annuur 1122

16
ISSN 0856 - 3861 Na. 1122 JAMADUL AKHEIR 1435, IJUMAA , APRILI 25-MEI 1, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected] (1) KAMILISHA NGUZO ZA DINI YAKO! Ewe Muislamu, HIJJA NI NGUZO KATIKA UISLAMU, mwenye kuisimamisha amesimamisha Dini. Thibitisha Imani yako kwa vitendo! Wahi sasa kuja kulipa uitakase mali yako na kupata Radhi za Mola wako. Gharama zote ni Dola 4,500. Karibu Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Njoo ukamilishe Dini yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi ifuatavyo: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 -462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708. Wassalaam. Prof. Njozi aonya hatari ya fitna Italeta mauaji ya Waislamu, Wakristo Ataka akina Lukuvi wachunge kauli zao Isije kuwa ni 'washenga' wa akina Carlucci Sheikh Jongo atoa mwongozo, ufafanuzi KAMA William Lukuvi ana hofu na Uislamu, basi Waislamu nao wana hofu kubwa na Mfumo Kristo. Na Kwamba Waislamu wamekuwa wakieleza hofu hiyo kwa muda mrefu na aliyosema Lukuvi Kanisani Waislamu wahofia Mfumo Kristo Sheikh Kundecha alipasha Bunge la Katiba Uamsho gani aliuwa Askofu? Lukuvi aeleze JUMUIA ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMAZA), maarufu, Uamsho, wamemtaka Waziri katika UAMSHO wamtaka Lukuvi kuthibitisha madai yake Barua zatua kwa Sitta, JK, Shein Na Mwandishi Wetu Ofisi ya Waziri Mkuu, Uratibu na Sera Bw. Willam Lukuvi, kuthibitisha tuhuma zake dhidi ya Jumuiya hiyo. Tuhuma hizi ni zile za kuwahusisha Masheikh wa Uamsho na ugaidi wa Inaendelea Uk. 3 Na Bakari Mwakangwale na kushangiliwa Bungeni, ni kudhihirisha usahihi wa hofu yao. Hayo yamesemwa na Sheikh Mussa Yusuf Kundecha juzi Jumatano wakati akizungumza katika Bunge la Katiba Dodoma. Sheikh Kundecha Inaendelea Uk. 5 Ni kile kilichowaletea balaa Wayahudi Kama Tatu ni Uislamu na Waarabu,…. Je, Serikali Mbili ni Ukristo na Wazungu? Waislamu Zanzibar waandaliwa kitanzi Uk. 8 VIONGOZI wa UAMSHO, Sheikh Yusuph Khamis (katikati), kulia ni Salim Amri Salim wakitoa taarifa yao kwa vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Sheikh Rajab Katimba wa BARAZA KUU la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini. wamemtaka Waziri katika PROF. Hamza Njozi. SHEIKH Mussa Kundecha

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 12-May-2017

805 views

Category:

Documents


3 download

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1122

ISSN 0856 - 3861 Na. 1122 JAMADUL AKHEIR 1435, IJUMAA , APRILI 25-MEI 1, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz Facebook:[email protected]

(1) KAMILISHA NGUZO ZA DINI YAKO!Ewe Muislamu, HIJJA NI NGUZO KATIKA UISLAMU, mwenye ku is imamisha amesimamisha Dini. Thibitisha Imani yako kwa vitendo! Wahi sasa kuja kulipa uitakase mali yako na kupata Radhi za Mola wako. Gharama zote ni Dola 4,500. Karibu Ahlu Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na huduma bora. Njoo ukamilishe Dini yako na uboreshe Hijja yako. Tafadhali wasiliana nasi ifuatavyo: Tanzania Bara: 0655/0765/0682/0777 -462022; Zanzibar: 0777468018/0685366141/0657606708. Wassalaam.

Prof. Njozi aonya hatari ya fi tnaItaleta mauaji ya Waislamu, WakristoAtaka akina Lukuvi wachunge kauli zaoIsije kuwa ni 'washenga' wa akina CarlucciSheikh Jongo atoa mwongozo, ufafanuzi

KAMA William Lukuvi ana hofu na Uislamu, basi Waislamu nao wana hofu kubwa na Mfumo Kristo.

Na Kwamba Waislamu wamekuwa wakieleza hofu hiyo kwa muda mrefu na aliyosema Lukuvi Kanisani

Waislamu wahofi a Mfumo KristoSheikh Kundecha alipasha Bunge la KatibaUamsho gani aliuwa Askofu? Lukuvi aeleze

JUMUIA ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Z a n z i b a r ( J U M A Z A) , m a a r u f u , U a m s h o , wamemtaka Waziri katika

UAMSHO wamtaka Lukuvi kuthibitisha madai yake

Barua zatua kwa Sitta, JK, SheinNa Mwandishi Wetu

Ofisi ya Waziri Mkuu, Uratibu na Sera Bw. Willam Lukuvi, kuthibitisha tuhuma zake dhidi ya Jumuiya hiyo.

Tuhuma hizi ni zile za kuwahusisha Masheikh wa Uamsho na ugaidi wa Inaendelea Uk. 3

Na Bakari Mwakangwale na kushangiliwa Bungeni, ni kudhihirisha usahihi wa hofu yao.

H a y o y a m e s e m w a na Sheikh Mussa Yusuf Kundecha juzi Jumatano wakati akizungumza katika Bunge la Katiba Dodoma.

S h e i k h K u n d e c h a Inaendelea Uk. 5

Ni kile kilichowaletea balaa Wayahudi Kama Tatu ni Uislamu na Waarabu,….Je, Serikali Mbili ni Ukristo na Wazungu?

Waislamu Zanzibar waandaliwa kitanzi

Uk. 8

VIONGOZI wa UAMSHO, Sheikh Yusuph Khamis (katikati), kulia ni Salim Amri Salim wakitoa taarifa yao kwa vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Sheikh Rajab Katimba wa BARAZA KUU la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini.

wamemtaka Waziri katika zake dhidi ya Jumuiya hiyo.

PROF. Hamza Njozi. SHEIKH Mussa Kundecha

Page 2: ANNUUR 1122

2 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari

AMA kweli tabia haina dawa.Bunge sasa linaonekana kupoteza mwelekeo . Limegeuka kuwa Bunge la mjadala dhidi ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), badala ya kujadili rasimu ya Katiba M p ya a m b a y o n d i o kusudio la kuundwa kwa Bunge hilo.

Tu n a c h o k i o n a s a s a kutoka kwa wajumbe watiifu wa vikao vya kujadili rasimu ya Warioba, n i k u w a d h i h i r i s h i a wananchi kwamba tabia haina dawa.

T a n g u w a j u m b e wanaounda kundi la UKAWA, ambao kwa kiasi kikubwa wanatoka vyama vya upinzania vya CHADEMA, CUF, N C C R A - M a g e u z i kususia vikao vya Bunge h i l o v i n a v y o e n d e l a mijini Dodoma siku ya Jumatano ya Aprili 16, w a j u m b e w a l i o s a l i a bungeni wameonekana kuweka pembeni mjadala mahsusi, na badala yake wameendelea na ‘mjadala’ wa vijembe, kejeli, mipasho, matusi na dhihaka dhidi ya wajumbe waliotoka.

Zimetolewa kauli nyingi kwamba k i tendo cha Ukawa kususia vikao vya Bunge vinavyoendelea, n i k u f u j a m u d a n a fedha za walipa kodi na wananchi, ambao ndio waliowatuma wajumbe hao kuwaundia Katiba Mpya wanayoikusudia.

Kwamba wajumbe hao wanapoteza muda na fedha nyingi za wananchi huku wakishindwa kufanya kazi waliyotumwa na wananchi.

Kimsingi hatukata i kwamba k i tendo cha wajumbe wa Ukawa kususia Bunge si cha kiungwana na kinawakwaza wananchi. Lakini pia tunafahamu kuwa kufanya hivyo ni njia mojawapo ya kushinikiza kile wanachoamini ni sahihi na kina manufaa na wananchi kiwemo ndani ya Katiba.

Kwa namna ambavyo Ukawa wamegeuka kuwa mjadala Bungeni badala ya mjadala kubakia kuwa wa katiba, tunadiriki kusema kwamba wajumbe waliosalia ‘mjengoni’ nao wanazidi kufanya kosa zaidi la kufuja fedha za

Bunge limekuwa la Ukawa badala ya Katiba?

walipa kodi na wananchi kwa ujumla, kwa kutumia muda wote waliokosekana Ukawa bungeni, kuwajadili wajumbe wenzao hao badala ya kuendelea na mjadakla wa rasimu ya katiba mpya.

Tunavyoona, pale kundi la watu wanapokuwa k a t i k a h a r a k a t i z a kuliendea jambo lenye maslahi makubwa kwa umma, pale baadhi yao wanapofanya kosa, basi wengine hutumia fursa hiyo kusahihisha kosa lililofanywa na wenzao ili mambo yaende sawa.

Hai t a ra j iwi b aadhi wafanye kosa, halafu wengine nao waendelee kufanya kosa la ina ile ile japo ni kwa njia tofauti.

Tulitarajia wajumbe walio watiifu wa vikao n a w a n a o o n a k u w a w a n a z i t e n d e a h a k i p o s h o w a n a z o p a t a , wangesahihisha kosa la kuondoka Ukawa kutenda haki kwa kutumia muda na posho kujadili rasimu ya katiba badala ya kurejea makosa yale yale kujadili watu au yale wasiyotumwa na wananchi.

Kwa kifupi ni kwamba w a l i o s a l i a b u n g e n i wakati Ukawa hawapo, w a m e t u m i a f u r s a waliyopata kufuja fedha za wananchi na muda kwa kumwaga porojo dhidi ya wajumbe wa Ukawa badala ya kuendelea na msingi wa mjadala ambao ni rasmu ya Katiba.

Tunachoshauri, kuna haja sasa ya wajumbe k u b a d i l i k a . Wa k a t i wajumbe wanajadili rasimu hii ya Katiba mpya, sharti vichwa vyao vitawaliwe na busara, hekima na uvumilivu na uadilifu.

K a m a w a j u m b e watakuwa na mambo hayo manne, ni dhahiri kwamba hata wakati mjumbe anatoa ho ja zake , ha takuwa kungwa wa hoja za matusi, kejeli, mipasho na chuki.

Wala hawezi kutoka nje ya mada na kuibua mada nyingine. Hapo maridhiano yanaweza kufikiwa na ndoto ya katiba mpya inaweza kutimia.

JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu (T) imesema, i t a w e k a h a d h a r a n i matamshi ya Mh. Wiliam L u k u v i , a l i y o y a t o a K a n i s a n i d h i d i y a Waislamu na Jumuiya ya Uamsho, kwa njia ya video ili Waislamu wamuhukumu.

Msemaji wa Jumuiya hiyo Sheikh Rajab Katimba, ameliambia gazeti hili mapema wiki hii kuwa shughuli hiyo itafanyika Jumapili (Aplir 27, 2014) katika Msikiti wa Mtambani p a t a k a p o f a n y i k a Kongamano kubwa la Waislamu.

A l i s e m a , l e n g o l a kufanya hivyo ni kutoa uhalisia wa tukio halisi na kwamba yanayoripotiwa ni machache ukilinganisha n a m e n g i a l i y o s e m a akiwa Kanisani mbele ya Wachungaji.

Sheikh Katimba, alisema pia watasambaza mkanda huo (DVD) kwa waandishi wa habari ili wajionee ukweli halisi wa kauli za Mh. Lukuvi, kwani alidai maneno a l iyoyasema n i h a t a r i s a n a k w a mustakabali wa Tanzania.

“ T u t a k u w a n a K o n g a m a n o s i k u ya Jumapili hapa Mtambani, litakalo anza majira ya saa tatu asubuhi, ambalo mbali na mambo mengine t u t a m u o n y e s h a k wa mkanda Mh. Lukuvi, akiwa Kanisani akitoa matamshi yake dhidi ya Waislamu.” alisema Shkh. Katimba.

Alisema, wanafanya h i v y o i l i Wa i s l a m u na vyombo vya habari waweze kupima k i le ambacho Mh. Lukuvu, alichodai kuwa maneno yale ni maoni yake na dola kutomchukulia hatua zozote huku Masheikh wao, wakitoa maoni yao huitwa ni wachochezi na kudaiwa wanawagawa wananchi na kuhatarisha amani ya nchi, hatimaye kuwekwa ndani na hata kunyimwa dhamana kwa tuhuma zinazostahi l i dhamana.

“Huwezi kuwa kiongozi uliyeelimika na kuaminiwa na Rais, ukakosa hekima na busara ya kujua nini uongee na wapi na katika mazingira gani hivyo tuna mashaka na tuhuma alizopewa ya kugushi vyeti

Mkanda wa Lukuvi kanisanikuwekwa hadharani MtambaniNa Bakari Mwakangwale

vyake vya elimu. “Hadi leo ameshindwa

kujisafisha na tuhuma hizo, labda huenda ndio sababu ya kukosa busara ya kiuongozi na kufikia hatua ya kufanya uchochezi Kanisani.” Alisema Shkh. Katimba.

Katika hatua nyingine, Jumuiya hiyo ya Taasisi za Kiislamu, imesema hawakutarajia Mh. Lukuvi, aliye Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), kutamka kauli chafu na za uchochezi ndani ya Kanisa dhidi ya Waislamu na Taasisi ya Kiislamu iliyosajiliwa kwa mujibu wa Sheria.

Akiongea mbele ya Waandishi wa habari, Jumanne wiki hii katika Msikiti wa Mtambani, Shkh. Katimba alisema kauli za Mh. Lukuvi, Kanisani zina nia ya kuleta chuki , kuwatia woga wananchi na kuwanyima haki yao ya kikatiba ya kupendekeza muundo wa Katiba waitakayo.

“Mpaka leo (Jumanne) hakuna hatua zozote z i l i z o c h u k u l i w a n a mamlaka husika kwa kumuwajibisha kiongozi huyu mbaguzi, mchochezi, na mwenye chuki za wazi dhidi ya Waisamu na

Uislamu nchini.” Alisema Shkh. Katimba.

Shkh. Katiba, alisema i k i m b u k w e k w a m b a m a u a j i y a R w a n d a yalisababishwa na viongozi kama hawa wenye ubinafsi na wapenda madaraka ambao wako tayari hata kuchochea chuki na mauaji miongoni mwa jamii ili kulinda maslahi yao.

“Kama kiongozi wa Serikali hana chuki za udini dhidi ya Uislamu kwa nini hadi leo uchunguzi wa milipuko ya Arusha haswa ule wa Kanisani hajaweka wazi”, alisema na kuhoji:

Alisema, kutokana na kauli za Mh. Lukuvi, dhidi ya Waislamu na Uislamu, Jumuiya na Taasisi za Kiislamu na wapenda haki kwa nini wasiamini kuwa kuna mpango wa siri wa kuwaangamiza viongozi wa Kiislamu.

Hivi karibuni, Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) Mh. Wil iamu Lukuvi, akiwa katika Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, kisha Bungeni alitamaka maneno ambayo ya n a a s h i r i a u b a g u z i wa kidini akiishutumu J u m u i ya ya U a m s h o ya Zanzibar pamoja na Waislamu.

MSEMAJI wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), Sheikh Rajab Katimba.

Page 3: ANNUUR 1122

3 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Habari

Prof. Njozi avunja mwikoTAHADHARI imetolewa juu ya fitna inayoweza k u p a n d i k i z wa i k a l e t a mauwaji baina ya Waislamu na Wakristo nchini.

Tahadhari hiyo imetolewa n a M j u m b e wa B u n g e Maalum la Katiba, Prof. Hamza Mustafa Njozi ambaye amesema kuwa hivi sasa kuna mikakati ya kuzivuruga nchi za Afrika Mashariki ziwe kama ilivyo Somalia, na uchochoro unaotumika ni madai ya ugaidi.

Amesema, Kenya ambako kuna Waislamu wachache, wanauliwa halikadhalika Uganda, Waislamu walio w a c h a c h e w a n a u l i w a wakipachikwa ugaidi.

Inapokuja Tanzania, hasa Zanzibar, wanaoandamwa na vitendo vya kigaidi ni Wakristo, na watuhumiwa wa kufanya ugaidi huo ni Waislamu.

A k i n u k u u t a a r i f a m b a l i m b a l i , P r o f e s a N j o z i a n a s e m a k u w a kinachoonekana ni mikakati ya kuzivuruga nchi hizi ili zisitawalike na iwe rahisi kuzidhibiti na kutumiwa kwa masilahi ya mabeberu.

Awali alisema, mabeberu wana kawaida ya kuhamisha agenda, ambapo alihusisha tukio la kulipuliwa ubalozi wa Marekani nchini na matatizo yaliyokuwa yakimkabili Rais Bill Clinton.

Na katika kujenga hoja yake akasema wapo watu mashuhuri waliomlaumu Clinton, mara baada ya shambulio lile ni kwanini anauwa watu wasio na hatia katika kukabiliana na matatizo yake.

Anasema, awali ilidhaniwa kuwa ili kuhamisha agenda, k i p i g o k i n g e m w e n d e a Saddam Hussein, lakini ha ikuwa hivyo. Kipigo kikaenda Afrika Mashariki.

(Waliopigwa pia walikuwa Sudan, ambapo kiwanda cha kutengenezea madawa ya binadamu kilishambuliwa, madai yakiwa ugaidi.)

Prof. Njozi akirejea katika historia, ameonya kuwa wapo watu wana f i tna kubwa akimtaja aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini Frank Carlucci ambaye alidai kuwa alifaulu sana somo la kufitinisha watu.

Carlucci anatajwa kuwa alihusika katika kuuliwa kwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Congo, Patrice Lumumba. Lumumba aliuliwa Januari 1961, wakati huo Carlucci akiwa msaidizi wa Balozi wa Marekani Congo na kachero wa CIA (covert CIA agent) katika eneo hilo.

Katika nyaraka mbalimbali ambapo sasa zimewekwa

Na Mwandishi Wetu wazi, Rais wa Marekani w a k a t i h u o , D w i g h t Eisenhower, alitoa amri kwa CIA kumuuwa Lumumba.

