ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa fungu 80 mkoa wa mtwara maelezo ya ... · 2018....

47
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA FUNGU 80 MKOA WA MTWARA MAELEZO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2015/16, NUSU MWAKA 2016/17 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA MWAKA 2017/2018 KWA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, S.L.P 544, MTWARA Simu/Nukushi: 023 2333194 Barua pepe: [email protected]/[email protected] Tovuti: www.mtwara.go.tz Machi, 2017

Upload: others

Post on 08-Feb-2021

10 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    OFISI YA RAIS

    TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

    FUNGU 80

    MKOA WA MTWARA

    MAELEZO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2015/16,

    NUSU MWAKA 2016/17 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI

    YA MWAKA 2017/2018 KWA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA

    UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,

    S.L.P 544,

    MTWARA

    Simu/Nukushi: 023 – 2333194

    Barua pepe: [email protected]/[email protected]

    Tovuti: www.mtwara.go.tz

    Machi, 2017

    mailto:[email protected]/[email protected]://www.mtwara.go.tz/

  • 1

    1.0 UTANGULIZI

    Taarifa hii inaelezea kwa muhtasari utekelezaji wa bajeti ya Sekretarieti ya Mkoa na

    Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka 2015/2016, nusu mwaka 2016/2017 na

    Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2017/2018. Aidha, utekelezaji wa

    bajeti ya Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa unaongozwa na Dira

    ya Taifa ya Maendeleo 2025, Malengo ya Maendeleo Endelevu, Ilani ya Uchaguzi

    ya chama tawala (CCM) 2015, Mipango mikakati ya Sekretarieti ya Mkoa na

    Mamlaka za Serikali za Mitaa, Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN), hotuba

    ya Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa kuzindua Bunge la

    11 na mipango mbalimbali ya kitaifa.

    2.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2015/2016

    2.1 MADUHULI YA MKOA NA MAKUSANYO YA HALMASHAURI

    2.1.1 Makadirio na Makusanyo ya Sekretarieti ya Mkoa kwa mwaka 2015/16

    Katika kipindi cha mwaka 2015/16 Sekretarieti ya Mkoa ilitarajia kukusanya jumla

    ya shilingi 541,000.00 kutoka chanzo cha kodi ya pango katika nyumba tano za

    Serikali kama mapato ya Serikali yanayokwenda moja kwa moja Hazina. Hadi Juni,

    2016 jumla ya shilingi 541,000.00 zilikusanywa sawa na asilimia 100.00 ya

    makadirio.

    2.1.2 Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri kwa mwaka 2015/16

    Katika kipindi cha mwaka 2015/16 Halmashauri zilikadiria kukusanya mapato ya

    ndani yenye jumla ya shilingi 21,099,534,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya

    ndani. Hadi Juni, 2016 jumla ya shilingi 16,896,322,000.00 zilikusanywa sawa na

    80.08% ya makadirio. Jedwali Na.1 linaonesha mchanganuo wake.

  • 2

    Jedwali Na.1: Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri hadi Juni, 2016

    HALMASHAURI MAKADIRIO

    MAKUSANYO HADI JUNI, 2016

    MAKUSANYO

    YASIYOLINDWA

    MAKUSANYO

    LINDWA JUMLA %

    Mtwara Mikindani 3,205,204,000 2,592,380,000 143,146,000 2,735,526,000 85.35

    Mtwara 1,631,242,000 1,283,855,000 42,789,000 1,326,644,000 81.33

    Newala 2,996,000,000 1,731,777,000 849,717,000 2,581,494,000 86.16

    Nanyumbu 1,800,372,000 1,258,864,000 309,419,000 1,568,283,000 87.11

    Masasi 3,778,152,000 1,607,700,000 1,583,752,000 3,191,452,000 84.47

    Masasi Mji 1,872,229,000 885,326,000 520,470,000 1,405,796,000 75.09

    Tandahimba 4,773,334,000 2,222,403,000 1,219,992,000 3,442,395,000 72.12

    Nanyamba Mji 1,043,001,000 630,847,000 13,885,000 644,732,000 61.82

    JUMLA 21,099,534,000 12,213,152,000 4,683,170,000 16,896,322,000 80.08

    Nyongeza: Makusanyo lindwa ni mapato yanayojumuisha vyanzo vya ada ya huduma (user fee),

    mfuko wa afya ya jamii (CHF), mfuko wa elimu na export levy. Matumizi ya fedha hizi

    huzingatia sheria ya CHF, Mfuko wa elimu na miongozo ya cost sharing na export levy.

    Halmashauri hazikuweza kufikia malengo ya makusanyo kutokana na;

    Kushuka kwa bei za mazao.

    Kuchelewa kuidhinishwa kwa sheria ndogo.

    Kuondolewa kwa ada mashuleni.

    Mabadiliko ya hali ya hewa iliyoathiri uzalishaji wa mazao.

    Vyama vya msingi kutolipa ushuru kwa wakati.

    Kufungwa kwa baadhi ya makampuniya yanayoshughulika na utafutaji wa

    gesi.

    Matumizi mapato ya ndani katika miradi ya maendeleo kwa makusanyo

    yasiyolindwa ni kama inavyooneshwa katika jedwali namba 2.

  • 3

    Jedwali Na.2: Matumizi ya makusanyo yasiyolindwa kwa mwaka 2015/2016

    HALMASHAURI MAKUSANYO

    YASIYOLINDWA

    Wanawake na Vijana (10%) Miradi ya Maendeleo (50%)

    Takiwa % Tolewa % Takiwa % Tolewa %

    Mtwara MC 2,592,380,000 259,238,000 10 140,000,000 54.00 1,296,190,000 50 1,111,000,000 85.71

    Mtwara 1,283,855,000 128,385,500 10 39,912,000 31.09 641,927,500 50 364,412,000 56.77

    Newala 1,731,777,000 173,177,700 10 99,000,000 57.17 865,888,500 50 743,392,000 85.85

    Nanyumbu 1,258,864,000 125,886,400 10 125,886,000 100.00 629,432,000 50 629,432,000 100.00

    Masasi 1,607,700,000 160,770,000 10 160,770,000 100.00 803,850,000 50 803,850,000 100.00

    Masasi TC 885,326,000 88,532,600 10 7,389,000 8.35 442,663,000 50 196,442,000 44.38

    Tandahimba 2,222,403,000 222,240,300 10 222,240,000 100.00 1,111,201,500 50 1,078,328,000 97.04

    Nanyamba TC 630,847,000 63,084,700 10 47,000,000 74.50 315,423,500 50 212,825,000 67.47

    JUMLA 12,213,152,000 1,221,315,200 10 851,957,000 69.75 6,106,576,000 50 5,139,681,000 84.16

    2.2 FEDHA ZA RUZUKU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA MWAKA 2015/2016

    2.2.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka

    2015/16

    Katika mwaka 2015/16 Sekretarieti ya Mkoa iliidhinishwa jumla ya shilingi

    7,939,998,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili kugharamia maeneo ya

    mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi Juni, 2016 ni jumla ya

    shilingi 6,245,155,000.00 sawa na 78.65% ya bajeti iliyoidhinishwa. Aidha, kiasi

    kilichotumika ni shilingi 6,245,155,000.00 sawa na 100.00% ya fedha zilizotolewa.

    Jedwali na.3 linaonesha mchanganuo wake.

    Jedwali Na.3: Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Juni, 2016

    KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA

    KIASI % KIASI %

    Mishahara 6,360,640,000 5,186,641,000 81.54 5,186,641,000 100.00

    Matumizi Mengineyo 1,579,358,000 1,058,514,000 67.02 1,058,514,000 100.00

    JUMLA 7,939,998,000 6,245,155,000 78.65 6,245,155,000 100.00

  • 4

    2.2.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri mwaka 2015/16

    Katika mwaka 2015/16 Halmashauri ziliidhinishiwa fedha za ruzuku jumla ya

    shilingi 122,468,548,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili kugharamia

    maeneo ya mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi Juni, 2016

    ni jumla ya shilingi 115,195,597,000.00 sawa na asilimia 94.06. Aidha, kiasi

    kilichotumika ni shilingi 115,195,597,000.00 sawa na 100.00% ya fedha

    zilizopokelewa. Jedwali Na.4 na 5 yanaonesha michanganuo yake.

    Jedwali Na.4: Bajeti na Mapokezi ya fedha za Matumizi ya Kawaida hadi Juni, 2016

    HALMASHAURI

    BAJETI FEDHA TOLEWA

    MISHAHARA MATUMIZI

    MENGINEYO MISHAHARA

    % MATUMIZI

    MENGINEYO

    %

    Mtwara Mikindani 13,718,979,000 1,475,351,000 12,822,247,000 93.40 721,806,000 48.92

    Masasi Mji 11,022,410,000 1,112,452,000 11,256,168,000 102.12 514,972,000 49.26

    Mtwara 18,504,714,000 1,875,922,000 17,580,118,000 95.00 799,281,000 42.61

    Masasi 20,133,814,000 2,436,761,000 18,044,491,000 89.62 1,190,069,000 48.84

    Nanyumbu 11,275,735,000 1,170,557,000 12,546,496,000 111.27 492,793,000 42.10

    Newala 17,072,549,000 1,610,226,000 18,079,728,000 105.90 714,270,000 44.36

    Tandahimba 19,417,929,000 1,641,149,000 19,592,481,000 100.90 840,677,000 51.22

    JUMLA 111,146,130,000 11,322,418,000 109,921,729,000 98.90 5,273,868,000 46.58

    JUMLA KUU 122,468,548,000 115,195,597,000 94.06

    Jedwali Na.5: Fedha zilizotolewa na kutumika kwa Matumizi ya kawaida hadi Juni, 2016

    HALMASHAURI

    FEDHA ZILIZOTOLEWA FEDHA ZILIZOTUMIKA

    MISHAHARA MATUMIZI

    MENGINEYO MISHAHARA

    % MATUMIZI

    MENGINEYO

    %

    Mtwara Mikindani 12,822,247,000 721,806,000 12,822,247,000 100.00 721,806,000 100.00

    Masasi Mji 11,256,168,000 514,972,000 11,256,168,000 100.00 514,972,000 100.00

    Mtwara 17,580,118,000 799,281,000 17,580,118,000 100.00 799,281,000 100.00

    Masasi 18,044,491,000 1,190,069,000 18,044,491,000 100.00 1,190,069,000 100.00

    Nanyumbu 12,546,496,000 492,793,000 12,546,496,000 100.00 492,793,000 100.00

    Newala 18,079,728,000 714,270,000 18,079,728,000 100.00 714,270,000 100.00

    Tandahimba 19,592,481,000 840,677,000 19,592,481,000 100.00 840,677,000 100.00

    JUMLA 109,921,729,000 5,273,868,000 109,921,729,000 100.00 5,273,868,000 100.00

    JUMLA KUU 115,195,597,000 115,195,597,000 100.00

  • 5

    2.2.3 Shughuli zilizotekelezwa hadi Juni, 2016

    Orodha ya baadhi ya shughuli zilizotekelezwa na Sekretarieti ya Mkoa na

    Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Juni, 2016 ni pamoja na;

    a) Sekretarieti ya Mkoa

    Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama ndani ya Mkoa.

    Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.

    Kutoa ushauri wa kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa.

    Kuratibu shughuli mbalimbali za Serikali za kila siku za kutoa

    huduma kwa wananchi.

    Kulipa mishahara kwa watumishi.

    Kuratibu uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.

    Kuratibu ziara za viongozi mbalimbali wa Mkoa na kitaifa.

    Kufanya ufuatiliaji wa shughuli zilizotekelezwa na Halmashauri.

    Kutoa huduma za tiba na kinga katika hospitali ya Mkoa.

    Ufuatiliaji wa uandikishaji wa wanafunzi kwa shule za msingi na

    sekondari.

    b) Mamlaka za Serikali za Mitaa

    Kulipa mishahara kwa watumishi wote.

    Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli zilizotekelezwa

    katika Kata,Vijiji/Mitaa na Vitongoji.

    Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.

    Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.

    Uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.

  • 6

    2.3 FEDHA ZA RUZUKU KWA MIRADI YA MAENDELEO MWAKA 2015/2016

    2.3.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka

    2015/16

    Katika mwaka wa fedha 2015/16 Sekretarieti ya Mkoa iliidhinishiwa jumla ya

    shilingi 972,188,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo

    shilingi 798,377,000.00 (82.12%) ni fedha za ndani na shilingi 173,811,000.00

    (17.88%) ni fedha za nje. Hadi kufikia Juni, 2016 jumla ya shilingi 465,793,000.00

    zilitolewa sawa na asilimia 47.91. Aidha, kiasi kilichotumika ni shilingi

    465,793,000.00 sawa na 100.00% ya fedha zilizopokelewa. Jedwali Na.6 linaonesha

    mchanganuo wake.

    Jedwali Na.6. Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Juni, 2016

    KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA

    KIASI % KIASI %

    Fedha za Ndani 798,377,000 0 0.00 0 0.00

    Fedha za Nje 173,811,000 465,793,000 267.98 465,793,000 100.00

    JUMLA 972,188,000 465,793,000 47.91 465,793,000 100.00

    2.3.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri mwaka 2015/16

    Katika mwaka wa fedha 2015/16 Halmashauri ziliidhinishiwa jumla ya shilingi

    12,626,184,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo, shilingi

    8,290,351,000.00 (65.66%) ni fedha za ndani na shilingi 4,335,833,000.00

    (34.34%) ni fedha za nje. Hadi kufikia Juni, 2016 jumla ya shilingi

    5,159,436,000.00 zilitolewa sawa na 40.86%. Aidha, kiasi kilichotumika ni shilingi

    3,469,425,000.00 sawa na 67.24% ya fedha zilizopokelewa. Jedwali Na.7 na 8

    yanaonesha michanganuo yake.

  • 7

    Jedwali Na.7: Bajeti na Fedha za ruzuku ya miradi zilizotolewa hadi Juni, 2016

    HALMASHAURI

    BAJETI IDHINISHWA FEDHA TOLEWA

    FEDHA ZA

    NDANI

    FEDHA ZA

    NJE

    FEDHA

    ZA NDANI

    % FEDHA ZA

    NJE

    %

    Mtwara Mikindani 385,348,000 1,701,352,000 31,875,000 8.27 963,399,000 56.63 Masasi Mji 1,330,634,000 294,504,000 0 0 337,358,000 114.55 Mtwara 1,847,219,000 474,323,000 48,895,000 2.65 586,949,000 123.74 Masasi 1,395,196,000 463,441,000 85,405,000 6.12 827,157,000 178.48 Nanyumbu 977,565,000 317,845,000 41,328,000 4.23 457,997,000 144.09 Newala 1,136,853,000 518,426,000 45,889,000 4.04 1,177,945,000 227.22 Tandahimba 1,217,536,000 565,942,000 46,991,000 3.86 508,248,000 89.81

    JUMLA 8,290,351,000 4,335,833,000 300,383,000 3.62 4,859,053,000 112.07

    JUMLA KUU 12,626,184,000 5,159,436,000 40.86

    Jedwali Na.8: Fedha za ruzuku ya miradi zilitolewa na zilizotumika hadi Juni, 2016

    HALMASHAURI

    FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA

    FEDHA

    ZA NDANI

    FEDHA ZA

    NJE

    FEDHA

    ZA NDANI

    % FEDHA ZA

    NJE

    %

    Mtwara Mikindani 31,875,000 963,399,000 25,375,000 79.61 527,251,000 54.73 Masasi Mji 0 337,358,000 0 0.00 282,302,000 83.68 Mtwara 48,895,000 586,949,000 33,006,000 67.50 210,942,000 35.94 Masasi 85,405,000 827,157,000 77,141,000 9032 388,357,000 46.95 Nanyumbu 41,328,000 457,997,000 24,696,000 59.76 446,327,000 97.45 Newala 45,889,000 1,177,945,000 45,889,000 100.00 944,446,000 80.18 Tandahimba 46,991,000 508,248,000 46,991,000 100.00 416,702,000 81.99

    JUMLA 300,383,000 4,859,053,000 253,098,000 84.26 3,216,327,000 66.19

    JUMLA KUU 5,159,436,000 3,469,425,000 67.24

    Pamoja na fedha hizo, Halmashauri zilipokea na kutumia fedha za TASAF na mfuko

    wa barabara kama inavyooneshwa katika jedwali namba 9.

    Jedwali Na.9: Fedha za Tasaf na Barabara zilizitolewa na kutumika 2015/16

    HALMASHAURI MAPOKEZI MATUMIZI

    Barabara Tasaf Barabara % Tasaf % Mtwara Mikindani 903,305,000 602,142,000 493,222,000 54.60 602,142,000 100.00 Masasi Mji 936,536,000 705,303,000 843,516,000 90.07 705,158,000 99.98 Mtwara 1,585,116,000 2,373,997,000 1,223,240,000 77.17 2,360,881,000 99.45 Masasi 1,188,532,000 2,402,521,000 332,570,000 27.98 2,389,679,000 99.47 Nanyumbu 0 514,681,000 0 0 514,681,000 100.00 Newala 1,290,429,000 1,335,974,000 1,226,819,000 95.07 1,335,974,000 100.00 Tandahimba 695,894,000 1,553,294,000 602,147,000 86.53 1,464,992,000 94.32

    JUMLA 6,599,812,000 9,487,912,000 4,721,514,000 71.51 9,373,507,000 98.79

  • 8

    2.3.3 Program/Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa hadi Juni, 2016.

    Orodha ya baadhi ya Program/Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa na Sekretarieti

    ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Juni, 2016 ni pamoja na;

    a) Sekretarieti ya Mkoa

    Kufuatilia utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), usimamizi na

    ufuatiliaji wa sekta ya afya (HSBF), kufuatilia shughuli za mapambano

    dhidi ya Ukimwi katika mkoa.

    Utekelezaji wa programu ya menejimenti ya fedha za umma (PFMRP).

    b) Mamlaka za Serikali za Mitaa

    Ujenzi wa miundombinu katika shule za Msingi na Sekondari.

    Ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya afya.

    Kuendesha kampeni ya usafi wa mazingira.

    Ujenzi wa majengo mbalimbali ya ofisi kama ofisi za vijiji na kata.

    Utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), elimu (SEDP), afya (HSBF),

    kilimo (ASDP) na mapambano dhidi ya Ukimwi.

    Ujenzi wa miundombinu ya barabara.

    Utekelezaji wa TASAF III

  • 9

    3.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA KIPINDI CHA JULAI HADI

    FEBRUARI, 2017-MWAKA 2016/2017

    3.1 MADUHULI YA MKOA NA MAKUSANYO YA HALMASHAURI MWAKA 2016/17

    3.1.1 Makadirio na Makusanyo ya Sekretarieti ya Mkoa kwa mwaka 2016/17

    Katika mwaka 2016/17 Sekretarieti ya Mkoa imeidhinishiwa kukusanya jumla ya

    shilingi 541,000.00 kutoka chanzo cha kodi ya pango katika nyumba tano za Serikali

    kama mapato ya Serikali yanayokwenda moja kwa moja Hazina. Hadi Februari,

    2017 jumla ya shilingi 988,000.00 zimekusanywa sawa na 182.62% ya makadirio.

    3.1.2 Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri kwa mwaka 2016/17

    Katika mwaka 2016/17 Halmashauri zimeidhinishiwa kukusanya mapato ya ndani

    yenye jumla ya shilingi 25,171,728,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani.

    Hadi Februari, 2017 jumla ya shilingi 17,523,489,000.00 zimekusanywa sawa na

    69.62% ya lengo. Jedwali Na.10 linaonesha mchanganuo wake.

