annuur 1089

Upload: hassan-mussa-khamis

Post on 14-Apr-2018

683 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1089 SHAWWAL1434, IJUMAA , SEPT. 6-12, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    A L I Y E K U W AMwakilishi wa Jimbol a K i e m b e s a m a k i ,amejikuta akibubujikwamachozi a l ipopandajukwaani na kuimbiwawimbo wa Sisi Sote

    U S T A A R A B U w aKiislamu ni hazina kubwailiyojengwa na Misingi yaDini ya Kiislamu, inayofaakuenziwa kwa hali zote.

    Hayo yamebainishwa naMakamu wa Pili wa Raisi

    Hali ya Sheikhmbaya gerezani

    Wimbo Sisi Sotewamliza Mansour

    Karume, Maalim Seif wasema NOMembe atajwa kuhujumu Zanzibar

    Ni katika mambo ya Wakfu, NjeUstaarabu waKiislamu ni lulu

    Na Mwandishi Wetu tumegomboka.Huo ulikuwa ni ul

    ummati wa Wazanzibawaliokusanyika katikukumbi wa Salama, Hoteya Bwawani Jumamoiliyopita, wakiwa na kaumbiu ya Zanzibar kwanzwakiweka kando siasa z

    Inaendelea Uk

    Na Mwandishi Wetu wa Zanzibar, Balozi SeifAli Iddi wakati akifungaKongamano juu ya historiana ustaarabu wa Kiislamu.

    K o n g a m a n o h i l olilifunguliwa Rasmi naRaisi wa Zanzibar AlhajDr. Ali Mohamed Shein,ambaye aliwahamasisha

    W a i s l a m u k u e n z iUstaarabu uliokamilikaw a T a n g u A s i l i y aWatu wa Mwambao waAfrika ya Mashariki naK a t i . U s t a a r a b u w aKuheshimika.

    Katika kongamano hiloInaendelea Uk.4

    MZEE Moyo (kushoto) na Mohamed S. Riami "Eddy" wakiwa katika kongamano Bwawani.

    ALIYEKUWA Mwakilishi wa Jimbo la KiembesamakMansour Yussuf.

    Sheikh Simbaalia kupuuzwaMakadhi wake

    Serikali, Tume ya Katiba zalaumiwa

    Aliyosema Sheikh Mohamed Issa yametimia

    Uk. 11

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    2/12

    2AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalumya maandalizi ya kujiunga na kidato cha kwanza 2014.

    Program hii itaanza tarehe 16/09/2013 hadi tarehe 16/12/2013Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa9:00 Alasir.

    Masomo yatakayofundishwa ni:-

    Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabubasic Mathematics na Computer.

    Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE.

    Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomweze kujiunga nakidato cha kwanza.

    Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba:0714 888 557/0712 974428

    Wabllah tawfq

    Mkuu wa Shule

    Hali ya Sheikh mbaya gerezaniPAMOJA na taarifarasm i y a D ak tar ikutoka Hospitali Kuuya Mnazi Mmoja,Zanzibar inayoelezahali ya afya ya NaibuAmiri wa Jumuiya yaUamsho na Mihadharaya Kiislamu (JUMIKI)Sheikh Azzan KhalidHamdan ikidhoofkaa k i w a g e r e z a n i ,Kiinuamiguu, mjinihapa, bado Serikali yaZanzibar imeonekanakupata kigugumizi.

    T a a r i f a h i y o

    inathibitisha kwambahali ya Sheikh Azzan,anayeendelea kusoteagerezani kwa takribanm w a k a m m o j asasa, akijumuika na

    Na Waandishi wetu,Zanzibar

    Maamiri wa JUMIKIna wale wa Jumuiya yaMaimamu ya Zanzibar(JUMAZA), hali yakeimekuwa ikidhookakutokana na tatizokatika mfumo wakewa maji ndani yago kupata matatizo,kama walivyobainim a d a k t a r iw a l i o m f a n y i au c h u n g u z i h i v ikaribuni.

    M a d a k t a r i h a ok u p i t i a v i p i m ov y a u l t r a s o u n d wamebaini hitilafuhiyo na kupendekezaharaka iwezekanavyo

    Kiongozi huyo waK i i s l a m u k u p a t amatibabu ya harakaikiwezekana nje yaNchi.

    Ripoti ya Daktari

    waliyoiona waandishwa habari inathibitishkuwapo kwa hitilafh i y o i n a y o w e zkuongeza ukubw

    wa tatizo na kamwalivyopendekezwataalamu, iwapK i o n g o z i h u yhatapatiwa matibabya haraka.

    Haya ni matatizambayo ufumbuzwake hapa kwetn i t a b u k i d o gw a l i o f a n i k i wwamepelekwa Indiau kwengineko nwasifanye mzahaamekaririwa akisem

    mmoja wa wataalamwa mambo ya afyy a j a m i i N c h i nm a r a a l i p o i p i gmacho ripoti hiyo ykusikitisha.

    Ubungo Islamic high SchoolP.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam.

    E-mail: [email protected]

    MAANDALIZI YA KUJIUNGA KIDATO CHA I, 2014

    (PRE- FORM ONE ORIENTATION COURSE)

    TUMEARIFIWAk w a m b a i l em i s w a d ay a s h e r i a y amarekebisho yamabadiliko yaKatiba na sualala zima kuhusu

    kura ya maoniya rasimu yak at i b a mp y a ,inawasilishwak a t i k a v i k a ov y a B u n g el inaloendeleamjini Dodomahivi sasa.

    Miswada hiyoinawasi l ishwa

    kujadi l iwa naw a b u n g e i l ik u t o a n a f a s ikwa wabungek u c h a m b u avipengele vyambalimbali sheriah i z o k u a n z i auteuzi wa Kamatiya Uteuzi waBunge la Katiba,k u t i z a m am u u n d o n au w i a n o w av i o n g o z i n awabunge katikaBunge la Katiba.

    Aidha kujadilijuu ya mamlakaitakayosimamiakura za maoni

    Tuchunge nafasi ya Zanzibar katika

    miswada ya sheria Katiba mpyakuhusu rasimuhiyo na mambom e n g i n em b a l i m b a l iyanayohusianan a m c h a k a t omzima wa rasimuya Katiba mpya.

    Wakati Bungela Jamhuri yaM u u n g a n olikipata nafasiy a k u j a d i l isuala hilo nyeti,i k u m b u k w ek u w a k u n achombo kinginec h a k u t u n g asheria Zanzibar.

    Nacho si kinginebali ni Baraza laWawakilishi laZanzibar.

    B a r a z a h i l itunaona kuwak a m a m d a um u h i m u w amustakabali wak a t i b a m p y an c h i n i , l i n anafasi yake katikakujadili na kutoam a p e n d e k e z oy a k e j u u y amiswada ya sheriaya mabadilikohaya ya Katibampya ya Jamhuriya Muungano waTanzania.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    3/12

    3AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Habari

    Wimbo Sisi Sote wamliza MansourInatoka Uk.1

    CCM na CUF.Mara tu alipopanda

    jukwaani, ummati wa watuwaliojazana katika ukumbi

    huo hadi kusababishahali ya hewa kuwa nzito,ulisimama na kuimbawimbo huo mashuhuriunaoimbwa katika sikukuuza mapinduzi na mashujaa.

    N i k a t i k a w i m b ohuo ambapo wanajeshi,w a n a m a p i n d u z i ,wazalendo na wananchikwa u jumla wanatoakauli, ahadi na kiapo chakuipigania na kulinda nchi.

    N a h i y o i k a l i p u ahamasa ya kutokurudinyuma katika kupiganianchi pamoja na Dola yaZanzibar yenye mamlakakamili.

    H a p o n d i o w e n g iwakaanza kutoka machozihuku Mansour akishindwakujizuiya na kujikutaakilazimika kufuta machozikwa vidole mwisho akatoakitambaa.

    Hiyo ilitokana na ujumbeuliokuwepo katika wimbohuo ukihimiza ukombozina kuwasifu walioikomboaU n g u j a k u t o k a k w awakoloni ambapo sasawanajiona wanalazimikakuipigania tena kurejeshahadhi na mamlaka yake.

    P a m o j a n a m e n g ialiyozungumza, lakini

    alichohimiza Mansourni juu ya Wazanzibark u t o k u r u d i n y u m akupigania mamlaka kamiliya nchi yao.

    Alisema, kwa kuwamtumishi wa Serikalikatika nafasi mbalimbaliameona dhulma na hujumainayofanywa dhidi yaZanzibar.

    Akigusia suala la mafutana gesi, alionyesha jinsiambavyo kwa muda mrefuTanzania Bara imekuwaikichimba gesi , lakiniZanzibar haipati kitukutokana na pato hilo.

    Hata hivyo, ilivyokujakwa Zanzibar kutati nakuchimba mafuta na gesi,vikwazo vingi vimewekwaikidaiwa kuwa hilo nijambo la muungano.

    Hata pale Zanzibariliposema kuwa ipo tayarikutoa asilimia 60 ya patola gesi kwenda Bara naZanzibar kubaki na 40%,bado haikukubaliwa.

    N d i o h a p o i k a f i k amahali wakasema kuwainabidi wasimame imarakuhakikisha wanalitoas u a l a l a m a f u t a n agesi katika mambo ya

    muungano.Kabla ya kusimama na

    kuzungumza Mansour,walitangulia wasemajiw e n g i n e a k i w e m oMwenyekiti wa Kamatiya Maridhiano, MzeeNassor Moyo ambayea l i w a t a h a d h a r i s h aWazanzibar juu ya tna.

    Katika nasaha zake MzeeMoyo alisema kuwa kwamuda mrefu Zanzibarimekuwa katika fi tnaambapo imeleta maafa yakuuwana na kwamba sasani wakati wa kumaliza tnahiyo.

    Alisema, Rais MstaafuAmani Abeid Karume naKatibu Mkuu wa CUF,Maalim Seif Shari Hamad,washasema N0 (hapana)kwa mauwaji na siasa za

    chuki na uhasama, ndiomaana walijenga mazingiraya kuleta Serikali ya Umojawa Kitaifa.

    A k a s e m a k u w awapo watu wasioitakiamema Zanzibar ambaowanataka daima wawaoneWazanzibar wakiuwanan a k u d u m a a k a t i k amaendeleo.

    Na kwamba hao ndiow a t a k a o t a k a k u l e t afitna za vyama kuwatoaWazanzibar katika agendayao ya Mamlaka Kamili.

    Kwa hiyo akawatakak u w a m a c h o , k u w a

    wamoja na kuhakikishakuwa wanaitumia fursahii ya kuandika KatikaMpya kuipata Zanzibarwaitakayo.

    Kwa upande mwingineakasema kuwa umefikawakati wa kuichomoa nakuionyesha hadharaniSerikali ya Tanganyikailiyojicha ndani ya Serikaliya Muungano, hali ambayondiyo inaendeleza jinamizila kuikandamiza Zanzibar.

    Akigusia bila ya kusemakwa uwazi, alionyeshakuwa f i tna Zanzibarimekuwa ikiendelezwana mtindo wa Chamatawala CCM kuiba kurana kunyakua madarakakwa nguvu bila kujali kuraza wananchi.

    A l i s e m a , h a t aR a i s M s t a a fu A m a n iKarume aliligusia hilop a l e a l i p o w a a m b i awahadhina wasio takamaridhiano kuwa hawanauwezo wa kumpa ushindiwa asilimia 60.

    U s h i n d i w e t uU n g u j a m n a u j u a(unavyopatikana), alisemaMzee Moyo bila kufafanuana kunukuu kauli ya

    M h e s h i m i w a A m a n iK a r u m e a k i w a a m b i awana-CCM hao kuwayeye hayupo Ikulu kwaajili ya kusimamia tna namauwaji.

