annuur 1072

Upload: mzalendonet

Post on 14-Apr-2018

791 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1072 RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24-30, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Ilunga hajapata matibabuYupo hospitali ya Columbia Asia- Bangalore

    Ubalozi wa India Dar waombwa kusaidia

    Waislamu watakiwa kufanya Subra kidogo

    KAMA ilivyokuwa kwakaka yake Abdulwaheed,n a y e A l l y S y k e sa m e o n d o k a k i m y akimya.

    Ally Sykes mzalendomuasisi wa TANU ambaesahihi yake ndiyo ikokatika kadi ya TANU yaBaba wa Taifa, amefariki

    Nairobi Jumapili iliyopitaalikokwenda kwa ajili yamatibabu.

    Siku ile ile ya Jumapilim i l a n g o y a m c h a n amchanga kabisa kabla yaAdhuhur, taarifa ikawasiliDar es Salaam kuwa AllySykes amefariki dunia.

    Siku ya pili Jumatatumagazeti yote yalikuwayametoka yakiwa hayanataarifa yoyote ya kifo chaAlly Sykes. (Soma TanziaUk. 6)

    Bingwa wa ukombozi

    aondoka kimyakimya

    MARHUUM Ally Sykes

    Mtume(saw) amesema, Kutoa katika

    Hijja ni sawa na kutoa katika Jihadi,

    . Uwezo wa baadhi yetu ni uwezo

    wetu. Waislamu ni kama jengo au

    kiwiliwili kimoja. Tupelekane Hijja na

    tusaidiane kuisimamisha nguzo ya Hijja!

    Kadiri tutavyokwenda wengi Hijja,

    ndivyo na Allah Atavyotupa utukufu

    na nguvu nchini mwetu. Karibuni

    Ahlu Sunna wal Jamaa.Gharama zote

    ni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana

    nasi ifuatavyo: Tanzania Bara:

    0717224437; 0777462022;Unguja:

    0777458075;Pemba: 0776357117

    (15) MATAJIRI WA KIISLAMU!

    KAMATI ya Maridhianoya Mzee Nassoro HassanMoyo imeandaa kongamanokubwa litakalofanyika katikaukumbi wa Salama hoteli yaBwawani.

    Kamati ya Mzee Moyo

    kufanya kongamanoLitafanyika Bwawani kesho

    Kufunguliwa na Maalim SeifNa Mwandishi Wetu Habari kutoka kamati y

    maandalizi zinasema kuwkongamano hilo litafunguliwna Makamo wa Kwanza wa RaMaalim Seif Shariff Hamad.

    Habari zaidi zinasema kuwpamoja na mada itakayotolew

    Inaendelea Uk.SHEIKH Ilunga Hassan Kapungu

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    2/12

    2AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari/Tangazo

    HIJJAH 2013 / 1434

    Kamati ya Mzee Moyo kufanya kongamanoInatoka Uk. 1na Mzee Moyo mwenyewe,kutakuwa na wazungumzajiwengine, wakiwemo wajumbewa kamati.

    Hata hivyo, waandalizi wakongamano hilo walipoongea namwandishi, hawakutaka kuwekawazi agenda ya kongamano namada zitakazowasilishwa ilawakasema kuwa yatazungumzwamambo muhimu kwa Zanzibar naWazanzibari hasa yenye kugusamasilahi ya Zanzibar katikakipindi hiki cha kutayarishakatiba mpya.

    Kamat i ya Mar idhianoinafahamika kuwa ndiyoiliyofanya kazi kubwa kuletamaridhiano ya kisiasa Zanzibaryaliyozaa mabadiliko ya Katibaya Zanzibar yaliyopelekeakuwa na Serikali ya Umoja wa

    Kitaifa.Chini ya maridhiano na

    Serikali hiyo, kumekuwa namabadiliko makubwa ya kisiasana kijamii Zanzibar kubwa na lamuhimu zaidi likiwa ni kuondokakwa siasa za chuki na uhasamabaina ya wananchi.

    Ni kwa sababu hiyo, kamatihiyo imepata heshma kubwa hasa

    ikizingatiwa kuwa huko nyumazilishafanyika jitihada kubwaza kitaifa na kimataifa kuletamuafaka lakini hazikufanikiwa.

    Ni kw a sa ba bu hi yo pi ainatarajiwa kuwa kongamano lakesho litapa muitikio mkubwawa wananchi wakiwa na hamuya kusikia mipango na mikakatiya kuwapeleka mbele baada yahatua hii ya awali kuonyeshamafanikio makubwa.

    Wakati huo huo , kuna

    t a a r i f a k u w a S h e h a wTomondo Mohamed OmaSaid amemwagiwa tindikana mtu asiyejulikana na hivykupata maumivu makali sehemya kifua na jicho.

    Sheha huyo alikimbizwkatika Hospitali ya Mnazi mmomjini Unguja ambapo alipatiwmatibabu ya dharura.

    Kamanda wa polisi wa Mkowa Mjini Magharibi MukadaKhamis amesema chombki l i cho t umi ka kumwagtindikali Sheha huyo kilipatikaneneo la tukio na kwamba poliwamekichukua ili kukifanyuchunguzi.

    Inadaiwa kuwa Sheha huyalimwagiwa tindikali juzi usikalipotoka nje ya nyumba yakkuchota maji na hakuwezkumtambua mtu aliyefanyuhalifu huo.

    Kuondoka ni Tarehe 5 Octoba na kurudi ni tarehe 27 Octoba 2013MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMA ZIFUATAZO: NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI DAR- JEDDAH, MADINA - DAR MALAZI MAKKA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 18 TU MPAKA MASJID HARAM. MALAZI MADINA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 5 TU MPAKA MASJID NABAWY USAFIRI WA BASI KATI YA JEDDAH MAKKA, MAKKA MADINA USAFIRI WA UHAKIKA WA BASI MASHAIR (MINA, ARAFAT, MUZDALIFA) CHAKULA CHA KITANZANIA MILO MITATU, KUJIHUDUMIA MWENYEWE (BUFFET) BEGI LA KUSAFIRIA, SIMU YA MKONONI (NOKIA MOBILE) PAMOJA NA SIM CARD YA SAUDIA NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NA WANAWAKE, GALONI LA LITA 10 MAJI YA ZAMZAM KUCHINJIWA MNYAWA WA UDH-HIYA, ZIYARAH SEHEMU ZOTE MAKKA NA MADINAKHIDMAT ISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZA MAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NA MASJID NABAWY)SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA WATAKUWEPO

    NA KUTOA MWONGOZO KWA MAHUJAJI WAKATI WOTE.AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMADO) NA AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN (ZULLY) VIONGOZI WENYE UZOEFU WA MUDA

    MREFU PIA WATAKUWEPO KUSIMAMIA MASUALA YA USAFIRI.LENGO NI KUHA KIKISHA KILA HUJAJI AN ATEKELEZA IBADA YAKE INAVYOTAKIWA.DAKTARI ATAKUWEPO KATIKA MSAFARA

    NA MADAWA YOTE MUHI MU YATAPATIKANA WAKATI WOTE WA SA FARI.KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJI WASILIANA NA: SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA NAMBA YA SIMU 0715 915 008, 0784 915 008 SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545 AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020, 0713 530 036, 0786 411 020 AL-HAJJ HAFIDH SALIM 0655 616 623, 0682 535 319 SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA 0715 985 413

    AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED 0789 373 222, 0779 786 786 AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI WA QIBLATAIN - 0715 210 666 ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALA NA NMB TAWI LA SOKO KUU NAMB

    YA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513, 0655 125 513 MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (AHMADO)- 0715 372 776, 0773 372 776 DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSU RUGEIYAMU 0754 334 400, 0786 293 901 DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H. ALLIY 0713 677 683 MOSHI: IMAM MSIKITI WA SUNNI MAULANA DOGO 0754 918 977 AU AL-HAJJ OMAR AHMED FARAJ 0784 476 220 MWANZA&DAR: Dr. ABDULKARIM MAMBO SALEH (DAKTARI WA DAWA ZA KISUNNA) 0773 594 334 MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJ MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573 KIGOMA: AL-HAJJ ABASSI ISSA NYOTA 0688 154 004 TANGA: HAJAT ZAINAB MOHAMED 0713 416 454 HANDENI: AL HAJJ MOHAMED ADAM HAJEE 0784 705 750KATIBU MTENDAJI Dr. MUHSIN MOHAMED HUSSEIN 0784 / 0715 / 0774 / 0755 786 680,MALIPO YAFANYE KWA KHIDMAT ISLAMIYA CHARITABLE SOCIETY BE NKI YA NBC (MATAWI YOTE TANZANIA) AKAUNTI NAMBA

    0211 0500 3194 KWA DOLA ZA KIMAREKANI AU KATIKA OFISI YETU ILIY OPO MTAA WA MAFIA DAR ES SALAAMOFISI YETU IPO MTAA WA MAFIA, TUNATAZAMANA NA MSIKITI WA MANYEMANamba ya Simu 0655 409 135 (TIGO), 0684 409 135 (ZAIN), 0713 986 671.Barua pepe (E-Mail) [email protected] , Tovuti (Website) www.khidmatislamiya.comPeace Travel & Tours LTD, ambayo ipo chini ya Khidmat Islamiya ni kampuni inayouza tiketi z a safari ya ndege kwenda seh emu yeyote

    duniani na ni kampuni iliyosajiliwa rasmi na Serikali ya Saudia kushughulikia viza za Umrah kwa mtu mmoja mmoja, familia au kikundi napia inatoa huduma ya msaada wa kupata viza za nchi mbalimbali duniani. Tovuti: www.peacetraveltz.com

    TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA INAWATANGANZIA WAISLAMU WOTE SAFARI YA HIJA KWA GHARAMA YA DOLA 4450 TU AMBAZO

    ZINAWEZA KULIPWA KWA AWAMU (KIDOGO KIDOGO). GHARAMA YA (KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU.

    KAMA kungekuwa na rekodinzuri ya kutekelezwa ahadiza maendeleo katika mikoaya Kusini mwa nchi yetutangu enzi za utawala waMwalimu Julius Nyerere,basi leo hatudhani kama hayayanayotokea Mtwara sasayangekuwepo.

    Kwa miaka mingi tanguawamu ya kwanza ya uongoziwa Mwalimu Nyerere, mikoaya Lindi, Mtwara na (Ruvuma)Tunduru imekuwa katika wakati

    mgumu kimaendeleo, lichaya kusheheni hazina kubwaya maliasili isiyoendelezwana kuwa mahiri kwa kilimocha mazao ya biashara na yachakula.

    Lindi na Mtwara ni maarufukwa zao la korosho, matundahasa mananasi, maembe namachungwa. Lindi na Mtwaramahiri kwa uzalishaji wachumvi, kuna hazina kubwa yamambo ya kale na ya kihistoriaambayo yanaweza kuwa chanzokikubwa cha utalii na fedhaza kigeni. Miji ya Kilwa,Mikindani, visiwa vya Mafia,makaburi ya wapigania uhuruwa Msumbiji, mapango navisima vya maji huko Kipatimuni vielelezo na ushahidi toshawa kuwepo uhalisia wa vivutiovya utalii katika mikoa hiyo.

    Ukiacha maeneo hayo, Mkoawa Ruvuma una hazina kubwaya madini hasa katika wilaya yaTunduru. Mikoa yote hiyo kwaujumla wake ni maarufu kwahistoria ya vita vya majimajivi l ivyopiganwa kabla yauhuru.

    Jiografia ya mikoa hiyoni kigezo cha msingi katikamaendeleo ya mikoa hiyo naTaifa kwa ujumla, na kwahakika ilistahili kuwa mbalihadi kufikia karne hii tuliyonayo sasa. Bandari ya Mtwarana Lindi zingekuwa kichocheokikubwa zaidi cha maendeleona uchumi wa mikoa hiyo naile ya jirani. Kadhalika mikoahiyo inapakana na nchi jiraniza Msumbiji na Malawi,ujirani ambao ni muhimu kwa

    maendeleo ya kibiashara katiya watu wa Tanzania hususanwa mikoa hiyo na wale wa nchihizo.

    Hata hivyo licha ya kuwepovichocheo hivyo muhimu vyakiuchumi kwa watu wa mikoahiyo na Taifa kwa ujumla, badoserikali kwa kipindi chote chakuwepo kwake, inaonekanakushindwa kutumia kikamilifufursa zilizopo kiasi cha kuifanyamikoa hiyo kwa miaka mingikubaki nyuma kimaendeleokinyume kabisa na utajiri nafursa zilizopo.

