(taja ombi) -tunaomba kupitia kwa bwana yesu kristo, amen · 2019. 5. 29. · agosti na mwaka 1790,...

2
(Baba Mpendwa, kama ni upendo na nia yako kwa mwanzilishi wetu wa chama cha Maristi, Jean-Claude Colin, atunukiwe heshima ya utakatifu kwa utukufu wa jina lako, tafadhali tuonyeshe yale mazuri ambayo anayapata katika upeo wa macho yako, kwa kutupatia Baraka zote tuziombazo sasa kupitia kwake: (Taja ombi) -Tunaomba kupitia kwa Bwana Yesu Kristo, Amen Malkia wa kundi la Maria, tuombee. -Kama utapokea Baraka zozote kutokana na maombi ya utukufu wa Baba Colin, tafadhali tujulishe: R P Carlo-Maria Schianchi SM, Postulator, Padri Maristi Via Alessandro Poerio 63, 00152 Rome, Italy Email: [email protected] -Imethibitishwa na Kanisa. (Baba Mpendwa, kama ni upendo na nia yako kwa mwanzilishi wetu wa chama cha Maristi, Jean-Claude Colin, atunukiwe heshima ya utakatifu kwa utukufu wa jina lako, tafadhali tuonyeshe yale mazuri ambayo anayapata katika upeo wa macho yako, kwa kutupatia Baraka zote tuziombazo sasa kupitia kwake: (Taja ombi) -Tunaomba kupitia kwa Bwana Yesu Kristo, Amen Malkia wa kundi la Maria, tuombee. -Kama utapokea Baraka zozote kutokana na maombi ya utukufu wa Baba Colin, tafadhali tujulishe: R P Carlo-Maria Schianchi SM, Postulator, Padri Maristi Via Alessandro Poerio 63, 00152 Rome, Italy Email: [email protected] -Imethibitishwa na Kanisa. Swahili Swahili

Upload: others

Post on 12-Mar-2021

4 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: (Taja ombi) -Tunaomba kupitia kwa Bwana Yesu Kristo, Amen · 2019. 5. 29. · Agosti na mwaka 1790, kipindi cha mauaji ya kutisha ya mapinduzi ya ufaransa. -Nia na dhamira yake ya

(Baba Mpendwa, kama ni upendo na nia yako kwa

mwanzilishi wetu wa chama cha Maristi, Jean-Claude Colin, atunukiwe heshima ya utakatifu kwa utukufu

wa jina lako, tafadhali tuonyeshe yale mazuri ambayo anayapata katika upeo wa macho yako, kwa kutupatia

Baraka zote tuziombazo sasa kupitia kwake: (Taja ombi)

-Tunaomba kupitia kwa Bwana Yesu Kristo, Amen Malkia wa kundi la Maria, tuombee.

-Kama utapokea Baraka zozote kutokana na maombi

ya utukufu wa Baba Colin, tafadhali tujulishe:

R P Carlo-Maria Schianchi SM, Postulator, Padri Maristi

Via Alessandro Poerio 63, 00152 Rome, Italy

Email: [email protected]

-Imethibitishwa na Kanisa.

(Baba Mpendwa, kama ni upendo na nia yako kwa

mwanzilishi wetu wa chama cha Maristi, Jean-Claude Colin, atunukiwe heshima ya utakatifu kwa utukufu

wa jina lako, tafadhali tuonyeshe yale mazuri ambayo anayapata katika upeo wa macho yako, kwa kutupatia

Baraka zote tuziombazo sasa kupitia kwake: (Taja ombi)

-Tunaomba kupitia kwa Bwana Yesu Kristo, Amen Malkia wa kundi la Maria, tuombee.

-Kama utapokea Baraka zozote kutokana na maombi

ya utukufu wa Baba Colin, tafadhali tujulishe:

R P Carlo-Maria Schianchi SM, Postulator, Padri Maristi

Via Alessandro Poerio 63, 00152 Rome, Italy

Email: [email protected]

-Imethibitishwa na Kanisa.

