484982.

    AHLU-DAAWA HAJJ

  • 7/29/2019 Annur

    12/16

    12AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 201Barua/Shairi

    RIWAYA ya Shambala wanyama (1945), nimoja kati ya kazi nzurikabisa za kibunifu katikaTasnia ya fasihi andishihapa duniani. Riwaya hiiambayo iliandikwa naMuingereza ambaye nimaarufu kwa jina la GeorgeOrwell, ni mtiririko wa

    sitiari (allegory) unaoakisidhana nzima ya ujamaawa kidemoskrasia katikatawala mbali mbali zakidunia.

    Kazi hii yenye ubora,ladha na mvuto usiochosha,inahusu kisa cha dola lawanyama. Wanyama ambaokwa pamoja walikubalianakuungana na kuishi kwamisingi ya usawa na haki.Moja kati ya kanuni hizo zausawa, ilikubaliwa kwambahakuna mnyama mmojaa t a k e m d h u ru m n y a m amwengine ama kwa kumla,kumpiga, kumdhulumuna hata kumuuwa. Kanunihii ilipita na ikaandikiwakauli mbiu (slogan) isemayoWanyama wote ni sawa!

    Kwa muda baada ya kanunihii kupitishwa na kukubaliwana wanyama wote, wanyamawadogo wadogo na walewaliokuwa waathirika wavitimbi, viteweji na mateso yawanyama wakubwa, walihisikupata faraja kubwa kwakuhakikishiwa usalama wao.Imani yao hii ilichangiwana kuona kauli ile mbiuikiimbwa na kuandikwa kilakona ya dola lao lile kiasiya kumfanya kila mnyama

    NANUSA HARUFU YA GEORGE

    ORWELL MCHAKATO WA KATIBA

    Written by Stonetown(Kiongozi) // 19/01/2013// Makala/Tahariri // 5

    Comments

    aamini kile anachokionakatika kauli mbiu ile.

    W a s w a h i l i h u s e m aTaa haachi mwiba wake.Haikutimia wiki, kuna baadhiya wanyama hasa ndege,walianza kuona dalili mbayakatika jamii yao. Moja yadalili hio ni kupotea kwabaadhi ya wanyama katikamazingira ya kutatanisha.Kwa lugha nyepesi, kunabaadhi ya wanyama walianzakuwala wengine kimyakimya kila siku.

    W a n y a m a w a d o g o

    walipogundua usaliti huuwalirudi kwa mkubwa waokushitaki na kusimuliamasikitiko yao juu ya kitendohiki cha uvunjifu wa amani,na usalama wa wanyamakatika dola yao. Kwa bahatimbaya walipofika mahala pamashtaka na kueleza makosayao, waliona ile kauli mbiuimebadilishwa kidogo kutokailivyokuwa mwanzo.

    Awali kauli ilisomekaWanyama wote ni sawa,l ak in i sasa inasomekaWanyama wote ni sawa,lakini baaadhi ya wanyama, nisawa zaidi kuliko wengine!

    Kisa hichi kikaishia hapo.Kumalizika kwa kisa hikindipo tunapopata nadhariahiyo niliyoitumia katikakichwa cha makala hii hapoju u, am ba yo ni moja yanadharia maarufu dunianikwa sasa. Yaani nadharia yaKi-Orwelli.

    N i m e w a j i b i k i w a n akuand ika kwa kusemakuwa kwa namna mchakatomzima wa maoni ya katibaunavyokwenda, nanusaharufu ile ile waliyoinusawanyama wadogo kamamimi katika Shamba la

    wanyama . Haru fu yakwamba kuna baadhi yawanyama ni sawa kulikowengine. Na hii si tuhumakutoka katika ombwe lauwazi, bali ina kila ainaya ithibati na vishereheshovya kuutilia shaka mapemamchakato huu wa katibanchini.

