annuur 1188a

20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1188 SHAWWAL 1436, IJUMAA , JULAI 31-AGOSTI 6, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu HUENDA Chama cha Mapinduzi kikakabiliwa na wakati mgumu kwa kupuuza usia wa muasisi wa chama hicho Mwalimu Wandishi wa Habari…. Mchezo wenu ni mauti kwetu! Siri ya ‘Sitakishari’ haijasemwa bado Tuambiwe mamluki wanatoka wapi Kawaingiza nani nchini na kuwalinda IGP Ernest Mangu. JEN. Davis Mwamunyange Inawaalika Waislam wote hasa wanaotarajia kwenda Hijja kwa mwaka huu wa 2015 wahudhurie katika Semina za Hijja zitakazoanza kufanyika Jumapili tarehe 2/8/2015 na kuendelea kila Jumamosi na Jumapili mpaka Septemba 6/2015, kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa saa 6:30 mchana kwenye ofisi ya HIJJA YA AHLU SUNNA WAL JAMAA, mtaa wa Lumumba jingo la Saba General ghorofa ya tatu, karibu na PBZ Bank. Kwa maelezo zaidi wasiliana na namba zifuatazo: 0717 224437 0782 804480 0765 462022 Bakora ya Nyerere yaisubiri CCM! Alionya, Chama kisidharau maoni ya watu…. Wasidhani kuwa wao ni ‘Manna’ na ‘Sal’wa’ Wapime kwa matendo yao sio ahadi na Ilani Lowassa achukua fomu kupitia CHADEMA WAZIRI Mkuu wa zamani Mhe. Edward Lowassa alipokuwa akitangaza kujiunga na kambi ya UKAWA kupitia CHADEMA wiki iliyopita. Kushoto ni Freeman Mbowe na kulia ni Prof. Ibrahim Lipumba. MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli (kushoto), kulia ni mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan. TANGAZO LA SEMINA ZA HIJJA TAASISI YA AHLU SUNNA WAL JAMAA Hofu yatanda, ni huzuni tupu! Mtuhumiwa wa ugaidi hajulikani alipo Mmoja aliponzwa na mlio wa simu yake Ilikuwa ikitoa mlio wa bunduki, akakamatwa Inaendelea Uk. 2 Kuelekea Uchaguzi Mkuu...

Upload: zanzibariyetu

Post on 04-Sep-2015

1.375 views

Category:

Documents


1 download

TRANSCRIPT

  • ISSN 0856 - 3861 Na. 1188 SHAWWAL 1436, IJUMAA , JULAI 31-AGOSTI 6, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    HUENDA Chama cha Mapinduzi kikakabiliwa na wakati mgumu kwa

    kupuuza usia wa muasisi wa chama hicho Mwalimu

    Wandishi wa Habari.

    Mchezo wenu ni mauti kwetu!

    Siri ya Sitakishari haijasemwa badoTuambiwe mamluki wanatoka wapiKawaingiza nani nchini na kuwalinda

    IGP Ernest Mangu. JEN. Davis Mwamunyange

    Inawaalika Waislam wote hasa wanaotarajia kwenda Hijja kwa mwaka huu wa 2015 wahudhurie katika Semina za Hijja zitakazoanza kufanyika Jumapili tarehe 2/8/2015 na kuendelea kila Jumamosi na Jumapili mpaka Septemba 6/2015, kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa saa 6:30 mchana kwenye ofisi ya HIJJA YA AHLU SUNNA WAL JAMAA, mtaa wa Lumumba jingo la Saba General ghorofa ya tatu, karibu na PBZ Bank.

    Kwa maelezo zaidi wasiliana na namba zifuatazo:

    0717 224437 0782 804480 0765 462022

    Bakora ya Nyerere yaisubiri CCM!Alionya, Chama kisidharau maoni ya watu.Wasidhani kuwa wao ni Manna na SalwaWapime kwa matendo yao sio ahadi na IlaniLowassa achukua fomu kupitia CHADEMA

    WAZIRI Mkuu wa zamani Mhe. Edward Lowassa alipokuwa akitangaza kujiunga na kambi ya UKAWA kupitia CHADEMA wiki iliyopita. Kushoto ni Freeman Mbowe na kulia ni Prof. Ibrahim Lipumba.

    MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Magufuli (kushoto), kulia ni mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan.

    TANGAZO LA SEMINA ZA HIJJATAASISI YA AHLU SUNNA WAL JAMAA

    Hofu yatanda, ni huzuni tupu!

    Mtuhumiwa wa ugaidi hajulikani alipoMmoja aliponzwa na mlio wa simu yakeIlikuwa ikitoa mlio wa bunduki, akakamatwa

    Inaendelea Uk. 2

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu...

  • 2 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015AN-NUUR

    S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.

    www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected] zetu zipo: Manzese Tip Top

    Usangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Makala

    Do Black Lives Matter in Africa? Ndivyo anavyouliza David Swanson baada ya kusoma yaliyo katika kitabu: Tomorrow's Battlefield: U.S. Proxy Wars and Secret Ops in Africa.

    K i n a c h o e l e z w a katika kitabu hicho na uchambuzi wa David kama ulivyotumwa katika mtandao Aprili 29, 2015, ni jinsi mabeberu katika mikakati yao ya kutimiza haja na malengo yao w a n a v y o s a b a b i s h a maafa makubwa ikiwa ni pamoja na mauwaji ya kikatili kwa Waafrika (na nchi yoyote lengwa). Kinachojitokeza ni kuwa ule ukoloni uliofanywa na Wa je r uman i na Wa ing e r e z a k a t i k a karne ya 18, 19 na 20, sio fasheni tena. Huu ni wakati wa Ukoloni Mambo Leo, ambao kilele chake ni Utandawazi na Udhibiti wa Dunia ukiwa na mbabe mmoja (hegemony). Na njia maar ufu ya kupita , ni kuendesha vita na mauwaji lakini huku u k i o n e k a n a k u w a wewe ndio msamaria mwema wa dunia. Ndio kinachofanyika katika proxy war na vita dhidi ya ugaidi.

    Ni katika kutizama j in s i Waa f r i ka s i s i tunavyobamizwa na kuuliwa kinyama katika hizi proxy war na vita dhidi ya ugaidi, watu wanauliza, maisha ya Muafrika yana thamani

    Bakora ya Nyerere yaisubiri CCM!Inatoka Uk. 1Nyerere.

    M w a l i m u a l i w a h i k u o n y a k u wa , ch a m a kitakachodharau maoni ya watu, kinaweza kupata kipigo, kikakosa hata mtu wa kukisaidia kuomboleza na kukifuta machozi.

    Hali hiyo imejitokeza kufuatia aliyekuwa kada maarufu wa chama hicho na Waziri Mkuu mstaafu, Mhe. Edward Ngoyayi Lowassa kukihama chama hicho na kujiunga na UKAWA kupitia Chama cha CHADEMA na hatimaye jana (Alhamisi) kuchukua fomu ya kuwania Urais kupitia chama hicho.

    Bila shaka Mheshimiwa huyu kuna dalili ya kuwa mgombea Urais kupitia Muungano wa vyama vya upinzani (UKAWA).

    Tukio hil i l inaashiria kusadiki onyo alilolitoa Mwalimu Nyerere wakati wa uhai wake. kuhusu muelekeo usioridhisha wananchi wa CCM na serikali yake.

    Hilo tuwaachie wenyewe CCM, lakini mimi kama mwananchi, katika hali hii ya kisiasa iliyopo ya UKAWA

    Vs CCM, swali muhimu kwangu ni hili: Kura yangu nimpe nani?

    Yapo mambo ambayo yalikuwa ni ahadi ya CCM na mengine kuingizwa katika Ilani yao ya uchaguzi. Yametekelezwa vipi, hilo ni swali.

    Lakini yapo pia yale ambayo hayakuwa katika Ilani yao, kama haya ya kukamatwa masheikh wetu na kubambikiwa kesi za ugaidi.

    M a s h e i k h a m b a o wanadai kupigwa, kuteswa, kudhalilishwa, na kilio chao kufika hadi Bungeni.

    Mbele ya Spika kutoka CCM, Kinara wa Serikali ya CCM, Bungeni, akadai kuwa hajui kama yupo Sheikh Msellem, mwanachuoni mfasiri wa Quran aliyepo Segerea.

    Mheshimiwa huyo wa CCM akataka apewe taarifa ili ayafanyie kazi malalamiko ya Masheikh hao.

    Mpaka leo k imyaaa ! Tulichoona ni yeye kuunga foleni ya wana-CCM kutaka kurejea Ikulu kwa kura za Waislamu! (Soma Uk. 6)

    Tujiulize, maisha yetu yana thamani?

    kweli?La kus ik i t i sha n i

    j ins i Waafr ika s i s i , tunavyogeuzwa kuwa vibaraka na wasaliti wa kujisaliti sisi wenyewe, watu wetu na nchi zetu, ama kwa ujinga tu au kwa kugeuka Judas Iscariot mwana wa Simon.

    W i k i i l i y o p i t a , tulisherehekea siku ya mashujaa. Hii ni siku adhimu ya kuwakumbuka wazee wetu waliojitoa muhanga kupigania na kutetea hadhi yetu na nchi yetu mbele ya wakoloni. Katika kipindi kimoja cha televisheni ikichambuliwa namna wazee hawa walivyojitoa muhanga, kilielezwa k i s a c h a M k wa wa a l i v yo p a m b a n a n a Wajerumani na hata a l ipoona anazid iwa nguvu, akaona itakuwa n i f edheha kubwa kukamatwa na wavamizi hao akiwa hai, akaamua kujiua mwenyewe.

    Labda tujiulize, kuna lolote tunalojifunza kutoka kwa wazee hawa? Je, tunawaenzi kikweli au tunawadhihaki? Ikiwa wao walimwaga damu kuwazuiya wakoloni kutawala na kupora mali zetu, tutasemaje tunawaenzi ikiwa leo wako lon i wa lewa le tunawakaribisha kupitia mlango wa nyuma?

    Kama a l ivyosema aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa U ing e reza , Rober t F in l ayson "Rob in" Cook, kwamba hakuna afisa yeyote wa Idara

    ya Usalama duniani, a s i ye jua kuwa h ik i kinachoitwa ugaidi na magaidi wa Al Qaidah ( n a we n y e m a j i n a mengine) ni pseudo gangs wanaotumiwa na mabeber u . Leo tunavyop i g i a d ebe ugaidi na kukaribisha propaganda za magaidi waliojificha katika misitu ya Pwani badala ya kulikamata kambaku kwa mapembe yake, huu sio usaliti na dhihaka kwa mashujaa wetu tunaojidai kuwaenzi?

    Do Black Lives Matter in Africa? Ukitizama dhihaka ya Westgate, dhihaka ya Garissa na matukio kama hayo, pamoja na msururu wa watu ambao wamekuwa wakiuliwa kwa tuhuma za ugaidi Kenya; ukitizama dhihaka ya Boko Haram na mamia ya maelfu ya watu wal ioul iwa kinyama na jinsi vyombo v y e t u v y a h a b a r i vinavyoshabikia habari hizo, lakini zaidi jinsi serikali zetu na vyombo vyake zinavyolipeleka jambo hil i , pengine badala ya watu wengine kuuliza Do Black Lives Matter in Africa?, tujiulize sisi wenyewe: Je, tunathamini maisha yetu? Tunajithamini kuwa sisi ni binadamu wenye damu , ak i l i na utu sawa na hao wanaotuletea proxy war na fraud zao za War on Terror?

    Toka tuanze sera ya kubinafs i sha na kugenisha rasil imali zetu, na hasa katika madini, kumekuwa na kilio kwamba tumekuwa tukipunjwa na kwamba t u mez id iwa u j a n j a katika kuweka mikataba. Ki l io k ipo mi taan i kwa watu wa kawaida mpaka ndani ya Bunge hadi kufikia mahali serikali kusema kuwa inarekebisha mikataba hiyo na kuja na sera

    mpya itakayohakikisha kuwa angalau na sisi wenye madini yetu tunaambulia chochote.

    Hata hivyo, pamoja na kilio hicho, na pamoja na umasikini wao na shida zao, watu wetu bado wanafurahiya maisha. Wapo salama. Hakuna mauwaji na umwagaji damu kama inavyotokea katika kila nchi i l iyotumbukizwa katika mzaha huu wa magaidi.

    Ni kwa kunzingatia hili, tungependa kuuliza, kwa nini mabeberu hawa wasituache na amani yetu wakatafuta njia za amani za kibiashara, misaada na ushirikiano kama inavyofanya China, na bado wakapata mradi wao?

    Yawezekana katika siasa hizi za world hegemony na ubabe wa mabeberu, huenda ikawa kitanzi kimetukaba b a r a b a r a , h a t u w e z i kufurukuta katika kutekeleza matakwa ya mabeberu. Lakini tumekosa hata kauli na uwezo wa kuwashauri namna bora ya kutimiza yao wakatuacha na uhai wetu,

    amani yetu na usalama wetu?Si tunasema ni marafiki

    z e t u ? S a s a wa t a k u wa marafiki gani wasiotusikiliza hata tukitoa maoni juu ya namna bora ya kutuchinja? Kwamba wanoe kisu kiwe kikali ili wasitutese?

    Kwetu, hilo wanalolitaka, kama ibebid i , n i bora walipate kupitia mikataba ya sisi kupoteza wapate wao, kuliko kupitia njia hizi za kutuundia pseudo gangs na kutuchagiza kuingia katika mchezo wa kifimbocheza wa kupambana na magaidi w a n a o f a d h i l i w a n a kulindwa na mabeberu hao hao kupitia mlango wa nyuma.

    Tazama ha l i i l ivyo Congo DRC, Afrika ya Kati, Somalia, Nigeria, Mali na sasa Kenya. Tubaki na swali hili: Do Black Lives Matter in Africa?

    Je, tunathamini maisha yetu? Tunajithamini kuwa sisi ni binadamu wenye damu, akili na utu sawa na hao wanaotuletea proxy war na fraud zao za War on Terror?

  • 3 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015Makala

    MAKALA mbili zitaangalia skuli na madrasa mbalimbali kuanz i shwa v i s iwan i . Madhumuni makubwa ni sehemu ya kumbukumbu na kuelewa kuwa, visiwani watu wake walishughulika na elimu za akhera na za duniya.

