annuur 1199

21
ISSN 0856 - 3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA , OKTOBA 16-22, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpa pers.co.tz au facebook:annuurpap [email protected] 16 Zanzibar itafutika-Mwanasheria Komandoo Salmin alijitahidi lakini… Uislamu nao sasa kutiwa kitanzi Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, Magufuli Bila kung’oka ‘Mfumo’ hakieleweki Dk. Shein hasalimiki Hili la kadhia ya Masheikh....  ALIYEKUWA Mwanasheria  Mkuu wa Zanzibar, Othman  Masoud. RAIS mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin  Amour.  MGOMBE A Urais kupit ia CCM, Dkt. John Magufuli.  MGOMBE A Urais kupit ia CHADEMA (UKAWA), Mhe. Edward Lowassa. PICHA juu kabisa, wanafunzi wa Baltimore, North Caroline wakipinga chuki na mauaji dhidi ya Waislamu. Chini mamia ya maelfu ya watu walioshiriki "Million Man March" Washington DC, Oktoba 1 6, 1995. ANNUUR REAL.indd 1 10/15/2015 12:55:05 PM

Upload: zanzibariyetu

Post on 05-Jan-2016

1.254 views

Category:

Documents


5 download

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 1/20

ISSN 0856 - 3861 Na. 1199 DHULHIJJA 1436, IJUMAA , OKTOBA 16-22, 2015  BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

16

Zanzibar itafutika-MwanasheriaKomandoo Salmin alijitahidi lakini…Uislamu nao sasa kutiwa kitanzi

Majemadari hodari 10,000kumkabili Lowassa, Magufuli

Bila kung’oka ‘Mfumo’ hakieleweki

Dk. Shein hasalimikiHili la kadhia ya Masheikh....

 ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud.

R A I S m s t a a f u w aZanzibar, Dkt. Salmin

 Amour.

 MGOMBEA Urais kupit iaCCM, Dkt. John Magufuli.

 MGOMBEA Urais kupit iaCHADEMA (UKAWA), Mhe.Edward Lowassa.

PICHA juu kabisa, wanafunzi wa Baltimore, North Caroline wakipinga chuki na mauaji dhidiya Waislamu. Chini mamia ya maelfu ya watu walioshiriki "Million Man March" WashingtonDC, Oktoba 16, 1995.

ANNUUR REAL.indd 1 10/15

Page 2: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 2/20

2  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015Mafundisho ya Quran/Maarifa

Fethullah-Gulen

“Wal i kuwa watu n iumma mmoja akapeleka

 Mwenyezi Mungu Manabiihali ya kutoa habari njemana hali ya kukhofisha”. [Al-Baqarah 213]

Wanasema baadhi yawafasiri katika kufasiri ayahii “walikuwa watu waumma mmoja” kwamba

 binadamu wote walikuwamakafiri akampelekaM w e n y e z i M u n g umtukufu nabii Nuhu (a.s.),kisha Mitume wengine.Isipokuwa tafsiri hii siyosahihi kabisa. Kwa hakikawatu walitoka tokea wakatiwa Adam (a.s.) mpakasasa katika kila wakatiuwezekano wa kuongokakwa yoyote katika Mitumena kuifuatana njia yake nakupanda juu kwa nafsi yake

maana ilipatikana fursahii wakati wote. Katikawao kuna aliyefuatiliahayo na katika wao kunaambaye hakufaidika nayoakaendelea kubaki juuya hali yake. Isipokuwa

 binadamu, hakubakia tokeakwanza pasi na muongozo.Na pamoja na kwamba

 baadhi yao walitofautianakwa sababu ya ujumbempya ambao walipelekewakwao Mitume, isipokuwani kwamba yale ambayowamekuja nayo Mitumemiongoni mwa uongozini mengi sana kuliko

kutofautiana huku.Kufuatana na maoni yaBadiu-Zamani A-Noursyni kwamba lau micheishirini iliishi (ilibaki haiikakuwa wakati mingineilikufa) katika ujumlawa miche mia moja naikawa ni miti mirefu,hapatasemwa kwambamwenye miti hiyo alikuwaamepata hasara. Ni vivyohivyo, lau wangeongokawatu kumi katika watu

Baqara: 213mia moja wakaamini nawakaishi na hali ya kuwawao, wanaelewa sababu ya

kuumbwa kwao na lengolake, idadi hii inatosha iliwatu wengine waepukanena mchezo wa kuumbwa.

Ndiyo walikuwa watuwa kwanza ni ummammoja, kwa fadhila yamitume ambao kulikuwakuja kwao kunatokana nashina moja na chimbukomoja na kushuka kwaujumbe wao kunatokanakatika mbingu moja nayale ambayo yameachwana ujumla huu miongoniwa taathira katika hisiazao yamewapelekeakwenye kuwa kundi moja.Hawakuwa wamekosa

ustaarabu na hazikuwanafsi zao zimeepukana nadini na imani na hawakuwawenye kuvuka mipaka.Kisha wakatofautiana kwaajili ya baadhi ya sababuambazo zimezuka naukaharibika umoja wao.Na kwa hakika alisimama

 bi na da mu wa kwan zaambaye alikuwa wakatihuo huo ni Mtume wakwanza, na jukumu lakuunganisha na kuwafanyawatu kuwa wamoja kwamuda mrefu sana. Kishazikaanza baadhi ya tabiaambazo zimejengwa kwa

 binadamu – kwa ajili yakuyatuliza baadhi yamaslaha yake na vile vilekwa ajili ya kumfanyiamajaribio – inadhihirikumfanyia majaribio –inadhihiri taathira yake nautendaji wake. Vikaanzavishawishi vya hisia naraghaba vinakaa mahalipa akili na mantiki namapenzi ya nafsi yakakaamahali pa uongofu. Nikama hivyo ulishindwaumoja na muunganombele ya kutofautiana.Isipokuwa MwenyeziMungu mtukufu ambayeamemuumba binadamukatika asili juu msingi

wa unyoofu na usafi,amewapeleka Mitumewapya i l i aon dosh evikwazo vilivyopo katiya moyo wa binadamuna mambo yaliyothibitina amuonyeshe mwishowa shari na apandikizemoyoni mwake matumainiya kheri na amlinganiekwenye kutahadhari nakuwa macho.

Hata hivyo baadhi yaohawawezi kuokoka nakutekwa na mapenzi ya

nafsi na matamaniwa nahawakuweza wenginekuzizuia nafsi zao na

kuendelea katika njia yadhulma na kibri. Na hililimepelekea kuendeleakutofautiana na kukuwakwake isipokuwa kwa njiambalimbali na kwa taratibun yin gin e z i l izokuwazinatofautiana na zilezilizotangulia.

Ni hakika kwambatofauti za mwanzo kati yawatu zilikuwa ni matokeoya kubadilika kwa hakikakatika mtazamo wao nakugeuka kwake kwenyehakika zilizodhoofika nakusambaratika kwake, nakuingia mahali pake vituvingine. Ama tofauti za pili

ulikuwa msukumo wake,ama hasadi au kuvukampaka katika mambona yale yanayopelekeakwenye hali hiyo miongonimwa maelezo ya mbali natafsiri zenye makosa, baadaya kuwa hakika zote zikowazi na nukta zote ngumukwa sababu ya hoja naushahidi zimekuwa waziau kuingia katika jitihadaza juu ambazo chimbukolake ni mapenzi ya nafsipamoja na haja na ushahidikutoka kwa MwenyeziMungu.

Yafahamu haya, pamojan a k u j u w a k w a m b aMwenyezi Mungu mtukufualikuwa ameziondoshadosari zote katika masualaya kujitahidi kwa aya zilizowazi na akaziba njia zotezenye kupelekea kwenyetafsiri zenye kuchimbukakutekeleza mapenzi yanafsi na unaweza kulielezea

 jambo hili kwa kuyatumiamaelezo ya wanawazuoniwa Fiqhi na kwa ulimi waokwa kusema: “Hapanaruhusa ya kutumia jitihadapamoja na kupatikanakwa msemo uliyo wazi waQur’an na Sunnah”.

N d i y o : h a w ahawakuzichukua siku

aya ambazo zinalinganiakwenye kukubalianana zinakuwa ni nyenzoya kukubaliana, baliwamekwenda harakanyuma ya kujitahidi kwenyekusimama juu ya mapenziya nafsi yenye kupelekeakwenye kutengeneza nakutofautiana na jambo hililimewafanya waporomokekat ika ma jan gwa yakutofautiana kupiganapande na kupotoka.

Jee Unajua?

CHEMSHA BONGO NAMBA 

Fatilia kuandama kwa MweziLeo ni Tarehe 2 Muharram (Mfungo 4) mwaka 1437 AH, sawa natarehe 16 October 2015. Tumebakisha siku 27 kukia Mfungo 5.

Uwanja wa Vijana: Jiongezee Maarifa

Jawabu Chemsha Bongo Namba 22

MASAUALA 1.Jee, Mwenye-enzi-Mungu ana mtoto? Ndio /Sio Jawabu: Sio2.Allah ni Wawili ndani ya mmoja, Mmoja ndani ya watatu, Mmoja. Jawabu: Mmoja3.Jee, kuna tafauti katika mafundisho ya Mitume? Ndio/Hapana. Jawabu: Hapana4.Dhul karnain alijenga ukuta kuwazuia nani? Jawabu: Yajuj Majuj5.Nimrood alikuwa katika wakati wa Mtume yupi? Jawabu:Ibrahim6.Vita viliopiganwa sio katika mwezi wa Ramadhan, Khandak,Badr, Fathi Makka. Jawabu: Khandak7.Sahaba gani alisalisha ikiwa Mtume (SAW) angali hai? Jawabu:Abubakar8.Adhana iliadhiniwa katika mwaka upi? Jawabu: 2 AH

9.Wakati wa Kiongozi gani wa Kiislamu ndipo Waislamuwalipotengeneza sarafu yao wenyewe? Syd Umar, Mamun, Harun,Muawiya. Jawabu: Mamun10.Makaburi ya Masahaba katika mji wa Madina yapo sehemugani? Jawabu: Baqi

1.Jee, unatakiwa kufanya ibada ya Hijja (a) Kila mwaka. (ii) Maramoja (iii) Kila baada ya miaka miwili.2.Nani aliomua Umaya Bin Khalaf?3.Masafa baina ya Jeedah na Madinah ni Kilomita 500, kilomita 396.4.Hijja imefaradhishwa mwaka gani wa Hijra? 10, 12, 15 AH.5.Abraham alikuwa mtawala wa Yemen, Misri au Syria?6.Hijja inaanza tarehe ipi ya mfungo 3?7.Siku iliyo muhimu kabisa ya Hijja ni ya tarehe ngapi mfungo 3?8.Mahujaji wakitoka Arafa wanalala kwa usiku mmoja sehemu ipi?9.Mawe mangapi kwa jumla hupigwa kwenye Jamaarat? 7, 21, 4910.Mwezi gani ndio mwezi wa Hijja? Dhul Hijja, Dhul Qaada,Rabil Awal

1.Nchi 10 zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta ikiongoza nchiya Urusi na kufwatiwa na nchi zifwatazo nazo ni Saudi Arabia,Urusi, Iran, Falme za nchi za Kiarabu (UAE), Norway, Iraq, Kuwait,Nigeria, Canada, Marekani. hp://www.countryranker.com/top-10-largest-oil-exporting-countries/2.Nchi 10 zinazoongoza kwa uchimbaji wa almasi ni:Urusiikiongoza ikifwatiwa na Botswana, Congo DRC, Australia, Afrikaya Kusini, Canada, Angola, Namibia, Ghana na Brazil. hp://www.countryranker.com/top-most-diamond-producing-countries/3.Nchi zinazoongoza utowaji wa maua na uuzaji wake? Uholanzini nchi namba mmoja ikifwatiwa na Marekani, Sweden, Brazil,Denmark, Swierland, Australia, Malaysia, Cambodia. hp://www.

countryranker.com/which-country-produces-the-most-owers/4.Nchi 10 zinaoongoza uzalishaji wa asali duniani ni Urusi, India,Mexico, Iran, Roumania, Korea ya Kaskazini, New Zealand, Poland,Kenya na Australia. hp://www.countryranker.com/top-10-largest-honey-producing-countries-in-the-world/5.Zijue nchi 10 zenye kukaliwa na watu wengi kwenye eneo la mrabanazo ni Monaco, Singapoore, Vatican City, Bahrain, Malta, Maldives,Bangladesh, Barbados na Mauritius. hp://www.countryranker.com/which-country-is-most-densely-populated-in-the-world/6.Nchi ya Marekani inaoongoza kwa mimba za utotoni ikifwatiwana Uiengereza, New Zealand, Slovak Republic, Hungary, Iceland,Ureno, Canada, Poland na Ireland. hp://www.countryranker.com/which-country-has-highest-teenage-pregnancy-rate-in-world/

CHEMSHA BONGO: 23Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo

 

H K H A N D A K Y A B M

 A D U N I A M A A B A AP A R A F A K A J U Q K

 A M U Z D A D I U B I K

N M I N A A B A J A E A

 A T A I F U A S M K A J

 J E E D A H I A A A L U

M A M U N L T A J R I M

I B R A H I M I U 2AH 7AH A

N D I O M M O J A S I O

M A R A M O J A J A M C

B Y M I N A M A K K A 2

I E M A D I N A H Y A W

L M M U Z D A L I F A H

 A E B A D R H A N D A K

L N U M A R A L I N E M

 A T I S A N A N E K Y

L M F U N G O S I T A A

I D H U L H I J J A N W

500 396 12AH 10 AH 8 9 1 7 21 49 54 M

ANNUUR REAL.indd 2 10/15

Page 3: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 3/20

3  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015Habari

Zanzibar itafutika-MwanasheriaI m e e l e z w a k u w ak u n a m a a n g a m i z iyanakuja, iwapo Katibai n a y o p e n d e k e z w aitapitishwa.

M a a n g a m i z i h a y oyataikumba Zanzibarkama nchi, huku Mila naDesturi za Kiislamu nazozikitiwa kitanzi.

Kama litakuwepo lakufanyika la Kiislamu,

 basi it akuwa ni li le tulitakalopata ‘ruhusa’ yawalinzi wa Katiba.

Hayo yamebainishwa naaliyekuwa MwanasheriaMkuu wa Z an z ibar ,Othman Masoud ambayeamesema kuwa ni jambo

lisiloeleweka ilikuwajeWazanzibari waliokuwaDodoma wakapiga kuraya kuipitisha Katiba hiyoinayopendekezwa.

Lakini jingine ambalohakulisema na kuhoji,ni kwa vipi Waislamuwakiwemo Masheikhwaliokuwa katika Bunge laKatiba, hawakuhoji juu yakifungu hicho wakaishiakupiga kura ya kuipitisha.

Hiyo ni kutokana nakifungu kinachoipa UKUUKatiba Inayopendekezwadhidi ya Dini ya Allah namaelekezo yake katika Milana Desturi wanazotakiwa

kufuata Waislamu.K w a m b a , w a k a t ikwa Muislamu RejeaK u u n i K i t a b u n aSunnah, na kwambawatu wakihiti laf ianakatika jambo, wanarejeakatika viwili hivyo, sasainaambiwa kuwa rejeapekee ya nini kifanyike aukisifanyike ni Katiba.

La Kitabu na Sunnahlikiwa kinyume na katiba,linatupiliwa kwa mbali.

Mwanasheria OthmanMasoud akifafanua baadhiya vifungu vya Katiba hiyoPendekezwa, amesema,kupita kwa Katiba hiyo,

kunaweka mazingirahatari ya kufutika kabisaZanzibar kama nchi,ukiacha hali iliyo sasaambapo amesema nikama Zanzibar ipo chini yauangalizi wa Tanganyika.

O t h m a n M a s o u dalikuwa akizungumzawiki iliyopita kwenyekongamano lililoandaliwana Chama cha Wananchi(CUF), mjini Unguja, juuya Katiba Iliyopendekeza,ambapo alisema kuwakatiba hiyo imechukua

Na Mwandishi Wetu

mamlaka yote ya Zanzibar.A m e s e m a ,

yawezekana Wazanzibariwaliopitisha katiba hiyow a n a s u m b u l i w a n augonjwa unaosababishwana kirusi hatari kulikoTB, kwani katika hali yakawaida, isingetarajiwaMzanzibari yeyote kuipigiakura katiba hiyo.

Akasema kuwa, ni paletu watu watakapokuwaw a n a s u m b u l i w a n a

maradhi ya kirusi ‘BoraT u m b o ’ ( B T ) , n d i owanapoweza kupitisha

 jambo la hatari kwa nchikama hilo.

Katika uchambuzi wake,Othman amesema kuwawajumbe wa Zanzibarwalikwenda Dodomawakijua matatizo yamuungano wa serikalimbili na wakitambuavipengele ambavyo nihatari kwa Zanzibar,kwa hiyo hawakufanyamaamuzi kwa ujinga.

Walijua wanalofanyakuwa ni kuiangamizaZanzibar, lakini huenda

kirusi BT kimewafikishapabaya.Alisema, vipengele

vingi katika Katiba hiyoinayopendekezwa havinamasilahi na Zanzibar,lakini akagusia saba vilivyohatari zaidi.

A k i v i t a j a n akuvichambua alisemakuwa kifungu kinachompam a m l a k a R a i s w amuungano kugawa mikoana wilaya, Zanzibar, tena

 bila kulazimika kufuataushauri wa Rais wa

Zanzibar, kuna hatarikwamba siku yoyotean aweza kui tan gazaZanzibar kuwa ni mkoaau wilaya tu katika moja yamikoa ya Tanzania.

Akasema, kifungu hichoukikichukua na kile cha‘Ukuu wa Katiba’ juu yaKatiba ya Zanzibar, nimaangamizi matupu kwaZanzibar ambapo katibayake itabaki kama pambotu.

Ni katika kifungu hichohicho cha Ukuu wa Katibaambapo amesema kuwa,kuna hatari kwa mila nadesturi za Kiislamu nazokutiwa kabari, kwani katibainasema kuwa mila nadestruri zozote zitakuwa

 batili ikiwa zitapingana naKatiba hiyo.

Na pengine hapo ndioWaislamu watakuwawakihoji iwapo Masheikhw a l i o k u w a D o d o m awakiwemo wale ambaowalibubujikwa na machoziwakidai kuwa wanapatau c h u n g u M w a l i m uNyerere ka tukan wa,

hawakuona kipengelehicho anachozungumziaOthman?

Katika mambo ambayoanasema mwanasheriaOthman Masoud kuwani ya kushangaza kabisa,ni kauli za baadhi yaWazanzibari kudai kuwa‘ D o d o m a w a m e p a t akila kitu’ kupitia KatibaInayopendekezwa’.

Akawataka Wazanzibariwarejee vifungu juu yaMfumo wa Serikali Mbiliambao sasa unafanywa na

Katiba hiyo kuwa ni wakuduma na usio hojiwa.

M f u m o a m b a ohautenganishi mapato namatumizi ya mambo yamuungano na yasiyo yamuungano.

Na h iv yo kufan yamapato ya muunganokutumika hata katika yalemambo ambayo ni ya‘Tanganyika pekee’ hukuZanzibar ikiwa haina chakekatika mapato hayo.

Lakini zaidi anasemani mamlaka ya Bunge napia kule kwenye Barazala Mawaziri ambakoWazanzibari hawamo.

K w a m b a , m a m b oBungeni hupitishwa kwawingi wa kura bila kujali

ridhaa ya Zanzibar.Kwamba hata kamaW a z a n z i b a r i w o t ew a t a l i k a t a a j a m b o ,maadh al i Bara n diowengi zaidi Bungeni,

 jambo hilo litapita kamaambavyo uchaguzi wa Raishaulazimishi kupata kuraza Wazanzibari.