    Mjumbe mwingine waKamati hiyo Eddy Riamialiwahimiza Wazanzibarkusimama katika agendam o j a t u : k u p i g a n i aZanzibar yenye mamlakakiamili.

    Na kwamba wawafutena kuwatupilia kwa mbali

    viongozi wote wasiotakakuona Zanzibar huru yenyemamlaka yake kamili.

    Akizungumza kablaya kusimama Mansour,Makamu Mwenyekiti waKamati ya Maridhiano,Mheshimiwa AbubakarKhamis Bakari alisemak u w a k u n a m a m b oyanafanyika makusudi kwaroho mbaya tu kuihujumuZanzibar.

    N a k w a m b a i l ikuondokana na hali hiyoni lazima Tanganyikaisimame kama Tanganyikana Zanzibar i s imamekivyake ndio zifanyemuungano wenye hakisawa.

    A l i s e m a , k a t i k amfumo wa sasa ambapoTanganyika imejifichandani ya Tanzania, hakunanamna Zanzibar inawezakupata haki yake.

    Akitoa mfano aligusiahasara inayopata Zanzibarkwa kutokuwa na Mamboya Nje.

    Akasema, ni kiasi miezimiwili tu iliyopita ambapoWaziri wa Mambo yaNje na Ushirikiano waKimataifa Mheshimiwa

    Bernard Membe, aliondoakipengele cha misaada yaWakfu kutoka Mascutkwa vile tu misaada hiyoi n g e k u w a i e l e k e z w eZanzibar.

    Akifafanua al isema,u j u m b e w a M a s c u tuliotembelea Tanzania,p a m o j a n a m a m b om e n g i n e , w a l i t a k akuwekwa utaratibu wanamna ya kutoa misaada(kwa Zanzibar) kupitiataasisi ya Wakfu.

    H a t a h i v y o , b a a d a

    y a t a r a t i b u z o t ekukubalika na kusubirikusainiwa makubaliano( M e m o r a n d u m ) ,M h e s h i m i w a W a z i r iMembe alifuta kipengelecha Wakfu.

    Alisema, hata ukitizamawatumishi wa Serikaliwakiwemo mabalozi katikanchi za nje na Umoja waMataifa, Zanzibar imekuwaikipunjwa wakati inadaiwakuwa hiyo ni Wizara yaMuungano.

    Ni katika hali hiyoMheshimiwa Abubakarambaye ni Waziri waKariba na Sheria (ZNZ)

    na Mwakilishi wa Jimbo laMgogoni, Pemba; alisemak u w a k a t i k a m a m b oambayo ni lazima yatiwekatika Katiba Mpya, nipamoja na kuirejesheaZanzibar mamlaka yakuwa na Wizara yake yaMambo ya Nje.

    Wakati huo huo, Kamatiya Maridhiano imetoamaoni yake ya Rasimuya Katiba ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzaniakwa kutaka Zanzibarijitegemee karibu kwa kilakitu.

    M a e n e o i n a y o t a k a

    y a o n d o l e w e k w e n yMuungano ni Uraia nUhamiaji, Sarafu na BenkKuu, Mambo ya Nje nUsajili wa Vyama vya Sias

    Mapendekezo hayyalisomwa na Mwakilishwa Mji Mkongwe ambaypia ni mjumbe wa kamahiyo, Ismail Jussa katikKongamano la Jumamoiliyopita.

    Kila nchi mshirik(Zanzibar na Tanganyikaibakie na uraia wake nmtu kuwa na uraia wa nch

    mshirika ndiko kumpuhalali wa kuwa raia wshirikisho.

    A l i s e m a J u s s a nkuongeza kuwa uchumsi suala la Muunganhata katika Katiba ya sasna kwamba nyenzo zkuendeshea na kusimamuchumi wa nchi kwmaana ya sera za fedhna uchumi zimeendelek u d h i b i t i w a k u p i t iSerikali ya Muungano.

    V y o m b o v i k uvinavyosimamia sera hizambavyo ni Benki Kuu yTanzania (BoT), Mamlakya Mapato Tanzania (TRAna Wizara ya Fedha y

    Serikali ya Muunganv i m ek u w a v i k i fa n yuamuzi na kuyatekelezbila ya kuzingatia kuwZanzibar inategemeuchumi wa utoaji hudumna haiwezi kuwa sawa nuchumi wa Tanganyika m b a o u n a t e g e m erasilimali, alisema.

    Kwa upande mwinginakasema kuwa suala lvyama vya siasa linapaswkuondolewa katika mambya Muungano ili Zanzibana Tanganyika, kila moiandikishe vyama vyakvya siasa.

    BAADHI ya washiriki wa kongamano la Bwawani.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    4/12

    4AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Habari/Tangazo

    Bismillahir Rahmanir Raheem

    KIGAMBONI /KIGOGOCHUO CHA UALIMU

    TEACHERS COLLEGE

    CU.124 CU.130

    NAFASI ZA MASOMO

    (2013-2014)

    UALIMU:

    Nafasi za Udhamini kwa waliopataviwango Ngazi ya Diploma na Cheti.

    Wahi, Nafasi Chache!

    CHEKECHEKEA (Div. IV- 28 na Kuendelea)

    GRADE 3A ( Div. IV-27)

    STASHAHADA (E Moja Na S Moja)

    0715-860120 0654- 580924

    Note:

    (Asiyekuwa na Viwango anaruhusiwa kusomaUalimu huku anarudia Mitihani)

    Computer Applications

    Secretarial Studies, Records Mgt, Project Planning & Mgt, ICT, Simplified Accountancy,

    Kozi za Biashara

    Ustaarabu wa Kiislamu ni luluInatoka Uk. 1

    ilidhihirika wazi kuwa lichaya hujuma za makusudi zakuwadhoosha Waislamu,Historia ya Ustaarabu waKiislamu katika Mwambaowa Afr ika Masharikina Kati imeanzia mbalin a i l i y o t a m b u l i k aulimwenguni.

    W a t a f i t iwameyabainisha hayokatika Kongamano hilo laKimataifa la Siku tatu juuya Historia ya Ustaarabuw a K i i s l a m u A fr i k aMashariki na Kati, jumahili, lililofanyika maeneoya Nungwi, Wilaya yaKaskazini A, Mkoa waKaskazini Unguja.

    Hilo ni kongamano laaina yake lililoandaliwak w a p a m o ja k a t i y a

    Mamlaka ya Taifa yaNyaraka na Makumbushoya Oman (NRAA); Kituocha Kimataifa cha Utatiwa Historia ya Kiislamu,Sanaa na Utamaduni(IRCICA); na Chuo Kikuucha Taifa cha Zanzibar(SUZA).

    Watu mashuhuri naViongozi wa Jumuiyana Taasisi mbali mbaliza kitaifa na kimataifa,za Kiislamu, Watafiti,Wanataaluma na wasomiw a l i j u m u i k a k a t i k aKongamano hilo.

    Hao ni pamoja na Katibu

    Mkuu wa Umoja wa Nchiza Kiislamu Duniani (IOC)Dr. Ekmeleddin Ihsanoglu,Katibu Mkuu Mstaafuwa Umoja wa Afrika (AU(zamani OAU) Dr. SalimAhmed Salim, Balozi waOman Nchini Sh. Salehbin Suleiman Al Harthi,Mwenyekiti wa NRAA Dr.Hamed bin MohammedAl Dhawyani na MakamuMkuu wa SUZA, Prof.Idris Ahmad Rai.

    Wengine miongonimwa watu mashuhuriwaliohudhuria ni JajiMkuu wa Zanzibar Bw.Omar Othman Makungu,Mshauri Maalum waRaisi wa Burundi Dr.M u h a m m a d R u k a r aKhalfan, Waziri wa Elimuna Mafunzo ya AmaliZanzibar, Bw. Ali JumaShamhuna, Mufti Mkuuwa Zanzibar Sh SalehOmar Kabi, Waziri waHabari, Utamaduni naMichezo wa Zanzibar Bw.Said Ali Mbarouk, RaisiMstaafu wa Jamhuri yaMuungano wa TanzaniaMzee Ali Hassan Mwinyi,na Kat ibu Mkuu waOsi ya Mufti Mkuu wa

    Zanzibar, Sh. Ahmed SaudAl Siyabi.

    Wasomi na watafitiwalitumia viashiria mbalimbali vya kuthibitishaujio wa Ustaarabu wa

    Kiislamu katika Ukandawa Afrika Mashariki naKati na kusogea mbalizaidi katikati ya Bara laAfrika, tangu Karne zaAwali za Hijria na Tareheya Kiislamu.

    M i o n g o n i m w aviashiria hivyo ni Utatiw a M a k u m b u s h o n aNyaraka uliowasilishwana Profesa wa Mamboya Historia kutoka ChuoKikuu cha Manchesternchini Uingereza, Dr.Timothy Insoll, ambayea m e f a n a n i s h a k w aushahidi wa akeolojia

    wa vifaa vilivyotumikakatika Mashariki ya Kativilivyoshabihiana na vileambavyo wakitumia watuwa tangu zamani katikaAfrika ya Mashariki naKati.

    Wataalamu, Dr. FarhatJabir Profesa wa Mamboya Taaluma ya Dini naLugha ya Kiarabu waChuo Kikuu cha Tuninchini Tunisia, Dr. NahedAbdul Kareem wa ChuoKikuu cha Sultan Kaboosnchini Oman, Dr. MubarakAbdullah Al Rashdi Mkuuwa Idara ya Taaluma zaKiislamu Chuo Kikuu chaSultan Kaboos Oman, Dr.Fouad Abdel Wahab AlShami wa Chuo Kikuu chaSanaa cha Yemen, na Dr.Rashid Hamad Al Husainiwa Chuo Kikuu chaSayansi cha Oman, pamojan a m a m b o m e n g i n ewameainisha umashuhuriwa Uislamu na Wasomiwa Kiislamu wa Ukandawa Afrika Mashariki naKati waliotaheshimikaulimwenguni tangu asilina zama, kama dalili yahistoria kubwa ya eneohili katika Ustaarabu waKiislamu.

    Wataalamu, Dr. MehmetIpsirli wa Chuo Kikuucha Fati nchini Uturuki,Dr. Ahmed Ibrahim AlKindi wa Chuo Kikuucha Sayansi nchini Oman,Dr Wafaa Al Drissi waChuo Kikuu cha Tunis,Dr Abuyaasir Kame waChuo Kikuu cha Eldoretnchini Kenya, na Sh.Muhana Khalfan OthmanAl Kharousi Mtafiti naMwandishi Mashuhuriwa Oman, walithibitishaheshima ya Ustaarabu waKiislamu Afrika Mashariki

    na Kati, ambapo hataWatawala Wakuu wa Dolaya Othman iliyokuwapoAndalus na Kostantania,I s t a n b u l , U t u r u k i ,

    waliwaheshimu Watawalawa Mwambao huu pamojana kuwatumia mialiko yaheshima, kwenda kuonananao.

    Ni mengi yaliyochukakatika Kongamano hilol a K i h i s t o r i a k a t i k amnasaba wa Ustaarabuwa Kiislamu Ukanda waAfrika Mashariki na Kati,Tanzania Bara, MombasaKenya, Uganda, Ufalmewa Baganda, Malawi,Mozambique Sofala, naDola ya Asili ya Zanzibar,yakiwamo ya utamaduni

    wa asili ulioendana na

    Mila na Silka za Kiislamuna Bara Arabu.

