mpango wa maendeleo wa taifa kwa mwaka 2019/20 - … wa maendeleo wa taifa 2019.20.pdf ·...

224
i MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20

Upload: others

Post on 31-Aug-2019

77 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

i

MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA

KWA MWAKA 2019/20

Page 2: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 ii

Page 3: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 iii

YALIYOMO

SURA YA KWANZA ..................................................................................................... 1

UTANGULIZI ................................................................................................................ 1

1.1. Rejea ................................................................................................................ 1

1.2. Maeneo ya Kipaumbele .................................................................................... 1

1.3. Dhima ya Mpango ............................................................................................. 2

1.4. Mawanda yaliyoongoza Mpango ....................................................................... 2

1.5. Ushirikishwaji wa Wadau .................................................................................. 2

1.6. Matokeo ya Utekelezaji wa Mpango 2019/20 .................................................... 3

1.7. Mpangilio wa Kitabu .......................................................................................... 3

SURA YA PILI .............................................................................................................. 4

HALI YA UCHUMI ........................................................................................................ 4

2.1. Utangulizi .......................................................................................................... 4

2.2. Mapitio ya Hali ya Uchumi................................................................................. 4

2.2.1. Uchumi wa Dunia .................................................................................. 4

2.2.1.1. Uchumi wa Nchi Zilizoendelea ................................................ 4

2.2.1.2. Uchumi wa Nchi Zinazoibukia na Zinazoendelea .................... 5

2.2.2. Uchumi wa Afrika na Kanda ................................................................. 5

2.2.2.1. Uchumi wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki .................... 6

2.2.3. Uchumi wa Taifa ................................................................................... 6

2.2.3.1 Pato la Taifa na Ukuaji wa Uchumi ............................................ 6

2.2.3.2 Wastani wa Pato la kila Mtu ....................................................... 7

2.2.3.3 Mwenendo wa Mfumuko wa Bei Nchini ...................................... 8

2.2.3.4 Sekta ya Nje .............................................................................. 9

2.2.3.5 Sekta ya Fedha........................................................................ 10

2.2.3.6 Deni la Serikali ......................................................................... 12

2.3 Idadi ya Watu na Mabadiliko ya Maisha .......................................................... 13

2.3.1 Ongezeko la Idadi ya Watu ................................................................. 13

2.3.2 Mwenendo wa Viashiria vya Umaskini ................................................. 13

2.3.2.1 Umiliki wa Mali Zinazodumu..................................................... 14

2.3.2.2 Hali ya Upatikanaji wa Chakula Nchini ..................................... 15

2.3.2.3 Misaada kwa Kaya/Familia Maskini ......................................... 15

2.3.2.4 Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge

Tanzania .................................................................................. 15

SURA YA TATU ......................................................................................................... 17

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO ............................................................... 17

3.1. Utangulizi ........................................................................................................ 17

3.2. Utekelezaji wa Bajeti na Mpango wa Maendeleo 2018/19 .............................. 17

3.2.1. Utekelezaji wa Bajeti ya Maendeleo .................................................... 17

3.2.2. Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ................................................... 17

3.2.2.1. Miradi ya Kielelezo ................................................................ 17

3.2.2.2. Kukuza Uchumi na Ujenzi wa Msingi wa Uchumi wa Viwanda

21

Page 4: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 iv

3.2.2.3. Kufungamanisha Maendeleo ya Viwanda na Maendeleo ya

Watu ........................................................................................ 33

3.2.2.4. Mazingira Wezeshi kwa Uendeshaji Biashara na Uwekezaji . 50

3.2.2.5. Kuimarisha Usimamizi wa Utekelezaji wa Mpango ................ 65

3.2.2.6. Maeneo Mengine Muhimu kwa Ukuaji wa Uchumi na Ustawi

na Taifa ................................................................................... 67

3.2.3. Miradi Iliyofuatiliwa katika Mwaka 2018/19 .......................................... 71

SURA YA NNE ........................................................................................................... 81

MIRADI NA SHUGHULI ZA KIPAUMBELE KWA MWAKA 2019/20 ........................... 81

4.1. Utangulizi ........................................................................................................ 81

4.2. Misingi na Shabaha za Ukuaji wa Uchumi ...................................................... 81

4.2.1. Misingi ya Mpango kwa Mwaka 2019/20 ............................................. 81

4.2.2. Shabaha za Ukuaji wa Uchumi ............................................................ 81

4.3. Miradi na Shughuli Zitakazotekelezwa ........................................................... 82

4.3.1. Miradi ya Kielelezo .............................................................................. 82

4.3.2. Kukuza Uchumi na Ujenzi wa Msingi wa Uchumi wa Viwanda ............ 84

4.3.2.1. Uzalishaji Viwandani ............................................................. 84

4.3.2.2. Utafiti wa Teknolojia na Bidhaa za Viwandani ....................... 85

4.3.2.3. Kilimo .................................................................................... 86

4.3.2.4. Mifugo ................................................................................... 91

4.3.2.5. Uvuvi..................................................................................... 92

4.3.2.6. Maliasili na Misitu .................................................................. 93

4.3.2.7. Madini ................................................................................... 94

4.3.3. Miradi ya Kufungamanisha Maendeleo ya Viwanda na Maendeleo ya

Watu.................................................................................................... 95

4.3.3.1. Elimu, Sayansi na Teknolojia ................................................ 95

4.3.3.2. Afya na Maendeleo ya Jamii ............................................... 102

4.3.3.3. Maji na Usafi wa Mazingira ................................................. 105

4.3.3.4. Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ................................ 106

4.3.3.5. Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ............................... 107

4.3.3.6. Hifadhi ya Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi ................ 107

4.3.4. Mazingira Wezeshi kwa Uendeshaji Biashara na Uwekezaji ............. 108

4.3.4.1. Miundombinu ...................................................................... 108

4.3.4.2. Ardhi na Maeneo ya Uwekezaji na Biashara ....................... 119

4.3.4.3. Huduma za Fedha .............................................................. 120

4.3.4.4. Utalii, Biashara na Masoko ................................................. 120

4.3.5. Kuimarisha Usimamizi na Utekelezaji wa Mpango ............................. 121

4.3.6. Maeneo Mengine Muhimu kwa Ukuaji wa Uchumi na Ustawi wa Taifa

.......................................................................................................... 123

4.3.6.1. Diplomasia ya Kiuchumi ...................................................... 123

4.3.6.2. Kuimarisha Ushiriki wa Sekta Binafsi .................................. 124

4.3.6.3. Mchango wa Mashirika na Taasisi za Umma ...................... 125

SURA YA TANO ....................................................................................................... 126

UGHARAMIAJI WA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2019/20 .................... 126

Page 5: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 v

5.1. Utangulizi ...................................................................................................... 126

5.2. Gharama za Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 .............. 126

5.3. Vyanzo vya Mapato kwa Mwaka 2019/20 ..................................................... 126

5.3.1 Vyanzo vya Mapato ya Ndani ............................................................ 127

5.3.2 Vyanzo vya Mapato ya Nje ................................................................ 127

5.3.3 Uwekezaji wa Moja kwa Moja kutoka Nje ya Nchi ( FDI) .................. 127

5.3.4 Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ................................... 128

5.3.5 Vyanzo Bunifu ................................................................................... 128

SURA YA SITA......................................................................................................... 129

UFUATILIAJI, TATHMINI NA UTOAJI WA TAARIFA ................................................ 129

6.1. Utangulizi ...................................................................................................... 129

6.2. Malengo ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango .............................................. 129

6.3. Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango ................................................ 129

6.4. Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano, 2016/17

– 2020/21 ...................................................................................................... 130

6.5. Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango wa Mwaka 2019/20 ............... 130

6.6. Utoaji Taarifa ................................................................................................ 130

6.7. Mgawanyo wa Majukumu katika Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango .............. 131

SURA YA SABA ....................................................................................................... 132

VIHATARISHI VYA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA KINGA ................................. 132

7.1. Utangulizi ...................................................................................................... 132

7.2. Vihatarishi vya Ndani na Mikakati ya Kukabiliana Navyo .............................. 132

7.3. Vihatarishi vya Nje na Mikakati ya Kukabiliana Navyo .................................. 133

KIAMBATISHO I:UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA

MWAKA 2018/19 .......................................................................................... 136

Page 6: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

1

SURA YA KWANZA

UTANGULIZI

1.1. Rejea

Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 ni wa nne katika mfululizo wa mipango ya

kila mwaka ya kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano

2016/17 – 2020/21. Dhima ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano ni

Kujenga Uchumi wa Viwanda ili Kuchochea Mageuzi ya Uchumi na Maendeleo ya

Watu. Hivyo, Mpango huu unatekeleza vipaumbele vilivyoainishwa katika Mpango

wa Taifa wa Maendeleo wa Miaka Mitano ambavyo ni: (i) Kujenga viwanda vya

kukuza uchumi na kuweka msingi wa uchumi wa viwanda; (ii) Kufungamanisha

ukuaji wa uchumi na maendeleo ya watu; (iii) Kuboresha mazingira wezeshi kwa

uendeshaji wa biashara na uwekezaji; na (iv) Kuimarisha usimamizi wa utekelezaji

wa Mpango.

Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 umezingatia Mkakati wa Utekelezaji wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21. Mkakati huo

unaainisha hatua za utekelezaji na vigezo vya kupima ufanisi wa utekelezaji wa

miradi kwa mwaka husika; hatua za kuchukuliwa kuwezesha upatikanaji wa fedha;

mfumo wa usimamizi, ufuatiliaji na tathmini; na mfumo wa mawasiliano kwa nia ya

kuleta ufanisi katika utekelezaji wa Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa

Miaka Mitano. Aidha, Mkakati huo unatumika kama rejea kwa taasisi katika

kubainisha vipaumbele na hatua za utekelezaji katika Mpango na Bajeti kwa mwaka

husika. Vile vile, Mpango huu umejumuisha miradi mbalimbali ya kielelezo ikiwemo:

Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kati kwa Standard Gauge; Kufua Umeme wa Maji Mto

Rufiji (MW 2,115); Kuboresha Shirika la Ndege Tanzania; Ujenzi wa Bomba la

Mafuta Ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga (Tanzania); Kusomesha Kwa

Wingi Katika Fani Na Ujuzi Adimu na Maalum; na Uanzishwaji wa Kanda Maalum za

Kiuchumi.

1.2. Maeneo ya Kipaumbele

Vipaumbele vya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 vinatokana na maeneo

manne ya kipaumbele ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17

– 2020/21 ambapo katika eneo la ukuzaji uchumi msisitizo umewekwa katika

viwanda vya uzalishaji wa bidhaa kwa kutumia malighafi kutoka nchini (pamba hadi

nguo, ngozi na bidhaa zake, dawa na vifaa tiba), Kilimo, Maliasili na Utalii, Madini,

Biashara na Uwekezaji. Katika eneo la maendeleo ya watu msisititizo umewekwa

katika Elimu, Afya, Maji, Utawala Bora, Mabadiliko ya hali ya hewa na tabianchi na

Ulinzi na Usalama. Katika eneo la kuboresha mazingira wezeshi kwa uendeshaji wa

biashara na uwekezaji msisitizo umewekwa katika kuboresha mazingira ya kufanya

biashara, miundombinu ya usafirishaji; ukuaji wa miji na majiji; Nishati; na Sayansi,

Teknolojia na Ubunifu. Katika eneo la kuimarisha utekelezaji wa mpango msisitizo

umewekwa katika kuboresha Ufuatiliaji na Tathmini; kuimarisha uandaaji wa miradi;

Page 7: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 2

na kuimarisha upatikanaji na usimamizi wa rasilimali.

Miradi itakayotekelezwa katika maeneo hayo manne ya kipaumbele kwa mwaka

2019/20 imeainishwa katika sura ya nne ya kitabu. Katika maeneo haya manne ipo

miradi iliyopewa hadhi ya kuwa ya kielelezo ambayo utekelezaji wake unapewa

msukumo wa kipekee ili kusaidia kufikiwa kwa malengo ya Mpango.

1.3. Dhima ya Mpango

Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 umebeba dhima ya “Kujenga Uchumi wa

Viwanda ili Kuchochea Mageuzi ya Uchumi na Maendeleo ya Watu”

iliyoainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 –

2020/21 ambayo inajumuisha misingi ya mikakati yote miwili ya mageuzi ya kiuchumi

na kupunguza umaskini.

Serikali imeweka msukumo katika kuboresha mazingira wezeshi ili kuvutia

wawekezaji wa ndani na nje ya nchi. Kwa kuwa sekta binafsi ndio mhimili mkubwa

wa ukuaji wa uchumi hususan katika ujenzi wa viwanda, Serikali imeweka mfumo wa

kisera, kitaasisi na kisheria pamoja na kanuni zake ili kuweka mazingira wezeshi ya

kuongeza ushiriki wa Sekta Binafsi katika kuwekeza kwenye miradi ya maendeleo.

1.4. Mawanda yaliyoongoza Mpango

Mawanda yaliyoongoza uandaaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 ni

azma ya kufikia malengo na mahitaji ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025; Mpango

wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21 na Mkakati wa

Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya

Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015; na sera na malengo ya kisekta. Vile vile, Mpango

umezingatia makubaliano ya Kikanda (EAC, SADC na Agenda ya Maendeleo ya

Afrika ya mwaka 2063) na ya kimataifa kama vile Malengo ya Maendeleo Endelevu

ya mwaka 2030. Aidha, Mpango umezingatia mapitio ya hali ya uchumi kitaifa,

kikanda na kimataifa kwa mwaka 2018 na mwelekeo kwa mwaka 2019, na hali halisi

ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Mwaka 2018/19 na changamoto za

utekelezaji zilizojitokeza.

1.5. Ushirikishwaji wa Wadau

Uandaaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 umeshirikisha wadau

mbalimbali ambao ni Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala wa Serikali, Taasisi na

Mashirika ya Umma na Sekta Binafsi. Aidha, Waheshimiwa Wabunge

walishirikishwa wakati wa maandalizi ya Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa

Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2019/20. Washirika wa Maendeleo walishirikishwa

kupitia majadiliano ya kufikia maeneo ya ushirikiano, ufadhili wa miradi mahsusi na

Page 8: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 3

misaada ya kisekta.

1.6. Matokeo ya Utekelezaji wa Mpango 2019/20

Utekelezaji wa Mpango huu utachochea azma ya Serikali ya ujenzi wa uchumi wa

viwanda na maendeleo ya watu. Matokeo yanayotarajiwa ni pamoja na: kuongeza

kasi ya ukuaji wa uchumi na utengamavu wa viashiria vya uchumi jumla; kuimarisha

utoaji wa huduma za jamii zikijumuisha huduma za maji, elimu, afya na umeme

vijijini; kuimarika kwa biashara na uwekezaji; na kuongezeka kwa ajira na kipato cha

wananchi na hatimaye kupungua kwa kiwango cha umaskini nchini.

1.7. Mpangilio wa Kitabu

Kitabu cha Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2019/20 kimepangwa katika sura saba

(7): Sura ya kwanza ni utangulizi; Sura ya pili inaainisha mapitio ya hali ya uchumi;

Sura ya tatu inahusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka 2018/19; Sura

ya nne inaainisha maeneo ya kipaumbele kwa mwaka 2019/20; Sura ya tano

inaelezea ugharamiaji wa Mpango; Sura ya sita inaainisha mfumo na utaratibu wa

ufuatiliaji, tathmini na utoaji taarifa za utekelezaji wa Mpango; na Sura ya saba

inabainisha vihatarishi vya utekelezaji wa Mpango na hatua za kukabiliana navyo.

Page 9: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 4

SURA YA PILI

HALI YA UCHUMI

2.1. Utangulizi

Sura hii inatoa muhtasari wa mapitio ya hali ya uchumi kwa mwaka 2018. Mapitio

haya yanajenga msingi wa Mpango wa Maendeleo wa Mwaka 2019/20. Viashiria

vilivyochambuliwa ni pamoja na Pato la Taifa, mwenendo wa mfumuko wa bei,

mwenendo wa sekta ya nje, mwenendo wa sekta ya fedha, hali ya umaskini na

mabadiliko ya idadi ya watu.

2.2. Mapitio ya Hali ya Uchumi

2.2.1. Uchumi wa Dunia

Kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ya Aprili 2019, Uchumi

wa dunia kwa mwaka 2018 ulikua kwa asilimia 3.6 ikilinganishwa na ukuaji wa

asilimia 3.8 mwaka 2017. Kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi kulitokana na

kushuka kwa ukuaji wa uchumi kwa nchi zilizoendelea na zinazoendelea

kulikotokana na sababu mbalimbali zikiwemo: kupungua kwa mahitaji ya bidhaa na

huduma kutoka nje; hali ya wasiwasi kuhusu kujitoa kwa Uingereza katika Jumuiya

ya Ulaya (Brexit); kushuka kwa kasi ya uwekezaji; msuguano wa kibiashara baina ya

China na Marekani, kudorora kwa soko la fedha kwa nchi za Argentina na Uturuki,

na mvutano wa kisiasa Mashariki ya Kati. Matarajio ni kuwa kasi ya ukuaji wa

uchumi wa dunia itapungua kidogo kufikia wastani wa asilimia 3.3 mwaka 2019

kutokana na kupungua kwa ukuaji wa nchi zilizoendelea, na hatimaye kuongezeka

kufikia wastani wa asilimia 3.6 mwaka 2020.

Mfumuko wa bei wa dunia uliongezeka na kufikia wastani wa asilimia 3.8 kutoka

wastani wa asilimia 3.1 mwaka 2017. Ongezeko hilo lilitokana na kupungua kwa

uzalishaji viwandani hususan, katika nchi zinazoendelea, majanga ya asili na

kulegezwa kwa sera za bajeti na fedha kwa baadhi ya nchi.

2.2.1.1. Uchumi wa Nchi Zilizoendelea

Mwaka 2018, ukuaji wa uchumi kwa nchi zilizoendelea ulipungua kufikia wastani wa

asilimia 2.2 kutoka asilimia 2.4 mwaka 2017. Hii ilitokana na kupungua kwa kasi ya

ukuaji katika ukanda wa Ulaya kutokana na: kupungua kwa shughuli za biashara na

walaji; kuongezeka kwa riba na kupungua kwa uwekezaji kutokana na sera za bajeti

za baadhi ya nchi wanachama kama vile Italia; na mchakato wa nchi ya Uingereza

kujitoa katika umoja wa Ulaya iliyopunguza uwekezaji na mauzo nje. Matarajio ni

ukuaji wa nchi zilizoendelea kuendelea kupungua kufikia wastani wa asilimia 1.8

Page 10: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 5

mwaka 2019 na asilimia 1.7 mwaka 2020 kutokana na hatua za kuongezeka kwa

ushuru wa bidhaa katika nchi za Marekani na China, kutotabirika kwa matokeo ya

hatua za Uingereza kujitoa katika Umoja wa Ulaya na matokeo yake katika

uwekezaji na mitaji pamoja na kupungua kwa hatua za kibajeti za kusisimua uchumi

kwa nchi ya Marekani.

2.2.1.2. Uchumi wa Nchi Zinazoibukia na Zinazoendelea

Uchumi wa nchi zinazoibukia na zinazoendelea ulikua kwa wastani wa asilimia 4.5

mwaka 2018. Matarajio ni kuwa kasi ya ukuaji kwa nchi zinazoibukia na

zinazoendelea itapungua kufikia wastani wa asilimia 4.4 mwaka 2019 kutokana na

kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa China na mdororo wa uchumi kwa nchi

za Uturuki na Iran. Kwa mwaka 2020, matarajio ni kuimarika kwa kasi ya ukuaji

kufikia asilimia 4.8 kutokana na matarajio ya kuimarika kwa uchumi kufuatia

marekebisho ya sera za kiuchumi na kupungua kwa mivutano ya kibiashara na

kiuchumi kati ya Marekani na nchi hizo. Jedwali Na. 2.1 linaonesha mwenendo wa

ukuaji wa Pato la Dunia kwa mwaka 2017 na 2018 na matarajio kwa mwaka 2019 na

2020.

Jedwali 2.1: Ukuaji wa Pato Halisi la Dunia 2017 - 2018 na Matarajio 2019 –

2020

Kundi/Mwaka

Ukuaji Halisi (Asilimia) Matarajio (Asilimia)

2017 2018 2019 2020

Dunia 3.8 3.6 3.3 3.6

Nchi Zilizoendelea 2.4 2.2 1.8 1.7

Nchi Zinazoibukia na Zinazoendelea 4.8 4.5 4.4 4.8

Nchi Zinazoibukia Barani Asia 6.6 6.4 6.3 6.3

Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara 2.9 3.0 3.5 3.7

Chanzo: Shirika la Fedha la Kimataifa, Aprili 2019

2.2.2. Uchumi wa Afrika na Kanda

Wastani wa kasi ya ukuaji wa uchumi kwa upande wa nchi za Afrika, Kusini mwa

Jangwa la Sahara uliongezeka hadi asilimia 3.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na

asilimia 2.9 mwaka 2017. Ukuaji huu ulitokana na kupanda kwa bei za bidhaa na

marekebisho ya sera za kiuchumi. Matarajio ni kuimarika kwa uchumi wa nchi za

Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara kufikia asilimia 3.5 mwaka 2019 na asilimia

3.7 mwaka 2020 kutokana na matarajio ya kuimarika kwa ukuaji wa nchi za Nigeria

na Angola pamoja na uzalishaji wa mafuta.

Wakati huo huo, mfumuko wa bei kwa nchi za Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara

ulipungua na kufikia wastani wa asilimia 8.5 kutoka wastani wa asilimia 11.0 mwaka

2017. Hali hii ilitokana na kuimarika kwa sera za fedha ikiwemo viwango imara vya

Page 11: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 6

kubadilisha fedha na kuimarika kwa sera za matumizi.

2.2.2.1. Uchumi wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

Katika mwaka 2018, uchumi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ulikua kwa

wastani wa asilimia 5.6 ikilinganishwa na ukuaji wa wastani wa asilimia 4.8 mwaka

2017. Ukuaji huu ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na kuimarika kwa mavuno ya kilimo

yaliyoimarisha kiwango cha utoshelevu wa chakula pamoja na utekelezaji wa miradi

mbalimbali ya maendeleo ya kikanda na katika mataifa wanachama. Jedwali Na. 2.2

linaonesha mwenendo wa ukuaji halisi wa Pato la Taifa kwa Nchi za Afrika Mashariki

kuanzia mwaka 2015 hadi 2018 na matarajio ya mwaka 2019 hadi 2020.

Jedwali 2.2: Ukuaji Halisi wa Pato la Taifa kwa Nchi za Afrika Mashariki; 2015 –

2018 na Matarajio ya Ukuaji 2019 na 2020

Nchi/Mwaka Ukuaji Halisi (Asilimia) Matarajio (Asilimia)

2015 2016 2017 2018 2019 2020

Tanzania 6.2 6.9 6.8 7.0 7.1 7.3

Kenya 5.6 6.0 4.8 6.0 5.8 5.9

Uganda 4.8 4.9 4.5 6.2 6.3 6.2

Rwanda 6.9 6.0 6.1 8.6 7.8 8.1

Burundi -4.0 -0.5 2.0 0.1 0.4 0.5

Wastani 3.9 4.7 4.8 5.6 5.5 5.6

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)

2.2.3. Uchumi wa Taifa

2.2.3.1 Pato la Taifa na Ukuaji wa Uchumi

Katika mwaka 2018, Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu ilifanya maboresho ya

takwimu za Pato la Taifa kwa kutumia mwaka 2015 kama mwaka wa kizio kutoka

mwaka wa kizio wa 2007. Maboresho hayo yalifanyika ili kuzingatia mabadiliko

yaliyotokea kwenye uchumi kutokana na mageuzi ya kiuchumi, kijamii na

kiteknolojia. Kutokana na maboresho hayo, yapo mabadiliko kadhaa yaliyojitokeza

ikiwemo mfumo na ukubwa wa Pato la Taifa; viwango vya ukuaji na mchango wa

sekta mbalimbali katika Pato la Taifa; na uwiano wa viashiria mbalimbali kwa Pato la

Taifa.

Kwa mujibu wa takwimu za Pato la Taifa kwa kutumia mwaka wa kizio wa 2015,

Pato la Taifa lilikua kwa wastani wa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na

ukuaji wa asilimia 6.8 mwaka 2017. Shughuli za kiuchumi zilizokuwa na ukuaji

mkubwa ni pamoja na: sanaa na burudani (asilimia 13.7); ujenzi (asilimia 12.9);

usafirishaji na uhifadhi mizigo (asilimia 11.8); na shughuli za kitaaluma, sayansi na

ufundi (asilimia 9.9). Sekta ya kilimo inayoajiri zaidi ya asilimia 65 ya watanzania

Page 12: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 7

ilikua kwa wastani wa asilimia 5.3 ambapo shughuli za kilimo cha mazao zilikua kwa

asilimia 5.0, mifugo asilimia 4.9, misitu asilimia 4.9, uvuvi asilimia 9.2 na huduma

saidizi katika shughuli za kilimo asilimia 5.1. Kielelezo Na. 2.1 kinaonesha

mwenendo wa ukuaji wa Pato la Taifa kuanzia mwaka 2013 hadi mwaka 2018.

Kielelezo Na.2.1: Mwenendo wa Ukuaji wa Pato Halisi la Taifa katika Mwaka

2013 hadi 2018

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

2.2.3.2 Wastani wa Pato la kila Mtu

Mwaka 2018 Pato la Taifa kwa bei za miaka husika lilikuwa shilingi milioni

129,364,353 ikilinganishwa na shilingi milioni 118,744,498 mwaka 2017. Aidha,

mwaka 2018, Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa na watu 52,619,314 ambapo Pato la

wastani la kila mtu lilifikia Shilingi 2,458,496 ikilinganishwa na Shilingi 2,327,395

mwaka 2017 sawa na ongezeko la wastani wa asilimia 5.6. Kiasi hicho cha Pato la

wastani kwa kila mtu kwa mwaka 2018 ni sawa na dola za Marekani 1,090

ikilinganishwa na dola za Marekani 1,044 mwaka 2017, sawa na ongezeko la

asilimia 4.4. Kielelezo Na. 2.2 kinaonesha mwenendo wa wastani wa Pato la kila

mtu kwa mwaka 2014 hadi 2018.

Page 13: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 8

Kielelezo Na 2.2: Mwenendo wa Wastani wa Pato la Kila Mtu (2014 - 2018)

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

2.2.3.3 Mwenendo wa Mfumuko wa Bei Nchini

Katika mwaka 2018 na robo ya kwanza ya mwaka 2019, mwenendo wa mfumuko

wa bei nchini uliendelea kuwa tulivu katika wigo wa tarakimu moja kutokana na

kuimarika kwa hali ya upatikanaji wa chakula nchini na nchi jirani. Katika kipindi

hicho, mfumuko wa bei ulipungua kutoka wastani wa asilimia 4.0 Januari 2018 na

kufikia asilimia 3.4 Juni 2018 na kuendelea kupungua zaidi kufikia asilimia 3.2 Aprili

2019. Mwenendo wa mfumuko wa bei za chakula ulipungua kutoka wastani wa

asilimia 9.6 Januari 2018 kufikia asilimia 2.3 Januari 2019 na kuongezeka kidogo

kufikia asilimia 2.7 Aprili 2019. Aidha, mfumuko wa bei za nishati uliongezeka kutoka

wastani wa asilimia 10.5 Januari 2018 hadi asilimia 15.7 Januari 2019, na hatimaye

kupungua kidogo kufikia wastani wa asilimia 13.2 Aprili 2019.

Kielelezo Na. 2.3: Mwenendo wa Mfumuko wa Bei (Aprili 2017 – Aprili 2019).

0.0

5.0

10.0

15.0

20.0

25.0

Asilimia

Mfumuko wa Bei Mfumuko wa Bei za Chakula Mfumuko wa Bei za Nishati

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Page 14: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 9

Hivyo, katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2018 wastani wa mfumuko wa bei

ulikuwa asilimia 3.5 ikilinganishwa na asilimia 5.3 kipindi kama hicho mwaka 2017.

Vile vile, katika kipindi hicho wastani wa mfumuko wa bei za vyakula ulikuwa asilimia

3.7 ikilinganishwa na asilimia 9.6 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 na wastani

wa mfumuko wa bei za nishati ulikuwa asilimia 17.3 ikilinganishwa na wastani wa

asilimia 10.5 mwaka 2017. Ongezeko la mfumuko wa bei za nishati lilitokana na

kupanda kwa bei za nishati hususan mafuta katika soko la Dunia.

Mfumuko wa Bei kwa Nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Nchi Jirani

Mwenendo wa mfumuko wa bei katika kipindi cha Januari hadi Desemba 2018 katika

nchi za ukanda wa Afrika Mashariki umeendelea kuwa tulivu katika wigo wa tarakimu

moja. Katika kipindi hicho, wastani wa mfumuko wa bei kwa Tanzania ulikuwa

asilimia 3.5, Kenya asilimia 4.7, Uganda asilimia 2.6 na Zambia asilimia 7.5.

Mwenendo huu ulitokana na hali nzuri ya hewa iliyochangia ongezeo la mavuno ya

mazao ya chakula katika ukanda huo na utekelezaji wa sera za fedha na bajeti. Hadi

Aprili 2019, mfumuko wa bei kwa Tanzania ulifikia asilimia 3.2, Kenya asilimia 6.6,

Uganda asilimia 3.5 na Zambia asilimia 7.7.

Jedwali Na. 2.3: Mfumuko wa Bei katika Nchi za Afrika Mashariki na Nchi Jirani

kwa Mwaka 2018

Jan Feb March Apr May Jun July Aug Sept Oct Nov Dec

Tanzania 4.0 4.1 3.9 3.8 3.6 3.4 3.3 3.3 3.4 3.2 3.0 3.3 3.5 5.3

Kenya 4.8 4.5 4.2 3.7 4.0 4.3 4.4 4.0 5.7 5.5 5.6 5.7 4.7 8.0

Uganda 3.0 2.1 2.0 1.8 1.7 2.1 3.1 3.8 3.7 3.0 3.0 2.2 2.6 5.2

Zambia 6 6.1 7.1 7.4 7.8 7.4 7.8 8.1 7.9 8.3 7.8 7.9 7.5 6.6

Rwanda 0.1 -1.3 -1.4 -0.1 1.8 1.4 0.6 0.6 -1.1 -3.4 -1.0 0.1 -0.3 8.3

Burundi 6 -1.3 -2.6 -1.7 -1.0 -0.4 -0.8 -2.3 -5.6 -8.4 -7.3 - -2.3 16.1

Wastani

Jan-Dec

2018

Wastani

Jan-Dec

2017

Mwaka 2018

Nchi/Mwezi

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Taarifa za Nchi Husika.

2.2.3.4 Sekta ya Nje

(a) Urari wa Malipo

Katika kipindi cha mwaka ulioishia Aprili 2019, urari wa jumla wa malipo ulikuwa na

nakisi ya dola za Marekani milioni 1,089.2 ikilinganishwa na ziada ya dola za

Marekani milioni 299.2 katika kipindi kama hicho mwaka 2018. Hali hii ilisababishwa

kwa kiasi kikubwa na kuongezeka kwa nakisi kwenye akaunti ya bidhaa, huduma,

kipato cha msingi na cha pili ambapo nakisi iliongezeka kwa dola za Marekani milioni

423.1 na kufikia dola za Marekani milioni 2,132.6 mwezi Aprili 2019.

Thamani ya mauzo ya bidhaa na huduma nje ya nchi katika kipindi cha Julai 2018

Page 15: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 10

hadi Aprili 2019 ilifikia dola za Marekani milioni 7,210.6 ikilinganishwa na dola za

Marekani milioni 7,291.9 katika kipindi kama hicho mwaka 2018. Thamani ya bidhaa

na huduma zilizoagizwa kutoka nje ya nchi zilifika dola za Marekani milioni 9,024.9

ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 8,464.6 katika kipindi kama hicho mwaka

2018, sawa na ongezeko la asilimia 6.6. Ongezeko hili, kwa kiasi kubwa, lilitokana

na uagizaji mkubwa wa vifaa vya ujenzi wa miundombinu ya reli, viwanja vya ndege,

bandari na barabara. Thamani ya uagizaji wa mafuta nayo iliongezeka hususan

kutokana na kupanda kwa bei katika soko la dunia. Aidha, uagizaji wa bidhaa za

chakula ulipungua kwa kiasi kikubwa kutokana na kuongezeka kwa mavuno kipindi

cha msimu wa mwaka 2018/19. Kwa upande wa huduma, thamani ya malipo

kwenda nje ya nchi ilipungua na kufikia dola za Marekani milioni 1,709.3 mwezi Aprili

2019 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 1,848.5 Aprili 2018 kutokana na

kupungua kwa malipo ya huduma za safari.

(b) Akiba ya Fedha za Kigeni

Akiba ya fedha za kigeni imeendelea kuwa ya kuridhisha na kuendelea kukidhi

mahitaji ya kuagiza bidhaa na huduma nje ya nchi, na pia kuongeza imani kwa

wawekezaji katika uchumi. Akiba ya fedha za kigeni ilifikia dola za Marekani milioni

4,395.2 Aprili 2019, kiasi ambacho kinatosha uagizaji wa bidhaa na huduma kutoka

nje ya nchi kwa kipindi cha takriban miezi 4.3. Kiwango hiki ni zaidi ya lengo la nchi

la kuwa na akiba ya kutosha kuagiza bidhaa na huduma nje ya nchi kwa muda wa

miezi 4.0.

2.2.3.5 Sekta ya Fedha

(a) Ujazi wa Fedha na Karadha

Hadi Aprili 2019, ujazi wa fedha kwa tafsiri pana zaidi (M3) uliongezeka hadi shilingi

bilioni 25,629.1 kutoka shilingi bilioni 24,433.8 katika kipindi kama hicho mwaka

2018, sawa na ongezeko la asilimia 4.9. Ukuaji huu ulikuwa sawia na mahitaji ya

uchumi kutokana na kuongezeka kwa kasi ya mzunguko wa fedha kufuatia

ongezeko la matumizi ya mifumo ya kielektroniki ya malipo ambayo imechochea

kupungua hitaji la kubeba sarafu.

(b) Mwenendo wa Sekta ya Benki

Sekta ya benki imeendelea kuwa imara, salama na yenye mtaji na ukwasi wa

kutosha zaidi ya kiwango kinachotakiwa kisheria. Hadi Aprili 2019, uwiano wa mtaji

wa msingi na rasilimali za benki ulikuwa asilimia 16.96 ikilinganishwa na asilimia

18.52 Aprili 2018, ukiwa juu ya kiwango cha chini kinachohitajika kisheria cha

asilimia 10.

Kiwango cha mali inayoweza kubadilishwa kuwa fedha taslimu ikilinganishwa na

Page 16: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 11

kiwango cha amana zinazoweza kuhitajika katika muda mfupi (liquid assets to

demand liabilities) kilifikia asilimia 33.60 Aprili 2019 ikilinganishwa na asilimia 39.11

na kukidhi kiwango cha chini kinachohitajika kisheria cha asilimia 20. Kwa upande

wa kiwango cha mikopo chechefu katika mabenki na taasisi za fedha, imeendelea

kupungua na kufikia asilimia 11.10 Aprili 2019 ikilinganishwa na asilimia 11.59 Aprili

2018. Aidha, Serikali kupitia Benki Kuu inaendelea na jitihada za kuhakikisha mikopo

chechefu inapungua ikiwa ni pamoja na kuhimiza na kuwezesha matumizi ya mfumo

wa upashanaji taarifa za wakopaji (credit reference system).

(c) Mwenendo wa Mikopo kwa Sekta Binafsi

Mikopo kwa sekta binafsi iliendelea kuimarika kufuatia utekelezaji wa sera ya fedha

ili kuongeza ukwasi kwenye uchumi pamoja na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na

Serikali kupitia Benki kuu katika kuchochea ongezeko la mikopo kwa sekta binafsi

ikiwa ni pamoja na kutoa mikopo ya muda mfupi kwa benki za biashara, kushusha

riba ya mikopo kwa mabenki (discount rate) mwezi Agosti 2018 kutoka asilimia 9.0

hadi asilimia 7.0 pamoja na kununua fedha za kigeni kutoka katika benki za biashara

na taasisi za serikali. Kufuatia hatua hizo, ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi

umeendelea kuimarika na kufikia asilimia 10.6 Aprili 2019 ikilinganishwa na asilimia

0.8 katika kipindi kama hicho mwaka 2018. Sehemu kubwa ya mikopo kwa sekta

binafsi imeendelea kuelekezwa katika shughuli binafsi/kaya ambazo zilipata wastani

wa asilimia 28.8 ya mikopo yote ikifuatiwa na shughuli za biashara zilizokuwa na

wastani wa asilimia 18.5 na shughuli za uzalishaji viwandani asilimia 11.3.

(d) Mwenendo wa Viwango vya Riba

Hatua mbalimbali zilizochukuliwa na Serikali kupitia Benki Kuu katika kuongeza

ukwasi kwenye uchumi zimechangia kwa kiasi kikubwa utulivu wa bei na riba katika

masoko ya fedha na benki za biashara. Katika kipindi cha Julai 2018 hadi Aprili

2019, riba ya siku moja katika soko la fedha baina ya benki za biashara (overnight

interbank cash market interest rate) imeendelea kuwa tulivu katika wastani wa

asilimia 3.18 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3.67 katika kipindi kama hicho

mwaka 2017/18. Riba za dhamana za Serikali zilifikia wastani wa asilimia 8.07 katika

kipindi cha Julai 2018 hadi Aprili 2019 ikilinganishwa asilimia 7.75 katika kipindi

kama hicho mwaka 2017/18. Vile vile, riba za mikopo inayotolewa na benki za

biashara zilishuka na kufikia wastani wa asilimia 17.15 katika kipindi cha Julai 2018

hadi Aprili 2019 kutoka wastani wa asilimia 17.93 katika kipindi kama hicho mwaka

2017/18. Aidha, riba za amana za muda maalum zilifikia wastani wa asilimia 7.65

katika kipindi cha Julai 2018 hadi Aprili 2019 ikilinganishwa na wastani wa asilimia

9.51 katika kipindi kama hicho kwa mwaka 2017/18.

Page 17: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 12

(e) Mwenendo wa Thamani ya Shilingi

Mwenendo wa thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani

umeendelea kuwa tulivu ambapo katika kipindi kinachoishia Aprili 2019, dola moja

ya Marekani ilibadilishwa kwa wastani wa shilingi 2,300.9 ikilinganishwa na shilingi

2,270.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2018. Mwenendo huu ulitokana na

utekelezaji madhubuti wa sera ya fedha, usimamizi thabiti wa mapato na matumizi

ya Serikali, matumizi ya gesi asilia badala ya mafuta katika kuzalisha umeme na

baadhi ya viwanda nchini kuzalisha bidhaa ambazo awali zilikua zikiagizwa kwa

wingi kutoka nje ikiwemo vigae na marumaru. Kielelezo Na. 2.4 kinaonesha

mwenendo wa thamani ya Shilingi dhidi ya Dola ya Marekani kwa kipindi husika.

Kielelezo Na. 2.4: Mwenendo wa Thamani ya Shilingi Dhidi ya Dola ya Marekani

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

2.2.3.6 Deni la Serikali

Hadi Aprili 2019, deni la Serikali lilifikia shilingi bilioni 51,036.42 ikinganishwa na

shilingi bilioni 49,866.17 Aprili 2018. Kati ya kiasi hicho, deni la ndani lilifikia shilingi

bilioni 13,251.66 na deni la nje shilingi bilioni 37,784.76. Ongezeko la deni lilitokana

na kupokelewa kwa mikopo mipya kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya

maendeleo ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa, madaraja ya juu na miradi ya barabara.

Aidha, kwa mujibu wa tathmini ya uhimilivu wa deni iliyofanywa Desemba 2018,

inaonesha kuwa nchi ina uwezo wa kukopa ndani na nje, na kulipa mikopo hiyo bila

kuwa na athari hasi kwenye ukuaji wa uchumi na msukosuko wa kifedha. Aidha,

katika kuhakikisha kuwa deni linaendelea kuwa himilivu, Serikali itaendelea kukopa

kutoka kwenye vyanzo nafuu na kuhakikisha mikopo inaelekezwa kwenye miradi

ambayo itachochea kasi ya ukuaji wa uchumi.

Page 18: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 13

2.3 Idadi ya Watu na Mabadiliko ya Maisha

2.3.1 Ongezeko la Idadi ya Watu

Idadi ya watu nchini imeendelea kuongezeka kwa wastani wa asilimia 3.1. Kwa

mujibu wa taarifa ya makadirio ya idadi ya watu ya Februari 2018, Tanzania Bara ina

watu 52,619,314 kwa mwaka 2018, ikijumuisha wanaume 25,741,567 na wanawake

26,877,747. Katika idadi hiyo, watoto wenye umri kati ya miaka 0 - 14 ni 22,998,096

(asilimia 43.7), miaka 15 - 64 ambao ndiyo nguvu kazi ni 27,957,929 (asilimia 53.1)

na miaka 65 na zaidi ni 1,663,289 (asilimia 3.1). Ongezeko la idadi ya watu linatoa

fursa ya ongezeko la nguvu kazi ya kutosha kwa ajili ya ujenzi wa uchumi, ajira na

kipato. Kwa upande mwingine, ongezeko hilo linatoa changamoto ya upatikanaji wa

ajira huduma za msingi za kijamii kama vile afya, elimu, maji, lishe na nishati. Aidha,

taarifa hiyo inaonesha kuwa umri wa kuishi kwa Tanzania bara umeongezeka kutoka

wastani wa miaka 62.2 mwaka 2013 hadi wastani wa miaka 64.9 mwaka 2018 na

unakadiriwa kuwa miaka 65.4 mwaka 2019.

Serikali inaendelea na juhudi za kuhakikisha kuwa ongezeko la idadi ya watu

linaendana na ongezeko la uzalishaji na ukuzaji tija katika uchumi. Juhudi hizo ni

pamoja na kuendelea kuimarisha huduma mbalimbali za jamii zikiwemo:

elimumsingi; mafunzo na huduma za afya; fursa za ajira; upatikanaji wa maji safi na

salama; miundombinu ya barabara; nishati; na uboreshaji wa nyumba na makazi.

2.3.2 Mwenendo wa Viashiria vya Umaskini

Mwenendo wa vishiria vya umaskini umeendelea kuwa wa kuridhisha ambapo,

Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa mwaka 2017/18 unaonesha kuwa

idadi ya watanzania waishio chini ya mstari wa umaskini wa mahitaji ya msingi na

mahitaji ya chakula umeendelea kupungua. Umaskini wa mahitaji ya msingi

umepungua kutoka asilimia 28.2 mwaka 2011/12 hadi asilimia 26.4 mwaka 2017/18

ambapo, kwa maeneo ya vijijini umepungua kutoka asilimia 33.2 mwaka 2011/12

hadi asilimia 31.3 mwaka 2017/18 na kwa maeneo ya mijini umepungua kutoka

asilimia 21.7 mwaka 2011/12 hadi asilimia 15.8 mwaka 2017/18.

Vile vile, umaskini wa chakula umeendelea kupungua kufikia asilimia 8.0 mwaka

2017/18 ikilinganishwa na asilimia 9.7 mwaka 2011/12, ambapo kwa maeneo ya

vijijini umepungua kutoka asilimia 11.3 (2011/12) hadi asilimia 9.7 (2017/18) na kwa

upande wa mijini ulipungua kutoka asilimia 8.7 (2011/12) hadi asilimia 4.4 (2017/18).

Kielelezo Na. 2.5 kinaonesha mwenendo wa hali ya umaskini nchini.

Page 19: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 14

Kielelezo Na. 2.5: Mwenendo wa Hali ya Umaskini Nchini

2.3.2.1 Umiliki wa Mali Zinazodumu

Umiliki wa mali zinazodumu kama vile simu za mkononi, friji, pikipiki, magari, redio,

baiskeli na ardhi hutumika katika kutathmini hali ya umaskini katika ngazi ya kaya.

Tafiti mbalimbali zilizofanyika kati ya mwaka 2012 na 2017 zinaonesha kuwa idadi

ya kaya zinazomiliki simu za mkononi, pikipiki na baiskeli zimeongezeka kati ya

mwaka 2016 na 2017 ikiashiria kuwa kipato cha kaya kimeongezeka. Katika kipindi

hicho idadi ya kaya zinazomiliki simu za mkononi zimeongezeka kutoka asilimia 78.1

hadi asilimia 81.3, pikipiki kutoka asilimia 7.3 hadi asilimia 11.0 na baiskeli kutoka

asilimia 29.6 hadi asilimia 38.7.

Vile vile, kwa mujibu wa Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa mwaka

2007 na mwaka 2012 idadi ya watu wanaomiliki ardhi imeongeza kutoka asilimia

72.6 mwaka 2007 na kufikia asilimia 87.7 mwaka 2012. Jedwali Na. 2.4 linaonesha

kiwango cha umiliki wa samani/mali za kudumu kati ya mwaka 2012, 2016 na

mwaka 2017.

Jedwali Na. 2.4: Umiliki wa Mali Zinazodumu (Durable Goods)

Mwaka 2012 2016 2017

Simu za mkononi 63.4 78.1 81.3

Runinga 15.1 23.6 22.7

Pikipiki 4.9 7.3 11.0

Jokofu 3.1 8.3 7.4

Magari 2.5 2.1 2.8

Redio 61.4 56.5 49.1

Baiskeli 39.8 29.6 38.7

Ardhi 87.7 - -

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Page 20: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 15

2.3.2.2 Hali ya Upatikanaji wa Chakula Nchini

Hali ya uzalishaji na upatikanaji wa mazao ya chakula nchini imeendelea kuimarika.

Tathmini ya uzalishaji wa mazao ya chakula kwa mwaka 2017/18 na hali ya

upatikanaji wa chakula kwa mwaka 2018/19 inaonesha kuwa uzalishaji wa mazao ya

chakula ulifikia tani 16,981,974. Kati ya kiasi hicho, tani 9,537,857 ni za mazao ya

nafaka na tani 7,354,117 ni za mazao yasiyo nafaka. Aidha mahitaji ya chakula kwa

mwaka 2018/19 ni tani 13,569,285 ambapo tani 8,627,273 ni mazao ya nafaka na

tani 4,942,012 ni mazao yasiyo nafaka. Mahitaji haya yakilinganishwa na uzalishaji

yanaonesha kuwa nchi ina ziada ya chakula ya tani 3,322,689 za mazao yote ya

chakula ambapo tani 910,584 ni za mazao ya nafaka na tani 2,412,105 ni za mazao

yasiyo nafaka. Kwa kuzingatia kigezo cha upimaji wa kiwango cha utoshelevu Taifa

lina kiwango cha utoshelevu wa chakula cha asilimia 124 kwa kipindi cha mwaka

2018/19 ikilinganishwa na asilimia 120 kwa mwaka 2017/18.

2.3.2.3 Misaada kwa Kaya/Familia Maskini

Serikali imeendelea na juhudi za kupambana na umaskini kupitia mpango wa

Kunusuru Kaya Masikini kwa lengo la kupunguza ukali wa maisha. Katika mwaka

2018, idadi ya kaya zilizoandikishwa zilikuwa 1,118,752 zikiwa na wanufaika

5,259,503 ambapo jumla ya Shilingi bilioni 931.7 zililipwa kwa kaya hizo kwa

Tanzania Bara na Zanzibar ikilinganishwa na Shilingi billioni 668.3 zilizolipwa kwa

kaya 1,100,000 zenye wanufaika milioni 5.1 mwaka 2017. Katika kipindi hicho, jumla

ya kaya maskini zilizotambuliwa zilikuwa 1,363,448 zikiwa na wanufaika 5,726,101.

Kwa upande wa ajira kupitia mradi wa ajira za muda, jumla ya Shilingi bilioni 119.085

zililipwa, ambapo kati ya hizo Shilingi bilioni 83.293 zililipwa kwa kaya za wanufaika

kama ujira wa kazi hizo.

2.3.2.4 Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge

Tanzania

Serikali imeendelea na hatua mbalimbali za kuzijengea uwezo Mamlaka za Serikali

za Mitaa katika urasimishaji wa rasilimali ardhi na biashara mijini na vijijini kupitia

Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania

(MKURABITA). Katika mwaka 2018/19, vilianzishwa vituo saba (7) vya urasimishaji

na uendelezaji biashara (One Stop Business Formalization Centers) katika

Halmashauri za Wilaya za Bariadi, Urambo, Njombe, manispaa za Morogoro,

Singida na Mtwara pamoja na jiji la Tanga. Kufuatia uanzishwaji wa vituo hivyo,

wafanyabiashara 7,943 wamepatiwa mafunzo ya urasimishaji, uendeshaji na

uendelezaji biashara. Matokeo yaliyopatikana ni kama ifuatavyo:

(i) Wafanyabiashara 3,967 wamesajili majina ya biashara na kampuni saba (7)

zimeanzishwa katika halmashauri za Wilaya za Bariadi na Urambo kwa ajili ya

Page 21: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 16

uendeshaji biashara na kuanzisha viwanda;

(ii) Kuongezeka kwa makusanyo ya ada za leseni za biashara kutoka shilingi

21,353,520 mwezi Julai 2018 hadi shilingi 42,166,780 Desemba 2018 katika

Wilaya ya Bariadi na kutoka shilingi 20,964,670 mwezi Februari 2018 hadi

shilingi 42,965,320 kwa Wilaya ya Urambo. Aidha, makusanyo katika

Manispaa ya Morogoro yameongezeka kutoka shilingi 568,814,883 mwaka

2017 hadi shilingi 654,370,575 mwaka 2018 kutokana na huduma za Kituo

cha biashara;

(iii) Kuongezeka kwa usajili wa majina ya biashara katika halmashauri ya Wilaya

ya Bariadi kutoka asilimia 3.3 Julai 2018 hadi asilimia 17.1 Desemba 2018 na

katika Halmashauri ya wilaya ya Urambo, usajili umengezeka kutoka asilimia

3.3 Februari 2018 hadi asilimia tano (5) Desemba 2018;

(iv) Kuongezeka kwa biashara zenye mitaji ya zaidi ya Shilingi 3,000,000 kutoka

asilimia 3.3 Julai 2018 hadi asilimia 26.0 Desemba 2018 katika halmashauri

ya mji wa Bariadi na katika wilaya ya Urambo kutoka asilimia nne (4) Februari

2018 hadi asilimia 10 Desemba 2018;

(v) Kuongezeka kwa wafanyakazi wenye mikataba ya ajira kutoka silimia 1.1

Julai 2018 hadi asilimia tisa (9) Desemba 2018 katika halmashauri ya mji wa

Bariadi na kutoka asilimia 1.5 Februari 2018 hadi asilimia 19 Desemba 2018

katika Wilaya ya Urambo;

(vi) Kuongezeka kwa ulipaji kodi kutoka asilimia 29.4 Julai 2018 hadi asilimia 68.9

Desemba 2018 katika halmashauri ya mji wa Bariadi na kutoka asilimia 19.4

Februari 2018 hadi asilimia 95 Desemba 2018 katika wilaya ya Urambo; na

(vii) Kuongezeka kwa wafanyabiashara wenye akaunti za benki kutoka asilimia

59.2 Julai 2018 hadi asilimia 63.7 Desemba 2018 katika halmashauri ya mji

wa Bariadi na kutoka asilimia 70 Februari 2018 hadi asilimia 82 Desemba

2018 katika halmashauri ya wilaya ya Urambo.

Page 22: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 17

SURA YA TATU

MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO

3.1. Utangulizi

Sura hii inawasilisha utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka

2018/19, kuhusu hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo,

changamoto zilizojitokeza na hatua zinazochukuliwa kukabiliana na changamoto

hizo.

3.2. Utekelezaji wa Bajeti na Mpango wa Maendeleo 2018/19

3.2.1. Utekelezaji wa Bajeti ya Maendeleo

Katika mwaka 2018/19, Serikali ilitenga Shilingi trilioni 12.01 kwa ajili ya miradi ya

maendeleo, zikijumuisha Shilingi trilioni 9.88 fedha za ndani na Shilingi trilioni 2.13

fedha za nje. Hadi Aprili 2019, jumla ya Shilingi trilioni 5.44 zilitolewa kwa ajili ya

kugharamia miradi ya maendeleo. Kati ya kiasi kilichotolewa, Shilingi trilioni 4.89 ni

fedha za ndani na Shilingi bilioni 547 ni fedha za nje. Kiasi hiki hakijumuishi fedha

zilizopelekwa moja kwa moja na Washirika wa Maendeleo kwenye miradi ya

maendeleo. Sehemu kubwa ya fedha za maendeleo zilielekezwa katika utekelezaji

wa miradi ya kufua umeme kwa kutumia nguvu ya maji Mto Rufiji (Shilingi bilioni

723.598), elimumsingi bila ada na mikopo ya elimu ya juu (Shilingi bilioni 616.9),

usambazaji wa umeme vijijini kupitia REA (Shilingi bilioni 269.314) na ununuzi na

uendeshaji wa ndege (Shilingi bilioni 238.82).

3.2.2. Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo

3.2.2.1. Miradi ya Kielelezo

(a) Ujenzi wa Reli ya Kati kwa Standard Gauge

Ujenzi wa kipande cha Dar es Salaam – Morogoro (km 300) unaendelea ambapo

utekelezaji umefikia asilimia 48.9. Shughuli zilizotekelezwa ni pamoja na: kutandika

km 30 za reli; ujenzi wa makalavati asilimia 55; ujenzi wa madaraja asilimia 42;

ujenzi wa daraja refu katikati ya Jiji la Dar es Salaam lenye urefu wa km 2.54 ambao

umekamilika kwa asilimia 63; na ukataji wa miinuko na ujazaji wa mabonde

umekamilika kwa asilimia 66. Kazi zinazoendelea ni pamoja na uwekaji wa nguzo

za mfumo wa umeme kwa ajili ya kuendeshea treni; na ujenzi wa stesheni za Dar es

Salaam, Pugu na Soga unaendelea.

Katika kipande cha Morogoro – Makutupora (km 422), utekelezaji wa mradi

Page 23: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 18

umefikia asilimia 7.12 ambapo kazi zinazoendelea ni pamoja na: uthamini na uhakiki

wa mali za wananchi watakaopisha mradi; ukataji wa miinuko na ujazaji wa

mabonde; usanifu wa njia na ujenzi wa kambi za Kilosa na Ihumwa. Aidha, kazi ya

utafutaji fedha kwa sehemu za Makutupora – Tabora (km 295), Tabora – Isaka

(km 133) na Isaka – Mwanza (km 250) zinaendelea ambapo wawekezaji mbalimbali

wameonesha nia ya kufanikisha upatikanaji wa fedha na kushiriki katika ujenzi wa

vipande hivyo. Vile vile, Isaka – Rusumo (km 371), mapitio ya upembuzi yakinifu na

usanifu wa awali yamekamilika. Tabora – Kigoma, Kaliua – Mpanda na Uvinza –

Msongati (Burundi), upembuzi yakinifu unaendelea.

Shughuli zingine za utekelezaji wa mradi ni pamoja na: kusainiwa kwa mkataba wa

miezi 11 kuanzia Desemba 2018 kati ya Serikali kupitia TRC na TANESCO na

Kampuni ya Larsen & Tourbo (L&T) Construction kwa ajili ya ujenzi wa mfumo wa

umeme wa SGR ambapo kazi hiyo imeanza; kuendelea na taratibu za ununuzi wa

mabehewa, injini na mitambo itakayotumika kutoa huduma ya usafiri kwenye reli ya

Standard Gauge.

(b) Uboreshaji wa Shirika la Ndege Tanzania

Hatua iliyofikiwa ni: kupokelewa kwa ndege moja aina ya Boeing 787-8 Dreamliner

na mbili aina ya Airbus A220-300; kulipa sehemu ya gharama za ununuzi wa ndege

mbili aina ya Boeing 787-8 Dreamliner na Bombadier Dash 8 Q400 zinazotarajiwa

kuwasili nchini kabla ya mwishoni mwa mwaka 2019; na malipo ya bima, gharama

za uendeshaji wa ndege, mafunzo ya marubani (51), wahandisi (14) na wahudumu

(66) pamoja na madeni ya Shirika la Ndege Tanzania. Aidha, shughuli nyingine

zilizofanyika ni pamoja na kuanza kwa ukarabati wa Karakana ya Matengenezo ya

Ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

(c) Kufua Umeme wa Maji Bonde la Mto Rufiji - MW 2,115

Hatua iliyofikiwa ni: Kupatikana kwa mkandarasi wa mradi wa kufua umeme

utokanao na nguvu ya maji katika Mto Rufiji ambaye ni Kampuni ya Ubia kati ya

Arab Contractors na Elsewedy Electric S.A.E kutoka Misri ambapo mkataba wa

ujenzi umesainiwa na mkandarasi alikabidhiwa eneo la mradi mwezi Februari 2019

na kuanza utekelezaji wa kazi za awali. Kazi zilizokamilika ni: ujenzi wa

miundombinu wezeshi ikijumuisha njia ya kusafirisha umeme wa MW 8 yenye

msongo wa kV 33 kutoka Msamvu, Morogoro hadi eneo la mradi yenye urefu wa

kilomita 170; barabara za kiwango cha changarawe za Ubena Zomozi na Kibiti –

Mloka hadi eneo la mradi; mifumo ya maji; mawasiliano ya simu; na nyumba za

kuishi Mkandarasi. Vile vile, kulingana na mahitaji ya umeme wakati wa ujenzi,

TANESCO imeanza ujenzi wa njia ya pili ya umeme msongo wa kV 33 kutoka kituo

cha kupoza umeme cha Gongo la Mboto kupitia Kisarawe hadi eneo la mradi

Page 24: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 19

urefu wa kilomita 245 itakayosafirisha umeme wa MW 22.

(d) Kituo cha Biashara na Huduma Kurasini

Hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa: uthamini wa nyumba tatu ambazo awali

hazikufanyiwa uthamini; na mpango wa uendelelezaji wa eneo la mradi.

(e) Uanzishwaji wa Kanda Maalum za Kiuchumi

(i) Eneo Maalum la Uwekezaji Bagamoyo: Kazi zilizotekelezwa ni: kukamilika

kwa mpango kabambe wa kuendeleza eneo la hekta 175 lililotengwa kwa ajili

ya ujenzi wa kituo cha Teknolojia. Aidha, makampuni 12 yamepewa leseni

kwa ajili ya kujenga viwanda katika eneo la Bagamoyo SEZ.

(ii) Eneo Maalum la Uwekezaji Kigoma: Kazi zilizotekelezwa ni: kukamilika kwa

upembuzi yakinifu na Mpango Kabambe wa uendelezaji wa eneo (Master

Plan) na ugawaji wa viwanja kwa ajili ya kupewa wawekezaji; kuendeleza

miundombinu kwa kufungua barabara zenye jumla ya km 28.46 na kuweka

alama za mipaka 106; kupatikana kwa wawekezaji watatu ambao ni Next Gen

Solowazi Limited, Third Man Limited na SGC Investment Limited

watakaowekeza kwenye ujenzi wa mitambo ya kuzalisha umeme wa jua,

ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mazao ya nyuki (asali) na ujenzi wa

kiwanda cha kuchakata zao la michikichi na ghala kwa mtiririko huo.

(iii) Eneo Maalum la Uwekezaji Mtwara: Kazi zilizotekelezwa ni: usanifu na

ujenzi wa barabara yenye urefu wa km 2.7 kufika eneo la mradi; na kuendelea

na maandalizi kwa ajili ya kuanza mradi ambapo mikataba ya utekelezaji kati

ya EPZA na waendelezaji wa miundombinu wezeshi (TARURA na

MTUWASA) inahakikiwa na Serikali ili makabidhiano ya rasilimali fedha

yafanyike.

(f) Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia – Lindi

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilisha Tathmini ya Athari za Mazingira na Kijamii - ESIA;

kukamilisha mpango wa uhamishaji wananchi watakaopisha mradi; kuanza kwa

majadiliano ya kimkataba (Host Government Agreement – HGA) baina ya Serikali na

wawekezaji na kuandaliwa kwa moduli ya kiuchumi (economic model) ya mradi.

(g) Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga

(Tanzania)

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na majadiliano ya mkataba kati ya kampuni ya mradi

na Nchi Hodhi (Host Government Agereement – HGA); kuendelea na maandalizi ya

majadiliano ya Mkataba wa Ubia (Shareholding Agreement – SHA); na kukamilika

kwa tathmini ya fidia kwa maeneo ya kipaumbele (main camps and coating yard) na

eneo lote la mkuza.

Page 25: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 20

(h) Shamba la Miwa na Kiwanda cha Sukari Mkulazi I

Kazi zilizofanyika katika mradi huu ni pamoja na: kupatikana kwa kibali cha kutumia

maji ya mto Ruvu; kukamilika kwa michoro kwa ajili ya ujenzi wa bwawa la maji

lenye ukubwa wa mita za ujazo milioni 15 na maandalizi ya eneo kwa ajili ya ujenzi

wa kiwanda. Aidha, mzabuni wa kutengeneza na kufunga mitambo ya kiwanda

amepatikana.

(i) Shamba la Miwa na Kiwanda cha Sukari Mbigiri – Mkulazi II

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa upembuzi yakinifu wa eneo la mradi; kuendelea

na ujenzi wa majengo ya kiwanda cha sukari; kuboresha miundombinu ya barabara

na majengo; na kupatikana kwa mzabuni wa kutengeneza na kufunga mitambo ya

kiwanda. Aidha, shamba lenye ukubwa wa hekta 1,158 kati ya hekta 3,500

limelimwa ambapo hekta 880 zimepandwa miwa.

(j) Kuongeza Rasilimali Watu Wenye Ujuzi Adimu na Maalumu kwa

Maendeleo ya Viwanda na Watu

(i) Wizara ya Nishati: hatua liyofikiwa ni kugharamiwa: mafunzo kwa vijana 24

katika fani za mafuta na gesi kwa ngazi za shahada ya uzamivu (3), shahada

ya Uzamili (19), na shahada ya kwanza (2); mafunzo muda mrefu kwa

watumishi 8 wa TPDC na mafunzo ya muda mfupi kwa watumishi 50 wa

Wizara ya Nishati, PURA, EWURA, TRA na Timu ya Majadiliano ya mradi wa

LNG kuhusu usimamizi na uendeshaji wa miradi ya mafuta na gesi;

(ii) Wizara ya Madini: hatua liyofikiwa ni kupatiwa mafunzo ya muda mfupi na

mrefu watumishi 41 katika fani za Jiolojia, Jemolojia, Uhandisi migodi, na

utunzaji wa kumbukumbu na utafutaji wa madini. Kati ya hao, watumishi 14

wamehudhuria mafunzo ya muda mrefu katika ngazi ya Astahahada (1),

Shahada ya kwanza (1), Shahada ya uzamili (9), na Shahada ya uzamivu (3)

na watumishi 27 wamehudhuria mafunzo ya muda mfupi katika fani husika.

(iii) Wizara ya Afya, Mendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto: hatua

liyofikiwa ni kugharamiwa madaktari 311 kuendelea na masomo ya kibingwa

kna kuratibu mafunzo kwa wanafunzi 50 kupitia ufadhili kutoka Serikali ya

China kwenda China kusoma masomo ya udatari.

(iv) Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia: hatua liyofikiwa ni kuendelea

kudhamini mafunzo kwa wanafunzi madaktari 158 katika fani za ubobezi kwa

magonjwa ya damu na utoaji damu (1), Magonjwa ya utumbo na ini (2),

upasuaji wa utumbo na ini (3), Magonjwa ya figo (1), magonjwa ya kifua (1),

udaktari bingwa (102), ufamisia (6), uuguzi (14), afya ya jamii na mazingira,

menejimenti na taarifa za afya (28).

(v) Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili – MUHAS: hatua

liyofikiwa ni kuhitimu kwa wataalam 15 katika fani ya udaktari bingwa maalum

Page 26: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 21

(Master of Science Super-specialty) kwa magonjwa ya: Moyo (4), ubongo na

mishipa ya fahamu (3), damu na utoaji damu (1), utumbo na ini (4), figo (2),

na njia ya mkojo (1). Vile vile, madaktari bingwa 131 wamehitimu mafunzo

katika fani mbalimbali zikiwemo udaktari bingwa katika huduma za usingizi,

magonjwa ya dharura na mahututi, mifupa na mivunjiko, watoto, radiologia,

upasuaji na njia ya mkojo. Kuhitimu kwa wataalam wengine 102 wasaidizi wa

madaktari bingwa katika Nyanja za sayansi ya uuguzi wa afya ya akili,

magonjwa mahututi na ajali, ukunga na afya ya akinamama, ufamasia, afya

ya jamii na mazingira, na sayansi ya menejimenti ya taarifa za afya. Aidha,

chuo kwa kushirikiana na Ubalozi wa China kimepeleka wataalam 18 nje ya

nchi kusomea ubingwa na ubobezi katika fani za upandikizaji figo, ini na

uboho (bone marrow).

(vi) Hospitali ya Mloganzila: hatua liyofikiwa ni kugharamiwa mafunzo kwa

watumishi 37 katika fani mbalimbali za kibingwa (NmeD) ambao wanaendelea

na masomo katika Chuo cha Muhimbili (MUHAS) na Bugando. Vile vile,

hospitali kwa kushirikiana na Serikali za China na Korea ya Kusini imepeleka

wataalam sita (6) katika nchi hizo kwa ajili ya mafunzo mbalimbali.

3.2.2.2. Kukuza Uchumi na Ujenzi wa Msingi wa Uchumi wa Viwanda

A. Uzalishaji Viwandani

(a) Kiwanda cha Kuunganisha Matrekta – TAMCO, Kibaha

Ujenzi wa Kiwanda kipya cha kuunganisha Matrekta unaendelea ambapo utekelezaji

umefikia asilimia 40. Vile vile, jumla ya matrekta 822 kati ya 2,400 aina ya URSUS

yameingizwa nchini kutoka Poland yakiwa katika vipande (semi knocked down). Kati

ya matrekta 822 yaliyoingizwa, Matrekta 571 yameunganishwa na matrekta 399

yameuzwa.

(b) Kuendeleza Kongane ya Viwanda TAMCO – Kibaha

Kazi zilizotekelezwa ni pamoja na kuandaa Mpango Kabambe (detailed Master Plan)

wa eneo la ekari 201.6 ili kuvutia uwekezaji. Eneo la ekari 77.41 limetengwa kwa ajili

ya Viwanda vya nguo na mavazi, ekari 60.23 zimetengwa kwa ajili ya viwanda vya

kuunganisha magari na mitambo na ekari 43.04 limetengwa kwa ajili ya Sekta ya

Viwanda vya Dawa za Binadamu na Vifaa Tiba. Kazi zingine ni pamoja na:

kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda cha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu

waenezao ugonjwa wa malaria, kiwanda cha kuzalisha vifaa tiba na kiwanda cha

vifungashio; kuendelea na ujenzi wa kiwanda cha chanjo za wanyama; kukamilika

kwa upembuzi yakinifu kwa ajili ya viwanda vya nguo na mavazi; na kuendelea na

ujenzi wa kiwanda cha betri za magari cha China Boda; ujenzi wa barabara yenye

Page 27: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 22

urefu wa mita 400 kuelekea kiwanda cha viuadudu (biolarvicides plant) imekamilika;

na ujenzi wa barabara yenye urefu wa mita 580 ya kuingia eneo la viwanda

unaendelea ambapo utekelezaji umefika asilimia 80. Vile vile, majadiliano kati ya

NDC na TANESCO yanaendelea kwa ajili ya kujenga kituo kidogo cha kupozea

umeme (substation) katika eneo la Viwanda la TAMCO. Majadiliano ya ujenzi wa

Kiwanda cha Kutengeneza Sindano (syringes) kitakachojengwa na Kampuni ya El-

Dawlia Limited yanaendelea.

(c) Mradi wa Magadi Soda - Bonde la Engaruka

Kazi zilizotekelezwa ni: kukamilika kwa upimaji wa ardhi ya mradi pamoja na

uthaminishaji wa mali za wananchi; kukamilisha michoro ya matumizi ya ardhi; na

kuendelea kutangaza mradi kwa wawekezaji mbalimbali ili kumpata mwekezaji wa

kushirikiana na Serikali kupitia NDC.

(d) Kiwanda cha Matairi General Tyre – Arusha

Kazi zilizotekelezwa ni: kukamilika kwa utafiti wa namna bora ya kufufua kiwanda;

kukamilika kwa makabidhiano ya kiwanda ambapo Ofisi ya Msajili wa Hazina

imekabidhi kiwanda hicho kwa NDC; na kukamilika kwa uthamini wa mali za

kiwanda.

B. Utafiti wa Teknolojia na Bidhaa za Viwandani

(a) Kituo cha Zana za Kilimo na Ufundi Vijijini - CAMARTEC

Kazi zilizotekelezwa ni: kutengeneza zana mbalimbali na kubuni teknolojia mpya

kwa ajili ya kuongeza uzalishaji na ubora wa bidhaa. Zana hizo ni pamoja na

mashine 64 zikiwemo za kupandia mbegu za pamba, kusaga karanga, kukausha

mbogamboga na kukata majani; kubuni na kutengeneza trela lenye uwezo wa

kubeba mizigo ya tani mbili kwa matumizi ya trekta za URSUS; kujengwa kwa

mitambo 55 ya biogas; na kukamilika kwa tafiti tatu zinazohusiana na matumizi ya

nishati jadidifu ya biogas na kufanya utafiti wa mahitaji ya zana za kilimo (technology

needs assessment) katika mikoa 14 ya Tanzania Bara ambayo ni Kilimanjaro,

Arusha, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Geita, Kigoma, Dodoma,

Iringa, Njombe, Lindi na Mbeya. Matokeo yameonesha uhitaji mkubwa wa teknolojia

na zana za kisasa za kupandia mazao, kupalilia, kupura na kupepeta mazao ya

nafaka.

Shughuli nyingine zilizofanyika ni kuendelea na utafiti wa Camartec Fas Trucktor

(CFT) trekta kwa kuzingatia changamoto zinazobainika wakati wa majaribio ya trekta

hizo; na kubuni na kuunda zana mbalimbali zikiwemo: kipandio cha mbegu

kinachovutwa na trekta aina ya CFT; mashine za kupura mazao; mashine ya

Page 28: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 23

kufunga majani ya malisho ya mifugo; mashine ya kutenganisha makapi ya mbegu

za mchikichi; mashine ya kutengeneza chakula cha kuku kwa mfumo wa punje; na

jembe la kulainisha udongo (harrow) linalokotwa na punda.

(b) Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania – TIRDO

Shughuli zilizotekelezwa ni: kukamilika kwa asilimia 80 ya ukarabati wa jengo la

maabara ya mafuta na gesi asilia; kukamilika kwa michoro na makadirio ya gharama

za ukarabati wa maabara ya makaa ya mawe na kuendelea kukamilisha taratibu za

kumpata mkandarasi wa ujenzi. Aidha, Shirika linakamilisha taratibu za uhakiki wa

maabara ya mazingira baada ya kutuma maombi ya uhakiki kwa Mamlaka ya

Uhakiki Kusini mwa Afrika - SADCAS na kuelekezwa kurekebisha baadhi ya nyaraka

kabla ya ukaguzi.

(c) Shirika la Uhandisi na Usanifu wa Mitambo – TEMDO

Kazi zilizofanyika ni: kubuni mashine ya kutengeneza tofali zinazozuia upotevu wa

joto (refractory bricks); majokofu makubwa; kiteketezi taka kidogo kinachobebeka

kwa ajili ya zahanati na maabara za afya; mtambo wa kusindika na kusafisha mafuta

ya kula na mtambo wa kuzalisha umeme kutokana na nguvu ya maji na ufungaji wa

mitambo wa kuzalisha umeme (kW 20) kutokana na nguvu za upepo na jua katika

Kituo cha Olduvai Gorge – Ngorongoro.

(d) Uendelezaji wa Viwanda Vidogo – SIDO

Shughuli zilizofanyika ni kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya viwanda

(barabara, mifumo ya maji na umeme) na ujenzi wa majengo ya viwanda (12) katika

Mikoa ya Dodoma, Geita, Kagera, Manyara, na Mtwara na ujenzi wa ofisi za SIDO

za kutolea huduma katika Mikoa mipya ya Geita, Simiyu na Katavi; kuboresha kituo

cha teknolojia cha Lindi kwa kununua mitambo mipya ya kubangua korosho;

kuimarisha vituo vya teknolojia vya Shinyanga na Kigoma ili viwe katika nafasi nzuri

ya kutengeneza teknolojia za kuchakata zao la chikichi pamoja na mazao mengine;

kuongeza majengo ya viwanda katika mikoa ya Mtwara, Ruvuma, na Kigoma;

kutambua, kuanzisha na kusambaza teknolojia mpya 40 za ubanguaji korosho,

usindikaji na ufungashaji wa vyakula, utengenezaji wa vifaa vya ujenzi hususan

tofali, utengenezaji wa chokaa na chaki, ukamuaji wa mafuta ya kula kutokana na

michikichi na usindikaji wa ngozi kwa kutumia njia za asili.

C. Kilimo

(a) Kilimo cha Mpunga

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa ghala la kuhifadhia mpunga lenye

uwezo wa kuhifadhi tani 1,500 pamoja na ukarabati na ujenzi wa barabara

Page 29: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 24

zinazounganisha ghala na skimu ya umwagiliaji ya Mwendamtitu Wilayani Mbarali;

kutoa mafunzo ya kilimo shadidi cha mpunga kwa Maafisa Ugani na Mafundi Sanifu

wa Umwagiliaji 109 na wakulima 5,647 kutoka skimu za umwagiliaji 40 katika

Halmashauri za Ulanga, Mvomero, Kilombero, Morogoro Vijijini, Kilosa na Malinyi;

kuendeshwa kwa mashamba darasa yapatayo 1,331; na mbegu mpya za mpunga

11 zimetambulishwa kwa wakulima kupitia mashamba ya mfano ambapo wakulima

walichagua aina mbili ambazo ni TXD 306 (SARO 5) na NERICA 7. Aidha, katika

kuthibiti ubora wa mbegu za mpunga, Taasisi ya Uthibiti wa Ubora wa Mbegu

Tanzania - TOSCI imefanya ukaguzi wa mashamba yaliyoandikishwa kuzalisha

mbegu, imehakiki kiasi cha mbegu zilizozalishwa kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo

- TARI, Taasisi ya uzalishaji wa mbegu Tanzania - ASA na kutoka kwa wakulima

waliozalisha mbegu zenye ubora wa kuazimiwa.

(b) Kilimo cha Mahindi

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea kuboresha uzalishaji wa mahindi kwa kuhamasisha

matumizi ya mbegu bora na mbolea, ambapo jumla ya tani 17,525.65 za mbegu

bora za mahindi zilipatikana na kusambazwa kwa wakulima; kutolewa elimu kuhusu

udhibiti wa viwavijeshi vamizi kwa wakulima 2,080 wa mahindi kutoka mikoa ya

Singida (385), Shinyanga (425), Simiyu (495), Tabora (530) na Morogoro (245).

Aidha, katika kuongeza thamani ya zao la mahindi Bodi ya Nafaka na Mazao

Mchanganyiko ilinunua tani 7,230 za mahindi na kusagisha tani 1,003. Vile vile,

uzalishaji wa mahindi kwa misimu minne iliyopita ni: 6,148,699 kwa mwaka 2015;

6,680,758 kwa mwaka 2016; tani 6,273,150 kwa mwaka 2017; na tani 6,300,000

kwa mwaka 2018.

(c) Kilimo cha Miwa

Hatua iliyofikiwa ni: kukarabatiwa kwa kilometa 33.5 za miundombinu ya barabara

zilizopo kwenye mashamba ya wakulima wadogo wa miwa katika maeneo ya

Kilombero, Mtibwa na Kagera; kusajiliwa kwa wakulima 6,125 kupitia mfumo wa

kielektroniki katika mashamba ya Kilombero (5,899) na Mtibwa (226); kuanzishwa

kwa Vyama vya Ushirika vya wakulima; kukarabatiwa kwa kilometa 33.5 za barabara

za mashamba ya wakulima katika wilaya za Kilombero na Misenyi; kujengwa kwa

miundombinu ya umwagiliaji katika kijiji cha Msolwa Ujamaa kwa ajili ya wakulima

wadogo 146 wanaomiliki ekari 250; kujengwa kwa tuta la kukinga maji lenye urefu

wa km 10.6 katika bonde la Ruembe (Kilosa) na wakulima wa miwa 316 kutoka

katika mashamba ya Kilombero, Mtibwa na Kagera wamepatiwa mafunzo ya mbinu

bora za kilimo bora cha miwa, biashara, uongozi, ushawishi na utetezi; kutolewa kwa

viuatilifu vya kudhibiti wadudu waharibifu na visumbufu kwa wakulima wadogo wa

Mkoa wa Manyara.

Page 30: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 25

(d) Kilimo cha Chai

Hatua iliyofikiwa ni: kuzalishwa kwa miche bora 7,130,000 kupitia sekta binafsi na

umma. Kati ya miche hiyo, miche 3,100,000 imesambazwa kwa wakulima wa Wilaya

za Njombe, Ludewa, Tarime, Rungwe na Mufindi kwa ajili ya kujaza mapengo na

kufungua mashamba mapya; kutolewa mafunzo kuhusu uanzishaji na utunzaji wa

bustani za miche bora ya chai, upandaji chai mashambani, uchumaji wa majani

mabichi ya chai na matumizi sahihi ya pembejeo kupitia shamba darasa kwa

wakulima wadogo wa chai 15,000 na maafisa ugani saba (7) katika mkoa wa

Njombe; kuzalishwa kwa tani 19,412.16 sawa na asilimia 52.5 ya lengo la kuzalisha

tani 37,000; na kuongezeka kwa mauzo ya chai kavu kufikia tani 5,500 ongezeko

ambalo limetokana na kuimarishwa kwa viwanda vya Rift Valley – Dar es Salaam na

BK Tea Blenders – Kagera.

