sura ya 7 kielelezo: tumepatanishwa na mungu na...

56
Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 61 Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Upload: hanhi

Post on 24-Feb-2018

1.150 views

Category:

Documents


32 download

TRANSCRIPT

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 61

Sura ya 7 Kielelezo: Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 62

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 63

Sura ya 7 Tumepatanishwa na Mungu na Wanadamu

Ufafanuzi wa Jumla

Kielelezo cha 7 ni picha ionekanayo ambayo inaonyesha Wakristo wakiishi Huduma yaUpatanisho katika ulimwengu wenye uhasama wa Ufalme wa Giza. Upande wa kushotowa picha, unaweza kuona watu ambao bado wanaishi katika Ufalme wa Giza wakiwawameinua ngumi zao kumwelekezea Mungu na kuelekezeana. Upande wa kulia wapicha, unaweza kuona picha ya kiroho ya kanisa na waamini wakiwa wameshikanapamoja na kumfanyia Mungu makao matakatifu. Wamepata msamaha wa Yesu anaoutoakupitia dhabihu Yake, na wamepatanishwa na Mungu na wao kwa wao.

Juu ya ukurasa ni picha katika mviringo, na miviringo midogo iendayo hadi kanisani.Miviringo hii inawakilisha fikira za wale ambao wamezaliwa kiroho katika Ufalme waNuru. Wakristo wanaweza kuishi maisha ya kupatanishwa na Mungu na wao kwa waokwa sababu ya msamaha anaoutoa Mungu.

Kushoto juu ya mviringo, ni utoaji wa msamaha chini ya Agano la Kale. Unawaona watu wakitoa sadaka zawanyama ili Mungu awasamehe dhambi zao. Dhabihu moja iko juu ya madhabahu, nyingine hutolewa kwakuwachilia mbuzi itoke nje ya malango ya mje, ikiashiria kuchukua dhambi na kwenda nazo.

Upande wa kulia wa mviringo, unaona msalaba. Yesu alijitoa Mwenyewe kama sadaka mara moja basi, kwa ajili yadhambi zetu. Sasa tunaweza kusamehewa dhambi zetu kwa kumkubali Yeye kama Bwana na Mwokozi. Kwa kuwaYesu ametusamehe, ametupatia huduma ya upatanisho. Unaweza kuona ndani ya picha watu wakitoka nje ya kanisana kuingia ulimwenguni. Mungu ametupatia jukumu la kuwa Wahudumu wa upatanisho! Tunapaswa kuwatangaziawengine msamaha anaotoa Mungu kwao, na sisi tunapaswa kusameheana kama vile alivyotusamehe.

Picha zilizo juu ya paa la kanisa zinatukumbusha kwamba kuna mambo mengine tunayoweza kufanya ili tusaidiekuponya wale tuliowaumiza. Moja ni kuungama dhambi (mtu anayeongea). La pili ni kuwarejesha watu wanaotakakutubu (hadithi ya pete ya Mwana Mpotevu). Na la mwisho ni kuwafidia wale tuliowakosea (pesa-hadithi yaZakayo). Yesu anasema kwamba tukue katika kupendana huku tukitii amri Yake ya kupenda kama Alivyotupenda.Alitupenda na kutufia wakati tulikuwa wenye dhambi bado na wahasama kwa Mungu.

Wakristo wanapoishia msamaha wa Yesu, wengine wanaguswa na kupendana kwao. Sote tumepewa huduma yaKupatanisha. Na ni huduma hii ambaye inachukua kiini cha Injili, msamaha na upatanisho kwa ulimwengu kupitiamaneno na matendo yetu. Tunaposamehe na kupatana, huwa tunaupatia ulimwengu picha ya Injili iliyo wazi.Tunapokuwa na kutosamehe na kukosa uwezo wa kupatanisha na kurejeza upya, huwa tunazuia kuabudu ndani yamwili wa Kristo na pia tunazuia kazi ya huduma. Kwa kweli maneno lazima yafuatane na matendo.

Malengo ya Sura ya 7 Kutambua uhasama na uadui kama tabia katika Ufalme wa Giza. Kusaidia watu waone dhambi dhidi ya Mungu au dhidi ya watu kama chanzo cha uhasama. Kutoa uelevu wa Kibiblia wa Msamaha wa Mungu, kama unavyoonekana katika Agano la Kale na Agano Jipya. Kutambua utaratibu wa Biblia unaohusika na kuleta ungamo, mapatano, kurejeshwa upya, na kuponywa kwa

wale ambao wamekosea wengine au waliokosewa. Kuwapa waamini changamoto wapende na kusamehe kama alivyofanya Yesu. Kuwatia nguvu waamini katika huduma ya upatanisho.

Sura ZinazohusianaSura ya 1: Shetani na pepo hufanya kazi ili wasababishe utengano, kutosamehe, kudhania kubovu, na mvutano baina ya waaminiili kuzuia wengine wasiuone ujumbe wa Injili.

Sura ya 5: Watu katika Ufalme wa Giza wamenaswa katika ukabila, ubaguzi, na tofauti nyingenezo kati ya watu. Watu katikaUfalme wa Nuru wanaishi maisha ya kupatanishwa na Mungu na wao kwa wao kama wanavyoweza.

Sura ya 10: Kuweni waangalifu muepukane na njia ya chuki na fujo.

Sura ya 11: Kanisa siku zote linatakiwa liwafikie wale walio katika Ufalme wa Giza ili liwalete katika Ufalme wa Nuru, kamawatumishi wazuri wa Injili.

Sura ya 12: Kueni katika Kupendana.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 64

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Uhasama na Ufalme wa Giza

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, na Maandiko

Sehemu ya 1a: Watu katika Ufalmewa Giza wanaweza kuwa na

uhasama dhidi ya Mungu na njiazake, na dhidi ya wale

wawakumbushao juu ya njia zaMungu.

Watu wawili wanampigia Mungu kelelekwa hasira- * Watu katika Ufalme wa Gizawamemkasirikia Mungu (na waadilifu) kwasababu sheria Zake ziko kinyume na mambowanayotaka kufanya. Hawataki kujiwekachini ya sheria za Mungu. Badala yakewanaishi maisha na kushughulikia mambo yaowenyewe kama wapendavyo. Watu katikakundi hili wakati mwingine wanatawaliwa nauchungu, hasira, na chuki ambayo dhambi zawatu wengine ama dhambi zao wenyewezimewaletea. Pia wanaweza kuongozwa natamaa zao wenyewe za kupata nguvu, utajiri,upendo, na starehe. Biblia inasema kuwa,“Kwa maana wale waufuatao mwili huyafikirimambo ya mwili; bali wale waifuatao rohohuyafikiri mambo ya roho. Kwa kuwa nia yamwili ni mauti; bali nia ya roho ni uzima naamani. Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui juuya Mungu, kwa maana haitii sheria ya Mungu,wala haiwezi kuitii.Wale waufuatao mwilihawawezi kumpendeza Mungu” (Warumi 8:5-8).

Vichwa Vya Masomo:

1. Watu katika Ufalme wa Giza wanaweza kuwa na uhasamadhidi ya Mungu na njia zake

2. Watu katika Ufalme wa Giza wanaweza kuwa na uhasamadhidi ya yeyote anayewakumbusha juu ya Mungu na njia Zake.

Uhasama dhidi ya Mungu au dhidi ya WaadilifuHadithi*Hasira ya Nebukadneza Dhidi ya Watu Watatu Waadilifu- Danieli 3:18-30. *Kaini naHabeli- Mwanzo 4:1-16. *Hasira ya Hamani- Esther 3:5-6. *Mfalme Herodi - Mathayo 2:16.*Hasira ya Herodia Dhidi ya Yohana Mbatizaji- Marko 6:18-19. *Maisha ya Saul ya Awali-Matendo 26:11. *Mafarisayo wanakuwa Wahasama Dhidi ya Yesu- Luka 11:53-54. *Chukidhidi ya Stefano kwa kupinga matendo ya Wayahudi-Matendo 6:8-7:60.

Maandiko*Fikira Juu ya Mwili Ina Uhasama Dhidi ya Mungu; na haiwezi kuwa chini ya Sheria Zake -Warumi 8:7-14; Kol. 1:21. *Yule aichukiaye Nuru, hukaa mbali na nuru - Yohana 3:20-21.*Kama Ulimwengu unawachukia na kuwatesa, jueni kuwa Yesu pia ulimchukia na kumtesa- Yakobo 4:4-5*Ni nani Aliyemwua Bwana Yesu na Pia Manabii, na Kututoa Nje.Hawampendezi Mungu, Lakini wana Uhasama na Watu Wote - 1 Wathesalonike 2:15. *MtuMwovu hufanya hila Dhidi ya Mwadilifu na Kusagia Meno. Bwana Hucheka, Siku Yakeinakuja- Zaburi 37:12-29. *Utachukiwa Na Wote Kwa Sababu Ya Jina Langu, vumilia-Mathayo 10:22; Marko 13:13. *Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili mapingamizimakuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyonimwenu- Waebrania 12:3. *Usiwaogope wale wakukasirikiao- Isaya 41:10-13.

Sehemu ya 1b: Watu katika Ufalmewa Giza mara nyingi huwa katika

mapigano yasiyo na mwisho nawatu wengine au makundi ya watu.

Watu wawili wanapigana- Watu waliokatika Ufalme wa Giza huwa na uadui kati yaona Mungu, na kati yao wenyewe. Hili ni mojawapo ya maswala tuliyojadili katika Ufalmewa Giza katika Sura ya 5.Tulijifundisha hapomwanzoni kwamba watu walio katika Ufalmewa Giza hupenda kujitambua kwa kutegemeakabila, rangi, mbari, taifa wanalotoka na hatakwa misingi ya jinsia zao. Wakati mwinginewatu huonyesha uhasama wao kwa kupigana,

Vichwa Vya Masomo:

1. Watu katika Ufalme wa Giza mara nyingi huwa katikamapigano yasiyo na mwisho na watu wengine.

2. Maisha yao yanaweza kuwa na tabia za umbeya, matusi,ubaguzi, ukabila, kutaka vyote, ubinafsi, na mawazo namatendo ya uuaji.

3. Matendo haya huwafanya makundi ya watu kuwapigana namtu fulani, au kundi moja dhidi ya kundi lingine.

4. **Tasama mafunzo ya njia katika Sura ya 10.

Hadithi*Wakati mwingine Yesu Alisababisha migawanyiko- Luka 12:51-53; Yohana 7:37-53; 9:16;Yohana 10(vs. 19). *Paulo Anaandika juu ya Migawanyiko Kanisani- 1 Wakorintho 1:11-31; 3:1-9. *Ushuhuda unaweza Kusababisha Migawanyiko- Matendo 14:1-7. *Yakobo naYohana Wanasababisha Mvutano Kati Ya Wanafunzi- Marko 10:35-52.

Maandiko*Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu,uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mamboyanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia,

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 65

kuuana, kubaka, na aina nyinginezo za fujo.Watu wengine huonyesha wengine hasira nahukosa kuona uwepo wao kama ni wa maana.Huwasengenya watu wengine na hali hiihufanya shaka na ugomvi kuanza. Moja yamatokeo ya tabia hii ni kwamba watuhutengana na kushutumiana..Chanzo cha uhasama na chuki baina ya watuni dhambi. Vita na chuki hutokea kati ya watuwakati wanapozivunja sheria za Mungu kamajamii au kama mtu binafsi. Mtu anapomtendeamwingine dhambi, uhadui na ukatili huingiakati ya watu hao. Ikiwa hali hiihaitasuluhishwa, watu hawa huanza kuwamaadui, na shina la uchungu huchipuka nakuenea kwa watu na hatimaye watu haohuanza kupigana. Katika lugha ya Kiebrania,neno linalowakilisha uadui lina uhusiano waKaribu na neno lenye maana ya uadui. Uaduimaana yake ni kutoaminiana, kutengana, auuhasama. Watu huwatendea wengine maovukwa sababu kadhaa mbalimbali. Wanawezakuchochewa na ubinafsi, faida ya kibinafsi,ubaguzi, hamu ya kulipiza kisasi, anasa, wivu,ulafi na tamaa au hamu ya mamlaka. Ubinafsindicho chanzo hasa cha uhasama. Hasirayaweza kuwafanya watu kuwaangalia wenginekwa mtanzamo fulani mbaya, halafu wakaanzakuwafanyia vibaya wakifikiria kwamba kwakufanya hivyo wanafanya jambo lililo sawa nala haki. Lakini kitu kimoja cha kukumbuka nikwamba mapigano na mizozo si mamboambayo yanapaswa kuendelea kutendwa nawatu wa Mungu.

ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.-Wagalatia 5:19-21. * Na ninyi, mliokuwa hapo kwanza mmefarikishwa, tena adui katikania zenu, kwa matendo yenu mabaya, amewapatanisha sasa; katika mwili wa nyama yake,kwa kufa kwake, ili awalete ninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala lawama -Col. 1:21-22. *Watu wenye dharau huwasha mji moto; Bali wenye hekima hugeuzia mbalighadhabu - Mithali 29:8. *Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wakusema; wala kukasirika- kwa maana hasira ya mwanadamu haiitendi haki ya Mungu.-Yakobo 1:19-20.

[Ilani: Ulimwengu wote ukiwa katika mashaka haya, Mungu akatoa njia ambayo kwa hiyowatu wangeweza kupatanishwa na Mungu na wenyewe kwa wenyewe. Utaratibu huounaitwa, upatanisho.]

Fasili ya UpatanishoUpatanisho maanake ni, kuufanya uhusiano uwe sawa. Mabadiliko haya ni kuleta pamojamahasimu wawili wawe marafiki. Lakini upatanisho ni kipawa na pia ni jukumu katikadaraja la kibinadamu. Mungu ametufanyia kazi tayari, lakini ni lazima tuache kazi hiyo ileteamani katika sehemu za ndani ya mioyo yetu. Inavutia kuwa neno la patana halikupatikanakatika chanzo cha dini yoyote ya kwanza ya kipagani nje ya Biblia. Upatanisho ni mojawapo ya hulka zilizo msitari wa mbele kabisa za imani ya Kikristo. Inaonyesha mapenzi yaMungu. Yesu alisema, “Hivyo watu wote watatambua ya kuwa ninyi mmekuwa wanafunziwangu, mkiwa na upendo ninyi kwa ninyi " (Yohana 13:35). Yesu alipotuamuru tupatanesisi kwa sisi katika Mathayo 18, Alitumia neno la upatanisho lenye nguvu kuliko yoteyaliyokuwako katika lugha ya Kigriki. Kwanza lina nguvu zaidi kuliko neno alilotumiaPaulo katika Waefeso 2, aliposema tunapatanisha watu na Mungu, na tumepewa huduma hiiya upatanisho! Ni mapenzi ya Yesu kwamba tuwapatanishe watu ambao wametufanyadhambi, kama vile Yeye alivyotupatanisha kupitia kwa kifo Chake mwenyewe.

Somo La 2 Msamaha na Mapatano katika Ufalme wa Nuru

Sehemu ya 2a: Waaminiwameunganishwa pamoja katika

familia moja ya kiroho, wakifanyamakao matakatifu ya Mungu.

Watu wanaungana pamojakutengeneza kuta za kanisa- Inaonyeshaumoja anaotaka Mungu kati ya waamini.Waamini hawa wamesameheana, kama vileMungu alivyowasamehe dhambi zao. Katikakitabu cha Waefeso, tunapata kwamba umojawa waamini kwa pamoja humjengea Mungumakao matakatifu. Fikira zao ni kupendanakama vile Yesu alivyowapenda. Alitoa uhaiwake kwa ajili ya watu wakati walipokuwamaadui wa Mungu bado. Agano la Kale naAgano Jipya yanaonyesha jinsi msamaha huuunavyopatikana.

Vichwa Vya Masomo:

1. Waamini wanapaswa kuishi pamoja na upendo wa pamoja,akili, moyo, na umoja kuonyesha maisha yaliyobadilikaanayowapatia Mungu.

2. Waamini wanaungana pamoja kuvuka vizuizi vyote vyakibinadamu vya ulimwengu na kutengeneza pahali pamojapatakatifu pa kukaa Mungu.

3. Waamini wanajitahidi kupenda na kusamehe kama Yesualivyofanya.

4. Kumbuka Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi za kila mtu. Kamaanasamehe watu wengine, na sisi pia tutasamehe.

Hadithi*Ombi la Yesu la Ukuhani Mkuu kwamba waamini wawe kitu kimoja- Yohana 17.Maandiko*Yesu alikuja kuwapatanisha hawa wawili (Wayahudi na Mataifa) na kuwafanya kuwamwili mmoja, na wajengewe ili wawe makao matakatifu ya Mungu - Waefeso 2:12-22. *Yohana anaandika juu ya upendo na umoja wa Wakristo - 1 Yohana. *Paulo anaandika juuya uhusiano wa mwili - Warumi 14. *jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu,upole, uvumilivu, mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumumwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi. Zaidi ya hayo yote jivikeniupendo, ndio kifungo cha ukamilifu. Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyomliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani- Kol. 3:12-15. *ijalizenifuraha yangu, ili mwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, mkiniamamoja. Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu,kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake. Kila mtu asiangalie mamboyake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.- Wafilipi. 2:2-4. *Miili Yetu NiHekalu- 1 Wakorintho 3:16-17; 6:19-20. *Mungu Na Mwanakondoo (Yesu) Ndio HekaluHuko Mbinguni- Ufunuo 21:22.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 66

Sehemu ya 2b: Chini ya Agano laKale Mungu alitoa njia ya mdaambayo kwa hiyo msamaha na

kurejeshwa upya kuliwezakufanyika kati ya watu na Mungu;

na kati ya watu na watu.

Madhababu- Chini ya Agano la Kale,wanyama walitolewa sadaka juu yamadhabahu kulipia (kufunika) dhamb za watu,na kuwaletea msamaha kutoka kwa Mungu.Madhabahu haya ni kama yale yaliyotumiwana Waisraeli walipoleta sadaka zao kwaMungu. Msamaha siku zote ulihitaji sadaka yadamu. Utaratibu huu wa kutoa sadaka, kulipiaau kurekebisha. Dhambi au sababu ya makosailiondolewa na sadaka, kulikuwa hakuna uaduitena kati ya Mungu na watu. Utoaji wamaisha yaliyo safi kwa ajili ya maishamachafu mtu anaweza kuonyesha ugumu wasadaka ni nini. Kutoa sadaka sio rahisi. Kamavile sadaka ya kusafisha dhambi zetu haikuwarahisi! Ilikuwa Mwana wa Mungu. Wakatimwingine inatubidi kukabiliana na ugumu sisiwenyewe kwa vile ni lazima tutoe sadakahitaji letu la kulipiza kisasi ili tupende kamaYesu alivyopenda. Ni lazima tuamini kuwaMungu ataleta haki kwa kila hali katikawakati, na ni lazima tufanye mambo ya sawa.Mara nyingi sana, tunalipiza kisasi na duara laulipizaji wa kisasi na chuki linaanza ambalohusambaa kwa wengine rahisi na kushindakuthibitiwa. Linaweza kusababishamgawanyiko mkubwa katika makanisa.Msamaha unaanza wakati mmoja wamahasimu au wote wanapotoa matakwa yao yakulipiza kisasi juu ya madhabahu.

People around a goat- Juu ya sadaka yakuteketeza hapo juu, watu wangeweka mikonoyao juu ya beberu aliye hai, ili kuondolewakwa dhambi zao na kupakaziwa yule beberu.Baada ya kila mtu kumwekea mikono, mbuzihuyo aliachiwa huru kuyoyomea nyikanikwenda kufa. Hii ilikuwa picha ya kuondoadhambi za watu. Mbuzi huyu alipewa jina nakuitwa beberu aondoaye dhambi. Msamaha nikufunika na kuondoa dhambi kabisa. Aganola Kale linatusaidia kuona kwa macho jinsi yakuwasamehe wengine.

Vichwa Vya Masomo:

1. Angalia Sheria za Dini kutoka Sura ya 4, kama itakiwavyo.2. Chini ya Agano la Kale, watu walipaswa kuleta wanyama kama

sadaka ili walipe fidia ya kuvunja Sheria za Mungu.3. Bila sadaka ya damu, kulikuwa hakuna msamaha wa dhambi.4. Sadaka ilipaswa iwe bila kasoro.5. Sadaka iliondoa au kutupa sababu ya makosa, na kufanya

msamaha au ukombozi (kununua tena) kuwa halisi.6. Mara tu sadaka inapotolewa, mtu alirejeshwa katika uhusiano

wa sawa na Mungu.7. Wakati ambapo watu wanataka msamaha kwa ajili ya dhambi

zao dhidi ya wao wenyewe, fidia pia ilikuwa lazima ifanywe.8. Mbuzi iliyo hai ya kuwekelewa makosa ilikuwa picha ya

kutupilia makosa mbali kwa kuwa watu waweka dhambi zaojuu ya mbuzi kiishara na kisha wakaipeleka jangwani ikafehuko.

Upatanisho (kuweka sawa)Hadithi and Maandiko*Musa anafanya upatanisho kwa ajili ya Watu- Kutoka 32. *Abigaili Anaweka mambosawa- 1 Samueli 25:18. *Sadaka za upatanishpo- Mambo ya Walawi 1-17; 26:41-43.

Sadaka ya ukombozi (Kununua Tena)Hadithi na Maandiko*Sheria Za Ukombozi- Mambo ya Walawi 25. *Ee Israeli, Umtumaini BWANA; KwaMaana Kwa BWANA Kuna Fadhili, Na Kwake Kuna Ukombozi Tele/mwingi- Zaburi130:7.

Maneno Ya Biblia tupaswayo kuyaelewa:Patanisha/Suluhisha- Kusafisha au kutakasa; kufanya uhusiano uwe sawa. AJ- kugeuzakutoka kwa uadui hadi urafiki.. Katika AJ, neno apokatallasso limetumika katika Waefeso2:16, kuhusu kupatanishwa kwa Wayahudi na Mataifa na kuwa mwili mmoja. Neno hilimaalumu kwa ajili ya kupatanisha maanake ni kupatanisha kabisa, ili kuondoa viwango naaina yote ya makosa ili umoja uweze kupatikana kikamilifu.

Komboa- maanake ni kununua tena, au kumfanya mtu aachiliwe kwa kumlipia fidia.

Upatanisho- maanake ni kupatanisha kwa ajili ya makosa yaliyofanyika, au kufunika.

Kusamehe- maanake ni kuondoa au kumwia mtu radhi.

Kurejesha- kurudisha mahali, hadhi, mali, au uhusiano. Kurekebisha.

Kufidia- Kulipia jambo ambalo ni makosa, kulipa. Kurudisha ilivyokuwa, kujaza.

Mbuzi wa kuondolea dhambi/Msamaha (kuondoa)Hadithi na Maandiko*Sadaka ya Mbuzi msingiziwa Kwa Kuondoa Dhambi- Mambo ya Walawi 16:7-10(Azazeli).*Sadaka ya Dhambi Ni Nje Ya Kambi- Kutoka 29:10-14; Mambo ya Walawi 4:12-21. *Ibrahimu Na Isaka, Mungu Anatoa Sadaka (haitajwi kama mbuzi ya kuondolea dhambi,lakini imefanana)- Mwanzo 22.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 67

Sehemu ya 2c: Chini ya AganoJipya – kupitia kifo cha Yesu na

kufufuka kwake, Mungu alitoa njiaya kudumu ya msamaha na

upatanisho.

Kielelezo hiki ni picha ya kiroho ya hudumaya upatanisho ambayo Munguamewapatia waamini katikaulimwengu huu. Yesualipokufa msalabani nakufufuka kutoka kwa wafu,Alivunja kuta ambazo dhambiilikuwa imejenga kati ya watuna Mungu. Kishaakatupatanisha na Mungu.Upatanisho huu haukuwaupatanisho wima tu—kati yetuna Mungu, lakini pia ulikuwa upatanishomlalo—kati yetu na watu wengine. Kwasababu Mungu ametusamehe dhambi zetu nakurejesha uhusiano wetu na Yeye, tunapaswakupatanishwa na watu waliotuzunguka,tukiwasamehe kama vile Mungualivyotusamehe. Hili ni tendo kuu la upendona kujitolea, na inaonyesha upendo ule uleambao Yesu yuko nao kwetu. Tunapokuwatukipatanisha watu waliotuzunguka, tunajengaUfalme wa Mungu na sio ufalme wetuwenyewe. Tukifanya kazi kwa ajili ya amanikatika ulimwengu wetu, tunamheshimuMungu.

Vichwa Vya Masomo:

1. Hakiki: Kifo cha Yesu msalabani kilitimiza sheria za sadaka zaAgano la Kale.

2. Sadaka ya Yesu ilikuwa kamilifu na isiyo kasoro ya wakatiwote na watu wote wanamfuata kama Bwana na Mwokozi.

3. Tunapaswa kupenda na kusamehe kama Yesu, kwa vile Alilipabei ya dhambi za kila mtu.

Ukombozi wa Yesu*Yesu alikuja kutoa Uhai Wake kama Fidia Kwa Ajili ya Wengi- Mathayo 20:28. *Unabiiwa Zakaria- Luka 1:67-80. *Ukombozi katika kifo cha Yesu - Warumi 3:22-26. *Lakiniwakati ulipotimia Mungu alimtuma Mwanwe, aliyezaliwa na mwanamke, aliyezaliwa chiniya sheria, ili awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kufanywa wana …-Wagalatia 4:4-7. *Maana Kristo aliteseka mara moja tu, mwadilifu kwa ajili ya waovu,wakosaji, ili apate kumleta kwa Mungu- 1 Petro 3:18-20. *Yesu Ni Mfalme Wa Amani-Isaya 9:6. *Hadithi za Sadaka ya Yesu- Mathayo 27; Marko 15; Luka 23; Yohana 19.*Mafundisho Juu ya Sadaka ya Yesu- Waebrania 7-10. *Maana Yeye ni Amani yetu,aliyefanya makundi yote ya kundi moja (Wayahudi na Mataifa) na kuvunja ukuta wauhasama uliowagawanya… basi sasa ninyi si wageni tena, bali raia pamoja na watakatifu, nawatu wa familia ya Mungu. -Waefeso 2:14 na kuendelea.

Yesu Kama Mbuzi Aondoaye Dhambi*Yesu Kama Dhabihu Inayotolewa Nje ya Kambi - Luka 23; Mathayo 24-27; Marko15; Yohana 19. *Yesu Pia, Ili Apate Kuwatakasa Watu Kwa Damu Yake Mwenyewe,Aliteseka Nje Ya Lango - Waebrania 13:11-13.

[Ilani: Mtindo unaoendelea au uhasama ulivyo unaweza kutulizwa kabisa katika uhusiano na Yesu Kristo. Swali ni je hivi vitakuwaje?Msamaha ni kazi ngumu kwa sababu ya kina cha dhambi ya wanadamu na hamu yetu ya kutaka haki itendeke. Mungu amekuwa wa rehemasana kwa kutoa njia ya msamaha ili alete uponyaji na amani kwa watu. Kwa hiyo tunapokabiliana na masuala magumu ya msamaha, jamboambalo ni lazima tujue na kukubali mioyoni mwetu ni kwamba tayari Yesu amelipa bei. Kama vile alivyokufa kwa ajili ya dhambi zetu, Piaamekufa kwa ajili ya mtu yule au kundi la watu ambao wametukosea. Kitu anachotuhimiza Yesu ni kusamehe na kupenda kama alivyofanya.Hapa kuna hatua fulani za kuleta uponyaji na upatanisho kati ya watu.

Somo La 3 Kuleta Ukamilifu kwa Msamaha na Upatanisho Kati ya Watu

Sehemu ya 3a: Ungameni dhambizenu mmoja kwa mwengine namuombe ili mpate kuponywa.

Mtu anasema- *Sisi ni wahudumu waupatanissho, tunawapatanisha watu na Munguna watu na watu.

*Hii ni picha ya moja wapo ya mambotunayohitaji kufanya ili tulete uponyaji kwawale tuliowaumiza. Tunahitaji kuungamianadhambi zetu mmoja kwa mwingine. Bibliainasema twende kwa mtu yeyote tuliyemkoseana tupatane naye. Inavutia kwamba neno languvu kabisa la kupatanisha katika Biblialimetumiwa katika Waefeso ambapo Pauloanajadili jinsi Yesu alivyovunja KILAUKUTA kati ya watu ili wapate kupatanishwawao kwa wao. Kupatanishwa na Mungu ndiyosehemu rahisi. Kupatanishwa na watu wakati

Vichwa Vya Masomo:

1. Yesu anasema ni lazima twende kwa yule aliyetukosea, natwende kwa yule mwenye jambo dhidi yetu kabla kuanzakuabudu.

2. Njia moja ya kuleta uponyaji kati ya watu ni kuomba nakuungama.

3. Ni lazima tusamehe katika mfuatano wakati watu wennginewatuombapo msamaha- 70 X 7.

4. Kwa kumtii Yesu tunaweza kujifunza kusamehe bure kamaYeye alivyotusamehe bure.

5. Taratibu za kanisa za nidhamu pia lazima ziwe na misingikatika njia ya Yesu ya upatanisho, kurejeshwa upya na kufidia.

Hadithi*Kisa cha Yusufu- Mwanzo 37-50. *Yesu Anawasamehe Wale Wamwuao- Luka 23:34.*Stefano anasamehe Wale Wanaompiga Mawe, “Usiwahesabie Dhambi Hii”- Matendo 7 (v.60). *Paulo Anasamehi kama Stefano na Yesu, “Usiwahesabie Dhambi hii”- 2 Timotheo4:16. *Yesu Anamsamehe Kahaba- Luka 7:37-50. *Yesu Anatuamuru Tupende KamaApendavyo- Yohana 15:12. Petro anauliza ni mara ngapi tutawasamehe watu wanaoendeleakutufanyia dhambi- Mathayo 18:21-22. *Fumbo la mtumishi asiyesamehe- Mathayo 18:23-35.Maandiko* Basi, Kama Ulikuwa Tayari Kutoa Sadaka Yako Madhabahuni, Ukakumbuka KuwaNdugu Yako Amekukasirikia, Acha Sadaka Yako Papo Hapo, Uende Kwanza UkapataneNaye - Mathayo 5:23-26. * Kwa hivyo, Ungameni Dhambi Zenu Nyinyi Kwa Nyinyi NaKuombeana Ili Mpate Kuponywa - Yakobo 5:16. *Yesu ameleta amani kwa vitu vilivyo

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 68

mwingine kuna utata sana na kuna ugumu.*Yesu alisema tunapaswa kusamehe hatakama mtu atakuja kutuomba msamaha sabinimara saba.

