mwl . mgisa mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe
DESCRIPTION
IMANI YA USHINDI USHINDI JUU YA DHAMBI NA UASI. ‘ Hatua za Kumwezesha Mtu wa Mungu Kuishi Maisha Matakatifu. ’. Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 www.mgisamtebe.org. HATUA ZA IMANI YA USHINDI. Malengo ; - PowerPoint PPT PresentationTRANSCRIPT
![Page 1: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/1.jpg)
Mwl. Mgisa Mtebe
+255-713-497-654
www.mgisamtebe.org
IMANI YA USHINDIUSHINDI JUU YA
DHAMBI NA UASI.‘Hatua za Kumwezesha Mtu wa
Mungu Kuishi Maisha Matakatifu.’
![Page 2: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/2.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
Malengo; Kumfundisha mtu wa Mungu
kutoka katika udhaifu na utumwa wa kushindwa na dhambi katika maisha yake
ya Wokovu (Kuokoka).
![Page 3: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/3.jpg)
IMANI YA USHINDI
USHINDI DHIDI YA DHAMBI
Warumi 8:5-11
![Page 4: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/4.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili,
lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.
![Page 5: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/5.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
6 Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani. 7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu,
wala haiwezi kuitii.
![Page 6: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/6.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. 9 Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu.
Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.
![Page 7: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/7.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu
imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi
hai kwa sababu ya haki.
![Page 8: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/8.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:5-1111 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu
aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili
yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu.
![Page 9: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/9.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni
Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’
(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)
![Page 10: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/10.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 “Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
![Page 11: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/11.jpg)
2Petro 1:3-43 Kwa kuwa Uweza wake wa uungu umetupatia (au nguvu zake za uungu zimetupatia)
mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya maisha na utakatifu, kwa
kumjua Yeye aliyetuita kwa utukufu Wake na wema Wake
mwenyewe.
KANUNI ZA MAISHA YA USHINDI
![Page 12: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/12.jpg)
2Petro 1:3-44 Kwa sababu hiyo, Mungu
ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani, ili kwa kupitia hizo tupate kuwa washiriki wa tabia
za uungu, tukiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwa sababu ya tamaa.
KUTEMBEA KWA IMANI
![Page 13: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/13.jpg)
IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
![Page 14: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/14.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Roho zetu zina uwezo wa Ki-Mungu wa kutawala miili yetu
katika maisha ya Utakatifu, ni ile hali ya kukosea kujiona, ndicho kitu kinachozima utendaji kazi
wa Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo.
![Page 15: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/15.jpg)
KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37
Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha
ya utumwa juu ya dhambi.
![Page 16: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/16.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Warumi 8:5-12Ikiwa roho zetu zina uwezo wa Ki-
Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya Utakatifu, ni
kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa Nguvu za Mungu
unaowezesha ushindi huo?
![Page 17: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/17.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21
Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Ukikosea kujiona,
utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa hayo,
yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na
kukusaidia kushinda.
![Page 18: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/18.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
KUSTAHILISHWAPASIPO KUSTAHILI
Warumi 5:17-19Warumi 6:5-6, 11-14
![Page 19: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/19.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19
18 … kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta hukumu
kwa watu wote, vivyo hivyo pia kwa tendo la mtu mmoja
la haki watu wote wamehesabiwa haki.
![Page 20: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/20.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19
19 Kwa maana kama vile kwa kutokutii yule mtu mmoja,
watu wote walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja
wengi wamefanywa wenye haki.
![Page 21: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/21.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19
17 Kwa maana ikiwa kwa kosa la mtu mmoja, mauti
ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na
kuhesabiwa haki [wokovu], …
![Page 22: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/22.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 5:17-19
17 … wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na
kuhesabiwa haki [wokovu], watatawala katika uzima
kwa njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo.
![Page 23: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/23.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19
Torati Neema
Kosa la Mtu 1, Tendo la Mtu 1, Wote ni Wote ni ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’(Wenye Dhambi) (Watakatifu)
![Page 24: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/24.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10
9 Si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu. 10 Kwa
maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa
katika Kristo Yesu (utakatifu) …
![Page 25: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/25.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10
10 … tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate
kutenda matendo mema, ambayo Mungu alitangulia
kuyaandaa tupate kuishi katika hayo.
![Page 26: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/26.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10
Matendo mema yaliumbwa kwa ajili ya watakatifu
(wenye-haki); ndo kusema, kutenda mema wakati uko
upande wa Wakosaji, haikufanyi Mwenye haki
mbele za Mungu.
![Page 27: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/27.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10
Matendo mema yaliumbwa kwa ajili ya watakatifu
(wenye-haki); ndo kusema, kutenda mema wakati uko
upande wa Wakosaji, haikufanyi Mwenye haki
mbele za Mungu.
![Page 28: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/28.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWaefeso 2:8-10Ndio kusema;
Kufanya Makosa wakati uko upande wa Wenye-Haki,
haikufanyi ‘Mwenye Dhambi’ mbele za Mungu.
![Page 29: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/29.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19
Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’
Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi HayakuondoiKtk Stahili/Haki. ktk Stahili/Haki.
![Page 30: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/30.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19
Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’
Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi Hayakuondoi ktk Utakatifu. ktk Utakatifu.
![Page 31: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/31.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Hatua ya kwanza;Warumi 6:5-6, 11-14
11 kujihesabuni mfu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu;
Yaani “Mtakatifu”
![Page 32: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/32.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 6:5-6, 11-14
4. MATOKEO; 14 Kwa maana dhambi
haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo
chini ya sheria, bali chini ya neema.
![Page 33: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/33.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;
Dhambi itakuwa na mamlaka juu yenu, endapo
mtajihesabu mpo chini ya sheria (torati), na si chini ya
neema.… (ajionavyo mtu nafsini mwake)
![Page 34: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/34.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya UshindiMithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)
ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
![Page 35: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/35.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Macho ya RohoniMithali 24:14
‘Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako, ikiwa
umekwisha kuiona (kuipata) ndipo itakapokuja thawabu
yako, wala hutalikosa tarajio lako’
![Page 36: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/36.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:1, 6 1 Imani ni kuwa na hakika
wa mambo yasiyoonekana
(kabla ya kuona katika ulimwengu wa mwili).
![Page 37: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/37.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19
Torati Neema
Upande wa Upande wa Wote ni Wote ni ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’(Wenye Dhambi) (Watakatifu)
![Page 38: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/38.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21
Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Ukikosea kujiona,
utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa hayo,
yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na
kukusaidia kushinda.
![Page 39: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/39.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;
Njia ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kutembea kwa Imani
kwamba wewe ni Kiumbe Kipya.
(tayari umeshakuwa)
![Page 40: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/40.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 11:1, 6
6 “Kwa maana pasipo Imani haiwezekani
kumpendeza Mungu”.
![Page 41: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/41.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Waebrania 10:38
38 “Mwenye haki wangu ataishi kwa Imani, naye
akisisita-sita, Roho yangu haina furaha naye”.
![Page 42: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/42.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Roho zetu zina uwezo wa Ki-Mungu wa kutawala miili yetu
katika maisha ya Utakatifu, ni ile hali ya kukosea kujiona, ndicho kitu kinachozima utendaji kazi
wa Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo.
![Page 43: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/43.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Warumi 6:5-6, 11-14
Hatua ya kwanza;Kuelekea ushindi
juu Dhambi.
![Page 44: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/44.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
KustahilishwaWarumi 5:17-19
![Page 45: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/45.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19
Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’
Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi HayakuondoiKtk Stahili/Haki. ktk Stahili/Haki.
![Page 46: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/46.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIWarumi 5:17-19
Torati Neema Upande wa Upande wa ‘Wakosaji’ ‘Wenye-Haki’
Matendo mema ‘Makosa’ Hayakuingizi Hayakuondoi ktk Utakatifu. ktk Utakatifu.
![Page 47: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/47.jpg)
IMANI YA USHINDI
MAISHA BAADA YA WOKOVU
- Swali Muhimu -
![Page 48: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/48.jpg)
Warumi 5:17-19, Warumi 6:15Eti kwasababu katika Neema
ya Wokovu, tunahesabiwa haki hata kama tumekosea, Je, hii ina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na
maisha ya dhambi na anasa?
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 49: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/49.jpg)
Warumi 5:17-19
Jibu ni Hapana!
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 50: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/50.jpg)
Warumi 5:17-19Na Mungu akijua kwamba, dhana hii ya kustahilishwa, itazaa maswali ya namna hii
ndani ya watu, akaandika yafuatayo, kupitia mkono wa Mtume Paulo, ili tusipotoke.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 51: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/51.jpg)
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILIWarumi 6:15, 1-2
15 Ni nini basi? [Je,] tufanye dhambi [eti] kwasababu hatuwi [hatupo] chini ya
sheria [torati], bali chini ya Neema [wokovu]? Hasha
[hapana kabisa]
![Page 52: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/52.jpg)
Warumi 6:15, 1-21 Tuseme nini basi? Je, tudumu katika dhambi ili neema izidi kuwa nyingi?
