ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa fungu 80 mkoa wa mtwara maelezo ya ... · 2018....
TRANSCRIPT
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
FUNGU 80
MKOA WA MTWARA
MAELEZO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA 2015/16,
NUSU MWAKA 2016/17 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI
YA MWAKA 2017/2018 KWA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA
UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa,
S.L.P 544,
MTWARA
Simu/Nukushi: 023 – 2333194
Barua pepe: [email protected]/[email protected]
Tovuti: www.mtwara.go.tz
Machi, 2017
mailto:[email protected]/[email protected]://www.mtwara.go.tz/
-
1
1.0 UTANGULIZI
Taarifa hii inaelezea kwa muhtasari utekelezaji wa bajeti ya Sekretarieti ya Mkoa na
Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka 2015/2016, nusu mwaka 2016/2017 na
Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2017/2018. Aidha, utekelezaji wa
bajeti ya Sekretarieti ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa unaongozwa na Dira
ya Taifa ya Maendeleo 2025, Malengo ya Maendeleo Endelevu, Ilani ya Uchaguzi
ya chama tawala (CCM) 2015, Mipango mikakati ya Sekretarieti ya Mkoa na
Mamlaka za Serikali za Mitaa, Mpango wa Matokeo Makubwa sasa (BRN), hotuba
ya Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa kuzindua Bunge la
11 na mipango mbalimbali ya kitaifa.
2.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA MWAKA 2015/2016
2.1 MADUHULI YA MKOA NA MAKUSANYO YA HALMASHAURI
2.1.1 Makadirio na Makusanyo ya Sekretarieti ya Mkoa kwa mwaka 2015/16
Katika kipindi cha mwaka 2015/16 Sekretarieti ya Mkoa ilitarajia kukusanya jumla
ya shilingi 541,000.00 kutoka chanzo cha kodi ya pango katika nyumba tano za
Serikali kama mapato ya Serikali yanayokwenda moja kwa moja Hazina. Hadi Juni,
2016 jumla ya shilingi 541,000.00 zilikusanywa sawa na asilimia 100.00 ya
makadirio.
2.1.2 Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri kwa mwaka 2015/16
Katika kipindi cha mwaka 2015/16 Halmashauri zilikadiria kukusanya mapato ya
ndani yenye jumla ya shilingi 21,099,534,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya
ndani. Hadi Juni, 2016 jumla ya shilingi 16,896,322,000.00 zilikusanywa sawa na
80.08% ya makadirio. Jedwali Na.1 linaonesha mchanganuo wake.
-
2
Jedwali Na.1: Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri hadi Juni, 2016
HALMASHAURI MAKADIRIO
MAKUSANYO HADI JUNI, 2016
MAKUSANYO
YASIYOLINDWA
MAKUSANYO
LINDWA JUMLA %
Mtwara Mikindani 3,205,204,000 2,592,380,000 143,146,000 2,735,526,000 85.35
Mtwara 1,631,242,000 1,283,855,000 42,789,000 1,326,644,000 81.33
Newala 2,996,000,000 1,731,777,000 849,717,000 2,581,494,000 86.16
Nanyumbu 1,800,372,000 1,258,864,000 309,419,000 1,568,283,000 87.11
Masasi 3,778,152,000 1,607,700,000 1,583,752,000 3,191,452,000 84.47
Masasi Mji 1,872,229,000 885,326,000 520,470,000 1,405,796,000 75.09
Tandahimba 4,773,334,000 2,222,403,000 1,219,992,000 3,442,395,000 72.12
Nanyamba Mji 1,043,001,000 630,847,000 13,885,000 644,732,000 61.82
JUMLA 21,099,534,000 12,213,152,000 4,683,170,000 16,896,322,000 80.08
Nyongeza: Makusanyo lindwa ni mapato yanayojumuisha vyanzo vya ada ya huduma (user fee),
mfuko wa afya ya jamii (CHF), mfuko wa elimu na export levy. Matumizi ya fedha hizi
huzingatia sheria ya CHF, Mfuko wa elimu na miongozo ya cost sharing na export levy.
Halmashauri hazikuweza kufikia malengo ya makusanyo kutokana na;
Kushuka kwa bei za mazao.
Kuchelewa kuidhinishwa kwa sheria ndogo.
Kuondolewa kwa ada mashuleni.
Mabadiliko ya hali ya hewa iliyoathiri uzalishaji wa mazao.
Vyama vya msingi kutolipa ushuru kwa wakati.
Kufungwa kwa baadhi ya makampuniya yanayoshughulika na utafutaji wa
gesi.
Matumizi mapato ya ndani katika miradi ya maendeleo kwa makusanyo
yasiyolindwa ni kama inavyooneshwa katika jedwali namba 2.
-
3
Jedwali Na.2: Matumizi ya makusanyo yasiyolindwa kwa mwaka 2015/2016
HALMASHAURI MAKUSANYO
YASIYOLINDWA
Wanawake na Vijana (10%) Miradi ya Maendeleo (50%)
Takiwa % Tolewa % Takiwa % Tolewa %
Mtwara MC 2,592,380,000 259,238,000 10 140,000,000 54.00 1,296,190,000 50 1,111,000,000 85.71
Mtwara 1,283,855,000 128,385,500 10 39,912,000 31.09 641,927,500 50 364,412,000 56.77
Newala 1,731,777,000 173,177,700 10 99,000,000 57.17 865,888,500 50 743,392,000 85.85
Nanyumbu 1,258,864,000 125,886,400 10 125,886,000 100.00 629,432,000 50 629,432,000 100.00
Masasi 1,607,700,000 160,770,000 10 160,770,000 100.00 803,850,000 50 803,850,000 100.00
Masasi TC 885,326,000 88,532,600 10 7,389,000 8.35 442,663,000 50 196,442,000 44.38
Tandahimba 2,222,403,000 222,240,300 10 222,240,000 100.00 1,111,201,500 50 1,078,328,000 97.04
Nanyamba TC 630,847,000 63,084,700 10 47,000,000 74.50 315,423,500 50 212,825,000 67.47
JUMLA 12,213,152,000 1,221,315,200 10 851,957,000 69.75 6,106,576,000 50 5,139,681,000 84.16
2.2 FEDHA ZA RUZUKU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA MWAKA 2015/2016
2.2.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka
2015/16
Katika mwaka 2015/16 Sekretarieti ya Mkoa iliidhinishwa jumla ya shilingi
7,939,998,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili kugharamia maeneo ya
mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi Juni, 2016 ni jumla ya
shilingi 6,245,155,000.00 sawa na 78.65% ya bajeti iliyoidhinishwa. Aidha, kiasi
kilichotumika ni shilingi 6,245,155,000.00 sawa na 100.00% ya fedha zilizotolewa.
Jedwali na.3 linaonesha mchanganuo wake.
Jedwali Na.3: Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Juni, 2016
KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA
KIASI % KIASI %
Mishahara 6,360,640,000 5,186,641,000 81.54 5,186,641,000 100.00
Matumizi Mengineyo 1,579,358,000 1,058,514,000 67.02 1,058,514,000 100.00
JUMLA 7,939,998,000 6,245,155,000 78.65 6,245,155,000 100.00
-
4
2.2.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri mwaka 2015/16
Katika mwaka 2015/16 Halmashauri ziliidhinishiwa fedha za ruzuku jumla ya
shilingi 122,468,548,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili kugharamia
maeneo ya mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi Juni, 2016
ni jumla ya shilingi 115,195,597,000.00 sawa na asilimia 94.06. Aidha, kiasi
kilichotumika ni shilingi 115,195,597,000.00 sawa na 100.00% ya fedha
zilizopokelewa. Jedwali Na.4 na 5 yanaonesha michanganuo yake.
Jedwali Na.4: Bajeti na Mapokezi ya fedha za Matumizi ya Kawaida hadi Juni, 2016
HALMASHAURI
BAJETI FEDHA TOLEWA
MISHAHARA MATUMIZI
MENGINEYO MISHAHARA
% MATUMIZI
MENGINEYO
%
Mtwara Mikindani 13,718,979,000 1,475,351,000 12,822,247,000 93.40 721,806,000 48.92
Masasi Mji 11,022,410,000 1,112,452,000 11,256,168,000 102.12 514,972,000 49.26
Mtwara 18,504,714,000 1,875,922,000 17,580,118,000 95.00 799,281,000 42.61
Masasi 20,133,814,000 2,436,761,000 18,044,491,000 89.62 1,190,069,000 48.84
Nanyumbu 11,275,735,000 1,170,557,000 12,546,496,000 111.27 492,793,000 42.10
Newala 17,072,549,000 1,610,226,000 18,079,728,000 105.90 714,270,000 44.36
Tandahimba 19,417,929,000 1,641,149,000 19,592,481,000 100.90 840,677,000 51.22
JUMLA 111,146,130,000 11,322,418,000 109,921,729,000 98.90 5,273,868,000 46.58
JUMLA KUU 122,468,548,000 115,195,597,000 94.06
Jedwali Na.5: Fedha zilizotolewa na kutumika kwa Matumizi ya kawaida hadi Juni, 2016
HALMASHAURI
FEDHA ZILIZOTOLEWA FEDHA ZILIZOTUMIKA
MISHAHARA MATUMIZI
MENGINEYO MISHAHARA
% MATUMIZI
MENGINEYO
%
Mtwara Mikindani 12,822,247,000 721,806,000 12,822,247,000 100.00 721,806,000 100.00
Masasi Mji 11,256,168,000 514,972,000 11,256,168,000 100.00 514,972,000 100.00
Mtwara 17,580,118,000 799,281,000 17,580,118,000 100.00 799,281,000 100.00
Masasi 18,044,491,000 1,190,069,000 18,044,491,000 100.00 1,190,069,000 100.00
Nanyumbu 12,546,496,000 492,793,000 12,546,496,000 100.00 492,793,000 100.00
Newala 18,079,728,000 714,270,000 18,079,728,000 100.00 714,270,000 100.00
Tandahimba 19,592,481,000 840,677,000 19,592,481,000 100.00 840,677,000 100.00
JUMLA 109,921,729,000 5,273,868,000 109,921,729,000 100.00 5,273,868,000 100.00
JUMLA KUU 115,195,597,000 115,195,597,000 100.00
-
5
2.2.3 Shughuli zilizotekelezwa hadi Juni, 2016
Orodha ya baadhi ya shughuli zilizotekelezwa na Sekretarieti ya Mkoa na
Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Juni, 2016 ni pamoja na;
a) Sekretarieti ya Mkoa
Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama ndani ya Mkoa.
Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.
Kutoa ushauri wa kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kuratibu shughuli mbalimbali za Serikali za kila siku za kutoa
huduma kwa wananchi.
Kulipa mishahara kwa watumishi.
Kuratibu uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.
Kuratibu ziara za viongozi mbalimbali wa Mkoa na kitaifa.
Kufanya ufuatiliaji wa shughuli zilizotekelezwa na Halmashauri.
Kutoa huduma za tiba na kinga katika hospitali ya Mkoa.
Ufuatiliaji wa uandikishaji wa wanafunzi kwa shule za msingi na
sekondari.
b) Mamlaka za Serikali za Mitaa
Kulipa mishahara kwa watumishi wote.
Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli zilizotekelezwa
katika Kata,Vijiji/Mitaa na Vitongoji.
Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.
Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.
Uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.
-
6
2.3 FEDHA ZA RUZUKU KWA MIRADI YA MAENDELEO MWAKA 2015/2016
2.3.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka
2015/16
Katika mwaka wa fedha 2015/16 Sekretarieti ya Mkoa iliidhinishiwa jumla ya
shilingi 972,188,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo
shilingi 798,377,000.00 (82.12%) ni fedha za ndani na shilingi 173,811,000.00
(17.88%) ni fedha za nje. Hadi kufikia Juni, 2016 jumla ya shilingi 465,793,000.00
zilitolewa sawa na asilimia 47.91. Aidha, kiasi kilichotumika ni shilingi
465,793,000.00 sawa na 100.00% ya fedha zilizopokelewa. Jedwali Na.6 linaonesha
mchanganuo wake.
Jedwali Na.6. Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Juni, 2016
KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA
KIASI % KIASI %
Fedha za Ndani 798,377,000 0 0.00 0 0.00
Fedha za Nje 173,811,000 465,793,000 267.98 465,793,000 100.00
JUMLA 972,188,000 465,793,000 47.91 465,793,000 100.00
2.3.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri mwaka 2015/16
Katika mwaka wa fedha 2015/16 Halmashauri ziliidhinishiwa jumla ya shilingi
12,626,184,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo, shilingi
8,290,351,000.00 (65.66%) ni fedha za ndani na shilingi 4,335,833,000.00
(34.34%) ni fedha za nje. Hadi kufikia Juni, 2016 jumla ya shilingi
5,159,436,000.00 zilitolewa sawa na 40.86%. Aidha, kiasi kilichotumika ni shilingi
3,469,425,000.00 sawa na 67.24% ya fedha zilizopokelewa. Jedwali Na.7 na 8
yanaonesha michanganuo yake.
-
7
Jedwali Na.7: Bajeti na Fedha za ruzuku ya miradi zilizotolewa hadi Juni, 2016
HALMASHAURI
BAJETI IDHINISHWA FEDHA TOLEWA
FEDHA ZA
NDANI
FEDHA ZA
NJE
FEDHA
ZA NDANI
% FEDHA ZA
NJE
%
Mtwara Mikindani 385,348,000 1,701,352,000 31,875,000 8.27 963,399,000 56.63 Masasi Mji 1,330,634,000 294,504,000 0 0 337,358,000 114.55 Mtwara 1,847,219,000 474,323,000 48,895,000 2.65 586,949,000 123.74 Masasi 1,395,196,000 463,441,000 85,405,000 6.12 827,157,000 178.48 Nanyumbu 977,565,000 317,845,000 41,328,000 4.23 457,997,000 144.09 Newala 1,136,853,000 518,426,000 45,889,000 4.04 1,177,945,000 227.22 Tandahimba 1,217,536,000 565,942,000 46,991,000 3.86 508,248,000 89.81
JUMLA 8,290,351,000 4,335,833,000 300,383,000 3.62 4,859,053,000 112.07
JUMLA KUU 12,626,184,000 5,159,436,000 40.86
Jedwali Na.8: Fedha za ruzuku ya miradi zilitolewa na zilizotumika hadi Juni, 2016
HALMASHAURI
FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA
FEDHA
ZA NDANI
FEDHA ZA
NJE
FEDHA
ZA NDANI
% FEDHA ZA
NJE
%
Mtwara Mikindani 31,875,000 963,399,000 25,375,000 79.61 527,251,000 54.73 Masasi Mji 0 337,358,000 0 0.00 282,302,000 83.68 Mtwara 48,895,000 586,949,000 33,006,000 67.50 210,942,000 35.94 Masasi 85,405,000 827,157,000 77,141,000 9032 388,357,000 46.95 Nanyumbu 41,328,000 457,997,000 24,696,000 59.76 446,327,000 97.45 Newala 45,889,000 1,177,945,000 45,889,000 100.00 944,446,000 80.18 Tandahimba 46,991,000 508,248,000 46,991,000 100.00 416,702,000 81.99
JUMLA 300,383,000 4,859,053,000 253,098,000 84.26 3,216,327,000 66.19
JUMLA KUU 5,159,436,000 3,469,425,000 67.24
Pamoja na fedha hizo, Halmashauri zilipokea na kutumia fedha za TASAF na mfuko
wa barabara kama inavyooneshwa katika jedwali namba 9.
Jedwali Na.9: Fedha za Tasaf na Barabara zilizitolewa na kutumika 2015/16
HALMASHAURI MAPOKEZI MATUMIZI
Barabara Tasaf Barabara % Tasaf % Mtwara Mikindani 903,305,000 602,142,000 493,222,000 54.60 602,142,000 100.00 Masasi Mji 936,536,000 705,303,000 843,516,000 90.07 705,158,000 99.98 Mtwara 1,585,116,000 2,373,997,000 1,223,240,000 77.17 2,360,881,000 99.45 Masasi 1,188,532,000 2,402,521,000 332,570,000 27.98 2,389,679,000 99.47 Nanyumbu 0 514,681,000 0 0 514,681,000 100.00 Newala 1,290,429,000 1,335,974,000 1,226,819,000 95.07 1,335,974,000 100.00 Tandahimba 695,894,000 1,553,294,000 602,147,000 86.53 1,464,992,000 94.32
JUMLA 6,599,812,000 9,487,912,000 4,721,514,000 71.51 9,373,507,000 98.79
-
8
2.3.3 Program/Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa hadi Juni, 2016.
Orodha ya baadhi ya Program/Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa na Sekretarieti
ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Juni, 2016 ni pamoja na;
a) Sekretarieti ya Mkoa
Kufuatilia utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), usimamizi na
ufuatiliaji wa sekta ya afya (HSBF), kufuatilia shughuli za mapambano
dhidi ya Ukimwi katika mkoa.
Utekelezaji wa programu ya menejimenti ya fedha za umma (PFMRP).
b) Mamlaka za Serikali za Mitaa
Ujenzi wa miundombinu katika shule za Msingi na Sekondari.
Ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya afya.
Kuendesha kampeni ya usafi wa mazingira.
Ujenzi wa majengo mbalimbali ya ofisi kama ofisi za vijiji na kata.
Utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), elimu (SEDP), afya (HSBF),
kilimo (ASDP) na mapambano dhidi ya Ukimwi.
Ujenzi wa miundombinu ya barabara.
Utekelezaji wa TASAF III
-
9
3.0 MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI KWA KIPINDI CHA JULAI HADI
FEBRUARI, 2017-MWAKA 2016/2017
3.1 MADUHULI YA MKOA NA MAKUSANYO YA HALMASHAURI MWAKA 2016/17
3.1.1 Makadirio na Makusanyo ya Sekretarieti ya Mkoa kwa mwaka 2016/17
Katika mwaka 2016/17 Sekretarieti ya Mkoa imeidhinishiwa kukusanya jumla ya
shilingi 541,000.00 kutoka chanzo cha kodi ya pango katika nyumba tano za Serikali
kama mapato ya Serikali yanayokwenda moja kwa moja Hazina. Hadi Februari,
2017 jumla ya shilingi 988,000.00 zimekusanywa sawa na 182.62% ya makadirio.
3.1.2 Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri kwa mwaka 2016/17
Katika mwaka 2016/17 Halmashauri zimeidhinishiwa kukusanya mapato ya ndani
yenye jumla ya shilingi 25,171,728,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani.
Hadi Februari, 2017 jumla ya shilingi 17,523,489,000.00 zimekusanywa sawa na
69.62% ya lengo. Jedwali Na.10 linaonesha mchanganuo wake.