I n a e l e z w a k u w a kumbukumbu za kikao cha Nationa Security Council (Baraza la Usalama) Agosti 1960, zilithibitisha kuwa Rais Eisenhower alimwamuru mkuu wa CIA Allen Dulles, kummaliza Lumumba.

Lugha iliyotumika ni ‘to “eliminate”. Hiyo ni kwa mujibu wa maelezo ya Robert H. Johnson, akitoa ushahidi katika Kamati ya Usalama ya Bunge la Seneti (Senate Intell igence Committee) mwaka 1975.

K u t o k a n a n a f i t n a iliyopandikizwa toka zama hizo za Lumumba, mpaka leo wananchi wa Congo, wanataabika kutokana na fitna za akina Frank Charles Carlucci.

Somalia inaelekea huko huko na ndio maana profesa Hamza Njozi akatoa tahadhari wananchi, na hasa viongozi kujiepusha na uchochezi kama aliofanya Lukuvi, kanisani.

Katika kurejea historia hiyo, akaonya kuwa hivi sasa kuna mchezo wa fitna baina ya Waislamu na Wakristo na kwamba tusipokuwa makini, kuna hatari watu kuchinjana katika muda mfupi ujao.

Alisema, kwa wanaofuatilia mambo, vurugu na mauwaji yanayoendelea Somalia, y a m e s a b a b i s h w a n a yanadumishwa na Marekani.

Na kwamba, ushahidi uliopo ni kuwa hao hao wanaojidai kusaidia serikali ya Somalia kupambana na Al Shabab, ndio hao hao wanaowauzia s i laha Al Shabab.

Akasema, Al Shabab, sasa wamefanywa ndio tishio la ukanda huu, lakini yote hayo ni katika kujenga fitna na kuzisambaratisha nchi zetu.

Katika hali kama hiyo, amerejea matukio yaliyotokea Zanzibar ya kumwagiwa tindi kali Padiri Joseph Mugamba na lile la kujeruhiwa kwa risasi Padiri Ambrose Mkenda a m b a p o k i l i s a m b a z wa kipeperushi kilichodai kuwa waliofanya shambulio hilo ni Al Shabab waliorejea kutoka Somalia na kutishia kufanya mashambulizi zaidi.

Hata hivyo akasema kuwa ukitizama lugha iliyotumika, haitakuwa tabu kugundua kuwa hiyo ilikuwa ni kazi ya wapandikiza chuki na fitna.

A k a o n g e z a k u w a alipouliwa Padiri Evarist Mushi, mafatani hao walikuja na kipeperushi kingine wakiwahimiza Wakristo kulipiza kisasi.

Alisema, kipeperushi hicho kilionekana kana kwamba kinatoka kwa Wakristo.

Hata hivyo akasema, viongozi wa Kanisa haraka haraka walikanusha kuhusika na kipeperushi hicho na kuwataka waumini wao kuwa

na subra.Profesa Njozi alichukua

fursa hiyo kuwapongeza na kuwashukuru viongozi wa Kanisa Katoliki ambao waliwatuliza waumini wao na kuwaambia kuwa Waislamu Zanzibar, hawawezi kuwa maadui wa Wakristo.

H o j a a l i y o k u w a akijenga Profesa Njozi ni kuwa hofu yake, ambayo alijaribu kuijengea hoja na ushahidi, ni kuwa matukio yanayodaiwa ya kigaidi yaliyotokea Zanzibar, hasa yale ya kumwagiwa tindi kali, kuuliwa viongozi wa Kikristo na kuchomwa makanisa, ni ya kupandikizwa, lengo likiwa ni kuwachonganishwa Waislamu na Wakristo.

Alituhumu kuwa hata vile vipeperushi vilivyosambazwa baada ya hujuma iliyofanywa dhidi ya viongozi wa Kikristo, ki l ikuwa cha mawakala wa fitna na farka dhidi ya wananchi wa Tanzania.

Ni kutokana na ukweli na mazingira hayo, akataka Watanzania kuchunga ndimi zao na kuwa makini wasije kujikuta wakiwa mawakala wa mabeberu wanaokusudia kuiparaganya nchi yetu.

Akatoa mfano wa hotuba al iyotoa Wazir i Lukuvi kanisani, ambayo kimsingi i l i k u w a i k i w a c h o c h e a Wakristo dhidi ya Waislamu.

Alisema, ndani ya Kanisa alipokuwa akizungumzia Lukuvi, palionekana wazi ushabiki wa Wakristo wa kushabikia chuki aliyokuwa a k i i p a n d i k i z a Wi l l i a m Lukuvi.

Katika hali hiyo akasema, wakishapatikana mashabiki na washenga, yale matukio ya kupandikizwa, yatapatiwa wa t u wa k u ya t e k e l e z a kiukweli, na kile kitisho cha kupandikizwa, sasa kitaonekana kuwa kweli.

Kwa hali hiyo akasema, kwanza ni lazima tuelewe mazingira tuliyomo kwamba wapo wafitini wanaopanga kutuparaganisha wakitumia ugaidi wa kupanga.

Na wakishaelewa hivyo, w a s i w e w a s h e n g a n a mawakala wa kuchochea fitna na mauwaji baina ya Waislamu na Wakristo.

Wakati huo huo, Sheikh Haamid Masoud Jongo, ametoa tahadhari kuwa sheria za Kiislamu haziwezi kuchezewa kwa kujadiliwa bingeni, bali wasio zikubali, watumie uhuru wao kutoka katika Uislamu.

Aliyasema hayo baada kumtaka Mwenyekiti ampe muda kutoa taarifa kufuatia kauli ya mmoja wa wajumbe aliyetaka kuwe na kipengele cha kulinda masilahi ya wanawake akidai kuwa dini ya Kiislamu haiwatendei haki wanawake.

Inatoka Uk. 1

UAMSHO wamtaka Lukuvi kuthibitisha madai yakekuuwa viongozi wa Kikristo na kuchoma moto makanisa.

Wamesema, watalazimika kwenda mahakamani iwapo waziri huyo atashindwa kuthibitisha madai yake.

H a t u a h i y o i m e k u j a kufuatia kitendo cha Waziri Lukuvi kuihusisha Jumuia hiyo na vitendo vya kihalifu huku akimuunga mkono Mjumbe wa Bunge la Katiba B w . Au g u s t i n o M r e m a kwa kauli yake bungeni ya kuihusisha Jumuia hiyo na mauaji ya Padri Zanzibar, kuchomwa Makanisa na uharibifu wa mali za umma na miundo mbinu.

“ N i M a s i k i t i k o ye t u makubwa kwa Waziri… W i l i a m L u k u v i k w a kuzungumza tuhuma nzito dhidi ya Jumuia ya Uamsho bila ya kuwa na ushahidi wa alichokizungumza, jambo la kushangaza zaidi ni kingozi mkubwa na maarufu kama yeye kuzungumza uwongo na uchochezi Kanisani na Bungeni… akiwapotosha w a n a n c h i … ” , i l i e l e z a sehemu ya taarifa ya Uamsho iliyosainiwa na Katibu Mkuu wake Ust. Abdallah Said Ali.

Aidha Uamsho walisema kuwa Bw. Lukuvi alitumia nafasi yake kuihusisha taasisi hiyo na Chama cha Wananchi CUF kwa kueleza kuwa sera za CUF ndizo sera za Uamsho, jambo ambalo si sahihi.

Ta a r i f a h i y o i l i e l e z a kwamba kauli alizozitoa Bw. Lukuvi dhidi ya taasisi hiyo, inaonyesha wazi jinsi baadhi ya viongozi wa serikali kujichukulia sheria mkononi kwa kuchukua nafasi ya mahakama kutoa hukumu.

Katika taarifa yao ambayo nakala yake pia imetumwa kwa Spika wa Bunge Maalum, UAMSHO walihoj i kwa Mh. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, kutaka kujua kuwa yale aliyoyatoa Waziri Lukuvi kule Kanisani na kuyakar i r i Bungeni yalikuwa maoni ya serikali au yake binafsi kama muumini wa Kanisa.

Hata hivyo taarifa hiyo i l ieleza kuwa kimsingi , wanaamini kuwa kauli za Bw. Lukuvi yalikuwa ni maoni ya serikali kwa kuwa yeye alikwenda Kanisani kwa niaba ya Waziri Mkuu na pia ni msemaji wa Wizara yake na kwamba, hadi sasa serikali bado imekaa kimya kuonyesha inaunga mkono ubaguzi wa kidini aliouchochea Bw. Lukuvi.

K a t i k a t a a r i f a y a o , U A M S H O w a l i s e m a kuwa mwaka 2004 Jumuia i l i t u h u m i wa k u h u s i k a n a v u r u g u z i l i z o t o k e a Zanzibar, ikiwemo milipuko ya mabomu, kuchomwa Makanisa, kuchomwa gari la Polisi na kuharibiwa miundombinu. Kufuatia hali hiyo ziliundwa Tume mbili kwa ajili ya kuchunguza matukio hayo, yaani Tume ya Maziwa Makuu na Tume ya K a m a t i M a a l u m ya Jeshi la Polisi ikiongozwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Tanzania Bw. Robert Manumba.

Tume hizo zilitangaza

kuwa ndani ya mwezi mmoja zingetoa matokeo yao. Lakini hadi sasa Tume hizo hazijatoa matokeo ya ripoti zao.

A i d h a U A M S H O wameeleza kuwa matukio kama hayo yalitokea kati ya Mei 26 na 29, 2012 na lawama kuelekezwa tena UAMSHO.

Kufuatia hali hiyo Jumuia iliamua kumwandikia barua Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein mnamo Juni 3, 2012 wakimuomba a u n d e T u m e H u r u kuchunguza na kutolewa hadharani ripoti ya matokeo juu ya wahusika.

Hadi leo Tume haijaundwa jambo linalotia mashaka kuwa wanaofanya unyama huo wanafahamika na kwamba kuna agenda za siri ambayo jamii haijazifahamu.

Kufuatia kauli hizo za hivi karibu za kuikashifu UAMSHO, Jumuia hiyo imesema kuwa haina uhusiano wowote na chama cha CUF wala chama chochote cha siasa nchini kama ilivyodaiwa na Bw. Lukuvi.

Ta a s i s i h i y o i l i e l e z a kuwa pale viongozi wa dini isiyokuwa ya Kiislamu w a n a p o z u n g u m z i a masua la ya k i j ami i na kisiasa, wanaonekana kuwa wametekeleza wajibu wao kikatiba na uhuru wao wa kujieleza, lakini inapotokea viongozi wa Kiislamu kutoa maoni yao juu ya mambo hayo hayo, hutokea baadhi ya viongozi wa serikali kuwalaumu na kuwatuhumu kuvunja amani, kuchochea, kuchanganya dini na siasa na kutaka kusababisha vurugu.

Taarifa ya UAMSHO ilihoji Bw. Lukuvi alivyokwenda K a n i s a n i D o d o m a n a kuchanganya dini na siasa na zaidi kuleta uchochezi kati ya Waislamu na Wakristo.

Taarifa hiyo iliwakumbusha Bw. Lukuvi na Bw. Mrema kwamba, lengo la kwenda D o d o m a k a t i k a B u n g e Maalum la Katiba ni kujadili rasimu ya Katiba Mpya na sio kuijadili UAMSHO.

Ilielezwa kuwa UAMSHO ni taasisi iliyosajiliwa kihalali na serikali ya Mapunduzi Zanzibar na tangu ilipopata usajili, imekuwa ikifanya kazi zake kisheria na kwamba haijawahi kupatikana na hatia ya aina yeyote ya uvunjifu wa sheria.

“…Mh. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, tunamtaka Mh. Lukuvi atowe ushahidi wenye uhakika juu ya tuhuma hizo, kama hana ushahidi yakinifu, taratibu za kisheria zichukuliwe dhidi yake.”

“…Tunapenda kuwaambia Watanzania na wapenda amani wote kuwa Jumuia haitorudi nyuma katika kutoa maoni yake bila ya kuvunja sheria za nchi”.

Ilihitimisha taarifa hiyo ya UAMSHO ambayo nakala zake zimesambazwa pia kwa Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Zanzibar, Ali Shein.

Page 4: ANNUUR 1122

4 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Makala

KWA kipindi kirefu historia ya Mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa ni ile historia rasmi ambayo imeathiri historia nyingi Afrika. Viongozi wa Afrika wanapenda ile historia itakayowakweza na kuwaonyesha wao k a t i k a m w a n g a w a kupendeza. Vinginevyo, historia hiyo haitakiwi. Wazalendo wenyewe hawakuwa na hamu ya kuandika historia hii na watu wa nje walioandika historia ya mapinduzi ya Zanzibar hawakupata kuifanyia haki historia ya Z a n z i b a r , l a b d a kwa ugeni wao na kwa k u ya a m i n i m a e l e z o ya l i y o k u wa “ wa z i ” kwa wakati ule, mfano mkubwa ukiwa ni kule kuamini kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalipangwa na makomredi wa Umma Party.

H a p a j a k u w a p o udanganyifu mkubwa k a t i k a u a n d i s h i n a utafiti kama huu. Dkt Ghassany, amekiweka chano uwanjani b i la kawa. Akizungumza na Abdushakur Aboud, wa Sauti ya Amerika. Dkt G h a s s a n y , a m e s e m a kuwa historia ya Zanzibar ni historia ya kujijuwa maisha yake akiwa mjukuu wa babu wa mababu Muomani na mabibi wa Kimanyema na Kimwera– mchanganyiko wa damu ya Kiarabu na Kiafrika.

Hii kwa hakika ndiyo historia ya wananchi wa Zanzibar. Ni tabu s a n a k u m p a t a h u y o Muarabu Zanzibar kila umuonae Muarabu basi ana mjomba na shangazi Mwafrika. Maadui wa Z a n z i b a r wa k i w e k a mkazo katika ubaguzi wa rangi na kuwafitinisha Wazanzibari. Ukweli huu ndiyo chanzo cha matatizo

Miaka 50 ya Muungano: Kuufahamu Muungano, lazima uijue Historia ya kweli ya Mapinduzi ya Zanzibar Victor Mkel lo, Mzee Mkwawa, wanamapinduzi waliofutwa katika historia

Victor Mkello Akiwa Nyumbani Kwake, Nguvumali Tanga. Akiwa Katika Kitanda Chake cha Mauti.

Na Mohammed Said

y o t e y a l i y o i k u m b a Zanzibar toka vyama vya siasa vilipoanza katika miaka 1950 na matatizo yaliyosababisha mauaji ya mwisho yakiwa mwaka 2001.

M o h a m e d O m a r i Mkwawa: Mwaka 1995 wakati wa uchaguzi wa kwanza wa vyama vyingi Tanzania nilibahatika kufuatana na mgombea u r a i s wa C U F P r o f . Ibrahim Haruna Lipumba, k a t i k a k a m p e n i z a uchaguzi katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Prof. Lipumba, alifanya mkutano mkubwa sana Tangamano kiasi cha kuishtua CCM. Baada ya mkutano ule Prof. Lipumba na ujumbe wake walialikwa nyumbani kwa mama mmoja akijulikana kama Mama Ummie (sasa ni marehemu) ambako walifanyiwa dhifa kubwa. Kote tukipita mitaa ya Tanga msafara wetu ulikuwa ukishangiliwa

kwa nguvu sana. CUF ilikuwa imeingia Tanga kwa kishindo kikubwa.

M i m i k a z i y a n g u i l i k u w a k u a n g a l i a niliyokuwanayaona na kupiga picha. Kwa hakika nilikuwa nikishuhudia h i s t o r i a i k i j i a n d i k a . Historia ambayo ilikuwa imeshahibiana sana na ile ya wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika katika miaka 1950. Lakini ninalotaka kusema si hili bali ni picha ambayo niliipiga ndani ya nyumba ya Mama Ummie. Picha hii ilikuwa inamuonyesha mzee mmoja wa makamo aliyevaa fulana ya CUF mbele ikiwa na picha ya Prof. Lipumba. Mzee huyu alikuwa amekaa nyuma ya Prof. Lipumba. Kwa wakati ule picha hii haikuwa na maana yoyote kwangu na hata nilipokuwa naitazama mara kwa mara sura yake si iliyokuwa inanivutia bali ile fulana ya CUF aliyovaa ambayo ilikuwa

na picha ya rafiki yangu Prof. Lipumba.

Mungu ana mipango y a k e . M i h a n g a i k o y a k u t a f u t a r i z i k i yakanihamishia Tanga na nikawa karibu sana na baadhi ya viongozi wa CUF na wanachama wake. Sasa hapa ndipo nilipokuja kuonana uso kwa uso na mzee yule kwenye picha yangu niliyoipiga hata kwa wakati ule ilikuwa miaka mingi imepita.

J ina la huyu mzee wa n g u n i M o h a m e d Omar Mkwawa. Ilikuwa katika barza yetu ya kawaida ya kunywa kahawa na kula pweza huku tukijadili historia ya Tanzania ambako siku moja Mzee Mkwawa alinambia, “Mohamed, nataka nikuambie kitu. Unajua mimi nimehusika sana katika mapinduzi ya Zanzibar?”

Nilimuangalia Mzee Mkwawa kwa makini. Fikra yangu ya utafiti na uandishi ishashtuka haipo tena usingizini. Mzee Mkwawa aliendelea, “Mimi ndiye niliyekuwa nikiwavusha Wamakonde kutoka Kipumbwi kwenda Zanzibar kuipigia kura ASP na wakati wa mapinduzi, mie ndiye niliyewavusha Wamako nde kwenda kuipindua Serikali ya Jamshid.”

S a s a m o y o wa n g u ukaanza kudunda kwa nguvu. Naisemesha nafsi yangu, “Huyu mzee anajua uzito wa maneno haya?”

Tuishie hapa. Kuanzia s iku i le nikawa sasa n a m t a z a m a M z e e M k w a w a k w a j i c h o jingine na heshima yangu kwake ikawa imepanda m a r a d u f u . N i l i k u wa nimeshatambua kuwa Mzee Mohamed Omari M k w a w a , a l i k u w a mmoja wa wanahistoria waliosahaulika katika historia ya Tanganyika na Zanzibar.