Kwa hiyo anaweza kuwamtu Rais wa Tanzania,hata kama amekataliwa naWazanzibari wote.

Hapo ndio Othmanakasema kuwa huo siotena ukoloni kasorobo,

 ba li uk ol on i kami li naakahoji hii “tumepata kila

kitu” inatoka wapi? Kipikilichopatikana?”Na hilo akaliunganisha

na lile la hoja ya mafutakwamba hata hilo sisawa kusema Zanzibarwamepata kwani kupatakwenyewe ni sawa namtu kupewa mwembe,lakini mwenye maembena mwenye mamlaka namaembe ya muembe huo,ni mtu mwingine.

W e w e u n a u p a l i l i ana kuutumikia ukuena kuzaa vizuri, lakinimwenye kuvuna na kufaidimwingine.

Katika kulifafanua hiloakaeleza juu ya utatauliopo katika sheria yamafuta hivi sasa, na zaidiSheria ya Benki Kuu naKodi ya Mapato.

Akasema, hakuna nchiyoyote duniani inayowezakuendelea bila kuwa naBenki Kuu, halikadhalikakumiliki Kodi ya Mapato,kwa maana ya haki yakutoza kodi, haki ambayoZanzibar haina kwa sasawala haitakuwa nayo katikaKatiba Inayopendekezwa.

Akasema, ukis ik ia

Singapore imeendelea,sio kwamba ina rasilimaliza kutosha, bali ni nchiinayonunua mpaka majiya kunywa.

Lakini ina viongoziwenye uoni (visionaryl e a d e r s h i p ) a m b a owalitumia vizuri mamlakayao ya kutoza kodi.

Aligusia baadhi yamaeneo ambayo viongoziwaliotangulia akiwemo Dr.Salmin Amour waliyakataakwa vile hayana masilahina Zanzibar, japo Barawalikuja kuyafanya bilakujali Zanzibar wanaridhiaau la likiwemo la Jumuiyaya Afrika Mashariki.

K w a m a s i k i t i k okabisa, Othman Masoud

akahitimisha kwa kusemak u w a , W a z a n z i b a r iwaliokwenda Dodomawamekuwa kama ‘Mgunyawa Vikokotoni’.

Wamekwenda Dodomakuizamisha Zanzibarwakarudi mikono mitupu.

Ila akawakumbushakuwa suala la ‘Mgunyawa Vikokotoni’ lilikuwa

 jepesi kwa sababu jahazililikuwa mali binafsi yaMgunya, lakini hapainazungumziwa nchi, sio

 jahazi la mtu binafsi.Ndio hapa akawarejesha

Wazanzibari na hasa

viongozi katika wajibu waokwa Katiba ya Zanzibarinayowataka kulinda,kuhifadhi na kudumishaUhuru, Mamlaka, Ardhi naUmoja wa Zanzibar.

N a k w a m b awasilinganishe maslahi yanchi na ya CCM, kwani hataviongozi waliotanguliawalikuwa CCM pia, lakinikuna mambo waliyapingakwa vile hayakuwa namasilahi na Zanzibar.

Sasa kama viongoziwa Zanzibar, wameapakulinda Katiba ya Zanzibar,vipi tena leo wapitishekitu ambacho kitaipora

Zanzibar, Uhuru, Ardhina Mamlaka ya Zanzibar,kama ilivyo wazi ndani yaKatiba Inayopendekezwa?

Aliwataka warejee kauliya Waziri William Lukuvikwa Wakristo, akiwakatika jukwaa la Kanisa,lakini pia warejee kauliya Waziri Samwel Sitta,akiongea kule Uingereza,pengine wanaweza kupataakili na kutanabahi, ninikinakusudiwa katikaKatiba Inayopendekezwa.

 A L I Y E K U W A M wa n a s h e r i a M k u uwa Zanzibar, Othman

 Masoud.

R A I S m s t a a f u w aZanzibar, Dkt. Salmin

 Amour.

ANNUUR REAL.indd 3 10/15

Page 4: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 4/20

4  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Tuna la kujifunza kutoka‘The Million Man March’Jumatatu moja ya MweziOktoba 16, mwaka 1995m w a n a h a r a k a t i w akupigania haki za watuWeusi wa MarekaniLouis Farrakhan aliandaaprogram iliyoitwa ‘The

 Million Man March’.M a a n d a m a n o n a

k o n g a m a n o h i l olilikusanya watu zaidi ya

laki nane, kwa uchache, wadini mbalimbali, mbele ya‘National Mall’ , WashingtonDC, karibu na mnarawa kumbukumbu yaAbraham Lincoln (LincolnMemorial ) na Jumba laBunge la Marekani (UnitedStates Capitol). Umati huouliunganishwa na jambomoja tu: Kuchukia ubaguziunaofanywa na Wazungudhidi ya Weusi.

Kwa akin a mama,watoto, vikongwe na watuwote ambao hawakuwezakuhudhuria kwa sababumbalimbali, walitakiwakubakia majumbani mwao.

Hakuna kwenda kaziniwala watoto kwenda skuli.Iliitwa ‘Day of Absence’.

Ilikuwa ni mkusanyikowa kuwafanya watuwajitambue na kutambuamatatizo yanayowagusawote kama Weusi, bilakujali kwamba ni Mkristo,Muislamu, ‘Jah Safari’au kitu kingine. Lakiniwalikuwepo pia waleambao sio Weusi, lakiniwakipinga ‘Ukaburu’uliopewa msamiati wa“White Supremacy”.

Inaelezwa kuwa kutokasiku hiyo, kumekuwa namabadiliko makubwa hasakutokana na Weusi kuwana umoja katika kulikabilitatizo lao wote kama Weusi.Na kila mwaka kumekuwan a maadh imish o ya‘Million Man March’.Maadhimisho ya mwakahuu yalifanyika Jumamosiiliyopita Washington DCambapo Louis Farrakhanalihutubia umati wa watuakiwakumbusha agendayao ya kufuta ‘WhiteSupremacy’ katika nchiyao.

K w a w a l i o t a z a m a

m k u s a n y i k o u l e ,watakubaliana nasi kuwaulikuwa ni wa aina yake.Ulikusanya Waislamuna Wakristo huku Louisambaye ni Muislamua k i w a h u t u b i a w o t eakitumia mafundishoy a K i i s l a m u n a y aKikristo kuwaunganishaWamarekani Weusi katika

angeda yao ya kupingadhulma dhidi yao. Kwambawote ni Weusi na tatizolao ni moja. WakikutanaWakristo watazungumziay a o y a U k r i s t o n awakikutana Waislamuwatazungumzia yao yaUislamu, lakini katika‘A Million Man March’wote wanaunganishwana Weusi wao na dhulmawanayofanyiwa.

Lakini pia alitumiafurasa hiyo kuwatambuaWazungu na viongoziwa serikali ya Marekaniwaliopita kama AbrahamLincoln ambao walitoa

m c h a n g o k a t i k akupiga vita utumwa aukutahadharisha juu yaubaguzi.

Hili kwa hakika ni jambo kubwa na somoambalo, sisi katika Ann u u r t u n g e p e n d aWaislamu wa Watanzania,wajifunze. Kwanza labdatuseme kwamba kwaserikali ya Marekani, ni

 jambo la kupongezwa kwakupanua demokrasia yakena uvumilivu kiasi chakuruhusu umati kamawa ‘Million Man March’kukusanyika kila mwakamahali nyeti kama mbele

ya Capita Hill kupaza sautiza madai, malalamiko nashutuma dhidi ya serikali.Lakini muhimu zaidi niule umoja na mshikamanowa wenye madai dhidi yaserikali.

Kwa h apa kwetu ,kwa maana Waislamu,kelele zimepigwa sanaza kudai kutokutendewahaki. Kelele zilipigwasana kudai Mahakama yaKadhi, lakini mwisho wayote Bakwata kivyao naWaislamu wengine kivyao.

Katika mtindo huu, hakunac h o c h o t e W a i s l a m uwatakachoambulia.

Tunapokuwa Misikitinina mitaani, tuna yetu yaKiislamu. Tutatizama Fiqhna maoni ya Maimamu naWanazuoni mbalimbaliwan asema je . Lakin i

tukija katika siasa, katikaya ujumla kinchi, sisi niWaislamu, sio Bakwata,Baraza Kuu wala Ansaar.

Mwal imu Nyererea l i w a t h a m i n i s a n a ,kuwaenzi na kuwategemeaWaislamu kama nguvuyake ya kisiasa (political

 base) hata akawa anavaakofia kama wao kwasababu waliingia katikasiasa kama Waislamu,wakiwa na kauli moja

 juu ya TANU na wakaipanguvu TANU mpakauhuru kupatikana.

Leo hali yetu Waislamuimekuwa kama wale

waliokwenda Dodoma

kujadili hatma ya nchi yaona Dola yao katika Katiba,wakajikuta wakiparuranawenyewe kwa wenyewe,wakarudi wakitambakuwa wamepata kila kitu,kumbe wamepatikana.Wamepoteza hata kilekidogo walichokuwa

nacho wakati wakielekeaDodoma.Y a p o M a k a n i s a

yashawatangazia wauminiwao kwamba Ibada ya

 Jumapi l i , i ta fan yi ka Ju ma mo si il i Ju mapi liya tarehe 25 iwe kazi nimoja tu. Kupiga kura.Sasa kama ingekuwaupigaji kura wa wenyemakanisa hayo ungekuwakila muumini na lwake,kama ni wa Magufuli,D o v u t w a , H a s h i mRungwe au Lowassa,h a t u d h a n i k w a m b ai n g e w a s h u g h u l i s h aviongozi wa makanisa

hayo kubadili mpaka siku

ya Ibada.Mwaka 1995 wakati

wa uchaguzi mkuu wamwanzo wa vyama vingi,wapo v i jan a ambaowalikuwa wakiwaambiaw e n z a o w a s i m p i g i emgombea wa CUF kwasababu s io ‘Mwan a

Sunnah’, utadhani yulewa CCM yeye alikuwa‘Sala Jadid’.

Ni kwa mtizamo huohuo, na kwa kutojitizamakama wale ‘Weusi’ waMarekani, leo hakunam w a n a s i a s a y o y o t eanayetuthamini kamawapiga kura.

H i v i t u n a d h a n imgombea ambaye anauhakika kwamba kunawatu wamebadili siku yaoya Ibada ili wakampigiekura kwa umoja wao, kamaakishinda atawawekakatika mizani sawa nawale ambao, wametapanya

kura zao?

Tahariri

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, Magufuli

Wakati siku zikiyoyomakuelekea uchaguzi mkuu,kuna haja Waislamukutafakari ule wito waLouis Farrakhan kwaWamarekani Weusi.

Waandae wanaume10,000 na wanawake10,000 mashujaa, wasiona woga kupambana na

mfumo wanaoutuhumukuwa hauwatendei haki.Akitumia kibwagizo,

"Justice or Else", LouisFarrakhan aliasisi harakatiz a k u w a u n g a n i s h aW a m a r e k a n i W e u s iakiwaambia kuwa hatmayao ipo mikononi mwaowenyewe.

Kwa hiyo, ni lazimakuwa na program ambazomwaka hadi mwakazitakuwa zikiwasogezakatika kuondoa mfumo wa“White Supremacy” katikaMarekani unaowabaguana kuwadhalilisha Weusi.

Katika nasaha zake

 J u m a m o s i i l i y o p i t aOktoba 10, 2015 katikakumbukumbu ya miaka20, maarufu kama ‘MillionMan March Anniversary’k u l e W a s h i n g t o nDC, Louis Farrakhanaliwaambia maelfu yawatu waliokusanyikakumsikil iza kwambapanahitajia watu mashujaawa kupambana na kilea l i c h o k i i t a “ W h i t eSupremacy”.

“Nataka 10,000 fearlessmen, ambao watamkabili

Na Mwandishi Wetu dhalimu na kumwambiasasa basi.”

Akikariri kauli hiyo kwaupande wa wanawake,akasema kuwa ni lazimawatu hao wawe mashujaawasio na woga kwasababu watu wanaofaidikatika mfumo uliopowa “White Supremacy”,hawatakubali uondoke.

Kwa hiyo wataleta tabuna hata kutafuta sababu yakuwadhuru.

Akifafanua akasema,h iv i kar ibun i a l i toakibwagizo hicho kwambaanataka ‘10,000 fearlessm e n ’ , v y o m b o v y ah abari ik iwemo FoxNews wakazusha kuwaanakusanya WamarekaniWeusi kuuwa Wazungu.

A k a s e m a , k a t i k akuwajibu alihoji, kwanini Wazungu wakimbiliekuwa na wasiwasi kwambakuna watu wana mpangow a k u w a u w a k a m ahawajihisi kwamba kunawatu wanawadhulumuna kuwafanyia matendomaovu.

A k a s i s i t i z a k u w aWaislamu ni watu waamani na kwa hivyo,w a n a c h o p i g a n i a n ik u o n d o l e w a k w amfumo wa kibaguziunawaochukulia WatuWeusi kuwa ni watumwawa Wazungu daima dumu.

Wanachopigania ni kilekile ambacho alipiganiaDr. Martin Luther Kingna Malcom X, kuondoa‘White Supremacy’ juu ya

Mtu Mweusi.Katika ujumla wake,

u j u m b e w a L o u i sFarrakhan ulijikita katikanukta tatu.

Kwanza ni kwambamaisha huwa yanapotezamaana kama hakuna haki.

Unaishi katika dhulma,u n a d h u l u m i w a n awala ubinadamu wakohauthaminiwi kama wawatu wengine.

 J a m b o l a p i l ialilosema ni kwamba,mahali palipojengekadhulma ikakubuhu, nilazima mfumo mzimaunaoruhusu na kuleadhulma ubomolewe.

Kubadilisha uongozi tuwa kisiasa huwa haisaidiikitu.

Ni lazima kama kunawatu waliokuwa wakijionakuwa wao ni bora kulikowengine, mawazo hayo yakibaguzi yafutwe.

N u k t a y a t a t ualiyosisitiza ni kuwa walewanaobaguliwa, ni lazimawajitambue na wawe

tayari kujitoa muhangakupambana na mfumounaowabagua, kinyumecha hivyo hakuna sababuya wao kuishi.

Lakini kwa upandemwingine akawaonyamadh al imu kwambawasingoje mpaka mamboyalipuke kama volcano,maana binadamu kwamaumbile yake hakubalikuonewa daima dumu.

L o u i s F a r r a k h a n

Inaendelea Uk. 5

ANNUUR REAL.indd 4 10/15

Page 5: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 5/20

5  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015Habari za Kimataifa

Majemadari hodari 10,000 kumkabili Lowassa, MagufuliInatoka Uk. 4

anavyoongelea tatizola “White Supremacy”kat ika Marekan i , n i

kama an awah utubiaWaislamu wa Tanzaniana madai yao kongwekwamba wanabaguliwana kunyimwa haki zao zamsingi.

Kwamba, mfumo uliopohauwatizami kwa jicho lausawa sawa na watu wadini nyingine.

Watu wa dini nyinginew a n a t i z a m w a k a m aw a n a v y o t i z a m w aWazungu katika ulem f u m o w a “ W h i t eSupremacy”.

Ni kwa mtizamo huo,kuna haja kwa Waislamuwa Tanzania kujipanga nakujitokeza kishujaa kabisakuwakabili watawalan a wapepea mfumohuu mithili ya “WhiteSupremacy”.

Waseme hadharani, kwakinywa kipana kabisa,“Justice or else”.

Kwa maana kwambaubaguzi, uonevu nadhulma basi.

Ila kama alivyosemaLouis, lazima watu haowawe madhubuti kwasababu wanaofaidi katikahizi “Supremacy”, iwe

za kidini au kirangi,hawatakubali mfumokuondoka kirahisi.

Mara kadhaa hapan c h i n i b a a d h i y aWaislamu wamekuwawakishutumiwa kuwawanaleta udini, wanatakakuharibu amani au kuletaubaguzi wa kidini, lakiniukitizama walichodaiWaislamu hao ni usawaau kupinga ubaguzi naupendeleo kwa baadhi yawatu.

N a n c h i n i h a p au k i s i k i a w a n a s i a s akatika majukwaa ya

kisiasa wakikemea udini,hawakusudii kukosoamambo kama MoU, aukuhoji kwa nini sehemunyeti serikalini iwekweWakristo watupu.

Bali wanachofanya nikuwashutumu wanaohojiuhalali wa MoU baina yaSerikali na Wakristo bilakujali kwamba hapa kunaWaislamu ambao nao niwananchi walipa kodi.

H i l i n d i l o

analotahadharisha Louiskwamba wanaopiganiakuon doa mfumo wa“Supremacy” ya baadhiya watu juu ya wenginewalijue.

Lakini akakumbusha jambo jingine pia akisemakuwa Wazungu wakitumiaUkristo, ndio walikuwaw a f a n y a b i a s h a r awakubwa wa biashara yautumwa.

Akatoa mfano akisemakuwa meli ya kwanzak u i n g i a M a r e k a n ikutoka Uingereza ikiletawatumwa mwaka 1555ilikuwa imepewa jina la“the good ship Jesus”ikiongozwa na Sir JohnHawkins.

L a k i n i a n a s e m a ,Wazungu hao ndio leowanabadili historia nakufunika maovu yaowakiwatupia lawamaw e g i n e i l i w a p a t e

kuendeleza “White &Christian Supremacy” yao.

Katika kumalizia nasahazake, Louis Farrakhanaliwasimamisha mabinti10 wa Kiislamu waliokuwawamevaa nguo za stara,akasema kinachotakiwakwa Waislamu ni kuondoaw o g a , k u j i t a m b u a ,kuondoa unyonge nakuonyesha ubora waokatika tabia na matendo

mema.Akasema, msichanaaliyevaa stara, hakuna mtuatakayethubutu kumwita‘Hay Baby’.

Waislamu ni ‘KuntumKhaira Umma’, na kwahadhi hiyo, wasiruhusuujahili wa ‘Supremacy’za kikabila, kitaifa, nakwa upande mwinginepale ambapo ugonjwahuo umeshaingia, basi nilazima wawe na ujasiri wakuuondoa.

Wawe na program zaoambapo watahakikishakuwa kama ni wake aumabinti zao, wanakuwa‘the best’ katika fanimbalimbali, uhandisi,udakitari, uhasibu, namambo mbalimbali, lakinipia wanakuwa ‘the best’

 jikoni wakipika vyakulavizuri halikadhalika ‘the

 best’ kwa waume zao nawatoto. Na hivyo hivyo

iwe kwa wanaume.K u m b u k u m b uiliyofanyika JumamosiWashington, haikuwam a a n d a m a n o , b a l imkusanyiko wa watukatika kuhuisha wajibuwao wa kudai haki zaoserikalini.

Katika mkusanyiko huo,Louis anasema, hakunacha ziada wanachokitafuta,

 bali kuitaka serikali iwapekile kilicho haki yao kama

raia na binadamu sawa naWazungu.

Harakati hizi “TheMill ion Man March”

zilianzishwa Jumatatu yaOktoba 16, 1995 ambapowalikusanyika watu zaidiya laki nane (800,000)wakis ik i l iza h otubambalimbalui na kuletaDua na kuswali pamoja.

K a t i k a t u k i o h i l olililowakusanya watu wadini mbalimbali, ujumbem u h i m u u l i k u w akuwahimiza watu Weusikupigania haki zao.

Ni moja ya matukioyanayodaiwa kuvunjarekodi kwani pamojana kukusanyika kwaumati huo, hakuna

m t u a l i y e j e ru hi w awala kuumia na watuw a l i p o t a w a n y i k a jioni , waliacha uwanjaukiwa msafi kamawalivyoukuta.