*Ni lazima tusamehe bure kama Yesuanavyofundisha katika Fumbo la Mtumishiasiyesamehe. Tumepokea msamaha kutokakwa Yesu bure, kwa hiyo ni lazima tutoemsamaha bure.

*Tunapaswa kuombeana ili uponyaji upatekufanya kazi mahali palipoumia. Wakatimwingine uponyaji na uwezo wa kusamehekabisa hufanyika kwa mda, Munguanapoiponya mioyo yetu. Ni lazima tuchungetusiweke mawazo mioyoni mwetu, chuki, aukukariri makosa mioyoni mwetu. Badala yakeni lazima tukariri kuondoa dhambi za watuwengine. Baada ya mda, hivi vitatusaidiakusamehe.

Mbinguni na duniani - Kol. 1:20-22. * Kadiri Inavyowezekana Kwa Upande Wenu, Mwe NaAmani - Warumi 12:18. *Mtumishi Aliyeteseka- Isaya 53. *Unapoteseka kama mwaminiuweke moyo wako kwa Mungu- 1 Petro 3. *Heri ninyi watu wanapomtesa kwa sababu yaYesu- Mathayo 5:11-12. * Ndugu Zangu, Mtu Akighafilika Katika Kosa lo lote, Ninyi Mliowa Roho Mrejezeni Upya Mtu Kama Huyo Kwa Roho ya Upole, Ukijiangalia Nafsi YakoUsije Ukajaribiwa Wewe Mwenyewe - Wagalatia 6:1.

Sehemu ya 3c: Kurejeshwa Upya

Pete- Mwana Mpotevu aliporudi nyumbanikwao, babake alimvisha pete. Na piaalimvisha viatu miguuni mwake na kanzu.Vitu hivi vyote viliashiria kurejeshwa upya.Tunahitaji kuwarejesha watu waliotufanyiadhambi, na ambao wamerudi kuombamsamaha. Mabadiliko ya mtindo wa maishaau matendo kawaida yanatakiwa ilikurejeshwa upya kuweze kufanyika.…kamamabadiliko tunayoyaona katika hadithi yaMwana Mpotevu katika toba na mtindo wamaisha.

Rejesha upya- kurudisha mahali, hadhi,mali, au uhusiano. Kurekebisha. Mwelekeowa ulimwengu ni kutorejesha kamwe.

*Wakati mwingine, tunataabika kwa sababuya dhambi za watu wengine. Wakatimwingine tunapata taabu kwa sababu yamakosa yetu wenyewe. Aina hizi zote zamateso zinaweza kukombolewa. Kujifunzakutoka kwa makosa yetu wenyewekunakomboa. Na kuwapatia watu wakati wakujifunza kutokana na makosa yao piakunakomboa. Siku zote lazima tuache nafasiya watu kurudi. Upendo wetu unakamilikatunaposamehe na kuwapenda wengine katikautiifu. Katika mambo haya yote tunajifunzakuwa kama Yesu zaidi.

Vichwa Vya Masomo:

1. Kurejeshwa upya ni moja wapo ya hatua muhimu sana zakukamilisho ili uponyaji ufanyike katika Mwili wa Kristo.

2. Kurejeshwa upya kunawezakuwa kurejeshwa kwa hadhi,mahali au uhusiano.

3. Kurejeshwa upya kuko katika misingi ya kupenda nakusamehe kama Yesu alivyopenda na kutusamehe. Siku zoteweka nafasi.

4. Kurejeshwa upya kunategemea toba ya kweli.

Hadithi na Maandiko*Zaburi ya Kurejeshwa upya Baada Ya Kufanya Dhambi- Zaburi 107. *YususuAnawasamehe Ndugu Zake- Mwanzo 45-50.*Yakobo na Esau Wanaungana Tena- Mwanzo 32-33. *Mtumishi Asiyesamehe- Mathayo18:23-35. *Mwana Mpotevu- Luka 15:11-32. *Mungu Anawaahidi Wenye Dhanbi walioUhamisho kurejeshwa upya- Kumbukumbu La Torati 30; Yeremia 15:16; 27:22; 29:14.Paulo anafundisha juu ya kurejeshwa upya- 2 Wakorintho 2:1-11. *Yesu Anamrejesha PetroBaada ya Petro Kumsaliti- Yohana 21:15-25. *Zaburi ya Kurejeshwa upya- Zaburi 126.*Kupenda Kama Yesu Alivyopenda Ni Kutoa Maisha Yetu Kwa Ajili Yetu Wenyewe kwaWenyewe- Yohana 15:13; 1 Yohana 3:16. *Kuweni na akili moja, Ishini kwa Amani; NaMungu Wa Upendo Na Amani Atakuwa Pamoja Nanyi- 2 Wakorintho13:11.

Sehemu ya 3d: Kulipa Fidia

Pesa- Katika kisa cha Zakayo, Yesu anaendanyumbani kwa Zakayo. Zakayo anamwaminiYesu, na anataka kurudisha pesa kwa watualiowaibia. Tendo hili tunaliita kulipa fidia.

Vichwa Vya Masomo:1. Fidia ni kitendo cha kulipia makosa ambayo yamefanyiwa mtu

mwingine.2. Katika Agano la Kale, fidia ililipwa mbele za Mungu. Sadaka

ililetwa, na pia malipo ya kupewa mtu aliyekosewa. Ukwelikwamba sadaka kwa Mungu ilikuwa lazima itolewe,inaonyesha kuwa kuwafanyia dhambi wengine pia ni dhambikwa Mungu.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 69

Fidia- kulipia jambo lililofanyika makosa,kurudisha. Kujaliza, kulipiza.

Hadithi*Kisa cha Zakayo- Luka 19. *Paulo Anampatia Yohana Marko Nafasi Nyingine KatikaHuduma- Matendo 15:37-39; 2 Timotheo 4:11. Sheria za Fidia za Agano la Kale- Kutoka21:34; na Kutoka 22.

Somo La 4 Huduma ya Upatanisho na Mwito Mkuu

Sehemu ya 4: Tumepewa Hudumaya Upatanisho tuuambie

ulimwengu.

Waamini wanaenda ulimwenguni- Pichaya watu wakiishi Huduma ya Upatanisho kwaulimwengu. Yesu alitupatia Mwito Mkuu mdamfupi kabla ya kupaa Mbinguni. Alitwambiatwende ulimwenguni kote na kufanyawanafunzi tukiwafundisha kila kitualichowafundisha. Lakini Injili si maneno tu,ni vitendo. Yesu alitwambia tuwapendewengine kama alivyotupenda. Tunapaswakusamehe na kupatanisha, kurejesha nakuponya uhusiano kama tu alivyotufanyia.Injili inaweza kuzuiwa na kutoishi maisha yakupatanishwa mbele za wengine, kama vilekuabudu kwetu kunavyozuiwa wakati hakunamapatano kati ya watu katika mwili wa Kristo.

Vichwa Vya Masomo:

1. Mungu ametupatia Huduma ya Upatanisho.2. Ili tupate kuleta matokeo yatarajiwayo zaidi katika huduma

hii, ni lazima tuishi huduma hii katika uhusiano wetu wakibinafsi.

3. Tunapoishi maisha ya kupatana na Mungu na wenyewe kwawenyewe, huthibitisha ushuhuda wetu juu ya Injili kwaulimwengu.

Maandiko*Yesu Anavunja Kila Ukuta Wa Utengano Kati ya Wanadamu Na Mungu, Yeye ndiyeAmani Yetu- Waefeso 2:14-22. * Hivyo Watu Wote Wata tambua Ya Kuwa NinyiMmekuwa Wanafunzi Wangu, Mkiwa na Upendo Ninyi Kwa Ninyi - Yohana 13:35. *Mkutano Mkubwa Sana, Watu Wa Kila Taifa, Na Kabila, Na Jamaa, Na Lugha,Wamesimama Mbele Ya Kile Kiti Cha Enzi, Na Mbele Za Mwana-Kondoo - Ufunuo 7:9-10.*Mungu alitupatanisha na Yeye Mwenyewe, akatupatia Huduma ya Upatanisho, sisi nimabalozi Wake- - 2 Wakorintho 5:18-20. *Tulipatanishwa wakati tulikuwa maadui, na zaidisana tutaokolewa na uhai Wake -Warumi 5:10-11.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 70

Sura ya 8 Kielelezo : Jinsi ya Kutambua Dini za Uongo

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 71

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 72

Sura ya 8 Jinsi ya Kutambua Dini Ya Uongo

Ufafanuzi wa Jumla wa Picha:

Kielelezo cha 8 ni mwongozo uonekanao wa kuchanganua dini zauongo. Dini za uongo hutokea wakati watu wanapokataa Ufunuo waMungu wa Jumla juu Yake Mwenyewe kupitia kwa Uumbaji(Warumi 1). Safu ya kushoto inaonyesha uendelezaji wa jamiiiliyogeukia miungu ya uongo, kwa kukataa Ufunuo wa Jumla waMungu. Safu ya kulia imekusanya mafundisho ya uongo ya jumla.Mafundisho haya ni matokeo ya kukataa Ufunuo Maalumu waMungu unaotolewa kupitia kwa Biblia, Roho Mtakatifu, na Yesu.Kujifunza sifa za jumla za dini za uongo kutasaidia watu kujua nakutambua dini za uongo kutoka vyanzo vyote.

Malengo ya Sura ya 8:

Kuwafundisha waamini kutambua sifa na mafundisho ya dini za uongo. Kutambua jinsi kuabudu sanamu kulivyo kuharibifu. Kujenga msingi imara wa mafundisho ya Biblia ili waamini wasipotoke kwenye imani. Kutoa nyenzo za kufundishia kwa viongozi, wazazi, na watoto kufundishana wanavyoendelea kukariri picha

na mafundisho ya Maandiko yaliyojumuishwa katika sura hii.

Sura ZinazohusianaSura ya 1 na ya 2: Mungu amejifunua Mwenyewe kupitia uumbaji. Shetani anafanya kazi ulimwenguni ili awafanye watuwamwabudu na kumtumikia. Anawajuza watu mafundisho ya uongo, tambiko, na anawataka watu waishi katika hofu yamapepo.Sura ya 3: Mungu amefunua mafundisho maalumu juu yake Mwenyewe kupitia kwa Neno, Yesu, na Roho Mtakatifu.Sura ya 4: Hatuwezi kuabudu au kutumikia miungu kando na yule Mungu mmoja na wa kweli.Sura ya 8: Dini za Uongo hupotosha mafundisho kuhusu Yesu na uungu Wake.Sura ya 5: Watu katika Ufalme wa Giza wamenaswa katika ukabila, fujo, uzinzi, kutumikia tamaa zao wenyeweSura ya 9: Ufanisi katika Vita Vya Kiroho hutegemea ukuaji wa kiroho wa mwamini.Sura ya 10: Mila na desturi za nchi yoyote zinahitaji kupimwa kwa Neno la Mungu.Sura ya 12: Wapinga-krisma na wale wawafuatao siku ya mwisho watatupwa katika Ziwa la Moto.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Sifa za Wale Wanaokataa Ufunuo wa Jumla wa Mungu

Picha na Maelezo Vichwa Vya Masomo, Biblia Hadithi, and Maandiko

Sehemu ya 1: Watuwanageukia miungu ya

uwongo kwa sababuwamekataa ufunuo wa jumlawa Mungu kupitia uumbaji.

Vichwa Vya Masomo:1. Upande wa kushoto kwenda chini unaonyesha mafundisho ya Paulo

katika Warumi 1 juu ya kuharibika kwa jamii wakatiwanapomkataa Mungu wa Kweli.

2. Mungu hujifunua kupitia uumbaji wake, lakini watu wenginewameukataa ufunuo huu na kujitengenezea miungi yao wenyewe.

Warumi 1:18-21 inasema, “Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutokambinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu. Kwa kuwa mamboya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia.Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 73

Msitari unaopita kati ya watu nadunia – Chanzo hasa cha dini zauwongo ni kuukataa ufunuo wa jumlawa Mungu alioufunua katika mioyo yao,na ulimwenguni.Upande wa kushoto – Mfululizo wamatokeo ya kuukutataa ufunuo waMungu wa jumla, kulingana na Warumi1.

kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe naudhuru.”

Sehemu ya 1a: Watuwanapokataa ufunuo wa

Mungu kupitia uumbaji wake,hujitengenezea miungu yao

wenyewe.

Sanduku la 2: sanamu- Nyinginezinafanana na watu, nyinginezinafanana na viumbe vya kipepo,nyingine zinafanana na wanyamana vitu vingine vilivyoumbwa –watu wanapokataa kile Mungualichofunua juu yake katika uumbaji,huegeukia sanamu walizozitengenezawao wenyewe. Kuabudu sanamuhuingiza mtu katika uchafu.

Vichwa Vya Masomo:1. Watu hutengeneza miungu yao kwa mfano wa vitu vilivyoumbwa,

na na kufuatisha imani zao kulingana na tamaa zao. Miungumingine hufanana na wanyama, watu, wadudu, au mchanganyikowa baadhi ya viumbe hivyo.

2. Warumi 1:22-23 inasema, “Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamualiye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.”

3. Baadhi ya ibada za sanamu kawaida na nyingine ni za aibu.4. Aina mbalimbali za uchawi ni ni sehemu ya kuabudu sanamu.

Mungu amewakataza waamini kuiga au kujiingiza katika uchawiwa aina yoyote ile.

5. Watu huandaa sherehe na matambiko kama sehemu ya kuabudusanamu kwao.

6. Lakini Mungu ndiye aliyeanzisha sherehe (lazima ziwe ninamleteaheshima), Mwezi na Jua Viliumbwa Kuashiria Sherehe, Siku naMiaka - Mwanzo 1:14.

7. Angalia Mafundisho ya Biblia ya Ziada juu ya uchawi mwishonimwa sura hii.

Hadithi*Sheria Juu ya Sanamu Na Kuingia Katika Nchi ya Ahadi - Kutoka 34:11-17. *Mungu AaiadhibuIsraeli kwa Kuabudu Sanamu - Kumbukumbu La Torati 32. *Mfalme Ahazi aliwaendea miungu yamataifa mengine kwa sababu ya ufanisi wao wa kijeshi. Lakini ikawa chanzo cha kuanguka kwakena Israeli yote - 2 Mambo Ya Nyakati 28:23. *Watu wanamkataa Mungu kama Mfalme Wao,Kama wanavyoifuata Miungu ya Sanamu - 1 Samueli 8 (kifungu cha 8). *Waisraeli wapelekwauhamishoni kwa sababu ya kuabudu sanamu; Waisraeli wanajaribu kumtumikia Mungu na sanamu- 2 Wafalme 17. *Sanamu zilikuwa mtego kwa Gideoni hata baada kuwashinda Wamidiani -Waamuzi 8: 26-27 (angalia Waamuzi 6-8 uone hadithi hii). *Sanamu ya Dagoni yaanguka mbeleya Sanduku La Agano -1 Samueli 5:3-5. *Nebukadneza Anajitangaza kuwa Mungu (kuwaabuduwatawala)- Danieli 6. *Mfalme Manase anamwacha Bwana, na kutoa sadaka kwa miungu yasanamu - 2 Mambo Ya Nyakati 33:15.*Mungu ni Bwana wa Milima na Mabonde - 1 Wafalme 20(kifungu 28). *Paulo na Barinaba Wanadhiwa Kuwa Miungu- Matendo 14:8-24 (vifungu vya 15-18). *Mfalme Yehoshafati Anajivunia Njia za Bwana, Anaziondoa sanamu na sehemu zilizoinuka- 2 Mambo Ya Nyakati 17. *Mfalme Sulemani Anajenga Hekalu Kwa Jina la Bwana, lakini si kwamfano unaomwakilisha yeye - 2 Mambo Ya Nyakati 6:5,6,7,10. *Mfalme Yosia Ali AnapigaMarufuku Kuabudu Sanamu - 2 Wafalme 22-23. *Paulo Anatambua hali ya kiroho ya walewanaobudu sanamu, lakini anahuburi juu ya Mungu mmoja wa Kweli - Matendo 17:14-34.*Kuabudu Sanamu Huambatana Na Uchawi - 2 Wafalme 21; Nahumu 3:1-19. *Amri ya MunguJuu ya Uchawi - Kumbukumbu La Torati 18:9-18; Kutoka 22:18. Imeendelezwa hapo chini

Kuendelea Kujifunza Maandiko Yanayohusu Kuabudu Sanamu

Sherehe na Matambiko Huwakilisha Dini za Uwongo: *Waabuduo Sanamu Waliketi na Kula na Kunywa, na Kucheza - 1 Wakorintho10:7; linganisha na Kutoka 32:5-6. *Haruni anamkosea Mungu kwa kutangaza sherehe kwa ajili ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32.*Waisraeli Wanamkosea Mungu kwa kujiingiza katika uzinzi na kutolea sadaka miungu ya Moabu - Hesabu 25:1-9. *Mfalme YeroboamuAnamtenda dhambi Mungu kwa kuanzisha Sherehe ya Ndama Wawili wa Dhahabu Aliowatengeneza Ili Waabudiwe -1 Wafalme 12:25kuendelea.

Maandiko*Msiige Matendo Ya Mataifa - Kutoka 34:11-17.*Kuabudu Sanamu ni Mtego - Kumbukumbu La Torati 7:16, 25-26. *Mungu anaonyeshauzito wa kuabudu sanamu na wa kuabudu nyota, jua, na mwezi - Kumbukumbu La Torati 17:2-3. *Desturi za watu ni Danganyifu, Sanamu niKazi Ya Fundistadi, Lazima Zibebwe Kwa Sababu Haziwezi Kutembea; Wajinga Hutengeneza Sanamu, Mungu ndiye Mungu wa Kweli -Yeremia 10:3-10; 12-15; 51:17-19; Isaya 44:10-20; Hosea 13:2. *Miungu ya Uwongo Itaangamia Ulimwenguni - Yeremia 10:11, 15. *Miunguhaiwezi kujibu maombi yetu - Isaya 46:5-11. *Miungu yote itamwinamia Bwana - Zaburi 97:7. *Kuabudu Kazi ya Mikono Yako ni ujinga,Lakini BWANA yu katika hekali lake takatifu; kila mtu duniani anyamaze mbele zake - Habakuki 2:18. *Wale Wanaotengeneza SanamuWafanana na Sanamu Hizo - Zaburi 115: 4-8. *Huzuni Itaongezeka Kwa Wale Wanaoenda Kwa Miungu Wengine - Zaburi 16:4.*Wanaomchokoza Mungu - Yeremia 11:17; 32:29. *Watenda dhambi husema kwamba wataendelea kufuata itikadi zao walizoachiwa namababu zao, wafalme, maafisa wa serikali, n.k. - Yeremia 44 (angalia pia 2 Wafalme 17:40-41; na Ufunuo 8:20-21). *Uchawi/Uaguzi,

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 74

Kuabudu Sanamu ni Tendo La Mwili - Wagalatia 5:20.

Maagizo kwa waamini juu ya sherehe za kipagani:*Mungu ndiye aliyeanzisha sherehe (lakini sharti zimpe yeye utukufu), Juan a Mwezi Viliumbwa Kama Ishara za Sherehe/Sikukuu, Siku NaMiaka - Mwanzo 1:14. *Petro Anawahimiza Wakristo Wasijiingize Katika ibada za sanamu, lakini watarajie kusemwa vibaya na walewanaojiingiza katika hizo - 1 Petro 4:3-5. *Waisraeli Wanaanzisha Sherehe Zao Wenyewe Kwa Msingi Wa Yale Aliyotenda Mungu KatikaHistoria - Kumbukumbu La Torati 6:10-25; Kutoka 12; 13:1-22; Mathayo 26:17-30; 1 Wakorintho 11:23-34. *Paulo Anashughulikia Swala laSherehe Kwa Waamini - 1 Wakorintho 8-10. *Mungu analihukumu kanisa la Pergamo kwa ajili ya uzinzi na kula nyama iliyotolewa kamasadaka kwa sanamu - Ufunuo 2:14. *Mungu analihukumu kanisa la Thiatira kwa ajili ya uzinzi na kula nyama iliyotolewa kama sadaka kwasanamu - Ufunuo 2:20. Sikukuu Mbili Zilizompa Utukufu Mungu: *Mfalme Hezekia na Sikukuu ya Pasaka - 2 Mambo Ya Nyakati 30.*Mfalme Yosia na Sikukuu ya Pasaka - 2 Wafalme 23; 2 Mambo Ya Nyakati 35.

Mafundisho Muhimu ya Ziada Katika Biblia Juu Ya Uchawi:

Hadithi Za Biblia Zinazoonyesha Kwamba Uchawi Haupaswi Kutumiwa na Wakristo.Simoni Mchawi alitaka kununua nguvu hizi, lakini akaitwa adui wa haki - Matendo 8:9-24. Watu wa Efeso walichoma vitabu vyao vyauchawi - Matendo 19:11-20. Pepo wa uaguzi alitolewa kutoka kwa msichana - Matendo 16:16-24. Paulo anamkemea mchawi aitwaye Bar-Yesu - Matendo 13:6-12. Katika Agano la Kale, mchawi ama mwaguzi alipaswa kuuawa - Kutoka 22:18.

Hadithi Za Biblia Zinazoonyesha Kwamba nguvu za Mungu ni kuu kuliko zile za pepo.Mungu anaweza kuzifanya nguvu za uchawi kushindwa - Isaya 44:24-26. Gideoni Anavunjavunja madhabahu za Baali- Waamuzi 6:25-32.Uwezo wa Yusufu wa kutafsiri ndoto - Mwanzo 41:8-36. Hadithi ya Musa na Wachawi wa Misri - Kutoka 9:11 (Angalia mapigo yote: Kutoka7:14-11. Mapigo Yalikuwa dhidi ya Miungu ya Misri -Kutoka 12:12; Hesabu 33:4. Uwezo wa Danieli kueleza na kutafsiri ndoto ulikuwamzuri mara kumi zaidi ya ule wa wachawi wa Misri - Danieli 1:20; 2. Yesu alitoa pepo - Luka 11:15-23. Mfalme Ahazi anamwacha Mungu nakuwaendea mingine akidhani itamsaidia - 2 Mambo Ya Nyakati 28:9-27. Simoni Mchawi Alifikiri Anaweza Kununua Nguvu za RohoMtakatifu - Matendo 8:9-25. Barnaba na Paulo Wanakabiliana na Nabii wa Uwongo wa Kiyahudi - Matendo 13:6 kuendelea.*Kufanya Laana Za Wenye Kiburi Kutofaulu, Kuwafanya Waaguzi Kuwa Wajinga, Mimi Ndimi Nilieyembia Kilindi cha Bahari, ‘Kauka!’ NaNitakausha Mito Yako - Isaya 44:24-28.

Uchawi unaonyeshwaje katika Biblia?Uchawi ni sawa na dhambi ya uasi. 1 Samueli 15:23. Unaenda pamoja na kuabudu sanamu na ukahaba. 2 Mambo Ya Nyakati 33:6; 2Wafalme 9:22. Ni kazi za mwili. Wagalatia 5:20. Wale wanaotenda uchawi watatupwa katika ziwa la moto. Ufunuo 21:8.

Je, tuna nguvu gani dhidi ya pepo?Yesu alikuja kuzivunja nguvu za Shetani. 1 Yohana 3:8. Yesu alikufa ili kuharibu nguvu za giza. Wakolosai 2:15. Yesu ameketi juu ya nguvuzote. Waefeso 1:20 Ametuketisha pamoja naye na anatupa nguvu kupita kwake. Waefeso 2:6. Hatupaswi kuzungumza na pepo moja kwamoja. Yuda 9-10; 2 Petro 2:9-22. Lakini mwite Yesu awafunge na kuwatoa.

Sehemu ya 1b: Mungualiwaacha Wafanye uzinzi NaKuikosea Heshima miili yao.

Sanduku la 3: Mwanamke akiwakitandani, na mwanamumeakimwegemea pembeni/mapenzinje ya ndoa - Mungu aliwaachawafanye uzinzi ili waikosee heshimamiili yao miongoni mwao.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu aliwafanya watu waabuduo sanamu kufuata uzinzi ili

waikosee heshima miili yao.2. Warumi 1:24-32 says, “Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za

mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao. Kwa maanawaliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala yaMuumba anayehimidiwa milele. Amina. Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao zaaibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa,wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu waoyaliyo haki yao. Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungualiwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa. Wamejawa na udhalimuwa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, nahadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, wenye kusingizia, wenye kumchukiaMungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya,wasiowatii wazazi wao, wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaazao, wasio na rehema; ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwambawayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, baliwanakubaliana nao wayatendao.”

3. Kuabudu Sanamu Kunahusiana na uzinzi wa kiroho, na kila aina yauzinzi katika Maandiko.

Hadithi*Sodomu na Gomora- Mwanzo 18-19:29. *Yuda na Kahaba wa Hekaluni - Mwanzo 38. *EliyaAnakabiliana na Manabii wa Baali (Mungu wa rutuba)- 1 Wafalme 18:20-46. *Uzinziunashutumiwa na Ezekieli - Ezekieli 22:9-11. *Waisraeli Waliungana na Baali wa Peori -Hesabu25:1-9. *Kuabudu Sanamu ni Sawa na Kufanya Ukahaba na Mataifa - Ezekieli 16; 23; Isaya 57.*Vipawa vyote, uzuri wote, dhahabu, nguo, manukato, mkate, n.k ambavyo Waisraeli walipewa naMungu walivitumia kuabudia miungu ya kigeni - Ezekieli 16. *Watu Waliendelea KujiingizaKatika Ukahaba - Hosea 4. *Watu wa Yuda “Walimtupia Mungu Kisogo” na kufuata sanamu;Makahaba wa kiume Yuda - 1 Wafalme 14 (angalia vifungu vya 9 na 22-24). *Asa Anawaondoamakahaba wa Kiume na Sanamu Katika Nchi - 1 Wafalme 15:8-24. *Nabii Ezekieli Anakemea

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 75

Uasherati - Ezekieli 23. *Kahaba Mkuu Wa Kitabu cha Ufunuo - Ufunuo 17. *Kujaamiana kwamaharimu katika Kanisa La Korintho - 1 Wakorintho 5:1. *Msishirikiane na ndugu yeyote waKikristo ambaye anaabudu sanamu - 1 Wakorintho 5:10-13. *Baba na Mwanawe Walala naMsichana Mmoja - Amosi 2:7. *Kuabudu Sanamu ni Sawa na Kuzini Kiroho na Jiwe na Mti –Yeremia 3:9; Yeremia 5:7-8. *Mungu Aliwaacha Kufuata Tamaa Zao - Warumi 1:24-32. *OrodhaYa Dhambi Za Zinaa na Kuabudu Sanamu -1 Wakorintho6:9. *Ushoga na Kulala na Wanyama niMachukizo Mbele za Mungu - Mambo ya Walawi 18:22-24. *Kuzini na Mke Wa Jirani Yako,Mkaza Mwanao, Dada yako, yote yanahusiana na kuabudu sanami - Ezekieli 22:9-11. *NiniHatima Ya Miungi ua Uwongo - Yeremia 10:10-15. *Maandiko Mengine Yanayohusiana na Haya- Kutoka 32:6, 25 (linganisha na 1 Wakorintho 10:7-8); Hesabu 25:1-3; 1 Wafalme 14:24; 15:12;23:7; Amosi 2:8.

Sehemu ya 1c: Kisha MunguAliwaacha Kufuata Tamaa zaona kutenda kila aina ya uovu.

Sanduku la 4: Kuua; kuwanyasawanawake au watu; kuharibiawatu majina; au mazoea mabayakama vile kunywa pombe; ngono,au dawa za kulevya – Mungualiwafanya wafuate nia zao potovu nakutenda kila aina ya uovu.

Vichwa Vya Masomo:1. Kisha Mungu aliwaacha kufuata tamaa zao na kutenda kila aina ya

uovu.2. Warumi 1:28-32 inasema, “Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika

fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda,na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, wenye kusingizia,wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenyekutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao, wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano,wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema; ambao wakijua sana hukumu ya haki yaMungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyotu, bali wanakubaliana nao wayatendao.

Hadithi na Maandiko yanayohusu vichwa mbalimbaliUchawi: *Mfalme wa Israeli aitwaye Manase ajiingiza katika Uchawi -2 Wafalme 21:1-18(kifungu cha 6). *Waisraeli wanatenda machukizo kwa siri – wahusika katika Uchawi - 2 Wafalme17 (kifungu 9). *Mungu anahukumu Ninawi kwa sababu ya Uchawi - Nahumu 3:1-19 (kifungu 4).*Mfalme Sauli Anamwasi Mungu: Uasi ni Sawa na Dhambi ya Uaguzi - 1 Samueli 15:1-23(kifungu 23). *Wale wanatenda Uchawi Watatupwa katika Ziwa La Moto - Ufunuo 21:8. Ulevi:*Walikunywa Mvinyo wa Ukahaba - Ufunuo 17; 18:3; Yeremia 51:7. *Haruni AnatangazaSikukuu Kwa Ajili ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32. *Kunywa na Maandiko Ukutani - Danieli5. *Mvinyo una Hila - Mithali 20:1. *Maelezo ya Mlevi - Mithali 23:29-35. Kuua: *Ahabu naYezebeli wanapanga kumuua Nabothi- 1 Wafalme 21. *Farao- Kutoka 1. *Mlawi na Suria -Waamuzi 19. *Uchawi/Uaguzi, Kuabudu Sanamu ni Tendo la Mwili - Wagalatia 5:20. : *Moleki-Mambo ya Walawi 18:21. *Watu Miongoni mwenu wanaopenda kuharibia wengine majina, auKupokea Hongo Ili Wamwage Damu - Ezekieli 22:9, 13. *Kuua watu Wasio na Hatia, Bonde LaMachinjoi - Yeremia 19:4ff. *Wenye Haki Wanaangamia Ili Kuondolewa Kutoka kwenye Uovu -Isaya 57. Matendo ya mwili - Wagalatia 5:19-22. *Kupenda fedha ndicho chanzo cha uovu - 1Timotheo 6:10.