    Jedwali Na.10: Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri hadi Februari, 2017

    HALMASHAURI

    MAKADIRIO

    MAKUSANYO HADI FEBRUARI, 2017

    MAKUSANYO

    YASIYOLINDWA

    MAKUSANYO

    LINDWA JUMLA %

    Mtwara Mikindani 4,542,968,000 2,589,870,000 140,655,000 2,730,525,000 60.10

    Masasi Mji 1,867,104,000 1,044,209,000 221,109,000 1,265,318,000 67.77

    Newala Mji 1,939,486,000 831,238,000 254,821,000 1,086,059,000 55.99

    Nanyamba Mji 1,226,868,000 1,167,464,000 27,082,000 1,194,546,000 97.36

    Mtwara 2,306,244,000 1,106,606,000 12,000,000 1,118,606,000 48.50

    Masasi 4,003,191,000 1,875,926,000 84,146,000 1,960,072,000 48.96

    Nanyumbu 2,407,389,000 1,444,778,000 568,389,000 2,013,167,000 83.62

    Newala 1,996,264,000 1,162,739,000 336,948,000 1,499,687,000 75.12

    Tandahimba 4,882,214,000 3,774,852,000 880,657,000 4,655,509,000 95.35

    JUMLA 25,171,728,000 14,997,682,000 2,525,807,000 17,523,489,000 69.62

  • 10

    Nyongeza: Makusanyo lindwa ni mapato yanayojumuisha vyanzo vya ada ya huduma (user fee),

    mfuko wa afya ya jamii (CHF), mfuko wa elimu na export levy. Matumizi ya fedha hizi huzingatia

    sheria CHF, Mfuko wa elimu na miongozo ya cost sharing na export levy.

    Halmashauri hazikuweza kufikia wastani wa malengo ya makusanyo kwa kipindi

    cha nusu mwaka kutokana na;

    Kuchelewa kuidhinishwa kwa sheria ndogo.

    Kodi ya majengo kukusanywa na TRA.

    Wizara ya ardhi kutotoa marejesho ya 30%.

    Matumizi mapato ya ndani katika miradi ya maendeleo kwa makusanyo

    yasiyolindwa ni kama inavyooneshwa katika jedwali namba 11 ambapo jumla ya sh.

    1,100,990,000 (73.41%) za wanawake na vijana zimetengwa kati ya sh.

    1,499,769,000 zilizotakiwa na miradi mingine ya maendeleo jumla y ash.

    4,952,237,000 (68.06%) zimetengwa kati ya sh. 7,275,882,000 zilizotakiwa.

    Jedwali Na.11: Matumizi ya makusanyo yasiyolindwa hadi Februari, 2017

    HALMASHAURI MAKUSANYO

    YASIYOLINDWA

    Wanawake na Vijana (10%) Miradi ya Maendeleo (50%)

    Takiwa % Tolewa % Takiwa % Tolewa %

    Mtwara MC 2,589,870,000 258,987,000 10 258,987,000 100.00 1,071,976,000 50 943,404,000 88.00

    Masasi TC 1,044,209,000 104,421,000 10 68,966,000 66.05 522,105,000 50 206,338,000 39.52

    Newala TC 831,238,000 83,124,000 10 64,729,000 77.87 415,619,000 50 371,802,000 89.45

    Nanyamba TC 1,167,464,000 116,746,000 10 104,725,000 89.70 583,732,000 50 431,660,000 73.95

    Mtwara 1,106,606,000 110,661,000 10 52,740,000 47.66 553,303,000 50 418,329,000 75.61

    Masasi 1,875,926,000 187,593,000 10 187,024,000 99.69 937,963,000 50 351,902,000 37.51

    Nanyumbu 1,444,778,000 144,478,000 10 107,000,000 74.06 722,389,000 50 722,389,000 100.0

    Newala 1,162,739,000 116,274,000 10 50,000,000 43.00 581,369,000 50 255,225,000 43.90

    Tandahimba 3,774,852,000 377,485,000 10 206,819,000 54.78 1,887,426,000 50 1,251,188,000 66.29

    JUMLA 14,997,682,000 1,499,769,000 10 1,100,990,000 73.41 7,275,882,000 50 4,952,237,000 68.06

    Nyongeza: Idadi ya vikundi vilivyokopeshwa imeaoneshwa katika kiambatisho

    namba 1 na orodha ya vikundi imeoneshwa katika kiambatisho namba 2.

  • 11

    3.2 FEDHA ZA RUZUKU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA MWAKA 2016/2017

    3.2.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka

    2016/17

    Katika mwaka 2016/17 Sekretarieti ya Mkoa iliidhinishwa jumla ya shilingi

    6,930,724,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili kugharamia maeneo ya

    mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi Februari, 2017 ni jumla

    ya shilingi 4,291,935,000.00 sawa na 61.93% ya bajeti iliyoidhinishwa. Aidha, kiasi

    kilichotumika ni shilingi 4,291,935,000.00 sawa na 100.00% ya fedha zilizotolewa.

    Jedwali Na.12 linaonesha mchanganuo wake.

    Jedwali Na.12: Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Februari, 2017

    KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA

    KIASI % KIASI %

    Mishahara 5,372,873,000 3,218,787,000 56.91 3,218,787,000 100.00

    Matumizi Mengineyo 1,557,851,000 1,073,148,000 68.89 1,073,148,000 100.00

    JUMLA 6,930,724,000 4,291,935,000 61.93 4,291,935,000 100.00

    Nyongeza: Sekretarieti ya Mkoa ilipokea jumla ya sh. 393,349,000 kwa ajili ya

    kulipa madeni mbalimbali ikiwa madeni ya wazabuni sh. 31,802,000 na madeni ya

    watumishi sh. 361,547,000.

    3.2.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri mwaka 2016/17

    Katika mwaka 2016/17 Halmashauri zimeidhinishiwa kukusanya fedha za ruzuku

    zenye jumla ya shilingi 119,321,760,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili

    kugharamia maeneo ya mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi

    Februari, 2017 ni jumla ya shilingi 78,749,462,000.00 sawa na 65.99% ya

    makadirio. Aidha, kiasi kilichotumika ni shilingi 78,749,462,000.00 sawa na

    100.00% ya fedha zilizopokelewa Jedwali Na.13 na 14 yanaonesha michanganuo

    yake.

  • 12

    Jedwali Na.13: Bajeti na Mapokezi ya fedha za Matumizi ya Kawaida hadi Februari, 2017

    HALMASHAURI

    BAJETI FEDHA TOLEWA

    MISHAHARA MATUMIZI

    MENGINEYO MISHAHARA %

    MATUMIZI

    MENGINEYO %

    Mtwara Mikindani 13,153,215,000 1,713,189,000 8,488,586,000 64.54 1,021,191,000 59.61

    Masasi Mji 11,384,584,000 1,104,861,000 7,348,458,000 64.55 582,299,000 52.70

    Newala Mji 0 723,213,000 76,696,000 N/A 291,664,000 40.33

    Nanyamba Mji 0 668,755,000 3,701,132,000 N/A 417,051,000 62.36

    Mtwara 18,827,274,000 1,168,524,000 8,554,254,000 45.44 740,309,000 63.35

    Masasi 17,886,733,000 2,483,310,000 11,857,022,000 66.29 1,439,454,000 57.97

    Nanyumbu 9,351,546,000 751,114,000 8,120,769,000 86.84 509,804,000 67.87

    Newala 18,391,530,000 721,251,000 11,604,776,000 63.10 500,943,000 69.45

    Tandahimba 19,536,773,000 1,455,888,000 12,635,072,000 64.67 859,982,000 59.07

    JUMLA 108,531,655,000 10,790,105,000 72,386,765,000 66.70 6,362,697,000 58.97

    119,321,760,000 78,749,462,000 65.99

    Nyongeza: Asilimia ya fedha za mishahara zilizotolewa kwa Newala Mji na

    Nanyamba Mji hazipo kutokana na halmshauri hizo mpya kutokuwa na makadirio

    ya bajeti ya mishahara.

    Jedwali Na.14: Fedha zilizotolewa na kutumika kwa Matumizi ya kawaida hadi Feb, 2017

    HALMASHAURI

    FEDHA ZILIZOTOLEWA FEDHA ZILIZOTUMIKA

    MISHAHARA MATUMIZI

    MENGINEYO MISHAHARA %

    MATUMIZI

    MENGINEYO %

    Mtwara Mikindani 8,488,586,000 1,021,191,000 8,488,586,000 100.00 1,021,191,000 100.00

    Masasi Mji 7,348,458,000 582,299,000 7,348,458,000 100.00 582,299,000 100.00

    Newala Mji 76,696,000 291,664,000 76,696,000 100.00 291,664,000 100.00

    Nanyamba Mji 3,701,132,000 417,051,000 3,701,132,000 100.00 417,051,000 100.00

    Mtwara 8,554,254,000 740,309,000 8,554,254,000 100.00 740,309,000 100.00

    Masasi 11,857,022,000 1,439,454,000 11,857,022,000 100.00 1,439,454,000 100.00

    Nanyumbu 8,120,769,000 509,804,000 8,120,769,000 100.00 509,804,000 100.00

    Newala 11,604,776,000 500,943,000 11,604,776,000 100.00 500,943,000 100.00

    Tandahimba 12,635,072,000 859,982,000 12,635,072,000 100.00 859,982,000 100.00

    JUMLA 72,386,765,000 6,362,697,000 72,386,765,000 100.00 6,362,697,000 100.00

    78,749,462,000 78,749,462,000 100.00

    3.2.3 Shughuli zilizotekelezwa hadi Februari, 2017

    Orodha ya baadhi ya shughuli zilizotekelezwa na Sekretarieti ya Mkoa na

    Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Februari, 2017 ni pamoja na;

  • 13

    a) Sekretarieti ya Mkoa

    Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama ndani ya Mkoa.

    Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.

    Kutoa ushauri wa kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa.

    Kuratibu shughuli mbalimbali za Serikali za kila siku za kutoa

    huduma kwa wananchi.

    Kulipa mishahara kwa watumishi.

    Kuratibu uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.

    Kuratibu ziara za viongozi mbalimbali wa Mkoa na kitaifa.

    Kufanya ufuatiliaji wa shughuli zilizotekelezwa na Halmashauri.

    Kutoa huduma za tiba na kinga katika hospitali ya Mkoa.

    b) Mamlaka za Serikali za Mitaa

    Kulipa mishahara kwa watumishi wote.

    Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli zilizotekelezwa

    katika Kata,Vijiji/Mitaa na Vitongoji.

    Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.

    Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.

    Uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.

    Uandikishaji wanafunzi na utoaji wa elimu ya msingi na sekondari

    ulifanyika.

  • 14

    3.4 FEDHA ZA RUZUKU KWA MIRADI YA MAENDELEO MWAKA 2016/2017

    3.4.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka

    2016/17

    Katika mwaka 2016/17 Sekretarieti ya Mkoa imeidhinishiwa jumla ya shilingi

    1,577,566,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo shilingi

    1,110,000,000.00 (70.40%) ni fedha za ndani na shilingi 467,566,000.00 (29.60%)

    ni fedha za nje. Hadi kufikia Februari, 2017 jumla ya shilingi 905,117,000.00

    zimetolewa sawa na 57.37% ya bajeti idhinishwa. Aidha, kiasi kilichotumika ni

    shilingi 263,601,000.00 sawa na 29.12% ya fedha zilizopokelewa. Jedwali Na.15

    linaonesha mchanganuo wake.

    Jedwali Na.15. Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Feb, 2017

    KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA

    KIASI % KIASI %

    Fedha za Ndani 1,110,000,000 555,000,000 50.00 66,710,000 12.01

    Fedha za Nje 467,566,000 350,117,000 74.88 196,891,000 56.23

    JUMLA 1,577,566,000 905,117,000 57.37 263,601,000 29.12

    3.4.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri 2016/17

    Katika mwaka 2016/17 Halmashauri zimeidhinishiwa fedha za ruzuku jumla ya

    shilingi 19,866,655,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo,

    shilingi 11,288,344,000.00 (56.82%) ni fedha za ndani na shilingi 8,578,311,000.00

    (43.18%) ni fedha za nje. Hadi kufikia Februari, 2017 jumla ya shilingi

    7,126,087,000.00 zimetolewa sawa na 35.86% ya makadirio. Aidha, kiasi

    kilichotumika ni shilingi 3,023,651,000.00 sawa na 42.43% ya fedha

    zilizopokelewa. Jedwali Na.16 na 17 yanaonesha michanganuo yake.

  • 15

    Jedwali Na.16. Bajeti na Fedha za ruzuku ya miradi zilizotolewa hadi Feb, 2017

    HALMASHAURI

    BAJETI IDHINISHWA FEDHA TOLEWA

    FEDHA ZA

    NDANI

    FEDHA ZA

    NJE

    FEDHA ZA

    NDANI

    % FEDHA ZA

    NJE

    %

    Mtwara Mikindani 570,526,000 3,349,663,000 183,645,000 32.19 166,482,000 4.97 Masasi Mji 1,284,760,000 719,561,000 926,599,000 72.12 198,669,000 27.61 Newala Mji 2,487,749,000 111,619,000 645,844,000 25.96 93,714,000 83.96 Nanyamba Mji 2,556,219,000 366,832,000 673,299,000 26.34 191,374,000 52.17 Mtwara 1,271,703,000 526,370,000 958,763,000 75.39 243,466,000 46.25 Masasi 1,111,686,000 888,617,000 375,945,000 33.82 463,865,000 52.20 Nanyumbu 584,281,000 657,913,000 230,281,000 39.41 605,969,000 92.10 Newala 455,578,000 595,576,000 184,569,000 40.51 265,858,000 44.64 Tandahimba 965,842,000 1,362,160,000 329,590,000 34.12 388,154,000 28.50

    JUMLA 11,288,344,000 8,578,311,000 4,508,535,000 39.94 2,617,552,000 30.51

    JUMLA KUU 19,866,655,000 7,126,087,000 35.86

    Jedwali Na.17: Fedha za ruzuku ya miradi zilitolewa na zilizotumika hadi Feb, 2017

    HALMASHAURI

    FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA

    FEDHA ZA

    NDANI

    FEDHA ZA

    NJE

    FEDHA ZA

    NDANI

    % FEDHA ZA

    NJE

    %

    Mtwara Mikindani 183,645,000 166,482,000 119,859,000 65.27 109,748,000 65.92 Masasi Mji 926,599,000 198,669,000 124,433,000 13.43 108,980,000 54.86 Newala Mji 645,844,000 93,714,000 145,844,000 22.58 18,234,000 19.45 Nanyamba Mji 673,299,000 191,374,000 257,155,000 38.19 104,846,000 54.78 Mtwara 958,763,000 243,466,000 162,129,000 16.91 243,466,000 100.00 Masasi 375,945,000 463,865,000 308,647,000 82.09 141,773,000 30.56 Nanyumbu 230,281,000 605,969,000 144,182,000 62.61 324,816,000 53.60 Newala 184,569,000 265,858,000 88,899,000 48.16 134,875,000 50.73 Tandahimba 329,590,000 388,154,000 261,666,000 79.39 224,099,000 57.73

    JUMLA 4,508,535,000 2,617,552,000 1,612,814,000 35.77 1,410,837,000 87.48

    JUMLA KUU 7,126,087,000 3,023,651,000 42.43

    Pamoja na fedha hizo Halmashauri zimepokea fedha nje ya bajeti kama

    inavyooneshwa katika jedwali namba 18.

  • 16

    Jedwali Na.18: Fedha za Tasaf na Barabara zilizitolewa na kutumika hadi Feb, 2017

    HALMASHAURI MAPOKEZI MATUMIZI

    Barabara Tasaf Barabara % Tasaf % Mtwara Mikindani 1,168,287,000 277,523,000 782,074,000 66.94 255,325,000 92.00 Masasi Mji 258,123,000 406,380,000 215,849,000 83.62 354,478,000 87.23 Mtwara 886,014,000 1,787,665,000 886,014,000 100.00 1,473,334,000 82.42 Masasi 144,981,000 1,866,766,000 2,213,000 1.52 1,451,579,000 77.75 Nanyumbu 453,819,000 1,309,454,000 321,644,000 70.87 1,090,869,000 83.31 Newala 472,455,000 1,099,831,000 446,063,000 94.41 540,470,000 49.14 Tandahimba 611,148,000 1,019,832,000 337,110,000 55.16 934,755,000 91.66

    JUMLA 3,994,827,000 7,767,451,000 2,990,967,000 74.87 6,100,810,000 78.54

    3.4.3 Program/Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa hadi Februari, 2017.

    Orodha ya baadhi ya program/miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Sekretarieti

    ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Februari, 2017 ni pamoja na;

    a) Sekretarieti ya Mkoa

    Kufuatilia utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), usimamizi na

    ufuatiliaji wa sekta ya afya (HSBF).

    Utekelezaji wa programu ya menejimenti ya fedha za umma (PFMRP).

    b) Mamlaka za Serikali za Mitaa

    Ujenzi wa miundombinu katika shule za Msingi na Sekondari.

    Ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya afya.

    Kuendesha kampeni ya usafi wa mazingira.

    Utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), elimu (SEDP), afya (HSBF)

    Ujenzi wa miundombinu ya barabara.

  • 17

    3.5 CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA WAKATI WA UTEKELEZAJI WA BAJETI

    Changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa bajeti kwa nusu mwaka 2016/17

    kwa Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri ni pamoja na:

    Fedha za miradi kutotolewa kwa wakati.

    Kutokutolewa kwa fedha za matumizi mengineyo katika baadhi ya

    miezi kwa Halmashauri.

    Kutolewa fedha kidogo kwa ajili matumizi mengineyo.

    3.6 MAPENDEKEZO

    Kutokana na changamoto zilizojitokeza, Mkoa unapendekeza yafuatayo;-

    Mkoa uongezewe bajeti yake kulingana na mahitaji halisi yanayoendana na

    nafasi ya Mkoa katika kuongoza maendeleo na mabadiliko makubwa

    yatakayobadili taswira ya uchumi wa nchi.

    Mazingira ya utendaji kazi kwa mkoa wa Mtwara unaotarajiwa kupokea,

    kuhudumia na kuwezesha uwekezaji mkubwa kwa manufaa ya Taifa,

    kunahitajika vitendea kazi na mazingira bora ya majengo ili kuleta ufanisi.

    Mazingira bora ya kazi ni motisha kubwa kwa watumishi kupenda kuja

    kufanya kazi Mtwara.

    Fedha zote zinazoidhinishwa na Bunge kwa ajili ya Mkoa zitolewe kwa

    wakati ili mipango ya maendeleo na shughuli za uendeshaji katika Mkoa na

    Halmashauri zake zitekelezwe bila vikwazo sambamba na kazi ya uwekezaji.

    4.0 MAAGIZO YA KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA

    Katika kikao cha kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fungu 80 Mkoa

    wa Mtwara kwa mwaka 2016/2017 kilichofanyika tarehe 12/04/2016 katika ukumbi

    wa Mwalimu Nyerere Dar es salaam, Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za

    Mitaa ilitoa hoja mbalimbali ambapo hoja hizo zilijibiwa wakati wa kikao. Kamati

  • 18

    haikutoa maagizo mahsusi kwa Mkoa ili kuyatekeleza na kuyatolea taarifa katika

    kikao kinachofuata.

    5.0 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

    5.1 MADUHULI YA MKOA NA MAKUSANYO YA HALMASHAURI.

    5.1.1 Makadirio ya maduhuli kwa Sekretarieti ya Mkoa kwa mwaka 2017/18

    Katika mwaka 2017/18, Sekretarieti ya Mkoa inakadiria kukusanya maduhuli jumla

    ya shilingi 4,400,000.00 kutoka vyanzo vya kodi ya pango la mgahawa na ukumbi

    na uuzaji wa nyaraka za manunuzi kama mapato ya Serikali yanayokwenda moja

    kwa moja Hazina.

    5.1.2 Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri kwa mwaka 2017/18

    Katika mwaka 2017/18, Halmashauri zinakadiria kukusanya mapato ya ndani yenye

    jumla ya shilingi 30,333,661,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani. Jedwali

    Na.19 linaonesha mchanganuo wake.