    Nilitegemea iwapo maoniya katiba yalilenga kukusanyamaoni ya wananchi, kwahaki na usawa, na ili yanipeimani kuwa haki itatendeka,basi yalikuwa yafanywe kwawanachi wote bila kuwekatabaka (strata/ social classes).Hii ni kutokana na ukwelikwamba katika mchakatowa katiba, wananchi wote,wake kwa waume, wakubwakwa wadogo, viongozi nawaongozwa, mashehe namapadiri, wanasiasa namajeshi, wote kwa pamojani wananchi walio sawa. Namchakato wa katiba ulikuwauanze na kauli mbiu hiyo ya Wananchi wote ni sawambele ya haki na sheria!

    Kuwe na usawa kwamba,maoni ya katiba yafanyikekama vile tunavyofanya

    uchaguzi. Yapitie kimajimboau maeneo ya ukazi wawananchi . Sasa maoniyakifika j imbo ambalokiongozi mkuu wa nchiau mstaafu anapoishi, basihio ndio iwe zamu yakeya kwenda kutoa maonihapo kwao. Kwa mfano,ikiwa Rais wa Zanzibaranaishi Mbweni, basi maoniyakifika jimbo la eneo hilo,iwe ndio zamu yake ya kutoamaoni na wananchi sawia,ijapokuwa atapewa nafasiya kwanza kufanya hivyo,

    Moyoni na dukuduku, na wa dili si wa dini,Wendao huko na huku, na vilembavyo vichwani,Kipyora kizumbukuku, dhidi ya WANAZUONI,Hivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAPOTOSHAJI ?

    Nahitaji mbayana, anieleze kiini,Cha wao kuwatukana, MAULAMAA wa DINI,Walounena BAYANA, UKWELI wa QUR-ANI,Hivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAPOTOSHAJI ?

    Wakajitoa MUHANGA, na kutupwa GEREZANI,Si kwa kusaka FARANGA, bali RADHI za MANANI,MASHEIKH wa kubananga, LENGOLO hasa ni nini,Hivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAPOTOSHAJI ?

    Wamponda ALBANNA, MWANAZUONI makini,Harakatize mwanana, asozifahamu nani,Watueleze bayana, walofanya wao nini,Hivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAPOTOSHAJI ?

    Kadhalika MAUDUDI, WAMRADDI hadharani,Mithili ya MURTADI, hali ni MWENZA safuni,

    Kubwa kwao ni KURADDI, WENZA wao WAUMINI,Hivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAPOTOSHAJI ?

    Waaidha na QUTUBI, MUHANGA wa GEREZANI,Kwa ya DINI yake HUBBI, akanyongwa KITANZINI,Kwazo zao TAASUBI, WAMKUFURISHA DINIHivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAPOTOSHAJI ?

    Wawaita MAJAHILI, eti WASOJUA DINI,Si NAHARIi si LAILI, tena KADAMNASINI,Kama hawa MAJAHILI, WAO tuwaite NANI,Hivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAPOTOSHAJI ?

    TAF-HIMU QUR-ANI, ni TAFSIRI ya NANI,FI-DHWILALI QUR-ANI, MFASIRI wake NANI,Kama si WAO ni NANI, WAPONDAJI NIJUZENI,Hivi hawa ni MASHEIKH, au ni WAKENGEUSHI ?

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    MASHEIKH AU WAPOTOSHAJI ?

    Inaendelea Uk. 1

    1118 sqm - 4 Milion, 1261 sqm 5 milion,1348 sqm 5.5 milion, 674 sqm 3 milion,848 sqm - 3.4 milion, 510sqm - 1.5milion, 516sqm - 2 milion, 522sqm - 2

    milion, 523sqm - 2 milion, 646sqm - 2.6milion, 656sqm - 2.6 milion, 474sqm 1.8milion, 456 sqm 1.8 milion, 538 sqm 1.8milion, 469sqm 1.9 milion, 406 sqm 1.6milion, 356sqm 1.5 milion, 399sqm 1.6milion, 359sqm 1.5 milion, 612sqm 3milion.