J u u y a h a y o nilishangazwa na kitu kimoja. Iweje leo huyu mwanamapinduzi wa ASP ambae Abeid Amani Karume, alimpa jina la “Tindo” kwa ujasiri wake amekuwa mstari wa mbele CUF chama ambacho kinanasibishwa na Hizbu hasimu mkubwa wa ASP?

Dkt. Harith Ghassany:

Nilikutana na Dr Harith Ghassany, mwaka 1999, nyumbani kwake Maskati, O m a n . N a i k u m b u k a siku ile kama jana vile. K a n i p e l e k a k w a k e

mwenyeji wangu Farouk Abdulla, lakini kabla ya kunipeleka nilikuwa nimeshalisikia jina lake mara nyingi sana pale Maskati, kila nikikutana na jamaa wenye asil i ya Tanzania j ina lake litaibuka. Katika fikra yangu ikani j ia kuwa Dkt. Ghassany, atakuwa ni mtu mzima. Sielewe kwa nini nilipata picha hii. Tulipopiga hodi na akatokea Dkt. Ghassany, kuja kutufungulia mlango n i k a p a t a m s h a n g a o m k u b wa . A l i ye k u wa mbele yangu alikuwa ni kijana mdogo sana tofauti na nilivyodhani. Kwa njia ya utani hata kabla sijatoa salamu. Nikamgeukia Farouk nikasema, ”Ah, Dkt Ghassany, Dkt Ghassany, Dkt, mwenyewe ndiye huyu?” Mila na tamaduni z a w a t u w a p w a n i wakikutana hazipishani.

Maskhara ni dalili ya mapenzi. Dkt. Ghassany, pale pale alipokea yale maskhara na akajibu, ” B wa n a wa n g u we wanakutisha bure kwani we ulidhani litakuwa jitu kubwa?” Urafiki na udugu wetu umedumu hadi leo na ndipo katika mazungumzo aliponifahamisha kuwa anataka kuandika historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar. Hapo ndipo nil ipomjuvya kuhusu M z e e M k w a w a n a nikamuomba aje Tanga amuhoji.

Kitu kimoja mashuhuri kwa mashujaa wa harakati za siasa katika Tanzania ni kuwa takriban wote wana hali ngumu sana za maisha. Sikujua vyema hali ya Mzee Mkwawa, hadi nilipofika nyumbani kwake na Dkt Ghassany. Utu uzima na udhaifu wa m a i s h a u l i k u wa umempiga barabara.

N i l i m j u l i s h a D k t . Ghassany, kwa Mzee Mkwawa na kuwaacha waendelee na maongezi yao. Niliporudi mchana k u m c h u k u a D k t . Ghassany, rafiki yangu alinambia nimuache nije jioni kumfuata. Niliporudi j ion i n i l imkuta Dkt . Ghassany, amechoka na uso umesawijika. Tukiwa ndani ya gari yangu tunaondoka nikamuuliza kulikoni. Dkt. Ghassany, a k a n a m b i a m a n e n o ambayo hadi leo yamebaki k i c h w a n i m w a n g u , ”Mohamed, ufunguo wa kitabu changu anao Mzee Mkwakwa na kama nisingeonana nae utafiti

Inaendelea Uk. 6

Page 5: ANNUUR 1122

5 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Habari za Kimataifa

RIYADHMUFTI wa Saudi Arabia, S wa l e h i b n F a u z a n a l F a u z a n , a m e t o a fat’wa ya kuuawa raia wanaondamana dhidi ya utawala wa kifalme nchini humo.

Mufti huyo amesema kuwa, ni wajibu wa vikosi vya usalama nchini humo kuwaua watu wanaoshiriki katika maandamano ya kuupinga utawala wa Al Saud wa nchi hiyo.

M u f t i F a u z a n amedai kuwa, kuuawa w a a n d a m a n a j i n a w a p i n z a n i S a u d i a , kutakuwa ni kwa maslahi ya wananchi wote.

W a n a h a r a k a t i wanaopingana na utawala wa kifalme wa Saudi Arabia wamesema kuwa,

Mufti wa Saudia atoa fat’wa wapinzani kuuawautawala huo wa kifalme umekuwa ukipora utajiri wa mafuta wa nchi hiyo kwa maslahi yao binafsi.

Wa n a h a r a k a t i h a o wameeleza kuwa, familia nyingi za wananchi wa Saudia, zinaishi katika lindi la umasikini huku nchi hiyo ikishika nafasi ya nne kwa kununua kwa wingi silaha duniani.

K w a m u d a m r e f u u t a wa l a wa k i f a l m e w a S a u d i A r a b i a umekuwa ukilalamikiwa n a k u k o s o l e w a n a mashirika ya kutetea haki za binadamu kwa kuwakandamiza wananchi h u s u s a n wa n a wa k e , huku dola za kibeberu za Magharibi zinazojinasibu kuwa ndizo zilizo mstari

BANGUI VIONGOZI wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wametangaza kuwa Umoja wa Mataifa umewahamisha zaidi ya Waislamu 90 kutoka katika mji mkuu wa nchi hiyo Bangui, ambao wakazi wake wengi ni Wakristo na kuwapeleka kwenye maeneo mengine yenye usalama.

Kamanda wa Polisi wa Banbari Alhaj Abubakar b in Othman, amesema k u w a h a t u a h i y o y a kuwahamisha Waislamu na kuwapeleka kwenye mji wa Banbari, imechukuliwa ili kuwaepusha na vitendo

UN yawahamisha Waislamu Bangui

M U F T I w a S a u d i Arabia, Swaleh ibn Fauzan al Fauzan

wa mbele katika kutetea h a k i z a b i n a d a m u ,

yakinyamazia kimya jinai hizo.

v ya m a u a j i n a u k a t i l i vinavyofanywa dhidi yao na wanamgambo wa Kikristo wa Anti Balaka.

Kamanda wa Polisi wa Banbari amesema kuwa, mji huo unakaliwa na Waislamu na Wakristo wapatao elfu arobaini na tano na kwamba, wafuasi wa dini hizo mbili wanaishi kwa amani kabisa.

Naye Afisa wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) katika Jamhuri ya Afrika ya Kati Tommy Sharp, amesema kuwa hatua hiyo imechukuliwa kwa lengo la kuokoa maisha ya Waislamu ambao wanakabiliwa na hali mbaya ya kiusalama.

Waislamu wahofia Mfumo KristoInatoka Uk. 1a m e s e m a k u wa j a m b o alilofanya Lukuvi, kwenda kuzungumza ndani ya Kanisa, mambo ya kutia chuki baina ya Waislamu na Wakristo, ni la hatari kwa mustakbali wa nchi.

A l i s e m a Wa t a n z a n i a wamegawanyika katika makundi ya kijamii, wapo Waislamu na Wakristo, ambapo akasema, k i la mmoja akisimama katika nyumba yake ya ibada akaeleza wasiwasi wa dini ya mwenziwe, kwamba hapa “Makanisa yatafungwa, lengo la Wazanzibar ni kusimamisha Uislamu”, hiyo sio njia nzuri ya kujenga maelewano.

Amesema, kama Lukuvi alikuwa na hofu ya uhakika juu ya Uislamu, ambacho angeweza kufanya ni kueleza hofu hiyo ndani ya Bunge, lakini kwenda kuzungumza K a n i s a n i , n i k u p i g a propaganda na kuchochea chuki.

A k i f a f a n u a a k a s e m a kuwa mahala pazuri pa kuzungumzia hofu ni katika Bunge la kutunga Katiba linaloendelea hivi sasa na si mitaani au katika nyumba za Ibada.

Akasema zipo hofu nyingi zinazowakumba raia lakini njia zinazoanza kutumika kuelezea kero hizo haziko sahihi.

A k i e l e z e a k a d h i a i l iyoibul iwa na Wazir i Wiliamu Lukuvi, Sheikh Kundecha alisema Waziri huyo a l ipoi twa kutoa ufafanuzi hapo Bungeni, k i l e a l i c h o k i s e m a Kanisani, alieleza kwamba alichokisema ni hofu yake tu, na haoni kama ni vibaya yeye kueleza hofu yake akiwa

huko mitaani.S h e i k h K u n d e c h a

akisherehesha utetezi huo wa Lukuvi, alisema, kiuhalisia Mh. Lukuvi alikuwa katika nyumba ya ibada, (Kanisani) ambapo siku iliyofuata, kiongozi wa nyumba hiyo ya ibada, aliripotiwa akisema anasikitika sana kwa Lukuvi, kwenda kusema maneno yale Kanisani.

“ Z i p o h o f u n y i n g i z i n a z o w a k u m b a r a i a , lakini nadhani mahali hapa (bungeni) palikuwa mahali pazuri pa kushuhulikia hofu hizo na kuziweka sawa sawa, kwa bahati mbaya njia zinazotumika sasa zinaweza kuwa sio sawa sawa”.

Alisema Sheikh Kundecha na kuongeza kuwa kama suala ni hofu, basi hofu hizo zipo nyingi.

Akahoji, nani asiyejua kwamba Waislamu humu nchini wana hofu kubwa ya kuwepo kwa ‘Mfumo Kristo’.

“A l i p o k u w a h a p a (Bungeni) Mh. Lukuvi , a l i t o a m f a n o wa M h . Mrema, aliposema Maaskofu wanauwawa, Makanisa y a n a c h o m w a m o t o , unapotafuta maridhiano na ukaelezea jambo la upande m m o j a i n a k u wa k a n a kwamba upande wa pili ndio unaofanya jambo lile”. Alisema Sheikh Kundecha.

Kwa maana kuwa maneno hayo ni sawa na kusema kuwa Masheikh ndio waliouwa na wanaendelea kuuwa Maaskofu na kuchoma makanisa.

Kwa maana hiyo, huko ni kuchochea chuki na uhasama

wa kulipiza kisasi baina ya Waislamu na Wakristo.

Maadili ya utawala wa kisheria, utawala bora na us taarabu yanaelekeza k u wa k a m a k u n a m t u a l ihus ika na mauwaj i , hukamatwa na kufikishwa mahakamani na mahakama ndiyo itakayomuhukumu kul ingana na ushahidi utakaotolewa.

Lakini katika suala hili la kupandikiza chuki, kama a l ivyofanya Mrema na Lukuvi, huibuliwa tu madai na yakasambazwa kana kwamba ni kweli.

L a k i n i b a y a z a i d i , huwatumbukiza Waislamu wote kuwa ni wahalifu na wauwaji wa Maaskofu na pengine ndio msingi wa William Lukuvi kuwaambia Wakristo wenzake wasikubali serikali tatu alizodaiwa kuwa zitaupa Uislamu nguvu Zanzibar.

Sheikh Kundecha, alisema ipo pia Misikiti inayo vunjwa, wapo Masheikh wanao mwagiwa tindikali.

Kwa hiyo, kama kuna nia njema katika kuwa na hofu, kama alivyodai Lukuvi, basi yote hayo yangesemwa.

J a p o K u n d e c h a hakufafanua kwa kutoa mifano, lakini ipo Misikiti i l i y o c h o m wa m o t o n a kuvunjwa ukiwemo ule wa Tunduma.

Hata hivyo, Wakristo waliotuhumiwa kufanya uhalifu huo, hawakufikishwa m a h a k a m a n i , j a p o walikamatwa na polisi katika eneo la tukio.

Hali inakuwa tofauti

inapokuwa watuhumiwa n i Wa i s l a m u a m b a p o hukamatwa kwa mbwembwe na hasira kiasi cha kunyimwa hata dhamana, bila kujali kuwa tuhuma dhidi yao ni za kweli au za kubambikiziwa tu.

Hali kama hiyo, ndiyo wanayosema kuwa ni kwa sababu ya Mfumo Kristo uliopo nchini ambao ni lazima Waislamu wauohofie.

Ni kwa sababu ya mfumo huo huo mpaka leo serikali haijasema lolote juu ya taarifa rasmi ya Kanisa Katoliki nchini kuwa lina Tume ya Majeshi ya Kivita (Commission of Armed Forces).

Lakini badala ya kuhoji juu ya Tume hiyo ya Kanisa, Waziri anasimama katika jukwaa la Kanisa akisema anahofia Uislamu Zanzibar.

Katika kipindi hiki cha kutafuta maridhiano ya Kikatiba, Sheikh Kundecha amesema, ilikuwa ni jambo zuri la kuweka sawa sio kero tu za kisiasa lakini zipo kero nyingi za kijamii ambazo zinatakiwa kufanyiwa kazi.

A l i s e m a Wa t a n z a n i a wamegawanyika katika makundi ya kijamii, wapo Waislamu na Wakristo, ambapo akasema, k i la mmoja akisimama katika nyumba yake ya ibada akaeleza wasiwasi wa dini ya mwenziwe, kwamba hapa ‘Makanisa yatafungwa lengo la Wazanzibar ni kusimamisha Uislamu’ hiyo sio njia nzuri ya kujenga maelewano.

A m a k w a u p a n d e

mwingine Sheikh Kundecha, alisema katika kile ambacho kinazungumzwa kuwa ni kero, za kisiasa zimetajwa sana katika Muungano, lakini mpaka sasa kero za kijamii hazijapata wa kuzisemea vuzuri.

A k i f a f a n u a a l i s e m a , asilimia 75 ya mambo ya Kiislamu yote ni mambo ya kijamii na asilimia 25 tu ndiyo mambo ya kiroho baina ya Muislamu na Mungu wake.

Hivyo bas i , a l i sema, wanapozungumzia mambo ya Mirathi, Ndoa, Talaka yote haya ni mambo ya kisheria, lakini akadai kwa mujibu wa baadhi ya vifungu mambo hayo yote ni batili.

Akasema, tafiti za Jaji Warioba, zinasema, kwanza katika rasimu ya kwanza, h a w a k u w e z a k u w e k a Mahakama ya Kadhi kwenye Katiba kwa sababu wao wanatengeneza Katiba ya Muungano, na suala hilo lilipaswa kuwa katika Katiba ya washirika.

Alisema, katika kpindi hiki ambacho wanasema wanatengeneza maridhiano ya Kitaifa, na wanatengeneza mpango ambao utaendelea kuwahakikishia amani na utulivu, na kuwahakikishia raia wa Tanzania Uhuru wao wa kwenda mahali popote nchini na kuishi bila ya kuvunja sheria kwa nama yoyote.

“Lakini ukweli huu una tija gani, ikiwa Mtanzania yule yule aliyetoka Unguja, Pemba na mahali pengine akaweza kuzipata huduma za Kidini akiwa huko bila ya kikwazo cha namna yoyote ile kwa kutambuliwa na Sheria lakini akivuka maji tu akija huku Bara mambo yote hayo ni haramu na si

Inaendelea Uk. 7

Page 6: ANNUUR 1122

6 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Makala

Inaendelea Uk. 7

Miaka 50 ya MuunganoMWALIMU Julius K. Nyerere akiwa katika Viwanja Vya Mnazi Mmoja, Mbele ya Kibarua Bar Nyuma ya Ukumbi wa Arnatouglo jijini Dar es Salaam.

Inatoka Uk. 4wangu wote wa kabla ungelikuwa hauna maana yoyote.”

Dkt. Ghassany, alikuwa amechukuliwa na Mzee Mkwawa, katika safari ya zaidi ya nusu karne. Mzee Mkwawa, akimshika mkono kwanza kumpeleka Pemba, ambako akiwa kijana wa kiasi cha miaka 25 akifanya kazi ya uashi. Huo ndio ulikuwa wakati wa siasa za ASP na Hizbu, zimepamba moto. Mzee Mkwawa alikuwa mmoja wa wachezaji wa ngoma ile hata kama alikuwa anatoka Tanganyika.

Dkt. Harith, akavushwa na kuletwa pwani ya Kipumbwi na Sakura ambako Mzee Mkwawa, a l i k u wa a k i s i m a m i a k a m b i y a m a f u n z o il iyokuwa msituni ya wakata mkonge, wengi wao wakiwa Wamakonde, kambi ambayo ilitoa askari waliotumika kuipindua Serikali ya Mohamed Shamte, 12 Aprili 1964.

Dkt. Ghassany, hakuwa amejitayarisha kwa haya. Alishangwazwa na uwezo wa kumbukumbu wa Mzee Mkwawa, akitaja majina na mahali na akirudia mazungumzo neno kwa neno kati yake na maofisa wa Serikali ya Tanganyika k u t o k a v y o m b o v ya usalama waliomtia katika operesheni maalum ya k u i p i n d u a Z a n z i b a r kutoka Tanganyika.

Maj ina ya Abdul la Kassim Hanga, Jumanne Abdallah, Ali Mwinyi Tambwe, Victor Mkello, O s c a r K a m b o n a n a w e n g i n e y a k a w a yanadondoka moja baada ya lingine. Taarifa hizi ndizo z i l i zommal iza D k t . G h a s s a n y , n a kumsawajisha uso.

Mimi binafsi nilipigwa na butwaa. Nil ibaini kama alivyobaini Dkt. Ghassany, kuwa Mzee Mkwawa, alikuwa hazina na tulikuwa tumevumbua m g o d i wa d h a h a b u . Kazi yetu sasa ilikuwa kuchimba tu.

Kumekuwa na uvumi kwa miaka mingi katika duru za wanasiasa wapya na wa zamani na katika wanafunzi wa historia ya Tanzania na Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Ali Mwinyi Tambwe, alihusika sana katika kupinduliwa kwa Serikali ya Zanzibar, lakini hakuna aliyejuwa ni kwa kiwango gani na alihusika vipi. Lakini zito ni kuwa yeye mwenyewe akiudhika sana mtu akimuuliza

habari zile. Kwa nini ilikuwa hivyo? Kitabu cha ‘Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru’ cha Dkt. Ghassany, kilikuja kutoa majibu. Hakuna binadamu apendae historia yake ihusishwe na mauaji na dhulma na kufutwa kwa nchi yake.

