sera ya maji ya taifa
DESCRIPTION
TRANSCRIPT
Sera ya Maji ya TaifaWarsha ya Waandishi wa Habari
ARM Hotel – Novemba 08 – 09, 2010
YaliyomoSera ya maji 1991Mapitio ya sera ya maji ya 1991Sera ya maji ya mwaka 2002Malengo ya seraMuundo wa seraHuduma za maji vijijiniMasuala ya kiseraWatekelezaji wa sera ni nani
Sera ya Maji ya 1991
Sera ya kwanza ya maji Tanzania
Lengo: Maji safi na salama kwa wote ifikapo 2002
Serikali ndio mwekezaji, mwendeshaji na msimamizi wa miradi na mtunzaji wa rasilimali
Mapitio ya Sera ya Maji 1991Yalianza mwaka 1996Sababu – Mapungufu ya sera ya 1991
Hali halisi ya upatikanaji maji na uendelevu 50% wanapata maji, 30% vituo vya maji havifanyi
kaziKutoshirikisha kikamilifu wadau hususan
wananchiKutoipa umuhimu sekta binafsi ktk utoaji
hudumaMapungufu katika mfumo wa kitaasisi na
kisheria
Sera ya Maji ya 2002 Imetokana na mapitio ya sera ya mwaka 1991Imeandaliwa kushirikisha wadau wote
muhimuImeundwa kuzingatia malengo ya dira ya
taifa 2025 na MKUKUTAImeweka mfumo madhubuti na endelevu wa
kusimamia rasilimali za majiPia taratibu za kisheria na muundo wa
kitaasisi wa kutekeleza sera
Malengo ya SeraKushirikisha walengwa kubuni, kupanga,
kujenga, kuendesha, kufanya matengenezo na kuchangia gharama za huduma
Utunzaji na usimamizi endelevu wa rasilimali za maji kwa kushirikisha wadau wote
Kupunguza majukumu ya utekelezaji kwa serikali – ili kusimamia, kuratibu, kushauri, kuwezesha na kutoa miongozo
Muundo wa SeraSera ina sehemu kuu tatu
i. Usimamizi wa rasilimali za maji- kuweka na kuendeleza mfumo endelevu na
madhubuti wa kusimamia rasilimali maji
ii. Utoaji wa huduma ya maji vijijini- Kuboresha afya za wananchi wa vijijini, kuchangia
kupunguza umasikini kwa kutoa huduma endelevu ya maji safi, salama na ya kutosha
iii. Utoaji wa huduma ya majisafi na majitaka mijini
- Kuweka mfumo endelevu wa kutoa huduma kwa bei nafuu ili makundi yote yafaidike
Huduma ya Maji Vijijini
Mikakati itakayotumika katikautekelezaji wa sera ili kufikia
madhumuni yasera kwa maeneo ya vijijini
MadhumuniUpatikanaji wa huduma endelevu kwa gharama iliyo ndani ya
uwezo wa wananchi vijijini.
Kuweka bayana majukumu na wajibu wa wadau mbalimbali.
Kuweka mkazo wananchi kulipia sehemu ya gharama za ujenzi wa miradi, gharama zote za uendeshaji na matengenezo ya miradi yao
Kubadili utaratibu ili wananchi wabuni, waanzishe na kuendesha miradi yao wenyewe.
Kuhamasisha Sekta Binafsi kushiriki katika kugharamia, kujenga, kuendesha na kutoa huduma ya maji vijijini.
Kuboresha afya ya jamii kwa kuunganisha mipango ya utoaji wa huduma ya maji, usafi wa mazingira na elimu ya afya.
Misingi ya SeraMaji ni hitaji la msingi na haki ya kila mtuMatumizi ya maji kwa ajili ya binadamu ni
muhimu kwanzaMaeneo yenye uhaba kupewa kipaumbele cha
miradiMaji ni bidhaa ya kiuchumiKulinda na kuhifadhi vyanzo vya majiHuduma endelevu
Masuala ya kiseraUshiriki wa jamii
Kumiliki miradi ya maji, kuchagua teknolojia, kubuni, usanifu, ujenzi wa miradi, uendeshaji na matengenezo ya miradi
Kushirikisha sekta binafsi kutoa huduma ya maji vijijini
Serikali kuwa mdhibiti, mwezeshaji na mratibu wa maji vijijini
Jinsia zote kushiriki kikamilifu katika miradi ya maji
Masuala ya kisera....Kiwango cha chini cha utoaji huduma vijijini
Lita 25 za maji safi na salama kwa mtu kwa siku Vituo vya maji viwe umbali usiozidi mita 400 Kila kituo kuhudumia watu 250
Udhibiti wa utoaji huduma za maji vijijiniWananchi kugharamia miradi ya maji vijijiniWananchi kuendesha miradi yao ya maji
kisheriaKuwa na mfumo mzuri wa ufuatiliaji na
tathmini ya miradi ya maji
Ni nani watekelezaji wa sera ya maji?1. Wananchi
Ndio watekelezaji wakuu. Wanapaswa
Kubuni, kumiliki, kusimamia na kuiendesha miradi yao ya maji. Kulipia gharama za uendeshaji, matengenezo, ukarabati na
upanuzi wa miradiya majiKulinda vyanzo vya maji na maeneo yanayozunguka vyanzo
hivyo. Kuhakikisha kuwa kuna uwiano mzuri kati ya teknolojia
iliyochaguliwa na kiwango cha huduma na upatikanaji wa maji kwa upande mmoja, na uwezo wa kiuchumi wa watumiaji maji wenyewe kwa upande mwingine.
Kutambua kuwa wanawake ni miongoni mwa wahusika wakuu katika utoaji wa huduma ya maji vijijini.
Ni nani watekelezaji wa sera ya maji.......
2. Serikali za MitaaJukumu kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma ya
maji safi na salama.Hivyo ni wasimamizi na wawezeshaji wa jamii. Majukumu
yao ni;• Kusimamia na kufuatilia upatikanaji wa maji.• Kusimamia vyombo vya watumia maji na kuhakikisha jamii
inakusanya fedha kwa ajili ya marekebisho ya miradi ya maji• Kuhakikisha miundombinu ya maji inalindwa, na kufanyiwa
matengenezo• Kutoa msaada wa kitaalamu tatizo linapotokea• Kuwezesha wanajamii kupata vipuri pale ambapo
vinahitajika
Ni nani watekelezaji wa sera ya maji?....
3. Wizara ya Maji na UmwagiliajiNi wasimamizi wakuu wa seraMajukumu yao ni
kuandaa sera na mipangokuratibu, kusimamia na kutoa miongozokuziwezesha halmashauri za wilaya, kukagua
na kutathimini utekelezaji wa miradi ya maji
Ni nani watekelezaji wa sera ya maji?.....4. Mashirika binafsi na Vyombo vya habari
Kuhakikisha sera zinawanufaisha wananchiKusambaza taarifa za kisera, mipango na bajetiKutoa elimu kwa ummaKuhamasisha ushiriki wa wananchiKuwajengea uwezo wananchi ili;
Kushiriki katika utekelezaji wa sera Kufuatilia utekelezaji wa sera Kutathmini utekelezaji wa sera
Asanteni
Maswali na maoni
Karibuni