    Vipo Barabara ya Kongowe-SogaKilomita moja toka barabara ya

    Morogoro.

    Simu No.0755 090 754/0715 090 754.

    Viwanja vilivyopimwa vinauzwa

    Kongowe Kibaha

  • 7/29/2019 Annur

    13/16

    13AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 201Makala

    Alhamdulillahi WahdahuLasharikalahu, waswalatuwasalamu ala NabiyinaMuhamad (S.A.W), ammabaadau

    M h e s h i m i wa M u f t i ,mtoto wa jongoo alipotakakutembea alimuuliza mamayake aende vipi? Atangulizemguu upi mwanzo, lakinijibu alilolipa ta kwa mamayake ni kumwambia nendamwanangu nenda.

    Mheshimiwa Mufti naWaheshimiwa wazee wetuna masheikh wetu, na miminimewekwa katika mtihanihuo huo. Sioni haja ya kutoa

    hotuba ya uzinduzi wa Barazala Ulamaa mbele ya visimavya elimu ya dini yetu.Chochote nitachokisemabasi si zaidi ya tone moja lachumvi ndani ya bahari yaelimu yetu ya dini. Naombakwa Uradhi wenu mniruhusuniseme machache ambayoyatakuwa na kasoro nyingimbele ya wazee mliobobeakatika misingi ya dini.Nawaombeni radhi sana kwahayo.

    HISTORIA YA ZANZIBAR NAUISLAM

    Mapema tu , mnamo

    karne za nyuma watu wakale kama vile Sumerians,Assyrians, Hindus, Egyptiansna Waarabu wa Kusiniwalitembelea mwambaowa Afrika ya Masharikiambapo walikutana namakabila ya kienyeji kamavile Wahadimu, Wapembana Watumbatu. Waarabuhawa, hasa kutoka Ghuba yaUajemi (Persion Gulf) ndiowalioanza kuuleta Uislamuna Wazanzibari wakaikubalikwa dhati dini hii.

    Wanah is to r ia weng iwanaamini kuwa Uislamuumeingia mapema kabisa

    katika mwambao wa Afrikaya Mashar ik i . Wakat imwanahistoria maarufuwa Moroko Ibun Battutaalipotembelea eneo hili alikutawakazi wake ni Waislamu naKiarabu ndio lugha ya fasihikwa biashara.

    Mnamo mwaka 1503Zanzibar i l ika l iwa naWareno lakini katika karneya 17 kulikuwa na ghasiak a t i k a m wa m b a o h u uikiwemo Pemba. Mwaka1652 Waarabu waliivamiaZanzibar na wal i i t ekaMombasa, Pemba na Kilwamnamo mwaka 1698 na

    Aliyosema Waziri wa Katiba na Sheria

    Mheshimiwa Abubakar Khamis Bakary1699. Visiwa vyote vikawachini ya Imam wa MuscatSeyyid Said bin Sultan,Mwanzilishi wa Zanzibarna zao la karafuu. Yeye ndiealiyekuwa kiongozi. Mnamomwaka 1804 akauhamishamji mkuu wa Oman kutokaMuscat kuja Zanzibar nakatika mwaka 1832, Zanzibarsasa ilijulikana kisiasa,kibiashara na kidini. Mbalina mabadiliko ya kiutawalakuanzia mwaka 1861, 1869 na1872 lakini ilipofika mwaka1891 Zanzibar ilikuwa nautaratibu wake kamili waSerikali na Sir Lioyd Mathewsndiye aliyekuwa Waziri waKwanza (First Minister) namweka hazina (Treasurer).