    Maeneo mengi ya mikoa yakusini yamekuwa hayapitiki,umeme hakuna, maji tabu, shuleza akina Kayumba, vituo vyaafya nk. Imefika wakati hata

    Mtwara wana hojajapo wakikosea njia

    wafanyakazi wa umma, hasawalimu au madakrari wanaonakama ni adhabu kwenda kufanyakazi katika maeneo hayo. Ilikuwakusafiri kutoka mikoa minginekwenda Lindi na Mtwarailichukua wiki kadhaa kutokanana uhaba wa miundo mbinu.Mpaka hivi tunavyoandika maonihaya, katika kipindi cha mvua,mawasiliano kati ya Tunduru nasehemu nyinginze za nchi hii,ukiwemo mji mkuu wa mkoa,hukatika kabisa. Kama mvua

    itapiga kwa miezi sita, basi kwamiezi yote hiyo, mtu akiwaTunduru hawezi kufika Songeamaana barabara haipitiki.

    Pamoja na kadhia zotehizo, bado watu wa Lindi naMtwara, wamekuwa wavumilivuna kuendelea kutumaini sikumoja watakumbukwa na kutokakatika kifungo cha kimaendeleo.W ameende l ea kuvumi l i ahuku wakiendelea kuahidiwana serikali juu ya maendeleoyao. Na kubwa wanalohitaji nimiundombinu. Kila uchaguzikampeni zilipigwa. Chaguzizilipita na mambo yalibakiakama yalivyokuwa. Hata hivyobado walivumilia na kusubiri.

    Leo imegunduliwa hazinakubwa ya gesi na mafuta hukoMtwara. Serikali imekuwa katikamipango ya kuanza kuivunahazina hiyo na kuanza michakatoyake. Moja ya michakato hiyoni kuivuna gesi na kuisafirishakwenda Dar es Salaam.

    Kwa kuwa watu wa Mtwarawamekuwa na hulka ya uvumilivuna serikali nayo kubakia na dhanayake kuwa watu wa Kusini ni wanamna ya kuvumilia, ikaanzamichakato bila hata kuanza kutoasera ya namna ya kuvuna hazinahiyo kwa wana Mtwara.

    Lakini hata baada ya serikalikuona kuna haja ya kutoa somokwanza kwa wana Mtwara ilikurekebisha hali, bado wanaMtwara hao wanaona kama niyale yale ya miaka ya zamaniya ahadi bila utekelezaji. Sasawanaonekana kutoiamini tenaserikali yao.

    Bado wanaiona bandari

    tuli ya Mtwara, wanashuhudiawakikopwa korosho zao,wakisafiri kwa taabu kutokanana miundombinu mibovu yabarabara na hata ile iliyoanzakujengwa, ikishindwa kukamilikakwa wakati.

    Hivyo ndivyo wanavyoaminikwamba ges i na maf u t avitavunwa katika ardhi yao nakunufaisha wengine na waokuendelea kubaki hohehahe.Seriali imejitahidi kujipambanualakini inaonekana bado makovuya zamani yanawatesa wanaMtwara na mikoa ya jirani.Bado wanakosa imani baadaya kuwa nayo kwa awamu tatuzilizopita.

    Katika mazingira haya,viongozi wa serikali wanapaswa

    kwanza kutizama historia yawatu wa mikoa hii. Hawa ni watuwaliochoka na kukata tamaa. Nahaitasaidia sana kwa serikalikukimbilia kudai kuwa watuhawa wanachochewa. Kamani kuchochea, basi mchocheziwa kwanza atakuwa ni Serikaliyenyewe kwa kushindwa kujengabarabara ya Mtwara- Dar ikawakama za mikoa mingine na hivyokuifungua kusini. Serikali ijiulize,

    ile Mtwara Corridor imefanyanini katika ile dhana ya kuletamaendeleo kusini? Kama hakuna,kwa nini serikali isifikirie kuwahuu ndio uchochezi wenyewe?

    I n a p a s w a k u t i z a m a

    imetekeleza kwa kiasi gani ahadiza kimaendeleo walizopewawananchi hao kwa awamu zoteza uongozi zilizopita. Baada yahapo iwape elimu ya kutoshana kuwahakikishia maslahi yaokatika miradi hii ya gesi namafuta hadi watakapoelewa.Wakirejesha imani yao kwaserikali na kuelewa kusudiola serikali, ndipo michakatoiendelee kwa amani na utulivu.

    Serikali inawajibika kuchukuahatua hiyo kwa kuwa ndiyoiliyowajengea imani na ndiyoiliyowakosesha imani hiyo.Kuwaponda kwa nguvu za dolakwa kukataa au kuzuia michakato

    ya miradi hiyo ya gesi au mafutni sawa na kuwaadhibu kwmakosa yaliyoasisiwa na serikayenyewe kwa wananchi wake

    T u m e w a j e n g e a i m a nna uvumilivu, tumeshindwkutimiza yale yaliyowafanywawe na imani na uvumilivkwa serikali yao. Ni wajibwa serikali sasa kujifunzkutimiza kikamilifu ahadi zmaendeleo kwa watu wake kwwakati, lakini zaidi kutumikkikamilifu rasilimali zilizopkwa kuzingatia kwanza maslaya watu zinapotoka rasilimahizo.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    3/12

    3AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 201Habari

    Ilunga hajapata matibabuUBALOZI wa India jijiniDar es Salaam umeombwakuingilia kati kuharakishakupatikana kibali chakutibiwa Sheikh IlungaHassan Kapungu ambayeamelazwa katika hospitaliya Columbia Asia Hospital-Bangalore, India.

    Kibali kinachohitajikani kwa ajili ya kufanyiwaupasuaji wa kuwekewa figo(kidney transplantation)

    baada ya Sheikh Ilunga kupatamatatizo ya figo kushindwak u f a n y a k a z i a mb a y okitaalamu hutwa- chronicrenal failure.

    Taarifa kutoka kwa nduguna jamaa zinafahamisha kuwaSheikh Ilunga alilazwa katikahospitali ya Columbia AsiaHospital- Bangalore, tokamwezi wa Februari mwakahuu 2013.

    Hata hivyo pamoja nataratibu zote za kupata nyarakana vibali vyote husika ikiwa ni

    pamoja na kile cha Serikali yaTanzania, yaani, No ObjectionCertificate (NOC ), badoSerikali ya India haijatoa Visaya Matibabu ambayo ndiyoitawezesha hospitali kufanyamatibabu ya kuweka figo.

    H a b a r i z a k i u t a f i t izinaonyesha kuwa Ubaloziwa Tanzania (Tanzania HighCommission) uliopo NewDelhi, umesaidia sana katika

    jambo hili ikiwa ni pamojana kutoa kwa haraka na kwawakati ruhusa iliyohitajiwa naSerikali ya India.

    Pamoja na kuwa hospitalihusika imekuwa ikitoa

    huduma nyingine za afyakwa Sheikh Ilunga kwakiwango cha hali ya juu tokaamefika hospitalini hapo, hatahivyo, kutokana na sheria zakimataifa juu ya upandikizajiwa viungo, kama hili la figo,hairuhusiwi kufanya matibabuhayo bila ya kibali maalumu.

    Hiyo ni kutokana nakuwepo kwa biashara haramuya viungo duniani na hivyokuwekwa sheria kali ilikudhibiti biashara hiyo.

    Habari kutoka hospitaliniBangalore zinafahamishakuwa tayari taratibu zoteza k i tab ibu na ma l ipozishakamilika ikiwa ni pamojana kuwepo mtu wa kutoafigo, ambaye ni dada yakeSheikh Ilunga ambapo vipimovya kitaalamu vinaonyeshakuwa viungo vyao vinawiana,havina tatizo.

    Habari za kiuchunguzi zagazeti hili zinaonesha kuwakutokana na hitajio la SheikhIlunga kupatiwa matibabuya haraka kulingana na afyayake inavyobadilika kilauchao, uongozi wa hospitali(Columbia Asia Hospital-Bangalore) ulimweka Ilungakatika orodha ya wagonjwawa kupewa kipaumbele katikamatibabu husika toka katikatiya mwezi uliopita wa Aprili.

    Na Mwandishi Wetu

    Kutokana na hali hiyo,madaktari wake wanaomtibiakatika hospitali hiyo waliandikataarifa maalum ikielezea haliya ugonjwa wake na hitajio lakufanyiwa matibabu haraka

    wakitaraji kuwa vyombohusika vitaharakisha kutoakibali husika.

    Naye mkuu wa jopo lamadaktari wake Dr. RavindranT. Jumapili iliyopita tarehe 20Mei, 2013 alitoa taarifa yakitabibu akionyesha umuhimuwa mgonjwa Ilunga HassanKapungu kupatiwa matibabu(Renal replacement therapy)haraka.

    Hata hivyo, hadi tunakwendamitamboni jana bado majibuya kitengo husika huko India,yaani, Foreigners RegistrationBureau, Bangalore, walikuwa

    bado hawajatoa kibali.Nd ugu wa l iop o Ind ia

    w a n a s e m a k u w a k i l awanapofuatilia katika ofisihiyo, jibu mara zote limekuwaYour case is still pending.

    Ufupi wa manneo, ikiwa namaana kuwa suala lenu badolinashughulikiwa.

    Katika kufuatilia sualahili, kamati inayoshughulikiamatibabu ya Sheikh Ilunga, juziililazimika kutuma mjumbehadi Ubalozi wa Tanzania,

    New Delhi, na kukutana naMkuu wa Kitengo cha Afya(Medical Attache) ili kutafutamsaada zaidi wa kiserikaliambapo taarifa zinasema kuwayalifanyika mawasiliano yaharaka katika taasisi husikakule Bangalore.

    Juhudi hizo zikifanyikahuko India, habari zaidi zakiuchunguzi zinaonyeshakuwa taasisi ya IslamicPropagation Centre yenyeMakao Makuu yake jijiniDar es Salaam imemwandikiaBalozi wa India, ikimwombakutumia uwezo wake na kwakuzingatia uhusiano mzuriuliopo baina ya Tanzania naIndia, kuingilia kati suala hilina kuwasiliana na kitengo

    cha Foreigners RegistrationBureau, Bangalore, kutoa kibalikinachohitajika kuwezeshamatibabu kufanyika.

    Wakati huo huo,Waislamuwametakiwa kuwa na subrana kuz id isha Dua kwa

    Sheikh Ilunga wakati juhudizikifanyika kuwasiliana naUbalozi wa India kuhakikishakuwa anapata matibabustahiki.

    Wito huo umetolewakutokana na Waislamuwengi kutaka kujua haliyake, wakihoji ni kwaninimpaka sasa Sheikh Ilungahajawekewa figo wakatimtu wa kutoa sadaka yafigo alishapatikana, fedha zamatibabu zishalipwa, hukuwengine wakitaka kufungasafari kwenda India kumjuliahali.

    K u t o k a n a n a h a b a r izilizotolewa na kiongoziwa kamati inayosimamiamatibabu ya Sheikh Ilunga,

    ba do ku na im an i ku bw akwamba kupitia kwa Balozi

    wa India, jijini Dar es Salaamkibali husika kitapatikanharaka iwezekanavyo baadya kufikishiwa tatizo himapema wiki hii ofisinkwake.

    Kwa sababu hiyo, Waislamwametakiwa kufanya subwakisubiri jibu la Balozi nkama kutakuwa na tatizo kuhitajia mawazo na msaadwa Waislamu wataarifiwa.

    Toka amalize ziara ykuzunguka nch i nz imakitahadharisha kuwa iwapdhulma haitakomeshwna nchi kuendeshwa kwuadilifu, inaweza kuleta balakatika nchi; afya ya SheikIlinga haikuwa nzuri hailipogundulika kuwa alikuwna matatizo ya kufeli figo.

    Katika makongamanaliyokuwa akifanya hukakitumia mifano halisi, SheikIlunga alionyesha kuwa kunmfumo usio rasmi kikatiba nkisheria, ambao unawabaguWais lamu huku uk i toupendeleo kwa Wakriosto.

    Akatahadharisha kuwha tuwez i kuzungumz

    kuwepo kwa amani ya kweya kudumu pamoja na umowa kitaifa bila kuangalmadai ya Waislamu kuwkuna ubaguzi na dhulma.

    Makamu wa Kwanza wa Raiswa Zanzibar Maalim Seif SharifHamad, amewahimiza wazazi,walezi na walimu kushirikianakutika kurejesha maadili namalezi bora kwa watoto.

    Maalim Seif ametoa wito huowakati akizungumza katika haflaya maulid ya Mtume Muhammad(SAW), yaliyoandaliwa naMadrasat Ghulam Islamiaya Muembe Makumbi mjiniZanzibar.

    Amesema maadili ya Kiislamuna malezi bora kwa watotoyanaweza kurejeshwa iwapojami i it akubal i kush iri ki anakatika malezi, sambamba nakushajiisha elimu ya madrasakwa vijana.

    Sisi wakati wetu mtotoalikuwa akilelewa na jamii nzima,yaani kama mtoto akikosea au

    kuondosha nidhamu na heshima

    kwa mzee mwengine basi alikuwana uwezo wa kumrudi mtotoyule, na akienda kushitaki kwao,basi mzazi wake atamuongeza

    kutokana na kosa hilo, lakini leowapi, mambo yamebadilika,

    alieleza Maalim Seif huku akitoahistoria ya malezi ya zamani.