K w a k i p i n d i c h a takriban miaka saba Dkt. Ghassany, alikuwa akija Tanga kwa mahojiano na Mzee Mkwawa na katika kipindi hicho Mzee Mkwawa, al i tupeleka Kipumbwi na Sakura na kutuonyesha sehemu zile ambazo walikuwa na kambi na wakifanya mazoezi ya kivita na matumizi ya silaha.

Mkahawa ambao wale wakata mkonge walikuwa wakila chakula cha usiku kabla ya kuvushwa kwa vyombo vya bahari kwenda Unguja bado upo hadi leo ingawa kwa sasa kijumba kile hakitumiki tena kama mkawaha. Endapo itakuja siku Serikali ya Zanzibar itataka kuhifadhi historia ya Mapinduzi ya Zanzibar bila shaka moja ya vitu vitakavyokuwa katika makumbusho ni picha ya hicho kibanda.

K i p u m b w i , haijabadilika iko kama vilevile iliyokuwa miaka ya 1960. Kipumbwi, imebaki vilevile kama kijiji cha uvuvi. Mzee Mkwawa, alitupeleka hadi sehemu ambapo bahari imeingia katika kijiji lakini sehemu hiyo imefunikwa na mikoko mingi na vichaka. Tuliingia ndani na kuangalia mandhari ya

pale mahali. Hakika pale palikuwa sehemu nzuri ya kujificha.

Leo imekuwa sehemu hii ni maarufu kwa watu wa magendo. Mzee Mkwawa, alitueleza kuwa hapo ndipo walipojificha na ndipo walipopandia vyombo vyao kwa usiri mkubwa wakati wote wakiwa wamevaa nguo matambara na kofia za makuti kama wavuvi. Tanga i l ikuwa k i tuo muhimu cha kufanikisha mapinduzi ya Zanzibar.

Shujaa aliyekufa kimya kimya!!

Haikuwa bure kuwa Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah na Victor Mkello, walikuwa hapo na wala haistaajabishi kwa Dkt. Ghassany, kutueleza kuwa vinara wa mapinduzi kwa upande wa bara, Mkello na wenzake, walisubiri taarifa za mapinduzi katika mkesha ndani ya ofisi ya TANU Tanga.

Napenda kukiri kuwa sikupata kushiriki kama msikilizaji wa mahojiano wakati wa utafit i wa ‘Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru’. Kazi yangu kubwa sana ilikuwa kufungua milango na kumwendesha daktari. Kwa ufupi kazi yangu ilikuwa kumwekea mwandishi mazingira mazuri ili kazi yake iwe nyepesi.

Kwa hakika ilikuwa kazi ambayo na mimi vilevile nilisoma, kujifunza mengi na kupata faida kubwa. Katika haya nakumbuka sakata la kumtafuta Victor

Mkello. Leo si wengi wanaomjua Victor Mkello au hata kupata kusikia jina lake likitajwa.

L a k i n i k w a s i s i tuliokuwa wadogo tukiwa shule katika miaka ya 1960, Mkello, alikuwa hapungui katika magazeti ya Ngurumo na Mwafrika. Mzee Mkwawa, ndiye aliyetusaidia kumtafuta alipo. Victor Mkello, ndiyo aliyekuwa ”Amiri Jeshi Mkuu” wa lile jeshi la Wamakonde lililokuwa na makao yake makuu katika mashamba ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi. Bila ya kupata kauli ya Mkello kitabu kisingeweza kuandikika.

I l i c h u k u a m u d a k u w e z a k u m p a t a . K wa n z a t u l i k w e n d a Muheza ambako ndiko kwao. Huko tukaambiwa kuwa hakuwapo hapo bali kwa muda mrefu alikuwa Tanga (Mjini). Mwishowe tul imkuta nyumbani kwake Nguvu Mali. Mkello alikuwa katika kitanda cha mauti. Kisukari kilikuwa kikimla kiwiliwili chake.

H a k u w a a n a w e z a kunyanyuka kitandani wala kukaa. Kwa hakika alikuwa anasikitisha. Huyu hakuwa Victor Mkello, ni l iyekuwa namsoma katika magazeti wala yule ambae Mzee Mkwawa, alikuwa akituelezea. Mtu mjanja aliepambana na Magiriki wamiliki wa mashamba ya mkonge akitetea haki za Waafrika katika miaka ya 1960.

Huyu kwa kweli hakuwa y u l e Vi c t o r M k e l l o , aliyekuwa akisaidiana na TANU na Mwalimu Julius Nyerere, kupigania Uhuru wa Tanganyika. Hiki mbele yetu kilikuwa kivuli chake. Hapakuwa na wasiwasi wowote Victor Mkello, alikuwa akisubiri malaika wa mauti amtembelee na yeye hilo alikuwa akilijua fika.

Victor Mkello na Mzee Mkwawa, wanamapinduzi w a l i o f u t w a k a t i k a historia walitazamana na wakasalimiana kama vile hawakupata kujuana. Jicho la Mkello, lilikwenda k wa D k t . G h a s s a n y , k i s h a l i k a a n g u k i a kwangu kisha likarudi kwa mwanamapinduzi mwenzake Mzee Mkwawa. Baada ya utambulisho u l io fanywa na Mzee Mkwawa, nilihisi woga na wasiwasi kwenye sura ya Victor Mkello.

Hakuwa anaamini kuwa Dkt. Ghassany, katoka Maskat i kwa a j i l i ya

utafiti wa historia na hili lilijidhihirisha alipofunua kinywa kuzungumza. Victor Mkello, alikuwa na hisia kuwa alifuatwa kukamatwa kwa vifo vya Waarabu vilivyotokea Z a n z i b a r wa k a t i wa mapinduzi ili apelekwe Mahakama ya Kimataifa.

Baadae Dkt. Ghassany, a l ini fahamisha kuwa j i n s i W a i n g e r e z a walivyomueleza katika taarifa zao za siri ambazo yeye alizisoma London, zimeafikiana kabisa na jinsi alivyomuona pale. Waingereza walimsifia Mkel lo , kwa kusema kuwa alikuwa bingwa wa kuteleza kama samaki ndani ya maji.

Kufupisha maelezo. Ilichukua karibu miaka mitatu kwa Victor Mkello, kukubali kuzungumza kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar. Dkt. Ghassany, akienda Maskati na kurudi Tanga na kila akienda kwa Victor Mkello, Mkello hakuwa tayari kueleza kile alichokijua kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar.

Kila nilipokwenda na Dkt. Ghassany, kumuona Mkello, hali yake ilikuwa inazidi kudidimia. Sasa alikuwa kakatwa mguu m m o j a k wa a j i l i ya kisukari. Ilikuwa katika hali ile katika siku zake za mwisho ndipo siku moja alipomwambia Dkt Ghassany aje siku ya pili na yeye atazungumza na angependa azungumze m b e l e ya m k e we i l i a m k u m b u s h e p a l e atakapokuwa kasahau kitu.

Hapa ndipo ilipo moja ya sehemu tamu kabisa ya kitabu hiki ‘Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru’. Victor Mkello, ‘Amiri Jeshi Mkuu’ wa Mamluki wa Kimakonde, alizungumza. Mimi sikushiriki katika m a z u n g u m z o y a l e n i l i j i w e k a p e m b e n i ili Mkello, azungumze na Dkt. Ghassany, kwa utulivu.

Nilikuwa nimeegesha gari yangu karibu ya Msikiti jirani ya nyumba ya Mkello, nikimsubiri d a k t a r i a k a m i l i s h e upasuaje mgonjwa apate nafuu. Mwendo wa Dkt. Ghassany, wa kudunda a l i p o k u w a a n a n i j i a pale nilipoegesha gari ulidhihirisha furaha yake.

Page 7: ANNUUR 1122

7 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Makala

Miaka 50 ya Muungano:

MWALIMU Julius Kambarage Nyerere (katikati). Kulia ni Mzee Hassan Moyo na kushoto ni Mzee Abeid Aman Karume.

Inatoka Uk. 6Haukupita muda mrefu

baada ya mazungumzo yale na Dkt. Ghassany, Victor Mkello, akaaga du n i a k i mya k i mya . Hakuna mtu aliyejua kifo chake kama ilivyokuwa vifo vingi vya mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika . Hakuna hata gazeti moja lililotoa taazia yake wala hotuba hazikusomwa kaburini kwake.

Mkello, aliondoka katika historia ya Tanzania, kimya kama jinsi mamluki wake walivyokuwa wakiingia Zanzibar kimya kimya usiku mkuu na kwa siri, mapanga yao makali ya kukata mkonge yakiwa chini ya nguo zao za ndani yakisubiri kuivamia Zanzibar na kuua watu wasio na hatia.

K a z i h i i k w a o haikuhitaji mafunzo k w a n i m a f u n z o walikuwanayo muda mrefu katika kazi yao ya kukata mkonge katika mashamba ya mkonge ya Tanga. Pigo moja l i l itosha kuangusha chini jani zito la mkonge s e u z e k i u n g o c h a binadamu.

‘Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru’ ni kitabu kilichoandikwa kwa staili ya pekee wahusika wenyewe wa matokeo kat ika Mapinduzi kujitolea kueleza kile kilichotokea katika Mapinduzi, kabla na baada yake. Kuanzia mipango ya kuangusha Serikali ya Zanzibar hadi katika kuwaua wale waliokujakushukiwa kuwa ni maadui wa mapinduzi hadi kufikia hata kuweka wazi jinsi walivyoshiriki katika mengi ya kusikitisha kupelekea hata msomaji ku j iu l iza kwa n in i hawa watu baada ya miaka yote hiyo kupita wameamua kueleza yote hayo.

V i p i A b d a l l a h Kassim Hanga, Othman Shariff, Mdungi Ussi, Jaha Ubwa, Abdulaziz Twala na wengineo walivyouliwa, nani alitoa amri ya mauaji, nani aliwauwa na katika mazingira gani. Kifo cha Karume, mwenyewe

kwa mtutu wa bunduki hakikuwekewa pazia na chanzo cha kuamuliwa kuwa auawe ni tofauti y a k i l i c h o z o e l e k a k u e l e z wa . K a r u m e hakuuawa na ”Wapinga M a p i n d u z i ” k a m a ilivyozoeleka kuelezwa katika historia rasmi.

Wasomi wa somo la historia wanapaswa kupit ia ki tabu hiki kufanya hisani kubwa kwa kuwaleta katika picha wahusika wakuu w a M a p i n d u z i – Mwalimu Julius Nyerere – fundi mkuu mwenye kishindo kikubwa lakini hakisikiki.

M k o n o wa k e wa chuma hauonekani, uso wake nyuma ya pazia, Abdallah Kassim Hanga, kiongozi hasa na mpangaji wa mapinduzi, Victor Mkello, mtumishi wa Hanga na Nyerere bila ya yeye mwenyewe kujua kati ya hao wawili nani aliyekuwa bingwa kumshinda mwenzake katika mchezo mchafu wa siasa ya kuiuwa Zanzibar na Wazanzibari na wengineo.

Lakini juu ya hayo yote mipango hii ilikuwa ni ya akina Nyerere, Hanga na Mkello pekee? Dkt. Ghassany, anaeleza nini kuhusu mkono wa Waingereza, Algeria, Misri, Wachina, Warusi, Marekani na Mayahudi? Nini kilichowasukuma h a o w o t e k a t i k a

Mapinduzi ya Zanzibar? Nini kilimsukuma

Nyerere, kuwapindua Waislamu walioupigania Uhuru wa Tanganyika na baadae kuwapinduwa Waislamu walioupigania Uhuru wa Zanzibar na kuendelea kuwadhibiti h a t a b a a d a y a kuipindua Zanzibar? Nini kilichowasukuma W a i n g e r e z a n a Wamerekani kuachia Mapinduzi yafanyike? Lakini kubwa zaidi kipi kilichowasukuma Wayahudi kuingia na kusaidia Mapinduzi, ni ile chuki yao ya asili dhidi ya Waarabu au kulikuwa na jengine ambalo liliwatia khofu? Na kwa nini kitabu kiitwe ‘Kwaheri Ukoloni K w a h e r i U h u r u : Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia? Kitabu kina majibu ya haya maswali m e n g i n e a m b a y o bado hayajaulizwa na chemchemu mpya za utafiti.

D k t . G h a s s a n y , a n a s t a h i l i p o n g e z i k u b w a s a n a k w a kuinusuru historia ya mapinduzi ya Zanzibar n a k u w a a m s h a W a z a n z i b a r i n a Watanganyika toka lepe zito la usingizi ili wajitambue na wamjue adui yao. Anastahiki pongezi kubwa zaidi si kwa kukiandika kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru bali

kwa kutumia mrengo usiokuwa na mrengo.

Huna pa kumuweka Dkt. Ghassany, na baada ya kumaliza kukisoma k i t a b u u k a r i d h i k a napo. Kama utafikiria kuwa kitabu ni cha CUF, basi baada ya kusoma mpaka mwisho utavunjika moyo. Kama utamtumbukiza ndani ya CCM basi ataelea. La kama unataka upae n je ya masunduku na mapakacha basi utamuona katulia ndani ya uhuisho wa umoja wa Zanzibar na Tanganyika Mpya, Tanzania Mpya.

‘Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru’ ni ngoma nzito ambayo w a t u w a m e a n z a kuicheza hata mdundo haujaanza kupigwa! Tayar i imeshaingia katika rikodi za Hansard za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tayari imeshasikika katika Sauti ya Marekani.

T a y a r i d a k t a r i anafuatilia kwa karibu ukweli wa Maridhiano na kuwa kwa mara nyengine tena ukweli wa k e u m e s h a a n z a kupotoshwa na waroho na tayari historia mpya na kubwa zaidi hata kuliko ile ya Mapinduzi ya Zanzibar ya 1964 imeshaanza kuvurugwa.

Mfumo KristoInatoka Uk. 5

ruhusa.” Alisema Kundecha.S h e i k h K u n d e c h a ,

ambaye ni Amir wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (T), alisema, katika kero za kijamii ambazo zinahija kuweka sawa sawa moja wapo ni hili ambapo ukiwa upande mmoja wa Muungano unapata haki za kiimani ukija Bara huzipati.

Akahoji, kwamba hivi Ofisi ya Kadhi iliyopo Zanzibar , ipo kat ika Katiba, inatumia fedha za walipa kodi gani? lakini Ofisi hiyo hiyo ikiwa huku Bara ni haramu kutumia pesa za walipa kodi.

“Mh. Mwenyekiti hivi ile ya Zanzibar, inatumia kodi ya nani, na huku itatumia kodi ya nani hilo naliona k a m a k i z u n g u m k u t i kidogo, sasa nafikiri kuna haja ya kuweka misingi hii vizuri.” Alisema Sheikh Kundecha.

Lakini pia alisema, katika miaka ya nyuma yupo raia mmoja maarufu k w a j i n a l a K u r w a Shauri (Sheikh) kwamba alifukuzwa Zanzibar, ak i fukuziwa Tabora , akahoji, “hivi huyu raia kama alikuwa mbaya Zanzibar, atakuwa mzuri alikofukuziwa”?

Kundecha, akahoji zaidi, kwani sheria hazikuwepo Zanzibar za kushughulikia uhalifu aliokuwa nao Kurwa Shauri , lakini s h e r i a h i z o Ta b o r a ndio zipo nzuri sana za kumshughulikia? Kwa

hiyo akahoji zaidi kuwa hii dhana ya nchi moja, raia anaweza kwenda mahali popote tafsiri yake haswa ipo wapi?

Katika hatua ya pili, ya ras imu ya Kat iba , Sheikh Kundecha, alisema maelezo ya Jaji Warioba, yanasema tatizo la Kadhi Bara hawakuwa na sababu ya kulishughulikia kwa sababu Serikali imekwisha liruhusu.

“Hii ni ruhusa bandia, ruhusa ya maneno ‘anzisheni mfanye’ lakini maandiko ya kisheria yanasema, Sheria y o y o t e i t a y o k we n d a tofauti na Katiba hi i itakuwa batili.

“ H i i n i r u h u s a y a namna gani, maana yake ni ruhusa upande mmoja upande wa pili wa sheria unamnyang’anya, ruhusa hiyo, kwa hiyo nilikuwa nafikir i vipengere hivi vilitakiwa viwekwe sawa”. Alisema Kundecha.

Katika hatua nyingine Sheikh Kundecha alisema kulikuwa na maana fasaha ya kuleta makundi katika uwakilishi wa makundi yao, hivyo hafurahishwi kuwaona wanamakundi h a s wa ya l e ya D i n i wakaacha kuzungumzia yale mambo ya dini na kwenda kutia nguvu mambo ya siasa.

“ H u m u wa n a s i a s a wamejaa tele, wamo wengi kabisa kwa hiyo hoja ya kisiasa haikosi mtetezi wake humu, lakini zipo hoja usiposema wewe mwana dini hakuna atakae sema”. Alitanabaisha Sheikh Kundecha.

Page 8: ANNUUR 1122

8 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Makala

AKIHUTUBIA ibada ya Ijumaa Kuu ya Pasaka, Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Eusebius Nzigilwa alisema kuwa “wapo viongozi ambao wanaishi kama watawala wa Kiyahudi waliomuuwa Yesu Kristo kwa sababu tu walimwona ni tishio kwao.”

Akihitimisha nasaha z a k e a k a s e m a k u wa katika hali hiyo ya kuwa na viongozi mfano wa watawala wa Kiyahudi, w a t u w a n y o n g e wanabambikiziwa kesi badala ya kulindwa na sheria.

Kwa upande mwingine katika ibada hiyo hiyo ya Pasaka Askofu wa Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, Joseph Bundala, amemtaka Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi atubu makosa yake ili

Waislamu Zanzibar waandaliwa kitanziNi kile kilichowaletea balaa Wayahudi Kama Tatu ni Uislamu na Waarabu,….Je, Serikali Mbili ni Ukristo na Wazungu?

Na Omar Msangi

asamehewe.A s k o f u B u n d a l a

amesema kuwa Waziri Lukuvi ametamka maneno ya hatari yaliyosababisha mpasuko katika jamii

na kwamba ni jambo la kusikitisha kuwa Waziri huyo haoni hata busara ya kuomba radhi na kutubu.

