kiswahili kwa furaha - tomo 2 - elena bertoncini zúbková

411
Elena Bertoncini Zébková Kiswahili kwa Furaha Corso di lingua swahili Tomo 11

Upload: unfo

Post on 29-Sep-2015

5.344 views

Category:

Documents


54 download

DESCRIPTION

corso Swahilibase italianoesercizi con chiavi

TRANSCRIPT

  • Elena Bertoncini Zbkov

    Kiswahili kwa FurahaCorso di lingua swahili

    Tomo 11

  • Kiswahili kwa FurahaCorso di lingua surahili

    Tutti conoscono la parola safari, ma pochi sanno che viene dalla lingua swahili esignifica "viaggio"; un'altra parola swahili entrata nel lessico italiano bwana("signore") e di recente simba ("leone"). Il swahili la lingua pi importante dell'A-frica subsahariana, parlata come prima o seconda lingua da circa 30-40 milioni diabitanti dell'Africa Orientale e Centrale, dal sud della Somalia al nord del Mozambicoe dall'Oceano lndiano al Fiume Congo. la lingua nazionale della Tanzania e delKenya e vanta una ricca letteratura classica e moderna. Il presente corso della Iin-gua swahili interamente basato sulla letteratura contemporanea: tutta la gramma-tica, eccetto le primissime unit, illustrata con esempi presi dagli autori swahili. Lostudente si abituer fin dall'inizio ai testi letterari e gi prima di arrivare alla fine delcorso potr affrontare la lettura di una commedia o di un racconto breve senza gros-se difficolt. Il primo volume del corso affiancato dal volume secondo, compren-dente brani di conversazione e letture create ad hoc che vertono su vari aspetti dellavita quotidiana, articoli di giornale e numerosi esercizi per chi vuole acquisire la pa-dronanza attiva della lingua.

    Elena Bertoncini Zubkov professoressa ordinaria della Lingua e letteratura swahili pressol'Universit degli Studi "L'Orientale" di Napoli. Negli anni Novanta ha tenuto corsi di lettera-tura swahili in varie universit europee. I suoi ambiti di ricerca riguardano lo sviluppo dellaletteratura swahili, Ia stilistica e l'analisi del discorso letterario, su cui a dato alle stampe nu-merosi articoli e monografie. Inoltre ha prodotto diversi manuali di swahili e altri supporti di-dattici.

    ISBN 97848-548-2681-6

    Volume in due ronri indivisibili

    euro 50,00 9 8 4 6 16

  • Copyright MMIXARACNE editrice S.r.h

    www.aracnecditrice.itinfoaracneeditrice.it

    via Raffaele Garofalo, 133 A/B00173 Roma

    (06) 93781065

    tsBu 978-88-548-2681-6

    I diritti di traduzione, di memorizzazione elettronica,di riproduzione e di adattamento anche parziale,

    con qualsiasi mezzo, sono riservati per tutti i Paesi.

    Non sono assolutamente consentite le fotocopiesenza il permesso scritto dell'Editore.

    I edizione: settembre 2009

  • A Francesca, Matilde,Veronica e Eugenio

  • YALIYOMO INDICE

    DIBAJI PR E M ESSA . VIII

    ABBREVIAZIONI IX

    I. SOMO LA KWANZA

    Wahusika wetu

    II. SOMO LA PILIJuma amepata kazi ya uboiJuma anaomba kazi 7 9

    III. SOMO LA TATUJuma anaanza kufanya kazi 13Nyumbani mwa Bwana na Bibi Komba 16

    IV. SOMO LA NNEChausiku na Saidi wanakutana katika kantini ya ChuoKikuu. . . . . . . 21Mawazo ya Saidi . 24

    V. SOMO LA TANO

    Unono anamkuta Juma nyumbani 29Hotelini 32

  • VIII Yaliyomo

    VI. SOMO LA SITANyumbani kwa Juma. 39Rukia anafanya kazi ya shule. 42

    VII. SOMO LA SABAMzee Abdalla anamkana mwanawe Juma ... 49Mzee Abdalla ananunua baiskeli 51

    VIII. SOMO LA NANEUnono ni mgonjwa 57Mzee Abdalla anapanda baiskeli yake .. 61

    IX. SOMO LA TISAMzee Abdalla ameumia 67Barua ya Saidi . 70Mashoga wanne . 74

    X. SOMO LA KUMIChausiku na Saidi wanakutana tena . 77Miadi . 80Utabiri wa hali ya hewa ...............,..... 84

    XI. SOMO LA KUMI NA MOJASaidi anampigia simu Chausiku 87Dansini.

    . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

    . . . . . . . . . . . . 90lsemavyo nyota yako leo 96

    XII. SOMO LA KUMI NA MBILIMaua anamsumbua Juma . 99

  • Yaliyomo IX

    Wasiwasi wa Juma . 102Kila mtu na mchumba wake ..... 108

    XIII. SOMO LA KUMI NA TATUBwana Komba anarudi kutoka ng'ambo .. 111K isa cha Juma kukatwa mshahara ............ IlsWateja watapeliwa milioni 3.5/ Posta .... 118

    XIV. SOMO LA KUMI NA NNE

    Wazazi wa Saidi wanaupinga uchumba wake ... 121Hadithi ya kusisimua 124Utandawazi . 128

    XV. SOMO LA KUMI NA TANO

    Akina Komba katika mbuga ya wanyama ... 133Juma ameponea chupuchupu,................

    . . . . 137Fumbo la kujaza maneno.

    . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 142

    XVI. SOMO LA KUMI NA SITASaidi na Juma wanakutana 145Ajali na baadaye . 149Sabasaba huko Kenya .......... 155

    UFUMBUZI WA MASOMO. 159

    VOCABOLARIO SWAHILI ITALIANO ... 235

    VOCABOLARIO ITALIANO SWAHILI

  • Yatiyomo

    DIBA JI PREMESSA

    Lo scopo di questo volume d i a iutare gl i studenti asviluppare la padronanza attiva della l ingua. Ogni lezione(Somo) si r i f erisce al la rispettiva U n i t d e l I . volume,proponendo ciascuna due letture conversazione e narrazione e un'ampia serie di esercizi. Tutte le letture vertono suglistessi personaggi. Gli esercizi sono di due tipi: Mazoezi(drills) eTamiini na ta fsiri, cio esercizi meno meccanici, pi ragionati,nonch traduzioni, proposte di r i assunti scritt i e verbali,composizioni, dialoghi, alcune letture aggiuntive e qualchegioco.

    Nello sforzo di rendere il linguaggio di questo volume il piautentico possibile, per a lcuni test i d i l e t tura ho u t i l i zzato,adattandoli, b r ev i brani p resi dai seguenti r o manzicontemporanei: Kichwamaji di E .Kezilahabi, Kosa la BwanaMsa di M.S.Abdulla, Tuanze lini di K. Mukajanga, Tumgidiebwege di J. Rutayisingwa e Kilemba cha uitoka di C. Mdoe.

    Si raccomanda di imparare, oltre ai vocaboli, le espressioniriportate nelle Spiegazioni (Maelezo) e i proverbi che chiudonociascuna lezione.

    Colgo l 'occasione per esprimere la mia gratitudine agliscrittori tanzani Kajubi M ukajanga e Hammie Rajab esoprattutto al nostro compianto lettore Abedi Tandika per averriveduto i testi di questo volume, e alla mia collega dott,ssaMaddalena Toscano per avermi aiutato con le chiavi degliesercizi. Ringrazio inoltre la mia nipotina Matilde per il disegnodella copertina nonch mia figlia Tiziana per aver disegnato ledue famiglie e la copertina del I volume e per aver illustrato iproverbi. (Le altre immagini sono state prese da alcuniprogrammi di grafica su Internet).

    I Il procedimento che ho usato si pu vedere paragonando il brano Kazimotoaanguka baiskelini (preso da Kichwamaj i j della VLUnit con il testo Mzee Abdaltaapanda baiskeli yake nella Vlll. Lezione di questo volume.

  • ABBREVIAZIONI

    accr. accrescitivo intr. intransitivoagg. aggettivo inv. invariabileAppl. applicativo It. italiano2Appl. doppiamente Appl. K keniotaAr. arabo Kimvita dialetto di Mombasaarc. arcaico Lat. latinoavv. avverbio lett. letteralmentecfr. confronta Mvita cfr. Kimvitacoll. colloquiale neol. neologismocong. congiunzione Pas. passivoContatt. contattivo Per. persianoContr. contrario pl. pluraleCs. causativo pol. politico2Cs. doppiamente Cs. Port. portoghesedim. diminutivo poss. possessivodimostr. dimostrativo Pot. potenzialeDur. durevole prep. preposizioneescl. esclamazione pron. pronomefam. familiare q.c. qualcosafig. espressione figurata q.u. qualcunoFr( an). francese Rec. reciprocoGr. greco Rifl. riflessivog ram. grammaticale sg. singolareid(eof). ideofono Sl. slang (gergo)idiom. locuzione idiomatica Stat. staticoInd. indiano Ted. tedescoinf. informale tr. transitivoIng. inglese us. usualmente, usatoi nt(er). interiezione vs. versus (contro)Intens. intensivo Z(anz). zanzibarinointer(rog). interrogativo

  • I. SOMO LA KWANXAPrima lezione

    Wahusika wetuI nostri personaggi

    Bwana Kazimoto Komba au baba Chausiku (45')Bibi Bahati au Mama Chausiku, mkewe * (40)

    Watoto:Chausiku, msichana (20)Unono, mvulana (13)Maa, msichana mdogo (3)

    ' 11 numero tra parentesi indica pet del personaggio.

  • Kiswahili kwa Furaha

    Mzee Abdalla au Baba Saidi (48)Bibi Tatu au Mama Saidi, mkewe * (38)

    Watoto:Saidi, kijana (22)Juma, kijana (16)Rukia, msichana (12)

    Wakati: miaka kati ya 1988 na 1990 hivi.

    Bwana Komba ni meneja. Mzee Abdalla ni mvuvi. BwanaKomba ni tajiri sana. Mzee Abdalla ni maskini. Bwana Kombaanakaa Dar es Salaam. Mzee Abdalla anakaa kijijini.

    Saidi anakaa Dar e s Salaam. A n asoma C hu o K i k u u .Chausiku pia anasoma Chuo Kikuu. Yeye ni msichana mzurisana.

    Maelezo Note* mkewe sua moglie

    Maneno mapya Nuovi vocaboli 2au cong. Ar. oppure

    oltre a quelli presenti nella I. unit

  • baba (sg. e pl.) c1.9/10 padrebibi (pl. mabibi) c1.5/6 signora, signorinabwana (mabwana) cl.5/6 signorechuo kikuu (vyuo vikuu) 7/8 universithivi circakati ya prep. tramaskini 9/10 e agg. Ar. poveromeneja (mameneja) 5/6 Ing. manager, dirigentemhusika (wa-) 1/2 personaggiomiaka (pl.) = mwaka 3/4 annomsichana (wa-) 1/2 ragazzamvulana (wa-) 1/2 ragazzomvuvi (wa-) 1/2 pescatorepia avv. pure, anchesana avv. moltotajiri 5/6 e agg. Ar. l.ricco; 2.datore di lavorowakati (nyakati) 11/10 Ar. tempowetu poss. 1/2 nostro

    Maswali DomandeBwana Komba ni nani? (Chi ...?)Bibi Bahati ni nani?Chausiku, Unono na Maua ni nani?Mzee Abdalla ni nani?Bibi Tatu ni nani?Saidi, Juma na Rukia ni nani?

    MAZOEZI ESERCIZI (DRILLS)

    1. Badilisha jina na viambishi. (Cambia il n ome e iprefissi.)

    a) Kijana yule alianguka.(vijana, mzee, wazee, mvulana, wasichana, k i tabu, v i tabu,

  • Kisttahili 4va Furaha

    mvuvi, kiti, mwanamke, vitu, wanaume, wavuvi, viti)b) Kijiji kile ni kidogo.

    (mtoto, chumba, vi tabu, wageni, mgeni, v i jana, vyumba,msichana, kiti, kijana, watoto, vijiji, chuo kikuu)

    c) Kijiji changu ni kizuri.(majina yale yale gli stessi nomi)

    2. Maliza sentensi na fasiri. (Completa la frase e traduci.)a) ... -lifika kijijini.

    (wageni, mwalimu, mvuvi, wazee wetu, kijana yule, bwana,vijana wetu, mwanamume yule, msichana mzuri, waalimu)

    b) ...-nataka kusema.(maneno yale yale le stesse parole)

    c) ... -nasema...Mfano (esempio): W'aswahili wanasema Kiswahili.(-faransa,

    -ingereza, -italiani/-italia(no), - luo, -kamba , - dachi"tedesco", -arabu, -g(i)riki, -reno "portoghese")

    TAMRINI NA TAF'SIRI-ESERCIZI E TRADUZIONI

    1. Jibu. (Rispondi.)Mzee Abdalla ni mvuvi au meneja?Bibi Bahati ni Mama Chausiku au Mama Saidi?Bwana Komba ni Baba Saidi au Baba Chausiku?Bwana Komba ni mvuvi au meneja?Chausiku ni msichana au mvulana?Mzee Abdalla ni tajiri au maskini?Unono ni msichana au mvulana?Maua ni mtoto au kijana?Rukia ni kijana au msichana?Bibi Tatu ni Mama Saidi au Mama Chausiku?

    3 Luo, Kamba trib del Kenya.

  • 2. Panga maneno haya yalete maana.(Sistema le parole in modo che abbiano senso.)

    Wangu, Nairobi, wanakaa, wazee,Ni, chumba, kidogo, changu.Kiingereza, watoto, wanasema, wetu.Yule, anakaa, wapi, mvuvi?Kijijini, wetu, walifika, wageni.

    3. Fasiri kwa Kiitaliani. (Traduci in italiano.)Wale ni wahusika wetu.Kijana yule anasema Kifaransa kidogo.Chakula changu ni kizuri.Mwanamume yule ni Mwafrika.Wageni walipata chakula kizuri.Waliweza kuona kijiji kile vizuri.Waliweza kuona kijiji kile kizuri.Mwanamke yule alichukua kitabu changu.

    4. Badilisha majina ya sentensi hapa juu kuwa kinyumechake.

    (Cambia i nomi delle frasi qui sopra in forma opposta: dalsg. al pl. e viceversa.)

    5. Sema kwa Kiswahili. (Dici in swahili.)a) Il nostro personaggio, la mia stanza, quel ragazzo, una

    bella bambina, delle belle sedie, i nostri ospiti, il mio villaggio,quel cibo, mio marito.

    b) Vuole arrivare, vogliono parlare, pu prendere un libro,possono leggere, sanno scrivere, sa parlare arabo, vede e sente,trovarono una cosa.

