annuur 1111

17
ISSN 0856 - 3861 Na. 1111 RABIUL THAN 1435, IJUMAA , FEBRUARI 7-13, 2014 BEI TShs 500/=, K shs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz  Tupo Mwananyamala Islamic Club Kona ya Makumbusho Dar es salaam. Tunaendelea Kusajili wanafunzi wa Q.T, Reseaters O-Level, waliofeli Kidato cha Pili na Kidato cha nne. Kwa mawasiliano zaidi tutembelee Shuleni au piga simu 0767 307 607, 0783- 723 312 au 0652 010 136. Pata elimu Bora kwa Gharama Nafuu.  SEKONDARI YA JIONI ( MESS) Inatangaza nafasi za masomo 2014 Polisi wavamia Darsa Msikitini Waumini sita wauliwa ndani ya Msikiti Ilikuwa kama Masjid Mbuyuni, Zanzibar Mama akoswa risasi akiokoa watoto Polisi wadai ni maga idi wa Al Shabab  V ion g o z i Uamsho  wakwa ma ger ezani Masharti hayatekelezeki Wakili kurudi Mahakamani UONGOZI wa M si ki ti wa Mt amb ani Kinondoni, Jijini Dar es Salaam, umewaonya Masjidi Mtambani watoa onyo kali kwa w avurugaji Na Bakari Mwakangwale wale wanaoleta chokochoko katika Msikiti huo kwa lengo la kuvuruga malengo na mipango ya maendeleo ya Waislamu. Uk. 5  ASKARI wa Kenya w alipovami a Masjid Mussa, Mombasa pichani juu na chini. SHEIKH Farid Hadd (kushoto) akiwa na Sheikh Mselem.

Upload: anonymous-x8qgwff

Post on 12-Apr-2018

986 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 1/16

ISSN 0856 - 3861 Na. 1111 RABIUL THAN 1435, IJUMAA , FEBRUARI 7-13, 2014  BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

www.annuurpapers.co.tz

 Tupo Mwananyamala Islamic Club Kona yaMakumbusho Dar es salaam. TunaendeleaKusajili wanafunzi wa Q.T, Reseaters O-Levelwaliofeli Kidato cha Pili na Kidato cha nne.Kwa mawasiliano zaidi tutembelee Shuleniau piga simu 0767 307 607, 0783- 723 312 au0652 010 136.

Pata elimu Bora kwa Gharama Nafuu.

 SEKONDARI YA JIONI ( MESS)Inatangaza nafasi za masomo 2014

Polisi wavamia Darsa MsikitiniWaumini sita wauliwa ndani ya MsikitiIlikuwa kama Masjid Mbuyuni, Zanzibar 

Mama akoswa risasi akiokoa watotoPolisi wadai ni magaidi wa Al Shabab

 Viongozi Uamsho wakwama gerezan

Masharti hayatekelezekiWakili kurudi Mahakaman

U O N G O Z Iw a M s i k i t iw a M t a m b a n iKinondoni, JijiniD ar es Salaam,u m e w a o n y a

Masjidi Mtambani watoaonyo kali kwa wavurugajNa Bakari Mwakangwale w ale w anao le t

chokochoko katikMsikiti huo kwlengo la kuvurugmalengo na mipangya maendeleo yWaislamu.

Uk. 5

 ASKARI wa Kenya walipovamia Masjid Mussa, Mombasa pichani juu na chini.

SHEIKH Farid Hadd (kushoto) akiwa na Sheikh Mselem

Page 2: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 2/16

2  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Maoni

MWAKA 2002 Bungeletu lilipitisha Sheria yaKuzuiya na Ugaidi. Kablana hata baada ya sheriahiyo kupitishwa, baadhiya taasisi za Kiislamuzilipaza sauti kusemakuwa sheria hiyo ililengak u w a k a n d a m i z a n akuwahujumu Waislamu.

Baadhi ya wasomi pia,hasa Profesa Issa Shivji,walizungumzia ubaya washeria hiyo wakitizamaa t h a r i y a k e k a t i k asuala zima la haki zakibinadamu na umojana mshikamano wetu wakitaifa.

Kelele zote hizo kwaserikali na Bunge letu,hazikusaidia kitu. Sheriailipitishwa.

Yapo baadhi ya mambotunayoweza kusema kuwani matokeo ya kupitishwakwa sheria hiyo. Moja,

ni kufungwa kwa baadhiya taasisi za Kiislamup a m o j a n a h u d u m azake zilizokuwa zikitoakwa jamii ya Waislamu,m f a n o A l h a r a m a i n iI s l a m i c F o u nd a t i o n .P i l i , k u k a m a tw a nakuhangaishwa baadhiya Masheikh, mfanoSheikh Said Abbri waIringa na Abu Hudhaifahaliyefukuzwa nchini.

Mfano mwingine nikukamatwa na kuwekwandani Waislamu wakati waujio wa Rais George W. Bush

hapa nchini. Siku chachekabla hajaka mpaka akajaakaondoka, kulikuwa naWaislamu waliwekwan d a n i - k i s i n g i z i o n ikutuhumiwa ugaidi nahivyo kuhatarisha usalamawa Bush.

Lakini pia kumekuwana kuhangaishwa nak u s u m b u l i w a s a n aWaislamu na vyombo vyadola ikitangulizwa tuhumaza ugaidi.

H i v i k a r i b u n i

Tukiwa makini tutajua ukweli Vita ya ugaidi haitatusumbuazilipotokea vurugu kuleZanzibar zilizohusishwana Masheikh wa Uamsho,propaganda kubwa sanailipigwa ikiwatuhumuMasheikh hao kwamba nimagaidi. Ikadaiwa kuwatayari ugaidi wa Al Qaidah,Al Shabab na hata BokoHaram, ushaingia nchini.

Ukiangalia historiaya hivi karibuni ya nchihii, kuna mambo mengisana yamefanyika kupitiavyombo vya dola, ikiwemopolisi, ikielezwa kuwani katika mikakati yakupambana na kitishocha ugaidi. Zipo taarifa zamafunzo nje ya nchi, nahata kujenga ushirikianona vyombo vya kikacherovya mataifa makubwa,ikidaiwa kuwa hiyo nikatika kupata ujuzi nakujiimarisha katika mbinuza kupambana na magaidi.

Lakini Profesa MichelChossudovsky anasemakuwa haya yanayoitwa“Makundi ya kigaidi”,yaliundwa kama matokeoya kuungwa mkono naCIA na kwamba “Vitaya kimataifa dhidi yaugaidi”, ni mkakati wenyemiingiliano mingi na wakijasusi. Na ni nyenzoy a k u e ne z a u k o l o n ia m b a o u n a e l e k e z akuhujumu mataifa huruna kuyaunganisha kamamaeneo yaliyokabwakoo na kudhibitiwa na

mabeberu.  Na ili mkakati huu

ufanikiwe anasema: “Anenemy is required to justifya military agenda, whichconsists in ”going after AlQaeda”.

Anasema, kuwepo kwaadui wa kubuni, na kiinimacho cha kuwepo “waron terrorism” , ni hitajiomuhimu katika kuhalalishauingiliaji kijeshi kamamsaada wa kibinadamu nahaki ya kujilinda na adui.

Hata hivyo anasema,

kisichojulikana na wengiwanaoingizwa katika vitahii ni kwamba:

“The underlying purpose(o f war on te r ror i sm)ultimately is to conceal thereal economic and strategicobjectives.”

Hawajui lengo lililojichakatika “usanii huu wa vitadhidi ya ugaidi”, ambaloni maslahi ya kiuchumi nakimkakati.

Ni njia ya kurejeshaukoloni kwa kusambazautando wa kijeshi nakikachero wa kibeberukatika nchi mbalimbaliduniani na hasa zenyerasilimali muhimu kamamafuta, gesi na madini.Katika mkakati huu, nchiinafanyiwa ugaidi inajikutayenyewe ikiomba msaadawa mabeberu kijeshi nakikachero na kufunguaanga lake na ardhi yake kwa

askari wa nchi za kibeberukuingia na kuweka kambi.Na kwa upande mwingine,kuruhusu ndege zake zakijeshi kuingia na kupigashabaha yoyote zinazotaka

 bila ya kuomba kibali chaserikali husika. Jirani zetuKenya, washakishwa hapo

 baada ya kutumbukizwakatika ‘proxy war’ kuleSomalia.

Kwa hiyo, pamojana kuwa mkakati huuumebeba pia agenda yakuudhalilisha Uislamu,lakini sisi kama taifa na

kama nchi, hebu tuhusikena hili la kutumiwa ilikupandikiza na kusimikaukoloni na ubeberu.

Kama anavyoelezaP r o f e s a M i c h e lChossudovsky, Masheikhna taasisi za Kiislamuzimekuwa zikitumiwakupandikiza chuki dhidiya Marekani, Wazunguna makafiri pamoja nakuhamasisha ‘jihad feki’.

Inapotokea kukawa navijana wanaotuhumiwakwa kufanya harakatiza kigaidi, kwa kutumia

sheria ya kupambana naugaidi, polisi na vyombovya dola vitaingia kazini,kuwashughulikia. Polisina kachero atafanya kaziakiamini kabisa kwambaanaitumikia nchi yakena analinda usalama wanchi. Atapata motishazaidi kutokana penginena mshahara mzuri naposho anayopewa katikak u f a n y a o p e r e s h e n imbalimbali. Lakini wapopia watakaopata motishakutokana na chuki zao

 binafsi dhidi ya Waislamu.Inakuwa kana kwambaw a m e p a t a f u r s a y akuwakomesha.

Lakini kwa mujibu wa“Carter Doctrine, ReaganDoctrine, Operation Cyclon” na haya anayochua ProfMichel Chossudovsky,katika ule uchambuziwake: “9/11 ANALYSIS:From Ronald Reagan andthe Soviet-Afghan Warto George W Bush andSeptember 11, 2001 (GlobalResearch, September 09,2010), watuhumiwa waugaidi na watumishiwa vyombo vya dolawanaowatia adabu kwamujibu wa sheria zanchi, wote wanatumikiampango wa mabeberuambao hatima yake nikukutieni katika ukoloni nautumwa wa kuwatumikiamabeberu. Kila mmoja

anatumiwa kwa namnayake. Mtuhumiwa waugaidi anatumiwa na polisi/serikali inayopambana nawatuhumiwa hao nayoinatumiwa.

I t i z a m e P a k i s t a n ,Iraq, Yemen na Somalia.Ukiangalia mwenendo wamambo katika mikakatiya namna hii, wakati kulePakistan, wanaonja chunguya ‘ugaidi’ wa kufanyianawenyewe kwa wenyewe,kwa maana ya Shia na Sunnina kwa upande mwingine,‘magaidi’ na polisi; katika

nchi zetu kama hizi ,‘utamu’ utakao tangulia niwa ‘chuki’ na vitendo vyakigaidi baina ya Waislamuna Wakristo. Kwa hiyohapa tunatakiwa kuwamakini sana. Tusishabikietu tuhuma na propagandazilizokuwa zikisambazwakuwa kuna Waislamuwamepania kuchomamoto makanisa na kuuwamapadiri. Yote haya hapanashaka yanakuja katika ulempango wa kupandikizachuki na mashambulizi yakigaidi.

K u m b u k a k a t i k aAfghanistan chini yaNational Security DecisionDirective 166 (NSDD 166),vitabu vya kuchocheachuki dhidi ya ‘makari’na kuinua mori wa jihaddhidi yao vilisambazwakwa ufadhili wa wenyemipango yao hi i yakusambaza ubeberu wao.

Sasa hapa kwetu ukiona,padiri, sheikh au kiongoziwa kisiasa analeta kauliza kuonyesha kuwa kunaWaislamu wenye chuki

na Wakristo waliopanikuchoma makanisa nkuuwa Wakristo, basukupitikie wasiwasi kuwhuenda hawa ni katika wawashenga wa kutekelezNSDD 166 kwa Tanzania

S a s a k a t i k a h a lkama hii , haitakuwsa hi h i k w a v y o m b

vya dola kushabikia nkuingia kazini kufanyikazi ‘propaganda’ nuzushi kama huo kamwalivyofanya kat ikkadhia ya mauwaji yMwembechai ambapwalisikiliza madai yParoko Lwambano bila ykufanya uchunguzi.

Kama wakifanya hivyk w a ha k i k a i ta tu pwasiwasi mkubwa maanhatutaki hata kwa kukirtu, kwamba inawezkukia mahali Watanzantukakosa uzalendo kia

cha kutumiwa kirahisi.Tunaamini kuwa serika

yetu na vyombo vyake vydola ni makini na ndimaana mpaka sasa amanya nchi yetu imedumhalikadhalika mshikamanwa kitaifa.

Wasiwasi wetu ni hawambao wanajiwa kwmlango wa dini kamwale vijana wa madraswa Afghanistan. Japo kunmisaada inatolewa kwmadrasa kupitia USAIDikiwemo zile ‘Madras

Resource Centre ’   kulZanzibar, lakini hatudhankuwa tumekishwa mahapa kuletewa vitabu kamvile vilivyotengenezwkule Chuo Kikuu chNebraska.

Mlango tunaouonkutumika ni wa kupiti‘ w a s h e n g a ’ a m b ahuanzisha darsa za simitaani na minakasha ykuhamasisha ‘vitendvya mapambano dhidya makafiri mitaani’. Nkwa hakika inakuwvigumu kuwatambua, kw

sababu nao wanajikutwametumwa bi la ykujijua.

Hata hivyo tunaaminkuwa maadhali tumesemhatuna sababu ya kuwna wasiwasi na umakinna uzalendo wa serikayetu, hatudhani kuwitakuwa vigumu kutambuna kuzuiya vitendo kamvile vya wale waliopitSingida na Bukoba kutakkughi l ibu vi jana wKiislamu.

Page 3: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 3/16

3  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Habari

Polisi wavamia Darsa MsikitiniHUJUMA na ukatiliwa kutisha umefanyikaM a s j i d M u s s a ,Mombasa.

T a a r i f a z a a w a l izinafahamisha kuwazaidi ya Waislamu sitawamepigwa risasi na

kuuliwa ndani ya msikitihuo.Hata hivyo, taarifa

y a p o l i s i i n a s e m akuwa ni watu wawilitu waliouliwa akiwemopolisi.

Hiyo ilikuwa sikuya Jumapili iliyopitaa m b a p o p o l i s iwalivamia msikiti nakusambaratisha darsalililokuwa likiendeleamsikitini hapo.

Inaelezwa kuwa darsahiyo ilianza toka wakatiwa asubuhi na baadaya swala ya dhuhri nakupata chakula, ndiopolisi walivamia.

M a m a m m o j aaliyekoswakoswa narisasi akijitahidi kuwakoav i j a n a w a l i o k u w awakitumia hijabu yakekujikinga na marunguya polisi, anasema kuwaaliona zaidi ya maiti sitandani ya msikiti.

Akisimulia anasema,p o l i s i a l i y e u l i w aalivamiwa na vijana

 baa da ya vij an a ha okupandwa na hasirakwa kuona Waislamuwanapigwa marungu narisasi ndani ya msikiti

 bila ya kosa lolote.Anasema, kijana mmojaalisimama kuwasihipolisi wasiwabughudhiW a i s l a m u , w a l awasiingine na viatum s i k i t i n i k w a n iWaislamu watatokawenyewe kama (polisi)w a n a t a k a w a t o k emsikitini.

Hata hivyo, akapigwarisasi kabla hajamalizakuzungumza.

“ K i j a n a m m o j aM w e n y e z i M u n g ua k a m p a n g u v uakasi mama na mi c

(kipaza sauti), akatoasalamu akasema AsalaamAlaykum, ndugu zanguW a i s l a m u n a o m b amtulie. Polisi nyie niwatumishi kwa wote.Katiba yasema uhuruwa kuabudu, kwa hiyotwaomba msiingie ndaniya msikiti na viatu. Huuni msikiti hairuhusiwikabisa kuingia na viatuna mmevaa viatu. Hapandani kuna kina mama,watoto, watu wazima,hakuna mwenye silaha.K a m a m w a t u t a k atutatoka nje , lakini

Na Mwandishi Wetu

msiingie ndani na viatu.”Alisema mama huyo

aki mnu ku u ki j ana .Hata hivyo anasemakuwa, “hata hajamaliza,hakusema lengo lake

lingine ambalo alikuwaanataka kusema, (kijanayule) akapigwa risasiakaanguka chini hapohapo.”