    Wapo waliobainishakwamba hata Ulimwenguwa Waarabu ulikuwa

    na mengi ya kujifunzakutokea maishani mwaWatu wa Ukanda waAfrika mashariki na Kati.

    M s i s i t i z o w aK o n g a m n a n o h i l oni pamoja na haja yawaislamu kushikamanana kurejesha hadhi yaona ya ustaarabu waouliojengeka kwa Misingiimara ya Dini ya Kiislamupasi na kuyumbishwana harakati za makusudiza kudhoofisha muruawa jamii za kiislamu,z i k i w a m o m b i n u z a

    utandawazi.

    M s i s i t i z o h u o p iulikwenda sambamba nwasia wa makamu wPili wa Raisi wa ZanzibaBalozi Seif Ali Iddi waka

    akilifunga Kongamanhilo, akasema Ustaarabwa Kiislamu ni hazink u b w a i l i y o j e n g wna Misingi ya Dini yK i i s l a m u , i n a y o f akuenziwa kwa hali zote.

    K o n g a m a n o h i ll i l i fu n g u l i w a R a s mna Raisi wa ZanzibaAlhaj Dr. Ali MohameShein, aliyewahamasishw a i s l a m u k u e n zUstaarabu uliokamilikw a T a n g u A s i l i yWa t u w a M w a m b awa Afrika ya Masharikna Kati, Ustaarabu w

    Kuheshimika.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    5/12

    5AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Habari za Kimataifa

    TAKRIBAN watu elfusitini wamelazimikakuyakimbia makazi yaonchini Kenya, kufuatiamapigano ya kikabila.

    Shirika la MsalabaMwekundu la Kenyal i m e t a n g a z a k u w a ,k u f u a t i a k u i b u k amapigano ya kikabilanchini humo, watuwanaokadiriwa kufikiaelfu sitini wameukimbiamji wa mpakani wa

    Moyale na kukimbilia nchijirani ya Ethiopia.Asa mmoja wa Shirika

    la Msalaba Mwekundu laKenya ameziambia duruza habari kwamba, baadaya mapigano ya kikabilay a l i y o z u k a I j u m a ailiyopita huko Kaskazinimwa Kenya, vijiji tisa

    Ukabila waitesa Kenya

    Rais wa Kenya Uhuru Kenyaa (kushoto), Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga.

    Rais Kenyatta na Raila wazidi kulumbanavimesalia bila wakazibaada ya wa tu wa kekukimbia, huku nyumbaarobaini zikichomwa motokufuatia mapigano hayo.

    Katika hali nyingine,Rais wa Kenya UhuruKenyaa, amemshambuliavikali Waziri Mkuu wazamani, Raila Odingaakimtaka kuufyata ulimiwake kama hana jipya lakuwaambia wananchi.

    Rais Kenyaa alikuwa

    akimjibu Bw. Odinga,ambaye alisema serikaliinatoa vyeti vya kumilikiardhi kwa wakazi wapwani wakati wakuu waserikali hiyo ndio wezinambari moja wa ardhikatika eneo hilo.

    Kenyaa amemwambiaOdinga asahau masuala

    ya siasa na aisaidie serikalikutatua matatizo ya ardhina kama hawezi anyamazekimya.

    Rais Kenyaa aliongezaWaziri Mkuu huyo waz a m a n i a n a p a y u k aovyo na kwamba, badoanasumbuliwa na jinamizila kushindwa kwenyeuchaguzi mkuu uliopitawa Machi 4.

    Vita vya maneno katiya Bw. Odinga na wakuu

    wa ser ika l i , hususanRais Kenyatta na Naibuw a k e Wi l l i a m R u t o ,vimeendelea kwa mudasasa huku baadhi yawachambuzi wakisemaOdinga anajaribu kuvutiawanahabari ili nyota yakeya kisiasa isie haraka.

    DAMASCUS

    Rais wa Syr ia Bas har alA s s ad, ametahadhar is hakwamba iwapo yatafanyikamashambulizi yeyote dhidiya nchi yake kutoka Mataifaya Magharibi, basi itarajiwekuibua vita vya kanda nzima.

    Aidha ameongeza kuwaiwapo Marekani na Ufaransazitaamua kuishambulia Syria,machafuko na ghasia vitapanukazaidi na kusababisha hatariya kuzuka vita eneo zimal i nal o zunguka nchi hi yo(Mashariki ya Kati).

    Rais Assad pia ametoachangamoto kwa Washingtonna Paris kwamba, kama kwelimataifa hayo yana ushahidiwa madai kwamba Damascusimetumia silaha za sumu, basina mataifa hayo yaonyeshe na

    kuthihirisha ushahidi huo.Bila shaka kauli ya RaisAssad inakuja kufuatia madaiya Waziri wa Mambo ya Nje waMarekani, John Kerry, ambayealishaeleza kuwa Marekani inaushahidi kwamba serikali yaSyria imetumia silaha za sumukuwaangamiza raia wake.

    K a u l i y a R a i s A s s a dimeungwa mkono na Waziri waMambo ya Nje wa Urusi SergeiLavrov, Jumatatu iliyopita, palealipozungumza na vyombo vyahabari Moscow, ambapo aliitakaMarekani kutoa ushahidi wauchunguzi wake uliodai kuwaserikali ya Syria inatumia silahaza sumu nchini Syria.

    Kwa upande mwingine,Waziri wa Ulinzi wa IranBrigedia Jeneral i HusseinDehqan, amesema Tehran

    iliitahadharisha Marekani miezinane iliyopita, juu ya kupelekwawaasi wa Syria.

    Urusi tayari imeshasemakuwa ina ushahidi wa kutosha,unaothibitisha kuwa waasi waSyria wanaoungwa mkono naMarekani na rafiki zake, ndiowaliotumia gesi ya sumu dhidiya wananchi na jeshi la serikaliya nchi hiyo.

    Kuhusu madai ya Marekani

    Assadi akishambuliwa kutaibukavita vya ukanda mzima

    Urusi waitaka Marekani kuonyesha ushahidi wakkuwa ina ushahidi unaothibitish

    kwamba silaha za kemikazimetumika nchini Syria, ahuyo wa UN amesema kuwUmoja wa Mataifa ni taasipekee inayoweza kutoa maokwa uhakika na kwa uwakuhusu suala la kutumiwa akutotumiwa silaha za sumnchini Syria na kwamba kwsasa njia za kijeshi dhidi ya Syrhazipaswi kuzingatiwa.

    Baada ya kushindwa kupauungwaji mkono wa jamii ykimataifa, Obama amesemkuwa Marekani itaishambulSyria pale Congress itakapoasuala hilo.

    Wakati hali ikiwa hivyo, timya wataalamu wa Umoja wMataifa iliyokuwa ikichunguzsilaha hizo huko Damascus badhaijatangaza ripoti yake.

    Hata kabla ya kutangazwripoti ya UN baada ya wiki mbza kuanza uchunguzi wa madkuwa serikali ya Damascundiyo iliyotumia silaha zkemikali, Marekani imeamukutangaza kuwa itaishambulSyria.

    H a y o y a n a j i r i h u kikifahamika kwamba Marekana washirika wake wa Magharipamoja na baadhi ya nchi zKiarabu, katika miaka miwiliyopita wametumia mamilioya dola kuwapa silaha za kisawaasi wa Syria ili kuangushserikali ya Damascus.

    Imeelezwa kwamba lengo kundi hilo la Wamagharibi nWaarabu lilikuwa kudhoosh

    je sh i la Sy ri a, na hi vi sasilaha za kemikali linatumiwkama kisingizio cha mwish

    cha kukabiliana na serikali yDamascus.

    F i k r a z a w a l i o w e n gz i n a t a w a l i w a n a s w akwamba, ni kwa nini Marekainashabikia kuishambulia Syrhata kabla ya kutangazwa ripoya Umoja wa Mataifa? Na jMarekani inaweza kuhalalishvipi misimamo yake hiyo ykindumilakwili?

    PHINON PEINMamia ya Waislamu

    nchini Mynamar,wamebaki bila makazibaada ya Mabudhawenye misimamomikali kuchoma motonyumba na madukay a o k a t i k a e n e olenye machafuko laSagaing.

    Maafisa wa eneoh i l o w a m e s e m akuwa, zaidi ya watu300 wanahifadhiwakatika shule baada

    Nyumba za Waislamu Myanmar zateketezwaya genge la Mabudhawenye misimamo

    y a k i b a g u z i y akihadhina kuchomam oto n y um b a n amaduka yao.

    Hi i n i m a ra y an n e v u r u g u z ak u w a s h a m b u l i aWaislamu zinatokeah uk o k a t ik a t i n ak a s k a z i n i m w aMyanmar kwa mwakahuu pekee.

    Vurugu kama hizoz i l i t o k e a m w a k a

    u l i o p i t a k a t i k ajimbo la maghar ib i

    la Rakhine, ambapokaribu Waislamu 200wa kabila la Rohingyawaliuawa.

    Hayo yanajiri hukuserikali ya nchi hiyoikishindwa kuzuiamashambulizi hayona jamii ya kimataifaikiendelea kupigiak im y a j in a i h iz ow a n a z o f a n y i w aWa is la m u n c h in iMyanmar.

    CAIROWakili wa Wanaharakatiwa Ikhwanul Musliminnchini Misri, amesema

    p ol i s i n ch i n i h u m ow a m e m n y a n y a s akiongozi wa kirohowa wanaharakati haoMohamed Badie, wakatiilipomkamata.

    Waki l i MuhammadGharieb amesema, Badiea l ivamiwa nyumbanikwake, akapigwa nak u t o l ew a m a t u s i n akwamba, alipoteza menoyake kutokana na kipigoalichopewa na polisi hao

    Kwa upande mwinginekesi ya kuhukumiwaviongozi na wafuasi6 4 w a H a r a k a t i y aIkhwanul Muslimin ya

    Polisi Misri watuhumiwa kumnyanyasa BadieMisri na pia wafuawa rais aliyepinduliwM u h a m m a d M u s rimefanyika Jumatat

    yawiki hii katika mkoa wkaskazini Mashariki mwnchi hiyo.

    Watu hao wanashitakiwkwa tuhuma za kufanyuchochezi uliosababishkushambuliwa askajeshi na pia kuhujumiwmakanisa katika mkoa wSuez.

    Tangu Julai 3 mwakhuu, Misri imetumbukkatika machafuko nghasia baada ya jeshkufanya mapinduzi ykumuondoa madarakanMuhammad Mursi, rawa kwanza aliyechaguliwna wananchi kidemokrasnchini humo.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    6/12

    6AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Makala

    MSEMAJI wa WaziriMkuu wa Iraq Ali alMousawi, amesisitizak u w a n c h i h i y oinapinga mashambulizid h i d i y a S y r i a n a

    kwamba haitaruhusuanga yake kutumiwakatika mashambuliziyanayoweza kufanywadhidi ya nchi jirani yaSyria.

    A l i a l M o u s a w i ,amesema hayo kufuatiam s i m a m o w a h i v ikaribuni wa Marekanina Uingereza wa kutakakuishambulia Syria nakuongeza kwamba, katibaya Iraq hairuhusu ardhiyake kugeuzwa sehemuya kushambulia nchinyingine.

    W a k a t i h a y oy a n a r i p o t i w a , R a i sVladimir Putin wa Urusi,a m e s e m a k w a m b ahakuna ushahidi kwambajeshi la Syria limefanyashambulizi la silaha zakemikali kusini mwa nchihiyo. Putin amesema hayokatika mazungumzo yasimu na Waziri Mkuuwa Uingereza DavidCameron.

