for additional resources visit - church of god evening · pdf filebiblia, tngeeleweka kama....

32

Upload: doanthu

Post on 24-Feb-2018

337 views

Category:

Documents


17 download

TRANSCRIPT

For additional resources visit:www.churchofgodeveninglight.com/books

KANISA LA MUNGU. SURA YA KWANZA.

JE KANISA NI NINI?

Maneno kanisa au kanisa (kwa wtngi) hupatikana katika kitabu chaAganoJipya mara mia moja na tisa (I09}, na mara nyingi hutafsiliwa kutoka kwa ekklesia, ile ingemaanisha ukweli kama kusanyiko la watu, na kullngana kuhiUmu ki biblia, tngeeleweka kama. ·kusanyiko la watu wa Mungu." ·kusanyiko la kifungua mimba," na mengine mengi.,ikimaanisha aliye mwanzilishi na mwenyewe. Na ·kusanyikolililokuwaAntiokia." ·kusanyiko la Mungu Ulilokuwa Korintho,""kusanyiko la Asia," ·kusanyiko la Galatia." na menginemengi .• kumaanisha makao tofauti ya makusanyiko ya Munguhapa duniani. Na hata kama tunatumia neno kanisa kamakawaida. au kusanyiko, ukweli ni kwamba maana yake nikulingana na imeelezewa na neno katika biblia. Kutumianeno kutokana na biblia kinyume na vile imeeleza ni kupotoshaneno la biblia. Basi fafanusi la neno kanisa ni nini? Jibu:·akavttia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka awekichwajuu ya vttu vyote kwa ajili kanisa; arnbalo ndilo mWiliwake, ukamilifu wake amekamilika kwa vyote katika vyote."Waefeso. 1:22-23.

·Naye ndiye kichwa cha mWili, yaani, cha kanisa: naye nimwanzo, ni mzaliwa wa kwanza kaUka wafu. iii kwamba awe mtangulizi katika yote." Wakolosai. 1: 18 "Sasa nayafurahfa mateso niliyo nayo kwa anjili yenu: Lena nayatimiliza katika mwili wangu yale yaliyopungua mateso ya Kristo, kwa anjili ya mwili wake, yaani kanisa lake." Wakolosai. 1 :24

Kanisa ni mwili wa Kristo. Na kama ni mwili wake Kristo. wanaohusika ni washirtka wake wote. Kwa hivyo kuita mjengo au jengo kanisa ni mzaha. Na kuita tengenezo limetawanyika kanisa; ni kupindua ukwell. Hakuna dhehebu linaweza kuilwa kanisa la Mungu. Na kama watu waaminifu. na wanaoweza kuhukumiwa na neno la Mungu,tusije tukaite kitu kingine kanisa ijapokuwa mWili wa Kristo; yaanJ, wote wameokolewa; popote pale au mahali fulanl.

(1)

2

SURA YA PILI.

NI NANI MW ANZILISffl WA KANISA?

Tunaambiwa kwamba lbrahimu "Alitazamia mjl wenye misingt. ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu." Waebranla. 11:10. Na mtumePaulo aliambiaWaebrania wale waliokuwa wameongoka katika mlango unaofuata wa kumi na mbili (mstari 22-24) ·aa11 ninyi mmeuftkillaMlimaSayuni,na mji wa Mungu allye hai, Yerusalemu wa mbingunl. na majeshi ya malaika elfu nyingt, mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa kwanza walioandikwa mbinguni,na Mungu mwamuzt wa watu wote, na roho za watu wenye haki waliokamilika, na Yesu mjumbe wa Agano jipya, na damu ya kunyunytzwa. lnenayo wema kuliko ile ya Habili."

Mji ule ambao mjenzl na muumba ni Mungu tumeufikia wakatl wa lnjili ya maongozi ya Mungu, na ni kanisa la kitlnda mimba. Kristo ambayealikuwa "Mungu aliyejlhidhirisha kama mwanadamu." ndlye mwanzilishi. mjenzi na muumba wa kanisa. "Kwa maana mtu huyu (Yesu Kristo), kwa maana hayo amehesabiwa kuwa amestahili utukufu zaidi kuliko Musa, kama vile yeye aitengenezaye nyumba alivyo na heshima zaidi ya hiyo nyumba, Maana kila nyumba imetengenezwa na mtu: Ila yeye aliyevitengeneza vitu vyote ni Mungu." Waebrania. 3:3-4. "Jitunzeni nafsl zenu, na lile kundi tote nalo, ambalo Roho Mtakatlfu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulisha kanisa lake Mungu alilolinunua na damu yake mwenyewe." Matendo ya Mitume. 20:28. "Enyi waume, wapendenl wake zenu, kama vile Kristo naye alvyolipenda Kanisa. akajlloa kwa anjili yake; ili makusundi alitakaze na kulisafisha kwa majl katika neno; apate kujiletea Kantsa tukufu, lisilona ila wala lolote kama hayo; ball llwe takatifu llsilo na mawaa" Waefeso. 5:25-27. "Nami nakwambla, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda." Mathayo. 16: 18.

-------

SURA YA TATU.

NI WAKA TI GANI KANISA LILIJENGWA?

Maneno yenyewe ya nyuma iliyoko kwa kifungu kilicho juu huongea kama ujenzi wa wakatl ujao. Sasa soma lWakorintho. 3:9, "Maana sisi tu wafanya kazi pamoja na

3

Mungu: ninyf ni shamba la Mungu, ni jengo la Mungu. Basi tangu sasa ninyf sl wagenl wala wapitaji. ball ninyi ni wenyeji pamoja na watakatlfu, watu wa nyumbani mwake Mungu."

·MmeJengwa juu ya msingi wa mitume na Manabii, nayeKristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni. Katika yeye jengo late linaungamanishwa vema nakukua hataliwe Hekalu takatifu katika Bwana." Waefeso. 2:19-22,

·Nmyf nanyf kama mawe yaliyo hai. mmejengwa mwenyumba ya Roho. ukuhani mtakatifu. mtoe dhabihu za Roho. zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu Kristo."! Petro 2:5.

Mwaka wa A.O. 32 Kristo alisema, "Nitajenga kanisa langu." mwaka wa A.O. 59, Mitume walisema. "Ninyi ni mjengo wa Mungu," "mmejengwa mjengo wa kiroho. • Kumaanisha kanisa ltltjengwa katl ya miaka hil. Ni ukweli kana kwamba kanisa hlianzia nyakatl za jitihada za Yohana Mpatlzaji, Yesu, na Mitume wake mbele ya siku ya pentecoste. Wakati huu wengt waliamini na kuingla kwa ufalme wa Mungu. na kufanyika kanisa. Lakini kushuka kwa roho mtakatifu ndtyo ulikuwa wakatl rasmi wa kujengwa kwa kanisa. na kulikamiltsha, kulingana na maandiko yalioko katika 1 Wakorintho. 12:6. 11-13, 18, 24. Kanisa huelezwa kama "mwili wake, ukamilifu wake ule umejaa wote na kote." Waefeso, 1 :23. Kanisa lililostahili halikuwepompaka ukamilifu wa Kristo kuftka, uliokuwa slku ya pentecoste. Na ilisimamishwa vlzurl, na "kuunganishwa pamoja nakukazwa." Na kama ule ndlo ullkuwa wakatl wa kanisa la Mungu kuanzishwa, na inafuata dhehebu lolote llmeanzishwa baadaye si kanisa la Mungu kamwe. walakini bintiyemchafuko, mzaliwa wakatl haufaao. Pamoja na hawa ni Urumi na madhehebu mengine yote. yale hayakubaliani na baadhi ya mafundtsho ya kanisa la Kirumi. (Katoliki)

-------

SURA YANNE.

NI NANI ALIYE MSINGI WA KANISA?

"Kwa anjili ya hayo Bwana Mungu asema hivi, Tazarna naweka Jiwe katlka Sayuni. liwe msingi, jiwe lilipojaribiwa, Jiwe la pembent lenye thamani, mslngi ulio imara; yeye aaminiye atafanya haraka" Isaya. 28:16.

"Maana ni nani aliye Mungu ila Bwana? Ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?" Zaburi. 18:31

4

"Maana msingi mwingine hakuna mtu awezaye kuweka, isipokuwa nt ule uliokwisha kuwekwa. yaant Yesu Kristo." l Wakorintho. 3: 11.

"Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni Jiwe kuu la pembent." Waefeso. 2:20, 21.