    6. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in swahili.)Il signor Komba un manager molto ricco. Egli abita a Dar esSalaam. Sua moglie la signora Bahati. Mzee Abdalla unpescatore; egli molto povero. Abita in un villaggio. Saidi eChausiku studiano all 'universit. Chausiku una bella ragazza,Saidi un bel giovanotto.

  • Kiswuhili kwa furaha

    Termini utilizzati negli esercizi-badilisha cambiare, trasformaredibaji 9/10 Ar. prefazione, premessaelezo (maelezo) 5/6 spiegazione, nota-fasiri Ar. tradurrehapa qui-jibu Ar. risponderejina 5/6 nomejuu (ya) avv., prep. su, soprakiambishi 7/S affisso; kiambishi awali prefisso; kiambishi

    tamati suffissokinyume 7/S retro; il contrario, antitesi, oppostokwa prep. in, per, akwanza avv. prima, anzitutto; -a kwanza num. primo-leta portaremaana 9/10 Ar. significato, senso-maliza finire, completare, terminaremfano 3/4 esempioneno (ma-) 5/6 parola, vocabolonyongeza 9/10 aggiunta, appendice-panga sistemare, disporre, mettere in ordine/ in fila-pya nuovosentensi 9/10 Ing. frasesomo (ma-) 5/6 lezione; letturaswali 5/6 Ar. domandatafsiri 9/10 Ar. traduzionetamrini 9/10 Ar. esercizio-wa essere

    yaliyomo (forma verbale) indicezoezi 5/6 esercizio, drill

    Complessivamente conoscete /07 vocaboli.

  • II. SOMO LA PILI

    MAZUNGUM ZO CONVERSAZIONE

    Juma amepata kazi ya uboiJUMA: Hodi!Bl BAttATt: Karibu!J.Shikamoo, mama.B.B. Marahaba, kijana. Unataka nini?J. Ninatafuta kazi.B.B. Unatafuta kazi gani?J. Ninatafuta kazi ya uboi.OiB.B. Unataka kufanya kazi hapa?J. Ndiyo, mama.B.B. Jina lako nani?J. Jina langu Juma Abdalla.B,B. Unajua kufanya nini?J. Nitafanya kazi yo yote.O~B.B. Utaweza kupika?J. Nitaweza.B.B. Utaweza kufua?J. Nitaweza.B.B. Utaweza kufagia?J. Nitaweza.B.B. Na kupiga deki?J. Nitaweza.B.B. Vizuri. Unaweza kufanya kazi hapa.J. Asante, mama.B.B. Utaanza sasa hivi.J. Ndiyo, mama.

    Maelezo Note:O~ kazi ya uboi lavoro di servitore (ing. bo~)Oz kazi yo yote qualsiasi lavoro (in cl. 9)

  • Kiswahili kwa furaha

    Maneno mapya1a(h)sante inter. Ar. grazie-fagia spazzare-fua lavare i pannigani? quale? che? (solo interrog., usato sempre con un N.t.

    ma senza il class.)hodi escl. Permesso?karibu avv. Ar. avanti! (lett, avvicinati!)kazi 9/10 lavoromama 9/10 madre; signoramarahaba Ar. risposta a Shikamoondi(y)o sishikamoo un saluto cortese ("Bacio le mani")-piga deki lavare per terra-pika cucinaresasa adesso; sasa hivi subito, immediatamente

    MAZOEZI ESERCIZI (DRILLS)

    1. Maliza sentensi na fasiri. {Completa lefrasi e traduci.)a) Unataka ...?

    (chakula, mkate, mayai, matunda, k i t i , maji, kazi, chungwamoja)

    b) (mimi) Ninataka chakula.... chakula gani?(wewe)

    (sisi) ... ch akula.... chakula gani?(ninyi)

    (yeye) ... chakula.... chakula gani?{wao) ... ch a kula.... chakula gani?

    c) Una chakula gani? (mimi) ... mk ate.Mna ( si si) .. . mkat e .Watoto ..."Juma

    d) Kiti -le -naanguka.I oltre a quelli presentati nella11. Unit

  • (vitabu, mtoto, mnazi, jani, mayai, wageni, mibuyu)e) Niliona ... -zuri.

    (gazeti, mji, kijiji, maduka, vyumba, mto, mito, jiko)f) Utachukua ... -ingi.

    (matunda, viti, mikate, magazeti, miti, vitu)g) Mto -le ni -kubwa.

    (mwitu, sikio, macho, chumba, mkono, miguu, mzee, vitabu)

    h) (wewe) Una njaa? (mimi) ... kiu.(ninyi) ... baridi? (sisi) ... joto.(yeye) ... u s ingizi? (wao) ... haraka.

    2. Maliza sentensi hii, halafu badilisha majina kuwawingi. (Completa lafrase, poi metti i nomi al plttrale.)

    Kuna ... na ...(mbuyu, mnazi; yai, chungwa; mto, mlima; mji, kijiji; shamba,mwitu; gazeti, kitabu)

    KUSOMA LETTURA

    Juma anaomba kaziBibi Bahati anasikia hodi mlangoni. Anajibu "Karibu".

    Kijana mmoja anaingia, amechukua mzigo. B ib i B ahatianamwuliza, "Unataka nini hapa?" Kijana, j ina lake Juma,anamjibu kwamba anatafuta kazi. "Unajua kufanya kazi gani?"Bibi Bahati anamwuliza, "Ninaweza kufanya kazi yo yote,"Juma anamjibu. Bibi Bahati anamwuliza tena kama anawezakupika, kufua, kufagia na kupiga deki. Juma anamjibu kwambaanaweza. Yeye ana njaa na kiu, tena amechoka sana, lakini BibiBahati anasema kwamba Juma anaweza kuanza kazi sasa hivi.Yeye anahitaji msaidizi nyumbani.

    Maneno mapya-ake suo

  • IO Kiswahili ~a furaha

    -piga hodi bussare (alla porta), chiedere "permesso"-hitaji Ar. aver bisogno, necessitare-jibu Ar. risponderekwamba cong. che(lake cfr. -ake)lakini cong. Ar. ma, permsaidizi l/2 aiutante, assistentemtu [anchej qualcunomzigo 3/4 fagotto, bagaglio, peso, cariconyumba 9/10 casatena avv. e cong. di nuovo, inoltre, poi, dopo un neg. (non)

    plu-uliza domandare

    TAMRINI NA TAFSIRIESERCIZI E TRADUZIONI

    1. Badilisha sentensi za Mazungumzo kama hivi:(Cambia le frasi della Conversazione cosi: dal discorso

    diretto al discorso indi retto.)Mfano: Jum a: Ninatafuta kazi.

    Juma anasema kwamba anatafuta kazi.2. Badilisha vitenzi vya Kusoma viwe katika wakati

    uliopita, isipokuwa amechukua, ana, amechoka.(Cambia i verbi della Lettura dal presente al passato, eccetto

    amechukua, ana, amechoka.)

    3. Tumia sentensi hizi katika wakati ujao.(Metti jusa] questefrasi al futuro.)

    Mfano: Jana Juma alifagia na kupiga deki.Kesho atafagia na kupiga deki tena.

    Jana mwalimu alisoma na kuandika.Jana mama alipika na kufua.Jana wageni walitazama na kusikia.Jana bwana aliita na kutafuta.

  • 4. Maliza ukihadilisha kiima wa kitenzi.(Completa cambiando il sog getto del verbo: coniuga. )

    Nimeona chumba kidogo. Kesho nitafika mjini .

    5. Tumia maneno ya a) na b) pamoja katika sentensi.(Usa le parole sotto a) e b) insieme nellefrasi.)

    Mfano: a) M t o to ananjaa. b ) A na takachakula.a) njaa, kiu, baridi, usingizi, harakab) moto, chakula, kulala, kuingia sasa hivi, maji.

    6. Jibu maswali haya. (Rispondi a queste domande.)Juma anafanya nini mlangoni?Anatafuta nini?Anajua kufanya kazi gani?Bibi Bahati anamtaka kufanya nini? (Cfte cosa vuole fargli fareB.B. P)Juma ana nini?Ataanza lini (quando) kufanya kazi?

    7. Fasiri upesi. (Traduci velocemente.)a) Mlango mpana, mwangaza mzuri, mtu mwerevu, mwaka

    mzima, ki jana mnene, mkono mtupu, shangazi wangu, shatijekundu, fundi yule, jua kali, shetani mwovu, chungwa bovu.

    b) Nuvole nere, una lunga vita, tre domande, arance rosse, unlago profondo, un nuovo presidente, quattro ministri, unapiccola porta, un grande fuoco, molte foglie.

    8. Fasiri kwa Kiitaliani. (Traduci in italiano.)Onyesho lile lina mwangaza mchache. Mungu atasikia manenoyako, Mkutano umeanza leo. Umeona machungwa yale wapi?Sokoni. Mume wangu amevaa shati jeupe. Mwalimu wako ninani? Mwal imu w angu n i B w ana D audi . W azee wamesikiaswali langu. Mahali pale patatosha. Mwana wangu aliona moshishambani.

    9. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in svvahili.)

  • 12 Kiswahili kwa furaha

    Juma buss alla porta ed entr in casa. Voleva chiedere allasignora Bahati se poteva [pu] lavorare li (/ tuku ). La signoraBahati domand se Juma sapeva [sa] cucinare, lavare, spazzare elavare per terra. Juma rispose che avrebbe fatto [far] qualsiasilavoro. La signora Bahati aveva bisogno di un aiutante in casa.Disse che Juma avrebbe potuto [potr] cominciare il lavorosubito.

    Termini utilizzati negli esercizihalafu avv. Ar. dopoisipokuwa tranne, eccetto, se nonkama cong. Ar. come, se, che; kama hivi come questi/e, cosikatika prep. in, a, da, tra, durante, ecc.kiima 7/8 soggettokitenzi 7N verbomethali 9/10 Ar. proverbiopamoja avv. insieme-tumia usare, adoperare(umoja 14 gram. singolare)upesi avv. velocementewakati ujao futurowakati uliopita passato(wakati uliopo presente)wingi 14 plurale

    METHALI PROVERBIO

    Mtu mume ni kazi.Un buon marito lavora sodo.

    Complessivamente conoscetecirca 325 vocaboli.

  • III. SOMO LA TATU

    MAZUNGUMZO

    Juma anaanza kufanya kazi

    BIIII BAHATI: N i fuate, Juma, n i takuonyesha nyumbayetu.

    JUMA: Oh, nyumba nzuri sanai Kuna maji ya mfereji, taa zastimu na choo cha kuvuta.

    B.B. Sasa nifuate jikoni.J. Oh, mna stovu ya stimu!B.B. Unaweza kuitumia?J. Hapana, mama.B.B. N i takuonyesha... Sasa t engeneza chai . U n ajua

    kutengeneza chai, sivyo?J. Ndiyo mama, najua sana. Unapenda chai nzitoOI au

    nyepesi?B.B. Nzito sana.J. Unatumia maziwa na sukari? OzB.B. Tia maziwa na sukari kidogo. Tena lete mkate na siagi.MAUA: Mama, mama, nina njaa.B.B. Wasikia, Juma? Mwanangu analia kwa sababu ana njaa.M.Nataka uji-i-i . lB.B. Anataka uj i wake. Basi p ika uji kwanza, halafu

    utatengeneza chai.J. Haya.

    Maelezo:Oi chai nzito t scuro/forteOz Unatumia maziwa na sukari? Prendi latte e zucchero?

    ' La bambina piange.

    13

  • 14 Kiswahiti kwa Furaha

    Maneno mapyachoo (vyoo) 7/8 latrina; choo cha kuvuta gabinetto con lo

    scarico, water closet-fuata seguirehapana nohaya int. Ar. d'accordo; suvviamfereji 3/4 Ar. canale, tubo per l'acqua, rubinetto; maji ya

    m. acqua correntesiagi 9/10 Ar. burrostimu 9/10 Ing. elettricit; taa za stimu luce elettricastovu 9/10 lng. cucina economicasukari 9/10 Ar. zucchero-tengeneza riparare; preparare-vuta tirare; (-vuta sigara fumare)

    MA,ZOEZI

    Maliza sentensi hizi. (Completa queste frasi.)1. Una-ona ...h ?

    Mfano: Unai ona shule hii?(shule, maa, mwangaza, onyesho, uma, wino, wingu, kuta, uso,motokaa, fundi, mawaziri, saa pl., kitabu)

    2. H ni ...-etu.

    Mfano: Huy u ni rafiki yetu.(rafiki, nyimbo, wakati, siku, rais, ufunguo, funguo, lugha,ukulima, dunia, choo, mafundi)

    3.... h - -meanguka.Mfano: Kijana huyu ameanguka.(kijana, wanawake, mbuyu, michungwa, ubao, mpira, uma,nyuma, taa sg., gazeti, mayai, waziri, picha pl., viti)

    4. Lete ... -angu. -lete.Mfano: Lete matunda yangu. Yaiete.

  • (matunda, unga, rafiki, mafuta, vitabu, motokaa, ng'ombe, jiwe,picha sg., nyuma, mkate, siagi)

    5. . . . -ako -tatosha.Mfano: Ndugu zako watatosha.(ndugu, kahawa, pesa pl., mbuzi sg., ng'ombe pl., mfereji, choo,vyumba, ndizi sg., nazi pl., maji, neno)

    6, Juma, pika ... -amtoto.(uji, chai, nyama, ugali, kuku, chakula, ndege pl., yai, ndizi pl.,kahawa, mayai)

    7. ... h ni -refu sana.Mfano: Siku h i i ni ndefu sana.(siku, mwezi, ziwa, maji, safari, siku pl., saa sg., ubao, mbao,mtu, vijana, chumba)

    8. (mimi) Nina kiu. Nipe maji. (dammi)(sisi)MtotoWatoto

    9. (mimi) Nipe matunda. (wewe) Unataka matunda gani?(sisi) (ninyi)(yeye) (yeye)(wao) (wao)...

    10. (mimi) -litaka chakula. Juma ali-pa ugali.(wewe, yeye, sisi, ninyi, wao)

    11. (mimi) -na njaa. -aomba chakula. Juma ana-pa nyama.(wao, sisi, yeye, wewe, ninyi)

    12.... h - -a-tosha.Mfano: (chakula-wewe) Chakula hiki chakutosha.

  • 16 Kiswahili kwa Furaha

    (pesa pl. wao, maji mimi, ugali yeye, kuni sisi, vyumba-wao, minazi -ninyi, msaada wewe, ufagio ninyi, ng'ombe pl.-sisi, mbuzi sg. yeye, jiko - mimi)

    KUSOMA

    Nyumbani mwa Bwana na Bibi KombaJioni Bwana Komba amerudi nyumbani. Baada ya chakula

    cha jioni ameketi kitini kupumzika na kusoma. Anasoma gazetila Kiswahil i " U huru" . B ib i B a hat i p i a ameketi kupumzika.Amechoka kwa sababu siku nzima alimfundisha Juma kufanyakazi za nyumbani. Sasa anasikiliza redio. Mwanawe Mauaanacheza karibu naye chini ya meza.