    Muhimu hapa ni kuonakwamba Zanzibar imekuwana Dini ya Kiislamu kwakarne nyingi sana na sasa kilamtu anajua kwamba UislamuZanzibar si dini tu peke yake,lakini imechimba zaidi hatakatika culture, tabia, silkana hulka zetu. Waislamu hapaZanzibar ni zaidi ya asilimia98% na tumeungana zaidikwa lugha yetu moja na kuwasote ni wamoja. Wajibu wetuwa kwanza wa Baraza hilini kuunganisha umoja wetu

    huu kwa misingi nilioielezeahapo juu.

    SHERIA YA MUFTISheria ya Muft i , Na.

    9/2001 inaanzisha Afisi yaMufti pamoja na maafisawengine wa Afisi hiyo. Kaziza Mufti zimeelezwa vyemakatika kifungu cha 9(1) ikiwani pamoja na kutoa fat-waambapo katika kutekelezakazi hii anaweza akashaurianana Ulamaa wa Zanzibar.Kifungu cha 15(1) cha sheriahiyo kimempa uwezo Wazirimuhusika kufanya kanuni.Chini ya uwezo huo kwa

    tangazo maalum la SerikaliNa. 52/2011 kumeanzishwaKanuni za Baraza la Ulamaaambapo chini ya kanuni ya3 itakuwa ni chombo chaushauri na kitajulikana kamani Baraza la Ulamaa. Barazahilo litaongozwa na Muftiatayekuwa Mwenyekiti naWajumbe wafuatao:-

    i. Sheikh mmoja kwakila Wilaya atayeteuliwa naWaziri kwa kushauriana naMufti.

    ii. Masheikh wanne (4)kutokana na ujuzi wao piawatateuliwa na Waziri baadaya kupata mapendekezo ya

    majina yasiyopungua sita (6)kutoka kwa Mufti.

    iii. Naibu Mufti, KadhiMkuu, Naibu Kadhi Mkuu,Katibu Mtendaji Kamisheniya Wakfu na Mali ya Amanana Mwalim Mkuu Chuo cha

    Kiislam ambao wao wanaingiakutokana na wadhifa wao.

    Makatibu wa vikao hiviwatakuwa Katibu wa Muftina Msaidizi wa Katibuwa Mufti. Baraza hili kwamujibu wa kanuni ya 5linatakiwa likutane angalaumara mbili kwa mwaka nawanaweza kufanya kikao chadharura pale inapohitajika.Mufti chini ya kanuni ya5(2) anaweza kuunda kamatimaalum itayoshughulikiatatizo lililojitokeza ila nilazima atilie maanani sualazima la uwakilishi katikakamati hiyo, na kwamba

    maamuzi ya kamati hiyoyanaweza kukubal iwa,kutenguliwa au kufanyiwamarekebisho fulani katikakikao cha Baraza zima laMaulamaa.

    KAZI ZENUWazee wetu, Masheikh

    na Maulamaa wetu, wajibuwenu na kazi zenu zipo chiniya kanuni ya 7 ya Kanuni zaBaraza la Ulamaa ambayoinasema:

    Ka z i y a B a ra z a n ikumshauri Mufti juu yamasuala ya

    Kiislam yaliyowasilishwa

    kwake kwa kutolewa fat-wana kufanya kazi nyenginelitakazopewa na Mufti.

    Kazi zenu ni ngumu nazinahitaji uadilifu mkubwa,kujitolea, haki na ukweli.Nd io maana Imamu Ibnu

    Qaym amewaita wanachuonikuwa ni watia saini (signatory)kwa niaba ya MwenyeziMungu. Sina wasi wasi hatachembe wa mambo hayajuu yetu . Naamini na sotetunakubali kuwa Barazalimepata wajumbe wenyeelimu, busara na hekma,waadilifu na wakweli; nahivyo basi msingi mkubwawa mafanikio wa kazi zenu nawajibu wenu tunao. Haya sotetunayaelewa pale MwenyeziMungu alipotutanabahishakatika Suratul Al-Ahzabkwa kutukumbusha kuwatutawakal kwa Mwenyezi

    Mungu na Mwenyezi Munguanatosha kuwa mlinzi na kuwasote tulioamini tumuogopeniMwenyezi Mungu na tusememaneno ya kweli.