Katika kifungu kilicho nyuma tunaona mitume ndio mawe ya msingi. Hatuwezi kuhuzisha neno "mwamba," kama limetumika katika mathayo. 16:18 (Nami nakwambia, wewe ndtwe Petro, na juu ya mwamba huu nilaltjenga kantsa langu; wala milango ya kuzimu halitalishida.) kumaantsha Petero. hakuna Jambo katika fungu hili liko kinyume na maandiko. Mitume wote kuwa misingi, ukweli ni kwamba Petero alikuwa mmoja wao. Petero hakuteuliwa etl kwa sababu alikuwa na cheo kikubwa; ball kwa ajili ya mazungumzo katl yao. na jina lake. Kephas-mwamba-na lilithlbitisha. Kuwa ushuhuda kwamba; wale kumi na wawili ndio msingi. Tazama Ufunuo. 21:14. (Na ukuta wa mji ulikuwa na mistngi kumi na miwili. na katika ile misingi majina kumi na mawili ya wale mitume kumi na wawili wa mwana-kondoo.) Kristo ndiye msingi wa chint. Milume nao wakachaguliwa na kuongozwa na Mungu kutuletea Agano jipya, walikuwa mawe ya msingi. waktmiliki makao yakutuungantsha kati na Kristo aliye Mwamba, na sehemu ile ingine ya jengo. basi Kristo ndiye mwamba wa pekee. "Hakuna msingi mwingine mtu anaweza kujijengea." Ni mu undo mmoja tu unawezakusimama kwa msingi mmoja. Kristo alijenga kanisa lake juu yake mwenyewe. Malengenezo yote ya nyumaye hayana Kristo kama msingi wayo, na itaangamia.

-------

SURA YATANO.

KICHWA CHA KANISA NI NANI?

"Akavilia vitu vyote chini ya miguu yake, akamweka (Kristo) awe klchwa juu ya vitu vyote kwa anjili ya kanisa." Waefeso. l :22.

"Lakin! luishike kweli katika upendo na kukua ata tumfikie yeye kaUka yole, aliyekichwa Kristo. Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa kwa msaada wa kila kiungo. kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja. huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo." Waefcso. 4: 15-16.

5

·Kwa maana mme ni kichwa cha mkewe, kruna nayeKristo ni kichwa cha kanisa: naye nt mwokozi wa mwili. Lakini kama Vile kanfsa limtiivyo Kristo, Vivyo hivyo wake nao wawatu waume zao katika kila jambo." Waefeso. 5:23, 24.

"Naye ndiye kichwa cha mWili. yaant, cha kanfsa: naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ill kwamba awe mtangulizi katika yote.· Waefeso. 1: 18.

"Mtu asiwanyaganye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, kuabudu malaika, akajitia kaUka maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimWili: wala hakishiki kichwa, ambacho kwayeye mWili wote ukiruzukiwa na kuungamanishwa kwa Viungo na mishiba, huwakwamaongeoyatokayokwaMungu. "Wakolosai. 2: 18.19.

"Kwa maana Bwana ndiye mwamuzi wetu: Bwana ndiye mfanya sheria wetu; Bwana ndiye mfalme wetu: ndiye atakayetuokoa." Isaya. 33:22.

"Mtoa sheria na mwenye kuhukumu ni mmoja tu, ndiye awezaye kuokoanakuangamiza. U nani wewe umuhukumuye mtu mWingtne?" Yakobo. 4:12.

Vikudi vyote Vitengenezavyo sheria zao, kanuni za imani, taraUbu, na desturi za shirika. ·havtna kichwa chao" Kristo. Watunga sheria za kidini na mikutano maalum wanapuza mtoa sheria takatifu, wamejichukulia mahali pa Kristo na Mungu, na sio kanfsa la Kristo lililo chini ya marnlaka yake.

Tena kichwa ni kimoja: nakwasababu hU mWili ni mmoja.

-------

SURA YA SITA.

MLANGO WA KANISA NI UPI?

Asema Bwana: "Bast Yesu aliwaambla tena amini, amini, nawaambtenl. mimi ndimi mlango wa kondoo. Wote walionitangulia ni wevl na wanyang'anyt; lakini kondoo hawakuwasikia. Mimi ndimi mlango; mtu akiingla kwa mimi, ataokoka: ataingla na kutoka, naye atapata malisho ... Yohana. 10:7, 9.

"Tazama, nimekupa mlango uliofunguUwa mbele yako, ambao hapana awezaye kuufunga, kwa kuwa unazo nguvu kidogo. nawe umelttunza neno langu, wala hukulikana jina langu." Ufunuo. 3:8.

·Kwa maana kwa yeye sisi sole tumepata njia yakumkaribla Baba katika Roho mmoja." Waefeso. 2:18.

6

Kwenye maandiko haya tunaona kwa kweli Kristo ndiye mlango wa kanisa. na wokovu ndiyo njta rasmi, Na hill ndilo lango liko wazt kila wakatl, na hakuna yeyote awezaye kulifunga. Kristo sio lango la dhehebu lolote, na kwa sababu hit hakuna dhehebu lilllo kanisa la Mungu. Wokovu sto njia rasmi ya kukuballsha mtu kuwa mshirika wa dhehebu lolote hapa duniant; kwa hivyo hao st kanisa la Mungu. Madhehebu yote yana milango yao. njia zao za kupokea washirika. na inafungwa na kufunguliwa na wanadamu; tofautl na kanisa la Mungu. lile hakuna mwanadamu anayeweza kufungua au kufunga. Kwa hivyo madhehebu st kanisa lake Mungu.

-------

SURA YA SABA.

NANI MTEUZI WA WASfflRIKA KWA KANISA?

"Na siku zote kwa moyo mmoja waltdumu ndani ya hekaru. wakimega mkate nyumba kwa nyumba , na kushirtki chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe. wakimsifu Mungu. na kuwapendeza watu wote. Bwana akaltzidisha kantsa kila stku kwa wale waliokuwa wakiokolewa. "Matendo ya Mitume. 2:46, 47.

"Bali Mungu amevitia viungo kila kimoja katika mwill kama alivyotaka." 1 Wakorintho. 12:18.

"Kwa maana katika Roho mmoja sist sole tulibatizWa kuwa mwili mmoja, kwamba tu Wayahudi, au kwamba tu Wayunant: tkiwa tu watumwa au tkiwa tu huru; nasi sole tulinyweshwa Roho mmoja." l Wakortntho. 12:13.

Hapa anayetia washtrtka kwa mwili, ama anayeongeza kwa kanisa ni Mungu, nt Kristo na ni Roho. Ambao wote nt mmoja, Mungu mmoja mwenye nafst tatu.

Mungu haelekezi watu kwa madhehebu; kwa hivyo dhehebu st kantsa la Mungu.

-------

SURA YA NANE.

WASHIRIKA WA KANISA NI NANI?

Ikiwa. kama tumeona. wokovu ndiyo njia rasmi ya kutngta kwa kanisa. tnamaantsha hakuna altye kwa kanisa ambaye hajaokoka. Kantsa ni jamii moja "Ambaye kwa Jina lake ubaba wote wa mbtnguni na wa duniani unaitwa," Waefeso. 3:15.

7

Jamil hil ndiyo nyumba yake Mungu. - Basi tangu sasa ninyi st wageni wala wapitaji. ball ninyi ni wenyeji pamoja na watakatifu, watu wa nyumbani mwake Mungu." Waefeso. 2:19. Na inafuata ett ni wana wake Mungu. wale wote wamezaliwa kwa roho, wako kwa kanisa lake.Na tunaambiwa -atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa lbilisi hutendadhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hill Mwana wa Mungualidhihirishwa, ill azivunje kazl za lbillsi. Kila mtu aliyesaliwana Mungu hatedi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaandani yake: wala hawezl kutenda dhambl kwa sababuamezaliwa kutokana naMungu. Katika hill watoto wa Munguni dhahili. na watoto wa Ibillsl nao. Mtu yeyote aliyetenda haklhatokanl na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake. • ( 1Yohana. 3:8-10.); kumaanisha kwell watoto wa Ibilisi hutendadhambi, na watoto wake Mungu hawatendi dhambi. Mtumemtakatifu arundia kuhlmlza jambo hili. "Twajua ya kuwa kilamtu aliyezaliwa naMungu hatedl dhambl: baliyeye allyesallwana Mungu hujilinda, wala yule mwovu amugusi." l Yohana.5: 18. Hakurta watendadhambl kwakanlsa. Lakini madhehebuyamejawa na watenda dhambl. Na kwa sababu hlyo hakunadhehebu lilllo kanlsa la Mungu.

-------

SURA YA TISA.

NANI ANALITENGEZA KANISA?