(e) Kilimo cha Kahawa

Hatua iliyofikiwa ni: kuzalishwa kwa miche 6,494,930 kwa ajili ya kupandwa katika

kanda za uzalishaji wa kahawa, ambapo miche 1,780,430 imezalishwa na Bodi ya

Kahawa na miche 4,714,500 imezalishwa na Taasisi ya Utafiti wa Zao la Kahawa -

TaCRI katika vituo vya Lyamungo - Moshi, Ugano - Mbinga, Mbimba - Mbozi,

Maruku – Bukoba, Mwayaya - Buhigwe na Sirari - Tarime.

(f) Kilimo cha Pamba

Hatua iliyofikiwa ni: kutolewa kwa mafunzo ya kanuni bora za kilimo cha pamba,

ikiwemo utambuzi wa visumbufu, viuatilifu na matumizi sahihi ya viuatilifu kwa

washiriki 2,036 wakiwemo maafisa ugani, wakulima, na maafisa ushirika kutoka

mikoa ya Tabora, Mwanza, Mara, Shinyanga, Katavi, Kigoma, Singida, Kagera,

Geita, Simiyu, Iringa, Dodoma, Manyara, Kilimanjaro, Morogoro, Pwani na Tanga;

kusambazwa kwa tani 21,535.62 za mbegu bora za pamba aina ya UKM08 kwa

wakulima nchini ambapo ongezeko la usambazaji limetokana na mwamko wa

wakulima kulima zao la pamba. Vile vile, jumla ya ekapaki 3,326,990 za viuatilifu

zimesambazwa katika Halmashauri 41 za mikoa ya Kigoma, Katavi, Singida,

Dodoma, Kagera, Mara, Tabora, Geita, Mwanza, Shinyanga na Simiyu. Aidha, Bodi

ya Pamba inaendelea kuratibu usambazaji wa viuatilifu kupitia kampuni binafsi.

(g) Kilimo cha Tumbaku

Hatua iliyofikiwa ni: kusambazwa kwa kilo 588 za mbegu zinazotosheleza hekta

39,191 kwa wakulima 53,903 kwenye vyama vya ushirika 258 katika mikoa ya

Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya, Tabora, Shinyanga, Geita na Iringa. Mbegu hizo

zinatarajiwa kuzalisha tani 54,868 za tumbaku; kuzalishwa kwa tani 16,460 za

tumbaku sawa na asilimia 30 ya lengo la kuzalisha tani 54,868; kuboreshwa kwa

mabani 23,960 ya kukaushia tumbaku sawa na asilimia 42.5 ya lengo la kuboresha

Page 31: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 26

mabani 56,398; kuoteshwa kwa miche 13,657,493 kwa ajili ya kutunza mazingira na

kusajiliwa kwa vituo 60,000 vya kufungia na kuchambua tumbaku.

(h) Upatikanaji wa Pembejeo

Hatua iliyofikiwa ni: kununuliwa kwa lita 269,000 na kilo 3,000 za viuatilifu kwa ajili ya

kukabiliana na dharura ya milipuko ya visumbufu vya mazao vikiwemo Kwelea

kwelea, Panya, Nzige wekundu na Viwavijeshi vamizi; usambazaji wa mbolea katika

mikoa 26 ya Tanzania Bara ulikuwa tani 492,394.18 sawa na asilimia 95.77 ya

mahitaji ya tani 514,138 katika msimu wa mwaka 2018/19; na maghala 11 yenye

uwezo wa kuhifadhi tani 65,500 za mbolea yamejengwa katika maeneo ya

Sumbawanga, Mbozi, Makambako, Njombe, Iringa, Morogoro, Moshi DC, Himo, Hai,

Usa River na Kisongo. Vilevile, upatikanaji wa salfa ya unga umefikia tani 31,500 na

viuatilifu vya maji lita 520,000 ambapo tani 3,325.850 na lita 248,207 zimesambazwa

kwa wakulima. Aidha, upatikanaji wa mbegu bora umefikia tani 49,040.66 ambapo

kati ya kiasi hicho, tani 38,507.87 zimezalishwa hapa nchini, tani 8,361.46

zimeagizwa kutoka nje ya nchi na tani 2,171.33 ni baki ya msimu wa 2017/18. Kati

ya mbegu zilizozalishwa hapa nchini, asilimia 96.5 zimetokana na sekta binafsi na

asilimia 3.5 zimetokana na uzalishaji wa sekta ya umma. Katika kipindi hicho miche

1,507 ya miwa, vipando 121,805 vya muhogo na vikonyo 520,000 vya viazi lishe

vilizalishwa.

(i) Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Umwagiliaji

Shughuli zilizofanyika ni: kuanza kufanya mapitio ya usanifu wa ukarabati wa

miundombinu ya skimu za umwagiliaji za Kigugu - Mvomero (hekta 200), Mvumi -

Kilosa (hekta 249), Msolwa Ujamaa (hekta 675) na Njage - Kilombero (hekta 325),

ukarabati wa barabara za kuingia katika skimu ya Mvumi yenye urefu wa kilomita 8

na Njage kilomita 7 na usanifu wa shamba la mbegu la Kilangali (hekta 400); na

kutolewa mafunzo kwa wajumbe 311 kutoka skimu za umwagiliaji za Njage, Msolwa

Ujamaa, Mvumi, Kigugu na Mbogo Komtonga ya kuimarisha na kuendesha umoja.

Vile vile, Skimu za umwagiliaji 129 zimekarabatiwa katika Halmashauri 68 nchini

pamoja na ununuzi wa mitambo ya ujenzi.

(j) Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo

Hatua iliyofikiwa: Wanafunzi 2,389 wamedahiliwa katika vyuo 14 vya mafunzo ya

Kilimo ambapo wanafunzi 2,051 wamepewa ufadhili na Serikali na 338 wamejilipia,

kati yao wanafunzi 1,537 ni wa ngazi ya Astashahada na wanafunzi 852 ni wa ngazi

ya Stashahada katika Vyuo vya Ilonga, Mlingano, Mtwara, Tumbi, Ukiriguru, Uyole,

HORTI Tengeru, Mubondo, Maruku, KATC Moshi, Igurusi, KATRIN, Chuo cha

Sukari Kidatu na Inyala. Aidha, Wanafunzi 338 wanajilipia ambapo 239 ni kwa ngazi

ya Astashahada na 99 ni Stashahada. Aidha, zabuni ya kukarabati vyuo vitatu (3)

Page 32: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 27

vya mafunzo ya Kilimo vya Inyara, Mlingano na Mubondo imetangazwa na imefikia

hatua ya tathmini ya kumpata mkandarasi.

(k) Tafiti za Kilimo

Hatua iliyofikiwa ni: kugunduliwa kwa mbegu bora mpya aina 4 za mbegu bora za

mahindi (WE5135, WE7118, WE5141 na WE7133) zenye uwezo wa kustahimili

ukame, kutoa mavuno kwa wastani wa tani 5.8 kwa hekta, na ukizani wa magonjwa

ya majani ya mahindi (maize leaf necrosis), michuruzi na ukungu. Mbegu hizo

zitatumika kuzalisha mbegu za msingi kuanzia msimu wa 2019/2020; kuzalishwa

kwa mbegu za korosho kilo 47,484 katika kituo cha Utafiti Naliendele, ambazo

zitatumika kuzalisha miche 6,647,760 ambayo itatosheleza ekari 391,045.19. Mbegu

hizo zimesambazwa katika mikoa 20 na uzalishaji wa miche bora ya unaendelea

ambapo hadi Machi 2019 miche 52,839 imezalishwa na kusambazwa kwa wakulima

katika mikoa ya Mtwara (7,273), Lindi (30,612), Pwani (11,792), Ruvuma (2,680),

Dar es Salaam (82), Dodoma (200), na Singida (200); na kuendelea na ukarabati wa

miundombinu ya vituo vitatu (3) vya utafiti (ARI-Ukiriguru, ARI- Tumbi, ARI -

Ilonga).

(l) Maghala na Kuboresha Hifadhi ya Taifa ya Chakula

Hatua iliyofikiwa ni: ujenzi wa vihenge vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 190,000 na

maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 60,000 unaendelea katika mikoa ya

Ruvuma (Songea), Njombe (Makambako), Songwe (Mbozi), Rukwa (Sumbawanga),

Katavi (Mpanda), Shinyanga, Manyara (Babati) na Dodoma; na kununuliwa kwa tani

46,236.035 za mahindi sawa na asilimia 163.95 ya lengo la ununuzi.

(m) Kusimamia Matumizi Endelevu ya Ardhi ya Kilimo na Maji

Shughuli zilizofanyika ni; kuendelea na utekelezaji wa mradi wa matumizi endelevu

ya ardhi katika lindimaji za mito ya Ruvu na Zigi iliyo katika mikoa ya Morogoro na

Tanga; kutoa mafunzo kuhusu hifadhi ya udongo na maji mashambani kwa Maafisa

ugani 40 kutoka wilaya za Muheza, Korogwe na Mkinga; na kuandaliwa kwa shamba

darasa lenye teknolojia za kuhifadhi udongo na maji mashambani katika kijiji cha

Mbomole (Muheza).

(n) Kuimarisha Maendeleo ya Ushirika

Hatua iliyofikiwa ni: kufanyika kwa ukaguzi wa nje kwa vyama 2,296 vya ushirika;

kutatua migogoro katika vyama vya Ushirika vya RCG AMCOS dhidi ya MIWA

AMCOS, UWABINDOCHA dhidi ya Manispaa ya Morogoro, Mshikamano SACCOS

na Kapolo AMCOS dhidi ya Benki ya Maendeleo ya Kilimo - TADB na migogoro

mingine inaendelea kushughulikiwa; kuendelea kuhimiza matumizi ya Mfumo wa

Stakabadhi Ghalani katika vyama vya ushirika ambapo vyama vya mazao ya

Page 33: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 28

Korosho, Ufuta, Kakao na Mahindi vimeunganishwa kwenye mfumo. Aidha,

uhamasishaji unaendelea ili kuunganisha vyama vya mazao ya Dengu na kutekeleza

dhana ya kilimo cha mkataba kwa kununua mahindi kupitia vyama vya ushirika

kwenye mikoa ya Iringa na Ruvuma kwa bei shindani.

D. Mifugo

(a) Miundombinu ya Uzalishaji na Masoko

Shughuli zilizotekelezwa ni: kujenga na kukarabati minada ya mpakani kwa kujenga

ukuta na jengo la ofisi ya mnada wa Kirumi (Butiama) ambalo litakuwa na huduma

za kibenki; kuendelea na ujenzi wa sakafu ya mnada uliopo Longido, kuendelea na

ujenzi wa kituo cha polisi na uzio katika mnada Buhigwe, na kuendelea na ujenzi wa

uzio katika minada ya Kasesya na Nyamatala, kuendelea kuimarishwa kwa vituo vya

kanda vya uhimilishaji nchini, ambapo kituo cha Taifa cha Uhimilishaji (NAIC)

kilichopo Usa River (Arusha) kimepatiwa kichambuzi cha mbegu (semen analyzer-

CASA) na madume bora matatu (3) aina ya Boran, ununuzi wa mitungi 71 ya

kuhifadhi kimiminika cha naitrojeni (lita 35) pamoja na kutoa mafunzo kwa wataalam

389 wa uhimilishaji.

(b) Vituo vya Utafiti, Mafunzo na Ugani wa Mifugo

Kazi zilizotekelezwa ni: kukarabatiwa kwa mabweni manne na kiwanda kidogo cha

kusindika maziwa katika Kampasi ya Tengeru; kudahili wanachuo 2,536 katika

mwaka wa masomo 2018/19; kutoa elimu kwa Maafisa Ugani wa wafugaji 19,839 ili

kuhamasisha ufugaji wa kisasa na kibiashara na kuongeza uzalishaji na ubora wa

malighafi zitokanazo na mifugo ili kukidhi mahitaji ya viwanda vinavyoendelea

kujengwa nchini.

Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TARILI) imefanya tafiti nane (8) vituoni na

kwa wafugaji katika mikoa 16 ambapo matokeo yake yatawezesha ng‟ombe jike

kuzalisha viinitete nane (8) mpaka 450 kwa mwaka kwa ajili ya uhimilishaji na

uhawilishaji. Vile vile, kuongeza kasi ya uzalishaji wa mitamba na madume kwa ajili

ya maziwa na nyama (ndama 50 kwa mwaka kwa ng‟ombe mmoja). Aidha, TARILI

imetoa elimu kwa wafugaji 8,347 na kusambaza teknolojia ya kuzalisha maziwa kwa

wingi kwa Halmashauri 41 nchini na kuwafikia wadau 23,659 wakiwemo wataalam

wa ugani 127, wanafunzi 346 wa vyuo vya LITA, SUA, Visele na MATI.

(c) Usimamizi wa Ardhi, Maji na Upatikanaji wa Malisho

Kazi zilizotekelezwa: kukamilisha ujenzi wa bwawa la Mbagala (Songwe), lambo

katika Kijiji cha Chamakweza (Bagamoyo) na visima virefu katika Vijiji vya Mpapa

(Manyoni) na Nsolanga-Ismani (Iringa); na kuendelea na ukarabati wa bwawa la

Page 34: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 29

Nyakanga (Butiama) na lambo katika Kijiji cha Wami-Dakawa (Mvomero). Ujenzi na

ukarabati huo umewezesha kuongeza idadi ya mabwawa/malambo kufikia 1,384 na

visima virefu 103.

Vile vile, hekta 350,576.05 zimetengwa kwa ajili ya malisho ya mifugo katika vituo

vya kupumzishia mifugo, Ranchi za Taifa, mashamba ya TARILI na Mashamba ya

Kuzalisha Mifugo (LMUs). Aidha, hekta 199,827.3 zimetengwa katika Halmashauri

tano za Tunduru, Mpanda, Biharamulo, Muleba na Kyerwa kwa ajili ya malisho ya

mifugo ili kupunguza migogoro ya wafugaji na watumiaji wa ardhi wengine nchini.

(d) Tiba na Udhibiti wa Magonjwa ya Mifugo

Shughuli zilizotekelezwa ni: ukarabati wa majosho 151 katika Mamlaka za Serikali za

Mitaa katika Mikoa 21; na kuhamasisha matumizi ya dawa za kuogesha mifugo na

kutoa chanjo na viuatilifu vya mifugo kwa kufanya michovyo 40,352,228 ya Ng‟ombe,

Mbuzi na Kondoo. Aidha jumla ya lita 8,823.53 za dawa za kuogesha mifugo aina ya

Paranex zimenunuliwa na kuzigawa katika majosho 1,486 yanayofanya kazi katika

Mikoa 24, kuzalishwa kwa dozi 39,548,000 za chanjo kwa magonjwa ya Mdondo,

Kimeta na Chambavu na kusambazwa kupitia vituo saba vya Wakala ya Maabara ya

Veterinari Tanzania katika kanda.

E. Uvuvi

(a) TAFICO

Shuguli zilizotekelezwa ili kufufua TAFICO ni: utambuzi wa mali za shirika ambapo

mpaka sasa mali zenye thamani ya shilingi bilioni 118 zimetambuliwa; na kuzindua

Menejimenti ya kusimamia shirika, kuandaa na kuutekeleza mkakati wa kufufua

TAFICO.

(b) Kusimamia na Kuendeleza Uwekezaji katika Sekta ya Uvuvi

Shughuli zilizotekelezwa ni: kuwezeshwa kwa vikundi 50 vya Usimamizi wa

Rasilimali za Uvuvi (BMUs) katika Wilaya za Pangani (12), Mkinga (14), Jiji la Tanga

(5), Bagamoyo (9) na Lindi Vijijini (10); kusambazwa kwa majiko banifu 100 katika

Vijiji/Mialo ya uvuvi 16 katika Mkoa wa Kigoma na kutoa mafunzo wa wachakataji wa

samaki 640 katika Vijiji 16 ili kuongeza thamani ya mazao ya uvuvi katika Ziwa

Tanganyika; na kuwezeshwa vikundi vya ushirika vya wavuvi kwa kupatiwa fedha na

vifaa katika maeneo ya Igombe-Mwanza, Ikumbaitale-Chato, Nkasi (Ziwa

Tanganyika), Migoli-Mtera na vikundi vya ufugaji samaki Peramiho (Ruvuma).

(c) Bandari ya Uvuvi

Hatua iliyofikiwa ni kuendelea na upembuzi yakinifu unaofanywa na Mtaalam Elekezi

Page 35: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 30

(kampuni za Sering Ingegneria ya Italia na Doch Tanzania Limited) katika ujenzi wa

bandari ya uvuvi ambayo itajengwa kati ya Mtwara, Kilwa, Tanga na Pwani.

(d) Kuimarisha Tafiti, Huduma za Ugani na Mafunzo ya Uvuvi

Hatua iliyofikiwa ni: kufanyika kwa utafiti wa kuangalia wingi wa samaki Ziwa Victoria

kwa kutumia Teknolojia ya Hydro-acoustic survey; kuimarisha upatikanaji wa

takwimu za uvuvi kwa kuimarisha mifumo ya ukusanyaji wa takwimu kwa njia ya

kielektroniki ikiwemo matumizi ya simu za viganjani ujulikanao kama e-CAS

(electronic Catch Assessment Survey) ambao kwa majaribio jumla ya simu 108

zimetolewa kwa maafisa Uvuvi kutoka Halmashauri zenye maeneo ya Uvuvi katika

Ziwa Victoria, Ukanda wa Bahari ya Hindi na Ziwa Tanganyika.

Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania – TAFIRI kwa kushirikiana na Mamlaka ya

Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu imetoa mafunzo ya mbinu za ukaguzi, uhakiki wa

njia na vifaa vya kupimia na usimamizi wa maabara kwa watalaam tisa (9) wa

Maabara ya Uvuvi-Nyegezi; kuendelea na utafiti wa vifaa vya kuvutia samaki FADs

(Fish Aggregaring Devices) katika maeneo ya Bagamoyo na Nungwi Zanzibar;

kuendelea na utafiti wa kujua wingi wa biolojia ya Kambamiti katika Pwani ya

Tanzania; kuendelea na utafiti wa kupata samaki wazazi (brood stock); na kudahili

wanafunzi 1,088 katika masomo ya ngazi za Astashahada na Stashahada kwenye

Kampasi za Mbegani, Nyegezi na Kigoma. Aidha, Wakala wa Elimu na Mafunzo ya

Uvuvi (FETA) imetoa mafunzo kwa wananchi 1,300 kuhusu mbinu za kuvua na

ukuzaji wa viumbe.

(e) Ufugaji Samaki

Shughuli zilizofanyika ni: ujenzi wa kituo Nyamirembe (Chato) ili kuongeza uzalishaji

wa vifaranga; kufanywa kwa makadirio na mchanganuo wa gharama za ujenzi na

ukarabati wa miundombinu ya vituo vya Ruhila (Songea), Mwamapuli (Igunga) na

Kingolwira (Morogoro); na kuendelea kuboresha kituo cha Machui (Tanga) ikiwa ni

pamoja na kukiunganisha na umeme wa Tanesco; Shughuli zingine zilizotekelezwa

ni kuandaa Mpango wa Kitaifa wa Kuendeleza Ukuzaji Viumbe Maji- NADSP,

kuzalishwa vifaranga 17,301,076 katika vituo vya Serikali na Sekta binafsi; kuwekwa

vizimba (fish cage) 408 katika Ziwa Victoria (346); Ziwa Tanganyika (9) na malambo

(53) ili kuongeza matumizi ya teknolojia stahiki katika kuzalisha viumbe maji.

(f) Kuimarisha na Kuendeleza Ulinzi wa Rasilimali za Uvuvi na Mazingira

Shughuli zilizotekelezwa ni pamoja na: kuanzishwa kwa Kanda Kuu tatu za

usimamizi na udhibiti wa rasilimali za uvuvi katika Ukanda wa Ziwa Viktoria,

Tanganyika na Ukanda wa Pwani na kanda ndogo mbili za Ukerewe na Sengerema;

kuimarisha vituo 27 vilivyopo vya usimamizi wa rasilimali za uvuvi nchini; kusimamia

Page 36: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 31

hifadhi za bahari na maeneo tengefu kwa kufanya doria zenye sikukazi 677 katika

maeneo yote 18 yaliyohifadhiwa; na kufanya doria na operesheni mbalimbali zenye

sikukazi 10,914 ili kuimarisha usimamizi na udhibiti wa uvuvi na biashara haramu ya

mazao ya uvuvi. Aidha kaguzi 3,155 za kuhakiki ubora na usalama wa mazao ya

uvuvi zilifanyika mipakani, viwanja vya ndege na bandari.

F. Maliasili na Misitu

(a) Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Ikolojia ya Ardhi Oevu ya Bonde la Mto

Kilombero na Mto Rufiji

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa ofisi ya Maliasili katika Wilaya ya

Ulanga; kukamilika kwa Ujenzi wa vituo viwili vya Askari wa Wanyamapori katika

Wilaya ya Ulanga; kuanzishwa vikundi vinne (4) vya uvuvi katika Mto Kilombero na

kuviwezesha kutekeleza majukumu yake; kurejesha maeneo yaliyoharibika

kimazingira katika hali yake ya awali; kutoa elimu kwa jamii kuhusu usimamizi na

matumizi bora ya ardhi; kufanya mapitio ya Mipango ya usimamizi na uvunaji wa

misitu katika Wilaya ya Ulanga; kujenga na kununua vifaa vya ofisi mbili (2) za

Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Ngorongoro, Utete na Rufiji

(JUHIWANGUMWA) na Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Ifakara, Lupiro na

Mang‟ula (ILUMA) – Kilombero.

(b) Mradi wa Kuimarisha Mapori Tengefu na Vitendo vya Kupambana na

Ujangili Nchini

Hatua iliyofikiwa ni: kutangazwa kwa misitu mitano (5) ya Hifadhi ya Mazingira Asilia

ya Chome, Magamba, Mkingu, Minziro na Udzungwa Scarp kwenye Gazeti la

Serikali; na ukarabati wa nyumba za watumishi katika hifadhi za Chome, Mlima

Rungwe, Mkingu na Minziro ambapo ukarabati umefikia asilimia 90.

(c) Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Maliasili

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa utafiti wa fursa za utalii katika Wilaya ya

Ngorongoro; kuandaa mpango mkakati na miongozo ya kuwezesha Mamlaka ya

Usimamizi wa Wanyamapori kujiendesha; kutoa mizinga ya nyuki (115) kwa

wananchi wa Wilaya za Serengeti (80) na Ngorongoro (35) ili kuwezesha wananchi

kiuchumi na kuendeleza uhifadhi; kupatiwa ufumbuzi wa mgogoro wa mipaka kati ya

vijiji vya Hekwe na Magatini na Hifadhi ya Serengeti; kutoa mafunzo kwa wananchi

wa Wilaya ya Serengeti kuhusu namna ya kujilinda na wanyamapori wakali na

waharibifu; kukamilishwa kwa Mpango wa Usimamizi wa Pori Tengefu la Kijereshi;

kuimarishwa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) kwa kununuliwa

magari na vifaa vya TEHAMA; kukamilishwa kwa Mwongozo wa Uwindaji wa Simba;

na kujengea uwezo Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji na Kata ambapo jumla ya wajumbe

Page 37: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 32

240 wamepatiwa mafunzo.

(d) Mradi wa Kusaidia Uendelezaji wa Misitu Binafsi na Mnyororo wa

Thamani

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa tafiti tano (5) kuhusu ushiriki wa sekta binafsi

katika upandaji miti; na kupandwa kwa miche 5,500 aina ya misindano katika Wilaya

za Nyasa, Songea, Makete, Ludewa, Mufindi na Njombe.

G. Madini

(a) Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali za Madini

Shughuli zilizotekelezwa ni: kukamilisha uandaaji wa Mwongozo wa Mpango wa

Utunzaji wa Mazingira kwa wachimbaji wadogo; ununuzi wa mtambo wa

kuchorongea miamba ambao utatoa huduma kwa wachimbaji wadogo kwa bei nafuu

kupitia Shirika la Madini la Taifa - STAMICO; kutoa mafunzo ya matumizi ya mtambo

wa uchorongaji miamba kwa wataalam na wachimbaji wadogo kuhusu masuala ya

utafiti wa madini kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini - GST na STAMICO;

kuandaa Mpango wa Kibiashara na Mpango Mkakati wa Kituo cha Jemolojia

Tanzania; kukamilika kwa ujenzi wa ukuta wa ofisi ya madini Moshi na ukarabati wa

ofisi ya madini Nachingwea; kukamilika kwa ujenzi wa mgodi wa mfano na ufungwaji

wa mtambo kwa ajili ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwa wachimbaji wadogo

katika eneo la Lwamgasa, Geita; na kuendelea na ufungwaji wa mitambo ya

uchenjuaji wa madini ya dhahabu katika eneo la Katente, Geita na Itumbi, Mbeya.

Shughuli nyingine zilizofanyika ni: ujenzi wa vituo Saba (7) vya umahiri (Centre of

Excellency) katika maeneo ya Bariadi, Bukoba, Musoma, Handeni, Mpanda, Chunya

na Songea ambapo kati ya hivyo, vituo vya Bariadi, Musoma, Bukoba na Handeni

vimekamilika; kumpata mkandarasi wa kujenga mitambo itakayofanikisha uongezaji

thamani wa madini (smelter and refinery); kuboresha miundombinu ya Chuo cha

Madini katika Kampasi ya Dodoma na Nzega; kukamilika kwa ujenzi wa jengo la

wafanyabiashara wa madini (Brokers house) na kuendelea na ujenzi wa kituo cha

pamoja (one stop centre) katika eneo la Mirerani. Vilevile, Serikali imeanzisha

mfumo wa masoko ya madini katika mikoa yote yenye madini ya metali na vito.

(b) Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini,

Mafuta na Gesi Asilia - TEITI

Shughuli zilizotekelezwa ni: kukamilika kwa mfumo wa kieletroniki wa kuhifadhi

takwimu za rasilimali za madini, mafuta na gesi asilia (Dashboard) na kuelimisha

wananchi kuhusu takwimu hizo; kutoa mafunzo kuhusu uwekaji wazi wa majina ya

wamiliki wa hisa katika kampuni za madini, mafuta na gesi asilia; na kukamilisha

marekebisho ya Sheria ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini, Mafuta na

Page 38: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 33

Gesi asilia ya mwaka, 2015 na Kanuni kwa ajili ya kutekeleza sheria hiyo.

(c) Mradi wa Dhahabu wa Buhemba

Shughuli zilizotekelezwa ni: kukamilika kwa ununuzi wa mtambo wa kuzalisha

dhahabu kwa kuchakata mabaki ya dhahabu; kufanya shughuli za awali na

uchorongaji katika eneo la mashapo ya mwamba mgumu kwenye mgodi; na

kukamilika kwa upembuzi yakinifu katika mabaki ya dhahabu yaliyoachwa kipindi

cha nyuma ambapo umebaini kuwapo kwa takribani tani 796,400 za mabaki ya

mchanga wa dhahabu yenye wastani wa kilo 852 za dhahabu.

3.2.2.3. Kufungamanisha Maendeleo ya Viwanda na Maendeleo ya Watu

A. Elimu, Sayansi na Teknolojia

(a) Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari

(i) Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu (Programu ya Lipa Kulingana

na Matokeo – EP4R)

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi wa miundombinu katika shule 504 (msingi

219 na sekondari 285) katika mikoa yote Tanzania Bara ambao unahusisha

madarasa 938, mabweni 210, vyoo 2,141, nyumba 39 (2 in 1), mabwalo 76 na

huduma za maji katika shule 10; kuendelea na ujenzi wa shule 4 mpya za msingi

katika Halmashauri za Dodoma Jiji, Masasi Mji, Buhigwe na Chato; kukamilika kwa

ujenzi wa shule ya Sekondari Maalum Patandi kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji

maalum yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 640 ambao unahusisha madarasa

nane (8), jengo la utawala, bwalo na jiko, chumba cha maabara, chumba cha

TEHAMA, maktaba na bweni moja; kugharamiwa mafunzo wanataaluma 68 kutoka

vyuo vikuu vya Umma katika ngazi za shahada za uzamili (66) na uzamivu (2);

kuendelea na maandalizi ya ukarabati wa vyuo vinane (8) vya ualimu vya Bustani,

Vikindu, Mtwara Kawaida, Mtwara Ufundi, Singa chini, Monduli, Bunda na Katoke;

na kununuliwa kwa magari 20 kwa ajili ya vyuo vya Ualimu.

(ii) Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu ya Msingi (MMEM) –

Kuimarisha Mafunzo ya Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK)

Hatua iliyofikiwa ni: kutolewa mafunzo kwa walimu wa nyongeza 402 wa Elimu

Maalum yaliyotolewa katika Vyuo vya Ualimu vya Morogoro, Butimba (Mwanza) na

Patandi (Arusha) ambapo walimu walipatiwa stadi za kufundishia za KKK kwa

wanafunzi wasioona na wasiosikia wa Darasa la I - IV kwa kutumia mtaala mpya;

kukamilika kwa mafunzo kwa walimu wa nyongeza 1,598 wanaofundisha darasa la I

na II yaliyotolewa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro na Butimba ambapo walimu

Page 39: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 34

walipatiwa stadi za ufundishaji na ujifunzaji wa Stadi za KKK kwa kuzingatia mtaala

mpya; kufanyika ufuatiliaji wa pamoja wa Programu katika sampuli ya Mikoa 5

ambao ulihusisha Halmashauri za wilaya za Liwale, Mafia, Magu, Manyoni na

Monduli na kushirikisha Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, OR-TAMISEMI,

pamoja na Washirika wa Maendeleo ya Elimu, na wajumbe kutoka Taasisi zisizo za

Serikali zinazohusika na masuala ya Elimu; na kuhamasisha ushiriki wa jamii katika

kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji wa stadi za KKK kupitia mtandao wa elimu (TEN

– MET) .

(iii) Mradi wa Huduma ya Maji, Elimu ya Afya na Usafi wa Mazingira Shuleni

– SWASH

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa tathmini ya kitaifa ya Huduma ya Maji, Elimu ya

Afya ya usafi wa mazingira shuleni iliofanyika katika shule za msingi na sekondari

2,228 Tanzania Bara na 156 Zanzibar ambayo ililenga kubaini hali halisi ya

miundombinu ya vyoo, maji na usafi wa mazingira nchini ili kuweka mikakati ya

kitaifa ya kuiboresha; na kukamilika kwa mafunzo ya mwongozo wa huduma ya maji,

elimu ya afya na usafi wa mazingira shuleni kwa wathibiti ubora wa shule wa

Halmashauri 63 za mikoa ya Njombe, Ruvuma, Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi,

Arusha, Dodoma, Tanga na Kilimanjaro kwa lengo la kuwajengea uwezo wathibiti

ubora wa shule katika kufuatilia, kutathmini na kutoa ushauri kuhusu huduma ya

maji, usafi wa mazingira na ujenzi wa miundombinu ya vyoo shuleni.

(b) Mamlaka ya Elimu Tanzania - TEA

Ujenzi na Ukarabati wa Shule za Sekondari: Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa

asilimia 60 ya ujenzi wa mabweni 12 katika shule 11 za sekondari; kuendelea na

ujenzi wa nyumba 60 za walimu katika shule 15 za sekondari; na kuendelea na

ujenzi wa madarasa 252 katika shule 84 za msingi.

(c) Elimu ya Ufundi na Ualimu

(i) Ujenzi na Ukarabati wa Vyuo vya Ufundi Stadi

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya

cha Namtumbo; kukamilika kwa ujenzi wa karakana ya kisasa ya useremala katika

Chuo cha Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa Dodoma; kukamilika kwa ujenzi

wa karakana za useremala, umeme wa magari na jengo la utawala katika chuo cha

Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa Morogoro – Kihonda; kukamilika kwa ujenzi

wa karakana ya ushonaji katika chuo cha Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa

Pwani; kuendelea na ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Chato

ambapo utekelezaji umefikia asilimia 48; kujengwa kwa miundombinu ya maji,

umeme na barabara katika eneo la ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Mkoa wa

Page 40: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 35

Kagera; kuendelea na ujenzi wa mabweni mawili (2) na nyumba mbili (2) za

wafanyakazi katika chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Makete; kuendelea na

ukamilishaji wa majengo na ununuzi wa vifaa kwa ajili ya kuanzisha vyuo vya

Ufundi Stadi katika wilaya za Ileje, Nkasi, Urambo, Newala, Muleba, Kasulu DC,

Itilima, Ngorongoro na Babati na kuendelea na ukarabati na upanuzi wa Chuo cha

Ufundi Stadi cha Wilaya ya Karagwe.

(ii) Kuimarisha Elimu ya Ufundi, Mafunzo ya Ufundi Stadi na Elimu ya

Ualimu

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa utafiti wa kubaini mahitaji ya ujuzi na utaalam

katika sekta za Viwanda, Utalii na Ukarimu; kukamilika kwa maandalizi ya kuanza

ujenzi na ukarabati katika vyuo vya Ualimu 6 vya Dakawa, Mpwapwa, Kleruu,

Marangu, Tabora na Butimba; kuendelea na ujenzi katika vyuo vya Ufundi Stadi na

Huduma (RVTSCs) vya mikoa ya Geita, Simiyu na Rukwa; na kuendelea na ujenzi

wa mabweni mawili (2) katika Chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi Morogoro.

(iii) Chuo cha Ufundi Arusha

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ufungaji wa mashine mpya katika karakana tano

(5); kukamilika kwa asilimia 95 ya ujenzi na ukarabati wa majengo ya Kikuletwa;

kukamilika kwa asilimia 85 ya ujenzi wa kituo cha kupima mitambo midogo ya kufua

umeme kutokana na nguvu ya maji; kuendelea na ujenzi wa kituo kipya cha

Kikuletwa cha kufua umeme wa MW 1.7 ambapo utekelezaji umefikia asilimia 70;

kuendelea na awamu ya pili ya ujenzi wa miundombinu ya kituo cha Oljoro kwa ajili

ya mafunzo kwa vitendo ya kilimo cha umwagiliaji; na kununuliwa kwa kompyuta

100, meza 100 na viti 200; kuendelea na ujenzi wa jengo la ghorofa tatu (3)

linalojumuisha maabara, madarasa, ofisi na stoo; na kugharamia mafunzo ya muda

mrefu kwa watumishi 40 ambapo watumishi 15 (shahada ya uzamivu), watumishi 22

(shahada ya uzamili) na watumishi 3 (shahada ya kwanza).

(iv) Kuendeleza Elimu ya Ualimu

Hatua iliyofikiwa ni: kununuliwa kwa vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa vitendo

kwa ajili ya vyuo 35 vya Serikali; kununuliwa kwa kompyuta za mezani 300 na

projector 100 kwa ajili ya kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na

ujifunzaji na kusambazwa katika vyuo vya Ualimu 18; kukamilika kwa miongozo 22

ya mafunzo kazini kwa wakufunzi kwa ajili ya kuimarisha uwezo wa kufundisha

masomo mbalimbali; kuendelea na maandalizi ya kuunganisha vyuo vya Ualimu

katika Mkongo wa Taifa; kuanza kwa ujenzi wa chuo cha Ualimu Kabanga; kupatiwa

mafunzo kazini Walimu 398 (Shule za Msingi 200 na Walimu wa Sekondari 198) wa

Hisabati; kukamilika kwa maandalizi ya mafunzo kwa menejimenti za vyuo vya

Ualimu vya Serikali; na kuendelea kununua vifaa vya wakufunzi na wanafunzi ili

Page 41: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 36

kuboresha ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.

(d) Ukarabati wa Vyuo vya Ualimu

Hatua iliyofikiwa ni:

(i) Chuo cha Ualimu Mpuguso: kukamilika kwa ujenzi na ukarabati awamu ya

kwanza ambao umehusisha nyumba tatu za ghorofa kwa ajili ya familia 12 za

walimu, nyumba moja (1) ya mwalimu isiyo ya ghorofa; nyumba 2 za ghorofa

kwa ajili ya mabweni ya wanafunzi 304; na ukarabati wa nyumba moja (1) ya

mwalimu. Ujenzi wa Awamu ya pili umefikia hatua ya umaliziaji ambao

umehusisha majengo mawili (2) ya ghorofa yenye vyumba 16 vya madarasa,

maktaba, jengo la mihadhara, maabara na ukarabati wa mabweni;

(ii) Chuo cha Ualimu Shinyanga: kukamilika kwa awamu ya kwanza ya ujenzi

na ukarabati ambao umehusisha nyumba 1 ya ghorofa ya walimu kwa ajili ya

familia 4, nyumba 1 ya ghorofa kwa ajili ya mabweni ya wanafunzi 152 na

ukarabati wa nyumba nne (4) za walimu na mabweni mawili (2), na vyoo vya

wanafunzi. Ujenzi wa awamu ya pili umefikia hatua ya uezekaji na

ukamilishaji ambao umehusisha nyumba 2 za ghorofa zenye vyumba 16 vya

madarasa, bweni moja (1) la ghorofa kwa wanafunzi 152, maktaba na jengo

la mihadhara na ukarabati wa mabweni mawili (2) na bwalo la chakula;

(iii) Chuo cha Ualimu Kitangali: ujenzi kwa awamu ya kwanza na ya pili upo

katika hatua za mwisho za ukamilishaji ambapo awamu ya kwanza

inahusisha nyumba 10 za walimu, nyumba 1 ya Mkuu wa Chuo, na jengo la

mikutano. Awamu ya pili inahusisha ujenzi wa nyumba 2 za ghorofa zenye

vyumba 16 vya madarasa, maktaba, jengo la mihadhara, na majengo 2 ya

ghorofa ya mabweni kwa wanafunzi 304; na

(iv) Chuo cha Ualimu Ndala: kuendelea na ujenzi wa awamu ya kwanza ambayo

ipo katika hatua za msingi na unahusisha, ujenzi wa nyumba 2 za ghorofa za

mabweni kwa wanafunzi 304, nyumba 2 za ghorofa za madarasa zenye

vyumba 16, jengo la mihadhara, maktaba, na maabara. Awamu ya pili ya

mradi ambapo utekelezaji upo katika hatua za umaliziaji na unahusisha

nyumba 5 za kawaida za walimu; nyumba 2 za ghorofa za walimu kwa ajili ya

familia 8; na ukarabati wa mabweni mawili (2) pamoja na vyoo vya wanafunzi.

(v) Kuimarisha Taasisi ya Elimu Tanzania

Hatua iliyofikiwa ni: kuandikwa kwa vitabu vya kiada vya masomo ya Historia na

Jiografia ngazi ya sekondari (O-level) na masomo ya Sayansi na Kiswahili ngazi ya

sekondari (A-level) kwa kutumia mtaala wa mwaka 2005; kukamilika kwa uandishi,

uchapaji na usambazaji wa aina nane (8) za vitabu vya kiada kwa Darasa la Tano

kwa masomo ya Hisabati, Kiingereza, Uraia na Maadili, Maarifa ya Jamii, Stadi za

Kazi, Sayansi na Teknolojia na Kifaransa kwa kuzingatia mtaala wa mwaka 2015;

Page 42: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 37

kusambazwa kwa nakala 2,933,791 za vitabu hivyo kwa uwiano wa kitabu kimoja

kwa wanafunzi watatu (1:3) katika Halmashauri za Mikoa mitano ya Geita, Mwanza,

Kigoma, Arusha na Kilimanjaro; kusambazwa nakala 281,148 za Kiongozi cha

Mwalimu kwa masomo hayo katika Halmashauri za Mikoa yote Tanzania Bara;

kukamilika kwa uandishi, uchapaji na usambazaji wa nakala 391,949 za vitabu vya

somo la Kiingereza kwa Kidato cha Kwanza na cha Pili kwa uwiano wa kitabu kimoja

kwa wanafunzi watatu (1:3); na kuandaliwa kwa vitabu vya kiada rafiki kwa

wanafunzi wenye uoni hafifu na wasioona wa Darasa la Tatu na la Nne ambavyo

vimeandaliwa katika mfumo wa maandishi makubwa (large print), nukta nundu

(braille) na mchoro mguso ambapo usambazaji unaendelea.

Hatua nyingine ni pamoja na: kuandikwa kwa Kiongozi cha Mwalimu kwa masomo

matano (5) ambayo ni Kuhesabu, Kuandika, Kusoma, Afya na Mazingira, na Sanaa

na Michezo kwa Darasa la Kwanza na la Pili na aina saba (7) za Kiongozi cha

Mwalimu kwa Darasa la Tatu; kusambazwa nakala 6,286,476 za vitabu vya kiada

kwa Darasa la Nne (uwiano wa 1:1) vya masomo ya Hisabati, Kiingereza, Uraia na

Maadili, Maarifa ya Jamii, Stadi za Kazi, Sayansi na Teknolojia na Kifaransa katika

Halmashauri za mikoa yote Tanzania Bara; na kusambazwa nakala 7,835,697 za

vitabu aina 25 vya Hadithi kwa Darasa la Kwanza na la Pili (uwiano wa 1:3) katika

Halmashauri za mikoa yote Tanzania Bara.

(e) Elimu ya Juu

(i) Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu

Hatua iliyofikiwa ni: kutolewa mikopo ya Shilingi bilioni 424.76 kwa wanafunzi

122,754 ambapo wanafunzi 41,234 ni wa mwaka wa kwanza na 81,520

wanaoendelea na masomo; kukusanywa kwa mikopo iliyoiva ya thamani ya shilingi

bilioni 128.07 sawa na asilimia 81.2 ya lengo la kukusanya shilingi bilioni 157.7;

kutambuliwa kwa wadaiwa wapya 14,627 na kupatiwa hati za madai sawa na

asilimia 47 ya lengo la kutambua wadaiwa wapya 31,000; na ukaguzi umefanyika

kwa waajiri 2,698 kati ya lengo la waajiri 3,426.

(ii) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa

(MUCE)

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa ukumbi wa mihadhara wenye uwezo

wa kuchukua wanafunzi 1,209 kwa wakati mmoja na ofisi 14 zenye uwezo wa

kuchukua wahadhiri 28; na kuendelea na ujenzi wa maabara za Sayansi zenye

uwezo wa kukaa wanafunzi 240 kwa wakati mmoja.

Page 43: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 38

(iii) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam

(DUCE)

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa uwekaji wa miundombinu ya TEHAMA katika

shule za mazoezi; kununuliwa kwa vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa ajili ya

wanafunzi wenye mahitaji maalum; na kuendelea na awamu ya pili ya ujenzi wa

jengo la utawala na ofisi za wafanyakazi na utafiti ambapo utekelezaji upo katika

hatua za ukamilishaji.

(iv) Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwl. Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia

Hatua iliyofikiwa ni: kuendesha mafunzo kwa wakulima 455 juu ya mbinu bora za

kilimo; kulimwa mazao mbalimbali katika shamba darasa la ekari 7; na kugharamiwa

mafunzo watumishi wanne (4) katika shahada ya uzamili kupitia mradi wa

CREATES.

(v) Ukarabati na Ujenzi wa Chuo Kikuu Mzumbe

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ukarabati wa mabweni sita (6); kuendelea na

ujenzi wa jengo la utawala na madarasa katika kampasi ya Mbeya ambapo

utekelezaji umefikia asilimia 70; na kuendelea na ujenzi wa hosteli nne (4) katika

Kampasi Kuu ya Morogoro zenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 1,024.

(vi) Ujenzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Ardhi

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ukamilishaji wa ujenzi wa Jengo la Ardhi lenye

nafasi ya ofisi 125 na madarasa yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,980.

(vii) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi

Muhimbili

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi wa kituo mahiri cha Magonjwa ya Moyo

Awamu ya Kwanza katika Kampasi ya Mloganzila ambao upo katika hatua za

mwisho za ukamilishaji; kukamilika kwa mpango wa uzalishaji mali wa hospitali ya

kufundishia na taaluma - Mloganzila; na kuanzishwa mifumo 6 ya kimtandao ya

uendeshaji wa Chuo ambayo imeunganishwa na mfumo wa kuratibu ufundishaji na

ujifunzaji – eLearning.

(viii) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa michoro ya jengo la maktaba lenye uwezo wa

kuchukua wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja; na kukarabatiwa kwa kafeteria na

eneo la mapokezi katika kituo cha Mikutano cha Ushirika.

(ix) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa jengo la mihadhara lenye uwezo wa

Page 44: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 39

kuchukua wanafunzi 324 kwa wakati mmoja; na kukamilika kwa michoro na

makadirio ya gharama za ujenzi wa maktaba katika kampasi ya Kivukoni na hosteli

katika kampasi ya Zanzibar.

(x) Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela - Arusha

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na utekelezaji wa miradi ya utafiti 33 inayojumuisha

utafiti wa ugonjwa wa kimeta kwa wanyama pori na wanaofugwa, utafiti wa kuondoa

sumu kuvu katika nafaka (Aflatoxin) na utafiti katika zao la ndizi ili kupata miche bora

inayohimili magonjwa ya kitropiki.

(xi) Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaaam - DIT

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ukarabati wa jengo la madarasa mawili yenye

uwezo wa kuchukua wanafunzi 50 kila moja katika Kampasi ya Myunga; na

kununuliwa kwa asilimia 40 ya vifaa vya upanuzi wa jengo la maktaba.

(xii) Upanuzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa michoro ya ramani ya jengo la vyumba viwili (2)

vya madarasa vyenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 600 kwa wakati mmoja;

kukamilika kwa ukarabati wa miundombinu ya kufundishia na kujifunzia katika

kampasi ya Rukwa; na kukamilika kwa asilimia 69 ya ujenzi wa jengo la maktaba

awamu ya kwanza lenye uwezo wa kuchukua wananfunzi 2,500 kwa wakati mmoja.

(xiii) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ukarabati wa mabweni matano (5) ya wananfunzi

yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 222 katika Kampasi ya Solomon Mahlangu na

mabweni mawili (2) ya Nicholaus Kuhanga yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi

924 katika Kampasi Kuu; kukamilika kwa ukarabati wa hosteli moja (1) iliyopo katika

Taasisi ya Elimu ya Kujiendeleza kwa ajili ya wanafunzi wa kigeni yenye uwezo wa

kuchukua wanafunzi 16 kwa wakati mmoja; kukamilika kwa ukarabati wa Hospitali ya

Rufaa ya Taifa ya Wanyama iliyopo katika ndaki ya Tiba ya Mifugo na Sayansi za

Afya; na kuendelea na ujenzi wa maabara mtambuka yenye uwezo wa kuchukua

wanafunzi 1,600 kwa wakati mmoja ambapo utekelezaji wa awamu ya kwanza

umefikia asilimia 50.

(xiv) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa Maktaba ya Kimataifa yenye uwezo wa

kuchukua wanafunzi 2,100 kwa wakati mmoja, ukumbi wa mikutano unaochukua

watu 580 na Kituo cha Utamaduni wa Kichina chenye ofisi 5 na madarasa 10 yenye

uwezo wa kuchukua wananfunzi 550 kwa wakati mmoja; na kununuliwa kwa vitabu

6,927 na mashubaka (bookshelf) kwa ajili ya kuhifadhi vitabu katika maktaba

iliyojengwa.

Page 45: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 40

(f) Ujuzi na Utafiti

(i) Kukuza Stadi za Kazi kwa ajili ya Shughuli za Kuzalisha na Kukuza

Uchumi

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa awamu ya kwanza ya ukarabati na ujenzi wa

vyuo 20 vya Maendeleo ya Wananchi; kukamilika ujenzi wa hosteli ya wanafunzi wa

kike katika Chuo Kikuu Ardhi (ARU); kutolewa kwa mafunzo kwa vijana 650 kutoka

kaya maskini katika taasisi mbalimbali za mafunzo kulingana na mahitaji yao na

vipaumbele vya Taifa; kuanzishwa mabaraza ya kisekta ya kusimamia maarifa kwa

kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF); kutolewa mafunzo kuhusu malipo

kwa mfumo wa kielektroniki kwa wahasibu kutoka vyuo 54 vya Maendeleo ya

Wananchi, vyuo 35 vya Ualimu na makao makuu ya Wizara, wakaguzi 16 wa ndani,

na wataalam 8 wa TEHAMA kutoka Wizarani (MoEST), NACTE, HESLB, VETA, na

TCU; na kutolewa mafunzo kwa watumishi 304 katika nyanja za huduma kwa

wateja, utunzaji nyaraka, maadili katika Utumishi wa Umma.

(ii) Mfuko wa Utafiti na Maendeleo wa COSTECH

Hatua iliyofikiwa ni: kutolewa mafunzo kwa washiriki 20 wakiwemo wasimamizi wa

masuala ya Bioteknolojia katika taasisi na wizara mbalimbali; kuendelea kufadhili na

kusimamia miradi ya utafiti katika maeneo ya kipaumbele kwa sekta za Viwanda,

TEHAMA, Kilimo, Afya, Mazingira na Maliasili; kuwezeshwa kifedha wabunifu 30

kuendeleza ubunifu wao; kuendelea na ujenzi na ukarabati wa maabara za utafiti

katika tafiti za utafiti wa mifugo Tanga (TALIRI – Tanga), Uyole (TALIRI – Uyole), na

Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI – Sota, Musoma); kugharamiwa kwa miradi

mipya minane (8) ya ukarabati wa miundombinu ya utafiti katika taasisi sita (6) za

utafiti (NIMR, SUA, HORTI, TALIRI – Mpwapwa, MUHAS, na TVI); kugharamiwa

kwa miradi minne (4) ya utafiti iliyotekelezwa na TAFIRI, STAMICO na TIRDO.

(iii) Ujenzi wa Maabara ya Mionzi ya Nguvu za Atomiki

Hatua iliyofikiwa ni: kukaguliwa kwa migodi sita (6) ya chini ya ardhi (underground

mines) ambayo ni Geita Gold Mine, North Mara Gold Mine, Bulyankulu Gold Mine,

Tanzanite One Limited, Stamigold Company Limited, na Buzwagi Gold Mine na

kubaini kuwa ipo salama na haina madhara kwa mazingira na wafanyakazi;

kukaguliwa na kuhakikiwa kwa vituo 590 vya vyanzo vya mionzi; kusajiliwa kwa vituo

vipya 101 kwa ajili ya kuanza kutumia vyanzo vya mionzi; kupimwa viwango vya

mionzi kwa wafanyakazi 1,663 kwenye vituo 376; kupimwa kwa sampuli 12,628 na

kutoa vibali 12,628; kufunguliwa kwa ofisi ya Kanda ya Ziwa - Mwanza na ofisi

ndogo saba (7) maeneo ya Kigoma, Pemba, Mtwara (Mtambaswala na Kalambo),

Kagera (Kabanga), Songwe (Kasumulu) , Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

Page 46: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 41

hivyo TAEC kuwa na ofisi 22 nchini; na kununuliwa kwa vifaa 17 vya kudhibiti ubora

wa machine za tiba ya mionzi na matumizi salama ya mionzi kwa ajili ya ofisi za

mipakani.

(g) Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi

Upanuzi na Ukarabati wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi

Hatua iliyofikiwa ni kuendelea na ukarabati wa awamu ya kwanza wa Vyuo vya

Maendeleo ya Wananchi 20 vya Rubondo, Gera, Munguri, Chisalu, Newala, Kilwa

Masoko, Ikwiriri, Mtawanya, Handeni, Mto wa Mbu, Urambo, Kasulu, Tarime, Ilula,

Muhukuru, Sofi, Chilala, Kiwanda, Malampaka na Karumo ambapo ukarabati upo

katika hatua za ukamilishaji.

B. Afya na Maendeleo ya Jamii

Afya

(a) Mradi wa Kupunguza Vifo vya akina Mama Vinavyotokana na Uzazi:

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa marekebisho katika Wodi ya Wazazi na ufungaji

vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora – Kitete na kujenga

kichomea taka, kuweka mifumo ya gesi na vifaa tiba; kukamilika kwa ujenzi na

marekebisho ya Wodi za Wazazi katika Vituo vya Afya vya Kitunda na Mazinge

katika Wilaya ya Sikonge; na kukamilika kwa ujenzi na marekebisho katika Chuo cha

Maafisa Tabibu Tabora ikiwemo kukamilisha mfumo wa umeme.

(b) Mradi wa Kuboresha Hospitali za Rufaa za Mikoa

Hatua iliyofikiwa ni:

(i) Simiyu: Kukamilika kwa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na kuanza kutoa

huduma; ujenzi wa msingi wa jengo la uchunguzi na jengo la mama na mtoto

umekamilika ambapo hatua inayofuata ni usimakaji wa nguzo kwa ajili ujenzi

wa sakafu ya pili; na kununuliwa kwa mashine 1 ya x-ray kwa ajili ya

kuboresha huduma za uchunguzi wa magonjwa; na kuendelea na ujenzi wa

jengo la kutolea huduma za uzazi.

(ii) Geita: Ujenzi wa majengo ya kutolea huduma za wagonjwa wa nje, mgahawa

na sehemu ya kufulia upo kwenye hatua za mwisho kukamilika na ujenzi wa

jengo ya upasuaji na jengo la mionzi uko katika hatua za awali; na upatikanaji

wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 91.

(iii) Njombe: Kukamilika kwa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje; kununuliwa

kwa mashine 1 ya X-ray kwa ajili ya kuboresha huduma za uchunguzi wa

magonjwa; kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi; na

Page 47: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 42

upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

(iv) Katavi: Kuendelea na ujenzi wa jengo la wazazi, jengo la uchunguzi na jengo

la utawala ambapo ujenzi umefikia hatua ya msingi; na kununuliwa kwa

mashine 1 ya X-ray kwa ajili ya kuboresha huduma za uchunguzi wa

magonjwa; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 96.

(v) Shinyanga: kukamilika kwa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na utawala;

kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi; na upatikanaji wa

dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

(vi) Kwangwa (Mara): Kukamilika kwa Jengo la wagonjwa wa nje, jengo la

wazazi, jengo la uchunguzi na wodi za kulaza wagonjwa.

(vii) Manyara: Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na utawala umefikia hatua ya

upauaji na hatua inayofuata ni kuweka samani, vifaa na vifaa tiba; na

upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 94.

(viii) Sekou Toure (Mwanza): Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za

uzazi; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

(ix) Mwananyamala (Dar es Salaam): Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea

huduma za uzazi; kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za

dharura na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

(x) Mawenzi (Kilimanjaro): Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za

uzazi; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 75.

(xi) Sokoine (Lindi): Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za

dharura; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

(xii) Amana (Dar es Salaam): Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma

za dharura; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia

99.

(xiii) Temeke (Dar es Salaam): Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma

za dharura; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia

95.

(xiv) Kagera: Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za dharura; na

upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 99.

(c) Ujenzi wa Hospitali za Halmashauri na Vituo vya Afya: Hatua iliyofikiwa ni:

kuendelea na ujenzi wa hospitali za Halmashauri (67); kuendelea na ujenzi na

ukarabati wa vituo vya kutolea huduma za afya 352 (zikiwemo Hospitali 9, Vituo vya

Afya 304 na Zahanati 39); na kuendelea na ujenzi na ukarabati wa nyumba 301 za

watumishi.

(d) Mradi wa Ununuzi na Usambazaji wa Dawa: Hatua iliyofikiwa ni kununuliwa

kwa dawa, vifaa tiba na vitendanishi na kusambazwa katika vituo vya umma vya

kutolea huduma nchini ambapo upatikanaji wa dawa muhimu aina 30 katika vituo

Page 48: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 43

vya kutolea huduma za afya umefikia asilimia 94.4; kusambazwa lita 239,020 za

viuadudu vya kuangamiza viluwiluwi vya mbu katika Halmashauri zote nchini;

kununuliwa mashine za X-ray 11 za Kidigitali ambazo zimesambazwa katika

hospitali za Ruvuma, Chato, Morogoro, Simiyu, Magu, Singida, Nzega, Njombe,

Bukoba, Amana na Katavi; kununuliwa vifaa na vifaa tiba na kusambazwa katika

vituo vya afya 318; kununuliwa na kusambazwa mashine 8 za X-ray na viti 20 kwa

ajili ya kutolea huduma ya kinywa; na kununuliwa kwa Digital X-rays 28 na LED

Microscope 389 ambazo zimesambazwa katika mikoa ya Iringa, Kilimanjaro, Mara,

Mbeya, Ruvuma, Tanga, Rukwa, Njombe, Songwe na Dar es Salaam.

Vile vile, mfumo wa Mshitiri umeanzishwa katika mikoa 26 ya Tanzania Bara

unaoviwezesha vituo vya kutolea huduma za afya kupata mahitaji ya vifaa, vifaa tiba,

dawa na vitendanishi toka kwa wauzaji binafsi walioteuliwa pindi mahitaji

yanapokosekana katika Bohari Kuu ya Dawa (MSD) na kutolewa mafunzo kwa

Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri na

wataalam ngazi ya Wizara pamoja na watoa huduma ya afya 103 ngazi ya Taifa,

431 ngazi ya Mkoa, 540 Hospitali za Halmashauri na wafanyabiashara 142 kuhusu

matumizi ya mfumo huo.

(e) Hospitali ya Rufaa Mbeya: Hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa ujenzi wa

jengo la vifaa vya uchunguzi wa mionzi; kukamilika kwa upanuzi wa eneo la

mapokezi na jengo la huduma za uzazi na mtoto katika kitengo cha wazazi Meta;

kuendelea na upanuzi wa jengo la kutolea huduma; na kununuliwa kwa CT-Scan

mpya.

(f) Hospitali ya Rufaa ya Magonjwa ya Kifua Kikuu – Kibong’oto: Hatua

iliyofikiwa ni kununuliwa kwa mashine nne (4) za uchunguzi wa madhara yatokanayo

na dawa; na kununuliwa kwa mashine 1 ya ultrasound kwa ajili ya uchunguzi wa

magonjwa.

(g) Hospitali ya Rufaa Bugando: Hatua iliyofikiwa ni kununuliwa kwa mashine

ya tiba ya mionzi aina ya Brachytherapy na kukamilika kwa ujenzi wa maabara ya

kisasa ya uchunguzi wa magonjwa kupitia vinasaba.

(h) Mradi wa Kudhibiti Magonjwa ya Kuambukiza: Hatua iliyofikiwa ni

kununuliwa na kusambazwa kwa chanjo hadi kufikia kiwango cha uchanjaji cha

asilimia 98 ya lengo kwa watoto chini ya mwaka mmoja. Chanjo hizo ni pamoja na:

dozi 3,000,000 za BCC kwa ajili ya kuwakinga watoto wachanga na ugonjwa wa

kifua kikuu; dozi 3,400,000 (bOPV) za kuzuia ugonjwa wa kupooza, dozi 3,000,000

(TT) za kuzuia ugonjwa wa pepopunda kwa mama wajawazito; dozi 5,453,400

Page 49: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 44

(PCV-13) za kuwakinga watoto dhidi ya nimonia na homa ya uti wa mgongo; dozi

2,155,500 (Rota) za kuwakinga watoto dhidi ya ugonjwa wa kuhara; dozi 950,500 za

HPV kwa ajili ya kuwakinga wasichana dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi; dozi

1,598,850 za chanjo ya sindano (IPV) kwa ajili ya kuzuia ugonjwa wa kupooza kwa

watoto; na dozi 3,012,000 za Penta kwa ajili ya kuzuia magonjwa ya dondakoo,

kifaduro, kupooza, homa ya ini, na homa ya uti wa mgongo.

(i) Hospitali ya Taifa ya Muhimbili: Hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa

ukarabati wa jengo la uchunguzi maalum wa watoto wagonjwa walio mahututi

pamoja na ufungaji wa vifaa tiba na kuunganishwa mfumo wa taarifa wa hospitali na

mfumo wa Malipo wa Serikali GePG.

(j) Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI): Hatua iliyofikiwa ni kununuliwa darubini

ya kisasa kwa ajili ya kufanya upasuaji wa mishipa ya fahamu na ubongo

(Neurosurgeries); kununuliwa kwa mtambo mpya na wa kisasa aina ya Chiller kwa

ajili ya kutawanya hewa kwenye vyumba vya upasuaji na Chumba cha Wagonjwa

Mahututi – ICU; kununuliwa kwa mashine tatu (3) za kisasa aina ya ERBA XL 600,

DYMIND DH 76 na COBAS e411 kwa ajili ya kupima sampuli za damu; kukamilika

kwa ujenzi wa vyumba vitatu vya upasuaji hivyo kuongeza idadi ya vyumba vya

upasuaji kutoka 6 hadi 9; kukamilika kwa upanuzi wa eneo kubwa la mapokezi ya

dharura; na kukamilika kwa ufungaji wa vifaa tiba mbalimbali vikiwemo MRI, CT

Scan, Digital X-Ray machine, Modern Ultrasound machine na vifaa vya wodini.

(k) Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ukarabati wa jengo la hospitali kwa ajili ya wodi

mpya ya watoto yenye vitanda 32 vya kuhudumia watoto wenye matatizo ya moyo;

na kuboreshwa kwa huduma za famasia kwa kutoa dawa muhimu kwa matibabu ya

moyo kwa asilimia 95.

Maendeleo ya Jamii

(a) Ukarabati na Ujenzi wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii

Kazi zilizotekelezwa ni kuendelea na ukarabati wa hosteli, kumbi za mihadhara,

madarasa, majengo ya utawala na nyumba za watumishi katika vyuo vya

Rungemba, Mlale, Misungwi, Monduli, Ruaha, Buhare na Uyole; na kukamilika kwa

ujenzi wa fensi katika Chuo cha Rungemba na ukarabati wa karakana katika Chuo

cha Mabughai.

(b) Uwezeshaji Wanawake

Shughuli zilizofanyika ni: kutolewa kwa mikopo ya Shilingi bilioni 2.05 kwa

wanawake wajasiriamali 3,035 kupitia Dirisha la Wanawake katika Benki ya TPB;

Page 50: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 45

kutolewa kwa mikopo ya uwezeshaji wanawake, Shilingi bilioni 11.128 inayotokana

na asilimia 4 ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa vikundi 4,898 vyenye

wanawake wajasiriamali 44,210; kuwezeshwa kwa vikundi 583 vya wanawake

vyenye wanawake wajasiriamali 11,833 kutoka mikoa 15 kupata masoko ya huduma

na bidhaa wanazozalisha, uzoefu na teknolojia rahisi na rafiki kupitia maonesho ya

biashara ya kitaifa na kimataifa; na kutolewa kwa mafunzo kwa wanawake

wajasiriamali 444 kuhusu stadi za ujasiriamali, huduma ya hifadhi ya jamii, fursa za

kiuchumi, uboreshaji wa huduma na bidhaa wanazozalisha, teknolojia rahisi za

uzalishaji wa bidhaa na urasimishaji wa biashara.

(c) Maendeleo ya Awali ya Mtoto

Kuendelea kutolewa kwa elimu kuhusu madhara ya ukatili dhidi ya watoto katika

maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike kimataifa; kuongezeka kwa idadi ya watoto

waliopatiwa huduma ya simu bure (Na. 116) kutoka watoto 493 (2017/18) hadi

watoto 3,833 (2018/19); kutolewa mafunzo kuhusu malezi chanya kwa watoto

ambapo walishiriki wazazi na walezi 635 katika ngazi ya familia kutoka halmashauri

132; kuanzishwa kwa vikundi vya malezi 1,184 katika halmashauri 15 za mikoa 7;

kusajiliwa kwa vituo 146 vya kulelea watoto walio chini ya miaka mitano (Day Care

Centres) ambapo watoto 149,093 (Ke 76,094 na Me 72,999) waliandikishwa;

kutolewa kwa mafunzo kuhusu Programu ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali

ya Mtoto kwa walezi 970 katika vituo vya kulelela watoto mchana kutoka Arusha,

Temeke, Ubungo, na Ilala; na kuundwa kwa kamati za ulinzi na usalama wa mtoto

na mwanamke katika mikoa 26, Halmashauri 184, kata 2,490 kati ya 4,420 na Vijiji

7,900 kati ya 16,626.

(d) Kuwezesha Huduma za Ustawi wa Jamii

Shughuli zilizofanyika ni: kutambuliwa kwa watoto 389,012 waishio katika mazingira

hatarishi hivyo kufikisha idadi ya watoto 1,495,049; kutolewa kwa kadi za bima ya

afya kwa watoto 900 wanaoishi katika makao ya watoto; kuendelea kusajili makao

ya watoto ambapo leseni 64 za usajili zilitolewa; kuwezeshwa upatikanaji wa

huduma za msingi za malazi, chakula, mavazi, matibabu na elimu kwa watoto

13,420 (Ke 6,651 na Me 6,769) waishio katika makao ya watoto yanayomilikiwa na

Serikali na taasisi binafsi; kutolewa kwa huduma za chakula, malazi, mavazi,

matibabu na elimu kwa watoto 467 (Ke 49 na Me 418) katika mahabusu 5 za watoto

walio katika mkinzano na sheria; kuendelea kutekeleza programu ya marekebisho ya

tabia kwa watoto walio katika mkinzano wa kisheria ambapo watoto 64 (Ke 7 na Me

57) walichepushwa kutoka katika mfumo rasmi wa haki jinai; na kuendelea kutoa

huduma za malezi ya kambo na kuasili watoto ambapo watoto 70 (Ke 36 na Me 34)

walipata huduma hizo.

Page 51: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 46

Shughuli nyingine zilizotekelezwa ni kutambuliwa kwa wazee 750,622 kwa ajili ya

kupatiwa vitambulisho vya matibabu bure ambapo wazee 247,705 wamepatiwa kadi

za matibabu bure; kuendelea kutolewa huduma za msingi za chakula, malazi,

mavazi na matibabu kwa wazee wasiojiweza 510 (Ke 234 na Me 276) katika makazi

17 ya wazee; na kutambuliwa kwa watu wenye ulemavu 405,426 na kupatiwa

huduma za afya.

(e) Mpango wa Uimarishaji wa Mifumo ya Taarifa za Ustawi wa Jamii

Shughuli zilizofanyika ni kuweka mfumo wa kieletroniki wa ukusanyaji na utunzaji

taarifa za watoto walio katika mazingira hatarishi na wale waishio na kufanya kazi

mitaani katika Halmashauri 147 kati ya 184; na kununuliwa na kusambazwa kwa

kompyuta, mashine za kurudufu na modemu 101 kwenye Mikoa 23 na Halmashauri

73 kwa ajili ya matumizi ya mfumo wa kieletroniki wa Taarifa za Ustawi wa Jamii.

(f) Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF)

Shughuli zilizofanyika ni: kuboreshwa kwa mfuko ili kuruhusu watumiaji kupata

huduma za matibabu ya rufaa hadi katika hospitali za rufaa za Mikoa; na kukamilika

na kuanza kutumika kwa kanzidata ya utunzaji wa taarifa za wanachama nchi nzima.

C. Maji na Usafi wa Mazingira

(a) Kuboresha Huduma za Maji Dar es Salaam

Hatua iliyofikiwa ni: ukamilishaji wa ujenzi wa matenki na ulazaji wa mabomba ya

kusambaza maji katika jiji la Dar es salaam na maeneo ya Bagamoyo, Kibaha na

Mlandizi ambayo yanapata huduma ya maji kutoka miradi ya Ruvu Juu na Chini; na

kupatikana kwa mkandarasi kwa ajili ya ununuzi na ufungaji wa dira za maji pamoja

na vifaa vya uboreshaji wa huduma za maji.

(b) Mradi wa Maji wa Kimbiji na Mpera

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa visima 19 kati ya 20 vilivyopangwa kuchimbwa

katika eneo la Kimbiji na Mpera; na kuanza maandalizi ya ujenzi wa miundombinu ya

kusambaza huduma ya maji kwa wananchi kutoka katika visima vitano vya awali vya

Kimbiji.

(c) Maji kutoka Ziwa Victoria

Hatua iliyofikiwa ni: ujenzi wa miundombinu ya maji katika miji ya Tabora, Igunga,

Uyui na Nzega pamoja na vijiji 89 vilivyo pembezoni mwa bomba Kuu umefikia

asilimia 68.5; na kazi ya ulazaji wa bomba la kusambazia maji katika miji ya Isaka,

Tinde na Kagongwa imekamilika kwa asilimia 87.

Page 52: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 47

(d) Miradi ya Maji ya Kitaifa

Hatua iliyofikiwa ni kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya maji hususan katika

ulazaji wa mambomba, upanuzi na ukarabati katika maeneo yanayohudumiwa na

miradi ya kitaifa ambapo: Mradi wa Chalinze (Pwani) utekelezaji umefikia asilimia

79.5 ikihusisha pamoja na kazi nyingine ujenzi wa matanki, upanuzi wa mtandao wa

mabomba na upanuzi wa kidakio; mradi wa Wanging‟ombe (Njombe) ambao

umefikia asilimia 85 za ukarabati na kuwezesha kukamilika kwa matanki 44 ya

kuhifadhi maji na mabirika 59 ya kunyweshea mifugo pamoja na kuendelea

kumalizia ukarabati wa chanzo cha Mbukwa. Aidha, miradi ya Mugango - Kiabakari

(Mara) na Handeni Trunk Main usanifu wa kina umekamilika na taratibu za

kuwapata makandarasi wa ujenzi zinaendelea.

(e) Mradi wa Maji Masasi – Nachingwea

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ukarabati wa mradi ambapo wananchi 24,077

katika baadhi ya maeneo wameanza kusambaziwa maji; na kuanza ujenzi wa

mtambo wa kutibu na kusafisha maji kwa ajili ya kuwapatia wananchi huduma ya

maji safi na salama katika eneo lote la mradi.

(f) Kuboresha Huduma za Maji Vijijini

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa miradi 198 na kufanya jumla ya miradi yote

iliyokamilika kufikia 1,659 ambapo vituo vya kuchotea maji vimeongezeka kufikia

131,370 na kuhudumia wananchi 25,359,290; miradi 653 ya maji vijijini inaendelea

kutekelezwa ikiwa katika hatua mbalimbali katika Halmashauri nchini. Kwa upande

wa mradi wa Same – Mwanga - Korogwe ukamilishaji wa miundombinu ya msingi

unaendelea ambapo bomba kuu la kusafirisha maji, kitekeo cha maji, mtambo wa

kusafisha maji na matanki ya kuhifadhi maji, maabara na eneo la kuhifadhia dawa za

kutibu maji vimekamilika. Kazi zinazoendelea ni usambazaji wa maji kati miji ya

Same ambapo umefikia asilimia 55 na Mwanga asilimia 15.

(g) Kuboresha Huduma za Maji Mijini

(i) Upatikanaji wa huduma za maji Jijini Dar es Salaam umefikia asilimia 85,

katika mikoa mingine asilimia 80, miji midogo asilimia 64 na vijijini asilimia

64.8;

(ii) Ujenzi wa miradi ya maji katika miji mikuu ya mikoa mipya umeendelea

kutekelezwa na kufikia hatua zifuatazo: Geita (umekamilika), Njombe (asilimia

95); na Songwe (asilimia 90);

(iii) Ukamilishaji wa miradi ya maji katika Miji ya Wilaya na Miji midogo ya

Misungwi, Lamadi, Magu, Longido, Orkesumet unaendelea pamoja na miradi

ya matokeo ya haraka (quickwins) katika miji 57; na

(iv) Mradi wa uondoaji majitaka Jijini Dar es Salaam katika eneo la Jangwani na

Page 53: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 48

Mbezi Beach unaendelea ambapo Mtaalamu Mshauri atakayesimamia kazi

hiyo amepatikana. Aidha, ulipaji wa fidia katika eneo la Kurasini umekamilika

na taratibu za kuanza kazi ya upembuzi yakinifu zinaendelea.

(h) Kuimarisha Maabara na Bodi za Maji za Mabonde

Ofisi za maji za mabonde na maabara za maji zimeendelea kuimarishwa kwa

kujengwa na kukarabatiwa kama ifuatavyo: Ruvuma na Pwani ya Kusini (asilimia

90), Ziwa Nyasa (asilimia 50), Ziwa Rukwa (asilimia 65), Bonde la Kanda ya Kati

(asilimia 95) na ujenzi wa ofisi ndogo za katika Bonde la Rufiji katika maeneo ya

Mkoji na Kimani (asilimia 65). Ujenzi na ukarabati wa Maabara ya Maji ya Dar es

Salaam umefikia asilimia 99. Vile vile, vifaa vya upimaji wa rasilimali za maji

vimetolewa kwa mabonde ya Mto Rufiji na Wami Ruvu kwa ajili ya kuongeza tija

katika mabonde hayo.

D. Vijana na Ajira

(a) Programu ya Kitaifa ya Kukuza Ujuzi

Hatua iliyofikia katika kutekeleza Programu hiyo ni kama ifuatavyo:

(i) Kutolewa kwa mafunzo ya kilimo cha kitalu nyumba kwa vijana 18,800 kwa

lengo la kuwapatia vijana ujuzi stahiki ili waweze kujiajiri na kuajiriwa;

(ii) Kutolewa mafunzo kwa vijana 10,443 ya kurasimisha ujuzi uliopatikana kwa

mfumo usio rasmi kwa fani za ufundi wa magari, useremala, uashi, upishi,

huduma za vyakula na vinywaji, ufundi umeme, uchomeleaji, ufundi bomba,

uchorongaji vipuri na ushonaji nguo kupitia vyuo vya ufundi VETA wanapata

mafunzo; na

(iii) Kutolewa kwa mafunzo ya vitendo kwa wahitimu 136 wa elimu ya juu kupitia

viwanda na kampuni mbalimbali ya umma na sekta binafsi.

(b) Mfuko wa Maendeleo ya Vijana

Hatua iliyofikiwa ni: kutolewa kwa mikopo nafuu yenye thamani ya Shilingi bilioni 4.2

kwa vikundi vya vijana 755, vyenye wanachama 3,661 katika Halmashauri 128 za

Tanzania Bara; kuanzishwa kwa SACCOS 127 za Vijana kati ya 184 zinazotarajiwa

kuanzishwa hadi kufikia mwaka 2020; kutolewa kwa mashine 4 za kutengeneza

matofali na mtaji wa Shilingi 500,000 kwa kila halmashauri kwenye halmashauri 168

nchini. Aidha, vijana 6,720 wamepata ajira ya moja kwa moja na vijana 1,905

wamepata ajira zilizotokana na utekelezaji wa programu ya utengenezaji wa matofali

ya bei nafuu.

Page 54: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 49

E. Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

(a) Upanuzi wa Usikivu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)

Kazi zilizotekelezwa ni: kuendelea kupanua usikivu wa redio ambapo umeongezeka

kutoka wilaya 87 mwaka 2017 hadi wilaya 102 Machi 2019; kukamilika kwa usanifu

wa Jengo la Makao Makuu ya TBC Jijini Dodoma litakalo husisha jengo la

Utangazaji na Utawala; uanzishaji wa Chaneli ya Tanzania Safari inayotangaza

vivutio vya utalii; kuanzishwa kwa mifumo ya kielekroniki hususan tovuti na

programu tumizi (protu au App); na kuratibiwa kwa jumla ya vipindi 17 vya

TUNATEKELEZA, vipindi hivyo vilihusisha Wizara 16 na Mikoa miwili (2).

(b) Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika

Shughuli zilizotekelezwa ni: kuendelea kukarabati jengo lililokuwa likitumiwa na Ofisi

iliyokuwa ya Kamati ya Ukombozi wa Nchi za Kusini mwa Bara la Afrika;

kuorodheshwa kwa maeneo 255 ya ukombozi wa Bara la Afrika pamoja na

kukusanywa kwa vifaa mbalimbali 6,782 vya historia; uanzishaji wa tovuti ya

Programu, kazi inayotarajiwa kuanza ni uingizaji wa taarifa mbalimbali za Programu

na uanzishaji wa sheria ya kulinda vifaa na maeneo yanayosimamiwa na Programu.

(c) Ujenzi wa Eneo Changamani la Michezo – Dar es Salaam na Dodoma

Shughuli zilizotekelezwa ni: Dar es Salaam: kuendelea kwa ukarabati katika Uwanja

wa Taifa ambapo vyumba vya wachezaji kubadilishia nguo pamoja na kukamilika

kwa chumba cha “Antidopping”; kuendelea kwa ukarabati wa chumba cha waandishi

wa habari; ujenzi wa paa la watu Maalum (VVIP); kuwekwa kwa nyasi bandia kwa

ajili ya Uwanja wa Uhuru; Dodoma: kuendelea kwa maandalizi ya ujenzi wa Uwanja

wa Michezo wa Dodoma kwa kubainisha barabara kwa kuwekwa vibao na nguzo za

tahadhari dhidi ya wavamizi; na kukamilika kwa upembuzi yakinifu, “topographical

survey”, tathmini ya mazingira, “geotechnical Survey” na maandalizi ya mchoro wa

uwanja.

(d) Chuo cha Michezo cha Malya

Kazi zilizotekelezwa ni: kudahiliwa kwa wanafunzi 141; kununuliwa kwa matenki sita

(6) ya kuhifadhia maji yenye ujazo wa lita 5,000 kila moja, hatua ambayo

imeimarisha upatikanaji wa maji chuoni hapo.

F. Hifadhi ya Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi

(a) Usimamizi Endelevu wa Matumizi ya Ardhi ya Bonde la Nyasa

Hatua iliyofikiwa ni: kufundisha wawezeshaji 20 kwa Wilaya za Makete, Kyela,

Mbinga, Nyasa na Ludewa zinazotekeleza mradi; uanzishwaji wa vikundi vitatu vya

wakulima katika wilaya zinazotekeleza mradi; kukamilika kwa Mpango wa Matumizi

Page 55: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 50

bora ya ardhi katika vijiji 15 katika wilaya zinazotekeleza mradi; uandaaji wa vitalu

vya miche ya miti na uanzishwaji wa mashamba darasa katika Wilaya za Ludewa,

Kyela na Mbinga; na ununuzi wa vifaa vitakavyotumika wakati wa utekelezaji wa

mradi.

(b) Mradi wa Kuwezesha Mfuko wa Mazingira

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na maandalizi ya marekebisho ya Sheria ya

Mazingira ya mwaka 2004 ili kuwezesha Mfuko wa Mazingira kufanya kazi kwa

ufanisi.