    Historia ni kioo thabiti kitakachokuonyesha sura yako katika zama mbalimbali na kukusaidia kujua uendako kama ndipo au sipo? Tunaposoma his tor ia n i wa j ibu wetu kuyakubali yale yaliyotokea, kwani historia sio mara zote itakuwa katika upande wa kukufurahisha, kuna nyakati utaiona historia inakuudhi kwa kuwa inaelezea yale yaliotokea usioyawafiki.

    Tunaposema h i s to r i a n i kue l eza j uu y a y a l e yaliyokwisha pita, ambayo ni matokeo tuliyoyatenda na kusababisha kutokea. Ndugu ze tu Wamerekan i weus i wanasema kuwa, siku hizi kuna history and his story, ikimanisha kuwa ni historia na hekaya zako. Yanayoandikwa kwa wingi na wanahistoria wa zama hizi huwa ni hekaya zao na zaidi, mwandishi kutaka kuwaridhisha watawala.

    Utakapoichambua historia ya Zanzibar utaikuta imepita katika makataa mbalimbali na kuelezewa na wana historia kwa kina, kushinda nchi nyingi za Kiafrika. Zanzibar imekuwa na uhusiano na nchi za Mashariki ya mbali katika kipindi kabla kuzaliwa Mtume Issa (AS).

    Zanzibar ilianzia na kuwa chini ya himaya ya Mreno karne ya 16-17, kisha Wa-Oman 1698-1856, kisha kuingilia kati kwa Muingereza 1856-1885 na kuwa chini ya moja kwa moja ya Uingereza 1890-1963. Katika mikondo mbalimbali ya utawala ndio imewezesha Zanzibar kutambulika zaidi nje ya mipaka yake.

    U a n z i s h w a j i n a s k u l i mbalimbali visiwani

    Waanzilishi wa skuli kwa visiwa vya Zanzibar walikuwa ni Misheni za Kikristo, huku vyuo vikishamiri watoto wa Kiislamu kusomeshwa Quran na kuwafanya wengi wa watoto wa Kiislamu kujua kuandika kwa herufi za Kiarabu. Vyuo vingi vya Quran vikifundishwa kusoma na kuandika, matokeo yake kwa muda mrefu watu

    Historia ya skuli na Madrasa visiwani ZanzibarNa Ben Rijal

    Walimu na wanafunzi wa Government School waliokaa wa tatu kushoto ni Maalim Aboud Jumbe Mwinyi.wa visiwani wakiwasiliana kwa kuandika barua kwa kutumia harufu za kiarabu.

    Wa i s l a m u w a l i o g o p a kuwape leka watoto wao

    Walimu wa King George the VI

    maskuli kwa kuhofia kuwa watanasirishwa kwa kufanywa kuwa Wakr i s to. Mfa lme Sayyid Ali Bin Hamoud, alivunja mwiko huo Kwa Waislamu kugomea skuli za kawaida na kuwalazimisha kuwapeleka watoto wao katika skuli za kawaida na hili kama asingelifanya, Waswahili wa Zanzibar wangechelewa kupata elimu ya dunia kwa kipindi kirefu.

    Skuli ya mwanzo kufunguliwa Zanzibar ilifunguliwa mwaka wa 1860, ikijulikana kama Roman Catholic ikafwatiwa na UMCA iliyofunguliwa na Bishop William Tozer na Dr.

    Edward Steere. Bishop Tozer alikuwa mweledi wa Kiarabu na vile vile alikuwa ameisoma Quran kwa undani kabisa.

    Bishop Tozer a l ikuwa

    akipenda kushindana na Masheikhe wa Kiislamu na hoja zake zi l ikuwa nzito mno, katika makala zengine nitamzungumzia Padri Toza kama wenyewe Waislamu walivyokuwa wakimwita.

    Baada ya kufunguliwa skuli hizo hapo mjini Unguja, kwa upande wa Pemba ilifunguliwa skuli iliyojulikana kama Freinds Industrial Mission katika mwaka wa 1890, ambayo skuli hiyo ikifunza kazi za mikono zikiwa ni kushona, useremala n.k. Bahati njema skuli hiyo ilichukua wanafunzi wengi wa Kiislamu baada ya kupatikana mwamko.

    Katika miaka hiyo ya 1800 kulianzishwa skuli za makabila na nyingi zilikuwa za Wahindi, kwani Wahindi waliwekeza zaidi maisha yao kwenye elimu

    na biashara. Katika mwaka wa 1891 ilifunguliwa skuli ya Sir Euan Smith Madressa, ikiwa ni skuli ya mwanzo ya watu wenye makabila. Alikuwa Sir Chalerle Euan smith, aliyekuwa na cheo cha kama Balozi wa Kiingereza (British Diplomatic Agent and Consul General), aliwapendelea Wahindi waanzishe skuli zao ili wapate kudumisha lugha yao, mila zao na thaqafa zao.

    K w a n z a s k u l i h i y o il ikuwa katika maeneo ya Mchambawima na baadae ikahamia Forodhani na mwisho ikajengwa katika maeneo ya Mnazi Moja na mwishowe kufanywa Skuli ya Serikali.

    Mwanzo mwanzo skuli hii ikichukua wanafunzi wa jamii ya Wahindi tu, na baadaye ikawa kwa wote na mara tu baada ya Mapinduzi ya mwaka wa 1964, skuli hii ikabadilishwa jina na kuwa Haile Selassie. Skuli nyingi ambazo zilikuwa za makabila zilikuja kugeuzwa majina na kupewa majina ya viongozi wa Kiafrika kama L u m u m b a , N k u r u m a h , Benbela n.k.

    Jamii ya Aga Khan ina tarehe refu na visiwa vya Zanzibar na inaendelea hadi sasa kuimarisha miradi ya maendeleo kwa visiwa vya Zanzibar. Katika mwaka wa 1925 ilifunguliwa skuli iliyojulikana kwa jina la Aga Khan Boys na kufuatiwa na Madressa Muhammadieh ya jamii ya Mabohora, iliyokuwa na mchanganyiko wa kike na kiume. Mwaka wa 1931 ikafunguliwa skuli ya Aga Khan ya wanawake tu, ikiitwa Aga Khan Girls.

    Aidha mwaka huo huo wa 1931, ikafunguliwa skuli ya Maithnashir katika mwaka wa 1931 iliyokuwa ikiitwa Datu Hemeani Ithnasheri, mwaka wa 1936 ikafwatia skuli ya Hindi Sunni Madressa na mwaka wa 1943 ikaanzishwa skuli ya Hindoo Free Kanyavidyala Girls na kwa Pemba mwaka wa 1947 ikafunguliwa Skuli ya Indian Mixed mjini Wete.

    Jam i i y a wa tu wenye asi l i ya Ngazi ja wal ipata shida watoto wao kusoma Kiarabu na wao wakiamini kuwa Kiarabu ni lugha ya dini yao, kwa ari wakajikusanya na kuchangishana na kuweza kuanzisha skuli yao katika mwaka wa 1930. Alikuwa gwiji wa lugha ya Kiarabu ambaye ni Mgazija, Sheikh Burhan Mkele, ndiye aliyekuwa mwalimu wa Kiarabu na kutia msingi mkubwa kwa watu wenye asili hiyo. Aidha skuli hiyo ilifundisha na Kifaransa na wanafunzi wake wa mwanzo waliofuzu hapo walipelekwa katika visiwa vya Madagascar, mmoja kati ya wanafunzi hao ni mwana diplomasia maarufu Sheikh Ahmed Maulidi.

    H a p o j u u n i l i j a r i b u kuzielezea skuli za binafsi ambazo mara tu, baada ya Mapinduzi ya 1964 zilitaifishwa na kufanywa kuwa skuli za Serikali.

    Skuli za Serikali zilianza

    Inaendelea Uk. 4

  • 4 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015Makala

    Historia ya skuli na Madrasa visiwani ZanzibarInatoka Uk. 3

    Wanafunzi wa Darajani Skuli, aliyekaa na aliyevaa miwani ni Maalim Abdalla Kassim Hanga.

    Walimu na wanafunzi wa Muslim Academy

    miaka mingi katika visiwa vya Zanzibar, hapa nitaziorodhesha skuli za Serikali visiwani Zanzibar.

    S k u l i y a m wa n z o y a Serikali ilianzishwa mwaka 1905, mwanzi l i sh i wake akiwa Sultani Sayyid Ali bin Hamoud, aliyepata elimu ya kizungu Afrika Kusini na Harrow huko Uiengereza. Skuli hii ilikuwa ndani ya kasri ya kifalme na kuwekwa hapo, ilikuwa kutoa agizo kuwa elimu ya kizungu sio ukafiri. Walimu waliokuwa wakisomesha hapo walikuwa kutoka nje, wengi wao wakiwa wazungu. Mbali ya walimu hao wazungu, aliletwa mwal imu kutoka Oman, Sheikh Abdurahman Al-Kindi, aliyekuwa akisomesha dini na kizungu.

    Aidha akaletwa mwalimu mwingine akijulikana kwa jina la Sheikh Abdyul Barri Al- Ajizy na mwalimu mwengine kutoka Uingereza akiitwa Mr. Rivers- Smith. Mwalimu huyu alikuwa akisomesha lugha ya Kingereza na kufanywa kuwa mwalimu mkuu kutokana na ujuzi wake aliokuwa nao katika utawala.

    Baada ya kipindi kifupi, skuli hii ikapata wanafunzi wengi baada ya kupatikana mwamko na wazee walikuwa wakipigana vikumbo kupeleka watoto wao katika skuli hii. Kutokana na wingi wa wanafunzi, skuli hii ikahamishwa kutoka kwenye kasri ya mfalme na kuhamia karibu na Msikiti wa Ijumaa wa Forodhani. Baadaye katika mwaka wa 1925 ikahamia katika eneo la Mnazi Mmoja na kuitwa kwa jina la Government Central School.

    Skul i ya Government School ilitoa wanafunzi wengi waliokuja kushika nafasi katika Serikali. Skuli nyengine iliyokuwa na sifa ilikuwa ni Darajani Primary School, iliyoanzishwa katika maeneo ya Darajani. Mwandishi wa makala hii alisoma skuli hiyo. Serikali ya kikoloni ilibidisha kufunguliwa skuli mbalimbali kwa Unguja na Pemba.

    Wakati huo hakukuwa na mchanganyiko wa watoto wa kiume na wa kike, kwa hiyo jengo lililohamwa la Forodhani, liligeuzwa na kuwa skuli ya msingi ya watoto wa kike katika mwaka wa 1925, mwiko wa kuzitenga skuli za kike mbali

    na kiume mbali hapa visiwani, ulivunjwa katika mwaka wa 1969 na kuwachanganya kuwa pamoja watoto wa kiume na kike. Lakini hivi karibuni skuli iliyokuwa ya Government School na sasa Ben Bela Secondary School, imerejea kuwa ni skuli wanaosoma wanawake tu.

    Pemba nako kwenye mwaka 1930 kulifunguliwa skuli za msingi katika Wilaya ya Chake-Chake na Wete, lakini kuna maandiko yenye kuonyesha kuwa Chake-Chake na Wete kulifunguliwa skuli mapema zaidi.

    Wapanga mipang o ya taaluma kwa nyakati hizo wa l i tambua kuwa e l imu inahita j i wal imu wenye taaluma ya kusomesha, kwa hiyo katika mwaka wa 1923-1935 kilifunguliwa chuo cha mwanzo cha walimu na L. W. Hollingsworth kuwa ndio

    mwalimu mkuu wa mwanzo, akisaidiwa na Sheikh Abdulla Ahmed Seif na kufuatiwa na Sheikh Muhammad Salim Barwani (Jinja).

    Hollingsworth alifanya juhudi kubwa ya kusomesha na alifungua madarasa ya jioni ambapo alifuatana na mkewe kusaidia kusomesha. Hollingsworth ndiye aliyekuja kuanzisha jarida lililokuwa likijulikana kama Mazungumzo ya Walimu, Jarida ambalo walimu walikuwa wakipata fursa ya kuandika Insha, matatizo yao, hadithi fupi na makala za dini ambazo alikuwa akiandika Sheikh Abdalla Saleh Farsy, na zaidi makala za dini na alifika kuwa Naibu Mhariri wa Jarida hilo.

    Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Ali Hassan Mwiny i a l ikuwa kat i ya wachangiaji wa Jarida hilo.

    K a t i k a j u h u d i z a kuendelezwa elimu visiwani, ilifunguliwa Skuli ya Biashara (Commercial School) baina ya mwaka wa 1923-1924. Skuli hii ilitoa wanafunzi ambao hawakuwa wanafanya kazi za ukarani visiwani Zanzibar, bali wengine walifika kufanya kazi sehemu nyengine za Afrika Mashariki na kukubalika. Aidha kulifunguliwa Skuli ya ufundi ikijulikana kama Industrial School baina ya mwaka wa 1924-1932, ikiwa inafundisha ufundi wa mekanika wa magari, useremala. Nako kwenye kijiji cha Dole ikaanzishwa skuli kwa jina la Rural Middle School katika mwaka wa 1935. Skuli hii ilichukua zaidi wanafunzi waliokuwa wakikaa mashambani.

    Katika mwaka wa 1935 ikaanzishwa skuli ya mwanzo ya Sekondari chini ya mwalimu mahiri Hollingsworth, ambaye

    yeye ndiye ambaye aliyeanzisha chuo cha walimu Zanzibar. Katika elimu hutajwa sana mzungu huyu kwa kuwa aliwajali wanafunzi wake kama wanawe. Alifika hata kuwafunga vifungo vya shati wanafunzi wake waliokuwa hawafungi vifungo kikamilifu katika kuwaongoza kuwa na tabia njema.

    Chuo cha kwanza cha walimu wa kike kilifunguliwa katika mwaka wa 1942, huku skuli ya Sekondari ya wanawake ilikuwa imeanza kuchukua wanafunzi katika mwaka wa 1947. Kwa upande wa Pemba i l ifunguliwa Dakhalia ya watoto wa kike katika mwaka wa 1930.

    Mwaka wa 1942 ilianzishwa Domestic Science School skuli ya kufunza mafunzo ya kuendesha mambo ya nyumbani. Skuli hili ilikuja kurahisisha shughuli za w a n a w a k e m a j u m b a n i , ikiwa kazi za kupika, kulea, kutunza watoto, kushona, kufuma, kusuka mikeka, misala, kutia nakshi kwenye foronya na kadhalika. Skuli hii imewanufaisha wanawake wengi na kustawisha maisha majumbani. Alikuwa bibi wa kizungu kwa jina Bibi Johnson, a l i y e j i z a t i t i k u wa f u n z a wanafunzi wa kike mambo ya nyumbani, ikisemekana kuwa wakati wake wote wa siku, alikuwa yupo na wanafunzi na kutumia wakati wake mchache nyumbani kwake na mumewe.