Jedwali Na.10: Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri hadi Februari, 2017
HALMASHAURI
MAKADIRIO
MAKUSANYO HADI FEBRUARI, 2017
MAKUSANYO
YASIYOLINDWA
MAKUSANYO
LINDWA JUMLA %
Mtwara Mikindani 4,542,968,000 2,589,870,000 140,655,000 2,730,525,000 60.10
Masasi Mji 1,867,104,000 1,044,209,000 221,109,000 1,265,318,000 67.77
Newala Mji 1,939,486,000 831,238,000 254,821,000 1,086,059,000 55.99
Nanyamba Mji 1,226,868,000 1,167,464,000 27,082,000 1,194,546,000 97.36
Mtwara 2,306,244,000 1,106,606,000 12,000,000 1,118,606,000 48.50
Masasi 4,003,191,000 1,875,926,000 84,146,000 1,960,072,000 48.96
Nanyumbu 2,407,389,000 1,444,778,000 568,389,000 2,013,167,000 83.62
Newala 1,996,264,000 1,162,739,000 336,948,000 1,499,687,000 75.12
Tandahimba 4,882,214,000 3,774,852,000 880,657,000 4,655,509,000 95.35
JUMLA 25,171,728,000 14,997,682,000 2,525,807,000 17,523,489,000 69.62
-
10
Nyongeza: Makusanyo lindwa ni mapato yanayojumuisha vyanzo vya ada ya huduma (user fee),
mfuko wa afya ya jamii (CHF), mfuko wa elimu na export levy. Matumizi ya fedha hizi huzingatia
sheria CHF, Mfuko wa elimu na miongozo ya cost sharing na export levy.
Halmashauri hazikuweza kufikia wastani wa malengo ya makusanyo kwa kipindi
cha nusu mwaka kutokana na;
Kuchelewa kuidhinishwa kwa sheria ndogo.
Kodi ya majengo kukusanywa na TRA.
Wizara ya ardhi kutotoa marejesho ya 30%.
Matumizi mapato ya ndani katika miradi ya maendeleo kwa makusanyo
yasiyolindwa ni kama inavyooneshwa katika jedwali namba 11 ambapo jumla ya sh.
1,100,990,000 (73.41%) za wanawake na vijana zimetengwa kati ya sh.
1,499,769,000 zilizotakiwa na miradi mingine ya maendeleo jumla y ash.
4,952,237,000 (68.06%) zimetengwa kati ya sh. 7,275,882,000 zilizotakiwa.
Jedwali Na.11: Matumizi ya makusanyo yasiyolindwa hadi Februari, 2017
HALMASHAURI MAKUSANYO
YASIYOLINDWA
Wanawake na Vijana (10%) Miradi ya Maendeleo (50%)
Takiwa % Tolewa % Takiwa % Tolewa %
Mtwara MC 2,589,870,000 258,987,000 10 258,987,000 100.00 1,071,976,000 50 943,404,000 88.00
Masasi TC 1,044,209,000 104,421,000 10 68,966,000 66.05 522,105,000 50 206,338,000 39.52
Newala TC 831,238,000 83,124,000 10 64,729,000 77.87 415,619,000 50 371,802,000 89.45
Nanyamba TC 1,167,464,000 116,746,000 10 104,725,000 89.70 583,732,000 50 431,660,000 73.95
Mtwara 1,106,606,000 110,661,000 10 52,740,000 47.66 553,303,000 50 418,329,000 75.61
Masasi 1,875,926,000 187,593,000 10 187,024,000 99.69 937,963,000 50 351,902,000 37.51
Nanyumbu 1,444,778,000 144,478,000 10 107,000,000 74.06 722,389,000 50 722,389,000 100.0
Newala 1,162,739,000 116,274,000 10 50,000,000 43.00 581,369,000 50 255,225,000 43.90
Tandahimba 3,774,852,000 377,485,000 10 206,819,000 54.78 1,887,426,000 50 1,251,188,000 66.29
JUMLA 14,997,682,000 1,499,769,000 10 1,100,990,000 73.41 7,275,882,000 50 4,952,237,000 68.06
Nyongeza: Idadi ya vikundi vilivyokopeshwa imeaoneshwa katika kiambatisho
namba 1 na orodha ya vikundi imeoneshwa katika kiambatisho namba 2.
-
11
3.2 FEDHA ZA RUZUKU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA MWAKA 2016/2017
3.2.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka
2016/17
Katika mwaka 2016/17 Sekretarieti ya Mkoa iliidhinishwa jumla ya shilingi
6,930,724,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili kugharamia maeneo ya
mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi Februari, 2017 ni jumla
ya shilingi 4,291,935,000.00 sawa na 61.93% ya bajeti iliyoidhinishwa. Aidha, kiasi
kilichotumika ni shilingi 4,291,935,000.00 sawa na 100.00% ya fedha zilizotolewa.
Jedwali Na.12 linaonesha mchanganuo wake.
Jedwali Na.12: Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Februari, 2017
KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA
KIASI % KIASI %
Mishahara 5,372,873,000 3,218,787,000 56.91 3,218,787,000 100.00
Matumizi Mengineyo 1,557,851,000 1,073,148,000 68.89 1,073,148,000 100.00
JUMLA 6,930,724,000 4,291,935,000 61.93 4,291,935,000 100.00
Nyongeza: Sekretarieti ya Mkoa ilipokea jumla ya sh. 393,349,000 kwa ajili ya
kulipa madeni mbalimbali ikiwa madeni ya wazabuni sh. 31,802,000 na madeni ya
watumishi sh. 361,547,000.
3.2.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri mwaka 2016/17
Katika mwaka 2016/17 Halmashauri zimeidhinishiwa kukusanya fedha za ruzuku
zenye jumla ya shilingi 119,321,760,000.00 kwa ajili ya matumizi ya kawaida ili
kugharamia maeneo ya mishahara na matumizi mengineyo. Fedha zilizotolewa hadi
Februari, 2017 ni jumla ya shilingi 78,749,462,000.00 sawa na 65.99% ya
makadirio. Aidha, kiasi kilichotumika ni shilingi 78,749,462,000.00 sawa na
100.00% ya fedha zilizopokelewa Jedwali Na.13 na 14 yanaonesha michanganuo
yake.
-
12
Jedwali Na.13: Bajeti na Mapokezi ya fedha za Matumizi ya Kawaida hadi Februari, 2017
HALMASHAURI
BAJETI FEDHA TOLEWA
MISHAHARA MATUMIZI
MENGINEYO MISHAHARA %
MATUMIZI
MENGINEYO %
Mtwara Mikindani 13,153,215,000 1,713,189,000 8,488,586,000 64.54 1,021,191,000 59.61
Masasi Mji 11,384,584,000 1,104,861,000 7,348,458,000 64.55 582,299,000 52.70
Newala Mji 0 723,213,000 76,696,000 N/A 291,664,000 40.33
Nanyamba Mji 0 668,755,000 3,701,132,000 N/A 417,051,000 62.36
Mtwara 18,827,274,000 1,168,524,000 8,554,254,000 45.44 740,309,000 63.35
Masasi 17,886,733,000 2,483,310,000 11,857,022,000 66.29 1,439,454,000 57.97
Nanyumbu 9,351,546,000 751,114,000 8,120,769,000 86.84 509,804,000 67.87
Newala 18,391,530,000 721,251,000 11,604,776,000 63.10 500,943,000 69.45
Tandahimba 19,536,773,000 1,455,888,000 12,635,072,000 64.67 859,982,000 59.07
JUMLA 108,531,655,000 10,790,105,000 72,386,765,000 66.70 6,362,697,000 58.97
119,321,760,000 78,749,462,000 65.99
Nyongeza: Asilimia ya fedha za mishahara zilizotolewa kwa Newala Mji na
Nanyamba Mji hazipo kutokana na halmshauri hizo mpya kutokuwa na makadirio
ya bajeti ya mishahara.
Jedwali Na.14: Fedha zilizotolewa na kutumika kwa Matumizi ya kawaida hadi Feb, 2017
HALMASHAURI
FEDHA ZILIZOTOLEWA FEDHA ZILIZOTUMIKA
MISHAHARA MATUMIZI
MENGINEYO MISHAHARA %
MATUMIZI
MENGINEYO %
Mtwara Mikindani 8,488,586,000 1,021,191,000 8,488,586,000 100.00 1,021,191,000 100.00
Masasi Mji 7,348,458,000 582,299,000 7,348,458,000 100.00 582,299,000 100.00
Newala Mji 76,696,000 291,664,000 76,696,000 100.00 291,664,000 100.00
Nanyamba Mji 3,701,132,000 417,051,000 3,701,132,000 100.00 417,051,000 100.00
Mtwara 8,554,254,000 740,309,000 8,554,254,000 100.00 740,309,000 100.00
Masasi 11,857,022,000 1,439,454,000 11,857,022,000 100.00 1,439,454,000 100.00
Nanyumbu 8,120,769,000 509,804,000 8,120,769,000 100.00 509,804,000 100.00
Newala 11,604,776,000 500,943,000 11,604,776,000 100.00 500,943,000 100.00
Tandahimba 12,635,072,000 859,982,000 12,635,072,000 100.00 859,982,000 100.00
JUMLA 72,386,765,000 6,362,697,000 72,386,765,000 100.00 6,362,697,000 100.00
78,749,462,000 78,749,462,000 100.00
3.2.3 Shughuli zilizotekelezwa hadi Februari, 2017
Orodha ya baadhi ya shughuli zilizotekelezwa na Sekretarieti ya Mkoa na
Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Februari, 2017 ni pamoja na;
-
13
a) Sekretarieti ya Mkoa
Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama ndani ya Mkoa.
Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.
Kutoa ushauri wa kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Kuratibu shughuli mbalimbali za Serikali za kila siku za kutoa
huduma kwa wananchi.
Kulipa mishahara kwa watumishi.
Kuratibu uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.
Kuratibu ziara za viongozi mbalimbali wa Mkoa na kitaifa.
Kufanya ufuatiliaji wa shughuli zilizotekelezwa na Halmashauri.
Kutoa huduma za tiba na kinga katika hospitali ya Mkoa.
b) Mamlaka za Serikali za Mitaa
Kulipa mishahara kwa watumishi wote.
Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli zilizotekelezwa
katika Kata,Vijiji/Mitaa na Vitongoji.
Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.
Kuendesha vikao vya mbalimbali vya kisheria.
Uendeshaji wa mitihani ya elimu msingi na sekondari.
Uandikishaji wanafunzi na utoaji wa elimu ya msingi na sekondari
ulifanyika.