(c) Mradi wa Kukabiliana na Changamoto za Kimazingira-Pwani ya Dar es

Salaam Kutokana na Athari za Mabadiliko ya Tabianchi

Kupanda hekari 40 za miti ya mikoko katika wilaya ya Temeke katika maeneo ya

Tundwi, Songani na Pembemnazi; kukamilika kwa ujenzi wa mifereji ya maji

iliyoharibiwa na mafuriko; na kuendelea na tathmini ya uwezo wa kuhimili mabadiliko

ya tabianchi kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

3.2.2.4. Mazingira Wezeshi kwa Uendeshaji Biashara na Uwekezaji

A. Miundombinu

(a) Reli

(i) Mfuko wa Maendeleo ya Reli

Hatua iliyofikiwa ni: kupokelewa kwa Shilingi bilioni 123.2 katika Mfuko wa Reli

ambapo Shilingi bilioni 38 zilitumika kama sehemu ya malipo ya awali kwa ajili ya

ujenzi wa reli ya kati kwa standard gauge ya kutoka Dar es salaam hadi Morogoro.

Aidha, jumla ya Shilingi bilioni 59.6 zilitumka kununua vichwa 11 vya treni kwa ajili

ya njia kuu.

(ii) Ukarabati wa Njia Kuu ya Reli

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ukarabati wa reli kwa sehemu ya Dar es Salaam –

Isaka (km 970); kuboresha eneo la kupakia/kupakua mizigo katika Bandari ya Dar es

Salaam; na kukarabati vituo vya kuhudumia mizigo vya Ilala na Isaka.

(iii) Ufufuaji wa Njia ya Reli ya Tanga – Arusha (km 439)

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ukarabati wa kipande cha Tanga – Mombo (km

129) ambacho kimeanza kufanya kazi ya kusafirisha mizigo; kipande cha Mombo –

Same (km 124) kipo katika hatua za mwisho kukamilika ambapo ukarabati wa njia

ya reli umekamilika na kazi inayoendelea kwa kipande hiki ni ujenzi wa madaraja 7;

na kuendelea na ukarabati wa kipande cha Same – Arusha (km 186). Kwa ujumla

Page 56: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 51

ukarabati wa Reli ya Tanga – Arusha (439) umefikia asilimia 80.

(iv) Ukarabati wa Mabehewa

Hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa ukarabati wa mabehewa 15.

(v) Usafiri wa Reli Jijini Dar es Salaam

Hatua iliyofikiwa ni: kuimarika kwa usafirishaji kwa njia ya treni katika jiji la Dar es

Salaam ambapo abiria 1,524,381 walisafirishwa kati ya stesheni za Dar es Salaam

na Mwakanga kupitia reli ya TAZARA; na abiria 5,431,037 walisafirishwa kati ya

Stesheni – Ubungo – Pugu.

(b) Barabara na Madaraja

Barabara za Lami Zinazofungua Fursa za Kiuchumi

(i) Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupilo - Mahenge /Malinyi - Londo -

Lumecha/Songea (km 499): hatua iliyofikiwa ni kuendelea na ujenzi kwa

sehemu ya Kidatu – Ifakara (km 66.9).

(ii) Barabara ya Tabora - Ipole - Koga - Mpanda (km 370): hatua iliyofikiwa ni

kujengwa kwa barabara sehemu za Tabora – Sikonge (km 30) ambapo

utekelezaji umekamilika; na kuendelea na utekelezaji katika sehemu za

Usesula - Komanga (km 115.5) ambapo ujenzi umefikia asilimia 12.91,

Komanga – Kasinde (km 112.8) asilimia 18.26, na Kasinde – Mpanda (km

111.7) asilimia 15.94.

(iii) Barabara ya Makutano - Natta – Mugumu (km 125)/Loliondo - Mto wa

Mbu (km 213): hatua iliyofikiwa ni: kufika asilimia 74 ya ujenzi katika

barabara ya Makutano - Natta – Mugumu (km 125) sehemu ya Makutano -

Sanzate (km 50) na kuendelea na hatua za kumpata mkandarasi wa ujenzi

kwa sehemu ya Sanzate - Natta - Mugumu (km 85). Aidha, ujenzi wa

barabara ya Mto wa Mbu - Loliondo sehemu ya Wasso - Sale Junction (km

49) unaendelea ambapo utekelezaji umefikia asilimia 25.15.

(iv) Barabara ya Manyoni - Itigi – Tabora (km 259.7): hatua iliyofikiwa ni:

kukamilika kwa ujenzi wa sehemu ya Tabora – Nyahua (km 85) na Manyoni -

Itigi - Chaya (km 89.35); na kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Nyahua –

Chaya (km 85.4) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 26.

(v) Barabara ya Itoni – Ludewa - Manda (km 211): hatua iliyofikiwa ni

kuendelea kwa ujenzi wa kiwango cha lami na zege katika sehemu ya Lusitu

– Mawengi (km 50) ambapo utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 20.14.

(vi) Barabara ya Handeni - Kibereshi – Kibaya - Singida (km 460): hatua

iliyofikiwa ni kukamilika kwa usanifu wa kina.

(vii) Barabara ya Dodoma – Mtera - Iringa (km 260): Mradi umekamilika. Kazi

Page 57: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 52

inayoendelea kwa mchepuo wa barabara ya Iringa (Iringa Bypass km 7.3) ni

kuanza taratibu za kumpata mkandarasi.

(viii) Barabara ya Dodoma – Babati (km 243.80): Mradi umekamilika. Kazi

inayoendelea ni taratibu za kumpata Mhandisi Mshauri wa kufanya kazi ya

upembuzi na usanifu wa kina wa barabara ya mchepuo wa Babati (Babati

Bypass – km 12).

(ix) Barabara ya Mbeya - Makongolosi - Rungwa – Itigi - Mkiwa (km 171.9):

hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi wa sehemu za Chunya –

Makongolosi (km 43) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 20.6.

(x) Barabara ya Kigoma - Kidahwe - Uvinza – Kaliua - Tabora (km 389.7):

hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya

Urambo - Kaliua (km 28) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 35; na kuanza

maandalizi ya kumpata mkandarasi kwa ajili ya ujenzi kwa kiwango cha lami

sehemu za Uvinza - Malagarasi (km 51.1) na Kazilambwa - Chagu (km 36).

(xi) Barabara ya Mtwara - Masasi - Songea - Mbamba Bay (km 1,470.9): hatua

iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi kwa sehemu ya Mbinga - Mbamba Bay (km

66) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 8.2 na sehemu ya Mtwara – Mnivata

(km 50) asilimia 42.7. Aidha, Serikali inatafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa

barabara ya Masasi - Nachingwea – Nanganga (km 96). Vile vile, kazi za

upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa barabara ya Nanganga - Ruangwa

- Nachingwea (km 107) zimekamilika. Kwa barabara ya Likuyufusi - Mkenda

(km 122.5), maandalizi ya nyaraka za zabuni yanaendelea na kwa barabara

ya Kitui - Lituhi (km 90) mkataba wa ujenzi umesainiwa. Kwa sehemu ya

Mnivata - Masasi (km 160), taratibu za utafutaji fedha zinaendelea. Kwa

upande wa barabara ya Nachingwea - Liwale (km 130), mkataba kwa ajili ya

kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina umesainiwa.

Barabara Zinazounganisha Tanzania na Nchi Jirani

(i) Barabara ya Sumbawanga - Matai - Kasanga Port (km 112): hatua

iliyofikiwa ni: kufikia asilimia 80.5 kwa kazi ya ujenzi kwa sehemu

Sumbawanga - Matai - Kasanga Port (km 112); na kuendelea na taratibu za

manunuzi za kumpata mkandarasi wa ujenzi kwa sehemu ya Matai - Kasesya

(km 50).

(ii) Barabara ya Marangu - Tarakea - Rongai - Kamwanga /Bomang’ombe -

Sanya Juu (km 330.31): hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa barabara ya

Arusha - Moshi - Holili (sehemu ya Sakina - Tengeru na mchepuo wa Arusha

– km 56.51) na kuendelea na ujenzi kwa sehemu za Sanya Juu - Elerai (km

32.2) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 92. Aidha, mikataba ya ujenzi

imesainiwa na maandalizi ya ujenzi yameanza kwa barabara za Kwa Sadala -

Masama - Machame Junction (km 16), Kiboroloni - Kikarara - Tsuduni - Kidia

Page 58: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 53

(km 10.8), na km 2.6 katika barabara ya Kijenge - Usa River (km 14). Vile vile,

maandalizi ya upanuzi wa sehemu ya Tengeru - Moshi - Himo (km 105)

pamoja na ujenzi wa mizani ya Himo yamefikia hatua ya mwisho kabla ya

kutangaza zabuni za ujenzi.

(iii) Barabara ya Isaka - Lusahunga (km 533): hatua iliyofikiwa ni: kukamilika

kwa ukarabati wa barabara ya Isaka – Ushirombo (km 132); kufikia asilimia

74.8 ya kazi ya ukarabati kwa sehemu ya Ushirombo – Lusahunga (km 110);

kufikia asilimia 60 ya ujenzi wa kituo cha Pamoja cha Ukaguzi (One Stop

Inspection Station – OSIS) cha Nyakanazi; kukamilika kwa usanifu wa kina

wa barabara za Lusahunga - Rusumo (km 91) na Nyakasanza - Kobero (km

59) ili zijengwe upya kwa kiwango cha lami. Vile vile, upembuzi yakinifu na

usanifu wa kina wa barabara za Nyakahura - Kumubuga - Murusagamba na

Kumubuga - Rulenge - Kabanga Nickel zenye jumla ya urefu wa km 141

unaendelea.

(iv) Barabara ya Sumbawanga - Mpanda - Nyakanazi (km 517.4): hatua

iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi wa barabara ya Mpanda - Mishamo (km

100) sehemu ya Mpanda - Ifukutwa - Vikonge (km 35) ambapo utekelezaji

umefikia asilimia 66.3. Kwa upande wa barabara ya Namanyere - Katongoro -

New Kipili Port (km 64), upembuzi yakinifu na usanifu wa kina unaendelea.

(v) Barabara ya Nyanguge - Musoma, na Michepuo ya Usagara - Kisesa na

Bulamba - Kisorya (km 495.9): hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ukarabati

wa barabara ya Makutano - Sirari (km 83) na upanuzi wa barabara ya

kuelekea uwanja wa ndege wa Mwanza (km 12); kuendelea na ujenzi wa

barabara ya Nansio - Kisorya - Bunda - Nyamuswa sehemu ya Kisorya -

Bulamba (km 51) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 55; kuendelea na

taratibu za kuwapata makandarasi kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya

Musoma - Makojo - Busekela (km 92) na ukarabati wa sehemu ya Nyanguge -

Simiyu/Mara Border (km 100.4). Kwa upande wa barabara ya Nyamuswa -

Bunda - Bulamba (km 55), mapitio ya usanifu wa kina yanaendelea.

(vi) Barabara ya Mwigumbi - Maswa - Bariadi - Lamadi (km 171.8): hatua

iliyofikiwa ni kuendelea kwa ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Maswa -

Bariadi (km 49.7) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 40.

(vii) Barabara ya Kidahwe - Kasulu – Kibondo - Nyakanazi (km 413): hatua

iliyofikiwa ni: kuendelea na ujezi wa barabara sehemu za Kidahwe - Kasulu

(km 63) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 70 na Nyakanazi - Kibondo (km

50) asilimia 60; kukamilika kwa usanifu wa kina na kutangazwa zabuni kwa

ajili ya ujenzi wa barabara ya Kabingo – Kibondo – Kasulu – Manyovu (km

260); na kuendelea na taratibu za kumpata mkandarasi kwa ajili ya ujenzi wa

barabara sehemu ya njia panda ya Nduta - Kibondo Mjini (km 25.6).

(viii) Barabara ya Usagara - Geita - Buzirayombo – Kyamyorwa (km 230):

Page 59: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 54

hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa ujenzi wa barabara za Bwanga -

Biharamulo (km 67); na kukamilika kwa nyaraka za zabuni kwa ajili ya

kumpata mkandarasi wa ujenzi wa barabara za Geita - Bulyanhulu Junction

(km 58.3) na Bulyanhulu Junction - Kahama (km 61.7).

Barabara za Mikoa

Hatua iliyofikiwa ni kujengwa kwa km 12.43 za barabara za mikoa kwa kiwango cha

lami na kukarabati km 128.5 za barabara za mikoa kwa kiwango cha changarawe.

Barabara za Kupunguza Msongamano Jijini Dar es Salaam (km 169.66)

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kimara Korogwe - Maji

Chumvi (km 6), Tegeta Kibaoni - Wazo Hill – Goba – Mbezi Mwisho (km 20) sehemu

ya Madale - Goba (km 5), Banana - Kitunda - Kivule - Msongola (km 14.7) sehemu

ya Kitunda - Kivule (km 3.2) na Maji Chumvi – Chang‟ombe – Barakuda (km 2.5),

kuendelea na taratibu za manunuzi za kumpata mkandarasi wa kujenga barabara za

Kibamba - Kisopwa – Kwembe – Makondeko (km 14.66) sehemu ya Mloganzila -

Kisopwa (km 1), Mwai Kibaki (km 9.1), Kawe Round about - Garden Road Junction

(km 2.9), Kongowe - Mji Mwema - Kivukoni (km 25.1) na kukamilika kwa usanifu wa

kina kwa barabara ya Mji Mwema – Kimbiji (km 27).

Kuhusu mradi wa upanuzi wa barabara ya Kimara – Kibaha (km 19.2) kuwa njia

nane, ujenzi unaendelea.

Miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka

Awamu ya Kwanza ya mradi huu ilikamilika Desemba, 2015 ambapo ulihusisha

ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika barabara za

Kimara – Kivukoni, Magomeni – Morocco na Fire – Kariakoo yenye jumla ya

kilometa 20.9. Hatua iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huu kwa awamu

zinazofuata ni:

(i) Awamu ya Pili: kusainiwa kwa mkataba wa ujenzi utakaohusisha ujenzi wa

miundombinu katika barabara za Kilwa, Kawawa, Sokoine, Gerezani, Bandari

na Chang‟ombe zenye urefu wa kilometa 20.3 kwa ufadhili wa Benki ya

Maendeleo ya Afrika – AfDB. Wananchi na taasisi 90 kati ya 105 wamelipwa

fidia ya shillingi bilion 28.52 kati ya shilingi bilioni 34.19;

(ii) Awamu ya Tatu: Mradi upo katika hatua ya mapitio ya usanifu wa kina na

maandalizi ya nyaraka za zabuni. Mradi utahusisha barabara za Azikiwe na

Maktaba, Bibi Titi, Uhuru na Nyerere hadi Gongo la Mboto na kituo kikuu cha

mabasi Kariakoo, Shaurimoyo na Uhuru kupitia Buguruni hadi TAZARA zenye

jumla ya urefu wa barabara hizo ni kilometa 23.6. Shughuli nyingine

zilizofanyika ni uthamini na uhakiki wa madai ya wananchi watakaopisha

Page 60: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 55

mradi; Serikali kutoa eneo la Gongo la Mboto kwa ajili ya ujenzi wa karakana

ya mabasi (bus depot), eneo la ndani la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa

Julius Nyerere (JNIA) kwa ajili ya kujenga kituo cha mabasi ili kuunganisha

uwanja na huduma za mabasi hayo, na eneo la kujenga kituo mlisho eneo la

Banana. Mradi huu upo chini ya ufadhili wa Benki ya Dunia; na

(iii) Awamu ya Nne: Mradi upo katika hatua ya ununuzi wa mhandisi mshauri wa

kufanya usanifu. Mradi utahusisha barabara za Ali Hassan Mwinyi na

Bagamoyo hadi Tegeta pamoja na barabara ya Sam Nujoma (Ubungo -

Mwenge) zenye jumla ya km 25.9.

Ujenzi wa Barabara za Juu (Flyover) Jijini Dar es Salaam

Hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya juu (flyover) katika

makutano ya TAZARA (Mfugale flyover); kuendelea na ujenzi kwa mradi wa

Interchange katika makutano ya Ubungo ambapo utekelezaji umefikia asilimia 28;

kuendelea na usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwenye

makutano ya barabara maeneo ya Fire (Morogoro/United Nations), Magomeni

(Morogoro/ Kawawa), Mwenge (Sam Nujoma/New Bagamoyo Road),

Tabata/Mandela, Morocco (Ali Hassan Mwinyi/Kinondoni), Buguruni

(Mandela/Uhuru), Kinondoni (Kinondoni/ Ali Hassan Mwinyi) na Selander (Ali

Hassan Mwinyi/ United Nations).

Barabara za Vijijini na Mijini

Shughuli zilizofanyika kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA) ni:

kuendelea na matengenezo ya kawaida ya barabara za lami, changarawe na

udongo ambapo kilomita 5,565.3 za barabara zimekamilika pamoja na ujenzi na

ukarabati wa madaraja 167, makalavati makubwa 27, drift 59 na mifereji ya maji

yenye urefu wa mita 51,347. Kupitia Programu ya Uboreshaji wa Barabara Vijijini

chini ya ufadhili wa DfID barabara zenye urefu wa kilomita 151 zimejengwa kwa

kiwango cha changarawe pamoja na madaraja 3 na makalavati makubwa 42 katika

Halmashauri za Wilaya za Iramba, Kyela, Kyerwa, Rungwe, Bahi, Gairo, Kishapu,

Babati, Mpwapwa, Magu, Busokelo, Bariadi, Kondoa, Kisarawe, Kibiti, Ushetu,

Songwe, na Halmashauri ya Jiji la Dodoma; vile vile, halmashauri ya Manispaa ya

Iringa inaendelea na ukamilishaji wa daraja la Tagamenda na halmashauri ya Wilaya

ya Kilombero imekamilisha ujenzi wa barabara ya Chita hadi Melela. Kupitia

Programu ya Road Transport Sector Policy Support Programme-RTSPSP II (chini ya

ufadhili wa Umoja wa Ulaya) kilometa 219.6 za barabara zimejengwa (kilomita 21.3

kwa kiwango cha lami na kilomita 198.3 kwa kiwango cha changarawe) katika

Halmashauri za Wilaya za Chamwino, Kilolo, Kondoa, Kisarawe, Songea, Mbinga,

Mwanga, Mbulu, Kongwa, Mbogwe, Busokelo, Kalambo, Iringa, Ludewa, Hanang,

Kiteto, na Manispaa ya Temeke. Pia kilomita 152.1 za barabara zimejengwa kwa

Page 61: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 56

kiwango cha changarawe katika Halmashauri za Wilaya za Kongwa, Kiteto,

Mvomero na Kilombero kupitia Programu ya Feed the Future inayofadhiliwa na

Serikali na USAID.

Ujenzi wa Madaraja

(i) Ujenzi wa Madaraja Makubwa

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa daraja la Mlalakuwa (Dar es

Salaam), Momba (Rukwa), Sibiti (Singida), na Lukuledi (Lindi); kuendelea na

ujenzi wa madaraja ya Mara (Mara) asilimia 85, Ruhuhu (Ruvuma) asilimia

75, na Mangara (Manyara) asilimia 48; kuanza ujenzi wa Daraja Jipya la

Selander na barabara unganishi zenye urefu wa km 5.2; kuanza maandalizi

ya ujenzi wa madaraja ya New Wami (Pwani), Msingi (Singida), Sukuma

(Mwanza), Simiyu (barabara ya Simiyu – Mwanza), Kigongo/ Busisi

(Mwanza), Mkundi (Morogoro), Mtera (Dodoma) na Malagarasi Chini

(Kigoma) pamoja na ununuzi wa vyuma vya madaraja ya dharura yapo katika

hatua mbalimbali za utekelezaji.

(ii) Daraja la Nyerere na Barabara Unganishi (km 6.9): hatua iliyofikiwa ni

kuendelea na ujenzi wa barabara unganishi za Kigamboni (Daraja la Nyerere)

– Vijibweni (km 1.5) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 92. Aidha,

upembuzi yakinifu na usanifu wa kina unaendelea kwa barabara za Tungi –

Kibada (km 3.8) na Kibada – Mjimwema (km 1.6).

(c) Usafiri Majini

(i) Ujenzi wa Maegesho ya Vivuko: hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa upanuzi

wa jengo la abiria katika maegesho ya Kigamboni na maegesho ya Bwina

katika kivuko cha Chato - Nkomeae; kuendeea na ujenzi wa jengo la abiria na

ofisi ya kivuko cha Lindi – Kitunda ambapo utekelezaji umefikia asilimia 80; na

kuanza maandalizi ya ujenzi wa maegesho ya Nyamisati – Mafia.

(ii) Ununuzi wa Vivuko Vipya: hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa

kivuko kipya cha Kigongo - Busisi, na kupatikana kwa mkandarasi ambaye

ameanza maandalizi ya ujenzi wa kivuko kipya cha Nyamisati - Mafia.

(iii) Ukarabati wa Vivuko: hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa ukarabati wa kivuko

cha MV Pangani II; na kuendelea kukarabati vivuko vya MV Sengerema

ambapo utekelezaji umefikia asilimia 40, MV Kigamboni asilimia 40, na MV

Utete asilimia 90. Aidha, taratibu za kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa MV

Misungwi zimekamilika.

(iv) Ununuzi na Ukarabati wa Meli katika Maziwa Makuu: Hatua iliyofikiwa ni

kuendelea na ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 1,200 na

tani 400 za mizigo katika ziwa Victoria; ujenzi wa chelezo; ukarabati wa meli

ya MV Victoria na MV Butiama. Aidha, makandarasi kwa ajili ya ukarabati wa

Page 62: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 57

meli za MV. Umoja na MV. Serengeti zilizopo katika ziwa Victoria

wamepatikana.

Kwa upande wa Ziwa Tanganyika, Kampuni ya Meli - MSCL inatekeleza

ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 600 na tani 400, ambapo

uandaaji wa mikataba kwa ajili ya ujenzi wa meli hiyo pamoja na ukarabati wa

meli ya MV Liemba umekamilika.

Aidha, ujenzi wa meli moja mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 200 na

mizigo tani 200 katika Ziwa Nyasa unaendelea ambapo utekelezaji umefikia

asilimia 86. Vile vile, ujenzi wa matishari mawili katika Ziwa Nyasa

umekamilika.

(d) Bandari

(i) Bandari ya Dar es Salaam: Hatua zilizofikiwa ni: kukamilika kwa upanuzi wa

Gati Na.1 na kuanza kutumika; kuanza kwa upanuzi wa Gati Na. 2

sambamba na kuongeza kina chake; na ujenzi wa Gati la kupakia na kupakua

magari (Ro-Ro) unaendelea na upo katika hatua ya ujenzi wa sakafu ngumu

ya gati. Kwa ujumla uboreshaji wa bandari ya Dar es Salaam umefikia asilimia

50.

(ii) Bandari ya Tanga: Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ukarabati wa maegesho

ya meli na sehemu ya kupakulia shehena; na kukamilika kwa ukarabati wa

miundombinu ya barabara kuelekea lango Na. 2. Aidha, ukarabati wa

maegesho umefikia asilimia 86.

(iii) Bandari ya Mtwara: Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na ujenzi wa gati lenye

urefu wa mita 300 la kuhudumia shehena mchanganyiko ambapo kwa ujumla

utekelezaji umefikia asilimia 50.

(iv) Bandari Kavu katika eneo la Ruvu: Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa

ujazaji wa kokoto katika eneo lenye ukubwa wa hekta 20.8; na kuendelea na

ujenzi wa reli ya kuunganisha bandari kavu na reli ya kati ambapo utekelezaji

umefikia asilimia 70.

(v) Bandari za Maziwa Makuu: Ziwa Victoria: kuendelea na ujenzi wa gati za

Nyamirembe - Chato na Magarine ambapo utekelezaji umefikia asilimia 30 na

asilimia 54 kwa mtiririko huo. Ziwa Tanganyika: ujenzi wa gati la

Kalya/Sibwesa unaendelea ambapo utekelezaji umefikia asilimia 93. Aidha,

upembuzi yakinifu wa ujenzi wa gati la Karema, imekamilika. Ziwa Nyasa:

kuendelea na ujenzi wa gati la Ndumbi.

(e) Usafiri wa Anga

(i) Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere: Hatua iliyofikiwa ni:

Page 63: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 58

kukamilika kwa ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III); na kuendelea kwa

kazi ya kuunganishwa umeme wa gridi ya Taifa.

(ii) Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro: Hatua iliyofikiwa ni:

kukamilisha maeneo ambayo hayakujumuishwa katika ukarabati uliofanyika

awali ambapo shughuli zinazoendelea ni taratibu za manunuzi za kumpata

Mhandisi Mshauri wa kufanya usanifu wa kina wa ukarabati wa barabara ya

kuruka na kutua ndege.

(iii) Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato: Hatua iliyofikiwa ni:

kuendelea kwa usanifu wa kina na kuanza maandalizi ya ujenzi; na kulipa

fidia kwa mali zitakazoathiriwa na utekelezaji wa mradi.

(iv) Kiwanja cha Ndege cha Mwanza: Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na upanuzi

wa maegesho ya ndege; ujenzi wa jengo la mizigo, uzio wa kiwanja pamoja

na maegesho ya ndege za mizigo; ujenzi wa jengo la kuongozea ndege, kituo

cha umeme, maegesho ya magari, kufunga taa za kuongozea ndege; ujenzi

wa mfumo wa kuondoa maji ya mvua kiwanjani; na kuendelea na maandalizi

ya ujenzi wa jengo jipya la abiria.

(v) Viwanja vya ndege vya Mtwara: Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea na kazi ya

ukarabati wa barabara ya kutua na kuruka ndege, viungio, maegesho ya

ndege, jengo la abiria, jengo la kuongezea ndege, barabara ya kuingia

kiwanjani, maegesho ya magari, ufungaji wa taa na mitambo ya kuongozea

ndege pamoja na uzio.

(vi) Viwanja vya Ndege vya Kigoma, Tabora, Sumbawanga na Shinyanga:

Hatua iliyofikiwa ni: kupatikana kwa wahandisi washauri na kuendelea na

taratibu za manunuzi za kumpata mkandarasi atakayetekeleza mradi wa

kuboresha viwanja hivyo.

(vii) Viwanja vya Ndege vya Mikoa: Katika viwanja vya Dodoma, Geita, Iringa,

Ruvuma, Lindi, Tanga, Mara, Simiyu na Lake Manyara: hatua iliyofikiwa ni

kukamilika kwa maandalizi kwa ajili ya kuanza ujenzi na ukarabati wa viwanja.

(viii) Ufungaji wa rada nne za kuongozea ndege za kiraia JNIA, KIA Mwanza

na Songwe: Hatua iliyofikiwa ni: JNIA: Kukamilika kwa miundombinu ya rada;

ufungaji wa mtambo unaendelea na umefikia asilimia 90; na majaribio ya

mtambo wa rada yanaendelea. Mwanza: ujenzi wa miundombinu ya rada

unaendelea ambapo utekelezaji umefikia asilimia 50; na kuanza kwa ufungaji

wa rada. KIA: ujenzi wa miundombinu ya rada umefikia asilimia 90. Songwe:

mtambo umewasili nchini.

(ix) Ununuzi wa Rada ya tatu (3) ya Hali ya Hewa: Hatua iliyofikiwa ni:

kusainiwa kwa mkataba wa ununuzi wa rada ya hali ya hewa na kufanya

malipo ya awali. Aidha, eneo kwa ajili ya kufunga rada limepatikana huko

Mikindani, Mtwara na malipo ya fidia kwa wananchi waliopisha eneo la mradi

yamefanyika.

Page 64: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 59

(f) Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

(i) Mfumo wa Anuani za Makazi na Postikodi: Hatua iliyofikiwa ni: kuanza

kuweka nguzo zenye majina ya barabara/mitaa, namba za vibao vya nyumba

na kuanza maandalizi ya kujenga uelewa kwa wananchi kuhusu matumizi ya

mfumo katika kata 48 za halmashauri za majiji ya Dodoma, Mwanza na

Tanga, manispaa za Ilemela, Shinyanga, Morogoro na Moshi, wilaya za

Chamwino, Chato na Bahi na miji ya Geita na Kibaha; kuendelea na taratibu

za manunuzi kwa ajili ya kuweka miundombinu ya mfumo katika mji wa

Serikali na kuweka vibao vyenye namba za nyumba katika halmashauri 12 za

majiji ya Dodoma, Mwanza na Tanga, manispaa za Ilemela, Shinyanga,

Morogoro na Moshi, wilaya za Chamwino, Chato na Bahi na miji ya Geita na

Kibaha.

(ii) Ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano: Hatua iliyofikiwa ni:

kukamilika kwa ujenzi wa vituo sita (6) vya kutolea huduma za Mkongo wa

Taifa katika maeneo ya Tukuyu, Kibaha, Kahama, Ifakara, Kidatu na Mafinga;

kukamilika kwa taratibu za kumpata mshauri mwelekezi wa kusanifu majengo

ya vituo vya data katika maeneo ya Doma na Zanzibar; maunganisho ya vifaa

vya „video conference‟ kwa „sites‟ 12 zilizounganishwa katika mkongo wa

Taifa na mtandao wa TTCL kwa mikoa yote 26 ya Tanzania bara na

Zanzibar yamekamilika na vituo hivyo vinafanya kazi.

(iii) Ujenzi wa Kituo cha Kutengeneza Vifaa vya TEHAMA: kuandaliwa kwa

andiko la uanzishaji wa kituo cha kutengeneza programu za kompyuta

pamoja na Softcenter Operationalization Guide kwa ajili ya hatua za

utekelezaji.

(g) Nishati

Miradi ya Kufua Umeme

(i) Mradi wa Kinyerezi I Extension – MW 185: Hatua iliyofikiwa ni: kuanza

kufungwa kwa mitambo minne (4) katika eneo la mradi; kukamilika kwa

upanuzi wa kituo cha kupoza umeme cha Kinyerezi I kV 220; na kuendelea

na upanuzi wa njia ya msongo wa kV 132 kutoka Kinyerezi I hadi kituo cha

kupoza umeme cha Gongo la Mboto.

(ii) Mradi wa Kufua Umeme wa Rusumo MW 80: Hatua iliyofikiwa ni:

kukamilika kwa ujenzi wa barabara za kuingia eneo la mradi; kukamilika kwa

ujenzi wa kikinga maji; kukamilika kwa ujenzi wa nyumba za watumishi wa

mradi; na kukamilika kwa uchimbaji wa eneo la kufunga mitambo.

(iii) Mradi wa Kufua Umeme Mtwara MW 300 kwa kutumia Gesi Asilia: Hatua

iliyofikiwa ni kukamilika kwa upembuzi yakinifu wa kituo cha kuzalisha umeme

Page 65: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 60

na miundombinu wezeshi ya maji, barabara na gesi asilia.

(iv) Mradi wa Kakono - MW 87: Hatua iliyofikiwa ni: kukamilisha utafiti wa

kijiolojia na haidrolojia; kukamilisha usanifu wa awali wa mradi; kufanya

maandalizi ya zabuni kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa ujenzi; kuhuisha

tathmini ya athari za mazingira na kijamii na kukamilisha mpango wa

kuhamisha wananchi wanaopisha ujenzi wa mradi.

(v) Umeme wa Jotoardhi – Ngozi (Mbeya): Hatua iliyofikiwa ni: kuajiriwa kwa

Mtaalam Mshauri kwa ajili ya kuandaa mpango na kusimamia uchorongaji;

kuendelea na taratibu za ununuzi wa mtambo wa uchorongaji wa visima vya

utafiti; na maandalizi ya upimaji na uthamini wa ardhi hitajika kwa ajili ya

uchorongaji.

Miradi ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme

(i) Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 220 Makambako –

Songea: Hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa njia ya kusafirisha umeme yenye

urefu wa km 250 pamoja na vituo vitatu vya kupoza umeme vya Makambako,

Madaba na Songea. Aidha, kupitia mradi huu mikoa ya Njombe na Ruvuma

iliunganishwa rasmi katika Gridi ya Taifa. Kazi zinazoendelea ni kusambaza

umeme kwenye vijiji ambapo ujenzi wa miundombinu ya usambazaji umeme

katika vijiji 112 kati ya 122 imekamilika.

(ii) Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 400 - North West Grid

(Iringa - Mbeya - Sumbawanga - Mpanda - Kigoma - Nyakanazi): Hatua

iliyofikiwa ni: kuendelea na uthamini wa mali kwa wananchi watakaopisha

mradi pamoja na taratibu za kumpata mkandarasi wa mradi kwa sehemu ya

Iringa - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga (km 624); kupatikana kwa Mtaalam

Mshauri wa kusimamia ujenzi wa mradi, uthamini wa mali zitakazoathiriwa na

kupata eneo la kujenga kituo cha kupoza umeme Kidahwe mkoani Kigoma

kwa sehemu ya Nyakanazi - Kigoma (km 280); na kuendelea na majadiliano

kati Serikali na wafadhili kwa sehemu ya Sumbawanga - Mpanda - Kigoma

(km 480).

(iii) Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 220 Geita – Nyakanazi

(North West Grid): Hatua iliyofikiwa ni: kupatikana kwa mkandarasi;

kukamilika kwa uhakiki wa mali za wananchi watakaopisha mradi na kuanza

kulipa fidia.

(iv) Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa Kv 400 Singida – Arusha -

Namanga: Hatua iliyofikiwa ni: kulipa fidia na kuanza shughuli za ujenzi wa

mradi;

(v) Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 220 Bulyanhulu – Geita:

Hatua iliyofikiwa ni: kupatikana kwa mkandarasi wa ujenzi wa njia ya

kusafirisha umeme; kuanza ujenzi wa kituo cha kupoza umeme; kupatikana

Page 66: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 61

kwa mkandarasi wa usambazaji umeme vijijini; na kulipa fidia kwa wananchi

wanaopisha mradi.

(vi) Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu ya Tatu (REA –

III): Hatua iliyofikiwa ni: kuunganishwa umeme katika vijiji 5,109 ambapo,

taasisi za elimu 3,165, maeneo ya biashara 3,451, pampu za maji 210, taasisi

za afya 1,211 na nyumba za ibada 984 zimefikishiwa umeme

B. Ardhi na Maeneo ya Uwekezaji na Biashara

(a) Programu ya Umilikishaji wa Ardhi

Hatua iliyofikiwa ni: kupimwa kwa vipande vya ardhi na kuandaa Hati za hakimiliki ya

Kimila(CCROs) katika vijiji 109 vya Wilaya ya Kilombero (56), Ulanga (37) na Malinyi

(16); Kuhakikiwa na kupimwa kwa jumla ya vipande vya ardhi 178,980 kwa ajili ya

kuandaa Hati za Hakimiliki ya Kimila katika wilaya za Kilombero (61,530), Ulanga

(65,143) na Malinyi (52,307); kuandaliwa kwa jumla ya hati za hakimiliki ya Kimila

118,538 katika wilaya za Kilombero (56,680), Ulanga (37,353) na malinyi (24,501);

Kuandaliwa kwa mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji 79 katika wilaya Kilombero

(41), Ulanga (23) na Malinyi (15) na kuandaliwa kwa mipango ya kina ya makazi ya

vijiji 66 katika wilaya za Kilombero (28), Ulanga (20) na Malinyi (18); Kuendelea na

ujenzi wa ofisi za ardhi za Wilaya ya Kilombero, Ulanga na Malinyi uliofikia asilimia

50; na kuwezeshwa kwa vijiji 44 kukamilisha ujenzi wa masijala za ardhi katika

Wilaya za Kilombero (18), Ulanga (14) na Malinyi (12).

(b) Programu ya Kupanga na Kupima Ardhi

Hatua iliyofikiwa ni: Rasimu ya Mpango Kabambe wa jiji la Dodoma (Dodoma Master

Plan) imeandaliwa kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI. Mpango huu

umeanisha matumizi mbalimbali ya ardhi yakiwemo ujenzi wa ofisi za Serikali eneo

la Ihumwa, jijini Dodoma; Rasimu ya Mpango Kabambe wa jiji la Dar es Salaam

imekamilika kwa sasa uko katika hatua ya kusikilizwa na wadau; na Shilingi bilioni

6.28 za ndani zimetolewa kwa ajili ya upangaji, upimaji na umilikishaji ardhi katika

Halmashauri 24.

(c) Mradi wa Kuimarisha Mipaka ya Kimataifa

Hatua iliyofikiwa ni: Mpaka wa Tanzania na Kenya: Kikao cha majadiliano cha

ngazi ya Wataalam (JTC) kimefanyika. Kikao hicho kilichofanyika nchini Kenya

kimeandaa mpangokazi wa kazi zilizobaki katika km 238 na kuendelea na

uimarishaji wa awamu inayofuata ya km 110; Maandalizi ya kufanya kazi ya

mahesabu na uchakataji wa alama (pillars) na picha za anga (Aerial Triangulation)

yamekamilika; na Kukagua kazi ya uwekaji wa alama za mipaka (pillars) zilizowekwa

katika kipande cha mpaka cha km 172; Mpaka wa Tanzania na Uganda:

Page 67: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 62

Kukamilika kwa maandalizi ya kuendelea na uimarishaji wa km 149; na Mpaka wa

Tanzania na Zambia: Maandalizi ya kuendelea na uimarishaji wa km 120 za nchi

kavu na 56 za kwenye maji yamekamilika.

(d) Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi

Hatua iliyofikiwa ni: Mfumo Unganishi wa Taarifa za Ardhi umeanzishwa kwa lengo

la kuboresha utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka za ardhi kwa njia ya kielektroniki,

kurahisisha utendaji kazi, kuharakisha mchakato wa utoaji milki na kuongeza mapato

ya Serikali. Mfumo huu umeanza kufanya kazi katika ofisi za Ardhi za Kanda ya Dar

es Salaam na ofisi za Ardhi za Manispaa ya Kinondoni na Ubungo kwa kubadilisha

kumbukumbu za ardhi zikiwemo ramani na hatimilki za ardhi zilizokuwa katika

mfumo wa analogia kuwa dijitali.

(e) Mradi wa Mikopo ya Nyumba

Hatua iliyofikiwa ni: Kupitia Mradi wa Mikopo ya Nyumba unaosimamiwa na Benki

Kuu ya Tanzania, Idadi ya mabenki na taasisi za fedha zinazotoa mikopo ya nyumba

zimeongezeka na kufikia 31. Jumla ya wananchi 4,174 wamenufaika na mikopo

inayotolewa na benki na taasisi hizo za fedha. Aidha, Mfuko wa Mikopo Midogo

Midogo ya Nyumba ulio chini ya Benki Kuu umeongezewa mtaji wa dola za Marekani

milioni 18 ambapo taasisi za fedha tano (5) zimepatiwa mtaji wa shilingi bilioni 13.87

kwa ajili ya kukopesha wananchi wa kipato cha chini kwa masharti nafuu. Vifaa vya

upimaji vya kisasa vyenye jumla ya shilingi bilioni 3 vimenunuliwa na kupelekwa

kwenye Kanda kwa ajili ya matumizi kwenye Halmashauri husika.

C. Huduma za Fedha

(a) Benki ya Maendeleo TIB

Hatua iliyofikiwa ni: Benki ya Maendeleo ya Tanzania ya TIB – DFI imefanikiwa

kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 634.58; kuongezeka kwa mapato ya

benki kufikia shilingi bilioni 46.41; kupatikana kwa faida ya shilingi milioni 499.88; na

kukusanywa kwa marejesho ya mkopo yenye thamani ya shilingi bilioni 62.72. aidha,

kwa upande wa TIB Corparate Bank – TIB shughuli zilizotekelezwa ni: kutolewa kwa

mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 6.1 kwa ajili ya ununuzi wa Pamba; shilingi

bilioni 6.9 kwa ajili ya ununuzi wa kahawa; na kuidhinishwa kwa mikopo yenye

thamani ya shilingi 68.7 kwa sekta mbalimbali za uchumi.

(b) Benki ya Maendeleo ya Kilimo - TADB

Shughuli zilizotekelezwa ni: kutolewa kwa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni

73.9 na kufanya jumla ya mikopo iliyotolewa kwa wakulima kufika shilingi bilioni

113.07. Mikopo hii imewanufaisha wakulima 1,266,374 wa mahindi, mpunga,

mtama, alizeti, michikichi, korosho, kahawa, pamba, miwa, matunda na

Page 68: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 63

mbogamboga, ufugaji wa ng‟ombe wa maziwa na nyama, kuku, samaki, na nyuki wa

asali katika mikoa mbalimbali nchini. Kati ya mikopo iliyotolewa, kiasi cha shilingi

bilioni 10.9 zilitolewa kwa ajili ya kuendeleza miradi kumi na tatu (13) ya viwanda

vya uchakataji wa mazao; shilingi bilioni 10.4 kwa ajili ya miradi ya umwagiliaji; na

shilingi bilioni 3,4 kwa ajili ya kilimo cha kisasa cha zao la pamba na mpunga. Benki

imeendelea kutoa mafunzo ya ujasiriamali ambapo jumla ya wakulima wadogo 7,519

walipatiwa mafunzo. Aidha, benki inasimamia Mfuko wa Dhamana kwa Wakulima

Wadogo (Smallholder Farmers Credit Guarantee Scheme - SCGS) ambapo mfuko

wa SCGS umetoa udhamini uliowezesha mabenki ya biashara kutoa mikopo ya

jumla ya shilingi bilioni 5.2 kwa wakulima wadogo 925.

D. Utalii, Biashara na Masoko

(a) Utalii

(i) Sekta Ndogo ya Utalii: shughuli zilizotekelezwa ni: utambulisho wa vivutio

vya utalii vilivyopo Tanzania (Tanzania Destination Branding) ambao una kauli mbiu

ya ‘Tanzania Unforgettable’; uanzishwaji wa chaneli maalumu ya Tanzania Safari

kwa ajili ya kutangaza utalii nchini inayoratibiwa na TBC; uanzishwaji wa

maadhimisho ya kuenzi utamaduni wa Mtanzania (Tanzania Heritage Month)

yaliyofanyika katika mikoa minne (Dodoma, Arusha, Manyara, na Dar es salaam) ya

Tanzania Bara na Zanzibar; na uanzishwaji wa safari za basi la kitalii katika Jiji la

Dar es salaam. Aidha, serikali imefanya maonesho katika nchi 13 za Uingereza,

Ujerumani, Ufaransa, Rwanda, Kenya, Kanada, China, Uholanzi, India, Hispania,

Ubeligiji, Israeli na Falme za Kiarabu. Kupitia maonesho hayo idadi ya watalii

walioingia nchini imeongezeka kutoka 1,327,143 mwaka 2017 hadi kufikia watalii

1,505,702 mwaka 2018.

Serikali imeendelea kuboresha miundombinu wezeshi kwa ajili ya kuendeleza utalii

ambapo jumla ya ofisi sita na vituo 15 vya ulinzi vimejengwa katika hifadhi za

mazingira asilia za Chome, Magamba, Mlima Rungwe, Mkingu, Minziro, na

Udzungwa Scarp. Aidha, barabara zenye urefu wa kilometa 89.6 na njia za

kutembea watalii zenye urefu wa kilometa 102.6 zimesafishwa katika misitu hiyo.

Vilevile, ujenzi wa ngazi yenye mita 183 kuelekea kwenye maporomoko ya Kalambo

umefanyika. Pia, kambi 11 za kupumzikia wageni zimesafishwa katika misitu saba

ya hifadhi za asilia za Mlima Hanang, Rungwe, Udzungwa, Uluguru, Kimboza,

Rondo na Kilombero.

(ii) Mradi wa Uendelezaji wa Utalii katika Ukanda wa Kusini – REGROW:

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ununuzi wa vifaa na samani kwa ajili ya ofisi za

mradi; kutolewa kwa ushauri elekezi kuhusu mazao ya utalii katika jamii na utafiti

Page 69: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 64

kuhusu hali ya kijamii na kiuchumi katika jamii zinazozunguka maeneo

yaliyohifadhiwa katika ukanda wa kusini; na kukamilika kwa zoezi la ufuatiliaji

maeneo ya Mbarali na Pori la Akiba la Selous.

(b) Biashara

(i) Mradi wa Kukuza Shughuli za Kibiashara katika Jumuiya ya Maendeleo

ya Nchi za Kusini mwa Afrika – SADC

Shughuli zilizotekelezwa ni: ununuzi wa mashine maalam ya kupima mafuta ya kula;

vifaa vya maabara kwa ajili ya Shirika la Viwango Tanzania - TBS; vifaa vya

maabara kwa ajili ya Wizara ya Kilimo; na kuandaliwa kwa kitabu cha Mwongozo wa

Mauzo Nje.

(ii) Uboreshaji wa Mazingira ya Kufanyia Biashara Nchini: hatua iliyofikiwa ni

kuondolewa kwa vikwazo mbalimbali vya biashara ikiwemo vya kikodi ambapo jumla

ya tozo 1,010 katika sekta za kilimo, mifugo na uvuvi zimeondolewa na 4

kupunguzwa.

Shughuli nyingine zilizotekelezwa ni: kupatiwa mafunzo kwa wajasiriamali 6,336 ya

kuwajengea uwezo wa kuongeza thamani katika sekta za kilimo, uzalishaji, ujenzi na

madini katika kanda tatu za Arusha (Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Singida na

Tanga), Morogoro (Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro na Songwe) na Mtwara (Dar

es Salaam, Lindi, Mtwara na Pwani); uhamasishaji wa matumizi ya mfumo wa

stakabadhi ghalani; utoaji elimu kwa wafanyabiashara kuhusu fursa na taratibu za

kufanya biashara, uimarishaji wa mifumo ya taarifa pamoja na ukusanyaji wa taarifa

za masoko na utafiti; na kuondolewa kwa vikwazo 45 visivyo vya kibiashara kati ya

62. Aidha, mfumo wa upatikanaji wa huduma kwa njia ya kieletroniki mahali pamoja

(Eletronic One Stop Shop) umewezesha kusajiliwa kwa kampuni 6,918, majina ya

biashara 11,382 na leseni za viwanda 166.

(c) Masoko

Hatua iliyofikiwa ni: kuendelea kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani kwa mazao

ya korosho, mahindi na mpunga katika maghala yaliyosajiliwa; na kutengwa kwa

maeneo ya masoko ya mipakani katika mikoa ya Kagera, Mara, Mtwara, Ruvuma,

Kigoma, Rukwa, Mbeya, Tanga, Kilimanjaro na Arusha.

Page 70: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 65

3.2.2.5. Kuimarisha Usimamizi wa Utekelezaji wa Mpango

A. Utawala Bora na Utawala wa Sheria

(a) Kuharakisha Azma ya Serikali Kuu Kuhamia Dodoma

Hatua iliyofikiwa ni: kuhamishwa kwa jumla ya watumishi 8,883 wa Wizara na

Taasisi za Serikali kwenda Makao Makuu ya Serikali, Dodoma; kukamilisha ujenzi

wa majengo ya Ofisi za Serikali katika mji wa Serikali; kukabidhiwa hati 64 za umiliki

wa viwanja kwa mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini kwa ajili ya ujenzi wa

Ofisi za balozi; kupitishwa kwa Sheria ya kulitangaza jiji la Dodoma kuwa Makao

Makuu ya Nchi; kuongeza kasi ya upimaji wa maeneo ili kuhakikisha uendelezaji

unazingatia sheria ya mipango miji; kuendelea na ujenzi wa barabara za lami na

changarawe katika maeneo ya Dodoma ikiwemo Mji wa Serikali; na kuendelea

kufanya mapitio ya Mpango Kabambe wa jiji la Dodoma ili kuandaa Mpango

Kabambe ambao utakidhi na kuendana na uendelezaji wa Makao Makuu ya nchi.

(b) Mfuko wa Bunge

Hatua iliyofikiwa ni: Kuendelea na ujenzi wa nyumba ya makazi ya Katibu wa Bunge

– Dodoma; Kufanyika kwa ukarabati wa majengo ya Bunge ikiwa ni pamoja na

usimikaji wa lift paa katika jengo la Utawala; kufanyika kwa malipo ya awali kwa ajili

ya kuwezesha ununuzi wa mitambo ya usalama kwenye ukumbi wa Bunge;

Kuwajengea uwezo Wabunge na watumishi kupitia mafunzo mbalimbali ili

kuwawezesha kutekeleza majukumu yao.

(c) Utoaji Haki na Huduma za Kisheria

Hatua iliyofikiwa ni: kujenga mifumo ya kielektroniki ya kusajili na kuratibu mashauri

yanayosajiliwa Mahakamani, Mfumo wa kusajili na kuratibu shughuli za mawakili na

Mfumo wa utambuzi wa mahitaji ya mahakama (court mapping); Ujenzi wa majengo

ya mahakama kuu katika mikoa ya Kigoma na Mara; Ukarabati wa nyumba tatu za

majaji katika mkoa wa Mtwara; ujenzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi katika Mkoa

wa Manyara; Ujenzi wa mahakama 5 za Wilaya (Kilwa, Ruangwa, Bukombe, Geita

na Chato); Kuendelea kwa ujenzi wa Mahakama 4 za Hakimu Mkazi na Mahakama

11 za wilaya; Kuanzishwa kwa mahakama maalum zinazotembea na kuweza

kusogeza huduma za mahakama karibu na wananchi hususan walio katika sehemu

zisizo na huduma ya mahakama; naKununuliwa kwa magari mawili yatakayotumika

kutoa huduma katika mikoa ya Dar es Salaam, Wilaya ya Kindondoni (Bunju),

Wilaya ya Ilala (Chanika), Wilaya ya Temeke (Buza) na Wilaya ya Ubungo

(Kibamba); na Mkoa wa Mwanza, Wilaya ya Ilemela (Nyegezi) katika awamu ya

kwanza ya majaribio.

Page 71: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 66

(d) UNICEF Support to Multisectoral

Kazi zilizotekelezwa ni pamoja na: Kuimarisha shughuli za usajili wa vizazi, vifo,

ndoa, talaka na watoto wa kuasili ikiwa ni haki ya msingi ya utambuzi wa binadamu

na upatikanaji wa takwimu kwa ajili ya maendeleo; kusajiliwa kwa vizazi 1,271,372;

vifo 28,285; ndoa 26,953; talaka 122 na hati 28 za watoto wa kuasili; kuongezeka

kiwango cha usajili kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano kutoka asilimia 13,

kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 38 kwa mwaka

2018/2019; na kuendelea na usimamizi wa mirathi, usajili wa bodi za wadhamini,

uandishi na uhifadhi wa wosia ambapo wosia 38 zimeandikwa na kuhifidhiwa katika

kipindi cha 2018/2019.

(e) Access to Justice and Human Rights

Kazi zilizotekelezwa ni pamoja na: kuendelea kubuni na kutekeleza mikakati kadhaa

kwa kutunga na kurekebisha sheria pamoja na kanuni zake; kuendesha tafiti za

kisheria; kutoa elimu kwa umma kuhusu haki za binadamu na za kiraia; kupokea na

kufanyia uchunguzi malalamiko ya wananchi yanayohusu ukiukwaji wa Haki za

Binadamu na misingi ya Utawala Bora; kutengeneza mfumo jumuishi wa kukusanya,

kuchambua na kuhifadhi takwimu muhimu zinazohusu sekta ndogo ya haki jinai

ambao umejadiliwa na kutolewa maoni na wadau mbalimbali, kwa sasa unaendelea

kufanyiwa majaribio; kuandaliwa kwa Mpango Kazi wa Pili wa Kitaifa wa Haki za

Binadamu kwa kipindi cha mwaka 2018/19 hadi 2022/23 kulinda, kukuza na

kuhifadhi haki za Binadamu wakati Serikali inapotekeleza majukumu yake;

kutungwa kwa Sheria ya Msaada wa Kisheria ya mwaka 2017 na kanuni zake na

kupitishwa kwa Mkakati wa Kitaifa kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa

mwaka 2017 hadi 2021 wenye lengo la kuhakikisha kuwa haki za wanawake, watoto

na watu wenye ulemavu zinalindwa na kudumishwa; na kutolewa kwa muongozo

unaoelekeza mashauri yote yanayohusu wanawake, watoto, wazee na watu wenye

ulemavu kumalizika ndani ya muda mfupi usiozidi miezi sita.

(f) Vitambulisho vya Taifa

Hatua iliyofikiwa ni: kusajili na kutambua raia wa Tanzania, wageni wakaazi pamoja

na wakimbizi wapatao 19,648,857 wenye umri wa Miaka 18 sawa na lengo la

asilimia 82 la kusajili wananchi wapatao milioni 24,295,468; vitambulisho 4,850,724

vimechapishwa ambapo viambulisho 4,503,769 vimetolewa kwa wananchi;

kuunganishwa kwa Ofisi ya Wilaya ya Mbinga na Busega na mtandao wa

mawasilianao na makao na makao makuu kupitia Mkongo wa Taifa chini ya Shirika

la Mawasiliano Tanzania (TTCL) na hivyo kufikisha ofisi 119 nchi nzima; kutolewa

kwa vitambuliso 1,000,000 kwa wajasiriamali wadogo; na kuunganishwa kwa jumla

ya taasisi 45 za serikali na binafsi katika mfumo wa usajili na utambuzi.

Page 72: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 67

(g) Mradi wa Mfuko wa Mahakama

(i) Kukamilika kwa michoro ya ujenzi na tathmini ya gharama kwa ajili ya Makao

Makuu ya Mahakama ya Tanzania - Dodoma katika eneo la NCC, Kitalu D

Kiwanja Na. 1. Aidha, michoro hiyo na tahthmini ya gharama vimewasilishwa

Ofisi ya Waziri Mkuu kwa ajili ya kupata idhini ya kuanza ujenzi;

(ii) Ujenzi wa majengo ya Mahakama Kuu upo katika hatua za mwisho

kukamilika ambapo Kigoma na Mara umefikia asilimia 80;

(iii) Ujenzi wa Mahakama za Wilaya za Bukombe, Bunda, Chato, Kasulu, Kilindi,

Kondoa, Sikonge, Rungwe, Loliondo, Kilwa na Ruangwa umekamilika;

(iv) Katika kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika utoaji wa huduma za kisheria

kazi zilizofanyika ni kukamilika kwa uboreshaji wa mfumo wa ukusanyaji wa

takwimu (Judicial Statistical Dashbord System). Mfumo huu unatumika kusajili

mashauri, kuingiza taarifa muhimu za Wadaawa ikiwa ni pamoja na kutuma

taarifa kwa ujumbe mfupi (sms) kwa wadaawa kuhusu mwenendo wa

mashauri yao;

(v) Watumishi 183 (wanaume 113 na wanawake 70) walipata mafunzo katika

kada mbalimbali kupitia program ya Maboresho ya Huduma za Mahakama.

(vi) Kujenga mifumo ya kielektroniki katika kusajili na kuendesha mashauri

Mahakamani; na

(vii) Kuanza rasmi kutumika kwa mfumo wa kielektroniki wa uendeshaji wa

mashauri ulioboreshwa unaojulikana kama JSDS 2 katika Mahakama za

ngazi ya Wilaya hadi Mahakama ya Rufani.

3.2.2.6. Maeneo Mengine Muhimu kwa Ukuaji wa Uchumi na Ustawi na Taifa

A. Kuimarisha Ushiriki wa Sekta Binafsi

(a) Mradi wa Kuimarisha Ushindani wa Sekta Binafsi – Ardhi

Hatua iliyofikiwa ni kuendelea na: kukamilika kwa ujenzi wa ofisi ndogo mfumo wa

Intergrated Land Management Information System (ILMIS) katika halmashauri

nchini; ununuzi wa vifaa vya TEHAMA; na utoaji nyaraka za kielektroniki za ardhi.

(b) Viwanda

Sekta imeendelea kushiriki katika ujenzi wa viwanda ambapo katika kipindi cha 2015

hadi 2018, jumla ya viwanda 3,530 vilijengwa na kuanza uzalishaji. Kati ya hivyo

viwanda ambavyo vimeajiri watu zaidi ya 50 viko 61. Aidha, Serikali imeendelea

kuchukua hatua katika kuimarisha ushindani wa sekta binafsi ambapo mafanikio

yaliyopatikana ni pamoja na kukamilika/kuendelea kwa ujenzi wa viwanda

vinavyomilikiwa na sekta binafsi na mashirika ya umma ambavyo ni pamoja na:

(i) Kiwanda cha Lakairo Pipi Industries (Mwanza) ambacho kinajumuisha

Page 73: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 68

viwanda vitatu vya kuzalisha Pipi na Jojo; Steel wool; na vifungashio

(magunia). Kiwanda kimetoa ajira 120 za kudumu na 250 za muda mfupi na

kina uwezo wa kuzalisha tani 3.5 za magunia na tani 2 steel wool kwa siku.

(ii) Kiwanda cha usindikaji matunda cha Sayona Fruits Ltd (Pwani). Kiwanda

kilizinduliwa Julai 2018 na kuanza uzalishaji katika hatua za majairibio kwa

kusindika juisi ya embe na kutengeneza nyanya za pakti. Uwezo wa kiwanda

ni kusindika tani 3 za matunda kwa siku na kimetoa ajira 400 za kudumu.

(iii) Kiwanda cha kuzalisha vilainishi cha Lake Oil Lubricants (Dar es Salaam):

Kiwanda kilizinduliwa Septemba 2018, kina uwezo wa kuzalisha vilainishi lita

300 kwa siku na kimetoa ajira 76 za kudumu.

(iv) Kiwanda cha Kubangua Korosho cha Terra Cashew Processing Ltd (Pwani):

kiwanda kilizinduliwa Agosti 2018 na kina uwezo wa kubangua tani 9 za

korosho kwa siku. Aidha, kiwanda kimetoa ajira za kudumu 27 na ajira za

muda mfupi 126.

(v) Kiwanda cha kuzalisha Gypsum board cha San Hao Co.Ltd (Pwani): kiwanda

kilianza uzalishaji mwaka 2018 na kimetoa ajira za kududmu zaidi ya 60.

(vi) Kiwanda cha kutengeneza maji safi ya kunywa cha Hill Packaging Limited

(Pwani): kiwanda kilizinduliwa Septemba 2018 na kimetoa ajira za kudumu

378 na za muda mfupi 96.

(vii) Kiwanda cha kutengeneza sabuni ya unga na detergents cha Keds (T)

Company Ltd - Keds Washing Powder Detergents (Pwani): kiwanda kina

uwezo wa kutoa ajira zaidi ya 100 za kudumu.

(viii) Kiwanda cha Galaxy Food and Beverage Limited (Jijini Arusha). Kiwanda

kinasindika maziwa lita 75,000 kwa siku na kimeajiri jumla ya wafanyakazi 30.

Gharama za uwekezaji wa kiwanda hicho ni Dola za Marekani milioni 2.5

sawa na shilingi bilioni 5.7. Kiwanda hicho kimeanza uzalishaji wa maziwa

aina ya Kilimanjaro fresh kwa kiwango cha UHT.

(ix) Upanuzi wa kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ngozi cha Gereza la Karanga ili

kuongeza uzalishaji wake kutoka jozi 150 hadi kufikia jozi 400 za viatu kwa

siku. Uboreshaji huu umekamilika.

(x) Viwanda vinavyojengwa ndani ya Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo

(Bagamoyo – SEZ):

(xi) Kiwanda cha Africa Dragon Enterprises Limited kinachozalishaji vifaa vya

ujenzi (Color coated steel coils). Kiwanda hiki kimeanza uzalishaji.

Viwanda vingine vilivyo katika hatua mbalimbali za ujenzi ni pamoja na:

(i) Kiwanda cha kusindika zao la muhogo cha Fjs African Starch Development

Ltd (Pwani): kiwanda kinatarajia kutoa ajira zaidi ya 180 pindi kitakapoanza

uzalishaji.

(ii) Ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kuzalisha chanjo za mifugo cha Hester

Page 74: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 69

Bioscience Africa Limited - Kibaha. Kiwanda kitazalisha aina 27 za chanjo

zinazoagizwa kutoka nje ya nchi kwa sasa. Gharama za uwekezaji wa

kiwanda ni Dola za Marekani milioni 18 sawa na Shilingi bilioni 41.

(iii) Kiwanda cha TAN CHOICE (Kibaha – Pwani). Kiwanda kina uwezo wa

kuchinja na kuchakata ng‟ombe 1000 na mbuzi/kondoo 4,500 kwa siku.

Uwekezaji wa kiwanda ni Dola za Marekani milioni 5.5 sawa na shilingi bilioni

12.5. Kiwanda kinatarajiwa kutoa ajira zaidi ya 500.

(iv) Kiwanda cha Elia Food and Overseas Ltd (Longido). Kiwanda kina uwezo wa

kuchakata ng‟ombe 400 na mbuzi/kondoo 2000 kwa siku. Ujenzi wa kiwanda

unagharimu jumla ya Dola za Marekani milioni 5 sawa na Shilingi bilioni 11.3.

Kiwanda kinatarajiwa kutoa ajira zaidi ya 200.

(v) Viwanda vinavyojengwa ndani ya Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo

(Bagamoyo – SEZ) ni kama ifuatavyo:

Kiwanda cha Seif For Tobacco Trade Limited kinachotarajia kuzalisha

bidhaa za Tumbaku pamoja na Sigara. Kiwanda hiki kipo katika hatua za

ujenzi.

Kiwanda cha Fujian Hexingwang Industry Company Limited

kinachotarajiwa kuzalisha vifaa vya ujenzi na kipo katika hatua ya ujenzi.

Kiwanda cha Siparcoci International Limited kitakachojishughulisha na

uzalishaji wa vipodozi (cosmetics) na kipo katika hatua za ujenzi.

Kiwanda cha uzalishaji wa vifaa vya ujenzi cha Hua Teng Metallurgical

Company Limited.

Kiwanda cha uzalishaji wa vifungashio (packaging materials) cha Wegmar

Packing Limited.

Kiwanda cha uzalishaji wa Juisi cha Jambo Food Products Limited.

Kiwanda cha uzalishaji wa bidhaa za ngozi (Leather and Leather products)

cha Phiss Tannery Limited.

Kiwanda cha uzalishaji wa mifuko ya saruji (cement bags) cha Tube

Limited.

Kiwanda cha kuchakata taka za kibiologia (biological waste management)

cha Ramky Tanzania Limited.

Kiwanda cha kuchakata bidhaa za nyama cha Tanfroz Limited kilichopo.

B. Miradi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi

Serikali imeendelea kutoa elimu kwa wadau mbalimbali kuhusiana na uibuaji wa

miradi ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi ambapo imechangia

kuongezeka kwa miradi ya ubia. Aidha, Sheria ya PPP imefanyiwa marekebisho

ambayo yamesasadia kuleta mafanikio mbalimbali yakiwemo kundaliwa kwa Rasimu

ya mwongozo wa manunuzi wa miradi ya PPP; kuandaliwa kwa Rasimu ya Kanuni

za PPP za mwaka 2019 ya Sheria iliyorekebishwa; na kuwezesha Serikali za Mitaa

Page 75: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 70

kutekeleza miradi ya PPP. Vile vile, miradi mikubwa ya PPP iliyo katika hatua

mbalimbali za utekelezaji ni pamoja na:

(a) Mradi wa ujenzi wa reli ya Tanga – Arusha - Musoma pamoja na matawi

ya Engaruka na Minjingu kwa standard gauge: kukamilika kwa upembuzi

yakinifu na usanifu wa awali wa ujenzi wa reli na matawi yake; kupatikana

kwa Mshauri wa uwekezaji ambaye ataandaa upembuzi yakinifu Aidha,

majadiliano baina ya Serikali na Mshauri wa Uwekezaji yanaendelea;

(b) Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Mtwara – Mbamba Bay na Matawi ya

Mchuchuma na Liganga kwa Standard Gauge: Hatua iliyofikiwa ni

kusainiwa kwa mkataba baina ya Serikali na Mshauri wa Mwelekezi ambaye

anaendelea kufanya upembuzi yakinifu wa mradi ili kupata wawekezaji kwa

utaratibu wa ubia;

(c) Mradi wa Dawa Muhimu na Vifaa Tiba unaotekelezwa na Bohari kuu ya

madawa (MSD) katika Pwani, Mwanza na Mbeya: hatua iliyofikiwa ni

kukamilika kwa upembuzi yakinifu na kuendelea na utaratibu wa kumpata

mbia; na

(d) Mradi wa Kusambaza Gesi Asilia katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi

na Mtwara: hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa upembuzi yakinifu wa awali.

(e) Miradi miwili ya Ujenzi wa Hoteli ya Nyota Nne na Kituo cha Biashara katika

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julias Nyerere; kukamilika kwa

upembuzi yakinifu wa awali

(f) Miradi miwili ya ujenzi wa hosteli ya wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya

Biashara Kampasi ya Dar es Salaam na Dodoma; hatua iliyofikiwa ni

kukamilika kwa andiko la awali

(g) Mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha Saratani Tanzania wa Taasisi ya

Ocean Road utakojengwa Mloganzila, Kibaha; kukamilika kwa andiko la

awali.

C. Mchango wa Serikali katika Kuimarisha Ushiriki wa Sekta Binafsi

Uhamasishaji wa ushiriki wa sekta binafsi katika utekelezaji wa Mpango wa

Maendeleo umefanikisha kusajiliwa kwa jumla ya miradi mipya 145 yenye thamani

ya dola za Marekani bilioni 1.84 na kuzalisha ajira mpya 15,491 kupitia Kituo cha

Uwekezaji – TIC. Kati ya miradi hiyo, miradi 104 sawa na asilimia 72 inamilikiwa na

wawekezaji wa ndani. Pamoja na mafanikio hayo, mikakati mbalimbali imeandaliwa

ili kuimarisha ushiriki wa sekta hiyo katika uwekezaji wa moja kwa moja au kwa

utaratibu wa ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi. Mikakati hiyo ni:

kuandaliwa kwa Mwongozo wa Kuboresha Mazingira ya Biashara; kuendelea na

ukamilishaji rasimu ya Sera ya Taifa ya Maendeleo ya Sekta Binafsi; kuendelea

kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu wezeshi ikijumuisha barabara, nishati ya

umeme, viwanja vya ndege, mawasiliano, reli na maji; kuendelea kutoa vivutio vya

Page 76: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 71

kipekee na vivutio vya kikodi kuvutia sekta binafsi kuwekeza katika maeneo ya

kipaumbele; kuendelea kuboresha majadiliano kati ya Serikali, sekta binafsi na

wawekezaji; kuendelea na maboresho ya kimifumo na kitaasisi; na kurekebishwa

kwa Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi ili kuondoa changamoto

za utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia utaratibu wa ubia.

D. Uwekezaji wa Mashirika na Taasisi za Umma

Serikali imeendelea kusimamia uwekezaji wa Taasisi na Mashirika ya Umma

ambapo uwekezaji wa mtaji umekua kwa asilimia 13.7 kutoka Shilingi billioni

48,530.72 kwa mwaka 2016/17 hadi Shilingi bilioni 55,178.3 kwa mwaka 2017/18

kwa Taasisi na Mashirika ya Umma yaliyopo nchini; Uwekezaji wa Serikali katika

Taasisi za Nje umekua kwa asilimia 9.63 kutoka Shilingi bilioni 529.8 kwa mwaka

2016/17 hadi Shilingi bilioni 580.8 kwa mwaka 2017/18; hivyo kuongeza kwa mapato

yatokanayo na Taasisi na Mashirika ya Umma.

Vile vile, katika kuwachukulia hatua wawekezaji waliokiuka masharti ya mikataba ya

mauziano Serikali imerejesha jumla ya viwanda 12 ambavyo havifanyi kazi. Viwanda

26 vimepewa taarifa ya kusudio la kuvirejesha katika umiliki wa Serikali baada ya

kukiuka masharti ya mkataba. Aidha, Serikali imeendelea na jitihada za kutafuta

wawekezaji mahiri ili viwanda vilivyorejeshwa Serikalini viweze kuendelezwa.

Sambamba na hatua hiyo, Serikali imeandaa “Information Memorandum” (Company

Profile) ili kutoa taswira halisi ya viwanda na fursa zilizopo. Aidha, viwanda vya Utegi

Dairy Farm, kiwanda cha Chai Mponde na Lindi Cashew nuts vimepata wawekezaji.

3.2.3. Miradi Iliyofuatiliwa katika Mwaka 2018/19

A. Hatua za Utekelezaji

Mwaka 2018/19, Serikali ilifuatilia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo

inayotekelezwa na sekta ya Umma na Binafsi. Jumla ya miradi 102 ilifuatiliwa katika

sekta za Maji, Uchukuzi, Sheria, Madini, Ujenzi, Uvuvi, Nishati, Viwanda, Afya,

Kilimo, na Elimu katika mikoa ya Simiyu, Mara, Kigoma, Kagera, Rukwa, Mtwara,

Dar es Salaam, Lindi, Pwani, Ruvuma, Morogoro, Njombe na Katavi. Baadhi ya

miradi ya maendeleo iliyofuatiliwa ni kama ifuatavyo:

(a) Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa - Simiyu

Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje la Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Simiyu

ulianza Novemba 2015 na kukamilika Mei 2018. Huduma zinazotolewa na Hospitali

kwa sasa ni pamoja na: huduma za wagonjwa wa nje; huduma za dharura; huduma

za ustawi wa jamii; huduma za maabara kwa vipimo vya kawaida ikiwemo malaria,

wingi wa damu, sukari na VVU. Serikali inaendelea na ujenzi wa: jengo la uchunguzi

Page 77: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 72

litakalokuwa na huduma za mionzi; Maabara; na kichomea taka hatarishi za

hospitali.

Mwonekano wa Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simiyu

(b) Ujenzi wa Bomba la Maji Lagangabilili – Itilima - Simiyu

Utekelezaji wa mradi ulianza Juni 2017 na umekamilika kwa asilimia 98 ambapo

shughuli zilizofanyika ni: ujenzi wa tenki la juu la kuhifadhi maji lenye ujazo wa lita

225,000, vituo 21 vya kuchotea maji; kulaza bomba kuu lenye jumla ya mita 1,760

linalopeleka maji kwenye tenki; kulaza mtandao wa bomba za kusambaza maji

zenye jumla ya urefu wa mita 29,000; kununua na kufunga pampu moja ya

kusukuma maji kwenye chanzo cha kisima kirefu; na ujenzi wa njia ya umeme ili

kuunganisha umeme katika kituo cha pampu ya kisima kirefu chenye uwezo wa

kuzalisha maji lita 18,000 kwa saa (sawa na lita 432,000 kwa siku). Mradi

unahudumia wananchi wapatao 2,212.

(c) Ujenzi wa Barabara ya Mwigumbi – Maswa – Bariadi – Lamadi sehemu

ya Maswa – Bariadi (km 49.7) - Simiyu

Mradi wa ujenzi wa Barabara ya Maswa – Bariadi yenye urefu wa km 49.7 kwa

kiwango cha lami ni sehemu ya ujenzi wa Barabara inayoanzia Mwigumbi – Maswa

Page 78: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 73

– Bariadi – Lamadi yenye urefu wa km 171.8. Utekelezaji wa mradi ulianza Oktoba

2017 na unatarajiwa kukamilika Oktoba 2019. Mradi unatekelezwa na Kampuni ya

CHICO ya China na Mhandisi Msimamizi ni Kampuni ya DOCH Ltd ya Tanzania.

Utekelezaji wa mradi unaendelea ambapo hatua iliyofikiwa ni: ujenzi wa pipe culvert

57, box culvert 10 kati ya 12; na kuendelea na ujenzi wa madaraja makubwa 2 katika

mito ya Simiyu na Banya.

(d) Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya - Serengeti (Mara)

Mradi unalenga kusogeza huduma muhimu za afya bora kwa wananchi wa

Serengeti na maeneo jirani. Aidha, hospitali hii itatoa huduma kwa watalii

wanaotembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti. Mradi unahusisha ujenzi wa

majengo ya wagonjwa wa nje, mama na mtoto, magonjwa yasiyopewa kipaumbele,

na wodi za wanaume na wanawake. Shughuli zinazoendelea kwa sasa ni

ukamilishaji wa OPD, MCH na eneo la kupumzika wagonjwa na wasindikizaji wakati

wa kusubiri matibabu.

Taswira ya Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Serengeti-Mara

(e) Usimamizi Endelevu wa Rasilimali za Madini – Katavi

Mradi unahusisha ujenzi wa jengo la ofisi ya kituo cha umahiri lenye ghorofa moja

(1). Mkandarasi wa mradi ni SUMA JKT. Kituo hiki kitakapokamilika kitasimamia

shughuli za madini zikijumuisha kutoa mfunzo kwa wajasiriamali wadogo wa madini,

kuongeza thamani rasilimali za madini na kuwa ofisi ya madini ya kanda ya nyanda

za juu Kusini. Ujenzi wa mradi ulianza Agosti 2018 na unatarajiwa kukamilika

Februari 2019.

Page 79: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 74

(f) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya –

Kampasi ya Rukwa

Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya Kampasi ya Rukwa kilianzishwa

mwaka 2015 katika majengo ya iliyokuwa kambi ya Mkandarasi wa ujenzi wa

barabara ya Tunduma – Sumbawanga. Kampasi ya Rukwa kwa sasa ina eneo la

ekari 120. Lengo la mradi ni kuinua mikoa ya nyanda za juu Kusini (Songwe, Rukwa

na Katavi) na mikoa mingine kitaaluma na kuchochea matumizi ya teknolojia

zitakazobuniwa na watafiti katika kusaidia maendeleo ya kilimo na viwanda.

Ukarabati wa chuo ulianza Juni 2018 na upo katika hatua za ukamilishaji.

(g) Ujenzi wa Jengo la Mahakama Kuu – Kigoma

Utekelezaji wa mradi ulianza Oktoba 2017 na unatarajia kukamilika Aprili 2019.

Mradi unalenga kuanzisha masijala ya mahakama kuu katika Mkoa wa Kigoma,

ambayo itajumuisha Masijala ndogo ya Mahakama ya Rufani. Mradi huu utasaidia

kutatua changamoto ya wananchi kufuata huduma za mahakama kuu na ya rufani

mkoani Tabora umbali wa kilometa 426. Utekelezaji wa mradi unaendelea kulingana

na mpango kazi, ambapo ujenzi wa jengo umekamilika; na kazi za umaliziaji

zinaendelea. Kwa ujumla utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 80.

(h) Eneo Maalumu la Uwekezaji Kigoma - KiSEZ

Utekelezaji wa mradi ulianza mwaka 2008/09 kwa matarajio ya kukamilika mwaka

2019/20. Jukumu kubwa la Serikali katika mradi wa KiSEZ ni kuvutia wawekezaji

kwa kuweka mazingira wezeshi kwa kulipa fidia kwa wananchi waliopisha eneo la

mradi, kupima eneo na kuweka mipaka rasmi. Kufuatia makubaliano yaliyopo ya

mradi, Serikali ya Mkoa wa Kigoma ikishirikiana na Sekta Binafsi ndio itagharamia

ujenzi wa miundombinu wezeshi ya eneo la mradi kwa kuweka nishati muhimu kama

umeme, maji safi na mfumo wa majitaka.

Mradi wa KiSEZ una eneo la ukubwa wa hekari 691 lililopimwa, lina master Plan

nyenye viwanja vyenye hati 401 vyenye ukubwa wa kuanzia mita za mraba 10,000.

Viwanja hivyo vimetengwa maalumu kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda vya

uzalishaji/uchakataji, kufungasha na maghala ya kuhifadhia bidhaa; kujenga nyumba

za makazi; ujenzi wa taasisi kama vyuo, hospitali, shule; shughuli za biashara kama

benki, hoteli, maduka makubwa; viwanja vya michezo, bustani za kupumzika na

kumbi; na huduma za usafiri za bandari, mabasi na malori ya mizigo. Hatua

iliyofikiwa katika utekelezaji wa mradi huu ni kupatikana wawekezaji ambao ni SGC

Investment Ltd, Next Gen Solowazi Ltd na Third Man Ltd na wameanza uwekezaji.

(i) Kiwanda cha Kahawa – Instant Coffee cha Amimza – Kagera

Mradi unahusisha kiwanda cha kukoboa kahawa na kuweka madaraja, kukaanga na

Page 80: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 75

kusaga na kuzalisha instant coffee. Kiwanda kilianza uzalishaji mwaka 1998 na

kinamilikiwa na mwekezaji binafsi kampuni ya AMIMZA. Lengo la kiwanda ni

kukoboa, kutengeneza instant coffee na kuzalisha aina mbalimbali za kahawa zenye

ubora zaidi na zilizoongezwa thamani. Kutokana na ubora, kahawa nyingi

inayozalishwa na kiwanda hiki huuzwa nje ya nchi. Aidha, kiwanda kina mpango wa

kuanza kuzalisha kahawa ya chengachenga ambayo hutumia teknolojia mpya katika

uzalishaji wa kahawa.

Uwepo wa kiwanda umenufaisha wananchi wanaokizunguka kupitia miradi

inayotekelezwa na kiwanda kama vile umeme, maji na barabara. Aidha, kiwanda

kimetoa ajira takriban 150.

Eneo la Kiwanda cha Kukoboa Kahawa cha AMIMZA kilichopo Mkoani Kagera.

(j) Ujenzi wa Shule ya Sekondari Nyakato - Bukoba Vijijini – Kagera

Mradi unajengwa na Serikali kutokana na majengo yalikuwepo awali kuathiriwa na

tetemeko la ardhi lililotokea katika mkoa wa Kagera Oktoba 2017. Hatua ya

utekelezaji iliyofikiwa ni kukamilika kwa miundombinu ya madarasa 12, Jengo la

Utawala, mabweni 9 ya wanafunzi, maabara 2, nyumba za walimu na chumba cha

kupumzika wagonjwa.

Page 81: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 76

Jengo la Utawala katika Shule ya Sekondari Nyakato.

