annuur

Upload: hassan-mussa-khamis

Post on 04-Apr-2018

632 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

  • 7/30/2019 ANNUUR

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1044Dhuul-Hijja1434, IJUMAA NOVEMBA 9 - 15, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Uk. 6

    Mkuu wa Shule adaiw wanafunzi wa Kiislam

    Awapachika u-Al Qaidah apate kuwafukuzaWanafunzi Wakristo watoweka kimya kimyaMkuu wa Mkoa aingilia kati, afunga shule

    Maalim amambo ma

    Vipigo, udhalilishaji wanaAmri kutoka Dodoma? She

    MaaskofuPentekoste

    waongoHakuna Kanisa lililochomwMishale, mikuki wanamwaLabda somo la Rwanda ba

    HAYA ni Makanisa yaliyodaiwa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa yamechomwa moto hukoYombo Dovya jijini Dar. Picha ya juu ni Kanisa la Faraja International lililopo mtaa wa Uwazi,Yomnbo Dovya. Picha chini ni Kanisa la Walokole lililopo katika mtaa wa Njia Panda kwa Kombo,Yombo Dovya.

    Waislamukuweni maShari iliyokusudiwa ni kubwa mWanaotamani kuona vurugu waSheikh Mataka, haya ya Askofu

    Na Shaaban Rajab

    H A K U N A K a n i s alililochomwa Yombo Dovyakama walivyodai baadhi yaMaaskofu.

    Uchunguzi wa gazeti hili pamoja na ule wa Serikali zaMitaa, eneo hilo, umebaini

    kuwa taarifa hizo ni urongo nauzushi mtupu.

    Awali Maaskofu chini yaUmoja wao unaojulikanakama Baraza la Makanisa yaKipentekoste Tanzania (PCT)walitoa taarifa wakisemakuwa wamegundua mpango

    Inaendelea Uk. 4

  • 7/30/2019 ANNUUR

    2/12

    2 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 0713 110148, DSM.www.ipctz.org E-mail: [email protected]

    Osi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    Akizungumza mbele yawaandishi wa habari hivikaribuni, Katibu Mkuuwa Baraza la Makanisaya Kipentekoste nchiniTa n z a n i a ( P C T ) ,Askofu David Mwasotaamewataka Wakristokujihami kwa visu,mishale na mikukii l i k u p a m b a n a n aWaislamu.

    A s k o f u M w a s o t aamedai kuwa wana habarikuwa Waislamu wanampango wa kuchomamakanisa nchi nzima nakwamba tayari kikosikimoja kimetua Mbeyakwa kazi hiyo.

    Baadhi ya vyombovya habari baada yakusherehesha habarihiyo ya Askofu DavidMwasota vikasema kuwakatika kutekeleza mkakatihuo jijini Dar es Salaam,Waislamu walikuwawameliteketeza kwa motoKanisa la Kipentekostela Faraja InternationalYombo Dovya, huku

    jingine la KKKT YomboDovya nalo likinusurikakuteketezwa na watuwanaojiita wanaharakatiw a K i i s l a m u . ( n akwamba) Mlinzi waKanisa hilo aliripotiwakujeruhiwa.

    Ufuatiliaji wa karibuwa madai haya umebainikuwa hakuna Kanisal i l i l o c h o m w a m o t oYombo kama ilivyodaiwa.

    Ni habari za kuzua.Kutokana na habari

    hizi za urongo, Wakristowameambiwa na Askofuwao wajihami kwa visu,mishale, mikuki na silahanyingine. Jaaliya katikamazingira haya anatokeak ichaa tu ana rushakijinga cha moto kanisaniau inatokea hit i lafuya umeme na kanisalinateketea kabisa, haliitakuwaje mitaani?

    Si jambo gumu kujua

    Kama ni uchochezi wachocheziNi hawa hapa, lakini Maaskofu!

    hatari itakayotokana nauchochezi huu. Lakinim a a d h a l i w a n a o l e t au c h o c h e z i h u u n imaaskofu, hilo hutasikialikisemwa.

    Maadhali wanaochocheachuki hizi za hatari za kidinini Maaskofu, hutamsikia

    Mkuu wa Mkoa, KamandaKova na viongozi wangazi za juu wa kisiasawakiwakemea maaskofuh a w a . Wa t a j i f a n y ahawajasikia.

    Lakini kwa bahati mbayakabisa, hata Masheikhwetu wanaoona kuwausheikh wao hauwezik u k a m i l i k a b i l a y akuwashutumu mara kwamara Waislamu wenzaoili waonekane na serikali/maaskofu, kuwa wao niwaungwana; hutawasikiawakilani uchochezi ,chuki na uhasama huuunazopandikizwa!!!

    Jambo moja Waislamuwatie akilini: Maadhalimaaskofu hawa wapotayari kusema uwongokuwasingizia Waislamuk u w a w a n a m p a n g owa kuchoma makanisa,hawataona vibaya piakufanya lolote ili ilekauli yao kuwa makanisayanateketea Yombo naMbeya ionekane kuwa niya kweli.

    Nd io pa le tu ka se makuwa, wakipewa fursa

    kama ile ya maandamanon a v u r u g u m i t a a n i ,w a n a w e z a k u i t u m i akuchoma makanisa yaoweneywe na kuwasingiziaWaislamu.

    Ni ka ti ka mazi ng ir ahaya yaliyopo hivi sasa,

    bado tunazidi kuwasisitizaWaislamu kutulizanana ku j i sa id ia ka t ikahali hii kwa Swala naSubra. Hautapita muda,wataumbuka waovu nauovu wao.

    Maalim achua mambo mMAALIM Seif Shariff Hamadametoa kauli ambayo inaashiriakuwa vipigo vi l ivyokuwavikiwashukia Wazanzibari

    kutoka kwa Polisi na Vikosivya SMZ, ilikuwa ni katikakutekeleza maelekezo kutokaDodoma.

    Sasa haya yanayofanyikandio matokeo ya kikao hicho(kilichofanyika Dodoma hivikaribuni) kwa sababu Polisiwanalaumiwa hawajachukuahatua , sasa h iv i ndio haow a n a c h u k u a h a t u a l a k i n iwanafanya udhalilishaji mkubwasana wa ukiukwaji wa haki za

    binaadamu , wanawapiga watundani ya majumba yao, watuwanahama majumba yao kutokanana unyama wanaofanyiwa mtuanapigwa mbele ya watoto wakembele ya mkewe na kudhalilishwa.Jee, Rais haya hayaoni? Alihoji

    Maalim Seif.Katibu Mkuu huyo Mkuu waChama cha CUF na Makamo waKwanza wa Rais alimshutumuRais Kikwete na Dk. Shein

    pamoja na watendaji wake hukuakieleza masikitiko yake yakufanya kikao kikubwa Dodomakinachohusu masuala ya nchi

    bila ya kumshirikisha yeye kwakisingizio cha kipengele chakatiba kutomtambua.

    Maalim a l iyasema hayoalipokuwa akihutubia mkutanowa hadhara katika mkutanowa hadhara uliofanyika katikaviwanja vya Kibanda Maiti nakuhudhuriwa na maelefu yawatu.

    Katika mkutano huo MaalimSeif amesema kuwa vipigona hujuma wanazofanyiwawananchi, ni moja ya njama zawatu wasioitakia mema Zanzibar ambao wanataka kuharibumaelewano yaliyopo hivi sasa.

    Akasema kuwa mbinu zawatu hao zimeshatambuliwa nakwamba kamwe Wazanzibarih a w a t a k u b a l i k u r e j e s h w awalipotoka kwa kuvurugiwa kwaserikali yao.

    Akiwahutubia wafuasi wachama chake alisema mpangohuo hauwezi kuwa na mafanikiokwa kuwa serikali ya umoja wakitaifa imepewa baraka zotena Wazanzibari wenyewe kwakuichagua kwa kura nyingiza maoni na pia serikali hiyoipo kikatiba hivyo haiwezikuvunjika.

    Amesema, katika hali inayozuamaswali mengi na kushangaza,v i p i g o n a u d h a l i l i s h a j iw a n a o f a n y i w a w a n a n c h i ,umekuja mara baada ya kikaocha Dodoma kilichozungumziavurugu zilitokea Zanzibar.

    Ak asema , k a t ik a k ik aoh ich o Po l i s i wa l i l au miwakuwa hawakuchukua hatua zakukabiliana na vurugu zilizotokeana matokeo yake ndio hivi vipigovinavyowashukia wananchi wasiona hatia.

    Viongozi wa ngazi ya juuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifawote walikuwepo kasoro mimi,walishirikishwa kuandaa mpangohuo, lakini kila likuepukalo linakheri nalo na mimi bora nilipokuwa

    Na Mwandishi Wetu sikuwepo kwa sababu hata sikumoja nisingebariki suala hilo.Alisema Maalim Seif akionyeshakuwa viongozi wa ngazi za

    juu za serikal i wanahu sika naidhilali inayowapata wananchihivi sasa.

    Akivitaja vikundi ambavyov i n a f a k a z i n a p o l i s i , n ak u t e k e l e z a m p a n g o w akuvuruga Serikali ya Umojawa Kitaifa kwa kuwadhalilishawananchi ni pamoja na kikosicha Janjaweed, Ubayaubaya,Kimyakimya, Mbwa mwitu naMbwa mkali ambao wote nivikundi vilivyopewa mafunzo nasasa vinawafunza watoto wadogokufanya uharamia.

    A k i z u n g u m z i a a t h a r izilizopatikana baada ya Jeshi laPolisi kuzima vurugu zilizotokeaOktoba 17 Zanzibar, alisemakumetokea madhara ya kiuchumi,kijamii na kisiasa kwa Zanzibar kutokana na vyombo vya dolakutumia nguvu ya ziada kudhibitivurugu hizo.

    Aidha, alisema hatua zakurejesha amani wakati wavurugu hizo hazikuwa muafaka,kutokana na nguvu iliyotumikailikuwa kubwa kupita kiasina hatua hizo ziliwadhalilishawananchi wasiokuwa na hatiana mali zao kuhujumiwa, hukuwengine wakipoteza maisha.

    Tunalaani mauaji yalofanywakwa polisi lakini pia tunalaaniudhalilishaji unaofanywa naJeshi la Polisi dhidi ya raiana hatuungi mkono kabisaunyanyasaji wanaofanyiwawananchi hasa katika maeneomaalumu ambao yanajulikana nimaeneo ya wafuasi wa CUF kwanini iwe hivi? Alihoji MaalimSeif.

    Maalim Seif alisema serikalina vyombo vya dola vitekeleze

    jukumu la kulinda haki za raiakwa kuwasaka wanaohusikana uhalifu bila kuwadhalilishawananchi wasiokuwa na hatia.

    Alisema hakutarajia vitendovya aina hiyo kutendeka wakatihuu ambapo mfumo wa serikaliya Zanzibar unaendeshwa kwakuzingatia maridhiano ya kisiasa

    baina ya CUF na CCM ambayolengo lake ni kumaliza uhasamana chuki na kujenga amani

    pamoja na kuheshimu utawalawa demokrasia.

    Maalim Seif Sharif Hamadalitumiam mkutano huo wamwisho wa wiki i l iyopitakujenga hoja kuwa kuna mpangomaalumu unaofanywa na baadhiya watu wenye lengo la kuvurugaSerikali ya Umoja wa Kitaifa(GNU) visiwani Zanzibar.

    GNU is there to stay,na mimi ndio Makamu waKwanza wa Rais wa Zanzibar,mpango wao hautafanikiwatumeshawagundua, alisemaMaalim Seif huku akishangiliwana wafuasi wake.

    Wale wenye ndoto kuwaSerikali ya Umoja wa Kitaifaitavunjika, yagujuuu hatutoki,hatutoki na ili serikali ya umojawa kitaifa itoke, basi kuitishwekura ya maoni. Alisema.

    Maalim Seif alidai kuwavitendo vinavyofanywa hivisasa na Jeshi la Polisi kwakushirikiana na Vikosi vya SMZdhidi ya raia wasio na hatia,ni miongoni mwa mipango ya

    kuwavunja moyo wananchi iliwachukie serikali yao.

    Maalim Seif alisema kwakuwa yeye ni kiongozi waSerikali ya Umoja wa Kitaifahangependa kumsema Rais wakehadharani, lakini kwa kuwa

    amefanya jitihada za kuwasilianana kiongozi wake na kumueleza juu ya vitendo wanavyofanyiwaraia, lakini jambo la kusikitishaDk. Shein hajachukua hatuayoyote ya kusimamisha vitendohivyo.

    Kwamba bado wananchiwan aen d e lea k u p ig wa n akufuatwa majumbani kwak is in g iz io ch a k u ta fu twawahalifu.

    Leo naongea kwa masikitikomakubwa, nina huzuni kubwakwa mambo yanayofanyikahapa nchini kwetu na nisemeni mambo ya kishenzi kabisawanaofanyiwa raia, alisemaMaalim Seif.

    Rais wangu Dk. Sheinunatungusha kwa kuwa wewendiye mwenye jukumu kubwazaid i la kulinda amani yaZanzibar. Alisema.

    Katika kumkumbusha Dk.Shein ahadi yake aliyoitoa sikuambayo anatangazwa mshindina Tume ya Uchaguzi miakamiwili iliyopita, Maalim Seif alisema Dk Shein alichukuaahadi kwa Wazanzibari wotekwamba atawalinda rai wote

    bila ya ubaguz i na akachuk uahadi kwa Mwenye enzi Mungukwamba atailinda Zanzibar, basinamuomba Rais wangu mpenziakumbuke ahadi yeke.

    Katika mkutano huo, MaalimSeif pia alisema mbali ya lengola kuivuruga Serikali ya Umojawa Kitaifa, lakini wahadhinawanafanya juu shini ili kuuharibumshikamano wa Wazanzibariambao kwa kiasi fulani ulikuwaumeonesha nia njema.

    A k i z u n g u m z i a l e n g ola tatu la wahafidhina haoalisema ni kuogopa mchakatowa katiba ambao unaoneshadhahiri kwamba Wazanzibariwanapigania mamlaka kamili yaZanzibar na kutaka Muunganowa Mkataba jambo ambalo nimwiba kwa baadhi wana CCMna wahadhina.