Sehemu ya 1d: Matokeo yakeni kwamba watu huaminikwamba matendo memakatika jamii yatawasaidiakatika maisha yajayo.

Sanduku la 5: Familia mojaikitunza familia nyingine katikajamii – Watu huona mambo mabayayakitendeka katika ulimwengu wao, kwahiyo hufikiria kwamba wakitenda memakatika jamii yao, wataishi vyema katikamaisha yajayo. Hawatambui kwambadhambi imewatenganisha na uwepo waMungu Mtakatifu. Matendo mazurihayawezi kufuta dhambi.

Vichwa Vya Masomo:1. Matokeo yake ni kwamba watu huamini kwamba matendo mema

katika jamii yatawasaidia katika maisha yajayo. (Tambua kwambahii haifuati yale yaliyotajwa katika Warumi 1, lakini ni mambo yakawaida kabisa katika dini za kipagani.)

2. Dini nyingi za uwongo zinaamini kwamba wokovu hupatikanakupitia kwa matendo.

3. Sanduku hili sharti vilevile lifundishwe pamoja na msitari ufuatao,kwa kuwa linahusu mafundisho maalum ya wokovu.

Hadithi and Maandiko*Ibrahimu, Haki Huja Kwa Imani - Mwanzo 15; Wagalatia 3:6-29; Warumi 4:3-*HatuweziKwenda Mbinguni Kwa Bidii Zetu - Waefeso 2:8-9. *Kila Mtu ametenda Dhambi - Warumi 3:23.*Wokovu Ni Karama Ya Mungu Kupitia Kwa Yesu - Warumi 6:23. *Ikiwa Wokovu na HakiVinaweza Kupatikana Kupitia Kwa Sheria, Basi Kristo Alikufa Bure- Wagalatia2:16-21. *HakiYetu Ni Sawa Na Matambara machafu - Isaya 63:6.25; Yakobo 2:23-26.

Sehemu ya 1e: Dini za uwongozinaweza kuwa na vipengelevya kutofuata nadharia mojaau vya kuchanganya imani zadini nyingine (hata Ukristo).

Vichwa Vya Masomo:1. Dini za uwongo zinaweza kuwa na vipengele vya kutofuata nadharia

moja au vya kuchanganya imani za dini nyingine (hata Ukristo!).2. Dini nyingine zinahitilafiana hizo zenyewe, lakini katika kuabudu

miungu wengi hili ni jambo la kawaida.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 76

Sanduku la 6: Sanamuikiwakilisha dini za uwongo,Biblia ikiwakilisha imani yaKikristo (lakini inawezakuwakilisha imani yoyotenyingine inayoongezwa katikaimani ya Kikristo)- Watu hupendakuchanganya tamaduni zao na imani nadini nyingine. Paulo aliwapongezaWathesalonike kwa kuacha kuabudusanamu na kumtumikia Mungu aliye haina wa kweli.

3. Msitari huu wa mwisho unaweza kutumiwa kufundishia kukataliwakwa ufunuo maalum wa Mungu kwamba Yesu ndiye njia pekee yawokovu.

Hadithi*Waisraeli waliabudu sanamu Misri hata ijapokuwa walimjua Mungu, Mungu aliamuaKuwakomboa kutoka utumwani ili kuwaonyesha yeye ni nani - Ezekieli 20:6-10. *Waisraeli wanamashaka na Mungu na Musa, na kuamua kutengeneza Sanamu ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka32. *Wafalme wa kigeni wanajaribu kufuata miungu yao na wakati huo huo kujaribu kumtumikiaMungu wa Israeli kwa wakati mmoja walipokuwa Samaria; watu walifuata mfano huu na katikakutenda hivyo, wakamwasi Mungu - 2 Wafalme 17:27-41. *Yakobo anaiondoa miungu ya Kigeni -Mwanzo 35. *Stefano anajitetea, Waisraeli wanaabudu sanamu jangwani baada ya kutoka Misri -Matendo 7:41-43. *Sulemani apotoshwa na Wake wa Kigeni - 1 Wafalme 11:1-11. *Yoshuaanawaambia watu waiweke kando miungu waliyoitumikia awali, hata ile ambayo mababu zaowaliabudu zamani. Sasa anawahimiza wamtumikie Mungu Mmoja wa Kweli aliyewatoa kutokautumwani - Yoshua 24:14-29. *Safari ya Ezekieli Kwenda Katika Hekalu lililojaa Sanamu -Ezekieli 8-9. *Watu wana sanamu zilizokita mizizi katika mioyo yao - Ezekieli 14. *Hosea Anaoamwanamke kahaba /taswira ya kuabudu sanamu kwa Waisraeli - Hosea.Maandiko*Kuabudu Sanamu ni nembo ya Kila Kitu Kinachmpinga Kristo -Wakolosai 3:5-7. *Jiepusheni nasanamu - 1 Yohana 5:21. *Waamini Waacha Kuabudu Sanamu na Kumgeukia Mungu - 1Wathesalonike 1:9. *Waamini Wachoma vitabu vyao vya uchawi - Matendo 19:19. *Makanisakatika Kitabu cha Ufunuo Yanahukumiwa kwa Sababu ya Kuabudu sanamu - Ufunuo 2:12-29.*Msiongeze wala kupunguza Yale yaliyosemwa katika Amri za Mungu - Kumbukumbu La Torati12:32.

Somo La 2 Sifa Za Wale Wanaokataa Ufunuo Maalum Wa Mungu

Sehemu ya 2: Msitari huuunaonyesha sifa za wale

wanaokataa Ufunuo Maalumwa Mungu (kupitia Biblia,Roho Mtakatifu, na Yesu).

Upande wa kulia: Biblia, RohoMtakatifu, na Yesu, vyote vina

msitari unaopitia kati yao – Dini zauwongo hukataa ufunuo maalumunaotolewa katika Biblia, RohoMtakatifu; na Yesu. Ufunuo maalum nini mafundisho yaliyo katika Bibliakuhusu imani zote zilizoko.

Vichwa Vya Masomo:1. Msitari huu unaonyesha sifa za wale wanaokataa Ufunuo Maalum

wa Mungu kupitia Biblia, Roho Mtakatifu, na kupitia Yesu.2. Msitari huu pamoja n picha za mwisho upande wa kushoto,

zinaonyesha chanzo na mambo yaliyomo katika mfundisho fulani yadini za kipagani, ambayo yamegeuza Ufunuo Maalum wa Mungu.

Sehemu ya 2a: Wapinga Kristowainuka wakifundisha

kwamba Yesu si Masihi namafundisho mengine ya

uwongo.

Sanduku la 2: Kondo weusi- Diniza uwongo kwa kiasi kikubwa ni kazi zawapinga kristo. Kuna wapinga kristowengu tangu zamani. Yule mkuu kati yawote ni yule aliyetajwa na mtume Paulona waandishi wengine wa Agano Jipya.

Vichwa Vya Masomo:1. A Wapinga Kristo wainuka wakifundisha kwamba Yesu si Masihi

na mafundisho mengine ya uwongo.2. Katika siku za mwisho, mpinga Kristo mkuu atajitokeza

ikiwezekana audanganye ulimwengu mzima.3. Yule anayemkana Yesu ni mwongo na ni mpinga Kristo.4. Mtu yeyote akijitokeza kusema kwamba yeye ni Yesu, msimwamini.

Yesu atarudi duniani katika mawingi ili wote wamwone.

Maandiko*Watu Watainuka Hata Kutoka Miongoni Mwa Waamini wa Kanisa na Kujitafutia Wanafunzi waoWenyewe - Matendo 20:28-31; Wagalatia 2:4. *Yesu Anaongea Juu Ya Manabii wa Uwongo:"Kisha Mtu Akiwaambia, 'Tazama, Masihi Yuko Hapa,'Au 'Yuko Pale,' Msimwamini. "Kwa maanaMasihi wengi na manabii wengi wa uwongo watainuka na kufanya ishara na maajabu, iliwawadanganye, ikiwezekana hata wateule. "Tazama, Nimewaambieni mapema. "Wakimwambia,Tazama, yuko jangwani,'Msiende, Au, Tazama, Yuko Chumbani, 'Msiwaamini. "Kwa maanakama umeme utokavyo Mashariki na Kung’aa hadi Magharibi, Ndivyo Kuja Kwa Mwana waAdamu Kutakavyokuwa - Mathayo 24:1-27; Marko 13; Luka 21. *Simoni Mchawi, Nguvu KuuYa Mungu -Matendo 8:5-12. *Mfalme wa Tiro Alijitangaza Kuwa Mungu - Ezekieli 28.*Kutainuka Manabii wa Uwongo Miongoni Mwenu - 2 Petro 2:1-3. *Anayemkana Yesu niMwongo na Mpinga Kristo - 1 Yohana 2:22-23; 1 Yohana 4:2-6; 2 Yohana 1:7. *Msiwapokee

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 77

manabii wa uwongo nyumbani mwenu? Fire- Ufunuo 19-20. *There are many antichrists- 1Yohana 2:18-23. *Kila anayemjua Mungu Hutusikiliza Sisi - 1 Yohana 4:6. *Wale wasiofundishakwamba Yesu alikuja katika mwili ni wapinga Kristo, msiwakaribishe manabii wa uwongomajumbani mwenu - 2 Yohana 7-11.

Sehemu ya 2b: Baadhi ya diniza uwongo huanzishwa na

kudumishwa na pepowanaojitokeza na mafundisho

yao.

Sanduku la 3 Malaika wa“nuru”akimtokea mtu - Dini zauongo zinaweza kujitokeza kwa watukupitia malaika wa “nuru.” Pepo hawahujitokeza na kuwafundisha watumafundisho ya uongo ili wawatumikiena kuwaogopa badala ya kumwogopaMungu. Mifano ni kama: Mohammed-Islam; Joseph Smith-Mormons, na dini.

Vichwa Vya Masomo:1. Baadhi ya dini za uwongo huanzishwa na kudumishwa na pepo

wanaojitokeza na mafundisho yao.2. Tambueni kwamba baadhi ya pepo hujitokeza kama malaika wa

nuru kuwadanganya watu waamini na kufuata dini za uwongo.3. Zijaribuni roho.4. Shetani mara kwa mara hujitokeza kama malaika wa nuru

kuwadanganya watu wajiingize katika dini za uwongo.

Maandiko*Pepo Hufundisha Mafundisho ya Uwongo - 1 Timotheo 4:1. *Pepo amtokea Elifazi usingizini, nakumpa habari za uwongo juu ya - Ayubu 4:12-21. *Akija malaika akihubiri Injili Nyingine, NiAlaaniwe - Wagalatia 1:6-12; 2 Wakorintho 11:1-4. *Zijaribuni roho mjue ikiwa Zinatoka KwaMungu; Roho inayokiri Kwamba Yesu Alikuja, Imetoka Kwa Mungu; Roho isikiri kwamba YesuAlikuja, haitoki kwa Mungu - 1 Yohana 4:1-6. *Shetani mara nyingi hujigeuza malaika wa nuru -2 Wakorintho 11:14.

Sehemu ya 2c: Dini Za UongoHulenga Sana Moja kati yaMafunzo HayaKuhusu Uungu:Kukataliwa kwa Uungu WaKristo, Kuamini kwamba Mtu

Anaweza Kuwa Mungu,Kutoamini Kwamba kunaMungu kabisa, au KuaminiKatika Miungu Wengi

Saduku la 4: Mtu kwenye kiti chaEnzi, mviringo umepigwa msitariYesu akiwa katikati-Inawakilishamafunzo ya uongo kwamba Yesuhakuwa Mungu na kwamba watuwanaweza kuwa miungu. Pamoja naupotovu huu ni kule kuamini katikamiungu wengi au kuamini kwambahakuna Mungu.

Vichwa Vya Masomo:1. Dini Za Uongo Hulenga Sana Moja kati ya Mafunzo HayaKuhusu

Uungu: Kukataliwa kwa Uungu Wa Kristo, Kuamini kwamba MtuAnaweza Kuwa Mungu, Kutoamini Kwamba kuna Mungu kabisa,au Kuamini Katika Miungu Wengi.

Hadithi and Maandiko*Nebukadneza Anajiinua Kama Mungu - Danieli 6. *Petro Anajitetea, Yesu Ndiye Njia Pekee -Matendo 4:1-12. *Yesu is on trial for blasphemy- Mathayo 26-27; Luka 22-23. *Kushtakiwa kwaStefano, Mafarisayo wanakataa Ukweli - Matendo 7. *Yesu Anarudi- Ufunuo 19:13-21. *YesuNdiye Njia Kweli Na Uzima - Yohana 14:6. *Yesu Ndiye Njia Pekee Iendayo kwa Mungu -Matendo 4:12. *Msimkufuru Roho Mtakatifu - Mathayo 12:31-32. *Paulo Anaongea na Watu waKolosai juu ya kuwafuata watu wanaoshikilia itikadi na desturi za wanadamu au dini zakujitengenezea -Wakolosai 2:20-23. *Yule asiyekiri kuja kwa Yesu katika mwili ni Mpinga Kristo- 2 Yohana 7-11.

Sehemu ya 2d: Dini Za UongoZinaweza Kutumia Bibliapamoja na Kitabu Kingine

“kitatifu”

Saduku la 5: Biblia na kitabukingine-Dini za Uongo hutumia Bibliana kitabu kingine kitakatifu. Si makundiyote yanayofundisha kuhusu Yesu

Vichwa Vya Masomo:1. Dini Za Uongo Zinaweza Kutumia Biblia pamoja na Kitabu Kingine“kitakatifu.”

Maandiko*Wokovu Unapatikana Kupitia kwa Yesu Pekee - Matendo 4:12. *Usingeze Neno Katika Manenoyake, asije Akakulaumu Ukaonekana u Mwongo - Mithali 30:6. *Msiliongeze neno niwaamurulowala msilipunguze, mpate kuzishika amri za BWANA - Kumbukumbu La Torati 4:2. *

Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondoleasehemu yake katika ule mti wa uzima,- Ufunuo 22: 18-19. *Msilichafue Neno la Mungu - 2Wakorintho 4:1-7. *…Kama watoto wachanga, tamanini maziwa ya kiroho yasiyoghoshiwa, ilimweze kukua kwayo katika wokovu wenu - 1 Petro 2:1-3. Ukitumia kwa Halali Neno la Mungu- 2Timotheo 2:15. *Mtu yeyote asiyebaki katika mafundisho ya Kristo, lakini anayapita, mtu huyohana Mungu. Yule anayebaki katika mafundisho hayo, huyo ana Baba na Mwana. Mtu akijakwenu na asije na mafundisho haya, msimruhusu kuingia katika nyumba zenu - 2 Yohana 7-11.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 78

ambayo yanazingatia Biblia au ukweli.Ni sharti upime mafundisho yao na nenola Mungu. Mtume Paulo hata alisemakwamba wanafunzi bandia huja kanisaniili kuweza kuwapotosha watuwasiufuate Ukweli. Mfano ni wa watukama hao ni kama: Uislamu, MashahidiWa Yehova, na Wamomoni.

Muhtasari :*Msilichafue Neno La Mungu- 2 Wakorintho 4:1-7.Kuchafua maana yake ni kuchanganya kitu kimoja na kingine. Katika Maandiko, utashangaakuona kwamba kuabudu sanamu kunatajwa kuwa uzinzi wa kiroho dhidi ya Ukweli wa Mungukwa kuchanganya Neno la Mungu na dini za kipagani au falsafa za kipagani.

**Angalia Sura ya 3, 9, na 10 juu ya Neno la Mungu.Sehemu ya 2e: Dini Za Uongo

Zinaamini Kwamba Kuna NjiaNyingi Za Kumfikia Mungu.

Saduku la 6: Kiti cha Enzi kikiwana njia nyingi-Dini nyingi za uongohufundisha kwamba unaweza kutumianjia nyingi sana kumfikia Mungu.Mfano wa dini hizo ni: Imani YaKiBaha’i au Dini ya Kihindu..

Vichwa Vya Masomo:1. Dini za uwongo zinaamini kwamba kuna njia nyingi za kumfikiaMungu.

Hadithi na Maandiko*Watu wa kidini wa Athene - Matendo 17:15-34. *Kuna njia Ionekanayo Kuwa Swa, Lakinimwisho wake ni Mauti - Mithali 14:12. *Yesu alisema yeye ndiye Njia, Kweli na Uzima, hakunaajaye kwa Baba pasipo kupitia kwake - Yohana 14:6. *Hakuna jina jingine chini ya mbinguambalo mtu anaweza kuokolewa kwalo, isipokuwa jina la Yesu- Matendo 4:12. *Mafundishokatika kitabu cha Yohana 10 juu ya Yesu kama mlango wa kondoo - Yohana 10.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 79

Sura ya 9 Kielelezo:Ukuaji wa Kiroho wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 80

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 81

Sura ya 9 Ukuaji wa Kiroho Wa Kibinafsi na Vita Vya Kiroho

Ufafanuzi wa Jumla

Mfano wa 9 ni picha inayohusu ukuaji wa kiroho na jinsi ukuaji huo unavyotutia nguvukwa ajili ya kuvipiga vita vya kiroho. Picha ilioko katikati ni ya mtu ambaye amevaasilaha. Mtu huyu amevalia chepeo (ya wokovu), dirii (ya haki), ukanda (wa Ukweli),viatu maalum vya kivita (vya kuitangaza Injili), na vilevile amebeba Biblia na ngao (yaImani). Kila kimoja cha vitu hivi kinawakilisha sehemu ya nidhamu ya kiroho au nguvukatika maisha ya mwamini, ambayo kinakomaa kupitia kwa Neno la Mungu, maombi, nakwa Roho Mtakatifu.

Mtu huyu anatembea kwenye njia nyoofu na kuepuka njia za upotevuni (angalia sura ya10). Mbele yake kuna Kiti cha Enzi. Jinsi anavyoendelea kukua kila siku ya maisha yake, anajitahidi kufanana naYesu katika tabia yake. Kiti cha Enzi kinatukumbusha Ubwana au utawala wa Kristo katika moyo wa mwamini.Nyuma yake kuna jalala la takataka, hapo ndipo anapotupa mambo fulani yasiyompendeza Mungu katika maishayake. Ikiwa matendo ya giza katika maisha yetu hayajatupiliwa mbali, hatutakua kiroho kiasi cha kuweza kupiganavita vya kiroho na kushinda.

Tambua kwamba ulimwengu hipiga vita vya kiroho kwa njia tofauti, hususan katika maeneo ambayo dini za jadizimeshamiri. Katika maeneo kama hayo, watu huvipiga vita vya kiroho kwa kujaribu kudhibiti roho hizo kwamatambiko, sadaka na kwa kuwaendea waganga wa kienyeji, na vilevile na matabano. Kama unavyoona, hii nitofauti na kumwita Yesu, kukua kiroho, na kuyaacha matendo ya giza ili kupiga vita vya kiroho.

Tunavyoendelea na safari ya maisha, kuna mambo kadhaa tofauti tutakayokumbana nayo ili imani yetu iwezekujaribiwa na tuweze kutiwa nguvu kiroho. Kwanza kabisa tutakumbana na pepo. Pepo hawa wameonyeshwakwenye picha wakitupa mishale kuwalenga watu, pia watajaribu kutukandamiza na kutuvunja mioyo. Jambo la pilini kupata mateso kama Yesu alivyopata mateso. Kwenye picha mateso yamewakilishwa na msalaba uliokomgongoni mwa mtu. Jambo la tatu ni nyakati za nidhamu ambazo Mungu huzileta maishani mwetu. Kwenye pichahali hii inawakilishwa na Mchungaji na kondoo waliopotea njia. Hatimaye, kuna dhiki na masumbufu ya jumlaambayo hutujia sote maishani. Kwa sababu ya mambo haya yote maishani mwetu, tunahitaji kuombeana(imeonyeshwa na watu waliosimama kando ya njia wakiomba). Tunahitaji kuomba ili tuweze kuwa uthabiti ilituweze kusimama kidete wakati tunapokumbana na dhiki na mambo magumu.

Tunapotembea njiani, tunahitaji kuzingatia sana yale mambo ambayo yatatuongoza katika kutenda na kunena. Mojaya mambo hayo ni zile Amri Mbili Kuu, zisemazo kwamba tumpende Mungu na tuwapende majirani zetu kamatunavyojipenda sisi wenyewe. Jambo la pili ni Roho Mtakatifu, ambaye ndiye hutuongoza, kututia nguvu nahutufariji.

Malengo Ya Sura ya 9 Kufundisha kwamba vita vya kiroho vinaweza kufaulu wakati tunapokuwa katika uhusiano wetu na Kristo. Kufundisha kwamba Yesu ndiye mwenye nguvu dhidi ya nguvu za ulimwengu huu. Kufundisha vipengele vyote vya ukuaji wa kiroho—kweli, haki, vipengele vyote vya wokovu, Neno la

Mungu na kuihibri Injili. Kufundisha jinsi Mungu anavyotutia nguvu na kutusaidia kukua kupitia kwa maombi, mateso, na nidhamu. Kutusaidia kukumbuka kuweka azimio letu katika kumtii Mungu na kufuata mwongozo wa Roho Mtakatifu

katika maisha yetu.

Sura ZinazohusianaSura ya 1: Shetani na pepo hulenga kuwakandamiza watu ili maisha yao ya Ukristo yasizae matunda.Sura ya 4: Ni lazima tuzishike amri za Mungu, zilizofupishwa hivi: Kumpenda Mungu na jirani.Sura ya 5: Ni lazima tutambue kuwa vita vya kweli maishani ni dhidi ya Ufalme wa Giza na Shetani, na wala sio dhidi ya watuambao wamepofushwa na Shetani. Ni lazima tuwaonyeshe njia ya Ufalme wa Nuru.Sura ya 6: Wakati mwingine tunateseka kwa sababu ya dhambi za wengine, kama Yesu alivyofanya. Tunaweza kuwasaidiawengine kuufahamu Wokovu.Sura ya 10: Kukua kiroho na kupigana vita Vita vya Kiroho ndio njia ambayo tunaweza kukaa kwenye njia nyoofu na kuepukanjia za upotevuni.Sura ya 12: Ni lazima tudumu hadi Yesu arudi duniani. Wakati huo, Yesu atawaangamiza wote watakaokuwa kwenye Ufalmewa Giza.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 82

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Ukuaji wa Kiroho na Kufanikiwa Kuvipiga Vita Vya Kiroho

Sehemu ya 1: Ukuaji waKiroho Huanza Wakati

Tunapoweka Kando NiraZisizo za Kiungu na

Zinazoleta uharibifu.

Jalala la Taka – Ukuaji wa kirohohuanza wakati tunapoyaweka kandomatendo ya mwili na kuanzakumwishia katika utakatifu, haki, naukweli. Angalia pia Sura ya 10,jalala la taka.

Vichwa Vya Masomo:1. Jinsi dini za uwongo zinavyopigana vita vya kiroho ni tofauti na jinsi

Wakristo wanavyovipiga. [Tambiko (kipagani) dhidi ya ukuaji wa kiroho(Wakristo).]

2. Mungu ndiye ambaye hatimaye yuko juu ya vita vya kirohovinavyoendelea duniani. Lazima tumtegemee yeye kutusaidia wakati wamateso.

3. Hatua yetu ya kwanza katika vita vya kiroho ni kuweka kando matendoya giza (kuabudu sanamu, uzinzi, ugomvi, wivu, ulevi, uchungu, masengenyo, hasira,kutosamehe, uovu, wizi, uwongo, lugha chafu/matusi, n.k.), na kukua kiroho.

Hadithi*Wathesalonike Waliacha kuabudu Sanamu na Kuanza Kumtumikia Mungu aliye Hai - 1 Wathesalonike1:9. *Paulo na Barnaba Wanawahimiza watu waache kuabudu Sanamu na Wamgeukie Mungu huko Listra- Matendo 14:6-19 (v.15). *Paulo Anawakemea Wagalatia Kwa kurudia Mambo Yaliyowafanya Watumwa- Wagalatia 4: 8-11.Maandiko*Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaa silaha za nuru.Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, sikwa ugomvi na wivu. Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaazake.- Warumi 13:12-14. *Wala msishirikiane na matendo yasiyozaa ya giza, bali myakemee - Waefeso5:11-13. *Tupilieni mbali nanyi makosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya;.- Ezekieli 18:31-32.*Mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani, unaoharibika kwakuzifuata tamaa zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; Basi uvueni uongo,mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake. Mwe nahasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; Mwibaji asiibe tena; baliafadhali afanye juhudi, akitenda kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu chakumgawia mhitaji. Neno lo lote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenyekuhitaji, ili liwape neema wanaosikia. Uchungu wote na ghadhabu na hasira na kelele na matukanoyaondoke kwenu, pamoja na kila namna ya ubaya- Waefeso 4:22-32; Wakolosai 3:8-15.

Somo La 2 Vipengele Vya Ukuaji wa Kiroho na Vita vya Kiroho

Sehemu ya 2a: Kua katikaKuijua na Kuifuata Kweli.

UMshipi/Ukanda-Ukanda waKweli.*Neno la Mungu ndilo chanzocha Kweli na imani zetu. Ukandahuu hushikilia mavazi menginepamoja.*Wakristo wanapaswa kuwa wakweli katika kuishi kwao duniani.Hawapaswi kujihusisha na upotofuwowote wa kimaadaili audanganifu.Unganisha na Sura ya 3 na ya 10-kupima kila katika mizani yaUkweli.

Vichwa Vya Masomo:1. Kujua na Kukua Katika Ukweli wa Neno La Mungu ni Muhimu katika

Kuishi Maisha ya Kumpendeza Mungu.2. Uwe na nia moja.3. Sema ukweli kwa upendo.4. Udanganyifu na uwongo chanzo chake ni Shetani.5. Uweke mbali uwongo na mwambiane ukweli.

Hadithi*Daudi anamfundisha mwanawe, Sulemani, Wafalme Wanapaswa Kuenenda Katika Kweli - 1 Wafalme2:1-4. *Yesu alisema mimi ndimi Njia Kweli na Uzima - Yohana 14:6. *Yohana anapata habari za Gayojinsi alivyokuwa mwaminifu katika kuifuata Kweli,na jinsi alivyoenenda katika Kweli - 3 Yohana 3-4.*Sanamu zifuatazo zimegeuza Ukweli wa Mungu kwa uwongo - Warumi 1:25.Maandiko*Neno la Mungu ni Kweli - Yohana 17:17. *Neema na kweli vilikuja kupitia kwa Yesu - Yohana 1:17.*Mwabudu Mungu katika roho na kweli - Yohana 4:23. *Ee Bwana, unifundishe njia yako; Nitakwendakatika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako- Zaburi 86:11. *Jumla ya neno lako ni kweli,Na kila Hukumu ya Haki Yako ni Ya Milele- Zaburi 119:160. *Nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli,na kuzigeukia hadithi za uongo. Bali wewe, uwe na kiasi katika mambo yote…timiliza huduma yako.- 2 Timotheo 4:4-5. *Fundisha Neno La Kweli - 2 Timotheo 2:15. *Nena ukweli kwa upendo - Waefeso4:15. *Tukisema ya kwamba twashirikiana naye, tena tukienenda gizani, twasema uongo, wala hatuifanyiiliyo kweli; bali tukienenda nuruni... twashirikiana sisi kwa sisi - 1 Yohana 1:6-7.

Sehemu ya 2b: Kua KatikaHaki.

Vichwa Vya Masomo:1. Utaua na Haki yanatokana neno moja la Kiebrania.2. Haki inafunika sehemu za maisha yetu, na hutulinda kutokana na njia

mbaya.3. Mungu anapenda tuhukumu kwa haki, si kwa kutegemea upendeleo ama

faida za kibinafsi.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 83

Fulana- Dirii ya Haki kifuani.*Haki ya Mungu hutujia wakatitunapomwamini Yesu.*Vilevile nijukumu letu kuishi maisha ya hakiduniani. Tunapaswa kuepukakufungwa nira na mazoea mabaya nauzinzi, upotofu wa kimaadili;uzembe na kutojali; na fujo na chuki.Unganisha na Sura ya 10, mfunzo yanjia.

4. Tunahitaji kusimamia kile kilicho cha kweli na cha haki mbele za Munguna mwanadamu.

5. Haki ni karama (tunavikwa haki yake 2 Wakorintho 5:21), na vile vile nijukumu letu sisi binafsi kujichagulia jinsi tutakavyoishi (1 Yohana 1:6-7).

6. Wema ni kusamimia kile kilicho sawa.

Hadithi*Imani ya Ibrahimu ilihesabiwa kuwa haki - Mwanzo 15:6; Warumi 4:3; Yakobo 2:23. *Yesu anafundishajuu ya haki ya uwongo - Mathayo 5:17-20; Mathayo 23; Luka 11:39-54. *Mtazamo wa Agano la Kale wahaki (kiasi fulani cha mtazamo huo kinatuhusu sisi)- Mambo ya Walawi 19. *Hukumu za Haki - 2 MamboYa Nyakati 19:8-10. Yesu Ndiye Haki Yetu - Yeremia 23:6; 1 Yohana 2:1; Warumi 5:19.Maandiko*Haki Itokanayo na Imani - Warumi 10. *Msifungwe nira na wasioamini. Kuna ushirika gani kati ya hakina uasi - 2 Wakorintho 6:14-18. *Mtu hahesabiwi haki kupitia kwa Sheria, bali kwa imani katika Kristo -Wafilipi 3:8-11. *Mwenye haki ataishi kwa imani - Warumi 1:17; Waebrania 10:38; Wagalatia 3:11. *Heriwenye njaa na kiu ya haki - Mathayo 5:6. *Tafuteni ufalme wa Mungu na Haki yake - Mathayo 6:33.*Sheria ya Agano la Kale Inatuonyesha lile ambalo ni haki machoni mwa Mungu - Warumi 7:12.*Tafakarini mambo yaliyo ya haki na matakatifu –Wafilipi 4:8.

Sehemu ya 2c: Kua katikaKuihubiri Injili.

Viatu-Miguu uliyotayarishwakwenda kuihubiri Injili. Kuna“Injili” (Habari Njema) mbili katikaAgano Jipya.*Kiatu cha kwanza ni Habari Njemaya Ufalme wa Mungu. Yesualiihubiri hii Habari Njema hiiwakati alipoanza huduma yake, naakatuagiza katika Ule Mwito Mkuutuipeleke kila mahali-“mkiwafundisha kuyashika yoteniliyowaagiza ninyi.”*Kiatu cha Pili ni Habari Njema yaWokovu. Hii maana yake nikuwahubiria watu juu ya kifo,kuzikwa na kufufuka kwa Yesu-ambako kulituletea msamaha wadhambi zetu, na kuimarishauhusiano wetu na Mungu.Unganisha na Sura ya 11—Uwakiliwa Injili.