    S e r i k a l i y a k i k o l o n i ilimtuma Mr. Foster, ambaye alifungua Teacher Training Center kikiwa Chuo cha pili cha kutoa mafunzo kwa walimu wa mashamba katika kijiji cha Dole. Bw. Foster alivunjika moyo sana kuona kuwa skuli nyingi zinakosa wanafunzi. Katika utafiti aliokuja kuufanya, aligundua kuwa wazee wakiona kuwa masomo ya dini ya Kiislamu na Kiarabu hayapewi uzito, ndipo Mr. Foster alipoanzisha masomo ya dini pamoja na Kiarabu na kuwapatiwa wanafunzi uji asubuhi na wakati wa mapumziko. Wengi ya wanafunzi wa chuo hicho walikuwa wanafunzi waliotoka mashambani na Pemba. Baadaye skuli hiyo na ya Dole ikahamishiwa Bait-Ras, ambapo chuo hicho kilichukua wanafunzi hadi kutoka Kenya

    Inaendelea Uk. 9

  • 5 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015Habari za Kimataifa

    kutowabagua watu kwa misingi ya hisia za kimapenzi.

    K ama mtu n i r a i a anayefuata sheria, ambaye anafanya biashara zake na kufanya kazi na kufuata taratibu na kufanya mambo yote mengine ambayo raia mwema anastahili kufanya bila kuleta madhara kwa yeyoye, wazo kwamba wanaweza kutendewa tofauti au kukashifiwa kwa sababu ya wale wanaowapenda ni kosa, alisema Rais Obama, katika mkutano na waandishi wa habari Ikulu ya Kenya wakati alipozuru nchini humo hivi karibuni.

    Muda mfupi baadae ilikuwa ni zamu ya Rais Kenyat ta kuzungumza ambapo alisema, nchi yake ya Kenya na Marekani wanash i r ik i ana ka t ika mambo mengi, lakini suala la haki za mashoga ni suala ambalo nchi hizo haziwezi kuafikiana.

    Akiwa sambamba na Rais Obama, Rais Uhuru Kenyatta alisimama imara na kumueleza mgeni wake kuwa utamaduni huo hauna nafasi nchini Kenya na kwamba, ni vigumu kuingiza imani ambayo watu wa Kenya kamwe hawaikubali.

    "Kuna mambo ambayo

    Kenyatta agomea ushoga wa ObamaAmpasha bila kupepesa

    lazima tukubaliane kuwa hatuwezi kushir ikiana. Katika utamaduni wetu, jamii yetu haiwezi kukubali mapenzi ya jinsia moja. Hili suala sio lililomo katika fikra za watu wa Kenya na huo ndio ukweli. Alisema Rais Kenyatta mbele ya mgeni wake na waandishi wa habari.

    Rais Kenyatta alifafanua kuwa suala la ushoga sio suala muhimu wala la kipaumbele kwa watu wa nchini humo na kwamba, nchi hiyo inahitaji kujikita zaidi katika maeneo mengine

    ambayo ndio maisha ya kila siku ya wananchi.

    Hivyo mkutano huo ulionyesha kuwa Marais w a n c h i m b i l i h i z o wametofaut iana v ika l i kuhusu haki za mashoga na wasagaji, ambapo kila mmoja alishikilia msimamo wake.

    Wakati Marekani ikipigia chapuo haki za ushoga kwa mataifa mengine, hasa baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuruhusu ndoa za jinsia moja, nchi nyingi za bara la Afrika ikiwemo Kenya, zinaona suala hilo ni

    kosa kubwa na lisiloruhusia kabisa.

    Rais Obama aliendelea na ziara yake nchini Ethiopia ambako nako ni kosa la jinai kwa watu kujihusisha na vitendo vya ngono ya jinsia moja.

    H U KO U j e r u m a n i , C h a m a c h a C D U kinachounda serikali ya nchi hiyo, nacho kimekataa pendekezo la kuanzishwa ndoa za jinsia moja nchini Ujerumani.

    Chama cha CDU katika jimbo muhimu la Berlin nchini ujerumani, kimekataa kata kata kuanzishwa sheria za mapenzi ya jinsia moja nchini Ujerumani.

    Sh i r ika la habar i l a ABNA limeripoti kuwa wanachama wote 12,500 wa chama hicho katika mji huo Mkuu, walitakiwa kushiriki kwenye kura ya maoni juu ya pendekezo hilo.

    Wakijibu swali la endapo wapenzi wa jinsia moja waruhusiwe kuoana, asilimia 45 ya wanachama wa chama hicho kinachoongozwa na Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, walisema hapana, kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa CDU, Kai Wegner.

    M j a d a l a w a a m a Ujerumani iruhusu ndoa za jinsia moja au la kama yalivyo mataifa mengine ya Magharibi, umeligawa taifa hilo lenye nguvu kubwa zaidi kiuchumi barani Ulaya, hadi kwenye serikali ya mseto inayoongozwa na muungano wa CDU/CSU pamoja na chama cha SPD.

    BARAZA Kuu la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetoa ripoti, likieleza wasiwasi wake kuhusu hali ya haki za binadamu nchini Uingereza hususan katika sheria za kupambana na ugaidi nchini humo na kutoa wito wa kutazamwa upya sheria hizo.

    Kifungu nambar i 8 cha ripoti ya Baraza Kuu la Haki za Binadamu la U m o j a w a M a t a i f a , kimekosoa ongezeko la j inai zinazohusiana na ubaguzi wa kidini na kitaifa nchini Uingereza na kueleza wasiwasi wake kuhusu mwelekeo wa vyombo vya habari nchini humo wa kuhubiri chuki dhidi ya wageni na maneno ya kibaguzi ambayo yamekuwa

    UN yakosoa ukiukwaji haki za binadamu Uingereza yakisababisha vitendo vya kibaguzi, uhasama na ukatili katika jamii ya Uingereza.

    Baraza hilo pia limekosoa sheria mpya ya kupambana na ugaidi nchini Uingereza, ambayo inalipa jeshi la polisi la nchi hiyo mamlaka makubwa sana, ikiwa ni pamoja na kufanyia ujasusi na kudukua mazungumzo ya watu binafsi kwa kisingizio cha kulinda amani ya jamii.

    Baraza hilo limeitaka se r ika l i ya Uingereza kuifanyia marekebisho sheria hiyo ili iendane na sheria za kimataifa na kanuni za haki za binadamu.

    Kifungu namba 16 cha ripoti ya Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kimezungumzia ongezeko la idadi ya watu wanaojiua katika jela za Uingereza na kusisitiza kuwa, hadi sasa maafisa wa

    vyombo vya mahakama za Uingereza hawajachukua hatua za kutosha za kuzuia hali hiyo.

    Baraza hilo pia limeitaka serikali ya Uingereza kubuni njia za kisheria za kuzuia wazaz i kuwachapa na kuwapiga watoto wadogo.

    Hata h ivyo sua la la ukiukaji wa haki za binadamu haliihusu Uingereza pekee, ba l i nchi ny ing ine za Magharibi nan chi washirika wa London kama Canada, zimekuwa zikikiuka kwa kiwango kikubwa haki za binadamu.

    Miongoni mwa vipengee vya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu nchini Canada ni jinsi ya kuamiliana na wazawa na wenyeji asili wa nchi hiyo, ambao ni mashuhuri kwa jina la taifa la kwanza.

    Takwimu zinaonesha

    kuwa, Canada ina zaidi ya wazawa na wakazi asilia milioni moja na laki mbili, ambao wanaishi katika hali ya kusikitisha. Jamii ya wazawa na Wacanada hao asili inatawaliwa na kiwango cha juu cha umaskini , kujinyonga na uraibu wa dawa za kulevya.

    Takwimu zilizotolewa na jumuiya za kimataifa z a k u t e t e a h a k i z a b i n a d a m u k a m a l a Amnesty International kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu, hususan Wahindu Wekundu ambao ndio wazawa na wakazi asilia wa Canada, zinaonesha faili jeusi la ukiukwaji wa haki za binadamu.

    Miongoni mwa ukiukwaji wa haki hizo nchini Canada ni pamoja na kubanwa uhuru wa raia kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

    LICHA ya serikali ya K enya na Marekani kutiliana saini katika mikataba kadhaa ya maelewano na kuafikiana kuimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili katika sekta za kibiashara na kidiplomasia na katika m a p a m b a n o d h i d i ya ugaidi, agenda ya ushoga aliyokuja nayo Rais Barack Obama imekwama.

    Pamoja na kwamba Rais Obama al i ingia nchini Kenya Julai 24 usiku na k u p a t a m a p o ke z i y a kihistoria katika nchi hiyo inayomchukulia kama mtoto wa nyumbani, aliyerudi na taji la ukuu wa nchi kubwa na yenye nguvu za id i duniani, alipogusia suala la haki za mashoga alielezwa uso kwa uso kuwa suala hilo halina nafasi Kenya na wala haliwezi kuwa mipango ya Wakenya na haliko katika fikra za Wakenya.

    Akiong ea mbe le ya waandishi wa habari katika Ikulu ya Kenya, Rais Obama alipinga kwa nguvu ubaguzi dhidi ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na kueleza hadharani kuhusu haki za mashoga ambapo aliyataka mataifa ya Afrika

    RAIS Barack Obama wa Marekani (kulia) na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya.

  • 6 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015Makala/Tangazo

    T U K I W A t u n a e l e ke a kwenye uchaguzi mkuu mwezi Oktoba, mengi yanasemwa kila kona za mitaa, vitongoji, vijiji, ilimradi kila mtu anaonesha hisia na shauku yake juu ya jambo hili. Kwenye vijiwe vya kahawa ndio usiseme. Wakati watu wanaendelea na pilika za hapa na pale za porojo na mengineyo, s e r i k a l i n a yo k a t i k a kuliendea hilo inafanya uratibu kwa lengo lile lile la kufanikisha uchaguzi. Moja ya mambo ambayo serikali i n a ya s i m a m i a k i d e t e ni suala la uandikishaji wapiga kura ili kuwapata washiriki halali wa zoezi hili kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa vya wapiga kura.

    Kama tunavyojua, nchi yetu inaendeshwa kwa mfumo wa kidemokrasia unaotokana na uwepo wa vyama vingi vya siasa. Hili hutoa fursa kwa mpiga kura kumpigia mgombea amtakaye kwa mujibu wa vigezo anavyojua yeye, kwamba nikimchagua fulani atafanya hiki na kile kwa manufaa ya ummah. Na sisi kama Waislamu, pia hatukuachwa nyuma kwani hatuishi hewani, tupo katika nchi hii hii tukikamuliwa kodi na TRA.

    M f u m o h u u w a k idemokras i a u l ivyo n i kwamba, tunawapigia kura watu ambao wanaonekana wana sifa kwa mujibu wa vyama vyao wanavyoviwakilisha. Hata kama kuna mtu ambaye kwa uelewa na ufahamu wetu tunaona anafaa kuliko hawa tulioletewa, hakuna fursa ya kumchagua. Ni lazima tuwapigie hao hao wa l i o o n e k a n a wa n a f a a zaidi kwenye vyama vyao. Lakini ifahamike kuwa, hawa wagombea wa nafasi mbali mbali ni watu ambao kila mmoja amejipima mwenyewe na kuona kuwa anafaa na anaweza kuongoza nchi.

    Kura yangu nimpe nani?Na Juma Jumanne maamuzi ya kusema nani awe Rais Zanzibar na hata Rais wa Jamhuri. Tafsiri yake ni kwamba Waislamu ndio wana-CCM kwa kuwa imeendelea kukaa madarakani kwa muda mrefu sasa. Na kukaa huku madarakani, kunatokana na ushindi ambao imekuwa ikiupata katika awamu zote za chaguzi zilizofanyika kwa kupata kura nyingi kushinda vyama pinzani kutoka kwa Waislamu.

    Bila shaka wengi wetu tumekuwa tukiamini kuwa sera na Ilani ya chama ndio vigezo pekee vinavyokipa chama uwezo wa kushika hatamu. Lakini pia, kura katika sanduku la kura, ndiyo inayotoa msh ind i . Kwa maana na tafsiri hiyo, inaweza kusemwa kuwa CCM imekuwa na sera na Ilani nzuri ambazo zimekuwa zikiwanufaisha Waislamu wa nchi hii ndio maana wameendelea kuipa k u r a k u s h i k a u s u k a n i . Ahadi mbali mbali ambazo serikali iliyopo madarakani imekuwa ikizitoa imeweza kuzitekeleza ipasavyo!!! (?)

    M a m b o m b a l i m b a l i ambayo ser ika l i i l i ah id i kufanyia kazi ni pamoja na kuhuishwa kwa Mahakama ya Kadhi, kujiunga na OIC, na mengine mfano wa hayo. Mengine ambayo yalitekelezwa lakini hayakuwepo kwenye Ilani ya CCM iliyomwingiza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete madarakani , n i pamoja na haya ya kukamatwa masheikh wetu na kubambikiwa kesi za ugaidi. Masheikh ambao wanadai kupigwa, kuteswa, kudhalilishwa, na kilio chao kufika hadi Bungeni ambapo Kinara wa Serikali ya CCM, Bungeni Waziri Mkuu alidai kuwa hajui kama yupo Sheikh Msellem, mwanachuoni mfasiri wa Quran aliyepo Segerea na wenzake na kwamba wamedhalilishwa mwisho wa kudhalilishwa.

    Mheshimiwa huyo wa CCM akadai apewe taarifa, ili ayafanyie kazi malalamiko ya Masheikh hao. Mpaka leo kimyaaa! Tulichoona ni yeye kuunga foleni ya wana-CCM kutaka kurejea Ikulu kwa kura za Waislamu!

    Huu ni muhtasar i wa mazuri pengine yanayoweza kutajwa kuwa wamefanyiwa Waislamu na hivyo kuipigia kura CCM muda wote wa siasa za vyama vingi (iwapo kura ndiyo iliyokuwa ikiwabakiza CCM Ikulu, Dar es Salaam

    Mhe. Edward Lowassa alipokuwa akitangaza kujiunga na kambi ya UKAWA kupitia CHADEMA wiki iliyopita.