(k) Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji Rusumo MW 80 – Kagera

Mradi wa kuzalisha umeme wa Rusumo MW 80 unatekelezwa kwa kuzingatia

makubaliano ya Serikali za nchi za Burundi, Rwanda na Tanzania yaliyoingiwa

mwaka 2013. Lengo la mradi ni kuzalisha umeme wa MW 80 na kila nchi kupata MW

26.6 mradi utakapokamilika. Mradi unasimamiwa na taasisi ya Nile Equatorial Lakes

Subsidiary Action Program Co-ordination Unit (NELSAP-CU) kupitia Kampuni ya

Rusumo Power Ltd (RPCL). Mradi unahusisha, ujenzi wa bwawa la maji na

miundombinu yake, mitambo ya kuzalisha umeme na kituo cha kupoza/kuchochea

umeme.

Hatua iliyofikiwa ni: kukamilika kwa ujenzi wa kambi ya kudumu ya wafanyakazi;

kuendelea na ujenzi wa nyumba za wafanyakazi wa mradi ambapo nyumba mbili (2)

kati ya tano (5) za wafanyakazi zimekamilika; kukamilika kwa ujenzi wa

miundombinu ya barabara za kuingia eneo la mradi; kuanza kazi ya kuchimba

handaki la kupitisha maji; kukamilika kwa asilimia 65 ya uchimbaji wa eneo la

kufunga mitambo; kukamilika kwa ujenzi wa kikinga maji; kuendelea na ujenzi wa

bwawa la kuhifadhia maji, njia za kupitisha maji na kuchimba eneo la kufunga

mitambo.

(l) Mradi wa Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

Shirikishi Muhimbili – Kampasi ya Mloganzila

Mradi unahusisha ujenzi wa jengo la ghorofa 4 la kutolea huduma zikiwemo mafunzo

ya kitabibu na ubobezi wa maradhi ya Moyo (cardiovascular) na maeneo ya

kufundishia kozi zinginezo. Mradi unasimamiwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

Page 82: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 77

Shirikishi cha Muhimbili.

Utekelezaji wa mradi ulianza Februari 2018 na umefikia asilimia 65. Shughuli

zilizotekelezwa ni pamoja na: kukamilika kwa ujenzi wa jengo; kuendelea na

umaliziaji; na ufungwaji wa mifumo mbalimbali ya maji, umeme, TEHAMA na

usalama. Kukamilika kwa mradi huu kutasaidia kuongezeka kwa wigo wa kitaaluma

kutokana na mafunzo mbalimbali yatakayopatikana. Aidha, mapato yataongezeka

kutoka kwa wanafunzi wa nchi mbalimbali watakaopata mafunzo chuoni.

Mwonekano wa Jengo la Hospitali ya Mloganzila kwa sasa

Baadhi ya vifaa (Vitanda) katika mradi wa Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi

Shirikishi Muhimbili – Mloganzila

(m) Upanuzi wa Barabara ya Morogoro sehemu ya Kimara - Kibaha (km 19.2)

kuwa Njia Nane pamoja na Ujenzi wa Madaraja ya Kibamba, Kiluvya na

Mpiji

Upanuzi wa barabara ya Morogoro sehemu ya Kimara – Kibaha (km 19) unalenga

kupunguza msongamano wa magari na ajali za barabarani. Upanuzi huu unahusisha

Page 83: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 78

ujenzi wa barabara kwa njia nane. Mkataba wa ujenzi ulisainiwa Julai, 2018 na

unatarajiwa kukamilika Januari, 2021.

Utekelezaji wa mradi unaendelea kulingana na mpango kazi ambapo shughuli

zilizotekelezwa ni pamoja na: usanifu wa kina wa km 19.2; usanifu wa madaraja

yote; ujenzi wa nguzo za misingi ya madaraja; kusafisha eneo la barabara km 11;

ujenzi wa kuta kwa kujaza udongo aina ya G3 na G7 kwa km 7; ujenzi wa makalavati

madogo 36 umekamilika na kalavati kubwa moja eneo la Kibanda cha mkaa

umefikia asilimia 75; ujenzi wa piles cap upande wa kulia daraja la Kibamba

umekamilika na ujenzi wa abutment unaendelea.

(n) Ujenzi wa Barabara ya Mtwara - Newala – Masasi (km 210), Sehemu ya

Mtwara - Mnivata (km 50)

Barabara ya Mtwara - Mnivata ni sehemu ya barabara ya Mtwara - Masasi kupitia

Wilaya za Tandahimba na Newala ukiwa na lengo la kuunganisha mikoa ya Mtwara,

Ruvuma na nchi jirani za Malawi na Msumbiji. Ujenzi wa mradi ulianza Aprili 2017 na

unatarajiwa kukamilika Agosti 2019. Utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 65.

Barabara hii itarahisisha usafiri wa wananchi pamoja na mazao katika maeneo

yanayopitiwa na mradi huu katika mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma; na

kuchochea maendeleo kwa kuvutia wawekezaji katika rasilimali zinazopatikana

katika eneo hilo hususan katika kilimo cha korosho na viwanda vitakavyosaidia

kuongeza thamani ya mazao yanayopatikana katika eneo hilo.

Kipande cha barabara ya Mtwara- Mviwata katika eneo la mlima Simba (kushoto) na kulia ni eneo la

Mnivata kikijengwa kwa kiwango cha lami.

Page 84: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 79

(o) Mradi wa Kuongeza Uwezo wa Kuhifadhi Chakula – Songea

Mradi huu unatekelezwa katika mikoa (8) ambayo ni Ruvuma, Njombe, Songwe,

Rukwa, Katavi, Shinyanga, Dodoma na Manyara. Katika mkoa wa Ruvuma, mradi

unagharimu dola za Marekani milioni 10.17 (Shilingi bilioni 23.4) ambapo unahusisha

ujenzi wa vihenge kumi na viwili (12) vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 45,000; ujenzi

wa maghala mawili (2) yenye uwezo wa kuhifadhi tani 10,000; ujenzi wa stoo ya

vifaa; ujenzi wa stoo ya viuatilifu; ujenzi wa ofisi; ujenzi wa maabara; ujenzi wa uzio;

ujenzi wa barabara za ndani na miundombinu ya kutoa maji; ununuzi wa vifaa vya

maabara na stoo pamoja na mafunzo ya kujenga uwezo kwa watumishi. Utekelezaji

wa mradi ulianza Juni 2018 na unatarajiwa kukamilika Desemba 2019.

Utekelezaji wa mradi unaendelea ambapo uingizaji wa vifaa vya vihenge na ujenzi

wa misingi ya vihenge 12 umekamilika. Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa

kupunguza matumizi ya magunia, pallet na viuatilifu.

B. Changamoto za Utekelezaji wa Miradi

Changamoto za Jumla Zilizobainishwa katika Miradi Iliyofuatiliwa

(a) Kukosekana kwa umeme wa uhakika katika baadhi ya viwanda

kumesababisha hasara na kushindwa kupanua uwekezaji;

(b) baadhi ya makandarasi kuwa na uwezo mdogo wa kukamilisha kazi ipasavyo;

(c) Mawasiliano hafifu baina ya wadau wa miradi hususan watekelezaji, waratibu

na wasimamizi;

(d) Kutopatikana fedha kwa wakati imeathiri utekelezaji wa miradi kulingana na

ratiba na kuongeza gharama;

(e) Uchakavu wa miundombinu na mitambo katika baadhi ya miradi

umesababisha miradi kuzalisha chini ya kiwango kinachotakiwa; na

(f) Maandalizi hafifu ya upembuzi yakinifu na utafiti wa athari za mazingira kwa

baadhi ya miradi imeathiri utekelezaji wa miradi.

Hatua za Kukabiliana na Changamoto

(a) Kuongeza uzalishaji na usamabazaji wa umeme kwenye maeneo ya mradi;

(b) Kuimarisha mfumo wa utoaji wa zabuni ili zitolewe kwa watu wenye sifa na

kupunguza tatizo la wakandarasi kutokuzingatia muda wa utekelezaji;

(c) Kuimarisha uratibu na mawasiliano baina ya taaisisi zinazotekeleza mradi na

wadau wengine kama ilivyobainishwa katika Mkakati wa Mawasiliano wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21;

(d) Kuboresha mifumo ya kuongeza mapato kwa kupanua wigo wa kodi, mikopo

ya masharti nafuu, kumarisha mifumo ya kielektroniki ya ukusanyaji wa

mapato na kuongeza ushirikishwaji wa sekta binafsi;

Page 85: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 80

(e) Kuboresha miundombinu na mitambo iliyochakaa kwa kufanya matengenezo,

ukarabati na ununuzi wa mitambo mipya; na

(f) Kutoa mafunzo ya uandaaji wa miradi ya maendeleo kwa wataalam wa

Wizara, Idara Zinazojitegemea na Taasisi za Serikali kama ilivyoelezwa katika

Mwongozo wa Usimamizi wa Uwekezaji wa Umma (PIM – OM).

Page 86: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 81

SURA YA NNE

MIRADI NA SHUGHULI ZA KIPAUMBELE KWA MWAKA 2019/20

4.1. Utangulizi

Sura hii inaelezea miradi na shughuli za kipaumbele kwa mwaka 2019/20 ambazo ni

muendelezo wa utekelezaji wa miradi iliyoainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa

Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21. Aidha, miradi na shughuli hizo

zimezingatia mapitio ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka

2018/19, Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mwaka 2015, Mkakati wa Utekelezaji wa Mpango wa Miaka Mitano na Mapendekezo

ya Mpango yaliyoidhinishwa na Bunge, Novemba 2018.

4.2. Misingi na Shabaha za Ukuaji wa Uchumi

4.2.1. Misingi ya Mpango kwa Mwaka 2019/20

Misingi iliyozingatiwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20 ni

kama ifuatavyo:

(a) Amani, usalama, na utulivu wa ndani na nchi jirani vitaendelea kuimarishwa

na kudumishwa;

(b) Viashiria vya uchumi jumla na maendeleo ya jamii kama vile Pato la Taifa,

biashara ya nje, ujazi wa fedha, mapato na matumizi na viashiria vya huduma

za jamii vitaendelea kuimarika;

(c) Sera za fedha zitaendelea kuimarishwa ili ziendane na sera za bajeti

zitakazosaidia kupunguza mfumuko wa bei;

(d) Kuendelea kuimarika na kutengemaa kwa uchumi wa dunia;

(e) Bei za mafuta katika soko la dunia zitaendelea kuwa nzuri; na

(f) Kuwepo kwa hali nzuri ya hewa nchini na katika nchi jirani.

4.2.2. Shabaha za Ukuaji wa Uchumi

Shabaha kuu za uchumi ni kama ifuatavyo:

(a) Kukua kwa Pato Halisi la Taifa kufikia asilimia 7.1 mwaka 2019 ikilinganishwa

na ukuaji wa asilimia 7.0 mwaka 2018;

(b) Kuendelea kudhibiti kasi ya mfumuko wa bei na kuhakikisha kuwa unabaki

kwenye wigo wa tarakimu moja kati ya asilimia 3.0 hadi asilimia 4.5;

(c) Mapato ya kodi kufikia asilimia 13.1 ya Pato la Taifa mwaka 2019/20 kutoka

matarajio ya asilimia 12.1 mwaka 2018/19;

(d) Matumizi ya Serikali yanatarajiwa kuwa asilimia 22.7 ya Pato la Taifa mwaka

2019/20; na

(e) Nakisi ya bajeti (ikijumuisha misaada) kuwa asilimia 2.3 mwaka 2019/20.

Page 87: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 82

4.3. Miradi na Shughuli Zitakazotekelezwa

4.3.1. Miradi ya Kielelezo

(a) Ujenzi wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Standard Gauge

Shilingi bilioni 2,476.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi

huo. Katika fedha hizo shilingi bilioni 2,446.0 ni kwa ajili ya kuendelea na ujenzi kwa

sehemu ya Dar es Salaam – Makutopora (km 722), shilingi bilioni 10 kwa ajili ya

maandalizi ya ujenzi wa Isaka – Rusumo (km 371) na shilingi bilioni 20 ni kwa ajili ya

maandalizi ya ujenzi kwa sehemu ya Makutopora – Tabora – Isaka - Mwanza (km

676).

(b) Kuboresha Shirika la Ndege Tanzania - ATCL

Shilingi bilioni 500.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kumalizia malipo ya

ununuzi wa ndege moja aina ya Boeing 787 - 8 Dreamliner na moja mpya aina ya

Bombardier Dash 8 Q400; malipo ya awali ya ununuzi ya ndege mbili aina ya Airbus

A220 – 300; ununuzi wa ndege moja aina ya Bombardier Dash 8 Q400 na injini ya

akiba kwa ndege aina ya Bombardier Dash 8 Q400; kuendelea kuboresha karakana

ya matengenezo ya ndege iliyopo KIA; na kulipa madeni yaliyohakikiwa pamoja na

gharama za kuanzia kwa ndege mpya zitakazopokelewa katika kipindi hicho.

(c) Mradi wa Kufua Umeme wa Maji Bonde la Mto Rufiji - MW 2,115

Shilingi bilioni 1,443 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi

ambapo kazi zitakazofanyika ni pamoja na kuanza ujenzi wa bwawa, kuanza ujenzi

wa njia za kupitisha maji; na kukamilisha ujenzi wa njia ya pili ya umeme msongo wa

kV 33 kutoka Gongo la Mboto.

(d) Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia - Lindi

Shilingi bilioni 6.7 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza mradi ambapo

kazi zitakazofanyika ni pamoja na kukamilisha majadiliano ya mradi na kulipa fidia

kwa wananchi watakaopisha mradi.

(e) Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga

(Tanzania)

Shilingi bilioni 7 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kukamilisha majadiliano ya

mkataba wa Ubia (SHA) kati ya nchi washirika na kampuni zilizowekeza katika mradi

pamoja na kulipa fidia wakazi watakaohamishwa kupisha eneo la mkuza litakapopita

bomba.

Page 88: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 83

(f) Shamba na Kiwanda cha Sukari Mkulazi

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuendelea na uandaaji wa shamba na kupanda

miwa; kununua na kufunga mitambo pamoja na kuanza uzalishaji wa sukari; na

kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja.

(g) Mradi wa Makaa ya Mawe Mchuchuma

Shilingi milioni 670 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kulipia leseni za

uchimbaji wa makaa ya mawe; kulipa fidia ya mali za wananchi watakaopisha eneo

la mradi baada ya tathmini kukamilika; na kuratibu na kufuatilia kazi za mradi;

kusimamia ujenzi wa mgodi wa makaa ya mawe na msongo wa umeme wa

Mchuchuma – Liganga.

(h) Kiwanda cha Kufua Chuma cha Liganga

Shilingi milioni 490 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kulipia leseni za

mashapo; kulipa fidia ya mali za wananchi watakaopisha eneo la mradi baada ya

tathmini kukamilika; kusimamia ujenzi wa mgodi wa chuma na kiwanda cha chuma;

na kusimamia ujenzi wa miundombinu wezeshi, kuratibu na kufuatilia kazi za mradi.

(i) Uanzishwaji wa Kanda Maalum za Kiuchumi

Kipaumbele kimewekwa katika kuharakisha utekelezaji wa kanda zilizoainishwa

katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano kama miradi ya kielelezo

ambapo jumla ya Shilingi bilioni 8.5 zimetengwa. Shughuli zitakazotekelezwa ni:-

(i) Eneo Maalum la Uwekezaji Bagamoyo: Kufanya usanifu wa kina na ujenzi

wa miundombinu wezeshi katika eneo la kituo cha Teknolojia Bagamoyo;

kufanya upembuzi yakinifu, usanifu wa kina na ujenzi wa miundombinu ya

ndani kwa eneo lililolipwa fidia pamoja na kukamilisha majadiliano na

maandalizi ya utekelezaji wa mradi wa Bagamoyo; kukamilisha hatua zote za

utwaaji wa Ardhi na kufanya upimaji wa eneo ili kupata hati miliki ya eneo

lililokwisha lipiwa fidia.

(ii) Kituo cha Biashara na Huduma Kurasini: Kukamilisha hatua zote za

utwaaji ardhi ili kupata hati; kufanya upembuzi yakinifu; kuandaa mpango wa

matumizi ya ardhi (masterplan) kufanya usanifu wa kina na ujenzi wa

miundombinu ya ndani; kuweka uzio eneo la mradi; kununua gari la mradi

pamoja na kulipia gharama za mashauri elekezi.

(j) Kuongeza Rasilimali Watu Wenye Ujuzi Adimu na Maalumu kwa

Maendeleo ya Viwanda na Watu

Katika mwaka 2019/20, Serikali kupitia Wizara ya Nishati itagharamia mafunzo kwa

wanafunzi 20 katika fani za mafuta na gesi. Vile vile, Chuo Kikuu cha Afya na

Sayansi Shirikishi Muhimbili - MUHAS kitaendelea kutoa mafunzo kwa wataalam

Page 89: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 84

katika fani za afya hususan udaktari bingwa kwa ngazi za uzamili na uzamivu katika

nyanja zote za magonjwa ya upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu,

upandikizaji figo, ini na uboho (bone marrow), tiba za ndani za moyo, figo na ini, na

uhudumiaji wa wagonjwa wa dharura na mahututi (Emergency medicine and critical

care). Aidha, MUHAS imepanga kudahili wanafunzi wapya 500 katika fani za afya ya

binadamu ambapo wafanyakazi 300 wa sekta ya afya kutoka hospitali na taasisi za

Serikali watapewa kipaumbele.

4.3.2. Kukuza Uchumi na Ujenzi wa Msingi wa Uchumi wa Viwanda

4.3.2.1. Uzalishaji Viwandani

(a) Kiwanda cha Kuunganisha Matrekta – TAMCO, Kibaha

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kuendelea na maboresho ya kiwanda; ujenzi

wa kiwanda kipya cha kuunganisha matrekta na kusimamia shughuli za kufanya

matengenezo ya matrekta nchini na kusimamia na kulipia gharama za uingizaji

matrekta na zana zake bandarini na kuyapeleka eneo la mradi ambapo Shilingi

bilioni 3.0 fedha za ndani zimetengwa.

(b) Eneo la Kongane za Viwanda – TAMCO, Kibaha

Shughuli zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi wa miundombinu wezeshi katika

eneo la mradi na kuendelea kutangaza eneo kwa wawekezaji ambapo Shilingi bilioni

4.5 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo.

(c) Mradi wa Magadi Soda - Bonde la Engaruka

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kufanya upembuzi yakinifu; kujenga

miundombinu wezeshi katika eneo la mradi; kufanya tathmini ya athari za

kimazingira na kijamii; kufanya utafiti wa upatikanaji wa maji kwa ajili ya mradi wa

wananchi; kufanya upembuzi yakinifu wa barabara za ndani na za kufikia eneo la

mradi; na kulipia leseni za uchimbaji. Shilingi bilioni 5.0 fedha za ndani zimetengwa

kwa ajili ya kutekeleza shughuli hizo.

(d) Kufufua Kiwanda cha General Tyre – Arusha

Shughuli zitakazotekelezwa ni kufanya upembuzi yakinifu na kutayarisha financial

model kuendelea na uendelezaji wa mashamba ya mpira na kuboresha teknolojia ya

uchakataji wa utomvu ili kupata malighafi ya kutengeneza matairi. Shilingi bilioni 1.5

zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huu.

(e) Maeneo Mengine Maalum ya Uwekezaji

(i) Maeneo Maalum ya Mtwara, Tanga, Kigoma, Manyara, Bunda, Dodoma.

Kigamboni, Ruvuma, na Manyoni. Shughuli zitakazotekelezwa ni:

Page 90: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 85

Kuendeleza miundombinu ya ndani ya mradi awamu ya kwanza na ujenzi wa

jengo la One Stop Centre kwenye maeneo ya Mtwara Free Port Zone, Tanga,

Kigoma, Manyara, na Bunda; kukamilisha hatua zote za utwaaji ardhi na

kufanya upimaji wa maeneo ili kupata hati miliki ya maeneo

yaliyokwishalipiwa fidia. Maeneo hayo ni Bunda, Tanga, Manyara, Ruvuma,

na Manyoni; kufanya upembuzi yakinifu; kuandaa Masterplan; na kufanya

usanifu wa kina wa miundombinu kwa maeneo ya Kigamboni, Bunda, Tanga,

Manyara na Dodoma ambapo jumla ya shilingi bilioni 3.0 fedha za ndani

zimetengwa.

(ii) Eneo Maalum la Uwekezaji Benjamin William Mkapa. Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kuweka mfumo wa kisasa wa ulinzi kuzunguka eneo

lote la mradi ambapo Shilingi millioni 500 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili

ya shughuli hizo.

(iii) Kongane ya Viwanda vya Ngozi – Dodoma (Zuzu). Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kuandaa Mpango Kabambe; kuandaa layout plan na

usanifu wa kina; kufanya upembuzi yakinifu; kufanya tathmini ya athari ya

mazingira na kuandaa Mpango wa Biashara; na ujenzi wa baadhi ya majengo

ya kufanyia shughuli za viwanda.

4.3.2.2. Utafiti wa Teknolojia na Bidhaa za Viwandani

(a) Kituo cha Zana za Kilimo na Ufundi Vijijini - CAMARTEC

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni kuendelea kufanya utafiti wa mahitaji ya

teknolojia za kilimo na teknolojia zinazohitajika vijijini na kujua hali ya matumizi ya

teknolojia hizo katika maeneo mingine ambayo utafiti huo bado haujafanyika;

kufanya utafiti na kuunda teknolojia zinazolenga kuongeza tija katika shughuli za

kilimo vijijini; kuunda na kuzalisha sampuli kifani za teknolojia za kilimo na teknolojia

nyingine zinazotumika vijijini; kuhamasisha utengenezaji wa mashine za kilimo, zana

za kilimo na teknolojia nyingine za ufundi vijijini; na kuendelea kuimarisha

miundombinu ya kituo ili kuweza kufanya utafiti kwa ufanisi zaidi ambapo Shilingi

bilioni 2.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo.

(b) Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania - TIRDO

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuanzisha na kukidhi vigezo vya kupata ithibati kwa

maabara ya mafuta na gesi asilia, makaa ya mawe na maabara ya vipimo vya

chuma ngumu; kuhuisha teknolojia ya kutumia sensor kufuatilia uzalishaji viwandani

kwa wajasiriamali; kukamilisha vigezo vya upatikanaji wa ithibati na kuboresha

maabara ya chakula, mazingira, kemia, na maabara ya vifaa vya kihandisi ili ziweze

kufikia viwango vya kimataifa; na kukamilisha Jengo la Utawala na kutoa mafunzo

kwa wadau mbalimbali wa sekta ya ngozi kuhusu utunzaji wa mazingira. Shilingi

bilioni 4.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo.

Page 91: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 86

(c) Shirika la Uhandisi na Usanifu wa Mitambo – TEMDO

Shughuli zitakazotekelezwa ni kuendelea na uboreshaji wa karakana na ofisi ya

usanifu pamoja na miundombinu ya Taasisi kwa ujumla; kubuni na kuendeleza

utengenezaji wa mtambo wa kuweka baridi; kubuni na kuendeleza chasili ya

kusindika chai; kubuni na kuendeleza chasili cha mtambo mdogo wa kutengeneza

brikwiti kutokana na vumbi la makaa ya mawe; kubuni na kuendeleza chasili cha

mtambo wa kukausha mazao ya kilimo; kuhawilisha teknolojia na kuhamasisha

uzalishaji wa kibiashara wa mitambo iliyobuniwa; kutoa huduma za kiufundi kwa

viwanda; kujenga miundombinu ya kiatamizi cha teknolojia na biashara; kuanzisha

na kuwezesha mpango wa kusambaza viwanda nchini kwa utaratibu wa kiwanda

kimoja kila wilaya; na kuanza ujenzi wa ofisi Dodoma. Fedha zilizotengwa ni Shilingi

bilioni 2.0 fedha za ndani kwa ajili ya shughuli hizo.

(d) Uendelezaji wa Viwanda Vidogo – SIDO

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni kuboresha miundombinu wezeshi ya

barabara, maji, umeme, uzio, mfumo wa maji taka na TEHAMA katika mikoa ya

Tabora, Kigoma, Iringa, Mwanza, Morogoro, Lindi, Mtwara, na Kagera; kujenga

majengo ya viwanda katika mikoa ya Pwani, Ruvuma, Katavi, Mwanza, Tabora na

Morogoro; kuongeza mtaji kwa ajili ya kutunisha Mfuko wa Maendeleo ya

Wajasiriamali – NEDF ambao unatoa mikopo kwa wajasiriamali wadogo na wa kati

kwa ajili ya kuanzisha na kuendeleza viwanda vidogo. Shilingi bilioni 6.0 fedha za

ndani zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo.

4.3.2.3. Kilimo

Shughuli zitakazotekelezwa ni pamoja na:

(a) Kilimo cha Kahawa

Kuongeza uzalishaji wa kahawa kutoka tani 65,000 hadi tani 80,000 kwa kuzalisha

na kusambaza miche bora ya kahawa 10,000,000 katika wilaya 42 zinazolima

kahawa; kutoa mafunzo kwa wakulima 4,000, maafisa ugani 500 na wakulima

viongozi 300; kufanya maboresho ya maabara ya kuonjea kahawa na ununuzi wa

mtambo wa kukaanga kahawa; kuanza kuendesha minada ya kahawa katika kanda

nne za uzalishaji wa kahawa ambazo ni Bukoba - Kagera, Songwe - Mbeya, Mbinga

- Ruvuma, Moshi - Kilimanjaro na kuendesha kampeni ya kufufua mashamba ya

zamani na upandaji wa miche mipya. Shughuli hizo zimetengewa Shilingi bilioni 1.4

fedha za ndani.

(b) Kilimo cha Pamba

Kununua, kuchakata na kusambaza tani 18,000 za mbegu za pamba zilizoondolewa

manyoya kwa ajili ya kupanda; kuongeza upatikanaji wa mbegu kutoka tani 22,000

Page 92: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 87

hadi 40,000; kutoa elimu kwa wakulima kuhusu matumizi sahihi ya viuadudu na

vinyunyizi; kuwasajili wakulima 500,000 wa pamba kidigitali; kutengeneza,

kusambaza na kuhamasisha matumizi ya teknolojia rahisi katika uzalishaji wa

pamba; kuwezesha ufuatiliaji na ukusanyaji wa takwimu za uzalishaji na uchakataji;

kuwezesha usimamiaji wa shughuli za mfuko wa kuendeleza zao la pamba; kununua

na kusambaza ekapaki 10,000,000 za viuadudu vya pamba kwa wakulima; kutoa

mafunzo kwa wadau wa pamba kuhusu kanuni za kilimo bora cha pamba na

kuwezesha shughuli za maendeleo na utafiti katika taasisi za utafiti (Ukiriguru na

Ilonga). Shughuli hizo zimetengewa Shilingi bilioni 1.2 fedha za ndani.

(c) Kilimo cha Chai

Kuanzisha na kutunza mashamba mama 45 katika halmashauri za wilaya saba

(Njombe, Mufindi, Kilolo, Ludewa, Tarime, Bumbuli na Korogwe) kwa kutumia mbegu

bora (clones) za chai kutoka TRIT; kufufua kiwanda cha chai Mponde (Ludewa)

kuzalisha miche bora ya chai 2,500,000 kwa ajili ya wakulima wadogo wa chai katika

halmashauri za wilaya tano (Tarime, Bumbuli, Korogwe, Mufindi na Bukoba); na

kuwezesha usafirishaji na upandaji wa miche bora ya chai 650,000 kutoka vitaluni

kwenda mashambani katika wilaya za Tarime na Mufindi. Shughuli hizo

zimetengewa Shilingi bilioni 1.1 fedha za ndani.

(d) Kilimo cha Mpunga

Kuendesha mashamba ya mfano 1,200 ya kilimo shadidi cha mpunga kutoka skimu

za umwagiliaji 40; kutoa mafunzo kwa wakulima, viongozi na maafisa ugani;

kuendesha siku ya mkulima kwa wakulima 280 kutoka skimu 10 zilizofanya vizuri.

Shughuli hizo zimetengewa Shilingi bilioni 2.8 fedha za nje.

(e) Kilimo cha Tumbaku

Kutengeneza kanzi data ya usajili na kusajili wakulima wa tumbaku wapatao 60,000

kutoka vyama vyote vya msingi vya ushirika; kukagua na kusajili vituo vya

kuchambulia na kufungia tumbaku vipatavyo 1,972 na vya kuuzia 790; kufanya

tathmini ya wingi na ubora wa zao shambani ili kubaini idadi ya kaya na wakulima

walioshiriki kilimo, eneo lililopandwa tumbaku, uzalishaji na ubora tarajiwa katika

vyama vyote; kuendesha mafunzo kwa wataalam wa masoko wa zao la tumbaku;

kuendesha tafiti za zao la tumbaku ili kupata mbegu bora; kuelimisha wakulima

kupanda na kutunza miti na kuboresha mabani kuwa majiko banifu katika wilaya 25

katika vyama 298 na kukagua uzingatiaji wa taratibu za hifadhi ya mazingira na

matumizi ya mabani yenye majiko sanifu na banifu katika vyama 298 kwenye wilaya

25 ambapo Shilingi bilioni 1.4 fedha za ndani zimetengwa.

Page 93: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 88

(f) Kilimo cha Miwa

Kutoa mafunzo kwa wakulima kuhusu mbinu bora za kilimo cha miwa kupitia

mashamba darasa yaliyopo Kilombero, Mtibwa, Kagera, Mbigiri, Bagamoyo, Geita,

Chamwino, Manyara - Kiru Valley, Singida, Ikungi, Katavi, Kalambo na Songea;

kuwezesha upatikanaji wa ardhi ya uwekezaji katika maeneo yaliyoainishwa kwa ajili

ya uwekezaji wa miradi mipya ya sukari, katika maeneo ya Kasulu, Kibondo, Rufiji,

Geita, Kilombero, Karagwe, Pangani, Bagamoyo na Morogoro; kuanzisha ekari 100

za vitalu vya mbegu za miwa katika maeneo ya miradi ya kati na midogo katika

halmashauri za wilaya za Geita, Chamwino, Mpanda, Nsimbo na Mlele; na ukarabati

wa mitambo ya kiwanda kidogo cha sukari Lumuma ambapo Shilingi bilioni 6.1 fedha

za ndani zimetengwa.

(g) Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Umwagiliaji

Kukamilisha ujenzi wa mabwawa ya Lwanyo, Kongogo na Nyisanzi; kujenga

miundombinu mipya ya umwagiliaji katika skimu za Lupilo (Ulanga), Bugwema

(Musoma), Mara, Ngono, Nyisanzi na Kongogo; kujenga mabwawa mapya ya

Borenga (Bonde la Mara), Kalebe (Bonde la Ngono) na Luiche-Kigoma; kukarabati

miundombinu ya skimu za umwagiliaji za Kigugu-Mvomero, Mvumi-Kilosa, Msolwa

Ujamaa na Njage-Kilombero; ukarabati wa miundombinu 88 ya umwagiliaji katika

shamba la Wakala wa Mbegu za Kilimo (ASA) Kilangali pamoja na barabara za

kuingia katika skimu za Mvumi (km 8) na Njage (km 7); kukamilisha upembuzi

yakinifu kwa skimu ya Luiche (Ujiji Kigoma) na Ibanda (Sengerema/Geita); kufanya

upembuzi yakinifu na usanifu wa kina katika skimu nne (4) za Mwamkulu (Mpanda),

Mkombozi (Iringa), Msia (Mbozi) na Luhafwe (Tanganyika); na kukamilisha ukarabati

na ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji katika skimu za Lwanyo, Kirya, Igenge,

Endagaw (Hanang‟), Rudewa (Kilosa) na Nyamitita (Serengeti). Jumla ya Shilingi

bilioni 13.0 fedha za ndani na Shilingi bilioni 15.3 fedha za nje zimetengwa.

(h) Ujenzi wa Maghala na Kuboresha Hifadhi ya Taifa ya Chakula

Kukamilisha ujenzi wa maghala matano (5) yenye uwezo wa kuhifadhi tani 60,000

na vihenge nane (8) vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 190,000 za nafaka; kufanya

upembuzi yakinifu na usanifu wa maghala matano (5) kwa ajili ya kuhifadhi mahindi

katika Halmashauri za Wilaya za Buchosa (1), Mkalama (1), Kasulu (1), Itilima (1) na

Ileje (1); ujenzi wa maghala matano (5) yenye uwezo wa kuhifadhi tani 6,700 za

mpunga katika skimu tano (5) za umwagiliaji za Njale (1,700), Msolwa Ujamaa

(1,700), Kigugu (1,000), Mvumi (1,300) na Mbogokomtonga (1,000) katika mkoa wa

Morogoro; ukarabati wa kituo cha udhibiti wa magonjwa ya kibaolojia (Kibaha);

kusindika tani 29,000 za mahindi ili kuzalisha tani 17,400 za unga wa mahindi na tani

4,350 za pumba za mahindi kwa ajili ya chakula cha mifugo; kusindika tani 15,000 za

alizeti ili kuzalisha lita 3,461,000 za mafuta na tani 10,350 za mashudu ya alizeti; na

Page 94: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 89

kukoboa tani 27,000 za mpunga zitakazozalisha tani 8,100 za mchele na tani 4,000

za pumba, ambapo Shilingi bilioni 40.83 fedha za ndani na Shilingi bilioni 1.4 fedha

za nje zimetengwa.

(i) Upatikanaji wa Mbegu na Pembejeo za Kilimo

Kuzalisha mbegu za alizeti tani 200, pamba tani 200, miche ya michikichi milioni 5

na miche ya korosho milioni 1; kukarabati vituo 36 vya Afya ya mimea na vituo 8 vya

ukaguzi wa mazao; kuagiza na kusambaza tani 625,000 za mbolea; kukarabati

ghala moja (1) lenye uwezo wa kuhifadhi tani 20,000 za mbolea katika wilaya ya

Tabora; kuanza ujenzi wa kiwanda cha kuchanganya mbolea kwa uwiano katika

mkoa wa Dar es Salaam; kununua na kusambaza lita 300,000 na kilo 3,000 za

viuatilifu; ukarabati na ununuzi wa vifaa katika maabara mbili (2) za kupimia viuatilifu

ili zipate ithibati ya kimataifa; kutoa mafunzo kuhusu matumizi sahihi ya viuatilifu na

uhifadhi wa taka zake kwa wakulima na maafisa ugani 1,200 katika kanda za

Mashariki, Kaskazini, Kati na Magharibi; kuanzisha kituo kimoja (1) cha zana za

kilimo kwa ajili ya kutoa huduma za kiufundi kwa lengo kusogeza huduma karibu na

wakulima katika kanda ya ziwa ambapo Shilingi bilioni 12.9 fedha za ndani

zimetengwa.

(j) Utafiti wa Kilimo

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni:kutafiti na kusambaza aina 15 za mbegu bora

za mazao ya nafaka, mizizi, mbegu za mafuta, mikunde na mazao ya bustani;

kukamilisha majaribio ya mbegu mpya za NARITAs Hybrid zenye kustahimili

magonjwa katika mikoa ya Kilimanjaro, Mbeya na Kagera; kugundua na kusambaza

teknolojia bora 20 za agronomia, teknolojia tano (5) za kupunguza harubu katika

kilimo na usindikaji; na kujenga kinu cha kubangua korosho chenye uwezo wa

kubangua tani 1,800 kwa mwaka na kusindika tani 1,000 za mvinyo na sharubati,

ambapo Shilingi bilioni 1.2 fedha za ndani zimetengwa.

(k) Miundombinu ya Utafiti wa Kilimo

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kukarabati ofisi za vituo vitatu (3) vya utafiti

vya Ukiriguru, Ilonga, na Tumbi na kuvipatia vifaa muhimu; kuboresha miundombinu

ya umwagiliaji katika vituo vya utafiti vya Ilonga, Naliendele, Ukiriguru na

miundombinu ya uhifadhi wa mbegu katika vituo vya Uyole, Ilonga na Seliani;

kujenga Makao Makuu ya TARI pamoja na kituo cha Biosayansi yatakayokuwa

Chamwino Dodoma; kufanyia ukarabati vituo 16 vya utafiti ikiwemo ofisi, nyumba 40

za wafanyakazi pamoja na maabara 3 ili kuviwezesha kufanya ufatiti wake kwa

ufanisi; kufanyia ukarabati wa miundombinu ya kituo cha ukusanyaji na utunzaji

nasabu za mimea (NPGRC) na kuongeza vitendea kazi; kuboresha mashamba

matano (5) ya kuzalisha mbegu na maghala ya kuhifadhia mbegu; kujenga na

Page 95: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 90

kukarabati miundombinu 9 ya umwagiliaji ili kuwezesha uzalishaji wa mbegu

ambapo Shilingi bilioni 8.35 za fedha za ndani zimetengwa.

(l) Uzalishaji wa Mbegu Bora za Mazao

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kuzalisha na kusambaza mbegu bora za

awali tani 200, za msingi tani 1,000, na mbegu zilizothibitishwa tani 3,000 za mazao

ya aina ya nafaka, mikunde, mboga mboga, mafuta na miche milioni 20 ya mazao ya

mizizi; kuzalisha tani 2,000 za mbegu za Alizeti na kuzisambaza kwa wakulima;

kuboresha miundombinu ya umwagiliaji kwa mashamba ya Arusha, Mwere,

Bugagana na Dabaga; kuboresha na kujenga maghala ya kuhifadhia mbegu za

kilimo kwa shamba la Msimba na Kilangali; na kufanya tathmini ya afya ya udongo

katika mashamba 8 ambapo Shilingi bilioni 6.3 fedha za ndani zimetengwa.

(m) Huduma za Upimaji wa Matabaka na Ubora wa Udongo

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kupima matabaka ya udongo katika vijiji

vinavyozunguka mashamba makubwa ya kimkakati ya Lukulilo Muhoro na Tawi

pamoja na mashamba ya miwa ya Pangani, Kitengule na Bagamoyo; kuimarisha

upimaji wa matabaka ya udongo katika mikoa ya kanda ya kati (Singida na Dodoma)

ili kuwa na uhakika wa matumizi ya mbolea katika mazao ya mafuta (Karanga na

alizeti); na kufanya tathmini ya udongo kwenye ardhi ya kilimo katika halmashauri za

wilaya za Singida na Morogoro ambapo Shilingi milioni 300 fedha za ndani

zimetengwa.

(n) Huduma za Ushauri kuhusu Utafiti, Mafunzo na Usambazaji Taarifa za

Kilimo na Sayansi Shirikishi

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kuandaa mashamba ya mfano 50 kwa

teknolojia ya mazao mbalimbali; kutoa machapisho 1,000 ya aina 20 za teknolojia za

mazao ya nafaka, mizizi, mikunde, pamba, na mboga mboga na kuzisambaza kwa

wakulima; kuandaa kanzidata ya kielektroniki ya teknolojia zote zilizozalishwa na

vituo vya utafiti na kuziunganisha na simu za mkononi za wakulima ili wapate taarifa

kwa urahisi; na kutoa elimu kwa wakulima 2,000 na wagani 200 katika utumiaji wa

teknolojia mpya ikiwa ni pamoja na matumizi ya mbegu bora, udhibiti wa magonjwa

na matumizi ya madawa ambapo Shilingi milioni 500 fedha za ndani zimetengwa.

(o) Mkakati wa uzalishaji wa zao la Mchikichi

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni; TARI kwa kushirikiana na ASA, Jeshi la

Kujenga Taifa, Magereza, Sekretarieti za Mikoa na Sekta Binafsi itazalisha miche ya

michikichi 5,000,000; kuboresha miundombinu ya umwagiliaji katika shamba la

Bugaga (Kasulu); na kujenga kituo kipya cha TARI Kihinga kwa ajili ya utafiti wa zao

la michikichi ambapo shilingi bilioni 2.1 fedha za ndani zimetengwa.

Page 96: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 91

4.3.2.4. Mifugo

(a) Kuimarisha Vituo vya Uhimilishaji Kitaifa na Kikanda

Shilingi bilioni 3.4 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kununua mtambo mpya

wa Naitrojeni wenye uwezo wa kuzalisha lita kumi (10) za kimiminika baridi cha

hewa ya Naitrojeni kwa saa moja; kununua mitungi 70 ya kuhifadhi kimiminika baridi

cha hewa ya Naitrojeni yenye ujazo wa lita 35 kwa kila mtungi na kuisambaza

kwenye halmashauri 70; kununua mtungi wa kuhifadhi kimiminika cha hewa baridi ya

Naitrojeni wenye ujazo wa lita 200 kwa ajili ya kituo cha NAIC Arusha; kununua

chupa 75,000 za homoni; kutoa elimu ya uhimilishaji kwa wahimilishaji 600 kutoka

mikoa ya Lindi, Mtwara, Dodoma, Singida, Simiyu, Shinyanga, Tabora, Kigoma,

Katavi, Mwanza na Geita na kununua darubini 2 kwa ajili ya vituo viwili vya

uhimilishaji vya mikoa ya Pwani na Dodoma.

(b) Kuimarisha Huduma za Utafiti, Ugani na Mafunzo kwa Maafisa Ugani wa

Mifugo

Shilingi milioni 200 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuwezesha TALIRI

kuhaulisha teknolojia ya kiinitete kwa wafugaji; kukarabati miundombinu ya taasisi 7

za utafiti (Mpwapwa, West Kilimanjaro, Tanga, Naliendele, Mabuki, Uyole na

Kongwa) na kujenga kituo cha mfano cha kukusanyia maziwa, maeneo ya Mkuranga

(Pwani).

(c) Kuongeza Thamani Bidhaa za Mifugo na Kuimarisha Ukusanyaji wa

Maduhuli na Udhibiti wa Biashara ya Magendo ya Mifugo

Shilingi milioni 500 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuzalisha ng‟ombe

4,791, mbuzi/kondoo 1,399 na kuzalisha na kuuza nyama tani 323.6; kuhamasisha

ufugaji wa kisasa ukiwemo wa ranchi na unenepeshaji wa mifugo ili kufikia ng‟ombe

550,000 kwa mwaka; kusimamia uingizaji holela wa mazao na pembejeo za mifugo

kutoka nje; kuendesha doria maalum za usimamizi wa ukusanyaji maduhuli na

kuzuia biashara ya magendo ya mifugo na mazao yake kwenye minada ya mifugo

ya mipakani; na kufanya ukarabati wa miundombinu ya masoko/minada ya mifugo.

(d) Kutenga Maeneo ya Malisho na Upatikanaji wa Maji

Shilingi milioni 95 fedha za ndani zimetengwa kwa ajiili ya: uendelezaji wa

miundombinu ya majosho na malisho; kuendelea kutenga na kupima maeneo ya

malisho na kuandaa miongozo ya utumiaji na usimamizi wa maeneo hayo;

kusimamia na kudhibiti ubora wa vyakula vya mifugo kwa kufanya ukaguzi wa

viwanda, maeneo ya kuuzia na kutoa mafunzo kwa wakaguzi na watengenezaji;

kuongeza uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora za malisho kwa kuimarisha na

kupanua mashamba saba (7) ya Serikali; kuchimba na kujenga visima 50 katika

maeneo mbalimbali nchini; na ukarabati wa malambo sita (6) katika mikoa ya

Page 97: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 92

Manyara, Pwani, Simiyu, Arusha, Geita na Tabora.

(e) Kuimarisha Tiba na Udhibiti wa Magonjwa ya Mifugo

Shilingi bilioni 1 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kujenga uwezo Kiwanda

cha Chanjo za Mifugo cha Serikali kilichopo Kibaha ili kiweze kuzalisha aina saba (7)

za chanjo za magonjwa; kuwezesha Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania

kuzalisha dozi milioni 111 za chanzo za mifugo ikiwa ni pamoja na dozi milioni 100

za chanjo ya Mdondo ya TEMEVAC 12, milioni 5 za CBPP, milioni 3 za Kimeta na

milioni 3 za Chambavu; na kuanza majaribio ya kuzalisha chanjo dhidi ya ugonjwa

Sotoka ya Mbuzi na Kondoo (CCPP), dhidi ya Kichaa cha Mbwa na Mapele ya

Ngozi.

4.3.2.5. Uvuvi

(a) Kuimarisha Shughuli za Utafiti, Huduma za Ugani na Mafunzo ya Uvuvi

Kazi zilizopangwa kutekelezwa ni: kufanya utafiti wa samaki wapya wa kufugwa;

kufanya utafiti wa vyakula vya samaki na kuongeza ubora wa mbegu za samaki wa

kufugwa na mwani; na kufanya tafiti za kujua wingi wa rasilimali za uvuvi zilizo katika

ukanda wa Uchumi wa Bahari Kuu.

(b) Kuongeza Upatikanaji wa Vifaranga vya Samaki

Shilingi milioni 405 fedha za ndani zimetengewa kwa ajili ya: kuwezesha Vituo vitatu

(3) vya samaki wa maji baridi vya Ruhila, Kingolwira na Mwamapuli na kujenga kituo

kimoja (1) cha Nyamirembe ili kuzalisha vifaranga milioni 15 vya samaki; kuboresha

matumizi ya teknolojia za uzalishaji, kuchakata na kuongeza thamani ya mazao ya

viumbe vya majini; na kuunda kanda 3 za ufugaji wa vizimba katika Ziwa Victoria na

kanda 2 za ukuzaji viumbe wa maji bahari katika mikoa ya Pwani na Mtwara.

(c) Kuimarisha na Kuendeleza Ulinzi wa Rasilimali za Uvuvi na Mazingira

Shilingi bilioni 1.4 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuimarisha vituo vya ulinzi

wa rasilimali za uvuvi vilivyopo na kuanzisha kanda na vituo katika maeneo ya maji

na nchi kavu; kufanya doria za kawaida za kudhibiti uvuvi na biashara haramu;

kufanya operesheni za kila robo ya mwaka za kudhibiti Uvuvi haramu na uharibifu

wa mazingira.

(d) Kusimamia na Kuhamasisha Uwekezaji katika Uvuvi na Viwanda vya

Kuchakata Mazao ya Uvuvi

Shilingi milioni 242.2 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuimarisha vituo vya

ubora na uthibiti wa mazao ya uvuvi na kuanzisha vituo vipya vitatu vya Singida,

Kisesya na Murusagamba; kufanya kaguzi 7,200 za ubora wa samaki na mazao

yake wakati wa kusafirisha nje ya nchi; kufanya kaguzi 120 za kina kwenye viwanda

Page 98: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 93

vinavyochakata samaki, maghala ya kuhifadhi mazao ya uvuvi, mialo na masoko ya

samaki; kuimarisha maabara za samaki za Nyegezi (Mwanza) na ya viuatilifu Dar es

Salaam kwa kuzipatia vitendea kazi, watumishi na mafunzo kwa Wataalam; na

kufanya chunguzi za kimaabara kwa sampuli 4,800 za minofu ya samaki, maji,

udongo, masalia ya madawa ya mimea, asidi, alikali na madini tembo ili kuhakiki

usalama wa mazao ya uvuvi.

(e) Kuimarisha Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi katika Ukanda wa Uchumi

wa Bahari na Bahari Kuu

Shilingi bilioni 1 fedha za ndani na Shilingi bilioni 4.2 fedha za nje zimetengwa kwa

ajili ya: kukamilisha upembuzi yakinifu na kuanza ujenzi wa Bandari ya Uvuvi;

kuboresha mfumo wa ufuatiliaji wa meli za uvuvi wa Baharini; kununua meli ya doria

kwa ajili ya kufanya operesheni mbalimbali kwenye Ukanda wa Uchumi wa Bahari

kuu; na kununua meli mbili (2) za uvuvi za long line na Purse seine.

(f) Kuimarisha Miundombinu na Kukuza Biashara ya Mazao ya Uvuvi

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni kukarabati mialo ya kupokelea samaki na

masoko ya samaki (Mialo) ya Sota, Marehe, Kigangama, Kahunda, Ikumbaitale,

Bwai, Nyamisati, Igombe, Ihale, Mafia, Kilwa, Kirumba na Feri.

(g) Kuboresha Upatikanaji wa Taarifa Sahihi za Uvuvi

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kufanya sensa ya uvuvi katika maeneo ya

Ziwa Tanganyika na Nyasa na kusimamia ukusanyaji, uchakataji, utunzaji na

usambazaji wa takwimu za uvuvi.

4.3.2.6. Maliasili na Misitu

(a) Mradi wa Kujenga Uwezo katika Mapori ya Akiba

Shilingi milioni 500 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kukarabati nyumba 58 za

watumishi katika mapori ya akiba 27; kuboresha miundombinu ya barabara, viwanja

vya ndege na ofisi katika mapori ya akiba; na kuwajengea uwezo askari

wanyamapori katika kulinda na kusimamia rasilimali za wanyamapori.

(b) Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Maliasili

Shilingi bilioni 13.9 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kusaidia halmashauri za

Ngorongoro na Serengeti katika masuala ya Sera, Sheria na taratibu zinazohusu

mgawanyo wa faida zitokanazo na uhifadhi wa maliasili; na kuzijengea uwezo

halmashauri za Ngorongoro na Serengeti katika kutatua migogoro inayotokana na

mwingiliano kati ya wanyamapori na wananchi.

Page 99: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 94

(c) Mradi wa Usimamizi wa Maliasili kwa ajili ya Maendeleo ya Kiuchumi

Shilingi bilioni 4.1 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kukamilisha mipango ya

usimamizi wa misitu ya hifadhi ya vijiji 33 vya mradi; kusimamia utekelezaji wa

mipango ya matumizi bora ya ardhi katika vijiji 36 na kutoa hati miliki za kimila;

kuandaa mpango wa uendelezaji wa matokeo ya mradi, uwekezaji na mambo ya

kujifunza yaliyotokea kwenye kila uwanda; na kujenga uwezo kwa wataalam ngazi

ya kijiji kusimamia shughuli za mradi.

(d) Mradi wa Kuimarisha Mtandao wa Misitu Asilia kwa ajili ya Kuhifadhi

Bioanuai Tanzania

Shilingi bilioni 4.3 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kuweka alama za kudumu

kuzunguka misitu yote ya mazingira asilia; na kuwezesha halmashauri za Wilaya na

Vijiji vinavyozunguka misitu ya mazingira asilia kufanya doria za mara kwa mara kwa

kuvipatia vifaa.

(e) Programu ya Misitu na Uendelezaji wa Mnyororo wa Thamani wa Mazao

ya Misitu

Shilingi bilioni 4.7 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kuandaa mipango ya

matumizi bora ya ardhi na mipango ya usimamizi wa misitu ya hifadhi ya vijiji katika

wilaya nane (8) za mikoa ya Tanga, Lindi Mtwara na Ruvuma; kutoa elimu kwa

Kamati za Maliasili za vijiji, sekta binafsi kuhusu umuhimu wa rasilimali na namna ya

kuongeza thamani mazao ya misitu; kutoa elimu na uraghibishi kwa Kamati za

Maliasili za vijiji, watumishi wa halmashauri na Asasi zisizo za Serikali; na

kuwezesha Kamati za Mazingira za vijiji katika kufanya doria mbalimbali kwenye

misitu ya hifadhi ya vijiji kwa kuvipatia vifaa.

(f) Mradi wa Kujenga Uwezo katika Misitu na Nyuki

Shilingi milioni 200 fedha za ndani na Shilingi milioni 220 fedha za nje zimetengwa

kwa ajili ya: kuboresha miundombinu katika Chuo cha Misitu Olmotonyi na Chuo cha

Viwanda vya Mazao ya Misitu; ujenzi wa jengo la utawala la Chuo cha Ufugaji Nyuki

- Tabora; kuendeleza shughuli za utafiti; na kukamilisha maabara ya asali katika

Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI).

4.3.2.7. Madini

(a) Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini,

Mafuta na Gesi Asilia - TEITI

Shilingi bilioni 1.04 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuelimisha umma

kuhusu matumizi ya takwimu za taarifa za TEITI katika kuhoji ufanisi wa ukusanyaji

na mapato yanayotokana na rasilimali za madini, mafuta na gesi asilia; na kuanzisha

Page 100: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 95

rejista ya taarifa na majina ya watu wanaomiliki hisa katika kampuni za madini,

mafuta na gesi asilia.

(b) Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali za Madini

Shilingi bilioni 6.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuwezesha shughuli za

utafiti wa madini ili kuongeza taarifa za kijilojia na kuvutia uwekezaji; kuhamasisha

uongezaji thamani madini nchini; kufanya mapitio na kuandaa mkakati wa Sera ya

madini ya Mwaka 2009; uendelezaji wa wachimbaji wadogo nchini; usimamizi wa

masuala ya mazingira, afya na usalama migodini; uendelezaji wa masoko ya madini;

na ufuatiliaji na tathmini ya sekta ya madini.

(c) Mradi wa Kuendeleza Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira wa Kuzalisha

Umeme MW 200

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kuendelea na uchimbaji na kuanza uoshaji

wa makaa ya mawe ikiwa ni pamoja na ununuzi wa vifaa vya uchimbaji na mtambo

wa kuoshea makaa hayo kwa ajili ya kuyaongezea thamani; kuanza uzalishaji wa

nishati mbadala (coal briquette) kwa ajili ya matumizi ya nyumbani; na uzalishaji wa

tani laki 1.6 za makaa ya mawe.

4.3.3. Miradi ya Kufungamanisha Maendeleo ya Viwanda na Maendeleo ya

Watu

4.3.3.1. Elimu, Sayansi na Teknolojia

A. Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari

(a) Programu ya Lipa Kulingana na Matokeo katika Elimu: Shilingi bilioni 94.6

fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kununua magari 65 kwa ajili ya kuimarisha

uthibiti ubora wa shule; kujenga ofisi 55 za wathibiti ubora wa shule; kununua magari

10 kwa ajili ya Vyuo vya Ualimu; kutoa motisha kwa shule 400 za msingi na

sekondari zilizoongeza kiwango cha ufaulu katika mitihani ya Taifa ya Darasa la

Saba na Kidato cha Nne 2018; kutoa motisha kwa halmashauri 184 kutokana na

utekelezaji wa vigezo vilivyokubalika kati ya Serikali na Washirika wa Maendeleo;

kununua magari matano (5) na malori mawili (2) kwa ajili ya Baraza la Mitihani la

Taifa; na ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya mfano mkoani Dodoma kwa ajili ya

kidato cha 1 – 6.

(b) Ukarabati wa Vyuo vya Ualimu: Shilingi bilioni 7.29 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi na ukarabati wa vyuo vinne (4) vya

Ualimu vya Shinyanga, Mpuguso, Ndala na Kitangali.

Page 101: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 96

(c) Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu ya Msingi (MMEM)-KKK

Shilingi bilioni 20.44 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kuandaa, kuchapisha na

kusambaza vitabu vya mwanafunzi na kiongozi cha mwalimu kwa masomo yote vya

darasa la VI na VII; kufanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa programu;

kugharamia matengenezo ya magari ya wathibiti ubora wa shule kwa ajili ya kazi za

ufuatiliaji wa utekelezaji wa Kiunzi cha uthibiti ubora wa shule; kuwezesha

uendeshaji na uratibu wa Programu ya LANES na ukaguzi wa ndani na nje;

kuwajengea uwezo waratibu wa Vituo vya Walimu; na kununua na kusambaza vifaa

vya kufundishia na kujifunzia kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.

(d) Kuimarisha Ubora wa Elimu ya Sekondari: Shilingi bilioni 30.81 fedha za

nje zimetengwa kwa ajili ya: kutoa mafunzo kazini kwa walimu 10,000 wa Sayansi,

Hisabati, na Lugha; kununua vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa shule 500 za

sekondari; uchapaji na usambazaji wa nakala milioni 6 za vitabu vya Hisabati,

Sayansi na Lugha; ununuzi wa mashine za uchapaji kwa ajili ya Taasisi ya Elimu

Tanzania; kuandaa moduli za elimu jumuishi pamoja na mwongozo wa mafunzo;

kuandaa kiunzi cha utoaji tuzo kwa walimu mahiri pamoja na uchapaji wa vyeti;

kununua kompyuta, printa na projekta kwa shule za sekondari 700 na kutoa mafunzo

ya TEHAMA kwa walimu 1,000; kununua vifaa vya upimaji kwa wanafunzi wa

sekondari wenye mahitaji maalum; na kuandaa mkakati wa upatikanaji wa walimu

wa masomo ya Sayansi na Hisabati.

(e) Programu ya Huduma ya Maji, Elimu ya Afya na Usafi wa Mazingira

Shuleni: Shilingi bilioni 6.94 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: ujenzi wa

miundombinu ya maji na vyoo katika shule za msingi 200; na kuendelea kutoa

mafunzo kuhusu utumiaji wa mwongozo wa programu kwa wathibiti ubora wa shule

na waratibu wa programu katika ngazi ya halmashauri.

(f) Mamlaka ya Elimu Tanzania - TEA: Shilingi bilioni 12 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya: ujenzi wa nyumba 20 za walimu wa sekondari katika

maeneo yasiyofikika kwa urahisi; ujenzi wa madarasa 75 katika shule za Msingi na

Sekondari zenye uhaba mkubwa wa madarasa; ujenzi wa mabweni 16 ya wanafunzi

wa kike katika shule za sekondari; ujenzi wa vyoo katika shule 10 zenye upungufu

mkubwa; ununuzi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia pamoja na uboreshaji wa

miundombinu katika vyuo vya Kati na Vyuo Vikuu 2 vya Zanzibar; kukamilisha

ukarabati wa majengo katika shule kongwe 4 za Sekondari za Serikali (Mwenge,

Msalato, Nganza na Mzumbe); ukarabati wa shule za msingi 5 katika jiji la Dodoma;

na ununuzi wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia na ujenzi wa miundombinu kwa

ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum kwa shule 10 za msingi na sekondari.

Page 102: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 97

B. Elimu ya Ufundi na Ualimu

(a) Ujenzi na Ukarabati wa Vyuo vya Ufundi Stadi: Shilingi bilioni 54 fedha za

ndani na Shilingi bilioni 18.85 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kujenga

karakana tano (5) katika vyuo vya mafunzo ya ufundi stadi katika mikoa ya Lindi (1),

Pwani (1), Manyara (2) na ujenzi wa karakana ya “Mechatronics” katika chuo cha

TEHAMA-Kipawa, Dar es Salaam; kujenga jengo la utawala, uzio na kufanya

marekebisho katika bweni moja na madarasa mawili katika Chuo cha Ufundi cha

Arusha (ATC); kujenga bweni la wasichana lenye uwezo wa kulaza wanafunzi 200

katika Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi cha Mkoa wa Mbeya; kujenga karakana ya

mitambo mizito katika Chuo cha Ufundi Stadi cha Mwanza; kujenga nyumba 10 za

watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi cha Ulyankulu; ununuzi wa

nyumba 10 za watumishi wa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi cha Manyara;

kujenga karakana katika Chuo cha Ualimu wa Mafunzo ya Ufundi Stadi Morogoro

(MVTTC); na kununua vifaa vya kisasa kwa Vyuo vitatu vya Ufundi Stadi vya

TEHAMA Kipawa-Dar es Salaam, Mtwara na Lindi.

(b) Kuimarisha Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Elimu ya

Ualimu: Shilingi bilioni 5.5 fedha za ndani na Shilingi bilioni 1.79 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na ujenzi wa vyuo vya Ufundi Stadi na huduma

vya mikoa ya Geita na Rukwa; kujenga mabweni mawili (2) katika chuo cha Ualimu

wa Ufundi Stadi cha Morogoro; kuendelea na ujenzi wa jengo la ghorofa nne (4) kwa

ajili ya madarasa, maabara, ugavi na ofisi za walimu katika Chuo cha Ufundi

Arusha; kujenga mabweni mawili (2) yenye uwezo wa kulaza wanachuo 576, jengo

la ghorofa 2 lenye madarasa 6 na ukumbi wa mikutano wenye uwezo wa kuchukua

watu 1,500, na jengo la jiko katika Chuo cha Ualimu Dakawa; kujenga nyumba nne

(4) za walimu katika Chuo cha Ualimu Marangu; kujenga bweni la ghorofa moja (1),

nyumba nane (8) za walimu na kukarabati jengo la utawala katika Chuo cha Ualimu

Butimba; kujenga maabara ya ghorofa moja (1), bweni la ghorofa moja (1) kwa ajili

ya wanafunzi 576 katika Chuo cha Ualimu Tabora; kujenga bwalo la chakula, bweni

la ghorofa moja (1) la wanafunzi wa kike 176, maabara ya ghorofa moja (1) na

nyumba mbili (2) za walimu katika Chuo cha Ualimu Mpwapwa; kununua na kufunga

vifaa kwa ajili ya programu ya vito na usonara katika Chuo cha Ufundi Arusha; na

kununua na kufunga vifaa vya Biomedical katika maabara ya uhandisi ya ujenzi na

umwagiliaji katika Chuo cha Ufundi Arusha.

(c) Chuo cha Ufundi Arusha: Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani zimetengwa kwa

ajili ya: kujenga bweni moja (1) la wanafunzi wa kike lenye uwezo wa kulaza

wanafunzi 250; kuendelea na utafiti wa kuzalisha umeme Wilayani Mbulu chini ya

ufadhili wa Wakala wa Umeme Vijijini (REA); na kujenga maktaba yenye uwezo wa

Page 103: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 98

kuchukua jumla ya wanafunzi 1,000 na bweni la wasichana lenye uwezo wa kulaza

wanafunzi 250.

(d) Kuimarisha Mafunzo ya Elimu ya Ualimu: Shilingi bilioni 20.3 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya: kununua vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa vyuo 35

vya ualimu; kununua vitabu vya rejea vya kielektroniki kwa ajili ya vyuo vya ualimu

35 na kusambaza vifaa vya TEHAMA; kutoa mafunzo ya TEHAMA na teknolojia

saidizi kwa wakufunzi /walimu 150 wenye mahitaji maalum; kuboresha miundombinu

ya TEHAMA katika vyuo vya ualimu na kuviunganisha na Mkongo wa Taifa wa

Mawasiliano; kuendelea na ujenzi wa Chuo cha Ualimu cha Kabanga; kutoa

mafunzo kwa wawezeshaji 300 wa kitaifa kuhusu mtaala wa umahiri; kutoa mafunzo

ya programu ya wakufunzi wa chuo kwa wakufunzi 1,300 wa vyuo vya ualimu; kutoa

mafunzo ya Hisabati kwa walimu waliopo kazini katika halmashauri 20 zenye ufaulu

hafifu; kuanzisha vituo vya kitaalam vya Hisabati na kuandaa vifaa vya mafunzo kwa

somo la Hisabati; na kutoa mafunzo kwa walimu 500 (350 Msingi na 150 Sekondari)

kuhusu lugha ya alama na mbinu sahihi za ufundishaji kwa wanafunzi viziwi.

(e) Kuimarisha Taasisi ya Elimu Tanzania: Shilingi bilioni 10 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya: kuandika muhtasari wa lugha ya Kichina kidato cha Tano

na Sita ambayo inafundishwa katika shule za Sekondari 16; kuandaa mtaala na

muhtasari wa somo la Kiswahili kwa shule za msingi na sekondari za nchi za Afrika

ya Kusini na nchi nyingine zitakazowasilisha maombi; kuhuisha mtaala wa elimu ya

sekondari ili uzingatie mahitaji ya wanafunzi viziwi; kuendelea na uandishi wa vitabu

vya kiada kwa Darasa la VI, VII, Kidato cha I - VI na moduli kwa Elimu ya Ualimu

pamoja na kuandaa maudhui ya kielektroniki; kuchapa vitabu vya kiada vya Darasa

la VI - VII, Kidato cha I – VI na vitabu vya Elimu ya Ualimu; kurusha hewani vipindi

vya Taasisi ya Elimu Tanzania vyenye kubeba maudhui ya kielektroniki kwa lengo la

kukuza stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu; kutoa mafunzo kazini kwa walimu

wa shule za msingi (darasa la V – VII) kwa mtaala ulioboreshwa; na kuendelea

kuandika vitabu vya hadithi kwa ajili ya shule za msingi.

C. Elimu ya Juu

(a) Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu: Shughuli zilizopangwa

kutekelezwa ni: kutoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 450 kwa wanafunzi

128,285 ambapo wanafunzi 45,485 ni wa mwaka wa kwanza; kukusanya Shilingi

bilioni 221.5 kutoka kwa wanufaika ambao mikopo yao imeiva; kuanzisha na

kuimarisha ofisi mbili (2) za kanda katika mikoa ya Mbeya na Mtwara; kuendeleza

utekelezaji wa mkakati wa uboreshaji wa mifumo ya TEHAMA ili kuunganisha

mifumo ya Bodi ya Mikopo na ya wadau wengine; na kutekeleza kampeni za

Page 104: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 99

uelimishaji kuhusu huduma zinazotolewa na Bodi ya Mikopo, vigezo, utaratibu,

wajibu wa wanufaika na waajiri katika urejeshaji wa mikopo.

(b) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam: Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani na

Shilingi milioni 500 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kukamilisha awamu ya

kwanza na kuanza awamu ya pili ya ujenzi wa kituo cha wanafunzi; kuanza ujenzi

wa Ndaki ya Tiba za Afya – Mbeya; kufanya upanuzi wa hosteli za Dkt. John Pombe

Joseph Magufuli kwa ghorofa mbili zaidi; kukamilisha ujenzi wa jengo jipya la Kituo

cha Afya cha Chuo; kuanza awamu ya kwanza ya ujenzi wa jengo la Shule Kuu ya

Uchumi na ukarabati wa nyumba za walimu; kukarabati mabweni ya wanafunzi,

barabara za ndani; na kuanza ujenzi wa jengo la ofisi na vyumba vya madarasa

katika Shule Kuu ya Uandishi wa Habari pamoja na ujenzi wa jengo la Taasisi ya

Sayansi za Bahari lililopo Buyuni Zanzibar.

(c) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa -

MUCE: Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kujenga hosteli

mbili (2) zenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 500 kila moja na maktaba yenye

uwezo wa kuchukuwa wanafunzi 1,000 kwa wakati mmoja; na kuimarisha kitengo

cha masomo ya uzamili, utafiti na huduma kwa jamii.

(d) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam -

DUCE: Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na

awamu ya pili ya ujenzi wa jengo la utawala; na kununua vifaa vya ufundishaji na

ujifunzaji wa wanafunzi 57 wenye mahitaji maalum pamoja na vifaa vya utafiti kwa

wanataaluma.

Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwl. Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia:

Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: ukarabati wa

miundombinu katika Kampasi ya Oswald Mang‟ombe; na kukamilisha upatikanaji wa

hati ya maeneo ya chuo hususan, Kisangura - Mugumu katika Wilaya ya Serengeti

na Kinesi-Wilaya ya Rorya.

(e) Ukarabati na Ujenzi wa Chuo Kikuu Mzumbe: Shilingi bilioni 1.0 fedha za

ndani zimetengwa kwa ajili ya kuweka samani katika hosteli za wanafunzi Kampasi

Kuu eneo la Maekani.

(f) Ujenzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Ardhi: Shilingi milioni 500 fedha za

ndani zimetengwa kwa ajili ya: kukamilisha ujenzi wa jengo la Ardhi pamoja na

kuweka samani, maabara itakayokuwa na matumizi zaidi ya moja, mabweni ya

wanafunzi, ukumbi wa mihadhara, mifumo ya maji taka, na miundombinu ya

Page 105: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 100

TEHAMA; kukarabati karakana, madarasa, hosteli ya wanafunzi, bwalo la chakula

na nyumba za watumishi; kuanza ujenzi wa jengo la usanifu majengo, kuandaa

michoro ya ujenzi wa karakana, bwalo la chakula na kituo cha Afya; na kununua

magari matatu (3), genereta moja (1), samani na vifaa vya TEHAMA.

(g) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi

Muhimbili: Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani na Shilingi bilioni 1.57 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya: kukamilisha ujenzi wa kituo cha umahiri wa magonjwa ya

moyo na mishipa ya damu katika Kampasi ya Mloganzila; na kukarabati kituo cha

kufundishia na tafiti cha Bagamoyo.

(h) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Shilingi bilioni

1.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kujenga maktaba yenye uwezo wa

kuchukua wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja; na kujenga hosteli za wanafunzi.

(i) Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela – Arusha:

Shilingi bilioni 1.0 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kuanza ujenzi wa hosteli

yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 500 kwa wakati mmoja; na kutekeleza miradi

33 ya kitafiti na ubunifu kwa kufadhili wanafunzi na kulipa gharama za kiutafiti kwa

wanafunzi na wanataaluma.

(j) Mradi wa Jengo la kufundishia Katika Chuo cha Teknolojia Dar es

Salaam: Shilingi milioni 500 fedha za ndani na Shilingi bilioni 11.47 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya: kukamilisha upanuzi wa jengo la maktaba kwa kutumia

mapato ya ndani lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 500 kwa wakati mmoja;

kuweka samani za ndani na miundombinu ya TEHAMA katika jengo la DIT Teaching

Tower; na kuendelea kutafuta maeneo ya ardhi kwa ajili ya kuanzisha kampasi mpya

mikoa ya Pwani na Jijini Dodoma.

(k) Upanuzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya: Shilingi bilioni

1.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea kukamilisha ujenzi wa jengo

la maktaba lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja; kuanza

ujenzi wa jengo la ukumbi wa mihadhara lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 300

kwa wakati mmoja; kuendelea kukarabati miundombinu ya majengo ya madarasa,

hosteli na nyumba za watumishi; kufanya tathmini ya mali za wananchi katika eneo

la Kitalu Na. 2 lenye hekta 511 (Mbeya Vijijini) litakalotumika kwa ajili ya upanuzi wa

chuo; na kufanya tathimini ya mali za wananchi katika eneo ambalo limeainishwa

kuongezwa katika kampasi ya Rukwa ili kufikia hekta 500.

(l) Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo: shughuli

Page 106: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 101

zilizopangwa kutekelezwa ni: kujenga kumbi mbili (2) za mihadhara zenye uwezo wa

kuchukua wanafunzi 1,000 kila mmoja, ukumbi mmoja (1) wa mikutano wenye

uwezo wa kuchukua watu 1,000 na madarasa manne (4) yenye uwezo wa kuchukua

watu 50 kila moja; kuendelea na ujenzi wa hosteli moja (1) Kampasi ya Solomon

Mahlangu, yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 700; kujenga maabara mtambuka

katika kampasi kuu; na kukarabati miundombinu iliyochakaa ikijumuisha vyumba 17

vya kufundishia, mabweni sita (6), nyumba 30 za watumishi na barabara za ndani

zenye urefu wa kilomita 10 katika Kampasi Kuu na Solomon Mahlangu; ofisi na

madarasa Kampasi ya Tunduru na Kampasi kuu na Solomon Mahlangu ambapo

Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

D. Ujuzi na Utafiti

Kukuza Stadi za Kazi na Ujuzi kwa Ajili ya Shughuli za Kuzalisha na Kukuza

Uchumi: Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kuendelea na utekelezaji wa Mfuko

wa Kukuza Stadi za Kazi kwa kutoa ruzuku kwa ushindani kwa taasisi za mafunzo;

kuanza ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi (VETA) katika halmashauri za Ruangwa,

Kongwa, Kasulu TC na Nyasa; kukarabati vyuo vya maendeleo ya wananchi na

kuvinunulia vifaa vya kufundishia na kujifunzia; kuendelea na ukarabati wa vyuo 14

vya Maendeleo ya Wananchi; kutoa mafunzo ya uanagenzi katika vyuo vya Ufundi

Stadi na Elimu ya Ufundi; kuendelea na ujenzi wa chuo cha ufundi Dodoma chenye

uwezo wa kudahili wanafunzi 5,000 kwa wakati mmoja ambapo Shilingi bilioni 56.55

fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(a) Mfuko wa Utafiti na Maendeleo wa COSTECH: Shughuli zilizopangwa

kutekelezwa ni: kugharamia miradi mipya 8 ya utafiti kulingana na vipaumbele vya

utafiti vya Taifa; kuboresha mifumo ya ubunifu na kuwaendeleza wabunifu nchini ili

waweze kujiajiri; kubiasharisha matokeo ya utafiti nchini ili ziweze kutumika na kuleta

tija kwa maendeleo ya nchi; kuandaa mfumo wa uhawilishaji wa teknolojia kupitia

uwekezaji wa nje, pamoja na uhakiki wa teknolojia zinazoibukia; kuboresha mfumo

wa udhibiti na utoaji vibali vya utafiti nchini; na kuendesha mafunzo, semina,

mijadala, na mikutano mbalimbali kuhusiana na Sayansi, Teknolojia na Ubunifu

ambapo Shilingi bilioni 3.0 fedha za ndani na Shilingi bilioni 3.57 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(b) Maabara ya Mionzi ya Nguvu za Atomiki - Arusha: shughuli

zitakazotekelezwa ni: kuendelea na awamu ya pili ya ujenzi wa maabara ya Tume;

kuanza ujenzi wa maabara za kanda ya Zanzibar na mikoa ya Dar es Salaam na

Mwanza; kukamilisha upembuzi yakinifu wa mradi wa kutengeneza madawa ya

kuchunguza na kutibu saratani pamoja na kinu cha tafiti za kinyuklia; kupima kiasi

cha mionzi katika sampuli 16,357 za vyakula na mbolea; kuimarisha upimaji wa

Page 107: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 102

mionzi kwenye mazingira katika vituo 50 ambapo Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

E. Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi

(a) Upanuzi na Ukarabati wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi: Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kujenga na kukarabati miundombinu katika vyuo 34 vya

maendeleo ya wananchi na ununuzi wa vifaa vipya vya kisasa vya kufundishia na

kujifunzia ambapo Shilingi bilioni 4.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya

kugharamia shughuli hizo.

4.3.3.2. Afya na Maendeleo ya Jamii

A. Afya

(a) Mradi wa Kupunguza Vifo vya akina Mama Vinavyotokana na Uzazi:

Shughuli zilizopangwa ni: ujenzi wa vituo 12 vya damu salama katika mikoa 12;

upanuzi wa wodi za wazazi na kutenga vyumba vya wagonjwa mahututi

wanaotokana na uzazi katika Hospitali za Rufaa za Mikoa mitano (5); na ukarabati

na ujenzi wa wodi maalum kwa ajili ya watoto wachanga katika Hospitali za Rufaa za

Mikoa 7 ambapo Shilingi bilioni 5 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya shughuli

hizo.

(b) Mradi wa Kuboresha Hospitali za Rufaa: Shughuli zilizopangwa

kutekelezwa ni: kuboresha miundombinu ya kutolea huduma za tiba, kufanya

ukarabati na upanuzi wa miundombinu, kuanzisha na kuboresha vitengo vya

dharura, wagonjwa mahututi, maeneo ya kutakasia vifaa, upasuaji na Mama na

Mtoto katika Hospitali za Rufaa za mikoa; kuendelea na ujenzi wa hospitali mpya za

mikoa katika mikoa ya Katavi, Njombe, Geita, Simiyu, Songwe na Mara ambapo

shilingi bilioni 12 fedha za ndani na Shilingi bilioni 2.29 fedha za nje zimetengwa kwa

ajili ya shughuli hizo.

(c) Mradi wa Ununuzi na Usambazaji wa Dawa: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kuendelea kununua na kusambaza dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi katika

vituo vya umma vya kutolea huduma za afya ambapo Shilingi bilioni 200 fedha za

ndani zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(d) Taasisi ya Saratani Ocean Road: Shughuli zilizopangwa ni: kuendelea

kuimarisha huduma za kinga, uchunguzi, mafunzo na tiba ya saratani; na kuanza

ujenzi wa wodi mpya ya kulaza wagonjwa wa saratani ambapo Shilingi bilioni 10

fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

Page 108: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 103

(e) Taasisi ya Tiba ya Moyo Jakaya Kikwete: Shughuli zilizopangwa

kutekelezwa ni: kununua vifaa tiba ili kuimarisha huduma za (Cathetarization

Laboratory) upasuaji moyo ambapo shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani zimetengwa

kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(f) Hospitali ya Rufaa Kibong'oto: Shughuli zitakazotekelezwa ni kununua

mashine ya CT - SCAN kwa ajili ya uchunguzi wa kifua kikuu na kujenga mtambo wa

kuzalisha hewa ya Oxygen ambapo Shilingi bilioni 1.9 fedha za ndani zimetengwa

kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(g) Hospitali ya Rufaa Bugando: Shughuli itakayotekelezwa ni kuendelea na

awamu ya pili ya Mradi wa Saratani kwa kujenga wodi ya kulaza wagonjwa wa

Saratani, ambapo Shilingi bilioni 1.7 fedha za ndani zimetengwa.

(h) Hospitali ya Taifa Muhimbili: Shughuli itakayotekelezwa ni kuendelea na

ujenzi wa jengo la kutolea huduma za wagonjwa wanaojigharamia (private ward)

ambapo Shilingi bilioni 4 fedha za ndani zimetengwa.

(i) Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI): Shughuli zilizopangwa ni: kuwaongezea

ujuzi watalaam wa upasuaji; kununua vifaa tiba vya kisasa; na kuendelea kurejesha

mkopo wa ujenzi kutoka Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) ambapo Shilingi bilioni 5

fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(j) Udhibiti Magonjwa ya Kuambukiza: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kununua na kusambaza chanjo kulingana na mahitaji ya nchi kwa ajili ya kuwakinga

watoto chini ya mwaka mmoja; na kuimarisha huduma za kudhibiti magonjwa ya

kuambukiza ambapo Shilingi bilioni 30 fedha za ndani na Shilingi bilioni 96.93 fedha

za nje zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(k) Ujenzi wa Hospitali za Wilaya na vituo vya Afya: Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kuendelea na ujenzi wa hospitali za wilaya (67) na kuendelea

na upanuzi na ukarabati wa vituo vya afya ili kuviongezea ubora ikiwemo uwezo wa

kufanya upasuaji wa akina mama wenye uhitaji ili kupunguza vifo vya akina mama

na watoto vitokanavyo na uzazi.

B. Maendeleo ya Jamii

(a) Ujenzi na Ukarabati wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii: Shughuli

itakayotekelezwa ni ukarabati wa miundombinu katika vyuo vya maendeleo ya jamii

vya Mlale, Rungemba, Uyole na Misungwi ambapo Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani

zimetengwa.