Na hiyo ilikuwa nikutoka na waandaajiwaliwahimiza watukuwa na nidhamu naukawekwa utaratuibuwa kusimamia nidhamuhiyo.

Pamoja na kuwa jami i za watu Weusindio zinatajwa kuwaza fujo na matukio yakihalifu Marekani, lakiniinaelezwa kuwa sikuhiyo hakuna aliyevutasigara wala kunywaulevi na hakukuwa natukio la kihalifu hatamoja l i l i loripot iwakatika vyombo vyahabari.

W a l e a m b a oh a w a k u w e z akuhudhuria kat ikamkusanyiko huo (1995),wal i takiwa kusal iam a ju m b ani m w ao,hakuna kwenda kaziniwala watoto kwendash ule. Ilikuwa ni sikuiliyoitwa ‘Day of Absence’.

Inaelezwa kuwa baadaya mkuanyiko huo, watuWeusi zaidi ya milionimoja laki saba (1,700,000)walijiandikisha kamawapiga kura ka t ikauchaguzi uliofuata ilikuhakikisha kuwa nao sautiyao inakuwa miongonimwa zinazoamua naniawe Rais wa Marekanina kwamba kura yao iweya pamoja (block vote)kwani ikiwa ya kila mmojakivyake, inakosa maana.

 Picha Chini mamia ya maelfu ya watu walioshiriki "Million Man March" WashingtonDC, Oktoba 16, 1995. Juu baadhi ya washiriki "Million Man March 20th Anniversary"iliyofanyika Washington DC, Oktoba 10, 2015.

ANNUUR REAL.indd 5 10/15

Page 6: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 6/20

6  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Waislamu tupo kwaMagufuli, wengine kwa

Lowassa. Lakini turejeekidogo historia yetukatika TANU, kishatujiulize, nini nafasiyetu leo katika siasaza Tanzania ya leo?Kwa kutafakari hilo,hebu turejee simulizih i i a n a y o k u l e t e aMohammed Said.

“ I l i k u w a k a t i k ataarab iliyoandaliwak u s h e h e r e k e ak u f u n g u l i w a k w atawi la TANU Dar esSalaam ya Kaskazinikatika mtaa wa Mvita,nyumba namba 10,tarehe 10 Agosti, 1957,ulimi wa Sheikh Takadirukateleza, akamuitaNyerere “mtume.’’ Tawila TANU Dar es Salaamya Kaskazini lilikujakuwa lenye nguvu sanakuliko yote na tawilikawa na mafanikiolabda kupita matawiyote katika Tanganyika.M w e n y e k i t i w a k ealikuwa Mtoro Kibwanana mweka hazina SheikhHaidar Mwinyimvua,ambae baadae aliingiaKamati Kuu ya TANU

ya taifa.Kwenye hafla ile,katika kumtambulishaNyerere na kummiminiasifa, Sheikh SulaimnaTakadir bila kufikiri,aliwaambia wasikilizajiwake kuwa “Nyerere nimtume wa Afrika.’’

K a m a k a u l i i l ei n g e t o l e w a s i k unyingine yoyote ile,huenda tamko hilolisingezua kishindo, nahuenda lingepita bilakuwa na taathira yeyotembaya. Lakini ufunguziwa tawi la TANU la

Mvita katika siku hiyotarehe 10 Agosti, 1957,ilikuwa siku maalumkwa wakazi wa Dar esSalaam. Kwanza, Dares Salaam ilijitokezakushuhudia kutokakwa mwimbaji stadi,Nuru binti Sudi, kutokaAl-Watan na kujiungana wapinzani waoEgyptian. Hivi vilikuwavikundi viwili vya Taarabvikishindana mjini Dar

Waliokuwa Katika Picha Hii na Ndilo lilikuwa Baraza la Wazee wa TANU, (Wengine: Hawapo) 1. Abdallah Shomari (Tandamti No. 3), 2. Nassoro Kalumbanya (Simba),3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo), 4.Mtoro Ally (Muhonda), 5. John Rupia(Misheni Kota), 6.Julius Nyerere (Minaki Sekondari), 7.Said Chaurembo (Congo/ 

 Mkunguni), 8.Jumbe Tambaza (Upanga), 9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafa/Swahili),10.Dossa Aziz (Mbaruku/Somali Kipande), 11. Mshume Kiyate (Tandamti), 12.

 Juma Sultani (Kitchwele Karibu na Kanisa Dogo), 13. Maalim Shubeti (Masasi/ Likoma), 14. Rajab Simba (Kiungani), 15. Waziri Mtonga (Kilosa 18, Ilala), 16.

 Mwinjuma Mwinyikambi (Mwananyamala), 17. Makisi Mbwana (Aggrey/Congo),18. Usia Omari (Sungwi, Kisarawe), Sheikh Issa Nasir (Bagamoyo)

es Salaam. Siku hiyoNuru Binti Sudi alikuwa

anaimba pamoja nakikundi chake kipyakwa mara ya kwanzana mashabiki wakewalikuwa wamekujakumwona bingwa waoakiimba katika haa yaTANU. Halikadhalikamashabiki wa Egyptianwalikuwa wamekujavile vile kushagilia nakuwazomea washindaniwao kwa kumchukua bingwa wao.

Kulikuwa na sababunyingine kwa watukushangil ia. Katikakuhama huko kutokaAl-Watan na kuingiaE g y p t i a n , N u r ua l i k u w a a m e w e k amsimamo wa kisiasa.Nuru alikuwa na damumchanganyiko. Babayake alikuwa Mwarabuna mama yake alikuwaMwafrika . Kabla yakutoka Al-Watan nak u i ng i a Eg y p t i an ,alikuwa mwanachamawa Coronation ambachokilikuwa chama chaakina-mama wenye asiliya Kiarabu. Kwa hiyoilichukuliwa kwamba,

m a a d a m E g y p t i a nilihusiana na Waafrika,kwa kitendo kile chakuhama Al-Watan,Nuru alikuwa ameasina kurudi kwa nduguzake, yaani Waafrika.Amerudi kwenye asiliyake, kwenye tumbo lamama yake aliyemzaa.

Hivi ndivyo mamboyalivyokuwa siku zile.Kila jambo lilipewatafsiri ya kisiasa. Wakatihuo UTP ilikuwa tayariimeshaanzishwa naE g y p t i a n i l i k u w ai m e t u n g a n y i m b o

maalum kwa ajili yahaa hiyo ambayo Nurualiimba kuidhihaki UTP.Sehemu ya mashairi yakeyalikuwa yanasema hivi:

“Ma-UTP wana majambo,TANU wanaichukia.’’

Pili, ili kuadhimishakufunguliwa kwa tawila TANU Mvita, TANUiliwaalika wajumbe

Mzee ''Kissinger'' sikumoja aliniita nyumbanikwake Mtaa wa Congona akanikabidhi “bangokitita’’ cha magazeti yazamani. Akatoa mojaakanionyesha picha yaMzee Mshume Kiyate naNyerere kisha akanipakisa cha Mzee Mshume,kisa ambacho ni hikihapo chini:

 J u l i u s N y e r e r ealianza siasa za kudaiuhuru wa Tanganyika

katika mazingira yaDar es Salaam akiwaamezungukwa na Uislamuna Waislamu. Kulikuwana tofauti kubwa kati yakiongozi huyu na walealiowaongoza. Siku hizoNyerere kijana mdogo wamiaka thelathini. Kivazichake kilikuwa ni kaptulana soksi za stokingi.Mavazi rasmi ya wasomiwa miaka ile ya ukoloni.

Katika TAA aliwakutav i j a n a w e n z a k e .

Wajue waliompenda Nyerere kwa dhatiMarehemu AbdulwahidSykes na mdogo wakeAlly, Waziri Dossa Aziz nawengineo. Halikadhalika

w a l i k u w e p o v i j a n awengine kama HamzaKibwana Mwapachu,

Inaendelea Uk. 7

Makala

Inaendelea Uk. 7

TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu!Leo nini nafasi yao katika CCM, Serikali!

Nini matarajio yao kwa Magufuli, ‘Mamvi’?

 Mzee ''Kissinger'' 

ANNUUR REAL.indd 6 10/15

Page 7: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 7/20

7  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

wa Baraza la Kutunga

Sheria , wengi waomachifu, ili kushuhudiasherehe hiyo. Miongonimwao walikuwa ChifuKidaha Makwaia, HumbiZiota, Msabila Lugusha,Mwami Theresa Ntarena wengine wengi.Vilevile walikuwepow a t u w e n g i n emashuhuri kama HamisMfaranyaki ambaendiye alikuwa kiongoziwa Wangoni mjini DaresSalaam, Paul Bomani,Said Chaurembo, kakayake Sheikh AbdallahChaurembo na wengine

wengi.P am oja na w at uwote hawa mashuhurik u h u d h u r i a , h u uu l i k u w a u s i k uadhimu kwa TANU.Hapakuwa na shakayoyote kuwa chochotek i t a k a c h o s e m w akatika haa kama hiyo,kitakuwa na athari kwawatu. Ilikuwa katikahafla hii ndipo sikuulimi wa Sheikh Takadirukateleza.

Katika hotuba zakeSheikh Takadir alikuwaakiitaja TANU kama“tano’’ na alipotamkaneno “tano’’ alikuwaakionyesha vidole vyakevitano vya mkono wakulia, bila shaka yoyoteakifananisha na salatano za faradh katikaUislamu. Sheikh Takadiralikuwa akipandishahisia na mori wa Kiislamukwa wasikilizaji wakekwa kutoa mifano mingikatika Qur’an Tukufu,akihadithia mifanoya mathalan, kisa chaDaudi na Jalut, kisa chaFirauni na Waziri Mkuu

wake Hamana na jinsiwalivyowakandamizaBani-Israil.

S h e i k h T a k a d i ra l i k u w a ak i m al i zah o t u b a z a k e k w ak u o n y e s h a k u w am w i s h o w e h a k ih u s h i n d a b a t i l .Akimaananisha kuwauovu wa Waingerezautashindwa. Ilikuwakatika hotuba zaken y i n g i k a m a h i z iza kumsifu Nyerere,

Kushoto Kwenda Kulia: Dossa Aziz, Julius Nyerere, Abdul Sykes na Lawi SijaonaUkumbi wa Arnautoglo Kwenye dhifa ya Kumuaga Nyerere Kwenda UNO safari ya

 pili 1957.

Wajue waliompenda Nyerere kwa dhatiS t e v e n M h a n d o n aZuberi Mtemvu. TANUilipoundwa mwaka 1954kukawa na Baraza la

 Hii Picha Ilipigwa Siku ya Nyerere Alipoweka Jiwe la Msingi Chuo Kikuu ChaWaislamu, Chang'mbe 1968

Wazee chini ya SheikhSuileman Takadir. Barazahili lilijumuisha wazeewengi maarufu wa mjinina masheikh. Katika hali

kama hii, ungelidhanikuwa Mwalimu angejihisiyupo ugenini. La hasha.Nyerere alikaa vyema

Inaendelea Uk. 8

Inaendelea Uk. 8

Sheikh Takadir alitelezana kumwita Nyerere

“mtume’’ mkombozi waWatanganyika.Katika hafla hiyo,

waheshimiwa na wageniwaalikwa, walipewavitafunio, vinywaji baridi na chai. Nyererekatika kutoa shukranikwa wanachama waT A N U , a l i k a m a t akikombe cha chai nakukionyesha juu kwaw as i k i l i za j i w ak e .A l i w a a m b i a w a t ukwamba wasidhanikitendo cha kumpa mtukikombe cha chai nikitu kidogo. Nyerere

aliendelea kusema kuwawatu wameiuza nchi hiikwa kupewa kikombecha chai na wakoloni.

Ny e re re a l i k u w aakitoa maneno hayoak i w a anaw ap i g i avijembe watu maalum.Nyerere kwa manenoy a k e a l i k u w aakiwakusudia machifu.Baadhi yao walikuwapale pale katika mezakuu wakinywa chai nayeye. Wakati huo baadhiya machifu walikuwaw ak i shi r i k i ana naGavana Twining na UTP

katika hila za kuipigavita TANU ishindwekuikomboa Tanganyikak u t o k a m a k u c h aya ukoloni. Ilikuwadhahiri kuwa makombowaliyokuwa wakipatamachifu kutoka kwaMwingereza, hayakuwahata na thamani yakikombe cha chai .Maneno ya Nyererehayakuwa fumbo kwawale machifu. Yalikuwamaneno ya wazi ambayowaliyaelewa. Machifuw a l i t a m b u a k u w awao ndiyo walikuwawakisemwa kat ikahotuba ile ya shukurani.

Ilikuwa katika usikuhuu, Sheikh SuleimanTakadir katika hotubayake alimweleza rais waTANU, Nyerere, kamamtume aliyeletwa naAllah kuja kuikomboaAfrika.

M a n e n o h a y ayalimuudhi sana SheikhHassan Bin Amir na

MAKALA

TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu!Inatoka Uk. 6

Inatoka Uk. 6

ANNUUR REAL.indd 7 10/15

Page 8: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 8/20

8  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Waislamu wengine.Siku chache baada ya

maneno yale ya SheikhTakadir, Mufti SheikhHassan Bin Amir akiwaamefuatana na ChifuMakongoro alikutanana Sheikh SuleimanTakadir njiani katikamakutano ya Mtaa waSwahili na Mkunguni,Sheikh Hassan BinA m i r a l i m k a b i l iSheikh Takadir nakumwambia asirudietena maneno hayo kwakuwa yalikuwa kufr.Kwa Sheikh Takadirk u m t a j a N y e r e r ekama mtume, hakuwat u a n a m p a n d i s h aNyerere kwenye darajaisiyoweza kufikiwa nakiumbe chochote, lakinilililo baya zaidi, alikuwaakitoa kauli hiyo kwaMkristo.

V i t a b u k a d h a avimeandikwa kuhusuhistoria ya TANU nahakuna mwandishiyoyote aliyemtaja SheikhSuleiman Takadir. Si kwakheri wala kwa shari.Imekuwa kama vilehakupatapo kuwepo.Lakini huyu Sheikh

Suleiman Takadir ndiyealiyekuwa anakwea jukwaa la TANU MnaziMmoja kumtambulishaNyerere kisha ndipoNy e re re anap andakilingeni kuzungumzana wananchi. Nyererem w e n y e w e h a d ianaingia kaburini ,hak u p at a k u m t a jaS h e i k h S u l e i m a nTakadir.”

Ukitizama kisa hikicha Sheikh Takadirina utume wa Nyerere,unalojifunza ni kuwaWaislamu waliipenda

s a n a T A N U n aw a l i m u e n z i s a n aM w al i m u Ny e re rekwa yale matumainikwamba itawakomboan a k u w a l e t e ah a k i w a l i z o k u w aw a m e p o r w a n awakoloni. Swali ni j e , l e o Wa i s l a m uhawalalamiki? Ninin a f a s i y a o k a t i k asiasa za leo? Mkolonipamoja na ubaya wake,

Inatoka Uk. 7

Wajue waliompenda Nyerere kwa dhatiInatoka Uk. 7katika kundi la Waswahilina masheikh.

Nyerere siku mojakatika kuwakumbukarafiki zake wa zamaniakizungumza na DossaAziz, Ahmed Rashad Alina Lucy Lameck nyumbanikwake Msasani, katikakuelezea kile alichokiita"the TANU spirit" yaanimoyo wa upendo wawana-TANU, alisemakuwa, siku moja wakatiwa kudai uhuru alikuwaanatoka nyumbani kwakeMagomeni akija Kariakookwa miguu kuelekeasokoni kutafuta mahitajiyake, lakini mfukonialikuwa hana senti moja.Njiani akakutana naMzee Mshume Kiyate.Alipomuuliza anakwendawapi, alimfahamisha kuwa

anakwenda sokoni lakinihana fedha za kununuachochote. Mzee Mshumealiingiza mkono katikakoti lake na akatoa shilingimia mbili akampa. Ukitakakujua thamani ya fedhahizo ikutoshe tu kuwanyumba ya vyumba sitakujenga Kariakoo ilikuwain agh arimu sh i l in gimia tan o. Kutokan ana hali h ii , MshumeKiyate aliona itakuwani kumtwisha Mwalimu

alitambua japo ile hakiyao katika mambo yaNdoa, Talaka na Mirathi.

 J e , i m e k u wa j e l e oserikali waliyoipigania,kutupilia kwa mbalihata haki ya kuwa naMahakama ya Kadhiinayotambulika kisheriana Kikatiba?

Tusipojitizama vizuri,itakuwa sisi ni watuwa kung’atwa tu nakujeruhiwa kila sikukatika shimo hilo hilomoja (kutumiwa nawanasiasa). Jana ilikuwanyoka, leo tandu, keshon’nge, keshokutwa

atarudia nyoka, lakinisafari hii koboko, siokifutu! Sisi tutakuwawatu wa aina gani kamahatusomi?-Mwananchi,Muislamu mpenda haki.

m z i g o m z i t o i k i w aatakuwa anashughulikana kuwatafutia wanawechakula na wakati huo huo

anafanya kazi za TANU.Mzee Mshume akajitoleakuihudumia nyumba yaMwalimu kwa chakula.

Alifanya hivyo hadi uhuruulipopatikana.

B a a d a y a u h u r u ,Nyerere alimwomba MzeeMshume aache kufanyahivyo lakini alikataa naakamtafadhalisha Nyerere

aendelee kula chakulachake na kile ambachokinatolewa na serikalikwake yeye kama mkuu wanchi, alimuomba Nyerereawape wageni wake. Baadaya maasi ya wanajeshi waKAR tarehe 20 Januari,1964 kuzimwa na jeshi laKiingereza, TANU ilifanyamkutano mkubwa sana

 Jangwani. Mzee Mshumekwa niaba ya wazee waTANU alipanda jukwaanina kumvisha Mwalimukilemba kama ishara yakuunga mkono uongoziw a k e . M z e e K i y a t eamefariki dunia, si Nyerere

wala TANU walikuwana habarinae. Kafa pekeyake na mazishi yakeyakafanyika nyumbanikwa ndugu yake Mtaa waMatumbi. Huyu nduguyendiye alikuwa mwaziniwa Msikiti wa Shadhilyna kwa ajili hii, waliotokakuja kumzika walikuwan duguze Wais lamu.Hapakuwa na hotuba wala

 bendera kufunika jenezalake. Hadi leo historia yamchango wa Mshume

 Mzee Mshume Kiyate Akimvisha Mwalimu NyerereKitambi kama ishara ya kuungwa mkono na Wazee waDar es Salaam. Inaendelea Uk. 13

Makala

TANU ilikuwa kama Swala 5 kwa Waislamu!

Nyerere anapeana Mkono na Mufti Sheikh Hassan bin Amir Katikati yaoni Tewa Said Tewa Rais wa EAMWS Tawi la Tanganyika.

ANNUUR REAL.indd 8 10/15

Page 9: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 9/20

9  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015Makala

Msichana au mwanaume

uliyekuwa ukizungumzan a y e , n i j a m b olinalokuweka mbalizaidi na Mola wako.Unajua siyo sahihi ,unataka kuachana nayo,unataka kwenda mbele,lakini ni vigumu sana nahakuna anayekuelewa!Insha'allah, kila kitukitakaa sawa. Nimesikiayote hayo kabla, hasawakati nafanya kazimiongoni mwa vijana.