“Kuanguaka chini

polisi wakawa sasa wotewaingia ndani, kuingiandani yule wa mbelealiyeshoot, alomshutiyule akaanguka chini,kijana mmoja akamshika

nguo akaanguka.”“ K u a n g u k a , b a s

v i j a n a M w e n y e zMungu akawapa nguvwakainuka na wakaanzkumpiga yule polisi nlile gongo (rungu lpolisi), akafa pale palyule polisi.”

H i v y o n d i v y

anavyosimulia mamh u y o a l i y e k u w e pmsikitini. (Soma maelezyake kamili kama yalivyambatanishwa hapa)

Uvamizi wa MasjiMussa umekuwa kamule uliofanyika Msikiwa Mbuyuni, Ungujkabla ya Masheikh wUamsho kukamatwna kuwekwa ndani. Ilule wa Masjid Mbuyunhaukuwa na maafa.

Ilikuwa ndio Waislamwanajiandaa, kukasawa ili kumsikilizSheikh ambaye ndiyalikuwa atoe mawaidhghaa mabobu yakaanzkurindima.

Kwa Masjid Muss Jumapili ilikuwa hivy

“Assalaam alaykumw a r a h m a t u l l a hwabarakatuh.

MIMI ni nilikuwa mmojawa mashuhuda waliokuwa

ndani ya msikiti upandewa wanawake.

Alhamdulilah tuliingiasa l a m a k u k a f a ny i k adarsa salama. Ikafikatime (wakati) ya kuswalitukaambiwa tuswali .Tukaswali dhuhuri kwawema salama tukamalizatukaambiwa tunatabarukuchakula.

Alhamdulilah, tukala ba ad a ya ha po … watuwakazidi kumiminika kwawingi. Wamama na watotopia wakafika kwa wingi.Watu wakaingia, katikahali ile ya kujitayarisha ili

hutuba ianze.Yule alokuwa mhusikaSheikh wa kutoa darsaakasema haya jamani

 jikusanyeni mkae vizuri ,nje hatutaki kuona watuwamesimamasimama.Ingieni ndani tuendeleena kilichotuleta hapa.

Mara kidogo nasikiaA l l a h A k b a r , A l l a hAkbar, kwa wingi, yaanihazikusimama kwa harakanikashtuka kwani kunanini? Tukaanza kuulizanakwani kuna nini, mbonaAllah Akbar nyingi.

Mama aliyekuwepo Masjid Mussa aeleza kilichotokeaMara kidogo nikasikia

milio ya tear gas (mabomuya machozi). Mara mtua k i m bi a hu k u a r u d ihuku, baada ya kusikikamilio mmoja akasema

kina mama tulieni, hii nikusambaratisha Daawai s i e n d e l e e . T u l i e n iwakiona hakuna kitukinachoendelea wataendazao.

Basi kwa uwezo waMwenyezi Mungu tukakaapale tukatulia. Tukaambiwatulete dhikri, tukaleta thikripale tukaletewa maji natawel zile, leso za kinamama zilizokuwa palezikatiwa ndani ya mabesenikufuta maji, machozi, usona kulikuwa na watotowachanga, watoto wakondani, barobaro (vijana

 baleghe), watoto wadogondani ya msikiti, watuwazima wamama tukonao tukaa pale, tukawatumefungiwa, tukaambiwatutulie.

Muda kidogo wakajavijana wakasema kinamama tokeni, tokeniharaka polisi wanapanda

 juu wasije wakawadhuruwakafanya kitu kibayandani ya nyumba yaMwenyezi Mungu, tokenituwe pamoja.

Tukatoka upande wawanawake msikiti ni

mkubwa umegawanywamara mbili , kule juundio wanawake walikaa,tukaenda side (upande)ya pili kuna wanaumetukachangamana nao.

Sisi kina mama tukapewanafasi ya ukutani.

K u i n g i a k u k a ah a t u j a m a l i z a h a t adakika tano, mara polisiwakaingia, kuingia walewatoto wadogo barobarowakatufuata sisi kinamama wakatukumbatia,wakasema watatuua hao,ile uwoga kila mmojaukawa unamshika, tukoLaailaha Ilallah, LaailahaIlallah. Polisi wakaingia.

( K i j a n a ) m m o j aMwenyezi Mungu akampanguvu akasimama na mic(kipaza sauti), akatoa

salamu akasema AsalaamAlaykum, ndugu zanguWaislamu naomba mtulie.Polisi nyie ni watumishikwa wote. Katiba yasemauhuru wa kuabudu, kwahiyo twaomba msiingiendani ya msikiti na viatu.Huu ni msikiti hairuhusiwikabisa kuingia na viatuna mmevaa viatu. Hapandani kuna kina mama,watoto, watu wazima,hakuna mwenye silaha.Kama mwatutaka tutatokanje, lakini msiingie ndanina viatu.”

Basi hata hajamalizahakusema lengo laklingine ambalo alikuwanataka kusema akapigwrisasi akaanguka chini haphapo. Kuanguka chin

polisi wakawa sasa wotwaingia ndani, kuingindani yule wa mbelaliyeshoot, alomshuti yuakaanguka chini, kijanmmoja akamshika nguakaanguka. Kuangukag o ng o ( r u ng u ) l a klikaanguka chini walpolisi walioingia ndanwakaanza kuwapiga watna magongo.

Basi vijana MwenyezMungu akawapa nguvwakainuka na wakaanzkumpiga yule polisi nlile gongo, huku kwenyviatu sijui alikuwa na kis

wakakichomoa wakaanzkumdunga nacho kile kisakafa pale pale yule polis

Subhanallah! Poliskuona vile mwenzao yapigwa, wakashika gan(bunduki) wakaanzkushoot, hawakuangalwanamshoot nani walnani wao walishoot tu pal

W a t u k a m a s i twakaanguka palepalchini. Kuona vile vijanwote Mungu akawapnguvu wakaanza kupigta k bi r a k w a ng u v u

Inaendelea Uk.

Inaendelea Uk.

BAADHI ya vijana walioshambuliwa na polisi wakiwa katika darsa Masjid Mussa.

Page 4: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 4/16

4  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Habari

Polisi wavamia Darsa MsikitiniInatoka Uk. 3

hivyo. Mpasha habarianasema, wakati ndiowanaambiwa Sheikhyupo tayari kuanzadarsa, ghafla polisiwakaingia ndani yamsi ki t i na ku anzakupiga mabomu.

Katika taarifa yao,

polisi wanasema kuwaw a l i v a m i a m s i k i t ihuo baada ya kupatataarifa kuwa kulikuwakunaendelea somo lakuhamasisha ugaidi.

Aidha walisema kuwawalikuta lundo la silahakatika msikiti huo.

K a b l a y a P o l i s ik u v a m i a m s i k i t ihuo wanadai kuwa,walitoa onyo wauminiw a t a w a n y i k e ,lakini badala yakewakatundika bendera yaAl Shabab nje ya msikiti.

Taarifa ya Mkuu waPolisi katika wilaya yaMajengo ulipo msikitihuo, Robert Ki tur ,anasema kuwa waohawakuwa na lengola kuvamia msiki t ilakini walilazimikakufanya hivyo baadaya Waislamu kutundika

 bendera ya Al Shabab nakuanza kuwashambuliamaosa wa polisi.

A k i u n g a n a n aKamanda huyo waPolisi, Mkurugenzi waUpelelezi wa Makosa ya

 Jinai katika Mombasa,H e n r y O n d i e k i ,anasema, malengo ya

Waislamu hao yalikuwawazi kuwa ni kupangana kuandaa magaidiwatakaoshambulia raiawasio na hatia wa Kenya.

" T h e i r i n t e n t i o nwas clear: they wereplanning to recruit andaack innocent Kenyancivilians", alinukuliwaHenry Ondieki akisema.

Hata hivyo, somamael ezo ya mamaaliyekuwepo katikadarsa hiyo uone tofautiya taarifa ya polisi na yavyombo vya habari.

Picha zinawasuta polisiLikiripoti habari za

kuvamiwa na kuuliwaWaislamu katika msikitimaarufu Masjid Mussa,Mombasa, gazeti la

 Jambo Leo, ikiwa ndiohabari kuu ya sikulilisema:

“ M a g a i d i w a z u ataharuki. Watundika

 bendera zao msikitini.Polisi wawazingira,waua kadhaa.”

Likianza kuelezamkasa huo likasema,“Polisi nchini hapa(Kenya) wamevamia

M si ki t i wa M as j i dMussa ulioko katikamji wa Mombasa baadaya kudaiwa kuwepokwa vijana wa Kiislamu

wenye kuhusiana nakundi la kigaidi la AlShabab.”

Likiendelea likasema,

“kwa mujibu wa chanzocha habari, msikiti huoulioko katika eneo laMajengo unadaiwa kuwa

kitovu cha mafunzya vijana kwa ajili ykufanya mashambulizya kigaidi kwa miakkadhaa.”

“Katika mapambankati ya polisi na vijanhao Jumapili , watwawil i wanadaiwkuuwawa.”

B i l a s h a k

h a k u n a M u i s l a matakayefu r ahi shwna kichwa cha habark i n a c h o d a i k u wW a i s l a m u w a l imsikitini ni magaidi.

Lakini hata ukiangalipicha ambazo JambLeo limeziweka ukuraswa mbele, hazionyeshkuwa msikitini hapkulikuwa na magaidi.

Unaposema gaidmaana yake ni jitu katiluwaji lililotayari kuuwna kumwaga dam

 bila kuona chembe yhuruma, na bila ya kuw

na sababu ya msingi.L a k i n i p i c h a z Jambo Leo zinaonyeshmuumini mzee akiwananyoosha mikonkuwawal i l ia pol iskuwa yeye sio muhalifuMwingine naye kaka

Mama aliyekuwepo Masjid Mussa aeleza kilichotokeaInatoka Uk. 3Laailaha ilallah, Allahuakbar , Al lah Akbar ,

wale polisi wakaingiwakama na hofu ndani yamsikiti wakatoka mbiowakasimama kwa nje.

M z e e m m o j aakatoka akasema miminajisalimisha, wachatutokehapa. Akasema tokenimmoja mmoja. Watuw a k a a n z a k u t o k ammoja mmoja na waowatu wazima wakaanzakutoka. Bibi mmojaakasema wamekosea ninihawa, watu wako kwenyenyumba ya MwenyeziMungu, hii ni nyumbay a i ba d a , ha i ta k i w i

kufanyiwa najisi, damuimemwaga kiasi hiki ndaniya nyumba ya MwenyeziMungu, mmekosewa kitugani!

Wa l e ha w a k u ta k akujua, walimwambia weemama pita haraka kablahatujakubwaga chini nawewe.

Masikini yule mamaakapita mbio , miminikainuka, kuinuka kunawatoto barobaro, miakakumi, kumi na mbiliwakawa wamenishikawakisema mama, mamahatutaki kufa, mama

hatutaki kufa, wamenibana barobaro watatu. Natokanao hivi, niko karibu kuka

pale kwa polisi wanivutakwa nyuma watatuuahao, hofu imewashika vilekuona macho yao polisi,wakawa kama wana shock(wamepata mshituko).

T u k a to k a , k u to k a barobaro wakawa wasemalazima tutoke na maiti zetu.Hatuwezi kubali kuachamaiti ndani. Lazima tutokenazo, polisi wawaambiahakuna ruhusa kubebamtu yeyote, tokeni ninyipeke yenu. Barobarowakawa na vita na polisiwakitaka kutoka na maiti.

Wakasema sis i namaiti lazima wote tutoke,mnataka tuache maiti

zetu hapa muwachukue,mwataka nini, wachenitutoke nazo tukawazike.Fujo wakainuka kwa takbir,Allahu Akbar, AllahuAkbar , wakawabebamaiti wakateremka naokwenye ngazi kwa nguvu,nasi tukapata upenyotukashuka chini.

Kushuka chini kunatimu ya wanaume sasamsikitini, polisi wenginew a p o k w a h a p o .Wakamuwahi polisi mmojawakampiga wakamuuaw a k a m n y a n g ’ a n y a

 bunduki, hiyo bundukiwakawa wako nayo

huko msikitini sasa.Sisi tukaingia upandemwingine wa wanaume

tukawa twatafuta sehemupa ku j i f icha hatu ju itutatokea wapi, milio yarisasi imetanda msikitini,watu walia Subhanallah,Laailaha Ilallah, Lahaulawalaquwata ilabillah. Kilammoja mwenye roho yakefujo, polisi wapiga risasi,vijana wamemwagwachini wanapigwa pigwamarisasi kiasi huwezi

 jua wangapi waloul iwakwa risasi, maana yakew a l i p o m u o n a y u l emwenzao amepigwa,m w i ng i ne a m e u a w awakawa wanachukua

 bunduki, sasa ikawawanashoot tu bila hata

kuangalia wanamshootnani, wanafanya nini.

Kijana mmoja akasema, bas i tu ru di ku ch uk uamaiti tutoke nao, (polisi)w a k a s e m a h a k u n aruhusa kuchukua maitihapa, huku watoa odailetwe landrover, “LeteLandrover, lete Landroverupakie hizi (maiti), leteL a n d r o v e r ” . V i j a n awakawa wasema, jamaniacheni tukazike maitizetu, wakasema hakunaruhusa, ukijitia wajuasana wapigwa gani (risasi)

wabwagwa chini.Mtu mzima mmoj

akasema huyu yuko h

 bado hajakufa. Alikuwakapigwa gani sehemu ymatumbo na mbavuni, himatumbo kama zimetoknje, polisi mmoja akasemchukueni hiyo pelekenhapo hospitali, kimbizenhiyo hospitali, hapo ndina mimi nikafanya kamninambeba yule (majeruhnakimbia naye nje, kutoknje ndio nikapata upenyni k a k i m bi a k u i ng imtaani na wale wenginwakambwaga yule palchini wakakimbia. Hakunmtu hata alobeba mtkumpeleka hospitali.

Sasa kuanzia hapo tenhatukujua kulienda je ku

ndani. Cha kustaajabishtwasikia kuwa watwalokufa ni wawili, yantukasikia mambo tofaukwamba kumeonekan

 bunduki, ambapo hayo skweli kabisa.

Huo ni urongo nwamecha ukweli. Kunwatu wameuliwa npolisi kama sita, na wapwakataka kuwachukuw a k a s e m a h a w a nruhusa ya kuwachukuna wakaitisha na Lanrover. Sasa tunataka kujuhao watu wamewapelekwapi?”

Inaendelea Uk.

 MASHEIKH nchini Kenya waliokamatwa katika Masjid Mussa, Mombasa wakishushwakwenye karandinga la polisi.

Page 5: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 5/16

5  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Habari mchanganyiko

Uamsho wakwama gerezaniI M E E L E Z W A k u w amashari t i waliyopewaMasheikh wa Uamsho katikakupewa dhamana, ni kamakuwakomoa kwa sababu sirahisi kutekelezeka.

Maoni hayo yanafuatiahatua ya Mahakama KuuVuga Mjini Zanzibar kutoadhamana na masharit imagumu kwa viongoziwa Jumuiya ya Uamshona Mihadhara ya KiislamuZanzibar (JUMIKI) ambaowalisekwa rumande kwazaidi ya mwaka sasa.

Akisoma hukumu Jajiwa Mahakama hiyo Fatma

Hamid Mahmoud aliwatakakila mshitakiwa kutoafedha taslim milioni 25,kuwa na wadhamini watatuambao mmoja wao awe nimfanyakazi wa Serikali yaMapinduzi Zanzibar na awena mali isiyo hamishikayenye thamani hiyo hiyoya milioni 25, na barua yakiongozi wa mtaa (Sheha).

U w e z e k a n o w awashitakiwa hao ambaow a n a t a k i w a k u r u d imahamani tarehe 25 mweziujao, kutekeleza masharitihayo, ni kama haupo naitabidi waendelee kukaa

Na Mwandishi Wetu

rumande.Wakili wa watuhumiwa

hao Abdallah Juma alisemakuwa mashariti mengineni kuwa na kitambulishocha Mzanzibari Mkaazi,kuwasilisha hati ya kusaria(Passport) Mahakamani nakutoruhusiwa kusari hatakuvuka katika kisiwa chaUnguja bila ya ruhusa yaMahakama.

Wakil i Juma al isemakuwa washitakiwa hao

hawaruhusiwa kuzungumzana waumini wao kwa njiaya mihadhara ya nje walamisikitini isipokuwa ruhusani kusalisha tu muda wotewatakao ku wa kat ikadhamana.

Aidha alisema, wanatakiwakutofanya wala kusababishavitendo vyovyote venyekuashiria fujo, kinyume nahilo watarudi rumande hadikesi itakapokwisha.

Mapema mwendesham as h i taka wa s er ika l iRashid Abdallah aliwasilishapingamizi mbele Jaji huyo zakuzuwia amri ya kuwatakakuwasil isha sababu za

k u z u w i a d h a m a n a z awatuhumiwa hao.