    Katika hatua nyengine MaalimSeif aliitupia lawama Tumeya Mabadiliko ya Katiba kwakushindwa kuheshimu mawazoya wananchi juu ya aina yaMuungano wanaotaka na kusemakwamba tume hiyo imekuwaik iwa laz imish a wan an ch iwaseme kile ambacho waowanakiamini.

    Maalim Seif a l imshauriMwenyekiti wa Tume hiyo JajiJoseph Warioba kuhakikisha kuwaTume yake inaheshimu mawazoya makundi yote, yakiwemoyanayotaka mabadiliko katikamfumo wa sasa wa Muungano.

    Awali kabla ya kumkaribishamgeni rasmi, Kaimu KatibuMkuu wa chama hicho SalimBimani alisema Wazanzibariwamech o sh wa n a v i t en d ow a n a v y o f a n y i w a v y akudhalilishwa na kupigwa bilaya hatia.

    Bimani alisema ni jambo lakusikitisha kuona hakuna hatuazinazochukuliwa licha ya vitendohivyo kuripotiwa na kuonekanahadharani.

  • 7/30/2019 ANNUUR

    3/12

    3 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 Habari

    Mkuu wa Shule adaiwa kuhujumu wanafunzi wa Kiislamu Bagamoyo

    MKUU wa Shule sekondariya Bagamoyo , anada iwak u p a n d i k i z a c h u k i z akidini huku akiwapachikaugaidi wanafunzi Waislamuwanaoswali swala tano.

    Mkuu huyo anadaiwa kuwaitawanafunzi hao kuwa ni Al Qaidana Al Shabab huku akijumuika nawanafunzi Wakristo akiwatakawakae mbali na magaidi hao.

    K u t o k a n a n a c h u k iiliyojengeka shuleni hapo, Mkuuwa Mkoa wa Pwani ameamuakufunga shule hiyo huku hatmaya Mkuu huyo wa Shule yaSek o n d a r i y a Bag amo y o ,Bw. Bonus Ndimbo, akiiachamikononi mwa Wizara ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi.

    Mkuu wa Mkoa wa Pwani,Hajja t Mwantum Mahiza ,amelazimika kufunga Shulehiyo mapema wiki hii, baadaya kuwepo mgogoro wa KidiniShuleni hapo kwa muda mrefu

    ja mb o li na lo as hi ri a ha li yahatari.

    Akiongea na mwandishi wahabari hizi, Mkuu huyo wa Mkoawa Pwani, baada ya kutangazakuifunga Shule hiyo, alisemasuala hilo amelikabidhi kwaWizara husika (Wizara ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi) kwaajili ya uchunguzi zaidi juu yamgogoro huo na hatma yake.

    Hajjat Mahiza, alisema jukumlake akiwa kama Mwenyekiti waUlinzi na Usalama wa Mkoa, nikuhakikisha usalama ndio maanaalimechukua hatua hiyo baadaya kubaini kuna matatizo katikauongozi na wanafunzi shulenihapo.

    Alisema, baada ya kufikaShuleni hapo, alibaini kunat a t i z o l a k i u t a w a l a k w awalimu na tatizo la nidhamukwa wanafunzi, kwani alidaiwanafunzi wengi hawakuwapoShuleni huku uongozi wa shulehaujui wanafunzi hao wapowapi.

    An nuur, ilipotaka kujua uhalaliwa barua ambazo walipewawanafunzi tisa wa Kiislamu waShule hiyo na Bodi ya Shule kwalengo kuwasimamisha Shule

    kisha wanafunzi hao kugomakuzipokea na kusaini, alisemahilo ni miongoni mwa mamboambayo Wizara itashughulikanalo katika uchunguzi wake nawanaotakiwa kuzitolea ufafanuzini Wizara husika.

    M i m i s i o Wi z a r a y aElimu, zile barua zitafanyiwakazi na Wizara ya Elimu, waondio wataeleza hiyo adhabuiliyotolewa na Bodi ni sahihi aula baada ya kujua chimbuko lamgogoro huo. Alisema.

    Kufuatia kufungwa kwaShule hiyo, tokea jumannewiki hii, wanafunzi wamekuwawakiondoka kwa utaratibumaalum kurejea makwao mpaka

    Na Bakari Mwakangwale hapo watakapotakiwa kurejeatena shuleni hapo.

    Kufuatia mgogoro huo wamuda mrefu Shuleni hapo bainaya Wanafuzi wa Kiislamu naMkuu wa Shule hiyo, Bw. Bonus

    Ndimbo, hali ilikuwa mbaya zaidiJumatatu wiki hii, pale ambapoBodi ya Shule, ilipoamua kuwapa

    barua za kuwataka wanafunzi tisawa Kiislamu kuondoka Shulenihapo.

    B a a d h i y a w a n a f u n z iwameeleza kuwa, barua hizozilikuwa ni za kuwasimamishawanafunzi hao ambao miongonimwao ni viongozi wa WaislamuShuleni hapo, mpaka Novemba26, mwaka huu, huku wakidai

    barua hizo hazikueleza sababu zamsingi wao kusimamishwa.

    Taarifa za id i z inasema,wanafunzi hao walipokuwawakikabidhiwa barua hizo kishakutakiwa kusaini, waligomawakidai bado walikuwa wakisubirimajibu yao ya msingi kutoka kwaMkuu wa Wilaya (Bagamoyo),Bw. Ahmed Kipozi, aliyefikaShuleni hapo siku chachachenyuma na kupokea malalamikoyao na kuahidi kuwapa majibuya kero zao dhidi ya Mkuu waShule hiyo.

    Wanafunzi wa KiislamuShuleni hapo, baada ya kubainik u w a w e n z a o w a l i k u w awanatakiwa kusimamishwaShule, walikusanyana na kuka

    pale walipo wenzao mbele yaBodi, wakitaka barua hizo za

    kusimamishwa wapewe wotehuku wakidai ta t izo n i lawanafunzi wote wa Kiislamu.

    Baada ya muda, viongozi waMkoa na Wilaya, chini ya Mkuuwa Mkoa, Hajjat. MwantumMahiza, walika Shuleni hapo,kisha kufanya kikao maalum

    baina ya uongozi na wanafuz iwa Shule, ambayo katika jumlaya mambo aliyoongea Hajjat.Mahiza, ni kusisitiza umoja nakuvumiliana.

    Hajjat Mahiza, alinukuliwaakisema, kama mtu anaswali swalatano na mwingine hawali swalahizo, ni vyema wakavumilianakwani kila mmoja ndivyo imaniyake inaruhusu hivyo.

    Baad a y a n a sah a zak e ,Mkuu huyo wa Mkoa aliamuruShule hiyo ifungwe, ili kupishauchunguzi ufanyike kubaini kiinicha mgogoro huo kisha hatuastahiki zichukuliwe.

    Awali, wakielezea chimbukona chanzo cha mgogoro huo,

    baadhi ya wanafunzi wa Shulehiyo (majina tunayahifadhi) kablana baada ya tukio la kufungwakwa Shule hiyo, walisema tatizoni Mkuu wa Shule, Bw. Bonus

    Ndimbo, kudhihirisha udini nachuki kutokana na kauli zakekwa wanafunzi wa Kiislamushuleni hapo.

    Walisema, Mwalimu huyotokea ahamie shuleni hapoamek u wa ak i to a k au l i z a

    kupandikiza chuki miongoni

    mwa wanafunzi wa Kiislamukwa wenzao wa Wakristo,k w a k u w a i t a A l - k a i d a ,Alshabab, huku mara kwa maraakiwatahadharisha Wakristokuwa mbali na Waislamu.

    Wanafunzia hao walielezakuwa mwanafunzi yoyote waKiislamu anayeonekana kuwaanafuata maadili ya dini yake,mwalimu huyo hujenga chukinaye na kumuita Alshabab,huku akidai kuwa atahakikishaanawapunguza Shuleni hapo.

    Wanafunzi hao wanamtajamwanafunzi El-Hakim Somji,aliye na asili ya Kihindi, kuwamiongoni mwa wanafunziwanaoandamwa sana na Mkuuwa Shule, akimkejeli kuwa niAl Shabab.

    Sikupendi na sitokupenda.Wanafunzi hao walimnukuuMkuu wao, wakidai ni manenoaliyomwambia mwenzao Somji,huku akimshutumu kuwa anauhusiano na Alkaida.

    Walisema, katika kujitetemwanafunzi Somji, ambaye

    pia ni Katibu wa wanafunzi waShule hiyo na mweka hazinakwa upande wa wanafunzi waKiislamu, aliwahi kumuelezaMkuu wake wa Shule kuwa,anaona hamtendei haki kumuitagaidi wa Al Qaida.

    Wanafunzi hao walibanishakwamba, hali ilijiridhirisha zaidi,kipindi cha uchaguzi wa viongoziwa wanafunzi kilipoka ambapoMkuu huyo, alibadili mfumouliokuwa ukitumiwa miaka yoteshuleni hapo, kwa kila nafasiinayogombewa ilikuwa na watuwatatu, lakini kwa utaratibumpya kila nafasi alitaka iwe nawagombea wawili, tena Mkristona Muislamu.

    Walisema, siku moja kablaya uchaguzi, Oktoba 3, mwakahuu kupitia katika sanduku lamaoni Mkuu wa Shule aliwatajawanafunzi Ramadhani Bilali,na Kaiza Ruttakinikwa kidatocha Sita CBG, kuwa wanafunzihao wanashawishi udini Shulenihapo.

    Siku ya uchaguzi, (Oktaba 4-2012), majira ya asubuhi, Mkuuhuyo inadaiwa alikwenda nakaratazi hiyo ya maoni katikadarsa la wanafunzi hao kishakuisoma na kabla ya kuisomaalimtaka Ramadhani Bilali,akamsubiri osini kwake.

    Inadaiwa kuwa, akiwa darasani,Mkuu huyo anadaiwa kusemakuwa kuna watu wanajifanyakujua sana dini Shuleni hapo,huku akiwashawishi wanafunzikutowasikiliza na kuwapuuzakama watu wa sokoni.

    Kuna watu hawapaswikufuatwa, mfano kama hawawanaoswali swali sana, kutwanzima wanaswali tu. MwenyeziMungu ameweka siku moja tu yakuswali. Kilisema chanzo chetu,kikimnukuu Mkuu huyo.

    Imeelezwa kuwa akitoa lawama

    hizo darasani, mwanafunzialiyetajwa kwa jina la JaphetKazimili (Mkristo) alipinganana Mkuu huyo, akisema kuwahuenda taarifa hizo amezipatatofauti kwani alidai, hakuna udinikama anavyodai (Mkuu).

    Chanzo chetu kilisema, Mkuuhuyo alimtuhumu mwanafunziRamadhani Bilali ambaye nikiongozi wa wanafunzi waKiislamu kuwa ni Alshabab nani mdini na kuwa hayupo pekeyake Shuleni hapo.

    Siku hiyo ya Oktaba, 4, 2012,ambayo ndiyo ilikuwa siku yauchaguzi wa wanafunzi, wakiwamstarini Mkuu wa Shule, aliisomaile barua ya maoni kisha alitoaorodha ya wanafunzi RamadhaniBilali (Kiongozi wa Daawana taaluma kwa Waislamu),Kaiza Ruttakinikwa, El-HakimSomji, Answaar Abdulhakim,Amin Thabit (Amir wa Jumuiyaya wanafunzi wa Kiislamu),akisema anawatahadharisha nawatu hao sana Shuleni hapo,kisha aliakhirisha uchaguzihuo na kusema utafanyika sikuinayofuata, Oktoba 5, 2012.

    Kufuatia kauli hizo za Mkuuwa Shule, wanafunzi Waislamuwaliokuwa wakigombea katikanafasi mbalimbali waliandika

    barua za kujitoa katika uchaguzi,kwani miongoni mwa waliotajwasiku hiyo miongoni mwao niwagombea, h ivyo walidaiMkuu alidhamilia kuvurugauchaguzi kwa kuwatangazia sifambaya mbele ya wapiga kura(wanafunzi).

    Hata hivyo uchaguzi huouliendelea s iku h iyo hukuw a n a f u z n i w a K i k r i s t owakinukuliwa wakitamba kuwawanaenda kusimika Kanisa,huku Mkuu akisema, kujitoakwa wagombea hao wametumiad e m o k r a s i a y a o h i v y ohawezi kuahirisha uchaguzihukuakionyesha kuridhishwa nahali hiyo.

    Tu l ian d ik a b a ru a k waMkuu kuonyesha kuchoshwana mwenendo wake mzima nakwamba anapandikiza mbegu zaudini na kutengeneza matabakamiongoni mwa wanafunzi shulenihapo ambao kabla ya ujio wakematatizo hayo hayakuwepo.Alisema mwanafunzi mmoja.Oktoba 15 , mwaka huu,waliamua kuelekea kwa Mkuuwa Wilaya kupeleka malalamikoyao, hata hivyo njiani walikutanana Jeshi la Polisi, na kuwazuia nawalipoulizwa walieleza nia yaoya kumuona Mkuu.

    Polisi walituomba turudina kutuitia Afisa Elimu waWilaya (D.E.O), Mwl. Majoyo,ambaye tuliamini ni mtu ambayeatatusaidia kutatua matatizo yetuna Mkuu wa Shule, baada yakutusikiliza alihaidi kulifanyiak a z i n a k u t u t a k a k u r u d imadarasani ili amsikilize naMkuu pia kabla ya kutoa majibuya pamoja. Alisema

    Baada ya hapo, inadaiwakuwa Mkuu wa Shule alianzakuwakejeli Wanafunzi haoakisema maandamano yaohayakuwa na tija kwa kuwahawakufika walipotarajia nakuwa wamejisumbua.

    Oktoba, 22, Mkuu huyoinadaiwa kusimama mstarinina kusema, anawashangaawale ambao hawamtaki, hukuakidai siku zote bosi huwasahihi na atabaki kuwa sahihi,huku akiwalaumu kwa kitendocha Wanafunzi wa Kiislamukulalamika kwa Asa Elimu.

    Akiwa mstarini hapo, Mkuuhuyo alinukuliwa akisema,kuwa suala hilo, ama zake amazao, na kwamba atahakikishaama anaondoka yeye ama haowanaomlalamikia.