    Dkt. John Magufuli (kushoto), kulia ni mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan.Kwa kuwa kuna mfumo

    wa vyama vingi, ilitegemewa k w a m b a k u t a k u w a n a kupokezana vijiti. Awamu hii chama hiki kinashinda na awamu nyingine chama kingine kinashinda. Jambo la kushangaza ni kwamba, tangu kuanzishwa mfumo wa vyama vingi hapa nchini mwaka 1992 , ha i j awahi kutokea kushinda kwa chama

    kingine kisichokuwa Chama Cha Mapinduzi. Kwa haraka haraka unaweza kusema kwamba, pengine kinafanya vizuri sana ndiyo maana kila awamu kinashinda.

    Nasema hivyo kwa sababu kila chama kina ilani yake, sera na kanuni yake. Inapofika wakati wa uchaguzi, kila chama hupata fursa ya kuzunguka kila mahali kote nchini kwa

    maeneo yanayofikika kufanya kampeni. Lengo la kampeni ni pamoja na kukitangaza chama husika, sera yake na ilani yake. Dhana yangu ni kwamba, ahadi ambazo chama hutoa kwa wananchi ndizo ambazo humfanya mwananchi aungane na hicho chama na hatimaye kukipigia kura inapofika wakati wa uchaguzi.

    Nchi hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni zao la nchi mbili ambazo ni Tanganyika na Zanzibar. Kwa upande wa Tanganyika kuna mchanganyiko wa dini mbali mbali , kuu zikiwa Uislamu na Ukristo. Visiwani nao n i h ivyo h ivyo, i l a tofauti na Bara, Waislamu wamewazidi Wakristo kwa mbali. Tunaambiwa ni takriban asilimia zaidi ya 99% wakati huku Bara Wais lamu na Wakristo hawakuachana sana kwa idadi (%).

    Ikiwa ukweli ndio huo, maana yake n i kwamba Wa i s l a m u n d i o w e n y e Inaendelea Uk. 9

  • 7 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015TANGAZOBISMILLAHI RAHMANI RAHIIM

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRE KIRINJIKO ISLAMIC TEACHERS COLLEGE

    (NA.YA USAJILI WA NACTE-REG/TLF/078

    P.O. Box 62, Same Kilimanjaro, Mob: 0657 705 878

    NAFASI ZA DIPLOMA YA UALIMU WA SHULE ZA MSINGI 2015/2016

    Waislamu Kote Nchini Mnatangaziwa Nafasi za Mafunzo ya Diploma ya Ualimu wa Shule za

    Msingi katika Chuo cha Ualimu Kirinjiko Islamic kilichopo Same Mkoani Kilimanjaro.

    Chuo kimepata usajili kamili wa NACTE na kinaendeshwa kwa misingi na maadili ya Kiislamu. A: SIFA ZA MWOMBAJI: 1. Awe Muislamu na;

    2. Amehitimu kidato cha nne (CSEE) na kufaulu kwa kiwango cha Division I-III au GPA.1.6,

    AU

    3. Mwenye cheti cha Grade IIIA, AU

    4. Mwenye cheti (NVA level 4) cha kozi yoyote kutoka katika chuo kinachotambulika na NACTE au VETA na ufaulu wa D nne katika mtihani wa kidato cha nne (CSEE).

    B: NAMNA YA KUOMBA: 1. Mwombaji anatakiwa kujaza fomu ya maombi AU

    2. Kuomba kwa njia ya mtandao (Online Application) kupitia Tovuti ya

    NACTE(www.nacte.go.tz).

    TANBIHI: Atakayeomba kwa njia ya fomu, hatatakiwa kuomba kupitia njia ya mtandao wa NACTE.

    D: ADA YA MAOMBI:

    Waislamu Kote Nchini Mnatangaziwa Nafasi za Mafunzo ya Diploma ya Ualimu wa Shule za Msingi katika Chuo cha Ualimu Kirinjiko Islamic kilichopo Same Mkoani Kilimanjaro.

    Chuo kimepata usajili kamili wa NACTE na kinaendeshwa kwa misingi na maadili ya Kiislamu.

    A: SIFA ZA MWOMBAJI: 1. Awe Muislamu na; 2. Amehitimu kidato cha nne (CSEE) na kufaulu kwa kiwango cha Division

    I-III au GPA.1.6, AU 3. Mwenye cheti cha Grade IIIA, AU4. Mwenye cheti (NVA level 4) cha kozi yoyote kutoka katika chuo

    kinachotambulika na NACTE au VETA na ufaulu wa D nne katika mtihani wa kidato cha nne (CSEE).

    B: NAMNA YA KUOMBA:1. Mwombaji anatakiwa kujaza fomu ya maombi AU2. Kuomba kwa njia ya mtandao (Online Application) kupitia Tovuti ya

    NACTE(www.nacte.go.tz). TANBIHI: Atakayeomba kwa njia ya fomu, hatatakiwa kuomba kupitia

    njia ya mtandao wa NACTE.

    D: ADA YA MAOMBI:Ada ya maombi ya NACTE ni shilingi elfu ishirini (20,000/=) tu.C: MWISHO WA KURUDISHA FOMU:Mwisho wa kurudisha fomu za maombi ni tarehe 15/08/2015.

    Fomu za Maombi zinapatikana chuoni Kirinjiko Islamic Teachers college na katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

    Arusha: Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640

    Kilimanjaro: Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344.

    Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075, Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. Ugweno Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

    Tanga: Twalut Islamic Centre Mabovu Darajani : 0715 894111 Uongofu Bookshop: 0784 982525, Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008. Mandia Shop - Lushoto: 0782257533. Handeni Mafiga -0782 105735/0657093983

    Mwanza Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362

    Musoma Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa

    Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623

    Shinyanga Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426 Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040

    Dar es Salaam: Ubungo Islamic High School : 0756584625/ 0657350172 Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Ya kin : 0655144474/0787119531

    Morogoro Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.

    Dodoma Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/071

    Singida: Ofisi ya Islamic Education. Panel karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039.

    Manyara: Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0784491196

    Kigoma: Msikiti wa Mwandiga: 0714717727 Kibondo Islamic Nursery School: 0766406669. Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.

    Lindi Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653

    705627. Mtwara: Amana Islamic S.S: 0715

    465158/ 0787 231007. Songea: Kwa Kawanga Karibu na

    Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772. Mkuzo Islamic High School :0717 348375.

    Mbeya: Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini 0785425319. Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319.

    Rukwa :Sumbawanga:Jengo la Haji Said Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.

    Tabora: Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342

    Nzega: Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.

    Iringa: Madrastun Najah: 0714 522 122.

    Pemba: Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.

    Unguja : Madrasatul Fallah: 0777125074. PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa Lumumba

    Mafia: Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.

    Kwa maelezo zaidi piga simu: 0787 188964, 0784 267762 na 0654 613080

  • 8 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015Makala

    SUALA la kuanzishwa Mahakama ya Kadhi kwa Waislamu nchini, ni suala ambalo kamwe haliwezi kutoka katika fikra za Waislamu. Waislamu kuwa na Mahakama ya Kadhi, ni muhimu kwa kuwa kungewapa uhakika wa kusimamia kwa usahihi wa mambo yao ya kiibada na kiimani.

    Suala hili lilishika kasi zaidi, hasa pale Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipoamua kuliingiza suala hilo katika Ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2005. Hapo Waislamu wakawa na matumaini kwamba, sasa umefika wakati wa kuwahudumia Waislamu kwa haki na kwa yakini katika Sheria za Ndoa, Talaka, Mirathi na Wakfu.

    Hata hivyo baada ya suala hilo kuonekana kuridhiwa na serikali na mchakato wa ku l iweka k i sher i a kuanza, kuliibuka shinikizo kali kutoka kwa Wakristo wakiitaka serikali kuachana na suala hilo.

    L i c h a y a s e r i k a l i kuunda timu kuchunguza uendeshaji wa mahakama hiyo katika nchi nyingine zenye Mahakam hiyo ili kujiridhisha na hatimaye kukiri kuwa haikuwa na tatizo, bado wasiopenda uwepo wake walishinikilia kuikataa. Hata pale ofisi ya Waziri Mkuu ilipounda kamati ya kufanikisha mchakato huo, bado jambo hilo lilisuasua huku muda nao ukizidi kuyoyoma. Shinikizo la Wakristo kuikataa Mahakama hiyo l i l ikolea na wao ndio wal is ik i l izwa, hoja za Waislamu zikatupiliwa kwa mbali.

    Hata katika Bunge la katiba, Tume ya Katiba nayo haikutaka kusikia haja hiyo ya Waislamu. Walitupilia mbali maoni yao ya kuhitaji chombo chao hicho.

    S e r i k a l i i l i s i t i s h a uwasilishwaji wa muswada wa Mahakama ya Kadhi katika Mkutano wa 19 wa Bunge uliohitimishwa mjini Dodoma April mwaka huu na ukawa ndio mwisho wa matumaini ya kuanzishwa m a h a k a m a h i yo k wa Waislamu.

    K a t i b u wa B u n g e , Dk. Thomas Kashil i la

    Tuingie uchaguzi tukitafakarihali ya Masheikh wetu Segerea

    Ponda alipigwa risasi, akatupwa SeroAmekuwa mfungwa ambaye hajahukumiwaLipo pia la kuzimwa Mahakama ya Kadhi, OIC

    SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto) akiongea na mmoja wa mawakili wake akiwa mahakamani.

    Na Shaba Rajab

    alithibitisha kuwa muswada wa Mahakama ya Kadhi h a u t a k u w a p o k a t i k a mkutano huo.

    Dk. Kashilila alisema h a i j u l i k a n i n i l i n i utawasilishwa bungeni kwa sababu Mkutano wa Bunge uliofanyika Mei mwaka huu, ulipangwa mahsusi kwa ajili ya bajeti.

    Waziri Mkuu alivyosema wataangalia na kushauriana kimsingi, alitoa maneno ya busara tu au ilikuwa kauli ya mtu mzima, lakini huu muswada hautakuwapo, alisema Dk. Kashilila.

    Awali hali iliyojitokeza waka t i wa semina ya wabunge haikuwa nzuri kutokana na mvutano mkali miongoni mwa wabunge.

    Kulikuwa na mvutano mkubwa baina ya viongozi wa dini kuu mbili, Waislamu na Wakristo kundi moja likitaka uwasilishwe huku kundi lingine likipinga. Kwa

    mujibu wa taarifa ambazo zipo, Waislamu walidai kuwa waliahidiwa na viongozi ambao wako madarakani k w a m b a w a t a p a t i w a Mahakama ya Kadhi. Hiyo ilikuwa wakati wa kampeni kabla ya uchaguzi mkuu 2010.

    Pia wakati wa Bunge la Katiba ilipotokea mvutano kuhusu hatma ya mahakama hiyo hadi kusababisha b a a d h i y a w a j u m b e Waislamu wa lililokuwa Bunge la Katiba kutamka bayana kuwa wangeipigia kura ya hapana rasimu ya tatu ya katiba, Serikali ikaahidi kupeleka muswada bungeni ili kutunga sheria itakayo ruhusu uundwaji wa Mahakama ya Kadhi, muswada ambao kama tul ivyoona, ul ikatal iwa kuf ika Bungen i kama alivyobainisha Dk Kashilila hapo awali.

    Kimsingi kinachoonekana

    hapa, Serikali na hata CCM, wamekuwa wak i tumia mbinu za aina mbalimbali ili kuhakikisha mambo yao yanafanikiwa kwa mgongo wa umma wa Kiislamu. Suala la uhakika wa kutekelezwa jambo lenyewe halitizamwi. Kwa kuwa jambo lenyewe ni ahadi, basi jamii kama ya Waislamu huahidiwa na kubakia na matumiani. Wanapot imiza wa j ibu wao kulingana na ahadi walizopewa, na kwa kuwa iliyotolewa ilikuwa ni ahadi tu, basi huachwa njia panda.

    Unapokaribia uchaguzi mwingine hutengenezwa h a d a a n y i n g i n e k w a staili nyingine, alimradi wanaohadiwa waendelee kuishi kwa matumaini b i l a k u t i m i z i wa y a l e wanayoahidiwa.

    Sasa ni wazi suala hili la Mahakama ya Kadhi halipo tena. Uchaguzi Mkuu ndio huo umeingia tena.

    Tunahoji, jamii ya Kiislamu imejitambua na kujitathimi n a m n a y a k u u e n d e a uchaguzi huo, pamoja na mambo mengine, lakini kwa kuweka mbele zaidi maslahi mapana ya jamii?

    Ukweli unaothibitika hapa ni kwamba, hakuna nia ya dhati ya serikali wala chama tawala kuwaruhusu Waislamu kuwa na chombo hicho kisheria zaidi ya hadaa kwa maslahi ya kisiasa. Tutakumbuka kuwa Rais Jakaya Kikwete, aliwahi kuzungumzia hadharani kuhusu suala la Mahakama ya Kadhi wakati suala hilo lilipozidi kushamiri katika mijadala ya kijamii. Ilifika mahali kwa kauli yake kueleza kuwa hakuhusika kuliweka suala hilo katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

    Ndugu zangu napenda mtambue kuwa, mgombea urais hahusiki na uandaaji wa Ilani, wala hahusishwi nawasihi tu tuwe watulivu na tuiache kamati ifanye kazi yake, ni watu wenye busara, naamini hawatafanya maamuzi mabaya, hayo ni maneno ya Rais Jakaya Kikwete aliponukuliwa na vyombo vya habari Novemba 11 mwaka huu.

    Rais Kikwete alitoa kauli hiyo wakati al ipokuwa akizungumza katika Ibada ya kumsimika Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Alex Malasusa, katika Kanisa Kuu la Azania Front, Dar es Salaam.

    Katika hotuba yake, Rais Kikwete alisema ameamua kulizungumza suala hilo kwa sababu ameziona dalili zinazoashiria kuwa kusipokuwa na uangalifu, upendo na mshikamano baina ya Wais lamu na Wakr i s to hapa nchin i utaharibika kutokana na mjadala kuhusu Mahakama ya Kadhi.

    L a k i n i a l i w a s i h i Wa t a n z a n i a k u wa n a subira kwa sababu suala hilo, ambalo mjadala wake unash ika kas i , ha tma yake itajulikana Februari mwakani (2015), Tume ya Kurekebisha Sheria, itakapotoa ripoti yake.