Maelezo ya Askofu Bundala yanakuja kufuatia

kauli ya Waziri Lukuvi katika sherehe za kanisa hilo ambapo alinukuliwa ak isema kuwa kama wananchi watakubali serikali tatu, basi jeshi litashika nchi na Zanzibar itakaribisha utawala wa Kiislamu na Waarabu.

Hata hivyo hakufafanua iwapo wanaotaka serikali mbili nao watakaribisha utawala wa Kikristo na Wazungu!

I n n a l i l l a h i wa i n n a ilaihir rajiuun. Huu ni msiba mkubwa. Mbele kiza kitupu.

Ukirejea historia ya Waislamu katika nchi hii, na hasa nikikumbuka lile Azimio la Tungi, eti mpaka leo bado wapo watu wenye ujasiri wa kusema yale aliyoyasema Augustino L y a t o n g a M r e m a , yaliyoshereheshwa na M h e s h i m i wa Wa z i r i Lukuvi ndani ya Bunge, na kupewa sura kuwa huo ndio msimamo wa Serikali , hapa lazima niseme innalillahi waina ilaihir rajiuun.

L a k i n i p i a k u w a a l i y o s e m a M r e m a yamesemwa na Waziri wa Serikali ya Jamhuri ya Tanzania akimwakilisha Waziri Mkuu, na Waziri Mkuu hajayapinga, kwa maana kuwa anakubaliana

nayo, na hii ikiwa na maana kuwa huu ndio msimamo wa serikali, hii ni Innalillahi wainna ilaihir rajiuna ya pili.

L a k i n i k u b w a z a i d i m s i m a m o h u u umesemwa na Waziri Lukuvi Kanisani, kama namna ya kujenga kile alichosema Lukuvi kuwa ni hofu dhidi ya Waislamu w a l i o d a i w a k u w a wanataka kusimamisha serikali ya Kiislamu!!! Na wakashereheshwa kuwa ndio wauwaji wa Maaskofu na wachoma makanisa. Msiba!!!

Kama ilivyokuwa kwa al iyekuwa Balozi wa Marekani nchini miaka ya 1990s/2000 Charles S t i t h , M h e s h i m i w a W i l l i a m L u k u v i kasimama katika jukwaa la Wakristo, kaongea na Wakristo wenzake na kuwatahadharisha juu ya Uislamu. Anasema, wanaotaka serikali tatu wanataka kusimamisha serikali ya Kiislamu na Wa a r a b u Z a n z i b a r . Akasema kuwa hiyo ni hatari. Katika kufafanua hatar i h iyo akare jea maneno ya Augustino L y a t o n g a M r e m a aliyeunganisha Waislamu, k u p i t i a M a s h e i k h

BWANA Augustine Lyatonga Mrema.

M WA K A 1 9 9 2 j e s h i l a S e r b i a l i l i a n z a mashambulizi dhidi ya Bosnia and Herzegovina, i l i y o k u w a s e h e m u ya Poland kabla ya kuporomoka ukomunisti. Huo ukawa ndio mwanzo w a v i t a i l i y o k u j a kujulikana kama ‘Bosnian War’ iliyokuwa na lengo la kuwasafisha (kuwauwa mpaka kuwamaliza) Wais lamu, na kama hawakumalizika, basi kuzima kabisa dhamira yao ya kuwa na nchi yao kama ilivyokuwa kwa Jamhuri nyingine zilizokuwa sehemu ya Yugoslavia.

Kwa Wais lamu wa Bosnia and Herzegovina w a k a t i h u o k u t a k a kujitenga na kuwa na nchi yao kamili, haikuwa jambo

Propaganda ilivyoleta maafa Bosnia, Rwanda

Na Mwandishi Wetu

la ajabu kwani ilikuwa ni kufuata mkondo wa jamhuri nyingine, Slovenia na Croatia, zilizojipatia uhuru na mamlaka yao kutoka Poland. Bosnia, a m b a y o u n a w e z a k u i l i n g a n i s h a k a m a ilivyo Zanzibar leo chini ya muungano, walipiga kura ya maoni kutaka uhuru wao na mamlaka yao kamili. Hata hivyo Waserbia hawakukubali Bosnia kuwa ‘sovereign

s t a t e ’ . H u o u k a w a ndio mwanzo wa vita vilivyosababisha kuteswa, kubakwa, kuuliwa na kila aina ya ukatili dhidi ya Waislamu wa Bosnia, kilele kikiwa ni mauwaji ya halaiki kule Srebrenica. Ilikuwa vigumu sana kwa Waislamu kuamini kuwa waliokuwa ‘wananchi’ w e n z a o ‘ Wa s e r b i a ’ chini ya serikali moja ya muungano, Poland wanaweza kuwafanyia

u k a t i l i wa k i wa n g o kile kiasi kwamba hata aliyetaka kutoroka vita na mauwaji alizuiwa na kutakiwa kulipa kwanza kodi ya kukimbia nchi (exit taxes).

Waserbia ni Wakristo, lakini wote pamoja na Wais lamu wa Bosnia w a l i k u w a w a k i i s h i pamoja chini ya serikali ya Poland, ghafla Waserbia w a n a w a g e u k i w a n a kutaka kuwaangamiza.

Wanawauwa bila hata ya kushikwa na tone la huruma. Katika mauwaji ya S r e b r e n i c a , j e s h i liliwatenganisha wanaume na wanawake Waislamu, k i s h a l i k a w a u w a wanaume wote pamoja na watoto wote wa kiume. Inakisiwa kuwa katika mauwaji hayo, Waislamu wanaume wapatao 8,000 waliuliwa na kufukiwa katika mashimo ya pamoja huku wake zao na binti zao wakibakwa katika kambi walimokusanywa.

Mwaka 1994 Wahutu wa Rwanda walishiriki m a u wa j i ya k u t i s h a ambapo inakisiwa kuwa takribani watu 1,000,000 w e n g i w a o w a k i w a Watutsi, waliuliwa. Yapo maelezo mengi ya kutisha juu ya ukatili uliofanyika i k i wa n i p a m o j a n a

Inaendelea Uk. 9

Inaendelea Uk. 9

Page 9: ANNUUR 1122

9 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Makala

Waislamu Zanzibar waandaliwa kitanziInatoka Uk. 8w a U a m s h o , k u w a wanauwa Maaskofu na kuchoma moto makanisa. Ambapo kwa mujibu wa ushereheshaji aliotoa Bwana Lukuvi ni kuwa wanaotaka Serikali tatu ni Waislamu na Waislamu hao ni hatari kwa sababu wanataka kusimamisha ser ika l i ya Ki i s lamu Zanzibar.

J a p o M h e s h i m i w a sana Bwana Wil l iam Lukuvi, alisisitiza kuwa, hayo aliyasema kama yeye binafsi akionyesha hofu yake, lakini jukwaa a l i lotumia ni Kanisa alikuwa akimwakilisha Waziri Mkuu, na mpaka sasa hakuna kauli ya Waziri Mkuu au serikali iliyotoka ya kujitenga na maneno ya Lukuvi. Lakini pia, japo kwa lugha ya kiaskofu, lakini iliyo wazi, aliyosema Lukuvi ndiyo aliyosherehesha pia Askofu Mstaafu Mtetemela baada ya kupewa fursa na

PROFESA Ibrahim Haruna Lipumba, Mwenyekiti wa CUF.

Mwenyekiti wa Bunge, Mheshimiwa Samwel Sitta.

Katika maelezo yake, A s k o f u M t e t e m e l a a l i o n ye s h a k u k e r wa sana na kauli ya Profesa Lipumba juu ya msamiati

w a I n t e r a h a m w e aliotumia.

Labda i l i kul iweka jambo hili katika namna nzuri, ili lipate kueleweka na kuonekana hatar i ya ki le a l ichokisema

Profesa Lipumba niseme yafuatayo.

Pengine labda tujiulize, ni kwa nini Wayahudi walichukiwa sana na Adolf Hitler? Kwa nini Wayahudi walichukiwa sana Ulaya?

Pengine jambo ambalo halieleweki kwa sababu halisemwi sana ni kuwa sio Adolf Hitler pekee aliyekuwa akiwachukia Wa ya h u d i . H i s t o r i a inaonyesha kuwa Ulaya yote ya wakati huo, ilikuwa ikiwachukia Wayahudi.

“Why Do People Hate The Jews?” Ni baadhi tu ya vichwa vya habari katika vitabu, majarida na makala mbalimbali zilizojaribu kutafuta sababu ni kwa nini Wayahudi walichukiwa sana katika Ulaya ya zamani. Inaelezwa kuwa kati ya mwaka 250 CE na 1948 CE – kiasi miaka 1,700, ilikuwa kipindi Wayahudi walipokabiliwa na mateso, kunyanyaswa na kutimuliwa katika nchi mbalimbali za Ulaya. Kwa kipindi hicho inaelezwa kuwa walitimuliwa kwa zaidi ya mara themanini. Walitimuliwa Uingereza (England) , Ufaransa , Au s t r i a , U j e r u m a n i , Lituania, Spain, Ureno (Portugal ) , Bohemia , Moravia na maeneo mengi tu Ulaya ya wakati huo.

Ukisoma juu ya ‘Spanish I n q u i s i t i o n ’ u t a o n a kuwa walengwa wakuu walikuwa Wayahudi. Kwa mujibu wa maelezo ya Professor B. Netanyahu (p.3), ‘Spanish Inquisition’ iliandaliwa na kutungiwa s h e r i a i k i w a l e n g a Wayahudi waliodaiwa k u w a w a l i k u w a wakiuchafua Ukatoliki. Kilichoanza kwanza ni chuki dhidi ya Wayahudi kutoka kwa Wakatoliki, na hivyo wakatakiwa kwamba wakitaka salama, basi waache Uyahudi wao wawe Wakristo. Hata hivyo baadae ikadaiwa kuwa wengi wa Wayahudi hao walikuwa wakifanya ‘taqiyyah’. Wanajidai ni Wakristo lakini usiku na wakiwa katika faragha zao huendesha ibada zao zilizo kinyume na zile za Kikatoliki. Hiyo i l i c h u k u l i w a k a m a n i kuna j i s i a rdhi ya

Wakatoliki. “The royal decree explicitly

stated that the Inquisition was instituted to search out and punish converts from Judaism who transgressed against Christianity by secretly adhering to Jewish bel ie fs and performing rites and ceremonies of the Jews. No other group was mentioned, no other purpose indicated – a fact that in itself suggest a close relationship between the creation of the Inquisition and Jewish life in Spain. Other facts, too, attest to that relationship”.

N a m a a n d i k o y a n a o n y e s h a k u w a ruhusa ya kuweka kitengo maalum cha ‘Inquisition’ ilitolewa na Papa (Pope) Sixtus IV mwaka 1478. Huo ulikuwa ni Wakati ambapo katika Ulaya ya Kikatoliki, Wayahudi walipewa jina la ‘marranos’ (swine).

Tomas de Torquemada, a k i w a m k u u w a ‘inquisition’ na timu yake walipewa mamlaka na nguvu ya kuwatia adabu Mayahudi ikiwa ni pamoja na kuwauwa kwa staili mbalimbali i l imuradi k u h a k i k i s h a k u w a wanawatia machungu na mateso ya kutisha. Kama ilivyo sheria ya leo juu ya ugaidi, utaratibu ulikuwa kuwavurumishia tuhuma Wayahudi, kisha wanakamatwa na kuteswa mpaka wakiri makosa wa l i y o b a m b i k i z i wa , kisha huuliwa. Unateswa sana na i l i usalimike na kifo cha kuchomwa m o t o u k i wa h a i a u kunyongwa, unaambiwa u u b u s u m s a l a b a . Ukibusu msalaba basi unapunguziwa machungu ya kufa. Huchomwi moto. Unaweza kupigwa rungu la kichwa au namna yoyote ambayo utakufa haraka bila kupata machungu ya muda mrefu.

Ilipofika mwaka 1492, Mfalme Ferdinand na Malkia Isabella walipitisha sheria iliyoitwa Alhambra D e c r e e , i l i y o wa t a k a Wayahudi wote kuondoka Spain. Walisema kuwa hiyo ilikuwa ndio namna pekee na ya uhakika ya kuitakasa ardhi ya Wakatoliki kutokana na

Propaganda ilivyoleta maafa Bosnia, RwandaInatoka Uk. 8kuwakakatakata watu kwa mapanga, kuwabamiza watoto wadogo katika kuta za nyumba, kuwachoma watu moto wakiwa hai n d a n i ya m a k a n i s a , na mambo kama hayo yanayoonyesha ukatili wa kutisha uliofanyika.

Katika mifano yote miwili, swali la msingi la kujiuliza ni hili: Watu walifikaje hapo na kuwa na chuki ya kiasi hicho cha kukosa utu na kuwatendea wengine kinyama kana kwamba sio binadamu?

Chuki. Propaganda z a k u c h o c h e a c h u k i n a u h a s a m a n d i o i l i y o wa f i k i s h a wa t u hapo. Kilichotangulia ni propaganda iliyowafanya baadhi ya watu kuwatoa we n g i n e u b i n a d a m u w a o , k u w a f a n y a n i majinamizi ya kuogopewa n a y a n a y o s t a h i k i kuangamizwa, lakini pia propaganda ya kuwafanya w e n g i n e k u a m i n i k u wa wa k i wa f a n y i a ubaya mazimwi hayo,

hakuna hatua zozote watakazochukuliwa.

K a t i k a B o s n i a , propaganda i l ipigwa i k i wa v u a Wa i s l a m u ubinadamu wao huku ikiwahamasisha Waserbia k u c h u k u a h a t u a z a kuwaangamiza. Vyombo vya habari vilitumika k u w a p a k a m a t o p e Waislamu kuwa ni magaidi katili ambapo picha za ajali za kawaida zilichapishwa k a t i k a m a g a z e t i n a kudaiwa kuwa ni Waserbia waliouliwa na Waislamu. Zilikuwa zikichukuliwa picha za video zikionyesha Waserbia wakilia juu ya makaburi ya zamani, halafu inadaiwa kuwa hao ni watu wanaolilia watu wao waliouliwa na magaidi wa Kiislamu.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na mwandishi Georgie Anne Geyer na kuchapishwa chini ya kichwa cha habari “Serbian Media Incites Hatred and Enslaves Serbs into Extremism” (1997), kilichotangulia mauwaji

ya Waislamu Bosnia, ni propaganda ya kuwajaza c h u k i n a m s i m a m o mkali Waserbia dhidi ya Waislamu. Katika kufikia malengo hayo, uwongo mwingi ulitumika.

Anasema, ilikuwa ni propaganda ya kutisha k wa s a b a b u i l i k u wa ikiandaliwa na serikali na kusimamiwa na Rais S l o b o d a n M i l o s e v i c , huku magazeti, redio na televisheni zikitumika. K u b w a l i l i l o k u w a likionyeshwa kwa namna mbal imbal i n i kuwa Wais lamu ni maadui na wauwaji waliopania kuwaangamiza Waserbia. Katika propaganda hiyo Waserbia walionyeshwa k a m a w a t u d h a l i l i m b e l e ya Wa i s l a m u wanaostahiki kujihami d h i d i ya Wa i s l a m u , la sivyo wakizubaa tu, watamalizwa. Ni katika kukoleza propaganda hiyo Georgie Anne Geyer, anasema kuwa wanapigwa

Inaendelea Uk. 11Inaendelea Uk. 11

Page 10: ANNUUR 1122

10 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Makala

NI kat ika miaka ya hivi karibuni tu, utafiti k u h u s u U i s l a m u A f r i k a M a s h a r i k i , ndiyo umeanza kuvutia w a n a z u o n i w e n g i . Lakini miaka ya nyuma walipuuza ‘Crusades’ (vita vya msalaba) dhidi ya Uislamu katika eneo hilo, hususan Zanzibar. Ilipuuzwa kwa sababu migogoro ya kidini kama hiyo, ilidhaniwa ni ya Mashariki ya Kati zaidi.

Lakini ukweli wenyewe ni kwamba ‘Crusade’ dhidi ya Uislamu, ni vita ya dunia nzima, na itaikumba nchi yoyote yenye Waislamu, iwe Afrika Mashariki, Ta n z a n i a , K e n ya a u Zanzibar. Ama kuhusu ‘Crusade’ ya Wakatoliki Zanzibar, Nyerere alifanya kazi kwa karibu sana na Oscar Kambona. Huyu K a m b o n a , a l i k u w a m s i r i m k u b w a w a Nyerere na mwanafunzi mwenzake Chuo Kikuu cha Edinburgh, kabla hawajatofautiana kisiasa mwaka 1967.

Oscar Kambona pia alikuwa mjumbe wa Baraza la Dunia la Makanisa, (Wor ld Con f e r ence o f Churches), ambalo mwaka 1910, katika kongamano lake la pili, lilijadili kwa kina tishio la Uislamu A f r i k a M a s h a r i k i . I l i k u b a l i w a k a t i k a maazimio ya kongamano hilo kwamba Mwafrika Mkristo ni bora zaidi (katika uongozi) kuliko Mwafrika Muislamu. Kwa hiyo Mwalimu Nyerere, baba wa taifa, alipewa kila msaada aliouhitaji, ili atokomeze Uislamu Afrika Mashariki, baada ya Wakoloni wa Kiingereza kufunga virago. Zanzibar ndiyo iliyokuwa kitovu cha kueneza Uislamu katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki, Kati mpaka Kusini.

Wa k a t i Z a n z i b a r ilipopata uhuru wake, D e s e m b a 1 0 , 1 9 6 3 kutoka kwa Wakoloni wa Kiingereza, ikawa mwanachama wa nchi za Jumuiya ya Madola. Ikajiunga na Umoja wa Mataifa Desemba 16, 1963 na iliwakilishwa na balozi Hilal Mohammed bin Hilal.

Wakat i Ser ika l i ya Zanzibar ilipotangaza

Muungano huu hauna heri na ZanzibarNa Said Rajab

MWALIMU Julius K. Nyerere.