    Dada yake Maua, Chausiku, anasoma kitabu cha Kiingereza.Mdogo wake Chausiku, Unono, afanya kazi ya shule chumbanimwake.Na boi wao mpya anafanya nini? Juma anaosha vyombo

    jikoni. Amechoka sana.

    Maneno mapya-fundisha insegnarejioni 9/10 e avv. tardo pomeriggio, sera; chakula cha jioni cena-osha vyombo lavare i piatti-pumzika riposareredio 9/10 Ing. radio-sikiliza ascoltareuhuru 14 Ar. indipendenza, libert

    TAMRINI NA TAFSIRI

    1. Jibu. (Rispondi.)Bwana Komba afanya nini?Bibi Bahati afanya nini?Maua afanya nini?

  • Chausiku afanya nini?Unono afanya nini?

    2. Maliza sentensi hii. (Completa questa frase.). . . -a Chausiku ni -zuri.(macho, mwili, uso, mikono, jicho, nywele, sikio, miguu, kucha,mkono)

    3. Badilisha kiima; tumia rnaneno ya ngeli nyingine pia.(Cambia il soggetto; usa anche nomi di altre classi.)

    (mimi) Nataka kuanguka.(sisi, wao, wewe, yeye, ninyi, nazi hii, nazi hizi, yai, mayai, kiti,viti, mkate, mikate, ufunguo, funguo)

    4. Badilisha kiima na shamirisho yambwa.(Cambia il soggetto e il complemento oggetto. )

    (mimi-yeye) Naweza kumwona.(yeye-mimi, wewe-wao, wao-wewe, sisi-ninyi, ninyi-sisi, mimi-kitu, ninyi-vitu, sisi-ubao, wewe-farasi, simba-wewe)

    5. Badilisha kiima na kimilikishi.(Cambia il soggetto e il possessivo.)

    (mimi) Napenda nchi yangu.(yeye, sisi, wewe, wao, ninyi)

    6. Fasiri npesi. (Traduci velocemente.)a) Tunamwona. Unawaona? Ninawaoneni. Nina njaa. Mtoto

    ana kiu. Una kitabu. Mnataka machungwa? Maua aomba mkatena uji. Kuna chakula gani leo? Kuna ugali na nyama yang'ombe.

    b) Sotto la sedia, sul tavolo, dentro la casa, dietro la palma,fuori della scuola, davanti alla porta, prima di leggere, dopo ilviaggio, lontano dalla citt, per (amor di) mio figlio, insieme conamici, vicino al lago, senza parlare, nel mezzo della stanza, tradue alberi, a causa di soldi.

  • 18 fCiswahili kwa Furaha

    7. Fasiri kwa Kiitaliani. (Traduci in italiano.)Padre al isema: "Mungu anatupenda." Juma na K i t a ruwanautazama mbuyu. N i l ikwambia kwamba rafiki yanguataondoka kesho. Unamfahamu Chausiku? Ndiyo, mwanangu,namfahamu sana. Hasani alinunua machungwa na ndizi sokoni.Huu ni wakati wetu. Katika shule yetu mpya kuna walimu wa-kali. Acha jambo hili juu yangu.

    S. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in swahili.)a) 1 miei figli hanno fame, dai loro da mangiare [il cibo].

    Unono e Maua vogliono uova con pane e frutta, Chausiku vuolepane con burro e caff. Che frutta c'? Ci sono banane e arance.Bambini, che frutta volete? Vogliamo due banane. Grazie.

    b) Juma molto stanco. Ha lavorato tutto il giorno [il giornointero]. Ha spazzato tutta la casa, ha lavato per terra, ha lavato ipanni, cucinato il pranzo (chakula cha rnchana) e la cena, lavatoi piatti. Adesso ha sonno, vuole dormire.

    9. Badilisha sentensi za Mazungumzo ziwe kama hadithi.(Cambia le frasi della Conversazione facendone un racconto.)

    Termini utilizzati negli esercizihadithi 9/10 Ar. raccontokimilikishi 7/8 gram. possessivongeli 9/10 grarn. classe nominaleshamirisho 5/6 complemento: sh. yambwa complemento

    oggetto; sh. yambiwa complemento a termine

  • III. Somo

    METHALI

    Majuto ni mjukuu.Il rimpianto viene sempre troppo tardi.

    majuto 6 rimpiantomjukuu 1/2 nipotino

    Dovreste conoscere circa 540 vocaboli.

  • IV. SOMO LA NNE

    MAZUNGUMZO

    Chausiku na Saidi wanakutanakatika kantini ya Chuo Kikuu

    CHAUSIKU: Samahani, kaka, kiti hiki kina mtuOI?SAIDI: Hapana, dada, karibu.CH. Asante. Habari gani?S. Nzuri tu. Habari zako?CH. Salama, kama siOz chakula hiki kibovu.S. Kibovu? Mbona mimi nakiona kitamu.CH. Haiwezekani! O~ Wali huu ni mbovu, hata siwezi kuula.S. Sasa utakula nini?CH. Nitakula baadaye nyumbani.S. Unaishi Dar?CH. Ndiyo. Ninaishi Ostabei pamoja na wazazi wangu. Na

    wewe je?S. Mimi nakaa hapa chuoni.CH. Unatoka wapi?S. Pwani, si mbali na Dar.CH. Jina lako nani?S. Saidi Abdalla. Na jina lako je?CH. Chausiku Komba.S. Unasoma katika Idara gani?CH. Katika Idara ya Kiswahili.S. Mimi nasoma katika Idara ya Sanaa za Maonyesho.CH. Kumbe. 'Je, unapenda masomo yako?S. Kabisa. Na wewe je?CH. Hivi hivi. Sasa nitakuacha. Labda tutaonana kesho.S. Nimefurahi kukuona.CH. Nami pia nimefurahi kukuona. Haya kwa heri.

    Oysterbay, una delle zone pi lussuose di Dar es Salaam.

    21

  • 22 Kiswahi li kwa Faraha

    S. Tutazidi kuonana.

    Maelezo Note:O> Kiti hiki kina mtu? Questa sedia occupata?Oz kama si se non fosse perO> haiwezekani non possibile

    Maneno mapyahata avv. e cong. A r. perfino, nemmeno, (prep.) fino ahivi cosiidara 9/10 Ar. dipartimentoje inter. (us. all' inizio di una frase interrogativa ) ebbene, dai,

    ehi; enclitico come'? che?kabisa avv. Ar. completamente, assolutamente, del tuttokantini 9/10 Ing. mensakumbe in t. esclamazione di m e raviglia: caspita! avv.

    improvvisamente, e invece-la/-kula mangiare2labda avv. Ar. forsemasomo (pl. di somo) studio, studimzazi 1/2 genitorepwani 9/10 costa, litorale, spiaggiasamahani int. chiedo scusasanaa 9/10 Ar. arte; sanaa za maonyesho arti drammatiche

    MAZOEZI

    1. Maliza sentensi na fasiri. (Completa la frase e traduci.)a) Hana kiti? Hat ak i kit i.

    Cfr.V.Unit.

  • IV. Somo 23

    Hamna "Hatuna "SinaHunaHawana "

    b) Wao ... njaa? Ha... njaa, ... kiu.(mimi, sisi, wewe, ninyi, yeye)

    c) Ninatumia sukari. S i tumii maziwa.TunatumiaUnatumiaMnatumiaJumaWatoto ...

    d) (mimi) -taki kuku, -nataka samaki.(sisi, wewe, wao, ninyi, yeye)

    e) (wewe) -tafika kijijini? (mimi) Hapana, fika.(ninyi-sisi, yeye, wao)

    f) (ninyi) -talipa kitabu -etu -pya? (sisi) Hapana, lipa.(wewe-mimi, wao, yeye)

    g) (wewe) leta maji? (mimi) Hapana, leta.(ninyi-sisi, yeye, wao)

    h) Bwana Salum -kaa katika mji -le. Wazazi -ake -kaa katika mji... Nairobi. Sisi -akaa katika nchi ... Tanzania. Ninyi -akaa katikakijiji ... Chwaka. (wewe) -kaa wapi? -kaa hapa. Baba -ako -kaaMorogoro? La, -kai Morogoro, -kaa Arusha. Rafiki zako -kaaTanga? La, kai Tanga, -kaa Dar. (wewe) -kaa Nairobi? (mimi)La, -kai Nairobi, -kaa Mombasa. (ninyi) -kaa Mombasa? (sisi)La, -kai Mombasa, -kaa Malindi.

    2. Badilisha sentensi hizi. (Cambia queste frasi.)a) Mfano: Hujasoma kitabu? Soma kitabu! Kisome!

    (-soma kitabu, -chukua viti, -leta matunda, -(m)shika kuku)b) Mfano: Hamjatoka jikoni? Tokeni jikoni!

    (-rudi kazini, -ingia ndani, -fagia vyumba hivi)

    3. Badilisha kiima. (Cambia il soggetto.)Hasani -nahitaji mafuta? Hapa n a, -hitaji.

  • 24 Kiswahili kwa Furaha

    -lihitaji hitaji.

    (ninyi) -nafika sokoni? (sisi) -fiki.-lifika

    fika(wewe) -naondoka mjini? (mimi)-ondok-.

    liondoka-ondok-.

    (wao) -naosha vyombo?-osh-.

    -liosha-osh-.

    4. Badilisha kiima na shamirisho yamhiwa.(Cambia il soggetto e il complemento a termine.)

    (mimi) -ijui kazi h , mama ata-saidia.(wewe, sisi, mvulana yule, ninyi, wazee hawa)

    5. Tumia v i tenzi katika w akati uliopita, kauli y akukanusha.

    (Metti i verbi al passato negativo. )Juma -kufika jana.(mimi -ondoka, ninyi -pika, sisi -fagia, wewe -lala, wao -fuanguo)

    6. Kauli-tauria. Scioglilingua.Wanawali wa liwali hawali wali wa liwali wao.

    Maneno mapya-la mangiareliwali 5/6 Ar. capo amministrativo (nel passato)mwanamwali 1 /2 (p l . wanawali) fa nciulla alla pr imamestruazione

    KUSOMA

    Mawazo ya SaidiBaada ya kumuaga Chausiku, Saidi alibaki amekaa mezani na

    kuwaza. Aliona kwamba hajapata kukutana na msichana mzuri3 4

    "si rese conto"

  • IV. Somo 25

    kama huyu. Chausiku alikuwa msichana wa maji ya kunde,mrefu na mwenye uso mviringo. Saidi aliyakumbuka machoyake makubwa, meno yake meupe, pua yake ndogo na ngozilaini ya uso wake. Nywele zake hakuweza kuziona vizuri kwasababu Chausiku alizifunga kwa kitambaa.

    Saidi alizipenda pia nguo zake. Siku ile Chausiku alivaagauni la maua jeupe, jeusi na jekundu na viatu vyeupe. Mkobawake mkubwa pia ulikuwa mweupe.

    Maneno mapya-aga salutare (alla partenza), congedarsi-baki Ar. rimanere, restare-funga chiudere, legarekiatu (viatu) 7/8 scarpakitambaa 7/8 pezzo di stoffa: fazzoletto, tovaglia ecc.-kuta incontrare, trovaremaji ya kunde color bruno, color caffelatte, lett. acqua di

    fagiolimkoba 3/4 borsa, borsettamviringo 3/4 rotondit, cosa rotonda, curva, sfera; rotondongozi 9/10 pelle, cuoiopua 9/10 naso-waza supporre, immaginare; riflettere, pensare, ponderare,

    meditarewazo 5/6 pensiero, fantasia, supposizione

    TAMRINI NA TAFSIRI

    1. Jibu. (Rispondi.)Je, Chausiku apenda chakula cha kantini?Na Saidi je?Saidi anaishi wapi na anatoka wapi?

    "non si fera] mai [ancora] incontrato con"

    "con", len. "avente"

  • 26 Kiswahili kwa Furaha

    Je, Chausiku akaa chuo kikuu?Saidi anasoma katika Idara gani?Na Chausiku je?Je, wao wapenda masomo yao?

    2. Badilisha sentensi hizi. (Cambia queste preposizioni:)Mfano: Juma, weka chai mezani. + Nitaiweka sasa hivi.Tia maziwa kidogo.Pika chakula cha mchana.Lete uji wa mtoto.Fua nguo hizi.Fagia vyumba vile.Chukua picha hii.Funga mkoba wangu.

    3. Pambanua. (Distingui.)hajawaona hawajaona, chumba chombo, kula kulia, kiti -kitu keti, mbali mbili mbele.

    4. Maliza sentensi hizi ukitumia majina na vivumishivifuatavyo.

    (Completa le frasi usando i nomi e gli aggettivi seguenti.)shati, gauni, viatu, kitambaa,koti 5/6 Ing. giacca, suruali 9/10 Ar. pantaloni, suti 9/10 Ing.vestito masc.;-zito,

    -eusi,-eupe, -ekundu,

    -refu, -epesiChausiku amevaa ... Bi Tatu amevaa ... Bwana Komba amevaa... Saidi amevaa ... Rukia amevaa ...

    5. Badilisha vitenzi vya Mazungumzo na Kusoma kwakauli ya kukanusha (na kinyume chake).

    (Cambia i verbi della Conversazione e della Lettura in for~anegativa e viceversa.)[alikuwa: hakuwa, ulikuwa: haukuwa]

    6. Sema kama sentensi hizi ni za kweli au za uwongo.Badilisha sentensi za uwongo ziwe za kweli.

  • IV. Somo 27

    (Dici se le seguenti frasi sono vere o false. Cambia le frasifalse in vere.)1.Chausiku anakipenda chakula cha kantini. 2.Saidi pia anakipe-nda. 3.Saidi anaona kwamba Chausiku si msichana mzuri.4.Saidi anasoma katika Idara ya Kiswahili, yeye anajifunza(tmpara) Ki swahili. 5 .Chausiku pia a najifunza Kiswahili.6.Saidi anaishi Dar es Salaam. 7.Baba'ke, Mzee Abdalla, ni taji-ri sana. 8.Chausiku pia anaishi Dar, pamoja na wazazi wake.9.Baba yake ni meneja. 10.Chausiku ana ndugu watano. 11.Saidiana wadogo wawili. 12.Mdogo wake Saidi anafanya kazinyumbani kwa Chausiku.

    7. Fasiri kwa Kiitaliani. (Traduci in italiano.)Shikamoo, mzee. Marahaba, wanangu.Hamjambo, watoto? Hatujambo, baba.U hali gani? Mimi mzima, sijui wewe.Umeshindaje? Salama tu, hofu kwako.Tafadhali kaa kitako. Sitaweza kukaa, naondokaHaya, kwaheri. Nenda salama.Tutazidi kuonana.