Vichwa Vya Masomo:1. Yesu alikuja akihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu, yaani

masomo ya Ufalme wa Mungu.2. Habari Njema ya wokovu ni ujumbe unaohusu kifo cha Yesu, kuzikwa na

kufufuka kwake.3. Wakristo wanapaswa kuhubiri Habari Njema za Ufalme wa Mungu na

Habari Njema za kama tulivyoamriwa katika Mwito Mkuu (hubirini Injiliyangu, wafanyeni watu kuwa wanafunzi …mkiwafundisha kuyashika yoteniliyowaamuru, yaani wokovu na uanafunzi).

Hadithi*Yesu Anawatuma mashahidi 70- Luka 10:1-20. *Kitabu cha Matendo. *Paulo anahubiri yaleyaliyofunuliwa kupitia kwa manabii, lakini hafundishi kitu kingine zaidi - Matendo 26:22.Maandiko*Mtakuwa mashahidi wangu Yerusalemu, Uyahudi, Samaria, na katika pembe zote za ulimwengu -Matendo 1:8. *Mwito Mkuu – Mathayo 28:19-20. *Waliihubiri Habari Njema Kila Siku - Matendo 5:42.*Tusihubiri Zaidi Ya Ujumbe Tuliopewa - Matendo 26:22-23. *Huhitaji Ufasaha wa maneno Au Maarifayasiyokuwa ya kawaida - 1Wakorintho 2:1-2. *Paulo alihubiri kwamba watu watubu, wamgeukie Mungu,na waonyeshe Toba yao kwa Matendo- Matendo 10:39-43; 26:19-20. *Hubiri Neno; Uwe tayari wakatiUfaao Na Wakati Usiofaa; Onya, Kemea, Himiza, Kwa uvumilivu Mkuu na Kuwafundisha …- 2Timotheo 4:1-5. *Kwa maana Hatuhubiri Habari Zetu Bali Kristo Yesu kama Bwana, Na Sisi wenyewekama Watumwa Kwa ajili ya Yesu …- 2 Wakorintho 4:5-6. *Bali Kama Vile Tulivyopata Kibali KwaMungu Tuwekewe amana Injili, Ndivyo Tunenavyo; si Kama Wapendezao Wanadamu, BaliWampendezao Mungu Anayetupima Mioyo Yetu. Maana Hatukuwa na Maneno ya Kujipendekeza Wakatiwo wote, Kama Mjuavyo, Wala Maneno ya Juujuu ya kuficha choyo; Mungu ni shahidi. Hatukutafutautukufu kwa wanadamu…- 1 Wathesalonike 2:4-7. . *Mtindo wa Paulo Katika Kuwafikia Waliopotea - 1Wakorintho 9:16-27. *Bwana Hutoa Nguvu Za Kutusaidia Kuhubiri na Hututoa Mdomoni Mwa Simba - 2Timotheo 4:17. *Injili: Yesu Alikufa Kwa Ajili Ya Dhambi Zetu, Alizikwa, Akafufuka, Na AkawatokeaWengine - 1 Wakorintho 15:1-5. *Injili Haikutengenezwa na Wanadamu, Lakini Ililetwa na Mungu -Wagalatia 1:11-12. *Wahubiri Wenye Hekima Na Wajinga , Hubirini Makabila Yenu na Mengine-Warumi 1:14-16.

Sehemu ya 2d: Kua katikaImani yako Kwa Mungu.

Ngao-Ngao ya Imani ambayohutukinga na mishale ya moto yaShetani. Shetani huturushia mishaleya mashaka, kukata tama, mfadhaikona hisia za kupoteza matumaini.Tunaweza kuzilinda akili zetu kwakuweka imani yetu katika Munguhata hali ziwe ngumu namna gani.

Vichwa Vya Masomo1. Imani yetu katika Mungu Huwa Kama Ngao Dhidi Ya Uvamizi wa

Kihisia, kimwili, na wa kiroho kutoka wka adui.2. Imani ni kuamini kwamba Mungu Atafanya Kile Alichoahidi Hata Ikiwa

Ishara za Nje Hazitoi kidokezo chochote kuonyesha kwamba ahadi hizozitatimizwa.

Hadithi*Watu Waliokuwa na Imani Kubwa: Abeli, Nuhu, Ibrahimu, Sara, Isaka, Yakobo, Musa, Rahabu, Gideoni,Baraka, Samsoni, n.k- Waebrania 11. *Bwana Anamsaidia Asa Dhidi Ya Kundi La Watu - 2 Mambo YaNyakati 14 & 15 (14:11-12; na aya yote ya 15). *Yoshua na Kalebu Wamwamini Mungu - Hesabu 14.*Yesu Anafundisha Juu Ya Vizuizi Vya Imani - Mathayo 6:25-34; Luka 12:27-30. *Imani ya Ibrahimu,kumtoa Isaka - Mwanzo 22; Waebrania 11:17-19. *Yesu Anamtokea Tomaso- Yohana 20. *Imani YaHezekia- 2 Wafalme 18:5-8. *Daudi na Goliathi- 1 Samueli 17. *Shadraki, Meshaki na Abedinego- Danieli 3.Maandiko*Naamini ya kuwa nitauona wema wa BWANA Katika nchi ya walio hai. Umngoje BWANA, uwe

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 84

Tazama. Angalia Waebrania 11. hodari, Upige moyo konde, naam, umngoje BWANA- Zaburi 27:13-14. *Mtumaini BWANA kwa moyowako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyoshamapito yako. - Mithali 3:5-6. *Ole wao watelemkao kwenda Misri wapate msaada, na kutegemea farasi;watumainio magari kwa kuwa ni mengi, na wapanda farasi kwa kuwa ni hodari sana; lakinihawamwangalii Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Bwana! - Isaya 31:1. *Naam, sisi wenyewetulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumaini Mungu,awafufuaye wafu- 2 Wakorintho 1:9-10. *Ajaponiua, Nitamngojea Vivyo - Ayubu 13:15. *WamtumainioBWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautatikisika, wakaa milele - Zaburi 125:1. *Msiwaogope WaleWanaoweza Kuua Mwili - Mathayo 10:28-33. *Tunaonyesha imani yetu kwa yale tunayowafanyia nduguzetu, wageni, na watenda kazi wenzetu katika ufalme - 3 Yohana 5-8. *Tazama, roho yake hujivuna, hainaunyofu ndani yake; lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake.- Habakuki 2:4.

Sehemu ya 2e: VaeniChepeo ya Wokovu, Kukua

na kuwa kama Yesu KilaSiku katika Kila

tunachosema na kutenda.

Chepeo-Chepeo ya Wokovu.Vipengele vitatu vya Wokovu:*Kuhesabiwa haki-tunapokuwawaumini.*Kutakaswa-kufanana na Yesukatika hali zote za maishaiwe ni kwa maneno au matendo.*Kutukuzwa-hali yetu ya baadayeMbinguni.

Vichwa Vya Masomo:1. Kuna vipengele vitatu vya wokovu: Kuhesabiwa haki, Kutakaswa, na

Kutukuzwa.2. Kuhesabiwa haki hufanyika wakati tunapompokea Yesu kama Bwana na

Mwokozi wetu. Yeye hutupatanisha na Mungu wetu, hutusamehe nakuziondoa dhambi zetu.

3. Kutakaswa ni ile hali ya kukua katika kuzijua njia za Mungu nakumfahamu yeye wakati tunapompokea Yesu kama Bwana na Mwokoziwetu, hali hii huendelea hadi tutakapokufa.

4. Kutukuzwa hutendeka wakati tunapokufa na kupokewa mbingunikutawala pamoja na Yesu. Ni wokovu wa mwisho kutokana na dhambi namauti, na kupata Uzima wa milele.

Hadithi*Yesu Anafundisha Juu Ya Wokovu (Nikodemu; Mwanamke Msamaria; Mashahidi wanne kwa Yesu;Mkate wa Uzima)- Yohana 3-7. *Kijana Tajiri Wa Kifalme - Mathayo 19:16-22; Marko 10:23-31; Luka18:18-30.Maandiko*Mkiri Yesu kama Bwana na Mwokozi wako - Warumi 10:9-10. *Vaeni Tumaini la Wokovu, MunguAmetupangia kupata wokovu kupitia kwa Yesu.- 1 Wathesalonike 5:8-11. *Kama Musa alivyomwinuayule nyoka wa shaba jangwani, vivyo hivyo Mwana wa Adamu hana budi kuinuliwa,ili kila amwaminiyeapate Uzima wa milele.Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa Mwanawe pekee,ili kila amwaminiye asipotee bali awe na Uzima wa milele - Yohana 3:14-16. *Wokovu haupatikani kwayeyote mwingine - Matendo 4:12. *Utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka(kutakaswa)- Wafilipi 2:12. *Wokovu ni wa Mungu wetu - Ufunuo 7:10. *Kuhesabiwa haki kupitia kwaYesu - Warumi 4:25. *Hakuna anayehesabiwa haki kupitia kwa sheria - Wagalatia 2:16.

Sehemu ya 2f: Kua KatikaKulijua Neno la Mungu

Biblia-Upanga wa Roho. Hii ndiyoSilaha moja ya waaminiwanayoweza kupigia vita.*Neno la Mungu liko hai nalinafanya kazi.*Kulisoma Neno La Mungu kilasiku hutunawirisha kiroho.*Yesu alitumia Neno kukabiliana namajaribu ya Shetani.Unganisha na Sura ya 3, kupima kilakitu katika mizani ya Neno laMungu.

Vichwa Vya Masomo:1. Tunahitaji chakula cha kiroho kila siku sawa na vile tunavyohitaji chakula

cha mwili kila siku. Neno la Mungu hutulisha kiroho tunapolisoma nakujifunza.

2. Biblia ndiyo silaha ya pekee ya kupigana vita iliyotajwa katika Waefeso 6.3. Tunapaswa kulitumia Neno la Mungu kututia nguvu wakati

tunapojaribiwa.

Hadithi*Kujaribiwa Kwa Yesu - Mathayo41-11. *Paulo Anamkemea Petro Juu Ya Kufundisha MafundishoYasiyokwua sahihi – Wagalatia 2. *Waberoya Wanachunguza Maandiko - Matendo 17:10-13. *KurudiKwa Yesu - Ufunuo 1:12- 2:20; 19:15-21. *Kanisa la Pergamo - Ufunuo 2:12-17.*Ushuhuda wamwandishi wa Zaburi juu ya Neno La Mungu - Zaburi 119.Maandiko*Mungu aliwaacha Waisraeli waone njaa ili awajaribu katika njia zake, na pia ili waweze kutambuakwamba wanahitaji chakula cha kiroho kila siku kutoka katika Neno la Mungu - Kumbukumbu La Torati8:1-4. *…Kama watoto wachanga yatamanini maziwa ya kiroho yasiyoghoshiwa, ili mweze kukua kwayokatika wokovu wenu - 1 Petro 2:1-3. *Maana Neno la Mungu li Hai na lenye nguvu, ni kali kuliko upangaukatao kuwili - Waebrania 4:12. *Maandiko yote Yameandikwa kwa Pumzi ya Mungu na Yanafaa kwaMafundisho, kwa Kukaripia, kwa kurekebisha makosa, kwa kufundisha watu katika haki - 2 Timotheo3:16-17. *Lihubiri Neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwauvumilivu wote na mafundisho. Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ilakwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio yautafiti; nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. - 2 Timotheo 4:2-5.*Kwa hiyo wekeeni mbali uchafu wote na ubaya uzidio, na kupokea kwa upole neno lile lililopandwandani, liwezalo kuziokoa roho zenu. Lakini iweni watendaji wa neno, wala si wasikiaji tu- Yakobo 1:21-22. *Liwekeni Neno la Mungu mioyoni mwenu ili msimtende dhambi - Zaburi 119:11.*Neno la Mungu ni taa miguuni mwetu - Zaburi 119:105.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 85

Somo La 3 Mambo Yanayotia nguvu au Kuzuia Ukuaji Wetu

Sehemu ya 3a: KutambuaKwamba Vita vyetu vya

kibinafsi ni Dhidi ya Nguvuza Giza.

Pepo wakiwa na pinde na mishale,na mtu asiyekuwa na silaha zozotemwilini, ngao ya imani-Shetanihuwarushia mishale wauminiwanaomfuata Yesu kikamilifu na piawale ambao hawakui kiimani. Mtuasiye na silaha huishi maisha yaUkristo wa kushindwa. Pauloanaorodhesha mambo magumukatika maisha kuwa sababu za sisikuchukua silaha za kiroho.*Kumbuka Mfalme Daudi ambayealililazimika kuishi nyikani kwamuda wa miaka 14 kwa sababu Saulialimwonea wivu na kutaka kumuua.Daudi alijitia nguvu katika Bwanana akawa na nguvu kumshinda Sauli.Mungu hatimaye alimpa Daudi kiticha enzi. Wakati mwingine ni waleambao wamepitia changmoto nyingindio ambao baadaye Munguhuwainua na kuwaweka mahali paushawishi mkubwa. Lakini lazimatuendelee kusimama imara.

Vichwa Vya Masomo:1. Wakati tunapokumbana na mambo magumu tunaweza kuyaruhusu

mambo hayo kututia nguvu kiroho, au tunaweza kuitikia magumu hayokwa njia ambayo inazuia ukuaji wetu.

2. Paulo alipitia dhiki nyingi za kijamii na za kimwili, zikiwemo kukataliwa,kupigwa, njaa, kusingiziwa, kuharibiwa jina, na adhabu mbalimbali.Katika mambo haya yote, Alionyesha tabia halisi ya Ukristo, akawa nalengo katika huduma yake na akaendelea kulifuata Neno la Mungu.

Hadithi*Yesu anakabiliana na majaribu ya Shetani kwa kutumia Neno la Mungu- Mathayo 4:1-11. *Daudianajitia nguvu katika Bwana wakati watu walipoinuka dhidi yake– 1 Samueli 30 (kifungu cha 6); watendamaovu, maadui, mashahidi wa uwongo, - Zaburi 27. *Daudi anamshinda mwanawe Absalomu wakatialipojaribu kumpindua kutoka kwenye kiti chake cha enzi na kutaka kumuua - 2 Samueli 15-19. *Kutafutamapenzi ya Mungu wakati wa dhiki kuu, Yesu akiwa katika Bustani Ya Gethisemane- Luka 22:39-46.*Eliya baada ya kuwaua manabii wa Baali - 1 Wafalme 19 (kifungu cha 9-18). *Mfalme Hezekiaanaomba juu ya barua iliyotoka kwa Senakeribu - Isaya 37:14-38. *Ushuhuda wa Paulo, “Naam, sisiwenyewe tulikuwa na hukumu ya mauti katika nafsi zetu ili tusijitumainie nafsi zetu, bali tumtumainiMungu, awafufuaye wafu- 2 Wakorintho 1:9-10.Maandiko*Tunapaswa kutumia silaha za haki, Neno, na Roho Mtakatifu kukabiliana na hali ngumu kama vilemateso, dhiki, shinikizo, mapigo, kufungwa jela, fujo, kazi ngumu, kukosa usingizi, njaa, kudharauliwa,kunenwa vibaya, kushutumiwa kuwa waongo - 2 Wakorintho 6:3-10. *Siku ya hofu yangu nitakutumainiWewe; - Zaburi 56:3-4. *Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa kimya, Wokovu wangu hutokakwake - Zaburi 62:1. *Jina la BWANA ni ngome imara; Mwenye haki huikimbilia, akawa salama -Mithali 18:10. *Mungu atakuwa na nguvu kupitia kwa udhaifu wetu, kutukanwa kwetu, masumbufu yetu,mateso, na dhiki - 2 Wakorintho 12:7-10.

Sehemu ya 3b: TambuaKwamba Kuteseka Kwetukama Yesu, ni sehemu ya

maisha ya Ukristo.

Msalaba mgongoni mwa mtu-Waumini wote hushiriki katikamateso ya Kristo. Mateso hayahutufanya kufanana na Yesu nahutusaidia kujifunza utiifu. Yesualiteseka bila kosa kama sisi wakatimwingine tunavyoteseka bila hatiayoyote. Yesu alikataliwa na watu,viongozi wa kidini na makundi yawatu. Sisi vilevile tunaweza kuteswakwa kutusiwa, kukataliwa,kusingiziwa makosa, na hatakushambuliwa kimwili.Tunapoteseka kama Yesu, basihuwa tuko katika hali ya kufanana

Vichwa Vya Masomo:1. Wale wanaopenda kuishi maisha ya kiungu watateswa na wengine.2. Tunapopitia mateso ya Kristo, tunakomaa katika uthabiti, uaminifu, na

katika uwezo wa kusamehe, na utakaso.

Hadithi*Mtumishi Aliyeteseka - Isaya 42:1-4; 49:1-6 50:4-9; 52:13-53:12. *Danieli katika tundu la simba -Danieli 6. *Paulo Anateseka Kwa sababu ya Ushahidi wake - Matendo 16-40. *Yesu Alikamilishwakupitia mateso - Waebrania 2:10. *Mateso ya Paulo Yanaorodheshwa - 2 Wakorintho 11:16-33. *Matesoya Mitume, njaa na kiu, kukosa nguo, kutendewa vibaya, kukosa makao, kazi ngumu, kufanya kazi kwamikono yetu wenyewe, kutukanwa lakini sisi tunabariki, kuteswa lakini tukavumilia, kunewa vibaya lakisisisi tunawasihi watu, tumekuwa kama jaa la taka, chafu kuliko vyote - 1 Wakorintho 4:8-13. *PauloAnamwandikia Timotheo Juu Ya Mateso na Kuvumilia, shiriki katika kuteseka kwa Injili, na kutegemeanguvu za Mungu - 2 Timotheo 1:6-12. *Imani ya wale walioteseka kabla wakati wa Yesu - Waebrania 11.*Yohana yuko katika kisiwa cha Patimo kwa sababu ya ushuhuda wake wa Yesu - Ufunuo 1:9. *Wakristoambao sasa wako Mbinguni - Ufunuo 6:9; 20:4. *Shetani anapigana vita na waamini duniani, mwanamke,mwana, na joka - Ufunuo 12:1-18.Maandiko*Heri nyinyi watu wanapowatukana na kuwatesa na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa ajili yangu,furahini na kushangalia, maana thawabu yenu ni kubwa Mbinguni.- Mathayo 5:10-12.*Mungu hutufariji katika mateso yetu ili na sisi tuwezi kuwafariji wengine. Katika mateso tunajifunzakumtegemea Mungu na kuwaomba watu kutuombea - 2 Wakorintho 1. *Kuteseka hutusaidia kukuakitabia - Warumi 5:3-5. *Wale wanaoteseka wameacha dhambi; mkumbuke Ayubu; wale wanaotesekakulingana na mapenzi ya Mungu, jikabidhini kwa muumba mwaminifu - 1 Petro 4:1-2; 12-19. *Wakatiunakuja ambapo watakaokuwa wakiwaua watafikiri kwamba wanamtumikia Mungu kwa kufanya hivyo.-Yohana 16:1-2. *Mateso ya wakati huu hayawezi kulinganishwa na utukufu ujao - Warumi 8:17-18. *Kwa maana sisi tulio hai, siku zote twatolewa tufe kwa ajili ya Yesu, ili uzima wa Yesu nao udhihirishwekatika miili yetu ipatikanayo na mauti..- 2 Wakorintho 4:11-12. *Simameni Imara, Msiwaogope Maadui

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 86

naye. zenu, Maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, ila na kuteswa kwa ajili yake- Wafilipi 1:27-29. *Ili Nimjue Yeye, na Uweza Wa Kufufuka Kwake, na Ushirika wa mateso yake- Wafilipi 3:10-11.*Sasa nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena nayatimiliza katika mwili wangu yaleyaliyopungua ya mateso ya Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake; - Wakolosai 1:24. *Hatana sisi wenyewe twaona fahari juu yenu katika makanisa ya Mungu kwa ajili ya saburi yenu, na imanimliyo nayo katika adha zenu zote na dhiki mnazostahimili. Ndiyo ishara hasa ya hukumu i liyo haki yaMungu, ili mhesabiwe kuwa mwastahili kuuingia ufalme wa Mungu, ambao kwa ajili yake mnateswa.Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi. 2 Wathesalonike 1:4 -10. *NaMungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswakwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawatengeneza, na kuwathibitisha, na kuwatia nguvu - 1 Petro 5:10.*Kwa kuwa mtu atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza nafsi yake kwa ajiliyangu na kwa ajili ya Injili, huyu ataisalimisha - Marko 8:35.

Sehemu ya 3c: Tambuakwamba Mungu Huturudiili aweze kutusaidia kukua

kiroho.

Mchungaji akimvuta kondooasifuate njia mbaya-Bwana hutuadhibu kwa sababuanatupenda na anatamani tuishimaisha matakatifu. Usikataekuadhibiwa na Bwana.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu huwarudi wale anaowapenda.2. Anaweza kuruhusu tupitie hali ngumu ya maisha ili aturudi au kututia

nguvu.3. Kufunga na kuomba hutusaidia kumwelekea Mungu na kuwa na kiasi

wakati tunapokuwa tukimwomba Mungu kutuonyesha njia aukukabiliana na mazoea mabaya yaletayo uharibifu.

Hadithi*Mtoto wa Mfalme Daudi Anaaga Dunia - 2 Samueli 12. *Bwana Wanawafundisha Waisraeli Juu yaNidhamu/kuadhibiwa - Kumbukumbu La Torati 11:2-7. *Mungu Wakati Mwingine Hutumia WaaminiKutuadhibu - 2 Wakorintho 2; 7:8-16. *Mungu Anamwadhibu Humenayo na Aleksanda - 1 Timotheo1:18-20.Maandiko*Mwanangu, usidharau kuadhibiwa na BWANA, Wala usione ni taabu kurudiwa naye. Kwa kuwaBWANA ampendaye humrudi, Kama vile baba mwanawe ampendezaye. - Mithali 3:11-12. *Kila adhabuwakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakini baadaye huwaletea waowaliozoezwa nayo matunda ya haki yenye amani. Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magotiyaliyopooza, mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho kiwete kisipotoshwe, bali afadhalikiponywe. - Waebrania 12:11-14. *Mungu Huijaribu Mioyo na Akili - Zaburi 7:9. *Maana UnachukiaAdhabu, Na Uliyatupilia Mbali Maneno Yangu - Zaburi 50: 17-23. *RMaana maagizo hayo ni taa, nasheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima. Yakulinde na mwanamke mwovu,asikupate, Na kukuponya na ubembelezi wa mgeni - Mithali 6:23-24. *Kila apendaye mafundishohupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama. - Mithali 12:1. *Wote niwapendaomimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu. - Ufunuo 3:19. *Kabla sijateswa miminalipotea, Lakini sasa nimelitii Neno lako - Zaburi 119:67.

Sehemu ya 3d: TambuaUmuhimu wa kuomba bila

kukoma.

Askari kando ya barabara-Askarihawa wanaomba na kufunga kwaajili ya mtu aliye njiani. Maombiyanapaswa kuwa sehemu ya maishayetu ya kila siku. Tunapopitiahali ngumu, tunapaswakuwashirikisha wenzetu kutuombea.Kwa njia hii, Mungu hupokeautukufu zaidi wakati anapoyajibumaombi yetu. Tunaweza pia kufungakwa ajili ya wale wanaoishi kwenyeUfalme wa Giza, vilevile kwa ajiliya sehemu za maisha yetuzinazohitaji kutiwa nidhamu zaidi.Pia tunaweza kufunga na kuomba ilikupata mwongozo wa Mungu katikakufanya uamuzi fulani. Kufungahutusaidia kuweza kuwa na kiasikatika sehumu nyinginezo za maishayetu.

Tambua: Katika Agano la Kale,

Vichwa Vya Masomo:1. Maombo ni ile hali ya kuonyesha uhusiano unaondelea baina yako na

Mungu.2. Hatupaswi kuongea na pepo katika maombi, lakini tumwite Yesu wakati

wa ukandamizaji wa kiroho.3. Mungu hutukuzwa wakati tunapoombean.4. Tunapaswa kuomba sawa na asili na tabia ya Mungu.5. Hatupaswi kuombea mambo yanayohusu tamaa zetu wenyewe.6. Tunaweza kuombea mahitaji ya kihisia, kimwili na ya kiroho ya watu.7. Mifano katika Maandiko inayohusu maombi ni kama vile kuombea Injili

ihubiriwe, kuombea wahubiri watiwe ujasiri wanapohubiri Injili, waaminiwakue katika ufahamu wao wa Mungu, wapendane, na wakue katikamaisha ya katika Mungu.

8. Angalia Sura ya 3 Juu ya Jinsi Mungu Anavyowasiliana Nasi KupitiaMaombi.

Hadithi*Bwana Anatufundisha Jinsi Ya Kuomba - Mathayo 6:5-15. *Yesu Anaomba Katika Bustani YaGethsemane Mapenzi ya Mungu Yatendeke- Mathayo 26:36-56. *Daudi Aliomba Asubuhi, Mchana, NaUsiku Kwa sababu ya adui zake - Zaburi 55:16-17. *Hana Anaomba Kupata Mtoto - 1 Samueli 1-2.*Paulo Anaomba Aondolewe Mwiba wa Mwilini - 2 Wakorintho 12:1-10. *Eliya Anaombea Mvua - 1Wafalme 18:42-44. *Manabii wa Baali Wanaomba Bila Mafanikio - 1 Wafalme 18. *Epafra, Aliye Mtuwa Kwenu, Mtumwa wa Yesu Kristo, Awasalimu, Akifanya Bidii Siku Zote Kwa Ajili Yenu KatikaMaombi Yake, ili Kwamba Msimame Wakamilifu na Kuthibitika Sana Katika Mapenzi Yote ya Mungu.Maana namshuhudia kwamba ana juhudi nyingi kwa ajili yenu, na kwa ajili ya hao walioko Laodikia, nakwa ajili ya hao walioko Hierapoli. - Wakolosai 4:12-13. *Musa Anawaombea Wale WaliotengenezaSanamu ya Ndama wa Dhahabu - Kutoka 32 (kifungu cha 11-14). *Waisraeli Wanaomba Kinafiki, MaishaYao Hayaakisi Kujitoa Kwao kwa Mungu - Hosea 7:14. *Mungu Anatuma Mjumbe Kwa Kornelio Kwasababu ya Maombi - Matendo 10. *Danieli Aliomba Wakati Alipohitaji Msaada Wa Mungu Na

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 87

neno, Shemah maana yake ni ,“kusikia na kuitikia.” Hutumikakumrejea Mungu na jinsianavyoyasikia maombi ya watu.Endapo watu walikuwa waaminifu,Mungu angesikia na kujibu maombiyao. Lakini endapo watu walikuwawakiabudu miungu mingine,angesikia, lakini asingejibu kwasababu ya dhambi zao. Zaburi 34inasema kwamba Mungu husikiamaombi ya wenye haki, lakini usowake u kinyume na waovu.

Vita Vya Kiroho na Maombi:*There are no examples inMaandiko of individuals personallyaddressing Shetani or demons.Instead, believers call upon Yesu toact on their behalf. Zech 3:1-10;Jude 8-11; 2 Wathesalonike 3:3.

Alipokuwa Akiwaombea wengine - Danieli 6 na 9. *Mungu Anawaambia Marafiki Wa AyubuWamwombe Ayubu awaombee, kisha Mungu alimrudishia Ayubu Vyote Alivyopoteza - Ayubu 42:8-10.*Hezekia anaombea ukombozi ili mataifa wajue kwamba Mungu ni Mungu - 2 Wafalme 19:15-20. *Eliyaanamwombea mtoto - 1 Wafalme 17:21-22. *Daudi Aliomba Ili Ushauri wa Ahithofeli uwe ubatili - 2Samueli 15:31. *Yakobo Anaomba Akombolewe Kutoka Kwa Ndugu Yake - Mwanzo 32:11. *MafumboYaliyotolewa ili tuombe bila kukata tamaa - Luka 18:1-14. *Musa Anawaombea wale walioasi juu yaKuingia katika Nchi ya Ahadi - Hesabu 14:17-38. *Musa anafanya maombezi, Bwana, nakuomba, Bwana,uende kati yetu, maana ni watu wenye shingo ngumu; ukasamehe uovu wetu na dhambi yetu, ukatutwaetuwe urithi wako. - Kutoka 34:8-9. *Samueli anaomba akombolewe kutokana na Wafilisti - 1 Samueli 7:4-5. *Lakini Yesu mwenyewe angeondoka kisiri na kwenda Nyikani Kuomba - Luka 5:16; 6:12.Maandiko*Usiongee na pepo au Shetani moja kwa moja, mwite Yesu, anayetulinda kutokana na yule mwovu - Yuda8-11; Zech. 3:1-10; 2 Thess 3:3. *Mungu’s power toward those who believe- Waefeso 1:18 -21.*Wabarikini Wanaowalaani, Waombeeni Wale Wanaowaudhi - Luka 6:28. *Kwa sala zote na maombimkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifuwote; pia na kwa ajili yangu mimi, nipewe usemi kwa kufumbua kinywa changu, ili niihubiri kwa ujasiriile siri ya Injili;- Waefeso 6:18-20. *O mbeni kwamba Upendo Wenu Uongezeke Zaidi na Zaidi katikaKumjua Mungu na Katika Utambuzi - , Wafilipi 1:9-11. *Kuyajua mapenzi yake, hekima yote ya kirohona ufahamu, mkienenda katika njia inayompendeza yeye -Wakolosai 1:9-12. *Ombeni bila kukoma - 1Wathesalonike 5:17-28.* Ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kilahaja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu;- 2 Wathesalonike 1:11-12. *Ombeni ili Neno la Mungulienee kwa haraka, na pia niepushwe na watu waovu - 2 Wathesalonike 3:1-3. *Ombeni pasipo hasira - 1Timotheo 2:8. *Mjue kila lililo jema kwa ajili ya Kristo – Filemoni 1:6-7. *Ombeni mwe na dhamirinjema, mwe na shauki ya kuwa na tabia njema katika kila jambo - Waebrania 13:18. *Msifadhaike, lakiniombeni ili amani ya Mungu ilinde mioyo yenu - Wafilipi 4:6-7. *Roho hutuombea - Warumi 8:26-27.