    Jedwali Na.19: Makadirio ya Mapato ya Ndani ya Halmashauri 2017/18

    HALMASHAURI

    ENEO

    JUMLA MAKUSANYO

    YASIYOLINDWA

    MAKUSANYO

    LINDWA

    Mtwara Mikindani 5,075,143,000 606,724,000 5,681,867,000

    Masasi Mji 1,835,971,000 872,593,000 2,708,564,000

    Newala Mji 1,611,432,000 604,650,000 2,216,082,000

    Nanyamba Mji 1,816,930,000 299,000,000 2,115,930,000

    Mtwara 2,450,495,000 173,000,000 2,623,495,000

    Masasi 2,340,366,000 1,829,260,000 4,169,626,000

    Nanyumbu 1,978,981,000 962,986,000 2,941,967,000

    Newala 1,389,600,000 673,062,000 2,062,662,000

    Tandahimba 4,561,273,000 1,252,195,000 5,813,468,000

    JUMLA 23,060,191,000 7,273,470,000 30,333,661,000

  • 19

    Nyongeza: Makusanyo lindwa ni mapato yanayojumuisha vyanzo vya ada ya

    huduma (user fee), mfuko wa afya ya jamii (CHF), mfuko wa elimu na export levy.

    Matumizi ya fedha hizi huzingatia sheria CHF, Mfuko wa elimu na miongozo ya cost

    sharing na export levy.

    Fedha zilizotengwa kwa wanawake na vijana pamoja na miradi ya maendeleo (60%)

    kutokana na makusanyo yasiyolindwa kwa mwaka 2017/18 ni jumla ya sh.

    13,836,114,000 ambapo wanawake na vijana (10%) ni sh. 2,306,018,000 na miradi

    mingine ya maendeleo (50%) ni sh. 11,530,096,000. Mchanganuo kwa kila

    Halmashauri ni kama inavyooneshwa katika jedwali namba 20.

    Jedwali Na.20: Matumizi ya makusanyo yasiyolindwa katika miradi -2017/18

    HALMASHAURI MAKUSANYO

    YASIYOLINDWA

    WANAWAKE &

    VIJANA-10%

    MIRADI MINGINE-

    50%

    JUMLA KWA MIRADI

    YA MAENDELEO-60%

    KIASI % KIASI % KIASI %

    Mtwara MC 5,075,143,000 507,514,000 10 2,537,572,000 50 3,045,086,000 60

    Masasi TC 1,835,971,000 183,597,000 10 917,986,000 50 1,101,583,000 60

    Newala TC 1,611,432,000 161,143,000 10 805,716,000 50 966,859,000 60

    Nanyamba TC 1,816,930,000 181,693,000 10 908,465,000 50 1,090,158,000 60

    Mtwara 2,450,495,000 245,049,000 10 1,225,247,000 50 1,470,296,000 60

    Masasi 2,340,366,000 234,037,000 10 1,170,183,000 50 1,404,220,000 60

    Nanyumbu 1,978,981,000 197,898,000 10 989,491,000 50 1,187,389,000 60

    Newala 1,389,600,000 138,960,000 10 694,800,000 50 833,760,000 60

    Tandahimba 4,561,273,000 456,127,000 10 2,280,636,000 50 2,736,763,000 60

    JUMLA 23,060,191,000 2,306,018,000 10 11,530,096,000 50 13,836,114,000 60

    5.2 FEDHA ZA RUZUKU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA MWAKA 2017/18

    Katika mwaka 2017/18 Mkoa unakadiria kukusanya na kutumia fedha za ruzuku

    toka Serikali kuu jumla ya shilingi 139,100,329,000.00 kwa ajili ya kugharamia

    matumizi ya kawaida ambapo Sekretarieti ya Mkoa ni shilingi 7,178,976,000.00

    (5.16%) na Mamlaka za Serikali za Mitaa shilingi 131,921,353,000.00 (94.84%).

    Kimatumizi fedha hizo zinakusudiwa kugharamia maeneo yafuatayo;

  • 20

    5.2.1 Mishahara – Shilingi 130,922,202,000.00

    Katika mwaka 2017/18, kiasi cha shilingi 130,922,202,000.00 kinakadiriwa

    kutumika kwa ajili ya mishahara ya watumishi ambapo Sekretarieti ya Mkoa

    ni shilingi 5,514,656,000.00 (4.21%) na Mamlaka za Serikali za Mitaa

    shilingi 125,407,546,000.00 (95.79%).

    5.2.2 Matumizi Mengineyo – Shilingi 8,178,127,000.00

    Katika mwaka 2017/18, kiasi cha shilingi 8,178,127,000.00 kinakadiriwa

    kutumika kwa ajili ya matumizi mengineyo ambapo Sekretarieti ya Mkoa

    shilingi 1,664,320,000.00 (20.35%) na Mamlaka za Serikali za Mitaa shilingi

    6,513,807,000.00 (79.65%).

    Ili kuwa na picha kamili ya makadirio ya matumizi ya kawaida kwa fedha za ruzuku

    mwaka 2017/18. Jedwali namba 21 linaonesha mchanganuo wake.

    Jedwali Na.21: Makadirio ya Matumizi ya Kawaida kwa ruzuku mwaka 2017/2018.

    MAMLAKA

    MATUMIZI YA KAWAIDA

    MISHAHARA MATUMIZI

    MENGINEYO JUMLA

    Sekretarieti ya Mkoa 5,514,656,000 1,664,320,000 7,178,976,000

    Mamlaka za Serikali za Mitaa

    Mtwara Mikindani 14,317,074,000 676,190,000 14,993,264,000

    Masasi Mji 11,865,530,000 575,851,000 12,441,381,000

    Newala Mji 750,246,000 455,767,000 1,206,013,000

    Nanyamba Mji 8,297,661,000 462,151,000 8,759,812,000

    Mtwara 13,806,577,000 637,800,000 14,444,377,000

    Newala 20,692,932,000 848,015,000 21,540,947,000

    Masasi 19,264,953,000 1,043,086,000 20,308,039,000

    Tandahimba 20,539,348,000 1,078,983,000 21,618,331,000

    Nanyumbu 15,873,225,000 735,964,000 16,609,189,000

    Jumla ya MSM 125,407,546,000 6,513,807,000 131,921,353,000

    JUMLA KUU 130,922,202,000 8,178,127,000 139,100,329,000

  • 21

    Nyongeza: Sehemu ya mishahara ya Halmashauri ya mji Newala imekasimiwa

    katika Halmashauri mama ya Wilaya ya Newala. Halmashauri ya mji Newala ni

    mpya, hivyo utaratibu wa kuhamisha watumishi katika mfumo wa kiutumishi bado

    haujakamilika.

    5.2.3 Shughuli zitakazotekelezwa

    Baadhi ya shughuli zitakazotekelezwa kwa mwaka 2017/2018 ni kama

    ifuatavyo;

    a) Sekretarieti ya Mkoa

    Kuendesha vikao mbalimbali ya kisheria.

    Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika Mkoa.

    Kulipa mishahara na stahili mbalimbali kwa watumishi na viongozi.

    Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.

    Kuendelea kuzisimamia na kuzishauri Halmashauri.

    Kuratibu ziara mbalimbali za viongozi wa kitaifa.

    Kuratibu shughuli za kukimbiza mwenge wa uhuru.

    b) Mamlaka za Serikali za Mitaa

    Kuratibu shughuli za kukimbiza mwenge.

    Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.

    Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika Wilaya.

    Ulipaji wa Mishahara na stahili mbalimbali za watumishi na viongozi.

  • 22

    5.3 FEDHA ZA RUZUKU KWA MIRADI YA MAENDELEO MWAKA 2017/2018.

    Ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo kwa mwaka 2017/18 Mkoa unakadiria

    kukusanya na kutumia fedha za ruzuku jumla ya shilingi 34,331,773,000.00 ambapo

    fedha za ndani ni shilingi 23,022,280,000.00 (67.06%) na fedha za nje ni shilingi

    11,309,493,000.00 (32.94%).

    Katika fedha hizo Sekretarieti ya Mkoa inakadiria kukusanya na kutumia jumla ya

    Shilingi 1,699,231,000 ambapo fedha za ndani shilingi 1,330,000,000.00 (78.27%)

    na fedha za nje ni shilingi 369,150,000.00 (21.73%). Mamlaka za Serikali za Mitaa

    zinakadiria kukusanya na kutumia jumla ya shilingi 32,632,623,000.00 ambapo

    fedha za ndani ni shilingi 21,692,280,000.00 (66.47%) na fedha za nje ni shilingi

    10,940,343,000.00 (33.53%). Jedwali Na 22 linaonesha mchanganuo wake.

    Jedwali Na. 22: Mchanganuo wa fedha za Miradi ya Maendeleo mwaka 2017/18

    MAMLAKA FEDHA ZA

    NDANI FEDHA ZA NJE JUMLA

    Sekretarieti ya Mkoa 1,330,000,000 369,150,000 1,699,150,000

    Mamalaka za Serikali za Mitaa

    Mtwara Mikindani 2,064,698,000 4,536,533,000 6,601,231,000

    Masasi Mji 2,293,931,000 321,330,000 2,615,261,000

    Nanyamba Mji 2,929,565,000 347,201,000 3,276,766,000

    Newala Mji 2,835,166,000 166,385,000 3,001,551,000

    Mtwara 2,286,385,000 550,447,000 2,836,832,000

    Newala 1,503,175,000 587,351,000 2,090,526,000

    Masasi 3,752,900,000 958,227,000 4,711,127,000

    Tandahimba 2,370,389,000 2,908,946,000 5,279,335,000

    Nanyumbu 1,656,071,000 563,923,000 2,219,994,000

    Jumla MSM 21,692,280,000 10,940,343,000 32,632,623,000

    JUMLA 23,022,280,000 11,309,493,000 34,331,773,000

    Nyongeza: Mgawanyo kwa kila mradi umeoneshwa katika kiambatisho namba.4

  • 23

    5.3.1 Miradi itakayotekelezwa

    Baadhi ya programu/miradi ya maendeleo itakayotekelezwa katika kipindi cha

    mwaka 2017/18 ni pamoja na ifuatayo;

    a) Sekretarieti ya Mkoa

    Ukarabati wa ofisi ya mkuu wa mkoa.