M Z E E A b e i d A m a n Karume.

kutaka kuunda mfumo wa dola ya Kiislamu visiwani humo, ambako wakazi wake ni Waislamu watupu, propaganda za wapiganaji wa ‘Crusade’, ambao ni Wakristo Waafrika nje ya Zanzibar, zikaanza kusikika. Walisema hatua hiyo ni kurudisha Uarabu na Uislamu Zanzibar. Sawa kabisa na v i le alivyosema Waziri William Lukuvi kanisani. Kwa watu wenye kuyafahamu m a m b o h a y a , w a l a hawawezi kumshangaa William Lukuvi kwa kauli yake aliyoitoa kanisani. Lukuvi amethibitisha ukweli ambao tumekuwa t u k i u s e m a w a k a t i wote . Wa kushangaa hapa ni Wazanzibari wanaoshabikia mfumo w a m u u n g a n o w a serikali mbili kibubusa tu! Lukuvi anaongeza tu idadi ya mashahidi wetu wa ‘Crusade’ dhidi ya Uislamu Zanzibar.

Kwa hiyo, usiku wa manane wa January 11, mwaka 1964, wapiganaji wa ‘Crusade’ waliivamia Zanzibar, wakiongozwa na “F ie ld Marsha l l” aliyejipachika mwenyewe cheo hicho, John Okello, ambaye ni mpiganaj i w a k a n i s a k u t o k e a Uganda. Malengo hasa ya “Mapinduzi ya Zanzibar” y a n a v y o e l e z w a n a yanavyotambulika kwa wengi, ni tofauti sana na alivyoyaeleza John Okello kwenye kitabu chake ‘Revolution in Zanzibar’ kwamba Mungu alimteua k u f a n y a m a p i n d u z i

kwa aj i l i ya Ukristo. Amenukuu hata Aya za Biblia kuhalalisha kile alichofanya.

N d u g u z a n g u , h u w e z i k u f a h a m u siri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, bila ya kufahamu kwanza m a l e n g o h a l i s i y a Mapinduzi “Matukufu” ya Zanzibar kwa baadhi ya watu waliohusika kama akina John Okello. K w a m b a , w a k a t i wazalendo wakiyaona kama ukombozi kwao, wapo walioyatizama kwa namna nyingine na bado wanayatizama hivyo na kuyaenzi katika kutimiza malengo yao ya awali. Mapinduzi na muungano ni watoto pacha wa baba m m o j a ! M j a d a l a wa Muungano unapaswa kuanzia hapo, siyo tu kwenye kero za muungano na kuishia huko! Kwa hiyo mnapowasikia akina William Lukuvi, ambaye ni Waziri katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanahamasisha m a k a n i s a n i k wa m b a Wakristo waunge mkono muungano wa Serikali mbili, msingi wenyewe ndiyo huu. Wanaendeleza vita dhidi ya Uislamu Z a n z i b a r , k a m a yalivyokuwa malengo halisi ya Mapinduzi na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Muungano wa Serikali mbili ndiyo silaha kuu ya ‘Crusade’ ya kanisa dhidi ya Uislamu visiwani Z a n z i b a r . U i s l a m u unadhibitiwa Zanzibar

kupitia mfumo huo tata wa muungano. Ndiyo maana CCM inaung’ang’ania! CCM ina wenyewe; na wenyewe siyo Waislamu. Wa i s l a m u n d a n i ya C C M w a n a t u m i k a tu kukamilisha ajenda za watu bila wenyewe kutambua.

M u u n g a n o w a Tanganyika na Zanzibar hauna dhamira njema y a k i d u g u k a m a wenyewe wanavyojitapa. Udugu gani huo wa kumkandamiza ndugu yako? Haiwezekani hata k idogo kuunganisha kipande cha nondo na mbao kwa kutumia moto wa gesi!

K a m a i l i v y o k u w a U f i l i p i n o , a m b a k o m a e l f u ya Wa k r i s t o wal ipelekwa kwenye visiwa vya Mindanao, a m b a v y o v i l i k u w a vikikaliwa na Waislamu watupu, ili kumeza idadi ya Waislamu kwenye visiwa hivyo, Wakatoliki kutoka Tanganyika nao wanaingizwa kwa wingi Zanzibar, ili kumeza idadi ya Waislamu visiwani humo. Tumeshuhudia makanisa yakiota kama u y o g a Z a n z i b a r n a baa nyingi zikijengwa! Kama vi l ivyo vis iwa vya Mindanao nchini Ufilipino, ubatizo wa visiwa vya Zanzibar katika Millenia ijayo, itakuwa ni mafanikio makubwa zaidi ya kazi iliyoasisiwa na Mwalimu Nyerere.

Nyerere alitawala kwa miaka 28, kuanzia mwaka 1961 mpaka 1989, kama

Rais na Mwenyekiti wa chama tawala nchini Tanzania. Katika kipindi cha uongozi wake, Rev. F r a n k S c h i l d k n e c h t , mchungaji wa shirika la Kikatoliki la ‘White Fathers’, ambaye alikuwa akiratibu shughuli zote za Waislamu kwa ajili ya Kanisa hilo barani Afrika, alituma Ripoti kwa Papa mjini Vatican mwaka 1963.

Katika Ripoti hiyo, Jasusi huyo wa Kanisa K a t o l i k i , a l i m u e l e z a Papa kwamba Jumuiya ya Ustawi wa Waislamu A f r i k a M a s h a r i k i (EAMWS), inazidi kuwa na nguvu na jambo hilo linatishia mustakabali wa Ukristo Afrika Mashariki kwa kuenea Uislamu.

E A M W S i l i j e n g a Misikiti , Zahanati na mashule katika eneo zima la Afrika Mashariki. Pia ilipanga kujenga Chuo Kikuu cha kwanza cha Wa i s l a m u v i s i w a n i Zanz ibar , kama k i l e cha Beirut, lengo likiwa kuzalisha wanataaluma na wasomi Waislamu katika eneo hili.

Mwezi February, tarehe 25 mwaka 1965, Nyerere alipiga marufuku ‘Muslim Education Union’, taasisi ya Waislamu ambayo i l i u n d wa k wa l e n g o k u w a s o m e s h a w a l e Waislamu waliokataliwa kujiunga na shule za msingi za Serikali. Pia mwaka 1968, ali ipiga marufuku EAMWS kwa tangazo fupi lifuatalo:

“Waziri wa Mambo ya Ndani, kwa amri ya Rais ( Julius Nyerere) amelitangaza Tawi la Tanzania la Jumuiya ya Ustawi wa Waislamu wa Afrika Mashariki ( EAMWS), na Baraza la Tanzania la Jumuiya ya Ustawi wa Waislamu wa Afrika Mashariki, kuwa ni Jumuiya haramu chini ya kifungu 6(1) cha sheria ya vyama na Jumuiya”. (Gazet i la S tandard, December 20, 1968).

Huyo ndiye baba wa taifa ambaye ukionyesha makosa yake, viongozi wa serikali na wafuasi wa CCM wanakujia juu. Wanasema unamdhalilisha! Baba wa taifa ni wa kuenziwa na kutukuzwa tu! Ni mwiko kabisa kumkosoa kwa kuwa yeye hakosei! Ndiyo maana wanataka kumfanya mtakat i fu! Hawawezi kusema ukweli kuhusu Nyerere wala Muungano.

MZEE Victor Mkello.

Page 11: ANNUUR 1122

11 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 24- MEI 1, 2014Makala

Waislamu Zanzibar waandaliwa kitanziInatoka Uk. 9‘uchafu’ wa Kiyahudi. Katika sheria na amri ya kifalme iliyowekwa kuwatimua Wayahudi i l ie lezwa wazi kuwa pamoja na kuwatesa sana Wayahudi ikiwa ni pamoja na kuwawekwa katika ghetto chafu, kuwatesa na kuwauwa, lakini bado hiyo haikuweza kutakasa ardhi takatifu ya Wakatoliki. Kwa hiyo kilichobaki ni kuwatimua.

The Edict of Expulsion declared: Whereas, having been informed that in these kingdoms, there were some bad Christians who Judaized and apostatized from our holy Catholic faith, the chief cause of which was the communication of Jews with Christians...we ordered the said Jews in all cities, towns, and places in our kingdoms and dominions to separate into Jewries [ghettos] and place apart... hoping by their separation alone to remedy this evil... But we are informed that neither that, not the execution of some of the said Jews... has been sufficient for a complete remedy...

Therefore we... resolve to order all the said Jews and Jewesses to quit our kingdoms and never return... by the end of the month of July next, of the present year 1492... if they do not perform and execute the same, and are found to reside in out kingdoms... they incur the penalty of death... We likewise grant permission and authority to said Jews... to export their wealth and property... provided they do not take away gold, silver, money, or other articles prohibited by the laws of kingdom.

Kama inavyoelezwa katika amri hii, Wayahudi h a w a k u r u h u s i w a kuondoka na vitu vya thamani kama dhahabu, f e d h a n a m a d i n i mbal imbal i . Na hiyo ikawa sababu nyingine ya kuuliwa Wayahudi wengi na kutupwa baharini. Ilikuwa wakipakiwa katika meli kuhamishwa katikati ya bahari hupekuliwa na hata kutumbuliwa matumbo ikidhaniwa kuwa pengine wamemeza dhahabu. Inakisiwa kuwa kati ya Wayahudi 1,500 na 200, 000 walitimuliwa Spain na wengi kufa wakati wa kuhama.

Hata hivyo, Ujerumani ya Hitler inaelezwa kuwa ndiyo iliyokuwa na chuki zaidi dhidi ya Wayahudi kuliko nchi yoyote katika Ulaya. Katika mkutano wa Wannsee (Wannsee C o n f e r e n c e ) m wa k a 1942 inaelezwa kuwa ilitiliwa mkazo sera ya kuwaangamiza Wayahudi wote takribani milioni 11 waliokadiriwa kuwepo Ulaya, ikiwa ni pamoja na England na Ireland.

Akisimulia mateso, m a u w a j i n a u k a t i l i waliofanyiwa Wayahudi, Mwandishi mmoja wa K i k a t o l i k i , A n t h o n y Gonzales katika makala na uchambuzi wake alioupa jina “The Catholic Church and the Jews”, anasema:

“The terrible persecutions that took place against the children of Israel during the last 2000 years cannot be defended. Superstition, lies and mob mentality have caused untold suffering for these poor people.”

Lipo swali linaulizwa, k wa n i n i Wa ya h u d i waliteswa, kuuliwa na k u t i m u l i w a U l a y a ? Kwanini walichukiwa U l a y a ? M w a n d i s h i Anthony anasema kuwa kulikuwa na sababu za kishirikina halikadhalika c h u k i k u t o k a n a n a uwongo uliosambazwa dhidi ya Wayahudi. Zipo kiasi sababu sita zinatajwa ikiwemo kwamba wao w a l i f a n i k i w a s a n a kibiashara na kuwa na maisha ya juu, kuwa wao walikuwa wakijiona sana na kujivuna kuwa wao taifa teule. Hata hivyo sababu inayoonekana kuwa muhimu za id i i n a t a j wa k u wa n d i o waliomuuwa Yesu. Kama tulivyomnukuu Askofu Eusebius Nzigilwa wa Jimbo Kuu, Dar es Salaam, Wakr i s to wanaamini kuwa Wayahudi ndio w a l i o m u u w a Ye s u . Inaelezwa kuwa wakati huo maneno Wayahudi " C h r i s t - k i l l e r s " , yalisambaa na kupata umaarufu. Mengine ni "We hate Jews because they killed Jesus." Na maelezo yanayotolewa ni kuwa Wayahudi walimkataa Yesu na ndio waliomsaliti w a k a m k a m a t a n a kumkabidhi kwa Warumi ili asulubiwe.

M wa n d i s h i m m o j a

wa Kiyahudi akiandika ni kwanini Wayahudi waliteswa na kuuliwa katika ulimwengu wa Kikristo anasema:

“Us Jews were persecuted for two main reasons. 1. We "killed" Jesus Christ, and we are dirty, rotten, filthy, subhuman people.”

Kwamba walimuuwa Yesu. Wao ndio wauwaji w a Y e s u K r i s t o . Wakabambikwa na hayo ya kuwa wachafu na kwamba si watu kamili. Ya pili anasema kuwa waliwaunga mkono na kushirikiana na Waislamu walipokuwa wakitawala Spain.

Ilikuwa mpaka mwaka 1963 ambapo Baraza la Vatican liliondoa lawama juu ya Wayahudi-kwamba wasilaumiwe kuwa ndio wauwaji wa Yesu (officially exonerated the Jews as the killers of Jesus).

Sasa, kama madai kuwa Wayahudi walimuuwa Yesu, yaliwasababishia Wayahudi chuki kutoka u l imwengu wote wa Kikristo i l iyopelekea kukaribia kuangamizwa Wayahudi wote waliokuwa Ulaya wakati huo, je,

wanaopiga propaganda l e o k u wa Wa i s l a m u wanauwa Maaskofu lengo lao nini?

Je, wanachokusudia ni kuwachochea Wakristo wa Tanzania nao waje na ‘Inquisition’ yao dhidi ya Waislamu?

Mwanzo wa makala hii nilileta Innalillahi wainna ilayhirajiuun. Maneno aliyosema Bwana Mrema Bungeni yanatisha. Nilitarajia kuwa Wabunge wenzake au inayoitwa k a m a t i y a k a n u n i ingelikemea jambo hilo, lakini kilichofanyika ni kushangiliwa. Lakini kama hiyo haikutosha, Waziri Lukuvi akarudia tena kuyasherehesha, kuyatilia mkazo na kumpongeza Mrema!

U n a p o wa n a s i b i s h a Masheikh na mauwaji, kuwa wanahusika kuuwa Maaskofu na kuchoma m a k a n i s a , v y o v y o t e u t a k a v y o wa i t a , i w e Uamsho, Bakwata, siasa kali, Shura, au vyovyote vi le , unachofanya ni k u c h o c h e a c h u k i ya Wa k r i s t o d h i d i y a Masheikh na kwa maana hiyo dhidi ya Waislamu.

Matokeo yake ni kama tulivyoona waliyofanyiwa Wayahudi.

Kama kuna Sheikh alihusika na mauwaji ya Askofu, naamini kuwa vyombo vyetu vya dola vinafanya kazi zake vizuri. Ushahidi madhubut i ungelikwishafikishwa mahakamani na hukumu k u t o l e wa . B a a d a ya kuuliwa Askofu kule Zanzibar serikali ilisema inafanya uchunguzi , hadi h i i l eo hakuna ki l ichosemwa juu ya uchunguzi ule. Ni hivyo hivyo kwa lile tukio la kulipuliwa bomu Arusha, hakuna taarifa yoyote imetolewa hadi hii leo japo wapo watuhumiwa walikamatwa ambao nao pia haijulikani hata hizo kesi zao zimeishia wapi.

Ta a r i f a k a m a h i z i muhimu zinapofichwa kisijulikane nini kilitokea, badala yake inaendelezwa p r o p a g a n d a c h a f u ya k u c h o c h e a c h u k i ya Wakristo dhidi ya Waislamu, na anafanya hivyo Waziri mwenye dhamana kubwa katika ser ika l i , tuna j iu l iza , serikali ina mpango gani na hatma ya nchi hii?

Propaganda ilivyoleta maafa Bosnia, RwandaInatoka Uk. 9picha akina mama wa Serbia wakilia katika makaburi ya wahanga wa vita ya miaka 800 iliyopita, lakini inaelezwa kuwa hayo ni matokeo ya ugaidi wa Waislamu dhidi ya Wasebia.

Kwa upande mwingine zilikuwa zikichukuliwa p i c h a z a m a i t i z a Waislamu waliouliwa na jeshi la Serbia, halafu h u c h a p i s h wa k a t i k a magazeti na kuonyeshwa k a t i k a t e l e v i s h e n i , ukifichwa utambulisho wowote wa Kiislamu, kisha hudaiwa kuwa, hao ni maiti wa Kiserbia waliouliwa na Waislamu. Katika orodha hiyo yapo madai ya maiti 3,000 za Waserbia waliodaiwa kuuliwa na Waislamu katika ki j i j i j irani na Srebrenica. Hata hivyo, madai hayo yametupiliwa kwa mbali na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita- the International

Criminal Tribunal (ICC) na hata Serbia’s Human Rights Watch, ikielezwa k u w a u c h u n g u z i unaonyesha kuwa zilikuwa habari za kughushi. Lakini pia zipo zile taarifa za askari wa Serbia Rade Rogic, aliyemkata kichwa a s k a r i wa K i i s l a m u wa B o s n i a , M u s t a f a Hadzipasic, kisha zoezi hilo la kumkata kichwa likawa linachukuliwa picha za video na askari wenzake, halafu ikawa ni taarifa katika vyombo vya habari kuwa hao walikuwa magaidi wa Ki i s lamu wakimkata kichwa Mkristo wa Serbia! Inaelezwa kuwa mpaka leo baadhi ya watu wenye chuki na Waislamu, bado wanatumia video hiyo The “Rade Rogic beheading”, kupiga propaganda dhidi ya Waislamu.

Mfano mbaya unaotajwa ni pale ambapo jeshi la Serbia katika sehemu moja lilikuwa limeweka

mabomu ya kulipua vifaru vya Waislamu kwa bahati likapita gari likiendeshwa na Mserbia akiwa na watoto wake wawil i , a m b a p o wa t o t o h a o wawili wa Serbia (Bosnian Serb children), Predrag (7) na Danka Sekulovic (4) walikufa baada ya gari lao kulipuliwa na bomu hilo Septemba 13, 1992. Picha za maiti za watoto hao zikivuja damu zikachapishwa katika magazeti na vitabu chini ya kichwa cha habari: “The Eradication of Serbs in Bosnia and Herzegovina.” Ikimaanisha kuangamizwa Waserbia ndani ya Bosnia.

N i k a m a h i v i useme kuangamizwa Wanyamwezi au Wakristo Zanzibar. Unadhani ni hasira na chuki kiasi gani utakuwa umepandikiza kwa Wakristo au watu wa Tanzania Bara?