    Aidha amesifu juhudi zawalimu wa madrasa katikakuwaendeleza watoto kitaaluma,licha ya kukabiliwa na mazingiramagumu, na kuwataka walimuhao kujipanga katika kukabilianana changamoto zinazowakabiliikiwemo ukosefu wa mishahara.

    Amewat aka wazaz i nawalezi wa wanafunzi kuthaminimchango wa walimu wa madrasakwa maendeleo ya watotowao, na kushajiika kuchangia

    Wazazi Zanzibar wahimizwa kusimamia maadili ya watotoili kuwawezesha walimu haokufanya kazi zao vizuri.

    Akizungumzia kuhusu Umojawa Wazanzibari Maalim Seifametoa wito kwa wananchikushikamana na mafunzo yadini katika kuendeleza umoja namshikamano ili kulinda umojauliopo.

    Amefahamisha kuwa umojahuo umeijengea heshima kubwaZanzibar kitaifa na kimataifa,sambamba na kurejesha umojawa Wazanzibari ul iokuwahatarini kwa kipindi kirefu.

    Maalim Seif pia alitumia fursahiyo kuwatanabahisha wananchijuu ya atha ri za uchafuz i wamazingira na utumiaji wa dawaza kulevya.

    Serikali haijazuia uchimbajiwa mchanga lakini imewekautaratibu maalum na kuruhusuba ad hi ya ma en eo . Le ngoletu ni kulinda mazingira yetuyasiathirike kwa faida zetuwenyewe ikizingatiwa kuwanchi yetu ni kisiwa na ardhi

    inapungua kila siku huku idadi yawatu ikiongezeka kila mwaka,

    alitanabahisha Maalim Seif.

    Katika risala yao iliyosomwa

    na ustadh Amour Mgeni, madrasahiyo yenye wanafunzi wapata150 imesema imepata mafanikiomakubwa tangu kuanzishwakwake mwaka 2009, ikiwa nipamoja na kuweza kujenga jengola madrasa hiyo.

    Hata hivyo wamesema jengohilo kwa sasa limekuwa dogokulingana na idadi ya wanafunzi,na kuwaomba watu wenye uwezokusaidia upanuzi wa madrasahiyo, sambamba na kuipatia

    vikalio na vitendea kazi vyakisasa.

    Wakati huo huo Makamu waKwanza wa Rais wa ZanzibarMaalim Seif Sharif Hamad,amevitaka vyombo vya ulinzinchini kus imamia vyemamajukumu yake ili kuhakikishakuwa bahari na mipaka ya nchiinakuwa salama.

    Amesema Zanzibar ikiwanchi ya visiwa, inakabiliwa nachangamoto moto nyingi zakiulinzi na usalama kuhakikishakuwa magaidi hawaingii nchini,sambamba na kukabil ianana vitendo vya uharamia nausa f i r i sha j i wa dawa zakulevya.

    Maalim Seif ameeleza hayoofisini kwake Migombanialipokuwa na mazungumzo naMkuu wa Brigedi ya NyukiZanzibar, Brigedia Jenerali S SOthman.

    Amesema katika siku za hivikaribuni kumekuwa ni tishio

    la vitendo vya kigaidi katika

    Pembe ya Afrika, jambo ambalolinapaswa kuzingatiwa ili vitendo

    hivyo visije kuiathiri Zanzibar.

    Suala la ulinzi halinambadala, kitu cha msingi nikwa vyombo vya ulinzi na dolakushirikiana kuhakikisha kuwanchi iko salama kwa maslahi yawananchi na taifa kwa ujumla,alisisitiza Maalim Seif.

    Kuhusu vitendo vya uharamiavinavyofanywa katika bahari yahindi, Maalim Seif amesemavinaathiri shughuli za kibiasharana uchumi na vinastahiki kupigwavita kwa nguvu zote.

    Kwa upande wake, Mkuu

    wa Brigedi ya Nyuki ZanzibarBrigedia Jenerali S S Othmanamesema suala la ulinzi ndijukumu la msingi kwa vyombvya ulinzi, na kuahidi kushirikianna vyombo vya dola na wananchkatika kutekeleza jukumu hilkwa ufanisi zaidi.

    Jererali Othman ambae pia nMwenyekiti wa kamati ya Ulinz

    na usalama Zanzibar, amesifmashirikiano anayoyapatkutoka kwa viongozi wa nchna watendaji wengine katikkufanikisha jukumu hilo lkiulinzi.

    J e r e r a l i O t h m a n p iamekutana na Waziri wa NchOfisi ya Makamu wa Kwanza wRais, Fatma Abdulhabib Ferejna kubadilishana mawazo juu ymajumu ya ofisi hiyo.

    Waziri Fereji amesema katikkukabiliana na majukumu ya ofishiyo, wanahitaji mashirikiano ykaribu na vyombo vya ulinzkatika kukabiliana na na vitendviovu vikiwemo udhalilishaji wwatu wenye ulemavu, uchafuz

    wa mazingira na matumizi ydawa za kulevya.Amevishauri vyombo vy

    ulinzi kujiimarisha zaidi il

    kuweza kukabiliana na makund

    ya kihalifu yakiwemo yalyanayojihusisha na uchimbaji wmchanga kinyume na utaratibu

    Kuhusu UKIMWI, WazirFereji amesema licha ya kuwkiwango cha maambukizi badni chini ya asilimia moja, lakinathari kubwa inajitokeza kwmakundi hatarishi likiwemlile linalojihusisha na biasharharamu ya ukahaba.

    (Habari kwa hisani yHassan Hamad (OMKR)).

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    4/12

    4AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 20Makala

    Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 143Hijriakwa Dola US$ 3550 tu.Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo:-1. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26Mkabala na Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na0773 930444.2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 4538384. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 4445. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 7861016. Dukani kwa Abdala Hafidh Mazrui wete pemba 0777 482 6657. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Mkoani Pemba 0777 4569118. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 6796929. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736

    Wahi kulipia.Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444.Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia ACCOUNT NAMBA 048101000030 NBC

    Tanbih:Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16%atalipia $ Dola 2982 tu.Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata Punguzola Asilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu.Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo.Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo.Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975.Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko wengi

    Nyote mnakaribishwa

    Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

    IMEDAIWA kuwa Serikalindiyo chanzo cha matatizo yamalalamiko dhidi ya Waislamukutokana na mwenendo wakewa kuwapuuza viongozi waohuku ikiwathamini viongoziwa Kikristo.

    Hayo yamebainishwa naUstadhi Mohammed Mwagila,

    akihutubia Waislamu katikaibada ya swala ya Ijumaa, masjidiHaq, uliopo Buguruni Jijini Dares Salaam, akizungumzia sakatala Serikali kufuta kinyemelamtihani wa somo la dini.

    Angalia tatizo la Serikaliyetu, kikao cha kuamua sualahilo wamekaa baina ya Serikalina viongozi wa Kikristo, lakiniWaislamu wamewekwa kandohata hao Bakwata wanaowatumiamara kwa mara lakini katika hilinao wamewekwa pembeni.Alisema.

    Ust. Mwagila, alisema kwahili ni kipimo kingine chadhulma kwa Waislamu kwanialidai haiwezekani Serikaliiamue jambo zito kama hilo

    liamuliwe na kundi mojakatika jamii na lingine liwekwekando.

    Alisema, hao walioshirikishwahawana sifa kisheria za kulifanyakama sehemu ya somo, balihufundishana kiholela naSerikali inawaruhusu lakiniwenye vigezo hivyo Waislamuhawajashirikishwa.

    Ust. Mwagila, alisema marakwa mara Serikali imekuwaikihaha kudai kutatua migogoroya kidini nchini lakini yenyewendiyo inasababisha na kuletanyufa za migogoro hiyo.

    Alisema, Serikali inapofanyamaamuzi ya jambo zito kamahilo na kundi moja la jamiiunategemea nini, kama sio

    Serikali chanzo cha vuruguNa Bakari Mwakangwalekuchochea vurugu.

    Sasa haya yote Serikaliinayasimamia yenyewe halafuba ad ay e in aa nz a ku ta fu tamchawi na kudai kuna matatizobaina ya Waislamu na Wakristo,mimi nasema si kweli, tatizo lipo

    baina ya Serikali na Waislamuna si Wakristo na Waislamu.alisema Ust. Mwagila.

    Alisema, Waislamu naWakristo ni ndugu kwa mudamrefu, na kudai hata chumviwanaombana huko mitaani,bali Waislamu wanamadai yaomengi kwa muda mrefu lakiniSerikali yao haiwasikilizi.

    Ama kuhusu huhusu hukumuya Sheikh Ponda na Waislamukatika kesi hiyo, Ust. Mwagila,alisema pamoja na kuwa haowapo nje Waislamu watambuekuwa kuna wengine badowapo ndani ikiwa ni Bara naVisiwani.

    Pamoja na kuwa sakata laSheikh Ponda na Mukadam,

    huku Bara limekwisha, lakinibado Masheik wetu wenginekule Zanzibar wapo ndani mpakasasa, kwa mwendelezo uleule wadhulma dhidi ya Waislamu.

    Tushishangilie tu kwa hili,hapana bado kuna matatizomengi kina Sheikh Faridi nawenzake bado wapo ndani,vijana kumi wa Kiislamuhuku Bara wapo mahabusu,bado tunawajibu mkubwa wakuwanusuru hawa wenzetu.Alisema Ust. Mwagila.

    Aidha, alisema baada yahukumu ya Kesi ya SheikhPonda, kuna ya kuzingatiakwamba Mahakama imewekawazi kuwa Bakwata ni tatizokwa Waislamu nchini.

    WAFUGAJI wa kuku jijiniDar es Salaam na mikoaya jirani wamehimizwakujitahidi kutumia vyakulabora na salama kwa mifugoyao ili kupata tija katikaufugaji.

    Wito huo umetolewa naDk. Salimu Nassor Mselem,Mkurugenzi wa FarmersCentre katika semina yaufugaji kuku iliyoandaliwaKampuni ya Farmers Centreya Ilala, iliyofanyika katikaofisi za CCM Wilaya ya IlalaJijini Dar es Salaam hivikaribuni.

    Ufugaji mzuri ni uleunaozingatia ubora wavyakula pamoja na mabanday a k u f u g i a . M a b a n d ah a y a t a k i w i y a w e n aunyevunyevu na yanatakiwakufanyiwa usafi kwa uhakikana kuua kabisa mazalio ya

    panya kwa kuziba mashimoyote.

    Ni muhimu kuchunguzwa

    Alisema si hivyo tu kwanialidai hata ushahidi ulioletwaMahakamani haukumridhishaHakimu aliyedai kamaMhakama ile ingekuwa yaardhi angelimaza suala hilo, na

    kuwashauri Waislamu kuwawaende katika Mahakama ya

    ardhi kudai haki yao.Alisema ushauri huo wa

    hakimu wa Mahakama yaKisutu, ana imani viongoziwao wataufanyika kazi, nakwamba sasa haitakuwa heka

    nne tu watadai hekari zote27, zilizouzwa kinyemela

    na Bakwata, kama ushahiulivyobainisha Mahakamawakati wa kesi ikiendelea.

    Hivi ni akili gani kutoheka nne katikati ya Jiji wewukapewe ardhi ingine nje yJiji, ili hali Bakwata walikuwna uwezo wa kununua ardhiyo kwa kutumia pesa zmiradi mbalimbali iliyopchini yao, na zile ekari nnzikaendelea kubaki. Alisen

    akionyesha kushangaKhatibu huyo.

    Wafugaji wa kuku wapewa somoNa Abdulkarim S.

    Msengakamba

    mara kwa mara, ili kuzuiavifaranga kushambuliwa nakuliwa na panya. Alisema.

    Dk. Mselem alisisitizaumuhimu wa kuwapa kukuvyakula vilivyo na ubora kwakupimwa na kujua kama vinaviwango.

    Mtaalam huyo alisemaw a f u g a j i w a n a t a k i w akuchanganya vyakula kwakupondaponda majani yamchunga na mihogo nakuyaanika, baada ya hapo

    wayatumie majani hayo kwakuchanganya na vyakulavingine.

    Mimi kwanza huyumwalimu nilikuwa namsikiatu, na kumuona katika vyombovya habari, leo ndio namuona,kwa kweli namshukuru sanaDk. Mselem amenizindua,nilikuwa sijui mengi juu yaufugaji wa kuku na vifarangavyangu vilikuwa vikifa kilamara. Kwa siku hufa sita hadnane lakini kufuatia somola leo nimejifunza menginamshukuru sana. Alisemamfugaji mmoja wa kukualiyehudhuria semina hiyo.