2. Hasha! [hapana kabisa]
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 53: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/53.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:15, 1-2
2. Hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutaishije tena
katika dhambi?
![Page 54: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/54.jpg)
Warumi 5:17-19
Eti kwasababu katika Neema ya Wokovu, tunahesabiwa haki hata kama tumekosea,
haina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na
maisha ya dhambi na anasa!
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 55: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/55.jpg)
Warumi 4:17-3417 Tangu sasa nawaambia hivi,
tena nawasisitiza katika Bwana, kwamba, msienende
[wala msiishi] tena kama watu Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 56: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/56.jpg)
Warumi 4:17-3418 Watu hao akili zao
zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa
sababu ya ujinga wao na ugumu wa mioyo yao.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 57: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/57.jpg)
Warumi 4:17-3419 Wakiisha kufa ganzi,
wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila
aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 58: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/58.jpg)
Warumi 4:17-3420 Lakini ninyi, hivyo sivyo
mlivyomjifunza Kristo. 21 Kama hivyo ndivyo ilivyo,
ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 59: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/59.jpg)
Warumi 4:17-34
22 Mlifundishwa kuuvua mwenendo wenu wa
zamani, utu wenu wa kale, ulioharibiwa na tamaa zake
za udanganyifu.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 60: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/60.jpg)
Warumi 4:17-3423 Mfanywe upya roho ya nia
zenu, 24 mkajivike utu mpya, ulioumbwa sawa
sawa na mfano wa Mungu katika haki yote na
utakatifu.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 61: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/61.jpg)
Warumi 4:17-3425 Kwa hiyo kila mmoja wenu
avue uongo na kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana sisi sote tu
viungo vya mwili mmoja.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 62: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/62.jpg)
Warumi 4:17-34
26 Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika,
27 wala msimpe ibilisi nafasi.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 63: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/63.jpg)
Warumi 4:17-34
28 Yeye ambaye amekuwa akiiba, asiibe tena, bali afanye kazi zake mwenyewe, ili awe
na kitu cha kuwagawia wahitaji.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 64: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/64.jpg)
Warumi 4:17-34
29 Maneno mabayamwenu, bali yale yafaayo
kwa ajili ya kuwajenga wengine kulingana na
mahitaji yao, ili yawafae wale wasikiao.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 65: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/65.jpg)
Warumi 4:17-34
30 Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu,
ambaye kwa huyo mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya
ukombozi.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 66: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/66.jpg)
Warumi 4:17-34
31 Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele
na masingizio pamoja na kila aina ya uovu.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 67: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/67.jpg)
Warumi 4:17-34
32 [Msiwe na choyo, bali] Iweni wafadhili [ninyi kwa
ninyi] na wenye kuhurumiana [kama Mungu alivyomtoa Mwanaye kwa
ajili yenu],
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 68: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/68.jpg)
Warumi 4:17-34
32 … [Msiwe na kinyogo, bali] msameheane [ninyi kwa
ninyi], kama vile naye Mungu katika Kristo
alivyowasamehe ninyi [makosa yenu].
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 69: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/69.jpg)
Mungu anatuonyesha kuwa, Eti kwasababu katika Neema
ya Wokovu, tunahesabiwa haki hata kama tumekosea,
haina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na
maisha ya dhambi na anasa!
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 70: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/70.jpg)
Pamoja na kwamba, Mungu ametupa [ametuhesabia]
Utakatifu wa Kristo, bado kila mtoto wa Mungu anatakiwa kudumisha maisha safi na ya
Utakatifu binafsi katika maisha yake.
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 71: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/71.jpg)
Hii ina maana kwamba;Kuna Utakatifu wa aina mbili. [1]. Utakatifu wa Kristo, Tuliopewa Bure kwa Neema
[2]. Utakatifu wa mtu, Unatakiwa kudumishwa.
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 72: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/72.jpg)
Ufunuo 22:10-1211 ... Mwenye haki azidi
kutenda haki na yeye aliye Mtakatifu [1] na aendelee
kuwa Mtakatifu [2].’’
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 73: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/73.jpg)
Pamoja na kwamba, Mungu ametupa [ametuhesabia]
Utakatifu wa Kristo, bado kila mtoto wa Mungu anatakiwa kudumisha maisha safi na ya
Utakatifu binafsi katika maisha yake.
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 74: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/74.jpg)
1Petro 1:15-16
Mungu hana ushirika na dhambi; anachukia dhambi
na hapendi kuiona. Ndio maana anasisitiza Utakatifu
katika mwenendo wetu wote.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 75: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/75.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Warumi 6:23 Mauti Uzima
Torati NeemaMungu hakuwa Mungu huwa na ‘Uvumilivu’ ‘Uvumilivu’
wowote mkubwajuu ya Dhambi. juu ya dhambi.
![Page 76: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/76.jpg)
Warumi 6:23Mungu wetu habadiliki,
japo Njia za Mungu hubadilika, lakini Mungu bado
ana tabia zake zile zile za kuchukia dhambi na uasi.
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 77: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/77.jpg)
1Petro 1:15-19
15 Bali kama Yeye aliyewaita alivyo Mtakatifu, ninyi nanyi
iweni Watakatifu katika mwenendo wenu wote, …
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 78: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/78.jpg)
1Petro 1:15-19
16 kwa maana imeandikwa: “Mtakuwa Watakatifu, kwa kuwa Mimi ni Mtakatifu.”
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 79: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/79.jpg)
1Petro 1:15-19
17 Nanyi kama mnamwita “Baba,” Yeye ahukumuye kila
mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo …
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 80: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/80.jpg)
1Petro 1:15-19
17 … enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama
wageni [na wapitaji].
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 81: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/81.jpg)
1Petro 1:15-19
18 Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa
kutoka katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi
kutoka kwa baba zenu, …
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 82: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/82.jpg)
1Petro 1:15-19
18 …mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, yaani, kwa
fedha na dhahabu, …
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 83: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/83.jpg)
1Petro 1:15-19
19 bali mlikombolewa kwa damu ya thamani ya Kristo, kama ile ya Mwana-Kondoo
asiye na dosari wala doa.
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 84: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/84.jpg)
1Petro 1:15-19
15 [kwahiyo] kama Yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu
katika mwenendo wenu wote
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 85: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/85.jpg)
1Petro 1:15-16
Mungu hana ushirika na dhambi; anachukia dhambi
na hapendi kuiona. Ndio maana anasisitiza Utakatifu
katika mwenendo wetu wote.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 86: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/86.jpg)
Ufunuo 22:10-1210 Kisha akaniambia,
“Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu
wakati umekaribia.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 87: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/87.jpg)
Ufunuo 22:10-12
11 Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee
kuwa mchafu, ...’’
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 88: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/88.jpg)
Ufunuo 22:10-12
11 ... Mwenye haki azidi kutenda haki na yeye aliye
Mtakatifu na aendelee kuwa Mtakatifu.’’
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 89: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/89.jpg)
Ufunuo 22:10-12
12 “Tazama, naja upesi! nikiwa na mshahara wangu,
nami nitamlipa kila mtu sawasawa na alivyotenda.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 90: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/90.jpg)
1Wakorintho 6:14-18
Mungu hana ushirika na dhambi; anachukia dhambi
na hapendi kuiona. Ndio maana anasisitiza Utakatifu
katika mwenendo wetu wote.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 91: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/91.jpg)
1Wakorintho 6:14-18
‘... Hakuna ushirika kati ya nuru na giza ...’
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 92: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/92.jpg)
Kwahiyo, Eti kwasababu katika Neema, tunakuwa chini
ya mwamvuli wa haki ya Kristo hata kama tumekosea,
haina maana kwamba, tunaweza kuendelea tu na
maisha ya dhambi na anasa!
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 93: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/93.jpg)
1Wakorintho 6:14-18Katika Agano Jipya, Mungu akikutana na dhambi; ataipa muda wa ‘neema’. Muda wa
‘neema’ ukiisha, Mungu anaihikumu dhambi mara
moja, bila kusita.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 94: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/94.jpg)
1Wakorintho 9:27Kwahiyo, kila siku, nautesa [naudhibiti] mwili wangu, ili
[isije ikatokea kwamba] nikiisha kuwahubiri
wengine, mimi mwenyewe nikawa mtu wa kukataliwa.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 95: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/95.jpg)
1Wakorintho 9:27Hii ni picha ya wazi kwamba;
Hata walio chini ya Neema wanaweza kuhukumiwa
adhabu na pia wanaweza kukosa kuingia katika
Ufalme wa Mungu, mbinguni.