Somo La 4 Mambo Ya Kuzingatia Unapotembea Kwenye Njia

Sehemu ya 4a: (Rudia Suraya 4-kutangulia Amri KuuMbili Za Mungu). Mpende

jiarani yako kamaunavyojipenda mwenyewe.

Kumbuka Amri Kumi-Amri mbilikuu za kukumbuka tunavyoendeleakuishi na wenzetu humu duniani nikumpenda Mungu kwa mioyo yetuyote, nafsi zetu, akili zetu, nguvuzetu zote na pia kuwapenda majiranizetu kama tunavyojipenda sisiwenyewe.

Vichwa Vya Masomo:1. Kufuata Amri Kuu Mbili hutusaidia kukua kiroho wakati tunapoendelea

kukumbana na changamoto mbalimbali za maisha.2. Amri kuu: Kumpenda Mungu kwa moyo wako wote, nafsi yako, na akili

zako zote.3. Ambri ya Pili kuu: Kumpenda jirani yako kama unavyojipenda.

Hadithi*Mwanasheria Anamuuliza Yesu, “Amri Iliyokuu ni gani” Kisa cha Msamaria Mwema - Luka 10:25-42.*Yesu Anampa Petro changamoto- Yohana 21:17. *Jinsi Paulo Anavyowapenda watu wa Nchi yake -Warumi 9:3. *Yesu Anatufundisha Kuwapenda Maadui zetu, tukomae na kuwa wakamilifu katika upendokama alivyo Mungu - Mathayo 5:43-44. *Yesu Anatufundisha Kuwapenda Maadui zetu - 1 Yohana 3:16-17.Maandiko*Kumpenda Mungu Kunahusiana na Kumtii - 1 Yohana 2:3-6; 5:2-3.. *Utampenda BWANA Mungu wakokwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa Nguvu zako zote.” Wafundishe watoto wako uketipo,rise up, utembeeapo, na unapolala chini, n.k - Kumbukumbu La Torati 6:5-9. *Wapende adui zako,wasalimie, hii ni tofauti ikilinganishwa na wale wasiomjua Mungu, mna thawabu. Mwe wakamilifu, KamaBaba Yenu wa Mbinguni Alivyomkamilifu - Mathayo 5:43-48

Sehemu ya 4b: (Rudia Suraya 1) Ishi Kwa Kuongozwa

na Roho Mtakatifu.

The Roho Mtakatifu- Believersmust follow the leading of the RohoMtakatifu in their lives. We mustlearn to listen to His still small voicein our hearts, rather than the voice ofhuman desires or Shetani. Do notgrieve the Roho Mtakatifu byrejecting His voice.

Vichwa Vya Masomo:1. Roho wa Mungu hutuongoza katika kufanya maamuzi yafaayo katika

maisha.2. Msimhuzunishe Roho.

Maandiko*Paulo anasema kwamba hutenda lile asilopenda kutenda - Warumi 7:14-25. Enendeni kwa Roho NanyiHamtazitimiza tamaa za mwili - Wagalatia 5:16-17. *Tunda la Roho- Wagalatia 5:19-22.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 88

Sura ya 10 Kielelezo:Kufuata Njia ya Mungu, Kuishi Maisha Ya Kiungu katika Jamii

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 89

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 90

Sura ya 10 Kufuata Njia Ya Mungu, Kuishi Maisha Ya KiunguKatika Jamii

Ufafanuzi wa Jumla

Mfano wa 10 unaonyesha picha ya jinsi ya kuishi maisha ya Kikristo na kuepuka njia zaupotevuni katika Ufalme wa Giza. Kiti cha Enzi cha Mungu kiko juu ya kurasakutukumbusha kwamba yeye anastahili kuwa Bwana wetu. Nyumba ya mwaminiimechorwa chini, msingi wake Neno la Mungu. Maisha matakatifu huanza kwakuhusianana Mungu nyumbani, na kisha kupanuka hadi kila mahali duniani.

Njia ambayo iko katikati ya mviringo ni nyoofu na nyembamba ambayo ndiotunayopaswa kufuata na kumpendeza Mungu. Kwenye njia hiyo katika picha ni wauminiambao wanawakilisha kanisa. Waumini wote ulimwenguni wanahimizana na kusaidianakudumisha usafi wa mafundisho ya Ukristo kadri wanavyoendelea kushirikiana nakujifunza Biblia pamoja.

Watu wale wanaotembea kwenye njia nyoofu pia wanawagawanyia watu chumvi. Biblia inatufundisha kwambatunapaswa kuwa kama chumvi katika dunia, tukihifadhi njia za Mungu, na kutakasa au kutoa uchafu wote.

Njia moja ya kuifadhi njia za Mungu ni jinsi tunavyosherekea mila na tamaduni zetu (imeonyeshwa kwenye pichakatikati mwa mviringo upande wa kulia). Watu wengine huhifadhi itikadi na tamaduni madala ya njia za Mungu.Kwa hiyo ni sharti tuwe waangalifu katika kusherehekea matukio maalum ya maisha ya watu kama vile kuzaliwakwa mtoto, kifo cha jamaa, matambiko ya tohara na ndoa badala yake tunastahili kumheshimu Mungu na njia zake.Mazoea haya yote ni sharti yaletwe kwa Yesu, kwa Neno lake na kwa Roho Mtakatifu ili kuwa na uhakika kwambamatambiko haya maalum husika si ya kumuudhi Mungu. Waumini wengine walio njiani kwenye picha,wanawakilisha kanisa njiani pia wanatusaidia kabaini mambo yaliyo ya Mungu na mambo yasiyo ya Mungu.Makanisa yanaweza kuanzisha tamaduni na desturi mpya kuhusiana na yale matukio maalum maishani, ambayoyanampendeza na kumheshimu Mungu.

Juu upande wa kushoto kuna mtu ambaye anahubiri au kutoa unabii. Mafundisho yote yanapaswa kupimwa katikamizani ya Neno la Mungu, ya Roho Mtakatifu na ya Yesu, pasipo kujali ni nani anayefundisha mamboyanayoonekana kuwa ya Kikristo.

Vikapu vilivyo vichwani mwa watu vinawakilisha vitu ambavyo wanaweka kwa sababu haviegemei upande wowoteau vinaambatana na Mungu na njia zake. Kwa mfano, tunapoajaliwa mtoto mchanga katika familia, huwa ni wakatimzuri wa kusherekea. Lakini, katika kusherekea tukio hili, tusijumuishe matambiko na kafara kwa pepo. Tunawezakuweka wazo la kusherekea kuzaliwa, lakini tunaweza kuhitaji kubadilisha mtindo wa kusherekea ili kumpa Mungu.Wakati waumini wanapoendelea na maisha, wanapima matendo yao, shauku zao, desturi au mila, matambiko,mahubiri na kadhalika kwa Neno la Mungu, kama inavyoonekana katika mikono yao ya kulia. Kitu chochoteambacho hakimpatii heshima Mungu kinapaswa kutupwa katika jalala lililoko chini upande wa kushoto.

Kwenye njia kuu,kuna njia nyingine ndogo ambazo zinaelekea mbali na Mungu. Hizi ni njia za uaribivu nazinaelekea mautini, na ni ziepukwe na wamini.Njia hizi zinajulikana kama njia za Kulaghai/Kushawishi auKutawaliwa; Njia yaUtumiaji Nguvu na Chuki; Njia ya Uvivu na Kutojali;na Njia ya Upotofu wa Kimaadili.

Malengo Ya Sura ya 10 Kuonyesha umuhimu wa kuzifuata njia za Mungu katika kila sehemu ya maisha yetu. Kusaidia kutambua na mitindo miharibifu katika maisha yetu. Kusaidia kujenga hali ya utambuzi na uaminifu katika maisha ya waamini.

Sura Zinazohusiana:Sura ya 1: Shetani, pepo wake na wafuasi wake wa kibinadamu huunda imani, tamaduni za kupotosha na vitu vya uharibifukatika jamii yenyewe.Sura ya 2: Kusudi la familia ni kuwalea watoto kuishi kwa kufuata maagizo ya Mungu.Sura ya 3: Sharti kupima kila kitu kwa Ufunuo Maalum wa Mungu-Biblia, Roho Mtakatifu na Yesu.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 91

Sura ya 4: Kuzifuata amri za Mungu kwa kuwa na uhusiano mzuri naye na watu wengine kutatusaidia kuepeuka njia mbaya njiambaya.Sura ya 5: Mafundisho yanayohusiana na Dini za Uongo-ni sharti tuzipime mila, tamaduni na matambiko kwa Neno la Mungu.Sura ya 7: Tunajifunza jinsi Ufalme wa Giza unavyofanya kazi duniani, kuharibu.Sura ya 9: Tunavyokua kiroho, tuna uthabiti wa kuweza kuendelea kukaa kwenye njia ya kweli.Sura ya 11: Tunastahili kuwa mawakili wazuri wa kile Mungu tulichopatiwa na Mungu, tusiharibu rasilimali zetu kwa anasaharibifu.Sura ya 12: Hakuna njia yoyote mbaya ambayo hatimaye itatuelekeza kwa Mungu.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Kutembea Katika Kweli (Marudio Yaliyopanuliwa)

Sehemu ya 1a: Rudia (Sura ya 2).Maisha yetu ya nyumbani sharti

msingi wake uwe ni mafundisho yaNeno la Mungu.

Nyumba iliyo na Msingi wa Biblia-Fanyamarudio kutoka Sura ya 2. Biblia inapaswakuwa msingi wa jinsi tunavyoishi nyumbanina duniani.

Sehemu ya 1b: Rudia (Sura ya 2).Tunapaswa kuishi maisha ya

kiungu katika jamii, tukihifadhinjia na mafundisho ya Mungu.

Sehemu ya 1c: Rudia (Sura ya 3).Lazima tupime kila kitu kwenyemizani ya Neno la Mungu, kwa

Yesu, na Roho Mtakatifu.

Mwanamke akigawanya chumvi.Amejitwika kikapu kichwani na Bibliamkononi mwake. Anatembea kwenye njianyembamba-Waumini hutembea kwenye njianyembamba, wakiepuka njia zinazoelekeaupotevuni. Sharti wawe kama chumvi duniani,kuhifadhi mafundisho ya Neno kwa jinsiwanavyoishi maisha yao ya kila siku. Kikapukilichoko kichwani ni cha kuweka vituambavyo ni vizuri na vinavyoambatana na njiaza Mungu. Biblia katika mkono wao wa kuliani ya kupimia imani, matendo, mafundisho,

Vichwa Vya Masomo:

1. Rudia (Sura ya 2): Tunapaswa kuishi maisha ya kiungumajumbani mwetu.

2. Maisha yetu ya nyumbani sharti yajengwe kwenye msingi waNeno la Mungu.

3. Rudia (Sura ya 2): Tunapaswa kuishi maisha ya kiungu katikajamii.

4. Tunapaswa kuwa chumvi na nuru, tukihifadhi njia za Mungukwa njia ambayo watu wataweza kuona Nuru ya Kristo ndaniyetu.

Maisha ya nyumbaniHadithi na Maandiko*Fumbo la Nyumba Iliyojengwa juu ya Mwamba - Mathayo 7:24-29. *Waamini WanakubaliBiblia Kama Neno la Mungu- 1 Wathesalonike 2:13. *Pandeni Neno Ndani Ya Mioyo yenu- Yakobo 1:21. *Yatamanini Maziwa Yasiyoghoshiwa Ya Neno la Mungu, Mkue katikaWokovu - 1 Petro 2:2. *Wenye Haki Ni Kama Mti Uzaao Matunda Wakati wote - - Zaburi1:1-3. *Wenye Haki Hupenda Kulitafakari Neno La Mungu - Zaburi 119:148. *NyumbaHujengwa Kwa hekima, ufahamu, na maarifa - Mithali 24:3-4.

Maisha Ya KijamiiHadithi and Maandiko*Njia Za Wenye Haki Dhidi Ya Njia za Waovu - Zaburi 1. *Kwa nini mnasema, “Bwana,Bwana,” Na Hamtendi Kile Ninachosema - Luka 6:46-49. *Njia Kuu Ya Mwenye Haki NiKujitenga na Uovu; Yeye Ashikaye Njia Yake Huihifadhi Nafsi yake.- Mithali 16:17. *Mungu Hutuongoza Kwenye Njia za Haki - Zaburi 23:3. *Marafiki wabayahuharibu maadili mema - 1 Wakorintho 15:33-34. *Mungu Hutufundisha Juu Ya NjiaTunayopaswa Kuifuata - Zaburi 50:23. *Heri Walio Kamili Njia Zao - Zaburi 119:1.*Ulisawazishe pito la mguu wako - Mithali 4:26. *Ishi Kama Yesu Alivyoishi - 1 Yohana2:6. *Ishi Katika Upya Wa Maisha - Warumi 6:4. *Yesu Anafundisha Juu Ya MlangoMwembamba - Luka 13:18-30; Mathayo 7:13-14. *Enenda pamoja na wenye hekima, naweutakuwa na hekima; Bali Rafiki wa Wapumbavu Ataumia - Mithali 13:20. *Masikio yakoyatasikia neno nyuma yako, likisema, ‘Njia ni hii, ifuateni’.- Isaya 30:21-26.

Waamini Hutumia Neno La Mungu Kama Nuru Katika Njia Zao*Mfalme Yosia pamoja na watu wanalisikia Neno la Mungu Kwa mara ya kwanza na kutubudhambi zao - 2 Mambo Ya Nyakati 34:14-33. *Neno la Mungu ni Taa Ya Miguu Yetu -Zaburi 119:105. *Maandiko Yote Yana Pumzi ya Mungu,Yanafaa kwa Mafundisho,Kurekebisha Makosa, Kukemea, na Kuwafundisha Watu katika Haki - 2 Timotheo 3:16-17.*Biblia Ndio Mwongozo wetu, Tunapotafakari Mafundisho Yake - Zaburi 1:2. *NuhuAlitenda Yote Aliyoagizwa na Mungu - Mwanzo 6:22. *Neno La Mungu Hutenda KaziNdani Yetu - 1 Wathesalonike 2:13.

Waamini Wanapaswa Kuwa Chumvi, Wakihifadhi, Kutia ladha, Na Kutakasa.Hadithi*Yosia Anakuwa Mfalme - 2 Wafalme 22. *Paulo Akiwa Efeso - Matendo 20:17-38. *PauloAlijifunza Maandiko Na Kumtafuta Mungu Kabla Hajakwenda Katika Huduma - Wagalatia1-2. *Huduma Ya Paulo Ilikuwa Ni Kumtia Nguvu Kila Mwamini -Wakolosai. 1:28.*Jiepushe na hadithi ya uwongo - Tito 1:14; 1 Timotheo 1:4; 2 Timotheo 4:4. *YesuAnafundisha Juu Ya Kulishika Neno Lake - Yohana 14:23-24.

Maandiko*Sisi ni Chumvi Ya Dunia - Mathayo 5:13. *Mwe na Chumvi Ndani Yenu, Na Mwe na

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 92

wahubiri, ndoto, mila, desturi na kitu kinginekinachohusiana na matendo ya kila siku naUkweli.Sehemu ya 1d: Waamini waunganakatika jamii kutetea njia za Mungu.

Watu wakitembea kwenye njia nyoofu nanyembamba-Waumini wanatembea kwenyenjia nyembamba, wakitoa ushuhuda kwaulimwengu. Wanawasaidia waumini wenginekudumu kwenye njia nyembamba nakuzungumzia kuhusu mila, itikadi, namafundisho ya uongo. Waumini wanawezakuanzisha tamaduni na desturi mpya ambazozinaonyesha imaniyao kwa Mungu wa kweli.

Sehemu ya 1d: Waaminiwanaacha nyuma mambo yaleyanayowazinga na kuwazuia

kumfuata Yesu.

Biwi la takataka-Hapa ni mahali ambapotunaacha vitu ambavyo vinatuzinga tusiwezekuishi maisha matakatifu na ya kujitoa kwaMungu. Vitu hivi vinaweza kuwa kamamafundisho ya uongo, matambiko, mila,itikadi, sanamu, dawa za kulevya, matusi aumatendo mabaya, utumiaji wa nguvu, upotovuwa maadili, au uzinzi miongoni mwa menginemengi.

Amani Miongoni Mwenu- Marko 9:50. *Utoeni Uovu Kati Yenu - Kumbukumbu La Torati19:18-19; 22:21-24; 24:7. *Ninyi Nanyi Mmejaa Wema, Mmejazwa Elimu Yote, TenaMwaweza Kuonyana. - Warumi 15:14. *Wema wa Mungu na Kweli Itaendelea Kutuhifadhi- Zaburi 40:11; 61:7. *Shikeni Hukumu, Mkatende Haki - Isaya 56:1. *Kwa Maana YapasaMidomo ya Kuhani Ihifadhi Maarifa - Malaki 2:7. *Na Kujitahidi Kuuhifadhi Umoja waRoho Katika Kifungo cha Amani - Waefeso 4:3. *Kwa Maana Hekima ni Ulinzi, KamaVile Fedha Ilivyo Ulinzi; Na Ubora wa Maarifa Ni ya Kwamba Hekima Humhifadhi YeyeAliye Nayo - Mhubiri 7:12. *Sisi ni Manukato Ya Kristo Kwa Mungu miongoni mwa walewanaokolewa na wale wanaoangamia - 2 Wakorintho 2:14-17. *Basi, ndugu zangu,nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, yakumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyomema, ya kumpendeza, na ukamilifu - Warumi 12:1-2.Waamini wanapaswa Kuwa Nuru Ya Ulimwengu*Yesu anasema sisi ni nuru ya ulimwengu - Mathayo 5:14-16. *Yesu alikuwa Nuru -Yohana 8:12.

Waamini huungana pamoja katika jamii na kutetea njia za Mungu.(Angalia Sura ya 4 juu ya Sheria na Sherehe).

Waamini wanaacha nyuma mambo yale yanayowazinga na kuwazuiakumfuata Yesu.Hadithi*Wathesalonike Waliacha Kuabudu Sanamu na Kumtumikia Mungu Aliye hai - 1Wathesalonike 1:9. *Paulo Na Barnaba Wanawatia moyo Waamini Huko Listra KuachaKuabudu Sanamu Na Kumtumikia Mungu - Matendo 14:6-19 (kifungu 15). *PauloAnawakemea Wagalatia kwa Kurudia Vitu Vilivyowafanya Watumwa - Wagalatia 4: 8-11.Maandiko*Usiku umeendelea sana, mchana umekaribia, basi na tuyavue matendo ya giza, na kuzivaasilaha za nuru. Kama ilivyohusika na mchana na tuenende kwa adabu; si kwa ulafi na ulevi,si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu. Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, walamsiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake. - Warumi 13:12-14. *Wala Msishirikiane naMatendo Yasiyozaa Ya Giza, Bali Myakemee. - Waefeso 5:11-13. *Tupilieni mbali nanyimakosa yenu yote mliyoyakosa; jifanyieni moyo mpya na roho mpya.- Ezekieli 18:31-32.*Mliuvua utu wenu wa kale, mtu yule wa zamani ambaye ameharibiwa na tamaa mbaya;mnafanywa upya katika nia zenu …kwa maana mmeuacha uwongo, ambieni ukweli;mnaweza kukasirika lakini jua lisitue mkiwa bado mmekasirika; Msiibe; maneno machafuyasitoke vinywani mwenu; uwekeni kando uchungu; hasira; gadhabu; matukano, chuki nauovu; mwe wakarimu, wenye huruma, mkisameheana - Waefeso 4:22-32; Wakolosai 3:8-15. *Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihuiliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana. Walamsiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujuahakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu. - Warumi 12:1-2.

Somo La 2 Kuzipima Itikadi, Mila, na Viongozi Wa Kikristo Katika Mizani Ya Neno La Mungu(Marudio Yaliyopanuliwa)

Sehemu ya 2a: (Kupanua Sura ya 3juu ya kupima kila kitu kwenyemizani ya Neno la Mungu, kwaYesu, na kwa Roho Mtakatifu)

Pima itikadi, Mila kwenye mizaniya Neno La Mungu.

Vichwa Vya Masomo:

1. Waamini wanahitaji kupima itikadi na mila za kabila laokatika mizani ya Neno la Mungu, Yesu, na kwa RohoMtakatifu.

2. Sharti Tusiigize Yale Yanayotendwa na watu wa mataifa.3. Tunaweza kutengeneza itikadi nyingine na sherehe za Kikristo

zinazomtukuza Mungu.4. Waamini katika jamii wanapaswa kuungana pamoja ili waweze

kusaidiana kuanzisha mambo mapya kama vile (mazishi yaKikristo, sherehe za kuzaliwa kwa mtoto, ndoa, n.k.)

5. Zingatia kwamba makanisa mengine huenda yakachanganyamatambiko ya kipagani na imani ya Kikristo. Hayo nimachukizo mbele za Mungu.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 93

Picha mbalimbali zinaonyesha itikadina mila za watu (mazishi, kubalehe,mfumo wa imani za kipagani)- Shartikupima mila na itikadi za mahali tunapoishikwa mizani ya Neno la Mungu. Shetanihuchanganya mafundisho yake ya uongo namatendo yake na kuviingiza katika mila zawatu. Kwa hiyo ni lazima tujifunze kufumuavitu ambavyo Shetani ameviweka kwenyemila zetu, na kuanzisha nyingine mpyaambazo msingi wake ni Neno laMungu.unapaswa kuzipima itikadi na mila zanchi tunayoishi katika mizani ya Neno laMungu..

Waamini Wanazipima itikadi na mila na matambiko kwenye mizani ya Neno la MunguHadithi and Maandiko*Nadabu na Abihu Wanaleta Moto wa Kigeni Kwa Bwana - Mambo ya Walawi 10:1-7.*Paulo Anajadili Kuhusika Kwa Jamii Katika Sikukuu za Kipagani - I Wakorintho 8-10(Angalia 10:14-22). *Yoshua anawapa changamoto watu wachague ikiwa watamtumikiaMungu au mababu zao, miungu ya nchi watakayoishi , au watamtumikia Bwana - Yoshua.24. *Maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru, wala haji kwenye nuru , matendoyake yasije akakemewa.Bali yeye aitendaye kweli huja kwenye nuru, ili matendo yake yaonekane wazi ya kuwayametendwa katika Mungu. - Yohana 3:20-21. *Pepo Hufundisha Mafundisho Ya Uwongo -1 Timotheo 4:1-8.*Msiongeze wala Kupunguza Amri - Kumbukumbu La Torati 12:32. *Msiige Matendo yaMataifa Yanayomchukiza Mungu, Mungu Ametukataza Kuyatenda - Kumbukumbu LaTorati 18:9-15. *Kimbieni Kuabudu Sanamu - 1 Wakorintho 10:14-22.

Kuna umuhimu wa kupima kwa sababu si kila mtu moyo wake uko kwa Bwana.*Mfalme Abijamu hakuwa amejitoa kikamilifu kwa Mungu - 1 Wafalme 15:1-8 (kifungu 3;angalia pia 1 Wafalme 11:4 juu ya Sulemani ). *Gideoni anawashinda Wamoabu kwa msaadawa Mungu, lakini baadaye anafanya naivera na watu wanarudia uzinzi wao, ni mtego kwake- Waamuzi 8:27.

Sherehe Zilizowekwa na Mungu*Mungu anapanga majira na wakati wa sherehe - Mwanzo 1:14. *Pasaka- Hesabu 28:16-25;Mathayo 26:17-20. *Pentekote (Malimbuko Au Wiki )- Kumbukumbu La Torati 16:9-1.*Tarumbeta- Hesabu 29:1-6. *Siku ya Utakaso - Mambo ya Walawi 23:26-32; Waebrania9:1-28. *Mahema/Vibanda- Hesabu 29:12-40; Mambo ya Walawi 23:33-444; Nehemia 8:13-18; Yohana 7:2. *Kuwekwa Wakfu- Yohana 10:22-39. *Purimu- Esta 9:18-32.

Sherehe za Kipagani:*Haruni Anatengeneza Sanamu ya Ndama Wa Dhahabu - Kutoka 32. *Yeroboamuanaanzisha sherehe ya kipagani - 1 Wafalme 12:31-33. *Solomon Apotoshwa Na Wake zake- 1 Wafalme 11:1-13.

Sherehe za Kikristo:*Krismasi- Mathayo 1-2; Luka 2. *Pasaka/Siku Ya Kufufuka - Mathayo 28; Markoo 16;Luka 24; Yohana 20-21; Matendo 1:1-11.

Kuongezea, Sherehe Zifuatazo Zinaweza Kusherehekewa kwa Njia Ya Kikristo:*Ndoa. *Siku ya Kuzaliwa. *Mazishi.

Sehemu ya 2b: Rudia (Sura ya 3,pila kila kitu unachosikia kutokakwa mhubiri yeyote au mshirika

kwenye mizani ya Neno la Mungu,Yesu, na Roho Mtakatifu.

Mtu akihubiri-Sharti tupime kila kila kitutunachokisikia kwa Neno la Mungu.Wahubirisharti wafanywe wawajibike kwa lolotewanalolifundisha. Ikiwa mtu anahubirikinyume cha Neno la Mungu, basi shartitusiwe chini ya uongozi wao.

Sifa za Viongozi wa Uwongo: Wakuu wakehuhukumu ili wapate rushwa, na makuhaniwake hufundisha ili wapate ijara, na manabiiwake hubashiri ili wapate fedha; ila hatahivyo watamtegemea BWANA, na kusema,Je! Hayupo Bwana katikati yetu? -Mika3:11-12. *Yesu Anafundisha Juu Ya Manabiiwa Uwongo - Mathayo 7:15-23; 12:38-42;Luka 17:20-37. *Ezekieli Anawakemea

Vichwa Vya Masomo:

1. Waamini sharti wapime unabii wote, maono, na mafundisho yawengine na yao wenyewe kwa Neno La Mungu, Yesu, RohoMtakatifu.

Hadithi*Paulo Na Sila Watembelea Berea- Matendo 17:10-14. *Yesu Anajizungumzia KatikaSheria na Manabii - Luka 24:44-53. *Kipimo cha Nabii wa Kweli /Mwotaji- KumbukumbuLa Torati 13. *Waamini Wanayapima Maneno Ya Manabii Huko Efeso - Ufunuo 2:1-7.*Mitume Walimtii Mungu Kuliko Wanadamu - Matendo 5:28-29. *Mambo YanayotoaUshahidi wa Yesu ni Nani - Yohana 5:18-47. *Nabii Nathani anayapima maneno yakemwenyewe kwa kutumia Maneno ya Mungu. Ilimbidi arudi kwa Daudi na kumwambia yalealiyosema Mungu - 1 Mambo Ya Nyakati 17:1-15. *Paulo alikuwa na bidii kufuata itikadi zamababu zake, lakini sasa anamtumikia Mungu - Wagalatia 1:14-24. *Roho alimtokea Elifazikatika ndoto na kutoa habari za uwongo juu ya Ayubu- Ayubu 4:12-21.

Maandiko*Hakuna Unabii wa Maandiko Ambao Unatokana na Ufasiri wa Mtu binafsi - 2 Petro 1:19-21.* Jilindeni Nafsi Zenu, Msije Mkachukuliwa na Kosa La Hao Wahalifu Mkaanguka naKuuacha Uthibitifu wenu. Lakini, Kueni Katika Neema, na Katika Kumjua Bwana Wetu naMwokozi Yesu Kristo. - 2 Petro 3:17-18. *Manabiii Walitutumikia kwa Kutabiri juu YaYesu - 1 Petro 1:10-25. *Kutatokea Manabii wa uwongo Miongoni Mwenu - 2 Petro 2; 1Yohana 4:1-3. *Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyomatupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali yaulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo. Maana katika yeye unakaa utimilifu wote waMungu, kwa jinsi ya kimwili. - Wakolosai 2:8-9. *Manabii walio kati yenu, na wabashiriwenu, wasiwadanganye ninyi, wala msisikilize ndoto zenu, mnazootesha. Kwa maana kwajina langu hutabiri maneno ya uongo kwenu; mimi sikuwatuma, asema BWANA.- Yeremia

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 94

Manabii ambao Hunena Kwa Roho Zaowenyewe, badala ya Roho wa Mungu -Ezekieli 13. *Yeremia ananena dhidi yaShemaya Mnehelami kwa Kutoa Unabii waUwongo - Yeremia 29:24-32. *YesuAnatufundisha Kwamba Manabii wa UwongoWatakuja Wakivalia Ngozi ya Kondoo,Lakini Ndani ni Mpya mwitu. MtawatambuaKwa Matunda Yao - Mathayo 7:15-23. *YesuAnatufundisha Tusiache Amri za Mungu naKufuata desturi za wanadamu - Mathayo15:1-9; Markoo 7:3-13. *YeremiaAnazungumzia Mahubiri Yasiyo na nguvu zaMungu - Yeremia 6:13-17. *YeremiaAnazungumzia Waotaji wa Uwongo, walewanaoligeuza Neno la Mungu - Yeremia23:25-40; 27:9; 29:8. *ZekariaAnawashutumu Manabii wa Uwongo -Zekaria 10:2.

29:8-9. *Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwazakinyume cha mafundisho mliyojifunza; mkajiepushe nao. Kwa sababu walio hivyohawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na yakujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu. Maana utii wenu umewafikilia watuwote; basi nafurahi kwa ajili yenu, lakini nataka ninyi kuwa wenye hekima katika mambomema, na wajinga katika mambo mabaya. Naye Mungu wa amani a tamseta Shetani chini yamiguu yenu upesi. - Warumi 16:17-20. *Msichukuliwe na mafundisho ya namna nyinginenyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa neema. - Waebrania 13:9.*Makuhani wake wameihalifu sheria yangu, wametia unajisi vitu vyangu vitakatifu;hawakuweka tofauti ya vitu vitakatifu na vitu vya kutumiwa sikuzote; walahawakuwafundisha watu kupambanua vitu vichafu na vitu vilivyo safi, nao wamefumbamacho yao, wasiziangalie sabato zangu, nami nimetiwa unajisi kati yao. Watu wa nchiwametumia udhalimu, wamenyang'anya kwa nguvu; naam, wamewatenda jeuri maskini nawahitaji, nao wamewaonea wageni bila haki.- Ezekieli 22:26-31.