    MWENYEKITI wa The Islamic Foundation Aref Nahdi akipokea hundi ya shillingi milioni tankutoka Benki ya PBZ Islamic Division, Tawi la Kariako. Aliyekabidhi kwa niaba ya Meneja wTawi Attiye Mohamed ni Ndugu Suleiman Ali Suleiman alie na tai.

    Juma Mmanga katikati ni shuhuda.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    5/12

    5AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 201Habari za Kimataifa/Tangazo

    TEHRANIran imetekeleza hukumya kunyongwa majasuw a w i l i w a l i o k u wwakilifanyia ujasusi Shirikla Kijasusi la Marekani CIna Shirika la Kijasusi Israel, Mossad.

    M a j a s u s i h awalihukumiwa kifo nMahakama ya Mapinduya mjini Tehran na hukumyao imetekelezwa alfajiri yJumapili iliyopita.

    Mohammad He ida ralipatikana na hatia ykukutana na majasusi wIsrael nje ya Iran kwa makadhaa na kuwauzia taariza siri kuhusu Jamhuri hiyya Kiislamu.

    Mwingine ni KourosAhmadi, ambaye alikutwa nhatia ya kuwa na mawasilianna majasusi wa CIA nkuwapa taarifa za siri kuhuIran.

    Iran imekuwa ikiwatmb a r o n i ma j a s u s i wMarekani na Israel, amba

    ba ad hi ya o wa med ai wkuwa ni wale waliohusikna vitendo vya mauaji y

    kigaidi nchini Iran dhidi ywanasayansi wa masuala ynyuklia wa Taifa hilo.

    KATIBU Mkuu wa Umojawa mataifa, Ban Ki Moonna Urusi wamekubalianakwamba mkutano wa amanikuhusu Syria, lazima ufanyikeharaka iwezekanavyo hatakama Urusi inapinga shinikizola dunia kwamba inawapasilaha wanajeshi wa serikaliya Damascus.

    Aidha Ban amewaambiawaandishi wa habari kuwamatarajio ni makubwa namkutano lazima ufanyike harakaiwezekanavyo ambapo Waziriwa Mambo ya Nje wa Urusi, Bw.Sergei Lavrov, amesisitiza kuwakufanyika haraka kwa mkutanohuo ni bora zaidi.

    H a t a h i v y o L a v r o vametahadharisha kuwa jamii yakimataifa inatakiwa kukubalikuwa Iran ina athari kubwakatika matukio ya Syria nakwamba, inapaswa kushirikik a t i k a m a z u n g u m z o y akutatua mgogoro wa Syriayatakayofanyika Geneva.

    Waziri wa Mambo ya Njewa Iran naye amesisitiza kuwanchi yake ina nafasi yenyeathari katika kutatua mgogorowa Syria na kusisitiza udharurawa kushirikishwa Tehran katikamkutano ujao wa kimataifakuhusu Syria.

    Hata hivyo Bw. Lavrovalisema kuwa ni mapema sanakutaja tarehe ya mazungumzoya Geneva, ambayo kwa sasayanatarajiwa kufanyika katikanusu ya kwanza ya mwezi wasita kwa sababu uwasilishwajihalisi wa wajumbe wa Syriabado haujaamuliwa.

    Mazungumzo haya mapyayanalenga kuwaleta pamojawaasi na wajumbe wa serikali,hatua ambayo ni ngumuikizingatiwa kwamba baadhiya wajumbe wa upinzaniwamegoma kumtambua Assadkama sehemu ya mazungumzo.

    S H I RI K A l a Uja s u s il a M a r e k a n i C I A ,limetangaza kuwa, asilimia75 ya wananchi wa Syriawatamchagua Rais BasharAssad kwenye uchaguzi warais utakaofanyika mwaka2014.

    Taarifa iliyotolewa naShirika hilo imeeleza kuwa,kama Rais Assad atajitosakwenye kinyanganyirocha uchaguz i wa ra i shapo mwakani na bilashaka ataibuka mshindi nakuiongoza tena nchi hiyohadi mwaka 2020.

    Uchunguzi wa maoniuliofanywa na shirika hilo

    la kijasusi ndani ya Syria,unaonyesha kuwa Rais Assad

    bado anaungwa mkono nawananchi wengi wa Taifahilo.

    Taarifa hiyo imeongezak u w a , m a c h a f u k o n amapigano yanayoendeleanchini humo yanaonyeshakuimarika zaidi nguvu zakijeshi za nchi hiyo dhidiya makundi ya kigaidi, nahuenda mapigano hayoyakaendelea hadi wakati wakufanyika uchaguzi wa raisnchini humo.

    Nchi za Magh arib i nahasa Marekani na Uingereza,

    pamoja na nch i wai tifak iza Saudi Arabia, Qatar naUturuki zimekuwa mstari

    CIA: Wasyria asilimia 75

    wanamkubali Rais Assad

    wa mbele katika kuyapamisaada ya kifedha nakisilaha makundi ya kigaidi

    nchini Syria, kwa lengo lakuuangusha utawala huouliochaguliwa na wananchi.

    Urusi yasisitiza kushirikishwa Iranmkutano wa Geneva juu ya Syria

    Iran yanyongamajasusi waMarekani,

    Israel

    WAISLAMU MNATANGAZIWA NAFASI ZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI

    CHUO CHA UALIMU KIRINJIKO ISLAMIC

    A. SIFA:Muombaji awe na sifa zifuatazo:(a) Ufaulu wa kidato cha 4 usiopungua alama 27 katika kikao kimoja cha mtihani, asiwe amekaa zaidi ya miaka mitano (5) tangu amalize

    kidato cha nne.

    (b) Awe na credits 4 kiwango cha C endapo amekaa mtihani kwa vikao zaidi ya kimoja.(c) Kuhitimu kidato cha 6 ni sifa ya nyongeza.

    B. MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WOTE

    1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti (leaving and Academic certificates) vya kidato cha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni.2. Tarehe ya usaili na mwisho wa kurudisha fomu imesogezwa mbele hadi tarehe 22/6/2013 saa 2:00 asubuhi kutokana na kufutwa

    kwa matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa awali.3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo:(a) Kirinjiko Islamic T.C SAME(b) Ubungo Islamic T.C DSM(c) Nyasaka Islamic S.S. Mwanza4. Kwa wale ambao walisharudisha fomu wanatakiwa wawasilishe result slips za matokeo mapya mapema kwenye ofis

    waliporejesha fomu hizo ili yaunganishwe na fomu zao.4. Fomu zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu kumi. Soma vituo vinavyopatikana fomu katika ukurasa wa 9 wa Tangazo la Shule

    za IPC.:

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA UALIMU NGAZI YA CHETI 2013/2014

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    6/12

    6AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 20MAKALA

    HISTORIA ina kawaidaya kujirudia. Ally Sykesmmoja wa waasis i waTANU, mmoja wa walewatu wasiozidi takribansaba waliokuwa katikakamati ya ndani ya TAAiliyounda TANU, mmoja wawafadhili wakuu wa TANU,mmoja wa askari na hapanalitumia neno askari

    kwa maana yake halisi kwakuwa ni Ally Syke ndiye TAAhadi TANU ikimtegemeakwa kutekeleza mambo yahatari dhidi ya Waingereza,amefariki dunia.

    Ally Sykes ndiye alikuwaakipewa kazi za hatari zakumwaga sumu na upupudhidi ya serikali. Sumuna upupu huu yalikuwama k a r a t a s i a l i y o k u w aakichapa nyumbani kwakeusiku makaratasi ambayoW a i n g e r e z a w a l i y a i t amakaratasi ya uchochezi.Waingereza na makacherowake walikuwa wanamjua

    Ally Sykes vizuri. Waingerezawalikuwa wakijua kuwaalikuwa na medali ya mlengashabaha bingwa aliyopataVita Kuu ya Pili ya Dunia.Huyu ndiye Ally Sykesmzalendo muasisi wa TANUambae sahihi yake ndiyoiko katika kadi ya TANUya Baba wa Taifa, amefariki

    Nairobi Jumapili iliyopitaalikokwenda kwa ajili yamatibabu.

    Siku ile ile ya Jumapilimilango ya mchana mchangakabisa kabla ya Adhuhur,taarifa ikawasili Dar esSalaam kuwa Ally Sykesamefariki dunia. Ghafla mjiwa Dar es Salaam alikozaliwana akaendesha harakatizake dhidi ya ukoloni waWaingereza ukagubikwa nasimanzi. Kila simu iliyokuwaikipokelewa na wengi ilikuwani kutaka kuthibitisha kifokile. Binafsi simu zikaanzakumiminika kwangu zakunipa pole.

    Hadi kufika jioni habariz i k a w a z i me e n e a mj imzima kuwa ni kweli AllySykes hayuko tena duniani.Haukupita muda siku ile ilemaiti ya Ally Sykes ikawasiliDar es Salaam kwa ndege yakukodi ikiwa imesindikizwa

    na mkewe Bi Zainab na baadhiya wanae wakiongozwa namtoto wake wa kwanza wakiume Abraham Sykes. Sikuya pili Jumatatu magazetiyote yalikuwa yametokayakiwa hayana taa r i f ayoyote ya kifo cha AllySykes. Hii iliwashangazawatu wengi sana isipokuwamimi. Sikushangaa kwakuwa nilikuwa najua siasaza historia inayomzungukaAlly Sykes kwa miaka mingihususan kuhusu mchangowake binafsi na wa kaka yakemarehemu Abdulwahid Sykes

    Ally Kleist Sykes-1926 2013Mzalendo Muasisi wa TANU

    Aliamwandikia Kukabidhi Julius Nyerere Kadi ya TANU Na. 1

    AL-MARHUUM Ally Sykes

    katika harakati za kuasisiTANU na kudai uhuru wa

    Tanganyika.Historia ina kawaida yakijurudia. Haya ya kupuuzakifo cha Ally Sykes yalimkuta

    pia kaka yake Abdulwahidalipofariki mwaka 1968.

    Ally Sykes alikuwa mtumaarufu kupita kiasi. Alikuwakwanza ana umaarufu wakuzaliwa. Kazaliwa Dar esSalaam Gerezani, mtoto wamjini. Kisha alikuwa maarufukwa nasaba. Baba yakeKleist Sykes alikuwa mmojawa watu mashuhuri katikasiasa zote za Dar es Salaamkatika miaka ya mwanzoya 1900 hadi alipofarikimwaka 1949. Baba yakealikuwa maarufu kwa kuwaalilelewa na Affande Plantanaskari kiongozi katika jeshila Wajerumani lilokujaTanganyika na Herman VonWissman wakati Wajerumaniwa l ipo ing ia ku i tawa laTanganyika. Kleist alikuwandiye katibu muasisi waAfrican Association mwaka1929 chama kilichokuja

    baadae kujibadil i na kuwaTANU Ally Sykes akiwammoja wa hao waasisi.Baba yake Kleist aliasisiAl Jamiatul Islamiyya FiTanganyika (Umoja wa

    Waislamu wa Tanganyika) nakupitia jumuia hii akajenga

    shule ya kwanza ya KiislamuDar es Salaam, shule ambayoilisomesha Quran pamojana masomo ya kisekula. HiiAl Jamiatul Islamiyya ndiyoiliyotoa viongozi wa kwanzakuiendesha TAA na baadaeTANU katika harakati zakudai uhuru. Ally Sykeskwa mazingira na makuzihaya akawa maarufu kamaalivyokuwa baba yake.Lakini kubwa zaidi na hilindilo kwa bahati mbayandilo linalojulikana zaidi kwasasa ni utajiri ambao Allahalimruzuku toka akiwa kijanamdogo sana katika miaka ya1950 alipoanza biashara kwakuanzisha kampuni yake

    binafsi iliyoitwa Sykes SalesPromotion Consultancy.

    Inajulikana na wengiAlly Sykes na kaka yakeAbdulwahid Sykes ndiyowatu wa mwanzo kumpokeaJulius Nyerere alipokujaDar es Salaam mwaka 1952.

    Nyerere alifika nyumbani kwaakina Sykes kwa utambulishona hii ilijenga urafiki ambaoulipitiliza na kuwa udugumkubwa wa mapenzi ya dhatisi baina yao tu bali hata kwawake na mama zao. Mamayake Nyerere Bi Mugaya

    hakuwa akipungua nyumbanikwa Mama Abdu Bi Mrurgurubinti Mussa Mtaa wa Kirk.Halikadhalika Maria Nyererehakuwa akipungua nyumbanikwa aidha kwa Bi Zainabmkewe Ally Sykes Mtaa waKipata au kwa Bi Mwamvuamkewe Abdulwahid SykesMtaa wa Aggrey. Wakati huuAbdulwahid ndiye akiwarais wa TAA na harakati zakuanzisha TANU zimepambamoto achilia mbali hila na fitnaza Waingereza kuwatokomezaviongozi shupavu wa TAAkama Hamza Mwapachu,Dk. Vedast Kyaruzi, Dk.Wilbard Mwanjisi nje ya Dares Salaam kukivunja nguvuchama. Ndiyo maana TANUilipokuja asisiwa mwaka1954 Ally Sykes kadi yakeya TANU ikawa namba 2,

    Nyerere namba 1, AbdulwahidSykes kadi yake namba 3,Dossa Aziz kadi namba 4,John Rupia kadi yake namba7. Historia hii haikuja bureina maelezo marefu ambayohapa hayataweza kuenea.