    Oktoba 23, ilikuwa ni siku yakuapishwa viongozi wapya kamaalivyopanga Mkuu wa Shule,ambapo Waislamu waligomakufanyika kwa zoezi hilo kwakuwa hawautambui uchaguzi huo,kwa kuwa ulipandikizwa chukimiongoni mwa wanafunzi.

    Mkuu huyo, alipuuza rai yaWaislamu, ambapo aliendelea nautaratibu wake na ilipoka wakatiwa kuwaapisha washindi, mmojawa wanafunzi wa Kiislamuali ipora kara tas i ya kuliakiapo kutoka kwa mwanafunzimwenzake na kuichana, na kuzuazogo.

    Baada ya tukio hilo, alikaAsa Elimu (D.E.O), kiongoziwa Bakwata, Bagamoyo, kengeleiligongwa ambapo Waislamuwote waligoma kwenda mstariniwakisema wanamtaka Mkuu waWilaya na si D. E. O, kwa madaialiwapuuza na hawajamuonatoka alipoahidi kushughulikiatatizo hilo.

    Walisema, kufuatia msimamohuo, Mkuu wa Wilaya, Bw.Ahmed Kipozi, alika Shulenih a p o n a k u f a n y a k i k a ocha pamoja, ambapo Amirwa wanafunzi Shuleni hapoAbubakar Yusuph, akiongeakwa niaba ya wenzake, alisemawamechoshwa na mwenendo waMkuu wa Shule kwa kupandikizachuki za kidini miongoni mwawanafunzi kwa kuwahusisha naAlqaida.

    Alisema, Mwanafunzi Somji,aliweka wazi kuwa Mkuu huyowa Shule ameshamtamkia marakwa mara kuwa hampendi nahatompenda kwa vile ni AlQaidah.

    Wanafunzi wa Kiislamuwalitanabaisha kuwa hawanaugomvi na wenzao WakristoShuleni hapo kama inavyovumishwa bali ni chuki tuzinazopandizwa na Mkuu waona kuvuruga mwenendo waupendo na umoja uliokuwapokabla ya ujio wake.

    Kwa upande wa wanafunziWakristo miongoni mwao

    Inaendelea Uk. 4

  • 7/30/2019 ANNUUR

    4/12

    4 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 Habari

    ulioandaliwa na Waislamuwa kuchoma makanisa nchinzima.

    Katika madai hayo wakasemakuwa tayari kikosi maalumcha Waislamu cha kutekelezahujuma hiyo kilikuwa kimetuaMbeya.

    Akizungumza mbele yawaandishi wa habari KatibuMkuu wa Baraza la Makanisa yaKipentekoste nchini Tanzania(PCT), Askofu David Mwasotaakawataka Wakristo kujihamikwa visu, mishale na mikuki ilikupambana na Waislamu.

    Baada ya kueleza na kunukuukwa urefu yale yaliyosemwa naKatibu Mkuu wa PCT, AskofuDavid Mwasota, gazeti laMsema Kweli likamalizia kwakudai kuwa wakati likielekeamitamboni, bado uchomajimoto makanisa Jijini Dar esSalaam ulikuwa unaendelea,ambapo Kanisa la Kipentekostela Faraja International YomboDovya lilikuwa likiteketea,huku jingine la KKKT YomboDo v y a n a lo l ik in u su r ik akuteketezwa na watu wanaojiitawanaharakati wa Kiislamu. (nakwamba) Mlinzi wa Kanisa hiloaliripotiwa kujeruhiwa.

    Katika taarifa yake mbeleya waandishi wa habari ,Askofu David anasema kuwakwa kushika mikuki, visuna mishale, huenda serikaliitazinduka na kuwashughulikiaWaislamu, kwani anasema kuwahaoni kama serikali inafanyavya kutosha kukabiliana nakitisho cha Waislamu kuchomamakanisa.

    Ni kufuatia taarifa hizo, Annuur ilipiga hodi Yombo ilikujua ukweli wa madai hayo.

    N a k a t i k a u f u a t i l i a j iikabainika kuwa hakuna kanisalililochomwa moto YomboDovya bali habari hizo ni uzushina uchochezi mtupu, unaolengakuwafarakanisha Waislamuna Wakristo na wakati huohuo ukilenga kuwachongeaWaislamu kwa serikali.

    Kwa kweli sisi hapa YomboDovya tumeshtushwa na habarihizi, makanisa yaliyotajwa

    Maaskofu Pentekoste waongokuchomwa tunayafahamu, sikweli kwamba kuna kanisalililochomwa na ni vyemaumekuja mwandishi ukayaona.Alisema Bw. Shamte Mwegiromkazi wa Yombo Dovya.

    Alisema kuwa baada yakusikika habari za kuchomwamakanisa hayo hapo Dovya,taarifa ziliwafikia Wenyevitiwa Serikali za Mitaa minne yaYombo Dovya ambayo ni mitaaya Uwazi, Makangarawe, Dovyana Msalakala.

    Baada ya kupata taarifahizo viongozi hao waliwafuatav i o n g o z i w a m a k a n i s ayaliyotangazwa kuchomwamoto pamoja na kutizama haliya makanisa yenyewe.

    Taarifa zinabainisha kuwa ba ad a ya ku fi ka mt aa waUwazi lilipo kanisa la FarajaInternational, walikuta liposalama.

    Walipomhoji muhusika juuya kuripotiwa kuchomwa motokanisa hilo, alijibu kuwa kanisahilo halijaungua bali inaonekanakulikuwa na dalili za kuwepohitilafu ya umeme.

    Viongozi hao walikwendakatika Kanisa la Walokolelililopo mtaa wa Njia Panda kwaKombo, ambalo nalo liliripotiwakuchomwa moto.

    Kanisa hilo lililojengwa kwamabati na kuzungushiwa pazia,nako walilikuta ni salama.

    Walipohoji kulikoni kueneahabari za kuchomwa kanisahilo, majibu yalikuwa ni motouliokuwa umewashwa kuchomataka zilizokuwa jirani na kanisahilo, uliruka na kuchoma moja ya

    pazia la kanisa lakini uliwahiwana kuzimwa na haukule tamadhara kanisani.

    K u f u a t i a u z u s h i h u o ,tayari viongozi wa misikitiYombo Dovya hususan MasjidSwabrina, wametoa tahadharikwa Waislamu kuwa makinikufuatia kuwepo propagandaza kuwapaka matope Waislamukwa kuwazulia uhalifu.

    Hata hivyo imefahamishwakwamba yaliyotokea nchini

    R w a n d a n d i o y a m e k u w am w a l i m u w a Wa i s l a m ukujihadhari na uzushi dhidiyao.

    Ila inavyoonekana ni kuwawapo baadhi ya v iongoziwa Makanisa, ambao badosomo la mauwaji ya Kimbarihali jawaingia ndio maanawanaendesha propaganda zakuchochea chuki baina yaWaislamu na Wakristo.

    U c h o c h e z i n a u z u s h iuliofanywa na viongozi wakanisa nchini humo ulisababishamaelfu ya raia wa Rwandakuingia katika vita vya wenyewekwa wenyewe.

    Kwa mtindo huo huo vyombov y a h ab a r i v y a Kik r i s to ,nanyo vimenogewa na stailiya Maaskofu wa Rwanda yakueneza propaganda za uongona uzushi ili kusababisha atharikubwa kwa watu wa imaninyingine kwa sababu ya chuki.

    Hivi karibuni Redio yaKikristo ya Wapo na gazetila Kikristo la Msema Kweli,viliripoti kwamba makanisamawili huko Yombo Dovyay a m e c h o m w a m o t o n awanaodaiwa kufanya hujumahiyo ni Waislamu.

    H u k o n y u m a i l i w a h ikuripotiwa kwamba kunakiwanda cha majambia hukoMbagala, ambayo yalisadikiwakuwa yatatumika kuleta vuruguwakati wa uchaguzi mkuu.

    Aidha vyombo hivi viliwahikuripoti kwamba kuna kontenala silaha la CUF limeingia

    ban darini Dar es Sala am, nailikuwa ni kipidi cha harakati zauchaguzi mkuu.

    Hadi leo hakijaonekanakiwanda hicho cha majambiawala kontena la silaha la CUF.

    Mchungaji wa Kanisa laPentekoste, Jean Uwinkindi, nimmoja wa viongozi saba wa diniwalioshitakiwa na Mahakamaya Kimataifa ya Mauaji ya

    Kimbari ya Rwanda (ICTR) kwakuongoza vitendo vya mauaji yakimbari ya Rwanda ya mwaka1994.

    Wengine n i pamoja naAskofu wa kanisa la Anglikana,mchungaji wa kanisa la Wasabatona Mapandre wanne wa Kanisakatoliki.

    Ni mmoja tu kati ya viongozihao wa dini ndiye aliyeachiwahuru huku mwingine mmojaakifa kabla kesi yake haijaanzakusikilizwa.

    Uwinkindi alizaliwa katikawilaya ya Rutsiro, Magharibiya Rwanda. Baada ya kuwamwalimu wa dini nyumbanikwao alikozaliwa, alipandishwahadhi na kuwa Mchungaji kwa

    kutoa huduma za kiroho katikamikoa ya Bugesera na Kibungohuko Rwanda.

    Wakati wa mauaji ya kimbarimwaka 1994, alikuwa MchungajiKiongozi katika parokia yaKayenzi.

    ICTR inamshita kwa mauajiya kimbari na uteketezaji kizazikwa madai ya kusimamia auyeye mwenyewe kushiriki katikamauaji dhidi ya Watutsi.

    Alhamisi Aprili 19, mwakahuu, akawa ni mshitakiwa wakwanza wa ICTR kuhamishiwanchini Rwanda ambako kesiyake ndiko itakaposikilizwa.

    A s k o f u w a K a n i s a

    l a A n g l i k a n a , S a m u e lMusabyimana ni kiongozi wangazi ya juu kabisa wa kanisakuwahi kushtakiwa na ICTR,lakini alikufa Januari 2003kabla hata kesi yake haijaanzakusikilizwa.

    A l i k a n a m a s h i t a k ayaliyokuwa yanamkabili yamauaji ya kimbari na uhalifudhidi ya binadamu aliyodaiwakufanya katika dayosisi yake yaShongwe.

    Askofu huyo alitiwa mbaroninchini Kenya, mwaka 2001.

    Naye Mchungaji wa KanisaInaendelea Uk. 5

    WATUHUMIWA 37waliokuwa wakishikiliwamahabusu katika garezala Segerea wameachiwahuru Jumatano mchanabaada ya hakimu katikamahakama ya KisutuB i . R . M N o n g w akukubali dhamana kwawatuhumiwa.

    Watuhumiwa waliopewadhamana baada ya kutimizamasharti ya udhaminini Kuluthumu Mfaume,Zainabu Mohamed, AdamRamadhani, SelemaniAbdurahaman, Salum MzeeJuma, Halima Abbas, MauaOmar Mdumila, FatihiaHabibu Abdulrahman,Hussein Ally Hussein,S h a b a n i R a m a d h a n iKondo, Rashid Ramadhani,Yusuf Athumani Penza,Alawi Mussa Alawi ,Ramadhani Rashid Mlali,Omary Ismail , SalmaAbdullatif, Said Rashid,Feiswari Abubakar, IssaA b d u l w a h a b u , A l l yM o h a m e d M u s s a n aAbdallah Haule .

    Wengine ni Juma Hassani,MwanaOmary Omar iMakuka, Omar Bakari,Rashidi Omar Ndimbo,Hamza Ramadhani, Maulid

    Namdeke, Swalehe Maulid,Jumanne Mussa Msumi,Salum Abdallah Mohamed,Hamisi Halid Mfiyome,Dite Bilali Waikela, AmiriSaid Idd, Juma Yasin Ally,Thumani Rashid Selemani,Abubakar Shabani na AllyShabani Salehe.

    Hata hivyo mtuhumiwanamba moja ambaye niSheikh Ponda Issa Ponda

    bado yupo mahabusukufuatia dhamana yake

    bado imefungwa.Aw a l i w a k i l i w a

    watuhumiwa Juma Nassoroa l i i o m b a m a h a k a m ak u w a p a t i a d h a m a n awatuhumiwa kabla yakutajwa tena hapo Novemba15 baada ya kukamilika

    barua za wadhamini wawatuhumiwa hao.

    Kesi ya jinai namba245 ya mwaka 2012inayomkabili Ponda nawenzake itatajwa tena hapo

    Watuhumiwa kesi ya Ponda watoka rumNa Mwandishi Wetu Novemba 15 mwaka huu.

    S h e i k h P o n d a n aWa i s l a m u w e n g i n ewalikamatwa na Polisi

    baada ya kupinga kuuzwakiwanja cha Bakwata kwamtu binafsi cha MarkazChangombe jijini Dar esSalaam hivi karibuni.

    Mara baada ya kupewadhamana, Bi. DetentionBilal Waikella, ambayeni mtoto wa mwanasiasaveteran maarufu mkoaniTa b o r a M z e e B i l a lWaikela , a l idai kuwa

    pamoja na kufunguliwakesi na kuwekwa ndani,a taendela kudai hakistahiki za Waislamu dhidiya madhalimu na kwambaanafauata nyayo za babayake, ambaye naye aliwahikuwekwa ndani kwasababu ya kutetea maslahiya umma tangu enzi zaTANU.

    Alisema hata jina laDitention, alipewa wakati

    baba yake akiwa amewekwandani na serikali ya Nyererekwa sababu za kisiasa. SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto)

    Inatoka Uk. 1

  • 7/30/2019 ANNUUR

    5/12

    5 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 Habari

    Maaskofu Pentekoste waongInatoka Uk. 4

    l a Wasab a to , E l iz ap h an e Ntakirutimana, naye pia alikufaakiwa na umri wa miaka 83,Januari 2007, muda mfupi baadaya kumaliza kutumikia adhabuyake ya kifungo cha miaka 10

    jela.Kwa mujibu wa jamaa zake,

    alikuwa anaugua kansa kwamuda kwa miaka mingi.

    Alitiwa hatiani pamoja namtoto wake wa kiume na daktariwa magonjwa ya binadamu,Gerard Ntakirutimana ambaye

    bado anatumikia adhabu yake jela, kwa kuhus ika kwak e namauaji dhidi ya Watutsi katikaeneo la kanisa lake la Mgonero,Magharibi ya Rwanda.