Somo La 3 Kuepuka Njia Za Upotevuni

Sehemu ya 3a: Kuepuka vishawishina Mazoea mabaya.

Watu wakiwa wamekaa baa wakinywa

pombe,wanawake kadhaa kwa mwanammemmoja, mwanamke na mwanamumewakielekea kwenye danguro-Hiiinawakilisha Njia ya Ushawishi mbaya naMazoea mabaya. –Inaweza Kujumuisha ulafi,ulevi wa kupindukia, utumiaji mbaya wadawa, uzinzi (picha za ngono, uasheratu,ushoga, nk), kuzoea vitu vibaya, televisheni,watu, shughuli nyingi, michezo,nk.

Vichwa Vya Masomo:

1. Epuka Njia za vishawishi na Mazoea mabaya.2. Mazoea mabaya yabaweza kujumuisha: uzinzi, ulevi, utumiaji

mbaya wa dawa, kupenda kula/matatizo ya ulaji, kuwazoeawatu kupita kiasi, kununua vitu bila mpaka, mazoea ya kuibavitu vya watu.

3. Watu huifuata njia hii wakati wanapohisi kuna hitaji fulani,wakiwa wameumizwa, au wakiwa na shauku fulani.

Hadithi*Jinsi ya Kuepuka Njia za Uzinzi - Mithali 1-2. *Binti za Lutu washika Mimba - Mwanzo19:30-38. *Roho ya uwongo Yamshawishi Ahabu- 1 Wafalme 22:20-38; 2 Mambo YaNyakati 18:18-34. Ulevi wa Nuhu- Mwanzo 9:18-28.Maandiko*Lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa yake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa.Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaahuzaa mauti.- Yakobo 1:14-15. *Tangu Sasa Msiendelee Kuishi Katika Tamaa zaWanadamu, Bali Katika Mapenzi ya Mungu, Wakati Wenu Uliobaki Wa Kukaa HapaDuniani. Maana Wakati wa Maisha Yetu Uliopita Watosha Kwa Kutenda Mapenzi yaMataifa; Kuenenda Katika Ufisadi, na Tamaa, na Ulevi, na Karamu za Ulafi, na Vileo, naIbada ya Sanamu Isiyo Halali; mambo ambayo wao huona kuwa ni ajabu ya ninyikutokwenda mbio pamoja nao katika ufisadi ule ule usio na kiasi, wakiwatukana. NaoWatatoa Hesabu Kwake Yeye Aliye Tayari - 1 Petro 4:2-5. *Enendeni kwa Kiasi - Warumi13:13-14. * Lakini Zikimbie Tamaa Za Ujanani; Ukafuate Haki, Na Imani, Na Upendo, naAmani, Pamoja Na Wale Wamwitao Bwana Kwa moyo safi.- 2 Timotheo 2:22. *Ole WaoWalio Hodari Kunywa Kileo Chenye Nguvu- Isaya 5:22. *Maaskofu wasilewe Mvinyo - 1Timotheo 3:3, 8; Tito 1:7. *Usinywe Divai Wala Kileo Cho chote, Wewe, Wala WanaoPamoja Nawe, Hapo Mwingiapo Ndani ya Hema ya Kukutania, Ili Kwamba Msife- Mamboya Walawi 10:9. *Mvinyo Hudhihaki, Kileo Huleta Ugomvi; Na Akosaye Kwa Vitu HivyoHana Hekima. - Mithali 20:1. *Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo;wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao! Nakinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakinihawaiangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake - Isaya 5:11-12.*Lakini Hawa Nao Wamekosa Kwa Divai, Wamepotea Kwa Kileo; Kuhani Na NabiiWamekosa Kwa Kileo, Wamemezwa Kwa divai, Wamepotea Kwa Kileo; Hukosa KatikaMaono, Hujikwaa Katika Hukumu.- Isaya 28:7-9. *Kwa Maana Mlevi Na Mlafi HuingiaUmaskini, Na Utepetevu Humvika Mtu Nguo mbovu.- Mithali 23:21.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 95

Sehemu ya 3b: Kuepuka Njia zaChuki na Fujo.

Watu waliokasirika wakipigana nakuumizana-Hii njia inawakilisha njia ya Fujo

na Chuki. Huku wanaume wakiwa hupendakuwanyasa wengine kimwili na kwamaneno,wanawake wanaweza kuwaumizawengine kwa masengenyo yao, kashfa, aumaongezi ya kudunishiana, haswa wakatiwakiwa wanaozungumzwa hawapo.

Vichwa Vya Masomo:1. Epuka njia za fujo chuki na fujo.2. Yesu alisema kuwa na hasira dhidi ya ndugu yako ni sawa na

kuua moyoni.3. Wanaume hupenda kutekeleza fujo ya kimwili; wanawake

hupenda fujo ya maneno.4. Chanzo cha ugomvi ni wivu na kutaka kujifurahisha.5. Fujo ya maneno inajumuisha: masengenyo, chukir; kuwanena

wengine vibaya; lugha yenye matusi; unyanyapaa; kulaani;kuwatendea watu ukatili; na kuwashuhudia wengine uwongo.

6. Fujo na chuki ni utumwa na hurudia rudia, na hutuondoakwenye mwelekeo tunaopaswa kuwa nao katika jamii nakanisa.

7. Yesu Anataka Tuwaonyeshe Watu Upendo na Msamaha.

Hadithi*Fumbo la Mwanakondoo wa kike- 2 Samueli 12. *Fuji katika Nchi - Hosea 4. *SaulAlikuwa Adui wa Daudi Wakati Wote; Lakini Daudi Hakumuua Sauli - 1 Samueli 18:28-29; 1 Samueli 24; 26. *Paulo Anatoka Kwenye Fujo na Kufanya Huduma - 1 Timotheo1:12-14; Matendo 9:1-2. *Fujo inayotokana na vizazi - Mathayo 23:31-39. *Fujo Dhidi yaWaamini- Waebrania 11. *Mambo Anayochukia Mungu - Mithali 6:16-19. *EsauAnamchukia ndugu Yake Kwa Kumwibia Haki Ya Mzawa wa Kwanza; Lakini BaadayeWakapatana - Mwanzo 27, 33. *Ahabu Anamchukia Nabii Kwa Kutoa Unabii Mbaya JuuYake - 1 Wafalme 22:8. *Herodia Anakasirishwa na Yohana- Markoo 6:18-29. *Ni naniatakayekaa Katika Kilima Chako Kitakatifu? Asiyesingizia Kwa Ulimi Wake. WalaHakumtenda Mwenziwe Mabaya- Zaburi 15. *Paulo ana wasiwasi huenda akifika Korintho, atapata watu wana fitina, wivu,ghadhabu, na ugomvi na masingizio, na manong’onezo, majivuno na ghasia - 2 Wakorintho12:20. *Yakobo anasema kwamba ulimi huwashwa moto na jehanamu, hakuna anayewezakuufuga - Yakobo 3:6-18.Maandiko*Chanzo cha mafarakano na michafuko na anasa za kibinafsi, na tamaa. Kwa hiyo uuajiunatendeka. Wivu huleta ugomvi na magombano. Badala yake nyenyekea mbele za Mungu- Yakobo 4:1-10. *Anayemsingizia jirani yake, huyo nitamwangamiza. Macho ya Munguyako juu ya waaminifu katika nchi - Zaburi 101:5; 11:5. *Yeye alindaye kinywa chakehuilinda nafsi yake - Mithali 13:3. *Ulimi wao ni mshale ufishao; husema maneno yahadaa; mtu mmoja husema maneno ya amani na mwenzake kwa kinywa chake, lakinimoyoni mwake humwotea - Yeremia 9:8. *Mtu Mkali Humshawishi Mwenzake;Humwongoza Katika Njia Isiyo Njema.- Mithali 16:29-30. *Jeuri ya Wabaya ItawaondoleaMbali; Kwa sababu Wamekataa Kutenda Hukumu - Mithali 21:7. *Kwa Neno La MidomoYako Nimejiepusha Na Njia Za Wenye Jeuri. - Zaburi 17:4-5. *Damu na uovu - Mika 3:10.*Wamenichukuza Mabaya Badala Ya Mema Na Chuki badala ya upendo wangu - Zaburi109:5. *Anayemchukia Ndugu Yake Hawezi Kumpenda Mungu - 1 Yohana 2:9; 4:20.*Siku za Mwisho, Ndugu Atamsaliti Ndugu Auawe; Watoto Watainuka Kinyume chaWazazi wao - Marko 13:12. *Maangamizi Yanawasubiri Wale Walio adui wa Msalaba -Wafilipi 3:18-19. *Adui Yako Akiwa na Njaa, Mpe Chakula, Akiwa na Kiu, Mpe MajiAnywe - Mithali 25:21-22. *Wapendeni Adui Zenu, Watendeeni Mema, Wabarikini -Mathayo 5:43-48. *Msiichague Njia Ya Fujo - Mithali 3:31. Mtu wa hasira huchocheaugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano - Mithali 15:17-18. *ManenoYetu Yakolee Munyu -Wakolosai 4:6

Sehemu ya 3c: Kuepuka Njia yaUzembe na Kutojali.

.

Vichwa Vya Masomo:1. Epuka Njia ya Uzembe na Kutojali.2. Uzembe na Kutojali ni dhambi za kutotenda (kinyume cha

dhambi za kutenda).3. Uzembe huleta ufukara.

Hadithi*Mafunzo Kutoka Kwa Chungu - Mithali 6:6-11. *Muokaji Mikate Anamsahau Yusufu -Mwanzo 40:23. *Paulo Anafundisha Wathesalonike Juu Ya Uvivu - 2 Wathesalonike 3:10-16. *Fumbo la Talanta Kumi - Mathayo 25:14-30. Fumbo La Wanawali Kumi - Mathayo25:1-13. *Kutoijali Nyumba Ya Mungu - Hagai 1:2-15. *Kuipuuza Injili - Mathayo 22:4-14.*Kupuuza Njia za Mungu - Mathayo 23:23-28. *Kutowajali Maskini - Mathayo 25:44-46.*Kutojali Kutoa Ushuhuda wakati unapoona, kusikia au kupitia jambo fulani - Mambo yaWalawi 5:1. *Hesabu gharama zako kabla haujajenga jengo; Fikiria juu ya vita; fikiria juu yakumfuata Yesu - Luka 14:28-35. *Paulo Anawahimiza Warumi Juu Ya Bidii KatikaHuduma Ya Kikristo - Warumi 12:4-21. *Fumbo La Msamaria Mwema - Luka 10:25-42.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 96

Mtu akilala kwa saa nyingi-Hii inawakilishanjia ya uzembe/uvivu na kutojali. Watuwanaweza kuwatenda dhambi watu wa familiazao na wengine, si tu kwa kutenda bali piakwa kutotenda. Uzeme huleta umaskini.

Maandiko*Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa. - Mithali 19:15-16. *Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidiihutajirisha. Akusanyaye wakati wa hari ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakatiwa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha. - Mithali 10:4-5. *Njia ya mtu mvivu ni kamaboma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu. - Mithali 15:19. *Yeyenaye aliye mvivu katika kazi yake, Ni ndugu yake aliye mharabu. - Mithali 18:9. *Matakwayake mtu mvivu humfisha, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi. Kunaatamaniye kwa choyo mchana kutwa; Bali mwenye haki hutoa wala hanyimi. - Mithali21:25-26. *Mungu Will Not Forget The Work We Have Done For Him- Waebrania 6:10-20. *Do Not Withhold Good From Those To Whom It Is Due, When It Is In Your Power ToDo It. Do Not Say To Your Neighbor, "Go, And Come Back, And Tomorrow I Will GiveIt," When You Have It With You- Mithali 3:27-28.

Sehemu ya 3d: Kuepuka Njia YaUpotovu wa Maadili.

Watu wakidanganyana, mtu fulani akiiba-Hii inawakilisha Njia ya Upotovu wa Maadili.Kuna aina zote za ufisadi. Msingi wa ufisadini kupenda pesa, moyo wa mlafi, na ubinafsi.Msingi wa ufisadi ni kupenda fedha, ulafi ofmoyo na choyo.

Vichwa Vya Masomo:1. Epuka njia ya upotovu wa maadili.2. Ufisadi mkuu katika Biblia ni kugeuza na kutafusiri vibaya Neno la

Mungu au Sheria ya Mungu (angalia Israeli ya zamani, Manabii,Mafundisho Ya Yesu dhidi ya Mafarisayo, na maonyo juu yawapinga Kristo).

3. Kupenda fedha ndicho chanzo cha uovu.4. Udanganyifu, uwongo, kutokuwa waaminbifu, na kutokuwa

waaminifu katika mahusiano ni aina ya upotovu wa maadili.5. Hukumu za uwongo, ushahidi wa uwongo, na rushwa kama aina za

upotovu wa maadili katika mfumo wa kutekeleza haki.6. Mizani za uwongo, vipimo vya uwongo, na uwakilishi wa uwongo ni

mifano ya upotovu wa maadili katika fani ya biashara.7. Kuiba, kutapeli, na kudanganya watu na kuwapora pesa zao na

mifano ya upotovu wa maadili katika hali ya kibinafsi.8. Kama waamini tunahitaji, tunapaswa kuishi kwa uaminifu ndani

na nje.

Hadithi*Mafarisayo wanaitia najisi Sheria - Mathayo 15:10-20. *Sauli Anakosa KuyafuataMaagizo ya Mungu kwake - 1 Samueli 15. *Joka lina mashaka na amri za Mungu nalinamdanganya Hawa - Mwanzo 3. *Yakobo anamdanganya ndugu yake - Mwanzo 27.*Maelezo ya njia ya ufisadi - Mithali 1:10-19. *Samsoni na Delila- Waamuzi 16. *Mizani naVipimo vya Haki - Ezekieli 45:9-12. *Daudi Na Bathsheba- 2 Samueli 11-12. *UfisadiKatika Kutoa Hukumu – kitabu cha Habakuki. *Ufisadi wa ndani wa Waandishi naMafarisayo - Mathayo 23:23-25; Luka 11:44. *Askari wanahongwa - Mathayo 28:12-13.*Anania na Safira Wanawadanganya watu na Mungu /ushuhuda bandia - Matendo 5.*Mafarisayo Wanajaribu Kumtega Yesu - Mathayo 22:15-46. *Wabadilishaji Pesa KatikaHekalu - Yohana 2:14-16. *Yuda Anamsaliti Yesu - Mathayo 25-27.Maandiko*Msilitie najisi neno la Mungu - 2 Wakorintho 4:1-2. *Waepukeni wale wanaofundishauwongo - Warumi 16:17-20. *Elakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea, na kuzidikuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika. Bali wewe ukae katika mambo yaleuliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao -2 Timotheo 3:13-14. *mvue kwa habari ya mwenendo wa kwanza utu wa zamani,unaoharibika kwa kuzifuata tamaa zenye kudanganya; na mfanywe wapya katika roho yania zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wakweli. Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo,kila mmoja kiungo cha wenzake - Waefeso 4:22-28.*Ole wao wasemao kwamba uovu niwema, na kwamba wema ni uovu; watiao giza badala ya nuru, na nuru badala ya giza;watiao uchungu badala ya utamu, na utamu badala ya uchungu!Ole wao walio wenye hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikirazao wenyewe! Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, watu waume wenyenguvu kuchanganya vileo; wampao haki mwenye uovu, ili wapewe ijara, na kumwondoleamwenye haki haki yake! - Isaya 5:20, 23.*Moyoni Ndiko Kunakotoka Ufisadi - Mathayo15:19-20.*Chakula cha uongo ni kitamu kwa mtu; Lakini halafu kinywa chake kitajaachangarawe. - Mithali 20:17. *Kupenda fedha Ndicho chanzo cha Maovu Yote - 1Timotheo 6:9-11. *Kuanzia kwa mdogo hadi mkubwa, kila mtu ana tamaa ya kufaidika.Hata makuhani ni wadanganyifu - Yeremia 6:13-17.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 97

Sura ya 11 Kielelezo: Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 98

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 99

Sura ya 11 Neema Ya Mungu, Uwakili Wetu

Ufafanuzi wa Jumla

Mfano wa 11 ni picha ya majaliwa ya Mungu kwetu, na jukumu letu la kuwa mawakiliwazuri wa yale aliyotupa Mungu. Ukiangalia juu ya ukurasa utaona Kiti cha Enzi chaMungu kikiwa na utatu Mtakatifu-Yaani Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu RohoMtakatifu. Mishale inayotoka Mbinguni ni ishara ya yale mambo mbalimbali ambayoMungu hutukirimia. Mishale ile inayoelekea kwa Mungu ni inaonyesha kwambatunastahili kumtumikia Mungu kwa vipawa vile alivyotupa kwa kuwa mawakiliwaaminifu.

Kuna sehemu nne ambazo Mungu hutupatia mahitaji yetu, mbili ni za kimwili na mbili niza kiroho. Ya kwanza ya mahitaji ya kimwili hali asili. Mungu hutupatia jua, mvua, narasilimali za chakula, mavazi, na huwasitiri watu wote. Sehemu hii ya utoaji wa Munguinaonyeshwa kwa milima na miti katika sehemu ya nyuma ya picha. Shehemu ya pili ya

mambo ya kimwili ni kwa familia zetu. Mungu hutupatia kazi, ufundistadi, talanta, au ardhi ya kuzalisha vyakula ilikwamba tuweze kukimu mahitaji ya familia yetu. Picha ya nyumba upande wa kushoto inawakilisha vitu ambavyoMungu hupatia jamii zetu. Ndani ya nyumba kuna picha kadha ndogo zinazoonyesha jinsi tunavyopaswa kuwamawakili wa vipaji vya Mungu.

Sehemu mbili za upaji wa kiroho zimeonyeshwa kwa picha za makanisa. Upande wa kulia wa picha kuna kanisakubwa. Kanisa hii linawakilisha vipawa vya kiroho ambavyo Mungu humpa kila mtu ili avitumie kumtumikia yeye.Picha ndogo ndogo ndani ya kanisa zinawakilisha aina kadhaa za vipawa vya kiroho ambavyo Mungu huwapatiawaumini. Ukiangalia kwa makini, utaona makanisa mandogo juu milimani. Makanisa haya yanawakilisha aina yapili ya vipawa vya kiroho kwetu, yaani Injili. Uwakili Injili, au Huduma ya Upatanisho, vilipewa waumini wotekabla Yesu hajapaa kwenda Mbinguni. Uwakili huu huitwa Mwito Mkuu. Tambua kwamba kuna sehemu nyingihapa duniani ambazo hazina majengo ya kanisa…kanisa lililotajwa hapa ni yale makao ya kiroho ambayo waaminihutengeneza kutokana na uhusiano wao na Mungu na uhusiano wao, wao kwa wao (kanisa la kweli, wale walioitwa,mwili wa Kristo -angalia Waefeso 2:22) katika maeneo wanayoishi.

Katika upaji wote Mungu, kuna uhitaji wa sisi kudumu kwenye njia za Mungu kwa kutumia upaji wake na rasilimalikwa njia inayomtukuza yeye (imechorwa kama njia nyembamba ikielekea juu kwa Mungu). Chini ya ukurasa kunawale ambao wametembea kuelekea upotevuni, kama ilivyo orodheshwa katika Sura ya 10, kwa sababu wametumiavipawa vya Mungu kwa kufurahisha tamaa zao.

Njia moja kubwa ambayo Shetani hutumia kutufanya tusiwe mawakili wazuri ni ile ya kutuvunja mioyo kwa dhikiza maisha na utendaji kazi wa Ufalme wa Giza ulimwenguni (imeonyeshwa kama pepo wakirusha mishale). MtumePaulo alikata tamaa hata ya maisha (2Wakorintho1), lakini alijifundisha vitu kadhaa ambavyo vilimfanya aendeleekuwa mwaminifu kwa Mungu. Vitu hivi vimechorwa kwenye mstatili juu ya ukurasa. Paulo alijifundishakumwamini Mungu, hata kwa maisha yake (mkono); alijifundisha kuwahusisha wakristo wakomavu kumwombea(watu wakiomba); vilevile alijifundisha kutumia uzoefu wake kuwafariji wengine walio katika hali kama yake (mtummoja akimhudumia mwingine); pia alijifundisha kwamba Mungu alimtia nguvu kupitia dhiki na kasoro zake(mwiba na kidole). Kwa hiyo kama mawakili tunastahili kuwa waaminifu.

Malengo Ya Sura ya 11 Kutusaidia kuelewa maana ya kuwa mawakili wazuri wa karama za Mungu na upaji wake. Kufundisha jinsi Mungu anavyotupatia mahitaji yetu kupitia kwa mali asili, na jinsi tunavyopaswa kutunza

mali asili. Kufundisha jinsi Mungu anavyokutana na mahitaji ya familia zetu na jinsi ya kuzitawala nyumba zetu. Kufundisha jinsi anavyokutana na mahitaji ya kanisa, na jinsi tunaweza kutumia karama zetu kuhudumiana

na kumtumikia Bwana. Kufundisha wajibu wetu wa kuipeleka Injili ulimwenguni kote. Kutusaidia kutumia rasilimali zetu vizuri kwa kuepuka vizuizi fulani. Kutuhimiza kuendelea kumtumikia Mungu wakati wa shida kwa kutumia karama zetu katika huduma.

Sura ZinazohusianaSura ya 7: Ni lazima tuwe waangalifu kudumu kwenye njia nyoofu, na tusifuate njia za upotevuni.Sura ya 8: Waumini hutumia vipawa vya kiroho kujengana katika mwili wa Kristo hadi wote wafikie ukomavu katika Yesu.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 100

Tukiishi kwa kupatana na watu wengine na Mungu tutakuwa tunadumu katika mwito wetu kwa Mungu.Sura ya 9: Shetani hurusha mishale kwa waumini na kwa wasioamini vilevile. Tunapaswa kukua kiroho ili tuweze kupigana vitavya kiroho. Kukua kiroho kutatusaidia kudumu katika njia ya Mungu.Sura ya 12: Tunapaswa kumtumikia Mungu kwa unyenyekevu kwa vipawa alivyotupatia na kuhubiri Injili kila mahali hadiYesu arudi.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Neema ya Mungu, Shukrani Yetu

Sehemi ya 1: Mungu hutupa neema, nahumrudishia shukrani.

Mistari inayotoka Mbinguni kuelekeaduniani na inayotoka duniani hadiMbinguni-Maana ya neno neema kwaKiyunani ni mara mbili . Neemainamaanishakipawa kilichotolewa na shukranizinazopewa Mungu. Mungu hutupatia vipawa natunamrudishia yeye shukrani zetu. Kuna sehemunne kuu ambazo Mungu ametupatia kitu. Sehemuhizi zote zinahitaji uwakili wetu.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu hutupa neema, nasi humrudishia shukrani.2. Neno la Kiyunani la “neema” hutafsiriwa kwa maneno

mawili ya Kiswahili, karama/zawadi na shukrani. [angaliamuhtasari pembeni]

3. Uwakili ni ile shukrani ya utumishi anayopewa Mungukwa zile karama anazotupa.

4. Mungu hukimu mahitaji yetu kupitia kwa mali asili,lazima tutunze mali asili.

5. Mungu hukimu mahitaji yetu nyumbani, lazima tusiwewavivu, wabadhirifu, waabudu sanamu, au upuuzaji.

6. Mungu hutupa karama ili kanisa lake liweze kujengwakiroho, tunapaswa kutumia na kuendeleza karama zetu zakiroho.

7. Mungu ametupatia ujumbe wa Injili, tunapaswa kuipelekakila mahali duniani.

Hadithi*Mungu alijali ile nchi ambayo Waisraeli walikuwa wataenda kuingia (Nchi yaAhadi).Macho yake yalikuwa juu ya nchi hiyo - Kumbukumbu La Torati 11:11-12.*Ezra anazungumzia neema ya Mungu katika kujiwekea watu waaminifu - Ezra 9:8.*Mungu hutoa karama ya neema kupitia kwa sadaka ya Yesu kwa ajili ya dhambi zetu- Warumi 5:15-21. *Kwa maana mambo yote ni kwa ajili yenu, ili neema hiyoikiongezwa sana, kwa hao walio wengi shukrani izidishwe, na Mungu atukuzwe. - 2Wakorintho 4:15. *Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi, ili ninyi,mkiwa na riziki za kila namna siku zote, mpate kuzidi sana katika kila tendo jema; - 2Wakorintho 9:8. *Kwa kuwa Bwana, Mungu, ni jua na ngao, Bwana atatoa neema nautukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu. - Zaburi 84:11 .*Watu wale walinusirika kutokana na upanga walipokea neema jangwani – Waisraeliwalipokwenda kutafuta pumziko - Yeremia 31: 2. *Nami nitawamwagia… roho yaneema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimchoma; - Zekaria 12:10.*Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu, amejaa hekima, na neema ya Munguilikuwa juu yake. - Luka 2:40. *Basi kwa kuwa tuna karama zilizo mbalimbali, kwakadiri ya neema mliyopewa, tunapaswa kuzitumia; - Warumi 12:6.

Somo La 2 Upaji wa Mungu Kupitia Mali Asili na Uwakili Wetu

Sehemu ya 2: Mungu anakutana namahitaji yetu kupitia mali asili.

Milima, miti na mawingu-Njia moja ambayoMungu hutupatia mahitaji yetu ni kwa kupitiauumbaji wake. Yeye hutupatia mvua na mimea yachakula pamoja na maji. Vilevile hutupatia miti yakujengea nyumba. Kwa hiyo sharti tutunze vituvyote alivyoviumba Mungu. Kwa mfano, hatupaswikuchafua maji tunayokunywa au hata kuwatendeavibaya wanyama. Tunapaswa kuuheshimu uumbajiwa Mungu.

*Tunapaswa kuiheshimu miili yetu. Dawa za

Vichwa Vya Masomo:1. Tunapaswa kuwa mawakili wazuri wa uumbaji wa Mungu.2. Tunapaswa kutunza mali asili.3. Tunapaswa kuitunza miili yetu, kula vizuri, kupumzika, na

kujitenga na vitu ambavyo vinaweza kuidhuru miili yetu.4. Tunapaswa kujua jinsi ya kuishi maisha matakatifu kama

apendavyo Mungu, tusijiingize katika uzinzi.

Tunza Uumbaji wa MunguHadithi*Maagizo ya Mungu kwa Adamu na Hawa- Mwanzo 1:26-30; 2:15. *MunguAliwafanya watu kutawala Uumbaji wake - Mwanzo 1:26. Zaburi 8:5-8; 115:16.*Yesu Anafundisha juu ya upaji wa Mungu-Luka 12:22-34; Mathayo 6:25-34.*Barnaba na Paulo wanadhaniwa kuwa miungi. Wanawahimiza watu KumwonaMungu awapaye mvua, matunda na furaha kwa ajili ya vitu hivyo. Matendo 14:16-17.*Yeremia anaeleza kwa nini Mungu Ameamua Kutowabariki Waisraeli –kwa sababuhawakumtii Bwana aliyewapa mavuno na Mvua - Yeremia 5:19-31 (kifungu 24).*Mungu alikimu mahitaji ya Eliya - 1 Wafalme 17.Maandiko

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 101

kulevya, pombe, na mazoea mabaya ya kulayanaweza kuharibu miili yetu. Kwa kuongezea,tunapaswa kujua jinsi ya kuishi kwa heshima namaisha masafi, si kwa kujiingiza katika uzinzi.

*Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je!Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee Bwana, Mungu wetu? Kwa sababuhiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote. - Yeremia 14:22.*Mungu Anakimu Mahitaji ya Mimea na Miti ili izae matunda -Mambo ya Walawi26:4-5. *Mungu Huwapa Ng’ombe Nyasi -Kumbukumbu La Torati 11:14-15.*Mungu huwapa chakula wale wanaomcha -Zaburi 136:25. *Mungu Anakimumahitaji ya Mimea, Wanyama, Watu- Zaburi 65:9-13; Zaburi19; Zaburi 104. *Munguhutoa Chakula - Zaburi 147.

Kutunza Miili YetuHadithi*Paulo Anafundisha Kwamba Miili Yetu Ni Ya Bwana - 1 Wakorintho 3:18-20; 6:11-20. *Watu Wameumbwa kwa Mfano Wa Mungu - Mwanzo 1:26-31. *Mungu alitoamana jangwani - Nehemia 9:15.Maandiko*Nitakushukuru, Kwa maana Nimeumbwa Kwa Njia ya Ajabu - Zaburi 139:14-16.Usishirikiane na mlafi au mlevu. Wote watumbukia kwenye umaskini. - Mithali 23:20-21.

Somo La 3 Upaji wa Mungu Kwa Familia Zetu na Uwakili Wetu

Sehemu ya 3: Mungu Hukimu mahitajiya familia zetu.

Nyumba na vitu vingi ndani yake-Munguhukutana na mahitaji ya familia zetu. Jinsitunavyotumia upaji wake ndivyotunavyoonyesha shukrani zetu.Sehemu ya 3a: Tunapaswa kuichunganyumba ambayo Mungu ametupatia.

Sehemu ya 3b: Tupaswa kufanya kaziili kuzipatia chakula familia zetu na

kumshukuru Mungu kwa ajili yachakula chetu cha kila siku.

Sehemu ya 3c: Tunapaswa kuzipatiafamilia zetu nguo.

*Epuka kuvaa nguo kwa kutegemea hadhi yako.

Sehemu ya 3d: Tunapaswa kuwekaakiba ya pesa kwa ajili ya elimu ya

watoto wetu.

Vichwa Vya Masomo:1. Tunapaswa kuwa mawakili wazuri wa upaji wa Mungu

kwetu na kwa familia zetu.2. Tunapaswa kutumia rasilimali anazotupa Mungu kwa

makazi, chakula, nguo, na vile vile kwa matibabu na elimuya familia zetu.