Neno -tengeneza" hallko kwa maandiko na linaelezwa kwa kamusi kama: -pamba na sehemu: kupangakwa vipande: kuumba kwa utaratibu. •

Kanisa la Mungu limepambwa na sehemu. stkipangwa kwa vipande, na kwa utaratibu; huku nl muundo wa sehemu. Lakinl ni nanl aliye mtengenezajl wa muundo huu? na anayeupamba na sehemu? Jlbu: -Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwlnglne neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule; mwlnglne imani katika Roho yeye yule; na mwlnglne karama za kuponya katika Roho yule mmoJa; na mwingine matendo ya miujlza: na mwinglne unabll; na mwinglne kupambanua roho; mwlnglne aina za lugha: na mwtnglne tafstri za lugha: laklnl kazi hizi zote huzltenda Roho huyo mmoja. yeye yule, aklmgawta kila mtu peke yake kama apendavyo yeye. - 1 Wakorintho. 12:8-11.

8

"Bast ninyt mmekuwa mwtli wa Kristo, na viungo k1la kimoja peke yake. NaMungu ameweka wengine katikakanisa, wa kwanza mitume, wa pill manabii, wa tatu waalimu. kisha miujtza. klshakarama zakuponya wagonjwa, namasaidiano. na maongozt. na aina za lugha." 1 Wakortntho. 12:27, 28.

"Jitunzeni nafsi zenu. na lile kundi lote nalo. ambalo Roho mtakaUfu amewaweka ninyi kuwa waangaltzl ndani yake mpate kulilisha kanisa Jake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe." Matendo ya mitume. 20:28.

"Si kwamba twatosha sisi wenyewe kufikiri neno lo lote kwamba nl letu wenyewe, ball utoshelevu wetu watoka kwa Mungu. Naye ndiye aliyetutoshelesha kuwa wahudumu wa Agano jlpya: sl wa andiko, ball wa Roho: kwa maana andiko huua, ball roho huhuisha." 2 Wakorintho. 3:5, 6.

"Naye aliyeshuka ndiye yeye aliyepaa Juu sana kupita mblngu zote. ill avijaze vitu vyote. Naye alitoa wengine kuwa mitume: na wengtne kuwa manabil; na wengine kuwa wainjilisU: na wengine kuwa wachungajl na waalimu; kwa kusudl la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke. hata mwili wa Kristo ujengwe: hata na sisl sote tutakapoufikia umoja wa tmant na kumfahamu sana Mwana wa Mungu hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilivu wa Kristo:" Waefeso. 4:10-13.

Haya yametoza kuthibltlsha ati Mungu ndiye hupamba kanlsa na sehemu sote. vinaitanlshwa na vipawa vya Roho mtakatifu, na maafisa. Maandiko yaliyotangulia yana mathibitisho mawili ya neno "kutengeneza." Lakini ni nani anatengeneza na kuweka sehemu sinastahili? " Bali Mungu ameviUa viungo kilakimojakatlkamwtli kamaalivyotaka. .. Kwa maana vtungo vyetu vilivyo na uzuri havina uhitaji; ball Mungu ameuungamanisha mwtli, na kukipa heshima zaidi kile kiungo kilichopungukiwa: 1li kuslwe na faraka katlka mwtli, ball viungo vttunzane kila kiungo na mwenziwe." 1 Wakorintho. 12: 18. 24-25.

Maandlko mengine yanayoonyesha mapatano ya mwili wa Kristo, na mkonowaMungu na kupltla kwa Roho mtakatifu. Lakinl yale yamepeanwa hapo juu yametosha. Jambo moja lwayo. tunataja. na ndtyo kuwekelewa mikono na wazee kuagtza wazee, na kadhalika. Kwamba hii huusiana na utengenezaji wa kanisa kwa unyovu. Lakini haultwt

9

utengenezaji wa kanisa. Mungu anaagiza kwa njia ya kustahillsha na kuchagua, na wajumbe wake huagiza kwa kutambua mwilo takatifu. na kwa hii wanaagiza. Mpangilio huu unaonekana kwa dhahiri katika kitabu cha Matendo ya mJtume. 13: 1- 4.

Urtdhi wa mamlaka kupitia njia ya watawala wa kidini ni uramaliwamaonoya uongo; nguvuzajoka. Walewameokolewa na Mungu, na kubatizwa na nguvu, na kutumwa na Roho mtakattfu wanaongozwa chini ya mamlaka ya Mungu. na hit nl kuelekezwa kutoka mbtngunl na sio kupitta kwa laini ya kuwazika tu kwa watangulizi.

Kushuhudla matakwa kwa maafisa ni mpangtlio wa mchafuko wa dint, kule Mungu hayupo kufanya kazi "na moyo wake wote" kwa Roho mmoja halisi, kugawia kila Mtu mmoja kulingana na mapenzt yake

Hapo ndipo kanisa hutengenezwa na Bwana, na anayetia washirika wote kwa mwill kullngana na mapenzi yake, na anayegawa vipawa na miito kwa hekima yake kwa washirika wote wa mwili. wanadamu wanaweza kutengeneza mapatano ya kibinadamu. lakini sio mwill mtakattfu wa Kristo, ambao ndio kanisa. ndiyo asema Bwana; "Naye ni nani kama mJmi atakayeita, na kuyahubiri hayo. na kunitengenezea. tangu ntlipowaweka watu wa kale? na mambo yanayokuja. na yatakayotokea. wayatangaze." lsaya. 44:7.

HU ni kwa maana. Mungu mwenyewe" alijichagulia watu wa kale" kwa sehemu kadha wa kadha za mwili na yule alidhanta mbele kujichukulia mwenyewe mamlaka ya mwenye enzi. "Kila mtu amekuwa kama mnyama, ana maarlfa ; kila mfua dhahabu amefedheheshwa na sanamu yake ya kuchongwa; maana sanamu yake ya kuyeyuka ni uwongo. wala hamna pumzi ndani yake, ni ubatili tu, ni kazi za undanganytfu; wakatt wa kujiliwa kwao watapotea. yeye, fungu la Yakobo, stye kama hawa; maana ndiye aliyevyumba vitu vyote: Na Israeli ni kabila ya urtdthi wake: BWANA wa majeshi ndilo jtna lake.· YeremJa. 51:17-19.

Waanzilishi wa dint wamechanganytkiwa kwa sababu mJundo yao " hayana pumzi" -na haina uhai. Wanaiita makanisa. lakini nt "uongo" kazi ya kupotoza. Lakini kantsa la Mungu la kweli ndilo chanzo cha mambo yote. kanisa la kale ambalo Kristo alililonunua na damu yake mwenyewe.na kulijenga mbele ya mwinuko wa dint ya kwanza ya ukafili.

10

Anayejenga nyumba ndtye anaitengeneza. Walakint pangekuja wanadamu wengine na waipasue nyumba hiyo kwa sehemu nne. na watupe mstngt wa kila moja. kazt hiyo nt ya kuharibu mjengo huo. na kuuteketeza. Na vivyo htvyo Mungu kwa neno na Roho safi. huokoa kikamilifu, kusema mioyo mia nne katika mji mmoja anaweza kutengeneza na kulatntsha yote pamoja kuwa mwtli mmoja. lakini wahublli wanne. wanaostmamia madhehebu mengi, kila mmoja hutengeneza hapo Jamil tmefarakana ya washirtka sawa,ktla mmoja tngekuwa na ufidhuli wa kupiga riporti kwa mkutano ule alikuwa ametengeneza kaniSa ya washtrika mia moja na ukwell ni. wenyewe, ni kama makundi yametengantsha nyumba, wanawezakuharibu nakuchanganuakanisa. Ndtvyo, tunaona utengenezajt wa madhehebu wa wanadamu, ni kuchafua kanisa, liltlojengwa na Mungu. Tokea wakatl ule kanisahutengenezwanaBwana, inafuatakwambazile stnattwa kantsa na simetengenezwa na wanadamu, stnakosa chapa halisi ya Mungu, na sl kanisa lake, lakini ni mafarakano yasiyo maandtko matakatifu.

-------

SURA YA KUMI.

MUNGU ANA KANISA NGAPI?

Kila elezo la kanisa takatifu linaonyesha umoja -Na kondoo wengine ni nao [Wayunani), ambao sf wa zizi hilt [Wayahudi; na hao nao imentpasa kuwaleta, ... na sauti yangu watatsikia; kisha kutakuwako kundi moja (kantsa) na mchungajt mmoja." Yohana mtakattfu. 10:16.

Tumeona Kristo ndtye -kichwa cha mwtli, kantsa." Kwa kuwa kama vile katika mwtli mmoja tuna viungo vingi. wala viungo vyote havitendt kazi moja; vivyo hivyo na stst tulio wengt tu mwtli mmoja katika Kristo, na viungo. kila mmoja kwa mwenzake." Warumi. 12:4-5.