-
14
3.4 FEDHA ZA RUZUKU KWA MIRADI YA MAENDELEO MWAKA 2016/2017
3.4.1 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Sekretarieti ya Mkoa mwaka
2016/17
Katika mwaka 2016/17 Sekretarieti ya Mkoa imeidhinishiwa jumla ya shilingi
1,577,566,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo shilingi
1,110,000,000.00 (70.40%) ni fedha za ndani na shilingi 467,566,000.00 (29.60%)
ni fedha za nje. Hadi kufikia Februari, 2017 jumla ya shilingi 905,117,000.00
zimetolewa sawa na 57.37% ya bajeti idhinishwa. Aidha, kiasi kilichotumika ni
shilingi 263,601,000.00 sawa na 29.12% ya fedha zilizopokelewa. Jedwali Na.15
linaonesha mchanganuo wake.
Jedwali Na.15. Bajeti, Fedha zilizotolewa na kutumika hadi Feb, 2017
KASMA BAJETI FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA
KIASI % KIASI %
Fedha za Ndani 1,110,000,000 555,000,000 50.00 66,710,000 12.01
Fedha za Nje 467,566,000 350,117,000 74.88 196,891,000 56.23
JUMLA 1,577,566,000 905,117,000 57.37 263,601,000 29.12
3.4.2 Fedha zilizoidhinishwa na kutolewa kwa Halmashauri 2016/17
Katika mwaka 2016/17 Halmashauri zimeidhinishiwa fedha za ruzuku jumla ya
shilingi 19,866,655,000.00 ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizo,
shilingi 11,288,344,000.00 (56.82%) ni fedha za ndani na shilingi 8,578,311,000.00
(43.18%) ni fedha za nje. Hadi kufikia Februari, 2017 jumla ya shilingi
7,126,087,000.00 zimetolewa sawa na 35.86% ya makadirio. Aidha, kiasi
kilichotumika ni shilingi 3,023,651,000.00 sawa na 42.43% ya fedha
zilizopokelewa. Jedwali Na.16 na 17 yanaonesha michanganuo yake.
-
15
Jedwali Na.16. Bajeti na Fedha za ruzuku ya miradi zilizotolewa hadi Feb, 2017
HALMASHAURI
BAJETI IDHINISHWA FEDHA TOLEWA
FEDHA ZA
NDANI
FEDHA ZA
NJE
FEDHA ZA
NDANI
% FEDHA ZA
NJE
%
Mtwara Mikindani 570,526,000 3,349,663,000 183,645,000 32.19 166,482,000 4.97 Masasi Mji 1,284,760,000 719,561,000 926,599,000 72.12 198,669,000 27.61 Newala Mji 2,487,749,000 111,619,000 645,844,000 25.96 93,714,000 83.96 Nanyamba Mji 2,556,219,000 366,832,000 673,299,000 26.34 191,374,000 52.17 Mtwara 1,271,703,000 526,370,000 958,763,000 75.39 243,466,000 46.25 Masasi 1,111,686,000 888,617,000 375,945,000 33.82 463,865,000 52.20 Nanyumbu 584,281,000 657,913,000 230,281,000 39.41 605,969,000 92.10 Newala 455,578,000 595,576,000 184,569,000 40.51 265,858,000 44.64 Tandahimba 965,842,000 1,362,160,000 329,590,000 34.12 388,154,000 28.50
JUMLA 11,288,344,000 8,578,311,000 4,508,535,000 39.94 2,617,552,000 30.51
JUMLA KUU 19,866,655,000 7,126,087,000 35.86
Jedwali Na.17: Fedha za ruzuku ya miradi zilitolewa na zilizotumika hadi Feb, 2017
HALMASHAURI
FEDHA TOLEWA FEDHA TUMIKA
FEDHA ZA
NDANI
FEDHA ZA
NJE
FEDHA ZA
NDANI
% FEDHA ZA
NJE
%
Mtwara Mikindani 183,645,000 166,482,000 119,859,000 65.27 109,748,000 65.92 Masasi Mji 926,599,000 198,669,000 124,433,000 13.43 108,980,000 54.86 Newala Mji 645,844,000 93,714,000 145,844,000 22.58 18,234,000 19.45 Nanyamba Mji 673,299,000 191,374,000 257,155,000 38.19 104,846,000 54.78 Mtwara 958,763,000 243,466,000 162,129,000 16.91 243,466,000 100.00 Masasi 375,945,000 463,865,000 308,647,000 82.09 141,773,000 30.56 Nanyumbu 230,281,000 605,969,000 144,182,000 62.61 324,816,000 53.60 Newala 184,569,000 265,858,000 88,899,000 48.16 134,875,000 50.73 Tandahimba 329,590,000 388,154,000 261,666,000 79.39 224,099,000 57.73
JUMLA 4,508,535,000 2,617,552,000 1,612,814,000 35.77 1,410,837,000 87.48
JUMLA KUU 7,126,087,000 3,023,651,000 42.43
Pamoja na fedha hizo Halmashauri zimepokea fedha nje ya bajeti kama
inavyooneshwa katika jedwali namba 18.
-
16
Jedwali Na.18: Fedha za Tasaf na Barabara zilizitolewa na kutumika hadi Feb, 2017
HALMASHAURI MAPOKEZI MATUMIZI
Barabara Tasaf Barabara % Tasaf % Mtwara Mikindani 1,168,287,000 277,523,000 782,074,000 66.94 255,325,000 92.00 Masasi Mji 258,123,000 406,380,000 215,849,000 83.62 354,478,000 87.23 Mtwara 886,014,000 1,787,665,000 886,014,000 100.00 1,473,334,000 82.42 Masasi 144,981,000 1,866,766,000 2,213,000 1.52 1,451,579,000 77.75 Nanyumbu 453,819,000 1,309,454,000 321,644,000 70.87 1,090,869,000 83.31 Newala 472,455,000 1,099,831,000 446,063,000 94.41 540,470,000 49.14 Tandahimba 611,148,000 1,019,832,000 337,110,000 55.16 934,755,000 91.66
JUMLA 3,994,827,000 7,767,451,000 2,990,967,000 74.87 6,100,810,000 78.54
3.4.3 Program/Miradi ya Maendeleo iliyotekelezwa hadi Februari, 2017.
Orodha ya baadhi ya program/miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Sekretarieti
ya Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa hadi Februari, 2017 ni pamoja na;
a) Sekretarieti ya Mkoa
Kufuatilia utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), usimamizi na
ufuatiliaji wa sekta ya afya (HSBF).
Utekelezaji wa programu ya menejimenti ya fedha za umma (PFMRP).
b) Mamlaka za Serikali za Mitaa
Ujenzi wa miundombinu katika shule za Msingi na Sekondari.
Ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya afya.
Kuendesha kampeni ya usafi wa mazingira.
Utekelezaji wa programu za maji (RWSSP), elimu (SEDP), afya (HSBF)
Ujenzi wa miundombinu ya barabara.
-
17
3.5 CHANGAMOTO ZILIZOJITOKEZA WAKATI WA UTEKELEZAJI WA BAJETI
Changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa bajeti kwa nusu mwaka 2016/17
kwa Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri ni pamoja na:
Fedha za miradi kutotolewa kwa wakati.
Kutokutolewa kwa fedha za matumizi mengineyo katika baadhi ya
miezi kwa Halmashauri.
Kutolewa fedha kidogo kwa ajili matumizi mengineyo.
3.6 MAPENDEKEZO
Kutokana na changamoto zilizojitokeza, Mkoa unapendekeza yafuatayo;-
Mkoa uongezewe bajeti yake kulingana na mahitaji halisi yanayoendana na
nafasi ya Mkoa katika kuongoza maendeleo na mabadiliko makubwa
yatakayobadili taswira ya uchumi wa nchi.
Mazingira ya utendaji kazi kwa mkoa wa Mtwara unaotarajiwa kupokea,
kuhudumia na kuwezesha uwekezaji mkubwa kwa manufaa ya Taifa,
kunahitajika vitendea kazi na mazingira bora ya majengo ili kuleta ufanisi.
Mazingira bora ya kazi ni motisha kubwa kwa watumishi kupenda kuja
kufanya kazi Mtwara.
Fedha zote zinazoidhinishwa na Bunge kwa ajili ya Mkoa zitolewe kwa
wakati ili mipango ya maendeleo na shughuli za uendeshaji katika Mkoa na
Halmashauri zake zitekelezwe bila vikwazo sambamba na kazi ya uwekezaji.
4.0 MAAGIZO YA KAMATI YA BUNGE YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA
Katika kikao cha kuwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fungu 80 Mkoa
wa Mtwara kwa mwaka 2016/2017 kilichofanyika tarehe 12/04/2016 katika ukumbi
wa Mwalimu Nyerere Dar es salaam, Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za
Mitaa ilitoa hoja mbalimbali ambapo hoja hizo zilijibiwa wakati wa kikao. Kamati
-
18
haikutoa maagizo mahsusi kwa Mkoa ili kuyatekeleza na kuyatolea taarifa katika
kikao kinachofuata.
5.0 MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018
5.1 MADUHULI YA MKOA NA MAKUSANYO YA HALMASHAURI.
5.1.1 Makadirio ya maduhuli kwa Sekretarieti ya Mkoa kwa mwaka 2017/18
Katika mwaka 2017/18, Sekretarieti ya Mkoa inakadiria kukusanya maduhuli jumla
ya shilingi 4,400,000.00 kutoka vyanzo vya kodi ya pango la mgahawa na ukumbi
na uuzaji wa nyaraka za manunuzi kama mapato ya Serikali yanayokwenda moja
kwa moja Hazina.
5.1.2 Makadirio na Makusanyo ya Halmashauri kwa mwaka 2017/18
Katika mwaka 2017/18, Halmashauri zinakadiria kukusanya mapato ya ndani yenye
jumla ya shilingi 30,333,661,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani. Jedwali
Na.19 linaonesha mchanganuo wake.