Watuhumiwa hao ni FaridHadi Ahmed (41) mkaaziwa Mbuyuni, Mselem AliMselem (52) mkaazi waKwamtipura, Mussa JumaMussa (47) mkaazi waMakadara na Azan Khalid(48) mkaazi wa Mfenesini.

Wengine ni Suleiman Juma Suleiman (66), mkaaziwa Makadara, Khamis AliSuleiman (59) mkaazi wa

Mwanakwerekwe, HassanBakar Suleiman (39) mkaaziw a T o m o n d o , G h a l i bAhmada Juma (39) mkaaziw a M w a n a k w e r e k w e ,Abdallah Said (48) mkaazi waMisuni na Majaliwa FikiriniMajaliwa.

Mashitaka waliyosomewawashitakiwa hao ni kuharibumali, Uchochezi, Ushawishina kuhamasisha fujo nakosa la tatu ni kula njama yakufanya kosa.

Kosa la nne likimkabilimshitakiwa namba nne AzanKhalid ambae anadaiwakutoa maneno ya matusi kwaKamishna wa Polisi, vitendo

vinavyoweza kusababishauvunjifu wa amani.

A z z a n h a k u w e p oMahakamani hapo kitendokilichomfanya Jaji Fatmakuhoji ni kweli mtuhumiwah u yo an au m wa au n iunjanja wa kukosa kwendamahakamani.

“Mbona watuhumiwahawa ni 9 mmoja yupo wapi,hivi ni kweli anaumwahebu jamaa yake njoo hapauninong’oneze”.

Alisema Jaji Fatma ambapoanayemuwakilisha Azzanalisogea na kuongea naye.

Vitendo hivyo vinadaiwakufanyika kati ya Oktoba17, 18 na 19 katika maeneotofauti katika manispaa yaMji wa Zanzibar na kuharibumali za watu na serikali zenyethamani ya zaidi ya shilingimilioni 500.

Kesi hiyo iliakhirishwahadi Februai 27 mwakah u u n a w a t u h u m i w awalirudi rumande hadiwatakapokamilisha masharitiya dhamana zao huku jamaa za watuhumiwa haowakionekana kukimbilia

Mtawa wa Kanisa Katoliki

nchini Italia mwenye asiliya El Salvado, amejifunguamtoto wa kiume na mtotohuyo amepewa jina naFrancesco (Papa Francis).

Mtawa huyo alijifunguamtoto mwenye uzito wakilo 3.5 (tatu na nusu) katikahospitali ya St. Camillus deLellis, iliyoko katika mji waRieti, mkoa wa Lazio sikuya Jumanne wiki hii Januari14, 2014.

Mtawa huyo mwenye umriwa miaka 31 na ambaye jinalake limefichwa, ametajwakama mtu aliyelitia aibuKanisa katoliki nchini Italia.

Askofu wa eneo hilo lakaskazini ya Roma, alisema

kuwa Mtawa huyo hana budi kuondoka kwa kuwaamevunja nadhiri yake yausa wa moyo.

A w a l i m t a w a h u y oalikimbizwa hospitalini baada ya kulalamika kupatamaumivu ya ghaa ya tumbo,ambapo baada ya kukishwahospitalini, haukupita mudaakajifungua.

Hata hivyo Mtawa huyoalisema kuwa hakuwahik u j u a k a m a a l i k u w amjamzito.

"Sikujua kama nilikuwamjamzito, mimi nilihisi nimaumivu ya tumbo tu",

Mtawa Kanisa Katoliki ajifungua Lazio ItaliaMtoto apewa jina la Papa Fransis

alinukuliwa Mtawa huyo

akiwaambia madaktari.Baadhi ya watu wameanzakuwa na wasiwasi juu yanamna alivyozaliwa mtotohuyo, wakihofu kwambaisije ikawa ndio ukawandio ujio wa Yesu, maanaaliyempachika mimba huyo bado hajawekwa wazi.

"Itakuwa vyema sasaakaishi maisha ya kiduniana mtoto wake na awe mbalina taasisi za kidini", alisemamsemaji wa delio Lucarelliambaye ni Askofu wa Rieti.

Mtawa huyo kutoka nchiya El Salvador alifanya sirikubwa juu ya ujauzito wakehata wakati anapelekwahospitalini alikanusha kuwa

anaweza kuwa na mimba." H a i w e z e k a n i m i m ini mtawa", aliwaambiamadaktari kwa mujibu washirika la habari la Italia laANSA .

Mtawa huyo alisisitizakuwa hajui mimba hiyoaliipataje, kauli iliyowaachawengi midomo wazi nawen gin e ku kaa k im yakushindwa kutoa neno lolote.

Imeelezwa kuwa Mtawah u y o n a m t o t o w a k ewatapewa msaada kwamuda wa wiki chache mpakaitakapoamuliwa juu yamustakabali wa maisha yake .

Hali ya afya ya mama na

mtoto imetajwa kuwa ninzuri.Akizungumzia tukio hilo

kwa niaba ya Masista waKanisa, Sista Erminia alisema jambo hilo limewashangazasana na kuwastua.

"Inaonekana yeye hakuwana uwezo wa kupingamajaribu", alisema SistaErminia.

Hata hivyo haujaonekanamsukumo wa kuhoji aliyempaujauzito sista huyo, wala hojaya kuitishwa uchunguzi juuya tukio hilo.

majumbani na kuhangaikkupatikana kwa fedha hizo

Akizungumza n je yMahakama hiyo Wakili wupande wa WatuhumiwAbdallah Juma alisemmasharti waliopewa watewake ni magumu mnna hivyo hadhani kamwanaweza kuyatekelezkatika kipindi walichopew

“Mashariti yaliyotolewni magumu kutekelezeka nkisheria mashariti hayatakiwyawe magumu kiasi kamhicho kwa kuwa dhamanni haki ya kila mmoja wetna hivyo kupewa masharm a g u m u k i a s i h i c hhaipendezi, lakini kwa kuwMahakama imeshaamu basi tutafuata utarat ibu ntutarudi tena Mahakamank u i o m b a m a h a k a mipunguze masharti hayoaliongeza Wakili huyo.

Wakili huyo amesemmadhumuni ya kupewdhamana sio kumkomo bali ni kumfanya mshitakiwaweze kufika mahakamanhivyo bado wao kammawakili wana matumainya kurudi tena mahakamana kuishawishi mahakamiweze kupunguza masharhayo ambayo ni magumu.

OIC yatakiwa kukomesha mapigano ya WaislamuK u n d i l a J a m a a tIslamiyya la India ,limeitaka Jumuiya yaUshirikiano wa Kiislamu(OIC) kufanya jitihadaza kukomesha vita namapigano ya umwagajidamu katika nchi zaWaislamu.

Mkuu wa kundi la Jamaa t Is lami la India,Sayyid Jalaluddin Amri,mapema wiki hii ameelezawasiwasi wake mkubwa

kutokana na machafukoyanayoendelea katika nchiza Misri, Syria, Bangladeshna kwengineko.

A m e s e m a S y r i ainakaribia kuangamiakikamilifu huku katikanchi za Iraq na Afghanistanwatu wasio na hatiawanaendelea kuuawana mali zinaharibiwa nakwamba, hali kama hiyoinashuhudiwa katika nchinyingine za Waislamu.

Kiongozi huyo ameitaka

 Jumuiya ya Ushirik ianw a K i i s l a m u O I Ckuchukua hatua muhimza kukomesha hali hiyna kuimarisha amani nutulivu katika nchi zWaislamu.

A i d h a a m e k o s oviongozi wa kijeshi wMisri na kusema kuwwanachofanya viongozhao lengo ni kuanzishutawala wa kikatili kamule wa zama za utawawa Hosni Mubarak.

Page 6: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 6/16

6  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

KW A u f u p i n ik u w a S e r i k a l iy a M a r e k a n i

kwa kupitia Shirikalake Liitwalo USAIDl i n a s a i d i a m a d r a s ahuko Zanzibar. HivyoWaislamu tunasaidiwakwa kupitia mifukomikubwa minne:

Mfuko wa Rais Bushwa Elimu ya Waislamu(President Bush’s MuslimEducation Initiative).

Mfuko wa Rais Bushw a K u p a m b a n a n aUgaidi Afrika Mashariki(President Bush’s EastAfrican Counter-terrorismInitiative).

Scholarship za Balozikwa wasichana (TheAmbassador’s Girls’Scholarship Program).

M f u k o w a e l i m uAfrika (African educationinitiative).

Wanazitumia pesa hizokuwasomeshea Waalimuwa Kiislamu, kuandaam i t a a l a n a v i t a b u ,kuwal ipa mishaharawaalimu, na viongoziwa jamii, na kusaidia piakipesa watoto wa masikini.

Waislamu tumeipa mgongo Qur’an - 2Wameanzisha pia Kituocha Vitabu vya rejeavya madrasa Zanzibar(The Zanzibar MadrasaResource Centre). Misaada

hiyo Marekani kwa kupitiamradi wa MKEZA (Mradiwa Kuendeleza ElimuZanzibar) imekwishakujenga madrasa 16(mpaka mwaka 2007)moja ya madrasa hizoaliyotembelea mke waBush, Laura, Julai 2005.Na kwa mujibu wa USAIDwenyewe Marekani niw a f a d hi l i w a k u bw akwenye nyanda ya elimuhuko Zanzibar.

K w a u p a n d e w aTanzania bara, USAIDkwa kushirikiana naBAKWATA wametoa

kitabu cha Mwongozowa kufundishia walimuwa Kiislamu. USAID piaimetoa mafunzo kwawalimu 54 wa madrasaya kuwafundisha watotowa Kiislamu namna yakupambana na UKIMWI.

Mwongozo huo wa vitabu2,500 uligawanywa kwawalimu wa madarasa Dares Salaam na Iringa. (Taarifahizi zote zimepatikana

kutoka katika tovuti yaUSAID/Tanzania). Rejea:Islamic Propagation centre(2007).

Kwa mifano hii yah i s t o r i a W a i s l a m uhawakutawaliwa kirahisipale walipoifanya Qur’ankuwa mwongozo pekeewa maisha yao ya kibinafsina Kijamii.

Kingine tunachojifunzakatika historia hii ni kuwawakoloni wa Kiingerezana maeneo mengineohawakukata tamaa nakuwaachia waislamuwaendelee kujitawala

wenyewe katika maeneoyao wala hawakukusanyamisahafu na kuitia moto,

 bal i waliweka mikakatiya kuitoa Qur’an katikamaisha ya Waislamu.Waliweka Mitaala katikamifumo yao ya elimu iliyo

wakikishia kuwa kizazikitakacho elimishwakupitia mitaala hiyo kitatoaWaislamu wengi wasiona haja hata ya kuisomaQur’an, wachache watakao

penda kuisoma wasielewe,watakaoielewa wasiingizekatika maisha yao ya

 jamii bali ii sh ie kati kakuiendea kwenye ibadamaalumu za swala, zakat,swaumu hija nk.k na walewachache watakaoingizaQur’an katika maisha ya

 jamii wap igwe vi ta nakusalitiswa na Waislamuwenzao na kuitwa wazushi,siasa kali, magaidi n.k.

Kwa marejeo haya yahistoria itoshe kuona kuwahali waliyonayo Waislamu,takribani ulimwengunikote, katika suala lakuiendea Qur’an sio jambolililotokea kwa bahatinasibu, bali ni mikakatiya makusudi iliyofanywana nchi za kitwaaghuutk a t i k a h a r a k a t i z akuitawala dunia kinyumena Mwongozo wa Allah(Subhaanahu wa Ta’ala).

M a t a t i z o y o tt u l i y o k u w a n a ytu m e y a pta ba a d a yk u i a c h a Q u r ’ a n nk u w a f u a t a m a a d uzetu (Matwaaghuut) n“hawaa” za nafsi zetuIweje leo tuweze kuwna matatizo hali kuwtunao muongozo wkutuwezesha kupatsuluhisho la matatiz

yetu, ni baada ya kuiachkuingiza Qur’ani katikmfumo wa maisha yetu.

Amesema MwenyezMungu,

“Kwa hakika wanayy a k a t a a m a w a i d hh a y a y a n a p o w a j i(wataangamia), na hay

 bila ya shaka ni Kitabchenye nguvu na utukufu(Fuss'ilat 41:41)

“Hautakikia upotovmbele yake wala nyumyake. Kimeteremshwa nMwenye hikima, Msiwa(Fuss'ilat 41:42)

Hii Qur’an tumeletewili tuweze kuisoma kwkuizingatia na kuitekelez

k w a k i l e a m b a c himetuelekeza.Amesema Allah (Sw),“ N a h i k i K i t a b u

t u m e k u t e r e m s h iwewe, kimebarikiwa, iwazizingatie Aya zake, nwawaidhike wenye akili( S’aad 38:29)

Polisi wavamia Darsa Msikitinikitako kanyosha mikono juu naye akisalimu amri.

Anaonekana pia askariakiwa kashika mtotomdogo, hii inaonyeshakuwa kuna waumini

walikuwa wamekuja nawatoto wachanga.Picha nyingine katika

picha zilizotumiwa na Jambo Leo kuonyesham a g a i d i w a l i o l e t ataharuki Mombasa,i n a o n y e s h a a s k a r iw a k i w a n d a n i y aMsikiti na buti zao hukukundi la vijana wakiwawamelala kifudifudiaskari wakipi tapi tana bunduki zao. Walahaionyeshi dalili yoyoteya mapambano.

Nyingi ya picha hizozinaonyesha wauminiwakiwa ama wakiwawamenyoosha mikono

 juu kusalimu amri auwakiwa wamelala chinikifudifudi.

Baadhi zinaoneshaa s k a r i w a k i w awamepakata watotowadogo chini ya umri wamiaka miwili, ikionyeshak u w a w a l i p o t e a n ana mama zao katikamtafaruku huo.

Mkanda mmoja wavideo uliotumiwa navyombo vya habari hapanchini kuonyesha tukiohilo, ulioonyesha kijana

Inatoka Uk. 4

mmoja aliyepigwa risasi.K i n a c h o o n e k a n a

katika mkanda huo nikuwa baada ya askarikuvamia na kuingiamsikitini, baadhi yaw a u m i n i w a l i t o k ana kuanza kukimbia,askari nao wakawaw a n a w a f u k u z a n akuwalenga risasi.

Vyombo vya usalamana serikali ya Kenyailivyoripoti tukio hilo,inataka watu kuonakuwa ndani ya msikitihuo kulikuwa na magaidihatari, ndio maana polisiwalilazimika “kulengashabaha kwa lengo lakuuwa!”

Na hata waliokishwamahakamani, dhamanazao zikazuiliwa hadi hiileo watakapofikishwatena mahakamani.

Na katika taarifanyingine ikafahamishwakuwa serikali ya Kenyaimetishia kuufungakabisa msikiti huo.

W a t u w e n g iwaliotoa maoni yaowanasema kuwa lauWaislamu waliokuwandani ya msikiti huowangekuwa na silaha,

 bali isingezungumziwa

kufa watu wawili naaskari mmoja. Maafayangekuwa makubwazaidi.

Kwa mujibu wa taarifaza gazeti la Daily Nationla Jumanne Februari 4,2014, miongozi mwawaliokamatwa ni watotozaidi ya 20 walio na umrichini ya miaka 17.

Wote hawa pamoja nawale akina mama waliona watoto wachangawa kunyonyesha, nimiongoni wa Waislamuwalio mahabusu katikagereza la Shimo la Tewa.

Ukisoma taarifa nakutizama picha za

video za tukio hili,hupati tabu kuona kuwakinachozungumzwa siokilichotokea.

H a p a p o l i s iw a m e v a m i a w a t uwakiwa katika darsamsikitini.

Lakini kwa mamboya l i vyo ka t i ka h i iinayoitwa vita dhidi yaugaidi, wala haitakuwa

 jambo la kushangazakama mahakamaniutawasilishwa ushahidiwa kanda za video

k u o n y e s h a k u w amsikitini hapo palikuwakambi ya magaidi.

Hizi zitakuwa ni zilezinazonaswa katikazile darsa na mijadalai n a y o a n z i s h w a n awashenga wa vita dhidiya ugaidi wakitafutawatu wa kuwakamatishap o l i s i , m a s h u h u r i‘entrapment’.