-Maana karna vile mwtli ni mmoja, nao una viungo vingt,na viungo vyote vya mwtli ule. navyo ni vingi. ni mwtll mmoja: vivyo htvyo na Kristo. Kwa maana katika Roho mmoja stst sote tulibattzwa kuwa mwtll mmoja. kwamba tu Wayahudt, au kwamba tu Wayunant; ikiwa tu watumwa au ikiwa tu huru: nasi sole tulinyweshwa Roho mmoja. Lakini sasa viungo nl vtngi. tla mwtli nt mmoja." I Wakorintho. 12:12. 13, 20.

11

M Kwa maana yeye ndiye amanl yetu. aliyetufanya sisi sole tuliokuwa wawili kuwa mmoja: akakiomboa kiambaza cha katl kilichotutenga. Naye akisha kuundoa ule uadui kwa mwill wake: ndiyo sheria ya aniri zilizo katika maagizo ill afanye hao wawili kuwa tu mpya mmoja ndani ya nafsl yake; akafanya amani. Akawapatanlsha wote wawili na Mungu katlka mwili mmoja. kwa njla ya msalaba. akisha kuufisha ule uadut kwa huo msalaba." Waefeso. 2:14- 16.

M Mwili mmoja na Roho mmoja kama na mlivyoitwa katlka tumaint moja la wito wenu. Bwana mmoja. lmani moja, Ubatlzo mmoja. Mungu mmcja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katlka yote na ndani ya yote." Waefeso. 4:4-6.

MNa amanl ya Kristo tamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitlwa katlka mwill mmoja:tena iwent watu wa shukrani." Wakolosai. 3: 15.

Maandiko matakatlfu huthibitlsahakikalilendilowalakini kanisa moja lililo la kweli, hakl na kama kuna walakini Mungu mmoja, Mungu mmoja kweli. Tangu tumeitwa na Kiristo kwa mwili mmoja. mwito wa kujlunga na milt mingl lazima iwe ni ya mpinga Kristo.

Tena, kanisa huchukua undugu kwa. Kristo sawa na ule mwanamke huchukulia mmewe.

MNami nltakupoza uwe wangu kwa milele; naam, nltakupoza kwa haki, na kwa hukumu, na kwa ufadhili, na kwa rehema. Nami nttakupoza kwa uaminifu: nawe utamjua BWANA." Hosea. 2: 19-20.

MKadhalika ndugu zangu. ninyt pia mmetfia torati, kwa nia ya mwili wa Kristo, mpate kuwa malt ya mWingine, yeye aliyefufuka katlka wafu, kusudi tumzalie Mungu matunda." Warumi 7:4. MMaana nawaonea wivu. wivu wa Mungu: kwa kuwa naltwapozea mume mmoja, iii nimletee Kristo bikira sail." 2 Wakortntho 11:2. MAliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini railki yake bwana arust. yeye anasimama na kumsikia. aifurahta sana sautl yake bwana arust." Yohana mtakattfu. 3:29.

·Kwa sababu muumba wao ni mume wako: BWANA wa majeshl ndllo Jina lake: na Mtakatlfu walsraeli ndiyemkombozi wako; yeye ataitwa Mungu wa dunla yote." Isaya. 54:5.

Wazo kwamba Kristo huwa na wake zaidi ya mmoja (kanisa) nt kinyume na biblia, na ni chongelezo kwa mwana waMungu.

12

"Ambaye kwa Jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa .duniani unaitwa." Waefeso. 3:15.

"Basi tangu sasa ninyi si wageni wala wapitaJi, ball ninyi ni wenyeJi pamoJa na watakatifu, watu wa nyumbani mwake Mungu. • Waefeso. 2: 19

Kutoka kwa haya na maandiko mengtne matakatifu. tunaona kanisa ni Jamil ya Mungu. au nyumba. Na. tangu mwanamume anaweza kuwa naJamaamoJa. nainafuata naye Mungu ana walakini kanisa moJa. Inaweza kuwa Jambo la kuogofya utakatlfu wa Mungu kuwa na wake wengi na Jamil mbalimball zinazoshindana, na yakiwa na sifa "tupu" kama Askofu Poster ameandikia madhehebu ya kisasa. Kwa sababu hil kizidisho kwa madhehebu. yale huitwa kwa nJia ya. udanganyifu kanisa, hayo si kanisa la Mungu.

-------

SURA YA KUMI NA MOJA.

LAKINI BIBLIA INAZUNGUMZIA ZAIDI YA KANISA MOJA?

Neno ·kanisa" mala nyingi hutukia kama linamaanisha mengi tofautl lakini maana yake si madhehebu ya kldlni. Wakatl kunaposungumziwa zaidi ya kanisa moja. nl kanisa lile moJa tu la Mungu aishiye milele Ukiwa katika mitaa mballmbali.

"Basi Kanlsalikapata raha katlka Uyahudi wote na Galilaya na Samaria likaJengwa likiendelea na kuongezeka katika kicho cha Bwana. na faraJa ya Roho mtakatifu." Matendo ya mitume. 9:31.

"Hata wallpokwisha kuihubiri Injili katika mJi ule. na kupata wanafunzi wengi. wakareJea mpaka Ltstra na Ikonlo na Antiokia; ... Na walipokwisha kuwachagulia wazee katlka kila kanlsa. na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka katlka mlkonoya Bwana waliyemwamini." Matendo ya mltume. 14:21. 23.

"Akaplta katika Shamu na Kilikia akiyathlbitisha makanlsa." Matedo ya mltume. 15:41.

"Waliokuwa tayari hata kukatwa kichwa kwa aJili ya maisha yangu: ambao nlnawashukuru, wala si miml tu, ila na makanlsa ya mataifa yote pia; nisalimleni na Kanisa lililomo katika nyumba yao." Waruml. 16:4.

"Kwa sababu hii nimemtuma Timotheo kwenu, aliye mwanangu mpendwa. mwaminifu katika Bwana,

13

atakayewakumbusha njia zangu zillzo katika Kristo kama vile ntfundtshavyo kila mahalt: katlka kila Kanisa." l Wakorintho. 4:17.

"Lakin! kamaBwana alivyomgawta kilamtu. kamaMungu altvyomwtta kila mtu na aenende vivyo hivyo. Ndivyo ninavyoangtza katlka makanlsa yote." l Wakorintho. 7: 17.

"Kwa habari ya tie changlzo kwa ajili ya watakatifu, kama vile ntlivyoamuru makantsa ya Galatia, nanyl fanyeni vivyo." 1 Wakorintho. 16: 1.

"Makanlsa ya Asia wawasalimu, Akila na Priska wawasallmu sana katika Bwana, pamoja na kanisa lllilomo ndani ya nyumba yao." 1 Wakorintho. 16:19.

"Na pamoJa naye tukamtuma ndugu yule ambaye slfa zake katika injili zimeenea makantsant mwote." 2 Wakorintho. 8:18.

Ndtvyo tunaona kantsa ltkizungumztwa, linamaantsha nt kantsa Ule lile la Mungu liliko mijt kadha, au kwa nchi moja au ncht zaidt. Walakint habana tshara ya kuonyesha zaidt ya kanlsa moja kwa mjl ule. Kuzungumzla kanlsa katika sehemu mbalimball za kijeongraphia, Mutume anasema: "Ninaweka waktfu mmoja kwa kantsa yote." Kama vile ntmeamlisha kantsa la Galatia, sawasawa nanyt Wakorintho." lnaweza kuonekana kwa urahisi tklwa hill kanisa la Agano la kale llllkuwa madhehebu tunayaona leo, Askofu mmoja hawezt kutoa amrt kwa yote. Kwa mfanoAskofuSlmpson wadhehebu la M. E. Hawezi kutolea dhehebu la U. B., Waluthert, Waprespetarla namadhehebu menglneyoamrt. Hana mamlaka juu yao. HM tunaona tofauU kubwa mno katl ya kanlsa la blblfa na mtawanyiko wa madhehebu. la kwanza late nt moja katlka Kristo. Haya ya nyuma nl farakano Zlmejiruzuku na zlmeJltenga. Madhehebu kadha wakaa katika mjl mmoja. laktnt Mungu ana kantsa moJa kila mahalt pamoja. kwa htyo tunasoma: "Na huko Antlokia katlka Kanisa lililokuwako pallkuwa na manabit na waalimu, nao nt Barnaba, na Simeon attwaye Nlngert. na Luklo Mukirene, na Manaeni aliyekuwa ndugu wa kunyonya wa mfalme Herode, na Sauli." Matendo ya mitume 13: 1. "Kwa Kanlsa la Mungu Itliloko Kortntho, wale waliotakaswa katika Kristo Yesu, walloltwa wawe watakatifu. pamoja na wote wanaolUtia Jina ya Bwana wetu Yesu Kristo kila mahalt, Bwana wao na wetu." 1 Wakortntho. l :2. "Paulo, na Silvano, na Timotheo, kwa Kanlsa la Wathesalontke, lflflokattka Mungu Baba. nakatika Bwana Yesu Kristo. Neema

14

na iwe kwenu na amani." 1 Wathesalonike. 1:1. "Ikisema. haya uyaonayo uyaandike katika chuo. ukayapeleke kwa hayo makanisa saba: Efeso. na Samarna. na Pergamo, na Thiatira, na Sardi, na Filadelfia. na Laodikia." Ufunuo. 1: 11. Ndivyo tunaona palikuwa na kanisa moja kwa kila mji.Leo hit unaweza kuona madhehebu saba yakiwa kwa kijiji kimoja kidogo. Lakini wakati ujumbe ulitumwa kwa kanisa saba stlizoko Asia, miji saba tofauti ingefikiwa na ule ujumbe. Wameokolewa wote wa Mungu mahali popote pale ndilo kanisa la Mungu mahali pale. Ndipo inafuata yakwamba wingi wa miili iliyo tofautl ikiwa mahali pamoja hiyo si kanisa la Mungu; ball ni machafuko.