Jedwali Na.19: Makadirio ya Mapato ya Ndani ya Halmashauri 2017/18
HALMASHAURI
ENEO
JUMLA MAKUSANYO
YASIYOLINDWA
MAKUSANYO
LINDWA
Mtwara Mikindani 5,075,143,000 606,724,000 5,681,867,000
Masasi Mji 1,835,971,000 872,593,000 2,708,564,000
Newala Mji 1,611,432,000 604,650,000 2,216,082,000
Nanyamba Mji 1,816,930,000 299,000,000 2,115,930,000
Mtwara 2,450,495,000 173,000,000 2,623,495,000
Masasi 2,340,366,000 1,829,260,000 4,169,626,000
Nanyumbu 1,978,981,000 962,986,000 2,941,967,000
Newala 1,389,600,000 673,062,000 2,062,662,000
Tandahimba 4,561,273,000 1,252,195,000 5,813,468,000
JUMLA 23,060,191,000 7,273,470,000 30,333,661,000
-
19
Nyongeza: Makusanyo lindwa ni mapato yanayojumuisha vyanzo vya ada ya
huduma (user fee), mfuko wa afya ya jamii (CHF), mfuko wa elimu na export levy.
Matumizi ya fedha hizi huzingatia sheria CHF, Mfuko wa elimu na miongozo ya cost
sharing na export levy.
Fedha zilizotengwa kwa wanawake na vijana pamoja na miradi ya maendeleo (60%)
kutokana na makusanyo yasiyolindwa kwa mwaka 2017/18 ni jumla ya sh.
13,836,114,000 ambapo wanawake na vijana (10%) ni sh. 2,306,018,000 na miradi
mingine ya maendeleo (50%) ni sh. 11,530,096,000. Mchanganuo kwa kila
Halmashauri ni kama inavyooneshwa katika jedwali namba 20.
Jedwali Na.20: Matumizi ya makusanyo yasiyolindwa katika miradi -2017/18
HALMASHAURI MAKUSANYO
YASIYOLINDWA
WANAWAKE &
VIJANA-10%
MIRADI MINGINE-
50%
JUMLA KWA MIRADI
YA MAENDELEO-60%
KIASI % KIASI % KIASI %
Mtwara MC 5,075,143,000 507,514,000 10 2,537,572,000 50 3,045,086,000 60
Masasi TC 1,835,971,000 183,597,000 10 917,986,000 50 1,101,583,000 60
Newala TC 1,611,432,000 161,143,000 10 805,716,000 50 966,859,000 60
Nanyamba TC 1,816,930,000 181,693,000 10 908,465,000 50 1,090,158,000 60
Mtwara 2,450,495,000 245,049,000 10 1,225,247,000 50 1,470,296,000 60
Masasi 2,340,366,000 234,037,000 10 1,170,183,000 50 1,404,220,000 60
Nanyumbu 1,978,981,000 197,898,000 10 989,491,000 50 1,187,389,000 60
Newala 1,389,600,000 138,960,000 10 694,800,000 50 833,760,000 60
Tandahimba 4,561,273,000 456,127,000 10 2,280,636,000 50 2,736,763,000 60
JUMLA 23,060,191,000 2,306,018,000 10 11,530,096,000 50 13,836,114,000 60
5.2 FEDHA ZA RUZUKU KWA MATUMIZI YA KAWAIDA MWAKA 2017/18
Katika mwaka 2017/18 Mkoa unakadiria kukusanya na kutumia fedha za ruzuku
toka Serikali kuu jumla ya shilingi 139,100,329,000.00 kwa ajili ya kugharamia
matumizi ya kawaida ambapo Sekretarieti ya Mkoa ni shilingi 7,178,976,000.00
(5.16%) na Mamlaka za Serikali za Mitaa shilingi 131,921,353,000.00 (94.84%).
Kimatumizi fedha hizo zinakusudiwa kugharamia maeneo yafuatayo;
-
20
5.2.1 Mishahara – Shilingi 130,922,202,000.00
Katika mwaka 2017/18, kiasi cha shilingi 130,922,202,000.00 kinakadiriwa
kutumika kwa ajili ya mishahara ya watumishi ambapo Sekretarieti ya Mkoa
ni shilingi 5,514,656,000.00 (4.21%) na Mamlaka za Serikali za Mitaa
shilingi 125,407,546,000.00 (95.79%).
5.2.2 Matumizi Mengineyo – Shilingi 8,178,127,000.00
Katika mwaka 2017/18, kiasi cha shilingi 8,178,127,000.00 kinakadiriwa
kutumika kwa ajili ya matumizi mengineyo ambapo Sekretarieti ya Mkoa
shilingi 1,664,320,000.00 (20.35%) na Mamlaka za Serikali za Mitaa shilingi
6,513,807,000.00 (79.65%).
Ili kuwa na picha kamili ya makadirio ya matumizi ya kawaida kwa fedha za ruzuku
mwaka 2017/18. Jedwali namba 21 linaonesha mchanganuo wake.
Jedwali Na.21: Makadirio ya Matumizi ya Kawaida kwa ruzuku mwaka 2017/2018.
MAMLAKA
MATUMIZI YA KAWAIDA
MISHAHARA MATUMIZI
MENGINEYO JUMLA
Sekretarieti ya Mkoa 5,514,656,000 1,664,320,000 7,178,976,000
Mamlaka za Serikali za Mitaa
Mtwara Mikindani 14,317,074,000 676,190,000 14,993,264,000
Masasi Mji 11,865,530,000 575,851,000 12,441,381,000
Newala Mji 750,246,000 455,767,000 1,206,013,000
Nanyamba Mji 8,297,661,000 462,151,000 8,759,812,000
Mtwara 13,806,577,000 637,800,000 14,444,377,000
Newala 20,692,932,000 848,015,000 21,540,947,000
Masasi 19,264,953,000 1,043,086,000 20,308,039,000
Tandahimba 20,539,348,000 1,078,983,000 21,618,331,000
Nanyumbu 15,873,225,000 735,964,000 16,609,189,000
Jumla ya MSM 125,407,546,000 6,513,807,000 131,921,353,000
JUMLA KUU 130,922,202,000 8,178,127,000 139,100,329,000
-
21
Nyongeza: Sehemu ya mishahara ya Halmashauri ya mji Newala imekasimiwa
katika Halmashauri mama ya Wilaya ya Newala. Halmashauri ya mji Newala ni
mpya, hivyo utaratibu wa kuhamisha watumishi katika mfumo wa kiutumishi bado
haujakamilika.
5.2.3 Shughuli zitakazotekelezwa
Baadhi ya shughuli zitakazotekelezwa kwa mwaka 2017/2018 ni kama
ifuatavyo;
a) Sekretarieti ya Mkoa
Kuendesha vikao mbalimbali ya kisheria.
Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika Mkoa.
Kulipa mishahara na stahili mbalimbali kwa watumishi na viongozi.
Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.
Kuendelea kuzisimamia na kuzishauri Halmashauri.
Kuratibu ziara mbalimbali za viongozi wa kitaifa.
Kuratibu shughuli za kukimbiza mwenge wa uhuru.
b) Mamlaka za Serikali za Mitaa
Kuratibu shughuli za kukimbiza mwenge.
Kutoa huduma mbalimbali za kila siku kwa wananchi.
Kusimamia masuala ya ulinzi na usalama katika Wilaya.
Ulipaji wa Mishahara na stahili mbalimbali za watumishi na viongozi.
-
22
5.3 FEDHA ZA RUZUKU KWA MIRADI YA MAENDELEO MWAKA 2017/2018.
Ili kutekeleza Miradi ya Maendeleo kwa mwaka 2017/18 Mkoa unakadiria
kukusanya na kutumia fedha za ruzuku jumla ya shilingi 34,331,773,000.00 ambapo
fedha za ndani ni shilingi 23,022,280,000.00 (67.06%) na fedha za nje ni shilingi
11,309,493,000.00 (32.94%).
Katika fedha hizo Sekretarieti ya Mkoa inakadiria kukusanya na kutumia jumla ya
Shilingi 1,699,231,000 ambapo fedha za ndani shilingi 1,330,000,000.00 (78.27%)
na fedha za nje ni shilingi 369,150,000.00 (21.73%). Mamlaka za Serikali za Mitaa
zinakadiria kukusanya na kutumia jumla ya shilingi 32,632,623,000.00 ambapo
fedha za ndani ni shilingi 21,692,280,000.00 (66.47%) na fedha za nje ni shilingi
10,940,343,000.00 (33.53%). Jedwali Na 22 linaonesha mchanganuo wake.
Jedwali Na. 22: Mchanganuo wa fedha za Miradi ya Maendeleo mwaka 2017/18
MAMLAKA FEDHA ZA
NDANI FEDHA ZA NJE JUMLA
Sekretarieti ya Mkoa 1,330,000,000 369,150,000 1,699,150,000
Mamalaka za Serikali za Mitaa
Mtwara Mikindani 2,064,698,000 4,536,533,000 6,601,231,000
Masasi Mji 2,293,931,000 321,330,000 2,615,261,000
Nanyamba Mji 2,929,565,000 347,201,000 3,276,766,000
Newala Mji 2,835,166,000 166,385,000 3,001,551,000
Mtwara 2,286,385,000 550,447,000 2,836,832,000
Newala 1,503,175,000 587,351,000 2,090,526,000
Masasi 3,752,900,000 958,227,000 4,711,127,000
Tandahimba 2,370,389,000 2,908,946,000 5,279,335,000
Nanyumbu 1,656,071,000 563,923,000 2,219,994,000
Jumla MSM 21,692,280,000 10,940,343,000 32,632,623,000
JUMLA 23,022,280,000 11,309,493,000 34,331,773,000
Nyongeza: Mgawanyo kwa kila mradi umeoneshwa katika kiambatisho namba.4
-
23
5.3.1 Miradi itakayotekelezwa
Baadhi ya programu/miradi ya maendeleo itakayotekelezwa katika kipindi cha
mwaka 2017/18 ni pamoja na ifuatayo;
a) Sekretarieti ya Mkoa
Ukarabati wa ofisi ya mkuu wa mkoa.