    Ujenzi wa ofisi 3 za tarafa.

    Ukarabati wa hospitali ya mkoa.

    Ujenzi wa kituo bora cha elimu.

    Usimamizi wa programu ya maji vijijini na usafi wa mazingira.

    Ujenzi wa nyumba 3 za Maafisa Tarafa.

    Utekelezaji wa mfuko wa pamoja wa sekta ya afya (HSBF).

    Utekelezaji wa program ya usimamizi wa fedha za umma (PFMRP).

    Ukarabati wa ofisi za 5 za wakuu wa wilaya.

    Ukarabati wa nyumba 7 za viongozi wa kimkoa.

    Ununuzi wa pikipiki 25 za Maafisa Tarafa.

    b) Mamlaka za Serikali za Mitaa

    Utekelezaji wa programu ya maendeleo ya elimu ya Sekondari (SEDP).

    Utekelezaji wa programu ya maji vijijini na usafi wa mazingira (RWSSP).

    Ujenzi wa miundombinu ya barabara.

    Ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya kiutawala kama ofisi.

    Utekelezaji wa miradi ya fedha za mfuko wa jimbo.

    Utekelezaji wa mfuko wa pamoja wa sekta ya afya.

    Utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini.

    Utekelezaji wa program za elimu bure kwa shule za msingi na sekondari.

  • 24

    6.0 HITIMISHO

    Jumla ya fedha zinazokadiriwa kukusanywa na kutumika na Mkoa wa Mtwara kwa

    mwaka 2017/2018 ni shilingi 202,583,966,000.00. Kati ya fedha hizo Mishahara ni

    shilingi 130,922,202,000.00 sawa na 64.63%, Matumizi ya Mengineyo ni shilingi

    19,838,873,000.00 sawa na 9.79% na Miradi ya Maendeleo shilingi

    51,822,891,000.00 sawa na 25.58%. Jedwali Na. 23 linaonesha mchanganuo huo.

    Jedwali Na.23: Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mkoa mwaka 2017/2018

    MAMLAKA MISHAHARA MATUMIZI

    MENGINEYO

    MIRADI YA MAENDELEO

    FEDHA ZA

    NDANI

    FEDHA ZA

    NJE

    RS 5,514,546,000 1,664,320,000 1,330,000,000 369,150,000

    HALMASHAURI 125,407,546,000 18,174,553,000 39,183,398,000 10,940,343,000

    JUMLA 130,922,202,000 19,838,873,000 40,513,398,000 11,309,493,000

    150,761,075,000 51,822,891,000

    JUMLA KUU 202,583,966,000

    Nyongeza: Takwimu za ulinganifu wa kibajeti kwa mwaka 2015/16, 2016/17 na

    2017/18 zimeoneshwa katika kiambatisho namba 3.

    Maelezo ya kina yanapatikana katika nakala za Randama zilizowasilishwa na Mkoa

    Fungu 80 kama ifuatavyo:

    Matumizi ya Kawaida Mkoa na Halmashauri zake yameonyeshwa katika

    ukurasa 16 hadi ukurasa 52

    Matumizi ya Maendeleo Mkoa na Halmashauri zake yameonyeshwa katika

    ukurasa 53 hadi ukurasa 59.

  • 25

    Hivyo, kwa jumla naomba kuidhinishiwa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya

    Mkoa wa Mtwara (Fungu 80) jumla ya shilingi 202,583,966,000.00 kwa mwaka wa

    fedha 2017/2018 sawa na ongezeko la shilingi 30,632,448,000.00 (17.81%)

    ikilinganishwa na makadirio ya mwaka 2016/2017 ya shilingi 171,951,518,000.00.

    Naomba kuwasilisha,

    Halima O.Dendego MKUU WA MKOA

    MTWARA

  • KIAMBATISHO NA.1

  • W/WAKE KIASI VIJANA KIASI JUMLA

    Mtwara MC 258,987,000 126,700,000 48.92 40 111,500,000 4 15,200,000 126,700,000

    Masasi TC 104,421,000 70,665,955 67.67 42 54,300,000 10 16,365,955 70,665,955

    Newala TC 83,124,000 64,500,000 77.59 11 33,000,000 10 31,500,000 64,500,000

    Nanyamba TC 116,746,000 104,725,000 89.70 25 56,008,000 22 48,717,000 104,725,000

    Mtwara 110,661,000 52,740,000 47.66 17 22,000,000 11 30,740,000 52,740,000

    Masasi 187,593,000 125,500,000 66.90 27 54,900,000 45 70,600,000 125,500,000

    Nanyumbu 144,478,000 111,975,000 77.50 26 55,975,000 24 56,000,000 111,975,000

    Newala 116,274,000 48,002,000 41.28 9 25,000,000 9 23,002,000 48,002,000

    Tandahimba 377,485,000 6,818,968 1.81 1 1,818,968 1 5,000,000 6,818,968

    JUMLA 1,499,769,000 711,626,923 47.45 198 414,501,968 136 297,124,955 711,626,923

    KIASI CHA FEDHA NA IDADI YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA HADI FEBRUARI, 2017

    KIAMBATISHO NAMBA.1

    HALMASHAURIFEDHA

    TENGWA

    FEDHA

    KOPESHWA%

    IDADI YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA

    26

  • KIAMBATISHO NA.2

  • NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1 Mkope 1,000,000

    2 Mshikamano 2,000,000

    3 Amani 5,000,000

    4 Maendeleo 1,520,000

    5 Subira 6,000,000

    6 Umoja 1,000,000

    7 Tujikwamue 1,000,000

    8 Mapambano 3,000,000

    9 Ukombozi 2,000,000

    10 Azimio 1,000,000

    11 Mwamko 1,000,000

    12 Mshikamano 1,000,000

    13 Wapendanao 2,000,000

    14 Upendo 3,000,000

    15 Mtazamo 1,000,000

    16 Tujikomboe II 1,000,000

    17 Tupenane 3,000,000

    18 Niwezeshe 2,000,000

    19 Uchuwelana 1,500,000

    20 Nguvu Kazi 2,000,000

    21 Umoja 2,000,000

    22 Upendo 2,000,000

    23 Amani 3,000,000

    24 Himahima 2,500,000

    25 Umoja 1,500,000

    26 Upendo 1,000,000

    27 Ukombozi 1,000,000

    28 Tujiendeleze 1,000,000

    29 Tuvumiliane 2,000,000

    30 Jitegemee B 3,000,000

    31 Msambweni 1,500,000

    32 Mshikamano 1,000,000

    33 Jikwamue 1,000,000

    34 Juhudi 1,000,000

    35 Mshikamano 1,500,000

    36 Jikomboe 2,000,000

    37 Sasa Kazi 1,000,000

    38 Nguvu Kazi 1,000,000

    39 Umoja ni nguvu 2,000,000

    40 Tupendane 2,000,000

    KIAMBATISHO NAMBA 2

    HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI

    ORODHA YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA KWA KILA HALMASHAURI

    27

  • 41 Jipemoyo 1,580,000

    42 Juhudi A 2,000,000

    43 Tumaini 1,000,000

    44 Maendeleo B 2,000,000

    45 Ukombozi 1,000,000

    46 Jipemoyo 1,500,000

    47 Kaza moyo 1,500,000

    48 Wanawake na Maendeleo 1,500,000

    49 Furaha 1,500,000

    50 Mwamko 1,000,000

    51 Nguvu Kazi 1,500,000

    52 Tumaini 1,000,000

    53 Vumilia 1,000,000

    54 Mwangaza 2,000,000

    55 Umoja ni nguvu 1,000,000

    56 Tumaini 2,000,000

    57 Umoja 1,000,000

    58 Upendano 1,000,000

    59 Wema 1,000,000

    60 Motomoto 2,000,000

    61 Changamoto 1,000,000

    62 Jipe moyo 1,300,000

    63 Tumaini 1,000,000

    64 Mshikamno 1,600,000

    65 Mwangaza arts group 1,500,000

    66 Mshikamano 2,000,000

    67 Ukombozi 2,000,000

    68 Mafanikio 2,000,000

    69 VIBIMKU 1,000,000

    70 Amani 1,000,000

    71 Mshikamano 7,000,000

    72 Umoja 2,000,000

    JUMLA 125,500,000

    28

  • NA JINA LA KIKUNDIKIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1 Zinduka 1,000,000.00