    Kipindi hiki Ally Sykesalikuwa Katibu wa TanganyikaAfrican Government ServantsAssociation (TAGSA) navilevile alikuwa mwakilishiwa chama hicho katika

    Kamati ya Uajiri ya Serikali(Government EstablishmentCommittee). Thomas Mareallendiye alikuwa rais wa TAGSAna Rashid Kawawa alikuwamwanakamati. Wanasiasahawa vijana Ally Sykesakiwa mmoja wao wenyewewalijipa jina, WednesdayTea Club wakikutana kilasiku ya Jumatano kunywachai pamoja na kutumiawakati ule kupanga mikakatiya kuwangoa Waingerezakatika ardhi ya Tanganyika.Kupitia Ally, Abdulwahidna Dossa Aziz; Nyerereakaweza kujuana na wenyeji

    wa Dar es Salaam maarufukatika hao ni Sheikh Hassanbin Amir, Mshume Kiyate,Jumbe Tambaza, SheikhSuleiman Takadir, ClementMtamila, Bi. Titi Mohamed,Tatu biti Mzee na wengineo.Lakini historia ina kawaidaya kujirudia.

    Kifo cha Ally Sykeskimepuuzwa na vyombo vyahabari kama nilivyoelezaawali kuwa hata kifo chakaka yake Abdulwahid Sykesalipofariki mwaka 1968magazeti ya TANU (wakatiule The Nationalist naUhuru) chama alichokiasisi

    kwa jasho, damu na fedhzake, magazeti haya yalipuuzkifo hicho. Kuna watu katikTANU katika kipindi kiwalikuwa wanajaribu kuifuhistoria ya kupigania uhurwakitaka kuondoa mchangwa Abdulwahid na Ally Sykekatika historia ya uhuru. Hahivyo Tanganyika Standardgazeti ambalo ndilo liliokuw

    likilinda maslahi ya ukoloTanganyika, ndilo lililoandiktaazia ya Abdulwahid SykeMhariri wa TanganyikStandard Brendon Grimshahakuweza kus tahamifedheha ile, aliandika taazambayo itaishi zaidi ymiaka miaka mia moja nzaidi. Taazia ile ilitikisa fikMakao Mkuu ya TANU Mtawa Lumumba na ikawakewengi. Grimshaw alisemkatika taazia yake kuwTANU imeundwa pakubwkwa mchango wa ukoo wSykes.

    Narudia tena. Historia in

    kawaida ya kujirudia. Mwakwa 1968 wakati Abdulwahanafariki Waislamu walikuwwako katika taharuki kubwya kile kilichokujajulikankama mgogoro wa EaAfrican Muslim WelfarSociety (EAMWS) taharuiliyojaa simanzi kwa kuwMufti wa wakati ule SheikHassan bin Amir mmoja wmasheikh viongozi katikTANU alikuwa kakamatwna kufukuzwa nchini kwamri ya Nyerere. Wakati hayyakijiri, Tewa Said Tewa nBi. Titi Mohamed viongowa juu wa EAMWS walikuwwakiandamwa na Nyererna hapakuwa na uelewanmzuri baina yao. Ajabu nkuwa umauti umemkuta AlSykes katika hali kama iile iliyokuwapo wakati kakyake alipofariki dunia mwak1968 wakati nchi ikiwkatika mgogoro wa EAMWkishindo ambacho kilidumtakriban miezi mitatu. AlSykes kafa wakati nchi ipkatika taharuki kwa kikinachodaiwa uadui baianya Waislamu na WakristoKwa hiki kifo cha AllSykes bila shaka wahariwa magazeti walikuwwameshughulishwa katik

    kutafuta habari mpya zkuchomwa makanisana ugomvi wa kuchinja,hawakuwa na muda wkufuatilia msiba wa muasiwa TANU marehemu AlSykes. Lakini iweje hali iwkama vile miaka saba t

    baada ya uhuru kupatikannchi iingie na taharukya kiasi kile na hivi sastaharuki ile ijirejee upya tenikishuhudiwa na waasisi wharakati za ukombozi?

    I l i k u w a n i me ma l i zkuandika kitabu kuhus

    Inaendelea Uk.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    7/12

    7AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 201Tangazo

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    8/12

    8AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 20Makala

    Ally Kleist Sykes-1926 2013Inatoka Uk. 6

    maisha ya kaka yake Ally Sykeskitabu kilichokujajulikanakama The Life and Timesof Abdulwahid Sykes (1924

    1968) The Untod Storyof the Muslim StruggleAgainst British Colonialismin Tanganyika. Ally Sykesalinikabidhi nyaraka zakekatika utafiti wa maisha yaAbdulwahid Sykes.

    Nyaraka hizi mpaka AllySykes anakufa zilibaki kuwasehemu ya malalamiko yangukwake kuwa hazikustahilikuwa mikononi kwake nakazifungia katika safe zake.

    Nilikuwa nikimwambia marakadhaa inagawa hakutakakunisikiliza kuwa nyaraka hizini mali ya taifa la Tanzanialazima azikabidhi serikalinikwa kuhifadhiwa na kuwekwaTanzania National Archive(TNA) kama urithi wa kizazikijacho. Yeye siku zoteakinambia, Mohamed hizinyaraka ninaogopa nikiwapaserikali watazichoma moto.Alikuwa na sababu ya kusemavile. Nyaraka za Ally Sykeszinakwenda nyuma kiasi chamiaka mia moja kuanzia siku

    babu yake Sykes Mbuwanealipotia mguu katika ardhiya Tanganyika kutoka meliya kvitia ya Wajerumani palePangani akitokea Msumbiji.

    Nyaraka zile zina barua zawanasiasa wa mwanzo katikaTanganyika achilia mbali

    habari za baba yake. Ukianzakufunua maja lada yalehutachoka kupekua karatasi

    baada ya karatasi. Nyinginezimechoka kwa umri mrefu.

    Katika majalada yaleutakutana na wazalendona machifu, utakutanana wanasiasa wenye asiliya Kiasia na Waingerezaw e n y e w e w a l i o k u w awatawala. Nyaraka zileutawaona na utawasikia watuhawa wakizungumza na wewe:Dk Joseph Mutahangarwa,Chief Abdieli Shangaliwa Machame, ParamountChief Thomas Marealle wa

    Marangu, Chief Adam SapiMkwawa wa Wahehe, ChiefHarun Msabila Lugusha,Dk. Wilbard Mwanjisi,Abdulkarim Karimjee, DkVedas Kyaruzi, Liwali JumaMwindadi, H.K. Viran,Stephen Mhando, DossaAziz, Ivor Bayldon, YustinoMponda, Ivor Bayldon,Rashid Mfaume Kawawa,Bhoke Munanka, RashidKheri Baghdelleh, RobertMakange, Saadani AbduKandoro, Malkia Elizabeth,Chief Secre tary BruceHut t , Gavana EdwardTwining, Gavana Ronald

    Cameron, Mwalimu ThomasPlantan na ndugu zake Schneider Abdillah Plantanna Ramadhani Plantan,Mwalimu Mdachi Shariff,Mwalimu Nicodemus Ubwe,

    Kassela Bantu, John Rupia,Hamza Kibwana Mwapachu,Othman Chande, LeonardBakuname, Stephen Mhando,Oscar Kambona, Peter Colmore, Albert Rothschild,A l i M w i n y i T a mb w e ,Alexander Thobias, JaphetKirilo, Joseph Kimalando,Ian Smith, Roy Welensky,Jim Bailey, Kenneth Kaunda,Meida Spr inge r , JohnHatch, Gretton Bailey, Brig.Scupham, Dome OkochiBudohi, Annur Kassum,

    Nesmo Eliufoo, Yusuf Olotu,Joseph Kimalando, Julius

    Nyerere na wengine wengi

    wakubwa kwa nyadhifawalizokuja kukamata katikaTanganyika huru na walewalioanguka njiani.

    Ukikaa na Ally Sykes namkapitia jina moja baadaya jingine utapata habari zawazalendo na watu hawana historia yao yote na kwahakika hiyo ndiyo historiaya uhuru wa Tanganyikana historia ya kweli yaTANU. Ally Sykes alikuwaanawajua watu hawa vilivyo.Atakuambia yupi alikuwakibaraka wa Waingereza nayupi alikuwa mpiganaji wakweli. Atakueleza nani alikujakatika siasa kwa uzalendona nani alikuja kwa ajiliya kutafuta maslahi yake

    binafsi.Ally Sykes kabla hajafa

    a l i k u w a k e s h a m a l i z akuandika historia ya maishayake. Mswada huu unaitwa,Under the Shadow of BritishColonialism in Tanganyika.Mchapaji alipomaliza kuharirimswada ule aliomba kitabukibadilishwe jina kiitwe,Dreams Unfulf i l led. Mhariri alinipigia simukutoka Nairobi akanambiakila akimsoma Ally Sykesalikuwa anamwona AllySykes katika majonzi kwa

    kuwa ndoto aliyokuwanayowakati akipigania uhuruwa Tanganyika ndoto ilehaikukamilika. Aliniombanimuombe Ally Sykes jina lakitabu libadilishwe. KwakeAlly Sykes suala halikuwakugawana vyeo ndani yachama cha siasa na kishakatika Tanganyika huru. Sualalilikuwa kwa Mwafrika kuwahuru katika nchi yake bila yakubughudhiwa na mtu yeyoteyule. Mwaka 1953 ilikujashinikizo kubwa kutokakwa Ivor Bayldon kuundachama kitakachojumuisha

    wananchi wa rangi zote katikaTanganyika. Ally Sykesalikuwa akisema laiti kamawangekubali kumeza chambokile historia ya Tanganyikaingekuwa nyingine na TANU

    isingeliasisiwa pale NewStreet mwaka 1954 katikanyumba ile ambayo ilijengwana kukamilika mwaka 1933wakati wa uongozi wa babayake; na Nyerere asingelikujakuwa kiongozi wa nchi hii.Laiti Bwana Abdu na HamzaMwapachu wangelikubalianana ule mpango wa akina IvorBayldon na Nazerali uongoziwa nchi huu ungelitoka ndaniya Baraza la Kutunga Sheriala wakoloni, usingelitokak w e t u s i s i W a a f r i k awazalendo wenye uchunguna nchi hii na huenda raiswa Tanganyika angelikuwa

    Chief David Kidaha Makwaiana Nyerere angelibakia kuwamwalimu wa shule palePugu. Ivor Bayldon baadaya kushindwa kuwapatawanachama wa TAA alikuja

    baadae mwaka 1955 kuundaUnited Tanganyika Party(UTP) chama kilichokujakupinga TANU. Hii ndiyonamna nyaraka za AllySykes zinavyozungumza nawewe unapozisoma na paleyeye mwenyewe anapokupamaelezo hutaacha kupigwa na

    butwaa na mshangao.Nilipata kumuuliza Ally

    Sykes kama anajua ni fedhakiasi gani alizopata kutumiakatika TAA na TANU

    jibu alonipa ni kuwa hajuiwala hajuti. Hizo fedhasi kitu kikubwa. Kubwa ninjama ambayo niliundiwana Waingereza wawili DkHughes na Dk Frank kutakakuniua wakati nikifanyakazi Kibongoto InfectiousDisease Hospital, Moshi.Unajua Waingereza kwakweli walikuwa wamechokana hil i j ina le tu. KilaGavana aliyekuja kutawalaTanganyika alikuwa lazimaatapambana na jina hili. Babayetu aliitwa kuhojiwa na kilagavana aliyekuja kutawala

    Tanganyika kuanzia mwaka1927 hadi 1947. Kati yamwaka 1929 hadi 1947 MzeeKleist aliitwa kuhojiwa mbeleya tribune mara tatu kuhusuharakati za wafanyakazi,yeye akiwa katibu waRa i lway Af r ican Civ i lService Union. Waingerezawalikuwa wamechoka sasana sisi wakaamua kuniuakwa kuniambukiza kifuakikuu (TB). Hawa madaktariwawili walikuwa wakiniitamimi rafiki yake Nyerereambaye kwao wao alikuwaadui mkubwa sana. Wakati

    ule kunasibishwa na Nyererehalikuwa jambo jema. Hichokilikuwa kitu cha hatarina cha kutisha sana. Mimi

    sikuwa nakataa kuwa Nyererealikuwa rafiki yangu. KwaWaingereza hiyo ilikuwakama vile kujinasibisha uduguna Adolf Hitler. Hii ilikuwamwaka 1956 na ingawa miminilikuwa nimepewa uhamishokufanyakazi Kibongoto,Moshi ili kuniweka mbali naTANU pale New Street badonilikuwa nikijitahidi kukijengachama pale nilipokuwapo.Mimi na Bwana Abdu, Dossa,Mzee Rupia, Nyerere naBaraza la Wazee wa TANUchini ya Mwenyekiti wakeSheikh Suleiman Takadirtulikuwa tukiitumikia TANU

    kwa nguzu zetu zote na niwakati huu ndipo nilipompigamuuguzaji wa kike MzunguOcean Road Hospital kwa ajiliya ubaguzi wake na matokeoyake nikasimamishwa kazi naniliporejeshwa nikapelekwauhamishomi Mtwara kamaadhabu