    Hata hivyo, Rais Kikwete a l ionekana kuwatup ia lawama wanasiasa kuwa ndio wanaochochea suala

    Inaendelea Uk. 13

  • 9 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015Makala

    Kura yangu nimpe nani?Inatoka Uk. 6na Zanzibar. Kama zipo njia nyingine, hayo ni mengine. Mimi siyajui).K i n a c h o z i d i

    k u n i ch a n g a n y a z a i d i ni kwamba, kila mmoja anasema vizuri kuhusu m s i m a m o w a c h a m a chake, kwamba wakiingia watadhibiti maovu yote. Lakini pamoja na ushawishi huo, binafsi nimeshindwa kushawishika kwa nukta m o j a t u , a m b ayo n i uaminifu. Nafsi inashindwa kukubali kuwaamini watu ambao hawana elimu ya muongozo, watu ambao wako mbali na mafundisho ya dini, watu ambao wako mbali na Mungu!!

    Mg ombea Ura i s wa CCM, kwa awamu hii ni Dk. John Pombe Magufuli. Ni katika viongozi ambao wanadaiwa kufanya vyema katika nyadhifa mbali mbali alizowahi kushika, na hasa aliposhiriki zoezi la kuuza nyumba za serikali.

    N i m u h i m u s a n a kufahamishana juu ya mambo nyeti kama haya kwa kuwa, aghalabu tumekuwa tukishiriki uchaguzi lakini mpaka leo h i i hatuna lolote la kujivunia kwamba limetekelezwa na serikali

    tuliyoichagua. Kumbuka uchaguz i

    haupo mbali. Kura yangu n i m p e n a n i a m b a y e atanihakikishia usalama wa dini yangu, wazazi wangu, masheikh zangu, mke wangu, wanangu, ndugu zangu, rasilimali za taifa na

    mengineyo? Ila kuna mambo mawili,

    matatu inafaa tuyafahamu uzuri tusije jichanganya. Kuna matatizo yetu ya msingi kama Waislamu, ambayo hayawezi kutatuliwa na yeyote atakayeingia madarakani kama s i s i

    wenyewe hatujakuwa na mtaji wa kutosha. Mtaji u t akaomfanya y eyo t e anaiyeingia madarakani kututizama kama Mwalimu Nyerere alivyowatizama wazee wetu wakati wa kupigania uhuru na miaka ya mwanzo ya Uhuru hata akawa anavaa kofia na kufunga swaumu ya sunna akiwa na Sheikh Ramia na wazee wa Kiislamu. Pili, yapo mambo yanatuhusu kama Watanzania, tunaoishi na wenzetu wa dini nyingine katika nchi hii Tanzania, ambao tunalazimika kuwa chini ya serikali yoyote itakayokuwa madarakani kwa mujibu wa Katiba na Sheria za nchi. Hapa ndipo ninapojadili mimi, kura yangu nimpe nani Oktoba. Tatu, kipo kisa cha Wayahudi kupewa manna na salwa wao wakasema wamechoka chakula k imoja miaka nenda miaka rudi, wakataka wabad i l i sh iwe wapate mchicha, kabichi, matango, vitunguu, ngano, kunde na kama hayo. Wakakemewa kuwa wanataka kubadili vizuri kwa vilivyo vibaya.

    SHEIKH Farid Hadd SHEIKH Msellem.

    Quran inasema: Na (kumbukeni habari

    hii kadhalika) Mliposema: Ewe Mussa! Hatuwezi kusubiri kwa chakula cha namna moja tu (Manna na Salwa), basi tuombee kwa Mola wako atutolee vile vinavyooteshwa na ardhi, kama mboga zake na matango yake na ngano yake na adesi zake na vitunguu vyake. Akasema (Mwenyezi Mungu), mnabadili vitu duni kwa v i le v i l ivyo bora?.(2:61)

    Katika agenda yetu hii ya Uchaguzi Mkuu na wagombea wake, katika kupima Sera, Ilani na ahadi za vyama v i l ivyoingia katika kinyanganyiro hiki, kat ika kuwat izama na kuwapima wagombea, la kuzingatia hapa ni kwamba hatuzungumzii habari ya Manna na Salwa.

    Jamani nisaidieni; Kura Yangu Nimpe Nani Mwezi Oktoba Mwaka 2015?

    Mkamilifu ni Allah pekee.Wabillah Tawfiiq!(Juma Jumanne-Simu:

    +255 659 789 468/ +255 752 527 833, Kateshi, Manyara)

    Historia ya skuli na Madrasa visiwani ZanzibarInatoka Uk. 4sehemu za Mombasa.

    M w a k a w a 1 9 5 5 ikafunguliwa Skuli ya ufundi, Trade School katika maeneo ya Mikunguni, chuo hicho cha ufundi kilisaidia sana katika ufanisi wa kuzitengeneza samania za maskuli pamoja na ofisi za Serikali na majumba yaliyokuwa yakimilikiwa na Wakfu.

    Sekondar i y a Ufund i ( S e c o n d a r y Te ch n i c a l ) ilifunguliwa Baiti Ras mwaka wa 1949 na skuli hii ikatoa mwanafunzi wa mwanzo Afrika Mashariki aliyebobea juu ya somo la Nuclear Physics Sheikh Mohammed Abubakar.

    Bada ya Chuo hicho cha ufundi ikafwatia kujengwa skuli ya Sekondari ya King George the VI ambayo walimu wake wote walikuwa ni wageni na walimu wachache waliokuwa ni wazalendo, wakiwemo Maalim Aboud Jumbe Mwinyi, Khakoo, Maalim Zubeir Rijal, Maalim Ahmed Abdulrahman, Maalim Abdallah Farhan.

    Skuli hii ya King George the VI ilijengwa kwa michango ya wananchi na Serikali kusaidia.

    Pemba nayo ikaanzishwa Sayyid Abdalla Secondary School katika mwaka wa 1962-1963. Madhumuni ya kujengwa skuli hii ilikuwa imalizike kuwa ni College, Maalim Zubeir Rijal, alikuwa ndiye mwalimu mkuu wake wa kwanza na kufuatiwa na rafiki yake Maalim Ahmed Abdulrahman. Baadaye skuli hii ikabadilishwa jina na kuitwa Fidel Castro Secondary School.

    M I O M E ( M o m b a s a I n s t i t u t e o f M u s l i m a Educa t ion ) , Chuo h ik i kilikuwa Kenya katika mji wa Mombasa, ikiwa zaidi ya asilimia 50 ya wanafunzi wake wakitokea Zanzibar. Chuo hicho mfadhili wake mkubwa alikuwa Mfalme Sayyid Khalifa bin Harub, pamoja na Aga Khan. Mzalendo wa Mombasa Khamis Muhamadi, alitoa eka 30 za ardhi yake kujengwa chuo hicho. MIOME na East Africa Muslim Welfare Society nitaielezea katika makala za siku za mbele na pigo walilolipata Waislamu wa Afrika ya Mashariki.

    Mwaka wa 1952 kilifunguliwa Chuo cha Kiislamu kwa jina la Muslim Academy na wengi waliosoma hapa walimalizia katika vyuo vya Hadhramout

    na Al-Azhar. Aliyepata kuwa Balozi wa Tanzania Uingereza na Naibu Waziri wa Mambo ya nchi za Nje Dk. Abdulkadeer Shareef ni matunda ya Muslim Academy. Muslim Academy ilikuwa chimbuko la kutoa wanafunzi mahiri katika lugha ya Kiarabu na dini ya Kiislamu. Mwaka uliofwatia wa 1953 ilianzishwa skuli iliyokuwa ikijulikana Arabic Speaking School, ambayo ikiwaandaa wanafunzi kukimudu kiarabu, lugha ya dini ya Kiislamu na baadhi ya wanafunzi waliosoma hapo waliendelea na masomo yao huko Misri, ukiwa kama mpango maalumu baina ya Serikali ya Misri chini ya Jamedari Gamal Abdul Naseer na serikali ya Zanzibar.

    W a h i t i m u k u e l e k e a Makerere College

    M a r a t u C h u o c h a Makerere kilipoanza kuchukua wanafunzi kutoka nchi za Afrika Mashariki, Zanzibar ilipeleka wanafunzi na wengi wa wanafunzi wa mwanzo wa Makerere College walikuwa ni watu muhimu katika sehemu ya serikali na utawala.

    Wanafunzi wa mwanzo

    wa l iope l ekwa wa l i kuwa Othman Shariff, aliyekuja kuwa mwanaharakati wa kutetea Zanzibar kupata Uhuru na bingwa wa kutibu wanyama, Ali Khamis bingwa wa kilimo akaja kuwa Spika wa mwanzo wa Baraza la Wakilishi, Ahmed Rashid alikuwa ni kati ya wataalamu wa mwanzo katika Afrika Mashariki katika fani ya mifugo, Ali Muhsin Barwany kiongozi wa ZNP mpiganiaji wa Uhuru wa Zanzibar, alikuwa kati ya mawaziri wa Serikali ya mwanzo ya Zanzibar kabla ya Mapinduzi.

    Wanafunzi hao wanne wa l i o k we n d a M a ke r e r e College wakafwatiwa baada ya miaka miwili na Sheikh Mohd Nassor Habsi, Sheikh Omar Abdalla ndio aliyekuwa mwanafunzi wa kwanza kwa Zanzibar kufuzu kwa somo la Uhai (Biology) na kufwatiwa na Maalim Zubeir Rijal ambaye yeye akatakhasusi juu ya somo la wanyama (Zoology) kisha kuwa ni mwanafunzi wa mwanzo kuchukua shahada ya kwanza (BSc Honours) ya Zoolog y kat ika chuo cha Queen Marry College cha Uingereza, Abdulrasul

    Khakoo, mtaalamu mkubwa wa hisabati aliyemalizikia kuwa ni Profesa wa hesabu nchini Uiengereza , Muhammad Ghasani (Bingwa) mtaalamu huyu alipata umri mrefu na kuweza kutoa mchango mkubwa katika taaluma ya kilimo visiwani na Mohammad Ali Awadh.

    Baada ya kundi hil i la wanafunzi likafuatia kundi l i l i loongozwa na Maalim Aboud Jumbe Mwinyi, bingwa mwengine huyu wa elimu ya uhai (Biology) baada ya kujiunga na siasa na kuwacha uwalimu anakuwa Rais wa pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Daktari Ahmed Idarus Baalawi, bingwa wa meno aliyekuwa katika mwezi anatumai nusu ya mwezi hospitali ya Manazi Mmoja na nusu mwezi kuwashughulikia wanafunzi.

    Ta k r i b a n h a o w o t e n i l iowata j a wa l ioh i t imu Makerere College, walikuwa ni sehemu muhimu ya maendeleo ya Zanzibar.

    Makala i jayo i taelezea namna vyuo na Madrasa vilivyoanzishwa Zanzibar na maendeleo yake.

  • 10 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015Makala

    J U M A M O S I y a w i k i iliyopita Julai 25, 2015 gazeti la JamboLeo lilitufahamisha kuwa watuhumiwa wa uvamizi wa kituo cha Polisi Sitakishari wametoa siri nzito. Siri yenyewe ni kuwa watuhumiwa hao wamesema kuwa wanakusanya silaha kwa ajili ya kusimika dola ya itikadi ya imani yao.

    Habari zi l izopatikana ku toka ndan i ya a skar i waliopo kwenye operesheni inayofanywa katika ki j i j i cha Mandikongo, Bupe na Chamanzi Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani z inaeleza kuwa baadhi ya watuhumiwa wamesema kwamba wanavamia vituo vya polisi ili kukusanya silaha ambazo zitawapa nguvu ya kugeuza utawala nchini ili uwe wa itikadi ya dini yao. Limeandika gazeti hilo.

    Gazeti hilo limedai kuwa kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vijana hao wa Afande Mangu, pamoja na kuteka vituo ili kupata silaha, watuhumiwa hao huwa wanapewa mafunzo (ya kijeshi?) na wakufunzi wa ndani na nje.

    Tunapa ta wakufunz i kutoka ndani na nje, lakini suala kubwa linalotukwamisha ni jinsi ya kuingiza silaha, hivyo kutokana na kuwezeshwa na wahisani wetu ndio maana tunakusanya bunduki za ndani.

    A n a d a i w a k u s e m a askar i mmoja ak inukuu maneno ya mtuhumiwa wa tukio la Sitakishari na kuongeza akisisitiza kuwa polisi watapambana vikali kuhakikisha kuwa vikundi kama hivyo vinachakazwa kokote viliko ndani ya nchi.

    Kule Upareni, ukisikia m s e m o, N d a m a y a e t e mikono, maana yake ni kuwa kama kuna jambo mlikuwa mkilisubiri kwa hamu, basi muda wake umetimia.

    Kama lilivyosema gazeti tunalol isherehesha hapa, Sitakishari kuna siri nzito. Haihitaji kuwa mtaalamu bingwa wa masuala ya uhalifu (cr iminology), kugundua mashimo katika taarifa hizi tunazopewa juu ya suala la S i tak ishar i na hata ya le matukio yanayodaiwa kutokea Morogoro watu wakikamatwa na bendera zenye maandishi ya Kiarabu!

    Gazeti linatuambia kuwa waliokamatwa wamesema kuwa wanateka vituo vya polisi ili kupata silaha za kusimamisha dola inayoongozwa na dini yao. Tuanze kusema kuwa kama ni siri, haya maneno sio mara ya kwanza kusemwa. Bila shaka tutakumbuka kuwa baada ya lile tukio la Songea la mtu

    Wandishi wa Habari.

    Mchezo wenu ni mauti kwetu!Siri ya Sitakishari haijasemwa badoTuambiwe mamluki wanatoka wapiKawaingiza nani nchini na kuwalinda

    Na Omar Msangi

    MKUU wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu.

    MKUU wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange.

    aliyekuwa akipita misikitini kukusanya pesa za kununulia bunduki na tasbihi (risasi), tulihoji, inakuwaje mtu apite

    msikiti wa kwanza wa pili wa tatu na ujumbe huo lakini hakamatwi? Na mpaka leo, hakuna taarifa kuwa mtu

    yule aliyetambuliwa kwa jina la Abdallah Kesi, aliwahi kukamatwa na kufikishwa mahakamani. Aliwahi kusimulia

    kijana mmoja katika vijana waliowahi kukamatwa Songea wakituhumiwa kwa ugaidi na baadae kuachiwa, kuwa wakati akihojiwa, aliuliza juu ya yule jamaa Kesi, waliokuwa wakimuhoji wakamkatiza kwa kumwambia, huyo tunajua habari zake! Habari gani? Kwa nini mtu apite akichagiza watu kununua silaha kihalifu na kinyume na sheria, lakini husikii akikamatwa? Basi kama ni siri, watakuwa nayo hawa akina Kesi na hao waliosema kuwa wana taarifa zake. Ni kama inavyotokea kule Mwanza, anakamatwa Mkuu wa Kitengo katika msikiti fulani unaohimiza Jihad Feki ya kuuwa makafiri, lakini kitengo kinaachwa kinaendelea na mahubiri ni yale yale na kila baada ya muda watu wanatoweka, unaambiwa wamekwenda shamba! Je, tutakuwa tumekosea tukiingiwa na wasiwasi kuwa huenda hawa ndio mtaji wa kutuundia pseudo gangs tunaoambiwa wapo msituni Lindi, Pwani na Morogoro?