KUSTAHILISHWA PASIPO KUSTAHILI
![Page 96: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/96.jpg)
Kwahiyo, pamoja na kwamba, Mungu Baba ametupa
[ametuhesabia] Utakatifu wa Kristo, bado kila mtoto wa
Mungu anatakiwa kudumisha maisha safi na ya Utakatifu binafsi katika maisha yake.
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 97: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/97.jpg)
IMANI YA USHINDI
USHINDI DHIDI YA DHAMBI
Warumi 8:5-11
![Page 98: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/98.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili,
lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.
![Page 99: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/99.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
6 Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani. 7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu,
wala haiwezi kuitii.
![Page 100: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/100.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. 9 Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu.
Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.
![Page 101: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/101.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu
imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi
hai kwa sababu ya haki.
![Page 102: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/102.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:5-1111 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu
aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili
yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu.
![Page 103: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/103.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Hatua ya kwanza;Warumi 6:5-6, 11-14
11 kujihesabuni mfu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu;
Yaani “Mtakatifu”
![Page 104: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/104.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-1412 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya
miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii
tamaa mbaya.
![Page 105: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/105.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-14 14 Kwa maana dhambi
haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo
chini ya sheria, bali chini ya neema.
![Page 106: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/106.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni
Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’
(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)
![Page 107: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/107.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 “Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
![Page 108: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/108.jpg)
1Yoh 5:4, Rum 8:37
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
![Page 109: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/109.jpg)
KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37
Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha
ya utumwa juu ya dhambi.
![Page 110: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/110.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa
Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya
Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?
![Page 111: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/111.jpg)
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani
![Page 112: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/112.jpg)
BAADA YA DHAMBI
Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
![Page 113: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/113.jpg)
BAADA YA WOKOVU
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
![Page 114: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/114.jpg)
VITA YA MWILI NA ROHO
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
![Page 115: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/115.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa
Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya
Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?
![Page 116: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/116.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21
Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Hivyo, ukikosea
kujiona, utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa
hayo, yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na kukusaidia kushinda dhambi.
![Page 117: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/117.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;
Dhambi itakuwa na mamlaka juu yenu, endapo
mtajihesabu mpo chini ya sheria (torati), na si chini ya
neema.… (ajionavyo mtu nafsini mwake)
![Page 118: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/118.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Mawazo ya UshindiMithali 23:7
‘ajionavyo mtu nafsini mwake (kwenye mawazo yake)
ndivyo alivyo (atakavyokuwa)’
![Page 119: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/119.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;
Njia ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni
kutembea kwa Imani kwamba wewe ni Kiumbe
Kipya (tayari umeshakuwa).
![Page 120: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/120.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI
Hatua za Imani Timilifu
Waebrania 11:1
![Page 121: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/121.jpg)
Marko 11:23-24Ulimwengu wa roho
Tumaini Imani “Nita …” mnayapokea “Nime ….” (sasa)
Kuanza IMANI yatakuwa
maombi (baadaye)
Ulimwengu wa mwili
![Page 122: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/122.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANIHatua Muhimu ya Kwanza
1. Kupata na Kutumia
Neno la Mungu. Waebrania 11:3 Warumi 10:17
![Page 123: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/123.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
2. Kuomba kwa Bidii na Nidhamu ili Kuumba. - Maombi ya Kuumba -
Yakobo 5:17-18, 161Wafalme 18:29-45
![Page 124: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/124.jpg)
3. Usikivu kwa Uongozi wa
Roho MtakatifuWarumi 8:16, 26-27
2Tim 3:16-17
KUTEMBEA KWA IMANI
![Page 125: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/125.jpg)
4.Kubadilisha Mtazamo(a)Kuona tofauti (Machoni)(b)Kuwaza tofauti (Fikra)
Waefeso 1:15-19
KUTEMBEA KWA IMANI
![Page 126: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/126.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI
5. Kuamuru na Kutabiri.- Maombi ya Kufungulia -
Marko 11:23-24Ezekieli 37:1-14
![Page 127: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/127.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-2423 ‘… ukiuambia mlima huu ng’oka, bila mashaka [kwa
uhakika], huku ukiamini kwamba, hayo uyasemayo,
yametokea [tayari, sasa], basi yatakuwa yako [baadaye].’
![Page 128: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/128.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-2424 ‘… Amini Amini
nawaambia, mambo yoyote mwombayo mkisali, aminini
mnayapokea [sasa], nayo yatakuwa yenu [baadaye].’
![Page 129: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/129.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI YA USHINDI
Marko 11:23-24 mnayapokea yatakuwa yenu
(sasa) (baadaye)
Ulimwengu wa Ulimwengu wa kiroho kimwili
![Page 130: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/130.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Mambo Mambo ya ya Kimwili Vs Kiroho (Vitu vinavyo- (Vitu Visivyo- Onekana) Onekana)
![Page 131: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/131.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3
Utaratibu wa Mungu katika kuleta mabadiliko duniani; ni
kwamba, mambo yanayotakiwa kufanyika katika ulimwengu wa kimwili, sharti yafanyike kwanza
katika ulimwengu wa kiroho.
![Page 132: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/132.jpg)
KANUNI ZA KIROHOEbr 11:3, 1Yoh 5:4
Mtu wa Mungu ukitaka kuleta mabadiliko fulani katika ulimwengu wa mwili, ili
utembee kwa ushindi duniani, ni lazima ujue kuutawala
ulimwengu wa roho kwanza.
![Page 133: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/133.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI Siri ya kutembea kwa imani (uhakika) ipo katika kupata
Neno, utakaloliatamia kwa njia ya maombi, ili kuleta mabadiliko
unayoyahitaji (rohoni), kisha utabiri (baada ya kupata uhakika
(imani) rohoni), ili kuyaumba mambo hayo katika U’mwili.
![Page 134: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/134.jpg)
Imani ya Ushindi
Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la
Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
![Page 135: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/135.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-2423 ‘… ukiuambia mlima huu ng’oka, bila mashaka [kwa
uhakika], huku ukiamini kwamba, hayo uyasemayo,
yametokea [tayari, sasa], basi yatakuwa yako [baadaye].’
![Page 136: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/136.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Ufunuo 5:9-10Katika Agano Jipya, Mungu
ametufanya sisi Makuhani na Wafalme katika Ufalme wake, ili kumiliki na kutawala dunia sawa-sawa na mapenzi yake.
![Page 137: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/137.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-1010 Nawe umewafanya hawa
wawe Ufalme na Makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao
wanamiliki dunia.’’
![Page 138: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/138.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Kuhani Mfalme Kuwasiliana na Kuamuru na Mungu ili Kutawala Kuumba mambo mambo katika ktk ulimwengu ulimwengu wa roho. wa mwili.
![Page 139: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/139.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-10Mfalme hutawala kwa
Nguvu ya Neno lake.
Mhubiri 8:4‘Neno la Mfalme ni Amri’
![Page 140: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/140.jpg)
Imani ya UshindiBaada ya kuumba jambo
pamoja na Mungu kiroho (kama Makuhani) Mungu atasubiri tufanye sehemu yetu pia ya
kuamuru (kama Wafalme) ili na yeye afanye sehemu yake, ya kuumba jambo hilo kimwili.
![Page 141: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/141.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Mungu Mfalme
Kuhani Mazingira
![Page 142: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/142.jpg)
USHIRIKA WA MUNGU NA MKRISTO
1Wakorintho 9:6, Warumi 8:28
6 ‘Kwa maana sisi tu watenda kazi pamoja na Mungu …’
28 ‘Katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja na wale
[watu] wampendao …’
![Page 143: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/143.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19,1819 Mambo mtakayoyafunga
duniani, yatafungwa mbinguni, na mambo mtakayoyafungua
duniani, ytafunguliwa mbinguni.
![Page 144: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/144.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Mfano;Utabiri (Uamuru) wa
Nabii EzekieliEzekieli 37:1-14
![Page 145: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/145.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”
ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde
lililozika wafu wa kivita.
![Page 146: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/146.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14 Kwahiyo, kuna wakati, ili
Nguvu za Mungu ziingie kazini, kuvunja upinzani (Nguvu ya dhambi), ni lazima mtu wa
Mungu ajifunze kuamuru na kuagiza jambo hilo kufanyika.
![Page 147: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/147.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19/18:18
Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani (mwilini)
yatafungwa pia mbinguni (rohoni) …
![Page 148: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/148.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Mathayo 16:19/18:18
Mambo mtakayoyafungua (ninyi) duniani (mwilini),
yatakuwa yamefungwa pia mbinguni (rohoni).
![Page 149: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/149.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
1Kor 3:9, Rum 8:28Sisi ni watenda kazi pamoja na
Mungu duniani; na katika mambo yote, Mungu hufanya
kazi pamoja na wale (watu) wampendao, katika kuwapatia
mema (baraka/ushindi).