Katika mchezo wa‘entrapment’, anakujiamtu, Sheikh, Ustadh,anaj i fanya mwenyeu c h u n g u s a n a n aUislamu au na halimbaya ya Waislamu

kuonewa.Anaanzisha madaya Jihad anakufikishamahali unaona kuwah a k u n a n a m n a y akusalimika ila kufanya

 Jihad ya kitali.Kama hapakuwa na

mchezo wa ‘entrapment’Masjid Mussa, basi polisiwa Kenya walivamiatu msikiti makusudikatika kukoleza kitishocha ugaidi na vita hewadhidi ya magaidi ilikujisajili kwa Marekani

kuwa wanafanya kazwaliyotumwa.

Na kama ni hivyoh a i t a k u w a m tamekosea aki semkuwa serikali ya Kenyimekia mahali ambapinatumiwa vibaya.

Na kwa maana hiyomatukio ya kigaidhayatakoma katika nchhiyo.

Watu wasio na hati wataendelea kuumizwa nkuuliwa.

Na hii yote inafanyikk a t i k a k u e n d e l e zkitisho cha ugaidi na ‘vitfeki dhidi ya magaidambayo Profesa MicheChossudovsky anasemk u w a “ n i n y e n zya kueneza ukolonambao u nael ekezku hu ju mu mata i f

huru na kuyaunganishk a m a m a e n e o yhimaya kubwa zaidiliyotiwa kitanzi chutumwa wa kudumuy a k i w a t u m i k imabeberu.

Kwa hiyo kadiri serikaya Uhuru Kenyattitakavyojitahidi kujisajikuwa ni mshirika wkutumainiwa katika vitdhidi ya ugaidi, ndivyinavyozidi kuihujumKenya na kuwasaliWakenya.

Page 7: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 7/16

7  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

WIKI iliyopita niliswaliswala ya Ijumaa katikamsikiti wa Mtambani.Sikufahamu alikoanziaKhatib, lakini kipandenilichokuta cha khutbaya k w a n z a , K h a t i baliwarejesha waumini

katika vita ya Uhud.A k a o n y e s h a j i n s iMtume na maswahabawalivyokuwa madhubutina weledi wa kupangambinu za vita ili kupatau sh i n d i . K w a h i yoakaonyesha kile kikundikilichokuwa kimepangwana Mtume juu ya kilimana kupewa maelekezokuwa kwa hali yoyote,kisiondoke pale.

Hata hivyo, kilipoonamakari wamepata kipigowanakimbia, wakaondoka.K i l i c h o t o k e a , n ikuzungukwa na makariwakajiwa kwa njia yanyuma na Waislamuwakapigwa sana hadiM tu m e k u j e r u hi w a .Ni kwa kosa hilo hilolilipelekea maswahabawakubwa kama Hamza,kuuliwa.

M a m b o k a d h a aalisisitiza Khatib: Kubwa niule utayari kwa Waislamukuipigania na kuia Diniya Allah-akarejea aya ya111 katika Tawbah.

Pili, utii na tatu ni fadhila

na malipo makubwa kwaWaislamu wanaokufaMashaheed.

Khatib akamalizia kwakutoa changamoto kwaWaislamu wajitizame kamakuna mchango wowote wamaana wanaotoa katikakuipigania dini ya Allah.Akaunganisha na kadhiaya kufungwa masheikhn a j i n s i W a i s l a m uwalivyodorora , kwamaana kuwa hawajafanya

 juhudi kubwa kuhakikishak u w a M a s h e i k hwanaachiwa. Lakini kwa

upande mwingine piaWaislamu kufanya da’wahya uhakika kuhakikishakuwa mambo machafu namaovu yanafutika katika

 jamii -a ka gus ia ul evi,ukahaba na wanawakekuvaa ovyo.

Uislamu ni ule ulewa zama za uhud naQur’an ni ile ile. Hatahivyo, mbinu na njia zakuufikisha zinabadilikakulingana na wakati namahali. Tunafahamishwakuwa wakati wa Jahiliya

 Amesema kweli

Khatib MtambaniTunatakiwa kunoa bongo zetuDunia ya leo sio ile wa ‘Uhud’

Na Mwandishi Maalum

katika Bara Arabu, watu

walikuwa wakitengezamungu wa tende halafuwanamuabudu. Wakatimwingine wakiwa nanjaa wanaanza kunyofoakiungo kimoja kimojawanamla.

Ukifundisha tawheedl e o h a l a f u u k a l e t amfano kuwa ushirikinani kutengeneza munguwa tende, utaonekanakiroja. Hii ni kwa sababukulingana na ufahamuwa walimwengu wa sasa,haingii akilini kwambamtu anaweza kutengenezamungu wa ngano halafuakiwa na njaa akamlakama anavyokula chapatiau andazi. Lakini hii hainamaana kuwa ushirikinahaupo. Upo na hivyoukitoa mfano, utatajaushirikina uliokuwepokwa Maquraishi waMakkah, lakini lazimautoe mfano unaopatikanakatika ulimwengu wa leokulingana na ushirikinauliopo katika jamii zamahizi.

Mara kadhaa niliwahi

kutembelea osi za PeaceTV, Mumbai, India. Katikahoteli niliyokuwa nikikaa,m l a ng o ni k u l i k u w amuda wote yupo mbuzimkubwa, akipewa majanihapo anakula na kuchafuakwa kinyesi na mikojo.Uki ingia sehemu yamapokezi unapokewa naharufu ya beberu na kinyesicha mbuzi. Nilipokujakuul iza nikaambiwakuwa mwenye hoteli ileni Muislamu na anafugambuzi pale akiaminikuwa itakuwa Baraka kwa

 biashar a yake kwa vileMtume Muhammad (s.a.w)alifuga mbuzi. Nilifanyautafiti mdogo nikakutakuwa maduka mengiya Waislamu, mlangoniutakuta kafungwa mbuzi.

S a s a h u k o n ikuchanganyikiwa kwa

 baad hi ya wat u kati ka jami i ya Wai sl amu waIndia. Kwa hiyo, kama nida’wah, lazima izingatiena m na y a k u o nd o akuchanganyikiwa huko

na kuufahamu vibaya

Uislamu.Hapa Tanzania hatuna

tatizo hilo. Tuna ya kwetuambayo, ni lazima katikakuweka mipango yada’wah tuyazingatie.

Mada kuu ya Khatibilikuwa Jihad, akagusiakadhia ya kuwekwaMasheikh ndani akijaribuk u o n y e s h a k u w aWaislamu wa Tanzania,

 bado hatujafikia mahalitukawa tayari kujitoleakwa ajili ya Mtume nakwa ajili ya dini ya Allah,vinginevyo Masheikhwetu wasigeonewa kwakiasi hiki.

B i l a s h a k atunakumbuka ile kauliya Rais Mstaafu, MzeeAlhaj Ali Hassan Mwinyiakiongea kwa faharikabisa kwamba Muislamuna Mkristo walifanyakosa linalofanana, tenaM u i s l a m u a l i k u w ambunge, akamfunga lakiniakamwachia huru padiri!

T u na k u m bu k a p i ayaliyoj ir i wakati wa

uchaguzi mkuu uliopita m b a p o M a a s k o fw a l i k u w a w a k i t omatamko makali makana kufikia kutengenezilani yao ya uchaguzLakini pia hata baada yuchaguzi wakaendelekutoa matamko ya kutishkuikisha nchi isitawalikkitu ambacho hakijawahkutamkwa na Muislamyoyote katika nchi hiRejea pia yaliyojiri hivkaribuni katika kadhia ykuchinja.

Hata hivyo, katikkadhia zote hizo, hujasikkuwa kuna mchungaau askofu amesota ndankama wanavyosota Pondna Masheikh wa UamshKwa nini?

Da’wah na Jihad yetkwa Tanzania, lazimitizame na kupata jawabu

Da’wah na Jihad yetupamoja na kuwasomeshWaislamu kuujua Uislamwao, lazima itizame nkuweka mikakati ykuwaimarisha Waislamna kuwatoa katika hali hi

U k i s o m a k i t a bcha Padir i Dr . JohSivalon, utaona j insWakristo walivyokuwwakijitahidi kuhakikishkuwa wanaingiza watwao katika sehemu zotmuhimu za kutunga sher(bunge) na za utendaji nuongozi serikalini.

H a p a n a s h a k a s ji ng inel o, ba li kuwepkwao katika sehemu zonyeti na muhimu kwuendeshaji wa nchi, ndiyinafanya leo watu wao wdini au hata waumini wkawaida wakifanya jambhaiwezi kuwa sawa nwakifanya jambo hilo hilWaislamu.

Bila shaka mtakumbukile kesi ya madai yk u c h o m w a k a n i sMbagala na kilichowakuWaislamu waliokamatwwakituhumiwa kuhusik

Lakini mtakumbukpia lile tukio la vurugza kuchinja Tundumna kuharibiwa msikitHakuna hata mtu mmoalifikishwa mahakamanna kushi tak iwa kwkuhusika na kuchommsikiti japo awali poliwalikamata watu wengi!

Hapana shaka hali kamhii haiwezi kubadilikk w a m i h a d h a r a yk u l a l a m i k a . L a z i m

Inaendelea Uk. 1

 ASKARI wa Kenya wakiwakamata Waislamu katika Masjid Mussa, Mombasa.

Page 8: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 8/16

8  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

MWAKA 1985 RaisRonald Reaganalitoa uamuzi wa

Usalama wa Taifa namba166 (National Security

Decision Directive 166(NSDD 166), uliolenga‘ k u t o a m i s a a d a y asiri kwa wingi zaidikwa Mujahidina’. Hiiilijumuisha pia kupigakampeni ya kuhamasishavijana wa Kiislamu nakuwapandisha mori juuya Jihad.

K u p a n d i k i z a n akusambaza kinachoitwakwa sasa ‘siasa kali ’ya Kiislamu au ugaidi,“ i l ikuwa ni sera yamakusudi ya Marekanikukia malengo yake yakimkakati katika eneo laKusini ya Asia, Asia yaKati na Mashariki ya Kati.Chini ya mapango huo,makundi yote ambayokwa sasa yanadaiwa kuwani ya kigaidi, ikiwemoTaliban na Al Qaidah,yaliundwa na “yalipatamisaada ya moja kwa mojaau kwa kificho kutokaMarekani, mara nyingiikipitia mashirika yamisaada ya ki-Saudia nanchi za Ghuba.”

Katika nchi zetu hizi zaAfrika Mashariki, kunavijana wengi waliwahikwenda kuj iunga namakundi hayo ili kupigana

 Jihad Afghanistan katikaile vita ya kumng’oaMrusi. Vijana hao wengi,ama kwa sasa wameuliwa

Tunaweza kuepuka mauwaji

Msikitini kama ya MombassaLakini letu likiwa moja na polisi, serikali

Kwa sababu wanapotumiwa Masheikh

Wanamalizia kazi Polisi na serikali zetu

Na Omar Msangi

a u w a n a t u m i k i avifungo na wengine,h a s a w a M o m b a s a

Kenya wal ikamatwan a k u p e l e k w a a m aGuantanamo au kambi

ny i ng i ne z a s i r i z aMarekani.

Labda swali hapa ni je,

vijana hawa waliingiakatika makundi ya Jihad

Katika mkakati w‘166’ wa Rais Reagant u n a a m b i w a k u wwalitafutwa “wakufunkutoka wanazuoni w

nchini Saudi Arabia”wakapewa kusimamimpango wa madrassyanayofadhiliwa na CIkaskazini ya Pakistan.”

Kwa hiyo, ama vijanwaliotoka katika nchzetu kwenda kusomPakistan, waliangukikatika madrasa hizau waliangukia katikm a w a k a l a a m b awalisambazwa dunin z i m a k u t a f u twapiganaji wa KiislamuNa tunaambiwa kuwm ta f u ta j i m k u u wwawapiganaji hao alikuwni Osama bin Laden.

Ukimtaja Osama BiLaden, kwa Waislamwengi, huyu ni shujakatika ulimwengu wKiislamu. Lakini Osam

 bin Laden, ndiye alikuw“mtwishwaji mizigo mkuwa Marekani (hata hivynadhani i l ikuwa bilkujijua maana hata yeyalikuwa hakutani ana kwana na moja kwa moja nwakufunzi kutoka CIA).

Y e y e m w e n y e wkatika uhai wake aliwahkuulizwa juu ya msaadwa Marekani, na jibu lakkama alivyonukuliwa n

Beardman, lilikuwa:“Neither I, nor my brothesaw evidence of America

HUU ulikuwa nimpango kabambewa Shirika la

Kijasusi la Marekani(CIA) wa kuwafadhiliMujahidina ili kupiganavita kwa niaba yakekumng’oa Mrusi kuleAfghanistan. Na ulifanyakazi kati ya mwaka 1979na 1989.

Vinara wakuu wampango huu wanatajwa

kuwa ni Charlie Wilson( C o n g r e s s m a n ) n aZbigniew Brzezinski.Katika kutekeleza mpangohuu, hawa ndio walikuwawakiingia katika kambiza mujahidina zilizokuwaPakistan kukutana kwa sirina mujahidina wakiwapamoyo kwa kuwaambia,mtashinda “God is on yourside” (Mungu yupo pamojananyi).

Mpango ulihusishau t o a j i w a e l i m u /propaganda, mafunzo nasilaha kwa mujahidina.

Operation CycloneWakati ule Marekaniiliona kuwa mujahidinawangefanya kazi nzurizaidi kuliko kuyafadhilimakundi ya wapiganajiambao walikuwa hawatakisiasa za kikomunisti, lakinikwa mlengo wa kisiasa

tu, sio kwa msukumo waimani ya dini.Na kwa sababu hiyo,

nchi za Kiislamu kamaPakistan na Saudi Arabia,zil ifanywa washirikawakuu katika kutekelezampango huu. WakatiPakistan ikitumika kupitiaIdara yake ya Usalamakutoa mafunzo kwawapiganaji, Saudi Arabiailitumika kutoa mafunzo yakidini kuhamasisha Jihad,kukusanya wapiganajikupitia Masheikh lakinip i a na k u to a pe sa .

I n a s e m e k a n a k u w amakubaliano yalikuwakwamba, kwa kila dolamoja iliyokuwa ikitolewana Marekani kama msaadakwa mujahidina, SaudiArabia nayo ilitoa dolamoja. Kwa maana kuwa

kama Marekani ikitoadola milioni 50, basi SaudiArabia nayo ilitoa kiwangohicho hicho.

K w a m u j i b u w ataarifa kutoka vyanzombalimbali, msaada waMarekani ulianza na dola$20–30 milioni kwa mwaka1980 hadi kukia dola $630milioni mwaka 1987.

Kwa kauli ya ZbigniewBrzezinski, aliyekuwaM s h a u r i M k u u w aUsalama wa Taifa (NationalSecurity Adviser), wa Rais

 Jim my Car ter, misaada

kwa mujahidina ambaowalikuwa wakipingaserikali ya chama chakikomunisti, People'sDemocratic Party ofAfghanistan (PDPA),kilichoingia madarakaniAprili 1978, ilianza hata

kabla ya Urusi kuvamiaAfghanistan. Anasema,walifanya hivyo kamachambo cha kuihadaaUrusi ili ivamie wapatekuifanya nayo ionje ladhaya ‘Vita ya Vietnam’,a m b a y o w a l i k u w ana uhakika kwambaitaidhoosha Urusi mpakaiporomoke.

“ T h e d a y t h a t t h eSoviets ocially crossed theborder, I wrote to PresidentCarter. We now have theopportunity of giving tothe USSR its Vietnam war.

Indeed, for almost 10 year Mo scow ha d to ca rr y oa war unsupportable bthe government, a conflithat brought about thdemoralization and finallthe breakup of the Soviempire.”

Alisema ZbigniewBrzezinski alipohojiwa n

 baadhi ya waandishi whabari.

K i l i c h o k u w

k i n a i s h u g h u l i s hMarekani katika kadhia yUrusi kuingia Afghanistani kile kilichoelezwa na Ra

 Jimmy Carter, ambachkilikuja kujulikana kam“Carter Doctrine: that thU.S. would not allow another outside force to gaicontrol of the Persian Gulf

K w a m b a k a m wMarekani haitaruhuskuona kuna mtu-nguvy o y o te , k u to k a n j einaikamata Ghuba yPeshia (na Mashariki y

Inaendelea Uk.

Inaendelea Uk.

RAIS wa zamani wa Marekani, Hayati Ronald Reagan (mwenye suti nyeusi) akiongeana viongozi wa Taliban Ikulu ya Marekani mwaka 1983.

Page 9: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 9/16

9  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

Tunaweza kuepuka mauwaji

Msikitini kama ya Mombasa

Inatoka Uk. 8

Kati). Eneo hilo Marekaniilishajiaminisha kuwani lake la kuchuma nakukomba mali.