    Padre Athanase Seromba, nimmoja wa Mapandre ambaowamewahi kushitakiwa naICTR.

    Yeye anatumikia kifungocha maisha jela nchini Benink wa k u amu ru t in g a t in g akubomoa kanisa lake la Nyange,Magharibi ya Rwanda katikati yaAprili, 1994 ambapo wakimbizi

    wa Kitutsi wapatao 2,000waliokuwa wanapata hifadhiya usalama wao ndani yakewaliuawa.

    Pandre mwingine, EmmanuelRukundo, aliyekuwa anatoahuduma za kiroho jeshini,anatumikia adhabu ya miaka 23

    jela nchini Mali.A l i t i w a h a t i a n i k w a

    kushirikiana na wanajeshi nawanamgambo wa Interahamwe

    kuwaua Watutsi waliokuwawanapata hifadhi ya usalamawao wakati huo kwenye seminariya Kabgayi (Rwanda Kati)na pia kumnyanyasa kijinsiamwanamke wa Kitutsi. Alitiwambaroni nchini Uswisi mwaka2001.

    Padre pekee Mkatolik ialiyeachiwa huru ni Hormisdas

    Nsengimana, aliyekuwa Mkuuwa Seminari ya Kristu Mfalme,

    Nyanza (Kusini mwa Rwanda).Alishitakiwa kwa kusimamia

    mauaji ya kimbari dhidi yaWatutsi katika seminari yake namaeneo jirani, ikiwa ni pamojana mauaji dhidi ya wanawake namapandre wenzake.

    Hata h ivyo, Mahakamailimwachia huru Novemba 2009kwa msingi ya kukosa ushahidiwa kutosha kumtia hatiani.

    Mwen d esh a mash i tak ahakukata rufaa dhidi ya uamuzihuo.

    Alikwenda kuishi katika pa ro ki a mo ja nc hi ni It al ia ,Machi 2010.

    Yeye alitiwa mbaroni nchiniCameroon miaka minane kablaya kuachiwa huru.Padre mwingine aliyebakiak u sh i tak iwa n a ICTR n iWenseslas Munyeshyaka,Paroko wa Kanisa la FamiliaTakatifu mjini Kigali.

    K e s i y a k e i l i p e l e k w aUfaransa Novemba 2007 lakiniyenyewe ni tofauti kabisana kesi ya Uwinkindi kwasababu Munyeshyaka anaishinchini Ufaransa na hajawahikukamatwa na ICTR.

    Bado yuko katika uchunguzina wakuu wa Ufaransa.

    Kwa mujibu wa hati yamashitaka ya ICTR, anashitakiwakwa mauaji ya kimbari, mauaji,kuteketeza kizazi na ubakaji.

    SHEIKH Farid Hadi Ahmedamesema hakuna namna,lazima haki itasimama tu.

    Sheikh Farid alipaza sautiwakati akiingia katika karandikaakisema kuwa, pamoja navikwazo wanavyowekewa katikakupata dhamana, lakini hakilazima itasimama kwa sababu

    si katika maumbile kuchwa naikachika.A m e s e m a , m a a d h a l i

    wanasimama katika haki namaadhali wanapigania haki,

    batili haiwezi kushinda.Farid na viongozi wenzake

    saba wa Jumuiya ya Uamshona Mihadhara ya KiislamuZanzibar wanaokabiliwa nakosa uchochezi, juzi walipewamasharti magumu ya dhamanana Mahakama ya Wilayaya Mwanakwerekwe MjiniUnguja.

    Ni kutokana na mashariti hayona madai mengine ya kunyimwahaki za msingi kwa mujibu wakatiba na sheria, Farid amesemakuwa yote hayo yanafanyikaili kuzima nuru ya haki, lakini

    juhudi hizo hazitafanikiwa.Hakimu wa mahakama hiyo

    alisema kuwa baada ya mahakamakupitia maelezo ya pande zotembili imeamuwa kutoa mashartimagumu kwa watuhumiwa haowakitakiwa kuwasilisha kiasicha shilingi 1,000,000 taslimkila mshitakiwa, pamoja nakudhaminiwa na wadhaminiwatatu kila mmoja wadhaminiambao kila mmoja ametakiwakuwasilisha kiwango kamahicho cha fedha taslimu.

    Sambamba na mashartihayo, wadhamini hao pamojana washitakiwa wenyewewametakiwa kuwasilisha vivuli

    Haki itasimama tuSheikh Farid awaambia maafande

    SHEIKH Farid Had akiwa katika karandinga la Polisi akirejeshwa rumande.

    Na Alghaithiyyah vya hati zao za kusaria (pass po rt ) au vi ta mb ul is ho vy aMzanzibar Mkaazi.

    Kwa mujibu wa mahakama,wadhamini hao lazima waweni wafanyakazi wa Serikali yaMapinduzi Zanzibar (SMZ)wawe na vitambulisho vya kazi

    pamoja na barua za Sheha waShehia wanazoishi.

    W a s h i t a k i w a w o t ewamerejeshwa rumande chiniya ulinzi mkali wa vyombo vyaulinzi na usalama kwa kuwa hatakama wangeweza kukamilishamasharti hayo ya dhamana, badowangeendelea kuwepo rumande,kutokana na kukabiliwa na kesinyengine katika mahakamaya Mrajis wa Mahakama KuuVuga, ambayo dhamana zaozimefungwa na Mkurugenzi waMashitaka (DPP) Ibrahim MzeeIbrahim.

    Kesi ya Sheikh Farid nawenzake saba ilianza kutajwaOktoba 19 mwaka huu, ambapo

    juzi ilikuwa ni siku ya kutoamamu z i ju u y a d h aman aza watuhumiwa hao ambaowanadaiwa kutenda kosa hiloAgasti 17 mwaka huu, huko

    katika maeneo ya MagogoniMsumbiji wilaya ya MagharibiUnguja.

    Wa t u h u m i w a w e n g i n ewanaokabiliwa na shitaka hiloni Sheikh Farid Hadi Ahmed(41) Mkaazi wa Mbuyuni,Msellem Ali Msellem (52)Kwamtipura, Mussa Juma Issa(37) Makadara, Azzan KhalidHamd an (4 3 ) Mfen es in i ,Sule iman Juma Sule iman(66), Makadara, Khamis AliSuleiman (59) Mwanakwerekwena Hassan Bakari Suleiman (39)Tomondo.

    Watuhumiwa hao wote kwa pamoja wanadaiwa kutenda kosahilo kinyume na kifungu cha

    45 (1)(a) na (b) sheria namba6 ya mwaka 2004 sheria yaZanzibar.

    Imeelezwa mahakamani hapokuwa, Agosti 17 mwaka huu,majira ya saa 11:00 za jioni hukoMagogoni Msumbiji wilayaya Magharibi Unguja, wakiwani wahadhiri toka Jumuiyaya Uamsho na Mihadhara yaKiislamu, walitoa matamko yauchochezi yanayoashiria uvunjifuwa amani na kusababisha fujo,maafa mbali mbali na mtafarukukwa Serikali ya Mapinduzi ya

    Zanzibar.Mwendesha Mashtaka kutoka

    Serikalini alidai mahakamanihapo kuwa upelelezi wa shitakahilo bado haujakamilika nakuiomba mahakama ipangetarehe nyengine kwa kutajwakutajwa tena kesi hiyo.

    Kwa upande wao Mawakiliwa upande wa watuhumiwaSalum Tawfik na AbdallaJuma na waliiomba mahakama

    kutoa agizo la kupatiwa hakizinazostahiki kwa wateja wao,ikiwemo askari wa Vyuo vyaMafunzo kuruhusu kuonekanana familia zao , kupatiwachakula, pamoja na kuwekwakatika vyumba vya pamoja nasio kama walivyo sasa ambapo

    baadhi yao wamo katika vyumbavya mtu mmoja mmoja nawaruhusiwe kufanya ibada yakusoma Quraan pamoja nakuweza kuletewa nguo.

    Kwa kweli hii sio haki naaskari wa vyuo vya mafunzowanaonekana kupindisha sheriakwa kutowatendea haki watejawetu, inafika wakati watejawetu wanafungiwa ndani masaa24 na hata sisi mawakili waohaturuhusiwi kuwaona hiiMheshimiwa Hakimu haijawahikutokea duniani kote, alisemaTawk.

    Hivyo waliiomba mahakamakutoa agizo kwa maafisa waVyuo hivyo vya Mafunzokuwatendea haki wateja waohao, kama sheria na katiba yanchini zinavyoelekeza juu yausawa wa watu wote mbele yasheria na kulinda na kupata hakisawa kwa mtu ndani ya sheria.

    Mwen d esh a Mash i tak awa mahakama hiyo KhamisJaffar Mfaume, Mwanasheriawa serikali kutoka Ofisi yaMkurugenzi wa Mashitaka(DPP) akitetea hoja hizo zaupande wa utetezi alifahamishakuwa, kwa upande wao hawanataarifa na suala hilo.

    Hata hivyo alisema kuwa,kwa upande wao hawana

    pingamizi za aina yoyote kwawashitakiwa hao katika sualazima la kutendewa haki kamawalivyo mahabusu wenginekutokana na hilo ni haki yao kwamujibu wa sheria.

    Baada ya hoja za pande hizombili, hakimu Ame MsarakaPinja ameviagiza vyombo vyasheria kuzingatia wajibu waowa kusimamia sheria, na kilachombo kinapaswa kufuata

    sheria kama zilivyowekwa. M a h a k a m a h a i t a k u ana uamuzi kwani tumesikiakilichoelezwa, ila inasema kuwavyombo vyote vya dola vinawajibu mkubwa wa kusimamiana kutekeleza sheria kamazilivyowekwa, alisema Pinja.

    Baada ya maamuzi hayo,Mwanasheria huyo wa serikalia l i iomba mahakama hiyokuiahirisha kesi hiyo na kuipangiatarehe nyengine kwa ajili yakutajwa, kwa madai upeleleziwake bado haujakamilika.

    Hak imu Ame Msa rak aPinja, alikubaliana na hojahizo na kuiahirisha kesi hiyohadi Novemba 21 mwaka huukwa kutajwa, na kuamuruwashitakiwa hao wabakierumande.

    Kwa upande wa jana haliya amani na utulivu ilitawalakwa kiasi kikubwa kutokana nakutokuwepo kwa msongamanowa watu, licha ya askari polisiwa kikosi cha kutuliza ghasia(FFU), wakiwa wamevaliamavazi maalumu huku wakiwawameshikilia silaha mikononi,na wengine wakiwa na mikandailiyohifadhiwa mabomu yamachozi, wakiwa wamelizingiraaneo zima la mahakama hiyo kwaajili ya kuimarisha usalama.

    Washitakiwa waliwasilikatika viunga vya mahakamahiyo majira ya saa 3:47 asubuhi,wakitokea rumande ya Chuo

    cha Mafunzo Kilimani wakiwakatika msafara wa magari manneyaliyosheheni askari wa FFU.

  • 7/30/2019 ANNUUR

    6/12

  • 7/30/2019 ANNUUR

    7/12

    7 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 MakalaInatoka Uk. 6

    kuwa Maosa wa usalamakikiwemo Kikosi cha Ulinzicha Jeshi l a WananchiTanzania (JWTZ), Jeshila Polisi na askari kanzuwalionekana wakivinjarikatika maeneo mbalimbaliya Dar es Salaam.

    Nalo gazeti la Mtanzanialikieleza hali ilivyokuwambaya likasema: JWTZwaingia mitaani..(kwamba)kutokana na vurugu (zaWaislamu), Jeshi la WananchiTanzania (JWTZ), lililazimikakuingia mitaani huku askariwake wakiwa wamevaliakiraia.

    Kama askari hao walikuwawamevalia kiraia, mwandishiwa Mtanzani aliwajuaje kuwani JWTZ? Anaeleza akisemakuwa: Mtanzania (gazeti)iliwashuhudia askari hao,huku mmoja wao akijikutakatika hali ngumu baadaya kitambulisho chake chakazi kudondoka kutokana navurugu hizo.

    S i j u i k i t a m b u l i s h ochangu kimedondoka wapi,ni cha jeshi maana duh sasahii imeshakuwa kazi, ahaaakumbe kipo katika soksinimekibana. Alisikika askarihuyo wa JWTZ akimwambiamwenzake.

    Akionyesha jinsi askariwa JWTZ walivyofanya kazikubwa Mtanzania likashangaana kuwasifu likisema kuwa:

    K a t i k a h a l i y a

    kushangaza, askari wa JWTZwaliweza kufanya kazi yaziada huku wakilazimikakutimua mbio kukimbizanana waandamanaji hao nakufanikiwa kuwatia mbaroni

    baadhi yao.Kwa waliokuwa Dar es

    Salaam Ijumaa i l iyopitawanajua kuwa hapakuwa namaandamano ya Waislamuwala mabomu yaliyorindima.Hata taarifa ya Kamanda Kovainasema kuwa hao vijana 19wanaodaiwa kukamatwa,walikamatwa wakiwa njeya Msikiti wa Idrisa, sio

    wakiandamana. Na mabomumawili matatu yaliyopigwa,h a w a k u p i g w a w a t uwaliokuwa wakiandamana.Yalirushwa eneo la Msikitiwa Idrisa askari wakitakawaumini watawanyike harakamara baada ya swala. Nawaumini waliondoka.

    Tulipewa taarifa kunavijana nje ya Msikiti waIdrisa, nasi tuliwamrishakuondoka, wakakaidi nasitukawakamata. Hiyo ndiyotaarifa ya Kamanda wa Polisi,Kanda Maalum ya Dar es

    MAGARI ya jeshi yakiwa yamebeba askari wa jeshi hilo wakipita mitaa ya Kariakoo, jijini Dar es Salaam

    Salaam, Suleiman Kova.Sasa hizi taarifa nyingine

    kwamba polisi walitumiamabomu ya machozi na risasiza moto kutawanya Waislamuwaliokuwa wakiandamanazinatoka wapi?

    Lakini Waswahili wana

    msemo wao, njia ya mwongofupi. Hata hao walioibukana vichwa vya habari kuwarisasi za moto zilirindimakutawanya maandamanoya Waislamu, bado katikam a e l e z o y a o u k i s o m awanasema kuwa, baada ya

    kikundi cha watu wa dini yaKiislamu waliokuwa katikaMsikiti wa Idris kuonyeshadalili ya kutaka kuanzishamaandamano ndipo Askari waJeshi la Polisi walipolazimikak u f y a t u a m a b o m u y amachozi.