K u t o k a n a n a propaganda kama hizo,

Inatoka Uk. 12

Page 12: ANNUUR 1122

12 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Mashairi/Makala/Barua

1.Ni yeye Mola jabari, Kwa kweli kakamilikaHahitaji mshauri, Kwa uwezo katukukaHana naibu Waziri, Hufanya anavyotakaTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

2.Jamii inapotea, Mavazi tunayovaaNi mavazi yasofaa, Mola anayachukiaVibaya twajionea, Utupu twajiendeaTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

3.Mola ametusifia, Qur’an inasemaYeye ametuumbia, Akili zetu ni njemaSasa vipi tunakua, Mithili yetu wanyamaTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

4.Suruali ndo fasheni, Kwa wasichana mekuaHawazitaki gauni, Eti zinawazinguaGauni ndo vazi gani, Mabibi wajivaliaTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

5.Stara ukijivisha, Vicheko wanaanguaWasema wajizeesha, Muda umekuishiaWanachokitaka hasa, Vimini kujivaliaTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

6.Waume wanatubeza, Thamani wanatutoaUtupu twajitembeza, Hatuoni hata hayaMbona tunajipumbaza, Aibu tunajitiaTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

7.Thamani tunajishusha, Wanawake sikizeniWatoto twawaanzisha, Mavazi yasothamaniWakikua kuyaacha, Inakuwa mtihaniTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

8.Mnavaa ya kubana, Mwatuchefua jamaniHasa wale wasichana, mwajifanya majinuniNguo mwazichana sana, Hii ni tabia ganiTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

9.Eti fundi kasahau, Kasahau kitu ganiHiyo ni mbaya dharau, Mnasema ni fasheni Twawakumbusha walau, Mlaanini shetaniTurekebishe mavazi, Maadili yapotea. 10. Hakika mnalaaniwa, Mtume ameshasemaHaifai kuwa sawa, Waume na kina mamaMola ameshatugawa, Tubuni na mapemaTurekebishe mavazi, Maadili yapotea.

11.Waume wanapendeza, Au nyie hamuoni Sitara wametimiza, Jama tubadilikeni Kuiga kunatuponza, Mungu twamjibu nini Turekebishe mavazi, Maadili yapotea

Mwl. Zainab Ally Khatib

Turekebishe mavazi

Ndugu Mhariri, H i i l e o Ta n z a n i a iko katika dhiki na sintofahamu kubwa a m b a y o h a i j a p a t a kutokea katika historia yake ya Muungano, ambao In Sha Allah unafikisha miaka 50, yaani nusu karne sasa.

K w a n z a l a z i m a ieleweke kuwa Tanzania Bara haiathiriki chochote k a t i k a M u u n g a n o huu. Tanzania Bara haijapoteza nchi yake wala utamaduni wake. Walioshika hatamu z a u o n g o z i t o k a Tanganyika iwe huru mwaka 1961, hawajahisi kitisho chochote katika kufaidi matunda ya Uhuru na wanapohisi kuwa mas lah i yao

Kinafichwa nini katika Mapinduzi ya Zanzibar?h u e n d a y a k a w a h a t a r i n i wa n a v y o vyombo madhubuti vya kudhibiti hali hiyo.

H i i n d i y o h a y o yanayotokea Dodoma katika Bunge la Katiba. Wataalamu wao wa kudhibiti mambo ni mahiri sana na wana mipango inayoanzia mbali sana. Kwa hakika kwao wao kuwa na Muungano wa namna hii wa Serikali mbili wao wananufaika pakubwa n a w a n a j i t a n u a wapendavyo.

M u u n g a n o h u u umebadilisha kabisa historia na utambulisho wa Zanzibar kama ilivyokuwa zamani. Imefikia hali haijulikani kama Zanzibar ni nchi

au si nchi. Zanzibar hii ya Muungano si Zanzibar ile...

Hebu mpenzi rafiki ingia hapo chini angalau ujue ni akina nani walisaidia mapinduzi ya Zanzibar kisha jiulize walifanya hayo hivi hivi tu? Kisha jiulize mbona waliosadia mapinduzi majina yao yanafichwa hayaenziwi ipasavyo?

Kwa nini Mwalimu N y e r e r e , O s c a r Kambona na Victor Mkello, waliosaidia Mapinduzi kwa hali na mali hawatajwi wala hawakupewa nishani za Mapinduzi nishani hizo zilipotolewa 12 Januari 2014 , kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi?

Mwananchi, Unguja

Propaganda ilivyoleta maafa Bosnia, RwandaInatoka Uk. 11m s a m i a t i “ M u s l i m terror”, ulisambaa kwa kasi na kuharibu kabisa mahusiano ya Waserbia Wakristo na Waislamu. Kilichofuatia ni mauwaji ya Kimbari ya Waislamu Srebrenica na Sarajevo.

Uamsho ni taasisi ya Kiislamu iliyosajiliwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Masheikh na viongozi wa Uamsho, wengine ni Maimamu wa Misikiti. Wana mamia ya maamuma wanao waongoza katika swala tano k i la s iku. Kwa kazi yao ya kuamsha Waislamu waelekee katika uchamungu, Masheikh wa Uamsho, wamekuwa na wafuasi wengi, Bara na Visiwani. Wakisimama leo katika viwanja vya Mal indi au Kibanda Maiti, watavuta umati wa Waislamu kuliko hata wa-CCM na CUF.

K w a h i y o , l e o u n a p o w a n a s i b i s h a M a s h e i k h h a o n a mauwaji ya Maaskofu a u u c h o m a j i m o t o Makanisa, unachofanya ni kupiga propaganda kufanya Masheikh hao na Waislamu kwa ujumla wachukiwe. Unapiga propaganda kuwatia Wa k r i s t o c h u k i n a hasira za kulipiza kisasi. Unaita mauwaji dhidi ya Waislamu.

Lakini la kutisha zaidi propaganda hii chafu inapigwa mbele ya Waziri

Mkuu, mbele ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar na mbele ya Mwenyekiti a n a y e o n g o z a B u n g e maalum la katiba linalodai kusimamia maslahi ya nchi na wananchi. Kufanya hivyo na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa k u k e m e w a , b a l i kushadidiwa zaidi na Waziri Lukuvi , huku akipigiwa kofi na wajumbe na yeye kumsifia Mrema aliyepiga propaganda hiyo, maana yake ni kupiga propaganda nyingine ya kuwahamasisha wengine n a o k u i n g i a k a t i k a mchezo huo kwa maana k u wa h a k u n a h a t u a watakazochukuliwa.

Lakini hii si mara ya kwanza, viongozi wengi wa kisiasa walishatoa kauli kama hizi. Lakini pia ulishaandikwa uwongo mwingi juu ya Masheikh wa Uamsho, yakiwemo madai kuwa Masheikh hao walikodi boti maalum kuja na kikosi cha wapiganaji Dar es Salaam kwa ajili ya kukoleza mashambulizi dhidi ya maaskofu na kuchoma moto makanisa. Ikaandikwa katika gazeti moja la kila wiki kuwa wauwaji hao wa maaskofu na wachoma makanisa wa l i s h u k i a M b we n i , kisha wakakodi daladala hadi Tandika, tayari kwa kazi. Hakukuwa na hatua zozote zilizochukuliwa juu ya uwongo huo na badala yake baadhi ya viongozi wa Kikristo

wakawataka waumini wao wajizatiti kwa mapanga, mikuki, visu na mishale kujihami, wakidai kuwa kikosi hicho cha Waislamu k i l i k u wa k i k i e l e k e a Mbeya. Iliandikwa katika magazeti , na serikali haikusema kitu. Matokeo yake sasa propaganda hizo zinatiwa nakishi katika vikao rasmi-Bunge la Katiba! Waziri Mkuu yupo na Makamo wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, yupo!

Alisema mwandishi Carl K. Savich akiandika juu ya mchango wa propaganda k a t i k a m a u w a j i y a Waislamu Bosnia kuwa:

“Propaganda is meant to dehumanize a target group so that they can be killed. Propaganda is ultimately meant to lead to the killing or murder of those the propaganda targets.”

Akimaanisha kuwa propaganda hulenga kuwatoa ubinadamu watu wanaotakiwa kuuliwa (ili wasionewe huruma). Na kwamba lengo kuu la propaganda ya namna hii ni kuleta mauwaji dhidi ya watu waliofanywa shabaha ya propaganda.

Sasa kama propaganda ya “ M u s l i m t e r r o r ” i l i y o e n d e s h w a n a Slobodan Milosevic ilizaa, mauwaji ya Kimbari ya Srebrenica, propaganda hii ya ‘Masheikh wa Uamsho terror’, inakusudia nini?

Kuna adhimu ujumbe, si wa leo wa kadimu,Bilkuli niulumbe, jahara muufahamu,Chanzoche Aboud Jumbe, 'PARTNERSHIP' fahamu,Kwa wa kina ufahamu, msome Aboud Jumbe.

Kimebaini kimbembe, Kitabuche muadhamu,Cha muungano wa yumbe, wa Karume na Mwalimu, Taklifu kwa viumbe, kuuchungua haramu !,Kwa wa kina ufahamu, msome Aboud Jumbe.

Lengo kufunikwa kombe, asonwe mwanaharamu,Thuma ridhaa aombe, 'junia' kwa 'muadhamu',Kwa mamboye lembelembe, kwa khushui na nidhamu, Kwa wa kina ufahamu, msome Aboud Jumbe.

La sivyo wake viumbe, washike zao hatamu,Vinginevyo chembechembe, hatarishi masmumu, Hudakhili kama shombe, kwa lengo la kuhujumu,Kwa wa kina ufahamu, msome Aboud Jumbe.

Uhai sasa wa tembe, muungano mahamumu,Kisa wa watu upambe, waso na yake elimu,Wadhaniwao 'majembe', kumbe 'wakaanga sumu', Kwa wa kina ufahamu, msome Aboud Jumbe.

Wao wale lao sembe, na posho za udhalimu,Kitabu hiki ni jembe, hata wakikihujumu,Kimelifunua kombe,aonwe mwanaharamu,Kwa wa kina ufahamu, msome Aboud Jumbe.

Kaditamati ujumbe, sina dhima kwa kaumu,Kongole kwa Shekhe Jumbe, kwa kutimiza jukumu, Mwisho nyote niwaombe, someni zake salamu,Kwa wa kina ufahamu, someni 'PARTNERSHIP'.

ABUU NYAMKOMOGI - SAFARINI KAGERA.

Miaka 50 ya muungano

Page 13: ANNUUR 1122

13 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Makala

HALI si nzuri kwa wenye nyumba na wapangaji nchini Kenya kufuatia amri mpya iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo, inayowalazimisha wenye nyumba kugeuka kuwa wapelelezi na kufanya kazi ya kukusanya taarifa za wapangaji wao na kuziwasilisha polisi.

K w a m b a k u a n z a tarehe 1, Mei litakuwa ni jambo la lazima kwa wenye nyumba kuwa na taarifa wa wapangaji wao na kuziwasilisha kwenye vyombo vya usalama nchini humo kwa kile kilichoitwa kuwa ni hatua ya serikali ya kulinda usalama nchini humo.

Imeelezwa kuwa amri hiyo ya serikali imewafanya wamiliki wa nyumba za kupangisha kuwa kwenye hatari ya kupoteza mali zao na mapato ya kodi, na kuweka mazingira ambayo taarifa muhimu za watu (wapangaji) zinaweza kuangukia kwenye mikono isiyo sahihi.

Amri hiyo mpya ambayo inaanza kufanya kazi tarehe 1 Mei, imeelezwa kuwa i ta ipa ser ika l i nguvu ya kuyachukua majengo ya makazi ya watu au ya biashara ikiwa yatashukiwa kukaliwa na wahalifu, kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali Kuu wa Kenya, Joseph Ole Lenku.

“Usalama ni lazima na unatakiwa uwe jukumu la pamoja. Ili kumfanya kila mmoja abebe wajibu huu, tunaanza na wamiliki wa nyumba za kupangisha kwa kuwataka wachukuwe taarifa za kila mpangaji wanayemruhusu kukaa kwenye nyumba zao.” Bw. Lenku alikaririwa na vyombo vya habari akieleza hayo.

Al idai kuwa pol is i wamekuwa wakiingia m a t a t i z o n i w a k a t i

Wamiliki wa nyumba Kenya wapewa amri kukusanya taarifa za wapangaji

Hofu ya kupoteza mapato ya kodi yatandaNa Rajab Ramah,

Nairobiw a m i s a k o k w e n y e majumba yanayoshukiwa kukaliwa na wahalifu p a l e w a t u h u m i w a wanapokimbia na kwamba wamiliki wa nyumba za kupangisha wanashindwa kutoa taarifa zozote za maana za kuwafuatilia watuhumiwa.

“ Ta t i z o h i l i s a s a litakwisha kwa sababu hatutawaruhusu wamiliki wa nyumba za kupangisha kuendelea kukusanya tu fedha za kodi, huku wakiwa hawashughuliki k a b i s a n a m a m b o yanayotokea kwenye majumba yao,” alisema.

K w a m u j i b u w a agizo hilo jipya, ambalo lilitangazwa Aprili 7, wamiliki wa nyumba za kupanga watahitajika kuwa na taarifa za kutosha za wapangaji wao, kama vile nakala za nyaraka za utambulisho wao, mawasiliano ya koo zao na taarifa kuhusu ajira zao.

Bw. Lenku alisema suala hili litakuwa la lazima na hakuna njia nyingine kinyume na kutekelezwa amri hiyo. Aliasa kwamba yeyote atakayekwenda kinyume na agizo hilo, b a s i a o m b e a t a r a j i e kwamba halitatokea jambo lolote lenye kutia wasiwasi katika nyumba yake.

Kwa upande mwingine, P o l i s i w a m e s e m a wapangaji pia watatakiwa kuzijua zaidi taarifa za wenye nyumba wao.

I l i e l e z w a k u w a mara tu mtuhumiwa a n a p o h u s i s h w a n a j e n g o f u l a n i , P o l i s i watalitangaza jengo hilo kuwa ni eneo la uhalifu na jengo litakuwa chini ya usimamizi wa serikali hadi pale watuhumiwa wote wanaohusishwa na jengo hilo watakapokamatwa. Kwamba katika kipindi cha usakaji watuhumiwa, s e r i k a l i i t a e n d e l a kukusanya kodi za pango kutoka kwa wapangaji hadi pale watuhumiwa watakapokamatwa na uchunguzi kukamilika, alisema.

Wakati wamiliki wengi wa nyumba za kupangisha na wapangaji wameupokea m p a n g o h u o k a t i k a hali wasiwasi mkubwa, wakisema itakuwa ni vigumu kutekelezeka na pia mpango huo na kwamba pia unaingilia maisha ya faragha ya watu.

S t e p h e n M u t o r o , Afisa Mtendaji Mkuu w a M u u n g a n o w a Asasi za kiraia nchini Kenya, amesema kuwa s e r i k a l i i n g e l i p a s wa kwanza kutunga sheria i t a k a y o w a l a z i m i s h a wamiliki wa nyumba za kupangisha kukusanya taarifa hizo kutoka kwa wapangaji wao kabla ya kuanza kutekelezwa kwa mkakati huo.

Alisema kadri ambavyo usalama unahusika, kila Mkenya anakuwa katika hali ya kuwekwa katika hali ya uvunjifu wa amani.

I l i e l e z wa k wa m b a k u i d h i b i t i h a l i h i y o halitakuwa jambo rahisi na kwamba mpango huo

utakumbana na upinzani mkubwa kutokana na kutolindwa na sheria yoyote.

Hali hii ni kutokana n a u k we l i k wa m b a , utekelezwaji wa mpango wenyewe moja kwa moja unaingilia haki za mali za watu na faragha zao, mambo ambayo yana athari mbaya kwa wamiliki wa nyumba na katika sekta nzima ya uwekezaji.

Peter Kamau, dereva teksi katika wilaya ya Hurlingham mjini Nairobi, aliuita mpango huo kuwa ni serikali kukwepa wajibu ambapo alisema mpango w e n y e w e u n a wa a p a wamiliki wa nyumba mzigo.

Alisema haiwezekani serikali ikurupuke tu na kuchukua jengo la mtu kwa sababu tu mmiliki wa wake hakusaidia kukamatwa wahal i fu waliomo katika maeneo yake.

Katika hatua nyingine, i m e a r i f i wa k wa m b a

zaidi ya Waislam 100 wamekamatwa mwishoni mwa wiki katika mji wa Mombasa.

Vyombo vya habari nchini Kenya vimearifu kuwa Polisi wa kupambana na Ugaidi pamoja na askari wa kitengo cha GSU walifanya msako katika mitaa mbalimbali m j i n i M o m b a s a n a kuwakamatwa Waislaam hao.

Mamia ya Polisi wa kupambana na Ugaidi na yale yanayojulikana kama GSU, wakiwa na silaha zao walifanya opresheni hiyo inayowalenga zaidi jamii ya Waislam na Wasomali.

Gazeti la the standard la Kenya limewakariri vyanzo ndani ya maofisa wa U s a l a m a n c h i n i Kenya kuwa, operesheni h i y o p i a i l i wa l e n g a wafanyabiashara Waislam wanaohisiwa kuufadhili kile walichokiita mtandao wa Kigaidi nchini Kenya, pamoja na kuchunguza Akaunti zao za Benki.

Katika tukio jingine, K i t e n g o c h a P o l i s i c h a K u p a m b a n a n a U g a i d i K e n y a (ATPU) kimemkamata msaidizi wa Chifu wa H u l u g h o M o h a m e d Jelle, kikimhusisha na kumsaidia mwanamke mmoja kutoka Somalia kupata kitambulisho cha Kenya, liliripoti gazeti la The Standard la Kenya siku ya Jumapili Aprili 20.

M w a n a m k e h u y o aliripotiwa kukamatwa katika msako wa karibuni uliofanyika huko Eastleigh.