Hii ‘Carter Doctrine’, i l i e n d e l e z w a n akupanul iwa zadi na“Reagan Doctrine”, ambapopamoja na kutoa misaadaya kijeshi, ilifanyika kazikubwa ya kutoa elimuya Jihad na kuhamasishavijana kuingia katika Jihadkupambana na makari.

Hapa ndipo ulipokujaule mpango uliotekelezwana Chuo Kikuu cha

Nebraska wa kuandikavitabu vya kuwajazawatoto wa shule imaniya Kiislamu na mori wakupigana Jihad.

Ifuatayo ni mifanoi l iyokuwa ik i tumikakatika vitabu vya kiadana ziada kufundishiashuleni huko Afghanistan.Nitaiweka kwa Kiingerezakama ilivyonukuliwa nawatati mbalimbali halafunitajaribu kutoa ufafanuzikwa Kiswahili.

  Katika kitabu chakwanza cha kusomeshea

Operation CycloneInatoka Uk. 8

Inaendelea Uk. 1

watoto wa darasa lak w a nz a k u so m a nakuandika kinaanza kwakusema:

“Alif [is for ] Allah. Allah isone. Bi [is for] Father (baba).Father goes to the mosque.Pi [is for] Five (panj). Islamhas five pillars. Ti [is for]Rie (tufang). Javed obtainsrifles for the Mujahideen. Jim [is for ] Jihad. Jihad is anobligation. My mom went tothe jihad. Our brother gavewater to the Mujahideen.

Dal [is for] Religion (din).Our religion is Islam. TheRussians are the enemies ofthe religion of Islam.”

“Zhi [is for] Good news(muzhdih). The Mujahideenmissiles rain down like dewon the Russians. My brother gave me good news that theRussians in our countrytaste defeat. Shin [is for]Shakir. Shakir conducts jihad with the sword. Godbecomes happy with thedefeat of the Russians. Zal[is for] Oppression (zulm).Oppression is forbidden. The

Russians are oppressors.We perform jihad againstthe oppressors. Vav [is fo r ] Na ti on (vat n) . Ou rnation is Afghanistan….The Mujahideen made ourcountry famous…. Our Muslim people are defeatingth e c o m m u n i s t s . T h e Mujahideen are making ourdear country free.”

Ukiangalia namna hiiya kufundisha watoto waAfghanistan kwa lughayao ambayo hutumia

heru za Kiarabu, mtotoanasomeshwa stadi zakusoma na kuandikahuku akijazwa hisia yakupenda jihad na wakatihuo huo kumchukia Mrusina kuona fahari kwendakupigana.

Kuna wakati hapa katikazile zama za MwalimuNyerere kuhamasisha Siasaya Ujamaa na Kujitegemeapamoja na kupiga vitaubepari, mifano mingiya kuwafanya watotow a u c h u k i e u b e p a r ina kupenda ujamaa,

iliwekwa katika vitabuvya kufundishia.

Na katika mpangohuu wa Marekani wakuandaa mujahidinakatika Afghanistan, vitabuvya hesabu vilitumikakujenga chuki dhidi yaUrusi na kutoa hamasakwa vijana kupambana nawakomunisti.

Mfano katika kitabukimoja cha hesabu darasala tatu, kuna hesabu yamafumbo inayosema:

“One group of mujahidinaack 50 Russian soldiers.In that aack 20 Russianswere killed. How manyRussians ed?”

Ikiwa na maana kuwakundi moja la mujahidinalilishambulia askari 50 waUrusi. Katika shambuliolile, askari 20 wa Urusiwaliuliwa. Je, ni askariw a n g a p i w a U r u s iwalikimbia?

Mfano mwingine niule ulio katika kitabucha hesabu darasa la nne(fourth-grade mathematics

textbook). Unasema:

 “The speed of a Kalashnikobullet is 800 meters pesecond. If a Russian is at distance of 3,200 meters froa mujahid, and that mujahaims at the Russian’s heacalculate how many secondit will take for the bullet strike the Russian in th forehead.”

Kwamba kasi ya risakutoka bunduki aina yKalashnikov, ni meta 80kwa sekunde. Kama askawa Urusi amesimamumbali wa mita 3,20kutoka alipo mujahidinna kama mujahidina n a f y a t u a b u n d u kkumlenga kichwani yuaskari, itachukua sekundngapi risasi kupiga kichwcha Mrusi?

Ukiacha vitabu vyhesabu na kusomeshekuandika na kusomapaliandaliwa pia vitabu vymichezo na sanaa. Katikkitabu kimoja cha lugha nsanaa cha darasa la tankulikuwa na kichekesh(a joke) kil ichokuwkikimzungumzia kijanaliyerudi kutoka uwan

help”. (Weekend Sunday(NPR); Eric Weiner, TedClark; 16 August 1998).

Kwa maana kuwa hatakama kulikuwa na msaadakutoka Marekani, yeye

pamoja na makamandawenzake, hawakuwa nakielelezo au ushahidiwowote wa jambo hilo.

Hata maofisa wa CIAwenyewe wamekuwaw a k i s e m a k u w ahawakuwa na uhusianowa moja kwa moja na

 bin Laden. (Phil Gasper,International SocialistR e v i e w , N o v e m b a -Desemba 2001)

H a t a h i v y o ,waliomtuma kazi hii

 bi la ye ye mwe nye wekujua kuwa alikuwaakifanya kazi ambayo

 ba ad ae ita wa nu fa ish amabeberu na kuleta balaakubwa kwa Waislamu,walimwandikisha mwaka1979 wakati huo akiwana umri wa miaka 22 “naalipewa mafunzo katikakambi iliyoundwa nakusimamiwa na CIA.”

Akitokea katika familiatajiri ya ki-Saudi ya BinLaden “alipewa nafasi yakusimamia utafutaji fedhakwa ajili ya brigedi zaKiislamu.”

Akiwa na ufadhi l i

wa fedha usiopungua,Osama aliweza kukusanyawapiganaji kutoka nchimbalimbali duniani, huku

kupitia kwa ule “uamuziwa Usalama wa Taifanamba 166 (NationalS e c u r i t y D e c i s i o n

Directive 166 (NSDD 166)wa Rais Ronald Reagan,misaada ya siri kwa wingizaidi ikimiminika kwa

Mujahidina.Katika kuweka mikaka

kama hii, Marekani ni fundsana wa kurai na kulaghaNa hiyo inadhihirishwa nkitendo cha Rais Reagakuwaalika makamanda wMujahidina na kukutannao Ikulu ya MarekanWhite House, Februamwaka 1983. Katika kikahicho, Reagan alinukuliwna vyombo vya habaakisema:

“These gentlemen are thmoral equivalent of AmericaFounding Fathers.”

Sisi hapa katika kilecha kumuenzi na kumph e s h m a M w a l i mNyerere, tunamuita Babwa Taifa. Sasa katikMarekani ukizungumz“ A m e r i c a n F o u n d i nFathers”, unazungumziw a tu m u hi m u sa n

katika historia na siasza Marekani. Hawa nw e n g i u k i a n z i a nwaliopigana vita, waliototamko la Uhuru mwak1776 na walioandikKatiba ya MarekanHata hivyo, mwaka 197mwanahistoria Richard BMorris aliwataja “FoundinFathers”  saba kuwa ndimuhimu zaidi. Nao ni JohAdams, Benjamin FrankliAlexander Hamilton, Joh

Inaendelea Uk. 1

CHARLIE Wilson (mwenye darubini na picha ndogo juu) aliyekuwa kinara waOperation Cyclone akiwa na Mujahidina Afghanistan wakati wa vita na Urusi.

Page 10: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 10/16

10  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

Tunaweza kuepuka mauwaji

Msikitini kama ya Mombassa

Inatoka Uk. 9 Jay, Thomas Je fferson, James Madison na GeorgeWashington.

Sasa Reagan katikakucha kile kilicho moyonina kat ika kuwavutamakamanda wa Jihad,Afghanistan ili wajionewamethaminiwa sana nawaione serikali ya Marekanini raki wa kutumainiwa,a l i w a l i n g a n i s h a n a“Founding Fathers” waMarekani kimaadili. Lakinini hawa hawa waliopewaheshma hiyo, miaka 16

 baadae wal ibatizwa nakuitwa magaidi na wengiwao wakasagwasagwa naile ‘carpet bombing’ yaB-52 kule Kandahar.

Tukirudi katika ile‘NSDD 166’, ni kuwa“Marekani ilitoa silahakwa brigedi za Kiislamukupitia Usalama wa Taifawa Pakistan (ISI). Nainaelezwa kuwa chini ya

NSDD 166, kupatikana kwasilaha za Marekani kwawapiganaji wa Kiislamukuliongezeka kutoka tani10,000 za bunduki narisasi mwaka1983 haditani 65,000 kwa mwaka,mnamo 1987.

L a k i n i m c h a n g om k u b w a z a i d i w aMarekani ilikuwa ni kuletawatu na silaha kutoka nchiza Kiarabu na kwingineko.Wapiganaji wenye uzoefuna dhamira ya dhatikiitikadi walitafutwa kwamantiki kuwa watakuwandiyo wapiganaji bora.

Matangazo, yaliyolipiwana fedha kutoka CIA,y a l i w e k w a k a t i k amatangazo na vijaridakote duniani yakiahidimotisha na ushawishi wakujiunga na Jihad, (Hiini kwa mujibu wa PervezHoodbhoy, ‘Afghanistanna Chanzo cha Jihad yaKimataifa,’ Peace Research,

May 1, 2005)

Usisitizaji wa itikadi

 ya kidini na JihadChini ya NSDD 166,

misaada ya Marekanikwa brigedi za Kiislamui l i y o k u w a i k i p i t i aPakistan haikuwa tu nikwa mahitaji ya kijeshi.Washington pia iliunga

mkono na kutoa fedhakwa Shirika la Maendeleoya Kimataifa (USAID)kuendeleza uinuaji itikadiya dini, iliyowezeshakuangamizwa kwa taasisiza kiraia, za kawaida.

M a r e k a ni i l i tu m i am a m i l i o n i y a d o l akuwapatia watoto wa shulenchini Afghanistan vitabu

vya kusomea vilivyojaapicha za ukatili na shari zamafundisho ya Kiislamu,sehemu ya operesheni yakicho ya kuinua upinzanikwa kukaliwa na Urusinchi hiyo.

Vitabu hivyo vya awali,ambavyo vilikuwa vimejaalugha ya Jihad na michoroy a bu nd u k i , r i sa s i ,

wapiganaji na mabomuya kutegwa, viliendeleakutumika kama vitabu vyakiada (vya kufundishia)k a t i k a m f u m o w amasomo wa Afghanistan.Hata Taliban ilipokuwamadarakani i l i tumiavitabu vilivyotengenezwaMarekani.

Katika moja ya makala

z a ng u hu k o ny u m aniliwahi kueleza kisacha vijana walioachashughuli zao na hatamasomo wakiwa vyuovikuu hapa nchini wakidaiwanakwenda kujiandaana Jihad. Na kuna taarifakuwa kuna darsa kamahizo mitaani na hasa katikamikoa ya Dar es Salaam,

Pwani, Tanga, Arusha naMwanza.Hii ni ishara kuwa ule

mkakati ulioanza tokawakati wa Reagan umekampaka huku.

Tunaambiwa kuwachini ya 166, “Marekaniilitumia mamilioni yadola kuchapisha vitabuvya kuhimiza Jihad kwa

kutumia aya na hadithwala haiwezi kukupitikkuwa haki tokani nmaulamaa wenye taq’wawa Kiislamu.

Ili kuhakikisha kuwwanafanya jambo kwkujua na litakalo letmatokeo wanayokusudiserikali ya Marekanilitumia kiasi cha dol

milioni 51 kufanya uta juu ya Afghanistan kupitChuo Kikuu cha Nebrask

 Ji mbo la Omaha, nd ivikatengenezwa vitabvya kusomeshea. Hiyilikuwa siku za mwanzza miaka ya 1980 programhiyo ikitekeleza chini ymsaada wa USAID kwChuo Kikuu hicho.

Kwa mujibu wa gazeti Washington Post, Machi 22002, tunaambiwa kuwkuanzia 1984 hadi 199Shirika hilo la USAIDlilitumia mamilioni ydola katika program

za Chuo Kikuu hichkuhusu AfghanistanKatika ushirikiano huw a A f g h a n i s t a n nMarekani, Mujahidinchini ya maelekezo nufadhili kutoka ‘EducatioProgram for Afghanistakatika Chuo Kikuu chNebraska, waliunda Kitucha Elimu-EducatioCentre for Afghanista(ECA), ambacho kilipew

 jukumu la kuandi kna kusambaza vitabvinavyohimiza Jihad nkujenga chuki dhidi yMakari.

Pengine sasa swamuhimu ni je, Marekaninanufaika vipi na kuandam u j a h i d i n a ? F a i dgani inapata Marekankwa kutoa mafunzo nkuzalisha watu ambawataichukia na kuifanyvitendo vya kigaidi akufanyia ugaidi wat

Inaendelea Uk. 1

Operation CycloneInatoka Uk. 9

wa jihad. Kinasema:“A boy returning from

war was asked, “What didyou do in the war?” Heanswered, “I cut both legso an enemy at the knees.”When asked why he didnot cut off the enemy’shead, the boy answered,“Someone else had alreadycut it o.”

K w a m b a k i j a n aaliporejea kutoka jihadaliulizwa, nini ulifanyakatika vita? Akajibu,nilimkata adui mmojamiguu yake yote kutokeamagotini. Akaulizwa, kwanini hukumkata kichwa?Akajibu, tayari mjahidina

mwingine alishamkatakichwa.”

Al i w a hi k u u l i z w aZbigniew Brzezinskiiwapo hajisikii vibayak u a m b i w a k u w aaliwasaidia Mujahidina,ambao leo wanatuhumiwakuwa ni magaidi.

Katika maelezo yake yakina alisema kuwa wakatiule agenda muhimu kwaoilikuwa kuiporomoshaUSSR (Urusi), na hivyokatika kutekeleza agendamuhimu, mambo mengine

madogo madogo huwekwakando.

Na alipotakiwa kuelezakuwa haoni kuwa ilikuwahatari kwa vile mpangoungeimarisha mujahidinana kuleta tabu dunia nzima

 ba ad ae ; al isem a, watuwenye kuona hivyo niwatu wenye jazba, wasiokiri. Ila wenye kutumiaakili hawaoni hatari yoyotekwa mujahidina kwa sasa.

Akasema, ni kwelikuwa Uislamu ndio diniinayokua kwa kasi zaidi

duniani kwa sasa ikiwana wafuasi takriban 1.5

 billioni. Lakini watizame,wana nini. Itizame SaudiArabia, Morocco, Pakistan,Misri na nyingine, hakunanamna ya kuwaweka kwapamoja hawa kwa sasawakafanya nguvu moja yakuugopesha ulimwenguwa Kikristo

Na kweli, baada yanchi za Kiislamu, SaudiAr a bi a na P a k i s ta nkutumika kuwajenga nakuwasaidia Mujahidina

kupambana na jeshi lUrusi, nchi hizo hizo zKiislamu zikaungana tenna Marekani kuwapigMujahidina (Taliban) mar

hii wakiambiwa kuwa hani magaidi!Kwa ufupi hii ndiy

il iyokuwa OperatioC y c l o n , i l i y o k u wi m e l e n g a k u t a f u tmujahidina na kuwapmafunzo na silaha ikupigana ‘Proxy War’ yMarekani. Na kwa bahambaya mujahidina hawanaendelea kuzalishwna kutumika hadi hii leo

Pengine ufike wakawaj iu l ize Waislamuwatatumiwa mpaka linkujiangamiza wenyewe nkuangamiza dini yao?

ZBIGNIEW Brzezinski (kulia) kinara mwingine wa Operation Cyclone akiwaelekeza Mujahidin namna ya kutumia silaha toka Marekani.

Page 11: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 11/16

11 AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala/Tangazo

MASJID Kadiria Mwasitiuliopo Kijiji cha KibutaWilayani Kisarawe MkoaniPwani wanaomba msaadawa kuchimbiwa kisimakatika Msikiti huo pamojana Jenereta kwa ajili yakus ukum a m a j i kw amatumizi ya Msikitini.

Gharama za uchimbajiwa kisima hicho ni Shilingimilioni tatu. Dada Mwasitiamejitahidi kuchangishapesa kwa ajili ya kuchimbakisima hicho na mpaka sasaamefanikiwa kupata milionimoja tu.

Shime Waislamu kutoa nimoyo, unaombwa kuchangiachochote ulichojaaliwa naMuumba wako kwa ajili yakuweka akiba ya Akherayako.