    8. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in swahili.)Permesso? Avanti, avanti, entra.Come stai? Sto bene.Che novit ci sono stamani? Tutto bene.A casa stanno bene? Ma si, stanno bene.La scuola come va? Molto bene.Siediti, prego. Grazie.Arrivederci. Salutami a casa.Arrivederci. Buon viaggio [vai in pace].

    Termini utilizzati negli esercizikauli 9/10 Ar. espressione; kauli ya kukanusha forma

    negativakivumishi 7/8 aggettivo

  • Kiswahili kwa Furaha

    -pambanua distinguereuwongo 14 bugia, falsit

    METHALI

    Haraka haraka haina baraka.La fretta non benedetta.

    baraka 9/10 Ar. benedizione

    Dovreste conoscere circa 650 vocaboli.

  • V. SOMO LA TANO

    MAZUNGUMZO

    Unono anamkuta Juma nyumbani

    Unono: Mama, kijana yule jikoni ni nani?BI BAHATI: Ni boi wetu mpya.U. 'Boi' maana yake nini? Mpishi?B.B. Sio01 mpishi hasa. Maana yake mtumishi.U. TusemeO~ atatutumikia?B,B. Hasa.U. Lakini hatapika?B.B. Atapika, tena atafanya kazi nyingine kama kufua nguo,

    kuzipiga pasi, kufagia, kupiga deki, kufuta vumbi, kupangusamabuibui na kadhalika.

    U. Ni kazi nyingi kweli. Ataweza kuzifanya zote?B,B. Ataweza tu.U. Jina lake nani?B.B. Juma.

    (Jikoni)U. Jambo, Juma.JUMA: Sijambo, Bwana mdogo.U. Niite Unono.J. Haya, Unono.U. Unatoka wapi?J . Natoka Bagamoyo, nina maanaOs kij ij i k a r ibu n a

    Bagamoyo.U. Upande gani wa Bagamoyo?J. Sielewi.U. Ki j i j i ehenu k iko ka skazini, kusini, mashariki au1

    magharibi ya Bagamoyo?

    "si trova" (c1.71

    29

  • 30 Kiswahili kwa furaha

    J. Ah, sasa naelewa. Kiko upande wa kusini.U. Hii ni mara yako ya kwanza kufika Dar es Salaam?J. Siyo, nimewahi kuja mara nyingine mwaka jana.U. Kwa nini umeondoka nyumbani?J. Sikupenda kukaa kijijini. Hakuna nyumba nzuri za mawe

    na matofali kama hapa mjini ila vibanda vya udongo au vyamabao. Tena hakuna starehe yo yote .2B.B. Juma, hapa si mahali pa starehe! Fanya kazi haraka! Na

    wewe, Unono, nenda chumbani mwako umwache asipotezewakati bure.

    Maelezo:Ol sio non significa, non vuol dire, non 02 tuseme diciamo che, vuol dire cheO~ nina maana intendo dire

    Maneno mapyabao 5/6 (accr. di ubao) tavola, asse grande, pancabuibui 5/6 l.ragno; 2.velo (nero) delle musulmanebure avv. Ar. o I nd. invano, inutilmente, a mani vuote;

    gratuitamente-elewa capire-futa cancellare, strofinare, spolverarehasa avv. Ar. specialmente, esattamente; appunto, proprioila cong. Ar. eccetto, a meno che, ma solokadhalika avv. Ar. similmente; n.k. e cosi viakaskazini 9 (al) nordkibanda 7/8 capannakusini 9 (al) sudmagharibi 9 Ar. ovest, occidentemashariki 9 A r. est, orientempishi 1/2 cuocomtumishi 1/2 cameriere, servitoremwaka jana l'anno scorso

    "nessuno" (cl.9)

  • -pangusa spolverare-piga pasi stirare-poteza perderestarehe 9/10 Ar. comodit, riposo, divertimentotofali 5/6 Ar. mattone, tegola-tumika servire; -tumikia essere al servizio diupande 11/10 direzione, latovumbi 5/6 polvere-wahi Ar. fare in tempo; aver l'occasione

    MAZOEZI

    1. Badilisha kiima ukitumia viima vy o te.(Coni uga.)

    a) Nimekuja. Ninakwenda kununua samaki. Siendi nyumbani.b) Niende. Nisiende. Nikiwa na chakula nitakula.

    2. Badilisha sentensi ukitumia dhamira tegemezi.(Sostituisci l'infinito con il congiuntivo.)

    a) (sisi) Ni lazima kula viazi.(wao kununua, wewe kuleta, ninyi kutoa, mimi -kupika)

    b) (wewe) Ni lazima kuwapenda wazazi wako.(mimi, yeye, sisi, ninyi, watoto)

    c) Afadhali kwenda shuleni.(mimi, sisi, wewe, mtoto, wao, ninyi)

    d) Ali-ambia kufanya kazi hii.(sisi, wao, ninyi, mimi, yeye, wewe)

    3 . Tumia v i tenzi v i l ivyotangulia katika k a ul i y akukanusha.

    (Metti i verbi dell 'esercizio precedente al negativo.)(2b. ni lazima ~ si vizuri)

    4. Maliza na fasiri. (Cornpieta e traduci.)Mtoto -kienda shuleni -jifunza -soma na -andika.(watoto, wewe, mimi, ninyi, sisi)

  • 32 Kiswahi li kwa furaha

    5. Ikiwezekana, tumia vimilikishi kwa kifupi.(Dove possibile usa laforma contratta del possessivo.)

    Mke wake ameondoka.(mtoto, mwana, baba, mume, mama, dada, mwenzi, rafiki,bwana, babu, wazazi)

    6. Badilisha vimilikishi vihusike nafsi ya kwanza na yapili.

    (Metti il possessivo precedente alla l e alla 2 p.sg,)7. On geza - z I MA a u -oT E . (A g g iungi - z (MA op. -ou

    tutto".)Walikula ng'ombe ...(keki, kuku, chungwa, ndizi, mbuzi, nazi, nguruwe)

    8. Badilisha kiima. (Cambia il soggetto.)Juma -mekwenda zake.(mimi, sisi, wewe, ninyi, wao)

    9. Badilisha sentensi hizi. (Cambia queste frasi.)a) Mfano: Huj a l e ta keki? Lete keki! Ilete!

    (-la mkate,-nywa maji, -nunua vinywaji, -futa vumbi)

    b) Mfano: Hamj a rudi nyumbani? Rudini nyumbani!(-enda sokoni, -ja shuleni, -ondoka mjini)

    10. Maliza viamhishi awali. (Completa i prefissi.)Mahali -a starehe, nyumba hizi -a matofali, kibanda -a udongo,nyama -a mbuzi, mji -a kaskazini, mpishi -a mama huyu, Afrika-a Mashariki, upande -a kusini.

    KUSOMA

    HoteliniJumapili jioni Bwana na Bibi Komba pamoja na wana wao

    Chausiku na Unono walikwenda kula hotelini; Maua alibaki

  • V. Somo 33

    nyumbani akitunzwa na Juma. Hoteli yenyewe ni Kilimanjaro3 hoteli nzuri na ghali kabisa; watalii wengi wanakaa na kulahumo, hasa Wazungu. Akina Komba waliketi mezani, wote4wakisikia njaa. Punde si punde mtumishi alileta orodha yavyakula. Bw. Komba aliagiza nyama ya nguruwe, kebichi naviazi ulaya; Bi Bahati aliagiza mishikaki miwili ya nyama yambuzi na mbaazi; Chausiku alichagua wali kwa mchuzi wa5kuku na Unono alitaka ugali na katlesi tatu. Waliagiza piavinywaji: bia, mvinyo, maji ya machungwa na chai.

    Chausiku alishiba upesi. Aliacha kula. Baba yake alimhimizaakimwambia, "Watu wangapi wamezoea kulala na njaa,wakipata ugali na maharagwe watashukuru, nawe huli chakulakitamu kama hiki!" Akitaka asitakeOI Chausiku aliendelea kula,lakini hata hivyo hakuweza kumaliza wali wake. Wazazi wakehawajashiba, Unono naye alisikia bado ana njaa. Kwa hivyoBw. Komba alitoa oda nyingine: sahani mbili za sambusa-moja kwa ajili ya Unono na kipande kikubwa cha keki kwaajili ya mkewe. Chausiku alitaka chungwa moja tu.

    Bi Bahati alilewa kidogo; hajazoea kunywa vinywaji vikali.Alisimama akiyumbayumba.

    Maelezo:Ol akitaka asitake volente o nolente

    Maneno mapya-agiza ordinare, richiederebia 9/10 Ing. birra (occidentale)-enyewe P.D. stesso, medesimo, in questione

    ' "accudita (dal"

    "qui/li dentro", in un posto gi citato

    "e, con"

    Cfr. IX Unit.

  • 34 Kiswahili kwa fuvaha

    ghali agg. Ar. costoso, caro-himiza sollecitarehoteli 9/10 Ing. albergo, ristorantehivyo (dimostr.) cosi, in questo modo; kwa hivyo perci;

    hata hivyo malgrado ciJumapili 9/10 domenicakatlesi 9/10 polpetta di pescekebichi/ kabeji 9/10 Ing. cavolokeki 9/10 Ing. torta, dolcekiazi ulaya 7/8 patata europeakinywaji 7/8 bevandakipande 7/8 pezzo-lewa ubriacarsimaharagwe 6 Per. fagiolimbaazi 3/4 e 9/10 (pianta di) pisello; pisellimshikaki 3/4 Ar. spiedinomtalii l/2 turistamvinyo 3/4 Port. liquore, vinooda 9/10 Ing. ordinazione; -toa oda fare un'ordinazioneorodha 9/10 Ar. lista, inventario; o.ya vyakula menpunde avv. fra poco, un momento fa, subito; p. si p. in un

    attimo, in un batter d'occhiosahani 9/10 Ar. piattosambusa 9/10 Per. focaccina ripiena-shiba saziarsi, essere sazio-shukuru Ar. ringraziare

    -tunza assistere, accudire,-yumba(yumba) barcollare, vacillare-zoea abituarsi, essere abituato

    TAMRINI NA TAFSIRI

    1. Jibu. (Rispondi.)Bw.Komba aliagiza chakula gani hotelini?Na mkewe je?Chausiku alichagua chakula gani?

  • Unono alitaka kula nini?Baada ya kula vyakula hivyo (hivi), akina Komba wameshiba auhawajashiba?Waliagiza vyakula vingine?Na vinywaji je?Je, Bi Bahati amezoea kunywa vinywaji vikali?

    2. Mtafutie kila kiima kitenzi chake.(Cerca per ogni soggetto un predicato.)

    Mfano: Bw.Komba hajazoea kulala na njaa.Juma, Maua, Saidi, Chausiku, Bi Bahati;kumaliza chakula chake, kula hotelini, kufanya kazi zotenyumbani, kunywa vinywaji vikali, kuonana na Chausiku.

    3. Maliza sentensi hizi kwa kutumia KUNA, MNA au PANA.(Completa le frasi usando KUNA, MNA o PANA.)

    Mwituni ... miti mingi.Chumbani ... viti -ingi.Sokoni ... matunda -ingi.Dukani .. . vi t u - ingi.Mjini ... watuGazetini ... habariHotelini ... watalii

    4. Pambanua. (Distingui.)nyama nyuma, kima kina, -tia - -toa, kiazi kazi.

    5. Ikiwa lazima, ongeza kiambishi -NI ufasiri.(Se occorre, metti il suffisso loc. -NI e traduci.)

    Ninakwenda s o ko- . Ana kwenda ny umba-. Tu m ekujaBagamoyo-. Watalii waliingia kijij i-. Ninasoma chuo- kikuu-.Unatoka mji- . Hamwingi i shule-. Hatutakula hoteli-. Hajarudikazi-. Siendi kulala-.

    6. Ikiwa lazima, weka kiambishi KU- ufasiri.(Se occorre, metti il prefisso KU- e traduci.)

    Nina-enda sokoni, si-endi dukani. Watalii wame-ja leo. Chakula

  • 36 Kiswahili ~a furaha

    chetu kime-isha. Mtumishi ali-leta vinywaji. Nina-taka -soma,si-taki -zungumza nawe. Mkutano hau-ishi leo jioni. Baba yanguata-ja kesho asubuhi,

    7. Maliza sentensi hii ukiweka kitenzi katika wakatiuliopo, uiiopita na ujao, halafu ukanushe nyakati hizo zote.

    (Metti i ve rbi a l p r esente, passato e futuro affermativo enegativo.)Punde si punde ...(wewe kuja, sisi kwenda, wao kufa, mimi kunywa, ninyi-kula)

    S. Badilisha kiima. (Cambia il soggetto.)Ukitaka usitake, sharti uondoke.(mimi, yeye, wao, ninyi, sisi)

    9. Badiiisha kiima na shamirisho yambwa.(Cambia il soggetto e il complemento oggetto.)

    Lazima nitengeneze chai. Nitaitengeneza sasa hivi.(yeye - gari, sisi kiti, mnyi viti, wewe - uji, wao magari)

    10. Maliza sentensi hii ukibadilisha kiima.(Completa la frase cambiando il soggetto.)

    Angalia ...-sipoteze wakati.

    (Juma, watalii, sisi, mimi, ninyi, wewe)

    11. Badilisha hadithi ya "Hotelini" iwe mazungumzo.(Trasforma il racconto "Al ristorante" in conversazione.)12. Fasiri maneno ya waandishi.(Traduci le parole degli scrittori.)

    Mikono yao il ikuwa myepesi sana. (Kezilahabi) Hawakuonatofauti kubwa kati yangu na wao. (Kezi lahabi) "Twendetukusaidie," Ka l ia alisema. Wewe uende t u n yu m bani .(Kezilahabi) "Nipelekeni nyumbani nikamwone mke wangu,"niliwaambia. (Kezi lahabi)Sasa sisi hatufahamu jambo la kufanya. Lakini siwezi kuamini

  • V. Somo 37

    kwamba mtoto wangu Manase anaweza kuharibu uhusiano wetumzuri kati yangu na baba'ko. (Kezilahabi)"Nafikiri. Basi sijui kama sote tunafikiri jambo moja?" "Miminafikiri pesa wapi tutapata." (Abdulla) Kabla Bwana Msahajawahi kumsalimu, Shehe aliruka kitini kwake. (Abdulla) Basisisi tunakwenda kula ugali wetu, na wewe kwaheri kapumzike.(Abdulla)

    Maneno mapya-amini Ar. credere; fidarsi-haribu Ar. distruggere, rovinaretofauti 9i10 Ar. differenza; agg. diversouhusiano 14 rapporto, relazione

    13. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in swahili.)a) Il mio amico abita in un piccolo villaggio. Il suo villaggio sitrova al nord della nostra citt. Suo padre ha una grande casa dipietre, ma gli altri uomini del villaggio hanno solo delle piccolecase di fango [terra]. Il mio amico e suo fratello maggiorelavorano in citt; vanno al lavoro la mattina e tornano la sera. Laloro sorella aiuta la madre in casa.

    b) Domani sera i Komba andranno a mangiare al ristorante.Unono vuole che scelgano "Kilimanjaro" perch un ristorantecostoso e molto bello. " meglio che Maua resti a casa," dice lasignora Komba, "la guarder [sar accudita da] Juma." "Non sose devo ordinare carne di manzo o carne di maiale," domanda ilsignor Komba. "Io ordiner del pesce," gli dice sua moglie. "Ame non piace [io non amo] il pesce, manger riso con pollo,"dice Chausiku. "Io manger tante [molte] focacce e polpette,"dice Unono. "E (je) pap, potr bere un po ' d i v i no?""Assolutamente no! Vuoi ubriacarti?"