Inaweza kuwa dhambin g u m u k u l i k o y o t ekumshauri mtu kuachananayo. Dhambi ya kuwana ‘rafiki’ msichana au

‘rafiki’ mvulana (boy/girlfriend). Namfahamundugu mmoja katika imanialiyeuacha Uislamu kwaajili ya msichana, kwanikila kitu kikishindwa,ndiyo mshale wa mwishoambao Shetani anamtupiamuumini kwani anajuaunafanya kazi. Na ndiyomaana tunahitaji njiahalisi zinazowezeshak u o n d o k a n a n a y o .Hali kuwa uko hapa naunasoma hii (makala),ni hatua moja kuelekeaupande unaofaa. Unawezausidhani hivyo sasa, lakiniUTAWEZA kuachananayo, Isitoshe, Allah

anatuambia:"Na anayemuogopa

M w e n y e z i M u n g u ,humtengezea njia yakuokoka…na humpar i z k i k w a n a m n aasiyoitazamia." (Kurani,65:2-3)

Mtume anatuambiakatika hadith kuwa Allahanasema: "Mtumishiwangu akija kwanguanatembea, namfuatanikikimbia." (Bukhari)

Inawezekana unakirikuwa kuacha uhusianohaiwezi kuwa rahisi kamawatu wanavyoielezea.Hasa kwa vile Shetani

an atumia s iku zakena jioni zake kufanyaki le k i l i ch okatazwauwe unakipenda sana.Anakuaminisha kuwatamaa ni upendo, kwanianafanya moyo wakouruke pigo moja maraunapoona jina la huyomtu maalum (mvulana/msichana) - katika baruapepe zako, katika simuyako au katika ukurasawako wa Facebook.

L a k i n i n i a m i n ininapokuambia kuwa

Njia 21 za kuachana na mahusiano haramuNa Ehab Hassan

una nguvu zaidi yahapo. Endelea, jitahidikumpendeza Allah. Nahutakuwa na masikitikoyoyote . Lakin i kwanjia ya kukurahisishiamambo, hizi ni njia 21zinazowezekana ambazounaweza kutumia kuachahuo uhusiano haram,zikiwa zimegawanywakatika mafungu saba:

Upige tu Teke: Malizauhusiano na kuupa kisogo.

Inatosha tayari hiyomichezo. Acha kukanyagamaji kwa kunyatia na

 ba da la ya ke ya ruk ie.Kama unadhani utaanzakujaribu, "kupunguzahadhi", huo uhusianokidogo, basi acha kabisa.Mtu mmoja aliyekuwaanataka ushauri alisemawakati mmoja kuwaalidhani itakuwa wazo

 je ma ku wa ba da la yakutoka pamoja na msichanawake, basi wangeishia tukuzungumza kwenye simuna kukutana mara mojamoja kunywa kahawa.Yote hayo, huwa haina tija.Kuacha na kutoa kisogo

ndiyo hatua ya kwanza.Na kweli. Ndiyo hatuahalisi ambayo unatakiwakuch ukua . Men gin eyote nitakayoeleza hapani ufafanuzi tu wa jinsiya kujitawala baada yakuchukua hatua hiyo.

P i l i , u i w a a c h ewaendelee kuwa karibu.Huu siyo wakati wakufikia makubaliano.Hakuna kuingiza mawazokatika kichwa cha kilammoja wenu kuhusu"muda gani ni sahihi," au"tuangalie upya suala hili

kama hakuna mmoja wetuatakayekuwa amefungandoa hadi umri wa miaka

19." Watajaribu kufanyahivyo kwako. Usiruhusui tokee . Hi i i ta fan yaw o t e w a w i l i m k o s eraha, itafanya mamboyawe magumu zadi, naishindikane kuendeleambele.

Tatu, Kata kamba kabisa.Futa barua pepe zote,

 jumbe, jumbe za Facebook,namba ya simu, jumbepepe za sauti, na chochotekingine ulicho nachokin ach okukumbush am t u h u y o . K w e p aiwezekanavyo kuingiakatika hali ya kukutananao. Kwepa kuzungumza

nao kwa jumla, na kwa haliyoyote bila mtu mwinginekuwepo. Usijaribu kutafutawanajitahidi kufanya nini,na acha kuzungumza naokatika mitandao. Hivyoacha kuwaangalia katikaFacebook, usiwafuatiliekatika Twier. Na ondoanjia yoyote ya upenyo wakufahamu kinachoendeleakatika maisha yao.

Nne, Waambie imetoka.Ndiyo ilivyo. Kama inabidiuwe na mazungumzo yamwisho kuwaambia kuwaunaendelea na maishayako, basi fanya hivyo.Fanya hivyo kwa baruapepe na iwe fupi, nzurina isiwe inaacha mwanyawa dhamira kwa tafsiriyoyote ile. Usiache vituvya wao kutoa majibu.Maliza kwa kuwaambiakuwa ni kitu unachojitajikufanya kwa ajili ya Allah.Na uwaambie wasikupigiesimu. Kufanya hivyo himani bora zaidi. Kama ukokatika hatua za mwanzo,ni rahisi zaidi kwako.Mahusiano yanakua nakabla hujastuka, tayariumeingia kichwa kichwa,na siyo rahisi kumalizananayo (ingawa kwa haliyoyote inawezekana).Tawala hisia zako.

Tano, funga radio. Huusiyo mjadala kuhusumuziki, unafaa au hapana.Kitu kimoja ambacho nihakika ni kuwa muzikiutainua hisia kadhaaambako una udhaifumkubwa. Kila wimboutakuhusu wewe. Jiwekepembeni na ujipe mudawa kupumzika kwa muda.

Sita, acha kuhangaika.Usihangaike kujiulizakama wanakufikiria ,

Inaendelea Uk. 12

ANNUUR REAL.indd 9 10/15

Page 10: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 10/20

10  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015Makala

Ningependa nianzekwa kusema kuwaWaislamu tuna

matatizo, tena makubwa.Na maadhali hatutakikuki r i ukwel i huo ,

basi ukweli ni kwambahatuendi kokote. Aingie‘Sasa Kazi tu’ na ‘CCMmbele kwa mbele’ yake au‘Mabadiliko’ na ‘Peoples’,hali yetu itakuwa ile ileya kulalamika na pengineitakuwa mbaya zaidi.

Wiki mbili zilizopitatuliandika habari juu ya

 janga la kukanyagan aMahujaji kule Minna

 j a m b o a m b a l olilisababisha Mahujajikwa mamia kupotezamaisha. Katika habariile tulieleza kuwa mojaya vyanzo vinavyotajwakusababisha zahama ile, nikufungwa kwa baadhi ya

 barabara kupisha msafaraw a M w a n a m f a l m e .Kuna uwezekano wan amn a mbi l i ka t ikataarifa ile. Moja ni kuwakilichosemwa ni ukwelikwamba kuna msafaraul ip i ta n a barabaraikafungwa na hivyokuzidisha msongamano.Pili inawezekana kuwac h a n z o c h a h a b a r ihizo kikawa hakikuwas a h i h i k w a m a a n ak u w a h a k u k u w akabisa na msafara waMwanamfalme.

Ambacho tulitarajia nikuwa kama kuna msomaji

a l i k u w a n a t a a r i f atofauti, ilikuwa ni sualala kutuambia kwambatumekosea. Akatupaukweli wa jambo kwakadiri anavyojua yeyeakituainishia vyanzovyake ili kutupa na sisifursa ya kuhakiki taarifayake. Na s is i kamachombo cha habari ,tungewajibika kuelezana kutoa masahihishoau kama tuna ushahidiwa kutosha kwambatulichosema ni kweli, basitungetoa ushahidi zaidi.

Lakini kilichotokeakwa baadhi ya wasomaji

wetu ambao walidirikikutuma ujumbe, ni mojatu ya vielelezo vya hojayangu kwamba tunamata t izo makubwa.Maadhali a l iyeta jwani ‘Mwanamfalme waSaudia’, suala la habarikwamba ni kweli au la,liliwekwa pembeni. Ikawasasa shutuma inakuwakwanini inashutumiwaSaudia.

“ H a m u o n i k u w amnawafurahisha ‘Mashia’,Iran!” Alisema msomaji

Kisa cha Aisha na BadraSaudia Arabia Vs Tehran

Na Omar Msangi

mmoja.Kabla ya habari hiyo,

tulikuwa tumetoa makalaikieleza jinsi Pope Francisa l i v y o k u w a z i a r a n iMarekani alivyoshindwakumwambia ukweli BarackObama kwamba serikaliyake ndiyo inayoleta

 balaa duniani la vita na

machafuko (Syria, Iraq,Yemen, Libya n.k). Katikamakala hiyo tuliyoipak i c h w a c h a h a b a r i“Papa Francis akwama:Ayatollah Khameneiathubutu”, tulikuwatukichambua makalaya mwandishi FinianCunningham aliyesemakuwa Papa Francis, tofautina Ayatollah Seyyed AliKhamenei, ameshindwakumwambia ukweli BarackObama anayesababishamachafuko na umwagikajidamu mkubwa na kuifanyadunia isiwe mahali salamapa kuishi hivi sasa.

Katika makala yake“Blessing for Washington’sGlobal Terrorism”,

Finian Cunninghamalisema kuwa kimya chaPapa juu ya mauwajiy a n a y o f a n y w a n aMarekani duniani kotek w a k i s i n g i z i o c h akupambana na ugaidi, nisawa na kubariki ‘ugaidiwa Washington’.

Hilo nalo kwa baadhi yawasomaji wetu limekuwanongwa. Mmoja katuma

ujumbe mfupi wa manenokupitia simu yake anasema,“ m b o n a m n a w a s i f uMashia au na nyie Mashiaau mn atumiwa b i lakujijua? Tahadharini kamamnatumiwa na Mashia

 bila kujijua.”Uoni na hali kama hii,

ndio inasababisha mpaka

leo, kama Waislamutunashindwa kutoa kaulithabiti kulaani mauwajiyanayofanywa Yemendhidi ya watu wasio nahatia. Lakini ingekuwani Israel, maandamanoyangekuwa kila mahali.

‘Jihad ya IS’ nayobado mada ngumuMakala hii nimeipa jina

Aisha na Badra. Hawani wasichana wawili waMarekani waliokuwamarafiki. Badra akiwaraki wa karibu, anajaribukumwonyesha Aashakuwa jambo alilofanya

ni la kijinga kabisa nahakumtarajia kufanyaujinga kama ule.

“Why would you dosomething so stupid?” Badraanamuuliza Aasha, katikanamna ya mshangaokwamba hakumtarajiakufanya jambo la kijingakiasi kile.

U j i n g a g a n i ? W akutokuona kuwa IS nimamluki wa Marekani( j i h a d i s t m e r c e n a r yarmies) na kwamba kuna

mitego (entrapment)inayoandaliwa na FBIkuwanasa vi jana waKiislamu na kuwasingiziaugaidi na uanachamawa IS, ikiwa ni pamojan a k u a n d a a w a t u(wanafunzi wakiwemowasichana) wakijifanyani ‘kuruta’ wa IS/Al

Shabaab wanaokwendaSyria/Somalia, baada yakuhitimu masomo kupitiamitandao.

Inadaiwa kuwa hivikaribuni, Aasha (17) namdogo wake akiitwaMariam (15) pamoja narafiki yao Leyla (16),walitoroka shule wakiwasekondari, kule Aurora,Colorado, Marekani,kwenda Syria kujiunga naIslamic State.

Inaelezwa kuwa sikumoja, siku ya Ijumaa,wazazi wao wakijuwak u w a w a m e k w e n d a

shule na wapo shulekama kawaida, kumbewasichana hao walitorokashule, wakachukua taxna kwenda uwanja wandege kuelekea Raqaa,Syria kujiunga na IS. Hatahivyo, wasichana hawandugu na raki yao Leyla,hawakufika Syria. Kamaambavyo akina UmulkhayrSadri Abdullah na kijanaRashid Charles Mbereserohawakufika Somalia .Walikamatwa Mombasa.Hawa nao walikamatwa

Frankfurt, Ujerumaniambapo ilikuwa wabadilindege. Inaelezwa kuwamaofisa usalama wauwanja wa ndege waFrankfurt, waliwastukiaw a l i p o w a h o j i n d i owakakuta kuwa kumbe

ni ‘makuruta’ wa IS.W a k a k a m a t w a n akurejeshwa Marekani.

Ukisoma taarifa hiikama i l ivyoandikwakatika vyombo vya habari,un ach oon a n i kuwaAasha, Mariam na Leylani wahanga wa mchezo wa‘makachero’ wanaotumiwakupandikiza kitisho chaugaidi. Uhakika wa tukiohili ni namna mbili tu,kama lilivyo lile la akinaUmulkhayr, hakuna zaidiya hapo. Uwezekano wakwanza ni kuwa, wasichanahawa walitengenezewamazingira na kuwezeshwa

kwenda mpaka Frankfurt,Ujeruman i b i la waokujijua au kudanganywakuwa wanaendea jambofulani, kumbe sivyo. Nawaliofanya kazi hiyo nihao hao ‘makachero’wa serikali wanaodaikupambana na ugaidi.Pili, inawezekana walijuawanachofanya kwambaw a n a t u m i w a ‘ k w akulipwa’ pesa au kwaahadi ya kufanyiwa jambofulani. Ambalo si la kwelikabisa, NI UWONGOmtupu, ni hili: Ni kuwawasichana hao walitiwaujahidina na IS, wakawawajahidina wa kwelikindakindaki na wakaonanamna ya kutekelezaujahidina wao ni kwendaSyria. Kama ni ujahidina,ulikuwa ‘ujahidina feki’wa kupandikizwa namawakala wa serikalii l iyobeba agenda yaVita dhidi ya ugadi nandio hao waliowakatiatiketi ya ndege kwendampaka Ujerumani na kulekukawa na makacherowengine wanaowasubiri,wakawakamata. Ufupiwa maneno ni mchezo wakuigiza. Ni usanii mtupu.Hakuna zaidi ya hapo.

Bila shaka tunakumbuka

k i l e k i s a c h a w a t uwaliofungua ukurasa waFacebook wakaupa jinala Sheikh Kishki na hukowakaweka picha zake nakisha kuweka fatuwa nakauli mbalimbali kuwaan aun ga mkon o IS .Katika kisa cha mabintihawa tunaambiwa etiwalifundishwa ‘uhajidinawa IS’ kupitia mtandao.K a m a n i m i t a n d a o ,wanaitengeneza wenyewe

Inaendelea Uk. 14

 Ayatollah Seyyed Ali Khamenei. Waziri wa Ulinzi wa Saudia, MohammadBin Salman Aal Saud,

ANNUUR REAL.indd 10 10/15

Page 11: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 11/20

11  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 201511 AN-NUUR

 Msikiti wa Quba

Makala

AsalaAm Alaykumk w a w a s o m a j iw a n a o f w a t i l i a

upenyu wangu katikag a z e t i l a A n - N u u r .Kwa wiki tano sikuwapamoja na nyie kwa kuwanilikuwa kwenye Ibadaya Hijja huko Makka.

Aya katika Qur’an juuya Hijja: 2:125, 2:158, 2:189,2:196, 2:197, 2:198-201,2:203, 3:96-97, 5:1-2, 5:94-95, 5:96-97, 9:37, 22:26-

27, 22:28-30, 22:33, 22:36,22:37, 48:27.“Na kumbukeni tulipo

ifanya ile Nyumba (yaAlkaaba) iwe pahala pakukusanyikia watu napahala pa amani. Naalipokuwa akisimamaIbrahim pafanyeni pawepa kusalia. Na tuliaganana Ibrahim na Ismail:Itakaseni Nyumba yangukwa a j i l i ya wan aoizunguka kwa kut'ufu nawanao jitenga huko kwaibada, na wanao inama nakusujudu.” (2:125)

Wengi wanaporudiMakka huwa na mengi yakuelezea juu ya safari yaokikamilifu, lakini wengi

wao huyaelezea yakesha nawachache ambao huamuakuandika na maelezoyao yakabakia kuwakumbukumbu, mfanoMalik Al-Shabaz kwa

 jina maarufu ni MalcolmX aliandika barua yakekutoka Makka na hadi leo

 barua hiyo husomwa nawengi na kuvutiwa nayo.

K u n a m a n e n oameyasema katika risalayake hio Al-Hajj Malik Al-Shabaz ambayo hadi hiileo yana uzito. Alisema:

“ A m e r i c a n e e d s t ounderstand Islam, becausethis is the one religion thaterases from its society therace problem. Throughout mytravels in the Muslim world,I have met, talked to, andeven eaten with people whoin America would have beenconsidered 'white'--but the'white' aitude was removed

 fr om thei r mi nds by th ereligion of Islam. I have neverbefore seen sincere and truebrotherhood practiced by allcolors together, irrespectiveof their color.”

Tafsiri ya juu juu“ N c h i y a M a r e k a n iin ah i ta j ia kuuelewaUislamu kwani ni diniambayo imefuta kabisa

Risala yangu kutoka Makka

Na Ben Rijal

 MSIKITI wa Madina, Saudi Arabia.

Sehemu ya Makaburi ya Baqi

ukabila. Nimetembeakwingi katika nchi zaKiislamu, nimekutana,nimezungumza na hatanimekula na watu ambaokwa nchi ya Marekani waowangejinasibu ni kamawatu Weupe, lakini hayoyamefutwa katika nyoyozao kutokana na diniya Kiislamu. Sijapatapokuona udugu wa kweliunawekwa na watu warangi zote kama hapokwenye Hijja.”

Maneno mazito nayanataka tafakuru kwayule mwenye chembeya ubaguzi katika nafsiyake, man en o h ayakayazungumza miaka51 iliopita na mpaka

leo Marekani ubaguziunanuka.

Safari ya Makka nisafari ambayo nawezakusema kuwa imekuwakatika kra zangu tangunikiwa na umri wa miaka7 kwani nilipokuwa skulitukisomeshwa juu yanguzo 5 za Uislamu na ya 5tukisoma “Nakwenda Ku-Hijji Makka kwa mwenyeuwezo.” Mwaka huo bibiyangu mzaa mama nayeakenda Hijja na ikawainanishughulisha kakajehuko na alifanya nini hukoMakka?

N i l i p o f i k a u m r iwa miaka 28 ikawafursa kwangu kwendaHijja, lakini wakati huo

nchini Libya walikuwahawachukui tena wagenikwenda Hijja katika zile

meli zake maarufu, Traplusna Benghazi. Nikatafakarilini nitaweza kwendakuitimiza nguzo hii yaHijja na siku zinakwendana zishakwenda hazirudinyuma.

Tunafahamishwa kuwaHij ja uwende ki janana usende ukiwa umriunakupa kisogo, manenohayo yana nguvu na yanamantiki. Msongamanowakati wa Kutufu nakussai, kusimama Arafa,k u l a l a M u z a d a d i f a ,kupiga mawe Jamaraathakika inahitajia uwe nanguvu zako usiwe dhaifulakini vilevile kwendakatika umri wa miaka

50 na kwenda mbeleunakuwa ndani ya uchaMungu kwa zaidi kwanihuwa hushughulishwina chochote kile zaidi yaIbada.

Safari yangu yote yaHijja ilinichukua siku21 nikianzia Madina mjiambao Mtume (SAW)alihamia kutoka Makka

 baada ya kukimbia vitimbivya makari. Mji huu unautulivu na watu wakewakarimu zaidi kulikowatu wa Makka.

Nalioondoka nyumbanin a k u f a n y a k a m atulivyotakiwa kwa kutiania kuwa nakwendakutimiza Hij ja, kishanikasali rakaa 2. Rakaa yamwanzo nikasoma SuratulKaruna na rakaa ya pilinikasoma Al-Ikhlas. Baadaya kutoa salamu nikaombakwa lugha yangu yaKiswahili kutaka usalamakwa huko niendako. Kishanikaagana na familia yanguakiwepo dada yanguna shemegi zangu nawahisani katika kuwaaganikisoma “Astawdiu Llahadinakum wa amanatakumw a k h a w a t i m aaamalakum.” Kuagananao na kuanza safarikwenda uwanja wa ndege.