![Page 150: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/150.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
1Kor 3:9 Rum 8:28Mungu anaweza kufanya kila
kitu pasipo msaada wa binadamu, na alishafanya mengi; lakini alichagua tu
kufanya kazi pamoja na sisi.
![Page 151: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/151.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Mwanzo 1:26-28 Tufanye mtu kwa sura yetu na kwa mfano wetu, ili (wao
binadamu) ndio waende wakatawale dunia na vyote
viijazavyo.
![Page 152: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/152.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Isaya 45:11Haya ndiyo asemayo Bwana
Mwenyezi; niulizeni habari za mambo yajayo, na Kwa habari
ya kazi za mikono yangu, ‘haya niamuruni’.
![Page 153: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/153.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ezekieli 37:1-14Mungu alihitaji “mwanadamu”
ili aweze kutimiza kusudi lake la kuifufua mifupa (jeshi) ya Israeli, kutoka katika bonde
lililozika wafu wa kivita.
![Page 154: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/154.jpg)
Imani ya Ushindi
Kwahiyo, kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie
Neno la Mungu ili kuumba hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile Roho atahitaji uachilie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
![Page 155: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/155.jpg)
Imani ya UshindiBaada ya kuumba jambo
pamoja na Mungu kiroho (kama Makuhani) Mungu atasubiri tufanye sehemu yetu pia ya
kuamuru (kama Wafalme) ili na yeye afanye sehemu yake, ya kuumba jambo hilo kimwili.
![Page 156: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/156.jpg)
Imani ya Ushindi
Hii ni kwasababu Mungu ameweka USHIRIKA kati yake na sisi Binadamu, katika kumiliki na kutawala
mambo ya dunia.
![Page 157: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/157.jpg)
Imani ya UshindiMtu wa Mungu asipofanya
sehemu yake, hali hiyo itamzuia Mungu kufanya sehemu yake.
‘Mambo mtakayoyafunga (ninyi) duniani, na Mungu atayafunga mbinguni …’
Mathayo 16:19
![Page 158: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/158.jpg)
Yohana 11:1-39-45Mungu anatuonyesha
kwamba, sisi kama watoto wa Mungu ‘tuna wajibu’ katika utendaji kazi wa
nguvu za Mungu maishani mwetu.
KUAMURU MATOKEO
![Page 159: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/159.jpg)
Wajibu Wetu Pamoja na Mungu;• Shusha Nyavu (Luka 5:4)• Jaza Maji Mabalasi (Yoh 2:7)• Nenda Kanawe (Yoh 9:7)• Liondoeni Jiwe (Yoh 11:29)• Mfungueni Sanda (Yoh
11:44)
KUAMURU MATOKEO
![Page 160: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/160.jpg)
Imani ya UshindiKumbe Mtu wa Mungu
asipofafunga mambo hayo, Mungu atazuilika kuyafunga,
hata kama alitaka kuyafunga. ‘Mbingu ni mbingu za Bwana, bali NCHI (Dunia) amewapa Wanadamu.’ (Zaburi 115:16)
![Page 161: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/161.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Ili kuvunja nguvu ya dhambi, [kimwili] kwa kutumia Nguvu za Mungu, baada ya toba, mtu wa Mungu atatakiwa kuamuru na kutabiri [Kifalme], mabadiliko anayotamani maishani mwake
katika mwenendo [Kimwili].
![Page 162: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/162.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Ili kuvunja nguvu ya dhambi, [kimwili] kwa kutumia Nguvu za Mungu, baada ya toba, mtu wa Mungu atatakiwa kuamuru na kutabiri [Kifalme], mabadiliko anayotamani maishani mwake
katika mwenendo [Kimwili].
![Page 163: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/163.jpg)
Imani ya Ushindi
Kama vile Roho Mtakatifu alivyohitaji utumie Neno la
Mungu kwa ajili ya uumbaji wa hitaji lako katika ulimwengu wa roho, vile vile atahitaji utumie
Neno kwa ajili ya uumbaji katika ulimwengu wa mwili.
![Page 164: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/164.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
(Warumi 10:17)
‘Imani yenye Nguvu ya kuhamisha milima,
huzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.
![Page 165: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/165.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai,
tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta
mabadiliko)
![Page 166: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/166.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa,
Ulimwengu uliumbwa kwa Neno, hata vitu
vinavyoonekana viliumbwa kwa vitu visivyoonekana.’
![Page 167: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/167.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Timotheo 3:16-17‘Kila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu,
lafaa kwa kuleta mabadiliko ya tabia/mwenendo.’
(mafafanuzi)
![Page 168: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/168.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
NGUVU YA NENOWaebrania 4:12
“Neno la Mungu li hai tena lina Nguvu”
![Page 169: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/169.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa, lakini Roho
anahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena ni
Uzima; kwasababu’
![Page 170: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/170.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai),
kwani mwili (pasipo roho) haufai kitu’
![Page 171: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/171.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
NGUVU YA NENO
Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho
nayo ndio Uzima’
![Page 172: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/172.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2 Timotheo 3:16-17
Andiko + Pumzi = Neno (Hai)
Herufi + Roho = Nguvu
![Page 173: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/173.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Math 16:19, Mark 11:23-24Ili nguvu za Mungu ziingie kazini,
kuvunja upinzani (nguvu ya dhambi), ni lazima mtu wa Mungu ajifunze kutabiri au
kuamuru (kuagiza) jambo hilo kufanyika/kuvunjika.
![Page 174: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/174.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Mathayo 16:19, 18Watu wa Mungu wengi hufeli
kiroho na kimwili kwasababu hawajui
kwamba; Kuna saa ya kuongea na Mungu na kuna saa ya kuongea na milima.
![Page 175: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/175.jpg)
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Marko 11:23-2423 ‘… ukiuambia mlima huu ng’oka, bila mashaka [kwa
uhakika], huku ukiamini kwamba, hayo uyasemayo,
yametokea [tayari, sasa], basi yatakuwa yako [baadaye].’
![Page 176: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/176.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Math 16:19, Mark 11:23-24Dhambi zote zinasukumwa na
roho wa aina fulani nyuma yake. Ikiwa ni ulevi, zinaa, uongo, kiburi, hasira, wivu,
matusi, magomvi, fitina, n.k;tabia zote hizi ni roho.
![Page 177: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/177.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Luka 10:19, Math 16:19Ninawapa amri ya kukanyaga
‘nge’ na ‘nyoka’, na ‘nguvu zote za yule adui’; na
hakuna kitakachowadhuru kabisa.
![Page 178: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/178.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Luka 10:19, Math 16:19
‘Nge’ = nguvu ya maumivuKama vile magonjwa,
umasikini na mateso ya kila namna.
![Page 179: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/179.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Luka 10:19, Math 16:19
‘Nyoka’ = nguvu ya dhambi na nguvu ya uasi
Kama vile; ulevi, zinaa, uongo, kiburi, hasira, wivu, matusi, magomvi, fitina, n.k
![Page 180: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/180.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Luka 10:19, Math 16:19
‘Nguvu zote’ = nguvu za shetani na wakala zake.
Kama vile; uchawi, ulozi, uganga, ushirikina,
matambiko, mila, n.k
![Page 181: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/181.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Luka 10:19, Math 16:19Ninawapa amri ya kukanyaga
‘nge’ na ‘nyoka’, na ‘nguvu zote za yule adui’; na
hakuna kitakachowadhuru kabisa.
![Page 182: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/182.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Yakobo 4:7, 1Pet 5:8-9Mtiini Mungu, mpingeni
shetani, naye atawakimbia; anazunguka-zunguka kama simaba, akitafuta mtu wa
kummeza, muwe thabiti na kumpinga huyo.
![Page 183: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/183.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Mungu Mfalme
Kuhani Mazingira
![Page 184: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/184.jpg)
MAMLAKA YA MKRISTO
Ufunuo 5:9-10Mfalme hutawala kwa
Nguvu ya Neno lake.
Mhubiri 8:4‘Neno la Mfalme ni Amri’
![Page 185: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/185.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Ili kuvunja nguvu ya dhambi, [kimwili] kwa kutumia Nguvu za Mungu, baada ya toba, mtu wa Mungu atatakiwa kuamuru na kutabiri [Kifalme], mabadiliko anayotamani maishani mwake
katika mwenendo [Kimwili].
![Page 186: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/186.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
6. Kusifu, Kuabudu na
Kushukuru2Nyakati 20:1-30
Matendo 16:13-25-36
![Page 187: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/187.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mungu anajua kwamba; Wewe si mkamilifu, lakini
ameahidi kukukamilisha kwa ukamilifu wake.
Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na kumtukuza Mungu kwa ahadi
zake, juu ya kukukamilisha.
![Page 188: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/188.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Hili ndilo Neno la Bwana Zerubabeli [kwako] kusema, si kwa uwezo [wako], wala si kwa nguvu [zako], bali ni kwa Roho yangu, asema BWANA.