    Termini usati negli esercizidhamira 9i10 Ar. intenzione, proposito; gram. modo; dh.

  • 38 Kiswahili /nva furaha

    tegemezi modo congiuntivo-kanusha negarekila agg. Ar. ogni (l'unico N.D, che precede sempre il N.I. a

    cui si riferisce!)kwa kifupi in brevemwandishi 1/2 scrittorenafsi 9/10 Ar. anima, spirito; gram.persona-wezekana essere possibile

    METHALI

    Ukitaka cha mvunguni sharti uiname.Se vuoi qualcosa sotto il letto, devi chinarti.

    Dovreste conoscere circa 780 vocaboli.

  • VI. SOMO LA SITA

    MAZUNGUMZO

    Nyumbani kwa Juma

    RUKIA: Shikamoo, rnama, nimerudi shuleni.BI TATU: Mara-haba.R. Mama, kwa nini unalia? Una nini? (B.T. Kakaako ametoweka.R. Nani, Juma? Hayupo nyumbani?B.T. Hayupo kabisa. ijR. Labda amekwenda kwa jirani.B.T. Nimeuliza kwa majirani wote.R. Labda amekwenda sokoni au dukani.B.T. Nimepita huko pia.R. Au labda amekwenda kilabuni.B.T. Nimetembea kijiji kizima nikiuliza kama ameonekana

    mahali fulani. Tena nimepekua chumba chake. Ameondokapamoja na vitu vyake.

    R. Sasa nakumbuka! Jana nilimwona akifunga mzigo.B.T. Ulimwona lini?R. Jioni, baada ya kugombana na baba. Waligombana sana,

    tena baba alimpiga vibaya.B.T. Baba alikasirika kwa sababu alimkuta Juma mgahawani

    pamoja na wale wahuni.R. Wahuni gani?B.T. Vijana wawili, wametoka mjini. Babaako alisema ni

    walevi na wezi.R. Lakini Juma si mlevi wala mwizi.B.T. Akizidi kufuatana na watu kama wale atakuwa kama

    wao.R. Usiseme hivi, ma. Twende tukamtafute mara nyingine,B.T. Haya, twende, mwanangu.

    39

  • 40 Kiswahili kwa furaha

    Maneno mapya-fuatana accompagnarsi, seguire l'un l'altro, frequentare-gombana litigarejirani 5/6Ar. vicino (di casa)-kasirika Av. arrabbiarsikilabu 7/8 Ing. club, barmkahawa, mgahawa 3/4 Ar. caff (= bar), ristorantemhuni l/2 Ar. vagabondo, delinquente, malviventemlevi 1/2 ubriaco(ne)mwizi/ mwivi (pl. wezi) 1/21adro-onekana essere visibile/visto, sembrare-pekua cercare bene, ispezionare-toweka sparire

    MAZOEZI

    Maliza ufasiri. (Completa e traduci.)

    1. Una matunda -ingi? Nina- -chache tu.(viatu, nguo, mashati, pesa, vitabu, rafiki, vyombo, majirani,mikoba, ng'ombe, nywele, viti, mbuzi)

    2. Una-jua bei -a matunda h-o?(kitabu, nyama, viatu, mkoba, mikoba, unga, samaki pl . ,ng'ombe, shati)

    3. Mji h-o si -dogo, ni -kubwa sana.(kilabu, nguruwe, mahali, majani, nyumba, vyumba, mto,milima, vijiji, ubao)

    4. Chausiku -menunua mishikaki? Ndiyo, -menunua -wili.(vyombo, samaki, sambusa, mayai, nguo, mikate)

    5. Saidi -ko mji-.Bi Tatu na Rukia -ko shamba-.

  • Sisi -po Nairobi.Wewe -po shule-.Mimi -mo chumba-.Ninyi -po nyumba-.Mama -mo jiko-.Wanafunzi -ko mlango-.

    6. Baba -ao -ko wapi? -ko Tanga.(jirani, majirani, mkutano, nyumba, kilabu, shamba, vibanda,ng'ombe, gari, magari)

    7. Chai -ako -po hapa.(yai, kinywaji, vyakula, sambusa pl., nyama, maziwa, mshikaki,katlesi, mbuzi, mikate, ugali)

    S. Kahawa -etu -ko wapi? -po hapa.(pesa, wali, nguruwe, moto, minazi, kibanda, shamba, maji yamachungwa, vinywaji, ng'ombe)

    9. Juma -ko sokoni? Ha-ko sokoni, -mo jikoni.(wanawake, stovu, maharagwe, kebichi, viazi, pakacha, nazi pl.,unga, mkate)

    10. Kiti hi- -mo ndani ya nyumba.(picha, vyombo, mkoba, meza, mvinyo, vinywaji, choo )

    11. Mwanamke ha-mo jikoni,-po uani.

    (wapishi, mimi, wewe, sisi, ninyi, vyombo, sahani, mvinyo,kuku, chakula, ugali)

    12. Samaki -le ni -zima? -moja ni -bovu.(viazi, machungwa, ndizi, miti, mayai)

    13. Dada -angu ana miaka ... sasa.(5,6, 14, 12,9, 18,21,32,27,43,35)

    Bwana Thembo ana ng'ombe ...(2,7, 11, 13, 25, 36,72,84, 98,57,93, 100, 114)

  • 42 Kiswahili kwa furaha

    14. Sema kwa Kiswahili. (Dici in swahili.)a) 138, 224, 390,501, 950,721, 635, 483, 832, 1250, 2188b) 1/3, 5/8, 9/10, 7/9, 13/18, 1/8, 2/3, 2'/i; l' / ' 3%, 50%c) 25 aprile, 1 gennaio, 31 luglio, 15 agosto, 28 febbraio, 16settembre, 12 maggio, 7 ottobre, 2 marzo, ll n ovembre, 23giugno, 30 dicembre.d) 2/V/1923, 9/VIV1945, 28/X/1730, 30/XV1658, 17/VV1284,11/VIIV1863.

    15. Jibu maswali umalize sentensi zifuatazo kufuatana nataratibu hapa chini.

    (Secondo lo s chema qu i s o t to rispondi alle domande ecompleta le frasi seguenti.)

    Tanga KaskaziniMorogoro Dar es Salaam Magharibi M a shariki

    Lindi Kusinia) 1.Morogoro iko magharibi ya Dar es Salaam? 2. Lindi iko

    mashariki ya Dar es Salaam? 3. Tanga iko kusini ya Dar esSalaam? 4. Dar es Salaam iko kusini ya Tanga? 5. Lindi ikokaskazini ya Tanga? 6. Dar es Salaam iko magharibi yaMorogoro? 7. Morogoro iko mashariki ya Tanga?

    b) 1. Dar es Salaam iko kusini ya ... 2. Tanga iko ... ya Dar. 3.

    Morogoro iko magharibi ya ... 4.Dar es Salaam iko kaskazini ya... 5.Dar es Salaam iko ... ya Morogoro. 6. Lindi iko ... ya Dar esSalaam.

    KUSOMA

    Rukia anafanya kazi ya shuleRukia ni mwanafunzi hodari, lakini si sana. Anapenda

    masomo mengine kama Kiswahili na jiografia, lakini masomomengine hayapendi, hasa hesabu; hajajifunza vizuri kuzidishawala kugawanya.

    Kesho watakuwa na vipindi vinne. Kipindi cha kwanza niKiswahili, wataandika insha. Rukia ni hodari kwa kuandikainsha, tena anapenda kusoma hadithi na kujifunza mashairi kwa

  • VI. Somo

    m oyo,01 lakini sarufi i namshinda. Oz Kipindi cha p i l i n iKiingereza, hicho pia anakiona kigumu. Kipindi cha tatu,historia, ni afadhali kidogo, lakini akikumbuka kwamba kipindicha mwisho ni hesabu anahisi vibaya.Os

    Rukia ana kazi chungu nzima, hata hajui aanze wapi. Anasitakidogo, halafu anafungua kitabu chake cha historia na kuanzakusoma historia ya kisasa ya nchi yao:

    "Tanzania ni Jamhuri ya M w ungano waTanganyika na Unguja. Tanganyika ilipata uhurutarehe 9 Desemba 1961, Unguja uliupata miakamiwili baadaye, yaani mnamo 1963. Baada yamapinduzi ya Unguja mnamo Januari 12, 1964,nchi hizo m b i l i z i l i unganishwana kuitwa 1Tanzania. Rais wa kwanza wa Tanzania alikuwaMwalimu Julius Nyerere, tangu mwanzo mpakamwaka 1985 alipojiuzulu . Mwalimu Nyererealikuwa pia kiongozi wa chama cha TANU,yaani Tanganyika A f r ican N at ional U n ion,chama kikuu nchini ambacho alikianzishamnamo Julai 7, 1954 Tangu Februari 5, 1977,chama cha TANU kimeungana na chama kikuucha Unguja, yaani Afro-Shirazi. Chama hichokipya kimeitwa Chama cha Mapinduzi (CCM)nacho ni chama cha pekee cha siasa Tanzania.

    Siasa ya Tanzania ni siasa ya Ujamaa. Siasahiyo imetangazwa na Mwalimu Nyerere katika4Azimio la Arusha mnamo Februari 5, 1967..."

    Rukia hakumbuki tarehe hizo zote; anaanza kuzirudia

    ' "furono chiamati"

    "quando diede le dimissioni"

    "che, la quale"

    "fu proclamato/dichiarato da"

  • 44 Kiswahili kwa furaha

    polepole: "Tanganyika ilipata uhuru 9/XIV1961... Mapinduzi

    ya Unguja yalitokea 12/V1964 .. . Chama cha TANU

    kilianzishwa 7/VIV1954. A z imio l a A rusha l imetangazwa5/IV1967... Chama cha Mapinduzi kimeanzishwa miaka kumibaada ya Azimio, yaani 5/IV1977..."

    Hpo Rukia u s ingizi umemshika04 na tarehe zotezimevurugika kichwani mwake. Anaona afadhali asiendeshuleni kesho.

    Maelezo:Ot kwa moyo a memoria02sarufi inamshinda la grammatica troppo per lei0~ anahisi vibaya si sente male04 usingizi umemshika l'ha preso il sonno

    Maneno mapya-a kisasa moderno-anzisha fondareazimio 5/6 p roposito, programma; Azimio la A r u sha

    Dichiarazione di Arushachama 7/8 partito politico, associazionechungu 9/10 mucchio, quantit; ch. nzima un mucchio di-gawanya dividere-gumu [anchej difficilehapo a quel puntohistoria 9 10 Lat. storiahodari agg. Ar. bravo, capace, abile, attivoinsha 9/10 Ar. composizione, componimentojamhuri 9/10 A r. repubblicajiografia 9/10 Ing. geografia-jiuzulu Rifl. dimettersikiongozi 7/8 capo, leader

    "fu fondato"

  • kipindi //8 periodo di tempo, ora di lezionemapinduzi 6 rivoluzionemnamo in, a, verso, circa (indicazione del tempo)muungano, mwungano 3/4 federazionepekee, -a pekee unico, singolo, singolaresarufi 9/10 Ar. grammaticashairi 5/6 Ar. poesia, componimento poetico-shinda sopraffare, superare, vinceresiasa 9/10 Ar. politica, tattosomo 5/6 [anche] materia di studio-tangaza proclamare, render pubblico-tokea apparire; accadere, verificarsiujamaa 14 socialismo; fratellanza, vita comunitaria-ungana esser uniti assieme-unganisha unire-vurugika essere in disordine/sotto-sopra, confondersiyaani cong. Ar. cio, ossia-zidisha mat. moltiplicare

    TAMRINI NA TAI'SIRI

    1. Jibu. (Rispondi.)Kwa sababu gani Bi Tatu analia?Rukia anafikiri Juma yuko wapi? Bi Tatu alimtafuta wapi?Akipekua chumba cha Juma Bi Tatu aliona nini?Rukia amekumbuka nini?Kwa sababu gani Baba Juma na Juma waligombana?Bi Tatu anasema nini?

    2. Tunga sentensi nyingine kama mfano huu.(Forma altre frasi come questo esempio.)

    Mfano: Rukia sarufi imemshinda.(mimi masomo, wale wanawake mvinyo, sisi kazi, wewe-hizo hesabu)

    3. Soma tena "Kazimoto aanguka baiskelini" (Juzuu la I,

  • 46 ICiswahili Lwafuraha

    Somo la VI), halafu uieleze kwa maneno yako mwenyewe.(RiLeggi "Kazimoto cade dalla bicicletta" (Vol. I, Vl. Unit) e

    poi raccontalo con le tue parole.)

    4. Chagua kwa kila sentensi tarehe inayofaa usome.(Scegli per ogni frase la data appropriata e leggi.)

    Tanganyika ilipata uhuru.. .

    Chama cha TANU kilianzishwa.. .

    Chama cha Mapinduzi kilianzishwa.. .

    Mapinduzi ya Unguja yalitokea.. .

    Azimio la Arusha kilitangazwa.. .

    12/I/1964, 5/II/1967, 9/XII/1961, 7/VII/1954, 5/II/1977.

    5. Maliza sentensi hizi ukitumia NI au IKo/II'o/IMo katikangeli inayofaa.

    (Completa questefrasi usando /vl o Nol lpo/IMo nella classeappropriata.)

    Chausiku ... mwanafunzi wa chuo kikuu; sasa ... chuoni.Machungwa hayo ... katika pakacha; ... machungwa mazuri.Rukia ... hodari kwa kuandika insha. Watalii wale ... Wafaransa;... hotelini. (Mimi) . .. mwalimu; ... f ik irani. Kipindi hikikirefu. Kijiji chetu ... kaskazini. Sahani hizi ... nyingi; .

    .. mezani.