-------

SURA YA KUMI NA MBILI.

JE BIBLIA INAFUNDISHA UMOJA WA WAUMINI?

"Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu. kwa Jina lako ulllonipa uwalinde hawa, ill wawe na umoja kama sisi tulivyo. Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ultlonipa. nikawatunza: wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu. ill andiko litimie." Yohana mtakatifu. 17:11-12.

"Wala s i hao tu ninaowaombea: lakini na wale watakaoniaminl kwa sababu ya neno lao. Wote wawe na umoja: kama wewe. Baba ulivyo ndani yangu. nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ill ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. Nami utukufu ule ulionipa nimewapa wao; iii wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja. Mimi ndani yao nawe ndani yangu, iii wawe wamekamilika katika umoja; ill ulimwengu ujue ya kuwa ndiwe uliyenltuma ukawapenda wao kama ulivyonipenda mimi." Yohana mtakatifu. 17:20-23.

"Basi ndugu, nawasihi, kwa Jina la Baba wetu Yesu Kristo. kwamba nyote mnene mamoja; wala kwenu faraka, ball mhltimu katika nia moja na shaurt moja." l Wakortntho. 1:10.

"Hapana Myahudi wala Myunani hapa mtumwa wala huru. Hapa mtu mume wala mtu mke, maana ninyi nyote rrunekuwa mmoja katika Kristo Yesu." Wagalatia. 3:28.

15

·Lakiru mwenendo wenu na uwe kama inavyopasa injili yaKristo, iii, nikija na kuwaona ninyi, au nisipokuwapo, niyasikie mambo yenu. kama mnasimama imara katika Roho mmoja, kwa moyo mmoja mkiishindania imani ya lnjtU:· Wafilipi. 1:27.

·Ijalizeni furaha yangu. lli mwe na nla moja. wenyemapenzi mamoja, wenye roho moja. mkinia mamoja ... Wafilipi. 2:2.

·Na Mungu mwenye saburi na faraja ya awajalie kuniamamojaninyikwa ninyi.kwamfanowaKristoYesu:·warumi. 15:5.

·Na jamii ya watu walioamini walikuwa na moyo mmojana Roho moja: wala hapana mmoja aliyesema ya kuwa kitu chochote alichonacho ni mall yake mwenyewe: ball wallkuwa na vttu vyote shirika ... Matendo ya milume. 4:32.

Kuna mtu ambaye anaweza kutazama picha hit akose kuona mwonyesho wa tofauti kati yake na picha iliyo na gtza ya siku hii ya mchafuko wa madhehebu? je washirika wa madhehebu tofautl wanakuwa na kutunzana Mtu na yule mwtngine? Tazama sio wa nia moja. wala maono moja; wao hawana jina moja. wala imani, wala mwill; wao sio wa moyo moja. wala wa nafsi moja, wala wa moja, wala bado imani moja: wao hawana kinywa moja. wala hao hawasemi mambo sawa; wao hawaambatani, isipokuwa wakaU wanaoplnga wokovu wa Biblla. Na kama vile Mungu alichanganya wajenzi wa mnara wa Babeli. na wote wakagawanyika. na wakanena lugha tofauti, hivyo ametuma radi ya ghadhabu juu ya Rumi Mama wa makahaba,na ameondosha mamla mengi ya vtgeregenja vya wakristo wasiyekubali baadhi ya mafundisho ya dini yakirumi (katoliki). kila mojaya sile hunena umaalumu wa imani yao. Kanisa llkiHnganiswa na mwill wa mtu, lina hitajika kuwa na kinywa moja, hii ni kumaanlsha kuwa na moyo moja kwa mafundlsho yake yote ikiwa tungekupalla atl kizldisho cha madhehebu ni kanlsa, ndipo klnachotia hofu, pakiwa na vtnywa mia kadha, na kila kinywa kikiongea kinyume na kingine ingelazimiza ifanane nayo. Na kama mwili wa Kristo uko na kinywa moja na huongea mambo mamoja. ni dhahiri changanyiko la maneno ya kishenzi yaliogoteka haitlmilizl mfano wa mwili, na siyo kanlsa lake.

16

SURA YA KUMI NA TATU.

NI NINI CHANZO CHA MWUNGANO?

1. -Hapana Myahudl wala Myunanl, hapana mtumwawala huru, hapana mtu mume wala mtu mke, maana nlnyl nyote mmekuwa mmoja kaUka Kristo Yesu." WagalaUa. 3: 28

Vlvyo hivyo na sisi tullo wengl tu mwill mmoja kaUka Krtsto, na viungo, kila rnmoja kwa mwenzalte." Waruml. 12:5.

Kama imeelezwa hapa� kuna walaklnl mwill mmoja katlka mwill waKrtsto,inafuata.laztma yakwambamiiliyamadhehebu mengl lllyotengana hayamo ndani ya Kristo na kama tullyo moja ndani ya Kristo Yesu, kujiunga na kitu kinglne walakini Krtsto hupasishwa dhambl ya udhehebu.

2. -wa1a miml simo ullmwengunt, lakini hawa wamoullmwenguni, naml naja kwako. Baba mtakatlfu, kwa Jina lako ulllonipa uwalinde hawa iii wawe na umoja kama sist tullvyo"YohanaMtakatifu. 17:11. Hapakanisa limepewajlna na" kinyua chake mwokozl" kama ilivyokuwa imebashiriwa. Na mataifa watatona hald yako, na wafalme wote wata.uona Utukufu wako:naweutaiona jina jtpya.Utaltalotaiwanakinwya cha Bwana." lsaya. 62." Ambaye kwa jina lake Ubaba wote wa mbtnguni nawa duniant unaitwa, - Waefeso. 3:15. Na kama kimetolewa barabara kutoka kwa Uglriki katika nguvu na tafsiri zinglne,ina soma htfi; "Ambaye kwa jina lake Ubaba wote wa mbinguni nawa dunianl unaitwa,"

Jina la kanisa Ulipeanwa na kinywa cha Bwana, na chimbuko lake ni Mungu Baba. Mitume waltheshimu sala ya Kristo, na kulinda kantsa katika Jina la Mungu.

Jttunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho mtakalifu amewaweka nlnyi. Kuwa waangalizi ndanl yake, mpate kulllisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. "Matendo ya mitume. 20:28.

"Kwa kanlsala Mungu lillloko Korinthowale waliotakaswa kaUka Kristo Yesu, walioltwa wawe watakatifu, pamoja na wote wanaoliitia, Jina la Bwana wetu Yesu Kristo kila mahali, Bwana wao na wetu." Wakorintho. 1 :2. "Paulo mtume wa Kristo Yesu kuwa mapenzi ya Mungu. na Timotheo ndugu yetu: kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho. pamoja na watakatifu wote walioko katika nchi yote ya Akaya." 2 Wakortntho. 1:1.

-Msiwakoseshe Wayahudi wala Wayunanl wala kanisa laMungu:" 1 Wakortntho. 10: 32.

17

"Lakini mtu yeyote akitaka kuleta fitina, stst hatuna desturt kamahtvyo. walamakanisaya Mungu." 1 Wakortntho. 11:16.

"Jelhamnanyumbazakultanakunywea?Aumnaltdharau Kanisa la Mungu, na kuwatahayarisha hao wasto na kitu? Niwaambieni? ntwasifuni? Lal Siwasifu kwa aJili ya hayo." 1 Wakortntho. 11 :22.

"Maana mimi ni mdogo katikamitume. ntsiyestahili kuttwa mtume, kwa sababu naliliudhi Kanisa la Mungu." 1 Wakortntho. 15:9.