    Ju ma ta tu Waz ir i waMambo ya Nje wa UrusiSergei Lavrov, pia aliionyaMarekani kuishambuliakijeshi Syria akisema,matokeo yake yatakuwana athari mbaya na ya

    muda mrefu, sio tu katikaeneo la Mashariki ya Katibali pia kaskazini mwaAfrika kwa ujumla.

    Kuingilia kwa namnayeyote ki jeshi nchiniSyria bila kuithinishwana Baraza la Usalama laUN, kutakuwa ni kuvunjasheria ya kimataifa.L a v r o v a l i w a e l e z awaandishi wa habari jijiniMoscow mapema wiki hii.

    V i o n g o z i w aWashington, Uingereza,Ufaransa na Istanbulw a m et a k a h a t u a z aki jeshi kuchukul iwa

    k u m w a d h i b u R a i sBashar Al-Assad kwa kilewalichokiita ametumiasialaha za sumu.

    Hata hivyo wakatimataifa hayo yakitangazania ya kutaka kuinguiliamzozo wa Syria kijeshibi la hata ya ud hibi yaUN, bado wakaguzi wasilaha za sumu wa UNndio kwanza wameanzak a z i y a o n a b a d ohawajathibitisha iwapokuna matumizi ya silahaza sumu wala kubainishani upande gani unaotumiasilaha hizo kato ya pande

    Iraq kutoruhusu anga yake kutumiwa kuishambulia SyriaBlix aitahadharisha Marekani kuhusu Syria

    mbili zinazozozana za

    waasi na serikali.Viongozi wa Mataifaya Magharibi wanatoamaelezo yanayoonyeshak u w a h a w a t a s u b i r omatokeo ya ukaguzi, tayariwameamua kila kitualisema Lavrov.

    Waziri wa Mambo yaNje wa Uingereza, WilliamHague alisema Uingerezaimeshawishika kuwa RaisAssad yupo nyuma yashambulio la Agost 21na wameshakubaliana naMarekani na Ufaransakatika kujibu mapogo.

    Waziri wa mambo yaNje wa Uturuki, AhmetDavutoglu naye alisemanchi yake itaungana namuungano wa mataifahayo dhidi ya Syria iwapoUN itashindwa kuchukuahatua.

    Rais Assad ameshajibumisimamo ya mataifahayo aliyoiita kuwa ni n o n s e n s e , w a k a t ia l i p o k u w a a k i f a n y amahojiano na gazeti laIzvestia la Urusi mapemawiki hii.

    Urusi ambayo imekuwaikitumia kura yake ya vetokwenye Baraza la Usalama

    la UN kuzua mikakati

    ya kuiadhibu Syria, wikihii imeitaka Marekanikutorudia makosa ya sikuza nyuma kama yale yakuivamia Uraq mwaka2003.

    Marekani na washirikawake wali ishambuliaUraq bila ya udhini yaUN, baada ya Urusi ,Ujerumani na Ufaransakukataa kuivamia nchihiyo kijeshi kumuondoaSaddam Hussein.

    Bw. Lavrov alisemaWizara ya Mambio yaNje ya Urusi imeshafanyamazungumzo na JohnKerry, Waziri wa Mamboya Nje wa Marekani naYule wa Uingereza, nakwamba mazungumzoyao yalionyesha kuwepodalili za Waasi kufanyamashambulizi ya kuitiahatiani serikali ya Assad.

    Katika hatua nyingine,Mkuu wa zamani waw a k a g u z i w a s i l a h awa Umoja wa Mataifakatika eneo la Masharikiy a K a t i , H a n s B l i x ,amesema kitendo chakutaka kuishambuliaSyria kwa kutegemea

    m a d a i y a k uwek osilaha za maangamiziya halaiki ni kurejeam a k o s a y a h u k onyuma ya viongoziwa Washington.

    H a n s B l i xamewatahadharishaviongozi wa Marekanikuhusu nia yao yakutaka kuishambuliakijeshi Syria, akisemak uwa h a wa pa swikuwa na haraka katikasuala hilo.

    M w a k a 2 0 0 3m k a g u z i h y o

    alitahadharisha kuwamadai yaliyokuway a k i t o l e w a n aMarekani kuhususilaha za kemikalihuko Iraq si ya sahihibaada ya timu yakeiliyokuwa umepewamajukumu ya kufanyauchunguzi juu yamadai ya Marekanina washirika wakekwamba serikali yaS a d d a m H u s s e i n

    inamiliki silaha zamaangamizi.

    Bw. Blix amesemkwamba Marekann a m a ra f ik i z a kwanapaswa kwanzk u t o a f u r s a k w

    wakaguzi wa Umojwa Mataifa kufanyu c h u n g u z i w akuhusu madai ykutumiwa silaha zkemikali huko Syrikabla ya kuchukuhatua yoyote ile.

    Serikali ya Syrii m e w a r u h u sw a k a g u z i wUmoja wa Mataifk u l i t e m b e l e a nkulifanyia uchunguzeneo la Ghouta aSharqiya , ambal

    nchi za Magharibzinadai kuwa silaha zkemikali zimetumiw

    Mk uu h uy o wzamani wa wakaguzwa silaha wa Umojwa Mataifa katikeneo la Mashariki yKati, amesisitiza kuwRais Barack Obamwa Marekani hapaswkuchukua hatua dhidya Syria bila ya sualhilo kupitishwa nBaraza la Usalama l

    Umoja wa Mataifa(irib.ir)

    MKUU wa zamani wa wakaguzi wa silaha waUmoja wa Mataifa katika eneo la Mashariki ya Kati,

    Hans Blix.

    UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHAMOROGORO UNAPENDA KUWAARIFU WADAUWAKE WOTE KUWA BWANA. JUMA SAKATAI SIOMFANYAKAZI WA CHUO TENA TANGU TAREHE02/09/2013.

    HIVYO BASI CHUO HAKITAHUSIKA NA SHUGHULAU MAWASILIANO YOYOTE YATAKAYOFANYWANAYE AU KUPITIA KWAKE.

    AFISA UHUSIANOCHUO KIKUU CHA WAISLAMU CHA MOROGORO

    05/09/2013

    TANGAZO

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    7/12

    7AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Makala

    KATIKA kipindi chakama wiki mbili sasay a m e a n d i k w a n a

    kusemwa mengi juu yakadhia inayoendelean ch i n i M i sr i . H a yayamekuwa yakiandikwakutoka katika mirengotofauti tofauti kutegemeadhamira ya mwandishiau chombo husika chahabari.

    N a a n d i k a m a k a l ahaya huku msingi wakemkuu ukiwa ni kutokakatika makala za takribaniwiki mbil i zi l izopitakatika matoleo ya gazetila Raia Mwema, toleonamba 312 la Agosti 21-27, 2013 yenye kichwa

    cha makala Mabavu yakijeshi hayawezi kutuleteakheri iliyoandikwa namwandishi mashuhuri,Ahmed Rajab.

    Makala nyingine ni ilekatika toleo namba 313la Agosti 28-September3, 2013 ya gazeti hilo hiloiliyoandikwa na SheikhAbdallah Bawaziri yenyek i c h w a c h a m a k a l aAmani itarejea Misri kwanguvu ya umma?.

    Katika makala zotembili, hakuna pahalaambapo waandishi wetuwamejadil i kwa kinachanzo cha mgogoro waMisri na kama kuna lakujifunza kama taifa. Kwahakika ninachokiona nimaandishi yenye kuelezahistoria tu ya Misri tenasana kuanza kwa uongoziwa Gamal Abdel-Nasser(na kumbe wangewezakwenda nyuma zaidi napengine hii ingetusaidiakujua kwanini Misri leoiko pale).

    Kimsingi nakubalianan a w a a n d i s h i w et u ,Ahmed Rajab na SheikhBawaziri katika makalaz a o k w a m b a M i s r ikihistoria ni nchi ya karnenyingi sana zilizopita.Imeshuhudia harakatinyingi sana za kisiasa nahata zile ka kidini na kwamaana hii imetajwa hatakatika vitabu vya dini yaKikristo ona ya Kiislamu.

    Kat ika h is tor ia yaharakati za kisia nchiniMisri mengi yameandikwasina haja ya kuyarudiana kwa hili nampongezasana mwandishi AhmedR a j a b . K w a n a m n aanavyoandika historiaile huweza kumsisimuamsomaji yeyote yule

    Tuseme ukweli kuhusu mgogoro wa MisriNa Madole Rashidi

    mzalendo na au mpenziwa historia na kumfunzavya kutosha.

    Makala haya yanalengak u u t a z a m a m g o g o r owa Misri katika nyanjanyingine ambayo kwanamna moja ama nyingine,ambayo kwa sababuwanazozijua waandishiwetu haijajadiliwa vyakutosha

    N i n i c h a n z o c h amgogoro wa Misri? Binafsinautazama mgogoro waMisri katika nyanja aumrengo mwingine kwambani mgogoro unaotokana nakusigana kwa mifumom i w i l i a m b a y o y o t einalenga kushinda kundikubwa katika jamii. Halihii imedumu kwa mudamrefu tu, na sasa ni wakatiambao imeshindikanakucha maradhi haya yakuoneana kijicho baina yamifumo hiyo miwili.

    Mifumo hii ni ipi?Kwanza ni mfumo wa U i s l a m c h i n i y amwamvuli wa IkhwaniAl Muslmyin (Udugu waKiislam). Msingi mkuu wamfumo huu ni kuongozaMisri na dunia nzimakwa kufuata sheria zaAllah (s.w). Juhudi hiziza udugu wa Kiislamukushinda sehemu kubwaya jamii ya Wamisri si zajana wala za juzi, hizi niju hudi za mu da mr ef upengine nyuma kabisa yamwaka wa 1928 ambapondio chama cha uduguwa Kiislamu kiliasisiwana mwasisi wake HassanAl Bana.

    Mfumo huu umeasisiwakatika kitabu cha dini ya

    Kiislam na waaminio kwaohuuona kama ndio mfumosahihi wa kuongozamaisha ya mwandamuduniani hapa. Watafanyakila wawezalo kuhakishahilo.

    Lakini kwa upandemwingine mfumo wapili ni huu wa Ubeparichini ya mwamvuli wademokrasia iliyojengwakatika misingi ya haki zabinadamu, uchaguzi huruna wa haki, utawala washeria uwazi na uwajikajinakadhalika.

    Na hata hivyo sina hajaya kuandika mengi (kwanimengi yameshaandikwa)kuhusu mfumo huu wademokrasia ambao kwakiasi kikubwa umeshindwakatika maeneo mengikusimamia hizo haki zabinadamu.

    Makala haya yanalengakuutazama mgogoro waMisri sana kupitia mfumowa kwanza, ambao kwanamna fulani haujajadiliwakwa mapana na marefu.Kwa hiyo lengo la makalahaya ni kuujadili mgogoroh u o k a t i k a m r e n g omwingine.

    A n a a n d i k a S h e i k hBawaziri katika makalayake kuwa Misri baadaya mapinduzi ya 1952na Gamal Abdel Nasserk u s h i k a h a t a m u z auongozi wa nchi hiyokulikuwa na upinzanimkubwa baina ya serikaliya Nasser na chamacha Udugu wa Kiislamkilichokuwa kikiongozwana Sayyid Qutb kwa wakatihuo, wawili hawa;RaisNasser na Qutb. Walikuwa

    wakitofautiana katikamambo mengi...

    Je haya mambo mengiyawafanyayo watofautianeni yepi? Hapa ndiponinapojenga dhana yakwamba mgogoro wa Misrini mgogoro kati ya mifumomiwili inayosigana kamanilivyoeleza hapo juu,yaani mfumo wa Kiislamukuuondosha mfumo waubepari wa Magharibi navivyo hivyo mfumo waubepari wa Magharibik u u o n d o s h a m f u m owa Kiislamu, yote hayokupitia mawakala wao waDemokrasia na wa Uduguwa Kiislamu.