    Tunapoyafanya hayo kwauadilifu, ukweli na haki kamailivyo kawaida yenu, natukavuta subra katika mitihaniambayo tutaipata wakati wakutekeleza majukumu haya;basi Mwenyezi Mungu atazidikuwa nasi. Mwenyezi Mungumwenyewe anatukumbushakatika Qur-ani yake, katikaSuratul Asr kuwa Binaadamuyuko katika hasara isipokuwa

    wale walioamini na wakafanyvitendo vizuri na wakausiankufuata haki na wakausiankushikamana na subira (yaankustahamiliana. Jukumu hinalo ni kubwa na ni zitlakini ndio wajibu wetu, na nlazima kulifanya. Tukilifanykwa misingi tuliyoielezhapo juu basi nasi tutakuwkatika kundi la wataokuwna kheri, Inshaalla MwenyeMungu atujaalie kila la kherna kulitekeleza jukumu hizito kwa njia ile anayoipendMwenyezi Mungu. Ammin

    MABADILIKO YA TABIA YBAADHI YA WAUMINI

    M h e s h i m i wa M u f tWaheshimiwa Maulamav i s i w a v y e t u h i vvimekumbwa na wimbkubwa la mabadiliko ybaadhi ya waumin. Ni ukweusiopingika kuwa wakawetu umekuwa na wasemawengi sana wanaozungumzmambo ya kiislamu tokemambo ya USULI hadi yFURUU mambo haya yoyanahitaji elimu ya kina nhekimu kubwa hali ya kuwwao sio Ahli wa ilmu. Bahambaya kila msemaji hupawasikilizaji, mashabiki n

    hata waenezaji na wenykuyanusuru maneno hayHali hii imeleta mtafarukmkubwa baina yetu, ikazamigongano na hat imamakundi yenye kupinganambayo yameidhoofishdini na jamii yetu. Ni kweUislamu haukuweka tabakla watu wadini na wasio wdini, lakini pia haukuwachmambo shaghala baghalMtume Muhammad (S.A.Wamesema wanachuoni ndwarithi wa Mitume. Tunajukuwa umoja wetu wa Kiislana mshikamano wetu wa saunaaza kumongonyoka.

    Kwa maana hiyo tujitahidikufuata na kuhimizanmaagizo ya Qur-ani:-

    Na shikamaneni na kambya Mwenyezi

    Mungu nyote kwa pamona wala musifarikiane

    Ha t a k a t i k a h a d i t htunatanabahishwa kwamba

    H a k i k a m f a n o wWaislamu katika kupendankwao, kuhurumiana kwao nkurehemeana kwao ni sawsawa na kiwiliwili kimoja

    Ni wajibu wenu mlio hapkuyajadili mambo kama hay

    Inaendelea Uk. 1

    MUFT wa Zanzibar

  • 7/29/2019 Annur

    14/16

    14AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 25-31, 20Makala

    Aliyosema Waziri wa Katiba na SheriaInatoka Uk. 13

    na mengine zaidi ya haya ilimumshauri Mufti ipasavyo.Kamba hii ya MwenyeziMungu ambayo sasa waislam

    wanaanza kuihujumu inahitajikulindwa isikatwe katwe.Nyiny i Baraza la Ulamaandio walinzi wetu. Roho zetu,macho, nafsi tamaa na kiu yawaislam wema zinawatazamanyinyi. Naamini kwa uwezowa M we n y e z i M u n g umtafanikiwa kuielezea diniyetu kwa njia ya fat-wana njia nyingi nyenginezokwa kuielemisha jamii, kwamaslahi yetu na kizazi chetuna dini yetu.