"Maana mmesikia habari za mwenendo wangu zamani katlka dini za kiyahudi, kwamba naliliudhi kanisa la Mungu kuptta kiasi, nikaliharibu." Wagalatia. 1:3.

"Maana ninyi, ndugu, mlikuwa wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyo katika Uyahudi, katika Kristo Yesu, kwa kuwa mlipata mateso yale kwa watu wa taifa lenu wenyewe, waltyoyapata na hao kwa Wayahudi," I Wathesalontke. 2: 14.

"Hata na sisi wenyewe twaona fahari Juu yenu katika makanisa ya Mungu kwa ajili ya saburt yenu. na imani mliyo nayo katlka adha zenu zote na dhiki mnazostahtrnill." 2 Wathesalonike. 1 :4.

"(Yaani, mtu asiyeJua kuisimamia nyumba yake mwenyewe. atalttunzaJe Kanisa la Mungu? )" ITimotheo. 3:5.

"Nakuandikia hayo nikilaraJi kuja kwako hivi karibu. Lakini nikikawta. upate kujua jinsi iwapasavyo watu kunenda katlka nyumba ya Mungu. iliyo Kanisa la Mungu altye hai. nguzo na msingi wa kweli." I Timotheo. 3:14-15.

Hapa pana rnifano kumi na miwtli ya Jina la heshima, "kanisa la Mungu." HH tnalingana na ombi la mwokozl, na ndilo Jina maalumu. lakini kama palikua walakini kanisa moJa,sehemu inayo itlmu ya Jina halkullaJika katlka kila mfano.

Hapa, kifaacho walikuwa wakisema, "kanisa" au kanisa lililoko sehemu fulant.

Tunaslkla mlto Babeli "hakuna kilicho kwa hllo Jina." ni thibitisho la uongo. Katlka Biblia karna kumeonyeshwa hapo juu,Mungu ametukuswa karna muumba na mwenye kanlsa. Kuna uwezekano Jina ambalo halionyeshi ama ni Mungu. binadamu, au ibilisl mwanzilishi na mwenye kanisa apate heshtma sawa na Mungu? Na ebu pakaJulikane pako na yakutosha kwa maJina ya uongo kugawanya nakuchafua jamii ya Mungu. Ndiyo sababu Kristo aliomba Babaye awaweke katika Jina lake, "ill wa mmoJa kama wao walivyo." Kwa

18

sababu hiyo watu wote wanajiunga pamoja kwa Jina lingine, wako na hntia ya dhambi ya utengano.

3. "Nimewapea neno lako." Haya aliyasema kwa ombi lakekwa umoja kamilifu. Kurazimisha tmani tngtne, au kukubali kwa lngine, ni kutengeneza na kujtunga na matengano, na nt dhambi klnyume na Kristo na mwtli wake ulio kanlsa.

Imedaiwa kwamba sharti matengenezo yametengana twepo kubadirtsha dunta. Yesu altombea mitume wote wawe mmoja kama vile yeye na Baba wako mmoja. il1 ulimwengu uamint. Ole ntnyi wa shirika wa madhehebu, asema Mungu; "njla zenu slyo zangu wala mafiklla yenu ziyo mafikila yangu."

-------

SURA YA KUMI NA NNE.

NI NINI THAMANA YA MWUNGANO?

Jibu: Upendo. "Zaidi ya hayo jivikent upendo, ndlo klfungo cha ukamilivu." Wakolosai. �:14.

"Iii wafartjtwemioyoyao, waklunganlshwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa haklka, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani Kristo." Wakolosai. 2:2.

"Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je nl dhikl, au shida, au adha, au njaa. au nchl. au hatari, au upanga? Kama llivyoandikwa. ya kwamba, kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesablwa kuwa kama kondoo wa kuchlnjwa. Lakini katika mambo hayo yote tunashtnda. na zaidi ya kushinda. kwa yeye aliyetupenda. Kwa maana nimekwisha kujua haklka ya kwamba. wala mauU, wala uztma. wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo. wala wenye uwezo, wala yaliyo juu. wala yaltyo chini, wala klumbe klngtnecho chote hakitaweza kukutenga na upendo wa Mungu ulio katlka Kristo Yesu Bwana wetu." Warumi. 8:35-39.

-------

SURA YA KUMI NA TANO.

NI MAARIFA GANI YANANATUKAMILISIIA KWA UMOJA?

Jibu: utakazo au ukamilifu. Kuambatana na ombi Lake la umoja. Mwokozt allomba

Babaye awatakaze mitume na wale wote wangemwamini kupiUa neno lake, na sisi pamoja. "Nami utukufu ule uliontpa

19

nimewapa wao. iii wawe na umoja kama sisi tulivyo umoja. Mimi ndant yao. nawe ndani yangu, ili wawe wamekamilika katika umoja; iii ulimwengu ujueya kuwa ndiwe uliyenituma, ukawapenda wao kama ulivyonipenda miml." Yohana Mtakatifu. 17:22-23. "Maana yeye atakasaye na hao wanaotakaswa wote pia watoka kwa mmoja. Kwa ajili hii haoni haya kuwalta ndugu sake;" Waraka kwa Waebrania. 2:11.

"Naye alttoa wengtne kuwa milume; na wenglne kuwa manabii na wengine kuwa walnjilisti: na wengtne kuwa wachungajl na waalimu: kwa kusudi la kuwamilisha watakatifu. hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe, hata na sisi sole tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu. hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;" Waefeso. 4:11- 13.

"Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibtkavyo, kwa fedha au dhahabu, mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaamlioupokea kwa baba zenu, bait kwa damu ya dhamani, kama ya mwana kondoo aslye na Ua, aslye na waa. yaant, ya Kristo." 1 Petro. 1:18. 19.

Wokofu wa Bwana. unatustahllisha wa mbtnguni, unatufanya mmoja duniani. Dini ya matengano itandanganya moyo. Nia kubwa ya wajumbe wa Mungu "ni kukamilisha watakatlfu." Na waklshakamilika kwa upendo na utakattfu, wanafikia "umoja wa imanl uliotolewa kwa watakatifu wote." Damu ya Kristo slo ya kusaftsha dhambi tu na "uovu wote." lakini tena huondoa mafundlsho yote ya uwongo. Mfariji huongoza kwa kweli yote, tnaambatana na ondoleo la makosa yote. Ni ukweli ule utakaso kutoka kwa makosa sto wa dakika moja kama dhambt, lakini wenye mwoyo safi wana ushirlka kamtlifu, hata tjapokuwa mafundlsho ya makosa ya nyuma hayajatoweka. Kwa sababu hio hakuna chanzo kingine cha matengano wala nl dhambl. Kwa sababu hiyo kulia Juu ya madhehebu namatengano paslpombele kujitakaza kikamilifu, na baadaye kuongoza watu kwa furaha kuu ya dhamana ya upendo takatifu, ni hakuna walakini mchafuko ukidhihaki mchafuko: au ibilisi kumpiga ngumt ibilisi, kama vile shetani alichapa wanawaSkeva.Juhudl sotezakufungamanawalakini za utakattfu wa Mungu nl kama kutwanga vichuma kombokombo juu ya zlngine ili zlshikane pamoja. Mapigo zaidi makombo zaldl na kutohitllaftana. Ziweke kwa tanuu ya Joto nyeupe na yatapoteza baridl, ugumu, maumblle