    Kupata undani wamsingi wa dhana hii hatunabudi kuingia ndani kidogokuona, je, wawili hao niakina nani? Walikutanavipi? Na walichotofautianani kipi? Hapa hatuna budikutazama historia zao kwaufupi.

    Mwaka 1906 oktoba9 k a t i k a k i j i j i c h aMusha alizaliwa kijanaaliyejulikana kwa jinala Sayyid katika familiaya mwanaharakati wakisiasa, Qutb. Alipataelimu yake ya mrengo waKimagharibi katika miakaya 1929 and 1933. Vile vileamewahi kuwa mtumishikatika Wizara ya Elimuya nchini Misri katikamiaka ya 1939 na historiai n a t u a m b i a k w a m b amiaka ya 1948 hadi 1950aliishi nchini Marekaniakisomea mfumo wa elimuwa nchi hiyo katika chuocha Colorado (kwa sasaChuo Kikuu cha ColoradoKaskazini).

    Historia inatuambikuwa kitabia Qutb alikuwni mwenye kupenda sankusoma hata wakati tana umri wa miaka 1

    tayri alikuwa anamilikmaktaba yake ndogyenye vitabu vipatavy25. Hivyo alivinunua kwkudunduliza pesa kidogkidogo kwa muuzaaliyejulikana kwa jina Amsaaliah.

    K a t i k a m i a k a y1950, Qutb alirudi Misakitokea huko Marekanalikokwenda kujifunzmasuala ya mitaala yelimu. Ni katika wakati huambapo (akiwa Marekanambapo mtazamo wakjuu ya mfumo wa maishunaomwongoza binadam

    ulibadilika.A l i p o w a s i l i M i sna baada ya kustaafshughuli za umma, ndipalipojiunga na chamcha Udugu wa Kiislammwaka 1951 na kushiknyadhifa za juu kabiskatika chama hicho. Lengkuu likiwa ni kufanymapinduzi na kuiongozM i s r i k u t o k a k a t i kdimbwi la Jahilliyah (jamisiyo maadili, isiyo nmfumo mzuri wa maisha

    M g o n g a n o k a t i yQutb na Nasser ni wkiit ikadi . Wawili hawalikuwa wakishirikian

    kwa karibu mno, kwanMusl im Brotherhoow a l i a m i n i k a t i kmapinduzi ya kuungoutawala wa kifalme amboulikuwa ndio kibarakwa ubepari nchini humNa matumaini mapyyakajengeka kwa viongowa udugu wa kiislamu nwafuasi wao kwamba sasni fursa ya kuijenga Mismpya itakayoongozwa nsheria za Kiislamu.

    Na miaka ya 1952, vugvugu la maofisa hurwa jeshi (free officermovement ) lililokuw

    likongozwa na Nassel i l i f a n y a m a p i n d u zna kushika hatamu zuongozi. Nasser aliyavunmatumaini ya Udugwa Kiislamu kwa kuzidkuipeleka Misri katikdimbwi la Jahilliya.

    N a s s er a l i u t u m u iuraki wao kwa manufayake na ya kikundi chakcha maosa huru na kwmaana hii aliunda kundlingine la siri lililoitwTahreer (lenye maana yuhuru) ili lifanye kazi y

    Inaendelea Uk, 1

    WAANDAMANAJI nchini Misri.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    8/12

    8AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Makala

    J E S H I l a M i s r ilimeendelea kufanyam a a n g a m i z i y a

    wananchi wasio nahatia, katika jaribiolake la kuwaondoamitaani waandamanajiwanaopinga kung'olewamadarakani kijeshi kwaRais aliyechaguliwakidemkorasia, bwanaMohammed Morsi.

    Inasemekana zaidi yawatu 2000 wameuawana vikosi vya usalamakatika kipindi cha wikimoja tu, ambapo kwamujibu wa taarifa za

    vyombo vya habari,wengi wao ni wanawake,watoto, vijana na wazeeambao walikutwa nam ajeraha ya r i s as ivifuani na vichwani.

    Vikosi vya usalamanchini Misri vimetendauhalifu mkubwa ambaohaujawahi kufanywah a t a n a m a a d u iwakubwa wa Waislamu.W a m e c h o m a m o t ohospitali ya dharurakatika eneo la Rab'aAl Adawiyah wakati

    miili ya watu waliokufana wale waliojeruhiwaikiwemo ndani. Nadhanilengo lao lilikuwa nikufuta ushahidi wauhalifu walioufanya.

    Hali hii inaonyeshakiwango cha unyamana ukatili kinachowezakufanywa na viongoziw a m a p i n d u z i y aMisri dhidi ya Siasa zaKiislamu nchini humo.Hawana hofu ha takidogo kwa uhai wa

    wananchi wao wenyewe,wala heshima kwa walewaliotangulia mbele yahaki!

    Lakini, jambo la wazikabisa, ni ule utayariw a j e s h i l a M i s r ikuendeleza umwagajidamu na maangamziya watu wanaopiganiahaki yao iliyoporwamchana kweupee, hatuaambayo inatukumbusham a a n g a m i z iy a n a y o f a n y w a n a

    Mauaji ya Misri, ni wakati wa kusimamia UislamuSaid Rajab

    Mayahudi dhidi yaWaislamu wa Palestina.

    Kufuatia mauaji hayoya kihalifu, Rais waSerikali ya mpito ya Misriakatangaza hali ya hatarikwa kipindi cha mwezimmoja . Wanadhanindani ya kipindi hicho,w a t a w e z a k u w a u ana kuwapondapondaw a a n d a m a n a j i i l iwas a l i m u am r i nakukubali utawala mpya

    wa kidhalimu.U t a w a l a a m b a oJenerali Al Sisi, akibebwana Marekani, anatakakuuweka nchini Misri

    baada ya kumpi nduaMoham m ed Mors i ,ambaye amechaguliwana wananchi wa nchihiyo.

    M a p i n d u z i y aJanuari 25 mwaka 2012,yaliyomng'oa HosniM u b a r a k , a m b a y oyalidumu kwa siku18, yalisababisha vifo

    vya takriban watu 365,wakati kwa siku mojatu Serikali kibaraka yaMisri imeua zaidi yamara mbili ya idadi hii!Watu 638 wameuawandani ya masaa 24 tu!

    Inaonekana hayani mauaji ya kisasiy a n a y o t u f a n y atukumbuke utawalawa Hosni Mubarak,ambaye alikuwa nachuki kubwa dhidi yaraia wake, hususan wale

    waliobeba bendera yaUislamu. Huu ni utawalampya wa kijeshi. Nahawa ni viongozi wam a p i n d u z i a m b a owanaendeleza unyama.Wako tayari kumwagadamu isiyo na hatia ilikufanya mapinduziy a o y a o n e k a n eyamefanikiwa.

    W a n a k u w awakali kama simbawanapokabiliana kijeshi

    na raia wao wenyewe,lakini wanyonge kamavifaranga kwa maaduiwao halisi, ambao niMayahudi na mataifaya Magharibi. Wanakulan jam a p am oja naokuhujumu taifa laowenyewe! Wamekuwawal i nz i hodar i wamaslahi ya maadui hatakwa damu ya nduguzao!

    W a n a p i g a v i t aUislamu kwa jina la"kupambana na ugaidi",

    wakati Mayahudi waliojirani nao, ambao ndiyomaadui wao wakubwa,waki wa s a l am a nawenye uhakika. Vipih a w a w a h a l i f u n awasaliti, waliomwagadamu ya Wamisri wasiona hatia, wanawezakuleta ushindi kwawananchi wa Misri?Hawa ni wahalifu nawauaji! Na MwenyeziMungu atawaadhibuhapa duniani na kesho

    akhira kwa uovu wao.Wamemwaga damu

    i s i y o n a h a t i a y aWaislamu, wanaendeshavita dhidi ya dini yaMwenyezi Mungu nawanatumikia maslahiya Marekani badala yawananchi wa Misri:

    " N a m w e n y ekumuua Muislamu kwakukusudia, basi malipoyake ni Jahannam ,humo atakaa milele;

    na Mwenyezi Mungua m e m g h a d h i b i k i an a a m e m l a a n i n aamemuandalia adhabukubwa" Qur (4:93).

    N a M t u m e w aM w e n y e z i M u n g uamesema: "KumuuaM u i s l a m u m m o j ani vibaya zaidi kwaMwenyezi Mungu kamakuangamiza Dunia yote"(Tirmidhi).

    Kauli mbiu ya viongoziwa mapinduzi nchini

    Misri ni "kupambanana ugaidi", ambapokuwapiga vita 'IkhwanMuslimin' ni kichakachao tu cha kupambanana Uislamu. Lakiniwanasahau kwambaUislamu nchini Misriuna mizizi mirefu, nahaiwezekani kung'oamizizi ya Uislamu nchinihumo. Misri ni nchi yaWaislamu.

    Insha'Allah, iko sikumfumo wa kikafir i

    u n a o t a w a l a M i s rambao unasimamiwa nMarekani na washirikwake wa Kimaghaributakoma, na kwa idhin

    ya Mwenyezi Mungmfumo wa Kiislamutasimama! Mfumambao siyo demokrasisiyo usekula na walhaushirikiani na Ukakwa namna yoyote ile

    Jambo la msingi nkwa Waislamu wa Miskutam bua kwam bkuzingatia maagizo ntaratibu za MwenyezMungu, ndiyo njia pekeya kujipatia ushindi nheshima. Misri inahitaUislamu katika utawana siyo tu Waislam

    kuongoza mfumo wkisekula. Suala haps i yo nani ana i ngimadarakani, bali nmfumo gani unatawalnchi hii ya Waislamu.

    Kufuatia kupinduliwkwa Rais MohammeM o r s i n a d a r siliyopatikana, Waislamwa Misri wana kazngumu ya kuung'outawala wa kidhalimk u t o k a k w e n ym i z i z i n a m a t a wyake. Wanahita j ikkupambana na kulet

    mapinduzi kamili yK i i s l a m u . H a w a nsababu tena ya kujichkwenye vichaka vyd e m o k r a s i a w a lusekula. Wameshaonm a d h a r a y a k e , nWaislamu hawaumwna nyoka mara mbikwenye shimo moja:

    "Mwenyezi MungA m e w a a h i d i w a lwalioamini miongonmwenu na kufanyvitendo vizuri, kuwAtawafanya makhalifka t i ka ardhi kamA l i v y o w a f a n ym a k h a l i f a w a lwaliokuwepo kablyao, na kwa yakinAtawasimamishia dinyao Aliyowapendeleana Atawabadi l ishiamani baada ya hofu yaoWawe wananiabuduh a w a n i s h i r i k i s hn a c h o c h o t e . Nwatakaokufuru baadya hayo; basi hao ndiywavunjao amri zetuQur(24:55).

    WAANDAMANAJI nchini Misri

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    9/12

    9AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Habari

    WAISLAMU kupitiaJumuiya ya AkhlaaqulIslaam (JAI), kitengocha Afya na Ustawi waJamii mwishoni mwawiki wamechangia

    damu kwa wagonjwa,k a t i k a z o e z ilililofanyika katikahospitali ya Rufaa yaTemeke jijini Dar esSalaam.

    T u k i o h i l olilihudhuriwa na NaibuMeya wa Manispaa yaTemeke Juma Mkenga,kwa niaba ya Mkuuwa Wilaya hiyo SofiaMjemwa.