    S a s a h a p a l a z i m aWa i s l a m u w a j i u l i z e ,wajifunze na watanabahi:Kama kuwepo kikundi chawatu kinachodaiwa kuwani cha waumini wa Dini yaKiislamu kilichoonyeshadalili ya kutaka kuanzishamaandamano, kilipelekearisasi za moto kurindima navyombo vya habari kudaikuwa Waislamu waichafuatena Dar es Salaam, je,wangeandamana kweli, haliingekuwaje?

    H i v i w a m e t u l i z a n amajumbani mwao na Misikitinikwao, lakini wanaambiwawamechafua Dar es Salaamhali iliyolazimisha kikosimaalum cha JWTZ kupelekwakupambana nao, wangetokana kusema wanaelekeaOfisini kwa Waziri Mkuu,hali ingekuwaje?

    H a p a n a s h a k a h a y ayaliyojiri na yaliyosemwa,y a m e w a t h i b i t i s h i aWaislamu kuwa ule uamuziwaliochukua kumeza hasirana kujisaidia kwa swala nasubra, hawakuwa wamefanyamakosa. Imekuwa ni sababuya Allah kuwaletea nusrana kuwaacha waliopangan j a m a z a kuwa hu j um uwakiumbuka.

    Sheikh Mataka, Khalifah Hamisihaya ya Maaskofu hamjayasikia?

    M a a s k o f u w a m e t o ataarifa rasmi wakidai kuwaWaislamu wana mkakatiwa kuchoma makanisa nchinzima. Na kwamba katikahatua za awali za kutekelezamkakati huo, wamepatahabar i kwamba kundila Waislamu lilishushwamkoani Mbeya kwa ajili yakuchoma moto makanisa.

    Akizungumza mbele yawaandishi wa habari KatibuMkuu wa Baraza la Makanisaya Kipentekoste nchiniTanzania (PCT), Askofu

    David Mwasota amewatakaWakristo kuj ihami kwavisu, mishale na mikukiili kupambana na Waislamuwaliodhamiria kuchomamakanisa.

    Askofu David anasemakuwa kwa kushika mikuki,visu na mishale, huendas e r i ka l i i t a z i n duka nakuwashughulikia Waislamu,kwani anasema kuwa haonikama serikali inafanya vyakutosha kukabil iana nakitisho cha Waislamu.

    Katibu Mkuu huyo wa

    PCT anamshutumu RaisJakaya Mrisho Kikwete kuwaamekuwa akitoa matamkomepesi tu badala ya nguvuna has i ra zote za dolakuwaangukia Waislamu.

    Z i l i p o t o k e a v u r u g uMbagala baada ya l i l etukio la Quran kunajisiwa,ilidaiwa kuwa kuna makanisayal ichomwa moto. Kwavile waliotoka kuandamanawal ikuwa Wais lamu nakwa kuwa Waislamu ndiowaliokuwa na hasira kufuatiaki tendo cha kukojolewa

    Q u r a n , w a k a w a n d i owatuhumiwa namba mojakuwa ndio wal iohus ikakuharibu makanisa hayo.Kufuatia tukio hilo, wapoMasheikh ambao walitoa kauliza shutuma wakiwashutumuWaislamu waache vurugun a w a a c h e k u c h o m amakanisa. Ile kuwa kanuniya Uislamu ni kuwa laiti watuwangeaminiwa kwa kauli zaotu, kuna watu wangedai damuza watu na mali zao (hivyo ni

    juu ya mwenye kuleta tuhumakuja na ushahidi utakaothibiti

    m b e l e y a m a h a k a m a ) ,h a i k u w a s h u g h u l i s h aMasheikh wetu hawa. Waowakakimbilia kuwashutumuWa i s l a m u . I l e k u w amwongozo wa Quran nikuchunguza kabla ya kuamini

    jambo na kuchukua hatua,waliona itawacheleweshaku j i s a j i l i kwa m ba na owamewashutumu Waislamu.

    Lakini hebu tujaaliye kuwakuna Waislamu walihusikakatika kadhia hiyo inayodaiwaya kuchoma makanisa ,na tujaaliye kuwa nia ya

    Masheikh waliowakemeaWaislamu ilikuwa kulindaa m a n i y a n c h i k a m awalivyojieleza: Swali ni je,haya ya Maaskofu kutoawito kwa Wakristo kujihamikwa visu, mishale na mikukiha wa j a ya s i k i a ? M bonakimya? Je, wanakubaliana naMaaskofu kwamba kuna kikosicha Waislamu kimetumwaMbeya tayari kuanza kazi yakuchoma moto makanisa?Kama hawaamini, mbonahatuwasikii wakiwasemaMaaskofu hao ambao mara

    kadhaa tunaowana wakiwakatika vikao vya pamoja?

    Na kama wanakubaliana naAskofu David kuwa kundi laWaislamu lilishushwa mkoaniMbeya kwa ajili ya kuchomamoto makanisa, je, ile kukaakimya na kuacha kundi laWaislamu hao likapambanena Wakristo waliojihami kwavisu, mishale na mikuki, ndiokulinda na kudumisha amaniya nchi hii?

    Lakini ukiacha taarifa hiyo,uongozi wa Kanisa Katolikila Mtakat ifu August ino,Mwanza , umedai kuwaParoko wake, Padiri AndreasB u h e m b o a m e t u m i w aujumbe wa kumtangazia kifo.Kwamba, wakati kimbungacha kuchoma makanisakinaendelea, sasa Waislamuwanatangaza mpango wakuuwa Mapadiri.

    Padiri Buhembo anasemakuwa yeye amekabidhiwaujumbe unaotishia kumuuwan a M a p a d i r i w e n g i n ena kwamba ujumbe huoumeandikwa kwa Lugha yaKiarabu.

    Padiri Andrea Buhemboanadai kuwa akitumia mbinuza kikomandoo kwa kuvaasawa na mavazi ya wahudumuwa Kanisani kwake, mtu(Muislamu) mwenye ujumbehuo ulioandikwa Kiarabu,al i ingia na kumkabidhi

    Inazendelea Uk. 8

  • 7/30/2019 ANNUUR

    8/12

    8 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 Makala

    Sheikh Mataka, Khalifah Hamisihaya ya Maaskofu hamjayasikia?

    Inatoka Uk. 7

    mkononi wakati akiendeshaibada bila kushtukiwa nawaumini.

    Kat ika maelezo yakePadiri Buhembo hakuelezaiwapo anajua Kiarabu kwahiyo aliposoma, alifahamukilichoandikwa au alikwenda

    kutafuta mkalimani baadae baada ya kumali za Misa .Ila anachosema ni kuwawalimkamata na kumhojilakini wakamuacha akaondoka

    bila ya kumdhuru!Ka m a h i yo ha i t o s h i ,

    uongozi huo wa KanisaKatoliki Mwanza ukadaitena kuwa walikuja mabintiwawili waliovalia Hijabu nakutaka kuingia kanisani lakiniwakazuiwa.

    L a b d a n i u l i z e t e n a ,M a s h e i k h we t u a m ba okawaida yao imekuwa nikushutumu tu Waislamu,t a a r i f a h i i y a P a d i r iAndreas, hawajaipata? Je,wanakubaliana na madaiyake kuwa kuna Waislamuwamempelekea ujumbe wakumtangazia kifo? Kamanilivyotangulia kusema, upoutamaduni mzuri tu ambapoMasheikh hukaa ka t ikavikao pamoja na Maaskofukuzungumzia masuala yakinchi. Je, wameshakaa nakiongozi mwenzao huyuwa kidini na kumtaka atoeushahidi wa madai yake haya?Au kimya chao kielewekekuwa nao wanakubalianana Padiri huyo kuwa kunawasichana wa Kiislamuwanavamia Makanisa nahijabu zao (kufanya nini?Kuyalipua?) na kuwatumiaujumbe wa kifo mapadiri?Kwa maana hiyo tusubirikuwasikia wakiibuka na kauliza kuwashutumu Waislamukuwa waache kuwatishamapadiri?!!!

    Ukit izama yale madaiya Askofu David Mwasotana haya ya Padiri AndreasB u h e m b o , k u b w awanachofanya ni kupiga

    propaganda ya kuwapakaziauovu Waislamu na hasakujaribu kuisimika ikae naikubalike kuwa nchini kunakitisho cha Boko Haram kama

    ilivyokwisha kutajwa katika baadhi ya magazeti. Ukijuakuwa mengi ya makanisahaya ni yale yaliyoanziaMarekani au kufadhiliwana taasisi za Kimarekani,matamshi ya Maaskofu hawahayakupi shida sana.

    Lakini niseme yafuatayo,ili kupitisha sheria ya PatriotAct, ilibidi kitumike kitishocha kweli cha shambuliola kimeta (Anthrax Terror Attack), wakafa watu sabawasio na hatia. Kitisho chaAl Qaida na Usam Bin Laden,kimeonekana kweli baada ya

    Septemba 11 ambapo watutakriban 4,000 walikufa.

    Uganda ilikuwa hivyohivyo. Watu kama 70 hiviwalikufa ili kitisho cha AlShabab kionekane kuwa nireal, cha kweli. Hapa hoja

    sio kama kweli waliopigaKampla walikuwa Al Shababau la. Ila tu tusisahau kuwaka t i k a An t ha x Te r r o r A t t a c k w a l i t u a m b i akuwa ni Al Qaidah, lakinihaukupita muda wakashikana

    u c h a w i w e n y e w e k w awenyewe. Lakini wakati huowalilokusudia lishatimia.

    Sasa l abda kwa waleWatanzania wenye hamu yakuona kitisho cha Waislamukinakuwa real, cha kweli,

    watuambie, wapo tayari kutoagharama kiasi gani? Wapotayari kuona watu wangapiwasio na hatia wakiuliwa?

    Na kw a vi le pr opag an dahapa ni Boko Haram, niWaislamu, Swali ni je, AskofuMwasota na Padiri Andreas,wapo tayari kuona Wakristowangapi wakiuliwa ili hilowanalotamani litimie?

    N a m i m i n a s e m awatakaouwa Wakristo nawatakaolipua Makanisa ilikudai kuwa ni Waislamu,ni hawa hawa wanaodaik u wa kuna Wa i s l a m uwalioshushwa Mbeya kulipuaMakanisani hawa hawawanaodai kuwa wametumiwaujumbe wa kifo. Nasema hivyokwa sababu wanayodai niurongo mtupu. Ni uchochezi.

    Ni usan ii . Na wa na fa nyahivi bila ya wasiwasi kwas a b a b u w a n a j u a k u w ahawatakamatwa kwa idhilalik a m a wa na vyo f a ny i waviongozi wa Kiislamu.

    Labda tujiulize, Muislamuanaingiaje kanisani anakupau j u m b e wa kuku t i s h i akukuwa, halafu humkamatina kumpeleka polisi?

    I m e k u w a k a m a u l eusanii tulioambiwa kuwakuna vijana wametekwa nawanaharakati wa KiislamuArusha wakateswa na mmojawao akakatwa masikio, lakinikatika picha waliyopigwawote wana masikio yaoyakiwa mazima!

    MMOJA wa askari wakimkatama mama mmoja katika kamatakamata ya Polisi iliyofanyika Kariakoo jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

    wal ik i r i k u wa h ak u n augomvi kati ya Waislamu naWakristo, huku mwanafunzianayejulikana kwa jina laGeorge Mnyaru, alitoboa mbeleya Mkuu wa Wilaya akisemahutumwa na mwanafunziEmannuel Mmali, kuwafatiliaWaislamu kisha kumpa taarifana yeye huzipeleka kwa Mkuuwa Shule, na kwamba wenyekazi hiyo si yeye pekeyake baliwapo wengi.

    Mwan a fu n z i Bo n i faceChaki, alitoa hoja akitaka Shulehiyo ifungwe, kutokana naWaislamu kumkataa Mkuu waShule, na kwamba kutofanyahivyo wanaweza kuzua tatizoShuleni hapo, jambo ambaloMkuu wa Wilaya hakuliaki, nakuwataka wanafunzi kutompamuda maalum katika kulitafutiaufumbuzi suala hilo.

    Pamoja na kikao hichoWaislamu waliendelea namgomo wao wa kutokuingiamadarasani wala msitarini,wakitaka Mkuu wa Shuleaondolewe.

    Taarifa zinasema, katikahali ya kushangaza, usikuwa tarehe 24 kuamkia 25,Oktoba, palivumishwa taarifa

    Mkuu wa Shule adaiwa kuhujumu wanafInatoka Uk. 3 kuwa wanafunzi wa Kiislamu

    watafanya tukio shuleni hapo,taar ifa h izo z i l ienea kwawanafunzi wa Kikristo pekee.

    Ambapo ilipoka majira yasaa sita usiku, kengele iligongwa,na kushangaza walipotokanje waliona miongoni mwawanafunzi wa Kikristo wakiwana mapanga na mbo, wenginewakiwa wameshavaa nguo kamavile wameshajiandaa kwa kitufulani.

    Tuligundua kuna mchezounatengenezwa, tulichofanyatu l iwaamb ia mab in t i waKiislamu kuingia Msikitinina sisi tulienda huko, ambapoMwanafunzi Seuri Kisambo,alisikika akitangaza kuwa kunatukio linataka kufanyika.

    Lakini cha ajabu Mkuu waShule hakuonekana kabisa mudahuo na wala hutukuona Polisiwakija kama ilivyo kawaidayake kuita Polisi tunaposigananaye, tukawa tunajiuliza kunanini? Alisema Mwanafunzimmoja wa Kiislamu.

    Taarifa zinasema, Oktoba, 25,wanafunzi wa Kikristo wakawawanashinikiza waruhusiwekuondoka shuleni hapo, lakiniinadaiwa kuwa Mkuu wa Shulealikuwa akiwaambia kuwa

    hakuna cha kuogopa kwa kuwawao (Wakristo) wapo wengikuliko Waislamu.