(Zekaria 4:6)
![Page 189: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/189.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Zaburi 84:1-4-7‘Heri wale wakaa hemani
mwako, wakuhimidi daima; kwasababu huendelea
kutoka nguvu hata nguvu.’
![Page 190: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/190.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIZaburi 84:1-4-7
‘… wale wanaokaa wakikuhimidi [wakikusifu na kukutukuza] daima; huongezeka kutoka
[kiwango kimoja cha] Nguvu [mpaka kiwango kingine cha]
Nguvu [za Mungu, ili kuwapatia ushindi katika maisha yao].’
![Page 191: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/191.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Zaburi 84:1-4-7Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili)
ni kutembea kwa Imani kwa kumsifu Mungu kabla
hata ya kuona ushindi katika ulimwengu wa mwili.
![Page 192: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/192.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
‘Waimbaji na wanamuziki, walipokuwa kama mtu mmoja, wakamsikizisha Mungu sauti za
nyimbo na muziki wa sifa, ndipo nyumba ya Bwana ikajaa wingu la Utukufu na Nguvu za
Mungu. (2Nyakati 5:13-14)
![Page 193: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/193.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Nyakati 5:13-14Kumsifu Mungu kunapofanyika
vizuri [sawasawa] na viwango alivyotaka Mungu, Mungu
hualiachilia Utukufu wake na Nguvu zake, ili kuleta USHINDI
kwa watu wake.
![Page 194: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/194.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Kwa Mfano (1);
Mfalme Jehoshephat na Jeshi la Shamu 2Nyakati 20:1-31
![Page 195: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/195.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mfalme Jehoshephat, alipokuwa amezungukwa na
maadui, wamemhusuru pande zote; Hakusubiri kuona ushindi kwanza, ndipo aanze kumsifu
na kumtukuza Mungu, …2Nyakati 20:1-31
![Page 196: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/196.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mfalme Jehoshephat, alianza kuimba sifa na utukufu, kabla hata ya kufika kwenye uwanja wa mapambano; aliitambua
nguvu iliyopo katika kumsifu na kumwabudu Mungu;.
2Nyakati 20:1-31
![Page 197: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/197.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Jehoshephat, alijua kwamba, sifa haitoki tu baada ya
ushindi; bali pia, sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi; hivyo inatakiwa kuachiliwa
kabla/wakati wa mapambano.2Nyakati 20:1-31
![Page 198: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/198.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Jehoshephat, akamsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu za
Mungu zikaachiliwa, na maadui zake wakauana wao kwa wao. Israeli wakashinda ile vita bila kurusha upanga wala mkuki.
2Nyakati 20:1-31
![Page 199: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/199.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Na wewe pia, Mungu anajua kwamba, umezungukwa na maadui mbalimbali, [wivu, hasira, wizi, tamaa, zinaa,
kiburi, uongo, umbea n.k.] na wamekuhusuru pande zote,
kama alivyokuwa Jehoshaphat.
![Page 200: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/200.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Sasa basi, usisubiri kuona ushindi ndipo uanze kumsifu na kumwabudu Mungu, Hapana,
anza sasa! Sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi;
hivyo unatakiwa kuachilia sifa, kabla/wakati wa mapambano.
![Page 201: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/201.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Kwahiyo, Jifunze kumsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu
za Mungu zitaachiliwa, na maadui zako [roho za dhambi na uasi] watasambaratishwa kwa Nguvu za Mungu na sio
kwa nguvu zako mwenyewe.
![Page 202: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/202.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Hili ndilo Neno la Bwana Zerubabeli [kwako] kusema, si kwa uwezo [wako], wala si kwa nguvu [zako], bali ni kwa Roho yangu, asema BWANA.
(Zekaria 4:6)
![Page 203: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/203.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Nyakati 5:13-14Kumsifu Mungu kunapofanyika
vizuri [sawasawa] na viwango alivyotaka Mungu, Mungu
hualiachilia Utukufu wake na Nguvu zake, ili kuleta USHINDI
kwa watu wake.
![Page 204: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/204.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mfn: Wewe si mkamilifu, lakini Mungu ameahidi kukukamilisha
kwa ukamilifu wake.Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na
kumtukuza Mungu kwa ahadi zake, juu ya kukukamilisha.
1Petro 1:15-16
![Page 205: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/205.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Kwa Mfano (2);
Paulo na Sila katika Kifungo cha Gereza Matendo 16:16-31
![Page 206: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/206.jpg)
Matendo 16:16-31
Paulo na Sila walijikuta kifungo, wamezuiliwa uhuru wao na
gereza la kirumi. Lakini hawakusubiri wapate uhuru na ushindi, ndipo waanze kumsifu Mungu, Hapana! Walianza sifa
wakiwa bado kifungoni.
![Page 207: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/207.jpg)
Matendo 16:16-31
Panapo usiku wa manane, walipokuwa wakiimba na
kuomba, ndipo Utukufu na Nguvu za Mungu,
zikatetemesha nchi, na milango ya gereza ikafunguka na pingu zilizowafunga, zikawaanguka.
![Page 208: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/208.jpg)
Matendo 16:16-31
Paulo na Sila, hawakumkasirikia Mungu, kwa
vile alivyoacha wakapigwa mijaredi na kufungwa gerezani,
bila hatia; bali waliweka maumivu pembeni na
kujimimina katika sifa na ibada.
![Page 209: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/209.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Na wewe pia, Mungu anajua kwamba, umefungwa katika
pingu na magereza ya dhambi na uasi, [wivu, hasira, wizi,
zinaa, kiburi, uongo, n.k.] na umekamatwa pande zote,
kama alivyokuwa Paulo na Sila.
![Page 210: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/210.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Sasa basi, usisubiri kuona ushindi ndipo uanze kumsifu na kumwabudu Mungu, Hapana,
anza sasa! Sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi;
hivyo unatakiwa kuachilia sifa, kabla/wakati wa mapambano.
![Page 211: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/211.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Kwahiyo, Jifunze kumsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu
za Mungu zitaachiliwa, na maadui zako [roho za dhambi na uasi] watasambaratishwa kwa Nguvu za Mungu na sio
kwa nguvu zako mwenyewe.
![Page 212: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/212.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Hili ndilo Neno la Bwana Zerubabeli [kwako] kusema, si kwa uwezo [wako], wala si kwa nguvu [zako], bali ni kwa Roho yangu, asema BWANA.
(Zekaria 4:6)
![Page 213: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/213.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mungu anajua kwamba; Wewe si mkamilifu, lakini
ameahidi kukukamilisha kwa ukamilifu wake.
Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na kumtukuza Mungu kwa ahadi
zake, juu ya kukukamilisha.
![Page 214: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/214.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Matendo 16:16-31Kumsifu Mungu kunapofanyika
vizuri [sawasawa] na viwango alivyotaka Mungu, Mungu
hualiachilia Utukufu wake na Nguvu zake, ili kuleta USHINDI
kwa watu wake.
![Page 215: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/215.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Njia;
Namna ya Kumsifu Mungu2Nyakati 20:1-31
Matendo 16:16-31
![Page 216: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/216.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
(i) Jifunze kuisifia damu ya Yesu. ‘… damu yake yatusafisha na
dhambi zote’ [makosa]. ‘tuna ukombozi kwa damu
yake’ [vifungo].
1Yohana 1:7, Waefeso 1:7
![Page 217: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/217.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
(ii) Jifunze kumsifia Roho wa Yesu‘Nira/pingu huvunjika kwa
kutiwa mafuta [Roho wa Yesu].’‘Alipo Roho wa Mungu, hapo
pana uhuru [kweli-kweli].’
Isaya 10:27, 2Wakorintho 3:17
![Page 218: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/218.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
(iii) Jifunze kulisifia Jina la Yesu.‘Jina la Yesu ndilo Jina liotalo majina yote [lenye mamlaka].’‘Kwa Jina la Yesu, kila pepo linatoka [roho, tabia chafu].’
Wafilipi 2:9-11, Marko 16:16-18,
![Page 219: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/219.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
(iv) Jifunze kulisifia Neno la Yesu.‘Neno la Yesu li hai tena lina
nguvu [ya kuumba na kutenda].’‘Uwatakase kwa ile Kweli,
Neno lako ndio Kweli.’
Waebrania 4:12, Yohana 17:17
![Page 220: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/220.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Wewe si mkamilifu, lakini Mungu ameahidi kukukamilisha
kwa ukamilifu wake.Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na
kumtukuza Mungu kwa ahadi zake, juu ya kukukamilisha.
1Petro 1:15-16
![Page 221: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/221.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
(v) Jeshi la Malaika wa Yesu.Silaha nyingine ya ushindi katika mashindano tuliyonayo, ni Jeshi la malaika wa Yesu. Ila hatuwezi kuwasifu malaika, kwani wao, ni wenzetu katika kumsifu Mungu. Ufunuo 4:8-11, Ufunuo 5:11-14
![Page 222: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/222.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Kumbuka, Sifa ni silaha mojawapo inayoleta ushindi;
hivyo unatakiwa kuachilia sifa, kabla/wakati wa mapambano.Usisubiri kuona ushindi ndipo
uanze kumsifu na kumwabudu Mungu, Hapana, anza sasa!