    Pili, baada ya muda mfupi, katika masiku yaliyoendana na l i le tukio la Amboni, zilisambazwa taarifa katika C D n a p i c h a z a m t u aliyejifunika nyuso, akisema hayo tunaoambiwa leo kuwa ni siri nzito. Mtu yule aliyejitaja kwa jina la Kaisi, alisema kuwa yeye ndio kiongozi wa kundi linaloteka vituo vya polisi kukusanya silaha za kufanyia Jihad.

    S i s i b a a d a y a t u k i o lile tulisema kuwa katika ulimwengu wa leo, hakuna namna vyombo vyetu vya usalama vinavyoweza kudai kuwa havijui nani al i toa ujumbe ule. Lakini zaidi ya hapo ni kuwa iliripotiwa katika gazeti moja kuwa gazeti hilo lilipewa CD na muhusika na wao wakaenda kutaka maoni ya Mkuu wa Jeshi la Polisi. Kwa hiyo, tulitarajia kuwa waliopewa CD Hizo, ndio wangekuwa mashahidi namba moja. Lakini kimya!!!

    Sasa kama ni siri nzito, siri hiyo haijasemwa bado. Wananchi wanahitaji kujua, nani yule alikuwa akipita misikitini kukusanya pesa za kununulia tasbihi. Nani yule aliyetengeneza CD na kudai kuwa ndiye kiongozi wa kuteka vituo vya Polisi.

    Kwa mujibu wa gazeti, polisi mmoja anaripoti kuwa watu wanaowashikiliwa wamesema kuwa wana wakufunz i kutoka ndani na nje ya nchi. Wakufunzi hao ni akina nani? Wameingiaje nchini na kujichimbia katika misitu hiyo bila serikali kujua?

    Kama polisi wetu wameweza kuwahoji watuhumiwa mpaka

    HOFU imetanda miongoni mwa Waislamu baada ya kupatikana kwa taarifa kuwa baadhi ya watuhumiwa katika kesi ya ugaidi, hawajulikani walipo.

    Taarifa zilizopo ni kwamba kuna baadhi ya watuhumiwa hawajukani walipo na wala hawaonekani mahamakani siku za kutajwa kesi zao.

    Aidha, hakuna taarifa zozote zil izotolewa mahakamani kueleza wapo wapi na kwa nini hawaletwi mahakamani, jambo ambalo limezua wasiwasi kwa Waislamu wa Morogoro.

    Mmoja wa watuhumiwa hao ametajwa kwa jina moja la Amini, ambaye ni mfanyakazi wa Shirika la Usambazaji Umeme nchini TANESCO.

    Taarifa zaidi zinabainisha kuwa baadhi ya watuhumiwa waliachiwa lakini hali zao kiafya zikielezwa kudhoofu sana tofauti na walivyokamatwa.

    Inaaminiwa kuwa hali hiyo imetokana na mateso makali waliyopata watuhumiwa hao baada ya kukamatwa.

    Baadhi ya walioachiwa ni mtuhumiwa aliyetajwa kwa

    Hofu yatanda, ni huzuni tupu!Na Shaban Rajab jina moja la Ustadh Ahmad

    wa Mikumi na fundi cherehani aliyetajwa kwa jina la Muya pamoja na mfanyabiashara aliyetajwa kwa jina moja la Mushi.

    Taarifa zinaeleza kuwa chanzo cha kukamatwa Bw. Muya ni simu yake ya mkononi kukutwa na milio ya bunduki huku kwenye kioo cha simu yake hiyo (screen wallpaper) kuonyesha picha ya wapiganaji wa al Shaabab.

    Aidha, imedaiwa kuwa hadi sasa kuna baadhi ya wakazi wa Kidatu Kilombero wamelaz imika kukimbia makazi yao kutokana na hofu ya kukamatwa na polisi, baada ya kuzagaa fununu kwamba majina yao yapo katika orodha ya watu wanaotafutwa na polisi, ambao wanatakiwa kuunganishwa na wenzao walioko rumande katika ya kesi hiyo hiyo ya ugaidi.

    Ku n d i l a k wa n z a l a Waislamu wanaoshikiliwa rumande kwa tuhuma za ugaidi mkoani Morogoro ni Majaliwa Mohammed Ngarama, Muhudi Omar Jambia, Ramadhani Mohammed Athuman, Juma Ismail salum, Nassir Abdallah Mussa, Ally Shaban Athumani,

    Ramadhani Hamisi Wawa, Juma Ramadhani Ibrahim, Hassan Ally Hamis, Hamis Hassan Ntuko na Maulid Hassan Sultan.

    Hawa wote wamefunguliwa kesi ya ugaidi namba 16 ya mwaka 2015.

    Kundi la pili linawajumuisha Bw. Khalid Omary Jumbe, John Wales, Fredrick Evarist Chamnungu, Ridhiwani Issa Mwiru, Yusuf john Juma Bakihayo, Juma Salum Abdalla, Shomary Rajabu Singo, Ally Abda l l a Enz i Mngindo, Khamis Fadhil i Nahoda, Hamis Islam, Rahibu Salimu Msuya, Dawali Ramadhani Msuya na Athumani Omary Jumbe.

    Kundi hili limefunguliwa kesi ya ugaidi namba 17, 2015 ambapo ke s i y ao ilitajwa Jumatatui wiki hii katika makahama ya mkoa wa Morog oro, ambapo iliahirishwa na watuhumiwa kurejeshwa rumande hadi Agosti 8 kesi yao itakapotajwa tena.

    P a m o j a n a k w a m b a kesi za watuhumiwa hao zimekuwa zikitajwa tu tangu

    Inaendelea Uk. 11Inaendelea Uk. 11

  • 11 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 201511 AN-NUURMakala

    Mchezo wenu ni mauti kwetu!Inatoka Uk. 10wakakiri kuwa ndio waliovamia na kuuwa Sitakishari na kupora silaha, kama askari wetu wameweza kuwahoji wakaweza kusema kuwa lengo la kupora silaha hizo ni nini, kama wameweza kuwahoji waka f i chua kuwa wana wakufunzi kutoka ndani na nje wa kuwapa mafunzo ya kijeshi, bila shaka polisi pia watakuwa wanajua, wakufunzi hao ni akina nani. Na kama ni siri nzito, ipo hapa.

    Kama kuna watu, wawe wa dini yoyote, Watanzania wenzetu, ambo sio pseudo wenye kuundwa na kutumiwa na maaduni wa nchi hii au tuseme mabeberu wenye malengo yao ya kutuletea machafuko na kupandikiza ugaidi, hawa sio wa kutisha. Kama alivyosema yule polisi al iyenukuliwa na JamboLeo kuwa polisi wanapambana kuhakikisha kuwa wanavitokomeza vikundi vyenye kuteka vituo, wala haichukui muda, wanamalizwa kweli.

    Katika toleo la wiki iliyopita la gazeti hili, tulielezea mbinu chafu za wakoloni/mabeberu kuunda, kufadhili na kuendesha makundi haramu, maarufu kama pseudo gangs ambayo hufanya matukio ya kihalifu, kuuwa na kufanya hujuma mbalimbali, kisha husingiziwa watu au vikundi fulani. Na tukasema, hiyo hutumika sana katika hii inayoitwa vita dhidi ya ugaidi. Kwa hiyo, kama kuna Al Shabaab wa kweli kule Somalia, basi wapo na pseudo al Shabaab. Na kwamba hawa pseudo al Shabaab huwezi kupambana nao na kuwashinda kwa sababu, kama lilivyo neno pseudo, ni kitu cha uwongo. Na ukitaka kujua uwongo wake, fikiria utakavyofikiria kuwafikiria vijana wa Kitanzania, fikiria utakavyofikiria, unaoweza kuwaita vijana siasa kali au mujahidina wa Tanzania (bila ya kuwa na bias), hutamuona mwenye jeuri na uwezo wa kufanya tukio la Sitakishari. Kwa hiyo, kama ni siri nzito, basi siri yenyewe ni kuwa tushaingiliwa na pseudo kundi la watu wanaotaka kusimamisha dola kwa mujibu wa dini yao kupitia kupora silaha katika vituo vya polisi. Na kama ni kufichua siri, basi siri ya kufichuliwa ni hii kwa sababu hii ndiyo itakayotuangamiza.

    Kule Nigeria, kulikuwa na watu wakijiita Jam'at Ahl as-Sunnah lid-Da'wah wa'l-Jihd'. Hawa walikuwa na mtizamo tofauti juu ya elimu waliyoiita ya Magharibi kwamba inapotosha maadili ya Kiislamu. Mara k imzahamzaha, ukaanza mtindo kama huu wa kuteka Sitakishari zetu. Kila likitokea tukio kama hilo, hudaiwa kuwa ni Jam'at Ahl as-Sunnah lid-Da'wah wa'l-Jihd' (Boko Haram). Na taarifa kama hizi za JamboLeo, zikawa

    KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova.zinasambazwa kuwa wanateka silaha ili kusimamisha Dola ya Kiislamu. Leo Boko Haram kutoka silaha za kuteka kituo cha polisi mithili ya Ushirombo, wana mpaka vifaru, na kila aima ya silaha nzito unayoijua ya kivita. Wanafikia kudaiwa kuteka kambi za kijeshi!

    Wanateka wasichana 200, mwaka wa pili sasa, si polisi, si jeshi la Nigeria wala usaidizi kutoka Marekani, Ulaya na Israel, uliweza kuwakomboa! Hawa hawawezi kuwa wale Boko Haram-Jam'at Ahl as-Sunnah lid-Da'wah wa'l-Jihd'. Watakuwa pseudo Boko

    Haram.Yapo mambo matatu hapa

    ya kuzingatia. Kwa muda sasa kumekuwa kukiendeshwa harakati za kuwakamata watu ikidaiwa kuwa ni operasheni ya kuwasaka magaidi. Hili likichanganywa na haya ya Sitakishari, inapandikizwa

    jambo la kuzikubalisha akili zetu kuwa miongoni mwetu wapo magaidi au watu wenye nia ya kusimamisha Dola ya Kiislamu kupitia njia za kigaidi, kwa maana nyingine tunao akina Jihad John wa IS.

    Pili, hili likishakubalika, inakuwa ni hatua muhimu ya kupandik iza pseudo gangs, kama mutawaita Al Shabaab, Boko Haram au IS au vyinginevyo.

    Ta tu , pseudo g angs zikishapandikizwa, hakuna mtakachoweza ku f anya kuj isa l imisha . Mkipigwa Sitakishari Ukonga, mnatuma vikosi kuwatafuta Kisarawe, waka t i p seudo g angs , wamee l ekea Bag amoyo, Zanzibar au hata je ya nchi kusubiri maelekezo ya kuja kupiga shabaha nyingine. Kama ni kufichuka siri nzito, basi itafichuka tukiwajua wanaounda hizi pseudo gangs walio nje na ndani ya nchi, wanaowalinda waweze kudumu kufanya yale yanayoendelea Nigeria utadhani nchi haina serikali, polisi wala jeshi.

    Nne, ambalo l inaweza kutusaidia kwa sasa, ni kukataa kuaminishwa uwongo utakao athiri akili zetu, uoni wetu na saikolojia yetu tukafikia maha l i pa kuona kuwa tuna IS miongoni mwetu. Tukishindwa kufanya hilo, tuk i sh indwa ku l ikamata kambaku kwa mapembe yake, mengine yatakuwa ni porojo tupu. Hakuna ahadi ya kamanda yoyote iwe wa polisi au jeshi kwamba tutapambana na wauwaji wa Sitakishari au magaidi, itakayotusaidia.

    Itakuwa ni yale yale ya mzaha wa Boko Haram. Mwaka wa pili sasa, kauli mbiu iliyoanzia Washington DC ya hoax ya Bring Back Our Girls, bado haijawaokoa wasichana 200 wa Chibok.

    Ni magaidi wa aina gani ambao kwa mfano wanaweza ku t eka wa s i chana 200 , watawaficha wapi, katika msitu gani Tanzania ambapo kwa zaidi ya miaka miwili, polisi, makachero na JWTZ, wanashindwa kuwafikia na kuwakomboa kama si mambo ya mzaha (hoax, fraud na jokes).

    Maadhali tuna akili, tuna hiyar i : kuj iuza wenyewe katika fraud hii au kusimama madhubuti kama wahenga wetu Suleiman Mamba katika Majimaji na akina Mkwawa. Hawa walikuwa wazalendo kweli, walio hiyari kujiuwa kuliko kunajisi nchi yao kwa kuwa vibaraka wa wakoloni. Wakoloni ambao ndio hao hao wanaotujia leo na ukoloni mpya wa world hegemony wakitumia njia hii ya kuleta vurugu na machafuko kupitia wanachoita ugaidi badala ya ile ya kuja kuvamia kijeshi.

    Hofu yatanda, ni huzuni tupu!waliposhitakiwa, baadhi ya Waislamu wanaofuatilia kesi za wenzoa hao, wamelalamikia kitendo cha kuzuiwa na polisi kuingia mahakamani kila zinapotajwa kesi za wenzao hao.

    Wakati huo huo, wakati sakata la uga id i l ik iz id i kuwaandamana baadhi ya Waislamu na viongozi wao nchini, Waislamu mkoani Morogoro wameutaka umma wa Kiislamu nchini kuwaunga mkono katika kuwasaidia watuhumiwa hao.

    Waislamu hao wa Morogoro wamesema kwa jinsi kesi inavyopelekwa, juhudi za makusudi za kuwawekea watuhumiwa hao mawakili z inahi ta j ika haraka kwa kuwa had i sasa hakuna wa kuwatetea na kesi zao zimekuwa zikipangiwa terehe za kutajwa tu na si kusikilizwa tangu waliposhitakiwa mahakani hapo.