    Kuanzia siku hiyo, Wakristowalianza kuondoka shuleni,wakijenga hoja kuta tokeavurugu na kuwa kuna Alqaidana Alishabab shule na mpakaOktaba 27, wanafunzi wapatao350, walikuwa wametowekashuleni kati ya wanafunzi 740,wa shule nzima. Kilisemachanzo chetu.

    No vemba 1, mwak a hu u,Bodi ya Shule ilikutana nakutoa majibu ya wanafuzniwa Kiislamu kuwa Mkuu waShule Bw. Bonus Ndimbo,

    ataendelea na wadhifa wake, nakwamba madai na mgomo wawanafunzi wa Kiislamu ni batili,ili hali Serikali ya wanafunziiliyochaguliwa itaendelea,marekebisho ya dosari zilizopoyatafanyika katika uchaguziujao.

    Baada ya maamuzi hayo,Bodi hiyo iliwataka wanafunzikurejea madarsani, huku Mkuuwa Shule akiomba samahanikwa yaliyotokea huku akimaliziakwa kusema Mbwa Mzeehafundishwi mawindo.

    Majibu hayo kwa ujumlayaliamsha upya hasira za

    Waislamu, ambapo Novemba,2, walilazimika kwenda kwaMkuu wa Wilaya, kutaka kujuakama msimamo wa Bodi ndiyomajibu aliyowaahidi.

    Mkuu wa Wilaya, alisemahatambui hayo na kututakatuendelelee kuwa na subira kwanisusla hilo linashughulikiwakwa kina, na matokeo yakewatayapata kwani amebainimatatizo mengi shuleni kwetu.Alisema Mmoja wa wanafunzihao.

    Taarifa zinasema, wanafunzihao walipoendelea na mgomowao, baada ya maamuzi yaBodi, ndipo Bodi ilipoibuka tenana maamuzi ya kuwapa baruaza kuwasimamisha baadhi yawanafunzi wa Kiislamu Shulenihapo, jambo ambalo lilipingwavikali wakitaka wote wapewe

    barua, na kulazimika Mkuu waMkoa kufika shuleni hapo nakuamuru shule hiyo kufungwa.

    Juhudi za kumpata Mkuuwa Shule hiyo Bw. Bonus

    Ndimbo, kupata maelezo yakehazikufanikiwa baada ya kulezwakuwa ametoweka nyumbanikwake akihofia maisha yake,na hata alipotafutwa kwa simuyake ya kiganjani ilikuwa haipohewani.

  • 7/30/2019 ANNUUR

    9/12

    9 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 Makala

    NI vyema Serikali ikatambuawazi kwamba kukamataviongozi wa Waislamu kwalengo la kuwafanya wasalimuamri, haitasaidia kuzima

    ji ti ha da za Wais la mu waTanzania kudai haki zao.Kwa kifupi hiyo inazidisha

    tu imani ya Waislamu nakuwafanya wawe madhubutizaidi kupigania haki zao.

    Wala usidhani MwenyeziMungu ameghafilika na hayawan ay o fan y a mad h a l imu .Hakika Yeye anawaakhirishatu mpaka siku ambayo machoyao yatakodoka (yatoke njekwa hofu). Wawe wanakwendambio, vichwa juu, na macho yaohayapepesi, na nyoyo zao tupuQur ( 14:42:43).

    M f u m o n a m u u n d owenyewe wa dini ya Kiislamundiyo unaowafanya Waislamuwasikubali kudhulumiwa. Kamadhulma dhidi ya Waislamuitaendelea katika jamii yoyoteile, lazima atapatikana kiongozimadhubuti, aliye tayari kujitoamu h an g a , i l i k u k o mesh adhulma hiyo. Hilo ni jambo lakimaumbile tu.

    Mwenyezi Mungu Mtukufundiye aliyeumba maisha hayana akayewekea mfumo maalumuambao hauwezi kubadilishwahata kidogo, kama mwenyewealivyobainisha ndani ya kitabuchake:

    Hii ni kawaida ya MwenyeziMungu iliyokuwa kwa walew a l i o p i t a z a m a n i ; w a l ahutapata mabadiliko katikakawaida ya Mwenyezi MunguQur(33:62).

    Mahali pengine MwenyeziMungu anasema: Wala hutapatamabadiliko katika desturi yetu.Qur (17:77).

    Sehemu ya mfumo huuwa Mwen y ez i Mu n g u n imapambano baina ya Haki naDhulma. Haitakuja kutokeaduniani Haki ikavumilia Dhulma,wala Dhulma ikakubali Haki.Mapambano baina ya Haki naDhulma yataendelea tu mpakasiku ya Kiyama, na yanawezakuchukua sura mbalimbali -kisiasa, kidini, kiutamaduni nahata mapigano.

    Nd ip o wa na po ku ja wa tumadhubuti kama Sheikh PondaIssa Ponda. Sheikh Ponda,mara zote amekuwa mstari wambele katika kupigania haki zaWaislamu Tanzania. Amepatamisukosuko mingi sana kutokaserikalin i kwa sababu yamsimamo wake usiyoyumbawa kupigania haki za Waislamuzinazodhulumiwa.

    Kuna baadhi ya watu, wengineni ndugu zetu, wanamuonaPonda ni mtu hatari, anayepangakuleta vurugu katika nchi. Waoni vipaza sauti vya propagandaza madhalimu. Uhodari waouko katika kukosoa tu harakatizinazofanywa na Ponda, lakinisiyo wao kupanga harakatihizo! Waislamu wa Tanzaniawanahita j i v iongozi kamaSheikh Ponda Issa Ponda katikamazingira yaliyopo sasa.

    Yaani viongozi wakweli,waadilifu, wanaoweza kujitoamuhanga na walioungana kihisia

    Mapambano ya kudai haki yak

    Said Rajab

    SHEIKH Ponda Issa Ponda (kushoto)

    n a u mma wan ao u o n g o za .Ukipitia Sira ya Mtume waMwenyezi Mungu harakaharaka, utaona alipambana vikalidhidi ya dhulma. Kule Makkah,Mtume alikuwa akifumua imaniza Washirikina na kushambuliamfumo wao wa maisha, bilawoga wala kulegeza msimamo.Kiukweli, Mitume wote waMwenyezi Mungu wamefuatanjia hii, na wote walipingwavikali na mamlaka zilizokuwazikitawala maeneo yao.

    Mimi sioni taabu sana iwapoSheikh Ponda ataandamwan a v io n g o z i wa Se r ik a l iinayokandamiza Waislamu. Auakiandamwa na Maaskofu, auBakwata au vyombo vya habarivinavyotumikia Mfumo - Kristo.Ila naumia sana ninapoona watuwenye majina ya Kiislamunao wakimshambulia Ponda!Wan a tu mik a tu d h id i y aWaislamu wenzao.

    Kama tulivyoona awali,ingawa mapambano dhidi yadhulma ni sehemu ya ukweliwa kimaumbile, lakini mbinuz a k e , m i k a k a t i y a k e n amiundo yake hubadilika. Kwamfano, kuna baadhi ya watu

    wanaona njia iliyotumiwa naSheikh Ponda, kuchukua kwanguvu kiwanja cha Waislamukilichouzwa kinyemela haikuwasahihi. Wanadhani mchakatowa kisheria ungetumika zaidikukia lengo kuliko matumiziya nguvu.

    Wengine wanaona njia zakidiplomasia zingetumika,yaani kukaa meza moja naBakwata, waliouza kiwanjakinyemela, na kuzungumzanao mpaka muafaka upatikane.Sijui kama kuna diplomasia yakuzungumza na wahalifu, auhuenda nimeelewa vibaya.

    Lakini, katika medani yadiplomasia, huwezi kufanya

    mazungumzo ya pande mbilizinazovutana, iwapo upandemmoja hauna negotiating

    p ow er . Ma zu n g u mz o y aWaislamu na Bakwata hayawezikuleta tija, kwa sababu Bakwataimedhibiti kila kitu, na Waislamuhawana kila kitu. Ni sawa namazungumzo ya Wapalestinana Mayahudi. Hayana maanayoyote kwa Wapalestina!

    Pia mchakato wa sheria

    hauwezi kuleta jawabu. Nivyema ikaeleweka v izurikwamba wakati mwingine sheriazipo kwa ajili ya kulinda uhalifu.Tangu lini haki za Waislamu waTanzania zikapatikana kupitiamchakato wa sheria bila yashinikizo? Askofu Mwingirawa kanisa la Efatha amevamiakiwanda na kuharibu mali paleMwenge, lakini mpaka leoyuko huru, ila Sheikh Pondaakivamia eneo ndiyo sheriainakuwa na macho! Sheria zanchi hii zinawashughulikiatofauti Sheikh na Askofu kwakosa lile lile!

    Ni uk we li un ao faha mika

    v y e m a k w a m b a h i s t o r i ahaijawahi kushuhudia haliambayo viongozi wa jamiifu lani ya watu wanakuwamawakala wa maadui wa watuwao. Zamani, viongozi wa watumara zote walikuwa pamojana watu wao dhidi ya maadui.Ha ta k ama wak ish in d wa ,viongozi watafanya harakatiza kujikomboa wakiwa begakwa bega na watu wao dhidi yamaadui.

    Lakini leo hali ni tofautikwa Waislamu nchini Tanzania.Bakwata inayojitapa kuwataasisi kiongozi ya Waislamuwa Tanzania inatumia rasilimali

    za watu wake, kuwanufaishamaadui wao! Bakwata ndiyoimekuwa silaha kali ya maaduidhidi ya Waislamu. Ni msibamkubwa sana unaotukabili nduguzangu - hili dude Bakwata!

    Angalia wale viongozi wenyeuchungu na Waislamu, mara zotewamekuwa wakiwasihi wauminiwenzao kutuliza munkari nakufanya lile lenye manufaazaidi, ikiwemo kuepusha maafayasiyokuwa ya lazima. Watumashuhuri, kama Prof. IbrahimLipumba, ingawa si kiongozi wakidini, lakini alifanya jitihadakubwa za kuwatoa ndani viongoziwa Waislamu waliokamatwa,kisha akatembelea vyombo vyahabari jioni ile ile kuwasihiWaislamu wasiandamane baadaya Swala ya Ijumaa ili kuepushamaafa. Waislamu kwa busarakubwa waliona mantiki yakutoandamana. Prof. Lipumbaalikuwa ameungana kihisia naWaislamu wanaolalamika nandiyo maana wakamuelewana kumtii. Hii ndiyo sifa yakiongozi.

    Kama ujumbe ule wa kuwatakaWais lamu was ian d aman eu n g e to lewa n a Bak wa ta ,wanaojifanya kuwa viongoziwa Waislamu, kupitia masheikhwao, Alhad Mussa Salumu auIssa Shaaban Simba, nina hakikaWaislamu wasingewatii. Kwasababu, kama ilivyo kawaidayao, wangeanza na kejeli navitisho, jambo ambalo Waislamuhawalipendi kabisa.

    Lakin i pamoja na yoteyaliyotokea, ajenda ya Waislamuwa Tanzania kudai haki zaozinazokandamizwa na Serikaliiko pale pale. Mapambano yakudai haki huwa hayakomi

    mpaka haki ipatikane. Jambo lakuzingatia ni kwamba Waislamuwasije wakapoteza dira yaokutokana na matukio yaliyotokeasiku chache zilizopita.

    Wajue kwamba Haki naDh u lma k amwe h av iwez ikukaa pamoja. Jitihada kubwazinafanywa na maaskofu ,wanafiki, Serikali, wanasiasan a v y o m b o v y a h a b a r ikuwatia ujinga Waislamu waTanzania, wasitambue ukweliwa kimaumbile kwamba kunamgongano wa kudumu kati yaHaki na Dhulma, kama ulivyomgongano kati ya Imani naKufru au Ukweli na Uongo. Nahuo mgongano ndiyo uhalisiatunao ushuhudia leo kati yaWaislamu na Serikali hapanchini.

    Kama tulivyoona awali,mbinu, mikakati na miundo wakupigania haki zinazoporwani tofauti sana. Kuna baadhiya Waislamu wanaweza kuonaS h e i k h P o n d a a m e f a n y a

    ja mb o li si lo na fa id a wa la

    tija kuhamasisha Waislamukuchukua haki yao kwa mikonoyao wenyewe. Wamejitakiawenyewe matatizo yaliyowakuta.

    Ning epe nd a ku waku mbu shaWa i s l a m u k w a m b a h a k ihuchukuliwa haiombwi. NaUislamu una mtazamo tofautisana kuhusu faida au tija.

    Kwa mujibu wa dini yaKiislamu, faida huzungukakwenye Sheria na Kanuni zaMwenyezi Mungu tu, na siyomawazo nyu ya kibinadamu.Kila palipo na Uislamu, basifaida hupatikana na siyo kinyumechake. Waislamu wanapaswakutekeleza maagizo ya Kiislamu,

    bila kuzingatia faida au hatari

    inayoweza kupatikana. Faida niile iliyozungumzwa na Sheria yaMwenyezi Mungu tu.

    Kwa maneno mengine, faidakwa Waislamu ipo katika kumtiiMwenyezi Mungu na kufuataUislamu. Mwenyezi Munguanasema:

    Mmelazimishwa kupiganavita (kwa ajili ya dini). Naloni jambo zito kwenu. Lakinihuenda mkachukia kitu, nachoni kheri kwenu. Na huendamkapenda kitu nacho ni sharikwenu. Na Mwenyezi Mungundiye anayejua, (lakini) ninyihamjui Qur (2:216).

    Aya hii inaonyesha wazikwamba Mwenyezi Munguameamrisha vitu ambavyovinaweza visionekane kamafaida kwa jicho la kibinadamu,ambavyo Waislamu wanapaswakuvitekeleza bila ya kuzingatiamaoni yao kuhusu vitu hivyo.Uwezo wa kuamua lipi jema nalipi baya, lipi lenye tija na lipilisilo na tija kuhusu vitu hivyosiyo wa kibinadamu.

    Kwa hiyo Sheikh Ponda naWaislamu wengine wanapoamuakuondoa munkari kwa mikonoyao, jambo ambalo wenginehatuwezi kwa sababu ya woga;na kisha kupata misukosukowaliyopata kutoka Serikalini,hatupaswi kuwaona wamefanya

    jambo baya lisilo na tija.