    Tunamshukuru MwenyeziMungu kuwa kuna vyuo(maahad) vingi vinavyotoaelimu bora na vyuo hivyo

    vina walimu wazuri Ungujana Pemba. Hata hivyo kwakukosekana umoja wa vyuohivyo imekuwa tabu kwamwanafunzi anaemalizathanawi kujiunga na vyuovikuu vyetu pamoja na kuwavyuo vya nje wanakubaliwa.N a t u m a i m t a m s h a u r iMufti ili tuone namna ganitutaunganisha maahad zetuna kuwawezesha wanafunziwake kunufaika na vyuovikuu vyetu katika fani zao.Sadaka hazianzi nje balikuanzia nyumbani.

    UHURU WA DINI /KUABUDUNA HAKI ZA MTU

    Bila shaka Uislamu nidini iliyotoa uhuru mkubwakwa mwanaadamu kiasicha Allah kukataza watukulazimishwa kufuata dini.Uhuru ndio unaomtofautishamwanadamu na malaika.Hata h ivyo uhuru huoumeambatana na majukumukwani hakuna uhuru usiona mipaka . KikawaidaUislamu unaangalia zaididhima (majukumu kulikouhuru). Amesema Mtukufu,Subhanahu Wataala kuwa(na naapa) kwa nafsi nakwa aliyeitengeneza. Kishaakaifahamisha uovu wake

    na wema wake. Bila shakaa m e fa u l u a l i y e i t a k a s a(nafsi yake) na bila shakaamehas i r ika a l iye iv iza(Suratu Ash-Shams aya7-10). Ili kujenga utawalawa sheria, haki na kulindaamani na utulivu nchi yetuinaamini dhana ya uhuruna haki za binadaamu. Kwatafsiri iliyo rahisi ni kwelikifungu cha 18(1) na (2) chaKatiba kinachotowa uhuruwa maoni, kifungu cha 19(1),(2) na (3) kuhusu uhuru wamtu kuamini dini atakayona kifungu cha 20(1) kuhusu

    uhuru wa kujikusanya,vinaruhusu watu au wauminikufanya wanayotaka kwakisingizio cha Katiba yetu yaZanzibar.

    Ni kwe li vifungu vyotehivyo vinatoa uhuru wamuumini yeyote kufanyakile anachohisi ndani yamaoni yake. Lakini muuminhuyo huyo anatakiwa asisomebaadhi ya vifungu tu kwamaslahi yake, lakini avisomevifungu vyote vinavyohusianana maudhui inayohusika. Sasa,kwa maana hiyo ukisomavifungu vya Katiba vya 18,19 na 20 ni lazima usomekwa pamoja na kifungu cha23(1), (2), (3) na (4) pamojana kifungu cha 24(1) kamavinavyojielezea hapo chini:

    23(1) Kila mtu ana wajibuwa kufuata na kutii Katiba

    hii na Sheria za Zanzibar,kuchukua hatua za kisheriak a m a z i l i v y o w e k w a ,kuhakikisha hifadhi ya Katibana Sheria za nchi.

    (2) Kila mtu ana wajibu wakulinda maliasili ya Zanzibar,mali ya nchi na mali yoteinayomilikiwa kwa pamoja nawananchi, na pia kuheshimumali ya mtu mwengine.

    (3) Watu wote watatakiwana sheria kulinda vizurimali ya Zanzibar na kwapamoja kupiga vita aina zoteza uharibifu na ubadhirifuna kuendesha uchumi waZanzibar kwa makini kama

    watu ambao ndio waamuziwa hali ya baadae ya Taifalao.

    (4 ) Ki la Mzanzibar iana wajibu wa kulinda,kuhifadhi, kudumisha uhuru,mamlaka, ardhi na umoja waZanzibar.