    Binafsi nimefarijikasana kuona muamkohuu wa Waislamu kwa

    jamii, nimefurahishwa

    na akina mama ambaowamejitokeza katikazoezi hili, wanastahilikuungwa mkono na

    jamii kwa ujumla kwakitendo hiki, ni mfanom zur i unaos tahi kikuigwa na akina mamawengine popote katika

    jamii yetu. Al isem aNaibu Meya huyo.

    Aidha aliikumbushaj a m i i k wa u j u m l aumuhimu wa kuchangiad a m u k w a h i y a r i ,kwani kitendo hichoni cha kuokoa maisha

    ya wagonjwa wenyekuhitajia huduma hiyoya damu.

    Naye Dr. StanleyLwiza, wa hospitaliy a T e m e k e a k i t o ashukurani zake kwaWaislamu hao alisema,h o s p i t a l i y a k e w ainathamini mchangona misaada pamoja na

    j it ihada mbali mb aliz i n a z o f a n y w a n awanajumuiya wa JAI.

    Kwa upande wake,Meneja maabara wahospitali hiyo Grace

    M a l i v a , a l i s e m amuitikio ulionyeshwana Waislamu hao nimkubwa na kushaurielimu zaidi ya kuchangiad a m u i n a h i t a j i k akutolewa katika jamiiili kuwajengea moyozaidi wa kujitolea.

    Alisema takwimuz i n a o n e s h a k u w awanaohitaji damu zaidini akina mama, ambaokutokana na uhaba wadamu hupoteza maishakwa kukosa huduma

    Wachangia damu

    hospitali Temeke

    Na Abdulkarim S.Msengakamba

    hiyo.Alisema takribani

    akina mama zaidi yawanne hupoteza maishakwa siku kwa kukosadamu.

    Wakati mwinginehulazimika kukamatawatu kwa ajili ya kutoadamu bila ya kujali

    m p a n g o w a d a m usalama, jambo ambaloni kinyume na utaratibu,l a k i n i h u l a z i m i k akufanya hivyo kwa ajiliya kuokoa maisha yaakina mama hususaniwa pale wanapojifunguaambapo hupoteza damukwa wingi sana.

    Hata hivyo aliwaasakina mama kuhamasikakujitokeza zaidi katikamazoezi ya kuchangiadam u kwani aki namama wenzao ndiowahitaji wakubwa wahuduma hiyo.

    K a t i k a r i s a l a y aJumuia hiyo iliyosomwa

    Amir wa jumuiya wilayya Temeke Ust. SaaAhmed Salim aliuombuongozi wa hospitahiyo kuwapatia chumbk i t a k a c h o t u m i kkuhifadhia vifaa vykazi za kila siku z

    Jumuiya hiyo sambambna kuhifadhi dawaam bazo huwap at iwagonjwa waliolazwkwenye hospitali hiyo

    Kufuatia ombi hiloN a i b u M e y a J u mM k e n g a , a l i a g i zuongozi wa hospitah i y o k u a n g a l iuwezekano wa kutengchumba kimoja kwajil i ya shughuli zkihuduma za Jumuiyhiyo.

    Amir huyo alisemjumuiya ya Waislamkitengo cha afya n

    ustawi wa jamii JAI, nTaasisi isiyo ya serikaambayo ina zaidi ymiaka mitano tangkuanzishwa kwake.

    Taasisi hiyo inafanykazi zake bega kw

    bega na watumishi wserikali katika kitengcha Afya na Ustawi w

    Ja mi i ka ti ka maen ey a H o s p i t a l i n i nmajumbani.

    A l i e l e z e a k u wJumuiya hiyo inatambuhali halisi ya maishy a M t a n z a n i a n

    kupanda gharama zmatibabu, dawa nvifaa mbalimbali vytiba, hivyo kwa dhakabisa kwa kutumikauli mbiu zake zaH u r u m a - U p e n d oi m e k u s u d i a k u t ohuduma zote stahikkwa wagonjwa wa jinsizote, madhehebu yotwaliopo mawodini nmajumbani.

    Amir Salim, aliongezkuwa jumuiya yao hutohuduma zake kila sikambazo ni kuwaombe

    d u a n a k u w a f a r iwagonjwa, kuwanunulidawa zinazokosekanm a h o s p i t a l i n ik u w a f a n y i a u s a fkatika hali zote stahikkuwapatia chakulk w a n y a k a t i z o t ehususani kwa walambao hawama ndugu

    jamaa, ambao inatubidkuwahudumia kwa kwhali na mali.

    Katika zoezi hilojumla ya unit 300 zdamu zilikusanywa.

    ZOEZI la uchangiaji damu likiendelea hospitali ya Temeke.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    10/12

    10AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201Mashairi/Makala

    Hodi hodi mhariri, si wa gazeti la giza,Bali wa letu AN-NUUR, lenye angavu mwangaza,Kuna jambo nakiri, naomba kulidokeza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Uvivu niwape siri, tunaouendekeza,Wa kushindwa kukiri, hali ya kuwa twaweza,Nd'o unotuathiri, pamwe na kutudumaza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Wengi likizo nadhari, zetu tumeziwekeza,Wachache wanotughuri, kadiri wanavyoweza,Badala wanakiri, yetu nasi twafatiza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Kheri wakiita shari, nasi nyuma twafatiza,Shari wakiwamba kheri, kadhalika twachagiza,Kwa mgando tafakuri, vyovyote watugeuza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Waizushapo habari, papo hapo twaimeza,Mia kwa mia twakiri, pasi hata kuchunguza,Kadhalika kukiri, twameza na kueneza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Twajiona maayari, kwa puya kuhanikiza,Sote yatatuathiri, madharaye nawajuza,Kwazo ikifuka nari, sote yatuteketeza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Tuchukue tahadhari, kwa kutokuhanikiza,Tumezeshwazo habari, pasi kwanza kuchunguza,Kwanini zetu kari, likizo twaziwekeza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Kwa uvivu kukhitari, wa kutokujizoeza,Kila mtu kukiri, kadiri anavyoweza,Taifa la tafakuri, muhali kutengeneza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Ni yako sasa hiari, kujali au kubeza,Lengo langu kushauri, na si kukung'ang'aniza,Ila ni kubwa hatari, endapo utapuuza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Kaditamati akhiri, nimeka kueleza,Akali ya kukiri, leo yanatosheleza,Kalamu ya tafakuri, haina la nyoongeza,Utajatuangamiza, uvivu wa kukiri.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    UVIVU WA KUFIKIRI !

    1.Imerudi ulingoni, idhaa yetu nchini,Imerudi ulingoni, kwa Bara na Visiwani,Imerudi ulingoni, nyote ninakujuzeni,Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

    2.Imerudi ulingoni, idhaa ya waumini,Imerudi ulingoni, kipenzi cha waumini,Imerudi ulingoni, si nyingine ni IMANI,Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

    3.Imerudi ulingoni, natoa kwenu ilani,Imerudi ulingoni, wiki jana si zamani,Imerudi ulingoni, mijini na vijijini,Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

    4.Imerudi ulingoni, kwa habari za yakini,Imerudi ulingoni, zisizo na walakini,Imerudi ulingoni, zimridhizo Manani,Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

    5.Imerudi ulingoni, kwa elimu ya yakini,Imerudi ulingoni, iso shaka maishani,Imerudi ulingoni, yenye jazaa ufuni,Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.

    6.Imerudi ulingoni, kwa za kheri burudani,Imerudi ulingoni, Imerudi ulingoni,si za rajimi shetani, Imerudi ulingoni,zidakhilizo nirani, Isharejea hewani,REDIO yetu IMANI.

    7.Imerudi ulingoni, idhaa yetuIMANI, Imerudi ulingoni, lengo ni kukujuzeni,Imerudi ulingoni, kalamu naweka chini,Isharejea hewani, REDIO yetu IMANI.REDIO yetu IMANI, isharejea hewani.

    ABUU NYAMKOMOGI.MWANZA.

    IMERUDI ULINGONI !!!

    Tuseme ukweli kuhusu mgogoro wa MisriInatokaUk. 7

    kukichafua chama chaUdugu wa Kiislamui l i a t a k a p o s h i k amadaraka brotherhoodkilichokuwa maarufu

    sana miongoni mwaWamisri kiwe na chakusema.

    Lakini hakuna siriitakayodumu milele.Na ikafika wakatia m b a o Q u t b n aMuslim Brotherhoodyake wakatambuawalikosea kushirikianana Nasser na ndipoulipokuwa mwisho wauhusiano wao. Nassera k a f a n y a j u h u d inyingi tu kumshawishikwa nafasi kadhaaserikalini ili Qutb arudiila ikashindikana,

    Nasser amenukuliwaakisema; We will giveyou whatever positiony o u w a n t i n t h egovernment, whetherit's the Ministry ofEducation, Ministryof Arts, or any positionyou want.

    N a k w a h i y omwaka 1954 ulikuwani m w aka m bayakwa wanachama waUdugu wa Kiislam.Ni w akat i am baoQutb alikamatwa nakufungwa jela kwatuhuma za kupangamauaji dhidi ya Nasser,kamata kamata hiyoiliwaandama mpakawafuasi wengine kamaakina Zainabu Ghazalwaliokuwa kunyumena serikali yake.

    K w a m a a n ahii, tofauti kati yaNasser na Qutb ni yakimtizamo, historiainatuambia kwambaQutb anaamini kuwa

    jamii yeyote ile ambayouongozi wake haufuatisheria ya MwenyeziMungu haiwezi kuwaya Ki is lam u hatakama wao wanajiita ni

    Waislam, na wanasali,wanfunga na wanahiji.Qutb anasema; Thus,a s o c i e t y w h o s elegislation does not reston divine law (shari'atallah) is not Muslim,however ardentlyits individuals mayproclaim themselvesMuslim, even if theypray, fast, and maket h e p i l g r i m a g e . N a m w a k a 1 9 6 6ikawa ndio mwishoSayyid Qutb ambayealihukumiwa kifo

    kwa kunyongwa naaliyekuwa mshirika

    wake mkuu GamalAbdel Nasser.Suala la msingi hapa

    ni kuwa Udugu waKiislamu wanaitakaMsiri itakayoongozwana sheria za Kiislamuwakati hawa wenginewanataka Misri yakisekula, Misri yak i d e m o k r a s i a y aMagharibi. Hii ndiotofauti kubwa baina yamifumo hiyo mawili.

    K w a m u d a w anusu karne sasa kundilenye m r engo w aUdugu wa Kiislamul i m e k a n d a m i z w amno. Juhudi nyingizimefanyika kuzifutafikra za Udugu waK i i s l a m u l a k i n iim esh idikana , napengine ni kwa sababuwaliwekeza mawazoyao ka t ika w atu ,waliwekeza katikamafunzo na hivyoyataishi milele.

    Hapa nitapishanakidogo mtazamo namwandishi SheikhBawaziri ambae yeyea n a a n d i k a k u w aMisri imegawanyikak a t i k a m a k u n d i

    m a t a t u m a k u u .Kundi linalomuungamkono Morsi (raisialiyepinduliwa naaliyechaguliwa kwauchaguzi huru), kundilinalompinga Morsi nakundi pekee la Jeshi.