Page 109: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 104

(b) Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kukamilisha kanzidata ya Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake; kuwezesha

upatikanaji wa teknolojia sahihi za uzalishaji, uchakataji, masoko na vifungashio kwa

wanawake wajasiriamali; na kuratibu na kuhamasisha utoaji wa mikopo yenye

masharti nafuu kwa wanawake ambapo Shilingi bilioni 1.12 fedha za nje

zimetengwa. Aidha, Shilingi bilioni 62.25 zimetengwa kwa ajili ya utoaji wa mikopo

nafuu kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Watu Wenye Ulemavu katika

Halmashauri zote nchini.

(c) Maendeleo ya Awali ya Mtoto: Shughuli zitakazotekelezwa ni: kutokomeza

ukatili dhidi ya watoto katika mikoa yote nchini; kutoa elimu ya malezi chanya kwa

jamii ili kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na watoto; kuanzisha vikundi vya

malezi chanya kwa watoto; na kuratibu uanzishwaji na uendeshaji wa mabaraza ya

watoto katika mikoa na halmashauri ambapo Shilingi milioni 191.3 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(d) Kuwezesha Huduma za Ustawi wa Jamii: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kuboresha miundombinu katika makazi ya wazee, mahabusu za watoto na makao ya

watoto; kuwezesha upatikanaji wa vitambulisho vya matibabu kwa wazee;

kuwezesha huduma za msingi kwa watoto walio katika mazingira hatarishi, walio

katika mkinzano na sheria waliopo katika makao ya Taifa ya Watoto Kurasini, Shule

ya Maadilisho ya Irambo, na watoto wanaoishi na kufanya kazi mitaani; kuwezesha

huduma za msingi kwa wazee wasiojiweza walio katika makazi 17 ya wazee; kutoa

usuluhishi wa migogoro ya ndoa katika familia; kuwezesha upatikanaji wa huduma

ya malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya watoto katika vituo vya kulelea watoto

wadogo mchana; kuwezesha huduma za malezi ya kambo na kuasili kwa watoto

walio katika mazingira hatarishi; na kusajili makao ya watoto walio katika mazingira

hatarishi ambapo Shilingi milioni 444.67 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya

kugharamia shughuli hizo.

(e) Uimarishaji wa miundombinu ya kujifunzia na kufundishia Katika taasisi

za Maendeleo na Ustawi wa Jamii: Shughuli zitakazotekelezwa ni: kujenga na

kukarabati majengo na miundombinu katika vyuo vya maendeleo ya jamii, Taasisi ya

Maendeleo ya Jamii Tengeru, Taasisi ya Ustawi wa Jamii na Chuo cha Ustawi wa

Jamii Kisangara ambapo Shilingi bilioni 1 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya

kugharamia shughuli hizo.

Page 110: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 105

4.3.3.3. Maji na Usafi wa Mazingira

(a) Kuboresha Huduma za Maji Dar es Salaam: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kuanza ujenzi wa miundombinu ya kusambaza maji kwa visima vitano vilivyopo

Kimbiji; kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya mfumo wa majitaka katika Jiji la

Dar es Salaam; kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya kusambaza maji na

matenki; na kukarabati miundombinu chakavu ya usambazaji maji ili kupunguza

upotevu wa maji ambapo Shilingi bilioni 18.5 fedha za ndani na bilioni 45.0 fedha za

nje zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(b) Mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kukamilisha ujenzi wa mradi wa kutoa maji Ziwa Victoria hadi miji ya Tabora, Igunga,

Nzega, Uyui na vijiji 110 vilivyo pembezoni mwa bomba kuu; kukamilisha ujenzi wa

miundombinu ya maji katika miji ya Isaka na Kagongwa; na kuanza ujenzi wa mradi

wa kupeleka maji kutoka Ziwa Victoria kwenda miji ya Busega, Bariadi, Lagangabilili

na Mwanhuzi ambapo kiasi cha Shilingi bilioni 7.8 fedha za ndani zimetengwa kwa

ajili ya kugharamia shughuli hizo.

(c) Miradi ya Maji ya Kitaifa: Shughuli zitakazotekelezwa ni kufanya usanifu,

kukamilisha ujenzi wa vituo vya kusambaza maji, upanuzi na ukarabati wa

miundombinu ya maji katika maeneo yanayohudumiwa na miradi ya kitaifa ya

Makonde (Mtwara), Maswa (Simiyu), Wanging‟ombe (Njombe), Chalinze (Pwani),

Ujenzi wa mradi wa Mugango/Kiabakari – Butiama (Mara) ikijumuisha vijiji vilivyo

pembezoni mwa bomba kuu la mradi pamoja na mradi wa Handeni Trunk Main.

(d) Mradi wa Maji Masasi – Nachingwea: Shilingi bilioni 1.5 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kuboresha huduma za maji kwenye eneo linalohudumiwa na

mradi na kukamilisha malipo ya ujenzi wa mtambo wa kutibu na kusafisha maji.

(e) Kuboresha Huduma za Maji Vijijini: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kukamilisha miradi inayoendelea katika Halmashauri mbalimbali na kuanza ujenzi

wa miradi mipya ambayo usanifu wake umekamilika; kuendelea na mpango wa

kuimarisha uendelevu wa huduma za maji vijijini kupitia mfumo wa malipo kwa

matokeo; kuboresha miundombinu ya maji iliyochakaa kwa kufanya upanuzi na

ukarabati; kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa miradi kandokando ya Maziwa

Makuu na Mito Mikubwa ili kuhudumia wakazi wengi zaidi; na kujenga miundombinu

ya kusambaza maji kutoka kwenye visima vilivyochimbwa na kukarabati mabwawa

na miradi isiyofanya kazi katika Halmashauri ambapo Shilingi bilioni 202.4 fedha za

ndani na shilingi bilioni 59.1 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kugharamia

shughuli hizo.

Page 111: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 106

(f) Mradi wa Maji Same - Mwanga – Korogwe: Shilingi bilioni 11.2 fedha za

ndani na Shilingi bilioni 18 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kukamilisha ujenzi

wa miundombinu ya kuzalisha maji, ulazaji wa bomba kuu la kusafirisha maji,

mtambo wa kusafishia maji na matenki; na kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya

usambazaji wa maji katika mji wa Mwanga.

(g) Kuboresha Huduma za Maji Mijini: Shilingi bilioni 20.8 fedha za ndani na

Shilingi bilioni 35.0 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: ujenzi, upanuzi na

ukarabati wa miundombinu ya maji katika miji midogo, miji mikuu ya wilaya

itakayofanikisha uunganishwaji wateja wapya na ujenzi wa magati ya maji;

kuboresha huduma ya maji safi na majitaka katika Jiji la Dodoma na mji wa Serikali;

na kuendelea na ujenzi wa mradi wa majisafi na usafi wa mazingira katika Jiji la

Arusha, mji wa Geita, manispaa ya Lindi na Kigoma; na kuendelea na upanuzi wa

miradi ya maji katika miji mikuu ya mikoa mipya.

(h) Kusimamia na Kuendeleza Rasilimali za Maji Nchini: Shughuli

zitakazotekelezwa ni pamoja na: ujenzi wa mabwawa makubwa ya Kidunda

(Morogoro), Farkwa (Dodoma), Ndembera (Iringa) na Dongo (Manyara); kuandaa

na kutekeleza mipango ya utunzaji wa vyanzo vya maji katika mabonde ya maji

nchini; kukusanya taarifa za rasilimali za maji na kuandaa mahitaji ya mfumo wa

kielektroniki wa rasilimali za maji; kufanya tafiti katika maeneo 91 yanayofaa

kuchimbwa visima katika mabonde ya Ruvuma na Pwani ya Kusini, Ziwa Victoria,

Rufiji na Bonde la Kati; na kuandaa mipango shirikishi ya usimamizi na uendelezaji

wa rasilimali za maji katika mabonde ya maji ambapo jumla ya shilingi bilioni 10

fedha za ndani na Shilingi bilioni 25 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya

kugharamia shughuli hizo.

(i) Kuimarisha Huduma za ubora wa Maabara za Maji: Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kukamilisha ujenzi wa maabara katika mikoa ya Singida,

Rukwa, Mbeya, Mtwara, Shinyanga, Songea na Dar es Salaam; ujenzi wa maabara

ya maji Bukoba; kuanza ujenzi wa maabara ya maji Morogoro; kuendelea kutekeleza

mipango ya usalama wa maji yanayosambazwa mijini na vijijini ambapo jumla ya

sampuli 4,713 za maji safi zilichunguzwa kati ya sampuli 10,000 zilizokusanywa; na

kuimarisha Maabara za Maji na Kituo cha Utafiti cha Ngurdoto kwa kuzijengea

uwezo ili ziendelee kutoa takwimu sahihi za ubora wa maji.

4.3.3.4. Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu

(a) Programu ya Kukuza Ujuzi Nchini: Shilingi bilioni 18 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya: kukuza ujuzi na stadi za kazi katika viwanda, kilimo,

Page 112: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 107

biashara, utalii, usafirishaji, TEHAMA, madini, mafuta na gesi; kutoa mafunzo ya

vitendo kazini kwa vijana 10,500 wanaohitimu katika ngazi mbalimbali za elimu;

kutoa mafunzo ya kuongeza tija na ufanisi mahali pa kazi na ujuzi wa kujiajiri kwa

vijana walio kwenye sekta isiyo rasmi; na kurasimisha ujuzi uliopatikana nje ya

mfumo rasmi wa mafunzo.

(b) Mfuko wa Maendeleo ya Vijana: Shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kuendeleza utolewaji wa mitaji na mikopo yenye masharti

nafuu kwa vijana kupitia SACCOS katika mamlaka za Serikali za mitaa nchini.

(c) Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF): Shilingi bilioni 2 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya: kutekeleza miradi ya ajira za muda kupitia shughuli za

kijamii; na kuhawilisha fedha kunusuru kaya maskini Tanzania Bara na Zanzibar.

4.3.3.5. Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

(a) Upanuzi wa Usikivu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuimarisha Chaneli y Utalii kwa kununua vifaa na

mitambo vikiwemo kamera za kawaida, kamera maalum magari na vifaa vingine

muhimu kwa ajili ya kuandaa vipindi maalum vya utalii ndani ya hifadhi na maeneo

ya vivutio; ununuzi wa mitambo ya studio na utangazaji na masoko ili kupata watalii

wengi kutoka ndani na nje ya nchi. Vile vile, kuendelea na ujenzi wa jengo la

utangazaji makao makuu ya Serikali jijini Dodoma; ujenzi na ukarabati wa studio za

redio (TBC Taifa, TBC FM na TBC International); ununuzi wa vifaa vya utangazaji

pamoja na mitambo ya kurushia matangazo mubashara; kuboresha mifumo ya

TEHAMA ya utangazaji wa redio na televisheni kwa kuunganisha katika Mkongo wa

Taifa ili kuongeza ufanisi katika urushaji wa matangazo; ununuzi wa magari ya

kurushia matangazo ya moja kwa moja kwa ajili ya matangazo ya redio na

televisheni ambapo Shilingi bilioni 5.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya

kugharamia shughuli hizo.

(b) Habari kwa Umma

Shughuli zitakazotekelezwa ni:kuhabarisha Umma kuhusu utekelezaji wa sera na

kazi za serikali; kuhabarisha umma kuhusu maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za

Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa Madiwani, Wabunge na Rais; na kuandaa mfumo wa

mtandao wa utoaji wa leseni za machapisho, vitambulisho vya waandishi wa habari

na picha za viongozi na matukio mbalimbali ya Serikali ambapo shilingi bilioni 1.0

fedha za ndani zimetengwa.

4.3.3.6. Hifadhi ya Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuendeleza uhifadhi endelevu wa bonde la Ziwa

Page 113: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 108

Nyasa; kuimarisha Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Mazingira; kujenga uwezo wa

taasisi kusimamia na kupunguza athari za mazingira kwa jamii za vijijini katika

sehemu zenye ukame; kuimarisha mifumo ya ikolojia ili kuhimili athari za mabadiliko

ya tabianchi; kuongoa maeneo ya ikolojia yaliyoharibika na kuhifadhi baianuai; na

kujenga uwezo wa kitaifa wa kutekeleza Sheria ya Mazingira. Shilingi bilioni 18.2

fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kugharamia shughuli hizo.

4.3.4. Mazingira Wezeshi kwa Uendeshaji Biashara na Uwekezaji

4.3.4.1. Miundombinu

A. Reli

(a) Mfuko wa Maendeleo ya Reli: Shilingi bilioni 255.7 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya kugharamia ujenzi wa reli kwa standard gauge, kuboresha

miundombinu ya reli iliyopo, ununuzi wa injini na mabehewa ya mizigo na abiria na

upembuzi yakinifu kwa sehemu za Kaliua – Mpanda – Karema, Tabora – Kagoma,

Tanga – Arusha – Musoma na Mtwara – Mbamba Bay na matawi ya Mchuchuma na

Liganga.

(b) Kuboresha miundombinu ya reli iliyopo kutoka Dar es Salaam hadi

Isaka: Shilingi bilioni 216.0 zimetengwa kwa ajili ya: ujenzi/ukarabati wa madaraja

na makalvati katika eneo la Dar es Salaam - Itigi (Km 626); ukarabati wa njia ya reli

kutoka Itigi - Isaka (Km 344); huduma za ushauri; ujenzi wa njia za kupishana katika

stesheni za Ilala na Isaka; na ununuzi wa vifaa na mitambo (track recording car, injini

(3), mabehewa ya mizigo (44), train control system, train modelling software na

management accounting Information Software).

(c) Ujenzi wa Reli ya jijini Dar es Salaam (DSM Commuter Trains): shughuli

zitakazotekelezwa ni kukamilisha upembuzi yakinifu wa usanifu wa awali wa ujenzi

wa reli ya mjini (DSM Commuter Trains). Hii inajumuisha kuanza kazi ya kumtafuta

Mshauri wa Uwekezaji wa kuandaa andiko la kutafuta wawekezaji.

(d) Kuboresha Miundombinu ya Reli ya TAZARA: Shughuli zitakazotekelezwa

ni: kukarabati vichwa sita (6) na mabehewa 221; kununua mtambo wa kuimarisha

njia (Tamping Machine); kununua mitambo ya kusaidia upasuaji wa kokoto na

kutengeneza mataruma ya zege katika mgodi wa Kongolo; kujenga njia mbili za reli

zenye jumla ya urefu wa mita 600 na jukwaa la kupandia abiria katika kituo cha

dharura cha Matabwe; kufanya upembuzi yakinifu wa matawi mapya ya reli za

kutoka bandari mpya ya Bagamoyo hadi kituo cha reli Mzenga - TAZARA na mgodi

wa makaa ya mawe Magamba hadi Mlowo (kilomita 20).

Page 114: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 109

B. Barabara na Madaraja

(a) Barabara Zinazofungua Fursa za Kiuchumi

(i) Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupilo - Mahenge /Malinyi - Londo -

Lumecha/Songea (km 499): Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuendelea na

ujenzi sehemu ya Kidatu – Ifakara (km 68); na kuanza taratibu za ujenzi

sehemu ya Ifakara – Kihansi – Mlimba – Taweta/Madeke (km 220.22) na

Ifakara – Lupiro - Mahenge /Malinyi - Londo - Lumecha/Songea (km 396)

ambapo shilingi milioni 515 fedha za ndani na shilingi bilioni 11.6 fedha za nje

zimetengwa.

(ii) Barabara ya Tabora - Ipole - Koga - Mpanda (km 370): Shughuli

zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi wa barabara sehemu za Usesula -

Komanga (km 115), Komanga – Kasinde (km 120) na Kasinde – Mpanda (km

118) ambapo Shilingi bilioni 1.9 fedha za ndani na shilingi bilioni 59.7 fedha

za nje zimetengwa.

(iii) Barabara ya Makutano - Natta – Mugumu (km 125) na Loliondo - Mto wa

Mbu (km 213): Shilingi bilioni 7.1 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya:

kuendelea na ujenzi wa sehemu za Makutano - Sanzate (km 50) na Waso -

Sale Junction (km 50); na kuanza ujenzi sehemu ya Sanzante – Natta (km

40), Natta – Mugumu (km 45), Karatu – Mbulu – Hydom – Sibiti River –

Lalago –Maswa (km 389) sehemu ya Mbulu – Hydom (km 50).

(iv) Barabara ya Manyoni - Itigi – Tabora (km 259.7): Shughuli

zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi sehemu ya Nyahua – Chaya (km

85.4) ambapo shilingi milioni 600 fedha za ndani na shilingi bilioni 10.7 fedha

za nje zimetengwa.

(v) Barabara ya Itoni – Ludewa - Manda (km 211): Shughuli zitakazotekelezwa

ni kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Lusitu – Mawenge (km 50) kwa

kiwango cha zege ambapo shilingi bilioni 4.3 zimetengwa.

(vi) Barabara ya Handeni - Kibereshi – Kibaya - Singida (km 460): Shughuli

zitakazotekelezwa ni kuanza ujenzi sehemu ya Handeni – Kiberashi (km 50)

ambapo shilingi bilioni 1.5 fedha za ndani zimetengwa.

(vii) Barabara ya Dodoma – Iringa (km 267.1): Shughuli zitakazotekelezwa ni

kuanza ujenzi wa barabara ya mchepuo wa Iringa (Iringa Bypass km 7.3)

ambapo shilingi milioni 950 fedha za ndani zimetengwa.

(viii) Barabara ya Dodoma – Babati (km 243.80): Shughuli zitakazotekelezwa ni

kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa barabara

ya mchepuo wa Babati (Babati Bypass km 12) ambapo shilingi milioni 70

fedha za ndani na shilingi milioni 980 fedha za nje zimetengwa.

(ix) Barabara ya Mbeya - Makongolosi - Rungwa – Itigi - Mkiwa (km 171.9):

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuendelea na ujenzi sehemu ya Chunya –

Page 115: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 110

Makongolosi (km 43); na kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya

Mkiwa – Itigi - Noranga (km 56.9) na Mbalizi – Makongolosi (km 50) ambapo

shilingi bilioni 6.1 fedha za ndani zimetengwa.

(x) Barabara ya Kigoma - Kidahwe - Uvinza – Kaliua - Tabora (km 389.7):

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuendelea na ujenzi sehemu ya Urambo –

Kaliua (km 28); kuanza ujenzi sehemu ya Uvinza - Malagarasi (km 51.1) na

sehemu ya Kazilambwa - Chagu (km 36) ambapo shilingi bilioni 3.1 fedha za

ndani na shilingi bilioni 5.5 fedha za nje zimetengwa.

(xi) Barabara ya Mtwara – Mingoyo – Masasi – Songea – Mbamba Bay (km

1,470.9): Shilingi bilioni 11.3 fedha za ndani na shilingi bilioni 19.1 fedha za

nje zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na ujenzi wa barabara za Mbinga -

Mbamba Bay (km 66) na Masasi – Newala – Mnivata (sehemu ya Mtwara –

Mnivata km 50); kuanza ujenzi wa barabara za Masasi – Nachingwea (km

50), Mtwara – Newala – Masasi (sehemu ya Mnivata – Tandahimba km 50),

Likuyufusi – Mkenda (km 122.5) na Kitai – Lituhi (km 90); kuanza maandalizi

ya ujenzi wa barabara ya Nanganga – Ruangwa – Nachingwea (km 100),

ukarabati wa barabara ya Mtwara – Mingoyo - Masasi (km 200); na kufanya

upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa barabara ya Nachingwea – Liwale

(km 130).

(xii) Barabara ya Bagamoyo – Makurunge – Saadani - Tanga (km 246):

Shilingi bilioni 3.2 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na

ujenzi sehemu za TAMCO – Vikawe – Mapinga (km 24), Kisarawe –

Maneromango (km 54); kuanza ujenzi sehemu ya Tanga – Pangani (km 50);

kuendelea na maandalizi ya upanuzi wa sehemu ya Tegeta – Bagamoyo (km

46.9), Mbegani – Bagamoyo (km 7.2) na kuanza maandalizi ya ujenzi wa

barabara ya Makofia – Mlandizi (km 36.7).

(b) Barabara Zinazounganisha Tanzania na Nchi Jirani

(i) Barabara ya Sumbawanga – Matai - Kasanga Port (km 112): Shughuli

zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi sehemu iliyobaki kati ya Matai –

Kasanga Port (km 32) na kuanza ujenzi wa barabara ya Matai – Kasesya (km

50) ambapo shilingi bilioni 8.1 fedha za ndani zimetengwa.

(ii) Barabara ya Marangu - Tarakea - Rongai - Kamwanga /Bomang’ombe -

Sanya Juu (km 330.31): Shilingi bilioni 3.5 fedha za ndani na shilingi bilioni

29.7 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na ujenzi wa barabara

za Kwasadala – Masama – Machame Junction (km 16), Kiboroloni – Kikarara

– Tsuduni - Kidia (km 10.8), Kijenge – Usa River (Nelson Mandela AIST: km

14); kuanza mandalizi ya ujenzi wa barabara ya Mianzini – Ngaramtoni (km

18), upanuzi wa barabara ya Arusha – Moshi – Himo – Holili (sehemu ya

Tengeru – Moshi – Himo (km 105) na ujenzi wa mizani ya Himo.

Page 116: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 111

(iii) Barabara ya Isaka - Lusahunga (km 533): Shilingi bilioni 4.4 fedha za ndani

na shilingi bilioni 6.3 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na

ukarabati sehemu ya Ushirombo - Lusahunga (km 110), ujenzi wa kituo cha

Pamoja cha Ukaguzi (One Stop Inspection Station - OSIS) cha Nyakanazi;

kuanza ukarabati wa barabara ya Lusahunga – Rusumo (km 92); na

kuendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya

Nyakahura – Kumubuga – Murusagamba/ Rulenge – Murugarama na

barabara ya Rulenge – Kabanga nickel (km 141).

(iv) Barabara ya Sumbawanga - Mpanda – Nyakanazi (km 517.4): Shilingi

bilioni 8 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na ujenzi wa

barabara ya Mpanda - Mishamo (km 100) sehemu ya Mpanda – Ifukutwa –

Vikonge (km 35); kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami kwa sehemu za

Kibaoni – Sitalike (km 71), Kizi – Lyambalyamfipa - Sitalike (km 86.31);

kuanza maandalizi ya ujenzi wa barabara ya Vikonge – Magunga – Uvinza

(km 159); na kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa sehemu ya

Namanyere – Katongoro - New Kipili Port (km 64.8).

(v) Barabara ya Nyanguge – Musoma, na Michepuo ya Usagara – Kisesa na

Bulamba – Kisorya (km 495.9): Shilingi bilioni 6.4 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya: kufunga taa za barabarani katika mradi wa upanuzi

wa barabara ya kwenda uwanja wa ndege wa Mwanza (km 12); kuendelea na

ujenzi barabara ya Nansio – Kisorya – Bunda - Nyamuswa (sehemu ya

Kisorya – Bulamba km 51); kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami kwa

barabara ya Nyamuswa – Bunda - Bulamba (km 55), Musoma – Makojo –

Busekela (km 92); na kuendelea na maandalizi ya ukarabati wa barabara za

Nyanguge – Simiyu/Mara Boarder (km 100.4) na Makutano – Sirari (km 83).

(vi) Barabara ya Mwigumbi – Maswa - Bariadi – Lamadi (km 171.8): Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kuendelea na ujenzi sehemu ya Maswa - Bariadi (km

49.7); kuanza maandalizi ya ujenzi wa barabara za Kolandoto – Mwanhuzi

(km 10), Lalago – Ng‟oboko – Mwanhuzi (km 74) na Isabdula (Magu) –

Bukwimba – Ngudu – Ng‟hungumalwa (km 10) ambapo shilingi bilioni 4.8

fedha za ndani zimetengwa.

(vii) Barabara ya Kidahwe - Kasulu – Kibondo - Nyakanazi (km 413): Shilingi

bilioni 9.2 fedha za ndani na shilingi bilioni 15 fedha za nje zimetengwa kwa

ajili ya: kuendelea na ujenzi sehemu za Kidahwe – Kasulu (km 63) na

Nyakanazi – Kakonko/Kabingo (km 50); kuanza ujenzi sehemu ya Kakonko

(Kabingo) – Kibondo – Kasulu – Manyovu (km 260) na barabara ya Nduta

Junction – Kibondo mjini (km 25.6).

(viii) Kidahwe (Kigoma) – Ilunde – Malagarasi – Kaliua (km 188). Shughuli

zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi sehemu ya Urambo – Kaliua (km

28) na kuanza ujenzi sehemu za Uvinza – Malagarasi (km 51.1) na

Page 117: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 112

Kazilambwa – Chagu (km 36) ambapo shilingi bilioni 3.1 fedha za ndani na

shilingi bilioni 5.5 fedha za nje zimetengwa.

(ix) Barabara ya Usagara - Geita - Buzirayombo – Kyamyorwa (km 230):

Shilingi bilioni 5.2 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza shughuli

zilizopangwa ambazo ni kuanza ujenzi wa barabara za Geita - Bulyanhulu

Juntion (km 58.3), Bulyanhulu Junction - Kahama (km 61.7) na kuanza

maandalizi ya ujenzi wa barabara ya Nyamirembe Port – Katoke (km 50).

(c) Barabara za Mikoa

Shilingi bilioni 40 zimetengwa kwa ajili ya kujenga km 40.81 za barabara za mikoa

kwa kiwango cha lami, kukarabati km 486.07 kwa kiwango cha changarawe na

kujenga madaraja 12.

(d) Barabara za Kupunguza Msongamano Jijini Dar es Salaam (km 169.66)

Shilingi bilioni 33.1 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya: kuanza ujenzi wa km 4

kwenye barabara ya Kibamba – Kisopwa – Kwembe - Makondeko (km 14.66),

Banana – Kitunda – Kivule – Msongola (km14.7), Mji Mwema – Kimbiji – Pemba

Mnazi (km 30), Goba – Makongo (km 4), na Wazo Hill – Madale (km 9) na kuanza

maandalizi ya upanuzi wa barabara za Mwai Kibaki (km 9) na Kongowe – Mji

Mwema – Kivukoni (km 25.1).

(e) Miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka

Shilingi bilioni 1.5 fedha za ndani na shilingi 27.3 fedha za nje zimetengwa kwa ajili

ya kuanza ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam

kwa awamu ya pili (km 20.3) na kuendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina

wa barabara zilizopangwa awamu ya tatu (km 23.6) na ya nne (km 25.6).

(f) Ujenzi wa Barabara za Juu (Flyover) Jijini Dar es Salaam

Shughuli zitakazotekelzwa ni: kuendelea na ujenzi wa Ubungo Interchange;

kuendelea na kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa ajili ya kuanza

ujenzi wa barabara za juu kwenye makutano ya barabara katika maeneo ya Fire,

Morocco, Mwenge, Magomeni Tabata/Mandela, Buguruni, makutano ya barabara

Kinondoni/Ali Hassan Mwinyi na Selander (Ali Hassan Mwinyi/UN Road Junction);

na kuendelea na maandalizi ya ujenzi wa Mabey Flyovers katika jiji la Dar es

Salaam, Dodoma na Mwanza ambapo Shilingi bilioni 1.7 fedha za ndani na Shilingi

bilioni 20.3 fedha za nje zimetengwa.

(g) Barabara ya Dodoma University na Barabara ya Mzunguko wa Dodoma

Shilingi bilioni 9 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa

barabara za Ihumwa - Chuo Kikuu cha Dodoma (km 12), barabara za Ikulu

Page 118: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 113

(Chamwino), kuanza ujenzi wa barabara ya mzunguko ya Nala – Veyula – Ihumwa –

Matumbulu – Nala (km 104) na barabara ya Kongwa Junction – Ng‟ambi –

Mpwapwa – Gulwe – Kibakwe (km 98).

(h) Barabara za Vijijini na Mijini

Shilingi bilioni 224.94 fedha za ndani zimetengwa kupitia TARURA kwa ajili ya

kufanya matengenezo ya barabara zenye urefu wa kilometa 21,525.04,

matengenezo ya makalvati madogo 2,403, madaraja 113, makalvati makubwa 273

na mifereji yenye urefu wa mita 82,627.81. Vile vile, shilingi bilioni 22.44 zimetengwa

kupitia Mfuko wa Barabara kwa ajili ya ujenzi wa kilomita 15.1 za barabara za lami,

ukarabati wa kilomita 185.7 za barabara za changarawe na ujenzi wa madaraja 23.

(i) Ujenzi wa Madaraja

(i) Ujenzi wa Madaraja Makubwa: Shilingi bilioni 12.5 fedha za ndani na shilingi

milioni 890 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na ujenzi wa

daraja la Ruhuhu (Ruvuma), daraja jipya la Wami (Pwani), daraja la Magara

(Manyara), daraja la Kitengule (Kagera), na barabara unganishi katika daraja

la Sibiti; kuanza ujenzi wa daraja la Kigongo/Busisi (Mwanza), daraja la

Sukuma (Mwanza) na daraja la Msingi (Singida); kuanza maandalizi ya ujenzi

wa daraja la Mkenda (Ruvuma), daraja la Simiyu (Mwanza), na daraja la

Mzinga (Dar es salaam); kuanza maandalizi ya ukarabati wa daraja la Kirumi

(Mara); kufanya usanifu na kuanza ujenzi wa daraja la Godegode (Dodoma);

kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa daraja la Mtera (Dodoma),

daraja la Mkundi (Morogoro), daraja la Malagarasi Chini (Kigoma), daraja la

Ugalla (Katavi), na daraja la Mitomoni (Ruvuma); na ununuzi wa vipuri vya

daraja la dharura (emmergency Steel Bridge Parts).

(ii) Daraja jipya la Selander (Dar es Salaam): Shughuli zitakazotekelezwa ni

kuendelea na ujenzi wa daraja (km 1.03) na barabara unganishi zenye jumla

ya urefu wa km 5.2 ambapo shilingi milioni 310 fedha za ndani na shilingi

bilioni 10.7 fedha za nje zimetengwa.

(iii) Daraja la Nyerere na Barabara Unganishi (km 6.9): Shughuli

zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi wa barabara unganishi za

Kigamboni (Daraja la Nyerere) – Vijibweni (km 1.5), kuanza ujenzi wa

barabara ya Kibada – Mwasonga – Tundwisongani Jct/ Tundwisongani –

Kimbiji (km 41) na kuendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa

barabara ya Tungi – Kibada (km 3.8) ambapo shilingi bilioni 60.7 fedha za

ndani zimetengwa.

C. Usafiri Majini

(a) Ujenzi wa Maegesho ya Vivuko: Shilingi bilioni 1.6 fedha za ndani

Page 119: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 114

zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na kazi ya upanuzi wa maegesho ya

Kigamboni; ujenzi wa maegesho ya Bukondo na Zumacheli katika kivuko cha

Chato – Nkome; ujenzi wa maegesho ya Nyamisati; ujenzi wa maegesho ya

kivuko cha Lindi – Kitunda; na ukarabati wa maegesho ya Bugolora – Ukara,

Rugezi – Kisorya, Kilambo - Namoto na Utete - Mkongo.

(b) Ununuzi wa Vivuko Vipya: shughuli zitakazotekelezwa ni kukamilisha malipo

ya ununuzi wa kivuko kipya cha Magogoni – Kigamboni na kivuko kipya cha

Nyamisati – Mafia, kivuko kipya cha Bugolora – Ukara, boti moja (1) ya uokozi

kwa ajili ya usafiri wa majini kati ya Lindi na Kitunda, boti nne (4) kwa ajili ya

kisiwa cha Ukerewe (Ilugwa, Nafuba, na Ghana) na Magogoni – Kigamboni

ambapo shilingi bilioni 5.9 fedha za ndani zimetengwa.

(c) Ukarabati wa Vivuko: shughuli zitakazotekelezwa ni kukarabati vivuko vya

MV Sengerema, MV Kigamboni na MV Misungwi, MV Kome II, MV Ujenzi, MV

KIU, MV Mara, MV Musoma, MV Tegemeo ambapo shilingi bilioni 2.1 fedha

za ndani zimetengwa.

(d) Ununuzi na Ukarabati wa Meli katika Maziwa Makuu: Shilingi bilioni 70.0

zimetengwa kwa ajili ya: kuendelea na ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa

kubeba abiria 1,200 na tani 400 za mizigo katika ziwa Victoria; Ujenzi wa meli

mbili za mizigo zenye uwezo wa kubeba tani 3,000 za mizigo kila moja katika

Ziwa Victoria; ujenzi wa chelezo; ukarabati wa meli ya MV Victoria, MV

Umoja, MV Serengeti, MT Ukerewe na MV Butiama katika Ziwa Victoria; na

ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 600 na tani 400 za

mizigo pamoja na ukarabati wa Meli ya MV. Liemba katika Ziwa Tanganyika.

D. Bandari

(a) Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam: Shughuli za zitakazotekelezwa ni

pamoja na kuendelea na kazi ya kuboresha Gati Na. 2 hadi 7; kuendelea na

ujenzi wa Gati la kupakua na kupakia magari (Ro-Ro); na kuongeza kina na

upana wa lango la kuingilia na kutokea meli pamoja na sehemu ya kugeuzia

meli.

(b) Bandari ya Tanga: Shughuli zitakazotekelezwa ni kuimarisha sakafu ngumu

na kuongeza kina cha gati Na. 1-2.

(c) Bandari ya Mtwara Shughuli za zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi wa

gati moja (multi purpose terminal) lenye urefu wa mita 300.

(d) Bandari Kavu Ruvu: Shughuli za zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi

wa bandari kavu katika eneo la Ruvu.

(e) Bandari za Maziwa Makuu: kuendelea na ujenzi na ukarabati wa magati

katika Ziwa Victoria (Nkome, Nyamirembe, Magarine, Lushamba na

Mwigobero), Ziwa Tanganyika (Lagosa, Kalya – Sibwesa, Kasanga,

Kagunga, Ujiji, Kabwe, ujenzi wa Bandari ya Karema na chelezo katika

Page 120: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 115

Bandari ya Kigoma) na Ziwa Nyasa (Kiwira, Ndumbi na Itungi) pamoja na

miundombinu ya usalama.

E. Usafiri wa Anga

(a) Ujenzi wa Jengo la Tatu la Abiria katika Kiwanja cha Ndege cha

Kimataifa cha Julius Nyerere

Shilingi bilioni 4 fedha za ndani na shilingi bilioni 9.7 fedha za nje zimetengwa

kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III),

kuuganisha umeme wa gridi ya Taifa kwenye jengo hilo na kufanya usanifu

wa kina kwa ajili ya upanuzi na ukarabati jengo la pili la abiria (Terminal

Building II). Aidha, shilingi bilioni 26.0 fedha za ndani zimetengwa kwa ajili ya

uendeshaji na kuweka miundombinu katika jengo la Tatu la Abiria (Terminal

III).

(b) Chuo cha Taifa cha Usafirishaji

Shughuli zitakazotekelezwa ni: ujenzi wa miundombinu na ununuzi wa

vifaa/nyenzo za kufundishia wahandisi ikijumuisha ujenzi wa karakana ya

ndege ya mafunzo - uwanja wa ndege wa Kilimanjaro; ununuzi wa ndege

mbili (2) za mafunzo; ununuzi wa cabin crew equipment; ununuzi wa

vifaa/nyenzo za kufundishia mafunzo ya anga; na ujenzi wa majengo ya

utawala, madarasa, karakana, nyumba za watumishi na mabweni katika

Uwanja wa Ndege Kilimanjaro.

(c) Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Kilimanjaro: Shughuli zilizopangwa ni

kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina na kuanza maandalizi ya

kukarabati barabara za kuruka na kutua ndege, kufunga taa za kuongoza

ndege na kukarabati eneo la kuegesha magari ambapo shilingi milioni 100

fedha za ndani zimetengwa.

(d) Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato: Shughuli

zilizopangwa ni: kufanya mapitio ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina na

kuanza kulipa fidia kwa mali za wananchi watakaopisha eneo la mradi

ambapo shilingi bilioni 3.1 fedha za ndani na shilingi bilioni 8.5 fedha za nje

zimetengwa.

(e) Kiwanja cha Ndege Mwanza: Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: ujenzi

wa jengo jipya la abiria, uzio wa kiwanja, mfumo wa maji safi, mfumo wa

kuondoa maji taka na maji ya mvua kiwanjani, maegesho ya magari na

kufunga taa za kuongozea ndege ambapo shilingi bilioni 5.1 fedha za ndani

na shilingi bilioni 3 fedha a nje zimetengwa.

(f) Kiwanja cha Ndege Kigoma: Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni kujenga

jengo la abiria na miundombinu yake ikijumuisha maegesho ya ndege,

maegesho ya magari na barabara za kuingia na kutoka kiwanjani; ufungaji wa

taa na mitambo ya kuongozea ndege; ujenzi wa uzio wa kiwanja, jengo la

Page 121: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 116

kuongozea ndege, na jengo la uangalizi wa hali ya hewa ambapo shilingi

milioni 120 fedha za ndani na shilingi milioni 570 fedha za nje zimetengwa.

(g) Kiwanja cha Ndege Tabora: Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni ujenzi wa

jengo la abiria, jengo la kuongozea ndege, maegesho ya magari, barabara za

kuingia na kutoka kiwanjani na jengo la uangalizi wa hali ya hewa ambapo

shilingi milioni 902 fedha za ndani na shilingi bilioni 5.2 fedha za nje

zimetengwa.

(h) Kiwanja cha Ndege Mtwara: Shughuli zilizopangwa ni kuendelea na

ukarabati wa barabara ya kuruka na kutua ndege, viungio, maegesho ya

ndege, kufunga taa za kuongozea ndege, maegesho ya magari na barabara

za kuingia na kutoka kiwanjani ambapo shilingi bilioni 4.5 fedha za ndani

zimetengwa.

(i) Kiwanja cha Ndege Sumbawanga: Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni:

ujenzi wa barabara ya kutua na kuruka ndege, viungio, maegesho ya ndege,

jengo la abiria, jengo la kuongoza ndege, jengo la uangalizi wa hali ya hewa,

maegesho ya magari na barabara za kuingia na kutoka kiwanjani ambapo

shilingi milioni 100 fedha za ndani na shilingi bilioni 7.2 fedha za nje

zimetengwa.

(j) Kiwanja cha Ndege Shinyanga: Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni:

ujenzi wa barabara ya kutua na kuruka ndege, viungio, maegesho ya ndege,

jengo la abiria, jengo la kuongoza ndege, jengo la uangalizi wa hali ya hewa,

maegesho ya magari na barabara za kuingia na kutoka kiwanjani, ufungaji wa

taa na mitambo ya kuongozea ndege pamoja na uzio wa kiwanja ambapo

shilingi milioni 100 fedha za ndani na shilingi bilioni 8.8 fedha za nje

zimetengwa.

(k) Uendelezaji wa Viwanja vya Ndege vya Mikoa: Shilingi bilioni 16.9 fedha za

ndani na shilingi bilioni 19.4 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza

shughuli zilizopangwa ambazo ni ujenzi wa viwanja vya ndege katika mikoa

ya Geita na Simiyu; upanuzi wa viwanja vya ndege vya mikoa ya Iringa,

Ruvuma (Songea), Lindi, Lake Manyara, Tanga na Mara (Musoma);

kukamilisha malipo ya fidia kwa wananchi waliopisha mradi wa kiwanja cha

ndege Dodoma; na kuanza ukarabati wa kiwanja cha ndege cha Moshi.

(l) Ufungaji wa rada za kuongozea ndege za kiraia: kuendelea na ufungaji wa

rada za kuongozea ndege za kiraia katika viwanja vya KIA, Mwanza na

Songwe na kuziendesha:

Page 122: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 117

F. Nishati

(a) Miradi ya Kuzalisha Umeme

Miradi ifuatayo imepangwa kutekelezwa:

(i) Kinyerezi I Extension – MW 185 (Dar es Salaam): kukamilisha ufungaji wa

mitambo ambapo Shilingi bilioni 60.0 fedha za ndani zimetengwa;

(ii) Kufua Umeme Rusumo - MW 80 (Kagera): kujenga miundombinu ya

kukinga na kuingiza maji katika handaki; ujenzi wa kituo cha kuzalisha

umeme; ufungaji wa mitambo katika kituo cha kuzalisha umeme; ujenzi wa

kituo cha kupoza umeme; na kukamilisha miradi ya kijamii kwa wananchi

wanaozunguka eneo la mradi ambapo Shilingi bilioni 3 zimetengwa;

(iii) Mtwara Power Project (MW 300): kukamilisha uthamini na kulipa fidia kwa

wananchi wanaopisha ujenzi wa mradi; kumpata Mtaalam Mshauri wa

kusimamia ujenzi wa mradi; na kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa mradi

ambapo shilingi bilioni 1.0 fedha za ndani na Shilingi bilioni 3.2 fedha za nje

zimetengwa;

(iv) Kakono - MW 87 (Kagera): kutwaa ardhi na kulipa fidia katika eneo la mradi;

na kutafuta Wakandarasi kwa ajili ya ujenzi wa mradi na njia ya kusafirisha

umeme ya msongo wa kV 220 ambapo Shilingi milioni 500 fedha za ndani na

Shilingi bilioni 2 fedha za nje zimetengwa;

(v) Malagarasi – MW 45 (Kigoma): kutwaa ardhi na kulipa fidia kwa wananchi

watakaopisha mradi; kumpata Mtaalam Mshauri na Wakandarasi kwa ajili ya

ujenzi wa mradi na njia ya umeme ya msongo wa kV 132 ambapo Shilingi

milioni 600 fedha za ndani na Shilingi bilioni 2.4 zimetengwa;

(vi) Mradi wa Ruhudji - MW 358 (Njombe): kumpata Mtaalam Mshauri wa

kusimamia ujenzi wa mradi; na kumpata Mkandarasi wa kujenga mradi

ambapo Shilingi bilioni 10.0 fedha za ndani na Shilingi bilioni 2.5 fedha za nje

zimetengwa; na

(vii) Umeme wa Jotoardhi – Ngozi (Mbeya): kuendelea na utaratibu wa ununuzi

wa mtambo wa kuchoronga visima vya utafiti ambapo Shilingi milioni 500

fedha za ndani na Shilingi bilioni 7.5 fedha za nje zimetengwa.

(b) Miradi ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni:

(i) Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 220 Makambako –

Songea: kuendelea kuunganisha wateja ikiwemo vijiji vya Lutikila, Ifinga na

Mbangamawe mkoani Ruvuma vilivyoongezeka pamoja na kukamilisha kazi

ya kufunga Reactor na Distribution Panels katika vituo vya kupoza umeme

vya Makambako, Madaba na Songea ambapo Shilingi bilioni 2 fedha za ndani

na Shilingi milioni 500 fedha za nje zimetengwa.

Page 123: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 118

(ii) Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 400 - North West Grid

Extension (Iringa – Mbeya - Sumbawanga – Mpanda - Kigoma –

Nyakanazi): kukamilisha uthamini na kulipa fidia kwa wananchi watakaopisha

eneo la mradi; kumpata Mtaalam Mshauri wa kusimamia ujenzi wa mradi

katika sehemu ya Iringa - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga (km 624);

kuhakiki na kulipa fidia kwa wananchi watakaopisha mradi na kumpata

Mkandarasi wa ujenzi wa mradi katika sehemu ya Nyakanazi - Kigoma (km

280); kufanya tathmini ya mali za wananchi zitakazoathiriwa na mradi; na

kuandaa nyaraka za zabuni za kumpata Mtaalam Mshauri wa kusimamia

mradi katika sehemu ya Sumbawanga - Mpanda - Kigoma (km 480) ambapo

shilingi bilioni 11.35 zimetengwa;

(iii) Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 220 North West Grid

Extension (Geita – Nyakanazi): ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka

Geita hadi Nyakanazi; ujenzi wa kituo cha kupoza umeme cha Nyakanazi;

upanuzi wa kituo cha kupoza umeme cha Geita kitakachojengwa kupitia

mradi wa Bulyanhulu – Geita; na usambazaji wa umeme katika vijiji 32

ambapo Shilingi Bilioni 1 imetengwa;

(iv) Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 220 Bulyanhulu – Geita:

kukamilisha ujenzi wa njia ya umeme ya msongo wa kV 220; kukamilisha

ujenzi wa kituo kipya cha kupoza umeme cha kV 220 Geita; upanuzi wa kituo

cha kupoza umeme cha kV 220 Bulyanhulu; kukamilisha ujenzi wa njia za

kusambaza umeme za msongo wa kV 33 na kV 0.4; na kuunganisha umeme

kwa wateja wapya 1,500 ambapo Shilingi bilioni 1.50 fedha za ndani na

Shilingi bilioni 2.60 fedha za nje zimetengwa;

(v) Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 400 Rufiji – Chalinze –

Dodoma: kukamilisha upembuzi yakinifu; kufanya uthamini wa mali za

wananchi watakaopisha mradi na kulipa fidia; kumpata Mtaalam Mshauri wa

kusimamia mradi; na kumpata Mkandarasi wa kujenga njia ya kusafirisha

umeme ambapo shilingi bilioni 8 fedha za ndani na Shilingi bilioni 3 fedha za

nje zimetengwa;

(vi) Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 400 kutoka

Chalinze – Segera, kV 400 Segera-Tanga, kV 220 Kibaha-Bagamoyo:

kufanya upembuzi yakinifu; na kuwapata wakandarasi wa ujenzi wa njia za

kusafirisha umeme na vituo vya kupoza umeme ambapo Shilingi bilioni 3

zimetengwa;

(vii) Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 400 kutoka

Singida - Arusha – Namanga: kuendelea na ujenzi wa njia ya kusafirisha

umeme na vituo vya kupoza umeme ambapo shilingi bilioni 4 zimetengwa;

(viii) Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo wa kV 400 Kinyerezi –

Chalinze: kukamilisha upembuzi yakinifu; kulipa fidia kwa wananchi

Page 124: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 119

watakaopisha mradi; na kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha

umeme na kituo cha kupoza umeme ambapo Shilingi bilioni 15 zimetengwa;

(ix) Mradi wa Kusambaza Umeme Vijijini na Makao Makuu ya Wilaya: Shilingi

bilioni 423.10 zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi.

(c) Miradi ya Kusambaza Gesi Asilia Viwandani: ujenzi wa miundombinu ya

kuunganisha viwanda vya Shreeji Silicates Tanzania Limited, LN Future na Kings

Aluminium; na kujenga trunk-line kutoka Mwenge hadi Tegeta na kuunganisha

wateja mbalimbali wakiwemo Estim Construction, Chem &Cortex, Polypet, Interchik,

Giraffe Hotel, Jangwani Sea Breeze, Ramada Resort Hotel, Landmark Hotel,

Seascape Hotel na White Sands Hotel ambapo Shilingi bilioni 11.22 zimetengwa.

(d) Utafiti katika Vitalu vya Songo Songo Magharibi, 4/1B na Mnazi Bay

Kaskazini: kumpata Mshauri Mwelekezi wa kukusanya, kuchakata na kutathmini

taarifa za mitetemo ya 3D zenye ukubwa wa kilomita za mraba 693.1 kwa kitalu cha

4/1B na Mnazi Bay Kaskazini kwa maeneo ambayo hayajafanyiwa utafiti; kumpata

Mshauri Mwelekezi kwa ajili ya kutathmini athari za mazingira kwa kitalu cha 4/1B na

Mnazi Bay Kaskazini; na kufanya tafiti za kijiolojia na kijiofizikia, kumpata mbia wa

kimkakati wa kutekeleza mradi na kufanya maandalizi ya awali ya uchorongaji wa

kisima cha utafiti kwa upande wa Kitalu cha Songo Songo Magharibi ambapo

Shilingi milioni 905 zimetengwa.

4.3.4.2. Ardhi na Maeneo ya Uwekezaji na Biashara

(a) Progamu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi: shughuli

zitakazotekelezwa ni: Kuimarisha Mfuko wa Fidia; kuendelea kutekeleza Programu

ya Taifa ya Kurasimisha Makazi katika kanda zote na kuwapatia wananchi hatimilki

za makazi; kuhuisha Ramani za Msingi zenye uwiano wa 1:50,000 katika Jiji la

Dodoma; kupima na kuidhinisha viwanja 200,000; kutoa Hati za Kumiliki Ardhi

200,000 na Hatimiliki za Kimila 150,000; na kushirikiana na Tume ya Taifa ya

Matumizi ya Ardhi na Mamlaka za Upangaji kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi

kwenye “corridors” za Reli ya Dar-es-Salaam –Isaka na Bomba la Mafuta kuanzia

Mtukula hadi Chongoleani Tanga ifikapo Juni, 2020. Aidha, Shilingi bilioni 8.0 fedha

za ndani zimetengwa.

(b) Programu ya Umilikishaji wa Ardhi: shughuli zitakazotekelezwa ni:

kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi ambapo vijiji 50 katika wilaya za Kilombero,

Ulanga na Malinyi (Morogoro); kupima vipande vya ardhi 150,000; kuhakiki na

kuandaa hati miliki za kimila 60,000 katika wilaya hizo; kuendelea na upimaji wa

viwanja 15,000 na kuwapatia wananchi hati miliki za kimila; kukamilisha ujenzi wa

ofisi za ardhi za Wilaya 3 za Ulanga, Malinyi na Kilombe; na kuandaa mipango

Page 125: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 120

kabambe ya Ifakara, Mahenge na malinyi. Aidha, wizara inaandaa programu ya

utekelezaji katika maeneo mengine nchini ambapo shilingi bilioni 2 fedha za ndani

na shilingi bilioni 4.02 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli

hizi.

(c) Mradi wa Kuimarisha Mipaka ya Kimataifa: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

Kuimarisha mipaka minne (4) ya kimataifa (Tanzania-Kenya; Tanzania-Zambia;

Tanzania – Burundi; Tanzania-DRC/Burundi/Zambia); Kuandaa kanzidata ya taarifa

ya mipaka ya kimataifa; Kukusanya na kutunza taarifa za upimaji majini Kupima

mipaka ya nchi katika maziwa na Ufuatiliaji wa utekelezaji wa mradi ambapo shilingi

bilioni 5.4 imetengwa kwa ajili hya kutekeleza shughuli hizo.

4.3.4.3. Huduma za Fedha

(a) Benki ya Maendeleo TIB

Shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni: kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni

144.5 katika sekta za viwanda, maji, nishati, utalii, kilimo na miundombinu ya Serikali

za mitaa; kukuza mizania ya Benki kufikia kiasi cha Shilingi bilioni 872.9; kupunguza

kiwango cha mikopo chechefu kutoka asilimia 32 ya mwaka 2018 hadi asilimia 22.5

kwa mwaka 2019; na kuongeza faida kutoka Shilingi bilioni 8 mwaka 2018 hadi

Shilingi bilioni 9 mwaka 2019.

(b) Benki ya Maendeleo ya Kilimo

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kutoa mikopo kwa ajili ya miradi ya uchakataji

mazao, kilimo cha umwagiliaji, ujenzi wa maghala ya kisasa, miradi ya kilimo kwa

kutumia zana bora za kilimo (mechanized agriculture); kuanzisha vituo vya huduma

za zana za kilimo; na kutoa dhamana za mikopo ili kuchagiza mabenki na taasisi za

fedha kuongeza ukopeshaji kwa miradi ya kilimo kupitia Mfuko wa Dhamana kwa

Wakulima Wadogo (Smallholder Farmers Credit Guarantee Scheme - SCGS).

Aidha, Benki itaendelea kuwajengea uwezo wakulima wadogo kupitia mafunzo ya

mbinu bora za kilimo, usimamizi wa fedha, uendeshaji bora wa vikundi na vyama,

utunzaji wa kumbukumbu na utengenezaji wa miradi inayokidhi masharti ya mikopo

kutoka katika mabenki na taasisi za fedha.

4.3.4.4. Utalii, Biashara na Masoko

(a) Utalii

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kutoa elimu katika kanda nne za utalii kuhusu kanuni,

sheria na miongozo ya uendelezaji biashara ya utalii; kuendelea kutangaza vivutio

vya malikale vya Caravan-Serai Bagamoyo, Kaburi (Mausoleum) la Mkwawa

Kalenga, Eneo la zana za kale za mawe Isimila, Tembe la Dr. Livingstone Ujiji na

Page 126: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 121

nyumba ya Mwl. Nyerere Magomeni; kuendelea kuboresha miundombinu wezeshi

ya utalii kwa kujenga barabara katika eneo la Ndutu na barabara za kushuka Kreta

kuu; ukarabati wa miundombinu ya vivutio sita vya malikale ambayo ni Michoro ya

Kolo (Kondoa), Magofu ya Kaole na Mji wa Zamani wa Bagamoyo, Tembe la

Livingstone (Tabora), Jengo la Zamani la Afya (Tabora) na Magofu ya Tongoni

(Tanga); kuendelea kuboresha huduma za utalii katika mapori ya akiba kwa kujenga

hosteli za kisasa sita katika mapori ya akiba ya Swagaswaga (1) na Selous (5) na

kambi 12 za kulala wageni katika mapori ya akiba Mpanga - Kipengere (1),

Swagaswaga (4), eneo la Matambwe, Selous (4), na Kijereshi (3).

Shughuli zitakazotekelezwa kupitia mradi wa Uendelezaji wa Utalii katika Ukanda wa

Kusini – REGROW ni kuanza maandalizi ya awali ya ujenzi wa babarara, viwanja

vya ndege, mabanda kwa ajili ya kupokea wageni katika hifadhi zilizo kusini mwa

Tanzania.

(b) Biashara na Masoko

(i) Mradi wa Kukuza Shughuli za Kibiashara katika Jumuiya ya Maendeleo

ya Nchi za Kusini mwa Afrika – SADC: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

utekelezaji wa Sera ya Viwanda na Mpango Mkakati; uendelezaji wa

mnyororo wa thamani kwa zao la alizeti; uwezeshaji biashara na utafiti katika

biashara ya huduma.

(ii) Mradi wa EU – EAC wa kuboresha upatikanaji wa masoko: Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kuboresha uzalishaji wa mazao ya chai, kahawa,

viungo, embe, parachichi pamoja na kuwawezesha wakulima na wafanya

biashara kuyafikia masoko ya Jumuiya ya Ulaya.

(iii) Kuboresha Mazingira ya Biashara: Shughuli zitakazotekelezwa ni:

kuendelea kushirikiana na kuhamasisha jumuiya ya wafanyabiashara juu ya

fursa za masoko ya upendeleo ambayo Tanzania inanufaika; kufanya

majadiliano ya kibiashara kati ya Tanzania na nchi nyingine, Kikanda na

Kimataifa kwa lengo la kupanua fursa za masoko na uwekezaji; kukamilisha

mapitio ya Sheria ya Anti-dumping and Countervailing Measures; na

kutekeleza Mkataba wa Shirika la Biashara Duniani (WTO) kuhusu

uwezeshaji wa Biashara.

4.3.5. Kuimarisha Usimamizi na Utekelezaji wa Mpango

Utawala bora

(a) Azma ya Serikali Kuhamia Dodoma

Shughuli zitakazotekelezwa ni kuendelea na ujenzi wa mji wa Serikali na Jiji la

Dodoma kwa kuimarisha miundombinu ya masoko, huduma za jamii, barabara,

Page 127: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 122

mfumo wa maji safi na maji taka.

(b) Utoaji Haki na Huduma za Kisheria

(i) Mradi wa E-Justice: Shughuli zitakazotekelezwa ni: kuziunganisha taasisi za

haki jinai katika mfumo mmoja wa kielektroniki ambapo Shilingi bilioni 1.0

fedha za ndani zimetengwa.

(ii) Mradi wa Kuimarisha Upatikanaji wa Haki za Kibinadamu: Shughuli

zitakazotekelezwa ni: kuimarisha mfumo wa upatikanaji haki za kisheria na

ulinzi wa haki za binadamu kwa wanawake na watu walio kwenye makundi

maalum ambapo shilingi milioni 802.4 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya

shughuli hizo.

(iii) Mradi wa Kuboresha Uwajibikaji: Shughuli zitakazotekelezwa ni: kusajili na

kutoa mafunzo kwa Watoa Msaada wa Kisheria (Paralegals); kuendesha wiki

ya Msaada wa Kisheria ambayo huadhimishwa nchini kote ambapo ushauri

wa kisheria kwa mtu mmoja mmoja utatolewa, elimu kupitia vijarida,

vipeperushi, na machapisho; kutoa huduma ya kisheria kwa wafungwa na

mahabusu katika magereza nchini; na kutoa msaada wa kisheria kwa

wanawake katika masuala mbalimbali hususan masuala ya umiliki wa ardhi.

(iv) Vitambulisho vya Taifa: Shughuli zitakazotekelezwa ni: usajili na utambuzi

wa wananchi, wageni wakazi na wakimbizi waliofikia umri wa miaka 18;

kuendelea na utoaji wa vitambulisho vya Taifa katika mikoa yote nchini;

kukamilisha mfumo wa mawasiliano katika wilaya 34 na makao makuu ya

wilaya; kuunganisha mfumo wa vitambulisho vya Taifa pamoja na mifumo ya

taasisi nyingine (40); kukamilisha sheria ya usajili na utambuzi wa watu;

kununua vifaa vya usajili na vitendea kazi kwa kila wilaya; na ujenzi wa ofisi

za makao makuu – Dodoma na ofisi za usajili katika wilaya 42 ambapo

Shilingi bilioni 10 zimetengwa kwa ajili ya shughuli hizo.

(c) Mfuko wa Mahakama

Jumla ya Shilingi bilioni 15.0 fedha za ndani na shilingi bilioni 7.2 fedha za nje

zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza shughuli za:

(i) Kuanza ujenzi wa majengo ya Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania jijini

Dodoma;

(ii) Kuendelea na ujenzi wa mahakama nchini kote zikiwemo Mahakama Kuu

mbili (2) zinazoendelea kujengwa mkoani Kigoma na Mara na kuanza kujenga

nyingine katika mikoa ya Morogoro, Mwanza, Dodoma na Singida. Pia

Mahakama kujenga Mahakama za Wilaya 32 na Mahakama za Mwanzo 20

(iii) Kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika utoaji wa huduma za kisheria kwa

kufunga mfumo wa kielektroniki wa utunzaji wa kumbukumbu, usikilizaji wa

mashauri, ukusanyaji wa takwimu za mashauri na kutoa taarifa mbalimbali za

Page 128: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 123

kimahakama;

(iv) Kujenga mfumo wa kieletroniki wa utoaji haki (e-justice) ili kuharakisha

usikilizaji wa mashauri na hivyo kupunguza msongamano wa mahabusu

magerezani; na

(v) Usimamizi wa kamati za maadili ya mawakili wa kujitegemea, udhibiti na

kuwaondoa kwenye orodha mawakili wanaokiuka maadili pamoja na

kujihusisha na vitendo vya kushawishi na kutoa rushwa.

(d) Mfuko wa Bunge

(i) Ukarabati wa Majengo ya Bunge: Shilingi bilioni 2.65 fedha za ndani

zimetengwa kwa ajili ya: kuanzisha Bunge mtandao na kituo cha kurusha

matangazo ya redio na televisheni ya Bunge; ukarabati wa majengo ya

Bunge; na ukarabati wa ukumbi wa Bunge.

(ii) Ujenzi wa Miundombinu ya Bunge: shughuli zitazotekelezwa ni ujenzi wa

nyumba za makazi ya viongozi wa Bunge (Katibu wa Bunge na Naibu Spika)

na Ununuzi na ufungaji wa mitambo ya usalama ambapo shilingi bilioni 2.35

fedha za ndani zimetengwa.

(iii) Mradi wa Maboresho ya Usimamizi wa Fedha Za Umma: Shilingi milioni

650 fedha za nje zimetengwa kwa ajili ya kujengea uwezo Idara ya Bajeti.

(iv) Mradi wa kulijengea uwezo Bunge: Kazi zilizopangwa ni Mafunzo ya

kuwajengea uwezo Wabunge na Watumishi ambapo shilingi billioni 1.96

fedha za nje zimetengwa.

(e) Usajili wa Vizazi na Vifo

Katika kusajili matukio muhimu ya binadamu, hususan vizazi na vifo Serikali

inaendelea kutekeleza mradi wa Usajili wa Watoto chini ya Miaka mitano.

4.3.6. Maeneo Mengine Muhimu kwa Ukuaji wa Uchumi na Ustawi wa Taifa

4.3.6.1. Diplomasia ya Kiuchumi

Shughuli zitakazotekelezwa ni: Kuendelea kusimamia na kuratibu Sera ya Mambo

ya Nje kwa kuweka msisitizo kwenye Diplomasia ya Uchumi kuelekea Tanzania ya

viwanda; Uboreshaji wa miundombinu ya Chuo cha Diplomasia ili kuendelea

kukifanya kuwa kitovu/kituo cha ufundishaji na utafiti wa Diplomasia ya uchumi

kitaifa na kikanda; kuvutia fursa za uwekezaji katika sekta mbalimbali ikiwemo ya

biashara pamoja na kutangaza vivutio vya utalii; Kufungua ubalozi mpya mmoja na

Konseli Kuu katika maeneo ya kimkakati ambayo yataiwezesha nchi yetu

kunufuaika na fursa za kiuchumi na biashara; na Kuendelea na ujenzi na ukarabati

wa majengo ya ofisi na nyumba za makazi ya watumishi katika balozi 15 ambazo ni

Ubalozi wa Tanzania Moroni, Comoro; Ubalozi wa Tanzania Washington D.C,

Page 129: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 124

Marekani; Ubalozi wa Tanzania London, Uingereza; Ubalozi wa Tanzania Geneva,

Uswisi; Ubalozi wa Tanzania Lusaka, Zambia; Ubalozi wa Tanzania Pretoria, Afrika

Kusini; Ubalozi wa Tanzania Harare, Zimbwabe; Ubalozi wa Tanzania

Kigali,Rwanda; Ubalozi wa Tanzania Addis Ababa, Ethiopia; Ubalozi wa Tanzania

Beijing, China; Ubalozi wa Tanzania Berlin, Ujerumani; Ubalozi wa Tanzania Rome,

Italia; Ubalozi wa Tanzania New York, Marekani; Ubalozi wa Tanzania Lilongwe,

Malawi; na Ubalozi wa Tanzania Ottawa, Canada. Hatua hii itaipunguzia Serikali

gharama za kulipa pango za ofisi za balozi na na makazi ya watumishi. Katika

kutekeleza majukumu hayo jumla ya shilingi bilioni 4 zimetengwa.

4.3.6.2. Kuimarisha Ushiriki wa Sekta Binafsi

(a) Miradi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi - PPP

Miradi itakayotekelezwa ni:

(i) Mradi wa uzalishaji wa Dawa Muhimu na Vifaa Tiba katika mikoa ya

Pwani, Mwanza na Mbeya: kuwapata wabia wa ujenzi wa viwanda vitatu vya

uzalishaji wa dawa muhimu na vifaa tiba na kuanza ujenzi;

(ii) Mradi wa ujenzi wa vyuo kumi (10) vya Ufundi: kukamilisha mapitio ya

upembuzi yakinifu na kufanya upekuzi (due diligence) kwa mwekezaji

aliyewasilisha andiko;

(iii) Mradi wa Kusambaza Gesi Asilia katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi

na Mtwara: kumpata Mtaalam Elekezi wa kufanya upembuzi yakinifu na

kuutangaza mradi kwa ajili ya kumpata Mbia;

(iv) Kujenga Hosteli za wanafunzi katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE)

kampasi za Dar es Salaam na Dodoma: Kuendelea kuandaa taarifa ya

upembuzi yakinifu;

(v) Ujenzi wa Reli ya Mtwara – Mbamba Bay na matawi ya Mchuchuma na

Liganga kwa standard gauge: kuendelea na upembuzi yakinifu na

kutangaza zabuni ya kumpata Mbia;

(vi) Ujenzi wa Reli ya Tanga (Mwambani) - Arusha – Musoma) pamoja na

matawi ya Engaruka na Minjingu kwa standard gauge: kukamilisha

upembuzi yakinifu na kutangaza zabuni ya kumpata Mbia;

(vii) Ujenzi wa jengo la biashara commercial complex na hoteli ya nyota nne

katika kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA):

kukamilisha upembuzi yakinifu na kutafuta mbia;

(viii) Mradi wa Uendeshaji wa Huduma ya Usafiri jijini Dar es Salaam Awamu

ya Kwanza: Awamu ya I: kutafuta mbia wa kutoa huduma Service Providers

kuendesha huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka. Awamu ya II: kuendelea

na taratibu za kumpata "Transaction Advisor" wa kusaidia kuandaa Upembuzi

Yakinifu (Feasibility Study) na kusaidia kuwapata watoa huduma wa

Page 130: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 125

kuendesha Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka. Awamu ya III na IV:

kuendelea na taratibu za kumpata "Transaction Advisor" wa kusaidia

kuaandaa Upembuzi Yakinifu Feasibility Study na kusaidia kupata watoa

huduma wa kuendesha Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka; na

(ix) Ujenzi wa Kituo cha Kisasa cha Saratani cha Taasisi ya Ocean Road

(Mloganzila): Kukamilisha upembuzi yakinifu.

(b) Mchango wa Serikali katika Kuimarisha Ushiriki wa Sekta Binafsi

Shughuli zitakazotekelezwa ni: kukamilisha Sera na Mkakati wa Maendeleo ya Sekta

Binafsi ya mwaka 2019; na kuboresha sera za masuala ya uchumi katika usimamizi

wa fedha, riba na kodi; kuendelea na utekelezaji wa Mwongozo wa Kuboresha

Mfumo wa Udhibiti wa Biashara; kuandaa kanuni na miongozo ya Sheria ya Ubia

kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi; na kuendelea kuwezesha upatikanaji wa

maeneo ya uwezeshaji yenye miundombinu ili kuvutia wawekezaji zaidi.

4.3.6.3. Mchango wa Mashirika na Taasisi za Umma

(a) Ujenzi wa Hospitali Rufaa ya Kanda ya Mtwara. Mfuko wa Taifa wa Bima ya

Afya - NHIF kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,

Wazee na Watoto itaendeleza ujenzi wa hospitali ya rufaa ya kanda ya Kusini

Mtwara. Mradi huu kwa awamu ya kwanza unatarajiwa kugharimu Shilingi

billioni 30.

(b) Ufufuaji wa Kiwanda cha Chai cha Mponde - Lushoto (Tanga). Mfuko wa

PSSSF umefikia makubaliano na wanahisa wa Kiwanda cha Mponde juu ya

utayari wa kuingia ubia wa kufufua kiwanda. Gharama za mradi husika

zinatarajia kufikia Shilingi bilioni 10 na jumla ya wafanyakazi kati ya 30 na 40

wanatarajiwa kuajiriwa. Mradi utawanufaisha wakulima kati ya 250 mpaka 300

ambao watapata soko la majani ya Chai.

(c) Mpango wa NSSF kutoa Mikopo kwa Makampuni. Shirika linatarajia kutenga

Shilingi bilioni 20 kwa ajili ya kutoa mikopo yenye tija kwa taasisi mbalimbali na

mashirika ili kuwezesha kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa Taifa. Mikopo

hiyo inatarajia kutolewa hususan kwa kuendeleza viwanda ili kuungana na

juhudi za Serikali ya awamu ya tano katika kufikia uchumi wa kati.

Page 131: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 126

SURA YA TANO

UGHARAMIAJI WA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2019/20

5.1. Utangulizi

Sura hii inaeleza kwa kifupi ugharamiaji wa Mpango kwa kuzingatia vyanzo

mbalimbali vya mapato. Vyanzo hivyo ni mapato ya ndani, mikopo na misaada, ubia

kati ya sekta ya umma na sekta binafsi, uwekezaji wa mashirika ya umma na vyanzo

bunifu vya kuongeza mapato ya Serikali. Ugharamiaji wa Mpango umezingatia

makadirio ya awali ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2019/20, Mkakati

wa Ugharamiaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano na Mwongozo

wa Ushirikiano wa Maendeleo - DCF.

5.2. Gharama za Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Mwaka 2019/20, makadirio ya fedha za maendeleo ni Shilingi bilioni 12,248.6 sawa

na asilimia 37 ya bajeti yote ikilinganishwa na Shilingi bilioni 12,007.3 zilizotengwa

mwaka 2018/19. Kati ya kiasi hicho, Shilingi bilioni 9,737.7 sawa na asilimia 79.5 ya

fedha za maendeleo ni fedha za ndani na Shilingi bilioni 2,510.9 sawa na asilimia

20.5 ya fedha za maendeleo ni fedha za nje. Kiasi hiki kinakidhi kiwango

kilichobainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano cha

kutenga fedha za maendeleo kati ya asilimia 30 hadi 40 ya bajeti yote.

Katika kufanikisha upatikanaji wa fedha hizo, hatua mbalimbali zitachukuliwa na

Serikali ikijumuisha: kuendelea kuimarisha makusanyo ya mapato ya ndani hususan

kwa kuendelea kurasimisha sekta isiyo rasmi ikiwemo kugawa vitambulisho kwa

wajasiliamali wadogo na kutoa elimu kwa walipakodi; Kuhamasisha ulipaji wa kodi

kwa hiari kupitia vipindi mbalimbali vya elimu kwa umma; Kutekeleza mwongozo wa

ushirikiano baina ya Serikali na Washirika wa Maendeleo (Development Cooperation

Framework – DCF); Kuendelea kusisitiza nidhamu ya matumizi katika utekelezaji wa

bajeti kwa kuzingatia Sheria ya Bajeti Na. 11 ya Mwaka 2015; Kuanza kutumika kwa

Mfumo wa Kielekroniki wa Stampu za kodi (Electronic Tax Stamp - ETS); na

Kutekeleza Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Mapato ya Ndani (IDRAS); na

kuendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji na ufanyaji biashara nchini (Blueprint

for Regulatory Reforms to Improve Business Environment for Tanzania).

5.3. Vyanzo vya Mapato kwa Mwaka 2019/20

Serikali inatarajia mapato ya ndani na nje ili kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa

mwaka 2019/20. Ili kuhakikisha mapato tarajiwa yanapatikana, Serikali itaendelea

kutekeleza Mkakati wa Ugharamiaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka

Mitano; kuboresha mazingira ya kufanya biashara na uwekezaji ili kuvutia uwekezaji

Page 132: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 127

wa moja kwa moja kutoka ndani na nje ya nchi na uwekezaji kwenye miradi ya ubia

kati ya sekta ya umma na sekta binafsi. Aidha, Serikali itaimarisha ukusanyaji wa

mapato ya ndani; na kuanza mapema na kuongeza ufanisi katika majadiliano na

Washirika wa Mendeleo ili kuwezesha kupatikana kwa misaada na mikopo hiyo kwa

wakati.

5.3.1 Vyanzo vya Mapato ya Ndani

Serikali itaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuongeza ukusanyaji wa

mapato ya ndani yanayojumuisha mapato ya kodi, yasiyo ya kodi na mikopo ya

ndani. Mikakati hii ni pamoja na kutekeleza Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa

Mapato ya Ndani - IDRAS ili kuongeza ufanisi katika usimamizi wa makusanyo ya

kodi za ndani; kupanua wigo wa kodi kupitia utambuzi na usajili wa walipakodi

wapya na kuendelea na urasimishaji wa sekta isiyo rasmi; kuendelea kusisitiza

matumizi sahihi ya Mashine za Risiti za Kielektroniki - EFDs; kuimarisha Mfumo wa

Serikali wa Kielektroniki wa Ukusanyaji wa Mapato - GePG ili kuongeza ufanisi

katika ukusanyaji wa mapato; na kuimarisha mifumo ya usimamizi na ufuatiliaji

katika taasisi za Serikali ili kuhakikisha yanatekeleza majukumu yake kwa tija na

kutoa michango stahiki ya Mashirika kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali. Aidha, Serikali

itaendelea kufanya majadiliano na wawekezaji wa dhamana na hatifungani za

Serikali na kutekeleza mikakati ya kuwezesha Mifuko ya jamii kuwekeza katika soko

la ndani la fedha pamoja na kuendelea na uhamasishaji taasisi, wananchi na wadau

wengine kuwekeza katika soko la ndani la fedha.

5.3.2 Vyanzo vya Mapato ya Nje

Katika kuhakikisha mapato kutoka vyanzo vya nje yanapatikana, Serikali itaendelea

kuimarisha Ushirikiano na Washirika wa Maendeleo kwa kutekeleza mpango kazi wa

DCF; na kutumia fursa ya mikopo yenye masharti nafuu na ya kibiashara kwa

kuzingatia wigo wa uhimilivu wa deni la Taifa.

5.3.3 Uwekezaji wa Moja kwa Moja kutoka Nje ya Nchi ( FDI)

Uwekezaji huu unafanywa na Kampuni au taasisi za kimataifa katika sekta

mbalimbali za uchumi nchini zikiwemo zilizopewa msukumo katika Mpango wa

Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 - 2020/21. Sekta hizo ni pamoja na

viwanda, kilimo, maliasili, gesi, mafuta, madini, mawasiliano, ujenzi na utalii. Serikali

itaendelea kuweka mazingira bora na wezeshi ili kuongeza uwekezaji huo kulingana

na fursa zilizopo. Aidha, Serikali kupitia Kituo cha Taifa cha Uwekezaji - TIC

itaendelea kutangaza fursa za uwekezaji na kuandaa miongozo kwa ajili ya vivutio

vya wawekezaji katika miradi ya maendeleo ili kuvutia uwekezaji wa moja kwa moja

pamoja na kupitia taratibu na Sheria za uwekezaji ili kuziboresha.

Page 133: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 128

5.3.4 Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi

Serikali itaendelea kutoa elimu kwa Wizara, Idara Zinazojitegemea, Tawala za Mikoa

na Serikali za Mitaa na mashirika na taasisi za umma kuhusiana na mbinu za uibuaji,

maandalizi na utekelezaji wa miradi ya PPP. Aidha, Serikali itaendelea kuimarisha

na kuuwezesha Mfuko wa Uwezeshaji wa miradi ya ubia (Facilitation Fund) ili

kugharamia pembuzi yakinifu kwa miradi ya PPP iliyoibuliwa katika taasisi au Wizara

ambazo zimeshindwa kulipa gharama za Wataalam Elekezi (Transaction Advisors).

5.3.5 Vyanzo Bunifu

(a) Mifuko ya Kimataifa ya Mabadiliko ya Tabia Nchi na Mazingira

Kwa upande wa fedha za mifuko mbalimbali ya kimataifa inayohusika na mabadiliko

ya tabianchi, mwaka 2019/20 Serikali inategemea kupata takribani Shilingi bilioni

15.99 fedha za nje ili kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo. Ili kuwezesha

upatikanaji wa fedha hizi Serikali itaendelea kuchukua hatua za kuandaa miradi

pamoja na kuendelea na mazungumzo na wafadhili ili kuwezesha upatikanaji wa

fedha kutoka mifuko mbalimbali inayohusiana na hifadhi na usimamizi wa mazingira

na mabadiliko ya tabianchi kama vile Least Developed Countries Fund (LDCF);

Global Environmental Facility (GEF); Adaptation Fund (AF); United National

Environmental Programme (UNEP) na Bank ya Maendeleo ya Afrika(AfDB). Vyanzo

hivi vitawezesha kuimarisha utekelezaji wa miradi ya mazingira. Aidha, Serikali

imewasilisha miradi kwa ajili ya kupata ufadhili kwenye mfuko wa Global

Environmental Facility (GEF) kwa kipindi cha miaka 5 (2019 – 2023) ambapo

Tanzania inatazamia kupata jumla ya dola za kimarekani milioni 24 kwenye

programu hiyo.

Page 134: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 129

SURA YA SITA

UFUATILIAJI, TATHMINI NA UTOAJI WA TAARIFA

6.1. Utangulizi

Sura hii inaeleza Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini; Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini

ya Mpango 2019/20, ambao utatumika kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo

katika ngazi zote; Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa

Miaka Mitano na Mgawanyo wa Majukumu katika Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango.

6.2. Malengo ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango

Katika kuhakikisha kuwa Mfumo wa ufuatiliaji na tathmini unatoa matokeo tarajiwa

kwa Mwaka 2019/20, Serikali itajikita katika:

(a) Kukamilisha mapitio ya muda wa kati (mid term review) ya utekelezaji wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2016/17 – 2020/21;

(b) Kufuatilia miradi ya kimkakati ili kujiridhisha na malengo yaliyopangwa na

kuhakikisha kuwa utekelezaji umezingatia thamani ya matumizi ya fedha;

(c) Kuratibu na kuwezesha Wizara, Idara Zinazojitegemea, Taasisi na Wakala za

Serikali, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za Mitaa, Sekta Binafsi na

wadau wengine kufuatilia mara kwa mara hatua iliyofikiwa katika utekelezaji

wa miradi ya kipaumbele ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa;

(d) Kuendelea kutoa tahadhari kwa changamoto zinazoweza kujitokeza na

kukwamisha utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa na Mkakati wa

Ufuatiliaji na Tathmini; na

(e) Kuendelea kutoa fursa ya kujifunza kwa wadau zikiwemo Wizara, Idara

Zinazojitegemea, Taasisi na Wakala za Serikali, Sekretarieti za Mikoa,

Mamlaka za Serikali za Mitaa na wadau wengine wa ufuatiliaji na tathmini

katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Taifa.

6.3. Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango

Katika mwaka 2019/20, Serikali itaendelea kutekeleza Mfumo wa Ufuatiliaji na

Tathmini kama ulivyoainishwa katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka

Mitano ili kufuatilia mwenendo na kupima mafanikio au matokeo yaliyofikiwa katika

kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Aidha, Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini

utabaini mapungufu yatakayojitokeza katika utekelezaji ili kuyatafutia ufumbuzi.