20

kombokombo. na tililika kwa changanyiko moja. Hiyo ndiyo njia Mungu anaunganisha watu wake kwenye moto wa Roho Mtakatifu. Matengenezo ya ovyo ovyo ya mifungamano ya Jukwaani ni wakati umepotezwa. Kila jitihada kuunda ndama wa dhehebu wa kuabundiwa na magombano. Kutoka kwa utumwa wa dhambi hushikanisha pamojakwa upendo. Lakini mifungamano kigwe nl vtbeto vtmefungwa pamoja vya kuchoma. Wokofu wa biblia ndlyo unahitajika. Na ukipatikana yotefungamano larohonamoyo. na mapatano katika kuabudu kunaonekana na kulio na uhai itafuata kama matokeo au tunda la Roho Mtakatifu ·ubatizo kwa Roho mmoja kwa mwili mmoja,'" na kufanyika kunywea kwa Roho takatifu mmoja katika ukamillfu wake. hakutakuwa shinda kumwabudu Mungu kwa Roho na kweli.'" Walakini hawa wote '"wajue ukweli. na ukweli utawaweka huru.'" Kwenye randa ya utakatlfu wa bibliasiyo yanje inangaliwaili kuchunguza.ukwell hakuna chunguzo la ushirika. Kwa walio takatifu ·ms1wahukumu kama waonekanao. lakini wahukumienihukumu nyofu. • ·aa1t tukienenda nurunt, kama yeye alivyokatika nuru, twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yakeYesu.Mwana wake, yatusaflsha dhambi yote. · 1 Yohana. 1:7.ushirika ni wa Roho (Wafllipi. 2: 1), Na huishi pale utakatifuwa roho upo. Ni fahamu zimepatana za roho simejawa na Roho Mtakatifu. Mmoja anaweza kuwa ameongozwa kwaukweli wote. Na mwingine awe hajaongozwa. HU haikatlshlushirika. Hata hivyo nt wajibu wake ajue ukweli ndani yauvumllifu kufunza wenglne wale hawajui. ukosefu wa ukwelifurani auvuji ushirika. lakinl kuupinga huvuja kwa sababuinapotewa na wokofu. Hatulazimishwi. Tusihithinishemakosaya watu wengtne, lakini. tukiwa tumeokoka, tuwaonyesheupendo na ushirtka kwao. kuflkia hawakupata ushuhudakwamba mafundisho mbaya ya dini yamekuwa potovu, aukwanjia lnginewamepoteza wokovu. Ndipo ushirika unapotea.lakini upendo na huruma zlnaendelea kwa njla jitihada zaimani kwa wokovu wao. Kutojali ushirika kwa sababu yamafundishombayani ushupavu wa dini. Kukubali kutopatana.au kuweka mafundisho mbaa na ukweli kuwa sawa, nimchafuko wa kibabeli.Lakini kuwa na ushirika ni haki yetu,kufundtsha ukweli wajibu wetu. lakini kuwa na ushirika naRoho takatifu na haki ni jambo la hakika lisiokusudiwa na lahiari. Madhehebu ni toke la kimwlli: hakuna lingtne pasipoutakatifu linaweza kuangamiza kimwili walakini utakatifukamilifu, na htvt huondoa yote mawtli udhehebu na asili. Wa

21

upendo wa Mungu huokoa moyo, hupatanisha Roho zote zile ztnapokea, na kuztongoza kwa utlifu sahihi na sawa sawa kwa ukwelf. na kusukuma mbalf wale wanakataa kupitla katlka moto wa kutakaza na faida kupata faida ya randa ya ushirik.a takatlfu.

-------

SURA YA KUMI NA SITA.

DHEHEBU NI NINI?

Kattka kitabu ktdogo ktmetajwa -madhehebu" na kimeandtkwa na mwenye kuanzisha dhehebu kimethodistl. na anaJHta B. T, Robert, maelezo yafuatayo yanapeanwa;

-Neno dhehebu ltnatokana na neno secare. komesha.kutenga. nenomkato limetoka kwamzizt huo. kwa hiyo mkato ni sehemu imekatika, au kutengwa kutoka kwa mwili ule ni sehemu moja yake. Dhehebu la wakrtso ni sehemu ya mwili wa wakrtsto ambayo tmetengantshwa na mwili ule mwingine kwa sababu yakuwanamafundtsho au itlkadi ajabu ambacho wanastshtkilta pastpo wengtne, au kwa zilewanapea mahsust maarufu. Htt tunaamfnt ndtlo fafanust adili la neno dhehebu, kama vile ltnatumtka na wale wanajua maana ya maneno wanayotumta kwa kawaida.

-Hu tunaktlt nt fafanusl na maelezo ya kweli ya nenodhehebu.walaklnt Jinsl gant blnadamu anaye na ujuzi wa kawaida anaweza kuhtdhtrisha sahtht dhehebu. karna tenga. sehemu ztmekattzwa kutoka kwa mwtli wa Kristo. na mafundisho ya umati wa dint mtnghairi na harafu azunguke na kusema htvyo nt hakt kuvuja mwtli wotewaKristo vipande, nt fumbo la uovu.

lnathtbttisha vizurt kweli mzushi Cyaani mshirika wa dhehebu) nt mpinduzt na mtendaye dhambi. Kuthibitisha kuwa kwelf na kuhidhtnisha kufarakana kutoka kwa mwili wote nt dhambt kwa Mungu na nt dharau kabisa la neno lake.

-------

SURA YA KUMI NA SABA.

BIBLIA HUSEMA NINI KUHUSU MADHEHEBU?

-Hapo mtu mwovu ammezapo mtu aliye mwenye hakikulfko yeye: na kufanya wanadamu kuwa kama samakt wa baharint, kama vitu vitambaavyo. ambavyo hartna mtawala? Yeye huwatoa wote ndoana yake, huwakamata kattka wavu

22

wake, nakuwakusanya katika juya lake: ndiyosababu afurahi na kupendezwa. Kwa sababu hiyo huotolea wavu wakosadaka, na kullfukizia uvumba juya lake: kwa sababu kwa vitu vile fungu lake limenona, na chakula chake kimekuwa tele. Je: atawatoa walio katika wavu wake. asiache kuwava watu wa mataifa daima?" Habakuki. 1:13-17.

"Ili kusiwe na farakano katikamwlli. ball viungo vitunzane kila kiungo na mwenziwe." 1 Wakorintho. 12:25. Madhehebu na mitawanyiko. ina maana moja.

"Ndugu zangu, nawasihi, waangalieni wale wafanyao fitina na mambo ya kukwaza kinyume cha mafundisho mliyojifunza: Mkajiepushe nao. Kwa sababu walio hivyo hawamtumikil Bwana wetu Kristo. ballmatumboyaowenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waindanganya mioyo ya watu wanyofu." Warumi. 16:17-18.

"Mtu aliye mzushi. baada ya kumwonya mara ya kwanza na mara ya pill, mkatae; ukijua ya kuwa Mtu kama huyo amepotoka, tena atenda dhambi, maana amejiukumu hatta yeye mwenyewe." Tito. 3: 10-11.

"Lakini kultondokea manabii wa uongo kattka wale watu, vile kwenu k utakavyokuwako waalimu wa uongo, watakaoingtza kwa werevu uzushi wa kupoteza. wakimkana hata Bwana aliyewanunua. wakijiletea uhartbifu usiokawia. Na wengi watafuata uflsadi wao: na kwa hao njia ya kweli itatukanwa. Na kaa kutamani watajipatla faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; ambao hukumu yao tangu zamani haikawit. wala uvunjtfu wao haustnzii." 2 Petro. 2: 1-3.

Maneno "uzusht lahanifu" yanaonyesha "madhehebu haribifu" kattka tafsirt ya kijerumani.

"Kwa maana kwanza mkutanikapo kanisant nasikia kuna faraka kwenu: nami nusu nasadiki; kwa maana laztma kuwapa na uzushi kwenu, iii waliokubaliwa wawe dhahirt kwenu. "l Wakortntho. 11:18-19. Hapa tunaona uzushi inamaana sawa na matengano. Na kwenye laini hii watafsiri katika kingeleza rahtsl, ni "madhehebu." Paulo alivumisha wandugu wakortntho kuwa wenye tamaazamwilikwasababu wamekuwa wameenda mshazari kwa mafarakano wakisema, "mimi ntwa Paulo: na mwingine. mim1 niwa Apolo. "Lakini ndugu zangu. mimi sikuweza kusema nanyi kama na watu wenye tabla ya mwilini. kama na watoto wachanga katlka Kristo. Naliwanywesha maziwa, sikuwalisha chakula: kwa kuwa mlikuwa hamjakiweza. Naam, hata sasa hamkiwezi, kwa maana hata sasa nlnyi ni watu wa tabia ya mwilini. Maana, ikiwa kwenu kuna husuda na fittna, je: si watu wa

23

tabla ya mwilini ninyi; tena mnaenenda kwa jlnsl ya kibinadamu? maana hapo mtu mmoJa asemapo, Mimi ni wa Paulo namwtngtne, Mimi ni waApolo. Je; nlnyi si wanadamur 1 Wakomtho. 3:1-4. Mtume anamaanisha "mauzushi" yametafsiliwa "madhehebu" katika mkazo, na wauaJi kwa kusudi, na orodha yote ya "mapenzi ya mwili." na kuvumisha "yakuwa wale watendao mambo haya hawataridhi ufalme wa Mungu."

Mungu anasaidia wanadamu kukimbia kutoka kwa mauzushl-madhehebu-na kukamilJka katika Kristo. Kwa sababu neno la Mungu linakanusha madhehebu, hayawezl kamwe kuwa kanisa lake.

-------

SURA YA KUMI NA NANE.

TUNA WEZA SHIKILIA AGIZO NCHE

YA MADHEHEBU YOTE?