    Mtu usingeweza kuchokakumsikiliza Ally Sykesanapohadi th ia h is to r iaya mapambano dhidi yaukoloni. Ilipokuwa sasainakaribia kupatikana kwauhuru anasema, Allahakanifungulia milango zaidikwa kuwa sasa nikishirikiana

    na rafiki yangu Peter Colmona kampuni yake ya HigFidelity Productions kutok

    Nairobi tukawa tumeshik

    bi as ha ra yo te ku bw a yuwakilishi wa makampumakubwa yaliyokuwa Afrikya Mashariki - Coca Co(East Africa) Ltd; The CoopMotors Corporation Ltd; ThShell Company of East AfricLtd, Aspro Nicholas LtdGailey and Roberts Ltd; BaShoes Company Ltd; KenyBroadcasting Service, CottoLint and Seed MarketinBoard, Raleigh Industries East Africa Ltd; na tulikuwwawakil ishi Kenya wTanganyika BroadcastinCorporation (TBC) lakinmafanikio yana matatizo yak

    hii nilikujajua baadae sanuhuru ulipopatikana. Situliokuwa mstari wa mbetukawa hatuhitajiki tena nhusda na fitna ikaingia bainyetu sisi waasisi wa TANna Nyerere Haikuwrahisi kuacha kumsikilizAlly Sykes akiieleza historya TANU, uhusiano wake n

    Nyerere na yote yaliyotokeh a d i a k a f u t w a k a b i skatika historia ya uhuru wTanganyika,.

    Hatuwezi kummalizAlly Sykes. Ally Syke

    AL-MARHUUM Ally Sykes

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    9/12

    9AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 201

    Makala

    1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora yaKiislamu kwa gharama nafuu. Shule hizi ni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana na zinapokeawanafunzi wa bweni tu.

    2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, Combinations za SAYANSI, ARTS, BIASHARA pamojana COMPYUTA.

    3. Muombaji awe na Crediti 3 au zaidi na angalau D ya Elimu ya Dini ya Kiislamu katika matokeo ya kidatocha nne. Ikiwa ana F au hakufanya Elimu ya Dini ya Kiislamu, basi awe tayari kusoma programu maalum yaMaarifa ya Uislamu atakapokuwa kidato cha tano.

    4. Kwa wale ambao walisharudisha fomu wanatakiwa wawasilishe result slips za matokeo mapya mapemakwenye ofisi waliporejesha fomu hizo ili yaunganishwe na fomu zao.

    5. Waombaji wapya wenye sifa wanashauriwa kuendelea kuchukua fomu.Tarehe ya mwisho ya kurejeshafomu itatangazwa baadaye.

    6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2013/2014

    Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu

    Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610

    Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418

    - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

    Tanga - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/

    - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533

    Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685

    - Ofisi ya Islamic Education Panel - Mwanza - Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770

    Musoma - Duka la Kansolele -Stendi ya zamani sokoni - 0714587193

    Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667

    Shinyanga - Msiikiti wa Majengo-0718866869

    - Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930

    Dar es Salaam- Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556

    - Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474

    Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

    Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086

    Singida - Ofisis ya Islamic Ed. Panel karibu Nuru snack Hotel 0714285465

    Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 Kigoma - Msikiti wa mwanga Kigoma: 0753 355224

    - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860

    - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802

    Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663

    Mtwara - Amana Islamic S.S 0786 729 973

    Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113

    - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113

    Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209

    - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209

    Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073

    Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566

    Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122

    Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331

    Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074-

    Mafia - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627

    6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilip

    wakati wa kuzirejesha.

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

    Wabillah Tawfiiq

    MKURUGENZI

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    10/12

    10AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 20Makala/Tangazo

    MAHATMA Ghandi, baba wataifa la India, alipata kusema:Uongo hauwezi kuwa ukwelikwa sababu ya kuupigia debesana, wala ukweli hauwezikuwa uongo kwa sababuhakuna anayeuona.

    Leo ningependa, japo kwauchache, kumzungumzia SheikhPonda Issa Ponda, kama mfanowa kuigwa katika kupigania hakizinazoporwa za Waislamu waTanzania na kusukuma ajendamuhimu za Waislamu hapanchini.

    Kwanza niwatanabaishew a s o m a j i w a n g u , m i y esikumfahamu Sheikh Pondakupitia vyombo vya habari.Namfahamu kwa karibu sanana tumeshawahi kufanyakaziza Kiislamu pamoja maranyingi tu. Kuna jambo mojakuhusu Sheikh Ponda, nataka

    kulizungumza kwa dhati kabisaya moyo wangu.

    Bila ya kuongeza chumvi, nanamuomba Mwenyezi Munguaniepushe na hilo, Sheikh PondaIssa Ponda ni wa pekee sanakatika mapambano ya kudaihaki. Ni mtu mwenye sifa zoteza kiongozi aliyekamilika.Yukotayari kujitoa muhanga kwamaslahi ya wengi. Anaongozakwa kuonyesha mfano badala yakuagiza tu, na kamwe hasalimiamri kwa sababu ya woga aukunusuru shingo yake.

    Sheikh Ponda ni mkweli,m u a d i l i f u , m u a m i n i f u ,muungwana, anamwogopaM w e n y e z i M u n g u , a n amsimamo usioyumba katika

    dini, ana ufahamu mkubwakuhusu masuala ya kitaifa nakimataifa, na zaidi ya yote,Ponda mkikubaliana kufanyajambo mna fanya! Hat a sikumoja hawezi kukuzunguka,kukugeuka, kukuhadaa walakukutapeli.

    Mimi namfahamu SheikhPonda hivyo, na naamini badohajabadilika. Kusema ukwelikabisa, Sheikh Ponda ni mtumwenye tabia njema sana!Sifa zake hizi zimemfanyaawe kipenzi cha Waislamu waTanzania. Matatizo yanayompataPonda, kwa sababu ya msimamowake usioyumba wa kupingadhulma dhidi ya Waislamu,umemfanya awe shujaa wa

    Waislamu Tanzania.Sheikh Ponda, mara zoteamekuwa mstari wa mbelekat ika kusukuma ajendazinazowagusa Waislamu kamajamii. Nakumbuka uchaguzimkuu uliopita, Maaskofu walitoailani yao ya uchaguzi, kwa jinala waraka, wakiwaelekezawaumini wao cha kufanya katikauchaguzi huo. Sheikh Pondaalikuwa miongoni mwa viongoziwalioandaa muongozo waWaislamu katika uchaguzi huo,ili kukabili waraka uliotolewana maaskofu.

    Kiroja kilichotokea, baadhi yaWaislamu, wakiwemo masheikh,wakaanza kuushambul i a

    Kampeni za kumchafua Ponda zilivyoshindwa!Na Said Rajab muongozo ulioandaliwa na

    Waislamu na wakaacha warakawa maaskofu! Kwao, ni rahisizaidi kuuponda muongozowa Waislamu wenzao kulikowaraka wa maaskofu. Katikauchaguzi ule, walikuwa pamojana maaskofu katika ajenda yao.

    Katika suala la Sensa, ajendaya Waislamu, baada ya kukaaShura zao kadhaa, ilikuwakususia zoezi hilo, iwapokipengele cha dini hakitaingizwakwenye dodoso za Sensa. SheikhPonda alikuwa mstari wa mbelekuwaunganisha Waislamu katikaajenda hii. Waislamu walikuwana sababu za msingi sana kususiaSensa!

    Lakini, kama ilivyo ada,tuliona pia masheikh maslahiwakiwashambulia Waislamuwal iogomea sensa , hukuwakipotosha kwa makusudisababu hasa zilizowafanyaWaislamu wagome kuhesabiwa.Masheikh hawa, vigeu vigeu,

    mara zote wamekuwa silaha kaliya maadui dhidi ya Waislamuwenzao. Ndiyo maana hawanamvuto kama Sheikh Ponda mbeleya jamii ya Waislamu, ingawawanatamani kupata heshimakama anayopata Ponda.

    Pia katika dhulma iliyofanywana Baraza la Taifa la Mitihani(NECTA) dhidi ya wanafunziWaislamu katika somo la Maarifaya Uislamu, Sheikh Ponda IssaPonda alikuwa mstari wa mbelekupigania haki za wanafunziWaislamu. Ponda aliongozamapambano hayo, na Waislamuwalikuwa tayari kuandamanakuelekea ofisi za (NECTA)kutoa kilio chao na mabomu yamachozi yalipigwa.

    Waislamu wamelalamikias a n a m c h e z o m c h a f uunaofanyika NECTA. Lakini,cha ajabu, baadhi ya wenzetu,walikuwa wakipinga ukweli huukwa sababu ya maslahi binafsikutoka NECTA. Waliendeshapr op ag an da za ku is af is ha(NECTA), kwa kuwaumizaWaislamu wenzao. SheikhPonda hawezi kufanya ujingakama huo hata kidogo! Tofautiyao na Ponda iko hapo. Nawao wenyewe wanajua hivyo,na ndiyo maana wanamchukia.Wamekuwa wakimzushiauongo na Propaganda chafu ilikumvunjia heshima mbele yajamii.

    Sasa NECTA imeboronga

    matokeo ya mwaka jana, mpakaSerikali imeamua kuyafuta nakuagiza yaandaliwe upya! Je?madai ya Waislamu kuhusumadudu yanayofanyika NECTAyalikuwa kweli au uongo?Mbona kimya kuhusu agizola serikali NECTA? Mmeonaukweli wa madai ya Waislam?

    Hebu tuangal ie hi l i l aKiwanja cha Waislamu MarkazChangombe, ambacho Bakwatawamekiuza kinyemela kwakampuni ya Agritanza, bila yaridhaa ya Waislamu. Baada yajam bo hi li kufah ami ka kwaWaislamu, Sheikh Ponda,kama kawaida yake, aliona nijukumu lake kufuatilia haki hii

    iliyoporwa ya Waislamu.Mara tu Sheikh Ponda na

    wenzake walipoanza kupiganiahaki hii kwa njia za kiungwana,propaganda chaf u zikaanzakwenye vyombo vya habari.

    Mara Ponda mchochezi,Ponda anavuruga amani,Sheikh gani yule?, BwanaMaandamano, Mwanaharakatigani yule?, Ponda siyokiongozi wa Wais lamu,Hana elimu, Mwizi namajina mengi ya kipuuzi kamahayo. Lakini ukweli siku zoteutabaki ukweli. Haitatokeaduniani uongo ukafuta ukweli,bali ukweli nd iyo unaofutauongo. Propaganda zote hizozilikuwa na lengo na kufichauovu uliofanyika kiwanja chaChangombe Markaz, kamailivyokuwa kwa uovu uliofanyikaNECTA na suala la Sensa.

    V y o m b o v y a H a b a r ivikachora picha ya kutisha yaSheikh Ponda kama ni mtu hatarisana kwa amani na usalama wanchi. Ponda alikuwa akiletwaMahakamani kwa u l i nz imkali wa polisi wenye silaha,wakisaidiwa na mbwa, farasina magari ya maji ya upupu,huku akiwa amefungwa pingu.Vyombo vya Habari vinginevikaanza kumuhukumu kablahata ya Mahakama, vikizingatiazaidi hisia za chuki binafsi napropaganda badala ya ukweli.

    Lakini baada ya Dua nyingiza Waislamu, Mahakamaikabaini ukweli ulivyo. Ikaonauhalali wa madai ya akina Ponda(Waislamu), hata wakaamuakuvamia kiwanja kile, ingawautaratibu huo haukuwa sahihi.I kamuach i a hur u P onda

    na wenzake na kuwashauriWaislamu kudai kiwanja hichokupitia Mahakama ya Ardhi.Wapiga propaganda dhidi yaPonda wakaumbuka!

    Sasa nani mchochezi hapo,Sheikh Ponda au wao? Nanianayevuruga amani, wapigapropaganda au anayedai haki?Nani mwanaharakati wa hakiza Waislamu, yule anayejifichachumbani au anayejitokezahadha r an i kuandamana?Nani kiongozi wa Waislamu,Sheikh Ponda anayeombewaDua na Waislamu, au walewanaolaaniwa na Waislamu?Hapa mwizi Ponda, au yuleanayeuza mali za Waislamukinyemela? Mwenye elimu ni

    yule anayeangalia tu Waislamuwakiporwa haki zao, au Pondaaliyejitoa muhanga kupiganiahaki hizo?