Katika kuhakikisha kuwa malengo yaliyokusudiwa ya utekelezaji wa miradi ya

maendeleo yanafikiwa, mfumo huu utaainisha vipengele muhimu vya ufuatiliaji na

tathmini katika maeneo ya matumizi ya mfumo wa takwimu, udhibiti, ukaguzi,

mapitio, utafiti, pamoja na usimamizi. Aidha, mfumo huu utaendelea kutoa fursa ya

mafunzo ya uchambuzi na utoaji taarifa kwa wataalamu ili kuwezesha watoa

Page 135: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 130

maamuzi kupata taarifa zenye kuleta ufanisi katika utekelezaji wa Mpango. Vile vile,

mfumo utaendelea kutoa kipaumbele kwenye mgawanyo wa majukumu katika

ufuatiliaji, uratibu, tathmini na utoaji wa taarifa za utekelezaji pamoja na upatikanaji

wa taarifa za uhakika zitakazotumika kupima mafanikio kwa kutumia viashiria vya

kitakwimu na visivyo vya kitakwimu.

6.4. Tathmini ya Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano,

2016/17 – 2020/21

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano unafanyiwa tathmini katika

awamu nne ambazo ni: Tathmini ya ndani ya mwaka, Mapitio ya Muda wa kati wa

utekelezaji, Tathmini ya mwisho wa Utekelezaji pamoja na Uchunguzi na Uchambuzi

wa kina wa Taarifa. Tathmini hizo zitabainisha mafanikio na changamoto halisi za

utekelezaji wa miradi pamoja na kutoa mapendekezo ya mabadiliko yanayohitajika ili

kuhakikisha malengo ya Mpango yanafikiwa kama yalivyopangwa. Aidha, Serikali

itaendelea na taratibu za kufanya tathmini ya Mpango kwa muda wa kati kupitia

Mtathmini Huru, zoezi linalotarajiwa kufanyika mwaka 2019.

6.5. Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango itaendelea kuratibu ufuatiliaji na tathmini ya Mpango

kwa kushirikiana na Wizara, Idara Zinazojitegemea, Taasisi na Wakala za Serikali

zinazotekeleza miradi ya maendeleo. Katika kufanikisha utekelezaji wa

mapendekezo yatakayotolewa katika ufuatiliaji na tathmini hiyo, mfumo utakuwa

kama ifuatavyo:

(a) Wizara ya Fedha na Mipango kwa kushirikiana na wadau wa sekta za miradi

husika itafuatilia utekelezaji wa miradi kila robo mwaka;

(b) Wizara ya Fedha na Mipango itaitisha kikao na wadau kujadili changamoto

zilizobainishwa katika utekelezaji wa miradi na kukubaliana hatua za

kukabiliana nazo; na

(c) Kufuatilia utekelezaji wa maazimio yaliyofikiwa katika kukabiliana na

changamoto za utekelezaji wa miradi.

6.6. Utoaji Taarifa

Serikali itatumia Mkakati wa Mawasiliano wa Mpango wa Maendeleo wa Miaka

Mitano katika utoaji taarifa kwa wananchi. Mkakati wa mawasiliano umelenga

kuhakikisha kuwa wananchi wanapata uelewa kuhusu Mpango na wajibu wao katika

kuutekeleza, mafanikio na changamoto za utekelezaji na mbinu zitakazotumika

katika kufikia malengo ya Mpango. Aidha, katika kutekeleza mkakati huo, mbinu

mbalimbali zitaendelea kutumika katika utoaji wa taarifa kwa umma ikiwemo

Maonesho ya Kimataifa (Saba Saba na Nane Nane), tovuti za Serikali, magazeti,

vipeperushi, vyombo vya habari (televisheni na radio) pamoja na vikao vya wadau.

Page 136: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 131

6.7. Mgawanyo wa Majukumu katika Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango

Katika kuhakikisha kuwa Mkakati wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Mpango

unatekelezwa, taasisi zifuatazo zitahusika:

(a) Wizara ya Fedha na Mipango

Wizara ya Fedha na Mipango itaratibu utekelezaji wa Ufuatiliaji na Tathmini ya

Mpango wa Maendeleo na ushiriki wa wadau. Vile vile, Wizara itahakikisha kuwa

rasilimali fedha zinapatikana kugharamia shughuli za ufuatiliaji na tathmini na

kufuatilia matumizi ya fedha kwa ajili ya uwajibikaji. Wizara ya Fedha na Mipango

itakuwa na wajibu wa kutoa taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya

mwaka na taarifa za ufuatiliaji wa miradi.

(b) Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Katika kukabiliana na uhaba wa wataalam wa ufuatiliaji na tathmini, Ofisi ya Rais -

Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora itakuwa na wajibu wa

kuhakikisha upatikanaji wa rasilimali watu katika nyanja hiyo ya ufuatiliaji. Hii

itahusika pia na kuwajengea uwezo wataalam waliopo ili waweze kuchambua na

kutoa taarifa zenye ubora.

(c) Ofisi ya Rais – TAMISEMI

Ofisi ya Rais – TAMISEMI ina jukumu la kuratibu ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji

wa miradi ya maendeleo katika ngazi za Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za

Serikali za Mitaa. Aidha, Ofisi ya Rais, TAMISEMI itawajibika kuwasilisha Wizara ya

Fedha na Mipango taarifa za utekelezaji wa miradi.

(d) Wizara, Idara Zinazojitegemea na Wakala wa Serikali

Wizara, Idara Zinazojitegemea na Wakala wa Serikali zitatakiwa kuandaa na kutoa

taarifa za utekelezaji wa Mpango, ufuatiliaji na tathmini na hatua iliyofikiwa

ikilinganishwa na malengo yaliyopangwa. Hatua hii itasaidia Serikali kuhakikisha

kuwa fedha za umma zinatumika ipasavyo.

(e) Sekta Binafsi

Sekta Binafsi ni mdau muhimu katika utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa

Taifa wa Miaka Mitano na itahusika na utoaji taarifa sahihi kuhusu maeneo

watakayowekeza. Vile vile, watatoa taarifa zinazohusu wajibu wa Serikali katika

kusaidia sekta binafsi ikiwemo changamoto na ushauri.

Page 137: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 132

SURA YA SABA

VIHATARISHI VYA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA KINGA

7.1. Utangulizi

Vihatarishi ni uwezekano wa matukio mbalimbali yanayoweza kujitokeza na kuathiri

utekelezaji wa miradi mbalimbali iliyoainishwa katika Mpango wa Taifa wa

maendeleo. Sura hii inaainisha viashiria vya vihatarishi na mikakati ya kukabiliana

navyo. Vihatarishi vimegawanyika katika makundi makuu mawili ambayo ni

vihatarishi vya ndani na nje.

7.2. Vihatarishi vya Ndani na Mikakati ya Kukabiliana Navyo

Vihatarishi vya ndani ni uwezekano wa matukio yanayoweza kujitokeza ambayo

udhibiti wake upo ndani ya uwezo wa mamlaka ya nchi. Matukio hayo yakiachwa

yatokee yanaweza kuathiri utekelezaji wa Mpango. Matukio hayo ni pamoja na:

(a) Upungufu wa Rasilimali Fedha: kutofikiwa kwa malengo ya makusanyo ya

rasilimali fedha za kutosha na kwa wakati ni kihatarishi kinachopelekea

utekelezaji usioridhisha wa Mpango. Katika kukabiliana na kihatarishi hiki,

Serikali itatekeleza yafuatayo: kuendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato

ikiwa ni pamoja na kuharakisha urasimishaji wa sekta isiyo rasmi ili iweze

kuingizwa kwenye wigo wa kodi; kuimarisha nidhamu katika usimamizi wa

matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo; na utekelezaji wa Mwongozo wa

Ushirikiano wa Maendeleo – DCF.

(b) Ushiriki Mdogo wa Sekta Binafsi: mafanikio ya utekelezaji wa mpango

yanategemea ushiriki chanya wa sekta binafsi katika maeneo ya kipaumbele

ya Mpango. Ushiriki mdogo wa sekta binafsi katika utekelezaji wa miradi ya

maendeleo ni kihatarishi kinachopelekea kutofikiwa kwa malengo ya Mpango.

Hatua za kukabiliana na kihatarishi hiki ni pamoja na: kuendelea kuboresha

mazingira wezeshi ya biashara ili kupunguza gharama za uwekezaji;

kuboresha huduma za kifedha ili kuwezesha sekta binafsi kukopa zaidi kwa

ajili ya uwekezaji; kuendeleza majadiliano ya mara kwa mara kati ya Serikali

na Sekta Binafsi ili kutatua changamoto za uwekezaji na kufanya biashara; na

kuvutia ushiriki wa sekta binafsi katika utekelezaji wa miradi kwa utaratibu wa

ubia baina ya sekta ya umma na sekta binafsi (PPP).

(c) Umiliki wa Ardhi na Usimamizi wa Migogoro: taratibu za umiliki wa ardhi

kwa ajili ya uwekezaji zinaweza kuchangia katika kuchelewesha utekelezaji

wa miradi kwa ufanisi hususan wakati wa ulipaji fidia. Katika kukabiliana na

kihatarishi hiki, Serikali itaendelea na usimamizi wa matumizi bora ya ardhi

kwa kuandaa na kuimarisha Mipango Miji ili kurahisisha utoaji wa huduma

mbalimbali za kijamii.

Page 138: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 133

(d) Ufuatiliaji na Tathmini usio wa kina: ufuatiliaji na tathmini usio wa kina

unaweza kuathiri utekelezaji wa mipango kwa kutoa taarifa zisizo sahihi za

utekelezaji na mafanikio ya utekelezaji wa mpango na hivyo kuweza

kusababisha matumizi mabaya ya rasilimali fedha. Serikali itaendelea

kuboresha mifumo ya tathmini na ufuatiliaji kwa kutoa mafunzo na kuimarisha

usimamizi wa matumizi ya fedha za umma.

(e) Uharibifu wa Mazingira: Shughuli za binadamu huweza kuathiri mazingira

na hivyo kusababisha uzalishaji duni katika uchumi. Serikali itaendelea

kuhamasisha matumizi sahihi ya teknolojia katika kutekeleza shughuli za

maeendeleo ili kupunguza athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira.

(f) Usalama Mtandaoni: matumizi mabaya ya teknolojia yanaweza kuathiri

utekelezaji wa mpango. Serikali itaendelea kuimarisha mfumo wa matumizi ya

mitandao kwa kila taasisi kuwa na anuani yenye usimamizi madhubuti pamoja

na kuendelea na utambuzi wa raia na utoaji wa vitambulisho vya Taifa na

anuani za makazi.

7.3. Vihatarishi vya Nje na Mikakati ya Kukabiliana Navyo

Vihatarishi vya nje ni uwezekano wa matukio yanayoweza kujitokeza ambayo utatuzi

wake upo nje ya uwezo wa Serikali wa moja kwa moja na hivyo kuathiri utekelezaji

wa Mpango. Vihatarishi hivyo ni pamoja na:

(a) Mtikisiko wa Kiuchumi Kikanda na Kimataifa. Mtikisiko wa kiuchumi

kikanda na kimataifa unapotokea husababisha kupungua kwa mahitaji ya

bidhaa na huduma katika masoko ya nje na hivyo kuchangia kupungua kwa

fedha za kigeni zitokanazo na uuzaji wa bidhaa nje na wawekezaji wa mitaji

ambao ni muhimu katika kugharamia miradi ya maendeleo. Mikakati ya

kukabiliana na kihatarishi hiki ni pamoja na: kuongeza mapato ya ndani na

kuharakisha urasimishaji wa sekta isiyo rasmi; na kuendelea na jitihada za

kupunguza utegemezi kwa kuwianisha mapato na matumizi;

(b) Matukio Asilia kama vile matetemeko, mafuriko na ukame huathiri uendelevu

wa rasilimali asili na ikolojia na hivyo kusababisha kupungua kwa uzalishaji.

Mikakati ya kukabiliana na kihatarishi hiki ni pamoja na: kuendelea kuimarisha

mifumo ya kutabiri majanga na kuchukua tahadhari pamoja na kutekeleza

miradi ya kuhimili athari za matukio asilia;

(c) Migogoro ya ndani na ya kimataifa inaweza kuathiri utekelezaji wa mpango

kutokana na kuwa matukio kama hayo yanabadili hali ya mshikamano na

soko pamoja na vyanzo vya fedha kwa ajili ya uwekezaji. Mkakati wa

kukabiliana na kihatarishi hiki ni pamoja na kuendelea kushiriki katika

majadiliano ili kuzuia matukio yanayoweza kuhatarisha amani kimataifa na

kikanda; na

(d) Mabadiliko ya Tabia Nchi: Mabadiliko ya hali ya hewa yasiyotabirika kama

Page 139: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 134

mvua nyingi, ongezeko la joto duniani na ukame vinaweza kupunguza kasi ya

utekelezaji wa miradi ya maendeleo na shughuli za kiuchumi kutokana na

Tabia nchi iliyozoeleka kubadilika isivyotarajiwa na hivyo kuathiri baadhi ya

miradi. Mikakati ya kukabiliana na kihatarishi hiki ni pamoja na Serikali

kuendelea kuzingatia mabadiliko ya tabia nchi katika utekelezaji wa baadhi ya

miradi kwa kuzingatia hali iliyopo ya tabia nchi na hivyo kuepusha hasara

zisizotarajiwa.

Page 140: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 135

Page 141: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 136

KIAMBATISHO I

UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2018/19

Page 142: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

137

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Miradi ya Kielelezo

Ujenzi wa Reli ya Kati kwa Standard Gauge

Ujenzi wa reli kutoka Dar es salaam - Morogoro (km 300);

Ujenzi wa reli kutoka Morogoro - Makutupora (km 422); na

Ujenzi wa reli ya Isaka - Rusumo (km 371).

Ujenzi wa kipande cha Dar es Salaam – Morogoro (km 300) unaendelea ambapo utekelezaji umefikia aslimia 48.9. Shughuli zilizotekelezwa ni pamoja na: kutandika km 30 za reli; ujenzi wa makalvati asilimia 55; ujenzi wa madaraja asilimia 42; ujenzi wa daraja refu katikati ya Jiji la Dar es Salaam lenye urefu wa km 2.54 ambao umekamilika kwa asilia 63; ukataji wa miinuko na ujazaji wa mabonde umekamilika kwa asilimia 66. Kazi zinazoendelea ni pamoja na uwekaji wa nguzo za mfumo wa umeme kwa ajili ya kuendeshea treni; na ujenzi wa stesheni za Dar es Salaam, Pugu na Soga.

Katika kipande cha Morogoro – Makutupora (km 422),utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 7.12 ambapo kazi zinazoendelea ni pamoja na: uthamini na uhakiki wa wananchi watakaopisha mradi; ukataji wa miinuko na ujazaji wa mabonde; usanifu wa njia na ujenzi wa kambi za Kilosa na Ihumwa.

Kazi za utafutaji fedha kwa sehemu ya Makutupora – Tabora (km 295), Tabora – Isaka (km 133) na Isaka – Mwanza (km 250) zinaendelea ambapo wawekezaji mbalimbali wameonesha nia ya kufanikisha upatikanaji wa fedha na kushiriki katika ujenzi wa vipande hivyo. Aidha, Isaka – Rusumo (km 371), mapitio ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali yamekamilika. Tabora – Kigoma, Kaliua – Mpanda na Uvinza – Msongati (Burundi), upembuzi yakinifu unaendelea ambao unatarajiwa kukamilika Juni 2019.

Shughuli zingine za utekelezaji wa mradi ni pamoja na: kusainiwa kwa mkataba wa miezi 11 kuanzia Desemba 2018 kati ya Serikali kupitia TRC na TANESCO na Kampuni ya Larsen & TOURBO (L&T) Construction kwa ajili ya ujenzi wa mfumo wa umeme wa SGR ambapo kazi hiyo imeanza; kuendelea na taratibu za ununuzi wa mabehewa, injini na mitambo itakayotumika kutoa huduma ya usafiri kwenye reli ya Standard Gauge.

Page 143: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 138

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Uboreshaji wa Shirika la Ndege Tanzania

Ununuzi wa ndege moja aina ya Boeing 787 - 8 Dreamliner;

Ununuzi wa ndege moja mpya aina ya Bombadier Dash 8 Q400; na

Kulipa bima, gharama za uendeshaji wa ndege (start up cost), mafunzo ya marubani, wahandisi na wahudumu pamoja na ulipaji wa madeni.

kupokelewa kwa ndege 3 ambapo moja ni aina ya Boeing 787-8 Dreamliner na mbili ni Airbus A220-300;

kulipa sehemu ya gharama za ununuzi wa ndege mbili aina ya Boeing 787-8 Dreamliner na Bombadier Dash 8 Q400 zinazotarajiwa kuwasili nchini kabla ya mwishoni mwa Mwaka 2019;

malipo ya bima, gharama za uendeshaji wa ndege, mafunzo ya marubani (51), wahandisi (14) na wahudumu (66) pamoja na madeni ya Shirika la Ndege Tanzania; na

kuanza kwa ukarabati wa Karakana ya Matengenezo ya Ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

Kufua Umeme wa Maji Bonde la Mto Rufiji - MW 2,115

Ujenzi wa kambi na ofisi za wafanyakazi;

Ujenzi wa bwawa (main dam and spillways); na

Ujenzi wa njia kuu za kupitisha maji (tunnels).

kupatikana kwa mkandarasi Kampuni ya Ubia kati ya Arab Contractors na Elsewedy Electric S.A.E kutoka Misri ambapo mkataba wa ujenzi umesainiwa;

Mkandarasi amekabidhiwa eneo la mradi Februari 2019 na kuanza kazi za awali za ujenzi;

Kukamilika kwa ujenzi na uwekaji wa miundombinu wezeshi ambayo ni pamoja njia ya kusafirisha umeme wa MW 8 yenye msongo wa kV 33 kutoka Msamvu, Morogoro hadi eneo la mradi yenye urefu wa kilomita 170; barabara za kiwango cha changarawe za Ubena – Zomozi na Kibiti – Mloka hadi eneo la mradi; mifumo ya maji; mawasiliano ya simu; na nyumba za kuishi Mkandarasi; na

Kuanza ujenzi wa njia ya pili ya umeme msongo wa kV 33 kutoka kituo cha kupoza umeme cha Gongo la Mboto kupitia Kisarawe hadi eneo la mradi urefu wa kilomita 245 itakayosafirisha umeme wa MW 22.

Mradi wa makaa ya mawe Mchuchuma

Mradi wa Vanadium,

Kulipa fidia kwa wananchi watakaopisha eneo la mradi;

Kusimamia ujenzi wa miundombinu wezeshi;

Kurejea mikataba ya kuendeleza mradi wa Mchuchuma na Liganga;

Kurejea sheria za kuendeleza mradi unganishi wa Mchuchuma na Liganga kwa kuzingatia Sheria za Madini ya Mwaka 2010 na Sheria Na. 6 na Na. 7 za mwaka 2017.

Page 144: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 139

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Titanium na chuma Liganga Kulipa tozo ya ardhi;

Kufanya utafiti wa faida za kiuchumi za mradi;

Kupitia upya vivutio kwa ajili ya uwekezaji;

Kuelimisha wananchi kuhusu faida za mradi katika Mkoa wa Njombe

Mradi wa kuendeleza kituo cha biashara na usafirishaji Kurasini

Kukamilisha malipo ya fidia kwa wakazi watatu (3) ambao nyumba zao hazikuthaminiwa awali

Kuwezesha utekelezaji wa mradi

Kukamilika kwa uthamini wa nyumba

Kukamilika kwa upimaji wa eneo;

Kuendelea na taratibu za kupata hati miliki ambazo zipo katika hatua za mwisho.

Uanzishwaji wa Kanda Maalum za Kiuchumi

Eneo Maalum la Uwekezaji Bagamoyo: kufanya usanifu wa kina na ujenzi wa miundombinu ya ndani katika eneo la kituo cha Teknolojia Bagamoyo; kuandaa nyaraka za kisheria kwa ajili ya mradi; na kukamilisha hatua za utwaaji wa Ardhi na kupima na kupata hatimiliki ya eneo lililokwishalipiwa fidia.

Eneo Maalum la Uwekezaji Kigoma: Kuratibu usanifu wa kina na ujenzi wa miundombinu ya ndani ya eneo la mradi; kupima viwanja na kupata Hatimiliki ya eneo; na kutangaza eneo kwa ajili ya kupata wawekezaji;

Eneo Maalum la Uwekezaji la Mtwara: usanifu na ujenzi wa barabara (access road) kufika eneo la mradi; na

Eneo maalum la Uwekezaji Ruvuma: kukamilisha ulipaji wa fidia; upembuzi

Eneo Maalum la Uwekezaji Bagamoyo: mpango kabambe wa kuendeleza eneo la hekta 175 lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Teknolojia umekamilika; makampuni mengine 12 yamepewa leseni kwa ajili ya kujenga viwanda katika eneo la Bagamoyo SEZ lililokwisha lipiwa fidia nje ya eneo la kujenga bandari;

Eneo Maalum la Uwekezaji Kigoma: kukamilika kwa upembuzi yakinifu na Mpango Kabambe wa uendelezaji wa eneo (Master Plan) na ugawaji wa viwanja kwa ajili ya kupewa wawekezaji; kuendeleza miundombinu kwa kufungua barabara zenye jumla ya km 28.46 na kuweka alama za mipaka 106; kupatikana kwa wawekezaji watatu ambao ni Next Gen Solowazi Limited, Third Man Limited na SGC Investment Limited watakaowekeza kwenye ujenzi wa mitambo ya kuzalisha umeme wa jua, ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mazao ya nyuki (asali) na ujenzi wa kiwanda cha kuchakata zao la michikichi na ghala kwa mtiririko huo;

Eneo Maalum la Uwekezaji Mtwara: usanifu na ujenzi wa barabara kufika eneo la mradi; na kuendelea na maandalizi kwa ajili ya kuanza mradi ambapo mikataba ya utekelezaji kati ya EPZA na waendelezaji wa miundombinu wezeshi (TARURA na MTUWASA) inahakikiwa na

Page 145: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 140

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

yakinifu na kuandaa mpango kabambe; kupima na kupata hatimiliki ya eneo; na kutangaza eneo kwa ajili ya kupata wawekezaji.

Serikali ili makabidhiano ya rasilimali fedha yafanyike;

Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia – Lindi

kulipa fidia kwa wananchi watakaopisha ujenzi wa mradi;

kuendelea na majadiliano ya HGA; na

kufanya usanifu wa Awali wa Kihandisi kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha LNG.

Kukamilisha Tathmini ya Athari za Mazingira na Kijamii (ESIA);

Kukamilisha Mpango wa uhamishaji wananchi watakaopisha Mradi;

Kuanza kwa majadiliano ya kimkataba (Host Government Agreement – HGA) baina ya Serikali na wawekezaji; na

Kuandaliwa kwa moduli ya kiuchumi ya mradi.

Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi kutoka Uganda hadi Tanzania

Kukamilisha majadiliano ya Host Government Agreement (HGA) na Sharing Host Government Agreement (SHA)

Kukamilisha usanifu wa kina wa kihandisi

Kuwalipa fidia wananchi watakaopisha mradi

Kuendelea na majadiliano ya mkataba kati ya kampuni ya mradi na Nchi Hodhi (Host Government Agereement – HGA);

Kuendelea na maandalizi ya majadiliano ya Mkataba wa Ubia ambayo yanategemewa kukamilika mwezi Juni 2019; na

Kukamilika kwa tathmini ya fidia kwa maeneo ya kipaumbele na eneo lote la mkuza.

Miradi ya Kukuza Uchumi na Ujenzi wa Masingi wa Uchumi wa Viwanda

Uzalishaji Viwandani

Kuunganisha Matrekta, TAMCO, Kibaha

Kuratibu mauzo;

Kuratibu ujenzi wa viwanda vipya;

Kugharamia uingizaji wa vifaa bandarini na kuvipeleka kwenye eneo la mradi; na

Kusimamia uanzishwaji wa maeneo mengine nane ya kufanya matengenezo ya matrekta nchini na kulipa tozo ya ardhi

Matrekta 822 kati ya 2,400 yameingizwa nchini;

Matrekta 536 yameunganishwa; na

Matrekta 399 yameuzwa.

Kuendeleza Kongane ya Viwanda TAMCO – Kibaha

Kuratibu ujenzi wa mtandao wa barabara za ndani ya eneo la mradi;

Kujenga uzio kuzunguka eneo la mradi; na

Kusanifu na kujenga bwawa la maji taka

Uandaaji wa Mpango Kabambe (detailed Master Plan) wa eneo kwa ajili ya kuvutia uwekezaji. Eneo la ekari 43.04 limetengwa kwa ajili ya Sekta ya Viwanda vya Dawa za Binadamu na Vifaa Tiba. Kampuni ya Hester Biosciences imeanza kusafisha eneo la Ekari 8.95 kwa ajili ya kujenga Kiwanda cha kuzalisha chanjo za Mifugo; kuendelea na

Page 146: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 141

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

(oxidation ponds). ujenzi wa barabara yenye urefu wa Km 0.58 kwa kiwango cha lami;

majadiliano kati ya NDC na TANESCO yanaendelea kwa ajili ya kujenga kituo kidogo cha kupozea umeme (substation) katika eneo la Viwanda la TAMCO yanaendelea; na

NDC kuendelea na majadiliano ya ujenzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Sindano (syringes) utakaotekelezwa na Kampuni ya El-Dawlia Limited.

Mradi wa Magadi Soda - Bonde la Engaruka

kuandaa taarifa ya kina ya upembuzi yakinifu ambayo inaweza kuvutia taasisi za fedha na kutangaza eneo kwa ajili ya kupata wawekezaji na

kulipa tozo ya ardhi ambapo shilingi milioni 200 fedha za ndani zimetengwa.

Kazi zilizotekelezwa ni: kukamilika kwa upimaji wa ardhi ya mradi pamoja na uthaminishaji wa mali za wananchi; kukamilisha michoro ya matumizi ya ardhi; na kuendelea kutangaza mradi kwa wawekezaji mbalimbali ili kumpata mwekezaji wa kushirikiana na Serikali kupitia NDC

Kiwanda cha Matairi General Tyre – Arusha

Kuandaa taarifa ya kina ya upembuzi yakinifu ambayo inaweza kuvutia taasisi za fedha

Kutangaza eneo kwa ajili ya kupata wawekezaji na

Kulipa tozo ya ardhi.

Kukamilika kwa utafiti wa namna bora ya kufufua kiwanda;

Kukamilika kwa makabidhiano ya kiwanda kati ya NDC na Ofisi ya Msajili wa Hazina; na

Kukamilika kwa uthamini wa mali za kiwanda

Maeneo mengine maalumu ya uwekezaji

Eneo Maalum la Uwekezaji Tanga

Eneo Maalum la Uwekezaji Bunda

Eneo Maalum la Uwekezaji Dodorelia

Eneo Maalum la Uwekezaji Benjamin William Mkapa

Eneo la viwanda Kigamboni

Kongano la Viwanda vya Ngozi – Dodoma:

kuendelea na taratibu za kutafuta wawekezaji watakaowekeza katika maeneo ya Tanga, Bunda, Kigamboni na Dodoma (Zuzu).

Utafiti wa Teknolojia na Bidhaa za Viwandani

Page 147: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 142

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kituo cha zana za Kilimo na Ufundi Vijijini - CAMARTEC

Kuendeleza utafiti wa technolojia za zana za kilimo;

Kukuza wazalishaji wa ndani wanaojihusisha na zana za kilimo;

Kusimamia utekelezaji wa kanuni za majaribio na ukaguzi wa zana za kilimo na teknolojia za ufundi vijijini;

Kujenga miundombinu ya utafiti; na

Kuhakiki ubora wa zana za kilimo nchini

Kubuni mashine 64 zikiwemo za kupandia mbegu za pamba, kusaga karanga, kukausha mbogamboga na kukata majani;

Ujenzi wa mitambo 55 ya biogas;

Mafunzo na elimu ya utumiaji wa biogas yalitolewa; na

Kukamilika kwa tafiti tatu zinazohusiana na matumizi ya nishati mbadala ya biogas; na

kufanya utafiti wa mahitaji ya zana za kilimo (technology needs assessment) katika mikoa 14 ya Tanzania Bara ambayo ni Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Geita, Kigoma, Dodoma, Iringa, Njombe, Lindi na Mbeya. Matokeo yameonyesha uhitaji mkubwa wa teknolojia za kupandia mazao za kupalilia, kupura na kupepeta mazao ya nafaka.

Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania – TIRDO

kubuni teknolojia itakayowezesha makaa ya mawe kutumika majumbani pamoja na kuendesha utafiti;

kuanzisha na kuhakiki maabara ya mafuta na gesi asilia na maabara ya vipimo vya chuma ngumu;

kukamilisha mchakato wa kuhakiki (Accreditation) na kuboresha maabara ya chakula, mazingira, kemia, na maabara ya vifaa vya kihandisi ili ziweze kufikia viwango vya kimataifa;

kuhuisha teknolojia ya kutumia sensor kufuatilia uzalishaji viwandani kwa wajasiriamali; na

kutoa mafunzo kwa wadau mbalimbali wa sekta ya ngozi kuhusu utunzaji wa mazingira

Shughuli zilizotekelezwa ni: kuendelea na ukarabati wa jengo la maabara ya mafuta na gesi asilia; kukamilika kwa michoro na makadirio ya gharama za ukarabati wa maabara ya makaa ya mawe na kuendelea kukamilisha taratibu za kumpata mkandarasi wa ujenzi. Aidha, Shirika linakamilisha taratibu za uhakiki wa maabara ya mazingira baada ya kutuma maombi ya uhakiki kwa Mamlaka ya Uhakiki Kusini mwa Afrika - SADCAS na kuelekezwa kurekebisha baadhi ya nyaraka kabla ya ukaguzi.

Page 148: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 143

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Shirika la Uhandisi na Usanifu wa Mitambo – TEMDO

Kutoa huduma za kiufundi kwa viwanda;

Kujenga miundombinu ya kiatamizi cha teknolojia na biashara;

Kuendelea na uboreshaji wa karakana na ofisi ya usanifu pamoja na miundombinu ya taasisi kwa ujumla;

Kupitia upya sheria iliyoanzisha taasisi ya TEMDO;

Kubuni na kuendeleza chasili cha mtambo wa kukausha mazao ya kilimo;

Kubuni na kuendeleza chasili ya kusindika chai;

Kubuni na kuendeleza utengenezaji wa mtambo wa kuweka baridi (cold room);

Kubuni na kuendeleza chasili cha mtambo mdogo wa kutengeneza brikwiti kutokana na vumbi la makaa ya mawe;

Kufanya utafiti ili kubainisha mahitaji ya soko katika teknolojia na huduma za kitaalam;

Kuanzisha na kuwezesha mpango wa kusambaza viwanda nchini kwa utaratibu wa kiwanda kimoja kila wilaya (one district one factory - odof); na

Kuhawilisha teknolojia na kuhamasisha uzalishaji wa kibiashara wa mitambo iliyobuniwa.

Kubuni mashine ya kutengeneza tofali zinazozuia upotevu wa joto (refractory bricks);

Kubuni majokofu makubwa;

Kubuni kiteketezi taka kidogo kinachobebeka kwa ajili ya zahanati na maabara za afya;

Kubuni mtambo wa kusindika na kusafisha mafuta ya kula na mtambo wa kuzalisha umeme kutokana na nguvu ya maji na ufungaji wa mtambo wa kuzalisha umeme (kw 20) kutokana na nguvu za upepo na jua katika kituo cha Olduvai Gorge – Ngorongoro.

Page 149: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 144

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Uendelezaji wa Viwanda Vidogo – SIDO

Kujenga miundombinu ya viwanda katika mikoa ya Morogoro, Mara, Shinyanga, Lindi, Kagera, Ruvuma, Rukwa na Singida;

Kujenga majengo ya viwanda katika mikoa ya Morogoro, Kagera, Simiyu, Katavi na Njombe;

Kujenga ofisi tatu (3) za kutolea huduma katika mikoa ya Morogoro, Songwe na Katavi;

Kusaidia kuanzisha viwanda vidogo 1,320 chini ya mkakati wa ODOP;

Kuboresha vituo vya kuendeleza teknolojia vya Arusha, Mbeya na Shinyanga kwa kununua mashine za kisasa; na

Kununua mashine za teknolojia za kutengeneza vifungashio kwa ajili ya bidhaa za wajasiliamali

Kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya viwanda (barabara, mifumo ya maji na umeme)

Ujenzi wa majengo ya viwanda (12) katika Mikoa ya Dodoma, Geita, Kagera, Manyara, na Mtwara na

Ujenzi wa ofisi za SIDO za kutolea huduma katika Mikoa mipya ya Geita, Simiyu na Katavi pamoja na wilaya ya Chato;

Kuboresha kituo cha teknolojia cha Lindi kwa kununua mitambo mipya ya kubangua korosho; kuimarisha vituo vya teknolojia vya Shinyanga na Kigoma ili viwe katika nafasi nzuri ya kutengeneza teknolojia za kuchakata zao la Chikichi pamoja na mazao mengine; kuongeza majengo ya viwanda katika mikoa ya Mtwara, Ruvuma, na Kigoma;

Kutambua, kuanzisha na kusambaza teknolojia mpya 40 za ubanguaji korosho usindikaji na ufungashaji wa vyakula, utengenezaji wa vifaa vya ujenzi hasa matofali, utengenezaji wa chokaa na chaki, ukamuaji wa mafuta ya kula kutokana na michikichi na usindikaji wa ngozikwa kutumia njia za asili.

KILIMO

Kilimo cha Mpunga

kuzalisha tani 10 za mbegu bora mama za mpunga;

kuhamasisha matumizi ya mbegu bora za mpunga;

kuboresha miundombinu ikiwemo barabara za mashambani;

ujenzi wa maghala pamoja na mitambo ya usindikaji;

upanuzi wa miundombinu ya umwagiliaji ambapo jumla ya hekta 8,182 zitajengwa na kukarabatiwa kote nchini.

kupatiwa mafunzo ya kilimo shadidi cha mpunga kwa Maafisa Ugani na Mafundi Sanifu wa Umwagiliaji 109 na wakulima 5,647 kutoka skimu za umwagiliaji 40;

kuendeshwa kwa mashamba darasa yapatayo 1,331; mbegu mpya za mpunga 11 aina ya TXD 306 (SARO 5), TXD 88, TXD 85, Tai, Kalalu na Komboka zinazofaa kwa kilimo cha mabondeni na NERICA 1, NERICA 2, NERICA 4 na NERICA 7 zinazofaa kwa kilimo cha nyanda za juu zilitambulishwa kwa wakulima na kuwezesha wakulima 3050 kuchagua aina 2 za mbegu walizopendelea zaidi ambazo ni TXD 306 (SARO 5) na NERICA 7.

katika kudhibiti ubora wa mbegu za mpunga, Taasisi ya Udhibiti wa

Page 150: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 145

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kuendelea kutolewa kwa wakulima kwa mfumo wa shamba darasa ambao utamsaidia mkulima kuongeza uzalishaji kutoka wastani wa tani 2.5 hadi kufikia tani 6.5 kwa hekta

Ubora wa Mbegu Tanzania - TOSCI imefanya ukaguzi wa mashamba yaliyoandikishwa kuzalisha mbegu. Kuhakikiwa kwa mbegu zilizozalishwa kutoka Taasisi ya Utafifiti wa Kilimo - TARI, Taasisi ya uzalishaji wa mbegu Tanzania - ASA na kutoka kwa wakulima waliozalisha mbegu zenye ubora wa kuazimiwa.

Kilimo cha Mahindi

kupeleka teknolojia za kilimo kwa wakulima; kuhakikisha upatikanaji wa pembejeo za kilimo kwa wakati zikiwemo mbegu bora, mbolea na madawa;

kuwaelimisha wakulima kuhusu matumizi sahihi ya pembejeo; na

kuimarisha masoko ya zao la mahindi kwa kujenga miundombinu ya masoko hususan maghala kwa lengo la kupata bei nzuri na kuongeza thamani;

kuimarisha udhibiti wa visumbufu vya mimea na mazao pamoja na udhibiti wa magonjwa

kuendelea kuboresha uzalishaji wa mahindi kwa kuhamasisha matumizi ya mbegu bora na mbolea, ambapo jumla ya tani 17,525.65 za mbegu bora za mahindi zilipatikana na kusambazwa kwa wakulima

kutolewa elimu kuhusu udhibiti wa viwavijeshi vamizi kwa wakulima 2,080 wa mahindi kutoka mikoa ya Singida (385), Shinyanga (425), Simiyu (495), Tabora (530) na Morogoro (245).

Kuimarika kwa uzalishaji mahindi kwa misimu mitatu iliyopita ni: 5,908,000 kwa mwaka 2015; 6,149,000 kwa mwaka 2016; na tani 6,681,000 kwa mwaka 2017.

Serikali kupitia Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko ilinunua tani 2,489.27 za mahindi na kusagisha tani 462.73 ambapo tani 344.78 za unga na tani 117.95 za pumba zilipatikana.

Mauzo ya unga na pumba yalikuwa tani 213.42 za unga zenye thamani ya Shilingi 135,805,550 na tani 6.1 za pumba zenye thamani ya Shilingi 1,531,000 katika mikoa ya Iringa, Mwanza, Dodoma na Dar es Salaam.

Kilimo cha Miwa

kuimarisha miundombinu ya wakulima wadogo wa miwa katika maeneo mbalimbali nchini;

kuimarisha upatikanaji wa pembejeo ikiwa ni pamoja na mbolea na viuatilifu;

kuhamasisha uanzishwaji wa mashamba na viwanda vipya vya sukari na kuimarisha upatikanaji wa huduma za mafunzo na

kukarabatiwa kwa kilometa 33.5 za miundombinu ya barabara zilizopo kwenye mashamba ya wakulima wadogo wa miwa katika maeneo ya Kilombero, Mtibwa na Kagera;

kusajiliwa kwa wakulima 6,125 kupitia mfumo wa kielektroniki katika mashamba ya Kilombero (5,899) na Mtibwa;

kujengwa kwa miundombinu ya umwagiliaji katika kijiji cha Msolwa Ujamaa kwa ajili ya wakulima wadogo 146 wanaomiliki ekari 250;

kujengwa kwa tuta la kukinga maji lenye urefu wa km 10.6 katika

Page 151: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 146

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

ugani; na

kuweka mazingira bora kwa ajili ya kuvutia uwekezaji katika viwanda vipya vya sukari nchini.

bonde la Ruembe (Kilosa);

wakulima 316 kutoka katika mashamba ya Kilombero, Mtibwa na Kagera wamepatiwa mafunzo ya mbinu bora za kilimo bora cha miwa, biashara, uongozi, ushawishi na utetezi; na

kutolewa kwa mafunzo ya kilimo bora cha miwa, kutolewa kwa viuatilifu vya kudhibiti wadudu waharibifu na visumbufu kwa wakulima wadogo wa Mkoa wa Manyara.

Kilimo cha Chai

kuzalisha miche bora ya chai inayohimili ukame;

Kufanya utafiti wa umwagiliaji wa gharama nafuu kwa wakulima wadogo wa chai;

Kuendelea kutoa elimu kwa wakulima wa chai juu ya kilimo bora;

Kuziba mapengo kwenye mashamba ambayo yana nafasi kubwa;

Kuwekeza kwenye umwagiliaji ili kuongeza uzalishaji wakati wa kiangazi;

kuimarisha matumizi ya vipando bora vya chai;

Kuongeza uwekezaji katika viwanda vya kusindika chai na kufufua mashamba ya chai yaliyotelekezwa.

Kuzalishwa kwa miche bora 7,139,000 kupitia sekta binafsi na umma. Kati ya miche hiyo, miche 3,100,000 imesambazwa kwa wakulima wa Wilaya za Njombe, Ludewa, Tarime, Rungwe na Mufindi kwa ajili ya kujaza mapengo na kufungua mashamba mapya;

kuzalishwa kwa tani 19,412.16 sawa na asilimia 52.5 ya lengo la kuzalisha tani 37,000;

kuongezeka kwa mauzo ya chai kavu kufikia tani 5,500 ongezeko ambalo limetokana na kuimarishwa kwa viwanda vya Rift Valley – Dar es Salaam na BK Tea Blenders – Kagera; na

kutolewa mafunzo kuhusu uanzishaji na utunzaji wa bustani za miche bora ya chai, upandaji chai mashambani, uchumaji wa majani mabichi ya chai na matumizi sahihi ya pembejeo kupitia shamba darasa kwa wakulima wadogo wa chai 15,000 na maafisa ugani saba (7) katika mkoa wa Njombe;

Kilimo cha Kahawa

kuongeza maeneo ya uzalishaji wa kahawa;

kuongeza uzalishaji na usambazaji wa miche ya kahawa ipatayo milioni 10 kwa wakulima na kuimarisha huduma za ugani na upatikanaji wa pembejeo

kuzalishwa kwa miche 6,494,930 kwa ajili ya kupandwa katika kanda za uzalishaji wa kahawa ambapo miche 1,780,430 imezalishwa na Bodi ya Kahawa na miche 4,714,500 imezalishwa na TaCRIkatika vituo vya Lyamungo - Moshi, Ugano - Mbinga, Mbimba - Mbozi, Maruku – Bukoba, Mwayaya - Buhigwe na Sirari - Tarime.

Page 152: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 147

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kilimo cha Pamba

kuongeza uzalishaji wa mbegu bora za pamba aina ya UKM08 ambapo zitazalishwa tani 40,000;

kutenga maeneo maalum ya kuzalisha mbegu bora;

kutoa elimu kwa wakulima juu ya kanuni bora za uzalishaji wa pamba ili kuongeza tija;

kutoa vitendea kazi vitakavyorahisisha utendaji na kuhamasisha uzalishaji katika mikoa ya Morogoro, Tanga, Kilimanjaro, Pwani na Iringa

Kusambazwa kwa tani 21,535.62 za mbegu bora za pamba aina ya UKM08 kwa wakulima nchini ambapo ongezeko la usambazaji limetokana na mwamko wa wakulima kulima zao la pamba;

ekapaki 3,326,990 za viuatilifu zimesambazwa katika Halmashauri 41 za mikoa ya Kigoma, Katavi, Singida, Dodoma, Kagera, Mara, Tabora, Geita, Mwanza, Shinyanga na Simiyu; na

kutolewa kwa mafunzo ya kanuni bora za kilimo cha pamba, ikiwemo utambuzi wa visumbufu, viuatilifu na matumizi sahihi ya viuatilifu kwa washiriki 2,036 wakiwemo maafisa ugani, wakulima, na maafisa ushirika kutoka mikoa ya Tabora, Mwanza, Mara, Shinyanga, Katavi, Kigoma, Singida, Kagera, Geita, Simiyu, Iringa, Dodoma, Manyara, Kilimanjaro, Morogoro, Pwani na Tanga;

Kilimo cha Tumbaku kutambua na kupanda aina mpya za tumbaku ambazo zinapendwa na wanunuzi wengi wakubwa katika soko la dunia;

kudhibiti na kusimamia ubora wa viuatilifu kabla ya kusambazwa kwa wakulima;

kuimarisha usimamizi wa masoko;

kuhamasisha wakulima zaidi kutumia kanuni bora za kilimo;

kuongeza uzalishaji wa zao la tumbaku ikiwa ni pamoja na kuimarisha kilimo cha mkataba; na

upatikanaji wa pembejeo kwa wakati na masoko ya uhakika

kusambazwa kilo 588 za mbegu kwa wakulima zinazotosheleza hekta 39,191 kwa wakulima 53,903 kwenye vyama vya ushirika 258 katika mikoa ya Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya, Tabora, Shinyanga, Geita na Iringa. Mbegu hizo zinatarajiwa kuzalisha tani 54,868 za tumbaku;

kuzalishwa kwa tani 16,460 za tumbaku sawa na asilimia 30 ya lengo la kuzalisha tani 54,868;

kuboreshwa kwa mabani 23,960 ya kukaushia tumbaku sawa na asilimia 42.5 ya lengo la kuboresha mabani 56,398; na

kuoteshwa kwa miche 13,657,493 kwa ajili ya kutunza mazingira na kusajiliwa kwa vituo 60,000 vya kufungia na kuchambua tumbaku.

Upatikanaji wa Pembejeo

kuweka mfumo endelevu wa kuongeza upatikanaji na matumizi ya pembejeo za kilimo kwa kununua viuatilifu kwa ajili ya kudhibiti milipuko ya mimea na mazao;

kununuliwa kwa lita 269,000 na kilo 3,000 za viuatilifu vyeye thamani ya shilingi Bilioni tisa (9) kwa ajili ya kukabiliana na dharura ya milipuko ya visumbufu vya mazao vikiwemo Kwelea kwelea, Panya, Nzige wekundu, Viwavijeshi wa Afrika na Viwavijeshi vamizi.

Page 153: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 148

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kuhamasisha ujenzi wa miundombinu ya kuhifadhia mbolea;

kutoa mikopo ya mitambo ya mashambani (matrekta) 57; mikopo 34 kwa ajili ya pembejeo za kilimo na mifugo;

kutoa elimu kwa wafanyabiashara wa mbolea (Mawakala) kuhusu ununuzi wa mbolea kwa pamoja (bulk procurement) kutoka kwa wasambazaji wakubwa;

kutoa elimu kwa wakulima kuhusu umuhimu wa matumizi ya pembejeo;

kuhamasisha makampuni ya mbegu kuzalisha mbegu bora;

kupitisha, kuidhinisha na kutangaza aina mpya za mbegu; na

kuimarisha, kufuatilia na kutathmini upatikanaji na matumizi ya pembejeo za kilimo

Upatikanaji na usambazaji wa mbolea katika mikoa 26 ya Tanzania Bara hadi machi 2019 ulikuwa tani 492,394.18 sawa na asilimia 95.77 ya mahitaji ikilinganishwa na mahitaji ya tani 514,138 katika msimu wa mwaka 2018/19. Kati ya hizo, tani 380,307.35 ziliagizwa kutoka nje ya nchi na tani 112,086.83 ni baki ya msimu wa 2017/2018;

Kujenga maghala 11 yenye uwezo wa kuhifadhi tani 65,500 za mbolea katika maeneo ya Sumbawanga, Mbozi, Makambako, Njombe, Iringa, Morogoro, Moshi DC, Himo, Hai, Usa River na Kisongo.

Kupatikana kwa salfa ya unga tani 31,500 na viuatilifu vya maji lita 520,000 ambapo tani 3,325.850 na lita 248,207 zimesambazwa kwa wakulima.

Kupatikana kwa mbegu bora tani 49,040.66. Kati ya kiasi hicho, tani 38,507.87 zimezalishwa hapa nchini, tani 8,361.46 zimeagizwa kutoka nje ya nchi na tani 2,171.33 ni baki ya msimu wa 2017/2018. Kati ya mbegu zilizozalishwa hapa nchini, asilimia 96.5 zimetokana na sekta binafsi na asilimia 3.5 zimetokana na uzalishaji wa sekta ya umma.

Kuzalishwa kwa miche 1,507 ya miwa, vipando 121,805 vya muhogo na vikonyo 520,000 vya viazi lishe.

Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Umwagiliaji

kupitia usanifu wa Michoro, kufanya mchakato wa utoaji wa zabuni na kuanza ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji wa Skimu ya Ngono ikiwa ni pamoja na Bwawa la Kalebe;

kutoa mafunzo kwa wakufunzi (ToT) na kuanzisha mashamba darasa 158 (Mchele 28, Pamba 50, muhogo 30, mtama 30 & ndizi 20) kwa ajili ya kutoa mafunzo ya

kuanza kufanya mapitio (review) ya usanifu wa ukarabati wa miundombinu ya skimu za umwagiliaji za Kigugu - Mvomero (hekta 200), Mvumi - Kilosa (hekta 249), Msolwa Ujamaa (hekta 675) na Njage - Kilombero (hekta 325), ukarabati wa barabara za kuingia katika skimu ya Mvumi yenye urefu wa kilomita 8 na Njage kilomita 7 na usanifu wa shamba la mbegu la Kilangali (hekta 400);

Kuendelea na mazungumzo ya kumpata mtaalamu Elekezi kwa ajili ya kufanya Tathmini ya Athari za Mazingira na Jamii na jumla ya wajumbe 311 kutoka skimu za umwagiliaji za Njage, Msolwa Ujamaa,

Page 154: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 149

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

vitendo ya kilimo kwa wakulima viongozi na Maafisa Ugani katika Mikoa ya Geita, Simiyu, Mwanza, Mara, Kagera, Tabora, Shinyanga na Mikoa ya Pwani

Mvumi, Kigugu na Mbogo Komtonga wamepatiwa mafunzo ya kuimarisha na kuendesha umoja.

Kukarabatiwa kwa Skimu za Umwagiliaji za Wakulima Wadogo (SSIDP) 129 katika Halmashauri 68 nchini pamoja na ununuzi wa mitambo ya ujenzi.

Vyuo vya Mafunzo ya Kilimo

kuimarisha vyuo vya mafunzo kuweza kudahili wanafunzi 2,300 wa mafunzo ya kilimo katika ngazi ya astashahada na stashahada;

kukarabati na kujenga miundombinu katika vyuo saba vya mafunzo ya kilimo ikiwemo ofisi, madarasa, mabweni, maabara, maktaba, nyumba za watumishi;

kuimarisha mashamba darasa; kukarabati na kutoa vitendea kazi kwenye vituo vitano vya wakulima; na

kuandaa mtaala wa stashada ya matumizi bora ya ardhi katika mfumo wa moduli; na kuhuisha mtaala wa stashada ya mboga, maua, na matunda

Wanafunzi 2,051 wamepewa ufadhili kwenye mafunzo ya kilimo, kati yao wanafunzi 1,298 ni wa ngazi ya Astashahada na wanafunzi 753 ni wa ngazi ya Stashahada katika Vyuo vya Ilonga, Mlingano, Mtwara, Tumbi, Ukiriguru, Uyole, HORTI Tengeru, Mubondo, Maruku, KATC Moshi, Igurusi, KATRIN, Chuo cha Sukari Kidatu na Inyala.

Wanafunzi 338 wanajilipia ambapo 239 ni kwa ngazi ya Astashahada na 99 ni Stashahada. Wanafunzi wa mwaka wa pili wa ngazi ya Stashahada ni 263 na ngazi ya Astashahada ni 763 ambao wanategemea kuhitimu masomo yao Juni 2019.

Tafiti za Kilimo

kutafiti mbegu bora zinazotoa mazao kwa wingi, na kustahimili mabadiliko ya tabia nchi na magonjwa;

kubuni na kusambaza teknolojia za kuchanganyia viinilishe kwa bidhaa zinazozalishwa viwandani;

kuboresha na kuimarisha miundombinu ya utafiti kwa kukarabati nyumba, ofisi na maabara katika vituo 7 vya utafiti;

Kuzalishwa kwa aina 4 za mbegu bora za mahindi (WE5135, WE7118, WE5141 na WE7133) zenye uwezo wa kustahimili ukame na uzalishaji mkubwa (kituo cha utafiti TARI - Ilonga);

Kuzalishwa kwa aina moja ya maharage (kituo cha utafiti Uyole);

Kuzalishwa kwa aina mbili za mbegu za mpunga zinazotoa mazao mengi (kituo cha utafiti cha Dakawa);

Kusambazwa kwa kilo 40,131 za mbegu za korosho kwa wazalishaji wa miche katika mikoa 20. Mbegu hizo zitazalisha miche 5,618,340 katika eneo la ekari 330,491;

Page 155: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 150

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kujenga makao makuu ya taasisi mpya ya utafiti wa kilimo nchini – TARI;

kufanya utafiti wa udongo katika maeneo mbalimbali ya kanda za ikolojia ili kuainisha tabaka za rutuba ya udongo; na

kuchora ramani kuonyesha tabaka hizo kwa maeneo kwa ajili ya kusaidia maamuzi katika uwekezaji wa mazao mbalimbali kwenye maeneo husika

Kuzalishwa na kusambazwa miche bora ya korosho 37,816 kwa wakulima wa mikoa ya Mtwara (7,155), Lindi (20,156), Pwani (6,950), Ruvuma (2,000), Tanga (1,120), Dodoma (135), Singida (200) na Dar Es Salaam (100); na

Kuendelea na ukarabati wa miundombinu ya vituo viwili vya utafiti (ARI - Makutopora na HORTI - Tengeru).

Maghala na Kuboresha Hifadhi ya Taifa ya Chakula

kujenga miundombinu 18 ya ukaushaji na hifadhi ya mazao ya mahindi na karanga katika Halmashauri za Wilaya za Sikonge, Chemba, Kondoa, Chamwino, Manispaa ya Dodoma na Kiteto ili kupunguza madhara ya sumu kuvu;

kujenga maghala 15 ya kimkakati na kukarabati maghala 33 katika mikoa ya Singida, Mwanza, Kigoma, Manyara, Simiyu, Tanga na Tabora;

kuimarisha mfumo wa upatikanaji wa taarifa za uzalishaji mazao ya chakula na hali ya chakula nchini;

kujenga maghala yenye uwezo wa kuhifadhi jumla ya tani 60,000 na vihenge vya kisasa (silos) vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 190,000 hivyo kuongeza uwezo wa Hifadhi ya Taifa ya chakula kufikia 501,000

Kununuliwa kwa tani 36,940.167 za mahindi sawa na asilimia 130.99 ya lengo la ununuzi. Kati ya kiasi kilichonunuliwa, tani 14,191.455 zimenunuliwa kupitia vituo vya ununuzi na tani 22,748.712 zimenunuliwa kupitia vikundi vya wakulima;

Ujenzi wa vihenge vyenye uwezo wa kuhifadhi tani 190,000 na maghala yenye uwezo wa kuhifadhi tani 60,000 unaendelea katika mikoa ya Ruvuma (Songea), Njombe (Makambako), Songwe (Mbozi), Rukwa (Sumbawanga), Katavi (Mpanda), Shinyanga, Manyara (Babati) na Dodoma.

Kuimarisha Maendeleo ya kuimarisha masuala ya utawala bora na Kufanyika kwa ukaguzi wa nje kwa vyama 2,296 vya ushirika;

Page 156: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 151

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Ushirika

uwajibikaji katika vyama vya ushirika;

kujenga na kuimarisha uwezo wa kiuchumi na kiushindani katika vyama vya ushirika kwa kuhimiza na kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani;

kuratibu mikataba kati ya Bodi ya Mazao Mchanganyiko na vyama vya ushirika ili kuwezesha vyama kuuza mazao ya wakulima kwa bei yenye tija; na

Kuimarisha uwezo wa Tume ya Ushirika kutoa huduma kwa wadau.

kutatua migogoro katika vyama vya Ushirika vya RCG AMCOS dhidi ya MIWA AMCOS, UWABINDOCHA dhidi ya Manispaa ya Morogoro, Mshikamano SACCOS na Kapolo AMCOS dhidi ya TADB Bank na migogoro mingine inaendelea kushughulikiwa;

Kuendelea kuhimiza matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi Ghalani katika vyama vya ushirika ambapo vyama vya mazao ya Korosho, Ufuta, Kakao na Mahindi vimeunganishwa kwenye mfumo.

Kuendelea uhamasishaji ili kuunganisha vyama vya mazao ya Dengu na kutekeleza dhana ya kilimo cha mkataba kwa kununua mahindi kupitia vyama vya ushirika kwenye mikoa ya Iringa na Ruvuma kwa bei shindani.

MIFUGO

Miundombinu ya Uzalishaji na Masoko

kukarabati minada mitatu (3) ya mifugo ya upili ya Murusagamba (Ngara), Mutukula (Missenyi) na Buhigwe (Buhigwe);

kujenga minada mipya miwili (2) ya mipakani ya Longido na Kirumi na kukarabati minada ya upili ya Nyamatala na Kasesya;

kuimarisha kituo cha Taifa cha uhimilishaji cha NAIC USA River, Arusha kwa kununua vitendea kazi kama vile semen analyzer (CASA), minibus, disc plough, pampu ya umwagiliaji, vifaa vya ofisi, kukarabati mabanda ya madume na kuendeleza malisho

kujenga na kukarabati minada ya mpakani kwa kujenga ukuta na jengo la ofisi ya mnada wa Kirumi (Butiama) ambalo litakuwa na huduma za kibenki; kuendelea na ujenzi wa sakafu ya mnada uliopo Longido, kuendelea na ujenzi wa kituo cha polisi na uzio katika mnada wa Buhigwe, na kuendelea na ujenzi wa uzio katika minada ya Kasesya na Nyamatala;

ukarabati wa mazizi katika mnada wa Kirumi umefanyika na ujenzi wa ofisi katika mnada wa Kirumi na ujenzi wa sakafu katika mnada wa Longido unaendelea. Pia, ujenzi wa uzio katika mnada wa Kasesya, Buhigwe na Nyamatala inaendelea;

kuendelea na tathmini ya ukarabati wa minada ya Nyamatala na Kasesya;

kuendelea kuimarishwa kwa vituo vya kanda vya uhimilishaji nchini, ambapo kituo cha Taifa cha Uhimilishaji (NAIC) kilichopo Usa River (Arusha) kimepatiwa kichambuzi cha mbegu (semen analyzer-CASA) na madume bora matatu (3) aina ya Boran, ununuzi wa mitungi 71 ya kuhifadhi kimiminika cha naitrojeni (lita 35) pamoja na

Page 157: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 152

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kutoa mafunzo kwa wataalam 389 wa uhimilishaji.

Vituo vya Utafiti, Mafunzo na Ugani wa Mifugo

kuiwezesha Wakala wa vyuo vya mafunzo ya Mifugo - LITA kutoa mafunzo ngazi ya astashahada na stashahada kwa wanafunzi 2,700, kukarabati na kuimarisha uendeshaji wa vitengo vya uzalishaji katika Kampasi nane (8) za wakala

kuiwezesha TARILI kuhudumia mifugo 5000 (ng‟ombe, mbuzi, kondoo, kuku na punda) waliopo katika vituo saba nchini, kuibua, kutafiti na kusambaza ng‟ombe bora wa nyama 100 katika vituo vya Mpwapwa, Kongwa, Mabuki na West Kilimanjaro, kutafiti na kuzalisha mitamba bora 200 ya ng‟ombe wa maziwa katika vituo vinne vya utafiti na mitamba bora 400 ya ng‟ombe wa nyama katika vituo vitatu (3) vya utafiti na kuiwezesha TALIRI kutekeleza mradi wa kuboresha Mbari za Kuku wa Asili Afrika (Afrika Chicken Genetic Gain-ACGG) kwa ufadhili wa Taasisi ya Bill & Mellinda Gates Foundation ambao unatekelezwa kwa pamoja na nchi tatu za Ethiopia, Tanzania na Nigeria kwa miaka mitano (5)

Shughuli zilizotekelezwa ni: kufanyika kwa udahili wa wanachuo 2,536 kupitia Wakala wa Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo (Livestock Training Agency – LITA). Aidha, wanafunzi 580 kutoka vyuo vya Serikali na 398 kutoka vyuo binafsi wanatarajia kuhitimu mafunzo ya Stashahada na Astashahada mwezi Juni, 2019.

Kupatia mafunzo wafugaji 156 katika Kampasi za Wakala juu ya uzalishaji bora wa mifugo na malisho.

Kukarabatiwa kwa mabweni manne (4) na Kiwanda kidogo cha Kusindika Maziwa katika Kampasi ya Tengeru. Aidha, jumla ya mitamba 15 ya maziwa yenye thamani ya Shilingi 22,000,000 imenunuliwa kwa ajili ya Kampasi ya Madaba ili kuongeza uzalishaji wa maziwa na mafunzo kupitia LITA kwa ushirikiano na Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Poland

kufanyika kwa tafiti nane vituoni na kwa wafugaji katika Mikoa ya Mbeya, Songwe, Niombe, Iringa, Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Mwanza, Simiyu, Dodoma, Pwani, Morogoro, Singida, Lindi, Mtwara na Kigoma 16 ambapo matokeo yake yatawezesha ng‟ombe jike kuzalisha viinitete nane (8) mpaka 450 kwa mwaka kwa ajili ya uhimilishaji na uhawilishaji (Mulitiple Ovulation and Embryo Transfer) na kuongeza kasi ya uzalishaji wa mitamba na madume kwa ajili ya maziwa na nyama (ndama 50 kwa mwaka kwa ng‟ombe mmoja) kupitia Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Tanzania (TARILI). Aidha TARILI wameendelea kutekeleza Mradi wa Kuboresha Mbari za Ng‟ombe wa Maziwa (African Dairy Genetic Gain, ADGG) ambapo kupitia mradi huo wafugaji 8,347 wamepata elimu na kutembelewa kila mwezi;

Kuongeza kasi ya uzalishaji wa mifugo nchini hasa mitamba na

Page 158: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 153

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

madume kwa ajili ya maziwa na nyama (ndama 50 kwa mwaka kwa ng‟ombe mmoja);

Kusambazwa kwa kuku 468 na mayai 720 kwa wafugaji 1,801 kupitia kupitia TALIRI kwa kushirikiana na mradi wa Kuboresha Mbari za Kuku (African Chicken Genetic Gain, ACGG);

Kuimarisha tafiti za kuainisha vinasaba vya kuongeza uzalishaji wa nyama katika mbuzi wa asili kwa kuimarisha maabara ya uhimilishaji wa mbuzi katika Kituo cha West Kilimanjaro kupitia TARILI kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo katika maeneo kame (International Centre for Agricultural Research in Dry land Areas, ICARDA)

Usimamizi wa Ardhi na Upatikanaji wa Malisho

Kuhamasisha na kuwezesha ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya maji;

Kuhakikisha uwepo na upatikanaji wa uhakika wa malisho na maji

kukamilisha ujenzi wa bwawa la Mbagala (Songwe), lambo katika Kijiji cha Chamakweza (Bagamoyo) na visima virefu katika Vijiji vya Mpapa(Manyoni) na Nsolanga-Ismani (Iringa);

kukamilisha ukarabati wa bwawa la Nyakanga (Butiama) na kuendelea na ukarabati wa lambo katika Kijiji cha Wami-Dakawa (Mvomero) na hivyo kufikia mabwawa/malambo 1,384 na visima virefu 103;

kutengwa kwa hekta 350,576.05 za maeneo kwa ajili ya malisho ya mifugo katika vituo vya kupumzishia mifugo, Ranchi za Taifa, mashamba ya TARILI na Mashamba ya Kuzalisha Mifugo (LMUs);

kutengwa kwa hekta 199,827.3 katika Halmashauri tano za Tunduru, Mpanda, Biharamulo, Muleba na Kyerwa kwa ajili ya malisho ya mifugo ili kupunguza migogoro ya wafugaji na watumiaji wa ardhi wengine nchini; kuzalisha marobota 550,919 ya nyasi za mifugo (hay);

kuzalishwa kwa tani 12.1 za mbegu bora za malisho, kustawishwa kwa hekta 730 za mbegu za nyasi na hekta 245 za mbegu za mikunde katika mashamba ya TALIRI, LMUs-Sao Hill na Mabuki.

Page 159: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 154

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Aidha mashamba darasa ya malisho 67 yamestawishwa katika Halmashauri 17 za Bunda, Butiama, Chato, Itilima, Lushoto, Maswa, Mbarali, Meatu, Mpanda, Morogoro, Mufindi, Muleba, Njombe, Nkasi, Nsimbo, Rungwe na Tunduru.

Tiba na Udhibiti wa Magonjwa ya Mifugo

kuhamasisha matumizi ya dawa za kuogesha mifugo na kutoa chanjo dhidi ya Ndigana Kali ili kudhibiti kupe na magonjwa wayaenezayo;

kuendelea kudhibiti Mbung‟o na Ndorobo kwa kununua vitendea kazi ili kutokomeza ugonjwa wa Malale na Ndigana kwa Binadamu na Mifugo katika Mikoa ya Katavi, Kigoma, Manyara, Rukwa na Tabora;

kuratibu upatikanaji wa chanjo dhidi ya ugonjwa wa Kimeta;

kuratibu upatikanaji na usambazaji wa chanjo ya Kichaa cha Mbwa na kutoa elimu kwa wananchi; na

kuendelea kutekeleza Mpango Mkakati wa Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa hatarishi yaambukizwayo kwa binadamu kupitia wanyama

kutolewa kwa michovyo 40,352,228, kati ya michovyo hiyo, ng‟ombe ni 22,400,170, Mbuzi ni 12,836,389 na Kondoo ni 5,115,669;

Kutolewa kwa dawa lita 8,823.53 aina ya Paranex (Alphacypermethrin) na kuzigawa katika majosho 1,486 yanayofanya kazi katika Mikoa 24;

kuzalishwa kwa dozi 39,548,00 za chanjo kwa magonjwa ya Mdondo, Kimeta na Chambavu na kusambazwa kupitia vituo saba vya Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania katika kanda;

Kuchanjwa kwa ng‟ombe milioni 3.9 (9.6%), mbuzi milioni 2.3 (7.8%) na mbwa milioni 0.3 (7.5%) dhidi ya magonjwa mbalimbali;

kununuliwa kwa kifaa cha kupima ubora wa dawa ya kuogeshea mifugo (HPLC) ili kudhibiti ubora wa dawa za kuogeshea nchini kupitia TVLA;

kukarabati majosho 151 katika mikoa mbalimbali nchini;

kuundwa kwa kamati 847 za kusimamia majosho na kufungua akaunti za uendeshaji;

kuendelea kutekeleza Mikakati ya kutokomeza magonjwa yanayoambukiza binadamu kutoka kwa wanyama kwa dhana ya Afya Moja (Malale, Mafua Makali ya Ndege, Kimeta, Ugonjwa wa Kutupa Mimba, Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa na Homa ya Bonde la Ufa) ambapo vituo vinane (8) vya Kanda vya Uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo (ZVC) viliimarishwa kwa kuwezeshwa katika utendaji kazi wake;

Kukarabatiwa kwa kituo cha Sumbawanga; na

Kupewa vifaa vya kielekitroniki na kutolewa kwa mafunzo juu ya

Page 160: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 155

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

ufuatiliaji wa magonjwa ya mifugo kwa wataalam 108 kutoka katika Wilaya 50.

UVUVI

Kusimamia na Kuendeleza Uwekezaji katika Sekta ya Uvuvi

kujenga na kukarabati miundombinu ya uvuvi ikiwemo vituo vitano (5) vya kudhibiti ubora;

kufufua Shirika la Uvuvi (TAFICO) kwa kukunua meli mbili (2) za uvuvi; na

kuimarisha mfumo wa usimamizi wa pamoja wa taarifa zinzohusu uvuvi kulingana na matakwa ya kikanda

kuendelea na taratibu wa kupata fedha ili kununua meli mbili za uvuvi;

kutafuta fedha za kukarabati majengo na miundombinu ya TAFICO inayojumuisha mitambo ya kuzalisha barafu, gati vyumba vya ubaridi na kuzuia mmomonyoko wa ardhi;

kuzindua Menejimenti ya kusimamia shirika, kuandaa na kuutekeleza mkakati wa kufufua TAFICO, na utambuzi wa mali za shirika ambapo mpaka sasa mali zenye thamani ya shilingi bilioni 118 zimetambuliwa.

kupatikana kwa fedha kwa ajili ununuzi wa Meli ya Uvuvi kwenye maji ya Kitaifa, ukarabati wa chumba na ununzi wa mtambo wa barafu na gari maalum la kubebea samaki;

kuwezeshwa kwa vikundi 50 vya Usimamizi wa Rasilimali za Uvuvi (BMUs) katika Wilaya za Pangani (12), Mkinga (14), Jiji la Tanga (5), Bagamoyo (9) na Lindi Vijijini (10).

kutolewa kwa mafunzo kwa maafisa uvuvi 10 wa Halmashauri na watano (5) wa Serikali Kuu;

kusambazwa kwa majiko banifu 100 katika Vijiji/Mialo ya uvuvi 16 katika Mkoa wa Kigoma;

kutoa mafunzo kwa wachakataji wa samaki 640 katika Vijiji 16 ili kuongeza thamani ya mazao ya uvuvi katika Ziwa Tanganyika; na

kuwezeshwa vikundi vya ushirika vya wavuvi vya Igombe-Mwanza, Ikumba Itale-Chato, Nkasi (Ziwa Tanganyika), Migoli-Mtera na vikundi vya ufugaji samaki Peramiho (Ruvuma) kwa kupatiwa fedha na vifaa

Bandari ya Uvuvi

kufanya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa bandari ya uvuvi ambayo itajengwa kati ya Mtwara, Kilwa, Tanga na Pwani

Kuendelea kufanyika kwa upembuzi yakinifu unaofanywa na Mtaalam Elekezi (kampuni za Sering Ingegneria ya Italia na Doch Tanzania Limited ya hapa nchini) katika ujenzi wa bandari ya uvuvi ambayo

Page 161: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 156

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kutegemeana na taarifa ya upembuzi yakinifu ili kuiwezesha Serikali kusimamia uvuvi wa Bahari Kuu na kupata mapato zaidi yatokanayo na uvuvi ambapo meli zinazovua zitalazimika kutia nanga katika bandari hiyo

itajengwa kati ya Mtwara, Kilwa, Tanga na Pwani. Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi unategemea taarifa ya upembuzi yakinifu ambao utawezesha Serikali kusimamia uvuvi wa Bahari Kuu na kupata mapato zaidi yatokanayo na uvuvi, ambapo meli zinazovua zitalazimika kutia nanga katika bandari hiyo.

Kuimarisha Tafiti, Huduma za Ugani na Mafunzo ya uvuvi

kuongeza udahili wa wanafunzi wa Astashahada na Stashahada kutoka 1,072 hadi 1,500 kwa mwaka;

kutoa elimu na mafunzo ya uvuvi, uchakataji na ufugaji samaki kwa nadharia na vitendo;

Kununua na kukarabati mashine na mitambo ya kuwezesha utoaji wa elimu na mafunzo ya kisasa ya uvuvi na ufugaji wa samaki.

kufanyika kwa utafiti wa kuangalia wingi wa samaki Ziwa Victoria kwa kutumia Teknolojia ya Hydro-acoustic survey;

kuimarisha upatikanaji wa takwimu za uvuvi kwa kuimarisha mifumo ya ukusanyaji wa takwimu kwa njia ya kielektroniki ikiwemo matumizi ya simu za viganjani ujulikanao kama e-CAS (electronic Catch Assessment Survey) ambao kwa majaribio jumla ya simu 108 zimetolewa kwa maafisa Uvuvi kutoka Halmashauri zenye maeneo ya Uvuvi katika Ziwa Victoria, Ukanda wa Bahari ya Hindi na Ziwa Tanganyika;

kutolewa kwa mafunzo ya mbinu za ukaguzi, uhakiki wa njia na vifaa vya kupimia na usimamizi wa maabara kwa watalaam tisa (9)wa Maabara ya Uvuvi-Nyegezi;

kuendelea na utafiti wa vifaa vya kuvutia samaki FADs (Fish Aggregaring Devices) katika maeneo ya Bagamoyo na Nungwi Zanzibar;

kuendelea na utafiti wa kujua wingi wa biolojia ya Kambamiti katika Pwani ya Tanzania, kuendelea na utafiti wa kupata samaki wazazi (brood stock);

kudahili wanafunzi 1,088 katika masomo ya ngazi za Astashahada na Stashahada kwenye Kampasi za Mbegani, Nyegezi na Kigoma na kutoa mafunzo kwa wananchi 1,300 kuhusu mbinu za kuvua na ukuzaji wa viumbe kupitia Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA)

Page 162: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 157

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Ufugaji Samaki

Kuimarisha na kuendeleza vituo vitano (5) vya ufugaji samaki wa maji baridi vya Ruhila (Songea), Mwamapuli (Tabora), Kingolwira (Morogoro), Nyengedi (Lindi) na Nyamirembe (Chato) kwa ajili ya kuzalisha vifaranga milioni 10.

Kuendeleza vituo viwili (2) vya ufugaji samaki wa maji bahari vya Machui (Tanga) na Mbegani (Pwani) kwa ajili ya kuzalisha vifaranga milioni 3;

kuzalisha na kupandikiza vifaranga vya samaki katika malambo na mabwawa ya asili na kwenye skimu za umwagiliaji miwa na mpunga katika vituo vya Bukoba, Kilimanjaro, Mwanza na Mara

kujenga kituo Nyamirembe (Chato) ili kuongeza uzalishaji wa vifaranga;

kufanywa kwa makadirio na mchanganuo wa gharama za ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya vituo vya Ruhila (Songea), Mwamapuli (Igunga) na Kingolwira (Morogoro);

kuendelea kuboresha kituo cha Machui (Tanga) ikiwa ni pamoja na kukiunganisha na umeme wa Tanesco;

kuandaa Mpango wa Kitaifa wa Kuendeleza Ukuzaji Viumbe Maji- NADSP;

kuzalishwa vifaranga 17,301,076 katika vituo vya Serikali na Sekta binafsi;

kuwekwa vizimba (fish cage) 408 katika Ziwa Victoria (346), Ziwa Tanganyika (9) na malambo (53) ili kuongeza matumizi ya teknolojia stahiki katika kuzalisha viumbe maji

Kuimarisha na Kuendeleza Ulinzi wa Rasilimali za Uvuvi na Mazingira

kufanya doria za anga na za baharini ili kudhibiti vitendo vya uvuvi haramu katika Ukanda wa Kiuchumi wa bahari ya Tanzania; na

Kushirikiana na nchi wanachama wa kamisheni ya usimamizi wa Uvuvi wa Samaki aina ya Jodari katika Bahari ya Hindi.

kuanzishwa kwa Kanda Kuu tatu za usimamizi na udhibiti wa rasilimali za uvuvi katika Ukanda wa Ziwa Viktoria, Tanganyika na Ukanda wa Pwani na kunzishwa kwa kanda ndogo mbili za Ukerewe na Sengerema;

kuimarishwa vituo 27 vilivyopo vya usimamizi wa rasilimali za uvuvi kote nchini na kusimamia hifadhi za bahari na maeneo tengefu kwa kufanya doria zenye sikukazi 677 katika maeneo yote 18 yaliyohifadhiwa ambayo ni Hifadhi ya bahari tatu na Maeneo Tengefu 15;

kufanyika kwa doria na operesheni mbalimbali zenye sikukazi 10,914 ili kuimarisha usimamizi na udhibiti wa uvuvi na biashara haramu ya mazao ya uvuvi;

kufanyika kwa kaguzi 3,155 za kuhakiki ubora na usalama wa mazao ya uvuvi maeneo ya mipakani, viwanja vya ndege na bandari.

Page 163: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 158

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

MALIASILI NA MISITU

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Ikolojia ya Ardhi Oevu ya Bonde la Mto Kilombero na Mto Rufiji

Usimamizi endelevu wa ikolojia ya ardhi oevu ya Bonde la Mto Kilombero na Mto Rufiji kwa kuboresha maisha ya watu na kuhakikisha kunakuwepo na uchumi endelevu; na

Kuimarisha uwezo wa usimamizi endelevu wa sera, sheria na miongozo mbalimbali ya ikolojia ya ardhi oevu ya bonde la Mto Kilombero na Mto Rufiji.

kukamilika kwa ujenzi wa ofisi ya Maliasili katika Wilaya ya Ulanga; kukamilika kwa Ujenzi wa vituo viwili vya Askari wa Wanyamapori katika Wilaya ya Ulanga;

kuanzishwa vikundi vinne (4) vya uvuvi katika Mto Kilombero na kuviwezesha kutekeleza majukumu yake;

kurejesha maeneo yaliyoharibika kimazingira katika hali yake ya awali (hábitat restoration);

kutoa elimu kwa jamii kuhusu usimamizi na matumizi bora ya ardhi;

kufanya mapitio ya Mipango ya usimamizi na uvunaji wa misitu katika Wilaya ya Ulanga; na

Kujenga na kununua vifaa vya ofisi mbili (2) za Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Ngorongoro, Utete na Rufiji (JUHIWANGUMWA) na Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Ifakara, Lupiro na Mang‟ula (ILUMA) – Kilombero.

Mradi wa Kuimarisha Misitu Asilia, Mapori Tengefu na Vitendo vya Kupambana na Ujangili Nchini

Kuboresha miundombinu ya barabara, viwanja vya ndege, nyumba na watumishi katika mapori ya Chome, Magamba, Mkingu, Minziro, Udzungwa na Rungwe;

Kuboresha huduma za jamii zikiwemo maji na vituo vya afya kwa jamii zinazozunguka mapori ya akiba; na

Kuongeza uwezo wa askari wanyamapori.

Kutangazwa kwa misitu mitano (5) ya Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Chome, Magamba, Mkingu, Minziro na Udzungwa Scarp kwenye Gazeti la Serikali; na

Ukarabati wa nyumba za watumishi katika hifadhi za Chome, Mlima Rungwe, Mkingu na Minziro ambapo ukarabati umefikia asilimia 90.

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Maliasili

Kuimarisha usimamizi na uhifadhi endelevu wa maliasili katika wilaya za Loliondo, Serengeti na Pori la Akiba Selous

Kukamilika kwa utafiti wa fursa za utalii katika wilaya ya Ngorongoro;

Kuandaa mpango mkakati na miongozo ya kuwezesha Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori kujiendesha;

Kutoa mizinga ya nyuki (115) kwa wananchi wa Wilaya za Serengeti (80) na Ngorongoro (35) ili kuwezesha wananchi kiuchumi na kuendeleza uhifadhi;

Page 164: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 159

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kupatiwa ufumbuzi wa mgogoro wa mipaka kati ya vijiji vya Hekwe na Magatini na Hifadhi ya Serengeti;

Kutoa mafunzo kwa wananchi wa Wilaya ya Serengeti kuhusu namna ya kujilinda na wanyamapori wakali na waharibifu;

Kukamilishwa kwa Mpango wa Usimamizi wa Pori Tengefu la Kijereshi; kuimarishwa kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (TAWA) kwa kununuliwa magari na vifaa vya TEHAMA;

Kukamilisha kwa Mwongozo wa Uwindaji wa Simba; na

Kujengea uwezo Mabaraza ya Ardhi ya Vijiji na Kata ambapo jumla ya Wajumbe 240 wamepatiwa mafunzo.