Agano Jlpya linaonyesha dhahili kwamba Kristo alifanya sheria baadhl ya maagizo. ndlvyo ubatiso, au kwa kingereza dhahiri chovyo. kutawadha; na meza ya Bwana,walakini hatuhitajlki kujiunga na dhehebu lolote ili tuhadhimishe haya. hayasiya dhehebu lolotendunianJ: walakini yamewekwa kwa mwili wa Kristo yawe ukumbusho kwa washllika wake. Watu wa madhehebu ambao hawaja pambanua mwili wa Kristo hawasitahili kamwe kuadhlmlsha. Ona "Bast kila aulaye mkate huo, au kukinywea klkombe hicho cha Bwana isivyostahili, atakuwa amejipatla hatia ya mwili na damu ya Bwana lakini Mtu aJihoJi mwenyewe, na hivyo aule mkate. na kuklnyweakikombe. Maana alaye na kunywa, hulanakunywa hukum� ya natsi yake, kwa kwakuupambanua ule mwtll. 1 Wakorintho. 11:27-29.

-------

SURA YA KUMI NA TISA.

TUNA WEZA KUSANYIKA KWA KUABUDU

BILA KUW A DHEHEBU?

Ni hivyo wana wa Mungu hawaweZi kuzanyika kumwabudu lsipokua wakusanyike katika jina la dhehebu fulani. katika jina lingine mbalimbali na lile Kristo alituambia tukusanyike kwalo? Asante Mungu, hatuoni shinda kukusa nyika inJe ya maJina ya madhehebu na kilichozungushiwa

24

walakini wafuasi wa dhehebu ni vipofu kiazi kwamba wanafikilia watu watakattfu hawawezi kusanytka kumuabudu Mungu na kufurahia neema za kila njia tzipokua wajiunge na baadhi ya werevu wa kiullmwengu; kama tngawa neema yote iko kwa dhehebu. na hakuna kitu ndani ya Kristo.

-------

SURA YA ISHIRINI.

KANISA LINA WEZA KUONEKANA WASI PASIPO DHEHEBU?

Ombi lingtne kwa ibada ya uongo ya dhehebu ni kwamba kanisa hallonekani, tsipokuwa litengenezwe na utaratibu wa dhehebu huu nt ushtrtkina mwtngtne wa siku za gtza, Roho mtakatifu allyemtengenezaji wa kanisa, kwa kweli haonekani. lakini tengenezo lake huonekana. Na kama vile upepo hauonekani na ndiyo mfano wa Roho, unaonyesha kwa matokeo asill, ndivyo nalo kanisa la Mungu linaonekana kwa matokeo asili ya nguvu zake ambacho hasionekani. Likiwa limeundwa ni wanaume na wanawake, Mji ullyowekwa juu ya mlima, ambao nuru yake haifichiki; na ukiwa wa kuogofya kamajeshi la askari likiwa na beramu, M amekuwa kila wakati akionekana na bila kuhitaji mwanzilishi wa dhehebu kumfanya alivyo. Paulo hakuzungumzta mapepo kule Kortntho, wakali allsema M Je hamjut yakuwa miill yenu nt vyungo vya Kristo? Bast nivitwae vya Kristo na kuvtfanya vyungo vya kahaba? Hasha! 1 Kortntho6: 15. Namiill yetuasili hatkosi kuonekana wakati Mungu ametuweka kwa mwill wa Kristo. na kubaki hivi mpaka mtengenezaji w a dhehebu atupitie na kututengeneza iii tuonekane. Sio tu washirika wa kanisa la kweli huonekana, lakini vile Vile hata matengenezo yenyewe. K1la kipawa na kazi ile inabuni shirika takatifu kinatumiwa kwa washirika wote. na washirika wote. na nguvu siztzoonekana za Mungu Maltye juu ya wote. na kupitia kwa wote;" na Myule anafanyta yote kwa wote."

-------

SURA YA ISHILINI NA MOJA.

TUKITOKEA KWA DHEHEBU INATUBIDI

KUTENGENEZA DHEHEBU LINGINE?

Hill nt swali la mwisho. na tuna shukrani nyingi kwa Mungu. hiyo tunaweza kujibu. La. Mungu kataza hiyo yote saidi Mkwa maraya wengtne wapase" kutngta kwa dhambi, na

25

kuonekana kwa uovu "ikawa htyo nl namna hivyo, udhehebu nf dhaq,ibi ambayo kwake hakuna wokovu. Lakinf sautl kutoka mbinguni inasema," Toka kwa yeye. watu wangu. "Kwa hivyo pana njfa ya kutoka kwa yeye. nayo ftaitwa njia ya utakatifu."

Wakati mtenda dhambi amemgeukiaMungu, na kuzaliwa na Roho, papo hapo amefanyika mshirika wa kanisa la Mungu, na hayuko kwa dhehebu lolote lile. Na kwa kuwa hakuna amri katika biblia ya kujlunga na dhehebu lolote, anaweza kutll neno lote na kutunza wokovu, kwa kantsa bila kujiunga wakatl wowote na dhehebu na vile mtakatlfu wa Mungu yeyote duniant afanye vile vile. Lakini nambart yote ya mttume wa Kristo kama hao wangeongozwa kwa shirika la dhehebu kupltla mafundisho ya uongo, na baadayewagundue undanganyifu umefanywa Juu yao, si wao wangekataa tengenezo la dhehefu na watoke kwake, kama vile neno la Mungu linawaamuru, na wabaki kwa k�isa peke yake, iliyo mwilf wake Kristo, kama walivyokuwa mbele ya kunaswa katlka dhehebu ? kukana jambo hill nikwa njla rahisl kusema hairuhusiwf. Kama wanadamu wangetoka kwa madhehebu na wajtunge pamoja, na watengeneze kanuni za lmani.' wao wangekua dhehebu lingine lakini kanisa la Mungu aliye hai halibunwf kwa njla hiyo: lakini linatokana na kuokolewa kwa waumena wake katlka Yesu, na kwasababu hlyo kuunganiswa pamoja na Bwana katika "kifungo cha ukamilifu" swali silo. ni utaratibu gani unafaa sana kwa Wakristo wote kustmama juu yake, kama mstngt wa umoja? Lakini nf mstngi gani wa Kristo wote hasa na sharti wastmame juu yake? Kwa kudumu tu dani ya Kristo. mwtli wake kanisa, tunasimama kwa msingt hunahuslsha Wakristo wote mbinguni na duniani. na sio mshirika wa dhehebu au chamkano limetengwa. Kama neno la Mungu lillsema, "tuko sote mmoja ndani ya mwtli wa wamethodisti," au shirika lingtne lolote la kibinadamu. ndipo wamethodtst wangechukua jukuaa imechaguliwa takatifu ya ushirika na Jina lingine late na kan'Uni sitalaumtwa kwa dhambi ya matengano. Lakini ya kwaibba neno linatuamulu tukae tu ndani ya Kristo, na kututhibitisha "wote mmoja ndani ya Kristo Yesu," "kwa kumwtshiya yeye mwenyewe," yule wa Kristo wote ni sharti wadumu ndani yake. na kwa ndani ya yule hakuna watenda dhambt, tumeunganishwa kwa watakatifu wote, na tumetenganishwa na watenda dhambi, na kusimama huru mbele ya Mungu, kwa uhalifu mkubwa wa udhehebu.

26

Kwa sababu hil, tangu msomajt btblia mwenye busala anajua hll madhehebu ya wakristo wamekataa mafundtsho ya dint ya kirumt na Urumi sto kanisa la Mungu; na kila shlrika la dhehebu linafungantsha pamoja watakattfu na watenda dhambt, jambo liliokatazwa na btblla: kwa kuwa mshupavu kuptta anashudia htt "kantsa (kumaantsha dhehebu) halttaokoa mtu yeyote," na kwa vile Kristo peke anaweza kutuokoa na kutultnda na "tumekamillka ndanl yake," kwa ntnt ustache dhehebu, na hudumu ndantyaKrtsto pekee na kwa mwili wake ullo kanisa? Kwa kuwa hakutakua na madhehebu mbtngunl. Kwantnt ujlshikilie kwayo dunlani? Kwa nini unatukana hekima ya Kristo kwa kudhanla kuwa kanisa allye mwanzilishl halifai, na baadhi ya mwanadamu amepata, katika stku hizi za mwlsho amepata nzurl zaldt, unayoipenda? Katika Jina la Yesu Kristo, yule neno lake Utatuhukumu slsl hM karibunt, tunawaslht wanadamu wote wakimbille dhambl na watenda dhambi wote, na wapate kimbilio kwa Yesu, na kanisa lake, ambalo ni "nguzo na mstngt wa ukweli." Amina.

K.IMETAFSILIW A NA,

REFORMATION TRUMPET

OF THE CHURCH OF GOD OF KENYA,

S. LP. 393 RUNYENJE'S EMBUKENYA EAST AFRICA.

NA KIMECHAPISHW A NA

FAITH PUBLISHING HOUSE, P.O.Box 518

GUTHRIE, OKLAHOMA 73044 USA