  • 7/30/2019 ANNUUR

    10/12

    10 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 Makala

    Na Khalid S Mtwangi

    Kanisa Katoliki Uvinza

    Masjid Takwa ulio na umri wa karibu miaka mia moja

    Msikiti Kibaoni, kitongoji cha Uvinza. Hapa ni upande wa wananawake

    K U M E K U W A n am ala l am ik o y a m u d am r e f u s a n a k u w amaendeleo makubwa yaUislamu yamekuwemokatika miji mikubwa tu.Ni jambo la kusikitishakuwa hata vile vijiji amamiji midogo iliyokaribuna miji hiyo mikubwa, nao

    wamesahau l iwa. Hukonyuma katika gazeti hilikulitolewa mfano wa ustadhm m o j a a l i y e t e m b e l e akijiji kilichoko karibu yaTabora ambako alishindwakuendelea na swala yaLJu m aa k w a sab ab ualivyokuwa akiborongayule Imam ambaye ndiyealikuwa khatib pia. HakikaTabora pamekuwa ni mjiwa mashina ya Uislamu kwamuda mrefu sana na wapoAlim wengi tu hapo mjini.Shida ni kwamba hawaAlim wanajishughulishana malumbano mijini nakujigamba nani kasomazaidi ya mwenzake.

    H a l i k a m a h i y o y akusikitisha nayo inapatikanavitongoji vinavyizungukaUjiji na Kigoma yote kwa

    jumla. Hakuna asiyefahamusifa ya Ujiji katika nyanja yailm ya dini ya Kiislamu. Kwasababu hiyo ni sawa kabisakutegemea kuwa takribanmkoa wote wa Kigomaungekuwa nao ni ngomeya Uislamu. Huko nyumakulikuwepo wamishionariwa Kikristo kama aliyekuwaaki ju l ikana kama Padr iYusufu wa pale misheniKagera. Huyu alikuwa niraki wa kila mtu pale Ujiji.Lilikuwa ni jambo la kawaidakabisa kumkuta kijiwenikatika kundi la waSwahilinaye akinywa nao kahawana akipiga domo. Alikuwaakiijuwa lugha ya Kiha kulikohata wale watu wa mjiji Ujiji.Alipofariki takriban mjimzima wa Ujiji ulihudhuriamazishi yake ingawa yalikuwandiyo yale ya Kikatoliki.

    N i j a mbo la ku j i vun iakuwa mpaka al ipofarikihakuwahi kumrubuni hatamtu mmoja, awe kijana amamzee, aliyekubali kupotea

    Maendeleo ya Uislam vijijinina kwe n da ku ba t i z wa .Huyu Padri Yusufu alikuwaakijaribu sana afanikiwekufanya hivyo.

    Mji mdogo wa Uvinza nao

    ni kama hivyo hivyo. Kwamiaka zaidi ya mia mojaumekuwa ni mji wa Kiislamu.Katika miaka ya arobainina mwanzoni mwa hamsinikanisa lilikuwa likijulikanak a m a C M S ( C h u r c hMissionary Society) ambalosasa linajulikana kuwa niKanisa Anglikana walijaribukufungua misheni yao hapoUvinza. Ilibidi wahame kwakukosa mafanikio. BaadaeKanisa Katoliki nao walikana kujenga kanisa lao hapo.Walichofanikiwa ni kupata

    utalii wa ndani tu kutembeleadaraja la kamba suspension

    bridge walilojenga kuvukaMto Ruchugi. Hivyo baadaenao walihama. Hiyo ilikuwakatika miaka ya sabini.

    Hivyo ndivyo Uislamuulivyojenga mizizi hapoUvinza na Kigoma/Ujiji kwa

    jumla. Bahati mbaya sana na ni

    jambo la kusikitisha kuwa hivisasa hali imebadilika kabisa.Uislamu uko mashakani. Hukonyuma palikuwa na kanisamoja tu la Katoliki pale Ujijizee la zamani na baadae katikamiaka ya hamsini walijengalingine Kigoma mjini. Leo hiihali haiko hivyo kiasi kwambaUislamu uko mashakani.Ujiji tu peke yake sasa kunamakanisa takriban matanoya madh-hebi mbali mbali.Uvinza napo pameingiliwa

    pak iwa na makan isa za idiya sita. Wale walioshindwakueneza dini yao, miaka hiyoya nyuma, CMS na Katoliki,leo wapo kwa kasi kabisa. Sitakatika kimji kidogo cha watutakriban thelethini na tano

    elfu. Hata yale makanisa yawalokole, kama ya BishopKakobe, yanayo ongozwa namitume kama Apatha, Churchof God nayo yamejikita hapo.Baya zaidi ni kuwa Waislamuwao wamelala usingizi tu walahawaoni kuwa Uislamu katikasehemu hizo uko mashakani.Masheikh wa Kigoma wengi

    wanahamia Dar es Salaam tuwale wa BAKWATA wao niwanasiasa wa CCM zaidi yakuwa masheikh.

    Bahati nzuri ni kuwa paleUvinza kwa mfano kuna Alimvijana ambao wanakerwana mamabo haya. Mmojani Ustadh Majaliwa Issa

    Nd agojwe amba ye ka ti kaKhutba ya siku ya LJumaaal idokeza kuwa wakat iakisafiri kwa treni akiendaTabora alikaa karibu nawachungaji wawili wa kanisamoja la Pentecoste. Aliwasikiawachungaji hao wakijigamba

    j ins i gan i wal ivy ow ezakuusimamisha Ukristo katikavijiji vingi katika mkoa waKigoma hasa vile vilivyokati ya Uvinza na Nguruka.Wakijigamba kwamba tayariwamekwisha jenga makanisakote huko na kuna wachungajiwenzao wakieneza dini yao.Huyu Ustadh Maja l iwaIssa Ndagi jwe hakus i t akuwakosoa viongozi wa dinihasa wa BAKWATA kuwawao wamelala usingizi tuwakati Uislamu unapigwavita.

    Bahati mbaya sana mjimdogo wa Uvinza unakosam a e n d e l e o y a m a a n akwa sababu kutokuwepona uchumi wa kuaminika.Kiwanda kidogo cha chumvikilichoko hapo hakitoshelezik u w a w e z e s h a w e n y e j ikuweza kujikimu vya kutosha.

    Hivyo maendeleo ya kila ainani duni san. Waislamu wahapo hawana uwezo mkubwawa kujiendeleza wenyewe.Pana misikiti mitatu ambaommoja, Masjid Taqwa ndioshina la dini hapo kwa vileulijengwa takriban miakamia moja iliyopita. Jamii yaKihindi ya KiPunjabi (leohii wanaitwa wa Pakistani)ndio walianzisha harakati zakuujenga msikiti huo. Vizazivya WaPunjabi hawa vikohapo mpaka leo

    Hawa waislamu wa Uvinzawanahitaji misaada sana kwasababu uwezo wa Waislamuna wenyeji wote kwa jumlani duni sana. Wengi hujikimukwa kufanya vibiasharavidogo vidogo tu ambavyohusaidia kupata chakulatu. Huko nyuma Uvinza

    pal ikuwa ni mapanda nji aya mizigo na watu kwendaMpanda kulikokuwa namigodi ya dhahabu na madininyingine. Kweli wakati huouchumi wa Uvinza ulikuwamzuri lakini hivi sasa wenyejihuj ishughulisha sana navibiashara vidogovidogo tu

    Kweli pana kiwanda chachumvi ambacho kimekuwepokikizalisha chumvi tanguwakat i wa Utawala waKidachi (Jeremani) na hatawakati wa WaArabu. Lakiniuzalishaji wa kiwanda hichona ajira inayopatikana kutokakiwanda hicho haikidhi kabisakuendesha maisha bora yawenyeji. Wameshindwa hatakuendeleza msikiti mdogoulio Kibaoni ambaho nikitongoji cha mji huo. Haliya kimsikiti hicho ni aibusana kwa vile jirani yake panakituo kikubwa tu cha KanisaKatoliki ambacho maendeleoyake ndiyo yanaaibisha nguvuya Waislamu.

    Waislamu wa Uvinzawamejaribu sana kuombam i s a a d a k u r e k e b i s h ahali hii ya aibu. Maombi

    yamepelekwa kwa taasisiza Kiislamu nchini na njeya nchi kujaribu kuuhamiUi s l a m u . Ni j a m bo l akusikitisha sana kuwa taasisihizo zimekuwa kimya. Wakatihuo huo Kanisa Katolikina hata makanisa menginewamo mbioni kuwaghilibuvijana wa Kiislamu na wasioWaislamu kujiunga na dini yaKikristo.

    Waislamu wa Tanzaniat u n a w e z a j i k u u o k o aUislamu??

    Msikiti wa KIBUTA- Kitondwe B Munga- KisaraweWanaomba Msaada wa Kuchimbwa KISIMA cha Maji.

    Kwa Mawasiliano Piga No. 0656 092 436 au0685 171 221

    Msaada wa Kuchimbwa KISIMA

  • 7/30/2019 ANNUUR

    11/12

    11 AN-NUUDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 Makala

    NI kweli maajabu hayaishi,hasa nchini Nigeria. Kunausemi wa siku nyingi kuwani rahisi zaidi kumshawishimtu achome nyumba yakekuliko kumshawishi aacheupendeleo wake wa asili.Sikudhani hata siku mojakuwa usemi huo ungekuwakweli kama ulivyo, hadiniliposoma kuwa wapigamabomu tisa, wanaoaminikak u w a n i W a k r i s t o ,walikamatwa wakijaribukulipua Kanisa la Kristo laNigeria (COCIN) lililokoMiya Barkate, kilomita 20katika barabara ya Josh-Bauchi jimbo la Bauchi.

    Watuhumiwa wa ulipuaji niLamba Goma, Filibus Danasa,Joshua Ali, Danjuma Sabo,Joseph Audu, Simon Gabriel,Bulus Haruna, YohannaIshaya na Daniel Ayuba

    (aliyekuwa Katibu wa PDP chama kilichoko madarakani,Peoples Democratic Party

    cha Rais Dk. Goodl uck Jonathan) katika kata yaTilden Fulani, wilaya ya Toro,

    jimbo la Bauchi.Wa t uh um i wa ha o n i

    wanachama wa kanisa hilola COCIN eneo al Unguwar Rimi, makazi madogo mapyaya Wakristo kati ya TildenFulani na vilima vya Shere.Watuhumiwa hao ambaowalipigwa vibaya na wananchiwaliokolewa na polisi nahalafu kufungiwa katika kituocha polisi cha tarafa ya Toro

    kabla ya kuhamishiwa kituokikuu cha polisi jimbo laBauchi.

    Wakati huo huo katika jimbo la karibu la Plateau,mlipuko wa bomu uliripotiwakatika makao makuu ya kanisahilo la COCIN katika ibadaya Jumapili. Mchungaji wakanisa lililolengwa la COCINkatika eneo la Bauchi niIshaya Izam, ambaye alianzakazi katika kituo hicho kutokamakao makuu yaCOCIN mjini Jos, ambako

    bo mu li li li pu ka (a su bu hihii).

    Hakuna uhakika kamamilipuko hiyo ya mabomuinahusiana. Taarifa kuhusutukio hilo katika jimbo laBauchi ilikuwa haijatolewana polisi.

    Kwa mujibui wa Shirika laHabari la Ufaransa, AFP, watuwatatu waliripotiwa kuuawakatika mlipuko wa Jos.Shambulio hilo lilisababishavurugu zilizofanywa na vijanawa Kikristo ambao walianzakuua watu ovyo. Waislamutakriban wawili waliuawana kundi hilo la vijana waKikristo. Watu hao walivutwakutoka kwenye pikipiki zao

    ba ad a ya ku si ma mi sh wa

    Boko Haram walipogeuka Wakrist

    ( I m e w e k w a k w e n y emtandao Februari 27,2012)

    MMOJA wa watuhumiwa waliokamatwa wa Boko Haram anayedaiwa kuwa ni Mkristo

    katika kizuizi cha magarikilichowekwa na vijana haowa Kikristo, polisi walisema.P i a m a duka m e n g i y aWaislamu yalichomwa moto,mwandishi wa AFP aliyekuwaeneo hilo alisema. Taarifakutoka Jos (asubuhi hii)inaonyesha kuwa Waislamuwanane waliuawa bila sababuna kundi hilo la vijana.

    Mjini Bauchi, msemaji wakamandi ya polisi, HassanMohamed, alithibitisha tukiohilo lakini akasema atatoamaelezo ya kina wakatimwingine.

    Wa t u h u m i w a w a k omakao makuu ya pol isilakini tutatoa maelezo ya kina

    baada ya wapelelezi kupatamwanga wa kutosha wa haliilivyokuwa, alisema.

    H a t a h i v y o h i y o s imara ya kwanza ambakoWakristo wamehusishwana mashambul iz i dhid iya makanisa na Wakristo.Itakumbukwa kuwa Mkristo,Wi s dom Ki ngs , a k i waamevalia kama Muislamu,alikamatwa akiwa anajaribukuchoma moto kanisa hukoYenagoa, jimbo la Bayelsa.

    P i a , ka t i ka j i m bo l aAdamawa Yola, wiki kadhaakabla, watu watatu waliuawakatika kanisa na Waislamuwalisemwa ndiyo walihusika.Lakini uchunguzi wa polisiulionyesha kuna mgogoromkubwa ndani ya familia

    moja ya Kikristo.Mwaka jana mwanamke

    wa Kikristo, Lydia Joseph,alikwenda katika kanisa la

    parokia yake mjini Bauchina kujaribu kuliwasha moto.Katika jimbo la Plateau, mtuanayesemakana ni Mkristoa l i k a m a t w a a k i j a r i b uk u l i p u a k a n i s a . Wa t uwenye silaha waliwapigarisasi kundi la Wakristowa l i okuwa wa k i ku t a n akanisani, halafu ikajulikanakuwa waliokamatwa ambaowako katika kuhojiwa siyoWaislamu na yote inatokanana mifarakano ya ndani.

    Kama kawaida na kamailivyotazamiwa, vyombo vyahabari vinapuuzia tukio laBauchi kwa sababu haliendanina mielekeo yao iliyosukwat a y a r i y a p r o p a g a n d adhidi ya Waislamu na diniya Uis lamu. Wakr i s tohawawezi kuwa magaidi,ugaidi ni kitu cha Kiislamu,ndiyo wanavyodhani, wakativielelezo vyote vinaelekeakinyume chake. Gazeti laVanguard nchini Nigeria namengine makubwa yanaripotitukio hilo kama ushindanikati ya wanachama wa kanisahilo.