Mradi wa Kusaidia Uendelezaji wa Misitu Binafsi na Mnyororo wa Thamani

kujenga mazingira wezeshi ya kuendeleza misitu binafsi;

kuwezesha utayarishaji wa mipango ya matumizi bora ya ardhi;

kuwezesha vikundi vinavyojishughulisha na kilimo cha miti kwa kutoa elimu ya shughuli mbadala za kiuchumi zaidi ya upandaji miti. Mradi huu utatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali za Tanzania na Finland; na

Kutawezesha vikundi 120 kupanda jumla ya hekta 4,000 za miti na kuendesha mafunzo katika kituo cha Mafinga ili kuwajengea wananchi uwezo wa kupanda na kuendeleza misitu

Kuwezesha maandalizi ya mradi mpya wa kuongeza thamani mazao ya Misitu (Forestry and Value Chain);

Kukamilika kwa tafiti tano (5) kuhusu ushiriki wa sekta binafsi katika upandaji miti; na

Kupandwa kwa miche 5,500 aina ya misindano katika wilaya za Nyasa, Songea, Makete, Ludewa, Mufindi na Njombe.

Mradi wa kuwezesha Wananchi Kunufaika na Rasilimali za Misitu kwa Maendeleo ya Kiuchumi

Kuweka mazingira wezeshi kwa wananchi ili kunufaika na rasilimali za Maliasili na kuzingatia matumizi endelevu - Kigoma

Kutolewa kwa hati za umiliki wa ardhi kimila 901 zitakazowapa wananchi uwezo wa kupata mikopo ya kuanzisha miradi midogo;

Kuanzishwa kwa Misitu ya Hifadhi 40 kwenye vijiji 33 kwa Wilaya za Kasulu, Kibondo na Uvinza, Kakonko;

Kuanzishwa na kupatiwa mafunzo kwa vikundi vitano (5) vya wavuvi

Page 165: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 160

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

na vikundi 94 vya Wajasiriamali; na

Kujumuisha masuala ya uhifadhi na uzalishaji mali kwenye mipango ya Vijiji 20 na Halmashauri za Wilaya 6 za Uvinza, Kigoma, Kasulu, Buhigwe, Kibondo na Kakonko.

MADINI

Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali za Madini

kuendelea na ukarabati wa ofisi za madini Bariadi, Bukoba, Melerani, Musoma, Songea, Mpanda, Handeni, Kigoma na Chunya;

kuendelea na ujenzi wa ofisi za STAMICO - Dodoma na jengo la elimu Chuo cha Madini Dodoma;

kujenga vituo saba (7) vya umahiri vya mafunzo katika Mikoa ya Geita, Kagera, Katavi, Lindi, Mara, Mbeya na Tanga;

kuboresha mfumo maalum wa kielektroniki wa utoaji leseni na ukusanyaji wa maduhuli (Flexi Cadastre);

kuhamasisha shughuli za uongezaji thamani madini kwa kutoa mafunzo ya usanifu wa madini ya vito (lapidary) kwa Watanzania 36 kupitia Kituo cha Jiolojia Tanzania (TGC), kumpata mwekezaji katika ujenzi wa smelter na refinery ya madini ya metaliki na kukamilisha Muswada wa Sheria ya uongezaji thamani madini na kanuni zake (The Mineral Value Addition Act and Regulations); na

kutenga maeneo 11 kwa ajili ya

Kukamilisha uandaaji wa Mwongozo wa Mpango wa Utunzaji wa Mazingira kwa wachimbaji wadogo;

Kununua Mtambo wa kuchorongea miamba ambao utatoa huduma kwa wachimbaji wadogo kwa bei nafuu kupitia Shirika la Madini la Taifa - STAMICO;

Kufanya mafunzo ya matumizi ya mtambo wa uchorongaji miamba kwa wataalam na wachimbaji wadogo kuhusu masuala ya utafiti wa madini kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini - GST na STAMICO;

Kuandaa Mpango wa Kibiashara na Mpango Mkakati wa Kituo cha Jimolojia Tanzania;

Kukamilika kwa ujenzi wa ukuta wa ofisi ya madini Moshi na ukarabati wa ofisi ya madini Nachingwea;

Kukamilika kwa ujenzi wa mgodi wa mfano na ufungwaji wa mtambo kwa ajili ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu kwa wachimbaji wadogo katika eneo la Lwamgasa, Geita;

Kuendelea na ufungwaji wa mitambo ya uchenjuaji wa madini ya dhahabu katika eneo la Katente, Geita na Itumbi, Mbeya;

Ujenzi wa vituo Saba (7) vya umahiri katika maeneo ya Bariadi, Bukoba, Musoma, Handeni, Mpanda, Chunya na Songea ambapo kati ya hivyo, vituo vya Bariadi, Musoma, Bukoba na Handeni vimekamilika;

Kumpata mkandarasi wa kujenga mitambo itakayofanikisha uongezaji thamani wa madini (smelter and refinery);

Page 166: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 161

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

wachimbaji wadogo Kuboresha miundombinu ya Chuo cha Madini katika Kampasi ya Dodoma na Nzega.

Ujenzi wa jengo la wafanyabiashara wa madini (Brokers house) katika eneo la Mirerani umekamilika na ujenzi wa kituo cha pamoja (one stop centre) unaendelea; na

Kuanzisha mfumo wa masoko ya madini katika mikoa yote yenye madini ya metali na vito.

Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi Asilia - TEITI

kukamilisha na kutoa kwa Umma taarifa ya malipo ya kodi kutoka kampuni za madini, mafuta na gesi asilia kwa mwaka 2016/17;

kuendelea kujenga uwezo wa wananchi kuhoji ufanisi katika ukusanyaji na matumizi ya mapato yatokanayo na rasilimali za madini, mafuta na gesi asilia; na

kuanzisha rejista ya taarifa na majina ya watu wanaomiliki hisa katika kampuni za madini, mafuta na gesi asilia

Kukamilika kwa muhtasari wa takwimu zilizowekwa katika vielelezo kwa lugha ya kiswahili na kiingereza za taarifa ya TEITI ya Mwaka 2015/16 kwa ajili ya kufanya wepesi wa kufikisha matokeo ya taarifa za TEITI kwa wadau;

Kukamilika kwa mfumo wa kieletroniki wa kuhifadhi takwimu za rasilimali za madini mafuta na gesi asilia (Dashboard) na kuelimisha wananchi kuhusu takwimu hizo;

Kutoa mafunzo kuhusu uwekaji wazi wa majina ya wamiliki wa hisa katika kampuni za madini, mafuta na gesi asilia; na

Kukamilisha marekebisho ya Sheria ya Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali Madini, Mafuta na Gesi asilia ya mwaka, 2015 na Kanuni kwa ajili ya kutekeleza sheria hiyo.

Mradi wa Dhahabu wa Buhemba

kununua mtambo wa kuzalisha dhahabu kwa kuchakata mabaki ya dhahabu (Gold tailings) na kufanya shughuli za awali na uchorongaji katika eneo la mashapo ya mwamba mgumu (Hard rock recource)

Kukamilika kwa ununuzi wa mtambo wa kuzalisha dhahabu kwa kuchakata mabaki ya dhahabu;

Kufanya shughuli za awali na uchorongaji katika eneo la mashapo ya mwamba mgumu kwenye mgodi; na

Kukamilika kwa upembuzi yakinifu katika mabaki ya dhahabu yaliyoachwa kipindi cha nyuma ambapo umebaini kuwapo takribani tani 796,400 za mabaki ya mchanga wa dhahabu yenye wastani wa kilo 852 za dhahabu.

KUFUNGAMANISHA MAENDELEO YA VIWANDA NA MAENDELEO YA WATU

Elimu, Sayansi na Teknolojia

Page 167: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 162

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu (Programu ya Lipa Kulingana na Matokeo katika Elimu)

Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya uendeshaji wa programu;

Kutoa motisha kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri na zilizoongeza kiwango cha ufaulu katika mitihani ya Taifa ya Darasa la Saba na Kidato cha Nne mwaka 2018;

Kujenga madarasa 2000 na miundombinu yake katika shule za msingi na sekondari;

Kujenga mabwalo katika shule 85 za sekondari zilizopanuliwa kwa ajili ya kudahili wanafunzi wa kidato cha tano;

Kununua vifaa vya maabara awamu ya II kwa shule 1,800 za sekondari za wananchi;

Kukarabati shule kongwe 25 za sekondari; ukarabati na upanuzi wa vyuo 8 vya ualimu (Bustani, Vikindu, Mtwara Kawaida, Mtwara Ufundi, Singachini, Monduli, Bunda, na Katoke); na

Kununua magari 20 kwa ajili ya vyuo vya ualimu

Kuendelea na ujenzi wa miundombinu katika shule 504 (msingi 219 na sekondari 285) katika mikoa yote Tanzania Bara ambao unahusisha madarasa 938, mabweni 210, vyoo 2,141, nyumba 39 (2 in 1), mabwalo 76 na huduma za maji katika shule 10;

Kuendelea na ujenzi wa shule 4 mpya za msingi katika Halmashauri za Dodoma Jiji, Masasi Mji, Buhigwe na Chato;

Kukamilika kwa ujenzi wa shule ya Sekondari Maalum Patandi kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 640 ambao unahusisha madarasa nane (8), jengo la utawala, bwalo na jiko, chumba cha maabara, chumba cha TEHAMA, maktaba na bweni moja;

Kugharamiwa mafunzo kwa wanataaluma 68 kutoka vyuo vikuu vya Umma katika ngazi za shahada za uzamili (66) na uzamivu (2);

Kuendelea na maandalizi ya ukarabati wa vyuo vinane (8) vya ualimu vya Bustani, Vikindu, Mtwara Kawaida, Mtwara Ufundi, Singa chini, Monduli, Bunda na Katoke; na magari 20 yamenunuliwa kwa ajili ya vyuo vya Ualimu; na

Uboreshaji wa miundombinu ya Elimu ya Sekondari: ujenzi wa madarasa 938, mabweni 210, matundu ya vyoo 2,141, nyumba za walimu 47, majengo ya utawala 13, maabara za sayansi 22, maktaba 39 mabwalo ya chakula 79 na visima 10 vya maji zinaendelea katika Halmashauri mbalimbali.

Ukarabati wa Vyuo vya Ualimu

Ujenzi na ukarabati wa vyuo 4 vya Ualimu vya Shinyanga, Mpuguso, Ndala na Kitangali

Chuo cha Ualimu Mpuguso: Kukamilika kwa ujenzi na ukarabati awamu ya kwanza ambao umehusisha nyumba tatu za ghorofa kwa ajili ya familia 12 za walimu, nyumba moja (1) ya mwalimu isiyo ya ghorofa; nyumba 2 za ghorofa kwa ajili ya mabweni ya wanafunzi 304; na ukarabati wa nyumba moja (1) ya mwalimu. Ujenzi wa Awamu ya pili umefikia hatua ya umaliziaji ambao umehusisha majengo mawili (2) ya ghorofa yenye vyumba 16 vya madarasa,

Page 168: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 163

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

maktaba, jengo la mihadhara, maabara na ukarabati wa mabweni;

Chuo cha Ualimu Shinyanga: kukamilika kwa awamu ya kwanza ya ujenzi na ukarabati ambao umehusisha nyumba 1 ya ghorofa ya walimu kwa ajili ya familia 4, nyumba 1 ya ghorofa kwa ajili ya mabweni ya wanafunzi 152 na ukarabati wa nyumba nne (4) za walimu na mabweni mawili (2), na vyoo vya wanafunzi. Ujenzi wa awamu ya pili umefikia hatua ya uezekaji na ukamilishaji ambao umehusisha nyumba 2 za ghorofa zenye vyumba 16 vya madarasa, bweni moja (1) la ghorofa kwa wanafunzi 152, maktaba na jengo la mihadhara na ukarabati wa mabweni mawili (2) na bwalo la chakula;

Chuo cha Ualimu Kitangali: ujenzi kwa awamu ya kwanza na ya pili upo katika hatua za mwisho za ukamilishaji ambapo awamu ya kwanza inahusisha nyumba 10 za walimu, nyumba 1 ya Mkuu wa Chuo, na jengo la mikutano. Awamu ya pili inahusisha ujenzi wa nyumba 2 za ghorofa zenye vyumba 16 vya madarasa, maktaba, jengo la mihadhara, na majengo 2 ya ghorofa ya mabweni kwa wanafunzi 304; na

Chuo cha Ualimu Ndala: kuendelea na ujenzi wa awamu ya kwanza ambayo ipo katika hatua za msingi na unahusisha, ujenzi wa nyumba 2 za ghorofa za mabweni kwa wanafunzi 304, nyumba 2 za ghorofa za madarasa zenye vyumba 16, jengo la mihadhara, maktaba, na maabara. Awamu ya pili ya mradi ambapo utekelezaji upo katika hatua za umaliziaji na unahusisha nyumba 5 za kawaida za walimu; nyumba 2 za ghorofa za walimu kwa ajili ya familia 8; na ukarabati wa mabweni mawili (2) pamoja na vyoo vya wanafunzi.

Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Elimu ya Msingi (MMEM) –Kuimarisha Mafunzo ya Stadi za Kusoma, Kuandika na

Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa mikakati ya Sekta ya Elimu;

Kufanya tathmini ya mwisho ya pamoja ya utekelezaji wa shughuli za programu za

Kutolewa mafunzo kwa walimu wa nyongeza 402 wa Elimu Maalum yaliyotolewa katika Vyuo vya Ualimu vya Morogoro, Butimba (Mwanza) na Patandi (Arusha) ambapo walimu walipatiwa stadi za kufundishia za KKK kwa wanafunzi wasioona na wasiosikia wa

Page 169: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 164

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kuhesabu (KKK) LANES na Sekta ya Elimu;

Kuimarisha kitengo cha tathmini na ufuatiliaji cha Wizara katika ukusanyaji wa takwimu za programu; na

Kununua na kusambaza vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum

Darasa la I - IV kwa kutumia mtaala mpya;

Kukamilika kwa mafunzo kwa walimu wa nyongeza 1,598 wanaofundisha darasa la I na II yaliyotolewa katika vyuo vya ualimu vya Morogoro na Butimba ambapo walimu walipatiwa stadi za ufundishaji na ujifunzaji wa Stadi za KKK kwa kuzingatia mtaala mpya;

Kufanyika ufuatiliaji wa pamoja wa Programu katika sampuli ya Mikoa 5 ambao ulihusisha Halmashauri za wilaya za Liwale, Mafia, Magu, Manyoni na Monduli na kushirikisha Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, OR-TAMISEMI, pamoja na Washirika wa Maendeleo ya Elimu, na wajumbe kutoka Taasisi zisizo za Serikali zinazohusika na masuala ya Elimu; na

Kuhamasisha ushiriki wa jamii katika kuimarisha ufundishaji na ujifunzaji wa stadi za KKK kupitia mtandao wa elimu (TEN – MET)

Mradi wa Huduma ya Maji, Elimu ya Afya na Usafi wa Mazingira Shuleni – SWASH

Kujenga miundombinu ya maji na vyoo katika shule za msingi 500;

Kufanya uhakiki na ufuatiliaji wa miundombinu itakayojengwa kwa kuzingatia mwongozo wa SWASH kwa kushirikiana na wadau wa programu hiyo; na

Kutoa elimu kuhusu utumiaji wa mwongozo wa SWASH kwa wathibiti ubora wa shule na waratibu wa SWASH wa Halmashauri na Mikoa.

Kukamilika kwa tathmini ya kitaifa ya Huduma ya Maji, Elimu ya Afya ya usafi wa mazingira shuleni iliofanyika katika shule za msingi na sekondari 2,228 Tanzania Bara na 156 Zanzibar ambayo ililenga kubaini hali halisi ya miundombinu ya vyoo, maji na usafi wa mazingira nchini ili kuweka mikakati ya kitaifa ya kuiboresha; na

Kukamilika kwa mafunzo ya mwongozo wa huduma ya maji, elimu ya afya na usafi wa mazingira shuleni kwa wathibiti ubora wa shule wa Halmashauri 63 za mikoa ya Njombe, Ruvuma, Mbeya, Songwe, Rukwa, Katavi, Arusha, Dodoma, Tanga na Kilimanjaro kwa lengo la kuwajengea uwezo wathibiti ubora wa shule katika kufuatilia, kutathmini na kutoa ushauri kuhusu huduma ya maji, usafi wa mazingira na ujenzi wa miundombinu ya vyoo shuleni.

Mamlaka ya Elimu Tanzania - TEA

Kujenga nyumba 15 za walimu katika shule za sekondari zilizo kwenye mazingira magumu na maeneo yasiyofikika kwa

Kukamilika kwa asilimia 60 ya ujenzi wa mabweni 12 katika shule 11 za sekondari;

Kuendelea na ujenzi wa nyumba 60 za walimu katika shule 15 za

Page 170: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 165

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

urahisi;

Kujenga madarasa 300 kwenye shule za msingi 60 zenye uhitaji mkubwa;

Kujenga mabweni 10 ya wanafunzi wa kike katika shule za sekondari zilizo kwenye mazingira magumu kufikika; na

Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya miradi.

sekondari; na

Kuendelea na ujenzi wa madarasa 252 katika shule 84 za msingi.

Mradi wa Ujenzi na Ukarabati wa Vyuo vya Ufundi Stadi

Kujenga chuo cha ufundi stadi cha Kagera;

Kujenga karakana 2 za ufundi wa zana za kilimo na ufundi wa uungaji vyuma katika chuo cha ufundi stadi Arusha;

Kuanza ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi katika Wilaya za Chunya, Kilindi, Nyasa na Ukerewe; kukamilisha ujenzi wa madarasa 2 na mabweni 2 katika chuo cha ufundi stadi cha Wilaya ya Makete;

Kuweka vifaa vya mafunzo kwenye karakana ya Useremala katika chuo cha ufundi stadi VETA Dodoma; na

Kuboresha teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika usimamizi wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi (VETMIS)

Kukamilika kwa ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya cha Namtumbo;

Kkamilika kwa ujenzi wa karakana ya kisasa ya useremala katika Chuo cha Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa Dodoma;

Kukamilika kwa ujenzi wa karakana za useremala, umeme wa magari na jengo la utawala katika chuo cha Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa Morogoro – Kihonda;

Kukamilika kwa ujenzi wa karakana ya ushonaji katika chuo cha Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa Pwani;

Kuendelea na ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Chato ambapo utekelezaji umefikia asilimia 48;

Kujengwa kwa miundombinu ya maji, umeme na barabara katika eneo la ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Mkoa wa Kagera;

Kuendelea na ujenzi wa mabweni mawili (2) na nyumba mbili (2) za wafanyakazi katika chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Makete;

Kuendelea na ukamilishaji wa majengo na ununuzi wa vifaa kwa ajili ya kuanzisha vyuo vya Ufundi Stadi katika wilaya za Ileje, Nkasi, Urambo, Newala, Muleba, Kasulu DC, Itilima, Ngorongoro na Babati na kuendelea na ukarabati na upanuzi wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Wilaya ya Karagwe.

Page 171: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 166

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kuimarisha Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi na Elimu ya Ualimu

Kukamilisha ujenzi wa chuo cha Ufundi Stadi cha Mkoa wa Njombe;

Kuanza ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi vya mikoa ya Simiyu, Geita, na Rukwa; na

Kuanza ujenzi katika vyuo 6 vya Ualimu vya Dakawa, Mpwapwa, Kleruu, Marangu, Tabora na Butimba.

Kukamilika kwa utafiti wa kubaini mahitaji ya ujuzi na utaalam katika sekta za Viwanda, Utalii na Ukarimu;

Kukamilika kwa maandalizi ya kuanza ujenzi na ukarabati katika vyuo vya Ualimu 6 vya Dakawa, Mpwapwa, Kleruu, Marangu, Tabora na Butimba;

Kuendelea na ujenzi katika vyuo vya Ufundi Stadi na Huduma (RVTSCs) vya mikoa ya Geita, Simiyu na Rukwa; na

Kuendelea na ujenzi wa mabweni mawili (2) katika Chuo cha Ualimu wa Ufundi Stadi Morogoro.

Ukarabati na Upanuzi wa Chuo cha Ufundi Arusha

Kukamilisha ukarabati na ufungaji vifaa katika karakana 5 kwa ajili ya mafunzo ya uhandisi mitambo, useremala na uhandisi magari kwa vitendo;

Kujenga bweni 1 la wanafunzi wa kike lenye uwezo wa kulaza wanafunzi 250 kwa mara moja;

Kujenga na kukarabati miundombinu ya madarasa, maabara na karakana katika vituo vya mafunzo vya Kikuletwa na Oljoro; na

Kukamilisha ufungaji wa mtandao wa internet katika majengo yote ya chuo kutoka katika Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ili kuboresha utoaji mafunzo kupitia TEHAMA

Kukamilika kwa ufungaji wa mashine mpya katika karakana tano (5);

Kukamilika kwa asilimia 95 ya ujenzi na ukarabati wa majengo ya Kikuletwa; kukamilika kwa asilimia 85 ya ujenzi wa kituo cha kupima mitambo midogo ya kufua umeme kutokana na nguvu ya maji;

Kuendelea na ujenzi wa kituo kipya cha Kikuletwa cha kufua umeme wa MW 1.7 ambapo utekelezaji umefikia asilimia 70;

Kuendelea na awamu ya pili ya ujenzi wa miundombinu ya kituo cha Oljoro kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo ya kilimo cha umwagiliaji; na kununuliwa kwa kompyuta 100, meza 100 na viti 200;

Kuendelea na ujenzi wa jengo la ghorofa tatu (3) linalojumuisha maabara, madarasa, ofisi na stoo; na kugharamia mafunzo ya muda mrefu kwa watumishi 40 ambapo watumishi 15 (shahada ya uzamivu), watumishi 22 (shahada ya uzamili) na watumishi 3 (shahada ya kwanza).

Kuendeleza Elimu ya Ualimu

Kununua vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa vyuo 35 vya ualimu na vifaa vya Elimu Maalum kwa vyuo vya Patandi, Mtwara Ufundi na Mpwapwa;

Kununuliwa kwa vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa vitendo kwa ajili ya vyuo 35 vya Serikali;

Kununuliwa kwa kompyuta za mezani 300 na projector 100 kwa ajili ya kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji

Page 172: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 167

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kuimarisha mifumo ya TEHAMA na kununua vifaa vya TEHAMA kwa vyuo vya ualimu na kuviunganisha na Mkongo wa Mawasiliano wa Taifa;

Kuendelea na ujenzi wa chuo cha Ualimu Kabanga;

Kukarabati maktaba za vyuo 8 vya Ualimu (Bustani, Vikindu, Mtwara Kawaida, Mtwara Ufundi, Murutunguru, Monduli na Bunda);

Kutoa mafunzo ya TEHAMA kwa wanafunzi 821;

Kutoa mafunzo kazini kwa wakufunzi 323;

Kuandaa kanzidata ya mfumo wa mawasiliano na utoaji taarifa za Elimu ya Ualimu;

Kuwezesha programu ya Hisabati ya Korogwe na kutoa mafunzo kwa walimu 200 wa somo la Hisabati wa shule za msingi na sekondari;

Kutoa ufadhili kwa wahitimu 500 wa vyuo vikuu wa fani za sayansi, kilimo, na ufundi kusomea postgraduate diploma ya ualimu; na

Kutoa ufadhili kwa wakufunzi wa Chuo cha Ualimu Patandi kujiendeleza katika ngazi ya Shahada ya Pili katika Elimu Maalum

na kusambazwa katika vyuo vya Ualimu 18;

Kukamilika kwa miongozo 22 ya mafunzo kazini kwa wakufunzi kwa ajili ya kuimarisha uwezo wa kufundisha masomo mbalimbali;

Kuendelea na maandalizi ya kuunganisha vyuo vya Ualimu katika Mkongo wa Taifa;

Kuanza kwa ujenzi wa chuo cha Ualimu Kabanga;

Kupatiwa mafunzo kazini Walimu 398 (Shule za Msingi 200 na Walimu wa Sekondari 198) wa Hisabati;

Kukamilika kwa maandalizi ya mafunzo kwa menejimenti za vyuo vya Ualimu vya Serikali; na

Kuendelea kununua vifaa vya wakufunzi na wanafunzi ili kuboresha ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.

Kuimarisha Taasisi ya Elimu Tanzania

kuboresha mtaala wa kidato cha kwanza hadi cha nne na mtaala wa Elimu ya Ualimu ngazi ya cheti na stashahada;

Kuandikwa kwa vitabu vya kiada vya masomo ya Historia na Jiografia ngazi ya sekondari (O-level) na masomo ya Sayansi na Kiswahili ngazi ya sekondari (A-level) kwa kutumia mtaala wa mwaka 2005;

Page 173: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 168

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kuendelea na uandishi wa vitabu vya kiada kwa kidato cha kwanza hadi cha sita, na moduli/vibutu vya Elimu ya Ualimu na kuandaa maudhui ya kielektroniki kwa darasa la kwanza na la pili;

Kutoa mafunzo kazini kwa walimu wa elimu msingi kwa kutumia mtaala ulioboreshwa;

Kurusha hewani vipindi vya vikaragosi kwa lengo la kuwawezesha wanafunzi wa elimu ya awali, darasa la kwanza na la pili kukuza stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK);

Kuandika vitabu vya hadithi vya shule za msingi, kufanya uhakiki na tathmini ya vitabu vya ziada na maudhui ya kielektroniki; na

Kuandika na kuchapa mtaala, mihtasari na moduli za mafunzo kwa ngazi ya Cheti na Stashahada ya Ualimu.

Kukamilika kwa uandishi, uchapaji na usambazaji wa aina nane (8) za vitabu vya kiada kwa Darasa la Tano kwa masomo ya Hisabati, Kiingereza, Uraia na Maadili, Maarifa ya Jamii, Stadi za Kazi, Sayansi na Teknolojia na Kifaransa kwa kuzingatia mtaala wa mwaka 2015;

Kusambazwa kwa nakala 2,933,791 za vitabu hivyo kwa uwiano wa kitabu kimoja kwa wanafunzi watatu (1:3) katika Halmashauri za Mikoa mitano ya Geita, Mwanza, Kigoma, Arusha na Kilimanjaro;

Kusambazwa nakala 281,148 za Kiongozi cha Mwalimu kwa masomo hayo katika Halmashauri za Mikoa yote Tanzania Bara;

Kukamilika kwa uandishi, uchapaji na usambazaji wa nakala 391,949 za vitabu vya somo la Kiingereza kwa Kidato cha Kwanza na cha Pili kwa uwiano wa kitabu kimoja kwa wanafunzi watatu (1:3);

Kuandaliwa kwa vitabu vya kiada rafiki kwa wanafunzi wenye uoni hafifu na wasioona wa Darasa la Tatu na la Nne ambavyo vimeandaliwa katika mfumo wa maandishi makubwa (large print), nukta nundu (braille) na mchoro mguso ambapo usambazaji unaendelea.

Kuandikwa kwa Kiongozi cha Mwalimu kwa masomo matano (5) ambayo ni Kuhesabu, Kuandika, Kusoma, Afya na Mazingira, na Sanaa na Michezo kwa Darasa la Kwanza na la Pili na aina saba (7) za Kiongozi cha Mwalimu kwa Darasa la Tatu;

Kusambazwa nakala 6,286,476 za vitabu vya kiada kwa Darasa la Nne (uwiano wa 1:1) vya masomo ya Hisabati, Kiingereza, Uraia na Maadili, Maarifa ya Jamii, Stadi za Kazi, Sayansi na Teknolojia na Kifaransa katika Halmashauri za mikoa yote Tanzania Bara; na

Kusambazwa nakala 7,835,697 za vitabu aina 25 vya Hadithi kwa Darasa la Kwanza na la Pili (uwiano wa 1:3) katika Halmashauri za mikoa yote Tanzania Bara.

Page 174: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 169

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu

Kutoa mikopo kwa wanafunzi 123,285 wa elimu ya juu wenye kukidhi vigezo. Kati ya hao, wanafunzi wa mwaka wa kwanza ni 40,544 na wanafunzi 82,741 wanaendelea na masomo.

Kutolewa mikopo ya Shilingi bilioni 424.76 kwa wanafunzi 122,754 ambapo wanafunzi 41,234 ni wa mwaka wa kwanza na 81,520 wanaoendelea na masomo;

Kukusanywa kwa mikopo iliyoiva ya thamani ya shilingi bilioni 128.07 sawa na asilimia 81.2 ya lengo la kukusanya shilingi bilioni 157.7;

Kutambuliwa kwa wadaiwa wapya 14,627 na kupatiwa hati za madai sawa na asilimia 47 ya lengo la kutambua wadaiwa wapya 31,000; na

Kukaguliwa kwa waajiri 2,698 kati ya lengo la waajiri 3,426.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE)

kukamilisha ujenzi wa maabara ya sayansi na kompyuta

Kukamilika kwa ujenzi wa ukumbi wa mihadhara wenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 1,209 kwa wakati mmoja na ofisi 14 zenye uwezo wa kuchukua wahadhiri 28; na

Kuendelea na ujenzi wa maabara za Sayansi zenye uwezo wa kukaa wanafunzi 240 kwa wakati mmoja.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es Salaam (DUCE)

Kujenga jengo la makazi ya wanataaluma watafiti; na

Kujenga madarasa na kuweka mifumo ya kiusalama na miundombinu ya TEHAMA.

Kukamilika kwa uwekaji wa miundombinu ya TEHAMA katika shule za mazoezi;

Kununuliwa kwa vifaa vya kujifunzia na kufundishia kwa ajili ya wanafunzi wenye mahitaji maalum; na

Kuendelea na awamu ya pili ya ujenzi wa jengo la utawala na ofisi za wafanyakazi na utafiti ambapo utekelezaji upo katika hatua za ukamilishaji.

Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Mwl. Julius Nyerere cha Kilimo na Teknolojia

Kuandaa michoro na mpango wa matumizi ya ardhi; na

Kupima ardhi na kufuatilia upatikanaji wa hati miliki za ardhi ya chuo kwa Kampasi za Butiama,

Rorya, na Serengeti

Kuendesha mafunzo kwa wakulima 455 juu ya mbinu bora za kilimo;

Kulimwa mazao mbalimbali katika shamba darasa la ekari 7; na

Kugharamiwa mafunzo watumishi wanne (4) katika shahada ya uzamili kupitia mradi wa CREATES.

Ujenzi na Upanuzi wa Chuo Kikuu cha Mzumbe

kuendeleza ujenzi na kuweka samani kwenye jengo la madarasa na utawala katika Kampasi ya Mbeya.

Kuendelea na ukamilishaji wa ujenzi wa Jengo la Ardhi lenye nafasi ya ofisi 125 na madarasa yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,980.

Page 175: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 170

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu Ardhi

Kujenga jengo la Ardhi na kuliunganisha na mfumo wa maji;

Kuendelea na ujenzi wa maabara itakayokuwa na matumizi zaidi ya moja; na

Kukarabati karakana, nyumba za watumishi na madarasa.

Kuendelea na ukamilishaji wa ujenzi wa Jengo la Ardhi lenye nafasi ya ofisi 125 na madarasa yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,980.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili.

Kukamilisha ujenzi wa Kituo Mahiri cha magonjwa ya moyo awamu ya kwanza katika kampasi ya Mloganzila.

Kuendelea na ujenzi wa kituo mahiri cha Magonjwa ya Moyo Awamu ya Kwanza katika Kampasi ya Mloganzila ambao upo katika hatua za mwisho za ukamilishaji;

Kukamilika kwa mpango wa uzalishaji mali wa hospitali ya kufundishia na taaluma - Mloganzila; na

Kuanzishwa mifumo 6 ya kimtandao ya uendeshaji wa Chuo ambayo imeunganishwa na mfumo wa kuratibu ufundishaji na ujifunzaji – eLearning.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi

Kujenga maktaba yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja

Kukamilika kwa michoro ya jengo la maktaba lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja; na

Kukarabatiwa kwa kafeteria na eneo la mapokezi katika kituo cha Mikutano cha Ushirika.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere.

Kujenga jengo la maktaba lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja katika Kampasi ya Kivukoni; na

Kujenga bweni la wanafunzi katika Kampasi ya Zanzibar.

Kukamilika kwa ujenzi wa jengo la mihadhara lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 324 kwa wakati mmoja; na

Kukamilika kwa michoro na makadirio ya gharama za ujenzi wa maktaba katika kampasi ya Kivukoni na hosteli katika kampasi ya Zanzibar.

Ujenzi wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela – Arusha (NM - AIST)

Kuanza ujenzi wa hosteli yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 500 kwa wakati mmoja

Kuendelea na utekelezaji wa miradi ya utafiti 33 inayojumuisha utafiti wa ugonjwa wa kimeta kwa wanyama pori na wanaofugwa, utafiti wa kuondoa sumu kuvu katika nafaka (Aflatoxin) na utafiti katika zao la ndizi ili kupata miche bora inayohimili magonjwa ya kitropiki.

Page 176: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 171

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Jengo la Kufundishia Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaaam - DIT

Kuweka samani za ndani, miundombinu na vifaa vya TEHAMA katika jengo jipya la DIT Teaching Tower na

Kukamilisha upanuzi wa jengo la maktaba.

Kukamilika kwa ukarabati wa jengo la madarasa mawili yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 50 kila moja katika Kampasi ya Myunga; na

Kununuliwa kwa asilimia 40 ya vifaa vya upanuzi wa jengo la maktaba.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA

Kujenga na kukarabati miundombinu ya chuo

Kukamilika kwa ukarabati wa mabweni matano (5) ya wananfunzi yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 222 katika Kampasi ya Solomon Mahlangu na mabweni mawili (2) ya Nicholaus Kuhanga yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 924 katika Kampasi Kuu;

Kukamilika kwa ukarabati wa hosteli moja (1) iliyopo katika Taasisi ya Elimu ya Kujiendeleza kwa ajili ya wanafunzi wa kigeni yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 16 kwa wakati mmoja; kukamilika kwa ukarabati wa Hospitali ya Rufaa ya Taifa ya Wanyama iliyopo katika ndaki ya Tiba ya Mifugo na Sayansi za Afya; na kuendelea na ujenzi wa maabara mtambuka yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 1,600 kwa wakati mmoja ambapo utekelezaji wa awamu ya kwanza umefikia asilimia 50.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya

Kukamilisha ujenzi wa jengo la maktaba lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,500 kwa wakati mmoja

Kukamilika kwa michoro ya ramani ya jengo la vyumba viwili (2) vya madarasa vyenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 600 kwa wakati mmoja;

Kukamilika kwa ukarabati wa miundombinu ya kufundishia na kujifunzia katika kampasi ya Rukwa; na

Kukamilika kwa asilimia 69 ya ujenzi wa jengo la maktaba awamu ya kwanza lenye uwezo wa kuchukua wananfunzi 2,500 kwa wakati mmoja.

Upanuzi na Ukarabati wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam – Kampasi ya Dar es salaam

Upanuzi wa hosteli za Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.

Kukamilika kwa ujenzi wa Maktaba ya Kimataifa yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 2,100 kwa wakati mmoja, ukumbi wa mikutano unaochukua watu 580 na Kituo cha Utamaduni wa Kichina chenye ofisi 5 na madarasa 10 yenye uwezo wa kuchukua wananfunzi 550 kwa wakati mmoja; na

Page 177: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 172

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kununuliwa kwa vitabu 6,927 na mashubaka (bookshelf) kwa ajili ya kuhifadhi vitabu katika maktaba iliyojengwa.

Kukuza Stadi za Kazi kwa Ajili ya Shughuli za Kuzalisha na Kukuza Uchumi

kuendelea na utekelezaji wa Mfuko wa Kukuza Stadi za Kazi kwa kutoa ruzuku kwa ushindani kwa vyuo vya ufundi nchini; kuendelea kutoa ruzuku za masomo ya ufundi kupitia Skimu za Vocha za Mafunzo (Trainee Voucher Scheme) kwa vijana 7000 wasio na uwezo wa kujiendeleza;

kuviwezesha vyuo 20 vya Maendeleo ya Wananchi kutoa mafunzo ya ufundi kwa kuvikarabati na kuvinunulia vifaa; kuzijengea uwezo taasisi za VETA, NACTE na TCU wa kusimamia ubora ya elimu ya ufundi na stadi za kazi; na

Kuimarisha vyuo vya VETA na Elimu ya Ufundi kwa kuvinunulia vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa ajili ya kuendesha mafunzo ya Uanagenzi (Apprenticeship).

Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya ukarabati na ujenzi wa vyuo 20 vya Maendeleo ya Wananchi;

Kukamilika ujenzi wa hosteli ya wanafunzi wa kike katika Chuo Kikuu Ardhi (ARU);

Kutolewa kwa mafunzo kwa vijana 650 kutoka kaya maskini katika taasisi mbalimbali za mafunzo kulingana na mahitaji yao na vipaumbele vya Taifa;

Kuanzishwa mabaraza ya kisekta ya kusimamia maarifa kwa kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF);

Kutolewa mafunzo kuhusu malipo kwa mfumo wa kielektroniki kwa wahasibu kutoka vyuo 54 vya Maendeleo ya Wananchi, vyuo 35 vya Ualimu na makao makuu ya Wizara, wakaguzi 16 wa ndani, na wataalam 8 wa TEHAMA kutoka Wizarani (MoEST), NACTE, HESLB, VETA, na TCU; na

Kutolewa mafunzo kwa watumishi 304 katika nyanja za huduma kwa wateja, utunzaji nyaraka, maadili katika Utumishi wa Umma.

Mfuko wa Utafiti na Maendeleo wa COSTECH

Kuanzisha na kuendeleza atamizi za ubunifu katika Halmashauri za miji ya Mbeya na Dodoma kwa lengo la kukuza ubunifu kwa vijana 50;

Kuwatambua wagunduzi na wabunifu nchini na kuwawezesha kuendeleza ubunifu na ugunduzi wao kupitia mfuko wa MTUSATE;

Kutolewa mafunzo kwa washiriki 20 wakiwemo wasimamizi wa masuala ya Bioteknolojia katika taasisi na wizara mbalimbali;

Kuendelea kufadhili na kusimamia miradi ya utafiti katika maeneo ya kipaumbele kwa sekta za Viwanda, TEHAMA, Kilimo, Afya, Mazingira na Maliasili;

Kuwezeshwa kifedha kwa wabunifu 30 kuendeleza ubunifu wao;

Kuendelea na ujenzi na ukarabati wa maabara za utafiti katika tafiti za utafiti wa mifugo Tanga (TALIRI – Tanga), Uyole (TALIRI – Uyole), na

Page 178: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 173

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kufadhili miradi 20 ya ubunifu;

Kuhamasisha matumizi ya teknolojia mpya kama Bioteknolojia, Nanoteknolojia, Mekatroniksi na Bigdata;

Kuandaa vipindi na makala 42 zinazohusu masuala ya sayansi, teknolojia na ubunifu (STU) na kuzisambaza kupitia radio na televisheni;

Kuanzisha na kuendeleza kumbi za ubunifu katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam na Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam kwa lengo la kuchochea uanzishwaji wa kampuni za kiteknolojia ili kukuza ubunifu na kuongeza ajira kwa vijana

Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI – Sota, Musoma);

Kugharamiwa kwa miradi mipya minane (8) ya ukarabati wa miundombinu ya utafiti katika taasisi sita (6) za utafiti (NIMR, SUA, HORTI, TALIRI – Mpwapwa, MUHAS, na TVI); na

Kugharamiwa kwa miradi minne (4) ya utafiti iliyotekelezwa na TAFIRI, STAMICO na TIRDO.

Ujenzi wa Maabara ya Mionzi ya Nguvu za Atomiki

Kuanza ujenzi wa maabara Awamu ya II; kuendelea na ukaguzi wa migodi 6 inayofanya kazi;

kuendelea kukagua vituo 150 vyenye vyanzo vya mionzi;

kuendelea kusajili vituo 1,045 vyenye vyanzo vya mionzi;

kufanya kaguzi katika vituo 120 vinavyotoa mionzi isiyoainishwa; na

kufungua ofisi za Tume ya Nguvu za Atomiki katika kanda ya kati mkoani Dodoma, kanda ya nyanda za juu kusini mkoani Mbeya, na kanda ya ziwa mkoani Mwanza

Kukaguliwa kwa migodi sita (6) ya chini ya ardhi (underground mines) ambayo ni Geita Gold Mine, North Mara Gold Mine, Bulyankulu Gold Mine, Tanzanite One Limited, Stamigold Company Limited, na Buzwagi Gold Mine na kubaini kuwa ipo salama na haina madhara kwa mazingira na wafanyakazi;

Kukaguliwa na kuhakikiwa kwa vituo 590 vya vyanzo vya mionzi; kusajiliwa kwa vituo vipya 101 kwa ajili ya kuanza kutumia vyanzo vya mionzi;

Kupimwa viwango vya mionzi kwa wafanyakazi 1,663 kwenye vituo 376;

Kupimwa kwa sampuli 12,628 na kutoa vibali 12,628;

Kufunguliwa kwa ofisi ya Kanda ya Ziwa - Mwanza na ofisi ndogo saba (7) maeneo ya Kigoma, Pemba, Mtwara (Mtambaswala na Kalambo), Kagera (Kabanga), Songwe (Kasumulu) , Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA) hivyo TAEC kuwa na ofisi 22 nchini; na

Page 179: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 174

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kununuliwa kwa vifaa 17 vya kudhibiti ubora wa machine za tiba ya mionzi na matumizi salama ya mionzi kwa ajili ya ofisi za mipakani.

Upanuzi na Ukarabati wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi – FDCs

Kujenga na kukarabati miundombinu katika vyuo 28 vya maendeleo ya wananchi.

Kuendelea na ukarabati wa awamu ya kwanza wa Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi 20 vya Rubondo, Gera, Munguri, Chisalu, Newala, Kilwa Masoko, Ikwiriri, Mtawanya, Handeni, Mto wa Mbu, Urambo, Kasulu, Tarime, Ilula, Muhukuru, Sofi, Chilala, Kiwanda, Malampaka na Karumo ambapo ukarabati upo katika hatua za ukamilishaji.

Afya na Maendeleo ya Jamii

Mradi wa Kupunguza Vifo vya akina Mama Vinavyotokana na Uzazi

Kujenga vituo 12 vya damu salama katika Mikoa 12;

Kukarabati na kujenga wodi maalum kwa ajili ya watoto wachanga (Neonatal Care Units) katika Hospitali za Rufaa za Mikoa 7; na

Kufanya upanuzi wa wodi za wazazi na kutenga vyumba vya wagonjwa mahututi wanaotokana na uzazi katika hospitali za Rufaa za mikoa 5.

Kukamilika kwa marekebisho katika Wodi ya Wazazi na ufungaji vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora – Kitete na kujenga kichomea taka, kuweka mifumo ya gesi na vifaa tiba;

Kukamilika kwa ujenzi na marekebisho ya Wodi za Wazazi katika Vituo vya Afya vya Kitunda na Mazinge katika Wilaya ya Sikonge; na

Kukamilika kwa ujenzi na marekebisho katika Chuo cha Maafisa Tabibu Tabora ikiwemo kukamilisha mfumo wa umeme.

Mradi wa Kuboresha Hospitali za Rufaa za Mikoa

Ukarabati wa miundombinu ya kutolea huduma za tiba katika Hospitali za Rufaa za Mikoa, kuanzishwa na kuboresha vitengo vya dharura (Emergency Units) katika Hospitali za Rufaa za mikoa, ujenzi wa hospitali mpya za mikoa katika mikoa ya Katavi, Njombe, Geita, Simiyu, Songwe na Mara.

Simiyu - Kukamilika kwa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na kuanza kutoa huduma; ujenzi wa msingi wa jengo la uchunguzi na jengo la mama na mtoto umekamilika ambapo hatua inayofuata ni usimakaji wa nguzo kwa ajili ujenzi wa sakafu ya pili; na kununuliwa kwa mashine 1 ya x-ray kwa ajili ya kuboresha huduma za uchunguzi wa magonjwa; na kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi.

Geita – Ujenzi wa majengo ya kutolea huduma za wagonjwa wa nje, mgahawa na sehemu ya kufulia upo kwenye hatua za mwisho

Page 180: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 175

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kukamilika na ujenzi wa jengo ya upasuaji na jengo la mionzi uko katika hatua za awali; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 91.

Njombe – Kukamilika kwa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje; kununuliwa kwa mashine 1 ya X-ray kwa ajili ya kuboresha huduma za uchunguzi wa magonjwa; kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

Katavi – Kuendelea na ujenzi wa jengo la wazazi, jengo la uchunguzi na jengo la utawala ambapo ujenzi umefikia hatua ya msingi; na kununuliwa kwa mashine 1 ya X-ray kwa ajili ya kuboresha huduma za uchunguzi wa magonjwa; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 96.

Shinyanga – kukamilika kwa ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na utawala; kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

Kwangwa (Mara) – Kukamilika kwa Jengo la wagonjwa wa nje, jengo la wazazi, jengo la uchunguzi na wodi za kulaza wagonjwa.

Manyara – Ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje na utawala umefikia hatua ya upauaji na hatua inayofuata ni kuweka samani, vifaa na vifaa tiba; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 94.

Sekou Toure (Mwanza) – Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

Mwananyamala (Dar es Salaam) – Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi; kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za dharura na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

Page 181: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 176

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Mawenzi (Kilimanjaro) – Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za uzazi; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 75.

Sokoine (Lindi) – Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za dharura; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 97.

Amana (Dar es Salaam) – Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za dharura; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 99.

Temeke (Dar es Salaam) – Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za dharura; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 95.

Kagera – Kuendelea na ujenzi wa jengo la kutolea huduma za dharura; na upatikanaji wa dawa muhimu 30 umeimarika kufikia asilimia 99.

Ujenzi wa Hospitali za Halmashauri na Vituo vya Afya

Ujenzi na ukarabati wa Vituo vya Afya Nchini ili kuboresha huduma za afya msingi (Primary Health Care) na kupunguza msongamano Hospitali za Rufaa za Mikoa na Taifa

Kuendelea na ujenzi wa hospitali za Halmashauri (67);

Kuendelea na ujenzi na ukarabati wa vituo vya kutolea huduma za afya 352 (zikiwemo Hospitali 9, Vituo vya Afya 304 na Zahanati 39); na

Kuendelea na ujenzi na ukarabati wa nyumba 301.

Mradi wa Ununuzi na Usambazaji wa Dawa

Kununua na kusambaza Dawa, Chanjo, Vifaa, Vifaa Tiba na Vitendanishi kwa ajili ya Vituo vya Umma vya kutolea huduma za afya nchini.

Kununuliwa kwa dawa, vifaa tiba na vitendanishi na kusambazwa katika vituo vya umma vya kutolea huduma nchini ambapo upatikanaji wa dawa muhimu aina 30 katika vituo vya kutolea huduma za afya umefikia asilimia 94.4;

Kusambazwa lita 239,020 za viuadudu vya kuangamiza viluwiluwi vya mbu katika Halmashauri zote nchini;

Kununuliwa mashine za X-ray 11 za Kidigitali ambazo zimesambazwa katika hospitali za Ruvuma, Chato, Morogoro, Simiyu, Magu, Singida, Nzega, Njombe, Bukoba, Amana na Katavi;

Page 182: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 177

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kununuliwa vifaa na vifaa tiba na kusambazwa katika vituo vya afya 318;

Kununuliwa na kusambazwa mashine 8 za X-ray na viti 20 kwa ajili ya kutolea huduma ya kinywa; na

Kununuliwa kwa Digital X-rays 28 na LED Microscope 389 ambazo zimesambazwa katika mikoa ya Iringa, Kilimanjaro, Mara, Mbeya, Ruvuma, Tanga, Rukwa, Njombe, Songwe na Dar es Salaam; na

Kuanzishwa kwa mfumo wa Mshitiri katika mikoa 26 ya Tanzania Bara unaoviwezesha vituo vya kutolea huduma za afya kupata mahitaji ya vifaa, vifaa tiba, dawa na vitendanishi toka kwa wauzaji binafsi walioteuliwa pindi mahitaji yanapokosekana katika Bohari Kuu ya Dawa (MSD) na kutolewa mafunzo kwa Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri na wataalam ngazi ya Wizara pamoja na watoa huduma ya afya 103 ngazi ya Taifa, 431 ngazi ya Mkoa, 540 Hospitali za Halmashauri na wafanyabiashara 142 kuhusu matumizi ya mfumo huo.

Hospitali ya Rufaa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini – Mbeya

Kuendelea na ujenzi wa jengo la ghorofa la kusimikwa vifaa vya uchunguzi vya X – ray na kununua vifaa tiba

Kukamilika kwa ujenzi wa jengo la vifaa vya uchunguzi wa mionzi;

Kukamilika kwa upanuzi wa eneo la mapokezi na jengo la huduma za uzazi na mtoto katika kitengo cha wazazi Meta; na

Kuendelea na upanuzi wa jengo la kutolea huduma; na kununuliwa kwa CT-Scan mpya.

Hospitali ya Rufaa ya Magonjwa ya Kifua Kikuu – Kibong‟oto

Kujenga jengo na kununua mashine ya CT-SCAN kwa ajili ya uchunguzi wa kifua kikuu

Kujenga mtambo wa kuzalisha hewa ya oxygen

Kununuliwa kwa mashine nne (4) za uchunguzi wa madhara yatokanayo na dawa; na

Kununuliwa kwa mashine 1 ya ultrasound kwa ajili ya uchunguzi wa magonjwa.

Hospitali ya Rufaa Bugando

Kununua mashine ya CT-SCAN ili kuboresha huduma za uchunguzi

Kununuliwa kwa mashine ya tiba ya mionzi aina ya Brachytherapy; na

Kukamilika kwa ujenzi wa maabara ya kisasa ya uchunguzi wa magonjwa kupitia vinasaba.

Page 183: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 178

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Mradi wa Kudhibiti Magonjwa ya Kuambukiza

Kuimarisha huduma za kupambana na kudhibiti magonjwa ya kuambukiza pamoja na utoaji wa chanjo na kutoa mchango wa Serikali kwa shirika la GAVI

Kununuliwa na kusambazwa kwa chanjo hadi kufikia kiwango cha uchanjaji cha asilimia 98 ya lengo kwa watoto chini ya mwaka mmoja. Chanjo hizo ni pamoja na:

Dozi 3,000,000 za BCC kwa ajili ya kuwakinga watoto wachanga na ugonjwa wa kifua kikuu;

Dozi 3,400,000 (bOPV) za kuzuia ugonjwa wa kupooza;

Dozi 3,000,000 (TT) za kuzuia ugonjwa wa pepopunda kwa mama wajawazito; dozi 5,453,400 (PCV-13) za kuwakinga watoto dhidi ya nimonia na homa ya uti wa mgongo;

Dozi 2,155,500 (Rota) za kuwakinga watoto dhidi ya ugonjwa wa kuhara; dozi 950,500 za HPV kwa ajili ya kuwakinga wasichana dhidi ya saratani ya mlango wa kizazi;

Dozi 1,598,850 za chanjo ya sindano (IPV) kwa ajili ya kuzuia ugonjwa wa kupooza kwa watoto; na

Dozi 3,012,000 za Penta kwa ajili ya kuzuia magonjwa ya dondakoo, kifaduro, kupooza, homa ya ini, na homa ya uti wa mgongo.

Hospitali ya Taifa ya Muhimbili - MNH

Kuendelea na ujenzim wa jengo la kutolea huduma kwa wagonjwa wa kulipia

Kukamilika kwa ukarabati wa jengo la uchunguzi maalum wa watoto wagonjwa walio mahututi pamoja na ufungaji wa vifaa tiba na kuunganishwa mfumo wa taarifa wa hospitali na mfumo wa Malipo wa Serikali GePG.

Taasisi ya Mifupa Muhimbili - MOI

Kulipa mkopo wa ujenzi kutoka NHIF

Kununua mitambo, vifaa tiba na vipandikizi kwa ajili ya jengo jipya

Kununuliwa darubini ya kisasa kwa ajili ya kufanya upasuaji wa mishipa ya fahamu na ubongo (Neurosurgeries);

Kununuliwa kwa mtambo mpya na wa kisasa aina ya Chiller kwa ajili ya kutawanya hewa kwenye vyumba vya upasuaji na Chumba cha Wagonjwa Mahututi – ICU;

Kununuliwa kwa mashine tatu (3) za kisasa aina ya ERBA XL 600, DYMIND DH 76 na COBAS e411 kwa ajili ya kupima sampuli za damu;

Kukamilika kwa ujenzi wa vyumba vitatu vya upasuaji hivyo kuongeza

Page 184: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 179

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

idadi ya vyumba vya upasuaji kutoka 6 hadi 9;

Kukamilika kwa upanuzi wa eneo kubwa la mapokezi ya dharura; na

Kukamilika kwa ufungaji wa vifaa tiba mbalimbali vikiwemo MRI, CT Scan, Digital X-Ray machine, Modern Ultrasound machine na vifaa vya wodini.

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete - JKCI

Kununua vifaa tiba Kukamilika kwa ukarabati wa jengo la hospitali kwa ajili ya wodi mpya ya watoto yenye vitanda 32 vya kuhudumia watoto wenye matatizo ya moyo; na

Kuboreshwa kwa huduma za famasia kwa kutoa dawa muhimu kwa matibabu ya moyo kwa asilimia 95.

Ukarabati na Ujenzi wa Vyuo vya Maendeleo ya Jamii

kukarabati majengo na miundombinu katika Vyuo vya Maendeleo ya Jamii vya Mlale, Uyole na Misungwi

Kuendelea na ukarabati wa hosteli, kumbi za mihadhara, madarasa, majengo ya utawala na nyumba za watumishi katika vyuo vya Rungemba, Mlale, Misungwi, Monduli, Ruaha, Buhare na Uyole; na

Kukamilika kwa ujenzi wa fensi katika Chuo cha Rungemba na ukarabati wa karakana katika Chuo cha Mabughai.

Uwezeshaji Wanawake – UNDP

kufanya tathmini ya utendaji wa Dawati la Jinsia katika Wizara, Idara zinazojitegemea na Wakala;

kufanya tathmini ya utekelezaji wa masuala ya jinsia katika sekta tano; kuanzisha kanzidata ya jinsia; na

kuandaa ripoti ya nchi kwa miaka miwili ya utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa wa Kuondoa Aina Zote za Ubaguzi Dhidi ya Wanawake

Kutolewa kwa mikopo ya Shilingi bilioni 2.05 kwa wanawake wajasiriamali 3,035 kupitia Dirisha la Wanawake katika Benki ya TPB;

Kutolewa kwa mikopo ya uwezeshaji wanawake, Shilingi bilioni 11.128 inayotokana na asilimia 4 ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa vikundi 4,898 vyenye wanawake wajasiriamali 44,210;

Kuwezeshwa kwa vikundi 583 vya wanawake vyenye wanawake wajasiriamali 11,833 kutoka mikoa 15 kupata masoko ya huduma na bidhaa wanazozalisha, uzoefu na teknolojia rahisi na rafiki kupitia maonesho ya biashara ya kitaifa na kimataifa; na

Kutolewa kwa mafunzo kwa wanawake wajasiriamali 444 kuhusu stadi za ujasiriamali, huduma ya hifadhi ya jamii, fursa za kiuchumi, uboreshaji wa huduma na bidhaa wanazozalisha, teknolojia rahisi za uzalishaji wa bidhaa na urasimishaji wa biashara.

Page 185: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 180

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Maendeleo ya Awali ya Mtoto

kuhamasisha uanzishwaji na uimarishaji wa vituo vya jamii vya maendeleo ya awali ya mtoto katika Halmashauri 186;

kuratibu uanzishwaji na utendaji wa mabaraza ya watoto katika mikoa yote 26 ya Tanzania Bara; na

kuwezesha programu za kuzuia ukatili dhidi ya watoto

Kuendelea kutolewa kwa elimu kuhusu madhara ya ukatili dhidi ya watoto katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike kimataifa;

Kuongezeka kwa idadi ya watoto waliopatiwa huduma ya simu bure (Na. 116) kutoka watoto 493 (2017/18) hadi watoto 3,833 (2018/19);

Kutolewa mafunzo kuhusu malezi chanya kwa watoto ambapo walishiriki wazazi na walezi 635 katika ngazi ya familia kutoka halmashauri 132;

Kuanzishwa kwa vikundi vya malezi 1,184 katika halmashauri 15 za mikoa 7;

Kusajiliwa kwa vituo 146 vya kulelea watoto walio chini ya miaka mitano (Day Care Centres) ambapo watoto 149,093 (Ke 76,094 na Me 72,999) waliandikishwa;

Kutolewa kwa mafunzo kuhusu Programu ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto kwa walezi 970 katika vituo vya kulelela watoto mchana kutoka Arusha, Temeke, Ubungo, na Ilala; na

Kuundwa kwa kamati za ulinzi na usalama wa mtoto na mwanamke katika mikoa 26, Halmashauri 184, kata 2,490 kati ya 4,420 na Vijiji 7,900 kati ya 16,626.

Kuwezesha Huduma za Ustawi wa Jamii

kuboresha majengo na miundombinu katika makazi ya Wazee na mahabusu za Watoto na kuimarisha shughuli za ulinzi wa mtoto nchini

Kutambuliwa kwa watoto 389,012 waishio katika mazingira hatarishi hivyo kufikisha idadi ya watoto 1,495,049;

Kutolewa kwa kadi za bima ya afya kwa watoto 900 wanaoishi katika makao ya watoto;

Kuendelea kusajili makao ya watoto ambapo leseni 64 za usajili zilitolewa;

Kuwezeshwa upatikanaji wa huduma za msingi za malazi, chakula, mavazi, matibabu na elimu kwa watoto 13,420 (Ke 6,651 na Me 6,769) waishio katika makao ya watoto yanayomilikiwa na Serikali na taasisi binafsi;

Kutolewa kwa huduma za chakula, malazi, mavazi, matibabu na elimu

Page 186: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 181

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kwa watoto 467 (Ke 49 na Me 418) katika mahabusu 5 za watoto walio katika mkinzano na sheria;

Kuendelea kutekeleza programu ya marekebisho ya tabia kwa watoto walio katika mkinzano wa kisheria ambapo watoto 64 (Ke 7 na Me 57) walichepushwa kutoka katika mfumo rasmi wa haki jinai; na

Kuendelea kutoa huduma za malezi ya kambo na kuasili watoto ambapo watoto 70 (Ke 36 na Me 34) walipata huduma hizo;

Kutambuliwa kwa wazee 750,622 kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho vya matibabu bure ambapo wazee 247,705 wamepatiwa kadi za matibabu bure;

Kuendelea kutolewa huduma za msingi za chakula, malazi, mavazi na matibabu kwa wazee wasiojiweza 510 (Ke 234 na Me 276) katika makazi 17 ya wazee; na

Kutambuliwa kwa watu wenye ulemavu 405,426 na kupatiwa huduma za afya.

Mpango wa Uimarishaji wa Mifumo ya Taarifa za Ustawi wa Jamii

Kuimarisha mfumo wa Taarifa za masuala ya Ustawi wa Jamii

Kuweka mfumo wa kieletroniki wa ukusanyaji na utunzaji taarifa za watoto walio katika mazingira hatarishi na wale waishio na kufanya kazi mitaani katika Halmashauri 147 kati ya 184; na

Kununuliwa na kusambazwa kwa kompyuta, mashine za kurudufu na modemu 101 kwenye Mikoa 23 na Halmashauri 73 kwa ajili ya matumizi ya mfumo wa kieletroniki wa Taarifa za Ustawi wa Jamii.

Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF)

Kuboresha Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuongeza idadi ya watumiaji na upatikanaji huduma

Kuboreshwa kwa mfuko ili kuruhusu watumiaji kupata huduma za matibabu ya rufaa hadi katika hospitali za rufaa za Mikoa; na

Kukamilika na kuanza kutumika kwa kanzidata ya utunzaji wa taarifa za wanachama nchi nzima.

Maji na Usafi wa Mazingira

Page 187: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 182

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

programu ya kuboresha usambazaji wa maji safi na usafi wa mazingira jiji la Dar es Salaam

Kujenga matenki na kulaza mabomba ya kusambaza maji kutoka mitambo ya Ruvu Chini na Ruvu Juu katika Jiji la Dar es Salaam na miji ya Kibaha, Bagamoyo na maeneo ya Mkuranga;

Kukarabati miundombinu ya usambazaji maji ili kupunguza upotevu wa maji katika jiji la Dar es Salaam;

Upanuzi wa mtambo wa bomba kuu la kusambaza maji na ujenzi wa matenki ya Kimara na ulipaji wa fidia kwa wakazi wanaopisha ujenzi huo; na

Kuanza ukarabati na ujenzi wa miundombinu ya uondoaji maji taka katika Jiji la Dar es Salaam kwa kujenga mabwawa ya kutibia maji taka katika maeneo ya Mbezi Beach, Jangwani na Kurasini.

Kuendelea na ujenzi wa matenki na ulazaji wa mabomba ya kusambaza maji ambapo utekelezaji umefikia asilimia 97 ya upanuzi wa mtandao wa maji katika jiji la Dar es salaam na maeneo ya Bagamoyo, Kibaha na Mlandizi ambayo yamesambaziwa maji kutoka miradi mikubwa ya Ruvu Juu na Chini.; na kupatikana kwa mkandarasi kwa ajili ya ununuzi na ufungaji wa dira za maji pamoja na vifaa vya uboreshaji wa huduma za maji.

Mradi wa maji wa Kimbiji na Mpera

Kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya usambazaji maji kutoka visima vya Kimbiji na Mpera katika maeneo yanayohudumiwa na DAWASA ambayo hayana mtandao wa mabomba hususan Kigamboni, Temeke, Mbagala na Mkuranga

kukamilika kwa visima 19 kati ya 20 vilivyopangwa kuchimbwa katika eneo la Kimbiji na Mpera;

kuanza maandalizi ya ujenzi wa miundombinu ya kusambaza huduma ya maji kwa wananchi kutoka katika visima vitano vya awali vya Kimbiji.

Maji kutoka Ziwa Victoria

Kujenga bomba kuu la maji kutoka ziwa Victoria kwenda miji ya Nzega, Igunga, Tabora na Sikonge; na

Kukamilisha usambazaji maji katika miji ya Tinde, Kagongwa, Isaka; Kwimba,

ujenzi wa miundombinu ya maji katika miji ya Tabora, Igunga, Uyui na Nzega pamoja na vijiji 89 vilivyo pembezoni mwa bomba Kuu umefikia asilimia 68.5;

kazi ya ulazaji wa bomba la kusambazia maji katika miji ya Isaka, Tinde na Kagongwa imekamilika kwa asilimia 87.

Page 188: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 183

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Malampaka, Sumve, Malya, Kishapu, Kolandoto na Maganzo

Miradi ya maji kitaifa kukamilisha upanuzi na ukarabati wa miundombinu ya maji katika maeneo yanayohudumiwa na miradi ya kitaifa ya Makonde (Mtwara), Wanging‟ombe (Njombe), Chalinze (Pwani), Mugango-Kiabakari (Mara), na Handeni Trunk Main

kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya maji hususan katika ulazaji wa mambomba, upanuzi na ukarabati katika miradi ya kitaifa ya Chalinze (Pwani) utekelezaji umefikia asilimia 79.5 ikihusisha pamoja na kazi nyingine ujenzi wa matanki, upanuzi wa mtandao wa mabomba na upanuzi wa kidakio;

mradi wa Wanging‟ombe (Njombe) ambao umefikia asilimia 85 za ukarabati na kuwezesha kukamilika kwa matanki 44 ya kuhifadhi maji na mabirika 59 ya kunyweshea mifugo pamoja na kuendelea kumalizia ukarabati wa chanzo cha Mbukwa;

miradi ya Mugango - Kiabakari (Mara) na Handeni Trunk Main usanifu wa kina umekamilika na taratibu za kuwapata makandarasi wa ujenzi zinaendelea.

Mradi wa Maji Masasi – Nachingwea

Ujenzi wa mtambo wa kusafisha maji kukamilika kwa ukarabati wa mradi ambapo wananchi 24,077 katika baadhi ya maeneo wameanza kusambaziwa maji; na

kuanza ujenzi wa mtambo wa kutibu na kusafisha maji.

Kuboresha Huduma za Maji Vijijini

Kukamilisha ujenzi wa miradi inayoendelea kwa kila halmashauri na kuanza ujenzi wa miradi mipya katika halmashauri zote;

Kukarabati mradi wa maji wa Ntomoko; na

Kujenga miundombinu ya maji katika maeneo ya Dodoma, Singida, Shinyanga, Tabora, Arusha, Pwani, Manyara, Mtwara na Songwe;

Kujenga miundombinu ya kusambaza maji kutoka visima vilivyochimbwa na kukarabati mabwawa na miradi isiyofanya kazi katika

kukamilika kwa miradi 198 na kufanya jumla ya miradi yote iliyokamilika kufikia 1,659 ambapo vituo vya kuchotea maji vimeongezeka kufikia 131,370 na kuhudumia wananchi 25,359,290;

miradi 653 ya maji vijijini inaendelea kutekelezwa ikiwa katika hatua mbalimbali katika Halmashauri nchini;

mradi wa Same – Mwanga - Korogwe miundombinu ya msingi inaendelea ambapo bomba kuu la kusafirisha maji, kitekeo cha maji, mtambo wa kusafisha maji na matanki ya kuhifadhi maji, maabara na eneo la kuhifadhia dawa za kutibu maji vimekamilika.

Page 189: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 184

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

halmashauri; na

Kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya maji katika mradi wa Same - Mwanga na Korogwe.

Kuboresha Huduma za Maji Mijini

Upanuzi wa miundombinu iliyopo na kukamilisha shughuli zinazoendelea za miradi ya maji katika miji mikuu ya mikoa mipya ya Geita (Geita), Simiyu (Bariadi), Njombe (Njombe), Katavi (Mpanda) na Songwe (Vwawa); na

Ujenzi, upanuzi na ukarabati wa miundombinu ya maji katika miji midogo, miji mikuu ya wilaya itakayowezesha kuunganisha wateja wapya 110,000; na

Kujenga magati ya maji 272.

Upatikanaji wa huduma za maji Jijini Dar es Salaam umefikia asilimia 85, katika mikoa mingine asilimia 80, miji midogo asilimia 64 na vijijini asilimia 64.8;

Ujenzi wa miradi ya maji katika miji mikuu ya mikoa mipya umeendelea kutekelezwa na kufikia hatua zifuatazo: Geita (umekamilika), Njombe (asilimia 95); na Songwe (asilimia 90);

Ukamilishaji wa miradi ya maji katika Miji ya Wilaya na Miji midogo ya Misungwi, Lamadi, Magu, Longido, Orkesumet unaendelea pamoja na miradi ya matokeo ya haraka (quickwins) katika miji 57; na

Mradi wa uondoaji majitaka Jijini Dar es Salaam katika eneo la Jangwani na Mbezi Beach unaendelea ambapo Mtaalamu Mshauri atakayesimamia kazi hiyo amepatikana. Aidha, ulipaji wa fidia katika eneo la Kurasini umekamilika na taratibu za kuanza kazi ya upembuzi yakinifu zinaendelea.

Kuimarisha Maabara na Bodi za Maji za Mabonde

Ujenzi na ukarabati wa maabara na ofisi za maji za mabonde

kuimarishwa kwa kujengwa na kukarabatiwa kwa Ofisi za maji za mabonde kama ifuatavyo: Ruvuma na Pwani ya Kusini (asilimia 90), Ziwa Nyasa (asilimia 50), Ziwa Rukwa (asilimia 65), Bonde la Kanda ya Kati (asilimia 95) na ujenzi wa ofisi ndogo za katika Bonde la Rufiji katika maeneo ya Mkoji na Kimani (asilimia 65);

Ujenzi na ukarabati wa Maabara ya Maji ya Dar es Salaam umefikia asilimia 99. Vile vile, vifaa vya upimaji wa rasilimali za maji vimetolewa kwa mabonde ya Mto Rufiji na Wami Ruvu kwa ajili ya kuongeza tija katika mabonde hayo.

VIJANA NA AJIRA

Programu ya Kukuza Ujuzi Kuimarisha nguvu kazi iliyo katika Soko la Kutolewa kwa mafunzo ya kilimo cha kitalu nyumba kwa vijana

Page 190: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 185

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Nchini ajira kiujuzi ili kuwezesha kufikiwa kwa uchumi wa viwanda kwa kuongeza ufanisi na tija katika uzalishaji mali na utoaji wa huduma; na

Kuwezesha vijana kujiajiri au kuajirika katika soko la ndani na la nje na hivyo kufikia mahitaji ya nchi ya uchumi wa kipato cha kati

18,800 kwa lengo la kuwapatia vijana ujuzi stahiki ili waweze kujiajiri na kuajiriwa;

Kutolewa mafunzo kwa vijana 10,443 ya kurasimisha ujuzi uliopatikana kwa mfumo usio rasmi kwa fani za ufundi wa magari, useremala, uashi, upishi, huduma za vyakula na vinywaji, ufundi umeme, uchomeleaji, ufundi bomba, uchorongaji vipuri na ushonaji nguo kupitia vyuo vya ufundi VETA wanapata mafunzo; na

Kutolewa kwa mafunzo ya vitendo kwa wahitimu 136 wa elimu ya juu kupitia viwanda na kampuni mbalimbali ya umma na sekta binafsi

Mfuko Wa Maendeleo Ya Vijana

Kuwawezesha vijana kiuchumi kwa kuwapatia mikopo yenye masharti nafuu;

Kuimarisha utoaji wa Mikopo kwa Vijana mmoja mmoja au vikundi vya uzalishaji mali ili kukuza mitaji kwa ajili ya kuimarisha au kuanzisha miradi mipya ya kiuchumi inayowawezesha kupata kipato na hivyo kujitegemea kwa kujiajiri wenyewe.

Kutolewa kwa mikopo nafuu yenye thamani ya Shilingi bilioni 4.2 kwa vikundi vya vijana 755, vyenye wanachama 3,661 katika Halmashauri 128 za Tanzania Bara;

Kuanzishwa kwa SACCOS 127 za Vijana kati ya 184 zinazotarajiwa kuanzishwa hadi kufikia mwaka 2020;

Kutolewa kwa mashine 4 za kutengeneza matofali na mtaji wa Shilingi 500,000 kwa kila halmashauri kwenye halmashauri 168 nchini. Aidha, vijana 6,720 wamepata ajira ya moja kwa moja na vijana 1,905 wamepata ajira zilizotokana na utekelezaji wa programu ya utengenezaji wa matofali ya bei nafuu

HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

Upanuzi wa Usikivu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)

kuanza ujenzi wa jengo la utangazaji na utawala Makao Makuu Dodoma;

kuanzisha chaneli ya utalii kwa ajili ya kutangaza maliasili nchini; na

kununua magari 11 ya utangazaji, utafutaji na uandishi wa habari

kuendelea kupanua usikivu wa redio ambapo umeongezeka kutoka wilaya 87 mwaka 2017 hadi wilaya 102 Machi 2019;

kukamilika kwa usanifu wa Jengo la Makao Makuu ya TBC Jijini Dodoma litakalo husisha jengo la Utangazaji na Utawala;

uanzishaji wa Chaneli ya Tanzania Safari inayotangaza vivutio vya utalii; kuanzishwa kwa mifumo ya kielekroniki hususan tovuti na programu tumizi (protu au App); na

kuratibiwa kwa jumla ya vipindi 17 vya TUNATEKELEZA, vipindi hivyo vilihusisha Wizara 16 na Mikoa miwili (2).

Page 191: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 186

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika

kuendelea na ukarabati wa Makao Makuu ya Programu na kufanya utafiti na kuhifadhi nyaraka kidijiti katika maeneo yaliyotumika katika harakati za Ukombozi wa Bara la Afrika.

kuendelea kukarabati jengo lililokuwa likitumiwa na Ofisi iliyokuwa ya Kamati ya Ukombozi wa Nchi za Kusini mwa Bara la Afrika;

kuorodheshwa kwa maeneo 255 ya ukombozi wa Bara la Afrika pamoja na kukusanywa kwa vifaa mbalimbali 6,782 vya historia;

Ujenzi wa Eneo Changamani la Michezo – Dar es Salaam na Dodoma

kuanza ujenzi wa uwanja wa ndani na jumba la maonesho la michezo Dar es Salaam na kuendelea na ujenzi wa kiwanja cha mpira wa miguu Dodoma.

Dar es Salaam: kuendelea kwa ukarabati katika Uwanja wa Taifa ambapo vyumba vya wachezaji kubadilishia nguo pamoja na kukamilika kwa chumba cha “Antidopping”; kuendelea kwa ukarabati wa chumba cha waandishi wa habari; ujenzi wa paa la watu Maalum (VVIP)

Dodoma: kuendelea kwa maandalizi ya ujenzi wa Uwanja wa Michezo wa Dodoma kwa kubainisha barabara kwa kuwekwa vibao na nguzo za tahadhari dhidi ya wavamizi; na kukamilika kwa upembuzi yakinifu, “topographical survey”, tathmini ya mazingira, “geotechnical Survey” na maandalizi ya mchoro wa uwanja.

Ujenzi wa Chuo cha Michezo cha Malya

kulipa fidia ya ardhi kwa wananchi watakaohamishwa kupisha mradi na kujenga vituo vitatu vya shule za michezo

kudahiliwa kwa wanafunzi 141; kununuliwa kwa matenki sita (6) ya kuhifadhia maji yenye ujazo wa lita 5,000 kila moja.

HIFADHI YA MAZINGIRA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Usimamizi Endelevu wa Matumizi ya Ardhi ya Bonde Nyasa

kuendeleza uhifadhi endelevu wa bonde la Ziwa nyasa na Tanganyika; na

kujenga uwezo wa mifumo ya usimamizi endelevu wa ardhi na rasilimali asili.

Kufundisha wawezeshaji 20 kwa Wilaya za Makete, Kyela, Mbinga, Nyasa na Ludewa zinazotekeleza mradi;

Uanzishwaji wa vikundi vitatu vya wakulima katika wilaya zinazotekeleza mradi;

Kukamilika kwa Mpango wa Matumizi bora ya ardhi katika vijiji 15 katika wilaya zinazotekeleza mradi;

Uandaaji wa vitalu vya miche ya miti na uanzishwaji wa mashamba darasa katika Wilaya za Ludewa, Kyela na Mbinga; na

Ununuzi wa vifaa vitakavyotumika wakati wa utekelezaji wa mradi.

Page 192: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 187

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Mradi wa Kuwezesha Mfuko wa Mazingira

kuimarisha Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Mazingira;

Kuendelea na maandalizi ya marekebisho ya Sheria ya Mazingira ya mwaka 2004 ili kuwezesha Mfuko wa Mazingira kufanya kazi kwa ufanisi na ipo katika ngazi ya maamuzi.

Mradi wa Kukabiliana na Changamoto za Kimazingira-Pwani ya Dar es Salaam Kutokana na Athari za Mabadiliko ya Tabianchi

Kukabiliana na changamoto zinazotokana na mabadiliko ya athari ya tabianchi katika Pwani ya Dar es Salaam

Kukamilika kwa ujenzi wa mifereji ya maji iliyoharibiwa na mafuriko yenye urefu wa mita 550;

Kupanda hekari 40 za miti ya mikoko katika wilaya ya Temeke katika maeneo ya Tundwi, Songani na Pembemnazi; na

Kuendelea kwa tathmini ya uwezo wa kuhimili mabadiliko ya tabianchi kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mradi wa Kujenga Uwezo wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi katika maeneo ya Pwani

Kuhimili kwa mabadiliko ya tabianchi kwa kujenga uwezo

Kukamilika kwa ujenzi wa ukuta wa kingo za bahari katika eneo la Pangani kwa mita 610

Kuendelea kwa ujenzi wa awamu ya pili eneo la urefu wa mita 340;

Kukamilika kwa ujenzi wa mfumo wa kuvuna maji ya mvua katika Shule ya Matipwili Bagamoyo;

Kukamilika kwa ujenzi wa matanki 10 katika wilaya ya Bagamoyo na kuendelea kwa usimikaji wa Pampu za kuvuta maji na uunganishwaji wa umeme; na

Usafishaji wa maeneo yaliyopandwa mikoko katika Delta ya Rufiji ili kupanda maeneo ambayo mikoko haikuota vizuri unaendelea kufanyika na hekari 120 kati ya 208 zimepandwa.

Miradi ya Ujenzi wa Mazingira Wezeshi kwa Uendeshaji Biashara na Uwekezaji

Miundombinu

Reli

Ukarabati wa Njia Kuu ya Reli

Kuondoa reli zote nyepesi na kuweka reli mpya zenye uzito wa ratili 80 kwa yadi kati ya Dar es Salaam na Isaka.

Ukarabati unaendelea ambapo:

Dar es Salaam – Isaka (970) utekelezaji umefikia asilimia 13. Ukarabti unatarajiwa kukamilika Juni 2020

Kuboresha eneo la kupakia/kupakua mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam na kukarabati vituo vya kuhudumia mizigo vya Ilala na Isaka

Page 193: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 188

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Mfuko wa Maendeleo ya Reli

Ufufuaji wa reli ya Tanga – Arusha

Kununua vichwa vya treni

Kukarabati mabehewa 200

Kupokelewa kwa Shilingi bilioni 123.2 ambapo Shilingi bilioni 38 zilitumika kama sehemu ya malipo ya awali kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kati kwa standard gauge ya kutoka Dar es salaam hadi Morogoro. Aidha, jumla ya Shilingi bilioni 59.6 zilitumka kununua vichwa 11 vya treni kwa ajili ya njia kuu.