![Page 223: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/223.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mungu anajua kwamba; Wewe si mkamilifu, lakini
ameahidi kukukamilisha kwa ukamilifu wake.
Hivyo Jenga tabia ya kumsifu na kumtukuza Mungu kwa ahadi
zake, juu ya kukukamilisha.
![Page 224: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/224.jpg)
1Petro 1:15-19
15 Bali kama Yeye aliyewaita alivyo Mtakatifu, ninyi nanyi
iweni Watakatifu katika mwenendo wenu wote, …
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 225: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/225.jpg)
1Petro 1:15-19
16 kwa maana imeandikwa: “Mtakuwa Watakatifu, kwa kuwa Mimi ni Mtakatifu.”
USHINDI JUU YA DHAMBI
![Page 226: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/226.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Kwahiyo, Jifunze kumsifu Mungu sawasawa, ndipo Nguvu
za Mungu zitaachiliwa, na maadui zako [roho za dhambi na uasi] watasambaratishwa kwa Nguvu za Mungu na sio
kwa nguvu zako.
![Page 227: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/227.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Zaburi 84:1-4-7‘Heri wale wakaa hemani
mwako, wakuhimidi daima; kwasababu huendelea
kutoka nguvu hata nguvu.’
![Page 228: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/228.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBIZaburi 84:1-4-7
‘… wale wanaokaa wakikuhimidi [wakikusifu na kukutukuza] daima; huongezeka kutoka
[kiwango kimoja cha] Nguvu [mpaka kiwango kingine cha]
Nguvu [za Mungu, ili kuwapatia ushindi katika maisha yao].’
![Page 229: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/229.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Zaburi 84:1-4-7Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili)
ni kutembea kwa Imani kwa kumsifu Mungu kabla
hata ya kuona ushindi katika ulimwengu wa mwili.
![Page 230: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/230.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
7. Kufanya Tendo la
Imani.Yakobo 2:17-18, 26
![Page 231: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/231.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili
pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,
pia imekufa.
![Page 232: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/232.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26
Baada ya kupata Uhakika (Imani) Mungu atakutaka uiingize imani
yako katika matendo, ili kuachilia NGUVU za Mungu, kuumba
ukamilifu wake katika maisha yako, kwenye Kimwili.
![Page 233: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/233.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za
kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza
kukuingiza ktk kufanya makosa.
![Page 234: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/234.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26
Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,
kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-
isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.
![Page 235: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/235.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Ibrahimu;
Kubadili Majina yao,Abramu – Ibrahim
Sarai – Sara Mwanzo 17:1-22
![Page 236: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/236.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Nabii Eliya;
Kutawanya Mkutano kabla ya ishara yoyote ya
mvua kuonekana1Wafalme 18:41-43
![Page 237: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/237.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Yesu;
Kuamuru Wagonjwa Kutoa Sadaka ya
shukurani kabla ya kuona uponyaji.
Luka 17:11-14-19
![Page 238: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/238.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mfano wa Mitume;
Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya
kuona uponyaji.Matendo 3:1-10-16
![Page 239: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/239.jpg)
KUTEMBEA KWA IMANI
Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kununua nepi na beseni kabla ya
kuona dalili za mimbaKununua suti ya harusi kabla ya
kumpata Bwana ArusiKujenga gereji ya gari kabla ya
kupata gari
![Page 240: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/240.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26
Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,
kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-
isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.
![Page 241: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/241.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mfano (1);
Uponyaji wa Kilema Hekaluni, Mlangoni.
Matendo 3:1-10
![Page 242: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/242.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10
Uponyaji wa Kilema huyu, ulishaumbika katika ulimwengu wa roho, na Petro na Yohana,
walishuhudiwa hilo; ndio maana walimwambia asimame na
kutembea.
![Page 243: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/243.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10
Petro alipoona huyu mtu anachelewesha uponyaji wake,
kwa kutofanya kitendo alichoambiwa; Petro alijua
Muujiza huu unaweza kupotea, kwasababu ya kutoamini kwake.
![Page 244: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/244.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10
Ndio maana Petro akalazimika kumkashika mkono na
kumnyanyua na kumtembeza, (aiingize imani katika matendo)
ili kuruhusu utendaji kazi wa Nguvu za Mungu, katika mwilini.
![Page 245: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/245.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10
Kule kujaribu kutembea na kupepesuka kwa huyu kilema,
kuliruhusu Nguvu za Mungu kuanza kazi ya ukamilifu wa
miguu yake, kwasababu, Imani imeingizwa katika matendo.
![Page 246: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/246.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10
Ajabu ni kwamba, Nguvu za Mungu, hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule,
katika ulimwengu wa mwili, mpaka imani ilipoingizwa
katika matendo.
![Page 247: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/247.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMatendo 3:1-10
Na wewe pia, si ajabu umekuwa ukimwamini Mungu akufungue
kutoka katika tatizo la aina fulani [Mfano; dhambi na uasi]; usikae
ukisubiri nguvu za Mungu zija kukutoa hapo, bali chukua hatua.
![Page 248: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/248.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za
kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza
kukuingiza ktk kufanya makosa.
![Page 249: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/249.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mfano (2);
Kusimamishwa kwa Maji ya Mto Jordan.Joshua 3:1-17
![Page 250: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/250.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17
Wana wa Israeli, walitaka sana kwenda kumalizia safari yao ya kutoka Misri [Utumwani], kwa
kuuvuka mto Jordan, na kuirithi nchi takatifu, iliyojaa maziwa,
asali na unono mwingi.
![Page 251: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/251.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17
Lakini kikwazo kingine, kilikuwa ni namna ya kuuvuka mto
Jordan. Mungu akawaambia, Nguvu zangu zipo tayari
kuwasaidia kuvuka, ili mkairithi nchi ya unono mwingi, lakini …
![Page 252: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/252.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17
‘… Lakini waambie Makuhani, wakanyage maji kwanza, wakiwa wamelibeba lile
sanduku la agano; ndipo na mimi nitaingiza nguvu zangu
kazini, kuzuia maji.
![Page 253: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/253.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiJoshua 3:1-17
Joshua akafanya kama Bwana alivyomwagiza, na maji ya mto
Jordan, yakasimama kama mlima upande wa juu. Na wana
wa Israeli, wakavuka mto wakipita mahali pakavu.
![Page 254: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/254.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiJoshua 1:1-17
Tunaona wazi kwamba; Nguvu za Mungu,
hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule, katika ulimwengu
wa mwili, mpaka imani yao ilipoingizwa katika matendo.
![Page 255: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/255.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26
Kuna wakati, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,
kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-
isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.
![Page 256: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/256.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Joshua 1:1-17, Yakobo 2:17, 26 Na wewe najua kuna maisha unayatamani sana, maisha ya usafi na utakatifu, unaoshinda
kila aina ya dhambi na uasi. Lakini mbele yako kuna tabia na maisha yanayokuzui, kama mto
Jordan kwa wana wa Israeli.
![Page 257: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/257.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Joshua 1:1-17, Yakobo 2:17, 26 Nafahamu ya kwamba,
umekuwa ukimwomba Mungu na ukimsubiri Mungu
akufungulie njia ya kushinda majaribu na dhambi
zinazokuzunguka na kukuzui kufikia utakatifu wa kweli …
![Page 258: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/258.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Joshua 1:1-17, Yakobo 2:17, 26… wenye kila aina ya baraka na
unono ambao Mungu amekuahidi. Nataka kikwambie kwamba, inawezekana njia ya
kuvuka na kushinda majaribu na dhambi zinazokuzunguka,
inakusubiri wewe na sio Mungu.
![Page 259: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/259.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiJoshua 1:1-17
Tumeona wazi kwamba; Nguvu za Mungu,
hazikuachiliwa kukamlisha muujiza ule, katika ulimwengu
wa mwili, mpaka imani yao ilipoingizwa katika matendo.
![Page 260: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/260.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26
Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,
kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-
isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.
![Page 261: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/261.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za
kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza
kukuingiza ktk kufanya makosa.
![Page 262: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/262.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Kwa Mfano;Huwezi kukaa unamlilia Mungu
akusaidie usivute sigara tena, wakati unatembea na kiberiti
mfukoni. Utajitia kwenye majaribu mwenyewe.
![Page 263: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/263.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Kwa Mfano;Huwezi kukaa unamlilia Mungu
akusaidie usinywe pombe tena, wakati unashinda Baa na
umezungukwa na pombe. Unajitia kwenye majaribu.