    24(1) Haki na Uhuru wabinadamu ambayo misingiyake imeorodheshwa naKatiba hii haitatumiwa na mtummoja kwa namna ambayoitasababisha kuingiliwa kati aukukatizwa kwa haki na uhuruwa watu wengine au maslahiya umma na inaweza kubanwana sheria iliyotungwa na

    Baraza la Wawakilishi iwapotu kibano hicho ni lazima nakinakubalika katika mfumowa kidemokrasia..

    Masheikh wetu, misingi hiiya Katiba naamini itawasaidiasana katika kazi zenu ambapobaadhi ya waumini hutumiav i b a y a u h u ru wa o n akusababisha fujo, kuingiliamali ya umma na kadhalika.Hivi sivyo na ni wajibu wetusote na zaidi Baraza lenutukufu kuwaelimisha sanawaumini wa aina hii misingimizuri ya dini, silka, tabiana khulka zetu za kiislamambazo siku zote zinataka

    na zinasisitiza umoja, uduguna amani. Na sisi tunatakiwakwanza tuitakie amani nchiyetu ya Zanzibar kamafundisho tulilopewa na baba

    yetu Ibrahim (AS) kwanzaalipoiombea nchi yake amanina baadae akaiombea iwe nariziki na baraka. Kazi kubwatunayo na hiyo ni changamotokwenu, na ndilo jukumu lenuna wajibu wenu mwengine.Inshaalla Mwenyezi Munguatawasaidia. Ammin.

    MWISHONinafahamu kuwa Baraza

    hili la Ulamaa lililopo mbeleyangu ni la pili. Barazalililopita ambalo lilikuwachini ya Mufti aliyepitaAlmarhum Sheikh HarithBin Khelef bin Khamis,Mwenyezi Mungu amlazemahala pema peponi amin limemaliz a muda wake.Napenda kuchukuwa fursahii kwa niaba ya Serikaliya Mapinduzi ya Zanzibarna kwa niaba yangu binafsikuwashukuru sana sanawajumbe wa Baraza hilona kuwatakia kila la kheri

    katika maisha yao. Napendapia niwaombee malazi memapeponi wale wajumbe wetuwengine waliotangulia mbeleya haki wakiwemo Sheikh

    Mussa Makungu, SheikhAli Khatib Mranzi, SheikhAbdulrazak Othman Juma,Sheikh Ali Mwinyi Kombo(Wilaya ya Kati) na SheikhSuleiman Haji (Wilaya yaMjini) na Sheikh Simai Daimaambao juhudi zao wakatiwa uhai wao na hususanwalipokuwa wakilitumikiaBaraza lililopita zilionekanavizuri sana.

    Pia nawashukruru sanaMwanasheria Mkuu waSerikal i , Kamishna waPolisi na Mkuu wa Usalamaambao na wao kwa nafasizao walikuwa ni wajumbewa kualikwa kutokana na hali

    ya mivutano mingi ya kidiniiliyokuwepo wakati huo.Wazee wetu kwa uelewa waowanatuambia:

    Paukwa Pakawayaani penye kuondokwa

    hukaliwa. Ninafuraha kusemaBaraza la Ulamaa la kwanzalimemaliza muda wake na

    limeshaondoka ingawa badwamo wajumbe amabwanaendelea baadhi yawakiwa wameingia njiani nwengine wameingia mwanzN a t u m a i u z o e f u w autawasaidia sana wajumbwapya . Ny iny i ml iophapa sasa mnajaza penglililowachwa wazi na waSina wasi wasi hata chembkwamba pengo hilo limejazwvizuri na halina mwanyninawaombeni muendelezzaidi kazi hizi za Baraza iZanzibar irejee kama enza zamani kwa kutambulikkuwa ndio chimbuko dini yetu kwa Afrika yMashariki, Kati na KusinNawakum bu sha ha dithisemayo Nyote ni wachungna nyote mtaulizwa kuhuskile mnachokichungaInshaalla, Mwenyezi Munga t u wa f i k i s h i e , n a t u wwachunga wema. Ammin.

    (Hii ni hotuba ya Waziwa Katiba na Sheria