Kuaga kwa miaka hiisio kama zamani ambapowaendao Hijja hawakuwana hata taswira ndogoya huko Makka kukojewala h awakuwa n ataarifa za undani, kwahiowalikuwa wakitoa burianina kuaga na kuwawachawanaowaaga na vilio kwakutokuwa na uhakikawa kurudi, lakini miakahii hayo hayapo, kwanianaondoka kuelekea Hijjahuwa na sura kamili yaMakka na akifika hukohuwa mara kwa maraanawasiliana na watuwake.

Tulika uwanja wa ndegesaa 6 ya mchana na hapo

tukasubiri uingie wakatiwa sala na kutangulizakwa kuzikusanya Sala yaAdhuhuri na Alasiri. Miendio nilikuwa Muadhininikaadhini kisha nikakimukusali sala ya Adhuhurirakaa mbili bada ya salamunikasimama tena kukimu

na kusali sala ya Alasirirakaa mbili . I l ikuwamuhimu sana viongozikuwafahamisha Mahujajiwatarajiwa kujua kusalisala ya safari na hata hivyo,

 bado il ik uwa ki kwazokwa wengine. Tukaondokauwan ja wa Kisaun i -Unguja katika milangoya saa kumi na kufikaMadina ikiwa saa tatu zausiku. Watu wa Uhamiajihapo Madina walikuwawapo tayari kutuhudumiana kutusalimu na hukukututakia Hijja ya amani.Unapokutana na Ofisahuyo huchukui zaidi yadakika tatu au tano.

Tulipomaliza hayo

tukawa tayari kuelekeaMadina kwenye hotelituliopangiwa. Tulifikahoteli saa 7 za usikutukasali kwa kucheleweshaMagharibi rakaa 3 na Isharakaa 2 kwenye Msikiti waMtume (SAW) na kuamuakukaa itikafu hadi kusalisala ya Alfajiri. Hapounaukuta Msikiti tayariumeshaanza kujaza watuna unapojisikia unatakakula, unakwenda kunywamaji ya Zamzam tena yapo

 ba rid i yana sa mb az waM s i k i t i n i k o t e n ahayakosekani na maji hayohuwa yanatokea Makkaraha yangu ilikuwa nikunywa maji ya Zamzam

na mengine kujimwagiana kunawa uso.Msikiti wa Madina

ni wenye kuvutia naumefanyiwa ukarabatikatika nyakati tafauti. Kunasehemu ya kale ambayondio ya Rasuli, kuna ileiliofanyiwa ukarabati naWaturuki na kuna sehemuiliofanyiwa ukarabati naMfalme Fahad. Sehemuiliofanyiwa ukarabati nawatawala wa Kituruki inamasafa ya mita ya mraba16,500m2 (square meter)na kuchukua waumuni167,000 kwa mara mmojakisha kuna sehemu yautanuzi iliofanywa naMfalme Fahad ikiwa namasafa ya mita ya mraba82,000m2  (square meter)na uwezo wa kuchukuawaumini 167,000 kwamara mmoja. Kuna nasehemu ya chini yenyeuwezo wa kuchukuawaumini 90,000 na mitaza mraba 67,000 (67,000meter square). Ina Minara 10ikiwa 6 mipya na 4 ya kale.Msikiti huu wa Mtume(SAW) una milango 85ikiwa na vipimo 3x6 metermlango ambao nikiupitamara nyingi ni Fahd 22

Inaendelea Uk. 15

ANNUUR REAL.indd 11 10/15

Page 12: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 12/20

12  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 201512 MAKALA 

Njia 21 za kuachana na mahusiano haramuInatoka Uk. 9

n a u s i w a p e n a f a s i

ya kukuambia kuwawanakufikiria . Achamambo mengine muhimuzaidi yatawale mawazoyako. Usitoe saa nzimakuangalia dari chumbanimwako kabla hujalala.Soma kitabu badala yake.Amini kuwa wanaendeleavyema na mambo yao

 bila wewe na bila shakawatakiria kuwa na weweunafanya vyema bila wao.Tunza heshima yako.

Saba, fahamu kuwahawakuwa sawa kwao.Kama kitu kinaanzakwa ubaya , h akiwisah ih i kutokan a n amuda. Utambue kuwahukuwahi kuwapendakiukweli kwa ajili yaAllah, bila kujali ni kiasigani ulikuwa unadhani(unawapenda) au nihadhara gani (yenye ladhaya dini) ulikutana nao.Unahitaji kitu kilichoanzakwa msingi sahihi. Hiiimzuie (kijana) yeyotekuanza kitu ambacho siyosahihi. Hata hivyo, kamahivi sasa una mahusianoambayo siyo ya Kiislamuna ndoa ni kitu sahihikwako, basi unawezakutubu na kuanza tenakatika njia iliyo sawa -ukiwa na dhamira sahihi

ya ndoa na kwa utaratibuu n a o s t a h i l i . L a k i n ifanya maamuzi sasa, nausiendelee kujenga juu yamsingi ule ulioanzia. Jazianakishi (upungufu) huo.

Nane, toa kila kitum o y o n i m w a k o .Zungumza na Allahn a umwambie j in s iunavyosikia - kwa lughayoyote ile unaoyojua

 jinsi ya kufanya hivyo.Mlilie kama unataka.Fanya lolote unalowezaili kumkaribia. Hivyokama bado ulikuwahusali tahhajud kila usiku,chukua hatua za awali.

Allah ameacha milangowazi.T i s a , f a n y a

unayoyapenda. Fanyavitu ambayo unafurahiakuvifanya. Ndiyo, ni

 jambo muhimu kufanyamatendo ya kuabudu,lakini pia kufanya vituambavyo unapenda kwelikuvifanya. Cheza michezo,nenda kutembea, endeshamagari, nenda kupungaupepo ufukweni na katika

 bustan i nzuri nzuri aukatika maduka makubwa

na migahawa mizuri. Jaza muda wako na vituambavyo vitachukua hisiazako na kukia mahitaji

yako -na kuweka akiliyako mbali na isipotakiwakuwepo.

Kumi, anzisha upyauhusiano wako na Allah.Acha kutafuta upendokat ika maen eo yotemabovu.

Acha upendo wa Allahuu jaze moyo wako.Kuna utoshelevu ambaohutaweza kuupata kwawatu ambayo ni MwenyeR e h e m a p e k e y a k eanaweza kujaza. Unajuakuwa amekujali wakatiwote ukiwa huna mahalipengine pa kugeukia.Omba msamaha wakena uweke iimani yakokwake. Hatakupuuzia. Nausihofu kuwa peke yakomara nyingine. Wewe tuna Muumba wako.

Kumi na moja, fanyadua kuwa jambo borazaidi.

Unajua habari ya UmmSalamah ambaye mumewemsahabi wa kushangazaalifariki dunia, akafanyadua kuwa kitu bora zaidina akaishia kuolewa naMtume (s.a.w). Hivyofahamu kuwa Allah

ndiyo bora zaidi kati yawapanga mikakati. Naomba kuwa akupatie mtuatakayekuleta kwake

kwa karibu zaidi nakukufanya uwe na furaha.Ishi tu maisha yako,hivyo kuwa unastahilihilo. Baada ya Mtumekufariki, Ibn Abbas (ra)alisemekana kuongezakufunga na kuomba.Wengine walipomwulizakwanini, alisema "Natakakuoa, na nimesoma aya:"Wanawake wema, niwa wanaume wema. Nawanaume wema, ni wawanawake wema."(Kurani24:26)

Kumi na mbili, fuatiliatendo baya kwa tendo

 jema.

" H a k i k a m e m ahuondoa maovu. Huun i ukumbush o kwawanaokumbuka." (Kurani11:114)

Hivyo unahisi kuwauliteleza na kuvurigikiwa.Fuatilia kwa jambo jema.Toa zaka (kwa maskini).Fanya sala usiku wakatiwengine wamelala. Lishawalio na njaa. Funga sikukadhaa za ziada. Uwe tuna shukrani kuwa Allahamekuokoa katika jambo

ambalo lingeweza kuwa baya zaidi . Anasamehe.Ni Mwenye Huruma.

Kumi na tatu, Tutumie

akili. Acha kuota habariya ndoa. Watu wanatumiamuda mwingi mno waujana wao kufikiriakuhusu ndoa. Ni jambol i n a l o o n e k a n a h a t akwa vijana wa dini-labda ni zaidi kwaokwani wanafikiria kuoazaidi wasiingie katikauhusiano haramu. Kamahuja j iandaa, hujawatayari. Allah anasema:

"Na wa j izu i l ie n amachafu wale wasiopatac h a k u o l e a m p a k aM w e n y e z i M u n g uawatajirishe katika fadhilazake." (Kurani 24:33)

Maisha yako yote, nahasa ujana wako, hayahusuwewe kuambatana namtu mwingine. Weweni mtu mwenye nafsipekee. Kama alivyosemaMtume:: "Tumia fursa yaujana wako kabla ya uzee."(Hadithi iliyohakikishwana Al Hakim).

Kumi na nne, Chukuamuda kufanya tathmini.Fanya tathmini ya ninikinacholeta maana katikamaisha yako kuhusianana ndoa. Hivi kweli ndiyo

wakati sahihi kwako?K a m a s i v y o , m u d ahuo uko karibu? Kunavitu inabidi uvifanyekabla hujawa tayari?Pata ushauri wa watuwema, wenye kufuatahaki, na wenye ufahamuwakusaidie kutathmini.Tumia muda huu kujengauhusiano na wazazi wako.Fahamu wanachosemakuhusu mambo hayo nazungumza nao kuhusuunachohisi . Utapataufahamu wa ndani nakujenga uhusiano imarazaidi nao.

Kumi na tano, fahamukuwa hili pia litapita.Mmoja wa waalimuwangu aliwahi kuniambia

kuwa vitu vyote katikamaisha vinaanza vikiwavidogo na kukuwa, ilamikasa, ambao huanzaukiwa mkubwa halafuunapungua.. Utamalizanana hali hii baada ya muda.Utaangalia nyuma nakushangaa tatizo lakolilikuwa nini na kwaniniilikuwa suala gumu hivyowakati huo. Na ufahamukuwa kuacha kilichoharamu, kutawezesha tundoa yako kuwa na nguvuwakati utakapokuwaumempata anayekufaakwa baraka za Allah.

Kumi na sita, igundue

upya nafsi. Upate kuwa bor a zai di kat ika nafsiyako. Gundua vipajivyako. Ingia katika vituambavyo daima ulikuwaunataka kujaribu lakinihukufanya hivyo. Jengauwezo wako ka t ikakile unachokifurahia.Chukua muda kufanyavitu ambavyo vitakuwavigumu kufanya paleutakapokuwa umeoa nakuwa na muda mchachezaidi kwa ajili yakomwenyewe.

Kumi na saba, fanyavitu ili ujisikie vyemakatika hisia.

 Jiangalie vyema katikawakati huu mgumu - akiliyako, mwili na roho. Somakitabu, fanya bidii katikamasomo yako, kula kiafya,fanya zoezi, kunywa majimengi, vaa vizuri, sikilizana soma Kurani zaidi,sikiliza mhadhara mzuri,

 ji to le e kati ka jumuikola Kiislamu. Kimsingi,chochote kile na kilaambacho kwa kawaidak i n a k u f a n y a u o n eumefanya jambo jema.

Inaendelea Uk. 13

ANNUUR REAL.indd 12 10/15

Page 13: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 13/20

13  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Kiyate katika kuupiganiauhuru wa Tanganyikahaujathaminiwa.

H a w a n d i y owaliompeleka Nyerere

UNO mwaka 1955 nawakamuunga mkono hadiuhuru ukapatikana.

Nini ilikuwa hatma ya wazee hawa?

Tarehe 11 Machi, 1963,Kamati Kuu ya TANUiliyokutana Dar es Salaamilipiga kura kuvunjakamati ya wa jumbekumi na moja ya Barazala Wazee wa TANUchini ya Mwenyekitiwake Idd Tulio. Wazeewalikusanyika katikaukumbi wa Arnautoglo nawakasomewa uamuzi waKamati Kuu ya kulivunjaBaraza la Wazee. Taarifailisema wazee hao ni kerokwa sababu “dini na siasavilikuwa vitu viwili tofautina hawa wazee walikuwawanachanganya dini nasiasa.’’

Hiki kilikuwa chombocha ushauri ambachowajumbe wake wotewalikuwa Waislamu.Chombo kilichokuwandani ya TANU ambachok i l i m u u n g a m k o n oNyerere na TANU tangusiku za mwanzo kabisa.Kwanza chini ya uongoziwa Sheikh SuleimanTakadir na kisha chini yaMzee Idd Tulio baada ya

kufukuzwa kwa SheikhTakadir kutoka TANU.Wakat i h aya yote

yaki ten deka , Kan isaambalo wakati wa kudaiuhuru lilijiweka mbali nahalikutoa msaada wowote,sasa likawa linanyemeleakujiingiza katika siasalikiwa na agenda yake:kuwaweka v ion goz iWakristo katika nafasi zauongozi na kuutoa njeya uongozi wa Waislamuambao Kanisa liliwaonaati ' 'hawana elimu. ' '

 Jumuiya za Kiislamu kamaAl Jamiatul Islamiyya fiTanganyika na EAMWS

zilikuwa sasa zinapigwavita na serikali ya Nyererekama vyombo ambavyo

havikuwa na umuhimuwowote katika Tanganyikampya.

Katika kumuhakikishiautiifu wao juu yake,Waislamu walijitahidimwisho wa uwezo waokuziweka taasisi zaokando na chuki za kidinidhidi ya Wakristo. Juhudihizi hazikuthaminiwa.Serikali ilifanya juhudiza siri kuhakikisha kuwa

 jumuiya zote za Waislamuzinapigwa marufuku. Huundiyo ukawa mwanzo wa

kampeni za kufuta historiaya Uislamu katika TANUna mwisho wa Waislamu

kuwa na sauti katikasiasa baada ya uhurukupatikana.

Baada ya kupatikanakwa uhuru, ile nguvu yaWaislamu iliyotumikakupambana na Waingerezakuleta uhuru, ikaonekanahaina maana yoyote nahaifai kitu tena. Kuvunjwakwa Baraza la Wazeendiyo ilikuwa kishiko chamwisho cha Waislamukatika TANU. Baada yahapo Kanisa lililokuwa

pembeni wakati wa kudaiuhuru, sasa likajitokezawaziwazi kuwapiga vita

Waislamu katika TANU.Baada ya Maasi ya

Wanajeshi wa TanganyikaRifles (TR) tarehe 20

 Januari 1964. Jiji liligomakuupa Mtaa aliokuwaAkiishi Jina lake kwaKuogopa Mitaa ya Dar esSalaam kusheheni majinaya Waislamu waliopiganiauhuru ' Mzee Mshumealikuwa Akiishi Mtaa waTandamti.

Wakati wa Kudai UhuruNyerere alikuwa hapungui

Nyumbani kwa MzeeMshume Kiyate.

MAKALA 

Inatoka Uk. 8

Wajue waliompenda Nyerere kwa dhati

Katika wajumbe Waliohudhuria Mkutano Huu wa Kwanza wa TANU mwaka 1955 Ukumbi wa Hindu

 Mandal Dar es Salaam walikuwa Salum Mpunga na Ali Mnjale kutoka Lindi Hawa ndiyo walikuwaWaasisi wa TANU Jimbo la Kusini. Historia haiwatambui.

Njia 21 za kuachana na mahusiano haramuInatoka Uk. 12

Uwe na fadhila kwakomwenyewe.

Kumi na nane, jifunzekuhusu upendo wa kweli.

 J i f u n z e u p e n d ohalali hasa ni nini. Nandiyo, upo. Siyo kileunachofikiria na siyo

 jinsi Hollywood/B ong o

movies, inavyoonyesha.Upendo halisi na halali niMtume anapolia akionamkufu wa Khadijah mudamrefu baada ya kifo chake.Ni wakati alipomsaidiahuku ulimwengu woteumemgeuka. Ni kutakamwenza wako atende jemaili muweze kuwa pamojaPeponi milele baadaye.Siyo kukutana na msichanakatika tafrija na kujiua kwasababu huwezi kuwa naye(samahani Shakespeare).

 Jifunze upendo wa kwelini nini hasa na utaondokakatika uhusiano wowoteharamu kwa haraka sana.

Kumi na tisa, pata mfanowa kuigwa. Andamana nakuzungumza na vijanawa dini, wenye ndoasa. Pata ushauri wao nakuwatumia kama mfano

kwako mwenyewe katikamaisha yako. Watakusaidiakuweka vitu kwa mtazamosahihi kwako. Uliza habariza jinsi walivyokia hadikufunga ndoa. Ombaushauri wao na ujifunzekutoka kwao.

Ishirini, egemea kwamarafiki zako. Ndiyosababu ya kuwa n amaraki. Sasa mwishoweuna nafasi ya kujengamahusiano ya karibu zaidina kaka zako na dadazako wa imani (kina kaka

wakiwa pamoja na kinadada nao wakiwa pamoja,au vinginevyo hujapataazma ya makala hii kwa

 jumla). Itakuwa rahisi zaidisasa kutumia muda wakopamoja nao na kusaidianakuinua nafsi zenu kuwa

 bora zaidi. Hutakuwa nanafasi ya kufanya hivyo

wakati wote.Ishirini na moja, uwemiongoni mwa wenyehaki. Uwe karibu nawatu ambao un a juawasingependa uwe katikauhusiano ule haramu.Rafiki anayekuambiakuwa wewe ni mjinga kwakuvunja uhusiano huo,ndiye ambaye, unahitajikumkwepa kwa muda.Kama mmoja au zaidikati ya marafiki zakowanaofuata njia za hakiwalikuwa wanafahamu

uhusiano haramu ambaoulikuwa nao, basi ongeanao na uwafahamishekuwa unasonga mbele

na maisha yako. Ni njia

nzuri ya kujipa moyo,na Insha'Allah watakupanguvu. Kama walikuwahawafahamu, hakuna haja

ya kuungama. Furahia tumuda wako ukiwa naokwani itakufanya uwe mtu

 bora zaidi.Namwomba Allah atupe

nguvu sisi sote. Kuwaaimarishe ndoa za waliokatika ummah na atuwekembali na yote ambayohayamfurahishi.

(Makala hii- Get Over It:21 Ways to Say Goodbye tothat Haram Relationshipand Move on With YourLife, imeandikwa na Ehab

Hassan na kutafsiriwakwa Kiswahili na AnilKija. Ehab Hassan nimwanaharakati kijanawa Kiislamu na mtendakazi kuhusu Uislamu.A m e s h i r i k i k a t i k amabaraza kadhaa nabodi za mashirika tofautiya Ki i s l amu wakat i

akielekeza nguvu zakekatika kazi zinazohusuvijana kwa zaidi yami aka 15 i l i yopi t a .Wakati wa mchana, Ehabni Mhandisi Mashine(Mechanical Engineer), nausiku ni baba wa familiaanayejaribu kushikilianafasi yake kama bababora zai di duni ani .Ehab anaishi Maryland,Marekani na mkewe nawanae wadogo watatu.Mfuatie katika Twier @ehababuayah.)