Kwa mawasiliano zaidiwasiliana na Dada Mwasitikupitia namba:- 0656 092436.

Wabillah Tawfq

Msaada wa kuchimbiwa Kisima

DADA Mwasiti (kulia) akiwa na wanafunzi wa Madrasakatika Masjid Kadiria Mwasiti Kibuta Kisarawe.

Tunaweza kuepuka mauwaji

Msikitini kama ya Mombasa

Inatoka Uk. 10wengine?

Ku j i bu sw a l i h i l i ,ningependa ninukuukipande cha hitimishocha uchambuzi wa ProfesaChossudovsky kamaulivyo.

Y e y e a n a s e m a :“Makundi haya 'ya kigaidi'yaliundwa kama matokeoya kuungwa mkono naCIA. Hayakutokana nadini. Mkakati wa kuundaKhilafah ya Kimataifa nisehemu ya opereshenimaalum i l iyoundwakijasusi.

Msaada wa CIA kwa AlQaeda haikuishia katikakipindi cha vita ya kiitikadikati ya Marekani naUrusi. Ni kinyume chake.Mwelekeo wa kwanza wautoaji misaada kwa siriulichukua msukumo wakimataifa na kuwa wa haliya juu zaidi.

“Vita ya kimataifa dhidiya ugaidi”, ni mkakatiwenye miingiliano mingina wa kijasusi. Misaadaya siri inayotolewa kwa'makundi ya siasa kaliya Kiislamu' ni sehemuya mpango mkubwawa kutia dole gumbakatika mahusiano yakimataifa. Unaelekezanguvu kudhoofisha namwishowe kuteketezamamlaka za kiraia zakawaida, wakati pia unatoamchango wake katikakuudhalilisha Uislamu.Ni nyenzo ya kuenezaukoloni ambao unaelekezakuhujumu mataifa huruna kuyaunganisha kamamaeneo ya himaya kubwazaidi.

Ili operesheni hiyo yakigaidi ifaulu, mashirikato f a u t i y a K i i s l a m uyaliyoundwa na kufunzwana CIA inabidi yaendeleekuwa na ufahamu ya nafasiwanayochukua katikamsongo wa mashindanoya kuitiisha dunia kijeshi,kwa ajili ya Washington.

Kwa miaka kadhaa,mashirika haya yamekiakweli hatua ya kuwa nauhuru kiasi fulani wakujiamulia, ukilinganishana wafadhili wao Pakistanna Marekani. Hii picha yakuwa huru ina umuhimu:ni sehemu mahsusi ya

operesheni ya kijasusi.Kwa mujibu wa mshirikawa zamani wa CIA, MiltonBeardman, Mujahidinawalikuwa hawana habariya kile wanachofanyakwa niaba ya Washington.Kwa maneno ya binLaden (ak inukul iwana Beardman) "s iyomimi, wala wapiganajiwenzangu (ndugu zangu)waliona ushahidi wamisaada ya Marekani,"nukuu iliyotolewa na EricWeiner na Ted Clark katikamahojiano ya mwisho wa

wiki ya National PublicRadio (Marekani), Agosti16, 1998.

Wa k i su k u m w a nauzalendo na itikadi yakidini, wapiganaji waK i i s l a m u w a l i k u w ahawana habari kuwawanapigana na jeshila Urusi kwa niaba ya

Marekani (Uncle Sam).Wakati kulikuwa namawasiliano katika ngaziza juu za mashirika yakijasusi, viongozi wamakundi ya waasi yaKi is lamu hawakuwan a m a w a s i l i a n o n aMarekani au CIA (MichelChossudovsky, Vita yaMarekani dhidi ya Ugaidi,sura ya 2).

Uundwaji wa ‘ugaidi'ikiwa ni pamoja na kutoamisaada ya sir i kwamagaidi inayohitajiwa ilikuhalalisha ‘vita dhidi yaugaidi.'

Makundi tofauti yaitikadi kali na ya kijeshi

yanayohusika na mipangoya ‘kigaidi' inayofadhiliwana Marekani ni ‘amana zakiusalama.' Kufuatia tukiola Septemba 11, nafasi yaokama ‘amana za kiusalama'ni kuonekana kuwa ni‘maadui wa Marekani.'

Chini ya utawala waGeorge W. Bush, CIAiliendelea kusaidia (kupitiaISI ya Pakistan) makundiya Kiislamu yenye maskaniPakistan. ISI inafahamikakuunga mkono Jamaata-Islami, ambayo pia ikonchi za kusini masharikiya Asia, Lashkar e-Taiba,

 Jihad a-Kashmiri, Hizbul

M u j a h i d i n na J a i she-Muhammad.

Makundi ya Kiislamuyaliyoundwa na CIA yana

 juku mu pi a la ku vu tauungwaji mkono miongonimwa watu katika nchi zaKiislamu. Nia halisi nikujenga tofauti katika jamiiza nchi hizo kote eneo laMashariki ya Kati na Asiaya Kati, huku vikijengauhasama wa kimadhehebukatika Uislamu, kwa niaya kuzuia kujengeka kwa

harakati ya kimapinduziinayounganisha makunditofauti ya watu, ambayoi n g e l e t e a m a t a t i z omalengo ya ukandamizajiduniani ya Marekani.

Nafasi ya adui wa njepia ni muhimu katikapropaganda ya vi ta

kuchangamsha hisia zawatu kupitia vyombovya habari katika nchi zaMagharibi. Bila adui, vitahaiwezi kupiganwa. Sera

ya nje ya Marekani inahitakuunda adui kuhalalishuingiliaji kati katika nchtofauti Mashariki ya Kaya Asia ya Kati. Aduanahitajiwa kuwezeshagenda ya kijeshi ifauluambayo inakuwa n‘kuwafuata Al QaedaUtengenezaji na kulaanadui huyo vinahitajiwili kuhalalisha hatua zkijeshi.

Uwepo wa adui wa nunahalalisha kra potofkuwa ‘vita dhidi ya ugaidni ya kweli. Inahalalisha nkutoa picha ya uingiliakijeshi kuwa ni msaadwa kibinadamu unaoanzkatika dhana ya haki ykujihami. Inainua jukabisa dhana potofu y‘uhasama wa kitamadunNia iliyojicha hatimaye nkufunika malengo haliya kiuchumi na kijeshnyuma ya vita pana yMashariki ya Kati na Asya Kati.

Kihistoria, Pakistai m e k u w a na na f a smuhimu katika vita dhidya ugaidi.' Pakistan katikkra ya Marekani ni kituchanya cha mikakaya kijeshi ya eneo hiloInapakana na Afghanistana Iran. Imekuwa na nafamuhimu katika uendeshawa operesheni za kijeshza Marekani na washirikwake nchini Afghanistana pia katika mipangya vita na Iran ya wakuwa jeshi la Marekani(Tazama : “9/11 ANALYSIFrom Ronald Reagan and thSoviet-Afghan War to GeorgW Bush and September 12001 (Global ResearchSeptember 09, 2010)

(Soma Tahariri uk.2)

BAADHI ya polisi wakiwa wamewaweka chini ya ulinzi Waislamu baada ya kuvamiandani ya Msikiti.

Page 12: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 12/16

12  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Mashairi/Makala

Kalamu i mkononi, yenye wino wa huzuniKwa kuawa ikhiwani, kwa 'shaba' Kenya nchiniWakiwa msikitini, pwani Mombasa jijiniKulikonina kwanini, wawawe msikitini?

Ingelikuwa vitani, nisingehoji kwaniniMadhali msikitini, nauliza kulikoniKuuwawa waumini, kwa bastola jamaniKulikoni na kwanini, wawawe msikitini ?

Wauwaji si wahuni, polisi serikaliniNikiweta mahaini, wa sheria ni kosaniKama sio nijuzeni, magaidi hawa naniKulikoni na kwanini, wawawe msikitini?

Ugaidi waulani, hali wao namba waniDhahiri waulaani, waushiriki batiniKama sio nijuzeni,wazandiki hawa naniKulikoni na kwanini, wawawe msikitini?

Hata kama waumini, wangekuwa wahainiKilichowashinda nini, kuwapeleka kotiniKama sio nijuzeni, wahalifu hawa naniKulikoni na kwanini, wawawe msikitini?

Wamewaua insani, kinyama pasi na soniMithili simba nyikani, kwa wenzake hayawaniKama sio nijuzeni, hayawani hawa niniKulikoni na kwanini, wawawe msikitini?

Kwa hamu twakungojeni, watetezi wa insaniMsijitoe uoni, kwa ubaguzi wa diniKama sio nijuzeni, insi kwenu ninyi naniKulikoni na kwanini, wawawe msikitini?

Kaditamati poleni, wa Mombasa waumini

INNAA LILLAAHI WAINNAA

ILAYHI RAAJIUUNA

(MAUAJI MASJID MUSA)

Nimeishika kalamu, kwa dhamana ya MashekheKuhoji yanilazimu, kulikoni kwa MashekhKuwekwa shuruti ngumu, za vikwazo kwa MashekhKwa shuruti hizi ngumu,lengo'wasote'Mashekh.

Mtimani nina ghamu, kwa wakwazwavyo MashekhMaamiri wa kaumu, si 'wahaini' MashekheNa wala si madhalimu, waadilifu MashekhKwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekh.

Kosalo mwalifahamu, sikilizeni 'Mashekh'!,Kufchua udhalimu, wa dola yetu Mashekh,Kwa kusimama kawimu, dhidiye wetu MashekhKwa shuruti hizi ngumu,lengo 'wasote'Mashekh.

Ndilo kosalo adhimu, japo lafchwa 'mashekhe',Lilomfanya dhalimu, awakamate Mashekhe,

Lengo kwake wasalimu, amri wetu Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Katu hawakusalimu, amri kwake Mashekhe,Faridi na Mselemu, miongoni mwao Mashekhe,Pamwe wote wakadumu, na msimamo Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Akazongeka dhalimu, kwa gumzo la 'mashekhe',"Pasi dhamana kudumu, hadi lini kwa Mashekhe",Akatehemu dhalimu, na njamaze kwa Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Kuihadaa kaumu, isimzonge "Mashekhe",Wiki jana si kadimu, kule Zenji kwa Mashekhe,Dhamana ya kidhalimu, ikatoka kwa Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Kizungumkuti cha

dhamana ya Mashekh !

Kwa kuwa ikhiwani, tumuombe RahmaniAwaruzuku jinani, tuseme sote "AMINI !"Allah waweke peponi, waepushe na nirani.

ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

Yu akanena hakimu, "dhamana nje 'mashekhe' ",Kilotawala ni ghamu, mahakamani 'mashekhe',Kwa shuruti zake ngumu, hiyo 'bondi' kwa Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Ikanenwa na hakimu, zitolewe kwa Mashekhe,Ishna tano tamamu, milioni KILA SHEKHE",Sharti lisipotimu, warudi 'ndani' Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Dhamana isingetimu, hata hivyo kwa Mashekhe,Pasi watatu kutimu, wadhamini wa Mashekhe,Tena wawe makhadimu, serikalini 'mashekhe',Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Kila mmoja si timu, mdhamini wa Mashekhe,Yunawe inogharimu, mali 'bondi' kwa Mashekhe,Ishna tano tamamu, milioni kwa Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote'Mashekhe.

Eti kwa hayo kutimu, n'dipo wetu Mashekhe,Wangepewa na hakimu, dhamana yao Mashekhe,Rumande kwa kutotimu, wakarudishwa Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Kama hatutajihimu, kuwanusuru Mashekhe,Kamwe hakomi dhalimu, kuwahujumu Mashekhe,Kwa 'kucheka' na dhalimu, 'watapotea' Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Bara na Zenji kaumu, Pamwe nawetu Mashekhe,Kawimu tustakimu, hadi watoke Mashekhe,Kwanini 'selo' wadumu, dahari wetu Mashekhe,Kwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekhe.

Ni letu sote jukumu, kuhami wetu MashekheKikoa sasa tukumu, kwa nusura ya Mashekh

 Jihadi istakimu, laa! watoke MashekhKwa shuruti hizi ngumu, lengo 'wasote' Mashekh.

Mwisho yahoji kalamu, kulikoni kwa Mashekhe,Dhuluma dumu dawamu, hadi lini kwa Mashekhe,Kawimu tusipokumu, tuna dhima kwa Mashekhe,Kaditamati nudhumu, ya dhamana kwa Mashekh.

ABUU NYAMKOMOGI

MWANZA.

Masjidi Mtambani watoa onyo kali kwa wavurugajInatoka Uk. 16

kilifanyika Bakwata(Masjid Al-farouq) badala ya Msik i t iwa Mtambani, hivyohawakuchaguliwa nawaumini kama Katibainavyotaka.

Lakin i , a l i s em awalibaini zaidi kwambaw a d h a m i n i h a o ,walichaguana mwaka2005, ili hali Katibainasema uchaguzi ni

kila baada ya miakamitano, akadai hiyoina maana muda waoulikuwa umekwishaukiacha dosari yakutochaguliwa nawaumini wa Mtambani.

Sheikh Abdallah,alisema baada ya hapoilibidi waitishe kikaona kuwaeleza wauminihali hiyo, kwambawadhamini wa mwishomuda wao umekwishamwaka 2010, kwasababu walichaguanamwaka 2005.

“Hivyo tuliitishakikao cha waumini

w a M t a m b a n iOktoba, 2013, ambapowaumini zaidi ya200 walishiriki nakuchagua wadhaminiwapya wa Msikiti chiniya BARAZA KUU,kisha tukapeleka RITAtukiambatanisha namajina ya wauminiwalioshiriki . Hatahivyo hatukupatamajibu mapema jamboambalo lilitutia shakana kujiuliza kulikoni.”Alifafanua SheikhAbdallah.

Hata hivyo alisemamnamo Januari 21,2014, RITA walijibu nakueleza kufurahishwana hatua ya kufanyau c h a g u z i , k w akuwa Taasisi hiyo(Mtambani) imekuwahaiwasilishi marejeshoyake ya kila mwakakama inavyopaswatoka mwaka 2005,lakini pia i l ikataakutambua uchaguzin a m a b a d i l i k oh a y o k w a k u w a

hayakusimamiwa naBAKWATA.

Sheikh Abdallahalisema kuwa maelezoh a y o y a R I T A ,yalizingatia kanuni nataratibu zao kuwa RITAinatakiwa kufanya kazina vyombo vya dinikwa kushirikiana naMamlaka Kuu husikaz i l i z o a n d i k i s h w an a v y o m b o v y adini katika Ofisi yaMsimamizi Mkuu waWadhamini wakatizilipoandikishwa.

“ N a p e n d akuwajulisha kuwa osipamoja na kufurahia niayenu njema haitowezakupokea mabadilikoh ayo kwa s ababuTaasisi yenu ilisajiliwachini ya Baraza Kuula Waislamu Tanzania( B A K W A T A ) n am a b a d i l i k o h a y oy a m e w a s i l i s h w ay a k i o n y e s h ausimamizi umefanywana BARAZA KUU”.Imesema sehemu ya bar ua hi yo kut ok a

RITA.Katibu Abdallah

a l i s e m a w a k a t iwakifikiria namnaya kuwajibu RITA,siku chache walipata barua kut ok a kwawaki l i , ik im takakuwasilisha kila kituna kumtuhumu kuwaamevamia Msikit ina kudai kwamba,uhalisia unaonyeshani jinsi gani suala hilolilivyopangwa.

Sheikh Abdallah,a l i s em a baada yakupata barua kutokaRITA, alimtafuta nakuonana na Kiongozimmoja mkubwa waBakwata ngazi yaWilaya ya Kinondoni,a m b a p o a l i m t a k aw a l i s h u g h u l i k i esuala hilo kwa kutoaufafanuzi RITA, bilak u i b u a m v u t a n owowote.

Sheikh Abdallah,a l ida i a l im u elezak w a m b a i k i w aw a l i o t a n g u l i a

w a l i k u w aw a n a s i m a m i w an a Bakwata , s as awaliopo wanahitajik u s i m a m i w a n aBARAZA KUU, jamboambalo haoni kamalina tatizo ili kulindamaslahi ya Waislamu,huku akidai kiongozih u y o a l i m u a h i d ikulifanyia kazi.

A w a l i , S h e i k hA bdalah , a l ie lezak w a m b a w a k a t iwakichaguliwa nawaumini wa Msikitihuo awamu ya kwanzapalikuwa na wauminiwasiozidi 200 na kila ba ada ya mi ak a 5,wamekuwa wakifanyauchaguzi kwa mujibuwa Katiba ya Msikitina katika chaguzi zotewaumini wamekuwaw a k i w a r u d i s h amadarakani.