    Nayaona Makundimawili tu pale Misri,kundi l ina loungamkono sera za IkhwaniAl Muslimyn na kundilinalounga mkonoubeberu wa Magharibikwa kujivika kilembacha demokrasia, nalo

    hili linaundwa na Jeshina wananchi huku kila

    mmoja akifanya nafasiyake.Na ndio m aana

    n a k u b a l i a n a n aSheikh Bawaziri katikamakala yake ya tarehe30 Agosti katika gazetila kisiwa yenye kichwacha makala ni nanialiyeweka mipaka hiikatika Demokrasia?,Bawazir anaandika; M a a n d a m a n oy a l i y o f a n y w a n awapinzani wa Morsiyalionekana ni halali,h a k u n a b u n d u k iiliyoelekezwa kwaon a w a l a h a k u n ay e y o t e a l i y e d a ikwamba ni magaidi.Lakini maandamanoy a w a f u a s i w aM o r s i w a l i o t a k araisi wao arejeshwemadarakani, hayohayakuonekana kuwani nguvu ya umma.Bali waandamanaji haowalionekana kuwa nimagaidi wanaoipingaserikali iliyowekwamadarakani na mtummoja tu kwa nguvuya jeshi.

    Kwa mtizamo huukinachoendelea Misri

    ni msuguano bainaya mifumo miwili yaUislam na Ubeberu.

    Lakini vile vilenakubaliana na SheikhBawazir katika makalayake hayo kwambahofu ya mfumo waubeberu ni Uislamwa aina yoyote ile,Uislam siasa kali, siasapoa siasa zozote zile!Na hatima yake nikuangusha dola lolotelenye mrengo huo.

    Kimsingi serikaliya Morsi isingewezakufanya lo lote la

    m a a n a n d a n i ykipindi ilichokuw

    madarakani, au ndanya kipindi ambachingekuwa madarakani w e k u i n d e l e zMisri kiuchumi akujenga sera zake zUdugu wa KiislamuI n g e l i i c h u k uMisri miaka mingkufanikiwa katikmoja kati ya hayoKwanini?

    Kiuchumi, Misbado ni tegemezi nimekuwa ikipokemisaada mingi tkutoka serikali zmagharibi. Ambaynayo ilifutwa badya Mor s i kuingimadarakani.

    Lakini pia ni ngumMisri iliyojaa rushwna dhulma kupighatua ndani ya kipincha mwaka mmoja, kazi ndogo kuusashmfumo uliotamalakkatika kila kona ynchi.

    Na hata kiitikadingelichukua pia mudmrefu wa kwa Morkuzijenga sera zake zudugu wa KiislamuKwani hali ilivyo sasni kama nusu kw

    nusu, hii ingeifanyser ika l i ya Morkuwekeza nguvu yziada katika kuliendelengo hilo (kama kwendio lengo la Udugwa Kiislamu).

    Sasa hofu yote hii nya nini? Nguvu yote hni ya nini? Wanaoumni wananchi wasina hatia yoyote ilN i w a k a t i k wdola za Magharibkuwasikiliza wamiswanataka nini kupithiyo hiyo demokrasi

    (madoler@hotmaicom-0717 003 530).

    WAANDAMANAJI nchini Misri.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    11/12

    11AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 201

    QURAN surat Munafqunaya ya kwanza inasema,Wanapokujia wanafikihusema: Tunashuhudiaya kuwa, kwa yakini weweni Mtume wa mwenyeziMungu. Na MwenyeziMungu anajua kuwa wewe niMtume wake na MwenyeziMungu anashuhudia yakuwa hakika wanafikini waongo, (wanasemawasiyoyasadiki).

    Aya hii aliinukuu Katibuwa Jumuia ya Wanazuoniwa Kiislamu nchini (Hayat)Sheikh Mohammed Issa,wakati alipokuwa akihojiwana waandishi wa habari mara

    baada ya Mufti wa Bakwata,Sheikh Issa Shaaban Simba,kutangaza kuteua Kadhi nawasaidizi wake Julai mwakajana mjini Dodoma.

    Baada ya kunukuu ayahiyo, Sheikh Issa alifafanuakwamba, awali wakati MuftiSimba anawateua wajumbewa Kiislamu kuunda Kamatiya kushughulikia mchakatowa kuanzishwa Mahakamaya Kadhi nchini, aliwaelezaba ad hi ya wa ju mb e ha okwamba anamfahamu vizuriSheikh Simba, kwamba sikiongozi wa kuaminikakatika kufanya maamuzikwani anaweza kubadilikawakati wowote.

    Alisema anamfahamuvizuri kwa sifa hiyo tangua l i p o k u w a S h e i k h w aBakwata mkoa wa Shinyanga.

    Sheikh Mohamed Issaalisema kutokana na tabiahiyo ya Mufti, aliwahakikishiaba adh i ya wa ju mb e waKamati ile kuwa hawatakapale walipokusudia kwakuwa Mufti atawageuka.

    Maneno hayo ya SheikhMohammed Issa, aliyatoabaada ya Muft i S imbakutangaza kuteua Makadhimjini Dodoma Julai mwakaja na , wa kat i Ka ma ti yaKushughulikia Kurejeshwamahakama ya Kadhi nchiniikiwa haina taarifa jambo

    lililowashangaza Waislamuwengi.

    Ikiwa ndio umetimiamwaka mmoja tangu MuftiSimba, alipoamua kuipuuzaKam at i ya p am o ja yaWaislamu iliyokuwa imepewajuk umu la kus hug hul ik iamchakato wa kuanzishwaMahakama ya Kadhi nchinina kuamua kuteua Makadhiwake, sasa anaililia serikalikwa kutowatambua kisheriaMakadhi aliowateua.

    M u f t i S i m b a a l i t o amalalamiko hayo wakatiw a l i p o z u n g u m z a n aw a a n d i s h i w a h a b a r imwishoni mwa wiki iliyopita

    Sheikh Simba alia kupuuzwa Makadhi wakeSerikali, Tume ya Katiba zalaumiwa

    Aliyosema Sheikh Mohamed Issa yametimiaNa Shaban Rajab jijini Dar es Salaam.

    Aliilaumu serikali kwakutowatambua Makadhihao na vilevile kupuuzamaoni ya Waislamu yak u t a k a M a h a k a m a y aKadhi na wadhifa wa Kadhikutambuliwa kikatiba ndaniya rasmu ya Katiba.

    Alisema licha ya jamiiya Waislamu na taasisi zaokuwasilisha maoni yao kwaTume ya kuratibu maoniya Katiba mpya, ya kutakakuwepo mahakama ya Kadhiinayotambulika kikatiba,bado Tume hiyo imepuuzam a o n i y a o k i a s i c h akukosekana katika rasimuhiyo ya katiba mpya.

    Hata hivyo l is is it izakwamba bado atajitahidikuwasilisha maoni zaidi juuya suala hilo.

    Itakumbukwa kwambaJu la i mwak a ja na ak iwaDodoma, Mufti Simba huyohuyo katika hali ambayohaikuratajiwa na Waislamuw e n g i n c h i n i , g h a f l aalitangaza kumteua KadhiMkuu na wasaidizi wakewawili na baada ya hapo,aliwateua Makadhi wengine14 wa mikoa huku akiahidikuteuwa Makadhi wenginewa mikoa iliyosalia na waWilaya.

    K a t i k a u t e u z i h u o ,Sheikh Abdallah Mnyakialitangazwa kuwa KadhiMkuu wa Mahakama ya

    Kadhi Tanzania Bara.M a s h e i k h A b u b a k a r

    Zuberi na Alli Muhidini,walitangazwa kuwa ndiowasaidizi wa Kadhi Mkuu.

    Uteuzi huo ulifanyikab a a d a ya k u m a l i z i k akwa kikao cha siku mbilik i l i c h o w a k u t a n i s h aMasheikh wa Bakwata waMikoa na Wilaya kutokaTanzania Bara.

    Baada ya kuchaguliwa,Sheikh Mnyaki, Mufti Simbaaliwataka Waislamu kuwa naumoja pamoja na kushirikizoezi la Sensa na kuwatakawapuuze kauli ambazozimekuwa zikitolewa nataasisi za Kiislamu na badala

    yake aliwataka Masheikhkumpa ushirikiano KadhiMkuu ili aweze kutekelezamajukumu yake kikamilifu.

    Ni jambo l i l i lo wazikwamba, wakati Mufti Simbana Bakwata kwa ujumlawanachukua hatua ya kuasiKamati iliyoridhiwa naWaislamu, walitambua kuwaMakadhi hao wasingekuwana nguvu zozote za kisheriazaidi ya kubaki na majina yaotu huku wakiishia kupuuzwasio na serikali tu, bali hata naWaislamu wenyewe.

    T u j i k u m b u s h e t ukwamba kabla ya MuftiS imba kuchukua hatua

    h iyo ya h araka , awal i

    iliundwa Kamati ya pamojail iyo jumuisha viongozimbalimbali wa taasisi zaKiislamu nchini na wajumbekutoka serikalini chini yaWaziri Mkuu Mizengo Pinda,kwa ajili ya kushughulikiam c h a k a t o m z i m a w akuanzishwa Mahakama yaKadhi nchini.

    Wajumbe wa Kiislamuwalitaka mahakama hiyoiendeshwe kwa gharamaza s er ika l i kwa kuwaWaislamu nao ni walipakodi na sehemu ya jamii yaTanzania inayohitaji hudumaya kijamii ya serikali.

    Aidha walitaka mahakamahiyo ipewe nguvu kisheriakwa kutambuliwa na katibaya nchi ili isije kupuuzwa nakudharauliwa kwa kukosanguvu za kisheria.

    Wajumbe wa Kiislamuwalitambua kuwa iwapoh i l o l i s i n g e f a n y i k a ,b a s i m a h a k a m a h i y oi s i n g e h e s h i m i w a n ahukumu za mashauri yakeyas in geh es h im iwa p iakwakuwa yasingetambuliwakisheria.

    Hata hivyo Maaskofuwalikuja juu na kusisitizakwamba hawawezi kukubaliserikali kutumia fedhaza watu wa imani zotehudumia Waislamu pekeena kuongeza, mahakama yakadhi kutambuliwa na katiba

    ni sawa na kuisilimishanchi hivyo hawakubalikuanzishwa mahakama hiyo.

    Waislamu nao walihojikuwa, kama kanisa na serikaliwanatambua hilo, iwejeserikali hiyo hiyo ikasainimkataba kati yake na Kanisawa mwaka 1992, ambaounairuhusu serikali kutoafungu la fedha za walipakodi wakiwemo Waislamu,kwenda kwa makanisa kwaajili ya kugharamia hudumazinazotolewa na kanisa.

    Hoja hizo na msiamo waMaaskofu uliifanya serikalikupiga danadana suala lakuanzishwa mahakama yaKadhi hadi leo.

    Itakumbukwa kwambamwezi Juni mwaka jana,Serikali ilisema uanzishwajiwa Mahakama ya Kadhiitakayoshughulikia migogorona masuala mbalimbali yaustawi wa Waislamu nchiniumekia katika hatua nzuri.

    Waziri Mkuu, MizengoPinda, alisema hayo wakatiakijibu hoja za wabungezilizojadili kwenye hotubaya bajeti ya Osi ya WaziriMkuu na Wizara na Taasisizake kwa mwaka wa fedha2012/2013.

    Alisema itaanzishwawakati wowote baada yamaandalizi kukamilika na

    MUFTI wa Bakwata, Sheikh Issa Shaaban Simba.

    kwamba, utekelezaji wakeuko katika hatua nzuri baadaya kamati ndogo iliyoteuliwana Waziri wa Katiba naSheria, yenye wawakilishi waWaislamu na Serikali imetoataarifa yake ya mwanzo yanamna ya kuanzishwa kwaMahakama ya Kadhi.

    Waziri Pinda alibainishaw a z i k w a m b a m a m b oyatakayoshughulikiwa namahakama hiyo ni pamoja namashauri ya ndoa na talaka,mirathi, wosia, usuluhishiwa migogoro ya Kiislamu,hiba/zawadi/ tunu, wakfu namalezi ya watoto na kwamba,Mahakama hiyo haitahusikana mashauri ya jinai.