ANNUUR REAL.indd 13 10/15

Page 14: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 14/20

14  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015MAKALA 

Kisa cha Aisha na BadraInatoka Uk. 10na wakaitumia kunasa

v i jan a wa Ki is lamuambapo kwa bahati mbayavijana wengi wa Kiislamuwanaangukia katika kundihili la watu wanaonaswakirahisi na taarifa zamitandao hii. Utawasikiawenyewe wakisema ‘somamtandao Jihad Somali/AlShabaab’.

H a mu on i? H a ms ikii?Hamzingatii?

S e p t e m b a 5 , 2 0 1 3a k i z u n g u m z i a v i t ainayoendelea hivi sasaSyria, aliyekuwa ‘ConsulGeneral’ wa Israel kuleNew York, Bwana AlonPinkas alikuwa na haya yakusema:

"This is a playo situationin which you need both teamsto lose, but at least you don’twant one to win — we’llsele for a tie,....Let them bothbleed, hemorrhage to death:that’s the strategic thinkinghere. As long as this lingers,there’s no real threat fromSyria." (New York Times).

Ufupi wa man en oanachosema Alon Pinkasni kuwa mpango waIsrael na Marekani, sikumsaidia yoyote katikaSyria kushinda. Hawataki

wapinzani wa Basharwashinde na kushika Dolawala Bashar kushindana kuendelea kushikiliauongozi. Wanachotakan i ‘ W a i s l a m u ’ h a okukamuana damu mpakawajimalize wenyewe (we’llsele for a tie,....Let them

 both bleed, hemorrhageto death). Kwa nini? Kwasababu itakia mahali kwa

 jinsi walivyotafunana nakumalizana wenyewe kwawenyewe, Syria haitakuwatena adui wa Israel (Aslong as this lingers, there’sno real threat from Syria ).

Na hii ni kutokana naule mpango ulioelezwa naOded Yinon (A Strategyfor Israel in the NineteenE i g h t i e s - K I V U N I M(Directions), A Journalfor Judaism and Zionism;Issue No, 14--Winter,5742, February 1982)unaoagiza kuwa Iraq naSyria zidhoofishwe naikibidi zigawanywe katikavinchi vidogo vidogo kwakuchochea mapigano yawenyewe kwa wenyewe.Mahali pengine ikatajwawazi kabisa kwamba

z i fan yike juh udi zamakusudi kuunda vikundivya kijihadi vya Kisalafivitumike kufanya kazihiyo.

Mkakati wa Oded Yinonulikaririwa tena katikawaraka- "Clean Break"document, wa mwaka 1996,ulioandaliwa na jopo lawapika mipango mikakati(strategic thinkers) waMarekan i n a I srael ,wakiwemo Richard Perle,Douglas Feith, David naMeyrav Wurmser. Warakahuo ulikusudiwa kuwamwongozo katika Sera yaMambo ya Nje ya serikaliya Benjamin Netanyahu.

K u b w a l i l i l o t a j w an a k u e l e k e z w a n i

kuzivuruga Iraq na Syriaikianzia na kupinduliwaSaddam Hussein. Nakwamba itakapokujazamu ya Syria, juhudizifanyike kuzishirikishana kuzitumia nchi zaU t u r u k i n a J o r d a n ,k a m a t u n a v y o o n azinavyotumika leo katikakuipiga Syria. Lakinipia ikatajwa kuwa japokwa nje itaelezwa kuwaw a n a u n g w a m k o n owapinzani kumng’oaBashar, lakini lengosi kuwapa wapinzaniushindi, bali kuigawa nchi

hiyo mapande mapande.Akielezea unafiki huuwa Marekani katika sualala Syria, mwandishi wamuda mrefu wa gazeti la LaVanguardia la Barcelona,Tomás Alcoverro, wikiiliyopita Oktoba 9, 2015aliandika akisema kuwakama mashambulizi yaUrusi yataendelea kamailivyo sasa, basi ulempango wa Marekani wakuwapiganisha watu waSyria (Waislamu) mpakawamalizane wenyewe,utakuwa umefeli. (Somazaidi: US, Russia & Syria:

The Problem With Faking It-By Thomas S. Harrington.)K w a b a h a t i

mbaya kabisa , kamanilivyotangulia kusema,hili la ‘Jihad feki’ na‘mujahidina feki’ wak u p a n d i k i z w a n akutumiwa na mabeberu naMayahudi, nalo limekuwamada ngumu kwa watuwetu kuelewa. Wanaonaya IS na akina Al-Baghdadni J ihad kweli , walahawaoni kilicho chini ya

hii inayoitwa Islamic State.Pengine hiki anachofanyasasa Vladimir Putin ,huenda kikawasaidiakuelewa.

Kwa watu wetu, na kwakutokana na ufinyu huowa uelewa wa mambo,wanaamini kuwa IS badowapo na wanatamba Syriana Iraq kwa sababu ni‘Mujahidina’ wa kweli kwahiyo wanapata hifadhi yaAllah. Kwamba pamoja nakuwa Marekani imeundaushirika wa kuwapigakwa kutumia maguvuyake yote, lakini badowapo. Mpaka Marekaniyenyewe inalalamika

k w a m b a i m e k u w avigumu kuwamaliza.W a t u w e t u h a w a ,pengine kwa kutamanikuvuna wasipolima nakupanda, ukiwaambiaM a r e k a n i i n a f a n y a‘usanii’, haiwapigi IS,

hawaamini. UkiwaambiaIS ni kifaa cha Marekani,wala haiwashughulishikujua kama kweli hiyo-‘Strategy for Israel in theNineteen Eighties’ ipona inasemaje. Sana sanawanaweza kukujia nahoja kuwa ‘KIVUNIM’,

sio Qur’an wala Sunnahna watakuona kuwawewe ndio unatumiwa naMarekani!

Sasa pengine kwa kipigohiki wanachopewa naPutin kama hayatajitokezamazin gira men gin e,kikasimama, ndio penginewatu wetu wataelewakuwa Marekani ilikuwahaiwapigi IS na ilikuwahaiwapigi kwa sababu niaskari wake wa kutekelezaagenda zake.

RAIS wa Russia VladimirPutin

Siasa za 'fwata-kumbo', si siasa barabara,

Siasa za 'fwata-kumbo', misingi yake si sera,

Siasa za 'fwata-kumbo', zao la ombwe kara,

Siasa za 'fwata-kumbo', tegemezi si imara,

Siasa za 'fwata-kumbo', za watu waso na dira,

Siasa za 'fwata-kumbo', kwa kasi sasa zadara,Siasa za 'fwata-kumbo', si Zenji wala si Bara,Siasa za 'fwata-kumbo', hatima yake nadama.

Siasa za 'fwata-kumbo', japo kasi zimeshika,Siasa za 'fwata-kumbo', si Bara si Tanganyika,Siasa za 'fwata-kumbo', sahali kuathirika,Siasa za 'fwata-kumbo', si zenye kumakinika,Siasa za 'fwata-kumbo', si za hakika za shaka,Siasa za 'fwata-kumbo', twapaswa kuziepuka,Siasa za 'fwata-kumbo', pabaya zitatuweka,Siasa za 'fwata-kumbo', hatima yake nadama. Abuu Nyamkomogi-Mwanza. 

HAIJALISHI U NANI !!!Haijalishi u nani, u insani au nani!Haijalishi u nani, u razini au nani!Haijalishi u nani, u jununi au nani!

Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo!Haijalishi u nani, u rijali au nani!Haijalishi u nani, u nisai au nani!Haijalishi u nani, u khuntha au nani!Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo!Haijalishi u nani, u waladu au nani!Haijalishi u nani, u shababu au nani!Haijalishi u nani, u shaibu au nani!Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo!Haijalishi u nani, u mkwasi au nani!Haijalishi u nani, u fukara au nani!Haijalishi u nani, u wasitwa au nani!Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo!Haijalishi u nani, u Amir au nani!

Haijalishi u nani, u Imamu au nani!Haijalishi u nani, u Sheikh au nani!Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo!Haijalishi u nani, u Papa au u nani!Haijalishi u nani, u Kasisi au nani!Haijalishi u nani, u Padiri au nani!Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo!Haijalishi u nani, u Rais au nani!Haijalishi u nani, u Waziri au nani!Haijalishi u nani, u Mbunge au nani!Haijalishi u nani, pumzi ina kikomo!Haijalishi u nani, u komando au nani!Haijalishi u nani, u kamanda au nani!Haijalishi u nani, u kuruta au nani!Pumzi ina kikomo, kikomo chake mauti. Abuu Nyamkomogi-Mwanza.

SIASA ZA 'FWATA-KUMBO'

ANNUUR REAL.indd 14 10/15

Page 15: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 15/20

15  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015MAKALA 

Risala yangu kutoka MakkaInatoka Uk. 11kwani nikipita mlangohuo huiona saa kwa njena huka hoteli niliokiachini ya dakika 5.

Nguv u za umemehutokea kilomita 7 nje yaMsikiti na hilo jenereta kazi

yake kutoa umeme kwaMsikiti tu, likiwa linatoaMegawatt 2.5 na kuwana vituo vidogo 4. Kunakamera za kuchukua pichasaa zote 543 na vipaza sautivya nyongeza (ampliers)206 na kila kimoja kinauwezo wa 600 Watt naMaspika 3,500. Hakika niMsikiti wa kipekee ambaohauwezi kukosa Umemewakati wowote ule walakukosa maji kwa wakatiwowote ule. Haijatokeasiku ukakatika umemena kama hitilafu ikitokeahaizidi dakika chachezisozidi dakika tano.

Unapokuwepo Madinakwa siku 8 utatakiwa usali

sala 40 zote kwa jamaakatika Msikiti wa Mtume(SAW). Nimebahatikakulitekeleza hilo na kilaSala mmoja unaoisaliMsikiti huo unapata ujirawa 1,000.

Msikiti huu wa Madinandipo alipozikwa Mtume(SAW) na pembezonimwake kazikwa SydAbubakar bin Sidiq na SydUmar bin Khaab, ilikuwaada kwangu na wengi waMahujaji kuhakikisha kila

 bada ya Sala kufanya ziarakatika kaburi la Mtume(SAW) na kwa wenginewalijiekea walaakali yaanikwa uchache hakosi kwasiku kumzuru Mtume(SAW) kiongozi wa Ummawalau mara mmoja.

Unapokuwa katika ziarahii ambayo unaifanyaukiwa ndani ya Msikiti waMtume (SAW), unapatakila hisia, kwani wenzakoambao nao wanaingiakatika sehemu hii iliondogo kabisa huku askarikutaka utoe salamu upiteuwende zako, unapatamsis imko wa kuon awengine wanalia, wenginewanamaliza kusoma duazote wazijuazo ikiwaunapita mahali hapohuwezi kubakia hatadakika 3 unasoma hukuunakwenda na wenginewanafwatia. Kila ukiwaunazuru kaburi la Mtume

(SAW) unajawa na hisia nakujua mbinu gani utumieupate kusoma dua zako.

Siku nikiwa katika ziarahii alikuwepo mzee kutokaAfrika ya Magharibialipotoa salamu yake nahuku analia, hakika sotetulimfwata kwani ilikuwaanalia na khushuu ndaniyake hata askari aliokuwaakisema “yaa Hajj imsh”,alinyamaza kimya na hukutunakwenda na machozikutulenga kwani unakuwan a h i s i a z a n a m n ayake ambazo sio rahisi

Sehemu ya Rawdha

kuzielezea kwa kutumiakalamu.

S i t o w a c h a a i d h akukieleza kisa cha watu2 mmoja akiwa mtu waMisri nimemjua kwa lahajayake na wa pili akiwakijana kutoka Afrika yaMagharibi. Tupo katikauzio tunasubiri tupishwekwenda kwenye ziarakwani askari huchunganidhamu ya kupisha watukwa makundi kwendakwenye ziara na kwa wakatimmoja hukia watu 3,000wanataka kufanya ziara.Huku ikiwa askari akiwaanataka watu wasimamewaliopo kwenye uzio,Mmisri kakaa kitako naaskari akimlazimishakusimama, jawabu ya Hajjhuyo ilikuwa, “Sikiliza

 bwana mie nimekuja hapakwa ibada kwa hio nipotayari kwa lolote lile ilinitimize ibada.” Askarialiona sasa haya makubwaakamrukia jamaa waAfrika ya Magharibiambaye amesima lakiniia n a l a z i m i s h a u z i oufunguliwe, jamaa huyoan ach o Kiarabu ch akutupa na kuchanganyalugha ya Kifaransa hatakikabisa kusikia kwaninitunachelewesha kuachiwakwenda kufanya ziara.

Alisema maisha yake yoteameyapanga Ku-Hijji nakumzuru Mtume (SAW)ilivyokua ameka basi nilazima atimize lengo lakehapendi kuchelewesha.Askari na ubabe wakealifahamu hisia za watuwalizokuwa nazo, siomuda akatuachia kuingiakwenye Msikiti ambapokuna kaburi la Mtume(SAW). Aidha baina yakaburi la Mtume (SAW) naMimbari akiitumia kunaeneo linalojulikana kamaRawdha, kusali Rawdhani sawa na kusali katikaviunga vya Peponi. Mmojaalinifahamisha kuwakuweza kuijuwa Raudhani sehemu zote zinamazulia mekundu lakinihapa Rawdha mazuliayake ni ya kijani.

Unapotoka kufanyaziara kwenye Msikiti waMtume (SAW) unatokakatika mlango unaoitwaBaqi ukenda moja kwamoja kama mita 100unaka katika makaburiya Baqi ambapo amezikwaBibi Fatma mtoto waMtume (SAW) na nduguz a k e . A i d h a h a p oamezikwa sahaba maarufuSyd Uthman bin Aan naMasahaba 10,000. AidhaImam Malik naye kazikwa

hapo. Unapokuwa naramani ndio itakusaidiak u e l e w a b a a d h i y asehemu, lakini makaburiyote hayana chochotekile kilichoandikwa nayote yapo sawa huwezikuyatafautisha.

Aidh a un apokuwaMadina unapata fursa yakuzuru maeneo muhimuya Kihistoria kama MasjidQuba, Masjid Qiblatein,Baqii, Milima ya Uhudpalipopigwa vita vyaUhud.

Nilibahatika kufikaMsikiti wa Quba Msikitiambao ndipo alipofikaM t u m e ( S A W ) n akuujenga, Msikiti upo wakileo, nilika hapo katikanyakati za Alasiri nikasalisala ya kuamkia Msikiti,

wakiwa waumini wa kikena kiume kila mmojaupande wake akisali hapo.

  Aidha nilisali MasjidQiblatein mahali ambapoMasahaba walisali Rakaa2 w a k i e l e k e a B a i t i lMauqadas n a rakaambili kuelekea Alqaba,u n a p o s a l i h a p o n akwengineko unapata hisiana kuirejesha nafsi yakokuwakumbuka Masahabana kiongozi wao MtumeSAW.

Nilifika Uhud pahaliambapo huko nyumaniliandika makala juu yavita vya Uhud. Nilipatamsis imko h asa pa lenilipofika sehemu ya

wapiga mishare 50 nakupanda mlima huo nakutafakar kwa kiasi.

Nilifanya ziara hizo na bad a ya kutimu siku 8ikawa ni safari yakuelekeaMakka na ilivyokuwa Hijjayetu ya Tamatuu ilikuwani kuanza kwa kufanyaUmra.

Kabla ya kuondokaMadina tulipata habarikuanguka kwa krini/Kachorora na kuua nak u j e r u h i b a a d h i y awaumini. Ilikuwa simunenda simu rudi nalikuwasipendi kutumia simu kwakunifanya nishughulike

 juu ya hayo nikawapigianyumbani kuwaeleza

kuwa matokeo yaliotokeaMakka sisi tupo Madina bado, nyoyo zao zikatulia.

Kuelekea kufanya UmraTulitoka hoteli yetu

huko Madina na kuelekeaMakka na tulika Miqaatsehemu ambayo ndioya kutia nia, wakati huotumevaa shuka zetu mbilimoja ya juu na ya pili ikiwasaruni (Ihram) na bilaya kuvaa kitu chenginechochote kile. TulipokaMikaat tukasali rakaa mbilina kutia nia kwa kusema“Lababaika Allahuma Bil

Umra” na kuanza kutoatamko la Talbiya pasi nakusita tukiwa kwenyemabasi tunaelekea Makka‘Labbaika AllahummaL a b b a i k a , L a b b a i k aL a a s h a r i y k a L a k aLabbaika, Innalhamda Wa

Nni’mata Laka Walmulku,Laa Shariyka Laka.”Tuliendelea na kusomaLabbaika hadi tukafikaMakka na moja kwa mojatukaweka mizigo yetu nakuelekea kufanya Tawafna Sai.

V i o n g o z i w e t u n iweledi wengine ni Hijjayao inakaribia ya 20ikiwa tangu wanasomahapo Makka na hadi sasawanaendelea kwenda Hijjana kutuongoza, tulifikakwenye Alqaba na kuanzakutufu. Tumerahisishiwakujua hasa wapi pakuanzatawaf kuanzia kwenye

 Ji we je us i- Haj ja ra al -Aswad, hapo kuna taaya kijani inawaka saazote ukifika hapo ikiwa

 be ga la ko la kus ho tondio linaelekea Alqabana bega lako la kushotoumeweka wazi, unaanzakwa kusema “Bismi LlahiAllahu Akbar” na kuanzakuzunguka Alqaba marasaba, mara 3 za mwanzounakwenda mwendo wamchupo unaitwa mwendowa Matiti, unapofikaRukul Yamani unasoma“Rabaana Aatina FiduniyaHasanat Awafil-AkhiratHasanat Waqina AdhabaNaar.” Kila ukika RukulYamani unasoma hivyona Rukul Yamani ipo

 baina ya Maqam Ebrahimna kwenye jiwe jeusi.

Tulipomaliza mizunguko7 tukasali rakaa 2 MaqamEbrahim tukanywa majiya Zamzam ambayo yapochekwa yanawasuburiM a h u j a j i t u , k i s h atukaelekea Saayi bainaya Swafaa na Marwa.Unaanza jabali Swafaaunatoa Takbir mara 3 nakwenda Safa mara mojana ya pili kuwa Marwana kumalizia Marwa.Unapoanza unasoma“Rabana Atina FiduniyaHasanat Wakina AdhabuNaar Waadkhilna JaanatMaal Abrar Ya Azziz YaGhafar Ya Rabal Alamin.”Tulipomaliza kufanyaS a a y i t u k a p u n g u z a

nywele tukaelekea hotelitulipokia na kuvua nguoza Ihram na kuvaa nguo zakawaida.

Siku hii ya Umra kwanguilikuwa ni siku refu, kwanimwenzangu tulipoteanana matokeo hakufanyaSaayi kwa hiyo alitakiwaairejee tartibu nzimaya Kutufu na kufanyaSaayi, ikabidi nifwatanenaye na kumuonyeshamizunguko 7 ya Tawafkisha na Kufanya Saayi,

 baada ya hapo tukatokaInaendelea Uk. 19

ANNUUR REAL.indd 15 10/15

Page 16: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 16/20

16  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015MAKALA 

N I M E S O M A k w amshangao mkubwa taarifaz i l i z o c h a p i s h w a k w amaandishi mazito zikianziaukurasa wa mbele wa gazetila wiki iliyopita zilizohusum a e l e z o y a R a i s w a

Zanzibar, Dk. Ali MohamedS h e i n . K a t i k a h a b a r ihizo, Dk. Shein ambayealikaririwa akiwa kwenyemkutano wa kampeni yauchaguzi kisiwani Pemba,a l i s e m a a n a s h a n g a akuona Makamu wakewa Kwanza, Maalim SeifShari Hamad hazungumzikwamba alishiriki kuamuakukamatwa kwa masheikhwa Zanzibar mwaka 2013.