Ujenzi wa ofisi 3 za tarafa.
Ukarabati wa hospitali ya mkoa.
Ujenzi wa kituo bora cha elimu.
Usimamizi wa programu ya maji vijijini na usafi wa mazingira.
Ujenzi wa nyumba 3 za Maafisa Tarafa.
Utekelezaji wa mfuko wa pamoja wa sekta ya afya (HSBF).
Utekelezaji wa program ya usimamizi wa fedha za umma (PFMRP).
Ukarabati wa ofisi za 5 za wakuu wa wilaya.
Ukarabati wa nyumba 7 za viongozi wa kimkoa.
Ununuzi wa pikipiki 25 za Maafisa Tarafa.
b) Mamlaka za Serikali za Mitaa
Utekelezaji wa programu ya maendeleo ya elimu ya Sekondari (SEDP).
Utekelezaji wa programu ya maji vijijini na usafi wa mazingira (RWSSP).
Ujenzi wa miundombinu ya barabara.
Ujenzi wa miundombinu mbalimbali ya kiutawala kama ofisi.
Utekelezaji wa miradi ya fedha za mfuko wa jimbo.
Utekelezaji wa mfuko wa pamoja wa sekta ya afya.
Utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini.
Utekelezaji wa program za elimu bure kwa shule za msingi na sekondari.
-
24
6.0 HITIMISHO
Jumla ya fedha zinazokadiriwa kukusanywa na kutumika na Mkoa wa Mtwara kwa
mwaka 2017/2018 ni shilingi 202,583,966,000.00. Kati ya fedha hizo Mishahara ni
shilingi 130,922,202,000.00 sawa na 64.63%, Matumizi ya Mengineyo ni shilingi
19,838,873,000.00 sawa na 9.79% na Miradi ya Maendeleo shilingi
51,822,891,000.00 sawa na 25.58%. Jedwali Na. 23 linaonesha mchanganuo huo.
Jedwali Na.23: Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mkoa mwaka 2017/2018
MAMLAKA MISHAHARA MATUMIZI
MENGINEYO
MIRADI YA MAENDELEO
FEDHA ZA
NDANI
FEDHA ZA
NJE
RS 5,514,546,000 1,664,320,000 1,330,000,000 369,150,000
HALMASHAURI 125,407,546,000 18,174,553,000 39,183,398,000 10,940,343,000
JUMLA 130,922,202,000 19,838,873,000 40,513,398,000 11,309,493,000
150,761,075,000 51,822,891,000
JUMLA KUU 202,583,966,000
Nyongeza: Takwimu za ulinganifu wa kibajeti kwa mwaka 2015/16, 2016/17 na
2017/18 zimeoneshwa katika kiambatisho namba 3.
Maelezo ya kina yanapatikana katika nakala za Randama zilizowasilishwa na Mkoa
Fungu 80 kama ifuatavyo:
Matumizi ya Kawaida Mkoa na Halmashauri zake yameonyeshwa katika
ukurasa 16 hadi ukurasa 52
Matumizi ya Maendeleo Mkoa na Halmashauri zake yameonyeshwa katika
ukurasa 53 hadi ukurasa 59.
-
25
Hivyo, kwa jumla naomba kuidhinishiwa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya
Mkoa wa Mtwara (Fungu 80) jumla ya shilingi 202,583,966,000.00 kwa mwaka wa
fedha 2017/2018 sawa na ongezeko la shilingi 30,632,448,000.00 (17.81%)
ikilinganishwa na makadirio ya mwaka 2016/2017 ya shilingi 171,951,518,000.00.
Naomba kuwasilisha,
Halima O.Dendego MKUU WA MKOA
MTWARA
-
KIAMBATISHO NA.1
-
W/WAKE KIASI VIJANA KIASI JUMLA
Mtwara MC 258,987,000 126,700,000 48.92 40 111,500,000 4 15,200,000 126,700,000
Masasi TC 104,421,000 70,665,955 67.67 42 54,300,000 10 16,365,955 70,665,955
Newala TC 83,124,000 64,500,000 77.59 11 33,000,000 10 31,500,000 64,500,000
Nanyamba TC 116,746,000 104,725,000 89.70 25 56,008,000 22 48,717,000 104,725,000
Mtwara 110,661,000 52,740,000 47.66 17 22,000,000 11 30,740,000 52,740,000
Masasi 187,593,000 125,500,000 66.90 27 54,900,000 45 70,600,000 125,500,000
Nanyumbu 144,478,000 111,975,000 77.50 26 55,975,000 24 56,000,000 111,975,000
Newala 116,274,000 48,002,000 41.28 9 25,000,000 9 23,002,000 48,002,000
Tandahimba 377,485,000 6,818,968 1.81 1 1,818,968 1 5,000,000 6,818,968
JUMLA 1,499,769,000 711,626,923 47.45 198 414,501,968 136 297,124,955 711,626,923
KIASI CHA FEDHA NA IDADI YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA HADI FEBRUARI, 2017
KIAMBATISHO NAMBA.1
HALMASHAURIFEDHA
TENGWA
FEDHA
KOPESHWA%
IDADI YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA
26
-
KIAMBATISHO NA.2
-
NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1 Mkope 1,000,000
2 Mshikamano 2,000,000
3 Amani 5,000,000
4 Maendeleo 1,520,000
5 Subira 6,000,000
6 Umoja 1,000,000
7 Tujikwamue 1,000,000
8 Mapambano 3,000,000
9 Ukombozi 2,000,000
10 Azimio 1,000,000
11 Mwamko 1,000,000
12 Mshikamano 1,000,000
13 Wapendanao 2,000,000
14 Upendo 3,000,000
15 Mtazamo 1,000,000
16 Tujikomboe II 1,000,000
17 Tupenane 3,000,000
18 Niwezeshe 2,000,000
19 Uchuwelana 1,500,000
20 Nguvu Kazi 2,000,000
21 Umoja 2,000,000
22 Upendo 2,000,000
23 Amani 3,000,000
24 Himahima 2,500,000
25 Umoja 1,500,000
26 Upendo 1,000,000
27 Ukombozi 1,000,000
28 Tujiendeleze 1,000,000
29 Tuvumiliane 2,000,000
30 Jitegemee B 3,000,000
31 Msambweni 1,500,000
32 Mshikamano 1,000,000
33 Jikwamue 1,000,000
34 Juhudi 1,000,000
35 Mshikamano 1,500,000
36 Jikomboe 2,000,000
37 Sasa Kazi 1,000,000
38 Nguvu Kazi 1,000,000
39 Umoja ni nguvu 2,000,000
40 Tupendane 2,000,000
KIAMBATISHO NAMBA 2
HALMASHAURI YA WILAYA YA MASASI
ORODHA YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA KWA KILA HALMASHAURI
27
-
41 Jipemoyo 1,580,000
42 Juhudi A 2,000,000
43 Tumaini 1,000,000
44 Maendeleo B 2,000,000
45 Ukombozi 1,000,000
46 Jipemoyo 1,500,000
47 Kaza moyo 1,500,000
48 Wanawake na Maendeleo 1,500,000
49 Furaha 1,500,000
50 Mwamko 1,000,000
51 Nguvu Kazi 1,500,000
52 Tumaini 1,000,000
53 Vumilia 1,000,000
54 Mwangaza 2,000,000
55 Umoja ni nguvu 1,000,000
56 Tumaini 2,000,000
57 Umoja 1,000,000
58 Upendano 1,000,000
59 Wema 1,000,000
60 Motomoto 2,000,000
61 Changamoto 1,000,000
62 Jipe moyo 1,300,000
63 Tumaini 1,000,000
64 Mshikamno 1,600,000
65 Mwangaza arts group 1,500,000
66 Mshikamano 2,000,000
67 Ukombozi 2,000,000
68 Mafanikio 2,000,000
69 VIBIMKU 1,000,000
70 Amani 1,000,000
71 Mshikamano 7,000,000
72 Umoja 2,000,000
JUMLA 125,500,000
28
-
NA JINA LA KIKUNDIKIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1 Zinduka 1,000,000.00
2 Wanawake tunaweza 500,000.00
3 Kikundi cha Matunda-Mkarakate 2,000,000.00
4 Kikundi cha Maishabora 1,000,000.00
5 Motomoto 1,000,000.00
6 Tuinuane 1,000,000.00
7 Uhuru na Umoja-Namatunu 1,000,000.00
8 Boresha maisha 865,955.00
9 Kikundi cha Mshikamano Mumbaka 2,000,000.00
10 Mothers Union-Mumbaka 1,000,000.00
11 Akina mama amkeni 1,000,000.00
12 Wajane Nyasa B 800,000.00
13 4 Energe plus group-Nyasa 2,000,000.00
14 Tufarijiane Nyasa 1,000,000.00
15 Kikundi cha Wamama (wamawa)- Matangini 1,000,000.00
16 Kikundi cha MWESE- Nyasa 1,000,000.00
17 Kikundi cha Amani-Nyasa 3,500,000.00
18 Kikundi cha Umoja-Maendeleo Nyasa 1,500,000.00