    Lini wanachama wa Kanisawalianza kutumia milipukok u m a l i z a m i g o n g a n o ?Tunaweza kuwa sahihi kusemakuwa tukio la ulipuaji bomu laMandala siku ya Krismasi na

    mashambulio mengine dhidiya makanisa, likiwemo lile laJos, yalifanywa kutokana namigongano katika jumuia yaKikristo?

    Vyombo vya habari vya

    Nigeria vimelishukia gazetila The Sun kwa kupendeleaupande mmoja katika matukioya Jos , na kwinginekokuonyesha kuhus i shwaisivyopasa kwa kundi la BokoHaram na pia hatari kwaWaislamu wanaokaa jimbo laDelta (ufukwe wa mto Niger wenye visima vya mafutana uharibifu wa mazingira)

    kutokana na magadi waKikristo.Kama matukio hayo ya

    kushangaza yanavyoonyesha,Boko Haram tayari imetangazakuhusika na milipuko ya Jos.Aliyedaiwa ni msemaji waBoko Haram, Abul Qaqa,ambaye amewekwa kizuizinina SSS (Idara ya Usalama waTaifa) alidai kuhusika kwaniaba ya kundi hilo.

    Tulifanya shambulio dhidiya kanisa COCIN mjini Josleo na tulifanya tulichofanyakama sehemu ya nia yetuya kulipiza kisasi mauaji naudhalilishaji wa Waislamukatika Jos katika miaka 10iliyopita.

    N i v i p i A b u l Q a q aalihakikisha kuwa ilikuwani kundi lake lililohusika?

    Nina uhakika kama wapigam a b o m u w a K i k r i s t ow a n g e f a u l u B a u c h i ,angetangaza kuhusika naulipuaji huo pia. Hivi kunashaka gani kuwa uongozi waBoko Haram hauna uwezowa kuhakikisha vi tendovya wanachama wakewote. Boko Haram inawezakuwa haihusiki na baadhiya mashambulio ambayowamedai kuhusika nayo.

    Lipumba alivyoepushari Ijumaa iliyopit

    Inatoka Uk. 12hawajaachiwa. Niliwasiliana naRCO na nikabaini kuwa sualahilo haliko tena chini ya uamuziwake na litakamilishwa sikuijayo, (Ijumaa). Alisema.

    A l i s e m a , j u h u d i z a k ehazikuishia hapo kwani sikuhiyo hiyo usiku wa Alhamisikuamkia Ijumaa (wiki iliyopita)alijaribu kuwasiliana na RaisKikwete, kupitia wasaidiziwa ke i l i a m f a ha m i s hemantiki na sababu ya hatuaal izochukua i l i na yeyeatumie uwezo wake alionaoili Sheikh Ramadhan Sanzena wenzake waachiliwe, kwamustakabali wa Taifa, hatahivyo alisema hakuwezakumpata, Rais (Jakaya) kwawakati muafaka.

    A l i s e m a , k a t i k akuhangaika zaidi ili viongozihao waachiliwe, siku yaIjumaa (iliyopita) alipatafursa ya kuzungumza na IGPna kumfahamisha sababu

    y a j uhud i a l i z oc hukuan a m a t e g e m e o k u w aSheikh Sanze na wenzakewangeachiwa toka siku yaAlhamisi.

    Ninakiri kuwa katikamazungumzo ya simu, IGPMwema alikuwa msikivu namkarimu sana katika kauliyake. Alinishukuru kwa kauliniliyoitoa katika vituo vyatelevisheni na kuwa atafuatiliasuala nililomueleza. HatimayeSheikh Ramadhan Sanze nawenzake waliachiwa siku yaIjumaa. Alisema.

    Prof. Lipumba alisema, baada ya mlolongo wote huona juhudi zake za kusimamakati ya Waislamu na Jeshila Polisi, anaamini kuwaWaislamu wengi na wananchikwa ujumla walipokea vizuriwito wake na hawakushirikikatika maandamano, japokwamba wapo waliohojihatua yake hiyo.

  • 7/30/2019 ANNUUR

    12/12

    AN-NUUR12 Dhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 9 - 15, 2012

    Usikose nakala yako y AN-NUUR kila Ijuma

    Jumanne

    WAKATI wanasiasa na wakuuwa vyombo vya dola na hatabaadhi ya Masheikh wakitoakauli za vitisho na kejeli kwaWaislamu, Profesa IbrahimLipumba, wiki iliyopitaa l i f anya juhud i kubwakuepusha shar i ambayoingewasibu Waislamu nawananchi wa Dar es Salaam.

    Katika jitihada zake, Prof.Kipumba a l is imama katikama msuluhishi wa Polisina Waislamu huku akipiganiakupewa dhamana viongoziwaliokuwa wamekamatwa.

    Hata hivyo, baadhi ya watuwamemshutumu Lipumba haliambayo imempelekea kutoaufafanuzi akisema kuwa ndaniya Tanzania kuna Watanzaniawengi, miongoni mwao niWaislamu ambao nao piawanastahiki kutendewa hakina kusikilizwa.

    Profesa Lipumba, aliyeMwenyekiti wa Chama ChaWananchi (CUF), Taifa, ametoakauli hiyo mbele ya waandishiwa habari mwishoni mwa wikihii, akijibu wale waliohojisababu za yeye kuingilia katimvutano baina ya Waislamu naJeshi la Polisi nchini.

    Katika majibu ya hoja hizo,Prof. Lipumba, alisema kwambaCUF inasimamia Haki Sawakwa Wananchi Wote, kwanimiongoni mwa Watanzania

    wamo Waislamu, ambao naowanastahiki kupata haki katikanchi yao.

    Kuna Watanzania wengiambao miongoni mwao niWaislam na wao pia wanastahikikutendewa haki katika nchi yao.Amesema Prof. Lipumba.

    Ama kuhusu hoja kwambakatika mikutano ya CUF, hujaa

    balaghashia na hijabu, utadhanikuna mawaidha, Prof. Lipumba,alisema ni vyema wanaohojisuala hilo wakasoma historiaya nchi hii ambayo hata pichazinaonyesha umati wa watuwaliokuwa katika mikutano yakupigania Uhuru, iliyokuwaikihutubiwa na Mwalimu

    Nyerere, wengi wao walikuwa

    wamevaa balaghashia na baibui,hivyo haoni kama ni tatizo. K u h u s u b a l a g h a s h i a

    na baibui ni vyema vijanawakatazama histori, zipo pichaza umati wa watu ukihutubiwana Mwalimu Nyerere wakatiwa kupigania Uhuru wa nchihii. Picha hizo zinaonyeshaw a l i o k u w a w a k i p i g a n i aUhuru wengi walikuwa wavaa

    bal agh ash ia na baibui , hat aMwalim Nyerere a l ipewazawadi nyingi za balaghashiana akaamua kuwa anazivaa.Alibainisha Prof. Lipumba.

    Prof. Lipumba, alitanabahishak wamb a , k u sh amir i k wademokrasia ya kweli mahala

    Lipumba alivyoepushashari Ijumaa iliyopita

    Na Bakari Mwakangwale

    PROF. Ibrahim Lipumba SHEIKH Ramadhan Sanze IGP Said Mwema

    popote msingi wake mkubwani amani na utulivu na kwamba

    amani ya kweli haipatikani bilakuwepo haki miongoni mwamakundi katika jamii.

    Akizungumzia kushikiliwakwa Sheikh Ponda Issa Pondana kunyiwa dhamana alisema,Kiongozi huyo wa Waislamuana haki ya msingi ya kupatiwadhamana hata kama kauli zakezinaichefua Serikali.

    Alisema, kesi ya SheikhPonda, msingi wake ni madai yakiwanja, hivyo kimsingi kesi yamadai yanayomkabili ilipaswakusuluhishwa na Mahakamaya Ardhi.

    Prof. Lipumba, alisemaanasikitishwa kuona viongoziwa Serikali kushindwa kutumianjia za busara na juhudi zamakusudi za kukutana nakuzungumza na Maimam waMisikiti na viongozi wa Jumiyaza Kiislamu, ili kupunguzamunkari kwa Waislamu, badalayake kumekuwa na kauli zavitisho na kamatakama kwaviongozi hao.

    Nasikitika sana katikakipindi hiki tete, viongoziwa Serikali wameshindwakuchukua juhudi za makusudikuzungumza na Maimamwa Misikiti na viongozi waasasi za Kiislam. Badala yakewameachia kauli za vitisho vyaKamanda Kova, ndiyo viwemawasiliano kati ya Serikalina Waislam. Amesema Prof.

    Lipumba.Akitoa rai kwa Serikali na

    Jeshi la Polisi, Profesa Lipumbaalisema, ni vyema Serikaliikatumia busara na kuwasilianana Maimamu wa Misikiti naviongozi wa asasi za Kiislamkusikiliza hoja na malalamikoyao kisha wazifanyie kazi.

    Kwa upande wake alisema,atafanya juhudi za makusudikuzungumza na viongoziwa asasi za Kiislamu pamojana viongozi wa Makanisa yaKikristo.

    A l i s e m a , m a d h u m u n iya mazungumzo hayo n ikuwafahamisha mantiki ya

    juhu di zake katika kuma lizamivutano na kushauriana misingimuhimu ya Waumini wotekuheshimiana na kuvumilianaili kujenga Tanzania yenye hakisawa kwa wote.

    Aidha alisema, amefanikiwak u o n g ea n a Ra is J ak ay aKikwete, juu ya suala hilo,akidai kwamba hali hiyo Rais,

    pia inamsononesha bila shakaalidai, huenda akaitafutiasuluhisho la kudumu.

    H a t i m a y e n i m e p a t afursa ya kuzungumza naMheshimiwa Rais (Kikwete)hivi leo asubuhi na nikamueleza

    juhudi nilizozichukua kuwezak u p u n g u za ms imamo n akuwaomba Waislam wasishirikikwenye maandamano baada yasala ya Ijumaa.

    Ni wazi hali hii ya mtafarukud i j ii i h

    sana Mheshimiwa Rais naninaamini atajitahidi kwa uwezowake wote kutafuta suluhisho.

    Alisema Prof. Lipumba.Hata hivyo Prof. Lipumba,alisema katika kutafuta suluhuya mtafaruku huu, ataendelea na

    jitihada zaidi za kutafuta fursaya kukutana na Rais Kikwete,ili aweze kubadilishana mawazokatika masuala hayo.

    Awali , Prof . Lipumba,aliwaambia waandishi wahabari kwamba alistushwa nakamatakama ya Jeshi la Polisikwa viongozi wa Kiislamu,na kuhofia kwamba huendaikazidisha hasira miongoni mwaWaislamu na kuvuruga mani.

    Alisema, siku ya Alhamisi(iliyopita) alisikia kwambaSheikh Ramadhan S. Sanze,Sadik Gogo, Ustadhi Mukadam

    na Mzee Abdillah wamekamatwana wamefikishwa CentralPolice Station.

    Nilistushwa na kamatakamata hii na nikahoa kuwain aweza k u o n g eza j a zb amio n g o n i mwa wau min iwa Ki i s lam, n ik amp ig iasimu Mkurugenzi wa Hakiza Binadamu na Mahusianoya Umma, Abdul Kambaya,tukutane kituo cha Polisikuangalia kama tunawezakuwawekea dhamana. AlisemaProf. Lipumba.

    Alisema, walipoka kituonihapo walizungumza na RPC

    Sul eim an Ko va na RC O-Msangi, kuhusu uwezekano wa

    kuachiliwa kwa viongozi waKiislamu waliowakamata .

    Prof. Lipumba, alisemakuwa walifahamishwa kuwaitabidi wafanyiwe mahojianona baadaye wataachil iwais ip o k u wa Us t . Mk ad amSwalehe, ambaye walielezwakuwa ana faili jingine palePolisi linaloendelea kufanyiwaupelelezi.

    Tulifahamishwa kuwanitume mtu saa 10:30 jioni iliaweze kufuatilia utaratibu wakuachiliwa watuhumiwa watatuakiwemo Sheikh RamadhanSanze, Sadik Gogo na MzeeAbdillah. Alisema.

    A l i s e m a , t a a r i f a z ak u k a m a t w a k w a S h e i k hRamadhan Sanze na wenzakezilikuwa zinaenea kwa kasi nakupandisha hasira za Waislamuwengi, jambo ambalo lilimpawasiwasi kuwa munkar huounaweza kupelekea Waislamuwengi kuandamana baada yasala ya Ijumaa.

    Alisema, aliamini kwambaikiwa Sheikh Ramadhan Sanzena wenzake wataachiwa naWaislamu wakapata taarifa hiyo,inaweza kusaidia kupunguzahamasa na watu wasishirikimaandamano baada ya sala yaIjumaa.

    Niliwasiliana kwa simun a k u zu n g u mza n a RCOna nikiamini kuwa SheikhRamadhan Sanze, Sadik Gogona Mzee Abdillah, wataachiwa

    b a a d a y a k u k a m i l i s h a

    mahojiano, na wakati huoilikuwa inakar ibia majira ysaa 12 jioni. Alisema

    A l i s e m a , b a a d a y ahapo, alifanya juhudi yakuwasiliana na vyombovya habari (Televisheni)kwa lengo la kuongea naWaislamu na akiwasihiwasiandamane baada yasala ya Ijumaa, na kuwaahidikuwa a t a l i s hughu l i k i asuala hilo na viongozi waowataachiwa.

    Hata hivyo, al isema,mambo hayakwenda kamaalivyokuwa amekubalianana Makamanda hao waPolisi, kwani alidai baadaya kutoa taarifa kat ikavituo vya Televisheni naRadio Iman, kuwa SheikhR a m a d h a n S a n z e n awenzake wataachiliwa lakinihawakuachiliwa.

    Ba a da ya kuwa s i h iWa i s l a m u w a s i s h i r i k imaandamano baada ya salaya Ijumaa nilimpigia simuAbdul Kambaya kuuliziakama naweza kuzungumzan a S h e i k h R a m a d h a nSanze. Kambaya akanielezamambo yamebadilika na

    Inaendelea Uk. 11