    2 Wanawake tunaweza 500,000.00

    3 Kikundi cha Matunda-Mkarakate 2,000,000.00

    4 Kikundi cha Maishabora 1,000,000.00

    5 Motomoto 1,000,000.00

    6 Tuinuane 1,000,000.00

    7 Uhuru na Umoja-Namatunu 1,000,000.00

    8 Boresha maisha 865,955.00

    9 Kikundi cha Mshikamano Mumbaka 2,000,000.00

    10 Mothers Union-Mumbaka 1,000,000.00

    11 Akina mama amkeni 1,000,000.00

    12 Wajane Nyasa B 800,000.00

    13 4 Energe plus group-Nyasa 2,000,000.00

    14 Tufarijiane Nyasa 1,000,000.00

    15 Kikundi cha Wamama (wamawa)- Matangini 1,000,000.00

    16 Kikundi cha MWESE- Nyasa 1,000,000.00

    17 Kikundi cha Amani-Nyasa 3,500,000.00

    18 Kikundi cha Umoja-Maendeleo Nyasa 1,500,000.00

    19 Tegemeo 1,000,000.00

    20 Muungano- Wapi wapi Masasi 1,000,000.00

    21 Kikundi cha Hekima 2,000,000.00

    22 Masasi Handwork Women Group 3,000,000.00

    23 Imara 1,000,000.00

    24 Mshikamano 1,000,000.00

    25 Kikundi cha Jiwezeshe - Rest camp 500,000.00

    26 Kikundi cha Tumaini- Migongo 1,500,000.00

    27 Kikundi cha Dimerayo-Migongo 1,000,000.00

    28 Kikundi cha Furaha - Mkunguni 1,000,000.00

    29 CHAVIMA 2,500,000.00

    30 Kikundi cha Umoja Misufini 2,500,000.00

    31 Tegemeo 900,000.00

    32 Kikundi cha amkeni 1,000,000.00

    33 Vikoba Mkasala 4,000,000.00

    34 Mwalole Aajenu 1,000,000.00

    35 Tujiamini group 1,000,000.00

    36 Ushirikiano 1,000,000.00

    37 Vijana na maendeleo 1,000,000.00

    38 Kikundi cha Tupendane 1,000,000.00

    39 Sisi kwa sisi 1,000,000.00

    40 Kikundi cha Tujiamini-Magumuchila 1,000,000.00

    41 Kikundi cha Tusibaguane-Jida 1,000,000.00

    HALMASHAURI YA MJI MASASI

    29

  • 42 Africa Sanaa Group- Mkuti 1,000,000.00

    43 Kikundi cha Tukamusyane- Sabsaba 2,000,000.00

    44 Umoja 1,000,000.00

    45 Amani mama lishe 1,000,000.00

    46 Kikundi cha Ushindi-Mtandi 1,000,000.00

    47 Kikundi cha Mwaniona FC Benaco 5,000,000.00

    48 Jipe moyo 800,000.00

    49 Upendo 800,000.00

    50 Kikundi cha Imani Chisegu 1,000,000.00

    51 Kikundi cha Vumilia-Chisegu 1,000,000.00

    52 Kikundi cha Songa 1,000,000.00

    JUMLA 70,665,955.00

    30

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA

    NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1. JIKOMBOE 1,000,000.00

    2. JIPE MOYO 2,500,000.00

    3. KILIMO IMANI 1,000,000.00

    4. MUUNDO MPYA 4,700,000.00

    5. FURAHA 800,000.00

    6 MSIMAMO GROUP 1,500,000.00

    7 MAENDELEO 1,000,000.00

    8 JITEGEMEE 2,300,000.00

    9 JITEGEMEE 2,500,000.00

    10 MWANGAZA 1,000,000.00

    11 MSODEGO 940,000.00

    12 WAMAMA GROUP 1,000,000.00

    13 TUMBAMA 500,000.00

    14 TUJIKOMBOE 2,000,000.00

    15 MSHIKAMANO GROUP 1,000,000.00

    16 UMOJA NI NGUVU 500,000.00

    17 MAENDELEO 700,000.00

    18 KUJIENDELEZA VIJANA GROUP 1,300,000.00

    19 MUUNDO MPYA 1,500,000.00

    20 HAPA KAZI TU 5,000,000.00

    21 MWANZO MGUMU 2,000,000.00

    22 COMANDO 5,000,000.00

    23 MABADILIKO 3,000,000.00

    24 WAKULIMA GROUP 2,000,000.00

    25 USHIRIKA GROUP 2,000,000.00

    26 MSHIKAMANO 2,500,000.00

    27 JITAHIDI GROUP 1,500,000.00

    28 HAMBEJA GROUP 2,000,000.00

    JUMLA 52,740,000.00

    31

  • NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO

    WALICHOKOPESHWA

    1 MTAWANYA TUNAWEZA WOMEN GROUP 2,000,000.00

    2 UVUMILIVU GROUP 2,000,000.00

    3 UZALENDO GROUP 2,000,000.00

    4 USAFI GROUP 3,000,000.00

    5 MINDI GROUP 2,000,000.00

    6 UPENDO GROUP 2,000,000.00

    7 NIA MOJA GROUP 2,000,000.00

    8 VIJANA TUMAINI JIPYA 1,000,000.00

    9 MKEJA GROUP 2,000,000.00

    10 MAFUNDI MCHANGANYIKO GROUP 2,000,000.00

    11 TUNAJIAMINI GROUP 1,500,000.00

    12 JITUME GROUP 3,000,000.00

    13 SHIKWAMBI GROUP 2,500,000.00

    14 TUPENDANE GROUP 2,000,000.00

    15 JITAHIDI GROUP 2,000,000.00

    16 IDANTUKOJE GROUP 2,000,000.00

    17 TUINUANE GROUP 2,000,000.00

    18 USHIRIKA GROUP 4,000,000.00

    19 JITEGEMEE GROUP 1,000,000.00

    20 UKOMBOZI GROUP 4,000,000.00

    21 KUJIKOMBOA GROUP 2,500,000.00

    22 MAMA LISHE GROUP 1,000,000.00

    23 MAKUBALIANO GROUP 5,000,000.00

    24 TUYANGATANE MIKINDANI 2,000,000.00

    25 MUUNGANO GROUP 5,000,000.00

    26 JUHUDI GROUP-MAJENGO 5,000,000.00

    27 SARAFU GROUP KISUTU 3,500,000.00

    28 KIKUNDI CHA WAZEE TANDIKA B 2,000,000.00

    29 KIKUNDI CHA MMINGANO 2,000,000.00

    30 VUMILIA GROUP TANDIKA 1,500,000.00

    31 TUSAIDIANE GROUP 5,000,000.00

    32 MSHIKAMANO GROUP LIGULA C 5,000,000.00

    33 MABADILIKO GROUP 2,500,000.00

    34 TUINUE GROUP MITENGO 2,500,000.00

    35 KAZI NI KAZI LIGULA 5,198,000.00

    36 UMOJA NI USHINDI 1,464,000.00

    37 ONDOA WASIWASI GROUP 5,060,000.00

    38 VAKUKAYA GROUP 1,958,000.00

    39 MAPAMBANO GROUP 5,212,000.00

    40 TUVAMO GROUP 4,000,000.00

    41 WANARIKA 4,000,000.00

    42 TUPENDANE UFUKONI STENDI 3,000,000.00

    43 JUHUDI YETU 3,608,000.00

    44 TUPENDANE TANDIKA 4,700,000.00

    JUMLA 126,700,000.00

    HALMASHAURI YA MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI

    32

  • NA JINA LA KIKUNDIKIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1 CHIPAPAYUNGU 1,800,000.00

    2 TUNAUKINA 1,800,000.00

    3 TULIA 1,800,000.00

    4 MAPAMBANO 1,800,000.00

    5 KIKUNDI CHA ZAM 1,800,000.00

    6 NGUVU KAZI 1,800,000.00

    7 KILIMO GROUP 1,800,000.00

    8 MAENDELEO 1,800,000.00

    9 JUHUDI 1,800,000.00

    10 UKOMBOZI 1,800,000.00

    11 NGUVU KAZI 2,500,000.00

    12 UMOJA 2,300,000.00

    13 MSHIKAMANO 2,000,000.00

    14 MBOGAMBOGA 3,000,000.00

    15 JUMUIYA YA WAZAZI MAJENGO 2,400,000.00

    16 MSHIKAMANO 2,200,000.00

    17 UKOMBOZI MAMA 3,000,000.00

    18 TUDUMISHE 2,400,000.00

    19 NGUVU KAZI 2,000,000.00

    20 WAMAKI 2,130,000.00

    21 HAMASA 2,098,000.00

    22 UKOMBOZI 3,000,000.00

    23 UMOJA NI NGUVU 2,400,000.00

    24 WAKITU GROUP 2,230,000.00

    25 MWONGOZO 2,400,000.00

    26 TUMAINI 2,100,000.00

    27 JIPE MOYO 2,000,000.00

    28 PANGAKAZI 2,000,000.00

    29 JIPE MOYO 2,350,000.00

    30 TUMAINI 2,300,000.00

    31 MUUNGANO 2,000,000.00

    32 KILIMAHEWA GROUP 2,100,000.00

    33 UMOJA UHUNZI 2,000,000.00

    34 JITEGEMEE 2,000,000.00

    35 CHANGAMOTO 2,100,000.00

    36 MAGEUZI 2,000,000.00

    37 VUMILIA 2,600,000.00

    38 MWAMKO 2,000,000.00

    39 TUTAWEZA 2,500,000.00

    40 MAENDELEO 2,000,000.00

    HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA

    33

  • 41 TUJIKWAMUE 3,658,000.00

    42 TUNAWEZA 2,300,000.00

    43 UMOJA 2,009,000.00

    44 JUHUDI 2,150,000.00

    45 NGUVU KAZI 2,000,000.00

    46 JIKOMBOE 4,300,000.00

    47 USHIRIKA 2,200,000.00

    104,725,000.00

    34

  • NA JINA LA KIKUNDIKIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1 BODABODA NANGOMBA 3,500,000.00