3. Mungu pia hutupatia vitu ili tuweze kutoa kanisani nakuwasaidia maskini.

4. Mungu hutupa kwa lengo la kututunza, na ili tuwezekushiriki na wengine baraka zake.

5. Yesu anachukulia kuwasaidia maskini kuwa ni kumtunzayeye.

6. Wakristo wengi hutumia asilimia 10% ya mapato yaokumpatia Mungu sawa na kigezo cha Agano La Kale.

Mahitaji ya FamiliaHadithi*Umaskini na Shamba la Mvivu - Mithali 24:30-34. *Yesu Anafundisha Juu ya Upajiwa Mungu kwa Familia - Mathayo 6:25-34. *Utajiri wa Ibrahimu - Mwanzo 13; 24:35.*Ibrahimu ananunua shamba na pango la kuwazikia watu - Mwanzo 23. *WaisraeliWanunua Chakula na Maji Kutoka Seiri- Kumbukumbu La Torati 2:1-8. *Akanianakutana na mahitaji ya familia kwa njia mbaya, kupitia sanamu - Yoshua 7.Maandiko*Lakini mtu Ye yote Asiyewatunza Walio Wake, Yaani, Wale Wa Nyumbani MwakeHasa, Ameikana Imani, Tena Ni Mbaya Kuliko Mtu Asiyeamini. - 1 Timotheo 5:8. *Tena mjitahidi kutulia, na kutenda shughuli zenu, na kufanya kazi kwa mikono yenuwenyewe, kama tulivyowaagiza; ili mwenende kwa adabu mbele yao walio nje, walamsiwe na haja ya kitu cho chote. - Mhubiri 10:18. *Mkono wa mwenye bidiiutatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi - Mithali 12:24. *Mtu mvivu hataki kulimawakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu. - Mithali 20:4. *Pesani ulinzi – Mhubiri 7:12. *Usitumie pesa kwa kile kisichoweza kukutosheleza - Isaya55:1-3. *wazazi hukimu mahitaji ya watoto wao - 2 Wakorintho 12:14.

Kutoa KanisaniHadithi* Watu Wanaishi Vizuri, Kanisa Limebomoka - Hagai 1. *Yehoashi Analijenga UpyaHekalu - 2 Wafalme 12; 2 Mambo Ya Nyakati 24. *Mfalme Yosia AnalirudishaHekalu mahali pake - 2 Wafalme 22; 2 Mambo Ya Nyakati 34. *Mpeni Kaisari VilivyoVya Kaisari, Na Mpeni Mungu Vilivyo vya Mungu - Mathayo 22:17-22. *EzraAnakusanya Pesa Kulijenga Upya Hekalu - Ezra 3; 7-8. *Wanafunzi WalitoaKulingana na Uwezo Wao - Matendo 11:29. *Waamini wote walikuwa na nia moja nawalikuwa na vitu vyote shirika - Matendo 4:32-35. *Waamini Makedonia na AkaiaWalichanga Kuwasaidia Waamini Maskini - Warumi 15:25-27; 2 Wakorintho 8:1-15;2 Wakorintho 9:1-13.Maandiko*Kila mmoja sharti atoe kulingana na alivyoamua moyoni mwake, si kwa

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 102

Sehemu ya 3e: Tunapaswa kuwekaakiba ya pesa kwa ajili ya mahitaji ya

dharura.

Sehemu ya 3f: Tunapaswa kutoasehemu ya mapato yetu ya kifedha

kanisani (kawaida ni 10%).

Sehemu ya 3g: Tunapaswa kuwasaidiamaskini.

kushinikizwa, Mungu hupenda yule atoe kwa moyo mkunjufu - 2 Wakorintho2 Wakorintho 9:6-11.

Kutoa Kwa Kwenye MahitajiHadithi*Waisraeli walipaswa kukimu mahitaji ya wale waliokuwa maskini miongoni mwao -Kumbukumbu La Torati 15:7-11. *Boazi- Ruthu 2-3. *Yesu Anafundisha Juu yaKuwatunza Wale Walio na Njaa, au Kiu, au Wageni, Au Wasiokuwa na nguo, Auwagonjwa au waliofungwa, sawa na vile tungalivyomtendea yeye - Mathayo 25:31-46.*Sheria juu ya Majirani - Kumbukumbu La Torati 23:19-25. *Kufungakunakompendeza Mungu ni kuwaweka huru waliofungwa na uovu, waweka huru wotewalioonewa, kugawa mkate na wale walio na njaa - Isaya 58:4 -12. *Neema ya Munguilikuwa juu ya kanisa na kila mmoja wao alitoa kwa ajili ya wale waliokuwa namahitaji - Matendo 4:33-37.Maandiko*Kuchanga Kuwasaidia Waamini, Kutenda Ukarimu - Warumi 12:11-13. *Lakini MtuAkiwa Na Riziki Ya Dunia, Kisha Akamwona Ndugu Yake ni Mhitaji, AkamzuiliaHuruma Zake, Je! Upendo wa Mungu Wakaaje Ndani Yake Huyo? Watoto Wadogo,Tusipende Kwa Neno, Wala Kwa Ulimi, Bali Kwa Tendo na Kweli. - 1 Yohana 3:17-18; Yakobo 2:15-16. *Upendano wa ndugu na udumu. Msisahau kuwafadhili wageni;maana kwa njia hii wengine wamewakaribisha malaika pasipo kujua. Wakumbukenihao waliofungwa kana kwamba mmefungwa pamoja nao; na hao wanaodhulumiwa,kwa vile ninyi nanyi mlivyo katika mwili. - Waebrania 13:1-3. *Kwa Hiyo KadiriTupatavyo Nafasi Na Tuwatendee Watu Wote Mema; Na Hasa Jamaa Ya Waaminio-Wagalatia 6:10.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 103

Lesson 4 Upaji wa Mungu Kwa Kanisa na Uwakili Wetu

Sehemu ya 4a: Roho Mtakatifu Hutoakarama kwa watu ili wazitumie

kuujenga mwili wa Kristo kwa kazi yahuduma.

Kanisa na vitu kadhaa ndani-Munguhutoavipawa vya huduma kwa wale ambaowamemkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi wao.Vile tunavyotumia vipawa hivyo kumtumikiaMungu na vile tunavyoviendeleza ndiyo zawadiyetu kwa Mungu.*Vipaji vya kiroho hupewa watu kwa ajiliyakujenga mwili wa Kristo ili ufanye huduma yaMungu.

Sehemu ya 4b: Mungu huwapa watuvipawa vya kutangaza kama vilekufundisha, kuhubiri, utambuzi,

maarifa, na unabii ili kuujenga mwiliwa Kristo kwa ajili ya huduma.

Midomo-Mungu huwapatia watu wengine vipajivya kujenga kama vile kufundisha, kuhubiri,

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu hutupa neema/karama za kiroho kwa ajili ya

kanisa.2. Mungu hutupa karama za kujenga kwa ajili ya kanisa

(kuhubiri, kufundisha, kutia moyo, kuhimiza).3. Mungu hutoa vipawa vya kimisionari, kiinjili kwa kanisa

(utume, uinjilisti, na ndimi {zinazotolewa kwa ajili yawasioamini, tambua kwamba makanisa mbalimbali yanamafundisho tofauti juu ya mada hii. Mafundisho yote juuya ndimi yanahitaji kupimwa na Maandiko yote }).

4. Mungu hutoa karama za utawala kwa kanisa.5. Mungu hutoa karama za utumishi kwa kanisa.6. Mungu hutoa karama za kutoa kwa kanisa.7. Mungu hutoa karama za “uponyaji” kwa kanisa (unaweza

kujumuisha uponyaji wa kimwili, kihisia, kiroho-Tambiapia, makanisa yana ufasiri tofauti tofauti juu ya uponyaji,ufasiri wowote sharti upimwe na Maandiko).

8. Roho hutoa karama kwa kanisa kama apendavyo.

Hadithi and Maandiko*Paulo Anafundisha Juu Ya Matumizi ya Karama - Warumi 12:6-8. *Basi pana tofautiza karama; bali Roho ni yeye yule. Tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeyeyule.Kisha pana tofauti za kutenda kazi, bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zotekatika wote. Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana... LakiniRoho yule yule ndiye anayetenda kazi katika haya, akigawa karama kwa kila mtukibinafsi, kama apendavyo - 1 Wakorintho 12:4-11.

Karama za Kufundisha/Kuhubiri/Kutangaza /UtumeHadithi*Maafisa na Walawi Wanawafundisha Watu kutoka mji mmoja hadi mwingine - 2Mambo Ya Nyakati 17:7-9. *Ezra Anajitoa Kufundisha Mafundisho ya Bwana - Ezra7:10. *Wakristo wa Kwanza Walijitoa Kwa Mafundisho na Kwa Maombi - Matendo5:42. *Watu wa Kuporo na Kirene Walienda Antiokia wakihubiri na wengi wakaokokakwa neema ya Mungu - Matendo 11:20-30. *Unabii unatumiwa Kuwatia moyo watuna kuwafundisha - 1 Wakorintho 14:31. *Kipimi cha Nabii wa Kweli - KumbukumbuLa Torati 13; 18:22. *Debora kama Nabii na Mwamuzi - Waamuzi 4. *Miriam TheProphetess- Kutoka 15:20. *Hulda nabii wa kike - 2 Wafalme 22; 2 Mambo YaNyakati 34. *Nabii wa kike aitwaye Ana - Luka 2:36-52. *Philip's Daughters- Matendo21.Maandiko*Maonyo Juu Ya Manabii wa Uwongo - 2 Petro 2; 1 Yohana 4. *Maana Midomo yaKuhani Sharti Ijae Maarifa - Malaki 2:7. *Lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaaona wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuatania zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio yautafitinao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. Bali wewe,uwe na kiasi katika mambo yote, vumilia mabaya, fanya kazi ya mhubiri wa Injili,timiliza huduma yako. - 2 Timotheo 4:2-5. *Kwa Maana Mafundisho Yetu Hatokanina Makosa wala uchafu Au kwa udanganyifu; …Tunanena, si Kwa kuwapendezawanadamu, Lakini Mungu Anayechunguza Mioyo. Kwa maana Hatukuja na Ufasahawa Maneno, Kama Mjuavyo, Au Kwa Ulafi -- Mungu ni Shahidi—HatukutakaUtukufu Kwa Wanadamu, …tuliwatangazia Injili ya Mungu. …Kama MnavyojuaTuliwahimiza na Kuwatia moyo na Kuwachukulia Kama Baba AnavyowatunzaWatoto Wake - 1 Wathesalonike 2:3-13. *Ndugu Zangu, Msiwe Waalimu Wengi,Mkijua Ya Kuwa Mtapata Hukumu Kubwa zaidi. - Yakobo 3:1. *Kwa Maana,Iwapasapo Kuwa Waalimu, (Maana Wakati Mwingi Umepita), MnahitajiKufundishwa Na Mtu Mafundisho Ya Kwanza Ya Maneno ya Mungu; NanyiMmekuwa Mnahitaji Maziwa Wala Si Chakula Kigumu. Kwa Maana Kila MtuAtumiaye Maziwa Hajui Sana Neno La Haki, Kwa Kuwa Ni Mtoto Mchanga. LakiniChakula Kigumu Ni Cha Watu Wazima, Ambao Akili Zao, Kwa Kutumiwa,

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 104

uinjilisti, uongozi, utume, na unabii-kuwarudishawatu katika njia za Mungu. Karama hizi zote lazimazitumiwe kwa uangalifu katika kulihubiri Neno laMungu kwa kanisa na ulimwenguni ili ujumbeusiweze kuharibiwa.

Sehemu ya 4c: Mungu huwapa watukarama za utume ili kujenga ufalme

wa Mungu duniani.

Viatu- Karama za utume, uinjilisti, umisionari.

In the book of Matendo, the New Testament alsoKatika kitabu cha Matendo kinataja habari zakunena kwa lugha nyingine kuihubiri Injili.

Sehemu ya 4d: Mungu hutoa karama zakutia moyo, kuhimiza, na aina

mbalimbali za uponyaji ili kuujengamwili wa Kristo wa huduma.

Mtu mmoja akimsalimia mwingine kwamkono-Mungu huwapatia watu wengine vipawavya huruma, kutia moyo na kufundisha. Kutia moyoni kuwafariji watu na kuwatia ujasiri,na kuhimiza nikuwahamasisha watu kuishi kwa kuzifuata njia zaMungu. Wengine huwapatia vipawa vya uponyaji.Uponyaji huu unaweza kuwa wa kihisia, kiroho, auwa kimwili. Uwe mwangalifu na watu wanaojifanyawaponyaji, wakiwafanya watu kuwategemea wao,na kuwapora pesa zao, ili kuongeza umaarufu wao,mamlaka, na mali zao. Lengo la uponyaji katikaAgano Jipya lilikuwa ni kuonyesha Yesu ni naniwala sio kumuinua mtu fulani.

Sehemu ya 4e: Mungu huwapa watukarama za kutoa ili kuujenga mwili wa

Kristo kwa huduma.

Pesa kwenye saduku-Mungu huwatunuku watuvipawa vya kutoa fedha au mali. Vilevile huwapawengine vipawa vya uongozi.. Tambua hii sikusema kwamba si kila mtu anapaswa kutoa pesakanisani.

Zimezoezwa Kupambanua Mema na Mabaya. - Waebrania 5:12-14. *Naye AlitoaWengine Kuwa Mitume, na Wengine Kuwa Manabii; Na Wengine Kuwa Wainjilistina Wengine Kuwa Wachungaji na Waalimu Kwa Kusudi La Kuwakamilishawatakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe - Waefeso4:11-12. *Hubiri Kwa Nia Njema - Wafilipi 1:15-18.

Mafunzo Maalum –Kunena Kwa Lugha:Ndimi Zilidhirishwa Katika Maeneo Ambayo Injili Ilikuwa InahubiriwaKwa Mara ya Kwanza:*Pentekote (Wayahudi)- Matendo 2.*Kujumuishwa kwa Mataifa (Mataifa)- Matendo 10:45-46; 11:16-18.*Wanafunzi wa Yohana (Walijua tu Ubatizo Wa Yohana)- Matendo 19:6.*Probable Tongues, But Not Mentioned (Samaritans)- Matendo 8:4-8; 14-17.Wokovu Mahali ambapo Ndimi Hazijatajwa:*Watu 3,000 waokolewa- Matendo 2:41. *Watu 2,000 walioshuhudia UponyajiYerusalemu Wampokea Kristo - Matendo 4:4. *Kuokoka kwa Paulo- Matendo 9.*Toashi wa Ethiopia- Matendo 8:26-40. *Antiokia Ambako Watu Waliitwa WakristoKwa Mara Ya Kwanza - Matendo 11:19-21; 13:1-3. *Lidia na Familia Yake - Matendo16:14-15. *Askari Jela wa Filipi na Familia Yake - Matendo 16:29-34. *Wayahudi,Mataifa Waliomcha Mungu, Wanawake Maarufu Kutoka Thesalonike - Matendo 17:1-4. *Waberoya Wenye Haiba Kubwa - Matendo 17:10-12. *Hotuba ya Athene, KwenyeKilima - Matendo 17:32-34. *Waamini wa Kwanza Huko Korintho, Akiwemo Krispo,Mkuu wa Sinagogi Na Familia Yake - Matendo 18:7-8.

Karama za Kutia Moyo, Kuhimiza, Na UponyajiHadithi*Yonathani Amtia Moyo Daudi - 1 Samueli 23:16. *Maombi Ya Yesu Kwa Petro -Luka 22:32. *Badala ya Kutoa Pesa, Petro Anamwomba Mungu Kumponya Mtu -Matendo 3. *Musa Anamtia Moyo Yoshua- Kumbukumbu La Torati 3:21-28.*Barnaba Anawatia Moyo Waamini Kusimama Imara -Matendo 11:21-24. *Viongoziwa Kanisa Wanawatia Moyo Waamini Huko Kolosai -Wakolosai 4:7-18. *TimotheoAnatumwa Kwenda Kuwatia Moyo Wathesalonike - 1 Wathesalonike 3:2. *YesuAnamtia Moyo Mariamu - Luka 10:40-42. *Paulo Anamtia Moyo Petro - Wagalatia 2.*Stefano Alijaa Neema na Alitenda Miujiza Mingi Miongoni mwa Watu - Matendo6:8. *Paulo Anaamini Kwamba Watu Wanaweza Kuhimizana na Kufundishana -Warumi 15:14. *Paulo na Barnaba Hawabebi Sifa Kwa Matendo Yao Ya Nguvu(Kumponya Mtu), Wala Hawapendi Watu Wamulike Swala Hilo. Badala Yake,Wanaongea Juu ya Kuwepo Kwa Mungu Kupitia Kwa Matendo Yake Mazuri yaUpaji, na Furaha Anayowapa watu - Matendo 14:8-18. *Msamaria Mema - Luka 10.Maandiko*Watie Moto waliolemewa, Na Kuwatia Nguvu Waliowadhaifu - Isaya 35:3-6.*Farijianeni na kujengana kila mtu na mwenzake,- 1 Wathesalonike 5:11. *Ndugu,Twawasihi, Waonyeni Wale Wasiokaa Kwa Utaratibu; Watieni Moyo Walio Dhaifu;Watieni Nguvu Wanyonge; Vumilieni Na Watu Wote. - 1 Wathesalonike 5:14.*Wanawake Wazee Wawatie Moyo Wanawake wa Makamu - Tito 2:3-5. *TianeniMoyo … Ili Asije Yeyote Kati Yenu Akaingia Katika Mtego wa Dhambi - Waebrania3:13.

Karama ya KutoaHadithi*Waamini Yerusalemu Walikuwa na Vitu Vyote Shirika - Matendo 2:44-45; 4:32-35.*Ukarimu wa waamini wa Antiokia - Matendo 11:27-30. *Barnaba ni Mkarimu -Matendo 4:36. *Waamini Wa Mekedonia na Akaia walikuwa wakarimu - Warumi15:25-28; 2 Wakorintho 8:1-5. *Wakorintho Walikuwa Miongoni Mwa Watu waKwanza Kutoa - 1 Wakorintho 16:1-3; 2 Wakorintho 8:9-24. *Hadithi ya MjaneMaskini - Marko 12:38-44. *Wanawake na Wanaume wanatoa Kujenga Hema -Kutoka 35:22-29. *Vichwa vya nyumba na makabila, makamanda, na maafisa watoasana kwa ajili ya kazi ya Bwana - 1 Mambo Ya Nyakati 29:1-9.Maandiko*Kwa Kuwa Ye Yote Atakayewanywesha Ninyi Kikombe Cha Maji, Kwa KuwaNinyi ni Watu Wa Kristo, Amin, Nawaambia, Hatakosa Thawabu Yake. - Marko9:41-42.

Hadithi na Maandiko-Utawala*Musa Anachagua Viongozi- Kutoka 18. *Danieli Na Marafiki Zake watawala -Danieli 2:49; 3:12. *Kutawala Katika Kanisa La Kwanza - 2 Wakorintho 8. *NaMungu Amechagua Watu makanisani, kwanza Mitume, Pili Manabii, Tatu Walimu,Kisha Miujiza, Karama za Uponyaji, Kusaidia watu, Utawala, Aina tofauti za Ndimi -1 Wakorintho 12:28.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 105

Sehemu ya 4f: Mungu huwapa watuwengine karama za utumishi ili

kuujenga mwili wa Kristo kwa huduma.

PMtu akiwa akishikilia nyundo-Munguhuwatunuku watu wengine vipawa vyakufanya kazi au vya kuwasaidia watu. Kuna njianyingi ambazo watu wanaweza kumtumikia Mungukwa karama hii.

Sehemu ya 4g: Mungu huwapa watutalanta maalum ili waweze kufanya

huduma maalum katika ufalme.

MAla ya mziki-Mungu huwapa watu wenginevipawa au talanta ili wamtumikie yeye. Hiiinaweza kujumuisha vipawa kama; ufundi wamikono, mziki, kushona, kupika au kuchora.

UtumishiHadithi*Simoni Mkirene Anamtumikia Yesu- Marko 15:21-22. *Nyumba Ya Stefano IlijitoaKutumika - 1 Wakorintho 16:15-16. *Kanisa La Thiatira Lamtumikia Bwana - Ufunuo2:18-19.Maandiko*Kama Vile Mwana Wa Adamu Asivyokuja Kutumikiwa, Bali Kutumika, Na KutoaNafsi Yake iwe fidia ya wengi- Mathayo 20:28. *Yesu was one who served among us-Luka 22:26-27. *Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakiliwa siri za Mungu. Hapo Tena Inayohitajiwa Katika Mawakili, Ndiyo Mtu AonekaneKuwa mwaminifu.- 1 Wakorintho 4:1-2. *Kama Walio Huru, Ila Wasioutumia UhuruHuo Kwa Kusitiri Ubaya, Bali Kama Watumwa wa Mungu. Waheshimuni watu wote.Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni Heshima Mfalme. - 1 Petro 2:16-17.

Talanta MaalumHadithi*Fumbo La Talanta - Mathayo 25. *Mungu anawapa Watu Karama Ya Ufundistadi -Kutoka 31:1-11. *Hiramu wa Kutoka Tiro- 1 Wafalme 7 (v.13).Maandiko*Kila Mmoja Kwa Kadiri Alivyoipokea Karama, Itumieni Kwa Kuhudumiana; KamaMawakili Wema Wa Neema Mbalimbali za Mungu. Mtu Akisema, na aseme KamaMausia ya Mungu; Mtu Akihudumu, Na Ahudumu Kwa Nguvu Anazojaliwa NaMungu; ili Mungu Atukuzwe Katika Mambo Yote Kwa Yesu Kristo. Utukufu naUweza Una yeye Hata Milele na Milele. Amina- 1 Petro 4:10-11.

Somo La 5 Kazi za Karama Katika Kanisa[Tambua: hakuna picha kwa somo hili. Rejea kanisa na karama hapo juu.]

Vichwa Vya Masomo:1. Karama zimetolewa ili kulijenda kanisa kwa ajili ya huduma, si kutumia karama hizo kuwatawala

wengine.2. Mungu anapenda tuwe waaminifu kwa madogo, tukionyesha kwamba tunaweza kukabidhiwa mambo

makubwa.3. Tunapaswa kuwaruhusu watu kutumia karama zao kwa ajili ya Mungu.4. Mamlaka na uongozi katika kanisa vinahitaji kutekelezwa kwa lengo la kujenga siyo kubomoa.

Lengo la karama ni Kuujengana kwa ajili ya Huduma, na sio kwa ajili ya kujenga uongozi ili kupata mamlaka na nguvu.Hadithi*Malaki Ananena Juu ya Kufanya Huduma Vibaya - Malaki 2:7-17. *Ezekieli Ananena Juu ya Kufanya Huduma Vibaya - Eze. 22:23-31.*Sulemani alipewa Hekima - 1 Wafalme 3.Maandiko*Mungu ametoa karama ili zimjenge kila mwamini akomae na kufanya huduma - Waefeso 4:11-16. *Mungu Anampango Maalum Kwa KilaMmoja Wetu - Zaburi 139:14-16. *Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo. - 1Wakorintho 14:3, 12. *Basi, Farijianeni na Kujengana Kila Mtu Na Mwenzake, Vile Vile Kama Mnavyofanya. - 1 Wathesalonike 5:11.*Ndugu, Twawasihi, Waonyeni Wale Wasiokaa Kwa Utaratibu; Watieni Moyo Walio Dhaifu; Watieni Nguvu Wanyonge; Vumilieni Na WatuWote. - 1 Wathesalonike 5:14. *Wale wadhaifu hamkuwatia nguvu, wale wagonjwa hamkuwaponya, waliovunjika hamkuwafunga,waliotawanyika hamkuwarudisha, wala hamjawatafuta waliopotea; lakini mmewakandamiza kwa lazima. Wachungaji waovu hawawatii nguvuwadhaifu, kuwafunga bandeji waliojeruhiwa, kuwaleta wale waliopotea, au kutafuta waliopotea, badala yake waliwatawala kwa fujo,walijilisha badala ya kuwalisha kondoo, waliwalisha wale walionenepa na kuwanyima chakula wale wadhaifu - Ezekiel 34:1-31.

Kila Mtu Lazima Awe Mwaminifu Kwa Madogo, na kisha apewe majukumu makubwa zaidiHadithi na Maandiko*Fumbo la Talanta - Mathayo 25:15-30. *Maana Mungu si Dhalimu Hata Aisahau Kazi Yenu, Na Pendo Lile Mlilolidhihirisha Kwa JinaLake, Kwa Kuwa Mmewahudumia Watakatifu, na Hata Hivi Sasa Mngali Mkiwahudumia. Nasi Twataka Sana Kila Mmoja WenuAidhihirishe Bidii Ile Ile, Kwa Utimilifu Wa Matumaini Hata Mwisho; Ili Msiwe Wavivu, Bali Mkawe Wafuasi Wa Hao Wazirithio AhadiKwa Imani na uvumilivu. - Waebrania 6:10-12. *Kwa sababu ninamjua Yule Niliyemwamini Na Nina Hakika Kwamba Anaweza KukilindaKile Nilichomwekea Amana Hadi Siku Ile. Endelea na Maneno Yale Ambayo Umeyasikia Kutoka Kwangu, Katika Imani Na Upendo UliokoKatika Kristo Yesu. Linda, Ile Hazina Uliyopewa , Kupitia Kwa Roho Mtakatifu Akaaye Ndani Yetu - 2 Timotheo 1:8-14.

Kila Mtu Sharti Awarusu Wengine Kutumia Karama Zao Za Kiroho.Hadithi na Maandiko*Paulo Anafundisha Juu Ya Matumizi Ya Karama Kanisani - 1 Wakorintho 12:14-31. *Diotrofe- 3 Yohana. *Kupanda na Kuvuna - 1

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 106

Wakorintho 1; 3. *Kila mtu sharti sharti awaruhusu wengine kutumia karama zao za kiroho. La sivyo, mtu huyo ataumia, na uchungu huoutaenea mwili mzima - 1 Wakorintho 12:19-31. *Usiipuze karama ra roho iliyo ndani yako - 1 Timotheo 4:12-16.

Mamlaka Na Uongozi vinahitaji kutekelezwa kwa njia ifaayo.[Uongozi kanisani sharti wakati wote msingi wa kanuni zake, taratibu zake, mtindo wake uwe katika njia za Mungu. Uongozi sharti ufanyemambo ambayo yanawajenga wale walio chini ya uongozi huo; kushughulikia ugomvi katika njia ya haki na ya upendo; na kuujenga mwilibadala ya kuubomoa.]Hadithi na Maandiko*Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu. - Mithali 29:12. *Paulo hakuja na maneno matamu, ulafi,na kutafuta utukufu kwa wadamu. Lakini, aliwajali kama mama anavyowatunza watoto wake au baba anavyowajali watoto wake - 1Wathesalonike 2:5-12. *Mamlaka ya Paulo yalitumiwa kwa ajili ya kujenga si kubomoa. Alikuwa ni yule yule alipokuwa nao, na alipokuwambali nao. Si yule anayejipendekeza ambaye anapewa kibali, lakini yule anayethibitishwa na Bwana - 2 Wakorintho 10:8-18. *Mawakiliwanapaswa kuwa waaminifu - 1 Wakorintho 4:2.

Somo La 6 Uwakili wa Injili

Sehemu ya 6: Mungu ametupa uwakiliwa Injili.

Makanisa milimani-Mungu ametukabidhiuwakili wa Injili. Wakati tunapoendelea na maishayetu, tunapaswa kuwaambia watu wengine ujumbewa Injili. Kumbuka kuwa Injili inajumuisha habariya wokovu na habari njema ya utawala wa Kristokatika maisha ya mtu. Mafundisho haya yoteyanajumuisha mafundisho yote tuliyofunzwana Yesu.

*Mungu anawaita watu binafsi kumtumikia yeye.Paulo aliitwa na Mungu kupeleka Injili kwaMataifa. Alimtumikia Mungu kwa njia hii,alishirikiana na kanisa, lakini vilevile aliwezakujitegemea. Sharti kuwe na tofauti ya hudumaduniani. Huduma nyingine zinaweza kuanzishwakupitia kwa kanisa, nyingine na watu binafsi, nanyingine kupitia kwa mashirika ya umisionari, aumashirika yasiyokuwa ya kibiashara. Munguhawekewi mipaka na mwito wa mtu ama vyombovya huduma.

Je, Mungu anakuitia nini?

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu ametupa uwakili wa Ujumbe, yaani Injili.2. Kuna aina mbili za “Injili” ikatika Agano Jipya. Moja ni

ile Habari Njema Ya Wokovu, na ile nyingine ni ile HabariNjema Ya Ufalme wa Mungu (Ufalme = Ubwana).

3. Tunapaswa kuutekeleza Mwito Mkuu hadi pale Yesuatakaporudi (kuihubiri Injili na kuwafanya watu kuwawanafunzi).

Habari Njema ya WokovuHadithi*Filipo Anaenda Samaria Kuhubiri - Matendo 8:5. *Makanisa Yanatuma Wamisionari- Matendo 13:1-3. *Lidia Anampokea Yesu; Askari wa Magereza Ampokea Yesu -Matendo 16:14-15. *Mahubiri Ya Petro- Matendo 2. *Kupaa Kwa Yesu KwendaMbinguni - Matendo 1:1-11. *Siku hadi Siku Wakristo wa Kanisa la KwanzaWalihubiri Injili - Matendo 5:42.Maandiko*Mwito Mkuu - Mathayo 28:19-20. Nami Nitakushika Mkono, na Kukulinda, naKukutoa Uwe Agano La Watu, Na Nuru Ya Mataifa; Kuyafunua Macho Ya Vipofu,Kuwatoa Gerezani Waliofungwa, Kuwatoa Wale Walioketi Gizani Katika Nyumba yaKufungwa. …- Isaya 42:6-8. *Kwa Maana Jinsi Hii Mungu Aliupenda Ulimwengu,Hata Akamtoa Mwanawe Pekee, Ili Kila Amwaminiye Asipotee Bali Awe na Uzimawa Milele - Yohana 3:16-21.