    6. Kanusha hizo sentensi zilizotangulia. (Metti le f rasiprecedenti al negativo.)

    7. Fasiri upesi. (Traduci velocemente.)uno studente il primo studentedue mogli la seconda moglietre citt la terza cittquattro lettere la quarta letteracinque villaggi il quinto villaggiosei parole la sesta parolasette pesci il settimo pesceotto libri l'ottavo libronove case la nona casa

  • dieci domande - la decima domanda

    S. Fasiri kwa Kiitaliani. (Traduci in italiano.)a) Ninakwenda sokoni, unataka kufuatana nami?

    Kufanya nini?Kununua matunda. Tunahitaji nazi na ndizi kwa sababu

    hatunazo nyumbani.Haya, twende.Baada ya kipindi kifupi Hamisi alirudi sokoni na matunda

    yote. Aliuliza: Mama yupo?Hayupo, amekwenda mjini, Jamila alimjibu.

    b) Bwana'ko yuko wapi?Amekwenda sokoni.Kufanya nini?Kununua mboga. (10, verdura)Amekwenda zamani? (tanto tempofa)Karibu atarudi. ( vicino a tornarel fra poco torna)

    (Kezilahabi 1974:183)

    9. Andika mazungumzo baina ya mnunuzi wa viatu namwenye duka ukitumia maneno kama "punguza bei","ongeza kidogo", "ni ghali sana", "bei ya mwisho".

    ( Scrivi un d ia logo tra un compratore di scarpe e i l p r o -prietario del negozio, usando espressioni come "abbassa i lprezzo", "aumenta un po'" , " molto caro", "l'ultimo prezzo".)

    10. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in swahili.)Stamani (leo asubuhi) Rukia aveva qualche problema (shida

    kidogo) a scuola. Primo, non ha saputo fare un calcolo dimoltiplicazione. Secondo, non ha capito la grammatica inglese[dell'inglese]. Inoltre ha dimenticato la data della Rivoluzionez anzibariana i n s ieme c o n que l l a del l a fon d azione d e l(kuanzishwa icwa) Partito rivoluzionario della Tanzania. Infine,mentre g l i al t r i alun n i scr i v evano una c o mposizione,

  • Kiswahi li kwa furaha

    l'insegnante vide che Rukia che non scriveva (haandiki), era ()[immersa] nei pensieri.

    Che cos'hai, Rukia? le domand.Sono triste [nel dolore] perch mio fratello Suma se n'

    andato [ partito] di casa.

    Termini usati negli esercizi-faa essere utile/ convenientejuzuu 5/6 Ar. volume, sezionekufuatana na prep. secondo, conformemente amnunuzi l/2 compratore-tangulia andare avanti, precederetaratibu 9/10 Ar. schema, piano-tunga comporre

    iS v .

    METHALI

    Siku za mwizi ni arobaini.I giorni del ladro sono quaranta.

    (Tanto va la gatta al lardo che ci lascia lo zampino.)

    Dovreste conoscere circa 965 vocaboli.

  • VII. SOMO LA SABA

    MAZUNGUMZOl-

    Mzee Abdalla anamkana mwanawe JumaMZEE ABDALLA: Mama Rukia, Rukiaa!

    BI TATU: Labeka!RUKIA: Bee!M.A. Hebu njooni kuwachukua samaki hawa. Watazameni

    walivyo wanono.R. Baba, Juma hayupo, ametoroka.M.A. Nini?! Sema tena!B.T. Ameondoka nyumbani pamoja na vitu vyake.M.A. Na wewe umemruhusu kuondoka?!B.T. Mimi simo na wala sikumwona. Labda alitoka huku usi-

    ku au alfajiri.M.A. Alichukua vitu gani?B.T. Sare ya shule, mashati mawili , shuka lake na shil ingi

    mia nane.M.A. Ha, mwizi mkubwa! Ameiba pesa zangu!B.T. Labda alikwenda mjini na pesa hizo alizihitaji kwa nauli

    ya basi.M.A. Mimi s ikumruhusu kuondoka, wala kuchukua pesa

    zangu. Mtoto mlaanifu, mwanaharamu!B.T. Msiba gani huu!M.A. Mtoto mvivu, hakupenda kusoma wala kufanya kazi.B.T. Ni kweli, hakutaka kukusaidia kuvua samaki wala ku-

    chunga ng'ombe,R. Hakupenda kulima shambani wala kutafuta kuni porini.B.T. Wala kuteka maji kisimani.R. Hakunisaidia kusafisha nyumba au kupika. Akisema hizo

    ni kazi za wanawake.M.A. Sasa ataona. Atafunzwa' na ulimwengu. Lakini akirudi

    nitamfukuza. Juma si mtoto wangu tena. Atakosa radhi yangu,

    ' "sar educato, istruito (da)"

    49

  • 50 Kiswahiti kwa Furaha

    Maneno mapyabee inter. cfr. labeka-chunga pascolare-fukuza scacciare-kana negare, ripudiare, rinnegarekisima 7/8 pozzo, fonte, fontana-laanifu agg. maledettolabeka int. risposta della moglie/figlia/servo alla chiamata

    del marito/padre /padronemwanaharamu (mwana wa haramu) l /2 bastardonauli 9/10Ar. nolo, prezzo del trasportopori 5/6 steppa, brughieraradhi 9/10 Ar. benedizione (dei genitori morenti)-ruhusu Ar. permettere-safisha Cs. puliresare 9/10 uniforme, divisashuka 5/6, 9/10 lenzuolo-teka attingere-toroka scappare-vua samaki pescare

    MAZOEZI

    Badilisha kiima. (Cambia il soggetto.)1. (mimi) H ivyo ndivyo -livyofikiri.

    (sisi kufanya, wewe kusema, wao kuja, yeye kuanza, ninyikwenda, mimi kuomba)

    2. (mimi wewe) Nataka -fanya kama -livyofanya.(sisi - ninyi) -taka -pika kama -na-pika.(yeye - wao)

    -taka -uza kama -taka-uza.(wewe mimi) -taki -kosa kama -li-kosa / -si-kosa.(wao yeye) -tat aka- endelea kama -na-endelea.(ninyi sisi)

    -kutaka -lima kama -li-lima.

    3. (mimi) Nataka -soma vitabu -ingi mwaka -ja-. (prossimo)(sisi wiki, ninyi siku pl., wao mwezi, yeye - miezi)

  • VII. Somo

    4, Mwaka -li-pita wanafunzi -lijifunza Kiingereza.(siku pl. mwanafunzi, wiki mimi, mwezi wewe, miaka si-si)

    Maliza na fasiri. (Completa e traduci.)5. Nilinunua kitanda -pya juzi. Kitanda nili nunua ni -bovul-

    baya .(vyombo, gari, farasi, ng'ombe pl., mafuta, nyumba sg., mchele,funguo)

    6. Sijaona nazi -o -ote.(mto, minazi, dhahabu, kisima, maziwa, sare pl., simba, ufa)

    7. Hawatakuwa na michezo -o -ote.(mji, mahali, jiko, mashamba, shida, miti, wenzi, ng'ombe)

    8. Ndi- viatu una tafuta.(hundi, makatoni, tende pl., wageni, kuni, kisima, mto)

    9. Ndi- mwenzi ni-taka-.(mchele, ngano, vyombo, kitabu, ofisi, mahali, sabuni pl.)

    10. Ndi- -taka-sema.Mfano: Ndi m i n itakayesema.(mimi, sisi, wewe, ninyi, yeye, wao)

    KUSOMA

    Mzee Abdalla ananunua baiskeliMzee Abdalla alikuwa amechoka kwenda kwa miguu, kwa

    hivyo alikusudia kununua baiskeli. Kwa bahati mbaya hakuwana pesa za kutosha ili kununua baiskeli mpya. Basi alitangazakijijini kote kwamba anatafuta baiskeli kwabei nafuu.

    Jirani wake mmoja, jina lake Mzee Omari, alihitaji pesa ha-raka, kwa hivyo alikusudia kuiuza baiskeli yake. Mzee Abdallaaliposikia habari hiyo, alimwendea Mzee Omari.

    con nomi animati

    ' "era stanco, si era stancato"

  • 52 Kiswahili kwa Furaha

    Baada ya kuulizana hali, mazungumzo ya biashara yalianza.Unauzaje baiskeli yako? Mzee Abdalla aliuliza.Shilingi mia nane.Shilingi mia nane ni nyingi sana, mimi sinazo pesa zote hi-

    zo. Tafadhali punguza bei.Basi nipe mia saba.Ni bado ghali. Nitakupa shilingi mia nne.A-a, siuzi! Ni baiskeli mpya, itazame!Mzee Abdalla aliichunguza baiskeli yote, halafu alimhoji

    mwenziwe:Inazo breki za mbele na za nyuma?Inazo.Na taa je?Hiyo pia inayo.Haya, nitaongeza shilingi mia moja.Hazitoshi. Mimi ndiye nitakayepunguza shilingi hamsini,Siwezi kutoa shilingi mia sita na hamsini kwa baiskeli mbo-

    vu kama hii. Niambie bei yako ya mwisho.Shilingi mia sita, kwako wewe.O>Haya, Mzee Abdalla alikubali.Jambo moja tu Mzee Abdalla alilisahau: kwamba hajawahi

    kupandaOz baiskeli hata siku moja katika maisha yake.

    MaelezoO> kwako wewe perch sei tu [per te]Oz hajawahi kupanda non [era] mai salito

    Maneno mapyabiashara 9/10 Ar. commercio, compravendita-chunguza guardare accuratamente, esaminare (al microsco-

    pio)-hoji Ar. interrogare, fare domande stringenti-kusudia proporsi, aver intenzionetaa 9/10 Ar. [anche] fanale-toa [anche] spendere

  • -ulizana hali domandare l'un l'altro come sta

    TAMRINI NA TAFSIRI

    1. Badilisha sentensi hizi kama mfano unavyoonyesha.(Trasforma le frasi come mostra l'esempio.)

    Mfano: Mt oto huyu atakosa radhi ya baba yake.Huyu ndiye mtoto atakayekosa radhi ya baba yake.

    Watoto hawa watakosa radhi ya wazazi wao.Pesa hizi zilitosha kwa kununua katoni la unga.Wali huu ulitosha kwa Chausiku.Chakula hicho kitatosha kwa Unono.Vinywaji hivyo vitatosha kwa Bwana Komba.Mchele huu utatosha kwa Bibi Tatu.Keki ile ilitosha kwa Bibi Bahati.

    2. Kanusha sentensi zilizotangulia.(Metti le frasi precedenti al negativo. )3. Jibu. (Rispondi.)

    Mzee Abdalla anapenda kwenda kwa miguu?Alikusudia kufanya nini?Je, alikuwa na pesa nyingi?Nani aliyekusudia kuuza baiskeli yake na kwa sababu gani?Mzee Omari alitaka shilingi ngapi kwa baiskeli yake?Mzee Abdalla kwa upande wake alitaka kutoa shilingi ngapi?Kwa sababu gani Mzee Abdalla alichunguza baiskeli hiyo?Mwishowe Mzee Omari aliiuzaje baiskeli yake?Jambo gani muhimu (importante) alilolisahau Mzee Abdalla?

    4. Taja tofauti baina ya Unono na Juma.(Elenca le differenze tra Unono e Juma.)

    a) Mfano: Unono alikuwa na rafiki w engi, Juma hakuwa nao.(nguo, vitabu, mashati, michezo)b) Mfano: Unono alikuwa na rafiki mzuri, Juma hakuwa naye.

  • 54 Kiswahili kwa Furaha

    (maneno yale yale kwa umbo la umoja Le stesse parole alsingolare)

    5. Badilisha sentesi zilizotangulia kama hivi:(Cambia le frasi precedenti nel modo seguente.)

    Mfano: Rafiki wengi Unono aliokuwa nao.

    6. Tunga sentensi uzibadilishe kama mfano unavyoonye-sha.

    (Forma delle frasi per trasformarle come mostra l'esempio.)Mfano: Sifa hamu jina la msichana huyu.

    Msichana ambaye sifahamu jina lake.(baiskeli ya jirani huyu, breki za baiskeli hii, ukubwa wa mjihuu, vitabu vya wanafunzi hawa, bei ya vitu hivi, mwalimu wawatoto hawa, jiko la nyumba hii)

    7. Badilisha sentensi hii ukitumia NDI- badala ya NI.(Cambia la frase usando NDI- invece di NI. )

    Huyu ni rafiki yetu.(waalimu, chama, rais, vitu, siasa, kiongozi, mambo, gazeti, u-limwengu, mikoa, muda)

    8. Kanusha sentensi iliyotangulia.(Metti la frase precedente al negativo.)

    9. Badilisha sentensi hizi kama mfano unavyoonyesha.(Trasforma le frasi come mostra l'esempio.)

    Mfano: Hote l i hii ina watalii wengi.Hii ndiyo hoteli iliyo na watalii wengi.

    Nyumba hizo zina vyumba vingi.Vyumba hivyo vina vitanda vichache.Kitanda hiki kina shuka zuri.Shuka hili lina urefu wa kutosha.Mji huu una nyumba ndefu.Mtalii huyo ana pesa nyingi.

  • VII. Somo 55

    10. Kanusha sentensi zilizotangulia.(Metti le frasi precedenti al negativo.)

    11. Badilisha Mazungumzo ya Somo hili yawe hadithi.(Trasforma la Conversazione di questa lezione in un raccon-

    to.)

    12. Fasiri maneno ya waandishi.(Traduci le parole degli scrittori . )

    Tazama nilivyo. (Suleiman) Toka hapa na nenda ko kote unako-taka! (Shafi) "Unakwenda wapi?" "Kokote mnakokwenda nyi-nyi," Mwadini alijibu. (Mohamed) Ninachojua, ninajua; nisicho-jua, sijui; na ninachoamini, ninaamini. (Kezilahabi )

    "Wewe ndiye Kazimoto?" aliniuliza."Ndiye," nilimjibu.

    "Wewe ndiye unataka kumwoa Sabina?" "Ndiyo."(Kezilahabi 1974:161)

    13. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in swahili.)La Tanzania (cl.9) ha il problema dell'alimentazione [scarsit

    di cibo] come mostra Penina Muhando nella sua commedia(mchezo). Nell'atto quinto vediamo una donna che seduta da-vanti all'ufficio di distribuzione; la donna si chiama Sara. Unavoce che proviene da dentro l 'uf f icio si meraviglia che Sara sitrovi ancora li. Sara dice che non se ne andr finch non otterralcuni generi alimentari [tipi di cibi] come zucchero, farina difrumento e riso. La voce le dice che queste cose non ci sono, maSara le ha viste. La voce spiega che quello che ha visto la ra-zione delle province [regioni], ella per dice che molta gente chenon vive in provincia uscita dall'ufficio con dei cartoni. Do-manda se lei non una persona come le [quelle] altre o se lagente di provincia non paga con gli stessi scellini, E davvero ar-rabbiata.

  • 56 Kiswahili kwa Furaha

    14. Andika mazungumzo au hadithi juu ya mwizi ali~ eibapesa zako.

    (Scrivi una scenetta un d ia logo o un racconto -- : .

    . .

    -" ,

    ladro che ha rubato i tuoi soldi.)

    Termini usati negli esercizimchezo (wa kuigiza) 3/4 commedia teatralemuhimu agg. Ar. importante

    METHALI

    f)

    Akili ni nywele, kila mtu ana zakeL'intelligenzae come i capelli, ognuno ha la sua.