19 Tegemeo 1,000,000.00
20 Muungano- Wapi wapi Masasi 1,000,000.00
21 Kikundi cha Hekima 2,000,000.00
22 Masasi Handwork Women Group 3,000,000.00
23 Imara 1,000,000.00
24 Mshikamano 1,000,000.00
25 Kikundi cha Jiwezeshe - Rest camp 500,000.00
26 Kikundi cha Tumaini- Migongo 1,500,000.00
27 Kikundi cha Dimerayo-Migongo 1,000,000.00
28 Kikundi cha Furaha - Mkunguni 1,000,000.00
29 CHAVIMA 2,500,000.00
30 Kikundi cha Umoja Misufini 2,500,000.00
31 Tegemeo 900,000.00
32 Kikundi cha amkeni 1,000,000.00
33 Vikoba Mkasala 4,000,000.00
34 Mwalole Aajenu 1,000,000.00
35 Tujiamini group 1,000,000.00
36 Ushirikiano 1,000,000.00
37 Vijana na maendeleo 1,000,000.00
38 Kikundi cha Tupendane 1,000,000.00
39 Sisi kwa sisi 1,000,000.00
40 Kikundi cha Tujiamini-Magumuchila 1,000,000.00
41 Kikundi cha Tusibaguane-Jida 1,000,000.00
HALMASHAURI YA MJI MASASI
29
-
42 Africa Sanaa Group- Mkuti 1,000,000.00
43 Kikundi cha Tukamusyane- Sabsaba 2,000,000.00
44 Umoja 1,000,000.00
45 Amani mama lishe 1,000,000.00
46 Kikundi cha Ushindi-Mtandi 1,000,000.00
47 Kikundi cha Mwaniona FC Benaco 5,000,000.00
48 Jipe moyo 800,000.00
49 Upendo 800,000.00
50 Kikundi cha Imani Chisegu 1,000,000.00
51 Kikundi cha Vumilia-Chisegu 1,000,000.00
52 Kikundi cha Songa 1,000,000.00
JUMLA 70,665,955.00
30
-
HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA
NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1. JIKOMBOE 1,000,000.00
2. JIPE MOYO 2,500,000.00
3. KILIMO IMANI 1,000,000.00
4. MUUNDO MPYA 4,700,000.00
5. FURAHA 800,000.00
6 MSIMAMO GROUP 1,500,000.00
7 MAENDELEO 1,000,000.00
8 JITEGEMEE 2,300,000.00
9 JITEGEMEE 2,500,000.00
10 MWANGAZA 1,000,000.00
11 MSODEGO 940,000.00
12 WAMAMA GROUP 1,000,000.00
13 TUMBAMA 500,000.00
14 TUJIKOMBOE 2,000,000.00
15 MSHIKAMANO GROUP 1,000,000.00
16 UMOJA NI NGUVU 500,000.00
17 MAENDELEO 700,000.00
18 KUJIENDELEZA VIJANA GROUP 1,300,000.00
19 MUUNDO MPYA 1,500,000.00
20 HAPA KAZI TU 5,000,000.00
21 MWANZO MGUMU 2,000,000.00
22 COMANDO 5,000,000.00
23 MABADILIKO 3,000,000.00
24 WAKULIMA GROUP 2,000,000.00
25 USHIRIKA GROUP 2,000,000.00
26 MSHIKAMANO 2,500,000.00
27 JITAHIDI GROUP 1,500,000.00
28 HAMBEJA GROUP 2,000,000.00
JUMLA 52,740,000.00
31
-
NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO
WALICHOKOPESHWA
1 MTAWANYA TUNAWEZA WOMEN GROUP 2,000,000.00
2 UVUMILIVU GROUP 2,000,000.00
3 UZALENDO GROUP 2,000,000.00
4 USAFI GROUP 3,000,000.00
5 MINDI GROUP 2,000,000.00
6 UPENDO GROUP 2,000,000.00
7 NIA MOJA GROUP 2,000,000.00
8 VIJANA TUMAINI JIPYA 1,000,000.00
9 MKEJA GROUP 2,000,000.00
10 MAFUNDI MCHANGANYIKO GROUP 2,000,000.00
11 TUNAJIAMINI GROUP 1,500,000.00
12 JITUME GROUP 3,000,000.00
13 SHIKWAMBI GROUP 2,500,000.00
14 TUPENDANE GROUP 2,000,000.00
15 JITAHIDI GROUP 2,000,000.00
16 IDANTUKOJE GROUP 2,000,000.00
17 TUINUANE GROUP 2,000,000.00
18 USHIRIKA GROUP 4,000,000.00
19 JITEGEMEE GROUP 1,000,000.00
20 UKOMBOZI GROUP 4,000,000.00
21 KUJIKOMBOA GROUP 2,500,000.00
22 MAMA LISHE GROUP 1,000,000.00
23 MAKUBALIANO GROUP 5,000,000.00
24 TUYANGATANE MIKINDANI 2,000,000.00
25 MUUNGANO GROUP 5,000,000.00
26 JUHUDI GROUP-MAJENGO 5,000,000.00
27 SARAFU GROUP KISUTU 3,500,000.00
28 KIKUNDI CHA WAZEE TANDIKA B 2,000,000.00
29 KIKUNDI CHA MMINGANO 2,000,000.00
30 VUMILIA GROUP TANDIKA 1,500,000.00
31 TUSAIDIANE GROUP 5,000,000.00
32 MSHIKAMANO GROUP LIGULA C 5,000,000.00
33 MABADILIKO GROUP 2,500,000.00
34 TUINUE GROUP MITENGO 2,500,000.00
35 KAZI NI KAZI LIGULA 5,198,000.00
36 UMOJA NI USHINDI 1,464,000.00
37 ONDOA WASIWASI GROUP 5,060,000.00
38 VAKUKAYA GROUP 1,958,000.00
39 MAPAMBANO GROUP 5,212,000.00
40 TUVAMO GROUP 4,000,000.00
41 WANARIKA 4,000,000.00
42 TUPENDANE UFUKONI STENDI 3,000,000.00
43 JUHUDI YETU 3,608,000.00
44 TUPENDANE TANDIKA 4,700,000.00
JUMLA 126,700,000.00
HALMASHAURI YA MANISPAA YA MTWARA MIKINDANI
32
-
NA JINA LA KIKUNDIKIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1 CHIPAPAYUNGU 1,800,000.00
2 TUNAUKINA 1,800,000.00
3 TULIA 1,800,000.00
4 MAPAMBANO 1,800,000.00
5 KIKUNDI CHA ZAM 1,800,000.00
6 NGUVU KAZI 1,800,000.00
7 KILIMO GROUP 1,800,000.00
8 MAENDELEO 1,800,000.00
9 JUHUDI 1,800,000.00
10 UKOMBOZI 1,800,000.00
11 NGUVU KAZI 2,500,000.00
12 UMOJA 2,300,000.00
13 MSHIKAMANO 2,000,000.00
14 MBOGAMBOGA 3,000,000.00
15 JUMUIYA YA WAZAZI MAJENGO 2,400,000.00
16 MSHIKAMANO 2,200,000.00
17 UKOMBOZI MAMA 3,000,000.00
18 TUDUMISHE 2,400,000.00
19 NGUVU KAZI 2,000,000.00
20 WAMAKI 2,130,000.00
21 HAMASA 2,098,000.00
22 UKOMBOZI 3,000,000.00
23 UMOJA NI NGUVU 2,400,000.00
24 WAKITU GROUP 2,230,000.00
25 MWONGOZO 2,400,000.00
26 TUMAINI 2,100,000.00
27 JIPE MOYO 2,000,000.00
28 PANGAKAZI 2,000,000.00
29 JIPE MOYO 2,350,000.00
30 TUMAINI 2,300,000.00
31 MUUNGANO 2,000,000.00
32 KILIMAHEWA GROUP 2,100,000.00
33 UMOJA UHUNZI 2,000,000.00
34 JITEGEMEE 2,000,000.00
35 CHANGAMOTO 2,100,000.00
36 MAGEUZI 2,000,000.00
37 VUMILIA 2,600,000.00
38 MWAMKO 2,000,000.00
39 TUTAWEZA 2,500,000.00
40 MAENDELEO 2,000,000.00
HALMASHAURI YA MJI NANYAMBA
33
-
41 TUJIKWAMUE 3,658,000.00
42 TUNAWEZA 2,300,000.00
43 UMOJA 2,009,000.00
44 JUHUDI 2,150,000.00
45 NGUVU KAZI 2,000,000.00
46 JIKOMBOE 4,300,000.00
47 USHIRIKA 2,200,000.00
104,725,000.00
34
-
NA JINA LA KIKUNDIKIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1 BODABODA NANGOMBA 3,500,000.00
2 UJASIRIAMALI TUPO PAMOJA 2,000,000.00
3 NAHIRA GROUP 2,000,000.00
4 MFANO 1,500,000.00
5 KUCHEELE 1,500,000.00
6 ISHARA 2,000,000.00
7 NYOTA 1,500,000.00
8 DARAJA LA UMOJA 1,500,000.00
9 JIUNGENI 1,500,000.00
10 WACHAPA KAZI 1,500,000.00
11 MSHIKAMANO-CHANGWALE 2,000,000.00
12 HAPA KAZI TU 2,000,000.00
13 TUMAINI 2,000,000.00
14 MABADILIKO 2,500,000.00
15 KM BODABODA 6,000,000.00
16 UMOJA WA WANAWAKE 1,500,000.00
17 ECONOMY GROUP 3,000,000.00
18 JARIBUNI 2,000,000.00
19 VIKOBA JALIMUDA GN 025 2,000,000.00
20 USHONAJI 1,500,000.00
21 NUFAIKA 2,000,000.00
22 UPENDO KCU MCHANGANI A 2,000,000.00
23 AKINAMAMA 2,000,000.00
24 UPENDO WOMEN GROUP 1,500,000.00
25 UHURU 1,500,000.00
26 ATHIANARU 2,000,000.00
27 SHUJETA 2,000,000.00
28 MOTOMOTO 2,000,000.00
29 TULOTANE 2,000,000.00
30 KINYUMBU 2,500,000.00
31 ULONGO 2,000,000.00
32 TUELIMIKE 5,475,000.00
33 MILEPA 2,000,000.00
34 MSHIKAMANO 3,000,000.00
35 UVIMAWATINA 2,000,000.00