Habari Njema ya Ufalme wa MunguHadithi*Yesu Anawafundisha Wanafunzi wake - Mathayo 10; Marko 6:1-13; Luka 9. *FilipoAlihubiri Habari Njema ya Ufalme - Matendo 8:12.. *Mafumbo Ya Ufalme - Mathayo13; 20; 25; Marko 4. *Paulo Anawashawishi Watu Juu Ya Ufalme wa Mungu -Matendo 19 (v.8). *Kiwango cha Kuhubiri Ufalme - Matendo 28.Maandiko*Mwito Mkuu …kuwafanya watu kuwa wanafunzi, kuwafundisha yote niliyowaagiza- Mathayo 28:19-20. *… Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katikaushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali. - Matendo 2:41-42. *Kuanziawakati huo Yesu Alianza Kufundisha na Kusema, "Tubuni, Kwa Maana Ufalme waMungu Umekaribia - Mathayo 4:17. *Yesu Alienda Galilaya Yote, Akifundishakatika Masinagogi na Kuhubiri Injili ya Ufalme - Mathayo 4:23. *Basi Mtu Ye YoteAtakayevunja Amri Moja Katika Hizi Zilizo Ndogo, Na Kuwafundisha Watu Hivyo,Ataitwa Mdogo Kabisa Katika Ufalme Wa Mbinguni; Bali Mtu Atakayezitenda NaKuzifundisha, Huyo Ataitwa Mkubwa Katika Ufalme wa Mbinguni. - Mathayo 5:19-20. *Utafuteni Kwanza Ufalme wa Mungu - Mathayo 6:33. *Si Kila Aniitaye ‘Bwana,Bwana’ Ataingia Katika Ufalme wa Mbinguni - Mathayo 7:21-23. *Injili Hii yaUfalme Itahubiriwa Ulimwenguni Kote Kama Ushahidi kwa Mataifa Yote, KishaMwisho Utakuja - Mathayo 24:14.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 107

Somo La 6 Marudio: Kuendelea Kuifuata Njia Nyofu Katika Uwakili

Sehemu ya 6: Kaa katika njia yaMungu

Njia nyembamba inayoenda kwenye Kiticha Enzi-Kumbusho tu ni kuwa kila kitutunachofanya nyumbani, katika jamii na kanisanilazima kilingane na njia za Mungu. Kutembeakwetu ni kama ishara ya watu wanaotembea kwenyenjia nyoofu na nyembamba nyumbani kwetu,makanisani na katika ulimwengu.

Pepo wakirusha mishale-Shetanihujaribu kutuvunja moyo, kutuvurugaakili au kutupotezea mwelekeo wa yaletunayopaswa kuwa tunafanya kumtumikiaMungu.

Watu wakitembelea katika njia yaupotevuni-Watu wengine wameyaachakabisa majukumu yao na kufuata njia zaupotevuni kama tulivyosoma katika sura ya10.

Vichwa Vya Masomo:1. Njia nyembamba inatoka Sura yas 9 na 10. Sharti tufuate

njia za Mungu majumbani mwetu, kanisani, naulimwenguni.

2. Pepo wakifyatua mishale inatoka Sura ya 9. Shetanihujaribu kutupotosha kwa kujaribu kutufanyatusimwangalie Yesu.

3. Njia pana za upotevuni zinatoka Sura ya 10. Njia hizizitatufanya tusiwe mawakili wazuri wa karama alizotupaMungu.

**Angalia Maandiko Kutoka Sura ya 9 na 10 kwa marudio yasehemu hii.

Somo La 7 Kumtumikia Mungu Katika Dhiki

Sehemu ya 7a: Unapopitia wakatimgumu mtegemee Mungu.

Mkono-Huu ni mkono wa Mungu. Wakatitunapopitia wakati mgumu, huwa tunajifunzakumtumaini Mungu. Paulo alikata tamaamaishani lakini akajua kumtumaini Munguambaye hufufua wafu.

Sehemu ya 7b: Unapopitia wakatimgumu endelea kudumu katika Neno laMungu na uwaombe watu wenginewakuombee

Vichwa Vya Masomo:1. Unapopitia dhiki simama imara na uyashinde hayo yote.2. Unapopitia wakati mgumu, kua katika kumtegemea

Mungu.3. Wakati wa shida, waombe marafiki walio karibu na

Wakristo waliokomaa wakuombee.4. Geuza dhiki zako ziwe ni nafasi za kumtumikia Mungu.5. Kumbuka Kwamba Mungu ana nguvu kupitia udhaifu

wetu.6. Dumuni kuwa watumishi wa Mungu ili huduma zenu

zisikose heshima.7. Nawirishwa katika Neno la Mungu kila siku ili upate

nguvu na hekima ili uweze kukabiliana na mambomagumu kwa njia ifaayo.

Hadithi*Paulo anasimulia mateso aliyopata huko Asia na jinsi alivyokabiliana nayo katika njiaya kiungu, Tunapaswa kuyaona mateso yetu kama faida kwa wengine, kwa kuwawatapokea upendo wa Mungu kupitia kwetu kukaa nao - 2 Wakorintho 1:8-14. *Pauloanasimulia jinsi alivyomwomba Mungu kumwondolea mwiba katika mwili wake, najinsi Mungu alivyofanya kazi kupitia kwa udhaifu wake - 2 Wakorintho 12:7-11.*Tunapaswa kuendelea kuwa watumishi wa Kristo hata tunapopitia kila aina ya mateso

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 108

Watu wakiomba-Katika wakati mgumu, tunapaswakuwaomba rafiki zetu na waumini waliokomaakutuombea. Kufanya hivyo kunaleta utukufu kwaMungu wakatianapojibu maombi kwa wakati wakemwenyewe.

Sehemu ya 7c: Unapopitia wakatimgumu, endelea kuwa mtumishi wa

Mungu na utumie uzoefu wakokuwahudumia wengine.

Mtu akimfariji mwenzake-Tunapaswakuwafariji wengine na upendo ule ule kamaMungu anavyotufariji sisi. Kufanya hivyohufungua milango ya huduma mpya.

Sehemu ya 7d: Kumbuka Mungu ananguvu katika udhaifu wetu.

Mtu akiugusa mwiba-Nguvu za Mungu zinawezakudhihirishwa katika udhaifu wetu.. Paulo alikuwana “mwiba katika mwili wake kutoka kwa shetani.”Mwiba huu ulimzuia kujiinua. Paulo aliodhoreshamambo aliyokumbana nayo kama masumbufu,majaribu, dhiki na mafadhaiko. Haya yoteyalimfanya Mungu kuonyesha uwezo wake katikaudhaifu huo.

na dhiki, ikiwemo kutendewa vibaya - 2 Wakorintho 6:3-10. *Mateso hudhihirishaimani yetu kwa wengine - 1 Petro 1:6-7. *Musa anamtia moyo Yoshua kuwapelekawatu katika Nchi ya Ahadi - Kumbukumbu La Torati 3:21-28. *Paulo anawatia moyowaamini kwa kumtuma Timotheo, ili mateso yale anayopi tia Paulo yasiwavunje moyokatika imani yao - 1 Wathesalonike 3:2-13. *Tunapaswa kushiriki mateso ya Yesu -Waebrania 10:34-39. *Neno la Mungu hutuburudisha, hutuongoza, hututia nguvu nakutupa hekima - Zaburi 119. *Tunapopitia jangwani, tunaweza kupata nguvu katikaNeno la Mungu. Kaa katika njia zake hata unapopitia shida - Kumbukumbu La Torati8:2-4. * Watie moyo waliochoka, na watie nguvu waliodhaifu kwa sababu Mungundiye anayelipiza na atageuza udongo uliokauka ububujike kwa maji mengi.Atatengeneza njia kuu ya utakatifu, na watu watakuja kwake na furaha ya milele -Isaya 35:3-10.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 109

Sura ya 12 Kielelezo : Ufalme Ujao

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 110

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 111

Sura ya 12 Ufalme Ujao

Ufafanuzi wa Jumla

Kielelezo cha 12 ni picha ionekanayo ya Mbinguni, Uaminifu na Uthabiti wa Mwamini,na Ziwa la Moto. Picha ya juu ya ukurasa ni mandhari kutoka Mbinguni. Imekusudiwakutumiwa kufundisha hatima ya wale wamkubalio Yesu kama Bwana na Mwokozi.Kama vile kitabu cha Ufunuo kitufunzavyo kuvumilia hadi mwisho, na tuendeleekumtumikia Mungu mpaka arudi, sura hii ya mwisho, ni himizo la kutufanya tubakikuwa waamini thabiti wa Bwana

Katikati ya Mbingu ni Kiti cha Enzi cha Mungu (kutoka Sura ya 1, 2, 3, 7, 8, 10, na 11).Kiko katikati mwa utendaji na matukio huko Mbinguni. Malaika wamekizunguka Kiticha Enzi, na pia waamini kutoka kila kabila, taifa, mbari na wakati. Kutoka katika KitiCha Enzi kuna tiririka mto, unaoashiria Uzima wa milele. Mti wa uzima, kutoka Bustaniya Edeni, uko pande zote za mto ukitoa uponyaji kwenye majani yake. Mungu anafuta

machozi kutoka machoni mwa mtu ambaye ameingia Mbinguni sasa hivi. Kando ya Kiti cha Enzi ni kitabu chauzima, chenye majina ya wale waliomkubali Yesu kama Bwana wao na Mwokozi. Kuta, malango, na mahali pakukaa mtu binafsi pa mji pamezunguka watu. Mji umejengwa na dhahabu na mawe masafi ya thamani, na malangoyaliyotengenezwa na lulu moja moja. Watu wote na malaika wanamwabudu Mungu

Kumbuka kuwa maelezo mengine kuhusu siku ya mwisho yameachwa nje kwa sababu ya nadharia tofauti na fasiriyalizo nazo makanisa na madhehebu mbali mbali. Kama vile mengi ya maandiko kuhusu siku za mwisho katikaBiblia yalivyokuwa ya kuwatia moyo waamini waliopitia mateso makali, hapa yamejumuishwa kama njia yakushawishi na kuhimiza. Yesu ametuahidi kwamba siku moja Atarudi, na kwamba kila jicho litamuona Akijamawinguni.

Kishoroba kidogo cha picha katikati ya ukurasa, ni marejeo ya vitu tulivyojifunza katika mafunzo haya yote ambayotunapaswa kufanya mpaka Yesu arudi. Kila kitu kati ya hivi kinaweza kupatikana chini ya chati

Chini ya ukurasa ni picha ya Ziwa la Moto. Hapa ndio pahali pa mateso ya milele ya Shetani, mapepo, na woteambao wamemkataa Yesu kama Bwana na Mwokozi.

Malengo Ya Sura ya 12 Kuwahimiza waamini kuendelea kumtumikia Mungu katikati ya dhiki na mateso. Kuonyesha kushindwa kwa mwisho na hatima ya Shetani na pepo wake Kuelezea jinsi Biblia inavyosema Mbinguni kutakavyokuwa. Kuwatahadharisha watu juu ya ukweli wa Ziwa la Moto, na kuwahimiza waamini watumtumainie Mungu

kwamba siku moja atakabiliana na adui zao. Kuwahimiza waamini wautekeleze Mwito Mkuu mpaka Yesu arudi.

Sura ZinazohusianaSura ya 1: Hatima ya viumbe wa kiroho.Sura ya 2: Kazi ya kufanya wanafunzi lazima iendelee.Sura ya 3: Mafundisho yote kuhusu siku za mwisho yanatakiwa yapimwe na Maandiko.Sura ya 4: Tunapaswa tuwe tunajitahidi kumtii Mungu kwa sababu tunampenda.Sura ya 5: Wapinga-Krisma wote watatupwa katika Ziwa la Moto.Sura ya 6: Siku moja Yesu atarudi na tutamuona.Sura ya 7: Siku moja tutapatanishwa kabisa sisi kwa sisi na sisi na Mungu, kwani hatutakuwa katika miili yetu ya nyama tena.Sura ya 8: Shetani na mapepo wake, wale waendelezao dini za uongo, watatupwa katika Ziwa la Moto.Sura ya 9: Tutaendelea kukua kiroho mpaka tufikie kiwango cha ukomaavu ndani ya Yesu.Sura ya 10: Ishini kama viumbe vipya katika Kristo, badala ya kuishi katika njia za Ufalme wa Giza..Sura ya 11: Tunatakiwa tuwe imara katika utumishi wetu kwa Mungu katika maeneo yote ya utumishi.

Ufafanuzi wa Picha

Somo La 1 Hatima ya Wale walio katika Ufalme wa Nuru

Sehemu ya 1: Mbinguni ndio Hatima ya walewaliomkubali Yesu kama Bwana na Mwokozi

wao.

Vichwa Vya Masomo:1. Mbinguni ndio Hatima ya wale waliomkubali Yesu

kama Bwana na Mwokozi wao.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 112

Mji una malaika, kiti cha enzi, mto, miti, kuta – picha yaMbingu kama ilivyoelezewa katika Ufunuo 19.

Sehemu ya 1a: Yesu anatuandalia mahali.

Kuta zenye malango na nyumba zilizoshikamana nahizo kuta- Biblia inasema mji umejengwa na dhahabu mawe yathamani. Yesu ametuandalia mahali.

2. Yesu anatuandalia mahali huko Mbinguni.3. Kiti cha Enzi cha kiko katikati, na makutano ya

malaika wamekizunguka.4. Mto unaotoa uzima unatiririka kutoka kwenye Kiti

cha Enzi na Mti wa Uzima uko pande zote mbili zamto.

5. Watu kutoka kila kabila, taifa, lugha jinsia, na wakatiwamevaa mavazi meupe, wanamwabudu Mungu.

6. Majani ya Mti wa Uzima ni kwa ajili ya kuyaponyamataifa.

7. Yesu anafuta kila chozi machoni mwetu, hakuna kifotena, uchungu, na mateso.

Maelezo ya MbinguniMaandiko*Kuabudu kule Mbinguni- Ufunuo 7:9-17. *Ni Nani Asitahiliye KufunguaKitabu Cha Uzima- Ufunuo 5:1-14. *Mto na Mti wa Uzima- Ufunuo 22:1-5; Mwanzo 2:9; 3:24. *Mwishowe Mungu analeta haki- Isaya 60:14-22.*Yesu Anatuandalia Mahali- Yohana 14:2,3. *Mwanamke Kisimani, YesuNi Maji Ya Uzima- Yohana 4:10-15. * Kuna Mto, Vijito VyakeVyaufurahisha Mji wa Mungu, Patakatifu pa Maskani Zake Aliye juu.Mungu yu Katikati Yake Hautatetemeshwa; Mungu Atausaidia Asubuhi naMapema - Zaburi 46:4-5. *Mungu Ni Chemchemi Ya Maji Ya Uzima-Yeremia 2:13; 17:13. *Tunajua Kwamba Nyumba Zetu Za Huku DunianiZikiharibiwa, Tunalo Jengo Kwa Mungu , Jengo Ambalo halijajengwaKwa Mikono, Na Jengo Hilo Liko Mbinguni Na Ni La Milele. InapendezaKutoka katika mwilii huu na kwenda kuishi na Mungu Mbinguni- 2Wakorintho 5:1-8.

Sehemu ya 1b: Kiti cha Enzi katikati ya Mbingu.

Kiti cha Enzi- Kiko katikati ya mji. Tazama Sura ya 1.

Sehemu ya 1c: Malaika wengi sana wamekizunguka Kiticha Enzi na wanamsifu Mungu na Mwanakondoo (Yesu).

Malaika wamekizunguka Kiti cha Enzi- Biblia inasema maelifu yamalaika wamezunguka kiti cha enzi cha Mungu.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 113

Sehemu ya 1d: Mto-utoao uzima unatiritikakutoka kwenye Kiti cha Enzi, na Mti wa Uzima

unakua pande zote za Mto.

Mto na miti- Mto unaotiririka kutoka kwenye Kiti cha Enzicha Mungu unawakilisha Uzima wa milele na Usafi. Miti ni Mtiwa Uzima ulioko pande zote za mto kule Mbinguni. Majani yakeyako kwa ajili ya kuponya mataifa.

Sehemu ya 1e: Watu kutoka kila kabila, taifa, wakati,jinsia, ukoo, nk. Wataishi kwa amani wao kwa wao nawatamtumikia na kumwabudu Mungu pamoja huko

Mbinguni.

Waamini katika umoja- Watu kutoka kila kabila, taifa, wakati, jinsia,ukoo, nk. Wataishi kwa amani wao kwa wao na watamtumikia na

kumwabudu Mungu pamoja huko Mbinguni..

Sehemu ya 1f: Yesu atatufuta kila chozi machoni mwetu. Hakutakuwa na uchungu tena, kilio, au mateso.

Mtu analia mbele za Kiti cha Enzi- Yesu atatuponya na kufuta kila chozi.

Somo La 2 Hatima ya Mwisho kwa wale walio katika Ufalme wa Giza

Sehemu ya 3a: Kila goti litapigwa mbele za Yesu.Na kila mtu atasimama mbele za Mungu katika

Hukumu ya Kiti Kikuu cha Enzi Cheupe.

Kitabu kilicho kando Kiti cha Enzi- Kitabu cha Uzima.Yeyote ambaye jina lake liko katika Kitabu cha Uzima anaingiakatika Uzima wa milele na Mungu. Wale wote ambao majinayao hayakuandikwa ndani yake, watatupwa katika Ziwa la Moto.

*Mjue Yesu kibinafsi kabla hajarudi, kabla hujachelewa.

Vichwa Vya Masomo:1. Siku moja Mungu atawahukumu watu wote

katika Hukumu ya Kiti Kikuu cha Enzi Cheupe.2. Kila goti litapigwa na kila ulimi ukiri kwamba

kwa kweli Yesu ndiye Bwana.3. Watu watahukumiwa kulingana na matendo yao

na uhusiano wao na Yesu.4. Yeyote ambaye jina lake halikuandikwa katika

Kitabu cha Uzima atatupwa pamoja na Shetanina malaika wake katika Ziwa la Moto ambakokutakuwa na kulia na kusaga meno.

5. Majina katika Kitabu cha Uzima yanajumuishatu wale ambao wamemkubali Yesu kama Bwanana Mwokozi. Hawa wataruhusiwa kuingiaMbinguni.

6. Usiache kumjua Yesu kama Bwana na Mwokoziwako.

Maandiko*Yohana tells of the Great White Throne Judgment- Ufunuo 20:11-1. *Theseparation of the sheep and the goats- Mathayo 25:31-46. *It Is AppointedUnto Men That They Die Once, And After This Comes The Judgment-Waebrania 9:27. *When the Bwana Returns, He will Repay WithAffliction those who have Afflicted believers, and deal out retribution tothose who do not know Mungu with Eternal destruction- 2 Wathesalonike1:3-12 (v. 6).

Sehemu ya 3b: Mtu yeyote ambaye jina lakehalitapatikana katika Kitabu cha Uzima,atatupwa katika Ziwa la Moto.

Vichwa Vya Masomo:1. Mtu yeyote ambaye jina lake halitapatikana

katika Kitabu cha Uzima, atatupwa katika Ziwala Moto.

2. Wale waliomkataa Yesu kama Bwana naMwokozi wao, Shetani, pepo, Wapinga-Kristo,

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 114

Shetani, mapepo, na watu wengine ndani ya moto-Ziwa la Moto. Hii ndiyo hatima ya mwisho ya Shetani,wapinga-kristo, na wale wamukataao Yesu kama Bwana naMwokozi wao.

wauaji, walozi, wale wanaofanya uchawi, nawazinzi watatupwa katika Ziwa la Moto mileleyote

3. Roho za watu ni za milele. Wale katika Ziwa laMoto wataishi katika mateso milele.

Maandiko* Yesu Anafundisha Juu Ya Kushindwa Kwa Mwisho Kwa Shetani -Mathayo 25:41. * Yuda Anafundisha Kuhusu Mwisho Wa Pepo - Jude 1:6-7. * Mfano Wa Wanawali Kumi - Matt 25:1-13. * Mfano Wa Tajiri NaLazaro - Luka 16:19-31. * Yesu Na Mwizi - Luka 23:43. * Shetani, Pepo,Wapinga Kristo, Wauaji, Wachawi, Wazinzi, Wote Wanatupwa KatikaZiwa La Moto wa Milele - Ufunuo 20:10; 21:8; Ufunuo 21:8; Mathayo25:41,46; 2 Wathesalonike 1:8-10. *Siku ya Bwana itakuja kama mwiziusiku. Wengine watakuwa wanasema amani, lakini hawatapona. Msilalekama walalavyo wengine, bali kuweni macho, na kuishi katika njiazinazompendeza Mungu - 1 Wathesalonike 5:1-11.

Somo La 3 Uthabiti/Kuimarika Hadi Mwisho

Sehemu ya 3a: Endeleeni kuwa Imara katikaukuaji wa kiroho na kumtumikia Bwana hadi

Arudi.

Picha kutoka sura za awali (Kuangalia tena surazilizotangulia): maelezo ya vitu vyote tutakiwavyo kufanyahadi Yesu arudi. Kufundisha familia zetu kuwa wanafunzi,kufuata amri za Mungu, kutembea katika njia nyembamba, kuwachumvi na nuru, Yesu kama Bwana mioyoni mwetu, Kutesekakwa ajili ya Yesu, kuwapatanisha watu na Mungu na watu nawatu; vita vya kiroho, kutumia vipawa vyetu kumtumikia Bwanana kujitumikia sisi kwa sisi.

Vichwa Vya Masomo:1. Endeleeni kuwa imara katika ukuaji wa kiroho na

kumtumikia Bwana hadi arudi.2. Kueni katik kupendana ninyi kwa ninyi.3. Kueni katika Kumjua Mungu.4. Kueni katika Uchanganuzi.5. Kueni katika Usafi.6. Ambieni watu juu ya imani yenu na kufanya

mataifa wawe wanafunzi.

**Tazama pointi hapo chini.

Mafundisho kwa ajili ya Somo La 3a:Kuendelea kuwa Imara hadi mwisho* Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu. pindi mlipotwezwakwa mashutumu na dhiki, na pindi mliposhirikiana na wale waliotendewa hayo. Maana mliwaonea huruma wale waliokuwa katika vifungo,tena mkakubali kwa furaha kunyang'anywa mali zenu, mkijua kwamba nafsini mwenu mna mali iliyo njema zaidi, idumuyo. Maana mnahitajisaburi, ili kwamba mkiisha kuyafanya mapenzi ya Mungu mpate ile ahadi. Kumbukeni siku za kwanza mlipovumilia pingamizi kali, mliwaoneahuruma wale waliokuwa katika vifungo na mkakubali kunyang’anywa mali zenu mkijua kulikuwa na mali njema zaidi huko Mbinguni. Basimsiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kuu. Yeye hapendezwi na wale warudio nyuma, bali hufurahishwa na wale waishio kwa imani- Waebrania 10:32-36.*Wale Waaminio Huendelea Kuwa na Bidii Maishani Mwao- Waebrania 11. *Lakini Yule Atakayevumilia HadiMwisho, Ataokolewa- Mathayo 24:13; Ufunuo 2:10.Somo La 2.a Kuendelea kuwa Imara*Vumilieni na mwendelee kuamini katikati ya matesona dhiki. Hukumu ya Mungu Adilifu itakuona unastahili kuingia Ufalme wa Mungu, ambao unautabikia- 2 Wathesalonike 1:3-10 (v.5).*Mungu hatasahau yale yote tunayomfanyia, kwa hiyo msilegee, bali waigizeni wale ambao kupitia kwa imani na saburi hurithi ahadi -Waebrania 6:10-12. * Lakini Roho Anasema Wazi Kwamba Siku Za Mwisho Wengine Wataanguka Kutoka kwa Imani, Wakifuata Rohodanganyifu na Mafundisho ya mapepo - 1 Timotheo 4:1-2. *Paulo anaonyesha uaminifu Wake na utumishi katikati ya shutuma za uongo- 2Wakorintho 6.

+Kwa Kukua katika Upendo wa Sisi kwa Sisi* Wageni wanatoa ushuhuda kanisani kuhusu upendo wa waamini - - 3 Yohana 1:5-6; Filemoni 1:5; 1 Wathesalonike 3:6; 2Wathesalonike 1:3; Col. 1:4, 8; Waefeso 1:15. * Mkiisha kujitakasa roho zenu kwa kuitii kweli, hata kuufikilia upendano wa ndugu usio naunafiki, basi jitahidini kupendana kwa moyo. - 1 Petro 1:22. *Kuweni na saburi kama mkulima mkingojea kuja kwa Bwana. Msinung’unikiane.Kumbuka matokeo ya kuvumilia kwa Ayubu. Msiape- Yakobo 5:7-12. * Yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, namatukano, na matusi vinywani mwenu. Hapo hapana Myunani wala Myahudi, mtumwa wala mwungwana, bali Kristo ni yote, na katika yote.jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu. Sameheaneni. Amani Ya Kristo naitawale mioyoni mwenu. Tumeitwakatika Mwili Mmoja- Col. 3:5-15. *Paulo anaomba kwamba pendo letu lizidi kuwa jingi sana, katika ufahamu wote wa Mungu- Philp. 1:9-11.*Kila Mmoja Amchukiaye Ndugu Yake Ni Mwuaji, Na Mnajua Kwamba Hakuna Mwuaji Mwenye Uzima wa milele Kukaa Ndani Yake.Yatoeni maisha yenu kwa ninyi kwa ninyi- 1 Yohana 3:15-16. *Bwana naaelekeze mioyo yenu katika kumpenda Mungu na katika uthabiti waKristo- 2 Wathesalonike 3:5.

+Kwa Kukua katika Kumjua Mungu*Kornelio- Matendo 10:17-33. *Apolo- Matendo 18:24-28. * Yesu anafasiri Maandiko kwa Wanafunzi wake - Luka 24:27.*Kukua katikaUjuzi/Ufahamu- Waebrania 5:11-6:2. *Mtu Mwenye Hekima Atasikiliza na Aongeze Kujifunza Kwake, Na Mtu Mwenye Ufahamu AtapataUshauri Wenye Hekima- Mithali 1:5.

+Kwa Kukua katika Utambuzi

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 115

* Petro akiri Kwamba Yesu Ndiye Kristo - Mathayo 16:13-20. * Mwanamke Mkanaani anaongea na Yesu - Mathayo 15:21-28. *Mwanamke mwenye hekima wa Tekoa - 2 Samueli 14. * Ombi la Sulemani la Utambuzi - 1 Wafalme 3; 4:29-34. Paulo anaombeautambuzi wa waamini ukue- Philip. 1:9. Kila mwenye utambuzi huenenda katika njia za Bwana, waovu hukwaa katika njia hizo- Hos. 14:9.Neno la Mungu huleta hekima, lilieni utambuzi, tafuta hekima kutoka kwa Mungu, na hofu ya Bwana, kisha utaweza kutambua uadilifu nahaki- Mithali 2:1-10.

+Kwa Kukua katika Utakaso kama Yesu* Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwamaana tutamwona kama alivyo. Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu - 1 Yohana 3:2-3. *Vijanawanapaswa kuwa mfano wa imani kwa utakaso wao- 1 Timotheo 4:12.

+Hubiri Injili na kufanya wanafunzi.*Yesu Anatoa Mwito Mkuu- Mathayo 28:19-20. * Mungu anawaambia Waisraeli wawafundishe watoto wao njia zake kwa bidii kilasiku - Kumbukumbu La Torati 6. * Tunamhubiri habari zake tukimwonya kila mtu, na kumfundisha kila mtu katika hekima yote, tupatekumleta kila mtu mtimilifu katika Kristo - Col. 1:28-29.

Sehemu ya 3b: Mungu atahukumu ubora wa kaziyetu na kutupa thawabu kwa kila kitu

tulichomfanyia.

Taji kando ya Kiti cha Enzi- Kule Mbinguni tutapokeathawabu fulani. Thawabu hizi zinajumuisha: taji yauzima, taji ya uadilifu, taji ya utukufu, na thawabu kwakuwaleta watu kwa Kristo. *Ubora wa utumishi wetu utapewathawabu.

Vichwa Vya Masomo:1. Mungu atahukumu ubora wa kazi yetu

tuliyomfanyia.2. Mungu atatupatia thawabu kwa kila kitu

tulichomfanyia.3. Taji ya Uadilifu.4. Thawabu ya Urithi.5. Taji ya Uzima.6. Watu kuletwa kwa Kristo.7. Taji ya Utukufu.8. Thawabu kwa kupitia mateso kwa ajili ya

uadilifu.

Maandiko* Zawadi Katika ShereheYa Harusi Ya Mbinguni - Luka 14:15-24.*Taji Ya Uzima- Yakobo 1:12; Ufunuo 2:10. *Taji Ya Utukufu- 1 Petro5:4. *Watu Walioletwa Kwa Kristo Ni Taji- 1 Wathesalonike 2:19; Philip.4:1. *Taji Ya Uadilifu- 2 Timotheo 4:8. *Zawadi ya Urithi- Col. 3:23-24.*Zawadi ya kupitia mateso kwa ajili ya uadilifu- Mathayo 5:11-12.*Mungu Atapima Ubora Wa Kazi Yetu. Ikiwa Kutabaki yoyote, Atapokeazawadi. Ikiwa yoyote itachomeka, Atapata Hasara; Bali Yeye MwenyeweAtaokolewa - 1 Wakorintho 3:12-15. Yule Aliyeanza Kazi Nzuri NdaniYenu Ataikamilisha Mpaka Siku ile Ya Kristo Yesu- Wafilipi. 1:6.*Msiweke hazina hapa duniani, bali wekeni Mbinguni. Mahaliitakapokuwa hazina yako, hapo moyo watu pia utakuwa - Mathayo 6:19-21. *Kuweni Imara bila kutikisika katika kazi ya Mungu, kutaabika kwenusio bure- 1 Wakorintho 15:58.

Copyright © 2007-2009 Tammie Friberg 116

“Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike,msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana

sikuzote, kwa kuwa mwajua ya kwamba taabu yenusiyo bure katika Bwana.”

1 Wakorintho 15:58

Juu ya Mwandishi:

Tammie Friberg ana Shahada ya Uzamili ya Uungu katika Lugha za Biblia kutoka Southwestern BaptistTheological Seminary. Ameandika na kuongoza mafunzo ya Biblia kwa ajili ya Wycliffe BibleTranslators katika Summer Institute of Linguistics kule Duncanville, TX, na mashirika menginembalimbali na makanisa kule Dallas, Ft. Worth, Eneo la Texas Kwa sasa zaidi, yeye na mumewe, Joe, niwaanzilishi na wakurugenzi wakuu wa Equip Disciples, shirika lisilo la kibiashara la 501 ( c ) 3 la misheniya kuwafanya watu kuwa wanafunzi wa Yesu. Wanaongoza makongamano ya kufanya wenyeji wanafunzina ya uongozi kule Costa Rica kwa ajili ya Wahindi wa Cabecar, kule Ghana, Kenya, Rwanda, na DRCongo. Kwa sasa kazi hii iko katika lugha nne, Kingereza, Kihispania, Kiswahili, Kinyarwanda, na hivikaribuni itakuwa KiCabecar na Kichina. Wana watoto watatu, Joel, Michael, and Jessica.EquipDisciples.org