    Dovreste conoscere 1095 vocaboli..

  • VIH. SOMO LA NANE

    MAZUNGUMZO

    Unono ni mgonjwaUNONO: Mama, siwezi.O~BI BAHATI: Cha mno nini?Oz U mgonjwa? Unaumwa nini?U. Naumwa kichwa, koo na mgongo, tena naona baridi.B.B. Unatetemeka! Nitakupima joto. (Baada ya dakika tano:)

    Una homa kali! Ni lazima twende kwa tabibu. La, ni afadhalinimpigie simu. (Simuni:) Nesi, mwanangu hajisikii vizuri,O> anahoma, tena anakohoa ... Hapana, hana kamasi, anapumua sawasawa ... Ndiyo, koo linamwuma ... Asante sana.

    U. Amesema nini?B.B. Amesema kwamba tabibu atakuja leo alasiri.

    TABIBU: Unono, una mafua.U. Nina nini?!T. Mafua au bombo ni ugonjwa ambao unasababisha mtu ku-

    umwa na koo na kichwa, kutokwa na kamasi na kuwa na homa.U. Ni ugonjwa wa kuambukiza?T. Kabisa.U. Basi sitaweza kwenda shuleni!T. Ni lazima ulale kitandani mpaka utakapopona. Nitakuan-

    dikia sindano utakazopigwa ...U. Sindano?! Hakuna dawa nyingine?T. Haya, ukipendelea kumeza vidonge, lakini mara nyingine

    vyasumbua tumbo.U. Haidhuru, navipendelea kwa kila hali.O

    (Baada ya siku mbili.)CHAUslKU: Mama, Unono anajionaje leo? Amepata nafuu?O~B.B. Anaonekana hajambo kidogo.Os Homa imempungua,

    lakini bado ana maumivu ya koo.Ch. Basi dawa ile haijamfaa hata kidogo?09B.B. Anaona nafuu kidogo, lakini si sana.

    (Baada ya wiki moja.)U. Mama, najiona sijambo leo. Nimepona, sasa mzima.B.B. Tushukuru, D@ mwanangu. Kesho utakwenda shuleni.U. Kusema kweli, bado ninaumwa kidogo. Sijapona vizuri,

    bado sina nguvu za kutosha.B.B. Huna kitu, mtoto mvivu wee! Nenda ukasome!

    Maelezo:0> Siwezi. Non mi sento bene. Non sto bene.(Siwezi kamasi/mafua. Ho il raffreddore/la bronchite.)0> Cha mno nini? Che ti (le, vi ecc.) successo?0~ A(na)jionaje? Hajioni/hajisikii vizuri. Come si sente?

    Non si sente bene.04 kwa kila hali in ogni modo, comunqueOs kila baada ya chakula dopo ogni pasto0~ Ni tampa k i t a nda ho s pitalini. Lo f ar ri co v e rare

    all'ospedale.Oz Amepata nafuu. Sta meglio. migliorato.

  • VIII Somo 59

    OsAnaonekana hajambo kidogo. Sembra che stia un po'meglio.

    09 Dawa haijamfaa hata kidogo. La medicina non gli hagiovato per niente.

    Oi0 Tushukuru. (congiunt.) Ringraziamo (a Dio).

    Imparate queste importanti espressioni a memoria.

    Maneno mapyaalasiri 9/10 Ar. pomeriggio (circa dalle 14 al tramonto)-ambukiza contaminare, contagiare, infettarebombo 9/10 influenzadawa 9/10 Ar. medicina(le)homa 9/10 Ar. febbre, malattia febbrilehospitali 9/10 o 5/6 Ing. ospedalejoto 5/6 calore, infiammazione; -pima joto misurare la tem-

    peraturakamasi 5/6 raffreddore, catarro, m occiokidonge 7/8 pillola, compressakijiko 7/8 cucchiaiokoo 5/6 golamafua 6 bronchite, influenzamaumivu 6 dolore-meza inghiottirenesi 5/6 Ing. infermierapafu 5/6 polmone-pona guarire-pungua diminuire-sababisha causaresalalel escl. Ar. Dio ne scampi!sawa(sawa) avv. Ar. ugualmente, regolarmentesindano 9/10 ago, iniezione; -piga s. fare un'iniezione-sumbua infastidire, molestare, dar fastidiotabibu 5/6 Ar. medico-tetemeka tremare-tumika adoperarsiugonjwa 14 malattia; u.wa kuambukiza malattia infettiva

  • 60 Kiswahili kwa Furaha

    -uma dolere, far male, mordere, pungere; -umwa Pas. starmale, sentir dolore, soffrire

    MAZOEZI

    1. Maliza na fasiri. (Completa e traduci.)a) Mna pesa ... kutosha? Hatuna pesa -o -ote.

    (mchele, maji, ng'ombe, chakula, viatu, kazi, miti, unga)

    b) Hawana meza -o -ote.(ugonjwa, kitanda, dawa, maumivu, nesi, matabibu, mlango)

    c) H(i)- ndi-o vidonge ni-taka-,(nguo pl., sabuni, muhogo, katoni, chokaa, mafuta, mbuzi, wen-zi, matofali, ngano, mifereji, kijiko, uma, mikoba)

    d) Una-taka pombe nili nunua?(mvinyo, sambusa pl., unga, mikate, kuku, stovu, mayai, kisu)

    2. Maliza kitenzi cha KUWA (NA) katika kauli rejeshi-wakati uliopo, uliopita na ujao halafu kanusha kitenzihicho. (Completa il verbo "avere" in forma relativa al presente,passato, futuro e negativo.)Mgonjwa ... .. dawa aonane na tabibu.Wagonjwa ... .. homa -kae hospitalini.Mimi ... .. baiskeli -pya sitaki -enda.Ninyi ... .. pesa nyingi -jalipa?

    3. Badilisha vitenzi kama mfano unavyoonyesha.(Cambia i verbi come mostra l 'esempio.)a) Mfano: nili k uwa ~ ni l ipokuwa

    (ataondoka, tumefahamu, mnachukua, tutakula, sikusoma, u-limwona, haendi, wataishi, atafika, siwezi, tulimwambia, ham-jaumwa, mkutano umeanza, tutatetemeka, hawajapona)

  • VIII Somo 6]

    b) Mfano: -leta + -letea-nunua, -pokea, -andika, -zaa, -lala, -lipa, -tuma, -uza,-tia, -ona, -tazama, -lia, -sahau, -tupa, -ja, -jaa.

    c) Mfano: -fanyia ~ -fanya(-jibia, -jia, -samehea, -furahia, -somea, -kalia, -tolea, -simamia,-fikia, -lia, -ingilia, -endelea, -sikilia)

    d) Mfano: -lipa ~ -lipwa(-fungua, -nywa, -leta, -letea, -kata, -uma, -nunua, -chukua, -tia,-la, -soma, -potea, -pa, -jibu, -samehe, -sahau)

    4. Badilisha kiima umalize.(Cambia il soggetto e completa.)

    Chakula ... tayari.(chai, vitu, hundi pl., muhogo, jumba, madebe, mwanafunzi,jembe, mapanga, vijiko, wapishi, ng'ombe, ninyi, wewe)

    KUSOMA

    Mzee Abdalla anapanda baiskeli yakeMzee Abdalla na Mzee Omari walipopatana, Mzee Abdalla

    alitoa noti sita za shilingi mia mia naye Mzee Omari alimkabi-dhi baiskeli. Ilikuwa mara ya kwanza Mzee Abdalla apande bai-skeli.

    Njia ya kwenda nyumbani kwake haikuwa nzuri, afadhali tu-seme ilikuwa mbaya. Ilikuwa imejaa mashimo, tena ilikuwa naimipando na miteremko mingi. Lakini Mzee Abdalla alipanda ki-shujaa baiskeli yake huku akisaidiwa na Mzee Omari ambayealimsindikiza mwenziwe kitambo, halafu alimwacha.

    ' "era pieno"

  • 62 Kiswahili kwa Furaha

    Mzee Abdalla aliendesha baiskeli akitahadhari na kuepukamashimo, lakini alipokuta mteremko wa kwanza, baiskeli ilion-geza mwendo naye hakuweza kufunga breki za nyuma. Alipoo-na baiskeli inakwenda kasi, alianza kuogopa. Mashimo aliyasa-hau kabisa.

    Njia ile inapita karibu na kisima; kisimani pamejaa wanawa-ke. Mzee Abdalla alikaribia mahali pale kasi sana na hapo ndipoalipokumbuka breki za mbele. Alizifunga. Kutahamaki alijikutayuko chini. Aliinuka polepole akijipapasa. Kwa bahati nzuri mi-fupa yote ilikuwa mizima, ingawa aliumia vibaya na baiskeliyake ilivunjika.

    Wanawake kisimani walipomwona mzee yule aliyevaa kanzuna kofia kutua matopeni mbali na baiskeli yake, waliangua ki-cheko.O~ Kicheko hicho kilimwudhi sana Mzee Abdalla. Alion-doka haraka bila ya kuwatazama wale wanawake. Hakumwonabintiye Rukia miongoni mwao.

    Mae]ezo:O> waliangua kicheko scoppiarono a ridere

    Maneno mapya-endesha guidare-epuka Pot. evitareingawa cong. anche se, sebbene-kabidhi Ar. consegnare, mettere in manokitambo 7/8, avv. breve periodo di tempo, momento; breve

    distanzakofia 9/10 Ar. fez, copricapomfupa 3/4 ossomwongo 3/4 numero, rango; miongoni mwa in mezzo, tra-papasa tastare, toccare gentilmenteshimo 5/6 fossa, bucashujaa 5/6 Ar. persona coraggiosa, eroe; kishujaa avv. co-

    raggiosamente-tahadhari Ar. stare in guardiatope 5/6 o 10 fango-udhi Ar. infastidire

  • VIII Somo 63

    -vunjika Pot. rompersi

    TAMRINI NA TAI SIRI

    1. Jibu. (Rispondi.)Mzee Omari alifanya nini Mzee Abdalla alipompa pesa?Hikuwa mara ya ngapi Mzee Abdalla apande baiskeli?Njia ya kwenda nyumbani kwake ihkuwaje?Kwenye mteremko ilitokea nini?Mzee Abdalla alipokaribia kisimani alifanya nini?Je, aliumia?Wanawake kisimani walifanyaje walipomwona Mzee Abdallakuanguka baiskelini?

    2. Badilisha vitenzi vifuatazo ukitumia umbo la kutiliamkazo. (Trasforma i verbi seguenti in forma intensiva.)

    Mfano: Potea. ~ Pote l eambali.Tupa. Acha. Piga. Ua . Fagia. Funga.

    3. Maliza sentensi hizo uzifasiri.(Completa le frasi e traducile.)

    1. Nimefiwa ... wazazi. 2. Watakwenda ... miguu, 3. Tuliambiwa... rafiki -etu. 4. Barua imeandikwa ... mwenzangu. 5. Walikaakatika mji -le ... muda ... miezi -tatu. 6. Mafua ni ugonjwa ..

    .

    kuambukiza. 7. Ni lazima Unono aende ... tabibu. 8. Yeye ha-pendi kupigwa sindano, apendelea vidonge ... kila hali. 9. Tabi-bu atamwandikia dawa ... kunywa ... kuondoa maumivu ... koo.10. Atatumia vijiko -wili kila baada ... chakula. 11. Unono asi-popona ... dawa hi- tabibu atampa kitanda hospitali-. 12. Badohana nguvu ... kutosha.

    4. Tumia majina yafuatayo katika sentensi hizi mbili.

    2 La forma intensiva di -ua -ulia (non -ulitia!).

  • 64 Kiswahili kwa Furaha

    (Usa i seguenti nomi nelle due frasi.)a) Juma anatokwa na kamasi. Kamasi linamtoka.

    (mate, jasho, damu, machozi, usaha)-tokwa na perdere un liquido corporaledamu 9/10 Ar. sanguechozi 5/6 lacrima usaha 14 Ar. pus

    b) Unono aumwa (na) kichwa. Kichwa chamwurna.(mimi-vidole, sisi-macho, wewe-tumbo, yeye-sikio, mimi-mkono, wao-miguu, Juma-koo, baba-mgongo,ninyi-mapafu,mimi-kifua, wewe-moyo, wao-pua, yeye-jino, ninyi-meno. sisi-visigino, mama-shingo, wao-mifupa)

    5. Lipe kila jina rangi yake.(Dai a ogni nome il suo colore.)

    Mbingu, majani, ardhi, jua, maziwa, miti, chungwa, nywele zaWaafrika, sare ya nesi, maji machafu, tembo, ziwa safi, kitandahospitalini.

    6. Maliza viambishi vikihitajika, halafu tumia majina ha-ya katika umbo la wingi. (Completa i prefissi se occorrono,poi metti i nomi al plurale.)Maji -baridi, mnyama -kali, shati -pana na -chafu, hoshi -epesi,ngazi -refu, kanzu -safi, chakula -bora, maumivu -kali, kisibau-ekundu, mtu -sawa, njia -embamba, mlango -wazi, uso -laini,gari -ghali, mwanafunzi -hodari, jembe -zito.

    7. Maliza ubadilishe sentensi zifuatazo.(Completa e trasforma le frasi seguenti.)

    Mji ulio na hoteli -ingi. Mji amba- umejaa hoteli.Hoteli pl.... .. watalii . .. H otel i . . . jaa watalii.Nchi sg.... .. maziwa .. . N chi ...

    jaa maziwa.Maziwa .. . .. samaki ...Miti ... .. matunda ...Bilauri pl.... .. maji ... - - bilauri 9/10 Per. bicchiereChumba ... .. milango ...Mezasg.... .. sahani ...

  • VIII Somo

    Sahani ... .. ugali ...Ukumbi ... .. makochi ...

    S. Taja kazi ambazo Juma atawafanyia akina Komba.(Elenca i lavori che Jumafar ai Komba.)Mfano: Atawap ig ia pasi.

    (kupika, kufuta vumbi, kufua nguo, kupangusa mabuibui, kusa-fisha nyumba, kupiga deki)

    9. Pambanua. (Disti ngui.)kasi kiasi, -nyesha -

    -onyesha, -ua --oa, -lia - - lea, jembe-

    jambo jumba, -meza meza, kochi kofi kofia.