    Waziri Mkuu alisemabungeni kwa mba KamatiKuu inayojumuisha viongoziwa waumini wa Dini yaKiislamu na Serikali chiniya Uenyekiti wake, kimsingiimekubaliana kwa kauli mojauanzishwaji wa Mahakamahiyo Nchini itakayokuwa njeya mfumo wa serikali.

    A l i o n g e z a k u w akulikuwepo na umuhimuna dhamira ya kweli yakuanzisha Mahakama yaKadhi Tanzania Bara.

    Pinda alikuwa akijibuhoja za wabunge waliotakakufahamu maendeleo yaMahakama hiyo, wakitakaSerikali itimize ahadi yakehiyo ambayo ipo katika Ilaniya Uchaguzi ya CCM.

    Wabunge hao walikuwa niHamad Rashid Mohammed,Rashid Ali Abdallah, AhmedJuma Ngwal i na Hus seinNassor Amar.

    Aidha alisema katika kikaochao cha mwisho cha pamoja

    kati ya Serikali na ujumbe wwawakilishi wa Kiislamkilichofanyika Machi mwakjana kwamba, walikubaliankuwa baadhi ya wajumbkutoka upande Waislamu nSerikali wakafanye ziara ymafunzo katika nchi za IndiUingereza, Kenya na baaday

    Zanzibar ili wakajifunznamna ya kuratibu nkuendesha Mahakama zKadhi katika nchi hizoambazo zina Mahakama zKadhi kwa muda mrefu.

    Alisema wataalamu wkuanzisha mahakama hiywatakwenda nchini KenyIndia, Uingereza na Zanzibkujifunza jinsi ya kuanzishchombo hicho na kwambziara hiyo itagharamiwa nserikali.

    Hata hivyo wakati haik iwa h iv yo , kabla ykufikiwa makubaliano ykuanzishwa mahakama hiyMufti Simba na Masheikh wMikoa Bakwata walikutanmjini Dodoma na kutangazuteuzi wa makadhi.

    Mufti Simba alifanyhivyo bila hata kuwasilianna kamati ya wawakilishwa Waislamu katika kujadsuala hilo na kuvurugm c h a k a t o m z i m a ykuanzishwa Mahakamya Kadhi inayotambulikkikatiba na mchakato mzimukaishia hapo.

    Hadi leo si Mufti Simbwala Waziri Mkuu Pindaliyezunfgumzia kuanzishwmahakama ya Kadhi tena.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1089

    12/12

    12AN-NUU

    SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 20112 MAKALA

    AN-NUUR12 SHAWWAL 1434, IJUMAA SEPT. 6-12, 2013

    Tanzania Muslim Hajj TrustSafari ya Hijja 2013

    Uandikishaji unaendelea gharama za Hijja ni dola zaKimarekani $ 4200. Safari ni tarehe 5 na 7 Octoba, na

    Kurudi Tarehe 27 na 28 Octoba, 2013.Wahi kujiandikisha Sasa.

    Uandikishaji wa Hijja Zijazo 2014, 2015 kwa Kulipiakidogo kidogo, unaendelea.

    Simu: 0717 000 065, 0784 222 911,

    0754 304 518, 0754 498 888Au kupitia Tovuti yetu. www.hajjtrusttz.org.

    SERIKALI imetanabaishwakuyatafut ia ufumbuziwa kudumu madai yaWaislamu nchini ambayoya m e w a s i l i s hw a kw anyakati tofauti ili kuepushamsuguano uliopo sasa.

    Hayo yamesemwa naUstadhi Suleiman Daud,akiongea na An- nuur,akizun gum zia h a l i yamvutano baina ya Serikali,Masheikh na Waislamuunaondelea sasa.

    Ust. Daud, alisema haliiliyopo sasa inatokanana Serikali kushindwakuyata f ut ia u f um buzim a d a i y a W a i s l a m un a s as a wan ap o am uak u i t a h a d a h a r i s h aw a n a s a k a m w a k w auchochezi.

    Hali hii inatokana naSerikali inayojinadi kuwani sikivu na adilifu, lakiniinapuuza kabisa kuyafanyiakazi madai ya Waislamu nakujaribu kutaka kuwazibam d o m o kwa kutum iavyombo vya dola, jamboam balo n i h atar i kwamustakabali wa Taifa hili.Alisema.

    U s t . D aud , a l i s em akimaumbile binaadam,anapohisi kuonewa naakakisha malalamiko yakesehemu husika ili apateufumbuzi kisha akapuuzwana kukia hatua akashindwakuona wapi apeleke madaina malalamiko yake, hukamahali akasema, sasa basi,liwalo na liwe.

    Ust. Daud, aliye Amirwa Mkoa wa Dar es Salaamwa Kamati ya KuendelezaUislamu, al isema hivisasa madai ya WaislamuSerikali yanaonekana kuwani uchochezi kabla hatakuyajadili au kuyafanyiautati.

    Ust. Daud, al isemaikiwa madai ya Waislamuni uchochezi bila shaka( W a i s l a m u ) w o t ewatafunguliwa mashitaka.

    Alisema, kwa mujibuwa Katiba ya nchi hii,Waislamu wana haki nawajibu wa kutendewa hakikama ambavyo Serikaliinavyowatendea makundimengine.

    Amir Daud, al isemaW a i s l a m u w a n ak u m b u k u m b u k u w aw a l i u n d a m a k u n d iy a l i y o w a w a k i l i s h aWaislamu kuwasil ishamadai yao Serikalini moja

    Serikali itende hakiNa Bakari Mwakangwale

    Ustadhi Suleiman Daud.

    kwa moja achilia mbalim a d a i w a n a y o y a t o akupitia majukwaani namakongamano.

    Alisema, mwaka 1998,Baraza Kuu la Jumuiya na

    Taasisi za Kiislamu Tanzania,lilikisha madai ya WaislamuSerikalini, dai la msingililikuwa ni kutaka kufahamuau kupata ufafanuzi kutokaSerikalini juu ya Tume yaMajeshi ya Kanisa KatolikiNchini.

    Mpaka sasa Serikalihaijatamka kauli yoyote juuya suala hili, ukihoji hayaunaambiwa unachochea,unahatarisha amani ya nchi.Alisema Amir Daud.

    Akasema, mwaka 1999,Hal im as h aur i Kuu yaWaislamu, iliorodheshamadai ya Waislamu, namapendekezo ya njia stahiliya kuchukua ili kuondoa

    s in to f ah am u ba in a yaWaislamu na Serikali yao,madai haya alikishiwa kwaRais wa wakati huo MzeeBenjamin Mkapa.

    Lakini Rais huyo waawamu ya tatu, alitoa majibukuwa matatizo ya Waislamuni ya kihistori, hivyo alidaikuwa ina maana kwambahawezi kuvuruga historia yakupuuzwa Waislamu nchini.

    Amir Daud alikumbushakwam ba Mwaka 2011li l i fanyika Kongamanokatika ukumbi wa DiamondJ u bi l e e , l i l i l o ku s a n yaWaislamu wa nchi nzima,chini ya Kamati Maalum

    y a M a k o n g a m a n o y aMfumokristo.

    Alisema, Kamati hiyoilitoa kitabu chenye orodhaya madai ya Waislamu, nakwamba karibia ofisi zote

    za Serikali zilifikishiwakitabu hicho, kuanzia Osiya Waziri Mkuu mpakaWabunge wa Bunge laJamhuri ya Muungano waTanzania.

    Mp aka leo h akun akiongozi yeyote wa Serikaliau Mbunge aliyesimamakutoa au kutaka ufafanuzidhidi ya madai hayo yaWaislamu. Sasa katikahali kama hii unategemeaWaislamu wafanye nini.Alisema Amir Daud.

    A l i s e m a , m a d a i y aWaislamu kwa ujumla ni yamsingi kwa mustakabali waTaifa hili, lakini yanakaliwakimya ama kupuuzwa, kisha

    akasema, Serikali husimamana kujinadi kuwa ni sikivuna adilifu, akahoji ni uadilifugani huo wa kupuuza madaiya moja ya kundi katikamakundi ya raia wake.

    Alisema, katika kadhia yawanafunzi wa Kiislamu waShule ya Sekondari Ndanda,kufukuzwa Shule kwasababu za chuki ya udini,Serikali iliwaita viongoziwa Baraza Kuu la Jumuiyana Taasisi za Kiislamu,kuzungumzia kadhia hiyo.

    A l i s e m a M a s h e i l k hch in i ya A m ir Mus s aKundecha, waliitikia witohuo wakiwa na orodha

    ya madai ya Waislamu najinsi wanavy opu uzwa nakusababisha yote hayomfano wa kadhia hiyo yaWanafunzi wa Ndanda.

    Akahoji, ikiwa Serikaliinapelekewa matatizo ya raiawake ili iyatafutie ufumbuzi,wao (Serikali) hawatakihata kufanya mjadala,wanategeme Masheikh haowakisimama jukwaani mbeleya Waislamu watasema nini.

    Alisema, kupitia MoU,Serikali inatoa mabilioni yapesa kuyapa Makanisa kwaajili ya kuendeshea miradiyao, ilihali Serikali inajuakuna makundi mengine yakiraia lakini imeyapuuzana kuidhinisha kinyemelakundi hilo moja kupewapesa hizo.

    Waislamu, wamekuwa

    wakihoji siku zote suala himajibu yake ni kuonekankuwa ni wachochezi, na saili Masheikh wasiseme haySerikali inaona ufumbuwake ni kuwapigwa risasiAlisema Amir Daud.

    Alisema, si hayo tu kuntukio la kuuwawa Waislamkatika kadhia ya Msikiti wMwembechai, pamoja nWaislamu kupeleka madyao ili iundwe Tume hurya kuchunguza mauaji haySerikali imewapuuza.

    Akizungumzia madya Waislamu Serikalinkuhusu Baraza la Mitihanla Taifa, Amir Daud, alisemWaislamu wamelalamikmuda mrefu juu ya namnvijana wa Kiislamu wanavyfelishwa, lakini alidai pwalipuuzwa.

    NEW YORKNaibu wa Katibu Mkuuwa Umoja wa Mataifaa n a y e s h u g h u l i k i aMasuala ya Kisiasa,J e f f r e y F e l t m a n ,amekaribisha uamuziwa kushiriki RaisHassan Rohani waIran katika mkutanowa 68 wa Baraza Kuula Umoja wa Mataifautakaofanyika mweziujao.

    Feltman amesemah a y o a l i p o k u w aa k i z u n g u m z a n aMuham m ad Mehdi

    Akhoundzadeh, NaibuWaziri wa Mambo yaNje anayeshughuliakiamasuala ya kimataifa naSheria.

    Feltman pia amesifuushirikiano wa siku zanyuma na wa sasa katiya Iran na taasisi hiyo yakimataifa katika kulindamazingira, mabadilikoy a h a l i y a h e w a ,masuala ya wakimbizi,kupambana na biasharaharamu ya dawa zakulevya, kushirikiana na

    UN yamkaribisha Rais

    Rohani mkutano Baraza KuuUrusi yatoa tahadhari kwa Marekan

    Kamati ya Kimataifa yMsalaba Mwekundu nkuwasaidia wakimbizwa Afghanistan na Ira

    K w a u p a n dwake, Akhoundzadam es i s i t i za juu yulazima wa kuendelezwushirikiano wa Irana Umoja wa Mataifkatika kutatua migogorinayoendelea katikeneo la Mashariki yKati, hasa mgogoro wSyria.

    Rais Hassan Rohaniwa Iran.