    Wenzetu waliokamatwa hadi sasa wanasota korokoni kwa kukosa dhamana, kesi zimekuwa za kutajwa tu, mawakili hatuna, hawana msaada wowote, kesi yao haionekani katika vyombo vya habari, wengi hawaijui wala hawajui kinachoendelea, sasa tumeamua kuutangazia umma wa Kiislamu kwamba watuunge mkono kuwasaidia na kuwatafutia mawakili, alisema Ust. Juma Kitunga kutoka Morogoro, wakati

    Inatoka Uk. 10 ak iongea na mwandish i mapema wiki hii jijini Dar es Salaam.

    Alisema kuwa hivi sasa wapo katika mawasiliano na familia na ndugu za watuhumiwa, ili kukamilisha mipango ya kupata mawakili.

    A l i s e m a u j u m b e w a Wais lamu wa Morogoro wamelazimika kuja j i j ini Dar es Salaam kukutana na K ama t i y a Ku t e t e a Waislamu, inayowahudhumia watuhumiwa wa ugaidi na uchochezi katika Gereza la Segerea, wakiwemo Sheikh Ponda Issa Ponda, Sheikh Farid Hadd, Sheikh Msel lem Ali Msellem na wenzao, ili kuangalia namna ya kushirikiana katika kazi hiyo.

    Jum l a y a Wa i s l amu 25 walikamatwa na polisi huko Kidatu na Ruaha Wilayani Kilombero mkoani Morogoro tangu Februari mwaka huu na kuwekwa rumande wakidaiwa kupanga njama za kufanya ugaidi.

    Kwa muj ibu wa hat i ya mashitaka katika kesi namba 17, 2015 iliyofunguliwa katika mahakama ya mkoa Morogoro, imeonyesha kuwa kundi la kwanza lenye watuhumiwa 13 akiwemo Imamu wa Msikiti wa Sunna Kidatu, Juma Salum Abdalla, walikamatwa wakidaiwa kuwa kati ya Febriari 4, 2015 na Mei 1 mwaka huu katika Kata za Kidatu na Sanje Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro na katika maeneo mengine ya Jamhuri

    ya Muungano wa Tanzania walipanga njama za kufanya vitendo vya kigaidi, ambavyo vinavyojumuisha kushambulia watu na hata kusababisha vifo.

    Katika mashitaka hayo, baadhi ya watuhumiwa wamedaiwa kuandaa shambulio dhidi ya maofisa wa polisi huko Udzungwa, wengine wakidaiwa kujaribu kuua watu.

    Baadhi ya watu waliotajwa kutaka kuuliwa walitajwa kuwa ni Anna Tendwa Pius, Amosi Alphonce Msopole, Thomas F r a n s i s M a n j o l e , A z a m a Namiyuya na Novatus Osmond Ngupe.

    Hata hivyo, tangu wakati huo, kesi za watuhumiwa hao zimekuwa zikipangiwa tarehe za kutajwa tu katika mahakama ya Mkoa wa Morogoro bila kusikilizwa, huku watuhumiwa wakiendelea kusota rumande bila kuwekewa dhamana wala kuwa na mawakili.

    Kundi la pili la watuhumiwa, wamejumishwa watuhumiwa 12 akiwemo Imamu wa Msikiti wa Kilombero, wakidaiwa kukutwa na maguruneti mawili ya kutupa kwa mkono na sare zisizoruhusiwa.

    Walidaiwa kuwa walikutwa na viatu jozi mbili, kofia, koti ambavyo vinafanana na sare za jeshi la wananchi.

    Baadhi yao walifunguliwa mashitaka ya kukutwa na vitu vya milipuko na mafuta ya mlipuko (water jelly Explosives Vol IV.)

  • 12 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 201512 MAKALA

    SHUKURANI zote anastahiki m w e n y e z i mungu mola mlezi wa ulimwengu na rehema na amani zimfikie mbora wa viumbe bwana wetu muhamad na jamaa zake na sahaba zake wote: ama baada ya utangulizi huu mfupi:-

    K w a h a k i k a d i n i y a k i i s l a mu ambayo ni nyepesi inal ingania umoja daima na kuzoeana kati ya watu wote na inakataza kutengana na kusambarat ika kwani miongoni mwa msiba mkubwa ambao umeukumba umma huu ni kuonjwa kwa kudhoofika kwa nguvu yake n i kutokana na ku teng ena na na kusambaratika. amesema mwenyezi mungu "enyi mlioamini m n a p o k u t a n a n a kundi la maadui basi liangamizeni na mumtaje mwenyezi mungu kwa wingi ili mpate kkufaulu na mumtii mwenyez i mungu na mtume wake na wala msigombane m t a g a w a n y i k a n a k u h a r i b i k i w a n a kuondoka nguvu zenu na subirini hakika mwenyezi mungu yupo pamoja na wenye kusubiri. hanfali miongoi mwa upendeleo pekee wa umma huu ni uma mmoja. amesema mwenyezi mungu ((na

    Dini ni Mwenendo unaokusanya watu pamoja na wala hautenganishi

    Na Dr. Akili Mohamed Akili

    hakika umma wenu ni umma mmoja na mimi ni mola wenu mlez i niogopeni" (51) Al-Muuminuna . kwa hakika zimekuja aya na hadithi kwa aina mbalimbali juu ya dalili za qur-ani na suna zinazoamrisha umoja. wakati mwingine huja kwa mari ya uwazi kama katika neno lake mwenyezi m u n g u m t u k u f u ((shikamaneni katika dini ya mwenyezi mu n g u n yo t e n a wala msifarakane na kumbukeni neema za mwenyezi mungu kwenu pale mlipluwa maadaui akazizoesha nafsi zenu mukawa kwa neema za mwenyezi mungu ndugu na mlikuwa pembezoni mwa shimo la moto na tukakuokoeni , hivyo hivyo ndivyo a n a v y o b a i n i s h a mwenyez i mungu aya zake ili mpate kuongoka)) 103 Al-Imrani.

    Amesema Kurtubi ((Mungu amrehemu)) hapa mwenyezi mungu mtukufu anaamrisha k u z o e a n a n a anakataza kutengana kwan i ku t eng ana n i kuang amia na k u s h i k a m a n a n i kuokoka) na katika sahihi ya muslim toka kwa abi i hurarata amesema, amesema mtume (saw) ((hakika mwenyez i mungu a n a r i d h i a k we nu m a m b o m a t a t u . a n a r i d h i a k we nu mumuabudu yeye na wala msimshirikishe n a c h o c h o t e n a mshikamane katika dini ya mwenyezi mu n g u n yo t e n a wala msifarakane na anachukia kwene, p a m e s e m w a n a amesema, na wingi wa maswali na kupoteza mali (kufuja) na wakati

    mwingine huja amri ya kupatikana jambo ambalo halipatikani isipokuwa kwa umoja. amesema mwenyezi mungu ((kwa hakika waumini ni ndugu, basi utengenezeeni udugu wenu na muogopeni mwenyez i mungu i l i murehemiwe) ) (1) anfali na kutoka kwa anasi bin maliki (ra) kwamba mtume ( s a w ) a m e s e m a ( (msibughudhiane wala msihusudiane na wala msilipishane, na kuweni waumini wote ni ndugu, si halali kwa muislamu kununiana na nduguye zaidi ya siku tatu (3). ameipokea imamu ahmad, hii ni dalili inaamrisha waislamu k u f a n y a m a m b o yanayozidisha mapenzi kati yao. na kukatazwa n a k i l a j a m b o linalozlaishamaudhi kwa wa is l amu na k u a m r i s h a k w a uwazi kabisa kuwa wawe n d u g u , n a wala haiwezekani kwa waislamu wae ndugu i s ipokuwa w a w e n i w e n y e kupendana kwani udugu ni kinyume cha kutengana na m i o n g o n i m w a sampuli za qur-ani na suna katika dalili zawajibu wa udugu na umoja kati ya waislamu ni katazo la wazi juu ya kufar ik iana na kuhitilafiana ambao ni kinyume na umoja na kukusanyika. amesema mwenyez i mungu mtukufu ((na mtiini mwenyez i mungu na mtume wake na wala msigombane m k a d h o o f i k a n a zikaondoka nguvu z e n u , s u b i r i n i hak ika mwenyez i mungu yu pamoja na wanaosub i r i ) )

    (45) anfali amesema atwabar i ( (anasea mwenyez i mungu ametaja kwa waumini tiini enyi waumini m o l a w e n u , n a mtume wake kwa yale aliyowaamrisha na yaachen i y a l e aliyowakataza na wala ms ig ombane kwa lolote msikorofishane m t a h a r i b i k i w a a k a s e m a w a l a m s i h i t i l a f i a n e mtatengana na nyoyo zenu kukosana na kuharibikiwa. akasema wala msihitilafiane mtatengana na nyoyo z e n u k u k o s a n a n a k u h a r i b i k i w a akasema mkadhoofika mkaingia woga na kuondoka nguvu zenu. ameitoa toka barani toka kwa bin abbas, katika neno lake mwenyezi mungu (( na wala musiwe kama wale waliofarikiana na wakagombana baada ya wale waliokuja na katika ubainifu hapo wao wana adhabu kubwa 9105) al-imrani amesema katika hili na nyinginezo ndani ya qur-ani ameamrisha mwenyez i mungu j u u y a k u wa s i f u waumini kuungana na amekataza kutengana na kugombana na akawaambia kuwa waliangamia waliopita kabla yao kwa sababu ya kujionyesha na na kugombana na kukosana katika dini ya mwenyezi mungu inatakikana kwa wote tuwe mkono mmoja ch in i ya bendera ya uislamu ambayo imaamrisha kuzoeana n a k u s h i k a m a n a n a t u n a k a t a z w a juu ya kutengana na kugombana na mwenyez i mungu nd i y e anaye s ema kweli na yeye ndiye anayeokoa njia.

    Narejea Mhariri, niweke japo pembeniNiutowe ushauri, tungo zetu gazetiniSiri kuwa hadharani, kwetu sisi mtihaniTuziunde tungo zetu.

    Tuziunde tungo zetu, Bara hata VisiwaniTungo zitukuze utu, waja siyo hayawaniTusiwatukuze watu, mbele yetu mtihaniFaragha tena hakuna

    Na ziamrishe mema, tungo zetu ikhiwaniTusitete na kusema, hizi nazo tungo ganiAjifunzaye kusema, hivi kwake kosa ganiLeo twatukuza waja.

    Atukuzwaye manani, akhera na dunianiKutukuzwa ikhiwani, wapi aya nambieniMtukufu Jailani, n Rasuli IkhiwaniKulikoni Ikhiwani?.

    Kiigizo ni Shaban, Robert wa NgamianiAliitukuza fani, leowanatoa shaniFaragha zatiwa ndani, warithi wapate niniHaki zetu mtihani.

    Watunzi wa ushairi, sisi tumekosa niniTwalaumu wahariri, malipo hatuyaoniKatuni mwazihariri, na mapeni mfukoniBure tungo zetu kwani?.

    Ela bila ushairi, lugha zote mtihaniShake Spear mahiri, wamsifu kulikoniTena waona fahari, mtukuzapo wageniTungo zetu bure kwani?

    Nchi yetu Tanzaniya, Tanzania kulikoniNi fasaha yenye riya, manufaa kwa wageniLugha waliyovamiya, tukawaweka jikoniTungo zetu bure kwani?

    Mrambowa-0713 616 313

    UTUNZI U MASHANI

    Ibada kwetu ni dhima, ela walioaminiQalima ikisimama, ya Mola wetu MananiAula waloamini, Duniya ni mtihaniWapi Aya na Hadithi.

    Kongole kwa Ikhiwani, jahidi AfghaniKwa Farao gerezani, kosa lao kuaminiMkono wa Marekani, demo mtego wa nyaniWapi Aya na Hadithi.

    Wale wasioamini, huishi kwa kutamaniMapito ni mtihani, Akhera na dunianiWakosapo hulaani, lawama kwa ikhiwaniWapi Aya na Hadithi.

    Wao vyote hutamani, waviweke kibindoniDhahabu yote madini, wamiliki na UraniWatawala kulikoni, rejeo la wakoloniWapi Aya na Hadithi.

    Iwapi Palestina, Burma cello visiwaniWauliwa kwa mapana, wale walioaminiMauaji yafanana, kuuliwa wauminiWapi Aya na Hadithi.

    Kinara ni Mareni, Ulaya na DunianiKila aliyeamini, hupewa jina kwaniniSiasa kali ni nani, kama sio wauminiWapia Aya na Hadithi.

    Kadhi wamekomaliya, asiwepo kulikoniUganda, Zenj na Kenya, yupo tangu ukoloniWakomaa waso haya, alibaini MananiWapi Aya na Hadithi.

    Tamati naweka nanga, tukaishi nchi ganiSemeni sisi wapanga, nchi tuitafuteniMuone tabu ya unga, ugali apate naniWapi Aya na Hadithi.

    Masare SR (Mrambowa)071361633

    MILA ZAO DINI YETU

  • 13 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015MAKALA

    Tuingie uchaguzi tukitafakarihali ya Masheikh wetu Segerea

    Inatoka Uk. 8hilo kutokana na manufaa yao binafsi. Kitendo cha Rais Kikwete kupenda kuzungumzia sua la l a Wais lamu Makanisani , kilidhihirisha kwamba hofu aliyo nayo kuwa mkwamo mkuu wa kuanz i shwa mahakama hiyo ulikuwa Kanisa.

    K a m a K a n i s a wangeridhia, basi moja kwa moja na serikali nayo ingeliharakisha suala hili la Waislamu bila mizwengwe yeyote.

    Lakini Rais Kikwete alisema pia kuwa kiini cha mjadala kuhusu Mahakama ya Kadhi ni wanasiasa na akajivua kuhusika. Balala yake akatupa mzigo kwa awamu ya Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Philip Mangula na Mzee Kingunge Ngombale Mwiru.

    C h i m b u k o l a kinachosemwa sasa kuhusu Mahakama ya Kadhi ni bungeni, na muasisi wa hoja hii ni Mheshimiwa Augustino Lyatonga Mrema al ipokuwa Mbunge wa Temeke.

    Bwana Mrema alikuja na hoja binafsi bungeni ya kutaka kuundwa kwa

    M a h a k a m a y a K a d h i nch in i , a l i sema Ra i s Kikwete na kubainisha kuwa hoja hiyo iliungwa mkono na aliyekuwa Mbunge wa Bagamoyo wakati huo, marehemu Baruti Rajabu.

    Alisema kuwa baadaye ikafuatiwa kwa nguvu na hoja binafsi ya aliyekuwa Mbunge wa Moshi Vijijini kup i t i a TLP, Thomas Ngawaiya.