Ufufuaji wa Njia ya Reli ya Tanga – Arusha (km 439)

Kufufua njia ya reli ya Tanga – Arusha (km 439)

Shilingi bilioni 2 zilitumika kwa ajili ya ufuafuaji wa njia ya reli ya Tanga – Arusha (km 439) ambapo hatua iliyofikiwa ni:

kukamilika kwa kipande cha Tanga – Mombo (km 129) ambacho kimeanza kufanya kazi ya kusafirisha mizigo;

kipande cha Mombo – Same (km 124) kipo katika hatua za mwisho kukamilika ambapo ukarabati wa njia ya reli umekamilika na kazi inayoendelea kwa kipande hiki ni ujenzi wa madaraja 7; na

Kuendelea na ukarabati wa kipande cha Same – Arusha (km 186) kwa kubadili reli na mataruma, kurejesha madaraja na makalvati, kukarabati stesheni, na kufungua mifereji ya maji ya mvua (Drainage system).

Kwa ujumla ukarabati wa Reli ya Tanga – Arusha (439) na umefikia asilimia 80 unatarajiwa kukamilika kabla ya Desemba, 2019.

Ukarabati wa Mabehewa Ukarabati wa mabehewa 200 Kuendelea na ukarabati wa mabehewa ambapo hatua iliyofikiwa ni kukamilika kwa ukarabati wa mabehewa 15.

Page 194: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 189

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Ukarabati wa Miundombinu ya Reli ya TAZARA

Ukarabati na uimarishaji wa miundombinu ya njia kuu ya reli iliyopo; Kununua Traction Motor 90 kwa ajili ya injini 15 zitakazokarabatiwa;

Matengenezo na ukarabati wa vichwa vya teni vilivyopo, mitambo, mabehewa ya mizigo na ya abiria;

Ukarabati wa majengo ya karakana ya Dar es Salaam, mitambo, vifaa na mashine mbalimbali ikijumuisha karakana ya Mbeya, kiwanda cha kokoto na uzalishaji wa mataruma ya zege cha Kongolo;

ukarabati wa mabehewa 21 ya kusafirisha abiria katika treni za mjini Dar es Salaam na treni ya Udzungwa inayo hudumia kati ya stesheni za Mlimba – Kidatu - Makambako; na

kufanya upembuzi yakinifu wa kujenga mchepuko wa njia ya reli kati ya Mlowo na Magamba.

Kufanyika matengenezo makubwa ya njia kwenye sehemu zilizowekewa kazato la mwendokasi ya jumla ya kilometa 82.5;

Ukarabati wa mabehewa ya mizigo 85 na mahehewa ya abiria 4;

Kubailisha mataruma ya zege 12,827 na mataruma ya mbao 2,708;

Ununuzi wa vipuri vya Injini vinavyojulikana kwa jina la Traction Motor, na mitambo (Excavator, Dumper Track na Drill Rig) ya kusaidia uzalishaji wa kokoto na mataruma ya zege katika mgodi wa Kongolo. Vifaa hivyo vimeanza kuanza kuwasili kwa awamu ambapo mwezi Aprili 2019 Drill Rig imeshawasili;

Ununuzi wa vichwa vya treni vya njia kuu vine (4), Injini za Sogeza nne (4), mashine za uokoaji mbili (2), forklift sita (6), winchi nne (4), mabehewa ya abiria 18, mataruma ya mbao 30,000, viberenge vitano (5), saruji ya kutengenezea mataruma ya zege kwenye kiwanda cha kongoro,

BARABARA NA MADARAJA

Barabara za Lami Zinzofungua Fursa za Kiuchumi

Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupilo - Mahenge /Malinyi - Londo - Lumecha/Songea (km 499)

Kuendelea na ujenzi sehemu za Kidatu - Ifakara (km 66.9)

kuendelea na ujenzi kwa sehemu ya Kidatu – Ifakara (km 66.9).

Kwa upande wa sehemu ya Ifakara – Lupilo - Mahenge /Malinyi - Londo - Lumecha/Songea (km 396), Serikali inaendelea kutafuta fedha za ujenzi kwa kiwango cha lami.

Page 195: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 190

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Barabara ya Tabora - Ipole - Koga - Mpanda (km 370):.

Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami kwa sehemu za Tabora -Sikonge (km 30), Usesula - Komanga (km 115.5), Komanga – Kasinde (km 112.8) na Kasinde – Mpanda (km 111.7).

kujengwa kwa barabara kwa kiwango cha lami kwa sehemu za Tabora – Sikonge (km 30) ambapo utekelezaji umekamilika;

kuendelea na ujenzi katika maeneo ya Usesula- Komanga (km 115.5) ) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 12.91, Komanga – Kasinde (km 112.8) asilimia 18.26, na Kasinde – Mpanda (km 111.7) asilimia 15.94.

Barabara ya Makutano - Natta – Mugumu (km 125)/Loliondo - Mto wa Mbu (km 213):

Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami katika barabara ya Makutano – Sanzate (km 50) na Waso - Sale Jct (km 50) na kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Sanzante – Natta – Mugumu (km 85)

Kufikia asilimia 74 ya ujenzi katika barabara ya Makutano - Natta – Mugumu (km 125) sehemu ya Makutano - Sanzate (km 50);

Kuendelea na hatua za kumpata mkandarasi wa ujenzi kwa sehemu ya Senzate - Natta - Mugumu (km 85); na

Kuendelea kwa ujenzi wa barabara ya Mto wa Mbu – Loliondo sehemu ya Wasso - Sale Junction (km 49) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 25.15.

Barabara ya Manyoni - Itigi – Tabora (km 259.7).

Kulipa sehemu ya madai ya Makandarasi na Wahandisi Washauri wa ujenzi wa sehemu za Manyoni – Itigi – Chaya (km 89.35) na Tabora - Nyahua (km 85); kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami wa sehemu ya Nyahua – Chaya (km 85.4)

Kukamilika kwa ujenzi wa sehemu ya Tabora – Nyahua (km 85) na Manyoni - Itigi - Chaya (km 89.35); na

Kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Nyahua – Chaya (km 85.4). ambapo utekelezaji umefikia asilimia 26.

Barabara ya Itoni – Ludewa - Manda (km 211):

Kuendelea na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha zege sehemu ya Lusitu – Mawengi (km 50).

Kuendelea kwa ujenzi wa kiwango cha lami na zege katika sehemu ya Lusitu – Mawengi (km 50) ambapo utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 20.14.

Barabara ya Handeni - Kibereshi – Kibaya - Singida (km 460):

Kuanza ujenzi wa barabara ya Handeni - Kibereshi – Kibaya - Singida

Kukamilika kwa usanifu wa kina na kuanza taratibu za kutafuta fedha kupitia Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Barabara ya Dodoma – Mtera - Iringa (km 260):

Kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya michepuo ya Iringa (Iringa

Kukamilika kwa mradi wa barabara ya Dodoma –Mtera – Iringa;

Kuanza taratibu za kumpata mkandarasi na kutafuta fedha kwa ajili

Page 196: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 191

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Bypass 7.3) ya ujenzi wa mchepuo wa barabara ya Iringa (Iringa Bypass km 7.3).

Barabara ya Dodoma – Babati (km 243.80):

Kulipa sehemu ya madai ya Makandarasi na Wahandisi Washauri wa ujenzi wa sehemu za Dodoma - Mayamaya (km 43.65), Mayamaya - Mela (km 99.35), Mela - Bonga (km 88.80) na

Kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya mchepuo wa Babati (Babati Bypass km 12).

Kukamilika kwa ujenzi wa barabara hiyo ambayo makabidhiano yalifanyika Oktoba 2018; na

Kuendelea na taratibu za kumpata Mhandisi Mshauri wa kufanya kazi ya upembuzi na usanifu wa kina wa barabara ya mchepuo wa Babati (Babati Bypass – km 12).

Barabara ya Mbeya - Makongolosi - Rungwa – Itigi - Mkiwa (km 171.9)

Kulipa sehemu ya madai ya makandarasi na Mhandisi mshauri wa barabara wa sehemu ya Mbeya - Lwanjilo (km 36) na sehemu ya Lwanjilo – Chunya (km 36);

Kuendelea na ujenzi wa sehemu ya Chunya – Makongolosi (km 43); na kuanza ujenzi wa sehemu ya Itigi - Mkiwa - Noranga (km 56)

Kuendelea na ujenzi wa sehemu za Chunya – Makongorosi (km 43) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 20.6; na

Kuendelea na taratibu za kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara sehemu ya Makongorosi – Rungwa - Itigi - Mkiwa (km 413).

Barabara ya Kigoma - Kidahwe - Uvinza – Kaliua - Tabora (km 389.7):

Kulipa sehemu ya malipo ya Makandarasi waliojenga miradi ya Daraja la Kikwete katika Mto wa Malagarasi na barabara za maingilio (km 48), barabara za Kidahwe – Uvinza (km 76.6), Ndono – Urambo (km 52), Tabora – Ndono (km 42) na Kaliua -Kazilambwa (km 56);

Kuendelea na ujenzi sehemu ya Urambo –Kaliua (km 28); na

Kuanza ujenzi wa kwa kiwango cha lami sehemu ya Uvinza - Malagarasi (km 51.1)

Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Urambo - Kaliua (km 28) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 35; na

Kuanza maandalizi ya kumpata mkandarasi kwa ajili ya ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu za Uvinza - Malagarasi (km 51.1) na Kazilambwa - Chagu (km 36).

Page 197: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 192

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

na sehemu ya Kazilambwa - Chagu (km 42)

Barabara ya Mtwara - Mingoyo - Masasi - Songea - Mbamba Bay (km 1,470.9):

Kulipa sehemu ya mwisho ya madai ya Makandarasi na wahandisi washauri wa ujenzi wa sehemu za Tunduru - Matemanga (km 59), Matemanga - Kilimasera (km 68.2) na Kilimasera - Namtumbo (km 60);

Kuendelea na ujenzi wa barabara za Mbinga - Mbamba Bay (km 66); Mtwara – Mnivata (km 50); kufanya maandalizi ya ujenzi wa barabara za Masasi - Nachingwea (km 45), Nanganga – Ruangwa - Nachingwea (km 107), Likuyufusi –Mkenda (km 122.5), Kitui - Lituhi (km 90);

Ukarabati wa barabara ya Mtwara –Mingoyo – Masasi (km 200); na

Kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa kwa ajili ya kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya Nachingwea – Liwale (km 130)

Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Mbinga - Mbamba Bay (km 66) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 8.2 na Mtwara – Mnivata (km 50) asilimia 42.7;

Kuendelea na taratibu za kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Masasi - Nachingwea – Nanganga (km 96).;

Kukamilika kwa upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa barabara ya Nanganga - Ruangwa - Nachingwea (km 107) ;

Kusainiwa mkataba wa ujenzi kwa barabara ya Kitui – Lituhi (km 90);

Kuendele na maandalizi ya nyaraka za zabuni za kumpata mkandarasi wa ujenzi wa barabara ya Likuyufusi - Mkenda (km 122.5)

Kuendelea na taratibu za kupata kwa ajili ya ukarabati wa barabara ya Mtwara - Mingoyo - Masasi (km 200); na

Kusainiwa mkataba wa upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Nachingwea - Liwale (km 130).

Barabara Zinazounganisha Tanzania na Nchi Jirani

Barabara ya Sumbawanga - Matai - Kasanga Port (km 112):

Kujenga barabara ya Sumbawanga - Matai - Kasanga Port (km 112) na kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Matai – Kasesya (km 50)

Kukamilisha asilimia 80.5 ya kazi ya ujenzi kwa sehemu ya Sumbawanga - Matai - Kasanga Port (km 112); na

Kuendelea na taratibu za manunuzi za kumpata mkandarasi wa ujenzi kwa sehemu ya Matai - Kasesya (km 50).

Barabara ya Marangu - Tarakea - Rongai -

Kulipa madeni ya mkandarasi na mhandisi mshauri wa barabara ya KIA - Mererani;

Kukamilika kwa barabara ya Arusha - Moshi - Holili (sehemu ya Sakina - Tengeru na mchepuo wa Arusha – km 56.51);

Page 198: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 193

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kamwanga /Bomang‟ombe - Sanya Juu (km 330.31)

kuendelea na ujenzi wa barabara za Arusha – Moshi - Holili (sehemu ya Sakina-Tengeru na mchepuo wa Arusha – km 56.51) Sanya Juu – Kamwanga (sehemu ya Sanya Juu – Alerai, km 32), Kwa Sadala – Masama - Machame Junction (km 16), Kiboroloni – Kikarara – Tsuduni - Kidia (km 10.8), Kijenge - Usa River (km 20); na

Kuendelea na maandalizi ya upanuzi wa sehemu ya Tengeru – Moshi – Himo (km 105) pamoja na ujenzi wa mizani ya Himo

Kuendelea na ujenzi kwa sehemu za Sanya Juu - Elerai (km 32.2) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 92;

Kusainiwa mikataba na kuanza maandalizi ya ujenzi wa barabara za Kwa Sadala - Masama - Machame Junction (km 16), Kiboroloni - Kikarara - Tsuduni - Kidia (km 10.8), na km 2.6 katika barabara ya Kijenge - Usa River (km 14); na

Kuanza maandalizi ya nyaraka za zabuni kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa kazi ya upanuzi wa barabara sehemu ya Tengeru - Moshi - Himo (km 105) na ujenzi wa mizani ya Himo.

Barabara ya Isaka - Lusahunga (km 533)

Kulipa sehemu ya madai ya mkandarasi na mhandisi mshauri wa sehemu ya Isaka - Ushirombo (km 132);

Kuendelea na ukarabati sehemu ya Ushirombo - Lusahunga (km 110) na ujenzi wa kituo cha Pamoja cha Ukaguzi - OSIS cha Nyakanazi;

Kuanza ukarabati wa sehemu ya Lusahunga – Rusumo (km 91);na

Kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Nyakahura – Kumubuga - Murusagamba na Kumubuga – Rulele - Kabanga Nickel (km 141)

Kufikia asilimia 74.8 ya kazi ya ukarabati kwa kiwango cha lami sehemu ya Ushirombo – Lusahunga (km 110);

Kuendelea na ujenzi wa Kituo cha Pamoja cha Ukaguzi (One Stop Inspection Station – OSIS) cha Nyakanazi ambapo utekelezaji umefikia asilimia 60;

Kukamilika kwa usanifu wa kina wa barabara za Lusahunga - Rusumo (km 91) na Nyakasanza - Kobero (km 59) ili zijengwe upya kwa kiwango cha lami katika sehemu korofi za barabara hizi; na

Kuendelea na kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara za Nyakahura - Kumubuga - Murusagamba na Kumubuga - Rulenge - Kabanga Nickel (km 141).

Barabara ya Sumbawanga - Mpanda - Nyakanazi (km 517.4):

Kulipa sehemu ya madai ya Makandarasi na Wahandisi washauri wa sehemu za Sumbawanga – Kanazi (km 75), Kanazi - Kizi – Kibaoni (km 76.60) na Sitalike – Mpanda (km 36);

Kuendelea na ujenzi wa barabara ya Mpanda - Mishamo (km 100) sehemu ya Mpanda - Ifukutwa - Vikonge (km 35) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 66.3;

Kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi wa sehemu ya Kibaoni – Sitalike (km 71); na

Page 199: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 194

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya Mpanda – Ifukutwa – Vikonge (km 30);

Kuanza maandalizi ya ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Kibaoni – Sitalike (km 71) na Vikonge – Magunga – Uvinza (km 159);

Kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Namanyere – Katongoro - New Kipili Port (km 64.5)

Kuendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara ya Namanyere - Katongoro - New Kipili Port (km 64).

Barabara ya Nyanguge - Musoma, na Michepuo ya Usagara - Kisesa na Bulamba - Kisorya (km 495.9):

Kulipa sehemu ya madai ya mkandarasi wa barabara ya Simiyu/Mara Border – Musoma (km 85.5); na Usagara – Kisesa (Mwanza Bypass km 17);

Kuendelea na ujenzi wa barabara ya Nansio –Kisorya – Bunda - Nyamuswa (sehemu ya Kisorya – Bulamba (km 51); ukarabati wa barabara ya Makutano – Sirari (km 83)

Upanuzi wa barabara ya kwenda uwanja wa ndege wa Mwanza (km 12);

Kufanya mapitio ya usanifu wa kina kwa sehemu ya Nyamuswa – Bunda - Bulamba (km 55); na

Kuanza maandalizi ya ujenzi wa barabara ya Musoma – Makojo – Busekela (km 92) na ukarabati wa sehemu ya Nyanguge - Simiyu/Mara Border (km 100.4).

Kukamilika kwa ukarabati wa barabara ya Makutano - Sirari (km 83) na upanuzi wa barabara ya kuelekea uwanja wa ndege wa Mwanza (km 12);

Kuendelea na ujenzi wa barabara ya Nansio - Kisorya - Bunda - Nyamuswa sehemu ya Kisorya - Bulamba (km 51) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 55;

kuendelea na taratibu za kuwapata makandarasi kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Musoma - Makojo - Busekela (km 92) na ukarabati wa sehemu ya Nyanguge - Simiyu/Mara Border (km 100.4); na

Kuendelea na mapitio ya usanifu wa kina kwa barabara ya Nyamuswa - Bunda - Bulamba (km 55).

Page 200: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 195

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Barabara ya Mwigumbi - Maswa - Bariadi - Lamadi (km 171.8):

Kulipa sehemu ya madai ya Makandarasi na Wahandisi Washauri wa barabara ya Bariadi - Lamadi (km 71.8) na Mwigumbi - Maswa (km 50)

Kuendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Maswa - Bariadi (km 49.7)

Kuendelea kwa ujenzi kwa kiwango cha lami sehemu ya Maswa - Bariadi (km 49.7) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 40.

Barabara ya Kidahwe - Kasulu – Kibondo - Nyakanazi (km 413):

Kuendelea na ujenzi kwa sehemu za Kidahwe – Kasulu (km 63) na Nyakanazi – Kakonko (km 50);

Kuanza ujenzi sehemu ya Nduta – Kibondo – Kabingo (km 61.84) na barabara ya kupitia Kibondo mjini

Kuendelea na ujezi wa barabara sehemu za Kidahwe - Kasulu (km 63) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 70, na Nyakanazi - Kibondo (km 50) asilimia 60;

Kukamilika kwa usanifu wa kina na kutangazwa zabuni kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Kabingo – Kibondo – Kasulu – Manyovu (km 260); na

Kuendelea na taratibu za kumpata mkandarasi kwa ajili ya ujenzi wa barabara sehemu ya njia panda ya Nduta - Kibondo mjini (km 25.6).

Barabara ya Usagara - Geita - Buzirayombo – Kyamyorwa (Km 230):

Kulipa sehemu ya malipo ya Makandarasi kwa sehemu ya Uyovu - Bwanga (km 43), kuendelea na ujenzi wa barabara ya Bwanga - Biharamulo (km 67); na

Kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami barabara ya Geita - Bulyanhulu Jet (km 58.3) na Bulyanhulu Jet - Kahama (km 61.7).

Kukamilika kwa ijenzi wa barabara za Bwanga - Biharamulo (km 67); na

Kukamilika kwa nyaraka za zabuni kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa ujenzi wa barabara za Geita - Bulyanhulu Junction (km 58.3) na Bulyanhulu Junction - Kahama (km 61.7).

Barabara za Mikoa

Ujenzi wa km 36.51 za barabara za mikoa kwa kiwango cha lami; na ukarabati wa km 606 .12 kwa kiwango cha changarawe

Kujenga km 12.43 za barabara za mikoa kwa kiwango cha lami na kukarabati km 128.5 za barabara za mikoa kwa kiwango cha changarawe.

Barabara za Kupunguza Msongamano jijini Dar es Salaam (km 169.66)

Kulipa sehemu ya madai ya Makandarasi na Wahandisi Washauri wa miradi ya: o Kimara - Kilungule – External (km 9) o Mbezi – Malambamawili – Kinyerezi -

Kuendelea na ujenzi wa barabara ya Kimara Korogwe - Maji chumvi (km 6), Tegeta Kibaoni - Wazo Hill – Goba – Mbezi Mwisho (km 20) sehemu ya Madale - Goba (km 5), Banana - Kitunda - Kivule - Msongola (km 14.7) sehemu ya Kitunda - Kivule (km 3.2) na Maji

Page 201: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 196

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Banana (km 14) sehemu ya Kifuru – Malambamawili - Msigani (km 4)

o Tegeta – Kibaoni - Wazo Hill – Goba - Mbezi (Morogoro road) sehemu ya Mbezi Mwisho – Goba (km 7)

o Tangi Bovu - Goba (km 9), Kimara Baruti – Msewe - Changanyikeni (km 2.6)

o Kibamba – Kisopwa – Kwembe - Makondeko (km 14.66) sehemu ya Kibamba –Mlonganzila (km 4)

o Ardhi – Makongo - Goba (km 9) sehemu ya Goba - Makongo;

Kuendelea na ujenzi wa barabara za: o Kimara – Kilungule - External (km 9),

sehemu ya ya Kimara – Kilungule - Majichumvi (km 6);

o Mbezi – Malambamawili – Kinyerezi – Banana (km 14), sehemu ya Msigani (km 2); na

o Tegeta Kibaoni - Wazo Hill – Goba (km 13), sehemu ya Madale - Goba (km 5);

Kuendelea na kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa barabara ya Banana – Kitunda – Kivule - Msongola (km 14.7);

kuanza ujenzi wa barabara za Kibamba – Kisopwa – Kwembe – Makondeko (km 14.66), sehemu ya Mloganzila - Mloganzila Citizen (km 4); Maji Chumvi - Chang‟ombe – Barakuda (km 2.5) na Mji Mwema -

Chumvi – Chang‟ombe – Barakuda (km 2.5);

Kuendelea na taratibu za manunuzi za kumpata mkandarasi wa kujenga barabara za Kibamba - Kisopwa – Kwembe – Makondeko (km 14.66) sehemu ya Mloganzila - Kisopwa (km 1), Mwai Kibaki (km 9.1), Kawe Round about - Garden Road Junction (km 2.9), Kongowe - Mji Mwema - Kivukoni (km 25.1);

Kukamilika kwa usanifu wa kina kwa barabara ya Mji Mwema – Kimbiji (km 27); na

Kuendelea na upanuzi wa barabara ya Kimara – Kibaha (km 19.2) kuwa njia nane

Page 202: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 197

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kimbiji; na

Kuanza upanuzi wa barabara ya Mwai Kibaki (km 9.1) na Kongowe - Mji Mwema - Kivukoni (km 25.1).

Miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka.

Kuanza ujenzi wa miundombinu ya Mabasi yaendayo haraka awamu ya pili, ya tatu na nne

Awamu ya Kwanza: Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi Desemba, 2015 ambapo ulihusisha ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika barabara za Kimara – Kivukoni, Magomeni – Morocco na Fire – Kariakoo yenye jumla ya kilometa 20.9

Awamu ya Pili: kukamilisha maandalizi ya kutekeleza mradi ambao utahusisha ujenzi wa miundombinu katika barabara za Kilwa, Kawawa, Sokoine, Gerezani, Bandari na Chang‟ombe zenye urefu wa kilometa 20.3; wananchi na taasisi 90 kati ya 105 wamelipwa fidia ya shillingi bilion 28.52 kati ya shilingi bilioni 34.19;

Awamu ya Tatu: Kuendelea na hatua za maandalizi ya utekelezaji ikiwemo uthamini na uhakiki wa madai ya wananchi watakaopisha mradi ambapo watu 78 wameshafanyiwa tathimini; pia Serikali imetoa eneo la Gongo la Mboto, eneo la ndani la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwl Julius Nyerere (JNIA), na eneo la Banana karibu na Ofisi za tcaa kwa ajili ya utekelezaji mradi. Mradi utahusisha barabara za Azikiwe na Maktaba, Bibi Titi, Uhuru na Nyerere hadi Gongo la Mboto, na kituo kikuu cha mabasi Kariakoo, Shaurimoyo na Uhuru kupitia Buguruni hadi TAZARA zenye jumla ya urefu wa kilometa 23.6; na

Awamu ya Nne: Kuendelea na taratibu za manunuzi za kumpata mhandisi mshauri wa kufanya usanifu. Mradi utahusisha barabara za Ali Hassan Mwinyi na Bagamoyo hadi Tegeta pamoja na barabara ya Sam Nujoma (Ubungo - Mwenge) zenye jumla ya km 25.9. Mradi huu unatarajiwa kufadhiliwa na Benki ya Dunia.

Page 203: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 198

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Ujenzi wa Barabara za Juu (Flyover) jijini Dar es Salaam

Kuendelea na ujenzi wa „fly over‟ ya TAZARA na Interchange ya Ubungo;

Kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa ajili ya kuboresha makutano ya barabara katika maeneo ya KAMATA, Magomeni, Mwenge, Tabata/Mandela, Morocco, Buguruni makutano ya barabara za Kinondoni/Ally Hassan Mwinyi na Kenyata na Selander (AH Hassan Mwinyi/UN Road Jet) na

Kuanza maandalizi ya ujenzi wa Mabey Flyovers katika jiji la Dar es Salaam, Dodoma na Mwanza

Kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya juu (flyover) katika makutano ya TAZARA (Mfugale flyover);

Kuendelea na ujenzi kwa mradi wa Interchange katika makutano ya Ubungo ambapo utekelezaji umefikia asilimia 28; na

Kuendelea na usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa barabara za juu kwenye makutano ya barabara maeneo ya Fire (Morogoro/United Nations), Magomeni (Morogoro/Kawawa), Mwenge (Sam Nujoma/New Bagamoyo Road), Tabata/Mandela, Morocco (Ali Hassan Mwinyi/ Kinondoni), Buguruni (Mandela/ Uhuru), Kinondoni (Kinondoni/Ali Hassan Mwinyi) na Selander (Ali Hassan Mwinyi/ United Nations).

Barabara za Vijijini na Mijini

Ujenzi na ukarabati wa barabara za Mijini na Vijijini

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA) kuendelea na matengenezo ya kawaida ya barabara za lami, changarawe na udongo ambapo kilomita 5,565.3 za barabara zimekamilika pamoja na ujenzi na ukarabati wa madaraja 167, Makalvati makubwa (Box Culverts) 27, drift 59 na mifereji ya maji yenye urefu wa mita 51,347;

Kukamilisha ujenzi wa kilomita 151 za barabara kwa kiwango cha changarawe pamoja na madaraja 3 na Makalvati makubwa 42 katika Halmashauri za Wilaya za Iramba, Kyela, Kyerwa, Rungwe, Bahi, Gairo, Kishapu, Bbati, Mpwapwa, Magu, Busokelo, Bariadi, Kondoa, Kisarawe, Kibiti, Ushetu, Songwe, na Halmashauri ya Jiji la Dodoma; pia Halmashauri ya Manispaa ya Iringa inaendelea na ukamilishaji wa daraja la Tagamenda na Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero imekamilisha ujenzi wa barabara ya Chita hadi Melela. Miradi inatekelezwa chini ya Programu ya Uboreshaji wa Barabara Vijijini chini ya ufadhili wa DfID;

Kukamilisha ujenzi wa kilometa 219.6 za barabara zimejengwa

Page 204: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 199

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

(kilomita 21.3 kwa kiwango cha lami na kilomita 198.3 kwa kiwango cha changarawe) katika Halmashauri za Wilaya za Chamwino, Kilolo, Kondoa, Kisarawe, Songea, Mbinga, Mwanga, Mbulu, Kongwa, Mbogwe, Busokelo, Kalambo, Iringa, Ludewa, Hanang, Kiteto, na Manispaa ya Temeke, kupitia Programu ya Road Transport Sector Policy Support Programme-RTSPPSP II (chini ya ufadhili wa Umoja wa Ulaya); na

Ujenzi wa kilomita 152.1 za barabara kwa kiwango cha changarawe katika Halmashauri za Wilaya za Kongwa, Kiteto, Mvomero na Kilombero kupitia Programu ya Feed the Future inayofadhiliwa na Serikali na USAID

Ujenzi wa Madaraja

Ujenzi wa Madaraja Makubwa

Kulipa sehemu ya madai ya Makandarasi na Wahandisi Washauri wa ujenzi wa daraja la Magufuli (Morogoro), daraja la Kavuu (Katavi);

Kuanza ukarabati wa daraja la Kirumi (Mara);

Kuendelea na ujenzi wa madaraja ya Magara (Manyara), Sibiti (Singida), Ruhuhu (Ruvuma), Momba (Rukwa), Mlalakuwa (Dar es Salaam), Lukuledi (Lindi), Mara (Mara) na Mkenda (Ruvuma);

Kuanza ujenzi wa madaraja ya New Wami (Pwani), Selander (Dar es Salaam), Msingi (Singida), Sukuma (Mwanza), Simiyu (Mwanza);

Kuendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa daraja la Kigongo/Busisi

Kukamilika kwa ujezni wa Daraja la Mlalakuwa (Dar es Salaam), Momba (Rukwa), Sibiti (Singida), na Lukuledi;

Kuendelea na ujenzi wa madaraja ya Mara (Mara) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 85, Ruhuhu (Ruvuma) asilimia 75, na Mangara (Manyara) asilimia 48;

Kuanza ujenzi wa Daraja Jipya la Selander na barabara unganishi zenye urefu wa km 5.2;

Kuanza maandalizi ya ujenzi wa madaraja ya New Wami (Pwani), Msingi (Singida), Sukuma (Mwanza), Simiyu (barabara ya Simiyu – Mwanza), Kigogo/ Busisi(Mwanza), Mkundi (Morogoro), Mtera (Dodoma) na Malagarasi Chini (Kigoma);

Kuanza maandalizi ya ukarabati wa daraja la Kirumi (Mara); na

Kufikia hatua mbalimbali za utekelezaji katika manunuzi wa vyuma vya madaraja ya dharura.

Page 205: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 200

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

(Mwanza);

Kuanza upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa daraja la Mtera (Dodoma) na Malagarasi Chini (Kigoma)

Daraja la Nyerere na Barabara Unganishi (km 6.9):

Kuendelea na ujenzi wa barabara unganishi za Kigamboni (Daraja la Nyerere) – Vijibweni (km 1.5);

Kufanya upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa barabara za Tungi – Kibada (km 3.8) na Kibada – Mjimwema (km 1.6)

Kuendelea na ujenzi wa barabara unganishi za Kigamboni (Daraja la Nyerere) – Vijibweni (km 1.5) ambapo utekelezaji umefikia asilimia 92.

Kuendelea na upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa barabara za Tungi – Kibada (km 3.8) na Kibada – Mjimwema (km 1.6).

Usafiri Majini

Ujenzi wa Maegesho ya Vivuko

Upanuzi wa maegesho ya Kigamboni,

Ujenzi wa maegesho ya Bwina, Bukondo na Zumacheli katika kivuko cha Chato - Nkome,

Ujenzi wa maegesho ya Nyamisati - Mafia na

Ujenzi wa jengo la abiria na ofisi ya kivuko cha Lindi - Kitunda

Kukamilika kwa upanuzi wa jengo la abiria katika maegesho ya Kigamboni na maegesho ya Bwina katika kivuko cha Chato - Nkomeae;

Kuendeea na ujenzi wa jengo la abiria na ofisi ya kivuko cha Lindi – Kitunda ambapo utekelezaji umefikia asilimia 80; na

Kuanza maandalizi ya ujenzi wa maegesho ya Nyamisati – Mafia.

Ununuzi wa Vivuko Vipya Kukamilisha malipo ya ununuzi wa kivuko kipya cha Magogoni – Kigamboni;

Kuendelea na ujenzi wa vivuko vipya vya Kigongo - Busisi na Nyamisati - Mafia

Kukamilika kwa ujenzi wa kivuko kipya cha Kigongo – Busisi; na

Kupatikana kwa mkandarasi ambaye ameanza maandalizi ya ujenzi wa kivuko kipya cha Nyamisati - Mafia.

Ukarabati wa Vivuko Kukamilisha malipo ya kazi ya ukarabati wa kivuko MV Pangani II, MV Sengerema, MV Kigamboni na MV Misungwi

Kukamilika kwa ukarabati wa kivuko cha MV Pangani II;

Kuendelea kukarabati vivuko vya MV Sengerema ambapo utekelezaji umefikia asilimia 40, MV Kigamboni asilimia 40, na MV Utete asilimia 90; na

Kupatikana kwa Mkandarasi wa ujenzi wa MV Misungwi.

Ununuzi na Ukarabati wa Kuendelea na ujenzi wa meli mpya katika Kuendelea na Ujenzi wa meli mpya yenye uwezo wa kubeba abiria

Page 206: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 201

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Meli katika Maziwa Makuu ziwa Victoria na Tanganyika; na

Kuendelea na ukarabati wa meli za MV Victoria, MV Butiama, MV Liemba, MV Umoja, MV Serengeti na MV Songea

1,200 na tani 400 za mizigo katika ziwa Victoria; na ujenzi wa chelezo;

Ukarabati wa meli ya MV Victoria na MV Butiama unaendelea.

Makandarasi kwa ajili ya ukarabati wa meli za MV. Umoja na MV. Serengeti zilizopo katika ziwa Victoria wamepatikana na uandaaji wa mikataba kwa ajili ya ukarabati wa meli tajwa umekamilishwa na inatarajiwa kusaniniwa kabala ya Julai 2019;

Kwa upande wa Ziwa Tanganyika, Kampuni ya Meli - MSCL inatekeleza Ujenzi wa Meli Mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 600 na tani 400, ambapo uandaaji wa mikataba kwa ajili ya ujenzi wa meli hiyo pamoja na ukarabati wa meli ya MV Liemba umekamilika na inatarajiwa kusaniniwa kabala ya Julai 2019;

Ujenzi wa meli moja mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 200 na mizigo tani 200 unaendelea ambapo utekelezaji umefikia asilimia 86; na kukamilika kwa ujenzi wa matishari mawili katika Ziwa Nyasa.

Bandari

Bandari ya Dar es Salaam Kuendelea na kazi ya kuboresha Gati Na. 1 hadi 7; na kuongeza kina na upana wa lango la kuingilia na kutokea meli, pamoja na kuongeza kina cha sehemu ya kugeuzia meli

Kukamilika kwa ujenzi wa Gati Na.1 na kuanza kutumika;

Kuanza kwa ujenzi wa Gati Na. 2 sambamba na kuongeza kina chake; na

Ujenzi wa Gati la Ro-Ro unaendelea na upo katika hatua ya ujenzi wa sakafu ngumu ya gati.

Kwa ujumla uboreshaji wa Bandari ya Dar es Salaam umefikia asilimia 50.

Bandari ya Tanga Kukamilisha kwa ukarabati na kuongeza kina cha Gati Namba 2, ukarabati wa barabara kuelekea lango Na. 2; na

Kukamilisha mapitio ya upembuzi yakinifu wa ujenzi wa bandari ya Mwambani.

Kuendelea na ukarabati wa maegesho ya meli na sehemu ya kupakulia shehena; na

Kukamilika kwa ukarabati wa miundombinu ya barabara kuelekea lango Na. 2.

Ukarabati wa maegesho umefikia asilimia 86.

Page 207: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 202

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Bandari ya Mtwara Kuendelea na ujenzi wa gati moja lenye urefu wa mita 300,

kuboresha mfumo wa usalama,

kukarabati barabara na maegesho ya kuhudumia shehena,

kuboresha maegesho ya meli na

Kukarabati eneo la gati Na.3.

kuendelea na ujenzi wa gati la mita 300 la kuhudumia shehena mchanganyiko ambapo kwa ujumla utekelezaji umefikia asilimia 50.

Bandari ya Mbegani - Bagamoyo

Kuendelea na majadiliano na wawekezaji waliokuwepo

Majadiliano na wawekezaji waliokuwepo yaani Kampuni ya China Merchant Holdings Intenational Limited na State General Reserve Fund (SFRF) ya Serikali ya Oman yamesitishwa baada ya wawekezaji hao kuweka masharti yasiyokuwa na maslahi kwa Taifa. Aidha, majadiliano hayo yanaweza kuendelea iwapo wawekezaji hao wataondoa masharti hayo yasiyo na maslahi kwa Taifa.

Bandari za Maziwa Makuu Kukamilisha ujenzi na ukarabati wa magati katika Ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa pamoja na miundombinu ya usalama.

Ziwa Victoria: kuendelea na ujenzi wa gati za Nyamirembe - Chato na Magarine ambapo utekelezaji umefikia asilimia 30 na asilimia 54 kwa mtiririko huo na ujenzi wa Bandari ya Lushamba umefikia aslimia 80.

Ziwa Tanganyika: kukamilika kwa asilimia 90 wa ujenzi wa gati la Kalya/Sibwesa na asilimia 25 katika gati la Lagosa.

Ziwa Nyasa: kuendela na ujenzi wa gati la Ndumbi. Aidha, ujenzi wa magati ya Mbamba Bay, Manda na Matema upo katika hatua za mwisho za manunuzi.

Bandari kavu katika eneo la Ruvu

Kuendelea na ujenzi wa bandari kavu katika eneo la Ruvu

Kukamilika kwa ujazaji wa kokoto katika eneo lenye ukubwa wa hekta 20.8; na

Kuendelea na ujenzi wa reli ya kuunganisha bandari kavu na reli ya kati iliyopo ambapo utekelezaji umefikia asilimia 70.

USAFIRI WA ANGA

Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Julius

Kuendelea na ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III);

Kukamilika kwa asilimia 96 ya ujenzi wa jengo jipya la abiria (Terminal III); na

Page 208: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 203

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Nyerere

Kuanza ukarabati wa jengo la pili la abiria na kulipa fidia kwa wananchi waliohamishwa kupisha utekelezaji wa mradi

Kuendelea na kazi ya kuunganishwa umeme wa gridi ya Taifa.

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro

Kufanya usanifu wa kina na kuanza ukarabati wa barabara ya kuruka na kutua ndege na ujenzi wa barabara ya kiungio,

Ufungaji wa taa za kuongozea ndege na ukarabati wa maegesho ya magari

Kukamilisha maeneo ambayo hayakujumuishwa katika ukarabati uliofanyika awali ambapo shughuli zinazoendelea ni taratibu za manunuzi za kumpata Mhandisi Mshauri wa kufanya usanifu wa kina wa ukarabati wa barabara ya kuruka na kutua ndege.

Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato

Kuendelea na usanifu wa kina na kuanza maandalizi ya ujenzi,

Kulipa fidia kwa mali zitakazoathiriwa na utekelezaji wa mradi

Kuendelea na usanifu wa kina na kuanza maandalizi ya ujenzi; na

Kulipa fidia kwa mali zitakazoathiriwa na utekelezaji wa mradi.

Kiwanja cha ndege cha Mwanza

Kuanza ujenzi wa jengo jipya la abiria,

Kuendelea na upanuzi wa maegesho ya ndege, ujenzi wa jengo la mizigo, uzio wa kiwanja pamoja na maegesho ya ndege za mizigo,

Ujenzi wa jengo la kuongozea ndege, kituo cha umeme, maegesho ya magari, kufunga taa za kuongozea ndege na ujenzi wa mfumo wa kuondoa maji ya mvua kiwanjani

Kuendelea na upanuzi wa maegesho ya ndege, ujenzi wa jengo la mizigo, uzio wa kiwanja pamoja na maegesho ya ndege za mizigo;

Kuendelea na ujenzi wa jengo la kuongozea ndege, kituo cha umeme, maegesho ya magari, kufunga taa za kuongozea ndege; ujenzi wa mfumo wa kuondoa maji ya mvua kiwanjani; na

Kuendelea na maandalizi ya ujenzi wa jengo jipya la abiria.

Kiwanja cha ndege cha Mtwara

Kukarabati jengo ya abiria, maegesho ya ndege, kufunga taa na mitambo ya kuongozea ndege, ujenzi wa majengo ya kuongozea ndege, maegesho ya magari na barabara za kuingia na kutoka pamoja na uzio wa viwanja

Kuendelea na kazi ya ukarabati wa barabara ya kutua na kuruka ndege, viungio, maegesho ya ndege, jengo la abiria, jengo la kuongezea ndege, barabara ya kuingia kiwanjani, maegesho ya magari;

Ufungaji wa taa na mitambo ya kuongozea ndege; na

ujenzi wa uzio wa kiwanja.

Page 209: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 204

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kiwanja cha ndege cha Kigoma, Kiwanja cha ndege cha Tabora, Kiwanja cha ndege cha Sumbawanga Kiwanja cha ndege cha Shinyanga

Kujenga majengo ya abiria, maegesho ya ndege, kufunga wa taa na mitambo ya kuongozea ndege, ujenzi wa majengo ya kuongozea ndege, maegesho ya magari na barabara za kuingia na kutoka pamoja na uzio wa viwanja

Kupatikana kwa wahandisi washauri na kuendelea na taratibu za manunuzi za kumpata mkandarasi atakayetekeleza mradi wa kuboresha viwanja hivyo.

Viwanja vya Ndege vya Mikoa

Ujenzi wa viwanja vya ndege vya mikoa ya Geita, Iringa, Ruvuma, Lindi, Tanga, Mara, Simiyu pamoja na kiwanja cha Lake Manyara;

Kukarabati viwanja vingine vya mikoa; na

Kukarabati jengo la abiria pamoja na kukamilisha ulipaji wa fidia kwenye kiwanja cha ndege cha Dodoma

Kukamilika kwa maandalizi kwa ajili ya kuanza ujenzi na ukarabati wa viwanja.

Ufungaji wa rada nne za kuongozea ndege za kiraia

Ufungaji wa rada nne za kuongozea ndege za kiraia JNIA,KIA Mwanza na Songwe

JNIA Kukamilika kwa asilimia 100 ya miundombinu ya radar (jengo la mnara wa Rada, kibanda cha mlinzi na jengo la mitambo ya rada); Ufungaji wa mtambo unaendelea umefikia asilimia 90; na Majaribio ya mtambo wa rada yanaendelea.

Mwanza: Ujenzi wa miundombinu ya radar (jengo la mnara wa Rada, kibanda cha mlinzi na jengo la mitambo ya rada) unaendelea ambapo utekelezaji umefikia asilimia 50; na Mtambo umewasili katika kituo cha Mwanza na ufungaji umeanza Mei 2019.

Page 210: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 205

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

KIA: Ujenzi wa miundombinu ya radar (jengo la mnara wa Rada, kibanda cha mlinzi na jengo la mitambo ya rada) umefikia asilimia 90 na unatajiwa kukamilika Julai 2019.

Songwe: Majadiliano ya kupitisha michoro yanaendelea; Utekelezaji wa mradi utaanza mara michoro itakapokamilika na kuridhiwa; na Mtambo umewasil nchini na kazi ya ufungaji inatarajiwa kukamilika September 2019.

Ununuzi wa Rada ya tatu (3) ya Hali ya Hewa

Ununuzi wa Rada ya tatu (3) ya Hali ya Hewa itakayofungwa mkoa wa Mtwara

kusainiwa kwa mkataba wa ununuzi wa Rada ya Hali ya Hewa na kufanya malipo ya awali.

Eneo kwa ajili ya kufunga Rada limepatikana huko Mikindani, Mtwara na malipo ya fidia kwa wananchi waliopisha eneo la mradi yamefanyika.

Teknolojia ya Habari na Mawasiliano - TEHAMA

Mfumo wa Anwani za Makazi na Postikodi

Kusimamia utekelezaji, uendeshaji na uendelezaji wa mradi ili kufikisha huduma za Mkongo hadi Makao Makuu ya Wilaya na watumiaji wa mwisho,

Ujenzi wa kituo cha data Dodoma na Zanzibar pamoja na ujenzi wa Miundombinu ya Mawasiliano ya Mitandao “Public Key Infrastucture”.

kuanza kuweka nguzo zenye majina ya barabara/mitaa, namba za vibao vya nyumba na kuanza maandalizi ya kujenga uelewa kwa wananchi kuhusu matumizi ya Mfumo katika kata 48 za halmashauri za Majiji ya Dodoma, Mwanza na Tanga; manispaa za Ilemela, Shinyanga, Morogoro na Moshi; wilaya za Chamwino, Chato na Bahi; na miji ya Geita na Kibaha;

kukamilika kwa maandalizi ya mahitaji ya muundombinu katika mji wa Serikali - Dodoma;

kuendelea na taratibu za manunuzi kwa ajili ya kuweka miundombinu ya mfumo katika mji wa Serikali na kuweka vibao vyenye namba za nyumba katika halmashauri 12 za Majiji ya Dodoma, Mwanza na Tanga; Manispaa za Ilemela, Shinyanga, Morogoro na Moshi; Wilaya za Chamwino, Chato na Bahi; na Miji ya Geita na Kibaha.

Ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano

Kuendelea kuratibu utekelezaji wa Mpango wa Anwani za Makazi na Postikodi katika miji yote Tanzania Bara na Zanzibar

kukamilika kwa ujenzi wa vituo vitatu (6) vya kutolea huduma za Mkongo wa Taifa katika maeneo ya Tukuyu, Kibaha, Kahama, Ifakara, Kidatu na Mafinga;

Page 211: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 206

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kukamilika kwa taratibu za kumpata mshauri mwelekezi wa kusanifu majengo ya vituo vya data Doma na Zanzibar; Maunganisho ya vifaa vya „video conference‟ kwa „sites‟ 12 zilizounganishwa katika mkongo wa Taifa na mtandao wa TTCL kwa mikoa yote 26 ya Tanzania bara na Zanzibar yamekamilika na vituo hivyo vinafanya kazi.

Taratibu za kupata mkandarasi wa kuunganisha halmashauri 17 kwenye mkongo wa Taifa zinaendelea. Aidha, taratibu za kupata mshauri mwelekezi kwa ujenzi wa Mkakati wa Kitaifa wa brodibendi unaendelea.

Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Kutengeneza Vifaa vya TEHAMA

Kufanya upembuzi yakinifu wa mradi wa kituo cha kutengeneza vifaa vya TEHAMA kutokana na TEHAMA zinazofikia mwisho wa matumizi;

Kufanya maboresho ya kituo cha kutengeneza programu za TEHAMA; na

Kununua samani za kituo cha kutengenezea programu za kompyuta

kuandaliwa kwa hadidu za rejea kwa ajili ya kumpata Mshauri Elekezi wa kufanya upembuzi yakinifu;

kuandaliwa kwa andiko la uanzishaji wa kituo cha kutengeneza programu za kompyuta pamoja na Softcenter Operationalization Guide kwa ajili ya hatua za utekelezaji; na

kukamilika kwa maandalizi ya mchanganuo wa mahitaji kwa ajili ya ununuzi vifaa vya TEHAMA na samani za kituo cha kutengenezea programu za kompyuta. Mchanganuo wa mahitaji upo tayari kwa ajili ya kuanza mchakato wa manunuzi..

Nishati

Miradi ya Kuzalisha Umeme

Ujenzi wa Mradi wa Kinyerezi I Extension – MW 185

Ufungaji wa mitambo na kukamilisha ujenzi wa kituo cha kupozea umeme

Kukamilika kwa utengenezwaji wa mitambo yote minne (4) na kuanza kufungwa katika eneo la mradi; kukamilika kwa upanuzi wa kituo cha kupoza umeme cha Kinyerezi I kV 220; na

Kuendelea na upanuzi wa njia ya msongo wa kV 132 kutoka Kinyerezi I hadi kituo cha kupoza umeme cha Gongo la Mboto.

Kufua Umeme wa Rusumo MW 80

Kuendelea na ujenzi wa bwawa la kuhifadhia maji;

Kukamilisha miundombinu ya barabara za kiungia eneo la mradi;

Kukamilika kwa ujenzi wa barabara za kuingia eneo la mradi;

Kukamilika kwa ujenzi wa kikinga maji; na

Kukamilika kwa uchimbaji wa eneo la kufunga mitambo.

Page 212: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 207

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kuendelea na ujenzi wa njia za kupitisha maji na eneo la kufunga mitambo; na

kukamilisha ujenzi wa kambi ya kudumu ya wafanyakazi

Kufua Umeme Mtwara MW 300 kwa kutumia Gesi Asilia

Kukamilisha upembuzi yakinifu;

Kumtafuta Mshauri Mwelekezi; na

Kuandaa nyaraka za zabuni kwa ajili ya kumpata Mkandarasi.

Kukamilika kwa upembuzi yakinifu wa kituo cha kuzalisha umeme na miundombinu wezeshi ya maji, barabara na gesi asilia

Mradi wa Kakono - MW 87 Ulipaji wa fidia kwa wananchi watakaopisha mradi;

Kumpata Mtaalam Mshauri wa kufanya utafiti zaidi wa kijiolojia na haidrolojia; na

Kutayarisha zabuni kwa ajili ya kumpata Mkandarasi wa ujenzi wa kituo na miundombinu ya kusafirisha umeme

Kukamilisha utafiti wa kijiolojia na haidrolojia; kukamilisha usanifu wa awali wa mradi;

Kufanya maandalizi ya zabuni kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa ujenzi;

Kuhuisha tathmini ya athari za mazingira na kijamii na kukamilisha mpango wa kuhamisha wananchi wanaopisha ujenzi wa mradi

Mradi wa Umeme wa Jotoardhi – Ngozi (Mbeya)

Kuajiri mshauri mwelekezi wa kuandaa mpango kazi na kusimamia uchorongaji wa visima vya utafiti;

Kufanya tathimni ya ardhi hitajika na kulipa fidia;

Kuajiri mkandarasi wa uchorongaji; na

Ujenzi wa miundombinu ya barabara na maji.

Kuajiri Mtaalam Mshauri kwa ajili ya kuandaa mpango na kusimamia uchorongaji; taratibu za ununuzi wa mtambo wa uchorongaji wa visima vya utafiti; na maandalizi ya upimaji na uthamini wa ardhi hitajika kwa ajili ya uchorongaji.

Page 213: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 208

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Miradi ya Nishati Vijijini kupitia REA

Kukamilisha usambazaji wa umeme vijijini Awamu ya II hususan katika mikoa ya Kilimanjaro na Singida;

Kusambaza umeme vijijini Awamu ya III ikijumuisha usambazaji umeme katika maeneo ambayo yameshafikiwa na miundombinu ya umeme,

Usambazaji umeme vijijini Awamu ya Tatu - mzunguko wa kwanza;

usambazaji umeme katika vijiji vilivyopo pembezoni mwa mkuza wa njia ya msongo wa kv 400 kutoka Iringa hadi Shinyanga,

Uendelezaji wa nishati jadidifu na usambazaji wa umeme katika vijiji

Kuunganishwa kwa vijiji 5,109, Taasisi za Elimu 3,165; Maeneo ya Biashara 3,451; Pampu za Maji 210; Taasisi za Afya 1,211 na Nyumba za Ibada 984

Miradi ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme

Kusafirisha Umeme ya Msongo wa kV 220 Makambako – Songea

Kukamilisha ujenzi wa vituo vya kupozea umeme; na

Ujenzi wa njia ya umeme wa msongo wa kv 220; na

Kuunganisha wateja.

Kukamilika kwa njia ya kusafirisha umeme yenye urefu wa km 250 ya msongo wa kv 220 pamoja na vituo vitatu vya kupoza umeme vya Makambako, Madaba na Songea.

Kuunganishwa kwa mikoa ya Njombe na Ruvuma katika Gridi ya Taifa.

Kuendela kusambaza umeme kwenye vijiji ambapo ujenzi wa miundombinu ya usambazaji umeme katika vijiji 112 kati ya 122 umekamilika.

Kusafirisha Umeme ya Msongo wa kV 400 North West Grid Line (Iringa - Mbeya – Sumbawanga – Mpanda - Kigoma – Nyakanazi)

Ulipaji fidia kwa wananchi watakaopisha mradi, na

Kukamilisha majadiliano na wafadhili wa mradi kuwapata Wakandarasi na kuanza kwa utekelezaji wa mradi.

Kukamilisha taarifa ya awali ya upembuzi yakinifu kati ya Mbeya na Sumbawanga, kuanza uthamini wa mali kwa wananchi watakaopisha mradi pamoja na kuanza taratibu za kumpata mkandarasi wa mradi kwa sehemu ya Iringa - Mbeya - Tunduma - Sumbawanga (km 624);

Kumpata mtaalam mshauri wa kusimamia ujenzi wa mradi, uthamini wa mali zitakazoathiriwa na ujenzi wa mradi, na kupata eneo la

Page 214: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 209

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kujenga kituo cha kupoza umeme Kidahwe mkoani Kigoma kwa sehemu ya Nyakanazi - Kigoma (km 280); na

Kuendelea na majadiliano kati Serikali na wafadhali kwa sehemu ya Sumbawanga – Mpanda – Kigoma (km 480).

Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa kV 220 North West Grid (Geita – Nyakanazi)

Kulipa fidia kwa wananchi watakaopisha mradi

Kukamilisha upatikanaji wa mkandarasi; na

Kukamilisha uhakiki wa mali za wananchi watakaopisha mradi na kuanza kulipa fidia.

Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa kV 220 Bulyahulu – Geita

Utekelezaji wa mradi.

Kupatikana kwa mkandarasi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme;

Kuanza ujenzi wa kituo cha kupoza umeme;

Kupatikana kwa mkandarasi wa usambazaji umeme vijijini; na kulipa fidia kwa wananchi wanaopisha mradi

Ardhi na Maeneo ya Uwekezaji na Biashara

Programu ya Umilikishaji wa Ardhi

Kuandaa mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji 35 katika wilaya za Kilombero, Ulanga na Malinyi mkoani Morogoro;

Kuandaa mipango-kina ya matumizi ya ardhi katika maeneo ya makazi ya vijiji 50;

Kupima vipande vya ardhi 120,000 na kuandaa hati miliki za kimila katika wilaya za Kilombero, Ulanga na Malinyi;

Kutayarisha mipango kina ya vitovu vya makazi ya vijiji 30 (detailed planning of village centres) na kupima viwanja 15,000 na kuwapatia wananchi hati miliki za kimila za viwanja hivyo;

Kukamilisha ujenzi wa ofisi za ardhi za Wilaya 3 za Ulanga, Malinyi na Kilombero; na

kupimwa kwa vipande vya ardhi na kuandaa Hati za hakimiliki ya Kimila(CCROs) katika vijiji 109 vya Wilaya ya Kilombero (56), Ulanga (37) na Malinyi (16);

Kuhakikiwa na kupimwa kwa jumla ya vipande vya ardhi 178,980 kwa ajili ya kuandaa Hati za Hakimiliki ya Kimila katika wilaya za Kilombero (61,530), Ulanga (65,143) na Malinyi (52,307);

Kuandaliwa kwa jumla ya hati za hakimiliki ya Kimila 118,538 katika wilaya za Kilombero (56,680), Ulanga (37,353) na malinyi (24,501);

Kuandaliwa kwa mipango ya matumizi ya ardhi ya vijiji 79 katika wilaya Kilombero (41), Ulanga (23) na Malinyi (15);

Kuandaliwa kwa mipango ya kina ya makazi ya vijiji 66 katika wilaya za Kilombero (28), Ulanga (20) na Malinyi (18);

Kuendelea na ujenzi wa ofisi za ardhi za Wilaya ya Kilombero, Ulanga na Malinyi uliofikia asilimia 50; na

Kuwezeshwa kwa vijiji 44 kukamilisha ujenzi wa masijala za ardhi katika Wilaya za Kilombero (18), Ulanga (14) na Malinyi (12).

Page 215: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 210

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kuhuisha Sera ya Maendeleo ya Makazi ya mwaka 2000

Programu ya Kupanga na Kupima Ardhi

Kuimarisha Mfuko wa Fidia;

kutoa hatimiliki za kimila 500,000;

Kupima mipaka ya vijiji 500 pamoja na kuviandalia mipango ya matumizi ya ardhi

Kuandaliwa kwa rasimu ya Mpango Kabambe wa jiji la Dodoma (Dodoma Master Plan) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI. Mpango huu umeanisha matumizi mbalimbali ya ardhi yakiwemo ujenzi wa ofisi za Serikali eneo la Ihumwa, jijini Dodoma;

Kukamilika kwa rasimu ya Mpango Kabambe wa jiji la Dar es Salaam imekamilika kwa sasa uko katika hatua ya kusikilizwa na wadau; na

Kutolewa kwa shilingi bilioni 6.28 za ndani zimetolewa kwa ajili ya upangaji, upimaji na umilikishaji ardhi katika Halmashauri 24

Mradi wa Kuimarisha Mipaka ya Kimataifa

Kuimarisha mipaka 4 ya kimataifa kwa kusimika na kupima vigingi (Tanzania -Kenya; Tanzania - Zambia; Tanzania – Burundi; Tanzania - DRC/Burundi/ Zambia); na

Kujenga uwezo wa kitengo cha upimaji majini kwa kukusanya na kutunza taarifa za upimaji majini katika eneo la nje ya ukanda wa kiuchumi baharini

Mpaka wa Tanzania na Kenya

Kikao cha majadiliano cha ngazi ya Wataalam (JTC) kimefanyika. Kikao hicho kilichofanyika nchini Kenya kimeandaa mpangokazi wa kazi zilizobaki katika km 238 na kuendelea na uimarishaji wa awamu inayofuata ya km 110;

Kukamilika kwa maandalizi ya kufanya kazi ya mahesabu na uchakataji wa alama (pillars) na picha za anga (Aerial Triangulation); na

Kukagua kazi ya uwekaji wa alama za mipaka (pillars) zilizowekwa katika kipande cha mpaka cha km 172;

Mpaka wa Tanzania na Uganda: Kukamilika kwa maandalizi ya kuendelea na uimarishaji wa km 149; na Mpaka wa Tanzania na Zambia: Kukamilika kwa maandalizi ya kuendelea na uimarishaji wa km 120 za nchi kavu na 56 za kwenye maji yamekamilika.

Huduma za Fedha

Page 216: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 211

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Benki ya Maendeleo TIB (TIB – DFI na TIB Corparate Bank – TIB)

Kuendelea kutoa mikopo ya muda wa kati na mrefu kwa wawekezaji katika sekta ya viwanda vinavyotumia rasilimali za ndani, miundombinu, Kilimo na kuongeza thamani kwenye madini;

Kuwezesha sekta za utoaji wa huduma hususan afya, elimu, upimaji viwanja; ujenzi wa hoteli na nyumba.

Kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 198.94; kukusanya riba ya shilingi bilioni 24.76; kuongeza amana (assets) kufika 842.93; na kukusanya mapato yasiyotokana na riba ya shilingi bilioni 14.26.

Kutolewa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 634.58;

Kuongezeka kwa mapato ya benki kufikia shilingi bilioni 46.41;

Kupatikana kwa faida ya shilingi milioni 499.88; na

Kukusanywa kwa marejesho ya mkopo yenye thamani ya shilingi bilioni 62.72. aidha,

Kutolewa kwa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 6.1 kwa ajili ya ununuzi wa Pamba; shilingi bilioni 6.9 kwa ajili ya ununuzi wa kahawa; na kuidhinishwa kwa mikopo yenye thamani ya shilingi 68.7 kwa sekta mbalimbali za uchumi.

Benki ya Kilimo

kushirikiana kwa karibu na Tanzania Merchantile Exchange katika kuhakikisha wakulima wanaunganishwa na masoko ya uhakika;

kuanzisha ofisi za kanda ili kuwezesha kutoa mikopo nchi nzima na kuwa na usimamizi wa karibu;

kushirikiana na MIVARF kuwezesha taasisi mbalimbali za fedha kutoa mikopo katika sekta ya kilimo; na

kuendelea kutoa mafunzo kwa vikundi vya wakulima wadogo nchi nzima kwa awamu.

Kutolewa kwa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 73.9 na kufanya jumla ya mikopo iliyotolewa kwa wakulima kufika shilingi bilioni 113.07;

Wakulima 1,266,374 wa mahindi, mpunga, mtama, alizeti, michikichi, korosho, kahawa, pamba, miwa, matunda na mbogamboga, ufugaji wa ng‟ombe wa maziwa na nyama, kuku, samaki, na nyuki wa asali katika mikoa wamefufaika na mikopo;

Kiasi cha shilingi bilioni 10.9 zilitolewa kwa ajili ya kuendeleza miradi kumi na tatu (13) ya viwanda vya uchakataji wa mazao;

Shilingi bilioni 10.4 kwa ajili ya miradi ya umwagiliaji;

Shilingi bilioni 3,4 kwa ajili ya kilimo cha kisasa cha zao la pamba na mpunga; na

kutolewa kwa mafunzo ya ujasiriamali ambapo jumla ya wakulima wadogo 7,519 walipatiwa mafunzo;

Mfuko wa SCGS umetoa udhamini uliowezesha mabenki ya biashara

Page 217: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 212

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kutoa mikopo ya jumla ya shilingi bilioni 5.2 kwa wakulima wadogo 925.

Utalii, Biashara na Masoko

Utalii

Mradi wa Uendelezaji wa Utalii katika Ukanda wa Kusini – REGROW

kuboresha usimamizi na uhifadhi wa rasilimali za maliasili katika Ukanda wa Kusini wa Hifadhi za Taifa za wanyama za Ruaha, Udzungwa, Mikumi, na sehemu ya kaskazini ya mbuga ya Selous.

Kukamilika kwa ununuzi wa vifaa na samani kwa ajili ya ofisi za mradi;

Kutolewa kwa ushauri elekezi kuhusu mazao ya utalii katika jamii na utafiti kuhusu hali ya kijamii na kiuchumi katika jamii zinazozunguka maeneo yaliyohifadhiwa katika ukanda wa kusini; na

Kukamilika kwa zoezi la ufuatiliaji maeneo ya Mbarali na Pori la Akiba la Selous.

Sekta Ndogo ya Utalii kufanya ukaguzi wa Mawakala wa biashara za utalii katika kanda nne na kufanya tathmini na kutoa madaraja kwa huduma za malazi na chakula kwa daraja la nyota katika mikoa ya Kilimanjaro, Tanga na Mwanza.

Kuendelea kutoa elimu katika kanda nne za utalii kuhusu kanuni, sheria na miongozo ya uendelezaji biashara ya utalii na kubainisha vivutio vipya vya Utalii katika mikoa ya Simiyu, Geita, Kigoma, Kagera,Tanga na Manyara.

Utambulisho wa vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania (Tanzania Destination Branding) ambao una kauli mbiu ya „Tanzania Unforgettable‟;

Uanzishwaji wa chaneli maalumu ya Tanzania Safari kwa ajili ya kutangaza utalii nchini inayoratibiwa na TBC;

Uanzishwaji wa maadhimisho ya kuenzi utamaduni wa Mtanzania (Tanzania Heritage Month) yaliyofanyika katika mikoa minne (Dodoma, Arusha, Manyara, na Dar es salaam) ya Tanzania Bara na Zanzibar; na uanzishwaji wa safari za basi la kitalii katika Jiji la Dar es salaam;

Kufanyika kwa maonesho katika nchi 13 za Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Rwanda, Kenya, Kanada, China, Uholanzi, India, Hispania, Ubeligiji, Israeli na Falme za Kiarabu;

Kuongezeka kwa idadi ya watalii walioingia nchini kutoka 1,327,143 mwaka 2017 hadi kufikia watalii 1,505,702 mwaka 2018;

Kuboresha miundombinu wezeshi kwa ajili ya kuendeleza utalii ambapo jumla ya ofisi sita na vituo 15 vya ulinzi vimejengwa katika hifadhi za mazingira asilia za Chome, Magamba, Mlima Rungwe,

Page 218: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 213

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Mkingu, Minziro, na Udzungwa Scarp;

Ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilometa 89.6 na njia za kutembea watalii zenye urefu wa kilometa 102.6 zimesafishwa;

Ujenzi wa ngazi yenye mita 183 kuelekea kwenye maporomoko ya Kalambo umefanyika; na

Kambi 11 za kupumzikia wageni zimesafishwa katika misitu saba ya hifadhi za asilia za Mlima Hanang, Rungwe, Udzungwa, Uluguru, Kimboza, Rondo na Kilombero.

Biashara na Masoko

Mradi wa Kukuza Shughuli za Kibiashara katika Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika – SADC

kuboresha mazingira ya kufanyia biashara kwa kupitia na kupunguza vikwazo visivyo vya kikodi

Kununuliwa kwa mashine maalam ya kupima mafuta ya kula;

Kununuliwa kwa vifaa vya maabara kwa ajili ya Shirika la Viwango Tanzania - TBS;

Kununuliwa kwa vifaa vya maabara kwa ajili ya Wizara ya Kilimo; na

Kuandaliwa kwa kitabu cha Mwongozo wa Mauzo Nje.

Kuimarisha Usimamizi na Utekelezaji wa Mpango

Utawala Bora na Utawala wa Sheria

Kuharakisha Azma ya Serikali Kuu Kuhamia Dodoma

Programu ya Uboreshaji Utendaji Kazi katika Utumishi wa Umma: kuimarisha shughuli za Serikali Mtandao hususan miundombinu ya TEHAMA ili kuunganisha taasisi zilizopo Dodoma na Dar es Salaam; kujenga uwezo wa kitaasisi na kiutendaji; na kuboresha na kukuza matumizi ya TEHAMA katika utoaji huduma

Kuhamishwa kwa jumla ya watumishi 8,883 wa Wizara na Taasisi za Serikali kwenda Makao Makuu ya Serikali, Dodoma;

Kuendelea kwa taratibu za kuhakikiksha kuwa watumishi waliobaki wanahamia Dodoma

Kukamilisha kwa ujenzi wa majengo ya Ofisi za awali za Wizara 23 likiwemo Jengo la Mwanasheria Mkuu.

Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alikabidhi hati 64 za umiliki wa viwanja kwa mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini kwa ajili ya ujenzi wa Ofisi za kibalozi katika eneo hilo Julai, 2018.

Mfuko wa Bunge

Ujenzi wa Miundombinu ya Bunge: kuanza ujenzi wa nyumba ya makazi ya

Kuendelea na ujenzi wa nyumba ya makazi ya Katibu wa Bunge – Dodoma; Kufanyika kwa ukarabati wa majengo ya Bunge ikiwa ni

Page 219: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 214

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Naibu Spika eneo la Kilimani - Dodoma na nyumba ya makazi ya Katibu wa Bunge – Dodoma, kuanzisha Bunge Mtandao na kituo cha kurusha matangazo ya redio na luninga ya Bunge ambapo shilingi bilioni 3.7 fedha za ndani zimetengwa.

Ukarabati wa Majengo ya Bunge: mradi unalenga kukarabati sehemu ya ndani ya Ukumbi Mpya wa Bunge, ukumbi wa Msekwa na majengo ya ofisi za Bunge ambapo shilingi bilioni 1.3 fedha za ndani zimetengwa.

pamoja na usimikaji wa lift paa katika jengo la Utawala; kufanyika kwa malipo ya awali kwa ajili ya kuwezesha ununuzi wa mitambo ya usalama kwenye ukumbi wa Bunge; Kuwajengea uwezo Wabunge na watumishi kupitia mafunzo mbalimbali ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao.

Utoaji Haki na Huduma za Kisheria

kuanza ujenzi wa Ofisi tatu (3) za Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika mikoa;

kuimarisha mfumo wa uandishi na urekebu wa sheria;

kutoa mafunzo ya kitaaluma kwenye maeneo mapya ya uendeshaji wa mashauri ya jinai, usimamizi wa madai, usuluhishi, katiba na mikataba; na

ununuzi wa vitendea kazi kwa ajili ya ofisi za mikoa, wilaya na makao makuu

Kujenga mifumo ya kielektroniki ya kusajili na kuratibu mashauri yanayosajiliwa Mahakamani, Mfumo wa kusajili na kuratibu shughuli za mawakili na Mfumo wa utambuzi wa mahitaji ya mahakama (court mapping);

Ujenzi wa majengo ya mahakama kuu katika mikoa ya Kigoma na Mara;

Ukarabati wa nyumba tatu za majaji katika mkoa wa Mtwara; ujenzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi katika Mkoa wa Manyara;

Ujenzi wa mahakama 5 za Wilaya (Kilwa, Ruangwa, Bukombe, Geita na Chato);

Kuendelea kwa ujenzi wa Mahakama 4 za Hakimu Mkazi na Mahakama 11 za wilaya;

Kuanzishwa kwa mahakama maalum zinazotembea na kuweza kusogeza huduma za mahakama karibu na wananchi hususan walio katika sehemu zisizo na huduma ya mahakama; na

Kununuliwa kwa magari mawili yatakayotumika kutoa huduma katika mikoa ya Dar es Salaam, Wilaya ya Kindondoni (Bunju), Wilaya ya

Page 220: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 215

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Ilala (Chanika), Wilaya ya Temeke (Buza) na Wilaya ya Ubungo (Kibamba); na Mkoa wa Mwanza, Wilaya ya Ilemela (Nyegezi) katika awamu ya kwanza ya majaribio.

Unicef Support to Multisectroral

Kuandaa mipango ya maendeleo inayojumuisha haki ya mtoto

Kuimarisha shughuli za usajili wa vizazi, vifo, ndoa, talaka na watoto wa kuasili ikiwa ni haki ya msingi ya utambuzi wa binadamu na upatikanaji wa takwimu kwa ajili ya maendeleo;

Kusajiliwa kwa vizazi 1,271,372; vifo 28,285; ndoa 26,953; talaka 122 na hati 28 za watoto wa kuasili;

Kuongezeka kiwango cha usajili kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano kutoka asilimia 13, kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 hadi kufikia asilimia 38 kwa mwaka 2018/2019; na

Kuendelea na usimamizi wa mirathi, usajili wa bodi za wadhamini, uandishi na uhifadhi wa wosia ambapo wosia 38 zimeandikwa na kuhifidhiwa katika kipindi cha 2018/2019.

Access to Justice & Human Rights

Kuimarisha upatikanaji haki na ulinzi wa haki za binadamu nchini

Kuendelea kubuni na kutekeleza mikakati kadhaa kwa kutunga na kurekebisha sheria pamoja na kanuni zake;

Kuendesha tafiti za kisheria;

Kutoa elimu kwa umma kuhusu haki za binadamu na za kiraia;

Kupokea na kufanyia uchunguzi malalamiko ya wananchi yanayohusu ukiukwaji wa Haki za Binadamu na misingi ya Utawala Bora;

Kutengeneza mfumo jumuishi wa kukusanya, kuchambua na kuhifadhi takwimu muhimu zinazohusu sekta ndogo ya haki jinai ambao umejadiliwa na kutolewa maoni na wadau mbalimbali, kwa sasa unaendelea kufanyiwa majaribio;

Kuandaliwa kwa Mpango Kazi wa Pili wa Kitaifa wa Haki za Binadamu kwa kipindi cha mwaka 2018/19 hadi 2022/23 kulinda, kukuza na kuhifadhi haki za Binadamu wakati Serikali inapotekeleza majukumu yake;

Page 221: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 216

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Kutungwa kwa Sheria ya Msaada wa Kisheria ya mwaka 2017 na kanuni zake na kupitishwa kwa Mkakati wa Kitaifa kuhusu ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa mwaka 2017 hadi 2021 wenye lengo la kuhakikisha kuwa haki za wanawake, watoto na watu wenye ulemavu zinalindwa na kudumishwa; na

Kutolewa kwa muongozo unaoelekeza mashauri yote yanayohusu wanawake, watoto, wazee na watu wenye ulemavu kumalizika ndani ya muda mfupi usiozidi miezi sita.

Vitambulisho vya Taifa uendelea na usajili na utambuzi wa watu nchi nzima ambapo wananchi, wageni wakazi na wakimbizi wapatao milioni 25 wanatarajiwa kusajiliwa na kutambuliwa;

kuendelea kuunganisha Mfumo wa Vitambulisho vya Taifa na Mifumo ya taasisi nyingine ili iweze kusomana kwa lengo la kurahisisha utoaji wa huduma; na

kuunganisha mtandao wa mawasiliano kati ya ofisi za usajili za wilaya 33 na makao makuu

kusajili na kutambua raia wa Tanzania, wageni wakaazi pamoja na wakimbizi wapatao 19,648,857 wenye umri wa Miaka 18 sawa na lengo la asilimia 82 la kusajili wananchi wapatao milioni 24,295,468;

vitambulisho 4,850,724 vimechapishwa ambapo viambulisho 4,503,769 vimetolewa kwa wananchi;

kuunganishwa kwa Ofisi ya Wilaya ya Mbinga na Busega na mtandao wa mawasilianao na makao na makao makuu kupitia Mkongo wa Taifa chini ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).na hivyo kufikisha ofisi 119 nchi nzima;

kutolewa kwa vitambuliso 1,000,000 kwa wajasiriamali wadogo; kuunganishwa kwa jumla ya taasisi 45 za serikali na binafsi katika mfumo wa usajili na utambuzi.

Page 222: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 217

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

Mradi wa Mfuko wa Mahakama

ujenzi wa majengo ya Makao Mkauu ya Mahakama ya Tanzania mjini Dododma;

kuendelea na ujenzi wa mahakama nchi nzima ikijumuisha Mhakama Kuu 2 zinazoendelea kujengwa katika mikoa ya Kigoma na Mara, na kuanza ujenzi katika mikoa ya Morogoro, Mwanza, Dodoma na Singida;

ujenzi wa mahakama za Wilaya 32 na Mhakama za Mwanzo 20;

kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika utoaji wa huduma za kisheria kwa kufunga mfumo wa kielektroniki wa utunzaji wa kumbukumbu, usikilizaji wa mashauri, ukusanyaji wa takwimu za mashauri na kutoa taarifa mbalimbali za kimahakama; na

kuwajengea uwezo watumishi ili kuendeleza vipaji vya ubunifu, kuimarisha weledi na kuongeza tija

Kukamilika kwa michoro ya ujenzi na tathmini ya gharama kwa ajili ya Makao Makuu ya Mahakama ya Tanzania - Dodoma katika eneo la NCC, Kitalu D Kiwanja Na. 1. Aidha, michoro hiyo na tahthmini ya gharama vimewasilishwa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa ajili ya kupata idhini ya kuanza ujenzi;

Ujenzi wa majengo ya Mahakama Kuu upo katika hatua za mwisho kukamilika ambapo Kigoma na Mara umefikia asilimia 80;

Ujenzi wa Mahakama za Wilaya za Bukombe, Bunda, Chato, Kasulu, Kilindi, Kondoa, Sikonge, Rungwe, Loliondo, Kilwa na Ruangwa umekamilika;

Katika kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika utoaji wa huduma za kisheria kazi zilizofanyika ni kukamilika kwa uboreshaji wa mfumo wa ukusanyaji wa takwimu (Judicial Statistical Dashbord System). Mfumo huu unatumika kusajili mashauri, kuingiza taarifa muhimu za Wadaawa ikiwa ni pamoja na kutuma taarifa kwa ujumbe mfupi (sms) kwa wadaawa kuhusu mwenendo wa mashauri yao;

Watumishi 183 (wanaume 113 na wanawake 70) walipata mafunzo katika kada mbalimbali kupitia program ya Maboresho ya Huduma za Mahakama;

Kujenga mifumo ya kielektroniki katika kusajili na kuendesha mashauri Mahakamani; na

Kuanza rasmi kutumika kwa mfumo wa kielektroniki wa uendeshaji wa mashauri ulioboreshwa unaojulikana kama JSDS 2 katika Mahakama za ngazi ya Wilaya hadi Mahakama ya Rufani.

Maeneo Mengine Muhimu kwa Ukuaji wa Uchumi na Ustawi na Taifa

Kuimarisha Ushiriki wa Sekta Binafsi

Mradi wa kuimarisha ushindani wa Sekta Binafsi – Ardhi

kujenga ofisi ndogo za kuhifadhia mfumo huo kwa awamu katika halmashauri;

kununua vifaa vya TEHAMA; na

ujenzi wa ofisi ndogo mfumo wa Intergrated Land Management Information System (ILMIS) katika halmashauri nchini;

ununuzi wa vifaa vya TEHAMA; na

Page 223: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 218

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

kubadilisha nyaraka za ardhi kuwa za kielektroniki.

utoaji nyaraka za kielektroniki za ardhi.

Miradi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi

Mradi wa ujenzi wa reli ya Tanga – Arusha - Musoma pamoja na matawi ya Engaruka na Minjingu kwa Standard Gauge

kukamilisha mkataba wa kumpata Mshauri Elekezi atakaye andaa upembuzi yakinifu wa njia ya reli ya standard Gauge kati ya Arusha - Musoma, pamoja na matawi ya kwenda Engaruka na Minjingu

kuendelea na taratibu za kumwajiri Mshauri Elekezi.

kuandaa upembuzi yakinifu wa njia ya reli

Mradi wa ujenzi wa reli ya Mtwara – Mbamba Bay na matawi ya Mchuchuma na Liganga kwa Standard Gauge

kukamilisha kwa upembuzi yakinifu kuendelea kuandaa upembuzi yakinifu

kutafuta wawekezaji katika ujenzi wa reli kwa utaratibu wa PPP

Mradi wa Dawa Muhimu na Vifaa Tiba (Pwani, Mwanza na Mbeya)

kukamilisha kwa upembuzi yakinifu na kutafuta mbia

kukamilika kwa upembuzi yakinifu kuendelea na utaratibu wa kumpata mbia

Mradi wa Kusambaza Gesi Asilia katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi na Mtwara:

kuwapata wabia kutoka sekta binafsi;

kufanya majadiliano ya uendeshaji na uwekezaji;

kuunda kampuni za pamoja za ubia; na

kuanza utekelezaji wa mradi.

Kukamilisha upembuzi yakinifu

Kumtafuta Mbia.

Ujenzi wa Vyuo kumi vya Ufundi

Kukamilisha uoembuzi yakinifu Kuendelea na ukamilishwaji wa upembuzi yakinifu

kupitia modeli ya fedha ili mradi uwe wa tija.

Miradi miwili ya Ujenzi wa Hotel ya Nyota Nne na Kituo cha Biashara katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julias Nyerere ambayo

kukamilisha upembuzi yakinifu

kukamilisha taratibu za kuwapata wa bia

kuendelea kukamilisha upembuzi yakinifu

kuendelea na utaratibu wa kumpata mbia

Page 224: MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2019/20 - … wa Maendeleo wa Taifa 2019.20.pdf · Utekelezaji wa mpango huo; Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya Uchaguzi Mkuu wa

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2019/20

Wizara ya Fedha na Mipango 219

Jina la Mradi Malengo /Shughuli 2018/19 Shughuli Zilizotekelezwa 2018/19

itatekelezwa na Mamlaka ya Viwanja