 Gazeti hili likimnukuuRais Dk. Shein, limesema:“Katika suala la kutafutaufumbuzi wa Uamsho baada ya kufanya vurugu,tulikubaliana na kushaurianana viongozi wote wa serikaliwakiwemo viongozi wa

CUF lakini nashangaa hilihawalisemi.”  K i s h a m w a n d i s h i

akasherehesha akisema,“Inakuaje leo wenzetuviongozi wa CUF kuilaumus e r i k a l i j u u y a y a l eyanayowakuta masheikh waUamsho katika magerezaya Bara, wakati walihusikak a t i k a k u w a p i t i s h i ahukumu.”

  Dk. Shein ambaye yupokatika jitihada za kutafutaridhaa ya wananchi kwamara ya pili ili kuongozaZanzibar, kwa mujibu wagazeti hili, amesema wakatiw a n a ta f u ta n a m n a y akudhibiti alichoita vurugu zaUamsho, “Tulikaa pamoja naMakamu wa Kwanza wa Raisna viongozi wengine wa CUFkupanga nini tutende kuhusumasheikh.”

  Kama maelezo haya nikweli yametoka kinywanimwa kiongozi huyu Raiswa Zanzibar, Dk. Shein, basiyamenishtua kwa kiwangokikubwa kwani yanaoneshani kwa namna gani kiongozianavyoyumba. Dk. Sheinn a m u o n a a n a y u m b akiuongozi kwa sababuanashindwa kuoneshauungwana kwa suala lenyeu m u h i m u n a m a s l a h ay a w a n a n c h i i k i a n z i ana masheikh wenyewewanaoendelea kuishi katikahilaki gerezani Dar es Salaam.

  Masheikh zaidi ya 20

pamoja na wasaidizi waowapatao kumi wanaotoka Ju mu iy a ya Ua ms ho naMihadhara ya Kiislamu( J U M I K I ) w a m e k u w agerezani Segerea, Dar esSalaam, ambako kutokana nakuzuiwa kwa dhamana yaona Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), katika kesi ya tuhumaza kutenda ugaidi, ni kamawamehukumiwa bila ya kesikusikilizwa. Walikamatwakatika siku na nyakati tofautikati ya mwaka 2012 na 2013,kwenye mji wa Zanzibar nakusarishwa kwa boti hadi

Hili la kadhia ya Masheikh….

Halimstahili Dk. Shein kuhurumiwa

Na Ali Mwadini

Dar es Salaam ambako ndiowamefunguliwa mashitakahayo. Walisomewa mashitakambele ya Hakimu MkaziMahakama ya Kisutu. Hatahivyo kesi yao imekuwaikipigwa danadana nahaijawahi hata kuelezwa

ni lini itaanza kusikilizwa.Mara zote wakili wa serikalihuomba kesi iahirishwe kwamadai kuwa upelelezi wakehaujakamilika.

Wakati serikali ikioneshadhahir i ha ina kes i yamaana kwa masheikh hao,watuhumiwa wanazidik u n y i m w a d h a m a n aambayo ni haki ya msingi yamtuhumiwa; huku hali zaozikizorota kutokana na baadhiyao kulalamika afya dhaifukwa kuwa walipigwa nakudhalilishwa walipokuwamikononi mwa vyombovya usalama. Uamuzi waSerika l i ya MapinduziZanzibar kuridhia masheikhhao kukamatwa ndani ya

Zanzibar na kusarishwa hadiDar es Salaam ambako ndiowamefunguliwa mashitakaya jinai, kumechochea chukidhidi ya serikali hiyo kwaniwananchi wanaona ni dhulmana maonevu. Mawakil iwanaowatetea wamejitahidikuomba mahakamani hakiza watuhumiwa ziheshimiwekwa vile hawajathibitishwakutenda makosa yoyote;nazo jumuiya za wanasheriaZanzibar zimelalamikana kuitaka serikali itumiesheria na katiba ya Zanzibarkuwarudisha ili washitakiwe

kwenye Mahakama yaZ a n z i b a r a m b a y o i n amamlaka sawa na TanzaniaBara. Uongozi umezibamasikio.

  K u n a m a m b o y akuzingatiwa hapa: Kwanza,w a t u h u m i w a w o t e

wamefungiwa haki yao yadhamana, hivyo kuendeleakusota gerezani. Hili lenyeweni kinyume cha Katiba ya nchikwa vile dhamana ni haki yakila mtu anapotuhumiwamahakamani.

P i l i , w a t u h u m i w awengine hali zao za afyani mbaya kutokana nakudai waliumizwa wakatiwalipokuwa hawajakishwam a h a k a m a n i .Kutoshughulikiwa hali zaokikamilifu ili zikarudi zakawaida, ni kuwanyima hakiza binadamu.

  T a t u , n i k w a n i n iwasarishwe na kushitakiwaMahakama ya Tanzania Barawakati kule walikokamatwa

kuna mahakama yenye hadhisawa na inayoweza kusikilizakesi inayowahusu?

  Nne , ni kule kuwawatuhumiwa wamekuwawakipakiwa kwenye garina kupelekwa mahakamaniKisutu chini ya ul inzimkali kama vile ni watuwalioshikwa na si lahawakati wakikamatwa, lakinikesi yao haisikilizwi nawanaoichelewesha ni serikaliiliyowakamata.

  H a y a m a m b omanne yote yangekuwayameshughulikiwa ipasavyo

kama palikuwa na uongoziimara wa serikal i . Inamaana Dk. Shein angekuwakiongozi makini anayependawatu wake, asingeruhusuraia alioapa kuwatumikiakwa uadilifu na uungwanawakidhalilika mbele yamkono wa dola, tena mbalina kwao.

  Ninayaona matukioyanayomtuhumu Dk. Sheinkuwa si muungwana nani dhaifu pale ninapotajan c h i k a m a Ma r e k a n i ,Uingereza, Israel, Ufaransana kwingineko ambako raiawake akipata shida popoteduniani, husimama kidetekuhakikisha anatendewa hakina mara nyingi hushinikiza

apelekwe kushitakiwa kwao.  J e h i l i D k . S h e i nhalijui? Hajapata kusikiamazingira kama haya?Hakumbuki was ichanaw a w i l i w a K i n g e r e z awaliokuwa ni walimu wakujitolea mjini Zanzibarna kumwagiwa tindikaliwalivyoshughulikiwa nakuharakishwa kusarishwak w a n d e g e m a a l u mkupelekwa Uingereza kwamatibabu ya kitaalamu?

  Na tukio hilo lililotokeandani ya Mji Mkongwe,wakati Dk. Shein akiwa tayarimadarakani. Ni kwa vipi basi asilitazame hilo na tukiolinalohusu hawa masheikhambao ni miongoni mwawale raia zake aliokula kiapokuwa atawaongoza bila yaubaguzi wa aina yoyote?

 Tuseme sawa viongoziwalikubaliana masheikhwakamatwe. Wote walemawaziri kutoka chamachao CCM na wale watokaoCUF wanaoshiriki serikalipamoja na Maalim Seif.Hiyo ni sababu ya kuachiawadhulumiwe haki zaompaka leo?

  Kama ni kweli walikaana kukubaliana, sasa haoniyeye Rais wa Zanzibar kuwampango ule umefeli kwa kuwamatokeo yake ni kuwaumizawasomi wa dini ya Kiislamuambayo inatawala nyoyo zaWazanzibari karibu wotewaliopo Unguja na Pemba,

wakijihisi kukandamizwa?  Ninamtupia yeye kwa

sababu mahsusi kuwa yeyendiye Rais, Mwenyekiti waBaraza la Mapinduzi (BLM)na sehemu ya Baraza laWawakilishi (Bunge) ambakondiko sheria na maamuruyote ya serikali hutungwa.

Kiongozi mkuu wa nchindiye hubeba dhamana yakila linalotokea katika nchianayoongoza. Alibebe hilohata kama ni chungu kwakekama anavyoyabeba yalemazuri.

  Hapa wala simsakizii

makubwa. Amepata kusemamwenyewe kuwa yeyendiye rais; urais wake haunamshirika; na yeye ndiyemuamuzi wa kila jambo ndaniya Zanzibar; na kwamba anahaki ya kuchukua ushauri wamtu au akauacha.

 Labda Dk. Shein amesahau,nimkumbushe. Amewahikutamka hadharani kwambakatiba inampa mamlaka yeyerais ya kuamua aonavyo,na kwamba pamoja nakutambua kuwa ameteuamakamu wawili, hao niwa kumshauri tu, uamuziunabaki kwake.

  S a s a a l i p o k a a n akushauriana na wasaidiziwake hao – kama alikaanao kweli – aliridhika kuwauamuzi aliouchukua ndioulikuwa sahihi kwa asilimia100? Tuseme ndivyo ilikuwa,anavyoona bado uamuziule una nguvu mbele yamacho ya Wazanzibari?Panahitajika utulivu mkubwakupatafakari kwa sababu kwakuwa ameshatamka kuwa

yeye ndio muamuzi, basi hatakwa hilo anapaswa kuchukua ju ku mu la ku am ua kwanamna itakavyowapunguziamaumivu raia.

 Picha ninayoiona hapa nikwamba Dk. Shein anafanyasiasa ya ulaghai. Anatakak u p u m b a z a w a n a n c h iw a n a o ta k i w a k u f a n y auamuzi wa kama anastahilikupewa ridhaa au la.

 Yule anayefanya kumtupiamzigo wa lawama kuhusukadhia hii, Maalim Seif, hanakosa lolote hapo. Yeye si raisna alishatafadhalishwa kuwayeye makamu “ni mshauritu.”

Maalim Seif amekaa kimiyamuda mrefu kwa sababu ya

kuheshimu sheria na hakunakama hilo ni suala linalohitajimchezo wa kisiasa. Lakiniki l ipoingia kipindi chasiasa kiongozi yeyote imarahawezi kulipisha bila kauli.Ameshasema akipata ridhaaya kuongoza, kwa kuwaanaamini wanachofanyiwamasheikh hao ni maonevu,atawarudisha siku ya pilina kama wana mashitakaw a s h i t a k i w e k w e n y eMahakama ya Zanzibar kwasababu “ina hadhi kama yaBara.”

  Dk. Shein anatafutahuruma asizostahili wakatihuu wa kutafuta kipindi chapili cha uongozi wa Zanzibar.Ajue amekiuka kiapo chake

cha Novemba 2 mwaka 2010cha kulinda raia na haki zaona bila ya kuwabagua kwanamna yoyote ile.

 Basi ukweli ndio huu –amebagua wananchi kwakudharau haki za Masheikhwa Uamsho ambao hatahajatanabahi kuwa ni yeyeanayepaswa kusimamaimara kuwatakia ahueni.Amepuuza dhamana yakehiyo ya kikatiba kabisa,n a k u a m u a k u a c h i amasheikh zetu wapendwa,wadhulumiwe na kuumizwa.Hasalimiki.

RAIS Jakaya Kikwete (kushoto) akikumbatiana na Rais waZanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein.

ANNUUR REAL.indd 16 10/15

Page 17: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 17/20

17  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015MAKALA/TANGAZO

Kati ya wasomi waKishafi waliotiamsingi wa elimu

ya dini visiwani Zanzibarni watatu, nao ni: SheikhMuhyi ddi n , Shei khAhmed Bin Sumeyt naSheikh Abdul-Aziz BinAbdul-Ghany Al-Amawy.Sheikh Muhyiddin BinSheikh alizaliwa Barawamwaka wa 1206 AH (1718AD). Katika zama zakekatika uwanja wa elimu ya

dini ya Kiislamu, ilikuwahuwezi kutaja wasomi waKiislamu wawili asiweyeye ni mmoja wao.Makaazi yake yalikuwa niMombasa wakati wa zamaza Sayyid Said. Wenginewanasema kuwa SheikhMuhyiddin kuja kwakeZanzibar kulitokana nakutakiwa kufanya hivyona Mfalme Seyyid Saidambaye alimtaka ahamieZanzibar.

Alitokea kupendwasana na Mfalme huyo naalikuwa akipelekwa nchimbalimbali zilizokuwemochini ya himaya ya Ufalmewa Zanzibar akafanyasuluhu pale panapotokeamtafaruku na mara nyingialifaulu kutekeleza kazihiyo.

Sheikh Muhyiddinndiye mjenzi wa Msikiti waIjumaa wa Malindi, ambaohivi sasa umejengwa tenakwa kufuatwa kigezokile kile cha mwanzoalichokiweka yeye. Katikaujenzi huo wa Msikiti waIjumaa Sayyid Majid BinSaid Sultan alimsaidia sanakatika ujenzi wa Msikitihuo, baada ya ujenzi waMsikiti wa Ijumaa waMalindi Sheikh Muhyiddin

alijisogeza Msikiti waKiponda uliokuwa karibuna Sharif Dewji, lakinikwa siku hizi tutaitakwa Makapu na hapoakawa anaendeleza darsaambazo zikihudhuriwa nawanafunzi ambao badayewalikuja kutokea kuwamagwiji.

Sheikh Muhyiddinalibahatika kupendwa nakuvutia wanafunzi wengikama Sayyid Ahmad BinSalim Bin Abubakar Salim,Sheikh Abdul-Aziz Bin

Baadhi ya Masheikh Waliopita Zanzibar na

Kuweka Msingi wa Elimu ya Dini ya KiislamuNa Ben RijalMakala zifwatazo zitagusia baadhi ya Masheikhe wachachekisiwani Zanzibar ambao walitoa mchango mkubwa wa Elimukuanzia karne ya 19 hadi ya 20, Masheikhe ni wengi lakininimeamua kuwachukua wachache kati yao. Masheikhe ambaonitawazungumzia katika mfululizo wa makala hizi ni: SheikhMuhyiddin Bin Sheikh, Sheikh Ahmed bin Sumeit, SheikhAbdul-Aziz Bin Abdul-Ghany Al-Amawy. Sheikh AbdallaBakathir, Sheikh Ahmad Bin Muhammad Mlomry, Sheikh ShauriAl-Shirazy, Sayyid Mansab Bin Ali, Sheikh Umar bin Sumeyt,Sheikh Muhammad Bin Umar Al-Khatibu, Sheikh Hassan binAmeir, Sheikh Muhsin bin Ali Barwany na Sheikh Abdalla Saleh

Farsy.

Sheikh Muhyiddin Bin Sheikh-1Abdul-Ghany Al- Amawy,Sheikh Suleiman Hayat,Sheikh Muhammed binAhmed Bin Hassan Al-Murony, Sheikh HassanBin Yussuf Mngazija,Sayyid Omar Bin SalimBaalawy, Sheikh AhmadBin Salmin As-Sabahy,Sheikh Fadhil Bin AliMngazi ja , na SheikhShauri Bin Haji Shirazy.Baadhi ya wanafunzi wake

nitawazungumzia katikamakala hizi.K a t i k a s i f a n z u r i

alizokuwa nazo SheikhMuhyiddin alikuwa mtumwenye uadilifu, hukumuzake zote zilikuwa hazinaupendeleo. Ilitokea safarimoja Sayyid BakarishShatry alikuwa na kesiyake na mwenziwe, akendakwa Sheikh Muhyiddinakampa riali 50, SheikhMuhyiddin alipomuulizaza nini? Sayyid Bakarishakamwambia hiyo nizawadi tu, hiyo ni tunu.S h e i k h M u h y i d d i nakapokea akenda nazondani akazifunga vizuriakaandika juu ya roboto:

 "Hii dhamana ya SayyidBakarish Shatry, nikifaapelekewe mwenyewe".

Basi alipokufa agizolake lilitekelezwa. Angaliainsafu ya watu waliokuwanayo ya mtoaji wasia nawatekelezaji wa wasia yaleo hayapo hayo kabisa.

Sheikh Muhyiddinalitunga vitabu vingi katiya hivyo ni: Kitabu kidogocha Tawhid, Mashairi ya

Kiarabu, Mashairi ya Kiswahili, Tarehe ya Kilwa (Sulwafy Akhbar Kulwa), Utenzi wa Hadithi ya Miraji, Kitabukidogo cha kufundishia Sarfu na Sherhe ndogo yaKhutba ya Minhaj.

Vile vile aliandika shairi la dua ya kuomba mvuakatika mwaka 1278 AH (1862)

Hebu na tuzisome beti saba za shairi hilo. 1. Naanza kubtadi, Kwa isimu yake KarimaKuomba Wadudi, Mtukufu mwenye adhamaNabii Muhammadi, Msalie kiumbe chemaTupate miradi, Ifurahi yetu mitima (nyoyo)Siku ya tanadi (kiama), Waja asi wakilalama 2. Na alize thama, Watukufu wenye ajiri

Wenye sifa njema, Simba zake tumwa bashiriNa waliosimama, Kuendesha mambo ya kheriHao wa qadima, Na nyengine zote dahariSiku ya qiyama, Tuokoke na Jahannama 3. Nimetia tama, Dibaji sitakithiriNina mambo mema, Nayawaza kiyakiriHaya makulima, Yadhiika kwa nyingi hariTwaomba rehema, Kwa Wahabu mwenye amriTutuze mitima, Kwa rehema yako Karima 4. Mola Subhana, Mola wetu uso shirikaNdiwe Rahmana, Na Rahima uso shakaWarehemu wana, Na wazee wenye mashakaWaijua sana, Hali yetu kati ya chaka

 Jua la mchana, Na usiku lisilokoma

 5. Ilete mvua, Iondoke

nyota (kiu) na juaNdiwe mwenye quwa,

Ushao na kufufuaHali waijua, Huhitaji

kuariwaHasha kuemewa, Ni

amri ‘KUN’ ikawaWala kutendewa, Jalla

Rabbi mwenye adhama 6 . W e n g i w a a y i s i

(wamekata tamaa), Kwamateso kuwa tawili

Wana wasi wasi, Kwa

madhambi yao thaqiliRabbi tunafisi, Molawetu uso mithali

Na yawe mepesi, Iwe‘KUN’ yako kakima

 7. Rabbi twakie, Toba

njema yenye nadamaUtugh ufurie , Kuu

dhambi ziwe lamamaWewe unenee, ‘Ud-uni’

yako kalimaTuwasalie, Kwa isimu

yako adhimaDua na ipae, Na qabuli

ije kwa hima. Sheikh Muhyiddin

alifariki katika mwezi wa

Shaaban tarehe 27 mwaka1286 AH (Disemba 1869).Alipofariki a l iwachapengo kubwa lakini si habakwani aliacha wanafunziwengi ambao walikuwawakisifika na kuifanyakazi aliyoiacha Sheikh wao

 barabara.

"Ewe Mola tupe himana juhudi za watanguliziwetu hawa waliopitaAmeen"

Kamati ya Maafa ya Shura ya Maimamu, imepanga kukutana na

ndugu wa watuhuma wa kesi za UGAIDI, waliopo Mahabusu katikaGereza la Segerea, Jijini Dar es Salaam.

Ukiwa wewe ni ndugu au jamaa, pindi utakapokwenda kumuonandugu yako unaombwa kuacha namba yako ya simu kwake(mtuhumiwa), kisha Kamati itachukua namba hizo kupitia kwamtuhumiwa.

Kuna mambo mengi ya kujadiliana juu ya kadhia hiyo inayowakabilindugu zetu hao, hivyo fata maelekezo hayo.

KATIBU: ALLY MBARUKU.

KAMATI YA MAAFA YA SHURA YA MAIMAM (T).

ANNUUR REAL.indd 17 10/15

Page 18: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 18/20

18  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

Udini umeingia kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere - M. Said

Inatoka Uk. 20suala hilo halijatekelezwa.

A l i s e m a , m o j a y amchango wake Mzee huyo,alikuwa ni kulisha amakutoa chakula kwa familiaya Mwl. Nyerere, akimtakayeye (Nyerere) aelekezenguvu zake kupambana naWaingereza bila kuwazafamilia yake watakula nini.