    Aliongeza Rais Kikwete kusema kuwa kwa busara za Spika wa kipindi hicho, Mzee Pius Msekwa, akisaidiwa na kiongozi wa shughuli za serikali bungeni wakati huo, Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, alikataa hoja hiyo kujadiliwa bungeni moja kwa moja kutokana na kile alichokitaja kuwa ni unyeti wake, na kuamua kuipeleka katika Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, ambako kamati hiyo iliyoongozwa na wenyeviti wawil i tofauti , Arcado Ntagazwa. Alipoteuliwa kuwa waziri, nafasi hiyo i l ishikwa na Athumani Janguo.

    Alisema baada ya kamati hiyo kukamilisha utafiti na kukabidhi ripoti kwa Spika, aliikabidhi serikalini ambako

    inafanyiwa kazi ili kutoa ushauri upasao.

    Serikal i imekabidhi Tume ya Kurekebisha Sheria kulifanyia kazi jambo hilo na kushauri ipasavyo. Tume inaendelea na kazi yake ya utafiti wa kina na kwa taarifa nilizonazo, huenda mwezi Februari mwakani watamaliza kazi yao ya utafiti na kuwa na lolote la kushauri, alisema Kikwete.

    A l i w a h a k i k i s h i a Watanzania kuwa serikali haitafanya uamuzi ambao hauna maslahi kwa nchi n a w a l a j a m b o h i l o halitaamuliwa kinyemela.

    A l i s e m a s u a l a l a Mahakama ya Kadhi si lake binafsi, na kuwa lilikuwepo kabla yake na mchakato wake ameukuta.

    Alisema mchakato wa suala hilo haukuanza na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005, kama wengi wanavyodai na kuwa Ilani hiyo ya uchaguzi imeutambua mchakato huo ku j ipa dh ima ya kuuendeleza ili kujaribu kutafuta ufumbuzi.

    Akikanusha kuhusika kwake kuliweka suala hilo katika Ilani, akisema kuwa mchakato wa kuandika Ilani

    huanza kabla ya uteuzi wa mgombea urais.

    A l i n u k u l i w a R a i s Kikwete akisema kuwa Ilani ilitayarishwa chini ya uongozi wa Mwenyekiti, Mheshimiwa Benjamin Mkapa ( ambaye naye alikuwepo kwenye ibada hiyo), Katibu Mkuu, Philip Mangula na Mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa K i n g u n g e N g o m b a l e Mwiru.

    Tunakumbuka kuwa baada ya kukwama ahadi ya Mahakam ya Kadhi, Baraza la Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, kupitia vyombo vya habari lilitoa tamko juu ya Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 02, wa mwaka 2014 , hasa kuhusu marekebisho kwenye sheria ya tamko la Sheria za Kiislamu.

    Baraza hilo lilieleza kuwa Waislamu wanafahamu kuwa kuanzia tarehe 13 hadi 23 Mwezi huu wadau mbalimbali wataitwa mbele ya Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kwa ajili ya kuwasilisha mapendekezo yao, hivyo Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania wakiwa sehemu ya wadau muhimu, wanaona mtir i r iko wa mchakato wa marekebisho ya sheria kwa mujibu wa muswada huo unaokusudia kutambua Mahakama za Kadhi Tanzania bara una kasoro kubwa.

    Kwamba unaonesha wazi kuwa serikali haina nia ya kweli ya kuunda Mahakama ya Kadhi yenye hadhi kamili ya kimahakama na uthabiti wa kuwepo kwake na kuwa, muswada huo ni hadaa nyingine ya serikali ya CCM kwa Waislamu kwa sababu malalamiko juu ya mahitaji ya Mahakama ya Kadhi yana historia ya kupindishwa pindishwa na serikali inayoundwa na CCM.

    Hata mchakato wa Katiba mpya ulipokuja, asilimia kubwa ya maoni ya Waislamu yaliyohitaji Mahakama ya Kadhi kuingizwa ndani ya Katiba, mapendekezo hayo yalikataliwa na Tume ya Jaji Warioba kwa hoja kuwa katiba inayotengenezwa ni

    ya Muungano na suala la Mahakama ya Kadhi si la Muungano, hivyo lisubiri wakati wa kuandaa Katiba ya Tanganyika.

    Lakini Bunge Maalum la Katiba likaikataa Katiba ya Warioba na kutunga Katiba Mpya Pendekezwa yenye mambo yote ya Muungano na yasiyo ya Muungano bila ya kuingiza Mahakama ya Kadhi kama ilivyoahidiwa na Tume ya Jaji Warioba.

    B u n g e l a K a t i b a lililokuwa linaundwa na wajumbe wengi wa CCM hawakuona umuhimu wa kutimiza ahadi yao ya kuweka Mahakama ya Kadhi katika katiba p e n d e k e z w a . K w a makusudi Mahakama ya Kadhi ikakataliwa na wajumbe wengi wa C C M w a l i s h a n g i l i a jambo hilo hali wanajua dhahiri kuwa Waislamu h a w a k u f u r a h i s h w a na uamuzi wao na pia kukiuka Ilani yao na ahadi kwa Waislamu.

    Hili ni somo tosha kwa Waislamu kujifunza na kufanya maamuzi sahihi kila wanapokuwa katika uchaguzi Mkuu.

    Lakini pia wakati huu, jamii ya Waislamu imekuwa ndio waathirika wakubwa wa sheria ya ugaidi, hata pale ambao masuala yenyewe hayahusiani na uovu wa kigaidi, lakini yakiwahusisha Muislamu au Kiongozi wa Kiislamu, basi ugaidi utaoteshwa.

    Leo Masheikh wengi wapo r umande kwa sababu ya kuadhibiwa kwa mambo ya kisiasa lakini yakafanywa kuwa tuhuma za ugaidi. Hili linawauma na linawakera Waislamu. Tabia haina dawa, aliyezoa kudhulumu, ni vigumu kuacha dhulma.

    Is i tara j iwe ahadi ya kuondoa dhulma ndani y a m f u m o u l i o a s i s i dhulma kwamba itakuja kutekelezwa. Uchaguzi mkuu ujao Waislamu wakae kitako na kutafakari kwa kina. Nini hatma yao katika nchi hii.

    RAIS Jakaya Kikwete (katikati), kulia kwake ni Kaimu Muft Sheikh Zuber na Mhe. Bernard Membe.

  • 14 AN-NUURSHAWWAL 1436, IJUMAA JULAI 31-AGOSTI 6, 2015MAKALA

    Masuala:1.Wataje wanawake 4 ambao watakuwa ni wanawake wa Peponi waliojulikana wakiwa bado wahai. Jawabu: Maryam, Asya, Khadija, Fatma2.Majina mengine ya Quran. Jawabu: Furqan, Kitaab, Noor, Huda3.Sura ngapi katika Quran. Jawabu: 1144.Mtume yupi katajwa sana katika Quran? Jawabu: Mussa5.Sahaba yupi aliomshauri Khalifa Syd Abubakar aikusanye Quran, iwe katika kitabu kimoja? Jawabu: Umar6.Sahaba yupi alikusanya Quraan katika mfumo huu tuliokuwa nao Sasa? Jawabu: Uthman7.Ukifunga mwezi wa Ramadhani na ukafwatisha siku sita za Shawal utakuwa sawa umefunga? Jawabu: Mwaka.8.Msikiti ulikokuwa mkongwe kuliko yote. Jawabu: Alqaaba9.Ameangamia pamoja na mikono yake miwili, ni nani huyo? Jawabu: Abulahab10. Tafsiri zinazojulikana za Quran kwa lugha kutoka Kiarabu kwenda lugha mbalimbali ni ngapi? 103, 250, 1,000 Jawabu: 103

    MAJIBU YA CHEMSHA BONGO NAMBA: 16

    Na Ben Rijal

    Na Ben Rijal

    Matokeo ya mwezi wa Shawal - 2

    Fatilia kuandama kwa MweziLeo Ijumaa ni tarehe 15 Shawal 1436 AH,

    sawa na tarehe 31 Julai 2015.Mwezi unategemewa kuandama kwa

    Mfungo Pili tarehe 16 August. Kutokea leo hadi kufikia Mfungo Pili tumebakisha siku 15.

    KA T I K A m a k a l a ya w i k i i l i o p i t a niliweza kuelezea matokeo mawili ambayo yalitokea katika mwezi wa Shawal wakat i wa Mtume (SAW), nayo ni tokeo la Banu Kaynukaa na vita vya Uhud. Katika muendelezo huo katika wiki hii nitazungumzia ju ya vita vya Uhud

    Vita hivi vilikuwa katika mwezi wa Shawal, ilikuwa mwaka wa tano tokea Mtume (SAW) kuhamia Madina. Katika mwezi kama huu kwenye kalenda ya Kiislamu kulitokea nusra kubwa kwa Waislamu juu ya makafiri wa Kikuraishi wa Makka ,vilitokea vita vikubwa vilivyoitwa vita vya Khandaq au kwa jina jengine vita vya Ahzaab.

    Kuitwa kwa vita vya vita vya khandaq ni kutokana na kuchimbwa khandaki kubwa na Waislamu kutokana na fikra ya Sahaba Suleimna bin Farsy .

    Matokeo ya k i l a k i tu hutokea kutokana na sababu inayosababisha kutokea tokeo na sababu ya vita vya Uhud ni pale Mayahudi wa kabila la Bani Nadhiri, walivyotaka kumkengeuka Mtume Muhammad (S.A.W) kwa kumuendea kinyume na kutaka kumtoa katika mji wa Madina kwa dhana zao kuwa, Mtume Muhammad (SAW) kafika Madina kuwatawala na kuwawekea sheria kali.

    Kutokana na hayo likatoka kundi l a Ban i Nadhi r i , walikwenda Makka kwa Makuraishi na baadhi ya makabila mengine ya Kiarabu yakiwemo makabila ya Atfaan, Bani Fuzara na Murrah kwa kuwataka msaada wa kumpiga v i ta Mtume (SAW) kwa kuwaeleza yafuatayo, Sisi tuko pamoja na nyie kwa kumtoa Muhammad, na dini yenu ni bora kuliko dini ya Muhammad. Mayahudi ni watu wa mbinu na siku zote huwa na hila na kuhakikisha kuwa utulivu unakosekana.

    Zilipomfika habari hizo Mtume (SAW) za Mayahudi na makafiri wa Makka kuwa

    tayari washaondoka Makka kuwakabili Waislamu, akawaita Masahaba zake na kuwapa habari ya Makuraishi juu ya njama na hujuma walioipanga na kuwataka fikra Masahaba juu ya ya kukabiliana na shari hiyo, iliyopangwa na Mayahudi wakishirikiana na Makureishi.

    Masahaba waliemewa na kuona kizungumkuti kutojua lakufanya, hapo akachomoza Sahaba mmoja ambaye tarehe ya Kiislamu haitomsahau kwa mchango wake mkubwa katika kufaulu Waislamu katika vita hivi. Alikuwa Sahaba Salmaan Al-Farisy, pale alipotoa fikra ya kuchimbwa khandaki ambalo huko kwa kwenye maeneo ya Farsy, ilikuwa ndio mbinu kuu ya kivita. Kwa kutoa fikra hii Waislamu wakashangaa kwa kuwa kitu hicho kilikuwa ni kigeni nao. Aidha hata neno khandak lilikuwa halitumiki.

    Fikra hiyo iliungwa mkono na Mtume Muhamd (SAW) na Masahaba wote kwa jumla, baada ya hapo wakatoka Waislamu nje kidogo ya mji wa Madina na kufunga kambi baina majabali mawili, hapo ndipo palipochimbwa mahandaki baina ya majabali mawili. Wakati kazi inaendelea y a u ch i m b a j i h a n d a k i , alijitokeza Sahaba mmoja na kumtaka Mtume (SAW) yeye na watu wake wawili au watatu kwenda kupata chakula kidogo kilichoandaliwa na mkewe. Mtume (SAW) baada ya kupewa mualiko huo akanadi kwa umma wote uliokuwepo pale kuwa, fulani anakualikeni chakula kwake.

    Kwa furaha likatoka jeshi zima mpaka kwa yule Sahaba na ilikuwa idadi ya jeshi linakaribia wapiganaji alfu tatu, hapo Bwana Mtume alitoa sharti kuwa chungu kilichopikiwa kisiepuliwe jikoni na wala isichomwe mikate mpaka Mtume afike. Alipofika Mtume Muhammad (SAW) akaingia moja kwa moja mpaka jikoni na kuanza kukata mikate na kuwagaiya jeshi lake, chakula hicho kidogo kiliweza kuliwa na jeshi lote la wapiganaji alfu tatu na kubakia.

    Ama ndani ya Madina mambo yalishtadi na Mayahudi wa Banii Nadhiri hawakusita kutafuta msaada n je ya Madina, bali wakawasiliana na Mayahudi wenzi wao kuwataka kuvunja mkataba na Mtume Muhammad (SAW) walioutia katika masuala ya kivita wakati alipofika Mtume (SAW) katika mji wa Madina. Aidha likatoka kundi ndani ya Waarabu wa Madina kwa kujiengua na ndugu zao kwa

    kutakaka nusra ya Allah kwa kurudi majumbani mwao, nao Mayahudi wakishikilia msimamo wa mapambano.

    Zi l ipomfika habari za kuvunjwa ahadi na kujitenga kwa wanafiki wa Madina, Mtume Muhammad (SAW) akamtuma Sahaba Saad Ibn Muaadh, kwenda kuhakikisha habari hizo na matokeo yake. Alipopata uhakika wake, Mtume (SAW) alitoa tamko la Allah Akbar nakubashirieni m a m b o y a k h e r i e n y i Waislamu.

    Inafahamika kuwa habari zilivowafikia Waislamu kuwa munaf i k ina wa Mad ina wamerudi majumbani na Mayahudi wamevunja ahadi, hapo Waislamu wakahisi kuwa wameelemewa kwa kila upande, kinyume na walivotaraji kuwa adui atakuwa mbele yao na baina yao kuna hilo khandaki, lakini sasa adui kawazunguka kila upande huku munafikina wakizidi kuwatia sumu waumini kwa kuwambia Muhammad alikuwa akiahidi kuwa watakula katika hazina za wafalme wa Fursy na Masri, lakini sasa imefikia hadi mtu hajiaminishi kwenda kufanya haja nje ya Madina.

    Zilipomfika habari hizi Mtume Muhammad