    Propaganda chafu ni mojaya njia mbaya zinazotumiwa nawatu waoga, wasio waaminifuna waliokosa maadili, ambaomaslahi yao binafsi yameguswaau kuharibiwa, na sasa wanauchungu na hasira dhidi ya walewanaohisi wamevuruga maslahiyao. Nao wanataka kuwaumizakihisia, kama walivyoumiawao.

    Kwa watu wasiomuogopaMwenyezi Mungu, propagandachafu hutumika kuwachafuawengine ili wasipendeze mbele

    ya jamii, hata kama hawana

    kosa.Ndani ya Quran, MwenyeziMungu amebanisha kwambaM i t u m e w a k e w o t e n awema waliotangulia, ambaowalizitaka jamii zao kuishikwa maadili mema ya kumchaMungu, walishutumiwa kwauchochezi, uongo, wizi,majivuno, uzinifu na mambomengine mabaya. Maisha yaNabi i Yusu ph (a s) , Muss a,Suleiman na hata Muhammad(saw) yamejaa propaganda chafuza watu wabaya dhidi yao.

    Vile vile, Maryamu (as),mama yake Nabii Issa, Aisha(as) mke wa Mtume wetu,wakiwemo masahaba, piawalichafuliwa kwa propaganda

    za waovu. Kwa hiyo siyo jambojip ya, na Mwe nyezi Munguamewatahadharisha Waislamuwaadilifu: Mtapata misukosukokatika mali zenu na nafsi zenu namtasikia udhia mwingi kwa walewaliopewa Kitabu kabla yenu nakwa wale walioshirikisha. Nakama mkisubiri na kujilinda naanayokataza Mwenyezi Mungu,

    (mtakuwa mmefanya jamb

    zuri) Qur(3:186).Kwa hiyo tunajifunza jambmoja la msingi kutokanna propaganda hizi chawanazorushiwa kina SheikPonda na Waislamu wenginwanaopigania haki za WaislamKwamba, kwa idhini yMwenyezi Mungu, kila mipangmiovu iliyopangwa dhidi ywaumini hawa itaanguka, nkila propaganda chafu dhidi yaitaruka patupu.

    Kila propaganda waliyopangitawarudia wenyewe! Itawafanywajute hapa duniani na keshAkhera, labda watubu mbele yMwenyezi Mungu toba ya kweMwenyezi Mungu amebainishhatima inayowasubiri wa

    waliowachafua Mitume wakna waja wema kwa propagandchafu:

    W a l e w a n a o w a u d hW anaume W ai s l amu nWanawake Waislamu pasipwao kufanya kosa lolote, bishaka wamebeba dhulma kubwna dhambi zilizo dhahirQur(33:58:

    SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto)

    Masjid MtambaniUnawatangazia Muhadhara.Siku: Ijumaa 24/05/2013 baada

    ya swala ya Ijumaa.

    Jumamosi 25/05/2013Muda: Saa 3:30 asubuhi

    (Kwa wanawake tu)

    Muhadhiri: Sheikh AbdulrahmanBakar Mhina - Imamu Mtambani.

    Wabillah Tawfiiq

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    11/12

    11AN-NUU

    RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 201Makala/Tangazo

    NAFASI ZA KAZI

    Inawatangazia nafasi ya kazi upande wa wauzaji (Salesman)Sifa za muombaji

    Awe kijana wa kitanzania Awe na umri kati ya miaka 25-45 Awe tayari kuweka dhamana ya mali isiyohamishika Awe na wadhamini watatu ( 3) wenye ajira zinazotambulika kiserikali Awe na elimu siyochini ya kidato cha nne Awe na uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu katika fani hiyo.MAWASILIANO Zaidi:Piga Simu: 0789 272 737Maombi yote yatumwe katika mtandano.Email: [email protected] kwa Barua S.L.P 4804- DSMMAOMBI YAAMBATANISHWE NA PASSPORT SIZE.

    FAIR LAND DISTRIBUTION

    Inatoka Uk. 8

    Ally Kleist Sykes-1926 2013aliishi maisha kamili. Allahalimruzuku kila kitu na akampa

    dunia. Mguu wake ulikanyagapale alipotaka. Mimi binafsinimeshuhudia nguvu zakekwa macho yangu mwenyewe.Wazungu wakimtetemekeana ak iwa tuma kaz i nawakimtumikia kwa adabu naunyofu wa hali ya juu. Mmojawa jamaa za Ally Sykes, MzeeAhmed Rashad Ali alipatakunambia kuwa Ally Sykesakiwatuma Wazungu tokaujana wake na anapowaita kujakula nyumbani kwake wakijana adabu zao kamili. Juu yahaya yote Ally Sykes alikuwana ibra moja hakuwa mtu wakujiona. Hukuweza kupimanguvu na uwezo wake kwakumtazama. Nilisikitika sanamazikoni pale Makaburi yaKisutu. Wale waliompuuzaAlly Sykes na kuufanyamchango wake si lolote sichochote ndiyo walipewaheshima ya wao kuwa mbele

    pa le ma ka bu ri ni ka ti kakumsindikiza katika safariyake ya mwisho na kusomahotuba. Rafiki zake aliokuwanao siku zote, AbdallahAwadh, Ali Mbarak, Shomari,Abdu Faraj, Boi Juma Risasi,Harudiki Kabunju, Hussein,Abdu Kifea, Abdallah Jabir,Muharram Kocha, Muharram

    Mkamba, Abdubari, SaliHirizi kuwataja wachachwaliwekwa mbali na jeneza n

    kaburi na watu wa Itifaki wIkulu nafasi yao ikachukuliwna wanasiasa na viongozi w

    juu wa Chama Cha Mapindu(CCM). Ilikuwa aibu kubwkwa CCM kuonekana hawapkatika kumzika Ally Sykemwanachama wa TANU kanamba mbili na mzalendwa kweli aliyemwandikna kumkabidhi kadi nambmoja ya TANU Baba wa TaiMwalimu Julius Kambarag

    Nyerere.Ally Sykes alimpenda n

    kumuheshimu sana kakyake na katika maisha yangndiyo mtu pekee niliyemsik

    kila akimtaja kaka yakanatanguliza neno, BwanaKwake yeye Abdulwahalikuwa Bwana Abdukila alipomtaja. Ally Sykamezikwa pembeni mwkaburi la kaka yake BwanAbdu.

    Kwa kifo cha Ally Sykehakika nguzo ya watu wa Des Salaam imeanguka.

    Tuamwomba Allah amlazAlly Kleist Sykes maha

    pema peponi.(Taanzia hii imeandikw

    na Mohamed Said, 0717 47954 22 Mei 2013)

    S H A M B U L I O l a b o m ukat ika Kanisa Katol iki ,Parokia mpya ya Olasiti jijiniArusha, lililosababisha vifovya watu watatu na kujeruhiwengine kadhaa, limewashituaWatanzania wengi na kuwajazahofu kubwa kuhusu tishio laugaidi hapa nchini. Shambuliokama hilo katika j i j i laBoston, Massachusetts nchini

    Marekani, ambalo limepotezamaisha ya watu watatu nakujeruhi wengine 171, kwawalio wengi ni uthibitisho wamapambano ya mataifa yamagharibi, kutokomeza walewanaofanya vitendo hivyoduniani.

    Kufuatia mashambulizi yaSeptemba 11 nchini Marekanina jinsi yalivyotangazwa sana,wimbi la hofu likaufunikaulimwengu mzima, ambapowatu wakaaminishwa kwambamashambulizi zaidi ya kigaidi,yatatokea maeneo mengine tofautiduniani. Vita ya ulimwengu dhidiya ugaidi ikatangazwa, lengolikiwa kuwasaka magaidi nawale wanaowahifadhi. Muongommoja umepita sasa tangumashambulizi ya Septemba

    11. Watu wengi katika nchi zaMagharibi wanachukulia tishiola mashambulizi ya kigaidikatika nchi zao kwa umakinimkubwa, kama vile ilivyokuwatishio la kutokea mashambuliziya kinyuklia wakati wa vitabaridi.

    Kuna propaganda nyingi sanakuzunguka suala hili la ugaidi nakuliweka katika mtazamo wakesahihi kwa kweli ni muhimu.Kwa sababu kila mtu anaongealake, wanasiasa, wanahabari,wanaharakati, wasomi, viongoziwa dini na watu wa kawaida.Matokeo yake tunapoteza focusya jambo lenyewe.

    U g a i d i , m a t u m i z i y avitisho au vurugu ni mbinu tuinayotumiwa na watu, makundina hata serikali, na imekuwepokatika kipindi chote cha historia.Ugaidi haukuanzia Septemba 11mwaka 2001 nchini Marekani.Historia inaonyesha ugaidi auvurugu, siyo mbinu inayotumiwana watu wa kundi fulani tu, audini fulani peke yake, au watuwenye mrengo fulani wa kisiasa.Kwa mujibu wa historia, mbinuhii imetumika kuanzia zamaza kale, mpaka sasa ili kukidhimalengo fulani.

    Wakati katika muongo uliopita,Osama bin Laden, Al Qaeda,Ayman al - Zawahir na Taleban,

    Ugaidi katika mtazamo sahihiNa Said Rajab

    wamekuwa wakilaumiwa sanakwa mashambulizi ya kigaidi,uhalisia ni kwamba ugaidi nitishio dogo mno kwa watu wengipopote walipo duniani, hususanMarekani.

    R i p o t i y a U t a f i t i y aSTART (Study of Terrorism

    and Responses to Terrorism)inayoitwa 9/11, Ten YearsLater, imebainisha kwamba,ukiondoa matukio ya Septemba11, pungufu ya watu 500w a m e k u f a k u t o k a n a n amashambulizi ya kigaidi nchiniMarekani, kati ya mwaka 1970na 2010. Tangu Septemba 11mwaka 2001, jumla ya raia238 wa Marekani wamekufakutokana na mashambulizi yakigaidi. Na kwa mujibu waTume ya Usalama wa Bidhaaza Watumiaji nchini humo,Wamarekani wa kawaida wakohatarini zaidi kupondwa naTelevisheni au Fenicha nakupoteza maisha, kuliko walivyohatarini kuuawa na gaidi.

    Kusema ukweli, mtazamowa Serikali ya Marekani, haukokatika uwiano sahihi, kuhusukitu gani kinachoua Wamarekaniwengi zaidi. Tumeshuhudiamuongo mmoja ul iopi ta ,Marekani ikisambaza nguvuzake za kijeshi ulimwengunikote, huku ikiimarisha usalamawa nyumbani na ikitunga sheriaza ajabu za kupambana na tatizodogo la ugaidi. Wamarekaniwengi zaidi wanakufa kwa ajaliza gari kila mwaka, wenginewanazama kwenye mabafu(bathtub), wengine wanafiakwenye majengo yaliyoshikamoto, na wengine kupigwa radi,kuliko wale wanaokufa kwamashambulizi ya kigaidi.

    Lakini vyombo vya habari,hususan televisheni zinazorushamatangazo yake masaa 24,ikiwemo habari zinazowekwakwenyea mitandao ya kijamii,

    ndizo zinazokuza tishio hilidogo mpaka likaonekana janga.Angalia jinsi habari za bomula Arusha zilivyoandikwa nakutangazwa na vyombo vyahabari! Ikajengwa katika akiliza watu kana kwamba, makanisayote hapa Tanzania yanawindwana magaidi. Na Serikali lazimaiyawekee ulinzi!

    Sasa hata ikitokea panchaya baiskeli kanisani itaitwabo mu , wa tu wa ta ta ha ru ki ,mashuhuda watapatikana, habari

    zitaandikwa, tena zikiungwamkono na Tahariri na watuwatakamatwa na kuhojiwapolisi! Ushindani huu wa soko lahabari duniani, umeleta uandishimbaya wa habari na sintofahamu,ambayo imelikuza mno tatizo laugaidi kuliko lilivyo.

    Hadithi tamu za kusisimuakuhusu ugaidi zimewafanyawatazamaji , wasomaji nawasikilizaji wa vyombo vyahabari, kuathiriwa kwa kiasikikubwa na propaganda hii,ikijenga katika akili zao kwambaugaidi ni tishio kubwa, ingawauhalisia wake hauko hivyo!

    Siku ya Septemba 11 mwaka2001, mamilioni ya watu nchiniMarekani na duniani kotewaliangalia Live wakati jengola World Trade Centre likishukachini kwa kishindo, huku watuwakiruka kutoka ghorofa ya 114,wakijaribu kujiokoa na motomkali. Kuangalia mfululizo wamatukio haya, katika mazingirahalisi imewatisha watu wengisana. Mashambulizi ya kisaniikama haya, huwa hayaondokikwenye fikra za watu daima.