    10. Fasiri maneno ya waandishi.(Traduci le parole degli scrittori.)

    Toka! Toka hapa! Niondokee mbele ya macho yangu. (Shafi)Shoga! Yaliyopita yamepita, na yaliyobakia tusameheane. (Sha-fi) Yeye hakupendeni, anakuchukieni na kudharauni! (Shafi) Ni-liukuta mlango uwazi. (Shafi)Baba yako yuhai? (Abdulla) Na sisi, shemeji Jamila, hatukutakiimabaya. (Abdulla) Kwani wametuachia sisi vitu vyao? (Abdul-la) Alitaka kumwandikia habari za Seyyid Ahmed. (Abdulla)"Jamila, Tenga," aliita, "tumfuate Manulla, twende tukale. Tuta-zungumza mazungumzo yetu wakati tunakula." (Abdulla)Sasa mimi nitamuachia nani hili duka? (Hussein) Unajua, miminina hofu, naogopa. Namuogopea Kitaru. (Hussein) Watu kamahawa wanastahili kufungiliwa mbali. (JVlbatiah)

    11. Fasiri upesi. (Traduci velocemente.)a) l. Il l ibro che legger. 2. Il paese che abbiamo visitato. 3.

    La frutta che comprerete. 4. L'amico che mi ringrazier. 5.L'amico che ringrazier. 6. Siamo ritornati la settimana scorsa.7. L'anno scorso lo vidi per l 'u l t ima volta. 8. La bi c ic letta chehai riparato m ia . 9 . D ammi i l c i b o che ha i cuc inato. 10.L'acqua che ho bevuto era fredda.

  • Kiswahili kwa Furaha

    b) 1. Mi fannomaleidenti. 2. Gli famaleil braccio. 3. Ti famale la testa? 4. Non mi fa pi male. 5. Ieri a tutti i malati face-va male lo stomaco. 6. Se hai la febbre, ti sar fatta un'iniezione.7. Chi ha una malattia contagiosa, sar ricoverato all'ospedale.

    12. Fasiri kwa Kiswahili. (Traduci in swahili.)Bi Tatu non si sente bene, lo stomaco le d fastidio. Tre settima-ne fa (wiki tatu zilizopita) ebbe (-pata) la febbre alta. Suo maritola port all'ospedale. Quando il medico la esamino e le tolse (-toa) il sangue, la ricover all'ospedale. Disse che aveva [ha] unamalattia infettiva che molto pericolosa. Dopo pochi giorni BiTatu miglior. Adesso sembra che stia bene, ma non ha ancoraricuperato le forze [non ha ancora abbastanza forze].

    13. Simulia "Tegemea ameolewa" kwa maneno yakomwenyewe. (Fai un riassunto di "Tegemea ameolewa". )

    Termini usati negli esercizi(kiwakilishi 7/8 pronome)mkazo 3/4 enfasi, accento; -tia mkazo accentuare, intensifi-

    care

    rejeshi gram. relativo; kiwakilishi r. pronome relativoumbo la kutilia mkazo forma intensiva

    METHALI

    Fuata nyuki ule asali.Segui le api se vuoi man-

    giare il miele.

    asali 9/10 mielenyuki 9/10 ape

    Dovreste conoscere circa /300 vocaboli.

  • IX. SOMO LA TISA

    MAZUNGUMZO

    Mzee Abdalla ameumiaBIBI TATU: Bwanangu, unakokota nini?Mzvv ABDALLA: Baiskeli. Hujawahi kuona baiskeli?B.T. Nimewahi ndiyo, lakini kwa nini unaikokota? Ni baiske-

    li ya nani?M.A. Yangu mimi.B.T. Yako wewe?! Umeipata wapi?M.A. Nimepewa na Mzee Omari. Yeye hana haja nayo, tena

    imevunjika kidogo. Lakini si kitu. Nitaipeleka kwa fundi ataka-yeitengeneza.

    B.T. Utaipeleka kwa fundi yupi? Yuko fundi wa baiskelimmoja tu hapa kijijini, yule Mhindi, naye ni ghali mno.

    M.A. Mbona ninyi wanawake mna maswali mengi sikuzote!Huachi kuuliza! Usipoacha kunisumbua nitakuchapa.

    B.T. Basi, bwanangu, basi, nimekoma,O> usikasirike maram oja. Oh, unatokwa na damu! Na kanzu yako yote ni chafu, i-m ejaa madoa ya damu na udongo! Umeanguka nini? O>

    M.A. Nimeteleza kidogo kule kisimani nilipokokota baiskelihiyo.

    B.T. Pengine umeweka mguu shimoni. Njia ile ni mbovu sa-na.

    M.A. Haswa. Lakini sikuumia sana, Alhamdulillahi.B.T. Huwezi kutambua sasa, maumivu utayasikia kesho.M.A. Kusema kweli nasikia maumivu kwenye goti na bega.B.T. Hata umevimba kidogo. Ni afadhali nikukande mara

    moja. Nakwenda kukutafutia majani.M.A. Majani gani?B.T. Majani yatumikayo katika kazi hii. Naona Rukia anaru-

    di. Atakuchemshia maji.M.A. Anarudi kutoka wapi?B.T. Kisimani. Amekwenda kuteka maji.M.A. (akishtuka) Kisimani?

    67

  • 68 Kiswahili kwa Furaha

    B.T. Mbona umeshtuka? Si ndio kazi yakeOs ya kawaida?(Anakwendajikoni huku anaita:) Rukia, hcbu mchemshie baba-ko maji, nataka kumkanda kwani ameanguka.

    RUKIA: (akiingiaj ikoni) Amekuambia ameangukaje?B.T. Ameteleza akikokota baiskeli. (Amtazama Rukia.) Mbo-

    na unacheka, mtoto mtundu we, ni jambo la kusikitisha naweunacheka.

    (Baada ya muda, akimkanda mumewe mguu na bega.)Lakini niambie, bwanangu, baiskeli itakapotengenezwa utawezakuiendesha?

    M.A, Bila shaka. Mimi ni hodari kwa kuendesha baiskeli. Ni-lishajifunza zamani.

    Maelezo:O~ Nimekoma. Non lo faccio pi.Oz Umeanguka nini. Se caduto o che?O~ Si ndio kazi yake? Non proprio questo il suo lavoro?

    Maneno mapyaAlhamdulillahi escl. Ar. sia lodato Dio-chapa battere, percuoterefundi wa baiskeli meccanico-kanda fare massaggi/ impacchi (con erbe medicinali)-kokota trascinare, tirare-koma cessare, fermarepengine avv. talvolta, forse-pi? pron.interr. quale? (cl.l anche yepi, cl.2 wepi)-shtuka Pot. trasalire, essere sorpreso-sikitika rammaricarsi, rincresceresikuzote avv. sempre-teleza Cs. Intens. scivolare; essere scivoloso-tundu agg. malizioso, cattivo (riferito a un bambino)-vimba gonfiarsi, dilatarsi

  • IX Somo

    MAZOEZI

    1. Badilisha vitenzi kama mfano unavyoonyesha.(Cambia t' verbi come mostra l'esempio. )a) Mfano: -vunja ~ -vunjika

    (-samehe,-pita, -soma, -la, -furahi, -uza,

    -toa, -tia, -enda, -hitaji,-nywa, -pika, -futa,

    -ondoa, -sahau)b) Mfano: -tambua > -tambulikana

    (-jua, -ona, -pata, -sema, -kosa, -taka,-weza)

    c) Mfano: -mwagika + -mwaga(-onekeka, -onekana, -vunjika,

    -lika, -kosekana,-toka, -patikana,

    -ondoka,-somekeka, -nyweka,

    -endeka)

    d) Mfano: -andika ~ -andikisha(-anguka, -weza, -panda, -enda,

    -lala, -furahi, -kataa,-ita, -waka,

    -ingia,-amka, -sikia, -kumbuka, -ogopa)

    e) Mfano: -shusha ~ -shuka(-rusha, -laza,

    -liza, -lisha,-jaza, -ogofya,

    -ponya, -levya, -tuliza,-washa, -nywesha,

    -chemsha, -onya)

    f) Mfano: -ficha + -fichua(-choma, -funga, -vaa,

    -waza, -panga, -ziba, -fumba)

    2. Maliza na fasiri. (Completa e traduci.)a) Kikombe -moja -meanguka.

    -pi? -ako. Nani -me-angusha?Vikombe -wili -meanguka. -pi? -ako. Nani -me-angusha?

    (kalamu, yai, mtoto, sahani, mkuki, shati, baisikeli)

    b) (ninyi) Ha-kuenda sokoni na Juma, -li-enda peke y-.(yeye, wao, sisi, wewe, mimi)

    c) Niliona mto -enye uzuri -a pekee.(milima, msichana, picha, jumba, majumba, kitu, vitu, watoto,nchi, ziwa, farasi, uso, macho, nywele)

  • 70 Kiswahili kwa Furaha

    KUSOMA

    Barua ya SaidiWiki tatu zilipita tangu Saidi na Chausiku walipo-

    kutana mara ya kwanza. Kumwona tu, moyo wa Saidi uliruka nakuanza kupiga kwa kasi siku ile. Macho yake aliyatuliza juu yamsichana yule mrembo, mweupe kiasi chaO~ kumfikiria kwam-ba alikuwa chotara wa Mzungu na Mwafrika. Uzuri wake ulito-sha kuchoma mkuki wa mapenzi moyoni mwake Saidi. Alita-mani mara moja kumchumbia. Lakini baada ya mazungumzoyao ya kawaida Chausiku aliondoka naye hajapata kumwona te-na. Aliwaza na kuwazua na mwishowe aliamua kumwandikiabarua.

    Nuuu ~ e ea~uuu, Bkvukc,Suumn ~ . Wuc u onuiu u ~ i v u . ~

    p gg~ ~ ~ r~ ~ ~ ~ ~ uiu ~ ~ ~~ ~ r~

    kmaju Waumkr ueu~ m n u e, aym~ ucue ~y w~ . 8 & u e &c, a~ ~ zuiu ~ ema k ua m &

    eeau. ~~ 0> ~ij tcm~ ~ g ei mi r u -upa~~enau. Acnky ende ~ ~ kc ie ~ co S a uumcmz ~ k mawmr. ~ uaAu u ~ ~ ~k u ou

    ouu ~ ~ . 04 A ri6irikxya~ ~i k u. Si&ifu kdkrcu nc: ~~ ~ 6c ~ n& ,r e-~ kiu&u ~ am u .

    cku& akr pefe. OsAiicuky eruk ~

    Cdhk Mkmu kzmu gZfuc An&. Wi5tee pru picAb gcn&.

    RP~umnn,06

    Suii LZliduu

  • IX Somo 71

    Baada ya kusoma tena barua hiyo, Saidi aliitia ndani yabahasha. Lakini alipotaka kuandika anwani alishtuka, akitambuakwamba hafahamu anwani yake Chausiku wala hakumbuki jinala baba'ke. Maskini Saidi, kufumba na kufumbua furaha yakeiliyeyuka.

    Maelezo:0~ mweupe kiasi cha ... bianca al punto da ...0> mwenzio io, tuo amicoOs shauri ya per il fatto di04 hivyo hivyo lo stesso, allo stesso modoOs Nakuomba kidole chako cha pete. (Ti) chiedo la tua mano(lett. il tuo anulare).06 wasalaam Ar. tanti saluti [con un saluto]

    Maneno mapya-amua decidereanwani 9/10 Ar. indirizzobahasha 9/10 Ar. bustachotara 9/10 Ar. meticcio-chumbia fidanzarsi conmilele 9/10 Ar. eternit; avv. eternamentemkuki 3/4 lanciampendwa 1/2 amatompenzi 1/2 [anche] persona cara / amatamrembo l/2 persona bella / elegantenia 9/10) Ar. intenzionepete 9/10 anellosalaam/ salamu 9/10 Ar. saluto-shindwa Pas. [anche] non riuscire, essere battutotaabu 9/10 Ar. tribolazione, pena, fatica-tamani Ar. desiderare, bramare-tuliza Cs. [anche] posare-yeyuka dissolversi, svanire-zuia impedire, trattenere

  • 72 Kiswahiti kwa Furaha

    TAMRINI NA TAFSIRI

    1. Jibu. (Rispondi.)Kwa sababu gani Bi Tatu ameshangazwa?Mzee Abdalla amemwambia nini kuhusu baiskeli yake?Kwa nini maswali mengi ya mkewe yamemwudhi?Je, ameumia?Bi Tatu amemfanyia nini?Kwa nini Mzee Abdalla ameshtuka aliposikia kwamba Rukiaamerudi kisimani?Na kwa sababu gani Rukia ameanguka kicheko jikoni?Je, ni kweli kwamba Mzee Abdalla ni hodari kwa kuendeshabaiskeli?

    2. Pambanua. (Distingui.)-shuka shuka -

    -shika, dua doa, mgongo mganga, -tundu-tundu, nia njia, -angalia -tangulia.

    3. Badilisha jina. (Cambia il nome.)Viatu hi-

    -namkaa.(kanzu, nguo pl., kitambaa, koti, mashati)

    4. Katika kila sentensi badilisha kitenzi ukikichagua kati-ka vile vifuatavyo.

    (In ogni frase cambia il verbo o l ' i n tero sintagma sce-gliendone un altro fra quelli che seguono.)Nitakupiga. Usiwe na hofu. Juma atawaletea wageni maji ya ku-nawa. Waliteremsha mizigo yao lorini. Chausiku alikaguanyumba nzima. Nenda mbele! Bi Tatu amekaa kimya.(-ogopa,

    -tangulia, -nyamaza, -nawisha, -chapa,-shusha,

    angalia)

    5. Badiiisha sentensi hizi kama mfano unavyoonyesha.(Cambia le frasi come mostra l'esempio.)Mfano: Nasikia maumivu kwenye goti.

    Goti laniuma. Naumwa goti.

  • IX Somo 73

    (wewe pua, yeye kichwa, sisi meno, ninyi mabega, wao-miguu, mimi mkono)

    6. Sema kwa Kiswahili. (Dici in swahili.)a) Una poesia dimenticata, una cosa impossibile, un uomo

    invisibile, un'intenzione desiderabi]e, un anello mancante, unfiume pescoso [avente molti pesci], un paese popoloso, una ca-mera luminosa.

    b) Chi ha versato l'acqua? Si versata da s (-enyewe). E ilbicchiere, chi l'ha rotto? Si rotto da s. Non vero, sei tu chel'hai fatto cadere.

    Il mio libro si perso. Sei tu che l'hai perso.La sua voce non si sentiva. Quelle parole sono appena visibi-

    li. No, si vedono bene. Questa carne non si pu cucinare / non cucinabile, ma egli mi ha fatto cucinare (-pikisha). Quell'acquanon si pu bere I non potabile, ma egli mi ha fatto bere.

    c) Juma si salvato dall'essere visto dalla sig.ra Bahati quan-do ha rotto il bicchiere e versato tutto il latte per terra (chini).L'amante di Saida si salvato dall'essere visto quando il maritodi Saida tornato dal lavoro. Mzee Abdalla non si salvatodall'essere visto da sua figlia quando caduto vicino al pozzo.

    7. Fasiri maneno ya waandishi.(Traduci le parole degli scrittori.)Je, unaelewa maana ya ujamaa? Sielewi, bwana, na itakuwa

    vizuri ukinifahamisha. (Shafi) Wao hawana haja ya kufundishwakul