njinsi ya kushinda roho ya tamaa

37
NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Upload: colin

Post on 12-Jan-2016

350 views

Category:

Documents


20 download

DESCRIPTION

NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA. SEHEMU YA 1. NJINSI KUSHINDA TAMAA YA MWILI. MAMBO MUHIMU SEHEMU YA 1. Tamaa ya Mwili nini ? Ni msukumo wa mwili unaokufanya umtamani mwana mke / mume kinyume na utaratibu wa Mungu . Tendo la ndoa ni ndani ya ndoa tu. Tamaa si upenda. Tamaa ni dhambi. - PowerPoint PPT Presentation

TRANSCRIPT

Page 1: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

NJINSI YA KUSHINDA ROHO

YA TAMAA

Page 2: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

SEHEMU YA 1

NJINSI KUSHINDA TAMAA YA MWILI

Page 3: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

MAMBO MUHIMU SEHEMU YA 1

Tamaa ya Mwili nini?•Ni msukumo wa mwili

unaokufanya umtamani mwana mke/mume kinyume na utaratibu wa Mungu.• Tendo la ndoa ni ndani ya

ndoa tu.

Page 4: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Tamaa si upenda

•Tamaa ni dhambi

Page 5: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

NAMNA YA KUSHINDA DHAMBI

1.Sulubisha mwili na tamaa zake. 2.Tunza usafi wa mawazo yako3.Juzuie na uwe na Kiasi4.Usiamshe tamaa za mwili5.Roho Mtakatifu akutawale

Page 6: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

NJISI YA KUSHINDA TAMAA SEHEMU YA

PILI 2

Page 7: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

NJINSI YA KUSHINDA ROHO

YA TAMAA

Page 8: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

YAKOBO 1:14-15• “ 14 Lakini kila mtu

hujaribiwa anapovutwa na kudanganywa na tamaa

yake mwenyewe. 15 Kisha tamaa hiyo ikisha chukua mimba, huzaa dhambi; na

dhambi ikisha komaa, huzaa mauti.”

Page 9: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

ROHO YA TAMAA NINI?

• Ni tamaa za mwili ambozo si za kawaida,

zinazo mtawala mtu kwa nguvu za roho mchafu.

Page 10: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

• Humufanya mtu kufanya mambo ambayo si ya kawaida.• Baba kubaka mtoto wake•Mtu kufanya mapemzi na

mbwa. N.k• Kila dhambi ina roho mchafu

nyuma yake

Page 11: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

• Evil spirits cannot enter a person unless they are given permission or find an open door into your life.

Page 12: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

NI MAMBO GANI HULETA ROHO YA

TAMAA YA MWILI?

Page 13: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

1.UPOTOSHAJI KATIKA FIKIRA

•Nini maana ya upotoshaji?a) Ni maana halisi ya litu au jambo

iliyo potoshwa au kuchakachuliwa

b)Ni vitendo vya ngono ambavo si vya kawaida na kinyume na neno la Mungu.

Page 14: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Romans 1:21-28 (SUV)• 21 kwa sababu, walipomjua

Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala

kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo

yao yenye ujinga ikatiwa giza.

•Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;

Page 15: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Ms 22-23•Wakijinena kuwa wenye

hekima walipumbazika; wakaubadili utukufu wa

Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu

aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya

vitambaavyo.

Page 16: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Verse 24-25

Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima

miili yao. Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo,

wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa

milele. Amina

Page 17: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Msatali 26•Hivyo Mungu

aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu,

hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi

yasiyo ya asili;

Page 18: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Mstali wa 27•wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa,

wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao

yaliyo haki yao

Page 19: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Mstali wa 28Na kama walivyokataa kuwa

na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha

wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.

Page 20: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

• Walimjua Mungu wakachugua kutomwabudu. 21• Hawakutaka kufuata maagizo ya

Mungu. 28 • Wakabadirishana ukweli kwa

uongo. 23

Page 21: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Walipotoka•Wakawa wajinga na

fahamu zao zikatiwa giza. 21 •Walipumbazika.22•Roho ya tamaa

ikawatawala. 26

Page 22: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

UPOTOSHWAJI KATIKA TENDO LA NDOA

1.Ushoga• Wana ndoa wabadilisha matumizi

ya asili kati ya mke na mme.. • Wanaume wakataka kuoa

wamaume• Na wamawake kwa wanawake

Page 23: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

• Ushoga si kitu cha kuzaliwa nacho bali ni roho chafu. • Ni ngone iliyojengwa kwenye

fikira• Hutokana na roho ya ukengeufu.

Page 24: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

•You can over come it by accepting the truth•Undo all the lies of the

devil•Get somebody to help you

Page 25: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

2. PORNOGRAPHPicha au Vedeo za ngono

•Neno la kiyunani (pornographia), Hutokana na neno Kiyunani (pornē

“Kahaba" na porneia “ukahaba), na (graphein kuandika au Kurekodi",

"graph") Ikiwa na maana ya Picha au Kielelezo cha ukahaba au Kahaba"

Page 26: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Wagalatia 5:19

Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, (porneia)

uchafu, ufisadi,

Page 27: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

• Kuangalia picha za ngono ni dhambi. • Heleta pepo la ngono• Hewezi kuacha mpaka Yesu

akuweke huru• Ukiwa kwenye ndoa huanza

kutoka inje ya ndoa

Page 28: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

3. MASTERBATION. PUNYETO Galatians 5:16

•Basi nasema, Enendeni kwa

Roho, wala hamtazitimiza

kamwe tamaa za mwili

Page 29: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

Masterbation-PUNYETO

•Ni kufanya ngono mwenyewe•Ni kutimiza tamaa za mwili• Huadhili ndoa•Hufungua mlango kwa

mapepo

Page 30: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

4. DHAMBI YA ZINAA• 1 Wakorintho 6: 15-16 • “Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na

kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema,

Wale wawili watakuwa mwili mmoja.

Page 31: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

a) Unapofanya mapenzi na kahaba, umeunganishwa nae.

b) Hukuambukiza roho ya tamaa, ukahaba

Page 32: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

b) Kubakwa• Hili ni tendo la Kipepo• Hufungu mlango wa roho ya tamaa• Kubakwa huharibu utu wa mtu,

heleta uchungu na maumivu.

Page 33: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

5. KUPITIA WAGANGA WA KIENYEJI

•Wanaokwenda kwa waganga kutafuta mvuto wa mapenzi.• Hupata roho ya tamaa • Hawa watu ni hatari

Page 34: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

6. ROHO YA KUAMBUKIZWAZaburi 58:3

Wasio haki wamejitenga tangu kuzaliwa

kwao;Tangu tumboni wamepotea, wakisema

uongo.

Page 35: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

•Mtoto anaweza kuzaliwa na roho ya kukataliwa• Yesu alijazwa roho mtakatifu

akiwe tumboni• Kahaba akizaa mtoto anakua

no roho ya ukahaba.

Page 36: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

NAMNA YA KUSHINDA• Tubu na ukiri dhambi zako.

Yakobo 5:16• Kataa hiyo dhambi• Nenda kwa Viongozi wako

wakushauri • Kimbia zinaa1 Wakorintho 6:18

Page 37: NJINSI YA KUSHINDA ROHO YA TAMAA

1 Yohana 3:8

Atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda

dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi

za Ibilisi