A l i s e m a h a d isasa kwa mujibu watakwimu zao wana

waumini zaidi y2,000, wanaoswakatika Msikiti huwa Mtambani, achilm b a l i w a n a f u n zwanaosoma katikshule zinazoendeshwna Msikiti huo.

K w a m u j i bw a m m o j a wMasheikh waliodaiwkuwasilisha madah a y o k w a w a k ina kutoa siku sab

alipohoj iwa al idakwamba hakuwepkatika uchaguzi wwadhamini hao wahali jui jambo hilna wala hajashirikkupeleka malalamikhayo

Aidha, juhudi zkuwapata Masheikh a o w e n g i n e ikutoa ufafanuzi zaiziligonga mwamb b a a d a y a n a m bz a o z a s i m u zmkononi tulizonazkutokuwepo hewankila zinapopigwa.

Page 13: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 13/16

13  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

 Amesema kweli

Khatib Mtambani

tumesik ia Masheikhwetu na wanaharakatiwetu wakilalamika kuwawaliwaita waandishi wahabari wa vyombo vyotekuwaeleza kadhia fulani,lak ini hawakur ipot iau kama wal ir ipot i ,walipotosha.

T u n a c h o t a k i w ak u f a ha m u n i k u w awalioanzisha vyombo vyaovya habari walianzishakwa agenda zao. Sasatusitaraj ie kudandiakwenye vyombo vya watutukitaraji vitufanyie kazi.

Tunachotakiwa nikujiuliza, kwa nini hatunamagazeti ya kila siku,redio na televisheni? Je,tumetengeneza vijanaw a s o m i w a a n d i s h iw a h a b a r i w a z u r iw a n a o j i t a m b u a n ak u h a k i k i s h a k u w aw a n a p e n y a n ak u w a w a h a r i r i n atukawategemea kufanyiakazi agenda za Waislamukatika vyombo vyao vyahabari?

Nesi NayirahBint wa Balozi

Ilikuwa katika kikaocha Kamati ya Bunge laCongress, Oktoba 10,1990 alisimama bintikutoa ushahidi juu yakile kilichoitwa ukatili waSaddam Hussein ambao

da’wah yetu ijumlishemipango ya kuhakikishakuwa Waislamu wanapatam g a o u l i o s t a h i k iyao katika nafasi zotemuhimu za kuendeshaserikali na nchi. Na katikakuweka mipango hiyo,

lazima watambue kuwawaliotangulia watapendahali iliyopo iendelee.Waendelee kushika kilamahali. Kwa hiyo wajuenamna ya kupenya.Bila shaka hilo litaanzana kuhakikisha kuwawanapatikana wasomiwazuri wanaojitambua nawanaotambua matatizoya Waislamu wa nchi hii.Suala si kuwa na mbungeMuislamu au Mkuu waPolisi Muislamu, swali ni

 je, anajitambua?Alhamisi wiki iliyopita,

kulikuwa na mjadalaStar TV asubuhi. Swalililikuwa pamoja na kuwa

 jana yake kul ikuwa namatukio makubwa namuhimu kwa serikali na

 jamii yaliyotoke a, kwanini hukumu ya AbsalomKibanda ilipewa nafasikubwa kuliko habariyoyote katika magazetiyote?

Ni wazi kuwa kamamahakama ingemtiahatiani Kibanda na penginekumhukumu kifungo,hapana shaka kuwa nchi

ingerindima kwa habarikatika magazeti, redi natv. Mwangwi ungepaampaka nje ya mipaka yanchi. Vyombo vya habarivya kimataifa vikadaka.Bila kujali kuwa kulikuwana kosa au la, bila kujalikuwa mahakama ilipatiakatika hukumu yake aula, serikali ingeshutumiwakwa kuonea waandishi wahabari na kuchukuliwahukumu hiyo kama njiaya serikali kutaka kufungamdomo waandishi wahabari. Shutuma na keleledhidi ya serikali ingekuwakubwa mno nje na ndaniya nchi.

Bi la shaka tunazokumbukizi, linapotokea

 jambo la kuwatia hatianiWaislamu jinsi vyombovya habari vinavyokuwana karamu ya kuwapondan a k u w a s h a m b u l i aW a i s l a m u . H u w e z ikuona jambo kama hiloinapokuwa wahusika niWakristo.

M a r a k a d h a a

Inatoka Uk. 7

hauwezi kuvumilika.Alisema:

“I volunteered at the al- Addan hospital with twelveother women who wantedto help as well. I was the youngest volunteer. The otherwomen were from twenty tothirty years old. While Iwas there I saw the Iraqisoldiers come into the hospitalwith guns. They took thebabies out of the incubators,took the incubators and leftthe children to die on thecold floor.[crying] It washorrifying.”

A k i g u g u m i a k w akwikwi za kulia hukuakifuta machozi, bintiyule aliwaliza wabungeal ivyokuwa akie leza

 j ins i askar i wa Ira qwal ivyoingia kat ikahospitali ya Kuwait nakuchukua vitoto vichangana kuvitupa sakafunina kuviacha vife kwa

 baridi kali. Alidai kuwaaliyashuhudia hayo kwasababu alikuwa mmojawa manesi waliokuwawamejitolea kuhudumiawagonjwa katika hospitaliya Al Addan.

“Katika muda wanguwote niliohudumu katikaBunge hi l i , s i j awahik u s i k i a u k a t i l i n aunyama wa kiwango hikialichoonyesha Saddam.”

Alisema John Porter, na

Bunge likapitisha azimio lakuunga mkono Marekanikuingia vitani kumpigaSaddam kumtoa Kuwait.

Hata hiyo, haukupitamuda ikafahamika kuwa

 bin ti yu le ni Na yi ra ha l - S a ba h , m to to w aBalozi wa Kuwat, katikaWashington na kwambaaliyoongea yote ilikuwahadithi ya kutunga. Ilikupata kuungwa mkonona wananchi pamoja nakupata ridhaa ya Bungekuingia vitani, serikaliya Marekani i l ia j i r ikampuni ya mahusianoya umma- public relationsrm, Hill and Knowlton,ifanye kazi ya propagandakumwonyesha Saddamkuwa ni shetani, zimwina nduli.

N i k a m pu ni h i y oiliyotengeneza manenoa l i y o s e m a N a y i r a hBungeni na ikampa usaniiwa namna ya kuzungumzaili kuwaliza watu. Baadaya kuwasilisha ushahidihuo bungeni, mkanda wavideo na maelezo kwamaandishi, yakasambazwakatika vyombo vyote vyahabari vya Marekani nawahariri wakaelezwa ninicha kufanya.

Kufumba na kufumbuaw a n a n c h i w o t e w aMarekani wakaj ikutawanamchukia ‘nduli’

Saddam na wanaichagizserikali yao ikampige.

W a i s l a m u w o tulimwengu hivi leokuanzia Tanzania, kabhata ya kufyatuliwa risaswanaanza kujeruhiwa npropaganda. Wanapakwmatope na kuonekank a m a m a g a i d i n

watu wasiofaa katik jami i. Ka ma Waisl amwanatamani kufanya Jihawaliyofanya akina Hamzwakati wa Uhud na wakawote wa Mtume, ni lazimpia wafikirie namna ykupambana katika Jihad hya propaganda. Suala hapsio kuwa nao wasambazuwongo, lakini wawna vyombo vya habamadhubuti vya kusemkweli. Panapo mapambankati ya ukweli na uwonglazima ukweli utashindL a k i n i m n a p o k u w

hamna vyombo vyenvya habari, basi uwongunaosambazwa na wenginndio utakaoaminika nkuwadhuru Waislamu.

Ka t i k a d a ’w a h nharakati, hapana budWa i s l a m u k u w a nmipango ya kuwa nv y o m bo v y a ha ba rmadhubuti vya kukishukweli na kusafishuwongo na propagandWapo Waislamu wanpesa, wapo Masheikw a n a k u b a l i k a nW a i s l a m u , l a z i m

watumie ushawishi wakuwaelekeza Waislamwenye pesa kuwekezkwenye vyombo vyhabari wakiwa na lengla kuwa vyombo mbadavya kuhudumia jamii.

Lakini bila shaka hillitatanguliwa na da’waya kuwafanya hawa wenypesa wajitambue kuwni Waislamu na wanwajibika kutumia pesa zakuhudumia Waislamu. Nhili linatutaka tuwadhanvizuri Waislamu woteTusiwaone wale ambahawaingii msikitini kuwhawafai au tayari wawashahukumiwa kuwkatika kundi la makarKuna watu wamezaliwkatika familia za Kiislamulakini hawakubahatikkusoma na kujua lolote Uislamu. Lazima da’wayetu ilenge kuwafikiwote hawa. Na tusidhankuwa watabadilika kwkusikiliza tu hotuba zIjumaa au kuwashutum

Inaendelea Uk. 1

VIKOSI vya ulinzi na usalama nchini Kenya wakiwa katika mitaa ya jiji la Mombasabaada ya kuvamia Waislamu wakiwa katika darsa Masjid Mussa hivi karibuni.

Page 14: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 14/16

14  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

 Amesema kweliKhatib Mtambani

Inatoka Uk. 13katika mihadhra. Lazimatutafute namna mbalimbaliza kuwakia, kuwavuta nakuwaelimisha kwa namnanzuri.

Tukij iona sisi ndiowanaharakati na kudharauile nguvu kazi ya Waislamukwa mamilioni wasio

 jitambua walio mitaani,mijini, mashambani namaofisini, tujue hatufikipopote.

Kusimama Kilimanikatika Jihad ya leo

Ukiangalia vita ya Badrina Uhud, Mtume (s.a.w)kama kamanda makiniwa jeshi la Waislamu,alikuwa akiwapangawapiganaji wake katikamaeneo ambayo ilikuwarahisi kwao kuwashukiamakari. Lakini mbinu zilekwa leo zinaweza zisifanye

kazi kwa mtu anayekujiaangani na B-52, Typhoonau ndege yoyote ya kivitaya kisasa.

K u n a m a k o m b o r ah i v i l e o , y a n a w e z akuliangamiza jeshi hatak a m a l i m e j i c h i m bi ac h i n i y a h a n d a k i .Kombora linawafukuahuko chini walipo nakuwaangamiza. Kwa hiyounapozungumzia Jihadleo na kuwahamasishaWaislamu, ni lazima piauelewe medani za vita hivileo zinahitaji silaha gani nambinu gani.

 Julai 23, 2011, kiasi saa

kumi na nusu jioni (4:30P.M), watu wawili wakiwana pikipiki waliingiamtaa wa Bani Hashemi,Kusini mwa jiji la Tehran,kwa kutumia bastola‘automatiki’ walizokuwawamecha katika majaketiyao, wakamuuwa mtualiyeshuka katika gariakitaka kuingia ndani yanyumba yake. Wauwajiwakatoweka kabla yapolisi kuka. Aliyeuwawaalikuwa Darioush RezaeuNajad, akiwa na umri wamiaka 35. Huyu alikuwaprofesa wa zikia akiwa

mtaalamu katika mitamboya siri ya Iran ya nyukilia.Hilo halikuwa tukio la

mwanzo na la kipekee.Novemba 29, 2010 kiasisaa moja na nusu asubuhi(7: 30 A.M), katika jiji laTehran tena, mpandapikipiki akitokea kwanyuma, alilifikia gari laDr. Majid Shahriyaro,mwanasayansi mwinginekatika mradi wa nyukiliawa Iran; kabla ya kulipitagari hilo akalisogelea nakugandisha kitu katikagari hilo kabla ya kulipita

kwa kasi. Mara kikasikikakishindo kikubwa. Garililikuwa limelipuliwaakauliwa Dr. Majid.

Muda huo huo, katikamtaa wa Atashi, mpandap i k i p i k i m w i n g i n ealifanya hivyo hivyokwa gari Peugeot 206,

gari ya Dr. FereydounAbbassi-Divani, mtaalamumwingine wa sayansi yanyukilia (nuclear scientist).Kwa bahati, Dr. Abbassihakufa, bali akajeruhiwavibaya pamoja na mkewe.

 Januari 12, 2010 saa mojaasubuhi, Profesa MasoudAli Mohamedi alitokandani nyumbani kwakemtaa wa Shariat akielekeakatika maabara yakekatika Chuo Kikuu chaSharif (Sharif Universityof Technology). Mlipukomzito ulitokea wakatiakitaka kuingia katika garilake, akalipuliwa vipandevipande.

Profesa Mohamedialikuwa mtaalamu wa‘quantum physics’ namshauri mkuu wa serikaliya Iran katika program yasilaha za nyukilia.

N i w e n g i k a t i k awataalmu wa sayansi yanyukilia, waliofikwa namauti ya namna hii hukuwauwaji wakitoweka

 bila ya kufahamika. Hatahivyo, mara zote serikaliya Iran ilidai kuwa haoni makachero wa Israela m b a o w a m e p a n i a

kukwaza juhudi za Irankuwa na utaalamu wanyukilia.

Kama ambavyo Israelinataka kubaki kidumepekee chenye silaha zanyukilia katika Masharikiya Kati na Persia, tujue piakuwa waliohodhi nafasi

takriban zote za uongozi namadaraka katika Tanzania,ndivyo wanavotaka piakubaki wao tu. Watafanyakila liwezekanalo kuviza

 juhudi za Waislamu.Sasa ni juu ya Waislamu

kuwa na mipango yasawasawa kuhakikishak u w a h a w a k w a m i .Lakini wajue inahitajiakili, umadhubuti katikakupanga na kutekeleza,halikadhalika umakini nasubra.

Rekodi zinaonyeshak u w a I r a n , i l i a n z ampango wa kuwa na

nyukilia toka wakati waShah, lakini alipoingiaA y a t o l l a h K h o m e i nakatoa amri mpango wanyukilia ufungwe akitoafat’wa kuwa silaha zamaangamizi ni kunyumec ha m a f u nd i sho y aUislamu.

Hata hivyo, baada yaIran kushambuliwa nasilaha za sumu katika vitaya mwaka 1980, fat’wampya ikatolewa kuwa nilazima Iran ipate silaha zanyukilia ili kukabiliana nakitisho cha adui. Mpango

maalum wa kusomeshavijana sayansi ya nyukiliana te k i no l o j i a y a k eukaanza rasmi.

Iran inafanya juhudihizi kwa sababu inajuakuwa hakuna namna yakupambana na makafiri

au unaweza kusemakupambana na Mayahudina maadui wengine waUislamu, bila ya kuwa na‘kipusa’. Ukiwa na kifaa(makombora ya nyukilia),

mtakaa kwa kuheshimianna Marekani, Israel nwote wanaotamba katikulimwengu wa leo. Lkusik i t isha ni kuw

 baadhi ya nchi za Kiarabuzinaungana na Mayahuna nchi za Ulaya, katikkupiga vita juhudi za Iran

S a s a u k i h i m i z

watu Jihad, ni pamojna kujua ulimwengwa vita wa leo ukojeQur’an inazungumzik u w a a nd a l i a ng u vmaadui wa MwenyezMungu na maadui wW a i s l a m u . B i n a f sna t i z a m a j u hu d i zIran katika kusomeshw a ta a l a m u w a f a nmbalimbali na kufanytati katika ‘quantum nnuclear physics’, ni katiknjia sahihi ya “Wa aidulahum manistatwa’atminal quwwah..”.

Watoto waende shultupate waandishi whabari makini, madakta

 b i n g w a , w a c h u mwanadiplomasia, poliswanajeshi, wanasiasna wanasayansi katikmaeneo mbalimbali.

Ukianzia kwenye elimuuzalishaji mashambanviwandani na uchumi kwujumla, utoaji wa hudumza afya na kijamii, uadilifna maadili mema, lazimWaislamu wawe mstawa mbele.

Tukienda kwa mwendh u o , n a t u k i l e n gkumfanya kila mweny

 ji na la Ki is la mu kuw

Muislamu mzuri na raimwema anayetambuwajibu wake kwambyeye ni Khalifah; heshimya Waislamu na Uislamitarejea.

Inawatangazia waumini

w o t e I t i k a a f k u b w a

Inayotarajiwa kufanyika

katika Msikiti wa  Irshaad

Chihota Temeke Siku ya

Jumamosi (kesho) Tarehe

8/02/2014  Saa 3 usiku

Baada ya Swala ya Isha

Inshaalah.

Kwa Niaba ya Amiri

Shura ya Maimamu (T)

POLISI wakishambulia Waislamu katika mitaa ya Mombasa baada ya kuvamia Msikiti.