Swahili

Swahili

Page 2: (Taja ombi) -Tunaomba kupitia kwa Bwana Yesu Kristo, Amen · 2019. 5. 29. · Agosti na mwaka 1790, kipindi cha mauaji ya kutisha ya mapinduzi ya ufaransa. -Nia na dhamira yake ya

-Jean-Claude Colin alizaliwa karibu na kitongoji cha Mtakatifu Bonnet Troncy, tarahe 7, mwezi wa Agosti na mwaka 1790, kipindi cha mauaji ya

kutisha ya mapinduzi ya ufaransa.

-Nia na dhamira yake ya kuwa kuhani, kati ya watu walioonewa na kuangamizwa, wa dhehebu la

katoliki nchini ufaransa ilitimia mnamo tarehe 22, Julai 1816 katika mji wa Lyons.

-Siku chache zilizofuata, alikuwa mni mmoja kati ya watu 12(kumi na mbili) walioahidi kuanzisha familia ya kidini, ikibeba jina la Maristi, na kuwa na matawi

ya Madada, kaka na makuhani.

-Kuhani huyo kijana, ndiye aliyekuwa mwanzilishi wa baraza la Maaskofu wa Maristi, na alifanya kazi

kwa nguvu na bidii sana katika kuendeleza mabaraza na familia ya Maristi.

-Mnamo mwaka 1836, tawi la makuhani lilikubali-wa rasmi na Holy see ambapo Baba Colin alikubali kupeleka watumishi “popote hapa duniani” ikibidi hata pembezoni mwa kusini magharibi ya bahari

ya Pacifiki.

-Akiwa kama Baba wa dhehebu la watumishi linalokuwa na kupanuka kwa kasi, Baba Colin

alitokea kupendwa na kuheshimiwa kama mwan-zilishi na kiongozi rasmi wa Baraza la Maristi, aki-wa kama kiongozi wa kundi dogo la Maria, sam-

bamba na kuongezeka kwa idadi ya viongozi wakuu wa kanisa, matawi ya madhehebu, pamoja

na kasi ya utumishi wa kanisa kwa ujumla.

-Katika miaka ya mwisho ya maisha yake, baba mtakatifu Jean-Claude Colin alitumia muda

mwingi kurekebisha katiba na sharia za uaskofu za Maristi, kabla hajafariki mnamo tarehe 15, No-

vemba 1875, katika mji wa La Neyliere.

-Jean-Claude Colin alizaliwa karibu na kitongoji cha Mtakatifu Bonnet Troncy, tarahe 7, mwezi wa Agosti na mwaka 1790, kipindi cha mauaji ya

kutisha ya mapinduzi ya ufaransa.

-Nia na dhamira yake ya kuwa kuhani, kati ya watu walioonewa na kuangamizwa, wa dhehebu la

katoliki nchini ufaransa ilitimia mnamo tarehe 22, Julai 1816 katika mji wa Lyons.

-Siku chache zilizofuata, alikuwa mni mmoja kati ya watu 12(kumi na mbili) walioahidi kuanzisha familia ya kidini, ikibeba jina la Maristi, na kuwa na matawi

ya Madada, kaka na makuhani.

-Kuhani huyo kijana, ndiye aliyekuwa mwanzilishi wa baraza la Maaskofu wa Maristi, na alifanya kazi

kwa nguvu na bidii sana katika kuendeleza mabaraza na familia ya Maristi.

-Mnamo mwaka 1836, tawi la makuhani lilikubali-wa rasmi na Holy see ambapo Baba Colin alikubali kupeleka watumishi “popote hapa duniani” ikibidi hata pembezoni mwa kusini magharibi ya bahari

ya Pacifiki.

-Akiwa kama Baba wa dhehebu la watumishi linalokuwa na kupanuka kwa kasi, Baba Colin

alitokea kupendwa na kuheshimiwa kama mwan-zilishi na kiongozi rasmi wa Baraza la Maristi, aki-wa kama kiongozi wa kundi dogo la Maria, sam-

bamba na kuongezeka kwa idadi ya viongozi wakuu wa kanisa, matawi ya madhehebu, pamoja

na kasi ya utumishi wa kanisa kwa ujumla.

-Katika miaka ya mwisho ya maisha yake, baba mtakatifu Jean-Claude Colin alitumia muda

mwingi kurekebisha katiba na sharia za uaskofu za Maristi, kabla hajafariki mnamo tarehe 15, No-

vemba 1875, katika mji wa La Neyliere.