Kamanda wa Polisi wa Divisheni ya Ijara, Abdi Galogalo alisema Msaidizi huyo wa Chifu alipelekwa kwenye kituo cha polisi cha Ijara kwa ajili ya mahojiano na timu ya ATPU na baadae aliachiwa baada ya mahojiano hayo.

Hata hivyo Bw. Omar Bule, jamaa wa Jelle, alikanusha kuachiliwa k wa n d u g u ya k e n a k u d a i k u w a p o l i s i walikuwa wanaendelea kumnyanyasa.

Wa k a t i h u o h u o , pol i s i wal iwakamata watu 22 huko Bus ia s i k u y a J u m a m o s i na wengine 38 mj ini Malaba, wengi wakiwa hawana vitambulisho na wengine wakiwa na vitambulisho vinavyohitaji kuthibitishwa, alisema Kamishna wa Kaunti ya Busia, Isaiah Nakoru.

“Tutaendelea na kufanya operesheni yetu hadi turidhike kwamba hakuna mshukiwa wa ugaidi anayejipenyeza miongoni mwa wananchi,” alisema Nakoru kwa mujibu wa gazeti la Daily Nation la Kenya.

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya.

Page 14: ANNUUR 1122

14 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014TANGAZO

ISLAMIC PROPAGATION CENTREP.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

4. Fomu za maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi elfu kumi (10,000/=) katika vituo vifuatavyo: • Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni 0763 282 371/ 0784 406 610.• Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha – 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075• Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani – 0715 894111/0789 410914 - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ - Korogwe: SHEMEA SHOP – 0754 690007 - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533• Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685 - Ofisi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770.• Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623• Kagera - Bukoba: Alhuda Café Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667 • Shinyanga - Masele com: Ofisi za NSSF –Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426 - Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930 • Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin – 0655144474.• Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380• Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086• Singida - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – karibu na Nuru snack Hotel – 0714285465/0784 928039 • Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902.• Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224. - Kibondo – Islamic Nursery School: 0784 442860. - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802.• Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663.• Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007.• Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU – 0715 681701/0716791113 - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113• Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole – 0713 200209 - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209• Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073• Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566• Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122• Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331• Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074- • Mafia - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu – 0653705627 • Ikwiriri - Masjid Aqswa: 0782 838749/0656531133

5. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

NAFASI YA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI, 2014/2015 CHUO CHA UALIMU KIRINJIKO ISLAMIC

Waislamu wote mnatangaziwa nafasi za mafunzo ya Ualimu Nganzi ya Cheti katika chuo cha ualimu Kirinjiko Islamic. Kwa mujibu wa tangazo la Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,mafunzo haya yako ya aina mbili:

1. MAFUNZO YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA CHETI, DARAJA ‘A’ Muda wa Mafunzo : Miaka 2

Mwombaji awe:(a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2013.(b) Mwenye ufaulu wa kiwango kisichopungua daraja la III (Division III katika mtihani uliofanyika katika kikao kimoja.

2. MAFUNZO KABILISHI (BRIDGING COURSE) KWA AJILI YA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI DARAJA ‘A’

Muda wa Mafunzo: Mwaka 1 Mwombaji awe:(a) Muislamu aliyehitimu kidato cha IV kati ya mwaka 2004 na 2012 na awe amefaulu kwa kiwango kisichopungua Daraja la IV (Division IV) kwa alama 26

au 27 (Kwa mtihani wa mwaka 2004 hadi 2012) na alama 33 au 34 (Kwa mtihani wa 2013) kwa mitihani iliyofanyika katika kikao kimoja; na

(b) Mwenye ufaulu wa angalau kiwango cha ‘D’ kat ika masomo ya Sayansi,Hisabati,English na Kiswahili katika mtihani wa kidato cha IV.

Tanbihi: watakaofaulu mtihani wa mafunzo kabilishi wataendelea na mwaka wa pili wa mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti, Daraja ‘A’.

MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJI WOTE1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti (leaving and Academic certificates) vya kidato cha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni.2. Tarehe ya usaili na mwisho wa kurudisha fomu ni tarehe 21/06/2014 saa 2:00 asubuhi. 3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo:(a) Kirinjiko Islamic T.C – SAME (b) Ubungo Islamic T.C – DSM(c) Nyasaka Islamic S.S. – Mwanza

Page 15: ANNUUR 1122

15 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014Habari/Matangazo

KITUO cha Kiislamu cha Kimisri nchini, Markaz Chang’ombe jijini Dar es Salaam, kimefanya semina e lekezi kwa walimu wa Madrasa za Kiislamu.

K a t i k a s o m o k u u la semina, walimu hao wametakiwa kutokutumia ubabe katika kuwaelekeza vijana wawapo mafunzoni.

Bali kuwapa maelekezo kwa namna njema pamoja na kushikamana na tabia nzuri za Kiislamu.

Semina hiyo ya siku mbili ilifanyika siku ya Jumamosi na Jumapili mwishoni mwa wiki ambapo mashehe kadhaa waliwasilisha mada zao.

Akitoa mada yake, ‘Nafasi ya walimu katika k u wa e l e k e z a v i j a n a k u e p u k a u b a b e n a kupanda tabia nzuri zilizo sahihi za Kiislamu katika nyoyo zao’ Mkurugenzi wa Markazi Dk. Ismail Osama alitilia mkazo juu ya nafasi ya walimu na majukumu yao katika malezi ya watoto wao, akiwataka walimu hao kuepuka kabisa kutumia nguvu au ubabe, roho m b a ya n a c h u k i n a ukali katika kuwafunza wanafunzi, kwani sifa hizo zinapingana na mafunzo ya Kiislamu, ambayo yanaamrisha kusamehe na kuwa na ulaini.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Umoja wa Wanazuoni Tanzania, S h e i k h S u l e i m a n Kilemile al i toa mada inayozungumzia nafasi ya mwalimu katika kumlea mtoto.

Alifafanua umuhimu wa mwalimu na nafasi yake muhimu katika kuwalea watoto, kwani mwalimu ndiye anayeijenga nafsi ( n y o y o ) n a a k i l i ya mwanafunzi wake.

A l i s e m a m wa l i m u ndiye mwenye kazi zaidi ya kulea watoto katika u f a h a m u s a h i h i wa Uislamu.

Naye Sheikh Salah Sayed Husein Miftah aliwasilisha mada inayohusu nafasi ya m wa l i m u k a t i k a kuwafundisha wanafunzi u f a h a m u s a h i h i wa Uislamu, ikiwa ni pamoja n a we p e s i wa k e wa kufafanua mambo.

Al isema Mwenyezi Mungu na Mtume wake

Walimu wa Madrasa Dar wapigwa msasa MarkazNa Mwandishi Wetu wameamrisha kusamehe

n a t a b i a n z u r i k wa watu wote kwa neno lake Mwenyezi Mungu (samehe kwa usamehevu m z u r i ) n a a m e s e m a Mtume (s.a.w) “Muogope Mwenyezi Mungu popote ulipo, ufanyapo baya, fanya haraka kufanya jema kwani jema hufuta ubaya na ishi na watu kwa tabia nzuri”.

Wawasilishaji wengine k a t i k a s e m i n a h i y o walikuwa ni Dk. ahmed Mahmoud Abdellatif , Naibu Mkurugenzi wa Markaz ya Kimisri, ambaye aliwasilisha mada kuhusu ujumbe wa walimu katika kueneza elimu ya Kiislamu iliyo sahihi.

Yeye al isema kuwa walimu ni watu wenye d a r a j a l a j u u k w a kusimamia majukumu y a w a n a f u n z i k w a ukamilifu na kwamba, hayo yameelezwa katika Qur’ani tukufu na hadithi za Mtume (s.a.w).

Alisema daraja hilo linahitaji kusimamia vema majukumu yao katika kuhakikisha dini yao, kwa maana ya kuwalea watoto kwa kuwafundisha uwepesi wa Uislamu n a k u y a p i n g a y o t e yanayokwenda kinyume na hilo.

Sheikh Ally Mbwera, ambaye ni Katibu Mkuu wa Madrasa za Kiislamu, a l i sema mwal imu ni kiigizo na ni mfano kwa wanafunzi wake.

Alisema mwanafunzi huiga zaidi anayoyafanya mwalimu wake kuliko hata anayofanya baba yake.

Kwa maana hiyo kuigwa huko hakuna budi kuwa kwa vitendo vizuri na kuepeuka kila lililo la shari ili wanafunzi waige yaliyo mazuri.

Kwa upande wake Sheikh Abubakar Soliman Mohamed, ambaye naye ni mwalimu wa Markaz ya Kimisri aliwasilisha mada yake kuhusu namna ya kufanikisha semina elekezi kwa walimu. Alisema nafasi ya mwalimu sio kufundisha tu, bali nafsi yake inamruhusu hata kulea. Alisema kama mwalimu atafupisha nafsi hiyo kwa kufundisha tu, kamwe haitopatikana faida inayohitajika na wala haitotimia.

Alisema hakuna budi kuunganisha malezi na mafunzo ili mwanafunzi aweze kufaulu na atakuwa mwanafunzi aliyepata fa ida , naye akaenda kunufaisha wengine katika jamii.

BAADHI ya viongozi wa waliotoa mada kwa walimu wa Madrasa mkoa wa Dar es Salaam katika ukumbi wa Markaz Chang'ombe, jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

The fast growing and well established Islamic Secondary School has vacancy for qualified teachers. The school is Located few kilometers from Dar es Salaam city centre.

The Vacancy is available for teachers who are able to teach Physics, Chemistry, Kiswahili and English subjects.

Qualification: The applicants must possess a Diploma, BA in Education or any other equivalent qualifications from recognized college or University.

The post is attached to attractive Salary based on qualification, competency and experience.

All Application should be received by 5 May 2014.Interested applications should send their application letters, copies of their certificates, CVs with phone numbers and two referees.

The applications should be sent to:The Head MistressP.O. Box 6508Dar es SalaamE-mail: [email protected]

VACANCY

Taasisi ya Wanawake wa Kiislamu (MADINA) inayofuraha kuwaalika wanawake wote wa Kiislamu katika kongamano litakalofanyika tarehe 26/04/2014 katika Msikiti wa Mtambani kuanzia saa 2:00 Asubuhi mpaka saa 6:00 mchana.

Mada: Uzazi wa Mpango Kisayansi na katika sheria ya Kiislamu. Ukipata taarifa hii mtarifu na mwenzio.

Wabillah Tawfiq

Kongamano

Page 16: ANNUUR 1122

16 AN-NUURJAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 201416 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

AN-NUUR16 JAMADUL AKHER 1435, IJUMAA APRILI 25 - MEI 1, 2014

Soma AN-NUUR

kila Ijumaa

J A M I I i m e h i m i z wa kukitumia kipindi hiki cha mvua za masika kupanda miti kwa wingi, ili kurejesha hadhi ya Zanzibar kuwa Visiwa vya Kijani.

Wito huo umetolewa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim S e i f S h a r i f H a m a d , wakati anazindua zoezi la upandaji miti Kitaifa katika barabara ya Jendele, Mkoa wa Kusini Unguja.

Alisema kuwa kwa kiasi kikubwa jamii imepoteza utamaduni wa asili wa kupanda na kutunza miti, hali ambayo inasababisha kutoweka kwa baadhi ya miti mikubwa ya matunda na viungo katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar.

Kufuatia hali hiyo, Maalim Seif al iagiza serikali za mikoa na Wilaya kusimamia utunzaji wa miti inayopandwa, ili kuhakikisha inakuwa vizuri na kuleta ustawi ul iokusudiwa kat ika utunzaji wa mazingira na kuongeza kipato cha wananchi na Taifa kwa ujumla.

Alisisit iza kwamba miti ina umuhimu katika kuhifadhi mazingira, ik iwa n i pamoja na kutunza vyanzo vya maji ikiwemo chemchem na mito, kukinga upepo

Maalim apania Zanzibar kuwa visiwa vya kijani

Azindua zoezi la kupanda miti nchi nzima

Na Mwandishi Maalum

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad.mkali sambamba na kusaidia upatikanaji wa mvua, ambayo ni muhimu

kwa shughuli za kilimo na ustawi wa maisha ya binadamu, wanyama na

wadudu.Aidha alifahamisha

kuwa miti ni chanzo kikubwa cha pato la wananchi na Taifa kwa jumla, akitolea mfano wa zao la karafuu, ambalo ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya fedha za kigeni kwa Zanzibar.

Maalim Seif ametumia fursa h iyo kukemea tabia ya baadhi ya watu kusafirisha miche ya mikarafuu nje ya nchi, pamoja na kuacha kabisa matumizi ya misumeno ya moto ambayo ni adui wa mazingira.

“ N a k u o m b e n i wananchi tupande kwa wingi mikarafuu na miti ya matunda pamoja na viungo, ili kuiweka nchi yetu katika haiba nzuri ya kupendeza, ambayo inaweza kuwavutia hata wageni wetu.

“Lengo la Serikali ni kupanda mit i kat ika barabara zote Unguja na

Pemba, hivyo nakuombeni s a n a t u s h i r i k i a n e kufanikisha lengo hili”. Alisema Maalim Seif.

Aidha wafugaji nao wametakiwa kuheshimu juhudi za serikali na wananchi katika kuitunza miti hiyo, i l i kufikia malengo yaliyokusudiwa.

K w a m u j i b u w a takwimu za sensa ya miti ya hivi karibuni, zinaonesha kuwa idadi ya miti inapungua kwa kiasi kikubwa ambapo maeneo mengi ya misitu pamoja na mashamba, yamegeuzwa kuwa makaazi ya watu na hivyo miti kuendelea kukatwa kwa kasi.

T a k w i m u h i z o z inaonesha kwamba katika mwaka 1,997 visiwa vya Unguja na Pemba vilikuwa na miti yenye mita za ujazo wa 10.3 milioni, lakini kima hicho kilipungua hadi kufikia mita za ujazo 8.6 milioni mwaka 2013.

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo na Maliasili, Affan Othman Maalim, alisema jumla ya miembe 450 imepandwa katika uzinduzi huo wa upandaji wa miti kitaifa, ambapo wanakusudia kuendeleza zoezi hilo katika barabara yote ya Jendele hadi Unguja Ukuu.

MAHAKAMA ya Wilaya ya M a s a s i , i m e p i n g a pingamizi la dhamana dhidi ya Waislamu saba baada ya upande wa mashItaka kuzia dhamana zao kwa mara ya pili, ikidai kuwa makosa yao yanastihili dhamani.

Hali hiyo imepelekea Waislamu hao kuwa nje kwa dhamana baada ya kutiwa mbaroni na Jeshi la Polisi, kufuatia taarifa ya Askofu mmoja kwa Jeshi la Palisi kuwa Waislamu hao walikuwa wakimtukana Yesu Msikitini.

I m e e l e z w a k u w a Mahakama ilidai baada ya kupitia kesi hiyo imeona m a k o s a ya Wa i s l a m u h a o y a n a d h a m i n i k a hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuzuia dhamana zao na baada ya taratibu za dhamana kukamilika kesi

Waislamu waliochongewa na Askofu wapata dhamanaAliyelazwa, aruhusiwa apandishwa kizimbani

Na Bakari Mwakangwale

hiyo iliahirishwa hadi Mei 6, 2014.

W a i s l a m u h a o walifikishwa Mahakamani hapo kwa mara ya pili April 14, 2014, ambayo ilikuwa ndiyo siku ya kutajwa tena kesi hiyo, baada ya kuahirishwa awali Machi 31, 2014.

Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kutoka M a h a k a m a n i h a p o , kilisema kwamba mbele ya Hakimu wa Mahakama hiyo, mwendesha mashitaka alidai kuwa kesi hiyo imefika Mahakamani hapo kwa ajili ya kutajwa na kwamba upelelezi haujakamilika.

Lakini pia chanzo hicho kilisema, kwa kuwa awali upande wa mashi taka

ulipinga dhamana dhidi ya Waislamu hao, mwendesha mashitaka aliomba dhamana yao iendelee kuzuiwa, hadi hapo watakapo kamilisha upelelezi wao.

“Baada ya maelezo hayo ya mwendesha mashitaka, Hakimu wa Mahakama hiyo alipingana na maelezo hayo kwa kusema kwamba, kwa upande wa Mahakama baada ya kuipitia kesi hiyo imeona kwamba makosa yao yanadhaminika hakuna sababu ya kuendelea kuzuia dhamana zao”. Kilisema chanzo chetu.

Katibu wa Habari wa Jukwaa la vijana Masasi, Ustadhi Husein Mchomolo, al isema baada ya kauli hiyo ya Hakimu, alisimama

na kusema, kumweleza M h e s h i m i wa H a k i m u kwamba wadhamini wapo, ambapo hakimu al i toa masharti ya dhamana kwa watuhumiwa hao.

A k i s o m a m a s h a r t i ya wa t u h u m i wa h a o , M h e s h i m i wa H a k i m u alisema, kila mtuhumiwa a n a t a k i w a k u w a n a wadhamini wawili na kila mdhamini awe na barua kutoka kwa mtendaji wa Kata husika sambamba na kusaini bondi ya Shilingi Mil ioni moja kwa ki la mdhamini.

“Na sharti la mwisho limewataka watuhumiwa wote wakiwa n je kwa dhamana wasi j ihusishe na vitendo vya uvunjifu

wa amani”. Alisema Ust. Mchomolo.

A l i s e m a , b a a d a y a k u k a m i l i s h a t a r a t i b u zote hizo Mahakamani hapo waliweza kuondoka na Waislamu hao Saba, ambapo yule wa nane aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkomaindo, baada ya kuruhusiwa naye alipandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka yake.

Ust. Mchomolo, alisema siku ya April 14, 2014, Wa i s l a m u w a l i f u r i k a Mahakamani hapo wakitaka kujua hatima ya dhmana ya ndugu zao na kupelekea mafisa wa Polisi wakuu wa Jeshi la Polisi kuwepo eneo hilo wakisimamia ulinzi mkali uliotanda eneo lote la Mahakama.

Ust. Mchomolo, alisema afya za Wais lamu hao bado sio nzuri na kwamba hivi sasa wanaendelea na matibabu kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya kupigwa na Askari Polisi, siku walipowavamia Msikini.