A l i s e m a , k a t i k akutekeleza hilo, ilikuwagari ya Saidi Kamtawa(Said TANU), kila sikuasubuhi linafika SokoniKariakoo (Dar es Salaam),ambapo Mzee Mshume,anakusanya vyakula vyaaina mbalimbali vinapelekwaMa g o m e n i , n y u m b a n ikwa Mwl. Nyerere, zoezialilolifanya mpaka Uhuruunapatikana.

Alimtaja Mzee Idd FaiziMafongo, na kuhoji leo hiinani anayemjua, ambayekadi yake ya TANU ilikuwani namba 25, alikuwa ndiyemweka hazina wa TANU.

Alisema, katika mipangoya safari ya Nyerere kwendaUmoja wa Mataifa, Bw.Mafongo, ndiye aliyekuwaakiratibu mipango ya fedhaza safari hiyo ambapoWaingereza walimkamata,kabla Mwl. hajafanya safarihiyo.

Aidha, aliwataja pia Tatu bi nt Mz ee , Bw. Cl em en tMtamila, na kueleza kwamba ba ru a ya Mw l. Ny er er ealiyoandikiwa na Waingerezakuwa achague kati ya siasaau kazi, aliipeleka nyumbanikwa Mzee huyo (Mtamila),Mtaa wa Kipata na Sikuku.

Alisema, hapo alikutanana wazee wa TANU, nakujadili suala hilo ambapowalimwambia aachane na

mwenzake, akiitwa Bi Hawa bint Maftah, ambaye alikuwaakiishi mtaa wa Mkunguni, Jijini Dar es Salaam.” AlisemaShkh. Mohammed.

Ama, kwa upande wamikoani al isema, Mwl.Nyerere , ak iwa L indi ,

al iongozana na RajabuDiwani, na alifikia katikanyumba ya Mzee Suleiman

M n y u m v i , M t a a w aMakonde, (Nyumba hiyohadi sasa ipo), ambapo, MjiniMoshi, nyumba ya Bi. HalimaSelengia, aliyefariki miakamiwili iliyopita, ndio alikuwaakikia Mwl. Nyerere.

Alisema, hao pamojawengine baadhi yao kama

vile, Salum Mpunga, YusuphChembera, Sharifa Bint Mzee,nao wana haki ya kutajwana kuenziwa sawa na Mwl.Nyerere kwa kuwa ndiowalikuwa wakimsaidiakatika harakati hizo.

  “ S a s a tu n a p o s e m atunamuenzi Mwl. Nyerere, ba si na ha wa waz ee pi awapewe hadhi yao, watajweau kama kuna khotuba zaoziwekwe zisikike pia kwakufanya hivyo tutakuwatumefanya kumbukumbuyake kwa usahihi.

Huwezi kumuenzi Mwl.Nyerere bila kuwataja hawawasaidizi wake waliokuwawakimsaf i shia n j ia nakumtambulisha kwa wenyejiwa miji mbalimbali.” AlisemaShkh. Mohammed.

Akizungumzia uchaguziMkuu wa mwaka huu 2015,alisema uchaguzi huu huwezikuufananisha na chaguzizozote zilizopita hapa nchiniukitoa ule wa kura tatu,uliofanyika mjini Tabora,mwaka 1958, kutokona nakuwa na hamasa kubwa.

A l i s e m a ,   u k i r e j e avyama vilivyopiganiauhuru katika nchi jiranina Tanzania, ambavyotayari vimeondolewamadarakani, kama vilekule Kenya, Malawi nahata Zambia, akasema

sasa inaonyesha kunauwezekano mkubwa halihiyo ikaingia Tanzania.

hiyo kazi na aungane nao mojakwa moja na wao watamlipamshahara ili wapambane naWaingereza wapate nchi yaoya Tanganyika.

Katika harakati hizoza kudai Uhuru, Shkh.Mohammed, alisema kwa

mujibu wa Abas Sykes,wakati huo wazungumzajiwakuu walikuwa watatu,

alikuwepo Shkh SuleimanTakadir, akimtambulishaMw l . Ny e r e r e , k a t i k amikutano ya siasa, alikuwepoBibi Titi Mohammed, naealikuwa akizungumza baadaya Shkh. Takadir, kisha Mwl.Nyerere, huongea mwishoni.

“Bibi Titi, ni mmoja wawanawake waliomjenga sanaMwl. Nyerrere, akiwa na

 HAYATI Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

HABARI/TANGAZO

Sifa na masharti ya kujiunga

Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo:(i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu(ii) Awe anajua kusoma Qur’an kwa ufasaha.(iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga.(iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha.(v) Awe amehitimu darasa la saba au kidato cha nne na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika shule za Msingi

au Sekondari.• Patakuwa na usaili siku ya tarehe 31/10/2015 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo na Kirinjiko na katika vituo

mbalimbali vya mitihani kote nchini.• Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 31/10/2015.• Fomu italipiwa shilingi 5,000/- tu.

Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 19 wa gazeti hili.

WABILLAH TAWFIIQ

MKURUGENZI

NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2016

ANNUUR REAL.indd 18 10/15

Page 19: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 19/20

19  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015MAKALA 

Risala yangu kutoka Makka

Sehemu ya Mlima Uhud walipokuwa wapiga misherewalipowekwa

Nikisimama pembeni ya Alqaba

Tukirudi nyumbani salama

Inatoka Uk. 11saa 7 ya usiku kwendayeye kuirejea Umra na miekuzidi kuipa nafsi yanguuneyenyekevu kwa kuwanaikabili Alqaba na kishakuwa kwenye Swafaa naMarwa.

Kabla ya Tarehe 8

Baada ya hapo kwasiku 6 mfululizo tukawat u n a e l e k e a M s i k i t iwa Makka na kuwatunajitahidi kusali vipindivyote kwa jamaa. Viongoziwa kikundi mara nyingiinapofika usiku huwawanatufanyia Seminana kuzidi kutuongozakwenye ibada tusiwet u n a f a n y a m a k o s a .Semina hizi ikiwa tangunyumbani walitufanyiakama 10 mie nilikosa mojatu kuhudhuria na Seminazote za Makka na Madinahakuna nilioikosa kwani hiziSemina ndio zinaongoza naunapokuwa una mashakaunauliza katika jitahada za

kukuwezesha kuifanya Hijjayako iwe katika mstari.Ilipofka tarehe 8Inapofika tarehe 8 ndio

Hi j ja inaanza kuanziatarehe 8, 9, 10, 11, 12 hadi13 ikiwa ni siku 6. Siku hizizinakuwa za unyenyekevuna kupata taswira ya Qiyama,kukupa taswira ya Masahabaw a l i v y o j i to l e a , i n a to ataswira ya uneyenyekevu naustahamilivu.

Tuliondoka hoteli milangoya asubuhi kuelekea Minas e h e m u a m b a y o k u n aMahema. Hapo kuna Mahemayenye AC-Viyoyozi na kunayasiokuwa nayo na hali yanyuzi joto ilikuwa baina ya47-49 (47-49 0C). Hali ni nzitohapo tukawa tunasali sala yaSafari ambayo kwetu ilikuwakila mtu ana kitabu juu yasala ya safari na viongozikutueleza kuwa tunasaliSafar. Tulilala Mina hadikusali Alfa j iri , kishatukaelekea Arafa siku yatarehe 9 na kuitumia sikunzima Arafa.

Tuliingia Arafa kwakupitia Dhabb na tukarejeakwa kupitia Ma-zamiinkama alivyofanya Mtume(SAW).

Arafa kila kikundikilikuwa na miongozo yao,lakini ilikuwa ni Kuombana kuomba na kusomaQur’an na kutoiwachiadakika ikupite ndani yaupuuzi. Dua yangu ilikuwalisinitokee lolote nikawasipo Arafa, kwani “Hijjani Arafa”. UtapoikosaArafa ndio itabidi urudietena Hijja yako. Ummawa watu milioni 2 nanusu wote ulikuwepohapo. Wapo waliokaakwenye Mahema na kunaambao kwa siku nzimahawakuwepo kwenyemahema. Arafa munapewachakula cha bure ikiwahukuma (serikali) ndiowanasimamia kupatiwaMahujaji chakula pasinamalipo.

L i l i p o z a m a j u atulielekea Muzdalifah hioikiwa ni tarehe 10, tuakalalahapo Muzdalifah ikiwa

hakuna hema hakunanyumba, nyote mnalalahapo ikiwa nyote mnalalakwenye mabusati, hapaunaona namna Uislamuunavyoondosha umimina ubwana na kuwafanyawote ni wa moja kitu sawa.Unaondoka Muzdalifah

 baada ya kusali sala yaAlfajiri.

M u z d a l i f a h h a p andipo unapookota vijiweambavyo hayatakiwimajiwe kama wenginehutafuta mawe makubwana kuvurumisha kwenye

 Jamrat na kutoa manenomakal i , v i j iwe v iwekama punje ya nafaka.Unaokota vijiwe viwe 7,

21 na 21 jumla 49 lakini nivyema ukaokota zaidi yahivyo hata ikifika 60 siombaya kwani vinawezavikakupotea. Niliokotavyangu na vya mzeeambaye tukikaa pamojahakuweza kwenda kupigamawe ikawa nimchukulie,nijipigie na nimpigie.

Kuondoka MuzdalifahIkiwa sasa kurudi Mina

kunapokuchwa kwenyesehemu yako na kuelekea Jamarat. Uongozi wa SaudiArabia uliwaeleza mataifayote kuwa watatakiwa wende

kwa wakati waliopangiwa.Kiongozi wetu akatuambiakuwa yeye akifika Minahanywi Chai, hamsubirimtu kuelekea kupiga mawe,asioweza baki, anayetakakunywa chai anywe yeyehasubiri. Mie nikimuungamkono pasi kujua kwaninin a u n g a m k o n o a m r iinayokaribia kuwa ya kijeshi.Taib, saa mbili safari yakuelekea Jamrat ikaanzatukaka kiguzo cha mwishokwani ni viguzo vyote ni 3hapo tukapiga mawe mara7 kisha tukaelekea kufanyaTawaf ya nguzo kamavile tulivyotufu kwenyeUmra, kisha tukanyoa nakubadilisha nguo na kuvaanguo za kawaida baada yazile shuka 2 na kubakia hotelihadi usiku tukarudi Mina.

Tukarudi Mina katikaAyyam-e-Tashreeq (10,11, 12, 13) tukenda sikuiliofwata tukapiga viguzo 3kila kiguzo mawe 7 na sikuiliofwata tukafanya hivyohivyo nakurudi Makkawengine wakipanda magariinayoweza kukuchukuamuda wa saa 3 na kina sisiwazee tunaojiweza tuliamuakwenda kwa miguu mudawa saa nzima kuka Makka.Tulitakiwa tuwe tunafanyamazowezi ya kutembea nakwa kipindi cha miezi 2mfululizo nilikuwa natembeakwa muda wa Saa kila siku,kitu kilichokuja kunisaidiakatika ibada nzima ya Hijja.

Kwa hesabu tulioifanya

ni kuwa ule msongomanoulioleta msiba wa kufaMahujaji kwa kukanyagana,tokeo lile lilipishana nakikundi chetu sio zaidi bainaya dakika 5 na 10, kila kitu niMaktoob yaani kinaandikwa.

Sahib yangu mmojaalinambia ikiwa Hijja inamisukosuko na taabu nashida hapo ndipo unaipatahisia za Hijja. Naam, tulikaauwanja wa ndege ndegeyetu kuwa inatakiwa itubebeMahujaji 260 imekuja ndegeya kuchukua watu 220, kwahiyo tukabaki uwanja wandege kwa masaa zaidi ya24 kusubiri ndege nyenginekutoka Ethiopia.

Baada ya kukaa Makkana Madina kwa wiki tatu,tulirejea nyumbani salamana kupokewa na ndugu namaraki.

Tukamalizia na kufanyaTawaf-e-Wida na hiyo ndiokuikamilisha mzungukomzima wa Hijja.

Risala hii ni safari yanguna namna nilivyoitekelezaibada. Sitotaka kuyatoa nakuyaeleza yalio na kasoro ilamakala nyengine nitajaribukuelezea namna ya kujipangana nini vikundi vyetu vyaTanzania vi fanye kwanionavyo.

Nawaombea Waislamuwote Amani na utulivu katikanyakati hizi na kumuombaAllah tulioenda Hijja ibadazetu azikubali na walio na niaawakishe kuweza kwendakutimiza nguzo hii ya 5katika Uislamu.

( z u w a r d e @ g m a i l .com/0777436949)

ANNUUR REAL.indd 19 10/15

Page 20: ANNUUR 1199

7/17/2019 ANNUUR 1199

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1199 20/20

20  AN-NUUR

DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

IMEELEZWA kuwa sikwamba mambo yoteyalikwenda vizuri katikahistoria ya Mwl. JuliusNyerere, bali pia yapomalalamiko kuhusu

mwanasiasa huyo waTanzania.

Hayo yamebainishwana Mwanahistoria wahistoria ya Tanganyika,Sheikh Mohammed Said,katika mahojiano maalumya kumbukumbu ya kifocha Mwl. Julius Nyerere,Oktoba 14, 2015, nakurushwa na Televisheniya Azam, Jumatano wikihii.

Mohammed amesemaili kuweka kumbukumbusahihi ya Tanganyika(Tanzania) ni vyemahistoria ya Mwl. Nyerere,iandikwe au kusimuliwa

sambamba n a walealioshirikiana nao kwanisehemu kubwa ya historiahiyo haijaandikwa kwausahihi unaotakiwa.

Akizungumzia kuhusumalalamiko dhidi ya Mwl.Nyerere, Mohammed Saidamesema kuwa Waislamuhawakutegemea kwamba

 baada ya kudai Uhur ukwa hali na mali zao, halizao leo ziwe kama zilivyosasa baada ya Uhuru.

A l i s e m a , k a b l ana baada ya UhuruWaislamu hawakudhanikuwa watakuwa ni watuwa kutothaminiwa na

kujikuta wanakuwa watuwa chini ukilinganisha nawenzao.

Akasema, ni borawakubwa wanaokamatanchi walitazame sualahili la Waislamu, katikanchi hii, wajiulize jewameridhika na haliwaliyonayo (Waislamu)au kuna tatizo linalofanyawao kuwa katika halihiyo.

Akijibu swali kwamba,i n a s e m e k a n a k u w a

Udini umeingia kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere - M. Said

Na Bakari Mwakangwale h awakutaka kupataelimu na maendeleo,alisema haiwezekaniwatu wasiotaka elimu namaendeleo waingie katikaharakati na mipango yakujenga Chuo Kikuumwaka 1968, ikiwa nimuda mfupi baada yaUhuru.

“Mwaka huo Waislamuwalitaka kujenga ChuoKikuu cha kwanza nchini,

 ja mb o am ba lo li li le tamgogoro mkubwa naSerikali ya Mwl. Nyerere,

 baada ya ku vuru gi wamipango na juhudi zaokwa makusudi na baadaya hapo hawakuweza tenakunyanyuka.

“Kwa maana hiyo,tusijidanganye kuwakila kitu wakati wa Mwl.Nyerere, kilienda sawayapo malalamiko mengi,laiti kama nisinge andika

kitabu cha ‘Maisha naNyakati za AbdulwahidSykes’ usinge julikanamchango na historiaya Waislamu katikakuta futa Uh uru waTanganyika.” AlisemaShkh. Mohammed.

Ama akizungumziahistoria ya Mwl. Nyererena harakati za kudaiUhuru, Shkh. MohammedSaid aliweka bayanakwamba, historia ya Mwl.Nyerere, haijaandikwakwa usahihi unaotakiwa,pamoja na kuwa wapowaliojitahidi kuandikalakini haijitoshelezi.

Mwanahistoria huyo,alisema kwamba sualahilo amekuwa akiliezas i k u z o t e k w a m b a ,historia ya Mwl. Nyerere,haiwezi kunoga ikiwaatazungmzwa yeye Mwl.Nyerere, peke yake hukuwatu waliokuwa naewasielezewe au kutajwa.

Ili historia hiyo iwesahihi ni vyema iandikwehistoria sambamba nawale alioshirikiana nao,ambao wapo wengi sana

Mshume Kiate, ambayealipambana sana katikakupigania Uhuru wa nchihii.

Alisema, kwa kutambuamchango wake wakati huoMzee Kitwana Kondo,akiwa Meya wa Jiji la Dares Salaam, alisema mojaya mitaa Kariakoo upewe

 jina la Mzee Mshume,lakini akasema mpaka leo

Sheikh Mohammed Said.Inaendelea Uk. 18

20 MAKALA 

 AN-NUUR20 DHULHIJJA 1436, IJUMAA OKTOBA 16-22, 2015

MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGOROP.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania.

Tel: +255 23 2600256; Fax: +255 23 2600286  Website: www.mum.ac.tz, E-mail address: [email protected]

EIGHTH GRADUATION CEREMONY FOR UNDERGRADUATEDEGREES DIPLOMA AND CERTIFICATES CONFERMENT 2015

The eighth graduation ceremony will be held at the campus of the Muslim Universityof Morogoro on SATURDAY, 14th November, 2015. The ceremony is expected to startat 2.00 pm and end at 5.30 pm.

Students eligible to attend the ceremony are undergraduates diploma and certicatesstudents who successfully completed their studies in 2015.

Parents, relatives and guests of the students as well as interested members of thegeneral public are welcome to attend the graduation ceremony at the playground. Guestsare expected to dress modestly and decently. Lady guests attending the ceremony areadvised to wear the hijab or any dress that does not expose the body other than the face,hands and feet.

All eligible students are requested to attend the occasion, regardless of whether or notthey bring guests. However, they must inform the ofce of DVC (Academic) of their intentto participate in the ceremony NOT LATER THAN 6th November, 2015. For any enquiriescall Public Relations Ofcer Mobile No: 0715 - 636905

Academic costumes (gowns, hoods and caps) are available for hire by the degreegraduands starting from 6th to 13th November 2015.The University cashier’s ofce mustreceive from each of the participating students a bank pay in slip worth Tsh. 40,000 nonrefundable fee for hiring costumes and convocation.

This money should be paid into Muslim University of Morogoro Account no.01J1013380601 CRDB Bank. You can also pay the money to the University Cashier onMUM Campus and obtain a receipt.

Graduands, who do not have costumes on, will not be allowed to participate in theCeremony. Diploma and Certicates graduands will wear only Gowns and Caps. They willnot wear HOODS.

Strictly, we shall not issue Academic costumes on the Graduation day. Each and everyGraduand shall have his/her costumes between 6th and 13th November, 2015.

Graduands are required to bear in mind that the hired costumes shall have to be returnedafter the ceremony. A heavy ne will be imposed in case the costumes are damaged,or not returned in time. A hiring Contract Form will be provided for completion by those

intending to hire the costumes.For the safety of all participants and their guests, close-up picture taking and video

recording near the stage is restricted.REHEARSALSince the rehearsal is an integral part of the ceremony, all graduands who wish to attend

the graduation ceremony MUST attend the rehearsal which is scheduled on Saturdaymorning (14th November, 2015) at 8.30 a.m at the graduation site. Failure to attendrehearsals by graduands will result into such graduands being mentioned as graduatingin absentia which implies they will not be ofcially presented to the guest of honor.

Certicates and transcripts of the graduands will not be given at the ceremony. Thesecan be received at another convenient day from the Ofce of the DVC (Academic), startingearly December 2015.

Ngaja M. MussaFor: DEPUTY VICE CHANCELLOR (ACADEMIC)