![Page 264: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/264.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Huwezi kukaa unamlilia Mungu akusaidie usifanye uzinzi tena,
wakati mnashinda wawili wenyewe, nyuma ya mlango uliofungwa. Unajitia kwenye
majaribu wenyewe.
![Page 265: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/265.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Huwezi kukaa unamlilia Mungu akusaidie usifanye maovu tena, wakati unashinda na
marafiki wanaoishi maishi ya uovu, uasi na anasa. Lazima
utatumbukia tu katika maanguko.
![Page 266: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/266.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiHuwezi kukaa unamlilia Mungu akusaidie usipate mke au mume
mtarajiwa wa ajabu-ajabu, wakati unaukakasi wa kwenda
kanisani au makusanyiko ya watakatifu. Lazima utatumbukia tu kwa wayebusi na wagirigashi.
![Page 267: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/267.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za
kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza
kukuingiza ktk kufanya makosa.
![Page 268: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/268.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mithali 1:10 ‘Mwanagu, wenye
dhambi wakikushawishi, wewe usikubali.’
![Page 269: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/269.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Wakorintho 6:14-1814 ‘Msifungiwe nira [vifungo] pamoja na wasio amini, kwa jinsi isivyo sawasawa [i.e. ipo jinsi iliyo sawasawa ya kuishi
na wasio amini], ...’
![Page 270: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/270.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Wakorintho 6:14-1814 … ‘Kwa maana, pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru
na giza?
![Page 271: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/271.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Wakorintho 6:14-1815 ‘Tena pana ulinganifu gani
kati ya Kristo na Beliari [Ufisadi, Uchafu]? Au, yeye aaminiye, ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
[Hawana sehemu]
![Page 272: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/272.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Wakorintho 6:14-1816 ‘Tena pana mapatano gani
kati ya hekalu la Mungu [mwili wako] na sanamu [ushetani]?
Kwa maana sisi [tuliookoka] tu hekalu la Mungu aliye hai, …’
![Page 273: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/273.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Wakorintho 6:14-1816 … ‘Kama Mungu alivyo-sema, ya kwamba, Nitakaa
ndani yako, na kati yao nitatembea; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa
watu wangu.
![Page 274: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/274.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Wakorintho 6:14-1817 ‘Kwahiyo, tokeni kati yao,
mkatebgwe nao, asema Bwana; msiguse kitu kilicho
kichafu, nami nitawakaribisha’.
![Page 275: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/275.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
2Wakorintho 6:14-1818 ‘[Ndipo] Nitakuwa Baba
kwenu, nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na
wa kike, Asema BWANA MWENYEZI
![Page 276: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/276.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiYakobo 2:17, 26
Kuna wakatia, Nguvu za Mungu, haziachiliwi katika maisha yetu,
kukamlisha muujiza katika ulimwengu wa mwili tunayo-
isubiria kwa hamu, mpaka tunapochuka hatua za kutenda.
![Page 277: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/277.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za
kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza
kukuingiza ktk kufanya makosa.
![Page 278: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/278.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Njia za Kujiepusha na Vishawishi;①Weka Mipaka (Stop) Aamua na
Usiivuke mipaka hiyo tena.②Tafuta Marafiki wazuri, na
badilisha mtindo wa maisha.③Inapobidi, Kimbia [Ondoka,
Usiende tena, kwa muda mrefu].
![Page 279: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/279.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiMathayo 5:29
Jicho lako la kuume, likikukosesha, ling’oe na kulitupa mbali nawe; kwa
maana ni bora kupoteza kiungo kimoja, kuliko kwenda jehanum
ukiwa na mwili mzima wenye viungo kamili.
![Page 280: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/280.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za
kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza
kukuingiza ktk kufanya makosa.
![Page 281: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/281.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mfano (3);
Jaribu la Yusufu na Mke wa Waziri Mkuu [Potifa]
Mwanzo 39:1-20 (12)
![Page 282: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/282.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20
Kwa jinsi Yusufu, alivyokuwa mzuri wa sura na umbo, mke wa Potifa, akamtamani na kumtaka kulala naye kwa uzinzi. Akafanya hivyo siku nyingi, siku kwa siku, lakini Yusufu hakumpa nafasi,
wala kuongea naye.
![Page 283: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/283.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiMwanzo 39:1-20
Japo jaribu lilikuwa zito, lakini Yusufu hakuweza kujiepusha na mazingira yale kwasababu ndiko
alipokuwa amepangiwa kama eneo lake la kazi, yeye kama mtumwa tu na si mwajiriwa
ambaye angeweza kuacha kazi.
![Page 284: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/284.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa
rahisi, kwasababu;1. Hakuweza kujiepusha kwani ndiko alipokuwa amepangiwa
kama eneo lake la kazi.
![Page 285: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/285.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa
rahisi, kwasababu;2. Yeye Yusufu alikuwa MTUMWA, mtu maskini,
asiye na matumaini ya kuja kutoka na kuwa mtu huru
tena.
![Page 286: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/286.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa
rahisi, kwasababu;3. Hakupendwa na House-girl,
alipendwa na MKE WA WAZIRI MKUU, maarufu,
mzuri na tajiri Namba Mbili, katika Misri yote.
![Page 287: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/287.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa rahisi, kwasababu;
4. Yusufu alikuwa Mseja (Bachelor) yaani hana ndoa, (na kiafya ni mzima) hivyo
hana binadamu wa kumtenda kosa la kutoka nje ya ndoa.
![Page 288: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/288.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa
rahisi, kwasababu;5. Walikuwa wamebaki wao wawili tu katika chumba cha
ndani cha Mkuu wa Nchi.(Siri Kuu – Salama)
![Page 289: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/289.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20
Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa rahisi, kwasababu;
6. Yusufu angeweza kujitetea kwamba, Kosa si lake; kwamba si yeye aliyemtaka mke wa mtu,
bali ni mke wa mtu kamtaka Yusufu.
![Page 290: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/290.jpg)
Hatua za Imani ya Ushindi
Mwanzo 39:1-20Jaribu hili kwa Yusufu halikuwa
rahisi, kwasababu;7. Yusufu alitishiwa kupigiwa
kelele za ‘ubakaji’, tena ‘ubakaji’ kwa mke wa Waziri Mkuu. Alijua ni Kifo kinakuja!
![Page 291: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/291.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20
Kwa wengine wasio na hofu ya Mungu, kwasababu ya umaskini na ukame wa ‘kimapenzi’ katika
maisha yao, si ajabu wangesema;
‘Ooh! Mungu anipe nini sasa …Baraka zenyewe si ndio hizi !!!’
![Page 292: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/292.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20
Lakini pamoja na ‘fursa’ zote hizo, Yusufu alisema ‘Nitamtendaje Mungu wangu, dhambi kubwa
namna hii?’ Kumbe Yusufu, alitambua nafasi ya Mungu;
Japo hana mke wa kumtubia, lakini alijua ana Mungu wa
Kumtubia.
![Page 293: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/293.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20
Biblia inasema, Yusufu akakimbia na kusema kama Shad, Mesh na Abed, kwamba; ‘liwalo na liwe,
‘Siwezi kumtenda Mungu wangu, dhambi kubwa namna
hii?’ Yusufu, alitambua nafasi ya Mungu, katika maisha yake’.
![Page 294: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/294.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiDanieli 3:1-20
Shad, Mesh na Abed wakasema, ‘Mungu anaweza kutuokoa na
mkono wako ee Mfalme na huu moto pia. Lakini tukifa, na
tufie mikononi mwa Mungu wetu kuliko kumtenda dhambi
hii’.
![Page 295: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/295.jpg)
Hatua za Imani ya UshindiMwanzo 39:1-20Biblia inasema;
Yusufu ‘akatimua mbio’
akisema; ‘liwalo na liwe, ‘Siwezi kumtenda Mungu wangu,
dhambi kubwa namna hii?’
![Page 296: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/296.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiMathayo 5:29
Jicho lako la kuume, likikukosesha, ling’oe na kulitupa mbali nawe; kwa
maana ni bora kupoteza kiungo kimoja, kuliko kwenda jehanum
ukiwa na mwili mzima wenye viungo kamili.
![Page 297: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/297.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi
Mwanzo 39:1-20Huwezi kukaa unamlilia Mungu
akusaidie usifanye uzinzi tena, wakati unakubali kutengeneza mazingira ya kushikwa-shikwa,
wakati eti unajidai kukemea kimoyo-moyo!
![Page 298: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/298.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi
Mwanzo 39:1-20Kuna dhambi za kukemea na
kuna dhambi za kukimbia.Huwezi kuwa gangwe mbele ya
dhambi ukamshinda Samsoni na Mfale Sulemani.
Kimbia wewe, acha utani!