    Hofu ya ugaidi yanayojengwa,inaweza hata kudumaza umakiniwa watu katika kushughulikiamajanga asilia, ambayo mengiyao ni makubwa zaidi ukiyapimakuliko ugaidi. Kwa mfano, nasiyo lengo langu kudharau vifohapa, zaidi ya watu 227,000walipoteza maisha mwaka2004 katika janga la tsunamilililotokea bahari ya Hindi,ikilinganishwa na watu 3000waliopoteza maisha kwenye tukiola septemba 11 nchini Marekani.Lakini cha ajabu, mashambuliziya septemba 11 yamejenga hofukubwa duniani na kuleta athariambayo imeitikisa dunia nzimakuliko matukio mazito ya maafayaliyowahi kutokea duniani.

    Pamoja na hili, sekta ya

    burudani nchini Marekani, kupitiafilamu na maigizo, imelichukuasuala la ugaidi na kuzidi kujengaimani potofu kwa watu dunianikuhusu ugaidi. Filamu nyingikama hizo, zimebeba maudhuiinayosisitiza kwamba Waislamundiyo wanaohusika na ugaidina wanashambulia shabaha zaMagharibi.

    Lakini ukirudi kwenyeukweli, takwimu za jarida laEuropol zinaonyesha kwambakati ya mwaka 2006 mpaka

    2008, asilimia 99.6 ya shughulizote za kigaidi barani Ulayazilifanywa na wasio Waislamu.Na rekodi rasmi za FB Izinaonyesha kwamba asilimia94 ya mashambulizi ya kigaidinchini Marekani, kuanziamwaka 1980 mpaka 2005, pia

    yalifanywa na wasio Waislamu.Hakuna shaka kwamba Marekaniinahitaji kizingizio ili iwezekutanua zaidi ushawishi wakeduniani kote katika karne hiiya 21. Mabeberu wa Marekaniwanahi ta j i kiz ingiz io i l ikuhalalisha uwepo wa majeshiyao katika nchi tofauti duniani,lengo likiwa kusukuma mbeleajenda ya Marekani kuporarasilimali za dunia.

    Kabla hata vumbi la Septemba11 halijatulia, mashambulizihayo yakawa kizingizio chakuzivamia Afghanistan naIraq. Ugaidi na tishio la ugaidivimetumika kuhalalisha ubabewa Marekani duniani kote, naitabaki kuwa ni kwa maslahi yaMarekani kuendeleza hofu hii.

    Hisia hii ya hofu imetumikakama kizingizio cha kuendeshauchunguzi dhidi ya baadhiya raia wa Marekani, ikiwan i p a m o j a n a k u f a n y amashambulizi ya drones katikanchi za Waislamu. Marekaniina matatizo mengi ya ndani,ambayo yanapoteza maelfuya maisha ya Wamarekani, namatatizo hayo siyo ugaidi.

    Mauaji ya mtu mmojahutokea nchini humo kila dakika36 zinapopita. Wamarekani

    69 wanakufa kila saa mol i n a l o p i t a k u t o k a n a nmagonjwa ya moyo, wakaWamarekani 66 wanakufa kisaa moja linaloenda kutokana nsaratani. Ukiuweka ugaidi katikmtazamo wake halisi, kusemukweli, ni tishio dogo mno kwuhai wa binadamu, isipokuwlimekuzwa kupita kiasi na wawenye ajenda zao.

    Miye sikutaka kuandikyote hayo, kwa sababu naamiwafuatiliaji makini wa siaza ulimwengu wanayajuMara kwa mara gazeti hilimekuwa likiandika masuahayo kwa kina. Lakini sasyametokea kwetu Arusha, nwatu wamesema sana kwmapito tofauti. Kuna haja ykukumbushana na kuwekansawa kimtazamo, kuhusu tafssahihi ya matukio haya.

    R a i s J a k a y a K i k w eamesema wiki iliyopita kuDodoma katika sherehe zkusimikwa Askofu wa Kanila Anglikana kwamba matukhaya ya uvunjifu wa amayana mkono wa nje. Yuko sahikabisa. Lakini mimi wasiwawangu ni ile nje ya RaKikwete maana yake wapUlimwengu wa Magharibi aulimwengu wa Waislamu?

    Kwa sababu watu wamejazwhofu duniani kote, kwambmatukio kama hayo yakitokebasi washukiwa lazima wawWaislamu, kama tulivyoonArusha ambapo wamekamatwWaarabu wasiohusika, lakihakuna Mzungu hata mmoaliyekamatwa, kwa sababvyombo vya usalama vinadhaMzungu hauwezi kuhusika nugaidi.

  • 7/30/2019 ANNUUR 1072

    12/12

    12 MAKALA

    AN-NUUR12 RAJAB 1434, IJUMAA MEI 24 - 30, 2013

    MAULID!!! MAULID!!!

    Masjid Allah Karim Kazimzumbwi Kisarawe Inawaalikawaislamu wote katika Maulid ya Mtume Muhammad

    (S.A.W) Kazimzumbwi Kisarawe, Tarehe 25/05/2013, siku yaJumamosi Saa 2:30 Baada ya Swalatul Ishaa , Inshaalah.

    Wafadhili wa maulidi Hii ni.1. Sheikh Juma Sadiki Muyenga2. Mohamed Rafik Nurmohamed Satya3. Ndugu wa Familia ya Madenge

    Nyote Mnakaribishwa

    MADAKTARI 22 kutokaKuwait wametua nchinikutoa huduma za upasuajikatika hospitali ya TaifaMuhimbili.

    Madaktari hao wamekujanchini kwa uratibu wa taasisi

    ya Africa Muslims Agencyya jijini, ambapo wamenzakutoa huduma za upasuajihospitali ya Muhimbili nakatika zahanati ya AfricaMuslims Agency Tabata kwasiku tano kuanzia Jumatatuhadi Ijumaa.

    Akizingumza na An-nuur Muhimbili Jumatatuwakati wa kukaribishwamadaktari hao, Mkuu waIdara ya Daawa katikataasisi ya Africa MuslimsAgency, Mbwana Urari,alisema Madaktari haowamekuja nchini kufuatiaziara aliyoifanya Rais JakayaKikwete nchini Kuwait hivi

    MHANDISI wa Kiingereza,ambaye alisilimu takribanm i a k a 2 2 i l i y o p i t a ,Sheikh Omar Kirwood,amestaajabu mandhariadhimu ya Wilaya yaMafia, jambo lililomlazimukuwaeleza Waislamu waeneo hilo kuwa kamwewasije kufanya makosawakawauzia wageni ardhiyao.

    Kwa kweli nimetembea,lakini hapa nimeona kisiwachenu ni almasi, shikilieniardhi yenu, msithubutu kuuzaardhi yenu kwa wageni,mkaja juta muda si mrefu,alisema Sheikh Kirwood kwaKiingereza na kutafsiriwakwa Kiswahili.

    S h e i k h K i r w o o d ,alifika Mafia pamoja namasheikh wengine kutokasehemu mbalimbali nchini,kuhudhuria hadhara yamaulid inayofanyika kilamwaka Mafia, ambayo

    pamoja na mambo mengine,hutumika kuhamasishamaendeleo ya Waislamuwilayani humo.

    Safari hii, hadhara hiyoilianzia katika kisiwa chaJibondo, kisiwa maarufu kwahifadhi kubwa ya samaki

    katika ukanda wa bahari yaHindi.

    Majira ya asubuhi ya Mei18 msafara wa Waislamuulipokelewa na wenyejiwao Waislamu wa Jibondoambako yalifanyika Maulidkuanzia saa 3:00 katikaMadrasat Munawara iliyochini ya Msikiti Mkuu waIjumaa wa Jibondo hadi 8:00mchana.

    Ba a d a y a k u ma l i z aMaulidi, Umma wa Waislamuwa Mafia na Kilwa walipandamashua na kurejea Mafia nakuendelea na Maulidi katikaMsikiti Mkuu wa Wilaya ya

    Mafia Markaz Masjid Kabyr,Kilindoni Mafia.Pamoja na sherehe za

    Maulid hayo yaliyojumuishaMadrasa 17 za vitongojivya Mafia, yalifanyika piamashindano ya kuhifadhiQuran, yaliyosimamiwana Majaji kutoka Dar esSalaam ambapo washindiwalikabidhiwa zawadi zao.

    B a a d a e M a s h e i k hkutoka sehemu mbalimbaliwaliohudhuria hafla hiyo,walitoa mhadhara kwaWaislamu.

    Hadhara hiyo ilihutubiwa

    Ardhi Mafia ni almasimsiuze - Sheikh OmarAzimio kujenga Markazi ya kisasa lafikiwa

    Na Shaban Rajab na Maalim Ally Basaleh

    Sheikh Othman MaalimSheikh Mahmud NurdinUmar Kirwood kutokUingereza na wengine.

    Ni ka tika muda huMarkaz Masjid Kabyilibainisha mpango wakwa kujenga Markazi yKisasa ikiwa ni pamojna Msikiti wa ghorofa tatambao utakuwa na shulEnglish/Arabic Mediummadrasa, ofisi na kitucha teknolojia ya haba(Information and computcentre).

    Tayari ser ikal i ySaudia imeahidi kufadhimpango huo na Waislamwa Mafia ambapo SheikUmar Kirwood ambayni mhandisi wa ujenzamekamilisha michoro y

    jengo hilo la kisasa la kituhicho.

    Ilielezwa katika hadharhiyo kuwa Madrasa nyinza Mafia zinakabiliwa nupungufu wa vitabu vyMisahafu na Juzuu.

    Kufuatia hali hiyoSheikh Othman Maalimaliahidi kuzipatia Madrashizo misahafu 1000, hukKat ibu Mtendaj i wMarkaz Kabyr SheikShuaib Salum Abouakiahidi kutafuta vitabzaidi.

    Madaktari bingwa kutoka Kuwait watua MuhimbilNa Mwandishi Wetu karibuni ambako ndio makuu

    ya taasisi hiyo.Alisema, Rais Kikwete

    alipokuwa nchini humo,a l i a h i d i w a m i s a a d ambalimbali kwa Tanzaniana moja ya misaada hiyoni kuwasili kwa madaktari

    bingwa wa upasuaji wapatao14 na madaktari wengine sita,ambao wamekuja Tanzaniakufanya operesheni kwakushirikiana na hospitali yaTaifa Muhimbili.

    Alisema, madaktari haowakiongozwa na Dk. HishamAbu Rizk, ni bingwa waupasuaji wa magonjwa yawatoto, upasuaji wa macho,koo, sikio na Pua, upasuajiwa kawaida (general surgery)wataalam wa dawa za usingizina uuguzi ambapo wameanzakazi yao Mei 20 na watafikiatamati Mei 25.

    Aidha madaktari haopamoja na kuwa Muhimbili,pia wataendelea na kutoahuduma ya macho katika

    zahanati ya Africa MuslimAgency iliyopo Tabata jijiniDar es Salaam, hudumaambayo nayo itakuwa yasiku tano.

    K w a u p a n d e w a k eMkurugenzi Mtendaji waHospitali ya Taifa MuhimbiliDk. Marina Njelekela, alisemawamepokea kwa mikonomiwili ujio wa madaktarihao na kwamba kuwasilikwao kutasaidia huduma yaupasuaji hospitalini hapo.

    Alisema madaktari haowapo katika makundi manne,wanaofanya upasuaji kwawatoto, upasuaji wa kawaida,upasuaji wa pua na koo, masikiona upasuaji wa macho.

    H o s p i t a l i y a T a i f aMuhimbili tunawashukuru sanakwa ujio wao kwasababu kunawagonjwa wengi wanaosubiriupasuaji kutokana na idadindogo ya madaktari tulionao. Tumefunga baadhi yavyumba kwa ajili ya kuwapa

    nafasi madaktar i hawkufanya upasuaji. AlisemMkurugenzi huyo.

    Aliongeza kuwa madaktahao watafanya upasuaji wwagonjwa 150 katika hizsiku tano watakapokuwa hapnchini tangu Jumatatu hadIjumaa ambapo Jumamos

    wataondoka kurudi KuwaitDk. Njelekela alisema kuw

    wagonjwa watakaofanyiwupasuaji ni wale ambao wapkatika kliniki na wanakujkatika hospitali ya Taifa kwajili ya mahitaji ya upasuaj

    Na ye Ka imu Da kt arB i n g w a w a U p a s u a jMuhimbili, Bw. LaurencRwanyuma, alisema kuwasikwa madakri hao kutatofursa kwa madaktari whospitali hiyo kubadilishanutaalam na maarifa nwataongeza huduma yupasuaji kwa wagonjwa.

    Sheikh Omar Kirwood (kulia) na Sheikh Othman Maalim (katikati) wakiwa na mwenyejiwao Katibu Mtendaji wa Markaz Kabyr, Sheikh Shuaib Salum Aboud mjini Mafia.

    (Picha na Juma Hussein Ngido)