    2 UJASIRIAMALI TUPO PAMOJA 2,000,000.00

    3 NAHIRA GROUP 2,000,000.00

    4 MFANO 1,500,000.00

    5 KUCHEELE 1,500,000.00

    6 ISHARA 2,000,000.00

    7 NYOTA 1,500,000.00

    8 DARAJA LA UMOJA 1,500,000.00

    9 JIUNGENI 1,500,000.00

    10 WACHAPA KAZI 1,500,000.00

    11 MSHIKAMANO-CHANGWALE 2,000,000.00

    12 HAPA KAZI TU 2,000,000.00

    13 TUMAINI 2,000,000.00

    14 MABADILIKO 2,500,000.00

    15 KM BODABODA 6,000,000.00

    16 UMOJA WA WANAWAKE 1,500,000.00

    17 ECONOMY GROUP 3,000,000.00

    18 JARIBUNI 2,000,000.00

    19 VIKOBA JALIMUDA GN 025 2,000,000.00

    20 USHONAJI 1,500,000.00

    21 NUFAIKA 2,000,000.00

    22 UPENDO KCU MCHANGANI A 2,000,000.00

    23 AKINAMAMA 2,000,000.00

    24 UPENDO WOMEN GROUP 1,500,000.00

    25 UHURU 1,500,000.00

    26 ATHIANARU 2,000,000.00

    27 SHUJETA 2,000,000.00

    28 MOTOMOTO 2,000,000.00

    29 TULOTANE 2,000,000.00

    30 KINYUMBU 2,500,000.00

    31 ULONGO 2,000,000.00

    32 TUELIMIKE 5,475,000.00

    33 MILEPA 2,000,000.00

    34 MSHIKAMANO 3,000,000.00

    35 UVIMAWATINA 2,000,000.00

    36 VIWANA 3,000,000.00

    37 ANENE AHEWA 2,000,000.00

    38 VUMILIA KILIMO 2,000,000.00

    39 KILIMO KWANZA 3,000,000.00

    40 MAENDELEO 2,000,000.00

    HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU

    35

  • 41 NEHALE 2,000,000.00

    42 RULIMANA 2,500,000.00

    43 MPACHIKA 2,000,000.00

    44 NGUVU MOJA 2,000,000.00

    45 NYENGEDI 2,500,000.00

    46 TUSHIRIKIANE 2,000,000.00

    47 TUINUANE 2,000,000.00

    48 KUTANDA KULEMA 2,500,000.00

    49 ENDELEZA KILIMO 2,500,000.00

    50 MASHUJAA 3,000,000.00

    JUMLA 111,975,000.00

    36

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA

    NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1 GANGA NJAA 2,500,000.00

    2 NYOTA YA AFRIKA 2,500,000.00

    3 IMANI SANAA GROUP 2,000,000.00

    4 SISI KWA SISI 2,500,000.00

    5 MMAITECHI 2,500,000.00

    6 NYOTA NJEMA 2,500,000.00

    7 MAENDELEO 3,000,000.00

    8 AMKENI 2,500,000.00

    9 TUKAZANE 3,000,000.00

    10 KIKUNDI CHA SANAA KITANGARI 3,000,000.00

    11 UMOJA VICOBA 3,000,000.00

    12 TUPWECHELANE 3,000,000.00

    13 AMKENI ‘B’ 3,000,000.00

    14 CHINGACHAMUYO 4,000,000.00

    15 MAENDELEO VICOBA 3,500,000.00

    16 TUUNGANE 3,000,000.00

    17 MUUNGANO 2,500,000.00

    18 MAENDELEO 2,000.000.00

    JUMLA 48,002,000.00

    37

  • HALMASHAURI YA MJI NEWALA

    NA JINA LA KIKUNDI

    KIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1 TUMAINI 2,500,000

    2 KECHI WELDERS 2,500,000

    3 MAPAMBANO 2,500,000

    4 MOKA VILL 4,000,000

    5 HAPA KAZI TU 5,000,000

    6 MANITERA 3,500,000

    7 MAJIMAJI 3,000,000

    8 MAENDELEO 4,000,000

    9 MUKOMBOZI 2,500,000

    10 UPENDO 3,000,000

    11 TUKAZANE 4,000,000

    12 KOMESHA 2,000,000

    13 TUJIKOMBOE 3,000,000

    14 TUUNGANE 2,000,000

    15 TUJIKOMBOE 3,000,000

    16 TAKATUKA GROUP 4,000,000

    17 JITEGEMEE 3,000,000

    18 TWENDE PAMOJA 4,000,000

    19 MZALENDO 3,000,000

    20 IMANI 2,000,000

    21 JUHUDI 2,000,000

    JUMLA 64,500,000

    38

  • HALMASHAURI YA WILAYA YA TANDAHIMBA

    NA JINA A KIKUNDI KIASI CHA MKOPO

    WALICHOPATA

    1 Akina mama 5,000,000.00

    2 Umoja ni nguvu 1,818,968.00

    JUMLA 6,818,968.00

    39

  • KIAMBATISHO NA.3

  • 1

    Kiambatisho Na.3

    FUNGU 80-MKOA WA MTWARA

    ULINGANIFU WA BAJETI KWA MIAKA 2015/2016, 2016/2017 NA 2017/2018.

    ENEO 2015/16

    2016/17 2017/18

    KIASI ONGEZEKO/

    PUNGUFU KIASI

    ONGEZEKO/

    PUNGUFU

    SEKRETARIETI YA MKOA

    MISHAHARA 6,360,640,000 5,372,873,000 -987,767,000 5,514,656,000 141,783,000

    OC 1,579,358,000 1,557,851,000 -21,507,000 1,664,320,000 106,469,000

    MIRADI Fedha za ndani 798,377,000 1,110,000,000 311,623,000 1,330,000,000 220,000,000

    Fedha za nje 173,811,000 467,566,000 293,755,000 369,150,000 -98,416,000

    JUMLA NDOGO 8,912,186,000 8,508,290,000 -403,896,000 8,878,126,000 369,836,000

    MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA

    MISHAHARA 111,146,130,000 108,531,655,000 -2,614,475,000 125,407,546,000 16,875,891,000

    OC 11,322,418,000 20,349,014,000 9,026,596,000 18,174,553,000 -2,174,461,000

    MIRADI Fedha za ndani 8,290,351,000 25,984,248,000 17,693,897,000 39,183,398,000 13,199,150,000

    Fedha za nje 4,335,833,000 8,578,311,000 4,242,478,000 10,940,343,000 2,362,032,000

    JUMLA NDOGO 135,094,732,000 163,443,228,000 28,348,496,000 193,705,840,000 30,262,612,000

    JUMLA KUU 144,006,918,000 171,951,518,000 27,944,600,000 202,583,966,000 30,632,448,000

    40

  • ULINGANIFU WA MALENGO YA MAKUSANYO YA MAPATO YA NDANI KWA HALMASHAURI KWA MWAKA

    2015/16, 2016/17 NA 2017/18

    HALMASHAURI 2015/16

    2016/17 2017/18

    KIASI ONGEZEKO/

    PUNGUFU KIASI

    ONGEZEKO/PUNGUFU

    KIASI %

    Mtwara Mikindani 3,205,204,000 4,542,968,000 1,337,764,000 5,681,867,000 1,138,899,000 25.07

    Masasi Mji 1,872,229,000 1,867,104,000 -5,125,000 2,708,564,000 841,460,000 45.07

    Newala Mji 0 1,939,486,000 1,939,486,000 2,216,082,000 276,596,000 14.26

    Nanyamba Mji 1,043,001,000 1,226,868,000 183,867,000 2,115,930,000 889,062,000 72.47

    Mtwara 1,631,242,000 2,306,244,000 675,002,000 2,623,495,000 317,251,000 13.76

    Masasi 3,778,152,000 4,003,191,000 225,039,000 4,169,626,000 166,435,000 4.16

    Nanyumbu 1,800,372,000 2,407,389,000 607,017,000 2,941,967,000 534,578,000 22.21

    Newala 2,996,000,000 1,996,264,000 -999,736,000 2,062,662,000 66,398,000 3.33

    Tandahimba 4,773,334,000 4,882,214,000 108,880,000 5,813,468,000 931,254,000 19.07 JUMLA 21,099,535,000 25,171,728,000 4,072,193,000 30,333,661,000 5,161,933,000 20.51

    *Halmashauri hiyo ilikuwa haijaanzishwa.

    41

  • KIAMBATISHO NA.4

  • CODE MRADI MTWARA MC MASASI TC NANYAMBA

    TC NEWALA TC MTWARA DC NEWALA DC MASASI DC

    TANDAHIMBA

    DC

    NANYUMBU

    DC

    6277 LGDG 943,057,000 922,736,000 900,744,000 832,036,000 997,184,000 933,293,000 1,400,444,000 1,326,173,000 1,048,159,000

    6209

    MFUKO WA

    JIMBO 36,529,000 36,559,000 41,858,000 - 44,140,000 79,236,000 76,975,000 51,909,000 48,743,000

    4322

    FREE PRI EDN

    PROGRM 235,189,000 250,757,000 337,969,000 262,474,000 349,006,000 343,676,000 730,353,000 649,131,000 441,158,000

    4393

    FREE SEC EDN

    PROGR 849,923,000 383,879,000 148,994,000 240,656,000 396,055,000 146,970,000 945,128,000 343,176,000 118,011,000

    4946 OWN SOURCE 3,402,612,000 1,303,137,000 1,267,134,000 1,327,111,000 1,571,074,000 1,187,322,000 2,497,000,000 3,173,918,000 1,761,810,000

    6402

    URBAN

    COUNCILS - 700,000,000 1,500,000,000 1,500,000,000 - - - - -

    6401

    DISTRICT

    COUNCILS - - - - 500,000,000 - 600,000,000 - -

    JUMLA 5,467,310,000 3,597,068,000 4,196,699,000 4,162,277,000 3,857,459,000 2,690,497,000 6,249,900,000 5,544,307,000 3,417,881,000

    CODE MRADI MTWARA MC MASASI TC NANYAMBA

    TC NEWALA TC MTWARA DC NEWALA DC MASASI DC

    TANDAHIMBA

    DC

    NANYUMBU

    DC

    5421 HSBF 180,774,000 187,805,000 222,095,000 102,458,000 267,834,000 297,396,000 532,622,000 444,883,000 398,455,000

    6517 UNICEF 114,502,000 64,417,000 - - 124,962,000 77,198,000 82,674,000 88,338,000 61,135,000

    3280 RWSSP 1,377,094,000 69,108,000 125,106,000 63,927,000 157,651,000 212,757,000 342,931,000 2,375,725,000 104,333,000

    6403 TSCP 2,864,163,000

    JUMLA 4,536,533,000 321,330,000 347,201,000 166,385,000 550,447,000 587,351,000 958,227,000 2,908,946,000 563,923,000

    JUMLA KUU 10,003,843,000 3,918,398,000 4,543,900,000 4,328,662,000 4,407,906,000 3,277,848,000 7,208,127,000 8,453,253,000 3,981,804,000

    FEDHA ZA NJE

    FEDHA ZA NDANI

    KIAMBATISHO NAMBA.4

    LGAS CEILING-DEVELOPMENT BUDGET LOCAL AND FOREIGN 2017/18

    42

    1MAELEZO YA RC2Kiambatisho Na.13kiambatisho1Masasi DC2Masasi TC3Mtwara DC4Mtwara MC5Nanyamba TC6Nanyumbu DC7Newala DC8Newala TC9Tandahimba

    4Kiambatisho Na.35Kiambatisho Na.4