36 VIWANA 3,000,000.00
37 ANENE AHEWA 2,000,000.00
38 VUMILIA KILIMO 2,000,000.00
39 KILIMO KWANZA 3,000,000.00
40 MAENDELEO 2,000,000.00
HALMASHAURI YA WILAYA YA NANYUMBU
35
-
41 NEHALE 2,000,000.00
42 RULIMANA 2,500,000.00
43 MPACHIKA 2,000,000.00
44 NGUVU MOJA 2,000,000.00
45 NYENGEDI 2,500,000.00
46 TUSHIRIKIANE 2,000,000.00
47 TUINUANE 2,000,000.00
48 KUTANDA KULEMA 2,500,000.00
49 ENDELEZA KILIMO 2,500,000.00
50 MASHUJAA 3,000,000.00
JUMLA 111,975,000.00
36
-
HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA
NA JINA LA KIKUNDI KIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1 GANGA NJAA 2,500,000.00
2 NYOTA YA AFRIKA 2,500,000.00
3 IMANI SANAA GROUP 2,000,000.00
4 SISI KWA SISI 2,500,000.00
5 MMAITECHI 2,500,000.00
6 NYOTA NJEMA 2,500,000.00
7 MAENDELEO 3,000,000.00
8 AMKENI 2,500,000.00
9 TUKAZANE 3,000,000.00
10 KIKUNDI CHA SANAA KITANGARI 3,000,000.00
11 UMOJA VICOBA 3,000,000.00
12 TUPWECHELANE 3,000,000.00
13 AMKENI ‘B’ 3,000,000.00
14 CHINGACHAMUYO 4,000,000.00
15 MAENDELEO VICOBA 3,500,000.00
16 TUUNGANE 3,000,000.00
17 MUUNGANO 2,500,000.00
18 MAENDELEO 2,000.000.00
JUMLA 48,002,000.00
37
-
HALMASHAURI YA MJI NEWALA
NA JINA LA KIKUNDI
KIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1 TUMAINI 2,500,000
2 KECHI WELDERS 2,500,000
3 MAPAMBANO 2,500,000
4 MOKA VILL 4,000,000
5 HAPA KAZI TU 5,000,000
6 MANITERA 3,500,000
7 MAJIMAJI 3,000,000
8 MAENDELEO 4,000,000
9 MUKOMBOZI 2,500,000
10 UPENDO 3,000,000
11 TUKAZANE 4,000,000
12 KOMESHA 2,000,000
13 TUJIKOMBOE 3,000,000
14 TUUNGANE 2,000,000
15 TUJIKOMBOE 3,000,000
16 TAKATUKA GROUP 4,000,000
17 JITEGEMEE 3,000,000
18 TWENDE PAMOJA 4,000,000
19 MZALENDO 3,000,000
20 IMANI 2,000,000
21 JUHUDI 2,000,000
JUMLA 64,500,000
38
-
HALMASHAURI YA WILAYA YA TANDAHIMBA
NA JINA A KIKUNDI KIASI CHA MKOPO
WALICHOPATA
1 Akina mama 5,000,000.00
2 Umoja ni nguvu 1,818,968.00
JUMLA 6,818,968.00
39
-
KIAMBATISHO NA.3
-
1
Kiambatisho Na.3
FUNGU 80-MKOA WA MTWARA
ULINGANIFU WA BAJETI KWA MIAKA 2015/2016, 2016/2017 NA 2017/2018.
ENEO 2015/16
2016/17 2017/18
KIASI ONGEZEKO/
PUNGUFU KIASI
ONGEZEKO/
PUNGUFU
SEKRETARIETI YA MKOA
MISHAHARA 6,360,640,000 5,372,873,000 -987,767,000 5,514,656,000 141,783,000
OC 1,579,358,000 1,557,851,000 -21,507,000 1,664,320,000 106,469,000
MIRADI Fedha za ndani 798,377,000 1,110,000,000 311,623,000 1,330,000,000 220,000,000
Fedha za nje 173,811,000 467,566,000 293,755,000 369,150,000 -98,416,000
JUMLA NDOGO 8,912,186,000 8,508,290,000 -403,896,000 8,878,126,000 369,836,000
MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA
MISHAHARA 111,146,130,000 108,531,655,000 -2,614,475,000 125,407,546,000 16,875,891,000
OC 11,322,418,000 20,349,014,000 9,026,596,000 18,174,553,000 -2,174,461,000
MIRADI Fedha za ndani 8,290,351,000 25,984,248,000 17,693,897,000 39,183,398,000 13,199,150,000
Fedha za nje 4,335,833,000 8,578,311,000 4,242,478,000 10,940,343,000 2,362,032,000
JUMLA NDOGO 135,094,732,000 163,443,228,000 28,348,496,000 193,705,840,000 30,262,612,000
JUMLA KUU 144,006,918,000 171,951,518,000 27,944,600,000 202,583,966,000 30,632,448,000
40
-
ULINGANIFU WA MALENGO YA MAKUSANYO YA MAPATO YA NDANI KWA HALMASHAURI KWA MWAKA
2015/16, 2016/17 NA 2017/18
HALMASHAURI 2015/16
2016/17 2017/18
KIASI ONGEZEKO/
PUNGUFU KIASI
ONGEZEKO/PUNGUFU
KIASI %
Mtwara Mikindani 3,205,204,000 4,542,968,000 1,337,764,000 5,681,867,000 1,138,899,000 25.07
Masasi Mji 1,872,229,000 1,867,104,000 -5,125,000 2,708,564,000 841,460,000 45.07
Newala Mji 0 1,939,486,000 1,939,486,000 2,216,082,000 276,596,000 14.26
Nanyamba Mji 1,043,001,000 1,226,868,000 183,867,000 2,115,930,000 889,062,000 72.47
Mtwara 1,631,242,000 2,306,244,000 675,002,000 2,623,495,000 317,251,000 13.76
Masasi 3,778,152,000 4,003,191,000 225,039,000 4,169,626,000 166,435,000 4.16
Nanyumbu 1,800,372,000 2,407,389,000 607,017,000 2,941,967,000 534,578,000 22.21
Newala 2,996,000,000 1,996,264,000 -999,736,000 2,062,662,000 66,398,000 3.33
Tandahimba 4,773,334,000 4,882,214,000 108,880,000 5,813,468,000 931,254,000 19.07 JUMLA 21,099,535,000 25,171,728,000 4,072,193,000 30,333,661,000 5,161,933,000 20.51
*Halmashauri hiyo ilikuwa haijaanzishwa.
41
-
KIAMBATISHO NA.4
-
CODE MRADI MTWARA MC MASASI TC NANYAMBA
TC NEWALA TC MTWARA DC NEWALA DC MASASI DC
TANDAHIMBA
DC
NANYUMBU
DC
6277 LGDG 943,057,000 922,736,000 900,744,000 832,036,000 997,184,000 933,293,000 1,400,444,000 1,326,173,000 1,048,159,000
6209
MFUKO WA
JIMBO 36,529,000 36,559,000 41,858,000 - 44,140,000 79,236,000 76,975,000 51,909,000 48,743,000
4322
FREE PRI EDN
PROGRM 235,189,000 250,757,000 337,969,000 262,474,000 349,006,000 343,676,000 730,353,000 649,131,000 441,158,000
4393
FREE SEC EDN
PROGR 849,923,000 383,879,000 148,994,000 240,656,000 396,055,000 146,970,000 945,128,000 343,176,000 118,011,000
4946 OWN SOURCE 3,402,612,000 1,303,137,000 1,267,134,000 1,327,111,000 1,571,074,000 1,187,322,000 2,497,000,000 3,173,918,000 1,761,810,000
6402
URBAN
COUNCILS - 700,000,000 1,500,000,000 1,500,000,000 - - - - -
6401
DISTRICT
COUNCILS - - - - 500,000,000 - 600,000,000 - -
JUMLA 5,467,310,000 3,597,068,000 4,196,699,000 4,162,277,000 3,857,459,000 2,690,497,000 6,249,900,000 5,544,307,000 3,417,881,000
CODE MRADI MTWARA MC MASASI TC NANYAMBA
TC NEWALA TC MTWARA DC NEWALA DC MASASI DC
TANDAHIMBA
DC
NANYUMBU
DC
5421 HSBF 180,774,000 187,805,000 222,095,000 102,458,000 267,834,000 297,396,000 532,622,000 444,883,000 398,455,000
6517 UNICEF 114,502,000 64,417,000 - - 124,962,000 77,198,000 82,674,000 88,338,000 61,135,000
3280 RWSSP 1,377,094,000 69,108,000 125,106,000 63,927,000 157,651,000 212,757,000 342,931,000 2,375,725,000 104,333,000
6403 TSCP 2,864,163,000
JUMLA 4,536,533,000 321,330,000 347,201,000 166,385,000 550,447,000 587,351,000 958,227,000 2,908,946,000 563,923,000
JUMLA KUU 10,003,843,000 3,918,398,000 4,543,900,000 4,328,662,000 4,407,906,000 3,277,848,000 7,208,127,000 8,453,253,000 3,981,804,000
FEDHA ZA NJE
FEDHA ZA NDANI
KIAMBATISHO NAMBA.4
LGAS CEILING-DEVELOPMENT BUDGET LOCAL AND FOREIGN 2017/18
42
1MAELEZO YA RC2Kiambatisho Na.13kiambatisho1Masasi DC2Masasi TC3Mtwara DC4Mtwara MC5Nanyamba TC6Nanyumbu DC7Newala DC8Newala TC9Tandahimba
4Kiambatisho Na.35Kiambatisho Na.4