Page 15: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 15/16

15  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 201Makala

D A K T A R I y e y o t eatakuambia umuhimuwa usaf katika kutunzaafya. Daktari wa menoatakuelezea umuhimuwa kusafisha kinywamara kwa mara, tena kwa

dawa. Daktari wa machoatakuelezea umuhimuwa kunawa uso kwasabuni mara kwa mara.Daktari yeyote awayeatakuelezea umuhimuwa kunawa mikonokabla ya kula, naumuhimu mkubwa wakusafsha matunda nambogamboga kwa kina,kabla ya kuzila katikahali yake ya ubichi.

M adaktar i wengiwanachukulia kuwawatu wengi wanajuaumuhimu wa kusasha

miili yao (kuoga), na kwahivyo hawahangaikisana kulizungumziahili. Hata hivyo nafasihiyo imechukul iwan a m a k a m p u n i y akutengeneza bidhaaza usafi kuanzia yaley a n a y o t e n g e n e z as a b u n i , h a d i y a l ey a n a y o t e n g e n e z am a b o m b a y amaliwatoni. Makampuniya kutengeneza sabuniz a k u o g e a z e n y em c h a n g a n y i k o w akemikali za kuua vimelea

yanajaribu kuwafanyawatu waamini kuwasiyo tu kuwa kuoga nimuhimu, lakini kuogahuko kunakuwa namaana zaidi iwapomuogaji atatumia bidhaazao kwa sababu atakuwaanajikinga na maradhipia!

Watengenezaji wan e p i z i s i z o r u d i w a(disposable) na pedi zakina mama za kuwasitiriwakati wa hali zao zakila mwezi, pamoja namambo mengine, pia

wanalenga kukubalikakwa bidhaa zao kwakigezo cha kumrahisishiamvaaji suala la usafi.Bidhaa hizo hutangazwakuwa hunyonya majin d a n i z i k i m w a c h amvaaji akiwa mkavuna mwenye furaha!Hawajakosea. Uotowa kuvu (fungus) nauzalianaji wa bakteria waaina nyingi hupendeleasana maz i ngi r a yaunyevunyevu wenye

Nguvu ya Ibada katika kulinda

siha njema - nafasi ya Usa

Na Juma Kilaghai

PICHA ikionyesha mtu akinawa mguu kuchukua udhu. (Kwa hisani ya Ukurasa wa Herbal Impact katika Facebook.)

uvuguvugu. Japokuwa kwa huku

Afrika suala la kufungam i f e r e j i m a a l u mmaliwatoni (bidets)kwa ajili ya kutumia

maji kujisashia baadaya haja kubwa badohal i jashika kasi nahasa kwenye maofisimengi, lakini kwa nchiza Ulaya na nyinginezilizoendelea, jambo hililinakuja kwa kasi. Niani ileile. Kuhakikishakuwa kuvu na bakteriawal iotoka tumboniwakiambatana na hajakubwa wameondoshjwakatika mazingira yamwil i bi la kupewanafasi ya kuzaliana nakusambaa.

Hata hivyo madaktariwanapaswa kutoiachahii kazi ya kuhimizausafi wa mwili kwamakampuni pekee.Sababu ya kusema hivini kwamba madaktarini watu wenye hadhikubwa kwenye jamii naambao wanaaminika nakukubalika sana. Kwaupande mwingine, watuwengi wana taswirakuwa makampuni mengiyanafanya udanganyifukatika matangazo yao,

kwa nia ya kuuza bidhaatu.

Kwa mfano, hakunakampuni hata mojai t a k a y o h a n g a i k ak u k u e l e z a k u w a

moja ya faida kubwasana za kuoga maji nikuondoa umeme wachembechembe chanya(positive charge) ambaounajikusanya kwenyengozi kutokana namwili kusuguana nahewa kila viuongo vyamwil i vinapofanyamwondoko, na wakatitunapovaa nguo, hasazile ambazo siyo zapamba kwa asilimia miamoja.

Maelezo haya hayanafaida yoyote kiuchumi,h i v y o t u s i t a r a j i e

k a m p u n i y o y o t eikapoteza muda wakekutukishia. Hata hivyokwa kuwa madaktari niwalinzi wa afya zetu,kwa kutukishia ujumbehuu ni suala la wajibu.

Ukweli ni kwambawale wanaofanya ibadana kulazimika kunawamaji mara kwa marakwa sababu hiyo kwakweli wanafaidika sanakiafya kwa tendo hili.Lakini kufaidi kwaohakuishii hapo. Kwakuwa hawawezi kuosha

miguu wakiwa na viatumiguuni, hulazimikakuvua viatu hivyowakati wa kujisafisha.Tafiti za hivi karibuniz i naonyesha ku wa

moja ya mambo yenyemanufaa sana kiafya nikutafuta muda walauwa nusu saa hivi kwasiku, na kutembea pekupeku! Moja ya matukioya kila wakati ndani yamiili yetu ni mlundikanowa chembechembez a u m e m e c h a n y a(positively charged freeradicals) ambazo kiafyazina madhara makubwasana. Chembechembehizi zinasababishwana harakati nyingizinazotokea mwilinih u s u s a n z i l ez i n a z o h u s i a n a n akuchakatua chakula.

Tati zimebaini kuwakutembea pekupekukatika namna ambayonyayo zitaunganikana udongo (haijalishikuwa vitu hivi vinawezakuwa vimetenganishwana zege , sa r u j i nah a t a m a r u m a r u ) ,k u t a t e n g e n e z amkondo wa umemewa chembechembe hasi(electrons) kumiminikak u e l e k e a m w i l i n i ,kwa ajili ya kupooza

chembechembe chany(neutralize) ndani ymwili! Kabla ya ugunduhuu watu walikuwwanahimizwa kulvyakula vilivyoshehenvizuia vioksidisha(anti oxidants), kamnjia pekee ya kujilinddhidi ya mlundikano wchembe chanya mwilin

Kuna suala la toharkwa wanaume. Lekuna kampeni kubwya kuzishawishi jammbalimbali ambazkwa utamaduni wahawana mila na destuya kutahiri, washirikkitendo hiki . KisaT a f i t i m b a l i m b a lzimeonyesha kuwmaambukizi ya viruvya ukimwi kwa watwaliotahiri ni kidogukilinganisha na walambao hawajatahiriwaKwa maneno mengink u t a h i r i w a s a s

kunachukuliwa kammkakati maalum wkupunguza maambukizya virusi vya ukimwkwenye jamii. Hadm i o n g o m i c h a c hi l iyopita suala hi llilikuwa likichukuliwkama ni la kiimani zaid

 Ja pok uwa us af i nsuala la jumla, lakinkwa baadhi ya watukwa mfano Waislamuni suala la kiibada piaKuthibitisha hili kunm s e m o u n a o s e m‘Uislamu ni usafiWaislamu wanaofanyibada wanalazimikk u f a n y a u s a f i wviungo vyao vya mwikwa maji kila wakatna hujichunga sanwasibaki na mabaki yhaja ndogo au kubwkatika maungo yaoAidha suala la kutahikwao siyo kampeni ykupunguza maambukizya ukimwi, bali ni agizla Mwenyezi Mungkwao pale alipowaambiwashikamane na mila yIbrahimu.

W a i s l a m

w a n a o f a n y a i b a dwamekuwa wakinufaiksana kiafya na ibadhii ya ‘usafi’, na kwkweli wanadhulumnafsi zao kama hawatakkukisha faida hizi kwwanaadamu wenzaoambao ama ni Waislamw e n z a o a m b a

 b ad o hawa j a ja l i wkushikamana na ibadama ni watu wa imanzingine, ambao kamwalivyo wao, nao pia nwakaazi wa dunia hii.

Page 16: ANNUUR 1111

7/21/2019 ANNUUR 1111

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1111 16/16

16  AN-NUU

RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 20116MAKALA 

 

 AN-NUUR16 RABIUL THAN 1435, IJUMAA FEBRUARI 7-13, 2014

Soma

 AN-NUUR

kila Ijumaa

Masjidi Mtambani watoa onyo kali kwa wavurugajUONGOZI wa Msikiti waMtambani Kinondoni, JijiniDar es Salaam, umewaonyawale wanaoleta chokochokokatika Msikiti huo kwalengo la kuvuruga malengona mipango ya maendeleoya Waislamu. na Uislamu.

Tahadhari hiyo imetolewana Katibu wa Msikiti huoSheikh Abdallah MohammedAlly, wakati akiongea na Annuur katika osi za Msikitihuo Ijumaa ya wiki iliyopita.

Sheikh Abdallah alisemakwa ujumla katika Msikitihuo kuna amani, utulivuna mshikamano baina yauongozi na waumini wakena hiyo ndiyo sababu yamafanikio na maendeleoyanayoonekana hivi sasa.

Hata hivyo al isema,kuna baadhi ya Waislamuambao hawapendi kuonamaendeleo ya Waislamuna Uis lamu, ama kwakutumiwa au kwa tamaa yaula wa mali za Waislamu,na hao ndio wanaoanzakuleta chokochoko katikaMsikiti huo.

“T u n awao n ya h awa

m a b w a n a n a w a t uwanaowatumia wasitakekuja kuuvuruga Msikitihuu, wenye mikakati namalengo endelevu kwa ajiliya Waislamu na Uislamu.

Matunda wanayoyaonas a s a n i n g u v u y aWaislamu wenyewe kwakuchangishana pesa zao nakusimamiwa kwa uadilifu,Waislamu hawatokuwatayari kuona Msikiti waounakabidhiwa watu wenyesifa za ubadhirifu na walawa mali za Waislamu.”Alisema Sheikh Abdallah.

Sheikh huyo alisematangu mwaka 1997, baadaya kuchaguliwa na waumini,

hapakuwa na chochote zaidiya uwanja na Msikiti mdogouliokuwa katika hali yauchakavu mkubwa.

“ K w a k a z i k u b w atuliyoifanya katika Msikitihuu, hata Mzee Seif Momba(marehem na aliyekuwamdhamini wa kudumu),alikubali juhudi zetu nahakuwa na tatizo na sisi naalikuwa akitoa ushirikianompaka mauti yanamchukua,ndiyo maana muda woteakiwa hai hapakutokeam g o g o r o M t a m b a n i . ”Alisema Sheikh Abdallah.

Alisema kuwa uongozi

Na Mwandishi Wetu huo kwa muda wa miaka17 na kufikia maendeleoyanayoonekana kutokanana michango ya Waislamu(waumini) wenyewe, hivyowale wanaojitokeza kutakakufanya ubadhirifu katikasehemu waliyoimarisha kwakuingiza hila zao, ni waziwaumini hawatokubali.

Sheikh Abdallah, ambayeni Katibu wa msikiti huoalisema, kwa michangoya Waislamu wamewezakuisimamia na kuwezakukidhi haja na malengo yaWaislamu kwa kuanzishashule ya awali, msingi nasekondari na zaidi kunamiradi pamoja na kumilikiardhi nje ya Jiji kwa ajili yamaendeleo ya Waislamu.

A k i e l e z e a s a b a b uzinaozoonyesha kuwa kunachokochoko zinazotakakuingizwa katika Msikiti huo,Sheikh Abdallah alisema, Januari 28, 2014 , alipokea barua kutoka kwa Wakili(M&N Law Associates-Advocates), ikimtuhumukwamba amevamia msikitiwa Mtambani.

Baru a h iyo am bayoAn nuur inayo nakalayake , im ee leza ku wayam ep o ke lewa m adai

kwa wateja wake ambaowamejiita ni Wadhamini waMsikiti huo, kwamba SheikhAbdlallah, amevamia Msikitiwa Mtambani tangu mwaka1997 na kufukuza viongoziwote, jambo ambalo kiongozihuyo amesema si sahihi.

“Na kwa miaka yote hiyonadaiwa nilikuwa nafanyaudikteta na sina haki yakufanya hivyo kwa hiyonatakiwa niwafikishie haoWadhamini vitabu vyotevya benki, mikataba yotekwa muda wa siku saba,vinginevyo nitapelekwaMahakamani”. AlisemaSheikh Abdallah, akirejea barua hiyo.

Alisema baada ya kuisoma barua hiyo, alipiga simu kwammoja wa mawakili waofisi hiyo ambapo, wakilihuyo alikiri kupokea kazihiyo kutoka kwa Masheikhwaliojitambulisha kuwa niwadhamini wa Msikiti waMtambani na alipomwelezahawafahamu wadhaminihao alimtajia majina yao.

Kwa mujibu wa SheikhAbdallah, wakili huyoalimweleza kuwa pia watejawake hao wamejielezak w a m b a w a m e f a n y auchaguzi Oktaba 23, 2013,katika Msikiti wao wa

na waumini kuwa wadhaminiwa Msikiti huo.

Sheikh Abdallah, aliyatajamajina hayo aliyopewa nawakili huyo kuwa ni Sheikh

Suleiman Mwenda, IbunMrisho (aliyetimuliwa kwatuhuma za upotevu wamifuko ya saruji Msikitinihapo), Sheikh Ally Mubaraka(aliyewahi kuwa KaimuMufti wa Bakwata), pamojana Sheikh Thabit Katunda.

A l i p o u l i z w a k a m aMasheikh hao walichaguliwakweli na ni waumini waMsikiti huo, Sheikh Abdallahalisema ukimuondoa SheikhThabiti Katunda, hao wenginehata kuswali hawaswalikatika Msikiti wa Mtambani,na zaidi waumini wengi waMtambani hawawatambui.

“Tunaona ni jambo ambalolinatengenezwa ili kuletavurugu za makusudi katikaMsikiti wa Mtambani, kwasababu hawa Masheikhh a w a k u c h a g u l i w a n awaumini Msikiti hapa, hawawamekwenda kinyume naKatiba ya Mtambani, huwezikuchaguliwa kuwa Mdhaminikama hukuchaguliwa nawaumini wa Mtambani, kwahiyo wao wamejichaguawenyewe wakisimamiwa naBakwata”. Alisema SheikhAbdallah.

Alisema katika kuhalalishahila na kutaka kuvurugamipango ya Waislamu,i n a o n y e s h a k w a m b a

w a m e f a n y a u c h a g u z ikwa sababu wakili asingewapokea bila kuwa navithibitisho, wakidai kuwawamechaguliwa mwaka

2013, chini ya usimamizi waBAKWATA.H ata h iv yo , S h e ikh

Abdallah, alisema tayariw a m e z u n g u m z a n am wan as h er ia wao n akwamba analifanyia kazikisheria na inawezekanawakawajibu au wakakaak i m y a i l i w a k u t a n eMahakamani.

A k i j i b u s w a l i k w anini anawakataa kuwaMasheikh hao si wadhaminiwa Mtambani, SheikhA b d a l l a h , a l i f a f a n u akwamba katiba ya Msikitiwa Mtambani inasemakutakuwa na wadhamini(wa Msikiti) wasiopunguasita na wasiozidi tisa, katikahawa kuna wadhamini wakudumu (Founder Trusties)ambao ni wanne.

Aliwataja wadhamni haowa kudumu kuwa walikuwani Alhaj Seif Momba, SheikhMohammed Momba, DaudForogo pamoja na AlhajMo h am m ed T am baza ,ambao kwa sasa wote haowamesha fariki.

Alisema baada kifo chaAlhajj Momba, (mwaka jana) uongozi ulienda kwaWakala wa Usajili Ulisi naUdhamini (RITA), kuangaliawadhamini wa Msikiti

in ao n yes h a kat iba ymwisho iliyopo RITA nkwamba barua ya mwishilitoka BAKWATA Agosti 1997, ambayo iliorodhesh

majina ya wadhamini. Wadhamini hao walitajwkuwa ni Alhaji BushiMangoma (MarehemuThabiti Katunda, SuleimaMwenda, Sheikh HajMubaraka, Ibun MrishR a jabu Mgu o K in an(Marehemu) Rajabu Mndew(Marehemu) pamoja nMarehem Alhaji Seif Momb

H a t a h i v y o S h e i kAbdallah, alieleza kwambm u k t a s a r i w a k i k akilichopitisha katiba ymwisho ya Msikiti wMtambani, kilikaa Oktob9, 2005 katika Msikiti wAlfaroq, Kinondoni nkusimamiwa na Bakwatmkoa wa Dar es Salaam.

“Huo ndiyo ulikuwufafanuzi na majibu kutokRITA, baada ya sisi kuombkujua wadhamini baada ywadhamini wote wa kudumwaliokuwa wakifahamika nwaumini kuwa wamefarikiAlisema Sheikh Abdallah.

A l i s e m a , b a a d a ym a j i b u h a y o k u t o kRITA, waligundua kuwkuna wadhamini, lakinwali j ichagua wenyewkienyej i hali ya kuwwaumini na viongozi wMtambani hawajui na kika

BAADHI ya vijana waliokutwa kwenye darsa Masjid Musa wakitishiwa kwa bastohuku Polisi wengine wakitizama.