![Page 299: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/299.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi
Mwanzo 39:1-20Itakusaidia nini wewe kuupata
ulimwengu wote, unapata hasara ya roho yako? Halafu
unakufa na unakwenda jehanum ya moto?(Mathayo 16:26)
![Page 300: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/300.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi
“Kwani, atafaika nini mtu, akiupata ulimwengu wote, na kupata hasara ya nafsi yake?Au Mtu atatoa nini badada ya
nafsi yake?”Mathayo 16:26
![Page 301: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/301.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi
32 Kwa maana mlistahimili mashindano makubwa ya
maumivu 33 pindi mlipoteswa kwa mashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale
waliotendewa hayo, … (Waebrania 10:34)
![Page 302: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/302.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi… mliwaonea huruma wale
waliokuwa katika vifungo, tena mkakubali kwa furaha,
kunyang’anywa mali zenu, mkijua kwamba, nafsini mwenu,
mna mali iliyo njema zaidi, idumuyo. (Waebrania 10:34)
![Page 303: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/303.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi‘… Kwa kitambo kidogo,
mmehuzunishwa kwa majaribu ya aina mbalimbali, ila kwa sasa
mnafurahi sana … Kujaribiwa kwa imani yenu, kwasababu ina
thamani kuu kuliko dhahabu ipoteayo. (1Petro 1:5-7)
![Page 304: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/304.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi4 ‘Hamjafanya vita [na dhambi
hata kumwagika damu, mkishindana na dhambi. 5 Tena mmeyasahau yale maonyo. Basi usizimie moyo, ukikemewa naye
6 yeye ambaye Bwana humpenda, humwadhibu.
(Waebrania 12:4-6)
![Page 305: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/305.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi25 ‘Je! Hamjui ya kuwa wale
washindanano katika michezo, hujizui katika yote? Wao hufanya
hivyo ili wapokee taji iharibikayo, lakini sisi hujizuia na
kushinda, ili tupokee taji isiyoharibika. (1Korintho 9:24-25)
![Page 306: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/306.jpg)
Hatua za Imani ya UShindi
35 ‘… Basi [kama vile Shad, Mesh, Abed na Yusufu]
msiutupe Ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu [kuliko dhahabu ya dunaia ipoteayo]’.
(Waebrania 10:34-35)(1Petro 1:5-7)
![Page 307: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/307.jpg)
Hatua za Imani ya UShindiYakobo 2:17-18
Njia mojawapo ya kuvunja ‘sheria ya dhambi’ (kimwili) ni kuchukua hatua za kimwili za
kujitenga na kuepuka mazingira hatarishi, yanayoweza
kukuingiza ktk kufanya makosa.
![Page 308: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/308.jpg)
Hatua za Ushindi Juu ya Dhambi
Yakobo 2:17, 26Kwa maana, kama mwili
pasipo roho imekufa, vivyo hivyo, imani pasipo matendo,
pia imekufa.
![Page 309: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/309.jpg)
Hatua za Imani Timilifu(1)Kulipata Neno (Warumi 10:17)(2)Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3)Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4)Kubadilisha Mtazamo (Efe 1:18-19)(5)Kuamuru na Kutabiri (Mark 11:23)(6)Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(7)Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1-9)
![Page 310: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/310.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
![Page 311: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/311.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Roho zetu zina uwezo wa Ki-Mungu wa kutawala miili yetu
katika maisha ya Utakatifu, ni ile hali ya kukosea kujiona, ndicho kitu kinachozima utendaji kazi
wa Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo.
![Page 312: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/312.jpg)
IMANI YA USHINDI
USHINDI DHIDI YA DHAMBI
Warumi 8:5-11
![Page 313: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/313.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
5 Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili,
lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.
![Page 314: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/314.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
6 Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani. 7 Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu,
wala haiwezi kuitii.
![Page 315: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/315.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
8 Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. 9 Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu.
Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.
![Page 316: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/316.jpg)
KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:5-11
10 Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu
imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi
hai kwa sababu ya haki.
![Page 317: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/317.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 8:5-1111 Nanyi ikiwa Roho wa Mungu
aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili
yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu.
![Page 318: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/318.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI
Hatua ya kwanza;Warumi 6:5-6, 11-14
11 kujihesabuni mfu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu;
Yaani “Mtakatifu”
![Page 319: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/319.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-1412 Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya
miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii
tamaa mbaya.
![Page 320: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/320.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-14 14 Kwa maana dhambi
haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo
chini ya sheria, bali chini ya neema.
![Page 321: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/321.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni
Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’
(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)
![Page 322: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/322.jpg)
HATUA ZA IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 “Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,
kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
![Page 323: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/323.jpg)
1Yoh 5:4, Rum 8:37
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
![Page 324: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/324.jpg)
KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37
Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha
ya utumwa juu ya dhambi.
![Page 325: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/325.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa
Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya
Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?
![Page 326: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/326.jpg)
KABLA YA DHAMBI (ANGUKO)
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia NafsiShetani
![Page 327: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/327.jpg)
BAADA YA DHAMBI
Msaada Ukakatika Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani
![Page 328: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/328.jpg)
BAADA YA WOKOVU
(Utukufu) Roho Mt. Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
![Page 329: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/329.jpg)
VITA YA MWILI NA ROHO
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
![Page 330: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/330.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Warumi 8:5-12 Ikiwa roho zetu zina uwezo wa
Ki-Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya
Utakatifu, ni kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa
Nguvu za Mungu unaowezesha ushindi huo?
![Page 331: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/331.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21
Imani ni uhakika wa kazi ya Yesu msalabani. Hivyo, ukikosea
kujiona, utakosea kujiwaza; na utakosea kuongea. Makosa
hayo, yatazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu unaohusika na kukusaidia kushinda dhambi.
![Page 332: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/332.jpg)
KANUNI ZA KIROHO
Warumi 6:5-6, 11-14 Hii ndio kusema;
Dhambi itakuwa na mamlaka juu yenu, endapo
mtajihesabu mpo chini ya sheria (torati), na si chini ya
neema.… (ajionavyo mtu nafsini mwake)
![Page 333: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/333.jpg)
UTU MPYA WA KRISTO
Warumi 8:5-12Ikiwa roho zetu zina uwezo wa Ki-
Mungu wa kutawala miili yetu katika maisha ya Utakatifu, ni
kitu gani basi kinazima utendaji kazi wa Nguvu za Mungu
unaowezesha ushindi huo?
![Page 334: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/334.jpg)
KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37
Pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kuwa ushindi wetu sisi tuaminio; lakini bado waumini wengi tunaishi maisha
ya utumwa juu ya dhambi.
![Page 335: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/335.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBI1Yohana 5:4, Mathayo 17:19-21
Moja ya sababu, kwanini watu wa Mungu wanashindwa na
dhambi, ni kutokana na watu wa Mungu kutozingatia Kanuni za
Sheria ya Roho na Uzima.(Warumi 8:1-2)
![Page 336: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/336.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBISheria ya Roho wa Uzima
(Warumi 8:1-2) 1. Kula Vizuri Kiroho (1Pet 2:2)
Mwili wako unashindana na roho; mwenye nguvu zaidi
[anayelishwa chakula chake zaidi] ndiye atakayemtawala
mwenzake (Gal 5:16-23).
![Page 337: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/337.jpg)
VITA YA MWILI NA ROHO
Utukufu (Msaada) Mungu Mwili Roho Dunia Nafsi Shetani (Rum 8:9-11)
![Page 338: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/338.jpg)
USHINDI JUU YA DHAMBISheria ya Roho wa Uzima
(Warumi 8:1-2)
1. Kula Vizuri Kiroho (1Pet 2:2)2. Epuka Vishawishi (Mith1:10)3. Vunja roho ya Utumwa wa dhambi na matezo. (Isa 52:2)
![Page 339: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/339.jpg)
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-41 ‘Kila mtu anayeamini kwamba, Yesu Kristo ni
Mwana wa Mungu, amezaliwa na Mungu…’
(Zab 82:6, Yoh 10:34-36)
![Page 340: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/340.jpg)
IMANI YA USHINDI
1Yohana 5:1-44 Kwa maana, kila kitu kilichozaliwa na Mungu,
huushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda, kuushindako
ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”
![Page 341: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/341.jpg)
IMANI YA USHINDI
Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano
wa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asili
ya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani
maishani mwako.
![Page 342: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/342.jpg)
NGUVU LA NENO LA MUNGU
Kanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani yako, kwasababu, utendani kazi wa mkono wa Mungu maishani
mwako unategemea sana kiwango cha nguvu zake, kinachotenda kazi
ndani yako.
![Page 343: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/343.jpg)
Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.
![Page 344: Mwl . Mgisa Mtebe +255-713-497-654 mgisamtebe](https://reader033.vdocuments.net/reader033/viewer/2022050615/568159a2550346895dc6f7a2/html5/thumbnails/344.jpg)
Kwa mawasiliano zaidi,Mwl. Mgisa Mtebe
(Christ Rabbon Ministry)
P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.
+255 713 497 654+255 783 497 654
www.mgisamtebe.org